Freely-Given.org Bible All Books Checks

<Up>

Priority Errors

Should not have text following character marker 'b in FRT -1:19,22,34,36,39

Marker '¬ms1' not expected at beginning of line in FRT -1:120,127

No h line in file in FRT :

Invalid '#' (NUMBER SIGN) word-building character (0x0023) in FRT -1:122

Showing 4 out of 43050 priority errors

Fix Text Errors

FRT -1:19 Paragraph marker 'b' should not contain text

FRT -1:22 Paragraph marker 'b' should not contain text

FRT -1:34 Paragraph marker 'b' should not contain text

FRT -1:36 Paragraph marker 'b' should not contain text

FRT -1:39 Paragraph marker 'b' should not contain text

GEN 2:0 Extra space after chapter number

GEN 2:0 Removed trailing space in c: 2

GEN 2:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mbingu na dunia zikakamilika, pamoja na vyote vilivyomo.

GEN 2:2 Removed trailing space in v~: Katika siku ya saba Mungu alikuwa amekamilisha kazi aliyokuwa akiifanya, hivyo siku ya saba akapumzika kutoka kazi zake zote.

GEN 2:3 Removed trailing space in v~: Mungu akaibariki siku ya saba akaifanya takatifu, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika kutoka kazi zote za kuumba alizokuwa amefanya.

GEN 2:3 Removed trailing space in s1: Adamu Na Eva

GEN 2:4 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maelezo ya mbingu na dunia wakati zilipoumbwa.

GEN 2:4 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mungu alipoziumba mbingu na dunia,

GEN 2:5 Removed trailing space in v~: hapakuwepo na mche wa shambani uliokuwa umejitokeza ardhini, wala hapakuwepo na mmea wa shamba uliokuwa umeota, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu alikuwa hajanyeshea mvua juu ya nchi, na hapakuwepo mtu wa kuilima ardhi,

GEN 2:6 Removed trailing space in v~: lakini umande ulitokeza kutoka ardhini na kunyesha uso wote wa nchi:

GEN 2:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu alimuumba mtu kutoka mavumbi\f + \fr 2:7 \ft Neno la Kiebrania la mavumbi ya ardhi ndilo kiini cha jina Adamu.\f* ya ardhi, akampulizia pumzi ya uhai puani mwake, naye mtu akawa kiumbe hai.

GEN 2:8 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* Mungu alikuwa ameotesha bustani upande wa mashariki, katika Edeni, huko akamweka huyo mtu aliyemuumba.

GEN 2:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu akafanya aina zote za miti ziote kutoka ardhini, miti yenye kupendeza macho na mizuri kwa chakula. Katikati ya bustani ulikuwepo mti wa uzima na mti wa kujua mema na mabaya.

GEN 2:10 Removed trailing space in v~: Mto wa kunyeshea bustani ulitiririka toka Edeni, kuanzia hapa ukagawanyika kuwa mito minne.

GEN 2:11 Removed trailing space in v~: Mto wa kwanza uliitwa Pishoni, nao huzunguka nchi yote ya Havila ambako kuna dhahabu.

GEN 2:12 Removed trailing space in v~: (Dhahabu ya nchi hiyo ni nzuri, bedola na vito shohamu pia hupatikana huko.)

GEN 2:13 Removed trailing space in v~: Jina la mto wa pili ni Gihoni, ambao huzunguka nchi yote ya Kushi.

GEN 2:14 Removed trailing space in v~: Jina la mto wa tatu ni Tigrisi, unaopita mashariki ya Ashuru. Mto wa nne ni Frati.

GEN 2:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu akamchukua huyo mtu, akamweka kwenye Bustani ya Edeni ailime na kuitunza.

GEN 2:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu akamwagiza huyo mtu, akamwambia, “Uko huru kula matunda ya mti wowote katika bustani,

GEN 2:17 Removed trailing space in v~: lakini kamwe usile matunda ya mti wa kujua mema na mabaya, kwa maana siku utakapokula matunda yake, hakika utakufa.”

GEN 2:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu akasema, “Si vyema huyu mtu awe peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.”

GEN 2:19 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* Mungu alikuwa amefanyiza kutoka ardhi wanyama wote wa porini na ndege wote wa angani. Akawaleta kwa huyu mtu aone atawaitaje, nalo jina lolote alilokiita kila kiumbe hai, likawa ndilo jina lake.

GEN 2:20 Removed trailing space in v~: Hivyo Adamu akawapa majina wanyama wote wa kufugwa, ndege wa angani, na wanyama wote wa porini.

GEN 2:20 Removed trailing space in p~: Lakini kwa Adamu hakupatikana msaidizi wa kumfaa.

GEN 2:21 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* Mungu akamfanya Adamu kulala usingizi mzito, naye alipokuwa amelala akachukua moja ya mbavu zake, akapafunika mahali pale kwa nyama.

GEN 2:22 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* Mungu akamfanya mwanamke kutoka kwenye ule ubavu aliouchukua kutoka kwa huyo mwanaume, akamleta huyo mwanamke kwa huyo mwanaume.

GEN 2:23 Removed trailing space in v~: Huyo mwanaume akasema,

GEN 2:23 Removed trailing space in p~: “Huyu sasa ni mfupa wa mifupa yangu

GEN 2:23 Removed trailing space in p~: na nyama ya nyama yangu,

GEN 2:23 Removed trailing space in p~: ataitwa ‘mwanamke,’\f + \fr 2:23 \ft Jina la Kiebrania la mwanamke linafanana na lile la mwanaume.\f*

GEN 2:23 Removed trailing space in p~: kwa kuwa alitolewa katika mwanaume.”

GEN 2:24 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

GEN 2:25 Removed trailing space in v~: Adamu na mkewe wote wawili walikuwa uchi, wala hawakuona aibu.

GEN 3:0 Extra space after chapter number

GEN 3:0 Removed trailing space in c: 3

GEN 3:0 Removed trailing space in s1: Kuanguka Kwa Mwanadamu

GEN 3:1 Removed trailing space in v~: Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa porini ambao \nd Bwana\nd* Mungu aliwafanya. Nyoka akamwambia mwanamke, “Ati kweli Mungu alisema, ‘Kamwe msile matunda ya mti wowote wa bustanini’?”

GEN 3:2 Removed trailing space in v~: Mwanamke akamjibu nyoka, “Tunaweza kula matunda ya miti iliyoko bustanini,

GEN 3:3 Removed trailing space in v~: lakini Mungu alisema, ‘Kamwe msile tunda la mti ulio katikati ya bustani, wala kuugusa, la sivyo mtakufa.’ ”

GEN 3:4 Removed trailing space in v~: Lakini nyoka akamwambia mwanamke, “Hakika hamtakufa.

GEN 3:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu anajua ya kuwa wakati mtakapoyala, macho yenu yatafumbuliwa, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.”

GEN 3:6 Removed trailing space in v~: Mwanamke alipoona ya kuwa tunda la mti huo lilikuwa zuri kwa chakula na la kupendeza macho, tena linatamanika kwa kujipatia hekima, basi akachuma katika matunda yake, akala, pia akampa mumewe, aliyekuwa pamoja naye, naye akala.

GEN 3:7 Removed trailing space in v~: Ndipo macho yao wote wawili yakafumbuliwa, wakajiona kwamba walikuwa uchi; hivyo wakashona majani ya mtini, wakajifunika.

GEN 3:8 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mwanaume na mkewe, waliposikia sauti ya \nd Bwana\nd* Mungu alipokuwa akitembea bustanini jioni, wakajificha kutoka mbele za \nd Bwana\nd* Mungu katikati ya miti ya bustani.

GEN 3:9 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* Mungu akamwita Adamu, “Uko wapi?”

GEN 3:10 Removed trailing space in v~: Naye akajibu, “Nilikusikia katika bustani nikaogopa kwa sababu nilikuwa uchi, hivyo nikajificha.”

GEN 3:11 Removed trailing space in v~: Mungu akamuuliza, “Ni nani aliyekuambia ya kuwa ulikuwa uchi? Je, umekula matunda ya mti niliokuamuru usile?”

GEN 3:12 Removed trailing space in v~: Adamu akasema, “Huyu mwanamke uliyenipa awe pamoja nami alinipa sehemu ya tunda kutoka kwenye huo mti, nami nikala.”

GEN 3:13 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* Mungu akamuuliza mwanamke, “Ni nini hili ambalo umelifanya?” Mwanamke akajibu, “Nyoka alinidanganya, nami nikala.”

GEN 3:14 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* Mungu akamwambia nyoka, “Kwa kuwa umefanya hili,

GEN 3:14 Removed trailing space in p~: “Umelaaniwa kuliko wanyama wote

GEN 3:14 Removed trailing space in p~: wa kufugwa na wa porini!

GEN 3:14 Removed trailing space in p~: Utatambaa kwa tumbo lako

GEN 3:14 Removed trailing space in p~: na kula mavumbi

GEN 3:14 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yako.

GEN 3:15 Removed trailing space in v~: Nami nitaweka uadui

GEN 3:15 Removed trailing space in p~: kati yako na huyo mwanamke,

GEN 3:15 Removed trailing space in p~: na kati ya uzao wako na wake,

GEN 3:15 Removed trailing space in p~: yeye atakuponda kichwa,

GEN 3:15 Removed trailing space in p~: nawe utamuuma kisigino.”

GEN 3:16 Removed trailing space in v~: Kwa mwanamke akasema,

GEN 3:16 Removed trailing space in p~: “Nitakuzidishia sana utungu wakati wa kuzaa kwako;

GEN 3:16 Removed trailing space in p~: kwa utungu utazaa watoto.

GEN 3:16 Removed trailing space in p~: Tamaa yako itakuwa kwa mumeo

GEN 3:16 Removed trailing space in p~: naye atakutawala.”

GEN 3:17 Removed trailing space in v~: Kwa Adamu akasema, “Kwa sababu umemsikiliza mke wako na ukala kutoka kwenye mti niliokuamuru, ‘Msile tunda lake,’

GEN 3:17 Removed trailing space in p~: “Ardhi imelaaniwa kwa sababu yako,

GEN 3:17 Removed trailing space in p~: kwa kazi ngumu utakula chakula kitokacho humo

GEN 3:17 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yako.

GEN 3:18 Removed trailing space in v~: Itazaa miiba na mibaruti kwa ajili yako,

GEN 3:18 Removed trailing space in p~: nawe utakula mimea ya shambani.

GEN 3:19 Removed trailing space in v~: Kwa jasho la uso wako

GEN 3:19 Removed trailing space in p~: utakula chakula chako

GEN 3:19 Removed trailing space in p~: hadi utakaporudi ardhini,

GEN 3:19 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ulitwaliwa kutoka humo,

GEN 3:19 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wewe u mavumbi

GEN 3:19 Removed trailing space in p~: na mavumbini wewe utarudi.”

GEN 3:20 Removed trailing space in v~: Adamu akamwita mkewe Eva, kwa kuwa atakuwa mama wa wote walio hai.

GEN 3:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu akawatengenezea Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika.

GEN 3:22 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* Mungu akasema, “Sasa mtu huyu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya. Sharti asiruhusiwe kunyoosha mkono wake na kuchuma pia kutoka mti wa uzima akala, naye akaishi milele.”

GEN 3:23 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* Mungu akamfukuzia mbali kutoka Bustani ya Edeni, akalime ardhi ambamo alitolewa.

GEN 3:24 Removed trailing space in v~: Baada ya kumfukuzia mbali Adamu, Mungu akaweka makerubi mashariki ya Bustani ya Edeni, pamoja na upanga wa moto ukimulika huku na huko kulinda njia ya kuuendea mti wa uzima.

GEN 4:0 Extra space after chapter number

GEN 4:0 Removed trailing space in c: 4

GEN 4:0 Removed trailing space in s1: Kaini Na Abeli

GEN 4:1 Removed trailing space in v~: Adamu akakutana kimwili na mkewe Eva, naye akapata mimba, akamzaa Kaini. Eva akasema, “Kwa msaada wa \nd Bwana\nd* nimemzaa mwanaume.”

GEN 4:2 Removed trailing space in v~: Baadaye akamzaa Abeli ndugu yake.

GEN 4:2 Removed trailing space in p~: Basi Abeli akawa mfugaji, na Kaini akawa mkulima.

GEN 4:3 Removed trailing space in v~: Baada ya muda Kaini akaleta baadhi ya mazao ya shamba kama sadaka kwa \nd Bwana\nd*.

GEN 4:4 Removed trailing space in v~: Lakini Abeli akaleta fungu nono kutoka baadhi ya wazaliwa wa kwanza wa mifugo yake. \nd Bwana\nd* akamkubali Abeli pamoja na sadaka yake,

GEN 4:5 Removed trailing space in v~: lakini Mungu hakumkubali Kaini pamoja na sadaka yake. Kwa hiyo Kaini akakasirika sana, uso wake ukawa na huzuni.

GEN 4:6 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Kaini, “Kwa nini umekasirika? Kwa nini uso wako una huzuni?

GEN 4:7 Removed trailing space in v~: Ukifanya lililo sawa, je, hutakubalika? Lakini usipofanya lililo sawa, dhambi inakuvizia mlangoni mwako, inakutamani wewe, lakini inakupasa uishinde.”

GEN 4:8 Removed trailing space in v~: Basi Kaini akamwambia ndugu yake Abeli, “Twende shambani.” Walipokuwa shambani, Kaini akamshambulia Abeli ndugu yake, akamuua.

GEN 4:9 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamuuliza Kaini, “Ndugu yako Abeli yuko wapi?”

GEN 4:9 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Sijui, je, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu?”

GEN 4:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia mimi kutoka ardhini.

GEN 4:11 Removed trailing space in v~: Sasa umelaaniwa na umehamishwa kutoka ardhi, ambayo imefungua kinywa chake na kupokea damu ya ndugu yako kutoka mkononi mwako.

GEN 4:12 Removed trailing space in v~: Utakapoilima ardhi, haitakupa tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga duniani asiye na utulivu.”

GEN 4:13 Removed trailing space in v~: Kaini akamwambia \nd Bwana\nd*, “Adhabu yangu ni zaidi ya niwezavyo kustahimili.

GEN 4:14 Removed trailing space in v~: Leo unanifukuza kutoka nchi, nami nitafichwa mbali na uwepo wako. Nitakuwa mtu wa kutangatanga asiyetulia duniani na yeyote anionaye ataniua.”

GEN 4:15 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia, “La sivyo, ikiwa mtu yeyote atamuua Kaini atalipizwa kisasi mara saba zaidi.” Kisha \nd Bwana\nd* akamwekea Kaini alama ili mtu yeyote ambaye angemwona asimuue.

GEN 4:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Kaini akaondoka mbele za \nd Bwana\nd* akaenda kuishi katika nchi ya Nodi, iliyoko mashariki ya Edeni.

GEN 4:17 Removed trailing space in v~: Kaini akakutana kimwili na mkewe, naye akapata mimba na akamzaa Enoki. Wakati huo Kaini alikuwa anajenga mji, akauita Enoki jina la mtoto wake.

GEN 4:18 Removed trailing space in v~: Enoki akamzaa Iradi, Iradi akamzaa Mehuyaeli, Mehuyaeli akamzaa Methushaeli, na Methushaeli akamzaa Lameki.

GEN 4:19 Removed trailing space in v~: Lameki alioa wanawake wawili, mmoja aliitwa Ada, na mwingine Sila.

GEN 4:20 Removed trailing space in v~: Ada akamzaa Yabali ambaye ni baba wa wale walioishi katika mahema na kufuga wanyama.

GEN 4:21 Removed trailing space in v~: Kaka yake aliitwa Yubali, aliyekuwa baba wa wote wapigao zeze na filimbi.

GEN 4:22 Removed trailing space in v~: Pia Sila alikuwa na mtoto wa kiume aliyeitwa Tubali-Kaini ambaye alifua vifaa vya aina mbalimbali vya shaba na chuma. Naama alikuwa dada wa Tubali-Kaini.

GEN 4:23 Removed trailing space in v~: Lameki akawaambia wake zake,

GEN 4:23 Removed trailing space in p~: “Ada na Sila nisikilizeni mimi;

GEN 4:23 Removed trailing space in p~: wake wa Lameki sikieni maneno yangu.

GEN 4:23 Removed trailing space in p~: Nimemuua mtu kwa kunijeruhi,

GEN 4:23 Removed trailing space in p~: kijana mdogo kwa kuniumiza.

GEN 4:24 Removed trailing space in v~: Kama Kaini atalipizwa kisasi mara saba,

GEN 4:24 Removed trailing space in p~: basi Lameki itakuwa mara sabini na saba.”

GEN 4:25 Removed trailing space in v~: Adamu akakutana kimwili na mke wake tena, akamzaa mwana, akamwita Sethi, akisema, “Mungu amenijalia mwana mwingine badala ya Abeli, kwa kuwa Kaini alimuua.”

GEN 4:26 Removed trailing space in v~: Naye Sethi akamzaa mwana, akamwita Enoshi.

GEN 4:26 Removed trailing space in p~: Wakati huo watu wakaanza kuliitia jina la \nd Bwana\nd*.

GEN 5:0 Extra space after chapter number

GEN 5:0 Removed trailing space in c: 5

GEN 5:0 Removed trailing space in s1: Kutoka Adamu Hadi Noa

GEN 5:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 1:1-4)

GEN 5:1 Removed trailing space in v~: Hii ni orodha iliyoandikwa ya vizazi vya Adamu.

GEN 5:1 Removed trailing space in p~: Wakati Mungu alipomuumba Adamu, alimfanya kwa sura ya Mungu.

GEN 5:2 Removed trailing space in v~: Aliwaumba mwanaume na mwanamke, akawabariki. Walipokwisha kuumbwa, akawaita “mwanadamu.”

GEN 5:3 Removed trailing space in v~: Adamu alipokuwa ameishi miaka 130, alikuwa na mwana aliyekuwa na sura yake, mwenye kufanana naye. Akamwita Sethi.

GEN 5:4 Removed trailing space in v~: Baada ya Sethi kuzaliwa, Adamu aliishi miaka 800, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:5 Removed trailing space in v~: Adamu aliishi jumla ya miaka 930, ndipo akafa.

GEN 5:6 Removed trailing space in v~: Sethi alipokuwa ameishi miaka 105, akamzaa Enoshi.

GEN 5:7 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Enoshi, Sethi aliishi miaka 807, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:8 Removed trailing space in v~: Sethi aliishi jumla ya miaka 912, ndipo akafa.

GEN 5:9 Removed trailing space in v~: Enoshi alipokuwa ameishi miaka tisini, akamzaa Kenani.

GEN 5:10 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Kenani, Enoshi aliishi miaka 815, naye alikuwa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:11 Removed trailing space in v~: Enoshi aliishi jumla ya miaka 905, ndipo akafa.

GEN 5:12 Removed trailing space in v~: Kenani alipokuwa ameishi miaka sabini, akamzaa Mahalaleli.

GEN 5:13 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Mahalaleli, Kenani aliishi miaka 840, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:14 Removed trailing space in v~: Kenani aliishi jumla ya miaka 910, ndipo akafa.

GEN 5:15 Removed trailing space in v~: Mahalaleli alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Yaredi.

GEN 5:16 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Yaredi, Mahalaleli aliishi miaka 830, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:17 Removed trailing space in v~: Mahalaleli aliishi jumla ya miaka 895, ndipo akafa.

GEN 5:18 Removed trailing space in v~: Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki.

GEN 5:19 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:20 Removed trailing space in v~: Yaredi aliishi jumla ya miaka 962, ndipo akafa.

GEN 5:21 Removed trailing space in v~: Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.

GEN 5:22 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:23 Removed trailing space in v~: Enoki aliishi jumla ya miaka 365.

GEN 5:24 Removed trailing space in v~: Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.

GEN 5:25 Removed trailing space in v~: Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.

GEN 5:26 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:27 Removed trailing space in v~: Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.

GEN 5:28 Removed trailing space in v~: Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.

GEN 5:29 Removed trailing space in v~: Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na \nd Bwana\nd*.”

GEN 5:30 Removed trailing space in v~: Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 5:31 Removed trailing space in v~: Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.

GEN 5:32 Removed trailing space in v~: Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi.

GEN 6:0 Extra space after chapter number

GEN 6:0 Removed trailing space in c: 6

GEN 6:0 Removed trailing space in s1: Gharika Kuu

GEN 6:1 Removed trailing space in v~: Watu walipoanza kuongezeka idadi katika uso wa dunia na watoto wa kike wakazaliwa kwao,

GEN 6:2 Removed trailing space in v~: wana wa Mungu wakawaona kuwa hao binti za wanadamu walikuwa wazuri wa sura, wakaoa yeyote miongoni mwao waliyemchagua.

GEN 6:3 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akasema, “Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye ni wa kufa, siku zake zitakuwa miaka 120.”

GEN 6:4 Removed trailing space in v~: Wanefili walikuwako duniani siku hizo, na baadaye, hao wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu na kuzaa nao. Wanefili walikuwa mashujaa na watu waliojulikana wa zamani hizo.

GEN 6:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaona jinsi uovu wa mwanadamu ulivyokuwa mkubwa duniani, na ya kuwa kila mwelekeo wa mawazo ya moyo wake wakati wote ulikuwa mbaya tu.

GEN 6:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasikitika kwamba alimuumba mwanadamu duniani, moyo wa Mungu ukajaa masikitiko.

GEN 6:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akasema, “Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemuumba kutoka kwenye uso wa dunia, wanadamu na wanyama, pamoja na viumbe vitambaavyo na ndege wa angani. Kwa maana nasikitika kuwaumba.”

GEN 6:8 Removed trailing space in v~: Lakini Noa akapata kibali machoni pa \nd Bwana\nd*.

GEN 6:9 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vizazi vya Noa.

GEN 6:9 Removed trailing space in p~: Noa alikuwa mtu wa haki, na mkamilifu miongoni mwa watu wa wakati wake, tena alitembea na Mungu.

GEN 6:10 Removed trailing space in v~: Noa alikuwa na wana watatu: Shemu, Hamu na Yafethi.

GEN 6:11 Removed trailing space in v~: Wakati huu dunia ilikuwa imejaa uharibifu na ukatili machoni pa Mungu.

GEN 6:12 Removed trailing space in v~: Mungu akaona jinsi dunia ilivyoharibika, kwa maana watu wote duniani walikuwa wameharibu njia zao.

GEN 6:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu akamwambia Noa, “Nitawaangamiza watu wote, kwa kuwa dunia imejaa ukatili kwa sababu yao. Hakika mimi nitaangamiza watu pamoja na dunia.

GEN 6:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo jitengenezee safina kubwa kwa mbao za mvinje, tengeneza vyumba ndani yake na uipake lami ndani na nje.

GEN 6:15 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo utakavyoitengeneza: Safina iwe na urefu wa dhiraa 300,\f + \fr 6:15 \ft Dhiraa 300 ni sawa na mita 135.\f* upana wake dhiraa hamsini\f + \fr 6:15 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22:5.\f* na kimo chake dhiraa thelathini.\f + \fr 6:15 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13:5.\f*

GEN 6:16 Removed trailing space in v~: Itengenezee paa na umalizie safina kwa kuacha nafasi ya dhiraa moja\f + \fr 6:16 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.\f* juu. Weka mlango ubavuni mwa safina, na uifanye ya ghorofa ya chini, ya kati na ya juu.

GEN 6:17 Removed trailing space in v~: Nitaleta gharika ya maji juu ya nchi ili kuangamiza uhai wote chini ya mbingu, kila kiumbe chenye pumzi ya uhai ndani yake. Kila kitu juu ya nchi kitaangamia.

GEN 6:18 Removed trailing space in v~: Lakini Mimi nitaweka Agano langu na wewe, nawe utaingia ndani ya Safina, wewe pamoja na mke wako, wanao na wake zao.

GEN 6:19 Removed trailing space in v~: Utaingiza ndani ya Safina kila aina ya kiumbe hai wawili wawili, wa kiume na wa kike, ili kuwahifadhi hai pamoja na wewe.

GEN 6:20 Removed trailing space in v~: Wawili wa kila aina ya ndege, wa kila aina ya mnyama na wa kila aina ya kitambaacho ardhini watakuja kwako ili wahifadhiwe hai.

GEN 6:21 Removed trailing space in v~: Utachukua kila aina ya chakula kitakacholiwa, na ukiweke akiba kama chakula kwa ajili yako na yao.”

GEN 6:22 Removed trailing space in v~: Noa akafanya kila kitu kama vile Mungu alivyomwamuru.

GEN 7:0 Extra space after chapter number

GEN 7:0 Removed trailing space in c: 7

GEN 7:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Noa, “Ingia katika safina wewe na jamaa yako yote, kwa sababu katika kizazi hiki nimeona ya kuwa wewe ni mwenye haki.

GEN 7:2 Removed trailing space in v~: Uchukue wanyama saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, na wanyama wawili wawili wa kila aina walio najisi wa kiume na wa kike.

GEN 7:3 Removed trailing space in v~: Pia uchukue ndege saba walio safi wa kila aina, wa kiume na wa kike, ili kuhifadhi aina zao mbalimbali katika dunia yote.

GEN 7:4 Removed trailing space in v~: Siku saba kuanzia sasa nitaleta mvua juu ya nchi kwa siku arobaini usiku na mchana, nami nitafutilia mbali kutoka uso wa nchi kila kiumbe hai nilichokiumba.”

GEN 7:5 Removed trailing space in v~: Noa akafanya yote kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru.

GEN 7:6 Removed trailing space in v~: Noa alikuwa na miaka 600 gharika ilipokuja juu ya dunia.

GEN 7:7 Removed trailing space in v~: Noa na mkewe na wanawe na wake zao wakaingia katika safina ili waepuke ile gharika.

GEN 7:8 Removed trailing space in v~: Jozi ya wanyama walio safi na walio najisi, ndege na viumbe vitambaavyo,

GEN 7:9 Removed trailing space in v~: wa kiume na wa kike, walikuja kwa Noa wakaingia katika safina kama Mungu alivyomwamuru Noa.

GEN 7:10 Removed trailing space in v~: Baada ya siku saba, maji ya gharika yakaja juu ya dunia.

GEN 7:11 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili mwaka wa 600 wa kuishi kwake Noa, siku hiyo ndipo chemchemi zote hata zilizo chini sana ya ardhi zilibubujika kwa nguvu, na malango ya mafuriko ya mbinguni yakafunguliwa.

GEN 7:12 Removed trailing space in v~: Mvua ikanyesha juu ya nchi siku arobaini usiku na mchana.

GEN 7:13 Removed trailing space in v~: Siku hiyo Noa, na mkewe, na wanawe Shemu, Hamu na Yafethi pamoja na wake zao wakaingia katika ile safina.

GEN 7:14 Removed trailing space in v~: Nao walikuwa pamoja na kila mnyama wa mwituni kufuatana na aina yake, wanyama wote wafugwao kufuatana na aina zao, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi kwa aina yake, na kila ndege kufuatana na aina yake, naam kila kiumbe chenye mabawa.

GEN 7:15 Removed trailing space in v~: Viumbe vyote vyenye pumzi ya uhai ndani yake vikaja kwa Noa viwili viwili, vikaingia katika safina.

GEN 7:16 Removed trailing space in v~: Wanyama walioingia katika safina walikuwa wa kiume na wa kike, wa kila kiumbe chenye uhai kama Mungu alivyomwamuru Noa, ndipo \nd Bwana\nd* akamfungia ndani.

GEN 7:17 Removed trailing space in v~: Kwa siku arobaini mafuriko yaliendelea kujaa duniani na maji yalivyozidi kuongezeka, yaliinua safina juu sana kutoka kwenye uso wa nchi.

GEN 7:18 Removed trailing space in v~: Maji yakajaa na kuongezeka sana juu ya nchi, na safina ikaelea juu ya uso wa maji.

GEN 7:19 Removed trailing space in v~: Maji yakazidi kujaa juu ya nchi, yakaifunika milima yote mirefu chini ya mbingu yote.

GEN 7:20 Removed trailing space in v~: Maji yakaendelea kujaa yakaifunika milima kwa kina cha zaidi ya dhiraa kumi na tano.\f + \fr 7:20 \ft Dhiraa 15 ni sawa na mita 7.\f*

GEN 7:21 Removed trailing space in v~: Kila kiumbe hai kitambaacho juu ya nchi kikaangamia: Ndege, wanyama wa kufugwa, wanyama pori, viumbe vyote juu ya nchi na wanadamu wote.

GEN 7:22 Removed trailing space in v~: Kila kiumbe juu ya nchi kavu chenye pumzi ya uhai kikafa.

GEN 7:23 Removed trailing space in v~: Kila kitu chenye uhai juu ya uso wa nchi kilifutiliwa mbali, watu, wanyama, viumbe vitambaavyo na ndege warukao angani wakafutiliwa mbali toka duniani. Waliobaki ni Noa peke yake na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina.

GEN 7:24 Removed trailing space in v~: Maji yakaifunika dunia kwa siku 150.

GEN 8:0 Extra space after chapter number

GEN 8:0 Removed trailing space in c: 8

GEN 8:0 Removed trailing space in s1: Mwisho Wa Gharika

GEN 8:1 Removed trailing space in v~: Mungu akamkumbuka Noa na wanyama wote wa porini na wa kufugwa waliokuwa naye ndani ya safina, akatuma upepo ukavuma katika dunia, nayo maji yakaondoka.

GEN 8:2 Removed trailing space in v~: Zile chemchemi zilizo chini sana ya ardhi pamoja na malango ya mafuriko ya mbinguni yakawa yamefungwa nayo mvua ikawa imekoma kunyesha kutoka angani.

GEN 8:3 Removed trailing space in v~: Maji yakaendelea kupungua taratibu katika nchi. Kunako mwisho wa siku ya 150, maji yalikuwa yamepungua,

GEN 8:4 Removed trailing space in v~: katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa saba, safina ikatua katika milima ya Ararati.

GEN 8:5 Removed trailing space in v~: Maji yakaendelea kupungua hadi mwezi wa kumi, na siku ya kwanza ya mwezi wa kumi, vilele vya milima vikaonekana.

GEN 8:6 Removed trailing space in v~: Baada ya siku arobaini Noa akafungua dirisha alilokuwa amelifanya katika safina

GEN 8:7 Removed trailing space in v~: na akamtoa kunguru, akawa akiruka kwenda na kurudi mpaka maji yalipokwisha kukauka juu ya nchi.

GEN 8:8 Removed trailing space in v~: Kisha akamtoa hua ili aone kama maji yameondoka juu ya uso wa ardhi.

GEN 8:9 Removed trailing space in v~: Lakini hua hakupata mahali pa kutua kwa kuwa maji yalienea juu ya uso wa dunia yote, kwa hiyo akarudi kwa Noa ndani ya safina. Noa akanyoosha mkono akamchukua yule hua akamrudisha ndani ya safina.

GEN 8:10 Removed trailing space in v~: Noa akangojea siku saba zaidi kisha akamtoa tena hua kutoka safina.

GEN 8:11 Removed trailing space in v~: Wakati hua aliporejea kwa Noa jioni, alikuwa amechukua katika mdomo wake jani bichi la mzeituni, lililochumwa wakati ule ule! Ndipo Noa akajua ya kuwa maji yameondoka juu ya uso wa dunia.

GEN 8:12 Removed trailing space in v~: Akangojea siku saba zaidi na akamtuma tena hua, lakini wakati huu hua hakurudi tena kwa Noa.

GEN 8:13 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza ya mwaka 601, wa kuishi kwake Noa, maji yalikuwa yamekauka duniani. Kisha Noa akafungua mlango wa safina akaona ya kuwa uso wa ardhi ulikuwa umekauka.

GEN 8:14 Removed trailing space in v~: Katika siku ya ishirini na saba ya mwezi wa pili dunia ilikuwa imekauka kabisa.

GEN 8:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akamwambia Noa,

GEN 8:16 Removed trailing space in v~: “Toka ndani ya safina, wewe na mkeo na wanao na wake zao.

GEN 8:17 Removed trailing space in v~: Utoe nje kila aina ya kiumbe hai aliye pamoja nawe: Ndege, wanyama na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi, ili wakazae, na kuongezeka na kuijaza tena dunia.”

GEN 8:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Noa akatoka nje pamoja na mkewe, wanawe na wake zao.

GEN 8:19 Removed trailing space in v~: Wanyama wote na viumbe vyote vitambaavyo juu ya ardhi na ndege wote, kila kitu kiendacho juu ya nchi, aina moja baada ya nyingine vikatoka katika safina, kila aina ya kiumbe, kimoja baada ya kingine.

GEN 8:19 Removed trailing space in s1: Noa Atoa Dhabihu

GEN 8:20 Removed trailing space in v~: Kisha Noa akamjengea \nd Bwana\nd* madhabahu, akachukua baadhi ya wale wanyama na ndege wote walio safi, akatoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu.

GEN 8:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasikia harufu nzuri ya kupendeza, naye akasema moyoni mwake, “Kamwe sitailaani tena ardhi kwa sababu ya mwanadamu, hata ingawa kila mwelekeo wa moyo wake ni mbaya tangu ujana. Kamwe sitaangamiza tena viumbe hai vyote kama nilivyofanya.

GEN 8:22 Removed trailing space in v~: “Kwa muda dunia idumupo,

GEN 8:22 Removed trailing space in p~: wakati wa kupanda na wa kuvuna,

GEN 8:22 Removed trailing space in p~: wakati wa baridi na wa joto,

GEN 8:22 Removed trailing space in p~: wakati wa kiangazi na wa masika,

GEN 8:22 Removed trailing space in p~: usiku na mchana

GEN 8:22 Removed trailing space in p~: kamwe havitakoma.”

GEN 9:0 Extra space after chapter number

GEN 9:0 Removed trailing space in c: 9

GEN 9:0 Removed trailing space in s1: Mungu Aweka Agano Na Noa

GEN 9:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akambariki Noa na wanawe, akiwaambia, “Zaeni mkaongezeke kwa idadi na mkaijaze tena dunia.

GEN 9:2 Removed trailing space in v~: Wanyama wote wa duniani, ndege wote wa angani, kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi, na samaki wote wa baharini wamekabidhiwa mikononi mwenu, nao watawaogopa na kuwahofu.

GEN 9:3 Removed trailing space in v~: Kila kitu chenye uhai kiendacho kitakuwa chakula chenu. Kama vile nilivyowapa mimea mbalimbali, sasa nawapa kila kitu.

GEN 9:4 Removed trailing space in v~: “Lakini kamwe msile nyama ambayo bado ina damu ya uhai wake, kwa maana damu ni uhai.

GEN 9:5 Removed trailing space in v~: Hakika damu ya uhai wenu nitaidai. Nitaidai kutoka kwa kila mnyama. Kutoka kwa kila mwanadamu pia nitaidai kwa ajili ya uhai wa mtu mwenzake.

GEN 9:6 Removed trailing space in v~: “Yeyote amwagaye damu ya mwanadamu,

GEN 9:6 Removed trailing space in p~: damu yake itamwagwa na mwanadamu,

GEN 9:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa katika mfano wa Mungu,

GEN 9:6 Removed trailing space in p~: Mungu alimuumba mwanadamu.

GEN 9:7 Removed trailing space in v~: Kuhusu ninyi, zaeni mwongezeke kwa wingi, mzidi katika dunia na kuijaza.”

GEN 9:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akamwambia Noa na wanawe pamoja naye:

GEN 9:9 Removed trailing space in v~: “Sasa mimi ninaweka Agano langu nanyi, pamoja na uzao wenu baada yenu,

GEN 9:10 Removed trailing space in v~: pia na kila kiumbe hai kilichokuwa pamoja nanyi: Ndege, wanyama wa kufugwa na wanyama wote wa porini, wale wote waliotoka katika safina pamoja nanyi, kila kiumbe hai duniani.

GEN 9:11 Removed trailing space in v~: Ninaweka Agano nanyi: Kamwe uhai hautafutwa tena kwa gharika, kamwe haitakuwepo tena gharika ya kuangamiza dunia.”

GEN 9:12 Removed trailing space in v~: Mungu akasema, “Hii ni ishara ya Agano ninalofanya kati yangu na ninyi na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi, Agano kwa vizazi vyote vijavyo:

GEN 9:13 Removed trailing space in v~: Nimeweka upinde wangu wa mvua mawinguni, nao utakuwa ishara ya Agano nifanyalo kati yangu na dunia.

GEN 9:14 Removed trailing space in v~: Wakati wowote ninapotanda mawingu juu ya dunia na upinde wa mvua ukijitokeza mawinguni,

GEN 9:15 Removed trailing space in v~: nitakumbuka Agano langu kati yangu na ninyi na viumbe vyote vilivyo hai vya kila aina. Kamwe maji hayatakuwa tena gharika ya kuangamiza uhai wote.

GEN 9:16 Removed trailing space in v~: Wakati wowote upinde wa mvua unapotokea mawinguni, nitauona na kukumbuka Agano la milele kati ya Mungu na viumbe vyote vilivyo hai vya kila aina duniani.”

GEN 9:17 Removed trailing space in v~: Hivyo Mungu akamwambia Noa, “Hii ndiyo ishara ya Agano ambalo nimelifanya kati yangu na viumbe vyote vilivyo hai duniani.”

GEN 9:17 Removed trailing space in s1: Wana Wa Noa

GEN 9:18 Removed trailing space in v~: Wana wa Noa waliotoka ndani ya safina ni: Shemu, Hamu na Yafethi. (Hamu ndiye alikuwa baba wa Kanaani.)

GEN 9:19 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wana watatu wa Noa, kutokana nao watu walienea katika dunia.

GEN 9:20 Removed trailing space in v~: Noa akawa mkulima, akawa mtu wa kwanza kupanda mizabibu.

GEN 9:21 Removed trailing space in v~: Alipokunywa huo mvinyo wake akalewa na akalala uchi kwenye hema lake.

GEN 9:22 Removed trailing space in v~: Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake na kuwaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.

GEN 9:23 Removed trailing space in v~: Lakini Shemu na Yafethi wakachukua nguo wakaitanda mabegani mwao wote wawili, kisha wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao. Nyuso zao zilielekea upande mwingine ili wasiuone uchi wa baba yao.

GEN 9:24 Removed trailing space in v~: Noa alipolevuka kutoka kwenye mvinyo wake na kujua lile ambalo mwanawe mdogo kuliko wote alilokuwa amemtendea,

GEN 9:25 Removed trailing space in v~: akasema,

GEN 9:25 Removed trailing space in p~: “Alaaniwe Kanaani!

GEN 9:25 Removed trailing space in p~: Atakuwa mtumwa wa chini sana

GEN 9:25 Removed trailing space in p~: kuliko watumwa wote kwa ndugu zake.”

GEN 9:26 Removed trailing space in v~: Pia akasema,

GEN 9:26 Removed trailing space in p~: “Abarikiwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Shemu!

GEN 9:26 Removed trailing space in p~: Kanaani na awe mtumwa wa Shemu.

GEN 9:27 Removed trailing space in v~: Mungu na apanue mipaka ya Yafethi;

GEN 9:27 Removed trailing space in p~: Yafethi na aishi katika mahema ya Shemu,

GEN 9:27 Removed trailing space in p~: na Kanaani na awe mtumwa wake.”

GEN 9:28 Removed trailing space in v~: Baada ya gharika Noa aliishi miaka 350.

GEN 9:29 Removed trailing space in v~: Noa alikuwa na jumla ya miaka 950, ndipo akafa.

GEN 11:0 Extra space after chapter number

GEN 11:0 Removed trailing space in c: 11

GEN 11:0 Removed trailing space in s1: Mnara Wa Babeli

GEN 11:1 Removed trailing space in v~: Wakati huo dunia yote ilikuwa na lugha moja na msemo mmoja.

GEN 11:2 Removed trailing space in v~: Watu walipoelekea upande wa mashariki, wakafika kwenye tambarare katika nchi ya Shinari\f + \fr 11:2 \ft Shinari ndio Babeli.\f* nao wakaishi huko.

GEN 11:3 Removed trailing space in v~: Wakasemezana wao kwa wao, “Njooni, tufyatue matofali na tuyachome vizuri kwa moto.” Walitumia matofali badala ya mawe, na lami kwa ajili ya kushikamanishia hayo matofali.

GEN 11:4 Removed trailing space in v~: Ndipo wakasema, “Njooni, tujijengee mji wenye mnara ambao utafika hadi mbinguni, ili tujipatie jina tusije tukatawanyika usoni pa dunia yote.”

GEN 11:5 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akashuka ili auone mji na mnara ambao wanadamu waliokuwa wanaujenga.

GEN 11:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Ikiwa kama taifa moja wanaozungumza lugha moja wameanza kufanya hili, basi hakuna lolote watakalopanga kufanya ambalo halitawezekana kwao.

GEN 11:7 Removed trailing space in v~: Njooni, tushuke tuvuruge lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.”

GEN 11:8 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* akawatawanya kutoka mahali pale kwenda katika dunia yote, nao wakaacha kuujenga huo mji.

GEN 11:9 Removed trailing space in v~: Ndiyo maana pakaitwa Babeli, kwa sababu hapo ndipo \nd Bwana\nd* alipoivuruga lugha ya dunia nzima. Kutoka hapo \nd Bwana\nd* akawatawanya katika uso wa dunia yote.

GEN 11:9 Removed trailing space in s1: Shemu Hadi Abramu

GEN 11:9 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 1:24-27)

GEN 11:10 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vizazi vya Shemu.

GEN 11:10 Removed trailing space in p~: Miaka miwili baada ya gharika, Shemu alipokuwa na miaka 100, akamzaa Arfaksadi.

GEN 11:11 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzaa Arfaksadi, Shemu aliishi miaka 500, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:12 Removed trailing space in v~: Wakati Arfaksadi alipokuwa na miaka thelathini na mitano, akamzaa Shela.

GEN 11:13 Removed trailing space in v~: Baada ya Arfaksadi kumzaa Shela, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:14 Removed trailing space in v~: Shela alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Eberi.

GEN 11:15 Removed trailing space in v~: Shela baada ya kumzaa Eberi, aliishi miaka 403, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:16 Removed trailing space in v~: Eberi alipokuwa na miaka thelathini na minne, akamzaa Pelegi.

GEN 11:17 Removed trailing space in v~: Baada ya Eberi kumzaa Pelegi, aliishi miaka 430, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:18 Removed trailing space in v~: Pelegi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Reu.

GEN 11:19 Removed trailing space in v~: Baada ya Pelegi kumzaa Reu, aliishi miaka 209, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:20 Removed trailing space in v~: Reu alipokuwa na miaka thelathini na miwili, akamzaa Serugi.

GEN 11:21 Removed trailing space in v~: Baada ya Reu kumzaa Serugi, aliishi miaka 207, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:22 Removed trailing space in v~: Serugi alipokuwa na miaka thelathini, akamzaa Nahori.

GEN 11:23 Removed trailing space in v~: Baada ya Serugi kumzaa Nahori, aliishi miaka 200, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:24 Removed trailing space in v~: Nahori alipokuwa na miaka ishirini na tisa, akamzaa Tera.

GEN 11:25 Removed trailing space in v~: Baada ya Nahori kumzaa Tera, aliishi miaka 119, akazaa watoto wengine wa kiume na wa kike.

GEN 11:26 Removed trailing space in v~: Tera alipokuwa na miaka sabini, akamzaa Abramu, Nahori na Harani.

GEN 11:26 Removed trailing space in s1: Wazao Wa Tera

GEN 11:27 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wazao wa Tera.

GEN 11:27 Removed trailing space in p~: Tera aliwazaa Abramu, Nahori na Harani. Harani akamzaa Loti.

GEN 11:28 Removed trailing space in v~: Tera alipokuwa bado hai, Harani akafa huko Uru ya Wakaldayo, nchi alimozaliwa.

GEN 11:29 Removed trailing space in v~: Abramu na Nahori walioa. Mke wa Abramu aliitwa Sarai, na mke wa Nahori aliitwa Milka; Milka na Iska walikuwa watoto wa Harani.

GEN 11:30 Removed trailing space in v~: Sarai alikuwa tasa, hakuwa na watoto.

GEN 11:31 Removed trailing space in v~: Tera akamchukua Abramu mwanawe, Loti mwana wa Harani mwanawe, na Sarai mkwewe, mke wa Abramu mwanawe, wakatoka kwa pamoja katika Uru ya Wakaldayo kwenda nchi ya Kanaani. Lakini walipofika Harani, wakaishi huko.

GEN 11:32 Removed trailing space in v~: Tera alikufa huko Harani akiwa na miaka 205.

GEN 12:0 Extra space after chapter number

GEN 12:0 Removed trailing space in c: 12

GEN 12:0 Removed trailing space in s1: Wito Wa Abramu

GEN 12:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawa amemwambia Abramu, “Ondoka kutoka nchi yako, uache jamii yako na nyumba ya baba yako, uende hadi nchi nitakayokuonyesha.

GEN 12:2 Removed trailing space in v~: “Mimi nitakufanya taifa kubwa

GEN 12:2 Removed trailing space in p~: na nitakubariki,

GEN 12:2 Removed trailing space in p~: Nitalikuza jina lako,

GEN 12:2 Removed trailing space in p~: nawe utakuwa baraka.

GEN 12:3 Removed trailing space in v~: Nitawabariki wale wanaokubariki,

GEN 12:3 Removed trailing space in p~: na yeyote akulaaniye nitamlaani;

GEN 12:3 Removed trailing space in p~: na kupitia kwako mataifa yote duniani

GEN 12:3 Removed trailing space in p~: yatabarikiwa.”

GEN 12:4 Removed trailing space in v~: Hivyo Abramu akaondoka kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa amemwambia; naye Loti akaondoka pamoja naye. Wakati Abramu alipoitwa aondoke Harani, alikuwa na miaka sabini na mitano.

GEN 12:5 Removed trailing space in v~: Abramu akamchukua Sarai mkewe pamoja na Loti mwana wa ndugu yake, mali zote walizokuwa nazo pamoja na watu aliokuwa amewapata huko Harani, wakasafiri mpaka nchi ya Kanaani, wakafika huko.

GEN 12:6 Removed trailing space in v~: Abramu akasafiri katika nchi hiyo akafika huko Shekemu, mahali penye mti wa mwaloni ulioko More. Wakati huo Wakanaani walikuwa wanaishi katika nchi hiyo.

GEN 12:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtokea Abramu, akamwambia, “Nitawapa uzao wako nchi hii.” Hivyo hapa akamjengea madhabahu \nd Bwana\nd* aliyekuwa amemtokea.

GEN 12:8 Removed trailing space in v~: Kutoka huko Abramu akasafiri kuelekea kwenye vilima mashariki ya Betheli, naye akapiga hema huko, Betheli ikiwa upande wa magharibi na Ai upande wa mashariki. Huko alimjengea \nd Bwana\nd* madhabahu na akaliitia jina la \nd Bwana\nd*.

GEN 12:9 Removed trailing space in v~: Kisha Abramu akasafiri kuelekea upande wa Negebu.

GEN 12:9 Removed trailing space in s1: Abramu Katika Nchi Ya Misri

GEN 12:10 Removed trailing space in v~: Basi kulikuwako na njaa katika nchi, naye Abramu akashuka kwenda Misri kukaa huko kwa muda, kwa maana njaa ilikuwa kali.

GEN 12:11 Removed trailing space in v~: Alipokuwa karibu kuingia Misri, akamwambia Sarai mkewe, “Ninajua ya kwamba wewe ni mwanamke mzuri wa sura.

GEN 12:12 Removed trailing space in v~: Wakati Wamisri watakapokuona, watasema, ‘Huyu ni mke wake.’ Ndipo wataniua, lakini wewe watakuacha hai.

GEN 12:13 Removed trailing space in v~: Sema wewe ni dada yangu, ili nitendewe mema kwa ajili yako, na maisha yangu yatahifadhiwa kwa sababu yako.”

GEN 12:14 Removed trailing space in v~: Abramu alipoingia Misri, Wamisri wakamwona Sarai kuwa ni mwanamke mzuri sana wa sura.

GEN 12:15 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Farao walipomwona, wakamsifia kwa Farao; ndipo Sarai akapelekwa kwa nyumba ya mfalme.

GEN 12:16 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya Sarai, Farao akamtendea Abramu mema, naye Abramu akapata kondoo, ngʼombe, punda, ngamia na watumishi wa kiume na wa kike.

GEN 12:17 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwadhibu Farao na nyumba yake kwa maradhi ya kufisha kwa sababu ya kumchukua Sarai, mke wa Abramu.

GEN 12:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akamwita Abramu, akamuuliza, “Umenifanyia nini? Kwa nini hukuniambia ni mke wako?

GEN 12:19 Removed trailing space in v~: Kwa nini ulisema, ‘Yeye ni dada yangu,’ hata nikamchukua kuwa mke wangu? Sasa basi, mke wako huyu hapa. Mchukue uende zako!”

GEN 12:20 Removed trailing space in v~: Kisha Farao akawapa watu wake amri kuhusu Abramu, wakamsindikiza pamoja na mke wake na kila alichokuwa nacho.

GEN 13:0 Extra space after chapter number

GEN 13:0 Removed trailing space in c: 13

GEN 13:0 Removed trailing space in s1: Abramu Na Loti Watengana

GEN 13:1 Removed trailing space in v~: Hivyo Abramu akakwea kutoka Misri kwenda Negebu, yeye na mkewe na kila kitu alichokuwa nacho, pia Loti akaenda pamoja naye.

GEN 13:2 Removed trailing space in v~: Wakati huo Abramu alikuwa tajiri sana wa mifugo, fedha na dhahabu.

GEN 13:3 Removed trailing space in v~: Kutoka Negebu, akapita mahali hadi mahali, hadi akafika Betheli, mahali hapo ambapo mwanzoni alipiga hema lake kati ya Betheli na Ai

GEN 13:4 Removed trailing space in v~: hapo ambapo alikuwa amejenga madhabahu ya kwanza. Huko Abramu akaliitia jina la \nd Bwana\nd*.

GEN 13:5 Removed trailing space in v~: Basi Loti, ambaye alikuwa anafuatana na Abramu, alikuwa pia na makundi ya mbuzi, kondoo, ngʼombe na mahema.

GEN 13:6 Removed trailing space in v~: Lakini nchi haikuwatosha kukaa pamoja kwa ajili ya wingi wa mali zao.

GEN 13:7 Removed trailing space in v~: Ukazuka ugomvi kati ya wachunga mifugo wa Abramu na wale wa Loti. Wakati huo, Wakanaani na Waperizi ndio waliokuwa wenyeji wa nchi hiyo.

GEN 13:8 Removed trailing space in v~: Hivyo Abramu akamwambia Loti, “Pasiwe na ugomvi wowote kati yangu na wewe, wala kati ya wachungaji wangu na wako, kwa kuwa sisi ni ndugu.

GEN 13:9 Removed trailing space in v~: Je, nchi yote haiko mbele yako? Tutengane. Kama ukielekea kushoto, nitakwenda kulia; kama ukielekea kulia, mimi nitakwenda kushoto.”

GEN 13:10 Removed trailing space in v~: Loti akatazama akaona lile bonde lote la Yordani kuwa lilikuwa na maji tele, kama bustani ya \nd Bwana\nd*, kama nchi ya Misri, kuelekea Soari. (Hii ilikuwa kabla \nd Bwana\nd* hajaharibu Sodoma na Gomora.)

GEN 13:11 Removed trailing space in v~: Hivyo Loti akajichagulia bonde lote la Yordani, akaelekea upande wa mashariki. Watu hao wawili wakatengana:

GEN 13:12 Removed trailing space in v~: Abramu akaishi katika nchi ya Kanaani, wakati Loti aliishi miongoni mwa miji ya lile bonde na kupiga mahema yake karibu na Sodoma.

GEN 13:13 Removed trailing space in v~: Basi watu wa Sodoma walikuwa waovu, wakifanya sana dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd*.

GEN 13:14 Removed trailing space in v~: Baada ya Loti kuondoka \nd Bwana\nd* akamwambia Abramu, “Ukiwa hapo ulipo, inua macho yako utazame kaskazini na kusini, mashariki na magharibi.

GEN 13:15 Removed trailing space in v~: Nchi yote unayoiona nitakupa wewe na uzao wako hata milele.

GEN 13:16 Removed trailing space in v~: Nitaufanya uzao wako uwe mwingi kama mavumbi ya nchi, hivyo kama kuna yeyote awezaye kuhesabu mavumbi, basi uzao wako utahesabika.

GEN 13:17 Removed trailing space in v~: Ondoka, tembea katika marefu na mapana ya nchi, kwa maana ninakupa wewe.”

GEN 13:18 Removed trailing space in v~: Basi Abramu akaondoa mahema yake, akaenda kuishi karibu na mialoni ya Mamre huko Hebroni, huko akamjengea \nd Bwana\nd* madhabahu.

GEN 14:0 Extra space after chapter number

GEN 14:0 Removed trailing space in c: 14

GEN 14:0 Removed trailing space in s1: Abramu Amwokoa Loti

GEN 14:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu Amrafeli mfalme wa Shinari, Arioko mfalme wa Elasari, Kedorlaoma mfalme wa Elamu, na Tidali mfalme wa Goimu

GEN 14:2 Removed trailing space in v~: kwa pamoja walikwenda kupigana vita dhidi ya Bera mfalme wa Sodoma, Birsha mfalme wa Gomora, Shinabu mfalme wa Adma, Shemeberi mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela (yaani Soari).

GEN 14:3 Removed trailing space in v~: Hawa wote waliotajwa mwishoni waliunganisha majeshi yao kutoka Bonde la Sidimu (yaani Bahari ya Chumvi).

GEN 14:4 Removed trailing space in v~: Walikuwa wametawaliwa na Mfalme Kedorlaoma kwa miaka kumi na miwili, lakini mwaka wa kumi na tatu waliasi.

GEN 14:5 Removed trailing space in v~: Mnamo mwaka wa kumi na nne, Mfalme Kedorlaoma na wafalme waliojiunga naye walikwenda kupigana na kuwashinda Warefai katika Ashtaroth-Kanaimu, Wazuzi katika Hamu, Waemi katika Shawe-Kiriathaimu,

GEN 14:6 Removed trailing space in v~: na Wahori katika nchi ya kilima cha Seiri, hadi El-Parani karibu na jangwa.

GEN 14:7 Removed trailing space in v~: Kisha wakarudi wakaenda En-Misfati (yaani Kadeshi), wakashinda nchi yote ya Waamaleki, pamoja na Waamori waliokuwa wakiishi Hasason-Tamari.

GEN 14:8 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme wa Sodoma, mfalme wa Gomora, mfalme wa Adma, mfalme wa Seboimu, na mfalme wa Bela (yaani Soari) wakatoka kupanga majeshi yao kwenye Bonde la Sidimu

GEN 14:9 Removed trailing space in v~: dhidi ya Kedorlaoma, mfalme wa Elamu, Tidali mfalme wa Goimu, Amrafeli mfalme wa Shinari, na Arioko mfalme wa Elasari, yaani wafalme wanne dhidi ya wafalme watano.

GEN 14:10 Removed trailing space in v~: Basi Bonde la Sidimu lilikuwa limejaa mashimo ya lami, nao wafalme wa Sodoma na wa Gomora walipokimbia, baadhi ya watu walitumbukia huko na wengine wakakimbilia vilimani.

GEN 14:11 Removed trailing space in v~: Wale wafalme wanne wakateka mali yote ya Sodoma na Gomora pamoja na vyakula vyao vyote, kisha wakaenda zao.

GEN 14:12 Removed trailing space in v~: Pia walimteka Loti mwana wa ndugu yake Abramu pamoja na mali zake, kwa kuwa alikuwa akiishi Sodoma.

GEN 14:13 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja aliyekuwa ametoroka akaja kumpa Abramu Mwebrania taarifa. Wakati huu Abramu alikuwa anaishi karibu na mialoni ya Mamre Mwamori, aliyekuwa ndugu yake Eshkoli na Aneri, ambao wote walikuwa wameungana na Abramu.

GEN 14:14 Removed trailing space in v~: Abramu alipopata habari kwamba jamaa yake amechukuliwa mateka, akawaita watu 318 wa nyumbani mwake waliokuwa wamefunzwa kupigana vita, wakawafuatilia hadi Dani.

GEN 14:15 Removed trailing space in v~: Wakati wa usiku Abramu aliwagawa watu wake katika vikosi ili awashambulie, na akawafuatilia, akawafukuza hadi Hoba, kaskazini ya Dameski.

GEN 14:16 Removed trailing space in v~: Akarudisha mali zote, na akamrudisha Loti jamaa yake na mali zake, pamoja na wanawake na watu wengine.

GEN 14:17 Removed trailing space in v~: Abramu aliporudi baada ya kumshinda Mfalme Kedorlaoma na wale wafalme waliojiunga naye, mfalme wa Sodoma akatoka kwenda kumlaki katika Bonde la Shawe (yaani Bonde la Mfalme).

GEN 14:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Melkizedeki mfalme wa Salemu alipoleta mkate na divai. Alikuwa kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana.

GEN 14:19 Removed trailing space in v~: Naye akambariki Abramu, akisema,

GEN 14:19 Removed trailing space in p~: “Abarikiwe Abramu na Mungu Aliye Juu Sana,

GEN 14:19 Removed trailing space in p~: Muumba wa mbingu na nchi.

GEN 14:20 Removed trailing space in v~: Abarikiwe Mungu Aliye Juu Sana,

GEN 14:20 Removed trailing space in p~: ambaye amewaweka adui zako mkononi mwako.”

GEN 14:20 Removed trailing space in p~: Ndipo Abramu akampa Melkizedeki sehemu ya kumi ya kila kitu.

GEN 14:21 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Sodoma akamwambia Abramu, “Nipe hao watu na hizo mali uchukue wewe mwenyewe.”

GEN 14:22 Removed trailing space in v~: Lakini Abramu akamwambia mfalme wa Sodoma, “Nimeinua mkono wangu kwa \nd Bwana\nd*, Mungu Aliye Juu Sana, Muumba wa mbingu na dunia, na nimeapa

GEN 14:23 Removed trailing space in v~: kwamba sitapokea kitu chochote kilicho chako, hata kama ni uzi au gidamu ya kiatu, ili kamwe usije ukasema, ‘Nimemtajirisha Abramu.’

GEN 14:24 Removed trailing space in v~: Sitapokea chochote, ila kile tu watu wangu walichokula na sehemu ambayo ni fungu la watu waliokwenda pamoja nami, ambao ni Aneri, Eshkoli na Mamre. Wao na wapewe fungu lao.”

GEN 15:0 Extra space after chapter number

GEN 15:0 Removed trailing space in c: 15

GEN 15:0 Removed trailing space in s1: Agano La Mungu Na Abramu

GEN 15:1 Removed trailing space in v~: Baada ya jambo hili, neno la \nd Bwana\nd* likamjia Abramu katika maono:

GEN 15:1 Removed trailing space in p~: “Usiogope, Abramu.

GEN 15:1 Removed trailing space in p~: Mimi ni ngao yako,

GEN 15:1 Removed trailing space in p~: na thawabu yako kubwa sana.”

GEN 15:2 Removed trailing space in v~: Lakini Abramu akasema, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, utanipa nini na mimi sina hata mtoto na atakayerithi nyumba yangu ni huyu Eliezeri Mdameski?”

GEN 15:3 Removed trailing space in v~: Abramu akasema, “Hukunipa watoto, hivyo mtumishi katika nyumba yangu ndiye atakuwa mrithi wangu.”

GEN 15:4 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* lilipomjia: “Mtu huyu hatakuwa mrithi wako, bali mwana atakayetoka katika viuno vyako mwenyewe ndiye atakayekuwa mrithi wako.”

GEN 15:5 Removed trailing space in v~: Akamtoa nje na kusema, “Tazama juu kuelekea mbinguni na uhesabu nyota, kama hakika utaweza kuzihesabu.” Ndipo akamwambia, “Hivyo ndivyo uzao wako utakavyokuwa.”

GEN 15:6 Removed trailing space in v~: Abramu akamwamini \nd Bwana\nd*, naye kwake hili likahesabiwa kuwa haki.

GEN 15:7 Removed trailing space in v~: Pia akamwambia, “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, niliyekutoa toka Uru ya Wakaldayo nikupe nchi hii uimiliki.”

GEN 15:8 Removed trailing space in v~: Lakini Abramu akasema, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nitawezaje kujua kwamba nitapata kuimiliki?”

GEN 15:9 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia, “Niletee mtamba wa ngʼombe, mbuzi na kondoo dume, kila mmoja wa miaka mitatu, pamoja na hua na kinda la njiwa.”

GEN 15:10 Removed trailing space in v~: Abramu akamletea hivi vyote, akampasua kila mnyama vipande viwili, akavipanga kila kimoja kuelekea mwenzake, lakini hata hivyo ndege, hakuwapasua vipande viwili.

GEN 15:11 Removed trailing space in v~: Kisha ndege walao nyama wakatua juu ya mizoga, lakini Abramu akawafukuza.

GEN 15:12 Removed trailing space in v~: Wakati jua lilipokuwa linatua, Abramu akashikwa na usingizi mzito, giza nene na la kutisha likaja juu yake.

GEN 15:13 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia, “Ujue hakika kwamba wazao wako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo si yao, nao watafanywa watumwa na kuteswa kwa miaka mia nne.

GEN 15:14 Removed trailing space in v~: Lakini nitaliadhibu taifa lile watakalolitumikia kama watumwa, na baadaye watatoka huko na mali nyingi.

GEN 15:15 Removed trailing space in v~: Wewe, hata hivyo utakwenda kwa baba zako kwa amani na kuzikwa katika uzee mwema.

GEN 15:16 Removed trailing space in v~: Katika kizazi cha nne wazao wako watarudi hapa, kwa maana dhambi ya Waamori bado haijafikia kipimo kilichojaa.”

GEN 15:17 Removed trailing space in v~: Wakati jua lilipokuwa limezama na giza limeingia, tanuru la moshi na mwali wa moto unaowaka vikatokea na kupita kati ya vile vipande vya nyama.

GEN 15:18 Removed trailing space in v~: Siku hiyo \nd Bwana\nd* akafanya Agano na Abramu, na kumwambia, “Nitawapa wazao wako nchi hii, kuanzia Kijito cha Misri\f + \fr 15:18 \fq Kijito cha Misri \ft hapa ina maana \fqa Wadi-el-Arish \ft kwenye mpaka wa kusini wa Yuda.\f* hadi mto ule mkubwa, Frati,

GEN 15:19 Removed trailing space in v~: yaani nchi ya Wakeni, Wakenizi, Wakadmoni,

GEN 15:20 Removed trailing space in v~: Wahiti, Waperizi, Warefai,

GEN 15:21 Removed trailing space in v~: Waamori, Wakanaani, Wagirgashi na Wayebusi.”

GEN 16:0 Extra space after chapter number

GEN 16:0 Removed trailing space in c: 16

GEN 16:0 Removed trailing space in s1: Hagari Na Ishmaeli

GEN 16:1 Removed trailing space in v~: Basi Sarai, mkewe Abramu, alikuwa hajamzalia watoto. Lakini alikuwa na mtumishi wa kike Mmisri jina lake Hagari,

GEN 16:2 Removed trailing space in v~: hivyo Sarai akamwambia Abramu, “\nd Bwana\nd* amenizuilia kupata watoto. Nenda, ukakutane kimwili na mtumishi wangu wa kike, huenda nitaweza kupata watoto kupitia kwake.”

GEN 16:2 Removed trailing space in p~: Abramu akakubaliana na lile Sarai alilosema.

GEN 16:3 Removed trailing space in v~: Hivyo baada ya Abramu kuishi katika nchi ya Kanaani miaka kumi, Sarai akamchukua mtumishi wake wa kike wa Kimisri, Hagari na kumpa mumewe awe mke wake.

GEN 16:4 Removed trailing space in v~: Akakutana kimwili na Hagari, naye akapata mimba.

GEN 16:4 Removed trailing space in p~: Hagari alipojua kuwa ana mimba, alianza kumdharau Sarai.

GEN 16:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Sarai akamwambia Abramu, “Unawajibika na manyanyaso ninayoyapata. Nilimweka mtumishi wangu mikononi mwako, sasa kwa vile anajua kwamba ana mimba, ananidharau mimi. \nd Bwana\nd* na aamue kati yako na mimi.”

GEN 16:6 Removed trailing space in v~: Abramu akamwambia, “Mtumishi wako yuko mikononi mwako. Mtendee lolote unalofikiri ni bora zaidi.” Ndipo Sarai akamtesa Hagari, hivyo akamtoroka.

GEN 16:7 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akamkuta Hagari karibu na chemchemi huko jangwani; ilikuwa chemchemi ile iliyokuwa kando ya barabara iendayo Shuri.

GEN 16:8 Removed trailing space in v~: Malaika akamwambia, “Hagari, mtumishi wa Sarai, umetokea wapi, na unakwenda wapi?”

GEN 16:8 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Ninamkimbia bibi yangu Sarai.”

GEN 16:9 Removed trailing space in v~: Ndipo malaika wa \nd Bwana\nd* akamwambia, “Rudi kwa bibi yako ukajishushe chini yake.”

GEN 16:10 Removed trailing space in v~: Malaika akaendelea akasema, “Nitazidisha wazao wako, hivi kwamba watakuwa wengi mno wasiohesabika.”

GEN 16:11 Removed trailing space in v~: Pia malaika wa \nd Bwana\nd* akamwambia:

GEN 16:11 Removed trailing space in p~: “Wewe sasa una mimba

GEN 16:11 Removed trailing space in p~: nawe utamzaa mwana.

GEN 16:11 Removed trailing space in p~: Utamwita jina lake Ishmaeli,\f + \fr 16:11 \ft Ishmaeli maana yake Mungu husikia.\f*

GEN 16:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu \nd Bwana\nd* amesikia juu ya huzuni yako.

GEN 16:12 Removed trailing space in v~: Atakuwa punda-mwitu katikati ya wanadamu,

GEN 16:12 Removed trailing space in p~: mkono wake utakuwa dhidi ya kila mtu

GEN 16:12 Removed trailing space in p~: na mkono wa kila mtu dhidi yake,

GEN 16:12 Removed trailing space in p~: naye ataishi kwa uhasama

GEN 16:12 Removed trailing space in p~: na ndugu zake wote.”

GEN 16:13 Removed trailing space in v~: Hagari akampa \nd Bwana\nd* aliyezungumza naye jina hili: “Wewe ndiwe Mungu unionaye mimi,” kwa maana alisema, “Sasa nimemwona yeye anayeniona mimi.”

GEN 16:14 Removed trailing space in v~: Ndiyo sababu kisima kile kikaitwa Beer-Lahai-Roi,\f + \fr 16:14 \ft Beer-Lahai-Roi maana yake Yeye Aliye Hai Anionaye Mimi.\f* ambacho bado kipo huko hata leo kati ya Kadeshi na Beredi.

GEN 16:15 Removed trailing space in v~: Hivyo Hagari akamzalia Abramu mwana, naye Abramu akamwita huyo mwana Hagari aliyemzalia, Ishmaeli.

GEN 16:16 Removed trailing space in v~: Abramu alikuwa na umri wa miaka themanini na sita wakati Hagari alipomzalia Ishmaeli.

GEN 17:0 Extra space after chapter number

GEN 17:0 Removed trailing space in c: 17

GEN 17:0 Removed trailing space in s1: Agano La Tohara

GEN 17:1 Removed trailing space in v~: Abramu alipokuwa na miaka tisini na tisa, \nd Bwana\nd* akamtokea akamwambia, “Mimi ndimi Mungu Mwenyezi;\f + \fr 17:1 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* enenda mbele zangu na uishi kwa unyofu.

GEN 17:2 Removed trailing space in v~: Nami nitafanya Agano langu kati yangu na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.”

GEN 17:3 Removed trailing space in v~: Abramu akaanguka kifudifudi, naye Mungu akamwambia,

GEN 17:4 Removed trailing space in v~: “Kwa upande wangu, hili ndilo Agano langu na wewe: Wewe utakuwa baba wa mataifa mengi.

GEN 17:5 Removed trailing space in v~: Jina lako hutaitwa tena Abramu, bali jina lako litakuwa Abrahamu,\f + \fr 17:5 \ft Abrahamu maana yake Baba wa watu wengi.\f* kwa maana nimekufanya wewe baba wa mataifa mengi.

GEN 17:6 Removed trailing space in v~: Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, kwako yatatoka mataifa nao wafalme watatoka kwako.

GEN 17:7 Removed trailing space in v~: Nitalithibitisha Agano langu kama Agano la milele kati yangu na wewe na wazao wako baada yako na vizazi vijavyo niwe Mungu wako na Mungu wa wazao wako.

GEN 17:8 Removed trailing space in v~: Nchi yote ya Kanaani, unakoishi sasa kama mgeni, nitakupa kuwa milki yako milele, na uzao wako, nami nitakuwa Mungu wao.”

GEN 17:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akamwambia Abrahamu, “Kwa upande wako, lazima ushike Agano langu, wewe na wazao wako kwa ajili ya vizazi vijavyo.

GEN 17:10 Removed trailing space in v~: Hili ni Agano langu na wewe pamoja na wazao wako baada yako, Agano mtakalolishika: Kila mwanaume miongoni mwenu atatahiriwa.

GEN 17:11 Removed trailing space in v~: Mtafanyiwa tohara na hii itakuwa ni alama ya Agano kati yangu na ninyi.

GEN 17:12 Removed trailing space in v~: Kwa vizazi vijavyo, kila mwanaume miongoni mwenu mwenye siku nane ni lazima atahiriwe, pamoja na watakaozaliwa nyumbani mwako au walionunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni, wale ambao sio watoto wako.

GEN 17:13 Removed trailing space in v~: Awe amezaliwa nyumbani mwako au amenunuliwa kwa fedha yako, ni lazima watahiriwe. Agano langu katika mwili wako litakuwa ni Agano la milele.

GEN 17:14 Removed trailing space in v~: Kila mwanaume asiyetahiriwa, ambaye hajapata tohara ya mwilini, atatengwa na watu wake, amelivunja Agano langu.”

GEN 17:15 Removed trailing space in v~: Pia \nd Bwana\nd* akamwambia Abrahamu, “Kwa upande wa Sarai mkeo, hutamwita tena Sarai bali jina lake litakuwa Sara.

GEN 17:16 Removed trailing space in v~: Nitambariki na hakika nitakupatia mwana kwake. Nitambariki na kwamba atakuwa mama wa mataifa, wafalme wa mataifa watatoka kwake.”

GEN 17:17 Removed trailing space in v~: Abrahamu akaanguka kifudifudi, akacheka na kusema moyoni mwake, “Je, mtu wa miaka mia moja aweza kuzaa mwana? Je, Sara atazaa mtoto katika umri wa miaka tisini?”

GEN 17:18 Removed trailing space in v~: Abrahamu akamwambia Mungu, “Laiti Ishmaeli naye angeshiriki baraka yako!”

GEN 17:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akasema, “Ndiyo, lakini mkeo Sara atakuzalia wewe mwana, nawe utamwita jina lake Isaki.\f + \fr 17:19 \ft Isaki maana yake Kucheka.\f* Nitalithibitisha Agano langu naye kama Agano la milele kwa ajili yake na wazao wake baada yake.

GEN 17:20 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa Ishmaeli, nimekusikia: hakika nitambariki, nitamfanya awe na uzao mwingi na nitaongeza sana idadi yake. Atakuwa baba wa watawala kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kubwa.

GEN 17:21 Removed trailing space in v~: Lakini Agano langu nitalithibitisha kwa Isaki, ambaye Sara atakuzalia mwaka ujao majira kama haya.”

GEN 17:22 Removed trailing space in v~: Wakati alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, Mungu akapanda juu akaondoka kwa Abrahamu.

GEN 17:23 Removed trailing space in v~: Siku ile ile, Abrahamu akamchukua Ishmaeli mwanawe na wote waliozaliwa nyumbani mwake pamoja na walionunuliwa kwa fedha zake, kila mwanaume wa nyumbani mwake, akawatahiri, kama Mungu alivyomwagiza.

GEN 17:24 Removed trailing space in v~: Abrahamu alikuwa na umri wa miaka tisini na tisa alipotahiriwa,

GEN 17:25 Removed trailing space in v~: naye Ishmaeli mwanawe alitahiriwa akiwa na umri wa miaka kumi na mitatu.

GEN 17:26 Removed trailing space in v~: Abrahamu na Ishmaeli mwanawe walitahiriwa siku ile ile,

GEN 17:27 Removed trailing space in v~: Kila mwanaume nyumbani mwa Abrahamu, pamoja na wote waliozaliwa nyumbani mwake au aliyenunuliwa kwa fedha kutoka kwa mgeni, alitahiriwa pamoja naye.

GEN 18:0 Extra space after chapter number

GEN 18:0 Removed trailing space in c: 18

GEN 18:0 Removed trailing space in s1: Wageni Watatu

GEN 18:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtokea Abrahamu karibu na mialoni ya Mamre wakati alipokuwa ameketi kwenye ingilio la hema lake wakati wa adhuhuri.

GEN 18:2 Removed trailing space in v~: Abrahamu akainua macho akaona watu watatu wamesimama karibu naye. Alipowaona, aliharakisha kutoka kwenye ingilio la hema lake kuwalaki na kuwasujudia hadi nchi.

GEN 18:3 Removed trailing space in v~: Akasema, “Kama nimepata kibali machoni penu, ee bwana wangu, usimpite mtumishi wako.

GEN 18:4 Removed trailing space in v~: Acha yaletwe maji kidogo, kisha ninyi nyote mnawe miguu yenu na mpumzike chini ya mti huu.

GEN 18:5 Removed trailing space in v~: Niruhusuni niwapatie chakula kidogo mle, ili mpate nguvu mwendelee na safari yenu, kwa kuwa mmekuja kwa mtumishi wenu.”

GEN 18:5 Removed trailing space in p~: Nao wakamjibu, “Vema sana, fanya kama unavyosema.”

GEN 18:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Abrahamu akaharakisha akaingia hemani kwa Sara, akamwambia, “Chukua vipimo vitatu vya unga laini haraka, ukande na uoke mikate.”

GEN 18:7 Removed trailing space in v~: Kisha Abrahamu akakimbia kwenda kwenye kundi, akachagua ndama mzuri, laini na akampa mtumishi, ambaye aliharakisha kumtayarisha.

GEN 18:8 Removed trailing space in v~: Kisha akaleta jibini, maziwa na nyama ya yule ndama iliyoandaliwa, akaviweka mbele ya wageni. Walipokuwa wakila, alisimama karibu nao chini ya mti.

GEN 18:9 Removed trailing space in v~: Wakamuuliza, “Yuko wapi Sara mkeo?”

GEN 18:9 Removed trailing space in p~: Akasema, “Yuko huko, ndani ya hema.”

GEN 18:10 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akasema, “Hakika nitakurudia tena majira kama haya mwakani na Sara mkeo atakuwa ana mwana.”

GEN 18:10 Removed trailing space in p~: Sara alikuwa akiwasikiliza kwenye ingilio la hema, lililokuwa nyuma yake.

GEN 18:11 Removed trailing space in v~: Abrahamu na Sara walikuwa wazee tena waliosogea miaka, naye Sara alikuwa amekoma katika desturi ya wanawake.

GEN 18:12 Removed trailing space in v~: Hivyo Sara akacheka kimoyomoyo alipokuwa akiwaza, “Baada ya mimi kuwa mkongwe hivi na bwana wangu amezeeka, je, nitaweza kufurahia jambo hili?”

GEN 18:13 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Abrahamu, “Kwa nini Sara amecheka na kusema, ‘Kweli nitazaa mtoto nami sasa ni mzee?’

GEN 18:14 Removed trailing space in v~: Je, kuna jambo lolote gumu lisilowezekana kwa \nd Bwana\nd*? Nitakurudia mwakani majira kama haya, naye Sara atakuwa na mwana.”

GEN 18:15 Removed trailing space in v~: Sara akaogopa kwa kuwa alidanganya na kusema, “Mimi sikucheka.”

GEN 18:15 Removed trailing space in p~: Lakini Bwana akasema, “Ndiyo, ulicheka!”

GEN 18:15 Removed trailing space in s1: Abrahamu Aiombea Sodoma

GEN 18:16 Removed trailing space in v~: Wakati watu hao waliposimama ili waondoke, walielekeza nyuso zao Sodoma, Abrahamu akawatoa kitambo kidogo ili awasindikize.

GEN 18:17 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akasema, “Je, nimfiche Abrahamu jambo ninalokusudia kufanya?

GEN 18:18 Removed trailing space in v~: Hakika Abrahamu atakuwa taifa kubwa na lenye nguvu, kupitia kwake mataifa yote ya dunia yatabarikiwa.

GEN 18:19 Removed trailing space in v~: Kwa maana nimemchagua yeye, ili awaongoze watoto wake na jamaa yake kufuata njia ya \nd Bwana\nd*, kwa kuwa waadilifu na kutenda haki, ili \nd Bwana\nd* atimize ahadi yake kwa Abrahamu.”

GEN 18:20 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* akasema, “Kilio dhidi ya Sodoma na Gomora ni kikubwa sana na dhambi yao inasikitisha sana,

GEN 18:21 Removed trailing space in v~: kwamba nitashuka nione kama waliyoyatenda ni mabaya kiasi cha kilio kilichonifikia. Kama sivyo, nitajua.”

GEN 18:22 Removed trailing space in v~: Basi wale watu wakageuka wakaenda kuelekea Sodoma, lakini Abrahamu akabaki amesimama mbele za \nd Bwana\nd*.

GEN 18:23 Removed trailing space in v~: Ndipo Abrahamu akamsogelea akasema: “Je, utawaangamiza wenye haki na waovu?

GEN 18:24 Removed trailing space in v~: Je, ikiwa watakuwepo watu wenye haki hamsini katika mji huo, hivi kweli utauangamiza na wala hutauacha kwa ajili ya hao watu hamsini wenye haki waliomo ndani yake?

GEN 18:25 Removed trailing space in v~: Hilo na liwe mbali nawe, kufanya jambo kama hilo, kuwaua wenye haki pamoja na waovu, kuwatendea wenye haki sawasawa na waovu. Iwe mbali nawe! Je, Mwamuzi wa dunia yote hatafanya lililo sawa?”

GEN 18:26 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Kama nikipata watu hamsini wenye haki katika mji wa Sodoma, nitausamehe huo mji wote kwa ajili yao.”

GEN 18:27 Removed trailing space in v~: Kisha Abrahamu akasema tena: “Sasa kwa kuwa nimekuwa na ujasiri wa kuzungumza na Bwana, ingawa mimi si kitu bali ni mavumbi na majivu;

GEN 18:28 Removed trailing space in v~: je, kama hesabu ya wenye haki imepungua watano katika hamsini, utauangamiza huo mji wote kwa ajili ya hao watano waliopungua?”

GEN 18:28 Removed trailing space in p~: Bwana akamwambia, “Kama nikiwakuta huko watu arobaini na watano, sitauangamiza.”

GEN 18:29 Removed trailing space in v~: Abrahamu akazungumza naye kwa mara nyingine, “Je, kama huko watapatikana watu arobaini tu?”

GEN 18:29 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Kwa ajili ya hao arobaini, sitauangamiza.”

GEN 18:30 Removed trailing space in v~: Ndipo akasema, “Bwana na asikasirike, lakini niruhusu nizungumze. Je, kama huko watakuwepo thelathini tu?”

GEN 18:30 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Sitapaangamiza ikiwa nitawakuta huko watu thelathini.”

GEN 18:31 Removed trailing space in v~: Abrahamu akasema, “Sasa kwa kuwa nimekuwa na ujasiri sana kuzungumza na Bwana, je, kama wakipatikana huko watu ishirini tu?”

GEN 18:31 Removed trailing space in p~: Bwana akajibu, “Kwa ajili ya hao ishirini, sitauangamiza.”

GEN 18:32 Removed trailing space in v~: Abrahamu akasema, “Bwana na asikasirike, lakini niruhusu nizungumze tena mara moja tu. Itakuwaje kama watapatikana huko watu kumi tu?”

GEN 18:32 Removed trailing space in p~: Bwana akajibu, “Kwa ajili ya hao kumi, sitauangamiza.”

GEN 18:33 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipomaliza kuzungumza na Abrahamu, akaondoka, naye Abrahamu akarudi nyumbani kwake.

GEN 19:0 Extra space after chapter number

GEN 19:0 Removed trailing space in c: 19

GEN 19:0 Removed trailing space in s1: Kuangamizwa Kwa Sodoma Na Gomora

GEN 19:1 Removed trailing space in v~: Malaika wale wawili wakafika Sodoma wakati wa jioni, naye Loti alikuwa ameketi kwenye lango la mji. Wakati alipowaona, aliondoka kwenda kuwalaki na kuwasujudia hadi chini.

GEN 19:2 Removed trailing space in v~: Akasema, “Bwana zangu, tafadhali karibuni kwenye nyumba ya mtumishi wenu. Mnaweza kunawa miguu na kulala hapa kisha asubuhi na mapema mwendelee na safari yenu.”

GEN 19:2 Removed trailing space in p~: Wakamjibu, “La hasha, tutalala hapa nje uwanjani.”

GEN 19:3 Removed trailing space in v~: Lakini akasisitiza kwa nguvu kwamba waingie pamoja naye nyumbani kwake. Akawaandalia chakula, mikate isiyotiwa chachu, nao wakala.

GEN 19:4 Removed trailing space in v~: Kabla hawajaenda kulala, watu wote kutoka kila sehemu ya mji wa Sodoma, vijana kwa wazee, waliizunguka nyumba.

GEN 19:5 Removed trailing space in v~: Wakamwita Loti wakisema, “Wako wapi wale watu ambao walikuja kwako jioni hii? Watoe nje kwetu ili tuweze kuwalawiti.”

GEN 19:6 Removed trailing space in v~: Loti akatoka nje kuonana nao, akaufunga mlango nyuma yake,

GEN 19:7 Removed trailing space in v~: akasema, “La hasha, rafiki zangu. Msifanye jambo hili ovu.

GEN 19:8 Removed trailing space in v~: Tazama, ninao binti wawili ambao kamwe hawajakutana kimwili na mwanaume. Acha niwatoe nje kwenu, nanyi mnaweza kuwafanyia lolote mnalotaka. Lakini msiwafanyie chochote watu hawa, kwa sababu wako kwenye ulinzi chini ya dari langu.”

GEN 19:9 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Tuondokee mbali.” Wakaendelea kusema, “Huyu mtu alikuja hapa kama mgeni na sasa anataka kuwa mwamuzi wetu! Tutakutenda vibaya kuliko wao.” Waliendelea kumlazimisha Loti na kusonga mbele ili kuvunja mlango.

GEN 19:10 Removed trailing space in v~: Lakini watu wale waliokuwa ndani wakanyoosha mkono wakamvuta Loti ndani ya nyumba na kufunga mlango.

GEN 19:11 Removed trailing space in v~: Kisha wakawapiga kwa upofu wale watu waliokuwa mlangoni mwa ile nyumba, vijana kwa wazee, hivyo hawakuweza kuupata mlango.

GEN 19:12 Removed trailing space in v~: Wale watu wawili wakamwambia Loti, “Una mtu mwingine yeyote hapa, wakwe zako, wana au binti, ama yeyote mwingine aliye wako katika mji huu? Waondoe hapa,

GEN 19:13 Removed trailing space in v~: kwa sababu tunapaangamiza mahali hapa. Kilio kwa \nd Bwana\nd* dhidi ya watu wa hapa ni kikubwa kiasi kwamba ametutuma kupaangamiza.”

GEN 19:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Loti alitoka ili kuzungumza na wakwe zake, waliokuwa wamewaposa binti zake. Akawaambia, “Fanyeni haraka kuondoka mahali hapa, kwa kuwa \nd Bwana\nd* yu karibu kuangamiza mji huu!” Lakini wakwe zake walifikiri kwamba alikuwa akitania.

GEN 19:15 Removed trailing space in v~: Kunako mapambazuko, malaika wakamhimiza Loti, wakamwambia, “Fanya haraka! Mchukue mke wako na binti zako wawili walioko hapa, la sivyo utaangamizwa wakati mji utakapoadhibiwa.”

GEN 19:16 Removed trailing space in v~: Alipositasita, wale watu wakamshika mkono wake na mikono ya mke wake na binti zake wawili na kuwaongoza salama nje ya mji, kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa na huruma kwao.

GEN 19:17 Removed trailing space in v~: Mara walipokwisha kuwatoa nje, mmoja wao akawaambia, “Mkimbie kwa usalama wenu! Msitazame nyuma, wala msisimame popote katika nchi tambarare! Kimbilieni milimani, ama sivyo mtaangamizwa!”

GEN 19:18 Removed trailing space in v~: Lakini Loti akawajibu, “La hasha, bwana zangu, tafadhalini!

GEN 19:19 Removed trailing space in v~: Mtumishi wenu amepata kibali mbele ya macho yenu, nanyi mmeonyesha wema mkubwa kwangu kwa kuokoa maisha yangu. Lakini siwezi kukimbilia milimani, janga hili litanikumba, nami nitakufa.

GEN 19:20 Removed trailing space in v~: Tazama, hapa kuna mji karibu wa kukimbilia, nao ni mdogo. Niruhusuni nikimbilie humo, ni mdogo sana, ama sivyo? Ndipo maisha yangu yatasalimika.”

GEN 19:21 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Vema sana, nitalikubali hili ombi pia, sitauangamiza mji ulioutaja.

GEN 19:22 Removed trailing space in v~: Lakini ukimbilie huko haraka, kwa sababu sitaweza kufanya lolote mpaka ufike huko.” (Ndiyo maana mji huo ukaitwa Soari.\f + \fr 19:22 \ft Soari maana yake Mdogo.\f*)

GEN 19:23 Removed trailing space in v~: Wakati Loti alipofika Soari, jua lilikuwa limechomoza katika nchi.

GEN 19:24 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akanyesha moto wa kiberiti uliotoka mbinguni kwa \nd Bwana\nd* juu ya Sodoma na Gomora.

GEN 19:25 Removed trailing space in v~: Hivyo akaiteketeza miji ile na eneo lote la tambarare, pamoja na wote waliokuwa wanaishi katika miji, hata pia mimea yote katika nchi.

GEN 19:26 Removed trailing space in v~: Lakini mke wa Loti akatazama nyuma, hivyo akawa nguzo ya chumvi.

GEN 19:27 Removed trailing space in v~: Asubuhi na mapema siku iliyofuata, Abrahamu akaamka na kurudi mahali pale aliposimama mbele za \nd Bwana\nd*.

GEN 19:28 Removed trailing space in v~: Akatazama upande wa Sodoma na Gomora, kuelekea nchi yote ya tambarare, akaona moshi mzito ukipanda kutoka kwenye nchi, kama moshi utokao kwenye tanuru.

GEN 19:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu alipoiangamiza miji ya tambarare alimkumbuka Abrahamu, akamtoa Loti kutoka kwenye lile janga lililoharibu miji ile ambamo Loti alikuwa ameishi.

GEN 19:29 Removed trailing space in s1: Loti Na Binti Zake

GEN 19:30 Removed trailing space in v~: Loti na binti zake wawili waliondoka Soari na kufanya makao yao kule milimani, kwa maana aliogopa kukaa Soari. Yeye na binti zake wawili waliishi katika pango.

GEN 19:31 Removed trailing space in v~: Siku moja binti mkubwa akamwambia yule mdogo, “Baba yetu ni mzee na hakuna mwanaume mahali hapa atakayekutana na sisi kimwili, kama ilivyo desturi ya mahali pote duniani.

GEN 19:32 Removed trailing space in v~: Tumnyweshe baba yetu mvinyo kisha tukutane naye kimwili ili tuhifadhi uzao wetu kupitia baba yetu.”

GEN 19:33 Removed trailing space in v~: Usiku ule walimnywesha baba yao mvinyo, alipolewa binti yake mkubwa akaingia na kukutana naye kimwili. Baba yao hakujua wakati binti yake alipoingia kulala naye wala alipotoka.

GEN 19:34 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata binti mkubwa akamwambia yule mdogo, “Usiku uliopita mimi nilikutana kimwili na baba yangu. Tumnyweshe divai tena, usiku huu nawe ukutane naye kimwili ili tuweze kuhifadhi uzao wetu kupitia baba yetu.”

GEN 19:35 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakamnywesha baba yao mvinyo tena usiku ule, naye binti yake mdogo akaingia, akakutana naye kimwili. Kwa mara nyingine baba yao hakujua binti yake alipolala naye wala alipoondoka.

GEN 19:36 Removed trailing space in v~: Hivyo binti wawili wa Loti wakapata mimba kwa baba yao.

GEN 19:37 Removed trailing space in v~: Binti mkubwa akamzaa mwana, akamwita jina lake Moabu; ndio baba wa Wamoabu hata leo.

GEN 19:38 Removed trailing space in v~: Binti mdogo naye pia akamzaa mwana, naye akamwita Benami; ndiye baba wa Waamoni hata leo.

GEN 20:0 Extra space after chapter number

GEN 20:0 Removed trailing space in c: 20

GEN 20:0 Removed trailing space in s1: Abrahamu Na Abimeleki

GEN 20:1 Removed trailing space in v~: Basi Abrahamu akaendelea mbele kutoka huko hadi nchi ya Negebu na akaishi kati ya Kadeshi na Shuri. Kwa muda mfupi alikaa Gerari kama mgeni,

GEN 20:2 Removed trailing space in v~: huko Abrahamu akasema kuhusu Sara mkewe, “Huyu ni dada yangu.” Kisha Abimeleki mfalme wa Gerari akatuma Sara aletwe, naye akamchukua.

GEN 20:3 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu akamjia Abimeleki katika ndoto wakati wa usiku na kumwambia, “Wewe ni kama mfu kwa sababu ya huyu mwanamke uliyemchukua; yeye ni mke wa mtu.”

GEN 20:4 Removed trailing space in v~: Wakati huo Abimeleki alikuwa bado hajamsogelea, kwa hiyo akasema, “Je, Bwana utaliharibu taifa lisilo na hatia?

GEN 20:5 Removed trailing space in v~: Hakusema kwangu, ‘Huyu ni dada yangu,’ naye Sara pia hakusema, ‘Huyu ni kaka yangu’? Nimefanya haya kwa dhamiri njema na mikono safi.”

GEN 20:6 Removed trailing space in v~: Kisha Mungu akamwambia katika ndoto, “Ndiyo, najua ya kwamba umefanya haya kwa dhamiri safi, kwa hiyo nimekuzuia usinitende dhambi. Ndiyo sababu sikukuacha umguse.

GEN 20:7 Removed trailing space in v~: Sasa umrudishe huyo mke wa mtu, kwa maana ni nabii, naye atakuombea nawe utaishi. Lakini kama hutamrudisha, ujue kwa hakika kuwa wewe na watu wako wote mtakufa.”

GEN 20:8 Removed trailing space in v~: Kesho yake asubuhi na mapema Abimeleki akawaita maafisa wake wote, na baada ya kuwaambia yote yaliyotokea, waliogopa sana.

GEN 20:9 Removed trailing space in v~: Kisha Abimeleki akamwita Abrahamu na kumwambia, “Wewe umetufanyia nini? Nimekukosea nini hata ukaleta hatia kubwa namna hii juu yangu na ufalme wangu? Umenifanyia mambo ambayo hayakupasa kufanyika.”

GEN 20:10 Removed trailing space in v~: Abimeleki akamuuliza Abrahamu, “Ulikuwa na kusudi gani kufanya hivi?”

GEN 20:11 Removed trailing space in v~: Abrahamu akajibu, “Niliwaza kwamba, ‘Hakika hakuna hofu ya Mungu mahali hapa, nao wataniua kwa sababu ya mke wangu.’

GEN 20:12 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo, ni kweli kwamba yeye ni dada yangu, binti wa baba yangu ingawa si mtoto wa mama yangu; basi akawa mke wangu.

GEN 20:13 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* aliponifanya nisafiri mbali na nyumbani mwa baba yangu, nilimwambia, ‘Hivi ndivyo utakavyoonyesha pendo lako kwangu: Kila mahali tutakapokwenda, kuhusu mimi sema, “Huyu ni kaka yangu.” ’ ”

GEN 20:14 Removed trailing space in v~: Kisha Abimeleki akatwaa kondoo na ngʼombe, na watumwa wa kiume na wa kike akampa Abrahamu, akamrudisha Sara kwa mumewe.

GEN 20:15 Removed trailing space in v~: Abimeleki akasema, “Nchi yangu iko mbele yako, ishi popote unapotaka.”

GEN 20:16 Removed trailing space in v~: Akamwambia Sara, “Ninampa kaka yako shekeli elfu moja za fedha. Hii ni kufidia kosa lililofanyika dhidi yako mbele ya wote walio pamoja nawe; haki yako imethibitishwa kabisa.”

GEN 20:17 Removed trailing space in v~: Kisha Abrahamu akamwomba Mungu, naye Mungu akamponya Abimeleki, mke wake, na watumwa wake wa kike kwamba waweze kupata watoto tena,

GEN 20:18 Removed trailing space in v~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa ameyafunga matumbo ya wote katika nyumba ya Abimeleki kwa sababu ya Sara, mke wa Abrahamu.

GEN 21:0 Extra space after chapter number

GEN 21:0 Removed trailing space in c: 21

GEN 21:0 Removed trailing space in s1: Kuzaliwa Kwa Isaki

GEN 21:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu \nd Bwana\nd* akamrehemu Sara kama alivyokuwa amesema, naye \nd Bwana\nd* akamtendea Sara kile alichokuwa ameahidi.

GEN 21:2 Removed trailing space in v~: Sara akapata mimba, akamzalia Abrahamu mwana katika uzee wake, majira yale ya Mungu aliomwahidi.

GEN 21:3 Removed trailing space in v~: Abrahamu akamwita Isaki yule mwana ambaye Sara alimzalia.

GEN 21:4 Removed trailing space in v~: Isaki alipokuwa na umri wa siku nane, Abrahamu akamtahiri, kama Mungu alivyomwamuru.

GEN 21:5 Removed trailing space in v~: Abrahamu alikuwa na miaka 100 wakati Isaki mwanawe alipozaliwa.

GEN 21:6 Removed trailing space in v~: Sara akasema, “Mungu ameniletea kicheko, kila mmoja atakayesikia jambo hili atacheka pamoja nami.”

GEN 21:7 Removed trailing space in v~: Akaongeza kusema, “Nani angemwambia Abrahamu kuwa Sara angenyonyesha watoto? Tena nimemzalia mwana katika uzee wake.”

GEN 21:7 Removed trailing space in s1: Hagari Na Ishmaeli Wafukuzwa

GEN 21:8 Removed trailing space in v~: Mtoto akakua, akaachishwa kunyonya. Siku hiyo Isaki alipoachishwa kunyonya, Abrahamu alifanya sherehe kubwa.

GEN 21:9 Removed trailing space in v~: Lakini Sara aliona kuwa mwana ambaye Hagari, Mmisri, aliyemzalia Abrahamu alikuwa anadhihaki,

GEN 21:10 Removed trailing space in v~: Sara akamwambia Abrahamu, “Mwondoe mwanamke huyo mtumwa pamoja na mwanawe, kwa kuwa mwana wa mwanamke mtumwa kamwe hatarithi pamoja na mwanangu Isaki.”

GEN 21:11 Removed trailing space in v~: Jambo hili lilimhuzunisha sana Abrahamu kwa sababu lilimhusu mwanawe.

GEN 21:12 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu akamwambia, “Usihuzunike hivyo kwa sababu ya kijana na mtumishi wako wa kike. Sikiliza lolote Sara analokuambia, kwa sababu uzao wako utahesabiwa kupitia kwake Isaki.

GEN 21:13 Removed trailing space in v~: Nitamfanya huyu mwana wa mtumishi wako wa kike kuwa taifa pia, kwa sababu naye ni uzao wako.”

GEN 21:14 Removed trailing space in v~: Kesho yake asubuhi na mapema, Abrahamu akachukua chakula na kiriba cha maji, akampa Hagari. Akaviweka mabegani mwa Hagari, akamwondoa pamoja na kijana. Hagari akashika njia, akatangatanga katika jangwa la Beer-Sheba.

GEN 21:15 Removed trailing space in v~: Maji yalipokwisha kwenye kiriba, akamwacha kijana chini ya mojawapo ya vichaka.

GEN 21:16 Removed trailing space in v~: Kisha akajiendea zake akaketi karibu, umbali wa kutupa mshale, akawaza, “Siwezi kumwangalia kijana akifa.” Ikawa alipokuwa ameketi pale karibu, akaanza kulia kwa huzuni.

GEN 21:17 Removed trailing space in v~: Mungu akamsikia kijana akilia, malaika wa Mungu akamwita Hagari kutoka mbinguni na kumwambia, “Kuna nini Hagari? Usiogope, Mungu amesikia kijana analia akiwa amelala pale.

GEN 21:18 Removed trailing space in v~: Mwinue kijana na umshike mkono, kwa maana nitamfanya kuwa taifa kubwa.”

GEN 21:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akamfumbua Hagari macho yake naye akaona kisima cha maji. Hivyo akaenda akajaza kiriba maji na kumpa kijana anywe.

GEN 21:20 Removed trailing space in v~: Mungu akawa pamoja na huyu kijana alipokuwa akiendelea kukua. Aliishi jangwani na akawa mpiga upinde.

GEN 21:21 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akiishi katika Jangwa la Parani, mama yake akampatia mke kutoka Misri.

GEN 21:21 Removed trailing space in s1: Mapatano Katika Beer-Sheba

GEN 21:22 Removed trailing space in v~: Wakati huo Abimeleki na Fikoli mkuu wa majeshi yake wakamwambia Abrahamu, “Mungu yu pamoja nawe katika kila kitu unachofanya.

GEN 21:23 Removed trailing space in v~: Sasa niapie hapa mbele za Mungu kwamba hutanitenda hila mimi, watoto wangu wala wazao wangu. Nitendee mimi na nchi ambayo unaishi kama mgeni wema ule ule ambao nimekutendea.”

GEN 21:24 Removed trailing space in v~: Abrahamu akasema, “Ninaapa hivyo.”

GEN 21:25 Removed trailing space in v~: Ndipo Abrahamu akalalamika kwa Abimeleki kuhusu kisima cha maji ambacho watumishi wa Abimeleki walikuwa wamekinyangʼanya.

GEN 21:26 Removed trailing space in v~: Lakini Abimeleki akasema, “Sijui ni nani ambaye amefanya hili. Hukuniambia, leo tu ndipo ninasikia habari zake.”

GEN 21:27 Removed trailing space in v~: Hivyo Abrahamu akaleta kondoo na ngʼombe, akampa Abimeleki, nao watu hawa wawili wakafanya mapatano.

GEN 21:28 Removed trailing space in v~: Abrahamu akatenga kondoo wa kike saba kutoka kwenye kundi,

GEN 21:29 Removed trailing space in v~: Abimeleki akamuuliza Abrahamu, “Ni nini maana ya hawa kondoo wa kike saba uliowatenga peke yao?”

GEN 21:30 Removed trailing space in v~: Abrahamu akamjibu, “Upokee hawa kondoo wa kike saba kutoka mkononi mwangu kama ushahidi kuwa nilichimba kisima hiki.”

GEN 21:31 Removed trailing space in v~: Hivyo mahali pale pakaitwa Beer-Sheba, kwa sababu watu wawili waliapiana hapo.

GEN 21:32 Removed trailing space in v~: Baada ya mapatano kufanyika huko Beer-Sheba, Abimeleki na Fikoli mkuu wa majeshi yake wakarudi katika nchi ya Wafilisti.

GEN 21:33 Removed trailing space in v~: Abrahamu akapanda mti wa mkwaju huko Beer-Sheba, na hapo akaliitia jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa milele.

GEN 21:34 Removed trailing space in v~: Naye Abrahamu akakaa katika nchi ya Wafilisti kwa muda mrefu.

GEN 22:0 Extra space after chapter number

GEN 22:0 Removed trailing space in c: 22

GEN 22:0 Removed trailing space in s1: Kujua Uthabiti Wa Abrahamu

GEN 22:1 Removed trailing space in v~: Baadaye Mungu akamjaribu Abrahamu. Akamwambia, “Abrahamu!”

GEN 22:1 Removed trailing space in p~: Abrahamu akajibu, “Mimi hapa.”

GEN 22:2 Removed trailing space in v~: Kisha Mungu akamwambia, “Umchukue mwanao, mwana wako wa pekee, Isaki umpendaye, uende katika nchi ya Moria. Mtoe huko kama sadaka ya kuteketezwa juu ya mlima mmojawapo nitakaokuambia.”

GEN 22:3 Removed trailing space in v~: Abrahamu akaamka asubuhi na mapema siku iliyofuata, akamtayarisha punda wake. Akawachukua watumishi wake wawili pamoja na Isaki mwanawe. Baada ya kuchanja kuni za kutosha kwa ajili ya hiyo sadaka ya kuteketezwa, akaondoka kuelekea mahali Mungu alipokuwa amemwambia.

GEN 22:4 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu Abrahamu akainua macho, akapaona mahali pale kwa mbali.

GEN 22:5 Removed trailing space in v~: Akawaambia watumishi wake, “Kaeni hapa pamoja na punda, wakati mimi na kijana tunakwenda kule. Tutakwenda kuabudu na kisha tutawarudia.”

GEN 22:6 Removed trailing space in v~: Abrahamu akachukua kuni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, akamtwika Isaki mwanawe, yeye mwenyewe akachukua moto na kisu. Walipokuwa wakienda pamoja,

GEN 22:7 Removed trailing space in v~: Isaki akanena akamwambia Abrahamu baba yake, “Baba yangu!”

GEN 22:7 Removed trailing space in p~: Abrahamu akaitika, “Mimi hapa, mwanangu.”

GEN 22:7 Removed trailing space in p~: Isaki akasema, “Moto na kuni zipo, Je, yuko wapi mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa?”

GEN 22:8 Removed trailing space in v~: Abrahamu akajibu, “Mwanangu, Mungu mwenyewe atajipatia mwana-kondoo kwa ajili ya hiyo sadaka ya kuteketezwa.” Nao hawa wawili wakaendelea mbele pamoja.

GEN 22:9 Removed trailing space in v~: Walipofika mahali pale alipokuwa ameambiwa na Mungu, Abrahamu akajenga madhabahu hapo, akaziweka kuni juu yake. Akamfunga Isaki mwanawe na akamlaza kwenye madhabahu, juu ya zile kuni.

GEN 22:10 Removed trailing space in v~: Kisha akanyoosha mkono wake na akachukua kisu ili amchinje mwanawe.

GEN 22:11 Removed trailing space in v~: Lakini malaika wa \nd Bwana\nd* akamwita kutoka mbinguni, akamwambia, “Abrahamu! Abrahamu!”

GEN 22:11 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Mimi hapa.”

GEN 22:12 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Usimdhuru kijana, wala usimtendee jambo lolote. Sasa ninajua kwamba unamcha Mungu, kwa sababu hukunizuilia mwanao, mwana wako wa pekee.”

GEN 22:13 Removed trailing space in v~: Abrahamu akainua macho yake, akaona kondoo dume amenaswa pembe zake nyuma yake katika kichaka. Akaenda akamchukua huyo kondoo dume, akamtoa awe sadaka ya kuteketezwa badala ya mwanawe.

GEN 22:14 Removed trailing space in v~: Abrahamu akapaita mahali pale Yehova-Yire.\f + \fr 22:14 \ft Yehova-Yire maana yake \+nd Bwana\+nd* atatupa.\f* Mpaka siku ya leo inasemekana, “Katika mlima wa \nd Bwana\nd* itapatikana.”

GEN 22:15 Removed trailing space in v~: Basi malaika wa \nd Bwana\nd* akamwita Abrahamu kutoka mbinguni mara ya pili,

GEN 22:16 Removed trailing space in v~: akasema, “Ninaapa kwa nafsi yangu, asema \nd Bwana\nd*, kwamba kwa sababu umefanya jambo hili na hukunizuilia mwanao, mwana wako wa pekee,

GEN 22:17 Removed trailing space in v~: hakika nitakubariki, na nitauzidisha uzao wako kama nyota za angani na kama mchanga ulioko pwani. Wazao wako watamiliki miji ya adui zao,

GEN 22:18 Removed trailing space in v~: na kupitia uzao wako mataifa yote duniani yatabarikiwa, kwa sababu umenitii.”

GEN 22:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Abrahamu akawarudia watumishi wake, wakaondoka wakaenda wote pamoja mpaka Beer-Sheba. Abrahamu akaishi huko Beer-Sheba.

GEN 22:19 Removed trailing space in s1: Wana Wa Nahori

GEN 22:20 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, Abrahamu akaambiwa, “Milka pia amepata watoto, amemzalia ndugu yako Nahori wana:

GEN 22:21 Removed trailing space in v~: Usi mzaliwa wake wa kwanza, Buzi nduguye, Kemueli (baba wa Aramu),

GEN 22:22 Removed trailing space in v~: Kesedi, Hazo, Pildashi, Yidlafu na Bethueli.”

GEN 22:23 Removed trailing space in v~: Bethueli akamzaa Rebeka. Milka alimzalia Nahori nduguye Abrahamu hao wana wanane.

GEN 22:24 Removed trailing space in v~: Suria wake Nahori aliyeitwa Reuma pia alikuwa na wana: Teba, Gahamu, Tahashi na Maaka.

GEN 23:0 Extra space after chapter number

GEN 23:0 Removed trailing space in c: 23

GEN 23:0 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Sara

GEN 23:1 Removed trailing space in v~: Sara aliishi akawa na umri wa miaka mia na ishirini na saba.

GEN 23:2 Removed trailing space in v~: Sara akafa huko Kiriath-Arba (yaani Hebroni) katika nchi ya Kanaani, Abrahamu akamwombolezea na kumlilia Sara.

GEN 23:3 Removed trailing space in v~: Ndipo Abrahamu akainuka kutoka pale penye maiti ya mke wake. Akazungumza na Wahiti, akasema,

GEN 23:4 Removed trailing space in v~: “Mimi ni mpitaji na mgeni miongoni mwenu. Niuzieni sehemu ya ardhi yenu ili niweze kumzika maiti wangu.”

GEN 23:5 Removed trailing space in v~: Wahiti wakamjibu Abrahamu,

GEN 23:6 Removed trailing space in v~: “Bwana, tusikilize. Wewe ni mtawala mkuu sana miongoni mwetu. Zika maiti wako katika kaburi unalolipenda kati ya makaburi yetu. Hakuna mtu wa kwetu atakayekuzuia kaburi lake ili kuzika maiti wako.”

GEN 23:7 Removed trailing space in v~: Abrahamu akainuka na akasujudu mbele ya wenyeji wa nchi, yaani Wahiti.

GEN 23:8 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Kama mnaniruhusu kumzika maiti wangu, basi nisikilizeni mkamsihi Efroni mwana wa Sohari kwa niaba yangu

GEN 23:9 Removed trailing space in v~: ili aniuzie pango la Makpela, lililo mali yake, nalo liko mwisho wa shamba lake. Mwambieni aniuzie kwa bei kamili atakayosema ili liwe mahali pangu pa kuzikia miongoni mwenu.”

GEN 23:10 Removed trailing space in v~: Efroni Mhiti alikuwa ameketi miongoni mwa watu wake, akamjibu Abrahamu mbele ya Wahiti wote waliokuwepo katika lango la mji.

GEN 23:11 Removed trailing space in v~: “La hasha, bwana wangu, nisikilize, nakupa shamba, pia nakupa pango lililomo ndani yake. Nakupa mbele ya watu wangu. Uzike maiti wako.”

GEN 23:12 Removed trailing space in v~: Abrahamu akasujudu tena, mbele ya wenyeji wa nchi,

GEN 23:13 Removed trailing space in v~: akamwambia Efroni wale watu wakiwa wanasikia, “Tafadhali nisikilize. Nitakulipa fedha za hilo shamba. Kubali kuzipokea ili niweze kumzika maiti wangu.”

GEN 23:14 Removed trailing space in v~: Efroni akamjibu Abrahamu,

GEN 23:15 Removed trailing space in v~: “Nisikilize, bwana wangu, thamani ya ardhi hiyo ni shekeli 400 za fedha,\f + \fr 23:15 \ft Shekeli 400 za fedha ni sawa na kilo 4.5.\f* lakini hiyo ni nini kati yako na mimi? Mzike maiti wako.”

GEN 23:16 Removed trailing space in v~: Abrahamu akakubali masharti ya Efroni, akampimia ile fedha aliyotaja masikioni mwa Wahiti: Shekeli 400 za fedha kulingana na viwango vya uzito vilivyokuwa vikitumika wakati huo na wafanyabiashara.

GEN 23:17 Removed trailing space in v~: Hivyo shamba la Efroni huko Makpela karibu na Mamre, yaani shamba pamoja na pango lililokuwamo, nayo miti yote iliyokuwamo ndani ya mipaka ya shamba hilo, vilikabidhiwa,

GEN 23:18 Removed trailing space in v~: kwa Abrahamu kuwa mali yake mbele ya Wahiti wote waliokuwa wamekuja kwenye lango la mji.

GEN 23:19 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo Abrahamu akamzika Sara mkewe kwenye pango ndani ya shamba la Makpela karibu na Mamre (huko Hebroni) katika nchi ya Kanaani.

GEN 23:20 Removed trailing space in v~: Hivyo Wahiti wakamkabidhi Abrahamu shamba pamoja na pango lililokuwa humo kuwa mahali pa kuzikia.

GEN 24:0 Extra space after chapter number

GEN 24:0 Removed trailing space in c: 24

GEN 24:0 Removed trailing space in s1: Isaki Na Rebeka

GEN 24:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu Abrahamu alikuwa mzee mwenye miaka mingi, naye \nd Bwana\nd* alikuwa amembariki katika kila njia.

GEN 24:2 Removed trailing space in v~: Akamwambia mtumishi wake mkuu wa vitu vyote katika nyumba yake, yule aliyekuwa msimamizi wa vitu vyote alivyokuwa navyo, “Weka mkono wako chini ya paja langu,

GEN 24:3 Removed trailing space in v~: Ninataka uape kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa mbingu na Mungu wa nchi, kwamba hutamtwalia mwanangu mke kutoka binti za Wakanaani, ambao ninaishi miongoni mwao,

GEN 24:4 Removed trailing space in v~: bali utakwenda katika nchi yangu na jamaa zangu umpatie Isaki mwanangu mke.”

GEN 24:5 Removed trailing space in v~: Yule mtumishi akamuuliza, “Je, kama huyo mwanamke atakataa kuja nami katika nchi hii? Je, nimpeleke mwanao katika hiyo nchi uliyotoka?”

GEN 24:6 Removed trailing space in v~: Abrahamu akasema, “Hakikisha kwamba hutamrudisha mwanangu huko.

GEN 24:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, Mungu wa mbingu, aliyenitoa nyumbani kwa baba yangu na nchi yangu niliyozaliwa na aliyesema nami na akaniahidi kwa kiapo, akisema, ‘Nitawapa watoto wako nchi hii,’ atatuma malaika wake akutangulie ili umpatie mwanangu mke kutoka huko.

GEN 24:8 Removed trailing space in v~: Kama huyo mwanamke asipokubali kufuatana nawe, basi utafunguliwa kutoka kiapo nilichokuapisha. Ila usimrudishe mwanangu huko.”

GEN 24:9 Removed trailing space in v~: Basi yule mtumishi akaweka mkono wake chini ya paja la bwana wake Abrahamu akamwapia kuhusu shauri hili.

GEN 24:10 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo mtumishi akachukua ngamia kumi miongoni mwa ngamia za bwana wake, akaondoka, akiwa amechukua aina zote za vitu vizuri kutoka kwa bwana wake. Akaelekea Aramu-Naharaimu\f + \fr 24:10 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.\f* na kushika njia kwenda mji wa Nahori.

GEN 24:11 Removed trailing space in v~: Akawapigisha ngamia magoti karibu na kisima cha maji nje ya mji, ilikuwa inaelekea jioni, wakati ambapo wanawake wanakuja kuteka maji.

GEN 24:12 Removed trailing space in v~: Kisha akaomba, “Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, nipatie ushindi leo, uonyeshe huruma kwa bwana wangu Abrahamu.

GEN 24:13 Removed trailing space in v~: Tazama, nimesimama karibu na kisima hiki cha maji, nao binti za watu wa mji huu wanakuja kuteka maji.

GEN 24:14 Removed trailing space in v~: Basi na iwe hivi, nitakapomwambia binti mmojawapo, ‘Tafadhali tua mtungi wako nipate kunywa maji,’ naye akisema, ‘Kunywa, nitawanywesha na ngamia wako pia.’ Basi na awe ndiye uliyemchagua kwa ajili ya mtumishi wako Isaki. Kwa hili nitajua umemhurumia bwana wangu.”

GEN 24:15 Removed trailing space in v~: Ikawa kabla hajamaliza kuomba, Rebeka akatokea akiwa na mtungi begani mwake. Alikuwa binti wa Bethueli. Bethueli alikuwa mwana wa Milka aliyekuwa mke wa Nahori ndugu wa Abrahamu.

GEN 24:16 Removed trailing space in v~: Huyu msichana alikuwa mzuri sana wa sura, bikira, ambaye hakuna mtu aliyekuwa amekutana naye kimwili. Aliteremka kisimani, akajaza mtungi wake akapanda juu.

GEN 24:17 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mtumishi akaharakisha kukutana naye akamwambia, “Tafadhali nipe maji kidogo katika mtungi wako.”

GEN 24:18 Removed trailing space in v~: Yule msichana akasema, “Kunywa, bwana wangu.” Akashusha kwa haraka mtungi mkononi mwake na akampa, akanywa.

GEN 24:19 Removed trailing space in v~: Baada ya kumpa yule mtumishi yale maji, akamwambia, “Nitateka maji kwa ajili ya ngamia zako pia mpaka wote watosheke.”

GEN 24:20 Removed trailing space in v~: Akafanya haraka kumimina maji kwenye birika ya kunyweshea wanyama, akakimbia kisimani kuteka maji mengine na akateka ya kuwatosha ngamia wake wote.

GEN 24:21 Removed trailing space in v~: Pasipo kusema neno, yule mtumishi akamtazama kwa makini aone kama \nd Bwana\nd* ameifanikisha safari yake, au la.

GEN 24:22 Removed trailing space in v~: Ikawa ngamia walipokwisha kunywa wote, yule mtumishi akampa huyo msichana pete ya puani ya dhahabu yenye uzito wa beka moja\f + \fr 24:22 \ft Beka moja ya dhahabu ni sawa na gramu 5.5.\f* na bangili mbili za dhahabu zenye uzito wa shekeli kumi.\f + \fr 24:22 \ft Shekeli 10 za dhahabu ni sawa na gramu 110.\f*

GEN 24:23 Removed trailing space in v~: Kisha akamuuliza, “Wewe ni binti wa nani? Tafadhali uniambie, je, kuna nafasi katika nyumba ya baba yako tutakapoweza kulala?”

GEN 24:24 Removed trailing space in v~: Yule msichana akamjibu, “Mimi ni binti wa Bethueli, mwana wa Milka aliyemzalia Nahori.”

GEN 24:25 Removed trailing space in v~: Akaendelea kusema, “Kwetu kuna majani mengi na malisho, tena kuna nafasi kwa ajili yenu kulala.”

GEN 24:26 Removed trailing space in v~: Yule mtumishi akasujudu na kumwabudu \nd Bwana\nd*,

GEN 24:27 Removed trailing space in v~: akisema, “Atukuzwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ambaye hakuondoa wema na uaminifu wake kwa bwana wangu. Mimi nami, \nd Bwana\nd* ameniongoza safarini akanifikisha nyumbani kwa jamaa za bwana wangu.”

GEN 24:28 Removed trailing space in v~: Yule msichana akakimbia akawaeleza watu wa nyumbani mwa mama yake kuhusu mambo haya.

GEN 24:29 Removed trailing space in v~: Rebeka alikuwa na kaka aliyeitwa Labani, huyo akaharakisha kukutana na yule mtumishi kule kisimani.

GEN 24:30 Removed trailing space in v~: Mara alipoiona ile pete puani, na bangili mikononi mwa dada yake na kusikia yale maneno Rebeka aliyoambiwa na huyo mtumishi, alimwendea huyo mtumishi, akamkuta amesimama karibu na ngamia wake pale karibu na kisima.

GEN 24:31 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Karibu nyumbani wewe uliyebarikiwa na \nd Bwana\nd*, kwa nini unasimama huko nje? Mimi nimekuandalia nyumba na mahali kwa ajili ya ngamia.”

GEN 24:32 Removed trailing space in v~: Hivyo yule mtumishi akaenda nyumbani, mizigo ikaondolewa juu ya ngamia. Majani na malisho yakaletwa kwa ajili ya ngamia na maji kwa ajili yake na watu wake ili kunawa miguu.

GEN 24:33 Removed trailing space in v~: Ndipo chakula kikaandaliwa kwa ajili yake, lakini akasema, “Sitakula mpaka niwe nimewaambia yale niliyo nayo ya kusema.”

GEN 24:33 Removed trailing space in p~: Labani akasema, “Basi tuambie.”

GEN 24:34 Removed trailing space in v~: Hivyo akasema, “Mimi ni mtumishi wa Abrahamu.

GEN 24:35 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amembariki sana bwana wangu, amekuwa tajiri. Amempa kondoo na ngʼombe, fedha na dhahabu, watumishi wa kiume na wa kike, ngamia na punda.

GEN 24:36 Removed trailing space in v~: Sara mkewe bwana wangu amemzalia mwana katika uzee wake, naye amempa kila kitu alichokuwa nacho.

GEN 24:37 Removed trailing space in v~: Naye bwana wangu ameniapisha na akasema, ‘Kamwe usimtwalie mwanangu mke katika binti za Wakanaani, ambao ninaishi katika nchi yao,

GEN 24:38 Removed trailing space in v~: ila uende mpaka kwa jamaa ya baba yangu na ukoo wangu mwenyewe, ukamtwalie mwanangu mke huko.’

GEN 24:39 Removed trailing space in v~: “Kisha nikamuuliza bwana wangu, ‘Je, kama huyo mwanamke hatakubali kurudi nami?’

GEN 24:40 Removed trailing space in v~: “Akanijibu, ‘\nd Bwana\nd* ambaye nimetembea mbele zake, atatuma malaika wake pamoja nawe, na kuifanikisha safari yako, ili uweze kupata mke kwa ajili ya mwanangu katika ukoo wangu na kutoka jamaa ya baba yangu.

GEN 24:41 Removed trailing space in v~: Kisha, utakapokwenda kwenye ukoo wangu, utakuwa umefunguliwa kutoka kiapo changu hata kama wakikataa kukupa huyo binti, utakuwa umefunguliwa kutoka kiapo changu.’

GEN 24:42 Removed trailing space in v~: “Nilipokuja kisimani leo nilisema, ‘Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, ikikupendeza, naomba uifanikishe safari niliyoijia.

GEN 24:43 Removed trailing space in v~: Tazama, ninasimama kando ya kisima hiki, kama mwanamwali akija kuteka maji nami nikimwambia, tafadhali niruhusu ninywe maji kidogo kutoka kwenye mtungi wako,

GEN 24:44 Removed trailing space in v~: naye kama akiniambia, “Kunywa, nami nitateka maji kwa ajili ya ngamia wako pia,” basi huyo awe ndiye mke ambaye \nd Bwana\nd* amemchagulia mwana wa bwana wangu.’

GEN 24:45 Removed trailing space in v~: “Kabla sijamaliza kuomba moyoni mwangu, Rebeka akatokea, amebeba mtungi begani mwake. Akashuka kisimani akateka maji, nami nikamwambia, ‘Tafadhali nipe maji ninywe.’

GEN 24:46 Removed trailing space in v~: “Akafanya haraka kushusha mtungi wake begani na kusema, ‘Kunywa na nitawanywesha ngamia wako pia,’ basi nikanywa, akawanywesha na ngamia pia.

GEN 24:47 Removed trailing space in v~: “Nikamuuliza, ‘Wewe ni binti wa nani?’

GEN 24:47 Removed trailing space in p~: “Akasema, ‘Mimi ni binti wa Bethueli, mwana wa Nahori, Milka aliyemzalia.’

GEN 24:47 Removed trailing space in p~: “Ndipo nilipotia pete puani mwake na bangili mikononi mwake,

GEN 24:48 Removed trailing space in v~: nikasujudu na nikamwabudu \nd Bwana\nd*. Nikamtukuza \nd Bwana\nd*, Mungu wa bwana wangu Abrahamu, aliyeniongoza katika njia sahihi ili nimtwalie mwana na bwana wangu mke katika jamaa zake.

GEN 24:49 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtaonyesha wema na uaminifu kwa bwana wangu, mniambie, la sivyo, mniambie, ili niweze kujua njia ya kugeukia.”

GEN 24:50 Removed trailing space in v~: Labani na Bethueli wakajibu, “Jambo hili limetoka kwa \nd Bwana\nd*, hatuwezi kukuambia jambo lolote baya au jema.

GEN 24:51 Removed trailing space in v~: Rebeka yuko hapa, mchukue na uende, awe mke wa mwana wa bwana wako, sawasawa na \nd Bwana\nd* alivyoongoza.”

GEN 24:52 Removed trailing space in v~: Ikawa huyo mtumishi wa Abrahamu aliposikia waliyosema, alisujudu mpaka nchi mbele za \nd Bwana\nd*.

GEN 24:53 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo mtumishi akatoa vitu vilivyotengenezwa kwa dhahabu na kwa fedha pamoja na mavazi, akampa Rebeka, pia akawapa zawadi za thamani kubwa nduguye na mamaye.

GEN 24:54 Removed trailing space in v~: Kisha yeye na wale watu waliokuwa pamoja naye wakala, wakanywa na kulala palepale.

GEN 24:54 Removed trailing space in p~: Walipoamka asubuhi, yule mtumishi, akasema, “Nipeni ruhusa nirudi kwa bwana wangu.”

GEN 24:55 Removed trailing space in v~: Lakini ndugu yake Rebeka pamoja na mama yake wakajibu, “Acha binti akae kwetu siku kumi au zaidi, ndipo mwondoke.”

GEN 24:56 Removed trailing space in v~: Lakini yule mtumishi akawaambia, “Msinicheleweshe, kwa kuwa \nd Bwana\nd* amefanikisha safari yangu, nipeni ruhusa nirudi kwa bwana wangu.”

GEN 24:57 Removed trailing space in v~: Ndipo wakasema, “Acha tumwite huyo binti tumuulize, tusikie atakavyosema.”

GEN 24:58 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakamwita Rebeka na kumuuliza, “Je, utakwenda na mtu huyu?”

GEN 24:58 Removed trailing space in p~: Akasema, “Nitakwenda.”

GEN 24:59 Removed trailing space in v~: Hivyo wakamwaga ndugu yao Rebeka aondoke, pamoja na mjakazi wake, mtumishi wa Abrahamu na watu wake.

GEN 24:60 Removed trailing space in v~: Wakambariki Rebeka, wakamwambia,

GEN 24:60 Removed trailing space in p~: “Ndugu yetu, uwe wewe kumi elfu,

GEN 24:60 Removed trailing space in p~: mara elfu nyingi,

GEN 24:60 Removed trailing space in p~: nao wazao wako wamiliki

GEN 24:60 Removed trailing space in p~: malango ya adui zao.”

GEN 24:61 Removed trailing space in v~: Rebeka na vijakazi wake wakajiandaa, wakapanda ngamia zao wakafuatana na yule mtu. Hivyo yule mtumishi akamchukua Rebeka akaondoka.

GEN 24:62 Removed trailing space in v~: Basi Isaki alikuwa ametoka Beer-Lahai-Roi, kwa kuwa alikuwa anaishi nchi ya Negebu.

GEN 24:63 Removed trailing space in v~: Isaki akatoka kwenda shambani kutafakari wakati wa jioni, alipoinua macho yake, akaona ngamia wanakuja.

GEN 24:64 Removed trailing space in v~: Rebeka pia akainua macho akamwona Isaki. Akashuka kutoka kwenye ngamia wake

GEN 24:65 Removed trailing space in v~: na akamuuliza yule mtumishi, “Ni nani mtu yule aliye kule shambani anayekuja kutulaki?”

GEN 24:65 Removed trailing space in p~: Yule mtumishi akajibu, “Huyu ndiye bwana wangu.” Hivyo Rebeka akachukua shela yake akajifunika.

GEN 24:66 Removed trailing space in v~: Kisha yule mtumishi akamweleza Isaki mambo yote aliyoyatenda.

GEN 24:67 Removed trailing space in v~: Ndipo Isaki akamwingiza Rebeka katika hema la Sara mama yake, Isaki akamchukua Rebeka, hivyo akawa mke wake. Isaki akampenda, akafarijika baada ya kifo cha mama yake.

GEN 26:0 Extra space after chapter number

GEN 26:0 Removed trailing space in c: 26

GEN 26:0 Removed trailing space in s1: Isaki Na Abimeleki

GEN 26:1 Removed trailing space in v~: Basi njaa kubwa ikawa katika nchi hiyo, kuliko ile njaa iliyotangulia iliyotokea wakati wa Abrahamu. Isaki akamwendea Abimeleki mfalme wa Wafilisti huko Gerari.

GEN 26:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtokea Isaki, akamwambia, “Usiende Misri, bali ukae katika nchi nitakayokuambia.

GEN 26:3 Removed trailing space in v~: Kaa katika nchi hii kwa kitambo, mimi nitakuwa pamoja na wewe na nitakubariki. Kwa maana nitakupa wewe na uzao wako nchi hizi zote na nitatimiza kiapo nilichomwapia Abrahamu baba yako.

GEN 26:4 Removed trailing space in v~: Nitafanya wazao wako kuwa wengi kama nyota za angani, nami nitawapa nchi hizi zote na kutokana na uzao wako mataifa yote yatabarikiwa,

GEN 26:5 Removed trailing space in v~: kwa sababu Abrahamu alinitii mimi akatunza kanuni zangu na maagizo yangu, amri zangu pamoja na sheria zangu.”

GEN 26:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Isaki akaishi huko Gerari.

GEN 26:7 Removed trailing space in v~: Watu wa mahali pale walipomuuliza habari za mke wake, akasema, “Huyu ni dada yangu,” kwa sababu aliogopa kusema, “Huyu ni mke wangu.” Alifikiri, “Watu wa mahali pale wataweza kumuua kwa sababu ya Rebeka, kwa kuwa alikuwa mzuri wa sura.”

GEN 26:8 Removed trailing space in v~: Wakati Isaki alipokuwa amekaa huko siku nyingi, Abimeleki mfalme wa Wafilisti akachungulia dirishani, akaona jinsi Isaki alivyomkumbatia Rebeka mke wake.

GEN 26:9 Removed trailing space in v~: Abimeleki akamwita Isaki akamwambia, “Hakika huyu ni mke wako! Mbona uliniambia, ‘Huyu ni dada yangu?’ ”

GEN 26:9 Removed trailing space in p~: Isaki akamjibu, “Kwa sababu nilifikiri ningeweza kuuawa kwa sababu yake.”

GEN 26:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Abimeleki akamjibu, “Ni nini hiki ulichotufanyia? Ingewezekana mtu yeyote akawa amekutana kimwili na mke wako, nawe ungeleta hatia juu yetu.”

GEN 26:11 Removed trailing space in v~: Hivyo Abimeleki akatoa amri kwa watu wote, akisema, “Yeyote atakayemnyanyasa mtu huyu au mkewe hakika atauawa.”

GEN 26:12 Removed trailing space in v~: Isaki akapanda mazao katika nchi hiyo, kwa mwaka huo huo, akavuna mara mia, kwa sababu \nd Bwana\nd* alimbariki.

GEN 26:13 Removed trailing space in v~: Isaki akawa tajiri, mali zake zikaendelea kuongezeka mpaka akawa tajiri sana.

GEN 26:14 Removed trailing space in v~: Akawa na mifugo ya kondoo na ngʼombe, na watumishi wengi sana, kiasi kwamba Wafilisti wakamwonea wivu.

GEN 26:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo visima vyote vilivyochimbwa na watumishi wakati wa Abrahamu baba yake, Wafilisti wakavifukia, wakavijaza udongo.

GEN 26:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Abimeleki akamwambia Isaki, “Ondoka kwetu, kwa maana umetuzidi nguvu sana.”

GEN 26:17 Removed trailing space in v~: Basi Isaki akatoka huko akajenga kambi katika Bonde la Gerari, akaishi huko.

GEN 26:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Isaki akavichimbua tena vile visima vya maji ambavyo vilichimbwa siku zile za Abrahamu baba yake, ambavyo Wafilisti walivifukia baada ya kufa Abrahamu, akavipa majina yale yale ambayo baba yake alikuwa amevipa.

GEN 26:19 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Isaki wakachimba katika lile bonde wakagundua huko kisima chenye maji safi.

GEN 26:20 Removed trailing space in v~: Lakini wachungaji wa Gerari wakagombana na wachungaji wa Isaki wakisema, “Maji haya ni yetu!” Ndipo akakiita kile kisima Eseki,\f + \fr 26:20 \ft Eseki maana yake ni Ugomvi.\f* kwa sababu waligombana naye.

GEN 26:21 Removed trailing space in v~: Kisha wakachimba kisima kingine, lakini hata hicho pia wakakigombania, akakiita Sitna.\f + \fr 26:21 \ft Sitna maana yake Upinzani.\f*

GEN 26:22 Removed trailing space in v~: Akaondoka huko, akachimba kisima kingine, wala hakuna yeyote aliyekigombania. Akakiita Rehobothi,\f + \fr 26:22 \ft Rehobothi maana yake ni Mungu ametufanyia nafasi.\f* akisema, “Sasa \nd Bwana\nd* ametufanyia nafasi, nasi tutastawi katika nchi.”

GEN 26:23 Removed trailing space in v~: Kutoka pale akaenda Beer-Sheba.

GEN 26:24 Removed trailing space in v~: Usiku ule \nd Bwana\nd* akamtokea, akamwambia, “Mimi ndimi Mungu wa Abrahamu baba yako. Usiogope, kwa maana mimi niko pamoja nawe, nitakubariki na kuongeza idadi ya wazao wako kwa ajili ya Abrahamu mtumishi wangu.”

GEN 26:25 Removed trailing space in v~: Isaki akajenga madhabahu huko, akaliitia jina la \nd Bwana\nd*. Akapiga hema lake huko, nao watumishi wake wakachimba kisima.

GEN 26:26 Removed trailing space in v~: Wakati huo, Abimeleki alikuwa amemjia kutoka Gerari, akifuatana na Ahuzathi mshauri wake, pamoja na Fikoli jemadari wa majeshi yake.

GEN 26:27 Removed trailing space in v~: Isaki akawauliza, “Mbona mmekuja kwangu na ninyi mlinichukia na kunifukuza?”

GEN 26:28 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Tuliona wazi kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja nawe, kwa hiyo tukasema, ‘Inabidi kuwe na kiapo cha mapatano kati yetu, kati yetu na wewe. Na tufanye mkataba pamoja nawe

GEN 26:29 Removed trailing space in v~: kwamba hutatudhuru, kama jinsi nasi hatukuwanyanyasa bali tuliwatendea mema wakati wote na kuwaondoa kwetu kwa amani. Tena sasa umebarikiwa na \nd Bwana\nd*.’ ”

GEN 26:30 Removed trailing space in v~: Basi Isaki akawaandalia karamu, nao wakala na kunywa.

GEN 26:31 Removed trailing space in v~: Kesho yake asubuhi na mapema, wakaapizana wao kwa wao. Kisha Isaki akawaruhusu waende zao, wakamwacha Isaki kwa amani.

GEN 26:32 Removed trailing space in v~: Siku hiyo watumishi wa Isaki wakaja wakampa habari kuhusu kisima walichokuwa wamekichimba, wakamwambia, “Tumepata maji!”

GEN 26:33 Removed trailing space in v~: Naye akakiita Shiba,\f + \fr 26:33 \ft Shiba kwa Kiebrania maana yake ni Saba.\f* mpaka leo mji huo unaitwa Beer-Sheba.\f + \fr 26:33 \ft Beer-Sheba maana yake ni Kisima cha wale saba, yaani wale kondoo saba ambao Abrahamu aliwatoa kama ushahidi kati yake na Abimeleki.\f*

GEN 26:34 Removed trailing space in v~: Esau alipokuwa na umri wa miaka arobaini, akamwoa Yudithi binti Beeri Mhiti, kisha akamwoa Basemathi binti Eloni Mhiti.

GEN 26:35 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa chanzo cha huzuni ya Isaki na Rebeka.

GEN 27:0 Extra space after chapter number

GEN 27:0 Removed trailing space in c: 27

GEN 27:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Anaipata Baraka Ya Isaki

GEN 27:1 Removed trailing space in v~: Isaki alipokuwa mzee na macho yake yalipokuwa yamekosa nguvu asiweze kuona tena, akamwita Esau mwanawe mkubwa, akamwambia, “Mwanangu.”

GEN 27:1 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Mimi hapa.”

GEN 27:2 Removed trailing space in v~: Isaki akasema, “Mimi sasa ni mzee na sijui siku ya kifo changu.

GEN 27:3 Removed trailing space in v~: Sasa basi, chukua silaha zako, podo na upinde, uende nyikani, ukawinde nyama pori kwa ajili yangu.

GEN 27:4 Removed trailing space in v~: Uniandalie aina ya chakula kitamu nikipendacho uniletee nile, ili niweze kukubariki kabla sijafa.”

GEN 27:5 Removed trailing space in v~: Basi Rebeka alikuwa akisikiliza Isaki alipokuwa akizungumza na mwanawe Esau. Esau alipoondoka kwenda nyikani kuwinda nyama pori na kuleta,

GEN 27:6 Removed trailing space in v~: Rebeka akamwambia Yakobo mwanawe, “Tazama, nimemsikia baba yako akimwambia ndugu yako Esau,

GEN 27:7 Removed trailing space in v~: ‘Niletee mawindo, kisha ukaniandalie chakula kitamu nile, ili niweze kukubariki mbele za \nd Bwana\nd* kabla sijafa.’

GEN 27:8 Removed trailing space in v~: Sasa, mwanangu, nisikilize kwa makini na ufanye yale ninayokuambia:

GEN 27:9 Removed trailing space in v~: Nenda sasa katika kundi ukaniletee wana-mbuzi wawili wazuri, ili niandalie chakula kitamu kwa ajili ya baba yako, kama vile anavyopenda.

GEN 27:10 Removed trailing space in v~: Kisha umpelekee baba yako ale, ili apate kukubariki kabla hajafa.”

GEN 27:11 Removed trailing space in v~: Yakobo akamwambia Rebeka mama yake, “Lakini ndugu yangu Esau ana nywele mwilini, mimi nina ngozi nyororo.

GEN 27:12 Removed trailing space in v~: Itakuwaje kama baba yangu akinigusa? Itaonekana kwake kama niliyemfanyia ujanja na kuleta laana juu yangu badala ya baraka.”

GEN 27:13 Removed trailing space in v~: Mama yake akamwambia, “Mwanangu, laana na iwe juu yangu. Fanya tu ninalokuambia, nenda ukaniletee hao wana-mbuzi.”

GEN 27:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo alikwenda akawaleta, akampa mama yake, akaandaa chakula kitamu, kama vile alivyopenda baba yake.

GEN 27:15 Removed trailing space in v~: Kisha Rebeka akachukua nguo nzuri za Esau mwanawe wa kwanza, alizokuwa nazo nyumbani, akamvika Yakobo mwanawe mdogo.

GEN 27:16 Removed trailing space in v~: Pia akamfunika mikononi na sehemu laini ya shingo kwa ngozi za mbuzi.

GEN 27:17 Removed trailing space in v~: Hatimaye akampa Yakobo hicho chakula kitamu pamoja na mkate aliouoka.

GEN 27:18 Removed trailing space in v~: Akamwendea baba yake akasema, “Baba yangu.”

GEN 27:18 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Naam, mwanangu, wewe ni nani?”

GEN 27:19 Removed trailing space in v~: Yakobo akamwambia baba yake, “Mimi ni Esau mzaliwa wako wa kwanza. Nimefanya kama ulivyoniambia. Tafadhali uketi, ule sehemu ya mawindo yangu ili uweze kunibariki.”

GEN 27:20 Removed trailing space in v~: Isaki akamuuliza mwanawe. “Umepataje haraka namna hii, mwanangu?”

GEN 27:20 Removed trailing space in p~: Akajibu, “\nd Bwana\nd* Mungu wako amenifanikisha.”

GEN 27:21 Removed trailing space in v~: Kisha Isaki akamwambia Yakobo, “Mwanangu tafadhali sogea karibu nami ili nikupapase, nione kama hakika ndiwe Esau mwanangu, au la.”

GEN 27:22 Removed trailing space in v~: Yakobo akasogea karibu na baba yake Isaki, ambaye alimpapasa na kusema, “Sauti ni ya Yakobo, bali mikono ni ya Esau.”

GEN 27:23 Removed trailing space in v~: Hakumtambua, kwa sababu mikono yake ilikuwa na nywele kama ya ndugu yake Esau, kwa hiyo akambariki.

GEN 27:24 Removed trailing space in v~: Akamuuliza, “Hivi kweli wewe ni mwanangu Esau?”

GEN 27:24 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Mimi ndiye.”

GEN 27:25 Removed trailing space in v~: Kisha akasema, “Mwanangu, niletee sehemu ya mawindo yako nile, ili nipate kukubariki.”

GEN 27:25 Removed trailing space in p~: Yakobo akamletea naye akala, akamletea na divai akanywa.

GEN 27:26 Removed trailing space in v~: Kisha Isaki baba yake akamwambia, “Njoo hapa, mwanangu, unibusu.”

GEN 27:27 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akamwendea akambusu. Isaki aliposikia harufu ya nguo zake, akambariki, akasema,

GEN 27:27 Removed trailing space in p~: “Aha, harufu ya mwanangu

GEN 27:27 Removed trailing space in p~: ni kama harufu ya shamba

GEN 27:27 Removed trailing space in p~: ambalo \nd Bwana\nd* amelibariki.

GEN 27:28 Removed trailing space in v~: Mungu na akupe umande kutoka mbinguni

GEN 27:28 Removed trailing space in p~: na utajiri wa duniani:

GEN 27:28 Removed trailing space in p~: wingi wa nafaka na divai mpya.

GEN 27:29 Removed trailing space in v~: Mataifa na yakutumikie

GEN 27:29 Removed trailing space in p~: na mataifa yakusujudie.

GEN 27:29 Removed trailing space in p~: Uwe bwana juu ya ndugu zako,

GEN 27:29 Removed trailing space in p~: na wana wa mama yako wakusujudie.

GEN 27:29 Removed trailing space in p~: Walaaniwe wale wakulaanio,

GEN 27:29 Removed trailing space in p~: nao wale wakubarikio wabarikiwe.”

GEN 27:30 Removed trailing space in v~: Baada ya Isaki kumaliza kumbariki na baada tu ya Yakobo kuondoka kwa baba yake, ndugu yake Esau akaingia kutoka mawindoni.

GEN 27:31 Removed trailing space in v~: Naye pia akaandaa chakula kitamu akamletea baba yake. Kisha akamwambia, “Baba yangu, keti ule sehemu ya mawindo yangu, ili upate kunibariki.”

GEN 27:32 Removed trailing space in v~: Isaki baba yake akamuuliza, “Wewe ni nani?”

GEN 27:32 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Mimi ni mwanao, mzaliwa wako wa kwanza, Esau.”

GEN 27:33 Removed trailing space in v~: Isaki akatetemeka kwa nguvu sana, akasema, “Alikuwa nani basi, ambaye aliwinda mawindo akaniletea? Nilikula kabla tu hujaja na nikambariki, naye hakika atabarikiwa!”

GEN 27:34 Removed trailing space in v~: Esau aliposikia maneno haya ya baba yake, akalia sauti kubwa na ya uchungu, na kumwambia baba yake, “Nibariki mimi, mimi pia, baba yangu!”

GEN 27:35 Removed trailing space in v~: Lakini akasema, “Ndugu yako amekuja kwa udanganyifu na akachukua baraka yako.”

GEN 27:36 Removed trailing space in v~: Esau akasema, “Si ndiyo sababu anaitwa Yakobo? Amenidanganya mara hizi mbili: Alichukua haki yangu ya kuzaliwa na sasa amechukua baraka yangu!” Kisha akauliza, “Hukubakiza hata baraka moja kwa ajili yangu?”

GEN 27:37 Removed trailing space in v~: Isaki akamjibu Esau, “Nimemfanya yeye kuwa bwana juu yako, pia nimewafanya ndugu zako wote kuwa watumishi wake, nimemtegemeza kwa nafaka na divai mpya. Sasa nitaweza kukufanyia nini, mwanangu?”

GEN 27:38 Removed trailing space in v~: Esau akamwambia baba yake, “Je, baba yangu una baraka moja tu? Unibariki mimi pia, baba yangu!” Kisha Esau akalia kwa sauti kubwa.

GEN 27:39 Removed trailing space in v~: Baba yake Isaki akamjibu, akamwambia,

GEN 27:39 Removed trailing space in p~: “Makao yako yatakuwa

GEN 27:39 Removed trailing space in p~: mbali na utajiri wa dunia,

GEN 27:39 Removed trailing space in p~: mbali na umande wa mbinguni juu.

GEN 27:40 Removed trailing space in v~: Utaishi kwa upanga,

GEN 27:40 Removed trailing space in p~: nawe utamtumikia ndugu yako,

GEN 27:40 Removed trailing space in p~: lakini wakati utakapokuwa umejikomboa,

GEN 27:40 Removed trailing space in p~: utatupa nira yake

GEN 27:40 Removed trailing space in p~: kutoka shingoni mwako.”

GEN 27:40 Removed trailing space in s1: Yakobo Anakimbilia Kwa Labani

GEN 27:41 Removed trailing space in v~: Esau akawa na kinyongo dhidi ya Yakobo kwa ajili ya baraka ambazo baba yake alikuwa amembariki. Akasema moyoni mwake, “Siku za kuomboleza kwa ajili ya baba yangu zimekaribia, ndipo nitamuua ndugu yangu Yakobo.”

GEN 27:42 Removed trailing space in v~: Rebeka alipokwisha kuambiwa yale aliyoyasema Esau mwanawe mkubwa, alimwita Yakobo mwanawe mdogo, akamwambia, “Ndugu yako Esau anajifariji kwa wazo la kukuua.

GEN 27:43 Removed trailing space in v~: Sasa basi, mwanangu, fanya nisemalo: Kimbilia haraka kwa Labani ndugu yangu kule Harani.

GEN 27:44 Removed trailing space in v~: Ukae naye kwa muda mpaka ghadhabu ya ndugu yako itulie.

GEN 27:45 Removed trailing space in v~: Wakati ndugu yako atakapokuwa hana hasira nawe tena na amesahau uliyomtendea, nitakupelekea ujumbe urudi. Kwa nini niwapoteze wote wawili kwa siku moja?”

GEN 27:46 Removed trailing space in v~: Kisha Rebeka akamwambia Isaki, “Nimechukia kuishi kwa sababu ya hawa wanawake wa Kihiti. Ikiwa Yakobo ataoa mke miongoni mwa wanawake wa nchi hii, wanawake wa Kihiti kama hawa, sitakuwa na faida kuendelea kuishi.”

GEN 28:0 Extra space after chapter number

GEN 28:0 Removed trailing space in c: 28

GEN 28:1 Removed trailing space in v~: Basi Isaki akamwita Yakobo, akambariki na akamwamuru, akisema, “Usioe mwanamke wa Kikanaani.

GEN 28:2 Removed trailing space in v~: Nenda mara moja mpaka Padan-Aramu, kwenye nyumba ya Bethueli baba wa mama yako. Uchukue mke kati ya binti za Labani ambaye ni ndugu wa mama yako.

GEN 28:3 Removed trailing space in v~: Mungu Mwenyezi\f + \fr 28:3 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* na akubariki uwe na uzao uongezeke idadi yako upate kuwa jamii kubwa ya watu.

GEN 28:4 Removed trailing space in v~: Na akupe wewe na uzao wako baraka aliyopewa Abrahamu, upate kumiliki nchi unayoishi sasa kama mgeni, nchi ambayo Mungu alimpa Abrahamu.”

GEN 28:5 Removed trailing space in v~: Kisha Isaki akamuaga Yakobo, naye akaenda Padan-Aramu, kwa Labani mwana wa Bethueli Mwaramu, ndugu wa Rebeka, aliyekuwa mama wa Yakobo na Esau.

GEN 28:6 Removed trailing space in v~: Sasa Esau akajua kuwa Isaki amembariki Yakobo na kumtuma kwenda Padan-Aramu ili achukue mke huko na kwamba alipombariki alimwamuru akisema, “Usioe mke katika binti za Wakanaani,”

GEN 28:7 Removed trailing space in v~: tena kwamba Yakobo amewatii baba yake na mama yake naye amekwenda Padan-Aramu.

GEN 28:8 Removed trailing space in v~: Esau akatambua jinsi ambavyo baba yake Isaki anavyowachukia binti za Wakanaani.

GEN 28:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Esau akaenda kwa Ishmaeli, akamwoa Mahalati, ndugu wa Nebayothi na binti wa Ishmaeli mwana wa Abrahamu, kuongezea wale wake wengine aliokuwa nao.

GEN 28:9 Removed trailing space in s1: Ndoto Ya Yakobo Huko Betheli

GEN 28:10 Removed trailing space in v~: Yakobo akatoka Beer-Sheba kwenda Harani.

GEN 28:11 Removed trailing space in v~: Alipofika mahali fulani, akalala hapo kwa sababu jua lilikuwa limetua. Akachukua jiwe moja la mahali pale, akaliweka chini ya kichwa chake akajinyoosha akalala usingizi.

GEN 28:12 Removed trailing space in v~: Akaota ndoto ambayo aliona ngazi imesimamishwa juu ya ardhi, ncha yake ikiwa imefika mbinguni na malaika wa Mungu wakawa wakipanda na kushuka juu yake.

GEN 28:13 Removed trailing space in v~: Juu yake alisimama \nd Bwana\nd*, akasema, “Mimi ni \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba yako Abrahamu na Mungu wa Isaki. Nchi ambayo umelala juu yake, nitakupa wewe na uzao wako.

GEN 28:14 Removed trailing space in v~: Uzao wako utakuwa kama mavumbi ya nchi, nawe utaenea upande wa magharibi na mashariki, kaskazini na kusini. Kupitia wewe na uzao wako mataifa yote ya duniani yatabarikiwa.

GEN 28:15 Removed trailing space in v~: Niko pamoja nawe nami nitakulinda kila uendako na nitakurudisha katika nchi hii. Sitakuacha mpaka nitakapofanya hayo niliyokuahidi.”

GEN 28:16 Removed trailing space in v~: Yakobo alipoamka kutoka usingizini, akawaza, “Hakika \nd Bwana\nd* yuko mahali hapa, wala mimi sikujua.”

GEN 28:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akaogopa, akasema, “Mahali hapa panatisha kama nini! Bila shaka hapa ndipo nyumba ya Mungu ilipo, hili ni lango la mbinguni.”

GEN 28:18 Removed trailing space in v~: Asubuhi yake na mapema, Yakobo akalichukua lile jiwe aliloliweka chini ya kichwa chake, akalisimamisha kama nguzo na kumimina mafuta juu yake.

GEN 28:19 Removed trailing space in v~: Mahali pale akapaita Betheli,\f + \fr 28:19 \ft Betheli maana yake Nyumba ya Mungu.\f* ingawa mji ule hapo kwanza uliitwa Luzu.

GEN 28:20 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akaweka nadhiri, akisema, “Kama Mungu akiwa pamoja nami na kunilinda katika safari niendayo, akinipa chakula nile na nguo nivae

GEN 28:21 Removed trailing space in v~: na nirudi salama nyumbani kwa baba yangu, hapo ndipo \nd Bwana\nd* atakuwa Mungu wangu,

GEN 28:22 Removed trailing space in v~: nalo jiwe hili nililolisimamisha kama nguzo litakuwa nyumba ya Mungu na katika yote utakayonipa nitakutolea wewe sehemu ya kumi.”

GEN 29:0 Extra space after chapter number

GEN 29:0 Removed trailing space in c: 29

GEN 29:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Awasili Padan-Aramu

GEN 29:1 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akaendelea na safari yake na akafika kwenye nchi za mataifa ya mashariki.

GEN 29:2 Removed trailing space in v~: Huko akaona kisima katika shamba, pamoja na makundi matatu ya kondoo yamelala karibu na kisima hicho kwa sababu walikuwa wanakunywa maji kutoka kwenye kisimani hicho. Jiwe lililokuwa mdomoni mwa kisima lilikuwa kubwa.

GEN 29:3 Removed trailing space in v~: Wakati kondoo wanapokuwa wamekusanyika hapo, wachungaji huvingirisha jiwe hilo kutoka kwenye mdomo wa kisima na kunywesha kondoo. Kisha hulirudisha jiwe mahali pake juu ya mdomo wa kisima.

GEN 29:4 Removed trailing space in v~: Yakobo aliwauliza wachungaji, “Ndugu zangu, ninyi mmetoka wapi?”

GEN 29:4 Removed trailing space in p~: Wakamjibu, “Tumetoka Harani.”

GEN 29:5 Removed trailing space in v~: Aliwaambia, “Je, mnamjua Labani, mjukuu wa Nahori?”

GEN 29:5 Removed trailing space in p~: Wakamjibu, “Ndiyo, tunamfahamu.”

GEN 29:6 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akawauliza, “Je, yeye ni mzima?”

GEN 29:6 Removed trailing space in p~: Wakasema, “Ndiyo, ni mzima, na hapa yuaja Raheli binti yake akiwa na kondoo.”

GEN 29:7 Removed trailing space in v~: Akasema, “Tazama, jua bado liko juu, si wakati wa kukusanya mifugo. Nywesheni kondoo na mwarudishe malishoni.”

GEN 29:8 Removed trailing space in v~: Walijibu, “Haiwezekani, mpaka kondoo wote wakusanyike na jiwe liwe limevingirishwa kutoka mdomo wa kisima. Ndipo tutanywesha kondoo.”

GEN 29:9 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akizungumza nao, Raheli akaja pamoja na kondoo wa baba yake, kwa maana alikuwa mchunga kondoo.

GEN 29:10 Removed trailing space in v~: Yakobo alipomwona Raheli binti Labani, ndugu wa mama yake, pamoja na kondoo wa Labani, alikwenda na kulivingirisha jiwe kutoka mdomoni mwa kisima na kuwanywesha kondoo wa mjomba wake.

GEN 29:11 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akambusu Raheli na akaanza kulia kwa sauti.

GEN 29:12 Removed trailing space in v~: Yakobo alikuwa amemwambia Raheli kuwa yeye alikuwa jamaa ya baba yake, na kwamba ni mwana wa Rebeka. Basi Raheli alikimbia na kumweleza baba yake.

GEN 29:13 Removed trailing space in v~: Mara Labani aliposikia habari kuhusu Yakobo, mwana wa ndugu yake, aliharakisha kwenda kumlaki. Akamkumbatia na kumbusu, halafu akamleta nyumbani kwake, kisha Yakobo akamwambia mambo yote.

GEN 29:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Labani akamwambia, “Wewe ni nyama yangu na damu yangu mwenyewe.”

GEN 29:14 Removed trailing space in s1: Yakobo Awaoa Lea Na Raheli

GEN 29:14 Removed trailing space in p~: Baada ya Yakobo kukaa kwa Labani mwezi mzima,

GEN 29:15 Removed trailing space in v~: Labani akamwambia, “Kwa vile wewe ni jamaa yangu, ndiyo sababu unifanyie kazi bila ujira? Niambie ujira wako utakuwa nini.”

GEN 29:16 Removed trailing space in v~: Labani alikuwa na binti wawili, binti mkubwa aliitwa Lea na binti mdogo aliitwa Raheli.

GEN 29:17 Removed trailing space in v~: Lea alikuwa na macho dhaifu, lakini Raheli alikuwa na umbo la kupendeza na mzuri wa sura.

GEN 29:18 Removed trailing space in v~: Yakobo akampenda Raheli, akamwambia Labani, “Nitakutumikia kwa miaka saba kwa ajili ya kumpata Raheli binti yako mdogo.”

GEN 29:19 Removed trailing space in v~: Labani akasema, “Ni bora zaidi nikupe Raheli kuliko kumpa mtu mwingine yeyote. Kaa pamoja na mimi hapa.”

GEN 29:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yakobo akatumika miaka saba ili kumpata Raheli, lakini ilionekana kwake kama siku chache tu kwa sababu ya upendo wake kwa Raheli.

GEN 29:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Yakobo akamwambia Labani, “Nipe mke wangu. Muda wangu umekamilika, nami nataka nikutane naye kimwili.”

GEN 29:22 Removed trailing space in v~: Basi Labani akaalika watu wote wa mahali pale na akafanya karamu.

GEN 29:23 Removed trailing space in v~: Lakini ilipofika jioni, akamchukua Lea binti yake akampa Yakobo, naye Yakobo akakutana naye kimwili.

GEN 29:24 Removed trailing space in v~: Naye Labani akamtoa Zilpa, mtumishi wake wa kike, kuwa mtumishi wa Lea, binti yake.

GEN 29:25 Removed trailing space in v~: Kesho yake asubuhi, Yakobo akagundua kuwa amepewa Lea! Basi Yakobo akamwambia Labani, “Ni jambo gani hili ulilonitendea? Nilikutumikia kwa ajili ya Raheli, sivyo? Kwa nini umenidanganya?”

GEN 29:26 Removed trailing space in v~: Labani akajibu, “Si desturi yetu kumwoza binti mdogo kabla ya kumwoza binti mkubwa.

GEN 29:27 Removed trailing space in v~: Maliza juma la arusi ya binti huyu, kisha pia nitakupa huyu binti mdogo, kwa kutumika miaka mingine saba.”

GEN 29:28 Removed trailing space in v~: Naye Yakobo akafanya hivyo. Akamaliza juma na Lea, kisha Labani akampa Raheli binti yake kuwa mke wake.

GEN 29:29 Removed trailing space in v~: Labani akamtoa Bilha mtumishi wake wa kike kwa Raheli ili kuwa mtumishi wake.

GEN 29:30 Removed trailing space in v~: Pia Yakobo akakutana na Raheli kimwili, naye akampenda Raheli zaidi kuliko Lea. Yakobo akamtumikia Labani kwa miaka mingine saba.

GEN 29:30 Removed trailing space in s1: Wana Wa Yakobo

GEN 29:31 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipoona kwamba Lea hapendwi, akampa watoto, lakini Raheli alikuwa tasa.

GEN 29:32 Removed trailing space in v~: Lea akapata mimba akazaa mwana. Akamwita Reubeni,\f + \fr 29:32 \ft Reubeni maana yake Ona mwana, yaani Yehova ameangalia taabu yangu.\f* kwa maana alisema, “Ni kwa sababu \nd Bwana\nd* ameona huzuni yangu. Hakika mume wangu sasa atanipenda.”

GEN 29:33 Removed trailing space in v~: Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Kwa sababu \nd Bwana\nd* alisikia kwamba sipendwi, amenipa tena huyu mwana.” Kwa hiyo akamwita Simeoni.\f + \fr 29:33 \ft Simeoni maana yake Anasikia, yaani sasa ataungana nami kama Raheli.\f*

GEN 29:34 Removed trailing space in v~: Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Sasa afadhali mume wangu ataambatana na mimi, kwa sababu nimemzalia wana watatu.” Kwa hiyo akamwita Lawi.\f + \fr 29:34 \ft Lawi maana yake Nimeunganishwa, yaani na mume wangu.\f*

GEN 29:35 Removed trailing space in v~: Akapata tena mimba, naye alipozaa mwana, akasema, “Wakati huu nitamsifu \nd Bwana\nd*.” Kwa hiyo akamwita Yuda.\f + \fr 29:35 \ft Yuda maana yake Sifa, yaani Nitamsifu Yehova.\f* Kisha akaacha kuzaa watoto.

GEN 30:0 Extra space after chapter number

GEN 30:0 Removed trailing space in c: 30

GEN 30:1 Removed trailing space in v~: Raheli alipoona hamzalii Yakobo watoto, akamwonea ndugu yake wivu. Hivyo akamwambia Yakobo, “Nipe watoto, la sivyo nitakufa!”

GEN 30:2 Removed trailing space in v~: Yakobo akamkasirikia, akamwambia, “Je, mimi ni badala ya Mungu, ambaye amekuzuia usizae watoto?”

GEN 30:3 Removed trailing space in v~: Ndipo Raheli akamwambia, “Hapa yupo Bilha, mtumishi wangu wa kike. Kutana naye kimwili ili aweze kunizalia watoto na kwa kupitia yeye mimi pia niweze kuwa na uzao.”

GEN 30:4 Removed trailing space in v~: Hivyo Raheli akampa Yakobo Bilha awe mke wake. Yakobo akakutana naye kimwili,

GEN 30:5 Removed trailing space in v~: Bilha akapata mimba, naye akamzalia Yakobo mwana.

GEN 30:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Raheli akasema, “Mungu amenipa haki yangu, amesikiliza maombi yangu na kunipa mwana.” Kwa sababu hiyo akamwita Dani.\f + \fr 30:6 \ft Dani maana yake Anahukumu, yaani Mungu amenipa haki yangu.\f*

GEN 30:7 Removed trailing space in v~: Bilha mtumishi wa kike wa Raheli akapata mimba tena, akamzalia Yakobo mwana wa pili.

GEN 30:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Raheli akasema, “Nilikuwa na mashindano makubwa na ndugu yangu, nami nimeshinda.” Kwa hiyo akamwita Naftali.\f + \fr 30:8 \ft Naftali maana yake Nimeshindana nami nimeshinda.\f*

GEN 30:9 Removed trailing space in v~: Lea alipoona kuwa amekoma kuzaa watoto, alimchukua mtumishi wake wa kike Zilpa, naye akampa Yakobo awe mke wake.

GEN 30:10 Removed trailing space in v~: Mtumishi wa Lea yaani Zilpa, akamzalia Yakobo mwana.

GEN 30:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Lea akasema, “Hii ni bahati nzuri aje!” Kwa hiyo akamwita Gadi.

GEN 30:12 Removed trailing space in v~: Mtumishi wa kike wa Lea akamzalia Yakobo mwana wa pili.

GEN 30:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Lea aliposema, “Jinsi gani nilivyo na furaha! Wanawake wataniita furaha.” Kwa hiyo akamwita Asheri.\f + \fr 30:13 \ft Asheri maana yake Nimefurahi, yaani Mungu amenifurahisha.\f*

GEN 30:14 Removed trailing space in v~: Wakati wa kuvuna ngano, Reubeni akaenda shambani akakuta tunguja, ambazo alizileta kwa Lea mama yake. Raheli akamwambia Lea, “Tafadhali nakuomba unipe baadhi ya tunguja za mwanao.”

GEN 30:15 Removed trailing space in v~: Lakini Lea akamwambia, “Haikukutosha kumtwaa mume wangu? Je, utachukua na tunguja za mwanangu pia?”

GEN 30:15 Removed trailing space in p~: Raheli akasema, “Vema sana! Yakobo atakutana nawe kimwili leo usiku, kwa malipo ya tunguja za mwanao.”

GEN 30:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yakobo alipokuja kutoka shambani jioni ile, Lea akaenda kumlaki, akamwambia, “Lazima ukutane nami kimwili. Nimekukodisha kwa tunguja za mwanangu.” Kwa hiyo akakutana naye kimwili usiku ule.

GEN 30:17 Removed trailing space in v~: Mungu akamsikiliza Lea, naye akapata mimba akamzalia Yakobo mwana wa tano.

GEN 30:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Lea akasema, “Mungu amenizawadia kwa kumpa mume wangu mtumishi wangu wa kike.” Kwa hiyo akamwita Isakari.\f + \fr 30:18 \ft Isakari maana yake Zawadi, yaani Mungu amenizawadia.\f*

GEN 30:19 Removed trailing space in v~: Lea akapata mimba tena akamzalia Yakobo mwana wa sita.

GEN 30:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Lea aliposema, “Mungu amenizawadia kwa zawadi ya thamani sana. Wakati huu mume wangu ataniheshimu kwa sababu nimemzalia wana sita.” Kwa hiyo akamwita Zabuloni.\f + \fr 30:20 \ft Zabuloni maana yake Heshima.\f*

GEN 30:21 Removed trailing space in v~: Baadaye akamzaa mtoto wa kike akamwita Dina.\f + \fr 30:21 \ft Dina maana yake Tetea haki, yaani Mungu amenitetea katika mashindano yangu.\f*

GEN 30:22 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akamkumbuka Raheli, akasikia maombi yake na akafungua tumbo lake.

GEN 30:23 Removed trailing space in v~: Akapata mimba na akamzaa mwana na kusema, “Mungu ameniondolea aibu yangu.”

GEN 30:24 Removed trailing space in v~: Akamwita Yosefu\f + \fr 30:24 \ft Yosefu maana yake Yeye na aongeze, yaani Mungu na aniongezee.\f* na kusema, “\nd Bwana\nd* na anipe mwana mwingine.”

GEN 30:24 Removed trailing space in s1: Makundi Ya Yakobo Yaongezeka

GEN 30:25 Removed trailing space in v~: Baada ya Raheli kumzaa Yosefu, Yakobo akamwambia Labani, “Nipe ruhusa nirudi katika nchi yangu.

GEN 30:26 Removed trailing space in v~: Nipe wake zangu na watoto, ambao nimetumika kuwapata, nami niende zangu. Unajua ni kazi kiasi gani ambayo nimekufanyia.”

GEN 30:27 Removed trailing space in v~: Lakini Labani akamwambia, “Ikiwa nimepata kibali machoni pako, tafadhali ukae. Nimegundua kwa njia ya uaguzi kwamba \nd Bwana\nd* amenibariki kwa sababu yako.”

GEN 30:28 Removed trailing space in v~: Akaongeza kumwambia, “Taja ujira wako nami nitakulipa.”

GEN 30:29 Removed trailing space in v~: Yakobo akamwambia, “Unajua jinsi ambavyo nimekutumikia na jinsi ambavyo wanyama wako walivyolishwa vizuri chini ya uangalizi wangu.

GEN 30:30 Removed trailing space in v~: Kidogo ulichokuwa nacho kabla sijaja kimeongezeka sana, naye \nd Bwana\nd* amekubariki popote nilipokuwa. Lakini sasa, ni lini nitashughulikia mambo ya nyumba yangu mwenyewe?”

GEN 30:31 Removed trailing space in v~: Labani akamuuliza, “Nikupe nini?”

GEN 30:31 Removed trailing space in p~: Yakobo akamjibu, “Usinipe chochote lakini kama utanifanyia jambo hili moja, nitaendelea kuchunga na kuyaangalia makundi yako.

GEN 30:32 Removed trailing space in v~: Niruhusu nipite katika makundi yako yote leo niondoe humo kila kondoo mwenye mabakabaka au madoadoa, kila mwana-kondoo mweusi na kila mbuzi mwenye madoadoa au mabakabaka. Hawa watakuwa ujira wangu.

GEN 30:33 Removed trailing space in v~: Uadilifu wangu utanishuhudia siku zijazo, kila utakapochunguza ujira ambao umenilipa mimi. Mbuzi yeyote wangu ambaye hana mabakabaka wala madoadoa, au mwana-kondoo ambaye si mweusi, atahesabika ameibwa.”

GEN 30:34 Removed trailing space in v~: Labani akasema, “Ninakubali na iwe kama ulivyosema.”

GEN 30:35 Removed trailing space in v~: Siku ile ile Yakobo akawaondoa beberu wote waliokuwa na mistari au madoadoa na mbuzi wake wote waliokuwa na mistari au madoadoa (wote waliokuwa na alama nyeupe juu yao) na wana-kondoo weusi wote, akawaweka chini ya uangalizi wa wanawe.

GEN 30:36 Removed trailing space in v~: Kisha Labani akamwacha Yakobo kwa mwendo wa safari ya siku tatu kati yake na Yakobo, wakati Yakobo akiendelea kuchunga lile kundi la Labani lililobaki.

GEN 30:37 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Yakobo, akachukua fito mbichi zilizokatwa wakati huo huo za miti ya mlubna, mlozi na mwaramoni akazibambua ili mistari myeupe ionekane katika fito hizo.

GEN 30:38 Removed trailing space in v~: Kisha akaweka fito alizozibambua kwenye mabirika yote ya kunyweshea mifugo, ili ziwe mbele ya makundi walipokuja kunywa maji. Wanyama walipokuja kunywa maji, hali wakiwa wanahitaji mbegu,

GEN 30:39 Removed trailing space in v~: wakapandwa hizo fito zikiwa mbele yao. Wanyama waliopata mimba mbele ya hizo fito walizaa wanyama wenye mistari, madoadoa na mabakabaka.

GEN 30:40 Removed trailing space in v~: Yakobo akawatenga wadogo wa kundi peke yao, lakini akazielekeza nyuso za hao waliobaki kwenye wale wenye mistari na weusi waliokuwa mali ya Labani. Hivyo akatenga makundi yake mwenyewe, na wala hakuwachanganya na wanyama wa Labani.

GEN 30:41 Removed trailing space in v~: Kila mara wanyama wenye nguvu walipohitaji mbegu, Yakobo aliweka zile fito kwenye mabirika mbele ya hao wanyama, ili wapandwe karibu na hizo fito,

GEN 30:42 Removed trailing space in v~: lakini ikiwa wanyama walikuwa wadhaifu hakuziweka hizo fito. Hivyo wanyama wadhaifu wakawa wa Labani, na wanyama wenye nguvu wakawa wa Yakobo.

GEN 30:43 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii Yakobo akastawi sana, tena akawa na makundi makubwa, watumishi wa kike na wa kiume na ngamia na punda.

GEN 31:0 Extra space after chapter number

GEN 31:0 Removed trailing space in c: 31

GEN 31:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Akimbia Kutoka Kwa Labani

GEN 31:1 Removed trailing space in v~: Yakobo akawasikia wana wa Labani wakisema, “Yakobo amechukua kila kitu kilichokuwa cha baba yetu naye amepata utajiri huu wote kutokana na vile vilivyokuwa mali ya baba yetu.”

GEN 31:2 Removed trailing space in v~: Yakobo akatambua kwamba moyo wa Labani kwake haukuwa kama ulivyokuwa mwanzo.

GEN 31:3 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Yakobo, “Rudi katika nchi ya baba zako na kwa watu wako, nami nitakuwa pamoja nawe.”

GEN 31:4 Removed trailing space in v~: Hivyo Yakobo akatuma ujumbe kwa Raheli na Lea waje machungani yalikokuwa makundi yake.

GEN 31:5 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Naona moyo wa baba yenu kwangu sivyo kama ulivyokuwa mwanzoni, lakini Mungu wa baba yangu amekuwa pamoja nami.

GEN 31:6 Removed trailing space in v~: Mnajua kwamba nimemtumikia baba yenu kwa nguvu zangu zote,

GEN 31:7 Removed trailing space in v~: hata hivyo baba yenu amenidanganya kwa kubadilisha ujira wangu mara kumi. Hata hivyo, Mungu hakumruhusu kunidhuru.

GEN 31:8 Removed trailing space in v~: Kama alisema, ‘Wenye madoadoa watakuwa ujira wako,’ basi makundi yote yalizaa wenye madoadoa, kama alisema, ‘Wenye mistari watakuwa ujira wako,’ basi makundi yote yalizaa wenye mistari.

GEN 31:9 Removed trailing space in v~: Hivyo Mungu amechukua mifugo ya baba yenu na amenipa mimi.

GEN 31:10 Removed trailing space in v~: “Wakati fulani majira ya kuzaliana niliota ndoto ambayo niliinua macho na kuona kwamba wale mabeberu waliokuwa wakipanda kundi walikuwa wa mistari, madoadoa na mabakabaka.

GEN 31:11 Removed trailing space in v~: Malaika wa Mungu akaniambia katika ndoto, ‘Yakobo.’ Nikamjibu, ‘Mimi hapa.’

GEN 31:12 Removed trailing space in v~: Akasema, ‘Inua macho yako uone wale mabeberu wote wanaopanda kundi wana mistari, madoadoa au mabakabaka, kwa maana nimeona yale yote ambayo Labani amekuwa akikutendea.

GEN 31:13 Removed trailing space in v~: Mimi ndiye Mungu wa Betheli, ulikomiminia ile nguzo mafuta na pale mahali uliponiwekea nadhiri. Sasa ondoka katika nchi hii mara moja urudi katika nchi uliyozaliwa.’ ”

GEN 31:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Raheli na Lea wakajibu, “Je bado tu tunalo fungu lolote katika urithi wa nyumba ya baba yetu?

GEN 31:15 Removed trailing space in v~: Je, yeye hatuhesabu sisi kama wageni? Sio kwamba ametuuza tu, bali ametumia hata na vile vilivyolipwa kwa ajili yetu.

GEN 31:16 Removed trailing space in v~: Hakika utajiri wote ambao Mungu ameuchukua kutoka kwa baba yetu ni mali yetu na watoto wetu. Hivyo fanya lolote lile Mungu alilokuambia.”

GEN 31:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Yakobo akawapandisha watoto wake na wake zake juu ya ngamia,

GEN 31:18 Removed trailing space in v~: naye akawaswaga wanyama wote mbele yake pamoja na vitu vyote alivyokuwa amechuma huko Padan-Aramu kwenda kwa baba yake Isaki katika nchi ya Kanaani.

GEN 31:19 Removed trailing space in v~: Labani alipokuwa amekwenda kukata kondoo wake manyoya, Raheli aliiba miungu ya nyumba ya baba yake.

GEN 31:20 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Yakobo alimdanganya Labani Mwaramu kwa kutokumwambia kwamba anakimbia.

GEN 31:21 Removed trailing space in v~: Hivyo akakimbia pamoja na vitu vyote alivyokuwa navyo na kuvuka Mto Frati akaelekea nchi ya vilima katika Gileadi.

GEN 31:21 Removed trailing space in s1: Labani Amfuatilia Yakobo

GEN 31:22 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu Labani akaambiwa kwamba Yakobo amekimbia.

GEN 31:23 Removed trailing space in v~: Akiwachukua jamaa zake, akamfuatia Yakobo kwa siku saba na kumkuta kwenye nchi ya vilima katika Gileadi.

GEN 31:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akamjia Labani Mwaramu katika ndoto usiku na kumwambia, “Jihadhari usiseme neno lolote kwa Yakobo, liwe zuri au baya.”

GEN 31:25 Removed trailing space in v~: Yakobo alikuwa amepiga hema lake katika nchi ya vilima katika Gileadi wakati Labani alipomkuta, Labani na jamaa yake wakapiga kambi huko pia.

GEN 31:26 Removed trailing space in v~: Ndipo Labani akamwambia Yakobo, “Umefanya nini? Umenidanganya na umewachukua binti zangu kama mateka katika vita.

GEN 31:27 Removed trailing space in v~: Kwa nini ulikimbia kwa siri na kunidanganya? Kwa nini hukuniambia ili nikuage kwa furaha na nyimbo za matari na vinubi?

GEN 31:28 Removed trailing space in v~: Hata hukuniruhusu niwabusu wajukuu zangu na kuwaaga binti zangu. Umefanya kitu cha kipumbavu.

GEN 31:29 Removed trailing space in v~: Nina uwezo wa kukudhuru, lakini usiku uliopita Mungu wa baba yako alisema nami, akaniambia, ‘Jihadhari, usiseme neno lolote kwa Yakobo liwe zuri au baya.’

GEN 31:30 Removed trailing space in v~: Sasa umeondoka kwa sababu umetamani kurudi nyumbani kwa baba yako. Lakini kwa nini umeiba miungu yangu?”

GEN 31:31 Removed trailing space in v~: Yakobo akamjibu Labani, “Niliogopa, kwa sababu nilifikiri ungeweza kuninyangʼanya binti zako kwa nguvu.

GEN 31:32 Removed trailing space in v~: Lakini kama ukimkuta yeyote aliye na miungu yako, hataishi. Mbele ya jamaa yetu, angalia mwenyewe uone kama kuna chochote chako hapa nilicho nacho, kama kipo, kichukue.” Basi Yakobo hakujua kwamba Raheli alikuwa ameiba hiyo miungu.

GEN 31:33 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Labani akaingia ndani ya hema la Yakobo na ndani ya hema la Lea na ndani ya hema la watumishi wawili wa kike, lakini hakukuta chochote. Baadaye alipotoka katika hema la Lea, akaingia hema la Raheli.

GEN 31:34 Removed trailing space in v~: Basi Raheli ndiye alikuwa amechukua ile miungu ya nyumbani kwao na kuiweka katika matandiko ya ngamia na kukalia. Labani akatafuta kila mahali kwenye hema lakini hakupata chochote.

GEN 31:35 Removed trailing space in v~: Raheli akamwambia baba yake, “Usikasirike, bwana wangu kwa kuwa siwezi kusimama ukiwepo, niko katika hedhi.” Labani akatafuta lakini hakuweza kuipata miungu ya nyumbani kwake.

GEN 31:36 Removed trailing space in v~: Yakobo akakasirika na kumshutumu Labani, akisema, “Uhalifu wangu ni nini?” Akamuuliza Labani, “Ni dhambi gani niliyofanya hata unaniwinda?

GEN 31:37 Removed trailing space in v~: Sasa kwa kuwa umepekua vitu vyangu vyote umepata nini kilicho cha nyumbani mwako? Kiweke hapa mbele ya jamaa yako na yangu, nao waamue kati yetu sisi wawili.

GEN 31:38 Removed trailing space in v~: “Mpaka sasa nimekuwa pamoja nawe miaka ishirini. Kondoo wako na mbuzi wako hawajaharibu mimba, wala sijala kondoo dume kutoka makundi yako.

GEN 31:39 Removed trailing space in v~: Sikukuletea mfugo aliyeraruliwa na wanyama pori, nilibeba hasara mimi mwenyewe. Tena ulinidai malipo kwa chochote kilichoibwa mchana au usiku.

GEN 31:40 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo iliyokuwa hali yangu: Niliumia kwa joto la mchana na baridi usiku, pia usingizi ulinipa.

GEN 31:41 Removed trailing space in v~: Ilikuwa hivi kwa miaka ile ishirini niliyokuwa nyumbani kwako. Nilikutumikia miaka ile kumi na minne kwa ajili ya binti zako wawili, miaka sita kwa ajili ya makundi yako, nawe ulibadilisha ujira wangu mara kumi.

GEN 31:42 Removed trailing space in v~: Kama Mungu wa baba yangu, Mungu wa Abrahamu na Hofu ya Isaki, hakuwa pamoja nami, hakika ungenifukuza mikono mitupu. Lakini Mungu ameona taabu yangu na kazi ngumu ya mikono yangu, naye usiku uliopita amekukemea.”

GEN 31:43 Removed trailing space in v~: Labani akamjibu Yakobo, “Wanawake hawa ni binti zangu, watoto hawa ni watoto wangu na makundi haya ni makundi yangu. Vyote unavyoviona ni vyangu. Lakini hata hivyo ninaweza kufanya nini kuhusu hawa binti zangu, au kuhusu watoto waliowazaa?

GEN 31:44 Removed trailing space in v~: Njoo sasa na tufanye agano, wewe na mimi, na liwe kama shahidi kati yetu.”

GEN 31:45 Removed trailing space in v~: Hivyo Yakobo akachukua jiwe, akalisimamisha kama nguzo.

GEN 31:46 Removed trailing space in v~: Akawaambia jamaa yake, “Kusanyeni mawe.” Hivyo wakachukua mawe na kuyakusanya yakawa lundo, wakala chakula hapo karibu na hilo lundo.

GEN 31:47 Removed trailing space in v~: Labani akaliita Yegar-Sahadutha\f + \fr 31:47 \ft Yegar-Sahadutha maana yake ni Lundo la ushahidi kwa Kiaramu.\f* na Yakobo akaliita Galeedi.\f + \fr 31:47 \ft Galeedi maana yake ni Lundo la ushahidi kwa Kiebrania.\f*

GEN 31:48 Removed trailing space in v~: Labani akasema, “Lundo hili ni shahidi kati yako na mimi leo.” Ndiyo maana likaitwa Galeedi.

GEN 31:49 Removed trailing space in v~: Pia liliitwa Mispa,\f + \fr 31:49 \ft Mispa maana yake Mnara wa ulinzi.\f* kwa sababu alisema, “\nd Bwana\nd* na aweke ulinzi kati yako na mimi wakati kila mmoja akiwa mbali na mwingine.

GEN 31:50 Removed trailing space in v~: Kama ukiwatenda mabaya binti zangu au ukioa wake wengine zaidi ya binti zangu, hata ingawa hakuna hata mmoja aliye pamoja nasi, kumbuka kwamba Mungu ni shahidi kati yako na mimi.”

GEN 31:51 Removed trailing space in v~: Pia Labani akamwambia Yakobo, “Hili ndilo lundo, na hii ndiyo nguzo niliyoisimamisha kati yako na mimi.

GEN 31:52 Removed trailing space in v~: Lundo hili ni shahidi na nguzo hii ni shahidi, kwamba sitavuka lundo hili kuja upande wako kukudhuru, nawe kwamba hutavuka lundo hili na nguzo hii kuja upande wangu kunidhuru.

GEN 31:53 Removed trailing space in v~: Mungu wa Abrahamu na Mungu wa Nahori, Mungu wa baba zao, aamue kati yetu.”

GEN 31:53 Removed trailing space in p~: Hivyo Yakobo akaapa kwa jina la Hofu ya baba yake Isaki.

GEN 31:54 Removed trailing space in v~: Yakobo akatoa dhabihu juu ya kilima na akawaalika jamaa zake kula chakula. Baada ya kula, wakalala huko.

GEN 31:55 Removed trailing space in v~: Kesho yake asubuhi na mapema, Labani akawabusu wajukuu zake, binti zake na kuwabariki. Kisha akaondoka, akarudi nyumbani.

GEN 32:0 Extra space after chapter number

GEN 32:0 Removed trailing space in c: 32

GEN 32:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Ajiandaa Kukutana Na Esau

GEN 32:1 Removed trailing space in v~: Yakobo pia akaondoka akaenda zake, nao malaika wa Mungu wakakutana naye.

GEN 32:2 Removed trailing space in v~: Yakobo alipowaona, akasema, “Hii ni kambi ya Mungu!” Kwa hiyo akapaita mahali pale Mahanaimu.\f + \fr 32:2 \ft Mahanaimu maana yake Kambi mbili.\f*

GEN 32:3 Removed trailing space in v~: Yakobo akatuma wajumbe kumtangulia kwa Esau ndugu yake huko Seiri, katika nchi ya Edomu.

GEN 32:4 Removed trailing space in v~: Akawaagiza akisema: “Hili ndilo mtakalomwambia bwana wangu Esau: ‘Mtumishi wako Yakobo anasema, nimekuwa nikiishi pamoja na Labani na nimekuwako huko mpaka sasa.

GEN 32:5 Removed trailing space in v~: Ninao ngʼombe na punda, kondoo na mbuzi, watumishi wa kiume na wa kike. Sasa ninatuma ujumbe huu kwa bwana wangu, ili nipate kibali machoni pako.’ ”

GEN 32:6 Removed trailing space in v~: Wajumbe waliporudi kwa Yakobo, wakamwambia, “Tulikwenda kuonana na ndugu yako Esau, naye sasa anakuja kukulaki akifuatana na wanaume 400.”

GEN 32:7 Removed trailing space in v~: Kwa hofu kuu na huzuni, Yakobo akagawanya watu aliokuwa nao katika makundi mawili, pia akagawanya makundi ya kondoo na mbuzi, na vilevile ngʼombe na ngamia.

GEN 32:8 Removed trailing space in v~: Yakobo alifikiri, “Kama Esau akija na kushambulia kundi moja, kundi lililobaki litaweza likanusurika.”

GEN 32:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Yakobo akaomba, “Ee Mungu wa baba yangu Abrahamu, Mungu wa baba yangu Isaki, Ee \nd Bwana\nd*, ambaye uliniambia, ‘Rudi katika nchi yako na jamaa yako, nami nitakufanya ustawi,’

GEN 32:10 Removed trailing space in v~: mimi sistahili fadhili na uaminifu wako wote ulionitendea mimi mtumishi wako. Nilikuwa na fimbo tu mkononi mwangu nilipovuka mto huu wa Yordani, lakini sasa ninayo makundi mawili.

GEN 32:11 Removed trailing space in v~: Nakuomba, uniokoe na mkono wa ndugu yangu Esau, kwa maana ninaogopa kuwa atakuja kunishambulia, pia mama pamoja na watoto wao.

GEN 32:12 Removed trailing space in v~: Lakini umeshasema, ‘Hakika nitakufanya ustawi na kuufanya uzao wako kuwa mwingi kama mchanga wa baharini ambao hauwezi kuhesabika!’ ”

GEN 32:13 Removed trailing space in v~: Akalala pale usiku ule, miongoni mwa vitu alivyokuwa navyo, akachagua zawadi kwa ajili ya Esau ndugu yake:

GEN 32:14 Removed trailing space in v~: Mbuzi waume ishirini na mbuzi wake 200, kondoo dume ishirini na kondoo wake 200.

GEN 32:15 Removed trailing space in v~: Ngamia wake thelathini pamoja na ndama zao, ngʼombe wake arobaini na mafahali kumi, punda wake ishirini na punda waume kumi.

GEN 32:16 Removed trailing space in v~: Akaviweka chini ya uangalizi wa watumishi wake, kila kundi peke yake na kuwaambia, “Nitangulieni na kuacha nafasi kati ya makundi.”

GEN 32:17 Removed trailing space in v~: Akamwagiza yule aliyetangulia kuwa, “Ndugu yangu Esau atakapokutana nawe na kukuuliza, ‘Wewe ni wa nani? Unakwenda wapi? Wanyama hawa wote mbele yako ni mali ya nani?’

GEN 32:18 Removed trailing space in v~: Ndipo utakaposema, ‘Ni mali ya mtumishi wako Yakobo. Ni zawadi ambazo zimetumwa kwa bwana wangu Esau, naye anakuja nyuma yetu.’ ”

GEN 32:19 Removed trailing space in v~: Akamwagiza pia yule mtumishi wa kundi la pili, la tatu na yale mengine yote yaliyofuata akiwaambia, “Mtamwambia Esau maneno hayo hayo mtakapokutana naye.

GEN 32:20 Removed trailing space in v~: Hakikisheni mmesema, ‘Mtumishi wako Yakobo anakuja nyuma yetu.’ ” Kwa kuwa alifikiri, “Nitaweza kumtuliza kwa zawadi hizi ninazotanguliza, hatimaye, nitakapomwona, huenda atanikubali.”

GEN 32:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo zawadi za Yakobo zilitangulia mbele yake, lakini yeye mwenyewe alilala kambini usiku ule.

GEN 32:21 Removed trailing space in s1: Yakobo Ashindana Mweleka Na Mungu

GEN 32:22 Removed trailing space in v~: Usiku ule Yakobo akaamka akawachukua wake zake wawili, watumishi wake wawili wa kike na wanawe kumi na mmoja na akavuka kivuko cha Yaboki.

GEN 32:23 Removed trailing space in v~: Baada ya kuwavusha ngʼambo ya kijito, alivusha pia mali zake zote.

GEN 32:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yakobo akaachwa peke yake na mtu mmoja akashikana naye mweleka mpaka mapambazuko.

GEN 32:25 Removed trailing space in v~: Yule mtu alipoona kuwa hawezi kumshinda, aligusa kiungio cha nyonga ya Yakobo kwa hiyo nyonga yake ikateguka wakati alipokuwa akishikana mweleka na yule mtu.

GEN 32:26 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mtu akasema, “Niache niende, kwa kuwa ni mapambazuko.”

GEN 32:26 Removed trailing space in p~: Lakini Yakobo akajibu, “Sitakuacha uende usiponibariki.”

GEN 32:27 Removed trailing space in v~: Yule mtu akamuuliza, “Jina lako nani?”

GEN 32:27 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Yakobo.”

GEN 32:28 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mtu akasema, “Jina lako halitakuwa tena Yakobo, bali Israeli,\f + \fr 32:28 \ft Israeli maana yake Yeye ashindanaye na Mungu.\f* kwa sababu umeshindana na Mungu na watu pia, nawe umeshinda.”

GEN 32:29 Removed trailing space in v~: Yakobo akasema, “Tafadhali niambie jina lako.”

GEN 32:29 Removed trailing space in p~: Lakini akajibu, “Kwa nini kuniuliza Jina langu?” Ndipo akambariki huko.

GEN 32:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yakobo akapaita mahali pale Penieli,\f + \fr 32:30 \ft Penieli maana yake Uso wa Mungu, ambalo ni sawa na Penueli kwa Kiebrania.\f* akasema, “Ni kwa sababu nimemwona Mungu uso kwa uso na bado maisha yangu yameokoka.”

GEN 32:31 Removed trailing space in v~: Jua lilikuwa linachomoza Yakobo alipoondoka Penueli, naye alikuwa akichechemea kwa sababu ya nyonga yake.

GEN 32:32 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mpaka leo Waisraeli hawali mshipa ulioungana na kiungio cha nyonga, kwa sababu kiungio cha nyonga ya Yakobo kiliteguliwa karibu na mshipa huo.

GEN 33:0 Extra space after chapter number

GEN 33:0 Removed trailing space in c: 33

GEN 33:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Akutana Na Esau

GEN 33:1 Removed trailing space in v~: Yakobo akainua macho akamwona Esau akija na watu wake 400, kwa hiyo akawagawanya watoto kati ya Lea, Raheli na wale watumishi wake wawili wa kike.

GEN 33:2 Removed trailing space in v~: Akawaweka wale watumishi wa kike na watoto wao mbele, Lea na watoto wake wakafuata, Raheli na Yosefu wakaja nyuma.

GEN 33:3 Removed trailing space in v~: Yeye mwenyewe akatangulia mbele na kusujudu mara saba alipomkaribia ndugu yake.

GEN 33:4 Removed trailing space in v~: Lakini Esau akamkimbilia Yakobo kumlaki na kumkumbatia, akamwangukia shingoni na kumbusu. Nao wakalia.

GEN 33:5 Removed trailing space in v~: Esau akainua macho akawaona wale wanawake na watoto. Akauliza, “Hawa uliofuatana nao ni nani?”

GEN 33:5 Removed trailing space in p~: Yakobo akamjibu, “Ni watoto ambao Mungu amempa mtumishi wako kwa neema.”

GEN 33:6 Removed trailing space in v~: Kisha wale watumishi wa kike na watoto wao wakakaribia na kusujudu.

GEN 33:7 Removed trailing space in v~: Kisha Lea na watoto wake wakaja na kusujudu. Mwisho wa wote wakaja Yosefu na Raheli, nao pia wakasujudu.

GEN 33:8 Removed trailing space in v~: Esau akauliza, “Una maana gani kuhusu makundi hayo yote niliyokutana nayo?”

GEN 33:8 Removed trailing space in p~: Akasema, “Ni ili kupata kibali machoni pako, bwana wangu.”

GEN 33:9 Removed trailing space in v~: Lakini Esau akamwambia, “Ndugu yangu, tayari nina wingi wa mali. Ulivyo navyo viwe vyako mwenyewe.”

GEN 33:10 Removed trailing space in v~: Yakobo akasema, “La hasha! Tafadhali, kama nimepata kibali machoni pako, upokee zawadi hii kutoka kwangu. Kwa maana kuuona uso wako, ni kama kuuona uso wa Mungu, kwa kuwa umenipokea kwa takabali kubwa.

GEN 33:11 Removed trailing space in v~: Tafadhali ukubali zawadi iliyoletwa kwako, kwa kuwa Mungu amenineemesha na ninavyo vyote ninavyohitaji.” Kwa sababu Yakobo alisisitiza, Esau akapokea.

GEN 33:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Esau akasema, “Na tuendelee na safari, nitakuwa pamoja nawe.”

GEN 33:13 Removed trailing space in v~: Lakini Yakobo akamwambia, “Bwana wangu unajua kwamba watoto ni wachanga na kwamba ni lazima nitunze hawa kondoo wake na ngʼombe wanaonyonyesha. Wakipelekwa kwa haraka hata kama ni kwa siku moja tu, wanyama wote watakufa.

GEN 33:14 Removed trailing space in v~: Hivyo bwana wangu umtangulie mtumishi wako, wakati mimi nikija polepole kwa mwendo wa makundi yaliyo mbele yangu na mwendo wa watoto, mpaka nifike kwa bwana wangu huko Seiri.”

GEN 33:15 Removed trailing space in v~: Esau akamwambia, “Basi na niwaache baadhi ya watu wangu pamoja nawe.”

GEN 33:15 Removed trailing space in p~: Yakobo akauliza, “Lakini kwa nini ufanye hivyo, niache tu nipate kibali machoni pa bwana wangu.”

GEN 33:16 Removed trailing space in v~: Hivyo siku hiyo Esau akashika njia akarudi Seiri.

GEN 33:17 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo, Yakobo akaenda Sukothi,\f + \fr 33:17 \ft Sukothi maana yake Vibanda.\f* mahali alipojijengea makazi kwa ajili yake na mabanda kwa ajili ya mifugo yake. Hii ndiyo sababu sehemu ile inaitwa Sukothi.

GEN 33:18 Removed trailing space in v~: Baada ya Yakobo kutoka Padan-Aramu, alifika salama katika mji wa Shekemu huko Kanaani na kuweka kambi yake karibu na mji.

GEN 33:19 Removed trailing space in v~: Akanunua kiwanja kutoka kwa wana wa Hamori, baba wa Shekemu, kwa bei ya vipande mia vya fedha, ambapo alipiga hema lake.

GEN 33:20 Removed trailing space in v~: Pale akajenga madhabahu na kupaita El-Elohe-Israeli.\f + \fr 33:20 \ft El-Elohe-Israeli maana yake Mungu, Mungu wa Israeli au Mwenye Nguvu ni Mungu wa Israeli.\f*

GEN 34:0 Extra space after chapter number

GEN 34:0 Removed trailing space in c: 34

GEN 34:0 Removed trailing space in s1: Dina Na Washekemu

GEN 34:1 Removed trailing space in v~: Basi Dina, binti wa Yakobo aliyezaliwa na Lea, akatoka nje kuwatembelea wanawake wa nchi ile.

GEN 34:2 Removed trailing space in v~: Ikawa Shekemu mwana wa Hamori Mhivi, mtawala wa eneo lile alipomwona, akamchukua na kumnajisi.

GEN 34:3 Removed trailing space in v~: Moyo wake ukavutwa sana kwa Dina binti Yakobo, akampenda huyu msichana na akazungumza naye kwa kumbembeleza.

GEN 34:4 Removed trailing space in v~: Shekemu akamwambia baba yake Hamori, “Nipatie msichana huyu awe mke wangu.”

GEN 34:5 Removed trailing space in v~: Yakobo aliposikia kwamba binti yake Dina amenajisiwa, wanawe walikuwa mashambani wakichunga mifugo yake, kwa hiyo akalinyamazia jambo hilo mpaka waliporudi nyumbani.

GEN 34:6 Removed trailing space in v~: Kisha Hamori baba yake Shekemu akaenda kuzungumza na Yakobo.

GEN 34:7 Removed trailing space in v~: Basi wana wa Yakobo walikuwa wamerudi kutoka mashambani mara tu waliposikia kilichotokea. Walikuwa wamejawa na huzuni na ghadhabu, kwa sababu Shekemu alikuwa amefanya jambo la aibu katika Israeli kwa kukutana kimwili na binti wa Yakobo, kitu ambacho hakingepasa kufanyika.

GEN 34:8 Removed trailing space in v~: Lakini Hamori akawaambia, “Moyo wa mwanangu Shekemu umeelekea kwa binti yenu. Tafadhali mpeni awe mke wake.

GEN 34:9 Removed trailing space in v~: Oaneni na sisi, tupeni binti zenu, nanyi mchukue binti zetu.

GEN 34:10 Removed trailing space in v~: Mwaweza kuishi katikati yetu, nchi ni wazi kwenu. Ishini ndani yake, fanyeni biashara humu na mjipatie mali.”

GEN 34:11 Removed trailing space in v~: Kisha Shekemu akamwambia baba yake Dina pamoja na ndugu zake, “Na nipate kibali machoni penu, nami nitawapa chochote mtakachosema.

GEN 34:12 Removed trailing space in v~: Niambieni kiasi cha mahari na zawadi nitakayoileta, hata iwe kubwa kiasi gani, nami nitawalipa chochote mtakachodai. Nipeni tu huyu msichana awe mke wangu.”

GEN 34:13 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ndugu yao Dina alikuwa amenajisiwa, wana wa Yakobo wakajibu kwa udanganyifu walipozungumza na Shekemu pamoja na baba yake Hamori.

GEN 34:14 Removed trailing space in v~: Wakawaambia, “Hatuwezi kufanya jambo kama hili, hatuwezi kumtoa dada yetu kwa mtu ambaye hakutahiriwa. Hiyo itakuwa aibu kwetu.

GEN 34:15 Removed trailing space in v~: Tutakuruhusu kwa sharti moja tu, kwamba mtakuwa kama sisi kwa kuwatahiri wanaume wenu wote.

GEN 34:16 Removed trailing space in v~: Kisha tutawapa binti zetu na sisi tutawachukua binti zenu. Tutaishi kwenu na tutakuwa watu wamoja nanyi.

GEN 34:17 Removed trailing space in v~: Lakini mkikataa kutahiriwa, tutamchukua ndugu yetu na kuondoka.”

GEN 34:18 Removed trailing space in v~: Pendekezo lao likawa jema kwa Hamori na Shekemu mwanawe.

GEN 34:19 Removed trailing space in v~: Kijana mdogo, ambaye alikuwa ameheshimiwa kati ya wote walioishi nyumbani mwa baba yake, hakupoteza muda kufanya waliyoyasema, kwa sababu alikuwa amependezwa sana na binti Yakobo.

GEN 34:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Hamori na Shekemu mwanawe walikwenda kwenye lango la mji kuzungumza na wenzao wa mjini.

GEN 34:21 Removed trailing space in v~: Wakasema, “Hawa watu ni marafiki kwetu, tuwaruhusu waishi katika nchi yetu na kufanya biashara ndani yake, nchi ina nafasi tele kwa ajili yao. Tunaweza kuoa binti zao. Nao wanaweza kuoa binti zetu.

GEN 34:22 Removed trailing space in v~: Lakini watu hao watakuwa tayari kukubali kuishi nasi kama watu wamoja nao kwa sharti kwamba wanaume wetu watahiriwe, kama wao.

GEN 34:23 Removed trailing space in v~: Je, si mifugo yao, mali zao na wanyama wao wengine wote watakuwa wetu? Basi na tuwape kibali, nao wataishi miongoni mwetu.”

GEN 34:24 Removed trailing space in v~: Wanaume wote waliotoka nje ya lango la mji walikubaliana na Hamori na Shekemu mwanawe na kila mwanaume katika mji ule akatahiriwa.

GEN 34:25 Removed trailing space in v~: Baada ya siku tatu, wakati wote wakiwa wangali katika maumivu, wana wawili wa Yakobo, yaani Simeoni na Lawi, ndugu zake Dina, wakachukua panga zao na kuvamia mji ambao haukutazamia vita, wakaua kila mwanaume.

GEN 34:26 Removed trailing space in v~: Wakawaua Hamori na Shekemu mwanawe kwa upanga kisha wakamchukua Dina kutoka nyumba ya Shekemu na kuondoka.

GEN 34:27 Removed trailing space in v~: Wana wa Yakobo walipita juu ya maiti katika kuteka nyara mji ule ambamo dada yao alikuwa amenajisiwa.

GEN 34:28 Removed trailing space in v~: Wakachukua kondoo na mbuzi, ngʼombe, punda na kila kitu kilichokuwa chao ndani ya mji ule na mashambani.

GEN 34:29 Removed trailing space in v~: Walichukua utajiri wao wote pamoja na wanawake na watoto wao, wakachukua nyara kila kitu ndani ya nyumba zao.

GEN 34:30 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akawaambia Simeoni na Lawi, “Mmeleta taabu kwangu kwa kunifanya ninuke kama uvundo kwa Wakanaani na Waperizi, watu waishio katika nchi hii. Sisi ni wachache, kama wakiunganisha nguvu zao dhidi yangu na kunishambulia, mimi na nyumba yangu tutaangamizwa.”

GEN 34:31 Removed trailing space in v~: Lakini wakamjibu, “Je, ilikuwa vyema kumtendea dada yetu kama kahaba?”

GEN 35:0 Extra space after chapter number

GEN 35:0 Removed trailing space in c: 35

GEN 35:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Arudi Betheli

GEN 35:1 Removed trailing space in v~: Kisha Mungu akamwambia Yakobo, “Panda uende Betheli ukakae huko na ukamjengee Mungu madhabahu huko, Yeye aliyekutokea ulipokuwa unamkimbia Esau ndugu yako.”

GEN 35:2 Removed trailing space in v~: Hivyo Yakobo akawaambia watu wa nyumbani mwake pamoja na wote waliokuwa naye, “Iondoeni miungu ya kigeni ile iliyoko katikati yenu, jitakaseni na mkabadilishe nguo zenu.

GEN 35:3 Removed trailing space in v~: Kisha njooni, twende Betheli, mahali nitakapomjengea Mungu madhabahu, aliyenijibu katika siku ya shida yangu, ambaye amekuwa pamoja nami popote nilipokwenda.”

GEN 35:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakampa Yakobo miungu yote ya kigeni waliyokuwa nayo, pamoja na pete zilizokuwa masikioni mwao. Yakobo akavizika chini ya mti wa mwaloni huko Shekemu.

GEN 35:5 Removed trailing space in v~: Kisha wakaondoka, na hofu ya Mungu ikawapata miji yote iliyowazunguka. Kwa hiyo hakuna aliyewafuatia wana wa Yakobo.

GEN 35:6 Removed trailing space in v~: Yakobo na watu wote waliokuwa pamoja naye wakafika Luzu (ndio Betheli), katika nchi ya Kanaani.

GEN 35:7 Removed trailing space in v~: Huko akajenga madhabahu na akapaita mahali pale El-Betheli,\f + \fr 35:7 \ft El-Betheli maana yake Mungu wa Betheli.\f* kwa sababu mahali pale ndipo Mungu alipojifunua kwake alipokuwa akimkimbia ndugu yake.

GEN 35:8 Removed trailing space in v~: Wakati huu Debora, mlezi wa Rebeka, akafa na akazikwa chini ya mti wa mwaloni ulioko chini ya Betheli. Kwa hiyo pakaitwa Alon-Bakuthi.\f + \fr 35:8 \ft Alon-Bakuthi maana yake Mwaloni wa Kilio.\f*

GEN 35:9 Removed trailing space in v~: Baada ya Yakobo kurudi kutoka Padan-Aramu, Mungu alimtokea tena na kumbariki.

GEN 35:10 Removed trailing space in v~: Mungu akamwambia, “Jina lako ni Yakobo, lakini hutaitwa tena Yakobo, jina lako utakuwa Israeli.” Kwa hiyo akamwita Israeli.

GEN 35:11 Removed trailing space in v~: Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu Mwenyezi,\f + \fr 35:11 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* ukazae na kuongezeka. Taifa na jamii ya mataifa itatoka kwako, nao wafalme watatoka viunoni mwako.

GEN 35:12 Removed trailing space in v~: Nchi niliyowapa Abrahamu na Isaki nakupa wewe pia, nami nitawapa wazao wako baada yako.”

GEN 35:13 Removed trailing space in v~: Kisha Mungu akapanda juu kutoka kwake mahali pale alipozungumza naye.

GEN 35:14 Removed trailing space in v~: Yakobo akasimamisha nguzo ya jiwe mahali pale Mungu alipozungumza naye, akamimina sadaka ya kinywaji juu yake, pia akamimina mafuta juu yake.

GEN 35:15 Removed trailing space in v~: Yakobo akapaita mahali pale Mungu alipozungumza naye Betheli.\f + \fr 35:15 \ft Betheli maana yake Nyumba ya Mungu.\f*

GEN 35:15 Removed trailing space in s1: Vifo Vya Raheli Na Isaki

GEN 35:16 Removed trailing space in v~: Kisha wakaondoka Betheli. Walipokuwa umbali fulani kabla ya kufika Efrathi, Raheli akaanza kusikia uchungu na alipata shida kuu.

GEN 35:17 Removed trailing space in v~: Alipokuwa katika shida hii katika kujifungua, mkunga akamwambia, “Usiogope, kwa sababu umempata mwana mwingine.”

GEN 35:18 Removed trailing space in v~: Hapo alipopumua pumzi yake ya mwisho, kwa maana alikuwa akifa, akamwita mwanawe Benoni.\f + \fr 35:18 \ft Benoni maana yake Mwana wa huzuni yangu.\f* Lakini babaye akamwita Benyamini.\f + \fr 35:18 \ft Benyamini maana yake Mwana wa mkono wangu wa kuume.\f*

GEN 35:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Raheli akafa, akazikwa kando ya njia iendayo Efrathi (ndio Bethlehemu).

GEN 35:20 Removed trailing space in v~: Juu ya kaburi lake, Yakobo akasimamisha nguzo, ambayo mpaka leo inatambulisha kaburi la Raheli.

GEN 35:21 Removed trailing space in v~: Israeli akaendelea tena na safari yake na kupiga hema mbele mnara wa Ederi.

GEN 35:22 Removed trailing space in v~: Wakati Israeli alipokuwa akiishi katika nchi ile, Reubeni mwanawe alikutana kimwili na suria wa baba yake aitwaye Bilha, naye Israeli akasikia jambo hili.

GEN 35:22 Removed trailing space in p~: Yakobo alikuwa na wana kumi na wawili:

GEN 35:23 Removed trailing space in v~: Wana wa Lea walikuwa:

GEN 35:23 Removed trailing space in p~: Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo,

GEN 35:23 Removed trailing space in p~: Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari na Zabuloni.

GEN 35:24 Removed trailing space in v~: Wana wa Raheli walikuwa:

GEN 35:24 Removed trailing space in p~: Yosefu na Benyamini.

GEN 35:25 Removed trailing space in v~: Wana waliozaliwa na Bilha mtumishi wa kike wa Raheli walikuwa:

GEN 35:25 Removed trailing space in p~: Dani na Naftali.

GEN 35:26 Removed trailing space in v~: Wana waliozaliwa na Zilpa mtumishi wa kike wa Lea walikuwa:

GEN 35:26 Removed trailing space in p~: Gadi na Asheri.

GEN 35:26 Removed trailing space in p~: Hawa walikuwa wana wa Yakobo, waliozaliwa kwake akiwa Padan-Aramu.

GEN 35:27 Removed trailing space in v~: Yakobo akarudi nyumbani kwa baba yake Isaki huko Mamre, karibu na Kiriath-Arba (yaani Hebroni), ambapo walikuwa wameishi Abrahamu na Isaki.

GEN 35:28 Removed trailing space in v~: Isaki aliishi miaka 180.

GEN 35:29 Removed trailing space in v~: Kisha Isaki akapumua pumzi yake ya mwisho akafa, akakusanywa pamoja na watu wake akiwa mzee wa miaka mingi. Nao wanawe Esau na Yakobo wakamzika.

GEN 36:0 Extra space after chapter number

GEN 36:0 Removed trailing space in c: 36

GEN 36:0 Removed trailing space in s1: Wazao Wa Esau

GEN 36:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 1:34-42)

GEN 36:1 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vizazi vya Esau (yaani Edomu).

GEN 36:2 Removed trailing space in v~: Esau akaoa wake kutoka miongoni mwa wanawake wa Kanaani: Ada binti wa Eloni Mhiti, Oholibama binti wa Ana, mjukuu wa kike wa Sibeoni Mhivi,

GEN 36:3 Removed trailing space in v~: pia akaoa Basemathi binti wa Ishmaeli, dada yake Nebayothi.

GEN 36:4 Removed trailing space in v~: Ada akamzalia Esau Elifazi, Basemathi akamzaa Reueli,

GEN 36:5 Removed trailing space in v~: Oholibama akamzaa Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wana wa Esau waliozaliwa kwake huko Kanaani.

GEN 36:6 Removed trailing space in v~: Esau akawachukua wake zake, watoto wake wa kiume na wa kike na wote wa nyumbani mwake, mifugo yake pamoja na wanyama wake wengine wote na mali yake yote ambayo alikuwa ameipata akiwa Kanaani, akahamia katika nchi iliyo mbali na Yakobo ndugu yake.

GEN 36:7 Removed trailing space in v~: Mali zao zilikuwa nyingi sana kiasi kwamba haikuwa rahisi wao kuishi pamoja, nchi waliyokuwa wakiishi isingewatosha wote kwa ajili ya mifugo yao.

GEN 36:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Esau (ambaye ni Edomu) aliishi katika nchi ya kilima huko Seiri.

GEN 36:9 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wazao wa Esau, baba wa Waedomu, katika nchi ya kilima cha Seiri.

GEN 36:10 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya wana wa Esau:

GEN 36:10 Removed trailing space in p~: Elifazi, mwana wa Esau ambaye mkewe Ada alimzalia; na Reueli, mwana wa Esau ambaye mkewe Basemathi alimzalia.

GEN 36:11 Removed trailing space in v~: Wana wa Elifazi ni:

GEN 36:11 Removed trailing space in p~: Temani, Omari, Sefo, Gatamu na Kenazi.

GEN 36:12 Removed trailing space in v~: Elifazi mwana wa Esau alikuwa pia na suria aliyeitwa Timna, ambaye alimzalia Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Ada mke wa Esau.

GEN 36:13 Removed trailing space in v~: Wana wa Reueli ni:

GEN 36:13 Removed trailing space in p~: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio waliokuwa wajukuu wa Basemathi mkewe Esau.

GEN 36:14 Removed trailing space in v~: Wana wa Oholibama binti Ana, mkewe Esau, aliyekuwa mjukuu wa Sibeoni, aliomzalia Esau ni:

GEN 36:14 Removed trailing space in p~: Yeushi, Yalamu na Kora.

GEN 36:15 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wakuu miongoni mwa wazao wa Esau:

GEN 36:15 Removed trailing space in p~: Wakuu wa wana wa Elifazi, mzaliwa wa kwanza wa Esau ni:

GEN 36:15 Removed trailing space in p~: Temani, Omari, Sefo, Kenazi,

GEN 36:16 Removed trailing space in v~: Kora, Gatamu na Amaleki. Hawa ndio waliokuwa wakuu waliotoka kwa Elifazi huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Ada.

GEN 36:17 Removed trailing space in v~: Wakuu wa wana wa Reueli, mwana wa Esau ni:

GEN 36:17 Removed trailing space in p~: Nahathi, Zera, Shama na Miza. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa Reueli huko Edomu, waliokuwa wajukuu wa kiume wa Basemathi mkewe Esau.

GEN 36:18 Removed trailing space in v~: Wakuu wa wana wa Esau ambao mkewe Oholibama alimzalia ni:

GEN 36:18 Removed trailing space in p~: Yeushi, Yalamu na Kora. Hawa ndio wakuu waliotoka kwa mke wa Esau, Oholibama binti Ana.

GEN 36:19 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wana wa Esau (ndiye Edomu), na hawa ndio waliokuwa wakuu wao.

GEN 36:20 Removed trailing space in v~: Hawa ndio walikuwa wana wa Seiri, Mhori, waliokuwa wakiishi katika nchi ile:

GEN 36:20 Removed trailing space in p~: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,

GEN 36:21 Removed trailing space in v~: Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio wana wa Seiri huko Edomu waliokuwa wakuu kwa Wahori.

GEN 36:22 Removed trailing space in v~: Wana wa Lotani walikuwa:

GEN 36:22 Removed trailing space in p~: Hori na Homamu. Timna alikuwa dada yake Lotani.

GEN 36:23 Removed trailing space in v~: Wana wa Shobali walikuwa:

GEN 36:23 Removed trailing space in p~: Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo na Onamu.

GEN 36:24 Removed trailing space in v~: Wana wa Sibeoni walikuwa:

GEN 36:24 Removed trailing space in p~: Aiya na Ana. Huyu Ana ndiye aligundua chemchemi ya maji moto jangwani alipokuwa akichunga punda za Sibeoni baba yake.

GEN 36:25 Removed trailing space in v~: Watoto wa Ana walikuwa:

GEN 36:25 Removed trailing space in p~: Dishoni na Oholibama binti wa Ana.

GEN 36:26 Removed trailing space in v~: Wana wa Dishoni walikuwa:

GEN 36:26 Removed trailing space in p~: Hemdani, Eshbani, Ithrani na Kerani.

GEN 36:27 Removed trailing space in v~: Wana wa Eseri walikuwa:

GEN 36:27 Removed trailing space in p~: Bilhani, Zaavani na Akani.

GEN 36:28 Removed trailing space in v~: Wana wa Dishani walikuwa:

GEN 36:28 Removed trailing space in p~: Usi na Arani.

GEN 36:29 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wakuu wa Wahori:

GEN 36:29 Removed trailing space in p~: Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana,

GEN 36:30 Removed trailing space in v~: Dishoni, Eseri na Dishani. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Wahori, kufuatana na makundi yao, katika nchi ya Seiri.

GEN 36:30 Removed trailing space in s1: Watawala Wa Edomu

GEN 36:30 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 1:43-54)

GEN 36:31 Removed trailing space in v~: Wafuatao ni wafalme waliotawala Edomu kabla ya mfalme yeyote wa Israeli kutawala:

GEN 36:32 Removed trailing space in v~: Bela mwana wa Beori alikuwa mfalme wa Edomu. Mji wake uliitwa Dinhaba.

GEN 36:33 Removed trailing space in v~: Bela alipofariki, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra akawa mfalme baada yake.

GEN 36:34 Removed trailing space in v~: Yobabu alipofariki, Hushamu kutoka nchi ya Watemani akawa mfalme baada yake.

GEN 36:35 Removed trailing space in v~: Hushamu alipofariki, Hadadi mwana wa Bedadi, aliyeshinda Midiani katika nchi ya Moabu, akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Avithi.

GEN 36:36 Removed trailing space in v~: Hadadi alipofariki, Samla kutoka Masreka akawa mfalme baada yake.

GEN 36:37 Removed trailing space in v~: Samla alipofariki, Shauli kutoka Rehobothi ngʼambo ya Mto Frati akawa mfalme baada yake.

GEN 36:38 Removed trailing space in v~: Shauli alipofariki, Baal-Hanani mwana wa Akbori akawa mfalme baada yake.

GEN 36:39 Removed trailing space in v~: Baal-Hanani mwana wa Akbori alipofariki, Hadadi akawa mfalme baada yake. Mji wake uliitwa Pau, na mkewe aliitwa Mehetabeli binti Matredi, binti Me-Zahabu.

GEN 36:40 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wakuu waliotokana na Esau, kwa majina, kufuatana na koo zao na nchi zao:

GEN 36:40 Removed trailing space in p~: Timna, Alva, Yethethi,

GEN 36:41 Removed trailing space in v~: Oholibama, Ela, Pinoni,

GEN 36:42 Removed trailing space in v~: Kenazi, Temani, Mibsari,

GEN 36:43 Removed trailing space in v~: Magdieli na Iramu. Hawa ndio walikuwa wakuu wa Edomu, kufuatana na makazi yao katika nchi waliyoimiliki.

GEN 36:43 Removed trailing space in p~: Huyu ndiye alikuwa Esau, baba wa Waedomu.

GEN 37:0 Extra space after chapter number

GEN 37:0 Removed trailing space in c: 37

GEN 37:0 Removed trailing space in s1: Ndoto Za Yosefu

GEN 37:1 Removed trailing space in v~: Yakobo akaishi Kanaani katika nchi ambayo baba yake alikuwa ameishi.

GEN 37:2 Removed trailing space in v~: Zifuatazo ni habari za Yakobo.

GEN 37:2 Removed trailing space in p~: Yosefu, kijana wa miaka kumi na saba, alikuwa akichunga makundi ya kondoo na mbuzi pamoja na ndugu zake wa mama wengine, yaani wana wa Bilha na wana wa Zilpa wake za baba yake, naye akawa akimletea baba yake taarifa mbaya kuhusu hao ndugu zake.

GEN 37:3 Removed trailing space in v~: Basi, Israeli akampenda Yosefu kuliko yeyote miongoni mwa kaka zake, kwani ni mwanawe wa uzeeni, akamshonea joho lililorembwa vizuri sana.

GEN 37:4 Removed trailing space in v~: Ndugu zake walipoona kwamba baba yao anampenda Yosefu kuliko yeyote mwingine miongoni mwao, walimchukia na hawakusema naye neno lolote jema.

GEN 37:5 Removed trailing space in v~: Yosefu akaota ndoto, naye alipowaeleza ndugu zake, wakamchukia zaidi.

GEN 37:6 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Sikilizeni ndoto niliyoota:

GEN 37:7 Removed trailing space in v~: Tulikuwa tukifunga miganda ya nafaka shambani, ghafula mganda wangu ukasimama wima, wakati miganda yenu ikiuzunguka na kuuinamia.”

GEN 37:8 Removed trailing space in v~: Ndugu zake wakamwambia, “Wewe unakusudia kututawala? Hivi kweli wewe utatutawala sisi?” Wakaongeza kumchukia zaidi kwa sababu ya ndoto yake pamoja na yale aliyowaambia.

GEN 37:9 Removed trailing space in v~: Kisha akaota ndoto nyingine, akawaambia ndugu zake akisema, “Sikilizeni, nimeota ndoto nyingine, wakati huu jua, mwezi na nyota kumi na moja zilikuwa zinanisujudia.”

GEN 37:10 Removed trailing space in v~: Alipomwambia baba yake pamoja na ndugu zake, baba yake akamkemea akisema, “Ni ndoto gani hii uliyoota? Hivi kweli mama yako na mimi na ndugu zako tutakuja kukusujudia wewe hadi nchi?”

GEN 37:11 Removed trailing space in v~: Ndugu zake wakamwonea wivu, lakini baba yake akaliweka jambo hilo moyoni.

GEN 37:11 Removed trailing space in s1: Yosefu Auzwa Na Ndugu Zake

GEN 37:12 Removed trailing space in v~: Basi, ndugu zake walikuwa wamekwenda kuchunga makundi ya baba yao karibu na Shekemu,

GEN 37:13 Removed trailing space in v~: naye Israeli akamwambia Yosefu, “Kama ujuavyo, ndugu zako wanachunga makundi huko karibu na Shekemu. Njoo, nitakutuma kwao.”

GEN 37:13 Removed trailing space in p~: Yosefu akajibu, “Vema sana, niko tayari.”

GEN 37:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akamwambia, “Nenda uone kama mambo yote ni salama kwa ndugu zako na makundi, kisha uniletee habari.” Ndipo akamtuma Yosefu kutoka Bonde la Hebroni.

GEN 37:14 Removed trailing space in p~: Yosefu alipofika Shekemu,

GEN 37:15 Removed trailing space in v~: mtu mmoja akamkuta akizungukazunguka mashambani na akamuuliza, “Unatafuta nini?”

GEN 37:16 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Ninawatafuta ndugu zangu. Unaweza kuniambia wanachunga wapi makundi yao?”

GEN 37:17 Removed trailing space in v~: Yule mtu akajibu, “Wamehama hapa. Nilisikia wakisema, ‘Twende Dothani.’ ”

GEN 37:17 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Yosefu akawafuatilia ndugu zake na kuwakuta karibu na Dothani.

GEN 37:18 Removed trailing space in v~: Ndugu zake walipomwona akiwa mbali, kabla hajawafikia, wakapanga shauri baya la kumuua.

GEN 37:19 Removed trailing space in v~: Wakaambiana, “Yule mwota ndoto anakuja!

GEN 37:20 Removed trailing space in v~: Njooni sasa, tumuue na kumtupa katika shimo mojawapo na tuseme kwamba mnyama mkali amemrarua. Kisha tutaona matokeo ya ndoto zake.”

GEN 37:21 Removed trailing space in v~: Reubeni aliposikia jambo hili, akajaribu kumwokoa kutoka mikononi mwao akasema, “Tusiutoe uhai wake.

GEN 37:22 Removed trailing space in v~: Tusimwage damu yoyote. Mtupeni katika shimo lililoko hapa jangwani, lakini msimguse.” Reubeni alisema hivyo ili amwokoe kutoka mikononi mwao, kisha amrudishe nyumbani kwa baba yake.

GEN 37:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yosefu alipowafikia ndugu zake, walimvua lile joho lake, lile joho lililorembwa vizuri alilokuwa amevaa.

GEN 37:24 Removed trailing space in v~: Kisha wakamchukua wakamtupa katika shimo. Wakati huo shimo lilikuwa tupu, halikuwa na maji ndani yake.

GEN 37:25 Removed trailing space in v~: Walipokaa ili wale chakula chao, wakainua macho wakaona msafara wa Waishmaeli ukija kutoka Gileadi. Ngamia wao walikuwa wamepakizwa mizigo ya vikolezo, uvumba na manemane, nao walikuwa njiani kuvipeleka Misri.

GEN 37:26 Removed trailing space in v~: Yuda akawaambia ndugu zake, “Tutafaidi nini ikiwa tutamuua ndugu yetu na kuificha damu yake?

GEN 37:27 Removed trailing space in v~: Njooni, tumuuze kwa hawa Waishmaeli. Tusimguse, kwa kuwa hata hivyo yeye ni ndugu yetu, nyama yetu na damu yetu wenyewe.” Ndugu zake wakakubali.

GEN 37:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wale wafanyabiashara Wamidiani walipofika pale, ndugu zake wakamtoa Yosefu kutoka kwenye lile shimo, na kumuuza kwa shekeli ishirini\f + \fr 37:28 \ft Shekeli 20 ni sawa na gramu 200.\f* za fedha kwa wale Waishmaeli, ambao walimpeleka Misri.

GEN 37:29 Removed trailing space in v~: Reubeni aliporudi kutazama kwenye lile shimo na kuona kwamba Yosefu hayupo, alirarua nguo zake.

GEN 37:30 Removed trailing space in v~: Akawarudia ndugu zake na kusema, “Kijana hayuko mle! Nielekee wapi sasa?”

GEN 37:31 Removed trailing space in v~: Kisha wakalichukua lile joho la Yosefu, wakachinja mbuzi na kulichovya katika damu.

GEN 37:32 Removed trailing space in v~: Wakalichukua lile joho lililorembwa vizuri na kulipeleka kwa baba yao na kusema, “Tumeliokota hili joho. Uchunguze uone kama ni la mwanao.”

GEN 37:33 Removed trailing space in v~: Baba yao akalitambua akasema, “Hili ni joho la mwanangu! Mnyama mkali amemrarua. Hakika Yosefu ameraruliwa vipande vipande.”

GEN 37:34 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akararua nguo zake, akavaa nguo ya gunia na kumwombolezea mwanawe kwa siku nyingi.

GEN 37:35 Removed trailing space in v~: Wanawe wote na binti zake wakaja kumfariji, lakini hakukubali kufarijiwa. Akasema, “Hapana, nitamwombolezea mwanangu mpaka nimfikie kaburini.” Kwa hiyo baba yake akaendelea kumlilia.

GEN 37:36 Removed trailing space in v~: Wakati ule ule, Wamidiani wakamuuza Yosefu huko Misri kwa Potifa, mmojawapo wa maafisa wa Farao, aliyekuwa mkuu wa ulinzi.

GEN 39:0 Extra space after chapter number

GEN 39:0 Removed trailing space in c: 39

GEN 39:0 Removed trailing space in s1: Yosefu Na Mke Wa Potifa

GEN 39:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu Yosefu alikuwa amechukuliwa mpaka Misri. Mmisri aliyeitwa Potifa aliyekuwa mmojawapo wa maafisa wa Farao, mkuu wa ulinzi, akamnunua Yosefu kutoka kwa Waishmaeli waliomleta Misri.

GEN 39:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja na Yosefu, naye akastawi, Yosefu akaishi nyumbani kwa bwana wake Mmisri.

GEN 39:3 Removed trailing space in v~: Potifa alipoona kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja na Yosefu na kwamba \nd Bwana\nd* alimfanikisha kwa kila kitu alichokifanya,

GEN 39:4 Removed trailing space in v~: Yosefu alipata kibali machoni pa Potifa, akamfanya mhudumu wake. Potifa akamweka kuwa msimamizi wa nyumba yake, naye akamkabidhi kuwa mwangalizi wa kila kitu alichokuwa nacho.

GEN 39:5 Removed trailing space in v~: Kuanzia wakati huo Potifa alipomweka Yosefu kuwa msimamizi wa nyumba na mali zake zote alizokuwa nazo, \nd Bwana\nd* aliibariki nyumba ya Mmisri huyo kwa sababu ya Yosefu. Baraka ya \nd Bwana\nd* ilikuwa juu ya kila kitu alichokuwa nacho Potifa, nyumbani na shambani.

GEN 39:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Potifa akamwachia Yosefu uangalizi wa kila kitu alichokuwa nacho, Yosefu alipokuwa katika uongozi, Potifa hakuwa na sababu ya kujishughulisha na kitu chochote isipokuwa chakula alichokula.

GEN 39:6 Removed trailing space in p~: Yosefu alikuwa mwenye umbo zuri na sura ya kuvutia;

GEN 39:7 Removed trailing space in v~: baada ya kitambo mke wa Potifa akamtamani Yosefu, akamwambia, “Njoo, ukutane nami kimwili!”

GEN 39:8 Removed trailing space in v~: Lakini Yosefu akakataa. Akamwambia yule mwanamke, “Mimi nikiwa katika uongozi, bwana wangu hahusiki na kitu chochote katika nyumba hii, kila kitu alicho nacho amenikabidhi.

GEN 39:9 Removed trailing space in v~: Hapa nyumbani hakuna aliye mkuu kuliko mimi. Bwana wangu hakunizuilia kitu chochote isipokuwa wewe, kwa kuwa wewe ni mke wake. Nitawezaje basi kufanya uovu huu na kutenda dhambi dhidi ya Mungu?”

GEN 39:10 Removed trailing space in v~: Ingawa yule mwanamke aliendelea kumshawishi Yosefu siku baada ya siku, Yosefu alikataa kukutana naye kimwili wala kukaa karibu naye.

GEN 39:11 Removed trailing space in v~: Siku moja Yosefu akaingia ndani ya nyumba kufanya kazi zake, wala hapakuwepo na mfanyakazi yeyote ndani ya nyumba.

GEN 39:12 Removed trailing space in v~: Mke wa Potifa akashika vazi Yosefu alilokuwa amevaa, akamwambia, “Njoo tukutane kimwili!” Lakini Yosefu akaacha vazi lake mkononi mwa huyo mwanamke, akatoka nje ya nyumba akikimbia.

GEN 39:13 Removed trailing space in v~: Yule mwanamke alipoona kwamba Yosefu amemwachia vazi lake mkononi na kukimbilia nje ya nyumba,

GEN 39:14 Removed trailing space in v~: akawaita watumishi wake wa nyumbani, akawaambia, “Tazameni! Huyu Mwebrania ameletwa hapa kutudhihaki! Aliingia hapa ndani ili akutane nami kimwili, lakini nikapiga kelele.

GEN 39:15 Removed trailing space in v~: Aliposikia kelele za kuomba msaada, akaacha vazi lake kando yangu akakimbilia nje.”

GEN 39:16 Removed trailing space in v~: Yule mwanamke akaliweka lile vazi karibu naye mpaka Potifa aliporudi nyumbani.

GEN 39:17 Removed trailing space in v~: Ndipo akamweleza kisa hiki, akisema: “Yule mtumwa wa Kiebrania uliyetuletea alinijia ili kunidhihaki.

GEN 39:18 Removed trailing space in v~: Lakini mara nilipopiga kelele kuomba msaada, akaliacha vazi lake kando yangu akakimbia nje ya nyumba.”

GEN 39:19 Removed trailing space in v~: Potifa aliposikia kisa hiki mkewe alichomweleza, akisema, “Hivi ndivyo mtumwa wako alivyonitenda.” Hasira ya Potifa ikawaka.

GEN 39:20 Removed trailing space in v~: Potifa akamchukua Yosefu na kumweka gerezani, mahali ambapo wahalifu wa mfalme walikuwa wamefungwa.

GEN 39:20 Removed trailing space in p~: Lakini wakati Yosefu alipokuwa huko gerezani,

GEN 39:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja naye, akamhurumia na kumpa kibali mbele ya msimamizi wa gereza.

GEN 39:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo msimamizi wa gereza akamweka Yosefu awe mkuu wa wafungwa pamoja na kusimamia yote ambayo yalitendeka mle gerezani.

GEN 39:23 Removed trailing space in v~: Msimamizi wa gereza hakujishughulisha tena na kitu chochote kilichokuwa chini ya uangalizi wa Yosefu, kwa sababu \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja na Yosefu akimfanikisha kwa kila alichofanya.

GEN 40:0 Extra space after chapter number

GEN 40:0 Removed trailing space in c: 40

GEN 40:0 Removed trailing space in s1: Mnyweshaji Na Mwokaji

GEN 40:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri, wakamkosea bwana wao, mfalme wa Misri.

GEN 40:2 Removed trailing space in v~: Farao akawakasirikia hawa maafisa wake wawili, mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu,

GEN 40:3 Removed trailing space in v~: akawaweka chini ya ulinzi katika nyumba ya mkuu wa kikosi cha ulinzi katika gereza lile lile alimofungwa Yosefu.

GEN 40:4 Removed trailing space in v~: Mkuu wa kikosi cha ulinzi akawakabidhi kwa Yosefu, naye akawahudumia.

GEN 40:4 Removed trailing space in p~: Walipokuwa wamekaa chini ya ulinzi kwa muda,

GEN 40:5 Removed trailing space in v~: kila mmoja wa hao wawili waliokuwa wamewekwa gerezani, yaani mnyweshaji na mwokaji wa mfalme wa Misri, waliota ndoto usiku mmoja, na kila ndoto ilikuwa na maana yake tofauti.

GEN 40:6 Removed trailing space in v~: Yosefu alipowajia asubuhi yake, akawaona kwamba walikuwa na huzuni.

GEN 40:7 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawauliza maafisa hao wa Farao waliokuwa chini ya ulinzi pamoja naye nyumbani mwa bwana wake, akasema, “Mbona nyuso zenu zimejaa huzuni leo?”

GEN 40:8 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Sisi sote tuliota ndoto, lakini hapakuwa na mtu yeyote wa kuzifasiri.”

GEN 40:8 Removed trailing space in p~: Ndipo Yosefu akawaambia, “Je, kufasiri ndoto si kazi ya Mungu? Niambieni ndoto zenu.”

GEN 40:9 Removed trailing space in v~: Basi mkuu wa wanyweshaji akamweleza Yosefu ndoto yake. Akamwambia, “Katika ndoto yangu niliona mzabibu mbele yangu,

GEN 40:10 Removed trailing space in v~: nao mzabibu ulikuwa na matawi matatu. Mara tu ulipoanza kuchipua, maua yalichanua na vishada vyake vikawa zabibu zilizoiva.

GEN 40:11 Removed trailing space in v~: Kikombe cha Farao kilikuwa mkononi mwangu, nikazitwaa zabibu, nikazikamua katika kikombe cha Farao, na nikaweka kikombe mkononi mwake.”

GEN 40:12 Removed trailing space in v~: Yosefu akamwambia, “Hii ndiyo maana yake: Matawi matatu ni siku tatu.

GEN 40:13 Removed trailing space in v~: Katika siku hizi tatu, Farao atakutoa gerezani na kukuweka tena kwenye nafasi yako, nawe utaweka kikombe cha Farao mikononi mwake, kama vile ulivyokuwa unafanya ulipokuwa mnyweshaji wake.

GEN 40:14 Removed trailing space in v~: Lakini wakati mambo yatakapokuwia mazuri, unikumbuke, unifanyie wema, useme mema juu yangu kwa Farao ili niondoke huku gerezani.

GEN 40:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana nilichukuliwa kwa nguvu kutoka nchi ya Waebrania, na hata hapa nilipo sikufanya lolote linalostahili niwekwe gerezani.”

GEN 40:16 Removed trailing space in v~: Yule mwokaji mkuu alipoona kuwa Yosefu amefasiri ikiwa na maana nzuri, akamwambia Yosefu, “Mimi pia niliota ndoto: Kichwani mwangu kulikuwepo vikapu vitatu vya mikate.

GEN 40:17 Removed trailing space in v~: Katika kikapu cha juu kulikuwa na aina zote za vyakula vilivyookwa kwa ajili ya Farao, lakini ndege walikuwa wakivila kutoka kwenye kikapu nilichokuwa nimebeba kichwani.”

GEN 40:18 Removed trailing space in v~: Yosefu akamwambia, “Hii ndiyo maana yake: Vikapu vitatu ni siku tatu.

GEN 40:19 Removed trailing space in v~: Katika siku hizi tatu, Farao atakata kichwa chako na kukutundika juu ya mti. Nao ndege watakula nyama ya mwili wako.”

GEN 40:20 Removed trailing space in v~: Mnamo siku ya tatu, ilikuwa kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Farao, naye akawaandalia maafisa wake wote karamu. Akawatoa gerezani mnyweshaji mkuu na mwokaji mkuu, akawaweka mbele ya maafisa wake:

GEN 40:21 Removed trailing space in v~: Ndipo akamrudisha mnyweshaji mkuu kwenye nafasi yake, ili aweke kikombe mikononi mwa Farao tena,

GEN 40:22 Removed trailing space in v~: lakini akamwangika yule mwokaji mkuu, sawasawa na jinsi Yosefu alivyowaambia katika tafsiri yake.

GEN 40:23 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo, mnyweshaji mkuu hakumkumbuka Yosefu, bali alimsahau.

GEN 41:0 Extra space after chapter number

GEN 41:0 Removed trailing space in c: 41

GEN 41:0 Removed trailing space in s1: Ndoto Za Farao

GEN 41:1 Removed trailing space in v~: Baada ya miaka miwili kamili kupita, Farao aliota ndoto: Tazama alikuwa amesimama kando ya Mto Naili,

GEN 41:2 Removed trailing space in v~: wakati ngʼombe saba, wazuri na wanono, walitokea mtoni wakajilisha kwenye matete.

GEN 41:3 Removed trailing space in v~: Baada yao ngʼombe wengine saba, wabaya na waliokonda, wakatokea mtoni Naili wakasimama kando ya wale wanono ukingoni mwa mto.

GEN 41:4 Removed trailing space in v~: Wale ngʼombe wabaya na waliokonda wakawala wale saba wazuri na wanono. Kisha Farao akaamka.

GEN 41:5 Removed trailing space in v~: Farao akaingia usingizini tena akaota ndoto ya pili: Akaona masuke saba ya nafaka, yenye afya na mazuri, yanakua katika bua moja.

GEN 41:6 Removed trailing space in v~: Baadaye, masuke mengine saba yakachipua, yakiwa membamba yaliyonyaushwa na upepo wa mashariki.

GEN 41:7 Removed trailing space in v~: Masuke yale membamba yakameza yale masuke saba yenye afya na yaliyojaa. Basi Farao akaamka kutoka usingizini, kumbe ilikuwa ndoto.

GEN 41:8 Removed trailing space in v~: Asubuhi yake, alifadhaika akilini, hivyo akawaita waaguzi wote pamoja na watu wenye busara wa Misri. Walipokuja, Farao akawaeleza ndoto zake, lakini hakuna hata mmoja aliyeweza kumfasiria.

GEN 41:9 Removed trailing space in v~: Ndipo mnyweshaji mkuu alipomwambia Farao, “Leo nimekumbushwa kuhusu kosa langu.

GEN 41:10 Removed trailing space in v~: Wakati fulani Farao aliwakasirikia watumishi wake, akanifunga mimi na mwokaji mkuu katika nyumba ya mkuu wa ulinzi.

GEN 41:11 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wetu aliota ndoto katika usiku mmoja na kila ndoto ilikuwa na maana yake tofauti.

GEN 41:12 Removed trailing space in v~: Basi kijana wa Kiebrania aliyekuwa pamoja nasi huko, alikuwa mtumishi wa mkuu wa kikosi cha ulinzi. Tulimweleza ndoto zetu, naye akatufasiria, akitupa kila mtu tafsiri ya ndoto yake.

GEN 41:13 Removed trailing space in v~: Nayo mambo yakawa sawa kabisa na jinsi alivyotufasiria ndoto zetu: Mimi nilirudishwa kazini mwangu na huyo mtu mwingine akaangikwa.”

GEN 41:14 Removed trailing space in v~: Basi, Farao akatuma Yosefu aitwe, naye akatolewa kifungoni haraka. Baada ya kunyoa na kubadilisha nguo zake akaenda mbele ya Farao.

GEN 41:15 Removed trailing space in v~: Farao akamwambia Yosefu, “Nimeota ndoto, wala hakuna mtu hata mmoja anayeweza kuifasiri. Lakini nimesikia ikisemwa kwa habari yako kwamba unapoelezwa ndoto waweza kuifasiri.”

GEN 41:16 Removed trailing space in v~: Yosefu akamjibu Farao, “Siwezi kuifasiri, lakini Mungu atampa Farao jibu analolihitaji.”

GEN 41:17 Removed trailing space in v~: Kisha Farao akamwambia Yosefu, “Katika ndoto yangu nilikuwa nimesimama ukingoni mwa Mto Naili,

GEN 41:18 Removed trailing space in v~: nikawaona ngʼombe saba, wazuri na wanono, wakijitokeza kutoka mtoni wakaja kujilisha kwenye matete.

GEN 41:19 Removed trailing space in v~: Baada ya hao, ngʼombe wengine saba wadhaifu wakatokea, wabaya sana na waliokonda. Kamwe sikuwahi kuona ngʼombe wabaya jinsi hiyo katika nchi yote ya Misri.

GEN 41:20 Removed trailing space in v~: Hao ngʼombe waliokonda na wabaya sana wakawala wale ngʼombe saba walionona waliojitokeza kwanza.

GEN 41:21 Removed trailing space in v~: Lakini hata baada ya kuwala, hakuna mtu ambaye angeweza kusema kwamba wamekula, bado walionekana wabaya kama mwanzoni. Kisha nikaamka kutoka usingizini.

GEN 41:22 Removed trailing space in v~: “Pia katika ndoto zangu niliona masuke saba ya nafaka, yamejaa na mazuri, yanakua katika bua moja.

GEN 41:23 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo masuke mengine saba yakachipua, yaliyonyauka, membamba na yamekaushwa na upepo wa mashariki.

GEN 41:24 Removed trailing space in v~: Yale masuke membamba ya nafaka yakayameza yale masuke saba mazuri yaliyojaa nafaka. Nimewaeleza waaguzi, wala hakuna yeyote aliyeweza kunifasiria.”

GEN 41:25 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akamwambia Farao, “Ndoto za Farao ni ndoto iyo hiyo moja. Mungu amemfunulia Farao jambo analokusudia kufanya karibuni.

GEN 41:26 Removed trailing space in v~: Ngʼombe saba wazuri ni miaka saba, nayo masuke saba mazuri yaliyojaa nafaka ni miaka saba, ni ndoto iyo hiyo moja.

GEN 41:27 Removed trailing space in v~: Ngʼombe saba waliokonda na wabaya wale waliojitokeza baadaye ni miaka saba, vivyo hivyo masuke saba ya ngano yaliyodhoofika na kukaushwa na upepo wa mashariki, ni miaka saba ya njaa.

GEN 41:28 Removed trailing space in v~: “Ni kama vile nilivyomwambia Farao: Mungu amemwonyesha Farao jambo analokusudia kufanya karibuni.

GEN 41:29 Removed trailing space in v~: Miaka saba ya neema inakuja katika nchi yote ya Misri,

GEN 41:30 Removed trailing space in v~: lakini itafuata miaka saba ya njaa. Ndipo neema yote ya Misri itasahaulika na njaa itaikumba nchi.

GEN 41:31 Removed trailing space in v~: “Neema iliyokuwa katika nchi haitakumbukwa, kwa sababu njaa itakayofuata itakuwa kali mno.

GEN 41:32 Removed trailing space in v~: Sababu ya ndoto kumjia Farao kwa namna mbili ni kwamba jambo hilo Mungu ameshaamua kwa hakika, naye Mungu atalifanya karibuni.

GEN 41:33 Removed trailing space in v~: “Basi sasa Farao na atafute mtu mwenye akili na hekima ili amweke kuwa msimamizi wa nchi ya Misri.

GEN 41:34 Removed trailing space in v~: Farao na aweke wenye amri nchini kote wakusanye sehemu ya tano ya mavuno ya Misri katika miaka hii saba ya neema.

GEN 41:35 Removed trailing space in v~: Wakusanye chakula chote katika miaka hii saba ya neema inayokuja na kuhifadhi nafaka chini ya mamlaka ya Farao, iwe akiba ya chakula katika miji.

GEN 41:36 Removed trailing space in v~: Chakula hiki kitakuwa akiba ya tahadhari kwa ajili ya nchi, ili kitumike katika ile miaka saba ya njaa itakayokuja Misri, ili nchi isiharibiwe na njaa.”

GEN 41:37 Removed trailing space in v~: Mpango huu ulionekana mzuri kwa Farao na kwa maafisa wake wote.

GEN 41:38 Removed trailing space in v~: Hivyo Farao akawauliza, “Je tunaweza kumpata yeyote kama mtu huyu, ambaye Roho wa Mungu yumo ndani yake?”

GEN 41:39 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akamwambia Yosefu, “Maadamu Mungu amekufunulia yote haya, hakuna mwingine yeyote mwenye akili na hekima kama wewe.

GEN 41:40 Removed trailing space in v~: Wewe utakuwa msimamizi wa jumba langu la kifalme, na watu wangu wote watatii amri zako. Ni kuhusu kiti cha ufalme tu nitakuwa mkuu kuliko wewe.”

GEN 41:40 Removed trailing space in s1: Yosefu Msimamizi Wa Misri

GEN 41:41 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Farao akamwambia Yosefu, “Sasa nakuweka uwe msimamizi wa nchi yote ya Misri.”

GEN 41:42 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akaivua pete yake ya muhuri kutoka kidoleni mwake na kuivalisha katika kidole cha Yosefu. Akamvika majoho mazuri ya kitani safi na mkufu wa dhahabu shingoni mwake.

GEN 41:43 Removed trailing space in v~: Akampandisha katika gari lake la farasi kama msaidizi wake, watu wakatangulia wakishangilia, wakisema, “Fungueni njia!” Ndivyo Farao alivyomweka Yosefu kuwa msimamizi wa nchi yote ya Misri.

GEN 41:44 Removed trailing space in v~: Kisha Farao akamwambia Yosefu, “Mimi ni Farao, lakini pasipo neno lako, hakuna mtu mwenye ruhusa kuinua mkono au mguu katika nchi yote ya Misri.”

GEN 41:45 Removed trailing space in v~: Farao akamwita Yosefu Safenath-Panea, pia akampa Asenathi binti Potifera, kuhani wa mji wa Oni,\f + \fr 41:45 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).\f* kuwa mke wake. Ndipo Yosefu akaitembelea nchi yote ya Misri.

GEN 41:46 Removed trailing space in v~: Yosefu alikuwa na miaka thelathini alipoingia katika utumishi wa Farao mfalme wa Misri. Naye Yosefu akatoka mbele ya Farao akasafiri katika nchi yote ya Misri.

GEN 41:47 Removed trailing space in v~: Katika ile miaka saba ya neema nchi ilizaa mazao kwa wingi sana.

GEN 41:48 Removed trailing space in v~: Yosefu akakusanya chakula chote kilichozalishwa katika ile miaka saba ya neema nchini Misri, akakihifadhi katika ghala za miji. Katika kila mji kulihifadhiwa chakula kilichozalishwa katika mashamba yaliyouzunguka mji huo.

GEN 41:49 Removed trailing space in v~: Yosefu alihifadhi nafaka nyingi, mfano wa mchanga wa bahari, ilikuwa nyingi mno kiasi kwamba walishindwa kuweka kumbukumbu kwa sababu akiba ilizidi sana kupita kipimo.

GEN 41:50 Removed trailing space in v~: Kabla ya miaka ya njaa kuanza, Asenathi binti Potifera, kuhani wa mji wa Oni, alikuwa amemzalia Yosefu wana wawili wa kiume.

GEN 41:51 Removed trailing space in v~: Yosefu akamwita mzaliwa wake wa kwanza Manase, akisema, “Ni kwa sababu Mungu amenifanya nisahau taabu zangu zote pamoja na jamaa yote ya nyumba ya baba yangu.”

GEN 41:52 Removed trailing space in v~: Mwana wa pili akamwita Efraimu, akisema, “Ni kwa sababu Mungu amenistawisha katika nchi ya mateso yangu.”

GEN 41:53 Removed trailing space in v~: Ile miaka saba ya neema huko Misri ikaisha,

GEN 41:54 Removed trailing space in v~: nayo miaka ile saba ya njaa ikaanza, sawasawa na alivyosema Yosefu. Kulikuwa na njaa katika nchi nyingine zote, bali katika nchi yote ya Misri kulikuwa na chakula.

GEN 41:55 Removed trailing space in v~: Wakati nchi yote ya Misri ilipopatwa na njaa, watu wakamlilia Farao ili awape chakula. Ndipo Farao alipowaagiza Wamisri wote, akisema, “Nendeni kwa Yosefu, nanyi mfanye anachowaambia.”

GEN 41:56 Removed trailing space in v~: Wakati njaa ilipokuwa imeenea katika nchi yote, Yosefu akafungua ghala za vyakula na kuwauzia Wamisri nafaka, kwa sababu njaa ilikuwa kali mno katika nchi yote ya Misri.

GEN 41:57 Removed trailing space in v~: Pia nchi nyingine zote zilikuja Misri kununua nafaka kutoka kwa Yosefu, kwa sababu njaa ilikuwa kali mno duniani kote.

GEN 42:0 Extra space after chapter number

GEN 42:0 Removed trailing space in c: 42

GEN 42:0 Removed trailing space in s1: Ndugu Za Yosefu Waenda Misri

GEN 42:1 Removed trailing space in v~: Wakati Yakobo alipofahamu kuwa kuna nafaka huko Misri, akawaambia wanawe, “Mbona mnakaa tu hapa mnatazamana?”

GEN 42:2 Removed trailing space in v~: Akaendelea kuwaambia, “Nimesikia kuwa huko Misri kuna nafaka. Telemkeni huko mkanunue chakula kwa ajili yetu, ili tuweze kuishi wala tusife.”

GEN 42:3 Removed trailing space in v~: Ndipo wale ndugu kumi wa Yosefu, wakateremka huko Misri kununua nafaka.

GEN 42:4 Removed trailing space in v~: Lakini Yakobo hakumtuma Benyamini, ndugu yake Yosefu, pamoja na wengine, kwa sababu aliogopa asije akapatwa na madhara.

GEN 42:5 Removed trailing space in v~: Hivyo wana wa Israeli walikuwa miongoni mwa wale waliokwenda Misri kununua nafaka, kwani njaa ilikuwa katika nchi ya Kanaani pia.

GEN 42:6 Removed trailing space in v~: Wakati huo Yosefu alikuwa mtawala wa nchi ya Misri, naye alikuwa ndiye aliwauzia watu wote nafaka. Kwa hiyo wakati ndugu zake Yosefu walipofika, wakamsujudia hadi nyuso zao zikagusa ardhi.

GEN 42:7 Removed trailing space in v~: Mara Yosefu alipowaona ndugu zake, akawatambua, lakini akajifanya mgeni na kuzungumza nao kwa ukali, akiwauliza, “Ninyi mnatoka wapi?”

GEN 42:7 Removed trailing space in p~: Wakamjibu, “Tumetoka katika nchi ya Kanaani kuja kununua chakula.”

GEN 42:8 Removed trailing space in v~: Ingawa Yosefu aliwatambua ndugu zake, wao hawakumtambua.

GEN 42:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu alipokumbuka ndoto zake kuwahusu wao, akawaambia, “Ninyi ni wapelelezi! Mmekuja kuangalia mahali ambapo nchi yetu haina ulinzi.”

GEN 42:10 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Sivyo bwana wangu. Watumishi wako wamekuja kununua chakula.

GEN 42:11 Removed trailing space in v~: Sisi sote ni wana wa baba mmoja. Watumishi wako ni watu waaminifu, wala sio wapelelezi.”

GEN 42:12 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “La hasha! Mmekuja kuangalia mahali ambapo nchi yetu haina ulinzi.”

GEN 42:13 Removed trailing space in v~: Lakini wakamjibu, “Watumishi wako walikuwa kumi na wawili, wana wa mtu mmoja ambaye anaishi katika nchi ya Kanaani. Sasa mdogo wetu wa mwisho yupo na baba yetu na mwingine alikufa.”

GEN 42:14 Removed trailing space in v~: Yosefu akawaambia, “Ni sawa kabisa kama nilivyowaambia: Ninyi ni wapelelezi!

GEN 42:15 Removed trailing space in v~: Na hivi ndivyo mtakavyojaribiwa: Hakika kama Farao aishivyo, hamtaondoka mahali hapa mpaka ndugu yenu mdogo aje hapa.

GEN 42:16 Removed trailing space in v~: Tumeni mmoja wenu akamlete huyo ndugu yenu, wengine mtawekwa gerezani, ili maneno yenu yajaribiwe kuona kama mnasema kweli. La sivyo, hakika kama Farao aishivyo ninyi ni wapelelezi!”

GEN 42:17 Removed trailing space in v~: Akawaweka wote chini ya ulinzi kwa siku tatu.

GEN 42:18 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu Yosefu akawaambia, “Fanyeni hili nanyi mtaishi, kwa maana namwogopa Mungu:

GEN 42:19 Removed trailing space in v~: Ikiwa ninyi ni watu waaminifu, mmoja wa ndugu zenu na abaki kifungoni, nanyi wengine pelekeni nafaka kwa jamaa yenu wanaoteseka kwa njaa.

GEN 42:20 Removed trailing space in v~: Lakini ni lazima mniletee ndugu yenu mdogo hapa, ili maneno yenu yathibitike na kwamba msife.” Wakakubali kufanya hivyo.

GEN 42:21 Removed trailing space in v~: Wakaambiana wao kwa wao, “Hakika tunaadhibiwa kwa sababu ya ndugu yetu. Tuliona jinsi alivyohuzunika alipokuwa anatusihi kuponya maisha yake, lakini hatukumsikiliza, hiyo ndiyo sababu dhiki hii imetupata.”

GEN 42:22 Removed trailing space in v~: Reubeni akawajibu, “Sikuwaambieni msitende dhambi dhidi ya kijana? Lakini hamkunisikiliza! Sasa ni lazima tuadhibiwe kwa ajili ya damu yake.”

GEN 42:23 Removed trailing space in v~: Hawakujua kuwa Yosefu angewaelewa, kwa sababu alitumia mkalimani.

GEN 42:24 Removed trailing space in v~: Yosefu akajitenga nao akaanza kulia, kisha akawarudia na kuzungumza nao tena. Akataka Simeoni akamatwe na kufungwa mbele yao.

GEN 42:25 Removed trailing space in v~: Yosefu akatoa amri ya kujaza magunia yao nafaka na kuweka fedha ya kila mmoja ndani ya gunia lake, kisha wapewe mahitaji ya njiani. Baada ya kufanyiwa hayo yote,

GEN 42:26 Removed trailing space in v~: wakapakiza nafaka juu ya punda zao, wakaondoka.

GEN 42:27 Removed trailing space in v~: Walipofika mahali pa kulala huko njiani mmoja wao akafungua gunia lake ili amlishe punda wake, akakuta fedha yake kwenye mdomo wa gunia lake.

GEN 42:28 Removed trailing space in v~: Akawaambia ndugu zake, “Fedha yangu imerudishwa. Iko ndani ya gunia langu.”

GEN 42:28 Removed trailing space in p~: Mioyo yao ikazimia, na kila mmoja akamgeukia mwenzake wakitetemeka, wakaulizana, “Ni nini hiki Mungu alichotufanyia?”

GEN 42:29 Removed trailing space in v~: Walipofika kwa Yakobo baba yao katika nchi ya Kanaani, wakamweleza mambo yote yaliyowapata. Wakasema,

GEN 42:30 Removed trailing space in v~: “Huyo mtu ambaye ndiye bwana katika nchi hiyo alisema nasi kwa ukali, akatutendea kana kwamba sisi tulikuwa tunaipeleleza nchi.

GEN 42:31 Removed trailing space in v~: Lakini tulimwambia, ‘Sisi ni watu waaminifu, sio wapelelezi.

GEN 42:32 Removed trailing space in v~: Tulizaliwa ndugu kumi na wawili, wana wa baba mmoja. Mmoja alikufa, na mdogo wetu wa mwisho yupo na baba yetu huko Kanaani.’

GEN 42:33 Removed trailing space in v~: “Ndipo huyo mtu aliye bwana katika nchi hiyo alipotuambia, ‘Hivi ndivyo nitafahamu kuwa ninyi ni watu waaminifu: Mwacheni mmoja wa ndugu zenu pamoja nami hapa, kisha nendeni mpeleke chakula kwa ajili ya jamaa yenu inayoteseka kwa njaa.

GEN 42:34 Removed trailing space in v~: Lakini mleteni huyo ndugu yenu mdogo kwangu, ndipo nitajua kuwa ninyi sio wapelelezi, ila ni watu waaminifu. Kisha nitamrudisha ndugu yenu, nanyi mtaweza kufanya biashara katika nchi hii.’ ”

GEN 42:35 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wanamimina nafaka kutoka kwenye magunia yao, ndani ya gunia la kila mtu kulikuwa na mfuko wa fedha! Wakati wao na baba yao walipoona mifuko ya fedha, wakaogopa.

GEN 42:36 Removed trailing space in v~: Yakobo baba yao akawaambia, “Ninyi mmenipokonya watoto wangu. Yosefu hayupo na Simeoni hayupo tena na sasa mnataka kumchukua Benyamini. Kila kitu ni kinyume nami!”

GEN 42:37 Removed trailing space in v~: Ndipo Reubeni akamwambia baba yake, “Waweza kuwaua wanangu wote wawili, ikiwa sitamrudisha Benyamini kwako. Mkabidhi Benyamini katika uangalizi wangu, nami nitamrudisha.”

GEN 42:38 Removed trailing space in v~: Lakini Yakobo akasema, “Mwanangu hatashuka huko pamoja nanyi; ndugu yake amekufa naye ndiye peke yake aliyebaki. Ikiwa atapatwa na madhara katika safari mnayoiendea, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini kwa masikitiko.”

GEN 43:0 Extra space after chapter number

GEN 43:0 Removed trailing space in c: 43

GEN 43:0 Removed trailing space in s1: Safari Ya Pili Ya Kwenda Misri

GEN 43:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu njaa ilikuwa bado ni kali mno katika nchi.

GEN 43:2 Removed trailing space in v~: Hivyo wakati walikuwa wamemaliza kula nafaka yote waliyoileta kutoka Misri, Yakobo baba yao akawaambia, “Rudini Misri mkatununulie chakula kingine zaidi.”

GEN 43:3 Removed trailing space in v~: Lakini Yuda akamwambia, “Mtu yule alituonya kwa msisitizo, ‘Hamtauona uso wangu tena mpaka mje na ndugu yenu.’

GEN 43:4 Removed trailing space in v~: Kama utakubali ndugu yetu aende pamoja nasi, tutakwenda kuwanunulia chakula.

GEN 43:5 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa hutamruhusu aende, hatutakwenda, kwa sababu mtu yule alituambia, ‘Hamtauona uso wangu tena mpaka mje pamoja na ndugu yenu.’ ”

GEN 43:6 Removed trailing space in v~: Israeli akauliza, “Kwa nini mkaniletea taabu hii kwa kumwambia yule mtu mlikuwa na ndugu mwingine?”

GEN 43:7 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Yule mtu alituhoji kwa undani sana habari zetu na za jamaa yetu. Alituuliza, ‘Je, baba yenu bado yungali hai? Je mnaye ndugu mwingine?’ Sisi tulimjibu maswali yake tu. Tungewezaje kujua kwamba angesema, ‘Mleteni mdogo wenu hapa’?”

GEN 43:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Yuda akamwambia baba yake Israeli, “Mtume kijana pamoja nami, nasi tutaondoka mara, ili sisi na wewe pamoja na watoto wetu tuweze kuishi, wala tusife.

GEN 43:9 Removed trailing space in v~: Mimi mwenyewe nitakuhakikishia usalama wake, mimi mwenyewe nitawajibika kumrudisha. Ikiwa sitamrudisha kwako na kumweka mbele yako, nitakuwa mwenye lawama mbele yako maisha yangu yote.

GEN 43:10 Removed trailing space in v~: Hakika, kama hatukuchelewa kuondoka, tungekuwa tumekwenda na kurudi mara mbili.”

GEN 43:11 Removed trailing space in v~: Basi baba yao Israeli akawaambia, “Kama ni lazima iwe hivyo, basi fanyeni hivi: Wekeni baadhi ya mazao bora ya nchi katika mifuko yenu na mpelekeeni yule mtu kama zawadi, zeri kidogo, asali kidogo, vikolezo, manemane, kungu na lozi.

GEN 43:12 Removed trailing space in v~: Chukueni fedha mara mbili, kwa kuwa mtazirudisha zile fedha zilizowekwa midomoni mwa magunia yenu. Labda ziliwekwa kwa makosa.

GEN 43:13 Removed trailing space in v~: Mchukueni ndugu yenu pia mrudi kwa huyo mtu mara moja.

GEN 43:14 Removed trailing space in v~: Naye Mungu Mwenyezi\f + \fr 43:14 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* awajalieni rehema mbele ya huyo mtu ili apate kumwachia yule ndugu yenu na Benyamini mweze kurudi pamoja. Kwangu mimi kama nikufiwa nimefiwa.”

GEN 43:15 Removed trailing space in v~: Basi hao watu wakazichukua zile zawadi na zile fedha mara mbili pamoja na Benyamini. Wakafanya haraka kwenda Misri na walipofika wakajionyesha kwa Yosefu.

GEN 43:16 Removed trailing space in v~: Yosefu alipomwona Benyamini pamoja nao, akamwambia msimamizi wa nyumba yake, “Wachukue watu hawa nyumbani kwangu, mchinje mnyama na kuandalia chakula kwa kuwa watakula chakula cha mchana pamoja nami.”

GEN 43:17 Removed trailing space in v~: Yule Msimamizi akafanya kama Yosefu alivyomwambia na akawachukua wale watu nyumbani kwa Yosefu.

GEN 43:18 Removed trailing space in v~: Basi watu hao wakaogopa walipopelekwa nyumbani kwa Yosefu. Wakafikiri, “Tumeletwa hapa kwa ajili ya zile fedha zilizorudishwa katika magunia yetu mara ile ya kwanza. Anataka kutushambulia na kutushinda, atuchukue sisi kama watumwa, na atwae hawa punda zetu.”

GEN 43:19 Removed trailing space in v~: Hivyo wakamwendea msimamizi wa nyumba wa Yosefu na kuzungumza naye kwenye ingilio la nyumbani.

GEN 43:20 Removed trailing space in v~: Wakasema, “Tafadhali bwana, tulikuja hapa mara ya kwanza kununua chakula.

GEN 43:21 Removed trailing space in v~: Lakini mahali pale tulipotua wakati wa jioni tulifungua magunia yetu, na kila mmoja wetu akakuta fedha zake, kwenye mdomo wa gunia lake kiasi kile kile tulicholeta. Kwa hiyo tumezirudisha.

GEN 43:22 Removed trailing space in v~: Pia tumeleta fedha nyingine kwa ajili ya kununulia chakula. Hatujui ni nani aliziweka fedha hizo katika magunia yetu.”

GEN 43:23 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Vema, msiogope. Mungu wenu, Mungu wa baba yenu, amewapa ninyi hazina katika magunia yenu; mimi nilipokea fedha yenu.” Ndipo akawaletea Simeoni.

GEN 43:24 Removed trailing space in v~: Msimamizi akawapeleka wale watu katika nyumba ya Yosefu, akawapa maji ya kunawa miguu na kuwapa punda wao majani.

GEN 43:25 Removed trailing space in v~: Wakaandaa zawadi zao ili wampe Yosefu wakati atakapofika adhuhuri, kwa kuwa walikuwa wamesikia kwamba watakula chakula huko.

GEN 43:26 Removed trailing space in v~: Yosefu alipokuja nyumbani, walimkabidhi zile zawadi walizokuwa nazo, ambazo walikuwa wamezileta mle nyumbani, nao wakamsujudia hadi nchi.

GEN 43:27 Removed trailing space in v~: Akawauliza kuhusu hali yao, kisha akawaambia, “Yule baba yenu mzee mliyeniambia habari zake, yu hali gani? Je, bado yu hai?”

GEN 43:28 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Mtumishi wako baba yetu bado anaishi na ni mzima.” Kisha wakainama chini kumpa heshima.

GEN 43:29 Removed trailing space in v~: Alipotazama na kumwona Benyamini ndugu yake, mwana wa mama yake hasa, akauliza, “Je, huyu ndiye ndugu yenu wa mwisho, ambaye mlinieleza habari zake?” Ndipo akasema, “Mungu na akufadhili, mwanangu.”

GEN 43:30 Removed trailing space in v~: Akiwa ameguswa sana kwa kumwona ndugu yake, Yosefu akatoka nje kwa haraka na kutafuta mahali pa kulilia. Akaingia kwenye chumba chake cha pekee na kulilia humo.

GEN 43:31 Removed trailing space in v~: Baada ya kunawa uso wake, akatoka nje na huku akijizuia akasema, “Pakueni chakula.”

GEN 43:32 Removed trailing space in v~: Wakampakulia Yosefu peke yake, ndugu zake peke yao na Wamisri waliokula pamoja naye peke yao, kwa sababu Wamisri wasingeweza kula pamoja na Waebrania, kwa maana ilikuwa ni chukizo kwa Wamisri.

GEN 43:33 Removed trailing space in v~: Watu hao walikuwa wameketi mbele yake kwa mfuatano wa umri wao, kuanzia mzaliwa wa kwanza hadi mzaliwa wa mwisho, wakatazamana wao kwa wao kwa mshangao.

GEN 43:34 Removed trailing space in v~: Wakati walipelekewa sehemu ya chakula kutoka mezani mwa Yosefu, sehemu ya Benyamini ilikuwa mara tano zaidi ya sehemu ya wale wengine. Kwa hiyo wakanywa na kufurahi pamoja naye.

GEN 44:0 Extra space after chapter number

GEN 44:0 Removed trailing space in c: 44

GEN 44:0 Removed trailing space in s1: Kikombe Cha Fedha Ndani Ya Gunia

GEN 44:1 Removed trailing space in v~: Kisha Yosefu akampa yule msimamizi wa nyumbani mwake maagizo haya: “Jaza magunia ya watu hawa kiasi cha chakula ambacho wanaweza kuchukua, na uweke fedha ya kila mtu kwenye mdomo wa gunia lake.

GEN 44:2 Removed trailing space in v~: Kisha weka kikombe changu kile cha fedha kwenye mdomo wa gunia la yule mdogo wa wote pamoja na fedha zake ambazo angenunulia nafaka yake.” Naye akafanya kama Yosefu alivyosema.

GEN 44:3 Removed trailing space in v~: Kulipopambazuka, hao watu wakaruhusiwa kuondoka pamoja na punda zao.

GEN 44:4 Removed trailing space in v~: Kabla hawajafika mbali kutoka mjini, Yosefu akamwambia mtumishi wake, “Wafuatilie wale watu mara moja, utakapowakuta, waambie, ‘Kwa nini mmelipiza wema kwa ubaya?

GEN 44:5 Removed trailing space in v~: Je, kikombe hiki sicho anachonywea bwana wangu na pia hukitumia kwa kutabiri mambo yajayo? Hili ni jambo ovu mlilolitenda.’ ”

GEN 44:6 Removed trailing space in v~: Alipowafikia, akarudia maneno haya kwao.

GEN 44:7 Removed trailing space in v~: Lakini wakamwambia mtumishi, “Kwa nini bwana wangu anasema maneno kama haya? Liwe mbali na watumishi wako wasije wakafanya jambo kama hilo!

GEN 44:8 Removed trailing space in v~: Hata hivyo tulikurudishia zile fedha kutoka nchi ya Kanaani ambazo tulizikuta kwenye midomo ya magunia yetu. Hivyo kwa nini tuibe fedha au dhahabu kutoka nyumbani kwa bwana wako?

GEN 44:9 Removed trailing space in v~: Ikiwa yeyote miongoni mwa watumishi wako atapatikana nacho, auawe, na sisi wengine tutakuwa watumwa wa bwana wangu.”

GEN 44:10 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Vema sana; na iwe kama msemavyo. Yeyote atakayekutwa nacho atakuwa mtumwa wangu, lakini ninyi wengine mtakuwa hamna lawama.”

GEN 44:11 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wao akafanya haraka kushusha gunia lake chini na kulifungua.

GEN 44:12 Removed trailing space in v~: Ndipo msimamizi akaendelea kutafuta, akianzia kwa mkubwa wa wote na akaishia kwa mdogo wa wote. Basi kikombe kikapatikana katika gunia la Benyamini.

GEN 44:13 Removed trailing space in v~: Kwa jambo hili, wakararua nguo zao. Ndipo wote wakapakiza mizigo yao juu ya punda zao na kurudi mjini.

GEN 44:14 Removed trailing space in v~: Yosefu alikuwa bado yuko nyumbani mwake wakati Yuda na kaka zake walipoingia, wote wakajitupa chini mbele yake.

GEN 44:15 Removed trailing space in v~: Yosefu akawaambia, “Ni jambo gani hili mlilolifanya? Hamjui kuwa mtu kama mimi anaweza kufahamu mambo kwa njia ya kutabiri?”

GEN 44:16 Removed trailing space in v~: Yuda akajibu, “Tutaweza kusema nini kwa bwana wangu? Tutaweza kuzungumza nini? Tutawezaje kuthibitisha kwamba hatuna hatia? Mungu amefunua hatia ya watumishi wako. Sasa sisi tu watumwa wa bwana wangu, sisi wenyewe pamoja na yule aliyepatikana na kikombe.”

GEN 44:17 Removed trailing space in v~: Lakini Yosefu alisema, “Liwe mbali nami kufanya jambo kama hili! Mtu yule tu aliyekutwa na kikombe ndiye atakayekuwa mtumwa wangu. Ninyi wengine, rudini kwa baba yenu kwa amani.”

GEN 44:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Yuda akamwendea na kumwambia: “Tafadhali bwana wangu, mruhusu mtumishi wako aseme neno kwa bwana wangu. Usimkasirikie mtumishi wako, ingawa wewe ni sawa na Farao mwenyewe.

GEN 44:19 Removed trailing space in v~: Bwana wangu aliwauliza watumishi wake, ‘Mnaye baba au ndugu?’

GEN 44:20 Removed trailing space in v~: Nasi tukakujibu, ‘Tunaye baba yetu ambaye ni mzee; pia yupo mwanawe mdogo aliyezaliwa katika uzee wake. Ndugu yake amekufa, na huyu mdogo ndiye mwana pekee kwa mama yake aliyebaki, naye baba yake anampenda.’ 

GEN 44:21 Removed trailing space in v~: “Ndipo ulipowaambia watumishi wako, ‘Mleteni kwangu ili niweze kumwona kwa macho yangu mwenyewe.’

GEN 44:22 Removed trailing space in v~: Nasi tukamwambia bwana wangu, ‘Kijana hawezi kumwacha baba yake; akimwacha, baba yake atakufa.’

GEN 44:23 Removed trailing space in v~: Lakini ukawaambia watumishi wako, ‘Ndugu yenu mdogo asiposhuka pamoja nanyi, hamtauona uso wangu tena.’

GEN 44:24 Removed trailing space in v~: Tuliporudi nyumbani kwa mtumwa wako baba yangu, tulimwambia lile bwana wangu alilokuwa amesema.

GEN 44:25 Removed trailing space in v~: “Ndipo baba yetu aliposema, ‘Rudini Misri mkanunue chakula kingine.’

GEN 44:26 Removed trailing space in v~: Lakini tukamwambia, ‘Hatuwezi kushuka Misri mpaka ndugu yetu mdogo awe pamoja nasi ndipo tutakapokwenda. Hatutaweza kuuona uso wa yule mtu mpaka ndugu yetu mdogo awe pamoja nasi.’

GEN 44:27 Removed trailing space in v~: “Mtumwa wako baba yangu alituambia, ‘Mnajua mke wangu alinizalia wana wawili.

GEN 44:28 Removed trailing space in v~: Mmojawapo alipotea, nami nikasema, “Hakika ameraruliwa vipande vipande.” Nami sijamwona tangu wakati huo.

GEN 44:29 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtaniondolea huyu tena na akapatwa na madhara, mtashusha kichwa changu chenye mvi kaburini nikiwa mwenye huzuni.’

GEN 44:30 Removed trailing space in v~: “Hivyo sasa, kama kijana hatakuwa pamoja nasi nitakaporudi kwa mtumishi wako baba yangu, na kama baba yangu, ambaye maisha yake yamefungamanishwa na uhai wa kijana huyu,

GEN 44:31 Removed trailing space in v~: akiona kijana hayupo nasi, atakufa. Watumishi wako watashusha kichwa chenye mvi cha baba yetu kaburini kwa huzuni.

GEN 44:32 Removed trailing space in v~: Mtumwa wako alimhakikishia baba yangu usalama wa kijana. Nikamwambia, ‘Kama sikumrudisha kwako nitakuwa mwenye lawama mbele yako, baba yangu, maisha yangu yote!’

GEN 44:33 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, tafadhali mruhusu mtumishi abaki hapa kama mtumwa wa bwana wangu badala ya kijana, naye kijana umruhusu arudi na ndugu zake.

GEN 44:34 Removed trailing space in v~: Ninawezaje kurudi kwa baba yangu kama kijana hatakuwa pamoja nami? La hasha! Usiniache nikaone huzuni ile itakayompata baba yangu.”

GEN 45:0 Extra space after chapter number

GEN 45:0 Removed trailing space in c: 45

GEN 45:0 Removed trailing space in s1: Yosefu Anajitambulisha

GEN 45:1 Removed trailing space in v~: Hapo Yosefu hakuweza kujizuia zaidi mbele ya wote waliokuwa wamesimama karibu naye, akapaza sauti, akasema, “Mwondoeni kila mtu mbele yangu!” Kwa hiyo hapakuwepo mtu yeyote pamoja na Yosefu alipojitambulisha kwa ndugu zake.

GEN 45:2 Removed trailing space in v~: Naye akalia kwa sauti kubwa kiasi kwamba Wamisri walimsikia, hata watu wa nyumbani mwa Farao wakapata hizo habari.

GEN 45:3 Removed trailing space in v~: Yosefu akawaambia ndugu zake, “Mimi ni Yosefu! Je, baba yangu angali hai bado?” Lakini ndugu zake hawakuweza kumjibu, kwa sababu walipatwa na hofu kuu mbele yake.

GEN 45:4 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake, “Sogeeni karibu nami.” Waliposogea, akasema, “Mimi ni ndugu yenu Yosefu, yule ambaye mlimuuza Misri!

GEN 45:5 Removed trailing space in v~: Sasa, msihuzunike wala msijichukie wenyewe kwa kuniuza huku, kwa sababu ilikuwa ni ili kuokoa maisha ya watu ndiyo sababu Mungu alinituma niwatangulie ninyi.

GEN 45:6 Removed trailing space in v~: Kwa miaka miwili sasa imekuwepo njaa katika nchi, pia kwa miaka mitano ijayo hapatakuwepo kulima wala kuvuna.

GEN 45:7 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu alinitanguliza mbele yenu ili kuhifadhi mabaki kwa ajili yenu katika nchi, na kuokoa maisha yenu kwa wokovu mkuu.

GEN 45:8 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo basi, si ninyi mlionileta huku, bali ni Mungu. Alinifanya kuwa baba kwa Farao, bwana wa watu wa nyumbani mwake wote, na mtawala wa Misri yote.

GEN 45:9 Removed trailing space in v~: Sasa rudini haraka kwa baba yangu na mwambieni, ‘Hili ndilo mwanao Yosefu asemalo: Mungu amenifanya mimi kuwa bwana wa Misri yote. Shuka uje kwangu, wala usikawie.

GEN 45:10 Removed trailing space in v~: Nawe utaishi katika nchi ya Gosheni na kuwa karibu nami, wewe, watoto wako na wajukuu wako, makundi yako ya kondoo, mbuzi na ngʼombe, pamoja na vyote ulivyo navyo.

GEN 45:11 Removed trailing space in v~: Nitawatunza huko, kwa sababu bado iko miaka mingine mitano inayokuja ya njaa. La sivyo, wewe na nyumba yako na wote ulio nao mtakuwa fukara.’

GEN 45:12 Removed trailing space in v~: “Mnaweza kujionea wenyewe, hata ndugu yangu Benyamini, kwamba hakika ni mimi ninayezungumza nanyi.

GEN 45:13 Removed trailing space in v~: Mwambieni baba yangu juu ya heshima yote niliyopewa huku Misri, na kuhusu kila kitu mlichokiona. Mleteni baba yangu huku haraka.”

GEN 45:14 Removed trailing space in v~: Ndipo akamkumbatia Benyamini ndugu yake na kulia, naye Benyamini akamkumbatia akilia.

GEN 45:15 Removed trailing space in v~: Pia akawabusu ndugu zake wote, huku akilia. Baada ya hayo ndugu zake wakazungumza naye.

GEN 45:16 Removed trailing space in v~: Habari zilipofika kwenye jumba la Farao kwamba ndugu zake Yosefu wamefika, Farao na maafisa wake wote wakafurahi.

GEN 45:17 Removed trailing space in v~: Farao akamwambia Yosefu, “Waambie ndugu zako, ‘Fanyeni hivi: Pakieni wanyama wenu mrudi mpaka nchi ya Kanaani,

GEN 45:18 Removed trailing space in v~: mkamlete baba yenu na jamaa zenu kwangu. Nitawapa sehemu nzuri sana ya nchi ya Misri nanyi mtafurahia unono wa nchi.’

GEN 45:19 Removed trailing space in v~: “Mnaagizwa pia kuwaambia, ‘Fanyeni hivi: Chukueni magari ya kukokotwa kutoka Misri, kwa ajili ya watoto wenu na wake zenu, mkamchukue baba yenu mje.

GEN 45:20 Removed trailing space in v~: Msijali kamwe kuhusu mali zenu, kwa sababu mema yote ya Misri yatakuwa yenu.’ ”

GEN 45:21 Removed trailing space in v~: Hivyo wana wa Israeli wakafanya hivyo. Yosefu akawapa magari ya kukokotwa, kama Farao alivyoagiza, pia akawapa mahitaji kwa ajili ya safari yao.

GEN 45:22 Removed trailing space in v~: Kila mmoja mavazi mapya, lakini Benyamini akampa shekeli 300\f + \fr 45:22 \ft Shekeli 300 za fedha ni sawa na kilo 3.4.\f* za fedha, na jozi tano za nguo.

GEN 45:23 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vitu alivyotuma kwa baba yake: punda kumi waliochukua vitu vizuri vya Misri, punda wake kumi waliobeba nafaka, mikate na mahitaji mengine ya safari.

GEN 45:24 Removed trailing space in v~: Akaagana na ndugu zake walipokuwa wakiondoka, akawaambia, “Msigombane njiani!”

GEN 45:25 Removed trailing space in v~: Basi wakatoka Misri na kufika kwa baba yao Yakobo katika nchi ya Kanaani.

GEN 45:26 Removed trailing space in v~: Wakamwambia baba yao, “Yosefu angali hai! Ukweli ni kwamba yeye ndiye mtawala wa Misri yote.” Yakobo akapigwa na bumbuazi; hakuwasadiki.

GEN 45:27 Removed trailing space in v~: Lakini walipokwisha kumweleza kila kitu ambacho Yosefu alikuwa amewaambia, na alipoona magari ya kukokotwa Yosefu aliyokuwa amempelekea ya kumchukua aende Misri, roho ya baba yao Yakobo ikahuishwa.

GEN 45:28 Removed trailing space in v~: Ndipo Israeli akasema, “Nimesadiki! Mwanangu Yosefu bado yu hai. Nitakwenda nikamwone kabla sijafa.”

GEN 46:0 Extra space after chapter number

GEN 46:0 Removed trailing space in c: 46

GEN 46:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Aenda Misri

GEN 46:1 Removed trailing space in v~: Hivyo Israeli akaondoka na vyote vilivyokuwa mali yake, naye alipofika Beer-Sheba, akamtolea dhabihu Mungu wa Isaki baba yake.

GEN 46:2 Removed trailing space in v~: Mungu akanena na Israeli katika maono usiku na kusema, “Yakobo! Yakobo!”

GEN 46:2 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Mimi hapa.”

GEN 46:3 Removed trailing space in v~: Mungu akamwambia, “Mimi ndimi Mungu wa baba yako, usiogope kushuka Misri, kwa maana huko nitakufanya taifa kubwa.

GEN 46:4 Removed trailing space in v~: Nitashuka Misri pamoja nawe, nami hakika nitakurudisha tena Kanaani. Mikono ya Yosefu mwenyewe ndiyo itakayofunga macho yako.”

GEN 46:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Yakobo akaondoka Beer-Sheba nao wana wa Israeli wakamchukua baba yao Yakobo na watoto wao na wake zao katika magari ya kukokotwa yale Farao aliyokuwa amempelekea kumsafirisha.

GEN 46:6 Removed trailing space in v~: Wakachukua pia mifugo yao na mali walizokuwa wamezipata Kanaani, Yakobo na uzao wake wote wakashuka Misri.

GEN 46:7 Removed trailing space in v~: Akawachukua wanawe na binti zake, wajukuu wake wa kiume na wa kike, yaani uzao wake wote mpaka Misri.

GEN 46:8 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli (Yakobo na wazao wake), waliokwenda Misri:

GEN 46:8 Removed trailing space in p~: Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Yakobo.

GEN 46:9 Removed trailing space in v~: Wana wa Reubeni ni:

GEN 46:9 Removed trailing space in p~: Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.

GEN 46:10 Removed trailing space in v~: Wana wa Simeoni ni:

GEN 46:10 Removed trailing space in p~: Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani.

GEN 46:11 Removed trailing space in v~: Wana wa Lawi ni:

GEN 46:11 Removed trailing space in p~: Gershoni, Kohathi na Merari.

GEN 46:12 Removed trailing space in v~: Wana wa Yuda ni:

GEN 46:12 Removed trailing space in p~: Eri, Onani, Shela, Peresi na Zera (lakini Eri na Onani walifariki katika nchi ya Kanaani).

GEN 46:12 Removed trailing space in p~: Wana wa Peresi ni:

GEN 46:12 Removed trailing space in p~: Hesroni na Hamuli.

GEN 46:13 Removed trailing space in v~: Wana wa Isakari ni:

GEN 46:13 Removed trailing space in p~: Tola, Puva, Yashubu na Shimroni.

GEN 46:14 Removed trailing space in v~: Wana wa Zabuloni ni:

GEN 46:14 Removed trailing space in p~: Seredi, Eloni na Yaleeli.

GEN 46:15 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wana wa Lea aliomzalia Yakobo huko Padan-Aramu pamoja na binti yake Dina. Jumla ya wanawe na binti zake walikuwa thelathini na watatu.

GEN 46:16 Removed trailing space in v~: Wana wa Gadi ni:

GEN 46:16 Removed trailing space in p~: Sefoni, Hagi, Shuni, Esboni, Eri, Arodi na Areli.

GEN 46:17 Removed trailing space in v~: Wana wa Asheri ni:

GEN 46:17 Removed trailing space in p~: Imna, Ishva, Ishvi na Beria.

GEN 46:17 Removed trailing space in p~: Dada yao alikuwa Sera.

GEN 46:17 Removed trailing space in p~: Wana wa Beria ni:

GEN 46:17 Removed trailing space in p~: Heberi na Malkieli.

GEN 46:18 Removed trailing space in v~: Hawa ndio watoto Zilpa aliomzalia Yakobo, ambao Labani alimpa binti yake Lea; jumla yao walikuwa kumi na sita.

GEN 46:19 Removed trailing space in v~: Wana wa Raheli mke wa Yakobo ni:

GEN 46:19 Removed trailing space in p~: Yosefu na Benyamini.

GEN 46:20 Removed trailing space in v~: Huko Misri, Asenathi binti wa Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni,\f + \fr 46:20 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).\f* alimzalia Yosefu wana wawili, Manase na Efraimu.

GEN 46:21 Removed trailing space in v~: Wana wa Benyamini ni:

GEN 46:21 Removed trailing space in p~: Bela, Bekeri, Ashbeli, Gera, Naamani, Ehi, Roshi, Mupimu, Hupimu na Ardi.

GEN 46:22 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wana wa Raheli aliomzalia Yakobo; jumla yao ni kumi na wanne.

GEN 46:23 Removed trailing space in v~: Mwana wa Dani ni:

GEN 46:23 Removed trailing space in p~: Hushimu.

GEN 46:24 Removed trailing space in v~: Wana wa Naftali ni:

GEN 46:24 Removed trailing space in p~: Yaseeli, Guni, Yeseri na Shilemu.

GEN 46:25 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wana wa Bilha aliomzalia Yakobo, ambaye Labani alikuwa amempa Raheli binti yake; jumla yao walikuwa saba.

GEN 46:26 Removed trailing space in v~: Wote waliokwenda Misri pamoja na Yakobo, waliokuwa wazao wake hasa pasipo kuhesabu wakwe zake, walikuwa watu sitini na sita.

GEN 46:27 Removed trailing space in v~: Pamoja na wana wawili waliozaliwa na Yosefu huko Misri, jumla yote ya jamaa ya Yakobo, waliokwenda Misri, walikuwa sabini.

GEN 46:28 Removed trailing space in v~: Basi Yakobo akamtanguliza Yuda aende kwa Yosefu ili amwelekeze njia ya Gosheni. Walipofika nchi ya Gosheni,

GEN 46:29 Removed trailing space in v~: gari kubwa zuri la Yosefu liliandaliwa, naye akaenda Gosheni kumlaki baba yake Israeli. Mara Yosefu alipofika mbele yake, alimkumbatia baba yake, akalia kwa muda mrefu.

GEN 46:30 Removed trailing space in v~: Israeli akamwambia Yosefu, “Sasa niko tayari kufa, kwa kuwa nimejionea mwenyewe kwamba bado uko hai.”

GEN 46:31 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake na watu wa nyumbani mwa baba yake, “Nitapanda kwa Farao na kumwambia, ‘Ndugu zangu na watu wa nyumbani mwa baba yangu, waliokuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani, wamekuja kwangu.

GEN 46:32 Removed trailing space in v~: Watu hao ni wachunga mifugo, huchunga mifugo, wamekuja na makundi ya kondoo, mbuzi na ngʼombe pamoja na kila kitu walicho nacho.’

GEN 46:33 Removed trailing space in v~: Farao atakapowaita na kuwaulizeni, ‘Kazi yenu ni nini?’

GEN 46:34 Removed trailing space in v~: Mjibuni, ‘Watumwa wako wamekuwa wachunga mifugo tangu ujana wetu mpaka sasa, kama baba zetu walivyofanya.’ Ndipo mtakaporuhusiwa kukaa katika nchi ya Gosheni, kwa kuwa wachunga mifugo wote ni chukizo kwa Wamisri.”

GEN 47:0 Extra space after chapter number

GEN 47:0 Removed trailing space in c: 47

GEN 47:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Ambariki Farao

GEN 47:1 Removed trailing space in v~: Yosefu akaenda na kumwambia Farao, “Baba yangu na ndugu zangu wamekuja kutoka nchi ya Kanaani wakiwa na makundi yao ya kondoo, mbuzi na ngʼombe, pamoja na kila kitu walicho nacho, nao sasa wapo huko Gosheni.”

GEN 47:2 Removed trailing space in v~: Akachagua ndugu zake watano na kuwaonyesha kwa Farao.

GEN 47:3 Removed trailing space in v~: Farao akawauliza hao ndugu zake, “Kazi yenu ni nini?”

GEN 47:3 Removed trailing space in p~: Wakamjibu, “Watumishi wako ni wachunga mifugo, kama vile baba zetu walivyokuwa.”

GEN 47:4 Removed trailing space in v~: Pia wakamwambia Farao, “Tumekuja kukaa huku kwa muda mfupi, kwa sababu njaa ni kali huko Kanaani, na mifugo ya watumishi wako haina malisho. Kwa hiyo sasa, tafadhali uruhusu watumishi wako wakae huko Gosheni.”

GEN 47:5 Removed trailing space in v~: Farao akamwambia Yosefu, “Baba yako na ndugu zako wamekuja kwako,

GEN 47:6 Removed trailing space in v~: nayo nchi ya Misri ipo mbele yako, uwakalishe baba yako na ndugu zako katika sehemu iliyo bora kupita zote katika nchi. Na waishi Gosheni. Kama unamfahamu yeyote miongoni mwao mwenye uwezo maalum, waweke wawe wasimamizi wa mifugo yangu.”

GEN 47:7 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akamleta Yakobo baba yake na kumtambulisha mbele ya Farao. Baada ya Yakobo kumbariki Farao,

GEN 47:8 Removed trailing space in v~: Farao akamuuliza, “Je una umri gani?”

GEN 47:9 Removed trailing space in v~: Naye Yakobo akamwambia Farao, “Siku za miaka ya kusafiri kwangu ni miaka 130. Miaka yangu imekuwa michache na ya taabu, wala haikufikia miaka ya kusafiri ya baba zangu.”

GEN 47:10 Removed trailing space in v~: Kisha Yakobo akambariki Farao, naye akaondoka mbele ya uso wake.

GEN 47:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawakalisha baba yake na ndugu zake katika nchi ya Misri na kuwapa milki katika sehemu bora sana ya nchi, wilaya ya Ramesesi, kama Farao alivyoelekeza.

GEN 47:12 Removed trailing space in v~: Pia Yosefu akampa baba yake, na ndugu zake na wote wa nyumbani mwa baba yake vyakula, kwa kulingana na hesabu ya watoto wao.

GEN 47:12 Removed trailing space in s1: Uongozi Wa Yosefu Wakati Wa Njaa

GEN 47:13 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, hapakuwepo chakula katika sehemu yote kwa kuwa njaa ilikuwa kali sana; Misri na Kanaani zote zikaharibiwa kwa sababu ya njaa.

GEN 47:14 Removed trailing space in v~: Yosefu akakusanya fedha zote zilizopatikana kutoka mauzo ya nafaka huko Misri na Kanaani, akazileta kwenye jumba la kifalme la Farao.

GEN 47:15 Removed trailing space in v~: Fedha za watu wa Misri na Kanaani zilipokwisha, Wamisri wote wakamjia Yosefu na kumwambia, “Tupatie chakula. Kwa nini tufe mbele ya macho yako? Fedha zetu zimekwisha.”

GEN 47:16 Removed trailing space in v~: Yosefu akawaambia, “Basi leteni mifugo yenu, nitawauzia chakula kwa kubadilisha na mifugo yenu, kwa kuwa fedha zenu zimekwisha.”

GEN 47:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakaleta mifugo yao kwa Yosefu, naye akawapa chakula kwa kubadilishana na farasi zao, kondoo na mbuzi zao, ngʼombe na punda zao. Katika mwaka huo wote Yosefu akawapa chakula kwa kubadilishana na mifugo yao yote.

GEN 47:18 Removed trailing space in v~: Mwaka ule ulipokwisha, wakamjia mwaka uliofuata na kumwambia, “Hatuwezi kuficha ukweli mbele za bwana wetu kwamba, kwa kuwa fedha zetu zimekwisha na wanyama wetu ni mali yako, sasa hakuna chochote kilichosalia kwa ajili ya bwana wetu isipokuwa miili yetu na ardhi yetu.

GEN 47:19 Removed trailing space in v~: Kwa nini tuangamie mbele ya macho yako, sisi pamoja na nchi yetu? Utununue sisi pamoja na ardhi yetu ili kubadilishana kwa chakula. Nasi pamoja na nchi yetu tutakuwa watumwa wa Farao. Tupe sisi mbegu ili tuweze kuishi wala tusife, nchi yetu isije ikawa ukiwa.”

GEN 47:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yosefu akamnunulia Farao nchi yote ya Misri. Wamisri, mmoja baada ya mwingine, waliuza mashamba yao, kwa sababu njaa ilikuwa kali sana kwao. Nchi ikawa mali ya Farao,

GEN 47:21 Removed trailing space in v~: naye Yosefu akawafanya watu watumike kama watumwa, kuanzia upande mmoja wa Misri hadi upande mwingine.

GEN 47:22 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, hakununua nchi ya makuhani, kwa sababu walikuwa wanapata mgawo wao wa kawaida kutoka kwa Farao, nao walikuwa na chakula cha kuwatosha kutokana na mgawo waliopewa na Farao. Hii ndiyo sababu hawakuuza ardhi yao.

GEN 47:23 Removed trailing space in v~: Yosefu akawaambia watu, “Kwa vile nimewanunua ninyi pamoja na nchi yenu leo kuwa mali ya Farao, hapa kuna mbegu kwa ajili yenu ili mweze kuziotesha.

GEN 47:24 Removed trailing space in v~: Lakini wakati mazao yatakapokuwa tayari, mpeni Farao sehemu ya tano. Sehemu hizo nne zitakazobaki mtaziweka kama mbegu kwa ajili ya mashamba na kwa ajili ya chakula chenu wenyewe na cha watu wa nyumbani mwenu na watoto wenu.”

GEN 47:25 Removed trailing space in v~: Wakamwambia, “Umeokoa maisha yetu. Basi na tupate kibali mbele ya macho ya bwana wetu; tutakuwa watumwa wa Farao.”

GEN 47:26 Removed trailing space in v~: Basi Yosefu akaiweka iwe sheria kuhusu nchi ya Misri, ambayo inatumika mpaka leo, kwamba, sehemu ya tano ya mazao ni mali ya Farao. Ni nchi ya makuhani tu ambayo haikuwa ya Farao.

GEN 47:27 Removed trailing space in v~: Basi Waisraeli wakaishi Misri katika nchi ya Gosheni. Wakapata mali huko wakastawi na kuongezeka kwa wingi sana.

GEN 47:28 Removed trailing space in v~: Yakobo akaishi Misri miaka kumi na saba, nayo miaka ya maisha yake ilikuwa 147.

GEN 47:29 Removed trailing space in v~: Wakati ulipokaribia wa Israeli kufa, akamwita mwanawe Yosefu na kumwambia, “Kama nimepata kibali machoni pake, weka mkono wako chini ya paja langu na uniahidi kuwa utanifanyia fadhili na uaminifu. Usinizike Misri,

GEN 47:30 Removed trailing space in v~: lakini nitakapopumzika na baba zangu, unichukue kutoka Misri, ukanizike walipozikwa.”

GEN 47:30 Removed trailing space in p~: Yosefu akamwambia, “Nitafanya kama unavyosema.”

GEN 47:31 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Niapie.” Ndipo Yosefu akamwapia, naye Israeli akaabudu, akiwa ameegemea juu ya kichwa cha fimbo yake.

GEN 48:0 Extra space after chapter number

GEN 48:0 Removed trailing space in c: 48

GEN 48:0 Removed trailing space in s1: Manase Na Efraimu

GEN 48:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda Yosefu akaambiwa kwamba, “Baba yako ni mgonjwa.” Kwa hiyo akawachukua wanawe wawili Manase na Efraimu, pamoja naye.

GEN 48:2 Removed trailing space in v~: Yakobo alipoambiwa, “Mwanao Yosefu amekujia kukuona,” Israeli akakusanya nguvu zake, akaketi kitandani.

GEN 48:3 Removed trailing space in v~: Yakobo akamwambia Yosefu, “Mungu Mwenyezi\f + \fr 48:3 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* alinitokea huko Luzu katika nchi ya Kanaani, huko akanibariki,

GEN 48:4 Removed trailing space in v~: naye akaniambia, ‘Nitakufanya ustawi na kuongezeka hesabu yako, nitakufanya kuwa jamii ya mataifa, nami nitakupa nchi hii uimiliki milele wewe na wazao wako baada yako.’

GEN 48:5 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, wanao wawili waliozaliwa kwako huku Misri kabla sijaja hapa kwako watahesabiwa kuwa ni wangu; Efraimu na Manase watakuwa wangu, kama vile Reubeni na Simeoni walivyo wangu.

GEN 48:6 Removed trailing space in v~: Lakini watoto utakaowazaa baada yao watakuwa wako. Katika nchi watakayoirithi, watatambuliwa kwa jina la ndugu zao.

GEN 48:7 Removed trailing space in v~: Nilipokuwa ninarudi kutoka Padani, katika huzuni yangu Raheli alifariki katika nchi ya Kanaani tulipokuwa tungali tukisafiri, tukiwa karibu kufika Efrathi. Kwa hiyo nilimzika huko, kando ya njia iendayo Efrathi” (yaani Bethlehemu).

GEN 48:8 Removed trailing space in v~: Wakati Israeli alipowaona wana wa Yosefu, akauliza, “Hawa ni nani?”

GEN 48:9 Removed trailing space in v~: Yosefu akamjibu baba yake, “Hawa ni wana ambao Mungu amenipa nikiwa huku.”

GEN 48:9 Removed trailing space in p~: Ndipo Israeli akasema, “Walete kwangu ili niwabariki.”

GEN 48:10 Removed trailing space in v~: Basi macho ya Israeli yalikuwa hayaoni vizuri kwa sababu ya uzee, naye aliona kwa shida. Kwa hiyo Yosefu akawaleta wanawe karibu na baba yake, Israeli akawabusu na akawakumbatia.

GEN 48:11 Removed trailing space in v~: Israeli akamwambia Yosefu, “Kamwe sikutazamia kuuona uso wako tena, lakini sasa Mungu ameniruhusu kuwaona watoto wako pia.”

GEN 48:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawaondoa wanawe magotini mwa Israeli naye akasujudu hadi nchi.

GEN 48:13 Removed trailing space in v~: Yosefu akachukua wale wana wawili, Efraimu kwenye mkono wake wa kuume akimwelekeza kwenye mkono wa kushoto wa Israeli, na Manase katika mkono wake wa kushoto akimwelekeza kwenye mkono wa kuume wa Israeli, akawaleta karibu na babu yao.

GEN 48:14 Removed trailing space in v~: Lakini Israeli akaupeleka mkono wake wa kuume, akauweka juu ya kichwa cha Efraimu, ingawa alikuwa ndiye mdogo, na mkono wake wa kushoto akaukatisha, akauweka juu ya kichwa cha Manase, ingawa Manase alikuwa ndiye mzaliwa wa kwanza.

GEN 48:15 Removed trailing space in v~: Ndipo akambariki Yosefu akisema,

GEN 48:15 Removed trailing space in p~: “Mungu ambaye baba zangu

GEN 48:15 Removed trailing space in p~: Abrahamu na Isaki walimtii,

GEN 48:15 Removed trailing space in p~: Mungu ambaye amekuwa mchungaji

GEN 48:15 Removed trailing space in p~: wa maisha yangu yote mpaka leo hii,

GEN 48:16 Removed trailing space in v~: Malaika ambaye aliniokoa kutoka madhara yote,

GEN 48:16 Removed trailing space in p~: yeye na awabariki vijana hawa.

GEN 48:16 Removed trailing space in p~: Na waitwe kwa jina langu

GEN 48:16 Removed trailing space in p~: na kwa majina ya baba zangu Abrahamu na Isaki,

GEN 48:16 Removed trailing space in p~: wao na waongezeke kwa wingi

GEN 48:16 Removed trailing space in p~: katika dunia.”

GEN 48:17 Removed trailing space in v~: Yosefu alipoona baba yake akiweka mkono wa kuume juu ya kichwa cha Efraimu, hakupendezwa, kwa hiyo akauchukua mkono wa baba yake kutoka kichwa cha Efraimu na kuuweka juu ya kichwa cha Manase.

GEN 48:18 Removed trailing space in v~: Yosefu akamwambia, “Hapana, baba yangu, huyu ndiye mzaliwa wa kwanza; uweke mkono wako wa kuume juu ya kichwa chake.”

GEN 48:19 Removed trailing space in v~: Lakini baba yake akakataa, akasema, “Ninajua, mwanangu, ninajua. Yeye pia atakuwa taifa, naye pia atakuwa mkuu. Hata hivyo, ndugu yake mdogo atakuwa mkuu kuliko yeye, nao wazao wake watakuwa kundi la mataifa.”

GEN 48:20 Removed trailing space in v~: Akawabarikia siku ile na kusema,

GEN 48:20 Removed trailing space in p~: “Kwa jina lenu Israeli watatamka baraka hii:

GEN 48:20 Removed trailing space in p~: ‘Mungu na awafanye kama Efraimu na Manase.’ ”

GEN 48:20 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo akamtanguliza Efraimu mbele ya Manase.

GEN 48:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Israeli akamwambia Yosefu, “Mimi ninakaribia kufa, lakini Mungu atakuwa pamoja nanyi, na atawarudisha katika nchi ya baba zenu.

GEN 48:22 Removed trailing space in v~: Kwako wewe, kama aliye juu ya ndugu zako, ninakupa sehemu moja zaidi ya ndugu zako, lile eneo nililoteka kwa Waamori kwa upanga wangu na upinde wangu.”

GEN 49:0 Extra space after chapter number

GEN 49:0 Removed trailing space in c: 49

GEN 49:0 Removed trailing space in s1: Yakobo Abariki Wanawe

GEN 49:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Yakobo akawaita wanawe na kusema: “Kusanyikeni kunizunguka ili niweze kuwaambia lile litakalowatokea siku zijazo.

GEN 49:2 Removed trailing space in v~: “Kusanyikeni na msikilize, enyi wana wa Yakobo,

GEN 49:2 Removed trailing space in p~: msikilizeni baba yenu Israeli.

GEN 49:3 Removed trailing space in v~: “Reubeni, wewe ni mzaliwa wangu wa kwanza,

GEN 49:3 Removed trailing space in p~: nguvu zangu, tunda la kwanza la nguvu zangu,

GEN 49:3 Removed trailing space in p~: umepita kwa heshima, umepita kwa uwezo.

GEN 49:4 Removed trailing space in v~: Usiyezuiwa kama maji, basi hutakuwa mkuu tena,

GEN 49:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ulipanda kwenye kitanda cha baba yako,

GEN 49:4 Removed trailing space in p~: kwenye kitanda changu na kukinajisi.

GEN 49:5 Removed trailing space in v~: “Simeoni na Lawi ni wana ndugu:

GEN 49:5 Removed trailing space in p~: panga zao ni silaha za jeuri.

GEN 49:6 Removed trailing space in v~: Mimi na nisiingie katika baraza lao,

GEN 49:6 Removed trailing space in p~: nami nisiunganike katika kusanyiko lao,

GEN 49:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wamewaua watu katika hasira yao,

GEN 49:6 Removed trailing space in p~: walikata mishipa ya miguu ya mafahali

GEN 49:6 Removed trailing space in p~: kama walivyopenda.

GEN 49:7 Removed trailing space in v~: Hasira yao na ilaaniwe, kwa kuwa ni kali mno,

GEN 49:7 Removed trailing space in p~: nayo ghadhabu yao ni ya ukatili!

GEN 49:7 Removed trailing space in p~: Nitawatawanya katika Yakobo

GEN 49:7 Removed trailing space in p~: Na kuwasambaza katika Israeli.

GEN 49:8 Removed trailing space in v~: “Yuda, ndugu zako watakusifu;

GEN 49:8 Removed trailing space in p~: mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako;

GEN 49:8 Removed trailing space in p~: wana wa baba yako watakusujudia.

GEN 49:9 Removed trailing space in v~: Ee Yuda, wewe ni mwana simba;

GEN 49:9 Removed trailing space in p~: unarudi toka mawindoni, mwanangu.

GEN 49:9 Removed trailing space in p~: Kama simba hunyemelea na kulala chini,

GEN 49:9 Removed trailing space in p~: kama simba jike: nani athubutuye kumwamsha?

GEN 49:10 Removed trailing space in v~: Fimbo ya ufalme haitaondoka kwa Yuda,

GEN 49:10 Removed trailing space in p~: wala fimbo ya mtawala kati ya miguu yake,

GEN 49:10 Removed trailing space in p~: hadi aje yeye ambaye milki ni yake,

GEN 49:10 Removed trailing space in p~: ambaye utii wa mataifa ni wake.

GEN 49:11 Removed trailing space in v~: Atamfunga punda wake katika mzabibu,

GEN 49:11 Removed trailing space in p~: naye mwana-punda wake kwenye tawi lililo bora zaidi;

GEN 49:11 Removed trailing space in p~: atafua mavazi yake katika divai,

GEN 49:11 Removed trailing space in p~: majoho yake katika damu ya mizabibu.

GEN 49:12 Removed trailing space in v~: Macho yake yatakuwa mekundu kwa divai,

GEN 49:12 Removed trailing space in p~: meno yake yatakuwa meupe kwa maziwa.

GEN 49:13 Removed trailing space in v~: “Zabuloni ataishi pwani ya bahari

GEN 49:13 Removed trailing space in p~: na kuwa bandari za kuegesha meli;

GEN 49:13 Removed trailing space in p~: mpaka wake utapanuka kuelekea Sidoni.

GEN 49:14 Removed trailing space in v~: “Isakari ni punda mwenye nguvu

GEN 49:14 Removed trailing space in p~: ambaye amelala kati ya mizigo yake.

GEN 49:15 Removed trailing space in v~: Aonapo palivyo pazuri mahali pake pa kupumzika

GEN 49:15 Removed trailing space in p~: na jinsi nchi yake inavyopendeza,

GEN 49:15 Removed trailing space in p~: atainamisha bega lake kwenye mzigo

GEN 49:15 Removed trailing space in p~: na kujitolea kwa ajili ya kazi ngumu.

GEN 49:16 Removed trailing space in v~: “Dani atahukumu watu wake kwa haki

GEN 49:16 Removed trailing space in p~: kama mmoja wa makabila ya Israeli.

GEN 49:17 Removed trailing space in v~: Dani atakuwa nyoka kando ya barabara,

GEN 49:17 Removed trailing space in p~: nyoka mwenye sumu kando ya njia,

GEN 49:17 Removed trailing space in p~: yule aumaye visigino vya farasi

GEN 49:17 Removed trailing space in p~: ili yule ampandaye aanguke chali.

GEN 49:18 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd*, nautafuta wokovu wako.

GEN 49:19 Removed trailing space in v~: “Gadi atashambuliwa ghafula na kundi la washambuliaji,

GEN 49:19 Removed trailing space in p~: lakini yeye atawageukia na kuwashinda kabisa.

GEN 49:20 Removed trailing space in v~: “Chakula cha Asheri kitakuwa kinono,

GEN 49:20 Removed trailing space in p~: naye atatoa chakula kitamu kimfaacho mfalme.

GEN 49:21 Removed trailing space in v~: “Naftali ni kulungu jike aliyeachiwa huru

GEN 49:21 Removed trailing space in p~: azaaye watoto wazuri.

GEN 49:22 Removed trailing space in v~: “Yosefu ni mzabibu uzaao,

GEN 49:22 Removed trailing space in p~: mzabibu uzaao ulio kando ya chemchemi,

GEN 49:22 Removed trailing space in p~: ambao matawi yake hutanda ukutani.

GEN 49:23 Removed trailing space in v~: Kwa uchungu wapiga mshale walimshambulia,

GEN 49:23 Removed trailing space in p~: wakampiga mshale kwa ukatili.

GEN 49:24 Removed trailing space in v~: Lakini upinde wake ulibaki imara,

GEN 49:24 Removed trailing space in p~: mikono yake ikatiwa nguvu,

GEN 49:24 Removed trailing space in p~: na mkono wa Mwenye Nguvu wa Yakobo,

GEN 49:24 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya Mchungaji, Mwamba wa Israeli,

GEN 49:25 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya Mungu wa baba yako, anayekusaidia,

GEN 49:25 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya Mwenyezi,\f + \fr 49:25 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.\f* yeye anayekubariki

GEN 49:25 Removed trailing space in p~: kwa baraka za mbinguni juu,

GEN 49:25 Removed trailing space in p~: baraka za kilindi kilichoko chini,

GEN 49:25 Removed trailing space in p~: baraka za matitini na za tumbo la uzazi.

GEN 49:26 Removed trailing space in v~: Baraka za baba yako ni kubwa

GEN 49:26 Removed trailing space in p~: kuliko baraka za milima ya kale,

GEN 49:26 Removed trailing space in p~: nyingi kuliko vilima vya kale.

GEN 49:26 Removed trailing space in p~: Baraka hizo zote na zikae juu ya kichwa cha Yosefu,

GEN 49:26 Removed trailing space in p~: juu ya paji la yule mkuu miongoni mwa ndugu zake.

GEN 49:27 Removed trailing space in v~: “Benyamini ni mbwa mwitu mlafi mwenye njaa kuu;

GEN 49:27 Removed trailing space in p~: asubuhi hurarua mawindo yake,

GEN 49:27 Removed trailing space in p~: jioni hugawa nyara.”

GEN 49:28 Removed trailing space in v~: Haya yote ndiyo makabila kumi na mawili ya Israeli, na hivi ndivyo baba yao alivyowaambia alipowabariki, akimpa kila mmoja baraka inayomfaa.

GEN 49:28 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Yakobo

GEN 49:29 Removed trailing space in v~: Ndipo alipowapa maelekezo haya: “Mimi niko karibu kukusanywa kwa watu wangu. Mnizike pamoja na baba zangu kwenye pango katika shamba la Efroni, Mhiti,

GEN 49:30 Removed trailing space in v~: pango lililoko katika shamba la Makpela, karibu na Mamre huko Kanaani, ambalo Abrahamu alinunua kwa ajili ya mahali pa kuzikia kutoka kwa Efroni, Mhiti, pamoja na shamba.

GEN 49:31 Removed trailing space in v~: Huko ndiko Abrahamu na Sara mkewe walikozikwa, huko akazikwa Isaki na Rebeka mkewe, na huko nilimzika Lea.

GEN 49:32 Removed trailing space in v~: Shamba hilo na pango lililoko ndani yake lilinunuliwa kutoka kwa Wahiti.”

GEN 49:33 Removed trailing space in v~: Baada ya Yakobo kumaliza kutoa maelekezo hayo kwa wanawe, akarudisha miguu yake kitandani, akapumua pumzi ya mwisho, na akakusanywa kwa watu wake.

GEN 50:0 Extra space after chapter number

GEN 50:0 Removed trailing space in c: 50

GEN 50:1 Removed trailing space in v~: Basi Yosefu akamwangukia baba yake, akalilia juu yake na akambusu.

GEN 50:2 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawaagiza matabibu waliokuwa wakimhudumia, wamtie baba yake Israeli dawa ili asioze. Hivyo matabibu wakamtia dawa asioze,

GEN 50:3 Removed trailing space in v~: wakatumia siku arobaini, kwa maana ndio muda uliotakiwa wa kutia dawa ili asioze. Nao Wamisri wakamwombolezea Yakobo kwa siku sabini.

GEN 50:4 Removed trailing space in v~: Siku za kumwombolezea zilipokwisha, Yosefu akawaambia washauri wa Farao, “Kama nimepata kibali machoni penu semeni na Farao kwa ajili yangu. Mwambieni,

GEN 50:5 Removed trailing space in v~: ‘Baba yangu aliniapisha na kuniambia, “Mimi niko karibu kufa; unizike katika kaburi lile nililochimba kwa ajili yangu mwenyewe katika nchi ya Kanaani.” Sasa nakuomba uniruhusu niende kumzika baba yangu, nami nitarudi.’ ”

GEN 50:6 Removed trailing space in v~: Farao akasema, “Panda, uende kumzika baba yako, kama alivyokuapiza kufanya.”

GEN 50:7 Removed trailing space in v~: Hivyo Yosefu akapanda kwenda kumzika baba yake. Maafisa wote wa Farao wakaenda pamoja naye, watu mashuhuri wa baraza lake na watu mashuhuri wote wa Misri.

GEN 50:8 Removed trailing space in v~: Hawa ni mbali na watu wote wa nyumbani kwa Yosefu, na ndugu zake, na wale wote wa nyumbani mwa baba yake. Ni watoto wao, makundi yao ya kondoo, mbuzi na ngʼombe tu waliobakia katika nchi ya Gosheni.

GEN 50:9 Removed trailing space in v~: Magari makubwa na wapanda farasi pia walipanda pamoja naye. Likawa kundi kubwa sana.

GEN 50:10 Removed trailing space in v~: Walipofika kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Atadi, karibu na Yordani, wakalia kwa sauti na kwa uchungu; Yosefu akapumzika huko kwa siku saba kumwombolezea baba yake.

GEN 50:11 Removed trailing space in v~: Wakanaani walioishi huko walipoona maombolezo yaliyofanyika katika sakafu ile ya kupuria ya Atadi, wakasema, “Wamisri wanafanya maombolezo makubwa.” Kwa hiyo mahali pale karibu na Yordani pakaitwa Abel-Mizraimu.\f + \fr 50:11 \ft Abel-Mizraimu maana yake Maombolezo ya Wamisri.\f*

GEN 50:12 Removed trailing space in v~: Hivyo wana wa Yakobo wakafanya kama baba yao alivyowaagiza:

GEN 50:13 Removed trailing space in v~: Wakamchukua mpaka nchi ya Kanaani, wakamzika kwenye pango katika shamba la Makpela, karibu na Mamre, ambalo Abrahamu alilinunua kutoka kwa Efroni, Mhiti, pamoja na shamba liwe mahali pa kuzikia.

GEN 50:14 Removed trailing space in v~: Baada ya Yosefu kumzika baba yake, akarudi Misri pamoja na ndugu zake na wale wote waliokuwa wamekwenda naye kumzika baba yake.

GEN 50:14 Removed trailing space in s1: Yosefu Awaondolea Ndugu Zake Mashaka

GEN 50:15 Removed trailing space in v~: Ndugu zake Yosefu walipoona kwamba baba yao amekufa, wakasema, “Itakuwaje kama Yosefu ataweka kinyongo dhidi yetu na kutulipa mabaya yote tuliyomtendea?”

GEN 50:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakampelekea Yosefu ujumbe, wakasema, “Kabla baba yako hajafa aliacha maagizo haya:

GEN 50:17 Removed trailing space in v~: ‘Hili ndilo mtakalomwambia Yosefu: Ninakuomba uwasamehe ndugu zako dhambi na mabaya kwa vile walivyokutenda vibaya.’ Sasa tafadhali samehe dhambi za watumishi wa Mungu wa baba yako.” Ujumbe huu ulipomfikia, Yosefu akalia.

GEN 50:18 Removed trailing space in v~: Ndipo ndugu zake wakaja na kujitupa chini mbele yake. Wakasema, “Sisi ni watumwa wako.”

GEN 50:19 Removed trailing space in v~: Lakini Yosefu akawaambia, “Msiogope. Je, mimi ni badala ya Mungu?

GEN 50:20 Removed trailing space in v~: Mlikusudia kunidhuru, lakini Mungu alikusudia mema, ili litimie hili linalofanyika sasa, kuokoa maisha ya watu wengi.

GEN 50:21 Removed trailing space in v~: Hivyo basi, msiogope. Mimi nitawatunza ninyi nyote pamoja na watoto wenu.” Akawahakikishia na kusema nao kwa wema.

GEN 50:21 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Yosefu

GEN 50:22 Removed trailing space in v~: Yosefu akakaa katika nchi ya Misri, yeye pamoja na jamaa yote ya baba yake. Akaishi miaka 110,

GEN 50:23 Removed trailing space in v~: naye akaona kizazi cha tatu cha watoto wa Efraimu. Pia akaona watoto wa Makiri mwana wa Manase, wakawekwa magotini mwa Yosefu walipozaliwa.

GEN 50:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosefu akawaambia ndugu zake, “Mimi ninakaribia kufa. Lakini kwa hakika Mungu atawasaidia na kuwachukueni kutoka nchi hii na kuwapeleka katika nchi aliyomwahidi kwa kiapo Abrahamu, Isaki na Yakobo.”

GEN 50:25 Removed trailing space in v~: Naye Yosefu akawaapisha wana wa Israeli na kuwaambia, “Hakika Mungu atawasaidia, nanyi ni lazima mhakikishe mmepandisha mifupa yangu kutoka mahali hapa.”

GEN 50:26 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yosefu akafa akiwa na umri wa miaka 110. Baada ya kumtia dawa ili asioze, akawekwa kwenye jeneza huko Misri.

EXO -1:0 Removed trailing space in id: EXO - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

EXO -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

EXO -1:2 Removed trailing space in h: Kutoka

EXO -1:3 Removed trailing space in toc1: Kutoka

EXO -1:4 Removed trailing space in toc2: Kutoka

EXO -1:5 Removed trailing space in toc3: Kut

EXO -1:6 Removed trailing space in mt1: Kutoka

EXO 1:0 Extra space after chapter number

EXO 1:0 Removed trailing space in c: 1

EXO 1:0 Removed trailing space in s1: Waisraeli Waonewa

EXO 1:1 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya wana wa Israeli ambao walikwenda Misri na Yakobo, kila mmoja akiwa pamoja na jamaa yake:

EXO 1:2 Removed trailing space in v~: Reubeni, Simeoni, Lawi na Yuda;

EXO 1:3 Removed trailing space in v~: Isakari, Zabuloni na Benyamini;

EXO 1:4 Removed trailing space in v~: Dani na Naftali, Gadi na Asheri.

EXO 1:5 Removed trailing space in v~: Wazao wote wa Yakobo walikuwa watu sabini; Yosefu alikuwa tayari yuko Misri.

EXO 1:6 Removed trailing space in v~: Basi Yosefu na kaka zake wote na kizazi kile chote walikufa,

EXO 1:7 Removed trailing space in v~: lakini Waisraeli walikuwa wamezaana na kuongezeka sana, idadi yao ikawa kubwa mno, kwa hiyo wakaijaza nchi.

EXO 1:8 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme mpya ambaye hakufahamu habari za Yosefu akatawala Misri.

EXO 1:9 Removed trailing space in v~: Akawaambia watu wake, “Tazameni, Waisraeli wamekuwa wengi mno kwa idadi kutuliko sisi.

EXO 1:10 Removed trailing space in v~: Njooni, ni lazima tuwashughulikie kwa uangalifu, la sivyo watazidi kuwa wengi zaidi, na ikiwa patatokea vita, watajiunga na adui zetu kupigana dhidi yetu na kuondoka katika nchi hii.”

EXO 1:11 Removed trailing space in v~: Basi Wamisri wakaweka wasimamizi wa kuwasimamia na kuwatesa Waisraeli kwa kazi ngumu, nao wakajenga miji ya Pithomu na Ramesesi ya kuweka akiba ya Farao.

EXO 1:12 Removed trailing space in v~: Lakini walivyozidi kuteswa ndivyo walivyozidi kuongezeka na kuenea katika nchi; Wamisri wakawaogopa Waisraeli,

EXO 1:13 Removed trailing space in v~: kwa hiyo wakawatumikisha kwa ukatili.

EXO 1:14 Removed trailing space in v~: Wakafanya maisha ya Waisraeli kuwa machungu kwa kufanya kazi ngumu ya kutengeneza lami na kufyatua matofali, na kazi zote za mashambani; katika kazi zao zote ngumu, Wamisri waliwatumia Waisraeli kwa ukatili.

EXO 1:15 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Misri akawaambia wakunga wa Kimisri waliowazalisha wanawake wa Kiebrania, ambao majina yao ni Shifra na Pua,

EXO 1:16 Removed trailing space in v~: “Mtakapowazalisha wanawake wa Kiebrania, chunguzeni wanapojifungua. Ikiwa ni mtoto wa kiume, muueni, lakini ikiwa ni msichana, mwacheni aishi.”

EXO 1:17 Removed trailing space in v~: Lakini hao wakunga walimcha Mungu na hawakufanya kile mfalme wa Misri alichowaambia kufanya, bali wakawaacha watoto wa kiume waishi.

EXO 1:18 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme wa Misri akawaita hao wakunga, akawauliza, “Kwa nini mmefanya hivi? Mbona mmeacha watoto wa kiume waishi?”

EXO 1:19 Removed trailing space in v~: Wakunga wakamjibu Farao, “Wanawake wa Kiebrania ni tofauti na wanawake wa Kimisri; wao wana nguvu, nao hujifungua watoto kabla wakunga hawajafika.”

EXO 1:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu akawatendea mema wakunga hao. Waisraeli wakaongezeka na kuendelea kuwa wengi zaidi.

EXO 1:21 Removed trailing space in v~: Kwa vile hao wakunga walimcha Mungu, Mungu akawajalia kuwa na jamaa zao wenyewe.

EXO 1:22 Removed trailing space in v~: Kisha Farao akatoa agizo hili kwa watu wake wote: “Kila mtoto wa kiume atakayezaliwa kwa Waebrania lazima atupwe katika Mto Naili, bali kila mtoto wa kike aachwe aishi.”

EXO 2:0 Extra space after chapter number

EXO 2:0 Removed trailing space in c: 2

EXO 2:0 Removed trailing space in s1: Kuzaliwa Kwa Mose

EXO 2:1 Removed trailing space in v~: Basi mtu mmoja wa nyumba ya Lawi akaoa mwanamke Mlawi,

EXO 2:2 Removed trailing space in v~: naye mwanamke huyo akapata mimba, akazaa mtoto wa kiume. Alipoona mtoto huyo ni mzuri, akamficha kwa miezi mitatu.

EXO 2:3 Removed trailing space in v~: Lakini alipoona hawezi kumficha zaidi, akamtengenezea kisafina cha mafunjo, akakipaka lami. Kisha akamweka huyo mtoto ndani yake, akakificha katikati ya matete kando ya ukingo wa Mto Naili.

EXO 2:4 Removed trailing space in v~: Dada ya huyo mtoto akasimama mbali ili kuona kitakachompata mtoto.

EXO 2:5 Removed trailing space in v~: Ndipo binti Farao akateremka mtoni Naili kuoga, nao wahudumu wake wakawa wanatembea ukingoni mwa mto. Binti mfalme akaona kisafina katikati ya manyasi, akamtuma mmoja wa watumwa wake wa kike kukichukua.

EXO 2:6 Removed trailing space in v~: Alifungua kisafina akaona mtoto ndani yake. Mtoto alikuwa akilia, akamhurumia. Akasema, “Huyu ni mmoja wa watoto wa Kiebrania.”

EXO 2:7 Removed trailing space in v~: Ndipo dada wa huyo mtoto akamuuliza binti Farao, “Je, niende nikakutafutie mmoja wa wanawake wa Kiebrania akulelee huyu mtoto?”

EXO 2:8 Removed trailing space in v~: Binti Farao akamjibu, “Ndiyo, nenda.” Yule msichana akaenda akamleta mama wa mtoto.

EXO 2:9 Removed trailing space in v~: Binti Farao akamwambia, “Mchukue huyu mtoto unisaidie kumlea, nami nitakulipa.” Basi yule mwanamke akamchukua mtoto na kumlea.

EXO 2:10 Removed trailing space in v~: Mtoto alipokua, akampeleka kwa binti Farao, naye akawa mwanawe. Akamwita jina lake Mose akisema, “Nilimtoa kwenye maji.”

EXO 2:10 Removed trailing space in s1: Mose Akimbilia Midiani

EXO 2:11 Removed trailing space in v~: Siku moja, baada ya Mose kukua, akaondoka kwenda walikokuwa watu wake, na akachunguza jinsi walivyokuwa wakifanya kazi ngumu. Akamwona Mmisri akimpiga Mwebrania, mmojawapo wa watu wake.

EXO 2:12 Removed trailing space in v~: Mose akatazama huku na huko asione mtu yeyote, akamuua yule Mmisri, akamficha mchangani.

EXO 2:13 Removed trailing space in v~: Kesho yake akatoka, akaona Waebrania wawili wakipigana. Akamuuliza yule aliyekosa, “Mbona unampiga Mwebrania mwenzako?”

EXO 2:14 Removed trailing space in v~: Yule mtu akamjibu, “Ni nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi juu yetu? Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri?” Ndipo Mose akaogopa na kuwaza, “Jambo lile nililofanya lazima limefahamika.”

EXO 2:15 Removed trailing space in v~: Farao aliposikia jambo hili, alijaribu kumuua Mose, lakini Mose akamkimbia Farao na kwenda kuishi katika nchi ya Midiani, akaketi kando ya kisima.

EXO 2:16 Removed trailing space in v~: Kuhani wa Midiani alikuwa na binti saba, nao wakaja kisimani ili kuchota maji na kujaza hori kwa ajili ya kunyweshea mifugo ya baba yao.

EXO 2:17 Removed trailing space in v~: Baadhi ya wachungaji wakaja wakawafukuza hao wasichana. Ndipo Mose akainuka, akawasaidia na kunywesha mifugo yao.

EXO 2:18 Removed trailing space in v~: Hao wasichana waliporudi nyumbani kwa Reueli baba yao, akawauliza, “Imekuwaje leo mmerudi mapema hivyo?”

EXO 2:19 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Mmisri mmoja alituokoa kutoka mikononi mwa wachungaji. Pia mtu huyo alituchotea maji na kunywesha mifugo.”

EXO 2:20 Removed trailing space in v~: Akawauliza binti zake, “Yuko wapi? Mbona mmemwacha? Mkaribisheni ale chakula.”

EXO 2:21 Removed trailing space in v~: Mose akakubali kukaa kwa huyo mtu, ambaye alimpa Mose binti yake aliyeitwa Sipora amwoe.

EXO 2:22 Removed trailing space in v~: Sipora alizaa mtoto wa kiume, naye Mose akamwita Gershomu, akisema, “Nimekuwa mgeni katika nchi ya kigeni.”

EXO 2:23 Removed trailing space in v~: Baada ya muda mrefu, mfalme wa Misri akafa. Waisraeli wakalia kwa huzuni katika utumwa wao, walilia na kilio chao cha kutaka msaada kwa ajili ya utumwa kikamfikia Mungu.

EXO 2:24 Removed trailing space in v~: Mungu akasikia kilio chao cha huzuni, akakumbuka Agano alilofanya na Abrahamu pamoja na Isaki na Yakobo.

EXO 2:25 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu akawaangalia Waisraeli na kuwahurumia.

EXO 3:0 Extra space after chapter number

EXO 3:0 Removed trailing space in c: 3

EXO 3:0 Removed trailing space in s1: Mose Na Kichaka Kinachowaka Moto

EXO 3:1 Removed trailing space in v~: Basi Mose alikuwa anachunga mifugo ya Yethro mkwewe, kuhani wa Midiani. Mose akapeleka mifugo mbali nyuma ya jangwa, naye akafika Horebu, mlima wa Mungu.

EXO 3:2 Removed trailing space in v~: Huko malaika wa \nd Bwana\nd* akamtokea Mose katika mwali wa moto kutoka kichakani. Mose akaona kwamba ingawa kile kichaka kilikuwa kinawaka moto, kilikuwa hakiteketei.

EXO 3:3 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akawaza, “Nitageuka sasa nione kitu hiki cha ajabu, nami nione ni kwa nini kichaka hiki hakiteketei.”

EXO 3:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipoona kuwa amegeuka ili aone, Mungu akamwita kutoka ndani ya kile kichaka, “Mose! Mose!”

EXO 3:4 Removed trailing space in p~: Naye Mose akajibu, “Mimi hapa.”

EXO 3:5 Removed trailing space in v~: Mungu akamwambia, “Usikaribie zaidi. Vua viatu vyako, kwa maana mahali unaposimama ni patakatifu.”

EXO 3:6 Removed trailing space in v~: Kisha akamwambia, “Mimi ni Mungu wa baba yako, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo.” Mose aliposikia hayo, akafunika uso wake kwa sababu aliogopa kumtazama Mungu.

EXO 3:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia, “Hakika nimeona mateso ya watu wangu katika Misri. Nimesikia kilio chao kwa sababu ya wasimamizi wao, nami naguswa na mateso yao.

EXO 3:8 Removed trailing space in v~: Basi nimeshuka niwaokoe kutoka mkono wa Wamisri, niwatoe na kuwapandisha kutoka nchi hiyo, niwapeleke katika nchi nzuri na kubwa, nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.

EXO 3:9 Removed trailing space in v~: Sasa kilio cha Waisraeli kimenifikia, nami nimeona jinsi Wamisri wanavyowatesa.

EXO 3:10 Removed trailing space in v~: Basi, sasa nenda. Ninakutuma kwa Farao ili kuwatoa watu wangu Waisraeli kutoka Misri.”

EXO 3:11 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akamwambia Mungu, “Mimi ni nani hata niende kwa Farao kuwatoa Waisraeli nchini Misri?”

EXO 3:12 Removed trailing space in v~: Naye Mungu akasema, “Mimi nitakuwa pamoja nawe. Hii itakuwa ishara kwako kwamba ni Mimi nimekutuma: Hapo utakapokuwa umewatoa watu Misri, mtamwabudu Mungu katika mlima huu.”

EXO 3:13 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia Mungu, “Ikiwa nitawaendea Waisraeli na kuwaambia, ‘Mungu wa baba zenu amenituma kwenu,’ nao wakiniuliza, ‘Jina lake ni nani?’ Nitawaambia nini?”

EXO 3:14 Removed trailing space in v~: Mungu akamwambia Mose, “\nd Mimi niko ambaye niko\nd*. Hivyo ndivyo utakavyowaambia Waisraeli: ‘\nd Mimi niko\nd* amenituma kwenu.’ ”

EXO 3:15 Removed trailing space in v~: Vilevile Mungu akamwambia Mose, “Waambie Waisraeli, ‘\nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo amenituma kwenu.’ Hili ndilo Jina langu milele, Jina ambalo mtanikumbuka kwalo kutoka kizazi hadi kizazi.

EXO 3:16 Removed trailing space in v~: “Nenda, ukawakusanye wazee wa Israeli, uwaambie, ‘\nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, Mungu wa Abrahamu, Isaki na Yakobo, alinitokea akaniambia: Nimewatazama, nami nimeona mliyofanyiwa katika Misri.

EXO 3:17 Removed trailing space in v~: Nami nimeahidi kuwapandisha kutoka mateso yenu katika nchi ya Misri, niwapeleke nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi, nchi itiririkayo maziwa na asali.’

EXO 3:18 Removed trailing space in v~: “Wazee wa Israeli watakusikiliza. Kisha wewe na wazee mtakwenda kwa mfalme wa Misri na kumwambia, ‘\nd Bwana\nd*, Mungu wa Waebrania ametutokea. Turuhusu twende safari ya siku tatu huko jangwani kutoa dhabihu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wetu.’

EXO 3:19 Removed trailing space in v~: Lakini nafahamu kwamba mfalme wa Misri hatawaruhusu kwenda, mpaka mkono wenye nguvu umlazimishe.

EXO 3:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitaunyoosha mkono wangu na kuwapiga Wamisri kwa maajabu yote nitakayofanya miongoni mwao. Baada ya hayo, atawaruhusu mwondoke.

EXO 3:21 Removed trailing space in v~: “Nami nitawapa hawa watu upendeleo mbele ya Wamisri, kwa hiyo mtakapoondoka nchini hamtaondoka mikono mitupu.

EXO 3:22 Removed trailing space in v~: Kila mwanamke Mwisraeli atamwomba jirani yake Mmisri na mwanamke yeyote anayeishi nyumbani kwake ampe vyombo vya fedha, dhahabu na nguo, ambavyo mtawavika wana wenu na binti zenu. Hivyo mtawateka nyara Wamisri.”

EXO 4:0 Extra space after chapter number

EXO 4:0 Removed trailing space in c: 4

EXO 4:0 Removed trailing space in s1: Ishara Za Mose

EXO 4:1 Removed trailing space in v~: Mose akamjibu, “Itakuwaje kama hawataniamini au kunisikiliza, waseme, ‘\nd Bwana\nd* hakukutokea’?”

EXO 4:2 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia, “Ni nini hicho kilicho mkononi mwako?”

EXO 4:2 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Fimbo.”

EXO 4:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Itupe chini.”

EXO 4:3 Removed trailing space in p~: Mose akaitupa chini hiyo fimbo nayo ikawa nyoka, naye akaikimbia.

EXO 4:4 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia, “Nyoosha mkono wako umkamate mkiani.” Basi Mose akanyoosha mkono akamkamata yule nyoka, naye akabadilika tena kuwa fimbo mkononi mwake.

EXO 4:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Hivi ndivyo Waisraeli watakavyoamini kuwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, Mungu wa Abrahamu, Mungu wa Isaki, na Mungu wa Yakobo, amekutokea wewe.”

EXO 4:6 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia, “Weka mkono wako ndani ya joho lako.” Basi Mose akaweka mkono wake ndani ya joho lake, naye alipoutoa, ulikuwa na ukoma, mweupe kama theluji.

EXO 4:7 Removed trailing space in v~: Mungu akamwambia, “Sasa urudishe tena huo mkono ndani ya joho lako.” Basi Mose akaurudisha mkono wake ndani ya joho lake na alipoutoa, ulikuwa mzima, kama sehemu zingine za mwili wake.

EXO 4:8 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia, “Kama hawatakuamini wewe, au kutojali ishara ya kwanza, wataamini ishara ya pili.

EXO 4:9 Removed trailing space in v~: Lakini kama hawataamini ishara hizi mbili au hawatawasikiliza ninyi, chukua kiasi cha maji kutoka Mto Naili uyamimine juu ya ardhi kavu. Maji mtakayotoa mtoni yatakuwa damu juu ya ardhi.”

EXO 4:10 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia \nd Bwana\nd*, “Ee Bwana, kamwe sijapata kuwa msemaji kwa ufasaha wakati uliopita wala tangu ulipoanza kuzungumza na mtumishi wako. Ulimi wangu ni mzito kuzungumza.”

EXO 4:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia, “Ni nani aliyempa mwanadamu kinywa? Ni nani aliyemfanya mtu kuwa kiziwi au bubu? Ni nani anayempa mtu kuona au upofu? Je, si mimi, \nd Bwana\nd*?

EXO 4:12 Removed trailing space in v~: Sasa nenda, nitakusaidia kusema, nami nitakufundisha jambo la kusema.”

EXO 4:13 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akasema, “Ee Bwana, tafadhali mtume mtu mwingine kufanya kazi hiyo.”

EXO 4:14 Removed trailing space in v~: Ndipo hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya Mose, akamwambia, “Vipi kuhusu ndugu yako, Aroni Mlawi? Ninajua yeye anaweza kuzungumza vizuri. Naye yuko tayari njiani kukulaki, na moyo wake utafurahi wakati atakapokuona.

EXO 4:15 Removed trailing space in v~: Utazungumza naye na kuweka maneno kinywani mwake. Nitawasaidia ninyi wawili kusema, nami nitawafundisha jambo la kufanya.

EXO 4:16 Removed trailing space in v~: Aroni ataongea na watu badala yako na itakuwa kwamba yeye amekuwa kinywa chako nawe utakuwa kama Mungu kwake.

EXO 4:17 Removed trailing space in v~: Lakini chukua fimbo hii mkononi mwako ili uweze kuitumia kufanya ishara hizo za ajabu.”

EXO 4:17 Removed trailing space in s1: Mose Anarudi Misri

EXO 4:18 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akarudi kwa Yethro mkwewe akamwambia, “Niruhusu nirudi kwa watu wangu Misri kuona kama yuko hata mmoja wao ambaye bado anaishi.”

EXO 4:18 Removed trailing space in p~: Yethro akamwambia, “Nenda, nami nakutakia mema.”

EXO 4:19 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Mose huko Midiani, “Rudi Misri kwa maana watu wote waliotaka kukuua wamekufa.”

EXO 4:20 Removed trailing space in v~: Basi Mose akamchukua mkewe na wanawe, akawapandisha juu ya punda na kuanza safari kurudi Misri. Naye akaichukua ile fimbo ya Mungu mkononi mwake.

EXO 4:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Utakaporudi Misri, hakikisha kwamba utafanya mbele ya Farao maajabu yote niliyokupa uwezo wa kuyafanya. Lakini nitafanya moyo wake kuwa mgumu ili kwamba asiwaruhusu watu waende.

EXO 4:22 Removed trailing space in v~: Kisha mwambie Farao, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Israeli ni mwanangu mzaliwa wa kwanza,

EXO 4:23 Removed trailing space in v~: nami nilikuambia, “Ruhusu mwanangu aondoke, ili aweze kuniabudu mimi.” Lakini ukakataa kumruhusu kwenda, basi nitaua mwana wako mzaliwa wa kwanza.’ ”

EXO 4:24 Removed trailing space in v~: Mose alipokuwa mahali pa kulala wageni akiwa njiani kurudi Misri, \nd Bwana\nd* akakutana naye, akataka kumuua.

EXO 4:25 Removed trailing space in v~: Lakini Sipora akachukua jiwe gumu, akakata govi la mwanawe na kugusa nalo miguu ya Mose. Sipora akasema, “Hakika wewe ni bwana arusi wa damu kwangu.”

EXO 4:26 Removed trailing space in v~: Sipora alipomwita Mose, “Bwana arusi wa damu,” alikuwa anamaanisha ile tohara. Baada ya hayo \nd Bwana\nd* akamwacha.

EXO 4:27 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Aroni, “Nenda jangwani ukamlaki Mose.” Basi akakutana na Mose kwenye mlima wa Mungu, akambusu.

EXO 4:28 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamwambia Aroni kila kitu \nd Bwana\nd* alichomtuma kusema, vilevile habari za ishara na maajabu alizokuwa amemwamuru kufanya.

EXO 4:29 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakawakusanya wazee wote wa Waisraeli,

EXO 4:30 Removed trailing space in v~: naye Aroni akawaambia kila kitu \nd Bwana\nd* alichokuwa amemwambia Mose. Pia akafanya ishara mbele ya watu,

EXO 4:31 Removed trailing space in v~: nao wakaamini. Nao waliposikia kuwa \nd Bwana\nd* anajishughulisha nao, na kwamba ameona mateso yao, walisujudu na kuabudu.

EXO 5:0 Extra space after chapter number

EXO 5:0 Removed trailing space in c: 5

EXO 5:0 Removed trailing space in s1: Matofali Bila Nyasi

EXO 5:1 Removed trailing space in v~: Baadaye Mose na Aroni wakaenda kwa Farao, wakamwambia, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Waruhusu watu wangu waende, ili waweze kunifanyia sikukuu huko jangwani.’ ”

EXO 5:2 Removed trailing space in v~: Farao akasema, “Huyo \nd Bwana\nd* ni nani, hata nimtii na kuruhusu Israeli uende? Simjui huyo \nd Bwana\nd* wala sitawaruhusu Israeli waende.”

EXO 5:3 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na Aroni wakasema, “Mungu wa Waebrania amekutana nasi. Sasa turuhusu tuwe na safari ya siku tatu ya jangwani ili tukamtolee \nd Bwana\nd* Mungu wetu dhabihu, la sivyo aweza kutupiga sisi kwa tauni au kwa upanga.”

EXO 5:4 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme wa Misri akasema, “Mbona ninyi Mose na Aroni mnawachukua watu waache kazi zao? Rudini kwenye kazi zenu!”

EXO 5:5 Removed trailing space in v~: Kisha Farao akasema, “Tazama, sasa watu hawa ni wengi, nanyi mnawazuia kufanya kazi.”

EXO 5:6 Removed trailing space in v~: Siku iyo hiyo Farao akatoa amri hii kwa viongozi wa watumwa na wasimamizi wa watu akawaambia:

EXO 5:7 Removed trailing space in v~: “Tangu sasa msiwape hawa watu nyasi za kutengenezea matofali. Wao wakusanye nyasi zao wenyewe.

EXO 5:8 Removed trailing space in v~: Lakini watakeni kutengeneza matofali kiasi kile kile cha mwanzo, kiwango kisipunguzwe. Wao ni wavivu, ndiyo sababu wanalia, wakisema, ‘Turuhusiwe twende kumtolea Mungu wetu dhabihu.’

EXO 5:9 Removed trailing space in v~: Fanyeni kazi kuwa ngumu zaidi kwa watu hao ili kwamba wakazane na kazi na kuacha kusikiliza uongo.”

EXO 5:10 Removed trailing space in v~: Basi viongozi wa watumwa na wasimamizi wakaenda kuwaambia watu, “Hivi ndivyo Farao asemavyo: ‘Sitawapa tena nyasi.

EXO 5:11 Removed trailing space in v~: Nendeni mkatafute nyasi wenyewe popote mnapoweza kuzipata, lakini kazi yenu haitapunguzwa hata kidogo.’ ”

EXO 5:12 Removed trailing space in v~: Basi watu wakatawanyika kote nchini Misri kukusanya mabua ya kutumia badala ya nyasi.

EXO 5:13 Removed trailing space in v~: Viongozi wa watumwa wakasisitiza, wakisema, “Timizeni kazi mnayotakiwa kwa kila siku, kama wakati ule mlipokuwa mkipewa nyasi.”

EXO 5:14 Removed trailing space in v~: Wasimamizi wa Kiisraeli waliochaguliwa na viongozi wa watumwa wa Farao walipigwa na kuulizwa, “Kwa nini hamkutimiza kiwango chenu cha kutengeneza matofali jana na leo, kama mwanzoni?”

EXO 5:15 Removed trailing space in v~: Ndipo wasimamizi wa Kiisraeli wakaenda kumlilia Farao, wakisema: “Mbona umewatendea watumishi wako hivi?

EXO 5:16 Removed trailing space in v~: Watumishi wako hawapewi nyasi, hata hivyo tumeambiwa, ‘Tengenezeni matofali!’ Watumishi wako wanapigwa, lakini kosa ni la watu wako wenyewe.”

EXO 5:17 Removed trailing space in v~: Farao akasema, “Ninyi ni wavivu ndiyo sababu mnasema, ‘Turuhusu twende tukamtolee \nd Bwana\nd* dhabihu.’

EXO 5:18 Removed trailing space in v~: Sasa nendeni kazini. Hamtapewa nyasi zozote, nanyi ni lazima mtengeneze matofali.”

EXO 5:19 Removed trailing space in v~: Wasimamizi wa Kiisraeli walitambua kuwa wako taabani walipoambiwa, “Hamtakiwi kupunguza idadi ya matofali mliotakiwa kutengeneza kila siku.”

EXO 5:20 Removed trailing space in v~: Walipoondoka kwa Farao, wakawakuta Mose na Aroni wakingojea kukutana nao,

EXO 5:21 Removed trailing space in v~: wakawaambia Mose na Aroni, “\nd Bwana\nd* na awaangalie awahukumu ninyi! Mmetufanya tunuke kwa Farao na maafisa wake, nanyi mmeweka upanga mikononi mwao ili kutuua sisi.”

EXO 5:21 Removed trailing space in s1: Mungu Anaahidi Ukombozi

EXO 5:22 Removed trailing space in v~: Mose akarudi kwa \nd Bwana\nd* na kumwambia, “Ee Bwana, mbona umewaletea watu hawa taabu? Kwa nini basi ukanituma mimi?

EXO 5:23 Removed trailing space in v~: Tangu nilipomwendea Farao kuzungumza naye kwa jina lako, amewaletea taabu watu hawa, nawe kamwe hujawakomboa watu wako.”

EXO 6:0 Extra space after chapter number

EXO 6:0 Removed trailing space in c: 6

EXO 6:1 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Sasa utaona kitu nitakachomfanyia Farao: Kwa sababu ya mkono wangu wenye nguvu atawaachia watu waende; kwa sababu ya mkono wangu wenye nguvu atawafukuza waondoke nchini mwake.”

EXO 6:2 Removed trailing space in v~: Pia Mungu akamwambia Mose, “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EXO 6:3 Removed trailing space in v~: Nilimtokea Abrahamu, Isaki na Yakobo kama Mungu Mwenyezi,\f + \fr 6:3 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* ingawa sikuwajulisha Jina langu, Yehova, Mimi mwenyewe sikujitambulisha kwao.

EXO 6:4 Removed trailing space in v~: Pia niliweka Agano langu nao kuwapa nchi ya Kanaani, ambako waliishi kama wageni.

EXO 6:5 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, nimesikia kilio cha huzuni cha Waisraeli ambao Wamisri wamewatia utumwani, nami nimelikumbuka Agano langu.

EXO 6:6 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, waambie Waisraeli: ‘Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nami nitawatoa mtoke katika kongwa la Wamisri. Nitawaweka huru mtoke kuwa watumwa wao, nami nitawakomboa kwa mkono ulionyooshwa pamoja na matendo makuu ya hukumu.

EXO 6:7 Removed trailing space in v~: Nitawatwaa mwe watu wangu mwenyewe, nami nitakuwa Mungu wenu. Ndipo mtajua kuwa mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu, niliyewatoa chini ya kongwa la Wamisri.

EXO 6:8 Removed trailing space in v~: Nami nitawaleta mpaka nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwa kumpa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Nitawapa iwe milki yenu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EXO 6:9 Removed trailing space in v~: Mose akawaarifu Waisraeli jambo hili, lakini hawakumsikiliza kwa sababu ya maumivu makuu ya moyoni na utumwa wa kikatili.

EXO 6:10 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 6:11 Removed trailing space in v~: “Nenda, mwambie Farao mfalme wa Misri awaachie Waisraeli waondoke nchini mwake.”

EXO 6:12 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akamwambia \nd Bwana\nd*, “Ikiwa Waisraeli hawatanisikiliza, kwa nini yeye Farao anisikilize mimi, ambaye huzungumza kwa kigugumizi?”

EXO 6:12 Removed trailing space in s1: Orodha Ya Jamaa Ya Mose Na Aroni

EXO 6:13 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akanena na Mose na Aroni kuhusu Waisraeli na Farao mfalme wa Misri, naye akawaamuru wawatoe Waisraeli kutoka Misri.

EXO 6:14 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wakuu wa jamaa zao:

EXO 6:14 Removed trailing space in p~: Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli walikuwa Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi. Hawa walikuwa ndio koo za Reubeni.

EXO 6:15 Removed trailing space in v~: Wana wa Simeoni walikuwa Yemueli, Yamini, Ohadi, Yakini, Sohari na Shauli mwana wa mwanamke Mkanaani. Hawa walikuwa ndio koo za Simeoni.

EXO 6:16 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya wana wa Lawi kufuatana na orodha zao: Gershoni, Kohathi na Merari. Lawi aliishi miaka 137.

EXO 6:17 Removed trailing space in v~: Wana wa Gershoni kwa koo, walikuwa Libni na Shimei.

EXO 6:18 Removed trailing space in v~: Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli. Kohathi aliishi miaka 133.

EXO 6:19 Removed trailing space in v~: Wana wa Merari walikuwa Mahli na Mushi.

EXO 6:19 Removed trailing space in p~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Lawi kufuatana na orodha zao.

EXO 6:20 Removed trailing space in v~: Amramu akamwoa Yokebedi, shangazi yake, ambaye alimzalia Aroni na Mose. Amramu aliishi miaka 137.

EXO 6:21 Removed trailing space in v~: Wana wa Ishari walikuwa Kora, Nefegi na Zikri.

EXO 6:22 Removed trailing space in v~: Wana wa Uzieli walikuwa Mishaeli, Elisafani na Sithri.

EXO 6:23 Removed trailing space in v~: Aroni akamwoa Elisheba binti wa Aminadabu ndugu yake Nashoni, naye akamzalia Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

EXO 6:24 Removed trailing space in v~: Wana wa Kora walikuwa Asiri, Elikana na Abiasafu. Hawa walikuwa ndio koo za Kora.

EXO 6:25 Removed trailing space in v~: Eleazari mwana wa Aroni akamwoa mmoja wa binti za Putieli, naye akamzalia Finehasi.

EXO 6:25 Removed trailing space in p~: Hawa walikuwa ndio wakuu wa jamaa za Walawi, ukoo kwa ukoo.

EXO 6:26 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa Aroni na Mose wale wale ambao \nd Bwana\nd* aliwaambia, “Watoeni Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.”

EXO 6:27 Removed trailing space in v~: Ndio hao hao waliozungumza na Farao mfalme wa Misri kuhusu kuwatoa Waisraeli Misri. Ilikuwa ni huyo Mose na huyo Aroni.

EXO 6:27 Removed trailing space in s1: Aroni Kuzungumza Badala Ya Mose

EXO 6:28 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* aliponena na Mose huko Misri,

EXO 6:29 Removed trailing space in v~: akamwambia, “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*. Mwambie Farao mfalme wa Misri kila kitu nikuambiacho.”

EXO 6:30 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akamwambia \nd Bwana\nd*, “Kwa kuwa mimi huzungumza kwa kigugumizi, Farao atanisikiliza mimi?”

EXO 7:0 Extra space after chapter number

EXO 7:0 Removed trailing space in c: 7

EXO 7:1 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Tazama, nimekufanya kuwa kama Mungu kwa Farao, naye Aroni, huyo ndugu yako, atakuwa nabii wako.

EXO 7:2 Removed trailing space in v~: Utasema kila kitu nitakachokuagiza, naye Aroni ndugu yako atamwambia Farao awaachie Waisraeli watoke katika nchi yake.

EXO 7:3 Removed trailing space in v~: Lakini nitaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu. Ingawa nitazidisha ishara na maajabu katika Misri,

EXO 7:4 Removed trailing space in v~: hatawasikiliza. Kisha nitaupeleka mkono wangu juu ya Misri, na kwa matendo makuu ya hukumu nitavitoa vikundi vyangu, watu wangu Waisraeli.

EXO 7:5 Removed trailing space in v~: Nao Wamisri watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd* nitakapounyoosha mkono wangu dhidi ya Misri na kuwatoa Waisraeli watoke humo.”

EXO 7:6 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakafanya sawasawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyowaagiza.

EXO 7:7 Removed trailing space in v~: Mose alikuwa na umri wa miaka themanini na Aroni alikuwa na umri wa miaka themanini na mitatu walipozungumza na Farao.

EXO 7:7 Removed trailing space in s1: Fimbo Ya Aroni Yawa Nyoka

EXO 7:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni,

EXO 7:9 Removed trailing space in v~: “Farao atakapowaambia, ‘Fanyeni muujiza,’ basi mwambie Aroni, ‘Chukua fimbo yako na uitupe chini mbele ya Farao,’ nayo fimbo itakuwa nyoka.”

EXO 7:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na Aroni wakaenda kwa Farao wakafanya sawasawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyoagiza. Aroni akaitupa ile fimbo yake chini mbele ya Farao na maafisa wake, nayo ikawa nyoka.

EXO 7:11 Removed trailing space in v~: Farao naye akawaita watu wenye maarifa na wachawi na waganga wa Kimisri, nao wakafanya vivyo hivyo kwa siri ya uganga wao.

EXO 7:12 Removed trailing space in v~: Kila mmoja alitupa fimbo yake chini, nayo ikawa nyoka. Lakini fimbo ya Aroni ikazimeza zile fimbo zao.

EXO 7:13 Removed trailing space in v~: Hata hivyo moyo wa Farao ukawa mgumu, naye hakuwasikiliza Mose na Aroni, sawasawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema.

EXO 7:13 Removed trailing space in s1: Pigo La Kwanza: Damu

EXO 7:14 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Moyo wa Farao ni mgumu, anakataa kuwaachia watu kuondoka.

EXO 7:15 Removed trailing space in v~: Nenda kwa Farao asubuhi wakati anapokwenda mtoni. Ngoja ukingoni mwa Naili ili uonane naye, na uchukue mkononi mwako fimbo ile iliyobadilishwa kuwa nyoka.

EXO 7:16 Removed trailing space in v~: Kisha umwambie, ‘\nd Bwana\nd*, Mungu wa Waebrania, amenituma nikuambie: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu jangwani. Lakini hadi sasa hujasikiliza.

EXO 7:17 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Kwa hili utajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*: Fimbo iliyo mkononi mwangu nitapiga nayo maji ya Naili nayo yatabadilika kuwa damu.

EXO 7:18 Removed trailing space in v~: Samaki waliomo katika Mto Naili watakufa, nao mto utanuka vibaya, Wamisri hawataweza kunywa hayo maji yake.’ ”

EXO 7:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Chukua ile fimbo yako unyooshe mkono wako juu ya maji ya Misri, juu ya chemchemi na mifereji, juu ya madimbwi na mabwawa yote,’ navyo vitabadilika kuwa damu. Damu itakuwa kila mahali katika Misri, hata kwenye vyombo vya miti na vya mawe.”

EXO 7:20 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakafanya kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amewaagiza. Akainua fimbo yake machoni pa Farao na maafisa wake na kuyapiga maji ya Mto Naili, na maji yote yakabadilika kuwa damu.

EXO 7:21 Removed trailing space in v~: Samaki katika Mto Naili wakafa, nao mto ukanuka vibaya sana kiasi kwamba Wamisri hawakuweza kunywa maji yake. Damu ilikuwa kila mahali katika nchi ya Misri.

EXO 7:22 Removed trailing space in v~: Lakini waganga wa Misri kwa kutumia siri ya uganga wao wakafanya vivyo hivyo, nao moyo wa Farao ukawa mgumu, hakuwasikiliza Mose na Aroni, kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema.

EXO 7:23 Removed trailing space in v~: Badala yake, Farao akageuka, akaenda kwenye jumba lake la kifalme, wala hakulitia hili moyoni.

EXO 7:24 Removed trailing space in v~: Nao Wamisri wote wakachimba kandokando ya Mto Naili kupata maji ya kunywa, kwa sababu hawakuweza kunywa maji ya mto.

EXO 7:24 Removed trailing space in s1: Pigo La Pili: Vyura

EXO 7:25 Removed trailing space in v~: Zilipita siku saba baada ya \nd Bwana\nd* kuyapiga maji ya Mto Naili.

EXO 8:0 Extra space after chapter number

EXO 8:0 Removed trailing space in c: 8

EXO 8:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao ukamwambie, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu.

EXO 8:2 Removed trailing space in v~: Kama ukikataa kuwaruhusu kuondoka, basi nitaipiga nchi yako yote kwa kuwaletea vyura.

EXO 8:3 Removed trailing space in v~: Mto Naili utafurika vyura. Watakuja kwenye jumba lako la kifalme na katika chumba chako cha kulala na kitandani mwako, katika nyumba za maafisa wako na kwa watu wako, vyura hao wataingia katika meko yenu na kwenye vyombo vya kukandia unga.

EXO 8:4 Removed trailing space in v~: Vyura watapanda juu yako, juu ya watu wako na maafisa wako wote.’ ”

EXO 8:5 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Nyoosha mkono wako ukiwa na ile fimbo yako juu ya vijito, mifereji na madimbwi, fanya vyura waje juu ya nchi ya Misri.’ ”

EXO 8:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Aroni akaunyoosha mkono wake juu ya maji ya Misri, nao vyura wakatokea na kuifunika nchi.

EXO 8:7 Removed trailing space in v~: Lakini waganga wakafanya vivyo hivyo kwa siri ya uganga wao, nao pia wakafanya vyura kuja juu ya nchi ya Misri.

EXO 8:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akamwita Mose na Aroni na kusema, “Mwombeni \nd Bwana\nd* awaondoe vyura kutoka kwangu na kwa watu wangu, nami nitawaachia watu wenu waende kumtolea \nd Bwana\nd* dhabihu.”

EXO 8:9 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia Farao, “Ninakupa heshima ya kuamua ni wakati gani wa kukuombea wewe, maafisa wako na watu wako ili kwamba vyura watoke kwenu na kwenye nyumba zenu. Isipokuwa wale walio katika Mto Naili.”

EXO 8:10 Removed trailing space in v~: Farao akasema, “Kesho.”

EXO 8:10 Removed trailing space in p~: Mose akamjibu, “Itakuwa kama unavyosema, ili upate kujua kwamba hakuna yeyote kama \nd Bwana\nd* Mungu wetu.

EXO 8:11 Removed trailing space in v~: Vyura wataondoka kwako na katika nyumba zako, kwa maafisa wako na kwa watu wako, ila watabakia katika Mto Naili tu.”

EXO 8:12 Removed trailing space in v~: Baada ya Mose na Aroni kuondoka kwa Farao, Mose akamlilia \nd Bwana\nd* kuhusu vyura aliokuwa amewaleta kwa Farao.

EXO 8:13 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akafanya lile Mose alilomwomba. Vyura wakafia ndani ya nyumba, viwanjani na mashambani.

EXO 8:14 Removed trailing space in v~: Wakayakusanya malundo, nchi nzima ikanuka.

EXO 8:15 Removed trailing space in v~: Lakini Farao alipoona pametokea nafuu, akaushupaza moyo wake na hakuwasikiliza Mose na Aroni, kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema.

EXO 8:15 Removed trailing space in s1: Pigo La Tatu: Viroboto

EXO 8:16 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Mwambie Aroni, ‘Nyoosha fimbo yako uyapige mavumbi ya ardhi,’ nayo nchi yote ya Misri mavumbi yatakuwa viroboto.”

EXO 8:17 Removed trailing space in v~: Wakafanya hivyo, Aroni aliponyoosha mkono wake wenye fimbo na kuyapiga mavumbi ya nchi, viroboto wakawajia watu na wanyama. Mavumbi yote katika nchi ya Misri yakawa viroboto.

EXO 8:18 Removed trailing space in v~: Lakini waganga walipojaribu kutengeneza viroboto kwa siri ya uganga wao, hawakuweza. Nao viroboto walikuwa juu ya watu na wanyama.

EXO 8:19 Removed trailing space in v~: Waganga wale wakamwambia Farao, “Hiki ni kidole cha Mungu.” Lakini moyo wa Farao ukawa mgumu naye hakuwasikiliza, kama vile \nd Bwana\nd* alivyosema.

EXO 8:19 Removed trailing space in s1: Pigo La Nne: Mainzi

EXO 8:20 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Amka mapema asubuhi na usimame mbele ya Farao wakati anapokwenda mtoni nawe umwambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu.

EXO 8:21 Removed trailing space in v~: Kama hutawaachia watu wangu waondoke nitakupelekea makundi ya mainzi juu yako, kwa maafisa wako, kwa watu wako na kwenye nyumba zenu. Nyumba za Wamisri zitajazwa mainzi, hata na ardhi yote ya Misri.

EXO 8:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini siku ile nitafanya kitu tofauti katika nchi ya Gosheni, ambapo watu wangu wanaishi, hapatakuwepo na makundi ya mainzi, ili mpate kujua kwamba Mimi, \nd Bwana\nd*, niko katika nchi hii.

EXO 8:23 Removed trailing space in v~: Nitaweka tofauti kati ya watu wangu na watu wenu. Ishara hii ya ajabu itatokea kesho.’ ”

EXO 8:24 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akafanya hivyo. Makundi makubwa ya mainzi yalimiminika katika jumba la kifalme la Farao na katika nyumba za maafisa wake, pia nchi yote ya Misri ikaharibiwa na mainzi.

EXO 8:25 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akamwita Mose na Aroni na kuwaambia, “Nendeni mkamtolee Mungu wenu dhabihu katika nchi hii.”

EXO 8:26 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akamwambia, “Hilo halitakuwa sawa. Dhabihu tutakazomtolea \nd Bwana\nd* Mungu wetu zitakuwa chukizo kwa Wamisri. Kama tukitoa dhabihu ambazo ni chukizo mbele yao, je, hawatatupiga mawe?

EXO 8:27 Removed trailing space in v~: Ni lazima twende mwendo wa siku tatu mpaka tufike jangwani ili tumtolee \nd Bwana\nd* Mungu wetu dhabihu, kama alivyotuagiza.”

EXO 8:28 Removed trailing space in v~: Farao akamwambia, “Nitawaruhusu mwende kumtolea \nd Bwana\nd* Mungu wenu dhabihu huko jangwani, lakini hamna ruhusa kwenda mbali sana. Sasa mniombee.”

EXO 8:29 Removed trailing space in v~: Mose akajibu, “Mara tu nitakapoondoka, nitamwomba \nd Bwana\nd* na kesho mainzi yataondoka kwa Farao, kwa maafisa wake na kwa watu wake. Hakikisha tu kwamba Farao hatatenda kwa udanganyifu tena kwa kutokuwaachia watu waende kumtolea \nd Bwana\nd* dhabihu.”

EXO 8:30 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akamwacha Farao na kumwomba \nd Bwana\nd*,

EXO 8:31 Removed trailing space in v~: naye \nd Bwana\nd* akafanya lile Mose alilomwomba. Mainzi yakaondoka kwa Farao, kwa maafisa wake na kwa watu wake, wala hakuna hata inzi aliyebakia.

EXO 8:32 Removed trailing space in v~: Lakini wakati huu pia Farao akaushupaza moyo wake, wala hakuwaruhusu Waisraeli waondoke.

EXO 9:0 Extra space after chapter number

EXO 9:0 Removed trailing space in c: 9

EXO 9:0 Removed trailing space in s1: Pigo La Tano: Vifo Vya Mifugo

EXO 9:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao ukamwambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Waebrania asemalo: “Waachie watu wangu waende ili wapate kuniabudu.”

EXO 9:2 Removed trailing space in v~: Kama ukikataa kuwaachia waende, nawe ukiendelea kuwashikilia,

EXO 9:3 Removed trailing space in v~: mkono wa \nd Bwana\nd* utaleta pigo baya kwa mifugo yako, juu ya farasi wako, punda, ngamia, ngʼombe wako, kondoo na mbuzi.

EXO 9:4 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* ataweka tofauti kati ya mifugo ya Israeli na ile ya Misri, kwamba hakuna mnyama wa Mwisraeli atakayekufa.’ ”

EXO 9:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaweka wakati na kusema, “Kesho \nd Bwana\nd* atalitenda hili katika nchi.”

EXO 9:6 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata \nd Bwana\nd* akalitenda: Mifugo yote ya Wamisri ikafa, lakini hakuna hata mnyama mmoja wa wana wa Israeli aliyekufa.

EXO 9:7 Removed trailing space in v~: Farao akatuma watu kuchunguza, nao wakakuta kuwa hakuna hata mnyama mmoja wa Waisraeli aliyekufa. Lakini moyo wa Farao haukukubali kuwaachia watu waende.

EXO 9:7 Removed trailing space in s1: Pigo La Sita: Majipu

EXO 9:8 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni, “Chukueni majivu ya tanuru, naye Mose ayarushe angani mbele ya Farao.

EXO 9:9 Removed trailing space in v~: Yatakuwa vumbi jepesi juu ya nchi yote ya Misri, pia yatatokea majipu yenye kufura juu ya watu na wanyama katika nchi yote.”

EXO 9:10 Removed trailing space in v~: Basi wakachukua majivu kwenye tanuru na kusimama mbele ya Farao. Mose akayarusha hewani, nayo majipu yenye kufura yakatokea miilini mwa watu na wanyama.

EXO 9:11 Removed trailing space in v~: Waganga hawakuweza kusimama mbele ya Mose kwa sababu ya majipu yale yaliyokuwa miilini mwao na juu ya miili ya Wamisri wote.

EXO 9:12 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, naye hakuwasikiliza Mose na Aroni, sawasawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amemwambia Mose.

EXO 9:12 Removed trailing space in s1: Pigo La Saba: Mvua Ya Mawe

EXO 9:13 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Amka mapema asubuhi, usimame mbele ya Farao, umwambie, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Waebrania: Waachie watu wangu waende, ili kwamba waweze kuniabudu,

EXO 9:14 Removed trailing space in v~: au wakati huu nitaleta mapigo yangu yenye nguvu dhidi yako, maafisa wako na watu wako, ili upate kujua kuwa hakuna mwingine kama Mimi katika dunia yote.

EXO 9:15 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mpaka sasa ningelikuwa nimenyoosha mkono wangu na kukupiga wewe na watu wako kwa pigo ambalo lingekufutilia mbali juu ya nchi.

EXO 9:16 Removed trailing space in v~: Lakini nimekuinua wewe kwa kusudi hili hasa, ili nipate kukuonyesha uwezo wangu, na ili Jina langu lipate kutangazwa duniani yote.

EXO 9:17 Removed trailing space in v~: Bado unaendelea kujiinua juu ya watu wangu, wala hutaki kuwaachia waende.

EXO 9:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kesho wakati kama huu nitaleta mvua mbaya sana ya mawe ambayo haijapata kunyesha katika nchi ya Misri, tangu siku ilipoumbwa mpaka leo.

EXO 9:19 Removed trailing space in v~: Sasa toa amri urudishe wanyama wote watoke malishoni na chochote ambacho kipo mashambani waje mpaka mahali pa usalama, kwa sababu mvua ya mawe itanyesha juu ya kila mtu na kila mnyama ambaye hajaletwa ndani ambao bado wako nje mashambani, nao watakufa.’ ”

EXO 9:20 Removed trailing space in v~: Wale maafisa wa Farao ambao waliliogopa neno la \nd Bwana\nd* wakafanya haraka kuwaleta watumwa wao na mifugo yao ndani.

EXO 9:21 Removed trailing space in v~: Lakini wale waliopuuza neno la \nd Bwana\nd* wakawaacha watumwa wao na mifugo yao shambani.

EXO 9:22 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako kuelekea angani ili kwamba mvua ya mawe inyeshe juu ya Misri yote, juu ya watu, wanyama na juu ya kila kitu kiotacho katika mashamba ya Misri.”

EXO 9:23 Removed trailing space in v~: Mose alipoinyoosha fimbo yake kuelekea angani, \nd Bwana\nd* akatuma ngurumo na mvua ya mawe, umeme wa radi ulimulika hadi nchi. Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akaifanya mvua ya mawe kunyesha juu ya nchi ya Misri,

EXO 9:24 Removed trailing space in v~: mvua ya mawe ikanyesha na radi ikamulika pote. Ikawa dhoruba ya kutisha ambayo haijakuwako katika nchi ya Misri, tangu nchi hiyo iwe taifa.

EXO 9:25 Removed trailing space in v~: Mvua ya mawe ikaharibu kila kitu katika nchi ya Misri kilichokuwa katika mashamba, watu na wanyama, ikaharibu kila kitu kinachoota mashambani na kuvunja kila mti.

EXO 9:26 Removed trailing space in v~: Mahali pekee ambapo mvua ya mawe haikunyesha ni nchi ya Gosheni, ambako Waisraeli waliishi.

EXO 9:27 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akawaita Mose na Aroni akawaambia, “Wakati huu nimetenda dhambi. \nd Bwana\nd* ni mwenye haki, mimi na watu wangu ni wakosaji.

EXO 9:28 Removed trailing space in v~: Mwombeni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa tumepata ngurumo na mvua za mawe za kututosha. Nitawaachia mwondoke; hamtahitaji kungoja zaidi.”

EXO 9:29 Removed trailing space in v~: Mose akamjibu, “Nitakapokuwa nimetoka nje ya mji, nitanyoosha mikono yangu juu kumwomba \nd Bwana\nd*. Ngurumo zitakoma na hapatakuwepo mvua ya mawe tena, ili upate kujua kuwa, nchi ni mali ya \nd Bwana\nd*.

EXO 9:30 Removed trailing space in v~: Lakini ninajua kuwa wewe na maafisa wako bado hammwogopi \nd Bwana\nd* Mungu.”

EXO 9:31 Removed trailing space in v~: (Kitani na shayiri viliharibiwa, kwa kuwa shayiri ilikuwa na masuke, na kitani ilikuwa katika kutoa maua.

EXO 9:32 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, ngano na jamii nyingine ya ngano hazikuharibiwa kwa sababu zilikuwa hazijakomaa bado.)

EXO 9:33 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akaondoka kwa Farao akaenda nje ya mji. Mose akanyoosha mikono yake kuelekea kwa \nd Bwana\nd*, ngurumo na mvua ya mawe vikakoma, mvua haikuendelea tena kunyesha nchini.

EXO 9:34 Removed trailing space in v~: Farao alipoona kwamba mvua ya mawe na ngurumo zimekoma, akafanya dhambi tena. Yeye na maafisa wake wakafanya mioyo yao kuwa migumu.

EXO 9:35 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo moyo wa Farao ukawa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waende, kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema kupitia Mose.

EXO 10:0 Extra space after chapter number

EXO 10:0 Removed trailing space in c: 10

EXO 10:0 Removed trailing space in s1: Pigo La Nane: Nzige

EXO 10:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nenda kwa Farao, kwa kuwa nimeufanya moyo wake kuwa mgumu na mioyo ya maafisa wake ili kwamba nipate kutenda ishara hizi zangu za ajabu miongoni mwao

EXO 10:2 Removed trailing space in v~: ili upate kuwaeleza watoto wako na wajukuu wako jinsi nilivyowatendea Wamisri kwa ukali na jinsi nilivyofanya ishara zangu miongoni mwao, nanyi mpate kujua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EXO 10:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose na Aroni wakaenda kwa Farao na kumwambia, “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Waebrania, asemalo: ‘Utaendelea hata lini kukataa kunyenyekea mbele yangu? Waachie watu wangu waende, ili wapate kuniabudu.

EXO 10:4 Removed trailing space in v~: Kama ukikataa kuwaachia waende, kesho nitaleta nzige katika nchi yako.

EXO 10:5 Removed trailing space in v~: Nao watafunika uso wa ardhi hata usionekane. Watatafuna mabaki machache yaliyobakizwa baada ya ile mvua ya mawe, yaani pamoja na kila mti unaoota katika mashamba yenu.

EXO 10:6 Removed trailing space in v~: Nzige hao watajaza nyumba zako, za maafisa wako wote na za Wamisri wote. Jambo ambalo baba zenu wala babu zenu hawajapata kuona tangu siku ile walipoanza kuishi katika nchi hii mpaka leo hii.’ ” Ndipo Mose akageuka na kumwacha Farao.

EXO 10:7 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Farao wakamwambia, “Mpaka lini huyu mtu atakuwa tanzi kwetu? Waachie hao watu waende zao, ili wapate kumwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wao. Je, bado hutambui kuwa Misri imeangamia?”

EXO 10:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na Aroni wakaletwa kwa Farao. Farao akawaambia, “Nendeni, mkamwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Lakini ni nani hasa watakaokwenda?”

EXO 10:9 Removed trailing space in v~: Mose akajibu, “Tutakwenda na vijana wetu na wazee, pamoja na wana wetu na binti zetu, pia pamoja na kondoo zetu, ngʼombe, mbuzi, farasi na punda kwa sababu tutaadhimisha sikukuu kwa \nd Bwana\nd*.”

EXO 10:10 Removed trailing space in v~: Farao akasema, “\nd Bwana\nd* awe pamoja nanyi, kama nikiwaruhusu mwondoke pamoja na wanawake wenu na watoto wenu! Ni wazi kwamba mna makusudi mabaya.

EXO 10:11 Removed trailing space in v~: La hasha! Wanaume peke yao na waende, wakamwabudu \nd Bwana\nd*, kwa kuwa hilo ndilo mmekuwa mkiomba.” Kwa hiyo Mose na Aroni wakaondolewa mbele ya Farao.

EXO 10:12 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako juu ya Misri ili kundi la nzige liweze kuingia juu ya nchi na kutafuna kila kitu kiotacho katika mashamba na kila kitu kilichosazwa na ile mvua ya mawe.”

EXO 10:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akanyoosha fimbo yake juu ya Misri, \nd Bwana\nd* akauleta upepo wa mashariki ukavuma katika nchi yote mchana wote na usiku kucha, kufikia asubuhi upepo ukawa umeleta nzige.

EXO 10:14 Removed trailing space in v~: Wakaivamia Misri yote na kukaa kila eneo la nchi kwa wingi. Kamwe hapajapata kuwepo pigo la nzige kama hilo, wala halitakuwepo tena.

EXO 10:15 Removed trailing space in v~: Wakafunika ardhi yote mpaka ardhi ikawa nyeusi. Wakatafuna kile chote kilichokuwa kimebakizwa na ile mvua ya mawe, kila kitu kiotacho mashambani pamoja na matunda kwenye miti. Hakuna kitu chochote cha kijani kilichosalia katika miti au mmea katika nchi yote ya Misri.

EXO 10:16 Removed trailing space in v~: Farao akawaita Mose na Aroni kwa haraka na kuwaambia, “Nimetenda dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu na dhidi yenu pia.

EXO 10:17 Removed trailing space in v~: Sasa unisamehe dhambi yangu mara moja tena na umwombe \nd Bwana\nd* Mungu wako aondoe pigo hili baya kwangu.”

EXO 10:18 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akaondoka kwa Farao akamwomba \nd Bwana\nd*.

EXO 10:19 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akaugeuza upepo ukavuma kutoka magharibi, wenye nguvu nyingi, ambao uliwaondoa wale nzige na kuwapeleka kwenye Bahari ya Shamu. Hakuna nzige hata mmoja aliyebaki popote katika nchi ya Misri.

EXO 10:20 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke.

EXO 10:20 Removed trailing space in s1: Pigo La Tisa: Giza

EXO 10:21 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako kuelekea angani ili giza litande katika nchi ya Misri, giza ambalo watu wanaweza kulipapasa na kulihisi.”

EXO 10:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akaunyoosha mkono wake kuelekea angani, na giza nene likafunika pote katika nchi ya Misri kwa muda wa siku tatu.

EXO 10:23 Removed trailing space in v~: Hakuna mtu yeyote aliyeweza kumwona mwenzake, wala kuondoka mahali alipokuwa kwa muda wa siku tatu. Lakini Waisraeli wote walikuwa na mwanga katika maeneo yao waliyokuwa wanaishi.

EXO 10:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Farao akamwita Mose na kusema, “Nendeni, mkamwabudu \nd Bwana\nd*. Hata wanawake na watoto wenu mwaweza kwenda nao pia, lakini kondoo, mbuzi na ngʼombe wenu waacheni.”

EXO 10:25 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akasema, “Huna budi kuturuhusu tuwe na dhabihu na sadaka za kuteketezwa za kutoa mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wetu.

EXO 10:26 Removed trailing space in v~: Sisi ni lazima tuondoke na mifugo yetu pia, wala hakuna ukwato utakaoachwa nyuma. Inatupasa kutumia baadhi ya hiyo mifugo katika kumwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wetu, kwa kuwa mpaka tutakapofika huko hatutakuwa tumefahamu ni nini tutakachotumia katika kumwabudu \nd Bwana\nd*.”

EXO 10:27 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, hakuwa radhi kuwaachia waondoke.

EXO 10:28 Removed trailing space in v~: Farao akamwambia Mose, “Ondoka mbele yangu! Hakikisha kuwa hutakuja mbele yangu tena! Siku ile utakapouona uso wangu utakufa.”

EXO 10:29 Removed trailing space in v~: Mose akamjibu, “Iwe kama ulivyosema! Kamwe sitauona uso wako tena.”

EXO 11:0 Extra space after chapter number

EXO 11:0 Removed trailing space in c: 11

EXO 11:0 Removed trailing space in s1: Pigo La Kumi: Kuuawa Wazaliwa Wa Kwanza

EXO 11:1 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Mose, “Nitaleta pigo moja zaidi kwa Farao na katika nchi ya Misri. Baada ya hilo, atawaacha mwondoke hapa na atakapofanya hivyo, atawafukuza mtoke kabisa.

EXO 11:2 Removed trailing space in v~: Waambie watu wote waume kwa wake wawaombe majirani zao vitu vya fedha na vya dhahabu.”

EXO 11:3 Removed trailing space in v~: (\nd Bwana\nd* akawafanya Wamisri wawe na moyo wa ukarimu kwa Waisraeli, naye Mose mwenyewe akaheshimiwa sana na maafisa wa Farao na watu wote katika nchi ya Misri.)

EXO 11:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akasema, “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: ‘Panapo usiku wa manane Mimi nitapita katika nchi yote ya Misri.

EXO 11:5 Removed trailing space in v~: Kila mwanaume kifungua mimba katika Misri atakufa, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao, aketiye penye kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa kiume wa mtumwa wa kike, anayesaga nafaka kwa jiwe, pamoja na kila mzaliwa wa kwanza wa mifugo.

EXO 11:6 Removed trailing space in v~: Patakuwepo kilio kikubwa katika nchi yote ya Misri, kilio kibaya ambacho hakijakuwepo wala kamwe hakitakuwepo tena.

EXO 11:7 Removed trailing space in v~: Lakini miongoni mwa Waisraeli hakuna hata mbwa atakayembwekea mwanadamu wala mnyama yeyote.’ Ndipo mtakapojua kuwa \nd Bwana\nd* huweka tofauti kati ya Misri na Israeli.

EXO 11:8 Removed trailing space in v~: Maafisa hawa wako wote watanijia, wakisujudu mbele yangu, wakisema, ‘Ondoka, wewe pamoja na watu wako wote wanaokufuata!’ Baada ya haya nitaondoka.” Kisha Mose, huku akiwa amewaka hasira, akamwacha Farao.

EXO 11:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Mose, “Farao atakataa kukusikiliza, ili maajabu yangu yapate kuongezeka katika nchi ya Misri.”

EXO 11:10 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakafanya maajabu haya yote mbele ya Farao, lakini \nd Bwana\nd* akaufanya moyo wa Farao kuwa mgumu, wala hakuwaachia Waisraeli waondoke katika nchi yake.

EXO 12:0 Extra space after chapter number

EXO 12:0 Removed trailing space in c: 12

EXO 12:0 Removed trailing space in s1: Pasaka

EXO 12:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni katika nchi ya Misri,

EXO 12:2 Removed trailing space in v~: “Mwezi huu utakuwa mwanzo wa miezi kwenu, yaani mwezi wa kwanza wa mwaka wenu.

EXO 12:3 Removed trailing space in v~: Iambie jumuiya yote ya Israeli kwamba katika siku ya kumi ya mwezi huu, kila mtu atatwaa mwana-kondoo mmoja kwa ajili ya familia yake, mmoja kwa kila nyumba.

EXO 12:4 Removed trailing space in v~: Ikiwa nyumba yoyote ina watu wachache wasioweza kumaliza huyo mwana-kondoo mzima, nyumba hiyo itabidi ishirikiane na nyumba ya jirani wa karibu, baada ya kuzingatia idadi ya watu waliomo. Mtaangalia ni kiasi gani cha nyama kitahitajika kulingana na mahitaji ya kila mtu.

EXO 12:5 Removed trailing space in v~: Wanyama mtakaowachagua, lazima wawe wa kiume wa umri wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari, mwaweza kuwachukua kati ya kondoo au mbuzi.

EXO 12:6 Removed trailing space in v~: Tunzeni wanyama hao mpaka siku ya kumi na nne ya mwezi, ambapo lazima watu wa jumuiya yote ya Israeli wachinje wanyama hao wakati wa jioni.

EXO 12:7 Removed trailing space in v~: Ndipo watakapochukua baadhi ya hiyo damu na kuipaka kwenye vizingiti vya juu na miimo ya milango ya nyumba ambamo watakula wana-kondoo hao.

EXO 12:8 Removed trailing space in v~: Usiku huo huo watakula nyama iliyookwa kwenye moto, pamoja na mboga chungu za majani na mikate isiyotiwa chachu.

EXO 12:9 Removed trailing space in v~: Msile nyama mbichi wala iliyochemshwa, lakini iwe imeokwa kwenye moto, kichwa, miguu na nyama zake za ndani.

EXO 12:10 Removed trailing space in v~: Msibakize nyama yoyote mpaka asubuhi; nazo kama zitabakia mpaka asubuhi, lazima mziteketeze kwa moto.

EXO 12:11 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo mtakavyokula: Mtajifunga mikanda viunoni, mtakuwa mmevaa viatu vyenu miguuni na kushika fimbo zenu mkononi mwenu. Mle kwa haraka; hii ni Pasaka ya \nd Bwana\nd*.

EXO 12:12 Removed trailing space in v~: “Usiku huo huo nitapita katika nchi yote ya Misri na kumuua kila mzaliwa wa kwanza, wa wanadamu na wa wanyama, nami nitaihukumu miungu yote ya Misri. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EXO 12:13 Removed trailing space in v~: Damu itakuwa ishara kwa ajili yenu ya kuonyesha nyumba ambazo mtakuwamo; nami nitakapoiona damu, nitapita juu yenu. Hakuna pigo la uharibifu litakalowagusa ninyi nitakapoipiga Misri.

EXO 12:14 Removed trailing space in v~: “Siku hii itakuwa kumbukumbu kwenu, mtaiadhimisha kuwa sikukuu kwa \nd Bwana\nd*, katika vizazi vyenu vyote: mtaishika kuwa amri ya kudumu.

EXO 12:15 Removed trailing space in v~: Kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu. Katika siku ya kwanza mtaondoa chachu yote ndani ya nyumba zenu, kwa maana yeyote atakayekula chochote chenye chachu kuanzia siku ya kwanza hadi ya saba lazima akatiliwe mbali kutoka Israeli.

EXO 12:16 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, na kusanyiko jingine katika siku ya saba. Katika siku hizo msifanye kazi kamwe isipokuwa kutayarisha chakula cha kila mmoja; hilo ndilo tu mtakalofanya.

EXO 12:17 Removed trailing space in v~: “Mtaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, kwa sababu hiyo ndiyo siku ile niliyovitoa vikosi vyenu kutoka Misri. Mtaiadhimisha siku hii kwa vizazi vyenu vyote kuwa amri ya kudumu.

EXO 12:18 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa kwanza mtakula mikate isiyotiwa chachu, kuanzia jioni ya siku ya kumi na nne hadi jioni ya siku ya ishirini na moja.

EXO 12:19 Removed trailing space in v~: Kwa muda wa siku saba isionekane chachu yoyote katika nyumba zenu. Yeyote alaye chochote chenye chachu ndani yake, lazima akatiliwe mbali kutoka jumuiya ya Israeli, akiwa ni mgeni au mzawa.

EXO 12:20 Removed trailing space in v~: Msile chochote kilichotiwa chachu. Popote muishipo, ni lazima mle mikate isiyotiwa chachu.”

EXO 12:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akawaita wazee wote wa Israeli na kuwaambia, “Nendeni mara moja mkachague wanyama kwa ajili ya jamaa zenu, mkachinje mwana-kondoo wa Pasaka.

EXO 12:22 Removed trailing space in v~: Chukueni kitawi cha hisopo, kichovyeni kwenye damu iliyopo kwenye sinia na kuipaka baadhi ya hiyo damu kwenye vizingiti na kwenye miimo yote miwili ya milango. Mtu yeyote asitoke nje ya mlango wa nyumba yake mpaka asubuhi.

EXO 12:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* apitapo katika nchi yote kuwapiga Wamisri, ataiona damu juu ya vizingiti na kwenye miimo ya milango, naye atapita juu, wala hatamruhusu mwangamizi kuingia katika nyumba zenu na kuwapiga ninyi.

EXO 12:24 Removed trailing space in v~: “Shikeni maagizo haya yawe kanuni ya kudumu kwenu na kwa ajili ya wazao wenu.

EXO 12:25 Removed trailing space in v~: Mtakapoingia katika nchi \nd Bwana\nd* atakayowapa kama alivyoahidi, shikeni desturi hii.

EXO 12:26 Removed trailing space in v~: Watoto wenu watakapowauliza, ‘Sikukuu hii ina maana gani kwenu?’

EXO 12:27 Removed trailing space in v~: Basi waambieni, ‘Hii ni dhabihu ya Pasaka kwa \nd Bwana\nd*, ambaye alipita juu ya nyumba za Waisraeli katika nchi ya Misri na hakudhuru nyumba zetu alipowapiga Wamisri.’ ” Ndipo watu wa Israeli waliposujudu na kuabudu.

EXO 12:28 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose na Aroni.

EXO 12:29 Removed trailing space in v~: Ilipofika usiku wa manane, \nd Bwana\nd* akawapiga wazaliwa wa kwanza wote katika Misri, kuanzia mzaliwa wa kwanza wa Farao, mrithi wa kiti cha ufalme, hadi mzaliwa wa kwanza wa mfungwa, aliyekuwa gerezani, na wazaliwa wa kwanza wa mifugo yote pia.

EXO 12:30 Removed trailing space in v~: Farao, na maafisa wake wote, na Wamisri wote wakaamka usiku, na kulikuwa na kilio kikubwa katika nchi ya Misri, kwa kuwa haikuwepo nyumba ambayo hakufa mtu.

EXO 12:30 Removed trailing space in s1: Kutoka

EXO 12:31 Removed trailing space in v~: Wakati huo Farao akawaita Mose na Aroni na kuwaambia, “Ondokeni! Tokeni kwa watu wangu, ninyi pamoja na Waisraeli! Nendeni mkamwabudu \nd Bwana\nd* kama mlivyoomba.

EXO 12:32 Removed trailing space in v~: Chukueni makundi yenu ya kondoo na mbuzi pamoja na ngʼombe, kama mlivyosema, nanyi mwende zenu. Nanyi pia mnibariki.”

EXO 12:33 Removed trailing space in v~: Wamisri wakawahimiza Waisraeli waondoke kwa haraka na kuacha nchi yao. Kwa kuwa walisema, “La sivyo, tutakufa wote!”

EXO 12:34 Removed trailing space in v~: Hivyo watu wakachukua donge lao la unga kabla ya kutiwa chachu, wakaweka ndani ya mabakuli ya kukandia, wakayaviringisha katika vitambaa na kuyabeba mabegani mwao.

EXO 12:35 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya kama Mose alivyowaelekeza, nao wakawaomba Wamisri wawapatie vitu vya fedha, dhahabu na nguo.

EXO 12:36 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* alikuwa amewafanya Wamisri kuwa wakarimu kwa hawa watu, wakawapatia Waisraeli vile walivyotaka kwao; kwa hiyo wakawateka nyara Wamisri.

EXO 12:37 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakasafiri kutoka Ramesesi mpaka Sukothi. Walikuwepo wanaume wapatao 600,000 waendao kwa miguu bila kuhesabu wanawake na watoto.

EXO 12:38 Removed trailing space in v~: Watu wengine wengi wakafuatana nao, pamoja na makundi makubwa ya mifugo wakiwemo kondoo, mbuzi na ngʼombe.

EXO 12:39 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza maandazi yasiyotiwa chachu kwa ule unga uliokandwa waliokuwa wameutoa Misri, donge hilo la unga halikuwa limetiwa chachu, kwa kuwa walikuwa wameondolewa Misri kwa haraka nao hawakuwa na muda wa kuandaa chakula chao.

EXO 12:40 Removed trailing space in v~: Waisraeli walikuwa wameishi Misri kwa muda wa miaka 430.

EXO 12:41 Removed trailing space in v~: Ilikuwa ni siku ya mwisho ya hiyo miaka 430, vikosi vyote vya \nd Bwana\nd* vilipokuwa vimeondoka Misri.

EXO 12:42 Removed trailing space in v~: Kwa sababu \nd Bwana\nd* aliutenga usiku ule ili kuwatoa Waisraeli katika nchi ya Misri, katika usiku huu Waisraeli wote wanapaswa kuadhimisha kwa kukesha ili kumheshimu \nd Bwana\nd* katika vizazi vijavyo.

EXO 12:42 Removed trailing space in s1: Masharti Kwa Ajili Ya Pasaka

EXO 12:43 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni, “Haya ndiyo masharti kwa ajili ya Pasaka:

EXO 12:43 Removed trailing space in p~: “Mgeni hataruhusiwa kula Pasaka.

EXO 12:44 Removed trailing space in v~: Mtumwa yeyote ambaye mmemnunua aweza kuila kama mmemtahiri,

EXO 12:45 Removed trailing space in v~: lakini kibarua yeyote au msafiri haruhusiwi kula.

EXO 12:46 Removed trailing space in v~: “Sharti iliwe ndani ya nyumba; msichukue nyama yoyote nje ya nyumba hiyo. Msiuvunje mfupa wowote.

EXO 12:47 Removed trailing space in v~: Jumuiya yote ya Israeli ni lazima waiadhimishe Pasaka hiyo.

EXO 12:48 Removed trailing space in v~: “Mgeni aishiye miongoni mwenu ambaye anataka kuadhimisha Pasaka ya \nd Bwana\nd* ni lazima wanaume wote waliomo nyumbani mwake wawe wametahiriwa, ndipo aweze kushiriki kama mzawa. Mwanaume yeyote asiyetahiriwa haruhusiwi kuila.

EXO 12:49 Removed trailing space in v~: Sheria iyo hiyo itamuhusu mzawa na mgeni anayeishi miongoni mwenu.”

EXO 12:50 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote walifanya kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose na Aroni.

EXO 12:51 Removed trailing space in v~: Siku ile ile \nd Bwana\nd* akawatoa Waisraeli katika nchi ya Misri kwa vikosi vyao.

EXO 13:0 Extra space after chapter number

EXO 13:0 Removed trailing space in c: 13

EXO 13:0 Removed trailing space in s1: Kuwekwa Wakfu Kwa Wazaliwa Wa Kwanza

EXO 13:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 13:2 Removed trailing space in v~: “Niwekeeni wakfu kila mzaliwa wa kwanza wa kiume. Kila mtoto wa kwanza aliye kifungua tumbo miongoni mwa Waisraeli ni mali yangu, akiwa wa mwanadamu au wa mnyama.”

EXO 13:3 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akawaambia watu, “Ikumbukeni siku hii, siku ambayo mlitoka katika nchi ya Misri, katika nchi ya utumwa, kwa sababu \nd Bwana\nd* aliwatoa humo kwa mkono wenye nguvu. Msile chochote kilichotiwa chachu.

EXO 13:4 Removed trailing space in v~: Leo, katika mwezi wa Abibu,\f + \fr 13:4 \ft Abibu ni jina la mwezi wa kwanza kwa Wayahudi, ambao ni mwezi wa nne katika kalenda yetu.\f* mnatoka.

EXO 13:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakapokuleta katika nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Wahivi na Wayebusi, nchi aliyowaapia baba zako kukupa, nchi itiririkayo maziwa na asali, utaiadhimisha sikukuu hii katika mwezi huu:

EXO 13:6 Removed trailing space in v~: Kwa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu na katika siku ya saba utamfanyia \nd Bwana\nd* sikukuu.

EXO 13:7 Removed trailing space in v~: Kwa muda wa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu, pasionekane kitu chochote kilicho na chachu miongoni mwako, wala chachu yoyote isionekane popote ndani ya mipaka yako.

EXO 13:8 Removed trailing space in v~: Siku ile utamwambia mwanao, ‘Nafanya hivi kwa sababu ya jambo ambalo \nd Bwana\nd* alinitendea nilipotoka katika nchi ya Misri.’

EXO 13:9 Removed trailing space in v~: Adhimisho hili, litakuwa kama alama kwenye mkono wako na ukumbusho katika paji lako la uso, kwamba sheria ya \nd Bwana\nd* inapaswa iwe kinywani mwako. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikutoa katika nchi ya Misri kwa mkono wake wenye nguvu.

EXO 13:10 Removed trailing space in v~: Ni lazima uishike amri hii kwa wakati uliopangwa mwaka baada ya mwaka.

EXO 13:11 Removed trailing space in v~: “Baada ya \nd Bwana\nd* kukuingiza katika nchi ya Wakanaani na kukupa nchi hiyo, kama alivyokuahidi kwa kiapo na kwa baba zako,

EXO 13:12 Removed trailing space in v~: inakupasa kumtolea \nd Bwana\nd* mzaliwa wa kwanza wa kila tumbo. Wazaliwa wote wa kwanza wa kiume wa mifugo yako ni mali ya \nd Bwana\nd*.

EXO 13:13 Removed trailing space in v~: Kila mzaliwa wa kwanza wa punda utamkomboa kwa mwana-kondoo, lakini kama hukumkomboa, utamvunja shingo yake. Kila mzaliwa wa kwanza mwanaume miongoni mwa wana wenu utamkomboa.

EXO 13:14 Removed trailing space in v~: “Katika siku zijazo, mwanao akikuuliza, ‘Hii ina maana gani?’ Mwambie, ‘Kwa mkono wenye nguvu \nd Bwana\nd* alitutoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.

EXO 13:15 Removed trailing space in v~: Farao alipokataa kwa ukaidi kuturuhusu kuondoka, \nd Bwana\nd* aliua kila mzaliwa wa kwanza wa Wamisri, mwanadamu na wa mnyama. Hii ndiyo sababu ninatoa dhabihu kwa \nd Bwana\nd* mzaliwa wa kwanza wa kiume, wa kila tumbo na kumkomboa kila mzaliwa wa kwanza wa wana wangu.’

EXO 13:16 Removed trailing space in v~: Jambo hili litakuwa kama ishara kwenye mkono wako na kama alama kwenye paji la uso wako, kwamba \nd Bwana\nd* alikutoa katika nchi ya Misri kwa mkono wake wenye nguvu.”

EXO 13:16 Removed trailing space in s1: Nguzo Ya Wingu Na Moto

EXO 13:17 Removed trailing space in v~: Farao alipowaachia watu waende, Mungu hakuwaongoza kufuata njia ipitiayo katika nchi ya Wafilisti, ingawa njia hiyo ilikuwa fupi zaidi. Kwa maana Mungu alisema, “Wakikabiliana na vita, wanaweza kubadili mawazo yao na kurudi Misri.”

EXO 13:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu akawaongoza watu kupitia njia ya kuzunguka kupitia jangwani, kuelekea Bahari ya Shamu. Waisraeli walipanda kutoka nchi ya Misri wakiwa wamejiandaa kwa vita.

EXO 13:19 Removed trailing space in v~: Mose akachukua mifupa ya Yosefu kwa sababu Yosefu alikuwa amewaapisha wana wa Israeli. Alikuwa amewaambia, “Hakika Mungu atakuja kuwasaidia, nanyi ni lazima mwiichukue mifupa yangu mwende nayo kutoka mahali hapa.”

EXO 13:20 Removed trailing space in v~: Baada ya Waisraeli kuondoka Sukothi wakapiga kambi huko Ethamu pembeni mwa jangwa.

EXO 13:21 Removed trailing space in v~: Wakati wa mchana \nd Bwana\nd* aliwatangulia kwa nguzo ya wingu kuwaongoza katika njia yao, na wakati wa usiku aliwatangulia kwa nguzo ya moto kuwaangazia, ili waweze kusafiri mchana au usiku.

EXO 13:22 Removed trailing space in v~: Ile nguzo ya wingu wakati wa mchana au ile nguzo ya moto wakati wa usiku haikuondoka mahali pake mbele ya watu.

EXO 14:0 Extra space after chapter number

EXO 14:0 Removed trailing space in c: 14

EXO 14:0 Removed trailing space in s1: Kuvuka Bahari Ya Shamu

EXO 14:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 14:2 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli wageuke nyuma na wapige kambi karibu na Pi-Hahirothi, kati ya Migdoli na bahari. Watapiga kambi kando ya bahari, mkabala na Baal-Sefoni.

EXO 14:3 Removed trailing space in v~: Farao atafikiri kwamba, ‘Hao Waisraeli wanatangatanga katika nchi kwa kuchanganyikiwa, nalo jangwa limewafungia.’

EXO 14:4 Removed trailing space in v~: Nami nitaufanya moyo wa Farao mgumu, naye atawafuatilia. Lakini nitajipatia utukufu kwa ajili yangu mwenyewe kupitia Farao na jeshi lake lote, nao Wamisri watajua kuwa mimi ndimi \nd Bwana\nd*.” Kwa hiyo Waisraeli wakafanya hivyo.

EXO 14:5 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Misri alipoambiwa kuwa Waisraeli wamekimbia, Farao na maafisa wake wakabadili nia zao kuhusu Waisraeli, wakasema, “Tumefanya nini? Tumewaachia Waisraeli waende zao na tumeukosa utumishi wao!”

EXO 14:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akaandaliwa gari lake la vita, naye akaenda pamoja na jeshi lake.

EXO 14:7 Removed trailing space in v~: Akachukua magari bora mia sita, pamoja na magari mengine yote ya Misri, pamoja na maafisa wa magari hayo yote.

EXO 14:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaufanya mgumu moyo wa Farao, mfalme wa Misri, kwa hiyo akawafuatia Waisraeli, waliokuwa wakiondoka Misri kwa ujasiri.

EXO 14:9 Removed trailing space in v~: Nao Wamisri, yaani farasi wote wa Farao na magari ya vita, wapanda farasi na vikosi vya askari, wakawafuatia Waisraeli, wakawakuta karibu na Pi-Hahirothi, mkabala na Baal-Sefoni walipokuwa wamepiga kambi kando ya bahari.

EXO 14:10 Removed trailing space in v~: Farao alipokaribia, Waisraeli wakainua macho yao, wakawaona Wamisri wakija nyuma yao. Wakashikwa na hofu, wakamlilia \nd Bwana\nd*.

EXO 14:11 Removed trailing space in v~: Wakamwambia Mose, “Je, ni kwamba hayakuwako makaburi huko Misri hata umetuleta tufe huku jangwani? Umetufanyia nini kututoa Misri?

EXO 14:12 Removed trailing space in v~: Hatukukuambia tulipokuwa huko Misri, tuache tuwatumikie Wamisri? Ingekuwa vyema zaidi kwetu kuwatumikia Wamisri kuliko kufa jangwani!”

EXO 14:13 Removed trailing space in v~: Mose akawajibu Waisraeli, “Msiogope. Simameni imara, nanyi mtauona wokovu \nd Bwana\nd* atakaowapatia leo. Hao Wamisri mnaowaona leo kamwe hamtawaona tena.

EXO 14:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawapigania ninyi, nanyi mnatakiwa kutulia tu.”

EXO 14:15 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Kwa nini wewe unanililia? Waambie Waisraeli waendelee mbele.

EXO 14:16 Removed trailing space in v~: Inua fimbo yako na unyooshe mkono wako juu ya bahari ili kuyagawa maji, hivyo kwamba Waisraeli wapate kupita mahali pakavu baharini.

EXO 14:17 Removed trailing space in v~: Nitaifanya mioyo ya Wamisri kuwa migumu kusudi waingie baharini wakiwafuatia. Nami nitajipatia utukufu kupitia Farao pamoja na jeshi lake lote, kupitia magari yake ya vita na wapanda farasi wake.

EXO 14:18 Removed trailing space in v~: Nao Wamisri watajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd* nitakapojipatia utukufu kupitia Farao, magari yake ya vita na wapanda farasi wake.”

EXO 14:19 Removed trailing space in v~: Ndipo malaika wa Mungu, aliyekuwa akisafiri mbele ya jeshi la Israeli, akaondoka akakaa nyuma yao. Pia ile nguzo ya wingu ikaondoka hapo mbele yao na kusimama nyuma,

EXO 14:20 Removed trailing space in v~: ikakaa kati ya majeshi ya Misri na Israeli. Usiku kucha wingu likaleta giza upande mmoja na nuru kwa upande mwingine, kwa hiyo hakuna aliyemkaribia mwenzake usiku kucha.

EXO 14:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akanyoosha mkono wake juu ya bahari, naye \nd Bwana\nd* akayasukuma maji ya bahari nyuma kwa upepo mkali wa mashariki usiku ule wote na kupafanya nchi kavu. Maji yakagawanyika,

EXO 14:22 Removed trailing space in v~: nao Waisraeli wakapita baharini mahali pakavu, maji yakiwa ukuta upande wao wa kuume na upande wao wa kushoto.

EXO 14:23 Removed trailing space in v~: Wamisri wakawafuatia ndani ya bahari, pamoja na farasi wote wa Farao, magari ya vita na wapanda farasi.

EXO 14:24 Removed trailing space in v~: Karibia mapambazuko, \nd Bwana\nd* akaliangalia jeshi la Wamisri kutoka ile nguzo ya moto na ya wingu, akalifadhaisha.

EXO 14:25 Removed trailing space in v~: Mungu akayaondoa magurudumu ya magari yao, kwa hivyo wakayaendesha kwa shida. Nao Wamisri wakasema, “Tuachane na Waisraeli! \nd Bwana\nd* anawapigania dhidi ya Misri.”

EXO 14:25 Removed trailing space in s1: Wafuatiaji Wazama

EXO 14:26 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nyoosha mkono wako juu ya bahari ili maji yarudiane yawafunike Wamisri, magari yao ya vita na wapanda farasi wao.”

EXO 14:27 Removed trailing space in v~: Mose akanyoosha mkono wake juu ya bahari, wakati wa mapambazuko bahari ikarudiana na kuwa kama kawaida. Wamisri wakajaribu kuyakimbia maji, lakini \nd Bwana\nd* akawasukumia ndani ya bahari.

EXO 14:28 Removed trailing space in v~: Maji yakarudiana na kuyafunika magari ya vita na wapanda farasi pamoja na jeshi lote la Farao lililokuwa limewafuata Waisraeli ndani ya bahari. Hakuna hata mmoja wao aliyenusurika.

EXO 14:29 Removed trailing space in v~: Lakini Waisraeli wakapita baharini mahali pakavu, ukiwepo ukuta wa maji upande wao wa kuume na upande wao wa kushoto.

EXO 14:30 Removed trailing space in v~: Siku ile \nd Bwana\nd* akawaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Wamisri, nao Waisraeli wakawaona Wamisri wamelala ufuoni mwa bahari wakiwa wamekufa.

EXO 14:31 Removed trailing space in v~: Basi Waisraeli walipoona uwezo mkubwa \nd Bwana\nd* aliodhihirisha dhidi ya Wamisri, watu wakamwogopa \nd Bwana\nd* na wakaweka tumaini lao kwake na kwa Mose mtumishi wake.

EXO 15:0 Extra space after chapter number

EXO 15:0 Removed trailing space in c: 15

EXO 15:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Mose Na Miriamu

EXO 15:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na Waisraeli wakamwimbia \nd Bwana\nd* wimbo huu:

EXO 15:1 Removed trailing space in p~: “Nitamwimbia \nd Bwana\nd*,

EXO 15:1 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ametukuzwa sana.

EXO 15:1 Removed trailing space in p~: Farasi na mpanda farasi

EXO 15:1 Removed trailing space in p~: amewatosa baharini.

EXO 15:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni nguvu zangu na wimbo wangu;

EXO 15:2 Removed trailing space in p~: amekuwa wokovu wangu.

EXO 15:2 Removed trailing space in p~: Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu,

EXO 15:2 Removed trailing space in p~: Mungu wa baba yangu, nami nitamtukuza.

EXO 15:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni shujaa wa vita;

EXO 15:3 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ndilo jina lake.

EXO 15:4 Removed trailing space in v~: Magari ya vita ya Farao na jeshi lake

EXO 15:4 Removed trailing space in p~: amewatosa baharini.

EXO 15:4 Removed trailing space in p~: Maafisa wa Farao walio bora sana

EXO 15:4 Removed trailing space in p~: wamezamishwa katika Bahari ya Shamu.

EXO 15:5 Removed trailing space in v~: Maji yenye kina yamewafunika,

EXO 15:5 Removed trailing space in p~: wamezama mpaka vilindini kama jiwe.

EXO 15:6 Removed trailing space in v~: “Mkono wako wa kuume, Ee \nd Bwana\nd*

EXO 15:6 Removed trailing space in p~: ulitukuka kwa uweza.

EXO 15:6 Removed trailing space in p~: Mkono wako wa kuume, Ee \nd Bwana\nd*,

EXO 15:6 Removed trailing space in p~: ukamponda adui.

EXO 15:7 Removed trailing space in v~: Katika ukuu wa utukufu wako,

EXO 15:7 Removed trailing space in p~: ukawaangusha chini wale waliokupinga.

EXO 15:7 Removed trailing space in p~: Uliachia hasira yako kali,

EXO 15:7 Removed trailing space in p~: ikawateketeza kama kapi.

EXO 15:8 Removed trailing space in v~: Kwa pumzi ya pua zako

EXO 15:8 Removed trailing space in p~: maji yalijilundika.

EXO 15:8 Removed trailing space in p~: Mawimbi ya maji yakasimama imara kama ukuta,

EXO 15:8 Removed trailing space in p~: vilindi vikagandamana ndani ya moyo wa bahari.

EXO 15:9 Removed trailing space in v~: “Adui alijivuna,

EXO 15:9 Removed trailing space in p~: ‘Nitawafuatia, nitawapata.

EXO 15:9 Removed trailing space in p~: Nitagawanya nyara;

EXO 15:9 Removed trailing space in p~: nitajishibisha kwa wao.

EXO 15:9 Removed trailing space in p~: Nitafuta upanga wangu

EXO 15:9 Removed trailing space in p~: na mkono wangu utawaangamiza.’

EXO 15:10 Removed trailing space in v~: Lakini ulipuliza kwa pumzi yako,

EXO 15:10 Removed trailing space in p~: bahari ikawafunika.

EXO 15:10 Removed trailing space in p~: Wakazama kama risasi

EXO 15:10 Removed trailing space in p~: kwenye maji makuu.

EXO 15:11 Removed trailing space in v~: “Ni nani miongoni mwa miungu aliye kama wewe, Ee \nd Bwana\nd*?

EXO 15:11 Removed trailing space in p~: Ni nani kama Wewe:

EXO 15:11 Removed trailing space in p~: uliyetukuka katika utakatifu,

EXO 15:11 Removed trailing space in p~: utishaye katika utukufu,

EXO 15:11 Removed trailing space in p~: ukitenda maajabu?

EXO 15:12 Removed trailing space in v~: Uliunyoosha mkono wako wa kuume

EXO 15:12 Removed trailing space in p~: na nchi ikawameza.

EXO 15:13 Removed trailing space in v~: “Katika upendo wako usiokoma utawaongoza

EXO 15:13 Removed trailing space in p~: watu uliowakomboa.

EXO 15:13 Removed trailing space in p~: Katika nguvu zako utawaongoza

EXO 15:13 Removed trailing space in p~: mpaka makao yako matakatifu.

EXO 15:14 Removed trailing space in v~: Mataifa watasikia na kutetemeka,

EXO 15:14 Removed trailing space in p~: uchungu utawakamata watu wa Ufilisti.

EXO 15:15 Removed trailing space in v~: Wakuu wa Edomu wataogopa,

EXO 15:15 Removed trailing space in p~: viongozi wa Moabu watatetemeka kwa hofu,

EXO 15:15 Removed trailing space in p~: watu wa Kanaani watayeyuka,

EXO 15:16 Removed trailing space in v~: vitisho na hofu vitawaangukia.

EXO 15:16 Removed trailing space in p~: Kwa nguvu ya mkono wako

EXO 15:16 Removed trailing space in p~: watatulia kama jiwe,

EXO 15:16 Removed trailing space in p~: mpaka watu wako waishe kupita, Ee \nd Bwana\nd*,

EXO 15:16 Removed trailing space in p~: mpaka watu uliowanunua wapite.

EXO 15:17 Removed trailing space in v~: Utawaingiza na kuwapandikiza

EXO 15:17 Removed trailing space in p~: juu ya mlima wa urithi wako:

EXO 15:17 Removed trailing space in p~: hapo mahali, Ee \nd Bwana\nd*, ulipopafanya kuwa makao yako,

EXO 15:17 Removed trailing space in p~: mahali patakatifu, Ee \nd Bwana\nd*, ulipopajenga kwa mikono yako.

EXO 15:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atatawala

EXO 15:18 Removed trailing space in p~: milele na milele.”

EXO 15:19 Removed trailing space in v~: Farasi wa Farao, magari yake ya vita na wapanda farasi wake walipoingia baharini, \nd Bwana\nd* aliyarudisha maji ya bahari yakawafunika, lakini wana wa Israeli walipita baharini mahali pakavu.

EXO 15:20 Removed trailing space in v~: Kisha Miriamu yule nabii mke, ndugu yake Aroni, akachukua matari mkononi mwake na wanawake wote wakamfuata na matari yao wakicheza.

EXO 15:21 Removed trailing space in v~: Miriamu akawaimbia:

EXO 15:21 Removed trailing space in p~: “Mwimbieni \nd Bwana\nd*,

EXO 15:21 Removed trailing space in p~: kwa maana ametukuka sana.

EXO 15:21 Removed trailing space in p~: Farasi na mpanda farasi

EXO 15:21 Removed trailing space in p~: amewatosa baharini.”

EXO 15:21 Removed trailing space in s1: Maji Ya Mara Na Elimu

EXO 15:22 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaongoza Israeli kutoka Bahari ya Shamu na kuingia katika Jangwa la Shuri. Kwa siku tatu walisafiri jangwani bila kupata maji.

EXO 15:23 Removed trailing space in v~: Walipofika Mara, hawakuweza kunywa maji yake kwa sababu yalikuwa machungu. (Ndiyo sababu mahali hapo panaitwa Mara\f + \fr 15:23 \ft Mara maana yake ni Chungu.\f*)

EXO 15:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wakamnungʼunikia Mose, wakisema, “Tunywe nini?”

EXO 15:25 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akamlilia \nd Bwana\nd*, naye \nd Bwana\nd* akamwonyesha kipande cha mti. Akakitupa ndani ya maji, nayo maji yakawa matamu.

EXO 15:25 Removed trailing space in p~: Huko \nd Bwana\nd* akawapa amri na sheria na huko akawajaribu.

EXO 15:26 Removed trailing space in v~: Mungu akasema, “Kama mkisikiliza kwa bidii sauti ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuyafanya yaliyo sawa machoni pake, kama mkiyatii maagizo yake na kuzishika amri zake zote, sitaleta juu yenu ugonjwa wowote niliowaletea Wamisri, kwa kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, niwaponyaye.”

EXO 15:27 Removed trailing space in v~: Kisha wakafika Elimu, mahali palipokuwa na chemchemi kumi na mbili, na miti sabini ya mitende, wakapiga kambi huko karibu na maji.

EXO 16:0 Extra space after chapter number

EXO 16:0 Removed trailing space in c: 16

EXO 16:0 Removed trailing space in s1: Mana Na Kware

EXO 16:1 Removed trailing space in v~: Jumuiya yote ya Kiisraeli ikaondoka Elimu, wakafika Jangwa la Sini, lililokuwa kati ya Elimu na Sinai, siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili baada ya kutoka Misri.

EXO 16:2 Removed trailing space in v~: Huko jangwani hiyo jumuiya yote wakawanungʼunikia Mose na Aroni.

EXO 16:3 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakawaambia, “Laiti tungelikufa kwa mkono wa \nd Bwana\nd* huko Misri! Huko tuliketi tukizunguka masufuria ya nyama na tukala vyakula tulivyovitaka, lakini ninyi mmetuleta huku jangwani ili mpate kuua mkutano huu wote kwa njaa.”

EXO 16:4 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nitanyesha mikate kutoka mbinguni kwa ajili yenu. Watu watatoka kila siku na kukusanya kitakachowatosha kwa siku ile, kwa njia hii, nitawajaribu nione kama watafuata maelekezo yangu.

EXO 16:5 Removed trailing space in v~: Siku ya sita watatayarisha kile waletacho ndani, nacho kitakuwa mara mbili kuliko ya kile walichokusanya kila siku.”

EXO 16:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose na Aroni wakawaambia Waisraeli wote, “Jioni mtajua kwamba \nd Bwana\nd* ndiye aliwatoa Misri,

EXO 16:7 Removed trailing space in v~: kisha asubuhi mtauona utukufu wa \nd Bwana\nd*, kwa sababu amesikia manungʼuniko yenu dhidi yake. Sisi ni nani hata mtunungʼunikie?”

EXO 16:8 Removed trailing space in v~: Pia Mose akasema, “Mtajua kuwa alikuwa \nd Bwana\nd* wakati atakapowapa nyama mle ifikapo jioni na mikate yote mtakayohitaji asubuhi kwa sababu amesikia manungʼuniko yenu dhidi yake. Sisi ni nani? Hamnungʼuniki dhidi yetu, bali dhidi ya \nd Bwana\nd*.”

EXO 16:9 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamwambia Aroni, “Iambie jumuiya yote ya Waisraeli kwamba, ‘Mje mbele zake \nd Bwana\nd*, kwa maana amesikia manungʼuniko yenu.’ ”

EXO 16:10 Removed trailing space in v~: Aroni alipokuwa akizungumza na jumuiya yote ya Waisraeli, wakatazama kuelekea jangwani, na huko wakaona utukufu wa \nd Bwana\nd* ukitokeza katika wingu.

EXO 16:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 16:12 Removed trailing space in v~: “Nimesikia manungʼuniko ya Waisraeli. Waambie, ‘Jioni mtakula nyama, na asubuhi mtashiba mikate. Ndipo mtajua ya kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.’ ”

EXO 16:13 Removed trailing space in v~: Jioni ile kware wakaja wakaifunika kambi na asubuhi kulikuwa na tabaka la umande kuzunguka kambi.

EXO 16:14 Removed trailing space in v~: Wakati umande ulipoondoka, vipande vidogo vidogo kama theluji vilionekana juu ya uso wa jangwa.

EXO 16:15 Removed trailing space in v~: Waisraeli walipoona, wakaambiana, “Hiki ni nini?” Kwa kuwa hawakujua kilikuwa kitu gani.

EXO 16:15 Removed trailing space in p~: Mose akawaambia, “Huu ndio mkate ambao \nd Bwana\nd* amewapa mle.

EXO 16:16 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* alivyoamuru: ‘Kila mmoja akusanye kiasi anachohitaji. Chukueni pishi\f + \fr 16:16 \ft Pishi ni kipimo cha ujazo, kwa Kiebrania ni omeri, ambacho ni sawa na kilo mbili.\f* moja kwa kila mtu mliye naye katika hema yenu.’ ”

EXO 16:17 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya kama walivyoambiwa, baadhi yao wakakusanya zaidi, wengine pungufu.

EXO 16:18 Removed trailing space in v~: Nao walipopima katika pishi, yule aliyekusanya zaidi hakuwa na ziada, wala aliyekusanya kidogo hakupungukiwa. Kila mmoja alikusanya kiasi alichohitaji.

EXO 16:19 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaambia, “Mtu yeyote asibakize chochote mpaka asubuhi.”

EXO 16:20 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, wengine hawakuzingatia aliyosema Mose, wakahifadhi kiasi fulani mpaka asubuhi, lakini kile alichohifadhi kikajaa mabuu na kuanza kunuka. Kwa hiyo Mose akawakasirikia.

EXO 16:21 Removed trailing space in v~: Kila asubuhi, kila mmoja alikusanya kiasi alichohitaji na jua lilipokuwa kali, iliyeyuka.

EXO 16:22 Removed trailing space in v~: Siku ya sita, wakakusanya mara mbili, kiasi cha pishi mbili kwa kila mtu, nao viongozi wa jumuiya wakaja kumwarifu Mose.

EXO 16:23 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia, “Hivi ndivyo alivyoagiza \nd Bwana\nd*: ‘Kesho itakuwa siku ya mapumziko, Sabato takatifu kwa \nd Bwana\nd*. Kwa hiyo okeni kile mnachotaka kuoka na mchemshe kile mnachotaka kuchemsha. Hifadhini chochote kinachobaki na mkiweke mpaka asubuhi.’ ”

EXO 16:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakavihifadhi mpaka asubuhi, kama Mose alivyoagiza, na havikunuka wala kuwa na mabuu.

EXO 16:25 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia, “Kuleni leo, kwa sababu leo ni Sabato kwa \nd Bwana\nd*. Hamtapata chochote juu ya nchi leo.

EXO 16:26 Removed trailing space in v~: Kwa siku sita mtakusanya, lakini siku ya saba, yaani Sabato, hakutakuwepo chochote.”

EXO 16:27 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, baadhi ya watu wakatoka kwenda kukusanya siku ya saba, lakini hawakupata chochote.

EXO 16:28 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Je, mtaacha kushika maagizo na maelekezo yangu mpaka lini?

EXO 16:29 Removed trailing space in v~: Fahamuni kuwa \nd Bwana\nd* amewapa ninyi Sabato, ndiyo sababu katika siku ya sita amewapa mikate ya siku mbili. Kila mmoja inampasa kukaa pale alipo katika siku ya saba. Hata mmoja haruhusiwi kutoka.”

EXO 16:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wakapumzika siku ya saba.

EXO 16:31 Removed trailing space in v~: Watu wa Israeli wakaita ile mikate mana\f + \fr 16:31 \ft Mana maana yake ni mkate kutoka mbinguni.\f* Ilikuwa myeupe kama mbegu za mtama na ladha yake ilikuwa kama mkate mwembamba uliotengenezwa kwa asali.

EXO 16:32 Removed trailing space in v~: Mose akasema, “Hivi ndivyo alivyoagiza \nd Bwana\nd*: ‘Chukueni pishi ya mana na kuhifadhi kwa ajili ya vizazi vijavyo ili vione mikate niliyowapa mle jangwani nilipowatoa katika nchi ya Misri.’ ”

EXO 16:33 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akamwambia Aroni, “Chukua gudulia na uweke pishi moja ya mana ndani yake. Kisha uweke mbele za \nd Bwana\nd* ili kihifadhiwe kwa ajili ya vizazi vijavyo.”

EXO 16:34 Removed trailing space in v~: Kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose, hatimaye Aroni alikuja kuihifadhi ndani ya Sanduku la Ushuhuda.

EXO 16:35 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakala mana kwa miaka arobaini, mpaka walipofika katika nchi iliyokaliwa na watu; walikula mana hadi walipofika mpakani mwa Kanaani.

EXO 16:36 Removed trailing space in v~: (Pishi moja ni sehemu ya kumi ya kipimo cha efa.\f + \fr 16:36 \ft Efa moja ni sawa na kilo 22.\f*)

EXO 17:0 Extra space after chapter number

EXO 17:0 Removed trailing space in c: 17

EXO 17:0 Removed trailing space in s1: Maji Kutoka Kwenye Mwamba

EXO 17:0 Removed trailing space in r: (Hesabu 20:1-13)

EXO 17:1 Removed trailing space in v~: Jumuiya yote ya Israeli ikaondoka kutoka Jangwa la Sini, ikisafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine kama \nd Bwana\nd* alivyoagiza. Wakapiga kambi huko Refidimu, lakini hapakuwa na maji ya watu kunywa.

EXO 17:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakagombana na Mose wakisema, “Tupe maji ya kunywa.”

EXO 17:2 Removed trailing space in p~: Mose akajibu, “Mbona mnagombana nami? Kwa nini mnamjaribu \nd Bwana\nd*?”

EXO 17:3 Removed trailing space in v~: Lakini watu walikuwa na kiu huko, wakanungʼunika dhidi ya Mose, wakisema, “Kwa nini ulitutoa kule Misri, ukatuleta hapa utuue kwa kiu sisi, watoto wetu na mifugo yetu?”

EXO 17:4 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamlilia \nd Bwana\nd*, akasema, “Niwafanyie nini watu hawa? Sasa wanakaribia kunipiga kwa mawe.”

EXO 17:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamjibu Mose, “Pita mbele ya watu. Wachukue pamoja nawe baadhi ya wazee wa Israeli, ichukue mkononi mwako ile fimbo uliyopiga nayo Mto Naili, nawe uende.

EXO 17:6 Removed trailing space in v~: Huko nitasimama mbele yako karibu na mwamba wa Horebu. Uupige mwamba na maji yatatoka ndani yake kwa ajili ya watu kunywa.” Kwa hiyo Mose akafanya haya mbele ya wazee wa Israeli.

EXO 17:7 Removed trailing space in v~: Naye akapaita mahali pale Masa,\f + \fr 17:7 \ft Masa maana yake ni Kujaribu.\f* na Meriba\f + \fr 17:7 \ft Meriba maana yake ni Kugombana.\f* kwa sababu Waisraeli waligombana na kumjaribu \nd Bwana\nd* wakisema, “Je, \nd Bwana\nd* yu pamoja nasi au la?”

EXO 17:7 Removed trailing space in s1: Vita Na Waamaleki

EXO 17:8 Removed trailing space in v~: Waamaleki wakaja na kuwashambulia Waisraeli huko Refidimu.

EXO 17:9 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia Yoshua, “Chagua baadhi ya watu wetu na uende kupigana na Waamaleki. Kesho nitasimama juu ya kilima nikiwa na fimbo ya Mungu mkononi mwangu.”

EXO 17:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yoshua akapigana na Waamaleki kama Mose alivyomwagiza, nao Mose, Aroni na Huri wakapanda juu ya kilima.

EXO 17:11 Removed trailing space in v~: Ikawa wakati wote Mose alipokuwa amenyanyua mikono yake, Waisraeli walikuwa wakishinda, lakini kila aliposhusha mikono yake Waamaleki walishinda.

EXO 17:12 Removed trailing space in v~: Mikono ya Mose ilipochoka, wakachukua jiwe na kumpa alikalie. Aroni na Huri wakaishikilia juu mikono ya Mose, mmoja upande huu na mwingine upande huu. Wakaitegemeza mikono yake ikabaki thabiti mpaka jua lilipozama.

EXO 17:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yoshua akalishinda jeshi la Waamaleki kwa upanga.

EXO 17:14 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Andika mambo haya katika kitabu ili yakumbukwe, na uhakikishe kwamba Yoshua amesikia, kwa sababu nitafuta kabisa kumbukumbu la Amaleki chini ya mbingu.”

EXO 17:15 Removed trailing space in v~: Mose akajenga madhabahu na kuiita Yehova Nisi.\f + \fr 17:15 \ft Yehova Nisi maana yake ni \+nd Bwana\+nd* ni Bendera yangu.\f*

EXO 17:16 Removed trailing space in v~: Mose akasema, “Kwa maana mikono iliinuliwa mpaka kwenye kiti cha enzi cha \nd Bwana\nd*. \nd Bwana\nd* atakuwa na vita dhidi ya Waamaleki kutoka kizazi hata kizazi.”

EXO 18:0 Extra space after chapter number

EXO 18:0 Removed trailing space in c: 18

EXO 18:0 Removed trailing space in s1: Yethro Amtembelea Mose

EXO 18:1 Removed trailing space in v~: Basi Yethro, kuhani wa Midiani, baba mkwe wa Mose, akawa amesikia kila kitu Mungu alichomfanyia Mose na watu wake wa Israeli, pia jinsi \nd Bwana\nd* alivyowatoa Israeli Misri.

EXO 18:2 Removed trailing space in v~: Baada ya Mose kumrudisha mkewe Sipora, Yethro baba mkwe wake alimpokea

EXO 18:3 Removed trailing space in v~: pamoja na wanawe wawili. Jina la mmoja aliitwa Gershomu, kwa kuwa Mose alisema, “Nimekuwa mgeni katika nchi ya kigeni.”

EXO 18:4 Removed trailing space in v~: Mwingine aliitwa Eliezeri, kwa kuwa alisema, “Mungu wa baba yangu alikuwa msaada wangu, akaniokoa kutoka upanga wa Farao.”

EXO 18:5 Removed trailing space in v~: Yethro, baba mkwe wa Mose, pamoja na wana wawili wa Mose na mkewe, wakamjia Mose huko jangwani, mahali alipokuwa amepiga kambi karibu na mlima wa Mungu.

EXO 18:6 Removed trailing space in v~: Yethro alikuwa ametuma ujumbe kwake Mose, kusema, “Mimi Yethro baba mkwe wako ninakuja kwako pamoja na mke wako na wanao wawili.”

EXO 18:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akatoka kumlaki baba mkwe wake, akainama na kumbusu. Wakasalimiana, kisha wakaingia hemani.

EXO 18:8 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia baba mkwe wake kuhusu kila kitu \nd Bwana\nd* alichomfanyia Farao na Wamisri kwa ajili ya Israeli, na pia kuhusu shida zote walizokutana nazo njiani na jinsi \nd Bwana\nd* alivyowaokoa.

EXO 18:9 Removed trailing space in v~: Yethro akafurahishwa sana kusikia juu ya mambo yote mazuri \nd Bwana\nd* aliyowatendea Waisraeli kuwaokoa kutoka mkono wa Wamisri.

EXO 18:10 Removed trailing space in v~: Yethro akasema, “Sifa na ziwe kwa \nd Bwana\nd*, aliyekuokoa wewe kutoka mikononi mwa Wamisri na Farao, na aliyewaokoa watu kutoka mikononi mwa Wamisri.

EXO 18:11 Removed trailing space in v~: Sasa najua ya kuwa \nd Bwana\nd* ni mkuu kuliko miungu mingine yote, kwa kuwa amewatendea hivi wale waliowatenda Israeli kwa ujeuri.”

EXO 18:12 Removed trailing space in v~: Kisha Yethro, baba mkwe wa Mose, akaleta sadaka ya kuteketezwa na dhabihu nyingine kwa Mungu, naye Aroni pamoja na wazee wote wa Israeli wakaja kula chakula pamoja na baba mkwe wa Mose mbele za Mungu.

EXO 18:12 Removed trailing space in s1: Ushauri Wa Yethro

EXO 18:12 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 1:9-18)

EXO 18:13 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata, Mose akachukua nafasi yake kama hakimu wa watu, nao wakasimama kumzunguka kuanzia asubuhi hadi jioni.

EXO 18:14 Removed trailing space in v~: Baba mkwe wake alipoona yote Mose anayowafanyia watu, akasema, “Ni nini hiki unachowafanyia watu? Kwa nini wewe unakuwa mwamuzi wa watu hawa peke yako, wakati watu hawa wamesimama wakikuzunguka tangu asubuhi mpaka jioni?”

EXO 18:15 Removed trailing space in v~: Mose akamjibu, “Kwa sababu watu wananijia kutaka mapenzi ya Mungu.

EXO 18:16 Removed trailing space in v~: Kila wakiwa na shauri huletwa kwangu, nami huamua kati ya mtu na mwenzake na kuwajulisha juu ya amri na sheria za Mungu.”

EXO 18:17 Removed trailing space in v~: Baba mkwe wa Mose akamjibu, “Unachofanya sio kizuri.

EXO 18:18 Removed trailing space in v~: Wewe pamoja na watu hawa wanaokujia mtajichosha bure. Kazi ni nzito sana kwako, huwezi kuibeba mwenyewe.

EXO 18:19 Removed trailing space in v~: Sasa nisikilize mimi, nitakupa shauri, naye Mungu na awe pamoja nawe. Yapasa wewe uwe mwakilishi wa watu mbele za Mungu na ulete mashauri yao kwake.

EXO 18:20 Removed trailing space in v~: Uwafundishe amri na sheria, tena uwaonyeshe namna ya kuishi na kazi zinazowapasa wao kufanya.

EXO 18:21 Removed trailing space in v~: Lakini uchague watu wenye uwezo miongoni mwa watu wote, watu wanaomwogopa Mungu, watu waaminifu wanaochukia mali ya dhuluma, uwateuwe wawe maafisa juu ya maelfu, mamia, hamsini na makumi.

EXO 18:22 Removed trailing space in v~: Waweke wawe waamuzi wa watu kwa wakati wote, lakini waambie wakuletee kila shauri lililo gumu; yale yaliyo rahisi wayaamue wao wenyewe. Hii itafanya mzigo wako kuwa mwepesi, kwa sababu watashirikiana nawe.

EXO 18:23 Removed trailing space in v~: Kama ukifanya hivi, na ikiwa Mungu ameagiza hivyo, utaweza kushinda uchovu, nao watu hawa wote watarudi nyumbani wameridhika.”

EXO 18:23 Removed trailing space in s1: Kuchaguliwa Kwa Waamuzi

EXO 18:24 Removed trailing space in v~: Mose akamsikiliza baba mkwe wake na kufanya kila kitu alichosema.

EXO 18:25 Removed trailing space in v~: Mose akawachagua watu wenye uwezo kutoka Israeli yote, akawafanya kuwa viongozi wa watu, maafisa juu ya maelfu, mamia, hamsini na makumi.

EXO 18:26 Removed trailing space in v~: Wakatumika kama waamuzi wa watu kwa wakati wote. Mashauri magumu wakayaleta kwa Mose, lakini yale yaliyo rahisi wakayaamua wenyewe.

EXO 18:27 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akaagana na Yethro baba mkwe wake, naye akarudi kwa nchi yake.

EXO 19:0 Extra space after chapter number

EXO 19:0 Removed trailing space in c: 19

EXO 19:0 Removed trailing space in s1: Waisraeli Kwenye Mlima Sinai

EXO 19:1 Removed trailing space in v~: Mnamo mwezi wa tatu baada ya Waisraeli kuondoka Misri, siku kama iyo hiyo, wakafika katika Jangwa la Sinai.

EXO 19:2 Removed trailing space in v~: Baada ya kuondoka Refidimu, waliingia katika Jangwa la Sinai na Israeli wakapiga kambi pale jangwani mbele ya mlima.

EXO 19:3 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akakwea kwenda kwa Mungu, naye \nd Bwana\nd* akamwita kutoka kwenye ule mlima akasema, “Hivi ndivyo utakavyosema na nyumba ya Yakobo na utakachowaambia watu wa Israeli:

EXO 19:4 Removed trailing space in v~: ‘Ninyi wenyewe mmeona nililofanya huko Misri, jinsi nilivyowabeba kwenye mbawa za tai na kuwaleta kwangu.

EXO 19:5 Removed trailing space in v~: Sasa kama mkinitii kikamilifu na kutunza Agano langu, basi ninyi mtakuwa mali yangu ya thamani kubwa miongoni mwa mataifa yote. Ijapokuwa dunia yote ni mali yangu,

EXO 19:6 Removed trailing space in v~: ninyi mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu.’ Haya ndiyo maneno utakayosema kwa wana wa Israeli.”

EXO 19:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akarudi, akawaita wazee wa watu na kuwaambia maneno yote ambayo \nd Bwana\nd* alikuwa amemwamuru ayaseme.

EXO 19:8 Removed trailing space in v~: Watu wote wakajibu kwa pamoja, “Tutafanya kila kitu \nd Bwana\nd* alichokisema.” Naye Mose akarudisha majibu yao kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 19:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nitakujia katika wingu zito, ili watu wanisikie nikinena nawe na kila mara waweke tumaini lao kwako.” Kisha Mose akamwambia \nd Bwana\nd* yale ambayo watu walikuwa wamesema.

EXO 19:10 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nenda kwa watu ukawaweke wakfu leo na kesho. Waambie wafue nguo zao

EXO 19:11 Removed trailing space in v~: na wawe tayari siku ya tatu, kwa sababu siku hiyo, \nd Bwana\nd* atashuka juu ya mlima Sinai machoni pa watu wote.

EXO 19:12 Removed trailing space in v~: Weka mipaka kuzunguka mlima kwa ajili ya watu, uwaambie, ‘Mwe waangalifu, msije mkapanda mlimani au kuugusa. Yeyote atakayeugusa mlima hakika atauawa.

EXO 19:13 Removed trailing space in v~: Hakika atapigwa mawe au kupigwa mishale; mkono wa mtu hautamgusa. Akiwa mwanadamu au mnyama, hataruhusiwa kuishi.’ Ila tu wakati baragumu itakapopigwa kwa mfululizo, ndipo watu wote watakapopanda mlimani.”

EXO 19:14 Removed trailing space in v~: Baada ya Mose kushuka kutoka mlimani akawaendea watu na kuwaweka wakfu, wakafua nguo zao.

EXO 19:15 Removed trailing space in v~: Kisha akawaambia watu, “Jitayarisheni kwa ajili ya siku ya tatu. Mwanaume yeyote asimkaribie mwanamke.”

EXO 19:16 Removed trailing space in v~: Asubuhi ya siku ya tatu kulikuwa na ngurumo na radi pamoja na wingu nene juu ya mlima na mlio mkubwa sana wa tarumbeta. Kila mmoja aliyekuwa kambini akatetemeka.

EXO 19:17 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaongoza watu kutoka kambini kukutana na Mungu, nao wakasimama chini ya mlima.

EXO 19:18 Removed trailing space in v~: Mlima Sinai ulikuwa umefunikwa na moshi, kwa sababu \nd Bwana\nd* alishuka juu yake katika moto. Moshi wa moto huo ulipanda juu kama moshi kutoka kwenye tanuru kubwa na mlima wote ukatetemeka kwa nguvu nyingi,

EXO 19:19 Removed trailing space in v~: nayo sauti ya tarumbeta ikawa kubwa zaidi na zaidi. Kisha Mose akazungumza na sauti ya \nd Bwana\nd* ikamjibu.

EXO 19:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akashuka juu ya Mlima Sinai na akamwita Mose apande juu mlimani. Kwa hiyo Mose akapanda juu,

EXO 19:21 Removed trailing space in v~: naye \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Shuka ukawaonye watu ili wasijipenyeze kutafuta kumwona \nd Bwana\nd* na wengi wao wakafa.

EXO 19:22 Removed trailing space in v~: Hata makuhani, watakaomkaribia \nd Bwana\nd* ni lazima wajiweke wakfu, la sivyo \nd Bwana\nd* atawaadhibu.”

EXO 19:23 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia \nd Bwana\nd*, “Watu hawawezi kupanda mlima Sinai kwa sababu wewe mwenyewe ulituonya ukisema, ‘Wekeni mipaka kuuzunguka mlima na kuutenga kama patakatifu.’ ”

EXO 19:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akajibu, “Shuka ukamlete Aroni pamoja nawe. Lakini makuhani pamoja na watu wasije wakalazimisha kuja kwa \nd Bwana\nd*, nisije nikawaadhibu.”

EXO 19:25 Removed trailing space in v~: Basi Mose akashuka kwa watu na kuwaambia lile aliloambiwa.

EXO 20:0 Extra space after chapter number

EXO 20:0 Removed trailing space in c: 20

EXO 20:0 Removed trailing space in s1: Amri Kumi

EXO 20:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 5:1-21)

EXO 20:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akasema maneno haya yote:

EXO 20:2 Removed trailing space in v~: “Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wako, niliyekutoa Misri, kutoka nchi ya utumwa.

EXO 20:3 Removed trailing space in v~: Usiwe na miungu mingine ila mimi.

EXO 20:4 Removed trailing space in v~: Usijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote kilicho juu mbinguni, au duniani chini, au ndani ya maji.

EXO 20:5 Removed trailing space in v~: Usivisujudie wala kuviabudu; kwa kuwa Mimi, \nd Bwana\nd* Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu watoto kwa ajili ya dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

EXO 20:6 Removed trailing space in v~: lakini ninaonyesha upendo kwa maelfu ya vizazi vya wale wanipendao na kuzishika amri zangu.

EXO 20:7 Removed trailing space in v~: Usilitaje bure jina la \nd Bwana\nd* Mungu wako, kwa kuwa \nd Bwana\nd* hataacha kumhesabia hatia yeye alitajaye jina lake bure.

EXO 20:8 Removed trailing space in v~: Ikumbuke siku ya Sabato, uitakase.

EXO 20:9 Removed trailing space in v~: Kwa siku sita utafanya kazi na kutenda shughuli zako zote,

EXO 20:10 Removed trailing space in v~: lakini siku ya saba ni Sabato kwa \nd Bwana\nd* Mungu wako. Siku hiyo hutafanya kazi yoyote, wewe, wala mwanao au binti yako, wala mtumishi wako wa kiume au wa kike, wala wanyama wako, wala mgeni aliye ndani ya malango yako.

EXO 20:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kwa siku sita, \nd Bwana\nd* aliumba mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo, lakini akapumzika siku ya saba. Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akaibariki siku ya Sabato na kuifanya takatifu.

EXO 20:12 Removed trailing space in v~: Waheshimu baba yako na mama yako, ili upate kuishi siku nyingi katika nchi anayokupa \nd Bwana\nd* Mungu wako.

EXO 20:13 Removed trailing space in v~: Usiue.

EXO 20:14 Removed trailing space in v~: Usizini.

EXO 20:15 Removed trailing space in v~: Usiibe.

EXO 20:16 Removed trailing space in v~: Usimshuhudie jirani yako uongo.

EXO 20:17 Removed trailing space in v~: Usiitamani nyumba ya jirani yako. Usimtamani mke wa jirani yako, wala mtumishi wake wa kiume au wa kike, wala ngʼombe wake au punda wake, wala chochote kile alicho nacho jirani yako.”

EXO 20:17 Removed trailing space in s1: Watu Wanaogopa

EXO 20:17 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 5:22-33)

EXO 20:18 Removed trailing space in v~: Watu walipoona ngurumo na radi, na kusikia mlio wa tarumbeta, na kuuona mlima katika moshi, walitetemeka kwa woga. Wakasimama mbali

EXO 20:19 Removed trailing space in v~: na wakamwambia Mose, “Sema nasi wewe mwenyewe, nasi tutakusikiliza. Lakini usimwache Mungu aseme nasi, la sivyo tutakufa.”

EXO 20:20 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia watu, “Msiogope! Mungu amekuja kuwajaribu, ili kwamba hofu ya Mungu iwakalie, msitende dhambi.”

EXO 20:21 Removed trailing space in v~: Watu wakabaki mbali, wakati Mose alipolisogelea lile giza nene mahali pale Mungu alipokuwa.

EXO 20:21 Removed trailing space in s1: Sanamu Na Madhabahu

EXO 20:22 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Waambie Waisraeli hivi: ‘Mmejionea wenyewe kwamba nimesema nanyi kutoka mbinguni:

EXO 20:23 Removed trailing space in v~: Msijifanyizie miungu yoyote na kuilinganisha nami, msijitengenezee miungu ya fedha wala miungu ya dhahabu.

EXO 20:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Utanitengenezea madhabahu ya udongo, na juu yake utoe sadaka za kuteketezwa kwa moto na sadaka za amani, kondoo zako, mbuzi na ngʼombe zako. Popote nitakapofanya Jina langu liheshimiwe, nitakuja kwenu na kuwabariki.

EXO 20:25 Removed trailing space in v~: Ikiwa unanitengenezea madhabahu ya mawe, usiijenge kwa mawe ya kuchonga, maana mkitumia chombo cha kuchongea mtaitia unajisi.

EXO 20:26 Removed trailing space in v~: Msitumie ngazi kupandia kwenye madhabahu yangu, uchi wako usije ukadhihirika kwa chini.’

EXO 21:0 Extra space after chapter number

EXO 21:0 Removed trailing space in c: 21

EXO 21:0 Removed trailing space in s1: Watumishi Wa Kiebrania

EXO 21:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 15:12-18)

EXO 21:1 Removed trailing space in v~: “Hizi ndizo sheria utakazoweka mbele ya Waisraeli:

EXO 21:2 Removed trailing space in v~: “Kama ukimnunua mtumwa wa Kiebrania, atakutumikia kwa miaka sita. Lakini katika mwaka wa saba, atakuwa huru naye atakwenda zake pasipo kulipa chochote.

EXO 21:3 Removed trailing space in v~: Kama akija peke yake, atakwenda huru peke yake, lakini kama akija na mke, ataondoka pamoja naye.

EXO 21:4 Removed trailing space in v~: Kama bwana wake alimpatia mke naye akamzalia wana au binti, mwanamke pamoja na watoto wake watakuwa mali ya bwana wake na huyo mwanaume ataondoka peke yake.

EXO 21:5 Removed trailing space in v~: “Lakini kama mtumishi akisema, ‘Ninampenda bwana wangu, mke wangu pamoja na watoto na sitaki kuwa huru,’

EXO 21:6 Removed trailing space in v~: ndipo bwana wake atakapolazimika kumpeleka mbele ya waamuzi. Kisha atampeleka kwenye mlango au kizingiti na kutoboa sikio lake kwa shazia. Naye atamtumikia bwana wake maisha yake yote.

EXO 21:7 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimuuza binti yake kuwa mtumwa, hataachwa huru kama watumwa wa kiume waachiwavyo.

EXO 21:8 Removed trailing space in v~: Kama hakumpendeza bwana wake aliyemchagua, huyo bwana atamwacha akombolewe. Hatakuwa na haki ya kumuuza kwa wageni, kwa sababu huyo bwana atakuwa amekosa uaminifu.

EXO 21:9 Removed trailing space in v~: Kama akimchagua aolewe na mwanawe, ni lazima ampe haki za kuwa binti yake.

EXO 21:10 Removed trailing space in v~: Ikiwa huyo mwana aliyeozwa mtumwa mwanamke ataoa mwanamke mwingine, ni lazima aendelee kumtosheleza huyo mke wa kwanza kwa chakula, mavazi na haki zote za ndoa.

EXO 21:11 Removed trailing space in v~: Iwapo hatamtosheleza kwa mambo hayo matatu, huyo mke wa kwanza ataondoka na kuwa huru bila malipo yoyote ya fedha.

EXO 21:11 Removed trailing space in s1: Majeraha Ya Mwilini

EXO 21:12 Removed trailing space in v~: “Yeyote ampigaye mtu na kumuua ni lazima auawe hakika.

EXO 21:13 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kama hakumuua kwa makusudi, lakini Mungu akaruhusu itendeke, basi atakimbilia mahali nitakapomchagulia.

EXO 21:14 Removed trailing space in v~: Lakini kama mtu akipanga na kumuua mwingine kwa makusudi, mwondoe katika madhabahu yangu na kumuua.

EXO 21:15 Removed trailing space in v~: “Yeyote amshambuliaye baba yake au mama yake ni lazima auawe.

EXO 21:16 Removed trailing space in v~: “Yeyote amtekaye nyara mwingine akamuuza au akamweka kwake, akikamatwa ni lazima auawe.

EXO 21:17 Removed trailing space in v~: “Yeyote atakayemlaani baba yake au mama yake ni lazima auawe.

EXO 21:18 Removed trailing space in v~: “Kama watu wakigombana na mmoja akimpiga mwingine kwa jiwe au kwa ngumi yake na hakufa bali akaugua na kulala kitandani,

EXO 21:19 Removed trailing space in v~: yule aliyempiga ngumi hatahesabiwa kuwa na hatia kama mwenzake ataamka na kujikongoja kwa fimbo yake, lakini hata hivyo, ni lazima amlipe fidia ya muda wake aliopoteza na awajibike mpaka apone kabisa.

EXO 21:20 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimpiga mtumwa wake wa kiume au wa kike kwa fimbo na mtumwa huyo akafa papo hapo, ni lazima aadhibiwe

EXO 21:21 Removed trailing space in v~: lakini ikiwa mtumwa ataamka baada ya siku moja au mbili, hataadhibiwa, kwa sababu yule mtumwa ni mali yake.

EXO 21:22 Removed trailing space in v~: “Ikiwa watu wawili wanapigana na wakamuumiza mwanamke mjamzito, naye akazaa kabla ya wakati lakini hakuna majeraha makubwa, mhalifu atatozwa mali kiasi cha madai ya mume wa yule mwanamke, na jinsi mahakama itakavyoamua.

EXO 21:23 Removed trailing space in v~: Lakini kukiwa na jeraha kubwa, ni lazima ulipe uhai kwa uhai,

EXO 21:24 Removed trailing space in v~: jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu,

EXO 21:25 Removed trailing space in v~: kuchomwa moto kwa kuchomwa moto, jeraha kwa jeraha, mchubuko kwa mchubuko.

EXO 21:26 Removed trailing space in v~: “Ikiwa mtu atampiga mtumwa mwanaume au mwanamke kwenye jicho na kuliharibu, ni lazima amwache huru yule mtumwa kama fidia ya hilo jicho.

EXO 21:27 Removed trailing space in v~: Kama akimvunja jino mtumwa wa kiume au wa kike, ni lazima amwache huru huyo mtumwa kwa kufidia hilo jino.

EXO 21:28 Removed trailing space in v~: “Kama fahali akimuua mwanaume au mwanamke kwa kumpiga kwa pembe, fahali huyo ni lazima auawe kwa kupigwa mawe, na nyama yake haitaliwa. Lakini mwenye fahali huyo hatawajibika.

EXO 21:29 Removed trailing space in v~: Lakini hata hivyo, ikiwa huyo fahali amekuwa na tabia ya kupiga kwa pembe, na mwenyewe ameonywa na hakutaka kumfungia naye akamuua mwanaume au mwanamke, huyo fahali ni lazima auawe kwa mawe na mwenye fahali pia auawe.

EXO 21:30 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa malipo yatatakiwa kwake, basi anaweza kulipa kinachodaiwa ili kuukomboa uhai wake.

EXO 21:31 Removed trailing space in v~: Sheria hii pia itatumika ikiwa fahali atampiga kwa pembe mwana au binti.

EXO 21:32 Removed trailing space in v~: Ikiwa fahali atampiga mtumwa wa kike au wa kiume, mwenye fahali atalipa shekeli thelathini\f + \fr 21:32 \ft Shekeli 30 ni sawa na gramu 300.\f* za fedha kwa bwana mwenye mtumwa, na fahali ni lazima auawe kwa mawe.

EXO 21:33 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akiacha shimo wazi, ama akachimba shimo kisha asilifukie, na ngʼombe au punda akatumbukia ndani yake,

EXO 21:34 Removed trailing space in v~: mwenye shimo ni lazima alipe hasara iliyotokea; ni lazima amlipe mwenye mnyama. Mnyama aliyekufa atakuwa wake.

EXO 21:35 Removed trailing space in v~: “Kama fahali wa mtu fulani atamuumiza fahali wa mtu mwingine na akafa, watamuuza yule aliye hai na wagawane sawa fedha pamoja na mnyama aliyekufa.

EXO 21:36 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kama ikifahamika kwamba fahali huyo alikuwa na tabia ya kupiga kwa pembe na mwenyewe hakumfunga, ni lazima mwenye fahali alipe mnyama kwa mnyama, na mnyama aliyekufa atakuwa wake.

EXO 22:0 Extra space after chapter number

EXO 22:0 Removed trailing space in c: 22

EXO 22:0 Removed trailing space in s1: Ulinzi Wa Mali

EXO 22:1 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akiiba maksai au kondoo na kumchinja au kumuuza, ni lazima alipe ngʼombe watano badala ya maksai mmoja na kondoo wanne badala ya kondoo mmoja.

EXO 22:2 Removed trailing space in v~: “Kama mwizi akishikwa anavunja nyumba akapigwa hata akafa, aliyemuua hana hatia ya kumwaga damu;

EXO 22:3 Removed trailing space in v~: lakini jambo hilo likitokea wakati jua limechomoza, huyo mtu atakuwa na hatia ya kumwaga damu.

EXO 22:3 Removed trailing space in p~: “Mwizi huyo sharti alipe, lakini kama hana kitu, lazima auzwe ili alipe kwa ajili ya wizi wake.

EXO 22:4 Removed trailing space in v~: “Kama mnyama aliyeibwa akikutwa hai mikononi mwake, ikiwa ni maksai au punda au kondoo, lazima alipe mara mbili.

EXO 22:5 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akichunga mifugo yake katika shamba au shamba la mizabibu, na akawaachia wajilishe katika shamba la mtu mwingine, ni lazima alipe vitu bora kutoka kwenye shamba lake mwenyewe au kutoka shamba lake la mizabibu.

EXO 22:6 Removed trailing space in v~: “Kama moto ukiwaka na kuenea kwenye vichaka vya miiba na kuteketeza miganda ya nafaka au nafaka ambayo haijavunwa, au kuteketeza shamba lote, mtu yule aliyewasha moto lazima alipe.

EXO 22:7 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimpa jirani yake fedha au mali nyingine amtunzie, na kama vikiibwa kutoka nyumba ya huyo jirani, kama mwizi atashikwa, lazima alipe mara mbili.

EXO 22:8 Removed trailing space in v~: Lakini mwizi asipopatikana, mwenye nyumba atafika mbele ya waamuzi ili kuthibitisha kuwa hakuchukua mali ya mwenzake.

EXO 22:9 Removed trailing space in v~: Pakiwepo jambo lolote la mali isiyo halali, ikiwa ni maksai, punda, kondoo, mavazi, ama mali yoyote iliyopotea ambayo fulani atasema, ‘Hii ni mali yangu,’ pande zote mbili wataleta mashauri yao mbele ya waamuzi. Yule ambaye waamuzi watamwona kuwa na hatia atamlipa jirani yake mara mbili.

EXO 22:10 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimpa jirani yake punda, ngʼombe, kondoo au mnyama mwingine yeyote amtunzie, akifa au akijeruhiwa au akichukuliwa wakati haonekani na mtu yeyote,

EXO 22:11 Removed trailing space in v~: jambo hili kati yao wawili litaamuliwa kwa kuapa kiapo mbele za \nd Bwana\nd*, kwamba huyo jirani hakuhusika na wizi wa mali ya jirani yake. Mwenye mali itampasa akubali jambo hili, na hakuna malipo yatakayohitajika.

EXO 22:12 Removed trailing space in v~: Lakini kama mnyama aliibwa kwa jirani, itampasa amlipe mwenye mnyama.

EXO 22:13 Removed trailing space in v~: Kama ameraruliwa na mnyama pori, ataleta mabaki ya mnyama kama ushahidi, naye hatadaiwa kulipa mnyama aliyeraruliwa.

EXO 22:14 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimwazima mnyama kutoka kwa jirani yake, na kama akiumia au akafa na mwenye mnyama hayupo, lazima amlipe huyo mnyama.

EXO 22:15 Removed trailing space in v~: Lakini mwenye mnyama akiwa angalipo na mnyama wake, mwazimaji hatalazimika kumlipa. Kama mnyama alikuwa amekodishwa, fedha iliyolipwa kwa kukodisha inatosha kwa kufidia hasara.

EXO 22:15 Removed trailing space in s1: Uwajibikaji Wa Kijamii

EXO 22:16 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimshawishi bikira ambaye hajaposwa na akilala naye, lazima alipe mahari, kisha atamwoa msichana huyo.

EXO 22:17 Removed trailing space in v~: Baba wa msichana akikataa katakata kumpa huyo mtu huyo msichana wake, bado ni lazima huyo mtu atalipa mahari kama inavyostahili malipo ya ubikira.

EXO 22:18 Removed trailing space in v~: “Usiruhusu mwanamke mchawi aishi.

EXO 22:19 Removed trailing space in v~: “Mtu yeyote aziniye na mnyama lazima auawe.

EXO 22:20 Removed trailing space in v~: “Mtu awaye yote anayemtolea mungu mwingine dhabihu isipokuwa \nd Bwana\nd*, lazima aangamizwe.

EXO 22:21 Removed trailing space in v~: “Usimtendee mgeni vibaya au kumwonea, kwa kuwa nanyi mlikuwa wageni huko Misri.

EXO 22:22 Removed trailing space in v~: “Usimdhulumu mjane wala yatima.

EXO 22:23 Removed trailing space in v~: Kama ukifanya hivyo nao wakinililia, hakika nitasikia kilio chao.

EXO 22:24 Removed trailing space in v~: Hasira yangu itawaka, nami nitawaua kwa upanga, wake zenu watakuwa wajane na watoto wenu watakuwa yatima.

EXO 22:25 Removed trailing space in v~: “Kama ukimkopesha mmojawapo wa watu wangu fedha ambaye ni mhitaji, usiwe kama mtu mkopesha fedha; usimtoze riba.

EXO 22:26 Removed trailing space in v~: Kama ukichukua vazi la jirani kama rehani, ulirudishe kwake kabla jua kuzama,

EXO 22:27 Removed trailing space in v~: kwa kuwa vazi lake ndilo pekee alilo nalo la kumfunika mwili wake. Ni nini kingine atajifunika nacho? Atakaponililia, nitasikia, kwa kuwa nina huruma.

EXO 22:28 Removed trailing space in v~: “Usimkufuru Mungu au kumlaani mtawala wa watu wako.

EXO 22:29 Removed trailing space in v~: “Usiache kutoa sadaka kutoka ghala lako au mapipa yako.

EXO 22:29 Removed trailing space in p~: “Lazima unipe mzaliwa wa kwanza wa wana wako.

EXO 22:30 Removed trailing space in v~: Ufanye vivyo hivyo kwa ngʼombe wako na kwa kondoo wako. Waache wakae na mama zao kwa siku saba, lakini siku ya nane unipe.

EXO 22:31 Removed trailing space in v~: “Ninyi mtakuwa watu wangu watakatifu. Kwa hiyo msile nyama ya mnyama aliyeraruliwa na wanyama pori; mtupieni mbwa.

EXO 23:0 Extra space after chapter number

EXO 23:0 Removed trailing space in c: 23

EXO 23:0 Removed trailing space in s1: Sheria Za Haki Na Rehema

EXO 23:1 Removed trailing space in v~: “Usieneze habari za uongo. Usimsaidie mtu mwovu kwa kuwa shahidi mwenye nia ya kudhuru wengine.

EXO 23:2 Removed trailing space in v~: “Usifuate umati wa watu katika kutenda mabaya. Unapotoa ushahidi kwenye mashtaka, usipotoshe haki ukijumuika na umati wa watu,

EXO 23:3 Removed trailing space in v~: nawe usimpendelee mtu maskini katika mashtaka yake.

EXO 23:4 Removed trailing space in v~: “Kama ukikutana na maksai au punda wa adui yako anapotea, hakikisha umemrudisha kwake.

EXO 23:5 Removed trailing space in v~: Ukiona punda wa mtu anayekuchukia ameanguka na mzigo wake, usimwache hapo alipoangukia; hakikisha kuwa umemsaidia.

EXO 23:6 Removed trailing space in v~: “Usiwanyime haki watu wako walio maskini katika mashtaka yao.

EXO 23:7 Removed trailing space in v~: Ujiepushe na mashtaka ya uongo, wala usimuue mtu asiye na hatia au mtu mwaminifu, kwa maana sitamhesabia hana hatia yeye aliye na hatia.

EXO 23:8 Removed trailing space in v~: “Usipokee rushwa, kwa kuwa rushwa hupofusha wale waonao, na kupinda maneno ya wenye haki.

EXO 23:9 Removed trailing space in v~: “Usimwonee mgeni; ninyi wenyewe mnajua jinsi mgeni anavyojisikia, kwa sababu mlikuwa wageni Misri.

EXO 23:9 Removed trailing space in s1: Sheria Za Sabato

EXO 23:10 Removed trailing space in v~: “Kwa muda wa miaka sita mtapanda mashamba yenu na kuvuna mazao,

EXO 23:11 Removed trailing space in v~: lakini katika mwaka wa saba usiilime ardhi wala kuitumia, ili watu walio maskini miongoni mwenu waweze kupata chakula kutoka kwenye hayo mashamba, nao wanyama pori wapate chakula kwa yale mabaki watakayobakiza. Utafanya hivyo katika shamba lako la mizabibu na la mizeituni.

EXO 23:12 Removed trailing space in v~: “Kwa siku sita fanya kazi zako, lakini siku ya saba usifanye kazi, ili maksai wako na punda wako wapate kupumzika, naye mtumwa aliyezaliwa nyumbani mwako, pamoja na mgeni, wapate kustarehe.

EXO 23:13 Removed trailing space in v~: “Uzingatie kutenda kila kitu nilichokuambia. Usiombe kwa majina ya miungu mingine, wala usiyaruhusu kusikika kinywani mwako.

EXO 23:13 Removed trailing space in s1: Sikukuu Tatu Za Mwaka

EXO 23:13 Removed trailing space in r: (Kutoka 34:18-26; Kumbukumbu 16:1-17)

EXO 23:14 Removed trailing space in v~: “Mara tatu kwa mwaka utanifanyia sikukuu.

EXO 23:15 Removed trailing space in v~: “Utaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu; kwa siku saba utakula mikate isiyotiwa chachu kama nilivyokuagiza. Fanya jambo hili kwa wakati uliopangwa katika mwezi wa Abibu, ndio mwezi wa nne, kwa sababu katika mwezi huo ulitoka Misri.

EXO 23:15 Removed trailing space in p~: “Mtu yeyote asije mbele yangu mikono mitupu.

EXO 23:16 Removed trailing space in v~: “Utaadhimisha Sikukuu ya Mavuno kwa malimbuko ya mazao yako uliyopanda katika shamba lako.

EXO 23:16 Removed trailing space in p~: “Utaadhimisha Sikukuu ya Kukusanya mavuno mwishoni mwa mwaka, unapokusanya mavuno yako toka shambani.

EXO 23:17 Removed trailing space in v~: “Mara tatu kwa mwaka wanaume wote watakuja mbele za \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EXO 23:18 Removed trailing space in v~: “Msitoe damu ya dhabihu kwangu pamoja na kitu chochote kilicho na chachu.

EXO 23:18 Removed trailing space in p~: “Mafuta ya mnyama wa sadaka ya sikukuu yangu yasibakizwe mpaka asubuhi.

EXO 23:19 Removed trailing space in v~: “Utaleta malimbuko bora ya ardhi yako katika nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu wako.

EXO 23:19 Removed trailing space in p~: “Usimchemshe mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.

EXO 23:19 Removed trailing space in s1: Malaika Wa Mungu Kuandaa Njia

EXO 23:20 Removed trailing space in v~: “Tazama, ninamtuma malaika akutangulie mbele yako akulinde njiani na kukuleta mpaka mahali nilipoandaa.

EXO 23:21 Removed trailing space in v~: Mtamtii na kusikiliza kile anachokisema. Usiasi dhidi yake; hatakusamehe uasi wako, kwa maana Jina langu limo ndani yake.

EXO 23:22 Removed trailing space in v~: Kama ukitii kweli kweli kile asemacho na kufanya yote nisemayo, nitakuwa adui wa adui zako, na nitawapinga wale wakupingao.

EXO 23:23 Removed trailing space in v~: Malaika wangu atatangulia mbele yako na kukuleta katika nchi ya Waamori, Wahiti, Waperizi, Wakanaani, Wahivi na Wayebusi, nami nitawafutilia mbali.

EXO 23:24 Removed trailing space in v~: Usiisujudie miungu yao, au kuiabudu, wala kufuata desturi yao. Utayabomoa kabisa na kuvunjavunja mawe yao ya ibada vipande vipande.

EXO 23:25 Removed trailing space in v~: Utamwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wako, na baraka zake zitakuwa juu ya vyakula vyako na maji yako. Nami nitaondoa maradhi miongoni mwako,

EXO 23:26 Removed trailing space in v~: na hakuna atakayeharibu mimba wala atakayekuwa tasa katika nchi yako. Nami nitakupa maisha makamilifu.

EXO 23:27 Removed trailing space in v~: “Nitapeleka utisho wangu mbele yako na kufadhaisha kila taifa utakalolifikia. Nitafanya adui zako wote wakupe kisogo na kukimbia.

EXO 23:28 Removed trailing space in v~: Nitatanguliza manyigu mbele yako kuwafukuza Wahivi, Wakanaani na Wahiti waondoke njiani mwako.

EXO 23:29 Removed trailing space in v~: Lakini sitawafukuza kwa mara moja, kwa sababu nchi itabaki ukiwa na wanyama pori watakuwa wengi mno kwako.

EXO 23:30 Removed trailing space in v~: Nitawafukuza kidogo kidogo mbele yako, mpaka uwe umeongezeka kiasi cha kutosha kuimiliki nchi.

EXO 23:31 Removed trailing space in v~: “Nitaweka mipaka ya nchi yako kuanzia Bahari ya Shamu hadi Bahari ya Wafilisti, na kuanzia jangwani hadi Mto Frati. Nitawatia watu wanaoishi katika nchi hizo mikononi mwako, nawe utawafukuza watoke mbele yako.

EXO 23:32 Removed trailing space in v~: Usifanye agano lolote nao wala na miungu yao.

EXO 23:33 Removed trailing space in v~: Usiwaache waishi katika nchi yako, la sivyo watakusababisha utende dhambi dhidi yangu, kwa sababu ibada ya miungu yao hakika itakuwa mtego kwako.”

EXO 24:0 Extra space after chapter number

EXO 24:0 Removed trailing space in c: 24

EXO 24:0 Removed trailing space in s1: Agano Lathibitishwa

EXO 24:1 Removed trailing space in v~: Kisha Mungu akamwambia Mose, “Njooni huku juu kwa \nd Bwana\nd*, wewe na Aroni, Nadabu na Abihu, pamoja na wazee sabini wa Israeli. Mniabudu kwa mbali,

EXO 24:2 Removed trailing space in v~: lakini Mose peke yake ndiye atakayemkaribia \nd Bwana\nd*; wengine wasije karibu. Nao watu wasije wakapanda pamoja naye.”

EXO 24:3 Removed trailing space in v~: Mose alipokwenda na kuwaambia watu maneno yote na sheria zote za \nd Bwana\nd*, wakaitikia kwa sauti moja, “Kila kitu alichosema \nd Bwana\nd* tutakifanya.”

EXO 24:4 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akaandika kila kitu \nd Bwana\nd* alichokuwa amesema.

EXO 24:4 Removed trailing space in p~: Akaamka kesho yake asubuhi na mapema na kujenga madhabahu chini ya mlima na kusimamisha nguzo kumi na mbili za mawe kuwakilisha makabila kumi na mawili ya Israeli.

EXO 24:5 Removed trailing space in v~: Kisha akawatuma vijana wanaume wa Kiisraeli, nao wakatoa sadaka za kuteketezwa na dhabihu za mafahali wachanga kuwa sadaka za amani kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 24:6 Removed trailing space in v~: Mose akachukua nusu ya damu ya wale wanyama na kuiweka kwenye mabakuli na nusu nyingine akainyunyiza juu ya madhabahu.

EXO 24:7 Removed trailing space in v~: Kisha akachukua kile Kitabu cha Agano na kuwasomea watu. Nao wakajibu, “Tutafanya kila kitu alichosema \nd Bwana\nd*, nasi tutatii.”

EXO 24:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akachukua ile damu, akawanyunyizia wale watu, akasema, “Hii ni damu ya agano ambalo \nd Bwana\nd* amelifanya nanyi kufuatana na maneno haya yote.”

EXO 24:9 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni, Nadabu na Abihu, pamoja na wazee sabini wa Israeli wakapanda mlimani,

EXO 24:10 Removed trailing space in v~: nao wakamwona Mungu wa Israeli. Chini ya miguu yake kulikuwa na kitu kama sakafu ya mawe ya yakuti samawi, iliyo safi kama anga angavu.

EXO 24:11 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu hakuinua mkono wake dhidi ya hawa viongozi wa Waisraeli; walimwona Mungu, nao wakala na kunywa.

EXO 24:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Panda uje kwangu huku mlimani na ukae hapa, nami nitakupa vibao vya mawe, vyenye sheria na amri ambazo nimeziandika ziwe mwongozo wao.”

EXO 24:13 Removed trailing space in v~: Basi Mose akaondoka na Yoshua mtumishi wake, naye Mose akapanda juu kwenye mlima wa Mungu.

EXO 24:14 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia wazee wa Israeli, “Tungojeni hapa mpaka tutakapowarudia. Aroni na Huri wako pamoja nanyi, na kila aliye na neno aweza kuwaendea wao.”

EXO 24:15 Removed trailing space in v~: Mose alipopanda juu mlimani, wingu liliufunika huo mlima,

EXO 24:16 Removed trailing space in v~: nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ukatua juu ya Mlima Sinai. Kwa muda wa siku sita wingu lilifunika mlima, na siku ya saba \nd Bwana\nd* akamwita Mose kutoka katikati ya lile wingu.

EXO 24:17 Removed trailing space in v~: Kwa Waisraeli utukufu wa \nd Bwana\nd* ulionekana kama moto uteketezao juu ya mlima.

EXO 24:18 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akaingia ndani ya lile wingu alivyokuwa akipanda mlimani. Naye akakaa huko mlimani kwa muda wa siku arobaini, usiku na mchana.

EXO 25:0 Extra space after chapter number

EXO 25:0 Removed trailing space in c: 25

EXO 25:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Kwa Ajili Ya Maskani Ya Mungu

EXO 25:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 35:4-9)

EXO 25:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 25:2 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli waniletee sadaka. Utapokea sadaka kwa niaba yangu kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake wapenda kutoa.

EXO 25:3 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo sadaka utakazozipokea kutoka kwao: dhahabu, fedha na shaba;

EXO 25:4 Removed trailing space in v~: nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu, pamoja na kitani safi; singa za mbuzi;

EXO 25:5 Removed trailing space in v~: ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo;\f + \fr 25:5 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* mbao za mshita;

EXO 25:5 Found footnote ending with space in \v~: ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo;\f + \fr 25:5 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* mbao za mshita;

EXO 25:6 Removed trailing space in v~: mafuta ya zeituni kwa ajili ya taa; vikolezi kwa ajili ya mafuta ya upako, pamoja na uvumba wa harufu nzuri;

EXO 25:7 Removed trailing space in v~: na vito vya shohamu na vito vingine vya thamani vya kuweka kwenye kisibau na kile kifuko cha kifuani.

EXO 25:8 Removed trailing space in v~: “Kisha uwaamuru wanitengenezee mahali patakatifu, nami nitakaa miongoni mwao.

EXO 25:9 Removed trailing space in v~: Tengeneza hema hili na vyombo vyake vyote sawasawa na kielelezo nitakachokuonyesha.

EXO 25:9 Removed trailing space in s1: Sanduku La Agano

EXO 25:9 Removed trailing space in r: (Kutoka 37:1-9)

EXO 25:10 Removed trailing space in v~: “Nao watatengeneza Sanduku la mbao za mshita, lenye urefu wa dhiraa mbili na nusu,\f + \fr 25:10 \ft Dhiraa mbili na nusu ni sawa na sentimita 112.5.\f* upana wa dhiraa moja na nusu,\f + \fr 25:10 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.\f* na kimo cha dhiraa moja na nusu.

EXO 25:11 Removed trailing space in v~: Utalifunika hilo Sanduku kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulifanyia ukingo wa dhahabu juu yake kulizunguka.

EXO 25:12 Removed trailing space in v~: Utalisubu kwa pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine.

EXO 25:13 Removed trailing space in v~: Kisha utatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.

EXO 25:14 Removed trailing space in v~: Utaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba.

EXO 25:15 Removed trailing space in v~: Hiyo mipiko itabakia daima katika hizo pete za hilo Sanduku; haitaondolewa.

EXO 25:16 Removed trailing space in v~: Kisha weka ndani ya hilo Sanduku ule Ushuhuda nitakaokupa.

EXO 25:17 Removed trailing space in v~: “Tengeneza kifuniko cha upatanisho cha dhahabu safi, chenye urefu wa dhiraa mbili na nusu, na upana wa dhiraa moja na nusu.

EXO 25:18 Removed trailing space in v~: Tengeneza makerubi wawili wa dhahabu iliyofuliwa katika miisho ya hicho kifuniko.

EXO 25:19 Removed trailing space in v~: Tengeneza kerubi mmoja kwenye mwisho mmoja, na kerubi mwingine kwenye mwisho mwingine; watengeneze makerubi hao wawe kitu kimoja na hicho kifuniko katika miisho hiyo miwili.

EXO 25:20 Removed trailing space in v~: Makerubi hao watakuwa wametandaza mabawa kuelekea juu, yakitia kivuli hicho kifuniko. Makerubi hao wataelekeana, wakitazama hicho kifuniko.

EXO 25:21 Removed trailing space in v~: Weka huo Ushuhuda nitakaokupa ndani ya hilo Sanduku la Agano, na uweke hicho kifuniko juu ya hilo Sanduku.

EXO 25:22 Removed trailing space in v~: Hapo juu ya hicho kifuniko, kati ya hao makerubi wawili walioko juu ya hilo Sanduku la Ushuhuda, hapo ndipo nitakapokutana nawe na kukupa maagizo yangu kwa ajili ya Waisraeli.

EXO 25:22 Removed trailing space in s1: Meza Ya Mikate Ya Wonyesho

EXO 25:22 Removed trailing space in r: (Kutoka 37:10-16)

EXO 25:23 Removed trailing space in v~: “Tengeneza meza ya mbao za mshita yenye urefu wa dhiraa mbili,\f + \fr 25:23 \ft Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90.\f* upana wa dhiraa moja, na kimo cha dhiraa moja na nusu.

EXO 25:24 Removed trailing space in v~: Ifunike kwa dhahabu safi, na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.

EXO 25:25 Removed trailing space in v~: Kisha tengeneza upapi wenye upana wa nyanda nne,\f + \fr 25:25 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 8.\f* na ufanyie ule upapi ukingo wa dhahabu kuuzunguka pande zote.

EXO 25:26 Removed trailing space in v~: Tengeneza pete nne za dhahabu kwa ajili ya meza hiyo, na uzifungie kwenye pembe nne, pale penye miguu yake minne.

EXO 25:27 Removed trailing space in v~: Pete hizo zitakuwa karibu na ukingo ule ili kuishikilia ile mipiko itakayotumika kuibebea hiyo meza.

EXO 25:28 Removed trailing space in v~: Tengeneza mipiko hiyo kwa mbao za mshita, uifunike na dhahabu, uitumie kubeba hiyo meza.

EXO 25:29 Removed trailing space in v~: Tengeneza sahani zake na masinia yake kwa dhahabu safi, pamoja na bilauri na bakuli zake kwa ajili ya kumiminia sadaka.

EXO 25:30 Removed trailing space in v~: Utaweka mikate ya Wonyesho juu ya meza hii iwe mbele yangu daima.

EXO 25:30 Removed trailing space in s1: Kinara Cha Taa

EXO 25:30 Removed trailing space in r: (Kutoka 37:17-24)

EXO 25:31 Removed trailing space in v~: “Tengeneza kinara cha taa cha dhahabu safi iliyofuliwa vizuri katika kitako chake na ufito wake; vikombe vyake vinavyofanana na ua, matovu yake na maua yake viwe kitu kimoja.

EXO 25:32 Removed trailing space in v~: Matawi sita yatatokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine.

EXO 25:33 Removed trailing space in v~: Vikombe vitatu vya mfano wa maua ya mlozi yenye matovu na maua vitakuwa katika tawi moja, vikombe vitatu katika tawi jingine, na vivyo hivyo kwa matawi yote sita yanayotokeza kwenye kile kinara cha taa.

EXO 25:34 Removed trailing space in v~: Juu ya kinara chenyewe vitakuwepo vikombe vinne vya mfano wa maua ya mlozi yakiwa na matovu yake na maua yake.

EXO 25:35 Removed trailing space in v~: Tovu moja litakuwa chini ya jozi ya kwanza ya matawi yaliyotokeza kwenye kinara cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, nalo tovu la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani matawi sita kwa jumla.

EXO 25:36 Removed trailing space in v~: Matovu na matawi yote yatakuwa kitu kimoja na kile kinara cha taa, yakifuliwa kwa dhahabu safi.

EXO 25:37 Removed trailing space in v~: “Kisha tengeneza taa zake saba na uziweke juu ya kinara hicho ili ziangaze mbele yake.

EXO 25:38 Removed trailing space in v~: Mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote zitakuwa za dhahabu safi.

EXO 25:39 Removed trailing space in v~: Utatumia talanta moja\f + \fr 25:39 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.\f* ya dhahabu safi kutengeneza hicho kinara na vifaa vyake vyote.

EXO 25:40 Removed trailing space in v~: Hakikisha kuwa umevitengeneza sawasawa na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani.

EXO 26:14 Found footnote ending with space in \v~: Tengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.\f + \fr 26:14 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f*

EXO 27:0 Extra space after chapter number

EXO 27:0 Removed trailing space in c: 27

EXO 27:0 Removed trailing space in s1: Madhabahu Ya Sadaka Ya Kuteketezwa

EXO 27:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 38:1-7)

EXO 27:1 Removed trailing space in v~: “Jenga madhabahu ya mbao za mti wa mshita, kimo chake kiwe dhiraa tatu;\f + \fr 27:1 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.\f* itakuwa mraba, urefu wake dhiraa tano,\f + \fr 27:1 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.\f* na upana wake dhiraa tano.

EXO 27:2 Removed trailing space in v~: Tengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu ziwe zimeungana, na ufunike madhabahu kwa shaba.

EXO 27:3 Removed trailing space in v~: Tengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba: vyungu vyake vya kuondolea majivu, masepetu, mabakuli ya kunyunyizia, uma za nyama, na vyombo vya kuchukulia moto.

EXO 27:4 Removed trailing space in v~: Kisha tengenezea hayo madhabahu wavu wa shaba, na utengeneze pete za shaba kwenye kila moja ya hizo pembe nne za huo wavu.

EXO 27:5 Removed trailing space in v~: Weka wavu huo chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu.

EXO 27:6 Removed trailing space in v~: Tengeneza mipiko ya mti wa mshita kwa ajili ya madhabahu, na uifunike kwa shaba.

EXO 27:7 Removed trailing space in v~: Hiyo mipiko itaingizwa kwenye zile pete ili iwe pande mbili za madhabahu inapobebwa.

EXO 27:8 Removed trailing space in v~: Tengeneza madhabahu yawe na uvungu ndani yake ukitumia mbao. Utaitengeneza sawasawa na vile ulivyoonyeshwa mlimani.

EXO 27:8 Removed trailing space in s1: Ua Wa Kukutania

EXO 27:8 Removed trailing space in r: (Kutoka 38:9-20)

EXO 27:9 Removed trailing space in v~: “Tengeneza ua kwa ajili ya Hema la Kukutania. Upande wa kusini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja,\f + \fr 27:9 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.\f* na utakuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,

EXO 27:10 Removed trailing space in v~: pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

EXO 27:11 Removed trailing space in v~: Upande wa kaskazini utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja, nao utakuwa na mapazia, pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

EXO 27:12 Removed trailing space in v~: “Upande wa magharibi wa ua utakuwa na upana wa dhiraa hamsini,\f + \fr 27:12 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.\f* nao utakuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi.

EXO 27:13 Removed trailing space in v~: Upande wa mwisho wa mashariki jua linakochomoza, ua pia utakuwa na upana wa dhiraa hamsini.

EXO 27:14 Removed trailing space in v~: Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano yatakuwa upande mmoja wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.

EXO 27:15 Removed trailing space in v~: Kutakuwepo tena na mapazia ya dhiraa kumi na tano\f + \fr 27:15 \ft Dhiraa 15 ni sawa na mita 6.75.\f* kwa upande mwingine wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.

EXO 27:16 Removed trailing space in v~: “Kuhusu ingilio la ua, weka pazia lenye urefu wa dhiraa ishirini\f + \fr 27:16 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.\f* la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. Pazia hilo litashikiliwa na nguzo nne na vitako vinne.

EXO 27:17 Removed trailing space in v~: Nguzo zote zinazozunguka ua zitakuwa na tepe na kulabu za fedha, na vitako vya shaba.

EXO 27:18 Removed trailing space in v~: Ua wa kukutania utakuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini, ukiwa na mapazia ya kitani yaliyosokotwa vizuri yenye urefu wa dhiraa tano kwenda juu na vitako vya shaba.

EXO 27:19 Removed trailing space in v~: Vyombo vingine vyote vinavyotumika katika maskani kwa shughuli yoyote, pamoja na vigingi vyote na hata vile vya ua, vitakuwa vya shaba.

EXO 27:19 Removed trailing space in s1: Mafuta Ya Kinara Cha Taa

EXO 27:19 Removed trailing space in r: (Walawi 24:1-4)

EXO 27:20 Removed trailing space in v~: “Utawaamuru Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa kwa ajili ya mwanga ili zile taa ziwake mfululizo.

EXO 27:21 Removed trailing space in v~: Katika Hema la Kukutania, nje ya pazia lililo mbele ya Sanduku la Ushuhuda, Aroni na wanawe watahakikisha kuwa taa hizo zinawaka kuanzia jioni mpaka asubuhi mbele za \nd Bwana\nd*. Hili litakuwa agizo la milele miongoni mwa Waisraeli kwa vizazi vyote vijavyo.

EXO 28:0 Extra space after chapter number

EXO 28:0 Removed trailing space in c: 28

EXO 28:0 Removed trailing space in s1: Mavazi Ya Kikuhani

EXO 28:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 39:1-7)

EXO 28:1 Removed trailing space in v~: “Mtwae Aroni ndugu yako aliyeletwa kwako kutoka miongoni mwa Waisraeli, pamoja na wanawe Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari, ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.

EXO 28:2 Removed trailing space in v~: Mshonee Aroni ndugu yako mavazi matakatifu ili yampe ukuu na heshima.

EXO 28:3 Removed trailing space in v~: Waambie mafundi stadi wote niliowapa hekima katika shughuli hiyo wamtengenezee Aroni mavazi hayo, ili awekwe wakfu, anitumikie katika kazi ya ukuhani.

EXO 28:4 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo mavazi watakayoshona: kifuko cha kifuani, kisibau, kanzu, joho lililorembwa, kilemba na mshipi. Mavazi haya yatashonwa kwa ajili ya ndugu yako Aroni na wanawe ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.

EXO 28:5 Removed trailing space in v~: Waambie watumie dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani safi.

EXO 28:5 Removed trailing space in s1: Kisibau

EXO 28:6 Removed trailing space in v~: “Tengeneza kisibau cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa, kazi ya fundi stadi.

EXO 28:7 Removed trailing space in v~: Kitakuwa na vipande viwili vya mabegani vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili kufungia kisibau.

EXO 28:8 Removed trailing space in v~: Mshipi wa kiunoni uliofumwa kwa ustadi utafanana nacho: utakuwa kitu kimoja na hicho kisibau, nao utengenezwe kwa dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kwa kitani iliyosokotwa vizuri.

EXO 28:9 Removed trailing space in v~: “Chukua vito viwili vya shohamu, na uchore juu yake majina ya wana wa Israeli

EXO 28:10 Removed trailing space in v~: kufuatana na walivyozaliwa: majina sita katika kito kimoja, na mengine sita katika kito kingine.

EXO 28:11 Removed trailing space in v~: Yachore majina ya wana wa Israeli juu ya vito hivyo viwili kama vile sonara anavyochonga muhuri. Kisha uvitie vito hivyo katika vijalizo vya dhahabu,

EXO 28:12 Removed trailing space in v~: na uvifungie juu ya vipande vya mabega ya kisibau yawe kama vito vya ukumbusho kwa wana wa Israeli. Aroni atavaa majina hayo mabegani mwake kama kumbukumbu mbele za \nd Bwana\nd*.

EXO 28:13 Removed trailing space in v~: Tengeneza vijalizo vya dhahabu

EXO 28:14 Removed trailing space in v~: na mikufu miwili ya dhahabu safi iliyosokotwa kama kamba, na uifunge mikufu hiyo kwenye vijalizo.

EXO 28:14 Removed trailing space in s1: Kifuko Cha Kifuani

EXO 28:14 Removed trailing space in r: (Kutoka 39:8-21)

EXO 28:15 Removed trailing space in v~: “Fanyiza kifuko cha kifuani kwa ajili ya kufanya maamuzi, kazi ya fundi stadi. Kitengeneze kama kile kisibau: cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, cha kitani safi iliyosokotwa.

EXO 28:16 Removed trailing space in v~: Kitakuwa cha mraba, chenye urefu wa shibiri moja\f + \fr 28:16 \ft Shibiri moja ni sawa na sentimita 22.\f* na upana wa shibiri moja, na kikunjwe mara mbili.

EXO 28:17 Removed trailing space in v~: Kisha weka safu nne za vito vya thamani juu yake. Safu ya kwanza itakuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;

EXO 28:18 Removed trailing space in v~: katika safu ya pili itakuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;

EXO 28:19 Removed trailing space in v~: safu ya tatu itakuwa na hiakintho, akiki nyekundu na amethisto;

EXO 28:20 Removed trailing space in v~: na safu ya nne itakuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Yote yatiwe kwenye vijalizo vya dhahabu.

EXO 28:21 Removed trailing space in v~: Patakuwa na vito kumi na viwili, kila kimoja kwa jina mojawapo la wana wa Israeli, kila kimoja kichorwe kama muhuri kikiwa na jina mojawapo la yale makabila kumi na mawili.

EXO 28:22 Removed trailing space in v~: “Kwa ajili ya kile kifuko cha kifuani, tengeneza mikufu ya dhahabu safi, iliyosokotwa kama kamba.

EXO 28:23 Removed trailing space in v~: Tengeneza pete mbili za dhahabu kwa ajili yake, uzifungie kwenye pembe mbili za hicho kifuko cha kifuani.

EXO 28:24 Removed trailing space in v~: Funga ile mikufu miwili ya dhahabu kwenye hizo pete zilizo katika pembe za hicho kifuko cha kifuani,

EXO 28:25 Removed trailing space in v~: nazo zile ncha nyingine za mkufu zifunge kwenye vile vijalizo viwili, na uzishikamanishe na vile vipande vya mabega vya kile kisibau upande wa mbele.

EXO 28:26 Removed trailing space in v~: Tengeneza pete mbili za dhahabu, uzishikamanishe kwenye pembe mbili za chini, upande wa ndani wa kifuko cha kifuani karibu na kisibau.

EXO 28:27 Removed trailing space in v~: Tengeneza pete nyingine mbili za dhahabu, na uzishikamanishe sehemu ya chini ya vipande vya mabega upande wa mbele wa kile kisibau, karibu na pindo juu kidogo ya mshipi wa kiunoni wa kisibau.

EXO 28:28 Removed trailing space in v~: Pete za kifuko cha kifuani zitafungwa kwenye pete zile za kisibau kwa kamba ya buluu, ziunganishwe na ule mshipi wa kiunoni, ili kifuko cha kifuani kisisogee kutoka kwenye kile kisibau.

EXO 28:29 Removed trailing space in v~: “Wakati wowote Aroni aingiapo Mahali Patakatifu, atakuwa na yale majina ya wana wa Israeli moyoni mwake juu ya kile kifuko cha kifuani cha uamuzi kama kumbukumbu ya kudumu mbele za \nd Bwana\nd*.

EXO 28:30 Removed trailing space in v~: Pia weka Urimu na Thumimu\f + \fr 28:30 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha juu cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.\f* ndani ya kifuko cha kifuani, yawe juu ya moyo wa Aroni kila mara aingiapo mbele za \nd Bwana\nd*. Kwa hiyo siku zote Aroni atakuwa na uwezo kufanya maamuzi kwa ajili ya wana wa Israeli mbele za \nd Bwana\nd*.

EXO 28:30 Removed trailing space in s1: Mavazi Mengine Ya Kikuhani

EXO 28:30 Removed trailing space in r: (Kutoka 39:22-31)

EXO 28:31 Removed trailing space in v~: “Shona joho la kisibau lote kwa kitambaa cha rangi ya buluu tupu,

EXO 28:32 Removed trailing space in v~: na katikati uweke nafasi ya kuingizia kichwa. Kutakuwa na utepe uliofumwa, unaofanana na ukosi kuizunguka nafasi hiyo, ili isichanike.

EXO 28:33 Removed trailing space in v~: Tengeneza makomamanga ya nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu kuzunguka pindo la hilo joho, na uweke pia vikengele vya dhahabu kati ya hayo makomamanga.

EXO 28:34 Removed trailing space in v~: Hivyo vikengele vya dhahabu na makomamanga vitapishana kuzunguka upindo wa joho lile.

EXO 28:35 Removed trailing space in v~: Ni lazima Aroni alivae anapofanya huduma. Sauti ya hivyo vikengele itasikika anapoingia na kutoka Mahali Patakatifu mbele za \nd Bwana\nd*, ili asije akafa.

EXO 28:36 Removed trailing space in v~: “Tengeneza bamba la dhahabu safi na uchore juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: \sc Mtakatifu kwa Bwana\sc*.

EXO 28:37 Removed trailing space in v~: Lifunge hilo bamba kwa kamba ya buluu kwenye kilemba, nalo ni lazima liwe mbele ya kilemba.

EXO 28:38 Removed trailing space in v~: Aroni alivae bamba hilo kwenye paji la uso wake, naye atachukua hatia kuhusu sadaka takatifu za Waisraeli wanazoweka wakfu, sadaka za aina yoyote. Litakuwa kwenye paji la uso wa Aroni daima ili zikubalike kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 28:39 Removed trailing space in v~: “Fuma koti la kitani safi na ufanye kilemba cha kitani safi. Mshipi uwe ni kazi ya mtarizi.

EXO 28:40 Removed trailing space in v~: Watengenezee wana wa Aroni makoti, mishipi na kofia, ili kuwapa ukuu na heshima.

EXO 28:41 Removed trailing space in v~: Baada ya kumvika Aroni ndugu yako pamoja na wanawe nguo hizi, watie mafuta na kuwabariki. Waweke wakfu ili wanitumikie katika kazi ya ukuhani.

EXO 28:42 Removed trailing space in v~: “Watengenezee nguo za ndani za kitani zitakazofunika mwili, kutoka kiunoni hadi mapajani.

EXO 28:43 Removed trailing space in v~: Aroni na wanawe ni lazima wavae haya kila wanapoingia katika Hema la Kukutania au wanaposogelea madhabahu wakati wa kutoa huduma katika Mahali Patakatifu, ili wasije wakafanya kosa wakafa.

EXO 28:43 Removed trailing space in p~: “Haya yawe maagizo ya kudumu kwa Aroni na vizazi vyake.

EXO 29:0 Extra space after chapter number

EXO 29:0 Removed trailing space in c: 29

EXO 29:0 Removed trailing space in s1: Kuweka Wakfu Makuhani

EXO 29:0 Removed trailing space in r: (Walawi 8:1-36)

EXO 29:1 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo utakalofanya ili kuwaweka wakfu makuhani ili wanitumikie mimi katika kazi ya ukuhani: Chukua fahali mchanga mmoja na kondoo dume wawili wasio na dosari.

EXO 29:2 Removed trailing space in v~: Kutokana na unga laini wa ngano usiotiwa chachu, tengeneza mikate na maandazi yaliyokandwa kwa mafuta, pamoja na mikate midogo myembamba.

EXO 29:3 Removed trailing space in v~: Viwekwe vyote ndani ya kikapu na kuvitoa pamoja na yule fahali na wale kondoo dume wawili.

EXO 29:4 Removed trailing space in v~: Kisha mlete Aroni na wanawe kwenye lango la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji.

EXO 29:5 Removed trailing space in v~: Chukua yale mavazi na umvike Aroni koti, joho la kisibau na kisibau chenyewe pamoja na kile kifuko cha kifuani. Mfungie hicho kisibau kwa ule mshipi wa kiunoni uliosukwa kwa ustadi.

EXO 29:6 Removed trailing space in v~: Weka kilemba kichwani mwake na kuweka taji takatifu ishikamane na hicho kilemba.

EXO 29:7 Removed trailing space in v~: Chukua yale mafuta ya upako umimine juu ya kichwa chake.

EXO 29:8 Removed trailing space in v~: Walete wanawe na uwavike makoti,

EXO 29:9 Removed trailing space in v~: pia uwavike zile tepe za kichwani. Ndipo uwafunge Aroni na wanawe mishipi. Ukuhani ni wao kwa agizo la kudumu. Kwa njia hii utamweka wakfu Aroni na wanawe.

EXO 29:10 Removed trailing space in v~: “Mlete yule fahali mbele ya Hema la Kukutania, naye Aroni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa chake.

EXO 29:11 Removed trailing space in v~: Mchinje huyo fahali mbele za \nd Bwana\nd* kwenye mlango wa Hema la Kukutania.

EXO 29:12 Removed trailing space in v~: Chukua sehemu ya damu ya huyo fahali na kuipaka kwenye pembe za hayo madhabahu kwa kidole chako, na damu iliyobaki uimwage sehemu ya chini ya madhabahu.

EXO 29:13 Removed trailing space in v~: Kisha chukua mafuta yote ya huyo mnyama ya sehemu za ndani, yale yanayofunika ini, figo zote mbili pamoja na mafuta yake, uviteketeze juu ya madhabahu.

EXO 29:14 Removed trailing space in v~: Lakini nyama ya huyo fahali na ngozi yake na matumbo yake utavichoma nje ya kambi. Hii ni sadaka ya dhambi.

EXO 29:15 Removed trailing space in v~: “Chukua mmoja wa wale kondoo dume, naye Aroni na wanawe wataweka mikono yao juu ya kichwa chake.

EXO 29:16 Removed trailing space in v~: Mchinje huyo kondoo dume, chukua damu yake na uinyunyize pande zote za hayo madhabahu.

EXO 29:17 Removed trailing space in v~: Mkate huyo kondoo dume vipande vipande na usafishe sehemu za ndani pamoja na miguu, ukiviweka pamoja na kichwa na vipande vingine.

EXO 29:18 Removed trailing space in v~: Kisha mteketeze huyo kondoo dume mzima juu ya madhabahu. Hii ni sadaka ya kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd*, harufu ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

EXO 29:19 Removed trailing space in v~: “Mchukue yule kondoo dume mwingine, naye Aroni na wanawe waweke mikono yao juu ya kichwa chake.

EXO 29:20 Removed trailing space in v~: Mchinje, uchukue sehemu ya damu yake na kuipaka kwenye masikio ya Aroni na wanawe, kwenye vidole gumba vya mikono yao ya kuume, pia kwenye vidole gumba vya miguu yao ya kuume. Kisha nyunyiza hiyo damu pande zote za madhabahu.

EXO 29:21 Removed trailing space in v~: Pia chukua sehemu ya damu iliyo juu ya madhabahu na sehemu ya mafuta ya upako, umnyunyizie Aroni na mavazi yake, pia wanawe na mavazi yao. Ndipo Aroni na wanawe pamoja na mavazi yao watakuwa wamewekwa wakfu.

EXO 29:22 Removed trailing space in v~: “Chukua mafuta ya huyu kondoo dume, mafuta ya mkia, mafuta ya sehemu za ndani yale yanayofunika ini, figo zote mbili na mafuta yake, pamoja na paja la kulia. (Huyo ndiye kondoo dume kwa ajili ya kuwaweka wakfu.)

EXO 29:23 Removed trailing space in v~: Kutoka kwenye kile kikapu chenye mikate iliyotengenezwa bila chachu, kilichoko mbele za \nd Bwana\nd*, chukua mkate, andazi lililokandwa kwa mafuta na mkate mdogo mwembamba.

EXO 29:24 Removed trailing space in v~: Viweke vitu hivi vyote mikononi mwa Aroni na wanawe na uviinue mbele za \nd Bwana\nd* kuwa sadaka ya kuinuliwa.

EXO 29:25 Removed trailing space in v~: Kisha vichukue vitu hivyo kutoka mikononi mwao, uviteketeze juu ya madhabahu pamoja na sadaka ya kuteketezwa kuwa harufu nzuri ya kupendeza kwa \nd Bwana\nd*, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

EXO 29:26 Removed trailing space in v~: Baada ya kuchukua kidari cha huyo kondoo dume wa kuwekwa wakfu kwa Aroni, kiinue mbele za \nd Bwana\nd* kuwa sadaka ya kuinuliwa, nayo itakuwa fungu lako.

EXO 29:27 Removed trailing space in v~: “Weka wakfu zile sehemu za kondoo dume aliyetumika kwa kumweka wakfu Aroni na wanawe: kidari kile kilichoinuliwa na lile paja lililotolewa.

EXO 29:28 Removed trailing space in v~: Siku zote hili litakuwa fungu la kawaida kutoka kwa Waisraeli kwa ajili ya Aroni na wanawe. Hili ni toleo la Waisraeli watakalotoa kwa \nd Bwana\nd* kutoka sadaka zao za amani.

EXO 29:29 Removed trailing space in v~: “Mavazi matakatifu ya Aroni yatakuwa ya wazao wake ili kwamba waweze kutiwa mafuta na kuwekwa wakfu wakiwa wameyavaa.

EXO 29:30 Removed trailing space in v~: Mwana atakayeingia mahali pake kuwa kuhani na kuja kwenye Hema la Kukutania kuhudumu katika Mahali Patakatifu atayavaa kwa siku saba.

EXO 29:31 Removed trailing space in v~: “Chukua nyama ya huyo kondoo dume wa kuwaweka wakfu uipike katika Mahali Patakatifu.

EXO 29:32 Removed trailing space in v~: Aroni na wanawe wataila ile nyama ya huyo kondoo dume pamoja na ile mikate iliyo kwenye hicho kikapu wakiwa hapo ingilio la Hema la Kukutania.

EXO 29:33 Removed trailing space in v~: Watakula sadaka hizi ambazo upatanisho ulifanywa kwazo kwa ajili ya kuwaweka wakfu na kuwatakasa. Lakini hakuna mtu mwingine yeyote anayeruhusiwa kuvila, kwa sababu ni vitakatifu.

EXO 29:34 Removed trailing space in v~: Ikiwa nyama yoyote ya huyo kondoo dume iliyotumika kwa kuwaweka wakfu au mkate wowote umebaki mpaka asubuhi, vichomwe. Kamwe visiliwe, kwa sababu ni vitakatifu.

EXO 29:35 Removed trailing space in v~: “Hivyo utamfanyia Aroni na wanawe kila kitu kama vile nilivyokuamuru: Utachukua muda wa siku saba kuwaweka wakfu.

EXO 29:36 Removed trailing space in v~: Utatoa dhabihu ya fahali kila siku kuwa sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho. Takasa madhabahu kwa kufanya upatanisho kwa ajili yake, nayo uitie mafuta na kuiweka wakfu.

EXO 29:37 Removed trailing space in v~: Kwa muda wa siku saba fanya upatanisho kwa ajili ya madhabahu na kuiweka wakfu. Ndipo madhabahu itakuwa takatifu sana na chochote kitakachoigusa kitakuwa kitakatifu.

EXO 29:38 Removed trailing space in v~: “Kwa kawaida hiki ndicho utakachotoa juu ya madhabahu kila siku: wana-kondoo wawili wenye umri wa mwaka mmoja.

EXO 29:39 Removed trailing space in v~: Utamtoa mmoja asubuhi na huyo mwingine jioni.

EXO 29:40 Removed trailing space in v~: Pamoja na mwana-kondoo wa kwanza utatoa efa moja\f + \fr 29:40 \ft Efa moja ni sawa na kilo 22.\f* ya unga wa ngano laini uliochanganywa na robo ya hini\f + \fr 29:40 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.\f* ya mafuta yaliyokamuliwa, pamoja na robo ya hini ya divai kuwa sadaka ya kinywaji.

EXO 29:41 Removed trailing space in v~: Huyo mwana-kondoo mwingine mtoe dhabihu wakati wa machweo pamoja na sadaka za unga na za kinywaji kama vile ulivyofanya asubuhi, kuwa harufu ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

EXO 29:42 Removed trailing space in v~: “Kwa vizazi vijavyo itakuwa kawaida kutoa sadaka hii ya kuteketezwa kila mara kwenye ingilio la Hema la Kukutania mbele za \nd Bwana\nd*. Hapo ndipo nitakapokutana na ninyi na kusema nanyi,

EXO 29:43 Removed trailing space in v~: Huko ndipo nitakapokutana na Waisraeli, nalo Hema la Kukutania litatakaswa na utukufu wangu.

EXO 29:44 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nitaliweka wakfu Hema la Kukutania pamoja na madhabahu, nami nitamweka wakfu Aroni na wanawe ili wanitumikie mimi katika kazi ya ukuhani.

EXO 29:45 Removed trailing space in v~: Ndipo nitakapofanya makao miongoni mwa Waisraeli na kuwa Mungu wao.

EXO 29:46 Removed trailing space in v~: Nao watajua kuwa Mimi Ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wao, aliyewatoa Misri ili nipate kufanya makao miongoni mwao. Mimi Ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wao.

EXO 30:0 Extra space after chapter number

EXO 30:0 Removed trailing space in c: 30

EXO 30:0 Removed trailing space in s1: Madhabahu Ya Kufukizia Uvumba

EXO 30:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 37:25-28)

EXO 30:1 Removed trailing space in v~: “Tengeneza madhabahu kwa mbao za mshita kwa ajili ya kufukizia uvumba.

EXO 30:2 Removed trailing space in v~: Madhabahu hayo yawe mraba, urefu na upana wake dhiraa moja,\f + \fr 30:2 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.\f* na kimo cha dhiraa mbili,\f + \fr 30:2 \ft Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90.\f* nazo pembe zake zitakuwa kitu kimoja nayo.

EXO 30:3 Removed trailing space in v~: Funika hayo madhabahu juu na pande zote na pia pembe zake kwa dhahabu safi, na uifanyizie ukingo wa dhahabu kuizunguka.

EXO 30:4 Removed trailing space in v~: Tengeneza pete mbili za dhahabu kwa ajili ya madhabahu chini ya huo ukingo, ziwe mbili kila upande, za kushikilia hiyo mipiko itumikayo kuibebea madhabahu.

EXO 30:5 Removed trailing space in v~: Tengeneza mipiko kwa miti ya mshita na uifunike kwa dhahabu.

EXO 30:6 Removed trailing space in v~: Weka hayo madhabahu mbele ya lile pazia lililo mbele ya Sanduku la Ushuhuda, lililo mbele ya kiti cha rehema kilicho juu ya Sanduku la Ushuhuda, mahali ambapo nitakutana nawe.

EXO 30:7 Removed trailing space in v~: “Itampasa Aroni kufukiza uvumba wenye harufu nzuri juu ya madhabahu kila siku asubuhi wakati anapowasha zile taa.

EXO 30:8 Removed trailing space in v~: Itampasa afukize uvumba tena wakati anapowasha taa wakati wa machweo ili uvumba ufukizwe daima mbele za \nd Bwana\nd* kwa vizazi vijavyo.

EXO 30:9 Removed trailing space in v~: Usifukize uvumba mwingine wowote juu ya madhabahu haya au sadaka nyingine yoyote ya kuteketezwa wala sadaka ya nafaka, wala usimimine sadaka ya kinywaji juu yake.

EXO 30:10 Removed trailing space in v~: Mara moja kwa mwaka Aroni atafanya upatanisho juu ya pembe za hayo madhabahu. Upatanisho huu wa mwaka lazima ufanywe kwa damu ya sadaka ya upatanisho kwa ajili ya dhambi kwa vizazi vijavyo. Ni takatifu sana kwa \nd Bwana\nd*.”

EXO 30:10 Removed trailing space in s1: Fedha Ya Upatanisho

EXO 30:11 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 30:12 Removed trailing space in v~: “Utakapowahesabu Waisraeli, kila mmoja lazima alipe kwa \nd Bwana\nd* fidia kwa ajili ya nafsi yake wakati wa kuhesabiwa kwake. Ndipo hakutakuwa na pigo juu yao unapowahesabu.

EXO 30:13 Removed trailing space in v~: Kila mmoja anayekwenda upande wa wale waliokwisha hesabiwa atatoa nusu shekeli,\f + \fr 30:13 \ft Nusu shekeli ni sawa na gramu 6.\f* kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, ambayo ina uzito wa gera ishirini.\f + \fr 30:13 \ft Gera 20 ni sawa na shekeli moja au gramu 12.\f* Hii nusu shekeli ni sadaka kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 30:14 Removed trailing space in v~: Wote wale wanaovuka, wenye umri wa miaka ishirini au zaidi, watatoa sadaka kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 30:15 Removed trailing space in v~: Matajiri hawatalipa zaidi ya nusu shekeli, nao maskini hawatatoa pungufu wakati mnatoa sadaka kwa \nd Bwana\nd* kwa kufanya upatanisho wa nafsi zenu.

EXO 30:16 Removed trailing space in v~: Utapokea fedha ya upatanisho kutoka kwa Waisraeli na uzitumie kwa ajili ya huduma ya Hema la Kukutania. Itakuwa ni ukumbusho kwa Waisraeli mbele za \nd Bwana\nd* kufanya upatanisho kwa ajili ya nafsi zenu.”

EXO 30:16 Removed trailing space in s1: Sinia La Kunawia

EXO 30:17 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 30:18 Removed trailing space in v~: “Tengeneza sinia la shaba lenye kitako cha shaba kwa ajili ya kunawia. Liweke kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, kisha uweke maji ndani yake.

EXO 30:19 Removed trailing space in v~: Aroni na wanawe watanawa mikono na miguu yao kwa maji yatokayo katika hilo sinia.

EXO 30:20 Removed trailing space in v~: Wakati wowote wanapoingia katika Hema la Kukutania, watanawa kwa maji ili kwamba wasije wakafa. Pia, wanapokaribia madhabahu ili kuhudumu kwa kuleta sadaka zilizotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto,

EXO 30:21 Removed trailing space in v~: watanawa mikono na miguu yao ili kwamba wasije wakafa. Hii itakuwa ni amri ya kudumu kwa ajili ya Aroni na wazao wake kwa vizazi vijavyo.”

EXO 30:21 Removed trailing space in s1: Mafuta Ya Upako

EXO 30:22 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 30:23 Removed trailing space in v~: “Chukua vikolezi bora vifuatavyo: shekeli 500\f + \fr 30:23 \ft Shekeli 500 ni sawa na kilo 6.\f* za manemane ya maji, shekeli 250\f + \fr 30:23 \ft Shekeli 250 ni sawa na kilo 3.\f* za mdalasini wenye harufu nzuri, shekeli 250 za miwa yenye harufu nzuri,

EXO 30:24 Removed trailing space in v~: shekeli 500 za aina nyingine ya mdalasini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, pia hini\f + \fr 30:24 \ft Hini moja ni sawa na lita 4.\f* ya mafuta ya zeituni.

EXO 30:25 Removed trailing space in v~: Vitengeneze vikolezi hivi kuwa mafuta matakatifu ya upako yenye harufu nzuri, kazi ya mtengeneza manukato. Yatakuwa mafuta matakatifu ya upako.

EXO 30:26 Removed trailing space in v~: Kisha yatumie kupaka hilo Hema la Kukutania, Sanduku la Ushuhuda,

EXO 30:27 Removed trailing space in v~: meza na vifaa vyake vyote, kinara cha taa na vifaa vyake vyote, madhabahu ya kufukizia uvumba,

EXO 30:28 Removed trailing space in v~: madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake vyote na sinia pamoja na kitako chake.

EXO 30:29 Removed trailing space in v~: Utaviweka wakfu ili viwe vitakatifu sana na kila kitakachoigusa kitakuwa kitakatifu.

EXO 30:30 Removed trailing space in v~: “Mtie Aroni na wanawe mafuta na uwaweke wakfu ili waweze kunitumikia katika kazi ya ukuhani.

EXO 30:31 Removed trailing space in v~: Waambie Waisraeli, ‘Haya yatakuwa mafuta matakatifu yangu ya upako kwa vizazi vijavyo.

EXO 30:32 Removed trailing space in v~: Usiyamimine juu ya miili ya wanadamu wala usitengeneze mafuta ya aina nyingine kwa utaratibu huu. Ni mafuta matakatifu na ni lazima myaone kuwa ni matakatifu.

EXO 30:33 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote atakayetengeneza manukato kama hayo na yeyote atakayeyamimina juu ya mtu yeyote ambaye si kuhani atakatiliwa mbali na watu wake.’ ”

EXO 30:33 Removed trailing space in s1: Uvumba

EXO 30:34 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Chukua vikolezi vyenye harufu nzuri vifuatavyo: natafi, shekelethi, kelbena na uvumba safi vyote vikiwa na vipimo sawa,

EXO 30:35 Removed trailing space in v~: pia tengeneza mchanganyiko wa uvumba wenye harufu nzuri, kazi ya mtengeneza manukato. Utiwe chumvi ili upate kuwa safi na mtakatifu.

EXO 30:36 Removed trailing space in v~: Saga baadhi yake kuwa unga na uweke mbele ya Sanduku la Ushuhuda ndani ya Hema la Kukutania, mahali ambapo nitakutana nawe. Itakuwa takatifu sana kwenu.

EXO 30:37 Removed trailing space in v~: Msitengeneze uvumba mwingine wowote wa namna hii kwa ajili yenu wenyewe; uoneni kuwa ni mtakatifu kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 30:38 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayetengeneza uvumba kama huu ili kufurahia harufu yake nzuri lazima akatiliwe mbali na watu wake.”

EXO 31:0 Extra space after chapter number

EXO 31:0 Removed trailing space in c: 31

EXO 31:0 Removed trailing space in s1: Bezaleli Na Oholiabu

EXO 31:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 35:30–36:1)

EXO 31:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 31:2 Removed trailing space in v~: “Tazama, nimemchagua Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda,

EXO 31:3 Removed trailing space in v~: nami nimemjaza Roho wa Mungu, pamoja na ustadi, uwezo na ujuzi katika aina zote za ufundi,

EXO 31:4 Removed trailing space in v~: ili kubuni michoro ya kupendeza katika ufundi wa dhahabu, fedha na shaba,

EXO 31:5 Removed trailing space in v~: kuchonga vito na kuvitia mahali, kufanya ufundi kwa mbao, na kujishughulisha na aina zote za ufundi.

EXO 31:6 Removed trailing space in v~: Tena nimemteua Oholiabu mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, ili kumsaidia. Pia mafundi wote nimewapa ustadi wa kutengeneza kila kitu nilichokuamuru wewe:

EXO 31:7 Removed trailing space in v~: Hema la Kukutania, Sanduku la Ushuhuda pamoja na kiti cha rehema juu yake, pia na vifaa vyote vya kwenye hema,

EXO 31:8 Removed trailing space in v~: meza na vifaa vyake, kinara cha taa cha dhahabu safi na vifaa vyake vyote, madhabahu ya kufukizia uvumba,

EXO 31:9 Removed trailing space in v~: madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na vyombo vyake vyote, sinia na kinara chake,

EXO 31:10 Removed trailing space in v~: pamoja na mavazi matakatifu yaliyofumwa ya kuhani Aroni, na mavazi kwa ajili ya wanawe wakati wanahudumu katika kazi ya ukuhani,

EXO 31:11 Removed trailing space in v~: pia mafuta ya upako na uvumba wenye harufu nzuri kwa ajili ya Mahali Patakatifu. Watavitengeneza sawasawa kama vile nilivyokuagiza wewe.”

EXO 31:11 Removed trailing space in s1: Sabato

EXO 31:12 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

EXO 31:13 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli, ‘Ninyi ni lazima mzishike Sabato zangu. Hii itakuwa ni ishara kati yangu na ninyi kwa ajili ya vizazi vijavyo, ili mpate kujua kwamba Mimi Ndimi \nd Bwana\nd*, niwafanyaye ninyi watakatifu.

EXO 31:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Mtaishika Sabato, kwa sababu ni takatifu kwenu. Yeyote atakayeinajisi lazima auawe, yeyote atakayefanya kazi siku hiyo lazima akafie mbali na watu wake.

EXO 31:15 Removed trailing space in v~: Kwa siku sita, mtafanya kazi, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika, takatifu kwa \nd Bwana\nd*. Yeyote afanyaye kazi yoyote siku ya Sabato ni lazima auawe.

EXO 31:16 Removed trailing space in v~: Waisraeli wataishika Sabato, kuiadhimisha kwa vizazi vijavyo kuwa Agano la milele.

EXO 31:17 Removed trailing space in v~: Itakuwa ishara kati yangu na Waisraeli milele, kwa kuwa kwa muda wa siku sita \nd Bwana\nd* aliumba mbingu na dunia, na siku ya saba akaacha kufanya kazi, akapumzika.’ ”

EXO 31:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipomaliza kusema na Mose juu ya Mlima Sinai, Mungu akampa vile vibao viwili vya Ushuhuda, vibao vya mawe vilivyoandikwa kwa kidole cha Mungu.

EXO 32:0 Extra space after chapter number

EXO 32:0 Removed trailing space in c: 32

EXO 32:0 Removed trailing space in s1: Ndama Wa Dhahabu

EXO 32:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 9:6-29)

EXO 32:1 Removed trailing space in v~: Watu walipoona kuwa Mose amekawia sana kushuka kutoka mlimani, walimkusanyikia Aroni na kumwambia, “Njoo, tutengenezee miungu itakayotutangulia. Kwa maana huyu jamaa yetu Mose aliyetupandisha kutoka Misri, hatujui jambo lililompata.”

EXO 32:2 Removed trailing space in v~: Aroni akawajibu, “Vueni vipuli vya dhahabu ambavyo wake zenu, wana wenu na binti zenu wamevaa, mkaniletee.”

EXO 32:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wote wakavua vipuli vyao, wakavileta kwa Aroni.

EXO 32:4 Removed trailing space in v~: Akavichukua vile vitu walivyomkabidhi, akavifanyiza kwa kusubu sanamu yenye umbo la ndama, akaichonga kwa kutumia chombo. Kisha wakasema, “Hii ndiyo miungu yenu, ee Israeli, iliyowapandisha kutoka Misri.”

EXO 32:5 Removed trailing space in v~: Aroni alipoona hili, akajenga madhabahu mbele ya yule ndama na kutangaza, “Kesho kutakuwa na sikukuu kwa \nd Bwana\nd*.”

EXO 32:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo siku iliyofuata watu wakaamka asubuhi na mapema na kutoa sadaka za kuteketeza na sadaka za amani. Baadaye watu wakaketi kula na kunywa, nao wakasimama, wakajizamisha katika sherehe.

EXO 32:7 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Shuka, kwa sababu watu wako, uliowatoa Misri, wamepotoka.

EXO 32:8 Removed trailing space in v~: Wamekuwa wepesi kugeuka na kuacha niliyowaamuru, na wamejitengenezea sanamu ya kuyeyusha yenye umbo la ndama. Wameisujudia na kuitolea dhabihu, nao wamesema, ‘Hii ndiyo miungu yenu, ee Israeli iliyokupandisha kutoka Misri.’ ”

EXO 32:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nimeona watu hawa, nao ni watu wenye shingo ngumu.

EXO 32:10 Removed trailing space in v~: Sasa niache ili hasira yangu ipate kuwaka dhidi yao, nami nipate kuwaangamiza. Kisha nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa.”

EXO 32:11 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akamsihi \nd Bwana\nd* Mungu wake, akasema, “Ee \nd Bwana\nd*, kwa nini hasira yako iwake dhidi ya watu wako, wale uliowatoa Misri kwa uweza mkuu na mkono wenye nguvu?

EXO 32:12 Removed trailing space in v~: Kwa nini Wamisri waseme, ‘Ni kwa nia mbaya aliwatoa Misri, ili awaue milimani na kuwafuta usoni mwa dunia’? Achilia mbali hasira yako kali, waonee huruma na usilete maafa juu ya watu wako.

EXO 32:13 Removed trailing space in v~: Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaki na Israeli, ambao uliwaapia kwa nafsi yako mwenyewe: ‘Nitawafanya uzao wako kuwa wengi kama nyota za angani, nami nitawapa wazao wako nchi hii yote ambayo niliwaahidia, nayo itakuwa urithi wao milele.’ ”

EXO 32:14 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akawaonea huruma, wala hakuleta juu ya watu wake maafa aliyokuwa amekusudia.

EXO 32:15 Removed trailing space in v~: Mose akageuka, akashuka kutoka mlimani akiwa na vibao viwili vya Ushuhuda mikononi mwake. Vilikuwa vimeandikwa pande zote mbili, mbele na nyuma.

EXO 32:16 Removed trailing space in v~: Vibao hivyo vilikuwa kazi ya Mungu; maandishi yalikuwa mwandiko wa Mungu, yaliyochorwa kama muhuri juu ya vibao.

EXO 32:17 Removed trailing space in v~: Yoshua aliposikia sauti za watu wakipiga kelele, akamwambia Mose, “Kuna sauti ya vita kambini.”

EXO 32:18 Removed trailing space in v~: Mose akajibu:

EXO 32:18 Removed trailing space in p~: “Si sauti ya ushindi,

EXO 32:18 Removed trailing space in p~: wala si sauti ya kushindwa;

EXO 32:18 Removed trailing space in p~: ni sauti ya kuimba ninayosikia.”

EXO 32:19 Removed trailing space in v~: Mose alipoikaribia kambi na kuona yule ndama na ile michezo, hasira yake ikawaka, akatupa vile vibao vilivyokuwa mikononi mwake, akavipasua vipande vipande pale chini ya mlima.

EXO 32:20 Removed trailing space in v~: Kisha akamchukua yule ndama waliokuwa wamemtengeneza na kumchoma kwenye moto, kisha akamsaga kuwa unga, akanyunyiza kwenye maji na kuwafanya Waisraeli wanywe.

EXO 32:21 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia Aroni, “Watu hawa walikufanyia nini, hata ukawaongoza kufanya dhambi kubwa hivyo?”

EXO 32:22 Removed trailing space in v~: Aroni akamwambia, “Usikasirike bwana wangu. Unajua jinsi watu hawa walivyo tayari kwa maovu.

EXO 32:23 Removed trailing space in v~: Wao waliniambia, ‘Tufanyie miungu itakayotuongoza. Kwa kuwa huyu jamaa yetu Mose aliyetupandisha kutoka Misri, hatufahamu yaliyompata.’

EXO 32:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikawaambia, ‘Yeyote aliye na kito chochote cha dhahabu avue.’ Kisha wakanipa hiyo dhahabu, nami nikaitupa motoni, akatokea huyu ndama!”

EXO 32:25 Removed trailing space in v~: Mose akaona kuwa watu wameasi, kwa kuwa Aroni alikuwa amewaacha waasi, na hivyo kuwa kichekesho kwa adui zao.

EXO 32:26 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akasimama kwenye ingilio la kambi, akasema, “Yeyote aliye upande wa \nd Bwana\nd*, aje upande wangu.” Walawi wote wakamjia.

EXO 32:27 Removed trailing space in v~: Ndipo alipowaambia, “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Kila mmoja wenu ajifunge upanga wake kiunoni aende huku na huko kambi yote mwisho hadi mwisho mwingine, kila mmoja amuue ndugu yake, na rafiki yake na jirani yake.’ ”

EXO 32:28 Removed trailing space in v~: Walawi wakafanya kama Mose alivyoamuru, siku ile wakafa watu wapatao 3,000.

EXO 32:29 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akasema, “Leo mmewekwa wakfu kwa \nd Bwana\nd*, kwa kuwa mlikuwa kinyume na wana wenu wenyewe na ndugu zenu, naye Mungu amewabariki leo.”

EXO 32:30 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata Mose akawaambia watu, “Mmefanya dhambi kubwa. Lakini sasa nitapanda juu kwa \nd Bwana\nd*, labda nitaweza kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.”

EXO 32:31 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akarudi kwa \nd Bwana\nd* na kumwambia, “Lo! Hawa watu wamefanya dhambi kubwa namna gani! Wamejitengenezea miungu ya dhahabu.

EXO 32:32 Removed trailing space in v~: Lakini sasa nakusihi, wasamehe dhambi yao; lakini kama sivyo, basi nifute kutoka kwenye kitabu ulichoandika.”

EXO 32:33 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamjibu Mose, “Yeyote aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta kutoka kwenye kitabu changu.

EXO 32:34 Removed trailing space in v~: Sasa nenda, uongoze hao watu mpaka mahali nilipokuambia, naye malaika wangu atakutangulia. Pamoja na hayo, wakati utakapofika wa mimi kuwaadhibu, nitawaadhibu kwa ajili ya dhambi yao.”

EXO 32:35 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akawapiga watu kwa ugonjwa wa tauni kwa sababu ya yale waliyoyafanya kwa ndama yule ambaye alitengenezwa na Aroni.

EXO 33:0 Extra space after chapter number

EXO 33:0 Removed trailing space in c: 33

EXO 33:0 Removed trailing space in s1: Amri Ya Kuondoka Sinai

EXO 33:1 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Ondoka mahali hapa, wewe pamoja na hao watu uliowapandisha kutoka Misri, mpande mpaka nchi niliyomwahidi Abrahamu, Isaki na Yakobo kwa kiapo, nikisema, ‘Nitawapa wazao wenu nchi hii.’

EXO 33:2 Removed trailing space in v~: Nitamtuma malaika mbele yenu, naye atawafukuza Wakanaani, Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.

EXO 33:3 Removed trailing space in v~: Pandeni mwende katika nchi itiririkayo maziwa na asali. Lakini mimi sitakwenda pamoja nanyi, kwa sababu ninyi ni watu wenye shingo ngumu, nisije nikawaangamiza njiani.”

EXO 33:4 Removed trailing space in v~: Watu waliposikia habari hizo za huzuni, wakaanza kuomboleza wala hakuna mtu aliyevaa mapambo yoyote.

EXO 33:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Mose, “Waambie Waisraeli, ‘Ninyi ni watu wenye shingo ngumu. Kama ningefuatana nanyi hata kwa muda mfupi, ningewaangamiza. Sasa vueni mapambo yenu, nami nitaamua nitakalowatendea.’ ”

EXO 33:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Waisraeli wakavua mapambo yao katika Mlima wa Horebu.

EXO 33:6 Removed trailing space in s1: Hema La Kukutania

EXO 33:7 Removed trailing space in v~: Basi Mose alikuwa na desturi ya kuchukua hema na kuliweka wakfu nje ya kambi umbali kiasi, akaliita “Hema la Kukutania.” Kila aliyekuwa akiulizia shauri kwa \nd Bwana\nd*, angelikwenda katika Hema la Kukutania nje ya kambi.

EXO 33:8 Removed trailing space in v~: Wakati wowote Mose alipokwenda kwenye Hema, watu wote waliinuka na kusimama kwenye maingilio ya mahema yao, wakimwangalia Mose mpaka aingie kwenye Hema.

EXO 33:9 Removed trailing space in v~: Kila mara Mose alipoingia ndani ya hema, nguzo ya wingu ingeshuka chini na kukaa kwenye ingilio, wakati Mungu akizungumza na Mose.

EXO 33:10 Removed trailing space in v~: Kila mara watu walipoona hiyo nguzo ya wingu ikiwa imesimama kwenye ingilio la hema, wote walisimama wakaabudu, kila mmoja kwenye ingilio la hema lake.

EXO 33:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* angezungumza na Mose uso kwa uso, kama vile mtu azungumzavyo na rafiki yake. Kisha Mose angerudi kambini, lakini msaidizi wake kijana Yoshua mwana wa Nuni hakuondoka mle Hemani.

EXO 33:11 Removed trailing space in s1: Mose Na Utukufu Wa \nd Bwana\nd*

EXO 33:12 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia \nd Bwana\nd*, “Umekuwa ukiniambia, ‘Ongoza watu hawa,’ lakini hujanifahamisha ni nani utakayemtuma pamoja nami. Umesema, ‘Ninakujua wewe kwa jina lako, nawe umepata kibali mbele zangu.’

EXO 33:13 Removed trailing space in v~: Ikiwa umependezwa nami, nifundishe njia zako ili nipate kukujua, nami nizidi kupata kibali mbele zako. Kumbuka kuwa taifa hili ni watu wako.”

EXO 33:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akajibu, “Uso wangu utakwenda pamoja nawe, nami nitakupa raha.”

EXO 33:15 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamwambia, “Kama Uso wako hauendi pamoja nasi, usituondoe hapa.

EXO 33:16 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote atajuaje kuwa mimi pamoja na watu wako tumepata kibali mbele zako, usipokwenda pamoja nasi? Ni nini kingine kitakachoweza kututofautisha mimi na watu wako miongoni mwa watu wengine wote walio katika uso wa dunia?”

EXO 33:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Nitakufanyia jambo lile uliloomba, kwa sababu ninapendezwa nawe, nami ninakujua kwa jina lako.”

EXO 33:18 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akasema, “Basi nionyeshe utukufu wako.”

EXO 33:19 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akasema, “Nitapitisha wema wangu wote mbele yako, nami nitalitangaza Jina langu, \nd Bwana\nd*, mbele ya uso wako. Nitamrehemu yeye nimrehemuye, na pia nitamhurumia yeye nimhurumiaye.”

EXO 33:20 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu akasema, “Hutaweza kuuona uso wangu, kwa kuwa hakuna mtu yeyote awezaye kuniona akaishi.”

EXO 33:21 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akasema, “Kuna mahali karibu nami ambapo unaweza kusimama juu ya mwamba.

EXO 33:22 Removed trailing space in v~: Utukufu wangu unapopita, nitakuweka gengeni kwenye mwamba na kukufunika kwa mkono wangu mpaka nitakapokwisha kupita.

EXO 33:23 Removed trailing space in v~: Kisha nitaondoa mkono wangu nawe utaona mgongo wangu; lakini kamwe uso wangu hautaonekana.”

EXO 34:0 Extra space after chapter number

EXO 34:0 Removed trailing space in c: 34

EXO 34:0 Removed trailing space in s1: Vibao Vipya Vya Mawe

EXO 34:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 10:1-5)

EXO 34:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Chonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, nami nitaandika juu yake maneno yale yaliyokuwa kwenye vile vibao vya kwanza, ulivyovivunja.

EXO 34:2 Removed trailing space in v~: Uwe tayari asubuhi, kisha upande juu ya Mlima Sinai. Uje mbele zangu kukutana nami huko juu ya mlima.

EXO 34:3 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote asije pamoja nawe, wala asionekane mtu popote juu ya mlima, wala kondoo na mbuzi au ngʼombe wasilishe karibu mbele ya huo mlima.”

EXO 34:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akachonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza, naye akapanda juu ya Mlima Sinai asubuhi na mapema, kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa amemwagiza, akachukua vile vibao viwili vya mawe mikononi mwake.

EXO 34:5 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akashuka katika wingu akasimama pamoja naye huko, akalitangaza jina lake, \nd Bwana\nd*.

EXO 34:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akapita mbele ya Mose, akitangaza, “\nd Bwana\nd*, \nd Bwana\nd*, Mungu mwenye huruma na neema, asiye mwepesi wa hasira, mwingi wa upendo na uaminifu,

EXO 34:7 Removed trailing space in v~: akidumisha upendo kwa maelfu, pia akisamehe uovu, uasi na dhambi. Lakini haachi kuadhibu mwenye hatia; huwaadhibu watoto na watoto wao kwa ajili ya dhambi ya baba zao hata katika kizazi cha tatu na cha nne.”

EXO 34:8 Removed trailing space in v~: Mara Mose akasujudu na kuabudu.

EXO 34:9 Removed trailing space in v~: Mose akasema, “Ee \nd Bwana\nd*, kama nimepata kibali mbele zako, basi \nd Bwana\nd* uende pamoja nasi. Ingawa watu hawa ni wenye shingo ngumu, samehe uovu wetu na dhambi yetu, tuchukue kuwa urithi wako.”

EXO 34:9 Removed trailing space in s1: Kufanya Agano Upya

EXO 34:9 Removed trailing space in r: (Kutoka 23:14-19; Kumbukumbu 7:1-5; 16:1-17)

EXO 34:10 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akasema: “Tazama ninafanya Agano mbele ya watu wako wote. Mbele ya watu wako wote nitafanya maajabu ambayo hayajafanyika katika taifa lolote katika ulimwengu wote. Watu wale mnaoishi miongoni mwao wataona jinsi ilivyo ya kushangaza ile kazi nitakayowafanyia mimi \nd Bwana\nd* wenu.

EXO 34:11 Removed trailing space in v~: Tii yale ninayokuamuru leo. Tazama nawafukuza mbele yako Waamori, Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.

EXO 34:12 Removed trailing space in v~: Uwe mwangalifu, usifanye agano na wale wanaokaa katika nchi ile unayoiendea, la sivyo watakuwa mtego katikati yako.

EXO 34:13 Removed trailing space in v~: Bomoa madhabahu yao, vunja mawe yao ya kuabudia na ukatekate nguzo zao za Ashera.

EXO 34:14 Removed trailing space in v~: Usiabudu mungu mwingine, kwa kuwa \nd Bwana\nd*, ambaye jina lake ni Wivu, ni Mungu mwenye wivu.

EXO 34:15 Removed trailing space in v~: “Uwe mwangalifu usifanye agano na wale watu wanaoishi katika nchi, kwa maana wakati wanapojifanyia ukahaba kwa miungu yao na kuwatolea kafara, watakualika wewe nawe utakula sadaka za matambiko yao.

EXO 34:16 Removed trailing space in v~: Unapowachagua baadhi ya binti zao kuwa wake wa wana wenu na binti hao wakajifanyia ukahaba kwa miungu yao, watawaongoza wana wenu kufanya vivyo hivyo.

EXO 34:17 Removed trailing space in v~: “Usijifanyie sanamu za kusubu.

EXO 34:18 Removed trailing space in v~: “Utaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu, kama nilivyokuamuru. Fanya hivi kwa wakati ulioamriwa, katika mwezi wa Abibu, ndio mwezi wa nne, kwa kuwa katika mwezi huo ndipo wewe ulipotoka Misri.

EXO 34:19 Removed trailing space in v~: “Mzaliwa wa kwanza wa kila tumbo ni mali yangu, pamoja na wazaliwa wa kwanza wote wa kiume wa mifugo yako, ikiwa ni wa ngʼombe au wa kondoo au mbuzi.

EXO 34:20 Removed trailing space in v~: Utakomboa mzaliwa wa kwanza wa punda kwa mwana-kondoo, lakini kama humkomboi, utavunja shingo yake. Utakomboa wazaliwa wako wa kwanza wote wa kiume.

EXO 34:20 Removed trailing space in p~: “Mtu yeyote asije mbele zangu mikono mitupu.

EXO 34:21 Removed trailing space in v~: “Kwa siku sita utafanya kazi, lakini siku ya saba utapumzika, hata ikiwa ni majira ya kulima au ya kuvuna lazima upumzike.

EXO 34:22 Removed trailing space in v~: “Utaadhimisha Sikukuu ya Majuma kwa malimbuko ya mavuno ya ngano, na Sikukuu ya Mavuno mwishoni mwa mwaka.

EXO 34:23 Removed trailing space in v~: Mara tatu kwa mwaka wanaume wako wote watakuja mbele za \nd Bwana\nd* Mwenyezi, Mungu wa Israeli.

EXO 34:24 Removed trailing space in v~: Nitawafukuza mataifa mbele yako na kupanua mipaka ya nchi yako, wala hakuna mtu yeyote atakayeitamani nchi yako wakati unapokwenda mara tatu kila mwaka kuonana na \nd Bwana\nd* Mungu wako.

EXO 34:25 Removed trailing space in v~: “Usinitolee damu ya dhabihu pamoja na kitu chochote chenye chachu, wala usibakize dhabihu yoyote ya Sikukuu ya Pasaka mpaka asubuhi.

EXO 34:26 Removed trailing space in v~: “Leta matunda ya kwanza yaliyo bora zaidi ya ardhi yako katika nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu wako.

EXO 34:26 Removed trailing space in p~: “Usimchemshe mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.”

EXO 34:27 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Andika maneno haya, kwa maana kulingana na maneno haya, nimefanya Agano na wewe pamoja na Israeli.”

EXO 34:28 Removed trailing space in v~: Mose alikuwa huko pamoja na \nd Bwana\nd* kwa siku arobaini usiku na mchana bila kula chakula wala kunywa maji. Naye akaandika juu ya vibao maneno ya Agano, yaani zile Amri Kumi.

EXO 34:28 Removed trailing space in s1: Mngʼao Wa Uso Wa Mose

EXO 34:29 Removed trailing space in v~: Mose alipoteremka kutoka Mlima Sinai akiwa na vile vibao viwili vya Ushuhuda mikononi mwake, hakujua kuwa uso wake ulikuwa ukingʼaa, kwa sababu alikuwa amezungumza na \nd Bwana\nd*.

EXO 34:30 Removed trailing space in v~: Aroni na Waisraeli wote walipomwona Mose, kuwa uso wake unangʼaa, waliogopa kumkaribia.

EXO 34:31 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akawaita, kwa hiyo Aroni na viongozi wote wa jumuiya wakarudi, naye akazungumza nao.

EXO 34:32 Removed trailing space in v~: Baadaye Waisraeli wote wakamkaribia, naye akawapa amri zote \nd Bwana\nd* alizompa katika Mlima wa Sinai.

EXO 34:33 Removed trailing space in v~: Mose alipomaliza kuzungumza nao, akaweka utaji kwenye uso wake.

EXO 34:34 Removed trailing space in v~: Lakini kila wakati Mose alipoingia mbele za \nd Bwana\nd* kuzungumza naye, aliondoa ule utaji mpaka alipotoka nje. Naye alipotoka nje na kuwaambia Waisraeli lile ambalo ameagizwa,

EXO 34:35 Removed trailing space in v~: waliona kuwa uso wake unangʼaa. Kisha Mose angeliweka tena utaji juu ya uso wake mpaka alipokwenda kuzungumza na \nd Bwana\nd*.

EXO 35:0 Extra space after chapter number

EXO 35:0 Removed trailing space in c: 35

EXO 35:0 Removed trailing space in s1: Masharti Ya Sabato

EXO 35:1 Removed trailing space in v~: Mose akakusanya jumuiya yote ya Waisraeli na kuwaambia, “Haya ndiyo mambo ambayo \nd Bwana\nd* amewaamuru ninyi mfanye:

EXO 35:2 Removed trailing space in v~: Kwa siku sita, mtafanya kazi, lakini siku ya saba itakuwa takatifu kwenu, Sabato ya kupumzika kwa \nd Bwana\nd*. Yeyote atakayefanya kazi yoyote siku hiyo ni lazima auawe.

EXO 35:3 Removed trailing space in v~: Msiwashe moto mahali popote katika makazi yenu siku ya Sabato.”

EXO 35:3 Removed trailing space in s1: Vifaa Kwa Ajili Ya Maskani Ya Mungu

EXO 35:3 Removed trailing space in r: (Kutoka 25:1-9)

EXO 35:4 Removed trailing space in v~: Mose akaiambia jumuiya yote ya Waisraeli, “Hili ndilo \nd Bwana\nd* aliloamuru:

EXO 35:5 Removed trailing space in v~: Toeni sadaka kwa \nd Bwana\nd* kutoka mali mliyo nayo. Kila mmoja aliye na moyo wa kupenda atamletea \nd Bwana\nd* sadaka ya dhahabu, fedha na shaba;

EXO 35:6 Removed trailing space in v~: nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, za rangi nyekundu na kitani safi; singa za mbuzi;

EXO 35:7 Removed trailing space in v~: ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo;\f + \fr 35:7 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* mbao za mshita;

EXO 35:7 Found footnote ending with space in \v~: ngozi za kondoo dume zilizopakwa rangi nyekundu, na ngozi za pomboo;\f + \fr 35:7 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* mbao za mshita;

EXO 35:8 Removed trailing space in v~: mafuta ya zeituni kwa ajili ya taa; vikolezi kwa ajili ya mafuta ya upako, pamoja na uvumba wa harufu nzuri;

EXO 35:9 Removed trailing space in v~: vito vya shohamu, na vito vingine vya thamani vya kuweka kwenye kisibau na kile kifuko cha kifuani.

EXO 35:10 Removed trailing space in v~: “Wote wenye ujuzi miongoni mwenu inawapasa kuja na kutengeneza kila kitu \nd Bwana\nd* alichoamuru:

EXO 35:11 Removed trailing space in v~: Maskani pamoja na hema lake na kifuniko chake, vibanio, mihimili, mataruma, nguzo na vitako;

EXO 35:12 Removed trailing space in v~: Sanduku la Agano pamoja na mipiko yake, kifuniko cha kiti cha rehema na pazia linalokizuia;

EXO 35:13 Removed trailing space in v~: meza na mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote, mikate ya Wonyesho;

EXO 35:14 Removed trailing space in v~: kinara cha taa kwa ajili ya mwanga pamoja na vifaa vyake vyote, taa na mafuta kwa ajili ya mwanga;

EXO 35:15 Removed trailing space in v~: madhabahu ya kufukiza uvumba pamoja na mipiko yake, mafuta ya upako na uvumba wenye harufu nzuri; pazia la mlangoni mahali pa kuingilia ndani ya maskani;

EXO 35:16 Removed trailing space in v~: madhabahu ya sadaka za kuteketeza pamoja na wavu wake wa shaba, mipiko yake pamoja na vyombo vyake vyote; sinia la shaba pamoja na tako lake;

EXO 35:17 Removed trailing space in v~: pazia la eneo la ua pamoja na nguzo zake na vitako vyake, pazia la ingilio la kwenye ua;

EXO 35:18 Removed trailing space in v~: vigingi vya hema kwa ajili ya maskani pamoja na ua na kamba zake;

EXO 35:19 Removed trailing space in v~: mavazi yaliyofumwa yanayovaliwa wakati wa huduma katika mahali patakatifu, yaani mavazi matakatifu kwa ajili ya kuhani Aroni, na mavazi kwa ajili ya wanawe watakapokuwa wakihudumu katika kazi ya ukuhani.”

EXO 35:20 Removed trailing space in v~: Ndipo jumuiya yote ya Waisraeli ilipoondoka mbele ya Mose,

EXO 35:21 Removed trailing space in v~: na kila mmoja aliyependa na ambaye moyo wake ulimsukuma alikuja na kuleta sadaka kwa \nd Bwana\nd*, kwa ajili ya kazi katika Hema la Kukutania, kwa ajili ya huduma yake yote na kwa ajili ya mavazi matakatifu.

EXO 35:22 Removed trailing space in v~: Wote waliokuwa na utayari, wanaume kwa wanawake, wakaja wakaleta vito vya dhahabu vya kila aina: vipini, vipuli, pete na mapambo. Wote wakatoa dhahabu zao kama sadaka ya kuinuliwa kwa \nd Bwana\nd*.

EXO 35:23 Removed trailing space in v~: Kila mmoja aliyekuwa na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, au za rangi nyekundu au kitani safi, au singa za mbuzi, ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, au ngozi za pomboo, wakavileta.

EXO 35:24 Removed trailing space in v~: Wale waliotoa sadaka ya fedha au shaba wakavileta kama sadaka kwa \nd Bwana\nd*, na kila aliyekuwa na mti wa mshita kwa ajili ya kazi yoyote ile akauleta.

EXO 35:25 Removed trailing space in v~: Kila mwanamke aliyekuwa na ujuzi alisokota kwa mikono yake na alileta kile alichosokota, iwe ni nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, au za rangi nyekundu au kitani safi.

EXO 35:26 Removed trailing space in v~: Wanawake wote waliopenda na waliokuwa na ujuzi wakasokota singa za mbuzi.

EXO 35:27 Removed trailing space in v~: Viongozi wakaleta vito vya shohamu pamoja na vito vingine vya thamani kwa ajili ya kuweka kwenye kisibau na kwenye kifuko cha kifuani.

EXO 35:28 Removed trailing space in v~: Wakaleta pia vikolezi na mafuta ya zeituni kwa ajili ya mwanga, kwa ajili ya mafuta ya upako na kwa ajili ya uvumba wenye harufu nzuri.

EXO 35:29 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote waume kwa wake waliokuwa wanapenda wakaleta mbele za \nd Bwana\nd* kwa hiari yao wenyewe sadaka kwa ajili ya kazi yote ya \nd Bwana\nd* aliyokuwa amewaagiza kuifanya kupitia kwa Mose.

EXO 35:29 Removed trailing space in s1: Bezaleli Na Oholiabu

EXO 35:29 Removed trailing space in r: (Kutoka 31:1-11)

EXO 35:30 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaambia Waisraeli, “Tazameni, \nd Bwana\nd* amemchagua Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda,

EXO 35:31 Removed trailing space in v~: naye amemjaza Roho wa Mungu, pamoja na ustadi, na uwezo na ujuzi katika aina zote za ufundi,

EXO 35:32 Removed trailing space in v~: ili kubuni michoro ya kupendeza katika ufundi wa dhahabu, fedha na shaba,

EXO 35:33 Removed trailing space in v~: kuchonga vito na kuvitia mahali, kufanya ufundi kwa mbao, na kujishughulisha na aina zote za ufundi wa kupendeza.

EXO 35:34 Removed trailing space in v~: Tena amempa yeye pamoja na Oholiabu, mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, uwezo wa kufundisha wengine.

EXO 35:35 Removed trailing space in v~: Amewajaza ustadi wa kufanya kazi za aina zote zifanywazo na mafundi, na wenye kubuni michoro, pia na watarizi kwa rangi za buluu, zambarau, nyekundu na kitani safi, na wafumaji: wote wakiwa mafundi na wabunifu hodari.

EXO 36:0 Extra space after chapter number

EXO 36:0 Removed trailing space in c: 36

EXO 36:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Bezaleli, Oholiabu na kila mtu \nd Bwana\nd* aliyempa ustadi na uwezo wa kujua jinsi ya kufanya kazi zote za kujenga mahali patakatifu wataifanya hiyo kazi kama vile \nd Bwana\nd* alivyoagiza.”

EXO 36:2 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akawaita Bezaleli na Oholiabu na kila mtu mwenye ustadi ambaye \nd Bwana\nd* alikuwa amempa uwezo na mwenye kupenda kuja na kufanya kazi.

EXO 36:3 Removed trailing space in v~: Wakapokea kutoka kwa Mose sadaka zote ambazo Waisraeli walikuwa wameleta ili kuifanya kazi ya ujenzi wa Mahali Patakatifu. Nao watu wakaendelea kuleta sadaka za hiari kila asubuhi.

EXO 36:4 Removed trailing space in v~: Ikafika wakati mafundi wote wenye ujuzi waliokuwa wakiifanya kazi yote ya mahali patakatifu wakasimamisha kazi zao,

EXO 36:5 Removed trailing space in v~: wakaja na kumwambia Mose, “Watu wanaleta vitu vingi kuliko tunavyohitaji kwa ajili ya kazi hii ambayo \nd Bwana\nd* ameagiza ifanyike.”

EXO 36:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akatoa agizo, nao wakapeleka neno hili katika kambi yote: “Mtu yeyote mwanaume au mwanamke asilete tena kitu chochote kwa ajili ya sadaka ya mahali patakatifu.” Hivyo watu wakazuiliwa kuleta zaidi,

EXO 36:7 Removed trailing space in v~: kwa sababu walivyokuwa navyo tayari vilitosha na kuzidi kuifanya kazi yote.

EXO 36:7 Removed trailing space in s1: Maskani Ya Mungu

EXO 36:7 Removed trailing space in r: (Kutoka 26:1-37)

EXO 36:8 Removed trailing space in v~: Watu wote wenye ustadi miongoni mwa wafanyakazi wote wakatengeneza maskani kwa mapazia kumi ya kitani iliyosokotwa vizuri, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye mapazia hayo.

EXO 36:9 Removed trailing space in v~: Mapazia yote yalitoshana kwa ukubwa: kila moja lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini na nane,\f + \fr 36:9 \ft Dhiraa 28 ni sawa na mita 12.6.\f* na upana wa dhiraa nne\f + \fr 36:9 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.\f*

EXO 36:10 Removed trailing space in v~: Wakayaunganisha mapazia matano pamoja, pia wakafanya vivyo hivyo kwa hayo mengine matano.

EXO 36:11 Removed trailing space in v~: Kisha wakatengeneza vitanzi vya kitambaa cha buluu kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu la kwanza, pia wakafanya vivyo hivyo na pazia la fungu la mwisho.

EXO 36:12 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza pia vitanzi hamsini katika pazia mmoja, na vitanzi vingine hamsini kwenye pazia la mwisho la fungu hilo lingine, nazo vitanzi vyote vikaelekeana.

EXO 36:13 Removed trailing space in v~: Kisha wakatengeneza vifungo hamsini vya dhahabu, na wakavitumia kufunga na kuunganisha zile fungu mbili za mapazia pamoja ili maskani ipate kuwa kitu kimoja.

EXO 36:14 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza mapazia kumi na moja ya singa za mbuzi kwa ajili ya kufunika maskani.

EXO 36:15 Removed trailing space in v~: Mapazia hayo kumi na moja yalikuwa na kipimo kimoja, yaani urefu wa dhiraa thelathini,\f + \fr 36:15 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.\f* na upana wa dhiraa nne.

EXO 36:16 Removed trailing space in v~: Wakaunganisha mapazia matano kuwa fungu moja, na hayo mengine sita kuwa fungu lingine.

EXO 36:17 Removed trailing space in v~: Kisha wakatengeneza vitanzi hamsini kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu moja, na vivyo hivyo kwenye upindo wa pazia la mwisho la fungu hilo lingine.

EXO 36:18 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza vifungo hamsini vya shaba ili kukaza hema pamoja kuwa kitu kimoja.

EXO 36:19 Removed trailing space in v~: Kisha wakatengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.\f + \fr 36:19 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f*

EXO 36:19 Found footnote ending with space in \v~: Kisha wakatengeneza kifuniko cha hema kwa ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, na juu yake kifuniko cha ngozi za pomboo.\f + \fr 36:19 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f*

EXO 36:20 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani.

EXO 36:21 Removed trailing space in v~: Kila mhimili ulikuwa na urefu wa dhiraa kumi,\f + \fr 36:21 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.\f* na upana wa dhiraa moja na nusu,\f + \fr 36:21 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.\f*

EXO 36:22 Removed trailing space in v~: zikiwa na ndimi mbili zilizokuwa sambamba kila mmoja na mwingine. Wakatengeneza mihimili yote ya maskani jinsi hii.

EXO 36:23 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza mihimili ishirini kwa ajili ya upande wa kusini wa maskani,

EXO 36:24 Removed trailing space in v~: na wakatengeneza vitako arobaini vya fedha vya kuweka chini ya hiyo mihimili, vitako viwili kwa kila mhimili, kimoja chini ya kila ulimi.

EXO 36:25 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa kaskazini wa maskani wakatengeneza mihimili ishirini

EXO 36:26 Removed trailing space in v~: na vitako arobaini vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.

EXO 36:27 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza mihimili sita kwa mwisho ulio mbali, yaani upande wa magharibi wa maskani,

EXO 36:28 Removed trailing space in v~: na mihimili miwili ikatengenezwa kwa ajili ya pembe za maskani za upande uliokuwa mbali.

EXO 36:29 Removed trailing space in v~: Katika pembe hizi mbili mihimili yake ilikuwa miwili kuanzia chini mpaka juu, na ikaingizwa kwenye pete moja; mihimili ya pembe hizi mbili ilifanana.

EXO 36:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kulikuwa na mihimili minane, na vitako kumi na sita vya fedha, viwili chini ya kila mhimili.

EXO 36:31 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza pia mataruma kwa mti wa mshita: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mmoja wa maskani,

EXO 36:32 Removed trailing space in v~: matano kwa ajili ya mihimili ya upande mwingine, na matano kwa ajili mihimili ya upande wa magharibi, mwisho kabisa mwa maskani.

EXO 36:33 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza taruma la katikati, likapenya katikati ya mihimili kutoka mwisho mmoja hadi mwisho mwingine.

EXO 36:34 Removed trailing space in v~: Wakaifunika hiyo mihimili kwa dhahabu, na wakatengeneza pete za dhahabu za kushikilia hayo mataruma. Pia wakayafunika hayo mataruma kwa dhahabu.

EXO 36:35 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, naye fundi stadi akatirizi makerubi kwenye hilo pazia.

EXO 36:36 Removed trailing space in v~: Wakatengeneza nguzo nne za mti wa mshita kwa ajili yake na kuzifunika kwa dhahabu. Wakatengeneza kulabu za dhahabu kwa ajili ya nguzo hizo, na kusubu vitako vinne vya fedha.

EXO 36:37 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya ingilio la hema wakatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi.

EXO 36:38 Removed trailing space in v~: Pia wakatengeneza nguzo tano zenye kulabu. Wakafunika ncha za juu za hizo nguzo pamoja na tepe zake kwa dhahabu, na pia wakatengeneza vitako vyake vitano vya shaba.

EXO 37:0 Extra space after chapter number

EXO 37:0 Removed trailing space in c: 37

EXO 37:0 Removed trailing space in s1: Sanduku La Agano

EXO 37:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 25:10-22)

EXO 37:1 Removed trailing space in v~: Bezaleli akatengeneza Sanduku la mbao za mshita: urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu,\f + \fr 37:1 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na mita 1.13.\f* upana wake dhiraa moja na nusu, na kimo chake dhiraa moja na nusu.

EXO 37:2 Removed trailing space in v~: Akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje, na kulizungushia ukingo wa dhahabu.

EXO 37:3 Removed trailing space in v~: Akasubu pete nne za dhahabu na kuzifungia kwenye miguu yake minne, pete mbili kwa upande mmoja na pete mbili kwa upande mwingine.

EXO 37:4 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuzifunika kwa dhahabu.

EXO 37:5 Removed trailing space in v~: Akaiingiza hiyo mipiko kwenye zile pete katika pande mbili za Sanduku ili kulibeba.

EXO 37:6 Removed trailing space in v~: Akatengeneza kifuniko cha upatanisho kwa dhahabu safi: urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu, na upana wake dhiraa moja na nusu.

EXO 37:7 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza makerubi wawili wa dhahabu iliyofuliwa katika miisho ya hicho kifuniko.

EXO 37:8 Removed trailing space in v~: Akatengeneza kerubi mmoja kwenye mwisho mmoja, na kerubi mwingine kwenye mwisho mwingine; akawatengeneza kuwa kitu kimoja na hicho kifuniko katika miisho hiyo miwili.

EXO 37:9 Removed trailing space in v~: Makerubi hao walikuwa wametandaza mabawa kuelekea juu, wakitia kivuli hicho kifuniko. Makerubi hao walielekeana, wakitazama hicho kifuniko.

EXO 37:9 Removed trailing space in s1: Meza

EXO 37:9 Removed trailing space in r: (Kutoka 25:23-30)

EXO 37:10 Removed trailing space in v~: Akatengeneza meza ya mbao za mshita yenye urefu wa dhiraa mbili,\f + \fr 37:10 \ft Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90.\f* upana wa dhiraa moja,\f + \fr 37:10 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.\f* na kimo cha dhiraa moja na nusu.

EXO 37:11 Removed trailing space in v~: Kisha akaifunika kwa dhahabu safi, na kuitengenezea ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.

EXO 37:12 Removed trailing space in v~: Pia akatengeneza upapi wenye upana wa nyanda nne,\f + \fr 37:12 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 8.\f* na kuufanyia ule upapi ukingo wa dhahabu kuuzunguka pande zote.

EXO 37:13 Removed trailing space in v~: Akasubu pete nne za dhahabu kwa ajili ya meza hiyo, na kuzifungia kwenye pembe nne, pale penye miguu yake minne.

EXO 37:14 Removed trailing space in v~: Pete hizo ziliwekwa karibu na ukingo ule ili kuishikilia ile mipiko iliyotumika kuibebea hiyo meza.

EXO 37:15 Removed trailing space in v~: Mipiko hiyo ya kubebea meza ilitengenezwa kwa mti wa mshita, na ilikuwa imefunikwa kwa dhahabu.

EXO 37:16 Removed trailing space in v~: Vyombo vyote vya mezani vilitengenezwa kwa dhahabu safi: yaani sahani zake, masinia, na bakuli na bilauri zake kwa ajili ya kumiminia sadaka za vinywaji.

EXO 37:16 Removed trailing space in s1: Kinara Cha Taa

EXO 37:16 Removed trailing space in r: (Kutoka 25:31-40)

EXO 37:17 Removed trailing space in v~: Akatengeneza kinara cha taa cha dhahabu safi iliyofuliwa vizuri katika kitako chake na ufito wake; vikombe vyake vilivyofanana na ua, matovu na maua vilikuwa kitu kimoja.

EXO 37:18 Removed trailing space in v~: Matawi sita yalitokeza kuanzia ule ufito wa katikati wa kinara cha taa: matawi matatu upande mmoja na matatu upande mwingine.

EXO 37:19 Removed trailing space in v~: Vikombe vitatu vya mfano wa maua ya mlozi yenye matovu na maua vilikuwa katika tawi moja, vikombe vitatu katika tawi jingine, na vivyo hivyo kwa matawi yote sita yaliyotokeza kwenye kile kinara cha taa.

EXO 37:20 Removed trailing space in v~: Juu ya kinara chenyewe kulikuwepo na vikombe vinne vya mfano wa maua ya mlozi yakiwa na matovu yake na maua yake.

EXO 37:21 Removed trailing space in v~: Tovu moja lilikuwa chini ya jozi ya kwanza ya matawi yaliyotokeza kwenye kinara cha taa, tovu la pili chini ya jozi ya pili, nalo tovu la tatu chini ya jozi ya tatu, yaani, matawi sita kwa jumla.

EXO 37:22 Removed trailing space in v~: Matovu na matawi yote yalikuwa kitu kimoja na kile kinara cha taa, yakiwa yamefuliwa kwa dhahabu safi.

EXO 37:23 Removed trailing space in v~: Akatengeneza taa zake saba, na pia mikasi ya kusawazishia tambi, pamoja na masinia, zote kwa dhahabu safi.

EXO 37:24 Removed trailing space in v~: Akatengeneza kinara hicho cha taa pamoja na vifaa vyake vyote kutumia talanta\f + \fr 37:24 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.\f* moja ya dhahabu safi.

EXO 37:24 Removed trailing space in s1: Madhabahu Ya Kufukizia Uvumba

EXO 37:24 Removed trailing space in r: (Kutoka 30:1-5)

EXO 37:25 Removed trailing space in v~: Akatengeneza madhabahu ya kufukizia uvumba kwa mbao za mshita. Ilikuwa ya mraba, urefu na upana wake dhiraa moja, na kimo cha dhiraa mbili, nazo pembe zake zilikuwa kitu kimoja nayo.

EXO 37:26 Removed trailing space in v~: Akafunika hayo madhabahu juu na pande zote na pia zile pembe zake kwa dhahabu safi, na akayafanyizia ukingo wa dhahabu kuizunguka.

EXO 37:27 Removed trailing space in v~: Akatengeneza pete mbili za dhahabu kwa ajili ya madhabahu chini ya huo ukingo, zikiwa mbili kila upande, za kushikilia hiyo mipiko iliyotumika kuyabebea madhabahu.

EXO 37:28 Removed trailing space in v~: Akatengeneza mipiko kwa miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.

EXO 37:29 Removed trailing space in v~: Pia akatengeneza mafuta matakatifu ya upako, na uvumba safi wenye harufu nzuri, kazi ya mtengeneza manukato.

EXO 38:0 Extra space after chapter number

EXO 38:0 Removed trailing space in c: 38

EXO 38:0 Removed trailing space in s1: Madhabahu Ya Sadaka Ya Kuteketezwa

EXO 38:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 27:1-8)

EXO 38:1 Removed trailing space in v~: Akatengeneza madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa mbao za mti wa mshita, kimo chake dhiraa tatu;\f + \fr 38:1 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.\f* nayo ilikuwa mraba, urefu wake dhiraa tano, na upana wa dhiraa tano\f + \fr 38:1 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.\f*

EXO 38:2 Removed trailing space in v~: Akatengeneza upembe kwenye kila pembe ya hizo pembe nne, ili zile pembe na madhabahu zikawa zimeungana, akafunika madhabahu kwa shaba.

EXO 38:3 Removed trailing space in v~: Akatengeneza vyombo vyake vyote kwa shaba: vyungu vyake vya kuondolea majivu, masepetu, mabakuli ya kunyunyizia, uma za nyama na vyombo vya kuchukulia moto.

EXO 38:4 Removed trailing space in v~: Akatengeneza wavu wa shaba chini ya ukingo wa madhabahu ili ufikie nusu ya kimo cha madhabahu.

EXO 38:5 Removed trailing space in v~: Akasubu pete za shaba za kushikilia ile mipiko kwa ajili ya zile pembe nne za huo wavu wa shaba.

EXO 38:6 Removed trailing space in v~: Akatengeneza mipiko ya mti wa mshita na kuifunika kwa shaba.

EXO 38:7 Removed trailing space in v~: Akaiingiza ile mipiko kwenye zile pete, ili iwe pande mbili za madhabahu kwa ajili ya kuibeba. Akaitengeneza madhabahu yenye uvungu ndani yake akitumia mbao.

EXO 38:7 Removed trailing space in s1: Sinia La Kunawia

EXO 38:7 Removed trailing space in r: (Kutoka 30:18)

EXO 38:8 Removed trailing space in v~: Akatengeneza sinia la shaba lenye kitako cha shaba kutoka kwa vioo vya shaba vilivyotolewa na wanawake waliohudumu pale ingilio la Hema la Kukutania.

EXO 38:8 Removed trailing space in s1: Ua Wa Hema La Kukutania

EXO 38:8 Removed trailing space in r: (Kutoka 27:9-19)

EXO 38:9 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza ua. Upande wa kusini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja,\f + \fr 38:9 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.\f* na ulikuwa na mapazia ya kitani iliyosokotwa vizuri,

EXO 38:10 Removed trailing space in v~: pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

EXO 38:11 Removed trailing space in v~: Upande wa kaskazini ulikuwa na urefu wa dhiraa mia moja, pamoja na nguzo ishirini na vitako vya shaba ishirini, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

EXO 38:12 Removed trailing space in v~: Upande wa mwisho wa magharibi ulikuwa na upana wa dhiraa hamsini\f + \fr 38:12 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.\f* na ulikuwa na mapazia, na nguzo kumi na vitako vyake kumi, pamoja na kulabu na tepe za fedha juu ya hizo nguzo.

EXO 38:13 Removed trailing space in v~: Upande wa mwisho wa mashariki jua linakochomoza, pia ulikuwa na upana wa dhiraa hamsini.

EXO 38:14 Removed trailing space in v~: Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano\f + \fr 38:14 \ft Dhiraa 15 ni sawa na mita 6.75.\f* yalikuwa upande mmoja wa ingilio, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.

EXO 38:15 Removed trailing space in v~: Mapazia yenye urefu wa dhiraa kumi na tano yalikuwa upande mwingine wa ingilio la ua, pamoja na nguzo tatu na vitako vitatu.

EXO 38:16 Removed trailing space in v~: Mapazia yote yaliyozunguka ua yalikuwa ya kitani iliyosokotwa vizuri.

EXO 38:17 Removed trailing space in v~: Vitako vya nguzo vilikuwa vya shaba. Kulabu na tepe juu ya nguzo zilikuwa za fedha, na ncha zake zilifunikwa kwa fedha. Kwa hiyo nguzo zote za ua zilikuwa na tepe za fedha.

EXO 38:18 Removed trailing space in v~: Pazia la ingilio la ua lilikuwa la nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu pamoja na kitani iliyosokotwa vizuri, kazi ya mtarizi. Pazia hilo lilikuwa na urefu wa dhiraa ishirini kama zile za kwenye ua, na kimo chake kilikuwa dhiraa tano,

EXO 38:19 Removed trailing space in v~: likiwa na nguzo nne na vitako vinne vya shaba. Kulabu zake na tepe zake zilikuwa za fedha, na ncha zake zilikuwa zimefunikwa kwa fedha.

EXO 38:20 Removed trailing space in v~: Vigingi vyote vya maskani na vya ua ulioizunguka vilikuwa vya shaba.

EXO 38:20 Removed trailing space in s1: Vifaa Vilivyotumika

EXO 38:21 Removed trailing space in v~: Ifuatayo ni orodha ya vifaa vilivyotumika kwa ajili ya ujenzi wa maskani, maskani ya Ushuhuda, ambavyo vilitayarishwa na Walawi kama alivyoagiza Mose, chini ya usimamizi wa Ithamari, mwana wa kuhani Aroni.

EXO 38:22 Removed trailing space in v~: (Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila la Yuda, alifanya kila kitu \nd Bwana\nd* alichomwamuru Mose,

EXO 38:23 Removed trailing space in v~: akiwa pamoja na Oholiabu mwana wa Ahisamaki, wa kabila la Dani, fundi stadi wa kutia nakshi, kubuni michoro, mtarizi kwa rangi ya buluu, ya zambarau, nyekundu na kitani safi.)

EXO 38:24 Removed trailing space in v~: Jumla ya dhahabu iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa kwa ajili ya kazi ya mahali patakatifu ilikuwa na uzito wa talanta 29 na shekeli 730,\f + \fr 38:24 \ft Talanta 29 na shekeli 730 ni sawa na tani moja.\f* kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.

EXO 38:25 Removed trailing space in v~: Fedha iliyopatikana kutokana na jumuiya ya watu waliohesabiwa ilikuwa yenye uzito wa talanta mia moja na shekeli 1,775,\f + \fr 38:25 \ft Talanta 100 na shekeli 1,775 za fedha ni sawa na tani 3.4.\f* kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.

EXO 38:26 Removed trailing space in v~: Kila mtu alitoa beka moja, ambayo ni sawa na nusu shekeli ya fedha, kwa kazi ya mahali patakatifu, kutoka kwa kila mtu aliyekuwa amehesabiwa mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi, ambao jumla yao walikuwa wanaume 603,550.

EXO 38:27 Removed trailing space in v~: Talanta hizo 100 za fedha zilitumika kusubu vile vitako mia moja kwa ajili ya mahali patakatifu na pazia: vitako mia moja kwa talanta mia, yaani, talanta moja kwa kila kitako.

EXO 38:28 Removed trailing space in v~: Akatumia zile shekeli hizo 1,775 kutengeneza kulabu za nguzo, kufunika ncha za nguzo na kutengeneza vitanzi vyake.

EXO 38:29 Removed trailing space in v~: Shaba iliyopatikana kutokana na sadaka ya kuinuliwa ilikuwa na uzito wa talanta 70 na shekeli 2,400.\f + \fr 38:29 \ft Talanta 70 na shekeli 2,400 ni sawa na tani 2.4.\f*

EXO 38:30 Removed trailing space in v~: Akaitumia hiyo shaba kutengeneza vitako vya ingilio la Hema la Kukutania, madhabahu ya shaba pamoja na ule wavu wake na vyombo vyake vyote,

EXO 38:31 Removed trailing space in v~: vile vitako vya ule ua uliozunguka na vile vya ingilio, na vigingi vyote vya Maskani pamoja na ule ua uliozunguka.

EXO 39:0 Extra space after chapter number

EXO 39:0 Removed trailing space in c: 39

EXO 39:0 Removed trailing space in s1: Mavazi Ya Kikuhani

EXO 39:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 28:1-14)

EXO 39:1 Removed trailing space in v~: Kutokana na nyuzi za rangi ya buluu, ya zambarau na nyekundu akatengeneza mavazi yaliyofumwa kwa ajili ya kuhudumu katika mahali patakatifu. Pia akamshonea Aroni mavazi matakatifu, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:1 Removed trailing space in s1: Kisibau

EXO 39:2 Removed trailing space in v~: Akatengeneza kisibau cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kitani iliyosokotwa vizuri.

EXO 39:3 Removed trailing space in v~: Akafua vipande vyembamba vya dhahabu kwa nyundo na kutengeneza nyuzi nyembamba ili kuzifuma pamoja na hizo nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi, kazi ya fundi stadi.

EXO 39:4 Removed trailing space in v~: Akatengeneza vipande vya mabegani vya kisibau, vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili kukifungia kisibau.

EXO 39:5 Removed trailing space in v~: Mshipi wa kiunoni uliofumwa kwa ustadi ulifanana nacho: ulikuwa kitu kimoja na hicho kisibau, nao ulitengenezwa kwa dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kwa kitani iliyosokotwa vizuri, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:6 Removed trailing space in v~: Akatengeneza vito vya shohamu vilivyowekwa katika vijalizo vya dhahabu, navyo vilichorwa na majina ya wana wa Israeli kama vile muhuri huchorwa.

EXO 39:7 Removed trailing space in v~: Kisha akavifungia kwenye vipande vya mabega ya kisibau kuwa vito vya ukumbusho kwa wana wa Israeli, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:7 Removed trailing space in s1: Kifuko Cha Kifuani

EXO 39:7 Removed trailing space in r: (Kutoka 28:15-30)

EXO 39:8 Removed trailing space in v~: Akafanyiza kifuko cha kifuani, kazi ya fundi stadi. Akakitengeneza kama kile kisibau: cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, cha kitani safi iliyosokotwa.

EXO 39:9 Removed trailing space in v~: Kifuko hicho kilikuwa cha mraba, chenye urefu wa shibiri moja\f + \fr 39:9 \ft Shibiri moja ni sawa na sentimita 22.\f* na upana wa shibiri moja, nacho kilikunjwa mara mbili.

EXO 39:10 Removed trailing space in v~: Kifuko hicho kilipambwa kwa safu nne za vito vya thamani. Safu ya kwanza ilikuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;

EXO 39:11 Removed trailing space in v~: safu ya pili ilikuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;

EXO 39:12 Removed trailing space in v~: safu ya tatu ilikuwa na hiakintho, akiki nyekundu na amethisto;

EXO 39:13 Removed trailing space in v~: katika safu ya nne ilikuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Vito hivyo vilitiwa kwenye vijalizo vya dhahabu.

EXO 39:14 Removed trailing space in v~: Palikuwa na vito kumi na viwili, kila kimoja kikiwa na jina mojawapo la wana wa Israeli; kila kimoja kilichorwa kama muhuri kikiwa na jina mojawapo la yale makabila kumi na mawili.

EXO 39:15 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya kile kifuko cha kifuani akakitengenezea mikufu ya dhahabu safi, iliyosokotwa kama kamba.

EXO 39:16 Removed trailing space in v~: Akatengeneza vijalizo viwili vya dhahabu na pete mbili za dhahabu, na kuzifungia pete hizo kwenye pembe mbili za hicho kifuko cha kifuani.

EXO 39:17 Removed trailing space in v~: Akafunga hiyo mikufu miwili ya dhahabu kwenye hizo pete katika pembe za hicho kifuko cha kifuani,

EXO 39:18 Removed trailing space in v~: nazo zile ncha nyingine za mkufu akazifunga kwenye vile vijalizo viwili, na kuzishikamanisha na vile vipande vya mabega vya kile kisibau upande wa mbele.

EXO 39:19 Removed trailing space in v~: Akatengeneza pete mbili za dhahabu na kuzishikamanisha kwenye pembe mbili za chini, upande wa ndani wa kifuko cha kifuani karibu na kisibau.

EXO 39:20 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza pete nyingine mbili za dhahabu na kuzishikamanisha sehemu ya chini ya vipande vya mabega upande wa mbele wa kile kisibau, karibu na pindo juu kidogo ya mshipi wa kiunoni wa kisibau.

EXO 39:21 Removed trailing space in v~: Akafunga pete za hicho kifuko cha kifuani kwenye pete za kisibau kwa kamba ya buluu, wakiziunganisha na ule mshipi wa kiunoni, ili kifuko cha kifuani kisisogee kutoka kwenye kile kisibau, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:21 Removed trailing space in s1: Mavazi Mengine Ya Kikuhani

EXO 39:21 Removed trailing space in r: (Kutoka 28:31-43)

EXO 39:22 Removed trailing space in v~: Akashona joho la kisibau lote kwa kitambaa cha rangi ya buluu tupu, kazi ya mfumaji,

EXO 39:23 Removed trailing space in v~: na lilikuwa na nafasi ya shingo katikati ya joho lile iliyofanana na ukosi, na utepe ulioshonwa kuizunguka nafasi hiyo ili isichanike.

EXO 39:24 Removed trailing space in v~: Akatengeneza makomamanga ya nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na ya kitani iliyosokotwa vizuri kuzunguka pindo la hilo joho.

EXO 39:25 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza vikengele vya dhahabu safi na kuvishikamanisha kuzunguka pindo hilo kati ya hayo makomamanga.

EXO 39:26 Removed trailing space in v~: Hivyo vikengele na makomamanga vilipishana kuzunguka upindo wa joho ili livaliwe kwa kuhudumu, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:27 Removed trailing space in v~: Pia akamtengenezea Aroni na wanawe makoti ya kitani safi, kazi ya mfumaji,

EXO 39:28 Removed trailing space in v~: na kilemba cha kitani safi, tepe za kichwani za kitani, na nguo za ndani za kitani iliyosokotwa vizuri.

EXO 39:29 Removed trailing space in v~: Mshipi ulikuwa wa kitani iliyosokotwa vizuri ya rangi ya buluu, na zambarau, na nyekundu, kazi ya mtarizi, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:30 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza lile bamba, taji takatifu, kwa dhahabu safi na kuchora juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: \sc Mtakatifu kwa Bwana\sc*.

EXO 39:31 Removed trailing space in v~: Kisha wakalifunga kwa kamba ya rangi ya buluu ili kulishikamanisha na kile kilemba kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:31 Removed trailing space in s1: Mose Akagua Maskani Ya Mungu

EXO 39:31 Removed trailing space in r: (Kutoka 35:10-19)

EXO 39:32 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kazi yote ya maskani, Hema la Kukutania ikakamilika. Waisraeli wakafanya kila kitu sawasawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 39:33 Removed trailing space in v~: Ndipo wakaleta maskani kwa Mose: hema pamoja na vifaa vyake vyote, vibanio vyake, mihimili yake, mataruma yake, nguzo na vitako vyake;

EXO 39:34 Removed trailing space in v~: kifuniko cha ngozi za kondoo dume kilichotiwa rangi nyekundu, kifuniko cha ngozi za pomboo,\f + \fr 39:34 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* pazia la kufunikia;

EXO 39:34 Found footnote ending with space in \v~: kifuniko cha ngozi za kondoo dume kilichotiwa rangi nyekundu, kifuniko cha ngozi za pomboo,\f + \fr 39:34 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* pazia la kufunikia;

EXO 39:35 Removed trailing space in v~: Sanduku la Ushuhuda pamoja na mipiko yake na kiti cha rehema,

EXO 39:36 Removed trailing space in v~: meza pamoja na vyombo vyake vyote na mikate ya Wonyesho;

EXO 39:37 Removed trailing space in v~: kinara cha taa cha dhahabu safi, safu zake za taa pamoja na vifaa vyake vyote pamoja na mafuta kwa ajili ya taa;

EXO 39:38 Removed trailing space in v~: madhabahu ya dhahabu, mafuta ya upako, uvumba wenye harufu nzuri na pazia la ingilio la hema;

EXO 39:39 Removed trailing space in v~: madhabahu ya shaba, pamoja na wavu wa shaba, nguzo zake na vyombo vyake vyote, sinia, na tako lake;

EXO 39:40 Removed trailing space in v~: mapazia ya ua pamoja na nguzo na vitako vyake, pia na pazia kwa ajili ya ingilio la kwenye ua; kamba zake na vigingi vya hema kwa ajili ya ua; vyombo vyote vilivyohitajiwa kwa ajili ya maskani, Hema la Kukutania;

EXO 39:41 Removed trailing space in v~: na mavazi yaliyofumwa yanayovaliwa wakati wa huduma katika mahali patakatifu, yaani mavazi matakatifu ya kuhani Aroni na mavazi kwa ajili ya wanawe watakapokuwa wakihudumu katika kazi ya ukuhani.

EXO 39:42 Removed trailing space in v~: Waisraeli walikuwa wamefanya kazi yote sawasawa na vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amemwagiza Mose.

EXO 39:43 Removed trailing space in v~: Mose akakagua kazi na kuona kuwa walikuwa wameifanya sawasawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa ameagiza. Kwa hiyo Mose akawabariki.

EXO 40:0 Extra space after chapter number

EXO 40:0 Removed trailing space in c: 40

EXO 40:0 Removed trailing space in s1: Kuweka Wakfu Maskani Ya Mungu

EXO 40:1 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose:

EXO 40:2 Removed trailing space in v~: “Simika Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza.

EXO 40:3 Removed trailing space in v~: Weka Sanduku la Ushuhuda ndani yake na ulifunike kwa pazia. Ingiza meza na kupanga vitu vyake juu yake.

EXO 40:4 Removed trailing space in v~: Kisha ingiza kinara cha taa na uweke taa zake juu yake.

EXO 40:5 Removed trailing space in v~: Weka madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba mbele ya Sanduku la Ushuhuda kisha uweke pazia kwenye lango la Maskani ya Mungu.

EXO 40:6 Removed trailing space in v~: “Weka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa mbele ya lango la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania;

EXO 40:7 Removed trailing space in v~: weka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, na uweke maji ndani yake.

EXO 40:8 Removed trailing space in v~: Fanyiza ua kuzunguka maskani na uweke pazia penye ingilio la ua.

EXO 40:9 Removed trailing space in v~: “Chukua mafuta ya upako, ipake Maskani ya Mungu pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake; iweke wakfu pamoja na vitu vyote vilivyomo ndani mwake, nayo itakuwa takatifu.

EXO 40:10 Removed trailing space in v~: Kisha yapake mafuta hayo madhabahu ya kuteketezea sadaka pamoja na vifaa vyake vyote; weka wakfu madhabahu nayo yatakuwa takatifu sana.

EXO 40:11 Removed trailing space in v~: Paka sinia mafuta pamoja na kishikilio chake na uviweke wakfu.

EXO 40:12 Removed trailing space in v~: “Mlete Aroni na wanawe kwenye ingilio la Hema la Kukutania na uwaoshe kwa maji.

EXO 40:13 Removed trailing space in v~: Kisha mvike Aroni yale mavazi matakatifu, umtie mafuta na kumweka wakfu ili apate kunitumikia katikati ya ukuhani.

EXO 40:14 Removed trailing space in v~: Walete wanawe na uwavike makoti.

EXO 40:15 Removed trailing space in v~: Kisha watie mafuta kama ulivyomtia baba yao, ili nao pia wanitumikie katika kazi ya ukuhani. Kutiwa mafuta kwao kutakuwa kwa ajili ya ukuhani utakaoendelea kwa vizazi vyote vijavyo.”

EXO 40:16 Removed trailing space in v~: Mose akafanya kila kitu sawa kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Maskani ya Mungu ilisimikwa katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, katika mwaka wa pili.

EXO 40:18 Removed trailing space in v~: Mose alipoweka wakfu Maskani ya Mungu, aliweka vitako mahali pake, akasimamisha mihimili, akatia mataruma na kusimamisha nguzo.

EXO 40:19 Removed trailing space in v~: Kisha akalitandaza hema juu ya Maskani ya Mungu na kuifunika hema, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:20 Removed trailing space in v~: Akachukua ule Ushuhuda na kuuweka ndani ya Sanduku la Agano, akaweka ile mipiko ya kubebea hilo Sanduku na kuweka kiti cha rehema juu yake.

EXO 40:21 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akalileta Sanduku ndani ya Maskani ya Mungu, akatundika pazia ili kulifunika Sanduku la Ushuhuda, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:22 Removed trailing space in v~: Mose akaweka meza ndani ya Hema la Kukutania, upande wa kaskazini ya Maskani ya Mungu nje ya pazia

EXO 40:23 Removed trailing space in v~: na kupanga mikate juu yake mbele za \nd Bwana\nd*, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:24 Removed trailing space in v~: Akaweka kinara cha taa ndani ya Hema la Kukutania mkabala na meza upande wa kusini mwa Maskani ya Mungu

EXO 40:25 Removed trailing space in v~: na kuziweka taa mbele za \nd Bwana\nd*, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:26 Removed trailing space in v~: Mose akaweka madhabahu ya dhahabu ndani ya Hema la Kukutania mbele ya pazia

EXO 40:27 Removed trailing space in v~: na kufukiza uvumba wenye harufu nzuri, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:28 Removed trailing space in v~: Kisha akaweka pazia kwenye ingilio la Maskani ya Mungu.

EXO 40:29 Removed trailing space in v~: Mose akaweka madhabahu ya sadaka za kuteketezwa karibu na ingilio la Maskani ya Mungu, yaani Hema la Kukutania, na kutoa juu yake sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza.

EXO 40:30 Removed trailing space in v~: Akaweka sinia kati ya Hema la Kukutania na madhabahu, akaweka maji ndani yake kwa ajili ya kunawia,

EXO 40:31 Removed trailing space in v~: Naye Mose, Aroni na wanawe wakayatumia kwa kunawia mikono na miguu yao.

EXO 40:32 Removed trailing space in v~: Wakanawa kila walipoingia katika Hema la Kukutania au walipoikaribia madhabahu kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

EXO 40:33 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akafanya ua kuizunguka Maskani ya Mungu na madhabahu, pia akaweka pazia kwenye ingilio la huo ua. Hivyo Mose akaikamilisha kazi.

EXO 40:33 Removed trailing space in s1: Utukufu Wa \nd Bwana\nd*

EXO 40:33 Removed trailing space in r: (Hesabu 9:15-23)

EXO 40:34 Removed trailing space in v~: Ndipo wingu likafunika Hema la Kukutania, na utukufu wa \nd Bwana\nd* ukaijaza Maskani ya Mungu.

EXO 40:35 Removed trailing space in v~: Mose hakuweza kuingia ndani ya Hema la Kukutania kwa sababu wingu lilikuwa limetua juu ya Hema, nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ukaijaza Maskani ya Mungu.

EXO 40:36 Removed trailing space in v~: Katika safari yote ya Waisraeli, kila wakati wingu lilipoinuka kutoka juu ya Maskani ya Mungu, wangeondoka;

EXO 40:37 Removed trailing space in v~: lakini kama wingu halikuinuka, hawakuondoka, mpaka siku lilipoinuka.

EXO 40:38 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wingu la \nd Bwana\nd* lilikuwa juu ya maskani mchana, na moto ulikuwa katika hilo wingu wakati wa usiku, machoni pa nyumba yote ya Israeli siku zote za safari zao.

LEV 2:0 Extra space after chapter number

LEV 2:0 Removed trailing space in c: 2

LEV 2:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Ya Nafaka

LEV 2:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Mtu yeyote aletapo sadaka ya nafaka kwa \nd Bwana\nd*, sadaka yake itakuwa ya unga laini. Atamimina mafuta juu yake, aweke uvumba juu yake,

LEV 2:2 Removed trailing space in v~: naye atapeleka kwa makuhani wana wa Aroni. Kuhani atachukua konzi moja iliyojaa unga laini na mafuta pamoja na uvumba wote, na kuuteketeza kama sehemu ya kumbukumbu juu ya madhabahu, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*.

LEV 2:3 Removed trailing space in v~: Sadaka ya nafaka iliyobaki ni ya Aroni na wanawe, ni sehemu ya sadaka iliyo takatifu sana iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

LEV 2:4 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama utaleta sadaka ya nafaka iliyookwa jikoni, itakuwa ya unga laini: maandazi yaliyotengenezwa bila kutiwa chachu, yaliyochanganywa na mafuta, au mikate myembamba iliyotengenezwa bila kutiwa chachu, na iliyopakwa mafuta.

LEV 2:5 Removed trailing space in v~: Iwapo sadaka yako ya nafaka imeandaliwa kwenye kikaango, itakuwa ni ya unga laini uliochanganywa na mafuta, bila chachu.

LEV 2:6 Removed trailing space in v~: Ukande na kumimina mafuta juu yake; hii ni sadaka ya nafaka.

LEV 2:7 Removed trailing space in v~: Kama sadaka yako ya nafaka imepikwa kwenye sufuria, itatengenezwa kwa unga laini na mafuta.

LEV 2:8 Removed trailing space in v~: Ilete hiyo sadaka ya nafaka iliyotengenezwa kwa vitu hivi kwa \nd Bwana\nd*; mkabidhi kuhani ambaye ataipeleka madhabahuni.

LEV 2:9 Removed trailing space in v~: Naye atatoa ile sehemu ya kumbukumbu kutoka kwenye hiyo sadaka ya nafaka na kuiteketeza juu ya madhabahu kuwa sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*.

LEV 2:10 Removed trailing space in v~: Sadaka ya nafaka iliyobaki ni ya Aroni na wanawe; ni sehemu ya sadaka iliyo takatifu sana ya sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

LEV 2:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Kila sadaka ya nafaka unayoleta kwa \nd Bwana\nd* ni lazima ifanywe bila kutiwa chachu, kwa kuwa huna ruhusa kuchoma chachu yoyote au asali katika sadaka itolewayo kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

LEV 2:12 Removed trailing space in v~: Unaweza kuzileta kwa \nd Bwana\nd* kama sadaka ya malimbuko, lakini haziwezi kutolewa juu ya madhabahu kama harufu nzuri ya kupendeza.

LEV 2:13 Removed trailing space in v~: Koleza sadaka zako zote za nafaka kwa chumvi. Usiache kuweka chumvi ya Agano la Mungu wako katika sadaka zako za nafaka; weka chumvi kwenye sadaka zako zote.

LEV 2:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama ukileta malimbuko ya sadaka ya nafaka kwa \nd Bwana\nd*, utatoa masuke yaliyopondwa ya nafaka mpya iliyookwa kwa moto.

LEV 2:15 Removed trailing space in v~: Weka mafuta na uvumba juu yake; ni sadaka ya nafaka.

LEV 2:16 Removed trailing space in v~: Kuhani atateketeza ile sehemu ya kumbukumbu kutoka kwenye hiyo sadaka ya nafaka iliyopondwa kwa mafuta, pamoja na uvumba wote, kama sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

LEV 3:0 Extra space after chapter number

LEV 3:0 Removed trailing space in c: 3

LEV 3:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Ya Amani

LEV 3:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama sadaka ya mtu ni sadaka ya amani, naye akatoa ngʼombe kutoka kundi, akiwa dume au jike, atamleta mnyama asiye na dosari mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 3:2 Removed trailing space in v~: Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake na kumchinja penye ingilio la Hema la Kukutania. Ndipo makuhani wana wa Aroni watanyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.

LEV 3:3 Removed trailing space in v~: Kutoka kwenye hiyo sadaka ya amani ataleta sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto: mafuta yote ya mnyama yafunikayo sehemu za ndani, ama yanayoungana na hizo sehemu za ndani,

LEV 3:4 Removed trailing space in v~: figo zote pamoja na mafuta yote yanayozizunguka karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo atayaondoa pamoja na figo.

LEV 3:5 Removed trailing space in v~: Kisha wana wa Aroni wataiteketeza juu ya madhabahu, juu ya ile sadaka ya kuteketezwa iliyoko juu ya kuni zinazowaka, kama sadaka ya kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*.

LEV 3:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama akitoa kondoo au mbuzi kutoka kundi kama sadaka ya amani kwa \nd Bwana\nd*, atamtoa dume au jike asiye na dosari.

LEV 3:7 Removed trailing space in v~: Kama akimtoa mwana-kondoo, atamleta mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 3:8 Removed trailing space in v~: Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka yake, naye atamchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.

LEV 3:9 Removed trailing space in v~: Kutoka kwenye hiyo sadaka ya amani ataleta dhabihu iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto: mafuta yake, mafuta yote ya mkia uliokatwa karibu na uti wa mgongo, mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani au yale yanayounganika nazo,

LEV 3:10 Removed trailing space in v~: figo mbili pamoja na mafuta yanayozizunguka yaliyo karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo atayatoa pamoja na figo.

LEV 3:11 Removed trailing space in v~: Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

LEV 3:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama sadaka yake ni mbuzi, ataileta mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 3:13 Removed trailing space in v~: Ataweka mkono wake juu ya kichwa chake na kumchinja mbele ya Hema la Kukutania. Kisha wana wa Aroni watanyunyiza damu yake kwenye madhabahu pande zote.

LEV 3:14 Removed trailing space in v~: Kutokana na ile sadaka anayotoa, atatoa sadaka hii kwa \nd Bwana\nd* kwa moto: mafuta yote yanayofunika sehemu za ndani na yale yanayoungana nazo,

LEV 3:15 Removed trailing space in v~: figo zote mbili pamoja na mafuta yaliyo juu yake karibu na kiuno na yanayofunika ini, ambayo atayaondoa pamoja na figo.

LEV 3:16 Removed trailing space in v~: Kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu kama chakula, sadaka iliyotolewa kwa moto, harufu nzuri. Mafuta yote ya mnyama ni ya \nd Bwana\nd*.

LEV 3:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Hii ni kanuni ya kudumu kwa vizazi vijavyo, popote muishipo: Msile mafuta yoyote ya mnyama wala damu.’ ”

LEV 4:0 Extra space after chapter number

LEV 4:0 Removed trailing space in c: 4

LEV 4:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Ya Dhambi

LEV 4:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 4:2 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote afanyapo dhambi bila kukusudia na akatenda lile lililokatazwa katika amri yoyote ya \nd Bwana\nd*:

LEV 4:3 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa kuhani aliyetiwa mafuta amefanya dhambi na kuwaletea watu hatia, lazima alete kwa \nd Bwana\nd* fahali mchanga asiye na dosari, kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili ya dhambi aliyotenda.

LEV 4:4 Removed trailing space in v~: Atamkabidhi huyo fahali kwenye ingilio la Hema la Kukutania mbele za \nd Bwana\nd*. Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha huyo fahali na kumchinja mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 4:5 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani huyo aliyetiwa mafuta atachukua sehemu ya damu ya huyo fahali na kuileta katika Hema la Kukutania.

LEV 4:6 Removed trailing space in v~: Atachovya kidole chake katika hiyo damu na kuinyunyiza sehemu yake mara saba mbele za \nd Bwana\nd* mbele ya pazia la mahali patakatifu.

LEV 4:7 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atatia sehemu ya hiyo damu juu ya pembe za madhabahu ya kufukizia uvumba wenye harufu nzuri iliyoko mbele za \nd Bwana\nd* katika Hema la Kukutania. Damu iliyobaki ya huyo fahali ataimwaga chini ya hayo madhabahu ya kuteketezea sadaka kwenye ingilio la Hema la Kukutania.

LEV 4:8 Removed trailing space in v~: Atayaondoa mafuta yote ya fahali huyo wa sadaka ya dhambi, mafuta yale yanayofunika sehemu za ndani au zile zinazounganika nazo,

LEV 4:9 Removed trailing space in v~: figo zote mbili na mafuta yaliyo juu yake karibu na kiuno na yale yanayofunika ini ambayo atayaondoa pamoja na figo zote,

LEV 4:10 Removed trailing space in v~: kama vile mafuta yanayoondolewa kutoka kwenye maksai aliyetolewa sadaka ya amani. Kisha kuhani ataviteketeza juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.

LEV 4:11 Removed trailing space in v~: Lakini ngozi ya huyo fahali na nyama zake zote, pamoja na kichwa na miguu yake, sehemu za ndani na matumbo,

LEV 4:12 Removed trailing space in v~: yaani sehemu nyingine zote zilizobaki za huyo fahali, lazima azitoe nje ya kambi mpaka mahali palipo safi kiibada, ambapo majivu hutupwa, naye atamchoma kwa moto juu ya kuni zilizoko juu ya lundo la majivu.

LEV 4:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa jumuiya yote ya Israeli watatenda dhambi pasipo kukusudia na kufanya lile lililokatazwa katika amri yoyote ya \nd Bwana\nd*, hata kama jumuiya haifahamu juu ya jambo hilo, wana hatia.

LEV 4:14 Removed trailing space in v~: Wanapotambua kuhusu dhambi waliyoitenda, lazima kusanyiko lilete fahali mchanga kuwa sadaka ya dhambi na kuikabidhi mbele ya Hema la Kukutania.

LEV 4:15 Removed trailing space in v~: Wazee wa jumuiya wataweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo fahali aliye mbele za \nd Bwana\nd*, naye fahali atachinjwa mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 4:16 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani aliyetiwa mafuta ataiingiza sehemu ya damu ya huyo fahali ndani ya Hema la Kukutania.

LEV 4:17 Removed trailing space in v~: Atachovya kidole chake kwenye damu na kuinyunyiza mara saba mbele za \nd Bwana\nd* mbele ya hilo pazia.

LEV 4:18 Removed trailing space in v~: Atatia sehemu ya hiyo damu juu ya pembe za madhabahu yaliyo mbele za \nd Bwana\nd* katika Hema la Kukutania. Damu iliyobaki ataimwaga chini ya madhabahu ya kuteketezea sadaka, penye ingilio la Hema la Kukutania.

LEV 4:19 Removed trailing space in v~: Atayaondoa mafuta yote ya yule fahali na kuyateketeza juu ya madhabahu,

LEV 4:20 Removed trailing space in v~: naye atamfanyia fahali huyu kama alivyomfanyia yule fahali mwingine wa sadaka ya dhambi. Kwa njia hii kuhani atawafanyia watu upatanisho, nao watasamehewa.

LEV 4:21 Removed trailing space in v~: Kisha atamchukua yule fahali nje ya kambi na kumteketeza kama alivyomteketeza yule wa kwanza. Hii ni sadaka ya dhambi kwa ajili ya jumuiya.

LEV 4:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati kiongozi ametenda dhambi bila kukusudia na kufanya yaliyokatazwa katika amri yoyote ya \nd Bwana\nd* Mungu wake, ana hatia.

LEV 4:23 Removed trailing space in v~: Atakapofahamishwa dhambi aliyotenda, ni lazima alete mbuzi dume asiye na dosari kama sadaka yake.

LEV 4:24 Removed trailing space in v~: Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha yule mbuzi na kumchinja mahali pale ambapo sadaka za kuteketezwa huchinjiwa mbele za \nd Bwana\nd*. Hii ni sadaka ya dhambi.

LEV 4:25 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atachukua sehemu ya damu ya sadaka ya dhambi kwa kidole chake na kuitia kwenye pembe za madhabahu ya sadaka ya kuteketeza, na kuimwaga damu iliyobaki chini ya madhabahu.

LEV 4:26 Removed trailing space in v~: Atayateketeza mafuta yote juu ya madhabahu, kama alivyoteketeza mafuta ya sadaka ya amani. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho wa dhambi kwa ajili ya yule mtu, naye atasamehewa.

LEV 4:27 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mtu katika jumuiya ametenda dhambi pasipo kukusudia na kufanya lile lililokatazwa katika amri yoyote ya \nd Bwana\nd*, yeye ana hatia.

LEV 4:28 Removed trailing space in v~: Atakapofahamishwa dhambi yake aliyoitenda, ni lazima alete mbuzi jike asiye na dosari kama sadaka yake kwa ajili ya dhambi aliyotenda.

LEV 4:29 Removed trailing space in v~: Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha sadaka ya dhambi na kumchinjia mahali pa kuteketezea sadaka.

LEV 4:30 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atachukua sehemu ya ile damu kwa kidole chake na kuitia kwenye pembe za madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kuimwaga damu iliyobaki chini ya madhabahu.

LEV 4:31 Removed trailing space in v~: Atayaondoa mafuta yote, kama vile mafuta yaondolewavyo kwenye sadaka ya amani, naye kuhani atayateketeza juu ya madhabahu kama harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atasamehewa.

LEV 4:32 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa ataleta mwana-kondoo kama sadaka yake ya dhambi, atamleta jike asiye na dosari.

LEV 4:33 Removed trailing space in v~: Ataweka mkono wake juu ya kichwa cha huyo mwana-kondoo na kumchinja kwa ajili ya sadaka ya dhambi mahali sadaka ya kuteketezwa huchinjiwa.

LEV 4:34 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atachukua sehemu ya damu ya sadaka ya dhambi kwa kidole chake na kuitia juu ya pembe za madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, na ile damu iliyobaki ataimwaga chini ya madhabahu.

LEV 4:35 Removed trailing space in v~: Ataondoa mafuta yote, kama vile mafuta yaondolewavyo kutoka kwenye mwana-kondoo wa sadaka ya amani, naye kuhani atayateketeza juu ya madhabahu juu ya zile sadaka zilizotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi aliyoitenda, naye atasamehewa.

LEV 5:0 Extra space after chapter number

LEV 5:0 Removed trailing space in c: 5

LEV 5:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Zingine Za Kuondoa Dhambi

LEV 5:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mtu atakuwa ametenda dhambi kwa sababu hakusema alipotakiwa kutoa ushahidi hadharani kuhusu jambo aliloona au kujua habari zake, yeye anastahili adhabu.

LEV 5:2 Removed trailing space in v~: “ ‘Au kama mtu akigusa kitu chochote ambacho ni najisi, iwe ni mizoga ya wanyama pori walio najisi, au ya wanyama wafugwao walio najisi, au ya viumbe vitambaavyo ardhini, hata akiwa hana habari, amekuwa najisi na mwenye hatia.

LEV 5:3 Removed trailing space in v~: “ ‘Au kama akigusa kitu kilicho kichafu kinachotokana na binadamu, kitu chochote kile kinachoweza kumfanya awe najisi, hata akiwa hana habari, atakapofahamu atakuwa na hatia.

LEV 5:4 Removed trailing space in v~: “ ‘Au kama mtu ameapa kufanya kitu chochote bila kufikiri, kiwe chema au kibaya, kwa vyovyote mtu aweza kuapa bila kujali, hata akiwa hana habari, atakapofahamu atakuwa na hatia.

LEV 5:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati mtu yeyote atakapokuwa na hatia katika mojawapo ya haya, lazima akiri ni kwa njia gani ametenda dhambi,

LEV 5:6 Removed trailing space in v~: na kama adhabu ya dhambi aliyoitenda, lazima alete kwa \nd Bwana\nd* kondoo jike au mbuzi jike kutoka kwenye kundi lake kama sadaka ya dhambi; naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi yake.

LEV 5:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini huyo mtu kama hataweza kumtoa mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa kwa \nd Bwana\nd* kuwa adhabu kwa ajili ya dhambi yake, mmoja wa hao ndege kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na wa pili kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa.

LEV 5:8 Removed trailing space in v~: Atawaleta kwa kuhani, ambaye atamtoa kwanza ndege mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Atamvunja shingo na kuacha kichwa chake kikiningʼinia,

LEV 5:9 Removed trailing space in v~: naye atanyunyiza sehemu ya hiyo damu ya sadaka ya dhambi kwenye pembe za madhabahu. Damu iliyobaki lazima ichuruzwe chini ya madhabahu. Hii ni sadaka ya dhambi.

LEV 5:10 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atamtoa yule ndege wa pili kama sadaka ya kuteketezwa kwa kufuata utaratibu uliowekwa, na hivyo kufanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi aliyoitenda, naye atasamehewa.

LEV 5:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa basi, hawezi kupata hua wawili au makinda mawili ya njiwa, ataleta sehemu ya kumi ya efa\f + \fr 5:11 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.\f* ya unga laini kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kamwe asiweke mafuta wala uvumba juu yake, kwa sababu ni sadaka ya dhambi.

LEV 5:12 Removed trailing space in v~: Atauleta unga kwa kuhani, ambaye atachukua konzi moja kama sehemu ya kumbukumbu na atauteketeza kwenye madhabahu juu ya sadaka zilizotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto. Hii ni sadaka ya dhambi.

LEV 5:13 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa dhambi yoyote ya hizo alizotenda, naye atasamehewa. Sadaka iliyobaki itakuwa ya kuhani, kama ilivyokuwa ile sadaka ya nafaka.’ ”

LEV 5:13 Removed trailing space in s1: Sadaka Ya Hatia

LEV 5:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose:

LEV 5:15 Removed trailing space in v~: “Mtu anapokiuka na kutenda dhambi pasipo kukusudia kuhusu mojawapo ya mambo matakatifu ya \nd Bwana\nd*, huyo mtu ataleta kwa \nd Bwana\nd* kama adhabu kondoo dume mmoja kutoka kundi lake, asiye na dosari na mwenye thamani halisi kifedha, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. Hii ni sadaka ya hatia.

LEV 5:16 Removed trailing space in v~: Ni lazima alipe kwa yale aliyoshindwa kufanya kuhusu vitu vitakatifu, kwa kuongeza sehemu ya tano ya thamani ile na kuitoa yote kwa kuhani, ambaye atamfanyia upatanisho kwa huyo kondoo dume kama sadaka ya dhambi, naye atasamehewa.

LEV 5:17 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akifanya dhambi na kufanya yale yaliyokatazwa katika mojawapo ya amri za \nd Bwana\nd*, hata ikiwa hajui, yeye ana hatia na anastahili adhabu.

LEV 5:18 Removed trailing space in v~: Atamletea kuhani kama sadaka ya hatia kondoo dume kutoka kundi lake, kondoo asiye na dosari na mwenye thamani halisi kifedha. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa kosa alilotenda bila kukusudia, naye atasamehewa.

LEV 5:19 Removed trailing space in v~: Hii ni sadaka ya hatia; amekuwa na hatia kwa kufanya kosa dhidi ya \nd Bwana\nd*.”

LEV 6:0 Extra space after chapter number

LEV 6:0 Removed trailing space in c: 6

LEV 6:0 Removed trailing space in s1: Kurudisha Kilichochukuliwa

LEV 6:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose:

LEV 6:2 Removed trailing space in v~: “Kama mtu yeyote akitenda dhambi, naye si mwaminifu kwa \nd Bwana\nd* kwa kumdanganya jirani yake kuhusu kitu fulani alichokabidhiwa, au kimeachwa chini ya utunzaji wake, au kimeibwa, au kama akimdanganya,

LEV 6:3 Removed trailing space in v~: au akiokota mali iliyopotea na akadanganya, au kuapa kwa uongo, au kama akitenda dhambi yoyote ambayo watu waweza kuitenda;

LEV 6:4 Removed trailing space in v~: wakati akitenda dhambi hizo na kuwa mwenye hatia, ni lazima arudishe kile alichokuwa amekiiba au amekichukua kwa dhuluma, au alichokuwa amekabidhiwa, au mali iliyokuwa imepotea akaipata,

LEV 6:5 Removed trailing space in v~: au chochote alichokuwa amekiapia kwa uongo. Lazima akirudishe kikamilifu, na aongeze sehemu ya tano ya thamani yake, vyote ampe mwenye mali siku ile anapeleka sadaka yake ya hatia.

LEV 6:6 Removed trailing space in v~: Kisha kama adhabu lazima amletee kuhani, yaani kwa \nd Bwana\nd*, kama sadaka yake ya hatia, kondoo dume asiye na dosari na mwenye thamani kamili kutoka kundi lake.

LEV 6:7 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za \nd Bwana\nd*, naye atasamehewa kwa kosa lolote katika mambo hayo aliyoyatenda yaliyomfanya kuwa na hatia.”

LEV 6:7 Removed trailing space in s1: Sadaka Ya Kuteketezwa

LEV 6:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose:

LEV 6:9 Removed trailing space in v~: “Mpe Aroni na wanawe agizo hili: ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa: Sadaka ya kuteketezwa itabaki kwenye moto juu ya madhabahu usiku kucha, mpaka asubuhi, nao moto lazima uwe unaendelea kuwaka juu ya madhabahu.

LEV 6:10 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atavaa mavazi yake ya kitani, pamoja na nguo za ndani za kitani mwilini wake, na aondoe majivu ya sadaka ya kuteketezwa ambayo moto umeteketeza juu ya madhabahu, na kuyaweka kando ya madhabahu.

LEV 6:11 Removed trailing space in v~: Kisha atayavua mavazi haya na kuvaa mengine, naye achukue yale majivu nje ya kambi na kuyapeleka mahali palipo safi kwa kawaida ya ibada.

LEV 6:12 Removed trailing space in v~: Moto ulio juu ya madhabahu lazima uwe unaendelea kuwaka, kamwe usizimike. Kila asubuhi kuhani ataongeza kuni na kupanga sadaka ya kuteketezwa juu ya moto, na kuteketeza mafuta ya sadaka za amani juu yake.

LEV 6:13 Removed trailing space in v~: Moto lazima uendelee kuwaka juu ya madhabahu mfululizo, kamwe usizimike.

LEV 6:13 Removed trailing space in s1: Sadaka Ya Nafaka

LEV 6:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Haya ndiyo masharti ya sadaka ya nafaka: Wana wa Aroni wataileta mbele za \nd Bwana\nd*, mbele za madhabahu.

LEV 6:15 Removed trailing space in v~: Kuhani atachukua konzi ya unga laini na mafuta, pamoja na uvumba wote ulioko juu ya sadaka ya nafaka, ateketeze sehemu ya kumbukumbu juu ya madhabahu kama harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*.

LEV 6:16 Removed trailing space in v~: Aroni na wanawe watakula sehemu iliyobaki, lakini italiwa bila kutiwa chachu mahali patakatifu, nao wataila kwenye ua wa Hema la Kukutania.

LEV 6:17 Removed trailing space in v~: Kamwe haitaokwa na chachu; nimewapa kama fungu lao la sadaka iliyotolewa kwangu kwa moto. Ni takatifu sana, kama vile ilivyo sadaka ya dhambi na ya hatia.

LEV 6:18 Removed trailing space in v~: Kila mwanaume mzao wa Aroni aweza kuila. Ni fungu lake la kawaida la sadaka zilizotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto kwa vizazi vijavyo. Chochote kinachozigusa kitakuwa kitakatifu.’ ”

LEV 6:19 Removed trailing space in v~: Tena \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 6:20 Removed trailing space in v~: “Hii ni sadaka ambayo Aroni na wanawe wanapaswa kuleta kwa \nd Bwana\nd* siku atakapotiwa mafuta: sehemu ya kumi ya efa\f + \fr 6:20 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.\f* ya unga laini kama sadaka ya kawaida ya nafaka. Nusu yake ataitoa asubuhi na nusu nyingine jioni.

LEV 6:21 Removed trailing space in v~: Iandae kwa mafuta kwenye kikaango; ilete ikiwa imechanganywa vizuri, na utoe hiyo sadaka ya nafaka ikiwa imevunjwa vipande vipande kuwa harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*.

LEV 6:22 Removed trailing space in v~: Mwanawe atakayeingia mahali pake kama kuhani aliyetiwa mafuta ndiye atakayeiandaa. Ni fungu la kawaida la \nd Bwana\nd*, nalo litateketezwa kabisa.

LEV 6:23 Removed trailing space in v~: Kila sadaka ya nafaka ya kuhani itateketezwa kabisa; kamwe haitaliwa.”

LEV 6:23 Removed trailing space in s1: Sadaka Ya Dhambi

LEV 6:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 6:25 Removed trailing space in v~: “Mwambie Aroni na wanawe: ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya dhambi: Sadaka ya dhambi itachinjiwa mbele za \nd Bwana\nd* mahali sadaka ya kuteketezwa huchinjiwa, ni takatifu sana.

LEV 6:26 Removed trailing space in v~: Kuhani anayeitoa ndiye atakayeikula; itakuliwa katika mahali patakatifu, katika ua wa Hema la Kukutania.

LEV 6:27 Removed trailing space in v~: Chochote kitakachogusa nyama yoyote ya hiyo sadaka kitakuwa kitakatifu, na kama hiyo damu itadondokea juu ya vazi, lazima uifulie mahali patakatifu.

LEV 6:28 Removed trailing space in v~: Chungu cha udongo kitakachopikiwa nyama lazima kivunjwe, lakini kama imepikiwa kwenye chombo cha shaba, chombo hicho kitasuguliwa na kusuuzwa kwa maji.

LEV 6:29 Removed trailing space in v~: Kila mwanaume katika familia ya kuhani aweza kula nyama hiyo; ni takatifu sana.

LEV 6:30 Removed trailing space in v~: Lakini kila sadaka ya dhambi ambayo damu yake imeletwa ndani ya Hema la Kukutania kufanya upatanisho katika Mahali Patakatifu kamwe haitaliwa; lazima iteketezwe.

LEV 7:0 Extra space after chapter number

LEV 7:0 Removed trailing space in c: 7

LEV 7:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Ya Hatia

LEV 7:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya hatia, ambayo ni takatifu sana:

LEV 7:2 Removed trailing space in v~: Sadaka ya hatia itachinjiwa mahali pale ambapo sadaka ya kuteketezwa huchinjiwa, nayo damu yake itanyunyizwa pande zote za madhabahu.

LEV 7:3 Removed trailing space in v~: Mafuta yake yote yatatolewa sadaka: mafuta ya mkia na mafuta yale yanayofunika sehemu za ndani,

LEV 7:4 Removed trailing space in v~: figo zote mbili pamoja na mafuta yanayozizunguka yaliyo karibu na kiuno na yale yanayofunika ini, ambayo yataondolewa pamoja na hizo figo.

LEV 7:5 Removed trailing space in v~: Kuhani atayateketeza juu ya madhabahu kuwa sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto. Hii ni sadaka ya hatia.

LEV 7:6 Removed trailing space in v~: Mwanaume yeyote katika jamaa ya kuhani aweza kuila, lakini lazima iliwe mahali patakatifu; ni takatifu sana.

LEV 7:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Sheria hii ya sadaka ya hatia ni sawasawa na ile ya sadaka ya dhambi: Nyama ya yule mnyama aliyetolewa sadaka ni ya yule kuhani anayesimamia ibada ya upatanisho.

LEV 7:8 Removed trailing space in v~: Kuhani anayetoa sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya mtu yeyote anaweza kuichukua ngozi ya mnyama yule aliyetolewa iwe yake.

LEV 7:9 Removed trailing space in v~: Kila sadaka ya nafaka iliyookwa jikoni au kupikwa katika sufuria au katika kikaangio itakuwa ya kuhani anayeitoa.

LEV 7:10 Removed trailing space in v~: Nayo kila sadaka ya nafaka, iwe imechanganywa na mafuta au iko kavu, itakuwa ya wana wa Aroni, nayo itagawanywa sawa kati yao.

LEV 7:10 Removed trailing space in s1: Sadaka Ya Amani

LEV 7:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya sadaka ya amani ambayo mtu aweza kuileta kwa \nd Bwana\nd*:

LEV 7:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mtu atatoa sadaka ya amani kwa ajili ya kuonyesha shukrani, pamoja na sadaka hii ya shukrani, atatoa maandazi yasiyotiwa chachu yaliyochanganywa na mafuta, mikate myembamba isiyotiwa chachu iliyopakwa mafuta, maandazi ya unga laini uliokandwa vizuri na kuchanganywa na mafuta.

LEV 7:13 Removed trailing space in v~: Pamoja na sadaka hii ya amani ya shukrani ataleta sadaka ya maandazi yaliyotengenezwa kwa chachu.

LEV 7:14 Removed trailing space in v~: Ataleta moja ya kila aina ya andazi kama sadaka, matoleo kwa \nd Bwana\nd*; hii ni ya kuhani anayenyunyiza damu ya sadaka ya amani.

LEV 7:15 Removed trailing space in v~: Nyama ya sadaka ya amani kwa ajili ya shukrani lazima iliwe siku iyo hiyo inapotolewa; hutabakiza kitu chochote mpaka asubuhi.

LEV 7:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kama sadaka yake ni kwa ajili ya nadhiri au ni sadaka ya hiari, sadaka hiyo italiwa siku hiyo inapotolewa, lakini chochote kinachobakia kinaweza kuliwa kesho yake.

LEV 7:17 Removed trailing space in v~: Nyama yoyote ya sadaka inayobaki mpaka siku ya tatu lazima iteketezwe kwa moto.

LEV 7:18 Removed trailing space in v~: Kama nyama yoyote ya sadaka ya amani italiwa siku ya tatu, \nd Bwana\nd* hataikubali. Haitahesabiwa kwake huyo aliyeitoa, kwa kuwa ni najisi. Mtu atakayekula sehemu yake yoyote atahesabiwa hatia.

LEV 7:19 Removed trailing space in v~: “ ‘Nyama ile inayogusa chochote ambacho ni najisi kwa kawaida ya ibada kamwe haitaliwa, ni lazima iteketezwe kwa moto. Kuhusu nyama nyingine, mtu yeyote aliye safi kwa kawaida ya ibada anaweza kuila.

LEV 7:20 Removed trailing space in v~: Lakini kama mtu yeyote najisi akila nyama yoyote ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd*, huyo mtu lazima akatiliwe mbali na watu wake.

LEV 7:21 Removed trailing space in v~: Kama mtu yeyote akigusa kitu kilicho najisi, iwe ni uchafu wa mwanadamu, au mnyama najisi, au kitu chochote kilicho najisi, kitu cha kuchukiza, kisha akala nyama yoyote ya sadaka ya amani iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd*, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.’ ”

LEV 7:21 Removed trailing space in s1: Kula Mafuta Na Kunywa Damu Kwakatazwa

LEV 7:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 7:23 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli: ‘Msile mafuta yoyote ya ngʼombe, kondoo wala mbuzi.

LEV 7:24 Removed trailing space in v~: Mafuta ya mnyama aliyekutwa amekufa au ameraruliwa na mnyama pori yanaweza kutumika kwa kazi nyingine yoyote, lakini kamwe msiyale.

LEV 7:25 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote alaye mafuta ya mnyama ambaye ametolewa sadaka kwa \nd Bwana\nd* kwa moto ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.

LEV 7:26 Removed trailing space in v~: Popote mtakapoishi, kamwe msinywe damu ya ndege yeyote wala ya mnyama.

LEV 7:27 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu yeyote atakunywa damu, mtu huyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.’ ”

LEV 7:27 Removed trailing space in s1: Fungu La Makuhani

LEV 7:28 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 7:29 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli: ‘Mtu yeyote aletaye sadaka ya amani kwa \nd Bwana\nd* ataleta sehemu ya sadaka hiyo kama dhabihu yake kwa \nd Bwana\nd*.

LEV 7:30 Removed trailing space in v~: Ataleta sadaka kwa mikono yake mwenyewe iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto; ataleta mafuta ya huyo mnyama pamoja na kidari, naye atainua hicho kidari mbele za \nd Bwana\nd* kuwa sadaka ya kuinuliwa.

LEV 7:31 Removed trailing space in v~: Kuhani atayateketeza hayo mafuta juu ya madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha Aroni na wanawe.

LEV 7:32 Removed trailing space in v~: Paja la kulia la sadaka zako za amani utampa kuhani kama matoleo.

LEV 7:33 Removed trailing space in v~: Mwana wa Aroni atoaye damu na mafuta ya sadaka ya amani ndiye atakayepewa paja hilo la kulia kuwa fungu lake.

LEV 7:34 Removed trailing space in v~: Kutoka kwenye sadaka za amani za Waisraeli, mimi Mungu nimepokea kidari kile kilichoinuliwa pamoja na lile paja lililotolewa, nami nimevitoa kwa kuhani Aroni na wanawe kuwa fungu lao la kawaida kutoka kwa Waisraeli.’ ”

LEV 7:35 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sehemu ya sadaka zilizotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto, ambazo zilitengwa kwa ajili ya Aroni na wanawe siku ile walipowekwa wakfu ili kumtumikia \nd Bwana\nd* katika kazi ya ukuhani.

LEV 7:36 Removed trailing space in v~: Siku ile walipotiwa mafuta, \nd Bwana\nd* aliagiza kwamba Waisraeli wawape hili kama fungu lao la kawaida kwa vizazi vijavyo.

LEV 7:37 Removed trailing space in v~: Basi haya ndiyo masharti kuhusu sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya nafaka, sadaka ya dhambi, sadaka ya hatia, sadaka ya kuwekwa wakfu, na sadaka ya amani,

LEV 7:38 Removed trailing space in v~: ambayo \nd Bwana\nd* alimpa Mose juu ya Mlima Sinai siku ile alipowaagiza Waisraeli walete sadaka zao kwa \nd Bwana\nd*, katika Jangwa la Sinai.

LEV 8:0 Extra space after chapter number

LEV 8:0 Removed trailing space in c: 8

LEV 8:0 Removed trailing space in s1: Kuwekwa Wakfu Kwa Aroni Na Wanawe

LEV 8:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 29:1-37)

LEV 8:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 8:2 Removed trailing space in v~: “Waletee Aroni na wanawe mavazi yao, mafuta ya upako, fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kondoo dume wawili na kikapu chenye mikate iliyotengenezwa bila chachu.

LEV 8:3 Removed trailing space in v~: Kisha kusanya mkutano wote kwenye ingilio la Hema la Kukutania.”

LEV 8:4 Removed trailing space in v~: Mose akafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza, na mkutano ukakusanyika kwenye ingilio la Hema la Kukutania.

LEV 8:5 Removed trailing space in v~: Mose akaliambia kusanyiko, “Hili ndilo \nd Bwana\nd* ameagiza lifanyike.”

LEV 8:6 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamleta Aroni na wanawe mbele, akawaosha kwa maji.

LEV 8:7 Removed trailing space in v~: Akamvika Aroni koti, akamfunga mshipi, akamvika joho na kumvalisha kisibau. Pia akafunga kisibau juu yake na kukifunga kiunoni mwake kwa mshipi wake uliosokotwa kwa ustadi.

LEV 8:8 Removed trailing space in v~: Akaweka kifuko cha kifuani juu yake, na kuweka Urimu na Thumimu\f + \fr 8:8 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha juu cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.\f* kwenye hicho kifuko.

LEV 8:9 Removed trailing space in v~: Kisha akamvika Aroni kilemba kichwani pake, akaweka lile bamba la dhahabu, yaani ile taji takatifu, upande wa mbele wa kilemba, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

LEV 8:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akachukua mafuta ya upako na kuipaka maskani na kila kitu kilichokuwamo ndani yake, kisha akaviweka wakfu.

LEV 8:11 Removed trailing space in v~: Akanyunyiza baadhi ya mafuta juu ya madhabahu mara saba, akaipaka madhabahu mafuta na vyombo vyake vyote pamoja na sinia na kinara chake, ili kuviweka wakfu.

LEV 8:12 Removed trailing space in v~: Akamimina sehemu ya hayo mafuta ya upako kichwani mwa Aroni, akamtia mafuta ili kumweka wakfu.

LEV 8:13 Removed trailing space in v~: Kisha akawaleta wana wa Aroni mbele, akawavika makoti, akawafunga mishipi na kuwavika vilemba, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

LEV 8:14 Removed trailing space in v~: Kisha akamtoa fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, nao Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa chake.

LEV 8:15 Removed trailing space in v~: Mose akamchinja yule fahali na akachukua sehemu ya hiyo damu, kisha kwa kidole chake akaitia kwenye pembe zote za madhabahu ili kutakasa madhabahu. Akaimwaga damu iliyobaki chini ya madhabahu. Kwa hiyo akayaweka wakfu ili kufanya upatanisho kwa ajili ya madhabahu.

LEV 8:16 Removed trailing space in v~: Pia Mose akachukua mafuta yote yanayozunguka sehemu za ndani, mafuta yanayofunika ini, figo zote mbili pamoja na mafuta yake, akayateketeza juu ya madhabahu.

LEV 8:17 Removed trailing space in v~: Lakini fahali, ikiwa pamoja na ngozi yake na nyama yake na sehemu zake za ndani na matumbo, akaiteketeza nje ya kambi, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

LEV 8:18 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamleta kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa chake.

LEV 8:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akamchinja yule kondoo dume na kunyunyiza damu yake pande zote za madhabahu.

LEV 8:20 Removed trailing space in v~: Mose akamkata yule kondoo dume vipande vipande na kukiteketeza kichwa, vile vipande na yale mafuta.

LEV 8:21 Removed trailing space in v~: Kisha akamsafisha sehemu za ndani na miguu kwa maji, na kumteketeza yule kondoo dume mzima juu ya madhabahu kuwa sadaka ya kuteketezwa, harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

LEV 8:22 Removed trailing space in v~: Kisha akaleta kondoo dume mwingine, ndiye kondoo dume kwa ajili ya kuwaweka wakfu, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa chake.

LEV 8:23 Removed trailing space in v~: Mose akamchinja yule kondoo dume, akaichukua sehemu ya damu yake na kuipaka juu ya ncha ya sikio la kuume la Aroni, na juu ya kidole gumba cha mkono wake wa kuume na juu ya kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.

LEV 8:24 Removed trailing space in v~: Pia Mose akawaleta hao wana wa Aroni mbele, akaipaka sehemu ya hiyo damu kwenye ncha za masikio yao ya kuume, juu ya vidole gumba vya mikono yao ya kuume, na juu ya vidole vikubwa vya miguu yao ya kuume. Kisha akanyunyiza damu pande zote za madhabahu.

LEV 8:25 Removed trailing space in v~: Akachukua mafuta ya mnyama, mafuta ya mkia, mafuta yote yanayozunguka sehemu za ndani, mafuta yanayofunika ini, figo zote mbili pamoja na mafuta yake, na paja la kulia.

LEV 8:26 Removed trailing space in v~: Kisha kutoka kwenye kikapu cha mikate iliyotengenezwa bila chachu, kilichokuwa mbele za \nd Bwana\nd*, akachukua andazi moja, na jingine lililotengenezwa kwa mafuta, na mkate mwembamba; akaviweka hivi vyote juu ya mafungu ya mafuta ya mnyama, na juu ya lile paja la kulia.

LEV 8:27 Removed trailing space in v~: Akaviweka hivi vyote mikononi mwa Aroni na wanawe, na kuviinua mbele za \nd Bwana\nd* kuwa sadaka ya kuinuliwa.

LEV 8:28 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akavichukua kutoka mikononi mwao na kuviteketeza juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kuwa sadaka ya kuwekwa wakfu, harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

LEV 8:29 Removed trailing space in v~: Kisha akachukua kidari, kilicho fungu la Mose la kondoo dume kwa ajili ya kuwekwa wakfu, na kukiinua mbele za \nd Bwana\nd* kama sadaka ya kuinuliwa, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

LEV 8:30 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akachukua sehemu ya mafuta ya upako, na sehemu ya damu kutoka kwenye madhabahu, na kuvinyunyiza juu ya Aroni na mavazi yake, na juu ya wanawe na mavazi yao. Kwa hiyo akamweka Aroni na mavazi yake wakfu, pamoja na wanawe na mavazi yao.

LEV 8:31 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamwambia Aroni na wanawe, “Pika hiyo nyama kwenye ingilio la Hema la Kukutania, na uile hapo pamoja na mkate kutoka kwenye kikapu cha sadaka ya kuweka wakfu, kama nilivyoagiza, nikisema, ‘Aroni na wanawe wataila.’

LEV 8:32 Removed trailing space in v~: Kisha teketeza nyama na mikate iliyobaki.

LEV 8:33 Removed trailing space in v~: Msitoke kwenye ingilio la Hema la Kukutania kwa muda wa siku saba, mpaka siku zenu za kuwekwa wakfu ziwe zimetimia, kwa kuwa muda wenu wa kuwekwa wakfu utakuwa siku saba.

LEV 8:34 Removed trailing space in v~: Lile lililofanyika leo liliagizwa na \nd Bwana\nd* ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.

LEV 8:35 Removed trailing space in v~: Lazima mkae kwenye ingilio la Hema la Kukutania usiku na mchana kwa siku saba, na kufanya lile \nd Bwana\nd* analolitaka, ili kwamba msife; kwa kuwa hilo ndilo nililoamriwa.”

LEV 8:36 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Aroni na wanawe wakafanya kila kitu \nd Bwana\nd* alichoamuru kupitia kwa Mose.

LEV 9:0 Extra space after chapter number

LEV 9:0 Removed trailing space in c: 9

LEV 9:0 Removed trailing space in s1: Makuhani Waanza Huduma Yao

LEV 9:1 Removed trailing space in v~: Katika siku ya nane, Mose akawaita Aroni na wanawe, na wazee wa Israeli.

LEV 9:2 Removed trailing space in v~: Akamwambia Aroni, “Chukua ndama dume kwa ajili ya sadaka yako ya dhambi, na kondoo dume kwa sadaka yako ya kuteketezwa, wote wawili wasiwe na dosari, nao uwalete mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 9:3 Removed trailing space in v~: Kisha waambie Waisraeli: ‘Chukueni mbuzi dume kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na ndama na mwana-kondoo, wote wawili wawe wa umri wa mwaka mmoja, na wasio na dosari, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa,

LEV 9:4 Removed trailing space in v~: na pia maksai na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya amani, ili kutoa dhabihu mbele za \nd Bwana\nd*, pamoja na sadaka ya nafaka iliyochanganywa na mafuta. Kwa kuwa leo \nd Bwana\nd* atawatokea.’ ”

LEV 9:5 Removed trailing space in v~: Wakavileta vile vitu Mose alivyowaagiza mbele ya Hema la Kukutania, nalo kusanyiko lote likakaribia na kusimama mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 9:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akasema, “Hili ndilo \nd Bwana\nd* alilowaagiza mlifanye, ili utukufu wa \nd Bwana\nd* upate kuonekana kwenu.”

LEV 9:7 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia Aroni, “Njoo madhabahuni ili utoe dhabihu yako ya sadaka ya dhambi na sadaka yako ya kuteketezwa, ufanye upatanisho kwa ajili yako mwenyewe na kwa ajili ya watu. Kisha utoe sadaka ya upatanisho kwa ajili ya watu, kama vile \nd Bwana\nd* alivyoagiza.”

LEV 9:8 Removed trailing space in v~: Hivyo Aroni akaja madhabahuni na kumchinja yule ndama kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe.

LEV 9:9 Removed trailing space in v~: Wanawe wakamletea damu, naye akachovya kidole chake katika hiyo damu, akaitia kwenye pembe za madhabahu, nayo damu iliyobaki akaimwaga chini ya madhabahu.

LEV 9:10 Removed trailing space in v~: Juu ya madhabahu akateketeza mafuta, figo na mafuta yanayofunika ini kutoka kwenye hiyo sadaka ya dhambi, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

LEV 9:11 Removed trailing space in v~: Akateketeza nyama na ngozi nje ya kambi.

LEV 9:12 Removed trailing space in v~: Kisha Aroni akachinja sadaka ya kuteketezwa. Wanawe wakamletea damu, naye akainyunyiza pande zote za madhabahu.

LEV 9:13 Removed trailing space in v~: Wakamletea sadaka ya kuteketezwa kipande kwa kipande, pamoja na kichwa, naye akaviteketeza juu ya madhabahu.

LEV 9:14 Removed trailing space in v~: Akasafisha sehemu za ndani na miguu, akaviteketeza juu ya sadaka ya kuteketezwa juu ya madhabahu.

LEV 9:15 Removed trailing space in v~: Kisha Aroni akaleta sadaka ile iliyokuwa kwa ajili ya watu. Akachukua yule mbuzi wa sadaka ya dhambi kwa ajili ya watu, akamchinja na kumtoa kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kama alivyofanya kwa ile ya kwanza.

LEV 9:16 Removed trailing space in v~: Aroni akaleta sadaka ya kuteketezwa na kuitoa kama ilivyoelekezwa.

LEV 9:17 Removed trailing space in v~: Pia akaleta sadaka ya nafaka, akachukua konzi moja na kuiteketeza juu ya madhabahu, pamoja na sadaka ya kuteketezwa ya asubuhi.

LEV 9:18 Removed trailing space in v~: Akachinja maksai na kondoo dume kama sadaka ya amani kwa ajili ya watu. Wanawe Aroni wakampa ile damu, naye akainyunyiza kwenye madhabahu pande zote.

LEV 9:19 Removed trailing space in v~: Lakini sehemu zile za mafuta ya yule maksai na kondoo dume, yaani mafuta ya mkia, mafuta yaliyofunika tumbo, ya figo na yaliyofunika ini,

LEV 9:20 Removed trailing space in v~: hivi vyote wakaviweka juu ya vidari, kisha Aroni akayateketeza hayo mafuta ya wanyama juu ya madhabahu.

LEV 9:21 Removed trailing space in v~: Aroni akaviinua vile vidari na paja la kulia mbele za \nd Bwana\nd* ili viwe sadaka ya kuinuliwa, kama Mose alivyoagiza.

LEV 9:22 Removed trailing space in v~: Kisha Aroni akainua mikono yake kuwaelekea watu na kuwabariki. Naye baada ya kutoa dhabihu ya sadaka ya dhambi, sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya amani, akashuka chini.

LEV 9:23 Removed trailing space in v~: Kisha Mose na Aroni wakaingia kwenye Hema la Kukutania. Walipotoka nje, wakawabariki watu. Nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ukawatokea watu wote.

LEV 9:24 Removed trailing space in v~: Moto ukaja kutoka uwepo wa \nd Bwana\nd*, ukairamba ile sadaka ya kuteketezwa, pamoja na sehemu ya mafuta yaliyokuwa juu ya madhabahu. Watu wote walipoona jambo hili, wakapiga kelele kwa furaha na kusujudu.

LEV 10:0 Extra space after chapter number

LEV 10:0 Removed trailing space in c: 10

LEV 10:0 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Nadabu Na Abihu

LEV 10:1 Removed trailing space in v~: Nadabu na Abihu, wana wa Aroni, wakachukua vyetezo vyao, wakaweka moto ndani yake na kuongeza uvumba; kisha wakamtolea \nd Bwana\nd* moto usio halali, kinyume na agizo la Mungu.

LEV 10:2 Removed trailing space in v~: Hivyo moto ukaja kutoka kwa uwepo wa \nd Bwana\nd* na kuwaramba, nao wakafa mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 10:3 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamwambia Aroni, “Hili ndilo alilonena \nd Bwana\nd* wakati aliposema:

LEV 10:3 Removed trailing space in p~: “ ‘Miongoni mwa wale watakaonikaribia

LEV 10:3 Removed trailing space in p~: nitajionyesha kuwa mtakatifu;

LEV 10:3 Removed trailing space in p~: machoni pa watu wote

LEV 10:3 Removed trailing space in p~: nitaheshimiwa.’ ”

LEV 10:3 Removed trailing space in p~: Aroni akanyamaza.

LEV 10:4 Removed trailing space in v~: Mose akawaita Mishaeli na Elisafani, wana wa Uzieli mjomba wake Aroni, akawaambia, “Njooni hapa. Ondoeni miili ya binamu zenu mbele ya mahali patakatifu, mkaipeleke nje ya kambi.”

LEV 10:5 Removed trailing space in v~: Hivyo wakaja na kuwaondoa, wakiwa bado wamevalia makoti yao ya ibada, wakawapeleka nje ya kambi, kama Mose alivyoamuru.

LEV 10:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akamwambia Aroni pamoja na wanawe, Eleazari na Ithamari, “Msifunue vichwa vyenu wala msirarue mavazi yenu, la sivyo mtakufa na \nd Bwana\nd* ataikasirikia jumuiya nzima. Lakini ndugu zenu, nyumba yote ya Israeli, wanaweza kuwaombolezea wale ambao \nd Bwana\nd* amewaangamiza kwa moto.

LEV 10:7 Removed trailing space in v~: Msitoke nje ya ingilio la Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa, kwa sababu mafuta ya \nd Bwana\nd* ya upako yako juu yenu.” Hivyo wakafanya kama vile Mose alivyosema.

LEV 10:8 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Aroni,

LEV 10:9 Removed trailing space in v~: “Wewe na wanao msinywe mvinyo wala kinywaji kingine kilichochachuka wakati mwingiapo katika Hema la Kukutania, la sivyo mtakufa. Hili litakuwa Agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo.

LEV 10:10 Removed trailing space in v~: Ni lazima mtenganishe kilicho kitakatifu na kile kilicho cha kawaida, kati ya yaliyo najisi na yaliyo safi,

LEV 10:11 Removed trailing space in v~: na lazima mwafundishe Waisraeli amri zote ambazo \nd Bwana\nd* aliwapa kupitia Mose.”

LEV 10:12 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia Aroni pamoja na wanawe waliosalia, Eleazari na Ithamari, “Chukueni sadaka ya nafaka iliyobaki kutoka sadaka zilizotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto, muile hapo kando ya madhabahu ikiwa imeandaliwa bila chachu, kwa sababu ni takatifu sana.

LEV 10:13 Removed trailing space in v~: Mtaila katika mahali patakatifu kwa sababu ni fungu lenu na fungu la wana wenu la sadaka zilizotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto, kwa maana hivyo ndivyo nilivyoamriwa.

LEV 10:14 Removed trailing space in v~: Lakini wewe na wanao na binti zako mwaweza kula kidari kile kilichoinuliwa na paja lile lililotolewa. Mtavila mahali safi pa kawaida ya ibada; mmepewa wewe na watoto wako kuwa fungu lenu la sadaka za amani za Waisraeli.

LEV 10:15 Removed trailing space in v~: Paja lile lililotolewa na kidari kile kilichoinuliwa lazima viletwe pamoja na sehemu za mafuta ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, ili kuinuliwa mbele za \nd Bwana\nd* kama sadaka ya kuinuliwa. Hili litakuwa fungu lako la kawaida na wanao, kama \nd Bwana\nd* alivyoagiza.”

LEV 10:16 Removed trailing space in v~: Mose alipouliza kuhusu mbuzi atolewaye kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kukuta kwamba ameteketezwa, aliwakasirikia Eleazari na Ithamari, wana wa Aroni waliobaki, akawauliza,

LEV 10:17 Removed trailing space in v~: “Kwa nini hamkula sadaka ya dhambi katika eneo la mahali patakatifu? Ni takatifu sana. Mlipewa ninyi ili kuondoa hatia ya jumuiya kwa ajili ya kuwafanyia upatanisho mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 10:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa damu yake haikuletwa ndani ya Mahali Patakatifu, mngemla mbuzi huyo katika sehemu ya mahali patakatifu kama nilivyoagiza.”

LEV 10:19 Removed trailing space in v~: Aroni akamjibu Mose, “Leo wanangu wametoa sadaka zao za dhambi na sadaka zao za kuteketezwa mbele za \nd Bwana\nd*, lakini mambo kama haya yamenitokea mimi. Je, \nd Bwana\nd* angependezwa kama ningekuwa nimekula sadaka ya dhambi leo?”

LEV 10:20 Removed trailing space in v~: Mose aliposikia haya, akaridhika.

LEV 11:0 Extra space after chapter number

LEV 11:0 Removed trailing space in c: 11

LEV 11:0 Removed trailing space in s1: Vyakula Najisi Na Visivyo Najisi

LEV 11:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 14:3-21)

LEV 11:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawaambia Mose na Aroni,

LEV 11:2 Removed trailing space in v~: “Waambieni Waisraeli: ‘Kati ya wanyama wote waishio juu ya nchi, hawa ndio mtakaowala:

LEV 11:3 Removed trailing space in v~: Mwaweza kula mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika sehemu mbili na ambaye hucheua.

LEV 11:4 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuna wanyama wengine ambao hucheua tu au wenye kwato zilizogawanyika tu, lakini hao kamwe msiwale. Ngamia ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; kwa kawaida ya ibada hiyo ni najisi kwenu.

LEV 11:5 Removed trailing space in v~: Pelele ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.

LEV 11:6 Removed trailing space in v~: Sungura ingawa hucheua hana kwato zilizogawanyika; huyo ni najisi kwenu.

LEV 11:7 Removed trailing space in v~: Naye nguruwe ingawa anazo kwato zilizogawanyika sehemu mbili, hacheui; huyo ni najisi kwenu.

LEV 11:8 Removed trailing space in v~: Kamwe msile nyama yao wala kugusa mizoga yao; wao ni najisi kwenu.

LEV 11:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuhusu viumbe wote wanaoishi ndani ya maji ya bahari na vijito, mtakula wale wote wenye mapezi na magamba.

LEV 11:10 Removed trailing space in v~: Lakini viumbe wote ndani ya bahari au vijito wasio na mapezi na magamba, wakiwa miongoni mwa makundi au viumbe wote ndani ya maji, hao ni machukizo kwenu.

LEV 11:11 Removed trailing space in v~: Nao watakuwa machukizo kwenu. Msile nyama yao, nayo mizoga yao itakuwa machukizo.

LEV 11:12 Removed trailing space in v~: Chochote kinachoishi ndani ya maji ambacho hakina mapezi na magamba kitakuwa chukizo kwenu.

LEV 11:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Wafuatao ndio ndege watakaokuwa machukizo kwenu, hivyo msiwale kwa sababu ni chukizo: tai, furukombe, kipungu,

LEV 11:14 Removed trailing space in v~: mwewe mwekundu, aina zote za mwewe mweusi,

LEV 11:15 Removed trailing space in v~: aina zote za kunguru,

LEV 11:16 Removed trailing space in v~: mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga, shakwe, aina zote za kipanga,

LEV 11:17 Removed trailing space in v~: bundi, mnandi, bundi mkubwa,

LEV 11:18 Removed trailing space in v~: mumbi, mwari, nderi,

LEV 11:19 Removed trailing space in v~: korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

LEV 11:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Wadudu wote warukao ambao hutembea kwa miguu minne watakuwa chukizo kwenu.

LEV 11:21 Removed trailing space in v~: Lakini wako viumbe wenye mabawa ambao hutembea kwa miguu minne mtakaowala: wale wenye vifundo katika miguu yao ya kurukaruka juu ya ardhi.

LEV 11:22 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa hawa, mtakula nzige wa aina zote, senene, parare au panzi.

LEV 11:23 Removed trailing space in v~: Lakini viumbe wengine wote wenye mabawa na wenye miguu minne ni machukizo kwenu.

LEV 11:23 Removed trailing space in s1: Wanyama Ambao Ni Najisi

LEV 11:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Mtajinajisi kwa wanyama hawa. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 11:25 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayebeba mizoga ya viumbe hawa ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 11:26 Removed trailing space in v~: “ ‘Kila mnyama mwenye ukwato ulioachana lakini haukugawanyika kabisa, au yule asiyecheua, huyo ni najisi kwenu; yeyote agusaye mzoga wowote wa hao atakuwa najisi.

LEV 11:27 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa wanyama wote watembeao kwa miguu minne, wale watembeao kwa vitanga vyao ni najisi kwenu; yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 11:28 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayebeba mizoga yao ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Wanyama hawa ni najisi kwenu.

LEV 11:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuhusu wanyama watambaao juu ya ardhi, hawa ni najisi kwenu: kicheche, panya, aina yoyote ya mijusi mikubwa,

LEV 11:30 Removed trailing space in v~: guruguru, kenge, mijusi ya ukutani, goromoe na kinyonga.

LEV 11:31 Removed trailing space in v~: Hao wote watambaao juu ya ardhi ni najisi kwenu. Yeyote agusaye mizoga yao atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 11:32 Removed trailing space in v~: Ikiwa mmoja wao atakufa na kuangukia juu ya kitu fulani, chombo hicho, hata kikiwa cha matumizi gani, kitakuwa najisi, kiwe kimetengenezwa kwa mti, nguo, ngozi au gunia. Kiweke ndani ya maji; kitakuwa najisi mpaka jioni, kisha kitakuwa safi tena.

LEV 11:33 Removed trailing space in v~: Ikiwa mmoja wa wanyama aliyekufa ataangukia ndani ya chungu, kila kilichomo katika chungu hicho kitakuwa najisi, nawe ni lazima uvunje chungu hicho.

LEV 11:34 Removed trailing space in v~: Chakula chochote ambacho chaweza kuliwa lakini kikawa kimeingia maji kutoka kwenye chungu hicho ni najisi, na kitu chochote cha majimaji ambacho chaweza kunyweka kutoka kwenye chungu hicho ni najisi.

LEV 11:35 Removed trailing space in v~: Chochote ambacho mzoga wa mmojawapo utaangukia kitakuwa najisi. Jiko au chungu cha kupikia ni lazima kivunjwe. Ni najisi, nawe ni lazima uvihesabu kuwa najisi.

LEV 11:36 Removed trailing space in v~: Lakini chemchemi au kisima, mahali pa kuchota maji, patakuwa safi, lakini yeyote atakayegusa moja ya mizoga hii ni najisi.

LEV 11:37 Removed trailing space in v~: Kama mzoga ukianguka juu ya mbegu zozote ambazo ni za kupanda, zinabaki safi.

LEV 11:38 Removed trailing space in v~: Lakini kama mbegu imetiwa maji na mzoga ukaanguka juu yake, hiyo mbegu ni najisi kwenu.

LEV 11:39 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mnyama ambaye mnaruhusiwa kumla akifa, yeyote atakayeugusa mzoga wake atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 11:40 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayekula sehemu ya mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni. Yeyote atakayebeba mzoga huo ni lazima afue nguo zake, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 11:41 Removed trailing space in v~: “ ‘Kila kiumbe kitambaacho juu ya ardhi ni chukizo; kisiliwe.

LEV 11:42 Removed trailing space in v~: Msile kiumbe chochote kitambaacho juu ya ardhi, kiwe kitambaacho kwa tumbo lake, au kitambaacho kwa miguu minne au kwa miguu mingi; ni chukizo.

LEV 11:43 Removed trailing space in v~: Msijitie unajisi kwa chochote katika viumbe hivi. Msijitie unajisi kwa viumbe hivyo au kutiwa unajisi navyo.

LEV 11:44 Removed trailing space in v~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu; jitakaseni mwe watakatifu, kwa sababu mimi ni mtakatifu. Msijitie unajisi wenyewe kwa kiumbe chochote kile kiendacho juu ya ardhi.

LEV 11:45 Removed trailing space in v~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd* niliyewapandisha mtoke Misri ili niwe Mungu wenu. Kwa hiyo kuweni watakatifu kwa sababu Mimi ni mtakatifu.

LEV 11:46 Removed trailing space in v~: “ ‘Haya ndiyo masharti kuhusu wanyama, ndege, kila kiumbe hai kiendacho ndani ya maji, na kila kiumbe kiendacho juu ya ardhi.

LEV 11:47 Removed trailing space in v~: Ni lazima mpambanue kati ya kilicho najisi na kilicho safi, kati ya viumbe hai vinavyoweza kuliwa na vile visivyoweza kuliwa.’ ”

LEV 12:0 Extra space after chapter number

LEV 12:0 Removed trailing space in c: 12

LEV 12:0 Removed trailing space in s1: Utakaso Baada Ya Kuzaa Mtoto

LEV 12:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 12:2 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli: ‘Mwanamke ambaye atapata mimba na kuzaa mtoto wa kiume atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada kwa siku saba, kama anavyokuwa najisi wakati wa siku zake za hedhi.

LEV 12:3 Removed trailing space in v~: Mvulana atatahiriwa siku ya nane.

LEV 12:4 Removed trailing space in v~: Kisha ni lazima huyo mwanamke asubiri kwa siku thelathini na tatu, ndipo atakaswe kutoka damu kwake. Hataruhusiwa kugusa kitu chochote kilicho kitakatifu au kuingia mahali patakatifu, mpaka siku za kutakaswa kwake zimetimia.

LEV 12:5 Removed trailing space in v~: Kama akimzaa mtoto wa kike, mwanamke huyo atakuwa najisi kwa majuma mawili, kama wakati wake wa hedhi. Kisha atasubiri kwa siku sitini na sita, ndipo atatakaswa kutoka damu kwake.

LEV 12:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku zake za utakaso kwa ajili ya mwana au binti zitakapotimia, mwanamke huyo atamletea kuhani kwenye ingilio la Hema la Kukutania mwana-kondoo mwenye umri wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, na kinda la njiwa au hua kwa ajili ya sadaka ya dhambi.

LEV 12:7 Removed trailing space in v~: Atavitoa mbele za \nd Bwana\nd* ili kufanya upatanisho kwa ajili yake, na kisha atakuwa safi kwa desturi ya ibada kutokana na kutokwa damu kwake.

LEV 12:7 Removed trailing space in p~: “ ‘Haya ndiyo masharti kwa ajili ya mwanamke atakayezaa mtoto wa kiume au wa kike.

LEV 12:8 Removed trailing space in v~: Kama huyo mwanamke hana uwezo wa kumpata mwana-kondoo, ataleta hua wawili au makinda mawili ya njiwa, moja kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa na mwingine kwa ajili ya sadaka ya dhambi. Kwa njia hii, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atakuwa safi.’ ”

LEV 13:0 Extra space after chapter number

LEV 13:0 Removed trailing space in c: 13

LEV 13:0 Removed trailing space in s1: Masharti Kuhusu Magonjwa Ya Ngozi Yaambukizayo

LEV 13:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawaambia Mose na Aroni,

LEV 13:2 Removed trailing space in v~: “Iwapo mtu yeyote atakuwa na uvimbe au upele au alama nyeupe juu ya ngozi yake ambayo yaweza kuwa ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza,\f + \fr 13:2 \ft Ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, yaani ukoma, ni neno lililotumika kwa Kiebrania kueleza magonjwa mbalimbali ya ngozi ambayo si lazima yawe ni ukoma halisi.\f* ni lazima aletwe kwa Aroni kuhani ama kwa wanawe, kuhani mmojawapo.

LEV 13:3 Removed trailing space in v~: Kuhani atachunguza hicho kidonda kilichopo juu ya ngozi yake, na kama nywele za mahali palipo na kidonda zimebadilika kuwa nyeupe, na ikiwa kidonda kimeingia ndani ya ngozi, basi ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, yaani ukoma. Kuhani atakapomchunguza, atamtangaza mtu huyo kuwa ni najisi kwa kawaida ya ibada.

LEV 13:4 Removed trailing space in v~: Kama alama juu ya ngozi yake ni nyeupe, lakini haionekani kuwa imeingia ndani zaidi ya ngozi, na nywele kwenye alama hiyo hazijageuka kuwa nyeupe, kuhani atamtenga mtu huyo mahali pa pekee kwa siku saba.

LEV 13:5 Removed trailing space in v~: Siku ya saba, kuhani atamchunguza, na kama hakuona badiliko kwenye kile kidonda na hakijaenea juu ya ngozi, atamtenga kwa siku nyingine saba.

LEV 13:6 Removed trailing space in v~: Siku ya saba kuhani atamchunguza tena, na kama kidonda kimepungua na hakijaenea juu ya ngozi, kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa ni safi, ni upele tu. Ni lazima mtu huyo afue mavazi yake, naye atakuwa safi.

LEV 13:7 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa ule upele utaenea juu ya ngozi yake baada ya yeye kujionyesha kwa kuhani na kutangazwa kuwa safi, ni lazima aende tena kwa kuhani.

LEV 13:8 Removed trailing space in v~: Kuhani atamchunguza, na kama upele umeenea kwenye ngozi, atamtangaza kuwa najisi, kwani ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, yaani ukoma.

LEV 13:9 Removed trailing space in v~: “Wakati mtu yeyote ana ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, ni lazima aletwe kwa kuhani.

LEV 13:10 Removed trailing space in v~: Kuhani atamchunguza na kama kuna uvimbe mweupe juu ya ngozi ambao umefanya nywele kuwa nyeupe, na kama kuna nyama mbichi ndani ya uvimbe,

LEV 13:11 Removed trailing space in v~: ni ugonjwa sugu wa ngozi, na kuhani atamtangaza kuwa najisi. Hatamtenga tena kwa sababu ni najisi tayari.

LEV 13:12 Removed trailing space in v~: “Ikiwa ugonjwa utakuwa umeenea kwenye ngozi yake yote kwa kadiri kuhani atakavyoweza kuona, kwamba umeenea kwenye ngozi yote ya huyo mgonjwa kutoka kichwani mpaka wayo,

LEV 13:13 Removed trailing space in v~: kuhani atamchunguza, na kama ugonjwa umeenea mwili mzima, atamtangaza huyo mtu kuwa safi. Kwa kuwa mwili wote umekuwa mweupe, yeye ni safi.

LEV 13:14 Removed trailing space in v~: Lakini itokeapo nyama mbichi kwenye ngozi yake, atakuwa najisi.

LEV 13:15 Removed trailing space in v~: Kuhani atakapoiona hiyo nyama mbichi, atamtangaza mtu huyo kuwa najisi. Hiyo nyama mbichi ni najisi, ana ugonjwa wa kuambukiza.

LEV 13:16 Removed trailing space in v~: Hiyo nyama mbichi ikigeuka na kuwa nyeupe, ni lazima amwendee kuhani.

LEV 13:17 Removed trailing space in v~: Kuhani atamchunguza, na kama vidonda vimekuwa vyeupe, kuhani atamtangaza mgonjwa huyo kuwa safi; kisha atakuwa safi.

LEV 13:18 Removed trailing space in v~: “Wakati mtu ana jipu juu ya ngozi yake nalo likapona,

LEV 13:19 Removed trailing space in v~: napo mahali palipokuwa na jipu pakatokea uvimbe mweupe, au alama yenye wekundu na weupe, ni lazima akajionyeshe kwa kuhani.

LEV 13:20 Removed trailing space in v~: Kuhani atapachunguza, na kama uvimbe umezama ndani ya ngozi, na nywele zimegeuka kuwa nyeupe, kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa najisi. Ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza uliojitokeza pale jipu lilipokuwa.

LEV 13:21 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa wakati kuhani anapopachunguza pakawa hapana nywele nyeupe ndani yake, wala hakuna shimo bali pamepungua, basi kuhani atamtenga mtu huyo kwa siku saba.

LEV 13:22 Removed trailing space in v~: Kama unaenea kwenye ngozi, kuhani atamtangaza kuwa najisi; ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza.

LEV 13:23 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa ile alama haijabadilika wala kuenea, ni kovu tu kutokana na jipu, kuhani atamtangaza kuwa safi.

LEV 13:24 Removed trailing space in v~: “Wakati mtu ameungua kwenye ngozi yake, pakatokea alama yenye wekundu na weupe, au alama nyeupe ikaonekana penye nyama mbichi pale palipoungua,

LEV 13:25 Removed trailing space in v~: kuhani ataichunguza ile alama, na kama nywele zilizoko juu yake zimegeuka kuwa nyeupe, napo pametokea shimo, basi huo ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza ambao umetokea juu ya jeraha la moto. Kuhani atamtangaza kuwa najisi; ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza.

LEV 13:26 Removed trailing space in v~: Lakini kama kuhani akichunguza na kuona kwamba hakuna nywele nyeupe kwenye alama ile, wala hakuna shimo napo pameanza kupungua, basi kuhani atamtenga kwa siku saba.

LEV 13:27 Removed trailing space in v~: Siku ya saba kuhani atamchunguza tena, na kama unaenea kwenye ngozi, kuhani atamtangaza kuwa najisi; ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza.

LEV 13:28 Removed trailing space in v~: Lakini, kama alama ile haikubadilika na wala haijaenea kwenye ngozi, napo pamepungua, ni uvimbe kutokana na jeraha la moto, na kuhani atamtangaza kuwa safi; ni kovu tu kutokana na kuungua.

LEV 13:29 Removed trailing space in v~: “Ikiwa mwanaume au mwanamke ana kidonda juu ya kichwa au juu ya kidevu,

LEV 13:30 Removed trailing space in v~: kuhani atakichunguza kile kidonda, na kama ataona kuwa kimeingia ndani, na nywele zilizoko juu yake ni njano na nyembamba, kuhani atamtangaza mtu huyo kuwa najisi, kwani ni upele; ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza wa kichwa au kidevu.

LEV 13:31 Removed trailing space in v~: Lakini kama kuhani akichunguza aina hii ya kidonda, kionekane kuwa hakina shimo na hakuna nywele nyeusi juu yake, basi atamtenga mtu huyo kwa siku saba.

LEV 13:32 Removed trailing space in v~: Siku ya saba kuhani atachunguza kidonda kile, na kama upele haujaenea, na hakuna nywele za manjano juu yake, wala hakuna shimo lolote,

LEV 13:33 Removed trailing space in v~: mtu huyo ni lazima anyolewe, isipokuwa mahali palipo na ugonjwa, naye kuhani atamtenga kwa siku nyingine saba.

LEV 13:34 Removed trailing space in v~: Siku ya saba kuhani atachunguza tena ule upele; ikiwa haujaenea kwenye ngozi na hakuna shimo mahali pale, kuhani atamtangaza kuwa safi. Lazima afue nguo zake, naye atakuwa safi.

LEV 13:35 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa upele utaenea juu ya ngozi baada ya kutangazwa kuwa safi,

LEV 13:36 Removed trailing space in v~: kuhani atamchunguza, na kama upele umeenea kwenye ngozi, kuhani hana haja ya kutazama kama kuna nywele za manjano, mtu huyo ni najisi.

LEV 13:37 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, katika uchunguzi wake akiona hapajabadilika, na nywele nyeusi zimeota juu yake, upele umepona. Yeye si najisi, kuhani atamtangaza kuwa safi.

LEV 13:38 Removed trailing space in v~: “Ikiwa mwanaume au mwanamke ana alama nyeupe juu ya ngozi yake,

LEV 13:39 Removed trailing space in v~: kuhani atamchunguza, na kama alama hizo zina weupe uliofifia, ni vipele visivyo na madhara vilivyojitokeza kwenye ngozi; mtu huyo ni safi.

LEV 13:40 Removed trailing space in v~: “Wakati mwanaume hana nywele naye ana upaa, yeye ni safi.

LEV 13:41 Removed trailing space in v~: Ikiwa hana nywele kwenye ngozi ya kichwa chake, na ana upaa tangu kwenye paji, ni safi.

LEV 13:42 Removed trailing space in v~: Lakini kama ana kidonda chenye wekundu na weupe kwenye kichwa chake chenye upaa, au kwenye paji la uso, ni ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza unaojitokeza kichwani au kwenye paji lake la uso.

LEV 13:43 Removed trailing space in v~: Kuhani atamchunguza, na kama kidonda kilichovimba juu ya kichwa chake au kwenye paji la uso ni chekundu au cheupe kama ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza,

LEV 13:44 Removed trailing space in v~: mtu huyo ni mgonjwa, na ni najisi. Kuhani atamtangaza kuwa najisi kwa sababu ya kidonda kwenye kichwa chake.

LEV 13:45 Removed trailing space in v~: “Mtu mwenye ugonjwa kama huo wa kuambukiza ni lazima avae nguo zilizoraruka, awachilie nywele zake bila kuzichana, afunike sehemu ya chini ya uso wake, na apige kelele, ‘Najisi! Najisi!’

LEV 13:46 Removed trailing space in v~: Kwa muda wote atakaokuwa na ugonjwa huo wa kuambukiza atabaki kuwa najisi. Ni lazima aishi peke yake; ni lazima aishi nje ya kambi.

LEV 13:46 Removed trailing space in s1: Masharti Kuhusu Upele

LEV 13:47 Removed trailing space in v~: “Kama vazi lolote lina maambukizo ya upele: likiwa ni vazi la sufu au kitani,

LEV 13:48 Removed trailing space in v~: lolote lililofumwa au kusokotwa likiwa la kitani au la sufu, ngozi yoyote au chochote kilichotengenezwa kwa ngozi,

LEV 13:49 Removed trailing space in v~: tena kama maambukizo kwenye vazi, au ngozi, au lililofumwa au kusokotwa, au kifaa chochote cha ngozi, ni rangi ya kijani au nyekundu, huo ni upele unaoenea na ni lazima kuhani aonyeshwe.

LEV 13:50 Removed trailing space in v~: Kuhani atachunguza upele huo na kukitenga kifaa hicho kwa siku saba.

LEV 13:51 Removed trailing space in v~: Siku ya saba atakichunguza, na kama upele umeenea kwenye nguo, au kifaa kilichofumwa au kusokotwa, au ngozi, kwa vyovyote vile itumikavyo, ni upele uangamizao, kifaa hicho ni najisi.

LEV 13:52 Removed trailing space in v~: Ni lazima aichome hiyo nguo, ikiwa ni ya sufu ama kitani iliyofumwa ama kusokotwa, ama chombo chochote cha ngozi chenye maambukizo, kwa kuwa ni upele unaoangamiza; chombo chote ni lazima kichomwe moto.

LEV 13:53 Removed trailing space in v~: “Lakini wakati kuhani atakapokichunguza na kuona kuwa ule upele haujaenea kwenye nguo iliyofumwa au kusokotwa, au vifaa vya ngozi,

LEV 13:54 Removed trailing space in v~: ataagiza kwamba kifaa chenye maambukizo kisafishwe. Kisha atakitenga kwa siku saba.

LEV 13:55 Removed trailing space in v~: Baada ya kifaa chenye maambukizo kusafishwa, kuhani atakichunguza, na kama upele haujaonyesha badiliko lolote, hata kama haujaenea, ni najisi. Kichome kwa moto, iwe upele umeenea upande mmoja au mwingine.

LEV 13:56 Removed trailing space in v~: Kama kuhani ataona kuwa ile alama imefifia baada ya kuoshwa, basi atararua sehemu iliyo ambukizwa ya nguo au ngozi au kifaa kilichofumwa au kusokotwa.

LEV 13:57 Removed trailing space in v~: Lakini kama ikijitokeza tena kwenye nguo au kitu kilichofumwa au kusokotwa, ama kifaa cha ngozi, kwamba ule upele unaenea, chochote chenye upele ni lazima kichomwe kwa moto.

LEV 13:58 Removed trailing space in v~: Nguo, au kitu kilichofumwa au kusokotwa, au kifaa chochote cha ngozi ambacho kimesafishwa na kuondolewa upele, ni lazima kioshwe tena, nacho kitakuwa safi.”

LEV 13:59 Removed trailing space in v~: Haya ni masharti kuhusu maambukizo ya upele kwenye mavazi ya sufu au kitani, yaliyofumwa ama kusokotwa, ama kifaa chochote cha ngozi, kwa ajili ya kuvitangaza kuwa safi au najisi.

LEV 14:0 Extra space after chapter number

LEV 14:0 Removed trailing space in c: 14

LEV 14:0 Removed trailing space in s1: Kutakasa Kutoka Maambukizo Ya Magonjwa Ya Ngozi

LEV 14:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 14:2 Removed trailing space in v~: “Haya ndiyo masharti yamhusuyo mtu mgonjwa wakati wa kufanyiwa ibada ya utakaso wakati aletwapo kwa kuhani:

LEV 14:3 Removed trailing space in v~: Kuhani atakwenda kumchunguza nje ya kambi. Kama mtu huyo atakuwa amepona ugonjwa wake wa ngozi wa kuambukiza,

LEV 14:4 Removed trailing space in v~: kuhani ataagiza vitu vifuatavyo viletwe kwa ajili ya mtu atakayetakaswa: ndege wawili safi walio hai, mti wa mwerezi, kitani nyekundu, na hisopo.

LEV 14:5 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani ataagiza kwamba mmoja wa ndege wale achinjwe kwenye chungu chenye maji safi.

LEV 14:6 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atamchukua ndege aliye hai na kumtumbukiza pamoja na mti wa mwerezi, kitani nyekundu na hisopo ndani ya damu ya yule ndege aliyechinjiwa kwenye maji safi.

LEV 14:7 Removed trailing space in v~: Atamnyunyizia yule mwenye ugonjwa wa kuambukiza maji hayo mara saba, na kumtangaza kuwa safi. Kisha atamwachia yule ndege aliye hai aende zake kwenye mashamba.

LEV 14:8 Removed trailing space in v~: “Huyo mtu atakayetakaswa ni lazima afue nguo zake, anyoe nywele zake zote, na aoge kwa maji; ndipo atakapokuwa safi kwa desturi ya ibada. Baada ya hili anaweza kuingia kambini, lakini ni lazima akae nje ya hema lake kwa siku saba.

LEV 14:9 Removed trailing space in v~: Siku ya saba ni lazima anyoe nywele zake zote; yaani anyoe nywele za kichwa, ndevu zake, kope zake na nywele nyingine zote. Ni lazima afue nguo zake, na aoge kwa maji, naye atakuwa safi.

LEV 14:10 Removed trailing space in v~: “Siku ya nane, ni lazima alete kondoo dume wawili na kondoo jike mmoja, wote wa mwaka mmoja na wasio na dosari, pamoja na sehemu tatu za kumi za efa\f + \fr 14:10 \ft Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo 3.\f* za unga laini uliochanganywa na mafuta, kwa ajili ya sadaka ya nafaka, na logi moja\f + \fr 14:10 \ft Logi ni kipimo cha ujazo ambacho ni sawa na lita 0.3.\f* ya mafuta.

LEV 14:11 Removed trailing space in v~: Kuhani atakayemtangaza kuwa safi atahitaji kumkabidhi mgonjwa aliyepona pamoja na sadaka zake zote mbele za \nd Bwana\nd* katika ingilio la Hema la Kukutania.

LEV 14:12 Removed trailing space in v~: “Kisha kuhani atamchukua mmoja wa wale kondoo dume na kumtoa kuwa sadaka ya hatia, pamoja na ile logi moja ya mafuta; ataviinua mbele za \nd Bwana\nd* kuwa sadaka ya kuinuliwa.

LEV 14:13 Removed trailing space in v~: Atamchinja huyo kondoo katika mahali patakatifu ambapo sadaka ya dhambi na ile ya kuteketezwa huchinjiwa. Kama ilivyo sadaka ya dhambi, sadaka ya hatia ni ya kuhani; nayo ni takatifu sana.

LEV 14:14 Removed trailing space in v~: Kuhani atachukua sehemu ya damu ya sadaka ya hatia na kuitia kwenye ncha ya sikio la kuume la yule atakayetakaswa, kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume, na kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.

LEV 14:15 Removed trailing space in v~: Kuhani atachukua sehemu ya ile logi ya mafuta, ayamimine kwenye kiganja cha mkono wake mwenyewe wa kushoto,

LEV 14:16 Removed trailing space in v~: na achovye kidole chake cha shahada cha mkono wake wa kuume kwenye mafuta yaliyoko kwenye kiganja chake, na kwa kidole hicho anyunyize mafuta hayo mara saba mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 14:17 Removed trailing space in v~: Kuhani atampaka yule anayetakaswa sehemu ya mafuta yaliyobaki kiganjani kwenye ncha ya sikio lake la kuume, kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume, na kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume, mahali palepale alipompaka damu ya sadaka ya kuondoa hatia.

LEV 14:18 Removed trailing space in v~: Kuhani atayapaka mafuta yaliyobaki kwenye kiganja chake juu ya kichwa cha yule anayetakaswa, na kufanya upatanisho kwa ajili yake mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 14:19 Removed trailing space in v~: “Kisha kuhani atatoa dhabihu ya sadaka ya dhambi na kufanya upatanisho kwa ajili ya yule atakayetakaswa kutoka unajisi wake. Baada ya hayo, kuhani atachinja sadaka ya kuteketezwa

LEV 14:20 Removed trailing space in v~: na kuitoa juu ya madhabahu, pamoja na sadaka ya nafaka ili kumfanyia upatanisho, naye atakuwa safi.

LEV 14:21 Removed trailing space in v~: “Hata hivyo, kama ni maskini na hawezi kupata vitu hivi, lazima achukue mwana-kondoo mmoja kama sadaka ya hatia ipate kuinuliwa ili kumfanyia upatanisho, pamoja na sehemu ya kumi ya efa\f + \fr 14:21 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na lita 2.\f* ya unga laini uliochanganywa na logi moja ya mafuta kwa ajili ya sadaka ya nafaka,

LEV 14:22 Removed trailing space in v~: na hua wawili au makinda mawili ya njiwa, kile atakachoweza kupata, mmoja kwa sadaka ya dhambi, na mwingine kwa sadaka ya kuteketezwa.

LEV 14:23 Removed trailing space in v~: “Katika siku ya nane, lazima avilete vitu hivyo kwa kuhani, kwa ajili ya kutakaswa kwake kwenye ingilio la Hema la Kukutania mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 14:24 Removed trailing space in v~: Kuhani atamchukua mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya hatia, pamoja na ile logi ya mafuta ya kuinuliwa mbele za \nd Bwana\nd* kuwa sadaka ya kuinuliwa.

LEV 14:25 Removed trailing space in v~: Atamchinja huyo mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya hatia. Pia ataichukua sehemu ya damu yake na kuipaka kwenye ncha ya sikio la kuume la yule anayetakaswa, na aipake pia kwenye kidole gumba cha mkono wa kuume wa huyo mtu, na kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.

LEV 14:26 Removed trailing space in v~: Kuhani atamiminia sehemu ya mafuta kwenye kiganja chake cha mkono wa kushoto,

LEV 14:27 Removed trailing space in v~: na kwa kidole chake cha shahada cha mkono wa kuume, atamnyunyizia yule anayetakaswa yale mafuta yaliyo kwenye kiganja chake mara saba mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 14:28 Removed trailing space in v~: Atampaka mafuta yaliyobaki kwenye kiganja chake katika sehemu zote, kama alivyompaka damu ya sadaka ya hatia: yaani, kwenye ncha ya sikio la kuume la yule anayetakaswa, kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume, na kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.

LEV 14:29 Removed trailing space in v~: Kuhani atayapaka mafuta yaliyobaki katika kiganja chake kwenye kichwa cha yule anayetakaswa, na kufanya upatanisho kwa ajili yake mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 14:30 Removed trailing space in v~: Kisha atatoa dhabihu wale hua ama yale makinda ya njiwa ambayo mtu ataweza kuwapata,

LEV 14:31 Removed trailing space in v~: mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na mwingine kuwa sadaka ya kuteketezwa, pamoja na sadaka ya nafaka. Kwa njia hii kuhani atafanya upatanisho mbele za \nd Bwana\nd* kwa ajili ya yule anayetakaswa.”

LEV 14:32 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo masharti kwa mtu yeyote mwenye ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, na ambaye hana uwezo wa kutoa sadaka za kawaida kwa ajili ya kutakaswa kwake.

LEV 14:32 Removed trailing space in s1: Kutakaswa Upele

LEV 14:33 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawaambia Mose na Aroni,

LEV 14:34 Removed trailing space in v~: “Mtakapoingia katika nchi ya Kanaani ambayo ninawapa kuwa milki yenu, nami nikaweka upele ueneao kwenye nyumba katika nchi ile,

LEV 14:35 Removed trailing space in v~: ni lazima mwenye nyumba hiyo akamwambie kuhani, ‘Nimeona kitu fulani kinachofanana na upele kwenye nyumba yangu.’

LEV 14:36 Removed trailing space in v~: Kuhani ataagiza vitu vyote vitolewe ndani ya nyumba, kabla hajaenda kuchunguza kama ina ugonjwa huo, ili kitu chochote ndani ya nyumba kisitangazwe kuwa najisi. Baada ya hili, kuhani ataingia ndani na kuikagua hiyo nyumba.

LEV 14:37 Removed trailing space in v~: Atachunguza upele huo katika kuta za nyumba hiyo, nazo kama zina rangi ya kijani kibichi au wekundu, na kuna mibonyeo ndani ya ukuta,

LEV 14:38 Removed trailing space in v~: kuhani atatoka na kufunga mlango wa nyumba hiyo kwa siku saba.

LEV 14:39 Removed trailing space in v~: Siku ya saba, kuhani atarudi kuikagua nyumba. Kama upele umeenea juu ya kuta,

LEV 14:40 Removed trailing space in v~: ataagiza kwamba mawe yote yaliyoambukizwa yaondolewe na kutupwa katika eneo lililo najisi nje ya mji.

LEV 14:41 Removed trailing space in v~: Kuta zote za ndani ya nyumba hiyo ni lazima zikwanguliwe, na kifusi chake kitupwe mahali najisi nje ya mji.

LEV 14:42 Removed trailing space in v~: Kisha watachukua mawe mengine na kujenga palipobomolewa kwa udongo mpya wa mfinyanzi, na kuipiga nyumba hiyo lipu mpya.

LEV 14:43 Removed trailing space in v~: “Ikiwa upele huo utatokea tena ndani ya ile nyumba baada ya mawe kuondolewa na nyumba kukwanguliwa na kuwekwa lipu mpya,

LEV 14:44 Removed trailing space in v~: kuhani atakwenda kuikagua, na kama upele umeenea ndani ya nyumba, basi ni upele uharibuo; nyumba hiyo ni najisi.

LEV 14:45 Removed trailing space in v~: Ni lazima ibomolewe: mawe yake, mbao na lipu yake, vyote vikatupwe nje ya mji mahali palipo najisi.

LEV 14:46 Removed trailing space in v~: “Yeyote atakayeingia katika nyumba hiyo ikiwa imefungwa, atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 14:47 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayelala au kula ndani ya nyumba hiyo ni lazima afue nguo zake.

LEV 14:48 Removed trailing space in v~: “Lakini ikiwa kuhani atakuja kuikagua na kukuta kuwa upele haujaenea tena baada ya nyumba kupigwa lipu, ataitangaza nyumba ile kuwa safi, kwa sababu upele umekwisha.

LEV 14:49 Removed trailing space in v~: Ili kuitakasa nyumba hiyo, mwenye nyumba ataleta ndege wawili, mti wa mwerezi, kitani nyekundu na hisopo.

LEV 14:50 Removed trailing space in v~: Atamchinja mmoja wa wale ndege kwenye chungu chenye maji safi.

LEV 14:51 Removed trailing space in v~: Kisha atachukua mti wa mwerezi, hisopo, kitani nyekundu na ndege aliye hai, na kuvitumbukiza ndani ya damu ya ndege aliyechinjwa pamoja na maji safi, na kuinyunyizia nyumba ile mara saba.

LEV 14:52 Removed trailing space in v~: Ataitakasa nyumba kwa damu ya yule ndege, maji safi, ndege aliye hai, mti wa mwerezi, hisopo na kitani nyekundu.

LEV 14:53 Removed trailing space in v~: Kisha atamwachia yule ndege aliye hai huru mashambani nje ya mji. Kwa njia hii atafanya upatanisho kwa ajili ya nyumba ile, nayo itakuwa safi.”

LEV 14:54 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo masharti kuhusu aina yoyote ya ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, mwasho wowote,

LEV 14:55 Removed trailing space in v~: upele ndani ya nguo au ndani ya nyumba,

LEV 14:56 Removed trailing space in v~: kwa uvimbe, vipele au kipaku kingʼaacho,

LEV 14:57 Removed trailing space in v~: kupambanua wakati kitu fulani ni safi au najisi.

LEV 14:57 Removed trailing space in p~: Haya ndiyo masharti kuhusu magonjwa ya ngozi ya kuambukiza na upele.

LEV 15:0 Extra space after chapter number

LEV 15:0 Removed trailing space in c: 15

LEV 15:0 Removed trailing space in s1: Kutokwa Na Umajimaji Usababishao Unajisi

LEV 15:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawaambia Mose na Aroni,

LEV 15:2 Removed trailing space in v~: “Semeni na Waisraeli mwaambie: ‘Wakati mtu yeyote anapotokwa na usaha mwilini, usaha huo ni najisi.

LEV 15:3 Removed trailing space in v~: Iwe unaendelea kutiririka kutoka mwilini mwake au umeziba, utamfanya kuwa najisi. Hivi ndivyo usaha wake utakavyomletea unajisi:

LEV 15:4 Removed trailing space in v~: “ ‘Kitanda chochote atakacholalia mtu mwenye kutokwa na usaha kitakuwa najisi, na chochote atakachokalia kitakuwa najisi.

LEV 15:5 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayegusa kitanda chake ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:6 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayeketi juu ya kitu chochote alichokalia mwenye kutokwa na usaha, ni lazima afue nguo zake, na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Yeyote atakayemgusa mtu mwenye kutokwa na usaha, ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mtu mwenye kutokwa na usaha atamtemea mate mtu yeyote ambaye ni safi, mtu huyo ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Kila tandiko ambalo mtu huyo atalikalia wakati wa kupanda mnyama litakuwa najisi,

LEV 15:10 Removed trailing space in v~: na yeyote atakayegusa kitu chochote alichokuwa amekalia atakuwa najisi mpaka jioni. Yeyote atakayeinua vitu hivyo ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Yeyote atakayeguswa na mtu anayetokwa na usaha bila kunawa mikono yake kwa maji, ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Chungu cha udongo kitakachoguswa na mtu huyo ni lazima kivunjwe, na kifaa chochote cha mbao kitaoshwa kwa maji.

LEV 15:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati mtu atakapotakasika kutoka usaha wake, anapaswa kuhesabu siku saba kwa utakaso wake. Ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji safi, naye atatakasika.

LEV 15:14 Removed trailing space in v~: Siku ya nane, atachukua hua wawili au makinda mawili ya njiwa, aje mbele za \nd Bwana\nd* kwenye ingilio la Hema la Kukutania, na kumpa kuhani.

LEV 15:15 Removed trailing space in v~: Kuhani atavitoa dhabihu, mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi na huyo mwingine kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Kwa njia hii atafanya upatanisho mbele za \nd Bwana\nd* kwa ajili ya huyo mtu kwa sababu ya kutokwa usaha kwake.

LEV 15:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati mtu akitokwa na shahawa, ni lazima aoge mwili mzima kwa maji, na atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:17 Removed trailing space in v~: Vazi lolote ama ngozi yoyote yenye shahawa juu yake ni lazima ioshwe kwa maji, na itakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:18 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu atalala na mwanamke, na kukawa na kutoka kwa shahawa, ni lazima wote waoge kwa maji, nao watakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:19 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mwanamke atatokwa na damu ya kawaida ya mwezi, atakuwa najisi kwa siku saba, na yeyote atakayemgusa atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Chochote atakacholalia wakati wake wa hedhi kitakuwa najisi, na chochote atakachokikalia kitakuwa najisi.

LEV 15:21 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayegusa kitanda chake ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:22 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayegusa chochote atakachokalia ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:23 Removed trailing space in v~: Kiwe ni kitanda ama chochote alichokuwa amekikalia, ikiwa mtu yeyote atakigusa, atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mwanaume atalala naye na ile damu ya mwezi ikamgusa, atakuwa najisi kwa siku saba; kitanda chochote atakachokilalia huyo mwanaume kitakuwa najisi.

LEV 15:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mwanamke atatokwa na damu kwa siku nyingi zaidi ya siku zake za mwezi, au amekuwa na damu inayoendelea zaidi ya kipindi chake, atakuwa najisi kwa kipindi chote cha shida hiyo, kama ilivyokuwa katika siku za hedhi yake.

LEV 15:26 Removed trailing space in v~: Kitanda chochote atakachokilalia huyo mwanamke wakati anaendelea kutokwa na damu kitakuwa najisi, kama kilivyokuwa kitanda chake wakati wa siku zake za hedhi, na chochote atakachokalia kitakuwa najisi, kama wakati wake wa hedhi.

LEV 15:27 Removed trailing space in v~: Yeyote agusaye vitu hivyo atakuwa najisi; ni lazima afue nguo zake na kuoga kwa maji, naye atakuwa najisi mpaka jioni.

LEV 15:28 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati atakapotakasika kutoka hedhi yake, ni lazima ahesabu siku saba, na baada ya hapo atakuwa safi kwa kawaida ya ibada.

LEV 15:29 Removed trailing space in v~: Siku ya nane ni lazima achukue hua wawili au makinda mawili ya njiwa, na kumletea kuhani kwenye mlango wa Hema la Kukutania.

LEV 15:30 Removed trailing space in v~: Kuhani atatoa dhabihu, mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na huyo mwingine kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Kwa njia hii, atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za \nd Bwana\nd* kwa sababu ya unajisi wa kutokwa damu kwake.

LEV 15:31 Removed trailing space in v~: “ ‘Ni lazima uwatenge Waisraeli kutokana na vitu ambavyo vinawafanya najisi, ili wasife katika unajisi wao kwa kunajisi makao yangu,\f + \fr 15:31 \ft Yaani \fqa maskani ya Mungu\ft . \f* ambayo yapo katikati yao.’ ”

LEV 15:31 Found footnote ending with space in \v~: “ ‘Ni lazima uwatenge Waisraeli kutokana na vitu ambavyo vinawafanya najisi, ili wasife katika unajisi wao kwa kunajisi makao yangu,\f + \fr 15:31 \ft Yaani \fqa maskani ya Mungu\ft . \f* ambayo yapo katikati yao.’ ”

LEV 15:32 Removed trailing space in v~: Haya ni masharti kwa ajili ya mtu mwenye kutokwa na usaha, kwa ajili ya yeyote atakayetokwa na shahawa,

LEV 15:33 Removed trailing space in v~: kwa ajili ya mwanamke katika siku zake za hedhi, kwa ajili ya mwanaume au mwanamke atokwaye na usaha, na kwa ajili ya mwanaume alalaye na mwanamke ambaye ni najisi kwa kawaida ya ibada.

LEV 16:0 Extra space after chapter number

LEV 16:0 Removed trailing space in c: 16

LEV 16:0 Removed trailing space in s1: Siku Ya Upatanisho

LEV 16:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema na Mose baada ya kifo cha wale wana wawili wa Aroni waliokufa walipokaribia mbele za \nd Bwana\nd*.

LEV 16:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose: “Mwambie ndugu yako Aroni asije wakati wowote atakavyo yeye ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, nyuma ya pazia pale mbele ya kiti cha rehema kile kilichoko juu ya Sanduku la Agano, la sivyo atakufa, kwa sababu huwa ninatokea ndani ya wingu juu ya kile kiti cha rehema.

LEV 16:3 Removed trailing space in v~: “Hivi ndivyo Aroni atakavyoingia katika mahali patakatifu: atachukua fahali mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa.

LEV 16:4 Removed trailing space in v~: Atavaa koti takatifu la kitani, pamoja na nguo za ndani za kitani; atafunga mshipi wa kitani kiunoni, na kuvaa kilemba cha kitani. Haya ni mavazi matakatifu, kwa hiyo ni lazima aoge kwa maji kabla ya kuyavaa mavazi hayo.

LEV 16:5 Removed trailing space in v~: Atachukua mbuzi dume wawili kutoka kwa jumuiya ya Israeli kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na kondoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa.

LEV 16:6 Removed trailing space in v~: “Aroni atamtoa huyo fahali kwa ajili ya sadaka yake ya dhambi ili afanye upatanisho kwa ajili yake mwenyewe na nyumba yake.

LEV 16:7 Removed trailing space in v~: Kisha atawachukua wale mbuzi dume wawili na kuwaleta mbele za \nd Bwana\nd* kwenye ingilio la Hema la Kukutania.

LEV 16:8 Removed trailing space in v~: Aroni atapiga kura kwa ajili ya hao mbuzi wawili, mmoja kwa ajili ya \nd Bwana\nd* na mwingine kwa ajili ya kubebeshwa dhambi.\f + \fr 16:8 \ft Yaani \fqa Azazeli\ft , maana yake \fqa mbuzi wa ondoleo la dhambi\ft ; pia ms. 10, 26.\f*

LEV 16:9 Removed trailing space in v~: Aroni atamleta yule mbuzi ambaye kura ya \nd Bwana\nd* imemwangukia na kumtoa dhabihu kwa ajili ya sadaka ya dhambi.

LEV 16:10 Removed trailing space in v~: Lakini mbuzi aliyechaguliwa kwa kura kuwa wa kubebeshwa dhambi atatolewa akiwa hai mbele za \nd Bwana\nd*, atumike kwa kufanya upatanisho kwa kumwacha aende jangwani akiwa amebebeshwa dhambi.

LEV 16:11 Removed trailing space in v~: “Aroni atamleta yule fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi yake mwenyewe, ili kufanya upatanisho kwa ajili yake na nyumba yake, naye atamchinja huyo fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi yake mwenyewe.

LEV 16:12 Removed trailing space in v~: Atachukua chetezo kilichojaa makaa yanayowaka kutoka madhabahuni mbele za \nd Bwana\nd*, na konzi mbili za uvumba laini uliosagwa vizuri wenye harufu, na kuvipeleka nyuma ya pazia.

LEV 16:13 Removed trailing space in v~: Ataweka uvumba juu ya moto mbele za \nd Bwana\nd*, na moshi wa uvumba utafunika kile kiti cha rehema kilicho juu ya Ushuhuda, ili asife.

LEV 16:14 Removed trailing space in v~: Atachukua sehemu ya damu ya fahali, na kwa kidole chake atanyunyiza sehemu ya mbele ya kiti cha rehema; kisha atanyunyiza sehemu ya hiyo damu kwa kidole chake mara saba mbele ya kiti cha rehema.

LEV 16:15 Removed trailing space in v~: “Kisha atamchinja mbuzi wa sadaka ya dhambi kwa ajili ya watu, na kuichukua damu yake nyuma ya pazia, na aifanyie kama alivyofanya kwa damu ya fahali: Atanyunyiza juu ya kiti cha rehema na mbele yake.

LEV 16:16 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii atafanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu kwa sababu ya unajisi na uasi wa Waisraeli, kwa dhambi zao zozote. Atafanya hivyo kwa ajili ya Hema la Kukutania, ambalo liko miongoni mwao katikati ya unajisi wao.

LEV 16:17 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote haruhusiwi kuwa ndani ya Hema la Kukutania, kuanzia wakati Aroni anapoingia kufanya upatanisho katika Patakatifu pa Patakatifu, hadi atakapotoka nje, baada ya kujifanyia upatanisho yeye mwenyewe na nyumba yake, pamoja na jumuiya yote ya Israeli.

LEV 16:18 Removed trailing space in v~: “Kisha atatoka aje kwenye madhabahu yaliyo mbele za \nd Bwana\nd* na kufanya upatanisho kwa ajili yake. Atachukua sehemu ya damu ya fahali na sehemu ya damu ya mbuzi, na kuiweka kwenye pembe za madhabahu.

LEV 16:19 Removed trailing space in v~: Atanyunyiza baadhi ya hiyo damu juu ya madhabahu kwa kidole chake mara saba, ili kuitakasa na kuiweka wakfu kutokana na unajisi wa Waisraeli.

LEV 16:20 Removed trailing space in v~: “Aroni atakapokuwa amemaliza kufanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu, Hema la Kukutania na madhabahu, atamleta mbele yule mbuzi aliye hai.

LEV 16:21 Removed trailing space in v~: Aroni ataweka mikono yake miwili juu ya kichwa cha mbuzi aliye hai na kuungama juu yake uovu wote na uasi wa Waisraeli, yaani dhambi zao zote, ili kuziweka juu ya kichwa cha huyo mbuzi. Atamwachia huyo mbuzi akimbilie jangwani kwa uangalizi wa mtu aliyepewa wajibu huo.

LEV 16:22 Removed trailing space in v~: Yule mbuzi atachukua juu yake dhambi zao zote mpaka mahali pasipo na watu; naye yule mtu atamwachia akimbilie jangwani.

LEV 16:23 Removed trailing space in v~: “Kisha Aroni ataenda ndani ya Hema la Kukutania na kuvua yale mavazi ya kitani aliyoyavaa kabla ya kuingia katika Patakatifu pa Patakatifu, naye atayaacha pale.

LEV 16:24 Removed trailing space in v~: Ataoga kwa maji katika mahali patakatifu na kuvaa mavazi yake ya kawaida. Kisha atatoka na kutoa dhabihu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili yake na sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya watu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yake mwenyewe, na kwa ajili ya watu.

LEV 16:25 Removed trailing space in v~: Pia atachoma mafuta ya mnyama wa sadaka ya dhambi juu ya madhabahu.

LEV 16:26 Removed trailing space in v~: “Yule mtu anayemwachia yule mbuzi wa kubebeshwa dhambi ni lazima afue nguo zake na kuoga kwa maji; baadaye anaweza kuingia kambini.

LEV 16:27 Removed trailing space in v~: Yule fahali na mbuzi waliotolewa kwa ajili ya sadaka za dhambi, ambao damu yao ilikuwa imeletwa Patakatifu pa Patakatifu kwa ajili ya kufanya upatanisho, ni lazima watolewe nje ya kambi. Ngozi zao, nyama, na matumbo pamoja na mavi vitateketezwa kwa moto.

LEV 16:28 Removed trailing space in v~: Mtu atakayevichoma ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji; baadaye ataweza kuingia kambini.

LEV 16:29 Removed trailing space in v~: “Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu: Katika siku ya kumi ya mwezi wa saba ni lazima mfunge, wala msifanye kazi yoyote, iwe mzawa au mgeni anayeishi miongoni mwenu,

LEV 16:30 Removed trailing space in v~: kwa sababu siku hii upatanisho utafanyika kwa ajili yenu ili kuwatakasa. Kisha mtakuwa safi mbele za \nd Bwana\nd* kutokana na dhambi zenu zote.

LEV 16:31 Removed trailing space in v~: Ni Sabato ya mapumziko, na lazima mfunge; ni agizo la kudumu.

LEV 16:32 Removed trailing space in v~: Kuhani ambaye ametiwa mafuta na kuwekwa wakfu ili kuingia mahali pa baba yake kama kuhani mkuu atafanya upatanisho. Atavaa mavazi matakatifu ya kitani,

LEV 16:33 Removed trailing space in v~: na kufanya upatanisho kwa ajili ya Patakatifu pa Patakatifu, Hema la Kukutania na madhabahu, na pia kwa ajili ya makuhani, pamoja na jumuiya yote ya watu.

LEV 16:34 Removed trailing space in v~: “Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu: Upatanisho utafanywa mara moja tu kwa mwaka kwa ajili ya dhambi zote za Waisraeli.”

LEV 16:34 Removed trailing space in p~: Ndivyo ilivyofanyika, kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

LEV 17:0 Extra space after chapter number

LEV 17:0 Removed trailing space in c: 17

LEV 17:0 Removed trailing space in s1: Kunywa Damu Kumekatazwa

LEV 17:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 17:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Aroni na wanawe, pamoja na Waisraeli wote, uwaambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* aliloagiza:

LEV 17:3 Removed trailing space in v~: Mwisraeli yeyote atakayetoa dhabihu ya maksai, mwana-kondoo au mbuzi ndani ya kambi au nje yake,

LEV 17:4 Removed trailing space in v~: badala ya kuileta kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili kuileta kama sadaka kwa \nd Bwana\nd* mbele ya Maskani ya \nd Bwana\nd*, mtu huyo atahesabiwa kuwa na hatia ya kumwaga damu; ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.

LEV 17:5 Removed trailing space in v~: Hii ni ili Waisraeli wamletee \nd Bwana\nd* dhabihu wanazozifanya sasa mahali pa wazi mashambani. Ni lazima wazilete kwa makuhani, yaani kwa \nd Bwana\nd*, katika ingilio la Hema la Kukutania, na kutoa dhabihu kama sadaka za amani.

LEV 17:6 Removed trailing space in v~: Kuhani atanyunyiza damu kwenye madhabahu ya \nd Bwana\nd* katika ingilio la Hema la Kukutania, na kuyateketeza mafuta ya hiyo dhabihu kuwa harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*.

LEV 17:7 Removed trailing space in v~: Hawatatoa kamwe dhabihu zao kwa sanamu za mbuzi ambazo wamekuwa wakijifanyia nazo ukahaba. Hili litakuwa agizo la kudumu kwao na kwa ajili ya vizazi vijavyo.’

LEV 17:8 Removed trailing space in v~: “Waambie: ‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi miongoni mwao atakayetoa sadaka ya kuteketezwa au dhabihu

LEV 17:9 Removed trailing space in v~: bila kuileta kwenye ingilio la Hema la Kukutania ili kutoa dhabihu kwa \nd Bwana\nd*, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.

LEV 17:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi miongoni mwao ambaye atakunywa damu yoyote, nitakuwa kinyume cha mtu huyo atakayekunywa damu na kumkatilia mbali na watu wake.

LEV 17:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa uhai wa kiumbe uko ndani ya damu, nami nimewapa hiyo damu ili mfanyie upatanisho kwa ajili yenu wenyewe juu ya madhabahu; damu ndiyo ifanyayo upatanisho kwa ajili ya maisha ya mtu.

LEV 17:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ninawaambia Waisraeli, “Hakuna hata mmoja wenu anayeruhusiwa kunywa damu, wala mgeni anayeishi miongoni mwenu haruhusiwi kunywa damu.”

LEV 17:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi miongoni mwenu ambaye atamwinda mnyama au ndege anayeruhusiwa kuliwa ni lazima aimwage damu na kuifunika kwa udongo,

LEV 17:14 Removed trailing space in v~: kwa sababu uhai wa kila kiumbe ni katika damu yake. Ndiyo sababu nimewaambia Waisraeli, “Kamwe msinywe damu ya kiumbe chochote, kwa sababu uhai wa kila kiumbe ni katika damu yake; yeyote atakayekunywa damu ni lazima akatiliwe mbali.”

LEV 17:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Mtu yeyote, awe mzawa au mgeni, ambaye atakula mzoga wa kitu chochote ama kilichouawa na wanyama mwitu ni lazima afue nguo zake na aoge kwa maji, naye atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada mpaka jioni, kisha atakuwa safi.

LEV 17:16 Removed trailing space in v~: Lakini kama hakufua nguo zake na kuoga, atakuwa na hatia kwa kosa hilo.’ ”

LEV 18:0 Extra space after chapter number

LEV 18:0 Removed trailing space in c: 18

LEV 18:0 Removed trailing space in s1: Uhusiano Wa Kukutana Kimwili Kinyume Cha Sheria

LEV 18:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 18:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

LEV 18:3 Removed trailing space in v~: Msifanye kama wafanyavyo huko Misri, mahali mlipokuwa mnaishi, wala msifanye kama wanavyofanya katika nchi ya Kanaani, mahali ninapowapeleka. Msifuate matendo yao.

LEV 18:4 Removed trailing space in v~: Ni lazima mzitii sheria zangu, na mwe waangalifu kuzifuata amri zangu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

LEV 18:5 Removed trailing space in v~: Zishikeni amri zangu na sheria zangu, kwa maana mtu anayezitii ataishi kwa hizo. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 18:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Hakuna mtu awaye yote atakayemsogelea ndugu wa karibu ili kukutana naye kimwili. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 18:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Usimvunjie heshima baba yako kwa kukutana kimwili na mama yako. Yeye ni mama yako; usiwe na mahusiano kama hayo naye.

LEV 18:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na mke wa baba yako; hiyo itamvunjia heshima baba yako.

LEV 18:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na dada yako, wala binti wa baba yako, au binti wa mama yako, awe amezaliwa katika nyumba hiyo au mahali pengine.

LEV 18:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na binti wa mwanao ama binti wa binti yako; utajivunjia heshima.

LEV 18:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na binti wa mke wa baba yako, aliyezaliwa na baba yako; huyo ni dada yako.

LEV 18:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na dada wa baba yako; ni ndugu wa karibu wa baba yako.

LEV 18:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na dada wa mama yako, kwa sababu ni ndugu wa mama yako wa karibu.

LEV 18:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Usimvunjie heshima ndugu wa baba yako, kwa kukutana kimwili na mke wake; yeye ni shangazi yako.

LEV 18:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na mkwe wako, yeye ni mke wa mwanao; usiwe na mahusiano kama hayo naye.

LEV 18:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na mke wa kaka yako; utamvunjia heshima kaka yako.

LEV 18:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na mwanamke kisha na binti yake. Usikutane kimwili na binti wa mwanawe au binti wa binti yake; hao ni ndugu zake wa karibu. Huo ni uovu.

LEV 18:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Usimchukue dada wa mke wako kuwa mke mwenza, na kukutana naye kimwili wakati bado mke wako anaishi.

LEV 18:19 Removed trailing space in v~: “ ‘Usimsogelee mwanamke ili kukutana naye kimwili wakati wa unajisi wa siku zake za mwezi.

LEV 18:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na mke wa jirani yako na kujitia naye unajisi.

LEV 18:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Usimtoe mtoto wako yeyote awe kafara kwa mungu Moleki, kwani hutalinajisi kamwe jina la Mungu wako. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 18:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na mwanaume kama mtu akutanaye na mwanamke; hilo ni chukizo.

LEV 18:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na mnyama na kujitia unajisi kwake. Mwanamke asijipeleke kwa mnyama ili kukutana naye kimwili; huo ni upotovu.

LEV 18:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Msijitie unajisi kwa njia yoyote katika hizi, kwa sababu hivi ndivyo mataifa nitakayoyafukuza mbele yenu yalivyojitia unajisi.

LEV 18:25 Removed trailing space in v~: Hata nchi ilitiwa unajisi, hivyo nikaiadhibu kwa dhambi zake, nayo nchi ikawatapika wakazi wake.

LEV 18:26 Removed trailing space in v~: Lakini ni lazima uzitunze amri zangu na sheria zangu. Mzawa na wageni waishio miongoni mwenu kamwe wasifanye mambo yoyote ya machukizo haya,

LEV 18:27 Removed trailing space in v~: kwa kuwa mambo haya yote yalifanywa na watu walioishi katika nchi hii kabla yenu, na nchi ikawa najisi.

LEV 18:28 Removed trailing space in v~: Kama mkiinajisi nchi, itawatapika kama ilivyowatapika mataifa yaliyowatangulia.

LEV 18:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Kila mtu atakayefanya mojawapo ya machukizo haya, watu hao ni lazima wakatiliwe mbali na watu wao.

LEV 18:30 Removed trailing space in v~: Shikeni maagizo yangu, wala msifuate desturi za machukizo yoyote yaliyofanywa kabla hamjafika katika nchi hii, na kujitia unajisi kwa hayo. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wako.’ ”

LEV 19:0 Extra space after chapter number

LEV 19:0 Removed trailing space in c: 19

LEV 19:0 Removed trailing space in s1: Sheria Mbalimbali

LEV 19:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 19:2 Removed trailing space in v~: “Sema na kusanyiko lote la Israeli na uwaambie: ‘Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi, \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ni mtakatifu.

LEV 19:3 Removed trailing space in v~: “ ‘Kila mmoja wenu ni lazima amheshimu mama yake na baba yake, na pia ni lazima kuzishika Sabato zangu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

LEV 19:4 Removed trailing space in v~: “ ‘Msiabudu sanamu, wala msijitengenezee miungu ya shaba. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

LEV 19:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Mnapotoa dhabihu ya sadaka ya amani kwa \nd Bwana\nd*, toeni kwa namna ambayo itakubaliwa kwa niaba yenu.

LEV 19:6 Removed trailing space in v~: Sadaka hiyo italiwa siku iyo hiyo mnayoitoa, au kesho yake; chochote kitakachobaki hadi siku ya tatu lazima kiteketezwe kwa moto.

LEV 19:7 Removed trailing space in v~: Kama sehemu yoyote ya sadaka hiyo italiwa siku ya tatu, itakuwa si safi, nayo haitakubaliwa.

LEV 19:8 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayekula atawajibishwa, kwa sababu amenajisi kitu kilicho kitakatifu kwa \nd Bwana\nd*; mtu huyo lazima akatiliwe mbali na watu wake.

LEV 19:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati uvunapo mavuno ya nchi yako, usivune hadi kwenye mipaka ya shamba lako, wala usikusanye mabaki ya mavuno yako.

LEV 19:10 Removed trailing space in v~: Usirudi mara ya pili katika shamba lako la mizabibu, wala usiokote zabibu zilizoanguka chini. Ziache kwa ajili ya maskini na mgeni. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wako.

LEV 19:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Usiibe.

LEV 19:11 Removed trailing space in p~: “ ‘Usiseme uongo.

LEV 19:11 Removed trailing space in p~: “ ‘Msidanganyane.

LEV 19:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Usiape kwa uongo kwa Jina langu, na hivyo kulinajisi jina la Mungu wako. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 19:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Usimdhulumu wala kumwibia jirani yako.

LEV 19:13 Removed trailing space in p~: “ ‘Usishikilie mshahara wa kibarua usiku kucha hadi asubuhi.

LEV 19:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Usimlaani kiziwi, wala usiweke kikwazo mbele ya kipofu, lakini umche Mungu wako. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 19:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Usipotoshe haki; usionyeshe kumpendelea maskini, wala upendeleo kwa mwenye cheo, bali mwamulie jirani yako kwa haki.

LEV 19:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Usieneze uchochezi miongoni mwa watu wako.

LEV 19:16 Removed trailing space in p~: “ ‘Usifanye kitu chochote kile kinachohatarisha maisha ya jirani yako. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 19:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Usimchukie ndugu yako moyoni mwako. Karipia jirani yako kwa uwazi ili usishiriki hatia yake.

LEV 19:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Usijilipizie kisasi wala kuwa na kinyongo dhidi ya mmoja wa jamaa yako, lakini mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 19:19 Removed trailing space in v~: “ ‘Mtazishika amri zangu.

LEV 19:19 Removed trailing space in p~: “ ‘Usiwaache wanyama wako wa kufugwa wakazaana na wengine wa aina tofauti.

LEV 19:19 Removed trailing space in p~: “ ‘Usipande mbegu za aina mbili katika shamba lako.

LEV 19:19 Removed trailing space in p~: “ ‘Usivae nguo iliyofumwa kwa nyuzi za aina mbili tofauti.

LEV 19:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mwanaume anakutana kimwili na mwanamke ambaye ni msichana mtumwa aliyeposwa na mwanaume mwingine, lakini ambaye hajakombolewa wala hajapewa uhuru, lazima iwepo adhabu inayofaa. Hata hivyo hawatauawa, kwa sababu msichana alikuwa bado hajaachwa huru.

LEV 19:21 Removed trailing space in v~: Lakini huyo mtu lazima alete kondoo dume kwenye ingilio la Hema la Kukutania kwa ajili ya sadaka ya hatia kwa \nd Bwana\nd*.

LEV 19:22 Removed trailing space in v~: Kupitia kwa huyo kondoo dume wa sadaka ya hatia, kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake mbele za \nd Bwana\nd* kwa ajili ya dhambi aliyotenda, naye atasamehewa dhambi yake.

LEV 19:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Mtakapoingia katika hiyo nchi na kupanda aina yoyote ya mti wa matunda, hesabuni matunda yake kama yaliyokatazwa. Kwa miaka mitatu mtayahesabu kwamba yamekatazwa; hayaruhusiwi kuliwa.

LEV 19:24 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa nne matunda yote ya mti huo yatakuwa matakatifu, sadaka ya sifa kwa \nd Bwana\nd*.

LEV 19:25 Removed trailing space in v~: Bali katika mwaka wa tano mnaweza kula matunda ya mti huo. Kwa njia hii mavuno yenu yataongezewa. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wako.

LEV 19:26 Removed trailing space in v~: “ ‘Msile nyama yoyote yenye damu ndani yake.

LEV 19:26 Removed trailing space in p~: “ ‘Msifanye uaguzi wala uchawi.

LEV 19:27 Removed trailing space in v~: “ ‘Msikate nywele za kichwa denge, wala kunyoa pembe za ndevu zenu.

LEV 19:28 Removed trailing space in v~: “ ‘Msichanje chale miili yenu kwa ajili ya mfu, wala msijichore alama juu ya miili yenu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 19:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Usimdhalilishe binti yako kwa kumfanya kahaba, la sivyo nchi itageukia ukahaba na kujaa uovu.

LEV 19:30 Removed trailing space in v~: “ ‘Shika Sabato zangu na kuheshimu mahali pangu patakatifu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 19:31 Removed trailing space in v~: “ ‘Msiende kwa waaguzi, wala msitafute wapunga pepo, kwa maana watawanajisi. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wako.

LEV 19:32 Removed trailing space in v~: “ ‘Uwapo mbele ya mzee, simama ili kuonyesha heshima kwa wazee, nawe umche Mungu wako. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 19:33 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati mgeni anaishi pamoja nawe katika nchi yako, usimnyanyase.

LEV 19:34 Removed trailing space in v~: Mgeni anayeishi pamoja nawe ni lazima umtendee kama mmoja wa wazawa wa nchi yako. Mpende kama unavyojipenda mwenyewe, kwa maana ulikuwa mgeni katika nchi ya Misri. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wako.

LEV 19:35 Removed trailing space in v~: “ ‘Usitumie vipimo vya udanganyifu unapopima urefu, kupima uzito, wala kupima wingi.

LEV 19:36 Removed trailing space in v~: Tumia mizani halali, mawe ya kupimia uzito halali, efa\f + \fr 19:36 \ft Efa kilikuwa kipimo cha vitu vikavu.\f* halali, na hini\f + \fr 19:36 \ft Hini kilikuwa kipimo cha vitu vimiminika.\f* halali. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wako, ambaye alikutoa katika nchi ya Misri.

LEV 19:37 Removed trailing space in v~: “ ‘Shika amri zangu zote na sheria zangu zote, nawe uzifuate. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

LEV 20:0 Extra space after chapter number

LEV 20:0 Removed trailing space in c: 20

LEV 20:0 Removed trailing space in s1: Adhabu Kwa Ajili Ya Dhambi

LEV 20:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 20:2 Removed trailing space in v~: “Sema na wana wa Israeli: ‘Mwisraeli yeyote au mgeni anayeishi katika Israeli ambaye atamtoa yeyote miongoni mwa watoto wake kuwa sadaka kwa mungu Moleki, mtu huyo lazima auawe. Watu wa jumuiya hiyo watampiga kwa mawe.

LEV 20:3 Removed trailing space in v~: Mimi nitauelekeza uso wangu dhidi ya mtu huyo, nami nitamkatilia mbali na watu wake. Kwa maana kwa kumtoa mmoja wa watoto wake kwa mungu Moleki, amenajisi madhabahu yangu na kulinajisi Jina langu takatifu.

LEV 20:4 Removed trailing space in v~: Ikiwa watu wa jumuiya watafumba macho wakati mtu huyo anapomtoa mmoja wa watoto wake kwa mungu Moleki, nao wakaacha kumuua,

LEV 20:5 Removed trailing space in v~: mimi nitauelekeza uso wangu dhidi ya mtu huyo pamoja na jamaa yake, nami nitawakatilia mbali yeye na watu wote waliofanya ukahaba na Moleki.

LEV 20:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Mimi nitauelekeza uso wangu dhidi ya mtu anayeenda kwa waaguzi na wenye pepo, na hivyo kujifanyia ukahaba kwa kuwafuata, nami nitamkatilia mbali na watu wake.

LEV 20:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Jitakaseni basi, nanyi kuweni watakatifu, kwa sababu mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

LEV 20:8 Removed trailing space in v~: Shikeni amri zangu na kuzifuata. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, niwafanyaye ninyi watakatifu.

LEV 20:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mtu yeyote atamlaani baba yake au mama yake, lazima auawe. Amemlaani baba yake au mama yake, nayo damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe.

LEV 20:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mtu atazini na mke wa mtu mwingine, yaani mke wa jirani yake, wazinzi hao wawili lazima wauawe.

LEV 20:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mtu atakutana kimwili na mke wa baba yake, hakumheshimu baba yake. Mwanaume huyo na mwanamke huyo wote wauawe; damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao wenyewe.

LEV 20:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mtu atakutana kimwili na mke wa mwanawe, lazima wote wawili wauawe. Walichokifanya ni upotovu; damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao wenyewe.

LEV 20:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mwanaume akikutana kimwili na mwanaume mwenzake kama vile mwanaume afanyavyo na mwanamke, wanaume hao wawili wamefanya lililo chukizo sana. Lazima wauawe; nayo damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao wenyewe.

LEV 20:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mwanaume ataoa binti pamoja na mama yake, huo ni uovu. Wote watatu ni lazima wachomwe moto, ili kwamba pasiwepo na uovu katikati yenu.

LEV 20:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mwanaume akikutana kimwili na mnyama, ni lazima auawe, na pia ni lazima mnyama huyo auawe.

LEV 20:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mwanamke atamsogelea mnyama kukutana naye kimwili, muueni mwanamke huyo pamoja na mnyama pia. Lazima wauawe; damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao wenyewe.

LEV 20:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mtu anamwoa dada yake, binti aliyezaliwa na baba yake au mama yake, nao wakakutana kimwili, ni aibu. Lazima wakatiliwe mbali machoni pa watu wao. Huyo mwanaume amemwaibisha dada yake, hivyo atawajibika kwa ajili ya uovu huo.

LEV 20:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mwanaume atalala na mwanamke aliye katika hedhi yake na kukutana naye kimwili, amefunua mtiririko wa hedhi yake, naye huyo mwanamke amejifunua uchi wake. Wote wawili lazima wakatiliwe mbali na watu wao.

LEV 20:19 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikutane kimwili na dada wa mama yako wala wa baba yako, kwa maana hilo litamwaibisha jamaa wa karibu; ninyi wawili mtawajibika kwa ajili ya uovu huo.

LEV 20:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mwanaume atakutana kimwili na shangazi yake, amemwaibisha mjomba wake. Nao watawajibika kwa ajili ya uovu huo; watakufa bila kuzaa mtoto.

LEV 20:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mwanaume ataoa mke wa ndugu yake, hili ni tendo chafu; amemwaibisha ndugu yake. Nao hawatazaa mtoto.

LEV 20:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Zishikeni amri na sheria zangu zote na kuzifuata, ili nchi ninayowaleta kuishi isiwatapike.

LEV 20:23 Removed trailing space in v~: Kamwe msiishi kwa kufuata desturi za mataifa nitakayoyafukuza mbele yenu. Kwa sababu walifanya mambo haya yote, nami nikachukizwa sana nao.

LEV 20:24 Removed trailing space in v~: Lakini niliwaambia ninyi, “Mtaimiliki nchi yao; nitawapa ninyi kuwa urithi, nchi inayotiririka maziwa na asali.” Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ambaye amewatenga kutoka mataifa.

LEV 20:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo, ninyi lazima mweze kutofautisha kati ya wanyama walio safi na wasio safi, pia kati ya ndege wasio safi na walio safi. Msijitie unajisi kutokana na mnyama yeyote, au ndege, wala kitu chochote kitambaacho juu ya ardhi, vile ambavyo nimevitenga kuwa najisi kwa ajili yenu.

LEV 20:26 Removed trailing space in v~: Mtakuwa watakatifu kwangu, kwa sababu Mimi, \nd Bwana\nd*, ni mtakatifu, nami nimewatenga kutoka mataifa kuwa wangu mwenyewe.

LEV 20:27 Removed trailing space in v~: “ ‘Mwanaume au mwanamke ambaye ni mchawi, mwaguzi au mwenye kupunga pepo miongoni mwenu lazima auawe. Mtawapiga kwa mawe; nayo damu yao itakuwa juu ya vichwa vyao wenyewe.’ ”

LEV 21:0 Extra space after chapter number

LEV 21:0 Removed trailing space in c: 21

LEV 21:0 Removed trailing space in s1: Sheria Kwa Ajili Ya Makuhani

LEV 21:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Sema na makuhani, wana wa Aroni, uwaambie: ‘Kamwe kuhani asijitie unajisi kwa utaratibu wa kiibada kwa ajili ya mtu wake yeyote anayekufa,

LEV 21:2 Removed trailing space in v~: isipokuwa jamaa wake wa karibu, kama vile mama yake au baba yake, mwanawe au binti yake, ndugu yake,

LEV 21:3 Removed trailing space in v~: au dada yake asiyeolewa ambaye anamtegemea kwa kuwa hana mume, kwa ajili ya hao aweza kujitia unajisi.

LEV 21:4 Removed trailing space in v~: Kamwe asijitie unajisi mwenyewe kutokana na wale watu ambao anahusiana nao kwa kuoana, na hivyo kujitia unajisi.

LEV 21:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Kamwe makuhani wasinyoe nywele za vichwa vyao wala wasinyoe pembeni mwa ndevu zao, au kuweka chale kwenye miili yao.

LEV 21:6 Removed trailing space in v~: Lazima wawe watakatifu kwa Mungu wao, na kamwe wasilinajisi jina la Mungu wao. Kwa sababu ndio wanaotoa sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa \nd Bwana\nd*, chakula cha Mungu wao, hivyo lazima wawe watakatifu.

LEV 21:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Kamwe wasioe wanawake waliojinajisi kwa ukahaba, au waliopewa talaka na waume wao, kwa sababu makuhani ni watakatifu kwa Mungu wao.

LEV 21:8 Removed trailing space in v~: Waoneni kuwa watakatifu, kwa sababu ndio wanaotoa chakula cha Mungu wenu. Kumbukeni kuwa ni watakatifu, kwa sababu Mimi \nd Bwana\nd* ni mtakatifu, Mimi niwafanyaye ninyi kuwa watakatifu.

LEV 21:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa binti wa kuhani anajitia unajisi kwa kufanya ukahaba, anamwaibisha baba yake; lazima achomwe kwa moto.

LEV 21:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuhani mkuu, yule miongoni mwa ndugu zake ambaye amekwisha kutiwa mafuta kwa kumiminiwa juu ya kichwa chake, na ambaye amewekwa wakfu kuvaa mavazi ya ukuhani, kamwe asiache nywele zake bila kufunikwa, wala asirarue nguo zake.

LEV 21:11 Removed trailing space in v~: Kamwe asiingie mahali palipo maiti ndani. Kamwe asijitie unajisi, hata kwa ajili ya baba yake au mama yake,

LEV 21:12 Removed trailing space in v~: wala asiondoke mahali patakatifu pa Mungu wake au kupanajisi, kwa sababu amewekwa wakfu kwa mafuta ya Mungu wake. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 21:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Mwanamke kuhani atakayemwoa lazima awe bikira.

LEV 21:14 Removed trailing space in v~: Kamwe asimwoe mjane, au mwanamke aliyepewa talaka, wala mwanamke aliyejinajisi kwa ukahaba, bali atamwoa tu bikira kutoka miongoni mwa watu wake,

LEV 21:15 Removed trailing space in v~: na hivyo hatawatia unajisi watoto wake miongoni mwa watu wake. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nimfanyaye mtakatifu.’ ”

LEV 21:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 21:17 Removed trailing space in v~: “Mwambie Aroni: ‘Kwa vizazi vijavyo, hakuna mzao wako mwenye dosari atakayekaribia kutoa chakula cha Mungu wake.

LEV 21:18 Removed trailing space in v~: Hakuna mtu mwenye dosari yoyote awezaye kukaribia: hakuna mtu aliye kipofu au kiwete, au aliyeharibika uso au asiye na viungo kamili,

LEV 21:19 Removed trailing space in v~: hakuna mtu mwenye mguu au mkono uliolemaa,

LEV 21:20 Removed trailing space in v~: au mwenye kibiongo au aliyedumaa, au aliye na tatizo la macho, au aliye na uvimbe wenye usaha au majipu, au aliyehasiwa.

LEV 21:21 Removed trailing space in v~: Hakuna mzao wa kuhani Aroni mwenye kilema chochote atakayekaribia kutoa sadaka kwa \nd Bwana\nd* ya kuteketezwa kwa moto. Kama ana kilema, kamwe asikaribie kutoa chakula cha Mungu wake.

LEV 21:22 Removed trailing space in v~: Anaweza kula chakula kitakatifu sana cha Mungu wake, pia hata chakula kitakatifu.

LEV 21:23 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu ya kilema chake, kamwe asikaribie karibu na pazia wala kukaribia madhabahu, asije akanajisi mahali patakatifu pangu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, niwafanyaye watakatifu.’ ”

LEV 21:24 Removed trailing space in v~: Basi Mose akamwambia Aroni jambo hili na wanawe, pamoja na Waisraeli wote.

LEV 22:0 Extra space after chapter number

LEV 22:0 Removed trailing space in c: 22

LEV 22:0 Removed trailing space in s1: Matumizi Ya Sadaka Takatifu

LEV 22:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 22:2 Removed trailing space in v~: “Mwambie Aroni na wanawe kushughulikia kwa uangalifu sadaka takatifu Waisraeli wanazoziweka wakfu kwangu, ili wasilinajisi Jina langu takatifu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 22:3 Removed trailing space in v~: “Waambie: ‘Katika vizazi vijavyo, ikiwa yeyote wa wazao wako ni najisi kwa taratibu za kiibada, naye akakaribia sadaka takatifu zile Waisraeli wanazoweka wakfu kwa \nd Bwana\nd*, mtu huyo lazima akatiliwe mbali na uso wangu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 22:4 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mzao wa Aroni ana ugonjwa wa ngozi unaoambukiza au anatokwa na usaha mwilini, hawezi kula sadaka takatifu mpaka atakasike. Pia atakuwa najisi ikiwa atagusa kitu chochote kilicho najisi kwa kugusa maiti au mtu aliyetokwa na shahawa,

LEV 22:5 Removed trailing space in v~: au ikiwa atagusa kitu chochote kitambaacho kimfanyacho mtu najisi, au mtu yeyote awezaye kumtia unajisi, hata unajisi uwe gani.

LEV 22:6 Removed trailing space in v~: Mtu anayegusa kitu chochote cha aina hiyo atakuwa najisi mpaka jioni. Kamwe hatakula sadaka yoyote takatifu mpaka yeye mwenyewe awe ameoga kwa maji.

LEV 22:7 Removed trailing space in v~: Wakati jua linapotua, atakuwa safi, na baadaye anaweza kula sadaka takatifu, kwa kuwa ni vyakula vyake.

LEV 22:8 Removed trailing space in v~: Kamwe asile nyama ya mzoga wala iliyoraruliwa na wanyama pori, naye akatiwa unajisi kwa hilo. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 22:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Makuhani lazima washike maagizo yangu ili wasiwe na hatia, wakafa kwa kuyadharau. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* ninayewafanya watakatifu.

LEV 22:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Hakuna mtu yeyote asiye wa jamaa ya kuhani anayeruhusiwa kula sadaka takatifu, hata mgeni wa kuhani au mfanyakazi wake haruhusiwi kuila.

LEV 22:11 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa kuhani amenunua mtumwa kwa fedha, au mtumwa amezaliwa katika nyumba ya kuhani huyo, mtumwa huyo aweza kula chakula cha huyo kuhani.

LEV 22:12 Removed trailing space in v~: Ikiwa binti wa kuhani ameolewa na mtu asiye kuhani, binti huyo haruhusiwi kula chochote cha matoleo matakatifu.

LEV 22:13 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa binti wa kuhani amekuwa mjane au amepewa talaka, naye hana watoto, na akarudi kuishi na jamaa ya baba yake kama wakati wa usichana wake, binti huyo anaweza kula chakula cha baba yake. Hata hivyo, mtu asiyeruhusiwa hawezi kula chochote katika chakula hiki.

LEV 22:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mtu yeyote amekula sadaka takatifu kwa makosa, lazima atoe malipo ya sadaka hiyo kwa kuhani na kuongeza sehemu ya tano ya thamani ya sadaka hiyo.

LEV 22:15 Removed trailing space in v~: Kamwe makuhani wasiinajisi sadaka takatifu ambayo Waisraeli wameitoa kwa \nd Bwana\nd*

LEV 22:16 Removed trailing space in v~: kwa kuwaruhusu kuzila sadaka hizo takatifu, na hivyo kuwaletea hatia ya kudaiwa malipo. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* niwafanyaye watakatifu.’ ”

LEV 22:16 Removed trailing space in s1: Dhabihu Zisizokubalika

LEV 22:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 22:18 Removed trailing space in v~: “Sema na Aroni na wanawe, na Waisraeli wote uwaambie: ‘Ikiwa mmoja wenu, aliye Mwisraeli au mgeni anayeishi katika nchi ya Israeli, atatoa matoleo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa kwa moto kwa \nd Bwana\nd*, iwe kutimiza nadhiri au kuwa sadaka ya hiari,

LEV 22:19 Removed trailing space in v~: lazima mtoe mnyama dume asiye na dosari, akiwa ngʼombe, mbuzi au kondoo, ili aweze kukubalika kwa niaba yako.

LEV 22:20 Removed trailing space in v~: Kamwe usitoe kitu chochote chenye dosari kwa sababu hakitakubaliwa kwa niaba yako.

LEV 22:21 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote aletapo sadaka ya amani kwa \nd Bwana\nd* kutoka kundi la ngʼombe au mbuzi ili kutimiza nadhiri maalum au sadaka ya hiari, lazima sadaka hiyo isiwe na dosari au waa ili ikubalike.

LEV 22:22 Removed trailing space in v~: Kamwe usimtolee \nd Bwana\nd* mnyama aliye kipofu, aliyejeruhiwa wala aliye kilema, au chochote kilicho na uvimbe, au chenye upele au vidonda vinavyotoka usaha. Kamwe chochote cha aina hii kisiwekwe juu ya madhabahu kuwa sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* ya kuteketezwa kwa moto.

LEV 22:23 Removed trailing space in v~: Lakini waweza ukatoa ngʼombe au kondoo mwenye kilema au aliyedumaa kama sadaka ya hiari, lakini hii haitakubalika kuwa sadaka ya kutimiza nadhiri.

LEV 22:24 Removed trailing space in v~: Kamwe usimtolee \nd Bwana\nd* mnyama ambaye mapumbu yake yamejeruhiwa, au kuhasiwa, au kuraruliwa au kukatwa. Kamwe usifanye hivi katika nchi yako mwenyewe,

LEV 22:25 Removed trailing space in v~: na kamwe usikubali wanyama wa aina hii kutoka mkono wa mgeni ili kuwatoa wanyama hao kuwa chakula kwa Mungu wako. Wanyama hao hawatakubaliwa kwa niaba yako, kwa sababu wana vilema, nao wana dosari.’ ”

LEV 22:26 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 22:27 Removed trailing space in v~: “Wakati ndama, mwana-kondoo au mwana-mbuzi azaliwapo, atabaki na mama yake kwa siku saba. Kuanzia siku ya nane na kuendelea anaweza kukubaliwa kuwa sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa kuteketezwa kwa moto.

LEV 22:28 Removed trailing space in v~: Usimchinje ngʼombe na ndama wake, au kondoo na kitoto chake siku moja.

LEV 22:29 Removed trailing space in v~: “Unapomtolea \nd Bwana\nd* dhabihu ya shukrani, itoe kwa namna ambayo itakubalika kwa niaba yako.

LEV 22:30 Removed trailing space in v~: Ni lazima iliwe siku iyo hiyo, pasipo kubakiza chochote mpaka asubuhi. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 22:31 Removed trailing space in v~: “Shikeni maagizo yangu na kuyafuata. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 22:32 Removed trailing space in v~: Msilinajisi Jina langu takatifu. Lazima nikubalike kuwa mtakatifu kwa Waisraeli. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* ninayewafanya watakatifu,

LEV 22:33 Removed trailing space in v~: na niliyewatoa katika nchi ya Misri niwe Mungu wenu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

LEV 23:0 Extra space after chapter number

LEV 23:0 Removed trailing space in c: 23

LEV 23:0 Removed trailing space in s1: Sikukuu Zilizoamriwa

LEV 23:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 23:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Hizi ndizo sikukuu zangu zilizoamriwa, sikukuu zilizoamriwa za \nd Bwana\nd*, ambazo mtazitangaza kuwa makusanyiko matakatifu.

LEV 23:2 Removed trailing space in s1: Sabato

LEV 23:3 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuna siku sita mnazoweza kufanya kazi, lakini siku ya saba ni Sabato ya kupumzika, siku ya kusanyiko takatifu. Hamtafanya kazi yoyote. Popote mnapoishi, ni Sabato kwa \nd Bwana\nd*.

LEV 23:3 Removed trailing space in s1: Pasaka Na Mikate Isiyotiwa Chachu

LEV 23:3 Removed trailing space in r: (Hesabu 28:16-25)

LEV 23:4 Removed trailing space in v~: “ ‘Hizi ni sikukuu za \nd Bwana\nd* zilizoamriwa, makusanyiko matakatifu mtakayoyatangaza kwa nyakati zilizoamriwa:

LEV 23:5 Removed trailing space in v~: Pasaka ya \nd Bwana\nd* huanza jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.

LEV 23:6 Removed trailing space in v~: Siku ya kumi na tano ya mwezi huo wa kwanza, Sikukuu ya \nd Bwana\nd* ya Mikate Isiyotiwa Chachu huanza; kwa siku saba, mtakula mikate isiyotiwa chachu.

LEV 23:7 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kwanza, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida.

LEV 23:8 Removed trailing space in v~: Kwa siku saba mtamletea \nd Bwana\nd* sadaka ya kuteketezwa kwa moto. Kwenye siku hiyo ya saba mtafanya kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida.’ ”

LEV 23:8 Removed trailing space in s1: Malimbuko

LEV 23:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 23:10 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi nitakayowapa na kuvuna mazao ya nchi hiyo, leteni kwa kuhani mganda wa nafaka ya kwanza mtakayovuna.

LEV 23:11 Removed trailing space in v~: Naye atauinua huo mganda mbele za \nd Bwana\nd* ili ukubaliwe kwa niaba yenu; kuhani ataupunga siku inayofuata Sabato.

LEV 23:12 Removed trailing space in v~: Siku hiyo mtakapoinua huo mganda, lazima mtoe kwa \nd Bwana\nd* dhabihu ya kuteketezwa kwa moto ya mwana-kondoo wa mwaka mmoja asiye na dosari,

LEV 23:13 Removed trailing space in v~: pamoja na sadaka yake ya nafaka ya sehemu mbili za kumi za efa\f + \fr 23:13 \ft Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo mbili.\f* za unga laini uliochanganywa na mafuta, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kupendeza, na sadaka yake ya kinywaji ya robo ya hini\f + \fr 23:13 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.\f* ya divai.

LEV 23:14 Removed trailing space in v~: Kamwe msile mkate wowote, au nafaka iliyokaangwa au nafaka mpya, mpaka siku ile mtakayomletea Mungu wenu sadaka hii. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo, popote mnapoishi.

LEV 23:14 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Majuma

LEV 23:14 Removed trailing space in r: (Hesabu 28:26-31)

LEV 23:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Tangu siku ile iliyofuata Sabato, siku mliyotoa sadaka ya mganda wa kuinuliwa, hesabuni majuma saba kamili.

LEV 23:16 Removed trailing space in v~: Mtahesabu siku hamsini mpaka siku inayofuata Sabato ya saba, ndipo mtatoa sadaka ya nafaka mpya kwa \nd Bwana\nd*.

LEV 23:17 Removed trailing space in v~: Kutoka popote mnapoishi, mtaleta mikate miwili ya unga laini, sehemu mbili za kumi za efa, uliookwa kwa chachu, kuwa sadaka ya kuinuliwa ya malimbuko kwa \nd Bwana\nd*.

LEV 23:18 Removed trailing space in v~: Toeni pamoja na hiyo mikate wana-kondoo saba, kila mmoja wa mwaka mmoja asiye na dosari, na fahali mchanga, na kondoo dume wawili. Watakuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd*, pamoja na sadaka za nafaka na sadaka za vinywaji, sadaka iliyotolewa kwa moto yenye harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*.

LEV 23:19 Removed trailing space in v~: Kisha toeni dhabihu ya mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi, na wana-kondoo wawili, kila mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya amani.

LEV 23:20 Removed trailing space in v~: Kuhani atawainua hao wana-kondoo wawili mbele za \nd Bwana\nd* kuwa sadaka ya kuinuliwa, pamoja na mkate wa malimbuko. Ni sadaka takatifu kwa \nd Bwana\nd* kwa ajili ya kuhani.

LEV 23:21 Removed trailing space in v~: Siku iyo hiyo mtatangaza kusanyiko takatifu, na msifanye kazi zenu za kawaida. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo, popote mnapoishi.

LEV 23:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Mnapovuna mavuno ya ardhi yenu, msivune hadi mpakani mwa shamba lenu, au kukusanya masazo ya mavuno yenu. Hayo utayaacha kwa ajili ya maskini na mgeni. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.’ ”

LEV 23:22 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Tarumbeta

LEV 23:22 Removed trailing space in r: (Hesabu 29:1-6)

LEV 23:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 23:24 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli: ‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na siku ya mapumziko, kusanyiko takatifu la ukumbusho litakaloadhimishwa kwa kupiga tarumbeta.

LEV 23:25 Removed trailing space in v~: Msifanye kazi zenu zozote za kawaida, lakini toeni sadaka kwa \nd Bwana\nd* iliyoteketezwa kwa moto.’ ”

LEV 23:25 Removed trailing space in s1: Siku Ya Upatanisho

LEV 23:25 Removed trailing space in r: (Hesabu 29:7-11)

LEV 23:26 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 23:27 Removed trailing space in v~: “Siku ya kumi ya mwezi huu wa saba ni Siku ya Upatanisho. Mtafanya kusanyiko takatifu, mfunge, nanyi mtoe sadaka kwa \nd Bwana\nd* ya kuteketezwa kwa moto.

LEV 23:28 Removed trailing space in v~: Msifanye kazi siku hiyo, kwa sababu ni Siku ya Upatanisho, ambapo upatanisho unafanyika kwa ajili yenu mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

LEV 23:29 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote ambaye hatafunga siku hiyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.

LEV 23:30 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote atakayefanya kazi siku hiyo nitamwangamiza kutoka miongoni mwa watu wake.

LEV 23:31 Removed trailing space in v~: Hamtafanya kazi kamwe. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo popote mnapoishi.

LEV 23:32 Removed trailing space in v~: Ni Sabato ya mapumziko kwenu ninyi, na lazima mfunge. Tangu jioni ya siku ya tisa ya mwezi hadi jioni inayofuata, mtaishika Sabato yenu.”

LEV 23:32 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Vibanda

LEV 23:32 Removed trailing space in r: (Hesabu 29:12-40)

LEV 23:33 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 23:34 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli: ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, Sikukuu ya \nd Bwana\nd* ya vibanda itaanza, nayo itaadhimishwa kwa siku saba.

LEV 23:35 Removed trailing space in v~: Siku ya kwanza ni kusanyiko takatifu, msifanye kazi zenu za kawaida.

LEV 23:36 Removed trailing space in v~: Kwa siku saba toeni sadaka kwa \nd Bwana\nd* za kuteketezwa kwa moto. Kwenye siku ya nane fanyeni kusanyiko takatifu, na mtoe sadaka kwa \nd Bwana\nd* ya kuteketezwa kwa moto. Ni kusanyiko la mwisho, msifanye kazi zenu za kawaida.

LEV 23:37 Removed trailing space in v~: (“ ‘Hizi ni sikukuu za \nd Bwana\nd* zilizoamriwa, ambazo mtazitangaza kuwa makusanyiko matakatifu kwa kuleta sadaka kwa \nd Bwana\nd* za kuteketeza kwa moto: sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka, dhabihu na sadaka za vinywaji zitahitajika kila siku.

LEV 23:38 Removed trailing space in v~: Sadaka hizi ni nyongeza ya zile mnazozitoa katika Sabato za \nd Bwana\nd*, na pia ni nyongeza ya matoleo yenu ya chochote mlichoweka nadhiri, na sadaka zenu zote za hiari mnazozitoa kwa \nd Bwana\nd*.)

LEV 23:39 Removed trailing space in v~: “ ‘Basi kuanzia siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, baada ya kuvuna mazao yote ya nchi, mtaadhimisha sikukuu kwa \nd Bwana\nd* kwa siku saba; siku ya kwanza ni mapumziko, pia siku ya nane ni mapumziko.

LEV 23:40 Removed trailing space in v~: Siku ya kwanza mtachukua matunda mazuri ya miti, matawi ya mitende, matawi yenye majani mengi, na matawi ya mirebi, nanyi mtashangilia mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa siku saba.

LEV 23:41 Removed trailing space in v~: Mtaadhimisha siku hii kuwa sikukuu kwa \nd Bwana\nd* kwa siku saba kila mwaka. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo; iadhimisheni mwezi wa saba.

LEV 23:42 Removed trailing space in v~: Mtaishi katika vibanda kwa siku saba: Wazawa wote wa Waisraeli wataishi katika vibanda,

LEV 23:43 Removed trailing space in v~: ili wazao wenu wajue kuwa niliwafanya Waisraeli waishi kwenye vibanda nilipowatoa Misri. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.’ ”

LEV 23:44 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akawatangazia Waisraeli sikukuu zilizoamriwa na \nd Bwana\nd*.

LEV 24:0 Extra space after chapter number

LEV 24:0 Removed trailing space in c: 24

LEV 24:0 Removed trailing space in s1: Mafuta Na Mikate Mbele Za \nd Bwana\nd*

LEV 24:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 24:2 Removed trailing space in v~: “Waagize Waisraeli wakuletee mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa kwa ajili ya mwanga ili taa ziwe zinawaka daima.

LEV 24:3 Removed trailing space in v~: Nje ya pazia la Ushuhuda ndani ya Hema la Kukutania, Aroni ataziwasha taa mbele za \nd Bwana\nd* kuanzia jioni hadi asubuhi bila kuzima. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo.

LEV 24:4 Removed trailing space in v~: Taa zilizo juu ya kinara cha dhahabu safi mbele za \nd Bwana\nd* lazima zihudumiwe daima.

LEV 24:5 Removed trailing space in v~: “Chukua unga laini, uoke mikate kumi na miwili, ukitumia sehemu mbili za kumi za efa\f + \fr 24:5 \ft Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo mbili.\f* za unga kwa kila mkate.

LEV 24:6 Removed trailing space in v~: Iweke katika mistari miwili, kila mstari mikate sita, uiweke mbele za \nd Bwana\nd* juu ya meza iliyotengenezwa kwa dhahabu safi.

LEV 24:7 Removed trailing space in v~: Kando ya kila mstari, weka uvumba safi kama sehemu ya kumbukumbu ili kuwakilisha mikate kuwa sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa kuteketezwa kwa moto.

LEV 24:8 Removed trailing space in v~: Mikate hii itawekwa mbele za \nd Bwana\nd* kila wakati, Sabato baada ya Sabato, kwa niaba ya Waisraeli, kuwa Agano la kudumu.

LEV 24:9 Removed trailing space in v~: Hii ni mali ya Aroni na wanawe, watakaoila katika mahali patakatifu, kwa sababu ni sehemu takatifu sana ya fungu lao la kawaida la sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa kuteketezwa kwa moto.”

LEV 24:9 Removed trailing space in s1: Mwenye Kukufuru Apigwa Mawe

LEV 24:10 Removed trailing space in v~: Basi mwana wa mama Mwisraeli na baba Mmisri alikwenda miongoni mwa Waisraeli, nayo mapigano yakatokea ndani ya kambi kati yake na Mwisraeli.

LEV 24:11 Removed trailing space in v~: Huyu mwana wa mwanamke Mwisraeli akalikufuru Jina la \nd Bwana\nd* kwa kulaani; kwa hiyo wakamleta kwa Mose. (Jina la mama yake aliitwa Shelomithi binti wa Dibri, wa kabila la Dani.)

LEV 24:12 Removed trailing space in v~: Nao wakamweka mahabusu mpaka mapenzi ya \nd Bwana\nd* yawe wazi kwao.

LEV 24:13 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose:

LEV 24:14 Removed trailing space in v~: “Mchukue huyo aliyekufuru nje ya kambi. Wale wote waliomsikia akikufuru wataweka mikono juu ya kichwa chake, kisha kusanyiko lote litampiga mawe.

LEV 24:15 Removed trailing space in v~: Waambie Waisraeli: ‘Ikiwa mtu yeyote atamlaani Mungu wake, atakuwa na hatia kwa uovu wake;

LEV 24:16 Removed trailing space in v~: yeyote atakayekufuru Jina la \nd Bwana\nd* ni lazima auawe. Kusanyiko lote litampiga kwa mawe. Iwe ni mgeni au mzawa, atakapolikufuru Jina la \nd Bwana\nd*, ni lazima auawe.

LEV 24:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mtu yeyote atamuua mtu mwingine, ni lazima auawe.

LEV 24:18 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote auaye mnyama wa mtu mwingine lazima afidie, uhai kwa uhai.

LEV 24:19 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu yeyote atamjeruhi jirani yake, chochote alichomtenda naye atatendewa:

LEV 24:20 Removed trailing space in v~: iwapo amemvunja mfupa atavunjwa mfupa, jicho kwa jicho, jino kwa jino. Kama alivyomjeruhi mwenzake, vivyo hivyo ndivyo atakavyojeruhiwa.

LEV 24:21 Removed trailing space in v~: Yeyote auaye mnyama wa mtu lazima alipe fidia, lakini yeyote auaye mtu, lazima auawe.

LEV 24:22 Removed trailing space in v~: Mtakuwa na sheria iyo hiyo kwa mgeni na kwa mzawa. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.’ ”

LEV 24:23 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akasema na Waisraeli, nao wakamchukua yule aliyekufuru nje ya kambi na kumpiga mawe. Waisraeli wakafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

LEV 25:0 Extra space after chapter number

LEV 25:0 Removed trailing space in c: 25

LEV 25:0 Removed trailing space in s1: Mwaka Wa Sabato

LEV 25:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 15:1-11)

LEV 25:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose katika Mlima Sinai,

LEV 25:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi ninayowapa ninyi, nchi yenyewe ni lazima ishike Sabato kwa ajili ya \nd Bwana\nd*.

LEV 25:3 Removed trailing space in v~: Kwa miaka sita mtapanda mazao katika mashamba yenu, nanyi kwa miaka sita mtaikata mizabibu yenu matawi na kuvuna mazao yake.

LEV 25:4 Removed trailing space in v~: Lakini mwaka wa saba nchi lazima iwe na Sabato ya mapumziko, Sabato kwa \nd Bwana\nd*. Msipande mbegu katika mashamba yenu, wala msikate mizabibu yenu matawi.

LEV 25:5 Removed trailing space in v~: Msivune na kuweka akiba kinachoota chenyewe, wala kuvuna na kusindika zabibu ambayo hamkuhudumia mashamba yake. Nchi lazima iwe na mwaka wa mapumziko.

LEV 25:6 Removed trailing space in v~: Chochote nchi itoacho katika mwaka wa Sabato kitakuwa chakula chenu wenyewe, watumishi wenu wa kiume na wa kike, mfanyakazi aliyeajiriwa, na mkazi wa muda anayeishi miongoni mwenu,

LEV 25:7 Removed trailing space in v~: vilevile malisho ya mifugo yenu na wanyama pori katika nchi yenu. Chochote nchi itakachozalisha kinaweza kuliwa.

LEV 25:7 Removed trailing space in s1: Mwaka Wa Yubile

LEV 25:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Hesabu Sabato saba za miaka, yaani miaka saba mara saba, ili Sabato saba za miaka utakuwa muda wa miaka arobaini na tisa.

LEV 25:9 Removed trailing space in v~: Ndipo tarumbeta itapigwa kila mahali katika siku ya kumi ya mwezi wa saba. Katika Siku ya Upatanisho, piga tarumbeta katika nchi yako yote.

LEV 25:10 Removed trailing space in v~: Mwaka wa hamsini mtauweka wakfu na kutangaza uhuru katika nchi kwa wakazi wake wote. Itakuwa ni yubile\f + \fr 25:10 \ft Yubile ni baragumu iliopigwa kila mwaka wa hamsini; ni Sabato ya nchi ya kila mwaka wa hamsini uliokuwa mwaka wa ukombozi, yaani kuachia huru.\f* kwenu; kila mmoja wenu atairudia mali ya jamaa yake, na kila mmoja kurudi kwenye ukoo wake.

LEV 25:11 Removed trailing space in v~: Mwaka wa hamsini utakuwa yubile kwenu, msipande wala msivune kile kiotacho chenyewe, au kuvuna zabibu zisizohudumiwa.

LEV 25:12 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ni yubile, nayo itakuwa takatifu kwenu; mtakula tu kile kilichotoka moja kwa moja mashambani.

LEV 25:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika huu Mwaka wa Yubile, kila mmoja atarudi kwenye mali yake mwenyewe.

LEV 25:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa utauza ardhi kwa mmoja wa wazawa wa nchi yako, au ukinunua ardhi kutoka kwake, mmoja asimpunje mwingine.

LEV 25:15 Removed trailing space in v~: Utanunua ardhi kwa mzawa wa nchi yako kwa misingi ya hesabu ya miaka baada ya Yubile. Naye ataiuza kwako kwa misingi ya hesabu ya miaka iliyobaki kwa kuvuna mavuno.

LEV 25:16 Removed trailing space in v~: Miaka inapokuwa mingi, utaongeza bei, nayo miaka ikiwa michache, utapunguza bei, kwa sababu kile anachokuuzia kwa hakika ni hesabu ya mazao.

LEV 25:17 Removed trailing space in v~: Mmoja asimpunje mwingine, bali utamcha Mungu wako. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wako.

LEV 25:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Fuateni amri zangu, mwe waangalifu kutii amri zangu, nanyi mtaishi salama katika nchi.

LEV 25:19 Removed trailing space in v~: Kisha nchi itazaa matunda yake, nanyi mtakula na kushiba na kuishi humo kwa salama.

LEV 25:20 Removed trailing space in v~: Mwaweza kuuliza, “Tutakula nini katika mwaka wa saba ikiwa hatutapanda wala kuvuna mazao yetu?”

LEV 25:21 Removed trailing space in v~: Nitawapelekeeni baraka ya pekee katika mwaka wa sita, kwamba nchi itazalisha mazao ya kutosha kwa miaka mitatu.

LEV 25:22 Removed trailing space in v~: Mnapopanda mwaka wa nane, mtakula mavuno ya miaka iliyopita. Pia mtaendelea kuyala mazao hayo hadi mvune mavuno ya mwaka wa tisa.

LEV 25:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Kamwe ardhi isiuzwe kwa mkataba wa kudumu, kwa sababu nchi ni mali yangu, nanyi ni wageni na wapangaji wangu.

LEV 25:24 Removed trailing space in v~: Katika nchi yote mtakayoshika kuwa milki yenu, ni lazima mtoe ukombozi wa ardhi.

LEV 25:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mmoja wa wazawa wa nchi yako amekuwa maskini na akauza baadhi ya mali yake, ndugu yake wa karibu atakuja na kukomboa kile ndugu yako alichokiuza.

LEV 25:26 Removed trailing space in v~: Iwapo mtu huyo hana jamaa wa karibu wa kukomboa mali hiyo kwa ajili yake, lakini yeye mwenyewe akafanikiwa na kupata mali itoshayo kuikomboa,

LEV 25:27 Removed trailing space in v~: ataamua tena thamani yake kwa miaka tangu alipoiuza, na kurudisha kiasi kilichobaki cha thamani kwa mtu ambaye alikuwa amemuuzia mali hiyo, naye ataweza kuirudia mali yake.

LEV 25:28 Removed trailing space in v~: Lakini kama hatapata njia ya kumlipa mnunuzi, ile mali aliyouza itabaki kumilikiwa na mnunuzi mpaka Mwaka wa Yubile. Mali hiyo itarudishwa mwaka wa Yubile, naye ataweza kuirudia mali yake.

LEV 25:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mtu atauza nyumba iliyo ndani ya mji uliozungukwa kwa ukuta, yeye anayo haki ya kuikomboa mwaka mzima baada ya mauzo ya hiyo nyumba. Wakati huo anaweza kuikomboa.

LEV 25:30 Removed trailing space in v~: Ikiwa haikukombolewa kabla ya mwaka mmoja kamili kupita, nyumba iliyo ndani ya mji uliozungukwa kwa ukuta itakuwa mali ya kudumu ya mnunuzi na wazao wake. Haitarudishwa mwaka wa Yubile.

LEV 25:31 Removed trailing space in v~: Lakini nyumba zilizo vijijini bila ya kuwa na kuta zilizozizunguka zitahesabiwa kama mashamba. Zinaweza kukombolewa, nazo zirudishwe katika mwaka wa Yubile.

LEV 25:32 Removed trailing space in v~: “ ‘Walawi siku zote wana haki ya kukomboa nyumba zao katika miji ya Walawi wanayoimiliki.

LEV 25:33 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mali ya Mlawi inaweza kukombolewa, yaani nyumba iliyouzwa katika mji wowote wanaoushikilia itarudishwa mwaka wa Yubile, kwa sababu nyumba zilizo katika miji ya Walawi ni mali yao miongoni mwa Waisraeli.

LEV 25:34 Removed trailing space in v~: Lakini nchi ya malisho iliyo mali ya miji yao kamwe isiuzwe, ni milki yao ya kudumu.

LEV 25:35 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mmoja wa wazawa wa nchi yako amekuwa maskini, naye akashindwa kujitegemeza mwenyewe katikati yako, msaidie kama vile ambavyo ungelimsaidia mgeni au kama mkazi wa muda, ili aweze kuendelea kuishi katikati yako.

LEV 25:36 Removed trailing space in v~: Usichukue riba wala faida yoyote kutoka kwake, bali utamwogopa Mungu wako, ili mzawa wa nchi yako aweze kuendelea kuishi katikati yako.

LEV 25:37 Removed trailing space in v~: Usimkopeshe fedha ili alipe na riba, wala usimuuzie chakula kwa faida.

LEV 25:38 Removed trailing space in v~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wako, niliyekuleta kutoka nchi ya Misri nikupe nchi ya Kanaani, nami niwe Mungu wako.

LEV 25:39 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mmoja wa wazawa wa nchi yako amekuwa maskini katikati yako, naye akajiuza kwako, usimfanye atumike kama mtumwa.

LEV 25:40 Removed trailing space in v~: Atatendewa kama mfanyakazi aliyeajiriwa, au kama mkazi wa muda katikati yako, naye atatumika mpaka Mwaka wa Yubile.

LEV 25:41 Removed trailing space in v~: Ndipo yeye na watoto wake wataachiwa, naye atarudi kwa watu wa ukoo wake, na kwenye mali ya baba zake.

LEV 25:42 Removed trailing space in v~: Kwa sababu Waisraeli ni watumishi wangu niliowaleta kutoka nchi ya Misri, kamwe wasiuzwe kama watumwa.

LEV 25:43 Removed trailing space in v~: Usiwatawale kwa ukatili, lakini utamcha Mungu wako.

LEV 25:44 Removed trailing space in v~: “ ‘Watumwa wako wa kiume na wa kike watatoka katika mataifa yanayokuzunguka; kutoka kwao waweza kununua watumwa.

LEV 25:45 Removed trailing space in v~: Pia waweza kununua baadhi ya wakazi wa muda wanaoishi katikati yako, na jamaa ya koo zao waliozaliwa katika nchi yako, nao watakuwa mali yako.

LEV 25:46 Removed trailing space in v~: Hao waweza kuwarithisha watoto wako kuwa urithi wao, na wanaweza kuwafanya watumwa maisha yao yote, lakini usiwatawale ndugu zako Waisraeli kwa ukatili.

LEV 25:47 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mgeni au mkazi wa muda katikati yako atakuwa tajiri, na mmoja wa wazawa wa nchi yako akawa maskini, naye akajiuza kwa yule mgeni anayeishi katikati yako, au kwa mmoja wa jamaa wa koo za wageni,

LEV 25:48 Removed trailing space in v~: anayo haki ya kukombolewa baada ya kujiuza. Mmoja wa jamaa zake aweza kumkomboa:

LEV 25:49 Removed trailing space in v~: Mjomba wake, au binamu yake, au yeyote aliye ndugu wa damu katika ukoo wake aweza kumkomboa. Au ikiwa atafanikiwa, anaweza kujikomboa mwenyewe.

LEV 25:50 Removed trailing space in v~: Yeye na huyo aliyemnunua watahesabu muda kuanzia mwaka aliojiuza hadi Mwaka wa Yubile. Mahali pa kuanzia bei ya kuachiwa kwake itakadiriwa kwa ujira unaolipwa mfanyakazi aliyeajiriwa kwa idadi ya hiyo miaka.

LEV 25:51 Removed trailing space in v~: Ikiwa imebaki miaka mingi, ni lazima atalipia ukombozi wake fungu kubwa la bei iliyolipwa kumnunua yeye.

LEV 25:52 Removed trailing space in v~: Ikiwa miaka iliyobaki ni michache kufikia Mwaka wa Yubile, atafanya hesabu yake, naye atalipa malipo yanayostahili kwa ajili ya ukombozi wake.

LEV 25:53 Removed trailing space in v~: Atatendewa kama mtu wa kuajiriwa mwaka hadi mwaka; lazima uone kwamba yule aliyemnunua hamtawali kwa ukatili.

LEV 25:54 Removed trailing space in v~: “ ‘Hata ikiwa hakukombolewa kwa njia mojawapo ya hizi, yeye na watoto wake wataachiwa katika Mwaka wa Yubile,

LEV 25:55 Removed trailing space in v~: kwa maana Waisraeli ni mali yangu kama watumishi. Wao ni watumishi wangu, niliowatoa kutoka nchi ya Misri. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wako.

LEV 26:0 Extra space after chapter number

LEV 26:0 Removed trailing space in c: 26

LEV 26:0 Removed trailing space in s1: Thawabu Ya Utii

LEV 26:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 7:12-24; 28:1-14)

LEV 26:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Msijitengenezee sanamu au kusimamisha kinyago cha kuchonga, au mnara, wala jiwe la kuabudia, na pia msijiwekee jiwe lililochongwa katika nchi yenu na kusujudu mbele yake. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

LEV 26:2 Removed trailing space in v~: “ ‘Zishikeni Sabato zangu na kuheshimu mahali patakatifu pangu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

LEV 26:3 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa mtafuata amri zangu na kuwa waangalifu kutii maagizo yangu,

LEV 26:4 Removed trailing space in v~: nitawanyeshea mvua katika majira yake, nayo ardhi itatoa mazao yake, na miti ya mashambani itazaa matunda yake.

LEV 26:5 Removed trailing space in v~: Kupura nafaka kwenu kutaendelea mpaka wakati wa kuvuna zabibu. Pia kuvuna zabibu kutaendelea mpaka wakati wa kupanda mbegu, nanyi mtakula na kushiba, na mtaishi salama katika nchi yenu.

LEV 26:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Nitawapa amani katika nchi, mpate kulala pasipo kutiwa hofu na yeyote. Nitawaondoa wanyama wakali watoke kwenye nchi, nao upanga hautapita katika nchi yenu.

LEV 26:7 Removed trailing space in v~: Mtawafukuza adui zenu, nanyi mtawaua kwa upanga mbele yenu.

LEV 26:8 Removed trailing space in v~: Watu wenu watano watafukuza adui mia, watu wenu mia watafukuza adui elfu kumi, nao adui zenu wataanguka kwa upanga mbele yenu.

LEV 26:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Nitawaangalia kwa upendeleo na kuwafanya mzae na kuzidisha idadi yenu, nami nitalishika Agano langu na ninyi.

LEV 26:10 Removed trailing space in v~: Wakati wa kuvuna mtakuwa bado mnakula mavuno ya mwaka uliopita, na itawalazimu kuyaondoa ghalani ili mpate nafasi ya mavuno mapya.

LEV 26:11 Removed trailing space in v~: Nitafanya makao yangu miongoni mwenu, nami sitawachukia.

LEV 26:12 Removed trailing space in v~: Nitatembea katikati yenu niwe Mungu wenu, nanyi mtakuwa watu wangu.

LEV 26:13 Removed trailing space in v~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu, niliyewatoa katika nchi ya Misri ili msiendelee kuwa watumwa wa Wamisri, nikavunja kongwa lenu, na kuwawezesha kutembea mkiwa mmeinua vichwa vyenu juu.

LEV 26:13 Removed trailing space in s1: Adhabu Ya Kutokutii

LEV 26:13 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 28:15-68)

LEV 26:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kama hamtanisikiliza na kutimiza maagizo haya yote,

LEV 26:15 Removed trailing space in v~: nanyi kama mtazikataa amri zangu na kuzichukia sheria zangu, tena mkishindwa kutimiza amri zangu na hivyo mkavunja agano langu,

LEV 26:16 Removed trailing space in v~: ndipo nitakapowafanyia hili: Nitawaletea juu yenu hofu ya ghafula, magonjwa ya kufisha, na homa itakayopofusha macho yenu na kuwaondolea uhai wenu. Mtapanda mbegu bila mafanikio, kwa sababu adui zenu wataila.

LEV 26:17 Removed trailing space in v~: Nitauelekeza uso wangu dhidi yenu ili mshindwe na adui zenu; wale wanaowachukia watawatawala, nanyi mtakimbia ingawa hakuna mtu anayewafukuza.

LEV 26:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama baada ya haya yote hamtanisikiliza, nitawaadhibu mara saba zaidi kwa ajili ya dhambi zenu.

LEV 26:19 Removed trailing space in v~: Nitakivunja kiburi chenu cha ukaidi na kuifanya anga iliyo juu yenu iwe kama chuma, na ardhi yenu kama shaba.

LEV 26:20 Removed trailing space in v~: Nguvu zenu zitatumika bila ya mafanikio, kwa sababu ardhi yenu haitawazalia mazao yake, wala miti ya nchi yenu haitazaa matunda yake.

LEV 26:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mtaendelea kuwa na uadui nami, na kukataa kunisikiliza, nitawazidishia mateso yenu mara saba zaidi, kama dhambi zenu zinavyostahili.

LEV 26:22 Removed trailing space in v~: Nitawatuma wanyama mwitu dhidi yenu, nao watawaibieni watoto wenu, watawaangamiza ngʼombe wenu, na kuifanya idadi yenu kuwa ndogo, hivi kwamba barabara zenu zitakuwa hazina watu.

LEV 26:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Ikiwa pamoja na mambo haya hamtakubali maonyo yangu lakini mkaendelea kuweka uadui nami,

LEV 26:24 Removed trailing space in v~: mimi mwenyewe nitaweka uadui nanyi, na kuwatesa kwa ajili ya dhambi zenu mara saba zaidi.

LEV 26:25 Removed trailing space in v~: Nitawaletea upanga juu yenu ili kuwapatiliza kwa kuvunja Agano langu. Mtakapokimbilia mijini mwenu, nitatuma tauni katikati yenu, nanyi mtatiwa mikononi mwa adui zenu.

LEV 26:26 Removed trailing space in v~: Nitakapowaondolea upatikanaji wa mkate wenu, wanawake kumi wataoka mkate wenu katika tanuru moja, nao wataugawa mkate kidogo kwa kupima. Mtakula, lakini hamtashiba.

LEV 26:27 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama hata baada ya haya bado hamtanisikiliza lakini mkaendelea kuweka uadui nami,

LEV 26:28 Removed trailing space in v~: ndipo katika hasira yangu nitaweka uadui nanyi, nami mwenyewe nitawaadhibu mara saba kwa ajili ya dhambi zenu.

LEV 26:29 Removed trailing space in v~: Mtakula nyama ya wana wenu na nyama ya binti zenu.

LEV 26:30 Removed trailing space in v~: Nitapaharibu mahali penu pa juu pa kuabudia miungu, nibomoe madhabahu zenu za kufukizia uvumba, na kuzilundika maiti zenu juu ya sanamu zenu zisizo na uhai, nami nitawachukia ninyi sana.

LEV 26:31 Removed trailing space in v~: Nitaifanya miji yenu kuwa magofu, na kuharibu mahali patakatifu penu pa kuabudia, nami sitapendezwa na harufu nzuri ya sadaka zenu.

LEV 26:32 Removed trailing space in v~: Nitaiharibu nchi, ili adui zenu watakaokuja kuishi humo washangae.

LEV 26:33 Removed trailing space in v~: Nitawatawanya ninyi miongoni mwa mataifa, na kuufuta upanga wangu na kuwafuatia. Nchi yenu itaharibiwa, nayo miji yenu itakuwa magofu.

LEV 26:34 Removed trailing space in v~: Ndipo nchi itafurahia Sabato zake muda wote ule itakapokuwa ukiwa, nanyi mkiwa katika nchi ya adui zenu. Ndipo nchi itapumzika na kufurahia Sabato zake.

LEV 26:35 Removed trailing space in v~: Wakati wote nchi itakapobaki ukiwa, itapumzika na kufurahia Sabato zake ambazo haikuzipata mlipokuwa mnaishi humo.

LEV 26:36 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa habari ya wenzenu wale watakaobaki, nitaifanya mioyo yao kuwa na hofu kuu katika nchi za adui zao, kiasi kwamba sauti ya jani linalopeperushwa na upepo itawafanya wakimbie. Watakimbia kana kwamba wanakimbia upanga, nao wataanguka, ingawa hakuna anayewafukuza.

LEV 26:37 Removed trailing space in v~: Watajikwaa mmoja juu ya mwingine kama wakimbiao upanga, hata ingawa hakuna anayewafuatia. Hivyo hamtaweza kusimama mbele ya adui zenu.

LEV 26:38 Removed trailing space in v~: Mtaangamia katikati ya mataifa; nchi ya adui zenu itawala.

LEV 26:39 Removed trailing space in v~: Wale wenu watakaobaki wataangamia katika nchi za adui zao kwa sababu ya dhambi zao; pia kwa sababu ya dhambi za baba zao wataangamia.

LEV 26:40 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kama watatubu dhambi zao na dhambi za baba zao, udanganyifu wao dhidi yangu na uadui wao kwangu,

LEV 26:41 Removed trailing space in v~: ambao ulinifanya niwe na uadui nao hata nikawapeleka katika nchi ya adui zao, wakati mioyo yao isiyotahiriwa itanyenyekea na kutubu dhambi yao,

LEV 26:42 Removed trailing space in v~: nami nitakumbuka agano langu na Yakobo, na agano langu na Isaki, na agano langu na Abrahamu, nami nitaikumbuka nchi.

LEV 26:43 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wataiacha nchi ukiwa, nayo itafurahia Sabato zake wakati itakuwa ukiwa bila wao. Wataadhibiwa kwa ajili ya dhambi zao, kwa sababu walizikataa sheria zangu na kuzichukia amri zangu.

LEV 26:44 Removed trailing space in v~: Lakini pamoja na hili, wakati watakuwa katika nchi ya adui zao, sitawakataa wala kuwachukia kiasi cha kuwaharibu kabisa na kuvunja agano langu nao. Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wao.

LEV 26:45 Removed trailing space in v~: Lakini kwa ajili yao nitalikumbuka agano langu na baba zao, ambao niliwatoa Misri mbele ya mataifa ili niwe Mungu wao. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

LEV 26:46 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo amri, sheria na pia masharti ambazo \nd Bwana\nd* alifanya kati yake mwenyewe na Waisraeli katika Mlima Sinai kupitia kwa Mose.

LEV 27:0 Extra space after chapter number

LEV 27:0 Removed trailing space in c: 27

LEV 27:0 Removed trailing space in s1: Kukomboa Kile Kilicho Cha \nd Bwana\nd*

LEV 27:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

LEV 27:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Kama mtu yeyote ataweka nadhiri maalum ili kuweka watu wakfu kwa \nd Bwana\nd*, kwa kutoa kiasi cha thamani inayolingana,

LEV 27:3 Removed trailing space in v~: thamani ya kukomboa mwanaume mwenye kati ya umri wa miaka ishirini na miaka sitini itakuwa shekeli hamsini\f + \fr 27:3 \ft Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.\f* za fedha, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu;

LEV 27:4 Removed trailing space in v~: ikiwa ni mwanamke, weka thamani yake kwa shekeli thelathini.\f + \fr 27:4 \ft Shekeli 30 za fedha ni sawa na gramu 360.\f*

LEV 27:5 Removed trailing space in v~: Kama ni mtu mwenye umri wa miaka kati ya mitano na ishirini, weka thamani ya mwanaume kuwa shekeli ishirini,\f + \fr 27:5 \ft Shekeli 20 za fedha ni sawa na gramu 240.\f* na mwanamke shekeli kumi.\f + \fr 27:5 \ft Shekeli 10 za fedha ni sawa na gramu 120.\f*

LEV 27:6 Removed trailing space in v~: Kama ni mtu mwenye umri kati ya mwezi mmoja na miaka mitano, weka thamani ya mwanaume kuwa shekeli tano za fedha, na ile ya mwanamke kuwa shekeli tatu\f + \fr 27:6 \ft Shekeli tatu za fedha ni sawa na gramu 36.\f* za fedha.

LEV 27:7 Removed trailing space in v~: Kama ni mtu mwenye miaka sitini na zaidi, weka thamani ya mwanaume kuwa shekeli kumi na tano,\f + \fr 27:7 \ft Shekeli 15 za fedha ni sawa na gramu 180.\f* na mwanamke shekeli kumi.

LEV 27:8 Removed trailing space in v~: Kama mtu yeyote anayeweka nadhiri ni maskini mno kuweza kulipa kiasi kilichowekwa, atampeleka huyo mtu kwa kuhani, ambaye ataweka thamani yake kulingana na kile mweka nadhiri anachoweza kulipa.

LEV 27:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama kile mtu alichokiwekea nadhiri ni mnyama anayekubalika kama sadaka kwa \nd Bwana\nd*, mnyama wa namna hiyo aliyetolewa kwa \nd Bwana\nd* anakuwa mtakatifu.

LEV 27:10 Removed trailing space in v~: Mtu haruhusiwi kumbadilisha au kutoa mnyama mzuri kwa mbaya, au mnyama mbaya kwa mzuri. Kama atatoa mnyama badala ya mwingine, wanyama wote wawili, yaani yule aliyetolewa na yule aliyebadiliwa, ni watakatifu.

LEV 27:11 Removed trailing space in v~: Kama alichokiwekea nadhiri ni mnyama aliye najisi kiibada, yaani yule asiye kubalika kuwa sadaka kwa \nd Bwana\nd*, huyo mnyama lazima aletwe kwa kuhani,

LEV 27:12 Removed trailing space in v~: ambaye ataamua ubora wa mnyama huyo, kama ni mzuri au mbaya. Thamani yoyote atakayoweka kuhani, hivyo ndivyo itakavyokuwa.

LEV 27:13 Removed trailing space in v~: Kama mwenye mnyama atapenda kumkomboa mnyama huyo, lazima aongeze sehemu ya tano ya thamani yake.

LEV 27:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mtu ataweka nyumba yake wakfu kama kitu kitakatifu kwa \nd Bwana\nd*, kuhani ataamua ubora wa nyumba hiyo, kama ni nzuri au mbaya. Thamani yoyote kuhani atakayoweka, basi hivyo ndivyo itakavyokuwa.

LEV 27:15 Removed trailing space in v~: Kama mtu aliyeweka nyumba yake wakfu ataikomboa, lazima aongeze sehemu ya tano ya thamani yake, nayo nyumba itakuwa yake tena.

LEV 27:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mtu anaweka sehemu ya ardhi ya jamaa yake wakfu kwa \nd Bwana\nd*, thamani yake itawekwa kulingana na kiasi cha mbegu inayohitajiwa kupandwa katika ardhi hiyo, yaani homeri\f + \fr 27:16 \ft Homeri moja ni sawa na efa 10, ambazo ni sawa na kilo 100.\f* moja ya mbegu za shayiri kwa shekeli hamsini za fedha.

LEV 27:17 Removed trailing space in v~: Kama akiweka shamba lake wakfu katika Mwaka wa Yubile, ile thamani iliyokwisha wekwa itakuwa iyo hiyo.

LEV 27:18 Removed trailing space in v~: Lakini kama akiweka shamba lake wakfu baada ya Yubile, kuhani ataweka thamani kulingana na idadi ya miaka iliyobaki kufikia Mwaka wa Yubile unaofuata, na thamani yake iliyoamuliwa itapunguzwa.

LEV 27:19 Removed trailing space in v~: Kama mtu anayeweka wakfu shamba anataka kulikomboa, lazima aongeze sehemu ya tano ya thamani yake, nalo shamba litakuwa lake tena.

LEV 27:20 Removed trailing space in v~: Kama pengine halikomboi shamba hilo, au kama ameliuza kwa mtu mwingine, kamwe haliwezi kukombolewa.

LEV 27:21 Removed trailing space in v~: Shamba hilo litakapoachiwa mwaka wa Yubile, litakuwa takatifu, kama shamba lililotolewa kwa \nd Bwana\nd*, nalo litakuwa mali ya makuhani.

LEV 27:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mtu ameweka wakfu kwa \nd Bwana\nd* shamba alilonunua, ambalo si sehemu ya ardhi ya jamaa yake,

LEV 27:23 Removed trailing space in v~: kuhani ataamua thamani yake hadi Mwaka wa Yubile, naye huyo mtu atalazimika kulipa thamani yake siku hiyo kama kitu kitakatifu kwa \nd Bwana\nd*.

LEV 27:24 Removed trailing space in v~: Katika Mwaka wa Yubile, shamba litarudishwa kwa mtu yule ambaye lilinunuliwa kutoka kwake, yule ambaye ardhi ilikuwa mali yake.

LEV 27:25 Removed trailing space in v~: Kila thamani lazima iwekwe kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,\f + \fr 27:25 \ft Shekeli moja ya mahali patakatifu ni sawa na gramu 11.\f* gera ishirini kwa shekeli.

LEV 27:26 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini hakuna mtu atakayeweka wakfu mzaliwa wa kwanza wa mnyama, kwa kuwa mzaliwa wa kwanza tayari ni mali ya \nd Bwana\nd*; awe ngʼombe au kondoo, ni wa \nd Bwana\nd*.

LEV 27:27 Removed trailing space in v~: Kama ni mmoja wa wanyama walio najisi, aweza kumnunua kwa bei iliyowekwa, akiongeza sehemu ya tano ya thamani yake. Kama hatamkomboa, mnyama huyo atauzwa kwa bei iliyowekwa.

LEV 27:28 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini chochote kile mtu alicho nacho na akakiweka wakfu\f + \fr 27:28 \fq Akakiweka wakfu \ft ina maana ya kumpa Mungu kabisa, daima, bila kurudiwa.\f* kwa \nd Bwana\nd*, iwe ni binadamu, au mnyama, au ardhi ya jamaa, hakiwezi kuuzwa au kukombolewa. Chochote kilichowekwa wakfu ni kitakatifu sana kwa \nd Bwana\nd*.

LEV 27:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Mtu yeyote aliyewekwa wakfu ili kuangamizwa, hawezi kukombolewa. Mtu kama huyo lazima auawe.

LEV 27:30 Removed trailing space in v~: “ ‘Zaka ya kila kitu kutoka shambani, iwe ni nafaka kutoka kwa ardhi, au tunda kutoka kwa miti, ni mali ya \nd Bwana\nd*; ni takatifu kwa \nd Bwana\nd*.

LEV 27:31 Removed trailing space in v~: Kama mtu akikomboa chochote cha zaka yake, lazima aongeze sehemu ya tano ya thamani yake.

LEV 27:32 Removed trailing space in v~: Zaka yote ya kundi la ngʼombe au la kondoo na mbuzi, kila mnyama wa kumi apitaye chini ya fimbo ya yule awachungaye, atakuwa mtakatifu kwa \nd Bwana\nd*.

LEV 27:33 Removed trailing space in v~: Yule mnyama wa kumi hatachaguliwa kwa kigezo cha uzuri au ubaya, naye haruhusiwi kubadiliwa. Ikiwa atabadiliwa, basi mnyama yule wa kwanza na huyo aliyebadiliwa wote watahesabiwa kuwa watakatifu, na haiwezekani kuwakomboa.’ ”

LEV 27:34 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maagizo \nd Bwana\nd* aliyompa Mose juu ya Mlima Sinai kwa ajili ya Waisraeli.

NUM -1:0 Removed trailing space in id: NUM - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

NUM -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

NUM -1:2 Removed trailing space in h: Hesabu

NUM -1:3 Removed trailing space in toc1: Hesabu

NUM -1:4 Removed trailing space in toc2: Hesabu

NUM -1:5 Removed trailing space in toc3: Hes

NUM -1:6 Removed trailing space in mt1: Hesabu

NUM 1:0 Extra space after chapter number

NUM 1:0 Removed trailing space in c: 1

NUM 1:0 Removed trailing space in s1: Watu Wahesabiwa Kwa Mara Ya Kwanza

NUM 1:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alisema na Mose katika Jangwa la Sinai, katika Hema la Kukutania, siku ya kwanza ya mwezi wa pili, katika mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri. Akamwambia,

NUM 1:2 Removed trailing space in v~: “Hesabu watu wa jumuiya yote ya Waisraeli kwa kufuata koo zao na jamaa zao, ukiorodhesha kila mwanaume kwa jina lake, mmoja mmoja.

NUM 1:3 Removed trailing space in v~: Wewe na Aroni mtawahesabu kwa migawanyo yao wanaume wote katika Israeli wenye miaka ishirini na kuendelea ambao wanaweza kutumika katika jeshi.

NUM 1:4 Removed trailing space in v~: Mwanaume mmoja kutoka kila kabila, kila aliye kiongozi wa jamaa yake, atawasaidia.

NUM 1:5 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya wanaume watakaowasaidia:

NUM 1:5 Removed trailing space in p~: “kutoka Reubeni, ni Elisuri mwana wa Shedeuri;

NUM 1:6 Removed trailing space in v~: kutoka Simeoni, ni Shelumieli mwana wa Surishadai;

NUM 1:7 Removed trailing space in v~: kutoka Yuda, ni Nashoni mwana wa Aminadabu;

NUM 1:8 Removed trailing space in v~: kutoka Isakari, ni Nethaneli mwana wa Suari;

NUM 1:9 Removed trailing space in v~: kutoka Zabuloni, ni Eliabu mwana wa Heloni;

NUM 1:10 Removed trailing space in v~: kutoka wana wa Yosefu:

NUM 1:10 Removed trailing space in p~: kutoka Efraimu, ni Elishama mwana wa Amihudi;

NUM 1:10 Removed trailing space in p~: kutoka Manase, ni Gamalieli mwana wa Pedasuri;

NUM 1:11 Removed trailing space in v~: kutoka Benyamini, ni Abidani mwana wa Gideoni;

NUM 1:12 Removed trailing space in v~: kutoka Dani, ni Ahiezeri mwana wa Amishadai;

NUM 1:13 Removed trailing space in v~: kutoka Asheri, ni Pagieli mwana wa Okrani;

NUM 1:14 Removed trailing space in v~: kutoka Gadi, ni Eliasafu mwana wa Deueli;

NUM 1:15 Removed trailing space in v~: kutoka Naftali, ni Ahira mwana wa Enani.”

NUM 1:16 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wanaume walioteuliwa kutoka jumuiya, viongozi wa makabila ya baba zao. Walikuwa wakuu wa koo za Israeli.

NUM 1:17 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakawachukua wanaume hao waliokuwa wamepewa majina yao,

NUM 1:18 Removed trailing space in v~: wakaita jumuiya yote pamoja katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Watu wakaonyesha nasaba zao kwa koo zao na jamaa zao, nao wanaume waliokuwa na miaka ishirini au zaidi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja,

NUM 1:19 Removed trailing space in v~: kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose. Hivyo aliwahesabu katika Jangwa la Sinai:

NUM 1:20 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Reubeni, mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Israeli:

NUM 1:20 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:21 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Reubeni ilikuwa watu 46,500.

NUM 1:22 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Simeoni:

NUM 1:22 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi walihesabiwa na kuorodheshwa kwa majina, mmoja mmoja, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:23 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Simeoni walikuwa watu 59,300.

NUM 1:24 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Gadi:

NUM 1:24 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:25 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Gadi walikuwa watu 45,650.

NUM 1:26 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Yuda:

NUM 1:26 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:27 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Yuda walikuwa watu 74,600.

NUM 1:28 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Isakari:

NUM 1:28 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:29 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Isakari walikuwa watu 54,400.

NUM 1:30 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Zabuloni:

NUM 1:30 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:31 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Zabuloni walikuwa watu 57,400.

NUM 1:32 Removed trailing space in v~: Kutoka wana wa Yosefu:

NUM 1:32 Removed trailing space in p~: Kutoka wazao wa Efraimu:

NUM 1:32 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:33 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Efraimu walikuwa watu 40,500.

NUM 1:34 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Manase:

NUM 1:34 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:35 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Manase walikuwa watu 32,200.

NUM 1:36 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Benyamini:

NUM 1:36 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:37 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Benyamini walikuwa watu 35,400.

NUM 1:38 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Dani:

NUM 1:38 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:39 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Dani walikuwa watu 62,700.

NUM 1:40 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Asheri:

NUM 1:40 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:41 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Asheri walikuwa watu 41,500.

NUM 1:42 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Naftali:

NUM 1:42 Removed trailing space in p~: Wanaume wote waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi waliorodheshwa kwa majina, kufuatana na kumbukumbu za koo zao na jamaa zao.

NUM 1:43 Removed trailing space in v~: Idadi kutoka kabila la Naftali walikuwa watu 53,400.

NUM 1:44 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wanaume waliohesabiwa na Mose, Aroni na viongozi kumi na wawili wa Israeli, kila mmoja akiwakilisha jamaa yake.

NUM 1:45 Removed trailing space in v~: Wanaume wote Waisraeli waliokuwa na miaka ishirini au zaidi ambao waliweza kutumika katika jeshi la Israeli walihesabiwa kufuatana na jamaa zao.

NUM 1:46 Removed trailing space in v~: Jumla ya hesabu yao ilikuwa watu 603,550.

NUM 1:47 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, jamaa ya kabila la Lawi hawakuhesabiwa pamoja na wengine.

NUM 1:48 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Mose:

NUM 1:49 Removed trailing space in v~: “Kamwe usihesabu kabila la Lawi wala kuwaweka pamoja katika hesabu ya Waisraeli wengine.

NUM 1:50 Removed trailing space in v~: Badala yake, waweke Walawi kuwa viongozi wa Maskani ya Ushuhuda, juu ya samani zake na kila kitu kilichomo ndani yake. Wao watabeba Maskani na samani zake zote; wataitunza na kupiga kambi kuizunguka.

NUM 1:51 Removed trailing space in v~: Wakati wowote Maskani inapohamishwa, Walawi wataifungua, na wakati wowote maskani inapotakiwa kusimamishwa, Walawi watafanya kazi hiyo. Mtu yeyote mwingine ambaye atasogea karibu nayo atauawa.

NUM 1:52 Removed trailing space in v~: Waisraeli watapiga mahema yao kwa makundi makundi, kila mwanaume katika kambi yake mwenyewe chini ya bendera yake.

NUM 1:53 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Walawi watapiga mahema yao kuzunguka Maskani ya Ushuhuda ili ghadhabu isiipate jumuiya ya Waisraeli. Walawi watawajibika kwa utunzaji wa Maskani ya Ushuhuda.”

NUM 1:54 Removed trailing space in v~: Waisraeli walifanya yote haya sawasawa kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 2:0 Extra space after chapter number

NUM 2:0 Removed trailing space in c: 2

NUM 2:0 Removed trailing space in s1: Mpangilio Wa Kambi Za Makabila

NUM 2:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* aliwaambia Mose na Aroni:

NUM 2:2 Removed trailing space in v~: “Waisraeli watapiga kambi zao kuzunguka Hema la Kukutania kwa umbali fulani kutoka kwenye hema, kila mwanaume chini ya alama yake pamoja na bendera ya jamaa yake.”

NUM 2:3 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa mashariki kuelekea mawio ya jua, kambi ya makundi ya Yuda watapiga kambi chini ya alama yao. Kiongozi wa watu wa Yuda ni Nashoni mwana wa Aminadabu.

NUM 2:4 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 74,600.

NUM 2:5 Removed trailing space in v~: Kabila la Isakari watapiga kambi karibu na Yuda. Kiongozi wa watu wa Isakari ni Nethaneli mwana wa Suari.

NUM 2:6 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 54,400.

NUM 2:7 Removed trailing space in v~: Kabila la Zabuloni litafuata. Kiongozi wa watu wa Zabuloni ni Eliabu mwana wa Heloni.

NUM 2:8 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 57,400.

NUM 2:9 Removed trailing space in v~: Wanaume wote walio katika kambi ya Yuda, kufuatana na makundi yao, ni 186,400. Wao watatangulia kuondoka.

NUM 2:10 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa kusini kutakuwa kambi ya makundi ya Reubeni chini ya alama yao. Kiongozi wa watu wa Reubeni ni Elisuri mwana wa Shedeuri.

NUM 2:11 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 46,500.

NUM 2:12 Removed trailing space in v~: Kabila la Simeoni watapiga kambi karibu na Reubeni. Kiongozi wa watu wa Simeoni ni Shelumieli mwana wa Surishadai.

NUM 2:13 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 59,300.

NUM 2:14 Removed trailing space in v~: Kabila la Gadi litafuata. Kiongozi wa watu wa Gadi ni Eliasafu mwana wa Deueli.

NUM 2:15 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 45,650.

NUM 2:16 Removed trailing space in v~: Wanaume wote walio katika kambi ya Reubeni, kufuatana na makundi yao, ni 151,450. Nao watakuwa nafasi ya pili kuondoka.

NUM 2:17 Removed trailing space in v~: Kisha Hema la Kukutania na kambi ya Walawi vitakuwa katikati ya kambi zote. Wao watasafiri kwa utaratibu ule ule kama walivyopiga kambi, kila mmoja mahali pake mwenyewe chini ya alama yake.

NUM 2:18 Removed trailing space in v~: Upande wa magharibi kutakuwepo na kambi ya makundi ya Efraimu chini ya alama yao. Kiongozi wa watu wa Efraimu ni Elishama mwana wa Amihudi.

NUM 2:19 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 40,500.

NUM 2:20 Removed trailing space in v~: Kabila la Manase litafuata baada ya Efraimu. Kiongozi wa watu wa Manase ni Gamalieli mwana wa Pedasuri.

NUM 2:21 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 32,200.

NUM 2:22 Removed trailing space in v~: Kabila la Benyamini litafuata baada ya Manase. Kiongozi wa watu wa Benyamini ni Abidani mwana wa Gideoni.

NUM 2:23 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 35,400.

NUM 2:24 Removed trailing space in v~: Wanaume wote walio katika kambi ya Efraimu kufuatana na makundi yao ni 108,100. Nao watakuwa nafasi ya tatu kuondoka.

NUM 2:25 Removed trailing space in v~: Upande wa kaskazini kutakuwa na makundi ya kambi ya Dani, chini ya alama yao. Kiongozi wa watu wa Dani ni Ahiezeri mwana wa Amishadai.

NUM 2:26 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 62,700.

NUM 2:27 Removed trailing space in v~: Kabila la Asheri watapiga kambi karibu na Dani. Kiongozi wa watu wa Asheri ni Pagieli mwana wa Okrani.

NUM 2:28 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 41,500.

NUM 2:29 Removed trailing space in v~: Kabila la Naftali litafuata. Kiongozi wa watu wa Naftali ni Ahira mwana wa Enani.

NUM 2:30 Removed trailing space in v~: Kundi lake lina watu 53,400.

NUM 2:31 Removed trailing space in v~: Wanaume wote walio katika kambi ya Dani ni 157,600. Wao watakuwa wa mwisho kuondoka chini ya alama yao.

NUM 2:32 Removed trailing space in v~: Hawa ndio Waisraeli, wakiwa wamehesabiwa kufuatana na jamaa zao. Wote walio kambini kwa makundi yao ni watu 603,550.

NUM 2:33 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Walawi hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

NUM 2:34 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Waisraeli wakafanya kila kitu \nd Bwana\nd* alichomwamuru Mose. Hivyo ndivyo walivyopiga kambi chini ya alama zao, pia hivyo ndivyo walivyoondoka, kila mmoja akiwa na ukoo wake na jamaa yake.

NUM 3:0 Extra space after chapter number

NUM 3:0 Removed trailing space in c: 3

NUM 3:0 Removed trailing space in s1: Walawi

NUM 3:1 Removed trailing space in v~: Hii ni hesabu ya jamaa ya Aroni na Mose kwa wakati ambao \nd Bwana\nd* alizungumza na Mose katika Mlima Sinai.

NUM 3:2 Removed trailing space in v~: Majina ya wana wa Aroni yalikuwa: Nadabu mzaliwa wa kwanza na Abihu, Eleazari na Ithamari.

NUM 3:3 Removed trailing space in v~: Hayo yalikuwa majina ya wana wa Aroni, makuhani wapakwa mafuta, waliokuwa wamesimikwa kuhudumu kama makuhani.

NUM 3:4 Removed trailing space in v~: Hata hivyo Nadabu na Abihu walikufa mbele za \nd Bwana\nd* walipotoa sadaka kwa moto usioruhusiwa mbele zake katika Jangwa la Sinai. Hawakuwa na wana; kwa hiyo Eleazari na Ithamari walihudumu peke yao kama makuhani wakati wote wa maisha ya Aroni baba yao.

NUM 3:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 3:6 Removed trailing space in v~: “Walete watu wa kabila la Lawi mbele ya Aroni kuhani ili wamsaidie.

NUM 3:7 Removed trailing space in v~: Watafanya huduma kwa ajili yake na kwa jumuiya yote katika Hema la Kukutania kwa kufanya kazi za Maskani.

NUM 3:8 Removed trailing space in v~: Watatunza samani zote za Hema la Kukutania, wakitimiza wajibu wa kuhudumia Waisraeli kwa kufanya kazi ya Maskani.

NUM 3:9 Removed trailing space in v~: Wakabidhi Walawi kwa Aroni na wanawe; hao ndio Waisraeli ambao wanakabidhiwa kwake kabisa.

NUM 3:10 Removed trailing space in v~: Waweke Aroni na wanawe kuhudumu kama makuhani; mtu mwingine yeyote atakayesogea mahali patakatifu ni lazima auawe.”

NUM 3:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 3:12 Removed trailing space in v~: “Nimewatwaa Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli badala ya mzaliwa wa kwanza wa kiume wa kila mwanamke wa Mwisraeli. Walawi ni wangu,

NUM 3:13 Removed trailing space in v~: kwa kuwa wazaliwa wote wa kwanza ni wangu. Nilipowaua wazaliwa wa kwanza huko Misri, nilimtenga kila mzaliwa wa kwanza katika Israeli awe wangu, akiwa mwanadamu au mnyama. Watakuwa wangu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

NUM 3:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose katika Jangwa la Sinai,

NUM 3:15 Removed trailing space in v~: “Wahesabu Walawi kwa jamaa zao na koo zao. Mhesabu kila mwanaume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi.”

NUM 3:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akawahesabu, kama alivyoamriwa na neno la \nd Bwana\nd*.

NUM 3:17 Removed trailing space in v~: Haya yalikuwa majina ya wana wa Lawi:

NUM 3:17 Removed trailing space in p~: Gershoni, Kohathi na Merari.

NUM 3:18 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo yaliyokuwa majina ya koo za Wagershoni:

NUM 3:18 Removed trailing space in p~: Libni na Shimei.

NUM 3:19 Removed trailing space in v~: Koo za Wakohathi zilikuwa ni:

NUM 3:19 Removed trailing space in p~: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

NUM 3:20 Removed trailing space in v~: Koo za Wamerari zilikuwa ni:

NUM 3:20 Removed trailing space in p~: Mahli na Mushi.

NUM 3:20 Removed trailing space in p~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Walawi, kufuatana na jamaa zao.

NUM 3:21 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na koo za Walibni na Washimei kwa Gershoni; hizi ndizo zilizokuwa koo za Wagershoni.

NUM 3:22 Removed trailing space in v~: Idadi ya waume wote waliokuwa na mwezi mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 7,500.

NUM 3:23 Removed trailing space in v~: Ukoo wa Wagershoni walitakiwa kuweka kambi zao upande wa magharibi, nyuma ya Maskani.

NUM 3:24 Removed trailing space in v~: Kiongozi wa jamaa za Wagershoni alikuwa Eliasafu mwana wa Laeli.

NUM 3:25 Removed trailing space in v~: Katika Hema la Kukutania, Wagershoni walikuwa na wajibu wa kutunza Maskani na hema, vifuniko vyake, pazia katika mlango wa kuingilia ndani ya Hema la Kukutania,

NUM 3:26 Removed trailing space in v~: mapazia ya ua, pazia katika ingilio la ua unaozunguka Maskani na madhabahu, pamoja na kamba, na kila kinachohusika kwa matumizi yake.

NUM 3:27 Removed trailing space in v~: Kwa Kohathi kulikuwepo koo za Waamramu, Waishari, Wahebroni na Wauzieli; hizi ndizo zilizokuwa koo za Wakohathi.

NUM 3:28 Removed trailing space in v~: Hesabu ya waume wote wenye mwezi mmoja au zaidi ilikuwa watu 8,600. Wakohathi waliwajibika kutunza mahali patakatifu.

NUM 3:29 Removed trailing space in v~: Koo za Wakohathi zilitakiwa kuweka kambi zao upande wa kusini wa Maskani.

NUM 3:30 Removed trailing space in v~: Kiongozi wa jamaa za koo za Wakohathi alikuwa Elisafani mwana wa Uzieli.

NUM 3:31 Removed trailing space in v~: Waliwajibika kutunza Sanduku la Agano, meza, kinara cha taa, madhabahu, na vile vyombo vya mahali patakatifu vinavyotumika kuhudumu, pazia, na kila kitu kinachohusika na matumizi yake.

NUM 3:32 Removed trailing space in v~: Kiongozi mkuu wa Walawi alikuwa Eleazari mwana wa kuhani, Aroni. Aliwekwa juu ya wale waliowajibika kutunza mahali patakatifu.

NUM 3:33 Removed trailing space in v~: Kwa Merari kulikuwa na koo za Wamahli na Wamushi; hizi zilikuwa koo za Merari.

NUM 3:34 Removed trailing space in v~: Hesabu ya waume wote wenye umri wa mwaka mmoja au zaidi waliohesabiwa walikuwa 6,200.

NUM 3:35 Removed trailing space in v~: Kiongozi wa jamaa za koo za Wamerari alikuwa Surieli mwana wa Abihaili; hawa walitakiwa kuweka kambi zao upande wa kaskazini mwa Maskani.

NUM 3:36 Removed trailing space in v~: Wamerari waliwekwa kutunza miimo ya Maskani, mataruma yake, nguzo, vitako na vifaa vyake vyote na kila kitu kilichohusika na matumizi yake,

NUM 3:37 Removed trailing space in v~: na pia nguzo za ua unaozunguka pamoja na vitako vyake, vigingi vya hema na kamba zake.

NUM 3:38 Removed trailing space in v~: Mose, na Aroni na wanawe walitakiwa kuweka kambi zao mashariki mwa Maskani, kuelekea mawio ya jua, mbele ya Hema la Kukutania. Wao walihusika na utunzaji wa mahali patakatifu kwa niaba ya Waisraeli. Mtu mwingine yeyote aliyepasogelea mahali patakatifu angeuawa.

NUM 3:39 Removed trailing space in v~: Jumla ya hesabu ya Walawi waliohesabiwa na Mose na Aroni kwa amri ya \nd Bwana\nd*, kufuatana na koo, pamoja na kila mume mwenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walikuwa 22,000.

NUM 3:40 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Wahesabu wazaliwa wa kwanza wa kiume wote wa Waisraeli wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi na uorodheshe majina yao.

NUM 3:41 Removed trailing space in v~: Nitwalie Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli, nayo mifugo ya Walawi badala ya wazaliwa wa mifugo ya Waisraeli. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

NUM 3:42 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akawahesabu wazaliwa wa kwanza wote wa Waisraeli, kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru.

NUM 3:43 Removed trailing space in v~: Jumla ya hesabu ya wazaliwa wa kwanza waume wenye umri wa mwezi mmoja au zaidi, walioorodheshwa kwa majina, walikuwa 22,273.

NUM 3:44 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 3:45 Removed trailing space in v~: “Watwae Walawi badala ya wazaliwa wa kwanza wote wa Israeli, nayo mifugo ya Walawi badala ya mifugo yao. Walawi watakuwa wangu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

NUM 3:46 Removed trailing space in v~: Ili kukomboa wazao wa kwanza 273 wa Waisraeli ambao wamezidi hesabu ya Walawi,

NUM 3:47 Removed trailing space in v~: kusanya shekeli tano\f + \fr 3:47 \ft Shekeli tano ni sawa na gramu 55.\f* kwa kila mmoja, kufuatana na shekeli ya mahali patakatifu, ambayo ina uzito wa gera ishirini.\f + \fr 3:47 \ft Gera 20 ni sawa na gramu 11.\f*

NUM 3:48 Removed trailing space in v~: Mpe Aroni na wanawe hizo fedha kwa ajili ya ukombozi wa idadi ya Waisraeli waliozidi.”

NUM 3:49 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akakusanya fedha za ukombozi kutoka kwa wale ambao hesabu yao ilizidi wale waliokombolewa na Walawi.

NUM 3:50 Removed trailing space in v~: Kutokana na wazaliwa wa kwanza wa Waisraeli alikusanya fedha yenye uzito wa shekeli 1,365\f + \fr 3:50 \ft Shekeli 1,365 ni sawa na kilo 15.5.\f* kufuatana na shekeli ya mahali patakatifu.

NUM 3:51 Removed trailing space in v~: Mose akampa Aroni na wanawe ile fedha ya ukombozi, kama alivyoamriwa na neno la \nd Bwana\nd*.

NUM 4:0 Extra space after chapter number

NUM 4:0 Removed trailing space in c: 4

NUM 4:0 Removed trailing space in s1: Wakohathi

NUM 4:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawaambia Mose na Aroni,

NUM 4:2 Removed trailing space in v~: “Wahesabu Wakohathi walio sehemu ya Walawi kwa koo zao na jamaa zao.

NUM 4:3 Removed trailing space in v~: Wahesabu wanaume wote wenye umri wa miaka thelathini hadi hamsini wanaokuja kutumika katika kazi ya Hema la Kukutania.

NUM 4:4 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo kazi ya Wakohathi katika Hema la Kukutania: Watatunza vitu vilivyo vitakatifu sana.

NUM 4:5 Removed trailing space in v~: Wakati kambi inapohamishwa, Aroni na wanawe wataingia ndani na kushusha lile pazia la kuzuilia na kufunika nalo Sanduku la Ushuhuda.

NUM 4:6 Removed trailing space in v~: Kisha watafunika juu yake na ngozi za pomboo,\f + \fr 4:6 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* na kutandaza juu yake kitambaa cha rangi ya buluu iliyokolea na kuingiza mipiko mahali pake.

NUM 4:6 Found footnote ending with space in \v~: Kisha watafunika juu yake na ngozi za pomboo,\f + \fr 4:6 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini aishiye kwenye milima yenye misitu, au pengine nguva au sili. \f* na kutandaza juu yake kitambaa cha rangi ya buluu iliyokolea na kuingiza mipiko mahali pake.

NUM 4:7 Removed trailing space in v~: “Juu ya meza ya mikate ya Wonyesho watatandaza kitambaa cha buluu na waweke sahani juu yake, masinia, bakuli na magudulia kwa ajili ya sadaka za kinywaji; mkate ule ambao upo hapa daima utabaki juu yake.

NUM 4:8 Removed trailing space in v~: Juu ya hivyo vitu watatandaza kitambaa chekundu na kufunika kwa ngozi za pomboo na kuweka mipiko yake mahali pake.

NUM 4:9 Removed trailing space in v~: “Watachukua kitambaa cha buluu na kufunika kinara cha taa kilicho kwa ajili ya nuru, pamoja na taa zake, mikasi yake, sinia zake, magudulia yake yote yaliyotumika kuwekea mafuta.

NUM 4:10 Removed trailing space in v~: Kisha watakisokotea pamoja na vifaa vyake vyote katika ngozi za pomboo na kukiweka kwenye jukwaa lake.

NUM 4:11 Removed trailing space in v~: “Juu ya madhabahu ya dhahabu watatandaza kitambaa cha buluu na kukifunika kwa ngozi za pomboo na kuweka mipiko yake mahali pake.

NUM 4:12 Removed trailing space in v~: “Watavichukua vyombo vyote vinavyotumika kuhudumia mahali patakatifu, watavisokotea kwenye kitambaa cha buluu na kufunika kwa ngozi za pomboo, na kuviweka juu ya miti ya kuchukulia.

NUM 4:13 Removed trailing space in v~: “Wataondoa majivu kutoka madhabahu ya shaba na kutandaza kitambaa cha zambarau juu yake.

NUM 4:14 Removed trailing space in v~: Kisha wataweka vyombo vyote juu yake vinavyotumika kwa kuhudumia madhabahuni pamoja na vyombo vya kutolea moto, nyuma, miiko na mabakuli ya kunyunyizia. Juu yake watatandaza ngozi za pomboo ya kufunika, na kuweka mipiko mahali pake.

NUM 4:15 Removed trailing space in v~: “Baada ya Aroni na wanawe kumaliza kazi ya kufunika samani takatifu na vyombo vyake vyote, watu watakapokuwa tayari kungʼoa kambi, Wakohathi watakuja kufanya kazi ya kubeba. Lakini wasije wakagusa vitu vitakatifu la sivyo watakufa. Wakohathi ndio watakaobeba vile vitu vilivyomo katika Hema la Kukutania.

NUM 4:16 Removed trailing space in v~: “Eleazari mwana wa Aroni, kuhani, ndiye atakayesimamia mafuta kwa ajili ya taa, uvumba wenye harufu nzuri, sadaka za kila siku za nafaka na mafuta ya upako. Ndiye atakayekuwa msimamizi wa maskani yote ya \nd Bwana\nd* na kila kitu kilichomo ndani mwake pamoja na samani takatifu na vyombo vyake.”

NUM 4:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawaambia Mose na Aroni,

NUM 4:18 Removed trailing space in v~: “Hakikisheni kwamba koo za kabila la Wakohathi hawatengwi kutoka Walawi.

NUM 4:19 Removed trailing space in v~: Ili wapate kuishi wala wasife wanapokaribia vitu vitakatifu sana, uwafanyie hivi: Aroni na wanawe watakwenda mahali patakatifu na kumgawia kila mtu kazi yake, na kwamba ni nini atakachochukua.

NUM 4:20 Removed trailing space in v~: Lakini Wakohathi hawaruhusiwi kuingia ndani ili kuangalia vitu vitakatifu, hata kwa kitambo kidogo, la sivyo watakufa.”

NUM 4:20 Removed trailing space in s1: Wagershoni

NUM 4:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 4:22 Removed trailing space in v~: “Wahesabu pia Wagershoni kwa jamaa zao na koo zao.

NUM 4:23 Removed trailing space in v~: Wahesabu wanaume wote wenye umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao huja kutumika katika Hema la Kukutania.

NUM 4:24 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo huduma ya koo za Wagershoni wakati wanapofanya kazi na kubeba mizigo.

NUM 4:25 Removed trailing space in v~: Watabeba mapazia ya maskani. Hema la Kukutania, kifuniko chake na kifuniko cha nje cha ngozi za pomboo, mapazia ya maingilio ya Hema la Kukutania,

NUM 4:26 Removed trailing space in v~: mapazia ya ua unaozunguka Maskani na madhabahu, pazia la maingilio, kamba na vifaa vyote vinavyotumika katika huduma yake. Wagershoni watafanya yote yatakiwayo kufanyika na vitu hivi.

NUM 4:27 Removed trailing space in v~: Utumishi wao wote ukiwa ni kuchukua au wa kufanya kazi nyingine, utafanyika chini ya maelekezo ya Aroni na wanawe. Mtawapangia kama wajibu wao yote watakayoyafanya.

NUM 4:28 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo huduma ya koo za Wagershoni katika Hema la Kukutania. Wajibu wao utakuwa chini ya maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani Aroni.

NUM 4:28 Removed trailing space in s1: Wamerari

NUM 4:29 Removed trailing space in v~: “Wahesabu Wamerari kwa koo zao na jamaa zao.

NUM 4:30 Removed trailing space in v~: Wahesabu wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao watakuja kutumika katika Hema la Kukutania.

NUM 4:31 Removed trailing space in v~: Huu ndio wajibu wao wanapofanya huduma katika Hema la Kukutania: kubeba miimo ya Maskani, mataruma yake, nguzo na vitako,

NUM 4:32 Removed trailing space in v~: nguzo za ua unaozunguka pamoja na vitako vyake, vigingi vya hema, kamba, vifaa vyake vyote na kila kitu kinachohusiana na matumizi yake. Kila mtu mpangie vitu maalum vya kubeba.

NUM 4:33 Removed trailing space in v~: Huu ndio utumishi wa koo za Merari kama watakavyofanya kazi katika Hema la Kukutania, chini ya maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani, Aroni.”

NUM 4:33 Removed trailing space in s1: Kuhesabiwa Kwa Koo Za Walawi

NUM 4:34 Removed trailing space in v~: Mose, Aroni na viongozi wa jumuiya wakawahesabu Wakohathi kwa koo zao na jamaa zao.

NUM 4:35 Removed trailing space in v~: Wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania,

NUM 4:36 Removed trailing space in v~: waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 2,750.

NUM 4:37 Removed trailing space in v~: Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wote wale wa koo za Wakohathi ambao walitumika katika Hema la Kukutania. Mose na Aroni waliwahesabu kufuatana na amri ya \nd Bwana\nd* kupitia kwa Mose.

NUM 4:38 Removed trailing space in v~: Wagershoni walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

NUM 4:39 Removed trailing space in v~: Watu wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania,

NUM 4:40 Removed trailing space in v~: waliohesabiwa kwa koo zao na jamaa zao, walikuwa 2,630.

NUM 4:41 Removed trailing space in v~: Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wale wa koo za Gershoni ambao walitumika katika Hema la Kukutania. Mose na Aroni waliwahesabu kufuatana na amri ya \nd Bwana\nd*.

NUM 4:42 Removed trailing space in v~: Wamerari walihesabiwa kwa koo zao na jamaa zao.

NUM 4:43 Removed trailing space in v~: Wanaume wote kuanzia umri wa miaka thelathini hadi miaka hamsini ambao walikuja kutumika katika Hema la Kukutania,

NUM 4:44 Removed trailing space in v~: waliohesabiwa kwa koo zao, walikuwa 3,200.

NUM 4:45 Removed trailing space in v~: Hii ilikuwa ndiyo jumla ya wale wa koo za Wamerari. Mose na Aroni waliwahesabu kufuatia amri ya \nd Bwana\nd* kupitia kwa Mose.

NUM 4:46 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose, Aroni na viongozi wa Israeli waliwahesabu Walawi wote kwa koo zao na jamaa zao.

NUM 4:47 Removed trailing space in v~: Wanaume wote wenye umri kuanzia miaka thelathini hadi hamsini waliokuja kufanya kazi ya kuhudumu na kubeba Hema la Kukutania

NUM 4:48 Removed trailing space in v~: walikuwa watu 8,580.

NUM 4:49 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya \nd Bwana\nd* kupitia Mose, kila mmoja aligawiwa kazi yake na kuambiwa kitu cha kubeba.

NUM 4:49 Removed trailing space in p~: Hivyo ndivyo walivyohesabiwa kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 5:0 Extra space after chapter number

NUM 5:0 Removed trailing space in c: 5

NUM 5:0 Removed trailing space in s1: Utakaso Wa Kambi

NUM 5:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 5:2 Removed trailing space in v~: “Waamuru Waisraeli kumtoa nje ya kambi mtu yeyote ambaye ana ugonjwa wa ngozi uambukizao,\f + \fr 5:2 \ft Ugonjwa wa ngozi uambukizao hapa ina maana ya ukoma.\f* au anayetokwa na majimaji ya aina yoyote, au ambaye ni najisi kwa utaratibu wa ibada kwa sababu ya maiti.

NUM 5:3 Removed trailing space in v~: Hii itakuwa ni kwa wote, yaani, wanaume na wanawake; watoeni nje ya kambi ili wasije wakanajisi kambi yao, ambamo ninaishi miongoni mwao.”

NUM 5:4 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya hivyo; wakawatoa nje ya kambi. Wakafanya kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amemwelekeza Mose.

NUM 5:4 Removed trailing space in s1: Malipo Kwa Ajili Ya Makosa

NUM 5:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 5:6 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli, ‘Wakati mwanaume au mwanamke akimkosea mwenzake kwa njia yoyote, na kwa hivyo akawa si mwaminifu kwa \nd Bwana\nd*, mtu huyo ana hatia,

NUM 5:7 Removed trailing space in v~: na ni lazima atubu dhambi aliyoifanya. Ni lazima atoe malipo kamili kwa ajili ya kosa lake, aongeze sehemu ya tano juu ya malipo hayo na kutoa yote kwa mtu aliyemkosea.

NUM 5:8 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mtu huyo hana jamaa ya karibu ambaye malipo yanaweza kufanywa kwa ajili ya kosa, malipo yatakuwa mali ya \nd Bwana\nd*, nayo ni lazima apewe kuhani, pamoja na kondoo dume ambaye anatumika kufanyia upatanisho kwa ajili yake.

NUM 5:9 Removed trailing space in v~: Matoleo yote matakatifu ya Waisraeli wanayoleta kwa kuhani yatakuwa yake.

NUM 5:10 Removed trailing space in v~: Kila kitu cha mtu kilichowekwa wakfu ni chake mwenyewe, lakini kile atoacho kwa kuhani kitakuwa cha kuhani.’ ”

NUM 5:10 Removed trailing space in s1: Jaribio Kwa Ajili Ya Mke Asiye Mwaminifu

NUM 5:11 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 5:12 Removed trailing space in v~: “Nena na Waisraeli uwaambie: ‘Ikiwa mke wa mtu amepotoka na si mwaminifu kwa mumewe,

NUM 5:13 Removed trailing space in v~: kwa kukutana kimwili na mwanaume mwingine, tendo hili likafichika kwa mumewe na unajisi wake usigundulike (kwa kuwa hakuna ushahidi dhidi yake, naye hakukamatwa katika tendo hilo),

NUM 5:14 Removed trailing space in v~: nazo hisia za wivu zikamjia mumewe na kumshuku mkewe, naye mke yule ni najisi, au mumewe ana wivu na akamshuku ingawa si najisi,

NUM 5:15 Removed trailing space in v~: basi atampeleka mkewe kwa kuhani. Huyo mume itampasa apeleke pia sadaka ya unga wa shayiri kiasi cha sehemu ya kumi ya efa\f + \fr 5:15 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.\f* kwa niaba ya mkewe. Huyo mwanaume kamwe asimimine mafuta juu ya huo unga wala asiweke uvumba juu yake, kwa sababu ni sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu, sadaka ya ukumbusho ili kukumbushia uovu.

NUM 5:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuhani atamleta huyo mwanamke na kumsimamisha mbele za \nd Bwana\nd*.

NUM 5:17 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atachukua sehemu ya maji matakatifu ndani ya gudulia la udongo na kuchanganya na baadhi ya vumbi kutoka sakafu ya Maskani.

NUM 5:18 Removed trailing space in v~: Baada ya kuhani kumsimamisha huyo mwanamke mbele za \nd Bwana\nd*, atazifungua nywele za huyo mwanamke na kuweka sadaka ya ukumbusho mikononi mwake, ile sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu, huku kuhani mwenyewe akishikilia yale maji machungu yaletayo laana.

NUM 5:19 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atamwapiza huyo mwanamke, akimwambia, “Ikiwa hakuna mwanaume mwingine aliyekutana kimwili nawe, wala hujapotoka na kuwa najisi wakati ukiwa umeolewa na mumeo, maji haya machungu yaletayo laana na yasikudhuru.

NUM 5:20 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa umepotoka wakati ukiwa umeolewa na mume wako na umejinajisi mwenyewe kwa kukutana kimwili na mwanaume mwingine asiyekuwa mumeo”;

NUM 5:21 Removed trailing space in v~: hapa kuhani atamweka huyo mwanamke chini ya laana ya kiapo akisema: “\nd Bwana\nd* na awafanye watu wako wakulaani na kukukataa, wakati \nd Bwana\nd* atakapolifanya paja lako kupooza na tumbo lako kuvimba.

NUM 5:22 Removed trailing space in v~: Maji haya yaletayo laana na yaingie ndani ya mwili wako ili tumbo lako livimbe na paja lako lipooze.”\f + \fr 5:22 \ft Paja lipooze hapa ina maana ya kuwa tasa au kuharibu mimba.\f*

NUM 5:22 Removed trailing space in p~: “ ‘Kisha mwanamke atasema, “Amen. Iwe hivyo.”

NUM 5:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuhani ataandika laana hizi kwenye kitabu, kisha atazioshea laana hizo kwenye yale maji machungu.

NUM 5:24 Removed trailing space in v~: Kuhani atamnywesha yule mwanamke yale maji machungu yaletayo laana, nayo maji haya yatamwingia na kumsababishia maumivu makali.

NUM 5:25 Removed trailing space in v~: Kuhani atachukua sadaka ya nafaka kwa ajili ya wivu kutoka mikononi mwa huyo mwanamke, naye ataipunga mbele za \nd Bwana\nd* na kuileta madhabahuni.

NUM 5:26 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani atachota sadaka ya nafaka mkono uliojaa kama sehemu ya kumbukumbu na kuiteketeza juu ya madhabahu, baada ya hayo, atamtaka huyo mwanamke anywe yale maji.

NUM 5:27 Removed trailing space in v~: Kama amejitia unajisi na kukosa uaminifu kwa mumewe, wakati anapotakiwa anywe maji yale yaletayo laana, yatamwingia na kusababisha maumivu makali; tumbo lake litavimba na paja lake litapooza, naye atakuwa amelaaniwa miongoni mwa watu wake.

NUM 5:28 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, ikiwa huyo mwanamke hakujitia unajisi, naye ni safi, atasafishwa hatia na ataweza kuzaa watoto.

NUM 5:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Basi, hii ndiyo sheria ya wivu mwanamke anapopotoka na kujitia unajisi akiwa ameolewa na mumewe,

NUM 5:30 Removed trailing space in v~: au hisia za wivu zinapomjia mwanaume kwa sababu ya kumshuku mkewe. Kuhani atamfanya huyo mwanamke kusimama mbele za \nd Bwana\nd* na atatumia sheria hii yote kwa huyo mwanamke.

NUM 5:31 Removed trailing space in v~: Mume atakuwa hana hatia ya kosa lolote, bali mwanamke atayachukua matokeo ya dhambi yake.’ ”

NUM 6:0 Extra space after chapter number

NUM 6:0 Removed trailing space in c: 6

NUM 6:0 Removed trailing space in s1: Mnadhiri

NUM 6:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 6:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Ikiwa mwanaume au mwanamke anataka kuweka nadhiri maalum, nadhiri ya kutengwa kwa ajili ya \nd Bwana\nd* kama Mnadhiri,

NUM 6:3 Removed trailing space in v~: ni lazima ajitenge na mvinyo na kinywaji kingine chochote chenye chachu, na kamwe asinywe siki itokanayo na mvinyo au itokanayo na kinywaji kingine chenye chachu. Kamwe asinywe maji ya zabibu wala kula zabibu mbichi au kavu.

NUM 6:4 Removed trailing space in v~: Kwa muda wote atakaokuwa Mnadhiri, kamwe hatakula chochote kitokanacho na mzabibu, sio mbegu wala maganda.

NUM 6:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa muda wote wa nadhiri yake ya kujitenga kwa ajili ya \nd Bwana\nd*, wembe hautapita kichwani mwake. Ni lazima awe mtakatifu mpaka kipindi cha kujitenga kwake kwa ajili ya \nd Bwana\nd* kiishe; ni lazima aache nywele za kichwa chake zirefuke.

NUM 6:6 Removed trailing space in v~: Kwa kipindi chochote cha kujitenga kwa ajili ya \nd Bwana\nd* hatakaribia maiti.

NUM 6:7 Removed trailing space in v~: Hata kama baba yake mwenyewe au mama au kaka au dada akifa, hatajinajisi mwenyewe kwa taratibu za ibada kwa ajili yao, kwa sababu ishara ya kujiweka wakfu kwake kwa Mungu ipo katika kichwa chake.

NUM 6:8 Removed trailing space in v~: Kwa kipindi chote cha kujitenga kwake yeye ni wakfu kwa \nd Bwana\nd*.

NUM 6:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mtu yeyote akifa ghafula karibu naye, atakuwa ametiwa unajisi nywele zake alizoziweka wakfu, hivyo ni lazima anyoe nywele zake siku ya utakaso wake, yaani siku ya saba.

NUM 6:10 Removed trailing space in v~: Kisha siku ya nane ni lazima alete hua wawili au makinda mawili ya njiwa kwa kuhani katika mlango wa Hema la Kukutania.

NUM 6:11 Removed trailing space in v~: Kuhani atatoa mmoja kama sadaka ya dhambi, na mwingine kama sadaka ya kuteketezwa ili kufanya upatanisho kwa ajili yake kwa sababu ametenda dhambi kwa kuwepo mbele ya maiti. Siku iyo hiyo atakiweka wakfu kichwa chake.

NUM 6:12 Removed trailing space in v~: Ni lazima ajitoe kabisa kwa \nd Bwana\nd* kwa kipindi cha kujitenga kwake, na ni lazima atoe mwana-kondoo wa mwaka mmoja kama sadaka ya hatia. Siku zilizopita hazitahesabiwa kwa sababu alijitia unajisi katika siku zake za kujitenga.

NUM 6:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Basi hii ndiyo sheria kwa ajili ya Mnadhiri baada ya kipindi chake cha kujitenga kupita. Ataletwa kwenye ingilio la Hema la Kukutania.

NUM 6:14 Removed trailing space in v~: Hapo atatoa sadaka zake kwa \nd Bwana\nd*: yaani, mwana-kondoo wa mwaka mmoja asiye na waa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, kondoo mke wa mwaka mmoja asiye na waa kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kondoo dume asiye na waa kwa ajili ya sadaka ya amani,

NUM 6:15 Removed trailing space in v~: pamoja na sadaka zake za nafaka na za vinywaji, na kikapu cha mikate isiyotiwa chachu, yaani maandazi yaliyotengenezwa kwa unga laini uliochanganywa na mafuta, na mikate myembamba iliyopakwa mafuta.

NUM 6:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuhani atavileta vitu hivyo mbele za \nd Bwana\nd* na kufanya sadaka ya dhambi na sadaka ya kuteketezwa.

NUM 6:17 Removed trailing space in v~: Ataleta pia kikapu cha mikate isiyotiwa chachu, na atatoa dhabihu kondoo dume kama sadaka ya amani kwa \nd Bwana\nd*, pamoja na sadaka yake ya nafaka na sadaka ya kinywaji.

NUM 6:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Kisha kwenye ingilio la Hema la Kukutania, Mnadhiri ni lazima anyoe nywele zake ambazo alikuwa ameziweka wakfu. Atazichukua hizo nywele na kuziweka ndani ya moto ulio chini ya dhabihu ya sadaka ya amani.

NUM 6:19 Removed trailing space in v~: “ ‘Baada ya Mnadhiri kunyoa hizo nywele zake za kujitenga kwake, kuhani atampa mikononi mwake bega la kondoo dume lililochemshwa, na pia andazi na mkate mwembamba kutoka kwenye kikapu, vyote vikiwa vimetengenezwa bila kuwekwa chachu.

NUM 6:20 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani ataviinua mbele za \nd Bwana\nd* kama sadaka ya kuinua; ni vitakatifu na ni mali ya kuhani, pamoja na kile kidari kilichoinuliwa na lile paja lililotolewa. Baada ya hayo, Mnadhiri anaweza kunywa divai.

NUM 6:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Hii ndiyo sheria ya Mnadhiri ambaye anaweka nadhiri kwa matoleo yake kwa \nd Bwana\nd* kufuatana na kujitenga kwake, zaidi ya chochote kile anachoweza kupata. Ni lazima atimize nadhiri aliyoiweka kufuatana na sheria ya Mnadhiri.’ ”

NUM 6:21 Removed trailing space in s1: Baraka Ya Kikuhani

NUM 6:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 6:23 Removed trailing space in v~: “Mwambie Aroni na wanawe, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki Waisraeli. Waambieni:

NUM 6:24 Removed trailing space in v~: “ ‘ “\nd Bwana\nd* akubariki

NUM 6:24 Removed trailing space in p~: na kukulinda;

NUM 6:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akuangazie nuru ya uso wake

NUM 6:25 Removed trailing space in p~: na kukufadhili;

NUM 6:26 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akugeuzie uso wake

NUM 6:26 Removed trailing space in p~: na kukupa amani.” ’

NUM 6:27 Removed trailing space in v~: “Hivyo wataliweka Jina langu juu ya Waisraeli, nami nitawabariki.”

NUM 7:0 Extra space after chapter number

NUM 7:0 Removed trailing space in c: 7

NUM 7:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Wakati Wa Kuweka Wakfu Maskani Ya \nd Bwana\nd*

NUM 7:1 Removed trailing space in v~: Mose alipomaliza kuisimamisha Maskani, aliitia mafuta na kuiweka wakfu pamoja na samani zake zote. Pia alitia madhabahu mafuta na kuiweka wakfu, pamoja na vyombo vyake vyote.

NUM 7:2 Removed trailing space in v~: Ndipo viongozi wa Israeli, wale wakuu wa jamaa waliokuwa viongozi wa kabila wasimamizi wa wale waliohesabiwa, wakatoa sadaka.

NUM 7:3 Removed trailing space in v~: Walizileta kama matoleo yao mbele za \nd Bwana\nd*: magari sita ya kukokotwa yaliyofunikwa, pamoja na maksai kumi na wawili; yaani maksai mmoja kutoka kwa kila kiongozi, na gari moja la kukokotwa kutoka kwa kila viongozi wawili. Haya waliyaleta mbele ya Maskani.

NUM 7:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 7:5 Removed trailing space in v~: “Vikubali vitu hivi kutoka kwao, ili viweze kutumika katika kazi kwenye Hema la Kukutania. Wapatie Walawi kama kazi ya kila mtu itakavyohitaji.”

NUM 7:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akachukua yale magari ya kukokotwa pamoja na maksai, na kuwapa Walawi.

NUM 7:7 Removed trailing space in v~: Aliwapa Wagershoni magari mawili ya kukokotwa na maksai wanne, kama walivyohitaji kwa kazi yao,

NUM 7:8 Removed trailing space in v~: na pia aliwapa Wamerari magari manne ya kukokotwa na maksai wanane, kama kazi yao ilivyohitaji. Wote walikuwa chini ya maelekezo ya Ithamari mwana wa kuhani, Aroni.

NUM 7:9 Removed trailing space in v~: Lakini Mose hakuwapa Wakohathi chochote kati ya hivyo, kwa sababu walitakiwa kubeba vitu vitakatifu mabegani mwao, vile walikuwa wanawajibika.

NUM 7:10 Removed trailing space in v~: Wakati madhabahu yalitiwa mafuta, viongozi walileta sadaka zao kwa ajili ya kule kuwekwa wakfu kwake na kuziweka mbele ya madhabahu.

NUM 7:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Mose, “Kila siku kiongozi mmoja ataleta sadaka yake ili kuwekwa wakfu madhabahu.”

NUM 7:12 Removed trailing space in v~: Yule ambaye alileta sadaka yake siku ya kwanza alikuwa Nashoni, mwana wa Aminadabu, wa kabila la Yuda.

NUM 7:13 Removed trailing space in v~: Sadaka yake ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130,\f + \fr 7:13 \ft Shekeli 130 za fedha ni sawa na kilo 1.5.\f* na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini,\f + \fr 7:13 \ft Shekeli 70 za fedha ni sawa gramu 800.\f* vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:14 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi,\f + \fr 7:14 \ft Shekeli 10 za dhahabu ni sawa na gramu 110.\f* likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:15 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:16 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:17 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Nashoni mwana wa Aminadabu.

NUM 7:18 Removed trailing space in v~: Siku ya pili yake Nethaneli mwana wa Suari, kiongozi wa kabila la Isakari, alileta sadaka yake.

NUM 7:19 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:20 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:21 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:22 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:23 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Nethaneli mwana wa Suari.

NUM 7:24 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu Eliabu mwana wa Heloni, kiongozi wa kabila la Zabuloni, alileta sadaka yake.

NUM 7:25 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:26 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:27 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:28 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:29 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Eliabu mwana wa Heloni.

NUM 7:30 Removed trailing space in v~: Siku ya nne Elisuri mwana wa Shedeuri, kiongozi wa kabila la Reubeni, alileta sadaka yake.

NUM 7:31 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:32 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:33 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:34 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:35 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Elisuri mwana wa Shedeuri.

NUM 7:36 Removed trailing space in v~: Siku ya tano Shelumieli mwana wa Surishadai, kiongozi wa watu wa Simeoni, alileta sadaka yake.

NUM 7:37 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:38 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:39 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:40 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:41 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Shelumieli mwana wa Surishadai.

NUM 7:42 Removed trailing space in v~: Siku ya sita Eliasafu mwana wa Deueli, kiongozi wa watu wa Gadi, alileta sadaka yake.

NUM 7:43 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:44 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:45 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:46 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:47 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Eliasafu mwana wa Deueli.

NUM 7:48 Removed trailing space in v~: Siku ya saba Elishama mwana wa Amihudi, kiongozi wa watu wa Efraimu, alileta sadaka yake.

NUM 7:49 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:50 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:51 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:52 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:53 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Elishama mwana wa Amihudi.

NUM 7:54 Removed trailing space in v~: Siku ya nane Gamalieli mwana wa Pedasuri, kiongozi wa watu wa Manase, alileta sadaka yake.

NUM 7:55 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:56 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:57 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:58 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:59 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Gamalieli mwana wa Pedasuri.

NUM 7:60 Removed trailing space in v~: Siku ya tisa Abidani mwana wa Gideoni, kiongozi wa watu wa Benyamini, alileta sadaka yake.

NUM 7:61 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:62 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:63 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:64 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:65 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Abidani mwana wa Gideoni.

NUM 7:66 Removed trailing space in v~: Siku ya kumi Ahiezeri mwana wa Amishadai, kiongozi wa watu wa Dani, alileta sadaka yake.

NUM 7:67 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:68 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:69 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:70 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:71 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Ahiezeri mwana wa Amishadai.

NUM 7:72 Removed trailing space in v~: Siku ya kumi na moja Pagieli mwana wa Okrani, kiongozi wa watu wa Asheri, alileta sadaka yake.

NUM 7:73 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:74 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:75 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:76 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:77 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Pagieli mwana wa Okrani.

NUM 7:78 Removed trailing space in v~: Siku ya kumi na mbili Ahira mwana wa Enani, kiongozi wa watu wa Naftali, alileta sadaka yake.

NUM 7:79 Removed trailing space in v~: Sadaka aliyoleta ilikuwa sahani moja ya fedha yenye uzito wa shekeli 130, na bakuli moja la fedha la kunyunyizia lenye uzito wa shekeli sabini, vyote kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, vikiwa vimejazwa unga laini uliochanganywa na mafuta kama sadaka ya nafaka;

NUM 7:80 Removed trailing space in v~: sinia moja la dhahabu lenye uzito wa shekeli kumi, likiwa limejazwa uvumba;

NUM 7:81 Removed trailing space in v~: fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja na mwana-kondoo dume mmoja wa mwaka mmoja, kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa;

NUM 7:82 Removed trailing space in v~: mbuzi dume mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi;

NUM 7:83 Removed trailing space in v~: maksai wawili, kondoo dume watano, mbuzi dume watano na wana-kondoo dume watano wa mwaka mmoja, ili vitolewe dhabihu kama sadaka ya amani. Hii ndiyo ilikuwa sadaka ya Ahira mwana wa Enani.

NUM 7:84 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilikuwa sadaka za viongozi wa Israeli madhabahu yalipowekwa wakfu, wakati yalitiwa mafuta: sahani kumi na mbili za fedha, bakuli kumi na mbili za fedha za kunyunyizia, na masinia kumi na mawili ya dhahabu.

NUM 7:85 Removed trailing space in v~: Kila sahani ya fedha ilikuwa na uzito wa shekeli 130, na kila bakuli la fedha la kunyunyizia lilikuwa na uzito wa shekeli sabini. Masinia yote kumi na mawili yalikuwa na uzito wa shekeli 2,400\f + \fr 7:85 \ft Shekeli 2,400 za fedha ni sawa na kilo 28.\f*kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.

NUM 7:86 Removed trailing space in v~: Sahani kumi na mbili za dhahabu zilizojazwa uvumba zilikuwa na uzito wa shekeli kumi kila moja, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu. Kwa jumla, sahani za dhahabu zilikuwa na uzito wa shekeli 120.\f + \fr 7:86 \ft Shekeli 120 za dhahabu ni sawa na kilo 1.4.\f*

NUM 7:87 Removed trailing space in v~: Jumla ya wanyama waliotolewa kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa walikuwa fahali kumi na wawili wachanga, kondoo dume kumi na wawili na wana-kondoo dume kumi na wawili wa mwaka mmoja, pamoja na sadaka zao za nafaka. Mbuzi waume kumi na wawili walitolewa kwa ajili ya sadaka za dhambi.

NUM 7:88 Removed trailing space in v~: Jumla ya wanyama kwa ajili ya dhabihu ya sadaka ya amani walikuwa maksai ishirini na wanne, kondoo dume sitini, mbuzi dume wa mwaka mmoja sitini na wana-kondoo dume wa mwaka mmoja sitini. Hizi ndizo zilikuwa sadaka zilizoletwa kwa ajili ya kuwekwa wakfu kwa madhabahu baada ya kutiwa mafuta.

NUM 7:89 Removed trailing space in v~: Mose alipoingia kwenye Hema la Kukutania kuzungumza na \nd Bwana\nd*, alisikia sauti ikisema naye kutoka kati ya wale makerubi wawili waliokuwa juu ya kile kiti cha rehema, juu ya Sanduku la Ushuhuda. Mose akazungumza naye.

NUM 8:0 Extra space after chapter number

NUM 8:0 Removed trailing space in c: 8

NUM 8:0 Removed trailing space in s1: Kuwekwa Kwa Taa

NUM 8:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 8:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Aroni umwambie, ‘Wakati utakapoziweka zile taa saba, zinatakiwa kuangaza eneo lililo mbele ya kinara cha taa.’ ”

NUM 8:3 Removed trailing space in v~: Aroni akafanya hivyo; akaziweka zile taa ili zielekee mbele kwenye kinara cha taa, kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 8:4 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo kinara cha taa kilivyotengenezwa: Kilitengenezwa kwa dhahabu iliyofuliwa, kuanzia kwenye kitako chake hadi kwenye maua yake. Kinara cha taa kilitengenezwa sawasawa kabisa na kielelezo ambacho \nd Bwana\nd* alikuwa amemwonyesha Mose.

NUM 8:4 Removed trailing space in s1: Kutengwa Kwa Walawi Kwa Ajili Ya \nd Bwana\nd*

NUM 8:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose:

NUM 8:6 Removed trailing space in v~: “Watwae Walawi kutoka miongoni mwa Waisraeli wengine na uwatakase kwa kawaida ya ibada.

NUM 8:7 Removed trailing space in v~: Ili kuwatakasa fanya hivi: Nyunyizia maji ya utakaso juu yao; kisha uwaambie wanyoe nywele kwenye mwili mzima, wafue nguo zao na hivyo wajitakase wenyewe.

NUM 8:8 Removed trailing space in v~: Waambie wamchukue fahali mchanga pamoja na sadaka yake ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta; kisha utamchukua fahali mchanga wa pili kwa ajili ya sadaka ya dhambi.

NUM 8:9 Removed trailing space in v~: Walete Walawi mbele ya Hema la Kukutania na ukusanye jumuiya yote ya Waisraeli.

NUM 8:10 Removed trailing space in v~: Utawaleta Walawi mbele za \nd Bwana\nd*, na Waisraeli wataweka mikono yao juu ya Walawi.

NUM 8:11 Removed trailing space in v~: Aroni atawaweka Walawi mbele za \nd Bwana\nd* kama sadaka ya kuinua kutoka kwa Waisraeli, ili kwamba wawe tayari kuifanya kazi ya \nd Bwana\nd*.

NUM 8:12 Removed trailing space in v~: “Baada ya Walawi kuweka mikono yao juu ya vichwa vya hao mafahali wawili, tumia mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi kwa \nd Bwana\nd*, na mwingine kuwa sadaka ya kuteketezwa, ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Walawi.

NUM 8:13 Removed trailing space in v~: Waambie hao Walawi wasimame mbele ya Aroni na wanawe, kisha wawatoe kama sadaka ya kuinuliwa kwa \nd Bwana\nd*.

NUM 8:14 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii utakuwa umewatenga Walawi kutoka kwa Waisraeli wengine, nao Walawi watakuwa wangu.

NUM 8:15 Removed trailing space in v~: “Utakapokuwa umekwisha kuwatakasa Walawi na kuwatoa kama sadaka ya kuinuliwa, watakuja kufanya kazi yao katika Hema la Kukutania.

NUM 8:16 Removed trailing space in v~: Wao ndio Waisraeli ambao watatolewa kabisa kwangu. Nimewatwaa kama mali yangu mwenyewe badala ya mzaliwa wa kwanza, mzaliwa wa kwanza wa kiume kutoka kwa kila mwanamke wa Kiisraeli.

NUM 8:17 Removed trailing space in v~: Kila mzaliwa wa kwanza wa kiume katika Israeli, awe wa mwanadamu au mnyama, ni wangu. Wakati nilipowaua wazaliwa wote wa kwanza huko Misri, niliwatenga kwa ajili yangu mwenyewe.

NUM 8:18 Removed trailing space in v~: Nami nimewatwaa Walawi badala ya wazaliwa wote wa kwanza wa kiume katika Israeli.

NUM 8:19 Removed trailing space in v~: Kati ya Waisraeli wote, nimempa Aroni na wanawe Walawi kama zawadi ili wafanye kazi katika Hema la Kukutania kwa niaba ya Waisraeli, na kufanya upatanisho kwa ajili yao ili pasiwepo na pigo lolote litakalowapata Waisraeli wakati watakapokaribia mahali patakatifu.”

NUM 8:20 Removed trailing space in v~: Mose, Aroni na jumuiya yote ya Waisraeli wakawafanyia Walawi kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 8:21 Removed trailing space in v~: Walawi wakajitakasa wenyewe na wakafua nguo zao. Kisha Aroni akawasogeza mbele za \nd Bwana\nd* kuwa sadaka ya kuinuliwa, na kufanya upatanisho kwa ajili yao ili kuwatakasa.

NUM 8:22 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo, Walawi walikuja kufanya kazi yao katika Hema la Kukutania chini ya usimamizi wa Aroni na wanawe. Waliwafanyia Walawi kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 8:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 8:24 Removed trailing space in v~: “Hili linawahusu Walawi: Wanaume wenye umri wa miaka ishirini na mitano au zaidi watakuja kushiriki katika kazi kwenye Hema la Kukutania,

NUM 8:25 Removed trailing space in v~: lakini watakapofika umri wa miaka hamsini, ni lazima waache kazi zao za kawaida wala wasiendelee.

NUM 8:26 Removed trailing space in v~: Wanaweza kuwasaidia ndugu zao kufanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, lakini wao wenyewe kamwe hawatafanya hiyo kazi. Basi, hivi ndivyo utakavyogawa wajibu kwa Walawi.”

NUM 9:0 Extra space after chapter number

NUM 9:0 Removed trailing space in c: 9

NUM 9:0 Removed trailing space in s1: Pasaka Huko Sinai

NUM 9:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema na Mose katika Jangwa la Sinai katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa pili baada ya Waisraeli kutoka Misri. Akasema,

NUM 9:2 Removed trailing space in v~: “Waamuru Waisraeli waadhimishe Pasaka katika wakati ulioamriwa.

NUM 9:3 Removed trailing space in v~: Adhimisheni wakati ulioamriwa, yaani wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi huu, kufuatana na desturi zake zote na masharti yake.”

NUM 9:4 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akawaambia Waisraeli waiadhimishe Pasaka,

NUM 9:5 Removed trailing space in v~: nao wakafanya hivyo kwenye Jangwa la Sinai wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza. Waisraeli wakafanya kila kitu kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 9:6 Removed trailing space in v~: Lakini baadhi yao hawakuweza kuadhimisha Pasaka siku ile kwa sababu walikuwa najisi kwa taratibu za kiibada kwa ajili ya kugusa maiti. Kwa hiyo wakamwendea Mose na Aroni siku ile ile,

NUM 9:7 Removed trailing space in v~: wakamwambia Mose, “Tumekuwa najisi kwa sababu tumegusa maiti, lakini kwa nini tuzuiliwe kumtolea \nd Bwana\nd* sadaka yake pamoja na Waisraeli wengine katika wakati ulioamriwa?”

NUM 9:8 Removed trailing space in v~: Mose akawajibu, “Ngojeni mpaka nitafute kile \nd Bwana\nd* anachoagiza kuwahusu ninyi.”

NUM 9:9 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 9:10 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli: ‘Wakati mmoja wenu au wazao wenu wanapokuwa najisi kwa sababu ya maiti au wakiwa safarini, hata hivyo wanaweza kuadhimisha Pasaka ya \nd Bwana\nd*.

NUM 9:11 Removed trailing space in v~: Wataiadhimisha wakati wa kuzama jua siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Watamla mwana-kondoo, pamoja na mkate usiotiwa chachu, na mboga chungu.

NUM 9:12 Removed trailing space in v~: Wasibakize chochote hadi asubuhi wala wasivunje mifupa ya mwana-kondoo. Wakati wanapoadhimisha Pasaka, hawana budi kufuata masharti yote.

NUM 9:13 Removed trailing space in v~: Lakini kama mtu ni safi kwa taratibu za kiibada naye hayuko safarini, asipoadhimisha Pasaka, mtu huyo hana budi kukatiliwa mbali na watu wake kwa sababu hakutoa sadaka ya \nd Bwana\nd* kwa wakati ulioamriwa. Mtu huyo atawajibika kubeba matokeo ya dhambi yake.

NUM 9:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Mgeni anayeishi miongoni mwenu ambaye anataka kuadhimisha Pasaka ya \nd Bwana\nd*, lazima afanye hivyo kwa kufuata desturi na masharti. Lazima masharti yawe sawasawa kwa mgeni na mzawa.’ ”

NUM 9:14 Removed trailing space in s1: Wingu La Moto Juu Ya Maskani

NUM 9:14 Removed trailing space in r: (Kutoka 40:34-38)

NUM 9:15 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo ambayo Maskani, Hema la Ushuhuda, iliposimamishwa, wingu liliifunika. Kuanzia jioni mpaka asubuhi wingu lililokuwa juu ya Maskani lilionekana kama moto.

NUM 9:16 Removed trailing space in v~: Hivyo ndivyo lilivyoendelea kuwa; wingu liliifunika wakati wa mchana, na usiku lilionekana kama moto.

NUM 9:17 Removed trailing space in v~: Wakati wowote wingu lilipoinuka kutoka juu ya Hema, nao Waisraeli waliondoka; mahali popote wingu liliposimama, Waisraeli walipiga kambi.

NUM 9:18 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya \nd Bwana\nd* Waisraeli waliondoka, na kwa amri yake walipiga kambi. Kwa muda wote wingu liliposimama juu ya Maskani, Waisraeli walibaki wamepiga kambi.

NUM 9:19 Removed trailing space in v~: Wakati wingu lilipobaki juu ya Maskani kwa muda mrefu, Waisraeli walitii amri ya \nd Bwana\nd* nao hawakuondoka.

NUM 9:20 Removed trailing space in v~: Wakati mwingine wingu lilikuwa juu ya Maskani kwa siku chache tu; kwa amri ya \nd Bwana\nd* wangelipiga kambi na kisha kwa amri yake wangeliondoka.

NUM 9:21 Removed trailing space in v~: Wakati mwingine wingu lilikuwepo kuanzia jioni mpaka asubuhi tu, na lilipoinuka asubuhi, nao waliondoka. Ikiwa ni mchana au usiku, wakati wowote wingu lilipoinuka, waliondoka.

NUM 9:22 Removed trailing space in v~: Ikiwa wingu lilikaa juu ya Maskani kwa siku mbili au mwezi au mwaka, Waisraeli wangebaki wamepiga kambi na hawakuondoka; lakini lilipoinuka, wangeondoka.

NUM 9:23 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya \nd Bwana\nd* walipiga kambi, na kwa amri ya \nd Bwana\nd* waliondoka. Walitii amri ya \nd Bwana\nd*, kufuatana na agizo lake kupitia Mose.

NUM 10:0 Extra space after chapter number

NUM 10:0 Removed trailing space in c: 10

NUM 10:0 Removed trailing space in s1: Tarumbeta Za Fedha

NUM 10:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose:

NUM 10:2 Removed trailing space in v~: “Tengeneza tarumbeta mbili za fedha ya kufua, uzitumie kwa kuita jumuiya pamoja na wakati wa kuvunja makambi ili kuondoka.

NUM 10:3 Removed trailing space in v~: Tarumbeta zote mbili zikipigwa, jumuiya yote itakusanyika mbele yako katika ingilio la Hema la Kukutania.

NUM 10:4 Removed trailing space in v~: Kama tarumbeta moja tu ikipigwa, viongozi, yaani wakuu wa koo za Israeli, ndio watakaokusanyika mbele yako.

NUM 10:5 Removed trailing space in v~: Wakati mlio wa kujulisha hatari ukipigwa, makabila yaliyo na makambi upande wa mashariki yataondoka.

NUM 10:6 Removed trailing space in v~: Ukisikika mlio wa pili wa jinsi hiyo, walioko kwenye makambi ya kusini wataondoka. Mlio huo wa kujulisha hatari utakuwa ishara ya kuondoka.

NUM 10:7 Removed trailing space in v~: Ili kukusanya kusanyiko, piga tarumbeta zote, lakini siyo kwa mlio wa kujulisha hatari.

NUM 10:8 Removed trailing space in v~: “Wana wa Aroni, makuhani, ndio watakaopiga hizo tarumbeta. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa ajili yenu na kwa vizazi vijavyo.

NUM 10:9 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapopigana vita katika nchi yenu wenyewe dhidi ya adui anayewaonea, piga tarumbeta kwa mlio wa kujulisha hatari. Ndipo utakumbukwa na \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuokolewa kutoka kwa adui zenu.

NUM 10:10 Removed trailing space in v~: Pia nyakati za furaha yenu, yaani sikukuu zenu zilizoamriwa na sikukuu za Mwezi Mwandamo, mtapiga tarumbeta juu ya sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka zenu za amani, nazo zitakuwa ukumbusho kwa ajili yenu mbele za Mungu wenu. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wenu.”

NUM 10:10 Removed trailing space in s1: Waisraeli Waondoka Sinai

NUM 10:11 Removed trailing space in v~: Katika siku ya ishirini ya mwezi wa pili wa mwaka wa pili, wingu liliinuka kutoka juu ya maskani ya Ushuhuda.

NUM 10:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Waisraeli wakaondoka kutoka Jangwa la Sinai wakasafiri kutoka sehemu moja hadi nyingine mpaka wingu lilipotua katika Jangwa la Parani.

NUM 10:13 Removed trailing space in v~: Waliondoka kwa mara ya kwanza kwa agizo la \nd Bwana\nd* kupitia kwa Mose.

NUM 10:14 Removed trailing space in v~: Vikosi vya kambi ya Yuda vilitangulia kwanza chini ya alama yao. Nashoni mwana wa Aminadabu alikuwa kiongozi wao.

NUM 10:15 Removed trailing space in v~: Nethaneli mwana wa Suari alikuwa kiongozi wa kabila la Isakari,

NUM 10:16 Removed trailing space in v~: naye Eliabu mwana wa Heloni alikuwa kiongozi wa kabila la Zabuloni.

NUM 10:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Maskani iliposhushwa, nao wana wa Gershoni na wana wa Merari ambao waliibeba wakaondoka.

NUM 10:18 Removed trailing space in v~: Vikosi vya kambi ya Reubeni vilifuata, chini ya alama yao. Elisuri mwana wa Shedeuri alikuwa kiongozi wao.

NUM 10:19 Removed trailing space in v~: Shelumieli mwana wa Surishadai aliongoza kikosi cha kabila la Simeoni,

NUM 10:20 Removed trailing space in v~: naye Eliasafu mwana wa Deueli aliongoza kikosi cha kabila la Gadi.

NUM 10:21 Removed trailing space in v~: Kisha Wakohathi wakaondoka, wakichukua vitu vitakatifu. Maskani ilikuwa isimamishwe kabla wao hawajafika.

NUM 10:22 Removed trailing space in v~: Vikosi vya kambi ya Efraimu vilifuata, chini ya alama yao. Elishama mwana wa Amihudi alikuwa kiongozi wao.

NUM 10:23 Removed trailing space in v~: Gamalieli mwana wa Pedasuri aliongoza kikosi cha kabila la Manase,

NUM 10:24 Removed trailing space in v~: naye Abidani mwana wa Gideoni alikuwa kiongozi wa kikosi cha kabila la Benyamini.

NUM 10:25 Removed trailing space in v~: Mwishowe, kama kikosi cha nyuma cha ulinzi wa vikosi vyote, vikosi vya kambi ya Dani viliondoka chini ya alama yao. Ahiezeri mwana wa Amishadai alikuwa kiongozi wao.

NUM 10:26 Removed trailing space in v~: Pagieli mwana wa Okrani aliongoza kikosi cha kabila la Asheri,

NUM 10:27 Removed trailing space in v~: naye Ahira mwana wa Enani aliongoza kikosi cha kabila la Naftali.

NUM 10:28 Removed trailing space in v~: Huu ndio ulikuwa utaratibu wa kuondoka wa vikosi vya Waisraeli walipokuwa wanaondoka.

NUM 10:29 Removed trailing space in v~: Basi Mose akamwambia Hobabu mwana wa Reueli, Mmidiani, mkwewe Mose, “Tunaondoka kwenda mahali ambapo \nd Bwana\nd* amesema ‘Nitawapa ninyi mahali hapo.’ Twende pamoja nasi tutakutendea mema, kwa maana \nd Bwana\nd* ameahidi mambo mema kwa Israeli.”

NUM 10:30 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Hapana, sitakwenda; nitarudi kwenye nchi yangu mwenyewe na watu wangu mwenyewe.”

NUM 10:31 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akasema, “Tafadhali usituache. Wewe unajua mahali ambapo yatupasa kupiga kambi jangwani, nawe unaweza kuwa macho yetu.

NUM 10:32 Removed trailing space in v~: Ikiwa utafuatana nasi, tutashirikiana nawe mema yoyote tutakayopewa na \nd Bwana\nd*.”

NUM 10:33 Removed trailing space in v~: Hivyo waliondoka kutoka mlima wa \nd Bwana\nd*, nao wakasafiri kwa siku tatu. Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* liliwatangulia kwa zile siku tatu ili kuwatafutia mahali pa kupumzika.

NUM 10:34 Removed trailing space in v~: Wingu la \nd Bwana\nd* lilikuwa juu yao wakati wa mchana walipoondoka kambini.

NUM 10:35 Removed trailing space in v~: Wakati wowote Sanduku lilipoondoka, Mose alisema,

NUM 10:35 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, inuka!

NUM 10:35 Removed trailing space in p~: Watesi wako na watawanyike;

NUM 10:35 Removed trailing space in p~: adui zako na wakimbie mbele zako.”

NUM 10:36 Removed trailing space in v~: Wakati wowote Sanduku liliposimama, alisema,

NUM 10:36 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, rudi,

NUM 10:36 Removed trailing space in p~: kwa maelfu ya Waisraeli wasiohesabika.”

NUM 11:0 Extra space after chapter number

NUM 11:0 Removed trailing space in c: 11

NUM 11:0 Removed trailing space in s1: Moto Kutoka Kwa \nd Bwana\nd*

NUM 11:1 Removed trailing space in v~: Basi watu wakalalamika kwa habari ya taabu zao masikioni mwa \nd Bwana\nd*, naye alipowasikia, hasira yake ikawaka. Ndipo moto kutoka kwa \nd Bwana\nd* ukawaka miongoni mwao na kuteketeza baadhi ya viunga vya kambi.

NUM 11:2 Removed trailing space in v~: Watu walipomlilia Mose, akamwomba \nd Bwana\nd*, nao moto ukazimika.

NUM 11:3 Removed trailing space in v~: Hivyo mahali pale pakaitwa Tabera,\f + \fr 11:3 \ft Tabera maana yake Kunaungua.\f* kwa sababu moto kutoka kwa \nd Bwana\nd* uliwaka miongoni mwao.

NUM 11:3 Removed trailing space in s1: Kware Kutoka Kwa \nd Bwana\nd*

NUM 11:4 Removed trailing space in v~: Umati wa watu wenye zogo waliokuwa miongoni mwao walitamani sana chakula kingine, Waisraeli wakaanza kulia tena na kusema, “Laiti tungekuwa na nyama tule!

NUM 11:5 Removed trailing space in v~: Tunakumbuka wale samaki tuliokula huko Misri bila gharama, pia yale matango, matikitimaji, mboga, vitunguu, na vitunguu saumu.

NUM 11:6 Removed trailing space in v~: Lakini sasa tumepoteza hamu ya chakula; hatuoni kitu kingine chochote isipokuwa hii mana!”

NUM 11:7 Removed trailing space in v~: Mana ilifanana kama mbegu za giligilani, nayo ilikuwa na rangi ya manjano iliyopauka.

NUM 11:8 Removed trailing space in v~: Hao watu walikwenda kukusanya, kisha waliisaga kwa mawe ya kusagia ya mkono au kuitwanga kwenye vinu. Waliipika vyunguni au kutengeneza maandazi. Ladha yake ilikuwa kama kitu kilichotengenezwa kwa mafuta ya zeituni.

NUM 11:9 Removed trailing space in v~: Umande ulipoanguka kambini wakati wa usiku, pia mana ilianguka pamoja nao.

NUM 11:10 Removed trailing space in v~: Mose akasikia watu wa kila jamaa wakilia, kila mmoja kwenye mlango wa hema lake. \nd Bwana\nd* akakasirika mno, naye Mose akafadhaika.

NUM 11:11 Removed trailing space in v~: Akamuuliza \nd Bwana\nd*, “Kwa nini umeleta taabu hii juu ya mtumishi wako? Nimekufanyia nini cha kukuchukiza hata ukaweka mzigo huu wa watu hawa wote juu yangu?

NUM 11:12 Removed trailing space in v~: Je, watu hawa wote mimi ndiye niliyewatungisha mimba? Je, ni mimi niliyewazaa? Kwa nini unaniambia niwachukue mikononi mwangu, kama vile mlezi abebavyo mtoto mchanga, hadi kwenye nchi uliyowaahidi baba zao?

NUM 11:13 Removed trailing space in v~: Nitapata wapi nyama kwa ajili ya watu wote hawa? Wanaendelea kunililia wakisema, ‘Tupe nyama tule!’

NUM 11:14 Removed trailing space in v~: Mimi siwezi kuwabeba watu hawa wote peke yangu, mzigo ni mzito sana kwangu.

NUM 11:15 Removed trailing space in v~: Kama hivi ndivyo unavyonitendea, uniue sasa hivi, yaani kama nimepata kibali machoni pako, wala usiniache nione maangamizi yangu mwenyewe.”

NUM 11:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose: “Niletee wazee sabini wa Israeli, unaowafahamu kama viongozi na maafisa miongoni mwa watu. Walete katika Hema la Kukutania, ili waweze kusimama huko pamoja nawe.

NUM 11:17 Removed trailing space in v~: Nami nitashuka na kusema nawe huko. Nami nitachukua sehemu ya Roho iliyo juu yako na kuiweka juu yao. Watakusaidia kubeba mzigo wa watu hao ili usije ukaubeba peke yako.

NUM 11:18 Removed trailing space in v~: “Waambie hao watu: ‘Jiwekeni wakfu wenyewe kwa ajili ya kesho, wakati mtakapokula nyama. \nd Bwana\nd* aliwasikia mlipolia, mkisema, “Laiti tungekuwa na nyama tule! Tulikuwa na hali nzuri zaidi katika nchi ya Misri!” Sasa \nd Bwana\nd* atawapa nyama, nanyi mtaila.

NUM 11:19 Removed trailing space in v~: Hamtaila kwa siku moja tu, au siku mbili, au tano, kumi au siku ishirini,

NUM 11:20 Removed trailing space in v~: bali kwa mwezi mzima mpaka iwatokee puani, nanyi mtaichukia kabisa, kwa kuwa mmemkataa \nd Bwana\nd*, ambaye yupo miongoni mwenu, nanyi mmelia mbele zake, mkisema, “Hivi kwa nini tulitoka Misri?” ’ ”

NUM 11:21 Removed trailing space in v~: Lakini Mose alisema, “Mimi niko hapa miongoni mwa watu 600,000 wanaotembea kwa miguu, nawe umesema, ‘Nitawapa nyama ya kula kwa mwezi mzima!’

NUM 11:22 Removed trailing space in v~: Je, wangeweza kupata nyama ya kuwatosha hata kama makundi ya kondoo na ya ngʼombe yangechinjwa kwa ajili yao? Je, wangetosheka hata kama samaki wote wa baharini wangevuliwa kwa ajili yao?”

NUM 11:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamjibu Mose, “Je, mkono wa \nd Bwana\nd* ni mfupi sana? Sasa utaona kama jambo nililolisema litatimizwa kwa ajili yako au la.”

NUM 11:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akatoka na kuwaambia watu lile ambalo \nd Bwana\nd* alikuwa amesema. Akawakusanya wazee wao sabini, akawasimamisha kuzunguka Hema.

NUM 11:25 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akashuka katika wingu na kunena na Mose, naye akachukua sehemu ya Roho iliyokuwa juu ya Mose na kuiweka juu ya wale wazee sabini. Roho aliposhuka juu yao, wakatoa unabii, lakini hawakufanya hivyo tena.

NUM 11:26 Removed trailing space in v~: Lakini, watu wawili, ambao majina yao ni Eldadi na Medadi, walibaki kambini. Walikuwa wameorodheshwa miongoni mwa wale wazee sabini, lakini hawakutoka kwenda kwenye Hema. Lakini Roho pia alishuka juu yao, nao wakatabiri huko kambini.

NUM 11:27 Removed trailing space in v~: Mwanaume mmoja kijana alikimbia na kumwambia Mose, “Eldadi na Medadi wanatoa unabii kambini.”

NUM 11:28 Removed trailing space in v~: Yoshua mwana wa Nuni, ambaye alikuwa msaidizi wa Mose tangu ujana wake, akajibu akasema, “Mose bwana wangu, wanyamazishe!”

NUM 11:29 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akajibu, “Je, unaona wivu kwa ajili yangu? Ningetamani watu wote wa \nd Bwana\nd* wangekuwa manabii na kwamba \nd Bwana\nd* angeweka Roho yake juu yao!”

NUM 11:30 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na wale wazee wa Israeli wakarudi kambini.

NUM 11:31 Removed trailing space in v~: Kisha ukatokea upepo kutoka kwa \nd Bwana\nd*, nao ukawaletea kware kutoka baharini. Ukawaangusha kwenye eneo lote linalozunguka kambi na kujaa ardhini kimo cha mita moja hivi kutoka ardhini kwenye eneo la umbali wa mwendo wa siku moja kila upande.

NUM 11:32 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa na usiku kucha pamoja na siku nzima iliyofuata watu walitoka kwenda kuokota kware. Hakuna mtu yeyote aliyekusanya chini ya homeri kumi.\f + \fr 11:32 \ft Homeri 10 ni sawa na kilo 1,000.\f* Kisha wakazianika kuzunguka kambi yote.

NUM 11:33 Removed trailing space in v~: Lakini walipokuwa wakila nyama, ilipokuwa ingali kati ya meno yao na kabla hawajamaliza kula, hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya watu, naye akawapiga kwa tauni.

NUM 11:34 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Kibroth-Hataava,\f + \fr 11:34 \ft Kibroth-Hataava maana yake Makaburi ya wenye tamaa nyingi.\f* kwa sababu huko ndiko walipowazika watu ambao walitamani sana chakula kingine.

NUM 11:35 Removed trailing space in v~: Kutoka Kibroth-Hataava watu wakasafiri mpaka Haserothi na kukaa huko.

NUM 12:0 Extra space after chapter number

NUM 12:0 Removed trailing space in c: 12

NUM 12:0 Removed trailing space in s1: Miriamu Na Aroni Wampinga Mose

NUM 12:1 Removed trailing space in v~: Miriamu na Aroni walianza kuzungumza dhidi ya Mose kwa sababu ya mke wake Mkushi, kwa kuwa alikuwa ameoa Mkushi.

NUM 12:2 Removed trailing space in v~: Waliuliza, “Je, \nd Bwana\nd* amesema kupitia Mose peke yake? Je, hajasema kutupitia sisi pia?” Naye \nd Bwana\nd* akasikia hili.

NUM 12:3 Removed trailing space in v~: (Basi Mose alikuwa mtu mnyenyekevu sana, mnyenyekevu kuliko mtu mwingine yeyote katika uso wa dunia.)

NUM 12:4 Removed trailing space in v~: Ghafula \nd Bwana\nd* akawaambia Mose, Aroni na Miriamu, “Njooni katika Hema la Kukutania, ninyi nyote watatu.” Kwa hiyo wote watatu wakaenda.

NUM 12:5 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akashuka katika nguzo ya wingu, akasimama kwenye ingilio la Hema, akawaita Aroni na Miriamu. Wakati wote wawili waliposogea mbele,

NUM 12:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Sikilizeni maneno yangu:

NUM 12:6 Removed trailing space in p~: “Akiwapo nabii wa \nd Bwana\nd* miongoni mwenu,

NUM 12:6 Removed trailing space in p~: nitajifunua kwake kwa maono,

NUM 12:6 Removed trailing space in p~: nitanena naye katika ndoto.

NUM 12:7 Removed trailing space in v~: Lakini sivyo kwa mtumishi wangu Mose;

NUM 12:7 Removed trailing space in p~: yeye ni mwaminifu katika nyumba yangu yote.

NUM 12:8 Removed trailing space in v~: Kwake nitanena naye uso kwa uso,

NUM 12:8 Removed trailing space in p~: waziwazi wala si kwa mafumbo;

NUM 12:8 Removed trailing space in p~: yeye ataona umbo la \nd Bwana\nd*.

NUM 12:8 Removed trailing space in p~: Kwa nini basi ninyi hamkuogopa

NUM 12:8 Removed trailing space in p~: kuzungumza kinyume cha mtumishi wangu Mose?”

NUM 12:9 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi yao, akawaacha.

NUM 12:10 Removed trailing space in v~: Wakati hilo wingu liliinuka kutoka juu ya Hema, Miriamu akawa tayari ana ukoma, mweupe kama theluji. Aroni akamgeukia, akaona ana ukoma.

NUM 12:11 Removed trailing space in v~: Kisha Aroni akamwambia Mose, “Tafadhali, bwana wangu, usituhesabie dhambi hii ambayo tumeifanya kwa upumbavu.

NUM 12:12 Removed trailing space in v~: Usimwache awe kama mtoto mchanga aliyezaliwa akiwa mfu, ambaye nusu ya mwili wake imeharibika hapo atokapo katika tumbo la mama yake.”

NUM 12:13 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akamlilia \nd Bwana\nd* akisema, “Ee Mungu, nakuomba umponye!”

NUM 12:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamjibu Mose, “Je, kama baba yake angemtemea usoni, asingeona aibu kwa siku saba? Mfungie nje ya kambi kwa siku saba; baada ya hapo anaweza kurudishwa kambini.”

NUM 12:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Miriamu akafungiwa nje ya kambi kwa siku saba, nao watu hawakuendelea na safari mpaka aliporudishwa kambini.

NUM 12:16 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo, watu waliondoka Haserothi, wakapiga kambi katika Jangwa la Parani.

NUM 13:0 Extra space after chapter number

NUM 13:0 Removed trailing space in c: 13

NUM 13:0 Removed trailing space in s1: Kupeleleza Kanaani

NUM 13:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 1:19-33)

NUM 13:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 13:2 Removed trailing space in v~: “Watume baadhi ya watu wakaipeleleze nchi ya Kanaani, ambayo ninawapa Waisraeli. Kutoka kwa kila kabila la baba zao, tuma mmoja wa viongozi wao.”

NUM 13:3 Removed trailing space in v~: Hivyo kwa agizo la \nd Bwana\nd* Mose akawatuma kutoka Jangwa la Parani. Wote walikuwa viongozi wa Waisraeli.

NUM 13:4 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina yao:

NUM 13:4 Removed trailing space in p~: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;

NUM 13:5 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;

NUM 13:6 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;

NUM 13:7 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Isakari, Igali mwana wa Yosefu;

NUM 13:8 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Efraimu, Hoshea mwana wa Nuni;

NUM 13:9 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Benyamini, Palti mwana wa Rafu;

NUM 13:10 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Zabuloni, Gadieli mwana wa Sodi,

NUM 13:11 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Manase (kabila la Yosefu), Gadi mwana wa Susi;

NUM 13:12 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Dani, Amieli mwana wa Gemali;

NUM 13:13 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Asheri, Sethuri mwana wa Mikaeli;

NUM 13:14 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Naftali, Nabi mwana wa Wofsi;

NUM 13:15 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Gadi, Geueli mwana wa Maki.

NUM 13:16 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya watu ambao Mose aliwatuma kuipeleleza nchi. (Mose akampa Hoshea mwana wa Nuni jina Yoshua.)

NUM 13:17 Removed trailing space in v~: Mose alipowatuma wakaipeleleze Kanaani, alisema, “Pandeni kupitia Negebu, mwende mpaka nchi ya vilima.

NUM 13:18 Removed trailing space in v~: Mwone nchi ni ya namna gani, na kama watu waishio humo wana nguvu au ni wadhaifu, iwapo ni wachache au wengi.

NUM 13:19 Removed trailing space in v~: Wanaishi katika nchi ya namna gani? Je, ni nzuri au mbaya? Wanaishi katika miji ya namna gani? Je, haina kuta au ngome?

NUM 13:20 Removed trailing space in v~: Ardhi iko aje? Ina rutuba au la? Je, kuna miti ndani yake au la? Jitahidini kadiri mwezavyo kuleta baadhi ya matunda ya nchi.” (Ulikuwa msimu wa kuiva zabibu za kwanza.)

NUM 13:21 Removed trailing space in v~: Hivyo wakapanda na kuipeleleza nchi kutoka Jangwa la Sini hadi Rehobu, kuelekea Lebo-Hamathi.

NUM 13:22 Removed trailing space in v~: Wakapanda kupitia Negebu hadi wakafika Hebroni, mahali ambapo Ahimani, Sheshai na Talmai, wazao wa Anaki, waliishi. (Hebroni ulikuwa umejengwa miaka saba kabla ya mji wa Soani ulioko Misri.)

NUM 13:23 Removed trailing space in v~: Walipofika katika Bonde la Eshkoli, walivunja tawi lililokuwa na kishada kimoja cha zabibu. Wawili wao wakalichukua lile tawi kwenye mti, pamoja na komamanga na tini.

NUM 13:24 Removed trailing space in v~: Eneo lile likaitwa Bonde la Eshkoli kwa sababu ya kile kishada cha zabibu ambacho Waisraeli walikikata huko.

NUM 13:25 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa siku arobaini wakarudi kutoka kuipeleleza nchi.

NUM 13:25 Removed trailing space in s1: Taarifa Juu Ya Upelelezi

NUM 13:26 Removed trailing space in v~: Wakarudi kwa Mose, Aroni na jumuiya yote ya Waisraeli huko Kadeshi kwenye Jangwa la Parani. Hapo ndipo walipotoa habari kwao na kwa kusanyiko lote na kuwaonyesha matunda ya hiyo nchi.

NUM 13:27 Removed trailing space in v~: Wakampa Mose taarifa hii: “Tuliingia katika nchi uliyotutuma, nayo inatiririka maziwa na asali! Hili hapa tunda lake.

NUM 13:28 Removed trailing space in v~: Lakini watu wanaoishi huko ni wenye nguvu, na miji yao ina ngome na ni mikubwa sana. Huko tuliona hata wazao wa Anaki.

NUM 13:29 Removed trailing space in v~: Waamaleki wanaishi Negebu; Wahiti, Wayebusi na Waamori wanaishi katika nchi ya vilima; nao Wakanaani wanaishi karibu na bahari na kando ya Yordani.”

NUM 13:30 Removed trailing space in v~: Kisha Kalebu akawanyamazisha watu mbele ya Mose na kusema, “Imetupasa kupanda na kuimiliki nchi, kwa maana hakika tunaweza kufanya hivyo.”

NUM 13:31 Removed trailing space in v~: Lakini watu waliokuwa wamepanda pamoja naye wakasema, “Hatuwezi kuwashambulia wale watu; wana nguvu kutuliko sisi.”

NUM 13:32 Removed trailing space in v~: Wakaeneza taarifa mbaya miongoni mwa Waisraeli kuhusu nchi waliyoipeleleza. Wakasema, “Nchi tuliyoipeleleza hula watu waishio ndani yake. Watu wote tuliowaona huko ni majitu.

NUM 13:33 Removed trailing space in v~: Tuliwaona Wanefili huko (wazao wa Anaki wanatokana na Wanefili.) Tulijiona kama panzi machoni petu wenyewe, nao ndivyo walivyotuona.”

NUM 14:0 Extra space after chapter number

NUM 14:0 Removed trailing space in c: 14

NUM 14:0 Removed trailing space in s1: Watu Wanaasi

NUM 14:1 Removed trailing space in v~: Usiku ule watu wote wa jumuiya walipaza sauti zao na kulia kwa sauti kuu.

NUM 14:2 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote wakanungʼunika dhidi ya Mose na Aroni, nalo kusanyiko lote wakawaambia, “Laiti tungekuwa tumefia humo nchi ya Misri! Au humu kwenye hili jangwa!

NUM 14:3 Removed trailing space in v~: Kwa nini \nd Bwana\nd* anatuleta katika nchi hii ili tufe kwa upanga? Wake zetu na watoto wetu watachukuliwa kama nyara. Je, isingekuwa bora kwetu kurudi Misri?”

NUM 14:4 Removed trailing space in v~: Wakasemezana wao kwa wao, “Inatupasa kumchagua kiongozi na kurudi Misri.”

NUM 14:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na Aroni wakaanguka kifudifudi mbele ya kusanyiko lote la Kiisraeli lililokusanyika hapo.

NUM 14:6 Removed trailing space in v~: Yoshua mwana wa Nuni na Kalebu mwana wa Yefune, waliokuwa miongoni mwa watu wale waliokwenda kuipeleleza nchi, wakararua nguo zao,

NUM 14:7 Removed trailing space in v~: wakasema na kusanyiko lote la Kiisraeli, wakawaambia, “Nchi tuliyopita katikati yake na kuipeleleza ni nzuri sana sana.

NUM 14:8 Removed trailing space in v~: Ikiwa \nd Bwana\nd* anapendezwa nasi, atatuongoza kuingia katika nchi ile, nchi itiririkayo maziwa na asali, naye atatupa nchi hiyo.

NUM 14:9 Removed trailing space in v~: Ila tu msimwasi \nd Bwana\nd*. Wala msiwaogope watu wa nchi hiyo, kwa sababu tutawameza. Ulinzi wao umeondoka, lakini \nd Bwana\nd* yupo pamoja nasi. Msiwaogope.”

NUM 14:10 Removed trailing space in v~: Lakini kusanyiko lote likazungumza juu ya kuwapiga kwa mawe. Ndipo utukufu wa \nd Bwana\nd* ukaonekana katika Hema la Kukutania kwa Waisraeli wote.

NUM 14:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Watu hawa watanidharau mpaka lini? Wataendelea kukataa kuniamini mimi mpaka lini, ingawa nimetenda ishara za miujiza miongoni mwao?

NUM 14:12 Removed trailing space in v~: Nitawapiga kwa tauni na kuwaangamiza, lakini nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa lenye nguvu kuliko wao.”

NUM 14:13 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia \nd Bwana\nd*, “Ndipo Wamisri watasikia juu ya jambo hili! Kwa uweza wako uliwapandisha watu hawa kutoka miongoni mwao.

NUM 14:14 Removed trailing space in v~: Nao watawaambia wenyeji wa nchi hii jambo hili. Wao tayari wameshasikia kwamba wewe, Ee \nd Bwana\nd*, upo pamoja na watu hawa, na kuwa wewe, Ee \nd Bwana\nd*, umeonekana uso kwa uso, nalo wingu lako hukaa juu yao. Tena wewe unawatangulia kwa nguzo ya wingu mchana na kwa nguzo ya moto usiku.

NUM 14:15 Removed trailing space in v~: Ikiwa utawaua watu hawa wote mara moja, mataifa ambayo yamesikia taarifa hii kukuhusu wewe watasema,

NUM 14:16 Removed trailing space in v~: ‘\nd Bwana\nd* alishindwa kuwaingiza watu hawa katika nchi aliyowaahidi kwa kiapo; hivyo akawaua jangwani.’

NUM 14:17 Removed trailing space in v~: “Basi sasa nguvu za Bwana na zionekane, sawasawa na vile ulivyosema:

NUM 14:18 Removed trailing space in v~: ‘\nd Bwana\nd* si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo na mwenye kusamehe dhambi na uasi. Lakini haachi kumwadhibu mwenye hatia, huadhibu watoto kwa ajili ya dhambi ya baba zao hata kizazi cha tatu na cha nne.’

NUM 14:19 Removed trailing space in v~: Kwa kadiri ya upendo wako mkuu, usamehe dhambi ya watu hawa, kama vile ulivyowasamehe tangu wakati walitoka Misri mpaka sasa.”

NUM 14:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akajibu, “Nimewasamehe kama ulivyoomba.

NUM 14:21 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kwa hakika kama niishivyo, na kwa hakika kama utukufu wa \nd Bwana\nd* uijazavyo dunia yote,

NUM 14:22 Removed trailing space in v~: hakuna hata mmoja wa watu hawa ambao waliuona utukufu wangu na ishara za miujiza niliyotenda huko Misri na huko jangwani, lakini ambaye hakunitii na akanijaribu mara hizi kumi,

NUM 14:23 Removed trailing space in v~: hakuna hata mmoja wao atakayeona nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo. Hakuna hata mmoja ambaye amenidharau atakayeiona.

NUM 14:24 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu mtumishi wangu Kalebu ana roho ya tofauti na ananifuata kwa moyo wote, nitamwingiza katika nchi aliyoiendea, nao wazao wake watairithi.

NUM 14:25 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Waamaleki na Wakanaani wanaishi katika mabonde, kesho geukeni mwelekee jangwani kwa kufuata njia iendayo Bahari ya Shamu.”\f + \fr 14:25 \ft Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo.\f*

NUM 14:26 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni:

NUM 14:27 Removed trailing space in v~: “Jumuiya hii ovu itanungʼunika dhidi yangu hadi lini? Nimesikia malalamiko ya hawa Waisraeli wanaonungʼunika.

NUM 14:28 Removed trailing space in v~: Hivyo waambie, ‘Hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd*, nitawafanyia vitu vilevile nilivyosikia mkisema:

NUM 14:29 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wenu mwenye umri wa miaka ishirini au zaidi ambaye alihesabiwa na amenungʼunika dhidi yangu, miili yenu itaanguka katika jangwa hili.

NUM 14:30 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwa mkono ulioinuliwa kuwa makao yenu, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, na Yoshua mwana wa Nuni.

NUM 14:31 Removed trailing space in v~: Lakini watoto wenu ambao mlisema watachukuliwa kama mateka, nitawaingiza humo ili waifurahie nchi ambayo ninyi mmeikataa.

NUM 14:32 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi, miili yenu itaanguka katika jangwa hili.

NUM 14:33 Removed trailing space in v~: Watoto wenu watakuwa wachungaji wa mifugo hapa kwa miaka arobaini, wakiteseka kwa ajili ya kukosa uaminifu kwenu, hadi mwili wa mtu wenu wa mwisho ulale katika jangwa hili.

NUM 14:34 Removed trailing space in v~: Kwa miaka arobaini, mwaka mmoja kwa kila siku katika zile siku arobaini mlizoipeleleza nchi, mtateseka kwa ajili ya dhambi zenu, na kujua jinsi ilivyo vibaya kunifanya mimi kuwa adui yenu.’

NUM 14:35 Removed trailing space in v~: Mimi \nd Bwana\nd* nimesema, na hakika nitafanya mambo haya kwa jumuiya hii yote ovu, ambayo imefungamana pamoja dhidi yangu. Watakutana na mwisho wao katika jangwa hili; hapa ndipo watafia.”

NUM 14:36 Removed trailing space in v~: Hivyo watu wale ambao Mose alikuwa amewatuma kuipeleleza nchi, waliorudi na kuifanya jumuiya nzima kunungʼunika dhidi ya Mose kwa kueneza taarifa mbaya kuhusu hiyo nchi:

NUM 14:37 Removed trailing space in v~: watu hawa waliohusika kueneza taarifa mbaya kuhusu hiyo nchi walipigwa na kuanguka kwa tauni mbele za \nd Bwana\nd*.

NUM 14:38 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa watu waliokwenda kuipeleleza hiyo nchi, ni Yoshua mwana wa Nuni, na Kalebu mwana wa Yefune peke yao waliosalia.

NUM 14:39 Removed trailing space in v~: Mose alipotoa taarifa hii kwa Waisraeli wote, waliomboleza kwa uchungu.

NUM 14:40 Removed trailing space in v~: Mapema asubuhi siku iliyofuata walipanda juu kuelekea kwenye nchi ya vilima virefu, wakasema, “Tumetenda dhambi. Tutakwea mpaka mahali \nd Bwana\nd* alipotuahidi.”

NUM 14:41 Removed trailing space in v~: Lakini Mose akasema, “Kwa nini hamtii amri ya \nd Bwana\nd*? Jambo hili halitafanikiwa!

NUM 14:42 Removed trailing space in v~: Msipande juu, kwa kuwa \nd Bwana\nd* hayupo pamoja nanyi. Mtashindwa na adui zenu,

NUM 14:43 Removed trailing space in v~: kwa kuwa Waamaleki na Wakanaani watapambana nanyi huko. Kwa sababu mmemwacha \nd Bwana\nd*, hatakuwa pamoja nanyi, ninyi mtaanguka kwa upanga.”

NUM 14:44 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kwa kiburi chao walipanda juu kuelekea nchi ya vilima virefu, ijapokuwa Mose hakutoka kambini wala Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*.

NUM 14:45 Removed trailing space in v~: Ndipo Waamaleki na Wakanaani walioishi katika hiyo nchi ya vilima wakateremka na kuwashambulia, wakawapiga njia yote hadi Horma.

NUM 15:0 Extra space after chapter number

NUM 15:0 Removed trailing space in c: 15

NUM 15:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Za Nyongeza

NUM 15:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 15:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Baada ya ninyi kuingia katika nchi ninayowapa kama nyumbani,

NUM 15:3 Removed trailing space in v~: nanyi mkitoa sadaka za kuteketezwa kwa moto, kutoka makundi ya ngʼombe au kondoo, kama harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*, ikiwa ni sadaka za kuteketezwa au dhabihu, kwa ajili ya nadhiri maalum ama sadaka ya hiari au sadaka ya sikukuu zenu,

NUM 15:4 Removed trailing space in v~: ndipo yeye aletaye sadaka yake ataiweka mbele za \nd Bwana\nd* sadaka ya nafaka, sehemu ya kumi ya efa\f + \fr 15:4 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.\f* ya unga laini uliochanganywa na robo ya hini\f + \fr 15:4 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.\f* ya mafuta.

NUM 15:5 Removed trailing space in v~: Pamoja na kila mwana-kondoo kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa au dhabihu, andaa robo ya hini ya divai kwa sadaka ya kinywaji.

NUM 15:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Pamoja na kondoo dume andaa sadaka ya nafaka ya sehemu mbili za kumi za efa\f + \fr 15:6 \ft Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo 2.\f* za unga laini uliochanganywa na theluthi moja\f + \fr 15:6 \ft Theluthi moja ya hini ni sawa na lita moja na nusu.\f* ya hini ya mafuta,

NUM 15:7 Removed trailing space in v~: na theluthi moja ya hini ya divai kama sadaka ya kinywaji. Vitoe kama harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 15:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Unapoandaa fahali mchanga kama sadaka ya kuteketezwa au dhabihu, kwa ajili ya nadhiri maalum au sadaka ya amani kwa \nd Bwana\nd*,

NUM 15:9 Removed trailing space in v~: leta pamoja na huyo fahali sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa\f + \fr 15:9 \ft Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo 3.\f* uliochanganywa na nusu ya hini\f + \fr 15:9 \ft Nusu ya hini ni sawa na lita 2.\f* ya mafuta.

NUM 15:10 Removed trailing space in v~: Pia utaleta nusu ya hini ya divai kama sadaka ya kinywaji. Itakuwa sadaka iliyoteketezwa kwa moto, harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 15:11 Removed trailing space in v~: Kila fahali au kondoo dume, kila mwana-kondoo au mbuzi mchanga, atatayarishwa kwa njia hii.

NUM 15:12 Removed trailing space in v~: Fanyeni hivi kwa ajili ya kila mmoja, kwa kadiri ya wingi wa mtakavyoandaa.

NUM 15:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Kila mmoja ambaye ni mzawa ni lazima afanye vitu hivi kwa njia hii hapo aletapo sadaka ya kuteketezwa kwa moto kama harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 15:14 Removed trailing space in v~: Kwa vizazi vijavyo, wakati wowote mgeni au mtu mwingine yeyote anayeishi miongoni mwenu aletapo sadaka ya kuteketezwa kuwa harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*, ni lazima afanye sawasawa kabisa na jinsi mnavyofanya ninyi.

NUM 15:15 Removed trailing space in v~: Jumuiya itakuwa na sheria hizo hizo kwenu na kwa mgeni aishiye miongoni mwenu; hii ni amri ya kudumu kwa vizazi vijavyo. Ninyi na mgeni mtakuwa sawa mbele za \nd Bwana\nd*:

NUM 15:16 Removed trailing space in v~: Sheria hizo hizo na masharti hayo hayo hayo, yatawahusu ninyi na mgeni aishiye miongoni mwenu.’ ”

NUM 15:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 15:18 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia katika nchi ninayowapeleka

NUM 15:19 Removed trailing space in v~: nanyi mkala chakula cha nchi hiyo, toeni sehemu ya chakula hicho kama sadaka kwa \nd Bwana\nd*.

NUM 15:20 Removed trailing space in v~: Toeni andazi kutoka kwa malimbuko ya chakula chenu kitokacho katika ardhi, na mkitoe kama sadaka kutoka sakafu ya kupuria nafaka.

NUM 15:21 Removed trailing space in v~: Kwa vizazi vyote vijavyo hamna budi kutoa sadaka hii kwa \nd Bwana\nd* kutoka kwa malimbuko ya unga wenu.

NUM 15:21 Removed trailing space in s1: Sadaka Kwa Ajili Ya Dhambi Isiyo Ya Makusudi

NUM 15:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Basi kama pasipo kukusudia umeshindwa kushika mojawapo katika amri hizi ambazo \nd Bwana\nd* alimpa Mose,

NUM 15:23 Removed trailing space in v~: amri yoyote ya \nd Bwana\nd* kwenu kupitia Mose, tangu siku ile \nd Bwana\nd* alipowapa na inaendelea hadi vizazi vyote vijavyo;

NUM 15:24 Removed trailing space in v~: ikiwa hili limefanyika pasipo kukusudia bila jumuiya kuwa na habari nalo, basi jumuiya yote itatoa fahali mchanga kuwa sadaka ya kuteketezwa ikiwa harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*, pamoja na sadaka ya nafaka na ya kinywaji zilizoamriwa kwayo, na mbuzi dume kwa ajili ya sadaka ya dhambi.

NUM 15:25 Removed trailing space in v~: Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya jumuiya yote ya Kiisraeli, nao watasamehewa, kwa kuwa haikuwa makusudi nao wamemletea \nd Bwana\nd* sadaka iliyoteketezwa kwa moto na sadaka ya dhambi kwa ajili ya kosa lao.

NUM 15:26 Removed trailing space in v~: Jumuiya yote ya Kiisraeli pamoja na wageni waishio miongoni mwao watasamehewa, kwa sababu watu wote walihusika katika kosa lile lisilokusudiwa.

NUM 15:27 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kama mtu mmoja peke yake akitenda dhambi pasipo kukusudia, ni lazima alete mbuzi mke wa mwaka mmoja kwa ajili ya sadaka ya dhambi.

NUM 15:28 Removed trailing space in v~: Kuhani atafanya upatanisho mbele za \nd Bwana\nd* kwa ajili ya yule aliyekosa kwa kufanya dhambi pasipo kukusudia, upatanisho utakapofanywa kwa ajili yake, atasamehewa.

NUM 15:29 Removed trailing space in v~: Sheria hiyo moja itamhusu kila mmoja ambaye ametenda dhambi pasipo kukusudia, awe Mwisraeli mzawa ama mgeni.

NUM 15:30 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini yeyote ambaye amefanya dhambi kwa dharau awe mzawa au mgeni, anamkufuru \nd Bwana\nd*, naye mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na watu wake.

NUM 15:31 Removed trailing space in v~: Kwa sababu amelidharau neno la \nd Bwana\nd* na kuvunja amri zake, mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali; hatia yake inabaki juu yake.’ ”

NUM 15:31 Removed trailing space in s1: Mvunja Sabato Auawe

NUM 15:32 Removed trailing space in v~: Waisraeli walipokuwa jangwani, mtu mmoja alikutwa akikusanya kuni siku ya Sabato.

NUM 15:33 Removed trailing space in v~: Wale waliomkuta akikusanya kuni wakamleta kwa Mose, Aroni na kusanyiko lote,

NUM 15:34 Removed trailing space in v~: nao wakamweka kifungoni, kwa sababu haikufahamika kwa wazi kwamba afanyiwe nini.

NUM 15:35 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Huyo mtu ni lazima afe. Kusanyiko lote lazima limpige mawe nje ya kambi.”

NUM 15:36 Removed trailing space in v~: Hivyo kusanyiko likamtoa nje ya kambi na kumpiga mawe hadi akafa, kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 15:36 Removed trailing space in s1: Vifundo Kwenye Mavazi

NUM 15:37 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 15:38 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Kwa vizazi vyote vijavyo jifanyieni vifundo katika pindo za mavazi yenu vikiwa na uzi wa buluu kwenye kila kifundo.

NUM 15:39 Removed trailing space in v~: Mtakuwa mkivitazama vifundo hivyo ili mpate kukumbuka amri zote za \nd Bwana\nd*, ili mpate kuzitii msije mkajitia uzinzi wenyewe kwa kuzifuata tamaa za mioyo yenu na za macho yenu.

NUM 15:40 Removed trailing space in v~: Ndipo mtakumbuka kuzitii amri zangu zote nanyi mtawekwa wakfu kwa Mungu wenu.

NUM 15:41 Removed trailing space in v~: Mimi Ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu, niliyewatoa Misri niwe Mungu wenu. Mimi Ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.’ ”

NUM 16:0 Extra space after chapter number

NUM 16:0 Removed trailing space in c: 16

NUM 16:0 Removed trailing space in s1: Kora, Dathani Na Abiramu

NUM 16:1 Removed trailing space in v~: Kora mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi, mwana wa Lawi, pamoja na baadhi ya Wareubeni, yaani Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu, na Oni mwana wa Pelethi, wakachukua baadhi ya watu,

NUM 16:2 Removed trailing space in v~: wakainuka dhidi ya Mose. Pamoja nao walikuwepo wanaume wa Kiisraeli 250, watu waliojulikana, viongozi wa jumuiya waliokuwa wameteuliwa kuwa wakuu wa kusanyiko.

NUM 16:3 Removed trailing space in v~: Wakaja kama kikundi kuwapinga Mose na Aroni, wakawaambia, “Ninyi mmejitukuza sana! Kusanyiko hili lote ni takatifu, kila mmoja wao, naye \nd Bwana\nd* yu pamoja nao. Kwa nini basi mmejitukuza wenyewe juu ya kusanyiko la \nd Bwana\nd*?”

NUM 16:4 Removed trailing space in v~: Mose aliposikia jambo hili, akaanguka kifudifudi.

NUM 16:5 Removed trailing space in v~: Kisha akamwambia Kora na wafuasi wake wote: “Asubuhi \nd Bwana\nd* ataonyesha ni nani aliye wake na ni nani aliye mtakatifu, tena atamtaka mtu huyo aje kwake. Mtu yule ambaye atamchagua atamfanya kuja karibu naye.

NUM 16:6 Removed trailing space in v~: Wewe Kora na wafuasi wako wote mtafanya hivi: Chukueni vyetezo,

NUM 16:7 Removed trailing space in v~: kesho wekeni moto na uvumba kwenye hivyo vyetezo mbele za \nd Bwana\nd*. Mtu ambaye \nd Bwana\nd* atamchagua atakuwa ndiye mtakatifu. Ninyi Walawi mmejitukuza sana!”

NUM 16:8 Removed trailing space in v~: Pia Mose akamwambia Kora, “Enyi Walawi! Sasa nisikilizeni.

NUM 16:9 Removed trailing space in v~: Haiwatoshi ninyi kwamba Mungu wa Israeli amewateua ninyi kutoka kusanyiko lote la Kiisraeli, na kuwaleta karibu naye mpate kufanya kazi kwenye Maskani ya \nd Bwana\nd*, na kusimama mbele ya kusanyiko ili kuwahudumia?

NUM 16:10 Removed trailing space in v~: Amekuleta wewe na ndugu zako Walawi mwe karibu naye, lakini sasa unajaribu kupata na ukuhani pia.

NUM 16:11 Removed trailing space in v~: Wewe na wafuasi wako wote mmekusanyika pamoja kinyume cha \nd Bwana\nd*. Aroni ni nani kwamba ninyi mnungʼunike dhidi yake?”

NUM 16:12 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaita Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu. Lakini wao wakasema, “Sisi hatuji!

NUM 16:13 Removed trailing space in v~: Haitoshi tu kwamba wewe umetuleta kutoka nchi itiririkayo maziwa na asali ili kutuua sisi jangwani? Nawe sasa pia unataka kuwa mkuu juu yetu?

NUM 16:14 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, hujatuingiza katika nchi inayotiririka maziwa na asali, wala hujatupa urithi wa mashamba na mashamba ya mizabibu. Je, utayangʼoa macho ya watu hawa? Hapana, sisi hatuji!”

NUM 16:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akakasirika sana na kumwambia \nd Bwana\nd*, “Usiikubali sadaka yao. Mimi sikuchukua chochote, hata punda kutoka kwao, wala sijamkosea hata mmoja wao.”

NUM 16:16 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia Kora, “Wewe na wafuasi wako wote kesho mtatokea mbele za \nd Bwana\nd*: yaani wewe na hao wenzako, pamoja na Aroni.

NUM 16:17 Removed trailing space in v~: Kila mtu atachukua chetezo chake na kuweka uvumba ndani yake, vyetezo 250 kwa jumla, na kukileta mbele za \nd Bwana\nd*. Wewe na Aroni mtaleta vyetezo vyenu pia.”

NUM 16:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kila mtu akachukua chetezo chake, akaweka moto na uvumba ndani yake, na kusimama pamoja na Mose na Aroni kwenye mlango wa Hema la Kukutania.

NUM 16:19 Removed trailing space in v~: Kora alipokuwa amekusanya wafuasi wake wote kuwapinga Mose na Aroni kwenye mlango wa Hema la Kukutania, utukufu wa \nd Bwana\nd* ukatokea kwa kusanyiko lote.

NUM 16:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni,

NUM 16:21 Removed trailing space in v~: “Jitengeni kutoka kwenye kusanyiko hili ili nipate kuwaangamiza mara moja.”

NUM 16:22 Removed trailing space in v~: Lakini Mose na Aroni wakaanguka kufudifudi na kulia kwa sauti, wakasema, “Ee Mungu, Mungu wa roho za wanadamu wote, utakuwa na hasira na kusanyiko lote wakati ni mtu mmoja tu ametenda dhambi?”

NUM 16:23 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 16:24 Removed trailing space in v~: “Liambie kusanyiko, ‘Ondokeni hapo karibu na mahema ya Kora, Dathani na Abiramu.’ ”

NUM 16:25 Removed trailing space in v~: Mose akainuka na kuwaendea Dathani na Abiramu, nao wazee wa Israeli wakafuatana naye.

NUM 16:26 Removed trailing space in v~: Mose akalionya kusanyiko, “Sogeeni nyuma mbali na mahema ya hawa watu waovu! Msiguse kitu chochote kilicho mali yao, la sivyo mtafagiliwa mbali kwa sababu ya dhambi zao zote.”

NUM 16:27 Removed trailing space in v~: Hivyo wakaondoka karibu na mahema ya Kora, Dathani na Abiramu. Dathani na Abiramu walikuwa wametoka nje, nao walikuwa wamesimama pamoja na wake zao, watoto wao na wale wanyonyao kwenye mlango wa mahema yao.

NUM 16:28 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akasema, “Hivi ndivyo mtakavyojua kuwa \nd Bwana\nd* amenituma kufanya mambo haya, na kwamba halikuwa wazo langu.

NUM 16:29 Removed trailing space in v~: Ikiwa watu hawa watakufa kifo cha kawaida na kupatwa na yale ya kawaida yanayowapata wanadamu, basi \nd Bwana\nd* hakunituma mimi.

NUM 16:30 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa \nd Bwana\nd* ataleta jambo jipya kabisa, ardhi ikifunua kinywa chake na kuwameza wao, pamoja na kila kitu kilicho mali yao, nao washuke chini kaburini\f + \fr 16:30 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f* wakiwa hai, ndipo mtafahamu kuwa watu hawa wamemdharau \nd Bwana\nd*.”

NUM 16:31 Removed trailing space in v~: Mara Mose alipomaliza kusema haya yote, ardhi iliyokuwa chini yao ikapasuka,

NUM 16:32 Removed trailing space in v~: nchi ikafunua kinywa chake na kuwameza wao, pamoja na jamaa zao, na watu wote wa Kora na mali zao zote.

NUM 16:33 Removed trailing space in v~: Wakashuka chini kaburini wakiwa hai, pamoja na kila kitu walichokuwa nacho; nchi ikajifunika juu yao, nao wakaangamia wakatoweka kutoka kusanyiko.

NUM 16:34 Removed trailing space in v~: Kutoka kilio chao, Waisraeli wote waliowazunguka walikimbia, wakipaza sauti, “Nchi inatumeza na sisi pia!”

NUM 16:35 Removed trailing space in v~: Moto ukaja kutoka kwa \nd Bwana\nd*, ukawateketeza wale watu 250 waliokuwa wakifukiza uvumba.

NUM 16:36 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 16:37 Removed trailing space in v~: “Mwambie Eleazari mwana wa kuhani Aroni, atoe vyetezo kwenye mabaki ya moto na kutawanya makaa mbali kiasi, kwa maana vyetezo ni vitakatifu:

NUM 16:38 Removed trailing space in v~: vyetezo vya watu waliofanya dhambi iliyowagharimu maisha yao. Fua vyetezo hivyo kuwa bamba ili kufunika madhabahu, kwa maana vimeletwa mbele za \nd Bwana\nd* na vimekuwa vitakatifu. Navyo viwe ishara kwa Waisraeli.”

NUM 16:39 Removed trailing space in v~: Hivyo kuhani Eleazari akavikusanya vile vyetezo vya shaba vilivyoletwa na wale waliokuwa wameteketezwa kwa moto, naye akavifua kufunika madhabahu,

NUM 16:40 Removed trailing space in v~: kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwelekeza kupitia Mose. Hili lilikuwa kuwakumbusha Waisraeli kwamba hakuna mtu hata mmoja, isipokuwa mzao wa Aroni, awezaye kuja kufukiza uvumba mbele za \nd Bwana\nd*, la sivyo, angekuwa kama Kora na wafuasi wake.

NUM 16:41 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata jumuiya yote ya Kiisraeli wakanungʼunika dhidi ya Mose na Aroni, wakisema, “Mmewaua watu wa \nd Bwana\nd*.”

NUM 16:42 Removed trailing space in v~: Lakini wakati kusanyiko lilipokusanyika kupingana na Mose na Aroni, nalo likageuka kuelekea Hema la Kukutania, ghafula wingu likafunika Hema, nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ukatokea.

NUM 16:43 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose na Aroni wakaenda mbele ya Hema la Kukutania,

NUM 16:44 Removed trailing space in v~: naye \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 16:45 Removed trailing space in v~: “Jitenge mbali na kusanyiko hili ili niweze kuwaangamiza mara moja.” Wakaanguka chini kifudifudi.

NUM 16:46 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamwambia Aroni, “Chukua chetezo chako na uweke uvumba ndani yake, pamoja na moto kutoka madhabahuni, nawe uende haraka kwenye kusanyiko ili kufanya upatanisho kwa ajili yao. Ghadhabu imekuja kutoka kwa \nd Bwana\nd*, na tauni imeanza.”

NUM 16:47 Removed trailing space in v~: Hivyo Aroni akafanya kama Mose alivyosema, akakimbilia katikati ya kusanyiko. Tauni ilikuwa tayari imeanza miongoni mwa watu, lakini Aroni akafukiza uvumba na kufanya upatanisho kwa ajili yao.

NUM 16:48 Removed trailing space in v~: Aroni akasimama kati ya waliokuwa hai na waliokufa, nayo tauni ikakoma.

NUM 16:49 Removed trailing space in v~: Lakini walikufa watu 14,700 kutokana na tauni hiyo, licha ya wale waliokuwa wamekufa kwa sababu ya Kora.

NUM 16:50 Removed trailing space in v~: Ndipo Aroni akamrudia Mose kwenye mlango wa Hema la Kukutania, kwa maana tauni ilikuwa imekoma.

NUM 17:0 Extra space after chapter number

NUM 17:0 Removed trailing space in c: 17

NUM 17:0 Removed trailing space in s1: Kuchipuka Kwa Fimbo Ya Aroni

NUM 17:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 17:2 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli, na ujipatie fimbo kumi na mbili kutoka kwao, moja kutoka kwa kila mmoja wa viongozi wa kabila za baba zao. Andika jina la kila mtu kwenye fimbo yake.

NUM 17:3 Removed trailing space in v~: Kwenye fimbo ya Lawi andika jina la Aroni, kwa maana ni lazima iwepo fimbo moja kwa kila kiongozi kwa ajili ya kila kabila la baba zao.

NUM 17:4 Removed trailing space in v~: Ziweke hizo fimbo ndani ya Hema la Kukutania mbele ya Sanduku la Ushuhuda, mahali nikutanapo nawe.

NUM 17:5 Removed trailing space in v~: Fimbo ya mtu nitakayemchagua itachipuka, nami mwenyewe nitayakomesha haya manungʼuniko ya mara kwa mara ya Waisraeli dhidi yako.”

NUM 17:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akasema na Waisraeli, nao viongozi wao wakampa fimbo kumi na mbili, fimbo moja kwa ajili ya kila kabila la baba zao, nayo fimbo ya Aroni ikiwa miongoni mwa hizo.

NUM 17:7 Removed trailing space in v~: Mose akaziweka hizo fimbo mbele za \nd Bwana\nd* ndani ya Hema la Ushuhuda.

NUM 17:8 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata Mose aliingia kwenye Hema la Ushuhuda akaona ile fimbo ya Aroni ambayo iliwakilisha jamaa ya Lawi haikuwa tu imechipuka, bali pia ilikuwa imetoa machipukizi, kuchanua maua na kuzaa malozi.

NUM 17:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akaleta zile fimbo zote kwa Waisraeli wote kutoka mbele za \nd Bwana\nd*. Wakaziangalia, na kila mtu akaichukua fimbo yake mwenyewe.

NUM 17:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Rudisha fimbo ya Aroni mbele ya Sanduku la Ushuhuda, ili ihifadhiwe kama alama kwa waasi. Hili litakomesha manungʼuniko yao dhidi yangu, ili kwamba wasife.”

NUM 17:11 Removed trailing space in v~: Mose akafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru.

NUM 17:12 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakamwambia Mose, “Tutakufa! Tumepotea, sote tumepotea!

NUM 17:13 Removed trailing space in v~: Yeyote akaribiaye Maskani ya \nd Bwana\nd* atakufa. Je, sisi sote tutakufa?”

NUM 18:0 Extra space after chapter number

NUM 18:0 Removed trailing space in c: 18

NUM 18:0 Removed trailing space in s1: Wajibu Wa Makuhani Na Walawi

NUM 18:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Aroni, “Wewe, wanao na jamaa ya baba yako mtawajibika kwa makosa dhidi ya mahali patakatifu, na wewe na wanao peke yenu ndio mtakaowajibika kwa makosa dhidi ya ukuhani.

NUM 18:2 Removed trailing space in v~: Walete Walawi wenzako kutoka kabila la baba zako ili waungane nanyi na kuwasaidia wakati wewe na wanao mnapohudumu mbele ya Hema la Ushuhuda.

NUM 18:3 Removed trailing space in v~: Watawajibika kwenu na watafanya kazi zote za Hema, lakini kamwe wasisogelee vifaa vya patakatifu au madhabahu, la sivyo wao na ninyi mtakufa.

NUM 18:4 Removed trailing space in v~: Watajiunga nanyi na watawajibika kwa utunzaji wa Hema la Kukutania, yaani kazi zote kwenye Hema, wala hakuna mtu mwingine yeyote atakayeweza kusogea karibu hapo mlipo.

NUM 18:5 Removed trailing space in v~: “Mtawajibika katika utunzaji wa mahali patakatifu na madhabahu, ili kwamba ghadhabu isiwaangukie Waisraeli tena.

NUM 18:6 Removed trailing space in v~: Mimi mwenyewe nimewachagua Walawi wenzenu kutoka miongoni mwa Waisraeli kama zawadi kwenu, waliowekwa wakfu kwa \nd Bwana\nd* ili kufanya kazi katika Hema la Kukutania.

NUM 18:7 Removed trailing space in v~: Lakini ni wewe tu na wanao mtakaoweza kutumika kama makuhani kuhusiana na kila kitu kwenye madhabahu na ndani ya pazia. Ninawapa utumishi wa ukuhani kama zawadi. Mtu mwingine yeyote atakayekaribia mahali patakatifu ni lazima auawe.”

NUM 18:7 Removed trailing space in s1: Sadaka Kwa Ajili Ya Makuhani Na Walawi

NUM 18:8 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Aroni, “Mimi mwenyewe nimekuweka kuwa mwangalizi wa sadaka zote zitakazotolewa kwangu; matoleo yote matakatifu Waisraeli wanayonipa ninakupa wewe na wanao kama sehemu yenu na fungu lenu la kawaida.

NUM 18:9 Removed trailing space in v~: Mtachukua sehemu ya yale matoleo matakatifu sana ambayo hayateketezwi kwa moto. Kutoka kwa matoleo yote wanayoniletea kama sadaka takatifu sana, ziwe za nafaka, au za dhambi, au za makosa, sehemu ile itakuwa yako na wanao.

NUM 18:10 Removed trailing space in v~: Mtaila kama kitu kilicho kitakatifu sana; kila mwanaume ataila. Ni lazima mtaiheshimu kama takatifu.

NUM 18:11 Removed trailing space in v~: “Hiki pia ni chako: chochote kilichotengwa kutoka kwenye matoleo yote ya sadaka za kuinuliwa za Waisraeli. Ninakupa wewe haya, wana na binti zako kama sehemu yenu ya kawaida. Kila mmoja wa nyumba yako ambaye ni safi kwa taratibu za ibada anaweza kuyala.

NUM 18:12 Removed trailing space in v~: “Ninawapa mafuta ya zeituni yaliyo bora kuliko yote, na divai mpya iliyo bora kuliko zote na nafaka wanazompa \nd Bwana\nd* kama malimbuko katika mavuno yao.

NUM 18:13 Removed trailing space in v~: Malimbuko yote ya nchi ambayo wanamletea \nd Bwana\nd* yatakuwa yenu. Kila mmoja nyumbani kwako ambaye ni safi kwa taratibu za Ibada anaweza kula.

NUM 18:14 Removed trailing space in v~: “Kila kitu katika Israeli ambacho kimetolewa kwa \nd Bwana\nd* ni chenu.

NUM 18:15 Removed trailing space in v~: Kila mzaliwa wa kwanza wa mwanadamu na wa mnyama, ambaye ametolewa kwa \nd Bwana\nd* ni wenu. Lakini ni lazima mtamkomboa kila mwana mzaliwa wa kwanza na kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa wanyama wasio safi.

NUM 18:16 Removed trailing space in v~: Watakapokuwa na umri wa mwezi mmoja, ni lazima mtawakomboa kwa bei ya ukombozi iliyowekwa, kwa shekeli tano\f + \fr 18:16 \ft Shekeli tano za fedha ni sawa na gramu 55.\f* za fedha, kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, yenye uzito wa gera ishirini.\f + \fr 18:16 \ft Gera 20 ni sawa na gramu 55.\f*

NUM 18:17 Removed trailing space in v~: “Lakini kamwe usimkomboe mzaliwa wa kwanza wa maksai, kondoo au mbuzi; hawa ni watakatifu. Nyunyizia damu yao juu ya madhabahu na uchome mafuta yao kama sadaka itolewayo kwa moto, harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 18:18 Removed trailing space in v~: Nyama zao zitakuwa chakula chenu, kama ilivyokuwa kidari cha kuinuliwa na paja la mguu wa kulia.

NUM 18:19 Removed trailing space in v~: Chochote kitakachotengwa kutoka sadaka takatifu ambazo Waisraeli wanamtolea \nd Bwana\nd*, ninakupa wewe, wanao na binti zako kama fungu lenu la kawaida. Ni Agano la milele la chumvi mbele za \nd Bwana\nd* kwako na watoto wako.”

NUM 18:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Aroni, “Hutakuwa na urithi wowote katika nchi yao, wala hutakuwa na sehemu miongoni mwao; Mimi ni fungu lako na urithi wako miongoni mwa Waisraeli.

NUM 18:21 Removed trailing space in v~: “Ninawapa Walawi zaka yote katika Israeli kama urithi wao kuwa kama malipo kwa kazi wanayoifanya wakati wanapohudumu katika Hema la Kukutania.

NUM 18:22 Removed trailing space in v~: Kuanzia sasa, kamwe Waisraeli wasisogelee karibu na Hema la Kukutania, la sivyo watabeba matokeo ya dhambi zao, nao watakufa.

NUM 18:23 Removed trailing space in v~: Ni Walawi watakaofanya kazi katika Hema la Kukutania na kubeba wajibu wa makosa dhidi yake. Hili ni agizo la kudumu kwa vizazi vijavyo. Hawatapokea urithi wowote miongoni mwa Waisraeli.

NUM 18:24 Removed trailing space in v~: Badala yake, ninawapa Walawi zaka zote zinazotolewa na Waisraeli kama sadaka kwa \nd Bwana\nd* kuwa urithi wao. Hiyo ndiyo sababu nimesema hivi kuhusu wao: ‘Hawatakuwa na urithi miongoni mwa Waisraeli.’ ”

NUM 18:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 18:26 Removed trailing space in v~: “Sema na Walawi na uwaambie: ‘Mtakapopokea zaka kutoka kwa Waisraeli ambayo ninawapa kama urithi wenu kutoka kwao, ni lazima mtoe sehemu ya kumi ya hiyo zaka kama sadaka kwa \nd Bwana\nd*, iwe zaka ya hiyo zaka.

NUM 18:27 Removed trailing space in v~: Sadaka yenu itahesabiwa kwenu kama nafaka kutoka sakafu ya kupuria, au divai kutoka kwenye shinikizo la kukamulia zabibu.

NUM 18:28 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii, ninyi pia mtatoa sadaka kwa \nd Bwana\nd* kutoka zaka zote mtakazopokea kutoka kwa Waisraeli. Kutoka kwenye zaka hizi, ni lazima mtoe sehemu ya \nd Bwana\nd* kwa Aroni, kuhani.

NUM 18:29 Removed trailing space in v~: Ni lazima mtoe kama sehemu ya \nd Bwana\nd* iliyo nzuri sana tena ile sehemu iliyo takatifu sana kuliko zote ya kile kitu mlichopewa.’

NUM 18:30 Removed trailing space in v~: “Waambie Walawi: ‘Mtakapotoa sehemu zilizo bora sana, itahesabiwa kwenu kama mazao ya sakafu ya kupuria nafaka, au ya shinikizo la kukamulia zabibu.

NUM 18:31 Removed trailing space in v~: Ninyi na watu wa nyumbani mwenu mnaweza kula sehemu iliyobaki mahali popote, kwani ndio ujira wenu kwa ajili ya kazi yenu katika Hema la Kukutania.

NUM 18:32 Removed trailing space in v~: Kwa kutoa sehemu zake zilizo bora sana, hamtakuwa na hatia katika jambo hili; ndipo hamtatia unajisi sadaka takatifu za Waisraeli, nanyi hamtakufa.’ ”

NUM 19:0 Extra space after chapter number

NUM 19:0 Removed trailing space in c: 19

NUM 19:0 Removed trailing space in s1: Maji Ya Utakaso

NUM 19:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni:

NUM 19:2 Removed trailing space in v~: “Hivi ndivyo sheria ambayo \nd Bwana\nd* ameagiza itakavyo: Waambie Waisraeli wakuletee mtamba mwekundu asiye na dosari wala waa, na ambaye hajapata kufungwa nira.

NUM 19:3 Removed trailing space in v~: Mpeni kuhani Eleazari huyo mtamba; naye atatolewa nje ya kambi na kuchinjwa mbele yake huyo kuhani.

NUM 19:4 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani Eleazari atachukua baadhi ya damu yake kwenye kidole chake na kuinyunyiza mara saba kuelekea upande wa mbele ya Hema la Kukutania.

NUM 19:5 Removed trailing space in v~: Wakati angali akitazama, mtamba huyo atateketezwa: ngozi yake, nyama yake, damu na sehemu zake za ndani.

NUM 19:6 Removed trailing space in v~: Kuhani atachukua kuni za mti wa mwerezi, hisopo na sufu nyekundu, na kuvitupa kwenye huyo mtamba anayeungua.

NUM 19:7 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo, kuhani lazima afue nguo zake, na aoge mwili wake kwa maji. Kisha anaweza kurudi kambini, lakini atakuwa najisi kwa kawaida ya ibada mpaka jioni.

NUM 19:8 Removed trailing space in v~: Mtu amchomaye huyo mtamba lazima naye pia afue nguo zake na kuoga kwa maji, naye pia atakuwa najisi mpaka jioni.

NUM 19:9 Removed trailing space in v~: “Mtu ambaye ni safi atakusanya majivu ya mtamba huyo na kuyaweka mahali ambapo ni safi nje ya kambi kwa taratibu za kiibada. Yatahifadhiwa na jumuiya ya Kiisraeli kwa matumizi katika maji ya utakaso; ni kwa ajili ya kutakasa kutoka dhambini.

NUM 19:10 Removed trailing space in v~: Mtu akusanyaye majivu ya huyo mtamba ni lazima pia afue nguo zake, kadhalika naye pia atakuwa najisi hadi jioni. Hili litakuwa agizo la kudumu kwa Waisraeli na kwa wageni wanaoishi miongoni mwao.

NUM 19:11 Removed trailing space in v~: “Mtu yeyote agusaye maiti ya mtu yeyote atakuwa najisi kwa siku saba.

NUM 19:12 Removed trailing space in v~: Ni lazima ajitakase mwenyewe kwa maji katika siku ya tatu na siku ya saba, ndipo atakuwa safi. Lakini kama hatajitakasa mwenyewe katika siku ya tatu na ya saba, hatakuwa safi.

NUM 19:13 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote agusaye maiti ya mtu yeyote na kushindwa kujitakasa mwenyewe hunajisi Maskani ya \nd Bwana\nd*. Mtu huyo ni lazima akatiliwe mbali na Israeli. Kwa sababu hajanyunyiziwa maji ya utakaso, yeye ni najisi; unajisi wake unabaki juu yake.

NUM 19:14 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo sheria itumikayo wakati mtu amekufa ndani ya hema: Yeyote aingiaye ndani ya hema hilo na yeyote aliye ndani yake watakuwa najisi kwa muda wa siku saba,

NUM 19:15 Removed trailing space in v~: nacho kila chombo kisicho na kifuniko juu yake kitakuwa najisi.

NUM 19:16 Removed trailing space in v~: “Mtu yeyote aliyeko nje mahali pa wazi agusaye mtu aliyeuawa kwa upanga au mtu aliyekufa kwa kifo cha kawaida, au mtu yeyote agusaye mfupa wa mtu aliyekufa au kaburi, atakuwa najisi kwa siku saba.

NUM 19:17 Removed trailing space in v~: “Kwa mtu aliye najisi, weka majivu ya sadaka ya utakaso wa dhambi ndani ya chombo, umimine maji safi juu yao.

NUM 19:18 Removed trailing space in v~: Kisha mtu aliye safi kwa kawaida za kiibada atachukua hisopo, achovye ndani ya maji, na kunyunyizia hema na vifaa vyote pamoja na watu ambao walikuwamo. Pia ni lazima amnyunyizie mtu yeyote ambaye amegusa mfupa wa mtu aliyekufa, au kaburi, au mtu ambaye ameuawa, au mtu ambaye amekufa kifo cha kawaida.

NUM 19:19 Removed trailing space in v~: Mtu ambaye ni safi ndiye atakayemnyunyizia yeyote ambaye ni najisi siku ya tatu na siku ya saba, na katika siku ya saba atamtakasa mtu huyo. Mtu ambaye ametakaswa lazima afue nguo zake na kuoga kwa maji, na jioni ile atakuwa safi.

NUM 19:20 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mtu ambaye ni najisi hakujitakasa mwenyewe, ni lazima akatiliwe mbali na jumuiya, kwa sababu ameinajisi Maskani ya \nd Bwana\nd*. Maji ya utakaso hayajanyunyizwa juu yake, naye ni najisi.

NUM 19:21 Removed trailing space in v~: Hii ni sheria ya kudumu kwao.

NUM 19:21 Removed trailing space in p~: “Mtu yeyote ambaye ananyunyiza yale maji ya utakaso lazima pia afue nguo zake, na yeyote ambaye hugusa maji ya utakaso atakuwa najisi mpaka jioni.

NUM 19:22 Removed trailing space in v~: Kitu chochote anachogusa mtu aliye najisi kitakuwa najisi, na yeyote akigusaye huwa najisi mpaka jioni.”

NUM 20:0 Extra space after chapter number

NUM 20:0 Removed trailing space in c: 20

NUM 20:0 Removed trailing space in s1: Maji Kutoka Kwenye Mwamba

NUM 20:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 17:1-7)

NUM 20:1 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa kwanza jumuiya yote ya Kiisraeli ilifika kwenye Jangwa la Sini, nao wakakaa Kadeshi. Miriamu akafa huko na kuzikwa.

NUM 20:2 Removed trailing space in v~: Mahali hapo hapakuwa na maji kwa ajili ya jumuiya hiyo, nao wakakusanyika ili kumpinga Mose na Aroni.

NUM 20:3 Removed trailing space in v~: Watu wakagombana na Mose, na kusema, “Laiti tungelikufa wakati ndugu zetu walipoanguka na kufa mbele za \nd Bwana\nd*!

NUM 20:4 Removed trailing space in v~: Kwa nini mmeileta jumuiya ya \nd Bwana\nd* kwenye jangwa hili, ili tufe humu, sisi na mifugo yetu?

NUM 20:5 Removed trailing space in v~: Kwa nini mmetupandisha kutoka Misri mpaka mahali hapa pa kutisha? Hapa hakuna nafaka wala tini, zabibu au makomamanga. Wala hapa hakuna maji ya kunywa!”

NUM 20:6 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakaondoka pale kwenye kusanyiko mpaka kwenye mlango wa Hema la Kukutania na kuanguka kifudifudi, nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ukawatokea.

NUM 20:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 20:8 Removed trailing space in v~: “Chukua ile fimbo, na wewe na ndugu yako Aroni mkusanye kusanyiko pamoja. Nena na ule mwamba mbele ya macho yao, nao utatoa maji yake. Utatoa maji kutoka huo mwamba kwa ajili ya jumuiya ili wao na mifugo yao waweze kunywa.”

NUM 20:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akaichukua hiyo fimbo kutoka pale ilipokuwa mbele za \nd Bwana\nd* kama alivyomwagiza.

NUM 20:10 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni wakakusanya kusanyiko pamoja mbele ya huo mwamba, naye Mose akawaambia, “Sikilizeni, enyi waasi. Je, ni lazima tuwatoleeni maji kutoka mwamba huu?”

NUM 20:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Mose akainua mkono wake na kuupiga mwamba mara mbili kwa fimbo yake. Maji yakabubujika, nayo jumuiya na mifugo yao wakanywa.

NUM 20:12 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni, “Kwa sababu hamkuniamini mimi kiasi cha kuniheshimu kama mtakatifu machoni pa Waisraeli, hamtaiingiza jumuiya hii katika nchi ninayowapa.”

NUM 20:13 Removed trailing space in v~: Haya yalikuwa maji ya Meriba,\f + \fr 20:13 \ft Meriba maana yake Kugombana.\f* mahali pale ambapo Waisraeli waligombana na \nd Bwana\nd*, naye akajionyesha mwenyewe huko kuwa mtakatifu katikati yao.

NUM 20:13 Removed trailing space in s1: Edomu Wakatalia Israeli Kupita

NUM 20:14 Removed trailing space in v~: Mose akawatuma wajumbe kutoka Kadeshi kwenda kwa mfalme wa Edomu, akisema:

NUM 20:14 Removed trailing space in p~: “Hili ndilo ndugu yako Israeli asemalo: Wewe unafahamu juu ya taabu zote ambazo zimetupata.

NUM 20:15 Removed trailing space in v~: Baba zetu walishuka Misri, nasi tumeishi huko miaka mingi. Wamisri walitutesa sisi na baba zetu,

NUM 20:16 Removed trailing space in v~: lakini tulipomlilia \nd Bwana\nd*, alisikia kilio chetu na akamtuma malaika akatutoa Misri.

NUM 20:16 Removed trailing space in p~: “Sasa tupo hapa Kadeshi, mji ulio mpakani mwa nchi yako.

NUM 20:17 Removed trailing space in v~: Tafadhali turuhusu tupite katika nchi yako. Hatutapita katika shamba lolote, wala shamba la mizabibu, au kunywa maji kutoka kwenye kisima chochote. Tutasafiri kufuata njia kuu ya mfalme, na hatutageuka kulia wala kushoto mpaka tuwe tumeshapita nchi yako.”

NUM 20:18 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme wa Edomu akajibu:

NUM 20:18 Removed trailing space in p~: “Hamtapita hapa; kama mkijaribu kupita, tutatoka na kuwashambulia kwa upanga.”

NUM 20:19 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakajibu:

NUM 20:19 Removed trailing space in p~: “Sisi tutafuata njia kuu; tena ikiwa sisi au mifugo yetu tutakunywa tone la maji yenu, tutalilipia. Sisi tunataka tu kupita kwa miguu, wala si kitu kingine chochote.”

NUM 20:20 Removed trailing space in v~: Watu wa Edomu wakajibu tena:

NUM 20:20 Removed trailing space in p~: “Hamwezi kupita hapa.”

NUM 20:20 Removed trailing space in p~: Ndipo watu wa Edomu wakatoka dhidi ya Waisraeli, jeshi kubwa lenye nguvu.

NUM 20:21 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Waedomu waliwakatalia Waisraeli kupita katika nchi yao, Israeli wakageuka, wakawaacha.

NUM 20:21 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Aroni

NUM 20:22 Removed trailing space in v~: Jumuiya yote ya Kiisraeli ikaondoka kutoka Kadeshi, wakafika kwenye Mlima Hori.

NUM 20:23 Removed trailing space in v~: Kwenye Mlima Hori, karibu na mpaka wa Edomu, \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Aroni,

NUM 20:24 Removed trailing space in v~: “Aroni atakusanywa pamoja na watu wake. Hataingia katika nchi ninayowapa Waisraeli, kwa sababu ninyi wawili mliasi dhidi ya agizo langu kwenye maji ya Meriba.

NUM 20:25 Removed trailing space in v~: Watwae Aroni na Eleazari mwanawe, na uwapandishe juu katika Mlima wa Hori.

NUM 20:26 Removed trailing space in v~: Mvue Aroni mavazi yake, na umvike Eleazari mwanawe, kwa maana Aroni atakusanywa pamoja na watu wake; atakufa huko.”

NUM 20:27 Removed trailing space in v~: Mose akafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza: Wakapanda Mlima Hori mbele ya macho ya jumuiya yote ya Kiisraeli.

NUM 20:28 Removed trailing space in v~: Mose akamvua Aroni mavazi yake na kumvika mwanawe Eleazari mavazi hayo. Naye Aroni akafia pale juu ya mlima. Kisha Mose na Eleazari wakateremka kutoka mlimani.

NUM 20:29 Removed trailing space in v~: Jumuiya yote ilipofahamu kwamba Aroni amekufa, jamaa yote ya Kiisraeli wakamwomboleza kwa siku thelathini.

NUM 21:0 Extra space after chapter number

NUM 21:0 Removed trailing space in c: 21

NUM 21:0 Removed trailing space in s1: Nchi Ya Aradi Yaangamizwa

NUM 21:1 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Kikanaani wa Aradi aliyeishi huko Negebu aliposikia kwamba Waisraeli walikuwa wanakuja kwa njia ya Atharimu, aliwashambulia Waisraeli na kuwateka baadhi yao.

NUM 21:2 Removed trailing space in v~: Ndipo Israeli akaweka nadhiri hii kwa \nd Bwana\nd*: “Ikiwa utawatia watu hawa mikononi mwetu, tutaiangamiza kabisa miji yao.”

NUM 21:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasikiliza ombi la Waisraeli, naye akawapa ushindi juu ya Wakanaani. Wakawaangamiza kabisa na miji yao; hivyo mahali pale pakaitwa Horma.\f + \fr 21:3 \ft Horma maana yake Maangamizi.\f*

NUM 21:3 Removed trailing space in s1: Nyoka Wa Shaba

NUM 21:4 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakasafiri kutoka mlima Hori kupitia njia inayoelekea Bahari ya Shamu,\f + \fr 21:4 \ft Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo (ona 14:25).\f* kuizunguka Edomu. Lakini watu wakakosa uvumilivu njiani,

NUM 21:5 Removed trailing space in v~: wakamnungʼunikia Mungu na Mose, wakisema, “Kwa nini umetupandisha kutoka Misri ili tufe jangwani? Hakuna mkate! Hakuna maji! Nasi tunachukia sana chakula hiki duni!”

NUM 21:6 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akapeleka nyoka wenye sumu katikati yao; wakawauma watu, nao Waisraeli wengi wakafa.

NUM 21:7 Removed trailing space in v~: Watu wakamjia Mose na kusema, “Tumetenda dhambi wakati tuliponena dhidi ya \nd Bwana\nd* na dhidi yako. Mwombe \nd Bwana\nd* ili atuondolee hawa nyoka.” Hivyo Mose akawaombea hao watu.

NUM 21:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Tengeneza nyoka wa shaba na umweke juu ya mti; yeyote aliyeumwa na nyoka anaweza kumtazama na akaishi tena.”

NUM 21:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akatengeneza nyoka wa shaba na kumweka juu ya mti. Kisha wakati mtu yeyote aliumwa na nyoka, naye akamtazama yule nyoka wa shaba, aliishi.

NUM 21:9 Removed trailing space in s1: Safari Kwenda Moabu

NUM 21:10 Removed trailing space in v~: Waisraeli waliendelea na safari yao na wakapiga kambi huko Obothi.

NUM 21:11 Removed trailing space in v~: Kisha wakaondoka Obothi na kupiga kambi huko Iye-Abarimu, katika jangwa linalotazamana na Moabu kuelekea mawio ya jua.

NUM 21:12 Removed trailing space in v~: Kutoka hapo waliendelea mbele wakapiga kambi kwenye Bonde la Zeredi.

NUM 21:13 Removed trailing space in v~: Wakasafiri kutoka hapo na kupiga kambi kando ya Mto Arnoni, ambao uko katika jangwa lililoenea hadi nchi ya Waamori. Arnoni ni mpaka wa Moabu, kati ya Moabu na Waamori.

NUM 21:14 Removed trailing space in v~: Ndiyo sababu Kitabu cha Vita vya \nd Bwana\nd* kinasema:

NUM 21:14 Removed trailing space in p~: “…Mji wa Wahebu nchini Seifa na mabonde

NUM 21:14 Removed trailing space in p~: ya Arnoni,

NUM 21:15 Removed trailing space in v~: na miteremko ya mabonde

NUM 21:15 Removed trailing space in p~: inayofika hadi mji wa Ari

NUM 21:15 Removed trailing space in p~: na huelekea mpakani mwa Moabu.”

NUM 21:16 Removed trailing space in v~: Kutoka hapo waliendelea mbele hadi kisima cha Beeri; kwenye kisima ambacho \nd Bwana\nd* alimwambia Mose, “Wakusanye watu pamoja, nami nitawapa maji.”

NUM 21:17 Removed trailing space in v~: Kisha Israeli akaimba wimbo huu:

NUM 21:17 Removed trailing space in p~: “Bubujika, ee kisima!

NUM 21:17 Removed trailing space in p~: Imba kuhusu maji,

NUM 21:18 Removed trailing space in v~: kuhusu kisima ambacho kilichimbwa na wakuu,

NUM 21:18 Removed trailing space in p~: ambacho watu mashuhuri walikifukua,

NUM 21:18 Removed trailing space in p~: watu mashuhuri wakiwa na fimbo za utawala na bakora.”

NUM 21:18 Removed trailing space in p~: Kisha wakatoka jangwani kwenda Matana,

NUM 21:19 Removed trailing space in v~: kutoka Matana wakafika Nahalieli, kutoka Nahalieli wakafika Bamothi,

NUM 21:20 Removed trailing space in v~: na kutoka Bamothi wakafika kwenye bonde lililoko Moabu, mahali ambapo kilele cha Pisga kinatazamana na nyika.

NUM 21:20 Removed trailing space in s1: Kushindwa Kwa Sihoni Na Ogu

NUM 21:20 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 2:26–3:11)

NUM 21:21 Removed trailing space in v~: Israeli akawatuma wajumbe kumwambia Sihoni mfalme wa Waamori:

NUM 21:22 Removed trailing space in v~: “Uturuhusu tupite katika nchi yako. Hatutageuka kando kwenda katika mashamba au mashamba ya mizabibu, ama kunywa maji kutoka kisima chochote. Tutasafiri kwenye njia kuu ya mfalme hata tutakapokuwa tumekwisha kupita katika nchi yako.”

NUM 21:23 Removed trailing space in v~: Lakini Sihoni hakumruhusu Israeli apite katika nchi yake. Alilikutanisha jeshi lake lote, wakaondoka kwenda jangwani ili kupigana na Israeli. Alipofika huko Yahazi, akapigana na Israeli.

NUM 21:24 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Israeli alimshinda kwa upanga na kuiteka ardhi yake kutoka Arnoni mpaka Yaboki, lakini ni hadi kufikia nchi ya Waamoni tu, kwa sababu mipaka yake ilikuwa imezungushwa ukuta.

NUM 21:25 Removed trailing space in v~: Israeli akaiteka miji yote ya Waamori na kuikalia, pamoja na Heshboni na makazi yote yanayoizunguka.

NUM 21:26 Removed trailing space in v~: Heshboni ulikuwa mji wa Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alikuwa amepigana dhidi ya mfalme wa Moabu aliyetangulia na akawa amechukua ardhi yake yote mpaka Arnoni.

NUM 21:27 Removed trailing space in v~: Ndiyo sababu watunga mashairi husema:

NUM 21:27 Removed trailing space in p~: “Njoo Heshboni na ujengwe tena;

NUM 21:27 Removed trailing space in p~: mji wa Sihoni na ufanywe upya.

NUM 21:28 Removed trailing space in v~: “Moto uliwaka kutoka Heshboni,

NUM 21:28 Removed trailing space in p~: mwali wa moto kutoka mji wa Sihoni.

NUM 21:28 Removed trailing space in p~: Uliteketeza Ari ya Moabu,

NUM 21:28 Removed trailing space in p~: raiya wa mahali pa Arnoni palipoinuka.

NUM 21:29 Removed trailing space in v~: Ole wako, ee Moabu!

NUM 21:29 Removed trailing space in p~: Umeharibiwa, enyi watu wa Kemoshi!

NUM 21:29 Removed trailing space in p~: Amewatoa wanawe kuwa wakimbizi,

NUM 21:29 Removed trailing space in p~: na binti zake kama mateka

NUM 21:29 Removed trailing space in p~: kwa Mfalme Sihoni wa Waamori.

NUM 21:30 Removed trailing space in v~: “Lakini tumewashinda;

NUM 21:30 Removed trailing space in p~: Heshboni umeharibiwa hadi Diboni.

NUM 21:30 Removed trailing space in p~: Tumebomoa hadi kufikia Nofa,

NUM 21:30 Removed trailing space in p~: ulioenea hadi Medeba.”

NUM 21:31 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Israeli akaishi katika nchi ya Waamori.

NUM 21:32 Removed trailing space in v~: Baada ya Mose kutuma wapelelezi kwenda mji wa Yazeri, Waisraeli waliteka viunga vya mji huo na kuwafukuza Waamori waliokuwa wanaishi huko.

NUM 21:33 Removed trailing space in v~: Kisha wakageuka na kwenda katika njia inayoelekea Bashani, naye Ogu mfalme wa Bashani pamoja na jeshi lake lote wakatoka kupigana nao huko Edrei.

NUM 21:34 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Usimwogope Ogu, kwa sababu nimeshamkabidhi mikononi mwako, pamoja na jeshi lake lote na nchi yake. Mtendee kama ulivyomtendea Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.”

NUM 21:35 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakamuua, pamoja na wanawe na jeshi lake lote, bila ya kumwacha hata mtu mmoja hai. Nao wakaimiliki nchi yake.

NUM 22:0 Extra space after chapter number

NUM 22:0 Removed trailing space in c: 22

NUM 22:0 Removed trailing space in s1: Balaki Anamwita Balaamu

NUM 22:1 Removed trailing space in v~: Kisha Waisraeli wakasafiri katika tambarare za Moabu na kupiga kambi kando ya Mto Yordani, ngʼambo ya Yeriko.

NUM 22:2 Removed trailing space in v~: Basi Balaki mwana wa Sipori, aliona mambo yale yote ambayo Israeli aliwatendea Waamori,

NUM 22:3 Removed trailing space in v~: Moabu aliogopa, kwa kuwa walikuwepo watu wengi sana. Hakika, Moabu alijawa na hofu kubwa kwa sababu ya Waisraeli.

NUM 22:4 Removed trailing space in v~: Wamoabu wakawaambia wazee wa Midiani, “Umati huu wa watu unakwenda kuramba kila kitu kinachotuzunguka, kama maksai arambavyo majani ya shambani.”

NUM 22:4 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Balaki mwana wa Sipori, ambaye alikuwa mfalme wa Moabu wakati huo,

NUM 22:5 Removed trailing space in v~: akatuma wajumbe kwenda kumwita Balaamu mwana wa Beori, ambaye alikuwa huko Pethori, karibu na Mto Frati, katika nchi yake ya kuzaliwa. Balaki akasema:

NUM 22:5 Removed trailing space in p~: “Taifa limekuja kutoka Misri, nao wamefunika uso wa nchi, nao wametua karibu nami.

NUM 22:6 Removed trailing space in v~: Sasa uje kuwalaani watu hawa, kwa kuwa wana nguvu sana kuniliko. Kisha huenda nikaweza kuwashinda na kuwatoa nje ya nchi. Kwa kuwa ninajua kwamba, wale unaowabariki wanabarikiwa na wale unaowalaani wanalaaniwa.”

NUM 22:7 Removed trailing space in v~: Wazee wa Moabu na wa Midiani wakaondoka, wakiwa wamechukua ada ya uaguzi. Walipokwenda kwa Balaamu, wakamweleza kile Balaki alikuwa amesema.

NUM 22:8 Removed trailing space in v~: Balaamu akawaambia, “Mlale hapa usiku huu, nami nitawaletea jibu lile \nd Bwana\nd* atakalonipa.” Kwa hiyo wakuu wa Moabu wakakaa naye.

NUM 22:9 Removed trailing space in v~: Mungu akamjia Balaamu na kumuuliza, “Watu gani hawa walio pamoja nawe?”

NUM 22:10 Removed trailing space in v~: Balaamu akamwambia Mungu, “Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, alinipelekea ujumbe huu:

NUM 22:11 Removed trailing space in v~: ‘Taifa ambalo limekuja kutoka Misri limefunika uso wa nchi. Sasa uje unilaanie hao watu. Kisha huenda nitaweza kupigana nao na kuwafukuza.’ ”

NUM 22:12 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia Balaamu, “Usiende pamoja nao. Hupaswi kulaani watu hao, kwa kuwa wamebarikiwa.”

NUM 22:13 Removed trailing space in v~: Asubuhi iliyofuata Balaamu akaamka, akawaambia wakuu wa Balaki, “Rudini katika nchi yenu, kwa kuwa \nd Bwana\nd* amenikataza nisiende pamoja nanyi.”

NUM 22:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakuu wa Moabu wakarudi kwa Balaki na kumwambia, “Balaamu amekataa kuja pamoja nasi.”

NUM 22:15 Removed trailing space in v~: Kisha Balaki akatuma wakuu wengine, wengi zaidi na wanaoheshimiwa zaidi kuliko wale wa kwanza.

NUM 22:16 Removed trailing space in v~: Wakafika kwa Balaamu na kumwambia:

NUM 22:16 Removed trailing space in p~: “Balaki mwana wa Sipori amesema hivi: Usiruhusu kitu chochote kikuzuie kuja kwangu,

NUM 22:17 Removed trailing space in v~: kwa sababu nitakulipa vizuri sana na kufanya lolote usemalo. Njoo unilaanie watu hawa.”

NUM 22:18 Removed trailing space in v~: Lakini Balaamu akawajibu, “Hata kama Balaki angenipa jumba lake la kifalme likiwa limejazwa fedha na dhahabu, singeweza kufanya kitu chochote kikubwa au kidogo ili kutenda kitu nje ya agizo la \nd Bwana\nd* Mungu wangu.

NUM 22:19 Removed trailing space in v~: Mlale hapa usiku huu kama wale wengine walivyofanya, nami nitatafuta ni nini kingine \nd Bwana\nd* atakachoniambia.”

NUM 22:20 Removed trailing space in v~: Usiku ule \nd Bwana\nd* akamjia Balaamu na kumwambia, “Kwa kuwa watu hawa wamekuja kukuita wewe, nenda nao, lakini ufanye tu lile nitakalokuambia.”

NUM 22:20 Removed trailing space in s1: Punda Wa Balaamu

NUM 22:21 Removed trailing space in v~: Balaamu akaamka asubuhi, akatandika punda wake akaenda pamoja na wakuu wa Moabu.

NUM 22:22 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu alikasirika sana alipokwenda, naye malaika wa \nd Bwana\nd* akasimama barabarani kumpinga. Balaamu alikuwa amepanda punda wake, na watumishi wake wawili walikuwa pamoja naye.

NUM 22:23 Removed trailing space in v~: Wakati punda alipomwona malaika wa \nd Bwana\nd* akiwa amesimama barabarani akiwa na upanga uliofutwa mkononi mwake, punda akageukia upande kuelekea shambani. Balaamu akampiga ili amrudishe barabarani.

NUM 22:24 Removed trailing space in v~: Ndipo malaika wa \nd Bwana\nd* akasimama katika njia nyembamba iliyo kati ya mashamba mawili ya mizabibu, yakiwa na kuta pande zote mbili.

NUM 22:25 Removed trailing space in v~: Punda alipomwona malaika wa \nd Bwana\nd*, alijisukumiza karibu na ukuta, na kugandamiza mguu wa Balaamu ukutani. Ndipo Balaamu akampiga tena punda.

NUM 22:26 Removed trailing space in v~: Kisha malaika wa \nd Bwana\nd* akaendelea mbele na kusimama mahali pembamba ambapo hapakuwepo nafasi ya kugeuka, upande wa kulia wala wa kushoto.

NUM 22:27 Removed trailing space in v~: Punda alipomwona malaika wa \nd Bwana\nd*, alilala chini Balaamu angali amempanda, naye Balaamu akakasirika na kumpiga kwa fimbo yake.

NUM 22:28 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akakifungua kinywa cha punda, akamwambia Balaamu, “Nimekutendea nini kinachokufanya unipige mara hizi tatu?”

NUM 22:29 Removed trailing space in v~: Balaamu akamjibu punda, “Umenifanya mjinga! Kama ningelikuwa na upanga mkononi mwangu, ningelikuua sasa hivi.”

NUM 22:30 Removed trailing space in v~: Punda akamwambia Balaamu, “Je, mimi si punda wako mwenyewe, ambaye umenipanda siku zote, hadi leo? Je, nimekuwa na tabia ya kufanya hivi kwako?”

NUM 22:30 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Hapana.”

NUM 22:31 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akafungua macho ya Balaamu, naye akamwona malaika wa \nd Bwana\nd* amesimama barabarani akiwa ameufuta upanga wake. Balaamu akainama, akaanguka kifudifudi.

NUM 22:32 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akamuuliza Balaamu, “Kwa nini umempiga punda wako mara tatu hizi? Nimekuja kukuzuia kwa sababu njia yako imepotoka mbele yangu.

NUM 22:33 Removed trailing space in v~: Punda aliniona na kunikwepa mara hizi tatu. Kama punda hangenikwepa, hakika ningekuwa nimeshakuua sasa, lakini ningemwacha punda hai.”

NUM 22:34 Removed trailing space in v~: Balaamu akamwambia malaika wa \nd Bwana\nd*, “Nimetenda dhambi. Sikutambua kuwa umesimama barabarani kunizuia. Basi kama haikupendezi, nitarudi.”

NUM 22:35 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akamwambia Balaamu, “Uende na watu hao, lakini useme tu lile nikuambialo.” Kwa hiyo Balaamu akaenda na wale wakuu wa Balaki.

NUM 22:36 Removed trailing space in v~: Balaki aliposikia kuwa Balaamu anakuja, akatoka kumlaki katika mji wa Moabu, katika mpaka wa Arnoni, ukingoni mwa nchi yake.

NUM 22:37 Removed trailing space in v~: Balaki akamwambia Balaamu, “Je, sikukupelekea jumbe za haraka? Kwa nini hukuja kwangu? Hivi kweli mimi siwezi kukulipa?”

NUM 22:38 Removed trailing space in v~: Balaamu akajibu, “Vema, sasa nimekuja kwako. Lakini kwani nina uwezo wa kusema tu chochote? Ni lazima niseme tu kile ambacho Mungu ataweka kinywani mwangu.”

NUM 22:39 Removed trailing space in v~: Kisha Balaamu alikwenda na Balaki mpaka Kiriath-Husothi.

NUM 22:40 Removed trailing space in v~: Balaki akatoa dhabihu ya ngʼombe na kondoo; baadhi yake akampa Balaamu na wakuu waliokuwa pamoja naye.

NUM 22:41 Removed trailing space in v~: Asubuhi iliyofuata Balaki akamchukua Balaamu mpaka Bamoth-Baali, na kutoka huko Balaamu akawaona baadhi ya watu.

NUM 23:0 Extra space after chapter number

NUM 23:0 Removed trailing space in c: 23

NUM 23:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Wa Kwanza Wa Balaamu

NUM 23:1 Removed trailing space in v~: Balaamu akasema, “Nijengee hapa madhabahu saba, mnitayarishie mafahali saba na kondoo dume saba.”

NUM 23:2 Removed trailing space in v~: Balaki akafanya kama Balaamu alivyosema; hao wawili kila mmoja wao akatoa fahali mmoja na kondoo dume mmoja juu ya kila madhabahu.

NUM 23:3 Removed trailing space in v~: Kisha Balaamu akamwambia Balaki, “Kaa hapa kando ya sadaka yako wakati mimi ninakwenda kando. Huenda \nd Bwana\nd* atakuja kukutana nami. Lolote atakalonifunulia, nitakuambia.” Basi akaenda hata mahali peupe palipoinuka.

NUM 23:4 Removed trailing space in v~: Mungu akakutana naye, kisha Balaamu akasema, “Nimekwisha kutengeneza madhabahu saba, na juu ya kila madhabahu nimetoa sadaka ya fahali mmoja na kondoo dume mmoja.”

NUM 23:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaweka ujumbe katika kinywa cha Balaamu na kusema, “Rudi kwa Balaki umpe ujumbe huu.”

NUM 23:6 Removed trailing space in v~: Basi Balaamu akarudi kwa Balaki, akamkuta amesimama kando ya sadaka yake akiwa na wakuu wote wa Moabu.

NUM 23:7 Removed trailing space in v~: Ndipo Balaamu akasema ujumbe wake:

NUM 23:7 Removed trailing space in p~: “Balaki amenileta kutoka Aramu,

NUM 23:7 Removed trailing space in p~: mfalme wa Moabu kutoka milima ya mashariki.

NUM 23:7 Removed trailing space in p~: Akasema, ‘Njoo, unilaanie Yakobo;

NUM 23:7 Removed trailing space in p~: njoo unishutumie Israeli.’

NUM 23:8 Removed trailing space in v~: Nitawezaje kuwalaani,

NUM 23:8 Removed trailing space in p~: hao ambao Mungu hajawalaani?

NUM 23:8 Removed trailing space in p~: Nitawezaje kuwashutumu

NUM 23:8 Removed trailing space in p~: hao ambao \nd Bwana\nd* hakuwashutumu?

NUM 23:9 Removed trailing space in v~: Kutoka vilele vya miamba ninawaona,

NUM 23:9 Removed trailing space in p~: kutoka mahali palipoinuka ninawatazama.

NUM 23:9 Removed trailing space in p~: Ninaliona taifa ambalo wanaishi peke yao,

NUM 23:9 Removed trailing space in p~: nao hawahesabiwi kama mojawapo ya mataifa.

NUM 23:10 Removed trailing space in v~: Ni nani awezaye kuhesabu mavumbi ya Yakobo,

NUM 23:10 Removed trailing space in p~: au kuhesabu robo ya Israeli?

NUM 23:10 Removed trailing space in p~: Mimi na nife kifo cha mtu mwenye haki,

NUM 23:10 Removed trailing space in p~: na mwisho wangu na uwe kama wao!”

NUM 23:11 Removed trailing space in v~: Balaki akamwambia Balaamu, “Ni nini ulichonitendea? Nimekuleta ulaani adui zangu, lakini wewe badala yake umewabariki!”

NUM 23:12 Removed trailing space in v~: Balaamu akajibu, “Je, hainipasi kusema kile \nd Bwana\nd* anachoweka katika kinywa changu?”

NUM 23:12 Removed trailing space in s1: Ujumbe Wa Pili Wa Balaamu

NUM 23:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Balaki akamwambia, “Twende pamoja mahali pengine ambapo unaweza kuwaona; utawaona baadhi tu wala si wote. Nawe kutoka huko, unilaanie hao.”

NUM 23:14 Removed trailing space in v~: Basi akampeleka kwenye shamba la Sofimu, juu ya kilele cha Mlima Pisga. Pale akajenga madhabahu saba na kutoa sadaka ya fahali na kondoo dume mmoja juu ya kila madhabahu.

NUM 23:15 Removed trailing space in v~: Balaamu akamwambia Balaki, “Kaa hapa kando ya sadaka yako wakati ninapokwenda kuonana na Mungu kule.”

NUM 23:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akakutana na Balaamu, akaweka ujumbe katika kinywa chake akasema, “Rudi kwa Balaki umpe ujumbe huu.”

NUM 23:17 Removed trailing space in v~: Basi Balaamu akarudi kwa Balaki, akamkuta amesimama kando ya sadaka yake, akiwa na wakuu wa Moabu. Balaki akamuuliza, “Je, \nd Bwana\nd* amesema nini?”

NUM 23:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Balaamu akasema ujumbe wake:

NUM 23:18 Removed trailing space in p~: “Balaki, inuka na usikilize,

NUM 23:18 Removed trailing space in p~: nisikie mimi, wewe mwana wa Sipori.

NUM 23:19 Removed trailing space in v~: Mungu si mtu, hata aseme uongo,

NUM 23:19 Removed trailing space in p~: wala yeye si mwanadamu, hata ajute.

NUM 23:19 Removed trailing space in p~: Je, anasema, kisha asitende?

NUM 23:19 Removed trailing space in p~: Je, anaahidi, asitimize?

NUM 23:20 Removed trailing space in v~: Nimepokea agizo kubariki;

NUM 23:20 Removed trailing space in p~: amebariki, nami siwezi kubadilisha.

NUM 23:21 Removed trailing space in v~: “Haijaonekana bahati mbaya katika Yakobo,

NUM 23:21 Removed trailing space in p~: wala taabu katika Israeli.

NUM 23:21 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd*, Mungu wao yu pamoja nao,

NUM 23:21 Removed trailing space in p~: nayo sauti kuu ya Mfalme imo katikati yao.

NUM 23:22 Removed trailing space in v~: Mungu aliwatoa kutoka Misri;

NUM 23:22 Removed trailing space in p~: wao wana nguvu za nyati.

NUM 23:23 Removed trailing space in v~: Hakuna uchawi dhidi ya Yakobo,

NUM 23:23 Removed trailing space in p~: wala hakuna uaguzi dhidi ya Israeli.

NUM 23:23 Removed trailing space in p~: Sasa itasemwa kuhusu Yakobo

NUM 23:23 Removed trailing space in p~: na Israeli, ‘Tazama yale Mungu aliyotenda!’

NUM 23:24 Removed trailing space in v~: Taifa lainuka kama simba jike;

NUM 23:24 Removed trailing space in p~: linajiinua kama simba

NUM 23:24 Removed trailing space in p~: ambaye hatulii mpaka amalize kurarua mawindo yake

NUM 23:24 Removed trailing space in p~: na kunywa damu ya mawindo yake.”

NUM 23:25 Removed trailing space in v~: Kisha Balaki akamwambia Balaamu, “Usiwalaani kabisa, wala usiwabariki kabisa!”

NUM 23:26 Removed trailing space in v~: Balaamu akajibu, “Je, sikukuambia ni lazima nifanye lolote analosema \nd Bwana\nd*?”

NUM 23:26 Removed trailing space in s1: Ujumbe Wa Tatu Wa Balaamu

NUM 23:27 Removed trailing space in v~: Basi Balaki akamwambia Balaamu, “Njoo, nikupeleke mahali pengine. Huenda itampendeza Mungu kukuruhusu unilaanie hao watu kutoka mahali hapo.”

NUM 23:28 Removed trailing space in v~: Balaki akamchukua Balaamu juu ya Mlima Peori, unaotazamana na nyika.

NUM 23:29 Removed trailing space in v~: Balaamu akasema, “Nijengee hapa madhabahu saba, uandae mafahali saba na kondoo dume saba kwa ajili yangu.”

NUM 23:30 Removed trailing space in v~: Balaki akafanya kama Balaamu alivyosema, kisha akatoa sadaka ya fahali mmoja na kondoo dume mmoja juu ya kila madhabahu.

NUM 24:0 Extra space after chapter number

NUM 24:0 Removed trailing space in c: 24

NUM 24:1 Removed trailing space in v~: Basi Balaamu alipoona imempendeza \nd Bwana\nd* kubariki Israeli, hakuendelea tena kutafuta uchawi kama nyakati nyingine, bali aligeuza uso wake kuelekea nyikani.

NUM 24:2 Removed trailing space in v~: Balaamu alipotazama nje na kuona Israeli amepiga kambi kabila kwa kabila, Roho wa Mungu akawa juu yake,

NUM 24:3 Removed trailing space in v~: naye akatoa ujumbe wake:

NUM 24:3 Removed trailing space in p~: “Ujumbe wa Balaamu mwana wa Beori,

NUM 24:3 Removed trailing space in p~: ujumbe wake yeye ambaye jicho lake linaona vizuri;

NUM 24:4 Removed trailing space in v~: ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu,

NUM 24:4 Removed trailing space in p~: ambaye huona maono kutoka kwa Mwenyezi,\f + \fr 24:4 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania (pia 24:16).\f*

NUM 24:4 Removed trailing space in p~: ambaye huanguka kifudifudi, na ambaye macho yake yamefunguka:

NUM 24:5 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi yalivyo mazuri mahema yako, ee Yakobo,

NUM 24:5 Removed trailing space in p~: maskani yako, ee Israeli!

NUM 24:6 Removed trailing space in v~: “Kama mabonde, yanaenea,

NUM 24:6 Removed trailing space in p~: kama bustani kando ya mto,

NUM 24:6 Removed trailing space in p~: kama miti ya udi iliyopandwa na \nd Bwana\nd*,

NUM 24:6 Removed trailing space in p~: kama mierezi kando ya maji.

NUM 24:7 Removed trailing space in v~: Maji yatatiririka kutoka ndoo zake;

NUM 24:7 Removed trailing space in p~: mbegu yake itakuwa na maji tele.

NUM 24:7 Removed trailing space in p~: “Mfalme wake atakuwa mkuu kuliko Mfalme Agagi;

NUM 24:7 Removed trailing space in p~: ufalme wake utatukuka.

NUM 24:8 Removed trailing space in v~: “Mungu alimleta kutoka Misri;

NUM 24:8 Removed trailing space in p~: yeye ana nguvu kama nyati.

NUM 24:8 Removed trailing space in p~: Anayararua mataifa yaliyo adui zake,

NUM 24:8 Removed trailing space in p~: na kuvunja mifupa yao vipande vipande;

NUM 24:8 Removed trailing space in p~: huwachoma kwa mishale yake.

NUM 24:9 Removed trailing space in v~: Hujikunyata na kuvizia kama simba,

NUM 24:9 Removed trailing space in p~: kama simba jike; nani anayethubutu kumwamsha?

NUM 24:9 Removed trailing space in p~: “Abarikiwe kila akubarikiye,

NUM 24:9 Removed trailing space in p~: na alaaniwe kila akulaaniye!”

NUM 24:10 Removed trailing space in v~: Ndipo hasira ya Balaki ikawaka dhidi ya Balaamu. Akapiga mikono yake pamoja, akamwambia Balaamu, “Nilikuita uje kuwalaani adui zangu, lakini umewabariki mara hizi tatu.

NUM 24:11 Removed trailing space in v~: Sasa ondoka upesi uende nyumbani! Mimi nilisema nitakuzawadia vizuri sana, lakini \nd Bwana\nd* amekuzuia usizawadiwe.”

NUM 24:12 Removed trailing space in v~: Balaamu akamwambia Balaki, “Je, hukumbuki jinsi nilivyowaambia wajumbe uliowatuma kwangu? Niliwaambia hivi,

NUM 24:13 Removed trailing space in v~: ‘Hata ikiwa Balaki angenipa jumba lake la kifalme likiwa limejazwa fedha na dhahabu, nisingeweza kufanya kitu chochote kwa matakwa yangu, kikiwa kizuri au kibaya, kwenda kinyume na agizo la \nd Bwana\nd*, nami imenipasa kusema tu kile \nd Bwana\nd* atakachosema’?

NUM 24:14 Removed trailing space in v~: Sasa ninarudi kwa watu wangu. Lakini njoo, nikuonye kuhusu kile watu hawa watakachowatenda watu wako siku zijazo.”

NUM 24:14 Removed trailing space in s1: Ujumbe Wa Nne Wa Balaamu

NUM 24:15 Removed trailing space in v~: Kisha Balaamu akatoa ujumbe wake:

NUM 24:15 Removed trailing space in p~: “Ujumbe wa Balaamu mwana wa Beori,

NUM 24:15 Removed trailing space in p~: ujumbe wake yeye ambaye jicho lake linaona vizuri;

NUM 24:16 Removed trailing space in v~: ujumbe wake yeye ambaye husikia maneno ya Mungu,

NUM 24:16 Removed trailing space in p~: ambaye ana maarifa kutoka kwa Aliye Juu Sana,

NUM 24:16 Removed trailing space in p~: huona maono kutoka Mwenyezi,

NUM 24:16 Removed trailing space in p~: ambaye huanguka kifudifudi

NUM 24:16 Removed trailing space in p~: na ambaye macho yake yamefunguka:

NUM 24:17 Removed trailing space in v~: “Namwona yeye, lakini si sasa;

NUM 24:17 Removed trailing space in p~: namtazama yeye, lakini si karibu.

NUM 24:17 Removed trailing space in p~: Nyota itatoka kwa Yakobo,

NUM 24:17 Removed trailing space in p~: fimbo ya ufalme itainuka kutoka kwa Israeli.

NUM 24:17 Removed trailing space in p~: Atawaponda Wamoabu vipaji vya nyuso

NUM 24:17 Removed trailing space in p~: na mafuvu yote ya wana wa Shethi.

NUM 24:18 Removed trailing space in v~: Edomu itamilikiwa,

NUM 24:18 Removed trailing space in p~: Seiri, adui wake, itamilikiwa,

NUM 24:18 Removed trailing space in p~: lakini Israeli atakuwa na nguvu.

NUM 24:19 Removed trailing space in v~: Mtawala atakuja kutoka kwa Yakobo

NUM 24:19 Removed trailing space in p~: na kuangamiza walionusurika katika mji.”

NUM 24:19 Removed trailing space in s1: Ujumbe Wa Mwisho Wa Balaamu

NUM 24:20 Removed trailing space in v~: Kisha Balaamu akawaona watu wa Amaleki, na kutoa ujumbe wake:

NUM 24:20 Removed trailing space in p~: “Amaleki ilikuwa ya kwanza miongoni mwa mataifa,

NUM 24:20 Removed trailing space in p~: lakini mwisho wake itaangamizwa milele.”

NUM 24:21 Removed trailing space in v~: Kisha akawaona Wakeni, akatoa ujumbe wake:

NUM 24:21 Removed trailing space in p~: “Makao yenu ni salama,

NUM 24:21 Removed trailing space in p~: kiota chenu kiko kwenye mwamba.

NUM 24:22 Removed trailing space in v~: Hata hivyo ninyi Wakeni mtaangamizwa

NUM 24:22 Removed trailing space in p~: Ashuru atakapowachukua mateka.”

NUM 24:23 Removed trailing space in v~: Ndipo akatoa ujumbe wake:

NUM 24:23 Removed trailing space in p~: “Lo, ni nani atakayeweza kuishi wakati Mungu atakapofanya hili?

NUM 24:24 Removed trailing space in v~: Meli zitakuja kutoka pwani za Kitimu,

NUM 24:24 Removed trailing space in p~: zitaitiisha Ashuru na Eberi,

NUM 24:24 Removed trailing space in p~: lakini nao pia wataangamizwa.”

NUM 24:25 Removed trailing space in v~: Kisha Balaamu akainuka na kurudi nyumbani kwake, naye Balaki akashika njia yake.

NUM 25:0 Extra space after chapter number

NUM 25:0 Removed trailing space in c: 25

NUM 25:0 Removed trailing space in s1: Moabu Yashawishi Israeli

NUM 25:1 Removed trailing space in v~: Israeli alipokuwa akikaa Shitimu, wanaume wa Israeli walianza kuzini na wanawake wa Kimoabu,

NUM 25:2 Removed trailing space in v~: ambao waliwaalika kushiriki katika kutoa kafara kwa miungu yao. Watu wakala na kusujudu mbele ya miungu hii.

NUM 25:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Israeli akaungana katika kumwabudu Baali wa Peori. Hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi yao.

NUM 25:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Uwachukue viongozi wote wa watu hawa, uwaue na uwaweke hadharani mchana peupe mbele za \nd Bwana\nd*, ili hasira kali ya \nd Bwana\nd* iweze kuondoka kwa Israeli.”

NUM 25:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akawaambia waamuzi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awaue wale wanaume wenu, walioshiriki katika kumwabudu Baali wa Peori.”

NUM 25:6 Removed trailing space in v~: Ndipo mwanaume wa Kiisraeli akamleta mwanamke wa Kimidiani katika jamaa yake palepale mbele ya Mose na mkutano wote wa Israeli walipokuwa wakilia kwenye lango la Hema la Kukutania.

NUM 25:7 Removed trailing space in v~: Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, alipoona jambo hili, akaondoka kwenye kusanyiko, akachukua mkuki mkononi mwake,

NUM 25:8 Removed trailing space in v~: akamfuata yule Mwisraeli ndani ya hema. Akawachoma mkuki wote wawili kwa pamoja, ukapenya kwenye mwili wa yule Mwisraeli na mwili wa yule mwanamke. Ndipo tauni iliyokuwepo dhidi ya Waisraeli ikakoma.

NUM 25:9 Removed trailing space in v~: Lakini wale waliokufa kwa hiyo tauni walikuwa watu 24,000.

NUM 25:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 25:11 Removed trailing space in v~: “Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa kuhani Aroni, amegeuza hasira yangu mbali na Waisraeli, kwa sababu alikuwa na wivu kama nilio nao kwa heshima yangu miongoni mwao, hata kwamba kwa wivu wangu sikuwaangamiza.

NUM 25:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mwambie Finehasi ninafanya Agano langu la amani naye.

NUM 25:13 Removed trailing space in v~: Yeye pamoja na wazao wake watakuwa na Agano la ukuhani milele, kwa sababu alikuwa na wivu kwa ajili ya heshima ya Mungu wake, na akafanya upatanisho kwa Waisraeli.”

NUM 25:14 Removed trailing space in v~: Jina la Mwisraeli ambaye aliuawa pamoja na mwanamke wa Kimidiani ni Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa jamaa ya Simeoni.

NUM 25:15 Removed trailing space in v~: Jina la mwanamke wa Kimidiani aliyeuawa ni Kozbi binti wa Suri, aliyekuwa mkuu wa kabila la jamaa ya Wamidiani.

NUM 25:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 25:17 Removed trailing space in v~: “Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue,

NUM 25:18 Removed trailing space in v~: kwa sababu wao waliwatendea kama adui wakati waliwadanganya katika tukio la Peori na dada yao Kozbi, binti wa kiongozi wa Kimidiani, mwanamke ambaye aliuawa wakati tauni ilikuja kama matokeo ya tukio la Peori.”

NUM 26:0 Extra space after chapter number

NUM 26:0 Removed trailing space in c: 26

NUM 26:0 Removed trailing space in s1: Kuhesabiwa Watu Mara Ya Pili

NUM 26:1 Removed trailing space in v~: Baada ya hiyo tauni, \nd Bwana\nd* akamwambia Mose na Eleazari mwana wa kuhani Aroni,

NUM 26:2 Removed trailing space in v~: “Hesabu jumuiya yote ya Kiisraeli kwa jamaa zao, wale wote wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, ambao wanaweza kutumika katika jeshi la Israeli.”

NUM 26:3 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose na kuhani Eleazari wakazungumza na watu kwenye nchi tambarare ya Moabu, ngʼambo ya Yordani kutokea Yeriko, wakasema,

NUM 26:4 Removed trailing space in v~: “Hesabuni wanaume wenye umri wa miaka ishirini na zaidi, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.”

NUM 26:4 Removed trailing space in p~: Hawa ndio Waisraeli waliotoka Misri:

NUM 26:5 Removed trailing space in v~: Wazao wa Reubeni, mwana mzaliwa wa kwanza wa Israeli, walikuwa:

NUM 26:5 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Hanoki, ukoo wa Wahanoki;

NUM 26:5 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Palu, ukoo wa Wapalu;

NUM 26:6 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

NUM 26:6 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Karmi, ukoo wa Wakarmi.

NUM 26:7 Removed trailing space in v~: Hizi zilikuwa ndizo koo za Reubeni; wale waliohesabiwa walikuwa 43,730.

NUM 26:8 Removed trailing space in v~: Mwana wa Palu alikuwa Eliabu,

NUM 26:9 Removed trailing space in v~: nao wana wa Eliabu walikuwa Nemueli, Dathani na Abiramu. Hawa wawili Dathani na Abiramu ndio walikuwa maafisa wa jumuiya ambao walimwasi Mose na Aroni, na walikuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora wakati walimwasi \nd Bwana\nd*.

NUM 26:10 Removed trailing space in v~: Ardhi ilifunua kinywa chake na kuwameza pamoja na Kora, ambaye wafuasi wake walikufa wakati moto ulipowateketeza wanaume 250. Nao walikuwa kama alama ya onyo.

NUM 26:11 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo, hao ukoo wa Kora hawakufa.

NUM 26:12 Removed trailing space in v~: Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:12 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli;

NUM 26:12 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini;

NUM 26:12 Removed trailing space in p~: kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;

NUM 26:13 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera;

NUM 26:13 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.

NUM 26:14 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo koo za Simeoni; walikuwa 22,200.

NUM 26:15 Removed trailing space in v~: Wazao wa Gadi kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:15 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Sifoni, ukoo wa Wasifoni;

NUM 26:15 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Hagi, ukoo wa Wahagi;

NUM 26:15 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shuni, ukoo wa Washuni;

NUM 26:16 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Ozni, ukoo wa Waozni;

NUM 26:16 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Eri, ukoo wa Waeri;

NUM 26:17 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Arodi, ukoo wa Waarodi;

NUM 26:17 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Areli, ukoo wa Waareli.

NUM 26:18 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Gadi; wale waliohesabiwa walikuwa 40,500.

NUM 26:19 Removed trailing space in v~: Eri na Onani walikuwa wana wa Yuda, lakini walifia huko Kanaani.

NUM 26:20 Removed trailing space in v~: Wazao wa Yuda kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:20 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shela, ukoo wa Washela;

NUM 26:20 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Peresi, ukoo wa Waperesi;

NUM 26:20 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera.

NUM 26:21 Removed trailing space in v~: Wazao wa Peresi walikuwa:

NUM 26:21 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Hesroni, ukoo wa Wahesroni;

NUM 26:21 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Hamuli, ukoo wa Wahamuli.

NUM 26:22 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Yuda; wale waliohesabiwa walikuwa 76,500.

NUM 26:23 Removed trailing space in v~: Wazao wa Isakari kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:23 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Tola, ukoo wa Watola;

NUM 26:23 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Puva, ukoo wa Wapuva;

NUM 26:24 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Yashubu, ukoo wa Wayashubu;

NUM 26:24 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shimroni, ukoo wa Washimroni.

NUM 26:25 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Isakari; wale waliohesabiwa walikuwa 64,300.

NUM 26:26 Removed trailing space in v~: Wazao wa Zabuloni kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:26 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Seredi, ukoo wa Waseredi;

NUM 26:26 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Eloni, ukoo wa Waeloni;

NUM 26:26 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Yaleeli, ukoo wa Wayaleeli.

NUM 26:27 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Zabuloni, wale waliohesabiwa walikuwa 60,500.

NUM 26:28 Removed trailing space in v~: Wazao wa Yosefu kwa koo zao kutoka kwa Manase na kwa Efraimu walikuwa:

NUM 26:29 Removed trailing space in v~: Wazao wa Manase:

NUM 26:29 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Makiri, ukoo wa Wamakiri (Makiri alikuwa baba wa Gileadi);

NUM 26:29 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Gileadi, ukoo wa Wagileadi.

NUM 26:30 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Gileadi:

NUM 26:30 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Iezeri, ukoo wa Waiezeri;

NUM 26:30 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Heleki, ukoo wa Waheleki;

NUM 26:31 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Asirieli, ukoo wa Waasirieli;

NUM 26:31 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shekemu, ukoo wa Washekemu;

NUM 26:32 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Shemida, ukoo wa Washemida;

NUM 26:32 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Heferi, ukoo wa Waheferi.

NUM 26:33 Removed trailing space in v~: (Selofehadi mwana wa Heferi hakuzaa wana, bali alikuwa na watoto wa kike tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.)

NUM 26:34 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Manase; wale waliohesabiwa walikuwa 52,700.

NUM 26:35 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wazao wa Efraimu kwa koo zao:

NUM 26:35 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shuthela, ukoo wa Washuthela;

NUM 26:35 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Bekeri, ukoo wa Wabekeri;

NUM 26:35 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Tahani, ukoo wa Watahani;

NUM 26:36 Removed trailing space in v~: Hawa ndio walikuwa wazao wa Shuthela:

NUM 26:36 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Erani, ukoo wa Waerani.

NUM 26:37 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Efraimu; wale waliohesabiwa walikuwa 32,500.

NUM 26:37 Removed trailing space in p~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yosefu kwa koo zao.

NUM 26:38 Removed trailing space in v~: Wazao wa Benyamini kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:38 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Bela, ukoo wa Wabela;

NUM 26:38 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Ashbeli, ukoo wa Waashbeli;

NUM 26:38 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Ahiramu, ukoo wa Waahiramu;

NUM 26:39 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Shufamu, ukoo wa Washufamu;

NUM 26:39 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Hufamu, ukoo wa Wahufamu.

NUM 26:40 Removed trailing space in v~: Wazao wa Bela kutoka kwa Ardi na Naamani walikuwa:

NUM 26:40 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Ardi, ukoo wa Waardi;

NUM 26:40 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Naamani, ukoo wa Wanaamani.

NUM 26:41 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Benyamini; wale waliohesabiwa walikuwa 45,600.

NUM 26:42 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Dani kwa koo zao:

NUM 26:42 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shuhamu, ukoo wa Washuhamu.

NUM 26:42 Removed trailing space in p~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Dani:

NUM 26:43 Removed trailing space in v~: Wote walikuwa koo za Washuhamu; wale waliohesabiwa walikuwa 64,400.

NUM 26:44 Removed trailing space in v~: Wazao wa Asheri kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:44 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Imna, ukoo wa Waimna;

NUM 26:44 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Ishvi, ukoo wa Waishvi;

NUM 26:44 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Beria, ukoo wa Waberia;

NUM 26:45 Removed trailing space in v~: kutoka kwa wazao wa Beria:

NUM 26:45 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Heberi, ukoo wa Waheberi;

NUM 26:45 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Malkieli, ukoo wa Wamalkieli.

NUM 26:46 Removed trailing space in v~: (Asheri alikuwa na binti aliyeitwa Sera.)

NUM 26:47 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Asheri; wale waliohesabiwa walikuwa 53,400.

NUM 26:48 Removed trailing space in v~: Wazao wa Naftali kwa koo zao walikuwa:

NUM 26:48 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Yaseeli, ukoo wa Wayaseeli;

NUM 26:48 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Guni, ukoo wa Waguni;

NUM 26:49 Removed trailing space in v~: kutoka kwa Yeseri, ukoo wa Wayeseri;

NUM 26:49 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Shilemu, ukoo wa Washilemu.

NUM 26:50 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo zilizokuwa koo za Naftali; wale waliohesabiwa walikuwa 45,400.

NUM 26:51 Removed trailing space in v~: Jumla ya hesabu ya wanaume wa Israeli ilikuwa 601,730.

NUM 26:52 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 26:53 Removed trailing space in v~: “Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina.

NUM 26:54 Removed trailing space in v~: Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa.

NUM 26:55 Removed trailing space in v~: Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao.

NUM 26:56 Removed trailing space in v~: Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”

NUM 26:57 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa Walawi ambao walihesabiwa kwa koo zao:

NUM 26:57 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Gershoni, ukoo wa Wagershoni;

NUM 26:57 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Kohathi, ukoo wa Wakohathi;

NUM 26:57 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Merari, ukoo wa Wamerari.

NUM 26:58 Removed trailing space in v~: Hizi pia zilikuwa koo za Walawi:

NUM 26:58 Removed trailing space in p~: ukoo wa Walibni;

NUM 26:58 Removed trailing space in p~: ukoo wa Wahebroni;

NUM 26:58 Removed trailing space in p~: ukoo wa Wamahli;

NUM 26:58 Removed trailing space in p~: ukoo wa Wamushi;

NUM 26:58 Removed trailing space in p~: ukoo wa wana wa Kora.

NUM 26:58 Removed trailing space in p~: (Kohathi alikuwa baba aliyemzaa Amramu;

NUM 26:59 Removed trailing space in v~: jina la mke wa Amramu ni Yokebedi, naye pia alikuwa mzao wa Lawi, ambaye alizaliwa kwa Walawi nchini Misri. Alimzalia Amramu: Aroni, Mose na dada yao Miriamu.

NUM 26:60 Removed trailing space in v~: Aroni alikuwa baba yake Nadabu na Abihu, Eleazari na Ithamari.

NUM 26:61 Removed trailing space in v~: Lakini Nadabu na Abihu walikufa wakati walitoa sadaka mbele za \nd Bwana\nd* kwa moto usioruhusiwa.)

NUM 26:62 Removed trailing space in v~: Wanaume wote wa Walawi wa umri wa mwezi mmoja na zaidi walikuwa 23,000. Wao hawakuhesabiwa pamoja na Waisraeli wengine kwa sababu hawakupokea urithi miongoni mwao.

NUM 26:63 Removed trailing space in v~: Hawa ndio walioorodheshwa na Mose na kuhani Eleazari wakati waliwahesabu Waisraeli kwenye nchi tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.

NUM 26:64 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mmoja wao aliyekuwa miongoni mwa wale waliohesabiwa na Mose na kuhani Aroni wakati waliwahesabu Waisraeli katika Jangwa la Sinai.

NUM 26:65 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* alikuwa amewaambia hao Waisraeli hakika wangekufa huko jangwani, wala hakuna mmoja wao aliyeachwa, isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.

NUM 27:0 Extra space after chapter number

NUM 27:0 Removed trailing space in c: 27

NUM 27:0 Removed trailing space in s1: Binti Wa Selofehadi

NUM 27:1 Removed trailing space in v~: Binti za Selofehadi mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase, walikuwa wa koo za Manase mwana wa Yosefu. Majina ya hao binti yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa. Walikaribia

NUM 27:2 Removed trailing space in v~: ingilio la Hema la Kukutania na kusimama mbele ya Mose, kuhani Eleazari, viongozi na kusanyiko lote, wakasema,

NUM 27:3 Removed trailing space in v~: “Baba yetu alikufa jangwani. Hakuwa miongoni mwa wafuasi wa Kora, ambao walifungamana pamoja dhidi ya \nd Bwana\nd*, lakini alikufa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe na hakuacha wana.

NUM 27:4 Removed trailing space in v~: Kwa nini jina la baba yetu lifutike kutoka ukoo wake kwa sababu hakuwa na mwana? Tupatie milki miongoni mwa ndugu za baba yetu.”

NUM 27:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akalileta shauri lao mbele za \nd Bwana\nd*,

NUM 27:6 Removed trailing space in v~: naye \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 27:7 Removed trailing space in v~: “Wanachosema binti za Selofehadi ni sawa. Ni lazima kwa hakika uwape milki kama urithi miongoni mwa ndugu za baba yao, na kubadili urithi wa baba yao uwe wao.

NUM 27:8 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli, ‘Ikiwa mtu atakufa naye hakuacha mwana, utampa binti yake urithi wake.

NUM 27:9 Removed trailing space in v~: Ikiwa hana binti, wape ndugu zake wa kiume urithi wake.

NUM 27:10 Removed trailing space in v~: Ikiwa hana ndugu wa kiume toa urithi wake kwa ndugu za baba yake.

NUM 27:11 Removed trailing space in v~: Ikiwa baba yake hakuwa na ndugu wa kiume, toa urithi wake kwa ndugu wa karibu katika ukoo wake, ili aumiliki. Hili litakuwa dai la sheria kwa Waisraeli, kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.’ ”

NUM 27:11 Removed trailing space in s1: Yoshua Kuchukua Nafasi Ya Mose

NUM 27:11 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 31:1-8)

NUM 27:12 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Panda juu ya mlima huu katika kilele cha Abarimu uione nchi ambayo nimewapa Waisraeli.

NUM 27:13 Removed trailing space in v~: Baada ya kuiona, wewe pia utakusanywa pamoja na watu wako kama ndugu yako Aroni alivyokusanywa,

NUM 27:14 Removed trailing space in v~: kwa kuwa jumuiya ilipoasi amri yangu kwenye maji katika Jangwa la Sini, wakati jumuiya ilipogombana nami, nyote wawili mliacha kuitii amri yangu ya kuniheshimu kama mtakatifu mbele ya macho yao.” (Haya yalikuwa maji ya Meriba huko Kadeshi, katika Jangwa la Sini.)

NUM 27:15 Removed trailing space in v~: Mose akamwambia \nd Bwana\nd*,

NUM 27:16 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd*, Mungu wa roho zote za wanadamu, na amteue mtu juu ya jumuiya hii

NUM 27:17 Removed trailing space in v~: ili atoke na kuingia mbele yao, atakayewaongoza katika kutoka kwao na kuingia kwao, ili watu wa \nd Bwana\nd* wasiwe kama kondoo wasio na mchungaji.”

NUM 27:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mtu ambaye Roho yuko ndani yake, uweke mkono juu yake.

NUM 27:19 Removed trailing space in v~: Msimamishe mbele ya kuhani Eleazari pamoja na kusanyiko lote, umpe maagizo mbele yao.

NUM 27:20 Removed trailing space in v~: Mpe sehemu ya mamlaka yako ili jumuiya yote ya Waisraeli ipate kumtii.

NUM 27:21 Removed trailing space in v~: Atasimama mbele ya kuhani Eleazari, ambaye atapokea maamuzi kwa ajili yake, kwa kuuliza mbele za \nd Bwana\nd* kwa ile Urimu.\f + \fr 27:21 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha juu cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.\f* Kwa amri yake, yeye na jumuiya yote ya Waisraeli watatoka, na kwa amri yake, wataingia.”

NUM 27:22 Removed trailing space in v~: Mose akafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza. Akamtwaa Yoshua na kumsimamisha mbele ya kuhani Eleazari na kusanyiko lote.

NUM 27:23 Removed trailing space in v~: Kisha akaweka mikono yake juu ya kichwa cha Yoshua na kumpa maagizo, kama vile \nd Bwana\nd* alivyoelekeza kupitia kwa Mose.

NUM 28:0 Extra space after chapter number

NUM 28:0 Removed trailing space in c: 28

NUM 28:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Za Kila Siku

NUM 28:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 29:38-46)

NUM 28:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 28:2 Removed trailing space in v~: “Wape Waisraeli agizo hili na uwaambie: ‘Hakikisheni kwamba mnaniletea mimi kwa wakati uliowekwa chakula kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa moto, kama harufu nzuri ya kupendeza.’

NUM 28:3 Removed trailing space in v~: Waambie: ‘Hii ni sadaka ya kuteketezwa kwa moto mnayomtolea \nd Bwana\nd*: wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasio na dosari, kama sadaka ya kawaida ya kuteketezwa kila siku.

NUM 28:4 Removed trailing space in v~: Andaa mwana-kondoo mmoja asubuhi na mwingine jioni,

NUM 28:5 Removed trailing space in v~: kila mmoja atolewe pamoja na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi ya efa\f + \fr 28:5 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.\f* ya unga laini uliochanganywa pamoja na robo ya hini\f + \fr 28:5 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.\f* ya mafuta ya zeituni.

NUM 28:6 Removed trailing space in v~: Hii ni sadaka ya kawaida ya kuteketezwa iliyoanzishwa katika Mlima Sinai kama harufu nzuri ya kupendeza, sadaka iliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto.

NUM 28:7 Removed trailing space in v~: Sadaka ya kinywaji itakayotolewa pamoja na kila mwana-kondoo ni robo ya hini ya kinywaji kilichochachuka. Mimina sadaka ya kinywaji kwa \nd Bwana\nd* mahali patakatifu.

NUM 28:8 Removed trailing space in v~: Andaa yule mwana-kondoo wa pili jioni, pamoja na sadaka ya nafaka na sadaka ya kinywaji kama ulivyofanya kwa ile sadaka nyingine ya asubuhi. Hii ni sadaka iliyotolewa kwa kuteketezwa kwa moto, harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 28:8 Removed trailing space in s1: Sadaka Za Sabato

NUM 28:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku ya Sabato, utatoa sadaka ya wana-kondoo wawili wa mwaka mmoja wasiokuwa na dosari pamoja na sadaka yake ya kinywaji na sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu mbili za kumi za efa\f + \fr 28:9 \ft Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo 2.\f* za unga laini uliochanganywa na mafuta.

NUM 28:10 Removed trailing space in v~: Hii ni sadaka ya kuteketezwa itakayotolewa kwa ajili ya kila Sabato, pamoja na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya kinywaji.

NUM 28:10 Removed trailing space in s1: Sadaka Za Kila Mwezi

NUM 28:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku ya kwanza ya kila mwezi, mtamletea \nd Bwana\nd* sadaka ya kuteketezwa ya fahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasiokuwa na dosari.

NUM 28:12 Removed trailing space in v~: Pamoja na kila fahali, kutakuwa na sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa,\f + \fr 28:12 \ft Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo 3.\f* uliochanganywa na mafuta, pamoja na kondoo dume mmoja, sadaka ya nafaka ya unga laini uliochanganywa na mafuta;

NUM 28:13 Removed trailing space in v~: pamoja na kila mwana-kondoo, sadaka ya nafaka yenye uzito wa sehemu ya kumi ya efa ya unga laini uliochanganywa na mafuta. Hii ni kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, harufu nzuri, sadaka ya kuteketezwa iliyotolewa kwa moto kwa \nd Bwana\nd*.

NUM 28:14 Removed trailing space in v~: Pamoja na kila fahali kutakuwa na sadaka ya kinywaji nusu ya hini\f + \fr 28:14 \ft Nusu ya hini ni sawa na lita 2.\f* ya divai; pamoja na kila kondoo dume, theluthi moja ya hini,\f + \fr 28:14 \ft Theluthi moja ya hini ni sawa na lita 1.2.\f* na pamoja na kila mwana-kondoo robo hini. Hii ni sadaka ya kuteketezwa ya kila mwezi itakayotolewa kila mwandamo wa mwezi kwa mwaka.

NUM 28:15 Removed trailing space in v~: Zaidi ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya kinywaji, mbuzi mmoja dume atatolewa kwa \nd Bwana\nd* kama sadaka ya dhambi.

NUM 28:15 Removed trailing space in s1: Pasaka

NUM 28:15 Removed trailing space in r: (Walawi 23:5-14)

NUM 28:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, itafanyika Pasaka ya \nd Bwana\nd*.

NUM 28:17 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kumi na tano ya mwezi huo itakuwa sikukuu; kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu.

NUM 28:18 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kwanza mtakuwa na kusanyiko takatifu, msifanye kazi za kawaida.

NUM 28:19 Removed trailing space in v~: Leteni mbele za \nd Bwana\nd* sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja na wana-kondoo dume saba wenye umri wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 28:20 Removed trailing space in v~: Pamoja na kila fahali, andaa sadaka ya nafaka sehemu tatu za kumi za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa;

NUM 28:21 Removed trailing space in v~: pia pamoja na kila mmoja wa wale wana-kondoo saba, andaa sehemu ya kumi ya efa.

NUM 28:22 Removed trailing space in v~: Pia mtoe beberu mmoja kama sadaka ya dhambi ambaye atafanya upatanisho kwa ajili yenu.

NUM 28:23 Removed trailing space in v~: Andaa hizi licha ya zile sadaka za kawaida za kuteketezwa za kila asubuhi.

NUM 28:24 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii andaa chakula cha sadaka ya kuteketezwa kila siku, kwa siku saba kama harufu nzuri impendezayo \nd Bwana\nd*. Hii itaandaliwa licha ya ile sadaka ya kawaida ya kuteketezwa ya kila siku pamoja na sadaka yake ya kinywaji.

NUM 28:25 Removed trailing space in v~: Siku ya saba mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.

NUM 28:25 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Majuma

NUM 28:25 Removed trailing space in r: (Walawi 23:15-22)

NUM 28:26 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku ya malimbuko, mnapomletea \nd Bwana\nd* sadaka ya nafaka mpya wakati wa Sikukuu ya Majuma, mwe na kusanyiko takatifu na msifanye kazi zenu za kawaida.

NUM 28:27 Removed trailing space in v~: Mlete sadaka ya kuteketezwa ya mafahali wawili wachanga, kondoo dume mmoja, na pia wana-kondoo saba wenye umri wa mwaka mmoja, kama harufu nzuri ya kumpendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 28:28 Removed trailing space in v~: Pamoja na kila fahali itatolewa sadaka ya nafaka ya unga laini sehemu tatu za kumi za efa uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, andaa sehemu mbili za kumi za efa za unga laini;

NUM 28:29 Removed trailing space in v~: na sehemu ya kumi ya efa ya unga laini kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba.

NUM 28:30 Removed trailing space in v~: Ongeza beberu mmoja kwa kufanya upatanisho kwa ajili yenu.

NUM 28:31 Removed trailing space in v~: Andaa hizi sadaka pamoja na sadaka zake za vinywaji, kuwa nyongeza ya sadaka za kawaida za kuteketezwa, pamoja na sadaka yake ya nafaka. Hakikisha kuwa wanyama hao hawana dosari.

NUM 29:0 Extra space after chapter number

NUM 29:0 Removed trailing space in c: 29

NUM 29:0 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Tarumbeta

NUM 29:0 Removed trailing space in r: (Walawi 23:23-25)

NUM 29:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu na msifanye kazi ya kawaida. Ni siku kwa ajili yenu ya kupiga tarumbeta.

NUM 29:2 Removed trailing space in v~: Mtatayarisha sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri impendezayo \nd Bwana\nd* ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:3 Removed trailing space in v~: Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume, andaa unga sehemu ya kumi mbili za efa;

NUM 29:4 Removed trailing space in v~: na pamoja na wana-kondoo saba kila mmoja aandaliwe na sehemu ya kumi ya efa ya unga.

NUM 29:5 Removed trailing space in v~: Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi kufanya upatanisho kwa ajili yenu.

NUM 29:6 Removed trailing space in v~: Hivi ni nyongeza ya sadaka za kuteketezwa kila mwezi na kila siku pamoja na sadaka zake za nafaka na sadaka za vinywaji kama ilivyoainishwa. Ni sadaka zinazotolewa kwa \nd Bwana\nd* kwa moto, harufu inayopendeza.

NUM 29:6 Removed trailing space in s1: Siku Ya Upatanisho

NUM 29:6 Removed trailing space in r: (Walawi 23:26-32)

NUM 29:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwenye siku ya kumi ya mwezi huu wa saba mtakuwa na kusanyiko takatifu. Mtajikana wenyewe na msifanye kazi.

NUM 29:8 Removed trailing space in v~: Toeni sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja mchanga, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 29:9 Removed trailing space in v~: Pamoja na fahali, andaeni sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; pamoja na kondoo dume, sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;

NUM 29:10 Removed trailing space in v~: na kwa kila mmoja wa wana-kondoo saba andaa sehemu ya kumi ya unga laini kwa kila mmoja.

NUM 29:11 Removed trailing space in v~: Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya dhambi kwa ajili ya upatanisho, na sadaka ya kawaida ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, na sadaka zake za vinywaji.

NUM 29:11 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Vibanda

NUM 29:11 Removed trailing space in r: (Walawi 23:33-44)

NUM 29:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa saba, mtakuwa na kusanyiko takatifu, na hamtafanya kazi za kawaida. Adhimisheni sikukuu kwa \nd Bwana\nd* kwa siku saba.

NUM 29:13 Removed trailing space in v~: Toeni sadaka ya kuteketezwa mafahali wachanga kumi na watatu, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari, kama harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*.

NUM 29:14 Removed trailing space in v~: Pamoja na hao mafahali kumi na watatu, kila mmoja aandaliwe na sadaka ya nafaka sehemu ya kumi tatu za efa za unga laini uliochanganywa na mafuta; kwa kondoo dume wawili, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi mbili za efa za unga laini;

NUM 29:15 Removed trailing space in v~: na kwa wana-kondoo kumi na wanne, kila mmoja aandaliwe sehemu ya kumi ya efa ya unga laini.

NUM 29:16 Removed trailing space in v~: Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka ya vinywaji.

NUM 29:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya pili andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:18 Removed trailing space in v~: Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:19 Removed trailing space in v~: Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.

NUM 29:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya tatu andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:21 Removed trailing space in v~: Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:22 Removed trailing space in v~: Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.

NUM 29:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya nne andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:24 Removed trailing space in v~: Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:25 Removed trailing space in v~: Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.

NUM 29:26 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya tano andaeni mafahali tisa, kondoo dume wawili na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:27 Removed trailing space in v~: Pamoja na mafahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za kinywaji kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:28 Removed trailing space in v~: Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.

NUM 29:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya sita andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:30 Removed trailing space in v~: Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:31 Removed trailing space in v~: Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.

NUM 29:32 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya saba andaeni mafahali wachanga kumi na wawili, kondoo dume wawili, na wana-kondoo kumi na wanne wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:33 Removed trailing space in v~: Pamoja na mafahali, kondoo dume, na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:34 Removed trailing space in v~: Weka beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, kwa nyongeza ya kawaida ya sadaka ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka, pamoja na sadaka zao za vinywaji.

NUM 29:35 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ya nane mtakuwa na kusanyiko, na msifanye kazi ya kawaida.

NUM 29:36 Removed trailing space in v~: Toeni sadaka ya kuteketezwa kama harufu nzuri inayompendeza \nd Bwana\nd*, sadaka ya kuteketezwa ya fahali mmoja, kondoo dume mmoja, na wana-kondoo dume saba wa mwaka mmoja, wote wasio na dosari.

NUM 29:37 Removed trailing space in v~: Pamoja na fahali, kondoo dume na wana-kondoo, andaeni sadaka zao za nafaka, na sadaka za vinywaji, kulingana na idadi iliyoainishwa.

NUM 29:38 Removed trailing space in v~: Ongeza beberu mmoja kama sadaka ya dhambi, katika nyongeza ya sadaka ya kawaida ya kuteketezwa, na sadaka yake ya nafaka pamoja na sadaka ya kinywaji.

NUM 29:39 Removed trailing space in v~: “ ‘Zaidi ya kile unachoweka nadhiri na sadaka zenu za hiari, andaeni hizi kwa ajili ya \nd Bwana\nd* kwenye sikukuu zenu zilizoamriwa: sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za nafaka, sadaka za vinywaji, pamoja na sadaka zenu za amani.’ ”

NUM 29:40 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia Waisraeli yale yote \nd Bwana\nd* alimwagiza.

NUM 30:0 Extra space after chapter number

NUM 30:0 Removed trailing space in c: 30

NUM 30:0 Removed trailing space in s1: Nadhiri

NUM 30:1 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia viongozi wa makabila ya Israeli: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* analoagiza:

NUM 30:2 Removed trailing space in v~: Mwanaume awekapo nadhiri kwa \nd Bwana\nd*, au anapoapa kujifunga kwa ahadi, kamwe asitangue neno lake, bali ni lazima afanye kila kitu alichosema.

NUM 30:3 Removed trailing space in v~: “Wakati mwanamwali anayeishi bado nyumbani kwa baba yake atakapoweka nadhiri kwa \nd Bwana\nd*, ama amejifunga mwenyewe kwa ahadi,

NUM 30:4 Removed trailing space in v~: na baba yake akasikia kuhusu nadhiri au ahadi yake lakini asimwambie lolote, ndipo nadhiri zake zote na kila ahadi aliyoiweka na kujifunga kwayo itathibitika.

NUM 30:5 Removed trailing space in v~: Lakini kama baba yake akimkataza wakati anapoisikia, hakuna nadhiri wala ahadi yake yoyote aliyojifunga kwayo itakayosimama; \nd Bwana\nd* atamweka huru huyo mwanamwali kwa sababu baba yake amemkataza.

NUM 30:6 Removed trailing space in v~: “Ikiwa ataolewa baada ya kuweka nadhiri au baada ya midomo yake kutamka ahadi fulani bila kufikiri akawa amejifunga hivyo,

NUM 30:7 Removed trailing space in v~: na mume wake akasikia habari hiyo asimwambie neno lolote, ndipo nadhiri zake ama ahadi zake ambazo alikuwa amejifunga nazo zitathibitika.

NUM 30:8 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mume wake atamkataza atakaposikia kuhusu hilo, atakuwa ametangua nadhiri ambazo zilikuwa zimemfunga mkewe, ama ahadi aliyotamka pasipo kufikiri ambayo amejifunga kwayo, naye \nd Bwana\nd* atamweka huru yule mwanamke.

NUM 30:9 Removed trailing space in v~: “Nadhiri yoyote ama patano ambalo limefanywa na mjane ama mwanamke aliyeachwa vitakuwa vimemfunga.

NUM 30:10 Removed trailing space in v~: “Ikiwa mwanamke anayeishi na mumewe ataweka nadhiri ama kujifunga mwenyewe kwa ahadi chini ya kiapo,

NUM 30:11 Removed trailing space in v~: na mumewe akasikia kuhusu jambo hili lakini asimwambie lolote wala hakumkataza, ndipo viapo vyake vyote au ahadi zinazomfunga zitakapothibitika.

NUM 30:12 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mumewe atabatilisha nadhiri hizo baada ya kuzisikia, basi hakuna nadhiri au ahadi zozote alizoziweka kwa midomo yake zitakazothibitika. Mumewe atakuwa amezibatilisha, na \nd Bwana\nd* atamweka huru yule mwanamke.

NUM 30:13 Removed trailing space in v~: Mumewe anaweza kuthibitisha au kutangua nadhiri yoyote anayoweka, au ahadi yoyote aliyoweka kwa kuapa ili kujikana mwenyewe.

NUM 30:14 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mumewe hasemi lolote kwake kuhusu jambo hilo siku baada ya siku, basi mumewe atakuwa amethibitisha nadhiri zote, na ahadi zote zinazomfunga mkewe. Anavithibitisha kwa kutokusema lolote kwa mkewe anapoyasikia hayo.

NUM 30:15 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, ikiwa mumewe atavibatilisha baada ya kusikia hayo, basi atawajibika kwa hatia ya mkewe.”

NUM 30:16 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo masharti ambayo \nd Bwana\nd* alimpa Mose kuhusu mahusiano kati ya mtu na mkewe, na kati ya baba na binti yake ambaye bado anaishi nyumbani kwa baba yake.

NUM 31:0 Extra space after chapter number

NUM 31:0 Removed trailing space in c: 31

NUM 31:0 Removed trailing space in s1: Kulipiza Kisasi Juu Ya Wamidiani

NUM 31:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 31:2 Removed trailing space in v~: “Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”

NUM 31:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akawaambia watu, “Waandaeni baadhi ya wanaume wenu waende vitani kupigana na Wamidiani ili wawalipize kisasi cha \nd Bwana\nd*.

NUM 31:4 Removed trailing space in v~: Peleka wanaume 1,000 vitani kutoka kila kabila la Israeli.”

NUM 31:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo waliandaliwa wanaume 12,000 kwa vita, wanaume 1,000 kutoka kila kabila, walitolewa kutoka koo za Israeli.

NUM 31:6 Removed trailing space in v~: Mose aliwatuma vitani, watu 1,000 kutoka kila kabila, pamoja na Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, ambaye alichukua vyombo vya mahali patakatifu na tarumbeta za kuashiria.

NUM 31:7 Removed trailing space in v~: Walipigana dhidi ya Wamidiani, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose, nao waliua kila mwanaume.

NUM 31:8 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa watu waliouawa walikuwepo wafalme watano wa Midiani, nao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba. Vilevile walimuua Balaamu mwana wa Beori kwa upanga.

NUM 31:9 Removed trailing space in v~: Waisraeli waliwateka wanawake wa Kimidiani pamoja na watoto wao na walichukua makundi ya ngʼombe, kondoo na mali zao kama nyara.

NUM 31:10 Removed trailing space in v~: Walichoma moto miji yote ambayo Wamidiani walikuwa wanaishi, pamoja na kambi zao zote.

NUM 31:11 Removed trailing space in v~: Walichukua nyara zote na mateka, pamoja na watu na wanyama,

NUM 31:12 Removed trailing space in v~: nao waliwaleta wafungwa mateka na nyara kwa Mose na kwa kuhani Eleazari, nao Waisraeli walikusanyika kwenye kambi zao katika tambarare za nchi ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.

NUM 31:13 Removed trailing space in v~: Mose, kuhani Eleazari na viongozi wote wa jumuiya wakatoka kuwalaki nje ya kambi.

NUM 31:14 Removed trailing space in v~: Mose aliwakasirikia maafisa wa jeshi, yaani hao wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, ambao walirudi kutoka vitani.

NUM 31:15 Removed trailing space in v~: Mose akawauliza, “Je, mmewaacha wanawake wote hai?”

NUM 31:16 Removed trailing space in v~: “Wanawake hao ndio waliofuata ushauri wa Balaamu, nao ndio waliowasababisha Waisraeli wamwasi \nd Bwana\nd* kwa kile kilichotokea kule Peori, na kwa hiyo pigo liliwapata watu wa \nd Bwana\nd*.

NUM 31:17 Removed trailing space in v~: Sasa waue wavulana wote. Pia muue kila mwanamke ambaye alikwisha fanya tendo la ndoa,

NUM 31:18 Removed trailing space in v~: lakini mwacheni hai kwa ajili yenu kila msichana ambaye kamwe hajawahi kuzini na mwanaume.

NUM 31:19 Removed trailing space in v~: “Ninyi nyote ambao mmeua mtu yeyote au kumgusa mtu yeyote ambaye ameuawa, lazima mkae nje ya kambi kwa muda wa siku saba. Katika siku ya tatu na ya saba lazima mjitakase wenyewe pamoja na wafungwa wenu.

NUM 31:20 Removed trailing space in v~: Takaseni kila vazi pamoja na kila kitu kilichotengenezwa kwa ngozi, kwa singa za mbuzi au kwa mti.”

NUM 31:21 Removed trailing space in v~: Kisha kuhani Eleazari aliwaambia askari waliokuwa wamekwenda vitani, “Haya ndiyo matakwa ya sheria ambayo \nd Bwana\nd* alimpa Mose:

NUM 31:22 Removed trailing space in v~: Dhahabu, fedha, shaba, chuma, bati, risasi,

NUM 31:23 Removed trailing space in v~: na kitu kingine chochote ambacho kinaweza kuhimili moto lazima mkipitishe kwenye moto, kisha kitakuwa safi. Lakini ni lazima pia kitakaswe kwa maji ya utakaso. Kitu chochote kisichoweza kuhimili moto lazima kipitishwe kwenye yale maji ya utakaso.

NUM 31:24 Removed trailing space in v~: Katika siku ya saba fueni nguo zenu, nanyi mtakuwa safi. Kisha mtaweza kuingia kambini.”

NUM 31:24 Removed trailing space in s1: Kugawanya Mateka

NUM 31:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 31:26 Removed trailing space in v~: “Wewe na kuhani Eleazari pamoja na viongozi wa jamaa ya jumuiya mtahesabu watu wote na wanyama ambao walitekwa.

NUM 31:27 Removed trailing space in v~: Gawanyeni hizo nyara kati ya askari ambao walishiriki katika vita na kwa jumuiya.

NUM 31:28 Removed trailing space in v~: Kutoka fungu la wale waliokwenda kupigana vitani, tenga kama ushuru kwa ajili ya \nd Bwana\nd* kitu kimoja kati ya kila mia tano, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo au mbuzi.

NUM 31:29 Removed trailing space in v~: Chukua ushuru huu kutoka fungu lao, umpe kuhani Eleazari kama sehemu ya \nd Bwana\nd*.

NUM 31:30 Removed trailing space in v~: Kutoka fungu la Waisraeli, chukua kitu kimoja kati ya kila hamsini, ikiwa ni wanadamu, ngʼombe, punda, kondoo, mbuzi au wanyama wengine. Hivyo uwape Walawi, ambao wanawajibika kutunza Maskani ya \nd Bwana\nd*.”

NUM 31:31 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose na kuhani Eleazari wakafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

NUM 31:32 Removed trailing space in v~: Nyara zilizobaki kutoka mateka ambayo askari walichukua ni kondoo 675,000,

NUM 31:33 Removed trailing space in v~: ngʼombe 72,000,

NUM 31:34 Removed trailing space in v~: punda 61,000,

NUM 31:35 Removed trailing space in v~: na wanawake 32,000 ambao hawakumjua mume kwa kufanya tendo la ndoa.

NUM 31:36 Removed trailing space in v~: Nusu ya fungu la wale waliokwenda kupigana vitani lilikuwa:

NUM 31:36 Removed trailing space in p~: Kondoo 337,500

NUM 31:37 Removed trailing space in v~: ambayo ushuru kwa ajili ya \nd Bwana\nd* ilikuwa kondoo 675;

NUM 31:38 Removed trailing space in v~: ngʼombe 36,000 ambao ushuru kwa ajili ya \nd Bwana\nd* ulikuwa ngʼombe 72;

NUM 31:39 Removed trailing space in v~: punda 30,500 ambao ushuru kwa ajili ya \nd Bwana\nd* ulikuwa punda 61;

NUM 31:40 Removed trailing space in v~: Watu 16,000 ambao ushuru kwa ajili ya \nd Bwana\nd* ulikuwa watu 32.

NUM 31:41 Removed trailing space in v~: Mose alimpa kuhani Eleazari ushuru kama sehemu ya \nd Bwana\nd*, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

NUM 31:42 Removed trailing space in v~: Ile nusu iliyokuwa ya Waisraeli, ambayo Mose aliitenga kutoka kwa ile ya watu waliokwenda vitani,

NUM 31:43 Removed trailing space in v~: nusu iliyokuwa ya jumuiya, ilikuwa kondoo 337,500,

NUM 31:44 Removed trailing space in v~: ngʼombe 36,000,

NUM 31:45 Removed trailing space in v~: punda 30,500,

NUM 31:46 Removed trailing space in v~: na wanadamu 16,000.

NUM 31:47 Removed trailing space in v~: Kutoka hiyo nusu iliyokuwa ya Waisraeli, Mose alichagua moja kati ya kila hamsini ya wanadamu na wanyama, kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza, naye aliwapa Walawi, ambao waliwajibika kutunza Maskani ya \nd Bwana\nd*.

NUM 31:48 Removed trailing space in v~: Kisha maafisa waliokuwa juu ya vikosi vya jeshi, wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, walimwendea Mose

NUM 31:49 Removed trailing space in v~: na kumwambia, “Watumishi wako wamehesabu askari walio chini ya amri yetu na hakuna hata mmoja aliyekosekana.

NUM 31:50 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tumeleta kama sadaka kwa \nd Bwana\nd* vyombo vya dhahabu kila mmoja wetu alivyopata, yaani vikuku, bangili, pete za muhuri, vipuli na mikufu, ili kufanya upatanisho kwa ajili yetu mbele za \nd Bwana\nd*.”

NUM 31:51 Removed trailing space in v~: Mose na kuhani Eleazari wakapokea kutoka kwao dhahabu, yaani vyombo vyote vilivyonakshiwa.

NUM 31:52 Removed trailing space in v~: Dhahabu yote kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia ambavyo Mose na kuhani Eleazari walimletea \nd Bwana\nd* kama zawadi ilikuwa shekeli 16,750\f + \fr 31:52 \ft Shekeli 16,750 ni sawa na kilo 200.\f*

NUM 31:53 Removed trailing space in v~: Kila askari alikuwa amejichukulia nyara zake binafsi.

NUM 31:54 Removed trailing space in v~: Mose na kuhani Eleazari walipokea dhahabu kutoka kwa wakuu wa jeshi wa maelfu na wakuu wa jeshi wa mamia, wakazileta katika Hema la Kukutania kama ukumbusho kwa Waisraeli mbele za \nd Bwana\nd*.

NUM 32:0 Extra space after chapter number

NUM 32:0 Removed trailing space in c: 32

NUM 32:0 Removed trailing space in s1: Makabila Ngʼambo Ya Yordani

NUM 32:0 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 3:12-22)

NUM 32:1 Removed trailing space in v~: Kabila la Wareubeni na Wagadi, waliokuwa na makundi makubwa ya ngʼombe, kondoo na mbuzi, waliona kuwa nchi ya Yazeri na nchi ya Gileadi ni nzuri kwa mifugo.

NUM 32:2 Removed trailing space in v~: Hivyo walimjia Mose, na kuhani Eleazari na viongozi wa jumuiya, na kuwaambia,

NUM 32:3 Removed trailing space in v~: “Atarothi, Diboni, Yazeri, Nimra, Heshboni, Eleale, Sebamu, Nebo na Beoni,

NUM 32:4 Removed trailing space in v~: nchi ambayo \nd Bwana\nd* ameishinda mbele ya wana wa Israeli, inafaa kwa mifugo, nao watumishi wako wana mifugo.

NUM 32:5 Removed trailing space in v~: Kama tumepata kibali mbele ya macho yako, nchi hii na ipewe watumishi wako kama milki yetu. Usitufanye tuvuke Yordani.”

NUM 32:6 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia Wagadi na Wareubeni, “Je, watu wa nchi yenu watakwenda vitani wakati ninyi mmeketi hapa?

NUM 32:7 Removed trailing space in v~: Kwa nini mmewakatisha Waisraeli tamaa wasivuke katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* amewapa?

NUM 32:8 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo baba zenu walivyofanya wakati nilipowatuma kutoka Kadesh-Barnea kuipeleleza nchi.

NUM 32:9 Removed trailing space in v~: Baada ya kufika kwenye Bonde la Eshkoli na kuitazama nchi, waliwakatisha tamaa Waisraeli wasiingie katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* alikuwa amewapa.

NUM 32:10 Removed trailing space in v~: Siku ile hasira ya \nd Bwana\nd* iliwaka naye akaapa kiapo hiki:

NUM 32:11 Removed trailing space in v~: ‘Kwa kuwa hawakunifuata kwa moyo wote, hakuna mtu yeyote mwenye miaka ishirini au zaidi ambaye alikuja kutoka Misri atakayeona nchi niliyoahidi kwa kiapo kwa Abrahamu, Isaki na Yakobo;

NUM 32:12 Removed trailing space in v~: hakuna hata mmoja isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune, Mkenizi, na Yoshua mwana wa Nuni, kwa sababu walimfuata \nd Bwana\nd* kwa moyo wote.’

NUM 32:13 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* iliwaka dhidi ya Waisraeli na akawafanya watangetange katika jangwa kwa miaka arobaini, mpaka kizazi chote cha wale waliofanya maovu mbele yake kimeangamia.

NUM 32:14 Removed trailing space in v~: “Nanyi mko hapa, uzao wa wenye dhambi, mkisimamia mahali pa baba zenu na mkimfanya \nd Bwana\nd* kuwakasirikia Waisraeli hata zaidi.

NUM 32:15 Removed trailing space in v~: Kama mkigeuka na mkiacha kumfuata, atawaacha tena watu hawa wote jangwani, na mtakuwa sababu ya maangamizi yao.”

NUM 32:16 Removed trailing space in v~: Ndipo wakamjia Mose na kumwambia, “Tungalitaka kujenga mazizi hapa kwa ajili ya mifugo yetu na miji kwa ajili ya wanawake wetu na watoto.

NUM 32:17 Removed trailing space in v~: Lakini sisi tuko tayari kuchukua silaha zetu na kutangulia mbele ya Waisraeli mpaka tutakapowaleta mahali pao. Wakati huo wanawake wetu na watoto wataishi katika miji yenye ngome, kwa ajili ya ulinzi dhidi ya wenyeji wa nchi.

NUM 32:18 Removed trailing space in v~: Hatutarudi nyumbani mwetu mpaka kila Mwisraeli apokee urithi wake.

NUM 32:19 Removed trailing space in v~: Hatutapokea urithi wowote pamoja nao ngʼambo ya Yordani, kwa sababu urithi wetu umekuja kwetu upande wa mashariki ya Yordani.”

NUM 32:20 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaambia, “Kama mtafanya jambo hili, kama mtajivika silaha mbele za \nd Bwana\nd* kwa ajili ya vita,

NUM 32:21 Removed trailing space in v~: na kama ninyi nyote mtakwenda mmejivika silaha ngʼambo ya Yordani mbele za \nd Bwana\nd* mpaka awe amewafukuza adui zake mbele zake,

NUM 32:22 Removed trailing space in v~: hadi wakati nchi itakapokuwa imeshindwa mbele za \nd Bwana\nd*, ndipo mtaweza kurudi na kuwa huru kutoka masharti yenu kwa \nd Bwana\nd* na Israeli. Nayo nchi hii itakuwa milki yenu mbele za \nd Bwana\nd*.

NUM 32:23 Removed trailing space in v~: “Lakini mkishindwa kufanya hili, mtakuwa mnatenda dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd*; nanyi kuweni na hakika kuwa dhambi yenu itawapata.

NUM 32:24 Removed trailing space in v~: Jengeni miji kwa ajili ya wanawake na watoto wenu, na mazizi kwa ajili ya mbuzi na kondoo zenu, lakini fanyeni yale mliyoahidi.”

NUM 32:25 Removed trailing space in v~: Wagadi na Wareubeni wakamwambia Mose, “Sisi watumishi wako tutafanya kama bwana wetu anavyotuagiza.

NUM 32:26 Removed trailing space in v~: Watoto na wake zetu, makundi ya mbuzi na kondoo, na makundi ya ngʼombe zetu, watabaki hapa katika miji ya Gileadi.

NUM 32:27 Removed trailing space in v~: Lakini watumishi wenu, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, watavuka ngʼambo kupigana mbele za \nd Bwana\nd*, sawa kama bwana wetu anavyosema.”

NUM 32:28 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akatoa amri kuhusu wao kwa kuhani Eleazari, na Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa jamaa za makabila ya Waisraeli.

NUM 32:29 Removed trailing space in v~: Mose akawaambia, “Ikiwa Wagadi na Wareubeni, kila mwanaume aliyevaa silaha za vita, atavuka Yordani pamoja nanyi mbele za \nd Bwana\nd*, basi wakati mtakapoishinda nchi iliyoko mbele yenu, wapeni nchi ya Gileadi kama milki yao.

NUM 32:30 Removed trailing space in v~: Lakini kama hawatavuka pamoja nanyi wakiwa wamevaa silaha za vita, lazima wakubali kupokea milki yao pamoja nanyi katika nchi ya Kanaani.”

NUM 32:31 Removed trailing space in v~: Wagadi na Wareubeni wakajibu, “Watumishi wako watafanya lile \nd Bwana\nd* alilosema.

NUM 32:32 Removed trailing space in v~: Tutavuka mbele za \nd Bwana\nd* kuingia Kanaani tukiwa tumevaa silaha za vita, lakini mali tutakayoirithi itakuwa ngʼambo hii ya Yordani.”

NUM 32:33 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawapa Wagadi, Wareubeni, na nusu ya kabila la Manase mwana wa Yosefu ufalme wa Sihoni mfalme wa Waamori, na ufalme wa Ogu mfalme wa Bashani, nchi yote pamoja na miji yake, na nchi inayowazunguka.

NUM 32:34 Removed trailing space in v~: Wagadi wakajenga Diboni, Atarothi, Aroeri,

NUM 32:35 Removed trailing space in v~: Atroth-Shofani, Yazeri, Yogbeha,

NUM 32:36 Removed trailing space in v~: Beth-Nimra na Beth-Harani kama miji iliyozungushiwa ngome, tena wakajenga mazizi kwa ajili ya makundi yao ya mbuzi na kondoo.

NUM 32:37 Removed trailing space in v~: Nao Wareubeni wakajenga upya miji ya Heshboni, Eleale na Kiriathaimu,

NUM 32:38 Removed trailing space in v~: pia Nebo na Baal-Meoni (majina ya hiyo miji yalibadilishwa) na Sibma. Miji waliyoijenga upya waliipa majina.

NUM 32:39 Removed trailing space in v~: Wazao wa Makiri mwana wa Manase walikwenda Gileadi, wakaiteka nchi na kuwafukuza Waamori waliokuwa huko.

NUM 32:40 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko.

NUM 32:41 Removed trailing space in v~: Yairi, mzao wa Manase, akateka makao yao, akayaita Hawoth-Yairi.

NUM 32:42 Removed trailing space in v~: Naye Noba akateka Kenathi na makao yaliyoizunguka, akayaita Noba kwa jina lake.

NUM 33:0 Extra space after chapter number

NUM 33:0 Removed trailing space in c: 33

NUM 33:0 Removed trailing space in s1: Vituo Katika Safari Ya Waisraeli

NUM 33:1 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vituo katika safari ya Waisraeli walipotoka Misri kwa vikosi chini ya uongozi wa Mose na Aroni.

NUM 33:2 Removed trailing space in v~: Kwa agizo la \nd Bwana\nd*, Mose aliweka kumbukumbu ya vituo katika safari yao. Hivi ndivyo vituo katika safari yao:

NUM 33:3 Removed trailing space in v~: Waisraeli walisafiri kutoka Ramesesi katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa kwanza, siku iliyofuata Pasaka. Walitembea kwa ujasiri wazi mbele ya Wamisri wote,

NUM 33:4 Removed trailing space in v~: waliokuwa wakizika wazaliwa wao wa kwanza wote, ambao \nd Bwana\nd* alikuwa amewaua katikati yao, kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa ameleta hukumu juu ya miungu yao.

NUM 33:5 Removed trailing space in v~: Waisraeli waliondoka Ramesesi na kupiga kambi huko Sukothi.

NUM 33:6 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Sukothi na kupiga kambi huko Ethamu, pembeni mwa jangwa.

NUM 33:7 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Ethamu, wakageuka wakarudi Pi-Hahirothi, hadi mashariki ya Baal-Sefoni, wakapiga kambi yao karibu na Migdoli.

NUM 33:8 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Pi-Hahirothi wakapita katikati ya bahari mpaka jangwani, na baada ya kusafiri kwa siku tatu katika Jangwa la Ethamu, walipiga kambi huko Mara.

NUM 33:9 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Mara wakaenda Elimu, mahali ambapo palikuwa na chemchemi kumi na mbili na mitende sabini, huko wakapiga kambi.

NUM 33:10 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Elimu na kupiga kambi kando ya Bahari ya Shamu.

NUM 33:11 Removed trailing space in v~: Wakaondoka kando ya Bahari ya Shamu na kupiga kambi katika Jangwa la Sini.

NUM 33:12 Removed trailing space in v~: Wakaondoka katika Jangwa la Sini, wakapiga kambi huko Dofka.

NUM 33:13 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Dofka, wakapiga kambi huko Alushi.

NUM 33:14 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Alushi, wakapiga kambi Refidimu, mahali ambapo hapakuwa na maji kwa ajili ya watu kunywa.

NUM 33:15 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Refidimu na kupiga kambi katika Jangwa la Sinai.

NUM 33:16 Removed trailing space in v~: Wakaondoka katika Jangwa la Sinai na kupiga kambi huko Kibroth-Hataava.

NUM 33:17 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Kibroth-Hataava na kupiga kambi huko Haserothi.

NUM 33:18 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Haserothi na kupiga kambi huko Rithma.

NUM 33:19 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Rithma na kupiga kambi huko Rimon-Peresi.

NUM 33:20 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Rimon-Peresi na kupiga kambi huko Libna.

NUM 33:21 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Libna na kupiga kambi huko Risa.

NUM 33:22 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Risa na kupiga kambi huko Kehelatha.

NUM 33:23 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Kehelatha na kupiga kambi kwenye mlima Sheferi.

NUM 33:24 Removed trailing space in v~: Wakaondoka kwenye mlima Sheferi na kupiga kambi huko Harada.

NUM 33:25 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Harada na kupiga kambi huko Makelothi.

NUM 33:26 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Makelothi na kupiga kambi huko Tahathi.

NUM 33:27 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Tahathi na kupiga kambi huko Tera.

NUM 33:28 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Tera na kupiga kambi huko Mithka.

NUM 33:29 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Mithka na kupiga kambi huko Hashmona.

NUM 33:30 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Hashmona na kupiga kambi Moserothi.

NUM 33:31 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Moserothi na kupiga kambi huko Bene-Yakani.

NUM 33:32 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Bene-Yakani na kupiga kambi huko Hor-Hagidgadi.

NUM 33:33 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Hor-Hagidgadi na kupiga kambi huko Yotbatha.

NUM 33:34 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Yotbatha na kupiga kambi huko Abrona.

NUM 33:35 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Abrona na kupiga kambi huko Esion-Geberi.

NUM 33:36 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Esion-Geberi na kupiga kambi huko Kadeshi katika Jangwa la Sini.

NUM 33:37 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Kadeshi na kupiga kambi kwenye Mlima Hori, mpakani mwa Edomu.

NUM 33:38 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya \nd Bwana\nd*, kuhani Aroni alipanda Mlima Hori, mahali alipofia katika siku ya kwanza ya mwezi wa tano, mwaka wa arobaini baada ya Waisraeli kutoka Misri.

NUM 33:39 Removed trailing space in v~: Aroni alikufa juu ya Mlima Hori akiwa na umri wa miaka 123.

NUM 33:40 Removed trailing space in v~: Mfalme Mkanaani wa Aradi, ambaye aliishi huko Negebu ya Kanaani, akasikia kwamba Waisraeli wanakuja.

NUM 33:41 Removed trailing space in v~: Wakaondoka kwenye mlima Hori na kupiga kambi huko Salmona.

NUM 33:42 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Salmona, wakapiga kambi huko Punoni.

NUM 33:43 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Punoni, wakapiga kambi huko Obothi.

NUM 33:44 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Obothi, wakapiga kambi huko Iye-Abarimu, mipakani mwa Moabu.

NUM 33:45 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Iye-Abarimu, wakapiga kambi huko Dibon-Gadi.

NUM 33:46 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Dibon-Gadi na kupiga kambi huko Almon-Diblathaimu.

NUM 33:47 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.

NUM 33:48 Removed trailing space in v~: Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.

NUM 33:49 Removed trailing space in v~: Huko kwenye tambarare za Moabu walipiga kambi kandokando ya Mto Yordani, kuanzia Beth-Yeshimothi mpaka Abel-Shitimu.

NUM 33:50 Removed trailing space in v~: Katika tambarare za Moabu kando ya Yordani kuvukia Yeriko, \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 33:51 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli uwaambie: ‘Mtakapovuka Mto Yordani kuingia Kanaani,

NUM 33:52 Removed trailing space in v~: wafukuzeni wakazi wote wa nchi iliyo mbele yenu. Haribuni sanamu zao zote za kuchongwa, na sanamu zilizotengenezwa kwa kuyeyusha chuma, na kupabomoa mahali pao pa ibada.

NUM 33:53 Removed trailing space in v~: Mtaimiliki nchi hiyo na kukaa huko, kwa kuwa nimewapeni ninyi kuimiliki.

NUM 33:54 Removed trailing space in v~: Mtaigawanya nchi hiyo kwa kupiga kura, kufuatana na koo zenu. Kwa kundi kubwa zaidi toa urithi mkubwa zaidi, na kwa kundi dogo zaidi urithi mdogo zaidi. Chochote kinachowaangukia kwa kura kitakuwa chao. Mtaigawanya nchi kufuatana na makabila ya babu zenu.

NUM 33:55 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kama hamkuwafukuza wenyeji wakaao katika nchi hiyo, wale mtakaowaruhusu wabaki watakuwa kama sindano kwenye macho yenu na miiba kwenu kila upande. Watawasumbua katika nchi mtakayoishi.

NUM 33:56 Removed trailing space in v~: Kisha nitawatenda ninyi kile ambacho nimepanga kuwatenda wao.’ ”

NUM 34:0 Extra space after chapter number

NUM 34:0 Removed trailing space in c: 34

NUM 34:0 Removed trailing space in s1: Mipaka Ya Kanaani

NUM 34:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 34:2 Removed trailing space in v~: “Waamuru Waisraeli na uwaambie: ‘Mtakapoingia nchi ya Kanaani, nchi ambayo itagawanywa kwenu kama urithi itakuwa na mipaka ifuatayo:

NUM 34:3 Removed trailing space in v~: “ ‘Upande wenu wa kusini utajumuisha sehemu ya Jangwa la Sini kufuata mpaka wa Edomu. Upande wa mashariki mpaka wenu wa kusini utaanzia mwisho wa Bahari ya Chumvi,\f + \fr 34:3 \ft Yaani Bahari Mfu.\f*

NUM 34:4 Removed trailing space in v~: katiza kusini mwa Pito la Akrabimu, endelea mpaka Sini na kwenda kusini ya Kadesh-Barnea. Kisha mpaka huo utaenda hadi Hasar-Adari hadi Azmoni,

NUM 34:5 Removed trailing space in v~: mahali ambapo utapinda, na kuunganika na Kijito cha Misri na kumalizikia kwenye Bahari ya Kati.\f + \fr 34:5 \ft Yaani Mediterania.\f*

NUM 34:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Mpaka wenu wa magharibi utakuwa Bahari ya Kati. Huu utakuwa mpaka wenu upande wa magharibi.

NUM 34:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa mpaka wenu wa kaskazini, wekeni alama kuanzia Bahari ya Kati hadi mlima Hori,

NUM 34:8 Removed trailing space in v~: na kutoka mlima Hori hadi Pito la Hamathi. Kisha mpaka utaenda hadi Sedadi,

NUM 34:9 Removed trailing space in v~: kuendelea hadi Zifroni, na kuishia Hasar-Enani. Huu utakuwa mpaka wenu upande wa kaskazini.

NUM 34:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa mpaka wenu wa mashariki, wekeni alama kuanzia Hasar-Enani hadi Shefamu.

NUM 34:11 Removed trailing space in v~: Mpaka utaelekea kusini kuanzia Shefamu hadi Ribla upande wa mashariki wa Aini, na kuendelea kwenye miteremko mashariki mwa Bahari ya Kinerethi.\f + \fr 34:11 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.\f*

NUM 34:12 Removed trailing space in v~: Kisha mpaka utashuka kuelekea Mto Yordani na kuishia katika Bahari ya Chumvi.

NUM 34:12 Removed trailing space in p~: “ ‘Hii itakuwa nchi yenu, ikiwa na mipaka yake kila upande.’ ”

NUM 34:13 Removed trailing space in v~: Mose akawaamuru Waisraeli: “Gawanyeni nchi hii kwa kura kama urithi. \nd Bwana\nd* ameagiza kwamba itolewe kwa yale makabila tisa na nusu,

NUM 34:14 Removed trailing space in v~: kwa sababu jamaa ya kabila la Reubeni, kabila la Gadi, na nusu ya kabila la Manase wamekwishapokea urithi wao.

NUM 34:15 Removed trailing space in v~: Haya makabila mawili na nusu wamekwishapokea urithi wao upande wa mashariki wa Yordani ngʼambo ya Yeriko, kuelekea mawio ya jua.”

NUM 34:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

NUM 34:17 Removed trailing space in v~: “Haya ndiyo majina ya watu ambao watakusaidia kugawanya nchi kama urithi: Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni.

NUM 34:18 Removed trailing space in v~: Tena uteue kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia kuigawanya nchi.

NUM 34:19 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina yao:

NUM 34:19 Removed trailing space in p~: “Kalebu mwana wa Yefune,

NUM 34:19 Removed trailing space in p~: kutoka kabila la Yuda;

NUM 34:20 Removed trailing space in v~: Shemueli mwana wa Amihudi,

NUM 34:20 Removed trailing space in p~: kutoka kabila la Simeoni;

NUM 34:21 Removed trailing space in v~: Elidadi mwana wa Kisloni,

NUM 34:21 Removed trailing space in p~: kutoka kabila la Benyamini;

NUM 34:22 Removed trailing space in v~: Buki mwana wa Yogli,

NUM 34:22 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Dani;

NUM 34:23 Removed trailing space in v~: Hanieli mwana wa Efodi,

NUM 34:23 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Manase mwana wa Yosefu;

NUM 34:24 Removed trailing space in v~: Kemueli mwana wa Shiftani,

NUM 34:24 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yosefu;

NUM 34:25 Removed trailing space in v~: Elisafani mwana wa Parnaki,

NUM 34:25 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Zabuloni;

NUM 34:26 Removed trailing space in v~: Paltieli mwana wa Azani,

NUM 34:26 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Isakari;

NUM 34:27 Removed trailing space in v~: Ahihudi mwana wa Shelomi,

NUM 34:27 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Asheri;

NUM 34:28 Removed trailing space in v~: Pedaheli mwana wa Amihudi,

NUM 34:28 Removed trailing space in p~: kiongozi kutoka kabila la Naftali.”

NUM 34:29 Removed trailing space in v~: Hawa ndio watu ambao \nd Bwana\nd* aliamuru wagawanye urithi kwa Waisraeli katika nchi ya Kanaani.

NUM 35:0 Extra space after chapter number

NUM 35:0 Removed trailing space in c: 35

NUM 35:0 Removed trailing space in s1: Miji Kwa Ajili Ya Walawi

NUM 35:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose katika nchi tambarare ya Moabu, kando ya Mto Yordani kuvukia Yeriko,

NUM 35:2 Removed trailing space in v~: “Waagize Waisraeli kuwapa Walawi miji ya kuishi kutoka urithi ambao Waisraeli wataumiliki. Wape maeneo ya malisho kuzunguka hiyo miji.

NUM 35:3 Removed trailing space in v~: Kisha watakuwa na miji ya kuishi na maeneo ya malisho kwa ajili ya ngʼombe zao, mbuzi, kondoo na mifugo yao mingine yote.

NUM 35:4 Removed trailing space in v~: “Maeneo ya malisho kuzunguka miji hiyo ambayo mtawapa Walawi yataenea mita 450 kutoka kwenye ukuta wa miji.

NUM 35:5 Removed trailing space in v~: Nje ya mji, pima mita 900 upande wa mashariki, upande wa kusini mita 900, upande wa magharibi mita 900, na upande wa kaskazini mita 900, na mji utakuwa katikati. Eneo hili litakuwa lao kwa ajili ya malisho.

NUM 35:5 Removed trailing space in s1: Miji Ya Makimbilio

NUM 35:5 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 19:1-13; Yoshua 20:1-9)

NUM 35:6 Removed trailing space in v~: “Miji sita mtakayowapa Walawi itakuwa ya makimbilio, ambayo mtu anayemuua mwenzake aweza kukimbilia humo. Zaidi ya hiyo, wapeni miji mingine arobaini na miwili.

NUM 35:7 Removed trailing space in v~: Kwa jumla inawapasa kuwapa Walawi miji arobaini na minane, pamoja na maeneo ya malisho yao.

NUM 35:8 Removed trailing space in v~: Miji ambayo mtawapa Walawi kutoka nchi ambayo Waisraeli wanamiliki itatolewa kwa uwiano wa urithi wa kila kabila. Chukua miji mingi kutoka lile kabila lenye miji mingi, lakini uchukue miji michache kutoka kwa kabila lile lenye miji michache.”

NUM 35:9 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose:

NUM 35:10 Removed trailing space in v~: “Sema na Waisraeli, uwaambie: ‘Mtakapovuka Yordani kuingia Kanaani,

NUM 35:11 Removed trailing space in v~: chagueni baadhi ya miji iwe miji yenu ya makimbilio, ambayo mtu ambaye ameua mwenzake bila kukusudia aweza kukimbilia humo.

NUM 35:12 Removed trailing space in v~: Itakuwa mahali pa kukimbilia kutoka mlipiza kisasi, ili kwamba mtu aliyeshtakiwa kwa mauaji asife kabla ya kujitetea mbele ya mkutano.

NUM 35:13 Removed trailing space in v~: Miji hii sita mtakayoitoa itakuwa miji yenu ya makimbilio.

NUM 35:14 Removed trailing space in v~: Mtatoa miji mitatu ngʼambo hii ya Yordani na miji mingine mitatu upande wa Kanaani kama miji ya makimbilio.

NUM 35:15 Removed trailing space in v~: Miji hii sita itakuwa mahali pa makimbilio kwa ajili ya Waisraeli, wageni na watu wengine wanaoishi katikati yenu, ili kwamba mtu yeyote ambaye ameua mtu mwingine pasipo kukusudia aweze kukimbilia humo.

NUM 35:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Kama mtu akimpiga mwenzake kwa chuma naye mtu huyo akafa, mtu huyo ni muuaji; muuaji sharti atauawa.

NUM 35:17 Removed trailing space in v~: Au kama mtu analo jiwe mkononi mwake ambalo laweza kuua, naye akampiga mwenzake akafa, yeye ni muuaji; muuaji huyo sharti atauawa.

NUM 35:18 Removed trailing space in v~: Au kama mtu ana chombo cha mti mkononi mwake ambacho chaweza kuua, naye akampiga mwenzake akafa, yeye ni muuaji; muuaji huyo sharti atauawa.

NUM 35:19 Removed trailing space in v~: Mlipiza kisasi cha damu atamuua muuaji; wakati akikutana naye, atamuua.

NUM 35:20 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu ana chuki ya siku nyingi na mwenzake akamsukuma au akamtupia kitu kwa kukusudia naye akafa,

NUM 35:21 Removed trailing space in v~: au ikiwa katika uadui akampiga ngumi naye akafa, mtu yule sharti atauawa; yeye ni muuaji. Mlipiza kisasi cha damu atamuua muuaji atakapokutana naye.

NUM 35:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kama mtu akimsukuma mwenziwe ghafula pasipo chuki, au kumtupia kitu pasipo kukusudia,

NUM 35:23 Removed trailing space in v~: au, pasipo kumwona, akimwangushia jiwe ambalo laweza kumuua naye akafa, basi kwa kuwa hakuwa adui yake naye hakukusudia kumuumiza,

NUM 35:24 Removed trailing space in v~: kusanyiko lazima liamue kati yake na mlipiza kisasi wa damu kufuatana na sheria hizi.

NUM 35:25 Removed trailing space in v~: Kusanyiko ni lazima limlinde yule anayeshtakiwa kuua kutoka kwa mlipiza kisasi wa damu, na kumrudisha katika mji wa makimbilio alikokuwa amekimbilia. Lazima akae humo mpaka atakapokufa kuhani mkuu ambaye alikuwa amepakwa mafuta matakatifu.

NUM 35:26 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kama mshtakiwa atatoka nje ya mipaka ya mji wa makimbilio ambao amekimbilia,

NUM 35:27 Removed trailing space in v~: na mlipiza kisasi wa damu akamkuta nje ya mji, mlipiza kisasi wa damu anaweza kumuua mshtakiwa huyo bila kuwa na hatia ya kuua.

NUM 35:28 Removed trailing space in v~: Mshtakiwa lazima akae katika mji wake wa makimbilio mpaka atakapokufa kuhani mkuu; atarudi tu kwenye mali yake baada ya kifo cha kuhani mkuu.

NUM 35:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Hizi ndizo kanuni za sheria zitakazohitajiwa kwenu na katika vizazi vyenu vijavyo, popote mtakapoishi.

NUM 35:30 Removed trailing space in v~: “ ‘Yeyote anayeua mtu atauawa kama muuaji ikiwa tu kuna ushuhuda wa mashahidi. Lakini hakuna mtu atakayeuawa kwa ushuhuda wa shahidi mmoja tu.

NUM 35:31 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikubali fidia yoyote ya kuokoa uhai wa muuaji ambaye anastahili kufa. Mtu huyo hakika lazima auawe.

NUM 35:32 Removed trailing space in v~: “ ‘Usikubali fidia ya mtu yeyote ambaye amekimbilia katika mji wa makimbilio na kumruhusu kurudi kuishi katika nchi yake kabla ya kifo cha kuhani mkuu.

NUM 35:33 Removed trailing space in v~: “ ‘Msiinajisi nchi mnayoishi. Umwagaji damu hunajisi nchi, na upatanisho hauwezekani kufanyika katika nchi ambayo damu imemwagwa, isipokuwa tu kwa damu ya yule aliyeimwaga damu.

NUM 35:34 Removed trailing space in v~: Msiinajisi nchi mnayoishi, ambayo nami ninakaa, kwa kuwa Mimi, \nd Bwana\nd*, ninakaa katikati ya Waisraeli.’ ”

NUM 36:0 Extra space after chapter number

NUM 36:0 Removed trailing space in c: 36

NUM 36:0 Removed trailing space in s1: Urithi Wa Binti Za Selofehadi

NUM 36:1 Removed trailing space in v~: Viongozi wa jamaa ya ukoo wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase, waliokuwa wametoka katika koo za wazao wa Yosefu, walikuja na kuzungumza mbele ya Mose na viongozi, wakuu wa jamaa ya Waisraeli.

NUM 36:2 Removed trailing space in v~: Wakasema, “\nd Bwana\nd* alipomwamuru bwana wangu kuwapa Waisraeli nchi kama urithi kwa kura, alikuamuru kutoa urithi wa ndugu yetu Selofehadi kwa binti zake.

NUM 36:3 Removed trailing space in v~: Sasa ikiwa wataolewa na watu wa makabila mengine ya Kiisraeli, itakuwa kwamba urithi wao utaondolewa kutoka urithi wa mababu zetu na kuongezwa katika urithi wa kabila ambalo dada hao wameolewa. Kwa hiyo sehemu ya urithi tuliyogawiwa itachukuliwa kutoka kwetu.

NUM 36:4 Removed trailing space in v~: Wakati mwaka wa Yubile kwa Waisraeli utafika, urithi wao utaongezwa kwa lile kabila ambalo wameolewa, na mali yao itaondolewa kutoka urithi wa kabila la mababu zetu.”

NUM 36:5 Removed trailing space in v~: Ndipo kwa agizo la \nd Bwana\nd* Mose akatoa amri ifuatayo kwa Waisraeli: “Kile wazao wa kabila la Yosefu wanachosema ni kweli.

NUM 36:6 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* anavyoamuru kwa binti za Selofehadi: Wanaweza kuolewa na mtu yeyote wampendaye, mradi tu waolewe miongoni mwa koo za kabila za baba yao.

NUM 36:7 Removed trailing space in v~: Hakuna urithi katika Israeli utakaohamishwa kutoka kabila moja kwenda kabila jingine, kwa kuwa kila Mwisraeli atatunza ardhi ya kabila lake aliyoirithi kutoka kwa baba zake.

NUM 36:8 Removed trailing space in v~: Kila binti atakayerithi ardhi katika kabila lolote la Israeli ni lazima aolewe na mtu kutoka kabila na ukoo wa baba yake, ili kila Mwisraeli amiliki urithi wa baba zake.

NUM 36:9 Removed trailing space in v~: Hakuna urithi uwezao kuhamishwa kutoka kabila moja kwenda kabila jingine, kwa kuwa kila kabila la Israeli litatunza nchi linayorithi.”

NUM 36:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo binti za Selofehadi wakafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwamuru Mose.

NUM 36:11 Removed trailing space in v~: Binti za Selofehadi, ambao ni Mahla, Tirsa, Hogla, Milka na Noa, wakaolewa na waume, wana wa ndugu za baba yao.

NUM 36:12 Removed trailing space in v~: Waliolewa ndani ya koo za wazao wa Manase mwana wa Yosefu, na urithi wao ukabaki katika ukoo na kabila la baba yao.

NUM 36:13 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maagizo na masharti ambayo \nd Bwana\nd* aliwapa Waisraeli kupitia Mose katika tambarare za Moabu, karibu na Yordani ngʼambo ya Yeriko.

DEU -1:0 Removed trailing space in id: DEU - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

DEU -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

DEU -1:2 Removed trailing space in h: Kumbukumbu La Torati

DEU -1:3 Removed trailing space in toc1: Kumbukumbu La Torati

DEU -1:4 Removed trailing space in toc2: Kumbukumbu

DEU -1:5 Removed trailing space in toc3: Kum

DEU -1:6 Removed trailing space in mt1: Kumbukumbu La Torati

DEU 1:0 Extra space after chapter number

DEU 1:0 Removed trailing space in c: 1

DEU 1:0 Removed trailing space in s1: Amri Ya Kuondoka Mlima Horebu

DEU 1:1 Removed trailing space in v~: Haya ni maneno Mose aliyoyasema kwa Israeli yote jangwani mashariki ya Yordani, ambayo iko Araba, inayokabiliana na Sufu, kati ya Parani na Tofeli, Labani, Haserothi na Dizahabu.

DEU 1:2 Removed trailing space in v~: (Ni mwendo wa siku kumi na moja kutoka Horebu kwa njia ya Mlima Seiri mpaka Kadesh-Barnea.)

DEU 1:3 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa arobaini, siku ya kwanza ya mwezi wa kumi na moja, Mose aliwatangazia Waisraeli yale yote \nd Bwana\nd* aliyomwamuru kuwahusu.

DEU 1:4 Removed trailing space in v~: Hii ilikuwa baada ya kumshinda Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala Heshboni, na pia huko Edrei alikuwa amemshinda Ogu mfalme wa Bashani, ambaye alitawala huko Ashtarothi.

DEU 1:5 Removed trailing space in v~: Huko mashariki ya Yordani katika nchi ya Moabu, Mose alianza kuielezea sheria hii, akisema:

DEU 1:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wetu alisema nasi huko Horebu, “Mmekaa vya kutosha katika mlima huu.

DEU 1:7 Removed trailing space in v~: Vunjeni kambi, msonge mbele kuelekea nchi ya vilima ya Waamori; nendeni kwa watu wote ambao ni majirani wa Araba, katika milima, upande wa magharibi chini ya vilima, katika Negebu na kandokando ya pwani, mpaka nchi ya Wakanaani hadi Lebanoni, na kufika mto mkubwa Frati.

DEU 1:8 Removed trailing space in v~: Tazama, nimewapa ninyi nchi hii. Ingieni mkaimiliki nchi ambayo \nd Bwana\nd* aliapa kuwa angaliwapa baba zenu, Abrahamu, Isaki na Yakobo, pamoja na vizazi vyao baada yao.”

DEU 1:8 Removed trailing space in s1: Uteuzi Wa Viongozi

DEU 1:8 Removed trailing space in r: (Kutoka 18:13-27)

DEU 1:9 Removed trailing space in v~: Wakati ule niliwaambia, “Ninyi mmekuwa mzigo mzito sana kwangu kuwachukua peke yangu.

DEU 1:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu ameongeza hesabu yenu, hivi kwamba leo ninyi ni wengi kama nyota za angani.

DEU 1:11 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu na awaongeze mara elfu na kuwabariki kama alivyoahidi!

DEU 1:12 Removed trailing space in v~: Lakini mimi nitawezaje kubeba matatizo yenu, na mizigo yenu, na magomvi yenu peke yangu?

DEU 1:13 Removed trailing space in v~: Chagueni baadhi ya watu wenye hekima, wenye ufahamu na wanaoheshimika kutoka kila kabila lenu, nami nitawaweka juu yenu.”

DEU 1:14 Removed trailing space in v~: Mlinijibu, “Shauri ulilolitoa ni zuri.”

DEU 1:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo niliwachukua wanaume viongozi wa makabila yenu, wenye hekima na wanaoheshimika, nami nikawateua wawe na mamlaka juu yenu kama majemadari wa maelfu, wa mamia, wa hamsini, na wa makumi, na kama maafisa wa makabila.

DEU 1:16 Removed trailing space in v~: Nami wakati ule nikawaagiza waamuzi wenu: Sikilizeni magomvi kati ya ndugu zenu na mwamue kwa haki, hata kama shauri ni kati ya ndugu wa Kiisraeli, au kati ya mmoja wa ndugu wa Kiisraeli na mgeni.

DEU 1:17 Removed trailing space in v~: Msionyeshe upendeleo katika maamuzi; wasikilizeni wote sawasawa, wadogo kwa wakubwa. Msimwogope mtu yeyote, kwa kuwa hukumu ni ya Mungu. Mniletee mimi shauri lolote lililo gumu sana kwenu, nami nitalisikiliza.

DEU 1:18 Removed trailing space in v~: Nami wakati ule niliwaambia kila kitu ambacho mngefanya.

DEU 1:18 Removed trailing space in s1: Wapelelezi Wanatumwa

DEU 1:18 Removed trailing space in r: (Hesabu 13:1-33)

DEU 1:19 Removed trailing space in v~: Kisha, kama \nd Bwana\nd* Mungu wetu alivyotuamuru, tuliondoka kutoka Horebu na kwenda kuelekea nchi ya vilima ya Waamori, kupitia jangwa lile kubwa lote la kutisha, lile mliloliona, nasi tukafika Kadesh-Barnea.

DEU 1:20 Removed trailing space in v~: Kisha niliwaambia, “Mmefika katika nchi ya vilima ya Waamori, ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wetu anatupa.

DEU 1:21 Removed trailing space in v~: Tazama, \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa nchi. Pandeni mkaimiliki kama \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, alivyowaambia. Msiogope, wala msikate tamaa.”

DEU 1:22 Removed trailing space in v~: Ndipo ninyi nyote mkanijia na kusema, “Tupeleke watu watutangulie kuipeleleza nchi kwa ajili yetu, na kutuletea taarifa kuhusu njia tutakayopita, na miji tutakayoiendea.”

DEU 1:23 Removed trailing space in v~: Wazo hilo lilionekana zuri kwangu; kwa hiyo niliwachagua watu wenu kumi na wawili, mwanaume mmoja kutoka kila kabila.

DEU 1:24 Removed trailing space in v~: Waliondoka na kukwea katika nchi ya vilima, wakafika katika Bonde la Eshkoli na kuipeleleza.

DEU 1:25 Removed trailing space in v~: Wakachukua baadhi ya matunda ya nchi, wakatuletea na kutuarifu, “Ni nchi nzuri ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wetu anatupa.”

DEU 1:25 Removed trailing space in s1: Uasi Dhidi Ya \nd Bwana\nd*

DEU 1:25 Removed trailing space in r: (Hesabu 14:20-45)

DEU 1:26 Removed trailing space in v~: Lakini hamkuwa tayari kukwea, mkaasi dhidi ya amri ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 1:27 Removed trailing space in v~: Mkanungʼunika ndani ya mahema yenu na kusema, “\nd Bwana\nd* anatuchukia, kwa hiyo alitutoa Misri ili kututia mikononi mwa Waamori kutuangamiza.

DEU 1:28 Removed trailing space in v~: Twende wapi? Ndugu zetu wametufanya kufa moyo. Wanasema, ‘Watu wa huko wana nguvu zaidi na ni warefu kuliko sisi tulivyo; miji ni mikubwa, yenye kuta zilizofika juu angani. Zaidi ya hayo, tumewaona Waanaki huko.’ ”

DEU 1:29 Removed trailing space in v~: Ndipo nikawaambia, “Msihofu, wala msiwaogope.

DEU 1:30 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu anayewatangulia, atawapigania, kama alivyofanya kwa ajili yenu huko Misri, mbele ya macho yenu hasa,

DEU 1:31 Removed trailing space in v~: na pia huko jangwani. Huko mliona jinsi \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyowachukua, kama baba amchukuavyo mwanawe, katika njia yote mliyoiendea mpaka mkafika mahali hapa.”

DEU 1:32 Removed trailing space in v~: Pamoja na hili, hamkumtegemea \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

DEU 1:33 Removed trailing space in v~: ambaye aliwatangulia katika safari yenu, kwa moto usiku na kwa wingu mchana, kuwatafutia mahali penu pa kupiga kambi na kuwaonyesha njia mtakayoiendea.

DEU 1:34 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* aliposikia lile mlilosema, alikasirika, akaapa, akasema:

DEU 1:35 Removed trailing space in v~: “Hakuna mtu wa kizazi hiki kiovu atakayeona nchi nzuri niliyoapa kuwapa baba zenu,

DEU 1:36 Removed trailing space in v~: isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune. Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wazao wake nchi aliyoikanyaga kwa miguu, kwa sababu alimfuata \nd Bwana\nd* kwa moyo wote.”

DEU 1:37 Removed trailing space in v~: Kwa sababu yenu \nd Bwana\nd* pia alinikasirikia mimi, akasema, “Hutaingia hiyo nchi pia.

DEU 1:38 Removed trailing space in v~: Lakini msaidizi wako, Yoshua mwana wa Nuni, ataingia. Mtie moyo, kwa sababu atawaongoza Waisraeli kuirithi hiyo nchi.

DEU 1:39 Removed trailing space in v~: Wale watoto ambao mliwasema wangelichukuliwa mateka, yaani watoto wenu ambao bado hawajui jema na baya, wataingia katika nchi. Nitawapa hiyo nchi, nao wataimiliki.

DEU 1:40 Removed trailing space in v~: Bali ninyi geukeni, mwondoke kuelekea jangwani kwa kufuata njia ya Bahari ya Shamu.”

DEU 1:41 Removed trailing space in v~: Ndipo mkanijibu, “Tumemtenda \nd Bwana\nd* dhambi. Tutakwenda kupigana, kama \nd Bwana\nd* Mungu wetu alivyotuamuru.” Hivyo kila mmoja wenu akachukua silaha zake, huku mkifikiri kuwa ni rahisi kukwea katika nchi ya vilima.

DEU 1:42 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* aliniambia, “Waambie, ‘Msipande kupigana, kwa sababu sitakuwa pamoja nanyi. Mtashindwa na adui zenu.’ ”

DEU 1:43 Removed trailing space in v~: Hivyo niliwaambia, lakini hamkutaka kusikia. Mliasi dhidi ya amri ya \nd Bwana\nd*, na katika kiburi chenu mlienda katika nchi ya vilima.

DEU 1:44 Removed trailing space in v~: Waamori ambao waliishi katika vilima hivyo waliinuka dhidi yenu, wakawafukuza kama kundi la nyuki wakiwapiga njia yote ya Seiri mpaka Horma.

DEU 1:45 Removed trailing space in v~: Mlirudi na kulia mbele za \nd Bwana\nd*, lakini Mungu hakusikiliza kilio chenu, wala hakuwajali.

DEU 1:46 Removed trailing space in v~: Hivyo mlikaa Kadeshi kwa siku nyingi, kwa muda ule wote mliokaa huko.

DEU 2:0 Extra space after chapter number

DEU 2:0 Removed trailing space in c: 2

DEU 2:0 Removed trailing space in s1: Kutangatanga Jangwani

DEU 2:1 Removed trailing space in v~: Kisha tukageuka nyuma na kusafiri kuelekea jangwani kwa njia inayoelekea Bahari ya Shamu, kama \nd Bwana\nd* alivyonielekeza. Kwa muda mrefu tulitembea kuzunguka vilima katika nchi ya Seiri.

DEU 2:2 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia,

DEU 2:3 Removed trailing space in v~: “Umetembea kuzunguka hii nchi ya vilima kwa muda wa kutosha; sasa geukia kaskazini.

DEU 2:4 Removed trailing space in v~: Wape watu maagizo haya: ‘Mko karibu kupita katikati ya nchi ya ndugu zako ambao ni wazao wa Esau, ambao wanaishi Seiri. Watawaogopa, lakini mwe waangalifu.

DEU 2:5 Removed trailing space in v~: Msiwachokoze kwa vita kwa maana sitawapa ninyi sehemu yoyote ya nchi yao, hata sehemu ya kutosha kuweka wayo wenu juu yake. Nimempa Esau nchi ya vilima ya Seiri kama yake mwenyewe.

DEU 2:6 Removed trailing space in v~: Mtawalipa fedha kwa chakula mtakachokula na maji mtakayokunywa.’ ”

DEU 2:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewabariki kwa kazi yote ya mikono yenu. Amewalinda katika safari yenu katikati ya jangwa hili kubwa. Kwa miaka hii arobaini \nd Bwana\nd* Mungu wenu amekuwa pamoja nanyi, na hamkupungukiwa na kitu chochote.

DEU 2:8 Removed trailing space in v~: Basi tulipita kwa ndugu zetu wazao wa Esau ambao wanaishi Seiri. Tuligeuka kutoka njia ya Araba ambayo inatokea Elathi na Esion-Geberi, tukasafiri kufuata njia ya jangwa la Moabu.

DEU 2:9 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia, “Usiwasumbue Wamoabu kwa vita, kwa kuwa sitawapa sehemu yoyote ya nchi yao. Nimetoa nchi ya Ari kwa wazao wa Loti kama milki yao.”

DEU 2:10 Removed trailing space in v~: (Waemi walikuwa wakiishi huko hapo zamani, watu wenye nguvu na wengi, warefu kama Waanaki.

DEU 2:11 Removed trailing space in v~: Kama walivyokuwa Waanaki, hao pia walikuwa kama Warefai, lakini Wamoabu waliwaita Waemi.

DEU 2:12 Removed trailing space in v~: Wahori waliishi Seiri, lakini wazao wa Esau waliwafukuza. Waliwaangamiza Wahori na kukaa mahali pao, kama Waisraeli walivyofanya katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* aliwapa kama milki yao.)

DEU 2:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Sasa ondokeni mvuke Bonde la Zeredi.” Hivyo tukavuka bonde.

DEU 2:14 Removed trailing space in v~: Miaka thelathini na minane ilipita tangu wakati tulipoondoka Kadesh-Barnea mpaka tulipovuka Bonde la Zeredi. Kwa wakati huo kile kizazi chote cha wanaume kuanzia wale wawezao kwenda vitani kilikuwa kimekufa, kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa amewaapia.

DEU 2:15 Removed trailing space in v~: Mkono wa \nd Bwana\nd* uliwakabili hadi alipowaangamiza wote huko kambini.

DEU 2:16 Removed trailing space in v~: Ikawa baada ya mtu wa mwisho kuanzia wale wawezao kwenda vitani kufa,

DEU 2:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia,

DEU 2:18 Removed trailing space in v~: “Leo utapita katika nchi ya Moabu huko Ari.

DEU 2:19 Removed trailing space in v~: Utakapokuja kwa Waamoni, msiwasumbue wala kuwachokoza kwa vita, kwa kuwa sitawapa ardhi yoyote iliyo ya Waamoni kuwa milki yenu. Nimeitoa kama milki ya wazao wa Loti.”

DEU 2:20 Removed trailing space in v~: (Hiyo pia ilidhaniwa kuwa nchi ya Warefai waliokuwa wakiishi huko, lakini Waamoni waliwaita Wazamzumi.

DEU 2:21 Removed trailing space in v~: Walikuwa watu wenye nguvu na wengi, warefu kama Waanaki. \nd Bwana\nd* akawaangamiza kutoka mbele ya Waamoni, ambao waliwafukuza na kukaa mahali pao.

DEU 2:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa amefanya vivyo hivyo kwa wazao wa Esau, ambao waliishi Seiri, wakati alipowaangamiza Wahori watoke mbele yao. Waliwafukuza na wao wakaishi mahali pao mpaka leo.

DEU 2:23 Removed trailing space in v~: Nao Waavi ambao waliishi katika vijiji mpaka Gaza, Wakaftori waliokuja kutoka Kaftori waliwaangamiza na kukaa mahali pao.)

DEU 2:24 Removed trailing space in v~: “Ondoka sasa na uvuke Bonde la Arnoni. Tazama, nimemweka mikononi mwako Sihoni Mwamori, mfalme wa Heshboni na nchi yake. Anza kuimiliki nchi hiyo na umwingize katika vita.

DEU 2:25 Removed trailing space in v~: Siku hii ya leo nitaanza kuwatia hofu na woga mataifa yote chini ya mbingu wawaogope ninyi. Watakaposikia taarifa zenu, watatetemeka na kufadhaika kwa sababu yenu.”

DEU 2:25 Removed trailing space in s1: Kushindwa Kwa Sihoni Mfalme Wa Heshboni

DEU 2:25 Removed trailing space in r: (Hesabu 21:21-30)

DEU 2:26 Removed trailing space in v~: Kutoka jangwa la Kedemothi nilituma wajumbe wenye maneno ya amani kwa Sihoni mfalme wa Heshboni kusema,

DEU 2:27 Removed trailing space in v~: “Turuhusu tupite katika nchi yako. Tutapita katika barabara kuu, hatutageuka kuume wala kushoto.

DEU 2:28 Removed trailing space in v~: Tuuzie chakula tule na maji tunywe kwa thamani yake katika fedha. Turuhusu tu tupite kwa miguu,

DEU 2:29 Removed trailing space in v~: kama wazao wa Esau ambao wanaishi Seiri na Wamoabu ambao wanaishi Ari walivyotufanyia, mpaka tuvuke Yordani kuingia nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wetu anatupatia.”

DEU 2:30 Removed trailing space in v~: Lakini Sihoni mfalme wa Heshboni alikataa kuturuhusu kupita. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wako alikuwa ameifanya roho yake kuwa ngumu na moyo wake kuwa mkaidi ili amweke kwenye mikono yenu, kama alivyofanya sasa.

DEU 2:31 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Tazama, nimeanza kuwapa Mfalme Sihoni na nchi yake kwako. Sasa anzeni kuishinda na kuimiliki nchi yake.”

DEU 2:32 Removed trailing space in v~: Wakati Sihoni pamoja na jeshi lake lote walipokuja kukutana nasi katika vita huko Yahazi,

DEU 2:33 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wetu alimweka mikononi mwetu, nasi tukamwangamiza pamoja na wanawe na jeshi lake lote.

DEU 2:34 Removed trailing space in v~: Kwa wakati ule tuliteka miji yake yote na kuiangamiza kabisa: wanaume, wanawake na watoto. Hatukumwacha yeyote.

DEU 2:35 Removed trailing space in v~: Lakini mifugo na nyara tulizoziteka kutoka ile miji tulijichukulia wenyewe.

DEU 2:36 Removed trailing space in v~: Kutoka Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kutoka mji ulio ndani ya bonde, hata mpaka Gileadi, hapakuwa na mji hata mmoja uliokuwa na nguvu kutushinda. \nd Bwana\nd* Mungu wetu alitupa yote.

DEU 2:37 Removed trailing space in v~: Lakini kulingana na amri ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu, hamkujiingiza katika nchi yoyote ya Waamoni, wala katika sehemu yoyote iliyo kandokando ya Mto Yaboki, wala katika miji iliyoko katika vilima.

DEU 3:0 Extra space after chapter number

DEU 3:0 Removed trailing space in c: 3

DEU 3:0 Removed trailing space in s1: Kushindwa Kwa Ogu Mfalme Wa Bashani

DEU 3:0 Removed trailing space in r: (Hesabu 21:31-35)

DEU 3:1 Removed trailing space in v~: Kisha tukageuka tukakwea kufuata njia iliyoelekea Bashani, Ogu mfalme wa Bashani akaondoka na jeshi lake lote kupigana na sisi huko Edrei.

DEU 3:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Usimwogope kwa kuwa nimekwisha mkabidhi mikononi mwako pamoja na jeshi lake lote na nchi yake. Umfanyie sawasawa na ulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.”

DEU 3:3 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* Mungu wetu pia akamweka Ogu mfalme wa Bashani pamoja na jeshi lake lote mikononi mwetu. Tuliwaangamiza wote, hakubakia hata mmoja.

DEU 3:4 Removed trailing space in v~: Wakati huo tuliteka miji yake yote. Hakuna mji hata mmoja kati ya ile sitini ambao hatukuuteka, yaani eneo lote la Argobu, utawala wa Mfalme Ogu katika Bashani.

DEU 3:5 Removed trailing space in v~: Miji yote hii ilijengewa ngome zenye kuta ndefu zenye malango na makomeo, pia kulikuwako na vijiji vingi ambavyo havikujengewa kuta.

DEU 3:6 Removed trailing space in v~: Tuliwaangamiza kabisa, kama tulivyomfanyia Sihoni mfalme wa Heshboni, tukiangamiza kila mji, yaani wanaume, wanawake na watoto.

DEU 3:7 Removed trailing space in v~: Lakini wanyama wote wa kufuga pamoja na nyara kutoka kwenye miji yao tulichukua vikawa vyetu.

DEU 3:8 Removed trailing space in v~: Hivyo kwa wakati huo tukachukua kutoka kwa wafalme hawa wawili wa Waamori nchi ya mashariki ya Yordani, kutoka Bonde la Arnoni mpaka kufika kwenye Mlima Hermoni.

DEU 3:9 Removed trailing space in v~: (Wasidoni huuita mlima huo Sirioni, nao Waamori huuita Seniri.)

DEU 3:10 Removed trailing space in v~: Tuliteka miji yote kwenye uwanda wa juu, Gileadi yote, Bashani yote mpaka kufika Saleka na Edrei, miji ya utawala wa Ogu huko Bashani.

DEU 3:11 Removed trailing space in v~: (Mfalme Ogu wa Bashani ndiye peke yake aliyesalia miongoni mwa mabaki ya Warefai. Kitanda chake kilikuwa cha chuma chenye urefu wa dhiraa tisa\f + \fr 3:11 \ft Dhiraa tisa ni sawa na mita 4.\f* na upana wa dhiraa nne.\f + \fr 3:11 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.\f* Mpaka sasa kinaweza kuonekana katika mji wa Waamoni wa Raba.)

DEU 3:11 Removed trailing space in s1: Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Ya Yordani

DEU 3:11 Removed trailing space in r: (Hesabu 32:1-42)

DEU 3:12 Removed trailing space in v~: Katika nchi tuliyoiteka wakati ule, niliwapa kabila la Reubeni na Gadi eneo lililoko kaskazini la Aroeri kando ya Bonde la Arnoni, na nusu ya eneo la milima ya Gileadi, pamoja na miji yake.

DEU 3:13 Removed trailing space in v~: Kisha nusu ya kabila la Manase niliwapa sehemu ya Gileadi iliyobaki pamoja na Bashani yote, ambayo ilikuwa utawala wa Ogu. (Eneo lote la Argobu katika Bashani lilikuwa linajulikana kama nchi ya Warefai.

DEU 3:14 Removed trailing space in v~: Yairi, mzao wa kabila la Manase, alichukua eneo lote la nchi ya Argobu hadi kufikia mpaka wa Wageshuri na Wamaaka, ukaitwa kwa jina lake; kwa hiyo mpaka leo hii Bashani inaitwa Hawoth-Yairi.)

DEU 3:15 Removed trailing space in v~: Nikampa Makiri nchi ya Gileadi.

DEU 3:16 Removed trailing space in v~: Lakini niliwapa Wareubeni na Wagadi eneo kuanzia Gileadi hadi Bonde la Arnoni (katikati ya bonde ulikuwa ndio mpaka), kuelekea mpaka Mto Yaboki, ambao ndio mpaka wa Waamoni.

DEU 3:17 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa magharibi mpaka wao ulikuwa Yordani katika Araba, toka ziwa Galilaya hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), kwenye miteremko ya Pisga upande wa mashariki.

DEU 3:18 Removed trailing space in v~: Wakati huo nilikuamuru: “\nd Bwana\nd* Mungu wako amekupa nchi hii uimiliki. Lakini ni lazima wanaume wenu wote wenye uwezo, wakiwa wamejiandaa tayari kwa vita, wavuke ngʼambo wakiwatangulia ndugu zako Waisraeli.

DEU 3:19 Removed trailing space in v~: Lakini wake zenu, watoto wenu na mifugo yenu (kwani najua mnayo mifugo mingi) wanaweza kukaa katika miji niliyowapa,

DEU 3:20 Removed trailing space in v~: mpaka hapo \nd Bwana\nd* atakapowapa ndugu zenu kupumzika kama alivyowapa ninyi, wao pia wamiliki ile nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa, ngʼambo ya Yordani. Baada ya hapo, kila mmoja wenu anaweza kurudi kwenye milki niliyowapa.”

DEU 3:20 Removed trailing space in s1: Mose Akatazwa Kuvuka Yordani

DEU 3:21 Removed trailing space in v~: Wakati huo nilimwamuru Yoshua, “Umejionea kwa macho yako mwenyewe yale yote ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewafanyia wafalme hawa wawili. \nd Bwana\nd* atazifanyia falme zote huko mnakokwenda vivyo hivyo.

DEU 3:22 Removed trailing space in v~: Msiwaogope, \nd Bwana\nd* Mungu wenu atapigana kwa ajili yenu.”

DEU 3:23 Removed trailing space in v~: Wakati huo nilimsihi \nd Bwana\nd*:

DEU 3:24 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, umemwonyesha mtumishi wako ukuu wako na mkono wako wenye uweza. Kwa kuwa ni mungu yupi aliye mbinguni au duniani anayeweza kufanya kazi na matendo makuu kama ufanyayo wewe?

DEU 3:25 Removed trailing space in v~: Acha niende nikaione hiyo nchi nzuri ngʼambo ya Yordani, ile nchi nzuri ya vilima na Lebanoni.”

DEU 3:26 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu yenu \nd Bwana\nd* alinikasirikia na hakutaka kunisikiliza. \nd Bwana\nd* aliniambia, “Hilo latosha; usiseme nami jambo hili tena.

DEU 3:27 Removed trailing space in v~: Kwea juu ya kilele cha Pisga uangalie magharibi, kaskazini, kusini na mashariki. Iangalie hiyo nchi kwa macho yako, kwa vile wewe hutavuka Yordani.

DEU 3:28 Removed trailing space in v~: Lakini mwagize Yoshua, mtie moyo na umtie nguvu, kwa kuwa yeye atawaongoza watu hawa hadi ngʼambo na kuwarithisha nchi utakayoiona.”

DEU 3:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tulikaa kwenye bonde karibu na Beth-Peori.

DEU 4:0 Extra space after chapter number

DEU 4:0 Removed trailing space in c: 4

DEU 4:0 Removed trailing space in s1: Waamriwa Utii

DEU 4:1 Removed trailing space in v~: Sikia sasa, ee Israeli, amri na sheria nitakazokufundisha wewe. Zifuate ili upate kuishi na uingie kuimiliki nchi ambayo \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zako anawapa.

DEU 4:2 Removed trailing space in v~: Usiongeze wala usipunguze chochote ninachowaamuru ninyi, ila myashike maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu ambayo nawapa.

DEU 4:3 Removed trailing space in v~: Mliona kwa macho yenu wenyewe kile \nd Bwana\nd* alichokifanya kule Baal-Peori. \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliwaangamiza kutoka miongoni mwenu kila mmoja aliyemfuata Baali wa Peori,

DEU 4:4 Removed trailing space in v~: lakini ninyi nyote mlioshikamana na \nd Bwana\nd* kwa uthabiti, Mungu wenu, mko hai mpaka leo.

DEU 4:5 Removed trailing space in v~: Tazama, nimewafundisha amri na sheria kama \nd Bwana\nd* Mungu wangu alivyoniamuru mimi, ili mzifuate katika nchi mnayoiingia kuimiliki.

DEU 4:6 Removed trailing space in v~: Zishikeni kwa uangalifu, kwa kuwa hii itaonyesha hekima na ufahamu wenu kwa mataifa, ambayo yatasikia kuhusu amri zote hizi, nao watasema, “Hakika taifa hili kubwa ni watu wenye hekima na ufahamu.”

DEU 4:7 Removed trailing space in v~: Ni taifa gani jingine lililo kubwa kiasi cha kuwa na miungu yao iliyo karibu nao kama \nd Bwana\nd* Mungu wetu alivyo karibu nasi wakati wowote tunapomwomba?

DEU 4:8 Removed trailing space in v~: Nalo ni taifa gani jingine lililo kubwa hivi lenye kuwa na amri na sheria za haki kama hizi ninazoweka mbele yenu leo?

DEU 4:9 Removed trailing space in v~: Mwe waangalifu, na makini ili msije mkasahau mambo ambayo mliyaona kwa macho yenu, wala kuyaacha yaondoke moyoni mwenu siku zote za uhai wenu. Mwafundishe hayo watoto wenu na watoto wao baada yao.

DEU 4:10 Removed trailing space in v~: Kumbuka siku uliyosimama mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wako kule Horebu, wakati aliponiambia, “Wakutanishe watu mbele yangu wasikie maneno yangu ili kwamba waweze kujifunza kuniheshimu kwa muda wote watakaoishi katika nchi, nao waweze kuwafundisha watoto wao maneno hayo.”

DEU 4:11 Removed trailing space in v~: Mlisogea karibu na mkasimama chini ya mlima wakati ulipowaka moto mpaka mbinguni juu, pamoja na mawingu meusi na giza nene.

DEU 4:12 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* alipozungumza nanyi kutoka moto. Mkasikia sauti ya maneno lakini hamkuona umbo, kulikuwa na sauti tu.

DEU 4:13 Removed trailing space in v~: Aliwatangazia Agano lake na Amri Kumi, ambazo aliwaamuru mzifuate, kisha akaziandika juu ya vibao viwili vya mawe.

DEU 4:14 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* alinielekeza wakati huo kuwafundisha ninyi sheria na amri ambazo mnapaswa kuzifuata katika nchi ambayo mnavuka Yordani kuimiliki.

DEU 4:14 Removed trailing space in s1: Kuabudu Sanamu Kwakatazwa

DEU 4:15 Removed trailing space in v~: Hamkuona umbo la aina yoyote siku ambayo \nd Bwana\nd* alizungumza nanyi kule Horebu kutoka kwenye moto. Kwa hiyo mjihadhari kwa uangalifu sana,

DEU 4:16 Removed trailing space in v~: ili msije mkajichafua na kujitengenezea sanamu au kinyago chenye umbo lolote kama la mwanaume au mwanamke,

DEU 4:17 Removed trailing space in v~: au kama mnyama aliye juu ya nchi au ndege yeyote arukaye angani,

DEU 4:18 Removed trailing space in v~: au kama kiumbe kitambaacho juu ya ardhi au samaki yeyote aliye ndani ya maji.

DEU 4:19 Removed trailing space in v~: Na utazamapo juu angani na ukaliona jua, mwezi na nyota na vyote vinavyoipamba mbingu, usije ukashawishiwa kuviinamia na kuviabudu vile ambavyo \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyogawia mataifa yote chini ya mbingu.

DEU 4:20 Removed trailing space in v~: Lakini kwenu ninyi, \nd Bwana\nd* amewatoa kutoka kwenye tanuru ya kuyeyushia chuma, katika Misri kuwa watu wa urithi wake kama mlivyo sasa.

DEU 4:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alinikasirikia kwa sababu yenu na akaapa kwamba sitavuka Yordani kuingia katika nchi nzuri \nd Bwana\nd* Mungu wenu anayowapa kuwa urithi wenu.

DEU 4:22 Removed trailing space in v~: Nitakufa katika nchi hii; sitavuka Yordani, lakini ninyi ni karibu mvuke mkaimiliki ile nchi nzuri.

DEU 4:23 Removed trailing space in v~: Jihadharini msilisahau Agano la \nd Bwana\nd* Mungu wenu lile alilofanya nanyi; msijitengenezee sanamu katika umbo la kitu chochote ambacho \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewakataza.

DEU 4:24 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu ni moto ulao, Mungu mwenye wivu.

DEU 4:25 Removed trailing space in v~: Baada ya kuwa na watoto na wajukuu na kuishi katika nchi hiyo siku nyingi, tena kama mkijichafua na kutengeneza sanamu ya aina yoyote, mkifanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kumfanya awe na hasira,

DEU 4:26 Removed trailing space in v~: ninaziita mbingu na nchi kama mashahidi dhidi yenu siku hii kwamba mtaangamia mara moja kutoka nchi ile ambayo mnavuka Yordani kuimiliki. Hamtaishi kule kwa muda mrefu bali kwa hakika mtaangamizwa.

DEU 4:27 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawatawanya miongoni mwa mataifa, na ni wachache wenu tu watakaosalia miongoni mwa mataifa hayo ambayo \nd Bwana\nd* atawafukuzia.

DEU 4:28 Removed trailing space in v~: Huko mtaabudu miungu ya miti na mawe iliyotengenezwa na watu, ambayo haiwezi kuona au kusikia wala kula au kunusa.

DEU 4:29 Removed trailing space in v~: Lakini kama mtamtafuta \nd Bwana\nd* Mungu wenu, mtampata; kama mtamtafuta kwa moyo wenu wote na kwa roho yote.

DEU 4:30 Removed trailing space in v~: Wakati mnapokuwa katika dhiki, nayo mambo haya yote yamewatokea siku hizo, ndipo mtamrudia \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kumtii.

DEU 4:31 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wenu ni Mungu mwenye huruma, hatawaacha au kuwaangamiza wala kusahau Agano alilofanya na baba zenu, alilowathibitishia kwa kiapo.

DEU 4:31 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Ndiye Mungu

DEU 4:32 Removed trailing space in v~: Sasa uliza kuhusu siku za zamani, zamani kabla ya wakati wako, tangu siku ile Mungu alipomuumba mtu juu ya nchi, uliza kutoka mwisho mmoja wa mbingu mpaka mwisho mwingine wa mbingu. Je, kumepata kutokea jambo jingine lililo kubwa kama hili, au kuna jambo jingine kama hilo limepata kusikiwa?

DEU 4:33 Removed trailing space in v~: Je, kuna watu wengine wowote waliosikia sauti ya Mungu ikizungumza kwenye moto, kama mlivyosikia, nao wakaishi?

DEU 4:34 Removed trailing space in v~: Je, kuna mungu yeyote amepata kujaribu mwenyewe kuchukua taifa moja kutoka taifa lingine, kwa mapigo, kwa ishara za miujiza na maajabu, kwa vita, kwa mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa au kwa matendo makuu ya kutisha, kama yale ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliyofanya kwa ajili yenu huko Misri mbele ya macho yenu?

DEU 4:35 Removed trailing space in v~: Mlionyeshwa mambo haya ili mpate kujua kuwa \nd Bwana\nd* ndiye Mungu; hakuna mwingine ila yeye.

DEU 4:36 Removed trailing space in v~: Kutoka mbinguni amewasikizisha sauti yake ili kuwaadilisha. Hapa duniani aliwaonyesha moto wake mkubwa, nanyi mlisikia maneno yake kutoka kwenye ule moto.

DEU 4:37 Removed trailing space in v~: Kwa sababu aliwapenda baba zenu na alichagua wazao wao baada yao, aliwatoa katika nchi ya Misri kwa Uwepo wake na kwa uwezo wake mkuu,

DEU 4:38 Removed trailing space in v~: aliwafukuza mbele yenu mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi na kuwaleta ninyi katika nchi yao na akawapa ninyi kuwa urithi wenu, kama ilivyo leo.

DEU 4:39 Removed trailing space in v~: Kubalini na mweke moyoni leo kuwa \nd Bwana\nd* ndiye Mungu mbinguni juu na duniani chini. Hakuna mwingine.

DEU 4:40 Removed trailing space in v~: Mshike amri na maagizo yake ninayowapa leo, ili mpate kufanikiwa ninyi na watoto wenu baada yenu, na mpate kuishi maisha marefu katika nchi awapayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu siku zote.

DEU 4:40 Removed trailing space in s1: Miji Ya Makimbilio

DEU 4:41 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akatenga miji mitatu mashariki ya Yordani,

DEU 4:42 Removed trailing space in v~: ambayo mtu yeyote aliyemuua mtu angeweza kukimbilia ikiwa amemuua jirani yake bila kukusudia na bila kuwa na chuki naye siku zilizopita. Angeweza kukimbilia katika mmojawapo ya miji hii na kuokoa maisha yake.

DEU 4:43 Removed trailing space in v~: Miji hiyo ilikuwa: Bezeri katika tambarare ya jangwa kwa ajili ya Wareubeni; Ramothi katika nchi ya Gileadi kwa ajili ya Wagadi; nao mji wa Golani katika nchi ya Bashani kwa ajili ya Wamanase.

DEU 4:43 Removed trailing space in s1: Utangulizi Wa Sheria

DEU 4:44 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sheria Mose aliyoweka mbele ya Waisraeli.

DEU 4:45 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo masharti, amri na sheria Mose aliyowapa wana wa Israeli wakati walitoka Misri,

DEU 4:46 Removed trailing space in v~: nao walikuwa katika bonde karibu na Beth-Peori mashariki ya Yordani, katika nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala Heshboni, naye alishindwa na Mose na Waisraeli walipokuja toka Misri.

DEU 4:47 Removed trailing space in v~: Waliimiliki nchi yake na nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, wafalme wawili Waamori waliotawala mashariki ya Yordani.

DEU 4:48 Removed trailing space in v~: Nchi hii ilienea kutoka Aroeri ukingoni mwa Bonde la Arnoni mpaka Mlima Sioni (yaani Hermoni),

DEU 4:49 Removed trailing space in v~: pamoja na eneo lote la Araba mashariki ya Yordani, na kuenea mpaka Bahari ya Araba kwenye miteremko ya Pisga.

DEU 6:0 Extra space after chapter number

DEU 6:0 Removed trailing space in c: 6

DEU 6:0 Removed trailing space in s1: Mpende \nd Bwana\nd* Mungu Wako

DEU 6:1 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maagizo, amri na sheria ambazo \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliniagiza niwafundishe ninyi ili mpate kuyashika katika nchi ambayo ninyi mnavuka Yordani kuimiliki,

DEU 6:2 Removed trailing space in v~: ili kwamba ninyi, watoto wenu na watoto wao baada yao wamche \nd Bwana\nd* Mungu wenu siku zote kwa kushika amri na maagizo yake yote ninayowapa, ili mweze kuyafurahia maisha marefu.

DEU 6:3 Removed trailing space in v~: Sikia, ee Israeli, nawe uwe mwangalifu kutii ili upate kufanikiwa na kuongezeka sana katika nchi itiririkayo maziwa na asali, kama \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, alivyowaahidi ninyi.

DEU 6:4 Removed trailing space in v~: Sikia, ee Israeli: \nd Bwana\nd* Mungu wako, \nd Bwana\nd* ni mmoja.

DEU 6:5 Removed trailing space in v~: Mpende \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa nguvu zako zote.

DEU 6:6 Removed trailing space in v~: Amri hizi ninazokupa leo zitakuwa katika moyo wako.

DEU 6:7 Removed trailing space in v~: Wafundishe watoto wako kwa bidii. Nena kuhusu amri hizi uketipo nyumbani na wakati utembeapo njiani, ulalapo na uamkapo.

DEU 6:8 Removed trailing space in v~: Zifunge kama alama juu ya mkono wako, na uzifunge juu ya paji la uso wako.

DEU 6:9 Removed trailing space in v~: Ziandike kwenye miimo ya milango ya nyumba yako na juu ya malango yako.

DEU 6:10 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* Mungu wako atakapokuleta katika nchi aliyowaapia baba zako, Abrahamu, Isaki na Yakobo, kukupa wewe, nchi kubwa, ina miji inayopendeza ambayo hukuijenga,

DEU 6:11 Removed trailing space in v~: nyumba zilizojaa vitu vizuri vya aina nyingi ambavyo hukuvijaza, visima ambavyo hukuchimba, na mashamba ya mizabibu na mizeituni ambayo hukupanda wewe, basi, utakapokula na kushiba,

DEU 6:12 Removed trailing space in v~: jihadhari usije ukamwacha \nd Bwana\nd*, aliyekutoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.

DEU 6:13 Removed trailing space in v~: Utamcha \nd Bwana\nd* Mungu wako, na umtumikie yeye peke yake na kuapa kwa jina lake.

DEU 6:14 Removed trailing space in v~: Usifuate miungu mingine, miungu ya mataifa yanayokuzunguka;

DEU 6:15 Removed trailing space in v~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wako, ambaye yuko katikati yako, ni Mungu mwenye wivu na hasira yake itawaka dhidi yako, naye atakuangamiza kutoka uso wa nchi.

DEU 6:16 Removed trailing space in v~: Usimjaribu \nd Bwana\nd* Mungu wako kama ulivyofanya huko Masa.

DEU 6:17 Removed trailing space in v~: Utayashika maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa bidii, na masharti na amri alizokupa.

DEU 6:18 Removed trailing space in v~: Fanya lililo haki na jema mbele za \nd Bwana\nd*, ili upate kufanikiwa, uweze kuingia na kuimiliki nchi nzuri ambayo \nd Bwana\nd* aliahidi kwa kiapo kwa baba zako,

DEU 6:19 Removed trailing space in v~: kuwafukuza kwa nguvu adui zako mbele yako kama \nd Bwana\nd* alivyosema.

DEU 6:20 Removed trailing space in v~: Siku zijazo, mtoto wako atakapokuuliza, “Ni nini maana ya masharti haya, amri na sheria hizi ambazo \nd Bwana\nd* Mungu wako alikuagiza wewe?”

DEU 6:21 Removed trailing space in v~: Mwambie: “Tulikuwa watumwa wa Farao huko Misri, lakini \nd Bwana\nd* alitutoa sisi kutoka Misri kwa mkono wenye nguvu.

DEU 6:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akapeleka mbele yetu ishara za miujiza na maajabu makubwa na ya kutisha mno juu ya Misri na Farao pamoja na nyumba yake yote.

DEU 6:23 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu akatutoa huko, akatuleta na kutupa nchi hii ambayo aliwaahidi baba zetu kwa kiapo.

DEU 6:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akatuagiza tutii amri hizi zote na kumcha \nd Bwana\nd* Mungu wetu, ili tupate kustawi na kuendelea kuwa hai kama ilivyo leo.

DEU 6:25 Removed trailing space in v~: Kama tukizitii kwa bidii amri hizi zote mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wetu, kama alivyotuamuru sisi, hiyo itakuwa haki yetu.”

DEU 7:0 Extra space after chapter number

DEU 7:0 Removed trailing space in c: 7

DEU 7:0 Removed trailing space in s1: Kuyafukuza Mataifa

DEU 7:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 34:11-16)

DEU 7:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wako akuletapo katika nchi unayoingia kuimiliki, na awafukuzapo mbele yako mataifa mengi, yaani Wahiti, Wagirgashi, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi, mataifa saba makubwa tena yenye nguvu kuliko wewe,

DEU 7:2 Removed trailing space in v~: pia \nd Bwana\nd* Mungu wako atakapowatia mkononi mwako na ukawashinda, basi ni lazima uwaangamize wote kabisa. Usifanye agano nao, wala usiwahurumie.

DEU 7:3 Removed trailing space in v~: Usioane nao. Usimtoe binti yako kuolewa na mwanawe, au kumchukua binti yake aolewe na mwanao.

DEU 7:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana watamgeuza mwanao aache kunifuata, ili aitumikia miungu mingine, nayo hasira ya \nd Bwana\nd* itawaka dhidi yako, naye atakuangamiza ghafula.

DEU 7:5 Removed trailing space in v~: Hili ndilo utakalowafanyia: Vunja madhabahu yao, vunja mawe yao ya kuabudia, katakata nguzo zao za Ashera na kuchoma sanamu zao kwa moto.

DEU 7:6 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wewe ni taifa takatifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wako. \nd Bwana\nd* Mungu wako amekuchagua wewe kutoka mataifa yote juu ya uso wa dunia kuwa watu wake, hazina yake ya thamani.

DEU 7:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hakuweka upendo wake juu yenu na kuwachagua kwa sababu mlikuwa wengi mno kuliko watu wengine, kwa maana ninyi ndio mliokuwa wachache sana kuliko mataifa yote.

DEU 7:8 Removed trailing space in v~: Lakini ni kwa sababu \nd Bwana\nd* aliwapenda ninyi na kutunza kiapo alichowaapia babu zenu kwamba atawatoa ninyi kwa mkono wenye nguvu na kuwakomboa kutoka nchi ya utumwa, kutoka nguvu za Farao mfalme wa Misri.

DEU 7:9 Removed trailing space in v~: Basi ujue kwamba \nd Bwana\nd* Mungu wako ndiye Mungu; ni Mungu mwaminifu, anayetunza Agano la upendo kwa maelfu ya vizazi vya wale wanaompenda na kuzishika amri zake.

DEU 7:10 Removed trailing space in v~: Lakini

DEU 7:10 Removed trailing space in p~: kwa wale wanaomchukia

DEU 7:10 Removed trailing space in p~: atawalipiza kwenye nyuso zao

DEU 7:10 Removed trailing space in p~: kwa maangamizi;

DEU 7:10 Removed trailing space in p~: hatachelewa kuwalipiza kwenye nyuso zao

DEU 7:10 Removed trailing space in p~: wale wamchukiao.

DEU 7:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kuweni waangalifu kufuata maagizo, amri na sheria ninazowapa leo.

DEU 7:11 Removed trailing space in s1: Baraka Za Utiifu

DEU 7:11 Removed trailing space in r: (Kumbukumbu 28:1-14)

DEU 7:12 Removed trailing space in v~: Kama mkizingatia sheria hizi na kuzifuata kwa uangalifu, basi \nd Bwana\nd* Mungu wenu atatunza Agano lake la upendo nanyi, kama alivyowaapia baba zenu.

DEU 7:13 Removed trailing space in v~: Atawapenda ninyi na kuwabariki na kuongeza idadi yenu. Atabariki uzao wa tumbo lenu, mazao ya nchi yenu, nafaka, divai mpya na mafuta, ndama za ngʼombe wa makundi yenu, na kondoo za makundi yenu katika nchi ile aliyoapa kuwapa baba zenu.

DEU 7:14 Removed trailing space in v~: Mtabarikiwa kuliko mataifa mengine yote, hakuna wanaume wala wanawake kwenu watakaokosa watoto, wala mifugo yenu haitakuwa tasa.

DEU 7:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawakinga na kila ugonjwa. Mungu hatatia juu yenu ugonjwa wowote mbaya mlioufahamu huko Misri, lakini atatia ugonjwa juu ya wale wote wanaokuchukia.

DEU 7:16 Removed trailing space in v~: Ni lazima mwangamize watu wote ambao \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawatia mikononi mwenu. Msiwatazame kwa kuwahurumia na msiitumikie miungu yao, kwa kuwa itakuwa mtego kwenu.

DEU 7:17 Removed trailing space in v~: Mnaweza kujiuliza wenyewe “Mataifa haya ni yenye nguvu kuliko sisi. Tutawezaje kuwafukuza?”

DEU 7:18 Removed trailing space in v~: Lakini msiwaogope. Kumbukeni vyema jinsi \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyofanya kwa Farao na kwa wote huko Misri.

DEU 7:19 Removed trailing space in v~: Mliona kwa macho yenu wenyewe majaribu makubwa, ishara za miujiza na maajabu, mkono wenye nguvu na ulionyooshwa, ambao kwa huo \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliwatoa mtoke Misri. \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawafanyia hivyo watu wote ambao mnawaogopa sasa.

DEU 7:20 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, \nd Bwana\nd* Mungu wenu atatuma manyigu miongoni mwao hadi yale mabaki watakaojificha waangamie.

DEU 7:21 Removed trailing space in v~: Msiingiwe na hofu kwa sababu yao, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ambaye yupo miongoni mwenu ni mkuu naye ni Mungu wa kutisha.

DEU 7:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawafukuza mataifa hayo mbele yenu kidogo kidogo. Hamtaruhusiwa kuwaondoa wote kwa mara moja, la sivyo wanyama mwitu wataongezeka na kuwa karibu nanyi.

DEU 7:23 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawatia watu hao mikononi mwenu, akiwatia katika kuchanganyikiwa kukubwa mpaka wawe wameangamizwa.

DEU 7:24 Removed trailing space in v~: Atawatia wafalme wao mikononi mwenu, nanyi mtayafuta majina yao chini ya mbingu. Hakuna hata mmoja atakayeweza kusimama dhidi yenu bali mtawaangamiza.

DEU 7:25 Removed trailing space in v~: Vinyago vya miungu yao mtavichoma moto. Msitamani fedha wala dhahabu iliyo juu yao, wala msizichukue kwa ajili yenu, la sivyo mtakuwa mmetekwa navyo. Kwa kuwa ni chukizo kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 7:26 Removed trailing space in v~: Msilete vitu vya machukizo katika nyumba zenu kwani ninyi, mtatengwa kama vitu hivyo kwa maangamizo. Ukichukie kabisa kitu hicho kwa kuwa kimetengwa kwa maangamizo.

DEU 8:0 Extra space after chapter number

DEU 8:0 Removed trailing space in c: 8

DEU 8:0 Removed trailing space in s1: Usimsahau \nd Bwana\nd*

DEU 8:1 Removed trailing space in v~: Uwe mwangalifu kufuata kila agizo ninalokupa wewe leo, ili mweze kuishi, kuongezeka na mweze kuingia mkamiliki nchi ambayo \nd Bwana\nd* aliahidi kwa kiapo kwa baba zenu.

DEU 8:2 Removed trailing space in v~: Kumbuka jinsi \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyowaongoza katika njia yote katika jangwa kwa miaka hii arobaini, kukunyenyekeza na kukujaribu ili ajue lililoko moyoni mwako, kwamba utayashika maagizo yake au la.

DEU 8:3 Removed trailing space in v~: Alikudhili na kukufanya uone njaa kisha akulishe kwa mana, ambayo wewe wala baba zako hamkuijua, awafundishe kuwa mwanadamu hataishi kwa mkate tu bali kwa kila neno litokalo katika kinywa cha \nd Bwana\nd*.

DEU 8:4 Removed trailing space in v~: Nguo zenu hazikuchakaa wala miguu yenu haikuvimba kwa miaka hii arobaini.

DEU 8:5 Removed trailing space in v~: Mjue basi ndani ya mioyo yenu kama mtu anavyomwadibisha mwanawe, ndivyo \nd Bwana\nd* Mungu wako atawaadibisha ninyi.

DEU 8:6 Removed trailing space in v~: Shikeni maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu mtembee katika njia zake na kumheshimu.

DEU 8:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawaleta katika nchi nzuri, nchi yenye vijito na mabwawa ya maji, yenye chemchemi zinazotiririka mabondeni na katika vilima;

DEU 8:8 Removed trailing space in v~: nchi yenye ngano na shayiri, mizabibu na mitini, mikomamanga, mafuta ya zeituni na asali;

DEU 8:9 Removed trailing space in v~: nchi ambayo chakula hakitapungua na hamtakosa chochote; nchi ambayo miamba yake ni chuma na mnaweza kuchimba shaba kutoka kwenye vilima.

DEU 8:10 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapokwisha kula na kushiba, msifuni \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa ajili ya nchi nzuri aliyowapa.

DEU 8:11 Removed trailing space in v~: Jihadharini msimsahau \nd Bwana\nd* Mungu wenu, mkashindwa kushika maagizo yake, sheria na amri zake ambazo ninawapa leo.

DEU 8:12 Removed trailing space in v~: Angalia wakati mtakapokuwa mmekula na kushiba, mkajenga nyumba nzuri na kukaa humo,

DEU 8:13 Removed trailing space in v~: na wakati makundi yenu ya ngʼombe na mbuzi na kondoo yatakapoongezeka na fedha na dhahabu yenu itakapoongezeka na vyote mlivyo navyo vitakapozidishwa,

DEU 8:14 Removed trailing space in v~: basi mioyo yenu isiwe na kiburi mkamsahau \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliyewatoa katika nchi ya Misri, kutoka nchi ya utumwa.

DEU 8:15 Removed trailing space in v~: Aliwaongoza kupitia jangwa lile kubwa na la kutisha, nchi ile ya kiu isiyo na maji, yenye nyoka wa sumu na nge. Aliwatolea maji kutoka kwenye mwamba mgumu.

DEU 8:16 Removed trailing space in v~: Aliwapa mana ya kula jangwani, kitu ambacho baba zenu hawakukijua, ili kuwanyenyekesha na kuwajaribu ninyi ili mwishoni apate kuwatendea mema.

DEU 8:17 Removed trailing space in v~: Mnaweza kusema, “Uwezo wangu na nguvu za mikono yangu ndizo zilizonipatia utajiri huu.”

DEU 8:18 Removed trailing space in v~: Lakini kumbukeni \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ndiye ambaye huwapa uwezo wa kupata utajiri, na hivyo kulithibitisha Agano lake, ambalo aliwaapia baba zenu, kama ilivyo leo.

DEU 8:19 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtamsahau \nd Bwana\nd* Mungu wenu, mkaifuata miungu mingine, mkaiabudu na kuisujudia, ninashuhudia dhidi yenu leo kwamba hakika mtaangamizwa.

DEU 8:20 Removed trailing space in v~: Kama mataifa \nd Bwana\nd* aliyoyaangamiza mbele yenu, ndivyo ninyi mtakavyoangamizwa kwa kutokumtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 9:0 Extra space after chapter number

DEU 9:0 Removed trailing space in c: 9

DEU 9:0 Removed trailing space in s1: Si Kwa Sababu Ya Haki Ya Waisraeli

DEU 9:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 32:1-35)

DEU 9:1 Removed trailing space in v~: Sikiliza, ee Israeli. Sasa mnakaribia kuvuka Yordani mwingie na kuwafukuza mataifa makubwa na yenye nguvu kuliko ninyi pamoja na miji mikubwa yenye kuta zilizofika juu angani.

DEU 9:2 Removed trailing space in v~: Watu ni wenye nguvu na warefu, ni wana wa Waanaki! Mnafahamu habari zao na mmesikia inavyosemekana: “Ni nani awezaye kusimama dhidi ya Waanaki?”

DEU 9:3 Removed trailing space in v~: Kuweni na hakika leo kwamba \nd Bwana\nd* Mungu wenu ndiye atakayetangulia kuvuka mbele yenu kama moto uteketezao. Atawaangamiza; atawatiisha mbele yenu. Nanyi mtawafukuza na kuwaangamiza mara moja, kama \nd Bwana\nd* alivyowaahidi.

DEU 9:4 Removed trailing space in v~: Baada ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu kuwafukuza mbele yenu, msiseme mioyoni mwenu, “\nd Bwana\nd* ametuleta hapa kuimiliki nchi hii kwa sababu ya haki yetu.” La, ni kwa sababu ya uovu wa mataifa haya ndiyo \nd Bwana\nd* anawafukuza mbele yenu.

DEU 9:5 Removed trailing space in v~: Si kwa sababu ya haki yenu wala uadilifu wenu kwamba mtaimiliki nchi yao; lakini kwa sababu ya uovu wa mataifa haya, \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawafukuza mbele yenu, ili kutimiza lile alilowaapia baba zenu Abrahamu, Isaki na Yakobo.

DEU 9:6 Removed trailing space in v~: Basi mjue, si kwa sababu ya haki yenu \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa nchi hii nzuri kuimiliki, kwa kuwa ninyi ni taifa lenye shingo ngumu.

DEU 9:6 Removed trailing space in s1: Ndama Ya Dhahabu

DEU 9:7 Removed trailing space in v~: Kumbukeni hili, kamwe msisahau jinsi mlivyomkasirisha \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa hasira huko jangwani. Tangu siku mlipotoka Misri mpaka mlipofika hapa, mmekuwa waasi dhidi ya \nd Bwana\nd*.

DEU 9:8 Removed trailing space in v~: Kule Horebu mliamsha ghadhabu ya \nd Bwana\nd*, kwa hiyo alikasirika vya kutosha hata akataka kuwaangamiza.

DEU 9:9 Removed trailing space in v~: Nilipopanda mlimani kupokea mbao za mawe, mbao za Agano lile \nd Bwana\nd* alilofanya nanyi, nilikaa mlimani siku arobaini usiku na mchana, sikula mkate wala sikunywa maji.

DEU 9:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alinipa mbao mbili za mawe zilizoandikwa kwa kidole cha Mungu. Juu ya mbao hizo kulikuwepo amri zote ambazo \nd Bwana\nd* aliwatangazia kule mlimani kwa njia ya moto, siku ya kusanyiko.

DEU 9:11 Removed trailing space in v~: Mwisho wa siku arobaini usiku na mchana, \nd Bwana\nd* alinipa mbao mbili za mawe, mbao za Agano.

DEU 9:12 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia, “Shuka chini mara moja, kwa sababu watu wako ambao umewatoa katika nchi ya Misri wamepotoka. Wamegeukia mbali haraka kutoka lile nililowaagiza, wamejitengenezea sanamu ya kusubu.”

DEU 9:13 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akaniambia, “Nimewaona watu hawa nao ni watu wenye shingo ngumu sana!

DEU 9:14 Removed trailing space in v~: Niache, ili nipate kuwaangamiza na kufuta jina lao kutoka chini ya mbingu. Nami nitakufanya kuwa taifa lenye nguvu zaidi na kuwa wengi kuliko wao.”

DEU 9:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo niligeuka na kuteremka kutoka mlimani kwani mlima ulikuwa ukiwaka moto. Pia vibao vile viwili vya Agano vilikuwa mikononi mwangu.

DEU 9:16 Removed trailing space in v~: Nilipotazama, niliona kuwa mmefanya dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu; mmejifanyia sanamu ya kusubu katika umbo la ndama. Mmegeuka upesi kutoka njia ile \nd Bwana\nd* aliyowaagiza.

DEU 9:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nilichukua vibao vile viwili nikavitupa na kuvipasua vipande vipande mbele ya macho yenu.

DEU 9:18 Removed trailing space in v~: Ndipo tena nikasujudu mbele za \nd Bwana\nd* kwa siku arobaini usiku na mchana. Sikula mkate wala sikunywa maji, kwa sababu ya dhambi yote mliyoifanya, mkifanya lile lililo ovu mbele za \nd Bwana\nd* na kumkasirisha.

DEU 9:19 Removed trailing space in v~: Niliogopa hasira na ghadhabu ya \nd Bwana\nd*, kwa kuwa aliwakasirikia vya kutosha na kutaka kuwaangamiza. Lakini \nd Bwana\nd* alinisikiliza tena.

DEU 9:20 Removed trailing space in v~: Bali yeye alimkasirikia Aroni kiasi cha kutaka kumwangamiza, nami wakati huo nilimwombea Aroni pia.

DEU 9:21 Removed trailing space in v~: Kisha nikachukua ile sanamu ya ndama mliyoitengeneza na kuichoma kwenye moto. Nikaiponda na kuisaga ikawa unga laini kama vumbi, nikatupa lile vumbi kwenye kijito kilichotiririka toka mlimani.

DEU 9:22 Removed trailing space in v~: Pia mlimkasirisha \nd Bwana\nd* huko Tabera, Masa na Kibroth-Hataava.

DEU 9:23 Removed trailing space in v~: Vilevile wakati \nd Bwana\nd* alipowatuma kutoka Kadesh-Barnea, alisema, “Kweeni, mkaimiliki nchi ambayo nimewapa.” Lakini mliasi dhidi ya agizo la \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Hamkumtegemea wala kumtii.

DEU 9:24 Removed trailing space in v~: Mmekuwa waasi dhidi ya \nd Bwana\nd* tangu nilipowajua ninyi.

DEU 9:25 Removed trailing space in v~: Nilianguka kifudifudi mbele za \nd Bwana\nd* kwa zile siku arobaini usiku na mchana kwa sababu \nd Bwana\nd* alikuwa amesema angewaangamiza ninyi.

DEU 9:26 Removed trailing space in v~: Nilimwomba \nd Bwana\nd* na kusema, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, usiangamize watu wako, urithi wako mwenyewe ule ulioukomboa kwa uweza wako mkuu na kuwatoa katika nchi ya Misri kwa mkono wenye nguvu.

DEU 9:27 Removed trailing space in v~: Wakumbuke watumishi wako Abrahamu, Isaki na Yakobo. Usiangalie ukaidi wa watu hawa, uovu wao wala dhambi yao.

DEU 9:28 Removed trailing space in v~: Watu wa nchi ile uliyotutoa sisi wasije wakasema, ‘Ni kwa sababu \nd Bwana\nd* hakuweza kuwachukua mpaka nchi aliyokuwa amewaahidia, kwa sababu aliwachukia, akawaleta ili aje kuwaua jangwani.’

DEU 9:29 Removed trailing space in v~: Bali wao ni watu wako, urithi wako ule ulioutoa Misri kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyooka.”

DEU 10:0 Extra space after chapter number

DEU 10:0 Removed trailing space in c: 10

DEU 10:0 Removed trailing space in s1: Vibao Vingine Vya Amri Kumi

DEU 10:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 34:1-10)

DEU 10:1 Removed trailing space in v~: Wakati ule \nd Bwana\nd* aliniambia, “Chonga vibao viwili vya mawe kama vile vya kwanza uje kwangu juu mlimani. Pia utengeneze Sanduku la mbao.

DEU 10:2 Removed trailing space in v~: Nitaandika juu ya vibao maneno yaliyokuwa katika vile vibao vya kwanza, ambavyo ulivivunja. Kisha utaviweka ndani ya Sanduku.”

DEU 10:3 Removed trailing space in v~: Hivyo nikatengeneza Sanduku kwa mti wa mshita, nikachonga pia vibao vya mawe kama vile vya kwanza, kisha nikakwea mlimani nikiwa na vibao viwili mikononi mwangu.

DEU 10:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaandika juu ya hivi vibao kile alichokuwa amekiandika kabla, Amri Kumi alizokuwa amewatangazia juu mlimani, kutoka kwenye moto siku ile ya kusanyiko. \nd Bwana\nd* akanikabidhi.

DEU 10:5 Removed trailing space in v~: Kisha nikashuka kutoka mlimani na kuweka vibao ndani ya Sanduku nililokuwa nimelitengeneza, kama \nd Bwana\nd* alivyoniagiza, navyo viko huko sasa.

DEU 10:6 Removed trailing space in v~: (Waisraeli walisafiri kutoka visima vya Yaakani hadi Mosera. Huko Aroni alifariki na kuzikwa, naye Eleazari mwanawe akachukua nafasi yake kama kuhani.

DEU 10:7 Removed trailing space in v~: Kutoka pale, walisafiri hadi Gudgoda wakaendelea mpaka Yotbatha, nchi yenye vijito vya maji.

DEU 10:8 Removed trailing space in v~: Wakati huo \nd Bwana\nd* aliteua kabila la Lawi kulibeba Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*, kusimama mbele za \nd Bwana\nd* ili kutoa huduma, na kutangaza baraka kwa Jina lake, kama wanavyofanya mpaka leo.

DEU 10:9 Removed trailing space in v~: Hiyo ndiyo sababu ya Walawi kutokuwa na sehemu wala urithi miongoni mwa ndugu zao; \nd Bwana\nd* ndiye urithi wao, kama \nd Bwana\nd* Mungu wao alivyowaambia.)

DEU 10:10 Removed trailing space in v~: Basi nilikaa mlimani kwa siku arobaini usiku na mchana, kama nilivyofanya mara ya kwanza, pia \nd Bwana\nd* alinisikiliza hata wakati huu. Haikuwa nia yake kuwaangamiza.

DEU 10:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Nenda, ukawaongoze watu katika njia yao ili kwamba waweze kuingia na kuimiliki nchi ile niliyowaapia baba zao kuwapa.”

DEU 10:11 Removed trailing space in s1: Mche \nd Bwana\nd*

DEU 10:12 Removed trailing space in v~: Na sasa, ee Israeli, \nd Bwana\nd* Mungu wako anataka nini kwako ila kumcha \nd Bwana\nd* Mungu wako, kwenda katika njia zake, kumpenda na kumtumikia \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote,

DEU 10:13 Removed trailing space in v~: na kuyashika maagizo ya \nd Bwana\nd* na amri zake ninazokupa leo kwa mafanikio yako mwenyewe?

DEU 10:14 Removed trailing space in v~: Mbingu, hata mbingu za juu sana, dunia na kila kitu kilichomo ndani yake, ni mali ya \nd Bwana\nd* Mungu wako.

DEU 10:15 Removed trailing space in v~: Hata hivyo \nd Bwana\nd* alikuwa na shauku na baba zako, akawapenda na akawachagua ninyi, wazao wao, kuliko mataifa yote, kama ilivyo leo.

DEU 10:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tahirini mioyo yenu, na msiwe na shingo ngumu tena.

DEU 10:17 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu ni Mungu wa miungu na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye uweza na wa kutisha, ambaye hana upendeleo na hapokei rushwa.

DEU 10:18 Removed trailing space in v~: Huwapigania yatima na wajane, humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.

DEU 10:19 Removed trailing space in v~: Nanyi wapendeni wageni, kwa kuwa ninyi wenyewe mlikuwa wageni huko Misri.

DEU 10:20 Removed trailing space in v~: Mche \nd Bwana\nd* Mungu wako na umtumikie yeye. Shikamana naye kwa uthabiti na kuapa kwa jina lake.

DEU 10:21 Removed trailing space in v~: Yeye ni sifa yako; yeye ni Mungu wako, ambaye alikutendea yale maajabu makubwa na ya kutisha uliyoyaona kwa macho yako mwenyewe.

DEU 10:22 Removed trailing space in v~: Baba zako walioshuka kwenda Misri jumla yao walikuwa sabini, na sasa \nd Bwana\nd* Mungu wako amekufanya wengi kama nyota za angani.

DEU 11:0 Extra space after chapter number

DEU 11:0 Removed trailing space in c: 11

DEU 11:0 Removed trailing space in s1: Mpende Na Umtii \nd Bwana\nd*

DEU 11:1 Removed trailing space in v~: Mpende \nd Bwana\nd* Mungu wako na kushika masharti yake, amri zake, sheria zake na maagizo yake siku zote.

DEU 11:2 Removed trailing space in v~: Kumbuka hivi leo kwamba sio watoto wako walioona na kujua adhabu ya \nd Bwana\nd* Mungu wako: utukufu wake, mkono wake wenye nguvu, mkono wake ulionyooshwa;

DEU 11:3 Removed trailing space in v~: ishara alizozifanya na mambo aliyoyafanya katikati ya Misri, kwa Farao mfalme wa Misri na kwa nchi yake yote;

DEU 11:4 Removed trailing space in v~: lile alilolifanyia jeshi la Wamisri, farasi na magari yake, jinsi alivyowafurikisha na maji ya Bahari ya Shamu walipokuwa wakiwafuatilia ninyi, na jinsi \nd Bwana\nd* alivyowaletea angamizo la kudumu juu yao.

DEU 11:5 Removed trailing space in v~: Sio watoto wenu walioyaona yale Mungu aliyowafanyia huko jangwani mpaka mkafika mahali hapa,

DEU 11:6 Removed trailing space in v~: wala lile Mungu alilowafanyia Dathani na Abiramu, wana wa Eliabu wa kabila la Reubeni, wakati ardhi ilipofungua kinywa chake katikati ya Israeli yote, ikawameza pamoja na walio nyumbani mwao, hema zao na kila kitu kilichokuwa hai ambacho kilikuwa mali yao.

DEU 11:7 Removed trailing space in v~: Bali ilikuwa ni macho yenu wenyewe ambayo yaliyaona mambo haya yote makuu \nd Bwana\nd* aliyoyatenda.

DEU 11:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo fuateni maagizo yote ninayowapa leo, ili mpate kuwa na nguvu za kuingia na kuiteka nchi ile ambayo mnavuka Yordani kuimiliki,

DEU 11:9 Removed trailing space in v~: ili mpate kuishi siku nyingi katika nchi ile ambayo \nd Bwana\nd* aliapa kuwapa baba zenu na wazao wao, nchi itiririkayo maziwa na asali.

DEU 11:10 Removed trailing space in v~: Nchi mnayoiingia kuimiliki haifanani na nchi ya Misri mlikotoka ambako mlipanda mbegu yenu na kuinywesha, kama bustani ya mboga.

DEU 11:11 Removed trailing space in v~: Lakini nchi mnayovuka Yordani kuimiliki ni nchi ya milima na mabonde inywayo mvua kutoka mbinguni.

DEU 11:12 Removed trailing space in v~: Ni nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anaitunza; macho ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu yanaitazama daima kutoka mwanzo wa mwaka hadi mwisho wa mwaka.

DEU 11:13 Removed trailing space in v~: Hivyo kama mkiyatii maagizo yangu ninayowapa leo kwa uaminifu, yaani kwa kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wenu, na kumtumikia kwa moyo wako wote na kwa roho yenu yote,

DEU 11:14 Removed trailing space in v~: ndipo atawanyweshea mvua katika nchi yenu kwa majira yake, mvua ya masika na ya vuli, ili mpate kuvuna nafaka zenu, divai mpya na mafuta.

DEU 11:15 Removed trailing space in v~: Nitawapa majani kwa ajili ya ngʼombe wenu, nanyi mtakula na kushiba.

DEU 11:16 Removed trailing space in v~: Jihadharini, la sivyo mtashawishika kugeuka na kuabudu miungu mingine na kuisujudia.

DEU 11:17 Removed trailing space in v~: Ndipo hasira ya \nd Bwana\nd* itawaka dhidi yenu, naye atafunga mbingu ili mvua isinyeshe nayo ardhi haitatoa mazao, nanyi mtaangamia mara katika nchi nzuri ambayo \nd Bwana\nd* anawapa.

DEU 11:18 Removed trailing space in v~: Yawekeni haya maneno yangu katika mioyo yenu na akili zenu, yafungeni kama alama juu ya mikono yenu na kwenye paji za nyuso zenu.

DEU 11:19 Removed trailing space in v~: Wafundisheni watoto wenu, yazungumzeni wakati mketipo nyumbani na wakati mtembeapo njiani, wakati mlalapo na wakati mwamkapo.

DEU 11:20 Removed trailing space in v~: Yaandikeni juu ya miimo ya nyumba zenu na juu ya malango yenu,

DEU 11:21 Removed trailing space in v~: ili kwamba siku zenu na siku za watoto wenu zipate kuwa nyingi katika nchi ile \nd Bwana\nd* aliyoapa kuwapa baba zenu, kama zilivyo nyingi siku za mbingu juu ya nchi.

DEU 11:22 Removed trailing space in v~: Kama mkishika kwa makini maagizo haya yote ninayowapa kuyafuata, ya kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wenu, kuenenda katika njia zake zote na kushikamana naye kwa uthabiti,

DEU 11:23 Removed trailing space in v~: ndipo \nd Bwana\nd* atawafukuza mataifa haya yote mbele yako, nawe utawafukuza mataifa yaliyo makubwa na yenye nguvu kukuliko wewe.

DEU 11:24 Removed trailing space in v~: Kila mahali mtakapoweka mguu wenu patakuwa penu: Nchi yenu itaenea kutoka jangwa la Lebanoni, na kutoka mto wa Frati hadi bahari ya magharibi\f + \fr 11:24 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.\f*

DEU 11:25 Removed trailing space in v~: Hapatakuwa na mtu atakayeweza kusimama dhidi yenu. \nd Bwana\nd* Mungu wenu, kama alivyoahidi, ataweka juu ya nchi yote utisho na hofu kwa ajili yenu popote mwendako.

DEU 11:26 Removed trailing space in v~: Tazama, leo ninaweka mbele yenu baraka na laana:

DEU 11:27 Removed trailing space in v~: baraka kama mtatii maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ambayo ninawapa leo;

DEU 11:28 Removed trailing space in v~: laana kama hamtatii maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuacha njia ambayo ninawaamuru leo kwa kufuata miungu mingine, ambayo hamkuijua.

DEU 11:29 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapokuwa amewaleta katika nchi mnayoiingia kuimiliki, mtatangaza baraka kutoka Mlima Gerizimu, na kutangaza laana kutoka Mlima Ebali.

DEU 11:30 Removed trailing space in v~: Kama mnavyofahamu, milima hii ipo ngʼambo ya Yordani, magharibi ya barabara, kuelekea machweo ya jua, karibu na miti mikubwa ya More, katika nchi ya wale Wakanaani wanaoishi Araba, jirani na Gilgali.

DEU 11:31 Removed trailing space in v~: Karibu mvuke ngʼambo ya Yordani kuingia na kuimiliki nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa. Wakati mtakapokuwa mmeichukua na mnaishi humo,

DEU 11:32 Removed trailing space in v~: hakikisheni kwamba mnatii amri na sheria zote ninazoziweka mbele yenu leo.

DEU 12:0 Extra space after chapter number

DEU 12:0 Removed trailing space in c: 12

DEU 12:0 Removed trailing space in s1: Mahali Pekee Pa Kuabudia

DEU 12:1 Removed trailing space in v~: Hizi ndizo amri na sheria ambazo ni lazima mwe waangalifu kuzifuata katika nchi ambayo \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, amewapa kumiliki, kwa muda wote mtakaoishi katika nchi.

DEU 12:2 Removed trailing space in v~: Haribuni kabisa kila mahali pao pa kuabudia kwenye milima mirefu, vilima na chini ya kila mti mkubwa ambamo mataifa haya mnayokwenda kuchukua ardhi yao huabudia miungu yao.

DEU 12:3 Removed trailing space in v~: Bomoeni madhabahu zao, vunjeni yale mawe wanayoabudu, chomeni moto nguzo zao za Ashera; katilieni mbali sanamu za miungu yao na mfute majina yao mahali hapo.

DEU 12:4 Removed trailing space in v~: Kamwe msimwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wenu kama wanavyoabudu wao.

DEU 12:5 Removed trailing space in v~: Bali mtatafuta mahali \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapopachagua katika makabila yenu yote ili aliweke jina lake huko kuwa makao yake. Mahali hapo ndipo iwapasapo kwenda;

DEU 12:6 Removed trailing space in v~: hapo ndipo mtakapoleta sadaka zenu za kuteketezwa na dhabihu, zaka zenu na changizo zenu, kile ulichoweka nadhiri kutoa, sadaka zenu za hiari na malimbuko ya makundi yenu ya ngʼombe pamoja na mbuzi na kondoo.

DEU 12:7 Removed trailing space in v~: Hapo, katika uwepo wa \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ninyi pamoja na jamaa zenu, mtakula na kufurahia kila kitu ambacho mmegusa kwa mikono yenu, kwa sababu \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewabariki.

DEU 12:8 Removed trailing space in v~: Msifanye kama tunavyofanya hapa leo, kila mtu anavyopenda mwenyewe,

DEU 12:9 Removed trailing space in v~: kwa kuwa bado hamjafikia mahali pa mapumziko na urithi ambao \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa.

DEU 12:10 Removed trailing space in v~: Lakini mtavuka Yordani na kuishi katika nchi \nd Bwana\nd* Mungu wenu anayowapa kama urithi, naye atawapa pumziko kutokana na adui zenu wote wanaowazunguka ili ninyi mpate kuishi kwa salama.

DEU 12:11 Removed trailing space in v~: Kisha kuhusu mahali \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapopachagua kuwa mahali pa makao ya Jina lake, hapo ndipo inapowapasa kuleta kila kitu ninachowaamuru: sadaka zenu za kuteketezwa na dhabihu, zaka zenu na changizo, pamoja na vitu vyote vyenye thamani ambavyo mmeweka nadhiri kumtolea \nd Bwana\nd*.

DEU 12:12 Removed trailing space in v~: Hapo furahini mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ninyi, wana wenu na binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, pamoja na Walawi kutoka miji yenu ambao hawana mgawo wala urithi wao wenyewe.

DEU 12:13 Removed trailing space in v~: Kuweni waangalifu, msitoe dhabihu zenu za kuteketezwa mahali popote mnapopapenda.

DEU 12:14 Removed trailing space in v~: Mtazitoa tu mahali pale ambapo \nd Bwana\nd* atachagua katika mojawapo ya makabila yenu, nanyi hapo zingatieni kila jambo ninalowaamuru.

DEU 12:15 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, mnaweza kuwachinja wanyama wenu katika miji yenu yoyote ile na kula nyama nyingi mpendavyo kama vile mmemchinja paa au kulungu, kulingana na baraka mtakazojaliwa na \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Watu walio najisi au walio safi wanaweza kula.

DEU 12:16 Removed trailing space in v~: Lakini kamwe usinywe damu; imwage juu ya ardhi kama maji.

DEU 12:17 Removed trailing space in v~: Hamruhusiwi kula katika miji yenu zaka yenu ya nafaka, ya divai mpya na ya mafuta, au mzaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ngʼombe na makundi yenu ya mbuzi na kondoo, wala chochote ambacho mmeweka nadhiri kukitoa, au sadaka zako za hiari, wala matoleo maalum.

DEU 12:18 Removed trailing space in v~: Badala yake, mtakula vitu hivyo katika uwepo wa \nd Bwana\nd* Mungu wenu mahali ambapo \nd Bwana\nd* Mungu wenu atapachagua: wewe, wana wako na binti zako, watumishi wako wa kiume na wa kike, na Walawi kutoka miji yenu. Mnatakiwa mfurahi mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa kula kitu mtakachoweka mikono yenu.

DEU 12:19 Removed trailing space in v~: Mwe waangalifu msiwapuuze Walawi kwa muda wote mnaoishi katika nchi yenu.

DEU 12:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapokuwa ameongeza nchi yenu kama alivyowaahidi, nanyi mkitamani nyama na mkisema, “Ningependa nyama,” hapo unaweza kula nyingi upendavyo.

DEU 12:21 Removed trailing space in v~: Kama mahali ambapo \nd Bwana\nd* Mungu wenu atapachagua kuweka Jina lake ni mbali sana kutoka kwenu, unaweza kuchinja wanyama kutoka makundi yenu ya ngʼombe, ya mbuzi na ya kondoo ambayo \nd Bwana\nd* amewapa, kama nilivyokuamuru, na mkiwa katika miji yenu wenyewe mnaweza kula nyingi mtakavyo.

DEU 12:22 Removed trailing space in v~: Mle kama vile mngekula paa na kulungu. Wote walio najisi kiibada na walio safi mwaweza kula.

DEU 12:23 Removed trailing space in v~: Lakini hakikisheni kwamba hamkunywa damu, kwa sababu damu ni uhai, kamwe msile uhai pamoja na nyama.

DEU 12:24 Removed trailing space in v~: Hamruhusiwi kamwe kunywa damu; imwageni juu ya ardhi kama maji.

DEU 12:25 Removed trailing space in v~: Msinywe damu, ili mweze kufanikiwa ninyi pamoja na watoto wenu baada yenu, kwa sababu mtakuwa mkifanya lililo haki machoni pa \nd Bwana\nd*.

DEU 12:26 Removed trailing space in v~: Lakini vichukueni vitu vyenu vilivyowekwa wakfu pamoja na vile mlivyoweka nadhiri, mwende mahali pale \nd Bwana\nd* atakapopachagua.

DEU 12:27 Removed trailing space in v~: Leteni sadaka zenu za kuteketezwa juu ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu, vyote nyama na damu. Damu ya dhabihu zenu lazima imiminwe kando ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu, lakini nyama mnaweza kula.

DEU 12:28 Removed trailing space in v~: Mwe waangalifu kutii masharti haya yote ninayowapa, ili kwamba siku zote mweze kufanikiwa, ninyi pamoja na watoto wenu baada yenu, kwa sababu mtakuwa mkifanya lililo jema na sahihi mbele za macho ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 12:29 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu atayakatilia mbali mbele yenu mataifa ambayo punde kidogo mtayavamia na kuyaondoa. Lakini mtakapokuwa mmeyafukuza na kuishi katika nchi yao,

DEU 12:30 Removed trailing space in v~: na baada ya kuangamizwa mbele yenu, mwe waangalifu msijiingize katika tanzi kwa kuuliza habari za miungu yao, mkisema, “Je, mataifa haya hutumikiaje miungu yao? Nasi tutafanya vivyo hivyo.”

DEU 12:31 Removed trailing space in v~: Kamwe msimwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa njia wanayoabudu miungu yao, kwa sababu katika kuabudu miungu yao, wanafanya aina zote za machukizo anayoyachukia \nd Bwana\nd*. Hata huwateketeza wana wao na binti zao kwa moto kama kafara kwa miungu yao.

DEU 12:32 Removed trailing space in v~: Angalieni kwamba mnafanya yote niliyowaamuru; msiongeze kitu wala msipunguze kitu.

DEU 13:0 Extra space after chapter number

DEU 13:0 Removed trailing space in c: 13

DEU 13:0 Removed trailing space in s1: Kuabudu Miungu Mingine

DEU 13:1 Removed trailing space in v~: Kama nabii, au yule anayetabiri kwa njia ya ndoto, akijitokeza miongoni mwenu na akawatangazia ishara ya miujiza na ajabu,

DEU 13:2 Removed trailing space in v~: ikiwa ishara au ajabu ya aliyozungumza ikatokea, naye akasema, “Na tufuate miungu mingine” (miungu ambayo hamjaifahamu) “na tuiabudu,”

DEU 13:3 Removed trailing space in v~: kamwe msiyasikilize maneno ya nabii wala mwota ndoto huyo. \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawajaribu kuangalia kama mnampenda kwa moyo wenu wote na kwa roho yenu yote.

DEU 13:4 Removed trailing space in v~: Ni \nd Bwana\nd* Mungu wenu ambaye mnapaswa kumfuata tena ni yeye mnapaswa kumheshimu. Shikeni maagizo yake na kumtii, mtumikieni na kushikamana naye.

DEU 13:5 Removed trailing space in v~: Huyo nabii au mwota ndoto lazima auawe, kwa sababu amehubiri uasi dhidi ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ambaye aliwatoa kutoka nchi ya Misri na kuwakomboa kutoka nchi ya utumwa; amejaribu kuwageuza kutoka njia ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliwaagiza mfuate. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.

DEU 13:6 Removed trailing space in v~: Kama ndugu yako hasa, au mwanao au binti yako, au mke umpendaye, au rafiki yako wa karibu sana akikushawishi kwa siri, akisema, “Na twende tukaabudu miungu mingine” (miungu ambayo ninyi wala baba zenu hamkuifahamu,

DEU 13:7 Removed trailing space in v~: miungu ya watu wanaowazunguka, ikiwa karibu au mbali, kutoka mwisho mmoja wa nchi mpaka mwingine),

DEU 13:8 Removed trailing space in v~: usikubali wala usimsikilize. Usimhurumie! Usimwache wala usimkinge.

DEU 13:9 Removed trailing space in v~: Hakika ni lazima auawe. Ni lazima mkono wako uwe wa kwanza katika kumuua kisha mikono ya watu wengine wote.

DEU 13:10 Removed trailing space in v~: Mpigeni kwa mawe mpaka afe, kwa sababu alijaribu kuwageuza mtoke kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu ambaye aliwatoa Misri, kutoka nchi ya utumwa.

DEU 13:11 Removed trailing space in v~: Kisha Israeli wote watasikia na kuogopa, wala hakuna mmoja miongoni mwenu atakayefanya uovu tena.

DEU 13:12 Removed trailing space in v~: Kama mkisikia ikisemwa kwamba moja ya miji ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa mkae ndani yake

DEU 13:13 Removed trailing space in v~: kuna wanaume waovu wameinuka miongoni mwenu na wamewapotosha watu wa mji, wakisema, “Twendeni tukaabudu miungu mingine” (miungu ambayo hamkuifahamu),

DEU 13:14 Removed trailing space in v~: ndipo itakubidi kuuliza, kupima na kuchunguza kwa makini. Kama ni kweli, tena ikihakikishwa kwamba jambo hili lichukizalo limefanyika miongoni mwenu,

DEU 13:15 Removed trailing space in v~: kwa hakika ni lazima mwaue kwa upanga wale wote wanaoishi katika mji ule. Uharibuni kabisa, pamoja na watu wake na mifugo yake.

DEU 13:16 Removed trailing space in v~: Kusanyeni nyara zote za mji katika uwanja wa wazi na kuuchoma mji kabisa pamoja na nyara zake zote kama sadaka ya kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Utabaki kuwa magofu milele na hautajengwa tena.

DEU 13:17 Removed trailing space in v~: Hakuna kimoja kati ya vitu vilivyolaaniwa kitakachokutwa mikononi mwenu, ili \nd Bwana\nd* ageuze hasira yake kali. Atawahurumia na kuwa na rehema kwenu pia kuongeza idadi yenu, kama alivyowaahidi baba zenu,

DEU 13:18 Removed trailing space in v~: kwa sababu mnamtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu, mkizishika amri zake zote zile ninazowapa leo na kufanya lile lililo jema machoni pake.

DEU 14:0 Extra space after chapter number

DEU 14:0 Removed trailing space in c: 14

DEU 14:0 Removed trailing space in s1: Vyakula Vilivyo Najisi Na Vilivyo Safi

DEU 14:0 Removed trailing space in r: (Walawi 11:1-47)

DEU 14:1 Removed trailing space in v~: Ninyi ni watoto wa \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Msijichanje ama kujinyoa upara kwenye paji la uso kwa ajili ya aliyekufa,

DEU 14:2 Removed trailing space in v~: kwa maana ninyi ni taifa takatifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu. \nd Bwana\nd* amewachagua ninyi kuwa taifa la kipekee kutoka mataifa yote juu ya uso wa dunia, mwe tunu yake.

DEU 14:3 Removed trailing space in v~: Msile kitu chochote ambacho ni machukizo.

DEU 14:4 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wanyama mtakaokula: ngʼombe, kondoo, mbuzi,

DEU 14:5 Removed trailing space in v~: kulungu, paa, kongoni, paa mweupe, mbuzi-mwitu, pofu na kondoo wa mlimani.

DEU 14:6 Removed trailing space in v~: Mnaweza kumla mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika mara mbili, pia yule anayecheua.

DEU 14:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, miongoni mwa wale wanaocheua au wale walio na kwato zilizogawanyika kamwe msile ngamia, sungura na pelele. Iwapo wanacheua, lakini hawana kwato zilizogawanyika; ni najisi kwenu kwa taratibu za kiibada.

DEU 14:8 Removed trailing space in v~: Nguruwe pia ni najisi; ingawa ana kwato zilizogawanyika, hacheui. Msile nyama yake wala kugusa mzoga wake.

DEU 14:9 Removed trailing space in v~: Katika viumbe hai vyote viishivyo kwenye maji, mnaweza kula yeyote aliye na mapezi na magamba.

DEU 14:10 Removed trailing space in v~: Lakini chochote kisicho na mapezi na magamba msile; kwenu ni najisi.

DEU 14:11 Removed trailing space in v~: Mnaweza kula ndege yeyote aliye safi.

DEU 14:12 Removed trailing space in v~: Lakini wafuatao msiwale: tai, furukombe, kipungu,

DEU 14:13 Removed trailing space in v~: kengewa mwekundu, kengewa mweusi, mwewe wa aina yoyote,

DEU 14:14 Removed trailing space in v~: kunguru wa aina yoyote,

DEU 14:15 Removed trailing space in v~: mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga wa aina yoyote,

DEU 14:16 Removed trailing space in v~: bundi, mumbi, bundi mkubwa,

DEU 14:17 Removed trailing space in v~: mwari, nderi, mnandi,

DEU 14:18 Removed trailing space in v~: korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.

DEU 14:19 Removed trailing space in v~: Wadudu wote warukao kwa makundi ni najisi kwenu, msiwale.

DEU 14:20 Removed trailing space in v~: Lakini viumbe vyote vyenye mabawa vilivyo safi mwaweza kula.

DEU 14:21 Removed trailing space in v~: Msile kitu chochote mtakachokuta kimekufa. Mnaweza kumpa mgeni yeyote anayeishi katika mojawapo ya miji yenu, naye anaweza kula au mnaweza kumuuzia mtu wa nchi nyingine. Lakini ninyi ni watu watakatifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 14:21 Removed trailing space in p~: Msitokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.

DEU 14:21 Removed trailing space in s1: Zaka

DEU 14:22 Removed trailing space in v~: Hakikisheni mmetenga sehemu ya kumi ya mazao yote ya mashamba yenu kila mwaka.

DEU 14:23 Removed trailing space in v~: Mtakula zaka za nafaka yenu, divai mpya, mafuta na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ngʼombe na ya kondoo na mbuzi mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu pale mahali atakapopachagua kama maskani kwa ajili ya Jina lake, ili kwamba mpate kujifunza kumheshimu \nd Bwana\nd* Mungu wenu daima.

DEU 14:24 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mahali pale ni mbali sana nanyi mmebarikiwa na \nd Bwana\nd* Mungu wenu na hamwezi kubeba zaka yenu (kwa sababu mahali pale \nd Bwana\nd* atakapopachagua kuliweka Jina lake ni mbali sana),

DEU 14:25 Removed trailing space in v~: basi badilisheni zaka yenu kuwa fedha, mkaichukue hiyo fedha mwende nayo mahali \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapopachagua.

DEU 14:26 Removed trailing space in v~: Tumieni hiyo fedha kununua chochote ukitakacho: ngʼombe, kondoo, divai au kinywaji chochote chenye chachu au chochote mnachotaka. Kisha ninyi na wa nyumbani mwenu mtaila mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kufurahi.

DEU 14:27 Removed trailing space in v~: Msiache kuwajali Walawi waishio katika miji yenu, kwa kuwa hao hawana shamba wala urithi wao wenyewe.

DEU 14:28 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa kila mwaka wa tatu, leteni zaka zote za mazao ya miaka ile na uyahifadhi kwenye miji yenu,

DEU 14:29 Removed trailing space in v~: ili Walawi (ambao hawana mashamba wala urithi wao wenyewe) na wageni, yatima na wajane wanaoishi kwenye miji yenu wapate kuja kula na kushiba, ili \nd Bwana\nd* Mungu wenu apate kuwabariki ninyi katika kazi zote za mikono yenu.

DEU 15:0 Extra space after chapter number

DEU 15:0 Removed trailing space in c: 15

DEU 15:0 Removed trailing space in s1: Mwaka Wa Kufuta Madeni

DEU 15:0 Removed trailing space in r: (Walawi 25:1-7)

DEU 15:1 Removed trailing space in v~: Kila mwisho wa miaka saba ni lazima mfute madeni.

DEU 15:2 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo itakavyofanyika: Kila mkopeshaji atafuta mkopo aliomkopesha Mwisraeli mwenzake. Hatamtaka Mwisraeli mwenzake au ndugu yake amlipe hilo deni, kwa sababu wakati wa \nd Bwana\nd* wa kufuta madeni umetangazwa.

DEU 15:3 Removed trailing space in v~: Unaweza kudai malipo kwa mgeni, lakini lazima ufute kila deni ambalo unamdai ndugu yako.

DEU 15:4 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, hapatakuwepo maskini miongoni mwenu, kwa kuwa katika nchi \nd Bwana\nd* Mungu wenu anayowapa kuimiliki kama urithi wenu, atawabariki sana,

DEU 15:5 Removed trailing space in v~: ikiwa tutamtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu kikamilifu na kuwa waangalifu kuyafuata maagizo haya yote ninayowapa leo.

DEU 15:6 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawabariki kama alivyoahidi, nanyi mtawakopesha mataifa mengi lakini hamtakopa kwa yeyote. Mtatawala mataifa mengi lakini hakuna taifa litakalowatawala ninyi.

DEU 15:7 Removed trailing space in v~: Ikiwa kuna mtu maskini miongoni mwa ndugu zenu, katika mji wowote wa hiyo nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa, msiwe na moyo mgumu wala usimfumbie mkono ndugu yako aliye maskini.

DEU 15:8 Removed trailing space in v~: Afadhali fungua mikono yako na umkopeshe kwa hiari chochote anachohitaji.

DEU 15:9 Removed trailing space in v~: Jihadhari usijiwekee wazo hili ovu: “Mwaka wa saba, mwaka wa kufuta madeni umekaribia,” usije ukaonyesha nia mbaya kwa ndugu yako mhitaji na ukaacha kumpa chochote. Anaweza kumlalamikia \nd Bwana\nd* dhidi yako nawe utakuwa umepatikana na hatia ya dhambi.

DEU 15:10 Removed trailing space in v~: Mpe kwa ukarimu na ufanye hivyo bila kinyongo moyoni, ndipo kwa sababu ya hili \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakubariki katika kazi zako zote na kwa kila kitu utakachokiwekea mkono wako.

DEU 15:11 Removed trailing space in v~: Siku zote watakuwepo watu maskini katika nchi. Kwa hiyo ninawaamuru mwe na mikono iliyokunjuliwa kuwaelekea ndugu zenu, kuwaelekea maskini na wahitaji katika nchi yenu.

DEU 15:11 Removed trailing space in s1: Kuwaacha Huru Watumwa

DEU 15:11 Removed trailing space in r: (Kutoka 21:1-18)

DEU 15:12 Removed trailing space in v~: Kama Mwebrania mwenzako, mwanaume au mwanamke, akijiuza kwako na kukutumikia miaka sita, katika mwaka wa saba ni lazima umwache aende zake akiwa huru.

DEU 15:13 Removed trailing space in v~: Nawe wakati utakapomwachia usimwache aende mikono mitupu.

DEU 15:14 Removed trailing space in v~: Mpe kwa uhuru kutoka zizi lako la kondoo na mbuzi, kutoka sakafu yako ya kupuria nafaka na kutoka mashinikizo yako ya kukamulia divai. Mpe kama vile ambavyo \nd Bwana\nd* Mungu wako alivyokubariki.

DEU 15:15 Removed trailing space in v~: Kumbukeni kuwa ninyi mlikuwa watumwa huko Misri naye \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliwakomboa. Ndiyo sababu nimewapa agizo hili leo.

DEU 15:16 Removed trailing space in v~: Lakini mtumishi wako akikuambia, “Sitaki kukuacha,” kwa sababu anakupenda wewe na jamaa yako naye anaridhika nawe,

DEU 15:17 Removed trailing space in v~: ndipo utachukua chuma kidogo utoboe sikio lake mpaka hicho chuma kiingie kwenye ubao wa mlango, naye atakuwa mtumishi wako wa maisha. Ufanye vivyo hivyo kwa mtumishi wa kike.

DEU 15:18 Removed trailing space in v~: Usifikiri kuwa kuna ugumu kumwacha mtumishi wako huru, kwa sababu utumishi wake kwako kwa miaka hii sita umekuwa wa thamani mara mbili ya ujira wa mtumishi wa kuajiriwa. Naye \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakubarikia kwa kila kitu utakachofanya.

DEU 15:18 Removed trailing space in s1: Wazaliwa Wa Kwanza Wa Wanyama

DEU 15:19 Removed trailing space in v~: Wekeni wakfu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu kila mzaliwa wa kwanza wa kiume wa makundi yenu ya ngʼombe na ya mbuzi na kondoo. Maksai walio wazaliwa wa kwanza msiwafanyize kazi, wala msinyoe manyoya ya wazaliwa wa kwanza wa kondoo.

DEU 15:20 Removed trailing space in v~: Kila mwaka ninyi na jamaa zenu mtapaswa kuwala mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu pale mahali atakapopachagua.

DEU 15:21 Removed trailing space in v~: Kama mnyama ana dosari, akiwa ni kilema au kipofu au kama ana kilema kibaya, kamwe usimtoe dhabihu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 15:22 Removed trailing space in v~: Itawapasa kumla ninyi wenyewe katika miji yenu. Wote wasio safi na walio safi kwa desturi za kiibada mwaweza kula kama vile mnavyokula paa au kulungu.

DEU 15:23 Removed trailing space in v~: Lakini kamwe msinywe damu; imwageni ardhini kama maji.

DEU 16:0 Extra space after chapter number

DEU 16:0 Removed trailing space in c: 16

DEU 16:0 Removed trailing space in s1: Pasaka

DEU 16:0 Removed trailing space in r: (Kutoka 12:1-20)

DEU 16:1 Removed trailing space in v~: Shikeni mwezi wa Abibu, na kuiadhimisha Pasaka ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu, kwa sababu katika mwezi wa Abibu, Mungu aliwatoa Misri usiku.

DEU 16:2 Removed trailing space in v~: Mtatoa dhabihu ya Pasaka ya mnyama kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu kutoka kundi lenu la mbuzi na kondoo au la ngʼombe, mahali pale ambapo \nd Bwana\nd* atapachagua kama makao kwa ajili ya Jina lake.

DEU 16:3 Removed trailing space in v~: Msile nyama hiyo pamoja na mikate iliyotiwa chachu, lakini kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu, mikate ya kujitesa, kwa sababu mliondoka Misri kwa haraka, ili kwamba siku zote za maisha yenu mpate kukumbuka wakati wenu wa kuondoka Misri.

DEU 16:4 Removed trailing space in v~: Chachu isionekane katika mali zenu katika nchi yenu yote kwa siku saba. Nyama yoyote ya dhabihu mtakayotoa jioni ya siku ya kwanza isibakizwe mpaka asubuhi.

DEU 16:5 Removed trailing space in v~: Kamwe msitoe dhabihu ya Pasaka katika mji wowote ambao \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa,

DEU 16:6 Removed trailing space in v~: isipokuwa mahali atakapopachagua kama makao kwa ajili ya Jina lake. Hapo ndipo lazima mtoe dhabihu ya Pasaka jioni, jua litakapotua, iwe kumbukumbu yenu ya kutoka Misri.

DEU 16:7 Removed trailing space in v~: Okeni na mle mahali pale ambapo \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapopachagua, kisha asubuhi mrudi kwenye mahema yenu.

DEU 16:8 Removed trailing space in v~: Kwa siku sita mtakula mikate isiyotiwa chachu na siku ya saba fanyeni kusanyiko kwa ajili ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu na msifanye kazi.

DEU 16:8 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Mavuno

DEU 16:8 Removed trailing space in r: (Kutoka 34:22; Walawi 23:15-21)

DEU 16:9 Removed trailing space in v~: Mhesabu majuma saba tangu wakati mnapoanza kuchukua mundu kuvuna nafaka.

DEU 16:10 Removed trailing space in v~: Kisha msherehekee Sikukuu ya Majuma kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa kutoa sadaka ya hiari kwa kadiri ya baraka ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa.

DEU 16:11 Removed trailing space in v~: Shangilieni mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu mahali atakapopachagua kama makao ya Jina lake, ninyi, wana wenu na binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, Walawi walio katika miji yenu, na wageni, yatima na wajane waishio miongoni mwenu.

DEU 16:12 Removed trailing space in v~: Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa kule Misri na mfuate amri hizi kwa uangalifu.

DEU 16:12 Removed trailing space in s1: Sikukuu Ya Vibanda

DEU 16:12 Removed trailing space in r: (Walawi 23:33-43)

DEU 16:13 Removed trailing space in v~: Adhimisheni sikukuu ya vibanda kwa siku saba baada ya kukusanya mazao yenu ya nafaka na kukamua zabibu.

DEU 16:14 Removed trailing space in v~: Mfurahie sikukuu yenu, ninyi, wana wenu, binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, Walawi, wageni, yatima na wajane ambao wanaishi katika miji yenu.

DEU 16:15 Removed trailing space in v~: Kwa siku saba mtaiadhimisha sikukuu ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu katika mahali atakapopachagua \nd Bwana\nd*. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawabariki katika mavuno yenu na katika kazi zote za mikono yenu na furaha yenu itakamilika.

DEU 16:16 Removed trailing space in v~: Wanaume wenu wote lazima wajitokeze mara tatu kwa mwaka mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu mahali atakapopachagua: kwa ajili ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, Sikukuu ya Majuma, na Sikukuu ya Vibanda. Hakuna mtu atakayejitokeza mbele za \nd Bwana\nd* mikono mitupu:

DEU 16:17 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wenu ni lazima alete zawadi kulingana na jinsi ambavyo \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyowabariki.

DEU 16:17 Removed trailing space in s1: Waamuzi

DEU 16:18 Removed trailing space in v~: Wateue waamuzi na maafisa kwa kila kabila lenu katika kila mji ambao \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa, nao watawaamua watu kwa usawa.

DEU 16:19 Removed trailing space in v~: Msipotoshe haki wala msifanye upendeleo. Msikubali rushwa kwa sababu rushwa hupofusha macho ya wenye busara na kugeuza maneno ya wenye haki.

DEU 16:20 Removed trailing space in v~: Mfuate haki na haki peke yake, ili mweze kuishi na kuimiliki nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa.

DEU 16:20 Removed trailing space in s1: Kuabudu Miungu Mingine

DEU 16:21 Removed trailing space in v~: Msisimamishe nguzo yoyote ya Ashera kando ya madhabahu mliyomjengea \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

DEU 16:22 Removed trailing space in v~: wala msisimamishe jiwe la kuabudu, kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wenu anavichukia vitu hivi.

DEU 17:0 Extra space after chapter number

DEU 17:0 Removed trailing space in c: 17

DEU 17:1 Removed trailing space in v~: Msimtolee \nd Bwana\nd* Mungu wenu dhabihu ya maksai au kondoo ambaye ana dosari yoyote au hitilafu ndani yake, kwa kuwa hilo litakuwa chukizo kwake.

DEU 17:2 Removed trailing space in v~: Ikiwa mwanaume au mwanamke anayeishi kati ya mojawapo ya miji akupayo \nd Bwana\nd*, anakutwa anafanya uovu mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu, kwa kuvunja Agano lake,

DEU 17:3 Removed trailing space in v~: naye amekwenda kinyume na agizo langu kuabudu miungu mingine na kuisujudia, kama vile jua, mwezi au nyota za angani,

DEU 17:4 Removed trailing space in v~: hili likiwa limeletwa mbele yenu, ni lazima kulichunguza kikamilifu. Ikiwa ni kweli na kuwa limehakikishwa kwamba hili ni chukizo lililofanyika katika Israeli,

DEU 17:5 Removed trailing space in v~: mchukueni huyo mwanaume au mwanamke ambaye amelifanya tendo hili ovu kwenye lango la mji wenu na kumpiga mawe mtu huyo mpaka afe.

DEU 17:6 Removed trailing space in v~: Kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu mtu huyo atauawa, bali hakuna mtu atakayeuawa kwa ushuhuda wa shahidi mmoja tu.

DEU 17:7 Removed trailing space in v~: Ni lazima kwanza mikono ya mashahidi itangulie kumuua huyo mtu, kisha mikono ya watu wote. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.

DEU 17:7 Removed trailing space in s1: Mahakama Za Sheria

DEU 17:8 Removed trailing space in v~: Kama mashauri yanaletwa katika mahakama zenu ambayo ni magumu zaidi kwenu kuyaamua, ikiwa ni umwagaji wa damu, madai au mashambulio, yapelekeni mahali ambapo \nd Bwana\nd* Mungu wenu atapachagua.

DEU 17:9 Removed trailing space in v~: Nendeni kwa makuhani, ambao ni Walawi, na kwa mwamuzi ambaye atakuwa kazini wakati huo. Ulizeni kwao nao watawapa maamuzi.

DEU 17:10 Removed trailing space in v~: Ni lazima mtende sawasawa na maamuzi watakayowapa mahali \nd Bwana\nd* atakapopachagua. Kuweni waangalifu kufanya kila kitu watakachowaongoza kufanya.

DEU 17:11 Removed trailing space in v~: Fanyeni sawasawa na sheria wanayowafundisha na maamuzi wanayowapa. Msigeuke mkono wa kuume au kushoto kuacha kufanya yale wanayowaambia.

DEU 17:12 Removed trailing space in v~: Mwanaume atakayeonyesha dharau kwa mwamuzi au kwa kuhani ambaye amewekwa kumtumikia \nd Bwana\nd* Mungu wenu lazima auawe. Lazima mwondoe uovu katika Israeli.

DEU 17:13 Removed trailing space in v~: Watu wote watasikia na kuogopa, nao hawatakuwa wenye kudharau tena.

DEU 17:13 Removed trailing space in s1: Mfalme

DEU 17:14 Removed trailing space in v~: Wakati utakapoingia katika nchi anayowapa \nd Bwana\nd* Mungu wenu kuimiliki na kukaa humo, nanyi mkasema, “Na tumweke mfalme juu yetu kama mataifa yanayotuzunguka,”

DEU 17:15 Removed trailing space in v~: kuweni na uhakika wa kumweka mfalme juu yenu ambaye \nd Bwana\nd* Mungu wenu atamchagua. Ni lazima atoke miongoni mwa ndugu zenu wenyewe. Msimweke mgeni juu yenu ambaye si ndugu wa Kiisraeli.

DEU 17:16 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kamwe mfalme asijipatie hesabu kubwa ya farasi kwa ajili yake mwenyewe, au kuwafanya watu warudi Misri ili kupata farasi zaidi, kwa maana \nd Bwana\nd* amekuambia, “Hamtairudia njia ile tena.”

DEU 17:17 Removed trailing space in v~: Kamwe asioe wake wengi, la sivyo moyo wake utapotoka. Kamwe asijilimbikizie kiasi kikubwa cha fedha na dhahabu.

DEU 17:18 Removed trailing space in v~: Atakapokuwa amekalia kiti cha ufalme wake, ajiandikie kwenye kitabu nakala ya sheria kwa ajili yake mwenyewe kutoka zile sheria za makuhani ambao ni Walawi.

DEU 17:19 Removed trailing space in v~: Atakuwa na nakala hiyo, naye ataisoma siku zote za maisha yake ili kwamba ajifunze kumheshimu \nd Bwana\nd* Mungu wake na kufuata kwa uangalifu maneno yote ya sheria hii na amri hizi,

DEU 17:20 Removed trailing space in v~: naye asijifikirie kuwa ni bora kuliko ndugu zake na kuipotosha sheria. Ndipo yeye na wazao wake watatawala katika ufalme wake kwa muda mrefu katika Israeli.

DEU 18:0 Extra space after chapter number

DEU 18:0 Removed trailing space in c: 18

DEU 18:0 Removed trailing space in s1: Sadaka Kwa Makuhani Na Walawi

DEU 18:1 Removed trailing space in v~: Makuhani ambao ni Walawi, yaani kabila lote la Lawi, hawatakuwa na mgawo wala urithi pamoja na Israeli. Wataishi kwa sadaka zitolewazo kwa ajili ya \nd Bwana\nd* za kuteketezwa kwa moto, kwa maana huo ndio urithi wao.

DEU 18:2 Removed trailing space in v~: Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao; \nd Bwana\nd* ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.

DEU 18:3 Removed trailing space in v~: Hili ndilo fungu la makuhani kutoka kwa watu watakaotoa dhabihu ya fahali au kondoo: mguu wa mbele, mataya na matumbo.

DEU 18:4 Removed trailing space in v~: Mtawapa malimbuko ya nafaka zenu, divai mpya, mafuta na sufu ya kwanza kutoka manyoya ya kondoo zenu,

DEU 18:5 Removed trailing space in v~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewachagua pamoja na wazao wao kutoka makabila yenu kusimama na kuhudumu katika jina la \nd Bwana\nd* siku zote.

DEU 18:6 Removed trailing space in v~: Ikiwa Mlawi atahama kutoka mmojawapo ya miji yenu popote katika Israeli ambapo anaishi, akaja kwa moyo wote mahali ambapo \nd Bwana\nd* atapachagua,

DEU 18:7 Removed trailing space in v~: anaweza akahudumu katika jina la \nd Bwana\nd* Mungu wake kama Walawi wenzake wote wanaohudumu hapo mbele za \nd Bwana\nd*.

DEU 18:8 Removed trailing space in v~: Atashiriki sawa katika mafao yao, hata kama amepokea fedha kutoka mauzo ya mali ya jamaa yake.

DEU 18:8 Removed trailing space in s1: Matendo Ya Machukizo

DEU 18:9 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapoingia katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa, msijifunze kuiga njia za machukizo za mataifa ya huko.

DEU 18:10 Removed trailing space in v~: Asionekane mtu yeyote miongoni mwenu ampitishaye mwanawe au binti yake katika moto, atakayefanya uaguzi, ulozi, anayetabiri nyakati, anayejishughulisha na uchawi,

DEU 18:11 Removed trailing space in v~: wala arogaye kwa kupiga mafundo, wala mwaguzi au anayeabudu mizimu, wala awaombaye wafu.

DEU 18:12 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote afanyaye mambo haya ni chukizo kwa \nd Bwana\nd*, tena ni kwa sababu ya matendo haya ya kuchukiza wayafanyayo ndiyo maana \nd Bwana\nd* Mungu wenu atayafukuza mataifa hayo mbele yenu.

DEU 18:13 Removed trailing space in v~: Kamwe msilaumiwe mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 18:13 Removed trailing space in s1: Nabii

DEU 18:14 Removed trailing space in v~: Mataifa mtakayowafukuza husikiliza wale wafanyao ulozi na uaguzi. Lakini kwenu ninyi, \nd Bwana\nd* Mungu wenu hajawaruhusu kufanya hivyo.

DEU 18:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu wenyewe. Msikilizeni yeye.

DEU 18:16 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hivi ndivyo mlivyomwomba \nd Bwana\nd* Mungu wenu kule Horebu siku ile ya kusanyiko, wakati mliposema, “Na tusiisikie sauti ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu, wala kuuona moto huu mkubwa tena, ama sivyo tutakufa.”

DEU 18:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia: “Wanachosema ni vyema.

DEU 18:18 Removed trailing space in v~: Nitawainulia nabii kama wewe kutoka miongoni mwa ndugu zao; nitaweka maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia kila kitu nitakachomwamuru.

DEU 18:19 Removed trailing space in v~: Kama mtu yeyote hatasikiliza maneno yangu ambayo huyo nabii atayasema kwa Jina langu, mimi mwenyewe nitamwajibisha.

DEU 18:20 Removed trailing space in v~: Lakini nabii ambaye atathubutu kusema kwa Jina langu kitu chochote ambacho sikumwamuru akiseme, au nabii ambaye husema kwa jina la miungu mingine ni lazima auawe.”

DEU 18:21 Removed trailing space in v~: Mnaweza kuulizana wenyewe, “Tutawezaje kujua wakati ujumbe haukusemwa na \nd Bwana\nd*?”

DEU 18:22 Removed trailing space in v~: Ikiwa kile nabii anachotangaza kwa jina la \nd Bwana\nd* hakikutokea au kutimia, huo ni ujumbe ambao \nd Bwana\nd* hakusema. Nabii huyo amesema kwa ujuaji. Msimwogope huyo.

DEU 19:0 Extra space after chapter number

DEU 19:0 Removed trailing space in c: 19

DEU 19:0 Removed trailing space in s1: Miji Ya Makimbilio

DEU 19:0 Removed trailing space in r: (Hesabu 35:9-34; Yoshua 20:1-9)

DEU 19:1 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapokuwa amewaangamiza mataifa ambayo nchi yao anawapa ninyi, wakati mtakapokuwa mmewafukuza na kuishi katika miji yao na nyumba zao,

DEU 19:2 Removed trailing space in v~: ndipo mtenge miji mitatu iliyopo katikati ya nchi kwa ajili yenu, katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa kuimiliki.

DEU 19:3 Removed trailing space in v~: Jengeni barabara katika miji hiyo na kuigawa mara tatu, nchi anayowapa \nd Bwana\nd* Mungu wenu kama urithi, ili kwamba yeyote amuuaye mtu aweze kukimbilia humo.

DEU 19:4 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo kanuni kuhusu mtu amuuaye mwingine na kukimbilia humo kuokoa maisha yake, yaani, yeye amuuaye jirani yake bila kukusudia, wala hakumchukia kabla ya hapo.

DEU 19:5 Removed trailing space in v~: Kwa mfano, mtu aweza kwenda msituni na jirani yake kukata miti, naye anapozungusha shoka kuangusha mti, shoka linaweza kuchomoka kutoka kwenye mpini na kumpiga jirani yake na kumuua. Yule mtu anaweza kukimbilia katika mmojawapo ya miji hii na kuokoa maisha yake.

DEU 19:6 Removed trailing space in v~: Kama sivyo, mlipiza kisasi cha damu anaweza kumfuatilia kwa hasira kali, naye akamkamata na kumuua kama umbali ni mrefu sana hata ingawa hastahili kifo, kwa sababu amemuua jirani yake bila kukusudia.

DEU 19:7 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sababu nimewaagiza ninyi kutenga miji mitatu ya makimbilio kwa ajili yenu.

DEU 19:8 Removed trailing space in v~: Kama \nd Bwana\nd* Mungu wenu akipanua nchi yenu, kama alivyoahidi kwa kiapo kwa baba zenu na kuwapa nchi yote aliyowaahidi,

DEU 19:9 Removed trailing space in v~: kwa sababu mmefuata kwa uangalifu sheria zote ninazowaamuru leo, kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuenenda siku zote katika njia zake, ndipo mtenge miji mingine, mitatu zaidi.

DEU 19:10 Removed trailing space in v~: Fanyeni hivi ili damu isiyo na hatia isimwagwe katika nchi yenu, ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa kama urithi wenu, ili kwamba msije mkawa na hatia ya kumwaga damu.

DEU 19:11 Removed trailing space in v~: Lakini kama mtu anamchukia ndugu yake, akamvizia, akamshambulia na kumuua, kisha akakimbilia katika mmojawapo ya miji hii,

DEU 19:12 Removed trailing space in v~: wazee wa mji wake watatuma ujumbe kwake, kumleta kutoka mji ule na kumkabidhi mlipiza kisasi cha damu kumuua.

DEU 19:13 Removed trailing space in v~: Msimwonee huruma. Lazima mwondoe katika Israeli hatia ya umwagaji damu isiyo na hatia ili kwamba mpate kufanikiwa.

DEU 19:14 Removed trailing space in v~: Usisogeze jiwe la mpaka wa jirani yako ambao uliwekwa na wale waliokutangulia katika urithi upokeao katika nchi \nd Bwana\nd* Mungu wako anayowapa kuimiliki.

DEU 19:14 Removed trailing space in s1: Mashahidi

DEU 19:15 Removed trailing space in v~: Shahidi mmoja hatoshi kumtia hatiani mtu kwa uhalifu au kosa lolote ambalo anaweza kuwa amelitenda. Lazima shauri lolote lithibitishwe kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu.

DEU 19:16 Removed trailing space in v~: Kama shahidi mwenye nia ya kumdhuru mwingine akisimama kumshtaki mtu kwa uhalifu,

DEU 19:17 Removed trailing space in v~: watu wawili wanaohusika katika mabishano lazima wasimame mbele za \nd Bwana\nd* na mbele ya makuhani na waamuzi ambao wako kazini wakati huo.

DEU 19:18 Removed trailing space in v~: Waamuzi lazima wafanye uchunguzi kwa makini na shahidi akionekana kuwa ni mwongo, akitoa ushuhuda wa uongo dhidi ya ndugu yake,

DEU 19:19 Removed trailing space in v~: basi mtende kama alivyotaka kumtendea ndugu yake. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.

DEU 19:20 Removed trailing space in v~: Watu watakaosalia watasikia hili na kuogopa, uovu kama huo kamwe hautatendeka tena miongoni mwenu.

DEU 19:21 Removed trailing space in v~: Msionyeshe huruma, uhai kwa uhai, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.

DEU 20:0 Extra space after chapter number

DEU 20:0 Removed trailing space in c: 20

DEU 20:0 Removed trailing space in s1: Kwenda Vitani

DEU 20:1 Removed trailing space in v~: Mtakapokwenda vitani kupigana na adui zenu na mkaona farasi na magari ya vita na jeshi kubwa kuliko lenu, msiwaogope, kwa sababu \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliyewatoa kutoka Misri, atakuwa pamoja nanyi.

DEU 20:2 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapokaribia kwenda vitani, kuhani atakuja mbele na kuhutubia jeshi.

DEU 20:3 Removed trailing space in v~: Atasema: “Sikia, ee Israeli, leo unakwenda vitani kupigana na adui zako. Usife moyo wala usiogope, usitishwe wala usitiwe hofu mbele yao.

DEU 20:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu ndiye huenda pamoja nanyi kuwapigania dhidi ya adui zenu na kuwapatia ushindi.”

DEU 20:5 Removed trailing space in v~: Maafisa wataliambia jeshi: “Je, kuna yeyote aliyejenga nyumba mpya ambayo haijawekwa wakfu? Yeye na arudi nyumbani, ama sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akaiweka wakfu.

DEU 20:6 Removed trailing space in v~: Je, kuna yeyote aliyepanda shamba la mizabibu na hajaanza kulifurahia? Yeye na arudi nyumbani, au sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akalifurahia.

DEU 20:7 Removed trailing space in v~: Je, kuna yeyote aliyeposa mwanamke na hajamwoa? Yeye na arudi nyumbani, ama sivyo anaweza kufa vitani na mtu mwingine akamwoa.”

DEU 20:8 Removed trailing space in v~: Kisha maafisa wataongeza haya, “Je, kuna mtu anayeogopa ama kufa moyo? Yeye na arudi nyumbani ili ndugu zake nao wasije wakafa moyo pia.”

DEU 20:9 Removed trailing space in v~: Wakati maafisa watakapomaliza kuzungumza na jeshi, watawateua wakuu wa vikosi.

DEU 20:10 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapokwenda kushambulia mji, wapeni watu wake masharti ya amani.

DEU 20:11 Removed trailing space in v~: Wakikubali na kuwafungulia malango yao, watu wake wote watawatumikia kwa kufanya kazi ngumu na watawatumikia.

DEU 20:12 Removed trailing space in v~: Ikiwa watakataa kufanya mapatano ya amani na wakiwaingiza katika vita, basi mtauzunguka mji huo kwa vita.

DEU 20:13 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* Mungu wenu atakapouweka mji huo mkononi mwenu, waueni kwa upanga wanaume wote waliomo ndani yake.

DEU 20:14 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa wanawake, watoto, mifugo na kila kitu kingine chochote ndani ya huo mji, mnaweza kuvichukua kama nyara kwa ajili yenu. Nanyi mnaweza kuzitumia hizo nyara ambazo \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa kutoka kwa adui zenu.

DEU 20:15 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo mtakavyofanya kwa miji yote ambayo iko mbali nanyi, ambayo haimilikiwi na mataifa ya karibu.

DEU 20:16 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, katika miji ya mataifa ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa kama urithi, msiache kitu chochote hai kinachopumua.

DEU 20:17 Removed trailing space in v~: Waangamizeni kabisa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi, kama \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyowaamuru.

DEU 20:18 Removed trailing space in v~: La sivyo, watawafundisha kufuata mambo yote ya machukizo wanayofanya wakiabudu miungu yao, nanyi mtatenda dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 20:19 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapouzunguka mji kwa vita kwa muda mrefu, mkipigana dhidi yake ili kuuteka, msiharibu miti yake kwa kuikata kwa shoka, kwa sababu mtaweza kula matunda yake. Hivyo msiikate. Je, miti hiyo ya mashambani ni watu, hata muizingire?

DEU 20:20 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, mnaweza kuikata miti ambayo sio miti ya matunda na kuitumia kujenga ngome, mpaka mji ulio katika vita na ninyi utakapoanguka.

DEU 21:0 Extra space after chapter number

DEU 21:0 Removed trailing space in c: 21

DEU 21:0 Removed trailing space in s1: Upatanisho Kuhusu Mauaji

DEU 21:1 Removed trailing space in v~: Kama mtu akikutwa ameuawa, naye amelala kwenye shamba katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa kuimiliki, wala haijulikani ni nani aliyemuua,

DEU 21:2 Removed trailing space in v~: wazee wenu na waamuzi watatoka na kupima umbali kutoka maiti alipolala mpaka kwenye miji ya jirani.

DEU 21:3 Removed trailing space in v~: Kisha wazee wa ule mji ulio karibu zaidi na yule maiti watamchukua mtamba ambaye hajapata kufanyishwa kazi na ambaye hajafungwa nira,

DEU 21:4 Removed trailing space in v~: na kumpeleka kwenye bonde ambalo halijapata kulimwa au kupandwa mazao na ambapo kuna chemchemi itiririkayo. Huko kwenye hilo bonde, wazee watamvunja yule mtamba shingo.

DEU 21:5 Removed trailing space in v~: Makuhani, hao wana wa Lawi, watasogea mbele, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu, amewachagua kuhudumu na kutoa baraka katika jina la \nd Bwana\nd*, na kuamua mashauri yote ya mabishano na mashambulio.

DEU 21:6 Removed trailing space in v~: Ndipo wazee wote wa mji ulio karibu zaidi na huyo maiti watanawa mikono yao juu ya huyo mtamba ambaye shingo yake imevunjwa huko kwenye bonde,

DEU 21:7 Removed trailing space in v~: nao watatangaza: “Mikono yetu haikumwaga damu hii, wala macho yetu hayakuona likifanyika.

DEU 21:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ukubali upatanisho kwa watu wako Israeli, ambao umewakomboa, wala usiwahesabie watu wako hatia ya damu ya mtu asiyekuwa na hatia.” Nayo damu iliyomwagika itakuwa imefanyiwa upatanisho.

DEU 21:9 Removed trailing space in v~: Hivyo mtakuwa mmejitakasa wenyewe kutoka hatia ya kumwaga damu isiyokuwa na hatia, kwa kuwa mmefanya lile lililo sawa mbele za macho ya \nd Bwana\nd*.

DEU 21:9 Removed trailing space in s1: Kuoa Mwanamke Mateka

DEU 21:10 Removed trailing space in v~: Mkienda vitani kupigana na adui zenu naye \nd Bwana\nd* Mungu wenu akawatia adui mikononi mwenu, nanyi mkachukua mateka,

DEU 21:11 Removed trailing space in v~: kama ukiona miongoni mwa mateka mwanamke mzuri wa sura nawe wavutwa naye, waweza kumwoa akawa mke wako.

DEU 21:12 Removed trailing space in v~: Mlete nyumbani mwako, anyoe nywele na kukata kucha zake,

DEU 21:13 Removed trailing space in v~: avue nguo alizokuwa amevaa alipotekwa. Baada ya kuishi nyumbani mwako na kumwombolezea baba yake na mama yake kwa mwezi mzima, ndipo utakapoweza kumwendea na kuwa mume wake naye atakuwa mke wako.

DEU 21:14 Removed trailing space in v~: Lakini kama hutaendelea kupendezwa naye, mwache aende popote anapotaka. Kamwe huwezi kumuuza au kumtendea kama mtumwa, kwa sababu utakuwa umemvunjia heshima.

DEU 21:14 Removed trailing space in s1: Haki Ya Mzaliwa Wa Kwanza

DEU 21:15 Removed trailing space in v~: Kama mwanaume ana wake wawili, naye anampenda mmoja na mwingine hampendi na wote wawili wamemzalia wana wa kiume, lakini mwana mzaliwa wa kwanza ni wa yule mke asiyempenda,

DEU 21:16 Removed trailing space in v~: wakati anapotoa wosia wa mali yake kwa wanawe, kamwe asitoe haki za mzaliwa wa kwanza kwa mwana wa mke ampendaye kwa upendeleo, badala ya mzaliwa hasa wa kwanza, ambaye ni mwana wa mke ambaye hampendi.

DEU 21:17 Removed trailing space in v~: Ni lazima amkubali mwana wa mke asiyempenda kama mzaliwa wa kwanza kwa kumpa sehemu ya vile vyote alivyo navyo maradufu. Mwana huyo ni ishara ya kwanza ya nguvu za baba yake. Haki ya mzaliwa wa kwanza ni yake yeye.

DEU 21:17 Removed trailing space in s1: Mwana Mwasi

DEU 21:18 Removed trailing space in v~: Kama mtu ana mwana mkaidi na mwasi ambaye hamtii baba yake na mama yake, na hasikii wazazi wanapomrudi,

DEU 21:19 Removed trailing space in v~: baba yake na mama yake watamleta kwa wazee kwenye lango la mji wake.

DEU 21:20 Removed trailing space in v~: Watawaambia wazee, “Huyu mwanetu ni mkaidi na mwasi. Hatutii sisi, yeye ni mpotovu na mlevi.”

DEU 21:21 Removed trailing space in v~: Kisha wanaume wote wa mjini mwake watampiga kwa mawe mpaka afe. Ndivyo imewapasa kuondoa maovu kati yenu. Israeli yote itasikia hili na kuogopa.

DEU 21:21 Removed trailing space in s1: Sheria Mbalimbali

DEU 21:22 Removed trailing space in v~: Kama mtu ana hatia ya kosa linalompasa kuuawa naye akauawa, mwili wake utaangikwa mtini,

DEU 21:23 Removed trailing space in v~: kamwe msiuache mwili wake mtini usiku kucha. Hakikisheni mnauzika mwili wake siku ile ile, kwa sababu kila mtu anayeangikwa mtini yupo chini ya laana ya Mungu. Msiinajisi nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa kama urithi wenu.

DEU 22:0 Extra space after chapter number

DEU 22:0 Removed trailing space in c: 22

DEU 22:1 Removed trailing space in v~: Kama ukimwona ngʼombe au kondoo wa ndugu yako anapotea, usipuuze, bali uhakikishe unamrudisha kwa mwenyewe.

DEU 22:2 Removed trailing space in v~: Ikiwa huyo ndugu haishi karibu nawe au kama hufahamu yeye ni nani, mchukue nyumbani kwako huyo mnyama umweke mpaka mwenyewe aje kumtafuta. Ndipo umrudishie.

DEU 22:3 Removed trailing space in v~: Fanya vivyo hivyo ukimkuta punda wa nduguyo au joho lake au chochote alichopoteza. Usipuuze jambo hilo.

DEU 22:4 Removed trailing space in v~: Kama ukimwona punda wa nduguyo au ngʼombe wake ameanguka barabarani, usipuuze jambo hilo. Msaidie asimame kwa miguu yake.

DEU 22:5 Removed trailing space in v~: Haimpasi mwanamke kuvaa nguo za kiume wala mwanaume kuvaa nguo za kike, kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wenu anachukia yeyote ambaye hufanya hivi.

DEU 22:6 Removed trailing space in v~: Kama ukikuta kiota cha ndege kando ya barabara, iwe juu ya mti au chini, naye ndege amelala juu ya makinda au mayai, usimchukue huyo ndege pamoja na makinda yake.

DEU 22:7 Removed trailing space in v~: Waweza kuchukua makinda, lakini uwe na hakika ya kumwacha huyo ndege, ili upate kufanikiwa na uweze kuishi maisha marefu.

DEU 22:8 Removed trailing space in v~: Wakati unapojenga nyumba mpya, fanya ukuta wa kuzuia kandokando ya dari ili usijiletee hatia ya kumwaga damu juu ya nyumba yako ikiwa yeyote ataanguka kutoka humo.

DEU 22:9 Removed trailing space in v~: Usipande aina mbili za mbegu katika shamba lako la mizabibu; ikiwa utafanya hivyo, si mazao utakayopanda tu yatakuwa najisi, bali nayo matunda ya shamba la mizabibu pia.

DEU 22:10 Removed trailing space in v~: Usilime kwa maksai aliyefungwa nira pamoja na punda.

DEU 22:11 Removed trailing space in v~: Usivae nguo za sufu na kitani zilizofumwa pamoja.

DEU 22:12 Removed trailing space in v~: Fanya vishada kwenye pembe nne za joho unalovaa.

DEU 22:12 Removed trailing space in s1: Kukiuka Taratibu Za Ndoa

DEU 22:13 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu atamwoa mke na, baada ya kufanya naye tendo la ndoa, akamchukia,

DEU 22:14 Removed trailing space in v~: akimsingizia na kumwita jina baya, akisema, “Nilimwoa mwanamke huyu, lakini nilipomkaribia sikupata uthibitisho wa ubikira wake”

DEU 22:15 Removed trailing space in v~: ndipo baba na mama wa msichana wataleta uthibitisho kwamba alikuwa bikira kwa wazee wa mji kwenye lango.

DEU 22:16 Removed trailing space in v~: Baba wa msichana atawaambia wazee, “Nilimwoza binti yangu kwa huyu mwanaume, lakini hampendi.

DEU 22:17 Removed trailing space in v~: Sasa amemsingizia na kusema, ‘Sikumkuta huyu binti akiwa bikira.’ Lakini hapa kuna uthibitisho wa ubikira wa binti yangu.” Kisha wazazi wake wataonyesha nguo zake kwa wazee wa mji,

DEU 22:18 Removed trailing space in v~: nao wazee watamchukua huyo mwanaume na kumwadhibu.

DEU 22:19 Removed trailing space in v~: Watamtoza shekeli mia moja\f + \fr 22:19 \ft Shekeli 100 za fedha ni sawa na kilo moja.\f* za fedha na kupewa wazazi wa msichana, kwa sababu mwanaume huyu amempa bikira wa Kiisraeli jina baya. Ataendelea kuwa mke wake; kamwe hawezi kumpa talaka siku zote za maisha yake.

DEU 22:20 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kama shtaka ni la kweli na hakuna uthibitisho juu ya ubikira wa huyo msichana ulioweza kupatikana,

DEU 22:21 Removed trailing space in v~: huyo msichana ataletwa kwenye mlango wa nyumba ya baba yake, na hapo watu wa mji wake watampiga kwa mawe hadi afe. Amefanya kitu cha aibu katika Israeli kwa kufanya ukahaba akiwa nyumbani kwa babaye. Lazima mwondoe uovu katikati yenu.

DEU 22:22 Removed trailing space in v~: Ikiwa mwanaume atakutwa akizini na mke wa mtu mwingine, wote wawili, mwanaume na mwanamke aliyezini naye, lazima wauawe. Lazima mwondoe uovu katika Israeli.

DEU 22:23 Removed trailing space in v~: Ikiwa mwanaume atakutana na bikira mjini ambaye ameposwa na mtu akazini naye,

DEU 22:24 Removed trailing space in v~: utawachukua wote wawili kwenye lango la mji na kuwapiga kwa mawe mpaka wafe; yule msichana kwa kuwa alikuwa mjini na hakupiga kelele kuomba msaada, na yule mwanaume kwa sababu amemtenda jeuri mke wa mtu mwingine. Lazima mwondoe uovu katikati yenu.

DEU 22:25 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa itatokea mwanaume akakutana na msichana aliyeposwa huko mashambani, akambaka, mwanaume aliyefanya hivi peke yake ndiye atakayeuawa.

DEU 22:26 Removed trailing space in v~: Usimtendee msichana yule jambo lolote; hajafanya dhambi inayostahili kifo. Shauri hili ni kama lile la yeyote ambaye anamshambulia na kumuua kwa makusudi jirani yake,

DEU 22:27 Removed trailing space in v~: kwa maana mwanaume huyo alimkuta msichana huko mashambani, na ingawa msichana aliyeposwa alipiga kelele, hapakuwa na mtu wa kumwokoa.

DEU 22:28 Removed trailing space in v~: Ikiwa itatokea mwanaume akutane na bikira ambaye hajaposwa na kumbaka nao wakakutwa,

DEU 22:29 Removed trailing space in v~: mwanaume atamlipa baba wa msichana shekeli hamsini\f + \fr 22:29 \ft Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.\f* za fedha. Ni lazima amwoe huyo msichana, kwa maana amemfanyia jeuri. Kamwe hawezi kumpa talaka siku zote za maisha yake.

DEU 22:30 Removed trailing space in v~: Mwanaume asimwoe mke wa baba yake; kamwe asidhalilishe kitanda cha baba yake.

DEU 23:0 Extra space after chapter number

DEU 23:0 Removed trailing space in c: 23

DEU 23:0 Removed trailing space in s1: Kutengwa Na Mkutano

DEU 23:1 Removed trailing space in v~: Asiingie mtu yeyote aliyehasiwa kwa kupondwa makende au kwa kukatwa uume wake katika kusanyiko la \nd Bwana\nd*.

DEU 23:2 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote ambaye amezaliwa kwenye ndoa isiyo halali au wazao wake wasiingie kwenye kusanyiko la \nd Bwana\nd*, hata mpaka kizazi cha kumi.

DEU 23:3 Removed trailing space in v~: Hapatakuwa na Mwamoni au Mmoabu au yeyote wa wazao wao atakayeruhusiwa kuingia katika kusanyiko la \nd Bwana\nd*, hata mpaka kizazi cha kumi.

DEU 23:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hawakuja kuwalaki wakiwa na mkate na maji mlipokuwa njiani mlipotoka Misri, tena walimwajiri Balaamu mwana wa Beori kutoka Pethori iliyoko Aramu-Naharaimu\f + \fr 23:4 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.\f* ili kuwalaani ninyi.

DEU 23:5 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, \nd Bwana\nd* Mungu wenu hakumsikiliza Balaamu bali aligeuza laana kuwa baraka kwenu kwa sababu \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapenda.

DEU 23:6 Removed trailing space in v~: Msitafute mapatano ya urafiki nao maisha yenu yote.

DEU 23:7 Removed trailing space in v~: Usimchukie Mwedomu, kwa kuwa yeye ni ndugu yako. Usimchukie Mmisri, kwa sababu uliishi kama mgeni katika nchi yake.

DEU 23:8 Removed trailing space in v~: Kizazi cha tatu cha watoto watakaozaliwa nao wanaweza kuingia katika kusanyiko la \nd Bwana\nd*.

DEU 23:8 Removed trailing space in s1: Unajisi Katika Kambi

DEU 23:9 Removed trailing space in v~: Unapokuwa umepiga kambi dhidi ya adui zako, jitenge na kitu chochote kisicho safi.

DEU 23:10 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu amechafuka kwa sababu ya kutokwa na shahawa usiku, inampasa atoke nje ya kambi na kukaa huko.

DEU 23:11 Removed trailing space in v~: Lakini jioni ikikaribia ataoga, na baada ya jua kuzama ataingia tena kambini.

DEU 23:12 Removed trailing space in v~: Tengeni mahali nje ya kambi ambapo mnaweza kwenda kujisaidia.

DEU 23:13 Removed trailing space in v~: Kama sehemu ya vifaa vyenu kuweni na kitu cha kulimia, nanyi mnapojisaidia, chimba shimo na kisha funika kile kikutokacho.

DEU 23:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu hutembea katika kambi yenu ili kuwalinda na kuwaweka adui zenu mikononi mwenu. Kambi yenu ni lazima iwe takatifu, ili asione kitu chochote miongoni mwenu kilicho kichafu akageuka na kuwaacha.

DEU 23:14 Removed trailing space in s1: Sheria Mbalimbali

DEU 23:15 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtumwa amekimbilia kwako, usimrudishe kwa bwana wake.

DEU 23:16 Removed trailing space in v~: Mwache aishi miongoni mwenu mahali popote anapopapenda na katika mji wowote anaochagua. Usimwonee.

DEU 23:17 Removed trailing space in v~: Asiwepo Mwisraeli mwanamke kahaba au mwanaume hanithi wa mahali pa kuabudia miungu.

DEU 23:18 Removed trailing space in v~: Kamwe usilete mapato ya ukahaba ikiwa ni ya mwanamke au ni ya mwanaume katika nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa ajili ya nadhiri yoyote, kwa sababu \nd Bwana\nd* Mungu wako anachukizwa na yote mawili.

DEU 23:19 Removed trailing space in v~: Usimtoze ndugu yako riba, iwe ni fedha ama chakula ama kitu kingine chochote ambacho waweza kupata riba juu yake.

DEU 23:20 Removed trailing space in v~: Unaweza kumtoza mgeni riba, lakini siyo nduguyo Mwisraeli, ili kwamba \nd Bwana\nd* Mungu wako akubariki katika kila kitu unachoweka mkono katika nchi unayoingia kuimiliki.

DEU 23:21 Removed trailing space in v~: Ukiweka nadhiri kwa \nd Bwana\nd* Mungu wako, usichelewe kuitimiza, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wako atakudai, nawe utakuwa na hatia ya dhambi.

DEU 23:22 Removed trailing space in v~: Lakini ukijizuia kuweka nadhiri, hutakuwa na hatia.

DEU 23:23 Removed trailing space in v~: Chochote kitakachotamkwa kwa midomo yako ni lazima uhakikishe umekifanya, kwa sababu uliweka nadhiri yako kwa hiari mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa kinywa chako mwenyewe.

DEU 23:24 Removed trailing space in v~: Kama ukiingia katika shamba la mizabibu la jirani yako, unaweza kula zabibu kadiri utakavyo, lakini usiweke chochote kwenye kikapu chako.

DEU 23:25 Removed trailing space in v~: Kama ukiingia katika shamba la nafaka la jirani yako, unaweza kukwanyua kwa mikono yako, lakini usikate kwa mundu nafaka iliyosimama.

DEU 24:0 Extra space after chapter number

DEU 24:0 Removed trailing space in c: 24

DEU 24:0 Removed trailing space in s1: Sheria Kuhusu Ndoa Na Talaka

DEU 24:1 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu atamwoa mke na akamchukia kwa sababu ya kukosa adabu, naye akamwandikia hati ya talaka, akampa na kumfukuza kutoka nyumbani kwake,

DEU 24:2 Removed trailing space in v~: ikiwa baada ya kuondoka nyumbani kwake atakuwa mke wa mtu mwingine,

DEU 24:3 Removed trailing space in v~: ikiwa mume wake wa pili atachukizwa naye akamwandikia hati ya talaka, akampa na kumfukuza kutoka nyumbani kwake, au kama akifa,

DEU 24:4 Removed trailing space in v~: basi yule mume wake wa kwanza, ambaye alimpa talaka, haruhusiwi kumwoa tena baada ya mwanamke huyo kuwa najisi. Hayo yatakuwa machukizo machoni pa \nd Bwana\nd*. Usilete dhambi juu ya nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wako anakupa kama urithi.

DEU 24:5 Removed trailing space in v~: Kama mtu ameoa karibuni, kamwe asipelekwe vitani au kupewa wajibu mwingine wowote. Kwa mwaka mmoja atakuwa huru kubaki nyumbani ili amfurahishe mke aliyemwoa.

DEU 24:6 Removed trailing space in v~: Usitoe jozi ya mawe ya kusagia, hata ikiwa lile la juu, kuweka rehani kwa ajili ya deni, kwa sababu itakuwa ni kuweka uhai wa mtu kama dhamana.

DEU 24:7 Removed trailing space in v~: Kama mtu akikamatwa akiiba yeyote miongoni mwa ndugu zake wa Waisraeli na kumtenda kama mtumwa au akimuuza, mwizi huyo ni lazima auawe. Nawe utaondoa uovu kutoka miongoni mwenu.

DEU 24:8 Removed trailing space in v~: Pakitokea magonjwa ya ngozi ya kuambukiza, mwe waangalifu sana kufanya sawasawa na maagizo ya makuhani, ambao ni Walawi. Ni lazima mfuate kwa uangalifu yale niliyowaamuru.

DEU 24:9 Removed trailing space in v~: Kumbukeni kile \nd Bwana\nd* Mungu wenu alichomfanyia Miriamu njiani baada ya ninyi kutoka Misri.

DEU 24:10 Removed trailing space in v~: Unapomkopesha jirani yako chochote, usiingie nyumbani kwake kutwaa kile anachokitoa kama rehani.

DEU 24:11 Removed trailing space in v~: Ukae nje na umwache huyo mtu uliyemkopesha akuletee hiyo rehani.

DEU 24:12 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu huyo ni maskini, usiende kulala ukiwa na hiyo rehani yake katika milki yako.

DEU 24:13 Removed trailing space in v~: Rudisha vazi lake kabla ya machweo ya jua ili apate kulilalia. Kisha atakushukuru na kitaonekana kama kitendo cha haki mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wako.

DEU 24:14 Removed trailing space in v~: Usimwonee mtu maskini na mhitaji ambaye umemwajiri, akiwa ni nduguyo Mwisraeli au mgeni anayeishi katika mojawapo ya miji yenu.

DEU 24:15 Removed trailing space in v~: Mlipe ujira wake kila siku kabla ya jua kutua, kwa sababu yeye ni maskini na anautegemea ujira huo. La sivyo, anaweza kumlilia \nd Bwana\nd* dhidi yako, nawe ukapata hatia ya dhambi.

DEU 24:16 Removed trailing space in v~: Baba wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya baba zao; kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe.

DEU 24:17 Removed trailing space in v~: Usipotoshe hukumu ya mgeni au yatima, au kuchukua vazi la mjane kama rehani.

DEU 24:18 Removed trailing space in v~: Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa huko Misri, naye \nd Bwana\nd* Mungu wenu akawakomboa kutoka huko. Hii ndiyo sababu ninawaamuru kutenda hili.

DEU 24:19 Removed trailing space in v~: Unapovuna shamba lako na ukasahau mganda, usirudi kuuchukua. Acha kwa ajili ya mgeni, yatima na mjane, ili \nd Bwana\nd* Mungu wako aweze kukubariki wewe katika kazi zote za mikono yako.

DEU 24:20 Removed trailing space in v~: Unapovuna zeituni kutoka miti yako, usirudie matawi mara ya pili. Acha kilichobaki kwa ajili ya mgeni, yatima na mjane.

DEU 24:21 Removed trailing space in v~: Unapochuma zabibu katika shamba lako la mizabibu usirudie tena. Acha zinazobaki kwa ajili ya mgeni, yatima na mjane.

DEU 24:22 Removed trailing space in v~: Kumbuka kwamba mlikuwa watumwa katika nchi ya Misri. Ndiyo sababu ninawaamuru kufanya hili.

DEU 25:0 Extra space after chapter number

DEU 25:0 Removed trailing space in c: 25

DEU 25:1 Removed trailing space in v~: Watu wanapokuwa na ugomvi, wapeleke mahakamani na waamuzi wataamua shauri hilo; watawaachia wasio na kosa na kuwahukumu wenye hatia.

DEU 25:2 Removed trailing space in v~: Kama mtu mwenye hatia anastahili kuchapwa, mwamuzi atamwamuru alale chini ili achapwe mbele yake idadi ya viboko kulingana na kosa lake,

DEU 25:3 Removed trailing space in v~: lakini kamwe asichapwe zaidi ya viboko arobaini. Ikiwa atachapwa zaidi ya viboko arobaini, nduguyo atadhalilika machoni pako.

DEU 25:4 Removed trailing space in v~: Usimfunge maksai kinywa anapopura nafaka.

DEU 25:5 Removed trailing space in v~: Ikiwa ndugu wanaishi pamoja na mmoja wao akafa bila kuacha mwana, kamwe mjane wake asiolewe nje ya jamaa hiyo. Ndugu wa mumewe atamchukua, amwoe na kutimiza wajibu wa shemeji kwake.

DEU 25:6 Removed trailing space in v~: Mwana wa kwanza atakayemzaa atapewa jina la ndugu aliyekufa ili jina lake lisifutike katika Israeli.

DEU 25:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, ikiwa ndugu huyo wa mume hataki kuoa huyo mke wa nduguye, mjane atawaendea wazee kwenye lango la mji na kusema, “Ndugu wa mume wangu anakataa kuendeleza jina la nduguye katika Israeli. Hataki kutimiza wajibu wa shemeji kwangu.”

DEU 25:8 Removed trailing space in v~: Ndipo wazee wa mji wake watamwita na kuzungumza naye. Kama atashikilia kukataa akisema, “Sitaki kumwoa,”

DEU 25:9 Removed trailing space in v~: mjane wa nduguye atamwendea mbele ya wazee, atamvua kiatu kimoja na kumtemea mate usoni, na kusema, “Hivi ndivyo ambavyo hufanywa kwa mtu ambaye atakataa kuendeleza jamaa ya ndugu yake.”

DEU 25:10 Removed trailing space in v~: Jamaa ya mtu huyo itafahamika katika Israeli kama Jamaa ya Aliyevuliwa Kiatu.

DEU 25:11 Removed trailing space in v~: Ikiwa watu wawili wanapigana na mke wa mmoja wao akaja kumwokoa mumewe na yule anayemshambulia, naye mke huyo akifika na kumkamata sehemu za siri,

DEU 25:12 Removed trailing space in v~: huyo mwanamke utamkata mkono wake. Usimhurumie.

DEU 25:13 Removed trailing space in v~: Usiwe na mawe ya kupimia ya aina mbili katika mkoba wako, moja zito na jingine jepesi.

DEU 25:14 Removed trailing space in v~: Usiwe na vipimo viwili tofauti katika nyumba yako, kimoja kikubwa, kingine kidogo.

DEU 25:15 Removed trailing space in v~: Ni lazima uwe na uzito na vipimo sahihi na vya haki, ili upate kuishi maisha marefu katika nchi anayokupa \nd Bwana\nd* Mungu wako.

DEU 25:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wako humchukia yeyote ambaye hufanya mambo kama haya, yeyote anayetenda kwa udanganyifu.

DEU 25:17 Removed trailing space in v~: Kumbuka kile Waamaleki walichowatendea mlipokuwa njiani mkitoka Misri.

DEU 25:18 Removed trailing space in v~: Wakati mlipokuwa mmechoka na kuishiwa nguvu kwa safari yenu, wakawapiga wale wote waliokuja nyuma. Waamaleki hawakumwogopa Mungu.

DEU 25:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wako atakapokupa pumziko mbali na adui zako wote wanaokuzunguka katika nchi akupayo kuimiliki kuwa urithi, utafutilia mbali kumbukumbu lote la Waamaleki chini ya mbingu. Usisahau!

DEU 26:0 Extra space after chapter number

DEU 26:0 Removed trailing space in c: 26

DEU 26:0 Removed trailing space in s1: Malimbuko Na Zaka

DEU 26:1 Removed trailing space in v~: Mtakapokuwa mmeingia nchi ile ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa kama urithi na mtakapokuwa mmeimiliki na kukaa ndani yake,

DEU 26:2 Removed trailing space in v~: chukueni baadhi ya mavuno ya kwanza ya yale yote mtakayozalisha kutoka udongo wa nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapa na mweke kwenye kapu. Kisha uende mahali ambapo \nd Bwana\nd* Mungu wako atapachagua kuwa makao kwa ajili ya Jina lake

DEU 26:3 Removed trailing space in v~: na umwambie kuhani atakayekuwepo kwa wakati huo, “Ninatangaza leo kwa \nd Bwana\nd* Mungu wako kwamba nimekuja katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* aliwaapia baba zetu kwamba atatupa.”

DEU 26:4 Removed trailing space in v~: Kuhani atapokea lile kapu mikononi mwako na kuliweka chini mbele ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wako.

DEU 26:5 Removed trailing space in v~: Kisha utatangaza mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wako: “Baba yangu alikuwa Mwaramu aliyekuwa anatangatanga, akaenda Misri pamoja na watu wachache, akaishi huko hadi akawa taifa kubwa, lenye nguvu na watu wengi.

DEU 26:6 Removed trailing space in v~: Lakini Wamisri walituonea na kututaabisha, wakitufanyisha kazi ngumu.

DEU 26:7 Removed trailing space in v~: Kisha tulimlilia \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zetu, naye \nd Bwana\nd* akasikia sauti yetu na akaona huzuni yetu, taabu yetu na mateso yetu.

DEU 26:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akatutoa nchi ya Misri kwa mkono wenye nguvu na ulionyooshwa, pamoja na utisho mkuu, ishara za miujiza na maajabu.

DEU 26:9 Removed trailing space in v~: Akatuleta mahali hapa akatupa nchi hii, nchi inayotiririka maziwa na asali;

DEU 26:10 Removed trailing space in v~: nami sasa ninaleta malimbuko ya ardhi ambayo wewe, Ee \nd Bwana\nd*, umenipa.” Weka kapu mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wako na usujudu mbele zake.

DEU 26:11 Removed trailing space in v~: Kisha wewe pamoja na Walawi na wageni wote walioko miongoni mwenu mtafurahi katika vitu vyote vizuri ambavyo \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa pamoja na wa nyumbani mwenu.

DEU 26:12 Removed trailing space in v~: Wakati utakapokuwa umeshatoa zaka zote za mazao yako katika mwaka wa tatu, ambao ni mwaka wa zaka, utampa Mlawi, mgeni, yatima na mjane, ili waweze kula katika miji yenu na kushiba.

DEU 26:13 Removed trailing space in v~: Kisha umwambie \nd Bwana\nd* Mungu wako: “Nimeondoa katika nyumba yangu ile sehemu iliyowekwa wakfu na nimempa Mlawi, mgeni, yatima na mjane, kulingana na yote uliyoamuru. Sijazihalifu amri zako wala kusahau hata mojawapo.

DEU 26:14 Removed trailing space in v~: Sijala sehemu iliyowekwa wakfu wakati nilipokuwa nikiomboleza, wala sijaondoa mojawapo wakati nilipokuwa najisi, wala sijatoa sehemu yake yoyote kwa wafu. Nimemtii \nd Bwana\nd* Mungu wangu; nimefanya kila kitu ulichoniamuru.

DEU 26:15 Removed trailing space in v~: Angalia chini kutoka mbinguni, maskani yako matakatifu, uwabariki watu wako Israeli pamoja na nchi uliyotupa kama ulivyoahidi kwa kiapo kwa baba zetu, nchi inayotiririka maziwa na asali.”

DEU 26:15 Removed trailing space in s1: Fuata Maagizo Ya \nd Bwana\nd*

DEU 26:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wako anakuagiza leo kufuata amri hizi na sheria; zishike kwa bidii kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote.

DEU 26:17 Removed trailing space in v~: Umetangaza leo kwamba \nd Bwana\nd* ndiye Mungu wako na kwamba utafuata njia zake, kwamba utayashika maagizo yake, amri zake na sheria zake nawe utamtii.

DEU 26:18 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* ametangaza leo kwamba ninyi ni taifa lake, hazina yake ya thamani kama alivyoahidi, ili kwamba mpate kuyashika maagizo yake yote.

DEU 26:19 Removed trailing space in v~: Ametangaza kwamba atawaweka juu kuliko mataifa mengine aliyoyafanya katika sifa, kuwa fahari na heshima, na kwamba mtakuwa taifa takatifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu, kama alivyoahidi.

DEU 27:0 Extra space after chapter number

DEU 27:0 Removed trailing space in c: 27

DEU 27:0 Removed trailing space in s1: Madhabahu Katika Mlima Ebali

DEU 27:1 Removed trailing space in v~: Mose na wazee wa Israeli wakawaagiza watu: “Yashikeni maagizo haya yote ninayowaagiza leo.

DEU 27:2 Removed trailing space in v~: Mtakapokuwa mmevuka Mto Yordani na kuingia katika nchi awapayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu, msimamishe mawe makubwa na mkayatie lipu.

DEU 27:3 Removed trailing space in v~: Andikeni juu yake maneno yote ya sheria hii wakati mtakapokuwa mmevuka na kuingia katika nchi awapayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu, nchi itiririkayo maziwa na asali, kama vile \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, alivyowaahidi.

DEU 27:4 Removed trailing space in v~: Mtakapokuwa mmevuka Yordani, simamisheni mawe haya juu ya Mlima Ebali, kama ninavyowaagiza leo, mkayatie lipu.

DEU 27:5 Removed trailing space in v~: Huko mjengeeni \nd Bwana\nd* Mungu wenu madhabahu, madhabahu ya mawe. Msitumie kifaa chochote cha chuma juu yake.

DEU 27:6 Removed trailing space in v~: Jengeni madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa mawe ya shambani, na mtoe sadaka za kuteketezwa juu yake kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 27:7 Removed trailing space in v~: Toeni sadaka za amani juu yake, mkizila na kufurahia mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 27:8 Removed trailing space in v~: Nanyi mtaandika maneno yote ya sheria hii kwa wazi sana juu ya mawe haya ambayo mmesimamisha.”

DEU 27:8 Removed trailing space in s1: Laana Kutoka Mlima Ebali

DEU 27:9 Removed trailing space in v~: Kisha Mose na makuhani, ambao ni Walawi, wakawaambia Israeli wote, “Nyamaza ee Israeli, sikiliza! Sasa umekuwa taifa la \nd Bwana\nd* Mungu wako.

DEU 27:10 Removed trailing space in v~: Mtii \nd Bwana\nd* Mungu wako, na kufuata amri zake na maagizo ninayokupa leo.”

DEU 27:11 Removed trailing space in v~: Siku ile ile Mose akawaagiza watu:

DEU 27:12 Removed trailing space in v~: Mtakapovuka Mto Yordani, makabila haya yatasimama juu ya Mlima Gerizimu kubariki watu: Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Yosefu na Benyamini.

DEU 27:13 Removed trailing space in v~: Makabila haya yatasimama juu ya Mlima Ebali kwa kutamka laana: Reubeni, Gadi, Asheri, Zabuloni, Dani na Naftali.

DEU 27:14 Removed trailing space in v~: Nao Walawi watawasomea watu wote wa Israeli kwa sauti kubwa:

DEU 27:15 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu afanyaye sanamu ya kuchonga au mwenye kusubu sanamu, kitu ambacho ni chukizo kwa \nd Bwana\nd*, kazi ya mikono ya fundi stadi, na kuisimamisha kwa siri.”

DEU 27:15 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:16 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu amdharauye baba yake na mama yake.”

DEU 27:16 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:17 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu asogezaye jiwe la mpaka wa jirani yake.”

DEU 27:17 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:18 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu ampotoshaye kipofu njiani.”

DEU 27:18 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:19 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu apotoshaye haki ya mgeni, yatima au mjane.”

DEU 27:19 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:20 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mke wa baba yake, kwa maana anadharau malazi ya baba yake.”

DEU 27:20 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:21 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mnyama yeyote.”

DEU 27:21 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:22 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na dada yake, binti wa baba yake au binti wa mama yake.”

DEU 27:22 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:23 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mama mkwe wake.”

DEU 27:23 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:24 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu amuuaye jirani yake kwa siri.”

DEU 27:24 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:25 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu apokeaye rushwa ili kumuua mtu asiye na hatia.”

DEU 27:25 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 27:26 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe mtu yule ambaye hatashikilia maneno ya sheria hii kwa kuyatekeleza.”

DEU 27:26 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote watasema, “Amen!”

DEU 28:0 Extra space after chapter number

DEU 28:0 Removed trailing space in c: 28

DEU 28:0 Removed trailing space in s1: Baraka Za Utiifu

DEU 28:0 Removed trailing space in r: (Walawi 26:3-13; Kumbukumbu 7:12-24)

DEU 28:1 Removed trailing space in v~: Kama ukimtii \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa bidii na kufuata amri zake zote ninazokupa leo kwa bidii, \nd Bwana\nd* Mungu wako atakuweka juu ya mataifa yote katika dunia.

DEU 28:2 Removed trailing space in v~: Baraka hizi zote zitakuja juu yako na kukupata, kama ukimtii \nd Bwana\nd* Mungu wako:

DEU 28:3 Removed trailing space in v~: Utabarikiwa mjini na utabarikiwa mashambani.

DEU 28:4 Removed trailing space in v~: Utabarikiwa uzao wa tumbo lako, na mazao ya nchi yako na wanyama wako wachanga wa kufugwa, yaani ndama wa makundi yako ya ngʼombe, na wana-kondoo wa makundi yako.

DEU 28:5 Removed trailing space in v~: Kapu lako na vyombo vyako vya kukandia vitabarikiwa.

DEU 28:6 Removed trailing space in v~: Utabarikiwa uingiapo na utabarikiwa utokapo.

DEU 28:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atasababisha adui wainukao dhidi yako kushindwa mbele yako. Watakujia kwa njia moja lakini watakimbia mbele yako kwa njia saba.

DEU 28:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataagiza baraka juu ya ghala zako na juu ya kila kitu utakachogusa kwa mkono wako. \nd Bwana\nd* Mungu wako atakubariki katika nchi anayokupa.

DEU 28:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakufanya kuwa taifa lake takatifu, kama alivyokuahidi kwa kiapo, kama ukishika maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wako na kwenda katika njia zake.

DEU 28:10 Removed trailing space in v~: Kisha mataifa yote ya dunia wataona kuwa unaitwa kwa jina la \nd Bwana\nd*, nao watakuogopa.

DEU 28:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakupa kustawi kwa wingi, katika tunda la uzao wa tumbo lako, katika wanyama wachanga wa mifugo yako na katika mazao ya ardhi yako, katika nchi aliyowaapia baba zako kuwapa.

DEU 28:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atafungua mbingu, ghala zake za baraka, kukupa mvua kwa majira yake na kubariki kazi zako zote za mikono yako. Utakopesha mataifa mengi lakini hutakopa kwa yeyote.

DEU 28:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakufanya kichwa, wala si mkia. Kama utazingatia maagizo ya \nd Bwana\nd* Mungu wako ninayokupa siku hii ya leo na kuyafuata kwa bidii, daima utakuwa juu, kamwe hutakuwa chini.

DEU 28:14 Removed trailing space in v~: Usihalifu amri zangu zozote ninazokupa leo, kwa kwenda kuume au kushoto, kwa kufuata miungu mingine na kuitumikia.

DEU 28:14 Removed trailing space in s1: Laana Kwa Kutokutii

DEU 28:14 Removed trailing space in r: (Walawi 26:14-46)

DEU 28:15 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kama hutamtii \nd Bwana\nd* Mungu wako na kuzishika kwa bidii amri zake zote na maagizo ninayokupa leo, laana hizi zote zitakuja juu yako na kukupata:

DEU 28:16 Removed trailing space in v~: Utalaaniwa mjini na utalaaniwa mashambani.

DEU 28:17 Removed trailing space in v~: Kapu lako na chombo chako cha kukandia kitalaaniwa.

DEU 28:18 Removed trailing space in v~: Uzao wa tumbo lako utalaaniwa, mazao ya ardhi yako, ndama wa makundi yako ya ngʼombe na wana-kondoo wa makundi yako.

DEU 28:19 Removed trailing space in v~: Utalaaniwa uingiapo na utokapo.

DEU 28:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataleta laana juu yako, fadhaa na kukaripiwa katika kila kitu unachokigusa kwa mkono wako, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa ghafula kwa ajili ya maovu uliyoyafanya kwa kumwacha yeye.

DEU 28:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakupiga kwa magonjwa mpaka akuangamize kutoka nchi unayoingia kuimiliki.

DEU 28:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakupiga kwa magonjwa ya kudhoofisha, kwa homa na kuwashwa, hari na kwa ukame, kutu na kuwa na uchungu ambavyo vitakupiga mpaka uangamie.

DEU 28:23 Removed trailing space in v~: Anga juu yako itakuwa shaba, na ardhi chini yako itakuwa chuma.

DEU 28:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atafanya mvua ya nchi yako kuwa mavumbi na mchanga; vitakujia kutoka angani mpaka uangamie.

DEU 28:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakufanya ushindwe mbele ya adui zako. Utawajia kwa njia moja lakini utawakimbia mbele yao kwa njia saba, nawe utakuwa kitu cha kuchukiza kwa falme zote za dunia.

DEU 28:26 Removed trailing space in v~: Mizoga yenu itakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi, wala hapatakuwepo mtu yeyote wa kuwafukuza.

DEU 28:27 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakupiga kwa majipu ya Misri na kwa vidonda vitokavyo usaha na kuwashwa, ambako huwezi kuponywa.

DEU 28:28 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakupiga kwa wazimu, upofu na kuchanganyikiwa kwa akili.

DEU 28:29 Removed trailing space in v~: Wakati wa adhuhuri utapapasapapasa huku na huko kama mtu kipofu katika giza. Hutafanikiwa katika lolote ufanyalo; siku baada ya siku utaonewa na kunyangʼanywa, wala hakuna yeyote atakayekuokoa.

DEU 28:30 Removed trailing space in v~: Utaposa mke, lakini mtu mwingine atakutana naye kimwili. Utajenga nyumba, lakini hutaishi ndani yake. Utapanda shamba la mizabibu, lakini hutakula matunda yake.

DEU 28:31 Removed trailing space in v~: Ngʼombe wako atachinjwa mbele ya macho yako lakini hutakula nyama yake. Punda wako atachukuliwa kwa nguvu kutoka kwako wala hatarudishwa. Kondoo wako watapewa adui zako, wala hakuna mtu yeyote wa kuwaokoa.

DEU 28:32 Removed trailing space in v~: Wanao na binti zako watatolewa kwa mataifa mengine, nawe utayachosha macho yako ukiwatazamia siku baada ya siku, hutakuwa na nguvu kuinua mkono.

DEU 28:33 Removed trailing space in v~: Taifa usilolijua watakula mazao ya nchi yako na taabu ya kazi yako, hutakuwa na chochote, bali kuonewa kikatili siku zako zote.

DEU 28:34 Removed trailing space in v~: Vitu utakavyoviona kwa macho yako vitakufanya wazimu.

DEU 28:35 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atayapiga magoti yako na miguu yako kwa majipu yenye maumivu makali yasiyoponyeka, yakienea kutoka nyayo za miguu yako hadi utosini.

DEU 28:36 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakupeleka wewe na mfalme uliyemweka juu yako uende kwenye taifa ambalo hukulijua wewe wala baba zako. Huko utaabudu miungu mingine, miungu ya miti na mawe.

DEU 28:37 Removed trailing space in v~: Utakuwa kitu cha kuchukiza, tena kitu cha kudharauliwa na kudhihakiwa kwa mataifa yote huko \nd Bwana\nd* atakakokupeleka.

DEU 28:38 Removed trailing space in v~: Utapanda mbegu nyingi katika shamba lakini utavuna haba, kwa sababu nzige watazila.

DEU 28:39 Removed trailing space in v~: Utapanda mashamba ya mizabibu na kuyapalilia, lakini hutakunywa divai yake wala hutakusanya zabibu, kwa sababu wadudu watazila.

DEU 28:40 Removed trailing space in v~: Utakuwa na mizeituni katika nchi yako yote, lakini hutatumia hayo mafuta yake, kwa sababu zeituni zitapukutika.

DEU 28:41 Removed trailing space in v~: Utakuwa na wana na binti lakini hawatakuwa nawe, kwa sababu watachukuliwa mateka.

DEU 28:42 Removed trailing space in v~: Makundi ya nzige yatavamia miti yako yote na mazao ya nchi yako.

DEU 28:43 Removed trailing space in v~: Mgeni anayeishi miongoni mwako atainuka juu zaidi na zaidi kuliko wewe, lakini wewe utashuka chini zaidi na zaidi.

DEU 28:44 Removed trailing space in v~: Yeye atakukopesha, lakini wewe hutamkopesha. Yeye atakuwa kichwa, lakini wewe utakuwa mkia.

DEU 28:45 Removed trailing space in v~: Laana hizi zote zitakuja juu yako. Zitakufuatia na kukupata mpaka uangamizwe, kwa sababu hukumtii \nd Bwana\nd* Mungu wako, na kuzishika amri zake na maagizo yake aliyokupa.

DEU 28:46 Removed trailing space in v~: Zitakuwa ishara na ajabu kwako na kwa wazao wako milele.

DEU 28:47 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hukumtumikia \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa furaha na kwa moyo wakati wa kufanikiwa kwako,

DEU 28:48 Removed trailing space in v~: kwa hiyo katika njaa na kiu, katika uchi na umaskini wa kutisha, utawatumikia adui ambao \nd Bwana\nd* atawatuma dhidi yako. Yeye ataweka nira ya chuma shingoni mwako hadi amekwisha kukuangamiza.

DEU 28:49 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataleta taifa dhidi yako kutoka mbali, kutoka miisho ya dunia, kama tai ashukiavyo mawindo chini, taifa ambalo hutaijua lugha yake,

DEU 28:50 Removed trailing space in v~: taifa lenye uso mkali lisilojali wazee wala kuwahurumia vijana.

DEU 28:51 Removed trailing space in v~: Watakula wadogo wa mifugo yako na mazao ya nchi yako mpaka umeangamia. Hawatakuachia nafaka, divai mpya au mafuta, wala ndama wowote wa kundi lako au wana-kondoo wa kundi lako mpaka umekuwa magofu.

DEU 28:52 Removed trailing space in v~: Nao wataizingira miji yote katika nchi yako mpaka kuta ndefu za ngome ambazo unazitegemea zimeanguka. Watazingira miji yote katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wako anakupa.

DEU 28:53 Removed trailing space in v~: Utakula uzao wa tumbo lako, nyama ya wana wako na binti zako ambao \nd Bwana\nd* Mungu wako amekupa, kwa sababu ya mateso yale adui zako watakayokuletea wakati wa kukuzingira.

DEU 28:54 Removed trailing space in v~: Hata yule mtu muungwana sana na makini miongoni mwako hatakuwa na huruma kwa ndugu yake mwenyewe au kwa mke ampendaye au watoto wake waliosalia,

DEU 28:55 Removed trailing space in v~: naye hatampa hata mmoja wao nyama ya watoto wake ambao anawala. Kwa kuwa hakuna kitu kingine kilichosalia kwake katika mazingirwa makali ambayo adui yako watakuletea kwa miji yako yote.

DEU 28:56 Removed trailing space in v~: Mwanamke ambaye ni muungwana sana na makini miongoni mwako, yaani ambaye ni makini sana na muungwana kiasi kwamba asingethubutu kugusa ardhi kwa wayo wa mguu wake, yeye atakuwa mchoyo kwa mume ampendaye na mwanawe mwenyewe au binti yake,

DEU 28:57 Removed trailing space in v~: kondoo wa nyuma kutoka kwenye tumbo lake na watoto anaowazaa. Kwa kuwa anakusudia kuwala kwa siri wakati wa kuzingirwa na katika taabu zile ambazo adui yako atazileta juu yako na miji yako.

DEU 28:58 Removed trailing space in v~: Kama hutafuata kwa bidii maneno yote ya sheria hii, ambayo yameandikwa katika kitabu hiki na kama hutalicha hili jina la fahari na la kutisha, yaani la \nd Bwana\nd* Mungu wako,

DEU 28:59 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataleta mapigo ya kutisha juu yako na kwa wazao wako, maafa makali na ya kudumu, magonjwa mazito na ya kudumu.

DEU 28:60 Removed trailing space in v~: Atakuletea juu yako magonjwa yote ya Misri yale uliyoyaogopa, nayo yataambatana nawe.

DEU 28:61 Removed trailing space in v~: Pia \nd Bwana\nd* atakuletea kila aina ya ugonjwa na maafa ambayo hayakuandikwa humu katika kitabu hiki cha sheria, mpaka utakapokuwa umeangamizwa.

DEU 28:62 Removed trailing space in v~: Ninyi ambao mlikuwa wengi kama nyota za angani mtaachwa wachache tu, kwa sababu hamkumtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 28:63 Removed trailing space in v~: Kama ilivyompendeza \nd Bwana\nd* kuwafanya ninyi mstawi na kuongezeka kwa idadi, ndivyo itakavyompendeza kuwaharibu na kuwaangamiza ninyi. Mtangʼolewa kutoka nchi mnayoiingia kuimiliki.

DEU 28:64 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* atawatawanya miongoni mwa mataifa yote, kutoka mwisho mmoja wa dunia hadi mwingine. Huko mtaabudu miungu mingine, miungu ya miti na ya mawe, ambayo ninyi wala baba zenu hamkuijua.

DEU 28:65 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa mataifa hayo hamtapata raha wala mahali pa kupumzisha wayo wa mguu wenu. Huko \nd Bwana\nd* atawapa mahangaiko ya mawazo, macho yaliyochoka kwa kungojea na moyo uliokata tamaa.

DEU 28:66 Removed trailing space in v~: Utaishi katika mahangaiko siku zote, ukiwa umejaa hofu usiku na mchana, wala hutakuwa kamwe na uhakika wa maisha yako.

DEU 28:67 Removed trailing space in v~: Wakati wa asubuhi utasema hivi, “Laiti ingekuwa jioni!” Jioni utasema, “Laiti ingekuwa asubuhi,” kwa sababu ya hofu ile itakayojaza moyo wako na vitu vile macho yako yatakavyoviona.

DEU 28:68 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawarudisha tena Misri kwa meli, safari niliyosema kamwe hamngeenda tena. Huko mtajiuza ninyi wenyewe kwa adui zenu kama watumwa wa kiume na wa kike, lakini hakuna yeyote atakayewanunua.

DEU 29:0 Extra space after chapter number

DEU 29:0 Removed trailing space in c: 29

DEU 29:0 Removed trailing space in s1: Kufanya Upya Agano

DEU 29:1 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maneno ya Agano \nd Bwana\nd* aliyomwagiza Mose kufanya na Waisraeli huko Moabu, kuwa nyongeza ya Agano alilofanya nao huko Horebu.

DEU 29:2 Removed trailing space in v~: Mose akawaita Waisraeli wote akawaambia:

DEU 29:2 Removed trailing space in p~: Macho yenu yameona yale yote \nd Bwana\nd* aliyofanya kwa Mfalme Farao huko Misri, kwa maafisa wake wote na kwa nchi yake yote.

DEU 29:3 Removed trailing space in v~: Kwa macho yenu wenyewe mliona yale majaribu makubwa, ishara zile za miujiza na maajabu makubwa.

DEU 29:4 Removed trailing space in v~: Lakini mpaka leo \nd Bwana\nd* hajawapa akili ya kuelewa au macho yanayoona au masikio yanayosikia.

DEU 29:5 Removed trailing space in v~: Kwa muda wa miaka arobaini niliyowaongoza jangwani, nguo zenu hazikuchakaa, wala viatu miguuni mwenu.

DEU 29:6 Removed trailing space in v~: Hamkula mkate na hamkunywa divai wala kileo chochote. Nilifanya hivi ili mpate kujua kuwa mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

DEU 29:7 Removed trailing space in v~: Wakati mlipofika mahali hapa, Sihoni mfalme wa Heshboni na Ogu mfalme wa Bashani walikuja kupigana dhidi yetu, lakini tuliwashinda.

DEU 29:8 Removed trailing space in v~: Tuliichukua nchi yao na kuwapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase kama urithi wao.

DEU 29:9 Removed trailing space in v~: Fuateni kwa bidii masharti ya Agano hili, ili kwamba mweze kustawi katika kila kitu mnachofanya.

DEU 29:10 Removed trailing space in v~: Ninyi nyote leo mnasimama mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu; mkiwa viongozi na wakuu wenu, wazee na maafisa wenu, na wanaume wengine wote wa Israeli,

DEU 29:11 Removed trailing space in v~: pamoja na watoto wenu, wake zenu na pia wageni waishio katika kambi zenu wanaowapasulia kuni na kuwachotea maji.

DEU 29:12 Removed trailing space in v~: Mnasimama hapa ili kufanya Agano na \nd Bwana\nd* Mungu wenu, Agano ambalo Mungu analifanya nanyi siku hii ya leo na kulitia muhuri kwa kiapo,

DEU 29:13 Removed trailing space in v~: kuwathibitisha ninyi siku hii ya leo kama taifa lake, ili aweze kuwa Mungu wenu kama alivyowaahidi na kama alivyowaapia baba zenu Abrahamu, Isaki na Yakobo.

DEU 29:14 Removed trailing space in v~: Ninafanya Agano hili pamoja na kiapo chake, sio na ninyi tu

DEU 29:15 Removed trailing space in v~: mnaosimama hapa na sisi leo mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wetu, bali pia pamoja na wale ambao hawapo hapa leo.

DEU 29:16 Removed trailing space in v~: Ninyi wenyewe mnajua jinsi tulivyoishi nchini Misri na jinsi tulivyopita katikati ya nchi mpaka tukafika hapa.

DEU 29:17 Removed trailing space in v~: Mliona miongoni mwao vinyago vyao vya kuchukiza na sanamu za miti na mawe, za fedha na dhahabu.

DEU 29:18 Removed trailing space in v~: Hakikisheni kwamba hakuna mwanaume au mwanamke, ukoo au kabila miongoni mwenu leo ambalo moyo wake utamwacha \nd Bwana\nd* Mungu wetu, kwenda kuabudu miungu ya mataifa hayo. Hakikisheni hakuna mzizi miongoni mwenu unaotoa sumu chungu ya namna hii.

DEU 29:19 Removed trailing space in v~: Wakati mtu wa namna hii asikiapo maneno ya kiapo hiki, hujibariki mwenyewe na kisha hufikiri, “Nitakuwa salama, hata kama nikiendelea kuifuata njia yangu mwenyewe.” Hili litaleta maafa juu ya nchi iliyonyeshewa sawasawa na nchi kame.

DEU 29:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* kamwe hatakuwa radhi kumsamehe, ghadhabu na wivu wa Mungu vitawaka dhidi ya mtu huyo. Laana zote zilizoandikwa katika kitabu hiki zitamwangukia na \nd Bwana\nd* atafuta jina lake chini ya mbingu.

DEU 29:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atamtwaa peke yake kutoka makabila ya Israeli kwa maangamizo, kulingana na laana zote za Agano zilizoandikwa kwenye Kitabu hiki cha Sheria.

DEU 29:22 Removed trailing space in v~: Watoto wako watakaofuata baada yako katika vizazi vya baadaye na wageni ambao watakuja kutoka nchi za mbali, wataona maafa, yaliyoipata nchi na magonjwa ambayo \nd Bwana\nd* aliyaleta juu yake.

DEU 29:23 Removed trailing space in v~: Nchi yote itakuwa jaa linaloungua la chumvi na kiberiti: hakutakuwa kilichopandwa, hakutakuwa kinachochipua, wala hakutakuwa mimea inayoota juu yake. Itakuwa kama maangamizo ya Sodoma na Gomora, Adma na Seboimu, ambazo \nd Bwana\nd* aliangamiza kwa hasira kali.

DEU 29:24 Removed trailing space in v~: Mataifa yote yatauliza: “Kwa nini \nd Bwana\nd* amefanya hivi juu ya nchi hii? Kwa nini hasira hii kali ikawaka?”

DEU 29:25 Removed trailing space in v~: Na jibu litakuwa: “Ni kwa sababu watu hawa waliacha Agano la \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, Agano alilofanya nao wakati alipowatoa katika nchi ya Misri.

DEU 29:26 Removed trailing space in v~: Walienda zao na kuabudu miungu mingine na kuisujudia, miungu wasioijua, miungu ambayo Mungu hakuwapa.

DEU 29:27 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya nchi hii, hivyo Mungu akaleta juu yake laana zote zilizoandikwa katika kitabu hiki.

DEU 29:28 Removed trailing space in v~: Katika hasira kali na katika ghadhabu kuu \nd Bwana\nd* aliwangʼoa kutoka nchi yao na kuwasukumia katika nchi nyingine, kama ilivyo sasa.”

DEU 29:29 Removed trailing space in v~: Mambo ya siri ni ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu, bali yaliyofunuliwa ni yetu na watoto wetu milele, ili tuweze kuyafanya maneno yote ya sheria hii.

DEU 30:0 Extra space after chapter number

DEU 30:0 Removed trailing space in c: 30

DEU 30:0 Removed trailing space in s1: Mafanikio Baada Ya Kumgeukia \nd Bwana\nd*

DEU 30:1 Removed trailing space in v~: Wakati baraka hizi zote pamoja na laana nilizoziweka mbele yako zitakapokujia, nawe ukazitafakari moyoni popote \nd Bwana\nd* Mungu wako atakapokutawanya miongoni mwa mataifa,

DEU 30:2 Removed trailing space in v~: hapo wewe na watoto wako mtakapomrudia \nd Bwana\nd* Mungu wako, na kumtii kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote kulingana na kila kitu ninachokuamuru leo,

DEU 30:3 Removed trailing space in v~: ndipo \nd Bwana\nd* Mungu wako atakapokurudisha kutoka utumwani na kukuhurumia, naye atakukusanya tena kutoka mataifa yote kule alikutawanya.

DEU 30:4 Removed trailing space in v~: Hata kama umefukuziwa katika nchi ya mbali kiasi gani chini ya mbingu, kutoka huko \nd Bwana\nd* Mungu wako atakukusanya na kukurudisha.

DEU 30:5 Removed trailing space in v~: Yeye \nd Bwana\nd* atakurudisha katika nchi iliyokuwa mali ya baba zako, nawe utaimiliki. Naye atakufanya ufanikiwe sana na kukuzidisha kwa idadi kuliko baba zako.

DEU 30:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wako ataitahiri mioyo yenu na mioyo ya wazao wenu ili mweze kumpenda kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote ukaishi.

DEU 30:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wako ataweka laana hizi zote juu ya adui zako ambao wanakuchukia na kukutesa.

DEU 30:8 Removed trailing space in v~: Utamtii tena \nd Bwana\nd* na kuzishika amri zake zote ninazokupa leo.

DEU 30:9 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* Mungu wako atakapokufanikisha sana katika kazi zote za mikono yako na katika uzao wa tumbo lako, wadogo wa mifugo yako na mazao ya nchi yako. \nd Bwana\nd* atakufurahia tena na kukufanikisha, kama alivyowafurahia baba zako,

DEU 30:10 Removed trailing space in v~: kama ukimtii \nd Bwana\nd* Mungu wako, na kuzishika amri zake na maagizo yake ambayo yameandikwa katika Kitabu hiki cha Sheria, na kumgeukia \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote.

DEU 30:10 Removed trailing space in s1: Uzima Na Mauti

DEU 30:11 Removed trailing space in v~: Ninachokuagiza leo sio kigumu sana kwako au usichokiweza.

DEU 30:12 Removed trailing space in v~: Hakiko juu mbinguni, ili uulize, “Ni nani atakayepanda mbinguni kukileta na kututangazia ili tuweze kutii?”

DEU 30:13 Removed trailing space in v~: Wala hakiko ngʼambo ya bahari, ili uulize, “Ni nani atakayevuka bahari kwenda kukichukua na kututangazia ili tupate kutii?”

DEU 30:14 Removed trailing space in v~: La hasha! Lile neno liko karibu sana nawe; liko kinywani mwako na ndani ya moyo wako ili uweze kulitii.

DEU 30:15 Removed trailing space in v~: Tazama, naweka mbele yako leo uzima na mafanikio, mauti na maangamizo.

DEU 30:16 Removed trailing space in v~: Ninakuamuru leo kwamba umpende \nd Bwana\nd* Mungu wako, utembee katika njia zake, na kutunza maagizo yake, amri na sheria zake; ndipo utakapoishi na kuongezeka, naye \nd Bwana\nd* Mungu wako atakubariki katika nchi unayoingia kuimiliki.

DEU 30:17 Removed trailing space in v~: Lakini kama moyo wako ukigeukia mbali ukawa huna utii, kama umevutwa kuisujudia miungu mingine na kuiabudu,

DEU 30:18 Removed trailing space in v~: nakutangazia leo hii kwamba hakika utaangamizwa. Hutaishi maisha marefu katika nchi unayovuka Yordani kuiingia na kuimiliki.

DEU 30:19 Removed trailing space in v~: Leo ninaziita mbingu na nchi kama mashahidi dhidi yako kwamba nimeweka mbele yako uzima na mauti, baraka na laana. Basi sasa chagueni uzima, ili wewe na watoto wako mpate kuishi,

DEU 30:20 Removed trailing space in v~: na ili upate kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wako, uisikilize sauti yake na kuambatana naye. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ndiye uzima wako, na atakupa wingi wa siku ili upate kuishi katika nchi aliyoapa kuwapa baba zako Abrahamu, Isaki na Yakobo.

DEU 31:0 Extra space after chapter number

DEU 31:0 Removed trailing space in c: 31

DEU 31:0 Removed trailing space in s1: Yoshua Kutawala Baada Ya Mose

DEU 31:0 Removed trailing space in r: (Hesabu 27:12-23)

DEU 31:1 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akaenda akasema maneno haya kwa Waisraeli wote:

DEU 31:2 Removed trailing space in v~: “Sasa nina miaka mia moja na ishirini nami siwezi tena kuwaongoza. \nd Bwana\nd* ameniambia, ‘Hutavuka Yordani.’

DEU 31:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu, yeye mwenyewe atavuka mbele yenu. Ataangamiza mataifa haya mbele yenu, nanyi mtaimiliki nchi yao. Pia Yoshua atavuka mbele yenu, kama \nd Bwana\nd* alivyosema.

DEU 31:4 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* atawafanyia watu hao kile alichowafanyia Sihoni na Ogu, wafalme wa Waamori, ambao aliwaangamiza pamoja na nchi yao.

DEU 31:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawakabidhi kwenu, nanyi lazima mwatendee yale yote niliyowaamuru.

DEU 31:6 Removed trailing space in v~: Kuweni imara na moyo wa ushujaa. Msiogope wala msifadhaike kwa sababu yao, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu anakwenda pamoja nanyi; kamwe hatawaacha wala hatawatupa ninyi.”

DEU 31:7 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akamwita Yoshua na akamwambia mbele ya Israeli wote, “Uwe imara na moyo wa ushujaa, kwa kuwa ni lazima uende na watu hawa katika nchi ile \nd Bwana\nd* aliyowaapia baba zao kuwapa, nawe ni lazima uwagawie kama urithi wao.

DEU 31:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* mwenyewe atakutangulia naye atakuwa pamoja nawe; kamwe hatakuacha wala hatakutupa. Usiogope, wala usifadhaike.”

DEU 31:8 Removed trailing space in s1: Kusoma Sheria

DEU 31:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mose akaandika sheria hii na kuwapa makuhani, wana wa Lawi, waliochukua Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* na wazee wote wa Israeli.

DEU 31:10 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akawaamuru, akasema: “Mwishoni mwa kila miaka saba, katika mwaka wa kufuta madeni, wakati wa Sikukuu ya Vibanda,

DEU 31:11 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote wanapokuja mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wenu mahali atakapopachagua, utasoma sheria hii mbele yao masikioni mwao.

DEU 31:12 Removed trailing space in v~: Kusanya watu wote, wanaume, wanawake, watoto na wageni wanaoishi katika miji yenu, ili waweze kusikia na kujifunza kumcha \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kufuata kwa bidii maneno yote ya sheria hii.

DEU 31:13 Removed trailing space in v~: Watoto wao, ambao hawaijui sheria hii, lazima waisikie na kujifunza kumcha \nd Bwana\nd* Mungu wenu kwa muda mtakaoishi katika nchi mnayovuka Yordani kuimiliki.”

DEU 31:13 Removed trailing space in s1: Kuasi Kwa Waisraeli Kunatabiriwa

DEU 31:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Mose, “Sasa siku ya kifo chako imekaribia. Mwite Yoshua, mkajihudhurishe katika Hema la Kukutania, mahali nitakapompa maagizo ya kazi.” Kwa hiyo Mose na Yoshua wakaja na kujihudhurisha kwenye Hema la Kukutania.

DEU 31:15 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akatokea katika Hema katika nguzo ya wingu, nalo wingu likasimama juu ya ingilio la Hema.

DEU 31:16 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Mose: “Unakwenda kupumzika na baba zako, nao watu hawa hivi karibuni watazini na miungu migeni ya nchi wanayoingia. Wataniacha na kuvunja Agano nililofanya nao.

DEU 31:17 Removed trailing space in v~: Siku hiyo nitawakasirikia na kuwaacha; nitawaficha uso wangu, nao wataangamizwa. Maafa mengi na shida nyingi zitakuja juu yao, nao siku hiyo watauliza, ‘Je, maafa haya hayakuja juu yetu kwa sababu Mungu wetu hayuko pamoja nasi?’

DEU 31:18 Removed trailing space in v~: Nami hakika nitauficha uso wangu siku hiyo kwa sababu ya maovu yao yote kwa kugeukia miungu mingine.

DEU 31:19 Removed trailing space in v~: “Sasa ujiandikie wimbo huu,\f + \fr 31:19 \ft Wimbo huu hapa ina maana wimbo wa Mose.\f* uwafundishe Waisraeli na uwaamuru wauimbe, ili upate kuwa ushahidi wangu dhidi yao.

DEU 31:20 Removed trailing space in v~: Nitakapokwisha kuwaingiza katika nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi niliyowaahidi baba zao kwa kiapo, nao watakapokula wakashiba na kufanikiwa, watageukia miungu mingine na kuiabudu, wakinikataa mimi na kuvunja Agano langu.

DEU 31:21 Removed trailing space in v~: Maafa na shida zitakapokuja juu yao, wimbo huu utashuhudia dhidi yao, kwa sababu hautasahauliwa na wazao wao. Ninajua lile wanaloandaa kufanya, hata kabla sijawaingiza katika nchi niliyowaahidi kwa kiapo.”

DEU 31:22 Removed trailing space in v~: Hivyo Mose akaandika wimbo huu siku ile na akawafundisha Waisraeli.

DEU 31:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akampa Yoshua mwana wa Nuni agizo hili: “Uwe hodari na shujaa, kwa kuwa utawaleta Waisraeli katika nchi niliyowaahidi kwa kiapo, nami mwenyewe nitakuwa pamoja nawe.”

DEU 31:24 Removed trailing space in v~: Baada ya Mose kumaliza kuandika kwenye kitabu maneno ya sheria hii kutoka mwanzo hadi mwisho,

DEU 31:25 Removed trailing space in v~: akawapa Walawi wale waliolibeba Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* agizo hili, akawaambia:

DEU 31:26 Removed trailing space in v~: “Chukueni Kitabu hiki cha Sheria mkakiweke kando ya Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Hapo ndipo kitakapokaa kama shahidi dhidi yenu.

DEU 31:27 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ninajua jinsi mlivyo waasi na mlivyo na shingo ngumu. Kama mmekuwa mkiasi dhidi ya \nd Bwana\nd* nikiwa bado niko hai na nikiwa pamoja nanyi, mtaasi mara ngapi baada ya kufa kwangu!

DEU 31:28 Removed trailing space in v~: Kusanyeni mbele yangu wazee wote wa makabila yenu na maafisa wenu wote, ili nipate kusema maneno haya masikioni mwao na kuziita mbingu na nchi ili kushuhudia dhidi yao.

DEU 31:29 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ninajua baada ya kifo changu hakika mtakuwa waovu kabisa na kugeuka kutoka njia niliyowaamuru ninyi. Katika siku zijazo, maafa yatawapata kwa sababu mtafanya maovu mbele ya macho ya \nd Bwana\nd*, na kuchochea hasira yake kwa yale mikono yenu itakayokuwa imefanya.”

DEU 31:29 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Mose

DEU 31:30 Removed trailing space in v~: Mose akayasoma maneno ya wimbo huu kutoka mwanzo hadi mwisho katika masikio ya kusanyiko lote la Israeli:

DEU 32:0 Extra space after chapter number

DEU 32:0 Removed trailing space in c: 32

DEU 32:1 Removed trailing space in v~: Sikilizeni, enyi mbingu, nami nitasema;

DEU 32:1 Removed trailing space in p~: sikia, ee nchi, maneno ya kinywa changu.

DEU 32:2 Removed trailing space in v~: Mafundisho yangu na yanyeshe kama mvua,

DEU 32:2 Removed trailing space in p~: na maneno yangu na yashuke kama umande,

DEU 32:2 Removed trailing space in p~: kama manyunyu juu ya majani mabichi,

DEU 32:2 Removed trailing space in p~: kama mvua tele juu ya mimea myororo.

DEU 32:3 Removed trailing space in v~: Nitalitangaza jina la \nd Bwana\nd*.

DEU 32:3 Removed trailing space in p~: Naam, sifuni ukuu wa Mungu wetu!

DEU 32:4 Removed trailing space in v~: Yeye ni Mwamba, kazi zake ni kamilifu,

DEU 32:4 Removed trailing space in p~: njia zake zote ni haki.

DEU 32:4 Removed trailing space in p~: Mungu mwaminifu ambaye hakosei,

DEU 32:4 Removed trailing space in p~: yeye ni mnyofu na mwenye haki.

DEU 32:5 Removed trailing space in v~: Wamefanya mambo ya upotovu mbele zake;

DEU 32:5 Removed trailing space in p~: kwa aibu yao, wao si watoto wake tena,

DEU 32:5 Removed trailing space in p~: lakini ni kizazi kilicho kiovu na kilichopotoka.

DEU 32:6 Removed trailing space in v~: Je, hii ndiyo njia ya kumlipa \nd Bwana\nd*,

DEU 32:6 Removed trailing space in p~: enyi watu wajinga na wasio na busara?

DEU 32:6 Removed trailing space in p~: Je, yeye siye Baba yenu, Muumba wenu,

DEU 32:6 Removed trailing space in p~: aliyewafanya ninyi na kuwaumba?

DEU 32:7 Removed trailing space in v~: Kumbuka siku za kale;

DEU 32:7 Removed trailing space in p~: tafakari vizazi vya zamani vilivyopita.

DEU 32:7 Removed trailing space in p~: Uliza baba yako, naye atakuambia,

DEU 32:7 Removed trailing space in p~: wazee wako, nao watakueleza.

DEU 32:8 Removed trailing space in v~: Aliye Juu Sana alipowapa mataifa urithi wao,

DEU 32:8 Removed trailing space in p~: alipogawanya wanadamu wote,

DEU 32:8 Removed trailing space in p~: aliweka mipaka kwa ajili ya mataifa

DEU 32:8 Removed trailing space in p~: sawasawa na hesabu ya wana wa Israeli.

DEU 32:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa fungu la \nd Bwana\nd* ni watu wake,

DEU 32:9 Removed trailing space in p~: Yakobo kura yake ya urithi.

DEU 32:10 Removed trailing space in v~: Katika nchi ya jangwa alimkuta,

DEU 32:10 Removed trailing space in p~: katika nyika tupu ivumayo upepo.

DEU 32:10 Removed trailing space in p~: Alimhifadhi na kumtunza;

DEU 32:10 Removed trailing space in p~: akamlinda kama mboni ya jicho lake,

DEU 32:11 Removed trailing space in v~: kama tai avurugaye kiota chake,

DEU 32:11 Removed trailing space in p~: na kurukaruka juu ya makinda yake,

DEU 32:11 Removed trailing space in p~: ambaye hutanda mabawa yake kuwadaka,

DEU 32:11 Removed trailing space in p~: na huwachukua kwenye mabawa yake.

DEU 32:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* peke yake alimwongoza;

DEU 32:12 Removed trailing space in p~: hakuwepo mungu mgeni pamoja naye.

DEU 32:13 Removed trailing space in v~: Akamfanya apande sehemu zilizoinuka za nchi,

DEU 32:13 Removed trailing space in p~: akamlisha kwa mavuno ya mashamba.

DEU 32:13 Removed trailing space in p~: Akamlea kwa asali toka mwambani,

DEU 32:13 Removed trailing space in p~: na kwa mafuta kutoka mwamba mgumu,

DEU 32:14 Removed trailing space in v~: kwa jibini na maziwa kutoka makundi ya ngʼombe

DEU 32:14 Removed trailing space in p~: na kutoka makundi ya mbuzi,

DEU 32:14 Removed trailing space in p~: kwa mafuta ya wana-kondoo na mbuzi,

DEU 32:14 Removed trailing space in p~: kwa kondoo dume wazuri wa Bashani,

DEU 32:14 Removed trailing space in p~: na kwa ngano nzuri.

DEU 32:14 Removed trailing space in p~: Ukanywa damu ya zabibu inayotoa povu.

DEU 32:15 Removed trailing space in v~: Yeshuruni\f + \fr 32:15 \ft Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli (ona pia \+xt Kum 33:26; Isa 44:2\+xt*).\f* alinenepa na kupiga teke;

DEU 32:15 Found unexpected backslash in footnote: 32:15 Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli (ona pia \+xt Kum 33:26; Isa 44:2\+xt*).

DEU 32:15 Removed trailing space in p~: alikuwa na chakula tele,

DEU 32:15 Removed trailing space in p~: akawa mzito na akapendeza sana.

DEU 32:15 Removed trailing space in p~: Akamwacha Mungu aliyemuumba,

DEU 32:15 Removed trailing space in p~: na kumkataa Mwamba Mwokozi wake.

DEU 32:16 Removed trailing space in v~: Wakamfanya Mungu kuwa na wivu kwa miungu yao migeni,

DEU 32:16 Removed trailing space in p~: na kumkasirisha kwa sanamu zao

DEU 32:16 Removed trailing space in p~: za machukizo.

DEU 32:17 Removed trailing space in v~: Wakatoa dhabihu kwa pepo, ambao si Mungu:

DEU 32:17 Removed trailing space in p~: miungu wasiyoijua,

DEU 32:17 Removed trailing space in p~: miungu iliyojitokeza siku za karibuni,

DEU 32:17 Removed trailing space in p~: miungu ambayo baba zenu hawakuiogopa.

DEU 32:18 Removed trailing space in v~: Mkamwacha Mwamba, aliyewazaa ninyi;

DEU 32:18 Removed trailing space in p~: mkamsahau Mungu aliyewazaa.

DEU 32:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaona hili, akawakataa,

DEU 32:19 Removed trailing space in p~: kwa sababu alikasirishwa

DEU 32:19 Removed trailing space in p~: na wanawe na binti zake.

DEU 32:20 Removed trailing space in v~: Akasema, “Nitawaficha uso wangu,

DEU 32:20 Removed trailing space in p~: nami nione mwisho wao utakuwa nini,

DEU 32:20 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wao ni kizazi kilichopotoka,

DEU 32:20 Removed trailing space in p~: watoto ambao si waaminifu.

DEU 32:21 Removed trailing space in v~: Wamenifanya niwe na wivu

DEU 32:21 Removed trailing space in p~: kwa kile ambacho si mungu,

DEU 32:21 Removed trailing space in p~: na kunikasirisha kwa sanamu zao

DEU 32:21 Removed trailing space in p~: zisizokuwa na thamani.

DEU 32:21 Removed trailing space in p~: Nitawafanya wawaonee wivu wale ambao si taifa.

DEU 32:21 Removed trailing space in p~: Nitawafanya wakasirishwe

DEU 32:21 Removed trailing space in p~: na taifa lile lisilo na ufahamu.

DEU 32:22 Removed trailing space in v~: Kwa maana moto umewashwa kwa hasira yangu,

DEU 32:22 Removed trailing space in p~: ule uwakao hadi kwenye vina vya mauti.

DEU 32:22 Removed trailing space in p~: Utateketeza dunia pamoja na mazao yake,

DEU 32:22 Removed trailing space in p~: na kuwasha moto katika misingi ya milima.

DEU 32:23 Removed trailing space in v~: “Nitalundika majanga juu yao

DEU 32:23 Removed trailing space in p~: na kutumia mishale yangu dhidi yao.

DEU 32:24 Removed trailing space in v~: Nitatuma njaa kali dhidi yao maradhi mabaya,

DEU 32:24 Removed trailing space in p~: yateketezayo na tauni ya kufisha;

DEU 32:24 Removed trailing space in p~: nitawapelekea meno makali ya wanyama mwitu,

DEU 32:24 Removed trailing space in p~: na sumu ya nyoka wale watambaao mavumbini.

DEU 32:25 Removed trailing space in v~: Barabarani upanga utawakosesha watoto;

DEU 32:25 Removed trailing space in p~: nyumbani mwao hofu itatawala.

DEU 32:25 Removed trailing space in p~: Vijana wao wa kiume na wa kike wataangamia,

DEU 32:25 Removed trailing space in p~: pia watoto wachanga na wazee wenye mvi.

DEU 32:26 Removed trailing space in v~: Nilisema ningewatawanya

DEU 32:26 Removed trailing space in p~: na kufuta kumbukumbu lao

DEU 32:26 Removed trailing space in p~: katika mwanadamu.

DEU 32:27 Removed trailing space in v~: Lakini nilihofia dhihaka za adui,

DEU 32:27 Removed trailing space in p~: adui asije akashindwa kuelewa,

DEU 32:27 Removed trailing space in p~: na kusema, ‘Mikono yetu imeshinda;

DEU 32:27 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* hakufanya yote haya.’ ”

DEU 32:28 Removed trailing space in v~: Wao ni taifa lisilo na akili,

DEU 32:28 Removed trailing space in p~: hakuna busara ndani yao.

DEU 32:29 Removed trailing space in v~: Laiti wangekuwa na hekima wangefahamu hili,

DEU 32:29 Removed trailing space in p~: na kutambua mwisho wao utakuwa aje!

DEU 32:30 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja angewezaje kufukuza elfu moja,

DEU 32:30 Removed trailing space in p~: au wawili kufukuza elfu kumi,

DEU 32:30 Removed trailing space in p~: kama si kwamba Mwamba wao amewauza,

DEU 32:30 Removed trailing space in p~: kama si kwamba \nd Bwana\nd* amewaacha?

DEU 32:31 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mwamba wao si kama Mwamba wetu,

DEU 32:31 Removed trailing space in p~: sawasawa na vile adui zetu wanavyokiri.

DEU 32:32 Removed trailing space in v~: Mzabibu wao unatoka kwenye mzabibu wa Sodoma,

DEU 32:32 Removed trailing space in p~: na kutoka kwenye mashamba ya Gomora.

DEU 32:32 Removed trailing space in p~: Zabibu zake zimejaa sumu,

DEU 32:32 Removed trailing space in p~: na vishada vyake vimejaa uchungu.

DEU 32:33 Removed trailing space in v~: Mvinyo wao ni sumu ya nyoka,

DEU 32:33 Removed trailing space in p~: sumu yenye kufisha ya swila.

DEU 32:34 Removed trailing space in v~: “Je, hili sikuliweka akiba

DEU 32:34 Removed trailing space in p~: na kulifungia kwenye vyumba vyangu vya hazina?

DEU 32:35 Removed trailing space in v~: Ni juu yangu kulipiza kisasi; nitalipiza.

DEU 32:35 Removed trailing space in p~: Wakati utakapowadia, mguu wao utateleza;

DEU 32:35 Removed trailing space in p~: siku yao ya maafa ni karibu,

DEU 32:35 Removed trailing space in p~: na maangamizo yao yanawajia haraka.”

DEU 32:36 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawahukumu watu wake,

DEU 32:36 Removed trailing space in p~: na kuwahurumia watumishi wake

DEU 32:36 Removed trailing space in p~: atakapoona nguvu zao zimekwisha

DEU 32:36 Removed trailing space in p~: wala hakuna yeyote aliyebaki,

DEU 32:36 Removed trailing space in p~: mtumwa au aliye huru.

DEU 32:37 Removed trailing space in v~: Atasema: “Sasa iko wapi miungu yao,

DEU 32:37 Removed trailing space in p~: mwamba walioukimbilia,

DEU 32:38 Removed trailing space in v~: miungu wale waliokula mafuta ya dhabihu zao

DEU 32:38 Removed trailing space in p~: na kunywa mvinyo wa sadaka zao za vinywaji?

DEU 32:38 Removed trailing space in p~: Wainuke basi, wawasaidie!

DEU 32:38 Removed trailing space in p~: Wawapeni basi ulinzi!

DEU 32:39 Removed trailing space in v~: “Tazama basi, Mimi mwenyewe, Mimi Ndiye!

DEU 32:39 Removed trailing space in p~: Hakuna mungu mwingine ila Mimi.

DEU 32:39 Removed trailing space in p~: Mimi ninaua na Mimi ninafufua,

DEU 32:39 Removed trailing space in p~: Mimi nimejeruhi na Mimi nitaponya,

DEU 32:39 Removed trailing space in p~: wala hakuna awezaye kuokoa kutoka mkononi mwangu.

DEU 32:40 Removed trailing space in v~: Ninainua mkono wangu kuelekea mbinguni na kusema:

DEU 32:40 Removed trailing space in p~: Hakika kama niishivyo milele,

DEU 32:41 Removed trailing space in v~: wakati ninapounoa upanga wangu unaometameta

DEU 32:41 Removed trailing space in p~: na mkono wangu unapoushika ili kutoa hukumu,

DEU 32:41 Removed trailing space in p~: nitalipiza kisasi juu ya adui zangu

DEU 32:41 Removed trailing space in p~: na kuwalipiza wale wanaonichukia.

DEU 32:42 Removed trailing space in v~: Nitailevya mishale yangu kwa damu,

DEU 32:42 Removed trailing space in p~: wakati upanga wangu ukitafuna nyama:

DEU 32:42 Removed trailing space in p~: damu ya waliochinjwa pamoja na mateka,

DEU 32:42 Removed trailing space in p~: vichwa vya viongozi wa adui.”

DEU 32:43 Removed trailing space in v~: Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake,

DEU 32:43 Removed trailing space in p~: kwa kuwa atailipiza damu ya watumishi wake,

DEU 32:43 Removed trailing space in p~: atalipiza kisasi juu ya adui zake

DEU 32:43 Removed trailing space in p~: na kufanya upatanisho

DEU 32:43 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya nchi na watu wake.

DEU 32:44 Removed trailing space in v~: Mose na Yoshua\f + \fr 32:44 \ft Yoshua, yaani Yehoshea kwa Kiebrania, maana yake ni Yehova ni Mwokozi.\f* mwana wa Nuni wakaja, wakanena maneno yote ya wimbo watu wakiwa wanasikia.

DEU 32:45 Removed trailing space in v~: Mose alipomaliza kuyasoma maneno haya yote kwa Israeli wote,

DEU 32:46 Removed trailing space in v~: akawaambia, “Yawekeni moyoni maneno yote ambayo nimewatangazia kwa makini siku hii ya leo, ili kwamba mpate kuwaagiza watoto wenu wayatii kwa bidii maneno yote ya sheria hii.

DEU 32:47 Removed trailing space in v~: Siyo maneno matupu tu kwenu, bali ni uzima wenu. Kwa hayo mtaishi maisha marefu katika nchi mnayovuka Yordani kuimiliki.”

DEU 32:47 Removed trailing space in s1: Mose Aelezwa Kuhusu Kifo Chake

DEU 32:48 Removed trailing space in v~: Siku hiyo hiyo \nd Bwana\nd* akamwambia Mose,

DEU 32:49 Removed trailing space in v~: “Kwea katika mapangano ya Mlima Abarimu hadi kilima cha Nebo kilichoko Moabu, ngʼambo ya Yeriko, na uitazame Kanaani, nchi ninayowapa Waisraeli kama milki yao wenyewe.

DEU 32:50 Removed trailing space in v~: Utafia kwenye mlima huo unaokwea na kukusanyika pamoja na watu wako, kama ndugu yako Aroni alivyofia juu ya Mlima Hori naye akakusanyika kwa watu wake.

DEU 32:51 Removed trailing space in v~: Hii ni kwa sababu ninyi wawili mlivunja uaminifu nami mbele ya Waisraeli kwenye maji ya Meriba-Kadeshi katika Jangwa la Sini, na kwa sababu hamkuuinua utakatifu wangu miongoni mwa Waisraeli.

DEU 32:52 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, utaiona tu nchi kwa mbali; wewe hutaingia nchi ninayowapa watu wa Israeli.”

DEU 33:0 Extra space after chapter number

DEU 33:0 Removed trailing space in c: 33

DEU 33:0 Removed trailing space in s1: Mose Anayabariki Makabila

DEU 33:1 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo baraka Mose mtu wa Mungu aliyotamka kwa Waisraeli kabla ya kifo chake.

DEU 33:2 Removed trailing space in v~: Alisema:

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* alikuja kutoka Mlima Sinai,

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: akachomoza kama jua juu yao

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: kutoka Mlima Seiri,

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: akaangaza kutoka Mlima Parani.

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: Alikuja pamoja na watakatifu makumi elfu

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: kutoka kusini,

DEU 33:2 Removed trailing space in p~: kutoka materemko ya mlima wake.

DEU 33:3 Removed trailing space in v~: Hakika ni wewe ambaye huwapenda watu,

DEU 33:3 Removed trailing space in p~: watakatifu wako wote wamo mkononi mwako.

DEU 33:3 Removed trailing space in p~: Miguuni pako wote wanasujudu

DEU 33:3 Removed trailing space in p~: na kutoka kwako wanapokea mafundisho,

DEU 33:4 Removed trailing space in v~: sheria ile Mose aliyotupa sisi,

DEU 33:4 Removed trailing space in p~: tulio milki ya kusanyiko la Yakobo.

DEU 33:5 Removed trailing space in v~: Alikuwa mfalme juu ya Yeshuruni\f + \fr 33:5 \ft Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli.\f*

DEU 33:5 Removed trailing space in p~: wakati viongozi wa watu walipokusanyika,

DEU 33:5 Removed trailing space in p~: pamoja na makabila ya Israeli.

DEU 33:6 Removed trailing space in v~: “Reubeni na aishi, asife,

DEU 33:6 Removed trailing space in p~: wala watu wake wasiwe wachache.”

DEU 33:7 Removed trailing space in v~: Akasema hili kuhusu Yuda:

DEU 33:7 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, sikia kilio cha Yuda,

DEU 33:7 Removed trailing space in p~: mlete kwa watu wake.

DEU 33:7 Removed trailing space in p~: Kwa mikono yake mwenyewe hujitetea.

DEU 33:7 Removed trailing space in p~: Naam, uwe msaada wake

DEU 33:7 Removed trailing space in p~: dhidi ya adui zake!”

DEU 33:8 Removed trailing space in v~: Kuhusu Lawi alisema:

DEU 33:8 Removed trailing space in p~: “Thumimu yako na Urimu\f + \fr 33:8 \ft Thumimu na Urimu maana yake Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.\f* yako ulimpa,

DEU 33:8 Removed trailing space in p~: mtu yule uliyemfadhili.

DEU 33:8 Removed trailing space in p~: Ulimjaribu huko Masa

DEU 33:8 Removed trailing space in p~: na kushindana naye

DEU 33:8 Removed trailing space in p~: kwenye maji ya Meriba.

DEU 33:9 Removed trailing space in v~: Alinena hivi kuhusu baba yake na mama yake,

DEU 33:9 Removed trailing space in p~: ‘Mimi siwahitaji kamwe.’

DEU 33:9 Removed trailing space in p~: Akawasahau jamaa zake,

DEU 33:9 Removed trailing space in p~: asiwatambue hata watoto wake,

DEU 33:9 Removed trailing space in p~: lakini akaliangalia neno lako

DEU 33:9 Removed trailing space in p~: na kulilinda Agano lako.

DEU 33:10 Removed trailing space in v~: Humfundisha Yakobo mausia yako

DEU 33:10 Removed trailing space in p~: na Israeli sheria yako.

DEU 33:10 Removed trailing space in p~: Hufukiza uvumba mbele zako

DEU 33:10 Removed trailing space in p~: na sadaka nzima za kuteketezwa

DEU 33:10 Removed trailing space in p~: juu ya madhabahu yako.

DEU 33:11 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, bariki ustadi wake wote,

DEU 33:11 Removed trailing space in p~: nawe upendezwe na kazi ya mikono yake.

DEU 33:11 Removed trailing space in p~: Vipige viuno vya wale wainukao dhidi yake;

DEU 33:11 Removed trailing space in p~: wapige adui zake hata wasiinuke tena.”

DEU 33:12 Removed trailing space in v~: Kuhusu Benyamini akasema:

DEU 33:12 Removed trailing space in p~: “Mwache mpenzi wa \nd Bwana\nd*

DEU 33:12 Removed trailing space in p~: apumzike salama kwake,

DEU 33:12 Removed trailing space in p~: kwa maana humkinga mchana kutwa,

DEU 33:12 Removed trailing space in p~: na yule \nd Bwana\nd* ampendaye

DEU 33:12 Removed trailing space in p~: hupumzika kati ya mabega yake.”

DEU 33:13 Removed trailing space in v~: Kuhusu Yosefu akasema:

DEU 33:13 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* na aibariki nchi yake

DEU 33:13 Removed trailing space in p~: kwa umande wa thamani

DEU 33:13 Removed trailing space in p~: kutoka mbinguni juu,

DEU 33:13 Removed trailing space in p~: na vilindi vya maji

DEU 33:13 Removed trailing space in p~: vilivyotulia chini;

DEU 33:14 Removed trailing space in v~: pamoja na vitu vilivyo bora sana

DEU 33:14 Removed trailing space in p~: viletwavyo na jua,

DEU 33:14 Removed trailing space in p~: na vitu vizuri sana vinavyoweza

DEU 33:14 Removed trailing space in p~: kutolewa na mwezi;

DEU 33:15 Removed trailing space in v~: pamoja na zawadi bora sana

DEU 33:15 Removed trailing space in p~: za milima ya zamani

DEU 33:15 Removed trailing space in p~: na kwa wingi wa baraka

DEU 33:15 Removed trailing space in p~: za vilima vya milele;

DEU 33:16 Removed trailing space in v~: pamoja na baraka nzuri mno

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: za ardhi na ukamilifu wake,

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: na upendeleo wake yeye

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: aliyeishi kwenye kichaka

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: kilichokuwa kinawaka moto.

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: Hivi vyote na vikae juu ya kichwa cha Yosefu,

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: juu ya paji la uso la aliye mkuu

DEU 33:16 Removed trailing space in p~: miongoni mwa ndugu zake.

DEU 33:17 Removed trailing space in v~: Katika fahari yeye ni kama fahali mzaliwa wa kwanza;

DEU 33:17 Removed trailing space in p~: pembe zake ni pembe za nyati,

DEU 33:17 Removed trailing space in p~: na kwa pembe hizo atapiga mataifa,

DEU 33:17 Removed trailing space in p~: hata yaliyo miisho ya dunia.

DEU 33:17 Removed trailing space in p~: Hivyo ndivyo yalivyo makumi elfu ya Efraimu;

DEU 33:17 Removed trailing space in p~: hivyo ndivyo yalivyo maelfu ya Manase.”

DEU 33:18 Removed trailing space in v~: Kuhusu Zabuloni akasema:

DEU 33:18 Removed trailing space in p~: “Shangilia, Zabuloni, wakati wa kutoka nje,

DEU 33:18 Removed trailing space in p~: nawe Isakari, katika mahema yako.

DEU 33:19 Removed trailing space in v~: Watawaita mataifa kwenye mlima,

DEU 33:19 Removed trailing space in p~: na huko mtatoa dhabihu za haki;

DEU 33:19 Removed trailing space in p~: watajifurahisha kwa wingi uliojaza bahari,

DEU 33:19 Removed trailing space in p~: kwa hazina zilizofichwa mchangani.”

DEU 33:20 Removed trailing space in v~: Kuhusu Gadi akasema:

DEU 33:20 Removed trailing space in p~: “Atabarikiwa yeye aongezaye milki ya Gadi!

DEU 33:20 Removed trailing space in p~: Gadi huishi huko kama simba,

DEU 33:20 Removed trailing space in p~: akirarua kwenye mkono au kichwa.

DEU 33:21 Removed trailing space in v~: Alijichagulia nchi nzuri kuliko zote

DEU 33:21 Removed trailing space in p~: kwa ajili yake mwenyewe;

DEU 33:21 Removed trailing space in p~: fungu la kiongozi lilikuwa limehifadhiwa

DEU 33:21 Removed trailing space in p~: kwa ajili yake.

DEU 33:21 Removed trailing space in p~: Viongozi wa watu walipokusanyika,

DEU 33:21 Removed trailing space in p~: alitimiza haki ya mapenzi ya \nd Bwana\nd*,

DEU 33:21 Removed trailing space in p~: na hukumu zake kuhusu Israeli.”

DEU 33:22 Removed trailing space in v~: Kuhusu Dani akasema:

DEU 33:22 Removed trailing space in p~: “Dani ni mwana simba,

DEU 33:22 Removed trailing space in p~: akiruka kutoka Bashani.”

DEU 33:23 Removed trailing space in v~: Kuhusu Naftali akasema:

DEU 33:23 Removed trailing space in p~: “Naftali amejaa tele upendeleo wa \nd Bwana\nd*,

DEU 33:23 Removed trailing space in p~: naye amejaa baraka yake;

DEU 33:23 Removed trailing space in p~: atarithi magharibi na kusini.”

DEU 33:24 Removed trailing space in v~: Kuhusu Asheri akasema:

DEU 33:24 Removed trailing space in p~: “Aliyebarikiwa zaidi sana katika wana ni Asheri;

DEU 33:24 Removed trailing space in p~: yeye na apate upendeleo kwa ndugu zake,

DEU 33:24 Removed trailing space in p~: yeye na anawe miguu yake kwenye mafuta.

DEU 33:25 Removed trailing space in v~: Makomeo ya malango yako yawe chuma na shaba,

DEU 33:25 Removed trailing space in p~: nazo nguvu zako zitakuwa sawa na siku zako.

DEU 33:26 Removed trailing space in v~: “Hakuna mwingine kama Mungu wa Yeshuruni,

DEU 33:26 Removed trailing space in p~: ambaye hupanda juu ya mbingu ili akusaidie,

DEU 33:26 Removed trailing space in p~: na juu ya mawingu katika utukufu wake.

DEU 33:27 Removed trailing space in v~: Mungu wa milele ni kimbilio lako,

DEU 33:27 Removed trailing space in p~: na chini kuna mikono ya milele.

DEU 33:27 Removed trailing space in p~: Atamfukuza adui yako mbele yako,

DEU 33:27 Removed trailing space in p~: akisema, ‘Mwangamize yeye!’

DEU 33:28 Removed trailing space in v~: Hivyo Israeli ataishi salama peke yake.

DEU 33:28 Removed trailing space in p~: Mzao wa Yakobo ni salama

DEU 33:28 Removed trailing space in p~: katika nchi ya nafaka na divai mpya,

DEU 33:28 Removed trailing space in p~: mahali ambapo mbingu

DEU 33:28 Removed trailing space in p~: hudondosha umande.

DEU 33:29 Removed trailing space in v~: Ee Israeli, wewe umebarikiwa!

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: Ni nani kama wewe,

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: taifa lililookolewa na \nd Bwana\nd*?

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: Yeye ni ngao yako na msaada wako,

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: na upanga wako uliotukuka.

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: Adui zako watatetemeka mbele yako,

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: nawe utapakanyaga

DEU 33:29 Removed trailing space in p~: mahali pao pa juu.”\f + \fr 33:29 \ft Utapakanyaga mahali pao pa juu maana yake mtakanyaga juu ya miili yao.\f*

DEU 34:0 Extra space after chapter number

DEU 34:0 Removed trailing space in c: 34

DEU 34:0 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Mose

DEU 34:1 Removed trailing space in v~: Kisha Mose akaupanda mlima Nebo kutoka tambarare za Moabu mpaka kilele cha Pisga, ngʼambo ya Yeriko. Huko \nd Bwana\nd* akamwonyesha nchi yote: kutoka Gileadi mpaka Dani,

DEU 34:2 Removed trailing space in v~: Naftali yote, nchi ya Efraimu na Manase, nchi yote ya Yuda mpaka bahari ya magharibi,\f + \fr 34:2 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.\f*

DEU 34:3 Removed trailing space in v~: Negebu na nchi yote kuanzia Bonde la Yeriko, Mji wa Mitende, hadi Soari.

DEU 34:4 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia, “Hii ndiyo nchi niliyomwahidi Abrahamu na Isaki na Yakobo kwa kiapo niliposema, ‘Nitawapa wazao wako.’ Nimekuruhusu uione kwa macho yako, lakini hutavuka kuingia.”

DEU 34:5 Removed trailing space in v~: Naye Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* akafa huko Moabu, kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema.

DEU 34:6 Removed trailing space in v~: Mungu akamzika huko Moabu, katika bonde mkabala na Beth-Peori, lakini hakuna ajuaye kaburi lake lilipo mpaka leo.

DEU 34:7 Removed trailing space in v~: Mose alikuwa na umri wa miaka mia moja na ishirini alipofariki; hata hivyo nguvu ya macho yake haikufifia wala mwili wake haukudhoofika.

DEU 34:8 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakaomboleza kwa ajili ya Mose kwenye tambarare za Moabu kwa siku thelathini, mpaka wakati wa kulia na kuomboleza ulipopita.

DEU 34:9 Removed trailing space in v~: Basi Yoshua mwana wa Nuni alijazwa roho ya hekima kwa sababu Mose alikuwa ameweka mikono yake juu yake. Kwa hiyo Waisraeli wakamsikiliza na wakafanya yale ambayo \nd Bwana\nd* alikuwa amemwagiza Mose.

DEU 34:10 Removed trailing space in v~: Tangu wakati huo, katika Israeli hajainuka nabii mwingine kama Mose, ambaye \nd Bwana\nd* alimjua uso kwa uso,

DEU 34:11 Removed trailing space in v~: aliyetenda ishara zote zile za miujiza na maajabu ambayo \nd Bwana\nd* alimtuma kuyatenda huko Misri, yaani kwa Farao na maafisa wake wote na nchi yake yote.

DEU 34:12 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hakuna mtu yeyote aliyewahi kuonyesha nguvu nyingi ama kutenda matendo ya kutisha ambayo Mose aliwahi kuyafanya mbele ya Israeli yote.

JOS 2:0 Extra space after chapter number

JOS 2:0 Removed trailing space in c: 2

JOS 2:0 Removed trailing space in s1: Rahabu Na Wapelelezi

JOS 2:1 Removed trailing space in v~: Kisha Yoshua mwana wa Nuni kwa siri akawatuma wapelelezi wawili kutoka Shitimu, akawaambia, “Nendeni mkaikague hiyo nchi, hasa Yeriko.” Kwa hiyo wakaenda na kuingia kwenye nyumba ya kahaba mmoja jina lake Rahabu na kukaa humo.

JOS 2:2 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Yeriko akaambiwa, “Tazama! Baadhi ya Waisraeli wamekuja huku usiku huu kuipeleleza nchi.”

JOS 2:3 Removed trailing space in v~: Hivyo mfalme wa Yeriko akatuma huu ujumbe kwa Rahabu: “Watoe wale watu waliokujia na kuingia nyumbani mwako, kwa sababu wamekuja kuipeleleza nchi yote.”

JOS 2:4 Removed trailing space in v~: Lakini huyo mwanamke alikuwa amewachukua hao watu wawili na kuwaficha. Akasema, “Naam, watu hao walikuja kwangu, lakini sikujua walikotoka.

JOS 2:5 Removed trailing space in v~: Kulipoingia giza, wakati wa kufunga lango la mji, watu hao waliondoka. Sijui njia waliyoiendea. Wafuatilieni haraka. Huenda mkawapata.”

JOS 2:6 Removed trailing space in v~: (Lakini alikuwa amewapandisha darini akawafunika kwa mabua ya kitani aliyokuwa ameyatandika darini.)

JOS 2:7 Removed trailing space in v~: Basi hao watu wakaondoka kuwafuatilia hao wapelelezi katika njia ile inayoelekea vivuko vya Yordani, mara tu wafuatiliaji walipotoka nje, lango likafungwa.

JOS 2:8 Removed trailing space in v~: Kabla wale wapelelezi hawajalala, Rahabu akawaendea huko juu darini,

JOS 2:9 Removed trailing space in v~: akawaambia, “Ninajua kuwa \nd Bwana\nd* amewapa nchi hii na hofu kuu imetuangukia kwa sababu yenu, kiasi kwamba wote waishio katika nchi hii wanayeyuka kwa hofu kwa sababu yenu.

JOS 2:10 Removed trailing space in v~: Tumesikia jinsi \nd Bwana\nd* alivyokausha maji ya Bahari ya Shamu kwa ajili yenu mlipotoka Misri, pia lile mlilowatendea Sihoni na Ogu, wafalme wawili wa Waamori mashariki mwa Yordani, ambao mliwaangamiza kabisa.

JOS 2:11 Removed trailing space in v~: Tuliposikia juu ya hili, mioyo yetu iliyeyuka na kila mmoja alikosa ujasiri kwa sababu yenu, kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wenu ni Mungu juu mbinguni na duniani chini.

JOS 2:12 Removed trailing space in v~: Sasa basi, tafadhali niapieni kwa \nd Bwana\nd*, kwamba mtaitendea hisani jamaa ya baba yangu, kwa kuwa mimi nimewatendea hisani. Nipeni ishara ya uaminifu

JOS 2:13 Removed trailing space in v~: kwamba mtayahifadhi maisha ya baba yangu na mama yangu, ndugu zangu wa kiume na wa kike, pamoja na wale wote walio wa kwao na kwamba mtatuokoa na kifo.”

JOS 2:14 Removed trailing space in v~: Wale watu wakamhakikishia Rahabu, “Uhai wetu kwa uhai wenu! Ikiwa hutatoa habari ya nini tunachofanya, wakati \nd Bwana\nd* atakapotupa nchi hii, tutawatendea kwa hisani na kwa uaminifu.”

JOS 2:15 Removed trailing space in v~: Kisha akawateremsha dirishani kwa kamba, kwa kuwa nyumba yake aliyokuwa anaishi ilikuwa sehemu ya ukuta wa mji.

JOS 2:16 Removed trailing space in v~: Alikuwa amewaambia, “Nendeni vilimani ili wale wafuatiliaji wasiwapate. Jificheni huko kwa siku tatu mpaka watakaporudi, hatimaye mwende zenu.”

JOS 2:17 Removed trailing space in v~: Wale watu wakamwambia, “Hiki kiapo ulichotuapisha hakitatufunga,

JOS 2:18 Removed trailing space in v~: isipokuwa, hapo tutakapoingia katika nchi hii, utakuwa umefunga hii kamba nyekundu dirishani pale ulipotuteremshia na kama utakuwa umewaleta baba yako na mama yako, ndugu zako na jamaa yako yote ndani ya nyumba yako.

JOS 2:19 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu yeyote atatoka nje ya nyumba yako akaenda mtaani, damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe, hatutawajibika. Lakini yule ambaye atakuwa ndani pamoja nawe, kama mkono wa mtu yeyote ukiwa juu yake damu yake itakuwa juu ya vichwa vyetu.

JOS 2:20 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa utatoa habari ya shughuli yetu tunayofanya, tutakuwa tumefunguliwa kutoka kwenye kiapo hiki ulichotufanya tuape.”

JOS 2:21 Removed trailing space in v~: Naye akajibu, “Nimekubali. Na iwe kama mnavyosema.” Kwa hiyo akaagana nao, nao wakaondoka. Yeye akaifunga ile kamba nyekundu dirishani.

JOS 2:22 Removed trailing space in v~: Walipoondoka, wakaelekea vilimani na kukaa huko siku tatu, hadi wale waliokuwa wakiwafuatilia wakawa wamewatafuta njia nzima na kurudi pasipo kuwapata.

JOS 2:23 Removed trailing space in v~: Ndipo wale watu wawili wakaanza kurudi. Wakashuka kutoka kule vilimani, wakavuka mto na kuja kwa Yoshua mwana wa Nuni, na kumweleza kila kitu kilichowapata.

JOS 2:24 Removed trailing space in v~: Wakamwambia Yoshua, “Hakika \nd Bwana\nd* ametupa nchi yote mikononi mwetu; watu wote wanayeyuka kwa hofu kwa sababu yetu.”

JOS 3:0 Extra space after chapter number

JOS 3:0 Removed trailing space in c: 3

JOS 3:0 Removed trailing space in s1: Kuvuka Yordani

JOS 3:1 Removed trailing space in v~: Yoshua na Waisraeli wote wakaondoka asubuhi na mapema kutoka Shitimu, wakaenda mpaka Mto Yordani, ambako walipiga kambi kabla ya kuvuka.

JOS 3:2 Removed trailing space in v~: Baada ya siku tatu maafisa wakapita katika kambi yote,

JOS 3:3 Removed trailing space in v~: wakitoa maagizo kwa watu, wakiwaambia: “Mtakapoona Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* Mungu wenu, likichukuliwa na Walawi ambao ndio makuhani, mtaondoka hapo mlipo na kulifuata.

JOS 3:4 Removed trailing space in v~: Ndipo mtakapotambua njia mtakayoiendea, kwa kuwa hamjawahi kuipita kabla. Lakini msisogee karibu, bali kuwe na umbali wa dhiraa 2,000\f + \fr 3:4 \ft Dhiraa 2,000 ni sawa na mita 900.\f* kati yenu na Sanduku.”

JOS 3:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akawaambia hao watu, “Jitakaseni, kwa kuwa kesho \nd Bwana\nd* atatenda mambo ya kushangaza katikati yenu.”

JOS 3:6 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia makuhani, “Liinueni Sanduku la Agano mkatangulie mbele ya watu.” Hivyo wakaliinua na kutangulia mbele yao.

JOS 3:7 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua, “Leo nitaanza kukutukuza machoni pa Israeli yote, ili wapate kujua kuwa niko pamoja nawe kama nilivyokuwa pamoja na Mose.

JOS 3:8 Removed trailing space in v~: Uwaambie makuhani wanaochukua Sanduku la Agano, ‘Mnapofika kwenye ukingo wa maji ya Yordani, nendeni mkasimame ndani ya mto.’ ”

JOS 3:9 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia Waisraeli, “Njooni hapa msikilize maneno ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

JOS 3:10 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo mtakavyojua ya kuwa Mungu aliye hai yupo katikati yenu, na kwamba kwa hakika atawafukuza mbele yenu hao Wakanaani, Wahiti, Wahivi, Waperizi, Wagirgashi, Waamori na Wayebusi.

JOS 3:11 Removed trailing space in v~: Tazameni, Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* wa dunia yote litaingia ndani ya Mto Yordani likiwa limewatangulia.

JOS 3:12 Removed trailing space in v~: Sasa basi, chagueni watu kumi na wawili kutoka makabila ya Israeli, mtu mmoja kutoka kila kabila.

JOS 3:13 Removed trailing space in v~: Mara tu nyayo za makuhani walichukualo Sanduku la \nd Bwana\nd*, Bwana wa dunia yote, zitakapokanyaga ndani ya Mto Yordani, maji hayo yatiririkayo kutoka juu yatatindika na kusimama kama chuguu.”

JOS 3:14 Removed trailing space in v~: Basi, watu walipovunja kambi ili kuvuka Yordani, makuhani wakiwa wamebeba Sanduku la Agano waliwatangulia.

JOS 3:15 Removed trailing space in v~: Wakati huu ulikuwa wakati wa mavuno, nao Mto Yordani ulikuwa umefurika hadi kwenye kingo zake. Ilikuwa kawaida ya Yordani kufurika nyakati zote za mavuno. Mara tu makuhani wale waliokuwa wamebeba Sanduku la Agano walipofika mtoni na nyayo zao kuzama ndani ya yale maji,

JOS 3:16 Removed trailing space in v~: maji hayo yaliyotiririka kutoka upande wa juu yaliacha kutiririka yakasimama kama chuguu mbali kabisa nao, kwenye mji ulioitwa Adamu kwenye eneo la Sarethani, wakati yale maji yaliyokuwa yanatiririka kuingia kwenye Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi), yalitindika kabisa. Hivyo watu wakavuka kukabili Yeriko.

JOS 3:17 Removed trailing space in v~: Wale makuhani waliobeba Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*, wakasimama imara mahali pakavu katikati ya Mto Yordani, wakati Waisraeli wote wakiwa wanapita hadi taifa lote likaisha kuvuka mahali pakavu.

JOS 4:0 Extra space after chapter number

JOS 4:0 Removed trailing space in c: 4

JOS 4:0 Removed trailing space in s1: Ukumbusho Wa Kuvuka Mto Yordani

JOS 4:1 Removed trailing space in v~: Wakati taifa lote lilipokwisha kuvuka Mto Yordani, \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua,

JOS 4:2 Removed trailing space in v~: “Chagua watu kumi na wawili miongoni mwa watu, kila kabila mtu mmoja,

JOS 4:3 Removed trailing space in v~: nawe uwaambie wachukue mawe kumi na mawili katikati ya Mto Yordani, palepale makuhani waliposimama, wayachukue na kuyaweka mahali mtakapokaa usiku huu wa leo.”

JOS 4:4 Removed trailing space in v~: Basi Yoshua akawaita watu kumi na wawili ambao alikuwa amewachagua kutoka miongoni mwa Waisraeli, mtu mmoja kutoka kila kabila,

JOS 4:5 Removed trailing space in v~: naye akawaambia, “Mtangulie mbele ya Sanduku la \nd Bwana\nd* Mungu wenu, mwende katikati ya Mto Yordani. Kila mmoja wenu atainua jiwe begani mwake, kufuatana na hesabu ya makabila ya Waisraeli,

JOS 4:6 Removed trailing space in v~: kuwa kama ishara katikati yenu. Siku zijazo, wakati watoto wenu watakapowauliza, ‘Ni nini maana ya mawe haya?’

JOS 4:7 Removed trailing space in v~: waambieni kwamba maji ya Mto Yordani yaliyokuwa yakitiririka yalitindika mbele ya Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*. Wakati lilipovuka Yordani, maji ya Yordani yalitindika. Mawe haya yatakuwa kumbukumbu kwa watu wa Israeli milele.”

JOS 4:8 Removed trailing space in v~: Hivyo Waisraeli wakafanya kama Yoshua alivyowaagiza. Wakachukua mawe kumi na mawili kutoka katikati ya Mto Yordani, kulingana na hesabu ya kabila za Waisraeli kama \nd Bwana\nd* alivyomwambia Yoshua, nao wakayabeba hadi kambini mwao, mahali walipoyatua chini.

JOS 4:9 Removed trailing space in v~: Yoshua akayasimamisha yale mawe kumi na mawili ambayo yalikuwa katikati ya Mto Yordani, mahali pale ambapo miguu ya makuhani waliobeba Sanduku la Agano iliposimama. Nayo yako huko mpaka leo.

JOS 4:10 Removed trailing space in v~: Makuhani waliobeba lile Sanduku walibakia wakiwa wamesimama katikati ya Mto Yordani mpaka kila kitu \nd Bwana\nd* alichomwamuru Yoshua kilipokuwa kimefanywa na watu, sawasawa na vile Mose alivyokuwa amemwamuru Yoshua. Watu wakafanya haraka kuvuka,

JOS 4:11 Removed trailing space in v~: na mara tu watu wote walipokwisha kuvuka, Sanduku la \nd Bwana\nd* na makuhani wakavuka watu wakiwa wanatazama.

JOS 4:12 Removed trailing space in v~: Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase wakavuka mbele ya Waisraeli, wakiwa wamevaa silaha, kama Mose alivyowaamuru.

JOS 4:13 Removed trailing space in v~: Kiasi cha watu 40,000 waliojiandaa kwa vita walivuka mbele za \nd Bwana\nd* hadi nchi tambarare za Yeriko kwa ajili ya vita.

JOS 4:14 Removed trailing space in v~: Siku ile \nd Bwana\nd* akamtukuza Yoshua mbele ya Israeli yote, nao wakamheshimu siku zote za maisha yake, kama vile walivyomheshimu Mose.

JOS 4:15 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua,

JOS 4:16 Removed trailing space in v~: “Waamuru hao makuhani wanaolibeba Sanduku la Ushuhuda, wapande kutoka ndani ya Mto Yordani.”

JOS 4:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yoshua akawaamuru hao makuhani akisema, “Pandeni kutoka ndani ya Mto Yordani.”

JOS 4:18 Removed trailing space in v~: Nao makuhani wakapanda kutoka ndani ya Mto Yordani wakilibeba hilo Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*. Mara tu walipoiweka miguu yao penye kingo, nje ya mto, maji ya Yordani yakarudi kufurika kama ilivyokuwa kabla.

JOS 4:19 Removed trailing space in v~: Siku ya kumi ya mwezi wa kwanza watu walipanda kutoka Yordani na kupiga kambi huko Gilgali, kwenye mpaka wa mashariki ya Yeriko.

JOS 4:20 Removed trailing space in v~: Naye Yoshua akayasimamisha huko Gilgali yale mawe kumi na mawili ambayo walikuwa wameyachukua katikati ya Mto Yordani.

JOS 4:21 Removed trailing space in v~: Akawaambia Waisraeli, “Wazao wenu watakapowauliza baba zao siku zijazo wakisema, ‘Mawe haya maana yake ni nini?’

JOS 4:22 Removed trailing space in v~: Basi waambieni, ‘Israeli ilivukia mahali pakavu katika Mto Yordani.’

JOS 4:23 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wenu alikausha maji ya Yordani mbele yenu, hadi mlipomaliza kuvuka. \nd Bwana\nd* Mungu wenu alifanya haya kwa Mto Yordani sawasawa na kile alichoifanyia Bahari ya Shamu wakati alipoikausha mbele yetu hadi tulipomaliza kuvuka.

JOS 4:24 Removed trailing space in v~: Alifanya hivi ili kwamba mataifa yote ya dunia yapate kujua kuwa mkono wa \nd Bwana\nd* ni wenye nguvu, na ili kwamba kila wakati mpate kumcha \nd Bwana\nd* Mungu wenu.”

JOS 5:0 Extra space after chapter number

JOS 5:0 Removed trailing space in c: 5

JOS 5:1 Removed trailing space in v~: Basi wafalme wote wa Waamori magharibi ya Yordani na wafalme wote wa Kanaani waliokuwa kwenye pwani waliposikia jinsi \nd Bwana\nd* alivyoukausha Mto Yordani mbele ya Waisraeli hata tulipokwisha kuvuka, mioyo yao ikayeyuka kwa hofu, wala hawakuwa na ujasiri kuwakabili Waisraeli.

JOS 5:1 Removed trailing space in s1: Tohara Huko Gilgali

JOS 5:2 Removed trailing space in v~: Wakati huo \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua, “Tengeneza visu vya mawe magumu sana na uwatahiri Waisraeli tena.”

JOS 5:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yoshua akatengeneza visu vya mawe magumu sana na kutahiri Waisraeli huko Gibeath-Haaralothi.\f + \fr 5:3 \ft Gibeath-Haaralothi maana yake ni Kilima cha Magovi.\f*

JOS 5:4 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sababu ya Yoshua kufanya hivyo: Wanaume wote waliotoka Misri, wote wenye umri wa kwenda vitani, walikufa jangwani wakiwa njiani baada ya kuondoka Misri.

JOS 5:5 Removed trailing space in v~: Watu wote waliotoka Misri walikuwa wametahiriwa, lakini watu wote waliozaliwa jangwani wakiwa safarini toka Misri walikuwa hawajatahiriwa.

JOS 5:6 Removed trailing space in v~: Waisraeli walitembea jangwani miaka arobaini mpaka wanaume wote wale waliokuwa na umri wa kwenda vitani wakati waliondoka Misri walipokwisha kufa, kwa kuwa hawakumtii \nd Bwana\nd*. Kwa maana \nd Bwana\nd* alikuwa amewaapia kuwa wasingeweza kuona nchi ambayo alikuwa amewaahidi baba zao katika kuapa kutupatia, nchi inayotiririka maziwa na asali.

JOS 5:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akawainua wana wao baada yao na hawa ndio hao ambao Yoshua aliwatahiri. Walikuwa hawajatahiriwa bado kwa sababu walikuwa safarini.

JOS 5:8 Removed trailing space in v~: Baada ya taifa lote kutahiriwa, waliendelea kukaa kambini mpaka walipokuwa wamepona.

JOS 5:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua, “Leo nimeiondoa aibu ya Wamisri kutoka kwenu.” Basi mahali pale pakaitwa Gilgali hadi leo.

JOS 5:10 Removed trailing space in v~: Jioni ya siku ya kumi na nne ya mwezi, wakiwa kambini huko Gilgali katika tambarare za Yeriko, Waisraeli wakaadhimisha Pasaka.

JOS 5:11 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata Pasaka, katika siku ile ile, wakala mazao ya nchi, mikate isiyotiwa chachu na nafaka za kukaanga.

JOS 5:12 Removed trailing space in v~: Mana ilikoma siku iliyofuata baada ya Waisraeli kula chakula kilichotoka katika nchi; hapakuwa na mana tena kwa ajili ya Waisraeli, ila mwaka huo walikula mazao ya nchi ya Kanaani.

JOS 5:12 Removed trailing space in s1: Jemadari Wa Jeshi La \nd Bwana\nd*

JOS 5:13 Removed trailing space in v~: Basi wakati Yoshua alipokuwa karibu na Yeriko, akainua macho, akaona mtu aliyesimama mbele yake, akiwa na upanga mkononi uliofutwa kwenye ala. Yoshua akamwendea na kumuuliza, “Je, wewe uko upande wetu au upande wa adui zetu?”

JOS 5:14 Removed trailing space in v~: Akajibu, “La, siko upande wowote, lakini mimi nimekuja nikiwa jemadari wa jeshi la \nd Bwana\nd*.” Yoshua akaanguka kifudifudi hadi chini, akasujudu, akamuuliza, “Je, Bwana, una ujumbe gani kwa mtumishi wako?”

JOS 5:15 Removed trailing space in v~: Jemadari wa jeshi la \nd Bwana\nd* akajibu, “Vua viatu vyako, kwa maana mahali hapa unaposimama ni patakatifu.” Naye Yoshua akafanya hivyo.

JOS 6:0 Extra space after chapter number

JOS 6:0 Removed trailing space in c: 6

JOS 6:0 Removed trailing space in s1: Yeriko Yatekwa Na Kuangamizwa

JOS 6:1 Removed trailing space in v~: Basi malango ya Yeriko yalifungwa kwa uthabiti kwa ajili ya Waisraeli. Hakuna mtu yeyote aliyetoka au kuingia.

JOS 6:2 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeitia Yeriko mikononi mwako, pamoja na mfalme wake na watu wake wa vita.

JOS 6:3 Removed trailing space in v~: Zunguka mji mara moja pamoja na watu wote wenye silaha. Fanya hivi kwa siku sita.

JOS 6:4 Removed trailing space in v~: Uwe na makuhani saba wakibeba mabaragumu ya pembe za kondoo dume mbele ya Sanduku. Siku ya saba, mzunguke mji mara saba, nao makuhani wakipiga baragumu hizo.

JOS 6:5 Removed trailing space in v~: Utakapowasikia wamepaliza sauti kubwa ya baragumu, watu wote wapige kelele kwa sauti kuu, kisha ukuta wa mji utaanguka na watu watapanda, kila mtu akiendelea mbele.”

JOS 6:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua mwana wa Nuni akaita makuhani na kuwaambia, “Chukueni Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* na makuhani saba wachukue baragumu za pembe za kondoo dume mbele yake.”

JOS 6:7 Removed trailing space in v~: Naye akawaagiza watu, “Songeni mbele! Mkauzunguke mji, na walinzi wenye silaha watangulie mbele ya Sanduku la \nd Bwana\nd*.”

JOS 6:8 Removed trailing space in v~: Baada ya Yoshua kuzungumza na watu, wale makuhani saba wenye kuzibeba zile baragumu saba mbele za \nd Bwana\nd*, wakatangulia mbele, wakipiga baragumu zao na Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* likawafuata.

JOS 6:9 Removed trailing space in v~: Walinzi waliokuwa na silaha wakaenda mbele ya hao makuhani waliopiga hizo baragumu na hao walinzi wa nyuma wakafuata Sanduku. Wakati wote huu baragumu zilikuwa zikipigwa.

JOS 6:10 Removed trailing space in v~: Bali Yoshua alikuwa amewaagiza watu, “Msipige kelele ya vita, msipaze sauti zenu, wala kusema neno lolote mpaka siku ile nitakayowaambia mpige kelele. Ndipo mtapiga kelele!”

JOS 6:11 Removed trailing space in v~: Basi akalipeleka Sanduku la \nd Bwana\nd* kuzungushwa huo mji, likizungushwa mara moja. Kisha watu wakarudi kambini kulala.

JOS 6:12 Removed trailing space in v~: Yoshua akaamka mapema asubuhi iliyofuata nao makuhani wakalichukua Sanduku la \nd Bwana\nd*.

JOS 6:13 Removed trailing space in v~: Wale Makuhani saba wakizibeba zile baragumu saba wakatangulia mbele ya Sanduku la \nd Bwana\nd* wakizipiga. Watu wenye silaha wakatangulia mbele yao na walinzi wa nyuma wakalifuata Sanduku la \nd Bwana\nd*, huku baragumu hizo zikiendelea kulia.

JOS 6:14 Removed trailing space in v~: Siku ya pili wakauzunguka mji mara moja na kurudi kambini. Wakafanya hivi kwa siku sita.

JOS 6:15 Removed trailing space in v~: Siku ya saba, wakaamka asubuhi na mapema wakauzunguka mji kama walivyokuwa wakifanya, isipokuwa siku ile waliuzunguka mji mara saba.

JOS 6:16 Removed trailing space in v~: Walipouzunguka mara ya saba, makuhani walipopiga baragumu kwa sauti kubwa, Yoshua akawaamuru watu akisema, “Pigeni kelele! Kwa maana \nd Bwana\nd* amewapa mji huu!

JOS 6:17 Removed trailing space in v~: Mji huu pamoja na vyote vilivyomo ndani yake utawekwa wakfu kwa \nd Bwana\nd*. Ila Rahabu tu, yule kahaba na wote ambao wako pamoja naye nyumbani mwake ndio watakaosalimishwa, kwa sababu aliwaficha wale wapelelezi tuliowatuma.

JOS 6:18 Removed trailing space in v~: Lakini mjiepushe na vitu vilivyowekwa wakfu, msije mkachukua chochote katika hivyo, msije mkajiletea maangamizi katika maskani ya Israeli na kuiletea taabu.

JOS 6:19 Removed trailing space in v~: Fedha yote na dhahabu, vyombo vya shaba na chuma ni vitakatifu kwa \nd Bwana\nd*, lazima viletwe katika hazina yake.”

JOS 6:20 Removed trailing space in v~: Wakati baragumu zilipopigwa, watu walipiga kelele, na katika sauti ya baragumu, na watu kupaza sauti, ukuta ukaanguka; hivyo kila mtu akapanda akiendelea mbele na kuuteka mji.

JOS 6:21 Removed trailing space in v~: Wakauweka mji wakfu kwa \nd Bwana\nd*, na kila chenye uhai ndani yake walikiangamiza kwa upanga, wanaume kwa wanawake, vijana kwa wazee, ngʼombe, kondoo na punda.

JOS 6:22 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia wale watu wawili waliokuwa wameipeleleza nchi, “Nendeni nyumbani kwa yule kahaba, mleteni pamoja na wote waliomo nyumbani mwake, kulingana na kiapo chenu kwake.”

JOS 6:23 Removed trailing space in v~: Basi wale vijana waliofanya upelelezi wakaenda kumleta Rahabu, baba yake na mama yake, na ndugu zake na watu wote waliokuwa pamoja naye. Wakaleta jamaa yake yote na kuwaweka mahali nje ya kambi ya Israeli.

JOS 6:24 Removed trailing space in v~: Kisha wakauchoma mji wote na kila kitu kilichokuwamo ndani yake. Lakini fedha, dhahabu, vyombo vya shaba na vya chuma wakaviweka katika hazina ya nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JOS 6:25 Removed trailing space in v~: Lakini Yoshua akamhifadhi Rahabu yule kahaba, jamaa yake yote na wote waliokuwa wa kwake, kwa sababu aliwaficha watu waliotumwa na Yoshua kuipeleleza Yeriko, naye anaishi miongoni mwa Waisraeli hata leo.

JOS 6:26 Removed trailing space in v~: Wakati ule Yoshua akatamka kiapo hiki akasema, “Aliyelaaniwa mbele za \nd Bwana\nd* ni mtu atakayeinuka kuujenga tena mji huu wa Yeriko:

JOS 6:26 Removed trailing space in p~: “Kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza wa kiume

JOS 6:26 Removed trailing space in p~: ataiweka misingi yake;

JOS 6:26 Removed trailing space in p~: kwa gharama ya mtoto wake wa mwisho

JOS 6:26 Removed trailing space in p~: atayaweka malango yake.”

JOS 6:27 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja na Yoshua, na sifa zake zikaenea katika nchi yote.

JOS 9:0 Extra space after chapter number

JOS 9:0 Removed trailing space in c: 9

JOS 9:0 Removed trailing space in s1: Udanganyifu Wa Wagibeoni

JOS 9:1 Removed trailing space in v~: Basi ikawa wafalme wote waliokuwa magharibi mwa Yordani waliposikia juu ya haya yote, wale waliokuwa katika nchi ya vilima, upande wa magharibi mwa vilima na katika pwani yote ya hiyo Bahari Kuu,\f + \fr 9:1 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.\f* hadi kufikia Lebanoni (wafalme wa Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi),

JOS 9:2 Removed trailing space in v~: wakajiunga pamoja ili kupigana vita dhidi ya Yoshua na Israeli.

JOS 9:3 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, watu wa Gibeoni waliposikia juu ya hayo yote Yoshua aliyowatendea watu wa Yeriko na Ai,

JOS 9:4 Removed trailing space in v~: nao wakaamua kufanya hila: Wakajifanya kama wajumbe wakiwa na punda waliobebeshwa mizigo wakiwa na magunia yaliyochakaa na viriba vya mvinyo vikuukuu vyenye nyufa zilizozibwa.

JOS 9:5 Removed trailing space in v~: Walivaa miguuni mwao viatu vilivyoraruka na kushonwa kisha wakavaa nguo kuukuu. Chakula chao kilikuwa mkate uliokauka na kuingia koga.

JOS 9:6 Removed trailing space in v~: Ndipo wakamwendea Yoshua kambini huko Gilgali wakamwambia yeye pamoja na watu wa Israeli, “Tumetoka katika nchi ya mbali, fanyeni mkataba nasi.”

JOS 9:7 Removed trailing space in v~: Basi watu wa Israeli wakawaambia hao Wahivi, “Lakini huenda mnakaa karibu nasi, twawezaje basi kufanya mapatano nanyi?”

JOS 9:8 Removed trailing space in v~: Wakamwambia Yoshua, “Sisi ni watumishi wako.”

JOS 9:8 Removed trailing space in p~: Yoshua akawauliza, “Ninyi ni nani, nanyi mnatoka wapi?”

JOS 9:9 Removed trailing space in v~: Nao wakamjibu: “Watumishi wako wametoka nchi ya mbali sana kwa ajili ya umaarufu wa \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Kwa kuwa tumesikia taarifa zake: hayo yote aliyofanya huko Misri,

JOS 9:10 Removed trailing space in v~: pia yale yote aliyowatendea wafalme wawili wa Waamori mashariki ya Yordani; huyo Sihoni mfalme wa Heshboni na Ogu mfalme wa Bashani, aliyetawala huko Ashtarothi.

JOS 9:11 Removed trailing space in v~: Basi wazee wetu na wale wote wanaoishi katika nchi yetu walituambia, ‘Chukueni chakula cha safari; nendeni mkakutane na watu hao na kuwaambia, “Sisi tu watumishi wenu, fanyeni mapatano nasi.” ’

JOS 9:12 Removed trailing space in v~: Mkate huu wetu ulikuwa wa moto tulipoufunga siku tulipoanza safari kuja kwenu, lakini sasa angalia jinsi ulivyokauka na kuota ukungu.

JOS 9:13 Removed trailing space in v~: Viriba hivi vya mvinyo vilikuwa vipya tulipovijaza, lakini ona jinsi vilivyo na nyufa. Nguo zetu na viatu vimechakaa kwa ajili ya safari ndefu.”

JOS 9:14 Removed trailing space in v~: Basi watu wa Israeli wakavikagua vyakula vyao bila kupata shauri kutoka kwa \nd Bwana\nd*.

JOS 9:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akafanya mapatano ya amani pamoja nao kuwaacha waishi, nao viongozi wa kusanyiko wakathibitisha kwa kiapo.

JOS 9:16 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu baada ya hao kufanya mapatano na Wagibeoni, Waisraeli wakapata habari kuwa hao watu ni jirani zao waliokuwa wanaishi karibu nao.

JOS 9:17 Removed trailing space in v~: Ndipo wana wa Israeli wakasafiri na siku ya tatu wakafika kwenye miji yao ya Gibeoni, Kefira, Beerothi na Kiriath-Yearimu.

JOS 9:18 Removed trailing space in v~: Lakini Waisraeli hawakuwashambulia kwa kuwa viongozi wa kusanyiko walikuwa wamewaapia kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

JOS 9:18 Removed trailing space in p~: Kusanyiko lote likanungʼunika dhidi ya hao viongozi,

JOS 9:19 Removed trailing space in v~: lakini viongozi wote wakawajibu, “Tumeshawaapia kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kwa hiyo hatuwezi kuwagusa sasa.

JOS 9:20 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo tutakavyowafanyia: Tutawaacha waishi, ili ghadhabu isije juu yetu kwa kuvunja kiapo tulichowaapia.”

JOS 9:21 Removed trailing space in v~: Wakaendelea kusema, “Waacheni waishi, lakini wawe wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya jamii yote.” Hivyo ahadi waliyoweka viongozi kwao ikawa hivyo.

JOS 9:22 Removed trailing space in v~: Kisha Yoshua akawaita Wagibeoni na kuwaambia, “Kwa nini mmetudanganya kwa kutuambia, ‘Tunaishi mbali nanyi,’ wakati ambapo ninyi mnaishi karibu nasi?

JOS 9:23 Removed trailing space in v~: Sasa mko chini ya laana: Daima mtakuwa wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu.”

JOS 9:24 Removed trailing space in v~: Wakamjibu Yoshua, “Watumwa wako waliambiwa waziwazi jinsi \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyomwamuru mtumishi wake Mose kuwapa ninyi nchi hii yote na kuwaangamiza wakazi wake wote toka mbele zenu. Kwa hiyo tuliogopa mno kwa ajili ya uhai wetu kwa sababu yenu, ndiyo maana tukafanya neno hili.

JOS 9:25 Removed trailing space in v~: Sasa tupo mikononi mwako. Tufanyieni lolote mnaloona kuwa jema na haki kwako.”

JOS 9:26 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yoshua akawaokoa mikononi mwa Waisraeli, nao hawakuuawa.

JOS 9:27 Removed trailing space in v~: Siku hiyo Yoshua akawafanya Wagibeoni wapasua kuni na wachota maji kwa ajili ya jamii na kwa ajili ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* mahali pale ambapo \nd Bwana\nd* angepachagua. Hivyo ndivyo walivyo hadi hivi leo.

JOS 12:0 Extra space after chapter number

JOS 12:0 Removed trailing space in c: 12

JOS 12:0 Removed trailing space in s1: Orodha Ya Wafalme Walioshindwa

JOS 12:1 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Waisraeli waliwashinda na kuitwaa nchi yao upande wa mashariki mwa Yordani, kuanzia Bonde la Arnoni mpaka Mlima Hermoni, pamoja na eneo lote la upande wa mashariki ya Araba:

JOS 12:2 Removed trailing space in v~: Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala huko Heshboni.

JOS 12:2 Removed trailing space in p~: Alitawala kuanzia Aroeri kwenye ukingo wa Bonde la Arnoni, kuanzia katikati ya bonde, hadi kwenye Mto Yaboki, ambao ni mpaka wa Waamoni. Hii ilijumlisha nusu ya Gileadi.

JOS 12:3 Removed trailing space in v~: Pia alitawala Araba ya mashariki kuanzia Bahari ya Kinerethi\f + \fr 12:3 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.\f* hadi Bahari ya Araba (yaani Bahari ya Chumvi\f + \fr 12:3 \ft Yaani Bahari Mfu.\f*), hadi Beth-Yeshimothi, kisha kuelekea kusini chini ya materemko ya Pisga.

JOS 12:4 Removed trailing space in v~: Nayo nchi ya Ogu mfalme wa Bashani, aliyekuwa mmoja wa mabaki ya Warefai, aliyetawala Ashtarothi na Edrei.

JOS 12:5 Removed trailing space in v~: Naye alitawala katika Mlima Hermoni, Saleka, Bashani yote hadi mpaka wa watu wa Geshuri, na watu wa Maaka na nusu ya Gileadi, hadi kwenye mpaka wa Sihoni mfalme wa Heshboni.

JOS 12:6 Removed trailing space in v~: Mose, mtumishi wa \nd Bwana,\nd* na Waisraeli wakawashinda. Naye Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* akawapa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase nchi ya hao wafalme ili iwe milki yao.

JOS 12:7 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wafalme wa nchi ambao Yoshua na Waisraeli waliwashinda upande wa magharibi mwa Yordani, kuanzia Baal-Gadi katika Bonde la Lebanoni hadi kufikia Mlima Halaki, unaoinuka ukielekea Seiri. (Yoshua alitoa nchi zao kwa makabila ya Israeli iwe urithi wao sawasawa na mgawanyiko wa makabila yao:

JOS 12:8 Removed trailing space in v~: nchi ya vilima, shefela, upande wa magharibi, Araba, materemko ya milima, jangwa, na Negebu; nchi za Wahiti, Waamori, Wakanaani, Waperizi, Wahivi na Wayebusi):

JOS 12:8 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:9 Removed trailing space in v~: mfalme wa Yeriko \tcr2 mmoja

JOS 12:9 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Ai (karibu na Betheli) \tcr2 mmoja

JOS 12:9 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:10 Removed trailing space in v~: mfalme wa Yerusalemu \tcr2 mmoja

JOS 12:10 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Hebroni \tcr2 mmoja

JOS 12:10 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:11 Removed trailing space in v~: mfalme wa Yarmuthi \tcr2 mmoja

JOS 12:11 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Lakishi \tcr2 mmoja

JOS 12:11 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:12 Removed trailing space in v~: mfalme wa Egloni \tcr2 mmoja

JOS 12:12 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Gezeri \tcr2 mmoja

JOS 12:12 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:13 Removed trailing space in v~: mfalme wa Debiri \tcr2 mmoja

JOS 12:13 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Gederi \tcr2 mmoja

JOS 12:13 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:14 Removed trailing space in v~: mfalme wa Horma \tcr2 mmoja

JOS 12:14 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Aradi \tcr2 mmoja

JOS 12:14 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:15 Removed trailing space in v~: mfalme wa Libna \tcr2 mmoja

JOS 12:15 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Adulamu \tcr2 mmoja

JOS 12:15 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:16 Removed trailing space in v~: mfalme wa Makeda \tcr2 mmoja

JOS 12:16 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Betheli \tcr2 mmoja

JOS 12:16 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:17 Removed trailing space in v~: mfalme wa Tapua \tcr2 mmoja

JOS 12:17 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Heferi \tcr2 mmoja

JOS 12:17 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:18 Removed trailing space in v~: mfalme wa Afeki \tcr2 mmoja

JOS 12:18 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Lasharoni \tcr2 mmoja

JOS 12:18 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:19 Removed trailing space in v~: mfalme wa Madoni \tcr2 mmoja

JOS 12:19 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Hazori \tcr2 mmoja

JOS 12:19 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:20 Removed trailing space in v~: mfalme wa Shimron-Meroni \tcr2 mmoja

JOS 12:20 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Akishafu \tcr2 mmoja

JOS 12:20 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:21 Removed trailing space in v~: mfalme wa Taanaki \tcr2 mmoja

JOS 12:21 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Megido \tcr2 mmoja

JOS 12:21 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:22 Removed trailing space in v~: mfalme wa Kedeshi \tcr2 mmoja

JOS 12:22 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Yokneamu katika Karmeli \tcr2 mmoja

JOS 12:22 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:23 Removed trailing space in v~: mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) \f + \fr 12:23 \ft Au: katika miinuko ya Nafoth-Dori.\f*\tcr2 mmoja

JOS 12:23 Found footnote preceded by a space in \v~: mfalme wa Dori (katika Nafoth-Dori) \f + \fr 12:23 \ft Au: katika miinuko ya Nafoth-Dori.\f*\tcr2 mmoja

JOS 12:23 Removed trailing space in tr: \tc1 mfalme wa Goimu katika Gilgali \tcr2 mmoja

JOS 12:23 Removed trailing space in tr: \tc1

JOS 12:24 Removed trailing space in v~: mfalme wa Tirsa \tcr2 mmoja

JOS 12:24 Removed trailing space in p~: wafalme jumla yao ilikuwa thelathini na mmoja.

JOS 13:0 Extra space after chapter number

JOS 13:0 Removed trailing space in c: 13

JOS 13:0 Removed trailing space in s1: Sehemu Za Kanaani Ambazo Hazijatwaliwa

JOS 13:1 Removed trailing space in v~: Yoshua alipokuwa mzee na umri wake ukiwa umesogea sana, \nd Bwana\nd* akamwambia, “Wewe ni mzee sana, na bado kumesalia sehemu kubwa sana za nchi ambazo ni za kutwaliwa.

JOS 13:2 Removed trailing space in v~: “Nchi iliyosalia ni hii: maeneo yote ya Wafilisti na Wageshuri:

JOS 13:3 Removed trailing space in v~: kutoka Mto Shihori ulioko mashariki mwa Misri, kuelekea kaskazini kwenye eneo la Ekroni, ambayo yote ilihesabika kama ya Wakanaani (maeneo yale matano ya watawala wa Kifilisti, ambayo ni Gaza, Ashdodi, Ashkeloni, Gathi na Ekroni: ndiyo nchi ya Waavi);

JOS 13:4 Removed trailing space in v~: kuanzia kusini, nchi yote ya Wakanaani, kuanzia Ara ambayo ni ya Wasidoni, ikienea hadi Afeki, na eneo la Waamori,

JOS 13:5 Removed trailing space in v~: eneo la Wagebali;\f + \fr 13:5 \ft Yaani eneo la Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti).\f* Lebanoni yote kuelekea mashariki, kuanzia Baal-Gadi chini ya Mlima Hermoni hadi Lebo-Hamathi.

JOS 13:6 Removed trailing space in v~: “Na kuhusu wakaaji wote katika maeneo ya milima, kuanzia Lebanoni hadi Misrefoth-Maimu, pamoja na eneo lote la Wasidoni, mimi mwenyewe nitawafukuza watoke mbele ya Waisraeli. Hakikisha umegawa nchi hii kwa Israeli kuwa urithi, kama nilivyokuagiza,

JOS 13:7 Removed trailing space in v~: sasa basi, ligawanye eneo hili kwa yale makabila tisa na ile nusu ya kabila la Manase kuwa urithi.”

JOS 13:7 Removed trailing space in s1: Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Mwa Yordani

JOS 13:8 Removed trailing space in v~: Ile nusu nyingine ya Manase, Wareubeni na Wagadi, walishapokea urithi Mose aliokuwa amewapa mashariki mwa Yordani, sawasawa na mtumishi wa \nd Bwana\nd* alivyowagawia.

JOS 13:9 Removed trailing space in v~: Eneo lao lilienea toka Aroeri, iliyoko ukingoni mwa Bonde la Arnoni kuanzia mji ulio katikati ya bonde, likijumlisha nchi ya uwanda wa juu wote wa Medeba mpaka Diboni,

JOS 13:10 Removed trailing space in v~: nayo miji yote ya Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala Heshboni, hadi mpakani mwa Waamoni.

JOS 13:11 Removed trailing space in v~: Vilevile ilijumlisha Gileadi, eneo la Wageshuri na Wamaaka, mlima wote wa Hermoni na Bashani yote ikienea hadi Saleka:

JOS 13:12 Removed trailing space in v~: yaani ufalme wote wa Ogu katika Bashani, aliyekuwa ametawala katika Ashtarothi na Edrei, na ndiye pekee alisalia kwa Warefai. Mose alikuwa amewashinda na kuteka nchi yao.

JOS 13:13 Removed trailing space in v~: Lakini Waisraeli hawakuwafukuza watu wa Geshuri na wa Maaka, kwa hiyo wanaendelea kuishi miongoni mwa Waisraeli mpaka leo hii.

JOS 13:14 Removed trailing space in v~: Lakini kwa kabila la Lawi, Mose hakupeana urithi, kwa kuwa sadaka za kuteketezwa kwa moto zilizotolewa kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ndizo zilizokuwa urithi wao, kama alivyowaahidi.

JOS 13:15 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa kabila la Reubeni ukoo kwa ukoo:

JOS 13:16 Removed trailing space in v~: Eneo la Aroeri lililo ukingoni mwa Bonde la Arnoni, na kuanzia mji ulio katikati ya bonde, pia uwanda wote wa juu kupita Medeba

JOS 13:17 Removed trailing space in v~: hadi Heshboni na miji yake yote kwenye uwanda wa juu, ikijumlishwa miji ya Diboni, Bamoth-Baali, Beth-Baal-Meoni,

JOS 13:18 Removed trailing space in v~: Yahasa, Kedemothi, Mefaathi,

JOS 13:19 Removed trailing space in v~: Kiriathaimu, Sibma, Sereth-Shahari juu ya kilima kilicho katika bonde,

JOS 13:20 Removed trailing space in v~: Beth-Peori, materemko ya Pisga na Beth-Yeshimothi:

JOS 13:21 Removed trailing space in v~: miji yote ya uwanda wa juu na eneo lote la utawala wa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni. Mose alikuwa amemshinda Sihoni, pia watawala wakuu wa Wamidiani, ambao ni Evi, Rekemu, Suri, Huri na Reba, waliokuwa wameungana na Sihoni, ambao waliishi katika nchi ile.

JOS 13:22 Removed trailing space in v~: Pamoja na wale waliouawa katika vita, Waisraeli walikuwa wamemuua kwa upanga Balaamu mwana wa Beori aliyekuwa mchawi.

JOS 13:23 Removed trailing space in v~: Mpaka wa Wareubeni ulikuwa ni ukingo wa Mto Yordani. Miji hii na vijiji vyake ndiyo iliyokuwa urithi wa Wareubeni ukoo kwa ukoo.

JOS 13:24 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa kabila la Gadi, ukoo kwa ukoo:

JOS 13:25 Removed trailing space in v~: Nchi ya Yazeri, miji yote ya Gileadi na nusu ya nchi ya Amoni iliyoenea hadi Aroeri, karibu na Raba;

JOS 13:26 Removed trailing space in v~: na kuanzia Heshboni mpaka Ramath-Mispa na Betonimu, na kutoka Mahanaimu hadi eneo la Debiri;

JOS 13:27 Removed trailing space in v~: na katika bonde, Beth-Haramu, Beth-Nimra, Sukothi na Safoni na sehemu iliyobaki ya eneo la utawala wa Sihoni mfalme wa Heshboni (upande wa mashariki mwa Mto Yordani, eneo inayoishia kwenye Bahari ya Kinerethi\f + \fr 13:27 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.\f*).

JOS 13:28 Removed trailing space in v~: Miji hii na vijiji vyake ilikuwa urithi wa kabila la Gadi ukoo kwa ukoo.

JOS 13:29 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maeneo ambayo Mose alikuwa amewapa hiyo nusu ya kabila la Manase, yaani kwa nusu ya jamaa ya uzao wa Manase, ukoo kwa ukoo:

JOS 13:30 Removed trailing space in v~: Eneo lililoenea kuanzia Mahanaimu, na kujumlisha Bashani yote, ufalme wote wa Ogu mfalme wa Bashani, makazi yote ya Yairi huko Bashani, miji sitini,

JOS 13:31 Removed trailing space in v~: nusu ya Gileadi, na Ashtarothi na Edrei (miji ya kifalme ya Ogu katika Bashani). Hii ilikuwa kwa ajili ya wazao wa Makiri mwana wa Manase, kwa ajili ya nusu ya wana wa Makiri, ukoo kwa ukoo.

JOS 13:32 Removed trailing space in v~: Huu ndio urithi alioupeana Mose wakati alipokuwa katika tambarare za Moabu, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko.

JOS 13:33 Removed trailing space in v~: Lakini kwa kabila la Walawi, Mose hakuwapa urithi; \nd Bwana\nd* Mungu, Mungu wa Israeli ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.

JOS 14:0 Extra space after chapter number

JOS 14:0 Removed trailing space in c: 14

JOS 14:0 Removed trailing space in s1: Mgawanyo Wa Nchi Magharibi Mwa Yordani

JOS 14:1 Removed trailing space in v~: Basi haya ndiyo maeneo Waisraeli waliyopokea kama urithi katika nchi ya Kanaani, ambayo kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni na viongozi wa koo za kabila za Israeli waliwagawia.

JOS 14:2 Removed trailing space in v~: Urithi wao uligawanywa kwa kura kwa yale makabila tisa na nusu, kama \nd Bwana\nd* alivyoamuru Mose.

JOS 14:3 Removed trailing space in v~: Mose alikuwa amewapa yale makabila mawili na nusu urithi wao upande wa mashariki mwa Yordani, lakini Walawi hawakupewa urithi miongoni mwa hao wengine,

JOS 14:4 Removed trailing space in v~: kwa kuwa wana wa Yosefu walikuwa makabila mawili; Manase na Efraimu. Walawi hawakupata mgawo wa ardhi, bali walipewa miji tu kwa ajili ya kuishi, pamoja na maeneo ya malisho kwa ajili ya makundi yao ya kondoo, mbuzi na ngʼombe wao.

JOS 14:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Waisraeli wakagawana ile nchi, kama vile \nd Bwana\nd* alivyomwagiza Mose.

JOS 14:5 Removed trailing space in s1: Kalebu Anapewa Mji Wa Hebroni

JOS 14:6 Removed trailing space in v~: Kisha watu wa Yuda wakamwendea Yoshua huko Gilgali, naye Kalebu mwana wa Yefune yule Mkenizi, akamwambia, “Unajua jambo ambalo \nd Bwana\nd* alimwambia Mose mtu wa Mungu huko Kadesh-Barnea kukuhusu wewe na mimi.

JOS 14:7 Removed trailing space in v~: Nilikuwa na umri wa miaka arobaini, wakati Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd*, aliponituma kutoka Kadesh-Barnea kuipeleleza hiyo nchi. Nami nikamletea taarifa kama kulingana na nilivyosadiki moyoni.

JOS 14:8 Removed trailing space in v~: Lakini ndugu zangu tuliopanda nao waliifanya mioyo ya watu iyeyuke kwa hofu. Bali mimi, nilimfuata \nd Bwana\nd* Mungu wangu kwa moyo wote.

JOS 14:9 Removed trailing space in v~: Hivyo katika siku ile, Mose akaniapia, ‘Nchi ambayo umeikanyaga kwa miguu yako itakuwa urithi wako na wa watoto wako milele, kwa sababu umemfuata \nd Bwana\nd* Mungu wangu kwa moyo wote.’

JOS 14:10 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, kama vile \nd Bwana\nd* alivyoahidi, ameniweka hai kwa miaka arobaini na mitano tangu wakati alipomwambia Mose jambo hili, wakati Waisraeli wakiwa wanazunguka jangwani. Hivyo mimi hapa leo, nina umri wa miaka themanini na mitano!

JOS 14:11 Removed trailing space in v~: Bado ninazo nguvu kama siku ile Mose aliponituma. Bado ninazo nguvu za kwenda vitani sasa kama vile nilivyokuwa wakati ule.

JOS 14:12 Removed trailing space in v~: Basi nipe nchi hii ya vilima, ambayo \nd Bwana\nd* aliniahidi siku ile. Wewe mwenyewe ulisikia wakati ule kwamba Waanaki walikuwako huko na miji yao ilikuwa mikubwa na yenye maboma, lakini, kwa msaada wa \nd Bwana\nd*, nitawafukuza watoke huko kama vile alivyonena.”

JOS 14:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akambariki Kalebu mwana wa Yefune, na akampa Hebroni kama urithi wake.

JOS 14:14 Removed trailing space in v~: Hivyo Hebroni imekuwa mali ya Kalebu mwana wa Yefune Mkenizi tangu wakati ule, kwa sababu alimwandama \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kwa moyo wote.

JOS 14:15 Removed trailing space in v~: (Hebroni uliitwa Kiriath-Arba hapo mwanzo, kutokana na huyo Arba ambaye alikuwa mtu mkuu kupita wote miongoni mwa Waanaki.)

JOS 14:15 Removed trailing space in p~: Kisha nchi ikawa na amani bila vita.

JOS 17:0 Extra space after chapter number

JOS 17:0 Removed trailing space in c: 17

JOS 17:0 Removed trailing space in s1: Mgawo Wa Nusu Nyingine Ya Manase Upande Wa Magharibi

JOS 17:1 Removed trailing space in v~: Huu ndio mgawo wa kabila la Manase kama mzaliwa wa kwanza wa Yosefu, yaani kwa ajili ya Makiri, mzaliwa wa kwanza wa Manase. Makiri alikuwa baba wa Wagileadi, ambao walipokea Gileadi na Bashani kwa sababu Wamakiri walikuwa askari wakuu.

JOS 17:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mgawo huu ulikuwa kwa ajili ya watu wa Manase waliokuwa wamebaki, ambao ni koo za Abiezeri, Heleki, Asirieli, Shekemu, Heferi na Shemida. Hawa ndio wanaume wale wengine wa uzao wa Manase mwana wa Yosefu kwa koo zao.

JOS 17:3 Removed trailing space in v~: Basi Selofehadi mwana wa Heferi, mwana wa Gileadi, mwana wa Makiri, mwana wa Manase hakuwa na wana waume ila mabinti tu, ambao majina yao yalikuwa Mahla, Noa, Hogla, Milka na Tirsa.

JOS 17:4 Removed trailing space in v~: Wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi, wakasema: “\nd Bwana\nd* alimwagiza Mose atupatie urithi miongoni mwa ndugu zetu.” Kwa hiyo Yoshua akawapa urithi pamoja na ndugu wa baba yao, kufuatana na agizo la \nd Bwana\nd*.

JOS 17:5 Removed trailing space in v~: Fungu la Manase lilikuwa na sehemu kumi za nchi, licha ya Gileadi na Bashani mashariki mwa Yordani,

JOS 17:6 Removed trailing space in v~: kwa sababu wale binti za kabila la Manase walipokea urithi miongoni mwa wana wa kiume. Nchi ya Gileadi ilikuwa mali ya wazao wa Manase waliobaki.

JOS 17:7 Removed trailing space in v~: Eneo la Manase lilienea kuanzia Asheri hadi Mikmeta mashariki mwa Shekemu. Mpaka ule ulielekea upande wa kusini kutoka pale kujumuisha watu walioishi En-Tapua.

JOS 17:8 Removed trailing space in v~: (Nchi ya Tapua ilikuwa mali ya Manase, lakini Tapua yenyewe iliyo mpakani mwa nchi ya Manase ilikuwa ya Waefraimu.)

JOS 17:9 Removed trailing space in v~: Kisha mpaka ule uliendelea kuelekea kusini hadi Bonde la Kana. Kulikuwepo miji ya Efraimu iliyokuwa miongoni mwa miji ya Manase, lakini mpaka wa Manase ulikuwa upande wa kaskazini wa lile bonde na kuishia kwenye bahari.

JOS 17:10 Removed trailing space in v~: Nchi ya kusini ilikuwa ya Efraimu, na ile iliyokuwa upande wa kaskazini ilikuwa ya Manase. Eneo la Manase lilifika bahari na ikapakana na Asheri upande wa kaskazini, na Isakari upande wa mashariki.

JOS 17:11 Removed trailing space in v~: Katika Isakari na Asheri Manase alikuwa na miji pia: Beth-Shani, Ibleamu na watu wa Dori,\f + \fr 17:11 \ft Ndiyo Nafoth-Dori.\f* Endori, Taanaki na Megido, pamoja na vijiji vyote vinavyohusika na miji hiyo (ya tatu katika orodha ni Nafothi).

JOS 17:12 Removed trailing space in v~: Lakini Wamanase hawakuweza kuimiliki miji hii, kwa kuwa Wakanaani walikazana kuishi katika maeneo hayo.

JOS 17:13 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Waisraeli walivyoendelea kupata nguvu waliwatumikisha Wakanaani na kuwatia katika kazi za kulazimishwa, lakini hawakuwafukuza kabisa.

JOS 17:13 Removed trailing space in s1: Kabila La Yosefu Lakataa

JOS 17:14 Removed trailing space in v~: Watu wa Yosefu wakamwambia Yoshua, “Kwa nini umetupa sisi mgawo mmoja tu na sehemu moja tu kuwa urithi? Sisi tu watu wengi sana, na \nd Bwana\nd* ametubariki kwa wingi.”

JOS 17:15 Removed trailing space in v~: Yoshua akajibu, “Kama ninyi ni wengi sana, na kama nchi ya vilima ya Efraimu ni ndogo sana kwenu, pandeni msituni mkafyeke eneo kwa ajili yenu wenyewe huko kwenye nchi ya Waperizi na Warefai.”

JOS 17:16 Removed trailing space in v~: Watu wa Yosefu wakajibu, “Hiyo nchi ya vilima haitutoshi, nao Wakanaani wote wanaoishi katika tambarare wanayo magari ya vita ya chuma, wote wa Beth-Shani na miji yake, na wale walio katika Bonde la Yezreeli.”

JOS 17:17 Removed trailing space in v~: Lakini Yoshua akanena na nyumba ya Yosefu, yaani Efraimu na Manase: “Ninyi ni wengi sana na wenye nguvu sana. Hamtakuwa na mgawo mmoja tu,

JOS 17:18 Removed trailing space in v~: bali pia nchi hii ya kilima yenye msitu. Ifyekeni, nayo mipaka yake itakuwa yenu umbali mtakaoweza kufika. Ingawa Wakanaani wana magari ya chuma, nao wana nguvu, mwaweza kuwafukuza humo.”

JOS 18:0 Extra space after chapter number

JOS 18:0 Removed trailing space in c: 18

JOS 18:0 Removed trailing space in s1: Mgawanyo Wa Nchi Iliyobaki

JOS 18:1 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote la Waisraeli likakusanyika huko Shilo na kusimamisha Hema la Kukutania. Nchi ikawa chini ya utawala wao,

JOS 18:2 Removed trailing space in v~: lakini palikuwa bado makabila saba ya Israeli ambayo yalikuwa hayajapokea urithi wao.

JOS 18:3 Removed trailing space in v~: Hivyo Yoshua akawaambia Waisraeli, “Je, mtasubiri hata lini ili kuingia kumiliki nchi ambayo \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, amewapa?

JOS 18:4 Removed trailing space in v~: Chagueni watu watatu kutoka kwenye kila kabila. Nitawatuma hao watu kukagua hiyo nchi na kuniandikia mapendekezo ya mgawanyo wa urithi wa kila kabila. Nao watanirudia.

JOS 18:5 Removed trailing space in v~: Mtaigawanya hiyo nchi katika sehemu saba. Yuda atabaki katika eneo lake upande wa kusini na nyumba ya Yosefu katika nchi yake upande wa kaskazini.

JOS 18:6 Removed trailing space in v~: Baada ya kuandika maelezo ya hizo sehemu saba za nchi, yaleteni kwangu, nami nitawapigia kura kwa kura mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wetu.

JOS 18:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Walawi hawatakuwa na sehemu miongoni mwenu, kwa maana huduma ya ukuhani kwa \nd Bwana\nd* ndio urithi wao. Nao Gadi, Reubeni na nusu ya kabila la Manase wameshapata urithi wao upande wa mashariki mwa Yordani, ambako Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* aliwapa.”

JOS 18:8 Removed trailing space in v~: Watu hao walipokuwa wanaondoka kwenda kuandika vizuri kuhusu hiyo nchi, Yoshua akawaagiza, “Nendeni mkakague hiyo nchi na mwandike maelezo kuihusu. Kisha mrudi kwangu, nami nitawapigia kura hapa Shilo mbele za \nd Bwana\nd*.”

JOS 18:9 Removed trailing space in v~: Ndipo hao watu walipoondoka na kupita katika ile nchi. Wakaandika maelezo yake kwenye kitabu, mji kwa mji, katika sehemu saba na kurudisha taarifa kwa Yoshua huko kambini Shilo.

JOS 18:10 Removed trailing space in v~: Basi Yoshua akawapigia kura huko Shilo mbele za \nd Bwana\nd*, na hapo akagawanya ile nchi kwa Waisraeli kufuatana na mgawanyo wa kabila zao.

JOS 18:10 Removed trailing space in s1: Mgawo Kwa Benyamini

JOS 18:11 Removed trailing space in v~: Kura iliangukia kabila la Benyamini, ukoo kwa ukoo. Eneo lao walilogawiwa lilikuwa kati ya kabila la Yuda na la Yosefu.

JOS 18:12 Removed trailing space in v~: Upande wa kaskazini mpaka wao ulianzia pale Yordani, kupitia kaskazini ya mteremko wa Yeriko na kuendelea magharibi kuingia katika nchi ya vilima, ukitokea kwenye jangwa la Beth-Aveni.

JOS 18:13 Removed trailing space in v~: Kutoka hapo ulikatiza kwenye mteremko wa kusini mwa Luzu (yaani Betheli) na kushuka hadi Ataroth-Adari katika kilima kusini mwa Beth-Horoni ya Chini.

JOS 18:14 Removed trailing space in v~: Kutoka kilima kinachotazamana na Beth-Horoni upande wa kusini mpaka ule ukazunguka kusini kufuatia upande wa magharibi, na ukatokezea Kiriath-Baali (yaani Kiriath-Yearimu), mji wa watu wa Yuda. Huu ndio uliokuwa upande wa magharibi.

JOS 18:15 Removed trailing space in v~: Upande wa kusini mpaka ulianzia kwenye viunga vya Kiriath-Yearimu kwa upande wa magharibi, nao ukatokeza kwenye chemchemi ya maji ya Neftoa.

JOS 18:16 Removed trailing space in v~: Mpaka ukateremka hadi shefela inayotazamana na Bonde la Ben-Hinomu, kaskazini mwa Bonde la Refaimu. Ukaendelea chini kwenye Bonde la Hinomu sambamba na mteremko wa kusini mwa mji mkubwa wa Wayebusi na kisha hadi En-Rogeli.

JOS 18:17 Removed trailing space in v~: Kisha ukapinda kuelekea kaskazini, ukaenda hadi En-Shemeshi na kuendelea mpaka Gelilothi, inayotazamana na Njia ya Adumimu, ukateremka hadi kwenye Jiwe la Bohani mwana wa Reubeni.

JOS 18:18 Removed trailing space in v~: Ukaendelea upande wa mteremko wa kaskazini wa Beth-Araba ukateremka hadi Araba.

JOS 18:19 Removed trailing space in v~: Kisha ukaenda mpaka kwenye mteremko wa kaskazini wa Beth-Hogla na kujitokeza kwenye ghuba ya kaskazini ya Bahari ya Chumvi, kwenye maingilio ya Yordani upande wa kusini. Huo ulikuwa mpaka wa kusini.

JOS 18:20 Removed trailing space in v~: Nayo Yordani ikawa ndio mpaka wa upande wa mashariki.

JOS 18:20 Removed trailing space in p~: Hii ilikuwa ndiyo mipaka iliyoonyesha urithi wa koo za Benyamini pande zote.

JOS 18:21 Removed trailing space in v~: Kabila ya Benyamini, ukoo kwa ukoo, ilikuwa na miji mikubwa ifuatayo:

JOS 18:21 Removed trailing space in p~: Yeriko, Beth-Hogla, Emeki-Kesisi,

JOS 18:22 Removed trailing space in v~: Beth-Araba, Semaraimu, Betheli,

JOS 18:23 Removed trailing space in v~: Avimu, Para na Ofra,

JOS 18:24 Removed trailing space in v~: Kefar-Amoni, Ofni, na Geba; miji kumi na miwili pamoja na vijiji vyake.

JOS 18:25 Removed trailing space in v~: Gibeoni, Rama na Beerothi,

JOS 18:26 Removed trailing space in v~: Mispa, Kefira, Moza,

JOS 18:27 Removed trailing space in v~: Rekemu, Irpeeli, Tarala,

JOS 18:28 Removed trailing space in v~: Zela, Elefu, mji wa Wayebusi (yaani Yerusalemu), Gibea na Kiriathi; miji kumi na minne pamoja na vijiji vyake.

JOS 18:28 Removed trailing space in p~: Huu ndio uliokuwa urithi wa Benyamini kwa ajili ya koo zake.

JOS 19:50 Found unexpected backslash in footnote: 19:50 Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona \+xt Yos 24:30; Amu 2:9\+xt*.

JOS 20:0 Extra space after chapter number

JOS 20:0 Removed trailing space in c: 20

JOS 20:0 Removed trailing space in s1: Miji Ya Makimbilio

JOS 20:0 Removed trailing space in r: (Hesabu 35:9-34)

JOS 20:1 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Yoshua,

JOS 20:2 Removed trailing space in v~: “Waambie Waisraeli, watenge miji mikubwa ya kukimbilia, kama nilivyokuagiza kupitia Mose,

JOS 20:3 Removed trailing space in v~: ili mtu yeyote atakayemuua mtu kwa bahati mbaya na pasipo kukusudia aweze kukimbilia huko na kujiepusha na mlipiza kisasi wa damu.

JOS 20:4 Removed trailing space in v~: “Anapokimbilia mojawapo ya hii miji mikubwa atasimama kwenye maingilio ya lango la mji mkuu na kueleza wazee wa mji kuhusu shauri lake. Kisha watampokea katika mji wao na kumpa mahali pa kuishi nao.

JOS 20:5 Removed trailing space in v~: Kama mlipiza kisasi wa damu akimfuatilia, wasimkabidhi yule mshtakiwa, kwa sababu alimuua jirani yake bila kukusudia, na bila kuwa na nia ya kudhuru.

JOS 20:6 Removed trailing space in v~: Huyu aliyeua atakaa kwenye mji mkubwa huo mpaka awe amesimama kukabili mashtaka yake mbele ya kusanyiko na mpaka kuhani mkuu anayehudumu kwa wakati huo atakapokufa. Ndipo atakapoweza kurudi nyumbani kwake katika mji ambao aliukimbia.”

JOS 20:7 Removed trailing space in v~: Basi wakatenga Kedeshi katika Galilaya kwenye nchi ya vilima ya Naftali, Shekemu katika nchi ya vilima ya Efraimu, na Kiriath-Arba (yaani Hebroni) kwenye nchi ya vilima ya Yuda.

JOS 20:8 Removed trailing space in v~: Katika upande wa mashariki mwa Yordani ya Yeriko wakatenga Bezeri katika jangwa katika uwanda wa juu katika kabila la Reubeni, Ramothi katika Gileadi katika kabila la Gadi, na Golani huko Bashani katika kabila la Manase.

JOS 20:9 Removed trailing space in v~: Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote aishiye miongoni mwao aliyemuua mtu kwa bahati mbaya, angeweza kukimbilia katika miji mikubwa hiyo iliyotengwa na asiuawe na mlipiza kisasi wa damu kabla hajasimama kukabili mashtaka mbele ya kusanyiko.

JOS 21:0 Extra space after chapter number

JOS 21:0 Removed trailing space in c: 21

JOS 21:0 Removed trailing space in s1: Miji Kwa Walawi

JOS 21:1 Removed trailing space in v~: Basi viongozi wa jamaa ya Walawi, wakamwendea kuhani Eleazari, Yoshua mwana wa Nuni, na viongozi wa jamaa nyingine za makabila ya Israeli

JOS 21:2 Removed trailing space in v~: huko Shilo katika Kanaani na kuwaambia, “\nd Bwana\nd* aliamuru kupitia Mose kuwa mtupe miji ya kuishi yenye sehemu za malisho kwa mifugo yetu.”

JOS 21:3 Removed trailing space in v~: Hivyo kama vile \nd Bwana\nd* alivyoamuru, Waisraeli wakawapa Walawi miji ifuatayo pamoja na sehemu zake za malisho kutoka urithi wao wenyewe.

JOS 21:4 Removed trailing space in v~: Kura ya kwanza ikaangukia Wakohathi, ukoo kwa ukoo. Walawi waliokuwa wazao wa kuhani Aroni walipewa miji kumi na mitatu kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini.

JOS 21:5 Removed trailing space in v~: Wazao wengine waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za makabila ya Efraimu, Dani na nusu ya Manase.

JOS 21:6 Removed trailing space in v~: Wazao wa Gershoni walipewa miji kumi na mitatu kutoka koo za makabila ya Isakari, Asheri, Naftali na nusu ya Manase huko Bashani.

JOS 21:7 Removed trailing space in v~: Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.

JOS 21:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Waisraeli wakawapa Walawi miji hii pamoja na sehemu zake za malisho, kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa ameamuru kupitia kwa Mose.

JOS 21:9 Removed trailing space in v~: Kutoka makabila ya Yuda na Simeoni waligawa miji ifuatayo kwa majina

JOS 21:10 Removed trailing space in v~: (miji hii walipewa wazao wa Aroni ambao walitokana na koo za Wakohathi wa Walawi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):

JOS 21:11 Removed trailing space in v~: Waliwapa Kiriath-Arba (yaani Hebroni), pamoja na sehemu zake za malisho zilizoizunguka, katika nchi ya vilima ya Yuda. (Arba alikuwa baba wa Anaki.)

JOS 21:12 Removed trailing space in v~: Lakini mashamba na vijiji vilivyozunguka mji mkubwa walikuwa wamempa Kalebu mwana wa Yefune kuwa milki yake.

JOS 21:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wazao wa kuhani Aroni wakapewa Hebroni (mji mkuu wa makimbilio kwa ajili ya yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji), Libna,

JOS 21:14 Removed trailing space in v~: Yatiri, Eshtemoa,

JOS 21:15 Removed trailing space in v~: Holoni, Debiri,

JOS 21:16 Removed trailing space in v~: Aini, Yuta na Beth-Shemeshi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji tisa kutoka kwa makabila haya mawili.

JOS 21:17 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Benyamini wakawapa Gibeoni, Geba,

JOS 21:18 Removed trailing space in v~: Anathothi na Almoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

JOS 21:19 Removed trailing space in v~: Miji yote waliyopewa makuhani, wazao wa Aroni, ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

JOS 21:20 Removed trailing space in v~: Koo nyingine za Wakohathi, ambao pia ni Walawi, walipewa miji kutoka kabila la Efraimu:

JOS 21:21 Removed trailing space in v~: Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji mkubwa wa makimbilio kwa yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji) na Gezeri,

JOS 21:22 Removed trailing space in v~: Kibsaimu na Beth-Horoni, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

JOS 21:23 Removed trailing space in v~: Pia kutoka kabila la Dani wakapokea Elteke, Gibethoni,

JOS 21:24 Removed trailing space in v~: Aiyaloni na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

JOS 21:25 Removed trailing space in v~: Kutoka nusu ya kabila la Manase, wakapokea Taanaki na Gath-Rimoni pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili.

JOS 21:26 Removed trailing space in v~: Miji yote hii kumi pamoja na sehemu zake za malisho ilipewa koo za Wakohathi zilizobaki.

JOS 21:27 Removed trailing space in v~: Koo za Walawi za Wagershoni walipewa:

JOS 21:27 Removed trailing space in p~: kutoka nusu ya kabila la Manase,

JOS 21:27 Removed trailing space in p~: Golani katika Bashani (mji mkuu wa makimbilio kwa yeyote aliyeshtakiwa kwa mauaji) na Beeshtera, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji miwili;

JOS 21:28 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Isakari walipewa,

JOS 21:28 Removed trailing space in p~: Kishioni, Daberathi,

JOS 21:29 Removed trailing space in v~: Yarmuthi na En-Ganimu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne

JOS 21:30 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Asheri walipewa,

JOS 21:30 Removed trailing space in p~: Mishali, Abdoni,

JOS 21:31 Removed trailing space in v~: Helkathi na Rehobu, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

JOS 21:32 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Naftali walipewa,

JOS 21:32 Removed trailing space in p~: Kedeshi katika Galilaya (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa mauaji), Hamoth-Dori na Kartani, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji mitano.

JOS 21:33 Removed trailing space in v~: Miji yote ya koo za Wagershoni ilikuwa kumi na mitatu, pamoja na sehemu zake za malisho.

JOS 21:34 Removed trailing space in v~: Koo za Wamerari (Walawi waliobaki) walipewa:

JOS 21:34 Removed trailing space in p~: kutoka kabila la Zabuloni,

JOS 21:34 Removed trailing space in p~: Yokneamu, Karta,

JOS 21:35 Removed trailing space in v~: Dimna na Nahalali, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

JOS 21:36 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Reubeni walipewa

JOS 21:36 Removed trailing space in p~: Bezeri, Yahasa,

JOS 21:37 Removed trailing space in v~: Kedemothi na Mefaathi, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne;

JOS 21:38 Removed trailing space in v~: kutoka kabila la Gadi walipewa,

JOS 21:38 Removed trailing space in p~: Ramothi katika Gileadi (mji wa makimbilio kwa ajili ya yeyote anayeshtakiwa kwa ajili ya mauaji), Mahanaimu,

JOS 21:39 Removed trailing space in v~: Heshboni na Yazeri, pamoja na sehemu zake za malisho, ilikuwa miji minne.

JOS 21:40 Removed trailing space in v~: Miji yote waliyopewa koo za Wamerari, waliokuwa mabaki ya Walawi, ilikuwa ni kumi na miwili.

JOS 21:41 Removed trailing space in v~: Miji yote ya Walawi katika eneo lililoshikwa na Waisraeli lilikuwa arobaini na minane, pamoja na sehemu zake za malisho.

JOS 21:42 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wa miji hii ulikuwa na sehemu ya malisho kuuzunguka; ndivyo ilivyokuwa kwa miji hii yote.

JOS 21:43 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akawapa Israeli nchi yote aliyokuwa ameapa kuwapa baba zao, nao wakaimiliki na kukaa humo.

JOS 21:44 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawapa pumziko kila upande, kama vile alivyokuwa amewaapia baba zao, hakuna hata mmoja wa adui zao aliyeweza kusimama mbele yao, \nd Bwana\nd* akawatia adui zao wote mikononi mwao.

JOS 21:45 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mojawapo ya ahadi nzuri ya \nd Bwana\nd* kwa nyumba ya Israeli ambayo haikutimia; kila moja ilitimia.

JOS 22:0 Extra space after chapter number

JOS 22:0 Removed trailing space in c: 22

JOS 22:0 Removed trailing space in s1: Makabila Ya Mashariki Yarudi Nyumbani

JOS 22:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akawaita Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase,

JOS 22:2 Removed trailing space in v~: naye akawaambia, “Mmeshafanya yale yote Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* aliyowaamuru, nanyi mmenitii kwa kila jambo nililowaamuru.

JOS 22:3 Removed trailing space in v~: Kwa muda mrefu sasa, hadi siku hii ya leo, hamkuwaacha ndugu zenu, bali ninyi mmetimiza ile kazi \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliyowapa.

JOS 22:4 Removed trailing space in v~: Sasa kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa ndugu zenu pumziko kama alivyoahidi, rudini nyumbani mwenu katika nchi ile ambayo Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* aliwapa ngʼambo ya Yordani.

JOS 22:5 Removed trailing space in v~: Lakini mwe waangalifu sana kushika amri na sheria zile Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* alizowapa: yaani kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuenenda katika njia zake zote, kutii amri zake, kushikamana naye kwa uthabiti na kumtumikia kwa moyo wenu wote na roho yenu yote.”

JOS 22:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akawabariki na kuwaaga waende zao, nao wakaenda nyumbani mwao.

JOS 22:7 Removed trailing space in v~: (Kwa nusu ya kabila la Manase Mose alikuwa amewapa eneo katika Bashani na ile nusu nyingine ya hilo kabila Yoshua aliwapa eneo upande wa magharibi ya Yordani pamoja na ndugu zao). Yoshua alipowaaga waende zao nyumbani, aliwabariki,

JOS 22:8 Removed trailing space in v~: akisema, “Rudini nyumbani mwenu na utajiri wenu mwingi, yaani makundi makubwa ya mifugo, mkiwa na fedha, dhahabu, shaba na chuma, pia wingi wa nguo, nanyi mkagawane na ndugu zenu hizo nyara zilizotoka kwa adui zenu.”

JOS 22:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Wareubeni, Wagadi na hiyo nusu ya kabila la Manase wakawaacha Waisraeli huko Shilo katika nchi ya Kanaani ili kurudi Gileadi, nchi yao wenyewe waliyoipata sawasawa na agizo la \nd Bwana\nd* kupitia Mose.

JOS 22:10 Removed trailing space in v~: Walipofika Gelilothi karibu na Yordani, katika nchi ya Kanaani, Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase wakajenga madhabahu ya fahari kubwa huko kando ya Yordani.

JOS 22:11 Removed trailing space in v~: Waisraeli wengine waliposikia kwamba Wareubeni, Wagadi na ile nusu ya kabila la Manase walikuwa wamejenga madhabahu kwenye mpaka wa Kanaani huko Gelilothi karibu na Yordani kwenye upande wa Israeli,

JOS 22:12 Removed trailing space in v~: kusanyiko lote la Israeli wakakusanyika huko Shilo ili wakapigane vita dhidi yao.

JOS 22:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Waisraeli wengine wakamtuma Finehasi mwana wa kuhani Eleazari katika nchi ya Gileadi, kwa Wareubeni, Wagadi na hiyo nusu ya kabila la Manase.

JOS 22:14 Removed trailing space in v~: Wakatuma pamoja naye watu kumi ambao ni viongozi, mmoja kwa kila kabila la Israeli, kila mmoja aliyekuwa kiongozi katika mgawanyiko wa jamaa miongoni mwa koo za Israeli.

JOS 22:15 Removed trailing space in v~: Walipofika Gileadi, kwa Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase, wakawaambia:

JOS 22:16 Removed trailing space in v~: “Kusanyiko lote la \nd Bwana\nd* lasema: ‘Je, mmewezaje kuacha kumwamini Mungu wa Israeli jinsi hii? Mmewezaje kumwacha \nd Bwana\nd* na kujijengea madhabahu dhidi yake na kumwasi?

JOS 22:17 Removed trailing space in v~: Je, dhambi ya Peori haikutosha? Hata ingawa kulikuja tauni juu ya kusanyiko la \nd Bwana\nd*, mpaka leo hii hatujatakasika kutokana na dhambi hiyo!

JOS 22:18 Removed trailing space in v~: Je, sasa ndiyo mnamwacha \nd Bwana\nd*?

JOS 22:18 Removed trailing space in p~: “ ‘Kama mkimwasi \nd Bwana\nd* leo, kesho atalikasirikia kusanyiko lote la Israeli.

JOS 22:19 Removed trailing space in v~: Kama nchi mnayomiliki imenajisika, vukeni mje katika nchi ya \nd Bwana\nd*, mahali Maskani ya \nd Bwana\nd* ilipo, nanyi mkajitwalie sehemu miongoni mwetu, lakini msije mkaasi dhidi ya \nd Bwana\nd* wala dhidi yetu sisi kwa kujijengea madhabahu, zaidi ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu.

JOS 22:20 Removed trailing space in v~: Wakati Akani mwana wa Zera alipokosa uaminifu kwa vitu vilivyowekwa wakfu, je, ghadhabu haikulipata kusanyiko lote la Israeli? Hakuwa yeye peke yake aliyekufa kwa ajili ya dhambi yake.’ ”

JOS 22:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase walipowajibu viongozi wa koo za Israeli, wakisema:

JOS 22:22 Removed trailing space in v~: “Yeye Mwenye Nguvu, Mungu, \nd Bwana\nd*! Yeye Mwenye Nguvu, Mungu, \nd Bwana\nd*! Yeye anajua! Israeli na wajue! Kama huu umekuwa ni uasi au kukosa utii kwa \nd Bwana\nd*, msituache hai siku hii ya leo.

JOS 22:23 Removed trailing space in v~: Kama tumejijengea madhabahu yetu wenyewe ili kumwacha \nd Bwana\nd* na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za nafaka, au kutoa sadaka za amani juu yake, \nd Bwana\nd* mwenyewe na atupatilize leo.

JOS 22:24 Removed trailing space in v~: “Sivyo! Tulifanya hivyo kwa hofu kwamba siku zijazo wazao wenu wanaweza wakawaambia wazao wetu, ‘Mna uhusiano gani na \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli?

JOS 22:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameifanya Yordani kuwa mpaka kati yetu na ninyi, ninyi Wareubeni na Wagadi! Hamna fungu kwa \nd Bwana\nd*.’ Kwa hiyo wazao wenu wanaweza wakawasababisha wazao wetu wakaacha kumcha \nd Bwana\nd*.

JOS 22:26 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo sababu tulisema, ‘Tujiweke tayari na tujenge madhabahu, lakini si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa au dhabihu.’

JOS 22:27 Removed trailing space in v~: Badala yake, itakuwa ni ushahidi kati yetu na ninyi na vizazi vijavyo, kwamba tutamwabudu \nd Bwana\nd* katika mahali patakatifu pake pamoja na sadaka zetu za kuteketezwa, dhabihu na sadaka za amani. Ndipo katika siku zijazo, wazao wenu hawataweza kuwaambia wazao wetu, ‘Ninyi hamna fungu katika \nd Bwana\nd*.’

JOS 22:28 Removed trailing space in v~: “Nasi tulisema, ‘Ikiwa wakati wowote watatuambia hilo, au kuwaambia uzao wetu, tutawajibu hivi: Angalieni nakala hii ya madhabahu ya \nd Bwana\nd*, ambayo baba zetu waliijenga, si kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa na dhabihu, bali kama ushahidi kati yetu na ninyi.’

JOS 22:29 Removed trailing space in v~: “Hili jambo la kumwasi \nd Bwana\nd* na kumwacha siku hii ya leo kwa kujenga madhabahu kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, sadaka za nafaka na dhabihu, zaidi ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu iliyo mbele ya maskani yake na liwe mbali nasi.”

JOS 22:30 Removed trailing space in v~: Wakati kuhani Finehasi na viongozi wa kusanyiko na wakuu wa koo za Israeli, waliposikia hayo waliyosema Wareubeni, Wagadi na Manase, wakaridhika.

JOS 22:31 Removed trailing space in v~: Naye Finehasi mwana wa kuhani Eleazari, akawaambia Wareubeni, Wagadi na Manase, “Leo tunajua kwamba \nd Bwana\nd* yuko pamoja nasi, kwa sababu hamkukosa uaminifu kwa \nd Bwana\nd* katika jambo hili. Sasa mmewaokoa Waisraeli na mkono wa \nd Bwana\nd*.”

JOS 22:32 Removed trailing space in v~: Ndipo Finehasi, mwana wa kuhani Eleazari na viongozi wakarudi Kanaani kutoka kwenye kukutana kwao na Wareubeni na Wagadi huko Gileadi nao wakatoa taarifa kwa Waisraeli.

JOS 22:33 Removed trailing space in v~: Walifurahi kusikia taarifa hiyo, na wakamhimidi Mungu. Wala hawakuzungumza tena habari za kupigana vita dhidi yao ili kuharibu nchi ambayo Wareubeni na Wagadi waliishi.

JOS 22:34 Removed trailing space in v~: Nao Wareubeni na Wagadi wakayaita yale madhabahu Edi, yaani Shahidi: kwa kuwa itakuwa shahidi kati yetu na ninyi kwamba \nd Bwana\nd* ndiye Mungu.

JOS 23:0 Extra space after chapter number

JOS 23:0 Removed trailing space in c: 23

JOS 23:0 Removed trailing space in s1: Yoshua Anawaaga Viongozi

JOS 23:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda mrefu kupita, naye \nd Bwana\nd* akawa amewapa Israeli pumziko mbele ya adui zao wote waliowazunguka, Yoshua, wakati huo akiwa mzee na umri ukiwa umeendelea sana,

JOS 23:2 Removed trailing space in v~: akawaita Israeli wote, wazee wao, viongozi, waamuzi na maafisa Yoshua akawaambia: “Mimi ni mzee na umri wangu umeendelea sana.

JOS 23:3 Removed trailing space in v~: Ninyi wenyewe mmeona kila kitu \nd Bwana\nd* Mungu wenu, alichowatendea mataifa haya yote kwa ajili yenu. Ilikuwa ni \nd Bwana\nd* Mungu wenu aliyewapigania.

JOS 23:4 Removed trailing space in v~: Kumbukeni jinsi nilivyowagawia kama urithi kwa makabila yenu yote nchi ya mataifa yaliyobaki, yaani mataifa niliyowashinda, kati ya Mto Yordani na Bahari kuu upande wa magharibi.

JOS 23:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wenu mwenyewe atawaondoa watoke mbele yenu. Atawafukuza mbele yenu, nanyi mtamiliki nchi yao, kama vile \nd Bwana\nd* Mungu wenu alivyowaahidi.

JOS 23:6 Removed trailing space in v~: “Kuweni hodari sana, kuweni waangalifu kutii yote yaliyoandikwa katika kitabu cha Sheria ya Mose, pasipo kugeuka upande wa kuume au kushoto.

JOS 23:7 Removed trailing space in v~: Msishirikiane na mataifa yaliyobakia katikati yenu, wala msiombe kwa majina ya miungu yao au kuapa kwayo. Msiitumikie wala kuisujudia.

JOS 23:8 Removed trailing space in v~: Bali mtashikamana kwa uthabiti na \nd Bwana\nd*, Mungu wenu, kama vile ambavyo mmefanya mpaka sasa.

JOS 23:9 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* amewafukuza mbele yenu mataifa makubwa na yenye nguvu, mpaka siku ya leo hakuna yeyote aliyeweza kusimama mbele yenu.

JOS 23:10 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja miongoni mwenu anafukuza watu elfu, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu anawapigania, kama alivyoahidi.

JOS 23:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kuweni waangalifu sana kumpenda \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

JOS 23:12 Removed trailing space in v~: “Lakini ikiwa mtageuka na kushikamana na mabaki ya mataifa haya yaliyosalia katikati yenu na kama mtaoana na kushirikiana nao,

JOS 23:13 Removed trailing space in v~: basi mwe na hakika kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu hatawafukuza tena mataifa hayo mbele yenu. Badala yake, watakuwa tanzi na mitego kwenu, mijeledi migongoni mwenu, na miiba machoni mwenu, mpaka mwangamie kutoka nchi hii nzuri, ambayo \nd Bwana\nd* Mungu wenu amewapa.

JOS 23:14 Removed trailing space in v~: “Sasa mimi ninakaribia kwenda katika njia ya watu wote wa dunia. Mnajua kwa mioyo yenu na roho zenu kwamba hakuna ahadi zozote njema \nd Bwana\nd* Mungu wenu alizowaahidia, ambazo hazikutimia. Kila ahadi imetimizwa, hakuna hata moja ambayo haikutimia.

JOS 23:15 Removed trailing space in v~: Lakini kama vile kila ahadi njema ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu imekuwa kweli, vivyo hivyo \nd Bwana\nd* ataleta maovu yote kama alivyo onya, mpaka awe amewaangamiza kutoka nchi hii nzuri aliyowapa.

JOS 23:16 Removed trailing space in v~: Kama mkilivunja agano la \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ambalo aliwaamuru ninyi, mkaenda na kuitumikia miungu mingine na kuisujudia, hasira ya \nd Bwana\nd* itawaka dhidi yenu, nanyi mtaangamia kutoka nchi nzuri aliyowapa ninyi.”

JOS 24:0 Extra space after chapter number

JOS 24:0 Removed trailing space in c: 24

JOS 24:0 Removed trailing space in s1: Agano Lafanywa Upya Huko Shekemu

JOS 24:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akaita pamoja makabila yote ya Israeli huko Shekemu. Akawaita wazee, viongozi, waamuzi na maafisa wa Israeli, nao wakaja mbele za Mungu.

JOS 24:2 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia watu wote, “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Hapo zamani baba zenu, pamoja na Tera baba yake Abrahamu na Nahori, waliishi ngʼambo ya Mto nao waliiabudu miungu mingine.

JOS 24:3 Removed trailing space in v~: Lakini nilimwondoa baba yenu Abrahamu kutoka nchi hiyo ngʼambo ya Mto, nami nikamwongoza katika nchi yote ya Kanaani, nikampa wazao wengi. Nikampa Isaki,

JOS 24:4 Removed trailing space in v~: naye Isaki nikampa Yakobo na Esau. Esau nikampa nchi ya vilima ya Seiri, lakini Yakobo pamoja na wanawe wakashuka Misri.

JOS 24:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Kisha nikawatuma Mose na Aroni, nami nikawapiga Wamisri kwa kile nilichokitenda huko, tena nikawatoa ninyi huko.

JOS 24:6 Removed trailing space in v~: Nilipowatoa baba zenu Misri, mlifika kwenye bahari, nao Wamisri wakawafuatia baba zenu kwa magari na wapanda farasi mpaka kwenye Bahari ya Shamu.

JOS 24:7 Removed trailing space in v~: Lakini wakamlilia \nd Bwana\nd* wakitaka msaada, naye akaweka giza kati yenu na Wamisri, akaileta bahari juu yao ikawafunika. Ninyi mliona kwa macho yenu wenyewe kile nilichowatendea Wamisri. Kisha mliishi jangwani kwa muda mrefu.

JOS 24:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Nikawaleta katika nchi ya Waamori ambao waliishi mashariki mwa Yordani. Wakapigana nanyi, lakini nikawatia mikononi mwenu. Nikawaangamiza mbele yenu nanyi mkaimiliki nchi yao.

JOS 24:9 Removed trailing space in v~: Wakati Balaki mwana wa Sipori, mfalme wa Moabu, alipojiandaa kupigana dhidi ya Israeli, alimwita Balaamu mwana wa Beori apate kuwalaani.

JOS 24:10 Removed trailing space in v~: Lakini sikumkubali Balaamu, kwa hiyo aliwabariki tena na tena, nami niliwaokoa toka mkononi mwake.

JOS 24:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Ndipo mlipovuka Yordani mkafika Yeriko. Raiya wa Yeriko wakapigana nanyi, kama walivyofanya Waamori, Waperizi, Wakanaani, Wahiti, Wagirgashi, Wahivi na Wayebusi, lakini niliwatia mikononi mwenu.

JOS 24:12 Removed trailing space in v~: Nikatuma manyigu mbele yenu, ambao pia waliwafukuza mbele yenu, hao wafalme wawili wa Waamori. Siyo upanga au upinde wenu wenyewe vilivyowapatia ushindi.

JOS 24:13 Removed trailing space in v~: Hivyo nikawapa ninyi nchi ambayo hamkuitaabikia na miji ambayo hamkuijenga na mnaishi ndani yake na kula toka kwa mashamba ya mizabibu na mizeituni msiyoipanda.’

JOS 24:14 Removed trailing space in v~: “Sasa basi mcheni \nd Bwana\nd* na kumtumikia kwa uaminifu wote. Itupeni mbali miungu ambayo baba zenu waliiabudu huko ngʼambo ya Mto Frati na huko Misri, nanyi mtumikieni \nd Bwana\nd*.

JOS 24:15 Removed trailing space in v~: Lakini msipoona vyema kumtumikia \nd Bwana\nd*, chagueni hivi leo mtakayemtumikia, kama ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ngʼambo Frati, au miungu ya Waamori, ambao mnakaa katika nchi yao. Lakini mimi na nyumba yangu, tutamtumikia \nd Bwana\nd*.”

JOS 24:16 Removed trailing space in v~: Ndipo hao watu wakajibu, “Hili jambo liwe mbali nasi la kumsahau \nd Bwana\nd* na kuitumikia miungu mingine!

JOS 24:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wetu mwenyewe ndiye alitutoa sisi na baba zetu akatupandisha kutoka Misri, kutoka nchi ile ya utumwa, na kutenda zile ishara kubwa mbele ya macho yetu. Ndiye aliyetulinda katika safari yetu yote na kutokana na mataifa yote ambayo tulipita katikati yao.

JOS 24:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akayafukuza mbele yetu mataifa yote pamoja na Waamori, walioishi katika nchi hii. Hivyo sisi nasi tutamtumikia \nd Bwana\nd* kwa kuwa yeye ndiye Mungu wetu.”

JOS 24:19 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia watu, “Hamwezi kumtumikia \nd Bwana\nd*. Yeye ni Mungu Mtakatifu, ni Mungu mwenye wivu. Hatasamehe uasi wenu na dhambi zenu.

JOS 24:20 Removed trailing space in v~: Ikiwa mkimwacha \nd Bwana\nd* na kuitumikia miungu migeni, atageuka na kuwaleteeni maafa na kuwaangamiza, baada ya kuwa mwema kwenu.”

JOS 24:21 Removed trailing space in v~: Lakini watu wakamwambia Yoshua, “Sivyo! Sisi tutamtumikia \nd Bwana\nd*.”

JOS 24:22 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoshua akawaambia, “Ninyi mmekuwa mashahidi juu yenu wenyewe kuwa mmechagua kumtumikia \nd Bwana\nd*.”

JOS 24:22 Removed trailing space in p~: Nao wakajibu, “Ndiyo, tu mashahidi.”

JOS 24:23 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia, “Sasa basi, itupeni mbali hiyo miungu migeni iliyo katikati yenu, nanyi mtoleeni \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, mioyo yenu.”

JOS 24:24 Removed trailing space in v~: Nao watu wakamwambia Yoshua, “Tutamtumikia \nd Bwana\nd* Mungu wetu na kumtii yeye.”

JOS 24:25 Removed trailing space in v~: Siku ile Yoshua akafanya agano kwa ajili ya watu na hapo Shekemu ndipo alipowaandikia amri na sheria.

JOS 24:26 Removed trailing space in v~: Naye Yoshua akayaandika mambo haya katika Kitabu cha Sheria ya Mungu. Ndipo akalitwaa jiwe kubwa, akalisimamisha huko chini ya mwaloni, karibu na mahali patakatifu pa \nd Bwana\nd*.

JOS 24:27 Removed trailing space in v~: Yoshua akawaambia watu wote, “Angalieni! Jiwe hili litakuwa shahidi juu yetu. Limesikia maneno yote \nd Bwana\nd* aliyotuambia. Litakuwa shahidi juu yenu kama mtakuwa waongo kwa Mungu wenu.”

JOS 24:27 Removed trailing space in s1: Kuzikwa Katika Nchi Ya Ahadi

JOS 24:28 Removed trailing space in v~: Basi Yoshua akawatuma watu kila mmoja aende katika urithi wake mwenyewe.

JOS 24:29 Removed trailing space in v~: Baada ya mambo haya, Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa \nd Bwana\nd* akafa akiwa na umri wa miaka mia moja na kumi.

JOS 24:30 Removed trailing space in v~: Nao wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-Sera\f + \fr 24:30 \ft Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona \+xt Yos 19:50; Amu 2:9\+xt*.\f* katika nchi ya vilima ya Efraimu, kaskazini ya Mlima wa Gaashi.

JOS 24:30 Found unexpected backslash in footnote: 24:30 Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona \+xt Yos 19:50; Amu 2:9\+xt*.

JOS 24:31 Removed trailing space in v~: Israeli wakamtumikia \nd Bwana\nd* siku zote za maisha ya Yoshua, na za hao wazee walioishi baada ya Yoshua kufa, ambao waliona kila kitu \nd Bwana\nd* alichowatendea Israeli.

JOS 24:32 Removed trailing space in v~: Nayo ile mifupa ya Yosefu, ambayo Waisraeli waliipandisha kutoka huko Misri, wakaizika huko Shekemu kwenye eneo, ambalo Yakobo alilinunua kwa wana wa Hamori baba yake Shekemu, kwa vipande mia vya fedha. Eneo hili likawa ni urithi wa uzao wa Yosefu.

JOS 24:33 Removed trailing space in v~: Naye Eleazari mwana wa Aroni akafariki akazikwa huko Gibea, mlima aliokuwa amepewa mtoto wake Finehasi, kwenye nchi ya vilima ya Efraimu.

JDG 2:0 Extra space after chapter number

JDG 2:0 Removed trailing space in c: 2

JDG 2:0 Removed trailing space in s1: Malaika Wa \nd Bwana\nd* Huko Bokimu

JDG 2:1 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akakwea kutoka Gilgali hadi Bokimu, naye akasema, “Niliwapandisha kutoka Misri na kuwaingiza katika nchi niliyoapa kuwapa baba zenu. Nikasema, ‘Kamwe sitalivunja Agano langu nanyi.

JDG 2:2 Removed trailing space in v~: Nanyi msifanye agano na watu wa nchi hii, bali mtazibomoa madhabahu yao.’ Lakini ninyi hamkunitii mimi. Kwa nini mmefanya jambo hili?

JDG 2:3 Removed trailing space in v~: Sasa basi ninawaambia kuwa sitawafukuza watoke katikati yenu ila watakuwa miiba kwenu, nao miungu yao itakuwa tanzi kwenu.”

JDG 2:4 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* alipomaliza kusema mambo haya kwa Waisraeli wote, watu wakalia kwa sauti kuu.

JDG 2:5 Removed trailing space in v~: Wakapaita mahali pale Bokimu. Nao wakamtolea \nd Bwana\nd* sadaka.

JDG 2:5 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Yoshua

JDG 2:6 Removed trailing space in v~: Baada ya Yoshua kuwapa watu ruhusa waende zao, Waisraeli wakaenda kwenye urithi wao wenyewe ili kumiliki nchi yao.

JDG 2:7 Removed trailing space in v~: Watu wakamtumikia \nd Bwana\nd* siku zote za maisha ya Yoshua, na za hao wazee walioishi baada ya Yoshua kufa, waliokuwa wameona mambo makuu ambayo \nd Bwana\nd* alikuwa ametenda kwa ajili ya Israeli.

JDG 2:8 Removed trailing space in v~: Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wa \nd Bwana\nd*, akafa akiwa na umri wa miaka 110.

JDG 2:9 Removed trailing space in v~: Wakamzika katika nchi ya urithi wake, huko Timnath-Heresi\f + \fr 2:9 \ft Unajulikana pia kama Timnath-Sera, ona \+xt Yos 19:50; 24:30\+xt*.\f* katika nchi ya vilima ya Efraimu, kaskazini ya Mlima Gaashi.

JDG 2:9 Found unexpected backslash in footnote: 2:9 Unajulikana pia kama Timnath-Sera, ona \+xt Yos 19:50; 24:30\+xt*.

JDG 2:10 Removed trailing space in v~: Baada ya kizazi kile chote kukusanywa pamoja na baba zao, kikainuka kizazi kingine baada yao ambacho hakikumjua \nd Bwana\nd*, wala matendo yale aliyokuwa ametenda kwa ajili ya Waisraeli.

JDG 2:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Waisraeli wakatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd* na kuwatumikia Mabaali.

JDG 2:12 Removed trailing space in v~: Wakamwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, aliyekuwa amewatoa katika nchi ya Misri. Wakaifuata na kuiabudu miungu mbalimbali ya mataifa yanayowazunguka. Wakamkasirisha \nd Bwana\nd*,

JDG 2:13 Removed trailing space in v~: kwa sababu walimwacha na kutumikia Baali na Maashtorethi.

JDG 2:14 Removed trailing space in v~: Hivyo hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka juu ya Israeli, naye akawatia mikononi mwa wavamizi waliowateka nyara. Akawauza katika mikono ya adui zao pande zote, hivyo hawakuweza tena kuwazuia adui zao.

JDG 2:15 Removed trailing space in v~: Popote Israeli walipotoka kwenda kupigana, mkono wa \nd Bwana\nd* ulikuwa kinyume nao ili kuwashinda, kama vile alivyokuwa amewaapia. Nao wakawa katika taabu kubwa.

JDG 2:16 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akawainua waamuzi, ambao waliwaokoa katika mikono ya hao watu waliowashambulia.

JDG 2:17 Removed trailing space in v~: Lakini hawakuwasikiliza hata waamuzi wao, bali walifanya uasherati kwa kuifuata miungu mingine na kuiabudu. Waligeuka mara na kuiacha njia ambayo baba zao waliiendea, yaani, njia ya kutii amri za \nd Bwana\nd*.

JDG 2:18 Removed trailing space in v~: Kila mara \nd Bwana\nd* alipowainulia mwamuzi, \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja na huyo mwamuzi, naye aliwaokoa kutoka mikononi mwa adui zao kwa kipindi chote alichoishi yule mwamuzi. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* aliwahurumia kwa sababu ya kilio chao cha huzuni kwa ajili ya wale waliokuwa wakiwatesa na kuwataabisha.

JDG 2:19 Removed trailing space in v~: Lakini kila mara mwamuzi alipofariki, watu walirudia katika hali mbaya ya uovu zaidi kuliko baba zao, wakiifuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu. Walikataa kuacha matendo yao maovu na njia zao za ukaidi.

JDG 2:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akawakasirikia sana Israeli na kusema, “Kwa kuwa taifa hili limevunja Agano lile nililofanya na baba zao na hawakunisikiliza,

JDG 2:21 Removed trailing space in v~: mimi nami sitafukuza taifa lolote ambalo Yoshua aliliacha alipofariki.

JDG 2:22 Removed trailing space in v~: Nitayatumia ili nipate kuwapima Israeli na kuona kama wataishika njia ya \nd Bwana\nd* na kuenenda katika hiyo kama njia baba zao walivyofanya.”

JDG 2:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa ameyaacha hayo mataifa yabaki; hakuyaondoa mara moja kwa kuyatia mikononi mwa Yoshua.

JDG 3:0 Extra space after chapter number

JDG 3:0 Removed trailing space in c: 3

JDG 3:0 Removed trailing space in s1: Mataifa Yaliyobaki Katika Ile Nchi

JDG 3:1 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo mataifa \nd Bwana\nd* aliyoyaacha ili kuwajaribu Waisraeli wote ambao hawakujua vita vyovyote vya Kanaani

JDG 3:2 Removed trailing space in v~: (alifanya hivi ili tu kuwafundisha wazao wa Waisraeli ambao hawakuwa wamejua vita hapo awali):

JDG 3:3 Removed trailing space in v~: wafalme watano wa Wafilisti, Wakanaani wote, Wasidoni, Wahivi waishio katika milima ya Lebanoni kuanzia Mlima wa Baal-Hermoni hadi Lebo-Hamathi.

JDG 3:4 Removed trailing space in v~: Waliachwa ili kuwajaribu Waisraeli kuona kama wangetii amri za \nd Bwana\nd*, alizokuwa amewapa baba zao kwa mkono wa Mose.

JDG 3:5 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakaishi miongoni mwa Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi.

JDG 3:6 Removed trailing space in v~: Wakawaoa binti zao, nao wakawatoa binti zao waolewe na wana wa hayo mataifa, na kuitumikia miungu yao.

JDG 3:6 Removed trailing space in s1: Othnieli

JDG 3:7 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, wakamsahau \nd Bwana\nd* Mungu wao na kutumikia Mabaali na Maashera.

JDG 3:8 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya Israeli, hivyo akawauza na kuwatia mikononi mwa Kushan-Rishathaimu mfalme wa Aramu-Naharaimu\f + \fr 3:8 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.\f* ambaye Israeli walikuwa chini yake wakimtumikia kwa muda wa miaka minane.

JDG 3:9 Removed trailing space in v~: Waisraeli walipomlilia \nd Bwana\nd*, yeye akawainulia mwokozi, Othnieli mwana wa Kenazi, ndugu mdogo wa Kalebu, ambaye aliwaokoa.

JDG 3:10 Removed trailing space in v~: Roho wa \nd Bwana\nd* akaja juu yake, hivyo akawa mwamuzi wa Israeli, akaenda vitani. \nd Bwana\nd* akamtia Kushan-Rishathaimu mfalme wa Aramu mikononi mwa Othnieli, naye akamshinda.

JDG 3:11 Removed trailing space in v~: Hivyo nchi ikawa na amani kwa muda wa miaka arobaini, mpaka Othnieli mwana wa Kenazi alipofariki.

JDG 3:11 Removed trailing space in s1: Ehudi

JDG 3:12 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya maovu mbele za \nd Bwana\nd* tena, kwa kuwa walifanya maovu hayo \nd Bwana\nd* akamtia nguvu Egloni mfalme wa Moabu dhidi ya Israeli.

JDG 3:13 Removed trailing space in v~: Egloni akawataka Waamoni na Waamaleki waungane naye, akaja kuishambulia Israeli, nao wakatwaa Mji wa Mitende\f + \fr 3:13 \ft Yaani Yeriko.\f*

JDG 3:14 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakawa chini ya Egloni mfalme wa Moabu kwa muda wa miaka kumi na minane.

JDG 3:15 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakamlilia tena \nd Bwana\nd*, naye akawapa mwokozi: Ehudi, mtu wa shoto, mwana wa Gera, Mbenyamini. Waisraeli wakatuma kwa Egloni mfalme wa Moabu ushuru kwa mkono wa Ehudi.

JDG 3:16 Removed trailing space in v~: Basi Ehudi alikuwa ametengeneza upanga wenye ukatao kuwili, urefu wake ni kama dhiraa moja,\f + \fr 3:16 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.\f* akaufunga upanga huo ndani ya nguo yake kwenye paja lake la mkono wa kuume.

JDG 3:17 Removed trailing space in v~: Akamkabidhi ushuru Egloni mfalme wa Moabu, ambaye alikuwa mtu mnene sana.

JDG 3:18 Removed trailing space in v~: Baada ya Ehudi kumkabidhi ule ushuru, wale watu waliokuwa wameubeba huo ushuru aliwaruhusu waende zao.

JDG 3:19 Removed trailing space in v~: Yeye mwenyewe akafuatana nao hadi kwenye sanamu ya kuchora kwenye mawe karibu na Gilgali, ndipo yeye akarudi, akafika kwa Egloni na kusema, “Ee Mfalme, ninao ujumbe wa siri kwa ajili yako.”

JDG 3:19 Removed trailing space in p~: Mfalme akasema, “Nyamazeni kimya!” Nao wale waliomhudumia wote wakamwacha, wakatoka nje.

JDG 3:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Ehudi akamsogelea alipokuwa ameketi peke yake kwenye chumba cha juu cha jumba lake la kifalme la majira ya kiangazi, na kusema, “Ninao ujumbe kutoka kwa Mungu kwa ajili yako.” Mfalme alipokuwa anainuka kutoka kwenye kiti chake,

JDG 3:21 Removed trailing space in v~: Ehudi akaunyoosha mkono wake wa kushoto na kuufuta ule upanga aliokuwa ameufunga kwenye paja lake la kulia, akamdunga Mfalme Egloni tumboni mwake.

JDG 3:22 Removed trailing space in v~: Hata mpini nao ukazama tumboni pamoja na upanga wenyewe, nao upanga ukatokea mgongoni mwake. Ehudi hakuuchomoa huo upanga, nayo mafuta yakashikamana juu ya upanga.

JDG 3:23 Removed trailing space in v~: Ehudi akatoka nje barazani; akamfungia milango ya chumba cha juu na kuifunga kwa funguo.

JDG 3:24 Removed trailing space in v~: Baada ya kuondoka, watumishi wakaja na kukuta milango ya chumba cha juu imefungwa kwa funguo. Wakasema, “Bila shaka amejipumzisha kwenye chumba cha ndani cha nyumba yake ya majira ya kiangazi.”

JDG 3:25 Removed trailing space in v~: Wakangoja hata wakawa na fadhaa, basi wakati hakufungua milango ya chumba, wakachukua funguo na kuifungua. Tazama wakaona bwana wao amelala sakafuni, amekufa.

JDG 3:26 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wangali wanangoja, Ehudi akatoroka, akapita hapo kwenye sanamu ya kuchora kwenye mawe na kukimbilia Seira.

JDG 3:27 Removed trailing space in v~: Alipofika huko, akapiga tarumbeta katika nchi ya vilima ya Efraimu, nao Waisraeli wakateremka pamoja naye kutoka vilimani, yeye akiwa anawaongoza.

JDG 3:28 Removed trailing space in v~: Akawaagiza, “Nifuateni, kwa kuwa \nd Bwana\nd* amewatia Moabu, adui zenu, mikononi mwenu.” Kwa hiyo wakateremka wakamfuata, wakavishika vivuko vya Yordani kuelekea Moabu, wala hawakuacha mtu yeyote kuvuka.

JDG 3:29 Removed trailing space in v~: Wakati huo wakawaua Wamoabu watu waume wapatao 10,000 ambao wote walikuwa wenye nguvu na mashujaa; hakuna mtu yeyote aliyetoroka.

JDG 3:30 Removed trailing space in v~: Siku ile Moabu wakashindwa na Israeli, nayo nchi ikawa na amani kwa miaka themanini.

JDG 3:30 Removed trailing space in s1: Shamgari

JDG 3:31 Removed trailing space in v~: Baada ya Ehudi akaja Shamgari mwana wa Anathi, aliyewapiga Wafilisti 600 kwa fimbo iliyochongoka ya kuongozea ngʼombe. Naye pia akawaokoa Waisraeli.

JDG 4:0 Extra space after chapter number

JDG 4:0 Removed trailing space in c: 4

JDG 4:0 Removed trailing space in s1: Debora

JDG 4:1 Removed trailing space in v~: Baada ya Ehudi kufa, Waisraeli wakafanya tena maovu machoni pa \nd Bwana\nd*.

JDG 4:2 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* akawatia mikononi mwa Yabini, mfalme wa Kanaani, aliyetawala huko Hazori. Jemadari wa jeshi lake alikuwa Sisera, aliyeishi huko Haroshethi-Hagoyimu\f + \fr 4:2 \ft Haroshethi-Hagoyimu ina maana Haroshethi ya Mataifa.\f*

JDG 4:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Sisera alikuwa na magari ya chuma yapatayo 900, naye alikuwa amewatesa Waisraeli kwa ukatili kwa muda wa miaka ishirini, Waisraeli wakamlilia \nd Bwana\nd* wakaomba msaada.

JDG 4:4 Removed trailing space in v~: Debora, nabii mwanamke, mkewe Lapidothi, ndiye alikuwa anaamua Israeli wakati ule.

JDG 4:5 Removed trailing space in v~: Debora alikuwa akiketi chini ya Mtende wa Debora uliokuwa kati ya Rama na Betheli katika nchi ya vilima ya Efraimu, nao Waisraeli wakaja kwake ili awaamue.

JDG 4:6 Removed trailing space in v~: Akatuma wamwite Baraka mwana wa Abinoamu kutoka Kedeshi huko Naftali na kumwambia, “\nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, anakuagiza: ‘Nenda, chukua wanaume 10,000 toka Naftali na Zabuloni, mwende Mlima Tabori.

JDG 4:7 Removed trailing space in v~: Nitamshawishi Sisera, jemadari wa jeshi la Yabini, pamoja na magari yake na jeshi lake, hadi Mto Kishoni na kumtia mikononi mwako.’ ”

JDG 4:8 Removed trailing space in v~: Baraka akamwambia, “Ukienda pamoja nami nitakwenda, lakini usipokwenda pamoja nami, sitakwenda.”

JDG 4:9 Removed trailing space in v~: Debora akamwambia, “Hakika nitakwenda pamoja nawe, lakini njia unayoiendea haitakupa heshima wewe, kwa kuwa \nd Bwana\nd* atamtia Sisera mikononi mwa mwanamke.” Hivyo Debora akaenda pamoja na Baraka mpaka Kedeshi,

JDG 4:10 Removed trailing space in v~: mahali ambapo Baraka aliwaita Zabuloni na Naftali. Watu 10,000 wakamfuata Baraka, na Debora pia akaenda pamoja naye.

JDG 4:11 Removed trailing space in v~: Basi Heberi, Mkeni, alikuwa amejitenga na Wakeni wengine, yaani, wazao wa Hobabu, mkwewe Mose, naye akapiga hema lake karibu na ule mti mkubwa wa mwaloni ulioko Saananimu, karibu na Kedeshi.

JDG 4:12 Removed trailing space in v~: Sisera alipoambiwa kuwa Baraka mwana wa Abinoamu alikuwa amepanda Mlima Tabori,

JDG 4:13 Removed trailing space in v~: Sisera akakusanya pamoja magari yake yote 600 ya chuma na watu wote waliokuwa pamoja naye, kuanzia Haroshethi-Hagoyimu mpaka Mto wa Kishoni.

JDG 4:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Debora akamwambia Baraka, “Nenda! Hii ndiyo siku ambayo \nd Bwana\nd* amemtia Sisera mikononi mwako. Je, \nd Bwana\nd* hakukutangulia mbele yako?” Hivyo Baraka akashuka kutoka Mlima Tabori, akifuatwa na watu 10,000.

JDG 4:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamfadhaisha Sisera na magari yake yote, pamoja na jeshi lake lote kwa upanga mbele ya Baraka, naye Sisera akaliacha gari lake na kukimbia kwa miguu.

JDG 4:16 Removed trailing space in v~: Lakini Baraka akafuata magari pamoja na jeshi mpaka Haroshethi-Hagoyimu. Jeshi lote la Sisera likaanguka kwa upanga, wala hakuna hata mtu mmoja aliyesalia.

JDG 4:17 Removed trailing space in v~: Sisera, hata hivyo, akakimbia kwa miguu mpaka kwenye hema la Yaeli, mkewe Heberi, Mkeni, kwa sababu palikuwa na uhusiano wa kirafiki kati ya Yabini mfalme wa Hazori na ukoo wa Heberi, Mkeni.

JDG 4:18 Removed trailing space in v~: Yaeli akaenda kumlaki Sisera na kumwambia, “Karibu, bwana wangu, karibu ingia ndani kabisa. Usiogope.” Basi Sisera akaingia ndani ya hema ya Yaeli, naye akamfunika kwa blanketi nene.

JDG 4:19 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Nina kiu, tafadhali nipe maji ya kunywa.” Ndipo akafungua kiriba cha maziwa na kumpa akanywa, kisha akamfunika.

JDG 4:20 Removed trailing space in v~: Naye Sisera akamwambia, “Simama mlangoni pa hema na mtu yeyote akija na kukuuliza, ‘Je, kuna mtu yeyote hapa?’ sema, ‘Hapana.’ ”

JDG 4:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Yaeli, mkewe Heberi, akatwaa kigingi cha hema, akachukua nyundo mkononi mwake, akamwendea polepole, akiwa amelala usingizi, akiwa amechoka. Akakigongomea kile kigingi kwenye paji la uso wake, kikapenya hata kuingia ardhini, naye akafa.

JDG 4:22 Removed trailing space in v~: Baraka akakaribia akimfuatia Sisera, Yaeli akatoka kumlaki. Akamwambia, “Njoo, nitakuonyesha mtu unayemtafuta.” Hivyo wakaingia ndani ya hema wakiwa wamefuatana na tazama Sisera alikuwa amelala humo, akiwa amekufa, na hicho kigingi cha hema kikiwa kimegongomewa kupitia paji la uso wake.

JDG 4:23 Removed trailing space in v~: Basi siku ile Mungu akamshinda Yabini, mfalme wa Kanaani, mbele ya Israeli.

JDG 4:24 Removed trailing space in v~: Nao mkono wa Waisraeli ukaendelea kuwa na nguvu zaidi na zaidi dhidi ya Yabini, mfalme wa Kanaani, mpaka wakamwangamiza.

JDG 5:0 Extra space after chapter number

JDG 5:0 Removed trailing space in c: 5

JDG 5:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Debora

JDG 5:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Debora na Baraka mwana wa Abinoamu wakaimba wimbo huu:

JDG 5:2 Removed trailing space in v~: “Wakuu katika Israeli wanapoongoza,

JDG 5:2 Removed trailing space in p~: wakati watu wanapojitoa

JDG 5:2 Removed trailing space in p~: kwa hiari yao wenyewe:

JDG 5:2 Removed trailing space in p~: mhimidini \nd Bwana\nd*!

JDG 5:3 Removed trailing space in v~: “Sikieni hili, enyi wafalme!

JDG 5:3 Removed trailing space in p~: Sikilizeni, enyi watawala!

JDG 5:3 Removed trailing space in p~: Nitamwimbia \nd Bwana\nd*, nitaimba;

JDG 5:3 Removed trailing space in p~: kwa wimbo nitamhimidi \nd Bwana\nd*,

JDG 5:3 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli.

JDG 5:4 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd*, ulipotoka katika Seiri,

JDG 5:4 Removed trailing space in p~: ulipopita katika mashamba ya Edomu,

JDG 5:4 Removed trailing space in p~: nchi ilitetemeka, mbingu nazo zikamwaga,

JDG 5:4 Removed trailing space in p~: naam, mawingu yakamwaga maji.

JDG 5:5 Removed trailing space in v~: Milima ilitetemeka mbele za \nd Bwana\nd*,

JDG 5:5 Removed trailing space in p~: hata ule wa Sinai,

JDG 5:5 Removed trailing space in p~: mbele za \nd Bwana\nd*,

JDG 5:5 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli.

JDG 5:6 Removed trailing space in v~: “Katika siku za Shamgari mwana wa Anathi,

JDG 5:6 Removed trailing space in p~: katika siku za Yaeli,

JDG 5:6 Removed trailing space in p~: barabara kuu hazikuwa na watu;

JDG 5:6 Removed trailing space in p~: wasafiri walipita njia za kando.

JDG 5:7 Removed trailing space in v~: Mashujaa walikoma katika Israeli,

JDG 5:7 Removed trailing space in p~: walikoma mpaka mimi, Debora, nilipoinuka,

JDG 5:7 Removed trailing space in p~: nilipoinuka kama mama katika Israeli.

JDG 5:8 Removed trailing space in v~: Walipochagua miungu migeni,

JDG 5:8 Removed trailing space in p~: vita vilikuja katika malango ya mji,

JDG 5:8 Removed trailing space in p~: hapakuonekana ngao wala mkuki

JDG 5:8 Removed trailing space in p~: miongoni mwa mashujaa 40,000 katika Israeli.

JDG 5:9 Removed trailing space in v~: Moyo wangu u pamoja na wakuu wa Israeli,

JDG 5:9 Removed trailing space in p~: pamoja na wale wanaojitoa wenyewe

JDG 5:9 Removed trailing space in p~: kwa hiari yao miongoni mwa watu.

JDG 5:9 Removed trailing space in p~: Mhimidini \nd Bwana\nd*!

JDG 5:10 Removed trailing space in v~: “Nanyi mpandao punda weupe,

JDG 5:10 Removed trailing space in p~: mkiketi juu ya matandiko ya thamani,

JDG 5:10 Removed trailing space in p~: nanyi mtembeao barabarani,

JDG 5:10 Removed trailing space in p~: fikirini

JDG 5:11 Removed trailing space in v~: juu ya sauti za waimbaji

JDG 5:11 Removed trailing space in p~: mahali pa kunyweshea maji.

JDG 5:11 Removed trailing space in p~: Wanasimulia matendo ya haki ya \nd Bwana\nd*,

JDG 5:11 Removed trailing space in p~: matendo ya haki ya mashujaa wake

JDG 5:11 Removed trailing space in p~: katika Israeli.

JDG 5:11 Removed trailing space in p~: “Ndipo watu wa \nd Bwana\nd*

JDG 5:11 Removed trailing space in p~: walipoteremka malangoni pa mji.

JDG 5:12 Removed trailing space in v~: ‘Amka, amka! Debora!

JDG 5:12 Removed trailing space in p~: Amka, amka, uimbe!

JDG 5:12 Removed trailing space in p~: Ee Baraka! Inuka,

JDG 5:12 Removed trailing space in p~: chukua mateka wako uliowateka,

JDG 5:12 Removed trailing space in p~: ee mwana wa Abinoamu.’

JDG 5:13 Removed trailing space in v~: “Ndipo mabaki ya watu

JDG 5:13 Removed trailing space in p~: wakashuka dhidi ya wenye nguvu,

JDG 5:13 Removed trailing space in p~: watu wa \nd Bwana\nd*,

JDG 5:13 Removed trailing space in p~: wakashuka dhidi ya mashujaa wenye nguvu.

JDG 5:14 Removed trailing space in v~: Kutoka Efraimu wakaja watu, ambao chimbuko lao ni Amaleki;

JDG 5:14 Removed trailing space in p~: Benyamini akiwa miongoni

JDG 5:14 Removed trailing space in p~: mwa watu waliokufuata.

JDG 5:14 Removed trailing space in p~: Kutoka Makiri wakashuka viongozi,

JDG 5:14 Removed trailing space in p~: na kutoka Zabuloni wale washikao

JDG 5:14 Removed trailing space in p~: fimbo ya jemadari.

JDG 5:15 Removed trailing space in v~: Wakuu wa Isakari walikuwa pamoja na Debora;

JDG 5:15 Removed trailing space in p~: naam, Isakari alikuwa pamoja na Baraka,

JDG 5:15 Removed trailing space in p~: wakija nyuma yake kwa mbio

JDG 5:15 Removed trailing space in p~: wakielekea bondeni.

JDG 5:15 Removed trailing space in p~: Katika jamaa za Reubeni,

JDG 5:15 Removed trailing space in p~: palikuwa na kujihoji kukubwa moyoni.

JDG 5:16 Removed trailing space in v~: Kwa nini ulikaa katikati ya mazizi ya kondoo

JDG 5:16 Removed trailing space in p~: kusikiliza sauti ya filimbi zinazoita makundi?

JDG 5:16 Removed trailing space in p~: Kwa jamaa za Reubeni,

JDG 5:16 Removed trailing space in p~: palikuwa na kujihoji kukubwa moyoni.

JDG 5:17 Removed trailing space in v~: Gileadi alikaa ngʼambo ya Yordani.

JDG 5:17 Removed trailing space in p~: Naye Dani, kwa nini alikaa

JDG 5:17 Removed trailing space in p~: kwenye merikebu siku nyingi?

JDG 5:17 Removed trailing space in p~: Asheri alikaa kwa utulivu ufuoni mwa bahari,

JDG 5:17 Removed trailing space in p~: akikaa kwenye ghuba zake ndogo.

JDG 5:18 Removed trailing space in v~: Watu wa Zabuloni walihatarisha maisha yao,

JDG 5:18 Removed trailing space in p~: vilevile nao watu wa Naftali.

JDG 5:19 Removed trailing space in v~: “Wafalme walikuja na kufanya vita;

JDG 5:19 Removed trailing space in p~: wafalme wa Kanaani walipigana

JDG 5:19 Removed trailing space in p~: huko Taanaki karibu na maji ya Megido,

JDG 5:19 Removed trailing space in p~: lakini hawakuchukua fedha wala nyara.

JDG 5:20 Removed trailing space in v~: Kutoka mbinguni nyota zilipigana,

JDG 5:20 Removed trailing space in p~: nyota kutoka njia zake

JDG 5:20 Removed trailing space in p~: zilipigana na Sisera.

JDG 5:21 Removed trailing space in v~: Mto wa Kishoni uliwasomba,

JDG 5:21 Removed trailing space in p~: ule mto wa zamani, mto wa Kishoni.

JDG 5:21 Removed trailing space in p~: Songa mbele, ee nafsi yangu,

JDG 5:21 Removed trailing space in p~: kwa ujasiri!

JDG 5:22 Removed trailing space in v~: Ndipo kwato za farasi zikafanya mshindo:

JDG 5:22 Removed trailing space in p~: farasi wake wenye nguvu

JDG 5:22 Removed trailing space in p~: huenda mbio kwa kurukaruka.

JDG 5:23 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akasema, ‘Merozi alaaniwe.

JDG 5:23 Removed trailing space in p~: Walaaniwe watu wake kwa uchungu,

JDG 5:23 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hawakuja kumsaidia \nd Bwana\nd*,

JDG 5:23 Removed trailing space in p~: kumsaidia \nd Bwana\nd* dhidi ya hao wenye nguvu.’

JDG 5:24 Removed trailing space in v~: “Yaeli abarikiwe kuliko wanawake wote,

JDG 5:24 Removed trailing space in p~: mkewe Heberi, Mkeni,

JDG 5:24 Removed trailing space in p~: abarikiwe kuliko wanawake wote

JDG 5:24 Removed trailing space in p~: waishio kwenye mahema.

JDG 5:25 Removed trailing space in v~: Aliomba maji, naye akampa maziwa;

JDG 5:25 Removed trailing space in p~: kwenye bakuli la heshima

JDG 5:25 Removed trailing space in p~: akamletea maziwa mgando.

JDG 5:26 Removed trailing space in v~: Akanyoosha mkono wake

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: akashika kigingi cha hema,

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: mkono wake wa kuume

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: ukashika nyundo ya fundi.

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: Akampiga Sisera kwa nyundo,

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: akamponda kichwa chake,

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: akamvunjavunja na kumtoboa

JDG 5:26 Removed trailing space in p~: paji lake la uso.

JDG 5:27 Removed trailing space in v~: Aliinama miguuni pa Yaeli,

JDG 5:27 Removed trailing space in p~: akaanguka; akalala hapo.

JDG 5:27 Removed trailing space in p~: Pale alipoinama miguuni pake,

JDG 5:27 Removed trailing space in p~: alianguka;

JDG 5:27 Removed trailing space in p~: pale alipoinamia, ndipo alipoanguka,

JDG 5:27 Removed trailing space in p~: akiwa amekufa.

JDG 5:28 Removed trailing space in v~: “Kupitia dirishani mamaye Sisera alichungulia;

JDG 5:28 Removed trailing space in p~: nyuma ya dirisha alilia, akasema,

JDG 5:28 Removed trailing space in p~: ‘Mbona gari lake linachelewa kufika?

JDG 5:28 Removed trailing space in p~: Mbona vishindo vya magari yake

JDG 5:28 Removed trailing space in p~: vimechelewa?’

JDG 5:29 Removed trailing space in v~: Wanawake wenye busara

JDG 5:29 Removed trailing space in p~: kuliko wengine wote wakamjibu;

JDG 5:29 Removed trailing space in p~: naam, husema moyoni mwake,

JDG 5:30 Removed trailing space in v~: ‘Je, hawapati na kugawanya nyara:

JDG 5:30 Removed trailing space in p~: msichana mmoja au wawili kwa kila mtu,

JDG 5:30 Removed trailing space in p~: mavazi ya rangi mbalimbali kwa Sisera kuwa nyara,

JDG 5:30 Removed trailing space in p~: mavazi ya rangi mbalimbali yaliyotariziwa,

JDG 5:30 Removed trailing space in p~: mavazi yaliyotariziwa vizuri kwa ajili ya shingo yangu:

JDG 5:30 Removed trailing space in p~: yote haya yakiwa nyara?’

JDG 5:31 Removed trailing space in v~: “Adui zako wote na waangamie, Ee \nd Bwana\nd*!

JDG 5:31 Removed trailing space in p~: Bali wote wakupendao na wawe kama jua

JDG 5:31 Removed trailing space in p~: lichomozavyo kwa nguvu zake.”

JDG 5:31 Removed trailing space in p~: Hivyo nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.

JDG 6:0 Extra space after chapter number

JDG 6:0 Removed trailing space in c: 6

JDG 6:0 Removed trailing space in s1: Gideoni

JDG 6:1 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya tena yaliyo maovu mbele za \nd Bwana\nd*, naye kwa miaka saba \nd Bwana\nd* akawatia mikononi mwa Wamidiani.

JDG 6:2 Removed trailing space in v~: Mkono wa Midiani ukawa na nguvu dhidi ya Israeli na kwa ajili ya Wamidiani, Waisraeli wakajitengenezea mahali pa kujificha milimani, kwenye mapango na ngome.

JDG 6:3 Removed trailing space in v~: Kila wakati Waisraeli walipopanda mazao mashambani, Wamidiani, Waamaleki na mataifa mengine ya mashariki walivamia nchi yao.

JDG 6:4 Removed trailing space in v~: Wakapiga kambi katika mashamba yao na kuharibu mazao ya nchi yote hadi kufikia Gaza, wala hawakuacha kiumbe chochote kilicho hai kwa Waisraeli, iwe kondoo au ngʼombe au punda.

JDG 6:5 Removed trailing space in v~: Walipanda na mifugo yao na mahema yao, mfano wa makundi ya nzige. Ilikuwa haiwezekani kuwahesabu watu na ngamia zao; wakavamia nchi ili kuiharibu.

JDG 6:6 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanywa kuwa maskini sana na Wamidiani, hata Israeli wakamlilia \nd Bwana\nd* kuomba msaada.

JDG 6:7 Removed trailing space in v~: Waisraeli walipomlilia \nd Bwana\nd* kwa sababu ya Wamidiani,

JDG 6:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawapelekea nabii, ambaye aliwaambia, “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, asemalo: Niliwapandisha mtoke Misri, toka nchi ya utumwa.

JDG 6:9 Removed trailing space in v~: Nikawanyakua kutoka mikononi mwa Wamisri na kutoka mikononi mwa watesi wenu wote. Nikawafukuza watoke mbele yenu nami nikawapa ninyi nchi yao.

JDG 6:10 Removed trailing space in v~: Nikawaambia, ‘Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu; msiiabudu miungu ya Waamori, ambayo mnakaa katika nchi yao!’ Lakini ninyi hamkuitii sauti yangu.”

JDG 6:11 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akaja akaketi chini ya mti wa mwaloni huko Ofra, ambao ulikuwa mali ya Yoashi, Mwabiezeri, ambako Gideoni mwanawe alikuwa akipepeta ngano penye shinikizo la kukamulia zabibu, ili kuificha Wamidiani wasiione.

JDG 6:12 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* alipomtokea Gideoni, akamwambia, “\nd Bwana\nd* yu pamoja nawe, Ewe shujaa mwenye nguvu.”

JDG 6:13 Removed trailing space in v~: Gideoni akajibu, “Ee Bwana wangu, kama \nd Bwana\nd* yu pamoja nasi, mbona mambo haya yote yametutokea? Yako wapi basi yale matendo yake makuu baba zetu waliyotusimulia juu yake waliposema, ‘Je, \nd Bwana\nd* hakutupandisha kutoka Misri?’ Lakini sasa \nd Bwana\nd* ametuacha na kututia katika mkono wa Midiani.”

JDG 6:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamgeukia na kusema “Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli kutoka mikononi mwa Wamidiani. Je, si mimi ninayekutuma wewe?”

JDG 6:15 Removed trailing space in v~: Gideoni akauliza, “Ee Bwana wangu, nitawezaje kuwaokoa Israeli? Ukoo wangu ndio dhaifu kuliko zote katika Manase, nami ndiye mdogo wa wote katika jamaa yangu.”

JDG 6:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamjibu, “Nitakuwa pamoja nawe, nawe utawapiga Wamidiani kana kwamba walikuwa ni mtu mmoja.”

JDG 6:17 Removed trailing space in v~: Gideoni akajibu, “Kama basi nimepata kibali machoni pako, nipe ishara kuonyesha kweli kwamba ni wewe unayesema nami.

JDG 6:18 Removed trailing space in v~: Tafadhali ninakuomba usiondoke hapa mpaka nitakaporudi na kukuletea sadaka yangu na kuiweka mbele yako.”

JDG 6:18 Removed trailing space in p~: Naye \nd Bwana\nd* akamwambia, “Nitangoja mpaka utakaporudi.”

JDG 6:19 Removed trailing space in v~: Gideoni akaingia ndani ya nyumba yake na kuandaa mwana-mbuzi pamoja na kuoka mikate isiyotiwa chachu kutokana na efa moja\f + \fr 6:19 \ft Efa moja ni sawa na lita 22.\f* ya unga. Akaweka nyama kwenye kikapu na mchuzi kwenye chungu, akamletea huyo malaika hapo nje chini ya mti wa mwaloni na kumpa.

JDG 6:20 Removed trailing space in v~: Malaika wa Mungu akamwambia, “Itwae nyama na mikate isiyotiwa chachu, uviweke juu ya mwamba huu na umimine huo mchuzi juu yake.” Gideoni akafanya hivyo.

JDG 6:21 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akainyoosha fimbo iliyokuwa mkononi mwake, ncha yake ikagusa ile nyama na ile mikate isiyotiwa chachu, nao moto ukatoka kwenye mwamba ukateketeza ile nyama na ile mikate. Malaika wa \nd Bwana\nd* akatoweka kutoka machoni pake.

JDG 6:22 Removed trailing space in v~: Gideoni alipotambua kuwa ni malaika wa \nd Bwana\nd*, akapiga kelele kwa mshangao, akasema, “Ole wangu, \nd Bwana\nd* Mwenyezi! Kwa kuwa nimemwona malaika wa \nd Bwana\nd* uso kwa uso!”

JDG 6:23 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia, “Amani iwe kwako! Usiogope. Hutakufa.”

JDG 6:24 Removed trailing space in v~: Hivyo Gideoni akamjengea \nd Bwana\nd* madhabahu mahali pale na kupaita, Yehova-Shalom.\f + \fr 6:24 \ft Yehova-Shalom maana yake Bwana ni Amani.\f* Mpaka leo ingalipo imesimama huko Ofra ya Waabiezeri.

JDG 6:25 Removed trailing space in v~: Usiku ule ule \nd Bwana\nd* akamwambia, “Mchukue ngʼombe dume wa baba yako, yaani, yule wa pili mwenye miaka saba, na ubomoe madhabahu ya Baali aliyo nayo baba yako, na ukaikate Ashera iliyo karibu nayo.

JDG 6:26 Removed trailing space in v~: Kisha mjengee \nd Bwana\nd* Mungu wako, madhabahu halisi, kwa taratibu zake, juu ya huu mwamba. Kwa kutumia kuni za hiyo nguzo ya Ashera uliyoikatakata, mtoe sadaka huyo dume wa pili kuwa sadaka ya kuteketezwa.”

JDG 6:27 Removed trailing space in v~: Basi Gideoni akawachukua watumishi wake kumi na kufanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwambia. Lakini kwa kuwa aliwaogopa jamaa yake na watu wa mji, akafanya haya usiku badala ya mchana.

JDG 6:28 Removed trailing space in v~: Watu wa mji walipoamka asubuhi, tazama madhabahu ya Baali imebomolewa na nguzo ya Ashera iliyokuwa karibu nayo imekatwakatwa na yule ngʼombe wa pili ametolewa sadaka juu ya madhabahu yaliyojengwa upya!

JDG 6:29 Removed trailing space in v~: Wakaulizana, “Ni nani aliyetenda mambo haya?”

JDG 6:29 Removed trailing space in p~: Walipochunguza kwa makini, wakaambiwa, “Ni Gideoni mwana wa Yoashi, ndiye alitenda hivi.”

JDG 6:30 Removed trailing space in v~: Watu wa mji wakamwambia Yoashi, “Mlete mwanao hapa. Ni lazima afe, kwa sababu amebomoa madhabahu ya Baali na kukatakata nguzo ya Ashera iliyokuwa karibu nayo.”

JDG 6:31 Removed trailing space in v~: Lakini Yoashi akauambia ule umati uliokuwa umezunguka ukiwa kinyume naye, “Je, ninyi mtamtetea Baali? Mnajaribu kumwokoa? Yeyote mwenye kumpigania atauawa kufikia kesho asubuhi! Kama Baali ni mungu kweli, anaweza kujitetea mwenyewe wakati mtu anapobomoa madhabahu yake.”

JDG 6:32 Removed trailing space in v~: Basi siku ile wakamwita Gideoni “Yerub-Baali,” yaani, “Baali na ashindane naye,” kwa sababu alibomoa madhabahu yake.

JDG 6:33 Removed trailing space in v~: Basi Wamidiani wote, Waamaleki na mataifa mengine ya mashariki wakaunganisha majeshi yao, wakavuka ngʼambo ya Yordani na kupiga kambi katika Bonde la Yezreeli.

JDG 6:34 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho wa \nd Bwana\nd* akamjia Gideoni, akapiga tarumbeta, akiwaita Waabiezeri ili wamfuate.

JDG 6:35 Removed trailing space in v~: Akatuma wajumbe waende katika Manase yote, akiwataka wachukue silaha na pia katika Asheri, Zabuloni na Naftali, nao wakakwea ili kukutana nao.

JDG 6:36 Removed trailing space in v~: Gideoni akamwambia Mungu, “Kama utawaokoa Waisraeli kwa mkono wangu, kama ulivyoahidi:

JDG 6:37 Removed trailing space in v~: tazama, nitaweka ngozi ya kondoo kwenye kiwanja cha kupuria nafaka, na kama utakuwepo umande juu ya ngozi tu, nayo ardhi yote ikiwa kavu, ndipo nitakapojua kuwa utaokoa Israeli kwa mkono wangu, kama ulivyosema.”

JDG 6:38 Removed trailing space in v~: Hivyo ndivyo ilivyotokea. Gideoni akaamka asubuhi na mapema kesho yake, akaikamua ile ngozi, umande ukatoka, maji ya kujaa bakuli.

JDG 6:39 Removed trailing space in v~: Kisha Gideoni akamwambia \nd Bwana\nd*, “Usinikasirikie. Ninaomba nifanye ombi moja lingine. Niruhusu nifanye jaribio jingine moja kwa ngozi hii. Wakati huu uifanye ngozi hii kavu na ardhi yote ifunikwe na umande.”

JDG 6:40 Removed trailing space in v~: Usiku ule Mungu akafanya hivyo. Ngozi ile ilikuwa kavu, nayo ardhi yote ikafunikwa na umande.

JDG 7:0 Extra space after chapter number

JDG 7:0 Removed trailing space in c: 7

JDG 7:0 Removed trailing space in s1: Gideoni Awashinda Wamidiani

JDG 7:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Yerub-Baali (yaani Gideoni) na lile jeshi lililokuwa pamoja naye, wakaondoka asubuhi na mapema na kupiga kambi kando ya chemchemi ya Harodi. Kambi ya Wamidiani ilikuwa kaskazini yao katika bonde karibu na kilima cha More.

JDG 7:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Gideoni, “Jeshi lililo pamoja nawe ni kubwa sana kwa mimi kuwatia Wamidiani mikononi mwao. Ili kwamba Israeli asije akajisifu juu yangu akisema, ‘Mkono wangu ndio ulioniokoa,

JDG 7:3 Removed trailing space in v~: kwa hiyo sasa tangaza jeshi lote likiwa linasikia, kwamba: Yeyote anayeogopa na kutetemeka, yeye na arudi nyumbani, aondoke katika Mlima Gileadi.’ ” Hivyo watu 22,000 walirudi, wakabaki 10,000.

JDG 7:4 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia Gideoni, “Idadi ya jeshi bado ni kubwa. Wapeleke chini katika maji nami nitawajaribu huko kwa ajili yako. Kama nikikuambia, ‘Huyu atakwenda pamoja nawe,’ yeye atakwenda; lakini kama nikisema, ‘Huyu hatakwenda pamoja nawe,’ yeye hatakwenda.”

JDG 7:5 Removed trailing space in v~: Hivyo Gideoni akalileta lile jeshi chini kwenye maji naye \nd Bwana\nd* akamwambia Gideoni, “Watenge upande mmoja wale wote wanywao maji kwa ulimi, kama vile mbwa anywavyo, wale wote wapigao magoti ili kunywa wakipeleka mikono yao vinywani mwao, waweke upande mwingine.”

JDG 7:6 Removed trailing space in v~: Idadi ya wale waliokunywa kwa kuramba ramba walikuwa 300, lakini wengine wote katika jeshi walipiga magoti ili kunywa.

JDG 7:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Gideoni, “Kwa hao watu 300 walioramba maji nitawaokoa ninyi, nami nitawatia Wamidiani mkononi mwako. Waache hao watu wengine wote warudi kila mmoja nyumbani mwake.”

JDG 7:8 Removed trailing space in v~: Hivyo Gideoni akawaacha wale Waisraeli wengine kila mmoja aende kwenye hema yake. Akabakia na wale 300, ambao walichukua vyakula na tarumbeta za wale wenzao.

JDG 7:8 Removed trailing space in p~: Basi kambi ya Wamidiani ilikuwa chini yake bondeni.

JDG 7:9 Removed trailing space in v~: Usiku ule ule \nd Bwana\nd* akamwambia Gideoni, “Ondoka, ushuke kambini, kwa kuwa nimeitia mkononi mwako.

JDG 7:10 Removed trailing space in v~: Lakini kama unaogopa kushambulia, shuka kambini pamoja na mtumishi wako Pura,

JDG 7:11 Removed trailing space in v~: nawe sikiliza wanayosema. Hatimaye, utatiwa moyo kushambulia kambi.” Basi yeye na Pura mtumishi wake wakashuka na kufikia walinzi wa mbele wenye silaha waliokuwa mle kambini.

JDG 7:12 Removed trailing space in v~: Wamidiani, Waamaleki na mataifa mengine yote ya mashariki walikaa bondeni, nao walikuwa mfano wa nzige kwa wingi wao. Ngamia zao hazikuhesabika, wingi wao ulikuwa kama mchanga wa ufuoni mwa bahari.

JDG 7:13 Removed trailing space in v~: Gideoni alifika wakati huo huo kukiwa na mtu mmoja aliyekuwa anamweleza mwenzake ndoto yake, akisema, “Niliota ndoto: Tazama mkate wa shayiri ulioviringana ulianguka katika kambi moja ya Wamidiani, ukaipiga na ikaanguka nao ukaipindua juu chini na hema ikaporomoka chini.”

JDG 7:14 Removed trailing space in v~: Rafiki yake akamjibu, “Habari hii si kitu kingine zaidi ya upanga wa Gideoni mwana wa Yoashi, Mwisraeli. Mungu amewatia Wamidiani na jeshi lote mkononi mwake.”

JDG 7:15 Removed trailing space in v~: Gideoni alipoisikia hiyo ndoto na tafsiri yake, akamwabudu Mungu. Akarudi kwenye kambi ya Israeli na kusema, “Inukeni! \nd Bwana\nd* amelitia jeshi la Wamidiani mikononi mwenu.”

JDG 7:16 Removed trailing space in v~: Akawagawa wale watu 300 katika makundi matatu, akawakabidhi tarumbeta mikononi mwao wote na mitungi isiyokuwa na maji yenye mienge ndani yake.

JDG 7:17 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Nitazameni, fanyeni kama nitakavyofanya, nitakapofika mwisho wa kambi mfanye kama nitakavyofanya.

JDG 7:18 Removed trailing space in v~: Wakati mimi na wale walio pamoja nami wote, tutakapopiga tarumbeta zetu, ninyi nanyi pigeni tarumbeta pande zote za kambi na mpige kelele, mseme, ‘Upanga wa \nd Bwana\nd* na wa Gideoni.’ ”

JDG 7:19 Removed trailing space in v~: Gideoni na wale watu 100 waliokuwa pamoja naye wakafika mwisho wa kambi usiku mwanzoni mwa zamu ya kati, mara tu walipokuwa wamebadili zamu. Wakapiga zile tarumbeta zao na kuvunja ile mitungi iliyokuwa mikononi mwao.

JDG 7:20 Removed trailing space in v~: Yale makundi matatu yakapiga tarumbeta na kuvunja mitungi. Wakashika mienge kwa mikono yao ya kushoto na katika mikono yao ya kuume tarumbeta ili kuzipiga, wakapaza sauti zao, “Upanga wa \nd Bwana\nd* na wa Gideoni!”

JDG 7:21 Removed trailing space in v~: Wakasimama kila mtu mahali pake kuizunguka kambi pande zote, Wamidiani wote wakakimbia, huku wakipiga kelele.

JDG 7:22 Removed trailing space in v~: Walipozipiga zile tarumbeta 300, \nd Bwana\nd* akafanya watu katika kambi yote kugeuziana upanga kila mmoja na mwenziwe. Jeshi likakimbia mpaka Beth-Shita kuelekea Serera\f + \fr 7:22 \ft Au: Seretha.\f* hadi mpakani mwa Abel-Mehola karibu na Tabathi.

JDG 7:23 Removed trailing space in v~: Watu wa Israeli wakaitwa kutoka Naftali, Asheri na Manase, wakawafuatia Wamidiani.

JDG 7:24 Removed trailing space in v~: Gideoni akatuma wajumbe katika nchi yote ya vilima vya Efraimu akisema, “Teremkeni dhidi ya Wamidiani na mkazuie vivuko vya maji mbele yao hadi Beth-Bara na pia Yordani.”

JDG 7:24 Removed trailing space in p~: Hivyo watu wote wa Efraimu wakakutanika pamoja na kuzingira mto wa Yordani hadi Beth-Bara.

JDG 7:25 Removed trailing space in v~: Wakawakamata wakuu wawili wa Midiani, Orebu na Zeebu. Wakamuulia Orebu pale penye mwamba wa Orebu, na Zeebu wakamuulia penye shinikizo la kukamulia divai la Zeebu. Wakawafuatia Wamidiani na kuleta vichwa vya Orebu na Zeebu kwa Gideoni, huko ngʼambo ya Yordani.

JDG 8:0 Extra space after chapter number

JDG 8:0 Removed trailing space in c: 8

JDG 8:0 Removed trailing space in s1: Ushindi Wa Gideoni Na Kulipiza Kisasi

JDG 8:1 Removed trailing space in v~: Basi Waefraimu wakamuuliza Gideoni, “Mbona mmetutenda hivi? Kwa nini hukutuita ulipokwenda kupigana na Wamidiani?” Wakawalaumu kwa ukali sana.

JDG 8:2 Removed trailing space in v~: Gideoni akawajibu, “Nilichofanya mimi ni nini kulinganisha na kile ninyi mlichofanya? Je, kuokoa masazo ya zabibu za Efraimu si bora kuliko mavuno kamili ya zabibu ya Abiezeri?

JDG 8:3 Removed trailing space in v~: Mungu amewatia Orebu na Zeebu, hao viongozi wa Wamidiani, mikononi mwenu. Je, mimi niliweza kufanya nini kulinganisha na mlichofanya ninyi?” Aliposema hili, hasira yao dhidi yake ikatulia.

JDG 8:4 Removed trailing space in v~: Gideoni akiwa pamoja na wale watu 300 waliofuatana naye, wakiwa wamechoka na wenye njaa lakini bado wakiwafuatia, wakafika Yordani na kuuvuka.

JDG 8:5 Removed trailing space in v~: Akawaambia watu wa Sukothi, “Tafadhali lipatieni jeshi langu mikate, kwa maana wamechoka, nami ningali ninawafuatia Zeba na Salmuna, wafalme wa Midiani.”

JDG 8:6 Removed trailing space in v~: Lakini maafisa wa Sukothi wakasema, “Je, mikono ya Zeba na Salmuna tayari mnayo sasa ili tuweze kulipatia jeshi lako mikate?”

JDG 8:7 Removed trailing space in v~: Gideoni akajibu, “Kwa ajili ya hilo tu, \nd Bwana\nd* atakapowatia Zeba na Salmuna mkononi mwangu, nitaichana nyama ya miili yenu kwenye miiba ya nyikani na kwenye michongoma.”

JDG 8:8 Removed trailing space in v~: Kutoka hapo alikwea mpaka Penieli na kutoa ombi lile lile, lakini nao watu wa Penieli wakamjibu kama watu wa Sukothi walivyokuwa wamemjibu.

JDG 8:9 Removed trailing space in v~: Hivyo akawaambia watu wa Penieli, “Nitakaporudi baada ya kushinda, nitaubomoa mnara huu.”

JDG 8:10 Removed trailing space in v~: Wakati huu Zeba na Salmuna walikuwa Karkori wakiwa na jeshi lenye watu wapatao 15,000 wale wote waliokuwa wamesalia wa mataifa ya mashariki, kwa kuwa watu wapatao 120,000 wenye panga walikuwa wameuawa.

JDG 8:11 Removed trailing space in v~: Basi Gideoni akakwea kwa njia ya wasafiri mashariki ya Noba na Yogbeha na kulishambulia jeshi ambalo halikushuku lolote.

JDG 8:12 Removed trailing space in v~: Zeba na Salmuna, hao wafalme wawili wa Midiani, wakakimbia lakini yeye Gideoni akawafuata na kuwakamata, akalishinda hilo jeshi lao lote.

JDG 8:13 Removed trailing space in v~: Gideoni mwana wa Yoashi akarudi kutoka vitani kwa kupitia Mwinuko wa Heresi.

JDG 8:14 Removed trailing space in v~: Akamkamata kijana mmoja wa Sukothi na kumuuliza maswali, naye yule kijana akamwandikia majina ya maafisa sabini wa Sukothi, ambao ni viongozi wa mji.

JDG 8:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Gideoni akaja na kuwaambia watu wa Sukothi, “Tazama, hapa wapo Zeba na Salmuna mlionisimanga kwa ajili yao mkisema, ‘Je, mikono ya Zeba na Salmuna tayari mnayo sasa ili tuweze kulipatia jeshi lako mikate?’ ”

JDG 8:16 Removed trailing space in v~: Akawachukua hao viongozi wa mji na kuwafundisha watu wa Sukothi somo kwa kuwaadhibu kwa miiba na michongoma ya nyikani.

JDG 8:17 Removed trailing space in v~: Pia akaubomoa mnara wa Penieli na kuwaua watu wa mji.

JDG 8:18 Removed trailing space in v~: Kisha akawauliza Zeba na Salmuna, “Ni watu wa aina gani mliowaua huko Tabori?”

JDG 8:18 Removed trailing space in p~: Wakajibu, “Ni watu kama wewe, kila mmoja wao akiwa na nafasi ya uana wa mfalme.”

JDG 8:19 Removed trailing space in v~: Gideoni akajibu, “Hao walikuwa ndugu zangu, wana wa mama yangu hasa. Hakika kama aishivyo \nd Bwana\nd*, kama mngekuwa mmewaacha hai, mimi nisingewaua ninyi.”

JDG 8:20 Removed trailing space in v~: Akamgeukia Yetheri, mwanawe mzaliwa wa kwanza, akasema, “Waue hawa!” Lakini Yetheri hakuufuta upanga wake, kwa sababu aliogopa, kwa kuwa alikuwa bado kijana mdogo tu.

JDG 8:21 Removed trailing space in v~: Zeba na Salmuna wakasema, “Njoo ufanye hivyo wewe mwenyewe. ‘Alivyo mtu, ndivyo zilivyo nguvu zake.’ ” Hivyo Gideoni akatoka mbele na kuwaua, naye akayaondoa mapambo kwenye shingo za ngamia zao.

JDG 8:21 Removed trailing space in s1: Kisibau Cha Gideoni

JDG 8:22 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakamwambia Gideoni, “Ututawale, wewe, wanao na wana wa wana wako, kwa kuwa umetuokoa kutoka mikononi mwa Wamidiani.”

JDG 8:23 Removed trailing space in v~: Lakini Gideoni akawaambia, “Mimi sitatawala juu yenu, wala wanangu hawatatawala juu yenu. \nd Bwana\nd* ndiye atakayetawala juu yenu ninyi.”

JDG 8:24 Removed trailing space in v~: Naye akasema, “Ninalo ombi moja, kwamba kila mmoja wenu anipatie kipuli kutoka kwenye fungu lake la nyara.” (Ilikuwa desturi ya Waishmaeli kuvaa vipuli vya dhahabu.)

JDG 8:25 Removed trailing space in v~: Wakajibu, “Tutafurahi kuvitoa.” Hivyo wakatanda vazi chini na kila mwanaume akatupia juu yake pete kutoka kwenye fungu lake la nyara.

JDG 8:26 Removed trailing space in v~: Uzito wa pete za dhahabu alizoomba zilifikia shekeli 1,700,\f + \fr 8:26 \ft Shekeli 1,700 ni sawa na kilo 19.5.\f* bila kuhesabu mapambo mengine, pete za masikio na mavazi ya zambarau yaliyovaliwa na wafalme wa Midiani, au mikufu iliyokuwa kwenye shingo za ngamia zao.

JDG 8:27 Removed trailing space in v~: Gideoni akatengeneza kisibau kwa kutumia ile dhahabu, ambacho alikiweka katika mji wake, yaani, Ofra. Waisraeli wote wakafanya uasherati kwa kukiabudu huko, nacho kikawa mtego kwa Gideoni na jamaa yake.

JDG 8:28 Removed trailing space in v~: Hivyo Midiani ikashindwa mbele ya Israeli nayo haikuinua kichwa chake tena. Wakati wa siku za uhai wa Gideoni, nchi ikafurahia amani miaka arobaini.

JDG 8:28 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Gideoni

JDG 8:29 Removed trailing space in v~: Yerub-Baali mwana wa Yoashi akarudi kwenda kuishi katika nyumba yake.

JDG 8:30 Removed trailing space in v~: Alikuwa na wana sabini wa kwake mwenyewe, kwa kuwa alikuwa na wake wengi.

JDG 8:31 Removed trailing space in v~: Suria wake, aliyekuwa anaishi huko Shekemu, pia alimzalia mwana, ambaye alimwita Abimeleki.

JDG 8:32 Removed trailing space in v~: Gideoni mwana wa Yoashi akafa akiwa na umri mzuri wa uzee, na akazikwa katika kaburi la Yoashi baba yake huko Ofra ya Waabiezeri.

JDG 8:33 Removed trailing space in v~: Mara tu alipofariki Gideoni, Waisraeli wakarudia hali ya uovu na kufanya uasherati kwa kuabudu Mabaali. Wakamsimamisha Baal-Berithi kuwa mungu wao na

JDG 8:34 Removed trailing space in v~: wala hawakumkumbuka \nd Bwana\nd* Mungu wao, aliyewaokoa kutoka mikononi mwa adui zao wote kutoka kila upande.

JDG 8:35 Removed trailing space in v~: Pia wakashindwa kuitendea mema jamaa ya Yerub-Baali (yaani Gideoni) kwa ajili ya mambo yote mema aliyokuwa amefanya kwa ajili yao.

JDG 10:0 Extra space after chapter number

JDG 10:0 Removed trailing space in c: 10

JDG 10:0 Removed trailing space in s1: Tola

JDG 10:1 Removed trailing space in v~: Baada ya Abimeleki, Tola mwana wa Pua mwana wa Dodo, mtu wa Isakari, aliyeishi huko Shamiri, katika nchi ya vilima ya Efraimu, akainuka kuokoa Israeli.

JDG 10:2 Removed trailing space in v~: Akaamua Israeli kwa miaka ishirini na mitatu. Ndipo akafa, naye akazikwa huko Shamiri.

JDG 10:2 Removed trailing space in s1: Yairi

JDG 10:3 Removed trailing space in v~: Baada yake akafuatiwa na Yairi, Mgileadi, ambaye aliamua Israeli kwa miaka ishirini na miwili.

JDG 10:4 Removed trailing space in v~: Alikuwa na wana thelathini waliopanda punda thelathini. Nao walikuwa na miji thelathini iliyoko Gileadi, inayoitwa Hawoth-Yairi mpaka leo.

JDG 10:5 Removed trailing space in v~: Yairi akafa, naye akazikwa huko Kamoni.

JDG 10:5 Removed trailing space in s1: Yefta

JDG 10:6 Removed trailing space in v~: Wana wa Israeli wakatenda tena maovu machoni pa \nd Bwana\nd*. Wakaabudu Mabaali na Maashtorethi, miungu ya Aramu, miungu ya Sidoni, miungu ya Moabu, miungu ya Waamoni na miungu ya Wafilisti. Kwa kuwa Waisraeli walimwacha \nd Bwana\nd* wala hawakuendelea kumtumikia,

JDG 10:7 Removed trailing space in v~: hivyo hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya Israeli, naye akawatia mikononi mwa Wafilisti na Waamoni,

JDG 10:8 Removed trailing space in v~: ambao waliwaonea na kuwatesa mwaka ule. Kwa miaka kumi na minane wakawatesa Waisraeli wote upande wa mashariki ya Mto Yordani katika Gileadi, nchi ya Waamori.

JDG 10:9 Removed trailing space in v~: Waamoni nao wakavuka Yordani ili kupigana na Yuda, Benyamini na nyumba ya Efraimu, nayo nyumba ya Israeli ikawa katika taabu kubwa.

JDG 10:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Waisraeli wakamlilia \nd Bwana\nd* wakasema, “Tumetenda dhambi dhidi yako, kumwacha Mungu wetu na kutumikia Mabaali.”

JDG 10:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawaambia, “Wakati Wamisri, Waamori, Waamoni, Wafilisti,

JDG 10:12 Removed trailing space in v~: Wasidoni, Waamaleki na Wamaoni walipowaonea na ninyi mkanililia na kuomba msaada, je, sikuwaokoa kutoka mikononi mwao?

JDG 10:13 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi mmeniacha mimi na kutumikia miungu mingine, kwa hiyo sitawaokoa tena.

JDG 10:14 Removed trailing space in v~: Nendeni mkaililie ile miungu mlioichagua. Hiyo miungu na iwaokoe mnapokuwa katika taabu!”

JDG 10:15 Removed trailing space in v~: Lakini Waisraeli wakamwambia \nd Bwana\nd*, “Tumetenda dhambi. Ututendee lile unaloona kuwa jema kwako, lakini twakusihi utuokoe sasa.”

JDG 10:16 Removed trailing space in v~: Nao wakaiondoa hiyo miungu migeni katikati yao nao wakamtumikia \nd Bwana\nd*. Naye akahuzunika kwa sababu ya taabu ya Israeli.

JDG 10:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Waamoni wakaitwa vitani na kupiga kambi huko Gileadi, Waisraeli wakakusanyika na kupiga kambi huko Mispa.

JDG 10:18 Removed trailing space in v~: Viongozi wa watu wa Gileadi wakaambiana wao kwa wao, “Yeyote yule atakayeanzisha mashambulizi dhidi ya Waamoni atakuwa kiongozi wa wote wakaao Gileadi.”

JDG 12:0 Extra space after chapter number

JDG 12:0 Removed trailing space in c: 12

JDG 12:0 Removed trailing space in s1: Yefta Na Efraimu

JDG 12:1 Removed trailing space in v~: Watu wa Efraimu wakaita majeshi yao, wakavuka kwenda Zafoni, wakamwambia Yefta, “Kwa nini mmekwenda kupigana na Waamoni bila kutuita ili twende pamoja nawe? Basi tutaichoma moto nyumba yako, pamoja nawe ukiwa ndani yake.”

JDG 12:2 Removed trailing space in v~: Yefta akajibu, “Mimi na watu wangu tulikuwa na ugomvi mkubwa na Waamoni, hata ingawa niliwaita hamkuniokoa katika mkono wao.

JDG 12:3 Removed trailing space in v~: Nilipoona kuwa hamkunipa msaada nikauhatarisha uhai wangu na nikavuka kupigana na Waamoni. Naye \nd Bwana\nd* akanipatia ushindi dhidi yao. Sasa kwa nini mnanijia leo ili kupigana nami?”

JDG 12:4 Removed trailing space in v~: Ndipo Yefta akakusanya watu wa Gileadi pamoja na kupigana na Efraimu. Wagileadi wakawashinda Efraimu, kwa kuwa Waefraimu walisema, “Ninyi Wagileadi ni watoro mliotoroka toka Efraimu na Manase.”

JDG 12:5 Removed trailing space in v~: Wagileadi wakaviteka vivuko vya Yordani dhidi ya hao Waefraimu, kisha ilikuwa yeyote yule aliyenusurika katika Efraimu aliposema, “Niache nivuke,” hao watu wa Gileadi walimuuliza, “Je wewe ni Mwefraimu?” Kama alijibu “Hapana,”

JDG 12:6 Removed trailing space in v~: walimwambia, “Sawa, sema ‘Shibolethi.’ ” Iwapo alitamka, “Sibolethi,” kwa sababu hakuweza kutamka hilo neno sawasawa, walimkamata na kumuua hapo kwenye vivuko vya Yordani. Waefraimu 42,000 waliuawa wakati huo.

JDG 12:7 Removed trailing space in v~: Yefta akawa mwamuzi wa Waisraeli kwa muda wa miaka sita. Basi Yefta akafa, akazikwa katika mmojawapo wa miji ya Gileadi.

JDG 12:7 Removed trailing space in s1: Ibzani, Eloni Na Abdoni

JDG 12:8 Removed trailing space in v~: Baada yake, Ibzani wa Bethlehemu akawa mwamuzi wa Israeli.

JDG 12:9 Removed trailing space in v~: Alikuwa na wana thelathini na binti thelathini. Akawaoza binti zake kwa watu wengine nje ya ukoo wake, na kuwatwalia wanawe wanawake thelathini toka nje ya ukoo wake. Ibzani akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka saba.

JDG 12:10 Removed trailing space in v~: Ibzani akafa, akazikwa huko Bethlehemu.

JDG 12:11 Removed trailing space in v~: Baada yake Eloni, Mzabuloni, akawa mwamuzi wa Israeli, naye akawaamua kwa muda wa miaka kumi.

JDG 12:12 Removed trailing space in v~: Kisha Eloni akafa, akazikwa katika Aiyaloni, katika nchi ya Zabuloni.

JDG 12:13 Removed trailing space in v~: Baada yake, Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akawa mwamuzi wa Israeli.

JDG 12:14 Removed trailing space in v~: Naye akazaa wana arobaini na wana wa wanawe thelathini waliopanda punda sabini. Akawa mwamuzi wa Israeli kwa muda wa miaka minane.

JDG 12:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Abdoni mwana wa Hileli, Mpirathoni, akafa, naye akazikwa huko Pirathoni katika Efraimu, katika nchi ya vilima ya Waamaleki.

JDG 13:0 Extra space after chapter number

JDG 13:0 Removed trailing space in c: 13

JDG 13:0 Removed trailing space in s1: Kuzaliwa Kwa Samsoni

JDG 13:1 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakafanya maovu tena mbele za \nd Bwana\nd*. Hivyo \nd Bwana\nd* akawatia mikononi mwa Wafilisti kwa muda wa miaka arobaini.

JDG 13:2 Removed trailing space in v~: Basi palikuwa na mtu mmoja wa Sora, aliyeitwa Manoa, wa kabila la Wadani, naye alikuwa na mke ambaye alikuwa tasa na hakuwa na mtoto.

JDG 13:3 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akamtokea huyo mwanamke na kumwambia, “Wewe ni tasa na huna mtoto, lakini utachukua mimba na utamzaa mtoto mwanaume.

JDG 13:4 Removed trailing space in v~: Lakini ujihadhari sana usinywe mvinyo wala kileo kingine chochote, wala usile kitu chochote kilicho najisi,

JDG 13:5 Removed trailing space in v~: kwa kuwa utachukua mimba na utamzaa mtoto mwanaume. Wembe usipite kichwani pake, kwa kuwa huyo mwana atakuwa Mnadhiri wa Mungu, aliyewekwa wakfu kwa ajili ya Mungu tangu tumboni mwa mama yake, naye ataanza kuwaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa Wafilisti.”

JDG 13:6 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo mwanamke akamwendea mumewe na kumweleza kuwa, “Mtu wa Mungu alinijia. Kule kuonekana kwake kulikuwa kama kwa malaika wa Mungu, wa kutisha sana. Sikumuuliza alikotoka wala hakuniambia jina lake.

JDG 13:7 Removed trailing space in v~: Lakini aliniambia, ‘Utachukua mimba na utazaa mtoto mwanaume. Basi sasa, usinywe mvinyo wala kileo kingine chochote wala usile kitu kilicho najisi, kwa kuwa huyo mtoto atakuwa Mnadhiri wa Mungu tangu tumboni mwa mama yake mpaka kufa kwake.’ ”

JDG 13:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Manoa akamwomba \nd Bwana\nd*, akasema: “Ee Bwana, nakusihi, huyo mtu wa Mungu uliyemtuma kwetu aje tena ili atufundishe jinsi ya kumlea huyo mwana atakayezaliwa.”

JDG 13:9 Removed trailing space in v~: Mungu akamsikia Manoa, naye malaika wa Mungu akamjia tena huyo mwanamke alipokuwa shambani, lakini mumewe Manoa hakuwepo.

JDG 13:10 Removed trailing space in v~: Basi yule mwanamke akaenda haraka na kumwambia mumewe, “Tazama mtu yule aliyenitokea siku ile yupo hapa!”

JDG 13:11 Removed trailing space in v~: Manoa akainuka akaandamana na mkewe. Alipomfikia yule mtu akamuuliza, “Je, wewe ndiye yule uliyesema na mke wangu?”

JDG 13:11 Removed trailing space in p~: Akasema, “Mimi ndiye.”

JDG 13:12 Removed trailing space in v~: Basi Manoa akamuuliza, “Wakati maneno yako yatakapotimia, masharti ya maisha ya mtoto huyu yatakuwa nini na kazi yake itakuwa ni nini?”

JDG 13:13 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akamjibu, “Mke wako hana budi kufanya yale yote niliyomwambia.

JDG 13:14 Removed trailing space in v~: Kamwe asile kitu chochote kitakachotoka katika mzabibu, wala asinywe mvinyo wa aina yoyote wala kileo chochote wala asile kitu chochote kilicho najisi. Hana budi kufanya kila kitu nilichomwagiza.”

JDG 13:15 Removed trailing space in v~: Manoa akamjibu yule malaika wa \nd Bwana\nd*, “Twakuomba usubiri kwanza ili tuweze kuandaa mwana-mbuzi kwa ajili yako.”

JDG 13:16 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* akamjibu, “Hata kama utanizuia, sitakula chochote kwako. Lakini ukitaka kuandaa sadaka ya kuteketezwa, mtolee \nd Bwana\nd* hiyo sadaka.” (Kwa kuwa Manoa hakujua kuwa alikuwa malaika wa \nd Bwana\nd*.)

JDG 13:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Manoa akamuuliza yule malaika wa \nd Bwana\nd*, “Jina lako ni nani, ili kwamba tuweze kukupa heshima hapo hayo uliyonena yatakapotimia?”

JDG 13:18 Removed trailing space in v~: Akamjibu, “Kwa nini unauliza Jina langu? Ni Jina la ajabu.”

JDG 13:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Manoa akamchukua mwana-mbuzi, pamoja na sadaka ya unga, naye akamtolea \nd Bwana\nd* dhabihu hapo juu ya mwamba. Naye yule malaika wa \nd Bwana\nd* akafanya jambo la ajabu wakati Manoa na mkewe wakiwa wanaangalia:

JDG 13:20 Removed trailing space in v~: Mwali wa moto kutoka hapo madhabahuni ulipowaka kuelekea mbinguni, malaika wa \nd Bwana\nd* akapaa ndani ya huo mwali. Manoa na mkewe, kwa kuona jambo hili, wakaanguka chini kifudifudi.

JDG 13:21 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* hakumtokea tena Manoa na mkewe. Ndipo Manoa akatambua kuwa huyo alikuwa malaika wa \nd Bwana\nd*.

JDG 13:22 Removed trailing space in v~: Manoa akamwambia mkewe, “Hakika tutakufa, kwa kuwa tumemwona Mungu.”

JDG 13:23 Removed trailing space in v~: Lakini mkewe akamwambia, “Ikiwa \nd Bwana\nd* alikuwa amekusudia kutuua, asingelipokea sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya unga kutoka mikononi mwetu, wala asingelituonyesha mambo haya yote wala kututangazia mambo kama haya wakati huu.”

JDG 13:24 Removed trailing space in v~: Yule mwanamke akazaa mtoto wa kiume akamwita jina lake Samsoni. Kijana akakua, naye \nd Bwana\nd* akambariki.

JDG 13:25 Removed trailing space in v~: Roho wa \nd Bwana\nd* akaanza kumsukuma wakati alipokuwa huko Mahane-Dani, kati ya Sora na Eshtaoli.

JDG 14:0 Extra space after chapter number

JDG 14:0 Removed trailing space in c: 14

JDG 14:0 Removed trailing space in s1: Ndoa Ya Samsoni

JDG 14:1 Removed trailing space in v~: Samsoni akateremkia Timna, akamwona mwanamke wa Kifilisti.

JDG 14:2 Removed trailing space in v~: Alipopanda kutoka huko, akawaambia baba yake na mama yake, “Nimemwona mwanamke wa Kifilisti huko Timna; basi mnipe ili awe mke wangu.”

JDG 14:3 Removed trailing space in v~: Baba yake na mama yake wakamjibu, “Je, hakuna mwanamke miongoni mwa jamaa yako au miongoni mwa ndugu zako, hata ulazimike kwenda kujitwalia mwanamke kutoka kwa hawa Wafilisti wasiotahiriwa?”

JDG 14:3 Removed trailing space in p~: Lakini Samsoni akamwambia baba yake, “Nipatieni huyo kwa maana ndiye alinipendeza.”

JDG 14:4 Removed trailing space in v~: (Baba yake na mama yake hawakujua kuwa jambo hili limetoka kwa \nd Bwana\nd*, kwani alikuwa akitafuta sababu ya kukabiliana na Wafilisti; kwa kuwa wakati huo walikuwa wakiwatawala Waisraeli.)

JDG 14:5 Removed trailing space in v~: Samsoni akateremkia Timna pamoja na baba yake na mama yake. Walipofika kwenye mashamba ya mizabibu huko Timna, ghafula mwana simba akamjia akimngurumia.

JDG 14:6 Removed trailing space in v~: Roho wa \nd Bwana\nd* akaja juu yake kwa nguvu, naye akampasua yule simba kwa mikono yake bila silaha yoyote kama vile mtu ampasuavyo mwana-mbuzi, wala hakumwambia baba yake wala mama yake aliyoyafanya.

JDG 14:7 Removed trailing space in v~: Basi akateremka na kuongea na yule mwanamke, naye akampendeza Samsoni.

JDG 14:8 Removed trailing space in v~: Baada ya muda aliporudi ili akamwoe, akatazama kando ili kuutazama mzoga wa yule simba, na tazama, kulikuwa na kundi la nyuki ndani ya ule mzoga wa simba na kulikuwa na asali;

JDG 14:9 Removed trailing space in v~: akachukua asali mkononi mwake akaendelea huku akila. Alipowafikia baba yake na mama yake, akawapa ile asali nao wakala. Lakini hakuwaambia kuwa alitwaa asali kutoka kwenye mzoga wa simba.

JDG 14:10 Removed trailing space in v~: Basi baba yake akateremka kumwona huyo mwanamke. Samsoni akafanya karamu huko, kama ilivyokuwa desturi ya vijana.

JDG 14:11 Removed trailing space in v~: Watu walipomwona, wakaleta vijana wenzake thelathini ili kuwa pamoja naye.

JDG 14:12 Removed trailing space in v~: Samsoni akawaambia, “Niwape kitendawili, mkiweza kunipa jibu katika muda wa siku hizi saba za karamu, nitawapa mavazi thelathini ya kitani na mavazi mengine mivao thelathini.

JDG 14:13 Removed trailing space in v~: Lakini msipoweza kufumbua, ndipo ninyi mtanipa mavazi thelathini ya kitani na mavazi mengine mivao thelathini.”

JDG 14:13 Removed trailing space in p~: Wakamwambia, “Tuambie hicho kitendawili, hebu na tukisikie.”

JDG 14:14 Removed trailing space in v~: Akawaambia,

JDG 14:14 Removed trailing space in p~: “Ndani ya mlaji,

JDG 14:14 Removed trailing space in p~: kulitoka kitu cha kuliwa,

JDG 14:14 Removed trailing space in p~: ndani ya mwenye nguvu,

JDG 14:14 Removed trailing space in p~: kulitoka kitu kitamu.”

JDG 14:14 Removed trailing space in p~: Kwa muda wa siku tatu hawakuweza kutoa jibu.

JDG 14:15 Removed trailing space in v~: Siku ya saba, wakamwambia mkewe Samsoni, “Mbembeleze mumeo ili atueleze hicho kitendawili, la sivyo tutakuchoma moto wewe na wa nyumba ya baba yako. Je, mmetualika ili mpate kutunyangʼanya kile tulicho nacho?”

JDG 14:16 Removed trailing space in v~: Basi mke wa Samsoni akalia mbele yake na kumwambia, “Unanichukia! Hunipendi kabisa. Umewategea watu wangu kitendawili, lakini mimi hujaniambia jibu.”

JDG 14:16 Removed trailing space in p~: Samsoni akamwambia, “Wala sijamweleza baba yangu wala mama yangu, kwa nini nikufumbulie?”

JDG 14:17 Removed trailing space in v~: Mkewe akalia kwa muda wa zile siku zote saba za karamu. Hivyo siku ile ya saba Samsoni akamweleza, kwa kuwa aliendelea kumsisitiza sana. Naye akawaeleza watu wake kile kitendawili.

JDG 14:18 Removed trailing space in v~: Siku ya saba kabla ya jua kutua, watu wa mji wakamwambia Samsoni,

JDG 14:18 Removed trailing space in p~: “Ni nini kitamu kama asali?

JDG 14:18 Removed trailing space in p~: Ni nini chenye nguvu kama simba?”

JDG 14:18 Removed trailing space in p~: Samsoni akawaambia,

JDG 14:18 Removed trailing space in p~: “Kama hamkulima na mtamba wangu,

JDG 14:18 Removed trailing space in p~: hamngeweza kufumbua

JDG 14:18 Removed trailing space in p~: kitendawili changu.”

JDG 14:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho wa \nd Bwana\nd* akamjia Samsoni kwa nguvu. Akateremka mpaka Ashkeloni, akawaua watu waume thelathini miongoni mwa watu wa mji, akatwaa mali zao na nguo zao, akawapa watu wale waliofumbua kile kitendawili. Akiwa na hasira, akakwea kurudi nyumbani kwa baba yake.

JDG 14:20 Removed trailing space in v~: Lakini huyo mke wa Samsoni akakabidhiwa kwa rafiki yake Samsoni ambaye alikuwa rafiki yake msaidizi siku ya arusi.

JDG 15:0 Extra space after chapter number

JDG 15:0 Removed trailing space in c: 15

JDG 15:0 Removed trailing space in s1: Kisasi Cha Samsoni Kwa Wafilisti

JDG 15:1 Removed trailing space in v~: Baada ya kitambo kidogo, wakati wa mavuno ya ngano, Samsoni akachukua mwana-mbuzi, kwenda kumzuru mkewe. Akasema, “Nataka kuingia chumbani kwa mke wangu.” Lakini baba yake huyo mwanamke hakumruhusu kuingia.

JDG 15:2 Removed trailing space in v~: Huyo baba mkwe wake akamwambia, “Nilikuwa na hakika kwamba ulimkataa, hivyo mimi nikampa rafiki yako. Je, mdogo wake wa kike si mzuri zaidi kuliko yeye? Mchukue huyo badala yake.”

JDG 15:3 Removed trailing space in v~: Samsoni akawaambia, “Wakati huu, nitakapowadhuru Wafilisti, sitakuwa na lawama.”

JDG 15:4 Removed trailing space in v~: Hivyo Samsoni akatoka akawakamata mbweha 300 na kuwafunga wawili wawili kwa mikia yao kila mmoja kwa mwingine. Kisha akafungia mwenge wa moto, kwenye mikia ya kila jozi moja ya mbweha aliyokuwa ameifunga,

JDG 15:5 Removed trailing space in v~: akawasha ile mienge na kuwaachia wale mbweha katika mashamba ya Wafilisti ya nafaka zilizosimamishwa katika matita. Akateketeza matita ya nafaka zilizosimama, pamoja na mashamba ya mizabibu na viunga vya mizeituni.

JDG 15:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Wafilisti wakauliza, “Ni nani aliyetenda jambo hili?” Wakaambiwa, “Ni Samsoni, yule mkwewe Mtimna, kwa sababu alimchukua mkewe akampa mwenzake.”

JDG 15:6 Removed trailing space in p~: Hivyo Wafilisti wakapanda wakamteketeza kwa moto yeye huyo mwanamke pamoja na baba yake.

JDG 15:7 Removed trailing space in v~: Samsoni akawaambia, “Kwa kuwa mmetenda hivyo, hakika sitatulia mpaka niwe nimelipiza kisasi juu yenu.”

JDG 15:8 Removed trailing space in v~: Akawashambulia kwa ukali kwa mapigo makuu na kuwaua watu wengi sana. Kisha akateremka na kukaa katika ufa kwenye mwamba wa Etamu.

JDG 15:9 Removed trailing space in v~: Wafilisti wakapanda na kupiga kambi huko Yuda na kuenea huko Lehi.

JDG 15:10 Removed trailing space in v~: Watu wa Yuda wakawauliza, “Kwa nini mmekuja kupigana nasi?”

JDG 15:10 Removed trailing space in p~: Wakawajibu, “Tumekuja ili kumkamata Samsoni na kumtenda kama alivyotutendea.”

JDG 15:11 Removed trailing space in v~: Ndipo watu 3,000 toka Yuda walipoteremka na kwenda kwenye ufa wa mwamba huko Etamu, na kumwambia Samsoni, “Je, hujatambua kuwa Wafilisti wanatutawala? Ni nini hiki ulichotutendea?”

JDG 15:11 Removed trailing space in p~: Akawajibu, “Mimi nimewatendea tu kile walichonitendea.”

JDG 15:12 Removed trailing space in v~: Wakamwambia, “Tumekuja kukufunga na kukutia mikononi mwa Wafilisti.”

JDG 15:12 Removed trailing space in p~: Samsoni akawaambia, “Niapieni kuwa hamtaniua ninyi wenyewe.”

JDG 15:13 Removed trailing space in v~: Wakamjibu, “Sisi hatutakuua, bali tutakufunga tu na kukutia mikononi mwao.” Basi wakamfunga kwa kamba mbili mpya. Wakamchukua toka huko kwenye ufa katika mwamba.

JDG 15:14 Removed trailing space in v~: Alipokaribia Lehi, Wafilisti wakamjia wakipiga kelele. Roho wa \nd Bwana\nd* akamjia juu yake kwa nguvu. Kamba zilizomfunga mikono yake zikawa kama kitani iliyochomwa kwa moto, na vifungo vyake vikaanguka chini toka mikononi mwake.

JDG 15:15 Removed trailing space in v~: Ndipo akaona mfupa mpya wa taya la punda, akanyoosha mkono, akauchukua na kuua nao Wafilisti wapatao 1,000.

JDG 15:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Samsoni akasema,

JDG 15:16 Removed trailing space in p~: “Kwa taya la punda

JDG 15:16 Removed trailing space in p~: malundo juu ya malundo.

JDG 15:16 Removed trailing space in p~: Kwa taya la punda

JDG 15:16 Removed trailing space in p~: nimeua watu 1,000.”

JDG 15:17 Removed trailing space in v~: Alipomaliza kusema, akautupa ule mfupa wa taya; na mahali pale pakaitwa Ramath-Lehi.\f + \fr 15:17 \ft Ramath-Lehi maana yake Kilima cha Taya.\f*

JDG 15:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa alikuwa amesikia kiu sana, akamlilia \nd Bwana\nd* akisema, “Umempa mtumishi wako ushindi huu mkuu. Je, sasa nife kwa kiu na kuangukia mikononi mwa hawa watu wasiotahiriwa?”

JDG 15:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akafunua shimo huko Lehi, pakatoka maji. Samsoni alipoyanywa, nguvu zikamrudia na kuhuika. Hivyo chemchemi ile ikaitwa En-Hakore,\f + \fr 15:19 \ft En-Hakore maana yake ni Chemchemi ya Aliyeita.\f* nayo iko mpaka leo huko Lehi.

JDG 15:20 Removed trailing space in v~: Samsoni akawa mwamuzi wa Waisraeli katika siku za Wafilisti kwa muda wa miaka ishirini.

JDG 16:0 Extra space after chapter number

JDG 16:0 Removed trailing space in c: 16

JDG 16:0 Removed trailing space in s1: Samsoni Na Delila

JDG 16:1 Removed trailing space in v~: Siku moja Samsoni alienda Gaza, akamwona mwanamke kahaba, naye akaingia kwake.

JDG 16:2 Removed trailing space in v~: Watu wa Gaza wakaambiwa, “Samsoni amekuja huku!” Hivyo wakapazingira mahali pale nao wakamvizia usiku kucha, penye lango la mji. Wakanyamaza kimya usiku kucha, wakisema, “Tumvizie hadi mapambazuko, ndipo tutamuua.”

JDG 16:3 Removed trailing space in v~: Samsoni akalala mpaka usiku wa manane. Akaondoka katikati ya usiku, akashika milango ya lango la mji pamoja na miimo yake miwili, akaingʼoa, makomeo yake na vyote. Akaviweka mabegani mwake na kuvipeleka mpaka kwenye kilele cha mlima ule unaokabili Hebroni.

JDG 16:4 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo akampenda mwanamke mmoja katika Bonde la Soreki aliyeitwa Delila.

JDG 16:5 Removed trailing space in v~: Viongozi wa Wafilisti wakamwendea yule mwanamke na kumwambia, “Umbembeleze ili upate kujua siri za nguvu zake zilizo nyingi na jinsi tutakavyoweza kumshinda ili tuweze kumfunga na kumtiisha. Nasi kila mmoja wetu tutakupa shekeli 1,100 za fedha.”\f + \fr 16:5 \ft Shekeli 1,100 za fedha ni sawa na kilo 13 za fedha.\f*

JDG 16:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Delila akamwambia Samsoni, “Naomba niambie siri ya hizi nguvu zako nyingi na jinsi utakavyoweza kufungwa ili kukutiisha.”

JDG 16:7 Removed trailing space in v~: Samsoni akamjibu, “Kama wakinifunga kwa kamba saba za upinde ambazo hazijakauka bado, hapo ndipo nitakapokuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote.”

JDG 16:8 Removed trailing space in v~: Viongozi wa Wafilisti wakamletea yule mwanamke kamba saba za upinde ambazo hazijakauka bado, akamfunga nazo Samsoni.

JDG 16:9 Removed trailing space in v~: Wakati watu wakiwa wanamvizia katika chumba cha ndani, yule mwanamke akamwambia, “Samsoni, Wafilisti wanakujia!” Lakini yeye akazikata zile kamba za upinde, kama vile uzi wa pamba unapoguswa na moto. Hivyo siri ya nguvu zake haikujulikana.

JDG 16:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Umenifanyia mzaha na kuniambia uongo. Tafadhali niambie waweza kufungwa kwa kitu gani?”

JDG 16:11 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Wakinifunga kwa uthabiti kwa kamba mpya ambazo hazijatumika, basi nitakuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote.”

JDG 16:12 Removed trailing space in v~: Hivyo Delila akachukua kamba mpya na kumfunga nazo. Kisha akamwambia, “Samsoni, Wafilisti wanakujia!” Wale watu waliokuwa wanamvizia walikuwa katika chumba cha ndani. Lakini akazikata zile kamba zilizokuwa zimefunga mikono yake kama akatavyo uzi.

JDG 16:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Delila akamwambia Samsoni, “Mpaka sasa, umenifanyia mzaha na kuniambia uongo. Nieleze ni jinsi gani utakavyoweza kufungwa.”

JDG 16:13 Removed trailing space in p~: Samsoni akamwambia, “Kama ukivisuka hivi vishungi saba vya nywele za kichwa changu katika mtande wa nguo na kukaza kwa msumari, ndipo nitakuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote.” Hivyo Samsoni alipokuwa amelala, Delila akachukua vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake na kuvifunga kwenye mtande wa nguo,

JDG 16:14 Removed trailing space in v~: na kuvikaza kwa msumari.

JDG 16:14 Removed trailing space in p~: Kisha akamwambia, “Samsoni, Wafilisti wanakujia!” Lakini akaamka kutoka usingizini na kuungʼoa ule msumari na ule mtande.

JDG 16:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Delila akamwambia, “Wawezaje kusema, ‘Nakupenda,’ wakati moyo wako haupo pamoja nami? Umenifanyia mzaha mara hizi tatu na hujaniambia siri ya hizi nguvu zako nyingi.”

JDG 16:16 Removed trailing space in v~: Hatimaye, baada ya kuwa anamsumbua kwa maneno siku kwa siku na kumuudhi, roho yake ikataabika hata kufa.

JDG 16:17 Removed trailing space in v~: Hivyo akamwambia yule mwanamke siri yake yote, akamwambia, “Wembe haujapita kamwe kichwani mwangu, kwa kuwa mimi ni Mnadhiri wa Mungu tangu tumboni mwa mama yangu. Kama nywele za kichwa changu zikinyolewa, nguvu zangu zitanitoka, na nitakuwa dhaifu kama mtu mwingine yeyote!”

JDG 16:18 Removed trailing space in v~: Delila alipoona kuwa amemweleza siri yake yote, akatuma ujumbe kwa viongozi wa Wafilisti na kusema, “Njooni tena mara nyingine, maana amenieleza siri yake yote.” Basi viongozi wa Wafilisti wakaja kwa Delila, wakiwa na fedha mikononi mwao.

JDG 16:19 Removed trailing space in v~: Delila akamfanya alale usingizi magotini pake, akamwita mtu akamnyoa vile vishungi saba vya nywele za kichwa chake. Akaanza kumsumbua ili aamke nazo nguvu zake zikamtoka.

JDG 16:20 Removed trailing space in v~: Yule mwanamke akamwita, “Samsoni, hao Wafilisti wanakujia!”

JDG 16:20 Removed trailing space in p~: Akaamka toka usingizini akasema, “Nitatoka nje kama hapo awali, nitawakungʼutia mbali na kuwa huru.” Lakini hakujua kuwa \nd Bwana\nd* amemwacha.

JDG 16:21 Removed trailing space in v~: Basi Wafilisti wakamkamata, wakamngʼoa macho yake, wakamchukua wakamteremsha mpaka Gaza. Wakiwa wamemfunga kwa pingu za shaba, wakamweka ili asage ngano huko gerezani.

JDG 16:22 Removed trailing space in v~: Wakati huo nywele za kichwa chake zikaanza kukua tena baada ya kunyolewa.

JDG 16:22 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Samsoni

JDG 16:23 Removed trailing space in v~: Basi viongozi wa Wafilisti wakakusanyika pamoja ili kutoa kafara kwa mungu wao Dagoni na kufanya karamu, wakisema, “Mungu wetu amemtia adui yetu Samsoni mikononi mwetu.”

JDG 16:24 Removed trailing space in v~: Watu walipomwona Samsoni wakamsifu mungu wao, wakisema:

JDG 16:24 Removed trailing space in p~: “Sasa mungu wetu amemtia adui yetu

JDG 16:24 Removed trailing space in p~: mikononi mwetu,

JDG 16:24 Removed trailing space in p~: yule aliyeharibu nchi yetu

JDG 16:24 Removed trailing space in p~: na kuwaua watu wengi miongoni mwetu.”

JDG 16:25 Removed trailing space in v~: Mioyo yao ilipokuwa imefurahishwa wakasema, “Mleteni Samsoni aje acheze ili tufurahi.” Basi wakamleta Samsoni kutoka mle gerezani naye akacheza mbele yao.

JDG 16:25 Removed trailing space in p~: Wakamweka kati ya nguzo mbili.

JDG 16:26 Removed trailing space in v~: Samsoni akamwambia mtumishi aliyeshika mkono wake, “Niweke mahali ambapo ninaweza kuzigusa nguzo ambazo zinategemeza jengo ili nipate kuziegemea.”

JDG 16:27 Removed trailing space in v~: Basi lile jengo lilikuwa na wingi wa watu waume kwa wake; viongozi wote wa Wafilisti walikuwamo humo, na kwenye sakafu ya juu walikuwepo watu 3,000 waume kwa wake, waliokuwa wakimtazama Samsoni wakati anacheza.

JDG 16:28 Removed trailing space in v~: Ndipo Samsoni akamwomba \nd Bwana\nd*, akasema, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, unikumbuke. Ee Mungu, nakusihi ukanitie nguvu mara hii moja tena, ili kwa tendo hili nipate kulipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili.”

JDG 16:29 Removed trailing space in v~: Ndipo Samsoni akazikaribia zile nguzo mbili za katikati ambazo lile jengo lilikuwa linazitegemea. Akazishika moja kwa mkono wa kuume na nyingine mkono wa kushoto.

JDG 16:30 Removed trailing space in v~: Samsoni akasema, “Nife pamoja na Wafilisti!” Ndipo akazisukuma zile nguzo kwa nguvu zake zote, lile jengo likaanguka juu ya viongozi na watu wote waliokuwamo mle ndani yake. Hivyo akawaua watu wengi wakati wa kufa kwake kuliko siku za uhai wake.

JDG 16:31 Removed trailing space in v~: Basi ndugu zake na jamaa yote ya baba yake wakateremka kwenda kumchukua. Wakampandisha na kumzika kati ya Sora na Eshtaoli kwenye kaburi la Manoa baba yake. Naye Samsoni alikuwa mwamuzi wa Israeli kwa miaka ishirini.

JDG 17:0 Extra space after chapter number

JDG 17:0 Removed trailing space in c: 17

JDG 17:0 Removed trailing space in s1: Sanamu Za Mika

JDG 17:1 Removed trailing space in v~: Palikuwa na mtu aliyeitwa Mika ambaye aliishi katika vilima vya Efraimu.

JDG 17:2 Removed trailing space in v~: Akamwambia mama yake, “Zile shekeli 1,100\f + \fr 17:2 \ft Shekeli 1,100 za fedha ni sawa na kilo 13 za fedha.\f* za fedha zilizochukuliwa kwako, ambazo nilisikia ukizinenea maneno ya laana, hizi hapa; mimi ndiye niliyezichukua, lakini sasa ninakurudishia.”

JDG 17:2 Removed trailing space in p~: Ndipo mama yake akamwambia, “\nd Bwana\nd* na akubariki, mwanangu.”

JDG 17:3 Removed trailing space in v~: Alipozirudisha zile shekeli 1,100 za fedha kwa mama yake, mama yake akamwambia, “Mimi nimeiweka fedha hii wakfu kwa \nd Bwana\nd* kwa ajili ya mwanangu kutengenezea kinyago cha kuchonga na sanamu ya kusubu. Mimi nitakurudishia wewe.”

JDG 17:4 Removed trailing space in v~: Hivyo akamrudishia mama yake ile fedha, naye mama yake akachukua shekeli mia mbili\f + \fr 17:4 \ft Shekeli 200 za fedha ni sawa na kilo 2.3 za fedha.\f* za hiyo fedha na kumpa mfua fedha, ambaye aliifanyiza kinyago na sanamu. Navyo vikawekwa ndani ya nyumba ya Mika.

JDG 17:5 Removed trailing space in v~: Basi Mika alikuwa na mahali pa kuabudia miungu, akatengeneza naivera, pamoja na vinyago, na kumweka mmoja wa wanawe kuwa kuhani wake.

JDG 17:6 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo Israeli hawakuwa na mfalme, kila mmoja akafanya kama alivyoona vyema machoni pake mwenyewe.

JDG 17:7 Removed trailing space in v~: Basi palikuwa na kijana mmoja wa Bethlehemu ya Yuda. Yeye alikuwa Mlawi aliyeishi miongoni mwa kabila la Yuda.

JDG 17:8 Removed trailing space in v~: Huyu kijana akatoka katika mji huo wa Bethlehemu ya Yuda na kutafuta mahali pengine ambapo angeweza kuishi. Alipokuwa akisafiri, akafika nyumbani kwa Mika katika vilima vya Efraimu.

JDG 17:9 Removed trailing space in v~: Mika akamuuliza, “Wewe umetoka wapi?”

JDG 17:9 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Mimi ni Mlawi kutoka Bethlehemu ya Yuda, ninatafuta mahali pa kuishi.”

JDG 17:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Mika akamwambia, “Ishi pamoja nami, uwe baba yangu na kuhani wangu, nami nitakupa shekeli kumi\f + \fr 17:10 \ft Shekeli 10 za fedha ni sawa na gramu 115 za fedha.\f* za fedha, nguo na chakula.”

JDG 17:11 Removed trailing space in v~: Hivyo yule Mlawi akakubali kuishi pamoja naye, naye huyo kijana akawa kwake kama mmoja wa wanawe.

JDG 17:12 Removed trailing space in v~: Hivyo Mika akamweka wakfu huyo kijana Mlawi, naye huyo akawa kuhani wake na kuishi nyumbani mwake.

JDG 17:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Mika akasema, “Sasa najua \nd Bwana\nd* atanitendea mema, kwa kuwa Mlawi huyu amekuwa kuhani wangu.”

JDG 19:0 Extra space after chapter number

JDG 19:0 Removed trailing space in c: 19

JDG 19:0 Removed trailing space in s1: Mlawi Na Suria Wake

JDG 19:1 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo Israeli hawakuwa na mfalme.

JDG 19:1 Removed trailing space in p~: Basi Mlawi mmoja aliyeishi sehemu za mbali katika nchi ya vilima ya Efraimu, akamchukua suria mmoja kutoka Bethlehemu ya Yuda.

JDG 19:2 Removed trailing space in v~: Lakini suria wake akafanya ukahaba dhidi yake, naye akamwacha akarudi nyumbani kwa baba yake huko Bethlehemu ya Yuda. Baada ya kukaa huko kwa muda wa miezi minne,

JDG 19:3 Removed trailing space in v~: mume wake akaenda kumsihi ili arudi. Alikwenda na mtumishi wake na punda wawili. Yule mwanamke akamkaribisha nyumbani mwa baba yake, baba yake alipomwona akamkaribisha kwa furaha.

JDG 19:4 Removed trailing space in v~: Baba mkwe wake, yaani, baba yake yule msichana, akamzuia ili akae, hivyo akakaa na huyo baba mkwe wake kwa siku tatu, wakila, wakinywa na kulala huko.

JDG 19:5 Removed trailing space in v~: Siku ya nne wakaamka mapema naye akajiandaa kuondoka, lakini baba wa yule msichana akamwambia mkwewe, “Ujiburudishe kwa kula kitu chochote, ndipo uweze kwenda.”

JDG 19:6 Removed trailing space in v~: Basi wakaketi wote wawili ili kula na kunywa pamoja. Baadaye baba wa msichana akamwambia, “Tafadhali ubakie usiku huu upate kujifurahisha nafsi yako.”

JDG 19:7 Removed trailing space in v~: Basi yule mtu alipotaka kuondoka baba wa yule msichana akamsihi, basi akabaki usiku ule.

JDG 19:8 Removed trailing space in v~: Asubuhi ya siku ya tano, alipoamka ili aondoke, baba wa yule msichana akamwambia, “Jiburudishe nafsi yako. Ngoja mpaka mchana!” Kwa hiyo wote wawili wakala chakula pamoja.

JDG 19:9 Removed trailing space in v~: Basi wakati yule mtu alipoinuka aende zake, pamoja na suria wake na mtumishi wake, baba mkwe wake, yaani, baba wa yule msichana akamwambia, “Tazama sasa jioni inakaribia. Ulale hapa usiku unakaribia. Ukae, ukajifurahishe nafsi yako. Kesho unaweza kuamka mapema asubuhi na uende nyumbani kwako.”

JDG 19:10 Removed trailing space in v~: Lakini akakataa kulala tena, akaondoka na kwenda mpaka Yebusi (ndio Yerusalemu), akiwa na punda wake wawili waliotandikiwa, pamoja na suria wake.

JDG 19:11 Removed trailing space in v~: Alipokaribia Yebusi na usiku ukiwa umekaribia, mtumishi akamwambia bwana wake, “Haya sasa natuingie katika mji huu wa Wayebusi tulale humo.”

JDG 19:12 Removed trailing space in v~: Lakini bwana wake akamjibu, “Hapana. Hatutaingia kwenye mji wa kigeni, ambao watu wake si Waisraeli. Tutaendelea mpaka tufike Gibea.”

JDG 19:13 Removed trailing space in v~: Akasema, “Haya, tujitahidi tufike Gibea au Rama, nasi tutalala katika mji mmojawapo.”

JDG 19:14 Removed trailing space in v~: Hivyo wakaendelea na safari, jua likachwea walipokaribia Gibea ambao ni mji wa Benyamini.

JDG 19:15 Removed trailing space in v~: Wakageuka ili kuingia na kulala Gibea. Wakaingia humo, wakaketi kwenye uwanja wa mji, wala hakuna mtu yeyote aliyewakaribisha kwake ili wapate kulala.

JDG 19:16 Removed trailing space in v~: Jioni ile mtu mmoja mzee toka nchi ya vilima ya Efraimu, aliyekuwa anaishi huko Gibea (watu wa sehemu ile walikuwa Wabenyamini), akarudi kutoka kwenye kazi za shamba.

JDG 19:17 Removed trailing space in v~: Alipotazama na kuwaona hao wasafiri katika uwanja wa mji, yule mzee akawauliza, “Ninyi mnakwenda wapi? Nanyi mmetoka wapi?”

JDG 19:18 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Tumepita kutoka Bethlehemu ya Yuda, tunaelekea katika nchi ya vilima ya Efraimu, ambako ndiko ninakoishi. Nilikwenda Bethlehemu ya Yuda na sasa ninakwenda katika nyumba ya \nd Bwana\nd*. Hakuna mtu yeyote aliyenikaribisha katika nyumba yake.

JDG 19:19 Removed trailing space in v~: Tunazo nyasi na chakula cha punda wetu na mkate na divai kwa ajili yetu sisi watumishi wako, yaani mimi, mtumishi wako mwanamke, pamoja na huyu kijana tuliyefuatana naye. Hatuhitaji kitu chochote.”

JDG 19:20 Removed trailing space in v~: Yule mzee akawaambia, “Amani iwe kwenu! Karibuni nyumbani mwangu. Nitawapa mahitaji yenu yote, msilale katika uwanja huu wa mji.”

JDG 19:21 Removed trailing space in v~: Hivyo akamwingiza nyumbani mwake na kuwalisha punda wake. Baada ya kunawa miguu yao, wakala na kunywa.

JDG 19:22 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wakijiburudisha, watu waovu wa mji huo, wakaizingira ile nyumba. Wakagonga mlango na kusema na yule mzee mwenye nyumba, “Mtoe nje yule mtu aliyeingia kwako, tupate kumlawiti.”

JDG 19:23 Removed trailing space in v~: Yule mwenye nyumba akatoka nje na kuwaambia, “Hapana, ndugu zangu msiwe waovu namna hii, ninawasihi. Kwa kuwa huyu mtu ni mgeni wangu msifanye jambo hili la aibu.

JDG 19:24 Removed trailing space in v~: Tazameni, hapa yupo binti yangu ambaye ni bikira na suria wa huyu mtu. Nitawatoleeni hawa sasa, mkawatwae kwa nguvu na kuwafanyia lolote mtakalo. Lakini kwa mtu huyu msimfanyie jambo ovu hivyo.”

JDG 19:25 Removed trailing space in v~: Lakini wale watu hawakumsikia. Hivyo yule mtu akamtoa yule suria wake nje kwa wale watu, nao wakambaka na kumnajisi usiku ule kucha mpaka asubuhi. Kulipoanza kupambazuka wakamwachia aende.

JDG 19:26 Removed trailing space in v~: Alfajiri yule mwanamke akarudi kwenye ile nyumba bwana wake alikokuwa, akaanguka chini mlangoni, akalala pale hata kulipopambazuka.

JDG 19:27 Removed trailing space in v~: Bwana wake alipoamka asubuhi na kufungua mlango wa nyumba na kutoka nje ili kuendelea na safari yake, tazama, yule suria wake alikuwa ameanguka pale penye ingilio la nyumba na mikono yake ikiwa penye kizingiti cha chini.

JDG 19:28 Removed trailing space in v~: Akamwambia yule suria, “Inuka, twende.” Lakini hakujibu. Yule bwana akamwinua akampandisha juu ya punda wake, wakaondoka kwenda nyumbani.

JDG 19:29 Removed trailing space in v~: Alipofika nyumbani, akachukua kisu na kumkatakata yule suria kiungo kwa kiungo, sehemu kumi na mbili, na kuvipeleka hivyo vipande katika sehemu zote za Israeli.

JDG 19:30 Removed trailing space in v~: Kila mtu aliyeona akasema, “Jambo la namna hii halijaonekana wala kutendeka, tangu Israeli walipopanda kutoka Misri. Fikirini juu ya jambo hili! Tafakarini juu ya jambo hili! Tuambieni tufanye nini!”

JDG 20:0 Extra space after chapter number

JDG 20:0 Removed trailing space in c: 20

JDG 20:0 Removed trailing space in s1: Waisraeli Wapigana Na Wabenyamini

JDG 20:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Waisraeli wote kuanzia Dani hadi Beer-Sheba na wa kutoka nchi ya Gileadi wakatoka kama mtu mmoja wakakusanyika mbele za \nd Bwana\nd* huko Mispa.

JDG 20:2 Removed trailing space in v~: Viongozi wote wa kabila za Israeli wakakaa kwenye nafasi zao katika kusanyiko la watu wa Mungu, askari 400,000 waendao kwa miguu wenye panga.

JDG 20:3 Removed trailing space in v~: (Wabenyamini wakasikia kuwa Waisraeli wamepanda kwenda Mispa.) Ndipo Waisraeli wakasema, “Tuelezeni jinsi jambo hili ovu lilivyotendeka.”

JDG 20:4 Removed trailing space in v~: Hivyo yule Mlawi, mume wa yule mwanamke aliyeuawa, akasema, “Mimi na suria wangu tulifika Gibea ya Benyamini ili tulale huko.

JDG 20:5 Removed trailing space in v~: Wakati wa usiku watu wa Gibea wakanijia na kuizingira nyumba, wakitaka kuniua. Wakambaka suria wangu mpaka akafa.

JDG 20:6 Removed trailing space in v~: Ndipo nikamchukua suria wangu, nikamkatakata vipande vipande na kuvipeleka katika nchi yote ya urithi wa Israeli, kwa kuwa wametenda uasherati mkubwa na jambo la aibu katika Israeli.

JDG 20:7 Removed trailing space in v~: Sasa, ninyi Waisraeli wote, semeni na mtoe uamuzi wenu.”

JDG 20:8 Removed trailing space in v~: Watu wote wakainuka wakasema, kama mtu mmoja, “Hakuna hata mmoja wetu atakayekwenda nyumbani. Wala hakuna hata mmoja wetu atakayerudi nyumbani kwake.

JDG 20:9 Removed trailing space in v~: Sasa hili ndilo tutakaloitendea Gibea: Tutaikabili jinsi kura itakavyotuongoza.

JDG 20:10 Removed trailing space in v~: Tutatoa watu kumi katika kila 100 kutoka kwenye kabila zote za Israeli, watu 100 katika watu 1,000 na watu 1,000 katika 10,000, ili waende wakalete mahitaji kwa ajili ya jeshi. Basi wakati jeshi litakapofika Gibea ya Benyamini, watawatendea yale wanayostahili, kwa ajili ya uovu huu wa aibu waliotenda katika Israeli.”

JDG 20:11 Removed trailing space in v~: Hivyo wanaume wote wa Israeli wakakutanika pamoja na kujiunga kama mtu mmoja dhidi ya huo mji.

JDG 20:12 Removed trailing space in v~: Makabila ya Israeli yakatuma watu kwenda katika kabila la Benyamini lote na kuwaambia, “Ni uovu gani huu wa kutisha uliotendeka katikati yenu?

JDG 20:13 Removed trailing space in v~: Basi watoeni hao watu waovu kabisa walioko Gibea, ili tupate kuwaua na kuondoa uovu katika Israeli.”

JDG 20:13 Removed trailing space in p~: Lakini Wabenyamini hawakuwasikia ndugu zao, Waisraeli.

JDG 20:14 Removed trailing space in v~: Wakatoka katika miji yao, wakakutanika Gibea ili kupigana na Waisraeli.

JDG 20:15 Removed trailing space in v~: Siku ile Wabenyamini wakakusanya watu 26,000 kutoka miji yao, waliojifunga panga, mbali na hao 700 waliochaguliwa miongoni mwa hao waliokaa Gibea.

JDG 20:16 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa hao askari wote kulikuwa na watu 700 bora waliochaguliwa watumiao mkono wa kushoto, kila mmoja wao aliweza kutupa jiwe kwa kombeo na kulenga unywele mmoja bila kukosa.

JDG 20:17 Removed trailing space in v~: Nao watu wa Israeli, mbali na hao wa Benyamini, wakakusanya watu waume 400,000, wenye kutumia panga, wote hao walikuwa mashujaa.

JDG 20:18 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakapanda Betheli na kumuuliza Mungu, “Ni nani miongoni mwetu atakayetangulia mbele yetu ili kupigana na Wabenyamini?”

JDG 20:18 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akawajibu, “Yuda ndiye atakayetangulia.”

JDG 20:19 Removed trailing space in v~: Asubuhi yake Waisraeli wakaamka na kupiga kambi karibu na Gibea.

JDG 20:20 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakatoka kupigana na Wabenyamini, nao Waisraeli wakajiweka kwenye nafasi zao katika vita dhidi yao huko Gibea.

JDG 20:21 Removed trailing space in v~: Wabenyamini wakatoka Gibea na kuwaua watu 22,000 wa Israeli siku ile.

JDG 20:22 Removed trailing space in v~: Lakini Waisraeli wakatiana moyo kila mmoja na mwenzake, nao wakajiweka kwenye nafasi zao katika vile vita mara ya pili mahali pale walipokuwa wamejiweka mara ya kwanza.

JDG 20:23 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakapanda mbele za \nd Bwana\nd* na kulia mbele zake mpaka jioni, nao wakamuuliza \nd Bwana\nd* wakisema, “Je, tupande tena kupigana vita na Wabenyamini, ndugu zetu?”

JDG 20:23 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akajibu, “Pandeni mkapigane nao.”

JDG 20:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Waisraeli wakawakaribia Wabenyamini siku ya pili.

JDG 20:25 Removed trailing space in v~: Wakati huu, Wabenyamini walipotoka Gibea ili kupigana nao, wakawaua watu Waisraeli 18,000, wote wakiwa wamejifunga panga.

JDG 20:26 Removed trailing space in v~: Ndipo Waisraeli, watu wote, wakapanda Betheli, huko wakakaa mbele za \nd Bwana\nd* wakilia. Wakafunga siku ile mpaka jioni na kutoa sadaka ya kuteketezwa na sadaka ya amani kwa \nd Bwana\nd*.

JDG 20:27 Removed trailing space in v~: Nao Waisraeli wakauliza kwa \nd Bwana\nd*. (Katika siku hizo Sanduku la Agano la Mungu lilikuwa huko

JDG 20:28 Removed trailing space in v~: na Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa Aroni, alikuwa anahudumu mbele za hilo Sanduku.) Wakauliza, “Je, tupande kwenda vitani kupigana tena na Wabenyamini ndugu zetu, au la?”

JDG 20:28 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akajibu, “Nendeni, kwa kuwa kesho nitawatia mikononi mwenu.”

JDG 20:29 Removed trailing space in v~: Basi Waisraeli wakaweka waviziao kuizunguka Gibea.

JDG 20:30 Removed trailing space in v~: Kisha Waisraeli wakapanda kupigana na Wabenyamini katika siku ya tatu na kujiweka kwenye nafasi zao dhidi ya Gibea kama walivyokuwa wamefanya hapo kwanza.

JDG 20:31 Removed trailing space in v~: Wabenyamini wakatoka ili kukabiliana nao, Waisraeli wakawavuta Wabenyamini watoke katika mji. Wakaanza kupigana na kuua watu wapatao thelathini wa Israeli, kama walivyofanya nyakati nyingine, katika njia kuu, moja iendayo Betheli na nyingine Gibea.

JDG 20:32 Removed trailing space in v~: Wabenyamini wakafikiri, “Wanapigwa mbele yetu kama hapo kwanza.” Waisraeli wakasema, “Sisi na turudi nyuma ili tuwavute wauache mji waende kuelekea barabarani.”

JDG 20:33 Removed trailing space in v~: Watu wote wa Israeli wakaondoka kwenye sehemu zao na kujipanga huko Baal-Tamari, nao wale waviziaji wa Waisraeli, wakatoka hapo walipokuwa kwenye uwanda wa magharibi ya Gibea.

JDG 20:34 Removed trailing space in v~: Ndipo watu 10,000 bora waliochaguliwa katika Israeli wote, wakaja kuishambulia Gibea. Vita vilikuwa vikali sana, hata Wabenyamini hawakutambua kuwa maangamizi yalikuwa karibu nao kwa kiasi hicho.

JDG 20:35 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawashinda Wabenyamini mbele ya Waisraeli na siku ile Waisraeli wakawaua Wabenyamini watu waume 25,100, wote wakiwa wenye kujifunga silaha za vita.

JDG 20:36 Removed trailing space in v~: Hivyo Wabenyamini wakaona kuwa wamepigwa.

JDG 20:36 Removed trailing space in p~: Basi Waisraeli walikuwa wameondoka mbele ya Wabenyamini, kwa sababu Waisraeli waliwategemea hao waviziaji waliokuwa wamewaweka dhidi ya Gibea.

JDG 20:37 Removed trailing space in v~: Wale waviziaji wakafanya haraka kuingia Gibea, wakasambaa na kuwaua watu wote wa mji kwa upanga.

JDG 20:38 Removed trailing space in v~: Waisraeli walikuwa wamepatana na hao waviziaji kuwa wangefanya lipande wingu kubwa la moshi kutoka huo mji,

JDG 20:39 Removed trailing space in v~: ndipo watu wa Waisraeli wangegeuka kupigana.

JDG 20:39 Removed trailing space in p~: Watu wa Benyamini walikuwa wameanza kuwapiga na kuua watu wa Israeli (wapatao thelathini), hivyo wakafikiri, “Hakika tutawapiga, kama tulivyowashinda katika vita hapo kwanza.”

JDG 20:40 Removed trailing space in v~: Lakini wakati lile wingu la moshi lilipoanza kupanda kutoka ule mji, Wabenyamini wakageuka na kuona moshi wa mji mzima unapaa juu angani.

JDG 20:41 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wa Israeli wakawageukia, nao Wabenyamini wakatiwa hofu, kwa kuwa walitambua kwamba maafa yamewajia.

JDG 20:42 Removed trailing space in v~: Basi wakakimbia mbele ya Waisraeli kuelekea nyikani, lakini hawakuweza kukwepa vile vita. Nao watu wa Israeli waliotoka katika ile miji wakawaua huko.

JDG 20:43 Removed trailing space in v~: Wakawazingira Wabenyamini pande zote, wakawafuatia na kuwapata hapo walipopumzika katika viunga vya Gibea upande wa mashariki.

JDG 20:44 Removed trailing space in v~: Wakaanguka Wabenyamini 18,000 ambao wote ni mashujaa.

JDG 20:45 Removed trailing space in v~: Walipogeuka na kukimbia kuelekea nyikani hata kufikia mwamba wa Rimoni, Waisraeli wakawaua watu 5,000 wakiwa njiani. Wakawafuata kwa kasi mpaka Gidomu huko wakawaua watu wengine 2,000.

JDG 20:46 Removed trailing space in v~: Siku ile wakawaua Wabenyamini 25,000 waliokuwa mashujaa wa vita.

JDG 20:47 Removed trailing space in v~: Lakini watu 600 wakakimbia kuelekea nyikani katika mwamba wa Rimoni, na kukaa huko muda wa miezi minne.

JDG 20:48 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakarudi na kuua watu wote wa Benyamini, pamoja na wanyama na kila walichokikuta. Pia kila mji waliouona waliuchoma moto.

RUT -1:0 Removed trailing space in id: RUT - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

RUT -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

RUT -1:2 Removed trailing space in h: Ruthu

RUT -1:3 Removed trailing space in toc1: Ruthu

RUT -1:4 Removed trailing space in toc2: Ruthu

RUT -1:5 Removed trailing space in toc3: Rut

RUT -1:6 Removed trailing space in mt1: Ruthu

RUT 1:0 Extra space after chapter number

RUT 1:0 Removed trailing space in c: 1

RUT 1:0 Removed trailing space in s1: Naomi Na Ruthu

RUT 1:1 Removed trailing space in v~: Wakati Waamuzi walipotawala Israeli, kulikuwa na njaa katika nchi. Mtu mmoja kutoka nchi ya Bethlehemu ya Yuda, pamoja na mke wake na wanawe wawili, akaenda kuishi katika nchi ya Moabu.

RUT 1:2 Removed trailing space in v~: Mtu huyu aliitwa Elimeleki, mkewe aliitwa Naomi, na hao wanawe wawili waliitwa Maloni na Kilioni. Walikuwa Waefrathi kutoka Bethlehemu ya Yuda. Wakaenda katika nchi ya Moabu, wakaishi huko.

RUT 1:3 Removed trailing space in v~: Elimeleki mumewe Naomi akafa, hivyo Naomi akabaki na wanawe wawili.

RUT 1:4 Removed trailing space in v~: Nao wakaoa wanawake Wamoabu, jina la mmoja aliitwa Orpa, na wa pili aliitwa Ruthu. Baada ya kama miaka kumi,

RUT 1:5 Removed trailing space in v~: Maloni na Kilioni pia wakafa. Basi Naomi akabaki hana mume wala wanawe wawili.

RUT 1:6 Removed trailing space in v~: Aliposikia akiwa huko Moabu kwamba \nd Bwana\nd* amewasaidia watu wake kwa kuwapa chakula, Naomi na wakweze wakajiandaa kurudi nyumbani.

RUT 1:7 Removed trailing space in v~: Yeye na wakweze wawili wakaondoka pale walipokuwa wakiishi na kushika njia kurudi nchi ya Yuda.

RUT 1:8 Removed trailing space in v~: Ndipo Naomi akawaambia wale wakwe zake wawili, “Rudini, kila mmoja wenu nyumbani kwa mama yake. \nd Bwana\nd* na awatendee fadhili kama mlivyowatendea hao waliofariki, na pia mimi.

RUT 1:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na amjalie kila mmoja wenu maisha mema nyumbani kwa mume mwingine.”

RUT 1:9 Removed trailing space in p~: Kisha akawabusu, nao wakalia kwa sauti kubwa,

RUT 1:10 Removed trailing space in v~: wakamwambia, “Tutarudi pamoja na wewe nyumbani kwa watu wako.”

RUT 1:11 Removed trailing space in v~: Lakini Naomi akasema, “Rudini nyumbani, binti zangu. Kwa nini mnifuate? Je, mimi nitaweza tena kuwa na wana wengine ambao wataweza kuwaoa ninyi?

RUT 1:12 Removed trailing space in v~: Rudini nyumbani, binti zangu; mimi ni mzee kiasi kwamba siwezi kumpata mume mwingine. Hata kama ningefikiria kuwa bado kuna tumaini kwangu, hata kama ningekuwa na mume usiku huu na kuwazaa wana,

RUT 1:13 Removed trailing space in v~: je, mngesubiri mpaka wakue? Mngebakia bila kuolewa mkiwasubiri? La, hasha, binti zangu. Nimepata uchungu kuliko ninyi, kwa sababu mkono wa \nd Bwana\nd* umekuwa kinyume nami!”

RUT 1:14 Removed trailing space in v~: Kisha wakalia tena kwa sauti. Orpa akambusu mama mkwe wake, akaenda zake, lakini Ruthu akaambatana naye.

RUT 1:15 Removed trailing space in v~: Naomi akamwambia, “Tazama, mwenzako anarejea kwa watu wake na kwa miungu yake. Rudi pamoja naye.”

RUT 1:16 Removed trailing space in v~: Lakini Ruthu akajibu, “Usinisihi nikuache au niache kukufuata. Utakakokwenda nami nitakwenda, na wewe utakapoishi nitaishi. Watu wako watakuwa watu wangu, na Mungu wako atakuwa Mungu wangu.

RUT 1:17 Removed trailing space in v~: Pale utakapofia nami nitafia hapo, na papo hapo nitazikwa. \nd Bwana\nd* na aniadhibu vikali, kama kitu kingine chochote kitanitenga nawe isipokuwa kifo.”

RUT 1:18 Removed trailing space in v~: Naomi alipotambua kwamba Ruthu amenuia kufuatana naye, hakuendelea kumsihi tena.

RUT 1:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hao wanawake wawili wakaondoka, wakafika Bethlehemu. Walipofika Bethlehemu, mji mzima ulitaharuki, wanawake wakashangaa, wakasema, “Huyu aweza kuwa ni Naomi?”

RUT 1:20 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Msiniite tena Naomi,\f + \fr 1:20 \ft Naomi maana yake Wa Kupendeza, Wa Kufurahisha.\f* niiteni Mara,\f + \fr 1:20 \ft Mara maana yake Chungu.\f* kwa sababu Mwenyezi\f + \fr 1:20 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.\f* amenitendea mambo machungu sana.

RUT 1:21 Removed trailing space in v~: Mimi niliondoka hali nimejaa, lakini \nd Bwana\nd* amenirudisha mtupu. Kwa nini kuniita Naomi? \nd Bwana\nd* amenitendea mambo machungu; Mwenyezi ameniletea msiba.”

RUT 1:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Naomi alirudi pamoja na Ruthu Mmoabu mkwe wake, nao wakafika Bethlehemu mwanzoni mwa kuvuna shayiri.

RUT 2:0 Extra space after chapter number

RUT 2:0 Removed trailing space in c: 2

RUT 2:0 Removed trailing space in s1: Ruthu Akutana Na Boazi

RUT 2:1 Removed trailing space in v~: Basi Naomi alikuwa na jamaa wa upande wa mume wake, kutoka ukoo wa Elimeleki, mtu maarufu ambaye aliitwa Boazi.

RUT 2:2 Removed trailing space in v~: Ruthu, Mmoabu, akamwambia Naomi, “Nitakwenda mashambani nikaokote mabaki ya nafaka nyuma ya yule nitakayepata kibali machoni pake.”

RUT 2:2 Removed trailing space in p~: Naomi akamwambia, “Nenda, binti yangu.”

RUT 2:3 Removed trailing space in v~: Basi akaenda, akaokota mabaki ya nafaka mashambani nyuma ya wavunaji. Ikatokea kwamba alijikuta anafanya kazi kwenye shamba lililokuwa mali ya Boazi, ambaye alitoka kwenye ukoo wa Elimeleki.

RUT 2:4 Removed trailing space in v~: Papo hapo Boazi akarudi kutoka Bethlehemu, akawasalimu wavunaji, akasema, “\nd Bwana\nd* awe nanyi!”

RUT 2:4 Removed trailing space in p~: Nao wakamjibu, “\nd Bwana\nd* akubariki.”

RUT 2:5 Removed trailing space in v~: Boazi akamuuliza msimamizi wa wavunaji, “Je, yule mwanamwali ni wa nani?”

RUT 2:6 Removed trailing space in v~: Msimamizi akamjibu, “Ni yule Mmoabu aliyerudi kutoka nchi ya Moabu pamoja na Naomi.

RUT 2:7 Removed trailing space in v~: Yeye aliomba, ‘Tafadhali niruhusu niokote na kukusanya miongoni mwa miganda nyuma ya wavunaji.’ Naye ameshinda shambani tangu asubuhi pasipo kupumzika, isipokuwa kwa muda mfupi kivulini.”

RUT 2:8 Removed trailing space in v~: Kisha Boazi akamwambia Ruthu, “Binti yangu, nisikilize. Usiende kuokota mabaki ya mavuno katika shamba lingine, na usiondoke hapa. Kaa hapa na hawa watumishi wangu wa kike.

RUT 2:9 Removed trailing space in v~: Angalia shamba wanaume wanamovuna, ufuate nyuma yao. Nimewaamuru wanaume hawa wasikuguse. Wakati wowote ukiona kiu, nenda kwenye mitungi ukanywe maji waliyoyateka wanaume hawa.”

RUT 2:10 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya hili, akasujudu mpaka nchi, akamwambia, “Jinsi gani nimepata kibali machoni pako, hata ukanijali mimi mgeni?”

RUT 2:11 Removed trailing space in v~: Boazi akamjibu, “Nimeambiwa yote uliyomtendea mama mkwe wako tangu mume wako alipofariki, na jinsi ulivyomwacha baba yako na mama yako na nchi yako ulimozaliwa, ukaja kuishi na watu ambao hukuwafahamu awali.

RUT 2:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na akulipe kwa yale uliyoyatenda. Ubarikiwe kwa wingi na \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ambaye umekimbilia mabawani mwake.”

RUT 2:13 Removed trailing space in v~: Kisha Ruthu akasema, “Naomba niendelee kupata kibali machoni pako, bwana wangu. Kwa maana umenifariji na umezungumza kwa ukarimu na mjakazi wako, hata ingawa mimi si bora kama mmoja wa watumishi wako wa kike.”

RUT 2:14 Removed trailing space in v~: Wakati wa chakula, Boazi akamwambia Ruthu, “Karibia hapa. Kula mkate na uchovye ndani ya siki.”

RUT 2:14 Removed trailing space in p~: Alipoketi pamoja na wavunaji, akampa nafaka zilizookwa. Akala kiasi alichotaka na kusaza.

RUT 2:15 Removed trailing space in v~: Alipoinuka ili kuokota mabaki ya nafaka, Boazi akawaagiza watu wake, “Hata kama atakusanya kati ya miganda, msimzuie.

RUT 2:16 Removed trailing space in v~: Badala yake, toeni masuke katika miganda, mwachieni ayaokote, na msimkemee.”

RUT 2:17 Removed trailing space in v~: Basi Ruthu akaokota masazo shambani hata jioni. Akatwanga ile shayiri aliyokusanya, ikajaa efa moja.\f + \fr 2:17 \ft Efa moja ni sawa na kilo 22.\f*

RUT 2:18 Removed trailing space in v~: Akaibeba na kuelekea mjini, naye mama mkwe wake akaona jinsi alivyoweza kuokota nafaka nyingi. Pia Ruthu akachukua kile alichobakiza baada ya kula na kushiba, akampa.

RUT 2:19 Removed trailing space in v~: Basi mkwewe akamuuliza, “Je, umeokota wapi leo? Umefanya kazi wapi? Abarikiwe mtu yule aliyekujali.”

RUT 2:19 Removed trailing space in p~: Ndipo Ruthu akamwambia mama mkwe wake juu ya yule ambaye yeye alikuwa amefanyia kazi katika shamba lake. Akasema, “Yule mtu niliyefanyia kazi kwake leo, anaitwa Boazi.”

RUT 2:20 Removed trailing space in v~: Naye Naomi akamwambia mkwewe, “\nd Bwana\nd* ambariki! Hakuacha kuonyesha fadhili zake kwa walio hai na kwa waliokufa.” Pia akamwambia, “Huyo mtu ni mmoja wa jamaa yetu wa karibu anayestahili kutukomboa.”

RUT 2:21 Removed trailing space in v~: Kisha Ruthu, Mmoabu, akasema, “Hata aliniambia, ‘Kaa pamoja na watumishi wangu mpaka watakapomaliza kuvuna nafaka yangu yote.’ ”

RUT 2:22 Removed trailing space in v~: Kisha Naomi akamwambia Ruthu mkwewe, “Binti yangu, itakuwa vyema wewe ufuatane na wasichana wake, kwa sababu katika shamba la mtu mwingine wanaweza kukudhuru.”

RUT 2:23 Removed trailing space in v~: Kwa hivyo Ruthu akafuatana na watumishi wa kike wa Boazi, akaokota mpaka mwisho wa mavuno ya shayiri na ya ngano. Naye aliishi na mama mkwe wake.

RUT 3:0 Extra space after chapter number

RUT 3:0 Removed trailing space in c: 3

RUT 3:0 Removed trailing space in s1: Ruthu Na Boazi Kwenye Sakafu Ya Kupuria

RUT 3:1 Removed trailing space in v~: Kisha Naomi akamwambia mkwewe, “Binti yangu, je, nisingelikutafutia pumziko ambako utatunzika vyema?

RUT 3:2 Removed trailing space in v~: Je, Boazi, ambaye umekuwa pamoja na watumishi wake wasichana, si jamaa yetu wa karibu? Usiku wa leo atakuwa anapepeta ngano kwenye sakafu ya kupuria.

RUT 3:3 Removed trailing space in v~: Basi oga na ukajipake marashi, ujivalie nguo zako nzuri. Kisha uende kwenye sakafu ya kupuria, lakini angalia asijue kwamba upo pale mpaka atakapomaliza kula na kunywa.

RUT 3:4 Removed trailing space in v~: Atakapokwenda kulala, angalia mahali atakapolala. Kisha uende ufunue miguu yake, ulale. Naye atakuambia utakalofanya.”

RUT 3:5 Removed trailing space in v~: Ruthu akajibu, “Lolote usemalo nitatenda.”

RUT 3:6 Removed trailing space in v~: Basi akashuka mpaka kwenye sakafu ya kupuria, akafanya kila kitu mama mkwe wake alichomwambia kufanya.

RUT 3:7 Removed trailing space in v~: Wakati Boazi alipomaliza kula na kunywa, naye akawa amejawa na furaha, alikwenda kulala mwisho wa lundo la nafaka. Ruthu akanyemelea polepole, akafunua miguu yake, na akalala.

RUT 3:8 Removed trailing space in v~: Usiku wa manane, kitu kilimshtua Boazi, akajigeuza, akagundua yupo mwanamke amelala miguuni pake.

RUT 3:9 Removed trailing space in v~: Akauliza, “Wewe ni nani?”

RUT 3:9 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Ni mimi Ruthu, mjakazi wako. Uitande nguo yako juu yangu, kwa sababu wewe ndiwe jamaa wa karibu wa kutukomboa.”

RUT 3:10 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Binti yangu, ubarikiwe na \nd Bwana\nd*. Wema huu wa sasa ni mkuu kushinda hata ule ulioonyesha mwanzoni. Hukuwakimbilia vijana, wakiwa matajiri au maskini.

RUT 3:11 Removed trailing space in v~: Sasa, binti yangu, usiogope. Nitakufanyia yote uliyoomba. Kwa maana mji wote wa watu wangu wanakujua ya kwamba wewe ni mwanamke mwenye tabia nzuri.

RUT 3:12 Removed trailing space in v~: Ingawa ni kweli kwamba mimi ndiye jamaa aliye karibu, bado kuna mtu mwingine wa jamaa aliye karibu zaidi wa kukomboa kuliko mimi.

RUT 3:13 Removed trailing space in v~: Wewe kaa hapa usiku huu, kisha asubuhi kama akikubali kukomboa, vyema na akomboe. La sivyo kama hayuko tayari, hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo nitafanya hivyo. Lala hapa mpaka asubuhi.”

RUT 3:14 Removed trailing space in v~: Hivyo huyo mwanamke akalala miguuni pake mpaka asubuhi, akaondoka mapema pasipo mtu kuweza kumtambua mwenzake, maana Boazi alisema, “Isijulikane kabisa ya kuwa mwanamke alifika kwenye sakafu ya kupuria.”

RUT 3:15 Removed trailing space in v~: Pia akamwambia, “Leta shela yako uliyoivaa, uitandaze.” Naye alipoitandaza, akamimina vipimo sita vya shayiri, akamtwika. Kisha Ruthu akarudi zake mjini.

RUT 3:16 Removed trailing space in v~: Basi Ruthu alipofika kwa mama mkwe wake Naomi, akamuuliza, “Je, binti yangu, ilikuwaje huko?”

RUT 3:16 Removed trailing space in p~: Ndipo akamwelezea kila kitu Boazi alichomfanyia.

RUT 3:17 Removed trailing space in v~: Akaendelea kusema, “Amenipa shayiri vipimo sita\f + \fr 3:17 \ft Vipimo sita vya shayiri ni sawa na kilo 15.\f* akisema, ‘Usiende kwa mama mkwe wako mikono mitupu.’ ”

RUT 3:18 Removed trailing space in v~: Kisha Naomi akasema, “Subiri binti yangu, mpaka utakapojua kwamba hili jambo limekwendaje. Kwa sababu mtu huyu hatatulia mpaka akamilishe jambo hili leo.”

RUT 4:0 Extra space after chapter number

RUT 4:0 Removed trailing space in c: 4

RUT 4:0 Removed trailing space in s1: Boazi Amwoa Ruthu

RUT 4:1 Removed trailing space in v~: Boazi akakwea mpaka kwenye lango la mji, akaketi pale. Yule mtu wa jamaa aliyekuwa wa karibu wa kukomboa, ambaye Boazi alimtaja, akaja. Boazi akasema, “Njoo hapa, rafiki yangu. Karibu uketi.” Naye akakaribia, akaketi.

RUT 4:2 Removed trailing space in v~: Boazi akatwaa watu kumi miongoni mwa wazee wa mji, akawaambia, “Ketini hapa.” Nao wakaketi.

RUT 4:3 Removed trailing space in v~: Kisha akamwambia yule jamaa wa karibu wa kukomboa, “Naomi, aliyerudi hapa kutoka nchi ya Moabu, anauza sehemu ya ardhi iliyokuwa mali ya ndugu yetu Elimeleki.

RUT 4:4 Removed trailing space in v~: Nami niliwaza nikujulishe wewe na kukuambia uinunue mbele ya hawa waliopo hapa, na mbele ya wazee wa watu wangu. Kama wewe utaikomboa, haya fanya hivyo. Lakini kama hutaikomboa, uniambie, ili nijue. Kwa kuwa hakuna mtu mwingine mwenye haki ya kuikomboa ila wewe na baada yako ni mimi.”

RUT 4:4 Removed trailing space in p~: Naye akasema, “Nitaikomboa mimi.”

RUT 4:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Boazi akasema “Siku utakaponunua hiyo ardhi kutoka kwa Naomi na Ruthu, Mmoabu, itakubidi kumchukua pia huyo mjane, ili kudumisha jina la marehemu pamoja na mali yake.”

RUT 4:6 Removed trailing space in v~: Aliposikia hili, yule jamaa wa karibu wa kukomboa akasema, “Basi mimi sitaweza kuikomboa, kwa sababu inaonekana nitauhatarisha urithi wangu. Wewe ikomboe mwenyewe. Mimi sitaweza.”

RUT 4:7 Removed trailing space in v~: (Basi katika siku za kale huko Israeli, ili kukamilisha tendo la kukomboa na kukabidhiana mali, mmoja huvua kiatu chake na kumpatia mwingine. Hii ilikuwa ni njia ya kuhalalisha mabadilishano katika Israeli.)

RUT 4:8 Removed trailing space in v~: Basi yule jamaa wa karibu wa kukomboa akamwambia Boazi, “Wewe inunue mwenyewe.” Naye huyo jamaa akavua kiatu chake.

RUT 4:9 Removed trailing space in v~: Kisha Boazi akawatangazia wazee na watu wote waliokuwepo, “Leo ninyi ni mashahidi kwamba mimi nimenunua kutoka kwa Naomi yote yaliyokuwa mali ya Elimeleki, Kilioni na Maloni.

RUT 4:10 Removed trailing space in v~: Nimemchukua pia Ruthu, Mmoabu, mjane wa Maloni, awe mke wangu, ili kuendeleza jina la marehemu pamoja na mali zake, ili jina lake marehemu lisitoweke miongoni mwa jamaa yake, wala katika kumbukumbu za mji wake. Leo hivi ninyi ni mashahidi!”

RUT 4:11 Removed trailing space in v~: Kisha wazee pamoja na watu wote waliokuwa langoni wakasema, “Sisi ni mashahidi. \nd Bwana\nd* na amfanye mwanamke huyu aingiaye nyumbani mwako kuwa kama Raheli na kama Lea, wale wanawake wawili ambao pamoja waliijenga nyumba ya Israeli. Nawe ufanikiwe katika Efrathi na uwe mashuhuri katika Bethlehemu.

RUT 4:12 Removed trailing space in v~: Kupitia kwa watoto ambao \nd Bwana\nd* atakupa kutokana na huyu mwanamwali, jamaa yako na ifanane na ya Peresi, ambaye Tamari alimzalia Yuda.”

RUT 4:12 Removed trailing space in s1: Wazao Wa Boazi

RUT 4:13 Removed trailing space in v~: Basi Boazi akamwoa Ruthu, naye akawa mke wake. Alipoingia kwake, \nd Bwana\nd* akamjalia Ruthu, naye akapata mimba, akamzaa mtoto wa kiume.

RUT 4:14 Removed trailing space in v~: Wanawake wakamwambia Naomi: “Ahimidiwe \nd Bwana\nd*, asiyekuacha bila kuwa na jamaa wa karibu wa kukomboa. Na awe mashuhuri katika Israeli yote!

RUT 4:15 Removed trailing space in v~: Atakurejeshea uhai wako na kukuangalia katika siku za uzee wako. Kwa maana mkweo ambaye anakupenda, na ambaye kwako ni bora zaidi ya watoto wa kiume saba, ndiye alimzaa.”

RUT 4:16 Removed trailing space in v~: Basi Naomi akamchukua yule mtoto, akampakata na akawa mlezi wake.

RUT 4:17 Removed trailing space in v~: Wanawake waliokuwa jirani zake wakasema, “Naomi ana mtoto wa kiume.” Wakamwita jina lake Obedi. Yeye ndiye baba yake Yese, aliye baba yake Daudi.

RUT 4:18 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vizazi vya Peresi:

RUT 4:18 Removed trailing space in p~: Peresi alimzaa Hesroni,

RUT 4:19 Removed trailing space in v~: Hesroni akamzaa Ramu,

RUT 4:19 Removed trailing space in p~: Ramu akamzaa Aminadabu,

RUT 4:20 Removed trailing space in v~: Aminadabu akamzaa Nashoni,

RUT 4:20 Removed trailing space in p~: Nashoni akamzaa Salmoni,

RUT 4:21 Removed trailing space in v~: Salmoni akamzaa Boazi,

RUT 4:21 Removed trailing space in p~: Boazi akamzaa Obedi,

RUT 4:22 Removed trailing space in v~: Obedi akamzaa Yese,

RUT 4:22 Removed trailing space in p~: na Yese akamzaa Daudi.

SA2 -1:0 Removed trailing space in id: 2SA - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

SA2 -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

SA2 -1:2 Removed trailing space in h: 2 Samweli

SA2 -1:3 Removed trailing space in toc1: 2 Samweli

SA2 -1:4 Removed trailing space in toc2: 2 Samweli

SA2 -1:5 Removed trailing space in toc3: 2Sam

SA2 -1:6 Removed trailing space in mt1: 2 Samweli

SA2 1:0 Extra space after chapter number

SA2 1:0 Removed trailing space in c: 1

SA2 1:0 Removed trailing space in s1: Daudi Afahamishwa Kifo Cha Sauli

SA2 1:1 Removed trailing space in v~: Baada ya kifo cha Sauli, Daudi alipokuwa amerudi kutoka kuwashinda Waamaleki, Daudi alikaa siku mbili huko Siklagi.

SA2 1:2 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu akaja mtu mwenye nguo zilizoraruka na mavumbi kichwani mwake kutoka kwenye kambi ya Sauli. Alipomjia Daudi, akajitupa chini ili kumpa heshima.

SA2 1:3 Removed trailing space in v~: Daudi akamuuliza, “Wewe umetoka wapi?”

SA2 1:3 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Nimetoroka kutoka kambi ya Waisraeli.”

SA2 1:4 Removed trailing space in v~: Daudi akamuuliza, “Ni nini kilichotokea? Niambie.”

SA2 1:4 Removed trailing space in p~: Akasema, “Watu walikimbia kutoka vitani. Wengi wao walianguka na kufa. Naye Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa.”

SA2 1:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akamwambia huyo kijana aliyemletea taarifa, “Je, umefahamuje kwamba Sauli na Yonathani mwanawe wamekufa?”

SA2 1:6 Removed trailing space in v~: Yule kijana akasema, “Nilijipata huko Mlima Gilboa, naye Sauli alikuwa huko akiegemea mkuki wake, na magari ya vita na wapanda farasi wa upande wa adui wakawa wamemkaribia sana.

SA2 1:7 Removed trailing space in v~: Alipogeuka na kuniona, akaniita, nami nikasema, ‘Je, nifanye nini?’

SA2 1:8 Removed trailing space in v~: “Akaniuliza, ‘Wewe ni nani?’

SA2 1:8 Removed trailing space in p~: “Nikamjibu, ‘Mimi ni Mwamaleki.’

SA2 1:9 Removed trailing space in v~: “Kisha akaniambia, ‘Nikaribie mimi na uniue! Niko katika maumivu makali ya kifo, lakini bado ningali hai.’

SA2 1:10 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nikamkaribia nikamuua, kwa sababu nilijua kwamba baada ya kuanguka hangeweza kupona. Nami nikachukua lile taji lililokuwa kichwani mwake na utepe uliokuwa mkononi mwake nami nimevileta hapa kwa bwana wangu.”

SA2 1:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi pamoja na watu wote waliokuwa pamoja naye wakazishika nguo zao na kuzirarua.

SA2 1:12 Removed trailing space in v~: Wakaomboleza, wakalia pia na kufunga mpaka jioni kwa ajili ya Sauli na Yonathani mwanawe, kwa ajili ya jeshi la \nd Bwana\nd* na nyumba ya Israeli, kwa sababu wameanguka kwa upanga.

SA2 1:13 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia yule kijana aliyemletea taarifa, “Wewe ni mwenyeji wa wapi?”

SA2 1:13 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Mimi ni mwana wa mgeni, Mwamaleki.”

SA2 1:14 Removed trailing space in v~: Daudi akamuuliza, “Kwa nini hukuogopa kuinua mkono wako ili kumwangamiza mpakwa mafuta wa \nd Bwana\nd*?”

SA2 1:15 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akamwita mmoja wa watu wake na kumwambia, “Nenda ukamuue!” Kwa hiyo akampiga, naye akafa.

SA2 1:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana Daudi alikuwa amemwambia, “Damu yako iwe juu ya kichwa chako mwenyewe. Kinywa chako mwenyewe kimeshuhudia dhidi yako uliposema, ‘Nilimuua mpakwa mafuta wa \nd Bwana\nd*.’ ”

SA2 1:16 Removed trailing space in s1: Ombolezo La Daudi Kwa Ajili Ya Sauli Na Yonathani

SA2 1:17 Removed trailing space in v~: Daudi akafanya maombolezo haya kuhusu Sauli na Yonathani mwanawe,

SA2 1:18 Removed trailing space in v~: naye akaagiza kwamba watu wa Yuda wafundishwe ombolezo hili la upinde (ambalo limeandikwa katika Kitabu cha Yashari):

SA2 1:19 Removed trailing space in v~: “Walio fahari yako, ee Israeli, wameuawa juu ya mahali pako palipoinuka.

SA2 1:19 Removed trailing space in p~: Jinsi wenye nguvu walivyoanguka!

SA2 1:20 Removed trailing space in v~: “Msilisimulie hili katika Gathi,

SA2 1:20 Removed trailing space in p~: msilitangaze hili katika

SA2 1:20 Removed trailing space in p~: barabara za Ashkeloni,

SA2 1:20 Removed trailing space in p~: binti za Wafilisti wasije wakafurahia,

SA2 1:20 Removed trailing space in p~: binti za hao wasiotahiriwa

SA2 1:20 Removed trailing space in p~: wasije wakashangilia.

SA2 1:21 Removed trailing space in v~: “Enyi milima ya Gilboa,

SA2 1:21 Removed trailing space in p~: msipate umande wala mvua,

SA2 1:21 Removed trailing space in p~: wala mashamba yazaayo sadaka ya nafaka.

SA2 1:21 Removed trailing space in p~: Kwa maana huko ndiko ngao ya mwenye nguvu iliponajisiwa,

SA2 1:21 Removed trailing space in p~: ngao ya Sauli haitapakwa tena mafuta.

SA2 1:22 Removed trailing space in v~: Kutokana na damu ya waliouawa,

SA2 1:22 Removed trailing space in p~: kutokana na miili ya wenye nguvu,

SA2 1:22 Removed trailing space in p~: ule upinde wa Yonathani haukugeuka nyuma.

SA2 1:22 Removed trailing space in p~: Upanga wa Sauli haukurudi bure.

SA2 1:23 Removed trailing space in v~: “Sauli na Yonathani,

SA2 1:23 Removed trailing space in p~: maishani walipendwa na kuneemeka,

SA2 1:23 Removed trailing space in p~: na katika kifo hawakutengana.

SA2 1:23 Removed trailing space in p~: Walikuwa wepesi kuliko tai,

SA2 1:23 Removed trailing space in p~: walikuwa na nguvu kuliko simba.

SA2 1:24 Removed trailing space in v~: “Enyi binti za Israeli,

SA2 1:24 Removed trailing space in p~: lieni kwa ajili ya Sauli,

SA2 1:24 Removed trailing space in p~: ambaye aliwavika nguo

SA2 1:24 Removed trailing space in p~: nyekundu na maridadi,

SA2 1:24 Removed trailing space in p~: ambaye aliremba mavazi yenu

SA2 1:24 Removed trailing space in p~: kwa mapambo ya dhahabu.

SA2 1:25 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi mashujaa

SA2 1:25 Removed trailing space in p~: walivyoanguka vitani!

SA2 1:25 Removed trailing space in p~: Yonathani ameuawa

SA2 1:25 Removed trailing space in p~: mahali pako palipoinuka.

SA2 1:26 Removed trailing space in v~: Nahuzunika kwa ajili yako,

SA2 1:26 Removed trailing space in p~: Yonathani ndugu yangu,

SA2 1:26 Removed trailing space in p~: kwangu ulikuwa mpendwa sana.

SA2 1:26 Removed trailing space in p~: Upendo wako kwangu ulikuwa wa ajabu,

SA2 1:26 Removed trailing space in p~: wa ajabu zaidi kuliko ule wa wanawake.

SA2 1:27 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi mashujaa walivyoanguka!

SA2 1:27 Removed trailing space in p~: Silaha za vita zimeangamia!”

SA2 2:0 Extra space after chapter number

SA2 2:0 Removed trailing space in c: 2

SA2 2:0 Removed trailing space in s1: Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Yuda

SA2 2:1 Removed trailing space in v~: Ikawa baada ya mambo haya, Daudi akamuuliza \nd Bwana\nd*, “Je, nipande kwenda katika mojawapo ya miji ya Yuda?”

SA2 2:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akasema, “Panda.”

SA2 2:1 Removed trailing space in p~: Daudi akauliza, “Je, niende wapi?”

SA2 2:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akajibu, “Nenda Hebroni.”

SA2 2:2 Removed trailing space in v~: Basi Daudi akakwea kwenda huko pamoja na wake zake wawili, Ahinoamu wa Yezreeli na Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli.

SA2 2:3 Removed trailing space in v~: Pia Daudi akawachukua watu waliokuwa pamoja naye, kila mmoja na jamaa yake, nao wakaishi huko Hebroni na miji yake.

SA2 2:4 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wa Yuda wakaja Hebroni, huko wakamtia Daudi mafuta awe mfalme juu ya nyumba ya Yuda.

SA2 2:4 Removed trailing space in p~: Daudi alipoambiwa kuwa ni watu wa Yabeshi-Gileadi waliomzika Sauli,

SA2 2:5 Removed trailing space in v~: akatuma wajumbe kwa watu wa Yabeshi-Gileadi kuwaambia, “\nd Bwana\nd* awabariki kwa kuonyesha wema huu kwa kumzika Sauli bwana wenu.

SA2 2:6 Removed trailing space in v~: Sasa \nd Bwana\nd* na awaonyeshe wema na uaminifu, nami pia nitawaonyesha wema ule ule kwa kuwa mmefanya jambo hili.

SA2 2:7 Removed trailing space in v~: Sasa basi, kuweni hodari na mashujaa, kwa maana bwana wenu Sauli amekufa, nayo nyumba ya Yuda imenitia mafuta niwe mfalme juu yao.”

SA2 2:7 Removed trailing space in s1: Vita Kati Ya Nyumba Ya Daudi Na Sauli

SA2 2:8 Removed trailing space in v~: Wakati huo Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Sauli, alikuwa amemchukua Ish-Boshethi mwana wa Sauli na kumleta hadi Mahanaimu.

SA2 2:9 Removed trailing space in v~: Akamweka awe mfalme juu ya nchi ya Gileadi, Waasheri,\f + \fr 2:9 \ft Waasheri hapa ni kabila moja la Israeli.\f* Yezreeli, Efraimu, Benyamini na Israeli yote.

SA2 2:10 Removed trailing space in v~: Ish-Boshethi\f + \fr 2:10 \ft Ish-Boshethi maana yake Mtu wa Aibu, pia anaitwa Esh-Baali maana yake Mtu wa Baali (\+xt 1Nya 8:33; 9:39\+xt*).\f* mwana wa Sauli alikuwa na umri wa miaka arobaini alipoanza kutawala Israeli, naye akatawala miaka miwili. Hata hivyo, nyumba ya Yuda ikamfuata Daudi.

SA2 2:10 Found unexpected backslash in footnote: 2:10 Ish-Boshethi maana yake Mtu wa Aibu, pia anaitwa Esh-Baali maana yake Mtu wa Baali (\+xt 1Nya 8:33; 9:39\+xt*).

SA2 2:11 Removed trailing space in v~: Muda ambao Daudi alikuwa mfalme juu ya nyumba ya Yuda huko Hebroni ilikuwa miaka saba na miezi sita.

SA2 2:12 Removed trailing space in v~: Abneri mwana wa Neri, pamoja na watu wa Ish-Boshethi mwana wa Sauli, wakatoka Mahanaimu kwenda Gibeoni.

SA2 2:13 Removed trailing space in v~: Yoabu mwana wa Seruya na watu wa Daudi wakatoka na kukutana nao kwenye bwawa la Gibeoni. Kikundi kimoja kiliketi upande mmoja wa bwawa, na kikundi kingine upande wa pili.

SA2 2:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Abneri akamwambia Yoabu, “Tuwaweke baadhi ya vijana wasimame na wapigane ana kwa ana mbele yetu.”

SA2 2:14 Removed trailing space in p~: Yoabu akasema, “Sawa, na wafanye hivyo.”

SA2 2:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo vijana wakasimama, wakahesabiwa: watu wa Benyamini na wa Ish-Boshethi mwana wa Sauli kumi na wawili, na upande wa Daudi kumi na wawili.

SA2 2:16 Removed trailing space in v~: Kisha kila mtu akakamatana na mpinzani wake kichwani na kuchomana kwa upanga, nao wakaanguka chini pamoja. Kwa hiyo mahali pale katika Gibeoni pakaitwa Helkath-Hasurimu.\f + \fr 2:16 \ft Helkath-Hasurimu maana yake Uwanja wa Mapambano.\f*

SA2 2:17 Removed trailing space in v~: Siku hiyo vita vilikuwa vikali sana, naye Abneri na watu wa Israeli wakashindwa na watu wa Daudi.

SA2 2:18 Removed trailing space in v~: Wana watatu wa Seruya walikuwako huko: nao ni Yoabu, Abishai na Asaheli. Basi huyo Asaheli alikuwa na mbio kama paa.

SA2 2:19 Removed trailing space in v~: Asaheli akamfukuza Abneri, pasipo kugeuka kulia wala kushoto wakati akimfuata.

SA2 2:20 Removed trailing space in v~: Abneri akaangalia nyuma na kumuuliza, “Ni wewe, Asaheli?”

SA2 2:20 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Ndiyo.”

SA2 2:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Abneri akamwambia, “Geuka upande wa kulia au kushoto. Mchukue mmoja wa vijana wa kiume na umvue silaha zake.” Lakini Asaheli hakuacha kumfukuza.

SA2 2:22 Removed trailing space in v~: Abneri akamwonya tena Asaheli akimwambia, “Acha kunifukuza! Kwa nini nikuue? Je, nitawezaje kumtazama ndugu yako Yoabu usoni?”

SA2 2:23 Removed trailing space in v~: Lakini Asaheli alikataa kuacha kumfuatia, kwa hiyo Abneri akamchoma Asaheli tumboni kwa ncha butu ya mkuki wake, mkuki ukamtoboa ukatokea mgongoni mwake. Akaanguka na kufa papo hapo. Ikawa kila mtu alisimama alipofika mahali pale Asaheli alipoanguka na kufa.

SA2 2:24 Removed trailing space in v~: Lakini Yoabu na Abishai walimfuata Abneri, na jua lilipokuwa linatua, wakafika kwenye kilima cha Ama, karibu na Gia kwenye njia ya kuelekea kwenye nyika ya Gibeoni.

SA2 2:25 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wa kabila la Benyamini wakakusanyika tena nyuma ya Abneri. Wakaunda kikosi na kujiimarisha juu ya kilima.

SA2 2:26 Removed trailing space in v~: Abneri akamwita Yoabu, akamwambia, “Je, ni lazima upanga uendelee kuangamiza milele? Hutambui kwamba jambo hili litaishia katika uchungu? Utaacha kuwaagiza watu wako waache kuwafuatilia ndugu zao hata lini?”

SA2 2:27 Removed trailing space in v~: Yoabu akajibu, “Hakika kama aishivyo Mungu, kama hukusema, hawa watu wangeendelea kuwafuatia ndugu zao mpaka asubuhi.”

SA2 2:28 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu akapiga tarumbeta, nao watu wote wakasimama, hawakuwafuata Israeli tena, wala hawakuwapiga tena.

SA2 2:29 Removed trailing space in v~: Usiku ule wote Abneri na watu wake wakatembea kupitia Araba. Wakavuka Mto Yordani, wakaendelea wakipitia nchi yote ya Bithroni wakafika Mahanaimu.

SA2 2:30 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu akarudi kutoka kumfuatia Abneri, na kuwakusanya watu wake wote. Pamoja na Asaheli, watu kumi na tisa wa Daudi walikuwa wamepotea.

SA2 2:31 Removed trailing space in v~: Lakini watu wa Daudi walikuwa wamewaua watu wa kabila la Benyamini 360 waliokuwa pamoja na Abneri.

SA2 2:32 Removed trailing space in v~: Wakamchukua Asaheli, wakamzika katika kaburi la baba yake huko Bethlehemu. Kisha Yoabu na watu wake wakatembea usiku kucha na kufika huko Hebroni wakati wa mapambazuko.

SA2 3:0 Extra space after chapter number

SA2 3:0 Removed trailing space in c: 3

SA2 3:1 Removed trailing space in v~: Vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi vilidumu kwa muda mrefu. Daudi akaendelea kuwa imara zaidi na zaidi, wakati nyumba ya Sauli iliendelea kudhoofika zaidi na zaidi.

SA2 3:2 Removed trailing space in v~: Wana walizaliwa kwa Daudi huko Hebroni:

SA2 3:2 Removed trailing space in p~: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Amnoni mwana wa Ahinoamu wa Yezreeli;

SA2 3:3 Removed trailing space in v~: mzaliwa wake wa pili alikuwa Danieli\f + \fr 3:3 \ft Jina lingine lake ni Kileabu.\f* mwana wa Abigaili, mjane wa Nabali wa Karmeli;

SA2 3:3 Removed trailing space in p~: wa tatu, Absalomu mwana wa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri;

SA2 3:4 Removed trailing space in v~: wa nne, Adoniya mwana wa Hagithi;

SA2 3:4 Removed trailing space in p~: wa tano, Shefatia mwana wa Abitali;

SA2 3:5 Removed trailing space in v~: wa sita, Ithreamu mwana wa Egla, mkewe Daudi.

SA2 3:5 Removed trailing space in p~: Hawa ndio waliozaliwa kwa Daudi huko Hebroni.

SA2 3:5 Removed trailing space in s1: Abneri Anamwendea Daudi

SA2 3:6 Removed trailing space in v~: Wakati wa vita kati ya nyumba ya Sauli na nyumba ya Daudi, Abneri alikuwa anajiimarisha katika nafasi yake kwenye nyumba ya Sauli.

SA2 3:7 Removed trailing space in v~: Basi Sauli alikuwa amekuwa na suria, jina lake Rispa binti wa Aiya. Naye Ish-Boshethi akamwambia Abneri, “Kwa nini umekutana kimwili na suria wa baba yangu?”

SA2 3:8 Removed trailing space in v~: Abneri akakasirika sana kwa sababu ya kile Ish-Boshethi alichosema, naye akamjibu, “Je, mimi ni kichwa cha mbwa, kwa upande wa Yuda? Siku hii ya leo mimi ni mtiifu kwa nyumba ya baba yako Sauli, kwa jamaa yake na rafiki zake. Sijakukabidhi kwa Daudi, lakini bado unanilaumu kwa kosa la kuhusika na huyu mwanamke!

SA2 3:9 Removed trailing space in v~: Mungu na amshughulikie Abneri, tena kwa ukali, ikiwa sitafanya kwa ajili ya Daudi kile \nd Bwana\nd* alichomwahidi kwa kiapo,

SA2 3:10 Removed trailing space in v~: na kuuhamisha ufalme kutoka kwenye nyumba ya Sauli na kuimarisha kiti cha ufalme cha Daudi juu ya Israeli na Yuda kuanzia Dani mpaka Beer-Sheba.”

SA2 3:11 Removed trailing space in v~: Ish-Boshethi hakuthubutu kusema neno jingine kwa Abneri, kwa sababu alimwogopa Abneri.

SA2 3:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Abneri akatuma wajumbe kwa niaba yake kwa Daudi, kumwambia, “Nchi hii ni ya nani? Fanya mapatano na mimi, nami nitakusaidia kuiweka Israeli yote juu yako.”

SA2 3:13 Removed trailing space in v~: Daudi akasema, “Vyema, nitafanya mapatano nawe. Lakini nahitaji jambo moja kwako: Usije mbele yangu mpaka umemleta Mikali binti Sauli wakati utakapokuja kuniona.”

SA2 3:14 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akapeleka wajumbe kwa Ish-Boshethi mwana wa Sauli, kudai, “Nipe Mikali mke wangu, ambaye nilimposa mwenyewe kwa mahari ya magovi 100 ya Wafilisti.”

SA2 3:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Ish-Boshethi akatoa amri kwamba Mikali achukuliwe kutoka kwa Paltieli mumewe, mwana wa Laishi.

SA2 3:16 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, mumewe alikwenda pamoja naye, akilia nyuma ya mkewe njia yote hadi Bahurimu. Ndipo Abneri akamwambia Paltieli, “Rudi nyumbani!” Kwa hiyo akarudi.

SA2 3:17 Removed trailing space in v~: Abneri akafanya shauri pamoja na wazee wa Israeli, akasema, “Muda mrefu mmetaka kumfanya Daudi mfalme wenu.

SA2 3:18 Removed trailing space in v~: Sasa fanyeni hivyo! Kwa maana \nd Bwana\nd* alimwahidi Daudi akisema, ‘Kwa kupitia Daudi mtumishi wangu nitawaokoa watu wangu Israeli kutoka mikononi mwa Wafilisti na kutoka mikononi mwa adui zako wote.’ ”

SA2 3:19 Removed trailing space in v~: Pia Abneri mwenyewe akazungumza na kabila la Benyamini. Kisha akaenda mpaka Hebroni kumwambia Daudi kila kitu ambacho Israeli na nyumba yote ya Benyamini walichotaka kufanya.

SA2 3:20 Removed trailing space in v~: Wakati Abneri aliyekuwa na watu ishirini pamoja naye, alipokuja kwa Daudi huko Hebroni, Daudi akamwandalia karamu pamoja na watu wake.

SA2 3:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Abneri akamwambia Daudi, “Niache niende mara moja nikakusanye Israeli yote kwa ajili ya mfalme bwana wangu, ili waweze kufanya mapatano na wewe, ili kwamba uweze kutawala juu ya yote yale ambayo moyo wako unaonea shauku.” Basi Daudi akamuaga Abneri, naye akaenda kwa amani.

SA2 3:21 Removed trailing space in s1: Yoabu Amuua Abneri

SA2 3:22 Removed trailing space in v~: Wakati huo huo, watu wa Daudi na Yoabu walirudi kutoka kwenye kushambulia, nao wakarudi na nyara nyingi mno. Lakini Abneri hakuwa tena pamoja na Daudi huko Hebroni, kwa sababu Daudi alikuwa amemruhusu aende zake, naye akaenda kwa amani.

SA2 3:23 Removed trailing space in v~: Yoabu na askari wote aliokuwa nao walipowasili, aliambiwa kwamba Abneri mwana wa Neri alikuwa amekuja kwa mfalme na kwamba mfalme alikuwa amemruhusu aende zake, na kwamba alikwisha ondoka kwa amani.

SA2 3:24 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu alikwenda kwa mfalme na kumwambia, “Ni nini hiki ulichofanya? Tazama, Abneri alikuja kwako. Kwa nini ukamwacha aende? Sasa amekwenda!

SA2 3:25 Removed trailing space in v~: Wajua Abneri mwana wa Neri alikuja kukudanganya na kuchunguza nyendo zako na kupata kila kitu unachokifanya.”

SA2 3:26 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoabu akamwacha Daudi na kutuma wajumbe wamfuate Abneri, nao wakamrudisha kutoka kisima cha Sira. Lakini Daudi hakufahamu jambo hili.

SA2 3:27 Removed trailing space in v~: Basi Abneri aliporudi Hebroni, Yoabu akamchukua kando ndani ya lango, kama vile kuzungumza naye faraghani. Ili kulipiza kisasi damu ya nduguye Asaheli, Yoabu akamchoma mkuki tumboni palepale, naye akafa.

SA2 3:28 Removed trailing space in v~: Baadaye, Daudi aliposikia kuhusu jambo hili, akasema, “Mimi na ufalme wangu kamwe hatuna hatia mbele za \nd Bwana\nd* kuhusu damu ya Abneri mwana wa Neri.

SA2 3:29 Removed trailing space in v~: Damu yake na iwe juu ya kichwa cha Yoabu na juu ya nyumba yote ya baba yake! Kamwe asikosekane yeyote katika nyumba ya Yoabu mwenye kidonda chenye usaha, au ukoma au mwenye kuegemea fimbo au aangukaye kwa upanga au kupungukiwa na chakula.”

SA2 3:30 Removed trailing space in v~: (Yoabu na Abishai ndugu yake walimuua Abneri kwa sababu alikuwa amemuua Asaheli ndugu yao katika vita huko Gibeoni.)

SA2 3:31 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akamwambia Yoabu na watu wote aliokuwa pamoja nao, “Rarueni nguo zenu na mvae nguo za gunia na mtembee mkiomboleza mbele ya Abneri.” Mfalme Daudi mwenyewe akatembea nyuma ya jeneza.

SA2 3:32 Removed trailing space in v~: Wakamzika Abneri huko Hebroni, naye mfalme akalia kwa sauti kwenye kaburi la Abneri. Pia watu wote wakalia.

SA2 3:33 Removed trailing space in v~: Mfalme akaimba ombolezo hili kwa ajili ya Abneri:

SA2 3:33 Removed trailing space in p~: “Je, ilipasa Abneri afe kama afavyo mpumbavu?

SA2 3:34 Removed trailing space in v~: Mikono yako haikufungwa,

SA2 3:34 Removed trailing space in p~: miguu yako haikufungwa pingu.

SA2 3:34 Removed trailing space in p~: Ulianguka kama yeye aangukaye

SA2 3:34 Removed trailing space in p~: mbele ya watu waovu.”

SA2 3:34 Removed trailing space in p~: Nao watu wote wakamlilia tena.

SA2 3:35 Removed trailing space in v~: Kisha watu wote wakaja kumsihi Daudi ale chochote kulipokuwa kungali bado mchana; lakini Daudi akaapa, akisema, “Mungu na anishughulikie, tena kwa ukali, kama nikionja mkate au kitu kingine chochote kabla ya jua kutua!”

SA2 3:36 Removed trailing space in v~: Watu wote wakaona hilo nao ikawapendeza; naam, kila kitu mfalme alichofanya kiliwapendeza.

SA2 3:37 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo siku ile watu wote na Israeli yote wakajua kwamba mfalme hakushiriki katika mauaji ya Abneri mwana wa Neri.

SA2 3:38 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akawaambia watu wake, “Je, hamfahamu kwamba mkuu na mtu mashuhuri ameanguka katika Israeli leo?

SA2 3:39 Removed trailing space in v~: Nami leo ingawa ni mfalme mpakwa mafuta, mimi ni dhaifu, nao hawa wana wa Seruya wananizidi nguvu. \nd Bwana\nd* na amlipize mtenda maovu sawasawa na matendo yake maovu!”

SA2 4:0 Extra space after chapter number

SA2 4:0 Removed trailing space in c: 4

SA2 4:0 Removed trailing space in s1: Ish-Boshethi Auawa

SA2 4:1 Removed trailing space in v~: Ish-Boshethi mwana wa Sauli aliposikia kwamba Abneri amekufa huko Hebroni, akakosa ujasiri, nayo Israeli yote wakatiwa hofu kuu.

SA2 4:2 Removed trailing space in v~: Basi mwana wa Sauli alikuwa na watu wawili waliokuwa viongozi wa vikundi vya uvamizi. Mmoja aliitwa Baana na mwingine Rekabu, waliokuwa wana wa Rimoni, Mbeerothi, kutoka kabila la Benyamini. Beerothi alihesabiwa kuwa sehemu ya Benyamini,

SA2 4:3 Removed trailing space in v~: kwa sababu watu wa Beerothi walikimbilia huko Gitaimu na wameishi huko kama wageni mpaka siku hii ya leo.

SA2 4:4 Removed trailing space in v~: (Yonathani mwana wa Sauli alikuwa na mwana aliyekuwa mlemavu miguu yote miwili. Alikuwa na miaka mitano wakati habari kuhusu Sauli na Yonathani zilipofika kutoka Yezreeli. Yaya wake akambeba ili kukimbia, lakini yaya alipokuwa anaharakisha kuondoka, mtoto alianguka akawa kiwete. Jina lake aliitwa Mefiboshethi.)

SA2 4:5 Removed trailing space in v~: Basi Rekabu na Baana, wana wa Rimoni Mbeerothi wakaenda nyumbani kwa Ish-Boshethi, nao walifika huko wakati alipokuwa kwenye mapumziko yake ya mchana.

SA2 4:6 Removed trailing space in v~: Wakaingia kwenye chumba cha ndani kana kwamba wanachukua ngano, wakamchoma Ish-Boshethi mkuki wa tumboni. Ndipo Rekabu na Baana nduguye wakatoroka.

SA2 4:7 Removed trailing space in v~: Walikuwa wameingia ndani ya nyumba wakati alipokuwa amelala kitandani chumbani kwake. Baada ya kumchoma mkuki na kumuua, walikata kichwa chake. Wakiwa wamekichukua, walitembea usiku kucha kwa njia ya Araba.

SA2 4:8 Removed trailing space in v~: Wakamletea Daudi kichwa cha Ish-Boshethi huko Hebroni, wakamwambia mfalme, “Hiki hapa kichwa cha Ish-Boshethi mwana wa Sauli, adui yako, aliyejaribu kuondoa uhai wako. Siku hii ya leo \nd Bwana\nd* amemlipia kisasi mfalme bwana wangu dhidi ya Sauli na mzao wake.”

SA2 4:9 Removed trailing space in v~: Daudi akawajibu Rekabu na Baana nduguye, wana wa Rimoni, Mbeerothi, akasema, “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka taabu zote,

SA2 4:10 Removed trailing space in v~: yule mtu aliponiambia, ‘Sauli amekufa,’ akadhani ananiletea habari njema, nilimkamata, nikamuua huko Siklagi. Hiyo ndiyo zawadi niliyompa kwa ajili ya taarifa yake!

SA2 4:11 Removed trailing space in v~: Je, ni mara ngapi zaidi wakati watu waovu wamemuua mtu asiye na hatia akiwa ndani ya nyumba yake mwenyewe na kwenye kitanda chake mwenyewe? Je, sasa nisidai damu yake mikononi mwenu na kuwaondoa duniani?”

SA2 4:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akawaamuru watu wake, wakawaua. Wakakata mikono yao na miguu, na kutundika viwiliwili vyao kando ya dimbwi huko Hebroni. Lakini wakakichukua kichwa cha Ish-Boshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.

SA2 5:0 Extra space after chapter number

SA2 5:0 Removed trailing space in c: 5

SA2 5:0 Removed trailing space in s1: Daudi Atawazwa Mfalme Juu Ya Israeli

SA2 5:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 11:1-9; 14:1-7)

SA2 5:1 Removed trailing space in v~: Makabila yote ya Israeli yakamjia Daudi huko Hebroni na kumwambia, “Sisi tu nyama yako na damu yako hasa.

SA2 5:2 Removed trailing space in v~: Zamani, wakati Sauli alikuwa mfalme juu yetu, wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani. Naye \nd Bwana\nd* alikuambia, ‘Wewe utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa mtawala wao.’ ”

SA2 5:3 Removed trailing space in v~: Wazee wote wa Israeli wakamwendea Mfalme Daudi huko Hebroni, mfalme akafanya mapatano nao huko Hebroni mbele za \nd Bwana\nd*, nao wakamtia Daudi mafuta kuwa mfalme wa Israeli.

SA2 5:4 Removed trailing space in v~: Daudi alikuwa na miaka thelathini alipoanza kutawala, naye akatawala Israeli miaka arobaini.

SA2 5:5 Removed trailing space in v~: Huko Hebroni alitawala Yuda kwa miaka saba na miezi sita, na katika Yerusalemu alitawala Israeli yote na Yuda kwa miaka thelathini na mitatu.

SA2 5:5 Removed trailing space in s1: Daudi Ateka Yerusalemu

SA2 5:6 Removed trailing space in v~: Mfalme na watu wake wakaenda Yerusalemu kuwashambulia Wayebusi walioishi humo. Wayebusi wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu, kwani hata vipofu na viwete wanaweza kukufukuza.” Walidhani, “Daudi hawezi kuingia humu.”

SA2 5:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.

SA2 5:8 Removed trailing space in v~: Siku ile, Daudi akasema, “Yeyote ambaye atawashinda Wayebusi, atatumia huo mfereji kuwafikia hao ‘viwete na vipofu’ ambao ni adui za Daudi.” Ndiyo sababu wanasema, “ ‘Vipofu na viwete’ hawataingia kwenye jumba la ufalme.”

SA2 5:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akafanya makao ndani ya ngome na kuiita Mji wa Daudi. Akajenga eneo linalozunguka kuanzia Milo\f + \fr 5:9 \ft Milo maana yake Boma la Ngome.\f* kuelekea ndani.

SA2 5:10 Removed trailing space in v~: Daudi akazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi, kwa sababu \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote alikuwa pamoja naye.

SA2 5:11 Removed trailing space in v~: Basi Hiramu mfalme wa Tiro akawatuma wajumbe kwa Daudi, wakiwa na magogo ya mierezi, maseremala na waashi, nao wakajenga jumba la kifalme kwa ajili ya Daudi.

SA2 5:12 Removed trailing space in v~: Naye Daudi akafahamu kuwa \nd Bwana\nd* amemwimarisha kuwa mfalme juu ya Israeli na ameinua ufalme wake kwa ajili ya Israeli, watu wake.

SA2 5:13 Removed trailing space in v~: Baada ya Daudi kuondoka Hebroni, akajitwalia masuria zaidi na wake huko Yerusalemu, nao wana na binti wengi walizaliwa kwake.

SA2 5:14 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,

SA2 5:15 Removed trailing space in v~: Ibihari, Elishua, Nefegi, Yafia,

SA2 5:16 Removed trailing space in v~: Elishama, Eliada na Elifeleti.

SA2 5:16 Removed trailing space in s1: Daudi Awashinda Wafilisti

SA2 5:16 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 14:8-17)

SA2 5:17 Removed trailing space in v~: Wafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli, wakapanda na jeshi lao lote kwenda kumsaka, lakini Daudi akapata habari hizo, naye akateremka kwenye ngome.

SA2 5:18 Removed trailing space in v~: Basi Wafilisti walikuwa wamekuja na kusambaa kwenye Bonde la Warefai,

SA2 5:19 Removed trailing space in v~: kwa hiyo Daudi akamuuliza \nd Bwana\nd*, “Je, niende kuwashambulia Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?”

SA2 5:19 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akamjibu, “Nenda, kwa maana hakika nitawatia Wafilisti mikononi mwako.”

SA2 5:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akaenda mpaka Baal-Perasimu, na huko akawashinda Wafilisti. Akasema, “Kama mafuriko yafurikavyo, \nd Bwana\nd* amewafurikia adui zangu mbele yangu.” Kwa hiyo mahali hapo pakaitwa Baal-Perasimu.\f + \fr 5:20 \ft Maana yake Bwana Afurikae.\f*

SA2 5:21 Removed trailing space in v~: Wafilisti wakaiacha miungu yao huko, naye Daudi na watu wake wakaichukua.

SA2 5:22 Removed trailing space in v~: Wafilisti walikwea kwa mara nyingine na kusambaa katika Bonde la Warefai.

SA2 5:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akamuuliza \nd Bwana\nd*, naye akamjibu, “Usipande moja kwa moja, bali wazungukie kwa nyuma na uwashambulie mbele ya miti ya miforosadi.

SA2 5:24 Removed trailing space in v~: Mara utakaposikia sauti ya kutembea kutoka kwenye vilele vya miti ya miforosadi, nenda haraka, kwa sababu hiyo itamaanisha kuwa \nd Bwana\nd* ametangulia mbele yako kupiga jeshi la Wafilisti.”

SA2 5:25 Removed trailing space in v~: Basi Daudi akafanya kama \nd Bwana\nd* alivyomwagiza, naye akawaangusha Wafilisti njia yote kuanzia Geba\f + \fr 5:25 \ft Kwa Kiebrania mji huu uliitwa Gibeoni (ona \+xt 1Nya 14:16\+xt*).\f* hadi Gezeri.

SA2 5:25 Found unexpected backslash in footnote: 5:25 Kwa Kiebrania mji huu uliitwa Gibeoni (ona \+xt 1Nya 14:16\+xt*).

SA2 7:0 Extra space after chapter number

SA2 7:0 Removed trailing space in c: 7

SA2 7:0 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi

SA2 7:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 17:1-15)

SA2 7:1 Removed trailing space in v~: Baada ya mfalme kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, naye \nd Bwana\nd* akiwa amemstarehesha pande zote mbali na adui zake,

SA2 7:2 Removed trailing space in v~: akamwambia nabii Nathani, “Mimi hapa, ninaishi katika jumba la kifalme la mierezi, wakati Sanduku la Mungu limebaki katika hema.”

SA2 7:3 Removed trailing space in v~: Nathani akamjibu mfalme, “Lolote ulilo nalo moyoni, endelea ukalifanye, kwa maana \nd Bwana\nd* yu pamoja nawe.”

SA2 7:4 Removed trailing space in v~: Usiku ule neno la \nd Bwana\nd* likamjia Nathani, kusema:

SA2 7:5 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Je, ewe ndiwe wa kunijengea mimi nyumba ili nikae ndani yake?

SA2 7:6 Removed trailing space in v~: Sijakaa ndani ya nyumba tangu siku niliyowaleta Waisraeli kutoka Misri hadi leo. Nimekuwa nikitembea kutoka mahali pamoja hadi mahali pengine ndani ya hema kama makao yangu.

SA2 7:7 Removed trailing space in v~: Popote nilipotembea pamoja na Waisraeli wote, je, nimewahi kumwambia kiongozi wao yeyote niliyemwamuru kuwachunga watu wangu Israeli, “Kwa nini hujanijengea nyumba ya mierezi?” ’

SA2 7:8 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, mwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: Nilikutoa wewe kutoka machungani na kutoka kuandama kundi la kondoo na mbuzi ili kuwaongoza watu wangu Israeli.

SA2 7:9 Removed trailing space in v~: Nimekuwa pamoja nawe popote ulipokwenda, nami nimekuondolea mbali adui zako wote mbele yako. Basi nitalifanya jina lako kuwa kuu kama majina ya watu walio wakuu sana duniani.

SA2 7:10 Removed trailing space in v~: Nami nitawapatia watu wangu Israeli mahali niwapande humo ili kwamba wawe na nyumbani kwao wenyewe wasisumbuliwe tena. Watu waovu hawatawaonea tena, kama walivyofanya mwanzoni,

SA2 7:11 Removed trailing space in v~: na kama walivyofanya tangu mwanzo wakati nilipowaweka viongozi juu ya watu wangu Israeli. Pia nitawapa raha mbele ya adui zenu wote.

SA2 7:11 Removed trailing space in p~: “ ‘\nd Bwana\nd* akuambia kwamba \nd Bwana\nd* mwenyewe atakujengea nyumba.

SA2 7:12 Removed trailing space in v~: Siku zako zitakapokwisha nawe ulale pamoja na baba zako, nitainua mzao wako aingie mahali pako, ambaye atatoka viunoni mwako, nami nitauimarisha ufalme wake.

SA2 7:13 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya Jina langu, nami nitaimarisha kiti cha enzi cha ufalme wake milele.

SA2 7:14 Removed trailing space in v~: Nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu. Atakapokosea nitamwadhibu kwa fimbo ya wanadamu, kwa adhabu ya kupigwa na wanadamu.

SA2 7:15 Removed trailing space in v~: Lakini upendo wangu kamwe hautaondolewa kwake, kama nilivyouondoa kwa Sauli, niliyemwondoa atoke mbele yako.

SA2 7:16 Removed trailing space in v~: Nyumba yako na ufalme wako utadumu milele mbele zangu, kiti chako cha enzi kitafanywa imara milele.’ ”

SA2 7:17 Removed trailing space in v~: Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

SA2 7:17 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Daudi

SA2 7:17 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 17:16-27)

SA2 7:18 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za \nd Bwana\nd*, akasema:

SA2 7:18 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, mimi ni nani, na jamaa yangu ni nini, hata umenileta mpaka hapa nilipo?

SA2 7:19 Removed trailing space in v~: Naam, kana kwamba hili halitoshi machoni pako, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, wewe umenena pia kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi wako. Je, hii ndiyo njia yako ya kawaida ya kushughulika na mwanadamu, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi?

SA2 7:20 Removed trailing space in v~: “Je, Daudi aweza kukuambia nini zaidi? Kwa maana unamjua mtumishi wako, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

SA2 7:21 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya neno lako na kwa mapenzi yako, umefanya jambo hili kubwa na kulifanya lijulikane na lifahamike kwa mtumishi wako.

SA2 7:22 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi ulivyo mkuu, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi! Hakuna mwingine kama wewe, wala hakuna Mungu ila wewe, kama vile tulivyosikia kwa masikio yetu wenyewe,

SA2 7:23 Removed trailing space in v~: Naye ni nani aliye kama watu wako Israeli, taifa pekee duniani ambalo Mungu alitoka kwenda kulikomboa kwa ajili yake mwenyewe, na kujifanyia jina mwenyewe, kwa kufanya maajabu makubwa na ya kutisha kwa kuwafukuza mataifa na miungu yao mbele ya watu wako, ambao uliwakomboa kutoka Misri?

SA2 7:24 Removed trailing space in v~: Umeimarisha watu wako Israeli hasa kama watu wako mwenyewe milele, nawe, Ee \nd Bwana\nd*, umekuwa Mungu wao.

SA2 7:25 Removed trailing space in v~: “Basi sasa, \nd Bwana\nd*, ukaitimize ahadi uliyosema kuhusu mtumishi wako na nyumba yake milele. Fanya kama ulivyoahidi,

SA2 7:26 Removed trailing space in v~: ili kwamba jina lako litukuke milele. Ndipo watu watasema, ‘\nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ni Mungu juu ya Israeli!’ Nayo nyumba ya mtumishi wako Daudi itakuwa imara mbele zako.

SA2 7:27 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, umelifunua hili kwa mtumishi wako, ukisema, ‘Nitakujengea nyumba.’ Hivyo mtumishi wako amepata ujasiri kukuletea dua hii.

SA2 7:28 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, wewe ndiwe Mungu! Maneno yako ndiyo kweli, nawe umemwahidi mtumishi wako mambo haya mazuri.

SA2 7:29 Removed trailing space in v~: Sasa naomba uwe radhi kuibariki nyumba ya mtumishi wako, ili idumu mbele zako milele, kwa maana wewe, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, umesema, na kwa baraka zako nyumba ya mtumishi wako itaendelea kubarikiwa milele.”

SA2 8:0 Extra space after chapter number

SA2 8:0 Removed trailing space in c: 8

SA2 8:0 Removed trailing space in s1: Ushindi Wa Daudi

SA2 8:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 18:1-17)

SA2 8:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akautwaa Metheg-Amma kutoka mikononi mwa Wafilisti.

SA2 8:2 Removed trailing space in v~: Pia Daudi akawashinda Wamoabu. Akawafanya walale chini kwa mstari akawapima kwa urefu wa kamba. Kila alipopima urefu wa hiyo kamba mara mbili hilo kundi waliuawa na alipopima mara ya tatu aliwaacha hai. Kwa hiyo Wamoabu wakawa chini ya Daudi nao wakamletea kodi.

SA2 8:3 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba, alipokwenda kurudisha tena utawala wake kwenye eneo la Mto Frati.

SA2 8:4 Removed trailing space in v~: Daudi akateka magari yake ya vita 1,000, askari wapanda farasi 7,000 na askari 20,000 watembeao kwa miguu. Daudi akawakata wale farasi wote wakokotao magari mishipa ya miguu, isipokuwa farasi 100 hakuwakata.

SA2 8:5 Removed trailing space in v~: Waaramu wa Dameski walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni mwao.

SA2 8:6 Removed trailing space in v~: Daudi akaweka askari walinzi katika ufalme wa Waaramu huko Dameski, nao Waaramu wakawa watumwa wake na kumlipa ushuru. \nd Bwana\nd* akampa Daudi ushindi kote alipokwenda.

SA2 8:7 Removed trailing space in v~: Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu.

SA2 8:8 Removed trailing space in v~: Kutoka miji ya Beta\f + \fr 8:8 \ft Beta ulikuwa mji wa Aramu-Soba ambao uliitwa Teba kwa Kiaramu; pia uliitwa Tibhathi (\+xt 1Nya 18:8\+xt*).\f* na Berothai, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Mfalme Daudi akatwaa shaba nyingi sana.

SA2 8:8 Found unexpected backslash in footnote: 8:8 Beta ulikuwa mji wa Aramu-Soba ambao uliitwa Teba kwa Kiaramu; pia uliitwa Tibhathi (\+xt 1Nya 18:8\+xt*).

SA2 8:9 Removed trailing space in v~: Tou, mfalme wa Hamathi, aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri,

SA2 8:10 Removed trailing space in v~: akamtuma mwanawe Yoramu kwa Mfalme Daudi kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Hadadezeri, kwa kuwa Hadadezeri alikuwa amepigana vita na Tou. Yoramu akamletea Daudi vyombo vya fedha, dhahabu na shaba.

SA2 8:11 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa \nd Bwana\nd*, kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu kutoka kwa mataifa yote aliyokuwa ameyashinda:

SA2 8:12 Removed trailing space in v~: yaani Edomu, Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki. Pia akaweka wakfu nyara alizoteka kutoka kwa Hadadezeri mwana wa Rehobu, mfalme wa Soba.

SA2 8:13 Removed trailing space in v~: Naye Daudi akapata sifa baada ya kurudi kutoka kuwaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.

SA2 8:14 Removed trailing space in v~: Akaweka kambi za askari walinzi katika Edomu yote, nao Waedomu wakawa chini ya Daudi. \nd Bwana\nd* alimpatia Daudi ushindi kila alipokwenda.

SA2 8:14 Removed trailing space in s1: Maafisa Wa Daudi

SA2 8:15 Removed trailing space in v~: Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.

SA2 8:16 Removed trailing space in v~: Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;

SA2 8:17 Removed trailing space in v~: Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Seraya alikuwa mwandishi;

SA2 8:18 Removed trailing space in v~: Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa washauri wa mfalme.

SA2 9:0 Extra space after chapter number

SA2 9:0 Removed trailing space in c: 9

SA2 9:0 Removed trailing space in s1: Daudi Na Mefiboshethi

SA2 9:1 Removed trailing space in v~: Daudi akauliza, “Je, hakuna mtu hata mmoja wa nyumba ya Sauli aliyebaki ambaye naweza kumtendea wema kwa ajili ya Yonathani?”

SA2 9:2 Removed trailing space in v~: Basi palikuwepo mtumishi wa nyumba ya Sauli aliyeitwa Siba. Wakamwita aje mbele ya Daudi, naye mfalme akamwambia, “Wewe ndiwe Siba?”

SA2 9:2 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Naam, mimi ndiye mtumishi wako.”

SA2 9:3 Removed trailing space in v~: Mfalme akauliza, “Je, hakuna yeyote ambaye amebaki wa nyumba ya Sauli ninayeweza kumwonyesha wema wa Mungu?”

SA2 9:3 Removed trailing space in p~: Siba akamjibu mfalme, “Bado yupo mwana wa Yonathani, yeye ni kiwete miguu yote.”

SA2 9:4 Removed trailing space in v~: Mfalme akauliza, “Yuko wapi?”

SA2 9:4 Removed trailing space in p~: Siba akajibu, “Yuko nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli huko Lo-Debari.”

SA2 9:5 Removed trailing space in v~: Basi Mfalme Daudi akamtaka aletwe kutoka Lo-Debari, kutoka nyumbani kwa Makiri mwana wa Amieli.

SA2 9:6 Removed trailing space in v~: Mefiboshethi mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, alipofika kwa Daudi, akainama kumpa mfalme heshima.

SA2 9:6 Removed trailing space in p~: Daudi akamwita, “Mefiboshethi!”

SA2 9:6 Removed trailing space in p~: Mefiboshethi akajibu, “Ndimi mtumishi wako.”

SA2 9:7 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia, “Usiogope, kwa maana hakika nitakutendea wema kwa ajili ya baba yako Yonathani. Nitakurudishia ardhi yote iliyokuwa mali ya Sauli baba yako, nawe daima utakula chakula mezani pangu.”

SA2 9:8 Removed trailing space in v~: Mefiboshethi akasujudu akasema, “Mimi mtumishi wako ni nini hata uangalie mbwa mfu kama mimi?”

SA2 9:9 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akamwita Siba mtumishi wa Sauli na kumwambia, “Nimempa mwana wa bwana wako kila kitu kilichokuwa mali ya Sauli na jamaa yake.

SA2 9:10 Removed trailing space in v~: Wewe, wanao na watumishi wako mtamlimia mashamba Mefiboshethi na kumletea mavuno, ili kwamba mwana wa bwana wako apate mahitaji yake. Naye Mefiboshethi mwana wa bwana wako atakula chakula mezani pangu daima.” (Siba alikuwa na wana kumi na watano, na watumishi ishirini.)

SA2 9:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Siba akamwambia mfalme, “Mtumishi wako atafanya chochote bwana wangu mfalme atakachoagiza mtumishi wake kufanya.” Basi Mefiboshethi akala chakula mezani pa Daudi kama mmoja wa wana wa mfalme.

SA2 9:12 Removed trailing space in v~: Mefiboshethi alikuwa na mwanawe mdogo aliyeitwa Mika, nao watu wote wa nyumba ya Siba walikuwa watumishi wa Mefiboshethi.

SA2 9:13 Removed trailing space in v~: Naye Mefiboshethi akaishi huko Yerusalemu, kwa sababu daima alikula mezani pa mfalme, naye alikuwa kiwete miguu yote.

SA2 10:0 Extra space after chapter number

SA2 10:0 Removed trailing space in c: 10

SA2 10:0 Removed trailing space in s1: Daudi Awashinda Waamoni

SA2 10:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 19:1-19)

SA2 10:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, mfalme wa Waamoni akafa, naye Hanuni mwanawe akaingia mahali pake.

SA2 10:2 Removed trailing space in v~: Daudi akawaza, “Nitamtendea wema Hanuni mwana wa Nahashi, kama vile baba yake alivyonitendea mimi wema.” Hivyo Daudi akatuma wajumbe kuonyesha wema wake kwa Hanuni kuhusu baba yake.

SA2 10:2 Removed trailing space in p~: Watu wa Daudi walipofika katika nchi ya Waamoni,

SA2 10:3 Removed trailing space in v~: wakuu wa Waamoni wakamwambia Hanuni bwana wao, “unadhani Daudi anamheshimu baba yako kwa kukutumia watu ili kuonyesha masikitiko? Je, Daudi hakuwatuma watu hawa kuchunguza na kuupeleleza mji ili kuupindua?”

SA2 10:4 Removed trailing space in v~: Basi Hanuni akawakamata watu wa Daudi, akawanyoa kila mmoja ndevu zake nusu, akakata mavazi yao nyuma katikati kwenye matako, akawaacha waende zao.

SA2 10:5 Removed trailing space in v~: Daudi alipoambiwa jambo hili, akatuma wajumbe ili kwenda kuwalaki, kwa maana walikuwa wamevunjiwa heshima sana. Mfalme akasema, “Kaeni huko Yeriko mpaka ndevu zenu ziote ndipo mje.”

SA2 10:6 Removed trailing space in v~: Waamoni walipotambua kuwa wamekuwa machukizo kwa Daudi, wakaajiri askari wa miguu 20,000 Waaramu kutoka Beth-Rehobu na Soba, pia mfalme wa Maaka pamoja na watu 1,000, na vilevile watu 12,000 kutoka Tobu.

SA2 10:7 Removed trailing space in v~: Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.

SA2 10:8 Removed trailing space in v~: Waamoni wakatoka wakajipanga wakiwa tayari kwa vita langoni la mji wao, wakati Waaramu wa Soba, wa Rehobu, watu wa Tobu na Maaka walikuwa peke yao kwenye eneo la wazi.

SA2 10:9 Removed trailing space in v~: Yoabu akaona kuwa mbele yake na nyuma yake kumepangwa vita; kwa hiyo akachagua baadhi ya vikosi vilivyo bora sana katika Israeli akavipanga dhidi ya Waaramu.

SA2 10:10 Removed trailing space in v~: Akawaweka waliobaki chini ya uongozi wa Abishai nduguye na kuwapanga dhidi ya Waamoni.

SA2 10:11 Removed trailing space in v~: Yoabu akasema, “Kama Waaramu watanizidi nguvu, basi itawabidi mje kunisaidia. Lakini kama Waamoni watawazidi nguvu, basi nitakuja kuwasaidia.

SA2 10:12 Removed trailing space in v~: Uwe hodari na tupigane kwa ujasiri kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu wetu. \nd Bwana\nd* atafanya lile lililo jema machoni pake.”

SA2 10:13 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu na vikosi vyake wakasonga mbele kupigana na Waaramu, nao Waaramu wakakimbia mbele yake.

SA2 10:14 Removed trailing space in v~: Waamoni walipoona Waaramu wanakimbia, nao wakakimbia mbele ya Abishai na kuingia ndani ya mji. Basi Yoabu akarudi kutoka kupigana na Waamoni na kufika Yerusalemu.

SA2 10:15 Removed trailing space in v~: Baada ya Waaramu kuona wameshindwa na Israeli, wakajikusanya tena.

SA2 10:16 Removed trailing space in v~: Hadadezeri akaagiza Waaramu walioletwa kutoka ngʼambo ya Mto Frati, wakaenda Helamu pamoja na Shobaki jemadari wa jeshi la Hadadezeri akiwaongoza.

SA2 10:17 Removed trailing space in v~: Daudi alipoambiwa haya, akawakusanya Israeli wote, wakavuka Mto Yordani, wakaenda Helamu. Waaramu wakapanga vikosi vyao vya askari kukabiliana na kupigana dhidi ya Daudi.

SA2 10:18 Removed trailing space in v~: Lakini Waaramu wakakimbia mbele ya Israeli, naye Daudi akawaua waendesha magari mia saba na askari wao wa miguu 40,000. Vilevile alimpiga Shobaki jemadari wa jeshi lao, naye akafa huko.

SA2 10:19 Removed trailing space in v~: Wafalme wote waliokuwa wanamtumikia Hadadezeri walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, wakafanya amani na Waisraeli na wakawa chini yao.

SA2 10:19 Removed trailing space in p~: Hivyo Waaramu wakaogopa kuwasaidia Waamoni tena.

SA2 11:0 Extra space after chapter number

SA2 11:0 Removed trailing space in c: 11

SA2 11:0 Removed trailing space in s1: Daudi Na Bathsheba

SA2 11:1 Removed trailing space in v~: Katika mwanzo wa mwaka mpya, wakati wafalme watokapo kwenda vitani, Daudi akamtuma Yoabu pamoja na watu wa mfalme na jeshi lote la Israeli. Wakawaangamiza Waamoni na kuuzunguka kwa jeshi mji wa Raba. Lakini Daudi akabaki Yerusalemu.

SA2 11:2 Removed trailing space in v~: Ikawa siku moja wakati wa jioni Daudi aliinuka kitandani mwake na kutembeatembea juu ya paa la jumba lake la kifalme. Kutokea kule kwenye paa, akamwona mwanamke akioga. Mwanamke huyo alikuwa mzuri sana wa sura,

SA2 11:3 Removed trailing space in v~: naye Daudi akatuma mtu mmoja kuuliza habari za huyo mwanamke. Huyo mtu akamwambia Daudi, “Je, huyu si Bathsheba binti Eliamu, naye ni mke wa Uria, Mhiti?”

SA2 11:4 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akatuma wajumbe kumleta. Huyo mwanamke akaja kwa Daudi, Daudi akakutana naye kimwili. (Huyo mwanamke ndipo tu alikuwa amejitakasa kutoka siku zake za hedhi.) Kisha akarudi nyumbani kwake.

SA2 11:5 Removed trailing space in v~: Huyo mwanamke akapata mimba akampelekea Daudi ujumbe, kusema, “Mimi ni mjamzito.”

SA2 11:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akapeleka ujumbe kwa Yoabu, “Unipelekee Uria, Mhiti.” Naye Yoabu akamtuma Uria kwa Daudi.

SA2 11:7 Removed trailing space in v~: Uria alipofika, Daudi akamuuliza habari za Yoabu, hali za askari na vita kwamba inaendeleaje.

SA2 11:8 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akamwambia Uria, “Teremka nyumbani kwako ukanawe miguu yako.” Basi Uria akaondoka kutoka kwenye jumba la kifalme, tena zawadi zikamfuata kutoka kwa mfalme.

SA2 11:9 Removed trailing space in v~: Lakini Uria akalala kwenye ingilio la jumba la kifalme pamoja na watumishi wote wa bwana wake, na hakuteremka kwenda nyumbani kwake.

SA2 11:10 Removed trailing space in v~: Daudi alipoambiwa kwamba, “Uria hakwenda nyumbani,” Daudi akamuuliza, “Je, si ndiyo tu umefika kutoka safari ya mbali? Kwa nini hukwenda nyumbani?”

SA2 11:11 Removed trailing space in v~: Uria akamwambia Daudi, “Sanduku la Mungu, na Israeli na Yuda wanakaa kwenye mahema, naye bwana wangu Yoabu na watu wa bwana wangu wamepiga kambi mahali pa wazi. Ningewezaje kwenda nyumbani kwangu ili nile, ninywe na kukutana na mke wangu? Hakika kama uishivyo sitafanya jambo la namna hiyo!”

SA2 11:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akamwambia, “Kaa hapa siku moja zaidi, nami kesho nitakutuma urudi.” Kwa hiyo Uria akakaa Yerusalemu siku ile na siku iliyofuata.

SA2 11:13 Removed trailing space in v~: Kwa ukaribisho wa Daudi, Uria akala na kunywa pamoja naye, Daudi akamlevya. Lakini jioni Uria alitoka kwenda kulala juu ya mkeka wake miongoni mwa watumishi wa bwana wake, hakwenda nyumbani.

SA2 11:14 Removed trailing space in v~: Asubuhi yake Daudi akamwandikia Yoabu barua, akamtuma Uria kuipeleka.

SA2 11:15 Removed trailing space in v~: Ndani ya barua aliandika, “Mweke Uria mstari wa mbele mahali ambapo mapigano ni makali sana. Kisha wewe uondoke ili Uria aangushwe chini na kuuawa.”

SA2 11:16 Removed trailing space in v~: Hivyo Yoabu alipokuwa ameuzingira mji kwa jeshi, akamweka Uria mahali ambapo alijua kuwa ulinzi wa adui ulikuwa imara sana.

SA2 11:17 Removed trailing space in v~: Wakati watu wa mjini walipotoka kwenda kupigana dhidi ya Yoabu, baadhi ya watu katika jeshi la Daudi wakauawa, zaidi ya hayo, Uria, Mhiti, akafa.

SA2 11:18 Removed trailing space in v~: Yoabu akampelekea Daudi maelezo yote ya vita.

SA2 11:19 Removed trailing space in v~: Akamwagiza mjumbe hivi, “Utakapokuwa umemaliza kumpa mfalme maelezo ya vita,

SA2 11:20 Removed trailing space in v~: hasira ya mfalme yaweza kuwaka, naye aweza kukuuliza, ‘Kwa nini mlisogea karibu hivyo na mji kupigana? Hamkujua kuwa wangeweza kuwapiga mishale kutoka ukutani?

SA2 11:21 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyemuua Abimeleki mwana wa Yerub-Besheth? Je, mwanamke hakutupa juu yake jiwe la juu la kusagia kutoka ukutani, kwa hiyo akafa huko Thebesi? Kwa nini mlisogea hivyo karibu ya ukuta?’ Ikiwa atakuuliza hivi, ndipo umwambie, ‘Pia mtumishi wako Uria, Mhiti, amekufa.’ ”

SA2 11:22 Removed trailing space in v~: Mjumbe akaondoka. Alipowasili akamwambia Daudi kila kitu alichokuwa ametumwa na Yoabu kusema.

SA2 11:23 Removed trailing space in v~: Mjumbe akamwambia Daudi, “Watu walituzidi nguvu wakatoka nje ya mji dhidi yetu kwenye eneo la wazi, lakini tuliwarudisha nyuma mpaka kwenye ingilio la mji.

SA2 11:24 Removed trailing space in v~: Ndipo wapiga upinde walitupa mishale kwa watumishi wako kutoka ukutani, na baadhi ya watu wa mfalme wakafa. Zaidi ya hayo, Uria, Mhiti, mtumishi wako amekufa.”

SA2 11:25 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia mjumbe, “Ukamwambie Yoabu hivi, ‘Jambo hili lisikutie wasiwasi, upanga hula huyu sawa na ulavyo mwingine. Zidisha mashambulizi dhidi ya mji na uangamize.’ Mwambie Yoabu hivi ili kumtia moyo.”

SA2 11:26 Removed trailing space in v~: Mke wa Uria aliposikia kwamba mumewe amekufa, akamwombolezea.

SA2 11:27 Removed trailing space in v~: Baada ya muda wa maombolezo kwisha, Daudi akamtaka aletwe nyumbani kwake, naye akawa mkewe, na akamzalia mwana. Lakini jambo alilokuwa amefanya Daudi lilimchukiza \nd Bwana\nd*.

SA2 12:0 Extra space after chapter number

SA2 12:0 Removed trailing space in c: 12

SA2 12:0 Removed trailing space in s1: Nathani Amkemea Daudi

SA2 12:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtuma Nathani kwa Daudi. Alipofika kwake akamwambia, “Katika mji mmoja kulikuwepo na watu wawili, mmoja alikuwa tajiri na mwingine alikuwa maskini.

SA2 12:2 Removed trailing space in v~: Yule mtu tajiri alikuwa na idadi kubwa sana ya kondoo na ngʼombe,

SA2 12:3 Removed trailing space in v~: lakini yule maskini hakuwa na chochote ila kondoo jike mdogo aliyekuwa amemnunua. Akamtunza kondoo huyo, akakulia kwake pamoja na watoto wake. Kondoo huyo alishiriki chakula cha bwana wake na kunywea kikombe chake hata pia huyo kondoo alilala mikononi mwa bwana wake. Kwake alikuwa kama binti yake.

SA2 12:4 Removed trailing space in v~: “Siku moja yule tajiri akafikiwa na mgeni, lakini huyo tajiri akaacha kuchukua mmoja wa kondoo au ngʼombe wake mwenyewe amwandalie mgeni. Badala yake akachukua yule kondoo jike mdogo aliyekuwa mali ya yule maskini na kumwandalia yule mgeni wake.”

SA2 12:5 Removed trailing space in v~: Daudi akawakwa na hasira dhidi ya mtu huyo tajiri na kumwambia Nathani, “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, mtu huyo aliyefanya hivyo anastahili kufa!

SA2 12:6 Removed trailing space in v~: Lazima alipe mara nne zaidi, kwa ajili ya kondoo huyo, kwa sababu amefanya jambo kama hilo na hakuwa na huruma.”

SA2 12:7 Removed trailing space in v~: Ndipo Nathani akamwambia Daudi, “Wewe ndiwe huyo mtu! Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Nilikupaka mafuta uwe mfalme juu ya Israeli, nilikuokoa kutokana na mkono wa Sauli.

SA2 12:8 Removed trailing space in v~: Nilikupa nyumba ya bwana wako na wake za bwana wako mikononi mwako. Nikakupa nyumba ya Israeli na Yuda. Kama haya yote yalikuwa madogo sana, ningekupa hata zaidi.

SA2 12:9 Removed trailing space in v~: Kwa nini ulilidharau neno la \nd Bwana\nd* kwa kufanya lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria, Mhiti kwa upanga na kumchukua mke wake awe mkeo. Ulimuua kwa upanga wa Waamoni.

SA2 12:10 Removed trailing space in v~: Basi kwa hiyo, upanga hautaondoka nyumbani mwako kamwe kwa sababu ulinidharau mimi na kumchukua mke wa Uria, Mhiti kuwa mkeo.’

SA2 12:11 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Kutoka kwa nyumba yako mwenyewe nitaleta maafa juu yako. Mbele ya macho yako mwenyewe nitatwaa wake zako na kumpa yeye aliye wa karibu nawe, naye atakutana kimwili na wake zako mchana mwangavu.

SA2 12:12 Removed trailing space in v~: Ulifanya kwa siri, lakini nitalifanya jambo hili wakati wa mchana mwangavu mbele ya Israeli yote.’ ”

SA2 12:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akamjibu Nathani, “Nimefanya dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd*.”

SA2 12:13 Removed trailing space in p~: Nathani akamjibu, “\nd Bwana\nd* amekuondolea dhambi yako. Hutakufa.

SA2 12:14 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu kwa kufanya hili umefanya adui za \nd Bwana\nd* kuonyesha dharau kabisa, mwana atakayezaliwa kwako atakufa.”

SA2 12:15 Removed trailing space in v~: Baada ya Nathani kurudi nyumbani kwake, \nd Bwana\nd* akampiga yule mtoto ambaye mke wa Uria alikuwa amemzalia Daudi, akaugua.

SA2 12:16 Removed trailing space in v~: Daudi akamwomba Mungu kwa ajili ya mtoto. Akafunga na akaingia ndani ya nyumba yake akawa siku zote analala sakafuni usiku kucha.

SA2 12:17 Removed trailing space in v~: Wazee wa nyumbani mwake wakamwendea wakasimama karibu naye ili kumwamsha kutoka pale sakafuni, lakini akakataa, wala hakula chochote pamoja nao.

SA2 12:18 Removed trailing space in v~: Kunako siku ya saba yule mtoto akafa. Watumishi wa Daudi wakaogopa kumwambia kuwa mtoto amekufa, kwa maana walifikiri, “Wakati mtoto alipokuwa angali hai, tulizungumza na Daudi lakini hakutusikiliza. Tutawezaje kumwambia kwamba mtoto amekufa? Anaweza kufanya kitu cha kujidhuru.”

SA2 12:19 Removed trailing space in v~: Daudi akaona kuwa watumishi wake wananongʼonezana wenyewe, naye akatambua kuwa mtoto alikuwa amekufa. Akauliza “Je, ni kwamba huyo mtoto amekufa?”

SA2 12:19 Removed trailing space in p~: Wakamjibu, “Ndiyo, mtoto amekufa.”

SA2 12:20 Removed trailing space in v~: Basi Daudi akainuka kutoka pale sakafuni. Baada ya kuoga, akajipaka mafuta na kubadilisha nguo zake kisha akaenda ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*, akaabudu. Baada ya hapo akaenda nyumbani kwake kwa kutaka kwake, wakamwandalia chakula, naye akala.

SA2 12:21 Removed trailing space in v~: Watumishi wake wakamuuliza, “Kwa nini unafanya hivi? Mtoto alipokuwa angali hai, ulifunga na kulia; lakini sasa mtoto amekufa, umeinuka na kula.”

SA2 12:22 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Wakati mtoto alipokuwa bado yungali hai, nilifunga na kulia. Nilifikiri, ‘Nani ajuaye? \nd Bwana\nd* aweza kunirehemu ili kumwacha mtoto aishi.’

SA2 12:23 Removed trailing space in v~: Lakini sasa kwa kuwa amekufa, kwa nini nifunge? Je, naweza kumrudisha tena? Mimi nitakwenda kwake, lakini yeye hatanirudia mimi.”

SA2 12:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akamfariji Bathsheba mkewe, akaingia kwake akakutana naye kimwili. Akazaa mwana, wakamwita jina lake Solomoni. \nd Bwana\nd* alimpenda Solomoni.

SA2 12:25 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* alimpenda, akatuma neno kwa Daudi kwa kinywa cha nabii Nathani kuwa mtoto aitwe Yedidia\f + \fr 12:25 \ft Yedidia maana yake Apendwaye na \+nd Bwana\+nd*.\f* kwa ajili ya \nd Bwana\nd*.

SA2 12:26 Removed trailing space in v~: Wakati huo Yoabu akapigana dhidi ya Raba jamii ya Waamoni na kuteka ngome la kifalme.

SA2 12:27 Removed trailing space in v~: Kisha Yoabu akatuma wajumbe kwa Daudi, kusema, “Nimepigana dhidi ya Raba, nami nimetwaa chanzo chake cha maji.

SA2 12:28 Removed trailing space in v~: Sasa kusanya vikosi vilivyobaki na ukauzingire mji kwa jeshi na kuuteka. La sivyo, nitauteka mimi, nao utaitwa kwa jina langu.”

SA2 12:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akakusanya jeshi lote akaenda Raba, akaushambulia na kuuteka.

SA2 12:30 Removed trailing space in v~: Akachukua taji kutoka kwa kichwa cha mfalme wao, lililokuwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu,\f + \fr 12:30 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.\f* nayo ilizungushiwa vito vya thamani. Ikawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Alichukua nyara nyingi kutoka mjini huo.

SA2 12:31 Removed trailing space in v~: Akawatoa watu waliokuwa humo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sululu za chuma na mashoka, naye akawaweka kwenye kazi ya kutengeneza matofali. Akafanya hivi kwa miji yote ya Waamoni. Kisha Daudi na jeshi lake lote wakarudi Yerusalemu.

SA2 13:0 Extra space after chapter number

SA2 13:0 Removed trailing space in c: 13

SA2 13:0 Removed trailing space in s1: Amnoni Na Tamari

SA2 13:1 Removed trailing space in v~: Ikawa baada ya hayo, Amnoni mwana wa Daudi akampenda Tamari, umbu lake Absalomu mwana wa Daudi, ambaye alikuwa mzuri wa sura.

SA2 13:2 Removed trailing space in v~: Amnoni akasumbuka sana kuhusu Tamari hata akaugua, kwa kuwa Tamari alikuwa bikira, na ilionekana kwamba haiwezekani Amnoni kumfanyia jambo lolote.

SA2 13:3 Removed trailing space in v~: Basi Amnoni alikuwa na rafiki jina lake Yonadabu mwana wa Shimea,\f + \fr 13:3 \ft Shimea pia hutamkwa Shama.\f* nduguye Daudi. Yonadabu alikuwa mtu wa hila nyingi sana.

SA2 13:4 Removed trailing space in v~: Akamuuliza Amnoni, “Wewe ni mtoto wa mfalme; kwa nini siku baada ya siku unaonekana kukonda? Hutaniambia?”

SA2 13:4 Removed trailing space in p~: Amnoni akamwambia, “Ninampenda Tamari, dada yake Absalomu ndugu yangu.”

SA2 13:5 Removed trailing space in v~: Yonadabu akamwambia, “Nenda ukalale kitandani na ujifanye kuwa mgonjwa. Baba yako atakapokuja kukuona mwambie, ‘Ningependa Tamari dada yangu aje kunipatia chochote ili nile. Tafadhali mruhusu aje na kuniandalia chakula mbele yangu ningali ninamwona, ili nipate kula kutoka mkononi mwake.’ ”

SA2 13:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Amnoni akalala kitandani kujifanya mgonjwa. Mfalme alipokuja kumwona, Amnoni akamwambia, “Ningependa dada yangu Tamari aje na kuniandalia mikate maalum mbele yangu, ili nipate kula toka mkononi mwake.”

SA2 13:7 Removed trailing space in v~: Daudi akampelekea Tamari ujumbe huko kwenye jumba la kifalme, kusema: “Nenda katika nyumba ya ndugu yako Amnoni ukamwandalie chakula.”

SA2 13:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Tamari akaenda nyumbani kwa nduguye Amnoni, ndugu ambaye alikuwa amelala. Tamari akachukua unga uliotiwa chachu akaukanda, akaiandaa mikate mbele yake na kuioka.

SA2 13:9 Removed trailing space in v~: Tamari akaondoa mikate kwenye kikaango ili ampatie Amnoni, lakini akakataa kula.

SA2 13:9 Removed trailing space in p~: Amnoni akamwambia, “Mtoe nje kila mtu aliyeko hapa.” Kwa hiyo kila mmoja akaondoka.

SA2 13:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Amnoni akamwambia Tamari, “Leta mkate hapa ndani ya chumba changu ili nipate kula kutoka mkononi mwako.” Basi Tamari akachukua mikate aliyoiandaa na kumletea Amnoni ndugu yake ndani ya chumba chake.

SA2 13:11 Removed trailing space in v~: Lakini alipompelekea ili ale, akamkamata kwa nguvu na kumwambia, “Njoo ulale nami, dada yangu.”

SA2 13:12 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Usifanye hivyo, ndugu yangu! Usinitende jeuri! Jambo la namna hii halistahili kufanyika katika Israeli! Usitende jambo hili ovu.

SA2 13:13 Removed trailing space in v~: Kwa upande wangu je, itakuwaje? Nitaipeleka wapi aibu yangu? Pia kwa upande wako, itakuwaje? Utakuwa kama mmoja wa wapumbavu waovu katika Israeli. Tafadhali zungumza na mfalme; hatakukatalia wewe kunioa,”

SA2 13:14 Removed trailing space in v~: Lakini Amnoni akakataa kumsikiliza, na kwa kuwa alikuwa na nguvu kuliko Tamari, akamtenda jeuri.

SA2 13:15 Removed trailing space in v~: Kisha Amnoni akamchukia Tamari, kwa machukio makuu sana. Kwa kweli, Amnoni alimchukia kuliko alivyokuwa amempenda. Amnoni akamwambia, “Inuka na utoke nje!”

SA2 13:16 Removed trailing space in v~: Tamari akamwambia, “Hapana! Kunifukuza itakuwa vibaya zaidi kuliko yale uliyonitendea.”

SA2 13:16 Removed trailing space in p~: Lakini Amnoni akakataa kumsikiliza.

SA2 13:17 Removed trailing space in v~: Akamwita mtumishi wake mahsusi na kumwambia, “Mtoe huyu mwanamke hapa na ufunge mlango nyuma yake.”

SA2 13:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, mtumishi wake akamtoa nje na kufunga mlango nyuma yake. Tamari alikuwa amevaa joho lililopambwa vizuri, kwa maana lilikuwa aina ya mavazi yaliyovaliwa na binti za mfalme waliokuwa mabikira.

SA2 13:19 Removed trailing space in v~: Tamari akajitia majivu kichwani mwake na kurarua lile joho alilokuwa amevaa. Akaweka mkono wake kichwani, akaenda zake akilia kwa sauti.

SA2 13:20 Removed trailing space in v~: Absalomu nduguye akamuuliza, “Je, huyo Amnoni ndugu yako, amekutana nawe kimwili? Sasa nyamaza umbu langu, yeye ni ndugu yako. Usilitie jambo hili moyoni.” Naye Tamari akaishi nyumbani kwa Absalomu nduguye, akiwa mwanamke mwenye huzuni.

SA2 13:21 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi aliposikia mambo haya yote, akakasirika sana.

SA2 13:22 Removed trailing space in v~: Absalomu hakusema neno lolote na Amnoni, likiwa zuri au baya, kwa kuwa alimchukia Amnoni kwa sababu alikuwa amemtia aibu Tamari, dada yake.

SA2 13:22 Removed trailing space in s1: Absalomu Amuua Amnoni

SA2 13:23 Removed trailing space in v~: Miaka miwili baadaye, wakati wakata manyoya ya kondoo wa Absalomu walipokuwa huko Baal-Hasori karibu na mpaka wa Efraimu, alialika wana wote wa mfalme kuja huko.

SA2 13:24 Removed trailing space in v~: Absalomu akaenda kwa mfalme na kumwambia, “Mtumishi wako ninao wakata manyoya ya kondoo waliokuja. Tafadhali, je, mfalme na maafisa wake wanaweza kuungana nami?”

SA2 13:25 Removed trailing space in v~: Mfalme akajibu, “La hasha, mwanangu si lazima sisi sote tuje, tutakuwa tu mzigo kwako.” Ingawa Absalomu alimsihi sana, mfalme alikataa kwenda, lakini alimbariki.

SA2 13:26 Removed trailing space in v~: Basi Absalomu akasema, “Kama hutakuja, tafadhali mruhusu ndugu yangu Amnoni twende pamoja naye.”

SA2 13:26 Removed trailing space in p~: Mfalme akamuuliza, “Kwa nini aende pamoja nawe?”

SA2 13:27 Removed trailing space in v~: Lakini Absalomu alimsihi, kwa hiyo mfalme akamtuma Amnoni pamoja na wana wengine wa mfalme waliobaki.

SA2 13:28 Removed trailing space in v~: Absalomu aliagiza watu wake, “Sikilizeni! Wakati Amnoni atakapokuwa amekunywa mvinyo na kulewa sana nami nikiwaambia, ‘Mpigeni Amnoni,’ basi muueni. Msiogope. Je, si mimi niliyewapa amri hii? Kuweni hodari na wenye ushujaa.”

SA2 13:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wa Absalomu wakamtendea Amnoni kama vile Absalomu alivyokuwa amewaagiza. Ndipo wana wote wa mfalme wakainuka, wakapanda nyumbu zao, wakakimbia.

SA2 13:30 Removed trailing space in v~: Wakati wakiwa njiani, taarifa ilimjia Daudi, kusema: “Absalomu amewaua wana wote wa mfalme; hakuna hata mmoja aliyesalia.”

SA2 13:31 Removed trailing space in v~: Mfalme akasimama, akararua nguo zake, akalala chini ardhini; nao watumishi wake wote wakasimama kando yake na nguo zao zikiwa zimeraruliwa.

SA2 13:32 Removed trailing space in v~: Lakini Yonadabu mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akasema, “Bwana wangu asifikiri kwamba wamewaua wana wote wa mfalme; ni Amnoni peke yake ndiye alikufa. Hili limekuwa kusudi la moyo wa Absalomu tangu siku ile Amnoni alipomtendea jeuri Tamari, dada yake.

SA2 13:33 Removed trailing space in v~: Mfalme bwana wangu asisumbuliwe na taarifa kwamba wamewaua wana wote wa mfalme. Ni Amnoni peke yake aliyekufa.”

SA2 13:34 Removed trailing space in v~: Wakati huo, Absalomu akawa amekimbia.

SA2 13:34 Removed trailing space in p~: Basi mlinzi akaangalia, naye akaona watu wengi barabarani magharibi yake, wakishuka kutoka upande wa kilima. Mlinzi akaenda akamwambia mfalme, “Naona watu wakitokea upande wa Horonaimu, huko upande wa kilimani.”

SA2 13:35 Removed trailing space in v~: Yonadabu akamwambia mfalme, “Tazama, wana wa mfalme wako hapa; imekuwa kama vile mtumishi wako alivyosema.”

SA2 13:36 Removed trailing space in v~: Mara alipomaliza kusema, wana wa mfalme wakaingia ndani wakiomboleza kwa makelele. Pia mfalme na watumishi wake wote wakalia sana kwa uchungu.

SA2 13:37 Removed trailing space in v~: Absalomu akakimbia na kwenda kwa Talmai mwana wa Amihudi, mfalme wa Geshuri. Lakini Mfalme Daudi akaomboleza kwa ajili ya mwanawe kila siku.

SA2 13:38 Removed trailing space in v~: Baada ya Absalomu kukimbia na kwenda Geshuri, akakaa huko miaka mitatu.

SA2 13:39 Removed trailing space in v~: Roho ya Mfalme Daudi ikatamani kumwendea Absalomu, kwa maana mfalme alikuwa amefarijika kuhusu kifo cha Amnoni.

SA2 14:0 Extra space after chapter number

SA2 14:0 Removed trailing space in c: 14

SA2 14:0 Removed trailing space in s1: Absalomu Arudi Yerusalemu

SA2 14:1 Removed trailing space in v~: Yoabu mwana wa Seruya akafahamu kuwa moyo wa mfalme ulikuwa na shauku ya kumwona Absalomu.

SA2 14:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yoabu akamtuma mtu fulani kwenda Tekoa na kumleta mwanamke mwenye hekima kutoka huko. Akamwambia huyo mwanamke, “Jifanye uko katika maombolezo. Vaa nguo za kuomboleza, nawe usitumie mafuta yoyote ya uzuri, jifanye kama mwanamke ambaye amekuwa na huzuni kwa siku nyingi kwa ajili ya kufiwa.

SA2 14:3 Removed trailing space in v~: Kisha nenda kwa mfalme ukazungumze maneno haya.” Naye Yoabu akaweka maneno kinywani mwa yule mwanamke.

SA2 14:4 Removed trailing space in v~: Huyo huyo mwanamke kutoka Tekoa alipofika kwa mfalme, akaanguka kifudifudi kumpa mfalme heshima, akasema, “Ee mfalme, nisaidie!”

SA2 14:5 Removed trailing space in v~: Mfalme akamuuliza, “Una shida gani?”

SA2 14:5 Removed trailing space in p~: Akamwambia, “Mimi ni mjane hasa, mume wangu amekufa.

SA2 14:6 Removed trailing space in v~: Mimi mtumishi wako nilikuwa na wana wawili. Wakapigana wao kwa wao huko shambani wala huko hapakuwa na mtu hata mmoja wa kuwaamua. Mmoja akampiga mwenzake na kumuua.

SA2 14:7 Removed trailing space in v~: Sasa ukoo wote umeinuka dhidi ya mtumishi wako, wakisema, ‘Utukabidhi huyo aliyemuua ndugu yake, ili tumuue kwa ajili ya uhai wa ndugu yake ambaye alimuua, nasi hapo tutakuwa tumekatilia mbali na mrithi pia.’ Wakifanya hivyo, watakuwa wamezima tumaini langu lililobaki, mume wangu hataachiwa jina wala mzao katika uso wa dunia.”

SA2 14:8 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia huyo mwanamke, “Nenda nyumbani, nami nitatoa agizo kwa ajili yako.”

SA2 14:9 Removed trailing space in v~: Lakini huyo mwanamke kutoka Tekoa akamwambia, “Mfalme bwana wangu, lawama na iwe juu yangu na juu ya nyumba ya baba yangu, naye mfalme na kiti chake cha enzi na asiwe na hatia.”

SA2 14:10 Removed trailing space in v~: Mfalme akajibu, “Ikiwa mtu yeyote atakusemesha lolote, mlete kwangu, naye hatakusumbua tena.”

SA2 14:11 Removed trailing space in v~: Huyo mwanamke akasema, “Basi mfalme na amwombe \nd Bwana\nd* Mungu wake ili kuzuia mlipiza kisasi cha damu kuongeza juu ya uharibifu, ili kwamba mwanangu asije akaangamizwa.”

SA2 14:11 Removed trailing space in p~: Mfalme akasema, “Hakika kama aishivyo \nd Bwana\nd*, hakuna unywele mmoja wa kichwa cha mwanao utakaoanguka chini.”

SA2 14:12 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo mwanamke akasema, “Mruhusu mtumishi wako aseme neno kwa mfalme bwana wangu.”

SA2 14:12 Removed trailing space in p~: Mfalme akajibu, “Sema.”

SA2 14:13 Removed trailing space in v~: Huyo mwanamke akasema, “Mbona basi wewe umewaza jambo kama hili dhidi ya watu wa Mungu? Je, mfalme asemapo hili, hajitii hatiani mwenyewe, kwa maana mfalme hajamrudisha mwanawe aliyefukuziwa mbali?

SA2 14:14 Removed trailing space in v~: Kama vile maji yaliyomwagika ardhini, yasivyoweza kuzoleka tena, hivyo sisi kufa ni lazima. Lakini Mungu haondoi uhai, badala yake, yeye hufanya njia ili kwamba aliyefukuzwa asibaki akiwa amefarikishwa naye.

SA2 14:15 Removed trailing space in v~: “Nami sasa nimekuja kusema hili kwa bwana wangu mfalme kwa sababu watu wameniogopesha. Mtumishi wako alifikiri, ‘Nitanena na mfalme, labda mfalme atamfanyia mtumishi wake kile anachoomba.

SA2 14:16 Removed trailing space in v~: Labda mfalme atakubali kumwokoa mtumishi wake kutoka mkononi mwa mtu anayejaribu kunikatilia mbali, mimi na mwanangu, kutoka kwenye urithi Mungu aliotupatia.’

SA2 14:17 Removed trailing space in v~: “Basi sasa mtumishi wako anasema, ‘Neno la bwana wangu mfalme na linipatie pumziko, kwa maana bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu katika kutambua jema na baya. \nd Bwana\nd* Mungu wako na awe pamoja nawe.’ ”

SA2 14:18 Removed trailing space in v~: Basi mfalme akamwambia huyo mwanamke, “Usinifiche jibu kuhusu hilo nitakalokuuliza.”

SA2 14:18 Removed trailing space in p~: Huyo mwanamke akasema, “Mfalme bwana wangu na aseme.”

SA2 14:19 Removed trailing space in v~: Mfalme akauliza, “Je, mkono wa Yoabu haupo pamoja nawe katika jambo hilo lote?”

SA2 14:19 Removed trailing space in p~: Huyo mwanamke akajibu, “Hakika kama uishivyo, bwana wangu mfalme, hakuna yeyote anayeweza kugeuka kulia wala kushoto kutokana na chochote anachosema bwana wangu mfalme. Naam, ni mtumishi wako Yoabu ndiye alinifundisha kufanya hivi, naye ndiye aliweka maneno haya yote kinywani mwa mtumishi wako.

SA2 14:20 Removed trailing space in v~: Mtumishi wako Yoabu amefanya hivi ili kubadili hali iliyopo. Bwana wangu ana hekima kama ile ya malaika wa Mungu, hufahamu kila kitu kinachotokea katika nchi.”

SA2 14:21 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia Yoabu, “Vyema sana, nitalifanya jambo hili. Nenda, ukamlete kijana Absalomu.”

SA2 14:22 Removed trailing space in v~: Yoabu akaanguka kifudifudi mpaka ardhini kumpa mfalme heshima, naye akambariki mfalme. Yoabu akasema, “Leo mtumishi wako anajua kuwa amepata kibali machoni pako, bwana wangu mfalme, kwa sababu mfalme amemjalia mtumishi wake ombi lake.”

SA2 14:23 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoabu akaenda hadi Geshuri akamrudisha Absalomu Yerusalemu.

SA2 14:24 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme akasema, “Lazima Absalomu aende kwenye nyumba yake mwenyewe; kamwe asiuone uso wangu.” Kwa hiyo Absalomu akaenda kwenye nyumba yake na hakuuona uso wa mfalme.

SA2 14:25 Removed trailing space in v~: Katika Israeli yote hakuna mtu yeyote aliyesifiwa kwa uzuri wa sura kama Absalomu. Kuanzia utosi wa kichwa chake hadi wayo wa mguu wake hapakuwa na kasoro.

SA2 14:26 Removed trailing space in v~: Kila mara aliponyoa nywele za kichwa chake, kwa kuwa alikuwa akinyoa mara kwa mara zilipokuwa zinamwia nzito, alizipima uzito wake ulikuwa shekeli mia mbili kwa kipimo cha kifalme.\f + \fr 14:26 \ft Shekeli 200 kwa kipimo cha kifalme ni sawa na kilo 2.3.\f*

SA2 14:27 Removed trailing space in v~: Walizaliwa wana watatu na binti mmoja kwa Absalomu. Jina la binti yake aliitwa Tamari, naye akawa mwanamke mzuri wa sura.

SA2 14:28 Removed trailing space in v~: Absalomu akaishi miaka miwili huko Yerusalemu pasipo kuuona uso wa mfalme.

SA2 14:29 Removed trailing space in v~: Basi Absalomu akamwita Yoabu kwa kusudi la kumtuma kwa mfalme, lakini Yoabu akakataa kuja kwa Absalomu. Ndipo akamwita tena mara ya pili, lakini pia akakataa kuja.

SA2 14:30 Removed trailing space in v~: Ndipo akawaambia watumishi wake, “Tazama, shamba la Yoabu liko jirani na langu, naye ana shayiri humo. Nendeni mkalitie moto.” Kisha watumishi wa Absalomu wakalitia moto shamba hilo.

SA2 14:31 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu akaenda nyumbani kwa Absalomu, akamwambia, “Kwa nini watumishi wako wametia moto shamba langu?”

SA2 14:32 Removed trailing space in v~: Absalomu akamwambia Yoabu, “Tazama, nilikutumia ujumbe na kusema, ‘Njoo ili niweze kukutuma kwa mfalme kuuliza, “Kwa nini nimekuja kutoka Geshuri? Ingekuwa bora zaidi kwangu kama ningebaki huko!” ’ Sasa basi, nataka kuuona uso wa mfalme, na ikiwa nina hatia ya jambo lolote, basi na aniue.”

SA2 14:33 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu akaenda kwa mfalme na kumwambia jambo hili. Kisha mfalme akamwita Absalomu, naye akaingia ndani akasujudu uso wake mpaka ardhini mbele ya mfalme. Naye mfalme akambusu Absalomu.

SA2 15:0 Extra space after chapter number

SA2 15:0 Removed trailing space in c: 15

SA2 15:0 Removed trailing space in s1: Mipango Ya Hila Ya Absalomu

SA2 15:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, Absalomu akajipatia magari ya vita na farasi pamoja na watu hamsini wa kupiga mbio mbele yake.

SA2 15:2 Removed trailing space in v~: Akawa anaamka asubuhi na mapema na kusimama kando ya barabara inayoelekea kwenye lango la mji. Wakati wowote alipokuja mtu yeyote mwenye mashtaka yanayohitaji kuletwa mbele ya mfalme kwa maamuzi, Absalomu naye angemwita na kumuuliza, “Wewe unatoka mji upi?” Naye angejibu, “Mtumishi wako anatoka katika mojawapo ya makabila ya Israeli.”

SA2 15:3 Removed trailing space in v~: Kisha Absalomu angemwambia, “Tazama, malalamiko yako ni ya haki na sawasawa, lakini hakuna mwakilishi wa mfalme wa kukusikiliza.”

SA2 15:4 Removed trailing space in v~: Absalomu aliongeza, “Laiti tu ningeteuliwa kuwa mwamuzi katika nchi. Ndipo kila mmoja mwenye mashtaka au shauri angekuja kwangu nami ningeona kwamba anapata haki.”

SA2 15:5 Removed trailing space in v~: Pia, wakati mtu yeyote alipomkaribia ili kusujudu mbele yake, Absalomu alinyoosha mkono wake na kumshika pia kumbusu.

SA2 15:6 Removed trailing space in v~: Absalomu akaendelea na tabia hii mbele ya Waisraeli wote waliomjia mfalme kumwomba awape haki; kwa hiyo Absalomu akaiba mioyo ya watu wa Israeli.

SA2 15:7 Removed trailing space in v~: Mnamo mwisho wa mwaka wa nne, Absalomu akamwambia mfalme, “Naomba unipe ruhusa niende Hebroni nikatimize nadhiri niliyomwekea \nd Bwana\nd*.

SA2 15:8 Removed trailing space in v~: Wakati mtumishi wako alipokuwa huko Geshuri katika nchi ya Aramu, niliweka nadhiri hii, ‘Ikiwa \nd Bwana\nd* atanirudisha Yerusalemu, nitamwabudu \nd Bwana\nd* huko Hebroni.’ ”

SA2 15:9 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia, “Enenda kwa amani.” Hivyo akaenda Hebroni.

SA2 15:10 Removed trailing space in v~: Kisha Absalomu akatuma wajumbe kwa siri katika makabila yote ya Israeli, kusema, “Mara mtakaposikia sauti ya tarumbeta basi semeni, ‘Absalomu ni mfalme huko Hebroni.’ ”

SA2 15:11 Removed trailing space in v~: Watu mia mbili kutoka Yerusalemu walikuwa wamefuatana na Absalomu. Walikuwa wamealikwa kama wageni nao walikwenda kwa nia njema, pasipo kujua lolote.

SA2 15:12 Removed trailing space in v~: Wakati Absalomu alipokuwa anatoa dhabihu, pia akatuma aitwe Ahithofeli, Mgiloni, mshauri wa Daudi, aje kutoka Gilo, ambao ndio mji wake wa nyumbani. Kwa hiyo mpango wa hila ukapata nguvu, na idadi ya waliofuatana na Absalomu ikaongezeka.

SA2 15:12 Removed trailing space in s1: Kukimbia Kwa Daudi

SA2 15:13 Removed trailing space in v~: Mjumbe akaja na kumwambia Daudi, “Mioyo ya watu wa Israeli inaambatana na Absalomu.”

SA2 15:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akawaambia maafisa wake wote waliokuwa pamoja naye huko Yerusalemu, “Njooni! Ni lazima tukimbie, la sivyo hakuna hata mmoja wetu atakayeokoka kutoka mkononi mwa Absalomu. Ni lazima tuondoke kwa haraka, la sivyo atakuja mbio na kutupata, atatuangamiza na kuupiga mji kwa upanga.”

SA2 15:15 Removed trailing space in v~: Maafisa wa mfalme wakamjibu, “Watumishi wako tu tayari kufanya lolote mfalme bwana wetu analochagua.”

SA2 15:16 Removed trailing space in v~: Mfalme akatoka, pamoja na watu wa nyumbani mwake wakimfuata; lakini akawaacha masuria kumi ili kuangalia jumba la kifalme.

SA2 15:17 Removed trailing space in v~: Hivyo mfalme akaondoka, pamoja na watu wote wakimfuata, wakatua mahali mbali kiasi.

SA2 15:18 Removed trailing space in v~: Watu wake wote wakatembea, wakampita wakiwa wamefuatana na Wakerethi na Wapelethi wote; pia Wagiti wote mia sita waliokuwa wamefuatana naye kutoka Gathi wakapita mbele ya mfalme.

SA2 15:19 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia Itai, Mgiti, “Kwa nini ufuatane na sisi? Rudi ukakae pamoja na Mfalme Absalomu. Wewe ni mgeni, mkimbizi kutoka nchini mwako.

SA2 15:20 Removed trailing space in v~: Ulikuja jana tu. Nami leo nikufanye utangetange pamoja nasi, wakati sijui niendako? Rudi, nawe ukawachukue watu wa kwenu. Wema na uaminifu na viwe pamoja nawe.”

SA2 15:21 Removed trailing space in v~: Lakini Itai akamjibu mfalme, “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo na kama mfalme bwana wangu aishivyo, popote mfalme bwana wangu atakapokuwa, ikiwa ni kuishi au kufa, hapo ndipo mtumishi wako atakapokuwa.”

SA2 15:22 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia Itai, “Songa mbele, endelea.” Kwa hiyo Itai, Mgiti, akaendelea pamoja na watu wake wote, pia jamaa zote waliokuwa pamoja naye.

SA2 15:23 Removed trailing space in v~: Watu wote wa nje ya mji wakalia kwa sauti wakati watu wote walipokuwa wakipita. Mfalme naye akavuka Bonde la Kidroni, nao watu wote wakaelekea jangwani.

SA2 15:24 Removed trailing space in v~: Sadoki pia alikuwako, kadhalika Walawi wote waliokuwa pamoja naye walikuwa wamechukua Sanduku la Agano la Mungu. Wakaweka chini Sanduku la Mungu, naye Abiathari akatoa dhabihu mpaka watu wote walipokuwa wameondoka mjini.

SA2 15:25 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akamwambia Sadoki, “Rudisha Sanduku la Mungu mjini. Ikiwa nitapata kibali mbele za \nd Bwana\nd*, atanirudisha, nami nitaliona Sanduku hili tena pamoja na Maskani yake.

SA2 15:26 Removed trailing space in v~: Lakini kama yeye atasema, ‘Mimi sipendezwi nawe,’ basi mimi niko tayari; yeye na anifanye chochote aonacho chema kwake.”

SA2 15:27 Removed trailing space in v~: Pia mfalme alimwambia kuhani Sadoki, “Je, wewe si mwonaji? Rudi mjini kwa amani pamoja na mwanao Ahimaasi na Yonathani mwana wa Abiathari. Wewe na Abiathari wachukueni wana wenu wawili.

SA2 15:28 Removed trailing space in v~: Nitasubiri kwenye vivuko katika jangwa mpaka neno litakapotoka kwenu kuniarifu.”

SA2 15:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Sadoki na Abiathari wakarudisha Sanduku la Mungu mpaka Yerusalemu na kukaa huko.

SA2 15:30 Removed trailing space in v~: Bali Daudi akaendelea, akapanda Mlima wa Mizeituni, akaenda huku analia, akiwa amefunika kichwa chake na bila viatu miguuni. Watu wote waliokuwa pamoja naye nao wakafunika vichwa vyao, wakawa wanapanda mlima huku wanalia.

SA2 15:31 Removed trailing space in v~: Basi Daudi alikuwa ameambiwa, “Ahithofeli alikuwa miongoni mwa washiriki wa shauri baya la Absalomu.” Ndipo Daudi akaomba, akisema, “Ee \nd Bwana\nd*, geuza shauri la Ahithofeli kuwa ujinga.”

SA2 15:32 Removed trailing space in v~: Daudi alipofika kwenye kilele cha mlima, mahali ambapo watu walikuwa wamezoea kumwabudu Mungu, Hushai, Mwariki, alikuwako huko kumlaki, joho lake likiwa limeraruka na mavumbi kichwani mwake.

SA2 15:33 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia, “Kama ukienda pamoja nami, utakuwa mzigo kwangu.

SA2 15:34 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa utarudi mjini na kumwambia Absalomu, ‘Nitakuwa mtumishi wako, ee mfalme; nilikuwa mtumishi wa baba yako wakati uliopita, lakini sasa nitakuwa mtumishi wako,’ basi utaweza kunisaidia kwa kupinga shauri la Ahithofeli.

SA2 15:35 Removed trailing space in v~: Je, makuhani Sadoki na Abiathari hawatakuwa pamoja nawe? Waambie lolote utakalosikia katika jumba la mfalme.

SA2 15:36 Removed trailing space in v~: Wana wao wawili, Ahimaasi mwana wa Sadoki na Yonathani mwana wa Abiathari, wako pamoja nao huko. Watume kwangu na lolote utakalosikia.”

SA2 15:37 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Hushai, rafiki wa Daudi, akafika Yerusalemu wakati Absalomu alipokuwa anaingia mjini.

SA2 16:0 Extra space after chapter number

SA2 16:0 Removed trailing space in c: 16

SA2 16:0 Removed trailing space in s1: Daudi Na Siba

SA2 16:1 Removed trailing space in v~: Daudi alipokuwa amekwenda umbali mfupi kupita kilele cha mlima, akamkuta huko Siba, msimamizi wa shughuli za Mefiboshethi, akingojea kumlaki Daudi. Alikuwa na punda wawili wakiwa wametandikwa na kupakiwa mikate mia mbili, maandazi mia ya zabibu kavu, maandazi mia ya tini na kiriba cha divai.

SA2 16:2 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi akamuuliza Siba, “Kwa nini umeleta vitu hivi?”

SA2 16:2 Removed trailing space in p~: Siba akamjibu, “Punda ni kwa ajili ya watu wa nyumba ya mfalme kupanda, mikate na matunda ni kwa ajili ya watu kula, nayo divai ni kwa kuwaburudisha watakaochoka jangwani.”

SA2 16:3 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akauliza, “Yuko wapi mwana wa bwana wako?”

SA2 16:3 Removed trailing space in p~: Siba akamwambia, “Anakawia Yerusalemu, kwa sababu anafikiri, ‘Leo nyumba ya Israeli itanirudishia utawala wa baba yangu.’ ”

SA2 16:4 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akamwambia Siba, “Yote yaliyokuwa mali ya Mefiboshethi sasa ni mali yako.”

SA2 16:4 Removed trailing space in p~: Siba akasema, “Nasujudu kwa unyenyekevu. Naomba nipate kibali mbele yako, bwana wangu mfalme.”

SA2 16:4 Removed trailing space in s1: Shimei Amlaani Daudi

SA2 16:5 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi alipokuwa anakaribia Bahurimu, mtu mmoja kutoka ukoo huo huo kama jamaa ya Sauli, akatoka humo, ambaye jina lake ni Shimei mwana wa Gera; akawa analaani alipokuwa akitoka.

SA2 16:6 Removed trailing space in v~: Akamtupia Daudi na maafisa wote wa mfalme mawe, ingawa vikosi vyote na walinzi maalum walikuwa kulia na kushoto mwa Daudi.

SA2 16:7 Removed trailing space in v~: Shimei alivyokuwa akilaani, akasema, “Toka hapa, toka hapa, wewe mtu wa damu, wewe mtu mbaya kabisa!

SA2 16:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amekulipiza kwa ajili ya damu yote uliyomwaga ya watu wa nyumba ya Sauli, ambaye nafasi yake umeimiliki wewe. \nd Bwana\nd* amekabidhi ufalme mkononi mwa mwanao Absalomu. Maangamizi yamekupata kwa sababu wewe ni mtu wa damu!”

SA2 16:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Abishai mwana wa Seruya akamwambia mfalme, “Kwa nini huyu mbwa mfu amlaani bwana wangu mfalme? Niruhusu nivuke nikatilie mbali kichwa chake.”

SA2 16:10 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme akamwambia, “Mna nini nami, enyi wana wa Seruya? Ikiwa analaani kwa sababu \nd Bwana\nd* amemwambia, ‘Mlaani Daudi,’ nani awezaye kuuliza, ‘Kwa nini unafanya hivi?’ ”

SA2 16:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akamwambia Abishai na maafisa wake wote, “Mwanangu, yeye ambaye ametoka viunoni mwangu mwenyewe, anajaribu kuuondoa uhai wangu. Je, si zaidi sana kwa huyu Mbenyamini! Mwacheni, acha alaani, kwa maana \nd Bwana\nd* amemwambia afanye hivyo.

SA2 16:12 Removed trailing space in v~: Inawezekana kwamba \nd Bwana\nd* ataona dhiki yangu na kunilipa mema kwa ajili ya laana ninayopokea leo.”

SA2 16:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi na watu wake wakaendelea na safari yao barabarani, huku Shimei akiwa anatembea pembezoni mwa kilima sambamba na Daudi, huku akimlaani na kumtupia Daudi mawe na kumrushia mavumbi.

SA2 16:14 Removed trailing space in v~: Mfalme na watu wote aliokuwa pamoja nao wakafika kwenye kituo chao wakiwa wamechoka. Mfalme akajiburudisha hapo.

SA2 16:14 Removed trailing space in s1: Shauri La Hushai Na Ahithofeli

SA2 16:15 Removed trailing space in v~: Wakati huo, Absalomu pamoja na watu wote wa Israeli wakafika Yerusalemu, naye Ahithofeli alikuwa pamoja naye.

SA2 16:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Hushai, Mwariki, rafiki wa Daudi, akamwendea Absalomu na kumwambia, “Mfalme aishi maisha marefu! Mfalme aishi maisha marefu!”

SA2 16:17 Removed trailing space in v~: Absalomu akamuuliza Hushai, “Je, huu ndio upendo unaomwonyesha rafiki yako? Kwa nini hukufuatana na rafiki yako?”

SA2 16:18 Removed trailing space in v~: Hushai akamwambia Absalomu, “La hasha, yeye aliyechaguliwa na \nd Bwana\nd*, aliyechaguliwa na watu hawa, atakayechaguliwa tena na watu wote wa Israeli, huyu ndiye nitakayekuwa wake, nami nitabakia pamoja naye.

SA2 16:19 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, nimtumikie nani? Je, nisimtumikie mwana? Kama vile nilivyomtumikia baba yako, ndivyo nitakavyokutumikia wewe.”

SA2 16:20 Removed trailing space in v~: Absalomu akamwambia Ahithofeli, “Tupe shauri lako. Tufanye nini?”

SA2 16:21 Removed trailing space in v~: Ahithofeli akamjibu, “Kutana kimwili na masuria wa baba yako aliowaacha kutunza jumba la kifalme. Ndipo Israeli yote itakaposikia kwamba umejifanya chukizo kwa baba yako, nayo mikono ya kila mmoja aliye pamoja nawe itatiwa nguvu.”

SA2 16:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakasimika hema kwa ajili ya Absalomu juu ya paa, naye akakutana kimwili na masuria wa baba yake mbele ya Israeli wote.

SA2 16:23 Removed trailing space in v~: Ilikuwa katika siku hizo shauri lililotolewa na Ahithofeli lilikuwa kama lile ambalo limeulizwa kwa Mungu. Ndivyo Daudi na Absalomu walivyoyaheshimu mashauri yote ya Ahithofeli.

SA2 17:0 Extra space after chapter number

SA2 17:0 Removed trailing space in c: 17

SA2 17:1 Removed trailing space in v~: Ahithofeli akamwambia Absalomu, “Nipe ruhusa niwachague watu kumi na mbili elfu na waanze safari usiku huu huu kumfuatia Daudi.

SA2 17:2 Removed trailing space in v~: Nitamshambulia wakati akiwa amechoka na ni dhaifu. Nitampiga na hofu, na kisha watu wote walio pamoja naye watakimbia. Nitampiga mfalme peke yake

SA2 17:3 Removed trailing space in v~: na kuwarudisha watu wote kwako. Kifo cha mtu yule unayemtafuta kitamaanisha kurudi kwa wote, hakuna hata mtu mmoja atakayeumizwa.”

SA2 17:4 Removed trailing space in v~: Mpango huu ulionekana mzuri kwa Absalomu na kwa wazee wote wa Israeli.

SA2 17:5 Removed trailing space in v~: Lakini Absalomu akasema, “Pia mwiteni Hushai, Mwariki, ili tuweze kusikia anachokisema.”

SA2 17:6 Removed trailing space in v~: Hushai alipokuja, Absalomu akasema, “Ahithofeli ametoa shauri hili. Je, tufanye anavyosema? Kama sivyo, tupe maoni yako.”

SA2 17:7 Removed trailing space in v~: Hushai akamjibu Absalomu, “Shauri la Ahithofeli alilotoa halifai kwa wakati huu.

SA2 17:8 Removed trailing space in v~: Unamfahamu baba yako na watu wake, ni wapiganaji hodari, nao ni wakali kama dubu mwitu aliyepokonywa watoto wake. Zaidi ya hayo, baba yako ni mpiganaji jasiri, usiku hatalala pamoja na vikosi.

SA2 17:9 Removed trailing space in v~: Hata sasa, amefichwa ndani ya pango au mahali pengine. Kama atatangulia kushambulia vikosi vyako, yeyote asikiaye habari hii atasema, ‘Kuna machinjo makubwa miongoni mwa vikosi vinavyomfuata Absalomu.’

SA2 17:10 Removed trailing space in v~: Basi hata yule askari hodari kuliko wengine wote, ambaye moyo wake ni kama wa simba, atayeyuka kwa hofu, kwa maana Israeli yote wanajua kwamba baba yako ni mpiganaji na kwamba wale walio pamoja naye ni watu hodari.

SA2 17:11 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nakushauri: Israeli wote na wakusanyikie kwako, kuanzia Dani hadi Beer-Sheba, katika wingi wao jinsi walivyo kama mchanga wa ufuoni mwa bahari, wewe mwenyewe ukiwaongoza vitani.

SA2 17:12 Removed trailing space in v~: Ndipo tutakapomshambulia popote atakapoonekana, nasi tutamwangukia kama umande unavyoshuka juu ya ardhi. Yeye mwenyewe wala watu wake hakuna atakayeachwa hai.

SA2 17:13 Removed trailing space in v~: Kama atakimbilia katika mji wowote, basi Israeli wote watazungushia mji ule kamba, nasi tutauburuta mji huo mpaka bondeni hadi isionekane hata changarawe ya huo mji.”

SA2 17:14 Removed trailing space in v~: Absalomu na watu wote wa Israeli wakasema, “Shauri la Hushai, Mwariki, ni jema zaidi kuliko lile la Ahithofeli.” Kwa maana \nd Bwana\nd* alikuwa amekusudia kupinga shauri nzuri la Ahithofeli, ili kuleta maafa juu ya Absalomu.

SA2 17:15 Removed trailing space in v~: Hushai akawaambia makuhani Sadoki na Abiathari, “Ahithofeli amemshauri Absalomu na wazee wa Israeli kufanya kadha wa kadha, lakini mimi nimewashauri wao kufanya kadha wa kadha.

SA2 17:16 Removed trailing space in v~: Sasa tumeni ujumbe haraka na kumwambia Daudi, ‘Usiku huu usilale kwenye vivuko katika jangwa; vuka bila kukosa, la sivyo, mfalme pamoja na watu wote waliofuatana naye watamezwa.’ ”

SA2 17:17 Removed trailing space in v~: Yonathani na Ahimaasi walikuwa wakingoja huko En-Rogeli, naye mtumishi mmoja wa kike akawa anakwenda kuwapasha habari nao wakawa wanakwenda kumwambia Mfalme Daudi, kwa maana wasingetaka kujihatarisha kuonekana wakiingia mjini.

SA2 17:18 Removed trailing space in v~: Lakini kijana mmoja mwanaume akawaona, naye akamwambia Absalomu. Basi wote wawili wakaondoka haraka, wakaenda mpaka kwenye nyumba ya mtu mmoja huko Bahurimu. Mtu huyo alikuwa na kisima katika ua wa nyumba yake, nao Yonathani na Ahimaasi wakateremka ndani ya kisima hicho.

SA2 17:19 Removed trailing space in v~: Mkewe akachukua kifuniko, akakiweka kwenye mdomo wa kile kisima na kuanika nafaka juu yake. Hakuna mtu yeyote aliyefahamu chochote kuhusu jambo hilo.

SA2 17:20 Removed trailing space in v~: Watu wa Absalomu walipofika kwa huyo mwanamke, wakamuuliza, “Wako wapi Ahimaasi na Yonathani?”

SA2 17:20 Removed trailing space in p~: Huyo mwanamke akawajibu, “Walivuka kijito.” Watu wa Absalomu wakapekua lakini hawakuwaona hata mmoja, hivyo wakarudi Yerusalemu.

SA2 17:21 Removed trailing space in v~: Baada ya watu hao kuondoka, wale watu wawili yaani Yonathani na Ahimaasi wakapanda kutoka mle kisimani na kwenda kumpasha Mfalme Daudi habari. Wakamwambia, “Ondoka, uvuke haya maji haraka. Ahithofeli ameshauri kadha wa kadha dhidi yako.”

SA2 17:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi na watu wote aliokuwa nao waliondoka na kuvuka Yordani. Kufika wakati wa mapambazuko, hapakuwa na mtu hata mmoja ambaye alikuwa hajavuka Mto Yordani.

SA2 17:23 Removed trailing space in v~: Ahithofeli alipoona kwamba shauri lake halikufuatwa, akatandika punda wake, akaondoka kwenda nyumbani kwake kwenye mji wake. Akaiweka nyumba yake katika utaratibu, kisha akajinyonga mwenyewe. Hivyo akafa na akazikwa katika kaburi la baba yake.

SA2 17:24 Removed trailing space in v~: Daudi akaenda Mahanaimu, naye Absalomu akavuka Yordani pamoja na watu wote wa Israeli.

SA2 17:25 Removed trailing space in v~: Absalomu alikuwa amemweka Amasa juu ya jeshi badala ya Yoabu. Amasa alikuwa mwana wa mtu mmoja aliyeitwa Yetheri, Mwisraeli, ambaye alikuwa amemwoa Abigaili binti Nahashi, dada yake Seruya mamaye Yoabu.

SA2 17:26 Removed trailing space in v~: Waisraeli na Absalomu wakapiga kambi huko nchi ya Gileadi.

SA2 17:27 Removed trailing space in v~: Daudi alipofika Mahanaimu, Shobi mwana wa Nahashi kutoka Raba ya Waamoni, Makiri mwana wa Amieli kutoka Lo-Debari, na Barzilai Mgileadi kutoka Rogelimu

SA2 17:28 Removed trailing space in v~: wakaleta matandiko ya kitandani, mabakuli na vyombo vya mfinyanzi. Walileta pia ngano na shayiri, unga na bisi, maharagwe na kunde,

SA2 17:29 Removed trailing space in v~: asali na maziwa yaliyoganda, kondoo na jibini kutoka kwenye maziwa ya ngʼombe kwa ajili ya Daudi na watu wake ili wale. Kwa maana walisema, “Watu wameona njaa, tena wamechoka na wamepata kiu huko jangwani.”

SA2 18:0 Extra space after chapter number

SA2 18:0 Removed trailing space in c: 18

SA2 18:0 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Absalomu

SA2 18:1 Removed trailing space in v~: Daudi akakusanya watu aliokuwa nao na kuweka majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia.

SA2 18:2 Removed trailing space in v~: Daudi akatuma vikosi vya askari: theluthi moja ilikuwa chini ya amri ya Yoabu, theluthi ya pili chini ya Abishai mwana wa Seruya nduguye Yoabu, na theluthi ya tatu chini ya Itai, Mgiti. Mfalme akaviambia vikosi, “Hakika mimi mwenyewe nitakwenda pamoja nanyi.”

SA2 18:3 Removed trailing space in v~: Lakini watu wakasema, “Haikupasi kwenda, ikiwa sisi tutalazimika kukimbia, wao hawatatujali. Hata kama nusu yetu tukifa hawatajali, lakini wewe una thamani ya watu kama sisi kumi elfu. Ingekuwa bora zaidi kwako basi kutupatia msaada kutoka mjini.”

SA2 18:4 Removed trailing space in v~: Mfalme akajibu, “Nitafanya lolote linaloonekana jema zaidi kwenu.”

SA2 18:4 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo mfalme akasimama kando ya lango wakati watu wote wakitoka nje kwa makundi ya mamia na maelfu.

SA2 18:5 Removed trailing space in v~: Mfalme akawaamuru Yoabu, Abishai na Itai, “Kuweni wapole kwa kijana Absalomu kwa ajili yangu.” Vikosi vyote vikasikia mfalme akitoa amri kwa kila jemadari kumhusu Absalomu.

SA2 18:6 Removed trailing space in v~: Jeshi likatoka kwenda kwenye uwanja wa vita kupigana na Israeli, hivyo vita vikapiganwa katika msitu wa Efraimu.

SA2 18:7 Removed trailing space in v~: Huko jeshi la Israeli likashindwa na watu wa Daudi, siku hiyo majeruhi walikuwa wengi kiasi cha watu ishirini elfu.

SA2 18:8 Removed trailing space in v~: Vita vikaenea nchi nzima, watu wengi zaidi wakifia msituni siku hiyo kuliko waliouawa kwa upanga.

SA2 18:9 Removed trailing space in v~: Basi ikawa Absalomu alikutana na watu wa Daudi. Yeye alikuwa amepanda nyumbu wake, naye nyumbu alipopita chini ya matawi yaliyosongana ya mwaloni mkubwa, kichwa cha Absalomu kilinaswa kwenye mti. Akaachwa akiningʼinia hewani, wakati nyumbu aliyekuwa amempanda aliendelea kwenda.

SA2 18:10 Removed trailing space in v~: Mmojawapo wa wale watu alipoona, akamwambia Yoabu, “Nimemwona Absalomu akiningʼinia kwenye mti wa mwaloni.”

SA2 18:11 Removed trailing space in v~: Yoabu akamwambia huyo mtu, “Nini! Ulimwona Absalomu? Kwa nini hukumpiga papo hapo mpaka chini? Ndipo ningekupa shekeli kumi\f + \fr 18:11 \ft Shekeli kumi za fedha ni sawa na gramu 115.\f* za fedha na mkanda wa askari shujaa.”

SA2 18:12 Removed trailing space in v~: Lakini huyo mtu akamjibu Yoabu, “Hata kama ningepimiwa shekeli 1,000\f + \fr 18:12 \ft Shekeli 1,000 za fedha ni sawa na kilo 11.5.\f* mikononi mwangu, nisingeinua mkono wangu dhidi ya mwana wa mfalme. Tukiwa tunasikia, mfalme alikuagiza wewe na Abishai pamoja na Itai, akisema, ‘Mlindeni kijana Absalomu kwa ajili yangu.’

SA2 18:13 Removed trailing space in v~: Nami kama ningekuwa nimemtendea kwa hila, na hakuna lolote linalofichika kwa mfalme, wewe mwenyewe ungejitenga nami.”

SA2 18:14 Removed trailing space in v~: Yoabu akasema, “Mimi sitapoteza muda hapa pamoja nawe.” Hivyo akachukua mikuki mitatu mkononi mwake, akamchoma Absalomu nayo moyoni alipokuwa angali hai akiningʼinia katika ule mwaloni.

SA2 18:15 Removed trailing space in v~: Nao wabeba silaha kumi wa Yoabu wakamzunguka Absalomu, wakampiga na kumuua.

SA2 18:16 Removed trailing space in v~: Kisha Yoabu akapiga tarumbeta, navyo vikosi vikaacha kuwafuata Israeli, kwa maana Yoabu aliwasimamisha.

SA2 18:17 Removed trailing space in v~: Wakamchukua Absalomu, wakamtupa katika shimo kubwa huko msituni na kulundika lundo kubwa la mawe juu yake. Huko nyuma, Waisraeli wote wakakimbilia nyumbani kwao.

SA2 18:18 Removed trailing space in v~: Wakati wa uhai wa Absalomu alikuwa amechukua nguzo na kuisimamisha katika Bonde la Mfalme, kwa maana alifikiri, “Sina mwana atakayeendeleza kumbukumbu ya jina langu.” Akaita nguzo hiyo kwa jina lake mwenyewe. Nayo inaitwa Mnara wa Ukumbusho wa Absalomu mpaka leo.

SA2 18:18 Removed trailing space in s1: Daudi Aomboleza Kifo Cha Absalomu

SA2 18:19 Removed trailing space in v~: Basi Ahimaasi mwana wa Sadoki akasema, “Niruhusu mimi nikimbie na kumpelekea mfalme habari kwamba \nd Bwana\nd* amemwokoa mfalme kutoka mikononi mwa adui zake.”

SA2 18:20 Removed trailing space in v~: Yoabu akamwambia Ahimaasi, “Leo si wewe utakayepeleka habari. Unaweza kupeleka habari wakati mwingine, lakini leo haikupasi kupeleka, kwa sababu mwana wa mfalme amekufa.”

SA2 18:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Yoabu akamwambia mtu mmoja Mkushi, “Nenda, ukamwambie mfalme kile ulichoona.” Mkushi akasujudu mbele ya Yoabu akaondoka mbio.

SA2 18:22 Removed trailing space in v~: Ahimaasi mwana wa Sadoki akamwambia tena Yoabu, “Liwalo na liwe, tafadhali niruhusu nikimbie nyuma ya huyo Mkushi.”

SA2 18:22 Removed trailing space in p~: Lakini Yoabu akajibu, “Mwanangu, mbona wataka kwenda? Wewe huna habari yoyote itakayokupa tuzo.”

SA2 18:23 Removed trailing space in v~: Ahimaasi akasema, “Liwalo na liwe, nataka kukimbia.”

SA2 18:23 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Yoabu akamwambia, “Haya, kimbia!” Ndipo Ahimaasi akakimbia kufuata njia ya kupitia tambarare, akafika kabla ya huyo Mkushi.

SA2 18:24 Removed trailing space in v~: Wakati Daudi alipokuwa ameketi kati ya lango la ndani na la nje, mlinzi akapanda juu ya paa la lango kupitia ukutani. Alipotazama nje, akaona mtu mmoja akikimbia peke yake.

SA2 18:25 Removed trailing space in v~: Mlinzi akampazia mfalme sauti na kumpa taarifa.

SA2 18:25 Removed trailing space in p~: Mfalme akasema, “Ikiwa yuko peke yake, lazima atakuwa na habari njema.” Naye yule mtu akazidi kusogea karibu.

SA2 18:26 Removed trailing space in v~: Kisha mlinzi akaona mtu mwingine anakuja akikimbia, akamwita bawabu, “Tazama, mtu mwingine anakuja akikimbia peke yake!”

SA2 18:26 Removed trailing space in p~: Mfalme akasema, “Lazima atakuwa analeta habari njema pia.”

SA2 18:27 Removed trailing space in v~: Mlinzi akasema, “Ninaona kuwa yule wa kwanza anakimbia kama Ahimaasi mwana wa Sadoki.”

SA2 18:27 Removed trailing space in p~: Mfalme akasema, “Yeye ni mtu mwema. Analeta habari njema.”

SA2 18:28 Removed trailing space in v~: Ndipo Ahimaasi akamwita mfalme, akasema, “Mambo yote ni mema!” Akasujudu mbele ya mfalme uso wake mpaka ardhini, akasema, “Ahimidiwe \nd Bwana\nd* Mungu wako! Yeye aliyewatoa watu wale walioinua mikono yao dhidi ya mfalme bwana wangu.”

SA2 18:29 Removed trailing space in v~: Mfalme akauliza, “Je, huyo kijana Absalomu yuko salama?”

SA2 18:29 Removed trailing space in p~: Ahimaasi akajibu, “Kulikuwa na machafuko mengi mara tu Yoabu alipokuwa anataka kumtuma mtumishi wa mfalme pamoja nami mtumishi wako, lakini sijui ilikuwa nini?”

SA2 18:30 Removed trailing space in v~: Mfalme akasema, “Simama kando na usubiri hapa.” Basi akasogea kando na kusimama hapo.

SA2 18:31 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo Mkushi akawasili na kusema, “Mfalme bwana wangu, sikia habari njema! Leo \nd Bwana\nd* amekuokoa kutoka kwa wale wote walioinuka dhidi yako.”

SA2 18:32 Removed trailing space in v~: Mfalme akamuuliza huyo Mkushi, “Je, kijana Absalomu yuko salama?”

SA2 18:32 Removed trailing space in p~: Huyo Mkushi akajibu, “Adui wa mfalme bwana wangu na wote wale walioinuka kukudhuru na wawe kama huyo kijana.”

SA2 18:33 Removed trailing space in v~: Mfalme akatetemeka. Akapanda chumbani juu kupitia langoni akilia. Alipokuwa akienda, akasema, “Ee mwanangu Absalomu! Mwanangu, mwanangu Absalomu! Laiti ningekufa badala yako: Ee Absalomu, mwanangu, mwanangu!”

SA2 19:0 Extra space after chapter number

SA2 19:0 Removed trailing space in c: 19

SA2 19:0 Removed trailing space in s1: Yoabu Amkemea Mfalme

SA2 19:1 Removed trailing space in v~: Yoabu akaambiwa, “Mfalme analia na kumwombolezea Absalomu.”

SA2 19:2 Removed trailing space in v~: Kwa jeshi lote, ushindi wa siku ile ukageuka kuwa maombolezo, kwa sababu siku ile vikosi vilisikia ikisemwa, “Mfalme anahuzunika kwa ajili ya mwanawe.”

SA2 19:3 Removed trailing space in v~: Siku ile watu wakaingia mjini kimya kama vile waingiavyo kwa aibu watu waliokimbia kutoka vitani.

SA2 19:4 Removed trailing space in v~: Mfalme akafunika uso wake akalia kwa sauti, akisema, “Ee mwanangu Absalomu! Ee Absalomu, mwanangu, mwanangu!”

SA2 19:5 Removed trailing space in v~: Kisha Yoabu akaingia ndani ya nyumba ya mfalme na kusema, “Leo umewaaibisha watu wako wote, waliookoa maisha yako, maisha ya wanao na binti zako, maisha ya wake zako na masuria wako.

SA2 19:6 Removed trailing space in v~: Unawapenda wale wanaokuchukia, na unawachukia wale wanaokupenda. Leo umeonyesha wazi kwamba majemadari wako na watu wao hawana maana kwako. Naona kwamba ungefurahi kama Absalomu angekuwa hai leo na sisi sote tuwe tumekufa.

SA2 19:7 Removed trailing space in v~: Sasa utoke nje ukawatie moyo watu wako. Naapa kwa \nd Bwana\nd* kwamba ikiwa hutatoka nje, hakuna mtu atakayesalia pamoja nawe ifikapo leo jioni. Hii itakuwa mbaya zaidi kwako kuliko maafa yote yaliyokupata tangu ujana wako hadi sasa.”

SA2 19:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme akaondoka akaketi kitini pake penye lango. Watu walipoambiwa, “Mfalme ameketi langoni,” watu wote wakamjia.

SA2 19:8 Removed trailing space in s1: Daudi Arudi Yerusalemu

SA2 19:8 Removed trailing space in p~: Wakati huo, Waisraeli walikuwa wamekimbilia nyumbani kwao.

SA2 19:9 Removed trailing space in v~: Katika makabila yote ya Israeli, watu walikuwa wanabishana wao kwa wao, wakisema, “Mfalme alituokoa kutoka mikononi mwa adui zetu; ndiye alituokoa kutoka mikononi mwa Wafilisti. Lakini sasa mfalme ameikimbia nchi kwa sababu ya Absalomu,

SA2 19:10 Removed trailing space in v~: naye Absalomu, tuliyemtia mafuta atutawale, amekufa vitani. Basi mbona hamsemi lolote kuhusu kumrudisha mfalme?”

SA2 19:11 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi akapeleka ujumbe huu kwa makuhani Sadoki na Abiathari, kusema: “Waulizeni wazee wa Yuda, ‘Kwa nini mwe wa mwisho kumrudisha mfalme katika jumba lake la kifalme, maadamu kile kinachosemwa katika Israeli yote kimemfikia mfalme katika makao yake?

SA2 19:12 Removed trailing space in v~: Ninyi ni ndugu zangu, nyama yangu na damu yangu mwenyewe. Kwa hiyo kwa nini mwe wa mwisho kumrudisha mfalme?’

SA2 19:13 Removed trailing space in v~: Nanyi mwambieni Amasa, ‘Je, wewe si nyama yangu mwenyewe na damu yangu? Mungu na anishughulikie, tena kwa ukali, kama kuanzia sasa na kuendelea wewe si jemadari wa jeshi langu mahali pa Yoabu.’ ”

SA2 19:14 Removed trailing space in v~: Aliipata mioyo ya watu wote wa Yuda kama vile walikuwa mtu mmoja. Wakapeleka ujumbe kwa mfalme, kusema, “Rudi, wewe na watu wako wote.”

SA2 19:15 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akarudi, akaenda hadi kufikia Mto Yordani.

SA2 19:15 Removed trailing space in p~: Basi watu wa Yuda walikuwa wamekuja mpaka Gilgali ili kutoka kwenda kumlaki mfalme na kumvusha Mto Yordani.

SA2 19:16 Removed trailing space in v~: Shimei mwana wa Gera, wa kabila la Benyamini kutoka Bahurimu, akaharakisha kuteremka pamoja na watu wa Yuda ili kumlaki Mfalme Daudi.

SA2 19:17 Removed trailing space in v~: Pamoja naye walikuwepo Wabenyamini elfu moja wakiwa wamefuatana na Siba, msimamizi wa nyumba ya Sauli, pia wanawe kumi na watano, na watumishi ishirini. Wakaharakisha kwenda Yordani, mahali mfalme alipokuwa.

SA2 19:18 Removed trailing space in v~: Wakavuka kivuko ili kuwachukua watu wa nyumbani mwa mfalme ili kuwavusha na kufanya kila kitu alichotaka.

SA2 19:18 Removed trailing space in p~: Shimei mwana wa Gera alipovuka Yordani, akaanguka kifudifudi mbele ya mfalme,

SA2 19:19 Removed trailing space in v~: na kumwambia, “Bwana wangu na asinihesabie hatia. Usikumbuke jinsi mtumishi wako alivyofanya kosa siku ile bwana wangu mfalme alipoondoka Yerusalemu. Mfalme aliondoe moyoni mwake.

SA2 19:20 Removed trailing space in v~: Kwa maana mimi mtumishi wako najua nimefanya dhambi, lakini leo nimekuja hapa kama wa kwanza wa nyumba yote ya Yosefu kushuka na kumlaki bwana wangu mfalme.”

SA2 19:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Abishai mwana wa Seruya akasema, “Je, Shimei hapaswi kuuawa kwa ajili ya hili? Alimlaani mpakwa mafuta wa \nd Bwana\nd*.”

SA2 19:22 Removed trailing space in v~: Daudi akajibu, “Mimi nina nini nanyi, enyi wana wa Seruya? Leo hii mmekuwa adui zangu! Je, leo kuna yeyote atakayeuawa katika Israeli? Je, mimi sijui kuwa leo ndimi mfalme katika Israeli yote?”

SA2 19:23 Removed trailing space in v~: Basi mfalme akamwambia Shimei, “Hutakufa.” Naye mfalme akamwahidi kwa kiapo.

SA2 19:24 Removed trailing space in v~: Pia Mefiboshethi mwana wa Sauli akashuka kwenda kumlaki mfalme. Hakuwa amenawa miguu wala kunyoa ndevu zake wala kufua nguo zake tangu siku mfalme alipoondoka Yerusalemu mpaka siku aliporudi ile salama.

SA2 19:25 Removed trailing space in v~: Wakati alipotoka Yerusalemu kuja kumlaki mfalme, mfalme akamuuliza, “Mefiboshethi, kwa nini hukufuatana nami?”

SA2 19:26 Removed trailing space in v~: Akasema, “Bwana wangu mfalme, maadamu mimi mtumishi wako ni kiwete, nilisema, ‘Nitandikiwe punda wangu, nimpande, ili niweze kwenda pamoja na mfalme.’ Lakini Siba mtumishi wangu akanisaliti.

SA2 19:27 Removed trailing space in v~: Naye amemchongea mtumishi wako kwa bwana wangu mfalme. Bwana wangu mfalme ni kama malaika wa Mungu, kwa hiyo fanya lolote linalokupendeza.

SA2 19:28 Removed trailing space in v~: Wazao wote wa baba yangu hawastahili kitu kingine isipokuwa kifo kutoka kwa bwana wangu mfalme, lakini ulimpa mtumishi wako nafasi miongoni mwa wale waliokula mezani pako. Je, ninayo haki gani kumwomba mfalme zaidi ya hayo?”

SA2 19:29 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia, “Kwa nini useme zaidi? Naamuru wewe na Siba mgawanye mashamba.”

SA2 19:30 Removed trailing space in v~: Mefiboshethi akamwambia mfalme, “Mruhusu achukue kila kitu, kwa kuwa sasa bwana wangu mfalme amerudi nyumbani salama.”

SA2 19:31 Removed trailing space in v~: Barzilai, Mgileadi, pia akashuka kutoka Rogelimu ili kuvuka Yordani pamoja na mfalme na kumsindikiza kutoka huko.

SA2 19:32 Removed trailing space in v~: Basi Barzilai alikuwa mzee sana mwenye umri wa miaka themanini. Alikuwa amempatia mfalme mahitaji wakati alipokuwa anaishi huko Mahanaimu, kwa kuwa alikuwa mtu tajiri sana.

SA2 19:33 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia Barzilai, “Vuka pamoja nami na ukae nami huko Yerusalemu, nami nitakupatia mahitaji yako.”

SA2 19:34 Removed trailing space in v~: Lakini Barzilai akamjibu mfalme, “Je, nitaishi miaka mingine mingapi, hata nipande kwenda Yerusalemu pamoja na mfalme?

SA2 19:35 Removed trailing space in v~: Sasa nina miaka themanini. Je, naweza kutofautisha kati ya lililo jema na lililo baya? Je, mtumishi wako anaweza kujua ladha ya kile anachokula au anachokunywa? Je, bado naweza kusikiliza sauti za waimbaji wa kiume na za wanawake? Kwa nini mtumishi wako aongeze mzigo kwa bwana wangu mfalme?

SA2 19:36 Removed trailing space in v~: Mtumishi wako atavuka Yordani pamoja na mfalme kwa umbali mfupi tu, lakini kwa nini mfalme anizawadie kwa namna hii?

SA2 19:37 Removed trailing space in v~: Mruhusu mtumishi wako arudi, ili mimi nikafie katika mji wangu mwenyewe karibu na kaburi la baba yangu na mama yangu. Lakini yupo hapa mtumishi wako Kimhamu. Mruhusu avuke pamoja na bwana wangu mfalme. Mtendee lolote linalokupendeza.”

SA2 19:38 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia Barzilai, “Kimhamu atavuka Yordani pamoja nami, nami nitamtendea lolote litakalokupendeza. Nawe kitu chochote unachotaka kutoka kwangu nitakutendea.”

SA2 19:39 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wote wakavuka Yordani, kisha mfalme akavuka. Mfalme akambusu Barzilai na kumbariki; Barzilai akarudi nyumbani kwake.

SA2 19:40 Removed trailing space in v~: Mfalme alipovuka kwenda Gilgali, Kimhamu akavuka pamoja naye. Vikosi vyote vya Yuda na nusu ya vikosi vya Israeli vilimvusha mfalme.

SA2 19:41 Removed trailing space in v~: Baada ya kitambo kidogo watu wote wa Israeli wakaja kwa mfalme na kumwambia, “Kwa nini ndugu zetu, watu wa Yuda, wamemrudisha mfalme kwa siri bila kutushirikisha, na kumvusha ngʼambo ya Yordani, yeye na nyumba yake, pamoja na watu wake wote?”

SA2 19:42 Removed trailing space in v~: Watu wote wa Yuda wakawajibu watu wa Israeli, “Tulifanya hivi kwa sababu mfalme ni jamaa yetu wa karibu. Kwa nini mnakasirikia jambo hili? Je, tumekula kitu chochote cha mfalme? Je, tumejichukulia kitu chochote kwa ajili yetu wenyewe?”

SA2 19:43 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wa Israeli wakawajibu watu wa Yuda, “Tunayo haki mara kumi kwa mfalme; sisi tunahusika zaidi na Daudi kuliko ninyi. Kwa nini basi mnatudharau? Je, hatukuwa wa kwanza kuzungumza kuhusu kumrudisha mfalme nyumbani?”

SA2 19:43 Removed trailing space in p~: Lakini watu wa Yuda wakajibu kwa ukali hata zaidi kuliko watu wa Israeli.

SA2 20:0 Extra space after chapter number

SA2 20:0 Removed trailing space in c: 20

SA2 20:0 Removed trailing space in s1: Sheba Aasi Dhidi Ya Daudi

SA2 20:1 Removed trailing space in v~: Basi, kulikuwa na mtu mbaya sana aliyeitwa Sheba mwana wa Bikri, Mbenyamini, aliyekuwako huko. Akapiga tarumbeta na kupaza sauti,

SA2 20:1 Removed trailing space in p~: “Hatuna fungu katika Daudi,

SA2 20:1 Removed trailing space in p~: wala hatuna sehemu

SA2 20:1 Removed trailing space in p~: katika mwana wa Yese!

SA2 20:1 Removed trailing space in p~: Kila mtu aende hemani mwake,

SA2 20:1 Removed trailing space in p~: enyi Israeli!”

SA2 20:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wote wa Israeli wakamwacha Daudi na kumfuata Sheba mwana Bikri. Lakini watu wa Yuda wakawa karibu na mfalme wao katika safari yote kutoka Yordani mpaka Yerusalemu.

SA2 20:3 Removed trailing space in v~: Daudi aliporudi katika jumba lake la kifalme huko Yerusalemu, aliwachukua wale masuria kumi aliokuwa amewaacha ili kuangalia jumba la kifalme na kuwaweka ndani ya nyumba chini ya ulinzi. Akawapa mahitaji yao lakini hakukutana nao kimwili. Waliwekwa kifungoni wakaishi kama wajane mpaka kifo chao.

SA2 20:4 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akamwambia Amasa, “Waite watu wa Yuda waje kwangu katika muda wa siku tatu, nawe mwenyewe uwepo hapa.”

SA2 20:5 Removed trailing space in v~: Lakini Amasa alipokwenda kuwaita Yuda, alichukua muda mrefu zaidi ya ule mfalme aliokuwa amemwekea.

SA2 20:6 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia Abishai, “Sasa Sheba mwana wa Bikri atatuletea madhara zaidi kuliko alivyofanya Absalomu. Wachukue watu wa bwana wako na umfuatie, la sivyo atapata mji wenye ngome na kututoroka.”

SA2 20:7 Removed trailing space in v~: Hivyo watu wa Yoabu, na Wakerethi na Wapelethi, pamoja na wapiganaji mashujaa wote wakaondoka chini ya uongozi wa Abishai. Wakatoka Yerusalemu ili kumfuata Sheba mwana wa Bikri.

SA2 20:8 Removed trailing space in v~: Wakati walikuwa kwenye mwamba mkubwa huko Gibeoni, Amasa alikuja kuwalaki. Yoabu alikuwa amevaa mavazi yake ya kijeshi; juu yake alifunga mkanda kwenye kiuno wenye upanga ndani ya ala. Alipokuwa akienda mbele, ule upanga ukaanguka kutoka kwenye ala.

SA2 20:9 Removed trailing space in v~: Yoabu akamwambia Amasa, “U hali gani, ndugu yangu?” Kisha Yoabu akamshika Amasa ndevu kwa mkono wake wa kuume ili ambusu.

SA2 20:10 Removed trailing space in v~: Amasa hakuona upanga uliokuwa mkononi mwa Yoabu, naye Yoabu akamchoma nao tumboni, nayo matumbo yake yakamwagika chini. Pasipo kuchomwa mara ya pili, Amasa akafa. Basi Yoabu na Abishai nduguye wakamfuatia Sheba mwana wa Bikri.

SA2 20:11 Removed trailing space in v~: Mmoja wa watu wa Yoabu akasimama kando ya Amasa, akasema, “Yeyote ampendaye Yoabu na yeyote aliye upande wa Daudi, na amfuate Yoabu!”

SA2 20:12 Removed trailing space in v~: Amasa alikuwa akigaagaa katika damu yake katikati ya barabara; mtu mmoja akaona kwamba vikosi vyote vilikuwa vinasimama pale. Huyo mtu alipotambua kwamba kila aliyefika pale Amasa alipokuwa alisimama, alimburuta Amasa kutoka barabarani mpaka kwenye shamba na kutupia nguo juu yake.

SA2 20:13 Removed trailing space in v~: Baada ya Amasa kuondolewa kutoka barabarani, watu wote walienda pamoja na Yoabu kumfuatia Sheba mwana wa Bikri.

SA2 20:14 Removed trailing space in v~: Sheba akapita katika makabila yote ya Israeli hadi Abel-Beth-Maaka na kupitia eneo lote la Waberi ambao walijikusanya pamoja na kumfuata.

SA2 20:15 Removed trailing space in v~: Vikosi vyote vya Yoabu vikaja na kumhusuru Sheba mwana wa Bikri huko Abel-Beth-Maaka. Wakauzingira mji kwa kuweka vikosi vya askari, ili kukabiliana na ngome ya mji. Walipokuwa wanagongagonga ukuta ili kuubomoa na kuuangusha chini,

SA2 20:16 Removed trailing space in v~: mwanamke mmoja mwenye busara akaita kutoka ndani ya mji, akisema, “Sikilizeni! Sikilizeni! Mwambieni Yoabu aje hapa ili niweze kuzungumza naye.”

SA2 20:17 Removed trailing space in v~: Yoabu alikwenda mbele yake, akamuuliza, “Wewe ni Yoabu?”

SA2 20:17 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Ndiye mimi.”

SA2 20:17 Removed trailing space in p~: Yule mwanamke akamwambia, “Sikiliza kile mtumishi wako atakachokuambia.” Akamwambia, “Ninasikiliza.”

SA2 20:18 Removed trailing space in v~: Huyo mwanamke akaendelea kusema, “Zamani za kale walikuwa wakisema, ‘Wakaulize ushauri huko Abeli,’ hivyo kulimaliza lile shauri.

SA2 20:19 Removed trailing space in v~: Sisi ni watu wa amani na waaminifu katika Israeli. Wewe unajaribu kuharibu mji ambao ni mama katika Israeli. Kwa nini unataka kumeza urithi wa \nd Bwana\nd*?”

SA2 20:20 Removed trailing space in v~: Yoabu akajibu, “Hilo liwe mbali nami. Hilo liwe mbali nami kumeza au kuharibu.

SA2 20:21 Removed trailing space in v~: Hivyo sivyo ilivyo. Mtu mmoja jina lake Sheba mwana wa Bikri, kutoka nchi ya vilima vya Efraimu, ameinua mkono wake dhidi ya mfalme, dhidi ya Daudi. Nikabidhini mtu huyu mmoja, nami nitajiondoa katika mji huu.”

SA2 20:21 Removed trailing space in p~: Huyu mwanamke akamwambia Yoabu, “Kichwa chake mtatupiwa kupitia juu ya ukuta.”

SA2 20:22 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo mwanamke akaenda kwa watu wote akiwa na ushauri wake wa busara, nao wakakata kichwa cha Sheba mwana wa Bikri na kumtupia Yoabu. Kwa hiyo Yoabu akapiga tarumbeta, na watu wake wakatawanyika kutoka mjini, kila mmoja akirejea nyumbani kwake. Naye Yoabu akarudi kwa mfalme huko Yerusalemu.

SA2 20:23 Removed trailing space in v~: Yoabu alikuwa jemadari wa jeshi lote la Israeli; Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa juu ya Wakerethi na Wapelethi;

SA2 20:24 Removed trailing space in v~: Adoramu alikuwa kiongozi wa wale waliofanya kazi ya kulazimishwa; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;

SA2 20:25 Removed trailing space in v~: Sheva\f + \fr 20:25 \ft Sheva mahali pengine ameitwa Shausha (\+xt 1Nya 18:16; 1Fal 4:3\+xt*).\f* alikuwa mwandishi; Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani;

SA2 20:25 Found unexpected backslash in footnote: 20:25 Sheva mahali pengine ameitwa Shausha (\+xt 1Nya 18:16; 1Fal 4:3\+xt*).

SA2 20:26 Removed trailing space in v~: na Ira, Myairi, alikuwa kuhani wa Daudi.

SA2 21:0 Extra space after chapter number

SA2 21:0 Removed trailing space in c: 21

SA2 21:0 Removed trailing space in s1: Wagibeoni Walipiza Kisasi

SA2 21:1 Removed trailing space in v~: Wakati wa utawala wa Daudi kulikuwa na njaa kwa miaka mitatu mfululizo, kwa hiyo Daudi akautafuta uso wa \nd Bwana\nd*. \nd Bwana\nd* akasema, “Ni kwa sababu ya Sauli na nyumba yake iliyotiwa madoa ya damu, kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”

SA2 21:2 Removed trailing space in v~: Mfalme akawaita Wagibeoni na kuzumgumza nao. (Wagibeoni hawakuwa wa wana wa Israeli, ila walikuwa mabaki ya Waamori. Waisraeli walikuwa wameapa kuwaacha hai, lakini Sauli katika wivu wake kwa ajili ya Israeli na Yuda, alikuwa amejaribu kuwaangamiza.)

SA2 21:3 Removed trailing space in v~: Daudi akawauliza Wagibeoni, “Niwatendee nini? Nitawaridhishaje ili mbariki urithi wa \nd Bwana\nd*?”

SA2 21:4 Removed trailing space in v~: Wagibeoni wakamjibu, “Hatuna haki ya kudai fedha wala dhahabu kutoka kwa Sauli au jamaa yake, wala hatuna haki ya kumuua mtu yeyote katika Israeli.”

SA2 21:4 Removed trailing space in p~: Daudi akawauliza, “Mnataka niwafanyie nini?”

SA2 21:5 Removed trailing space in v~: Wakamjibu mfalme, “Kwa habari ya mtu aliyetuangamiza na kufanya hila mbaya dhidi yetu ili kwamba tuangamizwe na tusiwe na yeyote katika Israeli,

SA2 21:6 Removed trailing space in v~: tupatieni wazao wake saba wa kiume tuwaue hadharani mbele za \nd Bwana\nd* huko Gibea ya Sauli, aliyekuwa amechaguliwa na \nd Bwana\nd*.”

SA2 21:6 Removed trailing space in p~: Basi mfalme akasema, “Nitawakabidhi kwenu.”

SA2 21:7 Removed trailing space in v~: Mfalme akamhifadhi Mefiboshethi mwana wa Yonathani, mwana wa Sauli, kwa sababu ya kile kiapo mbele za \nd Bwana\nd* kati ya Daudi na Yonathani.

SA2 21:8 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme akamchukua Armoni na Mefiboshethi, wana wawili wa Rispa binti Aiya, ambao alikuwa amemzalia Sauli, pamoja na wana watano wa Merabu binti Sauli, aliokuwa amemzalia Adrieli mwana wa Barzilai, Mmeholathi.

SA2 21:9 Removed trailing space in v~: Akawakabidhi kwa Wagibeoni, ambao waliwaua na kuwaweka wazi juu ya kilima mbele za \nd Bwana\nd*. Wote saba walianguka kwa pamoja; waliuawa katika siku za kwanza za mavuno, mara tu uvunaji wa shayiri ulipokuwa unaanza.

SA2 21:10 Removed trailing space in v~: Rispa binti Aiya akachukua nguo ya gunia, akajitandikia juu ya mwamba. Kuanzia mwanzo wa mavuno mpaka mvua ziliponyesha juu ya miili ya hao waliouawa, Rispa hakuruhusu ndege wa angani kuwagusa wakati wa mchana, wala wanyama wa mwitu wakati wa usiku.

SA2 21:11 Removed trailing space in v~: Daudi alipoambiwa kile Rispa binti Aiya, suria wa Sauli, alichokuwa amekifanya,

SA2 21:12 Removed trailing space in v~: alikwenda akachukua mifupa ya Sauli na mwanawe Yonathani kutoka kwa watu wa Yabeshi-Gileadi. (Walikuwa wameichukua kwa siri kutoka uwanja wa watu wote huko Beth-Shani, mahali ambapo Wafilisti walikuwa wamewatundika baada ya kumuua Sauli huko Gilboa.)

SA2 21:13 Removed trailing space in v~: Daudi akaileta mifupa ya Sauli na ya mwanawe Yonathani kutoka huko, pia mifupa ya wale waliokuwa wameuawa na kutupwa ilikusanywa.

SA2 21:14 Removed trailing space in v~: Wakazika mifupa ya Sauli na ya mwanawe Yonathani katika kaburi la Kishi, babaye Sauli, huko Sela katika nchi ya Benyamini, nao wakafanya kila kitu mfalme alichoagiza. Baada ya hayo, Mungu akajibu maombi kwa ajili ya nchi.

SA2 21:14 Removed trailing space in s1: Vita Dhidi Ya Wafilisti

SA2 21:14 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 20:4-8)

SA2 21:15 Removed trailing space in v~: Kwa mara nyingine tena kulikuwa na vita kati ya Wafilisti na Israeli. Daudi akashuka pamoja na watu wake ili kupigana dhidi ya Wafilisti, naye akawa amechoka sana.

SA2 21:16 Removed trailing space in v~: Naye Ishbi-Benobu, mmoja wa wazao wa Warefai,\f + \fr 21:16 \ft Yaani majitu.\f* ambaye mkuki wake ulikuwa na uzito wa shekeli 300 za shaba,\f + \fr 21:16 \ft Shekeli 300 za shaba ni sawa na kilo 3.5.\f* alikuwa amejifunga upanga mpya, naye alisema angemuua Daudi.

SA2 21:17 Removed trailing space in v~: Lakini Abishai mwana wa Seruya akaja kumwokoa Daudi; akampiga huyo Mfilisti, akamwangusha chini na kumuua. Ndipo watu wakamwapia Daudi, wakisema, “Kamwe hutakwenda tena nasi vitani, ili kwamba taa ya Israeli isije ikazimwa.”

SA2 21:18 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, kukawa na vita nyingine na Wafilisti, huko Gobu. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Safu, mmoja wa wazao wa Warefai.

SA2 21:19 Removed trailing space in v~: Katika vita vingine na Wafilisti huko Gobu, Elhanani mwana wa Yaare-Oregimu, Mbethlehemu, alimuua nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.

SA2 21:20 Removed trailing space in v~: Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita kila mguu, jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai.

SA2 21:21 Removed trailing space in v~: Alipowadhihaki Israeli, Yonathani mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.

SA2 21:22 Removed trailing space in v~: Hawa wanne walikuwa wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.

SA2 22:0 Extra space after chapter number

SA2 22:0 Removed trailing space in c: 22

SA2 22:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Daudi Wa Sifa

SA2 22:0 Removed trailing space in r: (Zaburi 18)

SA2 22:1 Removed trailing space in v~: Daudi alimwimbia \nd Bwana\nd* maneno ya wimbo huu wakati \nd Bwana\nd* alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli.

SA2 22:2 Removed trailing space in v~: Akasema:

SA2 22:2 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* ni mwamba wangu,

SA2 22:2 Removed trailing space in p~: ngome yangu na mwokozi wangu,

SA2 22:3 Removed trailing space in v~: Mungu wangu ni mwamba wangu,

SA2 22:3 Removed trailing space in p~: ambaye kwake ninakimbilia,

SA2 22:3 Removed trailing space in p~: ngao yangu na pembe ya wokovu wangu.

SA2 22:3 Removed trailing space in p~: Yeye ni ngome yangu, kimbilio langu

SA2 22:3 Removed trailing space in p~: na mwokozi wangu,

SA2 22:3 Removed trailing space in p~: huniokoa kutoka kwa watu wenye jeuri.

SA2 22:4 Removed trailing space in v~: Ninamwita \nd Bwana\nd*, anayestahili kusifiwa,

SA2 22:4 Removed trailing space in p~: nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.

SA2 22:5 Removed trailing space in v~: “Mawimbi ya mauti yalinizunguka,

SA2 22:5 Removed trailing space in p~: mafuriko ya maangamizi yalinilemea.

SA2 22:6 Removed trailing space in v~: Kamba za kuzimu\f + \fr 22:6 \ft Kuzimu kwa Kiebrania ni Sheol, maana yake ni Shimo lisilo na mwisho.\f* zilinizunguka,

SA2 22:6 Removed trailing space in p~: mitego ya mauti ilinikabili.

SA2 22:7 Removed trailing space in v~: Katika shida yangu nalimwita \nd Bwana\nd*,

SA2 22:7 Removed trailing space in p~: nilimlilia Mungu wangu.

SA2 22:7 Removed trailing space in p~: Kutoka Hekaluni mwake alisikia sauti yangu,

SA2 22:7 Removed trailing space in p~: kilio changu kikafika masikioni mwake.

SA2 22:8 Removed trailing space in v~: “Dunia ilitetemeka na kutikisika,

SA2 22:8 Removed trailing space in p~: misingi ya mbingu ikatikisika,

SA2 22:8 Removed trailing space in p~: vilitetemeka kwa sababu

SA2 22:8 Removed trailing space in p~: alikuwa amekasirika.

SA2 22:9 Removed trailing space in v~: Moshi ukapanda kutoka puani mwake,

SA2 22:9 Removed trailing space in p~: moto uteketezao ukatoka kinywani mwake,

SA2 22:9 Removed trailing space in p~: makaa ya moto yawakayo

SA2 22:9 Removed trailing space in p~: yakatoka ndani mwake.

SA2 22:10 Removed trailing space in v~: Akazipasua mbingu akashuka chini,

SA2 22:10 Removed trailing space in p~: mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.

SA2 22:11 Removed trailing space in v~: Alipanda juu ya kerubi akaruka,

SA2 22:11 Removed trailing space in p~: akapaa juu kwa mbawa za upepo.

SA2 22:12 Removed trailing space in v~: Alifanya giza hema lake la kujifunika:

SA2 22:12 Removed trailing space in p~: mawingu meusi ya mvua ya angani.

SA2 22:13 Removed trailing space in v~: Kutokana na mwanga wa uwepo wake

SA2 22:13 Removed trailing space in p~: mawingu yalisogea,

SA2 22:13 Removed trailing space in p~: ikanyesha mvua ya mawe

SA2 22:13 Removed trailing space in p~: na umeme wa radi.

SA2 22:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alinguruma kutoka mbinguni,

SA2 22:14 Removed trailing space in p~: sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.

SA2 22:15 Removed trailing space in v~: Aliipiga mishale na kutawanya adui,

SA2 22:15 Removed trailing space in p~: umeme wa radi na kuwafukuza.

SA2 22:16 Removed trailing space in v~: Mabonde ya bahari yalifunuliwa,

SA2 22:16 Removed trailing space in p~: na misingi ya dunia ikawa wazi

SA2 22:16 Removed trailing space in p~: kwa kukaripia kwake \nd Bwana\nd*,

SA2 22:16 Removed trailing space in p~: kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwake.

SA2 22:17 Removed trailing space in v~: “Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika;

SA2 22:17 Removed trailing space in p~: alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.

SA2 22:18 Removed trailing space in v~: Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi,

SA2 22:18 Removed trailing space in p~: kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.

SA2 22:19 Removed trailing space in v~: Walinikabili siku ya msiba wangu,

SA2 22:19 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* alikuwa msaada wangu.

SA2 22:20 Removed trailing space in v~: Alinileta nje mahali penye nafasi tele,

SA2 22:20 Removed trailing space in p~: akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.

SA2 22:21 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* alinitendea sawasawa na uadilifu wangu;

SA2 22:21 Removed trailing space in p~: sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.

SA2 22:22 Removed trailing space in v~: Kwa maana nimezishika njia za \nd Bwana\nd*;

SA2 22:22 Removed trailing space in p~: sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.

SA2 22:23 Removed trailing space in v~: Sheria zake zote zi mbele yangu,

SA2 22:23 Removed trailing space in p~: wala sijayaacha maagizo yake.

SA2 22:24 Removed trailing space in v~: Nimekuwa sina hatia mbele zake,

SA2 22:24 Removed trailing space in p~: nami nimejilinda nisitende dhambi.

SA2 22:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amenilipa sawasawa na uadilifu wangu,

SA2 22:25 Removed trailing space in p~: sawasawa na usafi wangu machoni pake.

SA2 22:26 Removed trailing space in v~: “Kwa yeye aliye mwaminifu unajionyesha kuwa mwaminifu,

SA2 22:26 Removed trailing space in p~: kwa asiye na hatia unajionyesha kutokuwa na hatia,

SA2 22:27 Removed trailing space in v~: kwa aliye mtakatifu unajionyesha kuwa mtakatifu,

SA2 22:27 Removed trailing space in p~: lakini kwa aliyepotoka unajionyesha kuwa mkaidi.

SA2 22:28 Removed trailing space in v~: Wewe huwaokoa wanyenyekevu,

SA2 22:28 Removed trailing space in p~: lakini macho yako ni juu ya wenye kiburi

SA2 22:28 Removed trailing space in p~: ili uwashushe.

SA2 22:29 Removed trailing space in v~: Wewe ni taa yangu, Ee \nd Bwana\nd*.

SA2 22:29 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* hulifanya giza langu

SA2 22:29 Removed trailing space in p~: kuwa mwanga.

SA2 22:30 Removed trailing space in v~: Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi,

SA2 22:30 Removed trailing space in p~: nikiwa pamoja na Mungu wangu

SA2 22:30 Removed trailing space in p~: nitaweza kuruka ukuta.

SA2 22:31 Removed trailing space in v~: “Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu;

SA2 22:31 Removed trailing space in p~: neno la \nd Bwana\nd* halina dosari.

SA2 22:31 Removed trailing space in p~: Yeye ni ngao kwa wote

SA2 22:31 Removed trailing space in p~: wanaokimbilia kwake.

SA2 22:32 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni nani aliye Mungu

SA2 22:32 Removed trailing space in p~: zaidi ya \nd Bwana\nd*?

SA2 22:32 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye Mwamba

SA2 22:32 Removed trailing space in p~: isipokuwa Mungu wetu?

SA2 22:33 Removed trailing space in v~: Mungu ndiye anivikaye nguvu

SA2 22:33 Removed trailing space in p~: na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.

SA2 22:34 Removed trailing space in v~: Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu,

SA2 22:34 Removed trailing space in p~: huniwezesha kusimama mahali palipo juu.

SA2 22:35 Removed trailing space in v~: Huifundisha mikono yangu kupigana vita;

SA2 22:35 Removed trailing space in p~: mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.

SA2 22:36 Removed trailing space in v~: Hunipa ngao yako ya ushindi,

SA2 22:36 Removed trailing space in p~: unajishusha chini ili kuniinua.

SA2 22:37 Removed trailing space in v~: Huyapanua mapito yangu,

SA2 22:37 Removed trailing space in p~: ili miguu yangu isiteleze.

SA2 22:38 Removed trailing space in v~: “Niliwafuatia adui zangu na nikawaseta,

SA2 22:38 Removed trailing space in p~: sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.

SA2 22:39 Removed trailing space in v~: Niliwaseta kabisa, nao hawakuweza kuinuka tena;

SA2 22:39 Removed trailing space in p~: walianguka chini ya miguu yangu.

SA2 22:40 Removed trailing space in v~: Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita;

SA2 22:40 Removed trailing space in p~: uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.

SA2 22:41 Removed trailing space in v~: Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia,

SA2 22:41 Removed trailing space in p~: nami nikawaangamiza adui zangu.

SA2 22:42 Removed trailing space in v~: Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa;

SA2 22:42 Removed trailing space in p~: walimlilia \nd Bwana\nd*, lakini hakuwajibu.

SA2 22:43 Removed trailing space in v~: Niliwaponda kama mavumbi ya nchi;

SA2 22:43 Removed trailing space in p~: niliwaponda na kuwakanyaga kama tope barabarani.

SA2 22:44 Removed trailing space in v~: “Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu wangu;

SA2 22:44 Removed trailing space in p~: umenihifadhi mimi kama kiongozi wa mataifa.

SA2 22:44 Removed trailing space in p~: Watu ambao sikuwajua wananitumikia,

SA2 22:45 Removed trailing space in v~: nao wageni huja wakininyenyekea,

SA2 22:45 Removed trailing space in p~: mara wanisikiapo, hunitii.

SA2 22:46 Removed trailing space in v~: Wote wanalegea,

SA2 22:46 Removed trailing space in p~: wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.

SA2 22:47 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!

SA2 22:47 Removed trailing space in p~: Atukuzwe Mungu,

SA2 22:47 Removed trailing space in p~: Mwamba, Mwokozi wangu!

SA2 22:48 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi,

SA2 22:48 Removed trailing space in p~: ayawekaye mataifa chini yangu,

SA2 22:49 Removed trailing space in v~: aniwekaye huru toka kwa adui zangu.

SA2 22:49 Removed trailing space in p~: Uliniinua juu ya adui zangu;

SA2 22:49 Removed trailing space in p~: uliniokoa toka kwa watu wajeuri.

SA2 22:50 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitakusifu, Ee \nd Bwana\nd*,

SA2 22:50 Removed trailing space in p~: katikati ya mataifa;

SA2 22:50 Removed trailing space in p~: nitaliimbia sifa jina lako.

SA2 22:51 Removed trailing space in v~: Humpa mfalme wake ushindi mkuu;

SA2 22:51 Removed trailing space in p~: huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake,

SA2 22:51 Removed trailing space in p~: kwa Daudi na wazao wake milele.”

SA2 23:0 Extra space after chapter number

SA2 23:0 Removed trailing space in c: 23

SA2 23:0 Removed trailing space in s1: Maneno Ya Mwisho Ya Daudi

SA2 23:1 Removed trailing space in v~: Haya ni maneno ya mwisho ya Daudi:

SA2 23:1 Removed trailing space in p~: “Neno la Daudi mwana wa Yese,

SA2 23:1 Removed trailing space in p~: neno la mtu aliyeinuliwa na Aliye Juu Sana,

SA2 23:1 Removed trailing space in p~: mtu aliyepakwa mafuta na Mungu wa Yakobo,

SA2 23:1 Removed trailing space in p~: mwimbaji wa nyimbo wa Israeli:

SA2 23:2 Removed trailing space in v~: “Roho wa \nd Bwana\nd* alinena kupitia kwangu,

SA2 23:2 Removed trailing space in p~: neno lake lilikuwa ulimini mwangu.

SA2 23:3 Removed trailing space in v~: Mungu wa Israeli alinena,

SA2 23:3 Removed trailing space in p~: mwamba wa Israeli akaniambia:

SA2 23:3 Removed trailing space in p~: ‘Mtu anatawala watu kwa haki,

SA2 23:3 Removed trailing space in p~: wakati anapotawala

SA2 23:3 Removed trailing space in p~: akiwa na hofu ya Mungu,

SA2 23:4 Removed trailing space in v~: yeye ni kama mwanga wa asubuhi jua lichomozapo

SA2 23:4 Removed trailing space in p~: asubuhi isiyo na mawingu,

SA2 23:4 Removed trailing space in p~: kama mwanga baada ya mvua

SA2 23:4 Removed trailing space in p~: uchipuzao majani kutoka ardhini.’

SA2 23:5 Removed trailing space in v~: “Je, si hivyo ilivyo nyumba yangu

SA2 23:5 Removed trailing space in p~: mbele za Mungu?

SA2 23:5 Removed trailing space in p~: Je, hajafanya Agano la milele nami,

SA2 23:5 Removed trailing space in p~: lililopangwa na kuimarishwa

SA2 23:5 Removed trailing space in p~: kila sehemu?

SA2 23:5 Removed trailing space in p~: Je, hatanifanya niufurahie wokovu wangu

SA2 23:5 Removed trailing space in p~: na kunijalia matakwa yangu yote?

SA2 23:6 Removed trailing space in v~: Lakini watu waovu wote

SA2 23:6 Removed trailing space in p~: watatupwa kando kama miiba,

SA2 23:6 Removed trailing space in p~: ambayo haikusanywi kwa mkono.

SA2 23:7 Removed trailing space in v~: Yeyote agusaye miiba

SA2 23:7 Removed trailing space in p~: hutumia chombo cha chuma

SA2 23:7 Removed trailing space in p~: au mpini wa mkuki,

SA2 23:7 Removed trailing space in p~: nayo huchomwa pale ilipo.”

SA2 23:7 Removed trailing space in s1: Mashujaa Wa Daudi

SA2 23:7 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 11:10-41)

SA2 23:8 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya mashujaa wa Daudi:

SA2 23:8 Removed trailing space in p~: Yosheb-Bashebethi,\f + \fr 23:8 \ft Yosheb-Bashebethi au Yashobeamu (\+xt 1Nya 11:11\+xt*).\f* Mtahkemoni, alikuwa kiongozi wa wale Watatu; yeye aliinua mkuki wake dhidi ya watu 800, ambao aliwaua katika pambano moja.

SA2 23:8 Found unexpected backslash in footnote: 23:8 Yosheb-Bashebethi au Yashobeamu (\+xt 1Nya 11:11\+xt*).

SA2 23:9 Removed trailing space in v~: Wa pili wake alikuwa Eleazari mwana wa Dodai,\f + \fr 23:9 \ft Dodai tafsiri nyingine zinamwita Dodo.\f* Mwahohi. Akiwa mmojawapo wa wale mashujaa watatu, alikuwa pamoja na Daudi wakati waliwadhihaki Wafilisti waliokuwa wamekusanyika huko Pas-Damimu kwa ajili ya vita. Kisha watu wa Israeli wakarudi nyuma,

SA2 23:10 Removed trailing space in v~: lakini yeye alisimama imara akawaua Wafilisti hadi mkono wake ukachoka na ukagandamana na upanga. \nd Bwana\nd* akawapa ushindi mkubwa siku ile. Vikosi vikarudi kwa Eleazari, kuteka tu nyara za waliokufa.

SA2 23:11 Removed trailing space in v~: Aliyefuata alikuwa Shama mwana wa Agee, Mharari. Wafilisti walipokusanyika pamoja mahali palipokuwa shamba lililojaa dengu, vikosi vya Israeli viliwakimbia.

SA2 23:12 Removed trailing space in v~: Lakini Shama akasimama imara katikati ya lile shamba. Akalitetea na kuwaua Wafilisti, naye \nd Bwana\nd* akawapa ushindi mkubwa.

SA2 23:13 Removed trailing space in v~: Wakati wa mavuno, viongozi watatu kati ya viongozi thelathini walishuka, wakamwendea Daudi katika pango la Adulamu, wakati kikundi cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la Warefai.

SA2 23:14 Removed trailing space in v~: Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu.

SA2 23:15 Removed trailing space in v~: Daudi akatamani maji, akasema, “Laiti mtu angenipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu!”

SA2 23:16 Removed trailing space in v~: Basi mashujaa hao watatu wakapenya katikati ya Wafilisti, wakaenda kuchota maji kutoka kwa kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu, wakamletea Daudi. Lakini Daudi akakataa kuyanywa. Badala yake, aliyamimina mbele za \nd Bwana\nd*.

SA2 23:17 Removed trailing space in v~: Akasema, “Iwe mbali nami, Ee \nd Bwana\nd*, kufanya kitu hiki. Je, hii si damu ya watu ambao walikwenda kwa kuhatarisha maisha yao?” Naye Daudi hakuyanywa.

SA2 23:17 Removed trailing space in p~: Haya yalifanywa na hao mashujaa watatu.

SA2 23:18 Removed trailing space in v~: Abishai ndugu yake Yoabu mwana wa Seruya ndiye alikuwa kiongozi wa hao Watatu. Aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300 ambao aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao Watatu.

SA2 23:19 Removed trailing space in v~: Je, hakupata heshima kubwa zaidi kuliko hao Watatu? Alikuwa jemadari wao, ingawa hakuhesabiwa miongoni mwao.

SA2 23:20 Removed trailing space in v~: Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa mpiganaji hodari kutoka Kabseeli ambaye alifanya mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote wa Moabu. Pia alishuka shimoni kulipokuwa na theluji na kumuua simba.

SA2 23:21 Removed trailing space in v~: Pia alimuua Mmisri mrefu mkubwa. Ingawa Mmisri alikuwa na mkuki mkononi mwake, Benaya alimwendea akiwa na rungu. Alipokonya mkuki kutoka mkononi mwa Mmisri na kumuua kwa mkuki wake mwenyewe.

SA2 23:22 Removed trailing space in v~: Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu.

SA2 23:23 Removed trailing space in v~: Yeye aliheshimiwa zaidi ya wale Thelathini, lakini hakujumuishwa miongoni mwa wale Watatu. Daudi akamweka kuwa kiongozi wa walinzi wake.

SA2 23:24 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa wale Thelathini walikuwepo:

SA2 23:24 Removed trailing space in p~: Asaheli ndugu wa Yoabu;

SA2 23:24 Removed trailing space in p~: Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu;

SA2 23:25 Removed trailing space in v~: Shama, Mharodi;

SA2 23:25 Removed trailing space in p~: Elika, Mharodi;

SA2 23:26 Removed trailing space in v~: Helesi, Mpalti;

SA2 23:26 Removed trailing space in p~: Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa;

SA2 23:27 Removed trailing space in v~: Abiezeri kutoka Anathothi;

SA2 23:27 Removed trailing space in p~: Mebunai, Mhushathi;

SA2 23:28 Removed trailing space in v~: Salmoni, Mwahohi;

SA2 23:28 Removed trailing space in p~: Maharai, Mnetofathi;

SA2 23:29 Removed trailing space in v~: Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi;

SA2 23:29 Removed trailing space in p~: Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini;

SA2 23:30 Removed trailing space in v~: Benaya Mpirathoni;

SA2 23:30 Removed trailing space in p~: Hidai kutoka mabonde ya Gaashi;

SA2 23:31 Removed trailing space in v~: Abi-Alboni, Mwaribathi;

SA2 23:31 Removed trailing space in p~: Azmawethi, Mbarhumi;

SA2 23:32 Removed trailing space in v~: Eliaba, Mshaalboni;

SA2 23:32 Removed trailing space in p~: wana wa Yasheni;

SA2 23:32 Removed trailing space in p~: Yonathani

SA2 23:33 Removed trailing space in v~: mwana wa Shama, Mharari;

SA2 23:33 Removed trailing space in p~: Ahiamu mwana wa Sharari, Mharari;

SA2 23:34 Removed trailing space in v~: Elifeleti mwana wa Ahasbai, Mmaakathi;

SA2 23:34 Removed trailing space in p~: Eliamu mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;

SA2 23:35 Removed trailing space in v~: Hezro, Mkarmeli;

SA2 23:35 Removed trailing space in p~: Paarai, Mwarbi;

SA2 23:36 Removed trailing space in v~: Igali mwana wa Nathani kutoka Soba;

SA2 23:36 Removed trailing space in p~: Bani, Mgadi;

SA2 23:37 Removed trailing space in v~: Seleki, Mwamoni;

SA2 23:37 Removed trailing space in p~: Naharai, Mbeerothi, aliyekuwa mbeba silaha za Yoabu mwana wa Seruya;

SA2 23:38 Removed trailing space in v~: Ira, Mwithiri;

SA2 23:38 Removed trailing space in p~: Garebu, Mwithiri;

SA2 23:39 Removed trailing space in v~: na Uria, Mhiti.

SA2 23:39 Removed trailing space in p~: Jumla yao wote walikuwa watu thelathini na saba.

SA2 24:0 Extra space after chapter number

SA2 24:0 Removed trailing space in c: 24

SA2 24:0 Removed trailing space in s1: Daudi Ahesabu Wapiganaji

SA2 24:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 21:1-27)

SA2 24:1 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka tena dhidi ya Israeli, naye akamchochea Daudi dhidi yao, akisema, “Nenda ukawahesabu Israeli na Yuda.”

SA2 24:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme akamwambia Yoabu, pamoja na majemadari wa jeshi aliokuwa nao, “Nendeni kwa makabila yote ya Israeli kuanzia Dani hadi Beer-Sheba na mwandikishe watu wapiganaji, ili niweze kujua idadi yao.”

SA2 24:3 Removed trailing space in v~: Lakini Yoabu akamjibu mfalme, “\nd Bwana\nd* Mungu wako na azidishe jeshi mara mia, nayo macho ya bwana wangu mfalme na yaone hili. Lakini kwa nini bwana wangu mfalme anataka kufanya kitu cha namna hii?”

SA2 24:4 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, neno la mfalme likawa na nguvu juu ya Yoabu pamoja na majemadari wa jeshi, kwa hiyo wakaondoka mbele ya mfalme kuandikisha wapiganaji wa Israeli.

SA2 24:5 Removed trailing space in v~: Baada ya kuvuka Yordani, walipiga kambi karibu na Aroeri, kusini ya mji ulioko kwenye bonde jembamba, ndipo wakipitia Gadi, wakaenda hadi Yazeri.

SA2 24:6 Removed trailing space in v~: Walikwenda hadi Gileadi na pia eneo la Tahtimu-Hodshi, wakaendelea hadi Dani-Yaani na kuzunguka kuelekea Sidoni.

SA2 24:7 Removed trailing space in v~: Kisha wakaenda kuelekea ngome ya Tiro pamoja na miji yote ya Wahivi na ya Wakanaani. Mwishoni, walikwenda mpaka Beer-Sheba katika Negebu ya Yuda.

SA2 24:8 Removed trailing space in v~: Baada ya kupita katika nchi nzima, walirudi Yerusalemu baada ya miezi tisa na siku ishirini.

SA2 24:9 Removed trailing space in v~: Yoabu akatoa hesabu ya wapiganaji kwa mfalme: Katika Israeli kulikuwako watu 800,000 wenye uwezo wa kupigana, na katika Yuda watu 500,000.

SA2 24:10 Removed trailing space in v~: Dhamiri ya Daudi ilishtuka baada ya kuwahesabu wapiganaji, naye akamwambia \nd Bwana\nd*, “Nimefanya dhambi kubwa kwa kufanya jambo hili. Ee \nd Bwana\nd*, sasa ninakusihi, ondoa hatia ya mtumishi wako. Nimefanya jambo la kipumbavu sana.”

SA2 24:11 Removed trailing space in v~: Kabla Daudi hajaamka kesho yake asubuhi, neno la \nd Bwana\nd* lilikuwa limemjia Gadi nabii, aliyekuwa mwonaji wa Daudi, kusema:

SA2 24:12 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie Daudi, ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: Ninakupa wewe uchaguzi wa mambo matatu. Nichagulie mojawapo nitakalotenda dhidi yako.’ ”

SA2 24:13 Removed trailing space in v~: Basi Gadi akaenda kwa Daudi na kumwambia, “Je, ije njaa ya miaka mitatu katika nchi yako? Au miezi mitatu ya kukimbia adui zako wakikufuatia? Au siku tatu za tauni katika nchi yako? Basi sasa, fikiri juu ya hilo na uamue jinsi nitakavyomjibu huyo aliyenituma.”

SA2 24:14 Removed trailing space in v~: Daudi akamjibu Gadi, “Nitataabika sana. Afadhali tuangukie mikononi mwa \nd Bwana\nd*, kwa maana rehema zake ni kuu, lakini usiniache nianguke mikononi mwa wanadamu.”

SA2 24:15 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* akatuma tauni katika Israeli kuanzia asubuhi mpaka mwisho wa muda ulioamriwa, wakafa watu 70,000 kuanzia Dani hadi Beer-Sheba.

SA2 24:16 Removed trailing space in v~: Malaika aliponyoosha mkono wake ili kuangamiza Yerusalemu, \nd Bwana\nd* akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anawadhuru watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa \nd Bwana\nd* alikuwa kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna,\f + \fr 24:16 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.\f* Myebusi.

SA2 24:17 Removed trailing space in v~: Ikawa Daudi alipomwona huyo malaika aliyekuwa akiwaua watu, akamwambia \nd Bwana\nd*, “Mimi ndiye niliyetenda dhambi na kukosa. Hawa ni kondoo tu. Wamefanya nini? Mkono wako uwe juu yangu na nyumba yangu.”

SA2 24:17 Removed trailing space in s1: Daudi Ajenga Madhabahu

SA2 24:18 Removed trailing space in v~: Siku hiyo Gadi akamwendea Daudi na kumwambia, “Panda ukamjengee \nd Bwana\nd* madhabahu kwenye sakafu ya kupuria ya Arauna Myebusi.”

SA2 24:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akakwea kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa ameamuru kwa kinywa cha Gadi.

SA2 24:20 Removed trailing space in v~: Arauna alipotazama na kumwona mfalme na watu wake wakija kumwelekea, alitoka nje na kusujudu mbele ya mfalme kifudifudi, akiuinamisha uso wake ardhini.

SA2 24:21 Removed trailing space in v~: Arauna akasema, “Mbona bwana wangu mfalme amekuja kwa mtumishi wake?”

SA2 24:21 Removed trailing space in p~: Daudi akajibu, “Kununua sakafu yako ya kupuria, ili niweze kumjengea \nd Bwana\nd* madhabahu, ili tauni iliyo katika watu iondolewe.”

SA2 24:22 Removed trailing space in v~: Arauna akamwambia Daudi, “Bwana wangu mfalme na achukue chochote kinachompendeza na akitoe sadaka. Hapa kuna maksai kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, pia kuna miti ya kupuria na nira za ngʼombe kwa ajili ya kuni.

SA2 24:23 Removed trailing space in v~: Ee mfalme, Arauna anatoa vyote hivi kwa mfalme.” Pia Arauna akamwambia mfalme, “\nd Bwana\nd* Mungu wako na akukubali.”

SA2 24:24 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme akamjibu Arauna, “La hasha, nasisitiza kuvilipia. Sitatoa sadaka ya kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd* Mungu wangu isiyonigharimu chochote.”

SA2 24:24 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Daudi akanunua ile sakafu ya kupuria nafaka na maksai, akazilipia shekeli hamsini za fedha.\f + \fr 24:24 \ft Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.\f*

SA2 24:25 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akamjengea \nd Bwana\nd* madhabahu mahali hapo, na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Kisha \nd Bwana\nd* akajibu kwa ajili ya nchi, nayo tauni ikakoma katika Israeli.

KI1 -1:0 Removed trailing space in id: 1KI - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

KI1 -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

KI1 -1:2 Removed trailing space in h: 1 Wafalme

KI1 -1:3 Removed trailing space in toc1: 1 Wafalme

KI1 -1:4 Removed trailing space in toc2: 1 Wafalme

KI1 -1:5 Removed trailing space in toc3: 1Fal

KI1 -1:6 Removed trailing space in mt1: 1 Wafalme

KI1 1:0 Extra space after chapter number

KI1 1:0 Removed trailing space in c: 1

KI1 1:0 Removed trailing space in s1: Adoniya Ajitangaza Mfalme

KI1 1:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi alipokuwa mzee umri ukiwa umesogea, hakuweza kupata joto hata walipomfunika kwa nguo.

KI1 1:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watumishi wake wakamwambia, “Turuhusu tumtafute kijana mwanamwali bikira amhudumie mfalme na kumtunza. Anaweza kulala pembeni mwake ili bwana wetu mfalme apate joto.”

KI1 1:3 Removed trailing space in v~: Kisha wakatafuta katika Israeli yote ili kumpata msichana mzuri wa sura na wakampata Abishagi, Mshunami, wakamleta kwa mfalme.

KI1 1:4 Removed trailing space in v~: Msichana huyo alikuwa mzuri sana wa sura, akamtunza mfalme na kumhudumia, lakini mfalme hakufanya naye tendo la ndoa.

KI1 1:5 Removed trailing space in v~: Basi Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi, akajigamba na kusema, “Mimi nitakuwa mfalme.” Hivyo akajiwekea tayari magari na wapanda farasi, pamoja na watu hamsini wa kumtangulia wakikimbia.

KI1 1:6 Removed trailing space in v~: (Baba yake hakuwa ameingilia na kumuuliza, “Kwa nini unafanya hivyo?” Alikuwa pia kijana mzuri sana wa sura, na alizaliwa baada ya Absalomu.)

KI1 1:7 Removed trailing space in v~: Adoniya akashauriana pamoja na Yoabu mwana wa Seruya na kuhani Abiathari, nao wakamsaidia.

KI1 1:8 Removed trailing space in v~: Lakini kuhani Sadoki, Benaya mwana wa Yehoyada, Nathani nabii, Shimei, Rei na walinzi maalum wa Daudi hawakujiunga na Adoniya.

KI1 1:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Adoniya akatoa dhabihu ya kondoo, ngʼombe na ndama walionona kwenye Jiwe la Zohelethi karibu na En-Rogeli. Akawaalika ndugu zake wote, wana wa mfalme na wanaume wote wa Yuda waliokuwa maafisa wa mfalme,

KI1 1:10 Removed trailing space in v~: lakini hakumwalika nabii Nathani, Benaya, walinzi maalum wa mfalme, wala ndugu yake Solomoni.

KI1 1:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Nathani akamuuliza Bathsheba, mama yake Solomoni, “Je, hujasikia kwamba Adoniya, mwana wa Hagithi, amekuwa mfalme pasipo bwana wetu Daudi kujua jambo hili?

KI1 1:12 Removed trailing space in v~: Sasa basi, acha nikushauri jinsi utakavyookoa uhai wako mwenyewe na uhai wa mwanao Solomoni.

KI1 1:13 Removed trailing space in v~: Ingia kwa Mfalme Daudi na umwambie, ‘Bwana wangu mfalme, je hukuniapia mimi mtumishi wako: “Hakika mwanao Solomoni atakuwa mfalme baada yangu na ndiye atakayeketi juu ya kiti changu cha ufalme”? Kwa nini basi Adoniya amekuwa mfalme?’

KI1 1:14 Removed trailing space in v~: Utakapokuwa ukizungumza na mfalme, nitaingia na kuthibitisha hayo uliyoyasema.”

KI1 1:15 Removed trailing space in v~: Hivyo Bathsheba akaenda kumwona mfalme chumbani mwake mahali ambapo Abishagi, Mshunami, alikuwa akimhudumia, naye mfalme alikuwa mzee sana.

KI1 1:16 Removed trailing space in v~: Bathsheba akasujudu na kupiga magoti mbele ya mfalme.

KI1 1:16 Removed trailing space in p~: Mfalme akauliza, “Ni nini hiki unachotaka?”

KI1 1:17 Removed trailing space in v~: Akamwambia, “Bwana wangu, wewe mwenyewe uliniapia mimi mtumishi wako kwa \nd Bwana\nd* Mungu wako kwamba: ‘Solomoni Mwanao atakuwa mfalme baada yangu na ndiye atakayeketi kwenye kiti changu cha ufalme.’

KI1 1:18 Removed trailing space in v~: Lakini sasa Adoniya amekuwa mfalme, nawe, bwana wangu mfalme huna habari kuhusu jambo hilo.

KI1 1:19 Removed trailing space in v~: Ametoa dhabihu idadi kubwa ya ngʼombe, ndama walionona na kondoo, naye amewaalika wana wa mfalme wote, kuhani Abiathari, na Yoabu jemadari wa jeshi, lakini hakumwalika Solomoni mtumishi wako.

KI1 1:20 Removed trailing space in v~: Bwana wangu mfalme, macho ya Israeli yote yanakutazama wewe wajue kutoka kwako kuwa ni nani atakayeketi katika kiti cha ufalme cha bwana wangu mfalme baada yake.

KI1 1:21 Removed trailing space in v~: Kama sivyo, mara tu bwana wangu mfalme atakapopumzishwa pamoja na baba zake, mimi na mwanangu Solomoni tutatendewa kama wahalifu.”

KI1 1:22 Removed trailing space in v~: Alipokuwa angali anazungumza na mfalme, nabii Nathani akafika.

KI1 1:23 Removed trailing space in v~: Wakamwambia mfalme, “Nabii Nathani yuko hapa.” Kisha akaenda mbele ya mfalme na kumsujudia hadi uso wake ukagusa ardhi.

KI1 1:24 Removed trailing space in v~: Nathani akasema, “Je, bwana wangu mfalme, umetangaza kuwa Adoniya atakuwa mfalme baada yako na kwamba ataketi kwenye kiti chako cha ufalme?

KI1 1:25 Removed trailing space in v~: Leo ameshuka na kutoa dhabihu idadi kubwa ya ngʼombe, ndama walionona na kondoo. Amewaalika wana wote wa mfalme, jemadari wa jeshi na kuhani Abiathari. Sasa hivi, wanakula na kunywa pamoja naye wakisema, ‘Aishi maisha marefu, Mfalme Adoniya!’

KI1 1:26 Removed trailing space in v~: Lakini mimi mtumishi wako, kuhani Sadoki, Benaya mwana wa Yehoyada na mtumishi wako Solomoni hakutualika.

KI1 1:27 Removed trailing space in v~: Je, hili ni jambo ambalo bwana wangu mfalme amelifanya pasipo kuwajulisha watumishi wake ili wapate kujua ni nani atakayeketi kwenye kiti cha ufalme cha bwana wangu mfalme baada yake?”

KI1 1:27 Removed trailing space in s1: Daudi Amfanya Solomoni Kuwa Mfalme

KI1 1:28 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Daudi akasema, “Mwite Bathsheba, aingie ndani.” Hivyo akaingia mbele ya mfalme na kusimama mbele yake.

KI1 1:29 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akaapa: “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, ambaye ameniokoa kutoka kila taabu,

KI1 1:30 Removed trailing space in v~: hakika nitatekeleza leo kile nilichokuapia kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: Mwanao Solomoni atakuwa mfalme baada yangu, naye ataketi kwenye kiti changu cha ufalme baada yangu.”

KI1 1:31 Removed trailing space in v~: Kisha Bathsheba akasujudu akipiga magoti mbele ya mfalme uso wake ukigusa ardhi akasema, “Bwana wangu Mfalme Daudi na aishi milele!”

KI1 1:32 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi akasema, “Mwite kuhani Sadoki ndani, nabii Nathani na Benaya mwana wa Yehoyada.” Walipofika mbele ya mfalme,

KI1 1:33 Removed trailing space in v~: akawaambia: “Wachukueni watumishi wa bwana wenu pamoja nanyi na mkamkalishe mwanangu Solomoni juu ya nyumbu wangu mwenyewe mkamteremshe hadi Gihoni.

KI1 1:34 Removed trailing space in v~: Huko kuhani Sadoki na nabii Nathani wamtie mafuta awe mfalme juu ya Israeli. Pigeni tarumbeta na mpaze sauti, ‘Mfalme Solomoni aishi maisha marefu!’

KI1 1:35 Removed trailing space in v~: Kisha mtapanda pamoja naye, atakuja na kuketi kwenye kiti changu cha ufalme na kutawala badala yangu. Nimemweka awe mtawala juu ya Israeli na Yuda.”

KI1 1:36 Removed trailing space in v~: Benaya mwana wa Yehoyada akamjibu mfalme, “Amen! \nd Bwana\nd*, Mungu wa bwana wangu mfalme, na aseme vivyo hivyo.

KI1 1:37 Removed trailing space in v~: Kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa na bwana wangu mfalme, vivyo hivyo na awe na Solomoni kukifanya kiti chake cha utawala kuwa kikuu kuliko kile cha bwana wangu Mfalme Daudi!”

KI1 1:38 Removed trailing space in v~: Hivyo kuhani Sadoki, nabii Nathani, Benaya mwana wa Yehoyada, Wakerethi na Wapelethi wakampandisha Solomoni juu ya nyumbu wa Mfalme Daudi, nao wakamsindikiza hadi Gihoni.

KI1 1:39 Removed trailing space in v~: Kuhani Sadoki akachukua pembe ya mafuta kutoka kwenye hema takatifu na kumtia Solomoni mafuta. Kisha wakapiga tarumbeta na watu wote wakapaza sauti wakisema, “Mfalme Solomoni aishi maisha marefu!”

KI1 1:40 Removed trailing space in v~: Na watu wote wakakwea wakimfuata, wakipiga filimbi na kushangilia sana, hata ardhi ikatikisika kwa ile sauti.

KI1 1:41 Removed trailing space in v~: Adoniya pamoja na wageni wote waliokuwa pamoja naye wakasikia sauti hiyo walipokuwa wakimalizia karamu yao. Waliposikia sauti ya tarumbeta, Yoabu akauliza, “Nini maana ya makelele yote haya katika mji?”

KI1 1:42 Removed trailing space in v~: Hata alipokuwa anasema, Yonathani mwana wa kuhani Abiathari akafika. Adoniya akasema, “Ingia ndani. Mtu mstahiki kama wewe ni lazima alete habari njema.”

KI1 1:43 Removed trailing space in v~: Yonathani akajibu, “La hasha! Mfalme Daudi bwana wetu amemfanya Solomoni kuwa mfalme.

KI1 1:44 Removed trailing space in v~: Mfalme amemtuma pamoja naye kuhani Sadoki, nabii Nathani, Benaya mwana wa Yehoyada, Wakerethi na Wapelethi, nao wamempandisha juu ya nyumbu wa mfalme,

KI1 1:45 Removed trailing space in v~: nao kuhani Sadoki na nabii Nathani wamemtia mafuta kuwa mfalme huko Gihoni. Kuanzia hapo wameendelea kushangilia na sauti zimeenea pote mjini. Hizo ndizo kelele unazosikia.

KI1 1:46 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Solomoni ameketi juu ya kiti chake cha ufalme.

KI1 1:47 Removed trailing space in v~: Pia, maafisa wa mfalme wamekuja ili kumtakia heri bwana wetu Mfalme Daudi wakisema, ‘Mungu wako na alifanye jina la Solomoni kuwa mashuhuri kuliko lako na kiti chake cha ufalme kiwe na ukuu kuliko chako!’ Naye mfalme akasujudu akiabudu kitandani mwake

KI1 1:48 Removed trailing space in v~: na kusema, ‘Ahimidiwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ambaye ameruhusu macho yangu kuona mrithi juu ya kiti changu cha ufalme leo hii.’ ”

KI1 1:49 Removed trailing space in v~: Katika hili, wageni wote wa Adoniya wakainuka kwa mshtuko wa hofu na kutawanyika.

KI1 1:50 Removed trailing space in v~: Lakini Adoniya kwa kumwogopa Solomoni, akaenda na kushika pembe za madhabahu.

KI1 1:51 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akaambiwa, “Adoniya anamwogopa Mfalme Solomoni na ameshikilia pembe za madhabahu. Anasema, ‘Mfalme Solomoni na aniapie leo kwamba hatamuua mtumishi wake kwa upanga.’ ”

KI1 1:52 Removed trailing space in v~: Solomoni akajibu, “Kama akijionyesha kuwa mtu mstahiki, hakuna unywele wake utakaoanguka juu ya ardhi, lakini kama uovu ukionekana ndani yake, atakufa.”

KI1 1:53 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Solomoni akawatuma watu, nao wakamshusha kutoka madhabahuni. Naye Adoniya akaja akamwinamia Mfalme Solomoni, naye Solomoni akamwambia, “Nenda nyumbani kwako.”

KI1 2:0 Extra space after chapter number

KI1 2:0 Removed trailing space in c: 2

KI1 2:0 Removed trailing space in s1: Maagizo Ya Daudi Kwa Solomoni

KI1 2:1 Removed trailing space in v~: Siku zilipokaribia za Daudi kufa, akampa mwanawe Solomoni agizo.

KI1 2:2 Removed trailing space in v~: Akasema, “Mimi ninakaribia kwenda njia ya dunia yote. Hivyo uwe hodari, jionyeshe kuwa mwanaume,

KI1 2:3 Removed trailing space in v~: shika lile \nd Bwana\nd* Mungu wako analokuagiza: Enenda katika njia zake, ushike maagizo na amri zake, sheria zake na kanuni zake, kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, ili upate kustawi katika yote ufanyayo na popote uendako,

KI1 2:4 Removed trailing space in v~: ili kwamba \nd Bwana\nd* aweze kunitimizia ahadi yake: ‘Kama wazao wako wakiangalia sana wanavyoishi, na kama wakienenda kwa uaminifu mbele zangu kwa mioyo yao yote na kwa roho zao zote, kamwe hutakosa kuwa na mtu kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.’

KI1 2:5 Removed trailing space in v~: “Sasa wewe mwenyewe unafahamu lile Yoabu mwana wa Seruya alilonitendea, lile alilofanya kwa majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri mwana wa Neri, na Amasa mwana wa Yetheri. Aliwaua, akimwaga damu yao wakati wa amani kama vile ni kwenye vita, tena akaipaka damu ile kwenye mkanda uliokuwa kiunoni mwake na viatu alivyovaa miguuni mwake.

KI1 2:6 Removed trailing space in v~: Shughulika naye kwa kadiri ya hekima yako, lakini usiache kichwa chake chenye mvi kishukie kaburi kwa amani.

KI1 2:7 Removed trailing space in v~: “Lakini uwaonyeshe wema wana wa Barzilai wa Gileadi na uwaruhusu wawe miongoni mwa wale walao mezani pako. Walisimama nami nilipomkimbia ndugu yako Absalomu.

KI1 2:8 Removed trailing space in v~: “Ukumbuke, unaye Shimei mwana wa Gera, Mbenyamini kutoka Bahurimu, ambaye alinilaani kwa laana kali siku niliyokwenda Mahanaimu. Aliposhuka kunilaki huko Yordani, nilimwapia kwa \nd Bwana\nd*: ‘Sitakuua kwa upanga!’

KI1 2:9 Removed trailing space in v~: Lakini sasa, usidhani kwamba hana hatia. Wewe ni mtu wa hekima, utajua la kumtendea. Zishushe mvi zake kaburini kwa damu.”

KI1 2:10 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akapumzika pamoja na baba zake naye akazikwa katika Mji wa Daudi.

KI1 2:11 Removed trailing space in v~: Daudi alikuwa ametawala juu ya Israeli miaka arobaini: huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.

KI1 2:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Solomoni akaketi katika kiti cha ufalme cha baba yake Daudi, nao utawala wake ukaimarika sana.

KI1 2:12 Removed trailing space in s1: Kiti Cha Ufalme Cha Solomoni Chaimarishwa

KI1 2:13 Removed trailing space in v~: Basi Adoniya, mwana wa Hagithi, akaenda kwa Bathsheba, mama yake Solomoni. Bathsheba akamuuliza, “Je, umekuja kwa amani?”

KI1 2:13 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Ndiyo, kwa amani.”

KI1 2:14 Removed trailing space in v~: Kisha akaongeza, “Ninalo jambo la kukuambia.”

KI1 2:14 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Waweza kulisema.”

KI1 2:15 Removed trailing space in v~: Akasema, “Kama unavyojua, ufalme ulikuwa wangu. Israeli wote waliniangalia mimi kama mfalme wao. Lakini mambo yalibadilika, ufalme umekwenda kwa ndugu yangu, kwa maana umemjia kutoka kwa \nd Bwana\nd*.

KI1 2:16 Removed trailing space in v~: Sasa ninalo ombi moja ninalokuomba. Usinikatalie.”

KI1 2:16 Removed trailing space in p~: Bathsheba akasema, “Waweza kuliomba.”

KI1 2:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akaendelea kusema, “Tafadhali mwombe Mfalme Solomoni, anipatie Abishagi, Mshunami, awe mke wangu; hatakukatalia wewe.”

KI1 2:18 Removed trailing space in v~: Bathsheba akamjibu, “Vema sana, nitazungumza na mfalme kwa ajili yako.”

KI1 2:19 Removed trailing space in v~: Bathsheba alipokwenda kwa Mfalme Solomoni kuzungumza naye kwa ajili ya Adoniya, mfalme alisimama kumlaki mama yake, akamwinamia na kuketi kwenye kiti chake cha ufalme. Akaamuru kiti cha ufalme kuletwa kwa ajili ya mama yake mfalme, naye akaketi mkono wake wa kuume.

KI1 2:20 Removed trailing space in v~: Bathsheba akamwambia mfalme, “Ninalo ombi moja dogo la kukuomba; usinikatalie.”

KI1 2:20 Removed trailing space in p~: Mfalme akajibu, “Omba, mama yangu; sitakukatalia.”

KI1 2:21 Removed trailing space in v~: Akasema, “Mruhusu Abishagi, Mshunami, aolewe na ndugu yako Adoniya.”

KI1 2:22 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akamjibu mama yake, “Kwa nini uombe Abishagi, Mshunami, kwa ajili ya Adoniya? Ungeweza pia kuomba ufalme kwa ajili yake, kwani yeye ni ndugu yangu mkubwa: naam, kwa ajili yake, na kwa kuhani Abiathari na Yoabu mwana wa Seruya!”

KI1 2:23 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akaapa kwa \nd Bwana\nd*, akasema: “Mungu na aniulie mbali, tena bila huruma, ikiwa Adoniya hatalipa kwa uhai wake kwa ajili ya ombi hili!

KI1 2:24 Removed trailing space in v~: Basi sasa, hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, yeye ambaye ameniimarisha salama kwenye kiti cha ufalme cha Daudi baba yangu, naye amenipa ufalme wa kudumu kama alivyoahidi, Adoniya atauawa leo!”

KI1 2:25 Removed trailing space in v~: Hivyo Mfalme Solomoni akatoa amri kwa Benaya mwana wa Yehoyada, naye akampiga Adoniya akafa.

KI1 2:26 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia kuhani Abiathari, “Nenda huko Anathothi katika mashamba yako. Wewe unastahili kufa, lakini sitakuua sasa, kwa sababu ulilichukua Sanduku la \nd Bwana\nd* Mwenyezi mbele ya Daudi baba yangu na ulishiriki taabu zote za baba yangu.”

KI1 2:27 Removed trailing space in v~: Hivyo Solomoni akamwondoa Abiathari kwenye ukuhani wa \nd Bwana\nd*, akilitimiza neno la \nd Bwana\nd* alilokuwa amenena huko Shilo kuhusu nyumba ya Eli.

KI1 2:28 Removed trailing space in v~: Habari zilipomfikia Yoabu, ambaye alikuwa amefanya shauri baya na Adoniya, lakini sio na Absalomu, alikimbilia kwenye hema la \nd Bwana\nd* na kushika pembe za madhabahu.

KI1 2:29 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akaambiwa kuwa Yoabu amekimbilia kwenye hema la \nd Bwana\nd* naye alikuwa kando ya madhabahu. Basi Solomoni akamwagiza Benaya mwana wa Yehoyada: “Nenda ukamuue!”

KI1 2:30 Removed trailing space in v~: Ndipo Benaya akaingia kwenye hema la \nd Bwana\nd* na kumwambia Yoabu, “Mfalme anasema, ‘Toka nje!’ ”

KI1 2:30 Removed trailing space in p~: Lakini akajibu, “La! Nitafia hapa hapa.”

KI1 2:30 Removed trailing space in p~: Benaya akamwarifu mfalme, “Hivi ndivyo Yoabu alivyonijibu.”

KI1 2:31 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akamwamuru Benaya, “Fanya kama asemavyo. Muue na kumzika, ili uniondolee mimi na nyumba ya baba yangu dhambi ya damu isiyokuwa na hatia ile Yoabu aliyoimwaga.

KI1 2:32 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atamlipiza kwa ajili ya damu aliyoimwaga, kwa sababu pasipo Daudi baba yangu kujua, aliwashambulia watu wawili na kuwaua kwa upanga. Wote wawili, Abneri mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Israeli, na Amasa mwana wa Yetheri, jemadari wa jeshi la Yuda, walikuwa watu wazuri na wanyofu kuliko yeye.

KI1 2:33 Removed trailing space in v~: Hatia ya damu yao na iwe juu ya kichwa cha Yoabu na wazao wake milele. Lakini kwa Daudi na uzao wake, nyumba yake na kiti chake cha ufalme, iwepo amani ya \nd Bwana\nd* milele.”

KI1 2:34 Removed trailing space in v~: Basi Benaya mwana wa Yehoyada akakwea, akampiga na kumuua Yoabu, naye akazikwa katika nchi yake mwenyewe katika jangwa.

KI1 2:35 Removed trailing space in v~: Mfalme akamweka Benaya mwana wa Yehoyada juu ya jeshi kwenye nafasi ya Yoabu na kumweka kuhani Sadoki badala ya Abiathari.

KI1 2:36 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akatuma ujumbe kwa Shimei na kumwambia, “Ujijengee nyumba huko Yerusalemu uishi huko, lakini usiende mahali pengine popote.

KI1 2:37 Removed trailing space in v~: Siku utakayoondoka kuvuka Bonde la Kidroni, uwe na hakika utakufa; damu yako itakuwa juu ya kichwa chako mwenyewe.”

KI1 2:38 Removed trailing space in v~: Shimei akamjibu mfalme, “Ulilolisema ni jema. Mtumishi wako atatenda kama bwana wangu mfalme alivyosema.” Naye Shimei akakaa Yerusalemu kwa muda mrefu.

KI1 2:39 Removed trailing space in v~: Lakini baada ya miaka mitatu, watumwa wawili wa Shimei wakatoroka kwenda kwa Akishi mwana wa Maaka, mfalme wa Gathi, naye Shimei akaambiwa, “Watumwa wako wako Gathi.”

KI1 2:40 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya hili, Shimei akatandika punda wake, akaenda kwa Akishi huko Gathi kuwatafuta watumwa wake. Basi Shimei akaondoka na kuwarudisha watumwa wake kutoka Gathi.

KI1 2:41 Removed trailing space in v~: Solomoni alipoambiwa kuwa Shimei ametoka Yerusalemu na kwenda Gathi na amekwisha kurudi,

KI1 2:42 Removed trailing space in v~: mfalme akamwita Shimei na kumwambia, “Je, sikukuapiza kwa \nd Bwana\nd* na kukuonya kuwa, ‘Siku utakayoondoka kwenda mahali pengine popote, uwe na hakika utakufa?’ Wakati ule uliniambia, ‘Ulilolisema ni jema. Nitatii!’

KI1 2:43 Removed trailing space in v~: Kwa nini basi hukutunza kiapo chako kwa \nd Bwana\nd* na kutii amri niliyokupa?”

KI1 2:44 Removed trailing space in v~: Pia mfalme akamwambia Shimei, “Unajua katika moyo wako makosa uliyomtendea baba yangu Daudi. Sasa \nd Bwana\nd* atakulipiza kwa ajili ya mabaya yako uliyotenda.

KI1 2:45 Removed trailing space in v~: Lakini Mfalme Solomoni atabarikiwa, na kiti cha ufalme cha Daudi kitakuwa imara mbele za \nd Bwana\nd* milele.”

KI1 2:46 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akatoa amri kwa Benaya mwana wa Yehoyada, naye akatoka nje, akampiga Shimei na kumuua.

KI1 2:46 Removed trailing space in p~: Sasa ufalme ukawa umeimarika kikamilifu mikononi mwa Solomoni.

KI1 3:0 Extra space after chapter number

KI1 3:0 Removed trailing space in c: 3

KI1 3:0 Removed trailing space in s1: Solomoni Anaomba Hekima

KI1 3:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 1:3-12)

KI1 3:1 Removed trailing space in v~: Solomoni akafanya urafiki na Mfalme Farao wa Misri na kumwoa binti yake. Akamleta huyo binti katika Mji wa Daudi mpaka alipomaliza kujenga jumba lake la kifalme na Hekalu la \nd Bwana\nd*, pamoja na ukuta kuzunguka Yerusalemu.

KI1 3:2 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, watu bado walikuwa wakitoa dhabihu huko kwenye vilima, kwa sababu Hekalu lilikuwa bado halijajengwa kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*.

KI1 3:3 Removed trailing space in v~: Solomoni akaonyesha upendo wake kwa \nd Bwana\nd* kwa kuenenda sawasawa na amri za Daudi baba yake, ila yeye alitoa dhabihu na kufukiza uvumba huko mahali pa juu.

KI1 3:4 Removed trailing space in v~: Mfalme akaenda Gibeoni kutoa dhabihu, kwa maana ndipo palipokuwa mahali pa juu pa kuabudia, naye Solomoni akatoa sadaka elfu moja za kuteketezwa juu ya hayo madhabahu.

KI1 3:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtokea Solomoni huko Gibeoni wakati wa usiku katika ndoto, naye Mungu akasema, “Omba lolote utakalo nikupe.”

KI1 3:6 Removed trailing space in v~: Solomoni akajibu, “Umemfanyia mtumishi wako, baba yangu Daudi, fadhili nyingi, kwa kuwa alikuwa mwaminifu kwako na mwenye haki, tena mnyofu wa moyo. Nawe umemzidishia fadhili hii kuu kwani umempa mwana wa kuketi kwenye kiti chake cha ufalme, kama ilivyo leo.

KI1 3:7 Removed trailing space in v~: “Sasa, Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu, umemfanya mtumishi wako mfalme badala ya baba yangu Daudi. Lakini mimi ni mtoto mdogo tu, wala sijui jinsi ya kutekeleza wajibu wangu.

KI1 3:8 Removed trailing space in v~: Mtumishi wako yuko hapa miongoni mwa watu uliowachagua: taifa kubwa, watu wengi wasioweza kuhesabika wala kutoa idadi yao.

KI1 3:9 Removed trailing space in v~: Hivyo mpe mtumishi wako moyo wa ufahamu ili kutawala watu wako na kupambanua kati ya mema na mabaya. Kwa maana, ni nani awezaye kutawala watu wako hawa walio wengi hivi?”

KI1 3:10 Removed trailing space in v~: Bwana akapendezwa kwamba Solomoni ameliomba jambo hili.

KI1 3:11 Removed trailing space in v~: Basi Mungu akamwambia, “Kwa kuwa umeomba neno hili na hukuomba maisha marefu au upate utajiri kwa nafsi yako, wala adui zako wafe, bali umeomba ufahamu katika kutoa haki,

KI1 3:12 Removed trailing space in v~: nitafanya lile uliloomba. Nitakupa moyo wa hekima na wa ufahamu, kiasi kwamba hajakuwepo mtu mwingine kama wewe, wala kamwe hatakuwepo baada yako.

KI1 3:13 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, nitakupa yale ambayo hukuomba, yaani utajiri na heshima, ili kwamba maisha yako yote hapatakuwa na mtu kama wewe miongoni mwa wafalme.

KI1 3:14 Removed trailing space in v~: Nawe kama ukienenda katika njia zangu na kutii sheria na amri zangu kama baba yako Daudi alivyofanya, nitakupa maisha marefu.”

KI1 3:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Solomoni akaamka, akatambua kuwa ilikuwa ndoto.

KI1 3:15 Removed trailing space in p~: Akarudi Yerusalemu, akasimama mbele ya Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*, naye akatoa dhabihu za kuteketezwa na sadaka za amani. Kisha akawafanyia watumishi wake wote karamu.

KI1 3:15 Removed trailing space in s1: Utawala Wa Hekima

KI1 3:16 Removed trailing space in v~: Basi wanawake wawili makahaba walikuja kwa mfalme na kusimama mbele yake.

KI1 3:17 Removed trailing space in v~: Mmojawapo akasema, “Bwana wangu, mimi na mwanamke huyu tunaishi kwenye nyumba moja. Nilikuwa nimezaa alipokuwa pamoja nami.

KI1 3:18 Removed trailing space in v~: Siku ya tatu baada ya mtoto wangu kuzaliwa, mwanamke huyu pia naye akazaa mtoto. Tulikuwa peke yetu, hapakuwa na mtu mwingine yeyote katika nyumba isipokuwa sisi wawili.

KI1 3:19 Removed trailing space in v~: “Wakati wa usiku mwana wa huyu mwanamke akafa kwa sababu alimlalia.

KI1 3:20 Removed trailing space in v~: Hivyo akaondoka katikati ya usiku na kumchukua mwanangu kutoka ubavuni pangu wakati mimi mtumishi wako nilipokuwa nimelala. Akamweka kifuani mwake na kumweka mwanawe aliyekufa kifuani mwangu.

KI1 3:21 Removed trailing space in v~: Asubuhi yake, nikaamka ili kumnyonyesha mwanangu, naye alikuwa amekufa! Lakini nilipomwangalia sana katika nuru ya asubuhi, niliona kuwa hakuwa yule mwana niliyekuwa nimemzaa.”

KI1 3:22 Removed trailing space in v~: Huyo mwanamke mwingine akasema, “Hapana! Mwana aliye hai ndiye wangu, aliyekufa ni wako.”

KI1 3:22 Removed trailing space in p~: Lakini yule wa kwanza akasisitiza, “Hapana! Mwana aliyekufa ni wako, aliye hai ni wangu.” Hivi ndivyo walivyobishana mbele ya mfalme.

KI1 3:23 Removed trailing space in v~: Mfalme akasema, “Huyu anasema, ‘Mwanangu ndiye aliye hai, na aliyekufa ndiye mwanao,’ maadamu yule anasema, ‘Hapana! Aliyekufa ni wako, na aliye hai ni wangu.’ ”

KI1 3:24 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akasema, “Nileteeni upanga.” Basi wakamletea mfalme upanga.

KI1 3:25 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akatoa amri: “Mkate mtoto aliye hai vipande viwili; mpe huyu nusu na mwingine nusu.”

KI1 3:26 Removed trailing space in v~: Mwanamke ambaye mwanawe alikuwa hai akajawa na huruma kwa ajili ya mwanawe na kumwambia mfalme, “Tafadhali, bwana wangu, mpe yeye mtoto aliye hai! Usimuue!”

KI1 3:26 Removed trailing space in p~: Lakini yule mwanamke mwingine akasema, “Mkate vipande viwili. Asiwe wangu au wake!”

KI1 3:27 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akatoa uamuzi wake: “Mpeni mama wa kwanza mtoto aliye hai. Msimuue; ndiye mama yake.”

KI1 3:28 Removed trailing space in v~: Wakati Israeli yote iliposikia hukumu aliyotoa mfalme, wakamwogopa mfalme, kwa sababu waliona kuwa alikuwa na hekima kutoka kwa Mungu kwa kutoa haki.

KI1 4:0 Extra space after chapter number

KI1 4:0 Removed trailing space in c: 4

KI1 4:0 Removed trailing space in s1: Maafisa Wa Solomoni Na Watawala

KI1 4:1 Removed trailing space in v~: Basi Mfalme Solomoni akatawala Israeli yote.

KI1 4:2 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa maafisa wake wakuu:

KI1 4:2 Removed trailing space in p~: Kuhani: Azaria mwana wa Sadoki;

KI1 4:3 Removed trailing space in v~: Elihorefu na Ahiya, wana wa Shisha: waandishi;

KI1 4:3 Removed trailing space in p~: Yehoshafati mwana wa Ahiludi: karani;

KI1 4:4 Removed trailing space in v~: Benaya mwana wa Yehoyada: jemadari mkuu wa jeshi;

KI1 4:4 Removed trailing space in p~: Sadoki na Abiathari: makuhani;

KI1 4:5 Removed trailing space in v~: Azaria mwana wa Nathani: kiongozi wa maafisa wa wilaya;

KI1 4:5 Removed trailing space in p~: Zabudi mwana wa Nathani: kuhani na mshauri binafsi wa mfalme;

KI1 4:6 Removed trailing space in v~: Ahishari: msimamizi wa jumba la kifalme;

KI1 4:6 Removed trailing space in p~: Adoniramu mwana wa Abda: msimamizi wa kazi za kulazimisha.

KI1 4:7 Removed trailing space in v~: Pia Solomoni alikuwa na watawala kumi na wawili wa wilaya katika Israeli yote, walioleta mahitaji kwa mfalme na kwa watu wa nyumbani kwa mfalme. Kila mmoja alitoa chakula kwa mwezi mmoja katika mwaka.

KI1 4:8 Removed trailing space in v~: Majina yao ni haya:

KI1 4:8 Removed trailing space in p~: Ben-Huri: katika nchi ya vilima ya Efraimu;

KI1 4:9 Removed trailing space in v~: Ben-Dekeri: katika Makasi, Shaalbimu, Beth-Shemeshi na Elon-Bethhanani;

KI1 4:10 Removed trailing space in v~: Ben-Hesedi: katika Arubothi (Soko na nchi yote ya Heferi zilikuwa zake);

KI1 4:11 Removed trailing space in v~: Ben-Abinadabu: katika Nafoth-Dori (alimwoa Tafathi binti Solomoni);

KI1 4:12 Removed trailing space in v~: Baana mwana wa Ahiludi: katika Taanaki na Megido, na katika Beth-Shani yote karibu na Sarethani chini ya Yezreeli, kuanzia Beth-Shani hadi Abel-Mehola kupita hadi Yokmeamu;

KI1 4:13 Removed trailing space in v~: Ben-Geberi: katika Ramoth-Gileadi (makao ya Yairi mwana wa Manase katika Gileadi ilikuwa miji yake, pamoja na wilaya ya Argobu katika Bashani na miji yake mikubwa sitini yenye kuzungukwa na kuta zenye makomeo ya shaba);

KI1 4:14 Removed trailing space in v~: Ahinadabu mwana wa Ido: katika Mahanaimu;

KI1 4:15 Removed trailing space in v~: Ahimaasi: katika Naftali (alikuwa amemwoa Basemathi binti Solomoni);

KI1 4:16 Removed trailing space in v~: Baana mwana wa Hushai: katika Asheri na katika Bealothi;

KI1 4:17 Removed trailing space in v~: Yehoshafati mwana wa Parua: katika Isakari;

KI1 4:18 Removed trailing space in v~: Shimei mwana wa Ela: katika Benyamini;

KI1 4:19 Removed trailing space in v~: Geberi mwana wa Uri: katika Gileadi (nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori na nchi ya Ogu mfalme wa Bashani). Naye alikuwa ndiye mtawala pekee katika eneo hilo.

KI1 4:19 Removed trailing space in s1: Mahitaji Ya Solomoni Ya Kila Siku

KI1 4:20 Removed trailing space in v~: Watu wa Yuda na Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani; walikula, wakanywa na kufurahi.

KI1 4:21 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akatawala katika falme zote kuanzia Mto Frati hadi nchi ya Wafilisti, hadi kwenye mpaka wa Misri. Nchi hizi zilileta ushuru na zilikuwa chini ya Solomoni, siku zote za maisha yake.

KI1 4:22 Removed trailing space in v~: Mahitaji ya Solomoni ya kila siku yalikuwa kori thelathini\f + \fr 4:22 \ft Kori 30 ni sawa na madebe 360.\f* za unga laini, kori sitini\f + \fr 4:22 \ft Kori 60 ni sawa na madebe 720.\f* za unga wa kawaida.

KI1 4:23 Removed trailing space in v~: Ngʼombe kumi wa zizini, ngʼombe ishirini wa malisho, kondoo na mbuzi mia moja, pamoja na ayala, paa, kulungu na kuku wazuri sana.

KI1 4:24 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Solomoni alitawala falme zote magharibi ya mto, kuanzia Tifsa hadi Gaza, naye akawa na amani pande zote.

KI1 4:25 Removed trailing space in v~: Wakati wa maisha ya Solomoni Yuda na Israeli, kuanzia Dani mpaka Beer-Sheba, wakaishi salama kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake.

KI1 4:26 Removed trailing space in v~: Solomoni alikuwa na mabanda 4,000\f + \fr 4:26 \ft Waandishi wengine wanasema 40,000 (angalia \+xt 2Nya 9:25\+xt*).\f* ya magari ya vita, na farasi 12,000.

KI1 4:26 Found unexpected backslash in footnote: 4:26 Waandishi wengine wanasema 40,000 (angalia \+xt 2Nya 9:25\+xt*).

KI1 4:27 Removed trailing space in v~: Maafisa wa eneo hilo, kila mmoja katika mwezi wake, walileta mahitaji kwa ajili ya Mfalme Solomoni na wote waliokula mezani mwa mfalme. Walihakikisha kuwa hakuna chochote kilichopungua.

KI1 4:28 Removed trailing space in v~: Pia walileta sehemu walizopangiwa za shayiri na majani kwa ajili ya farasi wavutao magari na farasi wengine mahali palipostahili.

KI1 4:28 Removed trailing space in s1: Hekima Ya Solomoni

KI1 4:29 Removed trailing space in v~: Mungu akampa Solomoni hekima na akili kubwa, pia ufahamu mpana usiopimika kama mchanga ulioko pwani ya bahari.

KI1 4:30 Removed trailing space in v~: Hekima ya Solomoni ilikuwa kubwa kuliko hekima ya watu wote wa Mashariki na kubwa kuliko hekima yote ya Misri.

KI1 4:31 Removed trailing space in v~: Alikuwa na hekima kuliko kila mwandishi, akiwemo Ethani Mwezrahi: kuliko Hemani, Kalkoli na Darda, wana wa Maholi. Umaarufu wake ukaenea kwa mataifa yote yaliyomzunguka.

KI1 4:32 Removed trailing space in v~: Akanena mithali 3,000 na nyimbo zake zilikuwa 1,005.

KI1 4:33 Removed trailing space in v~: Akaelezea maisha ya mimea kuanzia mwerezi wa Lebanoni hadi hisopo iotayo ukutani. Pia akafundisha kuhusu wanyama na ndege, wanyama wenye damu baridi, wakiwemo samaki.

KI1 4:34 Removed trailing space in v~: Watu wa mataifa yote wakaja kusikiliza hekima ya Solomoni, waliotumwa na wafalme wote wa ulimwengu, waliokuwa wamesikia juu ya hekima yake.

KI1 5:0 Extra space after chapter number

KI1 5:0 Removed trailing space in c: 5

KI1 5:0 Removed trailing space in s1: Maandalio Ya Ujenzi Wa Hekalu

KI1 5:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 2:1-18)

KI1 5:1 Removed trailing space in v~: Hiramu mfalme wa Tiro aliposikia kuwa Solomoni ametiwa mafuta awe mfalme mahali pa Daudi baba yake, akatuma wajumbe kwa Solomoni, kwa sababu Hiramu siku zote alikuwa na uhusiano mzuri wa kirafiki na Daudi.

KI1 5:2 Removed trailing space in v~: Solomoni akapeleka ujumbe huu kwa Hiramu:

KI1 5:3 Removed trailing space in v~: “Unajua kwamba kwa sababu ya vita vilivyopiganwa dhidi ya baba yangu Daudi kutoka pande zote, hakuweza kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd* Mungu wake, hadi \nd Bwana\nd* alipowaweka adui zake chini ya miguu yake.

KI1 5:4 Removed trailing space in v~: Lakini sasa \nd Bwana\nd* Mungu wangu amenipa utulivu kila upande hakuna adui wala maafa.

KI1 5:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ninakusudia kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wangu, kama \nd Bwana\nd* alivyomwambia baba yangu Daudi, wakati aliposema, ‘Mwanao nitakayemweka kwenye kiti cha ufalme mahali pako, ndiye atajenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu.’

KI1 5:6 Removed trailing space in v~: “Hivyo toa amri ili mierezi ya Lebanoni ikatwe kwa ajili yangu. Watu wangu watafanya kazi na watu wako, nami nitawalipa watu wako kwa ujira wowote utakaoupanga. Unajua kwamba hatuna mtu yeyote mwenye ustadi katika kukata miti kama Wasidoni.”

KI1 5:7 Removed trailing space in v~: Hiramu aliposikia ujumbe wa Solomoni, akafurahishwa sana akasema, “Ahimidiwe \nd Bwana\nd* leo, kwa kuwa amempa Daudi mwana mwenye hekima kutawala juu ya taifa hili kubwa.”

KI1 5:8 Removed trailing space in v~: Hiramu akatuma neno kwa Solomoni:

KI1 5:8 Removed trailing space in p~: “Nimepokea ujumbe ulionipelekea na nitafanya yote unayohitaji katika kukupatia magogo ya mierezi na misunobari.

KI1 5:9 Removed trailing space in v~: Watu wangu watayakokota kutoka Lebanoni hadi kwenye bahari, nami nitayafunga mafungu mafungu yaelee juu ya maji hadi utakapoelekeza. Huko nitayatenganisha, nawe utaweza kuyachukua. Wewe utakidhi haja yangu kwa kunipatia chakula kwa ajili ya watu wa nyumbani mwangu.”

KI1 5:10 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii Hiramu akampa Solomoni miti yote ya mierezi na magogo ya misunobari kama alivyohitaji,

KI1 5:11 Removed trailing space in v~: naye Solomoni akampa Hiramu kori 20,000\f + \fr 5:11 \ft Kori 20,000 ni sawa na madebe 240,000.\f* za ngano kama chakula kwa ajili ya watu wa nyumbani mwake, pamoja na mafuta safi ya zeituni yaliyokamuliwa bathi 20,000.\f + \fr 5:11 \ft Bathi 20,000 ni sawa na madebe 200.\f* Solomoni aliendelea kumfanyia Hiramu hivyo mwaka baada ya mwaka.

KI1 5:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akampa Solomoni hekima, kama alivyomwahidi. Palikuwepo na uhusiano wa amani kati ya Hiramu na Solomoni, na wote wawili wakafanya mkataba.

KI1 5:13 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akakusanya wafanyakazi 30,000 kutoka Israeli yote.

KI1 5:14 Removed trailing space in v~: Akawapeleka Lebanoni kwa zamu za watu 10,000 kwa mwezi, hivyo walikaa Lebanoni kwa mwezi mmoja na miezi miwili nyumbani. Adoniramu ndiye alikuwa kiongozi wa shokoa.

KI1 5:15 Removed trailing space in v~: Solomoni alikuwa na wachukuzi wa mizigo 70,000 na wachonga mawe 80,000 huko vilimani,

KI1 5:16 Removed trailing space in v~: pamoja na wasimamizi 3,300 ambao walisimamia kazi hiyo na kuwaongoza wafanyakazi.

KI1 5:17 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya mfalme walitoa kwenye machimbo ya mawe, mawe makubwa, yaliyo bora kwa kujengea msingi wa nyumba yaliyochongwa kwa ajili ya Hekalu.

KI1 5:18 Removed trailing space in v~: Mafundi wa Solomoni, wa Hiramu na watu wa Gebali\f + \fr 5:18 \ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti).\f* walikata na kuandaa mbao na mawe kwa ajili ya ujenzi wa Hekalu.

KI1 6:0 Extra space after chapter number

KI1 6:0 Removed trailing space in c: 6

KI1 6:0 Removed trailing space in s1: Solomoni Ajenga Hekalu

KI1 6:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 3)

KI1 6:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa 480 baada ya Waisraeli kutoka nchi ya Misri, katika mwaka wa nne wa utawala wa Solomoni katika Israeli, katika mwezi wa Zivu, ambao ndio mwezi wa pili, alianza kujenga Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI1 6:2 Removed trailing space in v~: Hekalu hilo Mfalme Solomoni alilojenga kwa ajili ya \nd Bwana\nd* lilikuwa na urefu wa dhiraa sitini,\f + \fr 6:2 \ft Dhiraa 60 ni sawa na mita 27.\f* upana wa dhiraa ishirini\f + \fr 6:2 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.\f* na kimo cha dhiraa thelathini\f + \fr 6:2 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.\f* kwenda juu.

KI1 6:3 Removed trailing space in v~: Baraza ya mbele ya Hekalu ilienea dhiraa ishirini kulingana na upana wa Hekalu na kujitokeza dhiraa kumi mbele ya Hekalu.

KI1 6:4 Removed trailing space in v~: Akatengeneza madirisha membamba yenye vidirisha vidogo vya juu katika Hekalu.

KI1 6:5 Removed trailing space in v~: Akafanyiza vyumba vya pembeni kulizunguka Hekalu lote vikishikamana na kuta za Hekalu na za Patakatifu pa Patakatifu.

KI1 6:6 Removed trailing space in v~: Ghorofa ya chini kabisa ilikuwa na upana wa dhiraa tano,\f + \fr 6:6 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.\f* ya kati ilikuwa dhiraa sita na ya tatu ilikuwa dhiraa saba.\f + \fr 6:6 \ft Dhiraa saba ni sawa na mita 3.15.\f* Kuzunguka ukuta wa nje wa Hekalu akapunguza ukuta pande zote ili boriti zisishikane kwenye kuta za Hekalu.

KI1 6:7 Removed trailing space in v~: Katika kujenga Hekalu, yalitumika tu mawe yaliyochongwa huko machimboni, wala hakuna nyundo, patasi au chombo kingine chochote cha chuma kilichosikika sauti yake katika eneo la ujenzi wa Hekalu wakati lilipokuwa likijengwa.

KI1 6:8 Removed trailing space in v~: Ingilio la ghorofa ya chini kabisa lilikuwa upande wa kusini wa Hekalu, ngazi ilielekea ghorofa ya kati na kutokea hapo ilielekea hadi ghorofa ya tatu.

KI1 6:9 Removed trailing space in v~: Basi Solomoni akajenga Hekalu na kulikamilisha, akiliweka paa za boriti na mbao za mierezi.

KI1 6:10 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akajenga vyumba vya pembeni kuzunguka Hekalu lote. Kimo cha kila kimoja kilikuwa dhiraa tano. Navyo vilikuwa vimeunganishwa na Hekalu kwa boriti za mierezi.

KI1 6:11 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likamjia Solomoni kusema:

KI1 6:12 Removed trailing space in v~: “Kwa habari ya Hekalu hili unalojenga, kama ukifuata amri zangu, ukatunza masharti yangu na kushika maagizo yangu yote na kuyatii, kwa kupitia wewe nitatimiza ahadi niliyomwahidi Daudi baba yako.

KI1 6:13 Removed trailing space in v~: Nami nitakaa miongoni mwa Waisraeli, nami sitawaacha watu wangu Israeli.”

KI1 6:14 Removed trailing space in v~: Basi Solomoni akajenga Hekalu na kulikamilisha.

KI1 6:15 Removed trailing space in v~: Akazifunika kuta zake za ndani kwa mbao za mierezi, akizipigilia ukutani kuanzia sakafuni mwa Hekalu hadi kwenye dari na kufunika sakafu ya Hekalu kwa mbao za misunobari.

KI1 6:16 Removed trailing space in v~: Akagawa dhiraa ishirini sehemu ya nyuma ya Hekalu kwa mbao za mierezi kuanzia kwenye sakafu hadi darini ili kufanya sehemu takatifu ya ndani, yaani Patakatifu pa Patakatifu.

KI1 6:17 Removed trailing space in v~: Ukumbi mkubwa uliokuwa mbele ya chumba hiki ndio ulikuwa na urefu wa dhiraa arobaini.\f + \fr 6:17 \ft Dhiraa 40 ni sawa na mita 18.\f*

KI1 6:18 Removed trailing space in v~: Hekalu ndani ilikuwa ya mierezi iliyonakshiwa mifano ya maboga na maua yaliyochanua. Kila kitu kilikuwa cha mwerezi, hakuna jiwe ambalo lilionekana.

KI1 6:19 Removed trailing space in v~: Ndani ya Hekalu akatengeneza sehemu takatifu ya ndani, kwa ajili ya kuweka Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*.

KI1 6:20 Removed trailing space in v~: Sehemu takatifu ya ndani ilikuwa na upana, urefu na kimo cha dhiraa ishirini ndani kwa ndani. Akaifunika ndani kwa dhahabu safi, pia akaifunika madhabahu ya mierezi vivyo hivyo.

KI1 6:21 Removed trailing space in v~: Solomoni akaifunika sehemu ya ndani ya Hekalu kwa dhahabu safi, naye akaitandaza mikufu ya dhahabu kutoka upande moja hadi ule mwingine mbele ya Patakatifu pa Patakatifu, ambako palifunikwa kwa dhahabu.

KI1 6:22 Removed trailing space in v~: Basi akafunika sehemu yote ya ndani kwa dhahabu. Pia akafunika madhabahu yale yaliyokuwa ndani ya Patakatifu pa Patakatifu kwa dhahabu.

KI1 6:23 Removed trailing space in v~: Katika Patakatifu pa Patakatifu akatengeneza makerubi wawili kwa mzeituni, kila moja likiwa na dhiraa kumi\f + \fr 6:23 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.\f* kwenda juu.

KI1 6:24 Removed trailing space in v~: Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa dhiraa tano na bawa jingine dhiraa tano, hivyo urefu kutoka ncha ya bawa moja hadi ncha ya bawa jingine ulikuwa dhiraa kumi.

KI1 6:25 Removed trailing space in v~: Kerubi wa pili alikuwa na urefu wa dhiraa kumi pia, hivyo makerubi hao wawili walifanana kwa vipimo na kwa umbo.

KI1 6:26 Removed trailing space in v~: Kimo cha kila kerubi kilikuwa dhiraa kumi.

KI1 6:27 Removed trailing space in v~: Aliwaweka makerubi hao ndani ya Patakatifu pa Patakatifu pa Hekalu, mabawa yake yakiwa yamekunjuliwa. Bawa la kerubi mmoja liligusa ukuta mmoja, wakati bawa la yule mwingine liligusa ukuta mwingine, nayo mabawa yao mengine yaligusana katikati ya chumba.

KI1 6:28 Removed trailing space in v~: Akafunika wale makerubi kwa dhahabu.

KI1 6:29 Removed trailing space in v~: Juu ya kuta zote zilizozunguka Hekalu, za vyumba vya ndani na vya nje, zilipambwa kwa nakshi zilizokatwa za makerubi, miti ya mitende na maua yaliyochanua.

KI1 6:30 Removed trailing space in v~: Pia alifunika sakafu zote za vyumba vya ndani na vya nje vya Hekalu kwa dhahabu.

KI1 6:31 Removed trailing space in v~: Kwa ingilio la Patakatifu pa Patakatifu akatengeneza milango ya mbao za mzeituni, zikiwa na miimo na vizingiti vyenye umbo la pembe tano.

KI1 6:32 Removed trailing space in v~: Juu ya milango miwili ya mbao za mzeituni alinakshi makerubi, miti ya mitende pamoja na maua yaliyochanua na kufunika makerubi na miti ya mitende kwa dhahabu iliyofuliwa.

KI1 6:33 Removed trailing space in v~: Kwa njia iyo hiyo akatengeneza miimo yenye pande nne ya miti ya mizeituni, kwa ajili ya ingilio la ukumbi mkubwa.

KI1 6:34 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na milango miwili iliyoweza kukunjuka iliyotengenezwa kwa mbao za msunobari na kila mmoja ulikuwa na bawaba ambazo zingeuwezesha kujikunja kila kipande juu ya kingine.

KI1 6:35 Removed trailing space in v~: Akanakshi makerubi, miti ya mitende na maua yaliyochanua juu yake na kufunika kwa dhahabu iliyonyooshwa vizuri juu ya michoro.

KI1 6:36 Removed trailing space in v~: Tena akajenga ua wa ndani safu tatu za mawe yaliyochongwa na safu moja ya boriti za mierezi zilizorembwa.

KI1 6:37 Removed trailing space in v~: Msingi wa Hekalu la \nd Bwana\nd* uliwekwa katika mwaka wa nne, katika mwezi wa Zivu, ndio mwezi wa tano.

KI1 6:38 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane, Hekalu lilikamilika katika hatua zake zote kwa kufuatana na maelekezo yake Solomoni. Alilijenga kwa miaka saba.

KI1 7:0 Extra space after chapter number

KI1 7:0 Removed trailing space in c: 7

KI1 7:0 Removed trailing space in s1: Solomoni Ajenga Jumba Lake La Kifalme

KI1 7:1 Removed trailing space in v~: Ilimchukua Solomoni miaka kumi na mitatu kukamilisha ujenzi wa Jumba lake la kifalme.

KI1 7:2 Removed trailing space in v~: Alijenga Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni, urefu wake ulikuwa dhiraa 100,\f + \fr 7:2 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.\f* upana wake dhiraa hamsini na kimo chake dhiraa thelathini,\f + \fr 7:2 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.\f* likiwa na safu nne za nguzo za mierezi zikishikilia boriti za mierezi zilizorembwa.

KI1 7:3 Removed trailing space in v~: Ilipauliwa kwa mierezi juu ya boriti zile zilizolala juu ya nguzo arobaini na tano, kumi na tano kwa kila safu.

KI1 7:4 Removed trailing space in v~: Madirisha yake yaliwekwa juu kwa safu tatu, yakielekeana.

KI1 7:5 Removed trailing space in v~: Milango yote ilikuwa na miimo ya mstatili, ilikuwa upande wa mbele katika safu tatu, ikielekeana.

KI1 7:6 Removed trailing space in v~: Akajenga ukumbi wa nguzo, ambao urefu wake ulikuwa dhiraa hamsini\f + \fr 7:6 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.\f* na upana wake dhiraa thelathini. Mbele ya jengo hilo kulikuwepo baraza. Mbele ya baraza kulikuwepo na nguzo na paa lililoningʼinia.

KI1 7:7 Removed trailing space in v~: Akajenga ukumbi wa kiti cha enzi, Ukumbi wa Hukumu, mahali ambapo angelitolea hukumu, akaufunika kwa mierezi kutoka sakafuni hadi darini.

KI1 7:8 Removed trailing space in v~: Kwenye jumba la kifalme ambamo angeliishi, aliiweka nyuma zaidi, ikiwa na mjengo wa aina moja na hiyo nyingine. Pia Solomoni akajenga jumba la kifalme linalofanana na huo ukumbi mkubwa kwa ajili ya binti Farao, aliyekuwa amemwoa.

KI1 7:9 Removed trailing space in v~: Ujenzi huu wote, kuanzia nje mpaka kwenye ua mkuu na kuanzia kwenye msingi hadi upenuni, ulifanywa kwa mawe ya ubora wa hali ya juu yaliyokuwa yamechongwa kwa vipimo na kusawazishwa kwa msumeno nyuso zake za ndani na za nje.

KI1 7:10 Removed trailing space in v~: Misingi iliwekwa kwa mawe makubwa yaliyo bora, yenye urefu wa dhiraa kumi\f + \fr 7:10 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.\f* na mengine yenye urefu wa dhiraa nane\f + \fr 7:10 \ft Dhiraa nane ni sawa na mita 3.6.\f*

KI1 7:11 Removed trailing space in v~: Sehemu za juu kulikuwepo na mawe yenye ubora wa hali ya juu, yaliyokatwa kwa vipimo na boriti za mierezi.

KI1 7:12 Removed trailing space in v~: Ule ua mkuu ulizungukwa na ukuta wa safu tatu za mawe yaliyochongwa na safu moja ya boriti za mierezi zilizorembwa, kama ulivyokuwa ua wa ndani wa Hekalu la \nd Bwana\nd* na baraza yake.

KI1 7:12 Removed trailing space in s1: Samani Za Hekalu

KI1 7:12 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 4)

KI1 7:13 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akatuma watu Tiro kumleta Hiramu,

KI1 7:14 Removed trailing space in v~: ambaye mama yake alikuwa mjane kutoka kabila la Naftali na baba yake alikuwa mtu wa Tiro tena fundi wa shaba. Hiramu alikuwa na ustadi wa hali ya juu na mzoefu katika aina zote za kazi ya shaba. Alikuja kwa Mfalme Solomoni na kufanya kazi zake zote alizopangiwa.

KI1 7:15 Removed trailing space in v~: Hiramu akasubu nguzo mbili za shaba, kila moja ikiwa na urefu wa dhiraa kumi na nane,\f + \fr 7:15 \ft Dhiraa 18 ni sawa na mita 8.1.\f* kila nguzo ikiwa na mzingo wa dhiraa kumi na mbili\f + \fr 7:15 \ft Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4.\f* kwa mstari.

KI1 7:16 Removed trailing space in v~: Pia alitengeneza mataji mawili ya shaba ya kusubu ili kuyaweka juu ya hizo nguzo; kila taji lilikuwa na kimo cha dhiraa tano\f + \fr 7:16 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.\f* kwenda juu.

KI1 7:17 Removed trailing space in v~: Wavu wa mikufu iliyosokotewa kwenye zile taji juu ya zile nguzo, saba kwa kila taji.

KI1 7:18 Removed trailing space in v~: Akatengeneza makomamanga katika safu mbili kuzunguka kila wavu kuremba mataji yaliyo juu ya nguzo. Alifanya hivyo kwa kila nguzo.

KI1 7:19 Removed trailing space in v~: Mataji yaliyokuwa juu ya nguzo kwenye baraza, yalikuwa katika umbo la yungiyungi, kimo chake ni dhiraa nne\f + \fr 7:19 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.\f*

KI1 7:20 Removed trailing space in v~: Juu ya mataji ya zile nguzo mbili, juu ya ile sehemu yenye umbo kama bakuli, karibu na ule wavu, kulikuwa na yale makomamanga 200 katika safu kuzunguka pande zote.

KI1 7:21 Removed trailing space in v~: Hiramu akasimamisha nguzo kwenye baraza ya Hekalu. Nguzo ya upande wa kusini akaiita Yakini,\f + \fr 7:21 \ft Yakini maana yake Mungu atafanya imara.\f* na ile ya upande wa kaskazini Boazi.\f + \fr 7:21 \ft Boazi maana yake Ndani ya Mungu kuna nguvu.\f*

KI1 7:22 Removed trailing space in v~: Mataji yaliyokuwa juu yalikuwa na umbo la yungiyungi. Hivyo kazi ya nguzo ikakamilika.

KI1 7:23 Removed trailing space in v~: Hiramu akasubu Bahari ya chuma, yenye umbo la mviringo, ya dhiraa kumi kutoka ukingo hadi ukingo na kimo cha dhiraa tano. Mzunguko wake ulikuwa dhiraa thelathini.

KI1 7:24 Removed trailing space in v~: Chini ya ukingo, ilizungukwa na maboga, kumi kwenye kila dhiraa moja. Maboga yalikuwa yamesubiwa katika safu mbili ili kuwa kitu kimoja na hiyo bahari.

KI1 7:25 Removed trailing space in v~: Bahari iliwekwa juu ya mafahali kumi na wawili, watatu wakielekea kaskazini, watatu wakielekea magharibi, watatu wakielekea kusini na watatu wakielekea mashariki. Bahari iliwekwa juu yao na sehemu zao za nyuma zilielekeana.

KI1 7:26 Removed trailing space in v~: Ilikuwa na unene wa nyanda nne\f + \fr 7:26 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 32. Nyanda moja ni sawa na upana wa kiganja kimoja, ambacho ni sawasawa na sentimita 8.\f* na ukingo wake ulifanana na ukingo wa kikombe, kama ua la yungiyungi iliyochanua. Iliweza kuchukua bathi 2,000.\f + \fr 7:26 \ft Bathi 2,000 ni sawa na lita 40,000.\f*

KI1 7:27 Removed trailing space in v~: Pia akatengeneza vitako kumi vya shaba vinavyoweza kuhamishika, kila kimoja kilikuwa na urefu wa dhiraa nne, upana dhiraa nne na kimo chake dhiraa tatu\f + \fr 7:27 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.\f*

KI1 7:28 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo vile vitako vilivyotengenezwa: Vilikuwa na mbao za pembeni zilizoshikamanishwa na mihimili.

KI1 7:29 Removed trailing space in v~: Juu ya mbao kati ya hiyo mihimili kulikuwa na simba, mafahali na makerubi, pia kwenye mihimili yake. Juu na chini ya simba na mafahali kulikuwa kumesokotewa taji za kufuliwa.

KI1 7:30 Removed trailing space in v~: Kila kitako kilikuwa na magurudumu manne ya shaba, na vyuma vya katikati vya kuyazungusha hayo magurudumu na kila kimoja kilikuwa na sinia kwenye vishikizo vinne vya taji iliyosubiwa kila upande.

KI1 7:31 Removed trailing space in v~: Ndani ya kitako kulikuwa na nafasi ya wazi iliyokuwa na umbile la mviringo lenye kina cha dhiraa moja.\f + \fr 7:31 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.\f* Nafasi hii ya wazi ilikuwa ya mviringo, pamoja na kitako chake ilikuwa dhiraa moja na nusu.\f + \fr 7:31 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.\f* Kuzunguka huo mdomo wake kulitiwa nakshi. Papi za vitako zilikuwa mraba na si za mviringo.

KI1 7:32 Removed trailing space in v~: Magurudumu manne yalikuwa chini ya papi, na vyuma vya katikati vya kuzungushia magurudumu hayo vilikuwa vimeunganishwa kwenye kitako. Kipenyo cha kila gurudumu kilikuwa dhiraa moja na nusu.

KI1 7:33 Removed trailing space in v~: Magurudumu yalitengenezwa kama ya magari ya vita ya kukokotwa, vyuma vya katikati vya magurudumu, duara zake, matindi yake na vikombe vyake vyote vilikuwa vya kusubu.

KI1 7:34 Removed trailing space in v~: Kila kitako kilikuwa na mikono minne, moja kwenye kila pembe, ukitokeza kutoka kwenye kitako.

KI1 7:35 Removed trailing space in v~: Juu ya kitako kulikuwepo na utepe wa mviringo wenye kina cha nusu dhiraa. Vishikio na papi vilishikamana upande wa juu wa kitako.

KI1 7:36 Removed trailing space in v~: Alitia nakshi za makerubi, simba na miti ya mitende juu ya uso wa vishikio na juu ya papi, katika kila nafasi iliyopatikana, pamoja na mataji yaliyosokotwa kuzunguka pande zote.

KI1 7:37 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo Hiramu alivyotengeneza vile vitako kumi. Vyote vilikuwa vya kusubu kwenye kalibu za kufanana kwa vipimo na kwa umbo.

KI1 7:38 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza masinia kumi ya shaba, kila moja likiwa na ujazo wa bathi arobaini,\f + \fr 7:38 \ft Bathi 40 ni sawa na lita 800.\f* yakiwa na kipenyo cha dhiraa nne\f + \fr 7:38 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.\f* kila sinia moja kwa kila kimoja ya vile vitako kumi.

KI1 7:39 Removed trailing space in v~: Aliweka vitako vitano upande wa kusini wa Hekalu na vingine vitano upande wa kaskazini. Akaweka ile bahari upande wa kusini, katika pembe ya kusini ya Hekalu.

KI1 7:40 Removed trailing space in v~: Pia akatengeneza masinia, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia.

KI1 7:40 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Huramu akakamilisha kazi zote katika Hekalu la \nd Bwana\nd* kama vile Mfalme Solomoni alikuwa amemwagiza, yaani:

KI1 7:41 Removed trailing space in v~: nguzo mbili;

KI1 7:41 Removed trailing space in p~: mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo;

KI1 7:41 Removed trailing space in p~: nyavu mbili za kupamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo;

KI1 7:42 Removed trailing space in v~: makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu, yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);

KI1 7:43 Removed trailing space in v~: vitako kumi pamoja na masinia yake kumi;

KI1 7:44 Removed trailing space in v~: ile Bahari ya chuma na yale mafahali kumi na wawili chini yake;

KI1 7:45 Removed trailing space in v~: masufuria, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia.

KI1 7:45 Removed trailing space in p~: Vyombo hivi vyote ambavyo Huramu alimtengenezea Mfalme Solomoni kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd* vilikuwa vya shaba iliyongʼarishwa.

KI1 7:46 Removed trailing space in v~: Mfalme akaamuru wavisubu katika kalibu ya udongo wa mfinyanzi katika uwanda wa Yordani ulio kati ya Sukothi na Sarethani.

KI1 7:47 Removed trailing space in v~: Solomoni akaviacha vitu hivi vyote bila kupima uzani wake, kwa sababu vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzito wa shaba haungekadirika.

KI1 7:48 Removed trailing space in v~: Solomoni pia akatengeneza samani zote zilizokuwa ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd*:

KI1 7:48 Removed trailing space in p~: madhabahu ya dhahabu;

KI1 7:48 Removed trailing space in p~: meza ya dhahabu za kuweka mikate ya Wonyesho;

KI1 7:49 Removed trailing space in v~: vinara vya taa vya dhahabu safi (vitano upande wa kuume na vitano upande wa kushoto, mbele ya Patakatifu pa Patakatifu);

KI1 7:49 Removed trailing space in p~: kazi ya maua ya dhahabu na taa na makoleo;

KI1 7:50 Removed trailing space in v~: masinia ya dhahabu safi, mikasi ya kusawazishia tambi, mabakuli ya kunyunyizia, vyano na vyetezo;

KI1 7:50 Removed trailing space in p~: na bawaba za dhahabu kwa ajili ya milango ya chumba cha ndani sana, yaani Patakatifu pa Patakatifu, na pia kwa ajili ya milango ya ukumbi mkuu wa Hekalu.

KI1 7:51 Removed trailing space in v~: Hivyo Mfalme Solomoni alipomaliza kazi ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, akaviingiza ndani vile vitu ambavyo Daudi baba yake alikuwa ameviweka wakfu: yaani fedha, dhahabu na samani; kisha akaviweka katika hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI1 8:0 Extra space after chapter number

KI1 8:0 Removed trailing space in c: 8

KI1 8:0 Removed trailing space in s1: Sanduku La Agano Laletwa Hekaluni

KI1 8:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 5)

KI1 8:1 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Solomoni akawaita mbele zake huko Yerusalemu wazee wa Israeli, viongozi wote wa makabila na wakuu wa jamaa za Waisraeli, ili walilete Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* kutoka Sayuni, Mji wa Daudi.

KI1 8:2 Removed trailing space in v~: Wanaume wote wa Israeli wakakusanyika kwa Mfalme Solomoni wakati wa sikukuu ya mwezi wa Ethanimu, ndio mwezi wa saba.

KI1 8:3 Removed trailing space in v~: Wazee wote wa Israeli walipofika, makuhani wakajitwika Sanduku la Agano,

KI1 8:4 Removed trailing space in v~: nao wakalipandisha Sanduku la \nd Bwana\nd*, na Hema la Kukutania pamoja na vyombo vyote vitakatifu vilivyokuwa ndani yake. Makuhani na Walawi wakavibeba,

KI1 8:5 Removed trailing space in v~: naye Mfalme Solomoni na kusanyiko lote la Israeli waliokusanyika kumzunguka walikuwa mbele ya hilo Sanduku, nao wakatoa dhabihu nyingi za kondoo na ngʼombe ambao idadi yao haikuwezekana kuandikwa au kuhesabiwa.

KI1 8:6 Removed trailing space in v~: Makuhani wakalileta Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* hadi mahali pake ndani ya sehemu takatifu ndani ya Hekalu, yaani Patakatifu pa Patakatifu, na kuliweka chini ya mabawa ya makerubi.

KI1 8:7 Removed trailing space in v~: Makerubi yalitandaza mabawa yao juu ya mahali pa Sanduku la Agano na kutia kivuli Sanduku pamoja na mipiko yake ya kubebea.

KI1 8:8 Removed trailing space in v~: Mipiko hiyo ilikuwa mirefu sana kiasi kwamba ncha zake zilionekana kutoka Mahali Patakatifu mbele ya Patakatifu pa Patakatifu, lakini sio nje ya Mahali Patakatifu. Hiyo mipiko ipo hata leo.

KI1 8:9 Removed trailing space in v~: Ndani ya Sanduku hapakuwepo kitu kingine chochote isipokuwa zile mbao mbili za mawe ambazo Mose alikuwa ameziweka ndani yake huko Horebu, mahali ambapo \nd Bwana\nd* alifanya Agano na Waisraeli baada ya kutoka Misri.

KI1 8:10 Removed trailing space in v~: Makuhani walipoondoka katika Mahali Patakatifu, wingu likajaza Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI1 8:11 Removed trailing space in v~: Nao makuhani hawakuweza kufanya huduma yao kwa sababu ya lile wingu, kwa kuwa utukufu wa \nd Bwana\nd* ulijaza Hekalu lake.

KI1 8:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Solomoni akasema, “\nd Bwana\nd* alisema kwamba ataishi katika giza nene;

KI1 8:13 Removed trailing space in v~: naam, hakika nimekujengea Hekalu zuri sana, mahali pako pa kuishi milele.”

KI1 8:13 Removed trailing space in s1: Hotuba Ya Solomoni

KI1 8:13 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 6:3-11)

KI1 8:14 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote la Israeli lilipokuwa limesimama hapo, mfalme akageuka na kuwabariki.

KI1 8:15 Removed trailing space in v~: Kisha akasema:

KI1 8:15 Removed trailing space in p~: “Ahimidiwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ambaye kwa mkono wake mwenyewe ametimiza lile alilomwahidi Daudi baba yangu kwa kinywa chake mwenyewe. Kwa kuwa alisema,

KI1 8:16 Removed trailing space in v~: ‘Tangu siku niliyowatoa watu wangu Israeli kutoka Misri, sikuchagua mji katika kabila lolote la Israeli ili Hekalu lijengwe humo ili Jina langu lipate kuwamo humo, bali nimemchagua Daudi kuwatawala watu wangu Israeli.’

KI1 8:17 Removed trailing space in v~: “Ilikuwa moyoni mwa Daudi baba yangu kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

KI1 8:18 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu ilikuwa moyoni mwako kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu, ulifanya vyema kuwa na jambo hili moyoni mwako.

KI1 8:19 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, sio wewe utakayenijengea hekalu, bali mwanao, ambaye ni nyama yako na damu yako mwenyewe, yeye ndiye atakayejenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu.’

KI1 8:20 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* ametimiza ahadi aliyoiweka: Nimeingia mahali pa Daudi baba yangu na sasa ninakikalia kiti cha ufalme cha Israeli, kama vile \nd Bwana\nd* alivyoahidi, nami nimejenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

KI1 8:21 Removed trailing space in v~: Nimetenga nafasi humo kwa ajili ya Sanduku la Agano, ambamo ndani yake kuna lile Agano la \nd Bwana\nd* alilofanya na baba zetu wakati alipowatoa Misri.”

KI1 8:21 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Solomoni Ya Kuweka Hekalu Wakfu

KI1 8:21 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 6:12-42)

KI1 8:22 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akasimama mbele ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* machoni pa kusanyiko lote la Israeli, akakunjua mikono yake kuelekea mbinguni

KI1 8:23 Removed trailing space in v~: na kusema:

KI1 8:23 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe juu mbinguni wala chini duniani, wewe unayetunza Agano lako la upendo na watumishi wanaodumu katika njia yako kwa moyo wote.

KI1 8:24 Removed trailing space in v~: Umetimiza ahadi yako kwa mtumishi wako Daudi baba yangu, kwa kinywa chako uliahidi na kwa mkono wako umetimiza, kama ilivyo leo.

KI1 8:25 Removed trailing space in v~: “Sasa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, mtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu ahadi zako ulizomwahidi uliposema, ‘Kamwe hutakosa kuwa na mtu atakayeketi mbele zangu kwenye kiti cha ufalme cha Israeli, kama wanao wakiangalia yote wayafanyayo kuenenda mbele zangu kama vile ulivyofanya.’

KI1 8:26 Removed trailing space in v~: Sasa, Ee Mungu wa Israeli, acha neno lako lile ulilomwahidi mtumishi wako Daudi baba yangu litimie.

KI1 8:27 Removed trailing space in v~: “Lakini kweli, je, Mungu atafanya makao duniani? Mbingu, hata mbingu zilizo juu sana, haziwezi kukutosha wewe. Sembuse Hekalu hili nililojenga!

KI1 8:28 Removed trailing space in v~: Hata hivyo sikiliza dua ya mtumishi wako na maombi yake kwa huruma, Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu. Sikia kilio na dua ambayo mtumishi wako anaomba mbele zako siku hii ya leo.

KI1 8:29 Removed trailing space in v~: Macho yako na yafumbuke kuelekea Hekalu hili usiku na mchana, mahali hapa ambapo ulisema, ‘Jina langu litakuwako humo,’ ili kwamba upate kusikia maombi ambayo mtumishi wako ataomba kuelekea mahali hapa.

KI1 8:30 Removed trailing space in v~: Usikie maombi ya mtumishi wako na ya watu wako Israeli wakati wanapoomba kuelekea mahali hapa. Sikia kutoka mbinguni, mahali pa makao yako na usikiapo, samehe.

KI1 8:31 Removed trailing space in v~: “Mtu anapomkosea jirani yake na akatakiwa kuapa, akija na kuapa mbele ya madhabahu yako ndani ya Hekalu hili,

KI1 8:32 Removed trailing space in v~: basi, sikia kutoka mbinguni na ukatende. Hukumu kati ya watumishi wako, ukimhukumu yule mwenye hatia na kuleta juu ya kichwa chake yale aliyoyatenda. Umtangazie mwenye haki kwamba hana hatia, hivyo ukathibitishe kuwa haki kwake.

KI1 8:33 Removed trailing space in v~: “Wakati watu wako Israeli watakapokuwa wameshindwa na adui kwa sababu ya dhambi walizofanya dhidi yako, watakapokugeukia na kulikiri jina lako, wakiomba na kufanya dua kwako katika Hekalu hili,

KI1 8:34 Removed trailing space in v~: basi usikie kutoka mbinguni, ukasamehe dhambi ya watu wako Israeli na kuwarudisha katika nchi uliyowapa baba zao.

KI1 8:35 Removed trailing space in v~: “Wakati mbingu zitakapokuwa zimefungwa kusiwe na mvua kwa sababu watu wako wametenda dhambi dhidi yako, watakapoomba kuelekea mahali hapa na kulikiri jina lako nao wakageuka kutoka dhambi zao kwa sababu umewaadhibu,

KI1 8:36 Removed trailing space in v~: basi usikie kutoka mbinguni na usamehe dhambi ya watumishi wako, watu wako Israeli. Wafundishe njia sahihi ya kuishi na ukanyeshe mvua juu ya nchi uliyowapa watu wako kuwa urithi.

KI1 8:37 Removed trailing space in v~: “Wakati njaa au tauni vikija juu ya nchi, au koga au kawa, nzige au panzi, au wakati adui atakapowazingira katika mji wao wowote, maafa ya namna yoyote au ugonjwa wowote unaoweza kuwajia,

KI1 8:38 Removed trailing space in v~: wakati dua au maombi yatakapofanywa na mmojawapo wa watu wako Israeli, kila mmoja akitambua taabu za moyo wake mwenyewe, naye akainyoosha mikono yake kuelekea Hekalu hili:

KI1 8:39 Removed trailing space in v~: basi usikie kutoka mbinguni, katika makao yako. Usamehe na utende, umpe kila mtu kulingana na matendo yake, kwa kuwa unaujua moyo wake (kwa kuwa ni wewe peke yako ujuaye mioyo ya watu wote),

KI1 8:40 Removed trailing space in v~: ili wakuogope kwa wakati wote watakaoishi katika nchi uliyowapa baba zetu.

KI1 8:41 Removed trailing space in v~: “Kwa habari ya mgeni ambaye si miongoni mwa watu wako Israeli, lakini amekuja kutoka nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako,

KI1 8:42 Removed trailing space in v~: kwa maana watu watasikia juu ya Jina lako kuu na juu ya mkono wako wenye nguvu na mkono wako ulionyooshwa, atakapokuja na kuomba kuelekea Hekalu hili,

KI1 8:43 Removed trailing space in v~: basi na usikie kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, ukafanye lolote ambalo mgeni huyo anakuomba, ili mataifa yote ya dunia wapate kujua jina lako na wakuogope kama wafanyavyo watu wako Israeli nao wapate pia kujua kwamba nyumba hii niliyoijenga imeitwa kwa Jina lako.

KI1 8:44 Removed trailing space in v~: “Wakati watu wako watakapokwenda vitani dhidi ya adui zao, popote utakapowapeleka, wakati watakapoomba kwa \nd Bwana\nd* kuelekea mji ambao umeuchagua, na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako,

KI1 8:45 Removed trailing space in v~: basi usikie dua na maombi yao kutoka mbinguni, ukawatetee haki yao.

KI1 8:46 Removed trailing space in v~: “Watakapotenda dhambi dhidi yako, kwa kuwa hakuna mtu yeyote ambaye hatendi dhambi, nawe ukachukizwa nao na kuwakabidhi kwa adui, ambaye atawachukua utumwani katika nchi yake mwenyewe, mbali au karibu;

KI1 8:47 Removed trailing space in v~: na kama watabadilika mioyo yao katika nchi wanakoshikiliwa mateka, nao wakatubu na kukulilia katika nchi ya wale waliowashinda na kusema, ‘Tumetenda dhambi, tumefanya makosa, tumetenda uovu’;

KI1 8:48 Removed trailing space in v~: kama wakikugeukia kwa moyo wao wote na nafsi zao katika nchi ya adui zao ambao waliwachukua mateka, wakakuomba kuelekea nchi uliyowapa baba zao, kuelekea mji uliouchagua na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako;

KI1 8:49 Removed trailing space in v~: basi kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, usikie dua yao na maombi yao na kuitetea haki yao.

KI1 8:50 Removed trailing space in v~: Uwasamehe watu wako, waliotenda dhambi dhidi yako; uwasamehe makosa yote waliyoyatenda dhidi yako, ukawafanye wale waliowashinda kuwaonea huruma;

KI1 8:51 Removed trailing space in v~: kwa maana ni watu wako na urithi wako, uliowatoa Misri, kutoka kwenye lile tanuru la kuyeyushia chuma.

KI1 8:52 Removed trailing space in v~: “Macho yako na yafumbuke juu ya ombi la mtumishi wako na ombi la watu wako Israeli, nawe uwasikilize wakati wowote wanapokulilia.

KI1 8:53 Removed trailing space in v~: Kwa maana uliwachagua wao kutoka mataifa yote ya ulimwengu kuwa urithi wako mwenyewe, kama ulivyotangaza kupitia mtumishi wako Mose wakati wewe, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, ulipowatoa baba zetu kutoka Misri.”

KI1 8:54 Removed trailing space in v~: Wakati Solomoni alipomaliza dua hizi zote na maombi kwa \nd Bwana\nd*, akainuka kutoka mbele ya madhabahu ya \nd Bwana\nd*, mahali alipokuwa amepiga magoti, mikono yake ikawa imekunjuliwa kuelekea juu mbinguni.

KI1 8:55 Removed trailing space in v~: Akasimama na kubariki kusanyiko lote la Israeli kwa sauti kubwa akisema:

KI1 8:56 Removed trailing space in v~: “Ahimidiwe \nd Bwana\nd*, aliyewapa pumziko watu wake Israeli kama vile alivyokuwa ameahidi. Hakuna hata neno moja lililopunguka kati ya ahadi zote nzuri alizozitoa kupitia mtumishi wake Mose.

KI1 8:57 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wetu na awe pamoja nasi kama alivyokuwa na baba zetu, kamwe asituache wala kutukataa.

KI1 8:58 Removed trailing space in v~: Yeye na aielekeze mioyo yetu kwake, ili tutembee katika njia zake zote na kuzishika amri na maagizo na masharti aliyowapa baba zetu.

KI1 8:59 Removed trailing space in v~: Nami maneno yangu haya, ambayo nimeyaomba mbele za \nd Bwana\nd*, yawe karibu na \nd Bwana\nd* Mungu wetu usiku na mchana, ili kwamba atetee shauri la mtumishi wake na la watu wake Israeli kulingana na hitaji lao la kila siku,

KI1 8:60 Removed trailing space in v~: ili kwamba mataifa yote ya dunia wajue kwamba \nd Bwana\nd* ndiye Mungu na kwamba hakuna mwingine.

KI1 8:61 Removed trailing space in v~: Lakini ni lazima mwiweke mioyo yenu kikamilifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wetu, kuishi kwa maagizo yake na kutii amri zake, kama ilivyo wakati huu.”

KI1 8:61 Removed trailing space in s1: Kuwekwa Wakfu Hekalu

KI1 8:61 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 7:4-10)

KI1 8:62 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme na Israeli wote pamoja naye wakatoa dhabihu mbele za \nd Bwana\nd*.

KI1 8:63 Removed trailing space in v~: Solomoni akatoa dhabihu sadaka za amani kwa \nd Bwana\nd*: ngʼombe 22,000, pamoja na kondoo na mbuzi 120,000. Hivyo ndivyo mfalme na Waisraeli wote walivyoweka wakfu Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI1 8:64 Removed trailing space in v~: Siku iyo hiyo mfalme akaweka wakfu sehemu ya katikati ya ua uliokuwa mbele ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na hapo akatoa sadaka za kuteketezwa, sadaka za nafaka na mafuta ya sadaka za amani, kwa sababu madhabahu ya shaba iliyokuwa mbele za \nd Bwana\nd* ilikuwa ndogo sana kuweza kubeba sadaka hizo za kuteketezwa, sadaka za nafaka na mafuta ya sadaka ya amani.

KI1 8:65 Removed trailing space in v~: Hivyo Solomoni akaiadhimisha sikukuu kwa wakati ule, na Israeli wote pamoja naye. Walikuwa kusanyiko kubwa sana, watu kutoka Lebo-Hamathi hadi Kijito cha Misri. Wakaiadhimisha mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wetu kwa siku saba na siku saba zaidi, yaani, jumla siku kumi na nne.

KI1 8:66 Removed trailing space in v~: Siku iliyofuata, aliwaruhusu watu waondoke. Wakambariki mfalme, kisha wakaenda nyumbani, wakiwa na mashangilio na furaha rohoni kwa ajili ya mambo yote mema ambayo \nd Bwana\nd* ametenda kwa ajili ya Daudi mtumishi wake na watu wake Israeli.

KI1 10:0 Extra space after chapter number

KI1 10:0 Removed trailing space in c: 10

KI1 10:0 Removed trailing space in s1: Malkia Wa Sheba Amtembelea Solomoni

KI1 10:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 9:1-12)

KI1 10:1 Removed trailing space in v~: Malkia wa Sheba aliposikia habari za umaarufu wa Solomoni na uhusiano wake na jina la \nd Bwana\nd*, akaja kumjaribu kwa maswali magumu.

KI1 10:2 Removed trailing space in v~: Alifika Yerusalemu akiwa na msafara mkubwa sana: pamoja na ngamia waliobeba vikolezi, kiasi kikubwa cha dhahabu na vito vya thamani; alikuja kwa Solomoni na kuzungumza naye kuhusu yote ambayo alikuwa nayo moyoni mwake.

KI1 10:3 Removed trailing space in v~: Solomoni akamjibu maswali yake yote, hakukuwa na jambo lolote lililokuwa gumu kwa mfalme asiweze kumwelezea.

KI1 10:4 Removed trailing space in v~: Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Solomoni na jumba la kifalme alilokuwa amejenga,

KI1 10:5 Removed trailing space in v~: chakula kilichokuwa mezani pake, jinsi maafisa wake walivyokaa, wahudumu katika majoho yao, wanyweshaji wake na sadaka za kuteketezwa alizotoa katika hekalu la \nd Bwana\nd*, alipatwa na mshangao.

KI1 10:6 Removed trailing space in v~: Akamwambia mfalme, “Taarifa niliyosikia kwenye nchi yangu mwenyewe kuhusu mafanikio na hekima yako ni kweli.

KI1 10:7 Removed trailing space in v~: Lakini sikuamini mambo haya hadi nilipokuja na kuona kwa macho yangu mwenyewe. Naam, sikuambiwa hata nusu yake; katika hekima na mali umezidi sana ile taarifa niliyoisikia.

KI1 10:8 Removed trailing space in v~: Heri watu wako! Heri hawa maafisa wako wasimamao mbele yako daima na kusikia hekima yako!

KI1 10:9 Removed trailing space in v~: Ahimidiwe \nd Bwana\nd* Mungu wako, ambaye amependezwa sana nawe na kukuweka juu ya kiti cha ufalme cha Israeli. Kwa sababu ya upendo wake \nd Bwana\nd* wa milele ajili ya Israeli, amekufanya mfalme, ili kudumisha haki na uadilifu.”

KI1 10:10 Removed trailing space in v~: Naye akampa mfalme talanta 120\f + \fr 10:10 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 4.5.\f* za dhahabu, kiasi kikubwa sana cha vikolezi na vito vya thamani. Haikuwahi kamwe kuletwa tena vikolezi vingi hivyo kuletwa kama vile malkia wa Sheba alivyompa Mfalme Solomoni.

KI1 10:11 Removed trailing space in v~: (Meli za Hiramu zilileta dhahabu kutoka Ofiri; tena kutoka huko zilileta shehena kubwa ya miti ya msandali na vito vya thamani.

KI1 10:12 Removed trailing space in v~: Mfalme akatumia miti ya msandali kuwa nguzo ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na kwa jumba la kifalme, pia kwa kutengeneza vinubi na zeze kwa ajili ya waimbaji. Kiasi hicho kingi cha msandali hakijawahi kuingizwa au kuonekana humo tangu siku ile.)

KI1 10:13 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akampa malkia wa Sheba kila kitu alichotamani na kukiomba, kando na vile mfalme alivyokuwa amempa kwa ukarimu wake wa kifalme. Kisha malkia akaondoka na kurudi katika nchi yake, yeye na watumishi wake.

KI1 10:13 Removed trailing space in s1: Fahari Ya Solomoni

KI1 10:13 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 9:13-28)

KI1 10:14 Removed trailing space in v~: Uzito wa dhahabu ambayo Solomoni alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta 666,\f + \fr 10:14 \ft Talanta 666 za dhahabu ni sawa na tani 25.\f*

KI1 10:15 Removed trailing space in v~: mbali na mapato kutoka kwa wafanyabiashara na wachuuzi, na kutoka kwa wafalme wote wa Kiarabu na watawala wa nchi.

KI1 10:16 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akatengeneza ngao kubwa 200 kwa dhahabu iliyofuliwa; kila ngao ilikuwa na dhahabu yenye uzito wa shekeli 600\f + \fr 10:16 \ft Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 3.5.\f*

KI1 10:17 Removed trailing space in v~: Akatengeneza pia ngao ndogo 300 za dhahabu iliyofuliwa, kila ngao ikiwa na uzito wa mane tatu\f + \fr 10:17 \ft Mane tatu za dhahabu ni sawa na kilo 1.7.\f* za dhahabu. Mfalme akaziweka katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni.

KI1 10:18 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akatengeneza kiti kikubwa cha kifalme kwa kutumia pembe za ndovu na kukifunika kwa dhahabu safi.

KI1 10:19 Removed trailing space in v~: Kiti hicho kilikuwa na ngazi sita na egemeo la nyuma lilikuwa la mviringo kwa juu. Pande zote za kiti kulikuwa na mahali pa kuegemeza mikono, na simba wawili wakisimama kando ya hiyo mikono.

KI1 10:20 Removed trailing space in v~: Simba kumi na wawili walisimama kwenye ngazi sita, mmoja katika kila upande wa kila ngazi. Hakuna kitu kama hicho kilichokuwa kimefanyika kwenye ufalme mwingine wowote.

KI1 10:21 Removed trailing space in v~: Vikombe vyote vya Mfalme Solomoni vya kunywea vilikuwa vya dhahabu na vyombo vyote vya nyumbani katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hakukuwa na kitu kilichotengenezwa kwa fedha, kwa sababu fedha ilionekana ya thamani ndogo siku za Solomoni.

KI1 10:22 Removed trailing space in v~: Mfalme alikuwa na meli nyingi za biashara\f + \fr 10:22 \ft Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16; 60:9\+xt*).\f* baharini zilizokuwa zikiandamana na meli za Hiramu. Kwa mara moja kila miaka mitatu zilirudi, zikiwa zimebeba dhahabu, fedha, pembe za ndovu na nyani wakubwa na wadogo.

KI1 10:22 Found unexpected backslash in footnote: 10:22 Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16; 60:9\+xt*).

KI1 10:23 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni alikuwa mkuu zaidi kwa utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia.

KI1 10:24 Removed trailing space in v~: Dunia yote ikatafuta kukutana na Solomoni ili kusikia hekima ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake.

KI1 10:25 Removed trailing space in v~: Mwaka baada ya mwaka, kila mmoja ambaye alikuja alileta zawadi: vyombo vya fedha na dhahabu, majoho, silaha na vikolezi, farasi na nyumbu.

KI1 10:26 Removed trailing space in v~: Solomoni akakusanya magari ya vita na farasi. Alikuwa na magari 1,400 na farasi 12,000, ambayo aliyaweka katika miji ya magari na mengine akawa nayo huko Yerusalemu.

KI1 10:27 Removed trailing space in v~: Mfalme akafanya fedha kuwa kitu cha kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu vilimani.

KI1 10:28 Removed trailing space in v~: Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka Kue.\f + \fr 10:28 \ft Yaani Kilikia ilioko Syria.\f* Wafanyabiashara wa mfalme waliwanunua kutoka Kue.

KI1 10:29 Removed trailing space in v~: Waliagiza magari kutoka Misri kwa bei ya shekeli 600 za fedha\f + \fr 10:29 \ft Shekeli 600 za fedha ni sawa na kilo 7.\f* na farasi kwa shekeli 150.\f + \fr 10:29 \ft Shekeli 150 za fedha ni sawa na kilo 1.7.\f* Pia waliwauza nje kwa wafalme wote wa Wahiti na wa Waaramu.\f + \fr 10:29 \ft Waaramu hapa ina maana ya Washamu.\f*

KI1 11:0 Extra space after chapter number

KI1 11:0 Removed trailing space in c: 11

KI1 11:0 Removed trailing space in s1: Wakeze Solomoni

KI1 11:1 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Mfalme Solomoni akawapenda wanawake wengi wa kigeni zaidi, mbali na binti Farao: wanawake wa Wamoabu, Waamoni, Waedomu, Wasidoni na Wahiti.

KI1 11:2 Removed trailing space in v~: Walitoka katika mataifa ambayo \nd Bwana\nd* aliwaambia Waisraeli, “Msije mkaoana nao, kwa kuwa hakika wataigeuza mioyo yenu mgeukie miungu yao.” Hata hivyo, Solomoni akakaza kuwapenda.

KI1 11:3 Removed trailing space in v~: Alikuwa na wake 700 mabinti wa uzao wa kifalme, na masuria 300, nao wake zake wakampotosha.

KI1 11:4 Removed trailing space in v~: Kadiri Solomoni alivyozidi kuzeeka, wake zake wakaugeuza moyo wake kuelekea miungu mingine, na moyo wake haukujitolea kikamilifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wake, kama ulivyokuwa moyo wa Daudi baba yake.

KI1 11:5 Removed trailing space in v~: Solomoni akafuata Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, na Moleki\f + \fr 11:5 \ft Moleki au Milkomu ni mungu aliyekuwa akiabudiwa na Waamoni; alikuwa chukizo kwa sababu watoto walitolewa kafara kwake.\f* mungu aliyekuwa chukizo la Waamoni.

KI1 11:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Solomoni akafanya uovu machoni pa \nd Bwana\nd*; hakumfuata \nd Bwana\nd* kikamilifu kama alivyofanya Daudi baba yake.

KI1 11:7 Removed trailing space in v~: Kwenye kilima mashariki mwa Yerusalemu, Solomoni akajenga mahali pa juu kwa ajili ya Kemoshi chukizo la Wamoabu, na kwa Moleki mungu chukizo la Waamoni.

KI1 11:8 Removed trailing space in v~: Akafanya hivyo kwa wake zake wote wa kigeni, ambao walifukiza uvumba na kutoa dhabihu kwa miungu yao.

KI1 11:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamkasirikia Solomoni kwa sababu moyo wake uligeuka mbali na \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ambaye alikuwa amemtokea mara mbili.

KI1 11:10 Removed trailing space in v~: Ingawa alikuwa amemkataza Solomoni kufuata miungu mingine, Solomoni hakutii amri ya \nd Bwana\nd*.

KI1 11:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akamwambia Solomoni, “Kwa kuwa hii ndiyo hali yako na hukushika Agano langu na sheria zangu nilizokuamuru, hakika nitaurarua ufalme kutoka kwako na kumpa mmoja wa walio chini yako.

KI1 11:12 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi baba yako, sitafanya jambo hili wakati wa uhai wako. Nitaurarua kutoka mikononi mwa mwanao.

KI1 11:13 Removed trailing space in v~: Lakini pia sitaurarua ufalme wote kutoka kwake, bali nitampa kabila moja kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu na kwa ajili ya Yerusalemu, ambao nimeuchagua.”

KI1 11:13 Removed trailing space in s1: Adui Za Solomoni

KI1 11:14 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwinua adui dhidi ya Solomoni, Hadadi, Mwedomu, kutoka ukoo wa ufalme wa Edomu.

KI1 11:15 Removed trailing space in v~: Huko nyuma wakati Daudi alipokuwa akipigana na Edomu, Yoabu jemadari wa jeshi, aliyekuwa amekwenda kuzika waliouawa, alikuwa amewaua wanaume wote waliokuwako Edomu.

KI1 11:16 Removed trailing space in v~: Yoabu na Waisraeli wote walikaa huko kwa miezi sita, mpaka walipomaliza kuwaangamiza wanaume wote huko Edomu.

KI1 11:17 Removed trailing space in v~: Lakini Hadadi, akiwa bado mvulana mdogo, alikimbilia Misri akiwa na baadhi ya maafisa wa Kiedomu waliokuwa wakimhudumia baba yake.

KI1 11:18 Removed trailing space in v~: Wakaondoka Midiani wakaenda Parani. Basi wakichukua pamoja nao wanaume kutoka Parani, wakaenda Misri, kwa Farao mfalme wa Misri, ambaye alimpa Hadadi nyumba, ardhi na akampatia chakula.

KI1 11:19 Removed trailing space in v~: Farao akapendezwa sana na Hadadi hata akampa ndugu wa mkewe mwenyewe, Malkia Tapenesi, ili aolewe na Hadadi.

KI1 11:20 Removed trailing space in v~: Huyo ndugu wa Tapenesi akamzalia mwana aliyeitwa Genubathi, ambaye alilelewa na Tapenesi katika jumba la kifalme. Huko Genubathi aliishi pamoja na watoto wa Farao mwenyewe.

KI1 11:21 Removed trailing space in v~: Alipokuwa huko Misri, Hadadi alisikia kwamba Daudi amepumzika na baba zake na ya kwamba pia Yoabu aliyekuwa jemadari wa jeshi amekufa. Ndipo Hadadi akamwambia Farao, “Niruhusu niende ili niweze kurudi katika nchi yangu.”

KI1 11:22 Removed trailing space in v~: Farao akauliza, “Umekosa nini hapa, kwamba unataka kurudi katika nchi yako?”

KI1 11:22 Removed trailing space in p~: Hadadi akajibu, “Hakuna, lakini niruhusu niende!”

KI1 11:23 Removed trailing space in v~: Mungu akamwinua adui mwingine dhidi ya Solomoni, Rezoni mwana wa Eliada, ambaye alikuwa amemkimbia bwana wake Hadadezeri, mfalme wa Soba.

KI1 11:24 Removed trailing space in v~: Akawakusanya watu, naye akawa kiongozi wa kundi la waasi, wakati Daudi alipoangamiza majeshi ya Soba; waasi walikwenda Dameski, mahali walipokaa na kumiliki.

KI1 11:25 Removed trailing space in v~: Rezoni alikuwa adui wa Israeli kwa muda wote alioishi Solomoni, ukiongezea matatizo yaliyosababishwa na Hadadi. Kwa hiyo Rezoni akatawala katika Aramu\f + \fr 11:25 \ft Yaani Shamu (ambayo leo ni Syria).\f* na alikuwa mkatili kwa Israeli.

KI1 11:25 Removed trailing space in s1: Yeroboamu Anaasi Dhidi Ya Solomoni

KI1 11:26 Removed trailing space in v~: Pia, Yeroboamu mwana wa Nebati aliasi dhidi ya mfalme. Alikuwa mmoja wa maafisa wa Solomoni, Mwefraimu kutoka Sereda, ambaye mama yake alikuwa mjane aliyeitwa Serua.

KI1 11:27 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maelezo ya jinsi alivyomwasi mfalme: Solomoni alikuwa amejenga Milo\f + \fr 11:27 \ft Milo maana yake Boma la Ngome.\f* naye akawa ameziba mwanya katika ukuta wa mji wa Daudi baba yake.

KI1 11:28 Removed trailing space in v~: Basi Yeroboamu alikuwa mtu shujaa na hodari, naye Solomoni alipoona jinsi kijana alivyofanya kazi yake, akamweka kuwa kiongozi wa kazi yote ya mikono ya nyumba ya Yosefu.

KI1 11:29 Removed trailing space in v~: Karibu na wakati ule Yeroboamu alikuwa anatoka nje ya Yerusalemu, Ahiya nabii Mshiloni akakutana naye njiani, akiwa amevaa joho jipya. Hawa wawili walikuwa peke yao mashambani,

KI1 11:30 Removed trailing space in v~: naye Ahiya akachukua joho jipya alilokuwa amevaa akalirarua vipande kumi na viwili.

KI1 11:31 Removed trailing space in v~: Kisha akamwambia Yeroboamu, “Chukua vipande kumi kwa ajili yako, kwa kuwa hivi ndivyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli asemavyo: ‘Tazama, ninakwenda kuuchana ufalme kutoka mikononi mwa Solomoni na kukupa wewe makabila kumi.

KI1 11:32 Removed trailing space in v~: Lakini kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi na mji wa Yerusalemu, ambao nimeuchagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli, atakuwa na kabila moja.

KI1 11:33 Removed trailing space in v~: Nitafanya hivi kwa sababu wameniacha mimi na kuabudu Ashtorethi mungu mke wa Wasidoni, Kemoshi mungu wa Wamoabu, na Moleki mungu wa Waamoni, nao hawakwenda katika njia zangu ili kufanya yaliyo sawa machoni pangu, wala kushika amri na sheria zangu kama Daudi, babaye Solomoni, alivyofanya.

KI1 11:34 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini sitauondoa ufalme wote kutoka mikononi mwa Solomoni, nimemfanya mtawala siku zote za maisha yake kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, niliyemchagua na ambaye aliyatunza maagizo na amri zangu.

KI1 11:35 Removed trailing space in v~: Nitauondoa ufalme kutoka mikononi mwa mwanawe na kukupa wewe makabila kumi.

KI1 11:36 Removed trailing space in v~: Nitampa mwanawe kabila moja ili kwamba Daudi mtumishi wangu awe na taa mbele zangu daima katika Yerusalemu, mji ambao nimeuchagua kuweka Jina langu.

KI1 11:37 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kukuhusu wewe Yeroboamu, nitakutwaa, nawe utatawala juu ya yote yale moyo wako unayotamani, utakuwa mfalme juu ya Israeli.

KI1 11:38 Removed trailing space in v~: Ikiwa utafanya kila nitakalokuamuru, kuenenda katika njia zangu na kufanya yaliyo sawa mbele za macho yangu kwa kuzishika amri zangu na maagizo yangu kama alivyofanya Daudi mtumishi wangu, nitakuwa pamoja nawe. Nitakujengea ufalme utakaodumu kama ule niliomjengea Daudi, nami nitakupa Israeli.

KI1 11:39 Removed trailing space in v~: Nitawatesa wazao wa Daudi kwa ajili ya hili, lakini siyo milele.’ ”

KI1 11:40 Removed trailing space in v~: Solomoni akajaribu kumuua Yeroboamu, lakini Yeroboamu akakimbilia Misri, kwa Mfalme Shishaki, naye akakaa huko mpaka Solomoni alipofariki.

KI1 11:40 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Solomoni

KI1 11:40 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 9:29-31)

KI1 11:41 Removed trailing space in v~: Kwa habari za matukio mengine ya utawala wa Solomoni, yote aliyoyafanya na hekima aliyoionyesha, je hayakuandikwa yote katika kitabu cha matendo cha Solomoni?

KI1 11:42 Removed trailing space in v~: Solomoni alitawala Israeli yote miaka arobaini, akiwa Yerusalemu.

KI1 11:43 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa katika mji wa Daudi baba yake. Naye Rehoboamu mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 12:0 Extra space after chapter number

KI1 12:0 Removed trailing space in c: 12

KI1 12:0 Removed trailing space in s1: Israeli Yaasi Dhidi Ya Rehoboamu

KI1 12:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 10:1-19)

KI1 12:1 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa kuwa Waisraeli wote walikuwa wamekwenda huko kumfanya yeye kuwa mfalme.

KI1 12:2 Removed trailing space in v~: Yeroboamu mwana wa Nebati aliposikia hili (alikuwa bado yuko Misri alikokuwa amekimbilia awe mbali na Mfalme Solomoni), akarudi kutoka Misri.

KI1 12:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakatuma watu kumwita Yeroboamu, yeye na kusanyiko lote la Israeli wakamwendea Rehoboamu na kumwambia,

KI1 12:4 Removed trailing space in v~: “Baba yako aliweka nira nzito juu yetu, lakini sasa tupunguzie kazi za kikatili na nira nzito aliyoweka juu yetu, nasi tutakutumikia.”

KI1 12:5 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akajibu, “Nendeni kwa muda wa siku tatu na kisha mnirudie.” Basi watu wakaenda zao.

KI1 12:6 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee ambao walimtumikia Solomoni baba yake wakati wa uhai wake akawauliza, “Mnanishauri nini katika kuwajibu watu hawa?”

KI1 12:7 Removed trailing space in v~: Wakajibu, “Kama leo utakuwa mtumishi wa watu hawa na kuwahudumia na kuwapa jibu linaloridhisha, watakuwa watumishi wako daima.”

KI1 12:8 Removed trailing space in v~: Lakini Rehoboamu akakataa shauri alilopewa na wazee na akataka ushauri kwa vijana wanaume rika lake waliokuwa wakimtumikia.

KI1 12:9 Removed trailing space in v~: Akawauliza, “Ninyi ushauri wenu ni nini? Tutawajibuje watu hawa wanaoniambia, ‘Ifanye nyepesi nira baba yako aliyoweka juu yetu?’ ”

KI1 12:10 Removed trailing space in v~: Wale vijana wa rika lake wakamjibu, “Waambie watu hawa waliokuambia, ‘Baba yako aliweka nira nzito juu yetu, lakini ifanye nira yetu nyepesi,’ kuwa, ‘Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.

KI1 12:11 Removed trailing space in v~: Baba yangu aliweka nira nzito juu yenu, mimi nitaifanya hata iwe nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa mijeledi, mimi nitawachapa kwa nge.’ ”

KI1 12:12 Removed trailing space in v~: Siku tatu baadaye, Yeroboamu na watu wote wakamrudia Rehoboamu, kama mfalme alivyokuwa amesema, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.”

KI1 12:13 Removed trailing space in v~: Mfalme akawajibu watu kwa ukatili. Akikataa shauri alilopewa na wazee,

KI1 12:14 Removed trailing space in v~: akafuata shauri la vijana wa rika lake na kusema, “Baba yangu alifanya nira yenu kuwa nzito, mimi nitaifanya kuwa nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa mijeledi, mimi nitawachapa kwa nge.”

KI1 12:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, kwa kuwa jambo hili lilitoka kwa \nd Bwana\nd*, ili kutimiza neno ambalo \nd Bwana\nd* alikuwa amenena kwa Yeroboamu mwana wa Nebati kupitia Ahiya Mshiloni.

KI1 12:16 Removed trailing space in v~: Israeli wote walipoona kuwa mfalme amekataa kuwasikiliza, wakamjibu mfalme:

KI1 12:16 Removed trailing space in p~: “Tuna fungu gani kwa Daudi?

KI1 12:16 Removed trailing space in p~: Sisi hatuna urithi kwa mwana wa Yese.

KI1 12:16 Removed trailing space in p~: Nendeni kwenye mahema yenu, ee Israeli!

KI1 12:16 Removed trailing space in p~: Angalia nyumba yako mwenyewe, ee Daudi!”

KI1 12:16 Removed trailing space in p~: Hivyo Waisraeli wakaenda kwenye mahema yao.

KI1 12:17 Removed trailing space in v~: Lakini kwa habari ya Waisraeli waliokuwa wakiishi katika miji ya Yuda, Rehoboamu akaendelea kuwatawala bado.

KI1 12:18 Removed trailing space in v~: Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoramu, aliyekuwa msimamizi wa wale waliofanya kazi ngumu kwa kulazimishwa, lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe hadi akafa. Hata hivyo, Mfalme Rehoboamu, akafanikiwa kuingia kwenye gari lake na kutorokea Yerusalemu.

KI1 12:19 Removed trailing space in v~: Hivyo Israeli wakaasi dhidi ya nyumba ya Daudi hadi leo.

KI1 12:20 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote waliposikia kwamba Yeroboamu amerudi, wakatuma watu na kumwita kwenye kusanyiko na kumfanya mfalme juu ya Israeli yote. Ni kabila la Yuda peke yake lililobaki kuwa tiifu kwa nyumba ya Daudi.

KI1 12:21 Removed trailing space in v~: Ikawa Rehoboamu alipofika Yerusalemu, akakusanya nyumba yote ya Yuda na kabila la Benyamini, wanaume wapiganaji 180,000, kufanya vita dhidi ya nyumba ya Israeli na kuurudisha tena ufalme kwa Rehoboamu mwana wa Solomoni.

KI1 12:22 Removed trailing space in v~: Lakini neno hili la Mungu likamjia Shemaya mtu wa Mungu:

KI1 12:23 Removed trailing space in v~: “Mwambie Rehoboamu mwana wa Solomoni mfalme wa Yuda, na nyumba yote ya Yuda na Benyamini, na watu wengine wote,

KI1 12:24 Removed trailing space in v~: ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Msipande kupigana dhidi ya ndugu zenu, Waisraeli. Nendeni nyumbani, kila mmoja wenu, kwa kuwa hili nimelitenda mimi.’ ” Kwa hiyo wakalitii neno la \nd Bwana\nd* na kurudi nyumbani, kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa ameagiza.

KI1 12:24 Removed trailing space in s1: Ndama Wa Dhahabu Huko Betheli Na Dani

KI1 12:25 Removed trailing space in v~: Kisha Yeroboamu akajenga Shekemu akaizungushia ngome katika nchi ya vilima ya Efraimu na akaishi huko. Akatoka huko, akaenda akajenga Penueli.\f + \fr 12:25 \ft Jina lingine ni Penieli kwa Kiebrania.\f*

KI1 12:26 Removed trailing space in v~: Yeroboamu akawaza moyoni mwake, “Sasa inawezekana ufalme ukarudi katika nyumba ya Daudi.

KI1 12:27 Removed trailing space in v~: Kama watu hawa watapanda kwenda kutoa dhabihu katika Hekalu la \nd Bwana\nd* huko Yerusalemu, mioyo yao itamrudia bwana wao, Rehoboamu mfalme wa Yuda. Wataniua mimi na kurudi kwa Mfalme Rehoboamu.”

KI1 12:28 Removed trailing space in v~: Baada ya kutafuta shauri, mfalme akatengeneza ndama wawili wa dhahabu. Akawaambia watu, “Ni gharama kubwa kwenu kukwea kwenda Yerusalemu. Hii hapa miungu yenu, ee Israeli, iliyowapandisha kutoka Misri.”

KI1 12:29 Removed trailing space in v~: Ndama mmoja akamweka Betheli na mwingine Dani.

KI1 12:30 Removed trailing space in v~: Nalo jambo hili likawa dhambi, watu wakawa wanaenda hadi Dani kumwabudu huyo aliyewekwa huko.

KI1 12:31 Removed trailing space in v~: Yeroboamu akajenga madhabahu mahali pa juu pa kuabudia miungu na kuwateua makuhani kutoka watu wa aina zote, ijapokuwa hawakuwa Walawi.

KI1 12:32 Removed trailing space in v~: Pia Yeroboamu akaweka sikukuu katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane, kama sikukuu iliyokuwa ikifanyika huko Yuda, na akatoa dhabihu juu ya madhabahu. Akafanya hivyo huko Betheli akitoa dhabihu kwa ndama alizotengeneza. Huko Betheli akawaweka makuhani, na pia katika sehemu za juu za kuabudia miungu alizozitengeneza.

KI1 12:33 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa nane, mwezi aliouchagua mwenyewe, alitoa dhabihu juu ya madhabahu aliyokuwa amejenga huko Betheli. Kwa hiyo akaweka sikukuu kwa ajili ya Waisraeli na akapanda madhabahuni kutoa sadaka.

KI1 13:0 Extra space after chapter number

KI1 13:0 Removed trailing space in c: 13

KI1 13:0 Removed trailing space in s1: Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda

KI1 13:1 Removed trailing space in v~: Kwa neno la \nd Bwana\nd*, mtu wa Mungu alifika Betheli kutoka Yuda wakati Yeroboamu alipokuwa amesimama kando ya madhabahu ili kutoa sadaka.

KI1 13:2 Removed trailing space in v~: Akapiga kelele dhidi ya madhabahu kwa neno la \nd Bwana\nd*: “Ee madhabahu, madhabahu! Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: ‘Mwana aitwaye Yosia atazaliwa katika nyumba ya Daudi. Juu yako atawatoa dhabihu makuhani wa mahali pa juu pa kuabudia miungu wale ambao wanatoa sadaka hapa sasa, nayo mifupa ya wanadamu itachomwa juu yako.’ ”

KI1 13:3 Removed trailing space in v~: Siku iyo hiyo, mtu wa Mungu akatoa ishara: “Hii ndiyo ishara \nd Bwana\nd* aliyotangaza: Madhabahu haya yatapasuka na majivu yaliyo juu yake yatamwagika.”

KI1 13:4 Removed trailing space in v~: Mfalme Yeroboamu aliposikia kile mtu wa Mungu alichosema, alipopiga kelele dhidi ya madhabahu huko Betheli, akanyoosha mkono wake kutoka madhabahuni na kusema, “Mkamate!” Lakini mkono aliokuwa ameunyoosha kumwelekea yule mtu ukasinyaa na kubaki hapo hapo, kiasi kwamba hakuweza kuurudisha.

KI1 13:5 Removed trailing space in v~: Pia, madhabahu yalipasuka na majivu yakamwagika sawasawa na ishara iliyotolewa na mtu wa Mungu kwa neno la \nd Bwana\nd*.

KI1 13:6 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akamwambia mtu wa Mungu, “Niombee kwa \nd Bwana\nd* Mungu wako ili mkono wangu upate kupona.” Kwa hiyo mtu wa Mungu akamwombea kwa \nd Bwana\nd*, nao mkono wa mfalme ukapona na kuwa kama ulivyokuwa hapo kwanza.

KI1 13:7 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia yule mtu wa Mungu, “Twende nyumbani kwangu upate chakula, nami nitakupa zawadi.”

KI1 13:8 Removed trailing space in v~: Lakini yule mtu wa Mungu akamjibu mfalme, “Hata kama ungenipa nusu ya mali zako, nisingekwenda pamoja na wewe, wala nisingekula mkate au kunywa maji hapa.

KI1 13:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa niliagizwa kwa neno la \nd Bwana\nd*: ‘Kamwe usile mkate wala usinywe maji au kurudi kwa njia uliyojia.’ ”

KI1 13:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akafuata njia nyingine na hakurudi kupitia njia ile ambayo alikuwa ameijia Betheli.

KI1 13:11 Removed trailing space in v~: Basi kulikuwepo na nabii fulani mzee aliyekuwa anaishi Betheli, ambaye wanawe walikuja kumwambia yote ambayo mtu wa Mungu alikuwa ameyafanya pale siku ile. Pia wakamwambia baba yao yale aliyomwambia mfalme.

KI1 13:12 Removed trailing space in v~: Baba yao akawauliza, “Ameelekea njia gani?” Nao wanawe wakamwonyesha ile njia yule mtu wa Mungu kutoka Yuda aliyopita.

KI1 13:13 Removed trailing space in v~: Hivyo akawaambia wanawe, “Nitandikieni punda.” Walipokwisha kumtandikia punda, akampanda

KI1 13:14 Removed trailing space in v~: na kumfuatilia yule mtu wa Mungu. Akamkuta ameketi chini ya mwaloni na akamuuliza, “Je, wewe ndiwe mtu wa Mungu kutoka Yuda?”

KI1 13:14 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Mimi ndiye.”

KI1 13:15 Removed trailing space in v~: Basi nabii akamwambia, “Karibu nyumbani pamoja na mimi ule.”

KI1 13:16 Removed trailing space in v~: Yule mtu wa Mungu akasema, “Siwezi kurudi na kwenda nawe, wala siwezi kula mkate au kunywa maji pamoja nawe mahali hapa.

KI1 13:17 Removed trailing space in v~: Nimeambiwa kwa neno la \nd Bwana\nd*: ‘Kamwe usile mkate au kunywa maji huko au kurudia njia uliyojia.’ ”

KI1 13:18 Removed trailing space in v~: Yule nabii mzee akajibu, “Mimi pia ni nabii, kama wewe. Naye malaika alisema nami kwa neno la \nd Bwana\nd*: ‘Mrudishe aje katika nyumba yako ili apate kula mkate na kunywa maji.’ ” (Lakini alikuwa akimwambia uongo.)

KI1 13:19 Removed trailing space in v~: Hivyo mtu wa Mungu akarudi pamoja naye na akala na kunywa katika nyumba yake.

KI1 13:20 Removed trailing space in v~: Wakati walipokuwa wameketi mezani, neno la \nd Bwana\nd* likamjia yule nabii mzee aliyemrudisha huyo mtu wa Mungu.

KI1 13:21 Removed trailing space in v~: Akampazia sauti yule mtu wa Mungu aliyekuwa ametoka Yuda, “Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: ‘Umeasi neno la \nd Bwana\nd* na hukushika amri uliyopewa na \nd Bwana\nd* Mungu wako,

KI1 13:22 Removed trailing space in v~: bali ulirudi na ukala mkate na kunywa maji mahali ambapo alikuambia usile wala usinywe. Kwa hiyo maiti yako haitazikwa katika kaburi la baba zako.’ ”

KI1 13:23 Removed trailing space in v~: Wakati huyo mtu wa Mungu alipomaliza kula na kunywa, nabii aliyekuwa amemrudisha akamtandikia punda wake.

KI1 13:24 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akienda akakutana na simba njiani, akamuua na maiti yake ikabwagwa barabarani, yule punda wake na simba wakiwa wamesimama karibu yake.

KI1 13:25 Removed trailing space in v~: Baadhi ya watu waliopita pale waliona maiti imebwagwa pale chini, simba akiwa amesimama kando ya maiti, wakaenda na kutoa habari katika mji ambao nabii mzee aliishi.

KI1 13:26 Removed trailing space in v~: Yule nabii aliyekuwa amemrudisha kutoka safari yake aliposikia habari hii akasema, “Ni yule mtu wa Mungu ambaye aliasi neno la \nd Bwana\nd*. \nd Bwana\nd* amemtoa kwa simba, ambaye amemrarua na kumuua, sawasawa na neno la \nd Bwana\nd* lilivyokuwa limemwonya.”

KI1 13:27 Removed trailing space in v~: Nabii akawaambia wanawe, “Nitandikieni punda,” nao wakafanya hivyo.

KI1 13:28 Removed trailing space in v~: Kisha akatoka akaenda akakuta maiti imebwagwa chini barabarani, punda na simba wakiwa wamesimama kando yake. Simba hakuwa amekula ile maiti wala kumrarua punda.

KI1 13:29 Removed trailing space in v~: Basi yule nabii mzee akachukua maiti ya mtu wa Mungu, akailaza juu ya punda na akairudisha katika mji wake, ili amwombolezee na kumzika.

KI1 13:30 Removed trailing space in v~: Kisha akailaza ile maiti katika kaburi lake huyo nabii mzee, nao wakaomboleza juu yake na kusema, “Ee ndugu yangu!”

KI1 13:31 Removed trailing space in v~: Baada ya kumzika, akawaambia wanawe, “Wakati nitakapokufa, mnizike kwenye kaburi alimozikwa huyu mtu wa Mungu; lazeni mifupa yangu kando ya mifupa yake.

KI1 13:32 Removed trailing space in v~: Kwa maana ujumbe alioutangaza kwa neno la \nd Bwana\nd* dhidi ya madhabahu huko Betheli na dhidi ya madhabahu yote katika mahali pa juu pa kuabudia miungu katika miji ya Samaria, hakika yatatokea kweli.”

KI1 13:33 Removed trailing space in v~: Hata baada ya haya, Yeroboamu hakubadili njia zake mbaya, lakini mara nyingine tena akaweka makuhani kwa ajili ya mahali pa juu pa kuabudia miungu kutoka watu wa aina zote. Yeyote aliyetaka kuwa kuhani alimweka wakfu kwa ajili ya mahali pa juu pa kuabudia miungu.

KI1 13:34 Removed trailing space in v~: Hii ilikuwa ndiyo dhambi ya nyumba ya Yeroboamu ambayo iliisababishia kuanguka na kuangamia kwake hadi kutoweka kwenye uso wa dunia.

KI1 14:0 Extra space after chapter number

KI1 14:0 Removed trailing space in c: 14

KI1 14:0 Removed trailing space in s1: Unabii Wa Ahiya Dhidi Ya Yeroboamu

KI1 14:1 Removed trailing space in v~: Wakati ule Abiya mwana wa Yeroboamu akaugua,

KI1 14:2 Removed trailing space in v~: naye Yeroboamu akamwambia mke wake, “Nenda ukajibadilishe, ili watu wasijue kwamba wewe ni mke wa Yeroboamu. Kisha uende Shilo. Nabii Ahiya yuko huko, yule aliyeniambia kuwa nitakuwa mfalme juu ya watu hawa.

KI1 14:3 Removed trailing space in v~: Chukua mikate kumi, maandazi kadhaa na gudulia la asali na umwendee. Atakuambia kitakachotokea kwa kijana.”

KI1 14:4 Removed trailing space in v~: Basi mke wa Yeroboamu akafanya kama alivyosema mumewe, akaenda kwenye nyumba ya Ahiya huko Shilo.

KI1 14:4 Removed trailing space in p~: Wakati huu Ahiya alikuwa kipofu naye alishindwa kuona kwa sababu ya umri wake.

KI1 14:5 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Ahiya, “Mke wa Yeroboamu anakuja kukuuliza kuhusu mwanawe, kwa kuwa ni mgonjwa, nawe utamjibu hivi na hivi. Atakapowasili, atajifanya kuwa ni mtu mwingine.”

KI1 14:6 Removed trailing space in v~: Hivyo Ahiya aliposikia kishindo cha hatua zake mlangoni, akasema, “Karibu ndani, mke wa Yeroboamu. Kwa nini kujibadilisha? Nimetumwa kwako nikiwa na habari mbaya.

KI1 14:7 Removed trailing space in v~: Nenda, ukamwambie Yeroboamu kwamba hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Nilikuinua miongoni mwa watu na kukufanya kiongozi juu ya watu wangu Israeli.

KI1 14:8 Removed trailing space in v~: Nikararua ufalme kutoka kwa nyumba ya Daudi na kukupa wewe, lakini hukuwa kama mtumishi wangu Daudi, ambaye aliyashika maagizo yangu na kunifuata kwa moyo wake wote, akifanya tu lile lililokuwa sawa machoni pangu.

KI1 14:9 Removed trailing space in v~: Umefanya maovu mengi kuliko wote waliokutangulia. Umejitengenezea miungu mingine, sanamu za chuma, umenighadhibisha na kunitupa nyuma yako.

KI1 14:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa sababu ya hili, nitaleta maafa juu ya nyumba ya Yeroboamu. Nitakatilia mbali kutoka kwa Yeroboamu kila mzaliwa wa mwisho wa kiume katika Israeli, mtumwa au mtu huru. Nitachoma nyumba ya Yeroboamu mpaka iteketee yote kama mtu achomaye kinyesi.

KI1 14:11 Removed trailing space in v~: Mbwa watawala wale walio wa nyumba ya Yeroboamu watakaofia ndani ya mji na ndege wa angani watajilisha kwa wale watakaofia mashambani. \nd Bwana\nd* amesema!’

KI1 14:12 Removed trailing space in v~: “Kukuhusu wewe, rudi nyumbani. Wakati utakapotia mguu katika mji wako, kijana atakufa.

KI1 14:13 Removed trailing space in v~: Israeli yote itamwombolezea na kumzika. Kwa sababu ni yeye pekee wa nyumba ya Yeroboamu atakayezikwa, kwa sababu ni yeye peke yake ndani ya nyumba ya Yeroboamu ambaye \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ameona kitu chema kwake.

KI1 14:14 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* atajiinulia mwenyewe mfalme juu ya Israeli ambaye ataikatilia mbali jamaa ya Yeroboamu. Siku ndiyo hii! Nini? Naam, hata sasa hivi.

KI1 14:15 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* ataipiga Israeli, hata iwe kama unyasi unaosukwasukwa juu ya maji. Ataingʼoa Israeli kutoka nchi hii nzuri aliyowapa baba zao na kuwatawanya ngʼambo ya Mto Frati, kwa sababu wamemghadhibisha \nd Bwana\nd* kwa kutengeneza nguzo za Ashera\f + \fr 14:15 \ft Yaani mfano wa mungu wa kike Ashera.\f*

KI1 14:16 Removed trailing space in v~: Naye atawaacha Israeli kwa ajili ya makosa ya Yeroboamu aliyoyatenda na kusababisha Israeli kuyatenda.”

KI1 14:17 Removed trailing space in v~: Kisha mke wa Yeroboamu akainuka, akaondoka kwenda Tirsa. Mara alipokanyaga kizingiti cha mlango, kijana akafa.

KI1 14:18 Removed trailing space in v~: Wakamzika na Israeli yote ikamwombolezea, kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema kupitia mtumishi wake, nabii Ahiya.

KI1 14:19 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yeroboamu, vita vyake na jinsi alivyotawala, vimeandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.

KI1 14:20 Removed trailing space in v~: Yeroboamu akawatawala kwa miaka ishirini na miwili, kisha akalala na baba zake. Naye Nadabu mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 14:20 Removed trailing space in s1: Rehoboamu Mfalme Wa Yuda

KI1 14:20 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 11:5–12:15)

KI1 14:21 Removed trailing space in v~: Rehoboamu mwana wa Solomoni alikuwa mfalme wa Yuda. Alikuwa na umri wa miaka arobaini na moja alipoanza kutawala, naye akatawala miaka kumi na saba huko Yerusalemu, mji ambao \nd Bwana\nd* alikuwa ameuchagua kutoka makabila yote ya Israeli ili apate kuliweka humo Jina lake. Mama yake aliitwa Naama, ambaye alikuwa Mwamoni.

KI1 14:22 Removed trailing space in v~: Yuda wakatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd*. Kwa dhambi walizotenda wakachochea hasira yake yenye wivu zaidi kuliko baba zao walivyofanya.

KI1 14:23 Removed trailing space in v~: Pia wakajijengea mahali pa juu pa kuabudia miungu, mawe ya kuabudiwa na nguzo za Ashera juu ya kila kilima kilichoinuka na kila mti uliotanda.

KI1 14:24 Removed trailing space in v~: Walikuwepo hata wanaume mahanithi wa mahali pa ibada za sanamu katika nchi; watu wakajiingiza katika kutenda machukizo ya mataifa ambayo \nd Bwana\nd* aliyafukuza mbele ya Waisraeli.

KI1 14:25 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu.

KI1 14:26 Removed trailing space in v~: Akachukua hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd* na hazina za jumba la kifalme. Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao zote za dhahabu ambazo Solomoni alikuwa amezitengeneza.

KI1 14:27 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba badala ya zile za dhahabu na kuzikabidhi kwa majemadari wa ulinzi wa zamu kwenye ingilio la jumba la mfalme.

KI1 14:28 Removed trailing space in v~: Kila wakati mfalme alipokwenda katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, walinzi walizichukua hizo ngao, na baadaye walizirudisha kwenye chumba cha ulinzi.

KI1 14:29 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Rehoboamu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI1 14:30 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na vita vinavyoendelea kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.

KI1 14:31 Removed trailing space in v~: Naye Rehoboamu akalala na baba zake, na akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Mama yake aliitwa Naama, ambaye alikuwa Mwamoni. Naye Abiya\f + \fr 14:31 \ft Maandishi mengine ya Kiebrania yanamwita Abiyamu.\f* mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 15:0 Extra space after chapter number

KI1 15:0 Removed trailing space in c: 15

KI1 15:0 Removed trailing space in s1: Abiya Mfalme Wa Yuda

KI1 15:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 13:1–14:1)

KI1 15:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Nebati, Abiya akawa mfalme wa Yuda,

KI1 15:2 Removed trailing space in v~: naye akatawala huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake aliitwa Maaka binti Abishalomu.\f + \fr 15:2 \ft Yaani Absalomu, maana yake Baba wa amani.\f*

KI1 15:3 Removed trailing space in v~: Alitenda dhambi zote baba yake alizotenda kabla yake; moyo wake haukuwa mkamilifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wake kama moyo wa Daudi baba yake ulivyokuwa.

KI1 15:4 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo, kwa ajili ya Daudi, \nd Bwana\nd* Mungu wake akampa taa katika Yerusalemu kwa kumwinua mwana atawale badala yake na kwa kuifanya Yerusalemu kuwa imara.

KI1 15:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Daudi alifanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd* na hakushindwa kushika maagizo yote ya \nd Bwana\nd* siku zote za uhai wake, isipokuwa katika habari ya Uria, Mhiti.

KI1 15:6 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na vita kati ya Rehoboamu na Yeroboamu wakati wote wa maisha ya Abiya.

KI1 15:7 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya matukio mengine ya utawala wa Abiya na yote aliyofanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? Kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.

KI1 15:8 Removed trailing space in v~: Naye Abiya akalala na baba zake akazikwa katika Mji wa Daudi. Asa mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 15:8 Removed trailing space in s1: Asa Mfalme Wa Yuda

KI1 15:8 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 15:16–16:6)

KI1 15:9 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa ishirini wa utawala wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Asa akawa mfalme wa Yuda,

KI1 15:10 Removed trailing space in v~: naye akatawala katika Yerusalemu miaka arobaini na mmoja. Bibi yake aliitwa Maaka binti Abishalomu.

KI1 15:11 Removed trailing space in v~: Asa akatenda yaliyo mema machoni mwa \nd Bwana\nd*, kama alivyokuwa ametenda Daudi baba yake.

KI1 15:12 Removed trailing space in v~: Akawafukuza mahanithi wa mahali pa kuabudia miungu kutoka nchi na kuondoa sanamu zote ambazo baba zake walikuwa wametengeneza.

KI1 15:13 Removed trailing space in v~: Hata akamwondoa bibi yake Maaka kwenye wadhifa wake kama mama malkia, kwa sababu alikuwa ametengeneza nguzo ya Ashera ya kuchukiza. Asa akaikata hiyo nguzo na kuiteketeza kwa moto katika Bonde la Kidroni.

KI1 15:14 Removed trailing space in v~: Ijapokuwa hakuondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu, moyo wa Asa ulikuwa umejiweka kwa \nd Bwana\nd* kikamilifu maisha yake yote.

KI1 15:15 Removed trailing space in v~: Akaleta ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd* fedha na dhahabu na vile vyombo ambavyo yeye na baba yake walikuwa wameviweka wakfu.

KI1 15:16 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli siku zote za utawala wao.

KI1 15:17 Removed trailing space in v~: Mfalme Baasha wa Israeli akashambulia Yuda na kuweka ngome mji wa Rama ili kumzuia yeyote asitoke wala kuingia nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.

KI1 15:18 Removed trailing space in v~: Kisha Asa akachukua fedha yote na dhahabu iliyokuwa imeachwa katika hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd* na za jumba lake mwenyewe la kifalme. Akawakabidhi maafisa wake na kuwatuma kwa Ben-Hadadi mwana wa Tabrimoni, mwana wa Hezioni, mfalme wa Aramu,\f + \fr 15:18 \ft Yaani Shamu (ambayo leo ni Syria).\f* aliyekuwa akitawala Dameski.

KI1 15:19 Removed trailing space in v~: “Akasema na pawepo mkataba kati yangu na wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea zawadi ya fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako na Baasha mfalme wa Israeli ili aniondokee mimi.”

KI1 15:20 Removed trailing space in v~: Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Akaishinda miji ya Iyoni, Dani, Abel-Beth-Maaka na Kinerethi yote, pamoja na Naftali.

KI1 15:21 Removed trailing space in v~: Wakati Baasha aliposikia hili, akaacha kuijenga Rama na akaenda kuishi Tirsa.

KI1 15:22 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Asa akatoa amri kwa Yuda yote, pasipo kumbagua hata mmoja, kubeba mawe na mbao kutoka Rama, ambazo Baasha alikuwa akitumia huko. Mfalme Asa akazitumia kujengea Geba iliyoko Benyamini na Mispa pia.

KI1 15:23 Removed trailing space in v~: Kwa matukio yote ya utawala wa Asa, mafanikio yake yote, yote aliyofanya na miji aliyoijenga, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda? Katika uzee wake, hata hivyo, alipata ugonjwa wa miguu.

KI1 15:24 Removed trailing space in v~: Kisha Asa akalala pamoja na baba zake na kuzikwa pamoja nao katika mji wa Daudi baba yake. Naye Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 15:24 Removed trailing space in s1: Nadabu Mfalme Wa Israeli

KI1 15:25 Removed trailing space in v~: Nadabu mwana wa Yeroboamu akawa mfalme wa Israeli katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Asa wa Yuda, naye akatawala Israeli kwa miaka miwili.

KI1 15:26 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, akienenda katika njia za baba yake na katika dhambi yake, ambayo alisababisha Israeli kuifanya.

KI1 15:27 Removed trailing space in v~: Baasha mwana wa Ahiya wa nyumba ya Isakari akafanya shauri baya dhidi yake, naye akamuua huko Gibethoni, mji wa Wafilisti, wakati Nadabu na Israeli yote walipokuwa wameuzingira.

KI1 15:28 Removed trailing space in v~: Baasha akamuua Nadabu katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, naye Baasha akaingia mahali pake kuwa mfalme.

KI1 15:29 Removed trailing space in v~: Mara tu alipoanza kutawala, aliua jamaa yote ya Yeroboamu. Hakumwachia Yeroboamu yeyote aliyekuwa hai, bali aliwaangamiza wote, kulingana na neno la \nd Bwana\nd* lililotolewa kupitia kwa mtumishi wake Ahiya Mshiloni,

KI1 15:30 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya dhambi alizokuwa amezitenda Yeroboamu na kusababisha Israeli kuzitenda, tena kwa sababu alimkasirisha \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

KI1 15:31 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Nadabu na yote aliyofanya, je hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI1 15:32 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na vita kati ya Asa na Baasha mfalme wa Israeli wakati wote wa utawala wao.

KI1 15:32 Removed trailing space in s1: Baasha Mfalme Wa Israeli

KI1 15:33 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Baasha mwana wa Ahiya akawa mfalme wa Israeli yote huko Tirsa, naye akatawala kwa miaka ishirini na minne.

KI1 15:34 Removed trailing space in v~: Akatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, akienenda katika njia za Yeroboamu na dhambi yake, ambayo alikuwa amesababisha Israeli kuitenda.

KI1 16:0 Extra space after chapter number

KI1 16:0 Removed trailing space in c: 16

KI1 16:1 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yehu mwana wa Hanani dhidi ya Baasha, kusema:

KI1 16:2 Removed trailing space in v~: “Nilikuinua kutoka mavumbini na kukufanya kiongozi wa watu wangu Israeli, lakini ukaenenda katika njia za Yeroboamu na kusababisha watu wangu Israeli kutenda dhambi na kunikasirisha kwa dhambi zao.

KI1 16:3 Removed trailing space in v~: Basi nitamwangamiza Baasha pamoja na nyumba yake, nami nitaifanya nyumba yako kama ile ya Yeroboamu mwanawe Nebati.

KI1 16:4 Removed trailing space in v~: Mbwa watawala watu wa Baasha watakaofia mjini na ndege wa angani watajilisha kwa wale watakaofia mashambani.”

KI1 16:5 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Baasha, aliyoyafanya na mafanikio yake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI1 16:6 Removed trailing space in v~: Baasha akalala na baba zake naye akazikwa huko Tirsa. Naye Ela mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 16:7 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, neno la \nd Bwana\nd* likamjia Baasha pamoja na nyumba yake kupitia kwa nabii Yehu mwana wa Hanani, kwa sababu ya maovu yote aliyokuwa ametenda machoni pa \nd Bwana\nd*, akamkasirisha kwa mambo aliyotenda, na kuwa kama nyumba ya Yeroboamu, na pia kwa sababu aliiangamiza.

KI1 16:7 Removed trailing space in s1: Ela Mfalme Wa Israeli

KI1 16:8 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa ishirini na sita wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ela mwana wa Baasha akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala huko Tirsa kwa miaka miwili.

KI1 16:9 Removed trailing space in v~: Zimri, mmoja wa maafisa wake, aliyekuwa na amri juu ya nusu ya magari yake ya vita, akafanya hila mbaya dhidi ya Ela. Wakati huo Ela alikuwa Tirsa, akilewa katika nyumba ya Arsa, mtu aliyekuwa msimamizi wa jumba la kifalme huko Tirsa.

KI1 16:10 Removed trailing space in v~: Zimri akaingia, akampiga na kumuua katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda. Kisha Zimri akaingia mahali pake kuwa mfalme.

KI1 16:11 Removed trailing space in v~: Mara tu alipoanza kutawala na kuketi juu ya kiti cha ufalme, aliua jamaa yote ya Baasha. Hakumwacha mwanaume hata mmoja, akiwa ni ndugu au rafiki.

KI1 16:12 Removed trailing space in v~: Hivyo Zimri akaangamiza jamaa yote ya Baasha, kulingana na neno la \nd Bwana\nd* lililonenwa dhidi ya Baasha kupitia nabii Yehu:

KI1 16:13 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya dhambi zote Baasha na mwanawe Ela walizokuwa wametenda na wakasababisha Israeli kuzitenda, basi wakamkasirisha \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli kwa sanamu zao zisizofaa.

KI1 16:14 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Ela, na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI1 16:14 Removed trailing space in s1: Zimri Mfalme Wa Israeli

KI1 16:15 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Zimri akatawala huko Tirsa siku saba. Jeshi lilikuwa limepiga kambi karibu na Gibethoni, mji wa Wafilisti.

KI1 16:16 Removed trailing space in v~: Wakati Waisraeli waliokuwa kambini waliposikia kuwa Zimri alikuwa amefanya hila mbaya dhidi ya mfalme na kumuua, wakamtangaza Omri, jemadari wa jeshi, kuwa mfalme wa Israeli siku iyo hiyo huko kambini.

KI1 16:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Omri na Waisraeli wote pamoja naye wakaondoka Gibethoni na kuizingira Tirsa.

KI1 16:18 Removed trailing space in v~: Wakati Zimri alipoona kuwa mji umechukuliwa, alikwenda ndani ya ngome ya jumba la kifalme na kulichoma moto jumba la kifalme na kujiteketeza ndani yake. Kwa hiyo akafa,

KI1 16:19 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya dhambi alizofanya, akitenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd* na kuenenda katika njia za Yeroboamu na katika dhambi alizofanya na kusababisha Israeli kuzifanya.

KI1 16:20 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Zimri, na uasi alioutenda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI1 16:20 Removed trailing space in s1: Omri Mfalme Wa Israeli

KI1 16:21 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wa Israeli wakagawanyika katika makundi mawili, nusu wakamuunga mkono Tibni mwana wa Ginathi ili awe mfalme na nusu nyingine wakamuunga mkono Omri.

KI1 16:22 Removed trailing space in v~: Lakini wafuasi wa Omri wakajionyesha wenye nguvu kuliko wale wa Tibni mwana wa Ginathi. Hivyo Tibni akafa na Omri akawa mfalme.

KI1 16:23 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na moja wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Omri akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala kwa miaka kumi na miwili, sita kati ya hiyo katika Tirsa.

KI1 16:24 Removed trailing space in v~: Alinunua kilima cha Samaria kutoka kwa Shemeri kwa talanta mbili\f + \fr 16:24 \ft Talanta mbili za fedha ni sawa na kilo 70.\f* za fedha na akajenga mji juu ya hicho kilima, akiuita Samaria, kutokana na Shemeri, jina la mmiliki wa kwanza wa kilima hicho.

KI1 16:25 Removed trailing space in v~: Lakini Omri akatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd* na kutenda dhambi kuliko wote waliomtangulia.

KI1 16:26 Removed trailing space in v~: Akaenenda katika njia zote za Yeroboamu mwana wa Nebati na katika dhambi zake, ambazo alisababisha Israeli kutenda, hivyo basi wakamkasirisha \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli kwa sanamu zao zisizofaa.

KI1 16:27 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Omri, yale aliyofanya na vitu alivyovifanikisha, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI1 16:28 Removed trailing space in v~: Omri akalala pamoja na baba zake na akazikwa huko Samaria. Ahabu mwanawe akatawala mahali pake.

KI1 16:28 Removed trailing space in s1: Ahabu Afanywa Mfalme Wa Israeli

KI1 16:29 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na nane wa utawala wa Asa mfalme wa Yuda, Ahabu mwana wa Omri akawa mfalme wa Israeli, naye akatawala Israeli akiwa Samaria kwa miaka ishirini na miwili.

KI1 16:30 Removed trailing space in v~: Ahabu mwana wa Omri akafanya maovu zaidi machoni mwa \nd Bwana\nd* kuliko yeyote aliyewatangulia.

KI1 16:31 Removed trailing space in v~: Kama vile haikutosha kuishi kama Yeroboamu mwana wa Nebati, akamwoa Yezebeli binti wa Ethbaali, mfalme wa Wasidoni, naye akaanza kumtumikia Baali na kumwabudu.

KI1 16:32 Removed trailing space in v~: Akajenga madhabahu kwa ajili ya Baali katika hekalu la Baali lile alilolijenga huko Samaria.

KI1 16:33 Removed trailing space in v~: Pia Ahabu akatengeneza nguzo ya Ashera na kufanya mengi ili kumkasirisha \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kuliko walivyofanya wafalme wote wa Israeli waliomtangulia.

KI1 16:34 Removed trailing space in v~: Katika wakati wa Ahabu, Hieli, Mbetheli, akaijenga upya Yeriko. Aliweka misingi yake kwa gharama ya mzaliwa wake wa kwanza Abiramu, na kuweka malango yake kwa gharama ya mwanawe mdogo Segubu, kulingana na neno la \nd Bwana\nd* alilosema kupitia Yoshua mwana wa Nuni.

KI1 17:0 Extra space after chapter number

KI1 17:0 Removed trailing space in c: 17

KI1 17:0 Removed trailing space in s1: Eliya Analishwa Na Kunguru

KI1 17:1 Removed trailing space in v~: Basi Eliya, Mtishbi kutoka Tishbi katika Gileadi, akamwambia Ahabu, “Kama \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, aishivyo, ambaye ninamtumikia, hapatakuwa na umande wala mvua katika miaka hii, isipokuwa kwa neno langu.”

KI1 17:2 Removed trailing space in v~: Kisha neno la \nd Bwana\nd* likamjia Eliya, kusema,

KI1 17:3 Removed trailing space in v~: “Ondoka hapa, elekea upande wa mashariki ukajifiche katika Kijito cha Kerithi, mashariki mwa Yordani.

KI1 17:4 Removed trailing space in v~: Utakunywa maji kutoka kile kijito, nami nimeagiza kunguru wakulishe huko.”

KI1 17:5 Removed trailing space in v~: Hivyo akafanya kile alichoambiwa na \nd Bwana\nd*. Akaenda katika Kijito cha Kerithi, mashariki ya Yordani na akakaa huko.

KI1 17:6 Removed trailing space in v~: Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi na mkate na nyama jioni, naye akanywa maji kutoka kile kijito.

KI1 17:6 Removed trailing space in s1: Mjane Wa Sarepta

KI1 17:7 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, kile kijito kikakauka kwa sababu mvua haikuwa imenyesha katika nchi.

KI1 17:8 Removed trailing space in v~: Kisha neno la \nd Bwana\nd* likamjia, kusema,

KI1 17:9 Removed trailing space in v~: “Ondoka, uende Sarepta ya Sidoni na ukae huko. Nimemwagiza mjane katika sehemu ile akupatie chakula.”

KI1 17:10 Removed trailing space in v~: Hivyo akaenda Sarepta. Alipofika kwenye lango la mji, mjane alikuwa huko akiokota kuni. Akamwita na kumwambia, “Naomba uniletee maji kidogo kwenye gudulia ili niweze kunywa.”

KI1 17:11 Removed trailing space in v~: Alipokuwa anakwenda kumletea, akamwita akasema, “Tafadhali niletee pia kipande cha mkate.”

KI1 17:12 Removed trailing space in v~: Akamjibu, “Hakika kama \nd Bwana\nd* Mungu wako aishivyo, sina mkate wowote, isipokuwa konzi ya unga kwenye gudulia na mafuta kidogo kwenye chupa. Ninakusanya kuni chache nipeleke nyumbani na nikapike chakula kwa ajili yangu na mwanangu, ili kwamba tule, kiishe, tukafe.”

KI1 17:13 Removed trailing space in v~: Eliya akamwambia, “Usiogope. Nenda nyumbani ukafanye kama ulivyosema. Lakini kwanza unitengenezee mimi mkate mdogo kutoka vile ulivyo navyo kisha uniletee na ndipo utayarishe chochote kwa ajili yako na mwanao.

KI1 17:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Lile gudulia la unga halitakwisha wala ile chupa ya mafuta haitakauka hadi siku ile \nd Bwana\nd* atakapoleta mvua juu ya nchi.’ ”

KI1 17:15 Removed trailing space in v~: Akaondoka na kufanya kama Eliya alivyomwambia. Kwa hiyo kukawa na chakula kila siku kwa ajili ya Eliya, yule mwanamke na jamaa yake.

KI1 17:16 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa lile gudulia la unga halikwisha na ile chupa ya mafuta haikukauka, sawasawa na lile neno la \nd Bwana\nd* alilosema Eliya.

KI1 17:17 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, mwana wa yule mwanamke mwenye nyumba akaugua. Hali yake ikaendelea kuwa mbaya sana, na hatimaye akaacha kupumua.

KI1 17:18 Removed trailing space in v~: Akamwambia Eliya, “Una nini dhidi yangu, ewe mtu wa Mungu? Umekuja ili kukumbushia dhambi yangu na kusababisha kifo cha mwanangu?”

KI1 17:19 Removed trailing space in v~: Eliya akamjibu, “Nipe mwanao.” Eliya akampokea kutoka kifuani mwake, akambeba mpaka chumba cha juu alipokuwa anaishi, akamlaza kitandani mwake.

KI1 17:20 Removed trailing space in v~: Kisha akamlilia \nd Bwana\nd*, akasema “Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu, je, pia umeleta msiba juu ya mjane huyu ninayeishi pamoja naye, kwa kusababisha mwanawe kufa?”

KI1 17:21 Removed trailing space in v~: Kisha akajinyoosha juu ya kijana mara tatu na kumlilia \nd Bwana\nd*, akisema, “Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu, nakuomba roho ya huyu kijana imrudie!”

KI1 17:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasikia kilio cha Eliya, na roho ya kijana ikamrudia, naye akafufuka.

KI1 17:23 Removed trailing space in v~: Eliya akamtwaa kijana na kumbeba kutoka chumbani mwake akamshusha kumpeleka kwenye nyumba. Akampa mama yake na kusema, “Tazama, mwanao yu hai!”

KI1 17:24 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mwanamke akamwambia Eliya, “Sasa ninajua kwamba wewe ni mtu wa Mungu, na kwamba neno la \nd Bwana\nd* kutoka kinywani mwako ni kweli.”

KI1 18:0 Extra space after chapter number

KI1 18:0 Removed trailing space in c: 18

KI1 18:0 Removed trailing space in s1: Eliya Na Obadia

KI1 18:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda mrefu, katika mwaka wa tatu, neno la \nd Bwana\nd* likamjia Eliya kusema, “Nenda ukajionyeshe kwa Ahabu na mimi nitanyesha mvua juu ya nchi.”

KI1 18:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Eliya akaenda kujionyesha kwa Ahabu.

KI1 18:2 Removed trailing space in p~: Wakati huu njaa ilikuwa kali sana katika Samaria,

KI1 18:3 Removed trailing space in v~: naye Ahabu alikuwa amemwita Obadia ambaye alikuwa msimamizi wa jumba lake la kifalme. (Obadia alimcha \nd Bwana\nd* sana.

KI1 18:4 Removed trailing space in v~: Wakati Yezebeli alipokuwa akiwaua manabii wa \nd Bwana\nd*, Obadia alikuwa amewachukua manabii mia moja na kuwaficha katika mapango mawili, hamsini kwenye kila moja na akawa akiwapa chakula na maji.)

KI1 18:5 Removed trailing space in v~: Ahabu alikuwa amemwambia Obadia, “Nenda katika nchi yote kwenye vijito vyote na mabonde. Huenda tunaweza kupata majani ya kuwalisha farasi na nyumbu wapate kuishi ili tusilazimike kuwaua hata mmoja wa wanyama wetu.”

KI1 18:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakagawanya nchi waliyokusudia kutafuta majani, Ahabu akaenda upande mmoja na Obadia upande mwingine.

KI1 18:7 Removed trailing space in v~: Wakati Obadia alipokuwa akitembea njiani, Eliya akakutana naye. Obadia akamtambua, akamsujudia hadi nchi na kusema, “Je, hivi kweli ni wewe, bwana wangu Eliya?”

KI1 18:8 Removed trailing space in v~: Eliya akamjibu, “Ndiyo, nenda ukamwambie bwana wako Ahabu, ‘Eliya yuko hapa.’ ”

KI1 18:9 Removed trailing space in v~: Obadia akamuuliza, “Ni kosa gani nimefanya, hata ukaamua kumkabidhi mtumishi wako mkononi mwa Ahabu ili aniue?

KI1 18:10 Removed trailing space in v~: Hakika kama \nd Bwana\nd* Mungu wako aishivyo, hakuna taifa hata moja au ufalme ambapo bwana wangu hajamtuma mtu kukutafuta. Kila wakati taifa au ufalme walipodai kwamba haupo huko, aliwafanya waape kwamba hawakuweza kukupata.

KI1 18:11 Removed trailing space in v~: Lakini sasa unaniambia niende kwa bwana wangu na kusema, ‘Eliya yuko hapa.’

KI1 18:12 Removed trailing space in v~: Sijui ni wapi Roho wa \nd Bwana\nd* ataamua kukupeleka wakati nitakapokuacha. Kama nikienda kumwambia Ahabu na asikupate, ataniua. Hata hivyo mimi mtumishi wako nimemwabudu \nd Bwana\nd* tangu ujana wangu.

KI1 18:13 Removed trailing space in v~: Je, hukusikia, bwana wangu, nilifanya nini wakati Yezebeli alipokuwa akiua manabii wa \nd Bwana\nd*? Niliwaficha manabii wa \nd Bwana\nd* mia moja katika mapango mawili, hamsini katika kila moja, nami nikawapatia chakula na maji.

KI1 18:14 Removed trailing space in v~: Nawe sasa unaniambia niende kwa bwana wangu na kumwambia, ‘Eliya yuko hapa.’ Yeye ataniua!”

KI1 18:15 Removed trailing space in v~: Eliya akasema, “Kama \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote aishivyo, yeye ninayemtumikia, hakika nitajionyesha kwa Ahabu leo.”

KI1 18:15 Removed trailing space in s1: Eliya Juu Ya Mlima Karmeli

KI1 18:16 Removed trailing space in v~: Basi Obadia akaenda kukutana na Ahabu na kumwambia, naye Ahabu akaenda kukutana na Eliya.

KI1 18:17 Removed trailing space in v~: Ahabu alipomwona Eliya, akamwambia, “Je, ni wewe, mtaabishaji wa Israeli?”

KI1 18:18 Removed trailing space in v~: Eliya akamjibu, “Mimi sijaitaabisha Israeli. Lakini wewe na jamaa ya baba yako ndio mnaofanya hivyo. Mmeziacha amri za \nd Bwana\nd* na mkafuata Mabaali.

KI1 18:19 Removed trailing space in v~: Sasa waite watu kutoka Israeli yote tukutane nao juu ya Mlima Karmeli. Nawe uwalete hao manabii wa Baali mia nne na hamsini na hao manabii mia nne wa Ashera, walao chakula mezani mwa Yezebeli.”

KI1 18:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Ahabu akatuma ujumbe katika Israeli yote na kuwakusanya manabii hao juu ya mlima Karmeli.

KI1 18:21 Removed trailing space in v~: Eliya akasimama mbele ya watu na kusema, “Mtasitasita katika mawazo mawili hadi lini? Ikiwa \nd Bwana\nd* ndiye Mungu, mfuateni yeye; lakini ikiwa Baali ni Mungu, basi mfuateni yeye.”

KI1 18:21 Removed trailing space in p~: Lakini watu hawakusema kitu.

KI1 18:22 Removed trailing space in v~: Kisha Eliya akawaambia, “Ni mimi peke yangu nabii wa \nd Bwana\nd* aliyebaki, lakini Baali ana manabii mia nne na hamsini.

KI1 18:23 Removed trailing space in v~: Leteni mafahali wawili. Wao na wajichagulie mmoja, wamkate vipande vipande na waweke juu ya kuni lakini wasiiwashie moto. Nitamwandaa huyo fahali mwingine na kumweka juu ya kuni lakini sitawasha moto.

KI1 18:24 Removed trailing space in v~: Kisha mliitie jina la mungu wenu, nami nitaliitia jina la \nd Bwana\nd* Mungu yule ambaye atajibu kwa moto, huyo ndiye Mungu.”

KI1 18:24 Removed trailing space in p~: Kisha watu wote wakasema, “Hilo unalosema ni jema.”

KI1 18:25 Removed trailing space in v~: Eliya akawaambia manabii wa Baali, “Chagueni mmoja kati ya hawa mafahali na mwe wa kwanza kumwandaa, kwa kuwa ninyi mko wengi sana. Liitieni jina la mungu wenu, lakini msiwashe moto.”

KI1 18:26 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakamchukua yule fahali waliyepewa, nao wakamwandaa.

KI1 18:26 Removed trailing space in p~: Kisha wakaliitia jina la Baali kutoka asubuhi hadi adhuhuri, wakapiga kelele, “Ee Baali, utujibu!” Lakini hapakuwa na jibu; hakuna aliyejibu. Nao wakacheza kuizunguka madhabahu waliyoijenga.

KI1 18:27 Removed trailing space in v~: Wakati wa adhuhuri, Eliya akaanza kuwadhihaki, akisema, “Pigeni kelele zaidi! Hakika yeye ni mungu! Labda amezama katika mawazo mazito, au ana shughuli nyingi, au amesafiri. Labda amelala usingizi mzito, naye ni lazima aamshwe.”

KI1 18:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakapiga kelele zaidi na kama ilivyokuwa desturi yao wakajichanja wenyewe kwa visu na vyembe, mpaka damu ikachuruzika.

KI1 18:29 Removed trailing space in v~: Adhuhuri ikapita, nao wakaendelea na utabiri wao wa kiwazimu mpaka wakati wa dhabihu ya jioni. Lakini hapakuwa na jibu, hakuna aliyejibu, hakuna aliyeangalia.

KI1 18:30 Removed trailing space in v~: Kisha Eliya akawaambia watu wote, “Sogeeni karibu nami.” Watu wote wakamkaribia, naye akakarabati madhabahu ya \nd Bwana\nd*, ambayo ilikuwa imevunjwa.

KI1 18:31 Removed trailing space in v~: Eliya akachukua mawe kumi na mawili, moja kwa ajili ya kila kabila la wana wa Yakobo, ambaye neno la \nd Bwana\nd* lilimjia, likisema, “Jina lako litakuwa Israeli.”

KI1 18:32 Removed trailing space in v~: Kwa mawe hayo, akajenga madhabahu katika jina la \nd Bwana\nd*, na akachimba handaki kuizunguka, ukubwa wa kutosha vipimo viwili vya mbegu.

KI1 18:33 Removed trailing space in v~: Akapanga kuni, akamkata yule fahali vipande vipande na kuvipanga juu ya kuni. Kisha akawaambia, “Jazeni mapipa manne maji na kuyamwaga juu ya sadaka ya kuteketezwa na juu ya kuni.”

KI1 18:34 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Fanyeni hivyo tena.” Nao wakafanya hivyo tena.

KI1 18:34 Removed trailing space in p~: Akaagiza, “Fanyeni kwa mara ya tatu.” Nao wakafanya hivyo kwa mara ya tatu.

KI1 18:35 Removed trailing space in v~: Maji yakatiririka kuizunguka madhabahu na hata kujaza lile handaki.

KI1 18:36 Removed trailing space in v~: Wakati wa kutoa dhabihu ya jioni, nabii Eliya akasogea mbele na kuomba, akisema: “Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa Abrahamu, na Isaki na Israeli, ijulikane leo kwamba wewe ndiye Mungu katika Israeli na ya kwamba mimi ni mtumishi wako na nimefanya mambo haya yote kwa neno lako.

KI1 18:37 Removed trailing space in v~: Unijibu mimi, Ee \nd Bwana\nd*, nijibu mimi, ili watu hawa wajue kwamba wewe, Ee \nd Bwana\nd*, ndiwe Mungu, na kwamba unaigeuza mioyo yao ikurudie tena.”

KI1 18:38 Removed trailing space in v~: Kisha moto wa \nd Bwana\nd* ukashuka na kuiteketeza ile dhabihu, zile kuni, yale mawe, ule udongo, na pia kuramba yale maji yaliyokuwa ndani ya handaki.

KI1 18:39 Removed trailing space in v~: Wakati watu wote walipoona hili, wakaanguka kifudifudi na kulia, “\nd Bwana\nd*: yeye ndiye Mungu! \nd Bwana\nd*: yeye ndiye Mungu!”

KI1 18:40 Removed trailing space in v~: Kisha Eliya akawaamuru, “Wakamateni hao manabii wa Baali. Msimwache hata mmoja atoroke!” Wakawakamata, naye Eliya akawaleta mpaka Bonde la Kishoni na kuwachinja huko.

KI1 18:41 Removed trailing space in v~: Eliya akamwambia Ahabu, “Nenda, ukale na kunywa, kwa kuwa kuna sauti ya mvua kubwa.”

KI1 18:42 Removed trailing space in v~: Hivyo Ahabu akaondoka ili kula na kunywa. Lakini Eliya akapanda kileleni mwa Karmeli, akasujudu na akaweka kichwa chake katikati ya magoti yake.

KI1 18:43 Removed trailing space in v~: Akamwambia mtumishi wake, “Nenda ukatazame kuelekea bahari.” Akaenda na kutazama.

KI1 18:43 Removed trailing space in p~: Akasema, “Hakuna kitu chochote huko.”

KI1 18:43 Removed trailing space in p~: Mara saba Eliya akasema, “Nenda tena.”

KI1 18:44 Removed trailing space in v~: Mara ya saba, mtumishi akaleta taarifa, “Wingu dogo kama mkono wa mwanadamu linainuka kutoka baharini.”

KI1 18:44 Removed trailing space in p~: Hivyo Eliya akasema, “Nenda ukamwambie Ahabu, ‘Tandika gari lako na ushuke kabla mvua haijakuzuia.’ ”

KI1 18:45 Removed trailing space in v~: Wakati ule ule anga likawa jeusi kwa mawingu, upepo ukainuka na mvua kubwa ikanyesha, naye Ahabu akaenda zake Yezreeli.

KI1 18:46 Removed trailing space in v~: Nguvu za \nd Bwana\nd* zikamjia Eliya, naye akajikaza viuno, akakimbia mbele ya Ahabu njia yote hadi maingilio ya Yezreeli.

KI1 19:0 Extra space after chapter number

KI1 19:0 Removed trailing space in c: 19

KI1 19:0 Removed trailing space in s1: Eliya Akimbilia Horebu

KI1 19:1 Removed trailing space in v~: Ahabu akamwambia Yezebeli kila kitu Eliya alichokuwa amefanya na jinsi alivyowaua manabii wote kwa upanga.

KI1 19:2 Removed trailing space in v~: Hivyo Yezebeli akamtuma mjumbe kwa Eliya, kusema, “Hao miungu initendee hivyo na kuzidi, kama kufikia kesho wakati kama huu sitaifanya roho yako kama mmojawapo wa hao manabii.”

KI1 19:3 Removed trailing space in v~: Eliya aliogopa, na akakimbia kuokoa maisha yake. Alipofika Beer-Sheba katika Yuda, akamwacha mtumishi wake huko,

KI1 19:4 Removed trailing space in v~: lakini yeye mwenyewe akatembea mwendo wa kutwa nzima katika jangwa. Akafika kwenye mti wa mretemu, akakaa chini yake na kuomba ili afe. Akasema, “Yatosha sasa, \nd Bwana\nd*, ondoa roho yangu, kwani mimi si bora kuliko baba zangu.”

KI1 19:5 Removed trailing space in v~: Kisha akajinyoosha chini ya mti, akalala usingizi.

KI1 19:5 Removed trailing space in p~: Mara malaika akamgusa na akamwambia, “Inuka na ule.”

KI1 19:6 Removed trailing space in v~: Akatazama pande zote, napo hapo karibu na kichwa chake palikuwepo mkate uliookwa kwenye makaa ya moto na gudulia la maji. Akala na kunywa, kisha akajinyoosha tena.

KI1 19:7 Removed trailing space in v~: Yule malaika wa \nd Bwana\nd* akaja tena mara ya pili, akamgusa akamwambia, “Inuka na ule, kwa kuwa safari ni ndefu kwako.”

KI1 19:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akainuka, akala na kunywa. Akiwa ametiwa nguvu na kile chakula, akasafiri siku arobaini usiku na mchana mpaka akafika Horebu, mlima wa Mungu.

KI1 19:9 Removed trailing space in v~: Huko akaingia katika pango, akalala humo usiku ule.

KI1 19:9 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Amtokea Eliya

KI1 19:9 Removed trailing space in p~: Nalo neno la \nd Bwana\nd* likamjia, kusema, “Unafanya nini hapa, Eliya?”

KI1 19:10 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Nimeona wivu mwingi kwa ajili ya \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote. Waisraeli wamelikataa Agano lako, wamevunja madhabahu zako na kuwaua manabii wako kwa upanga. Ni mimi, mimi peke yangu, niliyebaki, nao sasa wananitafuta ili waniangamize.”

KI1 19:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Toka nje ukasimame juu ya mlima mbele za \nd Bwana\nd*, kwa kuwa \nd Bwana\nd* yu karibu kupita hapo.”

KI1 19:11 Removed trailing space in p~: Kisha upepo mwingi na wenye nguvu ukapasua milima ile na kuvunjavunja miamba mbele za \nd Bwana\nd*, lakini \nd Bwana\nd* hakuwamo katika ule upepo. Baada ya upepo palikuwa na tetemeko la nchi, lakini \nd Bwana\nd* hakuwamo kwenye lile tetemeko.

KI1 19:12 Removed trailing space in v~: Baada ya tetemeko la nchi ukaja moto, lakini \nd Bwana\nd* hakuwamo katika ule moto. Baada ya moto ikaja sauti ya utulivu ya kunongʼona.

KI1 19:13 Removed trailing space in v~: Eliya alipoisikia, akafunika uso kwa vazi lake, akatoka na kusimama kwenye mdomo wa pango.

KI1 19:13 Removed trailing space in p~: Kisha ile sauti ikamwambia, “Eliya, unafanya nini hapa?”

KI1 19:14 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Nimeona wivu mwingi kwa ajili ya \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote. Waisraeli wamelikataa Agano lako, wamevunja madhabahu zako na kuwaua manabii wako kwa upanga. Ni mimi, mimi peke yangu, niliyebaki, nao sasa wananitafuta ili waniangamize.”

KI1 19:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia, “Rudi kwa njia uliyoijia, uende kwenye Jangwa la Dameski. Wakati utakapofika huko, mtie Hazaeli mafuta awe mfalme wa Aramu\f + \fr 19:15 \ft Yaani Shamu (ambayo leo ni Syria).\f*

KI1 19:16 Removed trailing space in v~: Pia mtie mafuta Yehu mwana wa Nimshi awe mfalme wa Israeli, na umtie Elisha mwana wa Shafati kutoka Abel-Mehola mafuta awe nabii badala yako.

KI1 19:17 Removed trailing space in v~: Yehu atamuua yeyote atakayeutoroka upanga wa Hazaeli, naye Elisha atamuua yeyote atakayeutoroka upanga wa Yehu.

KI1 19:18 Removed trailing space in v~: Hata sasa nimeweka akiba watu elfu saba katika Israeli, wote ambao hawajampigia Baali magoti, na wote ambao midomo yao haijambusu.”

KI1 19:18 Removed trailing space in s1: Wito Wa Elisha

KI1 19:19 Removed trailing space in v~: Hivyo Eliya akaondoka kutoka huko na kumkuta Elisha mwana wa Shafati. Alikuwa akilima kwa jozi kumi na mbili za maksai, na yeye mwenyewe aliongoza ile jozi ya kumi na mbili. Eliya akapita karibu naye, akamrushia vazi lake.

KI1 19:20 Removed trailing space in v~: Kisha Elisha akawaacha maksai wake, akamkimbilia Eliya, akamwambia, “Niruhusu nikawabusu baba yangu na mama yangu, halafu nitafuatana nawe.”

KI1 19:20 Removed trailing space in p~: Eliya akajibu, “Rudi zako, kwani nimekutendea nini?”

KI1 19:21 Removed trailing space in v~: Basi Elisha akamwacha Eliya, naye akarudi. Akachukua ile jozi yake ya maksai na kuwachinja. Akaipika ile nyama kwa kutumia miti ya nira kama kuni na kuwapa watu, nao wakala. Kisha akaondoka, akamfuata Eliya, akamtumikia.

KI1 20:0 Extra space after chapter number

KI1 20:0 Removed trailing space in c: 20

KI1 20:0 Removed trailing space in s1: Ben-Hadadi Aishambulia Samaria

KI1 20:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu, Ben-Hadadi mfalme wa Aramu akakusanya jeshi lake lote. Akifuatana na wafalme thelathini na wawili wakiwa na farasi na magari ya vita, akakwea kuuzingira kwa jeshi Samaria na kuishambulia.

KI1 20:2 Removed trailing space in v~: Akawatuma wajumbe katika mji kwa Ahabu mfalme wa Israeli, kusema, “Hivi ndivyo asemavyo Ben-Hadadi:

KI1 20:3 Removed trailing space in v~: ‘Fedha yako na dhahabu ni yangu, nao wake zako walio wazuri sana na watoto ni wangu.’ ”

KI1 20:4 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akajibu, “Iwe kama usemavyo, bwana wangu mfalme. Mimi na vyote nilivyo navyo ni mali yako.”

KI1 20:5 Removed trailing space in v~: Wale wajumbe wakaja tena na kusema, “Hivi ndivyo asemavyo Ben-Hadadi: ‘Nimetuma kutaka fedha yako na dhahabu, wake zako na watoto wako.

KI1 20:6 Removed trailing space in v~: Lakini kesho wakati kama huu, nitawatuma maafisa wangu kukagua jumba lako la kifalme na nyumba za maafisa wako. Watatwaa kitu unachokithamini nao watakichukua.’ ”

KI1 20:7 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akawaita wazee wote wa nchi na akawaambia, “Tazama jinsi mtu huyu anavyochokoza! Wakati alipotuma apelekewe wake zangu na watoto wangu, fedha zangu na dhahabu yangu, sikumkatalia.”

KI1 20:8 Removed trailing space in v~: Wazee na watu wote wakajibu, “Usimsikilize, wala usiyakubali matakwa yake.”

KI1 20:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akawajibu wajumbe wa Ben-Hadadi, “Mwambieni bwana wangu mfalme, ‘Mtumishi wako atafanya yote uliyoyadai mwanzoni, lakini dai hili la sasa siwezi kulitekeleza.’ ” Wakaondoka na kupeleka jibu kwa Ben-Hadadi.

KI1 20:10 Removed trailing space in v~: Kisha Ben-Hadadi akatuma ujumbe mwingine kwa Ahabu, kusema “Miungu iniletee maafa, tena makubwa zaidi, ikiwa vumbi la Samaria litatosheleza konzi moja ya kila mtu ya wale wafuatanao nami.”

KI1 20:11 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akajibu, “Mwambieni, ‘Yule anayevaa mavazi ya vita asije akajisifu kama yule anayevua.’ ”

KI1 20:12 Removed trailing space in v~: Ben-Hadadi alisikia ujumbe huu wakati ambapo yeye na wafalme walikuwa wanakunywa katika mahema yao, na akawaamuru watu wake, “Jiandaeni kushambulia.” Kwa hiyo wakajiandaa kuushambulia mji.

KI1 20:12 Removed trailing space in s1: Ahabu Amshinda Ben-Hadadi

KI1 20:13 Removed trailing space in v~: Wakati ule ule nabii akamjia Ahabu mfalme wa Israeli na kutangaza, “Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: ‘Je, unaona jeshi hili kubwa? Nitalitia mkononi mwako leo, nawe ndipo utajua kwamba mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

KI1 20:14 Removed trailing space in v~: Ahabu akauliza, “Ni nani atakayefanya hili?”

KI1 20:14 Removed trailing space in p~: Nabii akamjibu, “Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: ‘Maafisa vijana majemadari wa majimbo watafanya hili.’ ”

KI1 20:14 Removed trailing space in p~: Akauliza, “Ni nani atakayeanzisha vita?”

KI1 20:14 Removed trailing space in p~: Nabii akamjibu, “Ni wewe.”

KI1 20:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Ahabu akawaita maafisa vijana majemadari wa majimbo, wanaume 232. Kisha akawakusanya Waisraeli wote waliobaki, jumla yao 7,000.

KI1 20:16 Removed trailing space in v~: Wakaondoka wakati wa adhuhuri, Ben-Hadadi na wale wafalme thelathini na wawili walioungana naye walipokuwa katika mahema yao wakilewa.

KI1 20:17 Removed trailing space in v~: Maafisa vijana majemadari wa majimbo waliondoka kwanza.

KI1 20:17 Removed trailing space in p~: Wakati huu Ben-Hadadi alikuwa amewatuma wapelelezi, ambao walileta taarifa kusema kwamba, “Askari wanasonga mbele kutoka Samaria.”

KI1 20:18 Removed trailing space in v~: Akasema, “Ikiwa wamekuja kwa amani, wakamate wakiwa hai; ikiwa wamekuja kwa vita, wakamate wakiwa hai.”

KI1 20:19 Removed trailing space in v~: Wale maafisa vijana majemadari wa majimbo wakatoka nje ya mji jeshi likiwa nyuma yao,

KI1 20:20 Removed trailing space in v~: kila mmoja akamuua adui yake. Hii ilisababisha Waaramu kukimbia, huku Waisraeli wakiwafuatia. Lakini Ben-Hadadi mfalme wa Aramu akatoroka akiwa amepanda farasi wake pamoja na baadhi ya wapanda farasi wake.

KI1 20:21 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akasonga mbele na kushinda farasi na magari ya vita na kusababisha hasara kubwa kwa Waaramu.

KI1 20:22 Removed trailing space in v~: Baadaye nabii akaja kwa mfalme wa Israeli na kusema, “Jiandae vizuri ufikirie la kufanya, kwa sababu mwakani mfalme wa Aramu atakuja kukushambulia tena.”

KI1 20:23 Removed trailing space in v~: Wakati ule ule, maafisa wa mfalme wa Aramu wakamshauri, wakamwambia, “Miungu yao ni miungu ya vilimani. Ndiyo sababu walikuwa na nguvu sana kutuzidi. Lakini kama tukipigana nao katika nchi tambarare, hakika tutawashinda.

KI1 20:24 Removed trailing space in v~: Fanya hivi: Waondoe hao wafalme wote thelathini na wawili kutoka nafasi zao na uweke maafisa wengine mahali pao.

KI1 20:25 Removed trailing space in v~: Ni lazima pia uandae jeshi jingine kama lile ulilopoteza, farasi kwa farasi, gari la vita kwa gari la vita, ili tuweze kupigana na Israeli katika nchi tambarare. Kisha kwa hakika tutakuwa na nguvu kuliko wao.” Akakubaliana nao naye akashughulika ipasavyo.

KI1 20:26 Removed trailing space in v~: Mwaka uliofuata, majira kama hayo, Ben-Hadadi akawakusanya Waaramu mpaka Afeki kupigana dhidi ya Israeli.

KI1 20:27 Removed trailing space in v~: Baada ya Waisraeli kukusanywa na kupewa mahitaji, walikwenda kukabiliana nao. Waisraeli wakapiga kambi mkabala nao kama makundi mawili madogo ya mbuzi, wakati Waaramu walienea katika nchi yote.

KI1 20:28 Removed trailing space in v~: Mtu wa Mungu akaja na kumwambia mfalme wa Israeli, “Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* asemavyo: ‘Kwa sababu Waaramu wanafikiri \nd Bwana\nd* ni Mungu wa vilimani na sio Mungu wa mabondeni, nitatia jeshi hili kubwa mkononi mwako, nawe utajua kuwa mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

KI1 20:29 Removed trailing space in v~: Kwa siku saba walipiga kambi wakitazamana na siku ya saba vita vikaanza. Waisraeli wakawajeruhi askari wa miguu wa Waaramu 100,000 kwa siku moja.

KI1 20:30 Removed trailing space in v~: Waliobaki wakatorokea katika mji wa Afeki, mahali ambapo watu 27,000 waliangukiwa na ukuta. Naye Ben-Hadadi akakimbilia mjini na kujificha kwenye chumba cha ndani.

KI1 20:31 Removed trailing space in v~: Maafisa wake wakamwambia, “Tazama, tumesikia kwamba wafalme wa nyumba ya Israeli wana huruma. Twendeni kwa mfalme wa Israeli tukiwa tumevaa nguo za gunia viunoni mwetu na kamba kuzunguka vichwa vyetu. Huenda akakuacha hai.”

KI1 20:32 Removed trailing space in v~: Wakiwa wamevaa nguo za gunia viunoni mwao na kamba kuzunguka vichwa vyao, walikwenda kwa mfalme wa Israeli na kusema, “Mtumishi wako Ben-Hadadi anasema: ‘Tafadhali, naomba uniache hai.’ ”

KI1 20:32 Removed trailing space in p~: Mfalme akajibu, “Je, bado yuko hai? Yeye ni ndugu yangu.”

KI1 20:33 Removed trailing space in v~: Wale watu wakalipokea jambo lile kama dalili nzuri nao wakawa wepesi kulichukua neno lake wakisema, “Ndiyo, yeye ni ndugu yako Ben-Hadadi!”

KI1 20:33 Removed trailing space in p~: Mfalme akawaambia, “Nendeni mkamlete.” Ikawa Ben-Hadadi alipokuja, Ahabu akampandisha katika gari lake la vita.

KI1 20:33 Removed trailing space in p~: Ben-Hadadi akajitolea, akisema,

KI1 20:34 Removed trailing space in v~: “Nitairudisha ile miji ambayo baba yangu aliiteka kutoka kwa baba yako. Unaweza kuweka maeneo yako ya soko katika Dameski, kama baba yangu alivyofanya huko Samaria.”

KI1 20:34 Removed trailing space in p~: Ahabu akasema, “Katika misingi ya mkataba, nitakuachilia huru.” Kwa hiyo akaweka mkataba naye, akamruhusu aende zake.

KI1 20:34 Removed trailing space in s1: Nabii Amlaumu Ahabu

KI1 20:35 Removed trailing space in v~: Kwa neno la \nd Bwana\nd*, mmoja wa wana wa manabii akamwambia mwenzake, “Nipige kwa silaha yako,” lakini yule mtu akakataa.

KI1 20:36 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo yule nabii akasema, “Kwa sababu hukumtii \nd Bwana\nd*, mara tu tutakapoachana utauawa na simba.” Na baada ya yule mtu kuondoka, simba akatokea na kumuua.

KI1 20:37 Removed trailing space in v~: Nabii akamkuta mtu mwingine na kumwambia, “Nipige tafadhali.” Kisha yule mtu akampiga na kumjeruhi.

KI1 20:38 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii akaenda na kusimama barabarani akimsubiri mfalme. Akajibadilisha kwa kushusha kitambaa cha kichwani mwake hadi kwenye macho.

KI1 20:39 Removed trailing space in v~: Mfalme alipopita pale, yule nabii akamwita, “Mtumishi wako alikwenda vitani wakati vita vilipopamba moto, mtu mmoja akanijia na mateka akasema, ‘Mlinde mtu huyu. Kama akitoroka itakuwa uhai wako kwa uhai wake, ama vipande 3,000 vya fedha.’

KI1 20:40 Removed trailing space in v~: Wakati mtumishi wako alipokuwa na shughuli nyingi hapa na pale, yule mtu akatoweka.”

KI1 20:40 Removed trailing space in p~: Mfalme wa Israeli akasema, “Hiyo ndiyo hukumu yako. Wewe umeitaja mwenyewe.”

KI1 20:41 Removed trailing space in v~: Kisha yule nabii akajifunua macho yake haraka, na mfalme wa Israeli akamtambua kama mmoja wa manabii.

KI1 20:42 Removed trailing space in v~: Akamwambia mfalme, “Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* asemavyo: ‘Umemwacha huru mtu niliyekusudia afe. Kwa hiyo ni uhai wako kwa uhai wake, watu wako kwa watu wake.’ ”

KI1 20:43 Removed trailing space in v~: Kwa uchungu na hasira, mfalme wa Israeli akaenda kwenye jumba lake la kifalme huko Samaria.

KI1 21:0 Extra space after chapter number

KI1 21:0 Removed trailing space in c: 21

KI1 21:0 Removed trailing space in s1: Shamba La Mizabibu La Nabothi

KI1 21:1 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo, Nabothi, Myezreeli, alikuwa na shamba la mizabibu jirani na jumba la kifalme la Ahabu mfalme wa Samaria.

KI1 21:2 Removed trailing space in v~: Ahabu akamwambia Nabothi, “Nipe shamba lako la mizabibu nilitumie kwa bustani ya mboga, kwa kuwa liko karibu na jumba langu la kifalme. Badala yake, nitakupa shamba jingine la mizabibu zuri zaidi au, kama utapenda, nitakulipa kiasi chochote unachoona ni thamani yake.”

KI1 21:3 Removed trailing space in v~: Lakini Nabothi akamjibu, “\nd Bwana\nd* na apishe mbali kukupa wewe urithi wa baba zangu.”

KI1 21:4 Removed trailing space in v~: Basi Ahabu akaenda nyumbani, mwenye huzuni na hasira kwa sababu ya yale ambayo Nabothi, Myezreeli, alikuwa amesema, “Sitakupa urithi wa baba zangu.” Akajinyoosha juu ya kitanda akisononeka, na akakataa kula.

KI1 21:5 Removed trailing space in v~: Yezebeli mke wake akaingia na akamuuliza, “Kwa nini unahuzunika hivi? Kwa nini huli chakula?”

KI1 21:6 Removed trailing space in v~: Akamjibu, “Kwa sababu nilimwambia Nabothi, Myezreeli, ‘Niuzie shamba lako la mizabibu, au kama ukipenda, nitakupa shamba jingine la mizabibu badala yake.’ Lakini akasema, ‘Sitakupa shamba langu la mizabibu.’ ”

KI1 21:7 Removed trailing space in v~: Yezebeli mke wake akasema, “Hivi ndivyo unavyofanya, nawe ni mfalme katika Israeli yote? Inuka na ule! Changamka. Nitakupatia shamba la mizabibu la Nabothi, Myezreeli.”

KI1 21:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akaandika barua kwa jina la Ahabu akaweka muhuri wake juu ya hizo barua, akazipeleka kwa wazee na kwa watu wenye cheo walioishi katika mji pamoja na Nabothi.

KI1 21:9 Removed trailing space in v~: Katika barua hizo aliandika:

KI1 21:9 Removed trailing space in p~: “Tangazeni siku ya watu kufunga na mkamketishe Nabothi mahali pa wazi miongoni mwa watu.

KI1 21:10 Removed trailing space in v~: Lakini waketisheni watu wawili wabaya kabisa mkabala naye, nao washuhudie kuwa yeye amemlaani Mungu na mfalme. Kisha mtoeni nje na kumpiga kwa mawe hadi afe.”

KI1 21:11 Removed trailing space in v~: Hivyo wazee na watu wenye cheo walioishi katika mji wa Nabothi wakafanya kama Yezebeli alivyoelekeza katika barua aliyowaandikia.

KI1 21:12 Removed trailing space in v~: Wakatangaza mfungo na kumketisha Nabothi mahali pa wazi miongoni mwa watu.

KI1 21:13 Removed trailing space in v~: Kisha watu wawili wabaya kabisa wakaja wakaketi mkabala naye, nao wakaleta mashtaka dhidi ya Nabothi mbele ya watu, wakisema, “Nabothi amemlaani Mungu na mfalme.” Kwa hiyo wakamtoa nje na kumpiga kwa mawe hadi akafa.

KI1 21:14 Removed trailing space in v~: Kisha wakatuma ujumbe kwa Yezebeli, kusema, “Nabothi amepigwa mawe na amekufa.”

KI1 21:15 Removed trailing space in v~: Mara tu Yezebeli aliposikia kwamba Nabothi amepigwa mawe na amekufa, akamwambia Ahabu, “Amka na uchukue lile shamba la mizabibu la Nabothi, Myezreeli, ambalo alikataa kukuuzia. Hayuko hai tena, bali amekufa.”

KI1 21:16 Removed trailing space in v~: Ahabu aliposikia Nabothi amekufa, akainuka na kushuka ili kulichukua shamba la mizabibu la Nabothi.

KI1 21:17 Removed trailing space in v~: Kisha neno la \nd Bwana\nd* likamjia Eliya, Mtishbi:

KI1 21:18 Removed trailing space in v~: “Shuka ukakutane na Ahabu mfalme wa Israeli, anayetawala Samaria. Sasa yuko katika shamba la mizabibu la Nabothi, ambapo amekwenda alimiliki.

KI1 21:19 Removed trailing space in v~: Umwambie, ‘Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* asemavyo: Je, hujamuua mtu na kuitwaa mali yake?’ Kisha umwambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: Mahali ambapo mbwa waliramba damu ya Nabothi, mbwa watairamba damu yako, naam, yako wewe!’ ”

KI1 21:20 Removed trailing space in v~: Ahabu akamwambia Eliya, “Kwa hiyo umenipata, wewe adui yangu!”

KI1 21:20 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Ndiyo, nimekupata. Kwa sababu umejiuza mwenyewe kufanya uovu mbele ya macho ya \nd Bwana\nd*.

KI1 21:21 Removed trailing space in v~: ‘Nitaleta maafa juu yako. Nitaangamiza uzao wako na kukatilia mbali kutoka kwa Ahabu kila mzaliwa wa mwisho wa kiume katika Israeli, wa mtumwa au wa mtu huru.

KI1 21:22 Removed trailing space in v~: Nitaifanya nyumba yako kama ile ya Yeroboamu mwana wa Nebati na ile ya Baasha mwana wa Ahiya, kwa sababu umenighadhibisha kwa kuwa umesababisha Israeli kutenda dhambi.’

KI1 21:23 Removed trailing space in v~: “Pia kwa habari ya Yezebeli \nd Bwana\nd* anasema, ‘Mbwa watamla Yezebeli karibu na ukuta wa Yezreeli.’

KI1 21:24 Removed trailing space in v~: “Mbwa watawala wale wa nyumba ya Ahabu watakaofia mjini, nao wale watakaofia mashambani wataliwa na ndege wa angani.”

KI1 21:25 Removed trailing space in v~: (Hapajapata kamwe kuwa na mtu kama Ahabu, aliyejiuza mwenyewe kutenda uovu machoni mwa \nd Bwana\nd*, akiwa anachochewa na Yezebeli mkewe.

KI1 21:26 Removed trailing space in v~: Alitenda kwa uovu sana katika kuabudu sanamu, kama wale Waamori ambao \nd Bwana\nd* aliowafukuza mbele ya Israeli.)

KI1 21:27 Removed trailing space in v~: Ahabu aliposikia maneno haya, akararua nguo zake, akavaa nguo za gunia na kufunga. Akalala na kujifunika nguo za gunia na kwenda kwa unyenyekevu.

KI1 21:28 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* lilipomjia Eliya Mtishbi kusema,

KI1 21:29 Removed trailing space in v~: “Umeona jinsi Ahabu alivyojinyenyekeza mbele zangu? Kwa kuwa amejishusha mwenyewe, sitaleta maafa haya wakati akiwa hai, lakini nitayaleta juu ya nyumba yake katika siku za mwanawe.”

KI1 22:0 Extra space after chapter number

KI1 22:0 Removed trailing space in c: 22

KI1 22:0 Removed trailing space in s1: Mikaya Anatabiri Dhidi Ya Ahabu

KI1 22:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 18:2-27)

KI1 22:1 Removed trailing space in v~: Kwa miaka mitatu hapakuwa na vita kati ya Aramu na Israeli.

KI1 22:2 Removed trailing space in v~: Lakini katika mwaka wa tatu Yehoshafati mfalme wa Yuda akashuka kwenda kumwona mfalme wa Israeli.

KI1 22:3 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli alikuwa amewaambia maafisa wake, “Je, hamjui Ramoth-Gileadi ni mali yetu na bado hatufanyi chochote kuirudisha kwetu kutoka kwa mfalme wa Aramu?”

KI1 22:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akamuuliza Yehoshafati, “Je, utakwenda pamoja nami kupigana dhidi ya Ramoth-Gileadi?”

KI1 22:4 Removed trailing space in p~: Yehoshafati akamjibu mfalme wa Israeli, “Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako.”

KI1 22:5 Removed trailing space in v~: Lakini Yehoshafati pia akamwambia mfalme wa Israeli, “Kwanza tafuta shauri la \nd Bwana\nd*.”

KI1 22:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawaleta pamoja manabii wanaume wapatao mia nne, akawauliza, “Je, niende vitani dhidi ya Ramoth-Gileadi, au niache?”

KI1 22:6 Removed trailing space in p~: Wakajibu, “Naam, nenda, kwa kuwa Bwana ataiweka Ramoth-Gileadi mkononi mwa mfalme.”

KI1 22:7 Removed trailing space in v~: Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa \nd Bwana\nd* hapa ambaye tunaweza kumuuliza?”

KI1 22:8 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamjibu Yehoshafati, “Bado yupo mtu mmoja ambaye kupitia yeye twaweza kumuuliza shauri la \nd Bwana\nd*, lakini namchukia kwa sababu huwa hatabiri jambo lolote jema kunihusu mimi, lakini kila mara hunitabiria mabaya tu. Yeye ni Mikaya mwana wa Imla.”

KI1 22:8 Removed trailing space in p~: Yehoshafati akajibu, “Mfalme hapaswi kusema hivyo.”

KI1 22:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwita mmoja wa maafisa wake na kusema, “Mlete Mikaya mwana wa Imla mara moja.”

KI1 22:10 Removed trailing space in v~: Wakiwa wamevalia majoho yao ya kifalme, mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wameketi juu ya viti vyao vya kifalme katika sakafu ya kupuria, kwenye ingilio la lango la Samaria, pamoja na manabii wote wakiwa wakitabiri mbele yao.

KI1 22:11 Removed trailing space in v~: Wakati huu Sedekia mwana wa Kenaana alikuwa ametengeneza pembe za chuma, akatangaza, “Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* asemavyo, ‘Kwa hizi pembe utawapiga na kuwarudisha Waaramu nyuma mpaka wameangamizwa.’ ”

KI1 22:12 Removed trailing space in v~: Manabii wengine wote walikuwa wanatabiri kitu hicho hicho wakisema, “Ishambulie Ramoth-Gileadi na uwe mshindi. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ataitia mkononi mwa mfalme.”

KI1 22:13 Removed trailing space in v~: Mjumbe aliyekuwa amekwenda kumwita Mikaya akamwambia, “Tazama, manabii wote kama mtu mmoja wanatabiri ushindi kwa mfalme. Neno lako na likubaliane na lao, nawe unene mema kuhusu mfalme.”

KI1 22:14 Removed trailing space in v~: Lakini Mikaya akasema, “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, nitamwambia kile tu \nd Bwana\nd* atakachoniambia.”

KI1 22:15 Removed trailing space in v~: Alipofika, mfalme akamuuliza, “Mikaya, je, twende vitani dhidi ya Ramoth-Gileadi au niache?”

KI1 22:15 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Shambulia na ushinde, kwa kuwa \nd Bwana\nd* atawatia mkononi mwa mfalme.”

KI1 22:16 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia, “Je, ni mara ngapi nitakuapisha ili usiniambie kitu chochote ila kweli tu kwa jina la \nd Bwana\nd*?”

KI1 22:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Mikaya akajibu, “Niliona Israeli wote wametawanyika vilimani kama kondoo wasio na mchungaji, naye \nd Bwana\nd* akasema, ‘Watu hawa hawana bwana. Mwache kila mmoja aende nyumbani kwa amani.’ ”

KI1 22:18 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba huwa hatabiri jambo lolote jema kunihusu, bali mabaya tu?”

KI1 22:19 Removed trailing space in v~: Mikaya akaendelea, “Kwa hiyo lisikie neno la \nd Bwana\nd*: Nilimwona \nd Bwana\nd* ameketi juu ya kiti chake cha enzi pamoja na jeshi lote la mbinguni likiwa limesimama kumzunguka upande wa kulia na wa kushoto.

KI1 22:20 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akasema, ‘Ni nani atakayemshawishi Ahabu ili aishambulie Ramoth-Gileadi na kukiendea kifo chake huko?’

KI1 22:20 Removed trailing space in p~: “Mmoja akapendekeza hili na mwingine lile.

KI1 22:21 Removed trailing space in v~: Mwishoni, pepo mchafu akajitokeza, akasimama mbele za \nd Bwana\nd* na kusema, ‘Nitamshawishi.’

KI1 22:22 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* akauliza, ‘Kwa njia gani?’

KI1 22:22 Removed trailing space in p~: “Akasema, ‘Nitakwenda na kuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.’

KI1 22:22 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* akasema, ‘Utafanikiwa katika kumshawishi. Nenda ukafanye hivyo.’

KI1 22:23 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo sasa \nd Bwana\nd* ameweka roho ya kudanganya ndani ya vinywa vya hawa manabii wako wote. \nd Bwana\nd* ameamuru maafa kwa ajili yako.”

KI1 22:24 Removed trailing space in v~: Kisha Sedekia mwana wa Kenaana akatoka na kumpiga Mikaya kofi usoni. Akauliza, “Huyo Roho kutoka kwa \nd Bwana\nd* alipita njia gani alipotoka kwangu ili kusema nawe?”

KI1 22:25 Removed trailing space in v~: Mikaya akajibu, “Utagundua siku hiyo utakapokwenda kujificha kwenye chumba cha ndani.”

KI1 22:26 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme wa Israeli akaagiza, “Mchukueni na mkamrudishe kwa Amoni mtawala wa mji na kwa Yoashi mwana wa mfalme.

KI1 22:27 Removed trailing space in v~: Mkaseme, ‘Hivi ndivyo asemavyo mfalme: Mwekeni mtu huyu gerezani na asipewe chochote ila mkate na maji mpaka nitakaporudi salama.’ ”

KI1 22:28 Removed trailing space in v~: Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, basi \nd Bwana\nd* hajanena kupitia kwangu.” Kisha akaongeza kusema, “Zingatieni maneno yangu, enyi watu wote!”

KI1 22:28 Removed trailing space in s1: Ahabu Auawa Ramoth-Gileadi

KI1 22:28 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 18:28-34)

KI1 22:29 Removed trailing space in v~: Basi mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda wakaenda Ramoth-Gileadi.

KI1 22:30 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Nitaingia vitani nikiwa nimejibadilisha, lakini wewe uvae majoho yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadilisha na kwenda vitani.

KI1 22:31 Removed trailing space in v~: Wakati huu, mfalme wa Aramu alikuwa amewaagiza majemadari thelathini na wawili wa magari ya vita, “Msipigane na yeyote, mdogo au mkubwa, isipokuwa mfalme wa Israeli.”

KI1 22:32 Removed trailing space in v~: Wakati wale majemadari wa magari ya vita walipomwona Yehoshafati wakafikiri, “Hakika huyu ndiye mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo wakageuka ili wamshambulie, lakini Yehoshafati akapiga kelele,

KI1 22:33 Removed trailing space in v~: wale majemadari wakaona kwamba hakuwa mfalme wa Israeli, nao wakaacha kumfuatilia.

KI1 22:34 Removed trailing space in v~: Lakini mtu fulani akavuta upinde pasipo lengo na kumpiga mfalme wa Israeli katikati ya kiungio cha mavazi yake ya chuma. Mfalme akamwambia mwendesha gari lake, “Geuza gari na uniondoe mimi katika mapigano, nimejeruhiwa.”

KI1 22:35 Removed trailing space in v~: Vita vikaendelea mchana kutwa, naye Mfalme Ahabu akategemezwa ndani ya gari kuelekea Waaramu. Damu kutoka kwenye jeraha lake ikachuruzika ndani ya gari na jioni yake akafa.

KI1 22:36 Removed trailing space in v~: Jua lilipokuwa linazama, mbiu ikaenea katika jeshi lote: “Kila mtu aende mjini kwake, na kila mtu shambani kwake!”

KI1 22:37 Removed trailing space in v~: Basi mfalme akafa na akaletwa Samaria, nao wakamzika huko.

KI1 22:38 Removed trailing space in v~: Wakasafisha lile gari la vita katika bwawa la Samaria (mahali makahaba walipooga), na mbwa wakaramba damu yake, sawasawa na neno la \nd Bwana\nd* lilivyokuwa limesema.

KI1 22:39 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Ahabu, pamoja na yote aliyoyafanya, jumba la kifalme alilojenga na kupambwa kwa pembe za ndovu, nayo miji aliyoijengea maboma, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI1 22:40 Removed trailing space in v~: Ahabu akalala pamoja na baba zake. Naye Ahazia mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI1 22:40 Removed trailing space in s1: Yehoshafati Mfalme Wa Yuda

KI1 22:40 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 20:31–21:1)

KI1 22:41 Removed trailing space in v~: Yehoshafati mwana wa Asa akawa mfalme wa Yuda katika mwaka wa nne wa Ahabu mfalme wa Israeli.

KI1 22:42 Removed trailing space in v~: Yehoshafati alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka ishirini na mitano. Jina la mama yake aliitwa Azuba binti Shilhi.

KI1 22:43 Removed trailing space in v~: Katika kila jambo alitembea katika njia za Asa baba yake wala hakwenda kinyume chake. Alifanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd*. Hata hivyo mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa. Watu waliendelea kutoa kafara na kufukiza uvumba huko.

KI1 22:44 Removed trailing space in v~: Yehoshafati pia alikuwa na amani na mfalme wa Israeli.

KI1 22:45 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya matukio mengine ya utawala wa Yehoshafati, mafanikio aliyokuwa nayo na uhodari wake katika vita, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI1 22:46 Removed trailing space in v~: Aliondolea mbali katika nchi mahanithi wa mahali pa kuabudia miungu waliobaki huko hata baada ya utawala wa baba yake Asa.

KI1 22:47 Removed trailing space in v~: Tangu hapo hapakuwepo na mfalme katika Edomu, naibu ndiye alitawala.

KI1 22:48 Removed trailing space in v~: Wakati huu Yehoshafati akaunda merikebu nyingi za biashara\f + \fr 22:48 \ft Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16; 60:9\+xt*).\f* ili kwenda Ofiri kuchukua dhahabu, lakini kamwe hazikusafiri, kwa maana zilivunjika huko Esion-Geberi.

KI1 22:48 Found unexpected backslash in footnote: 22:48 Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16; 60:9\+xt*).

KI1 22:49 Removed trailing space in v~: Wakati ule, Ahazia mwana wa Ahabu akamwambia Yehoshafati, “Waache watu wangu wasafiri baharini pamoja na watu wako,” lakini Yehoshafati akakataa.

KI1 22:50 Removed trailing space in v~: Kisha Yehoshafati akalala na baba zake, akazikwa pamoja nao katika mji wa Daudi baba yake. Mwanawe Yehoramu akawa mfalme baada yake.

KI1 22:50 Removed trailing space in s1: Ahazia Mfalme Wa Israeli

KI1 22:51 Removed trailing space in v~: Ahazia mwana wa Ahabu akawa mfalme wa Israeli huko Samaria katika mwaka wa kumi na saba wa Yehoshafati mfalme wa Yuda, naye alitawala katika Israeli kwa miaka miwili.

KI1 22:52 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni mwa \nd Bwana\nd* kwa sababu alienenda katika njia za baba yake na mama yake na katika njia za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambaye alisababisha Israeli itende dhambi.

KI1 22:53 Removed trailing space in v~: Alimtumikia na kumwabudu Baali na kumghadhibisha \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kama vile baba yake alivyokuwa amefanya.

KI2 2:0 Extra space after chapter number

KI2 2:0 Removed trailing space in c: 2

KI2 2:0 Removed trailing space in s1: Eliya Achukuliwa Mbinguni

KI2 2:1 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* alipokuwa karibu kumchukua Eliya mbinguni kwa upepo wa kisulisuli, Eliya na Elisha walikuwa njiani wakitoka Gilgali.

KI2 2:2 Removed trailing space in v~: Eliya akamwambia Elisha, “Kaa hapa. \nd Bwana\nd* amenituma Betheli.”

KI2 2:2 Removed trailing space in p~: Lakini Elisha akasema, “Kwa hakika, kama \nd Bwana\nd* aishivyo na wewe uishivyo, sitakuacha.” Kwa hiyo wakaenda Betheli pamoja.

KI2 2:3 Removed trailing space in v~: Wana wa manabii waliokuwako huko Betheli wakamjia Elisha na kumuuliza, “Je, unajua ya kwamba \nd Bwana\nd* atakuondolea bwana wako leo?”

KI2 2:3 Removed trailing space in p~: Elisha akawajibu, “Ndiyo, najua, lakini msizungumze juu ya jambo hilo.”

KI2 2:4 Removed trailing space in v~: Kisha Eliya akamwambia, “Baki hapa, Elisha. \nd Bwana\nd* amenituma Yeriko.”

KI2 2:4 Removed trailing space in p~: Naye akajibu, “Kwa hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo na wewe uishivyo, sitakuacha.” Hivyo wakaenda Yeriko.

KI2 2:5 Removed trailing space in v~: Wana wa manabii waliokuwako huko Yeriko wakamwendea Elisha na kumuuliza, “Je, unajua ya kwamba \nd Bwana\nd* atakuondolea bwana wako leo?”

KI2 2:5 Removed trailing space in p~: Akawajibu, “Ndiyo, najua, lakini msizungumze juu ya jambo hilo.”

KI2 2:6 Removed trailing space in v~: Kisha Eliya akamwambia, “Kaa hapa. \nd Bwana\nd* amenituma kwenda Yordani.”

KI2 2:6 Removed trailing space in p~: Naye akamjibu, “Kwa hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo na wewe uishivyo, sitakuacha.” Hivyo wote wawili wakaendelea pamoja.

KI2 2:7 Removed trailing space in v~: Wana hamsini wa manabii wakaenda na kusimama kwa mbali, kuelekea mahali ambapo Eliya na Elisha walikuwa wamesimama kando ya Mto Yordani.

KI2 2:8 Removed trailing space in v~: Eliya akachukua vazi lake, akalisokota na kupiga nalo maji. Maji yakagawanyika upande wa kuume na upande wa kushoto, nao wawili wakavuka pakavu.

KI2 2:9 Removed trailing space in v~: Walipokwisha kuvuka, Eliya akamwambia Elisha, “Niambie, nikufanyie nini kabla sijaondolewa kutoka kwako?”

KI2 2:9 Removed trailing space in p~: Elisha akajibu, “Naomba nirithi sehemu maradufu ya roho yako.”

KI2 2:10 Removed trailing space in v~: Eliya akasema, “Umeomba jambo gumu. Lakini kama utaniona wakati ninapoondolewa kutoka kwako litakuwa lako. La sivyo, hautalipata.”

KI2 2:11 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wakitembea pamoja na kuzungumza, ghafula gari la moto na farasi wa moto vilitokea na kuwatenganisha wao wawili, naye Eliya akapanda mbinguni katika upepo wa kisulisuli.

KI2 2:12 Removed trailing space in v~: Elisha aliona hili, naye akapaza sauti, “Baba yangu! Baba yangu! Magari ya Israeli na wapanda farasi wake!” Naye Elisha hakumwona tena. Kisha akazishika nguo zake mwenyewe na kuzirarua.

KI2 2:13 Removed trailing space in v~: Akaliokota lile vazi lililoanguka kutoka kwa Eliya, kisha akarudi na kusimama ukingoni mwa Yordani.

KI2 2:14 Removed trailing space in v~: Ndipo akalichukua lile vazi ambalo lilikuwa limeanguka kutoka kwa Eliya, naye akayapiga yale maji nalo. Akauliza, “Yuko wapi sasa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Eliya?” Elisha alipoyapiga maji, yakagawanyika kulia na kushoto, naye akavuka.

KI2 2:15 Removed trailing space in v~: Wale wana wa manabii kutoka Yeriko waliokuwa wakitazama wakasema, “Roho wa Eliya inamkalia Elisha.” Nao wakaenda kumlaki na kusujudu hadi nchi mbele yake.

KI2 2:16 Removed trailing space in v~: Wakasema, “Tazama, sisi watumishi wako tunao watu hamsini wenye uwezo. Waruhusu waende kumtafuta bwana wako. Labda Roho wa \nd Bwana\nd* amemtwaa na kumweka katika mlima fulani au bonde fulani.”

KI2 2:16 Removed trailing space in p~: Elisha akajibu, “Hapana, msiwatume.”

KI2 2:17 Removed trailing space in v~: Lakini wakasisitiza, mpaka akaona aibu kuwakatalia. Hivyo akasema, “Watumeni.” Nao wakawatuma watu hamsini, wakamtafuta kwa siku tatu, lakini hawakumpata.

KI2 2:18 Removed trailing space in v~: Walipomrudia Elisha, ambaye alikuwa akingojea huko Yeriko, akawaambia, “Je, sikuwaambia msiende?”

KI2 2:18 Removed trailing space in s1: Kuponywa Kwa Maji

KI2 2:19 Removed trailing space in v~: Watu wa mji wakamwambia Elisha, “Tazama, bwana wetu, mahali mji huu ulipojengwa ni pazuri, kama bwana wangu aonavyo, lakini maji yake ni mabaya, na nchi haizai.”

KI2 2:20 Removed trailing space in v~: Akasema, “Nileteeni bakuli mpya, mweke chumvi ndani yake.” Kwa hiyo wakamletea.

KI2 2:21 Removed trailing space in v~: Kisha akaenda kwenye chemchemi na kuitupa ile chumvi ndani yake, akisema, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Nimeyaponya maji haya. Kamwe hayatasababisha mauti tena wala kutozaa.’ ”

KI2 2:22 Removed trailing space in v~: Nayo yale maji yakaponywa mpaka leo, sawasawa na neno la Elisha alilokuwa amesema.

KI2 2:22 Removed trailing space in s1: Elisha Anafanyiwa Mzaha

KI2 2:23 Removed trailing space in v~: Kutoka huko Elisha akakwea kwenda Betheli. Ikawa alipokuwa akitembea barabarani, baadhi ya vijana wakatoka mjini na kumfanyia mzaha. Wakasema, “Paa, wewe mwenye upaa! Paa, wewe mwenye upaa!”

KI2 2:24 Removed trailing space in v~: Akageuka, akawatazama na kuwalaani kwa Jina la \nd Bwana\nd*. Kisha dubu wawili wa kike wakatokea mwituni na kuwararua vijana arobaini na wawili miongoni mwao.

KI2 2:25 Removed trailing space in v~: Naye akaondoka huko, akaenda Mlima Karmeli, na kutoka huko akarudi Samaria.

KI2 3:0 Extra space after chapter number

KI2 3:0 Removed trailing space in c: 3

KI2 3:0 Removed trailing space in s1: Moabu Wanaasi

KI2 3:1 Removed trailing space in v~: Yehoramu\f + \fr 3:1 \ft Yehoramu wakati mwingine limetajwa kama Yoramu.\f* mwana wa Ahabu akawa mfalme wa Israeli katika Samaria mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yehoshafati mfalme wa Yuda, naye akatawala kwa miaka kumi na miwili.

KI2 3:2 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, lakini sio kama baba yake na mama yake walivyokuwa wamefanya. Akaondoa nguzo ya ibada ya Baali ambayo baba yake alikuwa ameitengeneza.

KI2 3:3 Removed trailing space in v~: Hata hivyo akashikamana na dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alisababisha Israeli kuzitenda, wala hakuziacha.

KI2 3:4 Removed trailing space in v~: Basi Mesha mfalme wa Moabu akafuga kondoo, naye akawa ampatie mfalme wa Israeli wana-kondoo 100,000 pamoja na sufu ya kondoo dume 100,000.

KI2 3:5 Removed trailing space in v~: Lakini baada ya Ahabu kufa, mfalme wa Moabu aliasi dhidi ya mfalme wa Israeli.

KI2 3:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakati ule Mfalme Yehoramu akaondoka kutoka Samaria na kukusanya Israeli yote tayari kwenda vitani.

KI2 3:7 Removed trailing space in v~: Akapeleka pia ujumbe ufuatao kwa Yehoshafati mfalme wa Yuda: “Mfalme wa Moabu ameasi dhidi yangu. Je, utakwenda pamoja nami kupigana dhidi ya Moabu?”

KI2 3:7 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Nitakwenda pamoja nawe. Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako.”

KI2 3:8 Removed trailing space in v~: Akauliza, “Je, tutashambulia kupitia njia gani?”

KI2 3:8 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Kupitia Jangwa la Edomu.”

KI2 3:9 Removed trailing space in v~: Hivyo mfalme wa Israeli akaondoka akiwa pamoja na mfalme wa Yuda na mfalme wa Edomu. Baada ya kuzunguka kwa siku saba, jeshi likawa limeishiwa maji kwa matumizi yao na kwa ajili ya wanyama waliokuwa nao.

KI2 3:10 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamaka, “Nini! Je, \nd Bwana\nd* ametuita sisi wafalme watatu ili tu kututia mikononi mwa Moabu?”

KI2 3:11 Removed trailing space in v~: Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa \nd Bwana\nd* hapa, ili tuweze kumuuliza \nd Bwana\nd* kupitia kwake?”

KI2 3:11 Removed trailing space in p~: Afisa mmoja wa mfalme wa Israeli akajibu, “Elisha mwana wa Shafati yuko hapa. Ndiye alikuwa akimimina maji juu ya mikono ya Eliya.”

KI2 3:12 Removed trailing space in v~: Yehoshafati akasema, “Neno la \nd Bwana\nd* liko pamoja naye.” Kwa hiyo mfalme wa Israeli na Yehoshafati pamoja na mfalme wa Edomu wakamwendea.

KI2 3:13 Removed trailing space in v~: Elisha akamwambia mfalme wa Israeli, “Nina nini mimi nawe? Nenda kwa manabii wa baba yako na manabii wa mama yako.”

KI2 3:13 Removed trailing space in p~: Mfalme wa Israeli akajibu, “La hasha, kwa sababu ni \nd Bwana\nd* ambaye ametuita pamoja sisi wafalme watatu ili atutie mikononi mwa Moabu.”

KI2 3:14 Removed trailing space in v~: Elisha akasema, “Hakika, kama \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote aishivyo ambaye ninamtumikia, kama si kuheshimu Yehoshafati mfalme wa Yuda, nisingekutazama wala hata kukutupia jicho.

KI2 3:15 Removed trailing space in v~: Lakini sasa, nileteeni mpiga kinubi.”

KI2 3:15 Removed trailing space in p~: Mpiga kinubi alipokuwa akipiga, mkono wa \nd Bwana\nd* ukaja juu ya Elisha,

KI2 3:16 Removed trailing space in v~: naye akasema, “Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, ‘Chimbeni bonde hili lijae mahandaki.’

KI2 3:17 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: Hamtaona upepo wala mvua, lakini bonde hili litajaa maji, nanyi pamoja na ngʼombe wenu na wanyama wenu wengine mtakunywa.

KI2 3:18 Removed trailing space in v~: Hili ni jambo rahisi machoni pa \nd Bwana\nd*. Pia ataitia Moabu mikononi mwenu.

KI2 3:19 Removed trailing space in v~: Mtaushinda kila mji wenye ngome na kila mji mkubwa. Mtakata kila mti ulio mzuri, mtaziba chemchemi zote, na kuharibu kila shamba zuri kwa mawe.”

KI2 3:20 Removed trailing space in v~: Kesho yake asubuhi, karibu na wakati wa kutoa dhabihu ya asubuhi, tazama, maji yakawa yanatiririka kutoka upande wa Edomu! Nayo nchi ikajaa maji.

KI2 3:21 Removed trailing space in v~: Basi Wamoabu wote walikuwa wamesikia kuwa wale wafalme wamekuja kupigana dhidi yao. Hivyo kila mtu, kijana na mzee, ambaye angeweza kushika silaha akaitwa na kuwekwa mpakani.

KI2 3:22 Removed trailing space in v~: Walipoamka asubuhi na mapema, jua likawa linamulika juu ya maji. Wamoabu waliokuwa upande wa pili wakaona maji ni mekundu, kama damu.

KI2 3:23 Removed trailing space in v~: Wamoabu wakasema, “Ile ni damu! Lazima hao wafalme wamepigana na kuchinjana wao kwa wao. Sasa Moabu, twendeni tukateke nyara!”

KI2 3:24 Removed trailing space in v~: Lakini Wamoabu walipofika kwenye kambi ya Israeli, Waisraeli wakainuka na kuwapiga mpaka wakakimbia. Nao Waisraeli wakaivamia nchi na kuwachinja Wamoabu.

KI2 3:25 Removed trailing space in v~: Wakaiharibu miji, kila mtu akatupa jiwe juu ya kila shamba zuri mpaka likafunikwa. Wakaziba chemchemi zote na kukata kila mti mzuri. Kir-Haresethi peke yake ndio uliobaki na mawe yake yakiwa mahali pake. Lakini hata hivyo watu waliokuwa na makombeo wakauzunguka na kuushambulia vilevile.

KI2 3:26 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Moabu alipoona kuwa vita vimekuwa vikali dhidi yake, akachukua watu 700 wenye panga ili kuingia kwa mfalme wa Edomu, lakini wakashindwa.

KI2 3:27 Removed trailing space in v~: Ndipo akamchukua mwanawe mzaliwa wake wa kwanza, ambaye angekuwa mfalme baada yake, akamtoa kama dhabihu ya kuteketezwa juu ya ukuta wa mji. Ghadhabu ikawa kubwa dhidi ya Israeli; wakajiondoa kwake na kurudi katika nchi yao wenyewe.

KI2 4:0 Extra space after chapter number

KI2 4:0 Removed trailing space in c: 4

KI2 4:0 Removed trailing space in s1: Mafuta Ya Mjane

KI2 4:1 Removed trailing space in v~: Mke wa mmoja wa wana wa manabii akamlilia Elisha, akamwambia, “Mtumishi wako, mume wangu, amekufa, nawe unajua alikuwa anamcha \nd Bwana\nd*. Lakini sasa yule anayemdai anakuja kuchukua wanangu wawili kama watumwa wake.”

KI2 4:2 Removed trailing space in v~: Elisha akamjibu, “Nitawezaje kukusaidia? Niambie, una nini ndani ya nyumba yako?”

KI2 4:2 Removed trailing space in p~: Akasema, “Mtumishi wako hana kitu chochote kabisa, isipokuwa mafuta kidogo.”

KI2 4:3 Removed trailing space in v~: Elisha akasema, “Zunguka kwa majirani zako wote ukaombe vyombo vitupu. Usiombe vichache.

KI2 4:4 Removed trailing space in v~: Kisha ingia ndani na ujifungie mlango, wewe na wanao. Mimina mafuta kwenye vyombo vyote, na kila kimoja kinapojaa, kiweke kando.”

KI2 4:5 Removed trailing space in v~: Yule mjane akaondoka na kujifungia ndani, yeye na wanawe. Wao wakamletea vyombo, naye akaendelea kumimina mafuta.

KI2 4:6 Removed trailing space in v~: Vyombo vyote vilipojaa, akamwambia mwanawe, “Niletee chombo kingine.”

KI2 4:6 Removed trailing space in p~: Lakini mwanawe akajibu, “Hakuna chombo kingine kilichobaki.” Basi mafuta yakakoma kutiririka.

KI2 4:7 Removed trailing space in v~: Yule mwanamke akaenda akamwambia yule mtu wa Mungu, naye mtu wa Mungu akasema, “Nenda ukayauze hayo mafuta ulipe madeni yako. Wewe na wanao mnaweza kuishi kwa kile kinachosalia.”

KI2 4:7 Removed trailing space in s1: Mwana Wa Mshunami Afufuliwa

KI2 4:8 Removed trailing space in v~: Siku moja Elisha akaenda Shunemu. Huko kulikuwa na mwanamke mmoja mwenye cheo, ambaye alimsisitiza Elisha aje kula chakula. Kwa hiyo kila mara alipitia pale, akaingia humo ili ale.

KI2 4:9 Removed trailing space in v~: Akamwambia mumewe, “Ninajua kwamba huyu mtu ambaye anakuja kwetu mara kwa mara ni mtu mtakatifu wa Mungu.

KI2 4:10 Removed trailing space in v~: Tutengeneze chumba kidogo juu darini na tuweke ndani yake kitanda na meza, kiti na taa kwa ajili yake. Kisha anaweza kukaa humo kila mara akija kwetu.”

KI2 4:11 Removed trailing space in v~: Siku moja Elisha alipofika, akapanda chumbani kwake na kulala humo.

KI2 4:12 Removed trailing space in v~: Akamwambia mtumishi wake Gehazi, “Mwite huyo Mshunami.” Hivyo akamwita, naye akaja akasimama mbele yake.

KI2 4:13 Removed trailing space in v~: Elisha akamwambia mtumishi wake, “Mwambie huyu mwanamke, ‘Umetaabika sana kwa ajili yetu. Sasa utendewe nini? Je, tunaweza kuzungumza na mfalme au jemadari wa jeshi kwa niaba yako?’ ”

KI2 4:13 Removed trailing space in p~: Akajibu, “Mimi ninaishi kwangu miongoni mwa watu wangu.”

KI2 4:14 Removed trailing space in v~: Elisha akamwambia mtumishi wake, “Je, ni nini kinachoweza kufanyika kwa ajili yake?”

KI2 4:14 Removed trailing space in p~: Gehazi akasema, “Hakika, hana mwana, na mume wake ni mzee.”

KI2 4:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Elisha akasema, “Mwite huyo mwanamke.” Kwa hiyo akamwita, naye akaja akasimama mlangoni.

KI2 4:16 Removed trailing space in v~: Elisha akamwambia, “Mwaka ujao, wakati kama huu utabeba mwana mikononi mwako.”

KI2 4:16 Removed trailing space in p~: Yule mama akapinga, akasema, “La hasha, bwana wangu, usimpotoshe mtumishi wako, ee mtu wa Mungu!”

KI2 4:17 Removed trailing space in v~: Lakini yule mwanamke akapata mimba, na mwaka uliofuata wakati kama ule ule akamzaa mwana, kama vile Elisha alivyokuwa amemwambia.

KI2 4:18 Removed trailing space in v~: Mtoto akakua, naye siku moja akamwendea baba yake, ambaye alikuwa pamoja na wavunaji.

KI2 4:19 Removed trailing space in v~: Akamwambia baba yake, “Kichwa changu! Kichwa changu!”

KI2 4:19 Removed trailing space in p~: Baba yake akamwambia mtumishi, “Mchukue umpeleke kwa mama yake.”

KI2 4:20 Removed trailing space in v~: Baada ya mtumishi kumbeba na kumpeleka kwa mama yake, mtoto akaketi mapajani mwa mama yake mpaka adhuhuri, kisha akafa.

KI2 4:21 Removed trailing space in v~: Mama akampandisha na kumlaza juu ya kitanda cha yule mtu wa Mungu, kisha akafunga mlango, akatoka nje.

KI2 4:22 Removed trailing space in v~: Akamwita mume wake na kusema, “Tafadhali mtume mmoja miongoni mwa mtumishi pamoja na punda ili niweze kwenda kwa mtu wa Mungu haraka na kurudi.”

KI2 4:23 Removed trailing space in v~: Mume wake akamuuliza, “Kwa nini uende kwake leo? Leo si mwandamo wa mwezi, wala si Sabato.”

KI2 4:23 Removed trailing space in p~: Mwanamke akasema, “Yote ni sawa.”

KI2 4:24 Removed trailing space in v~: Akatandika punda na kumwambia mtumishi wake, “Mwongoze huyo punda. Usinipunguzie mwendo mpaka nikuambie.”

KI2 4:25 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akaenda na kumfikia huyo mtu wa Mungu katika Mlima Karmeli.

KI2 4:25 Removed trailing space in p~: Alipomwona kwa mbali, huyo mtu wa Mungu akamwambia mtumishi wake Gehazi, “Tazama, yule Mshunami!

KI2 4:26 Removed trailing space in v~: Kimbia ukamlaki, umuulize, ‘Je, wewe hujambo? Mume wako hajambo? Mtoto wako ni mzima?’ ”

KI2 4:26 Removed trailing space in p~: Akasema, “Kila kitu ni sawasawa.”

KI2 4:27 Removed trailing space in v~: Alipomfikia huyo mtu wa Mungu pale mlimani, akashika miguu yake. Gehazi akaja ili amwondoe, lakini yule mtu wa Mungu akasema, “Mwache! Yuko katika uchungu mkubwa, lakini \nd Bwana\nd* amenificha jambo hili na hajaniambia kwa nini.”

KI2 4:28 Removed trailing space in v~: Yule mwanamke akasema, “Je, bwana wangu, mimi nilikuomba mwana? Je, sikukuambia, ‘Usiamshe matumaini yangu’?”

KI2 4:29 Removed trailing space in v~: Elisha akamwambia Gehazi, “Jikaze viuno, chukua fimbo yangu mkononi mwako na ukimbie. Ikiwa utakutana na mtu yeyote, usimsalimie, na mtu yeyote akikusalimu, usimjibu. Ilaze fimbo yangu juu ya uso wa mtoto.”

KI2 4:30 Removed trailing space in v~: Lakini mama mtoto akasema, “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo na wewe uishivyo, sitakuacha.” Kwa hiyo Elisha akainuka, akafuatana naye.

KI2 4:31 Removed trailing space in v~: Gehazi akatangulia mbele na kuilaza fimbo juu ya uso wa mtoto, lakini hapakuwa na sauti wala itikio. Hivyo Gehazi akarudi kukutana na Elisha, na kumwambia, “Mtoto hajaamka.”

KI2 4:32 Removed trailing space in v~: Elisha alipofika kwenye ile nyumba, mtoto alikuwa amelala juu ya kitanda chake angali amekufa.

KI2 4:33 Removed trailing space in v~: Akaingia ndani, akajifungia yeye na yule mtoto, akamwomba \nd Bwana\nd*.

KI2 4:34 Removed trailing space in v~: Kisha akapanda kitandani, akalala juu ya yule mtoto, mdomo wake juu ya mdomo wa mtoto, macho yake juu ya macho ya mtoto, mikono yake juu ya mikono ya mtoto. Naye alipojinyoosha juu yake, mwili wa mtoto ukapata joto.

KI2 4:35 Removed trailing space in v~: Elisha akajiondoa juu yake na kuanza kutembeatembea ndani ya chumba, kisha akarudi tena kitandani na kujinyoosha tena juu ya mtoto mara nyingine. Mtoto akapiga chafya mara saba, akafungua macho yake.

KI2 4:36 Removed trailing space in v~: Elisha akamwita Gehazi na kumwambia, “Mwite huyo Mshunami.” Naye akafanya hivyo. Yule Mshunami alipokuja, Elisha akasema, “Mchukue mwanao.”

KI2 4:37 Removed trailing space in v~: Akaingia ndani, akaanguka miguuni pa Elisha na kusujudu hadi nchi. Kisha akamchukua mwanawe na kutoka nje.

KI2 4:37 Removed trailing space in s1: Mauti Ndani Ya Chungu

KI2 4:38 Removed trailing space in v~: Elisha akarudi Gilgali, nako huko kulikuwa na njaa katika eneo lile. Wakati wana wa kundi la manabii walipokuwa wanakutana naye, akamwambia mtumishi wake, “Teleka chungu kikubwa jikoni uwapikie manabii.”

KI2 4:39 Removed trailing space in v~: Mmoja wao akatoka kwenda mashambani kuchuma mboga na akapata mtango mwitu. Akachuma matango na kujaza nguo yake aliyoikunja ili kubebea. Aliporudi, akayakatakata na kuyatumbukiza ndani ya chungu, ingawa hakuna aliyejua ni nini.

KI2 4:40 Removed trailing space in v~: Mchuzi ukagawiwa watu, lakini walipoanza kula, wakalia, “Ee mtu wa Mungu, kuna mauti ndani ya chungu.” Nao hawakuweza kula.

KI2 4:41 Removed trailing space in v~: Elisha akasema, “Leteni unga.” Akauweka ndani ya chungu na kusema, “Wagawie watu ili wale.” Wala hapakuwa na kitu chochote chenye madhara ndani ya chungu.

KI2 4:41 Removed trailing space in s1: Watu Mia Wanalishwa

KI2 4:42 Removed trailing space in v~: Akaja mtu kutoka Baal-Shalisha, akimletea mtu wa Mungu mikate ishirini ya shayiri iliyookwa kutokana na nafaka ya kwanza, pamoja na masuke ya nafaka mpya. Elisha akasema, “Wape watu ili wale.”

KI2 4:43 Removed trailing space in v~: Mtumishi wake akamuuliza, “Nitawezaje kuandaa hii mbele ya watu mia?”

KI2 4:43 Removed trailing space in p~: Lakini Elisha akajibu, “Wape watu ili wale. Kwa maana hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: ‘Watakula na kusaza.’ ”

KI2 4:44 Removed trailing space in v~: Basi akaiandaa mbele yao ile mikate, wakala na baadhi yake wakasaza, sawasawa na neno la \nd Bwana\nd*.

KI2 5:0 Extra space after chapter number

KI2 5:0 Removed trailing space in c: 5

KI2 5:0 Removed trailing space in s1: Naamani Aponywa Ukoma

KI2 5:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu, Naamani alikuwa jemadari wa jeshi la mfalme wa Aramu. Alikuwa mtu mkuu mbele ya bwana wake na aliyeheshimiwa sana, kwa sababu kupitia kwake, \nd Bwana\nd* alikuwa amewapa Aramu ushindi. Alikuwa askari shujaa, lakini alikuwa na ukoma.\f + \fr 5:1 \fq Ukoma \ft ni neno lililotumika kwa Kiebrania kueleza magonjwa mbalimbali ya ngozi ambayo si lazima yawe ni ukoma halisi.\f*

KI2 5:2 Removed trailing space in v~: Siku hizo vikosi kutoka Aramu vilikuwa vimekwenda na vikawa vimemteka msichana kutoka Israeli, naye akamtumikia mkewe Naamani.

KI2 5:3 Removed trailing space in v~: Akamwambia bibi yake, “Kama bwana wangu angelimwona nabii aliyeko Samaria! Angemponya ukoma wake.”

KI2 5:4 Removed trailing space in v~: Naamani akaenda kwa bwana wake na kumwambia alichosema yule msichana kutoka Israeli.

KI2 5:5 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Aramu\f + \fr 5:5 \ft Yaani mfalme wa Shamu.\f* akamjibu, “Hakika, nenda. Nitatuma barua kwa mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo Naamani akaondoka, akiwa amechukua talanta kumi\f + \fr 5:5 \ft Talanta 10 za fedha ni sawa na kilo 340.\f* za fedha, shekeli 6,000 za dhahabu,\f + \fr 5:5 \ft Shekeli 6,000 za dhahabu ni sawa na kilo 70.\f* na mivao kumi ya mavazi.

KI2 5:6 Removed trailing space in v~: Barua aliyopelekea mfalme wa Israeli iliandikwa hivi: “Pamoja na barua hii ninamtuma mtumishi wangu, Naamani, kwako ili uweze kumponya ukoma wake.”

KI2 5:7 Removed trailing space in v~: Mara mfalme wa Israeli alipomaliza kuisoma ile barua, akararua mavazi yake na kusema, “Je, mimi ni Mungu? Je, mimi naweza kuua na kufufua tena? Kwa nini huyu mtu anamtuma mtu ili mimi nipate kumponya ukoma wake? Tazama jinsi anavyotafuta kuanzisha ugomvi nami!”

KI2 5:8 Removed trailing space in v~: Elisha mtu wa Mungu aliposikia kwamba mfalme wa Israeli alikuwa amerarua mavazi yake, akamtumia ujumbe huu: “Kwa nini umerarua mavazi yako? Mwamuru mtu huyo aje kwangu, naye atajua ya kuwa yuko nabii katika Israeli.”

KI2 5:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Naamani akaenda, akiwa na farasi zake na magari yake, na kusimama mlangoni mwa nyumba ya Elisha.

KI2 5:10 Removed trailing space in v~: Elisha akamtuma mjumbe kumwambia, “Nenda uoge katika Yordani mara saba, na nyama ya mwili wako itapona, nawe utatakasika.”

KI2 5:11 Removed trailing space in v~: Lakini Naamani akaondoka akiwa amekasirika, akasema, “Hakika nilidhani kwamba angetoka nje, asimame na kuliitia jina la \nd Bwana\nd* Mungu wake, na kuweka mkono wake juu ya mahali pagonjwa, aniponye ukoma wangu.

KI2 5:12 Removed trailing space in v~: Je, Abana na Farpari, mito ya Dameski, si bora zaidi kuliko mito yoyote ya Israeli? Je, nisingeweza kuoga ndani ya hiyo mito na kutakasika?” Basi akageuka na kuondoka kwa hasira kuu.

KI2 5:13 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Naamani wakamwendea na kumwambia, “Baba yangu, kama huyo nabii angekuambia kufanya jambo lililo kubwa, je, usingelifanya? Je, si zaidi sana basi, anapokuambia, ‘Oga na utakasike!’ ”

KI2 5:14 Removed trailing space in v~: Hivyo akashuka na kujizamisha ndani ya Yordani mara saba, kama vile huyo mtu wa Mungu alivyokuwa amemwambia, nayo nyama ya mwili wake ikapona na kutakasika kama ya mwili wa mvulana mdogo.

KI2 5:15 Removed trailing space in v~: Kisha Naamani na wahudumu wake wote wakarudi kwa yule mtu wa Mungu. Akasimama mbele yake na kusema, “Sasa najua kwamba hakuna Mungu katika ulimwengu wote isipokuwa katika Israeli. Tafadhali sasa upokee zawadi kutoka kwa mtumishi wako.”

KI2 5:16 Removed trailing space in v~: Nabii akajibu, “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, ambaye ninamtumikia, sitapokea kitu hata kimoja.” Ingawa Naamani alimsihi sana, yeye alikataa.

KI2 5:17 Removed trailing space in v~: Naamani akasema, “Ikiwa hutapokea, tafadhali mtumishi wako na apewe udongo kiasi cha mzigo wa kuweza kubebwa na punda wawili, kwa sababu mtumishi wako hatatoa tena sadaka ya kuteketezwa na dhabihu kwa mungu mwingine isipokuwa \nd Bwana\nd*.

KI2 5:18 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* na amsamehe mtumishi wake kwa kitu hiki kimoja: Wakati bwana wangu atakapoingia kwenye hekalu la Rimoni ili kusujudu, naye akiwa anauegemea mkono wangu, nami nikasujudu huko pia, wakati nitakaposujudu ndani ya hekalu la Rimoni, \nd Bwana\nd* na amsamehe mtumishi wako kwa ajili ya jambo hili.”

KI2 5:19 Removed trailing space in v~: Elisha akamwambia, “Nenda kwa amani.”

KI2 5:19 Removed trailing space in p~: Baada ya Naamani kusafiri umbali fulani,

KI2 5:20 Removed trailing space in v~: Gehazi, mtumishi wa Elisha mtu wa Mungu, akajiambia mwenyewe, “Bwana wangu amemwachia kirahisi sana Naamani, huyu Mwaramu, kwa kutokupokea kutoka kwake vile alivyovileta. Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, nitamkimbilia na kupata kitu kutoka kwake.”

KI2 5:21 Removed trailing space in v~: Hivyo Gehazi akaharakisha kumfuatilia Naamani. Naamani alipomwona akikimbia kumwelekea, akashuka chini kutoka kwenye gari lake na kwenda kumlaki. Akauliza, “Je, mambo yote ni sawa?”

KI2 5:22 Removed trailing space in v~: Gehazi akajibu, “Mambo yote ni sawa. Bwana wangu amenituma nikuambie, ‘Vijana wawili kutoka kwa wana wa manabii wamenijia kutoka nchi ya vilima ya Efraimu. Tafadhali wape talanta ya fedha\f + \fr 5:22 \ft Talanta ya fedha ni sawa na kilo 34.\f* na mivao miwili ya mavazi.’ ”

KI2 5:23 Removed trailing space in v~: Naamani akasema, “Hakika, chukua talanta mbili za fedha.” Akamsihi Gehazi azipokee, kisha akafunga talanta mbili za fedha katika mifuko miwili pamoja na mivao miwili ya mavazi. Akawapa watumishi wake wawili mizigo hiyo, nao wakaibeba wakitangulia mbele ya Gehazi.

KI2 5:24 Removed trailing space in v~: Gehazi alipofika kwenye kilima, akavichukua vile vitu kutoka kwa wale watumishi na kuvificha ndani ya nyumba. Akawaaga wale watu, nao wakaondoka.

KI2 5:25 Removed trailing space in v~: Kisha akaingia ndani na kusimama mbele ya Elisha bwana wake.

KI2 5:25 Removed trailing space in p~: Elisha akamuuliza, “Gehazi, ulikuwa wapi?”

KI2 5:25 Removed trailing space in p~: Gehazi akajibu, “Mtumishi wako hakwenda popote.”

KI2 5:26 Removed trailing space in v~: Lakini Elisha akamwambia, “Je, roho yangu haikuwa pamoja nawe wakati yule mtu aliposhuka kutoka kwenye gari lake ili kukulaki? Je, huu ni wakati wa kupokea fedha au kupokea nguo, mashamba ya mizeituni, mashamba ya mizabibu, makundi ya kondoo na mbuzi, makundi ya ngʼombe, au watumishi wa kiume na wa kike?

KI2 5:27 Removed trailing space in v~: Ukoma wa Naamani utakushika wewe na wazao wako milele.” Kisha Gehazi akaondoka mbele ya Elisha, mwenye ukoma, mweupe kama theluji.

KI2 6:0 Extra space after chapter number

KI2 6:0 Removed trailing space in c: 6

KI2 6:0 Removed trailing space in s1: Shoka Laelea

KI2 6:1 Removed trailing space in v~: Wana wa manabii wakamwambia Elisha, “Tazama, mahali hapa tunapokutana nawe ni padogo sana kwetu.

KI2 6:2 Removed trailing space in v~: Twendeni Yordani, mahali ambapo kila mmoja wetu anaweza kupata nguzo moja, nasi tujenge huko mahali petu pa kuishi.”

KI2 6:2 Removed trailing space in p~: Naye akawaambia, “Nendeni.”

KI2 6:3 Removed trailing space in v~: Kisha mmoja wao akasema, “Je, tafadhali, huwezi kufuatana na watumishi wako?”

KI2 6:3 Removed trailing space in p~: Elisha akajibu, “Nitakuja.”

KI2 6:4 Removed trailing space in v~: Naye akaenda pamoja nao.

KI2 6:4 Removed trailing space in p~: Basi wakaenda Yordani, nao wakaanza kukata miti.

KI2 6:5 Removed trailing space in v~: Mmoja wao alipokuwa anakata mti, shoka lilitumbukia kwenye maji. Akalia, “Ee bwana wangu, shoka lilikuwa la kuazima!”

KI2 6:6 Removed trailing space in v~: Mtu wa Mungu akauliza, “Je, liliangukia wapi?” Alipomwonyesha mahali penyewe, Elisha akakata kijiti na kukitupa mahali pale, nalo shoka likaelea.

KI2 6:7 Removed trailing space in v~: Akasema, “Lichukue.” Kisha yule mtu akanyoosha mkono wake, akalichukua.

KI2 6:7 Removed trailing space in s1: Elisha Awanasa Waaramu Waliopofushwa

KI2 6:8 Removed trailing space in v~: Wakati huo mfalme wa Aramu alikuwa akipigana vita na Israeli. Baada ya kukubaliana na maafisa wake, akasema, “Nitapiga kambi yangu mahali fulani na fulani.”

KI2 6:9 Removed trailing space in v~: Mtu wa Mungu akatuma ujumbe kwa mfalme wa Israeli: “Jihadhari usije ukapita mahali pale, kwa sababu Waaramu wanashuka huko.”

KI2 6:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme wa Israeli akatuma neno la tahadhari mahali pale alikokuwa ameelekezwa na mtu wa Mungu. Mara kwa mara Elisha alimwonya mfalme kwamba watu wawe macho kwenye maeneo kama hayo.

KI2 6:11 Removed trailing space in v~: Hili lilimfadhaisha sana mfalme wa Aramu. Akawaita maafisa wake, akawauliza, “Je, hamtaniambia ni nani miongoni mwenu aliye upande wa mfalme wa Israeli?”

KI2 6:12 Removed trailing space in v~: Mmoja wa maafisa wake akasema, “Mfalme bwana wangu, hakuna hata mmoja wetu. Lakini Elisha, yule nabii aliye Israeli, humwambia mfalme wa Israeli hata yale maneno unayozungumza katika chumba chako cha kulala.”

KI2 6:13 Removed trailing space in v~: Mfalme akaagiza akisema, “Nendeni, mkatafute aliko, ili niweze kutuma watu kumkamata.” Taarifa ikarudi kwamba, “Yuko Dothani.”

KI2 6:14 Removed trailing space in v~: Ndipo akatuma farasi na magari ya vita na jeshi lenye nguvu huko. Walikwenda usiku na kuuzunguka mji.

KI2 6:15 Removed trailing space in v~: Kesho yake asubuhi na mapema, mtumishi wa mtu wa Mungu alipoamka na kutoka nje, jeshi, pamoja na farasi na magari ya vita, likawa limeuzunguka mji. Mtumishi wake akasema, “Ole wetu, bwana wangu! Tutafanya nini?”

KI2 6:16 Removed trailing space in v~: Nabii akajibu, “Usiogope. Wale walio pamoja nasi ni wengi zaidi kuliko wale walio pamoja nao.”

KI2 6:17 Removed trailing space in v~: Kisha Elisha akaomba, “Ee \nd Bwana\nd*, mfumbue macho huyu mtumishi ili apate kuona.” Ndipo \nd Bwana\nd* akayafumbua macho ya yule mtumishi, naye akatazama na kuona vilima vimejaa farasi na magari ya moto, yamemzunguka Elisha pande zote.

KI2 6:18 Removed trailing space in v~: Wakati adui waliposhuka kumwelekea, Elisha akamwomba \nd Bwana\nd*: “Wapige watu hawa kwa upofu.” Basi Mungu akawapiga kwa upofu, kama Elisha alivyoomba.

KI2 6:19 Removed trailing space in v~: Elisha akawaambia, “Hii sio njia yenyewe, na huu sio huo mji. Nifuateni mimi, nami nitawapeleka kwa huyo mtu mnayemtafuta.” Naye akawapeleka Samaria.

KI2 6:20 Removed trailing space in v~: Baada ya kuingia mjini, Elisha akasema, “\nd Bwana\nd*, yafungue macho ya watu hawa ili wapate kuona.” Ndipo \nd Bwana\nd* akayafungua macho yao, na walipotazama, kumbe hapo ndipo walipojikuta, ndani ya Samaria.

KI2 6:21 Removed trailing space in v~: Wakati mfalme wa Israeli alipowaona, akamuuliza Elisha, “Je, baba yangu, niwaue?”

KI2 6:22 Removed trailing space in v~: Naye akajibu, “Usiwaue. Je, utawaua watu uliowateka kwa upanga wako mwenyewe na upinde wako? Wape chakula na maji ili wapate kula na kunywa, na kisha wamrudie bwana wao.”

KI2 6:23 Removed trailing space in v~: Basi akawaandalia karamu kubwa, na baada ya kula na kunywa, akawaaga nao wakarudi kwa bwana wao. Hivyo, vikosi kutoka Aramu vikakoma kuvamia nchi ya Israeli.

KI2 6:23 Removed trailing space in s1: Njaa Katika Samaria Iliyozingirwa

KI2 6:24 Removed trailing space in v~: Baada ya kitambo kidogo, Ben-Hadadi mfalme wa Aramu akaandaa jeshi lake lote akapanda kwenda kuihusuru Samaria.

KI2 6:25 Removed trailing space in v~: Kukawa na njaa kuu katika mji. Samaria ilizingirwa kwa muda mrefu, kiasi kwamba kichwa cha punda kiliuzwa kwa shekeli themanini\f + \fr 6:25 \ft Shekeli 80 za fedha ni sawa na kilo moja.\f* za fedha, na robo ya kibaba\f + \fr 6:25 \ft Robo ya kibaba ni sawa na lita 0.3.\f* cha mavi ya njiwa kiliuzwa kwa shekeli tano\f + \fr 6:25 \ft Shekeli tano za fedha ni sawa na gramu 55.\f* za fedha.

KI2 6:26 Removed trailing space in v~: Wakati mfalme wa Israeli alipokuwa anapita juu ya ukuta, mwanamke mmoja akamlilia, “Bwana wangu mfalme, nisaidie!”

KI2 6:27 Removed trailing space in v~: Mfalme akajibu, “Ikiwa \nd Bwana\nd* hakusaidii, nitakutolea wapi msaada? Je, ni kutoka kwenye sakafu ya kupuria? Au kwenye shinikizo la divai?”

KI2 6:28 Removed trailing space in v~: Kisha akamuuliza, “Kwani kuna nini?”

KI2 6:28 Removed trailing space in p~: Yule mwanamke akamjibu, “Huyu mwanamke aliniambia, ‘Mtoe mwanao ili tupate kumla leo, na kesho tutamla mwanangu.’

KI2 6:29 Removed trailing space in v~: Basi tukampika mwanangu na kumla. Siku iliyofuata nikamwambia, ‘Mtoe mwanao ili tupate kumla.’ Lakini akawa amemficha.”

KI2 6:30 Removed trailing space in v~: Wakati mfalme aliposikia maneno ya yule mwanamke, alirarua mavazi yake. Naye alipoendelea kutembea ukutani, watu wakamtazama, na ndani ya mavazi yake alikuwa amevaa nguo ya gunia mwilini mwake.

KI2 6:31 Removed trailing space in v~: Akasema, “Mungu na anitendee hivyo na kuzidi, ikiwa kichwa cha Elisha mwana wa Shafati kitabaki juu ya mabega yake leo!”

KI2 6:32 Removed trailing space in v~: Wakati huu, Elisha alikuwa ameketi ndani ya nyumba yake, akiwa pamoja na wazee. Mfalme akatuma mjumbe kumtangulia, lakini kabla hajafika, Elisha akawaambia wale wazee, “Hammwoni huyu muuaji jinsi anavyotuma mtu kukata kichwa changu? Tazama, wakati mjumbe huyo atakapofika, fungeni mlango na mzuieni asiingie. Je, vishindo vya nyayo za bwana wake haviko nyuma yake?”

KI2 6:33 Removed trailing space in v~: Alipokuwa angali bado anazungumza nao, mjumbe akamfikia. Naye mfalme akasema, “Maafa haya yanatoka kwa \nd Bwana\nd*. Kwa nini niendelee kumngoja \nd Bwana\nd* zaidi?”

KI2 7:0 Extra space after chapter number

KI2 7:0 Removed trailing space in c: 7

KI2 7:1 Removed trailing space in v~: Elisha akasema, “Sikiliza neno la \nd Bwana\nd*. Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja\f + \fr 7:1 \ft Kipimo kimoja cha unga ni sawa na kilo 3.\f* cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha,\f + \fr 7:1 \ft Shekeli moja ya fedha ni sawa na gramu 11.\f* na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria.”

KI2 7:2 Removed trailing space in v~: Yule afisa ambaye mfalme alikuwa anauegemea mkono wake akamwambia yule mtu wa Mungu, “Tazama, hata kama \nd Bwana\nd* atafungua madirisha ya mbinguni, je, jambo hili litawezekana?”

KI2 7:2 Removed trailing space in p~: Elisha akajibu, “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hutakula chochote kati ya hivyo!”

KI2 7:2 Removed trailing space in s1: Mwisho Wa Kuzingirwa

KI2 7:3 Removed trailing space in v~: Basi kulikuwepo na watu wanne wenye ukoma katika ingilio la lango la mji. Wakaambiana, “Kwa nini tukae hapa mpaka tufe?

KI2 7:4 Removed trailing space in v~: Kama tukisema, ‘Tutaingia mjini,’ mjini kuna njaa, nasi tutakufa humo. Kama tukikaa hapa, tutakufa. Kwa hiyo twende kwenye kambi ya Waaramu na tujisalimishe. Kama wakituacha hai, tutaishi; kama wakituua, basi na tufe.”

KI2 7:5 Removed trailing space in v~: Wakati wa giza la jioni, wakaondoka na kwenda kwenye kambi ya Waaramu. Walipofika mwanzo wa kambi, hapakuwa na mtu,

KI2 7:6 Removed trailing space in v~: kwa kuwa Bwana alilifanya jeshi la Waaramu lisikie sauti kama ya magari ya vita, farasi na jeshi kubwa, kiasi kwamba waliambiana, “Tazama, mfalme wa Israeli ameajiri mfalme wa Wahiti na mfalme wa Wamisri kuja kutushambulia sisi!”

KI2 7:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakaondoka na kukimbia wakati wa giza la jioni na kuacha mahema yao, farasi wao na punda wao. Wakakimbia kuokoa maisha yao na kuacha kila kitu ndani ya kambi kama kilivyokuwa.

KI2 7:8 Removed trailing space in v~: Wale watu wenye ukoma walipofika mwanzoni mwa kambi, wakaingia kwenye mojawapo ya mahema. Wakala na kunywa, na kuchukua fedha, dhahabu na nguo, wakaenda kuvificha. Wakarudi na kuingia katika hema jingine, na kuchukua baadhi ya vitu kutoka ndani yake na kuvificha pia.

KI2 7:9 Removed trailing space in v~: Kisha wakaambiana, “Hili tunalolifanya sio jema. Hii ni siku ya habari njema, nasi tunakaa kimya. Kama tukisubiri mpaka mapambazuko, maafa yatatupata. Twendeni mara moja tukatoe habari hizi katika jumba la mfalme.”

KI2 7:10 Removed trailing space in v~: Hivyo wakaenda mjini na kuwaita walinzi wa langoni, wakawaambia, “Tulikwenda katika kambi ya Waaramu lakini hapakuwepo na mtu huko, hata sauti ya mtu yeyote, ila farasi na punda waliofungwa na mahema yaliyoachwa kama yalivyokuwa.”

KI2 7:11 Removed trailing space in v~: Walinzi wa langoni wakatangaza habari ile kwa sauti kuu, na taarifa hii ikatolewa ndani ya jumba la mfalme.

KI2 7:12 Removed trailing space in v~: Mfalme akaamka usiku na kuwaambia maafisa wake, “Nitawaambia kile Waaramu walichotufanyia. Wanajua kwamba tuna njaa, hivyo wameacha kambi yao ili kujificha mashambani, wakifikiri, ‘Kwa hakika watatoka nje ya mji, nasi tutawakamata wakiwa hai na kuingia ndani ya mji.’ ”

KI2 7:13 Removed trailing space in v~: Mmoja wa maafisa wake akajibu, “Waamuru watu wachache wakawachukue farasi watano kati ya wale waliobaki katika mji. Hatima yao itakuwa kama ya Waisraeli wote walio hapa. Watakuwa tu kama Waisraeli hawa ambao wanangoja kifo. Hivyo tuwatumeni wajue kumetendeka nini.”

KI2 7:14 Removed trailing space in v~: Ndipo wakachagua magari mawili ya vita pamoja na farasi wake, naye mfalme akawatuma wafuatilie jeshi la Waaramu. Akawaamuru waendeshaji akisema, “Nendeni mkaone ni nini kilichotokea.”

KI2 7:15 Removed trailing space in v~: Wakawafuatia hadi Yordani, nao wakakuta barabara yote ikiwa imetapakaa nguo na vyombo vya Waaramu walivyokuwa wamevitupa walipokuwa wanatoroka. Basi wale wajumbe wakarudi na kutoa taarifa kwa mfalme.

KI2 7:16 Removed trailing space in v~: Kisha watu wakatoka na kuteka nyara kambi ya Waaramu. Kwa hiyo kipimo cha unga mzuri kikauzwa kwa shekeli, na vipimo viwili vya shayiri kwa shekeli, kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema.

KI2 7:17 Removed trailing space in v~: Basi mfalme alikuwa amemweka yule afisa ambaye mfalme alikuwa anauegemea mkono wake awe msimamizi wa lango. Nao watu wakamkanyaga walipoingia langoni, naye akafa, kama vile mtu wa Mungu alivyokuwa ametangulia kusema wakati mfalme alipofika nyumbani kwake.

KI2 7:18 Removed trailing space in v~: Ikatokea kama vile mtu wa Mungu alivyokuwa amemwambia mfalme: “Wakati kama huu kesho, kipimo kimoja cha unga mzuri kitauzwa kwa shekeli moja ya fedha, na vibaba viwili vya shayiri kwa shekeli moja ya fedha katika lango la Samaria.”

KI2 7:19 Removed trailing space in v~: Yule afisa alikuwa amemwambia yule mtu wa Mungu, “Tazama, hata kama \nd Bwana\nd* atafungua madirisha ya mbinguni, je, jambo hili litawezekana?” Naye yule mtu wa Mungu alikuwa amemjibu, “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hutakula chochote kati ya hivyo!”

KI2 7:20 Removed trailing space in v~: Ndivyo hasa ilivyotokea kwake, kwa kuwa watu walimkanyaga langoni, naye akafa.

KI2 8:0 Extra space after chapter number

KI2 8:0 Removed trailing space in c: 8

KI2 8:0 Removed trailing space in s1: Ardhi Ya Mshunami Yarudishwa

KI2 8:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu, Elisha alikuwa amemwambia yule mwanamke ambaye mwanawe alikuwa amefufuliwa, “Ondoka wewe na jamaa yako ukaishi mahali popote unapoweza kwa kitambo kidogo, kwa sababu \nd Bwana\nd* ameamuru njaa katika nchi hii ambayo itadumu kwa miaka saba.”

KI2 8:2 Removed trailing space in v~: Yule mwanamke akafanya kama vile yule mtu wa Mungu alivyosema. Yeye na jamaa yake wakaondoka na kwenda kuishi katika nchi ya Wafilisti kwa miaka saba.

KI2 8:3 Removed trailing space in v~: Baada ya miaka saba, yule mwanamke akarudi kutoka nchi ya Wafilisti, akaenda kwa mfalme kumsihi kwa ajili ya nyumba yake na shamba lake.

KI2 8:4 Removed trailing space in v~: Mfalme alikuwa anazungumza na Gehazi, mtumishi wa mtu wa Mungu, naye alikuwa amesema, “Hebu niambie mambo yote makuu yaliyofanywa na Elisha.”

KI2 8:5 Removed trailing space in v~: Wakati Gehazi alipokuwa akimweleza mfalme jinsi Elisha alivyomfufua mtu, yule mwanamke ambaye mwanawe alikuwa amefufuliwa na Elisha akaja ili amsihi mfalme kwa ajili ya nyumba yake na shamba lake.

KI2 8:5 Removed trailing space in p~: Gehazi akasema, “Huyu ndiye huyo mwanamke, bwana wangu mfalme, na huyu ndiye mwanawe ambaye Elisha alimfufua.”

KI2 8:6 Removed trailing space in v~: Mfalme akamuuliza yule mwanamke kuhusu mambo hayo, naye akamweleza.

KI2 8:6 Removed trailing space in p~: Ndipo akaamuru afisa ashughulikie shauri lake na kumwambia, “Mrudishie huyu mwanamke kila kitu kilichokuwa mali yake, pamoja na mapato yote yaliyotokana na shamba lake tangu siku alipoondoka nchini hadi sasa.”

KI2 8:6 Removed trailing space in s1: Hazaeli Anamuua Ben-Hadadi

KI2 8:7 Removed trailing space in v~: Elisha akaenda Dameski, naye Ben-Hadadi mfalme wa Aramu alikuwa mgonjwa. Mfalme alipoambiwa, “Mtu wa Mungu ametoka mbali akapanda hadi hapa,”

KI2 8:8 Removed trailing space in v~: mfalme akamwambia Hazaeli. “Chukua zawadi na uende kumlaki huyo mtu wa Mungu. Muulize \nd Bwana\nd* kupitia yeye, kwamba, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’ ”

KI2 8:9 Removed trailing space in v~: Hazaeli akaenda kumlaki Elisha, akiwa amechukua zawadi ya kila kitu kizuri kilichopatikana Dameski, mizigo iliyobebwa na ngamia arobaini. Akaingia ndani na kusimama mbele yake, akasema, “Mwanao Ben-Hadadi mfalme wa Aramu amenituma niulize, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’ ”

KI2 8:10 Removed trailing space in v~: Elisha akajibu, “Nenda ukamwambie, ‘Hakika utapona’; lakini \nd Bwana\nd* amenifunulia kwamba kweli atakufa.”

KI2 8:11 Removed trailing space in v~: Elisha akamkazia Hazaeli macho kwa nguvu mpaka akaona aibu. Kisha mtu wa Mungu akaanza kulia.

KI2 8:12 Removed trailing space in v~: Hazaeli akauliza “Kwa nini bwana wangu analia?”

KI2 8:12 Removed trailing space in p~: Elisha akajibu, “Kwa sababu najua mabaya utakayowatendea Waisraeli. Utachoma moto ngome zao, utawaua vijana wao kwa upanga, kuwatupa chini kwa nguvu watoto wachanga, na kuwatumbua wanawake wenye mimba.”

KI2 8:13 Removed trailing space in v~: Hazaeli akasema, “Itawezekanaje mtumishi wako, aliye mbwa tu, kufanya tendo la ajabu namna hiyo?”

KI2 8:13 Removed trailing space in p~: Elisha akamjibu, “\nd Bwana\nd* amenionyesha kuwa utakuwa mfalme wa Aramu.”

KI2 8:14 Removed trailing space in v~: Kisha Hazaeli akamwacha Elisha na kumrudia bwana wake. Ben-Hadadi akamuuliza, “Elisha alikuambia nini?” Hazaeli akajibu, “Aliniambia kwamba hakika utapona.”

KI2 8:15 Removed trailing space in v~: Lakini kesho yake Hazaeli akachukua nguo nzito, akailoweka ndani ya maji, akaitandaza juu ya uso wa mfalme, hivyo akafa. Kisha Hazaeli akaingia mahali pake kuwa mfalme wa Aramu.

KI2 8:15 Removed trailing space in s1: Yehoramu Mfalme Wa Yuda

KI2 8:15 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 21:1-20)

KI2 8:16 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tano wa Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, wakati huo Yehoshafati akiwa mfalme wa Yuda, Yehoramu mwana wa Yehoshafati akaanza kutawala kama mfalme wa Yuda.

KI2 8:17 Removed trailing space in v~: Alikuwa na umri wa miaka thelathini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.

KI2 8:18 Removed trailing space in v~: Akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa imefanya, kwa kuwa alimwoa binti wa Ahabu. Akatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd*.

KI2 8:19 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kwa ajili ya Daudi mtumishi wake, \nd Bwana\nd* hakutaka kuiangamiza Yuda. Alikuwa ameahidi kuidumisha taa kwa ajili ya Daudi na wazao wake milele.

KI2 8:20 Removed trailing space in v~: Wakati wa Yehoramu, Edomu waliasi dhidi ya Yuda na kujiwekea mfalme wao wenyewe.

KI2 8:21 Removed trailing space in v~: Basi Yehoramu akaenda Sairi pamoja na magari yake yote ya vita. Waedomu wakamzunguka yeye na majemadari wake wa magari yake ya vita, lakini akaondoka, akapenya usiku na kuwashambulia Waedomu. Hata hivyo, jeshi lake likatorokea nyumbani mwao.

KI2 8:22 Removed trailing space in v~: Hadi leo Edomu wameasi dhidi ya Yuda. Libna pia wakaasi wakati huo huo.

KI2 8:23 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Yehoramu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI2 8:24 Removed trailing space in v~: Yehoramu akalala pamoja na baba zake, na akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Naye Ahazia mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 8:24 Removed trailing space in s1: Ahazia Mfalme Wa Yuda

KI2 8:24 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 22:1-6)

KI2 8:25 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na mbili wa utawala wa Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli, Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda alianza kutawala.

KI2 8:26 Removed trailing space in v~: Ahazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu kwa mwaka mmoja. Mama yake aliitwa Athalia, mjukuu wa Omri mfalme wa Israeli.

KI2 8:27 Removed trailing space in v~: Akaenenda katika njia za nyumba ya Ahabu, na kutenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa imefanya, kwa kuwa alikuwa ameoa kutoka nyumba ya Ahabu.

KI2 8:28 Removed trailing space in v~: Ahazia akaenda vitani na Yoramu mwana wa Ahabu kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.

KI2 8:29 Removed trailing space in v~: Hivyo Mfalme Yoramu akarudi Yezreeli ili apate kuuguza majeraha aliyojeruhiwa na Waaramu huko Ramothi\f + \fr 8:29 \ft Yaani Rama kwa Kiebrania.\f* alipopigana na Hazaeli mfalme wa Aramu.

KI2 8:29 Removed trailing space in p~: Ndipo Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akashuka kwenda Yezreeli kumtazama Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.

KI2 9:0 Extra space after chapter number

KI2 9:0 Removed trailing space in c: 9

KI2 9:0 Removed trailing space in s1: Yehu Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme

KI2 9:1 Removed trailing space in v~: Nabii Elisha akamwita mtu mmoja kutoka kwa wana wa manabii na kumwambia, “Jikaze viuno, uichukue hii chupa ya mafuta, na uende Ramoth-Gileadi.

KI2 9:2 Removed trailing space in v~: Ukifika huko, mtafute Yehu mwana wa Yehoshafati, mwana wa Nimshi. Enda kwake, umtenge na wenzake, na umpeleke katika chumba cha ndani.

KI2 9:3 Removed trailing space in v~: Kisha chukua hii chupa na umimine mafuta juu ya kichwa chake, nawe utangaze, ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: Ninakutia mafuta uwe mfalme juu ya Israeli.’ Kisha ufungue mlango na ukimbie; usikawie!”

KI2 9:4 Removed trailing space in v~: Basi yule kijana nabii akaenda Ramoth-Gileadi.

KI2 9:5 Removed trailing space in v~: Wakati alipofika, akawakuta maafisa wa jeshi wameketi pamoja, akasema, “Nina ujumbe wako, ee jemadari.”

KI2 9:5 Removed trailing space in p~: Yehu akauliza, “Kwa yupi miongoni mwetu?”

KI2 9:5 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Kwako wewe, jemadari.”

KI2 9:6 Removed trailing space in v~: Yehu akainuka na kuingia ndani ya nyumba. Ndipo yule nabii akamimina mafuta juu ya kichwa cha Yehu na kutangaza, “Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Ninakutia mafuta uwe mfalme juu ya watu wa \nd Bwana\nd*, yaani Israeli.

KI2 9:7 Removed trailing space in v~: Inakupasa uiangamize nyumba ya bwana wako Ahabu, nami nitalipiza kisasi cha damu ya watumishi wangu manabii na damu ya watumishi wote wa \nd Bwana\nd* iliyomwagwa na Yezebeli.

KI2 9:8 Removed trailing space in v~: Nyumba yote ya Ahabu itaangamia. Nitamkatilia mbali kila mzaliwa wa kiume wa Ahabu katika Israeli, aliye mtumwa ama aliye huru.

KI2 9:9 Removed trailing space in v~: Nitaifanya nyumba ya Ahabu kuwa kama ile nyumba ya Yeroboamu mwana wa Nebati, na kama ile nyumba ya Baasha mwana wa Ahiya.

KI2 9:10 Removed trailing space in v~: Kuhusu Yezebeli, mbwa watamla kwenye kiwanja huko Yezreeli, wala hakuna mtu atakayemzika.’ ” Kisha akafungua mlango na kukimbia.

KI2 9:11 Removed trailing space in v~: Yehu alipotoka nje na kurudi kwenda kwa maafisa wenzake, mmoja wao akamuuliza, “Je, kila kitu ni salama? Kwa nini huyu mwenye wazimu alikuja kwako?”

KI2 9:11 Removed trailing space in p~: Yehu akajibu, “Wewe unamfahamu huyo mtu, na aina ya mambo ambayo yeye husema.”

KI2 9:12 Removed trailing space in v~: Wakasema, “Hiyo siyo kweli! Tuambie.”

KI2 9:12 Removed trailing space in p~: Yehu akasema, “Haya ndiyo aliyoniambia: ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: Ninakutia mafuta uwe mfalme juu ya Israeli.’ ”

KI2 9:13 Removed trailing space in v~: Wakaharakisha kuvua mavazi yao, na kuyatandaza chini ya Yehu ili akanyage juu kwenye ngazi ya nje. Kisha wakapiga tarumbeta na kupaza sauti wakisema, “Yehu ni mfalme!”

KI2 9:13 Removed trailing space in s1: Yehu Anamuua Yoramu Na Ahazia

KI2 9:14 Removed trailing space in v~: Basi Yehu mwana wa Yehoshafati, mwana wa Nimshi, akafanya shauri baya dhidi ya Yoramu. (Wakati huu, Yoramu na Israeli wote walikuwa wakiilinda Ramoth-Gileadi dhidi ya Hazaeli mfalme wa Aramu,

KI2 9:15 Removed trailing space in v~: lakini Mfalme Yoramu alikuwa amerudishwa Yezreeli ili kujiuguza kutokana na majeraha ambayo Waaramu walimtia katika vita na Hazaeli mfalme wa Aramu.) Yehu akasema, “Kama hii ndiyo nia yenu, msimruhusu hata mmoja kutoroka nje ya mji kwenda kupeleka habari huko Yezreeli.”

KI2 9:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Yehu akaingia katika gari lake la vita na kuendesha kwenda Yezreeli, kwa sababu Yoramu alikuwa amepumzika huko, na Ahazia mfalme wa Yuda alikuwa ameenda kumwona.

KI2 9:17 Removed trailing space in v~: Mlinzi aliyesimama juu ya kinara cha Yezreeli alipoona askari wa Yehu wanakuja, akaita akisema, “Naona askari wanakuja.”

KI2 9:17 Removed trailing space in p~: Yoramu akaamuru, “Mtwae mpanda farasi umtume akakutane nao na kuuliza, ‘Je, mmekuja kwa amani?’ ”

KI2 9:18 Removed trailing space in v~: Mpanda farasi akaondoka kwenda kukutana na Yehu na kusema, “Hivi ndivyo asemavyo mfalme: ‘Je, mmekuja kwa amani?’ ”

KI2 9:18 Removed trailing space in p~: Yehu akamjibu, “Una nini na amani? Unga msafara nyuma yangu.”

KI2 9:18 Removed trailing space in p~: Mlinzi akatoa habari, “Mjumbe amewafikia lakini harudi.”

KI2 9:19 Removed trailing space in v~: Basi mfalme akamtuma mpanda farasi wa pili. Wakati alipowafikia akasema, “Hivi ndivyo asemavyo mfalme, ‘Je, mmekuja kwa amani?’ ”

KI2 9:19 Removed trailing space in p~: Yehu akajibu, “Una nini na amani? Unga msafara nyuma yangu.”

KI2 9:20 Removed trailing space in v~: Yule mlinzi akatoa taarifa akasema, “Mjumbe amewafikia, lakini hata yeye harudi. Uendeshaji ule ni kama wa Yehu mwana wa Nimshi, anaendesha kama mwenye wazimu!”

KI2 9:21 Removed trailing space in v~: Yoramu akaagiza, akasema, “Weka tayari gari langu la vita.” Na baada ya gari kuwa tayari, Yoramu mfalme wa Israeli, na Ahazia mfalme wa Yuda, wakaondoka kila mmoja kwenye gari lake ili kukutana na Yehu. Walikutana naye katika shamba lililokuwa mali ya Nabothi, Myezreeli.

KI2 9:22 Removed trailing space in v~: Yoramu alipomwona Yehu akauliza, “Je, Yehu, umekuja kwa amani?”

KI2 9:22 Removed trailing space in p~: Yehu akajibu, “Kunawezaje kuwa na amani wakati ibada za sanamu na uchawi wa mama yako Yezebeli ungaliko?”

KI2 9:23 Removed trailing space in v~: Yoramu akageuka nyuma na kukimbia, akimwambia Ahazia, “Huu ni uhaini, Ahazia!”

KI2 9:24 Removed trailing space in v~: Kisha Yehu akatwaa upinde wake na kumchoma Yoramu katikati ya mabega. Mshale ukapenya kwenye moyo wake, naye akaanguka ghafula ndani ya gari lake.

KI2 9:25 Removed trailing space in v~: Yehu akamwambia Bidkari, mwendeshaji wa gari lake, “Mwinue na umtupe katika shamba lililokuwa mali ya Nabothi, Myezreeli. Kumbuka jinsi mimi na wewe tulivyokuwa tukiendesha pamoja magari yetu nyuma ya Ahabu baba yake, wakati \nd Bwana\nd* alipotoa unabii huu kumhusu:

KI2 9:26 Removed trailing space in v~: ‘Jana niliona damu ya Nabothi na damu ya wanawe, nami kwa hakika nitakufanya uilipe juu ya shamba hili, asema \nd Bwana\nd*.’ Sasa basi, mwinue na umtupe juu ya kiwanja, kulingana na neno la \nd Bwana\nd*.”

KI2 9:27 Removed trailing space in v~: Wakati Ahazia mfalme wa Yuda alipoona kilichotokea, akakimbia kupitia barabara ya Beth-Hagani. Yehu akamkimbiza akipaza sauti na kusema, “Muue naye pia!” Wakamjeruhi katika gari lake kwenye njia ielekeayo Guri karibu na Ibleamu, lakini akatorokea Megido na akafia huko.

KI2 9:28 Removed trailing space in v~: Watumishi wake wakambeba kwa gari la vita na kumpeleka Yerusalemu, wakamzika pamoja na baba zake kwenye kaburi lake katika Mji wa Daudi.

KI2 9:29 Removed trailing space in v~: (Katika mwaka wa kumi na moja wa Yoramu mwana wa Ahabu, Ahazia alianza kutawala katika Yuda.)

KI2 9:29 Removed trailing space in s1: Yezebeli Auawa

KI2 9:30 Removed trailing space in v~: Kisha Yehu akaenda Yezreeli. Yezebeli aliposikia habari hii, akayapaka macho yake rangi, akatengeneza nywele zake na kutazama nje dirishani.

KI2 9:31 Removed trailing space in v~: Yehu alipokuwa akiingia langoni, Yezebeli akasema, “Je, umekuja kwa amani, Zimri, wewe muuaji wa bwana wako?”

KI2 9:32 Removed trailing space in v~: Yehu akaangalia juu dirishani na kuita, “Je, ni nani aliye upande wangu? Ni nani?” Matowashi wawili au watatu wakamtazama.

KI2 9:33 Removed trailing space in v~: Yehu akasema, “Mtupeni huyo mwanamke chini!” Kwa hiyo wakamtupa chini, nayo baadhi ya damu yake ikatapanyika ukutani na nyingine juu ya farasi walipokuwa wakimkanyaga kwa miguu yao.

KI2 9:34 Removed trailing space in v~: Yehu akaingia ndani, akala na akanywa. Akasema, “Mshughulikieni huyo mwanamke aliyelaaniwa. Mzikeni, kwa sababu alikuwa binti wa mfalme.”

KI2 9:35 Removed trailing space in v~: Lakini walipotoka kwenda kumzika, hawakukuta kitu chochote isipokuwa fuvu la kichwa, miguu yake na mikono.

KI2 9:36 Removed trailing space in v~: Wakarudi na kumwambia Yehu, ambaye alisema, “Hili ndilo neno la \nd Bwana\nd* alilosema kupitia kinywa cha mtumishi wake Eliya Mtishbi, kwamba: Katika kiwanja cha Yezreeli, mbwa wataikula nyama ya Yezebeli.

KI2 9:37 Removed trailing space in v~: Maiti ya Yezebeli itakuwa kama mavi shambani katika uwanja wa Yezreeli, kwamba hakutakuwepo mtu atakayeweza kusema, ‘Huyu ndiye Yezebeli.’ ”

KI2 11:0 Extra space after chapter number

KI2 11:0 Removed trailing space in c: 11

KI2 11:0 Removed trailing space in s1: Athalia Na Yoashi

KI2 11:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 22:10–23:21)

KI2 11:1 Removed trailing space in v~: Wakati Athalia mamaye Ahazia alipoona kuwa mwanawe amekufa, akainuka na kuiangamiza jamaa yote ya mfalme.

KI2 11:2 Removed trailing space in v~: Lakini Yehosheba, binti wa Mfalme Yehoramu, aliyekuwa pia dada yake Ahazia, akamtwaa Yoashi mwana wa Ahazia kwa siri kutoka miongoni mwa wana wa mfalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamweka Yoashi pamoja na yaya wake ndani ya chumba cha kulala na kumficha humo ili Athalia asimwone; kwa hiyo hakuuawa.

KI2 11:3 Removed trailing space in v~: Alibaki amefichwa pamoja na yaya wake katika Hekalu la \nd Bwana\nd* kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi.

KI2 11:4 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa saba, Yehoyada akatumania wakuu wa vikundi vya mamia, na Wakari,\f + \fr 11:4 \ft Yaani Wakerethi (ona \+xt 1Sam 30:14; Eze 25:16; Sef 2:5, 6\+xt*).\f* na walinzi, nao wakaletwa kwake katika Hekalu la \nd Bwana\nd*. Alifanya agano nao na kuwaapisha katika Hekalu la \nd Bwana\nd*. Ndipo akawaonyesha mwana wa mfalme.

KI2 11:4 Found unexpected backslash in footnote: 11:4 Yaani Wakerethi (ona \+xt 1Sam 30:14; Eze 25:16; Sef 2:5, 6\+xt*).

KI2 11:5 Removed trailing space in v~: Akawaamuru akisema, “Hivi ndivyo iwapasavyo kufanya: Ninyi ambao mko makundi matatu mnaoingia zamu siku ya Sabato, theluthi yenu inayolinda jumba la kifalme,

KI2 11:6 Removed trailing space in v~: theluthi nyingine Lango la Suri, na theluthi nyingine lango lililo nyuma ya walinzi, ambao hupeana zamu kulinda Hekalu,

KI2 11:7 Removed trailing space in v~: nanyi ambao mko katika makundi mengine mawili ambao kwa kawaida hupumzika Sabato, wote mtalinda Hekalu kwa ajili ya mfalme.

KI2 11:8 Removed trailing space in v~: Jipangeni kumzunguka mfalme, kila mtu akiwa na silaha yake mkononi. Yeyote anayesogelea safu zenu lazima auawe. Kaeni karibu na mfalme popote aendapo.”

KI2 11:9 Removed trailing space in v~: Wakuu wa vikosi vya mamia wakafanya kama vile kuhani Yehoyada aliagiza. Kila mmoja akawachukua watu wake, wale waliokuwa wakiingia zamu siku ya Sabato na wale waliokuwa wakienda mapumziko, nao wakaja kwa kuhani Yehoyada.

KI2 11:10 Removed trailing space in v~: Ndipo akawapa wale wakuu mikuki na ngao zilizokuwa za Mfalme Daudi, zilizokuwa ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI2 11:11 Removed trailing space in v~: Wale walinzi, kila mmoja akiwa na silaha yake mkononi mwake, wakajipanga kumzunguka mfalme, karibu na madhabahu na Hekalu, kuanzia upande wa kusini hadi upande wa kaskazini mwa Hekalu.

KI2 11:12 Removed trailing space in v~: Yehoyada akamtoa mwana wa mfalme na kumvika taji, akampa nakala ya agano, na kumtangaza kuwa mfalme. Wakamtia mafuta, nao watu wakapiga makofi na kupaza sauti, wakisema, “Mfalme aishi maisha marefu!”

KI2 11:13 Removed trailing space in v~: Athalia aliposikia kelele iliyofanywa na walinzi pamoja na watu, akawaendea watu pale penye Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI2 11:14 Removed trailing space in v~: Akaangalia, na tazama alikuwako mfalme, akiwa amesimama karibu na nguzo, kama ilivyokuwa desturi. Maafisa na wapiga tarumbeta walikuwa pembeni mwa mfalme, nao watu wote wa nchi walikuwa wakifurahi na kupiga tarumbeta. Ndipo Athalia akararua mavazi yake na kulia, “Uhaini! Uhaini!”

KI2 11:15 Removed trailing space in v~: Kuhani Yehoyada akawaagiza majemadari wa vikosi vya mamia, waliokuwa viongozi wa jeshi, “Mleteni nje kati ya safu, na mkamuue kwa upanga yeyote anayemfuata.” Kwa kuwa kuhani alikuwa amesema, “Hatauawa ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd*.”

KI2 11:16 Removed trailing space in v~: Basi wakamkamata Athalia, na alipofika mahali ambapo farasi huingilia katika viwanja vya jumba la mfalme, wakamuulia hapo.

KI2 11:17 Removed trailing space in v~: Kisha Yehoyada akafanya agano kati ya \nd Bwana\nd* na mfalme na watu kwamba watakuwa watu wa \nd Bwana\nd*. Akafanya pia agano kati ya mfalme na watu.

KI2 11:18 Removed trailing space in v~: Watu wote wa nchi wakaenda kwenye hekalu la Baali na kulibomoa. Wakavunjavunja madhabahu na sanamu, na kumuua Matani kuhani wa Baali mbele ya hayo madhabahu.

KI2 11:18 Removed trailing space in p~: Kisha Yehoyada kuhani akawaweka walinzi kwenye Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI2 11:19 Removed trailing space in v~: Pamoja naye akawachukua majemadari wa mamia, Wakari, walinzi na watu wote wa nchi, nao kwa pamoja wakamteremsha mfalme kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd* na kwenda kwenye jumba la mfalme, wakiingilia njia ya lango la walinzi. Ndipo mfalme akachukua nafasi yake kwenye kiti cha enzi,

KI2 11:20 Removed trailing space in v~: nao watu wote wa nchi wakafurahi. Mji ukatulia, kwa sababu Athalia alikuwa ameuawa kwa upanga nyumbani kwa mfalme.

KI2 11:21 Removed trailing space in v~: Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala.

KI2 12:0 Extra space after chapter number

KI2 12:0 Removed trailing space in c: 12

KI2 12:0 Removed trailing space in s1: Yoashi Anakarabati Hekalu

KI2 12:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa saba wa utawala wa Yehu, Yoashi alianza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka arobaini. Jina la mama yake aliitwa Sibia, kutoka Beer-Sheba.

KI2 12:2 Removed trailing space in v~: Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd* miaka yote ambayo Yehoyada kuhani alikuwa akimwelekeza.

KI2 12:3 Removed trailing space in v~: Hata hivyo mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa. Watu waliendelea kutoa kafara na kufukiza uvumba huko.

KI2 12:4 Removed trailing space in v~: Yoashi akawaambia makuhani, “Kusanyeni fedha zote ambazo zitaletwa kama sadaka takatifu kwenye Hekalu la \nd Bwana\nd*, yaani fedha zilizokusanywa kama kodi, fedha zilizopokelewa kutokana na nadhiri za watu binafsi, na fedha zilizoletwa kwa hiari hekaluni.

KI2 12:5 Removed trailing space in v~: Kila kuhani na apokee fedha kutoka kwa mmoja wa watunza hazina, nazo zitumike kukarabati uharibifu wowote unaoonekana katika Hekalu.”

KI2 12:6 Removed trailing space in v~: Lakini ikawa kufikia mwaka wa ishirini na tatu wa utawala wake Mfalme Yoashi, makuhani walikuwa bado hawajalikarabati Hekalu.

KI2 12:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mfalme Yoashi akamwita Yehoyada kuhani na makuhani wengine, akawauliza, “Kwa nini hamtengenezi uharibifu uliofanyika hekaluni? Msichukue fedha zaidi kutoka kwa watunza hazina wenu kwa ajili ya matumizi yenu, lakini kuanzia sasa ni lazima fedha yote itumike kwa ajili ya kukarabati Hekalu.”

KI2 12:8 Removed trailing space in v~: Makuhani wakakubali kuwa hawatakusanya tena fedha kutoka kwa watu na kwamba hawatakarabati Hekalu wenyewe.

KI2 12:9 Removed trailing space in v~: Yehoyada kuhani akachukua kisanduku na akatoboa tundu kwenye kifuniko chake. Akakiweka kando ya madhabahu upande wa kulia unapoingia hekaluni mwa \nd Bwana\nd*. Makuhani waliolinda ingilio wakaweka ndani ya kisanduku fedha zote ambazo zililetwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI2 12:10 Removed trailing space in v~: Kila mara walipoona kuwa kuna kiasi kikubwa cha fedha ndani ya kisanduku, mwandishi wa mfalme na kuhani mkuu walikuja, wakazihesabu fedha hizo zilizoletwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, na kuziweka katika mifuko.

KI2 12:11 Removed trailing space in v~: Wakiisha kuthibitisha kiasi cha hizo fedha, waliwapa watu walioteuliwa kusimamia kazi katika Hekalu. Kwa fedha hizo, wakawalipa wale watu waliofanya kazi katika Hekalu la \nd Bwana\nd*: yaani, maseremala na wajenzi,

KI2 12:12 Removed trailing space in v~: waashi na wakata mawe. Walinunua mbao na mawe ya kuchongwa kwa ajili ya ukarabati wa Hekalu la \nd Bwana\nd*, na kulipia gharama nyingine zote za kulitengeneza.

KI2 12:13 Removed trailing space in v~: Fedha zilizoletwa kwenye Hekalu hazikutumiwa kutengenezea masinia ya fedha, mikasi ya kusawazishia tambi, mabakuli ya kunyunyizia, tarumbeta wala vyombo vingine vyovyote vya dhahabu au fedha kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd*;

KI2 12:14 Removed trailing space in v~: zililipwa kwa wafanyakazi, ambao walizitumia kwa kukarabati Hekalu.

KI2 12:15 Removed trailing space in v~: Wao hawakudai kupewa hesabu ya fedha kutoka kwa wale waliowapa ili kuwalipa wafanyakazi, kwa sababu walifanya kwa uaminifu wote.

KI2 12:16 Removed trailing space in v~: Fedha zilizopatikana kutokana na sadaka za hatia na sadaka za dhambi hazikuletwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd*; zilikuwa mali ya makuhani.

KI2 12:17 Removed trailing space in v~: Wakati huu Hazaeli mfalme wa Aramu akapanda kuishambulia Gathi, akaiteka. Kisha akageuka ili kuishambulia Yerusalemu.

KI2 12:18 Removed trailing space in v~: Lakini Yoashi mfalme wa Yuda akavichukua vyombo vyote vitakatifu vilivyowekwa wakfu na baba zake, yaani Yehoshafati, Yehoramu na Ahazia, wafalme wa Yuda, zawadi ambazo yeye mwenyewe alikuwa ameziweka wakfu pamoja na dhahabu yote iliyokutwa katika hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd* na katika jumba la kifalme, akazipeleka kwa Hazaeli mfalme wa Aramu, ambaye hatimaye aliondoka Yerusalemu.

KI2 12:19 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Yoashi na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI2 12:20 Removed trailing space in v~: Maafisa wake wakafanya shauri baya dhidi yake, nao wakamuulia Yoashi huko Beth-Milo, kwenye barabara iteremkayo kuelekea Sila.

KI2 12:21 Removed trailing space in v~: Maafisa waliomuua walikuwa Yozabadi mwana wa Shimeathi, na Yehozabadi mwana wa Shomeri. Akafa na akazikwa pamoja na baba zake katika Mji wa Daudi. Naye Amazia mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 13:0 Extra space after chapter number

KI2 13:0 Removed trailing space in c: 13

KI2 13:0 Removed trailing space in s1: Yehoahazi Mfalme Wa Israeli

KI2 13:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa ishirini na tatu wa utawala wa Yoashi mwana wa Ahazia mfalme wa Yuda, Yehoahazi mwana wa Yehu alianza kutawala Israeli katika Samaria, naye akatawala miaka kumi na saba.

KI2 13:2 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd* kwa kufuata dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alikuwa amesababisha Israeli kuzitenda, na wala hakuziacha.

KI2 13:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya Israeli na kwa muda mrefu akawaweka chini ya utawala wa Hazaeli mfalme wa Aramu, na Ben-Hadadi mwanawe.

KI2 13:4 Removed trailing space in v~: Ndipo Yehoahazi akamsihi \nd Bwana\nd* rehema, naye \nd Bwana\nd* akamsikiliza, kwa maana aliona jinsi mfalme wa Aramu alivyokuwa akiwatesa Israeli vikali.

KI2 13:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtoa mwokozi kwa ajili ya Israeli, nao wakaokoka kutoka kwenye mamlaka ya Aramu. Hivyo Waisraeli wakaishi katika nyumba zao wenyewe kama ilivyokuwa hapo awali.

KI2 13:6 Removed trailing space in v~: Lakini hawakuziacha dhambi za nyumba ya Yeroboamu, ambazo alisababisha Israeli kuzitenda, bali wakaendelea kuzitenda. Nguzo ya Ashera pia iliendelea kusimama katika Samaria.

KI2 13:7 Removed trailing space in v~: Hapakubaki kitu chochote katika jeshi la Yehoahazi isipokuwa wapanda farasi hamsini, magari kumi ya vita na askari wa miguu elfu kumi, kwa kuwa mfalme wa Aramu alikuwa amewaangamiza hao wengine na kuwafanya kama mavumbi wakati wa kupura nafaka.

KI2 13:8 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yehoahazi yote aliyoyafanya na mafanikio yake, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI2 13:9 Removed trailing space in v~: Yehoahazi akalala pamoja na baba zake, akazikwa huko Samaria. Naye Yehoashi\f + \fr 13:9 \ft Yehoashi ni namna nyingine ya kutaja jina la Yoashi.\f* mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 13:9 Removed trailing space in s1: Yehoashi Mfalme Wa Israeli

KI2 13:10 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na saba wa utawala wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yehoashi mwana wa Yehoahazi alianza kutawala Israeli huko Samaria, naye akatawala miaka kumi na sita.

KI2 13:11 Removed trailing space in v~: Alifanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, na hakuacha dhambi yoyote kati ya zile za Yeroboamu mwana wa Nebati ambazo alikuwa amesababisha Israeli kuzitenda, bali aliendelea kuzitenda.

KI2 13:12 Removed trailing space in v~: Na kwa matukio mengine ya utawala wa Yehoashi, yote aliyoyafanya na mafanikio yake, pamoja na vita yake dhidi ya Amazia mfalme wa Yuda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI2 13:13 Removed trailing space in v~: Yehoashi akalala pamoja na baba zake, akazikwa Samaria pamoja na wafalme wa Israeli. Yeroboamu akawa mfalme baada yake.

KI2 13:14 Removed trailing space in v~: Wakati huu, Elisha alikuwa anaumwa na ugonjwa ambao baadaye ulimuua. Yehoashi mfalme wa Israeli akashuka kwenda kumwona na kumlilia. Akalia, “Baba yangu! Baba yangu! Magari ya vita ya Israeli na wapanda farasi wake!”

KI2 13:15 Removed trailing space in v~: Elisha akasema, “Leta upinde na baadhi ya mishale,” naye mfalme akafanya hivyo.

KI2 13:16 Removed trailing space in v~: Elisha akamwambia mfalme wa Israeli, “Shika upinde mikononi mwako.” Alipokwisha kuichukua, Elisha akaweka mikono yake juu ya mikono ya mfalme.

KI2 13:17 Removed trailing space in v~: Elisha akasema, “Fungua dirisha la mashariki,” naye akalifungua. Elisha akasema, “Piga mshale!” Naye akapiga mshale. Elisha akasema, “Mshale wa ushindi wa \nd Bwana\nd*, mshale wa ushindi juu ya Aramu! Utawaangamiza Waaramu kabisa huko Afeki.”

KI2 13:18 Removed trailing space in v~: Kisha akasema, “Chukua mishale,” naye mfalme akaichukua. Elisha akamwambia, “Piga ardhi kwa hiyo mishale.” Akaipiga mara tatu, halafu akaacha.

KI2 13:19 Removed trailing space in v~: Mtu wa Mungu akamkasirikia na akasema, “Ungepiga chini mara tano au sita, ndipo ungeishinda Aramu na kuiangamiza kabisa. Lakini sasa utaishinda mara tatu tu.”

KI2 13:20 Removed trailing space in v~: Elisha akafa, nao wakamzika.

KI2 13:20 Removed trailing space in p~: Vikosi vya Wamoabu vilikuwa vinashambulia nchi kwa vita kila mwaka wakati wa vuli.

KI2 13:21 Removed trailing space in v~: Ikawa Waisraeli fulani walipokuwa wanamzika mtu, ghafula wakaona kikosi cha washambuliaji, basi wakaitupa ile maiti ya yule mtu ndani ya kaburi la Elisha. Wakati ile maiti ilipogusa mifupa ya Elisha, yule mtu akafufuka na kusimama kwa miguu yake.

KI2 13:22 Removed trailing space in v~: Hazaeli mfalme wa Aramu aliwatesa Israeli wakati wote wa utawala wa Yehoahazi.

KI2 13:23 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akawarehemu na akawahurumia, akaonyesha kujishughulisha nao kwa sababu ya Agano lake na Abrahamu, Isaki na Yakobo. Hadi leo, hajawaangamiza wala kuwafukuza mbele zake.

KI2 13:24 Removed trailing space in v~: Hazaeli mfalme wa Shamu akafa, naye Ben-Hadadi mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 13:25 Removed trailing space in v~: Kisha Yehoashi mwana wa Yehoahazi akateka tena kutoka kwa Ben-Hadadi mwana wa Hazaeli ile miji aliyokuwa ameitwaa kwa vita kutoka kwa baba yake Yehoahazi. Yehoashi alimshinda mara tatu, hivyo akaweza kuiteka tena ile miji ya Waisraeli.

KI2 14:0 Extra space after chapter number

KI2 14:0 Removed trailing space in c: 14

KI2 14:0 Removed trailing space in s1: Amazia Mfalme Wa Yuda

KI2 14:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 25)

KI2 14:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa pili wa utawala wa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli, Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda alianza kutawala.

KI2 14:2 Removed trailing space in v~: Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Yehoadani, kutoka Yerusalemu.

KI2 14:3 Removed trailing space in v~: Akatenda yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd*, lakini sio kama Daudi baba yake alivyokuwa amefanya. Katika kila kitu alifuata mfano wa Yoashi baba yake.

KI2 14:4 Removed trailing space in v~: Hata hivyo mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa. Watu waliendelea kutoa kafara na kufukiza uvumba huko.

KI2 14:5 Removed trailing space in v~: Baada ya ufalme kuimarika mikononi mwake, aliwaua maafisa waliomuua mfalme baba yake.

KI2 14:6 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, hakuwaua wana wa wale wauaji, sawasawa na ilivyoandikwa katika Kitabu cha Sheria ya Mose ambako \nd Bwana\nd* aliamuru, “Baba hawatauawa kwa ajili ya watoto wao, wala watoto kwa ajili ya baba zao. Kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”

KI2 14:7 Removed trailing space in v~: Ndiye aliwashinda Waedomu elfu kumi katika Bonde la Chumvi, na akauteka Sela katika vita, naye akauita Yoktheeli, jina ambalo mji huo unalo hadi leo.

KI2 14:8 Removed trailing space in v~: Kisha Amazia akatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi, mwana wa Yehu, mfalme wa Israeli, akisema, “Njoo, tuonane uso kwa uso.”

KI2 14:9 Removed trailing space in v~: Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akamjibu Amazia mfalme wa Yuda: “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi uliokuwa Lebanoni, ‘Mtoe binti yako aolewe na mwanangu.’ Kisha mnyama wa mwituni aliyekuwa Lebanoni akaja na kuukanyaga ule mbaruti.

KI2 14:10 Removed trailing space in v~: Hakika umeishinda Edomu, na sasa unajivuna. Jisifu katika ushindi wako, lakini kaa nyumbani kwako! Kwa nini unachokoza na kujiletea anguko lako mwenyewe na la Yuda pia?”

KI2 14:11 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Amazia hakusikia, hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akashambulia. Yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakutana uso kwa uso huko Beth-Shemeshi katika Yuda.

KI2 14:12 Removed trailing space in v~: Yuda ikashindwa na Israeli, na kila mtu akakimbilia nyumbani kwake.

KI2 14:13 Removed trailing space in v~: Yehoashi mfalme wa Israeli akamteka Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yoashi, mwana wa Ahazia, huko Beth-Shemeshi. Kisha Yehoashi akaenda Yerusalemu na kuubomoa ukuta wa Yerusalemu kuanzia Lango la Efraimu hadi Lango la Pembeni, sehemu yenye urefu wa kama dhiraa 400.\f + \fr 14:13 \ft Dhiraa 400 ni sawa na mita 180.\f*

KI2 14:14 Removed trailing space in v~: Akachukua dhahabu yote na fedha na vyombo vyote vilivyopatikana ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na katika hazina zote za jumba la mfalme. Akachukua pia mateka na akarudi Samaria.

KI2 14:15 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yehoashi, aliyoyafanya na mafanikio yake, pamoja na vita vyake dhidi ya Amazia mfalme wa Yuda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI2 14:16 Removed trailing space in v~: Yehoashi akalala pamoja na baba zake, akazikwa Samaria pamoja na wafalme wa Israeli, naye Yeroboamu mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 14:17 Removed trailing space in v~: Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda aliishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.

KI2 14:18 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Amazia, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI2 14:19 Removed trailing space in v~: Wakafanya shauri baya dhidi ya Amazia huko Yerusalemu, naye akakimbilia Lakishi, lakini wakawatuma watu wamfuatilie huko Lakishi, nao wakamuulia huko.

KI2 14:20 Removed trailing space in v~: Akarudishwa kwa farasi na akazikwa huko Yerusalemu pamoja na baba zake katika Mji wa Daudi.

KI2 14:21 Removed trailing space in v~: Kisha watu wote wa Yuda wakamchukua Azaria\f + \fr 14:21 \ft Azaria pia aliitwa Uzia.\f* aliyekuwa na umri wa miaka kumi na sita, na kumfanya mfalme mahali pa baba yake Amazia.

KI2 14:22 Removed trailing space in v~: Ndiye aliijenga tena Elathi na kuirudisha kwa Yuda baada ya Amazia kulala pamoja na baba zake.

KI2 14:22 Removed trailing space in s1: Yeroboamu Wa Pili Mfalme Wa Israeli

KI2 14:23 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala huko Samaria, naye akatawala kwa miaka arobaini na mmoja.

KI2 14:24 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, na hakuacha dhambi hata moja ya Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alikuwa amesababisha Israeli kuzitenda.

KI2 14:25 Removed trailing space in v~: Ndiye alirudishia mipaka ya Israeli kuanzia Lebo-Hamathi hadi Bahari ya Araba, sawasawa na neno la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, lililosemwa kupitia mtumishi wake Yona mwana wa Amitai, nabii kutoka Gath-Heferi.

KI2 14:26 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuwa ameona jinsi kila mmoja katika Israeli, awe mtumwa au aliye huru, alivyoteseka kwa uchungu; hapakuwepo na yeyote wa kuwasaidia.

KI2 14:27 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa hajasema kuwa atafuta jina la Israeli chini ya mbingu, akawaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.

KI2 14:28 Removed trailing space in v~: Kwa matukio mengine ya utawala wa Yeroboamu, yote aliyoyafanya na mafanikio yake ya kijeshi, ikiwa ni pamoja na jinsi alivyorudisha Dameski na Hamathi kwa Israeli, ambayo ilikuwa mali ya Yuda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI2 14:29 Removed trailing space in v~: Yeroboamu akalala pamoja na baba zake, wafalme wa Israeli. Naye Zekaria mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 15:0 Extra space after chapter number

KI2 15:0 Removed trailing space in c: 15

KI2 15:0 Removed trailing space in s1: Azaria Mfalme Wa Yuda

KI2 15:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 26)

KI2 15:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa ishirini na saba wa utawala wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria mwana wa Amazia mfalme wa Yuda alianza kutawala.

KI2 15:2 Removed trailing space in v~: Alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka hamsini na miwili. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.

KI2 15:3 Removed trailing space in v~: Akatenda yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd*, kama Amazia baba yake alivyofanya.

KI2 15:4 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa. Watu waliendelea kutoa kafara na kufukiza uvumba huko.

KI2 15:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akampiga mfalme kwa ukoma mpaka siku aliyokufa, naye aliishi katika nyumba iliyotengwa peke yake. Yothamu mwana wa mfalme akawa msimamizi wa jumba la mfalme, na akawatawala watu wa nchi.

KI2 15:6 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Azaria na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI2 15:7 Removed trailing space in v~: Azaria akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa karibu nao katika Mji wa Daudi, na Yothamu mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 15:7 Removed trailing space in s1: Zekaria Mfalme Wa Israeli

KI2 15:8 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na nane wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda, Zekaria mwana wa Yeroboamu akawa mfalme wa Israeli katika Samaria, naye akatawala miezi sita.

KI2 15:9 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, kama baba zake walivyofanya. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati ambazo alisababisha Israeli kuzitenda.

KI2 15:10 Removed trailing space in v~: Shalumu mwana wa Yabeshi akafanya shauri baya dhidi ya Zekaria. Akamshambulia mbele ya watu, akamuua na kuingia mahali pake kuwa mfalme.

KI2 15:11 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Zekaria yameandikwa kwenye kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.

KI2 15:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo neno la \nd Bwana\nd* lililonenwa kwa Yehu likatimia, kwamba, “Wazao wako wataketi juu ya kiti cha enzi cha Israeli hadi kizazi cha nne.”

KI2 15:12 Removed trailing space in s1: Shalumu Mfalme Wa Israeli

KI2 15:13 Removed trailing space in v~: Shalumu mwana wa Yabeshi akawa mfalme katika mwaka wa thelathini na tisa wa Uzia mfalme wa Yuda, naye akatawala katika Samaria kwa mwezi mmoja.

KI2 15:14 Removed trailing space in v~: Kisha Menahemu mwana wa Gadi akaenda kutoka Tirsa mpaka Samaria. Akamshambulia Shalumu mwana wa Yabeshi huko Samaria, akamuua na kuingia mahali pake kuwa mfalme.

KI2 15:15 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Shalumu, na mauaji aliyoyafanya, yameandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.

KI2 15:16 Removed trailing space in v~: Wakati ule, akianzia Tirsa, Menahemu alishambulia Tifsa na kila mtu ndani yake, na wale waliokuwa maeneo jirani, kwa sababu walikataa kufungua malango yao. Akaiangamiza Tifsa yote, na kuwapasua matumbo wanawake wote wenye mimba.

KI2 15:16 Removed trailing space in s1: Menahemu Mfalme Wa Israeli

KI2 15:17 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akawa mfalme wa Israeli, akatawala huko Samaria kwa miaka kumi.

KI2 15:18 Removed trailing space in v~: Akatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd*. Katika wakati wa utawala wake wote, hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati ambazo alisababisha Israeli kuzitenda.

KI2 15:19 Removed trailing space in v~: Kisha Pulu mfalme wa Ashuru akaishambulia Israeli. Menahemu mfalme wa Israeli akampa talanta elfu moja za fedha\f + \fr 15:19 \ft Talanta 1,000 za fedha ni sawa na tani 34.\f* ili amsaidie na kumwezesha katika utawala wake.

KI2 15:20 Removed trailing space in v~: Menahemu akatoza fedha hizi kwa nguvu kutoka kwa Israeli. Kila mtu tajiri alilazimika kuchanga shekeli hamsini za fedha\f + \fr 15:20 \ft Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.\f* ambazo alipewa mfalme wa Ashuru. Basi mfalme wa Ashuru akajiondoa na hakuendelea kuikalia nchi.

KI2 15:21 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Menahemu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI2 15:22 Removed trailing space in v~: Menahemu akalala pamoja na baba zake. Naye Pekahia mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 15:22 Removed trailing space in s1: Pekahia Mfalme Wa Israeli

KI2 15:23 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa hamsini wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, akatawala miaka miwili.

KI2 15:24 Removed trailing space in v~: Pekahia akafanya uovu machoni pa \nd Bwana\nd*. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alisababisha Israeli kuzitenda.

KI2 15:25 Removed trailing space in v~: Mmoja wa maafisa wake wakuu, Peka mwana wa Remalia, akafanya shauri baya dhidi yake. Akachukua watu hamsini wa Gileadi pamoja naye, akamuua Pekahia, pamoja na Argobu na Aria, katika ngome ya jumba la kifalme huko Samaria. Kwa hiyo Peka akamuua Pekahia, naye akaingia mahali pake kuwa mfalme.

KI2 15:26 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Pekahia na yote aliyoyafanya yameandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.

KI2 15:26 Removed trailing space in s1: Peka Mfalme Wa Israeli

KI2 15:27 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa hamsini na mbili wa utawala wa Azaria mfalme wa Yuda, Peka mwana wa Remalia akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala miaka ishirini.

KI2 15:28 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati, ambazo alisababisha Israeli kuzitenda.

KI2 15:29 Removed trailing space in v~: Wakati wa utawala wa Peka mfalme wa Israeli, Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru alikuja na kuteka Iyoni, Abel-Beth-Maaka, Yanoa, Kedeshi na Hazori. Akateka miji ya Gileadi na Galilaya, pamoja na nchi yote ya Naftali, na kuwahamishia watu wote Ashuru.

KI2 15:30 Removed trailing space in v~: Kisha Hoshea mwana wa Ela akafanya shauri baya dhidi ya Peka mwana wa Remalia. Akamshambulia na kumuua, kisha akaingia mahali pake kuwa mfalme katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia.

KI2 15:31 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Peka na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli?

KI2 15:31 Removed trailing space in s1: Yothamu Mfalme Wa Yuda

KI2 15:31 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 27)

KI2 15:32 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa pili wa utawala wa Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli, Yothamu mwana wa Uzia mfalme wa Yuda alianza kutawala.

KI2 15:33 Removed trailing space in v~: Alikuwa na miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita. Mama yake aliitwa Yerusha binti Sadoki.

KI2 15:34 Removed trailing space in v~: Akafanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd*, kama Uzia baba yake alivyokuwa amefanya.

KI2 15:35 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa. Watu waliendelea kutoa kafara na kufukiza uvumba huko. Yothamu akajenga upya Lango la Juu la Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI2 15:36 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yothamu na yale aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI2 15:37 Removed trailing space in v~: (Katika siku hizo, \nd Bwana\nd* akaanza kuwatuma Resini mfalme wa Aramu na Peka mwana wa Remalia dhidi ya Yuda.)

KI2 15:38 Removed trailing space in v~: Yothamu akalala na baba zake, akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi, mji wa baba zake. Naye Ahazi mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 16:0 Extra space after chapter number

KI2 16:0 Removed trailing space in c: 16

KI2 16:0 Removed trailing space in s1: Ahazi Mfalme Wa Yuda

KI2 16:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 28)

KI2 16:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na saba wa utawala wa Peka mwana wa Remalia, Ahazi mwana wa Yothamu mfalme wa Yuda alianza kutawala.

KI2 16:2 Removed trailing space in v~: Ahazi alikuwa na miaka ishirini alipoanza kutawala, akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na sita. Tofauti na Daudi baba yake, hakufanya yaliyo mema machoni pa Bwana, Mungu wake.

KI2 16:3 Removed trailing space in v~: Akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli, na hata akamtoa mwanawe kafara katika moto, akifuata njia za machukizo za mataifa ambayo \nd Bwana\nd* alikuwa ameyafukuza mbele ya Waisraeli.

KI2 16:4 Removed trailing space in v~: Akatoa kafara na kufukiza uvumba katika mahali pa juu pa kuabudia miungu, juu ya vilima, na chini ya kila mti uliotanda.

KI2 16:5 Removed trailing space in v~: Kisha Resini mfalme wa Aramu na Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli wakaondoka kwenda kupigana dhidi ya Yerusalemu na kumzunguka Ahazi kwa jeshi, lakini hawakuweza kumshinda.

KI2 16:6 Removed trailing space in v~: Wakati ule, Resini mfalme wa Aramu akaurudisha Elathi kwa Aramu kwa kuwafukuza watu wa Yuda. Kisha Waedomu wakahamia Elathi, nao wanaishi huko mpaka leo.

KI2 16:7 Removed trailing space in v~: Ahazi akatuma wajumbe kumwambia Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru kwamba, “Mimi ni mtumishi na mtumwa wako. Njoo na uniokoe kutoka mkononi mwa mfalme wa Aramu na wa mfalme wa Israeli, ambao wananishambulia.”

KI2 16:8 Removed trailing space in v~: Naye Ahazi akachukua fedha na dhahabu zilizopatikana ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na katika hazina ya jumba la mfalme, na kuzituma kama zawadi kwa mfalme wa Ashuru.

KI2 16:9 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Ashuru akamwitikia kwa kushambulia Dameski na kuiteka. Akawahamishia wenyeji wake huko Kiri, na kumuua Resini.

KI2 16:10 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Ahazi akaenda Dameski kukutana na Tiglath-Pileseri wa Ashuru. Akaona madhabahu huko Dameski, naye akamtumia Uria kuhani mchoro wa hayo madhabahu, pamoja na maelezo ya mpango kamili wa ujenzi wake.

KI2 16:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Uria kuhani akajenga madhabahu kulingana na mipango yote ambayo Mfalme Ahazi alikuwa ameituma kutoka Dameski, na akamaliza ujenzi kabla ya Mfalme Ahazi kurudi.

KI2 16:12 Removed trailing space in v~: Mfalme aliporudi kutoka Dameski na kuona hayo madhabahu, akayasogelea na kutoa sadaka juu yake.

KI2 16:13 Removed trailing space in v~: Akatoa sadaka yake ya kuteketezwa na sadaka ya nafaka, akamimina sadaka ya kinywaji na kunyunyizia damu ya sadaka zake za amani juu ya hayo madhabahu.

KI2 16:14 Removed trailing space in v~: Mfalme Ahazi akayaondoa madhabahu ya zamani ya shaba kutoka hapo mbele ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, yaliyokuwa yamesimama kati ya ingilio la Hekalu na hayo madhabahu mapya, naye akayaweka upande wa kaskazini mwa hayo madhabahu mapya.

KI2 16:15 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Ahazi akatoa amri zifuatazo kwa Uria kuhani: “Juu ya hayo madhabahu kubwa mapya, toa sadaka ya asubuhi ya kuteketezwa na sadaka ya jioni ya nafaka, sadaka ya mfalme ya kuteketezwa pamoja na sadaka yake ya nafaka, sadaka ya kuteketezwa ya watu wote wa nchi, pamoja na sadaka yao ya nafaka na sadaka yao ya kinywaji. Unyunyize juu ya hayo madhabahu damu yote ya sadaka za kuteketezwa na dhabihu. Lakini mimi nitatumia hayo madhabahu ya zamani ya shaba kwa ajili ya kutafuta uongozi.”

KI2 16:16 Removed trailing space in v~: Naye Uria kuhani akafanya kama Mfalme Ahazi alivyoagiza.

KI2 16:17 Removed trailing space in v~: Mfalme Ahazi akaondoa mbao za pembeni na kuondoa masinia kwenye vile vishikilio vilivyohamishika. Akaondoa ile Bahari kutoka kwenye mafahali wa shaba walioishikilia, na kuiweka kwenye kitako cha jiwe.

KI2 16:18 Removed trailing space in v~: Kwa heshima ya mfalme wa Ashuru, akaliondoa pia pazia la Sabato lililokuwa limewekwa ndani ya Hekalu, na akaondoa ile njia ya kifalme ya kuingia kwenye Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI2 16:19 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Ahazi na yale aliyoyafanya, je hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI2 16:20 Removed trailing space in v~: Ahazi akalala na baba zake, naye akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Naye Hezekia mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 18:0 Extra space after chapter number

KI2 18:0 Removed trailing space in c: 18

KI2 18:0 Removed trailing space in s1: Hezekia Mfalme Wa Yuda

KI2 18:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 29:1–31:21)

KI2 18:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Hoshea mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Hezekia mwana wa Ahazi mfalme wa Yuda alianza kutawala.

KI2 18:2 Removed trailing space in v~: Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Abiya binti Zekaria.

KI2 18:3 Removed trailing space in v~: Akafanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd*, kama Daudi baba yake alivyofanya.

KI2 18:4 Removed trailing space in v~: Akapaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu, akazivunja sanamu, akakatakata nguzo za Ashera. Akavunja vipande vipande ile nyoka ya shaba Mose aliyotengeneza, kwa kuwa hadi siku hizo wana wa Israeli walikuwa wanaifukizia uvumba (ilikuwa ikiitwa Nehushtani\f + \fr 18:4 \ft Nehushtani maana yake Kipande cha shaba.\f*).

KI2 18:5 Removed trailing space in v~: Hezekia aliweka tumaini lake kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli. Hapakuwepo na mfalme mwingine wa kufanana naye miongoni mwa wafalme wa Yuda, kabla yake au baada yake.

KI2 18:6 Removed trailing space in v~: Alishikamana na \nd Bwana\nd* kwa bidii wala hakuacha kumfuata; alishika amri ambazo \nd Bwana\nd* alikuwa amempa Mose.

KI2 18:7 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja naye, akafanikiwa katika kila alichokifanya. Aliasi dhidi ya mfalme wa Ashuru, wala hakumtumikia.

KI2 18:8 Removed trailing space in v~: Kuanzia mnara wa ulinzi hadi kwenye mji wenye ngome, aliwashinda Wafilisti, hadi kufikia Gaza na himaya yake yote.

KI2 18:9 Removed trailing space in v~: Mwaka wa nne wa Mfalme Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa saba wa Hoshea mwana wa Ela kutawala Israeli, Shalmanesa mfalme wa Ashuru alikwenda kuishambulia Samaria na kuuzunguka kwa majeshi.

KI2 18:10 Removed trailing space in v~: Baada ya miaka mitatu Waashuru wakautwaa. Kwa hiyo Samaria ulitekwa katika mwaka wa sita wa utawala wa Mfalme Hezekia, ambao ulikuwa mwaka wa tisa wa utawala wa Hoshea mfalme wa Israeli.

KI2 18:11 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Ashuru akawahamishia Waisraeli huko Ashuru na akawaweka Hala, na Gozani karibu na Mto Habori, na katika miji ya Wamedi.

KI2 18:12 Removed trailing space in v~: Hili lilitokea kwa sababu hawakumtii \nd Bwana\nd* Mungu wao, lakini walikuwa wamevunja agano lake, yale yote ambayo Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* aliwaamuru. Hawakuzisikiliza amri wala kuzitimiza.

KI2 18:13 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na nne wa utawala wa Mfalme Hezekia, Senakeribu mfalme wa Ashuru akaishambulia miji yote ya Yuda yenye ngome na kuiteka.

KI2 18:14 Removed trailing space in v~: Basi Hezekia mfalme wa Yuda akamtumia ujumbe mfalme wa Ashuru huko Lakishi akisema: “Nimefanya makosa. Ondoka katika nchi yangu, nami nitakulipa chochote unachokitaka kwangu.” Mfalme wa Ashuru akamtoza Hezekia mfalme wa Yuda talanta 300\f + \fr 18:14 \ft Talanta 300 za fedha ni sawa na tani 10.\f* za fedha, na talanta thelathini\f + \fr 18:14 \ft Talanta 30 za dhahabu ni sawa na tani moja.\f* za dhahabu.

KI2 18:15 Removed trailing space in v~: Basi Hezekia akampa fedha yote iliyopatikana ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na katika hazina ya jumba la mfalme.

KI2 18:16 Removed trailing space in v~: Wakati huu Hezekia mfalme wa Yuda akabandua dhahabu yote iliyokuwa imefunika milango na miimo ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, akampa mfalme wa Ashuru.

KI2 18:16 Removed trailing space in s1: Senakeribu Anaitishia Yerusalemu

KI2 18:16 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 32:1-19; Isaya 36:1-22)

KI2 18:17 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Ashuru akamtuma jemadari wake mkuu, na afisa wake mkuu, na jemadari wa jeshi, pamoja na jeshi kubwa kutoka Lakishi hadi kwa Mfalme Hezekia huko Yerusalemu. Wakaja Yerusalemu na kusimama kwenye mfereji wa Bwawa la Juu, lililojengwa katika barabara iendayo kwenye Uwanja wa Dobi.

KI2 18:18 Removed trailing space in v~: Wakaagiza mfalme aitwe. Eliakimu mwana wa Hilkia aliyekuwa msimamizi wa jumba la mfalme, Shebna aliyekuwa katibu, na Yoa mwana wa Asafu mwandishi wakawaendea.

KI2 18:19 Removed trailing space in v~: Yule jemadari wa jeshi akawaambia, “Mwambieni Hezekia:

KI2 18:19 Removed trailing space in p~: “ ‘Hili ndilo asemalo mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru: Ni wapi unapoweka hili tumaini lako?

KI2 18:20 Removed trailing space in v~: Unasema mnayo mikakati na nguvu za kijeshi, lakini unasema maneno matupu tu. Je, wewe unamtegemea nani, hata ukaniasi mimi?

KI2 18:21 Removed trailing space in v~: Tazama sasa, unaitegemea Misri, fimbo ile ya mwanzi uliopasuka, ambayo huuchoma na kuujeruhi mkono wa mtu akiiegemea! Hivyo ndivyo alivyo Farao mfalme wa Misri, kwa wote wanaomtegemea.

KI2 18:22 Removed trailing space in v~: Nawe kama ukiniambia, “Tunamtumainia \nd Bwana\nd* Mungu wetu”: je, siyo yeye ambaye Hezekia aliondoa mahali pake pa juu pa kuabudia miungu na madhabahu zake, akiwaambia Yuda na Yerusalemu, “Ni lazima mwabudu mbele ya madhabahu haya katika Yerusalemu”?

KI2 18:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Njooni sasa, fanyeni mapatano na bwana wangu, mfalme wa Ashuru: Nitakupa farasi elfu mbili, kama unaweza kuwapandisha waendesha farasi juu yao!

KI2 18:24 Removed trailing space in v~: Utawezaje kumzuia hata afisa mmoja aliye mdogo kati ya maafisa wa bwana wangu, ijapo unategemea Misri kwa magari ya vita na wapanda farasi?

KI2 18:25 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, je, nimekuja kushambulia na kuangamiza mahali hapa pasipo neno kutoka kwa \nd Bwana\nd*? \nd Bwana\nd* mwenyewe ndiye aliniambia niishambulie nchi hii na kuiangamiza.’ ”

KI2 18:26 Removed trailing space in v~: Ndipo Eliakimu mwana wa Hilkia, Shebna na Yoa wakamwambia yule jemadari wa jeshi, “Tafadhali zungumza na watumishi wako kwa lugha ya Kiaramu, kwa kuwa tunaifahamu. Usiseme nasi kwa Kiebrania watu walioko juu ya ukuta wakiwa wanasikia.”

KI2 18:27 Removed trailing space in v~: Lakini yule jemadari wa jeshi akajibu, “Je, bwana wangu amenituma kutoa ujumbe huu kwa bwana wenu na kwenu tu? Je, hakunituma pia kwa watu walioketi ukutani, ambao, kama ninyi, itawabidi kula mavi yao na kunywa mikojo yao wenyewe?”

KI2 18:28 Removed trailing space in v~: Kisha yule jemadari wa jeshi akasimama na kuita kwa lugha ya Kiebrania, akasema: “Sikieni neno la mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru!

KI2 18:29 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye. Hawezi kuwaokoa mkononi mwangu.

KI2 18:30 Removed trailing space in v~: Msikubali Hezekia awashawishi kumtumaini \nd Bwana\nd* kwa kuwaambia, ‘Hakika \nd Bwana\nd* atatuokoa. Mji huu hautaangukia mikononi mwa mfalme wa Ashuru.’

KI2 18:31 Removed trailing space in v~: “Msimsikilize Hezekia. Hili ndilo mfalme wa Ashuru asemalo: Fanyeni amani nami na mje kwangu. Kisha kila mmoja wenu atakula kutoka kwa mzabibu wake na mtini wake mwenyewe, na kunywa maji kutoka kisima chake mwenyewe,

KI2 18:32 Removed trailing space in v~: mpaka nije nikawapeleke katika nchi iliyo kama nchi yenu wenyewe, nchi ya nafaka na divai mpya, nchi ya mkate na mashamba ya mizabibu, nchi ya mizeituni na asali. Chagueni uzima, sio mauti!

KI2 18:32 Removed trailing space in p~: “Msimsikilize Hezekia, kwa kuwa anawapotosha asemapo, ‘\nd Bwana\nd* atatuokoa.’

KI2 18:33 Removed trailing space in v~: Je, yuko mungu wa taifa lolote aliyewahi kuokoa nchi yake kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?

KI2 18:34 Removed trailing space in v~: Iko wapi miungu ya Hamathi na ya Arpadi? Iko wapi miungu ya Sefarvaimu, Hena na Iva? Je, imeokoa Samaria kutoka mkononi mwangu?

KI2 18:35 Removed trailing space in v~: Ni yupi miongoni mwa miungu yote ya nchi hizi ameweza kuokoa nchi yake mkononi mwangu? Inawezekanaje basi \nd Bwana\nd* aiokoe Yerusalemu mkononi mwangu?”

KI2 18:36 Removed trailing space in v~: Lakini wale watu wakakaa kimya, wala hawakujibu lolote, kwa kuwa mfalme alikuwa amewaamuru, “Msimjibu lolote.”

KI2 18:37 Removed trailing space in v~: Kisha Eliakimu mwana wa Hilkia msimamizi wa jumba la kifalme, Shebna katibu, na Yoa mwana wa Asafu, mwandishi wakamwendea Hezekia, nguo zao zikiwa zimeraruliwa, na kumwambia yale jemadari wa jeshi aliyoyasema.

KI2 19:0 Extra space after chapter number

KI2 19:0 Removed trailing space in c: 19

KI2 19:0 Removed trailing space in s1: Hezekia Autafuta Msaada Wa \nd Bwana\nd*

KI2 19:0 Removed trailing space in r: (Isaya 37:1-20)

KI2 19:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Hezekia aliposikia haya, akararua nguo zake na kuvaa nguo ya gunia, naye akaenda katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI2 19:2 Removed trailing space in v~: Akawatuma Eliakimu msimamizi wa nyumba ya mfalme, Shebna mwandishi, na viongozi wa makuhani, wote wakiwa wamevaa nguo za magunia, waende kwa nabii Isaya mwana wa Amozi.

KI2 19:3 Removed trailing space in v~: Wakamwambia, “Hili ndilo asemalo Hezekia: Siku hii ni siku ya dhiki, ya kukaripiwa na ya aibu, kama wakati watoto wanapofikia karibu kuzaliwa na kumbe hakuna nguvu ya kuwazaa.

KI2 19:4 Removed trailing space in v~: Yamkini \nd Bwana\nd*, Mungu wako atayasikia maneno ya jemadari wa jeshi, ambaye bwana wake, mfalme wa Ashuru, amemtuma kumdhihaki Mungu aliye hai, tena kwamba atamkemea kwa maneno ambayo \nd Bwana\nd*, Mungu wako ameyasikia. Kwa hiyo omba kwa ajili ya mabaki ambao bado wako.”

KI2 19:5 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Mfalme Hezekia walipofika kwa Isaya,

KI2 19:6 Removed trailing space in v~: Isaya akawaambia, “Mwambieni bwana wenu, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Usiogope kwa hayo uliyoyasikia, yale maneno ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana nayo.

KI2 19:7 Removed trailing space in v~: Sikiliza! Nitatia roho fulani ndani yake ili atakaposikia taarifa fulani, atarudi nchi yake mwenyewe, nami huko nitafanya auawe kwa upanga.’ ”

KI2 19:8 Removed trailing space in v~: Jemadari wa jeshi aliposikia kwamba mfalme wa Ashuru ameondoka Lakishi, alirudi, akamkuta mfalme akipigana na Libna.

KI2 19:9 Removed trailing space in v~: Basi Senakeribu akapata taarifa kwamba Tirhaka, Mkushi mfalme wa Misri, alikuwa anaenda kupigana naye. Basi akatuma tena wajumbe kwa Hezekia na neno hili:

KI2 19:10 Removed trailing space in v~: “Mwambieni Hezekia mfalme wa Yuda: Usikubali huyo Mungu unayemtumainia akudanganye wakati anaposema, ‘Yerusalemu haitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.’

KI2 19:11 Removed trailing space in v~: Hakika umesikia yale ambayo wafalme wa Ashuru wametenda kwa nchi zote, wakiwaangamiza kabisa. Je, wewe utaokolewa?

KI2 19:12 Removed trailing space in v~: Je, miungu ya mataifa ambayo yaliangamizwa na baba zangu iliweza kuwaokoa, hiyo miungu ya Gozani, Harani, Resefu, na ya watu wa Edeni waliokuwa Telasari?

KI2 19:13 Removed trailing space in v~: Yuko wapi mfalme wa Hamathi, mfalme wa Arpadi, mfalme wa mji wa Sefarvaimu, au wa Hena au wa Iva?”

KI2 19:13 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Hezekia

KI2 19:14 Removed trailing space in v~: Hezekia akapokea barua kutoka kwa wale wajumbe, naye akaisoma. Kisha akapanda katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, akaikunjua mbele za \nd Bwana\nd*.

KI2 19:15 Removed trailing space in v~: Naye Hezekia akamwomba \nd Bwana\nd* akisema: “Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, uketiye juu ya kiti cha enzi kati ya makerubi, wewe peke yako ndiwe Mungu juu ya falme zote za dunia. Wewe umeumba mbingu na nchi.

KI2 19:16 Removed trailing space in v~: Tega sikio, Ee \nd Bwana\nd*, usikie; fungua macho yako, Ee \nd Bwana\nd*, uone; sikiliza maneno ambayo Senakeribu ametuma kumtukana Mungu aliye hai.

KI2 19:17 Removed trailing space in v~: “Ni kweli, Ee \nd Bwana\nd*, kwamba wafalme wa Ashuru wameyaangamiza mataifa haya na nchi zao.

KI2 19:18 Removed trailing space in v~: Wameitupa miungu yao kwenye moto na kuiangamiza, kwa kuwa haikuwa miungu, bali miti na mawe tu iliyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

KI2 19:19 Removed trailing space in v~: Sasa basi, Ee \nd Bwana\nd* Mungu wetu, tuokoe kutoka mkononi mwake, ili falme zote duniani zipate kujua kwamba wewe peke yako, Ee \nd Bwana\nd*, ndiwe Mungu.”

KI2 19:19 Removed trailing space in s1: Isaya Anatoa Unabii Wa Kuanguka Kwa Senakeribu

KI2 19:19 Removed trailing space in r: (Isaya 37:21-38)

KI2 19:20 Removed trailing space in v~: Kisha Isaya mwana wa Amozi akapeleka ujumbe kwa Hezekia, akasema: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: Nimesikia maombi yako kuhusu Senakeribu mfalme wa Ashuru.

KI2 19:21 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno ambalo \nd Bwana\nd* amelisema dhidi yake:

KI2 19:21 Removed trailing space in p~: “ ‘Bikira Binti Sayuni anakudharau na kukudhihaki.

KI2 19:21 Removed trailing space in p~: Binti Yerusalemu anatikisa kichwa chake unapokimbia.

KI2 19:22 Removed trailing space in v~: Ni nani uliyemtukana na kumkufuru?

KI2 19:22 Removed trailing space in p~: Ni nani uliyeinua sauti yako dhidi yake,

KI2 19:22 Removed trailing space in p~: na kumwinulia macho yako kwa kiburi?

KI2 19:22 Removed trailing space in p~: Ni dhidi ya yule Aliye Mtakatifu wa Israeli!

KI2 19:23 Removed trailing space in v~: Kupitia kwa wajumbe wako

KI2 19:23 Removed trailing space in p~: umelundika matukano juu ya Bwana.

KI2 19:23 Removed trailing space in p~: Nawe umesema,

KI2 19:23 Removed trailing space in p~: “Kwa magari yangu mengi ya vita,

KI2 19:23 Removed trailing space in p~: nimepanda juu ya vilele vya milima,

KI2 19:23 Removed trailing space in p~: vilele vya juu sana katika Lebanoni.

KI2 19:23 Removed trailing space in p~: Nami nimeiangusha mierezi yake mirefu,

KI2 19:23 Removed trailing space in p~: misunobari yake iliyo bora sana.

KI2 19:23 Removed trailing space in p~: Nimefikia sehemu zake zilizo mbali sana,

KI2 19:23 Removed trailing space in p~: misitu yake iliyo mizuri sana.

KI2 19:24 Removed trailing space in v~: Nimechimba visima katika nchi za kigeni

KI2 19:24 Removed trailing space in p~: na kunywa maji yake.

KI2 19:24 Removed trailing space in p~: Kwa nyayo za miguu yangu

KI2 19:24 Removed trailing space in p~: nimekausha vijito vyote vya Misri.”

KI2 19:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Je, hujasikia?

KI2 19:25 Removed trailing space in p~: Zamani sana niliamuru hili.

KI2 19:25 Removed trailing space in p~: Siku za kale nilipanga hili;

KI2 19:25 Removed trailing space in p~: sasa nimelifanya litokee,

KI2 19:25 Removed trailing space in p~: kwamba umegeuza miji yenye ngome

KI2 19:25 Removed trailing space in p~: kuwa malundo ya mawe.

KI2 19:26 Removed trailing space in v~: Watu wa miji hiyo wameishiwa nguvu,

KI2 19:26 Removed trailing space in p~: wanavunjika mioyo na kuaibishwa.

KI2 19:26 Removed trailing space in p~: Wao ni kama mimea katika shamba,

KI2 19:26 Removed trailing space in p~: kama machipukizi mororo ya kijani,

KI2 19:26 Removed trailing space in p~: kama majani yachipuayo juu ya paa la nyumba,

KI2 19:26 Removed trailing space in p~: ambayo hukauka kabla ya kukua.

KI2 19:27 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini ninajua mahali ukaapo,

KI2 19:27 Removed trailing space in p~: kutoka kwako na kuingia kwako,

KI2 19:27 Removed trailing space in p~: na jinsi unavyoghadhibika dhidi yangu.

KI2 19:28 Removed trailing space in v~: Kwa sababu unaghadhibika dhidi yangu,

KI2 19:28 Removed trailing space in p~: na ufidhuli wako umefika masikioni mwangu,

KI2 19:28 Removed trailing space in p~: nitaweka ndoana yangu puani mwako

KI2 19:28 Removed trailing space in p~: na hatamu yangu kinywani mwako,

KI2 19:28 Removed trailing space in p~: nami nitakufanya urudi kwa njia ile uliyoijia.’

KI2 19:29 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo itakuwa ishara kwako, ee Hezekia:

KI2 19:29 Removed trailing space in p~: “Mwaka huu utakula kile kiotacho chenyewe,

KI2 19:29 Removed trailing space in p~: na mwaka wa pili utakula kutoka machipukizi yake.

KI2 19:29 Removed trailing space in p~: Lakini katika mwaka wa tatu, panda na uvune,

KI2 19:29 Removed trailing space in p~: panda mashamba ya mizabibu na ule matunda yake.

KI2 19:30 Removed trailing space in v~: Mara nyingine tena mabaki ya nyumba ya Yuda

KI2 19:30 Removed trailing space in p~: wataeneza mizizi chini na kuzaa matunda juu.

KI2 19:31 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kutoka Yerusalemu watakuja mabaki,

KI2 19:31 Removed trailing space in p~: na kutoka Mlima Sayuni kundi la walionusurika.

KI2 19:31 Removed trailing space in p~: Wivu wa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndio utatimiza jambo hili.

KI2 19:32 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kuhusu mfalme wa Ashuru:

KI2 19:32 Removed trailing space in p~: “Hataingia katika mji huu

KI2 19:32 Removed trailing space in p~: wala hatapiga mshale hapa.

KI2 19:32 Removed trailing space in p~: Hatakuja mbele yake akiwa na ngao,

KI2 19:32 Removed trailing space in p~: wala kupanga majeshi kuuzingira.

KI2 19:33 Removed trailing space in v~: Kwa njia ile aliyoijia, ndiyo atakayorudi;

KI2 19:33 Removed trailing space in p~: hataingia katika mji huu,

KI2 19:33 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

KI2 19:34 Removed trailing space in v~: Nitaulinda mji huu na kuuokoa,

KI2 19:34 Removed trailing space in p~: kwa ajili yangu mwenyewe,

KI2 19:34 Removed trailing space in p~: na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu.”

KI2 19:35 Removed trailing space in v~: Usiku ule, malaika wa \nd Bwana\nd* akaenda, akawaua wanajeshi 185,000 katika kambi ya Waashuru. Wenzao walipoamka asubuhi yake, walikuta maiti kila mahali!

KI2 19:36 Removed trailing space in v~: Basi Senakeribu mfalme wa Ashuru akavunja kambi na kuondoka. Akarudi Ninawi na kukaa huko.

KI2 19:37 Removed trailing space in v~: Siku moja, alipokuwa akiabudu katika hekalu la mungu wake Nisroki, wanawe Adrameleki na Shareza wakamuua kwa upanga, nao wakakimbilia nchi ya Ararati. Naye Esar-Hadoni mwanawe akawa mfalme badala yake.

KI2 20:0 Extra space after chapter number

KI2 20:0 Removed trailing space in c: 20

KI2 20:0 Removed trailing space in s1: Ugonjwa Wa Hezekia

KI2 20:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 32:24-26; Isaya 38:1-8, 21-22)

KI2 20:1 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo, Hezekia akaugua, naye akawa karibu kufa. Nabii Isaya mwana wa Amozi akaenda kwake na kumwambia, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Tengeneza mambo ya nyumba yako, kwa sababu utakufa, hutapona.”

KI2 20:2 Removed trailing space in v~: Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba \nd Bwana\nd*:

KI2 20:3 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd*, kumbuka jinsi nilivyoenenda mbele zako kwa uaminifu na kujitoa kwa moyo wangu wote, na kufanya yaliyo mema machoni pako.” Naye Hezekia akalia kwa uchungu.

KI2 20:4 Removed trailing space in v~: Kabla Isaya hajaondoka katika ua wa kati, neno la \nd Bwana\nd* likamjia, akaambiwa:

KI2 20:5 Removed trailing space in v~: “Rudi ukamwambie Hezekia, kiongozi wa watu wangu, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba yako Daudi: Nimeyasikia maombi yako na nimeona machozi yako; nitakuponya. Siku ya tatu kuanzia sasa utapanda kwenda Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI2 20:6 Removed trailing space in v~: Nitakuongezea miaka kumi na mitano katika maisha yako. Nami nitakuokoa wewe pamoja na mji huu mkononi mwa mfalme wa Ashuru. Nitaulinda mji huu kwa ajili yangu, na kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi!’ ”

KI2 20:7 Removed trailing space in v~: Kisha Isaya akasema, “Tengenezeni dawa ya kubandika ya tini.” Wakafanya hivyo na kuiweka kwenye jipu, naye akapona.

KI2 20:8 Removed trailing space in v~: Hezekia alikuwa amemuuliza Isaya, “Kutakuwa na ishara gani kwamba \nd Bwana\nd* ataniponya mimi, na kwamba nitapanda kwenda Hekalu la \nd Bwana\nd* siku ya tatu tangu leo?”

KI2 20:9 Removed trailing space in v~: Isaya akajibu, “Hii ndiyo ishara ya \nd Bwana\nd* kwako kwamba \nd Bwana\nd* atafanya kile alichoahidi: Je, kivuli kiende hatua kumi mbele, au kivuli kirudi nyuma hatua kumi?”

KI2 20:10 Removed trailing space in v~: Hezekia akasema, “Ni jambo rahisi kwa kivuli kutangulia mbele hatua kumi, kuliko kukifanya kirudi nyuma hatua kumi.”

KI2 20:11 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii Isaya akamwita \nd Bwana\nd*, naye \nd Bwana\nd* akakifanya kivuli kurudi nyuma hatua kumi ambazo kilikuwa kimeshuka kwenye ngazi ya Ahazi.

KI2 20:11 Removed trailing space in s1: Wajumbe Kutoka Babeli

KI2 20:11 Removed trailing space in r: (Isaya 39:1-8)

KI2 20:12 Removed trailing space in v~: Wakati huo Merodaki-Baladani, mwana wa Baladani mfalme wa Babeli, akamtumia Hezekia barua na zawadi, kwa sababu alikuwa amesikia habari za kuugua kwa Hezekia.

KI2 20:13 Removed trailing space in v~: Hezekia akawapokea wale wajumbe na kuwaonyesha vitu vyote vile vilivyokuwa katika ghala zake: yaani fedha, dhahabu, vikolezo na mafuta safi, ghala la silaha na kila kitu kilichokuwa katika hazina zake. Hapakuwa na kitu chochote katika jumba lake la kifalme au katika ufalme wake wote ambacho Hezekia hakuwaonyesha.

KI2 20:14 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii Isaya akaenda kwa Mfalme Hezekia na kumuuliza, “Watu hao walisema nini, na wametoka wapi?”

KI2 20:14 Removed trailing space in p~: Hezekia akamjibu, “Wametoka nchi ya mbali. Walikuja kutoka Babeli.”

KI2 20:15 Removed trailing space in v~: Nabii akauliza, “Waliona nini katika jumba lako la kifalme?”

KI2 20:15 Removed trailing space in p~: Hezekia akajibu, “Waliona kila kitu katika jumba langu la kifalme. Hakuna kitu chochote katika hazina yangu ambacho sikuwaonyesha.”

KI2 20:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Isaya akamwambia Hezekia, “Sikia neno la \nd Bwana\nd*:

KI2 20:17 Removed trailing space in v~: Hakika wakati unakuja ambapo vitu vyote katika jumba lako la kifalme, na vyote ambavyo baba zako waliweka akiba mpaka siku hii, vitachukuliwa kwenda Babeli. Hakuna chochote kitakachosalia, asema \nd Bwana\nd*.

KI2 20:18 Removed trailing space in v~: Nao baadhi ya wazao wako, nyama yako na damu yako mwenyewe watakaozaliwa kwako, watachukuliwa mbali, nao watakuwa matowashi katika jumba la mfalme wa Babeli.”

KI2 20:19 Removed trailing space in v~: Hezekia akamjibu Isaya, “Neno la \nd Bwana\nd* ulilosema ni jema.” Kwa kuwa alifikiri, “Lakini si patakuwa na amani na usalama wakati wa uhai wangu?”

KI2 20:20 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Hezekia, mafanikio yake yote, na jinsi alivyotengeneza bwawa na mfereji ambao ulileta maji katika mji, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI2 20:21 Removed trailing space in v~: Hezekia akafa, akazikwa pamoja na baba zake. Naye Manase mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 21:0 Extra space after chapter number

KI2 21:0 Removed trailing space in c: 21

KI2 21:0 Removed trailing space in s1: Manase Mfalme Wa Yuda

KI2 21:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 33:1-20)

KI2 21:1 Removed trailing space in v~: Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka hamsini na mitano. Mama yake aliitwa Hefsiba.

KI2 21:2 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, akafuata desturi za machukizo za mataifa ambayo \nd Bwana\nd* aliyafukuza mbele ya Waisraeli.

KI2 21:3 Removed trailing space in v~: Akajenga upya mahali pa juu pa kuabudia miungu ambapo Hezekia baba yake alikuwa amepabomoa. Pia akasimamisha madhabahu za Baali na kutengeneza nguzo ya Ashera, kama Ahabu mfalme wa Israeli alivyofanya. Akalisujudia jeshi lote la angani na kuliabudu.

KI2 21:4 Removed trailing space in v~: Akajenga madhabahu katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, ambamo \nd Bwana\nd* alikuwa amesema, “Katika Yerusalemu nitaliweka Jina langu.”

KI2 21:5 Removed trailing space in v~: Katika nyua zote mbili za Hekalu la \nd Bwana\nd*, akajenga madhabahu kwa ajili ya jeshi lote la angani.

KI2 21:6 Removed trailing space in v~: Akamtoa kafara mwanawe mwenyewe katika moto, akafanya uchawi na uaguzi, na akataka shauri kwa wapiga ramli na kwa mizimu. Akafanya maovu mengi sana machoni mwa \nd Bwana\nd* na kumghadhibisha.

KI2 21:7 Removed trailing space in v~: Akachukua nguzo ya Ashera aliyoichonga na kuiweka katika Hekalu, ambalo \nd Bwana\nd* alikuwa amemwambia Daudi na mwanawe Solomoni, “Katika Hekalu hili na katika Yerusalemu niliouchagua kutoka kabila zote za Israeli, nitaliweka Jina langu milele.

KI2 21:8 Removed trailing space in v~: Sitaifanya tena miguu ya Waisraeli itangetange kutoka nchi niliyowapa baba zao, ikiwa watakuwa waangalifu kufanya kila kitu nilichowaamuru, na kuishika Sheria yote ambayo walipewa na Mose mtumishi wangu.”

KI2 21:9 Removed trailing space in v~: Lakini hawa watu hawakusikiliza. Manase akawapotosha, hivyo kwamba walifanya maovu mengi kuliko mataifa ambayo \nd Bwana\nd* aliyaangamiza mbele ya Waisraeli.

KI2 21:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema kupitia watumishi wake manabii:

KI2 21:11 Removed trailing space in v~: “Manase mfalme wa Yuda ametenda dhambi hizi za kuchukiza. Amefanya maovu mengi kuliko Waamori waliokuwepo kabla yake, na ameiongoza Yuda katika dhambi kwa sanamu zake.

KI2 21:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: Nitaleta maafa makubwa juu ya Yerusalemu na Yuda, kiasi kwamba masikio ya kila mmoja atakayesikia habari zake yatawasha.

KI2 21:13 Removed trailing space in v~: Nitanyoosha juu ya Yerusalemu kamba ya kupimia iliyotumika dhidi ya Samaria, na timazi iliyotumika dhidi ya nyumba ya Ahabu. Nitaifutilia mbali Yerusalemu kama mtu afutaye sahani, nikiifuta na kuifunikiza.

KI2 21:14 Removed trailing space in v~: Nitawakataa mabaki wa urithi wangu na kuwatia mikononi mwa adui zao. Watapokonywa mali zao na kutekwa nyara na adui zao wote,

KI2 21:15 Removed trailing space in v~: kwa sababu wametenda uovu machoni pangu na kunighadhibisha tangu siku baba zao walipotoka Misri mpaka siku ya leo.”

KI2 21:16 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Manase pia alimwaga damu nyingi isiyo na hatia, hivi kwamba aliijaza Yerusalemu kutoka mwanzo hadi mwisho, mbali na dhambi ambayo alikuwa amesababisha Yuda kufanya, na hivyo wakatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd*.

KI2 21:17 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Manase, na yote aliyoyafanya, pamoja na dhambi alizotenda, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI2 21:18 Removed trailing space in v~: Manase akalala pamoja na baba zake na akazikwa katika bustani ya jumba lake la kifalme, katika bustani ya Uza. Naye Amoni mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 21:18 Removed trailing space in s1: Amoni Mfalme Wa Yuda

KI2 21:18 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 33:21-25)

KI2 21:19 Removed trailing space in v~: Amoni alikuwa na miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka miwili. Mamaye aliitwa Meshulemethi binti Haruzi, kutoka Yotba.

KI2 21:20 Removed trailing space in v~: Akatenda maovu machoni mwa \nd Bwana\nd*, kama baba yake Manase alivyofanya.

KI2 21:21 Removed trailing space in v~: Akaenenda katika njia zote za baba yake, akaabudu sanamu ambazo baba yake aliziabudu na kuzisujudia.

KI2 21:22 Removed trailing space in v~: Akamwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zake, wala hakuenenda katika njia za \nd Bwana\nd*.

KI2 21:23 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Amoni wakafanya fitina juu yake, nao wakamuulia kwake nyumbani.

KI2 21:24 Removed trailing space in v~: Kisha watu wa nchi wakawaua wale wote waliokuwa wamefanya hila dhidi ya Mfalme Amoni. Wakamfanya Yosia mwanawe kuwa mfalme mahali pake.

KI2 21:25 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Amoni na yale aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI2 21:26 Removed trailing space in v~: Akazikwa kwenye kaburi lake katika bustani ya Uza. Naye Yosia mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 22:0 Extra space after chapter number

KI2 22:0 Removed trailing space in c: 22

KI2 22:0 Removed trailing space in s1: Yosia Mfalme Wa Yuda

KI2 22:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 34; 35:20-27)

KI2 22:1 Removed trailing space in v~: Yosia alikuwa na miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka thelathini na mmoja. Mama yake aliitwa Yedida binti Adaya, kutoka Boskathi.

KI2 22:2 Removed trailing space in v~: Akafanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd* na kuenenda katika njia zote za Daudi baba yake. Hakugeuka upande wa kuume wala wa kushoto.

KI2 22:3 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wake, Mfalme Yosia akamtuma mwandishi Shafani mwana wa Azalia, mwana wa Meshulamu, kwenda katika Hekalu la \nd Bwana\nd*. Akasema:

KI2 22:4 Removed trailing space in v~: “Panda uende kwa Hilkia, kuhani mkuu, umwambie ahesabu zile fedha ambazo zimeletwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, ambazo mabawabu wamekusanya kutoka kwa watu.

KI2 22:5 Removed trailing space in v~: Waambie waikabidhi kwa watu walioteuliwa kusimamia kazi ya Hekalu. Waamuru watu hawa wawalipe wafanyakazi ambao wanakarabati Hekalu la \nd Bwana\nd*:

KI2 22:6 Removed trailing space in v~: wale maseremala, wajenzi na waashi. Waambie pia wanunue mbao na mawe yaliyochongwa ili kukarabati Hekalu.

KI2 22:7 Removed trailing space in v~: Lakini hawahitajiki kutoa hesabu ya fedha walizokabidhiwa, kwa sababu wanafanya kwa uaminifu.”

KI2 22:8 Removed trailing space in v~: Hilkia kuhani mkuu akamwambia Shafani mwandishi, “Nimekipata Kitabu cha Sheria ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd*.” Akampa Shafani, ambaye alikisoma.

KI2 22:9 Removed trailing space in v~: Kisha Shafani mwandishi akamwendea mfalme na kumpa taarifa akisema: “Maafisa wako wametoa ile fedha ambayo ilikuwa ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na imekabidhiwa mikononi mwa wasimamizi wa marekebisho ya Hekalu.”

KI2 22:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Shafani mwandishi akampasha mfalme habari kwamba: “Hilkia kuhani amenipa kitabu hiki.” Naye Shafani akakisoma kile kitabu mbele ya mfalme.

KI2 22:11 Removed trailing space in v~: Mfalme aliposikia maneno ya kile Kitabu cha Sheria, akararua mavazi yake.

KI2 22:12 Removed trailing space in v~: Akatoa maagizo haya kwa Hilkia kuhani, Ahikamu mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, Shafani mwandishi, na Asaya mtumishi wa mfalme:

KI2 22:13 Removed trailing space in v~: “Nendeni mkamuulize \nd Bwana\nd* kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu na Yuda wote kuhusu yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki ambacho kimepatikana. Hasira ya \nd Bwana\nd* ni kubwa inayowaka dhidi yetu kwa sababu baba zetu hawakuyatii maneno ya kitabu hiki. Hawajatenda kulingana na yale yote yaliyoandikwa humo kutuhusu sisi.”

KI2 22:14 Removed trailing space in v~: Hilkia kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani na Asaya wakaenda kuongea na nabii mke Hulda, ambaye alikuwa mke wa Shalumu mwana wa Tikwa, mwana wa Harhasi mtunzaji wa chumba cha mavazi. Hulda aliishi Yerusalemu katika Mtaa wa Pili.

KI2 22:15 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: Mwambieni yule mtu aliyewatuma ninyi kwangu,

KI2 22:16 Removed trailing space in v~: ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*: Nitaleta maafa juu ya mahali hapa na watu wake, kulingana na kila kitu kilichoandikwa katika kitabu hicho mfalme wa Yuda alichosoma.

KI2 22:17 Removed trailing space in v~: Kwa sababu wameniacha mimi na kufukiza uvumba kwa miungu mingine, na kunighadhibisha kwa sanamu zote zilizotengenezwa kwa mikono yao, hasira yangu itawaka dhidi ya mahali hapa, wala haitatulizwa.’

KI2 22:18 Removed trailing space in v~: Mwambieni mfalme wa Yuda, ambaye amewatuma kumuuliza \nd Bwana\nd*, ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kuhusu maneno uliyoyasikia:

KI2 22:19 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa moyo wako ulikuwa msikivu na ulijinyenyekeza mbele za \nd Bwana\nd* uliposikia kile nilichosema dhidi ya mahali hapa na watu wake, kwamba wangelaaniwa na kuachwa ukiwa, basi kwa sababu uliyararua mavazi yako na kulia mbele zangu, nimekusikia, asema \nd Bwana\nd*.

KI2 22:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitakukusanya kwa baba zako, nawe utazikwa kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote nitakayoleta juu ya mahali hapa.’ ”

KI2 22:20 Removed trailing space in p~: Basi wakapeleka jibu lake kwa mfalme.

KI2 23:0 Extra space after chapter number

KI2 23:0 Removed trailing space in c: 23

KI2 23:0 Removed trailing space in s1: Yosia Analifanya Upya Agano

KI2 23:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 34:3-7, 29-33)

KI2 23:1 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.

KI2 23:2 Removed trailing space in v~: Akapanda kwenda hekaluni mwa \nd Bwana\nd* pamoja na watu wa Yuda, watu wa Yerusalemu, makuhani na manabii, watu wote wakubwa kwa wadogo. Akasoma wakiwa wanasikia maneno yote ya Kitabu cha Agano, ambacho kilikuwa kimepatikana katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI2 23:3 Removed trailing space in v~: Mfalme akasimama karibu na nguzo, na kufanya upya agano mbele za \nd Bwana\nd*: yaani kumfuata \nd Bwana\nd* na kuzishika amri zake, maagizo na sheria kwa moyo wake wote na kwa roho yake yote, hivyo kuyathibitisha maneno ya agano yaliyoandikwa katika kitabu hiki. Kisha watu wote wakajifunga wenyewe kwa kiapo katika agano.

KI2 23:4 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwamuru Hilkia kuhani mkuu, makuhani waliomfuata kwa cheo, na mabawabu kuondoa kutoka kwenye Hekalu la \nd Bwana\nd* vyombo vyote vilivyofanywa kwa ajili ya Baali na Ashera na jeshi lote la mianga ya angani! Akavichoma nje ya Yerusalemu katika mashamba ya Bonde la Kidroni, na kuyachukua hayo majivu mpaka Betheli.

KI2 23:5 Removed trailing space in v~: Akawafukuza makuhani wa kipagani waliokuwa wameteuliwa na wafalme wa Yuda kufukiza uvumba katika mahali pa juu pa kuabudia miungu katika miji ya Yuda na ile iliyozunguka Yerusalemu, yaani wale waliofukiza uvumba kwa Baali, kwa jua na mwezi, kwa makundi ya nyota, na jeshi lote la angani.

KI2 23:6 Removed trailing space in v~: Akaiondoa nguzo ya Ashera kutoka kwenye Hekalu la \nd Bwana\nd*, na kuipeleka kwenye Bonde la Kidroni nje ya Yerusalemu, akaiteketeza huko. Akaisaga hadi ikawa unga na kusambaza hilo vumbi juu ya makaburi ya watu wa kawaida.

KI2 23:7 Removed trailing space in v~: Akabomoa pia nyumba za mahanithi wa mahali pa ibada za miungu, zilizokuwa ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na mahali wanawake walipofuma kwa ajili ya Ashera.

KI2 23:8 Removed trailing space in v~: Yosia akawaleta makuhani wote wa \nd Bwana\nd* kutoka miji yote ya Yuda, na kunajisi mahali pa juu pa kuabudia miungu, kuanzia Geba hadi Beer-Sheba, mahali pote ambapo hao makuhani wa miungu walifukiza uvumba. Akabomoa mahali pa kuwekea vitu vya ibada za miungu palipokuwa katika malango, kwenye ingilio la Lango la Yoshua, mtawala wa mji, lililoko upande wa kushoto wa lango la mji.

KI2 23:9 Removed trailing space in v~: Ingawa makuhani wa mahali pa juu pa kuabudia miungu hawakuhudumu katika madhabahu ya \nd Bwana\nd* katika Yerusalemu, walikula mikate isiyotiwa chachu miongoni mwa ndugu zao.

KI2 23:10 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akanajisi Tofethi, palipokuwa katika Bonde la Ben-Hinomu, ili mtu yeyote asiweze kupatumia kumtoa kafara mwanawe au binti yake katika moto kwa mungu Moleki.

KI2 23:11 Removed trailing space in v~: Akaondoa kutoka kwenye ingilio la Hekalu la \nd Bwana\nd* wale farasi ambao wafalme wa Yuda walikuwa wamewaweka wakfu kwa ajili ya jua. Walikuwa kwenye ua karibu na chumba cha afisa aliyeitwa Nathan-Meleki. Basi Yosia akayachoma moto yale magari yaliyokuwa yamewekwa wakfu kwa jua.

KI2 23:12 Removed trailing space in v~: Alizivunja madhabahu ambazo wafalme wa Yuda walikuwa wamezijenga kwenye paa la ghorofa ya Ahazi, pia madhabahu alizokuwa amezijenga Manase katika nyua mbili za Hekalu la \nd Bwana\nd*. Akaziondoa huko, akazivunja vipande vipande, na kutupa hicho kifusi katika Bonde la Kidroni.

KI2 23:13 Removed trailing space in v~: Mfalme pia akanajisi mahali pa juu pa kuabudia miungu, palipokuwa mashariki ya Yerusalemu upande wa kusini wa Kilima cha Uharibifu, pale ambapo Solomoni mfalme wa Israeli alikuwa amejenga kwa ajili ya Ashtorethi mungu mke chukizo la Wasidoni, kwa ajili ya Kemoshi mungu chukizo la Wamoabu, na kwa ajili ya Moleki mungu chukizo la watu wa Amoni.

KI2 23:14 Removed trailing space in v~: Yosia akapasua yale mawe ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Ashera. Kisha akafunika hayo maeneo kwa mifupa ya wanadamu.

KI2 23:15 Removed trailing space in v~: Hata madhabahu yaliyokuwa huko Betheli, mahali pa juu pa kuabudia miungu palipokuwa pamejengwa na Yeroboamu mwana wa Nebati, ambaye aliwafanya Israeli watende dhambi, alibomoa hata hayo madhabahu na mahali pa juu pa kuabudia miungu. Alipateketeza kwa moto hapo mahali pa juu pa kuabudia miungu na kupasaga hadi pakawa vumbi, na kuichoma hiyo nguzo ya Ashera pia.

KI2 23:16 Removed trailing space in v~: Kisha Yosia akatazama huku na huko, naye alipoona makaburi yaliyokuwa huko kwenye kilima, akaamuru mifupa itolewe humo na akaichoma juu ya madhabahu ya Betheli ili kupanajisi. Hili lilitokea kulingana na neno la \nd Bwana\nd* lililosemwa na mtu wa Mungu ambaye alitangulia kusema mambo haya.

KI2 23:17 Removed trailing space in v~: Mfalme akauliza, “Lile kaburi lenye mnara wa ukumbusho ninaloliona ni kwa ajili gani?”

KI2 23:17 Removed trailing space in p~: Watu wa mji wakasema, “Hii ni alama ya kaburi la mtu wa Mungu aliyekuja kutoka Yuda, naye akanena dhidi ya hii madhabahu ya Betheli mambo yale yale uliyoifanyia leo.”

KI2 23:18 Removed trailing space in v~: Akasema, “Liacheni, msiliguse. Msimruhusu mtu yeyote kuiondoa mifupa yake.” Basi wakaiacha mifupa yake pamoja na ile ya yule nabii ambaye alikuwa amekuja kutoka Samaria.

KI2 23:19 Removed trailing space in v~: Kama alivyokuwa amefanya huko Betheli, Yosia akabomoa na kunajisi mahali pa kuabudia miungu kwenye mahali pa juu ambapo wafalme wa Israeli walikuwa wamejenga ndani ya miji ya Samaria, ambayo ilikuwa imemghadhibisha \nd Bwana\nd*.

KI2 23:20 Removed trailing space in v~: Yosia akawachinja makuhani wote wa mahali pa juu pa kuabudia miungu katika madhabahu zao wenyewe, na kuchoma mifupa ya wanadamu juu yake. Kisha akarudi Yerusalemu.

KI2 23:20 Removed trailing space in s1: Yosia Aadhimisha Pasaka

KI2 23:21 Removed trailing space in v~: Mfalme akatoa agizo hili kwa watu wote: “Adhimisheni Pasaka kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu, kama ilivyoandikwa katika Kitabu hiki cha Agano.”

KI2 23:22 Removed trailing space in v~: Hapakuwahi kuwepo na adhimisho lingine la Pasaka kama hilo tangu nyakati za Waamuzi walioongoza Israeli, wala katika nyakati zote za wafalme wa Israeli na wafalme wa Yuda.

KI2 23:23 Removed trailing space in v~: Lakini katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Mfalme Yosia, Pasaka hii iliadhimishwa kwa \nd Bwana\nd* huko Yerusalemu.

KI2 23:24 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Yosia akawaondoa waaguzi, wanaoabudu mizimu, sanamu za kuagulia, sanamu za kuabudiwa, na vitu vingine vyote vya machukizo vilivyoonekana huko Yuda na Yerusalemu. Aliyafanya haya ili kutimiza matakwa ya sheria iliyoandikwa ndani ya kile kitabu ambacho Hilkia kuhani alikipata ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI2 23:25 Removed trailing space in v~: Kabla wala baada ya Mfalme Yosia hapakuwepo na mfalme mwingine yeyote ambaye alimpenda \nd Bwana\nd* kwa moyo wake wote, kwa roho yake yote, na kwa nguvu zake zote, sawasawa na Sheria yote ya Mose.

KI2 23:26 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, \nd Bwana\nd* hakuacha ghadhabu yake iliyowaka dhidi ya Yuda kwa sababu ya yale yote ambayo Manase alikuwa amefanya kumghadhibisha.

KI2 23:27 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* akasema, “Nitamwondoa Yuda mbele zangu kama nilivyomwondoa Israeli, nami nitaukataa Yerusalemu, mji niliouchagua, na Hekalu hili, ambalo nilisema, ‘Jina langu litakaa humo.’ ”

KI2 23:28 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yosia na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI2 23:29 Removed trailing space in v~: Yosia alipokuwa mfalme, Farao Neko mfalme wa Misri akapanda mpaka Mto Frati kumsaidia mfalme wa Ashuru. Mfalme Yosia akatoka kwenda kupigana naye, lakini Neko akamkabili na kumuua huko Megido.

KI2 23:30 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Yosia wakauleta mwili wake katika gari la vita kutoka Megido hadi Yerusalemu, wakamzika kwenye kaburi lake mwenyewe. Nao watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi mwana wa Yosia, wakamtia mafuta na kumfanya mfalme mahali pa baba yake.

KI2 23:30 Removed trailing space in s1: Yehoahazi Mfalme Wa Yuda

KI2 23:30 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 36:2-4)

KI2 23:31 Removed trailing space in v~: Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miezi mitatu. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia kutoka Libna.

KI2 23:32 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni mwa \nd Bwana\nd*, kama baba zake walivyofanya.

KI2 23:33 Removed trailing space in v~: Farao Neko akamfunga kwa minyororo huko Ribla katika nchi ya Hamathi ili asiweze kutawala huko Yerusalemu, naye akatoza kodi ya talanta mia moja\f + \fr 23:33 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.4.\f* za fedha, na talanta moja ya dhahabu\f + \fr 23:33 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.\f* katika Yuda.

KI2 23:34 Removed trailing space in v~: Farao Neko akamfanya Eliakimu mwana wa Yosia kuwa mfalme mahali pa baba yake Yosia, na kulibadilisha jina la Eliakimu kuwa Yehoyakimu. Lakini akamchukua Yehoahazi na kumpeleka Misri, naye akafia huko.

KI2 23:34 Removed trailing space in s1: Yehoyakimu Mfalme Wa Yuda

KI2 23:34 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 36:5-8)

KI2 23:35 Removed trailing space in v~: Yehoyakimu akamlipa Farao Neko ile fedha na dhahabu aliyodai. Ili kuweza kufanya hivyo, Yehoyakimu akatoza nchi kodi na kulipiza fedha na dhahabu kutoka kwa watu wa nchi kulingana na makadrio ya mapato yao.

KI2 23:36 Removed trailing space in v~: Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Zebida binti Pedaya kutoka Ruma.

KI2 23:37 Removed trailing space in v~: Naye akafanya maovu machoni mwa \nd Bwana\nd*, kama baba zake walivyokuwa wamefanya.

KI2 24:0 Extra space after chapter number

KI2 24:0 Removed trailing space in c: 24

KI2 24:1 Removed trailing space in v~: Wakati wa utawala wa Yehoyakimu, Nebukadneza mfalme wa Babeli aliishambulia nchi, naye Yehoyakimu akawa mtumwa wake kwa miaka mitatu. Lakini hatimaye akabadili mawazo yake na kuasi dhidi ya Nebukadneza.

KI2 24:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akatuma wavamiaji wa Wakaldayo, Waaramu, Wamoabu na Waamoni ili kumshambulia. Aliwatuma kuiangamiza Yuda sawasawa na neno la \nd Bwana\nd* lililosemwa na watumishi wake manabii.

KI2 24:3 Removed trailing space in v~: Hakika mambo haya yalitokea Yuda kulingana na agizo la \nd Bwana\nd*, ili kuwaondoa kutoka machoni pake kwa sababu ya dhambi za Manase na yote aliyoyafanya,

KI2 24:4 Removed trailing space in v~: ikiwa ni pamoja na kumwaga damu isiyo na hatia. Kwa kuwa aliijaza Yerusalemu kwa damu isiyo na hatia, naye \nd Bwana\nd* hakuwa radhi kusamehe.

KI2 24:5 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yehoyakimu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?

KI2 24:6 Removed trailing space in v~: Yehoyakimu akalala pamoja na baba zake. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.

KI2 24:7 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Misri hakutoka tena katika nchi yake, kwa sababu mfalme wa Babeli alikuwa ameitwaa himaya yake yote, kuanzia Kijito cha Misri hadi Mto Frati.

KI2 24:7 Removed trailing space in s1: Yehoyakini Mfalme Wa Yuda

KI2 24:7 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 36:9-10)

KI2 24:8 Removed trailing space in v~: Yehoyakini alikuwa na miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miezi mitatu. Jina la mama yake aliitwa Nehushta binti Elnathani kutoka Yerusalemu.

KI2 24:9 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, kama vile baba yake alivyokuwa amefanya.

KI2 24:10 Removed trailing space in v~: Wakati huo, maafisa wa Nebukadneza mfalme wa Babeli walikuja ili kuishambulia Yerusalemu, nao wakaizunguka kwa jeshi.

KI2 24:11 Removed trailing space in v~: Nebukadneza mwenyewe akaupandia mji wakati maafisa wake walipokuwa wameuzunguka kwa jeshi.

KI2 24:12 Removed trailing space in v~: Yehoyakini mfalme wa Yuda, mama yake, wahudumu wake, wakuu na maafisa wake wote wakajisalimisha kwa Nebukadneza.

KI2 24:12 Removed trailing space in p~: Katika mwaka wa nane wa utawala wa mfalme wa Babeli, akamchukua Yehoyakini kuwa mfungwa.

KI2 24:13 Removed trailing space in v~: Kama vile \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema, Nebukadneza akaondoa hazina yote kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd* na kutoka jumba la mfalme, akavichukua vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Solomoni mfalme wa Israeli alikuwa amevitengeneza kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd*.

KI2 24:14 Removed trailing space in v~: Akawachukua watu wa Yerusalemu wote kwenda uhamishoni: yaani maafisa wote na mashujaa, watu wenye ustadi na ufundi, jumla yao watu elfu kumi. Watu maskini sana ndio tu waliobaki katika nchi.

KI2 24:15 Removed trailing space in v~: Nebukadneza akamchukua mateka Yehoyakini hadi Babeli. Pia akawachukua utumwani kutoka Yerusalemu hadi Babeli mama yake mfalme, wake zake, maafisa wake, na viongozi wote wa nchi.

KI2 24:16 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Babeli pia akawahamishia Babeli mashujaa elfu saba, wenye nguvu na wanaofaa kupigana vita, na watu wenye ustadi na mafundi elfu moja.

KI2 24:17 Removed trailing space in v~: Akamfanya Matania, ndugu wa baba yake Yehoyakini, kuwa mfalme mahali pake, na akalibadilisha jina lake kuwa Sedekia.

KI2 24:17 Removed trailing space in s1: Sedekia Mfalme Wa Yuda

KI2 24:17 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 36:11-12; Yeremia 52:1-3)

KI2 24:18 Removed trailing space in v~: Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia, kutoka Libna.

KI2 24:19 Removed trailing space in v~: Alifanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, kama alivyofanya Yehoyakimu.

KI2 24:20 Removed trailing space in v~: Ilikuwa ni kwa sababu ya hasira ya \nd Bwana\nd* haya yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, naye mwishoni akawaondoa mbele zake.

KI2 24:20 Removed trailing space in p~: Basi, Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.

KI2 25:0 Extra space after chapter number

KI2 25:0 Removed trailing space in c: 25

KI2 25:0 Removed trailing space in s1: Kuanguka Kwa Yerusalemu

KI2 25:0 Removed trailing space in r: (2 Nyakati 36:13-21; Yeremia 52:3-30)

KI2 25:1 Removed trailing space in v~: Hivyo katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika siku ya kumi ya mwezi wa kumi, Nebukadneza mfalme wa Babeli, akiwa na jeshi lake lote, alifanya vita dhidi ya Yerusalemu. Akapiga kambi nje ya mji na kuuzunguka mji pande zote.

KI2 25:2 Removed trailing space in v~: Mji ulizungukwa na jeshi mpaka mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Mfalme Sedekia.

KI2 25:3 Removed trailing space in v~: Ilipowadia siku ya tisa ya mwezi wa nne, njaa ikazidi kuwa kali sana ndani ya mji, hadi hapakuwa na chakula kwa ajili ya watu.

KI2 25:4 Removed trailing space in v~: Kisha ukuta wa mji ukavunjwa, na jeshi lote likakimbia. Wakaondoka mjini usiku kupitia lango lililokuwa kati ya kuta mbili karibu na bustani ya mfalme, ingawa Wakaldayo walikuwa wameuzunguka mji. Wakakimbia kuelekea Araba.

KI2 25:5 Removed trailing space in v~: Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuatia mfalme na kumpata katika sehemu tambarare za Yeriko. Askari wake wote wakatengwa naye na kutawanyika,

KI2 25:6 Removed trailing space in v~: naye akakamatwa. Akapelekwa kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, mahali ambapo hukumu yake ilitangazwa.

KI2 25:7 Removed trailing space in v~: Wakawaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake. Kisha wakayangʼoa macho yake, wakamfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.

KI2 25:8 Removed trailing space in v~: Mnamo siku ya saba ya mwezi wa tano, katika mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babeli, Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi wa mfalme, afisa wa mfalme wa Babeli, alikuja Yerusalemu.

KI2 25:9 Removed trailing space in v~: Alichoma moto Hekalu la \nd Bwana\nd*, jumba la kifalme, na nyumba zote za Yerusalemu. Aliteketeza kila jengo muhimu.

KI2 25:10 Removed trailing space in v~: Jeshi lote la Wakaldayo, chini ya jemadari wa askari walinzi wa mfalme, walivunja kuta zilizoizunguka Yerusalemu.

KI2 25:11 Removed trailing space in v~: Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi akawapeleka uhamishoni watu waliokuwa wamebaki katika mji, pamoja na mabaki ya watu wa kawaida, na wale waliojisalimisha kwa mfalme wa Babeli.

KI2 25:12 Removed trailing space in v~: Lakini yule jemadari wa askari walinzi akawaacha baadhi ya wale watu maskini kabisa ili watunze mashamba ya mizabibu na mashamba mengine.

KI2 25:13 Removed trailing space in v~: Wakaldayo walivunja vipande zile nguzo za shaba, vile vishikilio vya shaba vilivyohamishika, na ile Bahari ya shaba, ambavyo vyote vilikuwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd*. Hivyo wakaichukua hiyo shaba na kuipeleka Babeli.

KI2 25:14 Removed trailing space in v~: Wakachukua pia vyungu, masepetu, mikasi ya kusawazishia tambi, sahani na vyombo vyote vya shaba vilivyotumika katika huduma ya Hekalu.

KI2 25:15 Removed trailing space in v~: Jemadari wa askari walinzi wa mfalme akachukua vile vyetezo na yale mabakuli ya kunyunyizia, vitu vyote vile vilivyokuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi au fedha.

KI2 25:16 Removed trailing space in v~: Shaba iliyotokana na zile nguzo mbili, ile Bahari na vile vishikilio vilivyohamishika, ambavyo Solomoni alikuwa ametengeneza kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, ilikuwa na uzito usioweza kupimika.

KI2 25:17 Removed trailing space in v~: Kila nguzo ilikuwa na urefu wa dhiraa kumi na nane.\f + \fr 25:17 \ft Dhiraa 18 ni sawa na mita 8.2.\f* Sehemu ya shaba juu ya nguzo moja ilikuwa na urefu wa dhiraa tatu\f + \fr 25:17 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.\f* na ilikuwa imepambwa kwa wavu na makomamanga ya shaba kuizunguka kote. Ile nguzo nyingine pamoja na wavu wake ilifanana na hiyo ya kwanza.

KI2 25:18 Removed trailing space in v~: Yule jemadari wa askari walinzi akawachukua kama wafungwa Seraya kuhani mkuu, kuhani Sefania aliyefuata kwa cheo, na mabawabu watatu.

KI2 25:19 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa wale watu waliokuwa wamesalia katika mji, alimchukua afisa kiongozi wa wapiganaji, na washauri watano wa mfalme. Akamchukua pia mwandishi aliyesimamia uandikishaji wa watu wa nchi, pamoja na watu wake sitini waliopatikana ndani ya mji.

KI2 25:20 Removed trailing space in v~: Nebuzaradani jemadari akawachukua hao wote na kuwapeleka kwa mfalme wa Babeli huko Ribla.

KI2 25:21 Removed trailing space in v~: Huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mfalme wa Babeli akaamuru wanyongwe.

KI2 25:21 Removed trailing space in p~: Hivyo Yuda wakaenda utumwani, mbali na nchi yao.

KI2 25:22 Removed trailing space in v~: Nebukadneza mfalme wa Babeli akamteua Gedalia mwana wa Ahikamu, mwana wa Shafani, awe msimamizi wa watu aliowaacha Yuda.

KI2 25:23 Removed trailing space in v~: Maafisa wote wa jeshi na watu wao waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemteua Gedalia kuwa mtawala, wakamjia Gedalia huko Mispa. Hawa walikuwa Ishmaeli mwana wa Nethania, Yohanani mwana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi Mnetofathi, na Yezania mwana wa Mmaaka, pamoja na watu wao.

KI2 25:24 Removed trailing space in v~: Gedalia akaapa ili kuwatia moyo wao na watu wao. Akasema, “Msiwaogope maafisa wa Kikaldayo. Kaeni katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babeli, na itakuwa vyema kwenu.”

KI2 25:25 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania mwana wa Elishama, aliyekuwa wa uzao wa mfalme, akaja pamoja na watu kumi, nao wakamuua Gedalia, na pia watu wa Yuda, pamoja na Wakaldayo waliokuwa naye huko Mispa.

KI2 25:26 Removed trailing space in v~: Baada ya haya, watu wote kuanzia aliye mdogo sana hadi aliye mkubwa kabisa, pamoja na maafisa wa jeshi, wakakimbilia Misri kwa kuwaogopa Wakaldayo.

KI2 25:26 Removed trailing space in s1: Yehoyakini Anaachiwa

KI2 25:26 Removed trailing space in r: (Yeremia 52:31-34)

KI2 25:27 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na saba tangu Yehoyakini mfalme wa Yuda apelekwe uhamishoni, katika mwaka ule ambao Evil-Merodaki\f + \fr 25:27 \ft Pia aliitwa Ameli-Mariduki.\f* alifanyika mfalme wa Babeli, alimwacha huru Yehoyakini kutoka gerezani siku ya ishirini na saba ya mwezi wa kumi na mbili.

KI2 25:28 Removed trailing space in v~: Alizungumza naye kwa upole na kumpa kiti cha heshima zaidi kuliko wale wafalme wengine aliokuwa nao huko Babeli.

KI2 25:29 Removed trailing space in v~: Hivyo Yehoyakini akayavua mavazi yake ya mfungwa, na siku zote za maisha yake zilizobaki alikula mezani mwa mfalme.

KI2 25:30 Removed trailing space in v~: Siku kwa siku mfalme alimpa Yehoyakini posho siku zote za maisha yake.

CH1 2:0 Extra space after chapter number

CH1 2:0 Removed trailing space in c: 2

CH1 2:0 Removed trailing space in s1: Wana Wa Israeli

CH1 2:1 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wana wa Israeli:

CH1 2:1 Removed trailing space in p~: Reubeni, Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Zabuloni,

CH1 2:2 Removed trailing space in v~: Dani, Yosefu, Benyamini, Naftali, Gadi na Asheri.

CH1 2:2 Removed trailing space in s1: Yuda

CH1 2:2 Removed trailing space in s2: Hadi Wana Wa Hesroni

CH1 2:3 Removed trailing space in v~: Wana wa Yuda walikuwa:

CH1 2:3 Removed trailing space in p~: Eri, Onani na Shela. Hawa watatu walizaliwa kwake na mkewe Mkanaani, binti wa Shua. Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mwovu machoni pa \nd Bwana\nd*, kwa hiyo \nd Bwana\nd* alimuua.

CH1 2:4 Removed trailing space in v~: Tamari, mkwewe Yuda, alimzalia wana wawili: Peresi na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.

CH1 2:5 Removed trailing space in v~: Wana wa Peresi walikuwa:

CH1 2:5 Removed trailing space in p~: Hesroni na Hamuli.

CH1 2:6 Removed trailing space in v~: Wana wa Zera walikuwa:

CH1 2:6 Removed trailing space in p~: Zimri, Ethani, Hemani, Kalkoli na Dara. Jumla ya wana wa Zera walikuwa watano.

CH1 2:7 Removed trailing space in v~: Mwana wa Karmi alikuwa:

CH1 2:7 Removed trailing space in p~: Akari,\f + \fr 2:7 \ft Akari maana yake Taabisha; pia anaitwa Akani (\+xt Yos 6:1-26; 22:20\+xt*).\f* ambaye alileta taabu kwa Waisraeli kwa kukiuka onyo la kutokuchukua vitu vilivyokuwa vimewekwa wakfu.

CH1 2:7 Found unexpected backslash in footnote: 2:7 Akari maana yake Taabisha; pia anaitwa Akani (\+xt Yos 6:1-26; 22:20\+xt*).

CH1 2:8 Removed trailing space in v~: Mwana wa Ethani alikuwa:

CH1 2:8 Removed trailing space in p~: Azariya.

CH1 2:9 Removed trailing space in v~: Wana wa Hesroni walikuwa:

CH1 2:9 Removed trailing space in p~: Yerameeli, Ramu na Kalebu.

CH1 2:9 Removed trailing space in s2: Kuanzia Ramu Mwana Wa Hesroni

CH1 2:10 Removed trailing space in v~: Ramu alimzaa

CH1 2:10 Removed trailing space in p~: Aminadabu, na Aminadabu akamzaa Nashoni, kiongozi wa kabila la Yuda.

CH1 2:11 Removed trailing space in v~: Nashoni akamzaa Salmoni, Salmoni akamzaa Boazi,

CH1 2:12 Removed trailing space in v~: Boazi akamzaa Obedi, Obedi akamzaa Yese.

CH1 2:13 Removed trailing space in v~: Yese akawazaa

CH1 2:13 Removed trailing space in p~: Eliabu mwanawe wa kwanza; wa pili Abinadabu, wa tatu Shimea,\f + \fr 2:13 \ft Au: Shima, maana yake Sifa njema (pia \+xt 1Sam 16:9; 17:13\+xt*).\f*

CH1 2:13 Found unexpected backslash in footnote: 2:13 Au: Shima, maana yake Sifa njema (pia \+xt 1Sam 16:9; 17:13\+xt*).

CH1 2:14 Removed trailing space in v~: wa nne Nethaneli, wa tano Radai,

CH1 2:15 Removed trailing space in v~: wa sita Osemu, na wa saba Daudi.

CH1 2:16 Removed trailing space in v~: Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili. Wana wa Seruya walikuwa watatu: Abishai, Yoabu na Asaheli.

CH1 2:17 Removed trailing space in v~: Abigaili alikuwa mama yake Amasa, ambaye baba yake alikuwa Yetheri, Mwishmaeli.

CH1 2:17 Removed trailing space in s2: Kalebu Mwana Wa Hesroni

CH1 2:18 Removed trailing space in v~: Kalebu mwana wa Hesroni akazaa wana na mkewe Azuba (na pia na Yeriothi). Hawa ndio wana Azuba aliomzalia Kalebu: Yesheri, Shobabu na Ardoni.

CH1 2:19 Removed trailing space in v~: Azuba alipofariki, Kalebu akamwoa Efrathi, ambaye alimzalia Huri.

CH1 2:20 Removed trailing space in v~: Huri akamzaa Uri, Uri akamzaa Bezaleli.

CH1 2:21 Removed trailing space in v~: Hatimaye, Hesroni akakutana kimwili na binti wa Makiri babaye Gileadi (ambaye alimwoa alipokuwa na umri wa miaka sitini), naye akamzaa Segubu.

CH1 2:22 Removed trailing space in v~: Segubu akamzaa Yairi, ambaye alitawala miji ishirini na mitatu katika Gileadi.

CH1 2:23 Removed trailing space in v~: (Lakini Geshuri na Aramu wakateka miji ya Hawoth-Yairi, pamoja na Kenathi na viunga vyake; jumla ilikuwa miji sitini.) Wote hawa walikuwa wazao wa Makiri babaye Gileadi.

CH1 2:24 Removed trailing space in v~: Baada ya Hesroni kufa huko Efrathi, Abiya mjane wa Hesroni akamzalia Ashuru, aliye baba wa Tekoa.

CH1 2:24 Removed trailing space in s2: Yerameeli Mwana Wa Hesroni

CH1 2:25 Removed trailing space in v~: Wana wa Yerameeli mzaliwa wa kwanza wa Hesroni walikuwa:

CH1 2:25 Removed trailing space in p~: Ramu mzaliwa wake wa kwanza, Buna, Oreni, Osemu na Ahiya.

CH1 2:26 Removed trailing space in v~: Yerameeli alikuwa na mke mwingine, aliyeitwa Atara, aliyekuwa mama yake Onamu.

CH1 2:27 Removed trailing space in v~: Wana wa Ramu mzaliwa wa kwanza wa Yerameeli walikuwa:

CH1 2:27 Removed trailing space in p~: Maasi, Yamini na Ekeri.

CH1 2:28 Removed trailing space in v~: Wana wa Onamu walikuwa:

CH1 2:28 Removed trailing space in p~: Shamai na Yada.

CH1 2:28 Removed trailing space in p~: Wana wa Shamai walikuwa:

CH1 2:28 Removed trailing space in p~: Nadabu na Abishuri.

CH1 2:29 Removed trailing space in v~: Mke wa Abishuri aliitwa Abihaili, ambaye alimzalia Abani na Molidi.

CH1 2:30 Removed trailing space in v~: Wana wa Nadabu walikuwa

CH1 2:30 Removed trailing space in p~: Seledi na Apaimu, lakini Seledi alikufa bila kuzaa watoto.

CH1 2:31 Removed trailing space in v~: Apaimu akamzaa:

CH1 2:31 Removed trailing space in p~: Ishi ambaye alikuwa baba wa Sheshani.

CH1 2:31 Removed trailing space in p~: Sheshani akamzaa Alai.

CH1 2:32 Removed trailing space in v~: Wana wa Yada, nduguye Shamai walikuwa:

CH1 2:32 Removed trailing space in p~: Yetheri na Yonathani. Yetheri alikufa bila kuzaa watoto.

CH1 2:33 Removed trailing space in v~: Wana wa Yonathani walikuwa:

CH1 2:33 Removed trailing space in p~: Pelethi na Zaza.

CH1 2:33 Removed trailing space in p~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yerameeli.

CH1 2:34 Removed trailing space in v~: Sheshani hakuwa na watoto wa kiume, ila wasichana tu.

CH1 2:34 Removed trailing space in p~: Alikuwa na mtumishi Mmisri aliyeitwa Yarha.

CH1 2:35 Removed trailing space in v~: Sheshani akamwoza huyu mtumishi wake Yarha binti yake, akamzalia mwana jina lake Atai.

CH1 2:36 Removed trailing space in v~: Atai akamzaa Nathani,

CH1 2:36 Removed trailing space in p~: Nathani akamzaa Zabadi,

CH1 2:37 Removed trailing space in v~: Zabadi akamzaa Eflali,

CH1 2:37 Removed trailing space in p~: Eflali akamzaa Obedi,

CH1 2:38 Removed trailing space in v~: Obedi akamzaa Yehu,

CH1 2:38 Removed trailing space in p~: Yehu akamzaa Azaria,

CH1 2:39 Removed trailing space in v~: Azaria akamzaa Helesi,

CH1 2:39 Removed trailing space in p~: Helesi akamzaa Eleasa,

CH1 2:40 Removed trailing space in v~: Eleasa akamzaa Sismai,

CH1 2:40 Removed trailing space in p~: Sismai akamzaa Shalumu,

CH1 2:41 Removed trailing space in v~: Shalumu akamzaa Yekamia,

CH1 2:41 Removed trailing space in p~: naye Yekamia akamzaa Elishama.

CH1 2:41 Removed trailing space in s2: Koo Za Kalebu

CH1 2:42 Removed trailing space in v~: Wana wa Kalebu nduguye Yerameeli walikuwa:

CH1 2:42 Removed trailing space in p~: Mesha mzaliwa wake wa kwanza alimzaa Zifu, naye mwanawe Maresha akamzaa Hebroni.

CH1 2:43 Removed trailing space in v~: Hebroni alikuwa na wana wanne:

CH1 2:43 Removed trailing space in p~: Kora, Tapua, Rekemu na Shema.

CH1 2:44 Removed trailing space in v~: Shema alikuwa baba yake Rahamu na Rahamu alikuwa baba wa Yorkeamu na Rekemu alikuwa baba wa Shamai.

CH1 2:45 Removed trailing space in v~: Shamai akamzaa Maoni na Maoni akamzaa Beth-Suri.

CH1 2:46 Removed trailing space in v~: Efa, suria wa Kalebu alikuwa mamaye Harani, Mosa na Gazezi. Harani alikuwa baba wa Gazezi.

CH1 2:47 Removed trailing space in v~: Wana wa Yadai walikuwa:

CH1 2:47 Removed trailing space in p~: Regemu, Yothamu, Geshani, Peleti, Efa na Shaafu.

CH1 2:48 Removed trailing space in v~: Maaka suria wa Kalebu alikuwa mamaye Sheberi na Tirhana.

CH1 2:49 Removed trailing space in v~: Pia Maaka akamzaa Shaafu babaye Madmana, na Sheva babaye Makbena na Gibea. Kalebu alikuwa na binti jina lake Aksa.

CH1 2:50 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Kalebu.

CH1 2:50 Removed trailing space in p~: Wana wa Huri, mzaliwa mkuu wao wa Efrathi, walikuwa:

CH1 2:50 Removed trailing space in p~: Shobali akamzaa Kiriath-Yearimu,

CH1 2:51 Removed trailing space in v~: Salma akamzaa Bethlehemu, naye Harefu akamzaa Beth-Gaderi.

CH1 2:52 Removed trailing space in v~: Wazao wa Shobali, baba yake Kiriath-Yearimu, walikuwa:

CH1 2:52 Removed trailing space in p~: Haroe, nusu ya wakazi wa mji wa Menuhothi,

CH1 2:53 Removed trailing space in v~: pamoja na koo za Kiriath-Yearimu ambazo ni: Waithiri, Waputhi, Washumathi na Wamishrai. Kutokana na watu hawa walizaliwa Wasorathi na Waeshtaoli.

CH1 2:54 Removed trailing space in v~: Wazao wa Salma walikuwa:

CH1 2:54 Removed trailing space in p~: Bethlehemu, Wanetofathi, Atroth-Beth-Yoabu, nusu ya Wamanahathi, Wasori,

CH1 2:55 Removed trailing space in v~: pamoja na koo za waandishi zilizoishi katika mji wa Yabesi: yaani Watirathi, Washimeathi na Wasukathi. Hawa ndio Wakeni waliotokana na Hamathi, baba wa nyumba ya Rekabu.

CH1 3:0 Extra space after chapter number

CH1 3:0 Removed trailing space in c: 3

CH1 3:0 Removed trailing space in s2: Wana Wa Daudi

CH1 3:1 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wana wa Daudi waliozaliwa huko Hebroni:

CH1 3:1 Removed trailing space in p~: Mzaliwa wa kwanza alikuwa Amnoni ambaye mama yake aliitwa Ahinoamu wa Yezreeli;

CH1 3:1 Removed trailing space in p~: wa pili, Danieli ambaye mama yake alikuwa Abigaili wa Karmeli;

CH1 3:2 Removed trailing space in v~: wa tatu alikuwa Absalomu, ambaye mama yake alikuwa Maaka, binti Talmai mfalme wa Geshuri;

CH1 3:2 Removed trailing space in p~: wa nne, Adoniya, ambaye mama yake alikuwa Hagithi;

CH1 3:3 Removed trailing space in v~: wa tano alikuwa Shefatia ambaye mama yake alikuwa Abitali;

CH1 3:3 Removed trailing space in p~: wa sita alikuwa Ithreamu, aliyezaliwa na mke wake Egla.

CH1 3:4 Removed trailing space in v~: Hawa sita walizaliwa huko Hebroni ambako Daudi alitawala kwa miaka saba na miezi sita.

CH1 3:4 Removed trailing space in p~: Daudi alitawala Yerusalemu kwa miaka thelathini na mitatu,

CH1 3:5 Removed trailing space in v~: nao hawa ndio watoto wa Daudi waliozaliwa huko Yerusalemu:

CH1 3:5 Removed trailing space in p~: mkewe Bathsheba, binti Amieli, alimzalia Shamua,\f + \fr 3:5 \ft Sawa na Shimea; maana yake ni Mashuhuri, Maarufu.\f* Shobabu, Nathani na Solomoni.

CH1 3:6 Removed trailing space in v~: Pia kulikuwa na wana wengine: Ibihari, Elishua, Elifeleti,

CH1 3:7 Removed trailing space in v~: Noga, Nefegi, Yafia,

CH1 3:8 Removed trailing space in v~: Elishama, Eliada na Elifeleti; wote walikuwa tisa.

CH1 3:9 Removed trailing space in v~: Hawa wote walikuwa wana wa Daudi, mbali na wale wana waliozaliwa na masuria. Naye Tamari alikuwa dada yao.

CH1 3:9 Removed trailing space in s2: Wafalme Wa Yuda

CH1 3:10 Removed trailing space in v~: Mwana wa Solomoni alikuwa Rehoboamu,

CH1 3:10 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Abiya,

CH1 3:10 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Yehoshafati,

CH1 3:10 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Asa,

CH1 3:11 Removed trailing space in v~: mwanawe huyo alikuwa Yehoramu,

CH1 3:11 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Ahazia,

CH1 3:11 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Yoashi,

CH1 3:12 Removed trailing space in v~: mwanawe huyo alikuwa Amazia,

CH1 3:12 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Azaria,

CH1 3:12 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Yothamu,

CH1 3:13 Removed trailing space in v~: mwanawe huyo alikuwa Ahazi,

CH1 3:13 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Hezekia,

CH1 3:13 Removed trailing space in p~: mwanawe huyo alikuwa Manase,

CH1 3:14 Removed trailing space in v~: mwanawe huyo alikuwa Amoni

CH1 3:14 Removed trailing space in p~: na mwanawe huyo alikuwa Yosia.

CH1 3:15 Removed trailing space in v~: Wana wa Yosia walikuwa:

CH1 3:15 Removed trailing space in p~: Yohanani mzaliwa wake wa kwanza,

CH1 3:15 Removed trailing space in p~: Yehoyakimu mwanawe wa pili,

CH1 3:15 Removed trailing space in p~: wa tatu Sedekia,

CH1 3:15 Removed trailing space in p~: wa nne Shalumu.

CH1 3:16 Removed trailing space in v~: Walioingia mahali pa Yehoyakimu kama wafalme ni:

CH1 3:16 Removed trailing space in p~: Yekonia mwanawe,

CH1 3:16 Removed trailing space in p~: na Sedekia.

CH1 3:16 Removed trailing space in s2: Ukoo Wa Kifalme Baada Ya Uhamisho

CH1 3:17 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Yekonia aliyekuwa mateka:

CH1 3:17 Removed trailing space in p~: Shealtieli mwanawe,

CH1 3:18 Removed trailing space in v~: Malkiramu, Pedaya, Shenasari, Yekamia, Hoshama na Nedabia.

CH1 3:19 Removed trailing space in v~: Wana wa Pedaya walikuwa:

CH1 3:19 Removed trailing space in p~: Zerubabeli na Shimei.

CH1 3:19 Removed trailing space in p~: Wana wa Zerubabeli walikuwa:

CH1 3:19 Removed trailing space in p~: Meshulamu na Hanania.

CH1 3:19 Removed trailing space in p~: Shelomithi alikuwa dada yao.

CH1 3:20 Removed trailing space in v~: Pia walikuwepo wengine watano:

CH1 3:20 Removed trailing space in p~: Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia na Yushab-Hesedi.

CH1 3:21 Removed trailing space in v~: Wazao wa Hanania walikuwa:

CH1 3:21 Removed trailing space in p~: Pelatia na Yeshaya, na wana wa Refaya, na wana wa Arnani, na wana wa Obadia, na wana wa Shekania.

CH1 3:22 Removed trailing space in v~: Wazao wa Shekania:

CH1 3:22 Removed trailing space in p~: Shemaya na wanawe:

CH1 3:22 Removed trailing space in p~: Hatushi, Igali, Baria, Nearia na Shafati; jumla yao walikuwa sita.

CH1 3:23 Removed trailing space in v~: Wana wa Nearia walikuwa:

CH1 3:23 Removed trailing space in p~: Elioenai, Hizkia na Azrikamu; jumla yao watatu.

CH1 3:24 Removed trailing space in v~: Wana wa Elioenai walikuwa:

CH1 3:24 Removed trailing space in p~: Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya na Anani; jumla yao wote saba.

CH1 4:0 Extra space after chapter number

CH1 4:0 Removed trailing space in c: 4

CH1 4:0 Removed trailing space in s2: Koo Nyingine Za Yuda

CH1 4:1 Removed trailing space in v~: Wana wa Yuda walikuwa:

CH1 4:1 Removed trailing space in p~: Peresi, Hesroni, Karmi, Huri na Shobali.

CH1 4:2 Removed trailing space in v~: Reaya mwana wa Shobali akamzaa Yahathi, Yahathi akawazaa Ahumai na Lahadi. Hizi ndizo zilizokuwa koo za Wasorathi.

CH1 4:3 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wana wa Etamu:

CH1 4:3 Removed trailing space in p~: Yezreeli, Ishma na Idbashi. Dada yao aliitwa Haselelponi.

CH1 4:4 Removed trailing space in v~: Penueli akamzaa Gedori, naye Ezeri akamzaa Husha.

CH1 4:4 Removed trailing space in p~: Hawa walikuwa wazao wa Huri, mzaliwa wa kwanza wa Efrathi, na baba yake Bethlehemu.

CH1 4:5 Removed trailing space in v~: Ashuri baba yake Tekoa alikuwa na wake wawili, Hela na Naara.

CH1 4:6 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wazao wa Naara: Ahuzamu, Heferi, Temeni na Haahashtari.

CH1 4:7 Removed trailing space in v~: Wana wa Hela walikuwa:

CH1 4:7 Removed trailing space in p~: Serethi, Sohari, Ethnani,

CH1 4:8 Removed trailing space in v~: na Kosi ambaye aliwazaa Anubi, Sobeba na jamaa zote za Aharheli mwana wa Harumu.

CH1 4:9 Removed trailing space in v~: Yabesi aliheshimiwa kuliko ndugu zake. Mama yake alimwita Yabesi, akisema, “Nilimzaa kwa huzuni.”

CH1 4:10 Removed trailing space in v~: Yabesi akamlilia Mungu wa Israeli akisema, “Ee Mungu, laiti ungenibariki kweli kweli na kuipanua mipaka yangu! Mkono wako na uwe pamoja nami, uniepushe na uovu ili nisidhurike!” Naye Mungu akamjalia hayo aliyoyaomba.

CH1 4:11 Removed trailing space in v~: Kelubu, nduguye Shuha, akamzaa Mehiri, naye Mehiri akamzaa Eshtoni.

CH1 4:12 Removed trailing space in v~: Eshtoni akawazaa Beth-Rafa, Pasea na Tehina. Tehina alikuwa baba wa Iri-Nahashi. Hawa ndio waliokuwa wazao wa Reka.

CH1 4:13 Removed trailing space in v~: Wana wa Kenazi walikuwa:

CH1 4:13 Removed trailing space in p~: Othnieli na Seraya.

CH1 4:13 Removed trailing space in p~: Wana wa Othnieli walikuwa:

CH1 4:13 Removed trailing space in p~: Hathathi na Meonathai.

CH1 4:14 Removed trailing space in v~: Meonathai akamzaa Ofra.

CH1 4:14 Removed trailing space in p~: Seraya akamzaa Yoabu,

CH1 4:14 Removed trailing space in p~: baba wa Ge-Harashimu.\f + \fr 4:14 \ft Maana yake Bonde la Mafundi.\f* Liliitwa hivyo kwa sababu watu walioishi humo walikuwa mafundi.

CH1 4:15 Removed trailing space in v~: Kalebu mwana wa Yefune alikuwa na wana watatu:

CH1 4:15 Removed trailing space in p~: Iru, Ela na Naamu.

CH1 4:15 Removed trailing space in p~: Naye mwana wa Ela alikuwa:

CH1 4:15 Removed trailing space in p~: Kenazi.

CH1 4:16 Removed trailing space in v~: Wana wa Yahaleleli walikuwa:

CH1 4:16 Removed trailing space in p~: Zifu, Zifa, Tiria na Asareli.

CH1 4:17 Removed trailing space in v~: Wana wa Ezra walikuwa:

CH1 4:17 Removed trailing space in p~: Yetheri, Meredi, Eferi na Yaloni. Mmojawapo wa wake zake Meredi aliwazaa: Miriamu, Shamai na Ishba aliyekuwa baba yake Eshtemoa.

CH1 4:18 Removed trailing space in v~: Meredi alikuwa na mke mwingine Myahudi ambaye aliwazaa: Yeredi baba wa Gedori, Heberi baba wa Soko na Yekuthieli baba wa Zanoa. Hawa walikuwa watoto wa Bithia binti Farao, ambaye Meredi alikuwa amemwoa.

CH1 4:19 Removed trailing space in v~: Wana wa mke wa Hodia aliyekuwa dada yake Nahamu walikuwa:

CH1 4:19 Removed trailing space in p~: baba yake Keila, Mgarmi na Eshtemoa, Mmaakathi.

CH1 4:20 Removed trailing space in v~: Wana wa Shimoni walikuwa:

CH1 4:20 Removed trailing space in p~: Amnoni, Rina, Ben-Hanani na Tiloni.

CH1 4:20 Removed trailing space in p~: Wazao wa Ishi walikuwa:

CH1 4:20 Removed trailing space in p~: Zohethi na Ben-Zohethi.

CH1 4:21 Removed trailing space in v~: Wana wa Shela, mwana wa Yuda, walikuwa:

CH1 4:21 Removed trailing space in p~: Eri baba yake Leka, Laada baba yake Maresha na jamaa za wafumaji nguo za kitani safi waliokuwa wakiishi huko Beth-Ashbea,

CH1 4:22 Removed trailing space in v~: Yokimu, watu walioishi Kozeba, Yoashi na Sarafi waliotawala huko Moabu na Yashubi-Lehemu. (Taarifa hizi ni za zamani sana.)

CH1 4:23 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wafinyanzi walioishi Netaimu na Gedera; waliishi huko wakimtumikia mfalme.

CH1 4:23 Removed trailing space in s1: Simeoni

CH1 4:24 Removed trailing space in v~: Wazao wa Simeoni walikuwa:

CH1 4:24 Removed trailing space in p~: Nemueli, Yamini, Yaribu, Zera na Shauli.

CH1 4:25 Removed trailing space in v~: Mwana wa Shauli alikuwa Shalumu, Shalumu akamzaa Mibsamu, na Mibsamu akamzaa Mishma.

CH1 4:26 Removed trailing space in v~: Wazao wa Mishma walikuwa:

CH1 4:26 Removed trailing space in p~: Hamueli aliyemzaa Zakuri, Zakuri akamzaa Shimei.

CH1 4:27 Removed trailing space in v~: Shimei alikuwa na wana kumi na sita, na binti sita, lakini ndugu zake hawakuwa na watoto wengi, hivyo ukoo wao wote haukuwa na watu wengi kama ukoo wa Yuda.

CH1 4:28 Removed trailing space in v~: Waliishi Beer-Sheba, Molada, Hasar-Shuali,

CH1 4:29 Removed trailing space in v~: Bilha, Esemu, Toladi,

CH1 4:30 Removed trailing space in v~: Bethueli, Horma, Siklagi,

CH1 4:31 Removed trailing space in v~: Beth-Markabothi, Hasar-Susimu, Beth-Biri na Shaaraimu. Hii ilikuwa miji yao mpaka wakati wa utawala wa Daudi.

CH1 4:32 Removed trailing space in v~: Vijiji vilivyoizunguka vilikuwa Etamu, Aini, Rimoni, Tokeni na Ashani; jumla miji mitano:

CH1 4:33 Removed trailing space in v~: pamoja na vijiji vyote kuizunguka hii miji hadi huko Baali. Haya yalikuwa makao yao, nao waliweka kumbukumbu ya ukoo wao.

CH1 4:34 Removed trailing space in v~: Meshobabu, Yamleki, Yosha mwana wa Amazia,

CH1 4:35 Removed trailing space in v~: Yoeli, Yehu mwana wa Yoshibia, mwana wa Seraya, mwana wa Asieli.

CH1 4:36 Removed trailing space in v~: Pia Elioenai, Yaakoba, Yeshohaya, Asaya, Adieli, Yesimieli, Benaya,

CH1 4:37 Removed trailing space in v~: Ziza mwana wa Shifi, mwana wa Aloni, mwana wa Yedaya, mwana wa Shimri, mwana wa Shemaya.

CH1 4:38 Removed trailing space in v~: Watu hawa walioorodheshwa hapa juu kwa majina walikuwa viongozi wa koo zao. Jamaa zao ziliongezeka sana,

CH1 4:39 Removed trailing space in v~: wakaenea mpaka kwenye viunga vya Gedori kuelekea mashariki mwa bonde wakitafuta malisho kwa ajili ya mifugo yao.

CH1 4:40 Removed trailing space in v~: Huko walipata malisho mengi mazuri, nayo nchi ilikuwa na nafasi kubwa, yenye amani na utulivu. Baadhi ya Wahamu waliishi huko zamani.

CH1 4:41 Removed trailing space in v~: Watu walioorodheshwa majina walikuja katika nchi hiyo wakati wa Hezekia mfalme wa Yuda. Akawashambulia Wahamu katika makao yao pamoja na Wameuni ambao walikuwako huko nao wakawaangamiza kabisa, kama ilivyo dhahiri hadi leo. Kisha wakafanya makazi yao huko kwa sababu kulikuwa na malisho mazuri kwa ajili ya mifugo yao.

CH1 4:42 Removed trailing space in v~: Watu wa kabila la wa Simeoni wapatao mia tano, wakiongozwa na Pelatia, Nearia, Refaya na Uzieli wana wa Ishi, wakavamia nchi ya vilima ya Seiri.

CH1 4:43 Removed trailing space in v~: Wakawaua Waamaleki waliobaki, waliokuwa wamenusurika, nao wanaishi huko hadi leo.

CH1 5:0 Extra space after chapter number

CH1 5:0 Removed trailing space in c: 5

CH1 5:0 Removed trailing space in s1: Wana Wa Reubeni

CH1 5:1 Removed trailing space in v~: Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli (yeye alikuwa mzaliwa wa kwanza, lakini kwa kuwa alikinajisi kitanda cha baba yake, haki zake za mzaliwa wa kwanza walipewa wana wa Yosefu mwana wa Israeli. Hivyo hakuorodheshwa kwenye orodha ya ukoo wao kulingana na haki yake ya kuzaliwa.

CH1 5:2 Removed trailing space in v~: Na ingawa Yuda alikuwa na nguvu zaidi ya ndugu zake wote, na mtawala alitoka kwake, haki za mzaliwa wa kwanza zilikuwa za Yosefu.)

CH1 5:3 Removed trailing space in v~: Wana wa Reubeni mzaliwa wa kwanza wa Israeli walikuwa:

CH1 5:3 Removed trailing space in p~: Hanoki, Palu, Hesroni na Karmi.

CH1 5:4 Removed trailing space in v~: Wazao wa Yoeli walikuwa:

CH1 5:4 Removed trailing space in p~: Shemaya mwanawe, Gogu mwanawe;

CH1 5:4 Removed trailing space in p~: Shimei mwanawe,

CH1 5:5 Removed trailing space in v~: Mika mwanawe,

CH1 5:5 Removed trailing space in p~: Reaya mwanawe, Baali mwanawe,

CH1 5:6 Removed trailing space in v~: na Beera mwanawe, ambaye Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru alimchukua kwenda uhamishoni. Beera alikuwa kiongozi wa Wareubeni.

CH1 5:7 Removed trailing space in v~: Jamaa zao kulingana na koo zao, walioorodheshwa kwa kufuata koo zao kama ifuatavyo:

CH1 5:7 Removed trailing space in p~: Yeieli aliyekuwa mkuu wao, Zekaria,

CH1 5:8 Removed trailing space in v~: Bela mwana wa Azazi, mwana wa Shema, mwana wa Yoeli. Hao waliishi katika eneo kuanzia Aroeri mpaka Nebo na Baal-Meoni.

CH1 5:9 Removed trailing space in v~: Kwa upande wa mashariki walienea hadi pembeni mwa jangwa linaloenea mpaka kwenye Mto Frati, kwa sababu mifugo yao ilikuwa imeongezeka huko Gileadi.

CH1 5:10 Removed trailing space in v~: Wakati wa utawala wa Mfalme Sauli, walipigana vita dhidi ya Wahagari, wakaanguka kwa mikono yao, kisha wakaishi katika mahema ya Wahagari katika eneo lote la mashariki ya Gileadi.

CH1 5:10 Removed trailing space in s1: Wana Wa Gadi

CH1 5:11 Removed trailing space in v~: Wagadi waliishi jirani nao katika nchi ya Bashani, mpaka Saleka.

CH1 5:12 Removed trailing space in v~: Yoeli ndiye alikuwa mkuu wao, Shafamu wa pili, na wakafuata Yanai na Shafati, huko Bashani.

CH1 5:13 Removed trailing space in v~: Ndugu zao kulingana na koo zao walikuwa saba:

CH1 5:13 Removed trailing space in p~: Mikaeli, Meshulamu, Sheba, Yorai, Yakani, Zia na Eberi.

CH1 5:14 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa ndio wana wa Abihaili mwana wa Huri, mwana wa Yaroa, mwana wa Gileadi, mwana wa Mikaeli, mwana wa Yeshishai, mwana wa Yahdo, mwana wa Buzi.

CH1 5:15 Removed trailing space in v~: Ahi mwana wa Abdieli, mwana wa Guni, alikuwa ndiye kiongozi wa jamaa yao.

CH1 5:16 Removed trailing space in v~: Wagadi waliishi Gileadi, huko Bashani pamoja na vijiji vilivyoizunguka, pia katika nchi yote ya malisho ya Sharoni kote walikoenea.

CH1 5:17 Removed trailing space in v~: Yote haya yaliwekwa katika kumbukumbu za ukoo wao wakati wa utawala wa Yothamu, mfalme wa Yuda na Yeroboamu mfalme wa Israeli.

CH1 5:18 Removed trailing space in v~: Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase walikuwa na watu mashujaa 44,760 waliokuwa wameandaliwa kwa ajili ya vita: watu wenye nguvu, hodari wa kutumia ngao na upanga, mashujaa wa kutumia upinde, waliokuwa tayari kwa ajili ya kazi hiyo.

CH1 5:19 Removed trailing space in v~: Walipigana vita dhidi ya Wahagari, Yeturi, Nafishi na Nodabu.

CH1 5:20 Removed trailing space in v~: Walisaidiwa katika kupigana nao, Mungu akawatia Wahagari pamoja na wote walioungana nao mikononi mwao, kwa sababu walimlilia Mungu wakati wa vita. Alijibu maombi yao, kwa sababu walimtegemea.

CH1 5:21 Removed trailing space in v~: Walitwaa mifugo ya Wahagari: ngamia 50,000, kondoo 250,000, punda 2,000. Pia wakateka watu 100,000,

CH1 5:22 Removed trailing space in v~: na wengine wengi waliuawa kwa sababu vita vilikuwa ni vya Mungu. Nao waliendelea kuikalia nchi hiyo mpaka wakati wa uhamisho.

CH1 5:22 Removed trailing space in s1: Nusu Ya Kabila La Manase

CH1 5:23 Removed trailing space in v~: Idadi ya nusu ya kabila la Manase walikuwa wengi sana, Wakakaa kuanzia Bashani hadi Baal-Hermoni, yaani mpaka Seniri na mlima Hermoni.

CH1 5:24 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa viongozi wa jamaa za kabila hilo: Eferi, Ishi, Elieli, Azrieli, Yeremia, Hodavia na Yahdieli. Walikuwa askari shujaa watu maarufu, viongozi wa jamaa zao.

CH1 5:25 Removed trailing space in v~: Lakini hawakuwa waaminifu kwa Mungu wa baba zao, nao wakafanya ukahaba kwa miungu ya mataifa, ambayo Mungu alikuwa ameyaangamiza mbele yao.

CH1 5:26 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu wa Israeli akaiamsha roho ya Pulu, mfalme wa Ashuru (ambaye pia alijulikana kama Tiglath-Pileseri), ambaye aliwachukua Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila la Manase kwenda uhamishoni. Akawapeleka huko Hala, Habori, Hara na mto Gozani, ambako wamekaa mpaka leo.

CH1 6:0 Extra space after chapter number

CH1 6:0 Removed trailing space in c: 6

CH1 6:0 Removed trailing space in s1: Wana Wa Lawi

CH1 6:1 Removed trailing space in v~: Wana wa Lawi walikuwa:

CH1 6:1 Removed trailing space in p~: Gershoni, Kohathi na Merari.

CH1 6:2 Removed trailing space in v~: Wana wa Kohathi walikuwa:

CH1 6:2 Removed trailing space in p~: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

CH1 6:3 Removed trailing space in v~: Amramu alikuwa na wana:

CH1 6:3 Removed trailing space in p~: Aroni, Mose, na Miriamu.

CH1 6:3 Removed trailing space in p~: Aroni alikuwa na wana:

CH1 6:3 Removed trailing space in p~: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

CH1 6:4 Removed trailing space in v~: Eleazari akamzaa Finehasi,

CH1 6:4 Removed trailing space in p~: Finehasi akamzaa Abishua,

CH1 6:5 Removed trailing space in v~: Abishua akamzaa Buki,

CH1 6:5 Removed trailing space in p~: Buki akamzaa Uzi,

CH1 6:6 Removed trailing space in v~: Uzi akamzaa Zerahia,

CH1 6:6 Removed trailing space in p~: Zerahia akamzaa Merayothi,

CH1 6:7 Removed trailing space in v~: Merayothi akamzaa Amaria,

CH1 6:7 Removed trailing space in p~: Amaria akamzaa Ahitubu,

CH1 6:8 Removed trailing space in v~: Ahitubu akamzaa Sadoki,

CH1 6:8 Removed trailing space in p~: Sadoki akamzaa Ahimaasi,

CH1 6:9 Removed trailing space in v~: Ahimaasi akamzaa Azaria,

CH1 6:9 Removed trailing space in p~: Azaria akamzaa Yohanani,

CH1 6:10 Removed trailing space in v~: Yohanani akamzaa Azaria (ndiye alifanya kazi ya ukuhani katika Hekalu alilojenga Mfalme Solomoni huko Yerusalemu),

CH1 6:11 Removed trailing space in v~: Azaria akamzaa Amaria,

CH1 6:11 Removed trailing space in p~: Amaria akamzaa Ahitubu,

CH1 6:12 Removed trailing space in v~: Ahitubu akamzaa Sadoki,

CH1 6:12 Removed trailing space in p~: Sadoki akamzaa Shalumu,

CH1 6:13 Removed trailing space in v~: Shalumu akamzaa Hilkia,

CH1 6:13 Removed trailing space in p~: Hilkia akamzaa Azaria,

CH1 6:14 Removed trailing space in v~: Azaria akamzaa Seraya,

CH1 6:14 Removed trailing space in p~: Seraya akamzaa Yehosadaki.

CH1 6:15 Removed trailing space in v~: Yehosadaki alihamishwa wakati \nd Bwana\nd* aliwapeleka uhamishoni watu wa Yuda na Yerusalemu kwa mkono wa Mfalme Nebukadneza.

CH1 6:16 Removed trailing space in v~: Wana wa Lawi walikuwa:

CH1 6:16 Removed trailing space in p~: Gershoni, Kohathi na Merari.

CH1 6:17 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni:

CH1 6:17 Removed trailing space in p~: Libni na Shimei.

CH1 6:18 Removed trailing space in v~: Wana wa Kohathi walikuwa:

CH1 6:18 Removed trailing space in p~: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

CH1 6:19 Removed trailing space in v~: Wana wa Merari walikuwa:

CH1 6:19 Removed trailing space in p~: Mahli na Mushi.

CH1 6:19 Removed trailing space in p~: Zifuatazo ni koo za Walawi zilizoorodheshwa kufuatana na baba zao:

CH1 6:20 Removed trailing space in v~: Wazao wa Gershoni:

CH1 6:20 Removed trailing space in p~: Gershoni akamzaa Libni, Libni akamzaa Yahathi,

CH1 6:20 Removed trailing space in p~: Yahathi akamzaa Zima,

CH1 6:21 Removed trailing space in v~: Zima akamzaa Yoa,

CH1 6:21 Removed trailing space in p~: Yoa akamzaa Ido, Ido akamzaa Zera,

CH1 6:21 Removed trailing space in p~: Zera akamzaa Yeatherai.

CH1 6:22 Removed trailing space in v~: Wazao wa Kohathi:

CH1 6:22 Removed trailing space in p~: Kohathi akamzaa Aminadabu, Aminadabu akamzaa Kora,

CH1 6:22 Removed trailing space in p~: Kora akamzaa Asiri,

CH1 6:23 Removed trailing space in v~: Asiri akamzaa Elikana,

CH1 6:23 Removed trailing space in p~: Elikana akamzaa Ebiasafu, Ebiasafu akamzaa Asiri,

CH1 6:24 Removed trailing space in v~: Asiri akamzaa Tahathi, Tahathi akamzaa Urieli,

CH1 6:24 Removed trailing space in p~: Urieli akamzaa Uzia, Uzia akamzaa Shauli.

CH1 6:25 Removed trailing space in v~: Wazao wa Elikana walikuwa:

CH1 6:25 Removed trailing space in p~: Amasai na Ahimothi,

CH1 6:26 Removed trailing space in v~: Ahimothi akamzaa Elikana, Elikana akamzaa Sofai,

CH1 6:26 Removed trailing space in p~: Sofai akamzaa Nahathi,

CH1 6:27 Removed trailing space in v~: Nahathi akamzaa Eliabu,

CH1 6:27 Removed trailing space in p~: Eliabu akamzaa Yerohamu, Yerohamu akamzaa Elikana,

CH1 6:27 Removed trailing space in p~: Elikana akamzaa Samweli.

CH1 6:28 Removed trailing space in v~: Wana wa Samweli walikuwa:

CH1 6:28 Removed trailing space in p~: Yoeli mzaliwa wake wa kwanza,

CH1 6:28 Removed trailing space in p~: na Abiya mwanawe wa pili.

CH1 6:29 Removed trailing space in v~: Wafuatao ndio wazao wa Merari:

CH1 6:29 Removed trailing space in p~: Merari akamzaa Mahli, Mahli akamzaa Libni,

CH1 6:29 Removed trailing space in p~: Libni akamzaa Shimei, Shimei akamzaa Uza,

CH1 6:30 Removed trailing space in v~: Uza akamzaa Shimea, Shimea akamzaa Hagia,

CH1 6:30 Removed trailing space in p~: Hagia akamzaa Asaya.

CH1 6:30 Removed trailing space in s2: Waimbaji Wa Hekalu

CH1 6:31 Removed trailing space in v~: Hawa ndio watu ambao Daudi aliwaweka kuwa viongozi wa uimbaji katika nyumba ya \nd Bwana\nd*, baada ya Sanduku la Agano kuletwa ili kukaa huko.

CH1 6:32 Removed trailing space in v~: Walihudumu kwa kuimba mbele ya Maskani, Hema la Kukutania, mpaka hapo Mfalme Solomoni alipojenga Hekalu la \nd Bwana\nd* huko Yerusalemu. Walitimiza wajibu wao kulingana na taratibu walizokuwa wamewekewa.

CH1 6:33 Removed trailing space in v~: Wafuatao ni watu waliohudumu pamoja na wana wao:

CH1 6:33 Removed trailing space in p~: Kutoka ukoo wa Kohathi walikuwa:

CH1 6:33 Removed trailing space in p~: Hemani, mpiga kinanda,

CH1 6:33 Removed trailing space in p~: alikuwa mwana wa Yoeli, mwana wa Samweli,

CH1 6:34 Removed trailing space in v~: mwana wa Elikana, mwana wa Yerohamu,

CH1 6:34 Removed trailing space in p~: mwana wa Elieli, mwana wa Toa,

CH1 6:35 Removed trailing space in v~: mwana wa Sufu, mwana wa Elikana,

CH1 6:35 Removed trailing space in p~: mwana wa Mahathi, mwana wa Amasai,

CH1 6:36 Removed trailing space in v~: mwana wa Elikana, mwana wa Yoeli,

CH1 6:36 Removed trailing space in p~: mwana wa Azaria, mwana wa Sefania,

CH1 6:37 Removed trailing space in v~: mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri,

CH1 6:37 Removed trailing space in p~: mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora,

CH1 6:38 Removed trailing space in v~: mwana wa Ishari, mwana wa Kohathi,

CH1 6:38 Removed trailing space in p~: mwana wa Lawi, mwana wa Israeli;

CH1 6:39 Removed trailing space in v~: na msaidizi wa Hemani alikuwa Asafu, aliyesimama mkono wa kuume:

CH1 6:39 Removed trailing space in p~: Asafu mwana wa Berekia, mwana wa Shimea,

CH1 6:40 Removed trailing space in v~: mwana wa Mikaeli, mwana wa Baaseya,

CH1 6:40 Removed trailing space in p~: mwana wa Malkiya,

CH1 6:41 Removed trailing space in v~: mwana wa Ethni,

CH1 6:41 Removed trailing space in p~: mwana wa Zera, mwana wa Adaya,

CH1 6:42 Removed trailing space in v~: mwana wa Ethani, mwana wa Zima,

CH1 6:42 Removed trailing space in p~: mwana wa Shimei,

CH1 6:43 Removed trailing space in v~: mwana wa Yahathi,

CH1 6:43 Removed trailing space in p~: mwana wa Gershoni, mwana wa Lawi.

CH1 6:44 Removed trailing space in v~: Na kutoka kwa walioshirikiana nao, Wamerari, mkono wake wa kushoto:

CH1 6:44 Removed trailing space in p~: Ethani mwana wa Kishi, mwana wa Abdi,

CH1 6:44 Removed trailing space in p~: mwana wa Maluki,

CH1 6:45 Removed trailing space in v~: mwana wa Hashabia,

CH1 6:45 Removed trailing space in p~: mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia,

CH1 6:46 Removed trailing space in v~: mwana wa Amsi, mwana wa Bani,

CH1 6:46 Removed trailing space in p~: mwana wa Shemeri,

CH1 6:47 Removed trailing space in v~: mwana wa Mahli,

CH1 6:47 Removed trailing space in p~: mwana wa Mushi, mwana wa Merari,

CH1 6:47 Removed trailing space in p~: mwana wa Lawi.

CH1 6:48 Removed trailing space in v~: Ndugu zao wengine Walawi walipewa huduma nyingine za kuhudumia hema takatifu, nyumba ya Mungu.

CH1 6:49 Removed trailing space in v~: Lakini Aroni na uzao wake ndio waliokuwa na wajibu wa kutoa sadaka katika madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa na kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba pamoja na yote yaliyofanyika pa Patakatifu, wakifanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, sawasawa na yale yote aliyoagiza Mose mtumishi wa Mungu.

CH1 6:50 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wazao wa Aroni:

CH1 6:50 Removed trailing space in p~: Aroni akamzaa Eleazari, Eleazari akamzaa Finehasi,

CH1 6:50 Removed trailing space in p~: Finehasi akamzaa Abishua,

CH1 6:51 Removed trailing space in v~: Abishua akamzaa Buki,

CH1 6:51 Removed trailing space in p~: Buki akamzaa Uzi, Uzi akamzaa Zerahia,

CH1 6:52 Removed trailing space in v~: Zerahia akamzaa Merayothi, Merayothi akamzaa Amaria,

CH1 6:52 Removed trailing space in p~: Amaria akamzaa Ahitubu,

CH1 6:53 Removed trailing space in v~: Ahitubu akamzaa Sadoki,

CH1 6:53 Removed trailing space in p~: Sadoki akamzaa Ahimaasi.

CH1 6:54 Removed trailing space in v~: Zifuatazo ni sehemu walizopewa ziwe nchi yao kwa ajili ya makazi yao (walipewa wazao wa Aroni waliotoka katika ukoo wa Wakohathi, kwa sababu kura ya kwanza iliwaangukia):

CH1 6:55 Removed trailing space in v~: Walipewa Hebroni katika nchi ya Yuda pamoja na sehemu ya malisho inayouzunguka.

CH1 6:56 Removed trailing space in v~: Lakini mashamba pamoja na vijiji vilivyouzunguka mji alipewa Kalebu mwana wa Yefune.

CH1 6:57 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wazao wa Aroni walipewa miji ifuatayo pamoja na eneo la malisho: Hebroni (mji wa makimbilio), Libna, Yatiri, Eshtemoa,

CH1 6:58 Removed trailing space in v~: Hileni, Debiri,

CH1 6:59 Removed trailing space in v~: Ashani, Yuta na Beth-Shemeshi pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:60 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Benyamini walipewa Gibeoni, Geba, Alemethi na Anathothi, pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:60 Removed trailing space in p~: Miji hii kumi na mitatu iligawanywa miongoni mwa koo za Wakohathi.

CH1 6:61 Removed trailing space in v~: Wazao waliobaki wa Wakohathi walipewa miji kumi kutoka koo za nusu ya kabila la Manase.

CH1 6:62 Removed trailing space in v~: Wazao wa Gershoni, ukoo kwa ukoo, walipewa miji kumi na mitatu kutoka kwa makabila ya Isakari, Asheri na Naftali kutoka sehemu ya kabila la Manase huko Bashani.

CH1 6:63 Removed trailing space in v~: Wazao wa Merari, ukoo kwa ukoo walipewa miji kumi na miwili kutoka makabila ya Reubeni, Gadi na Zabuloni.

CH1 6:64 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Waisraeli waliwapa Walawi miji hii pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:65 Removed trailing space in v~: Kutoka makabila ya Yuda, Simeoni na Benyamini walipewa miji iliyotajwa hapo juu.

CH1 6:66 Removed trailing space in v~: Baadhi ya koo za Wakohathi walipewa kama nchi yao miji kutoka kabila la Efraimu.

CH1 6:67 Removed trailing space in v~: Katika nchi ya vilima ya Efraimu walipewa Shekemu (mji wa makimbilio) na Gezeri,

CH1 6:68 Removed trailing space in v~: Yokmeamu, Beth-Horoni,

CH1 6:69 Removed trailing space in v~: Aiyaloni na Gath-Rimoni, pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:70 Removed trailing space in v~: Kutoka nusu ya kabila la Manase, Waisraeli waliwapa koo za Wakohathi waliobaki miji ya Aneri na Bileamu pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:71 Removed trailing space in v~: Wagershoni walipokea miji ifuatayo pamoja na maeneo yake ya malisho:

CH1 6:71 Removed trailing space in p~: Katika nusu ya kabila la Manase:

CH1 6:71 Removed trailing space in p~: walipewa Golani katika Bashani na pia Ashtarothi.

CH1 6:72 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Isakari

CH1 6:72 Removed trailing space in p~: walipokea Kedeshi, Daberathi,

CH1 6:73 Removed trailing space in v~: Ramothi na Anemu, pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:74 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Asheri

CH1 6:74 Removed trailing space in p~: walipokea Mashali, Abdoni,

CH1 6:75 Removed trailing space in v~: Hukoki na Rehobu, pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:76 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Naftali

CH1 6:76 Removed trailing space in p~: walipokea Kedeshi katika Galilaya, Hamoni na Kiriathaimu pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:77 Removed trailing space in v~: Wamerari (Walawi waliobakia) walipokea miji ifuatayo:

CH1 6:77 Removed trailing space in p~: kutoka kabila la Zabuloni

CH1 6:77 Removed trailing space in p~: walipokea Yokneamu, Karta, Rimoni na Tabori pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:78 Removed trailing space in v~: Kutoka kabila la Reubeni, ngʼambo ya Yordani mashariki mwa Yeriko

CH1 6:78 Removed trailing space in p~: walipokea Bezeri ulioko jangwani, Yahasa,

CH1 6:79 Removed trailing space in v~: Kedemothi na Mefaathi pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 6:80 Removed trailing space in v~: Na kutoka kabila la Gadi

CH1 6:80 Removed trailing space in p~: walipokea Ramothi huko Gileadi, Mahanaimu,

CH1 6:81 Removed trailing space in v~: Heshboni na Yazeri, pamoja na maeneo yake ya malisho.

CH1 7:0 Extra space after chapter number

CH1 7:0 Removed trailing space in c: 7

CH1 7:0 Removed trailing space in s1: Wana Wa Isakari

CH1 7:1 Removed trailing space in v~: Wana wa Isakari walikuwa:

CH1 7:1 Removed trailing space in p~: Tola, Pua, Yashubu na Shimroni; wote ni wanne.

CH1 7:2 Removed trailing space in v~: Wana wa Tola walikuwa:

CH1 7:2 Removed trailing space in p~: Uzi, Refaya, Yerieli, Yahmai, Ibsamu na Shemueli waliokuwa viongozi wa jamaa zao. Wakati wa utawala wa Mfalme Daudi, wazao wa Tola walioorodheshwa kama wapiganaji katika ukoo wao walikuwa watu 22,600.

CH1 7:3 Removed trailing space in v~: Mwana wa Uzi alikuwa:

CH1 7:3 Removed trailing space in p~: Izrahia.

CH1 7:3 Removed trailing space in p~: Wana wa Izrahia walikuwa:

CH1 7:3 Removed trailing space in p~: Mikaeli, Obadia, Yoeli na Ishia. Wote hawa watano walikuwa wakuu wao.

CH1 7:4 Removed trailing space in v~: Kulingana na ukoo wa jamaa zao, walikuwa na watu hodari wa vita wapatao 36,000, kwa sababu walikuwa na wanawake na watoto wengi.

CH1 7:5 Removed trailing space in v~: Jamaa ya watu waliokuwa wapiganaji hodari kutoka koo zote za Isakari, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, jumla yao walikuwa 87,000.

CH1 7:5 Removed trailing space in s1: Wana Wa Benyamini

CH1 7:6 Removed trailing space in v~: Wana watatu wa Benyamini walikuwa:

CH1 7:6 Removed trailing space in p~: Bela, Bekeri na Yediaeli.

CH1 7:7 Removed trailing space in v~: Wana wa Bela walikuwa:

CH1 7:7 Removed trailing space in p~: Esboni, Uzi, Uzieli, Yeremothi na Iri; walikuwa viongozi wa jamaa zao; wote ni watano. Watu wapiganaji walioorodheshwa katika ukoo wao walikuwa 22,034.

CH1 7:8 Removed trailing space in v~: Wana wa Bekeri walikuwa:

CH1 7:8 Removed trailing space in p~: Zemira, Yoashi, Eliezeri, Elioenai, Omri, Yeremothi, Abiya, Anathothi na Alemethi. Hawa wote walikuwa wana wa Bekeri.

CH1 7:9 Removed trailing space in v~: Orodha ya ukoo wao iliyoandikwa viongozi wa jamaa zao walikuwa wapiganaji 20,200.

CH1 7:10 Removed trailing space in v~: Mwana wa Yediaeli alikuwa:

CH1 7:10 Removed trailing space in p~: Bilhani.

CH1 7:10 Removed trailing space in p~: Wana wa Bilhani walikuwa:

CH1 7:10 Removed trailing space in p~: Yeushi, Benyamini, Ehudi, Kenaana, Zethani, Tarshishi na Ahishahari.

CH1 7:11 Removed trailing space in v~: Hawa wana wote wa Yediaeli walikuwa viongozi wa jamaa zao. Kulikuwako wanaume wapiganaji 17,200 waliokuwa tayari kwenda vitani.

CH1 7:12 Removed trailing space in v~: Washupimu na Wahupimu walikuwa wazao wa Iri. Wahushimu walikuwa wazao wa Aheri.

CH1 7:12 Removed trailing space in s1: Wana Wa Naftali

CH1 7:13 Removed trailing space in v~: Wana wa Naftali walikuwa:

CH1 7:13 Removed trailing space in p~: Yahzieli, Guni, Yeseri na Shalumu; hao walikuwa wazao wa Bilha.

CH1 7:13 Removed trailing space in s1: Wana Wa Manase

CH1 7:14 Removed trailing space in v~: Wana wa Manase walikuwa:

CH1 7:14 Removed trailing space in p~: Asirieli alikuwa mzao wake kutokana na suria wake wa Kiaramu. Huyu suria akamzaa Makiri baba wa Gileadi.

CH1 7:15 Removed trailing space in v~: Makiri akatwaa mke kutoka miongoni mwa Wahupimu na Washupimu. Jina la dada yake aliitwa Maaka.

CH1 7:15 Removed trailing space in p~: Mwana wa pili wa Makiri aliitwa Selofehadi, ambaye alikuwa na wasichana tu.

CH1 7:16 Removed trailing space in v~: Maaka mkewe Makiri akamzaa mwana aliyemwita Pereshi. Jina la nduguye lilikuwa Shereshi. Wana wa Pereshi walikuwa Ulamu na Rakemu.

CH1 7:17 Removed trailing space in v~: Mwana wa Ulamu alikuwa:

CH1 7:17 Removed trailing space in p~: Bedani.

CH1 7:17 Removed trailing space in p~: Hawa ndio waliokuwa wana wa Gileadi mwana wa Makiri, mwana wa Manase.

CH1 7:18 Removed trailing space in v~: Dada yake aliyeitwa Hamolekethi aliwazaa Ish-Hodi, Abiezeri na Mahla.

CH1 7:19 Removed trailing space in v~: Wana wa Shemida walikuwa:

CH1 7:19 Removed trailing space in p~: Ahiani, Shekemu, Liki na Aniamu.

CH1 7:19 Removed trailing space in s1: Wana Wa Efraimu

CH1 7:20 Removed trailing space in v~: Wana wa Efraimu walikuwa:

CH1 7:20 Removed trailing space in p~: Shuthela, ambaye alimzaa Beredi,

CH1 7:20 Removed trailing space in p~: Beredi akamzaa Tahathi, Tahathi akazaa Eleada,

CH1 7:20 Removed trailing space in p~: Eleada akamzaa Tahathi,

CH1 7:21 Removed trailing space in v~: Tahathi akamzaa Zabadi,

CH1 7:21 Removed trailing space in p~: na Zabadi akamzaa Shuthela.

CH1 7:21 Removed trailing space in p~: Ezeri na Eleadi waliuawa na wenyeji wa Gathi walipokuwa wamekwenda huko kuwanyangʼanya mifugo yao.

CH1 7:22 Removed trailing space in v~: Baba yao Efraimu akawaombolezea kwa siku nyingi, na jamaa zake wakaja kumfariji.

CH1 7:23 Removed trailing space in v~: Kisha akakutana kimwili na mke wake tena, naye akachukua mimba, akamzalia mwana. Akamwita Beria, kwa sababu ya misiba iliyoipata nyumba yake.

CH1 7:24 Removed trailing space in v~: Beria alikuwa na binti jina lake Sheera. Huyu ndiye aliijenga miji ya Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, pamoja na Uzen-Sheera.

CH1 7:25 Removed trailing space in v~: Beria akamzaa pia Refa, naye Refa akamzaa Reshefu,

CH1 7:25 Removed trailing space in p~: Reshefu akamzaa Tela, Tela akamzaa Tahani,

CH1 7:26 Removed trailing space in v~: Tahani akamzaa Ladani, Ladani akamzaa Amihudi,

CH1 7:26 Removed trailing space in p~: Amihudi akamzaa Elishama,

CH1 7:27 Removed trailing space in v~: Elishama akamzaa Nuni,

CH1 7:27 Removed trailing space in p~: Nuni akamzaa Yoshua.

CH1 7:28 Removed trailing space in v~: Nchi zao na makazi yao yalijumuisha Betheli na vijiji vilivyouzunguka, Naarani ilikuwa upande wa mashariki, Gezeri pamoja na vijiji vyake upande wa magharibi, pia Shekemu na vijiji vyake hadi kufikia Aya na vijiji vyake.

CH1 7:29 Removed trailing space in v~: Katika mipaka ya Manase walikuwepo Beth-Shani, Taanaki, Megido na Dori pamoja na vijiji vyake. Wana wa Yosefu mwana wa Israeli waliishi katika miji hii.

CH1 7:29 Removed trailing space in s1: Wana Wa Asheri

CH1 7:30 Removed trailing space in v~: Wana wa Asheri walikuwa:

CH1 7:30 Removed trailing space in p~: Imna, Ishva, Ishvi na Beria. Dada yao alikuwa Sera.

CH1 7:31 Removed trailing space in v~: Wana wa Beria walikuwa:

CH1 7:31 Removed trailing space in p~: Heberi na Malkieli, aliyekuwa baba yake Birzaithi.

CH1 7:32 Removed trailing space in v~: Heberi akawazaa Yafleti, Shomeri na Hothamu, na Shua dada yao.

CH1 7:33 Removed trailing space in v~: Wana wa Yafleti walikuwa:

CH1 7:33 Removed trailing space in p~: Pasaki, Bimhali na Ashvathi.

CH1 7:33 Removed trailing space in p~: Hawa walikuwa wana wa Yafleti.

CH1 7:34 Removed trailing space in v~: Wana wa Shemeri walikuwa:

CH1 7:34 Removed trailing space in p~: Ahi, Roga, Yehuba na Aramu.

CH1 7:35 Removed trailing space in v~: Wana wa Helemu ndugu yake walikuwa:

CH1 7:35 Removed trailing space in p~: Sofa, Imna, Sheleshi na Amali.

CH1 7:36 Removed trailing space in v~: Wana wa Sofa walikuwa:

CH1 7:36 Removed trailing space in p~: Sua, Harneferi, Shuali, Beri, Imra,

CH1 7:37 Removed trailing space in v~: Bezeri, Hodu, Shama, Shilsha, Ithrani\f + \fr 7:37 \ft Kwa jina lingine Yetheri.\f* na Beera.

CH1 7:38 Removed trailing space in v~: Wana wa Yetheri walikuwa:

CH1 7:38 Removed trailing space in p~: Yefune, Pispa na Ara.

CH1 7:39 Removed trailing space in v~: Wana wa Ula walikuwa:

CH1 7:39 Removed trailing space in p~: Ara, Hanieli na Risia.

CH1 7:40 Removed trailing space in v~: Hawa wote ndio waliokuwa wazao wa Asheri, viongozi wa jamaa zao, watu bora, mashujaa walio hodari na viongozi maarufu. Idadi ya watu waliokuwa tayari kwa vita, kama ilivyoorodheshwa katika ukoo wao, walikuwa 26,000.

CH1 8:0 Extra space after chapter number

CH1 8:0 Removed trailing space in c: 8

CH1 8:0 Removed trailing space in s1: Ukoo Wa Sauli Mbenyamini

CH1 8:1 Removed trailing space in v~: Benyamini akamzaa: Bela mzaliwa wake wa kwanza,

CH1 8:1 Removed trailing space in p~: Ashbeli mwanawe wa pili, Ahara mwanawe wa tatu,

CH1 8:2 Removed trailing space in v~: Noha mwanawe wa nne na Rafa mwanawe wa tano.

CH1 8:3 Removed trailing space in v~: Wana wa Bela walikuwa:

CH1 8:3 Removed trailing space in p~: Adari, Gera, Abihudi,

CH1 8:4 Removed trailing space in v~: Abishua, Naamani, Ahoa,

CH1 8:5 Removed trailing space in v~: Gera, Shefufani na Huramu.

CH1 8:6 Removed trailing space in v~: Hawa ndio wazao wa Ehudi, waliokuwa viongozi wa jamaa za wale walioishi huko Geba na ambao walihamishiwa Manahathi:

CH1 8:7 Removed trailing space in v~: Naamani, Ahiya na Gera. Gera alikuwa baba yao Uza na Ahihudi na ndiye aliwaongoza kwenda uhamishoni.

CH1 8:8 Removed trailing space in v~: Shaharaimu aliwazaa wana katika nchi ya Moabu baada ya kuwapa talaka wake zake wawili yaani, Hushimu na Baara.

CH1 8:9 Removed trailing space in v~: Kwa mkewe Hodeshi, akawazaa wana saba: Yobabu, Sibia, Mesha, Malkamu,

CH1 8:10 Removed trailing space in v~: Yeuzi, Sakia na Mirma. Hawa ndio waliokuwa wanawe, viongozi wa jamaa zao.

CH1 8:11 Removed trailing space in v~: Hushimu alimzalia: Abitubu na Elpaali.

CH1 8:12 Removed trailing space in v~: Wana wa Elpaali walikuwa:

CH1 8:12 Removed trailing space in p~: Eberi, Mishamu, Shemedi (aliyeijenga miji ya Ono na Lodi, pamoja na vijiji vilivyoizunguka),

CH1 8:13 Removed trailing space in v~: na Beria na Shema, waliokuwa viongozi wa zile jamaa zilizokuwa zinaishi katika mji wa Aiyaloni, na ambao waliwafukuza wenyeji wa Gathi.

CH1 8:14 Removed trailing space in v~: Wana wa Beria walikuwa Ahio, Shashaki, Yeremothi,

CH1 8:15 Removed trailing space in v~: Zebadia, Aradi, Ederi,

CH1 8:16 Removed trailing space in v~: Mikaeli, Ishpa, na Yoha.

CH1 8:17 Removed trailing space in v~: Zebadia, Meshulamu, Hizki, Heberi,

CH1 8:18 Removed trailing space in v~: Ishmerai, Izlia na Yobabu ndio waliokuwa wana wa Elpaali.

CH1 8:19 Removed trailing space in v~: Yakimu, Zikri, Zabdi,

CH1 8:20 Removed trailing space in v~: Elienai, Silethai, Elieli,

CH1 8:21 Removed trailing space in v~: Adaya, Beraya na Shimrathi walikuwa wana wa Shimei.

CH1 8:22 Removed trailing space in v~: Wana wa Shashaki walikuwa Ishpani, Eberi, Elieli,

CH1 8:23 Removed trailing space in v~: Abdoni, Zikri, Hanani,

CH1 8:24 Removed trailing space in v~: Hanania, Elamu, Anthothiya,

CH1 8:25 Removed trailing space in v~: Ifdeya na Penueli.

CH1 8:26 Removed trailing space in v~: Shamsherai, Sheharia, Athalia,

CH1 8:27 Removed trailing space in v~: Yaareshia, Eliya na Zikri walikuwa wana wa Yerohamu.

CH1 8:28 Removed trailing space in v~: Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao wakuu, kama ilivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.

CH1 8:29 Removed trailing space in v~: Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni.

CH1 8:29 Removed trailing space in p~: Mke wake aliitwa Maaka.

CH1 8:30 Removed trailing space in v~: Mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,

CH1 8:31 Removed trailing space in v~: Gedori, Ahio, Zekeri,

CH1 8:32 Removed trailing space in v~: na Miklothi ambaye alikuwa baba yake Shimea. Hawa pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.

CH1 8:33 Removed trailing space in v~: Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli, Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.

CH1 8:34 Removed trailing space in v~: Yonathani akamzaa:

CH1 8:34 Removed trailing space in p~: Merib-Baali,\f + \fr 8:34 \ft Merib-Baali maana yake ni Baali na Ashindane naye (\+xt Amu 6:32\+xt*); ni jina lingine la mwana wa Yonathani, Mefiboshethi ambalo nalo maana yake ni Mtu wa Aibu (ona \+xt 2Sam 4:4\+xt*).\f* naye Merib-Baali akamzaa Mika.

CH1 8:34 Found unexpected backslash in footnote: 8:34 Merib-Baali maana yake ni Baali na Ashindane naye (\+xt Amu 6:32\+xt*); ni jina lingine la mwana wa Yonathani, Mefiboshethi ambalo nalo maana yake ni Mtu wa Aibu (ona \+xt 2Sam 4:4\+xt*).

CH1 8:35 Removed trailing space in v~: Wana wa Mika walikuwa:

CH1 8:35 Removed trailing space in p~: Pithoni, Meleki, Tarea na Ahazi.

CH1 8:36 Removed trailing space in v~: Ahazi akamzaa Yehoada. Naye Yehoada akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.

CH1 8:37 Removed trailing space in v~: Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Rafa, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.

CH1 8:38 Removed trailing space in v~: Aseli alikuwa na wana sita; haya ndiyo majina yao:

CH1 8:38 Removed trailing space in p~: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa wote ndio waliokuwa wana wa Aseli.

CH1 8:39 Removed trailing space in v~: Wana wa Esheki, nduguye Aseli, walikuwa:

CH1 8:39 Removed trailing space in p~: Mzaliwa wake wa kwanza alikuwa Ulamu, wa pili Yeushi na wa tatu Elifeleti.

CH1 8:40 Removed trailing space in v~: Wana wa Ulamu walikuwa mashujaa hodari walioweza kutumia upinde. Alikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla yao 150.

CH1 8:40 Removed trailing space in p~: Hawa wote ndio walikuwa wazao wa Benyamini.

CH1 9:0 Extra space after chapter number

CH1 9:0 Removed trailing space in c: 9

CH1 9:1 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote waliorodheshwa katika koo zilizoandikwa kwenye kitabu cha wafalme wa Israeli.

CH1 9:1 Removed trailing space in s1: Watu Katika Yerusalemu

CH1 9:1 Removed trailing space in p~: Watu wa Yuda walichukuliwa mateka kwenda Babeli kwa sababu ya kukosa uaminifu kwa Mungu.

CH1 9:2 Removed trailing space in v~: Basi watu wa kwanza kurudi kukaa kwenye milki zao katika miji yao walikuwa baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi na watumishi wa Hekalu.\f + \fr 9:2 \ft Yaani \fqa Wanethini.\f*

CH1 9:3 Removed trailing space in v~: Wale waliotoka Yuda, Benyamini, Efraimu na Manase ambao waliishi Yerusalemu walikuwa:

CH1 9:3 Removed trailing space in s2: Jamaa Za Yuda

CH1 9:4 Removed trailing space in v~: Uthai mwana wa Amihudi, mwana wa Omri, mwana wa Imri, mwana wa Bani, wa wana wa Peresi, mwana wa Yuda.

CH1 9:5 Removed trailing space in v~: Wazao wa Washiloni waliorudi ni:

CH1 9:5 Removed trailing space in p~: Asaya mzaliwa wa kwanza na wanawe.

CH1 9:6 Removed trailing space in v~: Kwa wana wa Zera:

CH1 9:6 Removed trailing space in p~: Yeueli.

CH1 9:6 Removed trailing space in p~: Watu wa Yuda jumla yao walikuwa watu 690.

CH1 9:6 Removed trailing space in s2: Jamaa Za Benyamini

CH1 9:7 Removed trailing space in v~: Kwa Benyamini walikuwa:

CH1 9:7 Removed trailing space in p~: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Hodavia, mwana wa Hasenua;

CH1 9:8 Removed trailing space in v~: Ibneya mwana wa Yerohamu, Ela mwana wa Uzi, mwana wa Mikri; na Meshulamu mwana wa Shefatia, mwana wa Reueli, mwana wa Ibniya.

CH1 9:9 Removed trailing space in v~: Watu kutoka Benyamini kama walivyoorodheshwa katika koo zao jumla yao ni 956. Watu hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa zao.

CH1 9:9 Removed trailing space in s2: Jamaa Za Makuhani

CH1 9:10 Removed trailing space in v~: Wa jamaa za makuhani walikuwa:

CH1 9:10 Removed trailing space in p~: Yedaya, Yehoyaribu na Yakini;

CH1 9:11 Removed trailing space in v~: Azaria mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu aliyekuwa afisa kiongozi wa nyumba ya Mungu.

CH1 9:12 Removed trailing space in v~: Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya; Maasai, mwana wa Adieli, mwana wa Yahzera, mwana wa Meshulamu, mwana wa Meshilemithi, mwana wa Imeri.

CH1 9:13 Removed trailing space in v~: Makuhani waliokuwa viongozi wa jamaa zao walikuwa 1,760. Walikuwa watu wenye uwezo, waliowajibika kuhudumu katika nyumba ya Mungu.

CH1 9:13 Removed trailing space in s2: Jamaa Za Walawi

CH1 9:14 Removed trailing space in v~: Jamaa za Walawi walikuwa:

CH1 9:14 Removed trailing space in p~: Shemaya, mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, wa wana wa Merari.

CH1 9:15 Removed trailing space in v~: Bakbakari, Hereshi, Galali na Matania mwana wa Mika, mwana wa Zikri, mwana wa Asafu.

CH1 9:16 Removed trailing space in v~: Obadia mwana wa Shemaya, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni. Berekia mwana wa Asa, mwana wa Elikana, ambao waliishi katika vijiji vya Wanetofathi.

CH1 9:16 Removed trailing space in s2: Jamaa Za Mabawabu

CH1 9:17 Removed trailing space in v~: Mabawabu katika Hekalu la \nd Bwana\nd* waliorudi walikuwa:

CH1 9:17 Removed trailing space in p~: Shalumu, Akubu, Talmoni, Ahimani na ndugu zao. Shalumu alikuwa mlinzi wao mkuu.

CH1 9:18 Removed trailing space in v~: Walikuwa wamewekwa katika lango la mfalme lililokuwa upande wa mashariki, mpaka wakati huu. Hawa walikuwa mabawabu wa kutoka kwenye kambi ya Walawi.

CH1 9:19 Removed trailing space in v~: Shalumu mwana wa Kore, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora, pamoja na mabawabu wenzake kutoka jamaa yake ya Kora waliwajibika kulinda malango ya Hema, kama vile baba zao walivyokuwa wamewajibika kulinda ingilio la Maskani ya \nd Bwana\nd*.

CH1 9:20 Removed trailing space in v~: Hapo zamani Finehasi mwana wa Eleazari alikuwa kiongozi wa mabawabu, naye \nd Bwana\nd* alikuwa pamoja naye:

CH1 9:21 Removed trailing space in v~: Zekaria mwana wa Meshelemia alikuwa bawabu katika ingilio la Hema la Kukutania.

CH1 9:22 Removed trailing space in v~: Jumla ya waliochaguliwa kuwa mabawabu katika sakafu za kupuria nafaka walikuwa watu 212. Waliandikishwa kwa koo zao kwenye vijiji vyao. Mabawabu hawa waliwekwa katika nafasi zao za kuaminiwa na Daudi pamoja na mwonaji Samweli.

CH1 9:23 Removed trailing space in v~: Wao na wazao wao walikuwa viongozi wa kulinda malango ya nyumba ya \nd Bwana\nd*, nyumba iliyoitwa Hema.

CH1 9:24 Removed trailing space in v~: Mabawabu walikuwa pande zote nne: mashariki, magharibi, kaskazini na kusini.

CH1 9:25 Removed trailing space in v~: Ndugu zao katika vijiji vyao walikuwa wakija mara kwa mara na kuwasaidia katika kazi zao kwa vipindi mbalimbali vya siku saba.

CH1 9:26 Removed trailing space in v~: Lakini mabawabu wanne wakuu, waliokuwa Walawi, walikabidhiwa wajibu kwa ajili ya vyumba na hazina katika nyumba ya Mungu.

CH1 9:27 Removed trailing space in v~: Walikesha mahali walipowekwa kuizunguka nyumba ya Mungu, kwa sababu iliwapasa kuilinda. Pia walitunza funguo kwa ajili ya kufungua mlango kila siku asubuhi.

CH1 9:28 Removed trailing space in v~: Baadhi yao walikuwa viongozi wa kutunza vifaa vilivyotumika katika huduma ndani ya Hekalu; walivihesabu kila vilipoingizwa ndani na kila vilipotolewa.

CH1 9:29 Removed trailing space in v~: Wengine walipangiwa kutunza mapambo na vifaa vingine vya patakatifu, pamoja na unga, divai, mafuta, uvumba na vikolezo.

CH1 9:30 Removed trailing space in v~: Lakini baadhi ya makuhani walifanya kazi ya kuchanganya vikolezo.

CH1 9:31 Removed trailing space in v~: Mlawi aliyeitwa Matithia, mwana mzaliwa wa kwanza wa Shalumu, wa ukoo wa Kora, alikabidhiwa wajibu kwa ajili ya kuoka mikate ya sadaka.

CH1 9:32 Removed trailing space in v~: Baadhi ya ndugu zao wa ukoo wa Kohathi walikuwa viongozi wa kuandaa mikate ya Wonyesho kwa ajili ya kila Sabato, mikate iliyokuwa inawekwa mezani.

CH1 9:33 Removed trailing space in v~: Wale waliokuwa waimbaji, viongozi wa jamaa za Walawi, waliishi katika vyumba vya Hekalu, nao hawakufanya shughuli nyingine yoyote kwa sababu iliwapasa kuwajibika kwa kazi hiyo usiku na mchana.

CH1 9:34 Removed trailing space in v~: Hawa wote walikuwa viongozi wa jamaa za Walawi, wakuu kama walivyoorodheshwa katika koo zao, nao waliishi Yerusalemu.

CH1 9:34 Removed trailing space in s1: Ukoo Wa Sauli

CH1 9:34 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 8:29-38)

CH1 9:35 Removed trailing space in v~: Yeieli alikuwa baba yake Gibeoni naye aliishi huko Gibeoni. Mke wake aliitwa Maaka,

CH1 9:36 Removed trailing space in v~: mwanawe mzaliwa wa kwanza alikuwa Abdoni, akafuatiwa na Suri, Kishi, Baali, Neri, Nadabu,

CH1 9:37 Removed trailing space in v~: Gedori, Ahio, Zekaria na Miklothi.

CH1 9:38 Removed trailing space in v~: Miklothi akamzaa Shimeamu. Wao pia waliishi karibu na jamaa zao huko Yerusalemu.

CH1 9:39 Removed trailing space in v~: Neri akamzaa Kishi, Kishi akamzaa Sauli. Sauli akamzaa Yonathani, Malki-Shua, Abinadabu na Esh-Baali.\f + \fr 9:39 \ft Anajulikana pia kwa jina la Ish-Boshethi, maana yake Mtu wa Aibu (\+xt 2Sam 2:8\+xt*).\f*

CH1 9:39 Found unexpected backslash in footnote: 9:39 Anajulikana pia kwa jina la Ish-Boshethi, maana yake Mtu wa Aibu (\+xt 2Sam 2:8\+xt*).

CH1 9:40 Removed trailing space in v~: Yonathani akamzaa Merib-Baali,\f + \fr 9:40 \ft Pia anajulikana kwa jina la Mefiboshethi.\f*

CH1 9:40 Removed trailing space in p~: naye Merib-Baali akamzaa Mika.

CH1 9:41 Removed trailing space in v~: Wana wa Mika walikuwa:

CH1 9:41 Removed trailing space in p~: Pithoni, Meleki, Tarea, na Ahazi.

CH1 9:42 Removed trailing space in v~: Ahazi akamzaa Yara, Yara akawazaa Alemethi, Azmawethi na Zimri, naye Zimri akamzaa Mosa.

CH1 9:43 Removed trailing space in v~: Mosa akamzaa Binea, Binea akamzaa Refaya, na mwanawe huyo ni Eleasa, na mwanawe huyo ni Aseli.

CH1 9:44 Removed trailing space in v~: Aseli alikuwa na wana sita, na haya ndiyo majina yao:

CH1 9:44 Removed trailing space in p~: Azrikamu, Bokeru, Ishmaeli, Shearia, Obadia na Hanani. Hawa ndio waliokuwa wana wa Aseli.

CH1 10:0 Extra space after chapter number

CH1 10:0 Removed trailing space in c: 10

CH1 10:0 Removed trailing space in s1: Sauli Ajiua

CH1 10:0 Removed trailing space in r: (1 Samweli 31:1-13)

CH1 10:1 Removed trailing space in v~: Basi Wafilisti wakapigana na Israeli. Waisraeli wakawakimbia, na wengi wakauawa katika mlima Gilboa.

CH1 10:2 Removed trailing space in v~: Wafilisti wakawafuatia kwa bidii Sauli na wanawe, wakawaua Yonathani, Abinadabu na Malki-Shua.

CH1 10:3 Removed trailing space in v~: Mapigano yakawa makali kumzunguka Sauli na wakati wapiga mishale walipompata, wakamjeruhi.

CH1 10:4 Removed trailing space in v~: Sauli akamwambia mbeba silaha wake, “Futa upanga wako unichome nao, la sivyo hawa watu wasiotahiriwa watakuja na kunidhalilisha.”

CH1 10:4 Removed trailing space in p~: Lakini mbeba silaha wake akaogopa sana wala hakuweza kufanya hivyo. Kwa hiyo Sauli akachukua upanga wake mwenyewe na kuuangukia.

CH1 10:5 Removed trailing space in v~: Mbeba silaha wake alipoona kwamba Sauli amekufa, naye pia akauangukia upanga wake akafa.

CH1 10:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Sauli na wanawe watatu wakafa, pamoja na nyumba yake yote.

CH1 10:7 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote waliokuwa bondeni walipoona kwamba jeshi limekimbia na kwamba Sauli na wanawe wamekufa, waliacha miji yao wakakimbia. Nao Wafilisti wakaja na kukaa humo.

CH1 10:8 Removed trailing space in v~: Kesho yake Wafilisti walipokuja kuwavua maiti silaha, walimkuta Sauli na wanawe wameanguka katika Mlima Gilboa.

CH1 10:9 Removed trailing space in v~: Wakamvua mavazi, wakachukua kichwa chake pamoja na silaha zake, wakawatuma wajumbe katika nchi yote ya Wafilisti kutangaza habari hizi miongoni mwa sanamu zao na watu wao.

CH1 10:10 Removed trailing space in v~: Waliweka silaha zake katika hekalu la miungu yao, wakatundika kichwa chake katika hekalu la Dagoni.

CH1 10:11 Removed trailing space in v~: Wakazi wote wa Yabeshi-Gileadi waliposikia yote Wafilisti waliyomtendea Sauli,

CH1 10:12 Removed trailing space in v~: mashujaa wao wote wakaondoka, wakautwaa mwili wa Sauli na miili ya wanawe, wakaileta Yabeshi. Wakaizika mifupa yao chini ya mti mkubwa huko Yabeshi, nao wakafunga kwa siku saba.

CH1 10:13 Removed trailing space in v~: Sauli alikufa kwa sababu hakuwa mwaminifu kwa \nd Bwana\nd*. Hakulishika neno la \nd Bwana\nd*, hata akataka shauri kwa mwaguzi kwa ajili ya uongozi,

CH1 10:14 Removed trailing space in v~: hakumuuliza \nd Bwana\nd*. Kwa hiyo \nd Bwana\nd* alimuua, na ufalme akampa Daudi mwana wa Yese.

CH1 11:0 Extra space after chapter number

CH1 11:0 Removed trailing space in c: 11

CH1 11:0 Removed trailing space in s1: Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Israeli

CH1 11:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 5:1-10)

CH1 11:1 Removed trailing space in v~: Israeli yote walimjia Daudi kwa pamoja huko Hebroni wakamwambia, “Sisi ni nyama yako na damu yako.

CH1 11:2 Removed trailing space in v~: Zamani, wakati Sauli alikuwa mfalme, wewe ndiwe uliyeiongoza Israeli vitani, naye \nd Bwana\nd* Mungu wako alikuambia, ‘Wewe utawachunga watu wangu Israeli, na utakuwa mtawala wao.’ ”

CH1 11:3 Removed trailing space in v~: Wazee wote wa Israeli walipokuwa wamewasili kwa Mfalme Daudi huko Hebroni, alifanya mapatano nao huko Hebroni mbele za \nd Bwana\nd*, nao wakamtia Daudi mafuta awe mfalme wa Israeli, sawasawa na \nd Bwana\nd* alivyoahidi kupitia kwa Samweli.

CH1 11:3 Removed trailing space in s1: Daudi Ateka Yerusalemu

CH1 11:4 Removed trailing space in v~: Daudi na Waisraeli wote wakaenda Yerusalemu (ndio Yebusi). Nao Wayebusi walioishi humo

CH1 11:5 Removed trailing space in v~: wakamwambia Daudi, “Wewe hutaingia humu.” Hata hivyo, Daudi akaiteka ngome ya Sayuni, Mji wa Daudi.

CH1 11:6 Removed trailing space in v~: Daudi alikuwa amesema, “Yeyote aongozaye mashambulizi dhidi ya Wayebusi, atakuwa jemadari mkuu.” Yoabu mwana wa Seruya akawa wa kwanza kukwea, naye akawa mkuu.

CH1 11:7 Removed trailing space in v~: Daudi akafanya makao yake kwenye ngome, hivyo ukaitwa Mji wa Daudi.

CH1 11:8 Removed trailing space in v~: Akajenga mji pande zote, kuanzia kwenye mito hadi kwenye ukuta kuzunguka, wakati huo huo Yoabu akajenga sehemu zingine zilizobaki za Yerusalemu.

CH1 11:9 Removed trailing space in v~: Daudi akazidi kuwa na nguvu zaidi na zaidi, kwa sababu \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote alikuwa pamoja naye.

CH1 11:9 Removed trailing space in s1: Mashujaa Wa Daudi

CH1 11:9 Removed trailing space in r: (2 Samweli 23:8-39)

CH1 11:10 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliokuwa wakuu wa mashujaa wa Daudi: wao pamoja na Israeli wote wakauimarisha ufalme wake ili kuenea katika nchi yote, kama \nd Bwana\nd* alivyoahidi.

CH1 11:11 Removed trailing space in v~: Hii ndio orodha ya mashujaa wa Daudi:

CH1 11:11 Removed trailing space in p~: Yashobeamu, Mhakmoni, alikuwa mkuu wa maafisa; yeye aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300, ambao aliwaua katika pambano moja.

CH1 11:12 Removed trailing space in v~: Aliyefuata alikuwa Eleazari, mwana wa Dodai, Mwahohi, mmojawapo wa wale mashujaa watatu.

CH1 11:13 Removed trailing space in v~: Huyo alikuwa pamoja na Daudi huko Pas-Damimu, wakati Wafilisti walikusanyika huko kwa ajili ya vita. Huko ambapo kulikuwa na shamba lililokuwa limejaa shayiri, vikosi vya Israeli vikawakimbia Wafilisti.

CH1 11:14 Removed trailing space in v~: Lakini Eleazari na Daudi wakasimama imara katikati ya lile shamba, nao wakalishindania na wakawaua Wafilisti. Naye \nd Bwana\nd* akawapa ushindi mkubwa.

CH1 11:15 Removed trailing space in v~: Wakuu watatu miongoni mwa wale thelathini, walimwendea Daudi katika mwamba huko kwenye pango la Adulamu, wakati kikundi cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika Bonde la Warefai.

CH1 11:16 Removed trailing space in v~: Wakati huo Daudi alikuwa katika ngome, na kambi ya Wafilisti ilikuwa huko Bethlehemu.

CH1 11:17 Removed trailing space in v~: Daudi akatamani maji, akasema, “Laiti mtu angenipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilichoko karibu na lango la Bethlehemu!”

CH1 11:18 Removed trailing space in v~: Kwa hivyo wale watatu, wakapita katikati ya safu za Wafilisti, wakachota maji kutoka kwa kisima kilicho karibu na lango la Bethlehemu, wakamletea Daudi. Lakini yeye akakataa kuyanywa. Badala yake, aliyamimina mbele za \nd Bwana\nd*.

CH1 11:19 Removed trailing space in v~: Akasema, “Mungu apishie mbali kwamba nifanye hivi! Je kweli, niinywe damu ya watu hawa waliohatarisha maisha yao?” Kwa sababu walihatarisha maisha yao kuyaleta yale maji, Daudi hakukubali kuyanywa.

CH1 11:19 Removed trailing space in p~: Huo ndio uliokuwa ujasiri wa wale mashujaa watatu.

CH1 11:20 Removed trailing space in v~: Abishai, ndugu yake Yoabu ndiye alikuwa kiongozi wa hao Watatu. Aliinua mkuki wake dhidi ya watu 300, ambao aliwaua, kwa hiyo naye akawa na sifa kama hao Watatu.

CH1 11:21 Removed trailing space in v~: Alitunukiwa heshima maradufu ya wale Watatu, akawa jemadari wao, ingawa hakuhesabiwa miongoni mwao.

CH1 11:22 Removed trailing space in v~: Benaya, mwana wa Yehoyada alikuwa mpiganaji hodari kutoka Kabseeli ambaye alifanya mambo makubwa ya ujasiri. Aliwaua mashujaa wawili waliokuwa hodari kuliko wote wa Moabu. Pia alishuka shimoni kulipokuwa na theluji na kumuua simba.

CH1 11:23 Removed trailing space in v~: Alimuua Mmisri aliyekuwa na urefu kama dhiraa tano.\f + \fr 11:23 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.\f* Ingawa Mmisri alikuwa na mkuki kama mti wa mfumaji mkononi mwake, Benaya alimwendea na rungu. Akamnyangʼanya Mmisri mkuki wake na kumuua nao.

CH1 11:24 Removed trailing space in v~: Haya yalikuwa mambo ya ushujaa ya Benaya mwana wa Yehoyada; naye pia alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu.

CH1 11:25 Removed trailing space in v~: Yeye aliheshimiwa zaidi ya wale Thelathini, lakini hakujumuishwa miongoni mwa wale Watatu: Daudi akamweka kuwa kiongozi wa walinzi wake.

CH1 11:26 Removed trailing space in v~: Wale watu mashujaa walikuwa:

CH1 11:26 Removed trailing space in p~: Asaheli nduguye Yoabu,

CH1 11:26 Removed trailing space in p~: Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu,

CH1 11:27 Removed trailing space in v~: Shamothi Mharori,

CH1 11:27 Removed trailing space in p~: Helesi Mpeloni,

CH1 11:28 Removed trailing space in v~: Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa,

CH1 11:28 Removed trailing space in p~: Abiezeri kutoka Anathothi,

CH1 11:29 Removed trailing space in v~: Sibekai Mhushathi,

CH1 11:29 Removed trailing space in p~: Ilai Mwahohi,

CH1 11:30 Removed trailing space in v~: Maharai Mnetofathi,

CH1 11:30 Removed trailing space in p~: Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi,

CH1 11:31 Removed trailing space in v~: Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini,

CH1 11:31 Removed trailing space in p~: Benaya Mpirathoni,

CH1 11:32 Removed trailing space in v~: Hurai kutoka mabonde ya Gaashi,

CH1 11:32 Removed trailing space in p~: Abieli Mwaribathi,

CH1 11:33 Removed trailing space in v~: Azmawethi Mbaharumi,

CH1 11:33 Removed trailing space in p~: Eliaba Mshaalboni,

CH1 11:34 Removed trailing space in v~: wana wa Hashemu Mgiloni,

CH1 11:34 Removed trailing space in p~: Yonathani mwana wa Shagee Mharari,

CH1 11:35 Removed trailing space in v~: Ahiamu mwana wa Sakari Mharari,

CH1 11:35 Removed trailing space in p~: Elifale mwana wa Uru,

CH1 11:36 Removed trailing space in v~: Heferi Mmekerathi,

CH1 11:36 Removed trailing space in p~: Ahiya Mpeloni,

CH1 11:37 Removed trailing space in v~: Hezro Mkarmeli,

CH1 11:37 Removed trailing space in p~: Naarai mwana wa Ezbai,

CH1 11:38 Removed trailing space in v~: Yoeli nduguye Nathani,

CH1 11:38 Removed trailing space in p~: Mibhari mwana wa Hagri,

CH1 11:39 Removed trailing space in v~: Seleki Mwamoni,

CH1 11:39 Removed trailing space in p~: Naharai Mbeerothi, mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya,

CH1 11:40 Removed trailing space in v~: Ira Mwithiri,

CH1 11:40 Removed trailing space in p~: Garebu Mwithiri,

CH1 11:41 Removed trailing space in v~: Uria Mhiti,

CH1 11:41 Removed trailing space in p~: Zabadi mwana wa Alai,

CH1 11:42 Removed trailing space in v~: Adina mwana wa Shiza Mreubeni, ambaye alikuwa mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini,

CH1 11:43 Removed trailing space in v~: Hanani mwana wa Maaka,

CH1 11:43 Removed trailing space in p~: Yoshafati Mmithni,

CH1 11:44 Removed trailing space in v~: Uzia Mwashterathi,

CH1 11:44 Removed trailing space in p~: Shama na Yeieli wana wa Hothamu Mwaroeri,

CH1 11:45 Removed trailing space in v~: Yediaeli mwana wa Shimri,

CH1 11:45 Removed trailing space in p~: nduguye Yoha Mtizi,

CH1 11:46 Removed trailing space in v~: Elieli Mmahawi,

CH1 11:46 Removed trailing space in p~: Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu,

CH1 11:46 Removed trailing space in p~: Ithma Mmoabu,

CH1 11:47 Removed trailing space in v~: Elieli, na Obedi na Yaasieli Mmesobai.

CH1 12:0 Extra space after chapter number

CH1 12:0 Removed trailing space in c: 12

CH1 12:0 Removed trailing space in s1: Mashujaa Waungana Na Daudi

CH1 12:1 Removed trailing space in v~: Hawa ndio watu waliomjia Daudi huko Siklagi, wakati alikuwa amefukuzwa mbele ya Sauli mwana wa Kishi (walikuwa miongoni mwa mashujaa waliomsaidia Daudi vitani,

CH1 12:2 Removed trailing space in v~: walikuwa na pinde na walikuwa na uwezo wa kupiga mishale au kutupa mawe kwa kombeo wakitumia mkono wa kushoto au wa kulia; hawa walikuwa ndugu zake Sauli kutoka kabila la Benyamini):

CH1 12:3 Removed trailing space in v~: Mkuu wao alikuwa Ahiezeri, na wa pili Yoashi, wote wana wa Shemaa Mgibeathi; pia Yezieli na Peleti wana wa Azmawethi; Beraka, Yehu Mwanathothi,

CH1 12:4 Removed trailing space in v~: na Ishmaya Mgibeoni, shujaa miongoni mwa wale Thelathini, ambaye alikuwa kiongozi wa wale Thelathini; Yeremia, Yahazieli, Yohanani, Yozabadi, Mgederathi,

CH1 12:5 Removed trailing space in v~: Eluzai, Yeremothi, Bealia, Shemaria, Shefatia, Mharufi;

CH1 12:6 Removed trailing space in v~: Elikana, Ishia, Azareli, Yoezeri na Yashobeamu, wana wa Kora;

CH1 12:7 Removed trailing space in v~: Yoela na Zebadia, wana wa Yerohamu, kutoka Gedori.

CH1 12:8 Removed trailing space in v~: Baadhi ya Wagadi wakajitenga na kujiunga na Daudi katika ngome yake huko jangwani. Walikuwa mashujaa hodari, waliokuwa tayari kwa vita na wenye uwezo wa kutumia ngao na mkuki. Nyuso zao zilikuwa nyuso za simba na walikuwa na wepesi kama paa milimani.

CH1 12:9 Removed trailing space in v~: Ezeri alikuwa mkuu wao,

CH1 12:9 Removed trailing space in p~: Obadia alikuwa wa pili katika uongozi, Eliabu wa tatu,

CH1 12:10 Removed trailing space in v~: Mishmana wa nne, Yeremia wa tano,

CH1 12:11 Removed trailing space in v~: Atai wa sita, Elieli wa saba,

CH1 12:12 Removed trailing space in v~: Yohanani wa nane, Elzabadi wa tisa,

CH1 12:13 Removed trailing space in v~: Yeremia wa kumi, na Makbanai wa kumi na moja.

CH1 12:14 Removed trailing space in v~: Hawa Wagadi walikuwa majemadari. Aliyekuwa wa mwisho kuliko wote aliweza kuongoza askari 100, na aliyekuwa na uweza zaidi ya wote aliongoza 1,000.

CH1 12:15 Removed trailing space in v~: Wao ndio walivuka Mto Yordani katika mwezi wa kwanza ukiwa umefurika hadi kwenye kingo zake zote na kusababisha watu wote waliokuwa wanaishi kwenye mabonde kukimbilia mashariki na wengine magharibi.

CH1 12:16 Removed trailing space in v~: Wabenyamini wengine na baadhi ya watu kutoka Yuda pia walikuja kwa Daudi katika ngome yake.

CH1 12:17 Removed trailing space in v~: Daudi akatoka nje kuwalaki na akawaambia, “Kama mmekuja kwangu kwa amani, kunisaidia, mimi niko tayari kuwaruhusu ninyi kuungana nami. Lakini kama mmekuja ili kunisaliti kwa adui zangu wakati mimi mikono yangu haina hatia, basi Mungu wa baba zetu aone na awahukumu.”

CH1 12:18 Removed trailing space in v~: Kisha Roho akaja juu ya Amasai, mkuu wa wale Thelathini, naye akasema:

CH1 12:18 Removed trailing space in p~: “Sisi tu watu wako, ee Daudi!

CH1 12:18 Removed trailing space in p~: Nasi tuko pamoja na wewe, ee mwana wa Yese!

CH1 12:18 Removed trailing space in p~: Ushindi, naam, ushindi uwe kwako,

CH1 12:18 Removed trailing space in p~: pia ushindi kwa wale walio upande wako,

CH1 12:18 Removed trailing space in p~: kwa kuwa Mungu wako atakusaidia.”

CH1 12:18 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Daudi akawapokea na kuwafanya viongozi wa vikosi vyake vya uvamizi.

CH1 12:19 Removed trailing space in v~: Baadhi ya watu kutoka kabila la Manase wakajiunga na Daudi wakati alikwenda pamoja na Wafilisti, kupigana na Sauli. (Daudi na watu wake hawakuwasaidia Wafilisti kwa sababu, baada ya ushauri, watawala wao walimrudisha. Wakasema, “Itatugharimu vichwa vyetu kama Daudi atatuasi na kurudi kwa Sauli bwana wake.”)

CH1 12:20 Removed trailing space in v~: Daudi alipokwenda Siklagi, hawa ndio watu wa kabila la Manase waliojiunga naye: Adna, Yozabadi, Yediaeli, Mikaeli, Yozabadi, Elihu na Silethai, viongozi wa vikosi vya watu 1,000 katika kabila la Manase.

CH1 12:21 Removed trailing space in v~: Walimsaidia Daudi dhidi ya makundi ya uvamizi, kwa kuwa wote walikuwa mashujaa hodari na walikuwa majemadari katika jeshi lake.

CH1 12:22 Removed trailing space in v~: Siku baada ya siku watu walikuja kumsaidia Daudi, mpaka akawa na jeshi kubwa, kama jeshi la Mungu.

CH1 12:22 Removed trailing space in s1: Wengine Waungana Na Daudi Huko Hebroni

CH1 12:23 Removed trailing space in v~: Hawa ndio watu waliojiandaa kwa ajili ya vita waliokuja kwa Daudi huko Hebroni ili kumtwalia ufalme kutoka kwa Sauli, kama \nd Bwana\nd* alivyokuwa amesema:

CH1 12:24 Removed trailing space in v~: watu wa Yuda, wanaochukua ngao na mikuki walikuwa 6,800 wote wakiwa tayari kwa vita.

CH1 12:25 Removed trailing space in v~: Watu wa Simeoni, mashujaa waliokuwa tayari kwa vita walikuwa 7,100.

CH1 12:26 Removed trailing space in v~: Watu wa Lawi walikuwa 4,600,

CH1 12:27 Removed trailing space in v~: pamoja na Yehoyada, kiongozi wa jamaa ya Aroni, aliyekuwa pamoja na watu 3,700,

CH1 12:28 Removed trailing space in v~: na Sadoki, kijana shujaa na hodari, aliyekuwa pamoja na maafisa ishirini na wawili kutoka jamaa yake.

CH1 12:29 Removed trailing space in v~: Watu wa Benyamini, ndugu zake Sauli, walikuwa 3,000; wengi wao walikuwa wameendelea kuwa waaminifu kwa Sauli mpaka wakati huo.

CH1 12:30 Removed trailing space in v~: Watu wa Efraimu, mashujaa hodari 20,800, watu waliokuwa maarufu katika koo zao.

CH1 12:31 Removed trailing space in v~: Watu wa nusu ya kabila la Manase, waliotajwa kwa majina ili waje kumweka Daudi kuwa mfalme, watu 18,000.

CH1 12:32 Removed trailing space in v~: Watu wa Isakari, waliofahamu majira na kujua kile ambacho Israeli inapasa kufanya, walikuwa viongozi 200, pamoja na jamaa zao wote chini ya uongozi wao.

CH1 12:33 Removed trailing space in v~: Watu wa Zabuloni, askari wenye uzoefu mkubwa walioandaliwa tayari kwa vita wakiwa na silaha za kila aina, ili kumsaidia Daudi kwa uaminifu thabiti, walikuwa 50,000.

CH1 12:34 Removed trailing space in v~: Watu wa Naftali, maafisa 1,000, pamoja na watu 37,000 waliochukua ngao na mikuki.

CH1 12:35 Removed trailing space in v~: Watu wa Dani 28,600 waliokuwa tayari kwa vita.

CH1 12:36 Removed trailing space in v~: Watu wa Asheri, askari 40,000 wenye uzoefu mkubwa waliondaliwa kwa ajili ya vita.

CH1 12:37 Removed trailing space in v~: Na pia watu kutoka mashariki ya Yordani, watu wa Reubeni, Gadi na nusu ya kabila la Manase, wakiwa na kila aina ya silaha, watu 120,000.

CH1 12:38 Removed trailing space in v~: Wote hawa walikuwa watu wapiganaji waliojitolea kutumika katika safu zao. Walikuja Hebroni wakiwa wameamua kikamilifu kumfanya Daudi mfalme juu ya Israeli yote. Waisraeli wengine wote walikuwa pia na nia hiyo moja ya kumfanya Daudi kuwa mfalme.

CH1 12:39 Removed trailing space in v~: Watu hawa wakakaa huko na Daudi siku tatu, wakila na kunywa, kwa sababu jamaa zao zilikuwa zimewapatia mahitaji yao.

CH1 12:40 Removed trailing space in v~: Pia, majirani zao hata wale walio mbali hadi Isakari, Zabuloni na Naftali, walikuja wakiwaletea vyakula walivyovibeba kwa punda, ngamia, nyumbu na maksai. Kulikuwepo na wingi wa unga, maandazi ya tini, maandazi ya zabibu kavu, divai, mafuta, ngʼombe na kondoo, kwa maana kulikuwa na furaha katika Israeli.

CH1 13:0 Extra space after chapter number

CH1 13:0 Removed trailing space in c: 13

CH1 13:0 Removed trailing space in s1: Kurudishwa Kwa Sanduku La Mungu

CH1 13:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 6:1-11)

CH1 13:1 Removed trailing space in v~: Daudi alishauriana na kila afisa wake, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia.

CH1 13:2 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akaliambia kusanyiko lote la Israeli, “Kama mkiona ni vyema, na kama ni mapenzi ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu, tupeleke ujumbe kwa ndugu zetu wengine walio mbali na walio karibu katika nchi yote ya Israeli, pia kwa makuhani na Walawi walio pamoja nao katika miji yao na katika sehemu zao za malisho yao, waje waungane na sisi.

CH1 13:3 Removed trailing space in v~: Sisi na tulirudishe Sanduku la Mungu wetu kwetu kwa maana hatukujali wakati wa utawala wa Sauli.”

CH1 13:4 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote likakubaliana kufanya hivyo, kwa sababu ilionekana vyema kwa watu wote.

CH1 13:5 Removed trailing space in v~: Basi Daudi akawakusanya Waisraeli wote, kuanzia Mto Shihori ulioko Misri hadi Lebo-Hamathi, ili kulileta Sanduku la Mungu kutoka Kiriath-Yearimu.

CH1 13:6 Removed trailing space in v~: Daudi akiwa pamoja na Waisraeli wote wakaenda Baala ya Yuda (yaani Kiriath-Yearimu) kulipandisha Sanduku la Mungu \nd Bwana\nd*, yeye anayeketi katika kiti cha enzi kati ya makerubi: Sanduku linaloitwa kwa Jina lake, kutoka huko.

CH1 13:7 Removed trailing space in v~: Wakalisafirisha Sanduku la Mungu kwa gari jipya la kukokotwa na maksai kutoka nyumba ya Abinadabu, Uza na Ahio wakiliongoza gari hilo.

CH1 13:8 Removed trailing space in v~: Daudi pamoja na Waisraeli wote walikuwa wanasifu kwa nguvu zao zote mbele za Mungu, kwa nyimbo na kwa vinubi, zeze, matari, matoazi na tarumbeta.

CH1 13:9 Removed trailing space in v~: Walipofika kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Kidoni, Uza akaunyoosha mkono wake ili kulizuia Sanduku, kwa sababu maksai walijikwaa.

CH1 13:10 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya Uza, akampiga kwa sababu aliuweka mkono wake kwenye Sanduku. Kwa hiyo akafa pale mbele za Mungu.

CH1 13:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akakasirika kwa sababu ghadhabu ya \nd Bwana\nd* ilifurika dhidi ya Uza, mahali pale pakaitwa Peres-Uza\f + \fr 13:11 \ft Maana yake ni Gadhabu dhidi ya Uza.\f* hadi leo.

CH1 13:12 Removed trailing space in v~: Siku ile Daudi akamwogopa Mungu naye akauliza. “Nitawezaje kulichukua Sanduku la Mungu kwangu?”

CH1 13:13 Removed trailing space in v~: Hakulichukua hilo Sanduku akae nalo katika Mji wa Daudi. Badala yake, akalipeleka nyumbani kwa Obed-Edomu, Mgiti.

CH1 13:14 Removed trailing space in v~: Sanduku la Mungu likabaki pamoja na jamaa ya Obed-Edomu, nyumbani kwake kwa miezi mitatu, naye \nd Bwana\nd* akaibariki nyumba yake pamoja na kila kitu alichokuwa nacho.

CH1 14:0 Extra space after chapter number

CH1 14:0 Removed trailing space in c: 14

CH1 14:0 Removed trailing space in s1: Nyumba Ya Daudi Na Jamaa Yake

CH1 14:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 5:11-16)

CH1 14:1 Removed trailing space in v~: Basi Hiramu mfalme wa Tiro akawatuma wajumbe kwa Daudi, wakiwa na magogo ya mierezi, waashi na maseremala ili kumjengea jumba la kifalme.

CH1 14:2 Removed trailing space in v~: Naye Daudi akatambua kwamba \nd Bwana\nd* amemwimarisha kuwa mfalme juu ya Israeli na kwamba ufalme wake umetukuzwa kwa ajili ya Israeli, watu wake.

CH1 14:3 Removed trailing space in v~: Huko Yerusalemu Daudi akaoa wake wengine zaidi na akawa baba wa wana na mabinti wengi.

CH1 14:4 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo majina ya watoto waliozaliwa kwake huko: Shamua, Shobabu, Nathani, Solomoni,

CH1 14:5 Removed trailing space in v~: Ibihari, Elishua, Elpeleti,

CH1 14:6 Removed trailing space in v~: Noga, Nefegi, Yafia,

CH1 14:7 Removed trailing space in v~: Elishama, Beeliada na Elifeleti.

CH1 14:7 Removed trailing space in s1: Daudi Awashinda Wafilisti

CH1 14:7 Removed trailing space in r: (2 Samweli 5:17-25)

CH1 14:8 Removed trailing space in v~: Wafilisti waliposikia kuwa Daudi ametiwa mafuta kuwa mfalme wa Israeli yote, wakapanda na jeshi lao lote kwenda kumsaka, lakini Daudi akapata habari hizo, naye akatoka ili kwenda kukabiliana nao.

CH1 14:9 Removed trailing space in v~: Basi Wafilisti walikuwa wameingia na kushambulia Bonde la Warefai,

CH1 14:10 Removed trailing space in v~: Hivyo Daudi akamuuliza Mungu: “Je, niende kuwashambulia hao Wafilisti? Je, utawatia mikononi mwangu?”

CH1 14:10 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* akamjibu, “Nenda, nitawatia mikononi mwako.”

CH1 14:11 Removed trailing space in v~: Hivyo Daudi pamoja na watu wake wakakwea mpaka Baal-Perasimu,\f + \fr 14:11 \ft Maana yake ni Bwana Afurikae.\f* akawashinda huko. Akasema, “Kama maji yafurikavyo, Mungu amewafurikia adui zangu kwa kutumia mkono wangu.” Kwa hiyo mahali pale pakaitwa Baal-Perasimu.

CH1 14:12 Removed trailing space in v~: Wafilisti walikuwa wameacha miungu yao huko, Daudi akaamuru iteketezwe kwa moto.

CH1 14:13 Removed trailing space in v~: Kwa mara nyingine Wafilisti wakavamia lile bonde;

CH1 14:14 Removed trailing space in v~: hivyo Daudi akamuuliza Mungu tena, naye Mungu akamjibu, “Usiwapandie moja kwa moja, bali wazungukie na uwashambulie kutoka mbele ya hiyo miti ya miforosadi.

CH1 14:15 Removed trailing space in v~: Mara usikiapo sauti ya kwenda juu ya hiyo miti ya miforosadi, hapo ndipo utoke upigane vita, kwa sababu hiyo itaonyesha kwamba Mungu amekutangulia ili kupiga jeshi la Wafilisti.”

CH1 14:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akafanya kama alivyoagizwa na Mungu, wakalipiga jeshi la Wafilisti kuanzia Gibeoni hadi Gezeri.

CH1 14:17 Removed trailing space in v~: Hivyo umaarufu wa Daudi ukaenea katika kila nchi, naye \nd Bwana\nd* akayafanya mataifa yote kumwogopa Daudi.

CH1 15:0 Extra space after chapter number

CH1 15:0 Removed trailing space in c: 15

CH1 15:0 Removed trailing space in s1: Sanduku La Agano Laletwa Yerusalemu

CH1 15:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 6:12-22)

CH1 15:1 Removed trailing space in v~: Baada ya Daudi kujijengea nyumba zake katika Mji wa Daudi, akatengeneza sehemu kwa ajili ya Sanduku la Mungu, kisha akasimamisha hema kwa ajili yake.

CH1 15:2 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akasema, “Hakuna mtu yeyote anayeruhusiwa kulibeba Sanduku la Mungu isipokuwa Walawi peke yao, kwa sababu \nd Bwana\nd* aliwachagua kulibeba Sanduku la \nd Bwana\nd* na kuhudumu mbele zake milele.”

CH1 15:3 Removed trailing space in v~: Daudi akawakusanya Israeli wote huko Yerusalemu ili kulipandisha Sanduku la \nd Bwana\nd* na kulileta hadi kwenye sehemu aliyokuwa ametengeneza kwa ajili yake.

CH1 15:4 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akawakusanya pamoja wazao wa Aroni na Walawi:

CH1 15:5 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Kohathi,

CH1 15:5 Removed trailing space in p~: Urieli kiongozi na ndugu zake 120,

CH1 15:6 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Merari,

CH1 15:6 Removed trailing space in p~: Asaya kiongozi na ndugu zake 220.

CH1 15:7 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Gershoni,\f + \fr 15:7 \ft Namna nyingine ya kutaja Gershomu.\f*

CH1 15:7 Removed trailing space in p~: Yoeli kiongozi na ndugu zake 130.

CH1 15:8 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Elisafani,

CH1 15:8 Removed trailing space in p~: Shemaya kiongozi na ndugu zake 200.

CH1 15:9 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Hebroni,

CH1 15:9 Removed trailing space in p~: Elieli kiongozi na ndugu zake 80.

CH1 15:10 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Uzieli,

CH1 15:10 Removed trailing space in p~: Aminadabu kiongozi na ndugu zake 112.

CH1 15:11 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akawaita makuhani Sadoki na Abiathari, pamoja na Walawi Urieli, Asaya, Yoeli, Shemaya, Elieli na Aminadabu.

CH1 15:12 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Ninyi ndio viongozi wa jamaa za Walawi. Ninyi pamoja na Walawi wenzenu inawapasa mjitakase na kulipandisha Sanduku la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli hadi mahali ambapo nimetengeneza kwa ajili yake.

CH1 15:13 Removed trailing space in v~: Ilikuwa ni kwa sababu hii, ninyi Walawi, hamkulipandisha Sanduku la \nd Bwana\nd* mara ya kwanza, hata ikasababisha \nd Bwana\nd* Mungu wetu kuwaka hasira dhidi yetu. Hatukumuuliza jinsi ya kufanya ili tupate kulileta jinsi alivyoagiza.”

CH1 15:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo makuhani pamoja na Walawi wakajitakasa ili kulipandisha Sanduku la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH1 15:15 Removed trailing space in v~: Nao Walawi wakalichukua Sanduku la Mungu mabegani mwao wakitumia mipiko, kama vile Mose alivyoamuru sawasawa na neno la \nd Bwana\nd*.

CH1 15:16 Removed trailing space in v~: Daudi akawaambia viongozi wa Walawi kuwaweka ndugu zao waimbaji ili waimbe nyimbo za shangwe, wakiwa na vyombo vya uimbaji: zeze, vinubi na matoazi.

CH1 15:17 Removed trailing space in v~: Basi Walawi wakawaweka Hemani mwana wa Yoeli; kutoka miongoni mwa ndugu zake, Asafu mwana wa Berekia; kutoka miongoni mwa ndugu zao Wamerari, Ethani mwana wa Kushaiya;

CH1 15:18 Removed trailing space in v~: hawa ndio waliochaguliwa kuwa wasaidizi wao: Zekaria, Yaazieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Benaya, Maaseya, Matithia, Elifelehu, Mikneya, pamoja na mabawabu Obed-Edomu na Yehieli.

CH1 15:19 Removed trailing space in v~: Waimbaji Hemani, Asafu na Ethani walichaguliwa kupiga matoazi ya shaba;

CH1 15:20 Removed trailing space in v~: Zekaria, Azieli, Shemiramothi, Yehieli, Uni, Eliabu, Maaseya na Benaya walikuwa wapiga zeze kufuatana na sauti ya \it alamothi\it*,\f + \fr 15:20 \ft Huenda ni aina ya uimbaji.\f*

CH1 15:21 Removed trailing space in v~: na Matithia, Elifelehu, Mikneya, Obed-Edomu, Yehieli na Azazia walikuwa wapiga vinubi, wakiongozwa kwa kufuata sauti ya \it sheminithi\it*.\f + \fr 15:21 \ft Huenda ni aina ya uimbaji.\f*

CH1 15:22 Removed trailing space in v~: Kenania kiongozi wa Walawi alikuwa msimamizi wa uimbaji; huu ndio uliokuwa wajibu wake kwa sababu alikuwa stadi katika hilo.

CH1 15:23 Removed trailing space in v~: Berekia na Elikana walikuwa mabawabu kwa ajili ya Sanduku.

CH1 15:24 Removed trailing space in v~: Shebania, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaya na Eliezeri, makuhani, walikuwa wapiga tarumbeta mbele ya Sanduku la Mungu. Obed-Edomu na Yehiya waliwekwa pia kuwa mabawabu wa Sanduku.

CH1 15:25 Removed trailing space in v~: Basi Daudi pamoja na wazee wa Israeli na majemadari wa vikosi vya elfu wakaenda ili kulipandisha Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* kutoka nyumba ya Obed-Edomu kwa shangwe.

CH1 15:26 Removed trailing space in v~: Kwa sababu Mungu alikuwa amewasaidia Walawi waliokuwa wanalichukua Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*, mafahali saba na kondoo dume saba walitolewa dhabihu.

CH1 15:27 Removed trailing space in v~: Basi Daudi alikuwa amevaa joho la kitani safi, kama walivyokuwa wamevaa Walawi wote waliokuwa wanalichukua lile Sanduku, waimbaji nao walivaa vivyo hivyo, pamoja na Kenania aliyekuwa anaongoza nyimbo za waimbaji. Daudi alivaa pia kisibau cha kitani safi.

CH1 15:28 Removed trailing space in v~: Hivyo Israeli wote wakalipandisha Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* kwa shangwe, wakipiga pembe za kondoo dume, tarumbeta, matoazi, wakipiga zeze na vinubi.

CH1 15:29 Removed trailing space in v~: Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* lilipokuwa linaingia katika Mji wa Daudi, Mikali binti Sauli akachungulia dirishani. Naye alipomwona Mfalme Daudi akicheza na kusherehekea, akamdharau moyoni mwake.

CH1 16:0 Extra space after chapter number

CH1 16:0 Removed trailing space in c: 16

CH1 16:0 Removed trailing space in s1: Sanduku Lawekwa Ndani Ya Hema

CH1 16:1 Removed trailing space in v~: Wakaleta Sanduku la Mungu na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamisha kwa ajili yake, na wakatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Mungu.

CH1 16:2 Removed trailing space in v~: Baada ya Daudi kumaliza kutoa hizo sadaka za kuteketezwa na hizo sadaka za amani, akawabariki watu katika jina la \nd Bwana\nd*.

CH1 16:3 Removed trailing space in v~: Kisha akamgawia kila Mwisraeli mwanaume na mwanamke mkate, andazi la tende na andazi la zabibu kavu.

CH1 16:4 Removed trailing space in v~: Akawaweka pia baadhi ya Walawi ili wahudumu mbele ya Sanduku la \nd Bwana\nd* kufanya maombi, kumshukuru na kumsifu \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli:

CH1 16:5 Removed trailing space in v~: Asafu ndiye alikuwa mkuu wao, akisaidiwa na Zekaria, Yeieli, Shemiramothi, Yehieli, Matithia, Eliabu, Benaya, Obed-Edomu na Yeieli. Hawa ndio wangepiga zeze na vinubi, Asafu angepiga matoazi,

CH1 16:6 Removed trailing space in v~: nao Benaya na Yahazieli makuhani, ndio wangepiga tarumbeta mara kwa mara mbele ya Sanduku la Agano la Mungu.

CH1 16:6 Removed trailing space in s1: Zaburi Ya Daudi Ya Shukrani

CH1 16:6 Removed trailing space in r: (Zaburi 105:1-15; 96:1-13; 106:1, 47-48)

CH1 16:7 Removed trailing space in v~: Siku ile, kitu cha kwanza Daudi alichofanya ni kumkabidhi Asafu na wenzake zaburi hii ya shukrani kwa \nd Bwana\nd*:

CH1 16:8 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd*, liitieni jina lake;

CH1 16:8 Removed trailing space in p~: wajulisheni mataifa yale aliyoyatenda.

CH1 16:9 Removed trailing space in v~: Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa;

CH1 16:9 Removed trailing space in p~: waambieni matendo yake yote ya ajabu.

CH1 16:10 Removed trailing space in v~: Lishangilieni jina lake takatifu;

CH1 16:10 Removed trailing space in p~: mioyo ya wale wamtafutao \nd Bwana\nd* na ifurahi.

CH1 16:11 Removed trailing space in v~: Mtafuteni \nd Bwana\nd* na nguvu zake;

CH1 16:11 Removed trailing space in p~: utafuteni uso wake siku zote.

CH1 16:12 Removed trailing space in v~: Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya,

CH1 16:12 Removed trailing space in p~: miujiza yake na hukumu alizozitamka,

CH1 16:13 Removed trailing space in v~: enyi wazao wa Israeli mtumishi wake,

CH1 16:13 Removed trailing space in p~: enyi wana wa Yakobo, wateule wake.

CH1 16:14 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye \nd Bwana\nd* Mungu wetu;

CH1 16:14 Removed trailing space in p~: hukumu zake zimo duniani pote.

CH1 16:15 Removed trailing space in v~: Hulikumbuka agano lake milele,

CH1 16:15 Removed trailing space in p~: neno ambalo aliamuru, kwa vizazi elfu,

CH1 16:16 Removed trailing space in v~: agano alilolifanya na Abrahamu,

CH1 16:16 Removed trailing space in p~: kiapo alichomwapia Isaki.

CH1 16:17 Removed trailing space in v~: Alilithibitisha kwa Yakobo kuwa amri,

CH1 16:17 Removed trailing space in p~: kwa Israeli liwe agano la milele:

CH1 16:18 Removed trailing space in v~: “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani

CH1 16:18 Removed trailing space in p~: kuwa sehemu utakayoirithi.”

CH1 16:19 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wachache kwa idadi,

CH1 16:19 Removed trailing space in p~: wachache sana na wageni ndani yake,

CH1 16:20 Removed trailing space in v~: walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine,

CH1 16:20 Removed trailing space in p~: kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.

CH1 16:21 Removed trailing space in v~: Hakuruhusu mtu yeyote awaonee;

CH1 16:21 Removed trailing space in p~: kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:

CH1 16:22 Removed trailing space in v~: “Msiwaguse niliowatia mafuta;

CH1 16:22 Removed trailing space in p~: msiwadhuru manabii wangu.”

CH1 16:23 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* dunia yote;

CH1 16:23 Removed trailing space in p~: tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.

CH1 16:24 Removed trailing space in v~: Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,

CH1 16:24 Removed trailing space in p~: matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.

CH1 16:25 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni mkuu,

CH1 16:25 Removed trailing space in p~: mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;

CH1 16:25 Removed trailing space in p~: yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.

CH1 16:26 Removed trailing space in v~: Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,

CH1 16:26 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* aliziumba mbingu.

CH1 16:27 Removed trailing space in v~: Fahari na enzi viko mbele yake;

CH1 16:27 Removed trailing space in p~: nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.

CH1 16:28 Removed trailing space in v~: Mpeni \nd Bwana\nd*, enyi jamaa za mataifa,

CH1 16:28 Removed trailing space in p~: mpeni \nd Bwana\nd* utukufu na nguvu,

CH1 16:29 Removed trailing space in v~: mpeni \nd Bwana\nd* utukufu

CH1 16:29 Removed trailing space in p~: unaostahili jina lake.

CH1 16:29 Removed trailing space in p~: Leteni sadaka na mje katika nyua zake;

CH1 16:29 Removed trailing space in p~: mwabuduni \nd Bwana\nd* katika uzuri wa utakatifu wake.

CH1 16:30 Removed trailing space in v~: Dunia yote na itetemeke mbele zake!

CH1 16:30 Removed trailing space in p~: Ulimwengu ameuweka imara; hauwezi kusogezwa.

CH1 16:31 Removed trailing space in v~: Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;

CH1 16:31 Removed trailing space in p~: semeni katikati ya mataifa, “\nd Bwana\nd* anatawala!”

CH1 16:32 Removed trailing space in v~: Bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;

CH1 16:32 Removed trailing space in p~: mashamba na yashangilie, na vyote vilivyomo ndani yake.

CH1 16:33 Removed trailing space in v~: Kisha miti ya msituni itaimba,

CH1 16:33 Removed trailing space in p~: itaimba kwa furaha mbele za \nd Bwana\nd*,

CH1 16:33 Removed trailing space in p~: kwa maana anakuja kuihukumu dunia.

CH1 16:34 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd* kwa kuwa ni mwema;

CH1 16:34 Removed trailing space in p~: upendo wake wadumu milele.

CH1 16:35 Removed trailing space in v~: Mlilieni, “Ee Mungu Mwokozi wetu, tuokoe.

CH1 16:35 Removed trailing space in p~: Tukusanye tena na utukomboe kutoka kwa mataifa,

CH1 16:35 Removed trailing space in p~: ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu,

CH1 16:35 Removed trailing space in p~: na kushangilia katika sifa zako.”

CH1 16:36 Removed trailing space in v~: Atukuzwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli,

CH1 16:36 Removed trailing space in p~: tangu milele na hata milele.

CH1 16:36 Removed trailing space in p~: Nao watu wote wakasema, “Amen,” na “Msifuni \nd Bwana\nd*.”

CH1 16:37 Removed trailing space in v~: Daudi akamwacha Asafu na wenzake mbele ya Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* ili wahudumu humo mara kwa mara, kulingana na mahitaji ya kila siku.

CH1 16:38 Removed trailing space in v~: Pia akamwacha Obed-Edomu pamoja na wenzake sitini na wanane wahudumu pamoja nao. Obed-Edomu mwana wa Yeduthuni na pia Hosa walikuwa mabawabu wa lango.

CH1 16:39 Removed trailing space in v~: Daudi akamwacha kuhani Sadoki pamoja na makuhani wenzake mbele ya hema ya ibada ya \nd Bwana\nd* katika mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni

CH1 16:40 Removed trailing space in v~: ili kutoa sadaka za kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd* kwenye madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa mara kwa mara, asubuhi na jioni, sawasawa na kila kitu kilichoandikwa katika sheria ya \nd Bwana\nd* ambayo alikuwa amempa Israeli.

CH1 16:41 Removed trailing space in v~: Waliohudumu pamoja nao walikuwa Hemani, Yeduthuni na wale wote waliochaguliwa na kutajwa kwa jina kumpa \nd Bwana\nd* shukrani, “Kwa maana fadhili zake zadumu milele.”

CH1 16:42 Removed trailing space in v~: Hemani na Yeduthuni walikuwa na wajibu wa kupiga tarumbeta, matoazi na kutumia vyombo vingine kwa ajili ya nyimbo za sifa kwa Mungu. Wana wa Yeduthuni waliwekwa langoni.

CH1 16:43 Removed trailing space in v~: Kisha watu wote wakaondoka, kila mmoja akarudi nyumbani kwake, naye Daudi akarudi nyumbani kuibariki jamaa yake.

CH1 17:0 Extra space after chapter number

CH1 17:0 Removed trailing space in c: 17

CH1 17:0 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi

CH1 17:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 7:1-17)

CH1 17:1 Removed trailing space in v~: Baada ya Daudi kuingia rasmi katika jumba lake la kifalme, akamwambia nabii Nathani, “Hebu tazama, mimi ninakaa kwenye nyumba nzuri iliyojengwa kwa mierezi, wakati Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* liko ndani ya hema.”

CH1 17:2 Removed trailing space in v~: Nathani akamjibu Daudi, “Lolote ulilo nalo moyoni mwako litende, kwa maana Mungu yu pamoja nawe.”

CH1 17:3 Removed trailing space in v~: Usiku ule neno la Mungu likamjia Nathani, kusema:

CH1 17:4 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Wewe hutanijengea mimi nyumba ili nikae humo.

CH1 17:5 Removed trailing space in v~: Mimi sijakaa ndani ya nyumba tangu siku ile niliyowatoa Israeli kutoka Misri mpaka leo. Nimehama kutoka hema moja hadi jingine na kutoka mahali pamoja hadi pengine.

CH1 17:6 Removed trailing space in v~: Je, popote nilipokwenda pamoja na Waisraeli wote, wakati wowote nilimwambia kiongozi yeyote niliyemwagiza kuwachunga watu wangu, kwa nini hujanijengea nyumba ya mierezi?’ 

CH1 17:7 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, mwambie mtumishi wangu Daudi, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: Nilikuchukua machungani na kutoka kuandama kondoo ili uwatawale watu wangu Israeli.

CH1 17:8 Removed trailing space in v~: Nimekuwa pamoja nawe popote ulipokwenda, nami nimekuondolea mbali adui zako wote mbele yako. Basi nitalifanya jina lako kuwa kuu kama majina ya watu walio wakuu sana duniani.

CH1 17:9 Removed trailing space in v~: Nami nitawapatia watu wangu Israeli mahali na nitawapa ili wawe na mahali pao wenyewe pa kuishi na wasisumbuliwe tena. Watu waovu hawatawaonea tena, kama walivyofanya mwanzoni,

CH1 17:10 Removed trailing space in v~: na ambavyo wamefanya siku zote tangu nilipowachagua viongozi kwa ajili ya watu wangu Israeli. Pia nitawatiisha adui zenu wote.

CH1 17:10 Removed trailing space in p~: “ ‘Pamoja na hayo ninakuambia kwamba \nd Bwana\nd* atakujengea nyumba:

CH1 17:11 Removed trailing space in v~: Wakati wako utakapokuwa umekwisha, nawe ukawa umekwenda kukaa na baba zako, nitamwinua mzao wako aingie mahali pako kuwa mfalme, mmoja wa wana wako mwenyewe, nami nitaufanya imara ufalme wake.

CH1 17:12 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili yangu, nami nitakifanya imara kiti cha ufalme wake milele.

CH1 17:13 Removed trailing space in v~: Mimi nitakuwa baba yake, naye atakuwa mwanangu. Kamwe sitaondoa upendo wangu kwake, kama nilivyouondoa kwa yeye aliyekutangulia.

CH1 17:14 Removed trailing space in v~: Nitamweka juu ya nyumba yangu na ufalme wangu milele; kiti chake cha enzi nitakifanya imara milele.’ ”

CH1 17:15 Removed trailing space in v~: Nathani akamwarifu Daudi maneno yote ya maono haya.

CH1 17:15 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Daudi

CH1 17:15 Removed trailing space in r: (2 Samweli 7:18-29)

CH1 17:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Daudi akaingia ndani, akaketi mbele za \nd Bwana\nd*, akasema:

CH1 17:16 Removed trailing space in p~: “Mimi ni nani, Ee \nd Bwana\nd* Mungu, na jamaa yangu ni nini, hata umenileta mpaka hapa nilipo?

CH1 17:17 Removed trailing space in v~: Kana kwamba hili halitoshi machoni pako, Ee Mungu, umenena pia kuhusu siku zijazo za nyumba ya mtumishi wako. Umeniangalia kama mtu aliyetukuka kuliko watu wote, Ee \nd Bwana\nd* Mungu.

CH1 17:18 Removed trailing space in v~: “Daudi aweza kukuambia nini zaidi kuhusu kumheshimu mtumishi wako? Kwa maana wewe unamjua mtumishi wako,

CH1 17:19 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu. Kwa ajili ya mtumishi wako, tena sawasawa na mapenzi yako, umefanya jambo hili kubwa sana na kujulisha ahadi hizi zote zilizo kubwa sana.

CH1 17:20 Removed trailing space in v~: “Hakuna aliye kama wewe, Ee \nd Bwana\nd* Mungu, wala hakuna Mungu ila wewe, kama vile tulivyosikia kwa masikio yetu wenyewe.

CH1 17:21 Removed trailing space in v~: Naye ni nani aliye kama watu wako Israeli: taifa pekee duniani ambalo Mungu wake alitoka kwenda kulikomboa kwa ajili yake mwenyewe na kujifanyia jina kwa ajili yake mwenyewe, kwa kufanya maajabu makubwa na ya kutisha kwa kuwafukuza mataifa mbele ya watu wako, ambao uliwakomboa kutoka Misri?

CH1 17:22 Removed trailing space in v~: Uliwafanya watu wako Israeli kuwa watu wako wewe mwenyewe milele, nawe, Ee \nd Bwana\nd* Mungu, umekuwa Mungu wao.

CH1 17:23 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, \nd Bwana\nd* ahadi uliyoweka kuhusu mtumishi wako na nyumba yake na uithibitishe milele. Fanya kama ulivyoahidi,

CH1 17:24 Removed trailing space in v~: ili ithibitike na jina lako litakuwa kuu milele. Kisha watu watasema, ‘\nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu aliye juu ya Israeli, ndiye Mungu wa Israeli.’ Nayo nyumba ya mtumishi wako Daudi itafanywa imara mbele zako.

CH1 17:25 Removed trailing space in v~: “Wewe, Mungu wangu, umemfunulia mtumishi wako Daudi kwamba utamjengea yeye nyumba. Hivyo mtumishi wako amekuwa na ujasiri wa kukuomba maombi haya.

CH1 17:26 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe ndiwe Mungu! Umemwahidi mtumishi wako mambo haya mazuri.

CH1 17:27 Removed trailing space in v~: Basi imekupendeza kuibariki nyumba ya mtumishi wako, ili idumu milele machoni pako; kwa ajili yako, Ee \nd Bwana\nd*, umeibariki, nayo itabarikiwa milele.”

CH1 18:0 Extra space after chapter number

CH1 18:0 Removed trailing space in c: 18

CH1 18:0 Removed trailing space in s1: Ushindi Wa Daudi

CH1 18:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 8:1-18)

CH1 18:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, Daudi akawashinda Wafilisti na kuwatiisha, naye akautwaa Gathi pamoja na vijiji vinavyouzunguka kutoka utawala wa Wafilisti.

CH1 18:2 Removed trailing space in v~: Pia Daudi akawashinda Wamoabu, wakawa watumishi wake, nao wakawa wanamletea ushuru.

CH1 18:3 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Daudi akapigana na Hadadezeri mfalme wa Soba, hadi Hamathi, wakati alikwenda kuimarisha utawala wake katika Mto Frati.

CH1 18:4 Removed trailing space in v~: Daudi akateka magari ya vita 1,000 miongoni mwa magari yake, waendesha hayo magari ya kukokotwa na farasi 7,000 na askari wa miguu 20,000. Daudi akakata mishipa ya miguu ya nyuma ya farasi wote wakokotao magari, ila akabakiza 100.

CH1 18:5 Removed trailing space in v~: Waaramu wa Dameski, walipokuja kumsaidia Hadadezeri mfalme wa Soba, Daudi akawashambulia na kuwaua 22,000 miongoni mwao.

CH1 18:6 Removed trailing space in v~: Daudi akaweka askari walinzi katika ufalme wa Waaramu huko Dameski. Basi Waaramu wakawa watumwa wa Daudi, na kumlipa ushuru. \nd Bwana\nd* akampa Daudi ushindi kote alipokwenda.

CH1 18:7 Removed trailing space in v~: Daudi akazitwaa ngao za dhahabu zilizokuwa za maafisa wa Hadadezeri na kuzileta Yerusalemu.

CH1 18:8 Removed trailing space in v~: Kutoka miji ya Tibhathi na Kuni, iliyokuwa miji ya Hadadezeri, Daudi akatwaa shaba nyingi sana, ambayo Solomoni aliitumia kutengenezea ile Bahari ya shaba, zile nguzo na vifaa mbalimbali vya shaba.

CH1 18:9 Removed trailing space in v~: Tou mfalme wa Hamathi aliposikia kwamba Daudi amelishinda jeshi lote la Hadadezeri mfalme wa Soba,

CH1 18:10 Removed trailing space in v~: akamtuma mwanawe, Hadoramu kwa Mfalme Daudi ili kumsalimu na kumpongeza kwa ushindi wake katika vita dhidi ya Mfalme Hadadezeri, kwa kuwa alikuwa amepigana vita mara nyingi na Tou. Hadoramu akamletea Daudi vifaa mbalimbali vya dhahabu, fedha na shaba.

CH1 18:11 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi akaviweka vifaa hivi wakfu kwa \nd Bwana\nd* kama vile alivyokuwa amefanya kwa fedha na dhahabu aliyokuwa ameitwaa katika mataifa yote haya: Edomu na Moabu, Waamoni, Wafilisti na Waamaleki.

CH1 18:12 Removed trailing space in v~: Abishai mwana wa Seruya akawaua Waedomu 18,000 katika Bonde la Chumvi.

CH1 18:13 Removed trailing space in v~: Akaweka kambi za askari walinzi huko Edomu, nao Waedomu wote wakawa watumishi wa Daudi. \nd Bwana\nd* akampa Daudi ushindi kila alipokwenda.

CH1 18:13 Removed trailing space in s1: Maafisa Wa Daudi

CH1 18:14 Removed trailing space in v~: Daudi akatawala Israeli yote, akitenda lililo haki na sawa kwa watu wake wote.

CH1 18:15 Removed trailing space in v~: Yoabu mwana wa Seruya alikuwa jemadari wa jeshi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi alikuwa mweka kumbukumbu;

CH1 18:16 Removed trailing space in v~: Sadoki mwana wa Ahitubu na Ahimeleki mwana wa Abiathari walikuwa makuhani; Shausha alikuwa mwandishi;

CH1 18:17 Removed trailing space in v~: naye Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa msimamizi wa Wakerethi na Wapelethi; nao wana wa Daudi walikuwa maafisa wakuu katika utumishi wa mfalme.

CH1 19:0 Extra space after chapter number

CH1 19:0 Removed trailing space in c: 19

CH1 19:0 Removed trailing space in s1: Vita Dhidi Ya Waamoni

CH1 19:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 10:1-19)

CH1 19:1 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, Nahashi mfalme wa Waamoni akafa, mwanawe akaingia mahali pake.

CH1 19:2 Removed trailing space in v~: Daudi akawaza, “Nitamtendea wema Hanuni mwana wa Nahashi, kwa sababu baba yake alinitendea wema.”

CH1 19:2 Removed trailing space in p~: Hivyo Daudi akatuma wajumbe ili kumfariji Hanuni kwa ajili ya kifo cha baba yake. Watu wa Daudi walipofika kwa Hanuni katika nchi ya Waamoni ili kumfariji,

CH1 19:3 Removed trailing space in v~: wakuu wa Waamoni wakamwambia Hanuni, “Hivi unadhani Daudi anamheshimu baba yako kwa kuwatuma wajumbe kukufariji? Je, hawa watu hawakuja kuipeleleza na kuidadisi nchi ili waishinde?”

CH1 19:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Hanuni akawakamata watu wa Daudi, akawanyoa ndevu akakata nguo zao katikati kwenye matako, akawaacha waende zao.

CH1 19:5 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja alipofika na kumpasha Daudi habari za watu hawa, akawatuma wajumbe wengine kuwalaki, kwa maana walikuwa wamevunjiwa heshima sana. Mfalme akasema, “Kaeni huko Yeriko mpaka ndevu zenu ziote, ndipo mje.”

CH1 19:6 Removed trailing space in v~: Waamoni walipotambua kuwa wamekuwa machukizo kwa Daudi, Hanuni na Waamoni wakatuma talanta 1,000\f + \fr 19:6 \ft Talanta 1,000 za fedha ni sawa na tani 34.\f* za fedha ili kukodisha magari ya vita pamoja na waendeshaji wa hayo magari ya kukokotwa na farasi, kutoka Aramu-Naharaimu,\f + \fr 19:6 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.\f* Aramu-Maaka na Soba.

CH1 19:7 Removed trailing space in v~: Wakakodisha magari ya vita 32,000 yakiwa na waendeshaji wake, pamoja na mfalme wa Maaka na vikosi vyake, wakaja na kupiga kambi karibu na Medeba. Waamoni nao wakakusanyika toka miji yao, wakatoka ili kupigana vita.

CH1 19:8 Removed trailing space in v~: Daudi aliposikia jambo hili, akamtuma Yoabu na jeshi lote la wapiganaji.

CH1 19:9 Removed trailing space in v~: Waamoni wakatoka wakajipanga wakiwa tayari kwa vita langoni la mji wao, wakati wale wafalme wengine waliokuja nao walijipanga kwa vita uwanjani.

CH1 19:10 Removed trailing space in v~: Yoabu akaona kuwa mbele yake na nyuma yake kumepangwa vita; kwa hiyo akachagua baadhi ya vikosi vilivyo bora sana katika Israeli akavipanga dhidi ya Waaramu.

CH1 19:11 Removed trailing space in v~: Akawaweka wale wanajeshi wengine waliobaki chini ya amri ya Abishai ndugu yake, nao wakapangwa ili wakabiliane na Waamoni.

CH1 19:12 Removed trailing space in v~: Yoabu akasema, “Kama Waaramu watanizidi nguvu, basi itakupasa wewe unisaidie; lakini kama Waamoni watakuzidi nguvu, basi mimi nitakusaidia.

CH1 19:13 Removed trailing space in v~: Uwe hodari na tupigane kwa ujasiri kwa ajili ya watu wetu na miji ya Mungu wetu. \nd Bwana\nd* atafanya lile lililo jema machoni pake.”

CH1 19:14 Removed trailing space in v~: Basi Yoabu na vikosi vyake wakasonga mbele kupigana na Waaramu, nao Waaramu wakakimbia mbele yake.

CH1 19:15 Removed trailing space in v~: Waamoni walipoona Waaramu wanakimbia, nao pia wakakimbia mbele ya nduguye Abishai na kuingia ndani ya mji. Basi Yoabu akarudi Yerusalemu.

CH1 19:16 Removed trailing space in v~: Baada ya Waaramu kuona kwamba wameshindwa na Israeli, wakapeleka wajumbe na kuwataka Waaramu wengine kutoka ngʼambo ya Mto Frati, wakiongozwa na Shofaki, jemadari wa jeshi la Hadadezeri.

CH1 19:17 Removed trailing space in v~: Daudi alipoambiwa haya, akawakusanya Israeli wote na kuvuka Yordani. Akasonga mbele dhidi yao na akajipanga kuwakabili. Daudi akapanga vita ili kupigana na Waaramu, nao wakapigana dhidi yake.

CH1 19:18 Removed trailing space in v~: Lakini Waaramu wakakimbia mbele ya Israeli, naye Daudi akawaua waendesha magari 7,000 na askari wao wa miguu 40,000. Pia akamuua Shofaki, jemadari wa jeshi lao.

CH1 19:19 Removed trailing space in v~: Raiya wa Hadadezeri walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, wakafanya mapatano ya amani na Daudi, wakawa watumishi wake.

CH1 19:19 Removed trailing space in p~: Hivyo Waaramu hawakukubali kuwasaidia Waamoni tena.

CH1 20:0 Extra space after chapter number

CH1 20:0 Removed trailing space in c: 20

CH1 20:0 Removed trailing space in s1: Kutekwa Kwa Raba

CH1 20:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 12:26-31)

CH1 20:1 Removed trailing space in v~: Mwanzoni mwa mwaka mpya, wakati ambapo wafalme huenda vitani, Yoabu aliliongoza jeshi. Aliangamiza nchi ya Waamoni, na akaenda Raba na kuuzingira, lakini Daudi alibaki Yerusalemu. Yoabu akashambulia Raba na kuuacha ukiwa magofu.

CH1 20:2 Removed trailing space in v~: Daudi akachukua taji kutoka kwa kichwa cha mfalme wao, lililokuwa na uzito wa talanta moja ya dhahabu,\f + \fr 20:2 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.\f* nayo ilizungushiwa vito vya thamani. Ikawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Alichukua nyara nyingi kutoka mjini huo.

CH1 20:3 Removed trailing space in v~: Akawatoa watu waliokuwa humo, akawaweka wafanye kazi kwa misumeno, sululu za chuma na mashoka. Daudi akafanya hivi kwa miji yote ya Waamoni. Kisha Daudi na jeshi lake lote wakarudi Yerusalemu.

CH1 20:3 Removed trailing space in s1: Vita Na Wafilisti

CH1 20:3 Removed trailing space in r: (2 Samweli 21:15-22)

CH1 20:4 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, kulitokea vita dhidi ya Wafilisti, huko Gezeri. Wakati huo Sibekai, Mhushathi, akamuua Sipai, aliyekuwa mmoja wa wazao wa Warefai,\f + \fr 20:4 \ft Yaani majitu.\f* nao Wafilisti wakashindwa.

CH1 20:5 Removed trailing space in v~: Katika vita vingine na Wafilisti, Elhanani mwana wa Yairi alimuua Lahmi nduguye Goliathi, Mgiti, ambaye mkuki wake ulikuwa na mpini kama mti wa mfumaji.

CH1 20:6 Removed trailing space in v~: Katika vita vingine tena, vilivyopiganwa huko Gathi, kulikuwako na mtu mmoja mkubwa mwenye vidole sita katika kila mkono na vidole sita katika kila mguu: jumla vidole ishirini na vinne. Yeye alikuwa pia mzao wa Mrefai.

CH1 20:7 Removed trailing space in v~: Alipowadhihaki Israeli, Yonathani, mwana wa Shimea, nduguye Daudi, akamuua.

CH1 20:8 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa ndio wazao wa Warefai huko Gathi, nao walianguka kwa mikono ya Daudi na watu wake.

CH1 21:0 Extra space after chapter number

CH1 21:0 Removed trailing space in c: 21

CH1 21:0 Removed trailing space in s1: Daudi Ahesabu Wapiganaji

CH1 21:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 24:1-25)

CH1 21:1 Removed trailing space in v~: Shetani akainuka dhidi ya Israeli na kumshawishi Daudi ahesabu watu wa Israeli.

CH1 21:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akamwambia Yoabu na majemadari wa jeshi, “Nendeni mkawahesabu Waisraeli kuanzia Beer-Sheba mpaka Dani. Kisha nileteeni taarifa ili kwamba niweze kufahamu wako wangapi.”

CH1 21:3 Removed trailing space in v~: Yoabu akajibu, “\nd Bwana\nd* na aongeze jeshi lake mara mia na zaidi. Mfalme bwana wangu, kwani hawa wote si raiya wa bwana wangu? Kwa nini bwana wangu unataka kufanya hivi? Kwa nini kuleta hatia juu ya Israeli?”

CH1 21:4 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, neno la mfalme likawa na nguvu juu ya Yoabu; kwa hiyo Yoabu akaondoka na kuzunguka Israeli yote kisha akarudi Yerusalemu.

CH1 21:5 Removed trailing space in v~: Yoabu akampa Daudi jumla ya idadi ya watu wanaoweza kupigana. Katika Israeli kulikuwa na watu 1,100,000 ambao wangeweza kutumia upanga na katika Yuda watu 470,000.

CH1 21:6 Removed trailing space in v~: Lakini Yoabu hakuwahesabu Walawi na Wabenyamini, kwa sababu alichukizwa sana na amri ya mfalme.

CH1 21:7 Removed trailing space in v~: Amri hii ilikuwa mbaya machoni pa Mungu pia; hivyo akaiadhibu Israeli.

CH1 21:8 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akamwambia Mungu, “Nimetenda dhambi kubwa kwa kufanya jambo hili. Sasa, ninakusihi, ondoa hatia ya mtumishi wako. Nimefanya jambo la kipumbavu sana.”

CH1 21:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia Gadi, mwonaji wa Daudi,

CH1 21:10 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie Daudi, hivi ndivyo asemavyo Bwana: ‘Ninakupa wewe uchaguzi wa mambo matatu. Nichagulie mojawapo nitakalotenda dhidi yako.’ ”

CH1 21:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Gadi akamwendea Daudi akamwambia, “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: ‘Chagua:

CH1 21:12 Removed trailing space in v~: miaka mitatu ya njaa, au miezi mitatu ya kushindwa na adui zako, ukipatwa na upanga wao, au siku tatu za upanga wa \nd Bwana\nd*, yaani, siku tatu za tauni katika nchi na malaika wa \nd Bwana\nd* akiangamiza kila mahali katika Israeli.’ Sasa basi, amua jinsi nitakavyomjibu yeye aliyenituma.”

CH1 21:13 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia Gadi, “Ninayo mahangaiko makubwa. Mimi na nianguke mikononi mwa \nd Bwana\nd* kwa maana rehema zake ni kuu mno, lakini usiniache niangukie mikononi mwa wanadamu.”

CH1 21:14 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* akatuma tauni katika Israeli, watu 70,000 wa Israeli wakafa.

CH1 21:15 Removed trailing space in v~: Mungu akapeleka malaika kuangamiza Yerusalemu. Lakini malaika alipokuwa akifanya hivyo, \nd Bwana\nd* akaona na akahuzunika kwa sababu ya maafa, akamwambia yule malaika aliyekuwa anaangamiza watu, “Yatosha! Rudisha mkono wako.” Wakati huo malaika wa \nd Bwana\nd* alikuwa amesimama katika sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna\f + \fr 21:15 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.\f* Myebusi.

CH1 21:16 Removed trailing space in v~: Daudi akayainua macho yake akamwona huyo malaika wa \nd Bwana\nd* akiwa amesimama katikati ya mbingu na dunia, naye ameunyoosha upanga wake juu ya Yerusalemu tayari kuangamiza. Kisha Daudi na wazee, waliokuwa wamevaa nguo za gunia, wakaanguka kifudifudi.

CH1 21:17 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia Mungu, “Je, si mimi ndiye niliyeamuru watu wahesabiwe? Mimi ndiye niliyetenda dhambi na kukosa. Hawa ni kondoo tu. Wamefanya nini? Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wangu, mkono wako na uwe juu yangu mimi na jamaa yangu, lakini usiache tauni hii iendelee juu ya watu wako.”

CH1 21:18 Removed trailing space in v~: Kisha malaika wa \nd Bwana\nd* akamwamuru Gadi amwambie Daudi apande na kumjengea \nd Bwana\nd* madhabahu kwenye sakafu ya kupuria nafaka ya Arauna Myebusi.

CH1 21:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akakwea, akalitii lile neno ambalo Gadi alikuwa amelisema katika jina la \nd Bwana\nd*.

CH1 21:20 Removed trailing space in v~: Arauna alipokuwa akipura ngano, akageuka akamwona yule malaika. Wanawe wanne waliokuwa pamoja naye wakajificha, yeye akaendelea kupura ngano.

CH1 21:21 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akakaribia, Arauna alipotazama na kumwona, akaondoka kwenye uwanja wa kupuria nafaka akamsujudia Daudi akiuinamisha uso wake ardhini.

CH1 21:22 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia, “Nipatie huu uwanja wako wa kupuria nafaka ili niweze kujenga madhabahu ya \nd Bwana\nd* tauni ipate kukomeshwa katika watu. Niuzie kwa bei yake kamili.”

CH1 21:23 Removed trailing space in v~: Arauna akamwambia Daudi, “Uchukue huo uwanja. Mfalme bwana wangu na afanye lolote analopenda. Tazama, nitatoa maksai kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa, vifaa vya kupuria kuwa kuni, pamoja na ngano kwa ajili ya dhabihu ya nafaka. Natoa hivi vyote.”

CH1 21:24 Removed trailing space in v~: Lakini Mfalme Daudi akamjibu Arauna, “La hasha! Lakini ninasisitiza kwamba nitalipa bei yake kamili. Sitachukua kilicho chako kwa ajili ya \nd Bwana\nd* au kutoa sadaka ya kuteketezwa ambayo hainigharimu chochote.”

CH1 21:25 Removed trailing space in v~: Basi Daudi akamlipa Arauna shekeli za dhahabu 600\f + \fr 21:25 \ft Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 7.\f* kwa ajili ya ule uwanja.

CH1 21:26 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akamjengea \nd Bwana\nd* madhabahu mahali hapo, na kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani. Akamwita \nd Bwana\nd* naye \nd Bwana\nd* akajibu maombi yake kwa moto toka mbinguni juu ya madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa.

CH1 21:27 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akanena na yule malaika, naye akarudisha upanga wake katika ala yake.

CH1 21:28 Removed trailing space in v~: Wakati huo, Daudi alipoona kwamba \nd Bwana\nd* amemjibu kule kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Arauna Myebusi, akatoa dhabihu huko.

CH1 21:29 Removed trailing space in v~: Maskani ya \nd Bwana\nd* ambayo Mose aliitengeneza kule jangwani, pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa wakati huo vilikuwa viko mahali pa juu pa kuabudia huko Gibeoni.

CH1 21:30 Removed trailing space in v~: Lakini Daudi hakuthubutu kuisogelea ili kumuuliza Mungu, kwa sababu aliuogopa upanga wa yule malaika wa \nd Bwana\nd*.

CH1 22:0 Extra space after chapter number

CH1 22:0 Removed trailing space in c: 22

CH1 22:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akasema, “Nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu itakuwa mahali hapa, pia pamoja na madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa kwa ajili ya Israeli.”

CH1 22:1 Removed trailing space in s1: Maandalizi Kwa Ajili Ya Hekalu

CH1 22:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Daudi akatoa amri wakusanyike wageni wote waliokuwa wanaishi Israeli, na kutoka miongoni mwao akaweka waashi ili kuchonga mawe kwa ajili ya kujenga nyumba ya Mungu.

CH1 22:3 Removed trailing space in v~: Daudi akatoa chuma tele ili kutengenezea misumari kwa ajili ya mafungo ya malango ya nyumba na shaba tele isiyopimika.

CH1 22:4 Removed trailing space in v~: Pia akatoa magogo ya mierezi yasiyohesabika, kwa kuwa Wasidoni na Watiro walikuwa wamemletea Daudi idadi kubwa ya mierezi.

CH1 22:5 Removed trailing space in v~: Daudi akasema, “Mwanangu Solomoni bado ni mdogo wa umri na hana uzoefu. Nyumba itakayojengwa kwa ajili ya \nd Bwana\nd* inatakiwa iwe yenye uzuri mwingi na sifa na fahari mbele ya mataifa yote. Kwa hiyo nitaifanyia matayarisho.” Daudi akafanya matayarisho makubwa kabla ya kifo chake.

CH1 22:6 Removed trailing space in v~: Kisha akamwita Solomoni mwanawe akamwagiza kujenga nyumba kwa ajili ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH1 22:7 Removed trailing space in v~: Daudi akamwambia Solomoni: “Mwanangu, nilikuwa na jambo hili ndani ya moyo wangu kujenga nyumba kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd* Mungu wangu.

CH1 22:8 Removed trailing space in v~: Lakini neno hili la \nd Bwana\nd* likanijia, kusema: ‘Wewe umemwaga damu nyingi na kupigana vita vingi. Wewe hutajenga nyumba kwa ajili ya Jina langu, kwa sababu umemwaga damu nyingi juu ya nchi machoni pangu.

CH1 22:9 Removed trailing space in v~: Lakini utakuwa na mwana ambaye atakuwa mtu wa amani na utulivu nami nitampa utulivu mbele ya adui zake wote pande zote. Jina lake ataitwa Solomoni, nami nitawapa Israeli amani na utulivu wakati wa utawala wake.

CH1 22:10 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa ajili ya Jina langu. Yeye atakuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake. Nami nitakifanya imara kiti chake cha enzi cha utawala wake katika Israeli milele.’

CH1 22:11 Removed trailing space in v~: “Sasa, mwanangu, \nd Bwana\nd* awe pamoja nawe, nawe uwe na mafanikio upate kuijenga nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu wako, kama alivyosema utafanya.

CH1 22:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na akupe hekima na ufahamu wakati atakuweka juu ya Israeli, ili uweze kuishika sheria ya \nd Bwana\nd* Mungu wako.

CH1 22:13 Removed trailing space in v~: Ndipo utakapofanikiwa, ikiwa utakuwa na bidii kutii amri na sheria \nd Bwana\nd* alizompa Mose kwa ajili ya Israeli. Uwe hodari na ushujaa. Usiogope wala usikate tamaa.

CH1 22:14 Removed trailing space in v~: “Nimejitaabisha sana ili kupata mahitaji kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd*: talanta 100,000\f + \fr 22:14 \ft Talanta 100,000 za dhahabu ni sawa na tani 3,750.\f* za dhahabu, talanta 1,000,000\f + \fr 22:14 \ft Talanta 1,000,000 za fedha ni sawa na tani 37,500.\f* za fedha na kiasi kisichopimika cha shaba na chuma, pia mbao na mawe. Nawe waweza kuviongeza.

CH1 22:15 Removed trailing space in v~: Unao wafanyakazi wengi: Wachonga mawe, waashi na maseremala, pamoja na watu walio na ustadi katika kila kazi

CH1 22:16 Removed trailing space in v~: wa kufua dhahabu, fedha, shaba na chuma, mafundi wasiohesabika. Sasa basi anza kazi hii, naye \nd Bwana\nd* awe pamoja nawe.”

CH1 22:17 Removed trailing space in v~: Kisha Daudi akawaamuru viongozi wote wa Israeli wamsaidie Solomoni mwanawe.

CH1 22:18 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Je, \nd Bwana\nd* Mungu wenu si yuko pamoja na ninyi? Pia si amewapa raha pande zote? Kwa maana amewatia wenyeji wa nchi mkononi mwangu, nayo nchi iko chini ya \nd Bwana\nd* na watu wake.

CH1 22:19 Removed trailing space in v~: Sasa itoeni mioyo yenu na nafsi zenu katika kumtafuta \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Anzeni kujenga Maskani ya \nd Bwana\nd* Mungu, ili mweze kulileta Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* na vyombo vitakatifu vya Mungu katika Hekalu litakalojengwa kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*.”

CH1 23:0 Extra space after chapter number

CH1 23:0 Removed trailing space in c: 23

CH1 23:0 Removed trailing space in s1: Jamaa Za Walawi Na Utendaji Wao

CH1 23:1 Removed trailing space in v~: Daudi alipokuwa mzee aliyeshiba siku, akamfanya Solomoni mwanawe kuwa mfalme juu ya Israeli.

CH1 23:2 Removed trailing space in v~: Pia akawakusanya pamoja viongozi wote wa Israeli, pamoja na makuhani na Walawi.

CH1 23:3 Removed trailing space in v~: Walawi waliokuwa na umri wa miaka thelathini au zaidi walihesabiwa, nayo hesabu ya wanaume ilikuwa 38,000.

CH1 23:4 Removed trailing space in v~: Daudi akasema, “Miongoni mwa hawa, 24,000 watasimamia kazi ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na 6,000 watakuwa maafisa na waamuzi,

CH1 23:5 Removed trailing space in v~: na 4,000 watakuwa mabawabu, na wengine 4,000 watamsifu \nd Bwana\nd* kwa ala za uimbaji nilizotoa kwa ajili ya kusudi hilo.”

CH1 23:6 Removed trailing space in v~: Daudi akawagawa Walawi katika makundi kufuatana na wana wa Lawi: Gershoni, Kohathi na Merari.

CH1 23:6 Removed trailing space in s1: Wagershoni

CH1 23:7 Removed trailing space in v~: Wana wa Wagershoni walikuwa wawili:

CH1 23:7 Removed trailing space in p~: Ladani na Shimei.

CH1 23:8 Removed trailing space in v~: Wana wa Ladani walikuwa watatu:

CH1 23:8 Removed trailing space in p~: Yehieli wa kwanza, Zethamu na Yoeli.

CH1 23:9 Removed trailing space in v~: Wana wa Shimei walikuwa watatu:

CH1 23:9 Removed trailing space in p~: Shelomothi,\f + \fr 23:9 \ft Yaani Shelomithi; maana yake ni Mpenda amani.\f* Hazieli na Harani.

CH1 23:9 Removed trailing space in p~: Hawa watatu walikuwa viongozi wa jamaa za Ladani.

CH1 23:10 Removed trailing space in v~: Nao wana wa Shimei walikuwa wanne:

CH1 23:10 Removed trailing space in p~: Yahathi, Zina,\f + \fr 23:10 \ft Tafsiri zingine zinamwita Ziza.\f* Yeushi na Beria.

CH1 23:11 Removed trailing space in v~: Yahathi alikuwa wa kwanza na Ziza wa pili, lakini Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi; kwa hiyo walihesabiwa kama jamaa moja, wakapewa wajibu kwa pamoja.

CH1 23:11 Removed trailing space in s1: Wakohathi

CH1 23:12 Removed trailing space in v~: Wana wa Kohathi walikuwa wanne:

CH1 23:12 Removed trailing space in p~: Amramu, Ishari, Hebroni na Uzieli.

CH1 23:13 Removed trailing space in v~: Wana wa Amramu walikuwa:

CH1 23:13 Removed trailing space in p~: Aroni na Mose.

CH1 23:13 Removed trailing space in p~: Aroni waliwekwa wakfu, yeye na wazao wake milele, wawe wakiweka wakfu vitu ambavyo ni vitakatifu mno, kutoa dhabihu mbele za \nd Bwana\nd*, kuhudumu mbele zake na kutamka baraka katika Jina la \nd Bwana\nd* milele.

CH1 23:14 Removed trailing space in v~: Wana wa Mose mtu wa Mungu walihesabiwa kama sehemu ya kabila la Lawi.

CH1 23:15 Removed trailing space in v~: Wana wa Mose walikuwa:

CH1 23:15 Removed trailing space in p~: Gershomu na Eliezeri.

CH1 23:16 Removed trailing space in v~: Wazao wa Gershomu:

CH1 23:16 Removed trailing space in p~: Shebueli alikuwa wa kwanza.

CH1 23:17 Removed trailing space in v~: Wazao wa Eliezeri:

CH1 23:17 Removed trailing space in p~: Rehabia alikuwa wa kwanza.

CH1 23:17 Removed trailing space in p~: Eliezeri alikuwa na mwana mmoja tu, lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana.

CH1 23:18 Removed trailing space in v~: Wana wa Ishari:

CH1 23:18 Removed trailing space in p~: Shelomithi alikuwa wa kwanza.

CH1 23:19 Removed trailing space in v~: Wana wa Hebroni walikuwa:

CH1 23:19 Removed trailing space in p~: Yeria alikuwa wa kwanza, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.

CH1 23:20 Removed trailing space in v~: Wana wa Uzieli walikuwa:

CH1 23:20 Removed trailing space in p~: Mika wa kwanza na Ishia wa pili.

CH1 23:20 Removed trailing space in s1: Wamerari

CH1 23:21 Removed trailing space in v~: Wana wa Merari walikuwa:

CH1 23:21 Removed trailing space in p~: Mahli na Mushi.

CH1 23:21 Removed trailing space in p~: Wana wa Mahli walikuwa:

CH1 23:21 Removed trailing space in p~: Eleazari na Kishi.

CH1 23:22 Removed trailing space in v~: Eleazari akafa bila ya kuwa na wana: alikuwa na binti tu. Binamu zao, wana wa Kishi, wakawaoa.

CH1 23:23 Removed trailing space in v~: Wana wa Mushi:

CH1 23:23 Removed trailing space in p~: Mahli, Ederi na Yeremothi; wote walikuwa watatu.

CH1 23:24 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa wazao wa Lawi kwa jamaa zao. Wakuu wa jamaa kama walivyoandikwa kwa majina yao na kuhesabiwa kila mmoja, yaani, wenye uwezo wa kufanya kazi kuanzia miaka ishirini au zaidi, waliohudumu katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH1 23:25 Removed trailing space in v~: Kwa maana Daudi alikuwa amesema, “Kwa vile \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli amewapa watu wake raha na amekuja kuishi Yerusalemu milele,

CH1 23:26 Removed trailing space in v~: Walawi hawahitaji tena kubeba Maskani wala chombo chochote cha utumishi wake.”

CH1 23:27 Removed trailing space in v~: Kulingana na maagizo ya mwisho ya Daudi, Walawi waliohesabiwa ni wale wa kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi.

CH1 23:28 Removed trailing space in v~: Wajibu wa Walawi ulikuwa kuwasaidia wazao wa Aroni kuhudumu katika Hekalu la \nd Bwana\nd*: Kuwa wasimamizi wa nyua, vyumba vya pembeni, kutakasa vyombo vitakatifu na utendaji mwingine wowote katika nyumba ya Mungu.

CH1 23:29 Removed trailing space in v~: Walikuwa wasimamizi wa mikate iliyowekwa mezani, unga kwa ajili ya sadaka za nafaka, mikate isiyotiwa chachu, uokaji na uchanganyaji, pamoja na vipimo vyote vya wingi na ukubwa.

CH1 23:30 Removed trailing space in v~: Pia ulikuwa wajibu wao kila asubuhi kumshukuru na kumsifu \nd Bwana\nd*. Iliwapasa pia kufanya hivyo jioni

CH1 23:31 Removed trailing space in v~: na wakati wowote sadaka za kuteketezwa zilipotolewa kwa \nd Bwana\nd* siku za Sabato na kwenye sikukuu za Mwezi Mwandamo na katika sikukuu nyingine zilizoamriwa. Iliwapasa kuhudumu mbele za \nd Bwana\nd* mara kwa mara kwa idadi maalum na kwa namna waliyokuwa wamepewa maelekezo.

CH1 23:32 Removed trailing space in v~: Hivyo Walawi wakafanya wajibu wao katika Hema la Kukutania, katika Mahali Patakatifu chini ya uongozi wa ndugu zao wazao wa Aroni, kwa ajili ya utumishi katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH1 24:0 Extra space after chapter number

CH1 24:0 Removed trailing space in c: 24

CH1 24:0 Removed trailing space in s1: Migawanyo Ya Makuhani

CH1 24:1 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo migawanyo ya wana wa Aroni:

CH1 24:1 Removed trailing space in p~: Aroni alikuwa na wana wanne: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.

CH1 24:2 Removed trailing space in v~: Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao, nao hawakuwa na wana; kwa hiyo ndugu zao Eleazari na Ithamari wakahudumu kama makuhani.

CH1 24:3 Removed trailing space in v~: Akisaidiwa na Sadoki mwana wa Eleazari na Ahimeleki mwana wa Ithamari, Daudi aliwapanga wazao wa Aroni katika migawanyo kufuatana na wajibu wa huduma zao.

CH1 24:4 Removed trailing space in v~: Idadi kubwa ya viongozi walipatikana miongoni mwa wazao wa Eleazari, kuliko miongoni mwa wazao wa Ithamari, nao waligawanywa kwa uwiano: Viongozi kumi na sita kutoka jamaa ya wazao wa Eleazari na viongozi wanane kutoka jamaa ya wazao wa Ithamari.

CH1 24:5 Removed trailing space in v~: Waliwagawanya bila upendeleo kwa kupiga kura, kwa kuwa kulikuwa na maafisa wa mahali patakatifu na maafisa wa Mungu miongoni mwa wazao wale wa Eleazari na wale wa Ithamari.

CH1 24:6 Removed trailing space in v~: Mwandishi Shemaya mwana wa Nethaneli, Mlawi, aliorodhesha majina yao mbele ya Mfalme Daudi na maafisa: Kuhani Sadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa jamaa za makuhani na za Walawi: jamaa moja ikitoka upande wa Eleazari na nyingine upande wa Ithamari.

CH1 24:7 Removed trailing space in v~: Kura ya kwanza ilimwangukia Yehoyaribu,

CH1 24:7 Removed trailing space in p~: ya pili Yedaya,

CH1 24:8 Removed trailing space in v~: ya tatu Harimu,

CH1 24:8 Removed trailing space in p~: ya nne Seorimu,

CH1 24:9 Removed trailing space in v~: ya tano Malkiya,

CH1 24:9 Removed trailing space in p~: ya sita Miyamini,

CH1 24:10 Removed trailing space in v~: ya saba Hakosi,

CH1 24:10 Removed trailing space in p~: ya nane Abiya,

CH1 24:11 Removed trailing space in v~: ya tisa Yeshua,

CH1 24:11 Removed trailing space in p~: ya kumi Shekania,

CH1 24:12 Removed trailing space in v~: ya kumi na moja Eliashibu,

CH1 24:12 Removed trailing space in p~: ya kumi na mbili Yakimu,

CH1 24:13 Removed trailing space in v~: ya kumi na tatu Hupa,

CH1 24:13 Removed trailing space in p~: ya kumi na nne Yeshebeabu,

CH1 24:14 Removed trailing space in v~: ya kumi na tano Bilga,

CH1 24:14 Removed trailing space in p~: ya kumi na sita Imeri,

CH1 24:15 Removed trailing space in v~: ya kumi na saba Heziri,

CH1 24:15 Removed trailing space in p~: ya kumi na nane Hapisesi,

CH1 24:16 Removed trailing space in v~: ya kumi na tisa Pethahia,

CH1 24:16 Removed trailing space in p~: ya ishirini Yehezkeli,

CH1 24:17 Removed trailing space in v~: ya ishirini na moja Yakini,

CH1 24:17 Removed trailing space in p~: ya ishirini na mbili Gamuli,

CH1 24:18 Removed trailing space in v~: ya ishirini na tatu Delaya,

CH1 24:18 Removed trailing space in p~: ya ishirini na nne Maazia.

CH1 24:19 Removed trailing space in v~: Huu ulikuwa ndio utaratibu wao uliokubalika wa kuhudumu walipoingia katika Hekalu la \nd Bwana\nd* kulingana na masharti waliyoelekezwa na Aroni baba yao, kama \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, alivyokuwa amemwamuru.

CH1 24:19 Removed trailing space in s1: Walawi Waliobaki

CH1 24:20 Removed trailing space in v~: Kuhusu wazao wa Lawi waliobaki:

CH1 24:20 Removed trailing space in p~: Kutoka kwa wana wa Amramu: alikuwa Shubaeli;

CH1 24:20 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wana wa Shubaeli: alikuwa Yedeya.

CH1 24:21 Removed trailing space in v~: Kwa wa Rehabia, kutoka kwa wanawe:

CH1 24:21 Removed trailing space in p~: Ishia alikuwa wa kwanza.

CH1 24:22 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa Waishari: alikuwa Shelomithi,

CH1 24:22 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wana wa Shelomithi: alikuwa Yahathi.

CH1 24:23 Removed trailing space in v~: Wana wa Hebroni: Yeria alikuwa mkuu, Amaria wa pili, Yahazieli wa tatu, na Yekameamu wa nne.

CH1 24:24 Removed trailing space in v~: Mwana wa Uzieli: alikuwa Mika;

CH1 24:24 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wana wa Mika: alikuwa Shamiri.

CH1 24:25 Removed trailing space in v~: Ndugu yake Mika: alikuwa Ishia;

CH1 24:25 Removed trailing space in p~: na kutoka kwa wana wa Ishia: alikuwa Zekaria.

CH1 24:26 Removed trailing space in v~: Wana wa Merari: walikuwa Mahli na Mushi.

CH1 24:26 Removed trailing space in p~: Mwana wa Yaazia: alikuwa Beno.

CH1 24:27 Removed trailing space in v~: Wana wa Merari:

CH1 24:27 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Yaazia: ni Beno, Shohamu, Zakuri na Ibri.

CH1 24:28 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa Mahli: alikuwa Eleazari, ambaye hakuwa na wana.

CH1 24:29 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa Kishi: mwana wa Kishi:

CH1 24:29 Removed trailing space in p~: alikuwa Yerameeli.

CH1 24:30 Removed trailing space in v~: Nao wana wa Mushi: walikuwa Mahli, Ederi na Yeremothi.

CH1 24:30 Removed trailing space in p~: Hawa walikuwa Walawi kulingana na jamaa zao.

CH1 24:31 Removed trailing space in v~: Pia walipiga kura kama vile ndugu zao wazao wa Aroni walivyofanya, mbele ya Mfalme Daudi, Sadoki, Ahimeleki na mbele ya viongozi wa jamaa ya makuhani na ya Walawi. Jamaa za ndugu wakubwa zilitendewa sawasawa na zile za ndugu wadogo.

CH1 25:0 Extra space after chapter number

CH1 25:0 Removed trailing space in c: 25

CH1 25:0 Removed trailing space in s1: Waimbaji

CH1 25:1 Removed trailing space in v~: Daudi, pamoja na majemadari wa jeshi, wakawatenga baadhi ya wana wa Asafu, wana wa Hemani na wana wa Yeduthuni, kwa ajili ya huduma ya kutoa unabii, wakitumia vinubi, zeze na matoazi. Hii ndiyo orodha ya watu waliofanya huduma hii:

CH1 25:2 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa wana wa Asafu walikuwa:

CH1 25:2 Removed trailing space in p~: Zakuri, Yosefu, Nethania na Asarela. Wana wa Asafu walikuwa chini ya usimamizi wa Asafu, ambaye alitoa unabii chini ya usimamizi wa mfalme.

CH1 25:3 Removed trailing space in v~: Wana wa Yeduthuni walikuwa sita:

CH1 25:3 Removed trailing space in p~: Gedalia, Seri, Yeshaya, Shimei, Hashabia, na Matithia, nao walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao Yeduthuni, wao walikuwa wakitoa unabii wakitumia vinubi, wakimshukuru na kumtukuza \nd Bwana\nd*.

CH1 25:4 Removed trailing space in v~: Wana wa Hemani walikuwa:

CH1 25:4 Removed trailing space in p~: Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti na Romamti-Ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri na Mahaziothi.

CH1 25:5 Removed trailing space in v~: Wote hawa walikuwa wana wa Hemani mwonaji wa mfalme. Aliwapata wana hawa kutokana na ahadi ya Mungu ili kumwinua. Mungu alimpa Hemani wana kumi na wanne na binti watatu.

CH1 25:6 Removed trailing space in v~: Hawa wanaume wote walikuwa chini ya usimamizi wa baba yao kwa ajili ya uimbaji katika Hekalu la \nd Bwana\nd* wakitumia matoazi, zeze na vinubi, kwa ajili ya huduma katika nyumba ya Mungu. Asafu, Yeduthuni na Hemani walikuwa chini ya usimamizi wa mfalme.

CH1 25:7 Removed trailing space in v~: Pamoja na ndugu zao wote walikuwa wamefundishwa na kuwa stadi wa uimbaji kwa \nd Bwana\nd*. Idadi yao walikuwa 288.

CH1 25:8 Removed trailing space in v~: Vijana kwa wazee, walimu kwa wanafunzi, wote walipanga kazi zao kwa kupiga kura.

CH1 25:8 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:9 Removed trailing space in v~: Kura ya kwanza, ambayo ilikuwa kwa ajili ya Asafu, ilimwangukia Yosefu, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:9 Removed trailing space in tr: \tc1 Ya pili ikamwangukia Gedalia, //yeye na wanawe pamoja na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:9 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:10 Removed trailing space in v~: Ya tatu ikamwangukia Zakuri, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:10 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:11 Removed trailing space in v~: ya nne ikamwangukia Isri,\f + \fr 25:11 \ft Isri jina lingine ni Seri.\f* //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:11 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:12 Removed trailing space in v~: ya tano ikamwangukia Nethania, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:12 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:13 Removed trailing space in v~: ya sita ikamwangukia Bukia, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:13 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:14 Removed trailing space in v~: ya saba ikamwangukia Yesarela,\f + \fr 25:14 \ft Yesarela jina lingine ni Asarela.\f* //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:14 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:15 Removed trailing space in v~: ya nane ikamwangukia Yeshaya, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:15 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:16 Removed trailing space in v~: ya tisa ikamwangukia Matania, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:16 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:17 Removed trailing space in v~: ya kumi ikamwangukia Shimei, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:17 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:18 Removed trailing space in v~: ya kumi na moja ikamwangukia Azareli,\f + \fr 25:18 \ft Azareli jina lingine ni Uzieli.\f* //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:18 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:19 Removed trailing space in v~: ya kumi na mbili ikamwangukia Hashabia, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:19 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:20 Removed trailing space in v~: ya kumi na tatu ikamwangukia Shubaeli, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:20 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:21 Removed trailing space in v~: ya kumi na nne ikamwangukia Matithia, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:21 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:22 Removed trailing space in v~: ya kumi na tano ikamwangukia Yeremothi, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:22 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:23 Removed trailing space in v~: Ya kumi na sita ikamwangukia Hanania, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:23 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:24 Removed trailing space in v~: ya kumi na saba ikamwangukia Yoshbekasha, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:24 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:25 Removed trailing space in v~: ya kumi na nane ikamwangukia Hanani, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:25 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:26 Removed trailing space in v~: ya kumi na tisa ikamwangukia Malothi, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:26 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:27 Removed trailing space in v~: ya ishirini ikamwangukia Eliatha, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:27 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:28 Removed trailing space in v~: ya ishirini na moja ikamwangukia Hothiri, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:28 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:29 Removed trailing space in v~: ya ishirini na mbili ikamwangukia Gidalti, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:29 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:30 Removed trailing space in v~: ya ishirini na tatu ikamwangukia Mahaziothi, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12

CH1 25:30 Removed trailing space in tr: \tc1

CH1 25:31 Removed trailing space in v~: ya ishirini na nne ikamwangukia Romamti-Ezeri, //wanawe na jamaa zake, \tcr2 12.

CH1 26:0 Extra space after chapter number

CH1 26:0 Removed trailing space in c: 26

CH1 26:0 Removed trailing space in s1: Mabawabu

CH1 26:1 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo migawanyo ya mabawabu:

CH1 26:1 Removed trailing space in p~: Kutoka kwa wana wa Kora alikuwa: Meshelemia mwana wa Kore, mmoja wa wana wa Asafu.

CH1 26:2 Removed trailing space in v~: Meshelemia alikuwa na wana wafuatao:

CH1 26:2 Removed trailing space in p~: Zekaria mzaliwa wa kwanza,

CH1 26:2 Removed trailing space in p~: Yediaeli wa pili,

CH1 26:2 Removed trailing space in p~: Zebadia wa tatu,

CH1 26:2 Removed trailing space in p~: Yathnieli wa nne,

CH1 26:3 Removed trailing space in v~: Elamu wa tano

CH1 26:3 Removed trailing space in p~: Yehohanani wa sita

CH1 26:3 Removed trailing space in p~: na Eliehoenai wa saba.

CH1 26:4 Removed trailing space in v~: Obed-Edomu naye alikuwa na wana wafuatao:

CH1 26:4 Removed trailing space in p~: Shemaya mzaliwa wa kwanza,

CH1 26:4 Removed trailing space in p~: Yehozabadi wa pili,

CH1 26:4 Removed trailing space in p~: Yoa wa tatu,

CH1 26:4 Removed trailing space in p~: Sakari wa nne,

CH1 26:4 Removed trailing space in p~: Nethaneli wa tano,

CH1 26:5 Removed trailing space in v~: Amieli wa sita,

CH1 26:5 Removed trailing space in p~: Isakari wa saba,

CH1 26:5 Removed trailing space in p~: na Peulethai wa nane.

CH1 26:5 Removed trailing space in p~: (Kwa kuwa Mungu alikuwa amembariki Obed-Edomu.)

CH1 26:6 Removed trailing space in v~: Shemaya mwanawe pia alikuwa na wana, waliokuwa viongozi katika jamaa ya baba yao kwa sababu walikuwa watu wenye uwezo mkubwa.

CH1 26:7 Removed trailing space in v~: Wana wa Shemaya ni: Othni, Refaeli, Obedi na Elizabadi; jamaa zake Elihu na Semakia walikuwa pia watu wenye uwezo.

CH1 26:8 Removed trailing space in v~: Hawa wote walikuwa wazao wa Obed-Edomu; wao na wana wao na jamaa zao walikuwa watu wenye uwezo pamoja na nguvu za kufanya kazi. Wazao wa Obed-Edomu jumla yao walikuwa sitini na wawili.

CH1 26:9 Removed trailing space in v~: Meshelemia alikuwa na wana na jamaa zake, waliokuwa watu wenye uwezo: jumla yao watu kumi na wanane.

CH1 26:10 Removed trailing space in v~: Hosa, Mmerari, alikuwa na wana wafuatao: Shimri alikuwa mkuu wao (baba yake alikuwa amemweka yeye kuwa mkuu ijapokuwa hakuwa mzaliwa wa kwanza),

CH1 26:11 Removed trailing space in v~: Hilkia wa pili, Tabalia wa tatu na Zekaria wa nne. Wana na jamaa za Hosa jumla yao walikuwa watu kumi na watatu.

CH1 26:12 Removed trailing space in v~: Hii migawanyo ya mabawabu, kupitia wakuu wao, walikuwa na zamu za kuhudumu hekaluni mwa \nd Bwana\nd* kama jamaa zao walivyokuwa nazo.

CH1 26:13 Removed trailing space in v~: Kura zilipigwa kwa kila lango, kufuatana na jamaa zao, wakubwa kwa wadogo.

CH1 26:14 Removed trailing space in v~: Kura ya Lango la Mashariki ilimwangukia Shelemia.\f + \fr 26:14 \ft Shelemia jina lingine ni Meshelemia.\f* Kisha wakapiga kura kwa Zekaria mwanawe, aliyekuwa mshauri mwenye hekima, nayo kura ya Lango la Kaskazini ikamwangukia.

CH1 26:15 Removed trailing space in v~: Kura ya Lango la Kusini ikamwangukia Obed-Edomu, nayo kura ya maghala ikawaangukia wanawe.

CH1 26:16 Removed trailing space in v~: Kura za Lango la Magharibi na Lango la Shalekethi kwenye barabara ya juu zikawaangukia Shupimu na Hosa.

CH1 26:16 Removed trailing space in p~: Zamu za walinzi ziligawanywa kwa usawa:

CH1 26:17 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na Walawi sita kila siku upande wa mashariki, wanne upande wa kaskazini, wanne upande wa kusini, na wawili wawili kwa mara moja kwenye ghala.

CH1 26:18 Removed trailing space in v~: Kuhusu ukumbi kuelekea magharibi, kulikuwa na wanne barabarani na wawili kwenye ukumbi wenyewe.

CH1 26:19 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo iliyokuwa migawanyo ya mabawabu waliokuwa wazao wa Kora na wa Merari.

CH1 26:19 Removed trailing space in s1: Watunza Hazina Na Maafisa Wengine

CH1 26:20 Removed trailing space in v~: Katika Walawi, Ahiya alikuwa mwangalizi wa hazina za nyumba ya Mungu na mwangalizi wa hazina za vitu vilivyowekwa wakfu.

CH1 26:21 Removed trailing space in v~: Wazao wa Ladani, waliokuwa Wagershoni kupitia Ladani na waliokuwa viongozi wa jamaa za Ladani Mgershoni, walikuwa Yehieli,

CH1 26:22 Removed trailing space in v~: wana wa Yehieli, wana wa Zethamu na wa nduguye Yoeli. Wao walikuwa waangalizi wa hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH1 26:23 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa wana wa Amramu, wana wa Ishari, wana wa Hebroni na wana wa Uzieli:

CH1 26:24 Removed trailing space in v~: Shebueli, mzao wa Gershomu mwana wa Mose, alikuwa afisa mwangalizi wa hazina.

CH1 26:25 Removed trailing space in v~: Jamaa zake kutoka kwa Eliezeri, wanawe walikuwa: Rehabia, Yeshaya, Yoramu, Zikri na Shelomithi.

CH1 26:26 Removed trailing space in v~: Shelomithi na jamaa zake walikuwa waangalizi wa hazina zote za vitu vile vilivyowekwa wakfu na Mfalme Daudi, kwa viongozi wa jamaa waliokuwa majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, na kwa maafisa wengine wa jeshi.

CH1 26:27 Removed trailing space in v~: Baadhi ya nyara zilizotekwa vitani waliziweka wakfu kwa ajili ya ukarabati wa Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH1 26:28 Removed trailing space in v~: Kila kitu kilichokuwa kimewekwa wakfu na Samweli mwonaji, na Sauli mwana wa Kishi, Abneri mwana wa Neri, na Yoabu mwana wa Seruya, pamoja na vitu vingine vyote vilivyokuwa vimewekwa wakfu, vyote vilikuwa chini ya uangalizi wa Shelomithi na jamaa zake.

CH1 26:29 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa wana wa Ishari: Kenania na wanawe walipewa kazi nje ya Hekalu kama maafisa na waamuzi juu ya Israeli.

CH1 26:30 Removed trailing space in v~: Kutoka kwa wana wa Hebroni: Hashabia na jamaa zake, watu 1,700 wenye uwezo, waliwajibika katika Israeli magharibi ya Yordani kwa ajili ya kazi zote za \nd Bwana\nd* na utumishi wa mfalme.

CH1 26:31 Removed trailing space in v~: Kuhusu wana wa Hebroni, Yeria alikuwa mkuu wao kufuatana na orodha ya jamaa yao. Katika mwaka wa arobaini wa utawala wa Daudi uchunguzi ulifanyika katika kumbukumbu, nao watu wenye uwezo miongoni mwa wana wa Hebroni wakapatikana huko Yazeri katika Gileadi.

CH1 26:32 Removed trailing space in v~: Yeria alikuwa na jamaa ya watu 2,700 waliokuwa watu wenye uwezo na viongozi wa jamaa, naye Mfalme Daudi akawaweka kuangalia Wareubeni, Wagadi na nusu ya kabila Manase kuhusu kila jambo lililomhusu Mungu na shughuli za mfalme.

CH1 27:0 Extra space after chapter number

CH1 27:0 Removed trailing space in c: 27

CH1 27:0 Removed trailing space in s1: Vikosi Vya Jeshi

CH1 27:1 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo orodha ya Waisraeli: viongozi wa jamaa, majemadari wa maelfu, majemadari wa mamia na maafisa wao, waliomtumikia mfalme kwa lolote lililohusu vikosi vya jeshi vilivyokuwa zamu mwezi baada ya mwezi katika mwaka mzima. Kila kikosi kimoja kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:2 Removed trailing space in v~: Msimamizi wa kikosi cha kwanza kwa mwezi wa kwanza alikuwa Yashobeamu mwana wa Zabdieli. Kulikuwa na watu 24,000 katika kikosi chake.

CH1 27:3 Removed trailing space in v~: Yeye alikuwa mzao wa Peresi, na mkuu wa maafisa wote wa jeshi kwa mwezi wa kwanza.

CH1 27:4 Removed trailing space in v~: Msimamizi wa kikosi kwa mwezi wa pili alikuwa Dodai Mwahohi. Miklothi ndiye alikuwa kiongozi wa kikosi chake. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:5 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kikosi cha tatu kwa mwezi wa tatu alikuwa Benaya mwana wa kuhani Yehoyada. Ndiye alikuwa mkuu wa kikosi chake kilichokuwa na watu 24,000.

CH1 27:6 Removed trailing space in v~: Huyu ndiye yule Benaya aliyekuwa shujaa miongoni mwa wale Thelathini na ndiye alikuwa juu yao hao Thelathini. Mwanawe Amizabadi ndiye alikuwa mkuu katika kikosi chake.

CH1 27:7 Removed trailing space in v~: Jemadari wa nne kwa mwezi wa nne alikuwa Asaheli nduguye Yoabu, mwanawe Zebadia ndiye aliingia mahali pake kwenye uongozi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:8 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kikosi cha tano kwa mwezi wa tano alikuwa Shamhuthi Mwizrahi. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:9 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kikosi cha sita kwa mwezi wa sita alikuwa Ira, mwana wa Ikeshi Mtekoa. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:10 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kikosi cha saba kwa mwezi wa saba alikuwa Helesi Mpeloni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:11 Removed trailing space in v~: Jemadari wa nane kwa mwezi wa nane, alikuwa Sibekai Mhushathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:12 Removed trailing space in v~: Jemadari wa tisa kwa mwezi wa tisa alikuwa Abiezeri Mwanathothi wa Wabenyamini. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:13 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kumi kwa mwezi wa kumi alikuwa Maharai Mnetofathi wa Wazera. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:14 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kumi na moja kwa mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya Mpirathoni wa Waefraimu. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:15 Removed trailing space in v~: Jemadari wa kumi na mbili kwa mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai Mnetofathi kutoka jamaa ya Othnieli. Kikosi chake kilikuwa na watu 24,000.

CH1 27:15 Removed trailing space in s1: Maafisa Wa Makabila

CH1 27:16 Removed trailing space in v~: Maafisa waliokuwa wanaoongoza makabila ya Israeli walikuwa:

CH1 27:16 Removed trailing space in p~: Kwa Wareubeni: Eliezeri mwana wa Zikri;

CH1 27:16 Removed trailing space in p~: kwa Wasimeoni: Shefatia mwana wa Maaka;

CH1 27:17 Removed trailing space in v~: kwa Walawi: Hashabia mwana wa Kemueli;

CH1 27:17 Removed trailing space in p~: kwa Aroni: Sadoki;

CH1 27:18 Removed trailing space in v~: kwa Yuda: Elihu, nduguye Daudi;

CH1 27:18 Removed trailing space in p~: kwa Waisakari: Omri mwana wa Mikaeli;

CH1 27:19 Removed trailing space in v~: kwa Wazabuloni: Ishmaya mwana wa Obadia;

CH1 27:19 Removed trailing space in p~: kwa Wanaftali: Yeremothi mwana wa Azrieli;

CH1 27:20 Removed trailing space in v~: kwa Waefraimu: Hoshea mwana wa Azazia;

CH1 27:20 Removed trailing space in p~: kwa nusu ya kabila la Manase: Yoeli mwana wa Pedaya;

CH1 27:21 Removed trailing space in v~: kwa nusu nyingine ya kabila la Manase huko Gileadi: Ido mwana wa Zekaria;

CH1 27:21 Removed trailing space in p~: kwa Wabenyamini: Yaasieli mwana wa Abneri;

CH1 27:22 Removed trailing space in v~: kwa Wadani: Azareli mwana wa Yerohamu.

CH1 27:22 Removed trailing space in p~: Hao ndio waliokuwa maafisa wa makabila ya Israeli.

CH1 27:23 Removed trailing space in v~: Daudi hakuwahesabu watu waliokuwa chini ya miaka ishirini, kwa sababu \nd Bwana\nd* alikuwa ameahidi kuwafanya Israeli kuwa wengi kama nyota za angani.

CH1 27:24 Removed trailing space in v~: Yoabu mwana wa Seruya alianza kuwahesabu watu lakini hakumaliza. Kwa sababu ya kuwahesabu watu, hasira ya Mungu iliwaka juu ya Israeli, nayo hiyo hesabu yao haikuingizwa katika kitabu cha kumbukumbu za Mfalme Daudi.

CH1 27:24 Removed trailing space in s1: Wasimamizi Wa Mali Za Mfalme

CH1 27:25 Removed trailing space in v~: Azmawethi mwana wa Adieli ndiye alikuwa msimamizi wa hazina za mfalme.

CH1 27:25 Removed trailing space in p~: Msimamizi wa hazina katika mashamba, miji, vijiji na kwenye ngome alikuwa Yonathani mwana wa Uzia.

CH1 27:26 Removed trailing space in v~: Ezri mwana wa Kelubu alikuwa msimamizi wa wafanyakazi waliolima katika mashamba.

CH1 27:27 Removed trailing space in v~: Shimei Mramathi alikuwa msimamizi wa mashamba ya mizabibu.

CH1 27:27 Removed trailing space in p~: Zabdi Mshifmi alikuwa msimamizi wa zabibu, utengenezaji na uhifadhi wa divai katika mapipa makubwa.

CH1 27:28 Removed trailing space in v~: Baal-Hanani Mgederi ndiye alikuwa mwangalizi wa mashamba ya mfalme ya mizeituni na mikuyu katika tambarare za vilima vya magharibi.

CH1 27:28 Removed trailing space in p~: Yoashi alikuwa msimamizi wa ghala za mafuta ya zeituni.

CH1 27:29 Removed trailing space in v~: Shitrai Msharoni alikuwa msimamizi wa makundi ya ngʼombe waliojilisha huko Sharoni.

CH1 27:29 Removed trailing space in p~: Shafati mwana wa Adlai alikuwa msimamizi wa yale makundi ya ngʼombe yaliyokuwa makondeni.

CH1 27:30 Removed trailing space in v~: Obili Mwishmaeli alikuwa msimamizi wa ngamia.

CH1 27:30 Removed trailing space in p~: Yedeya Mmeronothi alikuwa msimamizi wa punda.

CH1 27:31 Removed trailing space in v~: Yazizi Mhagri alikuwa msimamizi wa makundi ya kondoo na mbuzi.

CH1 27:31 Removed trailing space in p~: Hawa wote ndio waliokuwa maafisa wasimamizi wa mali alizokuwa nazo Mfalme Daudi.

CH1 27:32 Removed trailing space in v~: Yonathani mjomba wa Daudi alikuwa mshauri, mtu mwenye ufahamu mkubwa na mwandishi. Yehieli mwana wa Hakmoni alikuwa akiwahudumia wana wa mfalme.

CH1 27:33 Removed trailing space in v~: Ahithofeli alikuwa mshauri wa mfalme.

CH1 27:33 Removed trailing space in p~: Hushai Mwariki alikuwa rafiki wa mfalme.

CH1 27:34 Removed trailing space in v~: Baada ya Ahithofeli, Yehoyada mwana wa Benaya aliingia mahali pake kama mshauri wa mfalme pamoja na Abiathari.

CH1 27:34 Removed trailing space in p~: Yoabu alikuwa ndiye jemadari wa majeshi ya mfalme.

CH1 28:0 Extra space after chapter number

CH1 28:0 Removed trailing space in c: 28

CH1 28:0 Removed trailing space in s1: Maandalizi Ya Daudi Ya Kujenga Hekalu

CH1 28:1 Removed trailing space in v~: Daudi akawaita maafisa wote wa Israeli wakusanyike huko Yerusalemu: yaani, maafisa walio juu ya makabila, majemadari wa vikosi katika utumishi wa mfalme, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, maafisa wanaosimamia mali zote na mifugo ya mfalme na wanawe, wakiwemo maafisa wa jumba la kifalme, mashujaa na askari wote walio hodari.

CH1 28:2 Removed trailing space in v~: Mfalme Daudi akainuka na kusema: “Nisikilizeni ndugu zangu nanyi watu wangu. Nilikuwa na nia ya kujenga nyumba ili iwe mahali pa kukaa Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* kwa ajili ya kuwa mahali pa kuwekea miguu ya Mungu wetu, nami nikafanya maandalizi ya kuijenga.

CH1 28:3 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu akaniambia, ‘Wewe hutajenga nyumba kwa Jina langu, kwa sababu wewe umepigana vita na umemwaga damu.’

CH1 28:4 Removed trailing space in v~: “Hata hivyo, \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, alinichagua mimi kutoka jamaa yangu yote niwe mfalme juu ya Israeli milele. Alimchagua Yuda kuwa kiongozi na kutoka nyumba ya Yuda akaichagua jamaa yangu na kutoka wana wa baba yangu ikampendeza kunifanya niwe mfalme juu ya Israeli yote.

CH1 28:5 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa wanangu wote, naye \nd Bwana\nd* amenipa wengi, amemchagua Solomoni mwanangu ili kukikalia kiti cha enzi cha ufalme wa \nd Bwana\nd* juu ya Israeli.

CH1 28:6 Removed trailing space in v~: Aliniambia, ‘Solomoni mwanao ndiye atakayejenga nyumba yangu na nyua zangu, kwa maana nimemchagua yeye kuwa mwanangu, nami nitakuwa baba yake.

CH1 28:7 Removed trailing space in v~: Nitaufanya imara ufalme wake milele kama akiendelea kuzishika amri zangu na sheria zangu, kama afanyavyo hivi leo.’

CH1 28:8 Removed trailing space in v~: “Hivyo basi ninawaagiza mbele za Israeli yote na kusanyiko hili la \nd Bwana\nd* naye Mungu wetu akiwa anasikia: Kuweni na bidii kuzifuata amri za \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ili mpate kumiliki nchi hii nzuri na kuwaachia wana wenu kuwa urithi milele.

CH1 28:9 Removed trailing space in v~: “Nawe Solomoni mwanangu, mjue Mungu wa baba yako, ukamtumikie kwa kujitoa kwa moyo wote na kwa nia ya kumkubali, kwa maana \nd Bwana\nd* huuchunguza kila moyo na kujua kila kusudi la kila fikira. Ukimtafuta, ataonekana kwako; bali kama ukimwacha, yeye atakukataa milele.

CH1 28:10 Removed trailing space in v~: Angalia basi, kwa maana \nd Bwana\nd* amekuchagua wewe ili ujenge Hekalu kuwa mahali patakatifu. Uwe hodari ukafanye kazi hiyo.”

CH1 28:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akampa Solomoni mwanawe kielelezo kwa ajili ya ukumbi wa Hekalu, nyumba zake, vyumba vyake vya hazina, ghorofa zake, vyumba vyake vya ndani na mahali pa kufanyia upatanisho.

CH1 28:12 Removed trailing space in v~: Akampa vielelezo vya yote Roho alikuwa ameviweka moyoni mwake kwa ajili ya kumbi za Hekalu la \nd Bwana\nd* na vyumba vyote vilivyolizunguka, kwa ajili ya hazina za Hekalu la Mungu na kwa hazina za vitu vilivyowekwa wakfu.

CH1 28:13 Removed trailing space in v~: Mfalme pia akampa Solomoni maelekezo kwa ajili ya migawanyo ya huduma za makuhani na Walawi, pia kwa ajili ya kazi zote za huduma katika Hekalu la \nd Bwana\nd*. Akampa pia maelezo kuhusu vifaa vyote vya kutumika katika huduma ya Hekalu.

CH1 28:14 Removed trailing space in v~: Akamwagizia uzito wa dhahabu kwa ajili ya vitu vyote vya dhahabu vya kutumika katika huduma mbalimbali, uzito wa fedha kwa ajili ya vitu vyote vya fedha vya kutumika katika huduma mbalimbali.

CH1 28:15 Removed trailing space in v~: Uzito wa dhahabu kwa ajili ya vinara vya dhahabu na taa zake, kukiwa na uzito kwa ajili ya kila kinara na taa zake, pamoja na uzito wa fedha kwa ajili ya kila kinara cha fedha na taa zake, kulingana na matumizi ya kila kinara;

CH1 28:16 Removed trailing space in v~: uzito wa dhahabu kwa ajili ya meza ya mikate iliyowekwa wakfu, uzito wa fedha kwa ajili ya meza ya fedha;

CH1 28:17 Removed trailing space in v~: uzito wa dhahabu safi kwa ajili ya nyuma, mabakuli ya kunyunyizia na vikombe, masinia; uzito wa dhahabu kwa ajili ya kila bakuli la dhahabu; uzito wa fedha kwa ajili ya kila bakuli la fedha;

CH1 28:18 Removed trailing space in v~: na uzito wa dhahabu safi kwa ajili ya madhabahu ya kufukizia uvumba. Pia alimpa kielelezo kwa ajili ya gari, yaani, wale makerubi wa dhahabu waliokunjua mbawa zao na kuweka kivuli juu ya Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*.

CH1 28:19 Removed trailing space in v~: Daudi akasema, “Hii yote, ninayo kwa maandishi kutoka mkononi mwa \nd Bwana\nd* ulio juu yangu, naye amenipa ufahamu kwa ajili ya habari zote za kielelezo hiki.”

CH1 28:20 Removed trailing space in v~: Daudi pia akamwambia Solomoni mwanawe, “Uwe hodari na moyo mkuu, ukafanye kazi hii. Usiogope wala usifadhaike, kwa maana \nd Bwana\nd* aliye Mungu, Mungu wangu yu pamoja nawe. Hatakuacha wala hatakupungukia mpaka kazi hii yote kwa ajili ya utumishi wa Hekalu la \nd Bwana\nd* itakapokamilika.

CH1 28:21 Removed trailing space in v~: Migawanyo ya makuhani na Walawi iko tayari kwa ajili ya kazi yote katika Hekalu la Mungu, naye kila mtu mwenye moyo wa kupenda mwenye ustadi katika aina yoyote ya ufundi atakusaidia katika kazi yote. Maafisa na watu wote watatii kila agizo lako.”

CH1 29:0 Extra space after chapter number

CH1 29:0 Removed trailing space in c: 29

CH1 29:0 Removed trailing space in s1: Matoleo Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Hekalu

CH1 29:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Daudi akaliambia kusanyiko lote: “Mwanangu Solomoni, yeye ambaye Mungu amemchagua, ni kijana mdogo na asiye na uzoefu. Kazi hii ni kubwa, kwa sababu Hekalu hili la fahari si kwa ajili ya mwanadamu bali ni kwa ajili ya \nd Bwana\nd*.

CH1 29:2 Removed trailing space in v~: Kwa uwezo wangu wote nimetenga mali kwa ajili ya Hekalu la Mungu wangu: dhahabu kwa kazi za dhahabu, fedha kwa ajili ya fedha, shaba kwa kazi za shaba, chuma kwa kazi za chuma na miti kwa kazi za miti, vivyo hivyo vito vya shohamu kwa ajili ya kutia kwenye vijalizo, almasi, mawe ya rangi mbalimbali, aina zote za vito vya thamani na marmar; yote haya kwa wingi mno.

CH1 29:3 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, kwa kujitolea kwangu kwa ajili ya Hekalu la Mungu wangu, sasa ninatoa hazina zangu mwenyewe za dhahabu na fedha kwa ajili ya Hekalu la Mungu wangu, zaidi ya mali niliyotoa kwa ajili ya Hekalu hili takatifu:

CH1 29:4 Removed trailing space in v~: talanta 3,000\f + \fr 29:4 \ft Talanta 3,000 za dhahabu sawa na tani 110.\f* za dhahabu (dhahabu ya Ofiri) na talanta 7,000\f + \fr 29:4 \ft Talanta 7,000 za fedha ni sawa na tani 260.\f* za fedha safi iliyosafishwa, kwa ajili ya kufunika kuta za Hekalu,

CH1 29:5 Removed trailing space in v~: kwa kazi ya dhahabu na kazi ya fedha na kwa kazi yote itakayofanywa na mafundi. Basi, ni nani anayependa kujitoa kwa \nd Bwana\nd* leo?”

CH1 29:6 Removed trailing space in v~: Ndipo viongozi wa jamaa, maafisa wa kabila za Israeli, majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia, pamoja na maafisa waliokuwa wasimamizi wa kazi za mfalme wakatoa kwa hiari yao.

CH1 29:7 Removed trailing space in v~: Wakatoa kwa ajili ya kazi ya Hekalu la Mungu talanta 5,000\f + \fr 29:7 \ft Talanta 5,000 za dhahabu ni sawa na tani 190.\f* na darkoni 10,000\f + \fr 29:7 \ft Darkoni 10,000 za dhahabu ni sawa na kilo 84.\f* za dhahabu, talanta 10,000\f + \fr 29:7 \ft Talanta 10,000 za fedha ni sawa na tani 375.\f* za fedha, talanta 18,000\f + \fr 29:7 \ft Talanta 18,000 za shaba ni sawa na tani 675.\f* za shaba na talanta 100,000\f + \fr 29:7 \ft Talanta 100,000 za chuma ni sawa na tani 3,750.\f* za chuma.

CH1 29:8 Removed trailing space in v~: Kila mmoja aliyekuwa na vito vya thamani akavitoa katika hazina ya Hekalu la \nd Bwana\nd* chini ya uangalizi wa Yehieli Mgershoni.

CH1 29:9 Removed trailing space in v~: Watu wakafurahi kwa sababu ya itikio la hiari la viongozi wao, kwa kuwa walikuwa wametoa kwa hiari na kwa moyo wote kwa \nd Bwana\nd*. Mfalme Daudi pia akafurahi sana.

CH1 29:9 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Daudi

CH1 29:10 Removed trailing space in v~: Daudi akamhimidi \nd Bwana\nd* mbele ya kusanyiko lote, akisema:

CH1 29:10 Removed trailing space in p~: “Uhimidiwe wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

CH1 29:10 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli baba yetu,

CH1 29:10 Removed trailing space in p~: tangu milele hata milele.

CH1 29:11 Removed trailing space in v~: Ukuu na uweza, ni vyako, Ee \nd Bwana\nd*,

CH1 29:11 Removed trailing space in p~: na utukufu na enzi na uzuri,

CH1 29:11 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kila kilichoko mbinguni na duniani

CH1 29:11 Removed trailing space in p~: ni chako wewe.

CH1 29:11 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, ufalme ni wako;

CH1 29:11 Removed trailing space in p~: umetukuzwa kuwa mkuu juu ya yote.

CH1 29:12 Removed trailing space in v~: Utajiri na heshima vyatoka kwako;

CH1 29:12 Removed trailing space in p~: wewe ndiwe utawalaye vitu vyote.

CH1 29:12 Removed trailing space in p~: Mikononi mwako kuna nguvu na uweza

CH1 29:12 Removed trailing space in p~: ili kuinua na kuwapa wote nguvu,

CH1 29:13 Removed trailing space in v~: Sasa, Mungu wetu, tunakushukuru

CH1 29:13 Removed trailing space in p~: na kulisifu Jina lako tukufu.

CH1 29:14 Removed trailing space in v~: “Lakini mimi ni nani, nao watu wangu ni nani, hata tuweze kukutolea kwa ukarimu namna hii? Vitu vyote vyatoka kwako, nasi tumekutolea tu vile vitokavyo mkononi mwako.

CH1 29:15 Removed trailing space in v~: Sisi ni wageni na wapitaji machoni pako, kama walivyokuwa baba zetu wote. Siku zetu duniani ni kama kivuli, bila tumaini.

CH1 29:16 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu wetu, kwa wingi wote huu ambao tumekutolea kwa kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina lako Takatifu, vimetoka mkononi mwako, navyo vyote ni mali yako.

CH1 29:17 Removed trailing space in v~: Ninajua, Mungu wangu, kwamba wewe huujaribu moyo na unapendezwa na unyofu. Vitu hivi vyote nimetoa kwa hiari na kwa moyo mnyofu. Nami sasa nimeona kwa furaha jinsi watu wako walioko hapa kwa hiari yao walivyokutolea wewe.

CH1 29:18 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zetu Abrahamu, Isaki na Israeli, weka shauku hii ndani ya mioyo ya watu wako daima na uifanye mioyo yao iwe na uaminifu kwako.

CH1 29:19 Removed trailing space in v~: Nawe umpe mwanangu Solomoni kujitolea kwako kwa moyo wote ili kuzishika amri zako, masharti yako, maagizo yako na kufanya kila kitu ili kujenga Hekalu hili la fahari ambalo kwa ajili yake nimetoa.”

CH1 29:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Daudi akaliambia kusanyiko lote, “Mhimidini \nd Bwana\nd* Mungu wenu.” Hivyo wote wakamhimidi \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao. Wakasujudu na kuanguka kifudifudi mbele za \nd Bwana\nd* na mfalme.

CH1 29:20 Removed trailing space in s1: Solomoni Akubalika Kuwa Mfalme

CH1 29:21 Removed trailing space in v~: Siku ya pili yake wakamtolea \nd Bwana\nd* dhabihu na sadaka za kuteketezwa: mafahali 1,000, kondoo dume 1,000 na wana-kondoo dume 1,000, pamoja na sadaka za kinywaji na sadaka nyingine nyingi sana kwa ajili ya Israeli.

CH1 29:22 Removed trailing space in v~: Wakala na kunywa kwa furaha kubwa mbele za \nd Bwana\nd* siku ile.

CH1 29:22 Removed trailing space in p~: Wakamtawaza Solomoni mwana wa Daudi mara ya pili kuwa mfalme, wakamtia mafuta kwa ajili ya \nd Bwana\nd* ili awe mfalme na Sadoki kuwa kuhani.

CH1 29:23 Removed trailing space in v~: Solomoni akaketi kwenye kiti cha enzi cha \nd Bwana\nd* kuwa mfalme mahali pa Daudi baba yake. Akafanikiwa sana na Israeli wote wakamtii.

CH1 29:24 Removed trailing space in v~: Maafisa wote na mashujaa, pamoja na wana wote wa Daudi, wakaahidi kumtii Mfalme Solomoni.

CH1 29:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtukuza sana Solomoni mbele ya Israeli wote na kumvika fahari ya kifalme ambayo hakuna mfalme yeyote wa Israeli kabla yake aliwahi kuwa nayo.

CH1 29:25 Removed trailing space in s1: Muhtasari Wa Utawala Wa Daudi

CH1 29:26 Removed trailing space in v~: Daudi mwana wa Yese alikuwa mfalme wa Israeli yote.

CH1 29:27 Removed trailing space in v~: Alitawala Israeli kwa miaka arobaini: huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.

CH1 29:28 Removed trailing space in v~: Daudi akafa akiwa mzee mwenye umri mwema, akiwa ameshiba siku, utajiri na heshima. Naye Solomoni mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH1 29:29 Removed trailing space in v~: Kuhusu matukio ya utawala wa Mfalme Daudi, kuanzia mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kumbukumbu za mwonaji Samweli, na kumbukumbu za nabii Nathani na kumbukumbu za mwonaji Gadi,

CH1 29:30 Removed trailing space in v~: pamoja na habari zote za utawala wake, nguvu zake na matukio yaliyompata yeye, na Israeli, na falme za nchi nyingine zote.

CH2 2:0 Extra space after chapter number

CH2 2:0 Removed trailing space in c: 2

CH2 2:0 Removed trailing space in s1: Maandalizi Ya Kujenga Hekalu

CH2 2:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 5:1-18)

CH2 2:1 Removed trailing space in v~: Solomoni akatoa amri kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd* na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe.

CH2 2:2 Removed trailing space in v~: Solomoni akaandika watu 70,000 kuwa wachukuzi wa mizigo, na watu 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na watu 3,600 kuwa wasimamizi wao.

CH2 2:3 Removed trailing space in v~: Solomoni akapeleka ujumbe huu kwa Mfalme Hiramu wa Tiro:

CH2 2:3 Removed trailing space in p~: “Unitumie magogo ya mierezi kama ulivyomfanyia baba yangu Daudi wakati ulipompelekea mierezi ya kujenga jumba lake la kifalme la kuishi.

CH2 2:4 Removed trailing space in v~: Sasa ninakaribia kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd* Mungu wangu na kuliweka wakfu kwake kwa ajili ya kufukizia uvumba wenye harufu nzuri mbele zake, mahali pa kuweka mikate ya Wonyesho kwa kufuata utaratibu na kwa ajili ya mahali pa kutolea sadaka za kuteketezwa kila siku asubuhi na jioni, siku za Sabato na Mwezi Mwandamo pia katika sikukuu zilizoamriwa za \nd Bwana\nd* Mungu wetu. Hili ni agizo la kudumu kwa ajili ya Waisraeli.

CH2 2:5 Removed trailing space in v~: “Hekalu nitakalolijenga litakuwa kubwa, kwa sababu Mungu wetu ni mkuu kuliko miungu mingine yote.

CH2 2:6 Removed trailing space in v~: Lakini ni nani awezaye kumjengea Hekalu, maadamu mbingu, hata mbingu zilizo juu sana, haziwezi kumtosha? Mimi ni nani basi hata nimjengee Hekalu, isipokuwa liwe tu mahali pa kutolea dhabihu za kuteketezwa mbele zake?

CH2 2:7 Removed trailing space in v~: “Hivyo basi nitumie mtu mwenye ustadi wa kufanya kazi ya kutengeneza dhahabu na fedha, shaba na chuma, nyuzi za rangi ya zambarau, nyekundu na buluu, mwenye uzoefu wa kutia nakshi, ili afanye kazi Yuda na Yerusalemu pamoja na mafundi wangu wenye ustadi, ambao baba yangu Daudi aliwaweka.

CH2 2:8 Removed trailing space in v~: “Pia nitumie magogo ya mierezi, miberoshi na misandali kutoka Lebanoni kwa maana najua kwamba watu wako wanao ujuzi wa kupasua mbao huko. Watu wangu watafanya kazi pamoja na watu wako

CH2 2:9 Removed trailing space in v~: ili wanipatie mbao kwa wingi kwa sababu Hekalu nitakalojenga lazima liwe kubwa na zuri kabisa.

CH2 2:10 Removed trailing space in v~: Nitawapa watumishi wako, yaani, maseremala wakatao mbao, kori 20,000\f + \fr 2:10 \ft Kori 20,000 za ngano ni sawa na lita 4,400.\f* za unga wa ngano, kori 20,000 za shayiri, bathi 20,000\f + \fr 2:10 \ft Bathi 20,000 za mvinyo au mafuta ni sawa na lita 440,000.\f* za mvinyo, na bathi 20,000 za mafuta ya zeituni.”

CH2 2:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro akamjibu Solomoni kwa barua:

CH2 2:11 Removed trailing space in p~: “Kwa sababu \nd Bwana\nd* anawapenda watu wake, amekufanya wewe kuwa mfalme wao.”

CH2 2:12 Removed trailing space in v~: Naye Hiramu akaongeza kusema:

CH2 2:12 Removed trailing space in p~: “Ahimidiwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli aliyezifanya mbingu na nchi! Amempa Mfalme Daudi mwana mwenye hekima, aliyejaliwa maarifa na ufahamu, ambaye atajenga Hekalu kwa ajili ya \nd Bwana\nd*, na jumba la kifalme kwa ajili yake mwenyewe.

CH2 2:13 Removed trailing space in v~: “Mimi nitamtuma kwako Huramu-Abi, mtu mwenye ustadi mwingi,

CH2 2:14 Removed trailing space in v~: ambaye mama yake alitoka Dani na baba yake alitoka Tiro. Yeye ni stadi wa kutengeneza vitu, kufanya kazi zote za dhahabu, fedha, shaba, chuma, mawe na mbao pamoja na kufuma. Ni stadi katika kutia rangi ya zambarau, buluu, nyekundu na nguo za kitani safi. Yeye ana ujuzi katika aina zote za kutia nakshi na anaweza kufuatiliza mchoro wowote wa kazi anayopewa. Atafanya kazi na mafundi wako na wale wa bwana wangu, Daudi baba yako.

CH2 2:15 Removed trailing space in v~: “Sasa basi bwana wangu na awapelekee watumishi wake ngano, shayiri, mafuta ya zeituni na mvinyo kama alivyoahidi,

CH2 2:16 Removed trailing space in v~: nasi tutakata magogo yote yale unayohitaji kutoka Lebanoni nasi tutayafunga pamoja na kuyaweka yaelee baharini mpaka Yafa. Kisha utaweza kuyachukua mpaka Yerusalemu.”

CH2 2:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Solomoni akaamuru ifanyike hesabu ya wageni wote waliokuwa katika Israeli, baada ya ile hesabu iliyofanywa na Daudi; wakapatikana watu 153,600.

CH2 2:18 Removed trailing space in v~: Akawaweka watu 70,000 miongoni mwao kuwa wachukuzi wa mizigo, na 80,000 kuwa wachonga mawe vilimani, na 3,600 wakiwa wasimamizi juu yao ili wawahimize watu kufanya kazi.

CH2 3:0 Extra space after chapter number

CH2 3:0 Removed trailing space in c: 3

CH2 3:0 Removed trailing space in s1: Solomoni Ajenga Hekalu

CH2 3:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 6:1-38; 7:15-22)

CH2 3:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Solomoni akaanza kujenga Hekalu la \nd Bwana\nd* katika Yerusalemu juu ya Mlima Moria, pale ambapo \nd Bwana\nd* alikuwa amemtokea Daudi baba yake. Ilikuwa katika kiwanja cha kupuria cha Arauna,\f + \fr 3:1 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.\f* Myebusi, mahali palipotolewa na Daudi.

CH2 3:2 Removed trailing space in v~: Alianza kujenga siku ya pili ya mwezi wa pili katika mwaka wa nne wa utawala wake.

CH2 3:3 Removed trailing space in v~: Msingi aliouweka Solomoni kwa ajili ya kulijenga Hekalu la Mungu ulikuwa urefu wa dhiraa sitini\f + \fr 3:3 \ft Dhiraa 60 ni sawa na mita 27.\f* na upana dhiraa ishirini.\f + \fr 3:3 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.\f*

CH2 3:4 Removed trailing space in v~: Ukumbi wa mbele wa Hekalu ulikuwa na urefu wa dhiraa ishirini, yaani, kuanzia upande mmoja hadi upande mwingine wa upana wa nyumba hiyo na kimo chake dhiraa thelathini.\f + \fr 3:4 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.\f*

CH2 3:4 Removed trailing space in p~: Akaufunika ndani kwa dhahabu safi.

CH2 3:5 Removed trailing space in v~: Akaufunika ukumbi mkuu kwa mbao za miberoshi na kufunikwa kwa dhahabu safi na kuupamba kwa miti ya mitende na kuifanyizia kwa minyororo.

CH2 3:6 Removed trailing space in v~: Alilipamba Hekalu kwa vito vya thamani. Hiyo dhahabu aliyotumia ilikuwa dhahabu ya Parvaimu.

CH2 3:7 Removed trailing space in v~: Akazifunika boriti za dari, miimo na vizingiti vya milango, kuta na milango ya Hekalu kwa dhahabu, naye akatia nakshi ya makerubi kwenye kuta.

CH2 3:8 Removed trailing space in v~: Akajenga Patakatifu pa Patakatifu, urefu na upana wake ulikuwa dhiraa ishirini, sawasawa na upana wa Hekalu. Alifunika ndani kwa talanta 120\f + \fr 3:8 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 23.\f* za dhahabu safi.

CH2 3:9 Removed trailing space in v~: Misumari ya dhahabu ilikuwa na uzito wa shekeli hamsini.\f + \fr 3:9 \ft Shekeli 50 za dhahabu ni sawa na gramu 600.\f* Alivifunika pia vyumba vya juu kwa dhahabu.

CH2 3:10 Removed trailing space in v~: Katika sehemu ya Patakatifu pa Patakatifu akafanyiza jozi moja ya makerubi ya kuchongwa na kuyafunika kwa dhahabu.

CH2 3:11 Removed trailing space in v~: Urefu wa mabawa ya hao makerubi ulikuwa jumla ya dhiraa ishirini. Bawa moja la kerubi wa kwanza lilikuwa na urefu wa dhiraa tano,\f + \fr 3:11 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.\f* nalo liligusa ukuta wa Hekalu, bawa lake lingine, lilikuwa pia na urefu wa dhiraa tano, ambalo liligusa bawa la kerubi lingine.

CH2 3:12 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo bawa moja la kerubi wa pili lilikuwa na urefu wa dhiraa tano na liligusa ukuta mwingine wa pili wa Hekalu na bawa lake lingine, lilikuwa pia na urefu wa dhiraa tano nalo liligusa bawa la kerubi wa kwanza.

CH2 3:13 Removed trailing space in v~: Mabawa ya makerubi hawa yalitanda dhiraa ishirini. Walisimama kwa miguu yao, nyuso zao zikielekea ukumbi mkubwa.

CH2 3:14 Removed trailing space in v~: Akatengeneza pazia la nyuzi za rangi ya buluu, zambarau na nyekundu, na za kitani safi, na kutarizi makerubi juu yake.

CH2 3:15 Removed trailing space in v~: Mbele ya Hekalu Solomoni akatengeneza nguzo mbili, ambazo kwa pamoja zilikuwa na dhiraa thelathini na tano kwenda juu kwake, na urefu wa kila moja ilikuwa na taji juu yake yenye dhiraa tano.

CH2 3:16 Removed trailing space in v~: Akatengeneza minyororo iliyosokotwa, na kuiweka juu ya zile nguzo. Pia akatengeneza makomamanga 100, na kuyashikamanisha kwenye minyororo.

CH2 3:17 Removed trailing space in v~: Akazisimamisha hizo nguzo mbele ya Hekalu, moja upande wa kusini na nyingine upande wa kaskazini. Ile moja ya upande wa kusini akaiita Yakini,\f + \fr 3:17 \ft Yakini maana yake Atathibitisha.\f* na ya upande wa kaskazini akaiita Boazi.\f + \fr 3:17 \ft Boazi maana yake Imo nguvu.\f*

CH2 4:0 Extra space after chapter number

CH2 4:0 Removed trailing space in c: 4

CH2 4:0 Removed trailing space in s1: Vifaa Vya Hekalu

CH2 4:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 7:23-51)

CH2 4:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akatengeneza madhabahu ya shaba yenye urefu wa dhiraa ishirini,\f + \fr 4:1 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.\f* upana wa dhiraa ishirini na kimo chake dhiraa kumi.\f + \fr 4:1 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.\f*

CH2 4:2 Removed trailing space in v~: Akatengeneza Bahari ya kusubu, yenye umbo la mviringo, ya dhiraa kumi kutoka ukingo hadi ukingo na kimo cha dhiraa tano. Kamba ya urefu wa dhiraa thelathini\f + \fr 4:2 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.\f* ingeweza kuizunguka.

CH2 4:3 Removed trailing space in v~: Chini ya huo ukingo, kulikuwa na mafahali kuizunguka, yaani mafahali kumi katika kila dhiraa moja.\f + \fr 4:3 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.\f* Hayo mafahali waliyasubu katika safu mbili yakiwa ya kitu kimoja na hiyo Bahari.

CH2 4:4 Removed trailing space in v~: Bahari hiyo ilikaa juu ya mafahali kumi na wawili, mafahali watatu walielekeza nyuso zao kaskazini, watatu magharibi, watatu kusini na watatu mashariki. Bahari hiyo ilikaa juu ya hao mafahali, nazo sehemu zao za nyuma zilielekeana.

CH2 4:5 Removed trailing space in v~: Unene wake ulikuwa nyanda nne,\f + \fr 4:5 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 7.5.\f* na ukingo wake ulifanana na ukingo wa kikombe, kama ua la yungiyungi iliyochanua. Iliweza kuchukua bathi 3,000.\f + \fr 4:5 \ft Bathi 3,000 ni sawa na lita 60,000.\f*

CH2 4:6 Removed trailing space in v~: Kisha akatengeneza masinia kumi kwa ajili ya kuoshea vifaa, naye akayaweka matano upande wa kusini na matano upande wa kaskazini. Ndani yake ndimo walioshea vifaa vya kutumika katika sadaka za kuteketezwa, lakini ile Bahari ilikuwa ni kwa ajili ya makuhani kunawia.

CH2 4:7 Removed trailing space in v~: Akatengeneza vinara vya taa kumi vya dhahabu kama ilivyoainishwa kwao na kuviweka hekaluni, vinara vitano upande wa kusini na vitano upande wa kaskazini.

CH2 4:8 Removed trailing space in v~: Akatengeneza meza kumi na kuziweka hekaluni, tano upande wa kusini na tano upande wa kaskazini. Pia akatengeneza mabakuli 100 ya dhahabu ya kunyunyizia.

CH2 4:9 Removed trailing space in v~: Akatengeneza ukumbi wa makuhani na ukumbi mwingine mkubwa na milango yake, naye akaifunika hiyo milango kwa shaba.

CH2 4:10 Removed trailing space in v~: Akaweka ile Bahari upande wa kusini, kwenye pembe ya kusini mashariki ya nyumba.

CH2 4:11 Removed trailing space in v~: Pia akatengeneza masufuria, masepetu na mabakuli ya kunyunyizia.

CH2 4:11 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo Huramu akakamilisha kazi katika Hekalu la Mungu kama vile Mfalme Solomoni alikuwa amemwagiza, yaani:

CH2 4:12 Removed trailing space in v~: zile nguzo mbili;

CH2 4:12 Removed trailing space in p~: yale mataji mawili yaliyokuwa juu ya hizo nguzo,

CH2 4:12 Removed trailing space in p~: zile nyavu mbili za kupamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli yaliyowekwa juu ya zile nguzo;

CH2 4:13 Removed trailing space in v~: yale makomamanga 400 kwa ajili ya hizo nyavu mbili (safu mbili za makomamanga kwa kila wavu yakipamba hayo mataji mawili yenye umbo la bakuli juu ya hizo nguzo);

CH2 4:14 Removed trailing space in v~: vishikio pamoja na masinia yake;

CH2 4:15 Removed trailing space in v~: hiyo Bahari na hao mafahali kumi na wawili chini yake;

CH2 4:16 Removed trailing space in v~: pia hayo masufuria, masepetu, uma za nyama na vyombo vingine vyote vilivyohusiana.

CH2 4:16 Removed trailing space in p~: Vitu vyote ambavyo Huramu-Abi alimtengenezea Mfalme Solomoni kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd* vilikuwa vya shaba iliyosuguliwa.

CH2 4:17 Removed trailing space in v~: Mfalme aliagiza wavisubu vitu hivi kwenye kalibu za udongo wa mfinyanzi katika uwanda wa Yordani kati ya Sukothi na Sereda.\f + \fr 4:17 \ft Au \fqa Sarethani.\f*

CH2 4:18 Removed trailing space in v~: Vitu hivi vyote Mfalme Solomoni alivyotengeneza vilikuwa vingi sana hivi kwamba uzito wa shaba haungekadirika.

CH2 4:19 Removed trailing space in v~: Solomoni pia akatengeneza samani zote zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mungu:

CH2 4:19 Removed trailing space in p~: madhabahu ya dhahabu;

CH2 4:19 Removed trailing space in p~: meza za kuweka mikate ya Wonyesho;

CH2 4:20 Removed trailing space in v~: vinara vya taa vya dhahabu safi pamoja na taa zake ili ziwake mbele ya sehemu takatifu ya ndani kama ilivyoelekezwa;

CH2 4:21 Removed trailing space in v~: maua ya dhahabu yaliyofanyizwa, taa na makoleo (vilikuwa vya dhahabu bora kabisa);

CH2 4:22 Removed trailing space in v~: mikasi ya dhahabu safi, mabakuli ya kunyunyizia, masinia na vyetezo; milango ya dhahabu ya Hekalu: yaani milango ya ndani ya Patakatifu pa Patakatifu, na milango ya ukumbi mkuu.

CH2 5:0 Extra space after chapter number

CH2 5:0 Removed trailing space in c: 5

CH2 5:1 Removed trailing space in v~: Hivyo Solomoni alipomaliza kazi ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, akaviingiza ndani vile vitu ambavyo Daudi baba yake alikuwa ameviweka wakfu: yaani, fedha, dhahabu na samani; kisha akaviweka katika hazina za Hekalu la Mungu.

CH2 5:1 Removed trailing space in s1: Sanduku La Agano Laletwa Hekaluni

CH2 5:1 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 8:1-9)

CH2 5:2 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akawaita huko Yerusalemu wazee wa Israeli, viongozi wote wa makabila na wakuu wa jamaa za Waisraeli, ili walilete Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* kutoka Sayuni, Mji wa Daudi.

CH2 5:3 Removed trailing space in v~: Nao wanaume wote wa Israeli wakakusanyika kwa mfalme wakati wa sikukuu mwezi wa saba.

CH2 5:4 Removed trailing space in v~: Wazee wote wa Israeli walipofika, Walawi wakajitwika Sanduku la Agano,

CH2 5:5 Removed trailing space in v~: nao wakalipandisha Sanduku na Hema la Kukutania pamoja na vyombo vyote vitakatifu vilivyokuwa ndani yake. Makuhani, waliokuwa Walawi, walivibeba vitu hivyo,

CH2 5:6 Removed trailing space in v~: naye Mfalme Solomoni na kusanyiko lote la Israeli waliokusanyika kumzunguka walikuwa mbele ya hilo Sanduku, nao wakatoa dhabihu nyingi za kondoo na ngʼombe ambao idadi yao haikuwezekana kuandikwa au kuhesabiwa.

CH2 5:7 Removed trailing space in v~: Makuhani wakalileta Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd* hadi mahali pake ndani ya sehemu takatifu ndani ya Hekalu, yaani Patakatifu pa Patakatifu, na kuliweka chini ya mabawa ya makerubi.

CH2 5:8 Removed trailing space in v~: Makerubi yalitandaza mabawa yao juu ya mahali pa Sanduku la Agano na kufunika Sanduku na mipiko yake ya kubebea.

CH2 5:9 Removed trailing space in v~: Mipiko hiyo ilikuwa mirefu sana kiasi kwamba ncha zake zilizojitokeza kutoka kwenye Sanduku, nazo zilionekana ukiwa mbele ya Patakatifu pa Patakatifu, lakini sio nje ya Mahali Patakatifu. Hiyo mipiko ipo hata leo.

CH2 5:10 Removed trailing space in v~: Ndani ya Sanduku hapakuwepo kitu kingine chochote isipokuwa zile mbao mbili ambazo Mose alikuwa ameziweka ndani yake huko Horebu, mahali ambapo \nd Bwana\nd* alifanya Agano na Waisraeli baada ya kutoka Misri.

CH2 5:11 Removed trailing space in v~: Basi makuhani wakaondoka hapo Mahali Patakatifu. Makuhani wote waliokuwa huko walikuwa wamejiweka wakfu, bila kujali migawanyo yao.

CH2 5:12 Removed trailing space in v~: Walawi wote waliokuwa waimbaji, yaani, Asafu, Hemani, Yeduthuni, wana wa ndugu zao, walisimama upande wa mashariki wa madhabahu, wakiwa wamevaa kitani safi huku wakipiga matoazi, vinubi na zeze. Walikuwa pamoja na makuhani 120 wakipiga tarumbeta.

CH2 5:13 Removed trailing space in v~: Wapiga tarumbeta na waimbaji wakaungana katika sauti linganifu, ikawa kama vile ni sauti moja, wakimsifu na kumshukuru \nd Bwana\nd*, nao alipoinua sauti zao pamoja na tarumbeta na matoazi na vyombo vingine vya uimbaji, wakamsifu \nd Bwana\nd* wakisema:

CH2 5:13 Removed trailing space in p~: “Yeye ni mwema;

CH2 5:13 Removed trailing space in p~: upendo wake unadumu milele.”

CH2 5:13 Removed trailing space in p~: Ndipo Hekalu la \nd Bwana\nd* likajazwa na wingu,

CH2 5:14 Removed trailing space in v~: nao makuhani hawakuweza kufanya huduma yao kwa sababu ya lile wingu, kwa kuwa utukufu wa \nd Bwana\nd* ulijaza Hekalu la Mungu.

CH2 6:0 Extra space after chapter number

CH2 6:0 Removed trailing space in c: 6

CH2 6:0 Removed trailing space in s1: Kuweka Hekalu Wakfu

CH2 6:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 8:12-21)

CH2 6:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Solomoni akasema, “\nd Bwana\nd* alisema kwamba ataishi katika giza nene.

CH2 6:2 Removed trailing space in v~: Nimejenga Hekalu zuri kwa ajili yako, mahali pako pa kukaa milele.”

CH2 6:3 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote la Israeli lilipokuwa limesimama hapo, mfalme akageuka na kuwabariki.

CH2 6:4 Removed trailing space in v~: Kisha akasema:

CH2 6:4 Removed trailing space in p~: “Ahimidiwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ambaye kwa mikono yake mwenyewe ametimiza lile alilomwahidi Daudi baba yangu kwa kinywa chake mwenyewe. Kwa kuwa alisema,

CH2 6:5 Removed trailing space in v~: ‘Tangu siku niliyowatoa watu wangu kutoka Misri, sikuchagua mji katika kabila lolote la Israeli ili Hekalu lijengwe humo ili Jina langu lipate kuwamo humo, wala sikumchagua mtu yeyote kuwa kiongozi wa watu wangu Israeli.

CH2 6:6 Removed trailing space in v~: Lakini sasa nimeuchagua Yerusalemu ili Jina langu lipate kuwamo humo, na nimemchagua Daudi kuwatawala watu wangu Israeli.’

CH2 6:7 Removed trailing space in v~: “Ilikuwa moyoni mwa Daudi baba yangu kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH2 6:8 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia Daudi baba yangu, ‘Kwa sababu ilikuwa moyoni mwako kujenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu, ulifanya vyema kuwa na jambo hili moyoni mwako.

CH2 6:9 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, sio wewe utakayenijengea Hekalu, bali mwanao, ambaye ni nyama yako na damu yako mwenyewe, yeye ndiye atakayejenga Hekalu kwa ajili ya Jina langu.’

CH2 6:10 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* ametimiza ahadi aliyoiweka: Nimeingia mahali pa Daudi baba yangu na sasa ninakikalia kiti cha ufalme cha Israeli, kama vile \nd Bwana\nd* alivyoahidi, nami nimejenga Hekalu kwa ajili ya Jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH2 6:11 Removed trailing space in v~: Nimeliweka humo Sanduku la Agano, ambamo ndani yake kuna lile Agano la \nd Bwana\nd* alilofanya na watu wa Israeli.”

CH2 6:11 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Solomoni Ya Kuweka Wakfu

CH2 6:11 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 8:22-53)

CH2 6:12 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akasimama mbele ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* machoni pa kusanyiko lote la Israeli, naye akakunjua mikono yake.

CH2 6:13 Removed trailing space in v~: Basi Solomoni alikuwa ametengeneza jukwaa la shaba, urefu wake dhiraa tano, na upana wake dhiraa tano na kimo chake dhiraa tatu, naye akaliweka katikati ya ukumbi wa nje. Akapanda juu ya hilo jukwaa kisha akapiga magoti mbele ya kusanyiko lote la Israeli, akanyoosha mikono yake kwelekea mbinguni.

CH2 6:14 Removed trailing space in v~: Akasema:

CH2 6:14 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama wewe juu mbinguni wala chini duniani, wewe unayetunza Agano lako la upendo na watumishi wanaodumu katika njia yako kwa moyo wote.

CH2 6:15 Removed trailing space in v~: Umetimiza ahadi yako kwa mtumishi wako Daudi baba yangu, kwa kinywa chako uliahidi na kwa mkono wako umetimiza, kama ilivyo leo.

CH2 6:16 Removed trailing space in v~: “Sasa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, mtimizie mtumishi wako Daudi baba yangu ahadi zako ulizomwahidi uliposema, ‘Kamwe hutakosa kuwa na mtu atakayeketi mbele zangu kwenye kiti cha ufalme cha Israeli, kama wanao wakiangalia yote wayafanyayo kuenenda mbele zangu kama vile ulivyofanya.’

CH2 6:17 Removed trailing space in v~: Sasa, Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, acha neno lako lile ulilomwahidi mtumishi wako Daudi baba yangu litimie.

CH2 6:18 Removed trailing space in v~: “Lakini kweli, je, Mungu atafanya makao duniani na wanadamu? Mbingu, hata mbingu zilizo juu sana, haziwezi kukutosha wewe. Sembuse Hekalu hili nililojenga!

CH2 6:19 Removed trailing space in v~: Hata hivyo sikiliza dua ya mtumishi wako na maombi yake kwa huruma, Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu. Sikia kilio na dua ambayo mtumishi wako anaomba mbele zako siku hii ya leo.

CH2 6:20 Removed trailing space in v~: Macho yako na yafumbuke kuelekea Hekalu hili usiku na mchana, mahali hapa ambapo ulisema, ‘Jina langu litakuwako humo,’ ili kwamba upate kusikia maombi ambayo mtumishi wako ataomba kuelekea mahali hapa.

CH2 6:21 Removed trailing space in v~: Usikie maombi ya mtumishi wako na ya watu wako Israeli wakati wanapoomba kuelekea mahali hapa. Sikia kutoka mbinguni, mahali pa makao yako na usikiapo, samehe.

CH2 6:22 Removed trailing space in v~: “Mtu anapomkosea jirani yake na akatakiwa kuapa, akija na kuapa mbele ya madhabahu yako ndani ya Hekalu hili,

CH2 6:23 Removed trailing space in v~: basi, sikia kutoka mbinguni na ukatende. Hukumu kati ya watumishi wako, ukimwadhibu yule mwenye hatia kwa kuleta juu ya kichwa chake yale aliyoyatenda. Umtangazie mwenye haki kwamba hana hatia, hivyo ukathibitishe kuwa haki kwake.

CH2 6:24 Removed trailing space in v~: “Wakati watu wako Israeli watakapokuwa wameshindwa na adui kwa sababu ya dhambi walizofanya dhidi yako, watakapokugeukia na kulikiri jina lako, wakiomba na kufanya dua kwako katika Hekalu hili,

CH2 6:25 Removed trailing space in v~: basi usikie kutoka mbinguni, ukasamehe dhambi ya watu wako Israeli na kuwarudisha katika nchi uliyowapa baba zao.

CH2 6:26 Removed trailing space in v~: “Wakati mbingu zitakapokuwa zimefungwa kusiwe na mvua kwa sababu watu wako wametenda dhambi dhidi yako, watakapoomba kuelekea mahali hapa na kulikiri jina lako nao wakageuka kutoka dhambi zao kwa sababu umewaadhibu,

CH2 6:27 Removed trailing space in v~: basi usikie kutoka mbinguni na usamehe dhambi ya watumishi wako, watu wako Israeli. Wafundishe njia sahihi ya kuishi na ukanyeshe mvua juu ya nchi uliyowapa watu wako kuwa urithi.

CH2 6:28 Removed trailing space in v~: “Wakati njaa au tauni vikija juu ya nchi, au koga au kawa, nzige au panzi, au wakati adui atakapowazingira katika mji wao wowote, maafa ya namna yoyote au ugonjwa wowote unaoweza kuwajia,

CH2 6:29 Removed trailing space in v~: wakati dua au maombi yatakapofanywa na mmojawapo wa watu wako Israeli, kila mmoja akitambua taabu zake na uchungu wake, naye akainyoosha mikono yake kuelekea Hekalu hili,

CH2 6:30 Removed trailing space in v~: basi usikie kutoka mbinguni, katika makao yako. Usamehe na utende, umpe kila mtu kulingana na matendo yake, kwa kuwa unaujua moyo wake (kwa kuwa ni wewe peke yako ujuaye mioyo ya watu wote),

CH2 6:31 Removed trailing space in v~: ili wakuogope kwa wakati wote watakaoishi katika nchi uliyowapa baba zetu.

CH2 6:32 Removed trailing space in v~: “Kwa habari ya mgeni ambaye si miongoni mwa watu wako Israeli, lakini amekuja kutoka nchi ya mbali kwa sababu ya jina lako kuu na mkono wako wenye nguvu ulionyooshwa, atakapokuja kuomba kuelekea Hekalu hili,

CH2 6:33 Removed trailing space in v~: basi na usikie kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, ukafanye lolote ambalo mgeni huyo anakuomba, ili mataifa yote ya dunia wapate kujua jina lako na wakuogope kama wafanyavyo watu wako Israeli nao wapate pia kujua kwamba nyumba hii niliyoijenga imeitwa kwa Jina lako.

CH2 6:34 Removed trailing space in v~: “Wakati watu wako watakapokwenda vitani dhidi ya adui zao, popote utakapowapeleka, wakati watakapoomba kwa \nd Bwana\nd* kuelekea mji ambao umeuchagua, na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako,

CH2 6:35 Removed trailing space in v~: basi usikie dua na maombi yao kutoka mbinguni, ukawatetee haki yao.

CH2 6:36 Removed trailing space in v~: “Watakapotenda dhambi dhidi yako, kwa kuwa hakuna mtu yeyote ambaye hatendi dhambi, nawe ukachukizwa nao na kuwakabidhi kwa adui, ambaye atawachukua utumwani katika nchi iliyo mbali au karibu

CH2 6:37 Removed trailing space in v~: na kama watabadilika mioyo yao katika nchi wanakoshikiliwa mateka, nao wakatubu na kukulilia katika nchi ya utumwa na kusema, ‘Tumetenda dhambi, tumefanya makosa na tumetenda uovu’;

CH2 6:38 Removed trailing space in v~: kama wakikugeukia kwa moyo wao wote na nafsi zao katika nchi ya adui zao ambao waliwachukua mateka, wakakuomba kuelekea nchi uliyowapa baba zao, kuelekea mji uliouchagua na Hekalu nililolijenga kwa ajili ya Jina lako,

CH2 6:39 Removed trailing space in v~: basi kutoka mbinguni, mahali pa makao yako, usikie dua yao na maombi yao na kuitetea haki yao. Uwasamehe watu wako, waliotenda dhambi dhidi yako.

CH2 6:40 Removed trailing space in v~: “Sasa, Mungu wangu, macho yako na yafumbuke na masikio yako yasikie maombi yaombwayo mahali hapa.

CH2 6:41 Removed trailing space in v~: “Sasa inuka, Ee \nd Bwana\nd* Mungu,

CH2 6:41 Removed trailing space in p~: na uje mahali pako pa kupumzikia,

CH2 6:41 Removed trailing space in p~: wewe na Sanduku la nguvu zako.

CH2 6:41 Removed trailing space in p~: Makuhani wako, Ee \nd Bwana\nd* Mungu,

CH2 6:41 Removed trailing space in p~: na wavikwe wokovu,

CH2 6:41 Removed trailing space in p~: watakatifu wako na wafurahi

CH2 6:41 Removed trailing space in p~: katika wema wako.

CH2 6:42 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu, usimkatae

CH2 6:42 Removed trailing space in p~: mpakwa mafuta wako.

CH2 6:42 Removed trailing space in p~: Kumbuka upendo mkuu uliomwahidia

CH2 6:42 Removed trailing space in p~: Daudi mtumishi wako.”

CH2 7:0 Extra space after chapter number

CH2 7:0 Removed trailing space in c: 7

CH2 7:0 Removed trailing space in s1: Hekalu Lawekwa Wakfu

CH2 7:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 8:62-66)

CH2 7:1 Removed trailing space in v~: Baada ya Solomoni kumaliza kuomba, moto ukashuka kutoka mbinguni na kuteketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu, nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ukalijaza Hekalu.

CH2 7:2 Removed trailing space in v~: Makuhani hawakuweza kuingia ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd* kwa sababu utukufu wa \nd Bwana\nd* ulilijaza.

CH2 7:3 Removed trailing space in v~: Waisraeli wote walipoona moto ukishuka na utukufu wa \nd Bwana\nd* ukiwa juu ya Hekalu, wakapiga magoti sakafuni wakasujudu nyuso zao mpaka chini, nao wakamwabudu na kumshukuru \nd Bwana\nd* wakisema,

CH2 7:3 Removed trailing space in p~: “Yeye ni mwema;

CH2 7:3 Removed trailing space in p~: upendo wake unadumu milele.”

CH2 7:4 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme na watu wote wakatoa dhabihu mbele za \nd Bwana\nd* Mungu.

CH2 7:5 Removed trailing space in v~: Naye Mfalme Solomoni akatoa dhabihu ya ngʼombe 22,000 pamoja na kondoo na mbuzi 120,000. Hivyo ndivyo mfalme na watu wote walivyoweka wakfu Hekalu la Mungu.

CH2 7:6 Removed trailing space in v~: Makuhani wakasimama kwenye nafasi zao, vivyo hivyo Walawi wakiwa na vyombo vya uimbaji vya \nd Bwana\nd* ambavyo Mfalme Daudi alikuwa ametengeneza kwa ajili ya kumsifu \nd Bwana\nd*, navyo vilitumika wakati aliposhukuru, akisema, “Upendo wake wadumu milele.” Mkabala na Walawi, makuhani walipiga tarumbeta zao, nao Waisraeli wote walikuwa wamesimama.

CH2 7:7 Removed trailing space in v~: Solomoni akaweka wakfu sehemu ya katikati ya ua uliokuwa mbele ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na hapo akatoa sadaka za kuteketezwa na mafuta ya sadaka za amani, kwa sababu madhabahu ya shaba aliyokuwa ametengeneza haikutosha kuweka sadaka hizo zote za kuteketezwa, sadaka za nafaka na za mafuta.

CH2 7:8 Removed trailing space in v~: Hivyo Solomoni akaiadhimisha sikukuu wakati ule kwa muda wa siku saba, na Israeli wote pamoja naye. Walikuwa kusanyiko kubwa sana, watu kutoka Lebo-Hamathi hadi Kijito cha Misri.

CH2 7:9 Removed trailing space in v~: Katika siku ya nane walifanya kusanyiko, kwa kuwa walikuwa wanaadhimisha kuwekwa wakfu kwa madhabahu kwa muda wa siku saba na sikukuu kwa muda wa siku nyingine saba zaidi.

CH2 7:10 Removed trailing space in v~: Katika siku ya ishirini na tatu ya mwezi wa saba Solomoni akawaaga watu waende nyumbani mwao, wakishangilia na kufurahi mioyoni mwao, kwa wema mwingi \nd Bwana\nd* Mungu aliomtendea Daudi na Solomoni na kwa ajili ya watu wake Israeli.

CH2 7:10 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Mungu Amtokea Solomoni

CH2 7:10 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 9:1-9)

CH2 7:11 Removed trailing space in v~: Solomoni alipomaliza kujenga Hekalu la \nd Bwana\nd* na jumba la kifalme, naye akiwa amefanikiwa kutenda yale yote aliyokuwa nayo moyoni mwake kufanya katika Hekalu la \nd Bwana\nd* na katika jumba lake mwenyewe la kifalme,

CH2 7:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamtokea Solomoni usiku na kumwambia:

CH2 7:12 Removed trailing space in p~: “Nimesikia maombi yako nami nimechagua mahali hapa kwa ajili yangu mwenyewe kuwa Hekalu kwa ajili ya dhabihu.

CH2 7:13 Removed trailing space in v~: “Wakati nitakapofunga mbingu ili isiwepo mvua, au nikiamuru nzige kula mazao ya nchi au nikituma tauni miongoni mwa watu wangu,

CH2 7:14 Removed trailing space in v~: kama watu wangu, wanaoitwa kwa Jina langu, watajinyenyekesha na kuomba na kuutafuta uso wangu na kuacha njia zao mbaya, basi nitasikia toka mbinguni na kuwasamehe dhambi yao na nitaiponya nchi yao.

CH2 7:15 Removed trailing space in v~: Sasa macho yangu yatafumbuka na masikio yangu yatasikiliza kwa makini maombi yaombwayo mahali hapa.

CH2 7:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana sasa nimechagua na kutakasa Hekalu hili ili kwamba Jina langu lipate kuwa huko milele. Macho yangu na moyo wangu utakuwepo huko daima.

CH2 7:17 Removed trailing space in v~: “Kwa habari yako wewe, kama ukienenda mbele zangu kama Daudi baba yako alivyoenenda na kufanya yote nikuamuruyo, nawe ukizishika amri zangu na sheria zangu,

CH2 7:18 Removed trailing space in v~: Nitakiimarisha kiti chako cha enzi kama nilivyoagana na Daudi baba yako niliposema, ‘Hutakosa kamwe mtu wa kutawala juu ya Israeli.’

CH2 7:19 Removed trailing space in v~: “Lakini kama ukigeuka na kuyaacha maagizo na amri nilizowapa na kwenda kuitumikia miungu mingine na kuiabudu,

CH2 7:20 Removed trailing space in v~: ndipo nitakapoingʼoa Israeli kutoka nchi yangu niliyowapa, nami nitalikataa Hekalu hili nililolitakasa kwa ajili ya Jina langu. Nitalifanya kitu cha kudharauliwa na kitu cha kudhihakiwa miongoni mwa watu wote.

CH2 7:21 Removed trailing space in v~: Ingawa Hekalu hili linavutia sana sasa, wote watakaolipita watashangaa na kusema, ‘Kwa nini \nd Bwana\nd* amefanya kitu kama hiki katika nchi hii na kwa Hekalu hili?’

CH2 7:22 Removed trailing space in v~: Watu watajibu, ‘Ni kwa sababu wamemwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, aliyewatoa Misri, nao wamekumbatia miungu mingine, wakaiabudu na kuitumikia, ndiyo sababu ameyaleta maafa haya yote juu yao.’ ”

CH2 8:0 Extra space after chapter number

CH2 8:0 Removed trailing space in c: 8

CH2 8:0 Removed trailing space in s1: Shughuli Nyingine Za Solomoni

CH2 8:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 9:10-28)

CH2 8:1 Removed trailing space in v~: Miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo Solomoni alilijenga Hekalu la \nd Bwana\nd* na jumba lake mwenyewe la kifalme,

CH2 8:2 Removed trailing space in v~: Solomoni akajenga tena vijiji vile ambavyo Hiramu alikuwa amempa, naye akawapa Waisraeli waishi humo.

CH2 8:3 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akaenda Hamath-Soba na kuuteka.

CH2 8:4 Removed trailing space in v~: Pia akajenga mji wa Tadmori katika jangwa na miji yote ya kuhifadhia vitu katika Hamathi.

CH2 8:5 Removed trailing space in v~: Akajenga tena Beth-Horoni ya Juu na Beth-Horoni ya Chini, miji yenye ngome, kuta, malango na makomeo.

CH2 8:6 Removed trailing space in v~: Solomoni pia akajenga Baalathi na miji yake yote ya kuhifadhia vitu, na miji kwa ajili ya magari yake na kwa ajili ya farasi wake, chochote alichotaka kujenga katika Yerusalemu, katika Lebanoni na katika nchi yote aliyotawala.

CH2 8:7 Removed trailing space in v~: Watu wote waliosalia kutoka kwa Wahiti, Waamori, Waperizi, Wahivi na Wayebusi (haya mataifa hayakuwa Waisraeli),

CH2 8:8 Removed trailing space in v~: yaani, wazao wao waliobakia katika nchi, ambao Waisraeli hawakuwa wamewaangamiza: hawa Solomoni akawalazimisha kuwa watumwa katika shokoa, kama ilivyo hadi leo.

CH2 8:9 Removed trailing space in v~: Lakini Solomoni hakuwafanya Waisraeli watumwa kwa ajili ya kazi yake, bali walikuwa wapiganaji, majemadari, maafisa wake, majemadari wa magari yake ya vita na waendesha magari ya vita.

CH2 8:10 Removed trailing space in v~: Pia walikuwa maafisa wakuu wa Mfalme Solomoni, yaani, maafisa wakaguzi 250 waliosimamia watu.

CH2 8:11 Removed trailing space in v~: Solomoni akampandisha mke wake binti Farao kutoka Mji wa Daudi na kumleta jumba la kifalme alilokuwa amemjengea, kwa kuwa alisema, “Mke wangu hataishi katika jumba la kifalme la Daudi mfalme wa Israeli, kwa sababu mahali ambapo Sanduku la \nd Bwana\nd* limefika ni patakatifu.”

CH2 8:12 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akamtolea \nd Bwana\nd* dhabihu za kuteketezwa juu ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* ambayo alikuwa ameijenga mbele ya ukumbi,

CH2 8:13 Removed trailing space in v~: kulingana na mahitaji ya kila siku kwa ajili ya sadaka zilizoamriwa na Mose kwa ajili ya Sabato, Mwezi Mwandamo na sikukuu nyingine tatu za mwaka, yaani, Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, Sikukuu ya Majuma na Sikukuu ya Vibanda.

CH2 8:14 Removed trailing space in v~: Kwa kushika maagizo ya Daudi baba yake, aliweka migawanyo ya makuhani kwa ajili ya kazi zao, nao Walawi kuongoza kusifu na kusaidia makuhani kufuatana na mahitaji ya kila siku. Pia akaweka mabawabu katika migawanyo kwa ajili ya malango mbalimbali, kwa sababu hili ndilo Daudi mtu wa Mungu alilokuwa ameagiza.

CH2 8:15 Removed trailing space in v~: Nao hawakuziacha amri za mfalme alizoamuru makuhani au Walawi katika jambo lolote, ikiwa ni pamoja na zile za hazina.

CH2 8:16 Removed trailing space in v~: Kazi yote ya Mfalme Solomoni ilifanyika kuanzia siku msingi wa Hekalu la \nd Bwana\nd* ulipowekwa mpaka kukamilika kwake. Kwa hiyo Hekalu la \nd Bwana\nd* likamalizika kujengwa.

CH2 8:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Solomoni akaenda Esion-Geberi na Elathi katika pwani ya Edomu.

CH2 8:18 Removed trailing space in v~: Naye Hiramu alimpelekea meli zilizoongozwa na maafisa wake mwenyewe, watu waliokuwa na ujuzi wa baharini. Hawa watu pamoja na wale wa Solomoni wakasafiri kwa bahari mpaka Ofiri, wakaleta kutoka huko talanta 450 za dhahabu, ambazo walimkabidhi Mfalme Solomoni.

CH2 9:0 Extra space after chapter number

CH2 9:0 Removed trailing space in c: 9

CH2 9:0 Removed trailing space in s1: Malkia Wa Sheba Amtembelea Solomoni

CH2 9:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 10:1-13)

CH2 9:1 Removed trailing space in v~: Malkia wa Sheba aliposikia habari za umaarufu wa Solomoni, huyo malkia akaja Yerusalemu kumjaribu kwa maswali magumu. Alifika akiwa na msafara mkubwa sana, pamoja na ngamia waliobeba vikolezi, kiasi kikubwa cha dhahabu na vito vya thamani, alikuja kwa Solomoni na kuzungumza naye kuhusu yote ambayo alikuwa nayo moyoni mwake.

CH2 9:2 Removed trailing space in v~: Solomoni akamjibu maswali yake yote, wala hakukuwa na jambo lolote lililokuwa gumu kwake asiweze kumwelezea.

CH2 9:3 Removed trailing space in v~: Malkia wa Sheba alipoona hekima yote ya Solomoni na jumba la kifalme alilokuwa amejenga,

CH2 9:4 Removed trailing space in v~: chakula kilichokuwa mezani pake, jinsi maafisa wake walivyokaa, wahudumu katika majoho yao, wanyweshaji wake na sadaka za kuteketezwa alizotoa katika Hekalu la \nd Bwana\nd* alipatwa na mshangao.

CH2 9:5 Removed trailing space in v~: Akamwambia mfalme, “Taarifa niliyosikia kwenye nchi yangu mwenyewe kuhusu mafanikio na hekima yako ni kweli.

CH2 9:6 Removed trailing space in v~: Lakini sikuamini yaliyosemwa hadi nilipokuja na kuona kwa macho yangu mwenyewe. Naam, sikuambiwa hata nusu yake; katika hekima na mali umezidi sana kuliko ile taarifa niliyoisikia.

CH2 9:7 Removed trailing space in v~: Heri watu wako! Heri hawa maafisa wako wasimamao mbele yako daima na kusikia hekima yako!

CH2 9:8 Removed trailing space in v~: Ahimidiwe \nd Bwana\nd* Mungu wako, ambaye amependezwa sana nawe, na akakuweka juu ya kiti chake cha ufalme utawale kwa niaba ya \nd Bwana\nd* Mungu wako. Kwa sababu ya upendo wa Mungu wako kwa Israeli na shauku yake ya kuwadhibitisha milele, amekufanya wewe mfalme juu yao, ili kudumisha haki na uadilifu.”

CH2 9:9 Removed trailing space in v~: Naye akampa mfalme talanta 120\f + \fr 9:9 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 4.5.\f* za dhahabu, kiasi kikubwa cha vikolezi na vito vya thamani. Haikuwahi kamwe kuletwa vikolezi vizuri kama vile Malkia wa Sheba alivyompa Mfalme Solomoni.

CH2 9:10 Removed trailing space in v~: (Watumishi wa Hiramu na wa Solomoni wakaleta dhahabu kutoka Ofiri, tena wakaleta shehena kubwa ya miti ya msandali na vito vya thamani.

CH2 9:11 Removed trailing space in v~: Mfalme akatumia hiyo miti ya msandali kuwa ngazi kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na kwa jumba la kifalme, pia kwa kutengeneza vinubi na zeze kwa ajili ya waimbaji. Kiasi hicho kingi cha msandali hakijawahi kuingizwa Yuda tangu siku ile.)

CH2 9:12 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akampa Malkia wa Sheba kila kitu alichotamani na kukiomba, zaidi ya vile alivyokuwa amemletea mfalme. Kisha malkia akaondoka na kurudi katika nchi yake, yeye na watumishi wake.

CH2 9:12 Removed trailing space in s1: Fahari Ya Solomoni

CH2 9:12 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 10:14-25)

CH2 9:13 Removed trailing space in v~: Uzito wa dhahabu ambayo Solomoni alipokea kwa mwaka ulikuwa talanta 666,\f + \fr 9:13 \ft Talanta 666 za dhahabu ni sawa na tani 25.\f*

CH2 9:14 Removed trailing space in v~: mbali na mapato yaliyoletwa na wafanyabiashara na wachuuzi. Wafalme wote wa Arabuni na watawala wa nchi wakamletea Solomoni dhahabu na fedha.

CH2 9:15 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni akatengeneza ngao kubwa 200 kwa dhahabu iliyofuliwa. Kila ngao ilikuwa na dhahabu yenye uzito wa shekeli 600\f + \fr 9:15 \ft Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 3.5.\f*

CH2 9:16 Removed trailing space in v~: Akatengeneza pia ngao ndogo 300 za dhahabu iliyofuliwa, kila ngao ikiwa na uzito wa mane tatu\f + \fr 9:16 \ft Mane tatu za dhahabu ni sawa na kilo 1.7.\f* za dhahabu. Mfalme akaziweka katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni.

CH2 9:17 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akatengeneza kiti kikubwa cha kifalme kwa kutumia pembe za ndovu na kukifunika kwa dhahabu safi.

CH2 9:18 Removed trailing space in v~: Kiti hicho kilikuwa na ngazi sita na mahali pa kuwekea miguu vyote vya dhahabu. Pande zote za kiti kulikuwa na mahali pa kuegemeza mikono, na simba wawili wakisimama kando ya hiyo mikono.

CH2 9:19 Removed trailing space in v~: Simba kumi na wawili walisimama kwenye ngazi sita, mmoja katika kila upande wa kila ngazi. Hakuna kitu kama hicho kilichokuwa kimefanyika kwenye ufalme mwingine wowote.

CH2 9:20 Removed trailing space in v~: Vikombe vyote vya Mfalme Solomoni vya kunywea vilikuwa vya dhahabu na vyombo vyote vya nyumbani katika Jumba la Kifalme la Msitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu safi. Hakukuwa na kitu kilichotengenezwa kwa fedha, kwa sababu fedha ilionekana ya thamani ndogo wakati wa Solomoni.

CH2 9:21 Removed trailing space in v~: Mfalme alikuwa na meli nyingi za biashara\f + \fr 9:21 \ft Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 20:36; Isa 2:16; 60:9\+xt*).\f* baharini zilizoendeshwa na watu wa Hiramu. Kwa mara moja kila miaka mitatu zilirudi, zikiwa zimebeba dhahabu, fedha, pembe za ndovu na nyani wakubwa na wadogo.

CH2 9:21 Found unexpected backslash in footnote: 9:21 Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 20:36; Isa 2:16; 60:9\+xt*).

CH2 9:22 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni alikuwa mkuu zaidi kwa utajiri na hekima kuliko wafalme wote wa dunia.

CH2 9:23 Removed trailing space in v~: Wafalme wote wa dunia wakatafuta kukutana na Solomoni ili kusikia hekima ambayo Mungu alikuwa ameiweka katika moyo wake.

CH2 9:24 Removed trailing space in v~: Mwaka baada ya mwaka, kila mmoja ambaye alikuja, alileta zawadi, vyombo vya fedha na dhahabu, majoho, silaha na vikolezi, farasi na nyumbu.

CH2 9:25 Removed trailing space in v~: Solomoni alikuwa na mabanda 4,000 kwa ajili ya farasi na magari ya vita, farasi 12,000 ambao aliwaweka katika miji ya magari ya vita na katika Yerusalemu pamoja naye.

CH2 9:26 Removed trailing space in v~: Solomoni akatawala juu ya wafalme wote kuanzia Mto Frati mpaka kwenye nchi ya Wafilisti na kuendelea hadi mpaka wa Misri.

CH2 9:27 Removed trailing space in v~: Mfalme akafanya fedha kuwa kitu cha kawaida kama mawe huko Yerusalemu, mierezi akaifanya kuwa mingi kama mikuyu vilimani.

CH2 9:28 Removed trailing space in v~: Farasi wa Solomoni waliletwa kutoka Misri na kutoka nchi nyingine zote.

CH2 9:28 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Solomoni

CH2 9:28 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 11:41-43)

CH2 9:29 Removed trailing space in v~: Kwa habari za matukio mengine ya utawala wa Solomoni, kuanzia mwanzo hadi mwisho, je, hayakuandikwa katika kumbukumbu za nabii Nathani, katika unabii wa Ahiya Mshiloni na katika maono ya Ido mwonaji kuhusu Yeroboamu mwana wa Nebati?

CH2 9:30 Removed trailing space in v~: Solomoni alitawala Israeli yote miaka arobaini, akiwa Yerusalemu.

CH2 9:31 Removed trailing space in v~: Kisha Solomoni akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa katika mji wa Daudi baba yake. Naye Rehoboamu mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 10:0 Extra space after chapter number

CH2 10:0 Removed trailing space in c: 10

CH2 10:0 Removed trailing space in s1: Israeli Wanamwasi Rehoboamu

CH2 10:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 12:1-20)

CH2 10:1 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akaenda Shekemu, kwa kuwa Waisraeli wote walikuwa wamekwenda huko kumfanya yeye kuwa mfalme.

CH2 10:2 Removed trailing space in v~: Yeroboamu mwana wa Nebati aliposikia hili (alikuwa bado yuko Misri alikokuwa amekimbilia awe mbali na Mfalme Solomoni), akarudi kutoka Misri.

CH2 10:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakatuma watu kumwita Yeroboamu, yeye na kusanyiko lote la Israeli wakamwendea Rehoboamu na kumwambia,

CH2 10:4 Removed trailing space in v~: “Baba yako aliweka nira nzito, lakini sasa tupunguzie kazi za kikatili na nira nzito aliyoweka juu yetu, nasi tutakutumikia.”

CH2 10:5 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akajibu, “Nendeni kwa muda wa siku tatu na kisha mnirudie.” Basi watu wakaenda zao.

CH2 10:6 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee ambao walimtumikia Solomoni baba yake wakati wa uhai wake akawauliza, “Mnanishauri nini katika kuwajibu watu hawa?”

CH2 10:7 Removed trailing space in v~: Wakajibu, “Kama leo utakuwa mtumishi wa watu hawa na kuwahudumia na kuwapa jibu linaloridhisha, watakuwa watumishi wako daima.”

CH2 10:8 Removed trailing space in v~: Lakini Rehoboamu akakataa shauri alilopewa na wazee na akataka ushauri kwa vijana wanaume rika lake waliokuwa wakimtumikia.

CH2 10:9 Removed trailing space in v~: Akawauliza, “Ninyi ushauri wenu ni nini? Tutawajibuje watu hawa wanaoniambia, ‘Ifanye nyepesi nira baba yako aliyoweka juu yetu?’ ”

CH2 10:10 Removed trailing space in v~: Wale vijana wa rika lake wakamjibu, “Waambie watu hawa waliokuambia, ‘Baba yako aliweka nira nzito juu yetu, lakini ifanye nira yetu nyepesi,’ kuwa, ‘Kidole changu kidogo ni kinene kuliko kiuno cha baba yangu.

CH2 10:11 Removed trailing space in v~: Baba yangu aliweka nira nzito juu yenu, mimi nitaifanya hata iwe nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa mijeledi; mimi nitawachapa kwa nge.’ ”

CH2 10:12 Removed trailing space in v~: Siku tatu baadaye, Yeroboamu na watu wote wakamrudia Rehoboamu, kama mfalme alivyokuwa amesema, “Rudini kwangu baada ya siku tatu.”

CH2 10:13 Removed trailing space in v~: Mfalme akawajibu watu kwa ukatili. Akikataa shauri alilopewa na wazee,

CH2 10:14 Removed trailing space in v~: akafuata shauri la vijana wa rika lake na kusema, “Baba yangu alifanya nira yenu kuwa nzito, mimi nitaifanya kuwa nzito zaidi. Baba yangu aliwachapa kwa mijeledi, mimi nitawachapa kwa nge.”

CH2 10:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme hakuwasikiliza watu, kwa kuwa jambo hili lilitoka kwa Mungu ili kutimiza neno ambalo \nd Bwana\nd* alikuwa amenena kwa Yeroboamu mwana wa Nebati kupitia Ahiya Mshiloni.

CH2 10:16 Removed trailing space in v~: Israeli wote walipoona kuwa mfalme amekataa kuwasikiliza, wakamjibu mfalme:

CH2 10:16 Removed trailing space in p~: “Tuna fungu gani kwa Daudi?

CH2 10:16 Removed trailing space in p~: Sisi hatuna urithi kwa mwana wa Yese.

CH2 10:16 Removed trailing space in p~: Nendeni kwenye mahema yenu, ee Israeli,

CH2 10:16 Removed trailing space in p~: angalia nyumba yako mwenyewe, ee Daudi!”

CH2 10:16 Removed trailing space in p~: Hivyo Waisraeli wakaenda kwenye mahema yao.

CH2 10:17 Removed trailing space in v~: Lakini kwa habari ya Waisraeli waliokuwa wakiishi katika miji ya Yuda, Rehoboamu akaendelea kuwatawala bado.

CH2 10:18 Removed trailing space in v~: Mfalme Rehoboamu akamtuma Adoniramu\f + \fr 10:18 \ft Kiebrania ni Hadoramu.\f* aliyekuwa msimamizi wa wale waliofanya kazi ngumu kwa kulazimishwa, lakini Israeli wote wakampiga kwa mawe hadi akafa. Hata hivyo, Mfalme Rehoboamu, akafanikiwa kuingia kwenye gari lake na kutorokea Yerusalemu.

CH2 10:19 Removed trailing space in v~: Hivyo Israeli wakaasi dhidi ya nyumba ya Daudi hadi leo.

CH2 11:0 Extra space after chapter number

CH2 11:0 Removed trailing space in c: 11

CH2 11:0 Removed trailing space in s1: Utabiri Wa Shamaya

CH2 11:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 12:21-24)

CH2 11:1 Removed trailing space in v~: Ikawa Rehoboamu alipofika Yerusalemu, akakusanya nyumba ya Yuda na ya Benyamini, wanaume wapiganaji 180,000, kufanya vita dhidi ya nyumba ya Israeli na kuurudisha tena ufalme kwa Rehoboamu mwana wa Solomoni.

CH2 11:2 Removed trailing space in v~: Lakini neno hili la \nd Bwana\nd* likamjia Shemaya mtu wa Mungu:

CH2 11:3 Removed trailing space in v~: “Mwambie Rehoboamu mwana wa Solomoni mfalme wa Yuda, na Israeli wote walioko Yuda na Benyamini,

CH2 11:4 Removed trailing space in v~: ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Msipande kupigana dhidi ya ndugu zenu. Nendeni nyumbani, kila mmoja wenu, kwa kuwa hili nimelitenda mimi.’ ” Kwa hiyo wakalitii neno la \nd Bwana\nd* na wakaacha kwenda kupigana dhidi ya Yeroboamu.

CH2 11:4 Removed trailing space in s1: Yeroboamu Ajengea Yuda Ngome

CH2 11:5 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akaishi Yerusalemu akajenga miji yenye ngome katika Yuda:

CH2 11:6 Removed trailing space in v~: Akajenga Bethlehemu, Etamu, Tekoa,

CH2 11:7 Removed trailing space in v~: Beth-Suri, Soko, Adulamu,

CH2 11:8 Removed trailing space in v~: Gathi, Maresha, Zifu,

CH2 11:9 Removed trailing space in v~: Adoraimu, Lakishi, Azeka,

CH2 11:10 Removed trailing space in v~: Sora, Aiyaloni na Hebroni. Hii ndiyo iliyokuwa miji iliyojengewa ngome katika Yuda na Benyamini.

CH2 11:11 Removed trailing space in v~: Akaimarisha ulinzi wake na kuweka majemadari ndani yake, pamoja na ghala za mahitaji ya vyakula, mafuta ya zeituni na divai.

CH2 11:12 Removed trailing space in v~: Akaweka ngao na mikuki katika miji na kuifanya iwe imara sana. Kwa hiyo Yuda na Benyamini zikawa zake.

CH2 11:13 Removed trailing space in v~: Makuhani na Walawi kutoka sehemu zote za Israeli wakawa upande wake.

CH2 11:14 Removed trailing space in v~: Pia Walawi wakaacha maeneo yao ya malisho na mali zao, wakaja Yuda na Yerusalemu kwa sababu Yeroboamu na wanawe walikuwa wamewakataa wasiwe makuhani wa \nd Bwana\nd*.

CH2 11:15 Removed trailing space in v~: Naye akawa amechagua makuhani wake mwenyewe kwa ajili ya mahali pa juu pa kuabudia sanamu za mbuzi na za ndama ambazo alikuwa ametengeneza.

CH2 11:16 Removed trailing space in v~: Wale waliotoka katika kila kabila la Israeli ambao walielekeza mioyo yao kumtafuta \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, wakawafuata Walawi huko Yerusalemu kumtolea \nd Bwana\nd* dhabihu, Mungu wa baba zao.

CH2 11:17 Removed trailing space in v~: Wakaimarisha ufalme wa Yuda na kumuunga mkono Rehoboamu mwana wa Solomoni miaka mitatu, wakienenda katika njia za Daudi na Solomoni katika wakati huu.

CH2 11:17 Removed trailing space in s1: Jamaa Ya Rehoboamu

CH2 11:18 Removed trailing space in v~: Rehoboamu alimwoa Mahalati ambaye alikuwa binti Yeremothi mwana wa Daudi, mamaye alikuwa Abihaili binti Eliabu mwana wa Yese.

CH2 11:19 Removed trailing space in v~: Mahalati alimzalia Rehoboamu wana: Yeushi, Shemaria na Zahamu.

CH2 11:20 Removed trailing space in v~: Kisha akamwoa Maaka binti Absalomu, ambaye alimzalia: Abiya, Atai, Ziza na Shelomithi.

CH2 11:21 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akampenda Maaka binti Absalomu zaidi kuliko wakeze wengine na masuria wake. Kwa jumla alikuwa na wake kumi na wanane na masuria sitini, wana ishirini na wanane na binti sitini.

CH2 11:22 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akamweka Abiya mwana wa Maaka, kuwa mkuu wa wana wa mfalme miongoni mwa ndugu zake ili amfanye mfalme.

CH2 11:23 Removed trailing space in v~: Akatenda kwa busara, akiwasambaza baadhi ya wanawe katika wilaya zote za Yuda na Benyamini, pamoja na miji yote yenye ngome. Akawapa mahitaji tele na kuwaoza wake wengi.

CH2 12:0 Extra space after chapter number

CH2 12:0 Removed trailing space in c: 12

CH2 12:0 Removed trailing space in s1: Shishaki Ashambulia Yerusalemu

CH2 12:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 14:25-28)

CH2 12:1 Removed trailing space in v~: Baada ya nafasi ya Rehoboamu kuimarika na kuwa na nguvu, yeye na Israeli yote waliiacha sheria ya \nd Bwana\nd* Mungu.

CH2 12:2 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hawakuwa waaminifu kwa \nd Bwana\nd*, Shishaki mfalme wa Misri akashambulia Yerusalemu katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu.

CH2 12:3 Removed trailing space in v~: Akiwa na magari ya vita 1,200 na wapanda farasi 60,000 na idadi isiyohesabika ya majeshi ya Walibia, Wasukii na Wakushi\f + \fr 12:3 \ft Yaani watu kutoka sehemu ya Naili ya juu.\f* yaliyokuja pamoja naye kutoka Misri.

CH2 12:4 Removed trailing space in v~: Akateka miji ya Yuda yenye ngome akaendelea mpaka Yerusalemu.

CH2 12:5 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii Shemaya akaja kwa Rehoboamu na kwa viongozi wa Yuda waliokuwa wamekusanyika huko Yerusalemu kwa ajili ya hofu ya Shishaki naye akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, ‘Ninyi mmeniacha mimi, kwa hiyo, mimi nami sasa ninawaacha ninyi mkononi mwa Shishaki.’ ”

CH2 12:6 Removed trailing space in v~: Viongozi wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza na kusema, “\nd Bwana\nd* Mungu ni mwenye haki.”

CH2 12:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu alipoona kwamba wamejinyenyekeza, neno hili la \nd Bwana\nd* likamjia Shemaya: “Maadamu wamejinyenyekeza, sitawaangamiza bali hivi karibuni nitawapatia wokovu. Ghadhabu yangu haitamwagwa juu ya Yerusalemu kwa kupitia Shishaki.

CH2 12:8 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, watamtumikia Shishaki ili wapate kujifunza tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa nchi nyingine.”

CH2 12:9 Removed trailing space in v~: Shishaki mfalme wa Misri alipoishambulia Yerusalemu, alichukua hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd* na hazina za jumba la kifalme. Akachukua kila kitu, pamoja na zile ngao za dhahabu ambazo Solomoni alikuwa amezitengeneza.

CH2 12:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba badala ya zile za dhahabu na kuzikabidhi kwa majemadari wa ulinzi wa zamu kwenye ingilio la jumba la mfalme.

CH2 12:11 Removed trailing space in v~: Kila wakati mfalme alipokwenda katika Hekalu la \nd Bwana\nd* walinzi walikwenda pamoja naye wakiwa wamebeba hizo ngao na baadaye walizirudisha kwenye chumba cha ulinzi.

CH2 12:12 Removed trailing space in v~: Kwa sababu Rehoboamu alijinyenyekeza, hasira ya \nd Bwana\nd* ikageukia mbali naye, hakuangamizwa kabisa. Kukawa na hali nzuri katika Yuda.

CH2 12:13 Removed trailing space in v~: Mfalme Rehoboamu akajiweka imara katika Yerusalemu na akaendelea kuwa mfalme. Alikuwa na umri wa miaka arobaini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na saba, mji ambao \nd Bwana\nd* alikuwa ameuchagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli ili aliweke Jina lake humo. Mama yake aliitwa Naama, alikuwa Mwamoni.

CH2 12:14 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akatenda maovu kwa sababu hakuuelekeza moyo wake katika kumtafuta \nd Bwana\nd* Mungu.

CH2 12:15 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya matukio katika utawala wa Rehoboamu, tangu mwanzo mpaka mwisho, je, hayakuandikwa katika kumbukumbu za nabii Shemaya na mwonaji Ido zinazohusiana na vizazi? Kulikuwako na vita mara kwa mara kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.

CH2 12:16 Removed trailing space in v~: Rehoboamu akalala na baba zake, akazikwa katika Mji wa Daudi. Naye Abiya mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 13:0 Extra space after chapter number

CH2 13:0 Removed trailing space in c: 13

CH2 13:0 Removed trailing space in s1: Abiya Mfalme Wa Yuda

CH2 13:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 15:1-8)

CH2 13:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yeroboamu, Abiya akawa mfalme wa Yuda,

CH2 13:2 Removed trailing space in v~: naye akatawala huko Yerusalemu miaka mitatu. Mama yake aliitwa Maaka, binti Urieli wa Gibea.

CH2 13:2 Removed trailing space in p~: Basi kulikuwa na vita kati ya Abiya na Yeroboamu.

CH2 13:3 Removed trailing space in v~: Abiya aliingia vitani na jeshi la watu 400,000 wenye uwezo wa kupigana, naye Yeroboamu akapanga jeshi dhidi ya Abiya akiwa na jeshi la watu 800,000 wenye uwezo.

CH2 13:4 Removed trailing space in v~: Abiya akasimama juu ya Mlima Semaraimu, katika nchi ya vilima ya Efraimu, naye akasema, “Yeroboamu na Israeli yote, nisikilizeni mimi!

CH2 13:5 Removed trailing space in v~: Hamfahamu kwamba \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, alimpa Daudi na wazao wake ufalme juu ya Israeli milele kwa Agano la chumvi?

CH2 13:6 Removed trailing space in v~: Hata hivyo Yeroboamu mwana wa Nebati afisa wa Solomoni mwana wa Daudi, aliasi dhidi ya bwana wake.

CH2 13:7 Removed trailing space in v~: Baadhi ya watu wasiofaa kitu, wabaya kabisa walimkusanyikia na kumpinga Rehoboamu mwana wa Solomoni alipokuwa kijana mdogo asiyekuwa na uamuzi, asiye na nguvu za kuweza kupingana nao.

CH2 13:8 Removed trailing space in v~: “Hata sasa unapanga kupingana na ufalme wa \nd Bwana\nd* ambao uko mikononi mwa wazao wa Daudi. Kweli ninyi ni jeshi kubwa nanyi mnazo ndama za dhahabu Yeroboamu alizozitengeneza kuwa miungu yenu.

CH2 13:9 Removed trailing space in v~: Lakini je, hamkuwafukuza makuhani wa \nd Bwana\nd*, wana wa Aroni na Walawi na kujifanyia makuhani wenu wenyewe kama yafanyavyo mataifa ya nchi nyingine? Yeyote anayekuja kujiweka wakfu akiwa na ndama dume na kondoo dume saba aweza kuwa kuhani wa kile ambacho ni miungu kwenu.

CH2 13:10 Removed trailing space in v~: “Lakini kwetu sisi, \nd Bwana\nd* ndiye Mungu wetu, wala hatujamwacha. Makuhani wanaomtumikia \nd Bwana\nd* ni wana wa Aroni, nao Walawi wakiwasaidia.

CH2 13:11 Removed trailing space in v~: Kila asubuhi na jioni wao hutoa sadaka za kuteketezwa na kufukiza uvumba wa harufu nzuri kwa \nd Bwana\nd*. Wao huweka mikate juu ya meza safi kwa taratibu za kiibada na kuwasha taa kwenye kinara cha dhahabu kila jioni. Sisi tunazishika kanuni za \nd Bwana\nd* Mungu wetu. Lakini ninyi mmemwacha Mungu.

CH2 13:12 Removed trailing space in v~: Mungu yu pamoja nasi, yeye ndiye kiongozi wetu. Makuhani wake wakiwa na tarumbeta zao watapiga baragumu ya vita dhidi yenu. Watu wa Israeli, msipigane dhidi ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, kwa maana hamtashinda.”

CH2 13:13 Removed trailing space in v~: Basi Yeroboamu alikuwa ametuma jeshi kuzunguka nyuma ya Yuda ili kwamba akiwa mbele ya Yuda, jeshi liwavizie kwa nyuma.

CH2 13:14 Removed trailing space in v~: Basi Yuda wakageuka na kuona kwamba wanashambuliwa mbele na nyuma. Ndipo wakamlilia \nd Bwana\nd*. Makuhani wakapiga tarumbeta zao,

CH2 13:15 Removed trailing space in v~: nao watu wa Yuda wakapaza sauti ya kilio cha vita. Katika kupiga kelele za vita, Mungu akawafukuza Yeroboamu na Israeli wote mbele ya Mfalme Abiya na Yuda.

CH2 13:16 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakakimbia mbele ya Yuda, naye Mungu akawatia Israeli mikononi mwao.

CH2 13:17 Removed trailing space in v~: Abiya na watu wake wakawachinja kwa machinjo makuu, hata wakawepo majeruhi 500,000 miongoni mwa watu wenye uwezo wa Israeli.

CH2 13:18 Removed trailing space in v~: Watu wa Israeli walitiishwa katika tukio lile, nao watu wa Yuda wakawa washindi kwa sababu walimtegemea \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao.

CH2 13:19 Removed trailing space in v~: Abiya akamfuatia Yeroboamu na kuteka miji ya Betheli, Yeshana na Efroni kutoka kwake, pamoja na vijiji vinavyoizunguka miji hiyo.

CH2 13:20 Removed trailing space in v~: Yeroboamu hakupata nguvu tena wakati wa utawala wa Abiya. Naye \nd Bwana\nd* akampiga Yeroboamu akafa.

CH2 13:21 Removed trailing space in v~: Lakini Abiya akapata nguvu. Alioa wanawake kumi na wanne na alikuwa na wana ishirini na wawili na binti kumi na sita.

CH2 13:22 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Abiya, pamoja na mambo aliyofanya na aliyosema, yameandikwa katika kitabu cha maelezo cha nabii Ido.

CH2 14:0 Extra space after chapter number

CH2 14:0 Removed trailing space in c: 14

CH2 14:0 Removed trailing space in s1: Asa Atawala

CH2 14:1 Removed trailing space in v~: Naye Abiya akalala na baba zake, akazikwa katika Mji wa Daudi. Asa mwanawe akawa mfalme baada yake. Katika siku zake, nchi ikawa na amani kwa miaka kumi.

CH2 14:2 Removed trailing space in v~: Asa akatenda yaliyo mema na haki machoni pa \nd Bwana\nd* Mungu wake.

CH2 14:3 Removed trailing space in v~: Akaziondoa madhabahu za kigeni na mahali pa juu pa kuabudia miungu, akayavunja yale mawe ya kuabudiwa na kuzikatakata nguzo za Maashera.

CH2 14:4 Removed trailing space in v~: Akawaamuru Yuda kumtafuta \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao na kutii sheria zake na amri zake.

CH2 14:5 Removed trailing space in v~: Akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na madhabahu za kufukizia uvumba kwenye kila mji katika Yuda, nao ufalme ulikuwa na amani katika utawala wake.

CH2 14:6 Removed trailing space in v~: Akajenga miji yenye ngome katika Yuda, wakati nchi ikiwa na amani. Hakuna mtu yeyote aliyepigana vita naye katika miaka hiyo, kwa kuwa \nd Bwana\nd* alimstarehesha.

CH2 14:7 Removed trailing space in v~: Mfalme akawaambia Yuda, “Tuijenge hii miji na tuizungushie kuta, pamoja na minara, malango na makomeo. Nchi bado ni yetu, kwa sababu tumemtafuta \nd Bwana\nd* Mungu wetu, tulimtafuta naye ametupa raha kila upande.” Hivyo wakajenga na wakafanikiwa.

CH2 14:8 Removed trailing space in v~: Asa alikuwa na jeshi la watu 300,000 kutoka Yuda, wenye ngao kubwa na mikuki na jeshi la watu 280,000 kutoka Benyamini, wenye ngao ndogo na pinde. Watu hawa wote walikuwa wapiganaji mashujaa.

CH2 14:9 Removed trailing space in v~: Zera Mkushi akatoka kupigana dhidi yao akiwa na jeshi la watu maelfu ya maelfu na magari ya vita 300, nao wakaja mpaka Maresha.

CH2 14:10 Removed trailing space in v~: Asa akatoka kumkabili, nao wakapanga vita katika Bonde la Sefatha karibu na Maresha.

CH2 14:11 Removed trailing space in v~: Kisha Asa akamlilia \nd Bwana\nd* Mungu wake na kusema, “Ee \nd Bwana\nd*, hakuna yeyote aliye kama wewe wa kuwasaidia wasio na nguvu dhidi ya wenye nguvu. Utusaidie, Ee \nd Bwana\nd*, wewe ndiwe Mungu wetu, kwa kuwa tunakutumainia wewe, nasi kwa jina lako tumekuja dhidi ya jeshi hili kubwa. Ee \nd Bwana\nd*, wewe ndiwe Mungu wetu, usiwaache wanadamu wakushinde wewe.”

CH2 14:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akawapiga Wakushi mbele ya Asa na Yuda. Wakushi wakakimbia,

CH2 14:13 Removed trailing space in v~: naye Asa na jeshi lake wakawafuatia mpaka Gerari. Idadi kubwa ya Wakushi ilianguka hata wasiweze kuinuka tena, wakapondapondwa mbele za \nd Bwana\nd* na majeshi yake.

CH2 14:14 Removed trailing space in v~: Watu wa Yuda wakachukua nyara nyingi sana, wakaangamiza vijiji vyote vinavyoizunguka Gerari, kwa kuwa hofu ya \nd Bwana\nd* ilikuwa imewaangukia. Wakateka nyara vijiji hivi vyote, kwani kulikuwepo nyara nyingi huko.

CH2 14:15 Removed trailing space in v~: Pia wakashambulia kambi za wachunga makundi ya wanyama wakachukua na kuyaswaga makundi ya kondoo, mbuzi na ngamia. Kisha wakarudi Yerusalemu.

CH2 15:0 Extra space after chapter number

CH2 15:0 Removed trailing space in c: 15

CH2 15:0 Removed trailing space in s1: Asa Afanya Matengenezo

CH2 15:1 Removed trailing space in v~: Roho wa \nd Bwana\nd* akamjia Azaria mwana wa Odedi.

CH2 15:2 Removed trailing space in v~: Akatoka ili kumlaki Asa na kumwambia, “Nisikilizeni, Asa na Yuda wote na Benyamini. \nd Bwana\nd* yu pamoja nanyi mkiwa pamoja naye. Kama mkimtafuta, ataonekana kwenu, lakini kama mkimwacha yeye, naye atawaacha ninyi.

CH2 15:3 Removed trailing space in v~: Kwa muda mrefu Israeli walikuwa hawana Mungu wa kweli, walikuwa hawana kuhani wa kuwafundisha na wala hawakuwa na sheria.

CH2 15:4 Removed trailing space in v~: Lakini katika taabu yao walimrudia \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli na kumtafuta, naye akaonekana kwao.

CH2 15:5 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo hapakuwa na amani kwa yeyote aliyesafiri, kutoka wala kuingia, kwa kuwa wakazi wote wa nchi walikuwa katika machafuko makubwa.

CH2 15:6 Removed trailing space in v~: Taifa moja lilipigana na taifa lingine na mji mmoja ukapigana na mji mwingine, kwa sababu Mungu alikuwa anawahangaisha kwa taabu za kila aina.

CH2 15:7 Removed trailing space in v~: Lakini kwa habari yenu ninyi, kuweni hodari wala msikate tamaa, kwa kuwa mtapata thawabu kwa kazi yenu.”

CH2 15:8 Removed trailing space in v~: Asa aliposikia maneno haya na unabii wa Azaria mwana wa Odedi nabii, akajipa moyo. Akaziondoa sanamu zote zilizokuwa machukizo katika nchi yote ya Yuda na Benyamini na kutoka miji aliyoiteka ya vilima vya Efraimu. Akakarabati madhabahu ya \nd Bwana\nd* iliyokuwa mbele ya ukumbi wa Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 15:9 Removed trailing space in v~: Kisha akakutanisha Yuda wote, Benyamini na watu kutoka Efraimu, watu wa Manase na Simeoni waliokuwa wanaishi miongoni mwao, kwa maana idadi kubwa walikuwa wamemjia kutoka Israeli walipoona kwamba \nd Bwana\nd* Mungu wake alikuwa pamoja naye.

CH2 15:10 Removed trailing space in v~: Basi wakakusanyika huko Yerusalemu mwezi wa tatu katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Asa.

CH2 15:11 Removed trailing space in v~: Wakati huo wakamtolea \nd Bwana\nd* dhabihu za ngʼombe 700, kondoo na mbuzi 7,000 kutoka zile nyara walizoteka.

CH2 15:12 Removed trailing space in v~: Wakafanya agano kumtafuta \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao kwa moyo wao wote na kwa roho yao yote.

CH2 15:13 Removed trailing space in v~: Wale wote ambao hawangemtafuta \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli wangelazimika kuuawa, akiwa mdogo au mkubwa, mwanaume au mwanamke.

CH2 15:14 Removed trailing space in v~: Wakamwapia \nd Bwana\nd* kwa sauti kuu, kwa kupiga kelele, tarumbeta na kwa mabaragumu.

CH2 15:15 Removed trailing space in v~: Yuda wote wakafurahia kile kiapo kwa sababu walikuwa wameapa kwa moyo wao wote. Wakamtafuta Mungu kwa bidii, naye akaonekana kwao. Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akawastarehesha pande zote.

CH2 15:16 Removed trailing space in v~: Mfalme Asa akamwondolea Maaka mama yake wadhifa wake kama mama malkia kwa sababu alikuwa ametengeneza nguzo ya Ashera ya kuchukiza. Asa akaikata hiyo nguzo, akaivunjavunja na kuiteketeza kwa moto katika Bonde la Kidroni.

CH2 15:17 Removed trailing space in v~: Ijapokuwa hakuondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu katika Israeli, moyo wa Asa ulikuwa umejiweka kwa Bwana kikamilifu maisha yake yote.

CH2 15:18 Removed trailing space in v~: Akaleta ndani ya Hekalu la Mungu fedha na dhahabu na vile vyombo ambavyo yeye na baba yake walikuwa wameviweka wakfu.

CH2 15:19 Removed trailing space in v~: Hapakuwepo vita tena mpaka mwaka wa thelathini na tano wa utawala wake Asa.

CH2 16:0 Extra space after chapter number

CH2 16:0 Removed trailing space in c: 16

CH2 16:0 Removed trailing space in s1: Miaka Ya Mwisho Ya Mfalme Asa

CH2 16:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 15:17-24)

CH2 16:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na sita wa utawala wa Asa, Mfalme Baasha wa Israeli akashambulia Yuda na kuweka ngome mji wa Rama ili kumzuia yeyote asitoke wala kuingia nchi ya Mfalme Asa wa Yuda.

CH2 16:2 Removed trailing space in v~: Ndipo Asa akachukua fedha na dhahabu kutoka hazina ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na kutoka jumba lake mwenyewe la kifalme na kumpelekea Ben-Hadadi mfalme wa Aramu, ambaye alikuwa anatawala huko Dameski.

CH2 16:3 Removed trailing space in v~: Akasema, “Pawepo na mkataba kati yangu na wewe, kama ulivyokuwepo kati ya baba yangu na baba yako. Tazama, nimekuletea fedha na dhahabu. Sasa vunja mkataba wako na Baasha mfalme wa Israeli ili aniondokee mimi.”

CH2 16:4 Removed trailing space in v~: Ben-Hadadi akakubaliana na Mfalme Asa na kutuma majemadari wa majeshi yake dhidi ya miji ya Israeli. Wakashinda Iyoni, Dani, Abel-Maimu na miji yote ya hazina ya Naftali.

CH2 16:5 Removed trailing space in v~: Baasha aliposikia jambo hili, akasimamisha kujenga Rama na kuacha kazi yake.

CH2 16:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Asa akawaleta watu wote wa Yuda, nao wakachukua mawe na miti ambayo Baasha alikuwa anavitumia huko Rama. Kwa vitu hivyo akajenga Geba na Mispa.

CH2 16:7 Removed trailing space in v~: Ikawa wakati huo mwonaji Hanani akamjia Mfalme Asa wa Yuda na kumwambia: “Kwa sababu ulimtegemea mfalme wa Aramu nawe hukumtegemea \nd Bwana\nd* Mungu wako, jeshi la mfalme wa Aramu limeponyoka mkononi mwako.

CH2 16:8 Removed trailing space in v~: Je, hukumbuki lililotendeka kwa Wakushi na Walibia, hawakuwa jeshi lenye nguvu na magari mengi ya vita na wapanda farasi? Hata hivyo, ulipomtegemea \nd Bwana\nd* yeye aliwatia mkononi mwako.

CH2 16:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa macho ya \nd Bwana\nd* hukimbiakimbia duniani kote ili kujionyesha mwenye nguvu kwa ajili ya wale ambao mioyo yao inamtegemea kwa ukamilifu. Umefanya jambo la upumbavu na kuanzia sasa na kuendelea utakuwa na vita.”

CH2 16:10 Removed trailing space in v~: Asa akamkasirikia mwonaji kwa sababu ya jambo hili. Alikuwa ameghadhibika sana hata akamweka gerezani. Wakati huo huo Asa akaanza kuwatesa na kuwaonea baadhi ya watu kwa ukatili.

CH2 16:11 Removed trailing space in v~: Matukio ya utawala wa Asa, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.

CH2 16:12 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na tisa wa utawala wake, Asa alipatwa na ugonjwa kwenye miguu yake. Ingawa ugonjwa wake ulimzidia sana, hata katika kuugua kwake hakutafuta msaada kutoka kwa \nd Bwana\nd* bali kwa matabibu tu.

CH2 16:13 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa arobaini na moja wa utawala wa Asa, alikufa na kulala na baba zake.

CH2 16:14 Removed trailing space in v~: Nao wakamzika katika kaburi lile alilokuwa amejichongea mwenyewe katika Mji wa Daudi. Wakamzika kwa jeneza lililowekwa vikolezi na mchanganyiko wa manukato ya aina mbalimbali yaliyotengenezwa kwa utaalamu wa mtengeneza marashi, nao wakawasha moto mkubwa kwa heshima yake.

CH2 17:0 Extra space after chapter number

CH2 17:0 Removed trailing space in c: 17

CH2 17:0 Removed trailing space in s1: Yehoshafati Mfalme Wa Yuda

CH2 17:1 Removed trailing space in v~: Yehoshafati mwanawe akawa mfalme baada yake na akajiimarisha dhidi ya Israeli.

CH2 17:2 Removed trailing space in v~: Akaweka jeshi katika miji yote ya Yuda yenye ngome na kuweka askari walinzi katika Yuda na katika miji ya Efraimu ile ambayo baba yake Asa alikuwa ameiteka.

CH2 17:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu alikuwa na Yehoshafati kwa sababu katika miaka yake ya mwanzoni alienenda katika njia za Daudi baba yake. Hakutafuta Mabaali

CH2 17:4 Removed trailing space in v~: bali alimtafuta Mungu wa baba yake na kuzifuata amri zake badala ya kufuata desturi za watu wa Israeli.

CH2 17:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akauimarisha ufalme chini ya uongozi wake, nao Yuda wote wakamletea Yehoshafati zawadi, hivyo akawa na utajiri mwingi na heshima.

CH2 17:6 Removed trailing space in v~: Moyo wake ukawa hodari katika njia za \nd Bwana\nd* na zaidi ya yote, akaondoa mahali pa juu pa kuabudia miungu na nguzo za Maashera katika Yuda.

CH2 17:7 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tatu wa utawala wa akatuma maafisa wake ambao ni: Ben-Haili, Obadia, Zekaria, Nethaneli na Mikaya ili kufundisha katika miji ya Yuda.

CH2 17:8 Removed trailing space in v~: Pamoja nao walikuwepo Walawi fulani nao ni: Shemaya, Nethania, Zebadia, Asaheli, Shemiramothi, Yehonathani, Adoniya, Tobia, Tob-Adonia, pamoja nao walikuwepo makuhani Elishama na Yehoramu.

CH2 17:9 Removed trailing space in v~: Wakafundisha Yuda yote, wakiwa wamechukua Kitabu cha Sheria ya \nd Bwana\nd* wakazunguka miji yote ya Yuda na kufundisha watu.

CH2 17:10 Removed trailing space in v~: Hofu ya \nd Bwana\nd* ikawa juu ya falme zote za nchi zilizozunguka Yuda, hivyo hawakufanya vita na Yehoshafati.

CH2 17:11 Removed trailing space in v~: Baadhi ya Wafilisti wakamletea Yehoshafati zawadi na fedha kama ushuru, nao Waarabu wakamletea mifugo: kondoo dume 7,700 na mbuzi 7,700.

CH2 17:12 Removed trailing space in v~: Yehoshafati akaendelea kupata nguvu zaidi na zaidi, akajenga ngome na miji ya hazina katika Yuda

CH2 17:13 Removed trailing space in v~: na akawa na wingi mkubwa wa vitu katika miji ya Yuda. Pia aliweka askari wa vita wenye uzoefu huko Yerusalemu.

CH2 17:14 Removed trailing space in v~: Wakaandikishwa katika jamaa zao kama ifuatavyo:

CH2 17:14 Removed trailing space in p~: Kutoka Yuda, majemadari wa vikosi vya elfu:

CH2 17:14 Removed trailing space in p~: Jemadari Adna akiwa na askari wa vita 300,000;

CH2 17:15 Removed trailing space in v~: aliyefuata ni jemadari Yehohanani, akiwa na askari 280,000 walio tayari kwa vita;

CH2 17:16 Removed trailing space in v~: aliyefuata ni Amasia mwana wa Zikri, ambaye alijitolea kwa ajili ya kazi ya \nd Bwana\nd*, akiwa na askari 200,000.

CH2 17:17 Removed trailing space in v~: Kutoka Benyamini:

CH2 17:17 Removed trailing space in p~: Eliada, askari shujaa akiwa na watu 200,000 wenye silaha za nyuta na ngao;

CH2 17:18 Removed trailing space in v~: aliyefuata ni Yehozabadi, akiwa na askari 180,000 wenye silaha za vita.

CH2 17:19 Removed trailing space in v~: Hawa ndio waliomtumikia mfalme, mbali na wale mfalme aliweka katika miji yenye ngome huko Yuda yote.

CH2 18:0 Extra space after chapter number

CH2 18:0 Removed trailing space in c: 18

CH2 18:0 Removed trailing space in s1: Mikaya Atoa Unabii Dhidi Ya Ahabu

CH2 18:0 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 22:1-28)

CH2 18:1 Removed trailing space in v~: Basi, Yehoshafati alikuwa na mali nyingi sana na heshima. Naye akafanya urafiki na Ahabu kwa mwanawe kumwoa binti wa Ahabu.

CH2 18:2 Removed trailing space in v~: Baada ya miaka kadhaa akashuka kumtembelea Ahabu huko Samaria. Ahabu akachinja ngʼombe na kondoo wengi kwa ajili yake na watu aliokuwa amefuatana nao. Kisha Ahabu akamshawishi Yehoshafati kukwea pamoja naye ili kuishambulia Ramoth-Gileadi.

CH2 18:3 Removed trailing space in v~: Ahabu mfalme wa Israeli akamuuliza Yehoshafati mfalme wa Yuda, “Je, utakwenda pamoja nami kupigana dhidi ya Ramoth-Gileadi?”

CH2 18:3 Removed trailing space in p~: Yehoshafati akamjibu mfalme wa Israeli, “Mimi ni kama wewe, watu wangu ni kama watu wako, farasi wangu ni kama farasi wako. Tutakuwa pamoja nawe vitani.”

CH2 18:4 Removed trailing space in v~: Lakini Yehoshafati pia akamwambia mfalme wa Israeli, “Kwanza tafuta shauri la \nd Bwana\nd*.”

CH2 18:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme wa Israeli akawaleta pamoja manabii wanaume wapatao mia nne, akawauliza, “Je, twende vitani dhidi ya Ramoth-Gileadi, au niache?”

CH2 18:5 Removed trailing space in p~: Wakajibu, “Naam, nenda kwa kuwa Mungu ataiweka Ramoth-Gileadi mkononi mwa mfalme.”

CH2 18:6 Removed trailing space in v~: Lakini Yehoshafati akauliza, “Je, hayuko nabii wa \nd Bwana\nd* hapa ambaye tunaweza kumuuliza?”

CH2 18:7 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamjibu Yehoshafati, “Bado yupo mtu mmoja ambaye kupitia yeye twaweza kumuuliza shauri la \nd Bwana\nd*, lakini namchukia kwa sababu huwa hatabiri jambo lolote jema kunihusu mimi, lakini kila mara hunitabiria mabaya tu. Yeye ni Mikaya mwana wa Imla.”

CH2 18:7 Removed trailing space in p~: Yehoshafati akajibu, “Mfalme hapaswi kusema hivyo.”

CH2 18:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme wa Israeli akamwita mmoja wa maafisa wake na kusema, “Mlete Mikaya mwana wa Imla mara moja.”

CH2 18:9 Removed trailing space in v~: Wakiwa wamevalia majoho yao ya kifalme, mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda walikuwa wameketi juu ya viti vyao vya kifalme katika sakafu ya kupuria, kwenye ingilio la lango la Samaria, pamoja na manabii wote wakiwa wakitabiri mbele yao.

CH2 18:10 Removed trailing space in v~: Wakati huu Sedekia mwana wa Kenaana alikuwa ametengeneza pembe za chuma, akatangaza, “Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* asemavyo, ‘Kwa hizi pembe utawapiga na kuwarudisha Waaramu nyuma mpaka wameangamizwa.’ ”

CH2 18:11 Removed trailing space in v~: Manabii wengine wote walikuwa wanatabiri kitu hicho hicho, wakisema, “Ishambulie Ramoth-Gileadi na uwe mshindi. Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ataitia mkononi mwa mfalme.”

CH2 18:12 Removed trailing space in v~: Mjumbe aliyekuwa amekwenda kumwita Mikaya akamwambia, “Tazama, manabii wote kama mtu mmoja wanatabiri ushindi kwa mfalme. Neno lako na likubaliane na lao, nawe unene mema kuhusu mfalme.”

CH2 18:13 Removed trailing space in v~: Lakini Mikaya akasema, “Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, nitamwambia kile tu \nd Bwana\nd* atakachoniambia.”

CH2 18:14 Removed trailing space in v~: Alipofika, mfalme akamuuliza, “Mikaya, je, twende vitani dhidi ya Ramoth-Gileadi au niache?”

CH2 18:14 Removed trailing space in p~: Akamjibu, “Shambulia na ushinde, kwa kuwa watatiwa mkononi mwako.”

CH2 18:15 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia, “Je, ni mara ngapi nitakuapisha ili usiniambie kitu chochote ila kweli tu kwa jina la \nd Bwana\nd*?”

CH2 18:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Mikaya akajibu, “Niliona Israeli wote wametawanyika vilimani kama kondoo wasio na mchungaji, naye \nd Bwana\nd* akasema, ‘Watu hawa hawana bwana. Mwache kila mmoja aende nyumbani kwa amani.’ ”

CH2 18:17 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Sikukuambia kwamba huwa hatabiri jambo lolote jema kunihusu bali mabaya tu?”

CH2 18:18 Removed trailing space in v~: Mikaya akaendelea, “Kwa hiyo lisikie neno la \nd Bwana\nd*: Nilimwona \nd Bwana\nd* ameketi juu ya kiti chake cha enzi pamoja na jeshi lote la mbinguni likiwa limesimama upande wa kulia na wa kushoto.

CH2 18:19 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akasema, ‘Ni nani atakayemshawishi Ahabu, mfalme wa Israeli, ili aishambulie Ramoth-Gileadi na kukiendea kifo chake huko?’

CH2 18:19 Removed trailing space in p~: “Mmoja akapendekeza hili na mwingine lile.

CH2 18:20 Removed trailing space in v~: Mwishoni, roho akajitokeza, akasimama mbele za \nd Bwana\nd* na kusema, ‘Nitamshawishi.’

CH2 18:20 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* akauliza, ‘Kwa njia gani?’

CH2 18:21 Removed trailing space in v~: “Akasema, ‘Nitakwenda na kuwa roho ya uongo katika vinywa vya manabii wake wote.’

CH2 18:21 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* akasema, ‘Utafanikiwa katika kumshawishi. Nenda ukafanye hivyo.’

CH2 18:22 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo sasa \nd Bwana\nd* ameweka roho ya kudanganya ndani ya vinywa vya hawa manabii wako wote. \nd Bwana\nd* ameamuru maafa kwa ajili yako.”

CH2 18:23 Removed trailing space in v~: Kisha Sedekia mwana wa Kenaana akatoka na kumpiga Mikaya kofi usoni. Akauliza, “Huyo Roho kutoka kwa \nd Bwana\nd* alipita njia gani alipotoka kwangu ili kusema nawe?”

CH2 18:24 Removed trailing space in v~: Mikaya akajibu, “Utagundua siku hiyo utakapokwenda kujificha kwenye chumba cha ndani.”

CH2 18:25 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme wa Israeli akaagiza, “Mchukueni na mkamrudishe kwa Amoni mtawala wa mji na kwa Yoashi mwana wa mfalme.

CH2 18:26 Removed trailing space in v~: Mkaseme, ‘Hivi ndivyo asemavyo mfalme: Mwekeni mtu huyu gerezani na asipewe chochote ila mkate na maji mpaka nitakaporudi salama.’ ”

CH2 18:27 Removed trailing space in v~: Mikaya akasema, “Kama utarudi salama, basi \nd Bwana\nd* hajanena kupitia kwangu.” Kisha akaongeza kusema, “Zingatieni maneno yangu, enyi watu wote!”

CH2 18:27 Removed trailing space in s1: Ahabu Anauawa Huko Ramoth-Gileadi

CH2 18:27 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 22:29-35)

CH2 18:28 Removed trailing space in v~: Basi mfalme wa Israeli na Yehoshafati mfalme wa Yuda wakaenda Ramoth-Gileadi.

CH2 18:29 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Israeli akamwambia Yehoshafati, “Nitaingia vitani nikiwa nimejibadilisha, lakini wewe uvae majoho yako ya kifalme.” Kwa hiyo mfalme wa Israeli akajibadilisha na kwenda vitani.

CH2 18:30 Removed trailing space in v~: Wakati huu, mfalme wa Aramu alikuwa amewaagiza majemadari thelathini na wawili wa magari ya vita, “Msipigane na yeyote, mdogo au mkubwa, isipokuwa mfalme wa Israeli.”

CH2 18:31 Removed trailing space in v~: Wakati wale majemadari wa magari ya vita walipomwona Yehoshafati, wakafikiri, “Hakika huyu ndiye mfalme wa Israeli.” Kwa hiyo wakageuka ili wamshambulie, lakini Yehoshafati akapiga kelele, naye \nd Bwana\nd* akamsaidia. Mungu akawaondoa kwake,

CH2 18:32 Removed trailing space in v~: wale majemadari wakaona kwamba hakuwa mfalme wa Israeli nao wakaacha kumfuatilia.

CH2 18:33 Removed trailing space in v~: Lakini mtu fulani akavuta upinde pasipo lengo na kumpiga mfalme wa Israeli katikati ya kiungio cha mavazi yake ya chuma, mfalme akamwambia mwendesha gari lake, “Geuza gari na uniondoe mimi katika mapigano, nimejeruhiwa.”

CH2 18:34 Removed trailing space in v~: Vita vikaendelea mchana kutwa, naye mfalme wa Israeli akajitegemeza ndani ya gari lake kuwaelekea Waaramu hadi jioni. Basi jioni yake akafa.

CH2 19:0 Extra space after chapter number

CH2 19:0 Removed trailing space in c: 19

CH2 19:0 Removed trailing space in s1: Yehu Amkemea Yehoshafati

CH2 19:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Yehoshafati wa Yuda akarudi salama kwenye jumba lake la kifalme huko Yerusalemu.

CH2 19:2 Removed trailing space in v~: Yehu mwonaji, mwana wa Hanani, akapanda kwenda kuonana naye akamwambia Mfalme Yehoshafati, “Je, utawasaidia waovu na kuwapenda wale wanaomchukia \nd Bwana\nd*? Kwa sababu ya jambo hili, ghadhabu ya \nd Bwana\nd* iko juu yako.

CH2 19:3 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kuna mema yaliyoonekana kwako, kwa kuwa umeondoa katika nchi nguzo za Ashera na umeukaza moyo wako katika kumtafuta Mungu.”

CH2 19:3 Removed trailing space in s1: Yehoshafati Aweka Waamuzi

CH2 19:4 Removed trailing space in v~: Yehoshafati aliishi huko Yerusalemu, naye akatoka akaenda tena miongoni mwa watu, kuanzia Beer-Sheba hadi nchi ya vilima ya Efraimu na kuwageuza wakamrudia \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao.

CH2 19:5 Removed trailing space in v~: Akawaweka waamuzi katika nchi, kwenye miji yote ya Yuda yenye maboma.

CH2 19:6 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Angalieni kwa makini yale mtendayo, kwa kuwa hamkuhukumu kwa ajili ya mwanadamu bali kwa ajili ya \nd Bwana\nd* ambaye yu pamoja nanyi kila mtoapo hukumu.

CH2 19:7 Removed trailing space in v~: Basi sasa hofu ya \nd Bwana\nd* na iwe juu yenu. Hukumuni kwa uangalifu, kwa kuwa kwa \nd Bwana\nd* Mungu wetu hakuna jambo lisilo la haki, upendeleo, wala rushwa.”

CH2 19:8 Removed trailing space in v~: Pia huko Yerusalemu, Yehoshafati akaweka baadhi ya Walawi, makuhani na viongozi wa jamaa za Waisraeli ili kutoa hukumu kwa ajili ya \nd Bwana\nd* na kuamua magomvi. Nao waliishi huko Yerusalemu.

CH2 19:9 Removed trailing space in v~: Akawapa maagizo haya: “Ni lazima mtumike kwa uaminifu na kwa moyo wote katika kicho cha \nd Bwana\nd*.

CH2 19:10 Removed trailing space in v~: Katika kila shauri lifikalo mbele yenu kutoka kwa ndugu zenu wale waishio katika miji, ikiwa ni la umwagaji wa damu au mambo mengine yahusuyo sheria, amri, hukumu au maagizo, inawapasa ninyi kuwaonya kwamba wasiingie katika hatia dhidi ya \nd Bwana\nd*, la sivyo ghadhabu yake itakuja juu yenu na ndugu zenu. Tendeni hivyo, nanyi hamtatenda dhambi.

CH2 19:11 Removed trailing space in v~: “Amaria kuhani mkuu atakuwa juu yenu katika jambo lolote linalomhusu \nd Bwana\nd* naye Zebadia mwana wa Ishmaeli, kiongozi wa kabila la Yuda, atakuwa juu yenu kwa jambo lolote linalomhusu mfalme, nao Walawi watatumika kama maafisa mbele yenu. Tendeni kwa ujasiri, naye \nd Bwana\nd* atakuwa pamoja na wale watendao vyema.”

CH2 20:0 Extra space after chapter number

CH2 20:0 Removed trailing space in c: 20

CH2 20:1 Removed trailing space in v~: Ikawa baada ya jambo hili, Wamoabu na Waamoni, pamoja na baadhi ya Wameuni wakaja ili wapigane vita na Yehoshafati.

CH2 20:2 Removed trailing space in v~: Watu fulani wakaja wakamwambia Yehoshafati, “Jeshi kubwa linakuja dhidi yako kutoka Edomu tokea ngʼambo ile nyingine ya Bahari.\f + \fr 20:2 \ft Yaani Bahari ya Chumvi.\f* Tayari liko Hasason-Tamari” (yaani En-Gedi).

CH2 20:3 Removed trailing space in v~: Yehoshafati akaogopa, akaazimu kumtafuta \nd Bwana\nd*, na akatangaza kwa Yuda wote kufunga.

CH2 20:4 Removed trailing space in v~: Watu wa Yuda wakakusanyika pamoja ili kutafuta msaada kutoka kwa \nd Bwana\nd*. Wakaja kutoka kila mji wa Yuda ili kumtafuta.

CH2 20:5 Removed trailing space in v~: Kisha Yehoshafati akasimama katika kusanyiko la Yuda na Yerusalemu katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, mbele ya ua mpya,

CH2 20:6 Removed trailing space in v~: akasema:

CH2 20:6 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zetu, si wewe ndiwe uliye Mungu mbinguni? Si wewe ndiwe utawalaye juu ya falme zote za mataifa? Uweza na nguvu viko mkononi mwako, wala hakuna yeyote awezaye kushindana nawe.

CH2 20:7 Removed trailing space in v~: Je, si wewe, Ee Mungu wetu, uliyewafukuza wenyeji wa nchi hii mbele ya watu wako Israeli, ukawapa wazao wa Abrahamu, rafiki yako, hata milele?

CH2 20:8 Removed trailing space in v~: Wameishi ndani yake na humo wamekujengea mahali patakatifu kwa ajili ya Jina lako, wakisema:

CH2 20:9 Removed trailing space in v~: ‘Kama maafa yakitujia, ikiwa ni upanga, hukumu, tauni, au njaa, tutasimama mbele zako, mbele ya Hekalu hili ambalo limeitwa kwa Jina lako na kukulilia katika shida yetu, nawe utatusikia na kutuokoa.’

CH2 20:10 Removed trailing space in v~: “Lakini sasa hawa watu wa kutoka Amoni, Moabu na Mlima Seiri, ambao hukuwaruhusu Israeli wazivamie nchi zao wakati walitoka Misri, hivyo wakageukia mbali nao na hawakuwaangamiza,

CH2 20:11 Removed trailing space in v~: tazama jinsi wanavyotulipa kwa kuja kututupa nje ya milki uliyotupa sisi kuwa urithi.

CH2 20:12 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wetu, je, wewe hutawahukumu? Kwa kuwa sisi hatuna uwezo wa kukabiliana na jeshi hili kubwa linalokuja kutushambulia. Sisi hatujui la kufanya, bali macho yetu yanakutazama wewe.”

CH2 20:13 Removed trailing space in v~: Watu wote wa Yuda pamoja na wake zao, watoto wao na wadogo wao wakasimama pale mbele za \nd Bwana\nd*.

CH2 20:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho wa \nd Bwana\nd* akaja juu ya mtu mmoja jina lake Yahazieli mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, Mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, Mlawi mzao wa Asafu alipokuwa amesimama katika kusanyiko.

CH2 20:15 Removed trailing space in v~: Akasema: “Sikilizeni, enyi Yuda wote nanyi nyote mkaao Yerusalemu, nawe Mfalme Yehoshafati! Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo kwenu, ‘Msiogope wala msifadhaike kwa sababu ya jeshi hili kubwa. Kwa maana vita hivi si vyenu, bali ni vya Mungu.

CH2 20:16 Removed trailing space in v~: Kesho shukeni kukabiliana nao. Watakwea kwa kupandia Genge la Sisi, nanyi mtawakuta mwisho wa bonde, kabla ya Jangwa la Yerueli.

CH2 20:17 Removed trailing space in v~: Hamtahitaji kupigana vita hivi. Kaeni kwenye nafasi zenu, simameni imara na mkaone wokovu \nd Bwana\nd* atakaowapatia, enyi Yuda na Yerusalemu. Msiogope, wala msifadhaike. Kesho tokeni mwende mkawakabili, naye \nd Bwana\nd* atakuwa pamoja nanyi.’ ”

CH2 20:18 Removed trailing space in v~: Yehoshafati akainamisha uso wake chini, nao watu wote wa Yuda na Yerusalemu wakaanguka chini ili kuabudu mbele za \nd Bwana\nd*.

CH2 20:19 Removed trailing space in v~: Ndipo baadhi ya Walawi kutoka kwa Wakohathi na kwa wana wa Kora wakasimama na kumsifu \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kwa sauti kuu sana.

CH2 20:20 Removed trailing space in v~: Asubuhi na mapema wakaondoka kuelekea Jangwa la Tekoa. Walipoanza safari, Yehoshafati akasimama akasema, “Nisikilizeni, enyi Yuda, na watu wa Yerusalemu! Mwaminini \nd Bwana\nd* Mungu wenu, hivyo mtathibitika, wasadikini manabii wake nanyi mtafanikiwa.

CH2 20:21 Removed trailing space in v~: Alipomaliza kushauriana na watu, Yehoshafati akawaweka watu wa kumwimbia \nd Bwana\nd* na kumsifu katika utukufu wa utakatifu wake walipokuwa wametangulia mbele ya jeshi, wakisema:

CH2 20:21 Removed trailing space in p~: “Mshukuruni \nd Bwana\nd*

CH2 20:21 Removed trailing space in p~: kwa kuwa upendo wake wadumu milele.”

CH2 20:22 Removed trailing space in v~: Walipoanza kuimba na kusifu, \nd Bwana\nd* akaweka waviziao dhidi ya watu wa Amoni, Moabu na wale wa Mlima Seiri waliokuwa wamekuja kuishambulia Yuda, nao wakashindwa.

CH2 20:23 Removed trailing space in v~: Watu wa Amoni na Moabu wakawainukia watu wa Mlima Seiri ili kuwaua na kuwaangamiza kabisa. Baada ya kumaliza kuwachinja watu wa Seiri, wakaangamizana wao kwa wao.

CH2 20:24 Removed trailing space in v~: Yuda walipofika katika mnara wa ulinzi wa jangwani, wakaliangalia lile jeshi kubwa, wakaona ni maiti tupu zimetapakaa ardhini, wala hakuna yeyote aliyenusurika.

CH2 20:25 Removed trailing space in v~: Hivyo Yehoshafati na watu wake wakaenda kujitwalia nyara kutoka kwao, nao wakakuta humo wingi wa mifugo, mali, nguo na vitu vya thamani, ambavyo vilikuwa vingi zaidi ya vile walivyoweza kuchukua. Wakakusanya nyara kwa siku tatu kwa sababu zilikuwa nyingi mno.

CH2 20:26 Removed trailing space in v~: Siku ya nne wakakusanyika katika Bonde la Beraka\f + \fr 20:26 \ft Bonde la Beraka maana yake Bonde la Kusifu.\f* kwa maana huko ndiko walikomsifu \nd Bwana\nd*. Ndiyo sababu linaitwa Bonde la Beraka mpaka leo.

CH2 20:27 Removed trailing space in v~: Kisha watu wote wa Yuda na Yerusalemu, wakiongozwa na Yehoshafati, wakarudi Yerusalemu wakiwa na furaha kwa kuwa \nd Bwana\nd* alikuwa amewasababisha wafurahi juu ya adui zao.

CH2 20:28 Removed trailing space in v~: Wakaingia Yerusalemu na kwenda hekaluni mwa \nd Bwana\nd* wakiwa na vinubi, zeze na tarumbeta.

CH2 20:29 Removed trailing space in v~: Hofu ya Mungu ikazipata falme zote za nchi waliposikia jinsi \nd Bwana\nd* alivyokuwa amepigana dhidi ya adui za Israeli.

CH2 20:30 Removed trailing space in v~: Ufalme wa Yehoshafati ukawa na amani, kwa kuwa Mungu wake alikuwa amemstarehesha pande zote.

CH2 20:30 Removed trailing space in s1: Mwisho Wa Utawala Wa Yehoshafati

CH2 20:30 Removed trailing space in r: (1 Wafalme 22:41-50)

CH2 20:31 Removed trailing space in v~: Hivyo Yehoshafati akatawala Yuda. Alikuwa na umri wa miaka thelathini na mitano alipoanza kutawala, akatawala katika Yerusalemu kwa miaka ishirini na mitano. Mama yake aliitwa Azuba binti Shilhi.

CH2 20:32 Removed trailing space in v~: Alienenda katika njia za Asa baba yake wala hakwenda kinyume chake. Alifanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd*.

CH2 20:33 Removed trailing space in v~: Hata hivyo mahali pa juu pa kuabudia hapakuondolewa, na watu wakawa bado hawajaelekeza mioyo yao kwa Mungu wa baba zao.

CH2 20:34 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yehoshafati, kuanzia mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kitabu cha kumbukumbu cha Yehu mwana wa Hanani, ambazo zimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli.

CH2 20:35 Removed trailing space in v~: Hatimaye Yehoshafati mfalme wa Yuda akafanya urafiki na Ahazia mfalme wa Israeli ambaye alifanya maovu sana.

CH2 20:36 Removed trailing space in v~: Akaungana naye kutengeneza meli nyingi za kwenda Tarshishi,\f + \fr 20:36 \ft Au: za biashara (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; Isa 2:16; 60:9\+xt*).\f* nazo zilitengenezwa huko Esion-Geberi.

CH2 20:36 Found unexpected backslash in footnote: 20:36 Au: za biashara (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; Isa 2:16; 60:9\+xt*).

CH2 20:37 Removed trailing space in v~: Ndipo Eliezeri mwana wa Dodavahu wa Maresha akatoa unabii dhidi ya Yehoshafati, akasema, “Kwa kuwa umeungana na Ahazia, \nd Bwana\nd* ataangamiza vile mlivyotengeneza.” Zile meli zikavunjika na hazikuweza kungʼoa nanga ili kwenda Tarshishi.

CH2 21:0 Extra space after chapter number

CH2 21:0 Removed trailing space in c: 21

CH2 21:0 Removed trailing space in s1: Yehoramu Atawala

CH2 21:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 8:17-24)

CH2 21:1 Removed trailing space in v~: Yehoshafati akalala na baba zake, akazikwa pamoja nao katika Mji wa Daudi. Mwanawe Yehoramu akawa mfalme baada yake.

CH2 21:2 Removed trailing space in v~: Ndugu zake Yehoramu, wana wa Yehoshafati walikuwa: Azaria, Yehieli, Zekaria, Azaria, Mikaeli na Shefatia. Hawa wote walikuwa wana wa Yehoshafati mfalme wa Israeli\f + \fr 21:2 \ft Yaani Yuda.\f*

CH2 21:3 Removed trailing space in v~: Baba yao alikuwa amewapa zawadi nyingi za fedha na dhahabu na vitu vya thamani, pamoja na miji yenye ngome huko Yuda, bali ufalme akampa Yehoramu kwa sababu alikuwa mwanawe mzaliwa wa kwanza.

CH2 21:4 Removed trailing space in v~: Baada ya Yehoramu kujiimarisha katika ufalme wa baba yake, akawaua kwa upanga ndugu zake wote pamoja na baadhi ya wakuu wa Israeli.

CH2 21:5 Removed trailing space in v~: Yehoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.

CH2 21:6 Removed trailing space in v~: Akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli, kama nyumba ya Ahabu ilivyokuwa imefanya, kwa kuwa alimwoa binti wa Ahabu. Akatenda maovu machoni pa \nd Bwana\nd*.

CH2 21:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kwa sababu ya Agano ambalo \nd Bwana\nd* alikuwa amefanya na Daudi, \nd Bwana\nd* hakuwa radhi kuangamiza nyumba ya Daudi. Mungu alikuwa ameahidi kuidumisha taa kwa ajili yake na wazao wake milele.

CH2 21:8 Removed trailing space in v~: Wakati wa Yehoramu, Edomu waliasi dhidi ya Yuda na kujiwekea mfalme wao wenyewe.

CH2 21:9 Removed trailing space in v~: Basi Yehoramu akaenda huko pamoja na maafisa wake na magari yake ya vita. Waedomu wakamzunguka yeye na majemadari wake wa magari yake ya vita, lakini akaondoka, akapenya usiku na kuwashambulia Waedomu.

CH2 21:10 Removed trailing space in v~: Hadi leo Edomu wameasi dhidi ya Yuda.

CH2 21:10 Removed trailing space in p~: Libna pia wakaasi wakati huo huo kwa sababu Yehoramu alikuwa amemwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zake.

CH2 21:11 Removed trailing space in v~: Alikuwa pia ametengeneza mahali pa juu pa kuabudia miungu katika vilima vya Yuda na akawa amewasababisha watu wa Yerusalemu kufanya uzinzi na akawa amewapotosha watu wa Yuda.

CH2 21:12 Removed trailing space in v~: Yehoramu akapokea barua kutoka kwa nabii Eliya iliyosema:

CH2 21:12 Removed trailing space in p~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Daudi baba yako, asemalo: ‘Hukuenenda katika njia za Yehoshafati baba yako au za Asa mfalme wa Yuda.

CH2 21:13 Removed trailing space in v~: Lakini umeenenda katika njia za wafalme wa Israeli, nawe umewaongoza Yuda na watu wa Yerusalemu kuzini, kama vile nyumba ya Ahabu ilivyofanya. Pia umewaua ndugu zako mwenyewe, watu wa nyumbani mwa baba yako, watu waliokuwa bora kuliko wewe.

CH2 21:14 Removed trailing space in v~: Hivyo basi \nd Bwana\nd* yu karibu kuwapiga watu wako, wanao, wake zako na kila kitu kilicho chako, kwa pigo zito.

CH2 21:15 Removed trailing space in v~: Wewe mwenyewe utaugua sana kwa ugonjwa wa tumbo kwa muda mrefu, hadi ugonjwa utakaposababisha matumbo yako kutoka nje.’ ”

CH2 21:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaamsha chuki ya Wafilisti na ya Waarabu walioishi karibu na Wakushi dhidi ya Yehoramu.

CH2 21:17 Removed trailing space in v~: Wakaishambulia Yuda, wakaivamia na kuchukua mali zote zilizopatikana katika jumba la mfalme pamoja na wanawe na wake zake. Hakubakiziwa mwana yeyote isipokuwa Ahazia aliyekuwa mdogo wa wote.

CH2 21:18 Removed trailing space in v~: Baada ya mambo haya yote, \nd Bwana\nd* akampiga Yehoramu kwa ugonjwa usioponyeka wa matumbo.

CH2 21:19 Removed trailing space in v~: Ikawa baada ya muda, mwisho wa mwaka wa pili, matumbo yake yakatoka nje kwa sababu ya ugonjwa, naye akafa katika maumivu makali sana. Watu wake hawakuwasha moto kwa heshima yake, kama walivyokuwa wamewafanyia baba zake.

CH2 21:20 Removed trailing space in v~: Yehoramu alikuwa na umri wa miaka thelathini na miwili alipokuwa mfalme, naye akatawala huko Yerusalemu miaka minane. Akafa, bila kusikitikiwa na mtu yeyote, naye akazikwa katika Mji wa Daudi, lakini si katika makaburi ya wafalme.

CH2 22:0 Extra space after chapter number

CH2 22:0 Removed trailing space in c: 22

CH2 22:0 Removed trailing space in s1: Ahazia Mfalme Wa Yuda

CH2 22:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 8:25-29; 9:21-28)

CH2 22:1 Removed trailing space in v~: Watu wa Yerusalemu wakamfanya Ahazia, mdogo wa wote wa wana wa Yerohamu, kuwa mfalme mahali pa baba yake, kwa sababu washambuliaji wa ghafula waliokuwa wameingia kambini pamoja na Waarabu, walikuwa wamewaua wana wakubwa wote wa Yehoramu. Kwa hiyo Ahazia mwana wa Yehoramu mfalme wa Yuda akaanza kutawala.

CH2 22:2 Removed trailing space in v~: Ahazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala katika Yerusalemu kwa mwaka mmoja. Mama yake aliitwa Athalia, mjukuu wa Omri.

CH2 22:3 Removed trailing space in v~: Ahazia naye akaenenda katika njia za nyumba ya Ahabu, kwa sababu mama yake alimshawishi katika kutenda maovu.

CH2 22:4 Removed trailing space in v~: Akafanya yaliyo maovu machoni pa \nd Bwana\nd* kama walivyokuwa wamefanya nyumba ya Ahabu, kwa kuwa baada ya kufa kwa baba yake nyumba ya Ahabu ndio waliokuwa washauri wake, kwa uangamivu wake.

CH2 22:5 Removed trailing space in v~: Pia akafuata shauri lao alipokwenda pamoja na Yoramu mwana wa Ahabu mfalme wa Israeli kupigana na Hazaeli mfalme wa Aramu huko Ramoth-Gileadi. Waaramu wakamjeruhi Yoramu.

CH2 22:6 Removed trailing space in v~: Hivyo akarudi Yezreeli ili apate kuuguza majeraha aliyojeruhiwa huko Ramothi\f + \fr 22:6 \ft Yaani Rama kwa Kiebrania.\f* alipopigana na Hazaeli mfalme wa Aramu.

CH2 22:6 Removed trailing space in p~: Ndipo Ahazia mwana wa Yehoramu, mfalme wa Yuda, akashuka kwenda Yezreeli kumtazama Yoramu mwana wa Ahabu, kwa sababu alikuwa amejeruhiwa.

CH2 22:7 Removed trailing space in v~: Mungu alikuwa ameamuru kwamba kuanguka kwa Ahazia kungetokea atakapokwenda kumwona Yoramu. Ahazia alipowasili, wakatoka pamoja na Yoramu ili kwenda kukutana na Yehu mwana wa Nimshi, ambaye \nd Bwana\nd* alikuwa amemtia mafuta kuangamiza nyumba ya Ahabu.

CH2 22:8 Removed trailing space in v~: Yehu alipokuwa anatekeleza hukumu juu ya nyumba ya Ahabu, akawakuta wakuu wa Yuda na wana wa jamaa ya Ahazia waliokuwa wanamhudumia Ahazia, naye akawaua.

CH2 22:9 Removed trailing space in v~: Ndipo akaenda kumsaka Ahazia, nao watu wake wakamkamata alipokuwa amejificha huko Samaria. Akaletwa kwa Yehu, naye Yehu akamuua. Wakamzika kwani walisema, “Alikuwa mwana wa Yehoshafati, ambaye alimtafuta \nd Bwana\nd* kwa moyo wake wote.” Hivyo hapakuwa na mtu mwenye uwezo katika nyumba ya Ahazia aliyeweza kushika ufalme.

CH2 22:9 Removed trailing space in s1: Athalia Na Yoashi

CH2 22:9 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 11:1-3)

CH2 22:10 Removed trailing space in v~: Wakati Athalia mamaye Ahazia alipoona kuwa mwanawe amekufa, akainuka na kuiangamiza jamaa yote ya mfalme ya nyumba ya Yuda.

CH2 22:11 Removed trailing space in v~: Lakini Yehosheba, binti wa Mfalme Yehoramu, akamtwaa Yoashi mwana wa Ahazia kwa siri kutoka miongoni mwa wana wa mfalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamweka Yoashi pamoja na yaya wake ndani ya chumba cha kulala. Kwa kuwa Yehosheba, aliyekuwa binti wa Mfalme Yehoramu, na pia alikuwa mke wa kuhani Yehoyada, alikuwa dada yake Ahazia, akamficha huyo mtoto ili Athalia asimuue.

CH2 22:12 Removed trailing space in v~: Alibaki amefichwa pamoja nao katika Hekalu la Mungu kwa muda wa miaka sita wakati Athalia alikuwa akitawala nchi.

CH2 23:0 Extra space after chapter number

CH2 23:0 Removed trailing space in c: 23

CH2 23:0 Removed trailing space in s1: Uasi Dhidi Ya Athalia

CH2 23:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 11:4-20)

CH2 23:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa saba, Yehoyada akaonyesha nguvu zake. Alifanya agano na wakuu wa vikosi vya mamia: yaani Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.

CH2 23:2 Removed trailing space in v~: Wakazunguka katika Yuda yote na kukusanya Walawi na viongozi wa jamaa za Israeli kutoka miji yote. Walipofika Yerusalemu,

CH2 23:3 Removed trailing space in v~: kusanyiko lote likafanya agano na mfalme katika Hekalu la Mungu.

CH2 23:3 Removed trailing space in p~: Yehoyada akawaambia, “Mwana wa mfalme atatawala, kama \nd Bwana\nd* alivyoahidi kuhusu wazao wa Daudi.

CH2 23:4 Removed trailing space in v~: Basi hivi ndivyo iwapasavyo kufanya: Theluthi yenu makuhani na Walawi ambao mnaingia zamu siku ya Sabato mtalinda milangoni,

CH2 23:5 Removed trailing space in v~: theluthi yenu mtalinda jumba la kifalme, na theluthi nyingine mtalinda Lango la Msingi. Walinzi wengine wote mwe ndani ya nyua za Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 23:6 Removed trailing space in v~: Hakuna mtu yeyote ataingia katika Hekalu la \nd Bwana\nd* isipokuwa makuhani na Walawi walioko kwenye zamu. Wao wanaweza kuingia kwa sababu ni watakatifu, lakini watu wengine wote itawapasa kulinda kile walichoamriwa na \nd Bwana\nd*.

CH2 23:7 Removed trailing space in v~: Walawi watajipanga kumzunguka mfalme, kila mtu akiwa na silaha zake mkononi. Mtu mwingine yeyote aingiaye Hekaluni lazima auawe. Kaeni karibu na mfalme popote aendapo.”

CH2 23:8 Removed trailing space in v~: Walawi na watu wote wa Yuda wakafanya kama vile kuhani Yehoyada aliagiza. Kila mmoja akawachukua watu wake, wale waliokuwa wakiingia zamu siku ya Sabato na wale waliokuwa wakienda mapumziko, kwa sababu kuhani Yehoyada hakuruhusu kikosi chochote kiondoke.

CH2 23:9 Removed trailing space in v~: Kisha akawapa wakuu wa vikosi vya mamia mikuki na ngao kubwa na ndogo zilizokuwa za Mfalme Daudi, zilizokuwa ndani ya Hekalu la Mungu.

CH2 23:10 Removed trailing space in v~: Akawapanga walinzi wote kumzunguka mfalme, kila mmoja akiwa na silaha yake mkononi mwake, karibu na madhabahu na Hekalu, kuanzia upande wa kusini hadi upande wa kaskazini mwa Hekalu.

CH2 23:11 Removed trailing space in v~: Yehoyada na wanawe wakamtoa Yoashi mwana wa mfalme nje na kumvika taji. Wakampa nakala ya agano na kumtangaza kuwa mfalme. Wakamtia mafuta na kupaza sauti, wakisema, “Mfalme aishi maisha marefu!”

CH2 23:12 Removed trailing space in v~: Athalia aliposikia kelele za watu wakikimbia na kumsifu mfalme, akawaendea watu katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 23:13 Removed trailing space in v~: Athalia akaangalia, tazama alikuwepo mfalme akiwa amesimama karibu na nguzo yake kwenye ingilio. Maafisa na wapiga tarumbeta walikuwa kando ya mfalme, nao watu wote wa nchi walikuwa wanashangilia na kupiga tarumbeta na waimbaji wakiwa na vyombo vya uimbaji, walikuwa wakiongoza nyimbo za sifa. Ndipo Athalia akararua mavazi yake na kupiga kelele, akisema, “Uhaini! Uhaini!”

CH2 23:14 Removed trailing space in v~: Kuhani Yehoyada akawatuma majemadari wa vikosi vya mamia, waliokuwa viongozi wa jeshi, na kuwaambia: “Mleteni nje kati ya safu, na mkamuue kwa upanga yeyote anayemfuata.” Kwa kuwa kuhani alikuwa amesema, “Msimuulie ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd*.”

CH2 23:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakamkamata alipofika kwenye ingilio la Lango la Farasi katika viwanja vya jumba la mfalme wakamuulia hapo.

CH2 23:16 Removed trailing space in v~: Kisha Yehoyada akafanya agano kwamba yeye na watu wote na mfalme watakuwa watu wa \nd Bwana\nd*.

CH2 23:17 Removed trailing space in v~: Kisha watu wote wakaenda kwenye hekalu la Baali na kulibomoa. Wakavunjavunja madhabahu pamoja na sanamu na kumuua Matani kuhani wa Baali mbele ya hayo madhabahu.

CH2 23:18 Removed trailing space in v~: Kisha Yehoyada akaweka uangalizi wa Hekalu la \nd Bwana\nd* mikononi mwa makuhani, waliokuwa Walawi, ambao Mfalme Daudi alikuwa amewagawa ili wahudumu hekaluni kwa ajili ya kutoa sadaka za kuteketezwa za \nd Bwana\nd* kama ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, kwa kushangilia na kuimba kama Daudi alivyokuwa ameagiza.

CH2 23:19 Removed trailing space in v~: Pia akawaweka mabawabu kwenye malango ya Hekalu la \nd Bwana\nd* ili kwamba kwa vyovyote asije akaingia mtu yeyote aliye najisi.

CH2 23:20 Removed trailing space in v~: Akawachukua majemadari wa mamia, watu waheshimiwa, viongozi wa watu pamoja na watu wote wa nchi na kumteremsha mfalme kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd*. Wakaingia kwenye jumba la mfalme kupitia Lango la Juu na kumkalisha mfalme kwenye kiti cha enzi,

CH2 23:21 Removed trailing space in v~: nao watu wote wa nchi wakafurahi. Mji ukatulia kwa sababu Athalia alikuwa ameuawa kwa upanga.

CH2 24:0 Extra space after chapter number

CH2 24:0 Removed trailing space in c: 24

CH2 24:0 Removed trailing space in s1: Yoashi Akarabati Hekalu

CH2 24:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 12:1-16)

CH2 24:1 Removed trailing space in v~: Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka arobaini. Mama yake aliitwa Sibia aliyekuwa ametoka Beer-Sheba.

CH2 24:2 Removed trailing space in v~: Yoashi akafanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd* miaka yote ya Yehoyada kuhani.

CH2 24:3 Removed trailing space in v~: Yehoyada akamwoza wake wawili, akazaa watoto wa kiume na wa kike.

CH2 24:4 Removed trailing space in v~: Baada ya muda, Yoashi akaamua kukarabati Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 24:5 Removed trailing space in v~: Akawaita pamoja makuhani na Walawi akawaambia, “Nendeni katika miji ya Yuda mkakusanye fedha wanazopaswa kulipa kila mwaka kutoka kwa Israeli wote, ili kukarabati Hekalu la Mungu wenu. Fanyeni hivyo sasa.” Lakini Walawi hawakufanya upesi.

CH2 24:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mfalme akamwita Yehoyada kuhani mkuu na kumwambia, “Kwa nini hukuwaambia Walawi walete kutoka Yuda na Yerusalemu kodi iliyowekwa na Mose mtumishi wa \nd Bwana\nd* pamoja na kusanyiko la Israeli kwa ajili ya Hema ya Ushuhuda?”

CH2 24:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wana wa yule mwanamke mwovu Athalia, walikuwa wamevunja na kuingia katika Hekalu la Mungu, nao wakawa wamevitumia hata vile vitu vilivyowekwa wakfu kwa \nd Bwana\nd* kwa mabaali.

CH2 24:8 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya mfalme, likatengenezwa kasha, nalo likawekwa nje kwenye lango la Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 24:9 Removed trailing space in v~: Tangazo likatolewa katika Yuda na Yerusalemu kwamba inapasa wamletee \nd Bwana\nd* kodi ile ambayo Mose, mtumishi wa \nd Bwana\nd* alikuwa amewaagiza Israeli huko jangwani.

CH2 24:10 Removed trailing space in v~: Maafisa wote na watu wote wakaleta michango yao kwa furaha, wakaweka kwenye kasha mpaka likajaa.

CH2 24:11 Removed trailing space in v~: Ikawa kila wakati kasha lilipoletwa ndani na Walawi kwa maafisa wa mfalme na kuona kwamba kuna kiasi kikubwa cha fedha, mwandishi wa mfalme na afisa wa kuhani mkuu walikuwa wanakuja na kumimina, kisha kulirudisha mahali pake. Walifanya hivi mara kwa mara, nao wakakusanya fedha nyingi sana.

CH2 24:12 Removed trailing space in v~: Mfalme na Yehoyada wakawapa wale watu waliofanya kazi iliyotakiwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd*. Wakawaajiri waashi na maseremala ili kutengeneza Hekalu la \nd Bwana\nd*, pia wafanyakazi za chuma na shaba ili kukarabati Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 24:13 Removed trailing space in v~: Watu walioshughulika na kazi walikuwa wenye bidii, nayo kazi ya kukarabati ikaendelea vizuri mikononi mwao. Wakalitengeneza upya Hekalu la \nd Bwana\nd* likarudi katika hali yake ya awali na kuliimarisha.

CH2 24:14 Removed trailing space in v~: Walipokamilisha kazi hiyo ya kukarabati, wakaleta fedha zilizobaki wakampa mfalme na Yehoyada, nao kwa hizo wakatengeneza vyombo kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd*: Vyombo kwa ajili ya huduma na kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, pia mabakuli na vitu vingine vya dhahabu na fedha. Wakati wote Yehoyada alipokuwa hai, sadaka za kuteketezwa zilitolewa wakati wote katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 24:15 Removed trailing space in v~: Basi Yehoyada alikuwa mzee aliyeshiba siku wakati alipofariki. Alikufa akiwa na umri wa miaka 130.

CH2 24:16 Removed trailing space in v~: Wakamzika pamoja na wafalme katika Mji wa Daudi, kwa sababu ya mema aliyokuwa ametenda katika Israeli kwa ajili ya Mungu na Hekalu lake.

CH2 24:16 Removed trailing space in s1: Uovu Wa Yoashi

CH2 24:17 Removed trailing space in v~: Baada ya kifo cha Yehoyada, wakuu wa Yuda walikuja kumpa mfalme heshima, naye akawasikiliza.

CH2 24:18 Removed trailing space in v~: Wakaacha Hekalu la \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, wakaabudu nguzo za maashera na sanamu. Kwa sababu ya hatia yao, hasira ya Mungu ikawajia Yuda na Yerusalemu.

CH2 24:19 Removed trailing space in v~: Ingawa \nd Bwana\nd* aliwatuma manabii wawarudishe watu kwake na ingawa waliwaonya, hawakuwasikiliza.

CH2 24:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho wa \nd Bwana\nd* akaja juu ya Zekaria mwana wa Yehoyada kuhani. Akasimama mbele ya watu akasema, “Hili ndilo asemalo Mungu, ‘Kwa nini mnakataa kuzitii amri za \nd Bwana\nd*? Hamtafanikiwa kwa kuwa mmemwacha \nd Bwana\nd*, yeye naye amewaacha ninyi.’ ”

CH2 24:21 Removed trailing space in v~: Lakini wakafanya shauri baya juu yake na kwa amri ya mfalme wakampiga kwa mawe mpaka akafa katika ukumbi wa Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 24:22 Removed trailing space in v~: Mfalme Yoashi hakukumbuka wema aliotendewa na Yehoyada baba yake Zekaria ila alimuua mwanawe, ambaye alisema wakati akiwa amelala akingojea kufa, “\nd Bwana\nd* na alione hili na alipize kisasi.”

CH2 24:23 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa ule mwaka, jeshi la Waaramu likaja dhidi ya Yoashi, likavamia Yuda na Yerusalemu na kuwaua viongozi wote wa watu. Wakapeleka nyara zao zote kwa mfalme wao huko Dameski.

CH2 24:24 Removed trailing space in v~: Ingawa jeshi la Waaramu lilikuwa limekuja na watu wachache tu, \nd Bwana\nd* akatia mikononi mwao jeshi kubwa kuliko lao. Kwa sababu Yuda walikuwa wamemwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, hukumu ilitekelezwa juu ya Yoashi.

CH2 24:25 Removed trailing space in v~: Waaramu walipoondoka, walimwacha Yoashi akiwa mgonjwa sana. Maafisa wake wakafanya hila dhidi yake kwa sababu alikuwa amemuua mwana wa Kuhani Yehoyada, nao wakamuulia kitandani mwake. Hivyo akafa na wakamzika katika Mji wa Daudi, lakini si katika makaburi ya wafalme.

CH2 24:26 Removed trailing space in v~: Wale waliofanya hila mbaya dhidi yake walikuwa Zabadi, mwana wa Shimeathi mwanamke Mwamoni, Yehozabadi, mwana wa Shimrithi mwanamke Mmoabu.

CH2 24:27 Removed trailing space in v~: Kwa habari za wanawe, unabii mwingi kumhusu na kumbukumbu za kutengenezwa upya kwa Hekalu la Mungu, zimeandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme. Amazia mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 25:0 Extra space after chapter number

CH2 25:0 Removed trailing space in c: 25

CH2 25:0 Removed trailing space in s1: Amazia Mfalme Wa Yuda

CH2 25:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 14:2-20)

CH2 25:1 Removed trailing space in v~: Amazia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Yehoadani kutoka Yerusalemu.

CH2 25:2 Removed trailing space in v~: Akatenda yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd*, lakini sio kwa moyo wake wote.

CH2 25:3 Removed trailing space in v~: Baada ya ufalme kuimarika mikononi mwake, aliwaua maafisa waliomuua mfalme baba yake.

CH2 25:4 Removed trailing space in v~: Hata hivyo hakuwaua watoto wao, lakini akafanya sawasawa na ilivyoandikwa katika Sheria, katika Kitabu cha Mose, ambako \nd Bwana\nd* aliamuru: “Baba hawatauawa kwa ajili ya watoto wao, wala watoto hawatauawa kwa ajili ya baba zao. Kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”

CH2 25:5 Removed trailing space in v~: Amazia akawaita watu wa Yuda pamoja, akawaweka chini ya majemadari wa maelfu na majemadari wa mamia kufuatana na jamaa zao katika Yuda yote na Benyamini. Kisha akawahesabu wale wenye umri wa miaka ishirini au zaidi na akakuta kwamba walikuwa wanaume 300,000 watu walio tayari kwa utumishi wa jeshi, walio na uwezo wa kutumia mkuki na ngao.

CH2 25:6 Removed trailing space in v~: Akawaajiri pia watu 100,000 wapiganaji kutoka Israeli kwa talanta 100 za fedha.\f + \fr 25:6 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.\f*

CH2 25:7 Removed trailing space in v~: Lakini mtu wa Mungu akamjia na kumwambia, “Ee mfalme, haya majeshi kutoka Israeli kamwe usiyaruhusu yaende pamoja na wewe kwa kuwa \nd Bwana\nd* hayuko pamoja na Israeli, wala hayupo pamoja na yeyote wa watu wa Efraimu.

CH2 25:8 Removed trailing space in v~: Hata kama ukienda na kupigana kwa ujasiri katika vita, Mungu atakufanya ukimbie mbele ya adui, kwa kuwa Mungu anao uwezo wa kusaidia au wa kuangusha.”

CH2 25:9 Removed trailing space in v~: Amazia akamuuliza yule mtu wa Mungu, “Lakini itakuwaje kwa zile talanta 100 za fedha nilizolipa kwa ajili ya haya majeshi ya Israeli?”

CH2 25:9 Removed trailing space in p~: Yule mtu wa Mungu akajibu, “\nd Bwana\nd* aweza kukupa zaidi sana ya hizo.”

CH2 25:10 Removed trailing space in v~: Hivyo Amazia akayaondoa yale majeshi yaliyokuwa yamekuja kutoka Efraimu na kuyarudisha nyumbani. Waliwakasirikia sana Yuda, nao wakarudi nyumbani wakiwa na hasira kali.

CH2 25:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Amazia akajitia nguvu na kuliongoza jeshi lake kwenye Bonde la Chumvi, ambako aliua watu 10,000 wa Seiri.

CH2 25:12 Removed trailing space in v~: Jeshi la Yuda pia likawateka watu 10,000 wakiwa hai, likawapandisha juu ya jabali na kuwatupa chini kwa nguvu hata wote wakavunjika vipande vipande.

CH2 25:13 Removed trailing space in v~: Wakati huo yale majeshi Amazia aliyoyarudisha na ambayo hakuyaruhusu kushiriki katika vita, yalivamia miji ya Yuda kuanzia Samaria hata Beth-Horoni. Yakawaua watu 3,000 na kuchukua kiasi kikubwa sana cha mateka.

CH2 25:14 Removed trailing space in v~: Amazia aliporudi kutoka kuwachinja Waedomu, alileta pia kutoka huko miungu ya watu wa Seiri. Akaisimamisha kama miungu yake mwenyewe, akaisujudia na kuitolea kafara za kuteketezwa.

CH2 25:15 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* ikawaka dhidi ya Amazia, naye akamtuma nabii kwake, ambaye alisema: “Kwa nini unauliza kwa miungu ya hawa watu, ambayo haikuweza kuwaokoa watu wake wenyewe kutoka mkononi mwako?”

CH2 25:16 Removed trailing space in v~: Wakati nabii alipokuwa angali anazungumza, mfalme akamwambia, “Je, wewe tumekuchagua kuwa mshauri wa mfalme? Nyamaza, ya nini uuawe?”

CH2 25:16 Removed trailing space in p~: Hivyo nabii akanyamaza lakini akasema, “Najua kuwa Mungu ameazimia kukuangamiza kwa sababu umefanya jambo hili na hukusikiliza shauri langu.”

CH2 25:17 Removed trailing space in v~: Baada ya Amazia mfalme wa Yuda kushauriana na washauri wake akatuma ujumbe kwa Yehoashi, mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu, mfalme wa Israeli kusema: “Njoo tukabiliane uso kwa uso.”

CH2 25:18 Removed trailing space in v~: Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akamjibu Amazia mfalme wa Yuda, “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma ujumbe kwa mwerezi uliokuwa Lebanoni, ‘Mtoe binti yako aolewe na mwanangu.’ Kisha mnyama wa mwituni aliyekuwa Lebanoni akaja na kuukanyaga ule mbaruti.

CH2 25:19 Removed trailing space in v~: Wewe unasema moyoni mwako kwamba umemshinda Edomu, nawe sasa unajigamba na kujivuna. Lakini kaa nyumbani kwako! Kwa nini utafute matatizo na kujiletea anguko lako mwenyewe na la Yuda pia?”

CH2 25:20 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Amazia hakutaka kusikia, kwa kuwa Mungu alifanya hivyo ili awatie mikononi mwa Yehoashi, kwa sababu waliitafuta miungu ya Edomu.

CH2 25:21 Removed trailing space in v~: Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea kuwashambulia. Yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakabiliana uso kwa uso huko Beth-Shemeshi katika Yuda.

CH2 25:22 Removed trailing space in v~: Yuda ikashindwa na Israeli na kila mtu akakimbilia nyumbani kwake.

CH2 25:23 Removed trailing space in v~: Yehoashi mfalme wa Israeli akamteka Amazia mfalme wa Yuda, mwana wa Yoashi, mwana wa Ahazia, huko Beth-Shemeshi. Kisha Yehoashi akamleta Yerusalemu na kuubomoa ukuta wa Yerusalemu kuanzia lango la Efraimu hadi Lango la Pembeni, sehemu yenye urefu wa kama dhiraa 400.\f + \fr 25:23 \ft Dhiraa 400 ni sawa na mita 180.\f*

CH2 25:24 Removed trailing space in v~: Akachukua dhahabu yote, fedha na vyombo vyote vilivyopatikana katika Hekalu la Mungu, ambavyo vilikuwa chini ya uangalizi wa Obed-Edomu, pamoja na hazina za jumba la mfalme na mateka, kisha akarudi Samaria.

CH2 25:25 Removed trailing space in v~: Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda aliishi miaka kumi na mitano baada ya kifo cha Yehoashi mwana wa Yehoahazi mfalme wa Israeli.

CH2 25:26 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya matukio mengine katika utawala wa Amazia, kuanzia mwanzo hadi mwisho, je, hayakuandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na wa Israeli?

CH2 25:27 Removed trailing space in v~: Kuanzia wakati ule Amazia alipogeuka na kuacha kumfuata \nd Bwana\nd* walifanya shauri baya dhidi yake huko Yerusalemu naye akakimbilia Lakishi, lakini wakawatuma watu wamfuatilie huko Lakishi nao wakamuulia huko.

CH2 25:28 Removed trailing space in v~: Akarudishwa kwa farasi na akazikwa pamoja na baba zake katika Mji wa Yuda.

CH2 26:0 Extra space after chapter number

CH2 26:0 Removed trailing space in c: 26

CH2 26:0 Removed trailing space in s1: Uzia Mfalme Wa Yuda

CH2 26:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 14:21-22; 15:1-7)

CH2 26:1 Removed trailing space in v~: Kisha watu wote wa Yuda wakamtwaa Uzia, aliyekuwa na umri wa miaka kumi na sita, nao wakamfanya mfalme mahali pa Amazia baba yake.

CH2 26:2 Removed trailing space in v~: Ndiye alijenga upya Elathi kuirudisha kwa Yuda baada ya Amazia kulala pamoja na baba zake.

CH2 26:3 Removed trailing space in v~: Uzia alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka hamsini na miwili. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalemu.

CH2 26:4 Removed trailing space in v~: Akatenda yaliyo mema machoni pa Bwana, kama Amazia baba yake alivyofanya.

CH2 26:5 Removed trailing space in v~: Akamtafuta Mungu katika siku za Zekaria, aliyemwelekeza kumcha Mungu. Wakati wote alipomtafuta \nd Bwana\nd*, Mungu alimfanikisha.

CH2 26:6 Removed trailing space in v~: Alipigana vita dhidi ya Wafilisti na kubomoa kuta za Gathi, Yabne na Ashdodi. Kisha akajenga upya miji karibu na Ashdodi na mahali pengine katikati ya Wafilisti.

CH2 26:7 Removed trailing space in v~: Mungu akamsaidia dhidi ya Wafilisti na dhidi ya Waarabu walioishi Gur-Baali na dhidi ya Wameuni.

CH2 26:8 Removed trailing space in v~: Waamoni wakamletea Uzia ushuru, umaarufu wake ukaenea hadi kwenye mpaka wa Misri, kwa sababu alikuwa amekuwa na nguvu sana.

CH2 26:9 Removed trailing space in v~: Uzia akajenga minara huko Yerusalemu katika Lango la Pembeni, katika Lango la Bondeni na katika pembe, mahali kuta zikutanapo, kisha akaijengea ngome.

CH2 26:10 Removed trailing space in v~: Akajenga pia minara jangwani na kuchimba visima vingi vya maji, kwa sababu alikuwa na mifugo mingi chini ya vilimani na kwenye nchi tambarare. Alikuwa na watu wanaofanya kazi katika mashamba yake na kwenye mashamba yake ya mizabibu huko vilimani na katika ardhi zenye rutuba, kwa kuwa aliupenda udongo.

CH2 26:11 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Uzia alikuwa na jeshi lililofunzwa vizuri, lililokuwa tayari kwenda vitani kwa vikosi kufuatana na idadi yao kama walivyokusanywa na Yeieli mwandishi na Maaseya msimamizi chini ya maelekezo ya Hanania, mmojawapo wa maafisa wa mfalme.

CH2 26:12 Removed trailing space in v~: Idadi yote ya viongozi wa jamaa waliowaongoza hawa wapiganaji walikuwa 2,600.

CH2 26:13 Removed trailing space in v~: Chini ya uongozi wao kulikuwa na jeshi la askari 307,500 watu waliofundishwa kwa ajili ya vita, jeshi lenye nguvu la kumsaidia mfalme dhidi ya adui zake.

CH2 26:14 Removed trailing space in v~: Uzia akalipatia jeshi lote ngao, mikuki, chapeo, dirii, pinde na mawe ya kombeo.

CH2 26:15 Removed trailing space in v~: Huko Yerusalemu watu wenye utaalamu mkubwa wakatengeneza mitambo iliyotumika katika minara na kwenye pembe za ulinzi ili kurusha mishale na kuvurumisha mawe makubwa. Sifa zake zikaenea mbali sana kwa sababu alisaidiwa mno mpaka akawa na nguvu sana.

CH2 26:16 Removed trailing space in v~: Lakini baada ya Uzia kuwa na nguvu sana, majivuno yake yakamsababishia kuanguka. Alikosa uaminifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wake, naye akaingia hekaluni mwa \nd Bwana\nd* ili afukize uvumba kwenye madhabahu ya kufukizia uvumba.

CH2 26:17 Removed trailing space in v~: Azaria kuhani akiwa pamoja na makuhani wengine themanini wa \nd Bwana\nd* wenye ujasiri wakamfuata huko ndani.

CH2 26:18 Removed trailing space in v~: Wakamkabili na kumwambia, “Siyo sawa kwako, Uzia, kumfukizia \nd Bwana\nd* uvumba. Hiyo ni kazi ya makuhani, wazao wa Aroni, ambao wamewekwa wakfu ili kufukiza uvumba. Ondoka mahali patakatifu, kwa kuwa umekosa uaminifu nawe hutaheshimiwa na \nd Bwana\nd*.”

CH2 26:19 Removed trailing space in v~: Uzia, ambaye alikuwa na chetezo mkononi mwake tayari kufukiza uvumba, akakasirika. Alipokuwa anawaghadhibikia makuhani mbele ya madhabahu ya kufukizia uvumba katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, ukoma ukamtokea penye kipaji chake cha uso.

CH2 26:20 Removed trailing space in v~: Azaria kuhani mkuu pamoja na makuhani wengine wote walipomtazama wakaona kwamba alikuwa na ukoma penye kipaji chake cha uso wakaharakisha kumtoa nje. Naam, hata yeye mwenyewe alikuwa anatamani kuondoka kwa sababu \nd Bwana\nd* alikuwa amempiga.

CH2 26:21 Removed trailing space in v~: Mfalme Uzia alikuwa na ukoma mpaka siku ya kufa kwake. Akatengwa katika nyumba ya pekee akiwa mwenye ukoma, naye akawa ametengwa kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd*. Yothamu mwanawe akawa msimamizi wa jumba la mfalme, pia akawaongoza watu wa nchi.

CH2 26:22 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Uzia, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yameandikwa na nabii Isaya mwana wa Amozi.

CH2 26:23 Removed trailing space in v~: Uzia akalala pamoja na baba zake, naye akazikwa karibu nao katika shamba la kuzikia lililokuwa mali ya wafalme, kwa kuwa watu walisema, “Alikuwa na ukoma.” Yothamu mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 27:0 Extra space after chapter number

CH2 27:0 Removed trailing space in c: 27

CH2 27:0 Removed trailing space in s1: Yothamu Mfalme Wa Yuda

CH2 27:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 15:32-38)

CH2 27:1 Removed trailing space in v~: Yothamu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita. Mama yake aliitwa Yerusha binti Sadoki.

CH2 27:2 Removed trailing space in v~: Akafanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd* kama Uzia baba yake alivyokuwa amefanya, lakini tofauti na yeye, hakuingilia huduma za hekaluni mwa \nd Bwana\nd*. Lakini hata hivyo, watu wakaendelea na desturi zao mbaya.

CH2 27:3 Removed trailing space in v~: Yothamu akajenga upya Lango la Juu la Hekalu la \nd Bwana\nd* na kufanya kazi kubwa kwenye ukuta katika kilima cha Ofeli.

CH2 27:4 Removed trailing space in v~: Akajenga miji katika vilima vya Yuda pamoja na ngome na minara mwituni.

CH2 27:5 Removed trailing space in v~: Yothamu akafanya vita na mfalme wa Waamoni na kumshinda. Mwaka ule Waamoni wakamlipa talanta 100\f + \fr 27:5 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.\f* za fedha, kori 10,000\f + \fr 27:5 \ft Kori 10,000 za ngano ni sawa na tani 2.2.\f* za ngano na kori 10,000 za shayiri. Waamoni wakamletea kiasi hicho hicho mwaka wa pili na wa tatu.

CH2 27:6 Removed trailing space in v~: Yothamu akaendelea kuwa na nguvu kwa sababu alienenda kwa ukamilifu mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wake.

CH2 27:7 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yothamu, pamoja na vita vyake vyote na vitu vingine alivyofanya, vimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda.

CH2 27:8 Removed trailing space in v~: Alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na sita.

CH2 27:9 Removed trailing space in v~: Yothamu akalala na baba zake na akazikwa katika Mji wa Daudi. Naye Ahazi mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 28:0 Extra space after chapter number

CH2 28:0 Removed trailing space in c: 28

CH2 28:0 Removed trailing space in s1: Ahazi Mfalme Wa Yuda

CH2 28:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 16:1-6)

CH2 28:1 Removed trailing space in v~: Ahazi alikuwa na miaka ishirini alipoanza kutawala. Akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na sita. Tofauti na Daudi baba yake, hakufanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd*.

CH2 28:2 Removed trailing space in v~: Akaenenda katika njia za wafalme wa Israeli, na pia akasubu sanamu kwa ajili ya kuabudu Mabaali.

CH2 28:3 Removed trailing space in v~: Akatoa sadaka za kuteketezwa katika Bonde la Ben-Hinomu, na kuwatoa wanawe kafara kwa kuwateketeza kwa moto, akifuata njia za machukizo za yale mataifa \nd Bwana\nd* aliyoyafukuza humo mbele ya Waisraeli.

CH2 28:4 Removed trailing space in v~: Akatoa sadaka na kufukiza uvumba katika mahali pa juu pa kuabudia miungu, juu ya vilima, na chini ya kila mti uliotanda.

CH2 28:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* Mungu wake akamtia mikononi mwa mfalme wa Aramu. Waaramu wakamshinda, wakachukua watu wake wengi mateka na kuwaleta mpaka Dameski.

CH2 28:5 Removed trailing space in p~: Tena alitiwa mikononi mwa mfalme wa Israeli, ambaye aliwaua watu wake wengi.

CH2 28:6 Removed trailing space in v~: Kwa siku moja Peka mwana wa Remalia aliwaua askari 120,000 katika Yuda, kwa kuwa Yuda walikuwa wamemwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao.

CH2 28:7 Removed trailing space in v~: Zikri, askari shujaa Mwefraimu, akamuua Maaseya mwana wa mfalme, Azrikamu mkuu wa jumba la kifalme na Elikana aliyekuwa wa pili kwa mfalme.

CH2 28:8 Removed trailing space in v~: Waisraeli wakawachukua mateka kutoka ndugu zao, watu wapatao 200,000 hawa wakiwa ni wanawake, watoto wa kiume na wa kike. Wakachukua pia kiasi kikubwa cha nyara, ambazo walirudi nazo Samaria.

CH2 28:9 Removed trailing space in v~: Lakini kulikuwako huko nabii wa \nd Bwana\nd* aliyeitwa Odedi, akaondoka ili kukutana na jeshi liliporejea Samaria. Akawaambia, “Kwa kuwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu, aliwakasirikia Yuda, aliwatia mikononi mwenu. Lakini mmewachinja kwa hasira ambayo imefika hadi mbinguni.

CH2 28:10 Removed trailing space in v~: Nanyi sasa mnakusudia kuwafanya wanaume na wanawake wa Yuda na Yerusalemu watumwa wenu. Lakini ninyi je, hamna pia hatia ya dhambi mliyotenda dhidi ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu?

CH2 28:11 Removed trailing space in v~: Basi nisikilizeni! Mkawarudishe mateka mliowachukua kutoka kwa ndugu zenu, kwa kuwa hasira kali ya \nd Bwana\nd* iko juu yenu.”

CH2 28:12 Removed trailing space in v~: Ndipo baadhi ya viongozi katika Efraimu, yaani, Azaria mwana wa Yehohanani, Berekia mwana wa Meshilemothi, Yehizkia mwana wa Shalumu na Amasa mwana wa Hadlai, wakakubaliana na huyo nabii, hivyo wakawapinga wale waliokuwa wanawasili kutoka vitani.

CH2 28:13 Removed trailing space in v~: Wakamwambia, “Hamna ruhusa kuwaleta hao wafungwa hapa, ama sivyo tutakuwa na hatia mbele za \nd Bwana\nd*. Je, mnataka kuongezea dhambi yetu na hatia yetu? Kwa sababu hatia yetu tayari ni kubwa, nayo hasira kali ya \nd Bwana\nd* iko juu ya Israeli.”

CH2 28:14 Removed trailing space in v~: Hivyo wale askari wakawaacha wale mateka pamoja na nyara mbele ya hao maafisa na kusanyiko lote.

CH2 28:15 Removed trailing space in v~: Kisha watu waliotajwa kwa majina wakawachukua wale mateka na kutoka zile nyara, wakachukua mavazi wakawavika wale wafungwa wote waliokuwa uchi. Wakawapatia nguo na viatu, chakula na cha kunywa, wakawapa matibabu, wote waliokuwa dhaifu miongoni mwao wakawapandisha juu ya punda, wakawaleta ndugu zao mpaka Yeriko, ndio Mji wa Mitende, kisha wakarudi Samaria.

CH2 28:15 Removed trailing space in s1: Waashuru Wakataa Kusaidia Yuda

CH2 28:15 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 16:7-9)

CH2 28:16 Removed trailing space in v~: Wakati ule, Mfalme Ahazi akatuma wajumbe kwa mfalme wa Ashuru kuomba msaada.

CH2 28:17 Removed trailing space in v~: Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuwashambulia Yuda na kuchukua mateka.

CH2 28:18 Removed trailing space in v~: Pia Wafilisti walikuwa wameshambulia miji iliyokuwa chini ya vilima na katika miji ya Negebu ya Yuda. Nao wakawa wametwaa Beth-Shemeshi, Aiyaloni, Gederothi, Soko pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake, Gimzo pia pamoja na vijiji vyake na kuishi humo.

CH2 28:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* aliishusha Yuda kwa sababu ya Ahazi mfalme wa Israeli, kwa kuwa alikuwa ameongeza uovu katika Yuda na kumkosea \nd Bwana\nd* mno.

CH2 28:20 Removed trailing space in v~: Hivyo Tiglath-Pileseri mfalme wa Ashuru akaja kumtesa badala ya kumsaidia.

CH2 28:21 Removed trailing space in v~: Ahazi akachukua baadhi ya vitu kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd*, jumba la kifalme na kutoka kwa wakuu wake na kumpa mfalme wa Ashuru kama ushuru, lakini hilo halikumsaidia.

CH2 28:22 Removed trailing space in v~: Katika wakati wake wa mateso Mfalme Ahazi akazidi kukosa uaminifu kwa \nd Bwana\nd*.

CH2 28:23 Removed trailing space in v~: Akatoa kafara kwa miungu ya Dameski, waliokuwa wamemshinda, kwa kuwa aliwaza, “Kwa kuwa miungu ya mfalme wa Aramu imewasaidia wao, nitaitolea dhabihu ili inisaidie na mimi.” Lakini haya ndiyo yaliyokuwa maangamizi yake na Israeli wote.

CH2 28:24 Removed trailing space in v~: Ahazi akakusanya pamoja vyombo vya nyumba ya Mungu na kuvivunja vipande vipande. Akafunga milango ya Hekalu la \nd Bwana\nd* na kusimamisha madhabahu katika kila njia panda ya barabara za Yerusalemu.

CH2 28:25 Removed trailing space in v~: Katika kila mji wa Yuda akajenga mahali pa juu pa kuabudia miungu ili kutolea miungu mingine kafara za kuteketezwa na kuchochea hasira ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zake.

CH2 28:26 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wake na njia zake nyingine zote, tangu mwanzo hadi mwisho, zimeandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.

CH2 28:27 Removed trailing space in v~: Ahazi akalala na baba zake na akazikwa katika Mji wa Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Naye Hezekia mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 29:0 Extra space after chapter number

CH2 29:0 Removed trailing space in c: 29

CH2 29:0 Removed trailing space in s1: Hezekia Mfalme Wa Yuda

CH2 29:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 18:1-12)

CH2 29:1 Removed trailing space in v~: Hezekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka ishirini na tisa. Mama yake aliitwa Abiya binti Zekaria.

CH2 29:2 Removed trailing space in v~: Akafanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd* kama Daudi baba yake alivyofanya.

CH2 29:3 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa kwanza wa mwaka wa kwanza wa utawala wa alifungua milango ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, na kuikarabati.

CH2 29:4 Removed trailing space in v~: Akawaingiza makuhani na Walawi ndani na kuwakutanisha katika uwanja upande wa mashariki

CH2 29:5 Removed trailing space in v~: na kusema: “Nisikilizeni mimi, enyi Walawi! Jitakaseni nafsi zenu sasa, mkaitakase na nyumba ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu. Ondoeni uchafu wote kutoka mahali patakatifu.

CH2 29:6 Removed trailing space in v~: Baba zetu hawakuwa waaminifu, walifanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd* Mungu wetu na wakamwacha yeye. Wakageuza nyuso zao mbali na Maskani ya \nd Bwana\nd* wakamgeuzia visogo vyao.

CH2 29:7 Removed trailing space in v~: Pia walifunga milango ya ukumbi wa Hekalu na kuzima taa zake. Hawakufukiza uvumba wala kutoa sadaka yoyote ya kuteketezwa katika mahali patakatifu kwa Mungu wa Israeli.

CH2 29:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hasira ya \nd Bwana\nd* ikashuka juu ya Yuda na Yerusalemu, naye akawa amewafanya kitu cha kutisha, cha kushangaza na kitu cha kufanyia mzaha kama mnavyoona kwa macho yenu wenyewe.

CH2 29:9 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sababu baba zetu wameanguka kwa upanga na ndiyo sababu wana wetu na binti zetu, pia wake zetu wamekuwa mateka.

CH2 29:10 Removed trailing space in v~: Sasa ninadhamiria moyoni mwangu kuweka Agano na \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ili hasira yake kali igeuziwe mbali nasi.

CH2 29:11 Removed trailing space in v~: Wanangu, basi msipuuze jambo hili sasa, kwa kuwa \nd Bwana\nd* amewachagua ninyi msimame mbele zake na kumtumikia, mkawe watumishi wake na mkamfukizie uvumba.”

CH2 29:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Walawi wafuatao wakaanza kazi:

CH2 29:12 Removed trailing space in p~: Kutoka kwa Wakohathi,

CH2 29:12 Removed trailing space in p~: Mahathi mwana wa Amasai na Yoeli mwana wa Azaria;

CH2 29:12 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Wamerari,

CH2 29:12 Removed trailing space in p~: Kishi mwana wa Abdi na Azaria mwana wa Yahaleleli;

CH2 29:12 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Wagershoni,

CH2 29:12 Removed trailing space in p~: Yoa mwana wa Zima na Edeni mwana wa Yoa;

CH2 29:13 Removed trailing space in v~: kutoka kwa wana wa Elisafani,

CH2 29:13 Removed trailing space in p~: Shimri na Yeieli;

CH2 29:13 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wana wa Asafu,

CH2 29:13 Removed trailing space in p~: Zekaria na Matania;

CH2 29:14 Removed trailing space in v~: kutoka kwa wana wa Hemani,

CH2 29:14 Removed trailing space in p~: Yehieli na Shimei;

CH2 29:14 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wana wa Yeduthuni,

CH2 29:14 Removed trailing space in p~: Shemaya na Uzieli.

CH2 29:15 Removed trailing space in v~: Walipomaliza kuwakusanya ndugu zao na kujiweka wakfu, wakaingia ndani ili kutakasa Hekalu la \nd Bwana\nd*, kama vile mfalme alivyokuwa ameagiza, kwa kufuata neno la \nd Bwana\nd*.

CH2 29:16 Removed trailing space in v~: Makuhani wakaingia patakatifu pa Hekalu la \nd Bwana\nd* ili kupatakasa. Wakatoa nje penye ua wa Hekalu la Mungu kila kitu kichafu walichokikuta kwenye Hekalu la \nd Bwana\nd*. Walawi wakavichukua na kuvipeleka nje katika Bonde la Kidroni.

CH2 29:17 Removed trailing space in v~: Walianza kazi ya utakaso siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza na kufikia siku ya nane ya mwezi huo wakawa wamefikia kwenye ukumbi wa \nd Bwana\nd*. Kwa siku zingine nane wakalitakasa Hekalu lenyewe la \nd Bwana\nd* wakakamilisha katika siku ya kumi na sita ya mwezi huo wa kwanza.

CH2 29:18 Removed trailing space in v~: Kisha wakaingia ndani kwa Mfalme Hezekia kutoa habari na kusema: “Tumelitakasa Hekalu lote la \nd Bwana\nd*, madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa pamoja na vyombo vyake vyote, meza ya kupanga mikate iliyowekwa wakfu, pamoja na vyombo vyake vyote.

CH2 29:19 Removed trailing space in v~: Tumeviandaa na kuvitakasa vyombo vyote vile ambavyo Mfalme Ahazi, kwa kukosa uaminifu kwake, aliviondoa wakati alipokuwa mfalme. Sasa viko mbele ya madhabahu ya \nd Bwana\nd*.”

CH2 29:19 Removed trailing space in s1: Ibada Hekaluni Yarejeshwa

CH2 29:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Hezekia akainuka asubuhi na mapema, akakusanya pamoja maafisa wa mji wakakwea hekaluni mwa \nd Bwana\nd*.

CH2 29:21 Removed trailing space in v~: Wakaleta mafahali saba, kondoo dume saba, wana-kondoo dume saba na mabeberu saba kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili ya ufalme, kwa ajili ya mahali patakatifu na kwa ajili ya Yuda. Mfalme akawaamuru makuhani, wazao wa Aroni, kuvitoa vitu hivyo sadaka katika madhabahu ya \nd Bwana\nd*.

CH2 29:22 Removed trailing space in v~: Hivyo wakachinja wale mafahali, nao makuhani wakachukua ile damu na kuinyunyiza kwenye madhabahu, halafu wakawachinja wale kondoo dume saba na kunyunyiza hiyo damu yao kwenye madhabahu, kisha wakawachinja wale wana-kondoo dume na kunyunyiza damu yao kwenye madhabahu.

CH2 29:23 Removed trailing space in v~: Wale mabeberu waliokuwa kwa ajili ya sadaka ya dhambi wakaletwa mbele ya mfalme na kusanyiko nao wakaweka mikono yao juu hao mabeberu.

CH2 29:24 Removed trailing space in v~: Ndipo makuhani wakawachinja hao mabeberu na kuweka damu yao kwenye madhabahu kwa ajili ya sadaka ya dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli yote, kwa sababu mfalme alikuwa ameamuru hiyo sadaka ya kuteketezwa na hiyo sadaka ya dhambi kwa ajili ya Israeli yote.

CH2 29:25 Removed trailing space in v~: Akawaweka Walawi kwenye Hekalu la \nd Bwana\nd* wakiwa na matoazi, vinubi na zeze kama ilivyoagizwa na Daudi na Gadi mwonaji wa mfalme pamoja na nabii Nathani kwani hili lilikuwa limeamriwa na \nd Bwana\nd* kupitia manabii wake.

CH2 29:26 Removed trailing space in v~: Hivyo Walawi wakasimama tayari wakiwa na ala za uimbaji za Daudi na makuhani walikuwa na tarumbeta zao.

CH2 29:27 Removed trailing space in v~: Hezekia akatoa amri ya kutoa sadaka ya kuteketezwa madhabahuni. Walipoanza kutoa sadaka, wakaanza pia kumwimbia \nd Bwana\nd* pamoja na tarumbeta na zile ala za uimbaji za Daudi mfalme wa Israeli.

CH2 29:28 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote wakaabudu kwa kusujudu, wakati waimbaji wakiwa wanaimba na wenye tarumbeta wakipiga tarumbeta zao. Yote haya yaliendelea mpaka walipomaliza kutoa ile dhabihu ya sadaka ya kuteketezwa.

CH2 29:29 Removed trailing space in v~: Kutoa sadaka kulipomalizika, mfalme na kila mtu aliyekuwepo pamoja naye wakapiga magoti na kuabudu.

CH2 29:30 Removed trailing space in v~: Mfalme Hezekia na maafisa wake wakawaamuru Walawi kumsifu \nd Bwana\nd* kwa maneno ya Daudi na ya Asafu mwonaji. Hivyo wakaimba sifa kwa furaha nao wakainamisha vichwa vyao na kuabudu.

CH2 29:31 Removed trailing space in v~: Kisha Hezekia akasema, “Sasa mmejiweka wakfu kwa \nd Bwana\nd*. Njooni mlete dhabihu na sadaka za shukrani Hekaluni mwa \nd Bwana\nd*.” Hivyo kusanyiko likaleta dhabihu na sadaka za shukrani, nao wote waliokuwa na mioyo ya hiari wakaleta sadaka za kuteketezwa.

CH2 29:32 Removed trailing space in v~: Idadi ya sadaka za kuteketezwa zilizoletwa na kusanyiko zilikuwa mafahali sabini, kondoo dume 100 na wana-kondoo dume 200. Wote hawa walikuwa kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd*.

CH2 29:33 Removed trailing space in v~: Wanyama waliowekwa wakfu kwa sadaka ya kuteketezwa walikuwa mafahali 600, pamoja na kondoo na mbuzi 3,000.

CH2 29:34 Removed trailing space in v~: Lakini makuhani walikuwa wachache sana kuweza kuchuna wale wanyama wote wa sadaka za kuteketezwa, kwa hiyo ndugu zao Walawi wakawasaidia mpaka kazi ile ikakamilika na mpaka makuhani wengine walipowekwa wakfu, kwa kuwa Walawi walikuwa makini kujiweka wakfu kuliko walivyokuwa makuhani.

CH2 29:35 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na sadaka nyingi za kuteketezwa, pamoja na mafuta ya wanyama ya sadaka za amani na sadaka za kinywaji ambazo ziliambatana na sadaka za kuteketezwa.

CH2 29:35 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo huduma ya Hekalu la \nd Bwana\nd* ikarudishwa kwa upya.

CH2 29:36 Removed trailing space in v~: Hezekia pamoja na watu wote wakafurahi kwa sababu ya lile Mungu alilolifanya kwa ajili ya watu wake, kwa kuwa lilitendeka papo hapo.

CH2 30:0 Extra space after chapter number

CH2 30:0 Removed trailing space in c: 30

CH2 30:0 Removed trailing space in s1: Hezekia Aadhimisha Pasaka

CH2 30:1 Removed trailing space in v~: Hezekia akatuma ujumbe kuwaita Israeli wote na Yuda, pia akaandika barua kwa Efraimu na Manase, kuwakaribisha ili waje hekaluni mwa \nd Bwana\nd* huko Yerusalemu kuadhimisha Pasaka kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH2 30:2 Removed trailing space in v~: Mfalme na maafisa wake pamoja na kusanyiko lote katika Yerusalemu waliamua kuadhimisha Pasaka katika mwezi wa pili.

CH2 30:3 Removed trailing space in v~: Kwa sababu makuhani hawakuwa wamejitakasa idadi ya kutosha na watu wakawa hawajakusanyika huko Yerusalemu, hawakuwa wameweza kuadhimisha Pasaka kwa wakati wake wa kawaida.

CH2 30:4 Removed trailing space in v~: Mpango huu ukaonekana wafaa kwa mfalme na kusanyiko lote.

CH2 30:5 Removed trailing space in v~: Wakaamua kupeleka tangazo Israeli kote, kuanzia Beer-Sheba hadi Dani, wakiwaita watu waje Yerusalemu kuadhimisha Pasaka ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli. Ilikuwa haijaadhimishwa na idadi kubwa ya watu kama hiyo kufuatana na yale yaliyokuwa yameandikwa.

CH2 30:6 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya mfalme, matarishi wakapita katika Israeli na Yuda kote wakiwa na barua kutoka kwa mfalme na kutoka kwa maafisa wake zikisema:

CH2 30:6 Removed trailing space in p~: “Watu wa Israeli, mrudieni \nd Bwana\nd*, Mungu wa Abrahamu, Isaki na Israeli, ili naye awarudie ninyi mliosalia, mlionusurika kutoka mikononi mwa wafalme wa Ashuru.

CH2 30:7 Removed trailing space in v~: Msiwe kama baba zenu na ndugu zenu, ambao hawakuwa waaminifu kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, hivyo akawafanya kitu cha kushangaza kama mnavyoona.

CH2 30:8 Removed trailing space in v~: Msiwe na shingo ngumu, kama baba zenu walivyokuwa, bali nyenyekeeni kwa \nd Bwana\nd*. Njooni mahali patakatifu, alipopatakasa milele. Mtumikieni \nd Bwana\nd* Mungu wenu, ili hasira yake kali igeuziwe mbali nanyi.

CH2 30:9 Removed trailing space in v~: Kama mkimrudia \nd Bwana\nd* ndipo wale ndugu zenu waliotekwa pamoja na watoto wenu watakapoonewa huruma na wale waliowateka na kuwaachia warudi katika nchi hii, kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu ni mwenye neema na huruma, hatageuzia uso wake mbali nanyi kama ninyi mkimrudia yeye.”

CH2 30:10 Removed trailing space in v~: Matarishi wakaenda mji hadi mji katika Efraimu na Manase, wakafika mpaka Zabuloni, lakini watu wakawadharau na kuwadhihaki.

CH2 30:11 Removed trailing space in v~: Lakini, baadhi ya watu wa Asheri, Manase na Zabuloni, wakajinyenyekeza wakaja Yerusalemu.

CH2 30:12 Removed trailing space in v~: Pia katika Yuda mkono wa Mungu ulikuwa juu ya watu kuwapa umoja katika kutenda yale ambayo mfalme na maafisa wake waliwaamuru, kulingana na neno la \nd Bwana\nd*.

CH2 30:13 Removed trailing space in v~: Basi umati mkubwa wa watu ukakusanyika huko Yerusalemu kuadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu katika mwezi wa pili.

CH2 30:14 Removed trailing space in v~: Wakajitia kazini kuyaondoa yale madhabahu yaliyokuwa huko Yerusalemu, wakayaondoa pia yale madhabahu ya kufukizia uvumba kwa miungu na kuyatupa Bonde la Kidroni.

CH2 30:15 Removed trailing space in v~: Kisha wakamchinja mwana-kondoo wa Pasaka katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa pili. Makuhani na Walawi waliona aibu, wakajitakasa na kuleta sadaka za kuteketezwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 30:16 Removed trailing space in v~: Kisha wakachukua nafasi zao za kawaida kama ilivyoelezwa katika Sheria ya Mose mtu wa Mungu. Makuhani wakanyunyiza ile damu waliyokabidhiwa na Walawi.

CH2 30:17 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wengi waliokuwa katika lile kusanyiko walikuwa hawajajitakasa, iliwapasa Walawi wachinje wana-kondoo wengine wa Pasaka kwa ajili ya wale watu ambao hawakuwa safi, kwa kufuata taratibu za ibada ili kuwatakasa kwa \nd Bwana\nd*.

CH2 30:18 Removed trailing space in v~: Ingawa watu wengi miongoni mwa wale waliotoka Efraimu, Manase, Isakari na Zabuloni walikuwa hawajajitakasa, hata hivyo walikula Pasaka kinyume na ilivyoandikwa. Lakini Hezekia akawaombea, akisema, “\nd Bwana\nd*, ambaye ni mwema na amsamehe kila mmoja

CH2 30:19 Removed trailing space in v~: ambaye anauelekeza moyo wake kumtafuta Mungu, \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zake, hata kama yeye si safi kulingana na sheria za mahali patakatifu.”

CH2 30:20 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akamsikia Hezekia akawaponya watu.

CH2 30:21 Removed trailing space in v~: Waisraeli waliokuwa Yerusalemu wakaadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu kwa muda wa siku saba, nao Walawi na makuhani walikuwa wakiimba kila siku, wakiwa na ala za uimbaji za kumsifu \nd Bwana\nd*.

CH2 30:22 Removed trailing space in v~: Hezekia akazungumza akiwatia moyo Walawi wote, ambao walionyesha ustadi katika kumtumikia \nd Bwana\nd*. Hivyo watu wakala chakula cha sikukuu kwa siku saba, wakitoa sadaka za amani na kumshukuru \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao.

CH2 30:23 Removed trailing space in v~: Kisha kusanyiko lote likakubali kuendelea na sikukuu kwa siku saba zaidi, kwa hiyo kwa siku saba nyingine wakaendelea kuiadhimisha kwa furaha.

CH2 30:24 Removed trailing space in v~: Hezekia, mfalme wa Yuda akatoa mafahali 1,000, kondoo na mbuzi 7,000 kwa ajili ya kusanyiko, nao maafisa wakatoa mafahali 1,000 pamoja na kondoo na mbuzi 10,000. Idadi kubwa ya makuhani wakajiweka wakfu.

CH2 30:25 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote la Yuda, pamoja na makuhani na Walawi na lile kusanyiko lote lililotoka Israeli, pamoja na wale wageni waliotoka Israeli na wale walioishi katika Yuda wakafurahi.

CH2 30:26 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na furaha kubwa katika Yerusalemu, kwa sababu tangu siku za Mfalme Solomoni mwana wa Daudi mfalme wa Israeli halijakuwepo jambo kama hili katika Yerusalemu.

CH2 30:27 Removed trailing space in v~: Ndipo makuhani na Walawi wakasimama wakawabariki watu, naye Mungu akawasikia, kwa sababu maombi yao yalifika mbinguni, makao yake matakatifu.

CH2 31:0 Extra space after chapter number

CH2 31:0 Removed trailing space in c: 31

CH2 31:0 Removed trailing space in s1: Sehemu Za Ibada Za Kipagani Zaondolewa

CH2 31:1 Removed trailing space in v~: Baada ya mambo haya yote kumalizika, Waisraeli ambao walikuwako huko wakaenda kwenye miji ya Yuda, wakayavunja yale mawe ya kuabudia na kuzikatakata zile nguzo za Ashera. Wakabomoa mahali pa juu pa kuabudia miungu pamoja na madhabahu zake kila mahali katika Yuda na Benyamini na katika Efraimu na Manase. Baada ya kuviharibu hivi vyote, Waisraeli wakarudi katika miji yao wenyewe na kwenye milki zao.

CH2 31:2 Removed trailing space in v~: Hezekia akawapanga makuhani na Walawi katika migawanyo, kila mgawanyo kulingana na wajibu wao, kama ni makuhani au Walawi, ili kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, kuhudumu, kushukuru na kuimba sifa katika malango ya makao ya \nd Bwana\nd*.

CH2 31:3 Removed trailing space in v~: Mfalme akatoa matoleo kutoka mali zake mwenyewe kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa za asubuhi na za jioni na sadaka za kuteketezwa kwa siku za Sabato, kwa Sikukuu za Mwezi Mwandamo na kwa ajili ya sikukuu zilizoamriwa kama ilivyoandikwa katika Sheria ya \nd Bwana\nd*.

CH2 31:4 Removed trailing space in v~: Akawaagiza watu wanaoishi Yerusalemu watoe sehemu iliyo haki ya makuhani na Walawi ili waweze kujitoa kikamilifu kutimiza wajibu wao katika Sheria ya \nd Bwana\nd*.

CH2 31:5 Removed trailing space in v~: Mara tu baada ya kutolewa tangazo hilo, Waisraeli wakatoa kwa ukarimu malimbuko ya nafaka zao, divai mpya, mafuta na asali pamoja na vyote vilivyotoka mashambani. Wakaleta kiasi kikubwa cha fungu la kumi la kila kitu.

CH2 31:6 Removed trailing space in v~: Watu wa Israeli na Yuda walioishi katika miji ya Yuda wakaleta pia fungu la kumi la makundi yao ya ngʼombe na makundi ya kondoo na mbuzi pia na fungu la kumi la vitu vitakatifu vilivyowekwa wakfu kwa ajili ya \nd Bwana\nd* Mungu wao na kuvikusanya katika malundo.

CH2 31:7 Removed trailing space in v~: Wakaanza kufanya haya katika mwezi wa tatu na kumaliza katika mwezi wa saba.

CH2 31:8 Removed trailing space in v~: Wakati Hezekia na maafisa wake walipokuja na kuona yale malundo, wakamsifu \nd Bwana\nd* na kuwabariki watu wake Israeli.

CH2 31:9 Removed trailing space in v~: Hezekia akawauliza makuhani na Walawi kuhusu yale malundo,

CH2 31:10 Removed trailing space in v~: naye Azaria aliyekuwa kuhani mkuu, kutoka jamaa ya Sadoki, akajibu, “Tangu watu walipoanza kuleta sadaka zao katika Hekalu la \nd Bwana\nd* tumekuwa na chakula cha kutosha na vingi vya kuweka akiba kwa sababu \nd Bwana\nd* amewabariki watu wake, hivyo tumekuwa na kiasi kingi kilichobaki.”

CH2 31:10 Removed trailing space in s1: Kutambuliwa Kwa Makuhani Na Walawi

CH2 31:11 Removed trailing space in v~: Hezekia akatoa agizo la kutengeneza vyumba vya ghala katika Hekalu la \nd Bwana\nd* nalo hili likafanyika.

CH2 31:12 Removed trailing space in v~: Kisha kwa uaminifu wakaleta sadaka zao, mafungu yao ya kumi na vitu vilivyowekwa wakfu. Konania Mlawi, ndiye alikuwa msimamizi wa vitu hivi na Shimei ndugu yake ndiye alikuwa msaidizi wake.

CH2 31:13 Removed trailing space in v~: Yehieli, Azazia, Nahathi, Asaheli, Yeremothi, Yozabadi, Elieli, Ismakia, Mahathi na Benaya walikuwa waangalizi chini ya Konania na Shimei ndugu yake, waliokuwa wamewekwa na Mfalme Hezekia na Azaria, afisa msimamizi wa Hekalu la Mungu.

CH2 31:14 Removed trailing space in v~: Kore mwana wa Imna, Mlawi, bawabu wa Lango la Mashariki, alikuwa msimamizi wa sadaka za hiari zilizotolewa kwa Mungu, akiyagawanya hayo matoleo yaliyotolewa kwa \nd Bwana\nd* na pia zile sadaka zilizowekwa wakfu.

CH2 31:15 Removed trailing space in v~: Edeni, Miniamini, Yeshua, Shemaya, Amaria na Shekania walimsaidia kwa uaminifu katika miji ya makuhani, wakiwagawia makuhani wenzao kufuatana na migawanyo yao, wazee kwa vijana sawasawa.

CH2 31:16 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hao wakawagawia wanaume wenye umri wa miaka mitatu au zaidi ambao majina yao yalikuwa kwenye orodha ya vizazi, wale wote ambao wangeingia katika Hekalu la \nd Bwana\nd* ili kufanya kazi zao mbalimbali za kila siku kulingana na wajibu katika mgawanyo wao.

CH2 31:17 Removed trailing space in v~: Kuandikishwa kwa makuhani kulikuwa kwa kufuata chimbuko la nyumba za baba zao na Walawi kuanzia umri wa miaka ishirini au zaidi ilikuwa kufuatana na huduma zao, kwa migawanyo yao.

CH2 31:18 Removed trailing space in v~: Makuhani waliandikishwa pamoja na watoto wao wadogo, wake zao, watoto wao wa kiume na wa kike, jamii yote iliandikishwa kwa kufuata orodha ya vizazi vyao. Kwa kuwa walikuwa waaminifu katika kujitakasa.

CH2 31:19 Removed trailing space in v~: Kuhusu makuhani, wazao wa Aroni walioishi kwenye mashamba yaliyozunguka miji yao au katika miji mingine yoyote, watu walitajwa majina ili kumgawia kila mwanaume miongoni mwao na kwa wote waliokuwa katika orodha ya vizazi vya Walawi.

CH2 31:20 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo Hezekia alivyofanya katika Yuda yote, akifanya lile lililo jema, sawa na la uaminifu mbele za \nd Bwana\nd* Mungu wake.

CH2 31:21 Removed trailing space in v~: Naye katika kila kitu alichofanya katika huduma kwenye Hekalu la Mungu na katika utii kwa sheria na amri, alimtafuta Mungu wake na kufanya kazi kwa moyo wake wote. Naye hivyo akafanikiwa.

CH2 33:0 Extra space after chapter number

CH2 33:0 Removed trailing space in c: 33

CH2 33:0 Removed trailing space in s1: Manase Mfalme Wa Yuda

CH2 33:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 21:1-18)

CH2 33:1 Removed trailing space in v~: Manase alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka hamsini na mitano.

CH2 33:2 Removed trailing space in v~: Akafanya maovu machoni pa Bwana, akafuata desturi za machukizo za mataifa ambayo Bwana aliyafukuza mbele ya Waisraeli.

CH2 33:3 Removed trailing space in v~: Akajenga upya mahali pa juu pa kuabudia miungu ambapo Hezekia baba yake, alikuwa amepabomoa, pia akasimamisha madhabahu za Mabaali na nguzo za Maashera. Akalisujudia jeshi lote la angani na kuliabudu.

CH2 33:4 Removed trailing space in v~: Akajenga madhabahu katika Hekalu la \nd Bwana\nd* ambamo \nd Bwana\nd* alikuwa amesema, “Jina langu litadumu Yerusalemu milele.”

CH2 33:5 Removed trailing space in v~: Katika nyua zote mbili za Hekalu la \nd Bwana\nd* akajenga madhabahu kwa ajili ya jeshi lote la angani.

CH2 33:6 Removed trailing space in v~: Akawatoa wanawe kuwa kafara kwa kuwapitisha katika moto katika Bonde la Ben-Hinomu, akafanya ulozi, uaguzi na uchawi, akataka ushauri kwa wenye pepo wa utambuzi na wenye kuwasiliana na mizimu. Akafanya maovu mengi machoni pa \nd Bwana\nd*, akaichochea hasira yake.

CH2 33:7 Removed trailing space in v~: Akachukua ile sanamu aliyoichonga na kuiweka katika Hekalu la Mungu ambalo Mungu alikuwa amemwambia Daudi na mwanawe Solomoni, “Katika Hekalu hili na katika Yerusalemu niliouchagua kutoka kabila zote za Israeli, nitaliweka Jina langu milele.

CH2 33:8 Removed trailing space in v~: Sitaifanya tena miguu ya Waisraeli iondoke tena katika nchi niliyowapa baba zenu, ikiwa watakuwa waangalifu kufanya kila kitu nilichowaamuru kuhusu sheria zote, maagizo na amri zilizotolewa kwa mkono wa Mose.”

CH2 33:9 Removed trailing space in v~: Lakini Manase akawaongoza Yuda na watu wa Yerusalemu katika upotovu, kiasi kwamba walifanya maovu mengi kuliko mataifa ambayo \nd Bwana\nd* aliwaangamiza mbele ya Waisraeli.

CH2 33:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema na Manase pamoja na watu wake, lakini hawakumjali.

CH2 33:11 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* akaleta juu yao majemadari wa jeshi la mfalme wa Ashuru, ambao walimchukua Manase kwenda kifungoni, wakaweka ndoana katika pua yake, wakamfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.

CH2 33:12 Removed trailing space in v~: Katika dhiki yake akamsihi \nd Bwana\nd* Mungu wake na kujinyenyekeza sana mbele za Mungu wa baba zake.

CH2 33:13 Removed trailing space in v~: Naye alipomwomba, \nd Bwana\nd* akaguswa na kule kusihi kwake na akasikiliza kilio chake, kwa hiyo akamrudisha Yerusalemu na kwenye ufalme wake. Ndipo Manase akatambua kwamba \nd Bwana\nd* ndiye Mungu.

CH2 33:14 Removed trailing space in v~: Baadaye akajenga ukuta wa nje wa Mji wa Daudi, magharibi mwa chemchemi ya Gihoni katika bonde, hadi kufikia ingilio la Lango la Samaki na akakizunguka kilima cha Ofeli, pia akaufanya kuwa mrefu zaidi. Akawaweka majemadari katika miji yote ya Yuda iliyokuwa imejengewa ngome.

CH2 33:15 Removed trailing space in v~: Akaondolea mbali miungu ya kigeni na kuondoa sanamu kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd* pamoja na madhabahu zote alizozijenga katika kile kilima kilichojengwa Hekalu na katika Yerusalemu, akazitupa nje ya mji.

CH2 33:16 Removed trailing space in v~: Kisha akarudisha madhabahu ya \nd Bwana\nd* na kutolea juu yake dhabihu za sadaka za amani pamoja na sadaka za shukrani, naye akawaamuru Yuda wamtumikie \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH2 33:17 Removed trailing space in v~: Lakini hata hivyo watu wakaendelea kutoa dhabihu mahali pa juu pa kuabudia miungu, lakini wakimtolea \nd Bwana\nd* Mungu wao peke yake.

CH2 33:18 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Manase, maombi yake kwa Mungu wake na maneno aliyoambiwa na waonaji walionena naye kwa jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, yameandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Israeli.

CH2 33:19 Removed trailing space in v~: Maombi yake, pamoja na jinsi Mungu alivyoguswa na kusihi kwake, pia dhambi zake zote na kukosa kwake uaminifu pamoja na sehemu alizojenga mahali pa juu pa kuabudia miungu, kule kusimamisha nguzo za Ashera na sanamu kabla ya kujinyenyekeza kwake, yote yameandikwa katika kumbukumbu za waonaji.

CH2 33:20 Removed trailing space in v~: Manase akalala pamoja na baba zake akazikwa katika jumba lake la kifalme. Naye Amoni mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 33:20 Removed trailing space in s1: Amoni Mfalme Wa Yuda

CH2 33:20 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 21:19-26)

CH2 33:21 Removed trailing space in v~: Amoni alikuwa na miaka ishirini na miwili, alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka miwili.

CH2 33:22 Removed trailing space in v~: Akatenda maovu machoni mwa Bwana, kama baba yake Manase alivyofanya. Amoni akaabudu na kutoa dhabihu kwa sanamu zote alizokuwa ametengeneza Manase.

CH2 33:23 Removed trailing space in v~: Lakini tofauti na Manase baba yake, hakujinyenyekeza mbele za \nd Bwana\nd*, badala yake Amoni aliongeza hatia zaidi na zaidi.

CH2 33:24 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Amoni wakafanya fitina juu yake, nao wakamuulia kwake nyumbani.

CH2 33:25 Removed trailing space in v~: Kisha watu wa nchi wakawaua wale wote waliokuwa wamefanya hila dhidi ya Mfalme Amoni. Wakamfanya Yosia mwanawe kuwa mfalme mahali pake.

CH2 34:0 Extra space after chapter number

CH2 34:0 Removed trailing space in c: 34

CH2 34:0 Removed trailing space in s1: Yosia Afanya Matengenezo

CH2 34:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 22:1-2)

CH2 34:1 Removed trailing space in v~: Yosia alikuwa na miaka minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka thelathini na mmoja.

CH2 34:2 Removed trailing space in v~: Akafanya yaliyo mema machoni pa \nd Bwana\nd* na kuenenda katika njia za Daudi baba yake, hakugeuka upande wa kuume wala wa kushoto.

CH2 34:3 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa nane wa utawala wake, alipokuwa angali bado mdogo, alianza kumtafuta Mungu wa Daudi baba yake. Katika mwaka wake wa kumi na mbili alianza kusafisha mahali pa juu pa kuabudia miungu pa Yuda na Yerusalemu, akiondoa nguzo za Ashera, sanamu za kuchonga na vinyago vya kusubu.

CH2 34:4 Removed trailing space in v~: Mbele ya macho yake, wakazibomoa madhabahu za Mabaali, wakazivunja madhabahu za kufukizia uvumba zilizokuwa zimesimama juu yake, wakazivunja nguzo za Ashera, sanamu na vinyago. Hivi alivivunja vipande vipande na kuvisambaza juu ya makaburi ya waliokuwa wamevitolea kafara.

CH2 34:5 Removed trailing space in v~: Akachoma mifupa ya makuhani wao juu ya madhabahu zao na kwa njia hiyo akaitakasa Yuda na Yerusalemu.

CH2 34:6 Removed trailing space in v~: Katika miji ya Manase, Efraimu na Simeoni, hadi Naftali na kwenye magofu yanayoizunguka,

CH2 34:7 Removed trailing space in v~: akavunja madhabahu na nguzo za Ashera na kuzipondaponda hizo sanamu hadi zikawa unga na kukata vipande vipande madhabahu zote za kufukizia uvumba katika Israeli yote. Kisha akarudi Yerusalemu.

CH2 34:8 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Yosia, ili kutakasa nchi na Hekalu, akawatuma Shafani, mwana wa Azalia na Maaseya mtawala wa mji, pamoja na Yoa mwana wa Yoahazi, mwandishi ili kukarabati Hekalu la \nd Bwana\nd* Mungu wake.

CH2 34:9 Removed trailing space in v~: Wakamwendea Hilkia kuhani mkuu na kumpa fedha ambazo zilikuwa zimeletwa ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd* ambazo Walawi waliokuwa mabawabu walikuwa wamezikusanya kutoka kwa watu wa Manase, Efraimu na mabaki wote wa Israeli kutoka kwa watu wote wa Yuda na Benyamini na wakazi wa Yerusalemu.

CH2 34:10 Removed trailing space in v~: Kisha wakazikabidhi hizo fedha kwa watu waliowekwa ili kusimamia kazi ya Hekalu la \nd Bwana\nd*. Hawa watu waliwalipa wafanyakazi waliokarabati na kutengeneza Hekalu lipate kurudi katika hali yake.

CH2 34:11 Removed trailing space in v~: Wakawapa pia mafundi seremala na waashi fedha ili kununua mawe yaliyochongwa, mbao kwa ajili ya kufungia na boriti kwa ajili ya majengo ambayo wafalme wa Yuda walikuwa wameyaacha yakawa magofu.

CH2 34:12 Removed trailing space in v~: Watu wakafanya kazi kwa uaminifu. Waliokuwa wamewekwa juu yao ili kuwaelekeza ni Yahathi na Obadia, Walawi wa uzao wa Merari, Zekaria na Meshulamu, waliotoka kwenye uzao wa Kohathi. Walawi wote waliokuwa na ufundi wa kupiga ala za uimbaji,

CH2 34:13 Removed trailing space in v~: wakawa wasimamizi wa vibarua na kuwaongoza wale waliofanya kila aina ya kazi. Baadhi ya Walawi walikuwa waandishi, maafisa na mabawabu.

CH2 34:13 Removed trailing space in s1: Kitabu Cha Sheria Chapatikana

CH2 34:13 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 22:3-20)

CH2 34:14 Removed trailing space in v~: Wakati walikuwa wakizitoa nje fedha zilizokuwa zimetolewa kwenye Hekalu la \nd Bwana\nd*, kuhani Hilkia akakipata kile Kitabu cha Sheria ya \nd Bwana\nd* kilichokua kimetolewa kwa mkono wa Mose.

CH2 34:15 Removed trailing space in v~: Hilkia akamwambia Shafani mwandishi, “Nimekipata Kitabu cha Sheria ndani ya Hekalu la \nd Bwana\nd*.” Akampa Shafani kile Kitabu.

CH2 34:16 Removed trailing space in v~: Kisha Shafani akakipeleka kile Kitabu kwa mfalme na kumwambia, “Maafisa wako wanafanya kila kitu kama walivyokabidhiwa kufanya.

CH2 34:17 Removed trailing space in v~: Wamelipa fedha zilizokuwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd* na wamewakabidhi wasimamizi na wafanyakazi.”

CH2 34:18 Removed trailing space in v~: Kisha Shafani mwandishi akamwarifu mfalme kuwa, “Kuhani Hilkia amenipa Kitabu.” Naye Shafani akakisoma mbele ya mfalme.

CH2 34:19 Removed trailing space in v~: Mfalme aliposikia yale maneno ya Sheria, akayararua mavazi yake.

CH2 34:20 Removed trailing space in v~: Akatoa maagizo haya kwa Hilkia, Ahikamu mwana wa Shafani, Abdoni mwana wa Mika, Shafani mwandishi na Asaya mtumishi wa mfalme,

CH2 34:21 Removed trailing space in v~: “Nendeni mkamuulize \nd Bwana\nd* kwa ajili yangu na kwa ajili ya mabaki walioko Israeli na Yuda kuhusu yale yaliyoandikwa ndani ya kitabu hiki ambacho kimepatikana. Hasira ya \nd Bwana\nd* ni kubwa mno ambayo imemwagwa juu yetu kwa sababu baba zetu hawakulishika neno la \nd Bwana\nd* wala hawajatenda kulingana na yale yote yaliyoandikwa katika Kitabu hiki.”

CH2 34:22 Removed trailing space in v~: Hilkia pamoja na wale wote mfalme aliokuwa amewatuma pamoja naye wakaenda kuzungumza na nabii mke aitwaye Hulda, aliyekuwa mke wa Shalumu mwana wa Tokhathi, mwana wa Hasra mtunzaji wa chumba cha mavazi. Hulda aliishi Yerusalemu, katika Mtaa wa Pili.

CH2 34:23 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Hivi ndivyo asemavyo Bwana, Mungu wa Israeli: Mwambieni yule mtu aliyewatuma ninyi kwangu,

CH2 34:24 Removed trailing space in v~: ‘Hivi ndivyo asemavyo Bwana: Nitaleta maafa juu ya mahali hapa na watu wake, laana zote zilizoandikwa ndani ya hicho kitabu ambazo zimesomwa mbele ya mfalme wa Yuda.

CH2 34:25 Removed trailing space in v~: Kwa sababu wameniacha mimi na kufukiza uvumba kwa miungu mingine na kunighadhibisha kwa kazi yote ya mikono yao, hivyo hasira yangu itamwagwa juu ya mahali hapa, wala haitatulizwa.’

CH2 34:26 Removed trailing space in v~: Mwambieni mfalme wa Yuda, ambaye amewatuma kumuuliza \nd Bwana\nd*, ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli kuhusu maneno uliyoyasikia:

CH2 34:27 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa moyo wako ulikuwa msikivu na ulijinyenyekeza mbele za Mungu uliposikia kile nilichosema dhidi ya mahali hapa na watu wake na kwa sababu ulijinyenyekeza mbele zangu na uliyararua mavazi yako na kulia mbele zangu, nimekusikia, asema \nd Bwana\nd*.

CH2 34:28 Removed trailing space in v~: Basi nitakukusanya kwa baba zako, nawe utazikwa kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote nitakayoleta juu ya mahali hapa na juu ya wote wanaoishi hapa.’ ”

CH2 34:28 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo wakampelekea mfalme jibu lake.

CH2 34:28 Removed trailing space in s1: Yosia Afanya Agano La Kutii

CH2 34:28 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 23:1-20)

CH2 34:29 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akawaita pamoja wazee wote wa Yuda na Yerusalemu.

CH2 34:30 Removed trailing space in v~: Akapanda kwenda hekaluni mwa \nd Bwana\nd* pamoja na watu wa Yuda, watu wa Yerusalemu, makuhani na Walawi, watu wote, wakubwa kwa wadogo. Akasoma wakiwa wanasikia maneno yote ya Kitabu cha Agano, ambacho kilikuwa kimepatikana katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 34:31 Removed trailing space in v~: Mfalme akasimama karibu na nguzo yake na kufanya upya Agano mbele za \nd Bwana\nd* ili kumfuata \nd Bwana\nd* na kuzishika amri zake, maagizo na sheria kwa moyo wake wote na kwa roho yake yote na ili kuyatii maneno ya Agano yaliyoandikwa katika kitabu hiki.

CH2 34:32 Removed trailing space in v~: Ndipo akamtaka kila mmoja katika Yerusalemu na Benyamini kuweka ahadi zao wenyewe kwa hilo Agano, watu wa Yerusalemu wakafanya hivyo kwa kufuata Agano la \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao.

CH2 34:33 Removed trailing space in v~: Yosia akaondoa machukizo yote ya sanamu kutoka nchi yote iliyokuwa mali ya Waisraeli na akawataka wale wote waliokuwako katika Israeli wamtumikie \nd Bwana\nd* Mungu wao. Kwa muda wote alioishi, hawakushindwa kumfuata \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao.

CH2 35:0 Extra space after chapter number

CH2 35:0 Removed trailing space in c: 35

CH2 35:0 Removed trailing space in s1: Mfalme Yosia Anaadhimisha Pasaka

CH2 35:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 23:21-23)

CH2 35:1 Removed trailing space in v~: Yosia akaadhimisha Pasaka kwa \nd Bwana\nd* katika Yerusalemu, mwana-kondoo wa Pasaka akachinjwa siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza.

CH2 35:2 Removed trailing space in v~: Akawaweka makuhani kwenye wajibu wao na kuwatia moyo katika utumishi wa Hekalu la \nd Bwana\nd*.

CH2 35:3 Removed trailing space in v~: Akawaambia Walawi, waliowafundisha Waisraeli wote na waliokuwa wamejiweka wakfu kwa ajili ya kazi ya \nd Bwana\nd*, “Liwekeni hilo Sanduku takatifu katika Hekalu lile alilojenga Solomoni mwana wa Daudi mfalme wa Israeli. Halipaswi kubebwa huku na huko mabegani mwenu. Sasa mtumikieni \nd Bwana\nd* Mungu wenu na watu wake Israeli.

CH2 35:4 Removed trailing space in v~: Jiandaeni kwa kufuata jamaa zenu katika migawanyo yenu, kufuatana na maelezo yaliyoandikwa na Daudi mfalme wa Israeli na mwanawe Solomoni.

CH2 35:5 Removed trailing space in v~: “Simameni mahali patakatifu kwa kufuata migawanyo ya jamaa za baba zenu kulingana na koo zenu na pawepo Walawi kwa ajili ya kila mgawanyo wa nyumba ya baba zenu.

CH2 35:6 Removed trailing space in v~: Chinjeni mwana-kondoo wa Pasaka, jitakaseni, nanyi kwa niaba ya koo zenu fanyeni maandalizi, mkitenda sawasawa na neno la \nd Bwana\nd* kwa mkono wa Mose.”

CH2 35:7 Removed trailing space in v~: Ndipo Yosia akawapa watu wote wana-mbuzi waliokuwepo jumla ya kondoo wapatao 30,000 kwa ajili ya sadaka ya Pasaka, pia na ngʼombe 10,000, vyote hivi kutoka mali binafsi ya mfalme.

CH2 35:8 Removed trailing space in v~: Pia maafisa wake, wakatoa kwa hiari yao wakawapa watu, makuhani na Walawi. Hilkia, Zekaria na Yehieli, waliokuwa maafisa wakuu wa Hekalu la Mungu, wakawapa makuhani sadaka za Pasaka wana-kondoo na wana-mbuzi 2,600 na mafahali 300.

CH2 35:9 Removed trailing space in v~: Konania na nduguze wawili, Shemaya na Nethaneli, pamoja na Hashabia, Yeieli na Yozabadi waliokuwa viongozi wa Walawi, nao pia wakawapa Walawi wana-kondoo na wana-mbuzi 5,000 na mafahali 500, kwa ajili ya sadaka za Pasaka.

CH2 35:10 Removed trailing space in v~: Huduma ilipomalizika kuandaliwa makuhani wakasimama mahali pao na Walawi katika migawanyo yao kama mfalme alivyokuwa ameamuru.

CH2 35:11 Removed trailing space in v~: Wana-kondoo wa Pasaka wakachinjwa, nao makuhani wakanyunyiza ile damu waliyokabidhiwa, wakati Walawi wakiwa wanawachuna wale wanyama ngozi.

CH2 35:12 Removed trailing space in v~: Wakatenga sadaka za kuteketezwa ili waweze kugawia ili migawanyo kwa kufuata jamaa za baba zao ili watoe sadaka kwa \nd Bwana\nd* kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Mose. Wakafanya vivyo hivyo kwa wale mafahali.

CH2 35:13 Removed trailing space in v~: Wakawaoka wale wanyama wa Pasaka kwenye moto kama ilivyoamriwa, wakachemsha zile sadaka takatifu kwenye vyungu, masufuria makubwa na vikaango na kuwagawia watu wote upesi.

CH2 35:14 Removed trailing space in v~: Hatimaye wakafanya maandalizi kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani, kwa sababu wale makuhani, yaani, wazao wa Aroni, walikuwa wanatoa sadaka za kuteketezwa pamoja na zile sehemu zilizonona mpaka usiku. Hivyo Walawi wakafanya maandalizi kwa ajili yao wenyewe na kwa ajili ya makuhani wa uzao wa Aroni.

CH2 35:15 Removed trailing space in v~: Waimbaji, wazao wa Asafu, walikuwa katika nafasi zao, kama ilivyoagizwa na Mfalme Daudi, Asafu, Hemani na Yeduthuni mwonaji wa Mfalme. Mabawabu katika kila lango hawakuhitaji kuacha nafasi zao kwa sababu Walawi wenzao walifanya maandalizi kwa ajili yao.

CH2 35:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakati ule huduma yote ya \nd Bwana\nd* ilifanyika katika kuadhimisha Pasaka, kutoa sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu ya \nd Bwana\nd* kama alivyoamuru Mfalme Yosia.

CH2 35:17 Removed trailing space in v~: Waisraeli waliokuwepo wakaadhimisha Pasaka wakati huo na Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu kwa siku saba.

CH2 35:18 Removed trailing space in v~: Kulikuwa hakujafanyika Pasaka kama hii katika Israeli tangu siku za nabii Samweli wala hakukuwa na mfalme yeyote wa Israeli ambaye kamwe alishaadhimisha Pasaka kama ile aliyofanya Mfalme Yosia, akiwa na makuhani, Walawi na watu wote wa Yuda na watu wa Israeli waliokuwepo huko, pamoja na watu wa Yerusalemu.

CH2 35:19 Removed trailing space in v~: Pasaka iliadhimishwa katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Mfalme Yosia.

CH2 35:19 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Yosia

CH2 35:19 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 23:28-30)

CH2 35:20 Removed trailing space in v~: Baada ya haya yote, Yosia alipomaliza kulitengeneza vizuri Hekalu, Neko mfalme wa Misri, akapanda ili kupigana huko Karkemishi katika Mto Frati, naye Yosia akatoka kwenda kupigana naye.

CH2 35:21 Removed trailing space in v~: Lakini Neko akamtumia wajumbe kusema, “Kuna ugomvi gani kati yangu mimi na wewe, Ee Mfalme wa Yuda? Si wewe ninayekushambulia wakati huu, bali ile nyumba ambayo nina vita nayo, Mungu ameniambia niharakishe, kwa hivyo acha kumpinga Mungu, ambaye yuko pamoja nami, la sivyo atakuangamiza.”

CH2 35:22 Removed trailing space in v~: Lakini hata hivyo, Yosia hakukubali kumwacha, bali alijibadilisha ili kupigana naye vita. Hakusikiliza yale Neko aliyokuwa amemwambia kwa agizo la Mungu bali alikwenda kupigana naye katika tambarare ya Megido.

CH2 35:23 Removed trailing space in v~: Wapiga upinde wakampiga Mfalme Yosia, naye akawaambia maafisa wake, “Niondoeni, nimejeruhiwa vibaya sana.”

CH2 35:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakamshusha kutoka kwenye gari lake la farasi, wakamweka kwenye gari lingine alilokuwa nalo na kumleta Yerusalemu, ambako alifia. Akazikwa katika makaburi ya baba zake, nayo Yuda yote na Yerusalemu wakamwombolezea Yosia.

CH2 35:25 Removed trailing space in v~: Nabii Yeremia akatunga maombolezo kwa ajili ya kifo chake, nao waimbaji wote, wanaume kwa wanawake, hufanya ukumbusho wa Yosia katika maombolezo hadi leo. Haya yakafanywa desturi katika Israeli, nayo yameandikwa katika Maombolezo.

CH2 35:26 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yosia na matendo yake mema, kulingana na yale yaliyoandikwa katika sheria ya \nd Bwana\nd*:

CH2 35:27 Removed trailing space in v~: matukio yote, kuanzia mwanzo hadi mwisho, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda.

CH2 36:0 Extra space after chapter number

CH2 36:0 Removed trailing space in c: 36

CH2 36:0 Removed trailing space in s1: Mfalme Yehoahazi Wa Yuda

CH2 36:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 23:30-35)

CH2 36:1 Removed trailing space in v~: Watu wa nchi wakamchukua Yehoahazi mwana wa Yosia na kumfanya mfalme mahali pa baba yake huko Yerusalemu.

CH2 36:2 Removed trailing space in v~: Yehoahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitatu alipoanza kutawala, akatawala huko Yerusalemu kwa miezi mitatu.

CH2 36:3 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Misri akamwondoa madarakani huko Yerusalemu na akatoza Yuda kodi ya talanta 100\f + \fr 36:3 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.\f* za fedha na talanta moja\f + \fr 36:3 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.\f* ya dhahabu.

CH2 36:4 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Misri akamweka Eliakimu, nduguye Yehoahazi, kuwa mfalme juu ya Yuda na Yerusalemu na kubadili jina la Eliakimu kuwa Yehoyakimu. Lakini Neko akamchukua Yehoahazi, Nduguye Eliakimu akampeleka Misri.

CH2 36:4 Removed trailing space in s1: Yehoyakimu Mfalme Wa Yuda

CH2 36:4 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 23:35–24:7)

CH2 36:5 Removed trailing space in v~: Yehoyakimu alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na mmoja. Akafanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd* Mungu wake.

CH2 36:6 Removed trailing space in v~: Nebukadneza mfalme wa Babeli akamshambulia na kumfunga kwa pingu za shaba akampeleka Babeli.

CH2 36:7 Removed trailing space in v~: Nebukadneza akachukua pia vyombo kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd* na kuviweka katika hekalu lake\f + \fr 36:7 \ft Au: katika jumba lake la kifalme.\f* huko Babeli.

CH2 36:8 Removed trailing space in v~: Matukio mengine ya utawala wa Yehoyakimu, machukizo aliyoyafanya na yote yaliyoonekana dhidi yake, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Israeli na Yuda. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.

CH2 36:8 Removed trailing space in s1: Yehoyakini Mfalme Wa Yuda

CH2 36:8 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 24:8-17)

CH2 36:9 Removed trailing space in v~: Yehoyakini alikuwa na miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miezi mitatu na siku kumi. Akafanya yaliyo maovu machoni pa \nd Bwana\nd*.

CH2 36:10 Removed trailing space in v~: Mnamo majira ya vuli, Mfalme Nebukadneza akatuma watu, nao wakamleta Babeli, pamoja na vyombo vya thamani kutoka Hekalu la \nd Bwana\nd*. Naye akamfanya Sedekia, ndugu yake Yehoyakimu kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu.

CH2 36:10 Removed trailing space in s1: Mfalme Sedekia Wa Yuda

CH2 36:10 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 24:18-20; Yeremia 52:1-3)

CH2 36:11 Removed trailing space in v~: Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na mmoja.

CH2 36:12 Removed trailing space in v~: Alifanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd* Mungu wake, wala hakujinyenyekeza mbele ya nabii Yeremia, ambaye alinena neno la \nd Bwana\nd*.

CH2 36:13 Removed trailing space in v~: Pia alimwasi Mfalme Nebukadneza, ambaye alikuwa amemwapisha kwa jina la Mungu. Akashupaza shingo na akafanya moyo wake kuwa mgumu wala hakutaka kumgeukia \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

CH2 36:14 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo viongozi wote wa makuhani pamoja na watu wakazidi kukosa uaminifu zaidi na zaidi, wakafanya machukizo yote kama walivyofanya mataifa wakinajisi Hekalu la \nd Bwana\nd* alilokuwa amelitakasa huko Yerusalemu.

CH2 36:14 Removed trailing space in s1: Kuanguka Kwa Yerusalemu

CH2 36:14 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 25:1-21; Yeremia 52:3-11)

CH2 36:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zao, akawapelekea neno kupitia wajumbe wake tena na tena, kwa sababu alikuwa anawahurumia watu wake pamoja na mahali pa maskani yake.

CH2 36:16 Removed trailing space in v~: Lakini waliwadhihaki wajumbe wa \nd Bwana\nd* wakayadharau maneno yake na kuwacheka manabii wake mpaka ghadhabu ya \nd Bwana\nd* ikawa kubwa dhidi ya watu wake na hakukuwa na namna ya kuituliza.

CH2 36:17 Removed trailing space in v~: Mungu akamwinua dhidi yao mfalme wa Wakaldayo, aliyewaua vijana wao wa kiume kwa upanga ndani ya mahali patakatifu, ambaye hakumbakiza kijana mwanaume wala kijana mwanamke, wazee wala vikongwe. Mungu akawatia wote mikononi mwa Nebukadneza.

CH2 36:18 Removed trailing space in v~: Akavichukua kwenda Babeli vyombo vyote kutoka Hekalu la Mungu, vikubwa na vidogo, hazina za Hekalu la \nd Bwana\nd* pamoja na hazina za mfalme na za maafisa wake.

CH2 36:19 Removed trailing space in v~: Wakalichoma Hekalu la Mungu na kuzibomoa kuta za Yerusalemu, wakachoma moto majumba yote ya kifalme na kuharibu kila kitu chake cha thamani.

CH2 36:20 Removed trailing space in v~: Wale watu walionusurika kuuawa kwa upanga wakachukuliwa kwenda uhamishoni Babeli. Nao wakawa watumishi wake na wa wanawe mpaka wakati wa utawala wa ufalme wa Uajemi ulifika.

CH2 36:21 Removed trailing space in v~: Nchi ikaendelea kufurahia pumziko lake la Sabato, wakati wote wa kufanywa kwake ukiwa ilipumzika mpaka ile miaka sabini ilipotimia katika kutimiza neno la \nd Bwana\nd* lililonenwa na Yeremia.

CH2 36:21 Removed trailing space in s1: Koreshi Atangaza Uhuru Kwa Waliokuwa Uhamishoni

CH2 36:21 Removed trailing space in r: (Ezra 1:1-4)

CH2 36:22 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la \nd Bwana\nd* lililosemwa na nabii Yeremia, \nd Bwana\nd* aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:

CH2 36:23 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi:

CH2 36:23 Removed trailing space in p~: “ ‘\nd Bwana\nd*, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda. Yeyote wa watu wake miongoni mwenu, Mungu wake na awe pamoja naye, wacha huyo mtu na apande.’ ”

EZR -1:0 Removed trailing space in id: EZR - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

EZR -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

EZR -1:2 Removed trailing space in h: Ezra

EZR -1:3 Removed trailing space in toc1: Ezra

EZR -1:4 Removed trailing space in toc2: Ezra

EZR -1:5 Removed trailing space in toc3: Ezr

EZR -1:6 Removed trailing space in mt1: Ezra

EZR 1:0 Extra space after chapter number

EZR 1:0 Removed trailing space in c: 1

EZR 1:0 Removed trailing space in s1: Koreshi Asaidia Watu Kurudi Kutoka Uhamishoni

EZR 1:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, ili kulitimiza neno la \nd Bwana\nd* lililosemwa na nabii Yeremia, \nd Bwana\nd* aliusukuma moyo wa Koreshi mfalme wa Uajemi kutangaza katika himaya yake yote kwa maandishi:

EZR 1:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo Koreshi mfalme wa Uajemi:

EZR 1:2 Removed trailing space in p~: “ ‘\nd Bwana\nd*, Mungu wa mbinguni, amenipa falme zote duniani, na ameniagiza kumjengea Hekalu huko Yerusalemu katika Yuda.

EZR 1:3 Removed trailing space in v~: Yeyote wa watu wake miongoni mwenu, Mungu wake na awe pamoja naye, wacha apande kwenda Yerusalemu katika Yuda na kujenga Hekalu la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, Mungu aliyeko huko Yerusalemu.

EZR 1:4 Removed trailing space in v~: Nao watu wa mahali popote wale walionusurika wanapoishi sasa, watu hao wampe fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, mbali na sadaka za hiari kwa ajili ya Hekalu la Mungu huko Yerusalemu.’ ”

EZR 1:5 Removed trailing space in v~: Kisha viongozi wa jamaa ya Yuda na Benyamini na makuhani na Walawi kila mmoja ambaye moyo wake ulisukumwa na Mungu, akajiandaa kupanda ili kuijenga nyumba ya \nd Bwana\nd* huko Yerusalemu.

EZR 1:6 Removed trailing space in v~: Majirani zao wote wakawasaidia vyombo vya fedha na dhahabu, pamoja na vifaa na mifugo, pia na zawadi za thamani, pamoja na sadaka zote za hiari.

EZR 1:7 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Mfalme Koreshi akavitoa vyombo vilivyokuwa mali ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, ambavyo Nebukadneza alikuwa amevichukua kutoka Yerusalemu na kuviweka katika hekalu la mungu wake.

EZR 1:8 Removed trailing space in v~: Koreshi mfalme wa Uajemi akavitoa kwa mkono wa Mithredathi mtunza hazina, aliyevihesabu mbele ya Sheshbaza mkuu wa Yuda.

EZR 1:9 Removed trailing space in v~: Hii ilikuwa ndio orodha ya vifaa:

EZR 1:9 Removed trailing space in tr: \tc1 masinia ya dhahabu yalikuwa \tcr2 30

EZR 1:9 Removed trailing space in tr: \tc1 masinia ya fedha yalikuwa \tcr2 1,000

EZR 1:9 Removed trailing space in tr: \tc1 vyetezo vya fedha vilikuwa \tcr2 29

EZR 1:9 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 1:10 Removed trailing space in v~: mabakuli ya dhahabu yalikuwa \tcr2 30

EZR 1:10 Removed trailing space in tr: \tc1 mabakuli ya fedha yanayofanana yalikuwa \tcr2 410

EZR 1:10 Removed trailing space in tr: \tc1 vifaa vingine vilikuwa \tcr2 1,000.

EZR 1:11 Removed trailing space in v~: Kwa ujumla, kulikuwa na vyombo 5,400 vya dhahabu na vya fedha. Sheshbaza akavileta hivi vyote wakati watu walipotoka uhamishoni Babeli kwenda Yerusalemu.

EZR 2:0 Extra space after chapter number

EZR 2:0 Removed trailing space in c: 2

EZR 2:0 Removed trailing space in s1: Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni

EZR 2:0 Removed trailing space in r: (Nehemia 7:4-73)

EZR 2:1 Removed trailing space in v~: Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,

EZR 2:2 Removed trailing space in v~: wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana):

EZR 2:2 Removed trailing space in p~: Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:

EZR 2:2 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:3 Removed trailing space in v~: wazao wa Paroshi \tcr2 2,172

EZR 2:3 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:4 Removed trailing space in v~: wazao wa Shefatia \tcr2 372

EZR 2:4 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:5 Removed trailing space in v~: wazao wa Ara \tcr2 775

EZR 2:5 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:6 Removed trailing space in v~: wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) \tcr2 2,812

EZR 2:6 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:7 Removed trailing space in v~: wazao wa Elamu \tcr2 1,254

EZR 2:7 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:8 Removed trailing space in v~: wazao wa Zatu \tcr2 945

EZR 2:8 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:9 Removed trailing space in v~: wazao wa Zakai \tcr2 760

EZR 2:9 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:10 Removed trailing space in v~: wazao wa Bani \tcr2 642

EZR 2:10 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:11 Removed trailing space in v~: wazao wa Bebai \tcr2 623

EZR 2:11 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:12 Removed trailing space in v~: wazao wa Azgadi \tcr2 1,222

EZR 2:12 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:13 Removed trailing space in v~: wazao wa Adonikamu \tcr2 666

EZR 2:13 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:14 Removed trailing space in v~: wazao wa Bigwai \tcr2 2,056

EZR 2:14 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:15 Removed trailing space in v~: wazao wa Adini \tcr2 454

EZR 2:15 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:16 Removed trailing space in v~: wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) \tcr2 98

EZR 2:16 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:17 Removed trailing space in v~: wazao wa Besai \tcr2 323

EZR 2:17 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:18 Removed trailing space in v~: wazao wa Yora \tcr2 112

EZR 2:18 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:19 Removed trailing space in v~: wazao wa Hashumu \tcr2 223

EZR 2:19 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:20 Removed trailing space in v~: wazao wa Gibari \tcr2 95

EZR 2:20 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:21 Removed trailing space in v~: watu wa Bethlehemu \tcr2 123

EZR 2:21 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:22 Removed trailing space in v~: watu wa Netofa \tcr2 56

EZR 2:22 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:23 Removed trailing space in v~: watu wa Anathothi \tcr2 128

EZR 2:23 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:24 Removed trailing space in v~: watu wa Azmawethi \tcr2 42

EZR 2:24 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:25 Removed trailing space in v~: wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi \tcr2 743

EZR 2:25 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:26 Removed trailing space in v~: wazao wa Rama na Geba \tcr2 621

EZR 2:26 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:27 Removed trailing space in v~: watu wa Mikmashi \tcr2 122

EZR 2:27 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:28 Removed trailing space in v~: watu wa Betheli na Ai \tcr2 223

EZR 2:28 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:29 Removed trailing space in v~: wazao wa Nebo \tcr2 52

EZR 2:29 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:30 Removed trailing space in v~: wazao wa Magbishi \tcr2 156

EZR 2:30 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:31 Removed trailing space in v~: wazao wa Elamu ile ingine \tcr2 1,254

EZR 2:31 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:32 Removed trailing space in v~: wazao wa Harimu \tcr2 320

EZR 2:32 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:33 Removed trailing space in v~: wazao wa Lodi, Hadidi na Ono \tcr2 725

EZR 2:33 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:34 Removed trailing space in v~: wazao wa Yeriko \tcr2 345

EZR 2:34 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:35 Removed trailing space in v~: wazao wa Senaa \tcr2 3,630

EZR 2:36 Removed trailing space in v~: Makuhani:

EZR 2:36 Removed trailing space in tr: \tc1 wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) \tcr2 973

EZR 2:36 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:37 Removed trailing space in v~: wazao wa Imeri \tcr2 1,052

EZR 2:37 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:38 Removed trailing space in v~: wazao wa Pashuri \tcr2 1,247

EZR 2:38 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:39 Removed trailing space in v~: wazao wa Harimu \tcr2 1,017

EZR 2:40 Removed trailing space in v~: Walawi:

EZR 2:40 Removed trailing space in tr: \tc1 wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) \tcr2 74

EZR 2:41 Removed trailing space in v~: Waimbaji:

EZR 2:41 Removed trailing space in tr: \tc1 wazao wa Asafu \tcr2 128

EZR 2:42 Removed trailing space in v~: Mabawabu wa lango la Hekalu:

EZR 2:42 Removed trailing space in tr: \tc1 wazao wa //Shalumu, Ateri, Talmoni, //Akubu, Hatita na Shobai \tcr2 139

EZR 2:43 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Hekalu:\f + \fr 2:43 \ft Yaani \fqa Wanethini \ft (pia \+xt 2:58, 70\+xt*).\f*

EZR 2:43 Found unexpected backslash in footnote: 2:43 Yaani Wanethini (pia \+xt 2:58, 70\+xt*).

EZR 2:43 Removed trailing space in p~: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

EZR 2:44 Removed trailing space in v~: wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,

EZR 2:45 Removed trailing space in v~: wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,

EZR 2:46 Removed trailing space in v~: wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,

EZR 2:47 Removed trailing space in v~: wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,

EZR 2:48 Removed trailing space in v~: wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,

EZR 2:49 Removed trailing space in v~: wazao wa Uza, Pasea, Besai,

EZR 2:50 Removed trailing space in v~: wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,

EZR 2:51 Removed trailing space in v~: wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,

EZR 2:52 Removed trailing space in v~: wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,

EZR 2:53 Removed trailing space in v~: wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,

EZR 2:54 Removed trailing space in v~: wazao wa Nesia na Hatifa.

EZR 2:55 Removed trailing space in v~: Wazao wa watumishi wa Solomoni:

EZR 2:55 Removed trailing space in p~: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,

EZR 2:56 Removed trailing space in v~: wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,

EZR 2:57 Removed trailing space in v~: wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.

EZR 2:57 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:58 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Hekalu wote na //wazao wa watumishi //wa Solomoni \tcr2 392

EZR 2:59 Removed trailing space in v~: Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:

EZR 2:59 Removed trailing space in tr: \tc1

EZR 2:60 Removed trailing space in v~: wazao wa //Delaya, Tobia na Nekoda \tcr2 652

EZR 2:61 Removed trailing space in v~: Kutoka miongoni mwa makuhani:

EZR 2:61 Removed trailing space in p~: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).

EZR 2:62 Removed trailing space in v~: Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.

EZR 2:63 Removed trailing space in v~: Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.\f + \fr 2:63 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha kifuani cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.\f*

EZR 2:64 Removed trailing space in v~: Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;

EZR 2:65 Removed trailing space in v~: tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.

EZR 2:66 Removed trailing space in v~: Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,

EZR 2:67 Removed trailing space in v~: ngamia 435 na punda 6,720.

EZR 2:68 Removed trailing space in v~: Walipofika kwenye nyumba ya \nd Bwana\nd* huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.

EZR 2:69 Removed trailing space in v~: Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000\f + \fr 2:69 \ft Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500.\f* za dhahabu, mane 5,000\f + \fr 2:69 \ft Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900.\f* za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.

EZR 2:70 Removed trailing space in v~: Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

EZR 3:0 Extra space after chapter number

EZR 3:0 Removed trailing space in c: 3

EZR 3:0 Removed trailing space in s1: Madhabahu Yajengwa Tena

EZR 3:1 Removed trailing space in v~: Mwezi wa saba ulipowadia baada ya Waisraeli kukaa katika miji yao, watu wote walikusanyika huko Yerusalemu kama mtu mmoja.

EZR 3:2 Removed trailing space in v~: Yeshua mwana wa Yosadaki na makuhani wenzake, Zerubabeli mwana wa Shealtieli pamoja na wenzake walianza kujenga madhabahu ya Mungu wa Israeli ili kumtolea dhabihu za sadaka za kuteketezwa kwa moto juu yake, kulingana na ilivyoandikwa katika Sheria ya Mose mtu wa Mungu.

EZR 3:3 Removed trailing space in v~: Ingawa waliwaogopa watu waliowazunguka, walijenga madhabahu juu ya ule msingi wake, wakamtolea \nd Bwana\nd* dhabihu za sadaka za kuteketezwa kwa moto juu yake za asubuhi na za jioni.

EZR 3:4 Removed trailing space in v~: Kisha kulingana na kile kilichoandikwa, wakaiadhimisha Sikukuu ya Vibanda wakitoa idadi ya sadaka za kuteketezwa kama ilivyohitajika kila siku sawasawa na ilivyoagizwa.

EZR 3:5 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo, walitoa sadaka za kuteketezwa za kawaida, sadaka za Mwezi Mwandamo na dhabihu zote za sikukuu takatifu za \nd Bwana\nd* zilizoamriwa, pamoja na zile sadaka za hiari zilizotolewa kwa \nd Bwana\nd*.

EZR 3:6 Removed trailing space in v~: Ingawa bado msingi wa Hekalu la \nd Bwana\nd* ulikuwa haujawekwa, watu walianza kutoa sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa \nd Bwana\nd* tangu siku ya kwanza ya mwezi wa saba.

EZR 3:6 Removed trailing space in s1: Kujenga Upya Hekalu

EZR 3:7 Removed trailing space in v~: Kisha watu wakawapa mafundi wa uashi na useremala fedha, wakawapa watu wa Sidoni na Tiro vyakula, vinywaji na mafuta ili waweze kuleta magogo ya mierezi kwa njia ya bahari kutoka Lebanoni hadi Yafa, kama alivyoagiza Koreshi mfalme wa Uajemi.

EZR 3:8 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa pili wa mwaka wa pili baada ya Waisraeli kufika kwenye nyumba ya Mungu huko Yerusalemu, Zerubabeli mwana wa Shealtieli, Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zao wengine (makuhani, Walawi na wote waliorejea Yerusalemu kutoka uhamishoni) walianza kazi, wakiteua Walawi wenye umri kuanzia miaka ishirini au zaidi kusimamia ujenzi wa nyumba ya \nd Bwana\nd*.

EZR 3:9 Removed trailing space in v~: Yeshua na wanawe, pamoja na ndugu zake, Kadmieli na wanawe (wazao wa Hodavia), wana wa Henadadi na wana wao na ndugu zao, Walawi wote walijiunga pamoja kusimamia wale waliofanya kazi katika nyumba ya Mungu.

EZR 3:10 Removed trailing space in v~: Wajenzi walipoweka msingi wa Hekalu la \nd Bwana\nd*, makuhani wakiwa wamevalia mavazi yao wakiwa na tarumbeta na Walawi (wana wa Asafu) wakiwa na matoazi, walishika nafasi zao za kumtukuza \nd Bwana\nd*, kama ilivyoagizwa na Daudi mfalme wa Israeli.

EZR 3:11 Removed trailing space in v~: Waliimba nyimbo za sifa na za shukrani kwa \nd Bwana\nd* hivi:

EZR 3:11 Removed trailing space in p~: “Yeye ni mwema;

EZR 3:11 Removed trailing space in p~: upendo wake kwa Israeli

EZR 3:11 Removed trailing space in p~: wadumu milele.”

EZR 3:11 Removed trailing space in p~: Watu wote wakapaza sauti kubwa za sifa kwa \nd Bwana\nd*, kwa sababu msingi wa nyumba ya \nd Bwana\nd* ulikuwa umewekwa.

EZR 3:12 Removed trailing space in v~: Lakini wengi wa makuhani wazee, Walawi na viongozi wa jamaa waliokuwa wameona Hekalu la mwanzoni, walilia kwa sauti walipoona msingi wa Hekalu hili ukiwekwa, huku wengine wengi wakipiga kelele kwa furaha.

EZR 3:13 Removed trailing space in v~: Hakuna mtu ambaye angeweza kutofautisha sauti hizo za furaha na za kilio, kwa sababu watu walipiga kelele sana. Nayo hiyo sauti ikasikika mbali.

EZR 4:0 Extra space after chapter number

EZR 4:0 Removed trailing space in c: 4

EZR 4:0 Removed trailing space in s1: Upinzani Kuhusu Ujenzi Mpya

EZR 4:1 Removed trailing space in v~: Adui za Yuda na Benyamini waliposikia kwamba watu waliorudi kutoka uhamishoni wanajenga Hekalu kwa ajili ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli,

EZR 4:2 Removed trailing space in v~: wakamjia Zerubabeli na viongozi wa jamaa, nao wakasema, “Turuhusuni tuwasaidie kujenga, kwa sababu sisi tunamtafuta Mungu wenu kama ninyi na tumekuwa tukimtolea dhabihu tangu wakati wa Esar-Hadoni mfalme wa Ashuru, aliyetuleta hapa.”

EZR 4:3 Removed trailing space in v~: Lakini Zerubabeli, Yeshua na viongozi wengine wa jamaa ya Israeli wakawajibu, “Ninyi hamna sehemu nasi katika kujenga Hekalu la Mungu wetu. Sisi peke yetu tutajenga Hekalu kwa ajili ya \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kama Mfalme Koreshi, mfalme wa Uajemi alivyotuagiza.”

EZR 4:4 Removed trailing space in v~: Ndipo watu waliowazunguka wakajipanga kuwakatisha tamaa watu wa Yuda na kuwafanya waogope walipokuwa wakiendelea na ujenzi.

EZR 4:5 Removed trailing space in v~: Wakaajiri washauri kuwapinga katika kazi yao, nao wakaipinga mipango yao wakati wote wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi hadi wakati wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.

EZR 4:5 Removed trailing space in s1: Upinzani Mwingine Chini Ya Ahasuero Na Artashasta

EZR 4:6 Removed trailing space in v~: Mnamo mwanzo wa utawala wa Ahasuero, hao adui waliandika mashtaka dhidi ya watu wa Yuda na Yerusalemu.

EZR 4:7 Removed trailing space in v~: Pia katika siku za utawala wa Artashasta mfalme wa Uajemi, Bishlamu, Mithredathi, Tabeeli pamoja na wenzao waliandika barua kwa Artashasta. Barua hiyo iliandikwa kwa mwandiko wa Kiaramu na katika lugha ya Kiaramu.

EZR 4:8 Removed trailing space in v~: Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai waliandika barua kwa Mfalme Artashasta dhidi ya watu wa Yerusalemu kama ifuatavyo:

EZR 4:9 Removed trailing space in v~: Rehumu afisa msimamizi na mwandishi Shimshai, pamoja na wenzao, yaani mahakimu na maafisa walio juu ya watu kuanzia Tripoli, Uajemi, Ereki na Babeli, Waelami wa Shushani,

EZR 4:10 Removed trailing space in v~: na watu wengine ambao mheshimiwa Asur-Banipali\f + \fr 4:10 \ft Yaani Osnapali au Asnapali kwa Kiaramu.\f* aliwahamisha na kuwakalisha katika mji wa Samaria na mahali pengine Ngʼambo ya Mto Frati.

EZR 4:11 Removed trailing space in v~: (Hii ndiyo nakala ya barua waliyompelekea.)

EZR 4:11 Removed trailing space in p~: Kwa Mfalme Artashasta,

EZR 4:11 Removed trailing space in p~: Kutoka kwa watumishi wako, watu wa Ngʼambo ya Mto Frati:

EZR 4:12 Removed trailing space in v~: Yapasa Mfalme ajue kuwa Wayahudi waliopanda kuja kwetu kutoka kwenu, wamekwenda Yerusalemu nao wanaujenga upya ule mji wa uasi na uovu. Wanajenga kuta upya na kukarabati misingi yake.

EZR 4:13 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, mfalme yampasa ajue kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikafanywa upya, hakutakuwa na ulipaji wa kodi wala ada au ushuru, hivyo hazina za mfalme zitaathirika.

EZR 4:14 Removed trailing space in v~: Sisi sasa kwa kuwa tunawajibika kwa jumba la kifalme na kwamba siyo sawasawa kwetu kuona mfalme akidharauliwa, basi tunatuma ujumbe huu kumtaarifu mfalme,

EZR 4:15 Removed trailing space in v~: ili kwamba ufanyike uchunguzi kwenye kumbukumbu ya maandishi ya waliokutangulia. Katika kumbukumbu hizi utagundua kwamba mji huu ni wa maasi, unaowataabisha wafalme na majimbo, ni mahali pa maasi tangu zamani. Ndiyo maana mji huu uliharibiwa.

EZR 4:16 Removed trailing space in v~: Tunamjulisha mfalme kwamba kama mji huu ukijengwa na kuta zake zikifanywa upya, hutabakiwa na chochote Ngʼambo ya Mto Frati.

EZR 4:17 Removed trailing space in v~: Mfalme alirudisha jibu hili:

EZR 4:17 Removed trailing space in p~: Kwa Rehumu, afisa msimamizi, mwandishi Shimshai na wenzenu wote wanaoishi katika Samaria na penginepo Ngʼambo ya Mto Frati:

EZR 4:17 Removed trailing space in p~: Salamu.

EZR 4:18 Removed trailing space in v~: Barua mliyotutumia imesomwa na kutafsiriwa mbele yangu.

EZR 4:19 Removed trailing space in v~: Nilitoa amri na uchunguzi ukafanyika na imegundulika kwamba mji huu una historia ndefu ya maasi dhidi ya wafalme na pamekuwa mahali pa maasi na uchochezi.

EZR 4:20 Removed trailing space in v~: Yerusalemu umepata kuwa na wafalme wenye nguvu wakitawala nchi yote iliyo Ngʼambo ya Mto Frati, wakitoza kodi, ada na ushuru huko.

EZR 4:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo toeni amri kwa watu hawa wasimamishe ujenzi, ili kwamba mji huu usiendelee kujengwa hadi nitakapoagiza.

EZR 4:22 Removed trailing space in v~: Mwe waangalifu msipuuze jambo hili. Kwa nini kuruhusu tishio hili kuendelea na kusababisha hasara kwa ufalme?

EZR 4:23 Removed trailing space in v~: Mara waliposomewa nakala ya barua ya Mfalme Artashasta, Rehumu na Shimshai aliyekuwa mwandishi na wenzao, walikwenda mara moja kwa Wayahudi huko Yerusalemu na kuwalazimisha kwa nguvu kusimamisha ujenzi.

EZR 4:24 Removed trailing space in v~: Hivyo kazi ya ujenzi wa nyumba ya Mungu huko Yerusalemu ikasimamishwa kabisa hadi mwaka wa pili wa utawala wa Dario mfalme wa Uajemi.

EZR 5:0 Extra space after chapter number

EZR 5:0 Removed trailing space in c: 5

EZR 5:0 Removed trailing space in s1: Barua Ya Tatenai Kwa Dario

EZR 5:1 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii Hagai na nabii Zekaria mzao wa Ido, wakawatolea unabii Wayahudi waliokuwa Yuda na Yerusalemu kwa jina la Mungu wa Israeli, aliyekuwa pamoja nao.

EZR 5:2 Removed trailing space in v~: Ndipo Zerubabeli mwana wa Shealtieli na Yeshua mwana wa Yosadaki wakaanza kujenga tena nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Nao manabii wa Mungu walikuwa pamoja nao, wakiwasaidia.

EZR 5:3 Removed trailing space in v~: Wakati ule Tatenai mtawala wa ngʼambo ya mto Frati na Shethar-Bozenai na wenzao waliwaendea, wakawauliza, “Ni nani aliyewapa ruhusa ya kujenga tena Hekalu hili na kurudishia upya kama lilivyokuwa?”

EZR 5:4 Removed trailing space in v~: Pia waliwauliza, “Je, majina ya watu wanaofanya ujenzi huu ni nani?”

EZR 5:5 Removed trailing space in v~: Lakini jicho la Mungu wao lilikuwa likiwaangalia wazee wa Wayahudi, nao hawakuzuiliwa kujenga mpaka taarifa ikaandikwa kwa Dario na majibu yake kupokelewa.

EZR 5:6 Removed trailing space in v~: Hii ni nakala ya barua ile Tatenai, mtawala wa ngʼambo ya mto Frati na Shethar-Bozenai na wenzao maafisa wa ngʼambo ya mto Frati waliyompelekea Mfalme Dario.

EZR 5:7 Removed trailing space in v~: Taarifa waliyompelekea ilisomeka kama ifuatavyo:

EZR 5:7 Removed trailing space in p~: Kwa Mfalme Dario:

EZR 5:7 Removed trailing space in p~: Salamu kwa moyo mkunjufu.

EZR 5:8 Removed trailing space in v~: Inampasa Mfalme ajue kwamba tulikwenda katika eneo la Yuda, kwenye Hekalu la Mungu mkuu. Watu wanalijenga kwa mawe makubwa na kuweka mbao kwenye kuta. Kazi inafanyika kwa bidii na inaendelea kwa haraka chini ya uongozi wao.

EZR 5:9 Removed trailing space in v~: Tuliwauliza viongozi, “Ni nani aliyewapa ruhusa kujenga upya Hekalu hili na kurejeza hali ya jengo kama lilivyokuwa?”

EZR 5:10 Removed trailing space in v~: Pia tuliwauliza majina yao, ili tukuandikie kukujulisha majina ya viongozi wao.

EZR 5:11 Removed trailing space in v~: Hili ndilo jibu walilotupa:

EZR 5:11 Removed trailing space in p~: “Sisi ni watumishi wa Mungu wa mbingu na nchi, nasi tunalijenga upya Hekalu ambalo lilijengwa miaka mingi iliyopita, lile ambalo mfalme mkuu wa Israeli alilijenga na kulikamilisha.

EZR 5:12 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu baba zetu walimkasirisha Mungu wa mbinguni, basi aliwatia mkononi mwa Nebukadneza, Mkaldayo, mfalme wa Babeli, ambaye aliliharibu Hekalu hili na kuwaondoa watu na kuwapeleka uhamishoni huko Babeli.

EZR 5:13 Removed trailing space in v~: “Pamoja na hayo, katika mwaka wa kwanza wa kutawala Koreshi mfalme wa Babeli, Mfalme Koreshi alitoa amri ya kujengwa upya nyumba hii ya Mungu.

EZR 5:14 Removed trailing space in v~: Yeye hata aliviondoa vyombo vya dhahabu na fedha vya nyumba ya Mungu, kutoka Hekalu la Babeli ambavyo Nebukadneza alikuwa amevichukua kutoka ndani ya Hekalu huko Yerusalemu na kuvileta katika Hekalu la Babeli.

EZR 5:14 Removed trailing space in p~: “Vyombo hivyo Mfalme Koreshi alimkabidhi mtu aliyeitwa Sheshbaza, ambaye Koreshi alikuwa amemteua awe mtawala,

EZR 5:15 Removed trailing space in v~: naye akamwambia, ‘Chukua vyombo hivi uende ukaviweke ndani ya Hekalu huko Yerusalemu. Nawe uijenge upya nyumba ya Mungu mahali pake.’

EZR 5:16 Removed trailing space in v~: Hivyo huyu Sheshbaza alikuja na kuweka misingi ya nyumba ya Mungu iliyoko Yerusalemu. Tangu siku hiyo hadi sasa imekuwa ikiendelea kujengwa lakini bado haijamalizika.”

EZR 5:17 Removed trailing space in v~: Sasa kama ikimpendeza mfalme, uchunguzi na ufanyike katika kumbukumbu za maandishi ya ufalme mjini Babeli, kuona kama kweli Mfalme Koreshi alitoa amri ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika Yerusalemu. Kisha tunaomba mfalme na atutumie uamuzi wake kuhusu jambo hili.

EZR 6:0 Extra space after chapter number

EZR 6:0 Removed trailing space in c: 6

EZR 6:0 Removed trailing space in s1: Amri Ya Dario

EZR 6:1 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Dario alitoa amri, nao wakafanya uchunguzi katika kumbukumbu zilizohifadhiwa katika hazina huko Babeli.

EZR 6:2 Removed trailing space in v~: Karatasi moja ndefu ya maandishi ilipatikana huko Ekbatana katika jimbo la Umedi. Haya ndiyo yaliyokuwa yameandikwa humo:

EZR 6:2 Removed trailing space in p~: Kumbukumbu:

EZR 6:3 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kwanza wa kutawala Mfalme Koreshi, mfalme alitoa amri kuhusu Hekalu la Mungu katika Yerusalemu:

EZR 6:3 Removed trailing space in p~: Hekalu na lijengwe tena mahali palepale Wayahudi walipokuwa wakitoa dhabihu, kwenye msingi ule ule. Iwe na kimo cha mikono sitini,\f + \fr 6:3 \ft Mikono 60 ni sawa na mita 27.\f* upana wa mikono sitini,

EZR 6:4 Removed trailing space in v~: kuta zijengwe kwa safu tatu za mawe makubwa kisha ifuate safu moja ya mbao. Gharama zitalipwa kutoka hazina ya mfalme.

EZR 6:5 Removed trailing space in v~: Pia, vyombo vya dhahabu na vya fedha vya nyumba ya Mungu, ambavyo Nebukadneza alivichukua kutoka kwenye Hekalu huko Yerusalemu akavileta Babeli, yapasa virudishwe mahali pake ndani ya Hekalu huko Yerusalemu, yapasa viwekwe ndani ya nyumba ya Mungu.

EZR 6:6 Removed trailing space in v~: Sasa basi, Tatenai, mtawala wa Ngʼambo ya Mto Frati na Shethar-Bozenai pamoja na ninyi, maafisa wenzao wa jimbo hilo kaeni mbali na mahali hapo.

EZR 6:7 Removed trailing space in v~: Msiingilie kazi ya Hekalu hili la Mungu. Mwacheni mtawala wa Wayahudi na viongozi Wayahudi wajenge upya nyumba hii ya Mungu mahali pake.

EZR 6:8 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, hapa natoa amri kuhusu mtakalofanya kwa ajili ya wazee wa Wayahudi katika ujenzi wa nyumba hii ya Mungu:

EZR 6:8 Removed trailing space in p~: Gharama za watu hawa zitalipwa kikamilifu kutoka hazina ya mfalme, kutoka kwenye mapato ya Ngʼambo ya Mto Frati, ili ujenzi usisimame.

EZR 6:9 Removed trailing space in v~: Chochote kinachohitajika kama mafahali wachanga, kondoo dume, wana-kondoo kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa kwa Mungu wa mbinguni, ngano, chumvi, divai na mafuta kama vitakavyohitajika na makuhani huko Yerusalemu, lazima wapewe kila siku pasipo kukosa,

EZR 6:10 Removed trailing space in v~: ili waweze kutoa dhabihu inayompendeza Mungu wa mbinguni na kumwombea mfalme na wanawe hali njema.

EZR 6:11 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, ninaamuru kwamba mtu yeyote atakayebadilisha amri hii, boriti itangʼolewa kutoka nyumba yake, ichongwe upande mmoja na atumbuliwe nayo. Kwa ajili ya kosa hili nyumba yake ifanywe lundo la taka.

EZR 6:12 Removed trailing space in v~: Naye Mungu, aliyeliweka Jina lake huko, amwangushe mfalme yeyote au watu watakaoinua mikono kubadili amri hii au kuharibu Hekalu hili lililoko Yerusalemu.

EZR 6:12 Removed trailing space in p~: Mimi Dario nimetoa amri hii. Nayo itekelezwe kwa bidii na kwa makini.

EZR 6:12 Removed trailing space in s1: Jengo Linakamilika Na Kuwekwa Wakfu

EZR 6:13 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya amri aliyotoa Mfalme Dario, Tatenai mtawala wa Ngʼambo ya Mto Frati na Shethar-Bozenai na wenzao wakaitekeleza kwa bidii na kwa makini.

EZR 6:14 Removed trailing space in v~: Hivyo wazee wa Wayahudi waliendelea kujenga na kustawi kutokana na mahubiri ya manabii Hagai na Zekaria, mwana wa Ido. Wakakamilisha ujenzi wa Hekalu kulingana na agizo la Mungu wa Israeli na amri ya Koreshi, Dario na Artashasta wafalme wa Uajemi.

EZR 6:15 Removed trailing space in v~: Hekalu lilikamilika siku ya kumi na mbili ya mwezi wa Adari, ndio mwezi wa tatu, katika mwaka wa sita wa utawala wa Mfalme Dario.

EZR 6:16 Removed trailing space in v~: Kisha watu wa Israeli: makuhani, Walawi na wengine wote waliohamishwa, wakaadhimisha kule kuwekwa wakfu nyumba ya Mungu kwa shangwe.

EZR 6:17 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya kuwekwa wakfu nyumba hii ya Mungu walitoa mafahali mia moja, kondoo dume mia mbili, wana-kondoo mia nne, sadaka kwa ajili ya dhambi ya Israeli yote walitoa mbuzi dume kumi na wawili, mmoja kwa ajili ya kila kabila la Israeli.

EZR 6:18 Removed trailing space in v~: Wakawaweka makuhani katika nafasi zao na Walawi wakawekwa katika makundi yao ya huduma kwa Mungu huko Yerusalemu, kulingana na ilivyoandikwa katika Kitabu cha Mose.

EZR 6:18 Removed trailing space in s1: Pasaka

EZR 6:19 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kumi na nne ya mwezi wa kwanza, waliorudi kutoka uhamishoni wakaadhimisha Pasaka.

EZR 6:20 Removed trailing space in v~: Makuhani na Walawi walikuwa wamekwisha kujitakasa nao wamekuwa safi kwa kufuata kawaida za ibada. Walawi wakachinja kondoo wa Pasaka kwa ajili ya wana wa waliorudi kutoka utumwani uhamishoni, kwa ajili ya ndugu zao makuhani na wao wenyewe.

EZR 6:21 Removed trailing space in v~: Hivyo Waisraeli waliokuwa wamerudi kutoka utumwani uhamishoni wakaila Pasaka, pamoja na wale waliokuwa wamejitenga na matendo ya unajisi wa Mataifa ya jirani ili kumtafuta \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

EZR 6:22 Removed trailing space in v~: Kwa muda wa siku saba waliiadhimisha Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu kwa furaha, kwa sababu \nd Bwana\nd* alikuwa amewajaza furaha kwa kubadilisha nia ya mfalme wa Ashuru kwamba awasaidie ujenzi wa nyumba ya Mungu, Mungu wa Israeli.

EZR 8:0 Extra space after chapter number

EZR 8:0 Removed trailing space in c: 8

EZR 8:0 Removed trailing space in s1: Orodha Ya Viongozi Wa Jamaa Waliorudi Na Ezra

EZR 8:1 Removed trailing space in v~: Hawa ndio viongozi wa jamaa pamoja na wale walioandikwa ambao walikuja pamoja nami kutoka Babeli wakati wa utawala wa Mfalme Artashasta:

EZR 8:2 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Finehasi, alikuwa Gershoni;

EZR 8:2 Removed trailing space in p~: wa wazao wa Ithamari, alikuwa Danieli;

EZR 8:2 Removed trailing space in p~: wa wazao wa Daudi, alikuwa Hatushi

EZR 8:3 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Shekania;

EZR 8:3 Removed trailing space in p~: wa wazao wa Paroshi, alikuwa Zekaria, na watu 150 walioandikishwa pamoja naye;

EZR 8:4 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Pahath-Moabu, alikuwa Eliehoenai mwana wa Zerahia na wanaume 200 pamoja naye;

EZR 8:5 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Zatu, alikuwa Shekania mwana wa Yahazieli na wanaume 300 pamoja naye;

EZR 8:6 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Adini, alikuwa Ebedi mwana wa Yonathani na wanaume 50 pamoja naye;

EZR 8:7 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Elamu, alikuwa Yeshaya mwana wa Athalia, na wanaume 70 pamoja naye;

EZR 8:8 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Shefatia, alikuwa Zebadia mwana wa Mikaeli na wanaume 80 pamoja naye;

EZR 8:9 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Yoabu, alikuwa Obadia mwana wa Yehieli na wanaume 218 pamoja naye;

EZR 8:10 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Bani, alikuwa Shelomithi mwana wa Yosifia na wanaume 160 pamoja naye;

EZR 8:11 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Bebai, alikuwa Zekaria mwana wa Bebai na wanaume 28 pamoja naye;

EZR 8:12 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Azgadi, alikuwa Yohanani mwana wa Hakatani na wanaume 110 pamoja naye;

EZR 8:13 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Adonikamu, hawa walikuwa wa mwisho ambao majina yao ni Elifeleti, Yeueli, Shemaya na wanaume 60 pamoja nao;

EZR 8:14 Removed trailing space in v~: wa wazao wa Bigwai, walikuwa Uthai na Zakuri na wanaume 70 pamoja nao.

EZR 8:14 Removed trailing space in s1: Kurudi Yerusalemu

EZR 8:15 Removed trailing space in v~: Niliwakusanya kwenye mto utiririkao kuelekea Ahava, nasi tukapiga kambi pale siku tatu. Wakati nilipokagua kati ya watu na makuhani, sikuwapata Walawi.

EZR 8:16 Removed trailing space in v~: Basi niliwaita Eliezeri, Arieli, Shemaya, Elnathani, Yaribu, Elnathani, Nathani, Zekaria na Meshulamu waliokuwa viongozi na Yoyaribu na Elnathani waliokuwa wasomi,

EZR 8:17 Removed trailing space in v~: nikawatuma kwa Ido kiongozi huko Kasifia. Niliwaambia watakayomwambia Ido na ndugu zake, watumishi wa Hekalu\f + \fr 8:17 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa* (pia 8:20).\f* huko Kasifia, ili waweze kutuletea wahudumu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.

EZR 8:18 Removed trailing space in v~: Kwa sababu mkono wa neema wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, walituletea Sherebia, mtu mwenye uwezo kutoka wazao wa Mahli mwana wa Lawi, mwana wa Israeli, na wana wa Sherebia pamoja na ndugu zao wanaume kumi na wanane.

EZR 8:19 Removed trailing space in v~: Naye Hashabia, pamoja na Yeshaya kutoka wazao wa Merari na ndugu zake na wapwa wake wanaume ishirini.

EZR 8:20 Removed trailing space in v~: Vilevile walileta watumishi wa Hekalu 220, kikundi ambacho Daudi na maafisa walikuwa wamekiweka kusaidia Walawi. Wote walikuwa wameorodheshwa kwa majina.

EZR 8:21 Removed trailing space in v~: Kando ya Mto Ahava, hapo nilitangaza kufunga, ili tujinyenyekeshe mbele za Mungu wetu na kumwomba kwa ajili ya kutujalia safari ya amani sisi na watoto wetu, pamoja na mali zetu zote.

EZR 8:22 Removed trailing space in v~: Niliona aibu kumwomba mfalme askari na wapanda farasi wa kutulinda njiani kutokana na adui zetu, kwa sababu tulikwisha kumwambia mfalme, “Mkono wa neema wa Mungu wetu uko juu ya kila mmoja anayemtafuta, lakini hasira yake kubwa ni dhidi ya wote wamwachao.”

EZR 8:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tulifunga na kumwomba Mungu wetu kuhusu jambo hili, naye akajibu maombi yetu.

EZR 8:24 Removed trailing space in v~: Kisha niliwatenga viongozi wa makuhani kumi na wawili, pamoja na Sherebia, Hashabia na ndugu zao kumi,

EZR 8:25 Removed trailing space in v~: nami nikawapimia fedha, dhahabu na vifaa ambavyo mfalme, washauri wake, maafisa wake na Israeli wote waliokuwepo walikuwa wamevitoa sadaka kwa ajili ya nyumba ya Mungu wetu.

EZR 8:26 Removed trailing space in v~: Niliwapimia talanta 650\f + \fr 8:26 \ft Talanta 650 za fedha ni sawa na tani 25.\f* za fedha, vifaa vingine vya fedha vya uzito wa talanta mia moja,\f + \fr 8:26 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.\f* talanta mia moja za dhahabu,

EZR 8:27 Removed trailing space in v~: mabakuli ishirini ya dhahabu ya thamani ya darkoni elfu moja,\f + \fr 8:27 \ft Darkoni 1,000 ni sawa na kilo 8.5.\f* na vyombo viwili vya shaba iliyosuguliwa, ya thamani kama dhahabu.

EZR 8:28 Removed trailing space in v~: Niliwaambia, “Ninyi pamoja na vyombo hivi ni wakfu kwa \nd Bwana\nd*. Fedha na dhahabu ni sadaka ya hiari kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu.

EZR 8:29 Removed trailing space in v~: Vilindeni kwa uangalifu mpaka mtakapovipima ndani ya vyumba vya nyumba ya \nd Bwana\nd* katika Yerusalemu mbele ya makuhani, viongozi na Walawi pamoja na wakuu wa jamaa za Israeli.”

EZR 8:30 Removed trailing space in v~: Ndipo makuhani na Walawi wakapokea fedha, dhahabu na vyombo vilivyowekwa wakfu ambavyo vilipimwa na kupelekwa katika nyumba ya Mungu wetu mjini Yerusalemu.

EZR 8:31 Removed trailing space in v~: Tulianza safari kutoka Mto Ahava kwenda Yerusalemu kwenye siku ya kumi na mbili ya mwezi wa kwanza. Mkono wa Mungu wetu ulikuwa juu yetu, naye njiani alitulinda dhidi ya adui na wanyangʼanyi.

EZR 8:32 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tuliwasili Yerusalemu ambapo tulipumzika kwa siku tatu.

EZR 8:33 Removed trailing space in v~: Katika siku ya nne, ndani ya nyumba ya Mungu wetu, tulipima fedha, dhahabu na vyombo vilivyowekwa wakfu, tukakabidhi mikononi mwa kuhani Meremothi mwana wa Uria. Eleazari mwana wa Finehasi alikuwa pamoja naye, pia walikuwako Walawi wawili, Yozabadi mwana wa Yeshua na Noadia mwana wa Binui.

EZR 8:34 Removed trailing space in v~: Kila kitu kilihesabiwa kwa idadi na kupimwa kwa uzito, nao uzito wote uliandikwa wakati ule.

EZR 8:35 Removed trailing space in v~: Kisha mateka waliokuwa wamerudi kutoka utumwani wakatoa sadaka za kuteketezwa kwa moto kwa Mungu wa Israeli: mafahali kumi na wawili kwa ajili ya Israeli wote, kondoo dume tisini na sita, wana-kondoo sabini na saba na mbuzi dume kumi na wawili kuwa sadaka ya dhambi. Hii yote ilikuwa sadaka ya kuteketezwa kwa moto kwa \nd Bwana\nd*.

EZR 8:36 Removed trailing space in v~: Pia walikabidhi manaibu wa mfalme na watawala wa Ngʼambo ya Mto Frati maagizo ya mfalme, ambao baadaye walitoa msaada kwa watu na kwa nyumba ya Mungu.

EZR 9:0 Extra space after chapter number

EZR 9:0 Removed trailing space in c: 9

EZR 9:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Ezra Kuhusu Kuoa Wake Wa Kigeni

EZR 9:1 Removed trailing space in v~: Baada ya mambo haya kutendeka, viongozi walinijia na kusema, “Watu wa Israeli, wakiwemo makuhani na Walawi, hawakujitenga na majirani zao katika kufanya machukizo, kama yale ya Wakanaani, Wahiti, Waperizi, Wayebusi, Waamoni, Wamoabu, Wamisri na Waamori.

EZR 9:2 Removed trailing space in v~: Wamewaoa baadhi ya binti zao kuwa wake zao na wake za wana wao, nao wamechanganya taifa takatifu na watu waliowazunguka. Nao viongozi na maafisa wamekuwa mstari wa mbele katika njia hii potovu.”

EZR 9:3 Removed trailing space in v~: Niliposikia jambo hili nilirarua koti langu na joho langu, nikazingʼoa nywele za kichwa changu na ndevu zangu na kuketi nikishangaa.

EZR 9:4 Removed trailing space in v~: Kisha kila mmoja aliyetetemeshwa na maneno ya Mungu wa Israeli alikusanyika kunizunguka kwa sababu ya upotovu huu wa hao watu waliorudi kutoka utumwani. Nami niliketi pale nikishangaa mpaka wakati wa dhabihu ya jioni.

EZR 9:5 Removed trailing space in v~: Ndipo wakati wa kutoa dhabihu ya jioni nikainuka kutoka kujidhili kwangu nikiwa na koti na joho langu lililoraruka, nikapiga magoti mikono yangu ikiwa imeinuliwa kwa \nd Bwana\nd* Mungu wangu.

EZR 9:6 Removed trailing space in v~: Nami nikaomba:

EZR 9:6 Removed trailing space in p~: “Ee Mungu wangu, natahayari na kuona aibu kukuinulia uso wangu Mungu wangu, kwa sababu dhambi zetu zimejikusanya hata kupita juu ya vichwa vyetu na hatia yetu imefika mbinguni.

EZR 9:7 Removed trailing space in v~: Tokea siku za babu zetu mpaka sasa, hatia yetu imekuwa kubwa. Kwa sababu ya dhambi zetu, sisi na wafalme wetu na makuhani wetu tumekabiliwa na vita, utumwa, kutekwa na kudhiliwa katika mikono ya wafalme wa kigeni, kama ilivyo leo.

EZR 9:8 Removed trailing space in v~: “Lakini sasa, kwa muda mfupi, \nd Bwana\nd* Mungu wetu amekuwa na neema kwa kutuachia mabaki na kutupa mahali imara katika mahali pake patakatifu, hivyo Mungu wetu atupa mwanga machoni petu na unafuu katika utumwa wetu.

EZR 9:9 Removed trailing space in v~: Ingawa tu watumwa, Mungu wetu hajatuacha katika kufungwa kwetu. Ametuonyesha huruma mbele ya wafalme wa Uajemi: Ametujalia maisha mapya kwa kujenga upya nyumba ya Mungu wetu na kukarabati magofu yake, naye ametupa ukuta wa ulinzi katika Yuda na Yerusalemu.

EZR 9:10 Removed trailing space in v~: “Lakini sasa, Ee Mungu wetu, tunaweza kusema nini baada ya hili? Kwa maana tumedharau maagizo

EZR 9:11 Removed trailing space in v~: uliyoyatoa kupitia watumishi wako manabii uliposema: ‘Nchi mnayoiingia kuimiliki ni nchi iliyochafuliwa na uovu wa watu wake. Kwa matendo yao ya machukizo wameijaza nchi kwa unajisi wao kutoka mwisho mmoja hadi mwingine.

EZR 9:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, msiwaoze binti zenu kwa wana wao wala binti zao kwa wana wenu. Msitafute mkataba wa urafiki nao kwa wakati wowote. Ndipo mtakapofanikiwa na kula mema ya nchi na kuwaachia watoto wenu nchi hiyo kama urithi wao wa milele.’

EZR 9:13 Removed trailing space in v~: “Yale yaliyotupata ni matokeo ya matendo yetu mabaya, pia hatia yetu kubwa. Hata hivyo, wewe Mungu wetu, umetuadhibu kidogo kuliko dhambi zetu zilivyostahili na umetupa mabaki kama haya.

EZR 9:14 Removed trailing space in v~: Je, tutavunja maagizo yako tena na kuoana na watu ambao hufanya mambo ya machukizo? Je, hutakuwa na hasira ya kutosha juu yetu na kutuangamiza, bila kutuachia mabaki wala atakayenusurika?

EZR 9:15 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, wewe ni mwenye haki! Leo hii tumeachwa kama mabaki. Tupo hapa mbele zako na hatia yetu, ingawa katika hali hii hakuna hata mmoja wetu anayeweza kusimama mbele zako.”

EZR 10:0 Extra space after chapter number

EZR 10:0 Removed trailing space in c: 10

EZR 10:0 Removed trailing space in s1: Toba Ya Watu

EZR 10:1 Removed trailing space in v~: Wakati Ezra alipokuwa anaomba na kuungama, huku akilia na kujitupa chini mbele ya nyumba ya Mungu, umati mkubwa wa Waisraeli, wanaume, wanawake na watoto walikusanyika kumzunguka. Nao pia wakalia sana.

EZR 10:2 Removed trailing space in v~: Kisha Shekania mwana wa Yehieli, mmoja wa wazao wa Elamu, akamwambia Ezra, “Tumekosa uaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni kutoka mataifa yanayotuzunguka. Lakini pamoja na hili, bado liko tumaini kwa ajili ya Israeli.

EZR 10:3 Removed trailing space in v~: Sasa na tufanye agano mbele za Mungu wetu kuwafukuza hawa wanawake wote pamoja na watoto wao, kulingana na maonyo ya bwana wangu pamoja na wale ambao wanaogopa amri za Mungu wetu. Hili na lifanyike sawasawa na hii Sheria.

EZR 10:4 Removed trailing space in v~: Inuka, suala hili lipo mikononi mwako. Sisi tutaungana nawe, uwe na ujasiri ukatende hili.”

EZR 10:5 Removed trailing space in v~: Basi Ezra akainuka na kuwaapisha makuhani viongozi, Walawi na Israeli yote kufanya lile lililokuwa limependekezwa. Nao wakaapa.

EZR 10:6 Removed trailing space in v~: Ndipo Ezra akaondoka hapo mbele ya nyumba ya Mungu akaenda kwenye chumba cha Yehohanani mwana wa Eliashibu. Wakati alipokuwa hapo, hakula chakula wala hakunywa maji, kwa sababu aliendelea kuomboleza kuhusu kukosa uaminifu kwa watu wa uhamishoni.

EZR 10:7 Removed trailing space in v~: Ndipo lilipotolewa tangazo Yuda yote na Yerusalemu kwa watu wote waliokuwa uhamishoni kukusanyika Yerusalemu.

EZR 10:8 Removed trailing space in v~: Yeyote ambaye hangejitokeza kwa muda wa siku tatu angepoteza mali yake yote, kulingana na uamuzi wa maafisa na wazee, naye mtu huyo angefukuzwa kutoka kusanyiko la watu waliokuwa uhamishoni.

EZR 10:9 Removed trailing space in v~: Katika muda wa siku tatu, watu wote wa Yuda na Benyamini wakawa wamekusanyika huko Yerusalemu. Kwenye siku ya ishirini ya mwezi wa tisa, watu wote walikuwa wameketi ndani ya uwanja mbele ya nyumba ya Mungu, wakiwa na majonzi mno kwa tukio hilo na kwa sababu ya mvua kubwa.

EZR 10:10 Removed trailing space in v~: Ndipo Kuhani Ezra aliposimama akawaambia, “Mmekosa uaminifu, mmeoa wanawake wa kigeni, mkaongezea hatia ya Israeli.

EZR 10:11 Removed trailing space in v~: Sasa tubuni kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba zenu mkafanye mapenzi yake. Jitengeni na mataifa wanaowazunguka na wake zenu wa kigeni.”

EZR 10:12 Removed trailing space in v~: Kusanyiko lote likajibu kwa sauti kubwa: “Uko sawa kabisa! Ni lazima tufanye kama unavyosema.

EZR 10:13 Removed trailing space in v~: Lakini hapa pana watu wengi na ni wakati wa mvua, hivyo hatuwezi kusimama nje. Hata hivyo, shauri hili haliwezi kumalizika kwa siku moja au mbili, kwa sababu tumefanya dhambi kubwa katika jambo hili.

EZR 10:14 Removed trailing space in v~: Maafisa wetu na wafanye kwa niaba ya kusanyiko lote. Kisha kila mmoja katika miji yetu ambaye ameoa mwanamke wa kigeni aje kwa wakati uliopangwa, akiwa pamoja na wazee na waamuzi wa kila mji, hadi hasira kali ya Mungu wetu katika shauri hili itakapoondolewa kwetu.”

EZR 10:15 Removed trailing space in v~: Yonathani mwana wa Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa peke yao, wakiungwa mkono na Meshulamu na Shabethai Mlawi, ndio waliopinga jambo hili.

EZR 10:16 Removed trailing space in v~: Basi watu wa uhamishoni wakafanya kama ilivyokuwa imependekezwa. Kuhani Ezra akachagua wanaume waliokuwa viongozi wa jamaa, mmoja kutoka kila mgawanyo wa jamaa, nao wote wakachaguliwa kwa majina. Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kumi waliketi kuchunguza mashauri hayo.

EZR 10:17 Removed trailing space in v~: Katika siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kushughulikia wanaume wote waliokuwa wameoa wanawake wa kigeni.

EZR 10:17 Removed trailing space in s1: Wenye Hatia Ya Kuoa Wake Wa Kigeni

EZR 10:18 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa wazao wa makuhani, wafuatao walikuwa wameoa wanawake wa kigeni:

EZR 10:18 Removed trailing space in p~: Kutoka wazao wa Yeshua mwana wa Yosadaki na ndugu zake: Maaseya, Eliezeri, Yaribu na Gedalia.

EZR 10:19 Removed trailing space in v~: (Wote walitoa nadhiri kwa kuandika kwa mikono yao kuwafukuza wake zao, kwa hatia yao, kila mmoja akatoa kondoo dume kutoka kundini mwake kama sadaka ya hatia.)

EZR 10:20 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Imeri:

EZR 10:20 Removed trailing space in p~: Hanani na Zebadia.

EZR 10:21 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Harimu:

EZR 10:21 Removed trailing space in p~: Maaseya, Eliya, Shemaya, Yehieli na Uzia.

EZR 10:22 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Pashuri:

EZR 10:22 Removed trailing space in p~: Elioenai, Maaseya, Ishmaeli, Nethaneli, Yozabadi na Elasa.

EZR 10:23 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa Walawi:

EZR 10:23 Removed trailing space in p~: Yozabadi, Shimei, Kelaya (ndiye Kelita), Pethahia, Yuda na Eliezeri.

EZR 10:24 Removed trailing space in v~: Kutoka waimbaji:

EZR 10:24 Removed trailing space in p~: Eliashibu.

EZR 10:24 Removed trailing space in p~: Kutoka mabawabu:

EZR 10:24 Removed trailing space in p~: Shalumu, Telemu na Uri.

EZR 10:25 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa Waisraeli wengine:

EZR 10:25 Removed trailing space in p~: Kutoka wazao wa Paroshi:

EZR 10:25 Removed trailing space in p~: Ramia, Izia, Malkiya, Miyamini, Eleazari, Malkiya na Benaya.

EZR 10:26 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Elamu:

EZR 10:26 Removed trailing space in p~: Matania, Zekaria, Yehieli, Abdi, Yeremothi na Eliya.

EZR 10:27 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Zatu:

EZR 10:27 Removed trailing space in p~: Elioenai, Eliashibu, Matania, Yeremothi, Zabadi na Aziza.

EZR 10:28 Removed trailing space in v~: Kutoka uzao wa Bebai:

EZR 10:28 Removed trailing space in p~: Yehohanani, Hanania, Zabai na Athlai.

EZR 10:29 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Bani:

EZR 10:29 Removed trailing space in p~: Meshulamu, Maluki, Adaya, Yashubu, Sheali na Yeremothi.

EZR 10:30 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Pahath-Moabu:

EZR 10:30 Removed trailing space in p~: Adna, Kelali, Benaya, Maaseya, Matania, Bezaleli, Binui na Manase.

EZR 10:31 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Harimu:

EZR 10:31 Removed trailing space in p~: Eliezeri, Ishiya, Malkiya, Shemaya, Shimeoni,

EZR 10:32 Removed trailing space in v~: Benyamini, Maluki, na Shemaria.

EZR 10:33 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Hashumu:

EZR 10:33 Removed trailing space in p~: Matenai, Matata, Zabadi, Elifeleti, Yeremai, Manase na Shimei.

EZR 10:34 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Bani:

EZR 10:34 Removed trailing space in p~: Maadai, Amramu, Ueli,

EZR 10:35 Removed trailing space in v~: Benaya, Bedeya, Keluhi,

EZR 10:36 Removed trailing space in v~: Vania, Meremothi, Eliashibu,

EZR 10:37 Removed trailing space in v~: Matania, Matenai na Yaasu.

EZR 10:38 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Binui:

EZR 10:38 Removed trailing space in p~: Shimei,

EZR 10:39 Removed trailing space in v~: Shelemia, Nathani, Adaya,

EZR 10:40 Removed trailing space in v~: Maknadebai, Shashai, Sharai,

EZR 10:41 Removed trailing space in v~: Azareli, Shelemia, Shemaria,

EZR 10:42 Removed trailing space in v~: Shalumu, Amaria na Yosefu.

EZR 10:43 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Nebo:

EZR 10:43 Removed trailing space in p~: Yeieli, Matithia, Zabadi, Zebina, Yadai, Yoeli na Benaya.

EZR 10:44 Removed trailing space in v~: Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni, na baadhi yao walikuwa wamezaa nao watoto.

NEH -1:0 Removed trailing space in id: NEH - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

NEH -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

NEH -1:2 Removed trailing space in h: Nehemia

NEH -1:3 Removed trailing space in toc1: Nehemia

NEH -1:4 Removed trailing space in toc2: Nehemia

NEH -1:5 Removed trailing space in toc3: Neh

NEH -1:6 Removed trailing space in mt1: Nehemia

NEH 1:0 Extra space after chapter number

NEH 1:0 Removed trailing space in c: 1

NEH 1:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Nehemia

NEH 1:1 Removed trailing space in v~: Maneno ya Nehemia mwana wa Hakalia:

NEH 1:1 Removed trailing space in p~: Katika mwezi wa Kisleu\f + \fr 1:1 \ft Kisleu ni mwezi wa tisa katika kalenda ya Kiyahudi; katika kalenda yetu ni Novemba/Desemba (ona pia \+rq Zekaria 7:1\+rq*).\f* katika mwaka wa ishirini, wakati nilikuwa ngomeni katika jumba la kifalme la Shushani,

NEH 1:2 Removed trailing space in v~: Hanani, mmoja wa ndugu zangu, alikuja kutoka Yuda akiwa na watu wengine, nami nikawauliza kuhusu mabaki ya Wayahudi wale walionusurika kwenda uhamishoni na pia kuhusu Yerusalemu.

NEH 1:3 Removed trailing space in v~: Wakaniambia, “Wale walionusurika kwenda uhamishoni, wale ambao wamerudi kwenye lile jimbo, wako katika taabu kubwa na aibu. Ukuta wa Yerusalemu umebomoka, na malango yake yamechomwa moto.”

NEH 1:4 Removed trailing space in v~: Niliposikia mambo haya, niliketi, nikalia. Kwa siku kadhaa niliomboleza na kufunga na kuomba mbele za Mungu wa mbinguni.

NEH 1:5 Removed trailing space in v~: Kisha nikasema:

NEH 1:5 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wa mbinguni, mkuu na mwenye kuogofya, ambaye hulishika agano lake la upendo na wale wampendao na kutii amri zake,

NEH 1:6 Removed trailing space in v~: tega masikio yako, na ufungue macho yako, ili usikie maombi ya mtumishi wako anayoomba mbele yako usiku na mchana kwa ajili ya watumishi wako, watu wa Israeli. Ninaungama dhambi zetu sisi Waisraeli, pamoja na zangu na za nyumba ya baba yangu, tulizotenda dhidi yako.

NEH 1:7 Removed trailing space in v~: Tumetenda uovu sana mbele zako. Hatukutii amri, maagizo na sheria ulizompa Mose mtumishi wako.

NEH 1:8 Removed trailing space in v~: “Kumbuka agizo ulilompa Mose mtumishi wako, ukisema, ‘Kama mkikosa uaminifu, nitawatawanya miongoni mwa mataifa,

NEH 1:9 Removed trailing space in v~: lakini mkinirudia na kutii amri zangu, ndipo hata kama watu wenu walio uhamishoni wako mbali sana katika miisho ya dunia, nitawakusanya kutoka huko na kuwaleta mahali ambapo nimepachagua kuwa makao kwa ajili ya Jina langu.’

NEH 1:10 Removed trailing space in v~: “Hawa ni watumishi wako na watu wako, uliowakomboa kwa nguvu zako kuu na mkono wako wenye nguvu.

NEH 1:11 Removed trailing space in v~: Ee Bwana, tega sikio lako na usikie maombi ya huyu mtumishi wako, na maombi ya watumishi wako wanaofurahia kuliheshimu Jina lako. Nipe leo, mimi mtumishi wako, mafanikio kwa kunipa kibali mbele ya mtu huyu.”

NEH 1:11 Removed trailing space in p~: Kwa maana nilikuwa mnyweshaji wa mfalme.

NEH 2:0 Extra space after chapter number

NEH 2:0 Removed trailing space in c: 2

NEH 2:0 Removed trailing space in s1: Artashasta Amtuma Nehemia Yerusalemu

NEH 2:1 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa Nisani\f + \fr 2:1 \ft Nisani (Abibu) ni mwezi wa kwanza katika kalenda ya Kiyunani; katika kalenda yetu ni Machi/Aprili.\f* mwaka wa ishirini wa utawala wa Mfalme Artashasta, wakati divai ilipoletwa kwake, niliichukua na kumpa mfalme. Sikuwahi kuonekana mwenye huzuni mbele yake kabla ya hapo.

NEH 2:2 Removed trailing space in v~: Basi mfalme akaniuliza, “Kwa nini uso wako unaonekana una huzuni wakati wewe si mgonjwa? Jambo hili si kitu kingine bali ni huzuni ya moyo.”

NEH 2:2 Removed trailing space in p~: Niliogopa sana,

NEH 2:3 Removed trailing space in v~: lakini nikamwambia mfalme, “Mfalme na aishi milele! Kwa nini uso wangu usiwe na huzuni wakati mji walipozikwa baba zangu umebaki magofu, na malango yake yameteketezwa kwa moto?”

NEH 2:4 Removed trailing space in v~: Mfalme akaniambia, “Je, haja yako ni gani?”

NEH 2:4 Removed trailing space in p~: Ndipo nikaomba kwa Mungu wa mbinguni,

NEH 2:5 Removed trailing space in v~: na nikamjibu mfalme, “Kama ikimpendeza mfalme, na kama mtumishi wako amepata kibali machoni pake, anitume kule mji wa Yuda, mahali baba zangu walipozikwa, ili niweze kuujenga upya.”

NEH 2:6 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme, na malkia akiwa ameketi karibu naye, akaniuliza, “Safari yako itachukua muda gani, nawe utarudi lini?” Ilimpendeza mfalme kunituma, kwa hiyo nikapanga muda.

NEH 2:7 Removed trailing space in v~: Pia nikamwambia, “Kama ikimpendeza mfalme, naomba nipewe barua kwa watawala wa Ngʼambo ya Frati, ili wanipe ulinzi mpaka nifike Yuda.

NEH 2:8 Removed trailing space in v~: Naomba nipewe barua nipeleke kwa Asafu, mtunzaji wa msitu wa mfalme, ili anipe miti ya kutengeneza boriti kwa ajili ya malango ya ngome ya Hekalu, na ukuta wa mji, na makao yangu nitakapoishi.” Kwa kuwa mkono wenye neema wa Mungu wangu ulikuwa juu yangu, mfalme akanijalia ombi langu.

NEH 2:9 Removed trailing space in v~: Basi nilienda kwa watawala wa Ngʼambo ya Frati na kuwapa barua za mfalme. Pia mfalme alikuwa ametuma maafisa wa jeshi na askari wapanda farasi pamoja nami.

NEH 2:10 Removed trailing space in v~: Sanbalati Mhoroni na Tobia afisa Mwamoni waliposikia juu ya jambo hili, waliudhika sana kwamba amekuja mtu kuinua ustawi wa Waisraeli.

NEH 2:10 Removed trailing space in s1: Nehemia Akagua Kuta Za Yerusalemu

NEH 2:11 Removed trailing space in v~: Nilienda Yerusalemu, na baada ya kukaa huko siku tatu,

NEH 2:12 Removed trailing space in v~: nikaondoka wakati wa usiku pamoja na watu wachache. Sikuwa nimemwambia mtu yeyote kile ambacho Mungu wangu alikuwa ameweka moyoni mwangu kufanya kwa ajili ya Yerusalemu. Hapakuwepo na mnyama yeyote pamoja nami isipokuwa yule niliyekuwa nimempanda.

NEH 2:13 Removed trailing space in v~: Nikatoka nje usiku kupitia Lango la Bondeni, kuelekea Kisima cha Joka na Lango la Samadi, nikikagua kuta za Yerusalemu zilizokuwa zimebomolewa, na malango yake yaliyokuwa yameteketezwa kwa moto.

NEH 2:14 Removed trailing space in v~: Kisha nikaelekea mpaka Lango la Chemchemi na Bwawa la Mfalme, lakini hapakuwepo nafasi ya kutosha kwa ajili ya mnyama wangu kupita,

NEH 2:15 Removed trailing space in v~: kwa hiyo nikapandia bondeni usiku nikikagua ukuta. Mwishoni nikarudi na kuingia tena kupitia Lango la Bondeni.

NEH 2:16 Removed trailing space in v~: Maafisa hawakujua nilikokwenda wala nilichokuwa nikifanya, kwa sababu mpaka sasa nilikuwa bado sijasema lolote kwa Wayahudi, wala makuhani, wala wakuu, wala maafisa, wala mtu yeyote ambaye angefanya kazi.

NEH 2:17 Removed trailing space in v~: Ndipo nilipowaambia, “Mnaona taabu tuliyo nayo: Yerusalemu imebaki magofu na malango yake yameteketezwa kwa moto. Njooni tujenge upya ukuta wa Yerusalemu, nasi hatutakuwa tena katika aibu hii.”

NEH 2:18 Removed trailing space in v~: Pia niliwaambia kuhusu mkono wenye neema wa Mungu wangu uliokuwa juu yangu, na kile mfalme alichokuwa ameniambia.

NEH 2:18 Removed trailing space in p~: Wakajibu, “Haya! Tuanze kujenga tena.” Kwa hiyo wakaanza kazi hii njema.

NEH 2:19 Removed trailing space in v~: Lakini Sanbalati Mhoroni, Tobia afisa Mwamoni, na Geshemu Mwarabu waliposikia kuhusu jambo hili, walitudhihaki na kutucheka. Wakauliza, “Ni nini hiki mnachokifanya? Je, mnaasi dhidi ya mfalme?”

NEH 2:20 Removed trailing space in v~: Nikawajibu kwa kusema, “Mungu wa mbinguni atatufanikisha. Sisi watumishi wake tutaanza kujenga upya, lakini kwenu ninyi, hamna sehemu wala dai lolote wala kumbukumbu la haki katika Yerusalemu.”

NEH 3:0 Extra space after chapter number

NEH 3:0 Removed trailing space in c: 3

NEH 3:0 Removed trailing space in s1: Wajenzi Wa Ukuta

NEH 3:1 Removed trailing space in v~: Eliashibu kuhani mkuu na makuhani wenzake walikwenda kufanya kazi na kulijenga upya Lango la Kondoo. Waliliweka wakfu na kuweka milango mahali pake, wakajenga hadi kufikia Mnara wa Mia, ambao waliuweka wakfu hadi Mnara wa Hananeli.

NEH 3:2 Removed trailing space in v~: Watu wa Yeriko wakajenga sehemu zilizopakana nao, naye Zakuri mwana wa Imri akajenga karibu nao.

NEH 3:3 Removed trailing space in v~: Lango la Samaki lilijengwa upya na wana wa Hasenaa. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango yake na makomeo na nondo.

NEH 3:4 Removed trailing space in v~: Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu iliyofuatia. Baada yake Meshulamu mwana wa Berekia, mwana wa Meshezabeli, alifanya ukarabati na aliyemfuatia ni Sadoki mwana wa Baana.

NEH 3:5 Removed trailing space in v~: Sehemu iliyofuatia ilikarabatiwa na watu kutoka Tekoa, lakini wakuu wao walikataa kufanya kazi chini ya wasimamizi wao.

NEH 3:6 Removed trailing space in v~: Lango la Yeshana lilikarabatiwa na Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya. Waliweka boriti zake, na wakaweka milango, makomeo na nondo.

NEH 3:7 Removed trailing space in v~: Karibu nao ukarabati ulifanywa na watu kutoka Gibeoni na Mispa, yaani Melati Mgibeoni, na Yadoni Mmeronothi, sehemu hizi zikiwa chini ya mamlaka ya mtawala wa Ngʼambo ya Frati.

NEH 3:8 Removed trailing space in v~: Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa masonara, alikarabati sehemu iliyofuatia, naye Hanania mmoja wa watengenezaji marashi akakarabati sehemu iliyofuatia. Walitengeneza Yerusalemu mpaka kufikia Ukuta Mpana.

NEH 3:9 Removed trailing space in v~: Refaya mwana wa Huri, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia.

NEH 3:10 Removed trailing space in v~: Kupakana na sehemu hii, Yedaya mwana wa Harumafu alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba yake, naye Hatushi mwana wa Hashabnea akakarabati sehemu iliyofuatia.

NEH 3:11 Removed trailing space in v~: Malkiya mwana wa Harimu, na Hashubu mwana wa Pahath-Moabu walikarabati sehemu nyingine pamoja na Mnara wa Matanuru.

NEH 3:12 Removed trailing space in v~: Shalumu mwana wa Haloheshi, mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, alikarabati sehemu iliyofuatia akisaidiwa na binti zake.

NEH 3:13 Removed trailing space in v~: Lango la Bondeni lilikarabatiwa na Hanuni na wakazi wa Zanoa. Walilijenga upya, na kuweka milango yake na makomeo na nondo mahali pake. Pia walikarabati ukuta wenye urefu wa mita 450 hadi Lango la Samadi.

NEH 3:14 Removed trailing space in v~: Lango la Samadi lilikarabatiwa na Malkiya mwana wa Rekabu, mtawala wa wilaya ya Beth-Hakeremu. Alilijenga upya, na kuweka milango yake, na makomeo na nondo.

NEH 3:15 Removed trailing space in v~: Lango la Chemchemi lilikarabatiwa na Shalumu mwana wa Kolhoze, mtawala wa wilaya ya Mispa. Alilijenga upya, akaliezeka na kuweka milango yake, na makomeo na nondo mahali pake. Pia alikarabati ukuta wa Bwawa la Siloamu karibu na Bustani ya Mfalme, hadi kwenye ngazi zinazoshuka kutoka Mji wa Daudi.

NEH 3:16 Removed trailing space in v~: Baada yake, Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-Suri, alikarabati kufikia mkabala na makaburi ya Daudi, mpaka kwenye bwawa lililotengenezwa, na kufikia Nyumba ya Mashujaa.

NEH 3:17 Removed trailing space in v~: Baada yake, ukarabati ulifanywa na Walawi chini ya uongozi wa Rehumu mwana wa Bani. Aliyefuatia ni Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, aliyekarabati sehemu ya wilaya yake.

NEH 3:18 Removed trailing space in v~: Baada yake, ukarabati ulifanywa na ndugu zao chini ya usimamizi wa Binui mwana wa Henadadi, mtawala wa nusu hiyo ingine ya wilaya ya Keila.

NEH 3:19 Removed trailing space in v~: Baada yao, Ezeri mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia ile sehemu inayotazamana na mwinuko wa kuelekea kwenye ghala la kuhifadhia silaha, mpaka kwenye pembe ya ukuta.

NEH 3:20 Removed trailing space in v~: Baada yake, Baruku mwana wa Zakai alikarabati kwa bidii sehemu nyingine kuanzia ile pembe, mpaka kwenye lango la nyumba ya Eliashibu kuhani mkuu.

NEH 3:21 Removed trailing space in v~: Kupakana naye, Meremothi mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, alikarabati sehemu nyingine, kuanzia penye lango la nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wake.

NEH 3:22 Removed trailing space in v~: Baada yake, ukarabati ulifanywa na makuhani waliotoka eneo lililouzunguka mji.

NEH 3:23 Removed trailing space in v~: Baada yao Benyamini na Hashubu walikarabati mbele ya nyumba zao, na baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania alifanya ukarabati kando ya nyumba yake.

NEH 3:24 Removed trailing space in v~: Baada yake, Binui mwana wa Henadadi alikarabati sehemu nyingine, kuanzia kwenye nyumba ya Azaria mpaka kwenye pembe ya ukuta.

NEH 3:25 Removed trailing space in v~: Naye Palali, mwana wa Uzai alijenga sehemu iliyokuwa mkabala na pembe ya ukuta, mpaka kwenye mnara wa juu ambao unajitokeza kuanzia kwenye jumba la kifalme, kando ya ua wa walinzi. Baada yake, Pedaya mwana wa Paroshi,

NEH 3:26 Removed trailing space in v~: na watumishi wa Hekalu walioishi juu ya kilima cha Ofeli walikarabati hadi kufikia mkabala na Lango la Maji, kuelekea mashariki na ule mnara uliojitokeza.

NEH 3:27 Removed trailing space in v~: Baada yao, watu wa Tekoa walikarabati sehemu nyingine, kuanzia mnara mkubwa utokezao hadi ukuta wa Ofeli.

NEH 3:28 Removed trailing space in v~: Makuhani walifanya ukarabati juu ya Lango la Farasi, kila mmoja mbele ya nyumba yake.

NEH 3:29 Removed trailing space in v~: Baada yao, Sadoki mwana wa Imeri alifanya ukarabati mkabala na nyumba yake. Baada yake, Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa Lango la Mashariki, alifanya ukarabati.

NEH 3:30 Removed trailing space in v~: Baada yake, Hanania mwana wa Shelemia, na Hanuni mwana wa sita wa Salafu walikarabati sehemu nyingine. Baada yao, Meshulamu mwana wa Berekia alikarabati sehemu iliyokuwa mkabala na nyumba zake za kuishi.

NEH 3:31 Removed trailing space in v~: Baada yake Malkiya, mmoja wa masonara, alifanya ukarabati mpaka kwenye nyumba za watumishi wa Hekalu\f + \fr 3:31 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa*.\f* na wafanyabiashara, mkabala na Lango la Ukaguzi, hadi kufikia chumba kilicho juu ya pembe.

NEH 3:32 Removed trailing space in v~: Masonara na wafanyabiashara walifanya ukarabati kutoka chumba kilichoko juu ya pembe hadi Lango la Kondoo.

NEH 4:0 Extra space after chapter number

NEH 4:0 Removed trailing space in c: 4

NEH 4:0 Removed trailing space in s1: Upinzani Wakati Wa Ujenzi

NEH 4:1 Removed trailing space in v~: Sanbalati aliposikia kwamba tulikuwa tunajenga ukuta upya, alikasirika na akawa na uchungu sana. Aliwadhihaki Wayahudi

NEH 4:2 Removed trailing space in v~: mbele ya rafiki zake na jeshi la Samaria, akisema, “Hawa Wayahudi wanyonge wanafanya nini? Je, wataweza kuurudishia ukuta wao? Je, watatoa dhabihu? Je, wataweza kumaliza kuujenga kwa siku moja? Je, wataweza kufufua mawe kutoka malundo ya vifusi yaliyoungua hivyo?”

NEH 4:3 Removed trailing space in v~: Tobia Mwamoni aliyekuwa upande wake akasema, “Wanachokijenga, hata kama mbweha angepanda juu yake, huo ukuta wao wa mawe angeliubomoa!”

NEH 4:4 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wetu, utusikie, kwa kuwa tumedharauliwa. Warudishie matukano yao kwenye vichwa vyao wenyewe. Uwatoe ili wawe nyara katika nchi ya waliowateka.

NEH 4:5 Removed trailing space in v~: Usiusitiri uovu wao, wala usifute dhambi zao mbele zako, kwa kuwa wamewatukana wajenzi mbele.

NEH 4:6 Removed trailing space in v~: Basi tuliujenga upya ukuta mpaka wote ukafikia nusu ya kimo chake, kwa kuwa watu walifanya kazi kwa moyo wote.

NEH 4:7 Removed trailing space in v~: Lakini wakati Sanbalati, Tobia, Waarabu, Waamoni na watu wa Ashdodi waliposikia kuwa ukarabati wa kuta za Yerusalemu ulikuwa umeendelea na mianya ilikuwa inazibwa, walikasirika sana.

NEH 4:8 Removed trailing space in v~: Wote walifanya shauri pamoja kuja kupigana dhidi ya Yerusalemu, na kuchochea machafuko dhidi yake.

NEH 4:9 Removed trailing space in v~: Lakini tulimwomba Mungu wetu, na tukaweka ulinzi usiku na mchana kupambana na tishio hili.

NEH 4:10 Removed trailing space in v~: Wakati ule ule, watu wa Yuda wakasema, “Nguvu za wafanyakazi zinapungua, nacho kifusi ni kingi mno, kiasi kwamba hatuwezi kuujenga upya ukuta.”

NEH 4:11 Removed trailing space in v~: Pia adui zetu walisema, “Kabla hawajajua au kutuona, tutakuwa palepale katikati yao, na tutawaua na kuikomesha hiyo kazi.”

NEH 4:12 Removed trailing space in v~: Kisha Wayahudi ambao waliishi karibu nao walikuja zaidi ya mara kumi na kutuambia, “Popote mtakapoelekea, watatushambulia.”

NEH 4:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikaweka baadhi ya watu nyuma ya sehemu za chini za ukuta kwenye sehemu zilizo wazi, nikawaweka kufuatana na jamaa zao, wakiwa na panga, mikuki na pinde zao.

NEH 4:14 Removed trailing space in v~: Baada ya kuona hali ilivyo, nikasimama na kuwaambia wakuu, maafisa na wengine wote, “Msiwaogope. Mkumbukeni Bwana, ambaye ni mkuu mwenye kuogofya. Piganeni kwa ajili ya ndugu zenu, wana wenu na binti zenu, wake zenu na nyumba zenu.”

NEH 4:15 Removed trailing space in v~: Adui zetu waliposikia kwamba tumetambua hila yao, na kwamba Mungu amevuruga shauri lao, sote tulirudi kwenye ukuta, kila mmoja kwenye kazi yake.

NEH 4:16 Removed trailing space in v~: Kuanzia siku ile na kuendelea, nusu ya watu wangu walifanya kazi ya ujenzi, na nusu nyingine wakashika mikuki, ngao, pinde na dirii. Maafisa walijipanga nyuma ya watu wote wa Yuda

NEH 4:17 Removed trailing space in v~: waliokuwa wakijenga ukuta. Wale waliobeba vifaa vya ujenzi walifanya kazi yao kwa mkono mmoja, na kushika silaha kwa mkono mwingine,

NEH 4:18 Removed trailing space in v~: na kila mjenzi alijifunga upanga wake upande mmoja akiwa anafanya kazi. Lakini mtu wa kupiga baragumu alikaa pamoja nami.

NEH 4:19 Removed trailing space in v~: Kisha nikawaambia wakuu, maafisa na watu wengine wote, “Kazi hii ni kubwa na imeenea sehemu kubwa, nasi tumetawanyika kila mmoja akiwa mbali na mwenzake juu ya ukuta.

NEH 4:20 Removed trailing space in v~: Popote mtakaposikia sauti ya baragumu, jiungeni nasi huko. Mungu wetu atatupigania!”

NEH 4:21 Removed trailing space in v~: Basi tuliendelea na kazi, nusu ya watu wakishikilia mikuki, kuanzia mawio ya jua hadi nyota zilipoonekana.

NEH 4:22 Removed trailing space in v~: Wakati huo pia niliwaambia watu, “Kila mtu na msaidizi wake wakae ndani ya Yerusalemu wakati wa usiku, ili waweze kutumika kama walinzi wakati wa usiku, na kufanya kazi wakati wa mchana.”

NEH 4:23 Removed trailing space in v~: Mimi, wala ndugu zangu, wala watu wangu, wala walinzi waliokuwa pamoja nami hatukuvua nguo zetu. Kila mmoja alikuwa na silaha yake, hata alipokwenda kuchota maji.

NEH 5:0 Extra space after chapter number

NEH 5:0 Removed trailing space in c: 5

NEH 5:0 Removed trailing space in s1: Nehemia Awasaidia Maskini

NEH 5:1 Removed trailing space in v~: Wakati huu wanaume na wake zao wakalia kilio kikuu dhidi ya ndugu zao Wayahudi.

NEH 5:2 Removed trailing space in v~: Baadhi yao walikuwa wakisema, “Sisi na wana wetu na binti zetu tuko wengi. Ili tuweze kula na kuishi, ni lazima tupate nafaka.”

NEH 5:3 Removed trailing space in v~: Wengine walikuwa wakisema, “Tunaweka rehani mashamba yetu, mashamba ya mizabibu, na nyumba zetu ili tupate nafaka wakati wa njaa.”

NEH 5:4 Removed trailing space in v~: Bado kukawa na wengine waliokuwa wakisema, “Ilitubidi tukope fedha ili kulipa kodi ya mfalme kwa ajili ya mashamba yetu na mashamba yetu ya mizabibu.

NEH 5:5 Removed trailing space in v~: Ingawa sisi ni mwili na damu moja sawa na watu wa nchi yetu, na ijapo wana wetu ni wazuri kama wana wao, bado inatupasa kuwatoa wana wetu na binti zetu kwenye utumwa. Baadhi ya binti zetu wameshakuwa watumwa tayari, lakini hatuna uwezo wa kuwakomboa, kwa sababu mashamba yetu na mashamba ya mizabibu yetu ni mali ya wengine.”

NEH 5:6 Removed trailing space in v~: Niliposikia kilio chao na malalamiko haya, nilikasirika sana.

NEH 5:7 Removed trailing space in v~: Nikayatafakari katika akili yangu, nikiwalaumu wakuu na maafisa. Nikawaambia, “Mnawaonea ndugu zenu kwa kuwatoza riba!” Basi nikaitisha mkutano mkubwa ili kuwashughulikia

NEH 5:8 Removed trailing space in v~: na kusema: “Kulingana na uwezo wetu, tumewakomboa ndugu zetu Wayahudi waliokuwa wameuzwa kwa watu wasioamini. Sasa mnawauza ndugu zenu, ili wauzwe tena kwetu!” Walinyamaza kimya, kwa sababu hawakupata chochote cha kusema.

NEH 5:9 Removed trailing space in v~: Basi nikaendelea kusema, “Mnachokifanya si sawa. Je, haikuwapasa kutembea katika hofu ya Mungu wetu ili tuepukane na shutuma za adui zetu wasioamini?

NEH 5:10 Removed trailing space in v~: Mimi na ndugu zangu na watu wangu tunawakopesha watu fedha na nafaka. Lakini jambo hili la kutoza riba likome!

NEH 5:11 Removed trailing space in v~: Warudishieni mara moja mashamba yao, mashamba yao ya mizabibu, mashamba yao ya mizeituni, na nyumba zao, pia riba yao mnayowatoza na sehemu ya fungu la mia la fedha, nafaka, divai mpya na mafuta.”

NEH 5:12 Removed trailing space in v~: Wakasema, “Tutawarudishia na hatutataka kitu chochote zaidi kutoka kwao. Tutafanya kama ulivyosema.”

NEH 5:12 Removed trailing space in p~: Kisha nikawaita makuhani na kuwafanya wakuu na maafisa kuapa kufanya kile walichoahidi.

NEH 5:13 Removed trailing space in v~: Pia nikakungʼuta makunjo ya vazi langu na kusema, “Kila mtu ambaye hatatimiza ahadi hii, Mungu na amkungʼute hivi kutoka nyumba yake na katika mali zake. Basi mtu wa namna hiyo akungʼutiwe nje na aachwe bila kitu!”

NEH 5:13 Removed trailing space in p~: Waliposikia hili, mkutano wote ukasema, “Amen,” na wakamtukuza \nd Bwana\nd*. Nao watu wakafanya kama walivyokuwa wameahidi.

NEH 5:14 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, kutoka mwaka wa ishirini wa Mfalme Artashasta, wakati nilipoteuliwa kuwa mtawala wao katika nchi ya Yuda, mpaka mwaka wake wa thelathini na mbili, yaani miaka kumi na miwili, mimi wala ndugu zangu hatukula chakula ambacho kwa kawaida hupewa watawala.

NEH 5:15 Removed trailing space in v~: Lakini watawala wa mwanzoni, wale walionitangulia, waliwalemea watu na kuchukua kutoka kwao shekeli arobaini za fedha,\f + \fr 5:15 \ft Shekeli 40 za fedha ni sawa na gramu 456.\f* pamoja na chakula na mvinyo. Wasaidizi wao pia walijifanya wakuu juu ya watu. Lakini kwa kumheshimu Mungu sikufanya hivyo.

NEH 5:16 Removed trailing space in v~: Badala yake, nilijitoa kwa bidii katika kazi ya ukuta huu. Watu wangu wote walikutanika pale kwa ajili ya kazi. Hatukujipatia shamba lolote.

NEH 5:17 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Wayahudi na maafisa 150 walikula mezani pangu, pamoja na wale waliotujia kutoka mataifa jirani.

NEH 5:18 Removed trailing space in v~: Kila siku niliandaliwa maksai mmoja, kondoo sita wazuri, na kuku, na mvinyo wa kila aina kwa wingi kila baada ya siku kumi. Licha ya mambo haya yote, sikudai chakula kilichokuwa fungu la mtawala, kwa sababu madai yalikuwa mazito sana kwa watu hawa.

NEH 5:19 Removed trailing space in v~: Unikumbuke kwa fadhili, Ee Mungu wangu, kwa yote niliyofanya kwa ajili ya watu hawa.

NEH 6:0 Extra space after chapter number

NEH 6:0 Removed trailing space in c: 6

NEH 6:0 Removed trailing space in s1: Upinzani Zaidi Wakati Wa Ujenzi

NEH 6:1 Removed trailing space in v~: Habari zilipofika kwa Sanbalati, Tobia, Geshemu Mwarabu, na adui zetu wengine kwamba nimejenga tena ukuta na hakuna nafasi iliyobakia ndani mwake, ingawa mpaka wakati huo sikuwa nimeweka milango kwenye malango,

NEH 6:2 Removed trailing space in v~: Sanbalati na Geshemu wakanitumia ujumbe huu: “Njoo, tukutane katika mojawapo ya vijiji katika nchi tambarare ya Ono.”

NEH 6:2 Removed trailing space in p~: Lakini walikuwa wakikusudia kunidhuru.

NEH 6:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo niliwatuma wajumbe kwao na majibu haya: “Kazi ninayoifanya ni kubwa sana, siwezi kuja. Kwa nini niiache kazi isimame nije kwenu?”

NEH 6:4 Removed trailing space in v~: Mara nne walinitumia ujumbe wa namna iyo hiyo, na kila mara niliwapa jibu lile lile.

NEH 6:5 Removed trailing space in v~: Basi, mara ya tano, Sanbalati akamtuma msaidizi wake kwangu akiwa na ujumbe wa aina ile ile, naye alikuwa amechukua mkononi mwake barua isiyofungwa,

NEH 6:6 Removed trailing space in v~: iliyokuwa imeandikwa:

NEH 6:6 Removed trailing space in p~: “Habari imeenezwa miongoni mwa mataifa, naye Geshemu anasema kwamba ni kweli, kuwa wewe na Wayahudi mnafanya hila ya kuasi, ndiyo sababu mnajenga ukuta. Zaidi ya hayo, kufuatana na taarifa hizi, karibuni utakuwa mfalme wao,

NEH 6:7 Removed trailing space in v~: na hata umewateua manabii wafanye tangazo hili kukuhusu wewe huko Yerusalemu: ‘Yuko mfalme katika Yuda!’ Sasa taarifa hii itarudishwa kwa mfalme. Basi njoo, tufanye shauri pamoja.”

NEH 6:8 Removed trailing space in v~: Nilimpelekea jibu hili: “Hakuna jambo kama hilo unalosema linalofanyika. Unalitunga tu kwenye kichwa chako.”

NEH 6:9 Removed trailing space in v~: Wote walikuwa wakijaribu kutuogopesha, wakifikiri hivi: “Mikono ya watu italegea kiasi kwamba hawataweza kufanya kazi, nayo haitakamilika.”

NEH 6:9 Removed trailing space in p~: Lakini niliomba, “Ee Mungu, sasa nitie mikono yangu nguvu.”

NEH 6:10 Removed trailing space in v~: Siku moja nilikwenda nyumbani kwa Shemaya mwana wa Delaya, mwana wa Mehetabeli, ambaye alikuwa amefungwa ndani ya nyumba yake. Akasema, “Tukutane katika nyumba ya Mungu, ndani ya Hekalu, na tufunge milango ya Hekalu, kwa sababu watu wanakuja kukuua. Naam, wanakuja usiku kukuua.”

NEH 6:11 Removed trailing space in v~: Lakini nikasema, “Je, mtu kama mimi akimbie? Au mtu kama mimi aende Hekaluni kuokoa maisha yake? Sitakwenda!”

NEH 6:12 Removed trailing space in v~: Nilitambua kwamba Mungu hakumtuma, bali alitabiri dhidi yangu kwa sababu Tobia na Sanbalati walikuwa wamemwajiri.

NEH 6:13 Removed trailing space in v~: Alikuwa ameajiriwa kunitisha ili kwa kufanya jambo hili nitende dhambi, kisha waweze kuniharibia jina langu na kuniaibisha.

NEH 6:14 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu, wakumbuke Tobia na Sanbalati kwa sababu ya yale waliyotenda. Pia kumbuka nabii mke Noadia na manabii wengine ambao wamekuwa wakijaribu kunitisha.

NEH 6:14 Removed trailing space in s1: Kukamilika Kwa Ukuta

NEH 6:15 Removed trailing space in v~: Basi ukuta ukakamilika siku ya ishirini na tano mwezi wa Eluli,\f + \fr 6:15 \ft Eluli ni mwezi wa sita kwenye kalenda ya Kiyunani; katika kalenda yetu ni Agosti/Septemba.\f* kazi ambayo ilichukua siku hamsini na mbili.

NEH 6:16 Removed trailing space in v~: Adui zetu wote waliposikia kuhusu hili, mataifa yote yaliyotuzunguka yakaogopa na kupoteza ujasiri, kwa sababu yalitambua kuwa kazi hii imefanyika kwa msaada wa Mungu wetu.

NEH 6:17 Removed trailing space in v~: Pia katika siku hizo wakuu wa Yuda walikuwa wakituma barua nyingi kwa Tobia, nayo majibu yaliyotoka kwa Tobia yaliendelea kuwajia.

NEH 6:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa watu wengi katika Yuda walikuwa wamemwapia Tobia, kwani alikuwa mkwewe Shekania mwana wa Ara, na Yehohanani mwanawe alikuwa amemwoa binti wa Meshulamu mwana wa Berekia.

NEH 6:19 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, walikuwa wakiniarifu jinsi Tobia alivyo mtu mwema, nao walimwambia kila kitu nilichosema. Naye Tobia alituma barua za kunitisha.

NEH 7:0 Extra space after chapter number

NEH 7:0 Removed trailing space in c: 7

NEH 7:1 Removed trailing space in v~: Baada ya ukuta kukamilika kujengwa upya na nikaweka milango, mabawabu wa lango, waimbaji, na Walawi waliteuliwa.

NEH 7:2 Removed trailing space in v~: Nikamweka Hanani ndugu yangu kuwa kiongozi wa Yerusalemu, pamoja na Hanania jemadari wa ngome, kwa kuwa alikuwa mtu mwadilifu na mwenye kumcha Mungu kuliko watu wengine.

NEH 7:3 Removed trailing space in v~: Nikawaambia, “Malango ya Yerusalemu yasifunguliwe mpaka jua litakapokuwa limepanda. Walinzi wa malango wakiwa bado kwenye zamu, waamuru wafunge milango na waweke makomeo. Pia wateueni wenyeji wa Yerusalemu wawe walinzi, kila mmoja kwenye lindo lake, na wengine karibu na nyumba zao wenyewe.”

NEH 7:3 Removed trailing space in s1: Orodha Ya Waliorudi Toka Uhamishoni

NEH 7:3 Removed trailing space in r: (Ezra 2:1-70)

NEH 7:4 Removed trailing space in v~: Mji ulikuwa mkubwa, tena wenye nafasi nyingi, lakini walikuwepo watu wachache ndani yake, nazo nyumba zilikuwa bado ni magofu.

NEH 7:5 Removed trailing space in v~: Hivyo Mungu wangu akaweka moyoni mwangu kuwakusanya wakuu, maafisa na watu wa kawaida kwa ajili ya kuorodheshwa kulingana na jamaa zao. Nilikuta orodha ya vizazi ya wale waliokuwa wa kwanza kurudi toka utumwani. Haya ndiyo niliyokuta yameandikwa humo:

NEH 7:6 Removed trailing space in v~: Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,

NEH 7:7 Removed trailing space in v~: wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana):

NEH 7:7 Removed trailing space in p~: Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:

NEH 7:7 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:8 Removed trailing space in v~: wazao wa Paroshi \tcr2 2,172

NEH 7:8 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:9 Removed trailing space in v~: wazao wa Shefatia \tcr2 372

NEH 7:9 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:10 Removed trailing space in v~: wazao wa Ara \tcr2 652

NEH 7:10 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:11 Removed trailing space in v~: wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) \tcr2 2,818

NEH 7:11 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:12 Removed trailing space in v~: wazao wa Elamu \tcr2 1,254

NEH 7:12 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:13 Removed trailing space in v~: wazao wa Zatu \tcr2 845

NEH 7:13 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:14 Removed trailing space in v~: wazao wa Zakai \tcr2 760

NEH 7:14 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:15 Removed trailing space in v~: wazao wa Binui \tcr2 648

NEH 7:15 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:16 Removed trailing space in v~: wazao wa Bebai \tcr2 628

NEH 7:16 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:17 Removed trailing space in v~: wazao wa Azgadi \tcr2 2,322

NEH 7:17 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:18 Removed trailing space in v~: wazao wa Adonikamu \tcr2 667

NEH 7:18 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:19 Removed trailing space in v~: wazao wa Bigwai \tcr2 2,067

NEH 7:19 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:20 Removed trailing space in v~: wazao wa Adini \tcr2 655

NEH 7:20 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:21 Removed trailing space in v~: wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) \tcr2 98

NEH 7:21 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:22 Removed trailing space in v~: wazao wa Hashumu \tcr2 328

NEH 7:22 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:23 Removed trailing space in v~: wazao wa Besai \tcr2 324

NEH 7:23 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:24 Removed trailing space in v~: wazao wa Harifu \tcr2 112

NEH 7:24 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:25 Removed trailing space in v~: wazao wa Gibeoni \tcr2 95

NEH 7:25 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:26 Removed trailing space in v~: watu wa Bethlehemu na Netofa \tcr2 188

NEH 7:26 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:27 Removed trailing space in v~: watu wa Anathothi \tcr2 128

NEH 7:27 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:28 Removed trailing space in v~: watu wa Beth-Azmawethi \tcr2 42

NEH 7:28 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:29 Removed trailing space in v~: watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi \tcr2 743

NEH 7:29 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:30 Removed trailing space in v~: watu wa Rama na Geba \tcr2 621

NEH 7:30 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:31 Removed trailing space in v~: watu wa Mikmashi \tcr2 122

NEH 7:31 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:32 Removed trailing space in v~: watu wa Betheli na Ai \tcr2 123

NEH 7:32 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:33 Removed trailing space in v~: watu wa Nebo \tcr2 52

NEH 7:33 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:34 Removed trailing space in v~: wazao wa Elamu \tcr2 1,254

NEH 7:34 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:35 Removed trailing space in v~: wazao wa Harimu \tcr2 320

NEH 7:35 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:36 Removed trailing space in v~: wazao wa Yeriko \tcr2 345

NEH 7:36 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:37 Removed trailing space in v~: wazao wa Lodi, Hadidi na Ono \tcr2 721

NEH 7:37 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:38 Removed trailing space in v~: wazao wa Senaa \tcr2 3,930

NEH 7:39 Removed trailing space in v~: Makuhani:

NEH 7:39 Removed trailing space in tr: \tc1 wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) \tcr2 973

NEH 7:39 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:40 Removed trailing space in v~: wazao wa Imeri \tcr2 1,052

NEH 7:40 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:41 Removed trailing space in v~: wazao wa Pashuri \tcr2 1,247

NEH 7:41 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:42 Removed trailing space in v~: wazao wa Harimu \tcr2 1,017

NEH 7:43 Removed trailing space in v~: Walawi:

NEH 7:43 Removed trailing space in tr: \tc1 wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) \tcr2 74

NEH 7:44 Removed trailing space in v~: Waimbaji:

NEH 7:44 Removed trailing space in tr: \tc1 wazao wa Asafu \tcr2 148

NEH 7:45 Removed trailing space in v~: Mabawabu wa malango:

NEH 7:45 Removed trailing space in tr: \tc1 wazao wa //Shalumu, Ateri, Talmoni, //Akubu, Hatita na Shobai \tcr2 138

NEH 7:46 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Hekalu:\f + \fr 7:46 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa* (pia 7:60, 73).\f*

NEH 7:46 Removed trailing space in p~: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,

NEH 7:47 Removed trailing space in v~: wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,

NEH 7:48 Removed trailing space in v~: wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,

NEH 7:49 Removed trailing space in v~: wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,

NEH 7:50 Removed trailing space in v~: wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,

NEH 7:51 Removed trailing space in v~: wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,

NEH 7:52 Removed trailing space in v~: wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,

NEH 7:53 Removed trailing space in v~: wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,

NEH 7:54 Removed trailing space in v~: wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,

NEH 7:55 Removed trailing space in v~: wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,

NEH 7:56 Removed trailing space in v~: wazao wa Nesia na Hatifa.

NEH 7:57 Removed trailing space in v~: Wazao wa watumishi wa Solomoni:

NEH 7:57 Removed trailing space in p~: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,

NEH 7:58 Removed trailing space in v~: wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,

NEH 7:59 Removed trailing space in v~: wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.

NEH 7:59 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:60 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni \tcr2 392

NEH 7:61 Removed trailing space in v~: Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:

NEH 7:61 Removed trailing space in tr: \tc1

NEH 7:62 Removed trailing space in v~: wazao wa //Delaya, Tobia na Nekoda \tcr2 642

NEH 7:63 Removed trailing space in v~: Na kutoka miongoni mwa makuhani:

NEH 7:63 Removed trailing space in p~: wazao wa Hobaya, Hakosi na Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).

NEH 7:64 Removed trailing space in v~: Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani, kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.

NEH 7:65 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, mtawala\f + \fr 7:65 \ft Au \fqa Tirshatha\fqa*: jina la heshima aliloitwa mtawala wa Yuda chini ya Ufalme wa Uajemi (pia 7:70).\f* aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.\f + \fr 7:65 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi viliwekwa kwenye kifuko cha juu cha kisibau cha kuhani mkuu ili kujua mapenzi ya Mungu kwenye mambo ya kutatanisha.\f*

NEH 7:66 Removed trailing space in v~: Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;

NEH 7:67 Removed trailing space in v~: tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 245.

NEH 7:68 Removed trailing space in v~: Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245

NEH 7:69 Removed trailing space in v~: ngamia 435 na punda 6,720.

NEH 7:70 Removed trailing space in v~: Baadhi ya viongozi wa jamaa walichangia kazi ya ujenzi. Mtawala alikabidhi kwenye hazina darkoni 1,000\f + \fr 7:70 \ft Darkoni 1,000 za dhahabu ni sawa na uzito wa kilo 8.6.\f* za dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 kwa ajili ya makuhani.

NEH 7:71 Removed trailing space in v~: Baadhi ya viongozi wa jamaa walikabidhi kwenye hazina darkoni 20,000 za dhahabu,\f + \fr 7:71 \ft Darkoni 20,000 za dhahabu ni sawa na kilo 172.\f* na mane 2,200\f + \fr 7:71 \ft Mane 2,200 za fedha ni sawa na kilo 1,300.\f* za fedha kwa ajili ya kazi hiyo.

NEH 7:72 Removed trailing space in v~: Jumla ya matoleo ya watu wengine yalikuwa ni darkoni 20,000 za dhahabu, mane 2,000 za fedha, na mavazi sitini na saba ya makuhani.

NEH 7:73 Removed trailing space in v~: Makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji na watumishi wa Hekalu, pamoja na baadhi ya watu wengine na Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao wenyewe.

NEH 7:73 Removed trailing space in s1: Ezra Asoma Sheria

NEH 7:73 Removed trailing space in p~: Ilipotimia miezi saba, nao Waisraeli wakiwa tayari wanaishi katika miji yao,

NEH 8:0 Extra space after chapter number

NEH 8:0 Removed trailing space in c: 8

NEH 8:1 Removed trailing space in v~: watu wote wakakusanyika kama mtu mmoja kwenye uwanja mbele ya Lango la Maji. Wakamwambia Ezra mwandishi alete Kitabu cha Sheria ya Mose, ambacho \nd Bwana\nd* aliamuru kwa ajili ya Israeli.

NEH 8:2 Removed trailing space in v~: Basi katika siku ya kwanza ya mwezi wa saba, kuhani Ezra akaleta Sheria mbele ya kusanyiko, ambamo walikuwamo wanaume, wanawake na watu wote walioweza kufahamu.

NEH 8:3 Removed trailing space in v~: Akaisoma kwa sauti kubwa tangu mapambazuko mpaka adhuhuri, akiwa ameuelekea uwanja uliokuwa mbele ya Lango la Maji mbele ya wanaume, wanawake na wengine ambao waliweza kufahamu. Watu wote wakasikiliza kwa makini kile Kitabu cha Sheria.

NEH 8:4 Removed trailing space in v~: Mwandishi Ezra alikuwa amesimama juu ya jukwaa la miti lililojengwa kwa kusudi hilo. Karibu naye upande wa kuume alisimama Matithia, Shema, Anaya, Uria, Hilkia na Maaseya. Upande wake wa kushoto walikuwepo Pedaya, Mishaeli, Malkiya, Hashumu, Hashbadani, Zekaria na Meshulamu.

NEH 8:5 Removed trailing space in v~: Ezra akakifungua kile kitabu. Watu wote waliweza kumwona kwa sababu alikuwa amesimama juu zaidi, naye alipokifungua watu wote wakasimama.

NEH 8:6 Removed trailing space in v~: Ezra akamsifu \nd Bwana\nd*, Mungu mkuu, nao watu wote wakainua mikono yao na kuitikia, “Amen! Amen!” Kisha wakasujudu na kumwabudu \nd Bwana\nd* hali nyuso zao zikigusa ardhi.

NEH 8:7 Removed trailing space in v~: Watu wakiwa wamesimama pale, Walawi wafuatao waliwafunza ile Sheria: Yeshua, Bani, Sherebia, Yamini, Akubu, Shabethai, Hodia, Maaseya, Kelita, Azaria, Yozabadi, Hanani na Pelaya.

NEH 8:8 Removed trailing space in v~: Walisoma kutoka kile Kitabu cha Sheria ya Mungu, wakiifafanua na kuwapa maelezo ili watu waweze kufahamu kile kilichokuwa kikisomwa.

NEH 8:9 Removed trailing space in v~: Ndipo Nehemia aliyekuwa mtawala,\f + \fr 8:9 \ft Au \fqa Tirshatha\fqa*: jina la heshima aliloitwa mtawala wa Yuda chini ya Ufalme wa Uajemi.\f* Ezra kuhani na mwandishi, pamoja na Walawi waliokuwa wakiwafundisha watu wakawaambia wote, “Siku hii ni takatifu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Msiomboleze wala msilie.” Kwa kuwa watu wote walikuwa wakilia walipokuwa wakisikiliza maneno ya ile Sheria.

NEH 8:10 Removed trailing space in v~: Nehemia akasema, “Nendeni mkafurahie chakula kizuri na vinywaji vitamu, na mpeleke sehemu kwa wale ambao hawana chochote cha kula. Siku hii ni takatifu kwa \nd Bwana\nd*. Msihuzunike, kwa kuwa furaha ya \nd Bwana\nd* ni nguvu zenu.”

NEH 8:11 Removed trailing space in v~: Walawi wakawatuliza watu wote wakisema, “Kuweni watulivu, kwa kuwa hii ni siku takatifu. Msihuzunike.”

NEH 8:12 Removed trailing space in v~: Kisha watu wote wakaondoka kwenda kula na kunywa, na kupeana sehemu ya chakula, na wakaadhimisha kwa furaha kubwa, kwa sababu sasa walifahamu maneno yale waliyokuwa wameelezwa.

NEH 8:13 Removed trailing space in v~: Katika siku ya pili ya mwezi, wakuu wa mbari zote, pamoja na makuhani na Walawi, walikusanyika wakimzunguka Ezra mwandishi ili wapate kusikiliza kwa makini maneno ya Sheria.

NEH 8:14 Removed trailing space in v~: Wakakuta imeandikwa katika ile Sheria, ambayo \nd Bwana\nd* aliiamuru kupitia kwa Mose, kwamba Waisraeli walipaswa kukaa katika vibanda wakati wa sikukuu ya mwezi wa saba,

NEH 8:15 Removed trailing space in v~: na kwamba walipaswa kutangaza neno hili na kulieneza katika miji yao na katika Yerusalemu wakisema: “Enendeni katika nchi ya mlima na kuleta matawi kutoka miti ya mizeituni, mizeituni mwitu, mihadasi, mitende na miti ya kivuli, ili kutengeneza vibanda,” kama ilivyoandikwa.

NEH 8:16 Removed trailing space in v~: Basi watu wakaenda na kuleta matawi, nao wakajijengea vibanda juu ya paa za nyumba zao, katika nyua zao, katika nyua za nyumba ya Mungu, na katika uwanja karibu na Lango la Maji na uwanja wa Lango la Efraimu.

NEH 8:17 Removed trailing space in v~: Jamii yote ya watu waliorudi kutoka utumwani wakajenga vibanda na kuishi ndani yake. Tangu wakati wa Yoshua mwana wa Nuni mpaka siku ile, Waisraeli hawakuwahi kuiadhimisha namna hii. Furaha yao ilikuwa kubwa sana.

NEH 8:18 Removed trailing space in v~: Siku baada ya siku, kuanzia siku ya kwanza hadi ya mwisho, Ezra alisoma kutoka kwenye kile Kitabu cha Sheria ya Mungu. Wakaiadhimisha sikukuu ile kwa siku saba, nayo siku ya nane, kufuatana na maagizo, kulikuwa na kusanyiko maalum.

NEH 9:0 Extra space after chapter number

NEH 9:0 Removed trailing space in c: 9

NEH 9:0 Removed trailing space in s1: Waisraeli Waungama Dhambi Zao

NEH 9:1 Removed trailing space in v~: Katika siku ya ishirini na nne ya mwezi ule ule, Waisraeli walikusanyika pamoja, wakifunga na kuvaa nguo za gunia na kujitia mavumbi vichwani mwao.

NEH 9:2 Removed trailing space in v~: Wale wa uzao wa Israeli walijitenga na wageni wote. Wakasimama mahali pao, na kuungama dhambi zao na uovu wa baba zao.

NEH 9:3 Removed trailing space in v~: Wakasimama pale walipokuwa, wakasoma kutoka kwenye kile Kitabu cha Sheria ya \nd Bwana\nd* Mungu wao kwa muda wa robo siku, na wakatumia robo nyingine kwa kuungama dhambi na kumwabudu \nd Bwana\nd* Mungu wao.

NEH 9:4 Removed trailing space in v~: Walawi wafuatao walikuwa wamesimama kwenye ngazi: Yeshua, Bani, Kadmieli, Shebania, Buni, Sherebia, Bani na Kenani. Hawa walimlilia \nd Bwana\nd* Mungu wao kwa sauti kubwa.

NEH 9:5 Removed trailing space in v~: Nao Walawi Yeshua, Kadmieli, Bani, Hashabnea, Sherebia, Hodia, Shebania na Pethahia wakasema: “Simameni mkamsifu \nd Bwana\nd* Mungu wenu, yeye ambaye ni Mungu tangu milele hata milele.

NEH 9:5 Removed trailing space in p~: “Libarikiwe jina lake tukufu, litukuzwe juu ya baraka zote na sifa.

NEH 9:6 Removed trailing space in v~: Wewe peke yako ndiwe \nd Bwana\nd*. Uliziumba mbingu, hata mbingu za mbingu na jeshi lote la mbinguni, dunia na vyote vilivyo ndani yake, na pia bahari na vyote vilivyomo ndani yake. Huvipa vitu vyote uhai, nalo jeshi la mbinguni linakuabudu wewe.

NEH 9:7 Removed trailing space in v~: “Wewe ni \nd Bwana\nd* Mungu uliyemchagua Abramu na kumtoa kutoka Uru ya Wakaldayo, nawe ukamwita Abrahamu.

NEH 9:8 Removed trailing space in v~: Uliona kuwa moyo wake ni mwaminifu kwako, nawe ukafanya Agano naye kuwapa wazao wake nchi ya Wakanaani, Wahiti, Waamori, Waperizi, Wayebusi na Wagirgashi. Umetimiza ahadi yako kwa sababu wewe ni mwenye haki.

NEH 9:9 Removed trailing space in v~: “Uliona mateso ya baba zetu huko Misri, ukasikia kilio chao huko Bahari ya Shamu.

NEH 9:10 Removed trailing space in v~: Ulituma ishara za miujiza na maajabu dhidi ya Farao, dhidi ya maafisa wake wote na watu wote wa nchi yake, kwa kuwa ulifahamu jinsi Wamisri walivyowafanyia ufidhuli. Ukajifanyia jina linalodumu hadi leo.

NEH 9:11 Removed trailing space in v~: Ukagawa bahari mbele yao, ili waweze kupita katikati yake penye nchi kavu, lakini uliwatupa Wamisri waliowafuatilia katika vilindi, kama jiwe kwenye maji mengi.

NEH 9:12 Removed trailing space in v~: Mchana uliwaongoza kwa nguzo ya wingu, na usiku kwa nguzo ya moto kuwamulikia njia iliyowapasa kuiendea.

NEH 9:13 Removed trailing space in v~: “Ulishuka katika Mlima Sinai, ukanena nao kutoka mbinguni. Uliwapa masharti na sheria zile ambazo ni za kweli na haki, pia amri na maagizo mazuri.

NEH 9:14 Removed trailing space in v~: Uliwafahamisha Sabato yako takatifu na ukawapa amri, maagizo na sheria kupitia mtumishi wako Mose.

NEH 9:15 Removed trailing space in v~: Katika njaa yao uliwapa mkate kutoka mbinguni, na katika kiu yao uliwatolea maji kutoka kwenye mwamba. Uliwaambia waingie na kuimiliki nchi ambayo ulikuwa umeapa kuwapa kwa mkono ulioinuliwa.

NEH 9:16 Removed trailing space in v~: “Lakini wao, baba zetu, wakawa na kiburi na shingo ngumu, nao hawakutii maagizo yako.

NEH 9:17 Removed trailing space in v~: Wakakataa kusikiliza na kushindwa kukumbuka miujiza uliyoifanya miongoni mwao. Wakawa na shingo ngumu, na katika uasi wao wakamchagua kiongozi ili warudi kwenye utumwa wao. Lakini wewe ni Mungu mwenye kusamehe, mwenye neema na mwingi wa huruma, si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo. Kwa hiyo hukuwaacha,

NEH 9:18 Removed trailing space in v~: hata wakati walijitengenezea sanamu ya ndama ya kusubu na kusema, ‘Huyu ni mungu wenu, aliyewapandisha kutoka nchi ya Misri,’ au walipofanya makufuru makubwa.

NEH 9:19 Removed trailing space in v~: “Kwa sababu ya huruma zako kuu hukuwaacha jangwani. Wakati wa mchana ile nguzo ya wingu haikukoma kuwaongoza katika njia yao, wala nguzo ya moto haikuacha kuwamulikia usiku njia iliyowapasa kuiendea.

NEH 9:20 Removed trailing space in v~: Uliwapa Roho wako mwema ili kuwafundisha. Hukuwanyima mana yako vinywani mwao, nawe ukawapa maji kwa ajili ya kiu yao.

NEH 9:21 Removed trailing space in v~: Kwa miaka arobaini uliwatunza jangwani. Hawakukosa chochote, na nguo zao hazikuchakaa wala miguu yao haikuvimba.

NEH 9:22 Removed trailing space in v~: “Uliwapa falme na mataifa, ukiwagawia hata mipaka ya mbali. Wakaimiliki nchi ya Sihoni mfalme wa Heshboni, na nchi ya Ogu mfalme wa Bashani.

NEH 9:23 Removed trailing space in v~: Uliwafanya wana wao kuwa wengi kama nyota za angani, nawe ukawaleta katika nchi ambayo uliwaambia baba zao kuingia na kuimiliki.

NEH 9:24 Removed trailing space in v~: Wana wao wakaingia na kuimiliki nchi. Uliwatiisha Wakanaani mbele yao, walioishi katika nchi, ukawatia Wakanaani mikononi mwao, pamoja na wafalme wao na watu wa nchi, wawafanyie kama wapendavyo.

NEH 9:25 Removed trailing space in v~: Wakateka miji yenye ngome na nchi yenye rutuba, wakamiliki nyumba zilizojazwa na vitu vizuri vya kila aina, visima vilivyochimbwa tayari, mashamba ya mizabibu, mashamba ya mizeituni na miti yenye matunda kwa wingi. Wakala, wakashiba nao wakanawiri sana, wakajifurahisha katika wema wako mwingi.

NEH 9:26 Removed trailing space in v~: “Lakini hawakukutii nao wakaasi dhidi yako, wakatupa sheria zako nyuma yao. Wakawaua manabii wako, waliowaonya ili wakurudie, na wakafanya makufuru makubwa.

NEH 9:27 Removed trailing space in v~: Hivyo ukawatia mikononi mwa adui zao, ambao waliwatesa. Lakini walipoteswa, wakakulilia wewe. Kutoka mbinguni uliwasikia, nawe kwa huruma zako kuu ukawapa waokozi, waliowaokoa kutoka mikononi mwa adui zao.

NEH 9:28 Removed trailing space in v~: “Lakini mara walipokuwa na raha, wakafanya maovu tena machoni pako. Kisha ukawaacha mikononi mwa adui zao, nao wakawatawala. Walipokulilia tena, ukasikia kutoka mbinguni, na kwa huruma zako ukawaokoa kila mara.

NEH 9:29 Removed trailing space in v~: “Ukawaonya warudi katika sheria yako, lakini wakawa na kiburi na hawakutii amri zako. Wakatenda dhambi dhidi ya maagizo yako ambayo kwayo mtu ataishi kama akiyatii. Kwa ukaidi wakakugeuzia kisogo, wakawa na shingo ngumu na wakakataa kusikiliza.

NEH 9:30 Removed trailing space in v~: Kwa miaka mingi ulikuwa mvumilivu kwao. Kwa njia ya Roho wako ukawaonya kupitia manabii wako. Hata hivyo hawakujali, basi ukawatia mikononi mwa mataifa jirani.

NEH 9:31 Removed trailing space in v~: Lakini kwa rehema zako kuu hukuwakomesha wala kuwaacha, kwa kuwa wewe ni Mungu mwenye neema na rehema.

NEH 9:32 Removed trailing space in v~: “Basi sasa, Ee Mungu wetu, uliye mkuu, mwenye nguvu na Mungu wa kuogofya, mwenye kushika agano lake la upendo, usiache taabu hizi zote zionekane kuwa kitu kidogo mbele za macho yako, taabu hizi zilizotupata, juu ya wafalme wetu na viongozi, juu ya makuhani wetu na manabii, juu ya baba zetu na watu wako wote, tangu siku za wafalme wa Ashuru hadi leo.

NEH 9:33 Removed trailing space in v~: Katika hayo yote yaliyotupata, umekuwa mwenye haki, na umetenda kwa uaminifu, wakati sisi tumetenda mabaya.

NEH 9:34 Removed trailing space in v~: Wafalme wetu, viongozi wetu, makuhani wetu na baba zetu hawakufuata sheria yako. Hawakuzingatia amri zako wala maonyo uliyowapa.

NEH 9:35 Removed trailing space in v~: Hata walipokuwa wangali katika ufalme wao, wakiufurahia wema wako mkuu katika nchi kubwa na yenye rutuba uliyowapa, hawakukutumikia wala kugeuka kutoka njia zao mbaya.

NEH 9:36 Removed trailing space in v~: “Lakini tazama, sisi ni watumwa leo, watumwa katika nchi uliyowapa baba zetu ili wapate kula matunda yake na vitu vingine vizuri inayozalisha.

NEH 9:37 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya dhambi zetu, mavuno yake mengi huenda kwa wafalme uliowaweka watutawale. Wanatawala juu ya miili yetu na mifugo yetu kama wapendavyo. Tuko katika dhiki kuu.

NEH 9:37 Removed trailing space in s1: Mapatano Ya Watu

NEH 9:38 Removed trailing space in v~: “Kwa sababu ya haya yote, tunajifunga katika mapatano, na kuyaandika, nao viongozi wetu, Walawi wetu na makuhani wetu wanatia mihuri yao.”

NEH 10:0 Extra space after chapter number

NEH 10:0 Removed trailing space in c: 10

NEH 10:1 Removed trailing space in v~: Wale waliotia muhuri walikuwa:

NEH 10:1 Removed trailing space in p~: Nehemia mtawala, mwana wa Hakalia.

NEH 10:1 Removed trailing space in p~: Sedekia,

NEH 10:2 Removed trailing space in v~: Seraya, Azaria, Yeremia,

NEH 10:3 Removed trailing space in v~: Pashuri, Amaria, Malkiya,

NEH 10:4 Removed trailing space in v~: Hatushi, Shebania, Maluki,

NEH 10:5 Removed trailing space in v~: Harimu, Meremothi, Obadia,

NEH 10:6 Removed trailing space in v~: Danieli, Ginethoni, Baruku,

NEH 10:7 Removed trailing space in v~: Meshulamu, Abiya, Miyamini,

NEH 10:8 Removed trailing space in v~: Maazia, Bilgai na Shemaya.

NEH 10:8 Removed trailing space in p~: Hawa ndio waliokuwa makuhani.

NEH 10:9 Removed trailing space in v~: Walawi:

NEH 10:9 Removed trailing space in p~: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,

NEH 10:10 Removed trailing space in v~: na wenzao: Shebania,

NEH 10:10 Removed trailing space in p~: Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani,

NEH 10:11 Removed trailing space in v~: Mika, Rehobu, Hashabia,

NEH 10:12 Removed trailing space in v~: Zakuri, Sherebia, Shebania,

NEH 10:13 Removed trailing space in v~: Hodia, Bani na Beninu.

NEH 10:14 Removed trailing space in v~: Viongozi wa watu:

NEH 10:14 Removed trailing space in p~: Paroshi, Pahath-Moabu, Elamu, Zatu, Bani,

NEH 10:15 Removed trailing space in v~: Buni, Azgadi, Bebai,

NEH 10:16 Removed trailing space in v~: Adoniya, Bigwai, Adini,

NEH 10:17 Removed trailing space in v~: Ateri, Hezekia, Azuri,

NEH 10:18 Removed trailing space in v~: Hodia, Hashumu, Besai,

NEH 10:19 Removed trailing space in v~: Harifu, Anathothi, Nebai,

NEH 10:20 Removed trailing space in v~: Magpiashi, Meshulamu, Heziri,

NEH 10:21 Removed trailing space in v~: Meshezabeli, Sadoki, Yadua,

NEH 10:22 Removed trailing space in v~: Pelatia, Hanani, Anaya,

NEH 10:23 Removed trailing space in v~: Hoshea, Hanania, Hashubu,

NEH 10:24 Removed trailing space in v~: Haloheshi, Pilha, Shobeki,

NEH 10:25 Removed trailing space in v~: Rehumu, Hashabna, Maaseya,

NEH 10:26 Removed trailing space in v~: Ahiya, Hanani, Anani,

NEH 10:27 Removed trailing space in v~: Maluki, Harimu na Baana.

NEH 10:28 Removed trailing space in v~: “Watu wengine wote, wakiwa ni makuhani, Walawi, mabawabu, waimbaji, watumishi wa Hekalu,\f + \fr 10:28 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa*.\f* na wale wote waliojitenga na mataifa jirani kwa ajili ya Sheria ya Mungu, pamoja na wake zao na wana wao na binti zao wote waliokuwa na uwezo wa kufahamu,

NEH 10:29 Removed trailing space in v~: basi hawa wote wanajiunga na ndugu zao na wakuu wao, na kujifunga kwa laana na kwa kiapo kufuata Sheria ya Mungu iliyotolewa kupitia kwa Mose mtumishi wa Mungu, na kutii kwa uangalifu amri zote, maagizo na sheria za \nd Bwana\nd*, Bwana wetu.

NEH 10:30 Removed trailing space in v~: “Tunaahidi kutowaoza binti zetu kwa watu wanaotuzunguka, wala kuwaoza wana wetu binti zao.

NEH 10:31 Removed trailing space in v~: “Wakati mataifa jirani waletapo bidhaa zao au nafaka kuuza siku ya Sabato, hatutazinunua kutoka kwao siku ya Sabato, wala siku nyingine yoyote takatifu. Kila mwaka wa saba, tutaacha kuilima ardhi na tutafuta madeni yote.

NEH 10:32 Removed trailing space in v~: “Tunakubali wajibu wa kutimiza amri za kutoa theluthi ya shekeli\f + \fr 10:32 \ft Theluthi ya shekeli hapa kama gramu 4.\f* kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya Mungu:

NEH 10:33 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya mikate ya Wonyesho, kwa ajili ya sadaka za kawaida za nafaka na sadaka za kuteketezwa, kwa ajili ya sadaka za siku za Sabato, Sikukuu za Mwandamo wa Mwezi na sikukuu nyingine zilizoamriwa, kwa ajili ya sadaka takatifu, kwa ajili ya sadaka za dhambi ili kufanya upatanisho kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.

NEH 10:34 Removed trailing space in v~: “Sisi makuhani, Walawi na watu, tumepiga kura kuamua kuwa kila mmoja wa jamaa zetu lazima alete katika nyumba ya Mungu wetu kwa nyakati maalum kila mwaka mchango wa kuni za kukokea moto katika madhabahu ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu, kama ilivyoandikwa katika Sheria.

NEH 10:35 Removed trailing space in v~: “Pia tunachukua wajibu wa kuleta malimbuko ya mazao yetu na matunda ya kwanza ya kila mti wa matunda katika nyumba ya \nd Bwana\nd* kila mwaka.

NEH 10:36 Removed trailing space in v~: “Kama pia ilivyoandikwa katika Sheria, tutawaleta wazaliwa wetu wa kwanza wa kiume, na wa mifugo yetu, yaani wa ngʼombe wetu na wa makundi yetu ya kondoo na mbuzi, katika nyumba ya Mungu wetu, kwa ajili ya makuhani wanaohudumu huko.

NEH 10:37 Removed trailing space in v~: “Zaidi ya hayo, tutaleta katika ghala za nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani, vyakula vya kwanza vya mashamba yetu, sadaka zetu za nafaka, matunda ya miti yetu yote, divai yetu mpya na mafuta. Nasi tutaleta zaka za mazao yetu kwa Walawi, kwa kuwa Walawi ndio ambao hukusanya zaka katika miji yote tunakofanya kazi.

NEH 10:38 Removed trailing space in v~: Kuhani atokanaye na uzao wa Aroni atashirikiana na Walawi wakati wanapopokea zaka, nao Walawi itawapasa kuleta sehemu ya kumi ya zaka katika nyumba ya Mungu wetu katika ghala za hazina.

NEH 10:39 Removed trailing space in v~: Watu wa Israeli pamoja na Walawi itawapasa kuleta michango yao ya nafaka, divai mpya na mafuta katika vyumba vya ghala, mahali vifaa vya mahali patakatifu vinapohifadhiwa, na wanapokaa makuhani wanaohudumu, na mabawabu na waimbaji.

NEH 10:39 Removed trailing space in p~: “Hatutaacha kuijali nyumba ya Mungu wetu.”

NEH 11:0 Extra space after chapter number

NEH 11:0 Removed trailing space in c: 11

NEH 11:0 Removed trailing space in s1: Wakazi Wapya Wa Yerusalemu

NEH 11:1 Removed trailing space in v~: Basi viongozi wa watu walikaa Yerusalemu, nao watu wale wengine walipiga kura ili kuleta mtu mmoja kati ya watu kumi aje kuishi Yerusalemu, mji mtakatifu, nao wengine tisa waliobaki wakae katika miji yao wenyewe.

NEH 11:2 Removed trailing space in v~: Watu waliwasifu wale wote waliojitolea kuishi Yerusalemu.

NEH 11:3 Removed trailing space in v~: Hawa ndio viongozi wa majimbo waliokuja kuishi Yerusalemu (baadhi ya Waisraeli, makuhani, Walawi, watumishi wa Hekalu,\f + \fr 11:3 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa* (pia 11:21).\f* na wazao wa watumishi wa Solomoni waliendelea kuishi katika miji ya Yuda, kila mmoja katika milki yake mwenyewe katika miji mbalimbali,

NEH 11:4 Removed trailing space in v~: ambapo watu wengine kutoka Yuda na Benyamini waliishi Yerusalemu).

NEH 11:4 Removed trailing space in p~: Kutoka wazao wa Yuda:

NEH 11:4 Removed trailing space in p~: Athaya mwana wa Uzia, mwana wa Zekaria, mwana wa Amaria, mwana wa Shefatia, mwana wa Mahalaleli, mzao wa Peresi.

NEH 11:5 Removed trailing space in v~: Naye Maaseya mwana wa Baruku, mwana wa Kolhoze, mwana wa Hazaya, mwana wa Adaya, mwana wa Yoyaribu, mwana wa Zekaria, mzao wa Mshiloni.

NEH 11:6 Removed trailing space in v~: Wazao wa Peresi walioishi Yerusalemu walikuwa 468, watu wenye uwezo.

NEH 11:7 Removed trailing space in v~: Kutoka wazao wa Benyamini:

NEH 11:7 Removed trailing space in p~: Salu mwana wa Meshulamu, mwana wa Yoedi, mwana wa Pedaya, mwana wa Kolaya, mwana wa Maaseya, mwana wa Ithieli, mwana wa Yeshaya

NEH 11:8 Removed trailing space in v~: na wafuasi wake, Gabai na Salai watu 928.

NEH 11:9 Removed trailing space in v~: Yoeli mwana wa Zikri alikuwa afisa wao mkuu, naye Yuda mwana wa Hasenua alikuwa msimamizi juu ya Mtaa wa Pili katika mji.

NEH 11:10 Removed trailing space in v~: Kutoka makuhani:

NEH 11:10 Removed trailing space in p~: Yedaya, mwana wa Yoyaribu, Yakini,

NEH 11:11 Removed trailing space in v~: Seraya mwana wa Hilkia, mwana wa Meshulamu, mwana wa Sadoki, mwana wa Merayothi, mwana wa Ahitubu, msimamizi katika nyumba ya Mungu,

NEH 11:12 Removed trailing space in v~: pamoja na wenzao waliofanya kazi hekaluni: watu 822. Adaya mwana wa Yerohamu, mwana wa Pelalia, mwana wa Amsi, mwana wa Zekaria, mwana wa Pashuri, mwana wa Malkiya,

NEH 11:13 Removed trailing space in v~: na wenzao, waliokuwa viongozi wa jamaa: watu 242. Amashisai mwana wa Azareli, mwana wa Azai, mwana wa Meshilemothi, mwana wa Imeri,

NEH 11:14 Removed trailing space in v~: na wenzao waliokuwa wenye uwezo: watu 128. Afisa wao mkuu alikuwa Zabdieli mwana wa Hagedolimu.

NEH 11:15 Removed trailing space in v~: Kutoka Walawi:

NEH 11:15 Removed trailing space in p~: Shemaya mwana wa Hashubu, mwana wa Azrikamu, mwana wa Hashabia, mwana wa Buni;

NEH 11:16 Removed trailing space in v~: Shabethai na Yozabadi, viongozi wawili wa Walawi, ambao walisimamia kazi za nje za nyumba ya Mungu;

NEH 11:17 Removed trailing space in v~: Matania mwana wa Mika, mwana wa Zabdi, mwana wa Asafu, kiongozi aliyeongoza kutoa shukrani na maombi; Bakbukia aliyekuwa msaidizi wake kati ya wenzake; na Abda mwana wa Shamua, mwana wa Galali, mwana wa Yeduthuni.

NEH 11:18 Removed trailing space in v~: Jumla ya Walawi waliokaa katika mji mtakatifu walikuwa watu 284.

NEH 11:19 Removed trailing space in v~: Mabawabu:

NEH 11:19 Removed trailing space in p~: Akubu, Talmoni na wenzao, waliolinda malango: watu 172.

NEH 11:20 Removed trailing space in v~: Waisraeli waliosalia, pamoja na makuhani na Walawi, walikuwa katika miji yote ya Yuda, kila mmoja katika urithi wa baba yake.

NEH 11:21 Removed trailing space in v~: Watumishi wa Hekalu waliishi katika kilima cha Ofeli. Siha na Gishpa walikuwa wasimamizi wao.

NEH 11:22 Removed trailing space in v~: Afisa mkuu wa Walawi huko Yerusalemu alikuwa Uzi mwana wa Bani, mwana wa Hashabia, mwana wa Matania, mwana wa Mika. Uzi alikuwa mmoja wa wazao wa Asafu, waliokuwa waimbaji wenye kuwajibika kwa ajili ya huduma ya nyumba ya Mungu.

NEH 11:23 Removed trailing space in v~: Waimbaji walikuwa chini ya amri za mfalme, ambazo pia ziliratibu shughuli zao za kila siku.

NEH 11:24 Removed trailing space in v~: Pethahia mwana wa Meshezabeli, mmoja wa wazao wa Zera mwana wa Yuda, alikuwa mwakilishi wa mfalme katika mambo yote kuhusu mahusiano na watu.

NEH 11:25 Removed trailing space in v~: Kuhusu vijiji na mashamba yake, baadhi ya watu wa Yuda waliishi Kiriath-Arba na makazi yaliyokizunguka, katika Diboni na makazi yake, katika Yekabzeeli na vijiji vyake,

NEH 11:26 Removed trailing space in v~: katika Yeshua, katika Molada, katika Beth-Peleti,

NEH 11:27 Removed trailing space in v~: katika Hasar-Shuali, katika Beer-Sheba na makazi yake,

NEH 11:28 Removed trailing space in v~: katika Siklagi, katika Mekona na makazi yake,

NEH 11:29 Removed trailing space in v~: katika En-Rimoni, katika Sora, katika Yarmuthi,

NEH 11:30 Removed trailing space in v~: Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, katika Lakishi na mashamba yake, na katika Azeka na makazi yake. Hivyo walikuwa wakiishi kuanzia Beer-Sheba mpaka Bonde la Hinomu.

NEH 11:31 Removed trailing space in v~: Wazao wa Wabenyamini kutoka Geba waliishi Mikmashi, Aiya, Betheli na makazi yake,

NEH 11:32 Removed trailing space in v~: katika Anathothi, Nobu na Anania,

NEH 11:33 Removed trailing space in v~: katika Hazori, Rama na Gitaimu,

NEH 11:34 Removed trailing space in v~: katika Hadidi, Seboimu na Nebalati,

NEH 11:35 Removed trailing space in v~: katika Lodi na Ono, na katika Bonde la Mafundi.

NEH 11:36 Removed trailing space in v~: Baadhi ya makundi ya Walawi wa Yuda waliishi huko Benyamini.

NEH 12:0 Extra space after chapter number

NEH 12:0 Removed trailing space in c: 12

NEH 12:0 Removed trailing space in s1: Makuhani Na Walawi Waliorudi Na Zerubabeli

NEH 12:1 Removed trailing space in v~: Hawa wafuatao walikuwa makuhani na Walawi ambao walirudi na Zerubabeli mwana wa Shealtieli pamoja na Yeshua:

NEH 12:1 Removed trailing space in p~: Seraya, Yeremia, Ezra,

NEH 12:2 Removed trailing space in v~: Amaria, Maluki, Hatushi,

NEH 12:3 Removed trailing space in v~: Shekania, Rehumu, Meremothi,

NEH 12:4 Removed trailing space in v~: Ido, Ginethoni, Abiya,

NEH 12:5 Removed trailing space in v~: Miyamini, Moadia, Bilga,

NEH 12:6 Removed trailing space in v~: Shemaya, Yoyaribu, Yedaya,

NEH 12:7 Removed trailing space in v~: Salu, Amoki, Hilkia na Yedaya.

NEH 12:7 Removed trailing space in p~: Hawa walikuwa viongozi wa makuhani na wenzao wakati wa Yeshua.

NEH 12:8 Removed trailing space in v~: Walawi walikuwa Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na pia Matania, ambaye pamoja na wenzake, alikuwa kiongozi wa nyimbo za shukrani.

NEH 12:9 Removed trailing space in v~: Bakbukia na Uni, wenzao, walisimama mkabala nao wakati wa ibada.

NEH 12:10 Removed trailing space in v~: Yeshua alikuwa baba wa Yoyakimu, Yoyakimu alikuwa baba wa Eliashibu, Eliashibu alikuwa baba wa Yoyada,

NEH 12:11 Removed trailing space in v~: Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.

NEH 12:12 Removed trailing space in v~: Katika siku za Yoyakimu, kulikuwa na wakuu wa jamaa za kikuhani:

NEH 12:12 Removed trailing space in p~: wa jamaa ya Seraya, Meraya;

NEH 12:12 Removed trailing space in p~: wa jamaa ya Yeremia, Hanania;

NEH 12:13 Removed trailing space in v~: wa jamaa ya Ezra, Meshulamu;

NEH 12:13 Removed trailing space in p~: wa jamaa ya Amaria, Yehohanani;

NEH 12:14 Removed trailing space in v~: wa jamaa ya Maluki, Yonathani;

NEH 12:14 Removed trailing space in p~: wa jamaa ya Shebania, Yosefu;

NEH 12:15 Removed trailing space in v~: wa jamaa ya Harimu, Adna;

NEH 12:15 Removed trailing space in p~: wa jamaa ya Meremothi, Helkai;

NEH 12:16 Removed trailing space in v~: wa jamaa ya Ido, Zekaria;

NEH 12:16 Removed trailing space in p~: wa jamaa ya Ginethoni, Meshulamu;

NEH 12:17 Removed trailing space in v~: wa jamaa ya Abiya, Zikri;

NEH 12:17 Removed trailing space in p~: wa jamaa ya Miniamini na ya Maazia, Piltai;

NEH 12:18 Removed trailing space in v~: wa jamaa ya Bilgai, Shamua;

NEH 12:18 Removed trailing space in p~: wa jamaa ya Shemaya, Yehonathani;

NEH 12:19 Removed trailing space in v~: wa jamaa ya Yoyaribu, Matenai;

NEH 12:19 Removed trailing space in p~: wa jamaa ya Yedaya, Uzi;

NEH 12:20 Removed trailing space in v~: wa jamaa ya Salu, Kalai;

NEH 12:20 Removed trailing space in p~: wa jamaa ya Amoki, Eberi;

NEH 12:21 Removed trailing space in v~: wa jamaa ya Hilkia, Hashabia;

NEH 12:21 Removed trailing space in p~: wa jamaa ya Yedaya, Nethaneli.

NEH 12:22 Removed trailing space in v~: Wakuu wa jamaa za Walawi katika siku za Eliashibu, Yoyada, Yohanani na Yadua, pia wale jamaa za makuhani, waliandikishwa wakati wa utawala wa Dario, Mwajemi.

NEH 12:23 Removed trailing space in v~: Wakuu wa jamaa miongoni mwa wazao wa Lawi hadi wakati wa Yohanani mwana wa Eliashibu waliandikishwa katika kitabu cha kumbukumbu.

NEH 12:24 Removed trailing space in v~: Viongozi wa Walawi walikuwa: Hashabia, Sherebia, Yeshua mwana wa Kadmieli na wenzao, waliosimama mkabala nao kusifu na kushukuru, sehemu moja ikipokezana na nyingine kama ilivyoagizwa na Daudi mtu wa Mungu.

NEH 12:25 Removed trailing space in v~: Mabawabu waliokuwa wakilinda kwenye malango ya ghala ni: Matania, Bakbukia, Obadia, Meshulamu, Talmoni na Akubu.

NEH 12:26 Removed trailing space in v~: Walihudumu siku za Yoyakimu mwana wa Yeshua, mwana wa Yosadaki, na katika siku za mtawala Nehemia, na za Ezra kuhani na mwandishi.

NEH 12:26 Removed trailing space in s1: Kuwekwa Wakfu Ukuta Wa Yerusalemu

NEH 12:27 Removed trailing space in v~: Wakati wa kuwekwa wakfu ukuta wa Yerusalemu, Walawi walitafutwa kule walikokuwa wakiishi, nao wakaletwa Yerusalemu kuadhimisha kwa shangwe huko kuweka wakfu kwa nyimbo za shukrani na kwa uimbaji wakitumia matoazi, vinubi na zeze.

NEH 12:28 Removed trailing space in v~: Pia waimbaji walikusanywa pamoja kutoka maeneo yaliyozunguka Yerusalemu, kutoka vijiji vya Wanetofathi,

NEH 12:29 Removed trailing space in v~: kutoka Beth-Gilgali, na kutoka eneo la Geba na Azmawethi, kwa kuwa waimbaji walikuwa wamejijengea vijiji kuzunguka Yerusalemu.

NEH 12:30 Removed trailing space in v~: Wakati makuhani na Walawi walipokuwa wamekwisha kujitakasa kwa kufuatana na desturi, waliwatakasa watu, malango na ukuta.

NEH 12:31 Removed trailing space in v~: Niliwaagiza viongozi wa Yuda wapande juu ya ukuta. Pia niliagiza makundi mawili makubwa ya waimbaji waimbe nyimbo za kumshukuru Mungu. Kundi moja lilipanda juu ya ukuta upande wa kuume, kuelekea Lango la Samadi.

NEH 12:32 Removed trailing space in v~: Hoshaya na nusu ya viongozi wa Yuda wakawafuata,

NEH 12:33 Removed trailing space in v~: pamoja na Azaria, Ezra, Meshulamu,

NEH 12:34 Removed trailing space in v~: Yuda, Benyamini, Shemaya, Yeremia,

NEH 12:35 Removed trailing space in v~: pamoja na baadhi ya makuhani wenye tarumbeta, na pia walikuwa na Zekaria mwana wa Yonathani, mwana wa Shemaya, mwana wa Matania, mwana wa Mikaya, mwana wa Zakuri, mwana wa Asafu,

NEH 12:36 Removed trailing space in v~: pamoja na wenzake, Shemaya, Azareli, Milalai, Gilalai, Maai, Nethaneli, Yuda na Hanani, wakiwa na vyombo vya uimbaji, kama ilivyoagizwa na Daudi mtu wa Mungu. Mwandishi Ezra aliongoza maandamano.

NEH 12:37 Removed trailing space in v~: Kwenye Lango la Chemchemi waliendelea moja kwa moja mpaka kwenye ngazi za Mji wa Daudi, kwenye mwinuko wa ukuta, na kupitia juu ya nyumba ya Daudi mpaka kwenye Lango la Maji upande wa mashariki.

NEH 12:38 Removed trailing space in v~: Kundi la pili la waimbaji lilielekea upande wa kushoto. Niliwafuata juu ya ukuta, pamoja na nusu ya watu kupitia Mnara wa Tanuru mpaka kwenye Ukuta Mpana,

NEH 12:39 Removed trailing space in v~: juu ya Lango la Efraimu, Lango la Yeshana, Lango la Samaki, Mnara wa Hananeli, na Mnara wa Mia, mpaka kwenye Lango la Kondoo. Walipofika kwenye Lango la Ulinzi wakasimama.

NEH 12:40 Removed trailing space in v~: Kisha yale makundi mawili ya waimbaji yaliyoshukuru yakachukua nafasi zao katika nyumba ya Mungu. Nami pia nikafanya hivyo, pamoja na nusu ya maafisa,

NEH 12:41 Removed trailing space in v~: na makuhani wafuatao: Eliakimu, Maaseya, Miniamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria na Hanania wakiwa na tarumbeta zao,

NEH 12:42 Removed trailing space in v~: na pia Maaseya, Shemaya, Eleazari, Uzi, Yehohanani, Malkiya, Elamu na Ezeri. Makundi haya yaliimba chini ya uongozi wa Yezrahia.

NEH 12:43 Removed trailing space in v~: Siku hiyo watu walitoa dhabihu nyingi, wakishangilia kwa sababu Mungu aliwapa furaha kuu. Wanawake na watoto walishangilia pia. Sauti ya kushangilia huko Yerusalemu iliweza kusikika mbali sana.

NEH 12:44 Removed trailing space in v~: Wakati huo watu walichaguliwa kuwa wasimamizi wa vyumba vya ghala kwa ajili ya matoleo, malimbuko na zaka. Kutoka kwenye yale mashamba yaliyozunguka miji walipaswa walete kwenye ghala mafungu kama sheria ilivyoamuru kwa ajili ya makuhani na Walawi, kwa kuwa Yuda alifurahishwa na huduma ya makuhani na Walawi.

NEH 12:45 Removed trailing space in v~: Walifanya ibada ya Mungu wao na ibada ya utakaso, nao waimbaji na walinzi wa lango wakafanya hivyo pia, kufuatana na amri za Daudi na Solomoni mwanawe.

NEH 12:46 Removed trailing space in v~: Muda mrefu uliopita, katika siku za Daudi na Asafu, walikuwepo viongozi wa waimbaji na wa nyimbo za sifa na za kumshukuru Mungu.

NEH 12:47 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo katika siku za Zerubabeli na za Nehemia, Israeli wote walitoa mafungu kila siku kwa ajili ya waimbaji na mabawabu. Pia walitenga fungu kwa ajili ya Walawi wengine, nao Walawi walitenga fungu kwa ajili ya wazao wa Aroni.

NEH 13:0 Extra space after chapter number

NEH 13:0 Removed trailing space in c: 13

NEH 13:0 Removed trailing space in s1: Nehemia Afanya Matengenezo Ya Mwisho

NEH 13:1 Removed trailing space in v~: Siku hiyo, Kitabu cha Mose kilisomwa kwa sauti kuu, na watu wote wakasikia. Humo ilionekana imeandikwa kwamba hakuna Mwamoni wala Mmoabu atakayeruhusiwa katika kusanyiko la watu wa Mungu,

NEH 13:2 Removed trailing space in v~: kwa sababu hawakuwalaki Waisraeli kwa chakula na maji. Badala yake walimwajiri Balaamu kuwalaani (lakini hata hivyo Mungu wetu aligeuza laana kuwa baraka).

NEH 13:3 Removed trailing space in v~: Watu waliposikia sheria hii, waliwatenga watu wote wasio Waisraeli waliokuwa wa uzao wa kigeni.

NEH 13:4 Removed trailing space in v~: Kabla ya hili, kuhani Eliashibu alikuwa amewekwa kuwa msimamizi wa vyumba vya ghala ya nyumba ya Mungu wetu. Alikuwa na uhusiano wa karibu na Tobia,

NEH 13:5 Removed trailing space in v~: naye alikuwa amempa Tobia chumba kikubwa ambacho mwanzo kilikuwa kikitumika kuweka sadaka za nafaka, uvumba na vyombo vya Hekalu, pamoja na zaka za nafaka, divai mpya na mafuta waliyoagizwa Waisraeli kwa ajili ya Walawi, waimbaji na mabawabu wa lango, pamoja na matoleo kwa makuhani.

NEH 13:6 Removed trailing space in v~: Lakini wakati haya yote yalipokuwa yakitendeka, sikuwa Yerusalemu, kwa kuwa katika mwaka wa thelathini na mbili wa utawala wa Artashasta mfalme wa Babeli nilikuwa nimerudi kwa mfalme. Baadaye nilimwomba ruhusa,

NEH 13:7 Removed trailing space in v~: nikarudi Yerusalemu. Hapo niligundua jambo la uovu alilofanya Eliashibu kwa kumpa Tobia chumba katika nyua za nyumba ya Mungu.

NEH 13:8 Removed trailing space in v~: Nilikasirika sana na nikavitupa nje vyombo vyote vya Tobia.

NEH 13:9 Removed trailing space in v~: Nilitoa amri kutakasa vyumba, kisha nikavirudisha vifaa vya nyumba ya Mungu, pamoja na sadaka za nafaka na uvumba.

NEH 13:10 Removed trailing space in v~: Pia niligundua kuwa mafungu yaliyopangwa kupewa Walawi hawakuwa wamepewa, nao Walawi wote na waimbaji waliowajibika kwa huduma walikuwa wamerudi katika mashamba yao.

NEH 13:11 Removed trailing space in v~: Basi niliwakemea maafisa na kuwauliza, “Kwa nini nyumba ya Mungu imepuuzwa?” Kisha niliwaita pamoja na kuwaweka kwenye nafasi zao.

NEH 13:12 Removed trailing space in v~: Yuda wote walileta zaka za nafaka, divai mpya na mafuta kwenye ghala.

NEH 13:13 Removed trailing space in v~: Nikamweka kuhani Shelemia, mwandishi Sadoki, na Mlawi aliyeitwa Pedaya kuwa wasimamizi wa ghala, na kumfanya Hanani mwana wa Zakuri, mwana wa Matania kuwa msaidizi wao, kwa sababu watu hawa walionekana kuwa waaminifu. Walipewa wajibu wa kugawa mahitaji kwa ndugu zao.

NEH 13:14 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu, unikumbuke kwa hili, wala usifute kile nilichokifanya kwa uaminifu kwa ajili ya nyumba ya Mungu wangu na kwa ajili ya huduma yake.

NEH 13:15 Removed trailing space in v~: Siku hizo nikaona watu katika Yuda wakikanyaga mashinikizo ya divai siku ya Sabato na kuleta nafaka wakiwapakiza punda, pamoja na divai, zabibu, tini na aina nyingine za mizigo. Nao walikuwa wakileta haya yote Yerusalemu siku ya Sabato. Kwa hiyo niliwaonya dhidi ya kuuza vyakula siku hiyo.

NEH 13:16 Removed trailing space in v~: Watu kutoka Tiro waliokuwa wakiishi Yerusalemu walileta samaki na aina nyingi za bidhaa na kuziuza Yerusalemu siku ya Sabato kwa watu wa Yuda.

NEH 13:17 Removed trailing space in v~: Niliwakemea wakuu wa Yuda na kuwaambia, “Ni uovu gani huu mnaofanya wa kuinajisi siku ya Sabato?

NEH 13:18 Removed trailing space in v~: Je, baba zenu hawakufanya mambo kama haya, hata wakamsababisha Mungu wetu kuleta maafa haya yote juu yetu na juu ya mji huu? Sasa bado mnazidi kuchochea ghadhabu yake dhidi ya Israeli kwa kuinajisi Sabato.”

NEH 13:19 Removed trailing space in v~: Wakati vivuli vya jioni vilipoangukia juu ya malango ya Yerusalemu kabla ya Sabato, niliamuru milango ifungwe, wala isifunguliwe mpaka Sabato iishe. Nikawaweka baadhi ya watu wangu mwenyewe kwenye malango ili pasiwepo mzigo utakaoingizwa ndani siku ya Sabato.

NEH 13:20 Removed trailing space in v~: Mara moja au mbili wachuuzi na wauzaji wa bidhaa za aina zote walilala usiku nje ya mji wa Yerusalemu.

NEH 13:21 Removed trailing space in v~: Lakini niliwaonya na kuwaambia, “Kwa nini mnalala karibu na ukuta? Kama mkifanya hivi tena, nitawaadhibu.” Kuanzia wakati ule hawakuja tena siku ya Sabato.

NEH 13:22 Removed trailing space in v~: Kisha nikawaamuru Walawi kujitakasa na kwenda kulinda malango ili kutunza Sabato iwe takatifu.

NEH 13:22 Removed trailing space in p~: Ee Mungu wangu, unikumbuke kwa ajili ya hili pia, nawe unionyeshe wema wako sawasawa na upendo wako mkuu.

NEH 13:23 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, niliona Wayahudi waliokuwa wameoa wanawake kutoka Ashdodi, Amoni na Moabu.

NEH 13:24 Removed trailing space in v~: Nusu ya watoto wao walizungumza lugha ya Kiashidodi au lugha ya watu wengine, bali hawakuweza kuzungumza Kiyahudi.

NEH 13:25 Removed trailing space in v~: Niliwakemea na kuwalaani. Niliwapiga baadhi ya watu na kungʼoa nywele zao. Niliwaapisha kwa jina la Mungu na kusema: “Msiwaoze binti zenu kwa wana wao, wala binti zao wasiolewe na wana wenu wala ninyi wenyewe.

NEH 13:26 Removed trailing space in v~: Je, Solomoni hakutenda dhambi kwa sababu ya wanawake wa namna hiyo? Miongoni mwa mataifa mengi hapakuwepo mfalme kama yeye. Alipendwa na Mungu wake. Naye Mungu alimweka kuwa mfalme juu ya Israeli yote, lakini hata yeye, wanawake wa mataifa mengine walimfanya atende dhambi.

NEH 13:27 Removed trailing space in v~: Je, tulazimike sasa kusikia kwamba ninyi pia mmefanya uovu huu mkubwa na kutokuwa waaminifu kwa Mungu wetu kwa kuoa wanawake wa kigeni?”

NEH 13:28 Removed trailing space in v~: Mmoja wa wana wa Yoyada mwana wa Eliashibu kuhani mkuu alikuwa mkwewe Sanbalati Mhoroni. Nami nilimfukuza mbele yangu.

NEH 13:29 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu, uwakumbuke, kwa sababu wamenajisi ukuhani, na agano la kikuhani na la Walawi.

NEH 13:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo niliwatakasa makuhani na Walawi kutokana na chochote kilichokuwa cha kigeni, na kuwapa wajibu, kila mmoja katika kazi yake.

NEH 13:31 Removed trailing space in v~: Pia nilihakikisha kwamba matoleo ya kuni yaliletwa kwa wakati unaopaswa, na malimbuko kwa wakati wake.

NEH 13:31 Removed trailing space in p~: Ee Mungu wangu, unikumbuke, unitendee mema.

JOB 31:12 Found unexpected backslash in footnote: 31:12 Kwa Kiebrania ni Abadon (\+xt Ay 26:6; Mit 15:11\+xt*).

PSA 2:0 Extra space after chapter number

PSA 2:0 Removed trailing space in c: 2

PSA 2:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 2

PSA 2:0 Removed trailing space in s1: Mfalme Aliyechaguliwa Na Mungu

PSA 2:1 Removed trailing space in v~: Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya,

PSA 2:1 Removed trailing space in p~: na kabila za watu kula njama bure?

PSA 2:2 Removed trailing space in v~: Wafalme wa dunia wanajipanga

PSA 2:2 Removed trailing space in p~: na watawala wanajikusanya pamoja

PSA 2:2 Removed trailing space in p~: dhidi ya \nd Bwana\nd*

PSA 2:2 Removed trailing space in p~: na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.

PSA 2:3 Removed trailing space in v~: Wanasema, “Tuvunje minyororo yao

PSA 2:3 Removed trailing space in p~: na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”

PSA 2:4 Removed trailing space in v~: Yeye atawalaye mbinguni hucheka,

PSA 2:4 Removed trailing space in p~: Bwana huwadharau.

PSA 2:5 Removed trailing space in v~: Kisha huwakemea katika hasira yake

PSA 2:5 Removed trailing space in p~: na kuwaogopesha katika ghadhabu yake, akisema,

PSA 2:6 Removed trailing space in v~: “Nimemtawaza Mfalme wangu

PSA 2:6 Removed trailing space in p~: juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”

PSA 2:6 Removed trailing space in s1: Ushindi Wa Mfalme

PSA 2:7 Removed trailing space in v~: Nitatangaza amri ya \nd Bwana\nd*:

PSA 2:7 Removed trailing space in p~: Yeye aliniambia, “Wewe ni Mwanangu,

PSA 2:7 Removed trailing space in p~: leo mimi nimekuzaa.

PSA 2:8 Removed trailing space in v~: Niombe, nami nitayafanya mataifa

PSA 2:8 Removed trailing space in p~: kuwa urithi wako,

PSA 2:8 Removed trailing space in p~: miisho ya dunia kuwa milki yako.

PSA 2:9 Removed trailing space in v~: Utawatawala kwa fimbo ya chuma

PSA 2:9 Removed trailing space in p~: na kuwavunjavunja kama chombo cha mfinyanzi.”

PSA 2:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima;

PSA 2:10 Removed trailing space in p~: mwonyeke, enyi watawala wa dunia.

PSA 2:11 Removed trailing space in v~: Mtumikieni \nd Bwana\nd* kwa hofu

PSA 2:11 Removed trailing space in p~: na mshangilie kwa kutetemeka.

PSA 2:12 Removed trailing space in v~: Mbusu Mwana, asije akakasirika

PSA 2:12 Removed trailing space in p~: nawe ukaangamizwa katika njia yako,

PSA 2:12 Removed trailing space in p~: kwa maana hasira yake inaweza kuwaka ghafula.

PSA 2:12 Removed trailing space in p~: Heri wote wanaomkimbilia.

PSA 3:0 Extra space after chapter number

PSA 3:0 Removed trailing space in c: 3

PSA 3:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 3

PSA 3:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Asubuhi Ya Kuomba Msaada

PSA 3:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu.

PSA 3:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, tazama adui zangu walivyo wengi!

PSA 3:1 Removed trailing space in p~: Ni wengi kiasi gani wanaoinuka dhidi yangu!

PSA 3:2 Removed trailing space in v~: Wengi wanasema juu yangu,

PSA 3:2 Removed trailing space in p~: “Mungu hatamwokoa.”

PSA 3:3 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee \nd Bwana\nd*, ni ngao pande zote;

PSA 3:3 Removed trailing space in p~: umeniwekea utukufu na kuinua kichwa changu.

PSA 3:4 Removed trailing space in v~: Ninamlilia \nd Bwana\nd* kwa sauti kuu,

PSA 3:4 Removed trailing space in p~: naye ananijibu kutoka mlima wake mtakatifu.

PSA 3:5 Removed trailing space in v~: Ninajilaza na kupata usingizi;

PSA 3:5 Removed trailing space in p~: naamka tena, kwa maana \nd Bwana\nd* hunitegemeza.

PSA 3:6 Removed trailing space in v~: Sitaogopa makumi elfu ya adui,

PSA 3:6 Removed trailing space in p~: wanaojipanga dhidi yangu kila upande.

PSA 3:7 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, amka!

PSA 3:7 Removed trailing space in p~: Niokoe, Ee Mungu wangu!

PSA 3:7 Removed trailing space in p~: Wapige adui zangu wote kwenye taya,

PSA 3:7 Removed trailing space in p~: vunja meno ya waovu.

PSA 3:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana wokovu watoka kwa \nd Bwana\nd*.

PSA 3:8 Removed trailing space in p~: Baraka yako na iwe juu ya watu wako.

PSA 4:0 Extra space after chapter number

PSA 4:0 Removed trailing space in c: 4

PSA 4:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 4

PSA 4:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Jioni Ya Kuomba Msaada

PSA 4:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi.

PSA 4:1 Removed trailing space in v~: Nijibu nikuitapo,

PSA 4:1 Removed trailing space in p~: Ee Mungu wangu mwenye haki!

PSA 4:1 Removed trailing space in p~: Nipumzishe katika shida zangu;

PSA 4:1 Removed trailing space in p~: nirehemu, usikie ombi langu.

PSA 4:2 Removed trailing space in v~: Enyi watu, mtabadilisha utukufu wangu

PSA 4:2 Removed trailing space in p~: kuwa aibu mpaka lini?

PSA 4:2 Removed trailing space in p~: Mtapenda udanganyifu

PSA 4:2 Removed trailing space in p~: na kufuata miungu ya uongo mpaka lini?

PSA 4:3 Removed trailing space in v~: Fahamuni hakika kwamba \nd Bwana\nd* amewatenga

PSA 4:3 Removed trailing space in p~: wale wamchao kwa ajili yake;

PSA 4:3 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atanisikia nimwitapo.

PSA 4:4 Removed trailing space in v~: Katika hasira yako, usitende dhambi.

PSA 4:4 Removed trailing space in p~: Mkiwa vitandani mwenu, mtulie kimya

PSA 4:4 Removed trailing space in p~: mkiichunguza mioyo yenu.

PSA 4:5 Removed trailing space in v~: Toeni dhabihu zilizo haki;

PSA 4:5 Removed trailing space in p~: mtegemeeni \nd Bwana\nd*.

PSA 4:6 Removed trailing space in v~: Wengi wanauliza, “Ni nani awezaye

PSA 4:6 Removed trailing space in p~: kutuonyesha jema lolote?”

PSA 4:6 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, tuangazie nuru ya uso wako.

PSA 4:7 Removed trailing space in v~: Wewe umejaza moyo wangu kwa furaha kubwa

PSA 4:7 Removed trailing space in p~: kuliko watu waliopata nafaka na divai kwa wingi.

PSA 4:8 Removed trailing space in v~: Nitajilaza chini na kulala kwa amani,

PSA 4:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wewe peke yako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 4:8 Removed trailing space in p~: waniwezesha kukaa kwa salama.

PSA 5:0 Extra space after chapter number

PSA 5:0 Removed trailing space in c: 5

PSA 5:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 5

PSA 5:0 Removed trailing space in s1: Sala Kwa Ajili Ya Ulinzi Wakati Wa Hatari

PSA 5:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Kwa filimbi. Zaburi ya Daudi.

PSA 5:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, tegea sikio maneno yangu,

PSA 5:1 Removed trailing space in p~: uangalie kupiga kite kwangu.

PSA 5:2 Removed trailing space in v~: Sikiliza kilio changu ili unisaidie,

PSA 5:2 Removed trailing space in p~: Mfalme wangu na Mungu wangu,

PSA 5:2 Removed trailing space in p~: kwa maana kwako ninaomba.

PSA 5:3 Removed trailing space in v~: Asubuhi, unasikia sauti yangu, Ee \nd Bwana\nd*;

PSA 5:3 Removed trailing space in p~: asubuhi naleta haja zangu mbele zako,

PSA 5:3 Removed trailing space in p~: na kusubiri kwa matumaini.

PSA 5:4 Removed trailing space in v~: Wewe si Mungu unayefurahia uovu,

PSA 5:4 Removed trailing space in p~: kwako mtu mwovu hataishi.

PSA 5:5 Removed trailing space in v~: Wenye kiburi hawawezi kusimama mbele yako,

PSA 5:5 Removed trailing space in p~: unawachukia wote watendao mabaya.

PSA 5:6 Removed trailing space in v~: Unawaangamiza wasemao uongo.

PSA 5:6 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwachukia

PSA 5:6 Removed trailing space in p~: wamwagao damu na wadanganyifu.

PSA 5:7 Removed trailing space in v~: Lakini mimi, kwa rehema zako kuu,

PSA 5:7 Removed trailing space in p~: nitakuja katika nyumba yako,

PSA 5:7 Removed trailing space in p~: kwa unyenyekevu, nitasujudu

PSA 5:7 Removed trailing space in p~: kuelekea Hekalu lako takatifu.

PSA 5:8 Removed trailing space in v~: Niongoze katika haki yako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 5:8 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya adui zangu,

PSA 5:8 Removed trailing space in p~: nyoosha njia yako mbele yangu.

PSA 5:9 Removed trailing space in v~: Hakuna neno kinywani mwao linaloweza kuaminika,

PSA 5:9 Removed trailing space in p~: mioyo yao imejaa maangamizi.

PSA 5:9 Removed trailing space in p~: Koo lao ni kaburi lililo wazi,

PSA 5:9 Removed trailing space in p~: kwa ndimi zao, wao hunena udanganyifu.

PSA 5:10 Removed trailing space in v~: Uwatangaze kuwa wenye hatia, Ee Mungu!

PSA 5:10 Removed trailing space in p~: Hila zao ziwe anguko lao wenyewe.

PSA 5:10 Removed trailing space in p~: Wafukuzie mbali kwa sababu ya dhambi zao nyingi,

PSA 5:10 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wamekuasi wewe.

PSA 5:11 Removed trailing space in v~: Lakini wote wakimbiliao kwako na wafurahi,

PSA 5:11 Removed trailing space in p~: waimbe kwa shangwe daima.

PSA 5:11 Removed trailing space in p~: Ueneze ulinzi wako juu yao,

PSA 5:11 Removed trailing space in p~: ili wale wapendao jina lako

PSA 5:11 Removed trailing space in p~: wapate kukushangilia.

PSA 5:12 Removed trailing space in v~: Kwa hakika, Ee \nd Bwana\nd*, unawabariki wenye haki,

PSA 5:12 Removed trailing space in p~: unawazunguka kwa wema wako kama ngao.

PSA 6:0 Extra space after chapter number

PSA 6:0 Removed trailing space in c: 6

PSA 6:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 6

PSA 6:0 Removed trailing space in s1: Sala Kwa Ajili Ya Msaada Wakati Wa Taabu

PSA 6:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi.\f + \fr 6:0 \fq Sheminithi \ft ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji.\f* Zaburi ya Daudi.

PSA 6:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usinikemee katika hasira yako,

PSA 6:1 Removed trailing space in p~: wala usiniadhibu katika ghadhabu yako.

PSA 6:2 Removed trailing space in v~: Unirehemu \nd Bwana\nd*,

PSA 6:2 Removed trailing space in p~: kwa maana nimedhoofika;

PSA 6:2 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, uniponye,

PSA 6:2 Removed trailing space in p~: kwa maana mifupa yangu

PSA 6:2 Removed trailing space in p~: ina maumivu makali.

PSA 6:3 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu ina uchungu mwingi.

PSA 6:3 Removed trailing space in p~: Mpaka lini, Ee \nd Bwana\nd*, mpaka lini?

PSA 6:4 Removed trailing space in v~: Geuka Ee \nd Bwana\nd*, unikomboe,

PSA 6:4 Removed trailing space in p~: uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.

PSA 6:5 Removed trailing space in v~: Hakuna mtu anayekukumbuka

PSA 6:5 Removed trailing space in p~: akiwa amekufa.

PSA 6:5 Removed trailing space in p~: Ni nani awezaye kukusifu

PSA 6:5 Removed trailing space in p~: akiwa kuzimu?

PSA 6:6 Removed trailing space in v~: Nimechakaa kwa kulia kwa huzuni;

PSA 6:6 Removed trailing space in p~: usiku kucha nafurikisha

PSA 6:6 Removed trailing space in p~: kitanda changu kwa machozi;

PSA 6:6 Removed trailing space in p~: nimelowesha viti vyangu vya fahari

PSA 6:6 Removed trailing space in p~: kwa machozi.

PSA 6:7 Removed trailing space in v~: Macho yangu yamedhoofika kwa kuhuzunika,

PSA 6:7 Removed trailing space in p~: yamedhoofika kwa sababu ya adui zangu wote.

PSA 6:8 Removed trailing space in v~: Kaeni mbali nami, ninyi nyote mtendao mabaya,

PSA 6:8 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* amesikia kulia kwangu.

PSA 6:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amesikia kilio changu kwa huruma,

PSA 6:9 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amekubali sala yangu.

PSA 6:10 Removed trailing space in v~: Adui zangu wote wataaibika na kufadhaika,

PSA 6:10 Removed trailing space in p~: watarudi nyuma kwa aibu ya ghafula.

PSA 7:0 Extra space after chapter number

PSA 7:0 Removed trailing space in c: 7

PSA 7:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 7

PSA 7:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Mtu Anayedhulumiwa

PSA 7:0 Removed trailing space in d: Ombolezo la Daudi kwa \nd Bwana\nd* kwa sababu ya Kushi, Mbenyamini.

PSA 7:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wangu, ninakukimbilia wewe,

PSA 7:1 Removed trailing space in p~: uniokoe na kunikomboa na wote wanaonifuatia,

PSA 7:2 Removed trailing space in v~: la sivyo watanirarua kama simba

PSA 7:2 Removed trailing space in p~: na kunichana vipande vipande, asiwepo wa kuniokoa.

PSA 7:3 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wangu, kama nimetenda haya

PSA 7:3 Removed trailing space in p~: na kuna hatia mikononi mwangu,

PSA 7:4 Removed trailing space in v~: au ikiwa nimemtenda uovu aliye na amani nami,

PSA 7:4 Removed trailing space in p~: au nimemnyangʼanya adui yangu pasipo sababu,

PSA 7:5 Removed trailing space in v~: basi adui anifuatie na kunipata,

PSA 7:5 Removed trailing space in p~: auponde uhai wangu ardhini

PSA 7:5 Removed trailing space in p~: na kunilaza mavumbini.

PSA 7:6 Removed trailing space in v~: Amka kwa hasira yako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 7:6 Removed trailing space in p~: inuka dhidi ya ghadhabu ya adui zangu.

PSA 7:6 Removed trailing space in p~: Amka, Mungu wangu, uamue haki.

PSA 7:7 Removed trailing space in v~: Kusanyiko la watu na likuzunguke.

PSA 7:7 Removed trailing space in p~: Watawale kutoka juu.

PSA 7:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na awahukumu kabila za watu.

PSA 7:8 Removed trailing space in p~: Nihukumu Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 7:8 Removed trailing space in p~: kwa kadiri ya haki yangu,

PSA 7:8 Removed trailing space in p~: kwa kadiri ya uadilifu wangu,

PSA 7:8 Removed trailing space in p~: Ewe Uliye Juu Sana.

PSA 7:9 Removed trailing space in v~: Ee Mungu mwenye haki,

PSA 7:9 Removed trailing space in p~: uchunguzaye mawazo na mioyo,

PSA 7:9 Removed trailing space in p~: komesha ghasia za waovu

PSA 7:9 Removed trailing space in p~: na ufanye wenye haki waishi kwa amani.

PSA 7:10 Removed trailing space in v~: Ngao langu ni Mungu Aliye Juu Sana,

PSA 7:10 Removed trailing space in p~: awaokoaye wanyofu wa moyo.

PSA 7:11 Removed trailing space in v~: Mungu ni mwamuzi mwenye haki,

PSA 7:11 Removed trailing space in p~: Mungu aghadhibikaye kila siku.

PSA 7:12 Removed trailing space in v~: Kama hakutuhurumia,

PSA 7:12 Removed trailing space in p~: atanoa upanga wake,

PSA 7:12 Removed trailing space in p~: ataupinda na kuufunga uzi upinde wake.

PSA 7:13 Removed trailing space in v~: Ameandaa silaha zake kali,

PSA 7:13 Removed trailing space in p~: ameweka tayari mishale yake ya moto.

PSA 7:14 Removed trailing space in v~: Yeye aliye na mimba ya uovu

PSA 7:14 Removed trailing space in p~: na achukuaye mimba ya ghasia huzaa uongo.

PSA 7:15 Removed trailing space in v~: Yeye achimbaye shimo na kulifukua

PSA 7:15 Removed trailing space in p~: hutumbukia katika shimo alilochimba mwenyewe.

PSA 7:16 Removed trailing space in v~: Ghasia azianzishazo humrudia mwenyewe,

PSA 7:16 Removed trailing space in p~: ukatili wake humrudia kichwani.

PSA 7:17 Removed trailing space in v~: Nitamshukuru \nd Bwana\nd* kwa ajili ya haki yake,

PSA 7:17 Removed trailing space in p~: na nitaliimbia sifa jina la \nd Bwana\nd* Aliye Juu Sana.

PSA 8:0 Extra space after chapter number

PSA 8:0 Removed trailing space in c: 8

PSA 8:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 8

PSA 8:0 Removed trailing space in s1: Utukufu Wa Mungu Na Heshima Ya Mwanadamu

PSA 8:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Daudi.

PSA 8:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Bwana wetu,

PSA 8:1 Removed trailing space in p~: tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!

PSA 8:1 Removed trailing space in p~: Umeuweka utukufu wako

PSA 8:1 Removed trailing space in p~: juu ya mbingu.

PSA 8:2 Removed trailing space in v~: Midomoni mwa watoto wachanga na wanyonyao

PSA 8:2 Removed trailing space in p~: umeamuru sifa,

PSA 8:2 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya watesi wako,

PSA 8:2 Removed trailing space in p~: kumnyamazisha adui na mlipiza kisasi.

PSA 8:3 Removed trailing space in v~: Nikiziangalia mbingu zako,

PSA 8:3 Removed trailing space in p~: kazi ya vidole vyako,

PSA 8:3 Removed trailing space in p~: mwezi na nyota,

PSA 8:3 Removed trailing space in p~: ulizoziratibisha,

PSA 8:4 Removed trailing space in v~: mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria,

PSA 8:4 Removed trailing space in p~: binadamu ni nani hata unamjali?

PSA 8:5 Removed trailing space in v~: Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni,

PSA 8:5 Removed trailing space in p~: ukamvika taji ya utukufu na heshima.

PSA 8:6 Removed trailing space in v~: Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako;

PSA 8:6 Removed trailing space in p~: umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.

PSA 8:7 Removed trailing space in v~: Mifugo na makundi yote pia,

PSA 8:7 Removed trailing space in p~: naam, na wanyama wa kondeni,

PSA 8:8 Removed trailing space in v~: ndege wa angani na samaki wa baharini,

PSA 8:8 Removed trailing space in p~: naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.

PSA 8:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Bwana wetu,

PSA 8:9 Removed trailing space in p~: tazama jinsi lilivyo tukufu jina lako duniani mwote!

PSA 9:0 Extra space after chapter number

PSA 9:0 Removed trailing space in c: 9

PSA 9:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 9\f + \fr 9 \ft Zaburi hii ikiunganishwa na ya 10 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 9:0 Removed trailing space in s1: Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Haki Yake

PSA 9:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa muth-labeni.\f + \fr 9:0 \ft Muth-labeni ni mtajo mmojawapo katika lugha za muziki.\f* Zaburi ya Daudi.

PSA 9:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nitakutukuza kwa moyo wangu wote,

PSA 9:1 Removed trailing space in p~: nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu.

PSA 9:2 Removed trailing space in v~: Nitafurahi na kushangilia ndani yako.

PSA 9:2 Removed trailing space in p~: Nitaliimbia sifa jina lako, Ewe Uliye Juu Sana.

PSA 9:3 Removed trailing space in v~: Adui zangu wamerudi nyuma,

PSA 9:3 Removed trailing space in p~: wamejikwaa na kuangamia mbele zako.

PSA 9:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana umetetea haki yangu na msimamo wangu;

PSA 9:4 Removed trailing space in p~: umeketi kwenye kiti chako cha enzi,

PSA 9:4 Removed trailing space in p~: ukihukumu kwa haki.

PSA 9:5 Removed trailing space in v~: Umekemea mataifa na kuwaangamiza waovu;

PSA 9:5 Removed trailing space in p~: umeyafuta majina yao milele na milele.

PSA 9:6 Removed trailing space in v~: Uharibifu usiokoma umempata adui,

PSA 9:6 Removed trailing space in p~: umeingʼoa miji yao;

PSA 9:6 Removed trailing space in p~: hata kumbukumbu lao limetoweka.

PSA 9:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anatawala milele,

PSA 9:7 Removed trailing space in p~: ameweka kiti chake cha enzi apate kuhukumu.

PSA 9:8 Removed trailing space in v~: Mungu atahukumu ulimwengu kwa haki,

PSA 9:8 Removed trailing space in p~: atatawala mataifa kwa haki.

PSA 9:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni kimbilio la watu wanaoonewa,

PSA 9:9 Removed trailing space in p~: ni ngome imara wakati wa shida.

PSA 9:10 Removed trailing space in v~: Wote wanaolijua jina lako watakutumaini wewe,

PSA 9:10 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe \nd Bwana\nd*,

PSA 9:10 Removed trailing space in p~: hujawaacha kamwe wakutafutao.

PSA 9:11 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* sifa, amefanywa mtawala Sayuni,

PSA 9:11 Removed trailing space in p~: tangazeni miongoni mwa mataifa, yale aliyoyatenda.

PSA 9:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana yeye alipizaye kisasi cha damu hukumbuka,

PSA 9:12 Removed trailing space in p~: hapuuzi kilio cha wanaoonewa.

PSA 9:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, tazama jinsi walivyo wengi adui zangu wanaonitesa!

PSA 9:13 Removed trailing space in p~: Nihurumie, uniinue kutoka malango ya mauti,

PSA 9:14 Removed trailing space in v~: ili niweze kutangaza sifa zako

PSA 9:14 Removed trailing space in p~: katika malango ya Binti Sayuni

PSA 9:14 Removed trailing space in p~: na huko niushangilie wokovu wako.

PSA 9:15 Removed trailing space in v~: Mataifa wameanguka kwenye shimo walilolichimba,

PSA 9:15 Removed trailing space in p~: miguu yao imenaswa kwenye wavu waliouficha.

PSA 9:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anajulikana kwa haki yake,

PSA 9:16 Removed trailing space in p~: waovu wamenaswa katika kazi za mikono yao.

PSA 9:17 Removed trailing space in v~: Waovu wataishia kuzimu,

PSA 9:17 Removed trailing space in p~: naam, mataifa yote wanaomsahau Mungu.

PSA 9:18 Removed trailing space in v~: Lakini mhitaji hatasahaulika siku zote,

PSA 9:18 Removed trailing space in p~: wala matumaini ya walioonewa hayatapotea.

PSA 9:19 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, inuka, usimwache binadamu ashinde.

PSA 9:19 Removed trailing space in p~: Mataifa na yahukumiwe mbele zako.

PSA 9:20 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wapige kwa hofu,

PSA 9:20 Removed trailing space in p~: mataifa na yajue kuwa wao ni watu tu.

PSA 10:0 Extra space after chapter number

PSA 10:0 Removed trailing space in c: 10

PSA 10:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 10\f + \fr 10 \ft Zaburi hii ikiunganishwa na ya 9 zimetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 10:0 Removed trailing space in s1: Sala Kwa Ajili Ya Haki

PSA 10:1 Removed trailing space in v~: Kwa nini, Ee \nd Bwana\nd*, unasimama mbali?

PSA 10:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini unajificha wakati wa shida?

PSA 10:2 Removed trailing space in v~: Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini,

PSA 10:2 Removed trailing space in p~: waovu na wanaswe katika hila wanazozitunga.

PSA 10:3 Removed trailing space in v~: Hujivunia tamaa za moyo wake;

PSA 10:3 Removed trailing space in p~: humbariki mlafi na kumtukana \nd Bwana\nd*.

PSA 10:4 Removed trailing space in v~: Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu,

PSA 10:4 Removed trailing space in p~: katika mawazo yake yote

PSA 10:4 Removed trailing space in p~: hakuna nafasi ya Mungu.

PSA 10:5 Removed trailing space in v~: Njia zake daima hufanikiwa;

PSA 10:5 Removed trailing space in p~: hujivuna na amri zako ziko mbali naye,

PSA 10:5 Removed trailing space in p~: huwacheka kwa dharau adui zake wote.

PSA 10:6 Removed trailing space in v~: Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa,

PSA 10:6 Removed trailing space in p~: daima nitakuwa na furaha,

PSA 10:6 Removed trailing space in p~: kamwe sitakuwa na shida.”

PSA 10:7 Removed trailing space in v~: Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho;

PSA 10:7 Removed trailing space in p~: shida na ubaya viko chini ya ulimi wake.

PSA 10:8 Removed trailing space in v~: Huvizia karibu na vijiji;

PSA 10:8 Removed trailing space in p~: kutoka mafichoni huwanasa wasio na hatia,

PSA 10:8 Removed trailing space in p~: akivizia wapitaji.

PSA 10:9 Removed trailing space in v~: Huvizia kama simba aliye mawindoni;

PSA 10:9 Removed trailing space in p~: huvizia kumkamata mnyonge,

PSA 10:9 Removed trailing space in p~: huwakamata wanyonge na kuwaburuza

PSA 10:9 Removed trailing space in p~: katika wavu wake.

PSA 10:10 Removed trailing space in v~: Mateka wake hupondwa, huzimia;

PSA 10:10 Removed trailing space in p~: wanaanguka katika nguvu zake.

PSA 10:11 Removed trailing space in v~: Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau,

PSA 10:11 Removed trailing space in p~: huficha uso wake na haoni kabisa.”

PSA 10:12 Removed trailing space in v~: Inuka \nd Bwana\nd*! Inua mkono wako, Ee Mungu.

PSA 10:12 Removed trailing space in p~: Usiwasahau wanyonge.

PSA 10:13 Removed trailing space in v~: Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?

PSA 10:13 Removed trailing space in p~: Kwa nini anajiambia mwenyewe,

PSA 10:13 Removed trailing space in p~: “Hataniita nitoe hesabu?”

PSA 10:14 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,

PSA 10:14 Removed trailing space in p~: umekubali kuyapokea mkononi mwako.

PSA 10:14 Removed trailing space in p~: Mhanga anajisalimisha kwako,

PSA 10:14 Removed trailing space in p~: wewe ni msaada wa yatima.

PSA 10:15 Removed trailing space in v~: Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya,

PSA 10:15 Removed trailing space in p~: mwite atoe hesabu ya maovu yake

PSA 10:15 Removed trailing space in p~: ambayo yasingejulikana.

PSA 10:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni Mfalme milele na milele,

PSA 10:16 Removed trailing space in p~: mataifa wataangamia watoke nchini mwake.

PSA 10:17 Removed trailing space in v~: Unasikia, Ee \nd Bwana\nd*, shauku ya wanaoonewa,

PSA 10:17 Removed trailing space in p~: wewe huwatia moyo, na kusikiliza kilio chao,

PSA 10:18 Removed trailing space in v~: ukiwatetea yatima na walioonewa,

PSA 10:18 Removed trailing space in p~: ili mwanadamu, ambaye ni udongo, asiogopeshe tena.

PSA 11:0 Extra space after chapter number

PSA 11:0 Removed trailing space in c: 11

PSA 11:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 11

PSA 11:0 Removed trailing space in s1: Kumtumaini \nd Bwana\nd*

PSA 11:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 11:1 Removed trailing space in v~: Kwa \nd Bwana\nd* ninakimbilia,

PSA 11:1 Removed trailing space in p~: unawezaje basi kuniambia:

PSA 11:1 Removed trailing space in p~: “Ruka kama ndege kwenye mlima wako.

PSA 11:2 Removed trailing space in v~: Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao,

PSA 11:2 Removed trailing space in p~: huweka mishale kwenye uzi wake,

PSA 11:2 Removed trailing space in p~: wakiwa gizani ili kuwapiga

PSA 11:2 Removed trailing space in p~: wale wanyofu wa moyo.

PSA 11:3 Removed trailing space in v~: Wakati misingi imeharibiwa,

PSA 11:3 Removed trailing space in p~: mwenye haki anaweza kufanya nini?”

PSA 11:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yuko ndani ya Hekalu lake takatifu;

PSA 11:4 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* yuko kwenye kiti chake cha enzi mbinguni.

PSA 11:4 Removed trailing space in p~: Huwaangalia wana wa watu,

PSA 11:4 Removed trailing space in p~: macho yake yanawajaribu.

PSA 11:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwajaribu wenye haki,

PSA 11:5 Removed trailing space in p~: lakini waovu na wanaopenda jeuri,

PSA 11:5 Removed trailing space in p~: nafsi yake huwachukia.

PSA 11:6 Removed trailing space in v~: Atawanyeshea waovu makaa ya moto mkali

PSA 11:6 Removed trailing space in p~: na kiberiti kinachowaka,

PSA 11:6 Removed trailing space in p~: upepo wenye joto kali ndio fungu lao.

PSA 11:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni mwenye haki,

PSA 11:7 Removed trailing space in p~: yeye hupenda haki.

PSA 11:7 Removed trailing space in p~: Wanyofu watauona uso wake.

PSA 12:0 Extra space after chapter number

PSA 12:0 Removed trailing space in c: 12

PSA 12:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 12

PSA 12:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 12:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi.

PSA 12:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* tusaidie, kwa kuwa wacha Mungu wametoweka;

PSA 12:1 Removed trailing space in p~: waaminifu wametoweka miongoni mwa wanadamu.

PSA 12:2 Removed trailing space in v~: Kila mmoja humwambia jirani yake uongo;

PSA 12:2 Removed trailing space in p~: midomo yao ya hila huzungumza kwa udanganyifu.

PSA 12:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na akatilie mbali midomo yote ya hila

PSA 12:3 Removed trailing space in p~: na kila ulimi uliojaa majivuno,

PSA 12:4 Removed trailing space in v~: ule unaosema, “Kwa ndimi zetu tutashinda;

PSA 12:4 Removed trailing space in p~: midomo ni mali yetu, bwana wetu ni nani?”

PSA 12:5 Removed trailing space in v~: “Kwa sababu ya uonevu wa wanyonge

PSA 12:5 Removed trailing space in p~: na kulia kwa uchungu kwa wahitaji,

PSA 12:5 Removed trailing space in p~: nitainuka sasa,” asema \nd Bwana\nd*.

PSA 12:5 Removed trailing space in p~: “Nitawalinda kutokana na wale

PSA 12:5 Removed trailing space in p~: wenye nia mbaya juu yao.”

PSA 12:6 Removed trailing space in v~: Maneno ya \nd Bwana\nd* ni safi,

PSA 12:6 Removed trailing space in p~: kama fedha iliyosafishwa katika tanuru,

PSA 12:6 Removed trailing space in p~: iliyosafishwa mara saba.

PSA 12:7 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, utatuweka salama

PSA 12:7 Removed trailing space in p~: na kutulinda na kizazi hiki milele.

PSA 12:8 Removed trailing space in v~: Watu waovu huenda wakiringa kila mahali

PSA 12:8 Removed trailing space in p~: wakati ambapo yule aliye mbaya sana

PSA 12:8 Removed trailing space in p~: ndiye anayeheshimiwa miongoni mwa watu.

PSA 13:0 Extra space after chapter number

PSA 13:0 Removed trailing space in c: 13

PSA 13:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 13

PSA 13:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Kuomba Msaada

PSA 13:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 13:1 Removed trailing space in v~: Mpaka lini, Ee \nd Bwana\nd*? Je, utanisahau milele?

PSA 13:1 Removed trailing space in p~: Utanificha uso wako mpaka lini?

PSA 13:2 Removed trailing space in v~: Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini,

PSA 13:2 Removed trailing space in p~: na kila siku kuwa na majonzi moyoni mwangu?

PSA 13:2 Removed trailing space in p~: Adui zangu watanishinda mpaka lini?

PSA 13:3 Removed trailing space in v~: Nitazame, unijibu, Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu.

PSA 13:3 Removed trailing space in p~: Yatie nuru macho yangu,

PSA 13:3 Removed trailing space in p~: ama sivyo nitalala usingizi wa mauti.

PSA 13:4 Removed trailing space in v~: Adui yangu atasema, “Nimemshinda,”

PSA 13:4 Removed trailing space in p~: nao adui zangu watashangilia nitakapoanguka.

PSA 13:5 Removed trailing space in v~: Lakini ninategemea upendo wako usiokoma;

PSA 13:5 Removed trailing space in p~: moyo wangu unashangilia katika wokovu wako.

PSA 13:6 Removed trailing space in v~: Nitamwimbia \nd Bwana\nd*,

PSA 13:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa amekuwa mwema kwangu.

PSA 14:0 Extra space after chapter number

PSA 14:0 Removed trailing space in c: 14

PSA 14:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 14

PSA 14:0 Removed trailing space in s1: Uovu Wa Wanadamu

PSA 14:0 Removed trailing space in r: (Zaburi 53)

PSA 14:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 14:1 Removed trailing space in v~: Mpumbavu anasema moyoni mwake,

PSA 14:1 Removed trailing space in p~: “Hakuna Mungu.”

PSA 14:1 Removed trailing space in p~: Wameharibika, matendo yao ni maovu kabisa;

PSA 14:1 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja atendaye mema.

PSA 14:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anawachungulia wanadamu chini

PSA 14:2 Removed trailing space in p~: kutoka mbinguni

PSA 14:2 Removed trailing space in p~: aone kama wako wenye akili,

PSA 14:2 Removed trailing space in p~: wowote wanaomtafuta Mungu.

PSA 14:3 Removed trailing space in v~: Wote wamepotoka,

PSA 14:3 Removed trailing space in p~: wameharibika wote pamoja,

PSA 14:3 Removed trailing space in p~: hakuna atendaye mema.

PSA 14:3 Removed trailing space in p~: Naam, hakuna hata mmoja!

PSA 14:4 Removed trailing space in v~: Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:

PSA 14:4 Removed trailing space in p~: wale ambao huwala watu wangu

PSA 14:4 Removed trailing space in p~: kama watu walavyo mkate,

PSA 14:4 Removed trailing space in p~: hao ambao hawamwiti \nd Bwana\nd*?

PSA 14:5 Removed trailing space in v~: Wako hapo, wameingiwa na hofu kuu,

PSA 14:5 Removed trailing space in p~: maana Mungu yupo pamoja na wenye haki.

PSA 14:6 Removed trailing space in v~: Ninyi watenda mabaya mnakwamisha mipango ya maskini,

PSA 14:6 Removed trailing space in p~: bali \nd Bwana\nd* ndiye kimbilio lao.

PSA 14:7 Removed trailing space in v~: Laiti wokovu wa Israeli

PSA 14:7 Removed trailing space in p~: ungalikuja kutoka Sayuni!

PSA 14:7 Removed trailing space in p~: Wakati \nd Bwana\nd* arejeshapo

PSA 14:7 Removed trailing space in p~: wafungwa wa watu wake,

PSA 14:7 Removed trailing space in p~: Yakobo na ashangilie,

PSA 14:7 Removed trailing space in p~: Israeli na afurahi!

PSA 15:0 Extra space after chapter number

PSA 15:0 Removed trailing space in c: 15

PSA 15:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 15

PSA 15:0 Removed trailing space in s1: Kitu Mungu Anachotaka

PSA 15:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 15:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, ni nani awezaye kukaa

PSA 15:1 Removed trailing space in p~: katika Hekalu lako?

PSA 15:1 Removed trailing space in p~: Nani awezaye kuishi

PSA 15:1 Removed trailing space in p~: katika mlima wako mtakatifu?

PSA 15:2 Removed trailing space in v~: Ni yule aendaye pasipo mawaa,

PSA 15:2 Removed trailing space in p~: atendaye yaliyo haki,

PSA 15:2 Removed trailing space in p~: asemaye kweli toka moyoni mwake,

PSA 15:3 Removed trailing space in v~: na hana masingizio ulimini mwake,

PSA 15:3 Removed trailing space in p~: asiyemtenda jirani yake vibaya,

PSA 15:3 Removed trailing space in p~: na asiyemsingizia mwenzake,

PSA 15:4 Removed trailing space in v~: ambaye humdharau mtu mbaya,

PSA 15:4 Removed trailing space in p~: lakini huwaheshimu wale wamwogopao \nd Bwana\nd*,

PSA 15:4 Removed trailing space in p~: yule atunzaye kiapo chake

PSA 15:4 Removed trailing space in p~: hata kama anaumia.

PSA 15:5 Removed trailing space in v~: Yeye akopeshaye fedha yake bila riba,

PSA 15:5 Removed trailing space in p~: na hapokei rushwa dhidi ya mtu asiye na hatia.

PSA 15:5 Removed trailing space in p~: Mtu afanyaye haya

PSA 15:5 Removed trailing space in p~: kamwe hatatikisika.

PSA 16:0 Extra space after chapter number

PSA 16:0 Removed trailing space in c: 16

PSA 16:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 16

PSA 16:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Matumaini

PSA 16:0 Removed trailing space in d: Utenzi wa Daudi.

PSA 16:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, uniweke salama,

PSA 16:1 Removed trailing space in p~: kwa maana kwako nimekimbilia.

PSA 16:2 Removed trailing space in v~: Nilimwambia \nd Bwana\nd*, “Wewe ndiwe Bwana wangu;

PSA 16:2 Removed trailing space in p~: pasipo wewe sina jambo jema.”

PSA 16:3 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya watakatifu walioko duniani,

PSA 16:3 Removed trailing space in p~: ndio walio wa fahari ambao ninapendezwa nao.

PSA 16:4 Removed trailing space in v~: Huzuni itaongezeka kwa wale

PSA 16:4 Removed trailing space in p~: wanaokimbilia miungu mingine.

PSA 16:4 Removed trailing space in p~: Sitazimimina sadaka zao za damu

PSA 16:4 Removed trailing space in p~: au kutaja majina yao midomoni mwangu.

PSA 16:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* umeniwekea fungu langu na kikombe changu;

PSA 16:5 Removed trailing space in p~: umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.

PSA 16:6 Removed trailing space in v~: Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri,

PSA 16:6 Removed trailing space in p~: hakika nimepata urithi mzuri.

PSA 16:7 Removed trailing space in v~: Nitamsifu \nd Bwana\nd* ambaye hunishauri,

PSA 16:7 Removed trailing space in p~: hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.

PSA 16:8 Removed trailing space in v~: Nimemweka \nd Bwana\nd* mbele yangu daima.

PSA 16:8 Removed trailing space in p~: Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume,

PSA 16:8 Removed trailing space in p~: sitatikisika.

PSA 16:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo moyo wangu unafurahia, na ulimi wangu unashangilia;

PSA 16:9 Removed trailing space in p~: mwili wangu nao utapumzika salama,

PSA 16:10 Removed trailing space in v~: kwa maana hutaniacha kaburini,

PSA 16:10 Removed trailing space in p~: wala hutamwacha Mtakatifu Wako kuona uharibifu.

PSA 16:11 Removed trailing space in v~: Umenijulisha njia ya uzima;

PSA 16:11 Removed trailing space in p~: utanijaza na furaha mbele zako,

PSA 16:11 Removed trailing space in p~: pamoja na furaha za milele

PSA 16:11 Removed trailing space in p~: katika mkono wako wa kuume.

PSA 17:0 Extra space after chapter number

PSA 17:0 Removed trailing space in c: 17

PSA 17:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 17

PSA 17:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Mtu Asiye Na Hatia

PSA 17:0 Removed trailing space in d: Sala ya Daudi.

PSA 17:1 Removed trailing space in v~: Sikia, Ee \nd Bwana\nd*, kusihi kwangu kwa haki,

PSA 17:1 Removed trailing space in p~: sikiliza kilio changu.

PSA 17:1 Removed trailing space in p~: Tega sikio kwa ombi langu,

PSA 17:1 Removed trailing space in p~: halitoki kwenye midomo ya udanganyifu.

PSA 17:2 Removed trailing space in v~: Hukumu yangu na itoke kwako,

PSA 17:2 Removed trailing space in p~: macho yako na yaone yale yaliyo haki.

PSA 17:3 Removed trailing space in v~: Ingawa unauchunguza moyo wangu na kunikagua usiku,

PSA 17:3 Removed trailing space in p~: ingawa umenijaribu, hutaona chochote.

PSA 17:3 Removed trailing space in p~: Nimeamua kwamba kinywa changu

PSA 17:3 Removed trailing space in p~: hakitatenda dhambi.

PSA 17:4 Removed trailing space in v~: Kuhusu matendo ya wanadamu:

PSA 17:4 Removed trailing space in p~: kwa neno la midomo yako,

PSA 17:4 Removed trailing space in p~: nimejiepusha

PSA 17:4 Removed trailing space in p~: na njia za wenye jeuri.

PSA 17:5 Removed trailing space in v~: Hatua zangu zimeshikamana na njia zako;

PSA 17:5 Removed trailing space in p~: nyayo zangu hazikuteleza.

PSA 17:6 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, ninakuita, kwa kuwa utanijibu,

PSA 17:6 Removed trailing space in p~: nitegee sikio lako na usikie ombi langu.

PSA 17:7 Removed trailing space in v~: Uonyeshe ajabu ya upendo wako mkuu,

PSA 17:7 Removed trailing space in p~: wewe uokoaye kwa mkono wako wa kuume

PSA 17:7 Removed trailing space in p~: wale wanaokukimbilia kutokana na adui zao.

PSA 17:8 Removed trailing space in v~: Nilinde kama mboni ya jicho lako,

PSA 17:8 Removed trailing space in p~: unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako

PSA 17:9 Removed trailing space in v~: kutokana na waovu wanaonishambulia,

PSA 17:9 Removed trailing space in p~: kutokana na adui wauaji wanaonizunguka.

PSA 17:10 Removed trailing space in v~: Huifunga mioyo yao iliyo migumu,

PSA 17:10 Removed trailing space in p~: vinywa vyao hunena kwa majivuno.

PSA 17:11 Removed trailing space in v~: Wamenifuatia nyayo zangu, sasa wamenizingira,

PSA 17:11 Removed trailing space in p~: wakiwa macho, waniangushe chini.

PSA 17:12 Removed trailing space in v~: Wamefanana na simba mwenye njaa awindaye,

PSA 17:12 Removed trailing space in p~: kama simba mkubwa anyemeleaye mafichoni.

PSA 17:13 Removed trailing space in v~: Inuka, Ee \nd Bwana\nd*, pambana nao, uwaangushe,

PSA 17:13 Removed trailing space in p~: niokoe kutokana na waovu kwa upanga wako.

PSA 17:14 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mkono wako uniokoe na watu wa jinsi hii,

PSA 17:14 Removed trailing space in p~: kutokana na watu wa ulimwengu huu

PSA 17:14 Removed trailing space in p~: ambao fungu lao liko katika maisha haya.

PSA 17:14 Removed trailing space in p~: Na wapate adhabu ya kuwatosha.

PSA 17:14 Removed trailing space in p~: Watoto wao na wapate zaidi ya hayo,

PSA 17:14 Removed trailing space in p~: hukumu na iendelee kwa watoto wa watoto wao.

PSA 17:15 Removed trailing space in v~: Na mimi katika haki nitauona uso wako,

PSA 17:15 Removed trailing space in p~: niamkapo, nitaridhika kwa kuona sura yako.

PSA 18:0 Extra space after chapter number

PSA 18:0 Removed trailing space in c: 18

PSA 18:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 18

PSA 18:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Daudi Wa Ushindi

PSA 18:0 Removed trailing space in r: (2 Samweli 22:1-51)

PSA 18:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa \nd Bwana\nd* aliyomwimbia \nd Bwana\nd* wakati \nd Bwana\nd* alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Alisema hivi:

PSA 18:1 Removed trailing space in v~: Nakupenda wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 18:1 Removed trailing space in p~: nguvu yangu.

PSA 18:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwamba wangu,

PSA 18:2 Removed trailing space in p~: ngome yangu na mwokozi wangu,

PSA 18:2 Removed trailing space in p~: Mungu wangu ni mwamba,

PSA 18:2 Removed trailing space in p~: ambaye kwake ninakimbilia.

PSA 18:2 Removed trailing space in p~: Yeye ni ngao yangu na pembe ya wokovu wangu,

PSA 18:2 Removed trailing space in p~: ngome yangu.

PSA 18:3 Removed trailing space in v~: Ninamwita \nd Bwana\nd* anayestahili kusifiwa,

PSA 18:3 Removed trailing space in p~: nami ninaokolewa kutoka kwa adui zangu.

PSA 18:4 Removed trailing space in v~: Kamba za mauti zilinizunguka,

PSA 18:4 Removed trailing space in p~: mafuriko ya maangamizi yalinilemea.

PSA 18:5 Removed trailing space in v~: Kamba za kuzimu zilinizunguka,

PSA 18:5 Removed trailing space in p~: mitego ya mauti ilinikabili.

PSA 18:6 Removed trailing space in v~: Katika shida yangu nalimwita \nd Bwana\nd*,

PSA 18:6 Removed trailing space in p~: nilimlilia Mungu wangu anisaidie.

PSA 18:6 Removed trailing space in p~: Kutoka hekaluni mwake alisikia sauti yangu,

PSA 18:6 Removed trailing space in p~: kilio changu kikafika mbele zake,

PSA 18:6 Removed trailing space in p~: masikioni mwake.

PSA 18:7 Removed trailing space in v~: Dunia ilitetemeka na kutikisika,

PSA 18:7 Removed trailing space in p~: misingi ya milima ikatikisika,

PSA 18:7 Removed trailing space in p~: vilitetemeka kwa sababu alikuwa amekasirika.

PSA 18:8 Removed trailing space in v~: Moshi ukapanda kutoka puani mwake,

PSA 18:8 Removed trailing space in p~: moto uteketezao ukatoka kinywani mwake,

PSA 18:8 Removed trailing space in p~: makaa ya moto yawakayo

PSA 18:8 Removed trailing space in p~: yakatoka ndani mwake.

PSA 18:9 Removed trailing space in v~: Akazipasua mbingu akashuka chini,

PSA 18:9 Removed trailing space in p~: mawingu meusi yalikuwa chini ya miguu yake.

PSA 18:10 Removed trailing space in v~: Alipanda juu ya kerubi akaruka,

PSA 18:10 Removed trailing space in p~: akapaa juu kwa mbawa za upepo.

PSA 18:11 Removed trailing space in v~: Alifanya giza kuwa kitu chake cha kujifunika,

PSA 18:11 Removed trailing space in p~: hema lake kumzunguka,

PSA 18:11 Removed trailing space in p~: mawingu meusi ya mvua ya angani.

PSA 18:12 Removed trailing space in v~: Kutokana na mwanga wa uwepo wake

PSA 18:12 Removed trailing space in p~: mawingu yalisogea,

PSA 18:12 Removed trailing space in p~: ikanyesha mvua ya mawe

PSA 18:12 Removed trailing space in p~: na umeme wa radi.

PSA 18:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alinguruma kutoka mbinguni,

PSA 18:13 Removed trailing space in p~: sauti ya Aliye Juu Sana ilisikika.

PSA 18:14 Removed trailing space in v~: Aliipiga mishale yake na kutawanya adui,

PSA 18:14 Removed trailing space in p~: naam, umeme mwingi wa radi na kuwafukuza.

PSA 18:15 Removed trailing space in v~: Mabonde ya bahari yalifunuliwa,

PSA 18:15 Removed trailing space in p~: na misingi ya dunia ikawa wazi

PSA 18:15 Removed trailing space in p~: kwa kukaripia kwako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 18:15 Removed trailing space in p~: kwa uvumi wa pumzi kutoka puani mwako.

PSA 18:16 Removed trailing space in v~: Alinyoosha mkono kutoka juu na kunishika;

PSA 18:16 Removed trailing space in p~: alinitoa kutoka kilindi cha maji makuu.

PSA 18:17 Removed trailing space in v~: Aliniokoa kutoka adui wangu mwenye nguvu nyingi,

PSA 18:17 Removed trailing space in p~: kutoka adui zangu waliokuwa na nguvu nyingi kuliko mimi.

PSA 18:18 Removed trailing space in v~: Walinikabili siku ya msiba wangu,

PSA 18:18 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* alikuwa msaada wangu.

PSA 18:19 Removed trailing space in v~: Alinileta nje mahali penye nafasi tele,

PSA 18:19 Removed trailing space in p~: akaniokoa kwa kuwa alipendezwa nami.

PSA 18:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alinitendea sawasawa na uadilifu wangu;

PSA 18:20 Removed trailing space in p~: sawasawa na usafi wa mikono yangu amenilipa.

PSA 18:21 Removed trailing space in v~: Kwa maana nimezishika njia za \nd Bwana\nd*;

PSA 18:21 Removed trailing space in p~: sijatenda ubaya nikamwacha Mungu wangu.

PSA 18:22 Removed trailing space in v~: Sheria zake zote zi mbele yangu,

PSA 18:22 Removed trailing space in p~: wala sijayaacha maagizo yake.

PSA 18:23 Removed trailing space in v~: Nimekuwa sina hatia mbele zake,

PSA 18:23 Removed trailing space in p~: nami nimejilinda nisitende dhambi.

PSA 18:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amenilipa sawasawa na uadilifu wangu;

PSA 18:24 Removed trailing space in p~: sawasawa na usafi wa mikono yangu machoni pake.

PSA 18:25 Removed trailing space in v~: Kwa yeye aliye mwaminifu, unajionyesha kuwa mwaminifu,

PSA 18:25 Removed trailing space in p~: kwa asiye na hatia, unajionyesha kutokuwa na hatia.

PSA 18:26 Removed trailing space in v~: Kwa aliye mtakatifu, unajionyesha kuwa mtakatifu,

PSA 18:26 Removed trailing space in p~: lakini kwa aliyepotoka, unajionyesha kuwa mkaidi.

PSA 18:27 Removed trailing space in v~: Wewe huwaokoa wanyenyekevu,

PSA 18:27 Removed trailing space in p~: lakini huwashusha wenye kiburi.

PSA 18:28 Removed trailing space in v~: Wewe, Ee \nd Bwana\nd*, unaifanya taa yangu iendelee kuwaka;

PSA 18:28 Removed trailing space in p~: Mungu wangu hulifanya giza langu kuwa mwanga.

PSA 18:29 Removed trailing space in v~: Kwa msaada wako naweza kushinda jeshi,

PSA 18:29 Removed trailing space in p~: nikiwa pamoja na Mungu wangu

PSA 18:29 Removed trailing space in p~: nitaweza kuruka ukuta.

PSA 18:30 Removed trailing space in v~: Kuhusu Mungu, njia yake ni kamilifu,

PSA 18:30 Removed trailing space in p~: neno la \nd Bwana\nd* halina dosari.

PSA 18:30 Removed trailing space in p~: Yeye ni ngao kwa wote

PSA 18:30 Removed trailing space in p~: wanaokimbilia kwake.

PSA 18:31 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni nani aliye Mungu

PSA 18:31 Removed trailing space in p~: zaidi ya \nd Bwana\nd*?

PSA 18:31 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye Mwamba

PSA 18:31 Removed trailing space in p~: isipokuwa Mungu wetu?

PSA 18:32 Removed trailing space in v~: Mungu ndiye anivikaye nguvu

PSA 18:32 Removed trailing space in p~: na kufanya njia yangu kuwa kamilifu.

PSA 18:33 Removed trailing space in v~: Huifanya miguu yangu kama miguu ya kulungu,

PSA 18:33 Removed trailing space in p~: huniwezesha kusimama mahali palipo juu.

PSA 18:34 Removed trailing space in v~: Huifundisha mikono yangu kupigana vita;

PSA 18:34 Removed trailing space in p~: mikono yangu inaweza kupinda upinde wa shaba.

PSA 18:35 Removed trailing space in v~: Hunipa ngao yako ya ushindi,

PSA 18:35 Removed trailing space in p~: nao mkono wako wa kuume hunitegemeza,

PSA 18:35 Removed trailing space in p~: unajishusha chini ili kuniinua.

PSA 18:36 Removed trailing space in v~: Huyapanua mapito yangu,

PSA 18:36 Removed trailing space in p~: ili miguu yangu isiteleze.

PSA 18:37 Removed trailing space in v~: Niliwafuatia adui zangu na nikawapata,

PSA 18:37 Removed trailing space in p~: sikurudi nyuma mpaka walipoangamizwa.

PSA 18:38 Removed trailing space in v~: Niliwaseta hata hawakuweza kuinuka tena;

PSA 18:38 Removed trailing space in p~: walianguka chini ya miguu yangu.

PSA 18:39 Removed trailing space in v~: Ulinivika nguvu kwa ajili ya kupigana vita;

PSA 18:39 Removed trailing space in p~: uliwafanya adui zangu wasujudu miguuni pangu.

PSA 18:40 Removed trailing space in v~: Uliwafanya adui zangu wageuke na kukimbia,

PSA 18:40 Removed trailing space in p~: nami nikawaangamiza adui zangu.

PSA 18:41 Removed trailing space in v~: Walipiga yowe, lakini hapakuwepo na yeyote wa kuwaokoa;

PSA 18:41 Removed trailing space in p~: walimlilia \nd Bwana\nd*, lakini hakuwajibu.

PSA 18:42 Removed trailing space in v~: Niliwaponda kama mavumbi yanayopeperushwa na upepo;

PSA 18:42 Removed trailing space in p~: niliwamwaga nje kama tope barabarani.

PSA 18:43 Removed trailing space in v~: Umeniokoa kutokana na mashambulizi ya watu;

PSA 18:43 Removed trailing space in p~: umenifanya kuwa kiongozi wa mataifa,

PSA 18:43 Removed trailing space in p~: watu ambao sikuwajua wananitumikia.

PSA 18:44 Removed trailing space in v~: Mara wanisikiapo hunitii,

PSA 18:44 Removed trailing space in p~: wageni hunyenyekea mbele yangu.

PSA 18:45 Removed trailing space in v~: Wote wanalegea,

PSA 18:45 Removed trailing space in p~: wanatoka katika ngome zao wakitetemeka.

PSA 18:46 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yu hai! Sifa ni kwa Mwamba wangu!

PSA 18:46 Removed trailing space in p~: Atukuzwe Mungu Mwokozi wangu!

PSA 18:47 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye Mungu anilipiziaye kisasi,

PSA 18:47 Removed trailing space in p~: awatiishaye mataifa chini yangu,

PSA 18:48 Removed trailing space in v~: aniokoaye na adui zangu.

PSA 18:48 Removed trailing space in p~: Uliniinua juu ya adui zangu;

PSA 18:48 Removed trailing space in p~: uliniokoa toka kwa watu wajeuri.

PSA 18:49 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitakusifu katikati ya mataifa, Ee \nd Bwana\nd*;

PSA 18:49 Removed trailing space in p~: nitaliimbia sifa jina lako.

PSA 18:50 Removed trailing space in v~: Humpa mfalme wake ushindi mkuu,

PSA 18:50 Removed trailing space in p~: huonyesha fadhili zake kwa mpakwa mafuta wake,

PSA 18:50 Removed trailing space in p~: kwa Daudi na wazao wake milele.

PSA 19:0 Extra space after chapter number

PSA 19:0 Removed trailing space in c: 19

PSA 19:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 19

PSA 19:0 Removed trailing space in s1: Utukufu Wa Mungu Katika Uumbaji

PSA 19:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 19:1 Removed trailing space in v~: Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu,

PSA 19:1 Removed trailing space in p~: anga zahubiri kazi ya mikono yake.

PSA 19:2 Removed trailing space in v~: Siku baada ya siku zinatoa habari,

PSA 19:2 Removed trailing space in p~: usiku baada ya usiku zinatangaza maarifa.

PSA 19:3 Removed trailing space in v~: Hakuna msemo wala lugha,

PSA 19:3 Removed trailing space in p~: ambapo sauti zao hazisikiki.

PSA 19:4 Removed trailing space in v~: Sauti yao imeenea duniani pote,

PSA 19:4 Removed trailing space in p~: nayo maneno yao yameenea

PSA 19:4 Removed trailing space in p~: hadi miisho ya ulimwengu.

PSA 19:4 Removed trailing space in p~: Katika mbingu amepiga hema kwa ajili ya jua,

PSA 19:5 Removed trailing space in v~: linafanana na bwana arusi

PSA 19:5 Removed trailing space in p~: akitoka chumbani mwake,

PSA 19:5 Removed trailing space in p~: kama shujaa afurahiavyo

PSA 19:5 Removed trailing space in p~: kukamilisha kushindana kwake.

PSA 19:6 Removed trailing space in v~: Huchomoza upande mmoja wa mbingu,

PSA 19:6 Removed trailing space in p~: na kufanya mzunguko wake

PSA 19:6 Removed trailing space in p~: hadi upande mwingine.

PSA 19:6 Removed trailing space in p~: Hakuna kilichojificha joto lake.

PSA 19:7 Removed trailing space in v~: Sheria ya \nd Bwana\nd* ni kamilifu,

PSA 19:7 Removed trailing space in p~: ikihuisha nafsi.

PSA 19:7 Removed trailing space in p~: Shuhuda za \nd Bwana\nd* ni za kuaminika,

PSA 19:7 Removed trailing space in p~: zikimpa mjinga hekima.

PSA 19:8 Removed trailing space in v~: Maagizo ya \nd Bwana\nd* ni kamili,

PSA 19:8 Removed trailing space in p~: nayo hufurahisha moyo.

PSA 19:8 Removed trailing space in p~: Amri za \nd Bwana\nd* huangaza,

PSA 19:8 Removed trailing space in p~: zatia nuru machoni.

PSA 19:9 Removed trailing space in v~: Kumcha \nd Bwana\nd* ni utakatifu,

PSA 19:9 Removed trailing space in p~: nako kwadumu milele.

PSA 19:9 Removed trailing space in p~: Amri za \nd Bwana\nd* ni za hakika,

PSA 19:9 Removed trailing space in p~: nazo zina haki.

PSA 19:10 Removed trailing space in v~: Ni za thamani kuliko dhahabu,

PSA 19:10 Removed trailing space in p~: kuliko dhahabu iliyo safi sana,

PSA 19:10 Removed trailing space in p~: ni tamu kuliko asali,

PSA 19:10 Removed trailing space in p~: kuliko asali kutoka kwenye sega.

PSA 19:11 Removed trailing space in v~: Kwa hizo mtumishi wako anaonywa,

PSA 19:11 Removed trailing space in p~: katika kuzishika kuna thawabu kubwa.

PSA 19:12 Removed trailing space in v~: Ni nani awezaye kutambua makosa yake?

PSA 19:12 Removed trailing space in p~: Nisamehe makosa yangu nisiyoyajua.

PSA 19:13 Removed trailing space in v~: Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi,

PSA 19:13 Removed trailing space in p~: nazo zisinitawale.

PSA 19:13 Removed trailing space in p~: Ndipo nitakapokuwa sina lawama,

PSA 19:13 Removed trailing space in p~: wala sitakuwa na hatia ya kosa kubwa.

PSA 19:14 Removed trailing space in v~: Maneno ya kinywa changu

PSA 19:14 Removed trailing space in p~: na mawazo ya moyo wangu,

PSA 19:14 Removed trailing space in p~: yapate kibali mbele zako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 19:14 Removed trailing space in p~: Mwamba wangu na Mkombozi wangu.

PSA 20:0 Extra space after chapter number

PSA 20:0 Removed trailing space in c: 20

PSA 20:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 20

PSA 20:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Ushindi

PSA 20:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 20:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na akujibu unapokuwa katika dhiki,

PSA 20:1 Removed trailing space in p~: jina la Mungu wa Yakobo na liwe kinga yako.

PSA 20:2 Removed trailing space in v~: Na akutumie msaada kutoka patakatifu

PSA 20:2 Removed trailing space in p~: na akupatie msaada kutoka Sayuni.

PSA 20:3 Removed trailing space in v~: Na azikumbuke dhabihu zako zote,

PSA 20:3 Removed trailing space in p~: na azikubali sadaka zako za kuteketezwa.

PSA 20:4 Removed trailing space in v~: Na akujalie haja ya moyo wako,

PSA 20:4 Removed trailing space in p~: na aifanikishe mipango yako yote.

PSA 20:5 Removed trailing space in v~: Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda,

PSA 20:5 Removed trailing space in p~: tutainua bendera zetu kwa jina la Mungu wetu.

PSA 20:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* na akupe haja zako zote.

PSA 20:6 Removed trailing space in v~: Sasa nafahamu kuwa \nd Bwana\nd*

PSA 20:6 Removed trailing space in p~: humwokoa mpakwa mafuta wake,

PSA 20:6 Removed trailing space in p~: humjibu kutoka mbingu yake takatifu

PSA 20:6 Removed trailing space in p~: kwa nguvu za wokovu wa mkono wake wa kuume.

PSA 20:7 Removed trailing space in v~: Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi,

PSA 20:7 Removed trailing space in p~: bali sisi tutalitumainia jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wetu.

PSA 20:8 Removed trailing space in v~: Wao wameshushwa chini na kuanguka,

PSA 20:8 Removed trailing space in p~: bali sisi tunainuka na kusimama imara.

PSA 20:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mwokoe mfalme!

PSA 20:9 Removed trailing space in p~: Tujibu tunapokuita!

PSA 21:0 Extra space after chapter number

PSA 21:0 Removed trailing space in c: 21

PSA 21:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 21

PSA 21:0 Removed trailing space in s1: Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Ushindi

PSA 21:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 21:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mfalme huzifurahia nguvu zako.

PSA 21:1 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi ilivyo kuu furaha yake

PSA 21:1 Removed trailing space in p~: kwa ushindi unaompa!

PSA 21:2 Removed trailing space in v~: Umempa haja ya moyo wake

PSA 21:2 Removed trailing space in p~: na hukumzuilia maombi ya midomo yake.

PSA 21:3 Removed trailing space in v~: Ulimkaribisha kwa baraka tele

PSA 21:3 Removed trailing space in p~: na kumvika taji ya dhahabu safi kichwani pake.

PSA 21:4 Removed trailing space in v~: Alikuomba maisha, nawe ukampa,

PSA 21:4 Removed trailing space in p~: wingi wa siku milele na milele.

PSA 21:5 Removed trailing space in v~: Kutokana na ushindi uliompa, utukufu wake ni mkubwa,

PSA 21:5 Removed trailing space in p~: umeweka juu yake fahari na utukufu.

PSA 21:6 Removed trailing space in v~: Hakika umempa baraka za milele,

PSA 21:6 Removed trailing space in p~: umemfanya awe na furaha

PSA 21:6 Removed trailing space in p~: kwa shangwe ya uwepo wako.

PSA 21:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mfalme anamtumaini \nd Bwana\nd*;

PSA 21:7 Removed trailing space in p~: kwa upendo usiokoma wa Aliye Juu Sana hatatikiswa.

PSA 21:8 Removed trailing space in v~: Mkono wako utawashika adui zako wote,

PSA 21:8 Removed trailing space in p~: mkono wako wa kuume utawakamata adui zako.

PSA 21:9 Removed trailing space in v~: Wakati utakapojitokeza

PSA 21:9 Removed trailing space in p~: utawafanya kama tanuru ya moto.

PSA 21:9 Removed trailing space in p~: Katika ghadhabu yake \nd Bwana\nd* atawameza,

PSA 21:9 Removed trailing space in p~: moto wake utawateketeza.

PSA 21:10 Removed trailing space in v~: Utawaangamiza wazao wao kutoka duniani,

PSA 21:10 Removed trailing space in p~: uzao wao kutoka wanadamu.

PSA 21:11 Removed trailing space in v~: Ingawa watapanga mabaya dhidi yako

PSA 21:11 Removed trailing space in p~: na kutunga hila, hawawezi kufanikiwa,

PSA 21:12 Removed trailing space in v~: kwa kuwa utawafanya wakimbie

PSA 21:12 Removed trailing space in p~: utakapowalenga usoni pao

PSA 21:12 Removed trailing space in p~: kwa mshale kutoka kwenye upinde wako.

PSA 21:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, utukuzwe katika nguvu zako,

PSA 21:13 Removed trailing space in p~: tutaimba na kusifu nguvu zako.

PSA 22:0 Extra space after chapter number

PSA 22:0 Removed trailing space in c: 22

PSA 22:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 22

PSA 22:0 Removed trailing space in s1: Kilio Cha Uchungu Na Wimbo Wa Sifa

PSA 22:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi.

PSA 22:1 Removed trailing space in v~: Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?

PSA 22:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini uko mbali hivyo kuniokoa?

PSA 22:1 Removed trailing space in p~: Mbali hivyo na maneno ya kuugua kwangu?

PSA 22:2 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu, ninalia mchana, lakini hunijibu,

PSA 22:2 Removed trailing space in p~: hata usiku, sinyamazi.

PSA 22:3 Removed trailing space in v~: Hata hivyo umesimikwa katika kiti cha enzi kama Uliye Mtakatifu;

PSA 22:3 Removed trailing space in p~: wewe ni sifa ya Israeli.\f + \fr 22:3 \ft Tafsiri zingine zinasema: uketiye juu ya sifa za Israeli.\f*

PSA 22:4 Removed trailing space in v~: Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao,

PSA 22:4 Removed trailing space in p~: walikutumaini nawe ukawaokoa.

PSA 22:5 Removed trailing space in v~: Walikulilia wewe na ukawaokoa,

PSA 22:5 Removed trailing space in p~: walikutegemea wewe nao hawakuaibika.

PSA 22:6 Removed trailing space in v~: Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu,

PSA 22:6 Removed trailing space in p~: wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.

PSA 22:7 Removed trailing space in v~: Wote wanionao hunidhihaki,

PSA 22:7 Removed trailing space in p~: hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:

PSA 22:8 Removed trailing space in v~: Husema, “Anamtegemea \nd Bwana\nd*,

PSA 22:8 Removed trailing space in p~: basi \nd Bwana\nd* na amwokoe.

PSA 22:8 Removed trailing space in p~: Amkomboe basi, kwa maana

PSA 22:8 Removed trailing space in p~: anapendezwa naye.”

PSA 22:9 Removed trailing space in v~: Hata hivyo ulinitoa tumboni,

PSA 22:9 Removed trailing space in p~: ukanifanya nikutegemee,

PSA 22:9 Removed trailing space in p~: hata nilipokuwa ninanyonya

PSA 22:9 Removed trailing space in p~: matiti ya mama yangu.

PSA 22:10 Removed trailing space in v~: Nimekabidhiwa kwako tangu kuzaliwa,

PSA 22:10 Removed trailing space in p~: toka tumboni mwa mama yangu

PSA 22:10 Removed trailing space in p~: umekuwa Mungu wangu.

PSA 22:11 Removed trailing space in v~: Usiwe mbali nami,

PSA 22:11 Removed trailing space in p~: kwa maana shida iko karibu

PSA 22:11 Removed trailing space in p~: na hakuna wa kunisaidia.

PSA 22:12 Removed trailing space in v~: Mafahali wengi wamenizunguka,

PSA 22:12 Removed trailing space in p~: mafahali wa Bashani wenye nguvu

PSA 22:12 Removed trailing space in p~: wamenizingira.

PSA 22:13 Removed trailing space in v~: Simba wangurumao wanaorarua mawindo

PSA 22:13 Removed trailing space in p~: yao hupanua vinywa vyao dhidi yangu.

PSA 22:14 Removed trailing space in v~: Nimemiminwa kama maji,

PSA 22:14 Removed trailing space in p~: mifupa yangu yote imetoka katika viungo vyake.

PSA 22:14 Removed trailing space in p~: Moyo wangu umegeuka kuwa nta,

PSA 22:14 Removed trailing space in p~: umeyeyuka ndani yangu.

PSA 22:15 Removed trailing space in v~: Nguvu zangu zimekauka kama kigae,

PSA 22:15 Removed trailing space in p~: ulimi wangu umegandamana

PSA 22:15 Removed trailing space in p~: na kaakaa la kinywa changu,

PSA 22:15 Removed trailing space in p~: kwa sababu umenilaza

PSA 22:15 Removed trailing space in p~: katika mavumbi ya kifo.

PSA 22:16 Removed trailing space in v~: Mbwa wamenizunguka,

PSA 22:16 Removed trailing space in p~: kundi la watu waovu limenizingira,

PSA 22:16 Removed trailing space in p~: wametoboa mikono yangu na miguu yangu.

PSA 22:17 Removed trailing space in v~: Naweza kuhesabu mifupa yangu yote,

PSA 22:17 Removed trailing space in p~: watu wananikodolea macho na kunisimanga.

PSA 22:18 Removed trailing space in v~: Wanagawana nguo zangu wao kwa wao,

PSA 22:18 Removed trailing space in p~: na vazi langu wanalipigia kura.

PSA 22:19 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 22:19 Removed trailing space in p~: usiwe mbali.

PSA 22:19 Removed trailing space in p~: Ee Nguvu yangu,

PSA 22:19 Removed trailing space in p~: uje haraka unisaidie.

PSA 22:20 Removed trailing space in v~: Okoa maisha yangu na upanga,

PSA 22:20 Removed trailing space in p~: uhai wangu wa thamani kutoka nguvu za mbwa.

PSA 22:21 Removed trailing space in v~: Niokoe kutoka kinywani mwa simba,

PSA 22:21 Removed trailing space in p~: niokoe kutoka pembe za mafahali mwitu.

PSA 22:22 Removed trailing space in v~: Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu,

PSA 22:22 Removed trailing space in p~: katika kusanyiko nitakusifu wewe.

PSA 22:23 Removed trailing space in v~: Ninyi ambao mnamcha \nd Bwana\nd*, msifuni!

PSA 22:23 Removed trailing space in p~: Ninyi nyote wazao wote wa Yakobo, mheshimuni yeye!

PSA 22:23 Removed trailing space in p~: Mcheni yeye, ninyi wazao wote wa Israeli!

PSA 22:24 Removed trailing space in v~: Kwa maana hakupuuza wala kudharau

PSA 22:24 Removed trailing space in p~: mateso ya aliyeonewa;

PSA 22:24 Removed trailing space in p~: hakumficha uso wake

PSA 22:24 Removed trailing space in p~: bali alisikiliza kilio chake ili amsaidie.

PSA 22:25 Removed trailing space in v~: Kwako wewe hutoka kiini cha sifa zangu katika kusanyiko kubwa,

PSA 22:25 Removed trailing space in p~: nitatimiza nadhiri zangu mbele ya wale wakuchao wewe.

PSA 22:26 Removed trailing space in v~: Maskini watakula na kushiba,

PSA 22:26 Removed trailing space in p~: wale wamtafutao \nd Bwana\nd* watamsifu:

PSA 22:26 Removed trailing space in p~: mioyo yenu na iishi milele!

PSA 22:27 Removed trailing space in v~: Miisho yote ya dunia itakumbuka

PSA 22:27 Removed trailing space in p~: na kumgeukia \nd Bwana\nd*,

PSA 22:27 Removed trailing space in p~: nazo jamaa zote za mataifa

PSA 22:27 Removed trailing space in p~: watasujudu mbele zake,

PSA 22:28 Removed trailing space in v~: kwa maana ufalme ni wa \nd Bwana\nd*

PSA 22:28 Removed trailing space in p~: naye hutawala juu ya mataifa.

PSA 22:29 Removed trailing space in v~: Matajiri wote wa dunia watasherehekea na kuabudu.

PSA 22:29 Removed trailing space in p~: Wote waendao mavumbini

PSA 22:29 Removed trailing space in p~: watapiga magoti mbele yake,

PSA 22:29 Removed trailing space in p~: wote ambao hawawezi

PSA 22:29 Removed trailing space in p~: kudumisha uhai wao.

PSA 22:30 Removed trailing space in v~: Wazao wa baadaye watamtumikia yeye;

PSA 22:30 Removed trailing space in p~: vizazi vijavyo vitajulishwa habari za Bwana.

PSA 22:31 Removed trailing space in v~: Watatangaza haki yake kwa watu

PSA 22:31 Removed trailing space in p~: ambao hawajazaliwa bado,

PSA 22:31 Removed trailing space in p~: kwa maana yeye ametenda hili.

PSA 23:0 Extra space after chapter number

PSA 23:0 Removed trailing space in c: 23

PSA 23:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 23

PSA 23:0 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Mchungaji Wetu

PSA 23:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 23:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ndiye mchungaji wangu,

PSA 23:1 Removed trailing space in p~: sitapungukiwa na kitu.

PSA 23:2 Removed trailing space in v~: Hunilaza katika malisho

PSA 23:2 Removed trailing space in p~: ya majani mabichi,

PSA 23:2 Removed trailing space in p~: kando ya maji matulivu huniongoza,

PSA 23:3 Removed trailing space in v~: hunihuisha nafsi yangu.

PSA 23:3 Removed trailing space in p~: Huniongoza katika njia za haki

PSA 23:3 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya jina lake.

PSA 23:4 Removed trailing space in v~: Hata kama nikipita katikati

PSA 23:4 Removed trailing space in p~: ya bonde la uvuli wa mauti,

PSA 23:4 Removed trailing space in p~: sitaogopa mabaya,

PSA 23:4 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe upo pamoja nami;

PSA 23:4 Removed trailing space in p~: fimbo yako na mkongojo wako

PSA 23:4 Removed trailing space in p~: vyanifariji.

PSA 23:5 Removed trailing space in v~: Waandaa meza mbele yangu

PSA 23:5 Removed trailing space in p~: machoni pa adui zangu.

PSA 23:5 Removed trailing space in p~: Umenipaka mafuta kichwani pangu,

PSA 23:5 Removed trailing space in p~: kikombe changu kinafurika.

PSA 23:6 Removed trailing space in v~: Hakika wema na upendo vitanifuata

PSA 23:6 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yangu,

PSA 23:6 Removed trailing space in p~: nami nitakaa nyumbani mwa \nd Bwana\nd*

PSA 23:6 Removed trailing space in p~: milele.

PSA 24:0 Extra space after chapter number

PSA 24:0 Removed trailing space in c: 24

PSA 24:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 24

PSA 24:0 Removed trailing space in s1: Mfalme Mkuu

PSA 24:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 24:1 Removed trailing space in v~: Dunia ni mali ya \nd Bwana\nd*, na vyote vilivyomo ndani yake,

PSA 24:1 Removed trailing space in p~: ulimwengu, na wote waishio ndani yake,

PSA 24:2 Removed trailing space in v~: maana aliiwekea misingi yake baharini

PSA 24:2 Removed trailing space in p~: na kuifanya imara juu ya maji.

PSA 24:3 Removed trailing space in v~: Nani awezaye kuupanda mlima wa \nd Bwana\nd*?

PSA 24:3 Removed trailing space in p~: Ni nani awezaye kusimama patakatifu pake?

PSA 24:4 Removed trailing space in v~: Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe,

PSA 24:4 Removed trailing space in p~: yule ambaye hakuinulia sanamu nafsi yake

PSA 24:4 Removed trailing space in p~: au kuapa kwa kitu cha uongo.

PSA 24:5 Removed trailing space in v~: Huyo atapokea baraka kutoka kwa \nd Bwana\nd*,

PSA 24:5 Removed trailing space in p~: na hukumu ya haki kutoka kwa Mungu Mwokozi wake.

PSA 24:6 Removed trailing space in v~: Hiki ndicho kizazi cha wale wamtafutao,

PSA 24:6 Removed trailing space in p~: wale wautafutao uso wako, Ee Mungu wa Yakobo.

PSA 24:7 Removed trailing space in v~: Inueni vichwa vyenu, enyi malango,

PSA 24:7 Removed trailing space in p~: inukeni enyi milango ya kale,

PSA 24:7 Removed trailing space in p~: ili mfalme wa utukufu apate kuingia.

PSA 24:8 Removed trailing space in v~: Ni nani huyu Mfalme wa utukufu?

PSA 24:8 Removed trailing space in p~: Ni \nd Bwana\nd* aliye na nguvu na uweza,

PSA 24:8 Removed trailing space in p~: ni \nd Bwana\nd* aliye hodari katika vita.

PSA 24:9 Removed trailing space in v~: Inueni vichwa vyenu, enyi malango,

PSA 24:9 Removed trailing space in p~: viinueni juu enyi milango ya kale,

PSA 24:9 Removed trailing space in p~: ili Mfalme wa utukufu apate kuingia.

PSA 24:10 Removed trailing space in v~: Ni nani yeye, huyu Mfalme wa utukufu?

PSA 24:10 Removed trailing space in p~: Ni \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote;

PSA 24:10 Removed trailing space in p~: yeye ndiye Mfalme wa utukufu.

PSA 25:0 Extra space after chapter number

PSA 25:0 Removed trailing space in c: 25

PSA 25:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 25\f + \fr 25 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 25:0 Removed trailing space in s1: Kumwomba Mungu Uongozi Na Ulinzi

PSA 25:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 25:1 Removed trailing space in v~: Kwako wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 25:1 Removed trailing space in p~: nainua nafsi yangu,

PSA 25:2 Removed trailing space in v~: ni wewe ninayekutumainia,

PSA 25:2 Removed trailing space in p~: Ee Mungu wangu.

PSA 25:2 Removed trailing space in p~: Usiniache niaibike,

PSA 25:2 Removed trailing space in p~: wala usiache adui zangu wakanishinda.

PSA 25:3 Removed trailing space in v~: Kamwe hakuna hata mmoja anayekutegemea

PSA 25:3 Removed trailing space in p~: atakayeaibishwa,

PSA 25:3 Removed trailing space in p~: bali wataaibishwa

PSA 25:3 Removed trailing space in p~: wafanyao hila bila sababu.

PSA 25:4 Removed trailing space in v~: Nionyeshe njia zako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 25:4 Removed trailing space in p~: nifundishe mapito yako,

PSA 25:5 Removed trailing space in v~: niongoze katika kweli yako na kunifundisha,

PSA 25:5 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe ni Mungu Mwokozi wangu,

PSA 25:5 Removed trailing space in p~: nalo tumaini langu liko kwako wakati wote.

PSA 25:6 Removed trailing space in v~: Kumbuka, Ee \nd Bwana\nd*, rehema zako kuu na upendo,

PSA 25:6 Removed trailing space in p~: kwa maana zimekuwepo tangu zamani.

PSA 25:7 Removed trailing space in v~: Usizikumbuke dhambi za ujana wangu

PSA 25:7 Removed trailing space in p~: wala njia zangu za uasi,

PSA 25:7 Removed trailing space in p~: sawasawa na upendo wako unikumbuke,

PSA 25:7 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe ni mwema, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 25:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwema na mwenye adili,

PSA 25:8 Removed trailing space in p~: kwa hiyo huwafundisha wenye dhambi njia zake.

PSA 25:9 Removed trailing space in v~: Huwaongoza wanyenyekevu katika haki,

PSA 25:9 Removed trailing space in p~: naye huwafundisha njia yake.

PSA 25:10 Removed trailing space in v~: Njia zote za \nd Bwana\nd* ni za upendo na uaminifu

PSA 25:10 Removed trailing space in p~: kwa wale wanaoshika shuhuda za agano lake.

PSA 25:11 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kwa ajili ya jina lako,

PSA 25:11 Removed trailing space in p~: unisamehe uovu wangu, ijapokuwa ni mwingi.

PSA 25:12 Removed trailing space in v~: Ni nani basi, mtu yule anayemcha \nd Bwana\nd*?

PSA 25:12 Removed trailing space in p~: Atamfundisha katika njia

PSA 25:12 Removed trailing space in p~: atakayoichagua kwa ajili yake.

PSA 25:13 Removed trailing space in v~: Mtu huyo atafanikiwa maishani mwake,

PSA 25:13 Removed trailing space in p~: nao wazao wake watairithi nchi.

PSA 25:14 Removed trailing space in v~: Siri ya \nd Bwana\nd* iko kwa wale wamchao,

PSA 25:14 Removed trailing space in p~: yeye huwajulisha agano lake.

PSA 25:15 Removed trailing space in v~: Macho yangu humwelekea \nd Bwana\nd* daima,

PSA 25:15 Removed trailing space in p~: kwa kuwa yeye peke yake ndiye ataitoa

PSA 25:15 Removed trailing space in p~: miguu yangu kutoka mtego.

PSA 25:16 Removed trailing space in v~: Nigeukie na unihurumie,

PSA 25:16 Removed trailing space in p~: kwa maana mimi ni mpweke na mwenye kuteseka.

PSA 25:17 Removed trailing space in v~: Shida za moyo wangu zimeongezeka,

PSA 25:17 Removed trailing space in p~: niokoe katika dhiki yangu.

PSA 25:18 Removed trailing space in v~: Uangalie mateso na shida zangu

PSA 25:18 Removed trailing space in p~: na uniondolee dhambi zangu zote.

PSA 25:19 Removed trailing space in v~: Tazama adui zangu walivyo wengi,

PSA 25:19 Removed trailing space in p~: pia uone jinsi wanavyonichukia vikali!

PSA 25:20 Removed trailing space in v~: Uyalinde maisha yangu na uniokoe,

PSA 25:20 Removed trailing space in p~: usiniache niaibike,

PSA 25:20 Removed trailing space in p~: kwa maana nimekukimbilia wewe.

PSA 25:21 Removed trailing space in v~: Uadilifu na uaminifu vinilinde,

PSA 25:21 Removed trailing space in p~: kwa sababu tumaini langu ni kwako.

PSA 25:22 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, wakomboe Israeli,

PSA 25:22 Removed trailing space in p~: katika shida zao zote!

PSA 26:0 Extra space after chapter number

PSA 26:0 Removed trailing space in c: 26

PSA 26:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 26

PSA 26:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Mwema

PSA 26:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 26:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nithibitishe katika haki,

PSA 26:1 Removed trailing space in p~: maana nimeishi maisha yasiyo na lawama;

PSA 26:1 Removed trailing space in p~: nimemtumainia \nd Bwana\nd*

PSA 26:1 Removed trailing space in p~: bila kusitasita.

PSA 26:2 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, unijaribu, unipime,

PSA 26:2 Removed trailing space in p~: uuchunguze moyo wangu

PSA 26:2 Removed trailing space in p~: na mawazo yangu;

PSA 26:3 Removed trailing space in v~: kwa maana upendo wako

PSA 26:3 Removed trailing space in p~: uko mbele yangu daima,

PSA 26:3 Removed trailing space in p~: nami natembea siku zote

PSA 26:3 Removed trailing space in p~: katika kweli yako.

PSA 26:4 Removed trailing space in v~: Siketi pamoja na watu wadanganyifu,

PSA 26:4 Removed trailing space in p~: wala siandamani na wanafiki,

PSA 26:5 Removed trailing space in v~: ninachukia kusanyiko la watenda mabaya

PSA 26:5 Removed trailing space in p~: na ninakataa kuketi pamoja na waovu.

PSA 26:6 Removed trailing space in v~: Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,

PSA 26:6 Removed trailing space in p~: naikaribia madhabahu yako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 26:7 Removed trailing space in v~: nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,

PSA 26:7 Removed trailing space in p~: huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.

PSA 26:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, naipenda nyumba yako mahali unakoishi,

PSA 26:8 Removed trailing space in p~: mahali ambapo utukufu wako hukaa.

PSA 26:9 Removed trailing space in v~: Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi,

PSA 26:9 Removed trailing space in p~: wala uhai wangu pamoja na wamwagao damu,

PSA 26:10 Removed trailing space in v~: ambao mikononi mwao kuna mipango miovu,

PSA 26:10 Removed trailing space in p~: ambao mikono yao ya kuume imejaa rushwa.

PSA 26:11 Removed trailing space in v~: Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama;

PSA 26:11 Removed trailing space in p~: nikomboe na unihurumie.

PSA 26:12 Removed trailing space in v~: Miguu yangu imesimama katika uwanja tambarare;

PSA 26:12 Removed trailing space in p~: katika kusanyiko kuu nitamsifu \nd Bwana\nd*.

PSA 27:0 Extra space after chapter number

PSA 27:0 Removed trailing space in c: 27

PSA 27:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 27

PSA 27:0 Removed trailing space in s1: Sala Ya Kusifu

PSA 27:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 27:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni nuru yangu na wokovu wangu,

PSA 27:1 Removed trailing space in p~: nimwogope nani?

PSA 27:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ni ngome ya uzima wangu,

PSA 27:1 Removed trailing space in p~: nimhofu nani?

PSA 27:2 Removed trailing space in v~: Waovu watakaposogea dhidi yangu

PSA 27:2 Removed trailing space in p~: ili wanile nyama yangu,

PSA 27:2 Removed trailing space in p~: adui zangu na watesi wangu watakaponishambulia,

PSA 27:2 Removed trailing space in p~: watajikwaa na kuanguka.

PSA 27:3 Removed trailing space in v~: Hata jeshi linizunguke pande zote,

PSA 27:3 Removed trailing space in p~: moyo wangu hautaogopa;

PSA 27:3 Removed trailing space in p~: hata vita vitokee dhidi yangu,

PSA 27:3 Removed trailing space in p~: hata hapo nitakuwa na ujasiri.

PSA 27:4 Removed trailing space in v~: Jambo moja ninamwomba \nd Bwana\nd*,

PSA 27:4 Removed trailing space in p~: hili ndilo ninalolitafuta:

PSA 27:4 Removed trailing space in p~: niweze kukaa nyumbani mwa \nd Bwana\nd*

PSA 27:4 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yangu,

PSA 27:4 Removed trailing space in p~: niutazame uzuri wa \nd Bwana\nd*

PSA 27:4 Removed trailing space in p~: na kumtafuta hekaluni mwake.

PSA 27:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa siku ya shida,

PSA 27:5 Removed trailing space in p~: atanihifadhi salama katika maskani yake,

PSA 27:5 Removed trailing space in p~: atanificha uvulini mwa hema yake

PSA 27:5 Removed trailing space in p~: na kuniweka juu kwenye mwamba.

PSA 27:6 Removed trailing space in v~: Kisha kichwa changu kitainuliwa

PSA 27:6 Removed trailing space in p~: juu ya adui zangu wanaonizunguka.

PSA 27:6 Removed trailing space in p~: Katika maskani yake nitatoa dhabihu kwa kelele za shangwe;

PSA 27:6 Removed trailing space in p~: nitamwimbia \nd Bwana\nd* na kumsifu.

PSA 27:7 Removed trailing space in v~: Isikie sauti yangu nikuitapo, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 27:7 Removed trailing space in p~: unihurumie na unijibu.

PSA 27:8 Removed trailing space in v~: Moyo wangu unasema kuhusu wewe,

PSA 27:8 Removed trailing space in p~: “Utafute uso wake!”

PSA 27:8 Removed trailing space in p~: Uso wako, \nd Bwana\nd* “Nitautafuta.”

PSA 27:9 Removed trailing space in v~: Usinifiche uso wako,

PSA 27:9 Removed trailing space in p~: usimkatae mtumishi wako kwa hasira;

PSA 27:9 Removed trailing space in p~: wewe umekuwa msaada wangu.

PSA 27:9 Removed trailing space in p~: Usinikatae wala usiniache,

PSA 27:9 Removed trailing space in p~: Ee Mungu Mwokozi wangu.

PSA 27:10 Removed trailing space in v~: Hata kama baba yangu na mama wakiniacha,

PSA 27:10 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atanipokea.

PSA 27:11 Removed trailing space in v~: Nifundishe njia yako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 27:11 Removed trailing space in p~: niongoze katika njia iliyonyooka

PSA 27:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya watesi wangu.

PSA 27:12 Removed trailing space in v~: Usiniachilie kwa nia za adui zangu,

PSA 27:12 Removed trailing space in p~: kwa maana mashahidi wa uongo

PSA 27:12 Removed trailing space in p~: wameinuka dhidi yangu,

PSA 27:12 Removed trailing space in p~: wakipumua ujeuri.

PSA 27:13 Removed trailing space in v~: Nami bado nina tumaini hili:

PSA 27:13 Removed trailing space in p~: nitauona wema wa \nd Bwana\nd*

PSA 27:13 Removed trailing space in p~: katika nchi ya walio hai.

PSA 27:14 Removed trailing space in v~: Mngojee \nd Bwana\nd*,

PSA 27:14 Removed trailing space in p~: uwe hodari na mwenye moyo mkuu,

PSA 27:14 Removed trailing space in p~: nawe, umngojee \nd Bwana\nd*.

PSA 28:0 Extra space after chapter number

PSA 28:0 Removed trailing space in c: 28

PSA 28:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 28

PSA 28:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 28:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 28:1 Removed trailing space in v~: Ninakuita wewe, Ee \nd Bwana\nd*, Mwamba wangu;

PSA 28:1 Removed trailing space in p~: usiwe kwangu kama kiziwi.

PSA 28:1 Removed trailing space in p~: Kwa sababu ukinyamaza

PSA 28:1 Removed trailing space in p~: nitafanana na walioshuka shimoni.

PSA 28:2 Removed trailing space in v~: Sikia kilio changu unihurumie

PSA 28:2 Removed trailing space in p~: ninapokuita kwa ajili ya msaada,

PSA 28:2 Removed trailing space in p~: niinuapo mikono yangu kuelekea

PSA 28:2 Removed trailing space in p~: Patakatifu pa Patakatifu pako.

PSA 28:3 Removed trailing space in v~: Usiniburute pamoja na waovu,

PSA 28:3 Removed trailing space in p~: pamoja na hao watendao mabaya,

PSA 28:3 Removed trailing space in p~: ambao huzungumza na jirani zao maneno mazuri,

PSA 28:3 Removed trailing space in p~: lakini mioyoni mwao wameficha chuki.

PSA 28:4 Removed trailing space in v~: Walipe sawasawa na matendo yao,

PSA 28:4 Removed trailing space in p~: sawasawa na matendo yao maovu;

PSA 28:4 Removed trailing space in p~: walipe sawasawa na kazi za mikono yao,

PSA 28:4 Removed trailing space in p~: uwalipe wanavyostahili.

PSA 28:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hawaheshimu kazi za \nd Bwana\nd*,

PSA 28:5 Removed trailing space in p~: na yale ambayo mikono yake imetenda,

PSA 28:5 Removed trailing space in p~: atawabomoa na kamwe

PSA 28:5 Removed trailing space in p~: hatawajenga tena.

PSA 28:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asifiwe,

PSA 28:6 Removed trailing space in p~: kwa maana amesikia kilio changu

PSA 28:6 Removed trailing space in p~: nikimwomba anihurumie.

PSA 28:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni nguvu zangu na ngao yangu,

PSA 28:7 Removed trailing space in p~: moyo wangu umemtumaini yeye,

PSA 28:7 Removed trailing space in p~: nami nimesaidiwa.

PSA 28:7 Removed trailing space in p~: Moyo wangu unarukaruka kwa furaha

PSA 28:7 Removed trailing space in p~: nami nitamshukuru kwa wimbo.

PSA 28:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni nguvu ya watu wake,

PSA 28:8 Removed trailing space in p~: ngome ya wokovu kwa mpakwa mafuta wake.

PSA 28:9 Removed trailing space in v~: Waokoe watu wako na uubariki urithi wako;

PSA 28:9 Removed trailing space in p~: uwe mchungaji wao na uwabebe milele.

PSA 29:0 Extra space after chapter number

PSA 29:0 Removed trailing space in c: 29

PSA 29:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 29

PSA 29:0 Removed trailing space in s1: Sauti Ya \nd Bwana\nd* Wakati Wa Dhoruba

PSA 29:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 29:1 Removed trailing space in v~: Mpeni \nd Bwana\nd*, enyi mashujaa,

PSA 29:1 Removed trailing space in p~: mpeni \nd Bwana\nd* utukufu na nguvu.

PSA 29:2 Removed trailing space in v~: Mpeni \nd Bwana\nd* utukufu unaostahili jina lake;

PSA 29:2 Removed trailing space in p~: mwabuduni \nd Bwana\nd* katika uzuri wa utakatifu wake.

PSA 29:3 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* iko juu ya maji;

PSA 29:3 Removed trailing space in p~: Mungu wa utukufu hupiga radi,

PSA 29:3 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* hupiga radi juu ya maji makuu.

PSA 29:4 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* ina nguvu;

PSA 29:4 Removed trailing space in p~: sauti ya \nd Bwana\nd* ni tukufu.

PSA 29:5 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* huvunja mierezi;

PSA 29:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huvunja vipande vipande

PSA 29:5 Removed trailing space in p~: mierezi ya Lebanoni.

PSA 29:6 Removed trailing space in v~: Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama,

PSA 29:6 Removed trailing space in p~: Sirioni\f + \fr 29:6 \ft Yaani Mlima Hermoni.\f* urukaruke kama mwana nyati.

PSA 29:7 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* hupiga kwa miali

PSA 29:7 Removed trailing space in p~: ya umeme wa radi.

PSA 29:8 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* hutikisa jangwa;

PSA 29:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* hutikisa Jangwa la Kadeshi.

PSA 29:9 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* huzalisha ayala,

PSA 29:9 Removed trailing space in p~: na huuacha msitu wazi.

PSA 29:9 Removed trailing space in p~: Hekaluni mwake wote wasema,

PSA 29:9 Removed trailing space in p~: “Utukufu!”

PSA 29:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;

PSA 29:10 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ametawazwa kuwa Mfalme milele.

PSA 29:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwapa watu wake nguvu;

PSA 29:11 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwabariki watu wake kwa kuwapa amani.

PSA 30:0 Extra space after chapter number

PSA 30:0 Removed trailing space in c: 30

PSA 30:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 30

PSA 30:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Shukrani

PSA 30:0 Removed trailing space in d: Utenzi wa kuweka wakfu hekalu. Zaburi ya Daudi.

PSA 30:1 Removed trailing space in v~: Nitakutukuza wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 30:1 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi,

PSA 30:1 Removed trailing space in p~: na hukuacha adui zangu

PSA 30:1 Removed trailing space in p~: washangilie juu yangu.

PSA 30:2 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wangu, nilikuita unisaidie

PSA 30:2 Removed trailing space in p~: na wewe umeniponya.

PSA 30:3 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, umenitoa Kuzimu,

PSA 30:3 Removed trailing space in p~: umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti.

PSA 30:4 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd*, enyi watakatifu wake;

PSA 30:4 Removed trailing space in p~: lisifuni jina lake takatifu.

PSA 30:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi,

PSA 30:5 Removed trailing space in p~: bali upendo wake hudumu siku zote.

PSA 30:5 Removed trailing space in p~: Inawezekana kilio kiwepo usiku kucha,

PSA 30:5 Removed trailing space in p~: lakini asubuhi kukawa na furaha.

PSA 30:6 Removed trailing space in v~: Nilipofanikiwa nilisema,

PSA 30:6 Removed trailing space in p~: “Sitatikiswa kamwe.”

PSA 30:7 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uliponijalia,

PSA 30:7 Removed trailing space in p~: uliuimarisha mlima wangu,

PSA 30:7 Removed trailing space in p~: lakini ulipouficha uso wako

PSA 30:7 Removed trailing space in p~: nilifadhaika.

PSA 30:8 Removed trailing space in v~: Kwako wewe, Ee \nd Bwana\nd*, niliita,

PSA 30:8 Removed trailing space in p~: kwa Bwana niliomba rehema:

PSA 30:9 Removed trailing space in v~: “Kuna faida gani katika kuangamia kwangu?

PSA 30:9 Removed trailing space in p~: Katika kushuka kwangu shimoni?

PSA 30:9 Removed trailing space in p~: Je, mavumbi yatakusifu?

PSA 30:9 Removed trailing space in p~: Je, yatatangaza uaminifu wako?

PSA 30:10 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, unisikie na kunihurumia,

PSA 30:10 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, uwe msaada wangu.”

PSA 30:11 Removed trailing space in v~: Uligeuza maombolezo yangu kuwa kucheza,

PSA 30:11 Removed trailing space in p~: ulinivua nguo za gunia ukanivika shangwe,

PSA 30:12 Removed trailing space in v~: ili moyo wangu uweze kukusifu na usikae kimya.

PSA 30:12 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu, nitakushukuru milele.

PSA 31:0 Extra space after chapter number

PSA 31:0 Removed trailing space in c: 31

PSA 31:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 31

PSA 31:0 Removed trailing space in s1: Maombi Na Sifa Kwa Kuokolewa Kutoka Kwa Adui

PSA 31:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 31:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nimekukimbilia wewe,

PSA 31:1 Removed trailing space in p~: usiache nikaaibika kamwe,

PSA 31:1 Removed trailing space in p~: kwa haki yako uniokoe.

PSA 31:2 Removed trailing space in v~: Nitegee sikio lako,

PSA 31:2 Removed trailing space in p~: uje uniokoe haraka;

PSA 31:2 Removed trailing space in p~: uwe kwangu mwamba wa kimbilio,

PSA 31:2 Removed trailing space in p~: ngome imara ya kuniokoa.

PSA 31:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wewe ni mwamba wangu na ngome yangu,

PSA 31:3 Removed trailing space in p~: uniongoze na kunilinda kwa ajili ya jina lako.

PSA 31:4 Removed trailing space in v~: Uniepushe na mtego niliotegewa,

PSA 31:4 Removed trailing space in p~: maana wewe ndiwe kimbilio langu.

PSA 31:5 Removed trailing space in v~: Ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako,

PSA 31:5 Removed trailing space in p~: unikomboe Ee \nd Bwana\nd*, uliye Mungu wa kweli.

PSA 31:6 Removed trailing space in v~: Ninawachukia wale wanaongʼangʼania sanamu batili;

PSA 31:6 Removed trailing space in p~: mimi ninamtumaini \nd Bwana\nd*.

PSA 31:7 Removed trailing space in v~: Nitafurahia na kushangilia upendo wako,

PSA 31:7 Removed trailing space in p~: kwa kuwa uliona mateso yangu

PSA 31:7 Removed trailing space in p~: na ulijua maumivu ya nafsi yangu.

PSA 31:8 Removed trailing space in v~: Hukunikabidhi kwa adui yangu

PSA 31:8 Removed trailing space in p~: bali umeiweka miguu yangu mahali penye nafasi.

PSA 31:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* unihurumie, kwa kuwa niko kwenye shida;

PSA 31:9 Removed trailing space in p~: macho yangu yanafifia kwa huzuni,

PSA 31:9 Removed trailing space in p~: nafsi yangu na mwili wangu kwa sikitiko.

PSA 31:10 Removed trailing space in v~: Maisha yangu yamedhoofika kwa majonzi,

PSA 31:10 Removed trailing space in p~: naam, miaka yangu kwa kulia kwa maumivu makali;

PSA 31:10 Removed trailing space in p~: nguvu zangu zinaisha kwa ajili ya mateso,

PSA 31:10 Removed trailing space in p~: na mifupa yangu inachakaa.

PSA 31:11 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya adui zangu wote,

PSA 31:11 Removed trailing space in p~: nimedharauliwa kabisa na jirani zangu,

PSA 31:11 Removed trailing space in p~: hata kwa rafiki zangu nimekuwa tisho,

PSA 31:11 Removed trailing space in p~: wale wanionao barabarani hunikimbia.

PSA 31:12 Removed trailing space in v~: Nimesahaulika miongoni mwao kama mtu aliyekufa,

PSA 31:12 Removed trailing space in p~: nimekuwa kama chombo cha mfinyanzi kilichovunjika.

PSA 31:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana nimesikia maneno niliyosingiziwa na wengi;

PSA 31:13 Removed trailing space in p~: vitisho viko pande zote;

PSA 31:13 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wamefanya mashauri dhidi yangu,

PSA 31:13 Removed trailing space in p~: na kula njama kuniua.

PSA 31:14 Removed trailing space in v~: Lakini mimi ninakutumaini wewe peke yako, Ee \nd Bwana\nd*;

PSA 31:14 Removed trailing space in p~: nimesema, “Wewe ndiwe Mungu wangu.”

PSA 31:15 Removed trailing space in v~: Siku za maisha yangu ziko mikononi mwako,

PSA 31:15 Removed trailing space in p~: uniokoe mikononi mwa adui zangu

PSA 31:15 Removed trailing space in p~: na wale wanifuatiao.

PSA 31:16 Removed trailing space in v~: Mwangazie mtumishi wako uso wako,

PSA 31:16 Removed trailing space in p~: uniokoe kwa ajili ya upendo wako usiokoma.

PSA 31:17 Removed trailing space in v~: Usiniache niaibike, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 31:17 Removed trailing space in p~: kwa maana nimekulilia wewe,

PSA 31:17 Removed trailing space in p~: bali waovu waaibishwe

PSA 31:17 Removed trailing space in p~: na kunyamazishwa Kuzimu.

PSA 31:18 Removed trailing space in v~: Midomo yao isemayo uongo na inyamazishwe,

PSA 31:18 Removed trailing space in p~: kwa maana kwa kiburi na dharau

PSA 31:18 Removed trailing space in p~: wao husema kwa majivuno

PSA 31:18 Removed trailing space in p~: dhidi ya wenye haki.

PSA 31:19 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ulivyo mkuu wema wako,

PSA 31:19 Removed trailing space in p~: uliowawekea akiba wakuchao,

PSA 31:19 Removed trailing space in p~: ambao huwapa wale wakukimbiliao

PSA 31:19 Removed trailing space in p~: machoni pa watu.

PSA 31:20 Removed trailing space in v~: Unawahifadhi katika uvuli wa uwepo wako

PSA 31:20 Removed trailing space in p~: kutokana na hila za wanadamu;

PSA 31:20 Removed trailing space in p~: katika makao yako huwaweka salama

PSA 31:20 Removed trailing space in p~: kutokana na ndimi za mashtaka.

PSA 31:21 Removed trailing space in v~: Atukuzwe \nd Bwana\nd*,

PSA 31:21 Removed trailing space in p~: kwa kuwa amenionyesha upendo wake wa ajabu

PSA 31:21 Removed trailing space in p~: nilipokuwa katika mji uliozingirwa.

PSA 31:22 Removed trailing space in v~: Katika hofu yangu nilisema,

PSA 31:22 Removed trailing space in p~: “Nimekatiliwa mbali na macho yako!”

PSA 31:22 Removed trailing space in p~: Hata hivyo ulisikia kilio changu

PSA 31:22 Removed trailing space in p~: ukanihurumia nilipokuita unisaidie.

PSA 31:23 Removed trailing space in v~: Mpendeni \nd Bwana\nd* ninyi watakatifu wake wote!

PSA 31:23 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwahifadhi waaminifu,

PSA 31:23 Removed trailing space in p~: lakini wenye kiburi huwalipiza kikamilifu.

PSA 31:24 Removed trailing space in v~: Kuweni hodari na mjipe moyo,

PSA 31:24 Removed trailing space in p~: ninyi nyote mnaomtumaini \nd Bwana\nd*.

PSA 32:0 Extra space after chapter number

PSA 32:0 Removed trailing space in c: 32

PSA 32:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 32

PSA 32:0 Removed trailing space in s1: Furaha Ya Msamaha

PSA 32:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi. Funzo.

PSA 32:1 Removed trailing space in v~: Heri mtu yule ambaye amesamehewa makosa yake,

PSA 32:1 Removed trailing space in p~: ambaye dhambi zake zimefunikwa.

PSA 32:2 Removed trailing space in v~: Heri mtu yule ambaye \nd Bwana\nd*

PSA 32:2 Removed trailing space in p~: hamhesabii dhambi,

PSA 32:2 Removed trailing space in p~: na ambaye rohoni mwake

PSA 32:2 Removed trailing space in p~: hamna udanganyifu.

PSA 32:3 Removed trailing space in v~: Niliponyamaza, mifupa yangu ilichakaa

PSA 32:3 Removed trailing space in p~: kwa kulia kwa maumivu makali mchana kutwa.

PSA 32:4 Removed trailing space in v~: Usiku na mchana

PSA 32:4 Removed trailing space in p~: mkono wako ulinilemea,

PSA 32:4 Removed trailing space in p~: nguvu zangu zilinyonywa

PSA 32:4 Removed trailing space in p~: kama vile katika joto la kiangazi.

PSA 32:5 Removed trailing space in v~: Kisha nilikujulisha dhambi yangu

PSA 32:5 Removed trailing space in p~: wala sikuficha uovu wangu.

PSA 32:5 Removed trailing space in p~: Nilisema, “Nitaungama

PSA 32:5 Removed trailing space in p~: makosa yangu kwa \nd Bwana\nd*.”

PSA 32:5 Removed trailing space in p~: Ndipo uliponisamehe

PSA 32:5 Removed trailing space in p~: hatia ya dhambi yangu.

PSA 32:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kila mtu mcha Mungu akuombe

PSA 32:6 Removed trailing space in p~: wakati unapopatikana,

PSA 32:6 Removed trailing space in p~: hakika maji makuu yatakapofurika

PSA 32:6 Removed trailing space in p~: hayatamfikia yeye.

PSA 32:7 Removed trailing space in v~: Wewe ndiwe mahali pangu pa kujificha,

PSA 32:7 Removed trailing space in p~: utaniepusha na taabu

PSA 32:7 Removed trailing space in p~: na kunizunguka kwa nyimbo za wokovu.

PSA 32:8 Removed trailing space in v~: Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea;

PSA 32:8 Removed trailing space in p~: nitakushauri na kukuangalia.

PSA 32:9 Removed trailing space in v~: Usiwe kama farasi au nyumbu

PSA 32:9 Removed trailing space in p~: wasio na akili,

PSA 32:9 Removed trailing space in p~: ambao ni lazima waongozwe kwa lijamu na hatamu

PSA 32:9 Removed trailing space in p~: la sivyo hawatakukaribia.

PSA 32:10 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu ana taabu nyingi,

PSA 32:10 Removed trailing space in p~: bali upendo usio na kikomo wa \nd Bwana\nd*

PSA 32:10 Removed trailing space in p~: unamzunguka mtu anayemtumaini.

PSA 32:11 Removed trailing space in v~: Shangilieni katika \nd Bwana\nd* na mfurahi, enyi wenye haki!

PSA 32:11 Removed trailing space in p~: Imbeni, nyote mlio wanyofu wa moyo!

PSA 33:0 Extra space after chapter number

PSA 33:0 Removed trailing space in c: 33

PSA 33:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 33

PSA 33:0 Removed trailing space in s1: Ukuu Na Wema Wa Mungu

PSA 33:1 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* kwa furaha, enyi wenye haki;

PSA 33:1 Removed trailing space in p~: kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.

PSA 33:2 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd* kwa kinubi,

PSA 33:2 Removed trailing space in p~: mwimbieni sifa kwa zeze la nyuzi kumi.

PSA 33:3 Removed trailing space in v~: Mwimbieni wimbo mpya;

PSA 33:3 Removed trailing space in p~: pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.

PSA 33:4 Removed trailing space in v~: Maana neno la \nd Bwana\nd* ni haki na kweli,

PSA 33:4 Removed trailing space in p~: ni mwaminifu kwa yote atendayo.

PSA 33:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hupenda uadilifu na haki;

PSA 33:5 Removed trailing space in p~: dunia imejaa upendo wake usiokoma.

PSA 33:6 Removed trailing space in v~: Kwa neno la \nd Bwana\nd* mbingu ziliumbwa,

PSA 33:6 Removed trailing space in p~: jeshi lao la angani kwa pumzi ya kinywa chake.

PSA 33:7 Removed trailing space in v~: Ameyakusanya maji ya bahari

PSA 33:7 Removed trailing space in p~: kama kwenye chungu;

PSA 33:7 Removed trailing space in p~: vilindi vya bahari

PSA 33:7 Removed trailing space in p~: ameviweka katika ghala.

PSA 33:8 Removed trailing space in v~: Dunia yote na imwogope \nd Bwana\nd*,

PSA 33:8 Removed trailing space in p~: watu wote wa dunia wamche.

PSA 33:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu alisema, na ikawa,

PSA 33:9 Removed trailing space in p~: aliamuru na ikasimama imara.

PSA 33:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huzuia mipango ya mataifa,

PSA 33:10 Removed trailing space in p~: hupinga makusudi ya mataifa.

PSA 33:11 Removed trailing space in v~: Lakini mipango ya \nd Bwana\nd* inasimama imara milele,

PSA 33:11 Removed trailing space in p~: makusudi ya moyo wake kwa vizazi vyote.

PSA 33:12 Removed trailing space in v~: Heri taifa ambalo \nd Bwana\nd* ni Mungu wao,

PSA 33:12 Removed trailing space in p~: watu ambao aliwachagua kuwa urithi wake.

PSA 33:13 Removed trailing space in v~: Kutoka mbinguni \nd Bwana\nd* hutazama chini

PSA 33:13 Removed trailing space in p~: na kuwaona wanadamu wote;

PSA 33:14 Removed trailing space in v~: kutoka maskani mwake huwaangalia

PSA 33:14 Removed trailing space in p~: wote wakaao duniani:

PSA 33:15 Removed trailing space in v~: yeye ambaye huumba mioyo yao wote,

PSA 33:15 Removed trailing space in p~: ambaye huangalia kila kitu wanachokitenda.

PSA 33:16 Removed trailing space in v~: Hakuna mfalme aokokaye kwa ukubwa wa jeshi lake;

PSA 33:16 Removed trailing space in p~: hakuna shujaa aokokaye kwa wingi wa nguvu zake.

PSA 33:17 Removed trailing space in v~: Farasi ni tumaini la bure kwa wokovu,

PSA 33:17 Removed trailing space in p~: licha ya nguvu zake nyingi, hawezi kuokoa.

PSA 33:18 Removed trailing space in v~: Lakini macho ya \nd Bwana\nd* yako kwa wale wamchao,

PSA 33:18 Removed trailing space in p~: kwa wale tumaini lao liko katika upendo wake usio na kikomo,

PSA 33:19 Removed trailing space in v~: ili awaokoe na mauti,

PSA 33:19 Removed trailing space in p~: na kuwahifadhi wakati wa njaa.

PSA 33:20 Removed trailing space in v~: Sisi tunamngojea \nd Bwana\nd* kwa matumaini,

PSA 33:20 Removed trailing space in p~: yeye ni msaada wetu na ngao yetu.

PSA 33:21 Removed trailing space in v~: Mioyo yetu humshangilia,

PSA 33:21 Removed trailing space in p~: kwa maana tunalitumainia jina lake takatifu.

PSA 33:22 Removed trailing space in v~: Upendo wako usio na mwisho ukae juu yetu, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 33:22 Removed trailing space in p~: tunapoliweka tumaini letu kwako.

PSA 34:0 Extra space after chapter number

PSA 34:0 Removed trailing space in c: 34

PSA 34:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 34\f + \fr 34 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 34:0 Removed trailing space in s1: Sifa Na Wema Wa Mungu

PSA 34:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka.

PSA 34:1 Removed trailing space in v~: Nitamtukuza \nd Bwana\nd* nyakati zote,

PSA 34:1 Removed trailing space in p~: sifa zake zitakuwa midomoni mwangu siku zote.

PSA 34:2 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu itajisifu katika \nd Bwana\nd*,

PSA 34:2 Removed trailing space in p~: walioonewa watasikia na wafurahi.

PSA 34:3 Removed trailing space in v~: Mtukuzeni \nd Bwana\nd* pamoja nami,

PSA 34:3 Removed trailing space in p~: naam, na tulitukuze jina lake pamoja.

PSA 34:4 Removed trailing space in v~: Nilimtafuta \nd Bwana\nd* naye akanijibu,

PSA 34:4 Removed trailing space in p~: akaniokoa kwenye hofu zangu zote.

PSA 34:5 Removed trailing space in v~: Wale wamtazamao hutiwa nuru,

PSA 34:5 Removed trailing space in p~: nyuso zao hazifunikwi na aibu kamwe.

PSA 34:6 Removed trailing space in v~: Maskini huyu alimwita \nd Bwana\nd*, naye akamsikia,

PSA 34:6 Removed trailing space in p~: akamwokoa katika taabu zake zote.

PSA 34:7 Removed trailing space in v~: Malaika wa \nd Bwana\nd* hufanya kituo

PSA 34:7 Removed trailing space in p~: akiwazunguka wale wamchao,

PSA 34:7 Removed trailing space in p~: naye huwaokoa.

PSA 34:8 Removed trailing space in v~: Onjeni mwone kwamba \nd Bwana\nd* ni mwema,

PSA 34:8 Removed trailing space in p~: heri mtu yule anayemkimbilia.

PSA 34:9 Removed trailing space in v~: Mcheni \nd Bwana\nd* enyi watakatifu wake,

PSA 34:9 Removed trailing space in p~: kwa maana wale wamchao

PSA 34:9 Removed trailing space in p~: hawapungukiwi na chochote.

PSA 34:10 Removed trailing space in v~: Wana simba wenye nguvu

PSA 34:10 Removed trailing space in p~: hutindikiwa na kuona njaa,

PSA 34:10 Removed trailing space in p~: bali wale wamtafutao \nd Bwana\nd*

PSA 34:10 Removed trailing space in p~: hawatakosa kitu chochote kilicho chema.

PSA 34:11 Removed trailing space in v~: Njooni, watoto wangu, mnisikilize,

PSA 34:11 Removed trailing space in p~: nitawafundisha kumcha \nd Bwana\nd*.

PSA 34:12 Removed trailing space in v~: Yeyote kati yenu anayependa uzima

PSA 34:12 Removed trailing space in p~: na kutamani kuziona siku nyingi njema,

PSA 34:13 Removed trailing space in v~: basi auzuie ulimi wake na mabaya,

PSA 34:13 Removed trailing space in p~: na midomo yake kutokana na kusema uongo.

PSA 34:14 Removed trailing space in v~: Aache uovu, atende mema,

PSA 34:14 Removed trailing space in p~: aitafute amani na kuifuatilia.

PSA 34:15 Removed trailing space in v~: Macho ya \nd Bwana\nd* huwaelekea wenye haki,

PSA 34:15 Removed trailing space in p~: na masikio yake yako makini kusikiliza kilio chao.

PSA 34:16 Removed trailing space in v~: Uso wa \nd Bwana\nd* uko kinyume na watendao maovu,

PSA 34:16 Removed trailing space in p~: ili kufuta kumbukumbu lao duniani.

PSA 34:17 Removed trailing space in v~: Wenye haki hulia, naye \nd Bwana\nd* huwasikia,

PSA 34:17 Removed trailing space in p~: huwaokoa katika taabu zao zote.

PSA 34:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yu karibu na waliovunjika moyo,

PSA 34:18 Removed trailing space in p~: na huwaokoa waliopondeka roho.

PSA 34:19 Removed trailing space in v~: Mwenye haki ana mateso mengi,

PSA 34:19 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* humwokoa nayo yote,

PSA 34:20 Removed trailing space in v~: huhifadhi mifupa yake yote,

PSA 34:20 Removed trailing space in p~: hata mmoja hautavunjika.

PSA 34:21 Removed trailing space in v~: Ubaya utamuua mtu mwovu,

PSA 34:21 Removed trailing space in p~: nao adui za mwenye haki watahukumiwa.

PSA 34:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwakomboa watumishi wake,

PSA 34:22 Removed trailing space in p~: yeyote anayemkimbilia yeye

PSA 34:22 Removed trailing space in p~: hatahukumiwa kamwe.

PSA 36:0 Extra space after chapter number

PSA 36:0 Removed trailing space in c: 36

PSA 36:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 36

PSA 36:0 Removed trailing space in s1: Uovu Wa Mwanadamu

PSA 36:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa \nd Bwana\nd*.

PSA 36:1 Removed trailing space in v~: Kuna neno moyoni mwangu

PSA 36:1 Removed trailing space in p~: kuhusu hali ya dhambi ya mwovu.

PSA 36:1 Removed trailing space in p~: Hakuna hofu ya Mungu

PSA 36:1 Removed trailing space in p~: mbele ya macho yake.

PSA 36:2 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa machoni pake mwenyewe hujisifu mno

PSA 36:2 Removed trailing space in p~: hata hawezi kugundua au kuichukia dhambi yake.

PSA 36:3 Removed trailing space in v~: Maneno ya kinywa chake ni maovu na ya udanganyifu,

PSA 36:3 Removed trailing space in p~: ameacha kuwa mwenye hekima na kutenda mema.

PSA 36:4 Removed trailing space in v~: Hata kitandani mwake hupanga hila mbaya,

PSA 36:4 Removed trailing space in p~: hujitia katika njia ya dhambi

PSA 36:4 Removed trailing space in p~: na hakatai lililo baya.

PSA 36:5 Removed trailing space in v~: Upendo wako, Ee \nd Bwana\nd*, unafika hadi mbinguni,

PSA 36:5 Removed trailing space in p~: uaminifu wako hadi kwenye anga.

PSA 36:6 Removed trailing space in v~: Haki yako ni kama milima mikubwa,

PSA 36:6 Removed trailing space in p~: hukumu zako ni kama kilindi kikuu.

PSA 36:6 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe huwahifadhi

PSA 36:6 Removed trailing space in p~: mwanadamu na mnyama.

PSA 36:7 Removed trailing space in v~: Upendo wako usiokoma

PSA 36:7 Removed trailing space in p~: ni wa thamani mno!

PSA 36:7 Removed trailing space in p~: Watu wakuu na wadogo

PSA 36:7 Removed trailing space in p~: hujificha uvulini wa mbawa zako.

PSA 36:8 Removed trailing space in v~: Wanajifurahisha katika wingi nyumbani mwako,

PSA 36:8 Removed trailing space in p~: nawe utawanywesha katika mto wa furaha zako.

PSA 36:9 Removed trailing space in v~: Kuwa pamoja nawe ni kijito cha uzima,

PSA 36:9 Removed trailing space in p~: katika nuru yako twaona nuru.

PSA 36:10 Removed trailing space in v~: Dumisha upendo wako kwa wale wanaokujua wewe,

PSA 36:10 Removed trailing space in p~: haki yako kwa wale walio wanyofu wa moyo.

PSA 36:11 Removed trailing space in v~: Mguu wa mwenye kiburi usije dhidi yangu,

PSA 36:11 Removed trailing space in p~: wala mkono wa mwovu usinifukuze.

PSA 36:12 Removed trailing space in v~: Angalia jinsi watenda mabaya walivyoanguka:

PSA 36:12 Removed trailing space in p~: wametupwa chini, hawawezi kuinuka!

PSA 37:0 Extra space after chapter number

PSA 37:0 Removed trailing space in c: 37

PSA 37:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 37\f + \fr 37 \ft Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 37:0 Removed trailing space in s1: Mwisho Wa Mwovu Na Urithi Wa Mwenye Haki

PSA 37:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 37:1 Removed trailing space in v~: Usisumbuke kwa ajili ya watendao maovu,

PSA 37:1 Removed trailing space in p~: wala usiwaonee wivu watendao mabaya,

PSA 37:2 Removed trailing space in v~: kwa maana kama majani watanyauka mara,

PSA 37:2 Removed trailing space in p~: kama mimea ya kijani watakufa mara.

PSA 37:3 Removed trailing space in v~: Mtumaini \nd Bwana\nd* na utende yaliyo mema;

PSA 37:3 Removed trailing space in p~: Kaa katika nchi ukafurahie malisho salama.

PSA 37:4 Removed trailing space in v~: Jifurahishe katika \nd Bwana\nd*

PSA 37:4 Removed trailing space in p~: naye atakupa haja za moyo wako.

PSA 37:5 Removed trailing space in v~: Mkabidhi \nd Bwana\nd* njia yako,

PSA 37:5 Removed trailing space in p~: mtumaini yeye, naye atatenda hili:

PSA 37:6 Removed trailing space in v~: Yeye atafanya haki yako ingʼae kama mapambazuko,

PSA 37:6 Removed trailing space in p~: na hukumu ya shauri lako kama jua la adhuhuri.

PSA 37:7 Removed trailing space in v~: Tulia mbele za \nd Bwana\nd*

PSA 37:7 Removed trailing space in p~: na umngojee kwa uvumilivu;

PSA 37:7 Removed trailing space in p~: usisumbuke watu wanapofanikiwa katika njia zao,

PSA 37:7 Removed trailing space in p~: wanapotekeleza mipango yao miovu.

PSA 37:8 Removed trailing space in v~: Epuka hasira na uache ghadhabu,

PSA 37:8 Removed trailing space in p~: usihangaike: itakuongoza tu kutenda uovu.

PSA 37:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana waovu watakatiliwa mbali,

PSA 37:9 Removed trailing space in p~: bali wale wanaomtumaini \nd Bwana\nd* watairithi nchi.

PSA 37:10 Removed trailing space in v~: Bado kitambo kidogo, nao waovu hawataonekana,

PSA 37:10 Removed trailing space in p~: ingawa utawatafuta, hawataonekana.

PSA 37:11 Removed trailing space in v~: Bali wanyenyekevu watairithi nchi

PSA 37:11 Removed trailing space in p~: na wafurahie amani tele.

PSA 37:12 Removed trailing space in v~: Waovu hula njama dhidi ya wenye haki

PSA 37:12 Removed trailing space in p~: na kuwasagia meno,

PSA 37:13 Removed trailing space in v~: bali Bwana huwacheka waovu,

PSA 37:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu anajua siku yao inakuja.

PSA 37:14 Removed trailing space in v~: Waovu huchomoa upanga

PSA 37:14 Removed trailing space in p~: na kupinda upinde,

PSA 37:14 Removed trailing space in p~: ili wawaangushe maskini na wahitaji,

PSA 37:14 Removed trailing space in p~: kuwachinja wale ambao njia zao ni nyofu.

PSA 37:15 Removed trailing space in v~: Lakini panga zao zitachoma mioyo yao wenyewe,

PSA 37:15 Removed trailing space in p~: na pinde zao zitavunjwa.

PSA 37:16 Removed trailing space in v~: Bora kidogo walicho nacho wenye haki

PSA 37:16 Removed trailing space in p~: kuliko wingi wa mali wa waovu wengi;

PSA 37:17 Removed trailing space in v~: kwa maana nguvu za waovu zitavunjwa,

PSA 37:17 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* humtegemeza mwenye haki.

PSA 37:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anazifahamu siku za wanyofu,

PSA 37:18 Removed trailing space in p~: na urithi wao utadumu milele.

PSA 37:19 Removed trailing space in v~: Siku za maafa hawatanyauka,

PSA 37:19 Removed trailing space in p~: siku za njaa watafurahia wingi wa vitu.

PSA 37:20 Removed trailing space in v~: Lakini waovu wataangamia:

PSA 37:20 Removed trailing space in p~: Adui za \nd Bwana\nd* watakuwa

PSA 37:20 Removed trailing space in p~: kama uzuri wa mashamba,

PSA 37:20 Removed trailing space in p~: watatoweka,

PSA 37:20 Removed trailing space in p~: watatoweka kama moshi.

PSA 37:21 Removed trailing space in v~: Waovu hukopa na hawalipi,

PSA 37:21 Removed trailing space in p~: bali wenye haki hutoa kwa ukarimu.

PSA 37:22 Removed trailing space in v~: Wale wanaobarikiwa na \nd Bwana\nd* watairithi nchi,

PSA 37:22 Removed trailing space in p~: bali wale anaowalaani watakatiliwa mbali.

PSA 37:23 Removed trailing space in v~: Kama \nd Bwana\nd* akipendezwa na njia ya mtu,

PSA 37:23 Removed trailing space in p~: yeye huimarisha hatua zake,

PSA 37:24 Removed trailing space in v~: ajapojikwaa, hataanguka,

PSA 37:24 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd*

PSA 37:24 Removed trailing space in p~: humtegemeza kwa mkono wake.

PSA 37:25 Removed trailing space in v~: Nilikuwa kijana na sasa ni mzee,

PSA 37:25 Removed trailing space in p~: lakini sijaona kamwe wenye haki wameachwa

PSA 37:25 Removed trailing space in p~: au watoto wao wakiombaomba chakula.

PSA 37:26 Removed trailing space in v~: Wakati wote ni wakarimu na hukopesha bila masharti.

PSA 37:26 Removed trailing space in p~: Watoto wao watabarikiwa.

PSA 37:27 Removed trailing space in v~: Acha ubaya na utende wema,

PSA 37:27 Removed trailing space in p~: nawe utaishi katika nchi milele.

PSA 37:28 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* huwapenda wenye haki

PSA 37:28 Removed trailing space in p~: naye hatawaacha waaminifu wake.

PSA 37:28 Removed trailing space in p~: Watalindwa milele,

PSA 37:28 Removed trailing space in p~: lakini uzao wa waovu utakatiliwa mbali.

PSA 37:29 Removed trailing space in v~: Wenye haki watairithi nchi,

PSA 37:29 Removed trailing space in p~: na kuishi humo milele.

PSA 37:30 Removed trailing space in v~: Kinywa cha mwenye haki hutamka hekima,

PSA 37:30 Removed trailing space in p~: nao ulimi wake huzungumza lililo haki.

PSA 37:31 Removed trailing space in v~: Sheria ya Mungu wake imo moyoni mwake;

PSA 37:31 Removed trailing space in p~: nyayo zake hazitelezi.

PSA 37:32 Removed trailing space in v~: Watu waovu huvizia wenye haki,

PSA 37:32 Removed trailing space in p~: wakitafuta kuwaua;

PSA 37:33 Removed trailing space in v~: lakini \nd Bwana\nd* hatawaacha mikononi mwao

PSA 37:33 Removed trailing space in p~: wala hatawaacha wahukumiwe

PSA 37:33 Removed trailing space in p~: kuwa wakosa wanaposhtakiwa.

PSA 37:34 Removed trailing space in v~: Mngojee \nd Bwana\nd*,

PSA 37:34 Removed trailing space in p~: na uishike njia yake.

PSA 37:34 Removed trailing space in p~: Naye atakutukuza uirithi nchi,

PSA 37:34 Removed trailing space in p~: waovu watakapokatiliwa mbali,

PSA 37:34 Removed trailing space in p~: utaliona hilo.

PSA 37:35 Removed trailing space in v~: Nimemwona mtu mwovu na mkatili akistawi

PSA 37:35 Removed trailing space in p~: kama mwerezi wa Lebanoni,

PSA 37:36 Removed trailing space in v~: lakini alitoweka mara na hakuonekana,

PSA 37:36 Removed trailing space in p~: ingawa nilimtafuta, hakupatikana.

PSA 37:37 Removed trailing space in v~: Watafakari watu wasio na hatia,

PSA 37:37 Removed trailing space in p~: wachunguze watu wakamilifu,

PSA 37:37 Removed trailing space in p~: kuna mafanikio kwa mtu apendaye amani.

PSA 37:38 Removed trailing space in v~: Lakini watenda dhambi wote wataangamizwa,

PSA 37:38 Removed trailing space in p~: mafanikio yao yatakatiliwa mbali.

PSA 37:39 Removed trailing space in v~: Wokovu wa wenye haki hutoka kwa \nd Bwana\nd*,

PSA 37:39 Removed trailing space in p~: yeye ni ngome yao wakati wa shida.

PSA 37:40 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwasaidia na kuwaokoa,

PSA 37:40 Removed trailing space in p~: huwaokoa kutoka kwa waovu na kuwahifadhi,

PSA 37:40 Removed trailing space in p~: kwa maana wanamkimbilia.

PSA 38:0 Extra space after chapter number

PSA 38:0 Removed trailing space in c: 38

PSA 38:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 38

PSA 38:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Anayeteseka

PSA 38:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi. Maombi.

PSA 38:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usinikemee katika hasira yako,

PSA 38:1 Removed trailing space in p~: wala kuniadhibu katika ghadhabu yako.

PSA 38:2 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mishale yako imenichoma,

PSA 38:2 Removed trailing space in p~: na mkono wako umenishukia.

PSA 38:3 Removed trailing space in v~: Hakuna afya mwilini mwangu

PSA 38:3 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya ghadhabu yako,

PSA 38:3 Removed trailing space in p~: mifupa yangu haina uzima

PSA 38:3 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya dhambi zangu.

PSA 38:4 Removed trailing space in v~: Maovu yangu yamenifunika

PSA 38:4 Removed trailing space in p~: kama mzigo usiochukulika.

PSA 38:5 Removed trailing space in v~: Majeraha yangu yameoza na yananuka,

PSA 38:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya upumbavu wa dhambi zangu.

PSA 38:6 Removed trailing space in v~: Nimeinamishwa chini na kushushwa sana,

PSA 38:6 Removed trailing space in p~: mchana kutwa nazunguka nikiomboleza.

PSA 38:7 Removed trailing space in v~: Viuno vyangu vimejaa maumivu yaunguzayo,

PSA 38:7 Removed trailing space in p~: hakuna afya mwilini mwangu.

PSA 38:8 Removed trailing space in v~: Nimedhoofika na kupondwa kabisa,

PSA 38:8 Removed trailing space in p~: nasononeka kwa maumivu makuu ya moyoni.

PSA 38:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, yote ninayoyaonea shauku

PSA 38:9 Removed trailing space in p~: yako wazi mbele zako,

PSA 38:9 Removed trailing space in p~: kutamani kwangu sana

PSA 38:9 Removed trailing space in p~: hakufichiki mbele zako.

PSA 38:10 Removed trailing space in v~: Moyo wangu unapigapiga,

PSA 38:10 Removed trailing space in p~: nguvu zangu zimeniishia;

PSA 38:10 Removed trailing space in p~: hata macho yangu yametiwa giza.

PSA 38:11 Removed trailing space in v~: Rafiki na wenzangu wananikwepa

PSA 38:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya majeraha yangu;

PSA 38:11 Removed trailing space in p~: majirani zangu wanakaa mbali nami.

PSA 38:12 Removed trailing space in v~: Wale wanaotafuta uhai wangu

PSA 38:12 Removed trailing space in p~: wanatega mitego yao,

PSA 38:12 Removed trailing space in p~: wale ambao wangetaka kunidhuru

PSA 38:12 Removed trailing space in p~: huongea juu ya maangamizi yangu;

PSA 38:12 Removed trailing space in p~: hufanya shauri la hila mchana kutwa.

PSA 38:13 Removed trailing space in v~: Mimi ni kama mtu kiziwi, asiyeweza kusikia,

PSA 38:13 Removed trailing space in p~: ni kama bubu, asiyeweza kufungua kinywa chake,

PSA 38:14 Removed trailing space in v~: nimekuwa kama mtu asiyesikia,

PSA 38:14 Removed trailing space in p~: ambaye kinywa chake hakiwezi kutoa jibu.

PSA 38:15 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninakungojea wewe,

PSA 38:15 Removed trailing space in p~: Ee Bwana Mungu wangu, utajibu.

PSA 38:16 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa nilisema, “Usiwaache wafurahie,

PSA 38:16 Removed trailing space in p~: wala wasijitukuze juu yangu

PSA 38:16 Removed trailing space in p~: mguu wangu unapoteleza.”

PSA 38:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninakaribia kuanguka,

PSA 38:17 Removed trailing space in p~: na maumivu yangu yananiandama siku zote.

PSA 38:18 Removed trailing space in v~: Naungama uovu wangu,

PSA 38:18 Removed trailing space in p~: ninataabishwa na dhambi yangu.

PSA 38:19 Removed trailing space in v~: Wengi ni wale ambao ni adui zangu hodari,

PSA 38:19 Removed trailing space in p~: wale wanaonichukia bila sababu ni wengi.

PSA 38:20 Removed trailing space in v~: Wanaolipa maovu kwa wema wangu

PSA 38:20 Removed trailing space in p~: hunisingizia ninapofuata lililo jema.

PSA 38:21 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usiniache,

PSA 38:21 Removed trailing space in p~: usiwe mbali nami, Ee Mungu wangu.

PSA 38:22 Removed trailing space in v~: Ee Bwana Mwokozi wangu,

PSA 38:22 Removed trailing space in p~: uje upesi kunisaidia.

PSA 39:0 Extra space after chapter number

PSA 39:0 Removed trailing space in c: 39

PSA 39:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 39

PSA 39:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Anayeteseka

PSA 39:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.

PSA 39:1 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Nitaziangalia njia zangu

PSA 39:1 Removed trailing space in p~: na kuuzuia ulimi wangu usije ukatenda dhambi;

PSA 39:1 Removed trailing space in p~: nitaweka lijamu kinywani mwangu

PSA 39:1 Removed trailing space in p~: wakati wote waovu wanapokuwa karibu nami.”

PSA 39:2 Removed trailing space in v~: Lakini niliponyamaza kimya na kutulia,

PSA 39:2 Removed trailing space in p~: hata pasipo kusema lolote jema,

PSA 39:2 Removed trailing space in p~: uchungu wangu uliongezeka.

PSA 39:3 Removed trailing space in v~: Moyo wangu ulipata moto ndani yangu,

PSA 39:3 Removed trailing space in p~: nilipotafakari, moto uliwaka,

PSA 39:3 Removed trailing space in p~: ndipo nikasema kwa ulimi wangu:

PSA 39:4 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd*, nijulishe mwisho wa maisha yangu

PSA 39:4 Removed trailing space in p~: na hesabu ya siku zangu;

PSA 39:4 Removed trailing space in p~: nijalie kujua jinsi maisha yangu

PSA 39:4 Removed trailing space in p~: yanavyopita upesi.

PSA 39:5 Removed trailing space in v~: Umefanya maisha yangu mafupi kama pumzi;

PSA 39:5 Removed trailing space in p~: muda wangu wa kuishi ni kama

PSA 39:5 Removed trailing space in p~: hauna thamani kwako.

PSA 39:5 Removed trailing space in p~: Maisha ya kila mwanadamu

PSA 39:5 Removed trailing space in p~: ni kama pumzi.

PSA 39:6 Removed trailing space in v~: Hakika kila binadamu ni kama njozi

PSA 39:6 Removed trailing space in p~: aendapo huku na huko:

PSA 39:6 Removed trailing space in p~: hujishughulisha na mengi lakini ni ubatili;

PSA 39:6 Removed trailing space in p~: anakusanya mali nyingi,

PSA 39:6 Removed trailing space in p~: wala hajui ni nani atakayeifaidi.

PSA 39:7 Removed trailing space in v~: “Lakini sasa Bwana, nitafute nini?

PSA 39:7 Removed trailing space in p~: Tumaini langu ni kwako.

PSA 39:8 Removed trailing space in v~: Niokoe kutoka kwenye makosa yangu yote,

PSA 39:8 Removed trailing space in p~: usinifanye kuwa dhihaka ya wapumbavu.

PSA 39:9 Removed trailing space in v~: Nilinyamaza kimya,

PSA 39:9 Removed trailing space in p~: sikufumbua kinywa changu,

PSA 39:9 Removed trailing space in p~: kwa sababu wewe ndiwe uliyetenda hili.

PSA 39:10 Removed trailing space in v~: Niondolee mjeledi wako,

PSA 39:10 Removed trailing space in p~: nimeshindwa kwa mapigo ya mkono wako.

PSA 39:11 Removed trailing space in v~: Unakemea na kuadhibu wanadamu

PSA 39:11 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya dhambi zao;

PSA 39:11 Removed trailing space in p~: unaharibu utajiri wao kama nondo aharibuvyo:

PSA 39:11 Removed trailing space in p~: kila mwanadamu ni kama pumzi tu.

PSA 39:12 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd*, usikie maombi yangu,

PSA 39:12 Removed trailing space in p~: usikie kilio changu unisaidie,

PSA 39:12 Removed trailing space in p~: usiwe kiziwi kwa kulia kwangu.

PSA 39:12 Removed trailing space in p~: Kwani mimi ninaishi na wewe kama mgeni,

PSA 39:12 Removed trailing space in p~: kama walivyokuwa baba zangu wote,

PSA 39:13 Removed trailing space in v~: Tazama mbali nami, ili niweze kufurahi tena

PSA 39:13 Removed trailing space in p~: kabla sijaondoka na nisiwepo tena.”

PSA 40:0 Extra space after chapter number

PSA 40:0 Removed trailing space in c: 40

PSA 40:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 40

PSA 40:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Sifa

PSA 40:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 40:1 Removed trailing space in v~: Nilimngoja \nd Bwana\nd* kwa saburi,

PSA 40:1 Removed trailing space in p~: naye akaniinamia, akasikia kilio changu.

PSA 40:2 Removed trailing space in v~: Akanipandisha kutoka shimo la uharibifu,

PSA 40:2 Removed trailing space in p~: kutoka matope na utelezi;

PSA 40:2 Removed trailing space in p~: akaiweka miguu yangu juu ya mwamba

PSA 40:2 Removed trailing space in p~: na kunipa mahali imara pa kusimama.

PSA 40:3 Removed trailing space in v~: Akaweka wimbo mpya kinywani mwangu,

PSA 40:3 Removed trailing space in p~: wimbo wa sifa kwa Mungu wetu.

PSA 40:3 Removed trailing space in p~: Wengi wataona na kuogopa

PSA 40:3 Removed trailing space in p~: na kuweka tumaini lao kwa \nd Bwana\nd*.

PSA 40:4 Removed trailing space in v~: Heri mtu yule amfanyaye \nd Bwana\nd* kuwa tumaini lake,

PSA 40:4 Removed trailing space in p~: asiyewategemea wenye kiburi,

PSA 40:4 Removed trailing space in p~: wale wenye kugeukia miungu ya uongo.

PSA 40:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu,

PSA 40:5 Removed trailing space in p~: umefanya mambo mengi ya ajabu.

PSA 40:5 Removed trailing space in p~: Mambo uliyopanga kwa ajili yetu

PSA 40:5 Removed trailing space in p~: hakuna awezaye kukuhesabia;

PSA 40:5 Removed trailing space in p~: kama ningesema na kuyaelezea,

PSA 40:5 Removed trailing space in p~: yangekuwa mengi mno kuyaelezea.

PSA 40:6 Removed trailing space in v~: Dhabihu na sadaka hukuvitaka,

PSA 40:6 Removed trailing space in p~: lakini umefungua masikio yangu;\f + \fr 40:6 \ft Au: bali mwili uliniandalia.\f*

PSA 40:6 Removed trailing space in p~: sadaka za kuteketezwa na sadaka za dhambi

PSA 40:6 Removed trailing space in p~: hukuzihitaji.

PSA 40:7 Removed trailing space in v~: Ndipo niliposema, “Mimi hapa, nimekuja:

PSA 40:7 Removed trailing space in p~: imeandikwa kunihusu katika kitabu.

PSA 40:8 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu,

PSA 40:8 Removed trailing space in p~: natamani kuyafanya mapenzi yako;

PSA 40:8 Removed trailing space in p~: sheria yako iko ndani ya moyo wangu.”

PSA 40:9 Removed trailing space in v~: Nimehubiri haki katika kusanyiko kubwa,

PSA 40:9 Removed trailing space in p~: sikufunga mdomo wangu,

PSA 40:9 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, kama ujuavyo.

PSA 40:10 Removed trailing space in v~: Sikuficha haki yako moyoni mwangu;

PSA 40:10 Removed trailing space in p~: ninasema juu ya uaminifu wako na wokovu wako.

PSA 40:10 Removed trailing space in p~: Sikuficha upendo wako na kweli yako

PSA 40:10 Removed trailing space in p~: mbele ya kusanyiko kubwa.

PSA 40:11 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usizuilie huruma zako,

PSA 40:11 Removed trailing space in p~: upendo wako na kweli yako daima vinilinde.

PSA 40:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana taabu zisizo na hesabu zimenizunguka,

PSA 40:12 Removed trailing space in p~: dhambi zangu zimenikamata, hata nisiweze kuona.

PSA 40:12 Removed trailing space in p~: Zimekuwa nyingi kuliko nywele za kichwa changu,

PSA 40:12 Removed trailing space in p~: nao moyo unazimia ndani yangu.

PSA 40:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uwe radhi kuniokoa;

PSA 40:13 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, njoo hima unisaidie.

PSA 40:14 Removed trailing space in v~: Wote wanaotafuta kuuondoa uhai wangu,

PSA 40:14 Removed trailing space in p~: waaibishwe na kufadhaishwa;

PSA 40:14 Removed trailing space in p~: wote wanaotamani kuangamizwa kwangu,

PSA 40:14 Removed trailing space in p~: warudishwe nyuma kwa aibu.

PSA 40:15 Removed trailing space in v~: Wale waniambiao, “Aha! Aha!”

PSA 40:15 Removed trailing space in p~: wafadhaishwe na iwe aibu yao.

PSA 40:16 Removed trailing space in v~: Lakini wote wakutafutao

PSA 40:16 Removed trailing space in p~: washangilie na kukufurahia,

PSA 40:16 Removed trailing space in p~: wale wapendao wokovu wako siku zote waseme,

PSA 40:16 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* atukuzwe!”

PSA 40:17 Removed trailing space in v~: Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji;

PSA 40:17 Removed trailing space in p~: Bwana na anifikirie.

PSA 40:17 Removed trailing space in p~: Wewe ndiwe msaada wangu na Mwokozi wangu;

PSA 40:17 Removed trailing space in p~: Ee Mungu wangu, usikawie.

PSA 41:0 Extra space after chapter number

PSA 41:0 Removed trailing space in c: 41

PSA 41:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 41

PSA 41:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Mgonjwa

PSA 41:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 41:1 Removed trailing space in v~: Heri mtu yule anayemjali mnyonge,

PSA 41:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atamwokoa wakati wa shida.

PSA 41:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atamlinda na kuyahifadhi maisha yake,

PSA 41:2 Removed trailing space in p~: atambariki katika nchi

PSA 41:2 Removed trailing space in p~: na hatamwacha katika tamaa ya adui zake.

PSA 41:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atamtegemeza awapo mgonjwa kitandani,

PSA 41:3 Removed trailing space in p~: atamwinua kutoka kitandani mwake.

PSA 41:4 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Ee \nd Bwana\nd* nihurumie,

PSA 41:4 Removed trailing space in p~: niponye, maana nimekutenda dhambi wewe.”

PSA 41:5 Removed trailing space in v~: Adui zangu wanasema kwa hila,

PSA 41:5 Removed trailing space in p~: “Lini atakufa, na jina lake litokomee kabisa.”

PSA 41:6 Removed trailing space in v~: Kila anapokuja mtu kunitazama,

PSA 41:6 Removed trailing space in p~: huzungumza uongo,

PSA 41:6 Removed trailing space in p~: huku moyo wake hukusanya masingizio;

PSA 41:6 Removed trailing space in p~: kisha huondoka na kuyasambaza huku na huko.

PSA 41:7 Removed trailing space in v~: Adui zangu wote hunongʼonezana dhidi yangu,

PSA 41:7 Removed trailing space in p~: hao huniwazia mabaya sana, wakisema,

PSA 41:8 Removed trailing space in v~: “Ugonjwa mbaya sana umempata,

PSA 41:8 Removed trailing space in p~: kamwe hatainuka tena kitandani mwake.”

PSA 41:9 Removed trailing space in v~: Hata rafiki yangu wa karibu niliyemwamini,

PSA 41:9 Removed trailing space in p~: yule aliyekula chakula changu

PSA 41:9 Removed trailing space in p~: ameniinulia kisigino chake.

PSA 41:10 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee \nd Bwana\nd*, nihurumie,

PSA 41:10 Removed trailing space in p~: ukaniinue tena, ili niweze kuwalipiza kisasi.

PSA 41:11 Removed trailing space in v~: Najua kwamba wapendezwa nami,

PSA 41:11 Removed trailing space in p~: kwa kuwa adui yangu hanishindi.

PSA 41:12 Removed trailing space in v~: Katika uadilifu wangu unanitegemeza

PSA 41:12 Removed trailing space in p~: na kuniweka kwenye uwepo wako milele.

PSA 41:13 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli,

PSA 41:13 Removed trailing space in p~: tangu milele na hata milele.

PSA 41:13 Removed trailing space in qc: Amen na Amen.

PSA 42:0 Extra space after chapter number

PSA 42:0 Removed trailing space in c: 42

PSA 42:0 Removed trailing space in ms1: KITABU CHA PILI

PSA 42:0 Removed trailing space in mr: (Zaburi 42–72)

PSA 42:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 42

PSA 42:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Aliye Uhamishoni

PSA 42:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.

PSA 42:1 Removed trailing space in v~: Kama vile ayala aoneavyo shauku vijito vya maji,

PSA 42:1 Removed trailing space in p~: ndivyo nafsi yangu ikuoneavyo shauku, Ee Mungu.

PSA 42:2 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu inamwonea Mungu kiu, Mungu aliye hai.

PSA 42:2 Removed trailing space in p~: Ni lini nitaweza kwenda kukutana na Mungu?

PSA 42:3 Removed trailing space in v~: Machozi yangu yamekuwa chakula changu

PSA 42:3 Removed trailing space in p~: usiku na mchana,

PSA 42:3 Removed trailing space in p~: huku watu wakiniambia mchana kutwa,

PSA 42:3 Removed trailing space in p~: “Yuko wapi Mungu wako?”

PSA 42:4 Removed trailing space in v~: Mambo haya nayakumbuka

PSA 42:4 Removed trailing space in p~: ninapoimimina nafsi yangu:

PSA 42:4 Removed trailing space in p~: Jinsi nilivyokuwa nikienda na umati wa watu,

PSA 42:4 Removed trailing space in p~: nikiongoza maandamano kuelekea kwenye nyumba ya Mungu,

PSA 42:4 Removed trailing space in p~: kwa kelele za shangwe na za shukrani

PSA 42:4 Removed trailing space in p~: katikati ya umati uliosherehekea.

PSA 42:5 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

PSA 42:5 Removed trailing space in p~: Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?

PSA 42:5 Removed trailing space in p~: Weka tumaini lako kwa Mungu,

PSA 42:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu bado nitamsifu,

PSA 42:5 Removed trailing space in p~: Mwokozi wangu na

PSA 42:6 Removed trailing space in v~: Mungu wangu.

PSA 42:6 Removed trailing space in p~: Nafsi yangu inasononeka ndani yangu;

PSA 42:6 Removed trailing space in p~: kwa hiyo nitakukumbuka

PSA 42:6 Removed trailing space in p~: kutoka nchi ya Yordani,

PSA 42:6 Removed trailing space in p~: katika vilele vya Hermoni,

PSA 42:6 Removed trailing space in p~: kutoka Mlima Mizari.

PSA 42:7 Removed trailing space in v~: Kilindi huita kilindi,

PSA 42:7 Removed trailing space in p~: katika ngurumo za maporomoko ya maji yako;

PSA 42:7 Removed trailing space in p~: mawimbi yako yote pamoja na viwimbi

PSA 42:7 Removed trailing space in p~: vimepita juu yangu.

PSA 42:8 Removed trailing space in v~: Mchana \nd Bwana\nd* huelekeza upendo wake,

PSA 42:8 Removed trailing space in p~: usiku wimbo wake uko nami:

PSA 42:8 Removed trailing space in p~: maombi kwa Mungu wa uzima wangu.

PSA 42:9 Removed trailing space in v~: Ninamwambia Mungu Mwamba wangu,

PSA 42:9 Removed trailing space in p~: “Kwa nini umenisahau?

PSA 42:9 Removed trailing space in p~: Kwa nini niendelee kuomboleza,

PSA 42:9 Removed trailing space in p~: nikiwa nimeonewa na adui?”

PSA 42:10 Removed trailing space in v~: Mifupa yangu inateseka kwa maumivu makali

PSA 42:10 Removed trailing space in p~: adui zangu wanaponidhihaki,

PSA 42:10 Removed trailing space in p~: wakiniambia mchana kutwa,

PSA 42:10 Removed trailing space in p~: “Yuko wapi Mungu wako?”

PSA 42:11 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

PSA 42:11 Removed trailing space in p~: Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?

PSA 42:11 Removed trailing space in p~: Weka tumaini lako kwa Mungu,

PSA 42:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu bado nitamsifu,

PSA 42:11 Removed trailing space in p~: Mwokozi wangu na Mungu wangu.

PSA 43:0 Extra space after chapter number

PSA 43:0 Removed trailing space in c: 43

PSA 43:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 43

PSA 43:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Aliyeko Uhamishoni Yanaendelea

PSA 43:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu unihukumu,

PSA 43:1 Removed trailing space in p~: nitetee dhidi ya taifa lisilomcha Mungu,

PSA 43:1 Removed trailing space in p~: niokoe na watu wadanganyifu na waovu.

PSA 43:2 Removed trailing space in v~: Wewe ni Mungu ngome yangu.

PSA 43:2 Removed trailing space in p~: Kwa nini umenikataa?

PSA 43:2 Removed trailing space in p~: Kwa nini niendelee kuomboleza,

PSA 43:2 Removed trailing space in p~: nikiwa nimeonewa na adui?

PSA 43:3 Removed trailing space in v~: Tuma hima nuru yako na kweli yako

PSA 43:3 Removed trailing space in p~: na viniongoze;

PSA 43:3 Removed trailing space in p~: vinilete mpaka mlima wako mtakatifu,

PSA 43:3 Removed trailing space in p~: mpaka mahali unapoishi.

PSA 43:4 Removed trailing space in v~: Ndipo nitakwenda madhabahuni pa Mungu,

PSA 43:4 Removed trailing space in p~: kwa Mungu, furaha yangu na shangwe yangu.

PSA 43:4 Removed trailing space in p~: Nitakusifu kwa kinubi,

PSA 43:4 Removed trailing space in p~: Ee Mungu, Mungu wangu.

PSA 43:5 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, kwa nini unasononeka?

PSA 43:5 Removed trailing space in p~: Kwa nini unafadhaika hivyo ndani yangu?

PSA 43:5 Removed trailing space in p~: Weka tumaini lako kwa Mungu,

PSA 43:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu bado nitamsifu

PSA 43:5 Removed trailing space in p~: Mwokozi wangu na Mungu wangu.

PSA 44:0 Extra space after chapter number

PSA 44:0 Removed trailing space in c: 44

PSA 44:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 44

PSA 44:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi Wa Mungu

PSA 44:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.

PSA 44:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu,

PSA 44:1 Removed trailing space in p~: baba zetu wametueleza

PSA 44:1 Removed trailing space in p~: yale uliyotenda katika siku zao,

PSA 44:1 Removed trailing space in p~: siku za kale.

PSA 44:2 Removed trailing space in v~: Kwa mkono wako uliwafukuza mataifa

PSA 44:2 Removed trailing space in p~: na ukawapanda baba zetu,

PSA 44:2 Removed trailing space in p~: uliangamiza mataifa

PSA 44:2 Removed trailing space in p~: na kuwastawisha baba zetu.

PSA 44:3 Removed trailing space in v~: Sio kwa upanga wao waliipata nchi,

PSA 44:3 Removed trailing space in p~: wala si mkono wao uliwapatia ushindi;

PSA 44:3 Removed trailing space in p~: ilikuwa ni kitanga cha mkono wako wa kuume,

PSA 44:3 Removed trailing space in p~: na nuru ya uso wako,

PSA 44:3 Removed trailing space in p~: kwa kuwa uliwapenda.

PSA 44:4 Removed trailing space in v~: Wewe ni mfalme wangu na Mungu wangu,

PSA 44:4 Removed trailing space in p~: unayeamuru ushindi kwa Yakobo.

PSA 44:5 Removed trailing space in v~: Kwa uwezo wako tunawasukuma nyuma watesi wetu;

PSA 44:5 Removed trailing space in p~: kwa jina lako tunawakanyaga adui zetu.

PSA 44:6 Removed trailing space in v~: Siutumaini upinde wangu,

PSA 44:6 Removed trailing space in p~: upanga wangu hauniletei ushindi;

PSA 44:7 Removed trailing space in v~: bali wewe unatupa ushindi juu ya adui zetu,

PSA 44:7 Removed trailing space in p~: unawaaibisha watesi wetu.

PSA 44:8 Removed trailing space in v~: Katika Mungu wetu tunajivuna mchana kutwa,

PSA 44:8 Removed trailing space in p~: nasi tutalisifu jina lako milele.

PSA 44:9 Removed trailing space in v~: Lakini sasa umetukataa na kutudhili,

PSA 44:9 Removed trailing space in p~: wala huendi tena na jeshi letu.

PSA 44:10 Removed trailing space in v~: Umetufanya turudi nyuma mbele ya adui,

PSA 44:10 Removed trailing space in p~: nao watesi wetu wametuteka nyara.

PSA 44:11 Removed trailing space in v~: Umetuacha tutafunwe kama kondoo

PSA 44:11 Removed trailing space in p~: na umetutawanya katika mataifa.

PSA 44:12 Removed trailing space in v~: Umewauza watu wako kwa fedha kidogo,

PSA 44:12 Removed trailing space in p~: wala hukupata faida yoyote kwa mauzo yao.

PSA 44:13 Removed trailing space in v~: Umetufanya lawama kwa jirani zetu,

PSA 44:13 Removed trailing space in p~: dharau na dhihaka kwa wale wanaotuzunguka.

PSA 44:14 Removed trailing space in v~: Umetufanya kuwa mithali miongoni mwa mataifa,

PSA 44:14 Removed trailing space in p~: mataifa hutikisa vichwa vyao.

PSA 44:15 Removed trailing space in v~: Fedheha yangu iko mbele yangu mchana kutwa,

PSA 44:15 Removed trailing space in p~: na uso wangu umejaa aibu tele,

PSA 44:16 Removed trailing space in v~: kwa ajili ya dhihaka ya wale wanaonilaumu na kunitukana,

PSA 44:16 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya adui, ambaye anatamani kulipiza kisasi.

PSA 44:17 Removed trailing space in v~: Hayo yote yametutokea,

PSA 44:17 Removed trailing space in p~: ingawa tulikuwa hatujakusahau

PSA 44:17 Removed trailing space in p~: wala hatujaenda kinyume na agano lako.

PSA 44:18 Removed trailing space in v~: Mioyo yetu ilikuwa haijarudi nyuma;

PSA 44:18 Removed trailing space in p~: nyayo zetu zilikuwa hazijaiacha njia yako.

PSA 44:19 Removed trailing space in v~: Lakini ulituponda na kutufanya makao ya mbweha,

PSA 44:19 Removed trailing space in p~: na ukatufunika kwa giza nene.

PSA 44:20 Removed trailing space in v~: Kama tungalikuwa tumelisahau jina la Mungu wetu

PSA 44:20 Removed trailing space in p~: au kunyooshea mikono yetu kwa mungu mgeni,

PSA 44:21 Removed trailing space in v~: je, Mungu hangaligundua hili,

PSA 44:21 Removed trailing space in p~: kwa kuwa anazijua siri za moyo?

PSA 44:22 Removed trailing space in v~: Hata hivyo kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa;

PSA 44:22 Removed trailing space in p~: tumehesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.

PSA 44:23 Removed trailing space in v~: Amka, Ee \nd Bwana\nd*! Kwa nini unalala?

PSA 44:23 Removed trailing space in p~: Zinduka! Usitukatae milele.

PSA 44:24 Removed trailing space in v~: Kwa nini unauficha uso wako

PSA 44:24 Removed trailing space in p~: na kusahau taabu na mateso yetu?

PSA 44:25 Removed trailing space in v~: Tumeshushwa hadi mavumbini,

PSA 44:25 Removed trailing space in p~: miili yetu imegandamana na ardhi.

PSA 44:26 Removed trailing space in v~: Inuka na utusaidie,

PSA 44:26 Removed trailing space in p~: utukomboe kwa sababu ya upendo wako usio na mwisho.

PSA 45:0 Extra space after chapter number

PSA 45:0 Removed trailing space in c: 45

PSA 45:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 45

PSA 45:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Arusi Ya Kifalme

PSA 45:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Yungiyungi.” Utenzi wa wana wa Kora. Wimbo wa arusi.

PSA 45:1 Removed trailing space in v~: Moyo wangu umesisimuliwa na jambo jema

PSA 45:1 Removed trailing space in p~: ninapomsimulia mfalme mabeti yangu;

PSA 45:1 Removed trailing space in p~: ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi stadi.

PSA 45:2 Removed trailing space in v~: Wewe ni bora kuliko watu wengine wote

PSA 45:2 Removed trailing space in p~: na midomo yako imepakwa neema,

PSA 45:2 Removed trailing space in p~: kwa kuwa Mungu amekubariki milele.

PSA 45:3 Removed trailing space in v~: Jifunge upanga wako pajani mwako, ee mwenye nguvu,

PSA 45:3 Removed trailing space in p~: jivike fahari na utukufu.

PSA 45:4 Removed trailing space in v~: Katika fahari yako, songa mbele kwa ushindi,

PSA 45:4 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya kweli, unyenyekevu na haki,

PSA 45:4 Removed trailing space in p~: mkono wako wa kuume na uonyeshe matendo ya kutisha.

PSA 45:5 Removed trailing space in v~: Mishale yako mikali na ichome mioyo ya adui za mfalme,

PSA 45:5 Removed trailing space in p~: mataifa na yaanguke chini ya nyayo zako.

PSA 45:6 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, kiti chako cha enzi

PSA 45:6 Removed trailing space in p~: kitadumu milele na milele,

PSA 45:6 Removed trailing space in p~: fimbo ya utawala wa haki

PSA 45:6 Removed trailing space in p~: itakuwa fimbo ya utawala wa ufalme wako.

PSA 45:7 Removed trailing space in v~: Unaipenda haki na kuchukia uovu;

PSA 45:7 Removed trailing space in p~: kwa hiyo Mungu, Mungu wako,

PSA 45:7 Removed trailing space in p~: amekuweka juu ya wenzako,

PSA 45:7 Removed trailing space in p~: kwa kukupaka mafuta ya furaha.

PSA 45:8 Removed trailing space in v~: Mavazi yako yote yana harufu nzuri

PSA 45:8 Removed trailing space in p~: ya manemane, udi na mdalasini;

PSA 45:8 Removed trailing space in p~: kutoka kwenye majumba ya kifalme

PSA 45:8 Removed trailing space in p~: yaliyopambwa kwa pembe za ndovu,

PSA 45:8 Removed trailing space in p~: sauti za vinanda vya nyuzi

PSA 45:8 Removed trailing space in p~: zinakufanya ufurahi.

PSA 45:9 Removed trailing space in v~: Binti za wafalme ni miongoni mwa wanawake wako waheshimiwa;

PSA 45:9 Removed trailing space in p~: kuume kwako yupo bibi arusi malkia aliyevaa dhahabu ya Ofiri.

PSA 45:10 Removed trailing space in v~: Sikiliza, ewe binti, fikiri na utege sikio:

PSA 45:10 Removed trailing space in p~: Sahau watu wako na nyumba ya baba yako.

PSA 45:11 Removed trailing space in v~: Mfalme ameshangazwa na uzuri wako;

PSA 45:11 Removed trailing space in p~: mheshimu, kwa kuwa yeye ni bwana wako.

PSA 45:12 Removed trailing space in v~: Binti wa Tiro atakuletea zawadi,

PSA 45:12 Removed trailing space in p~: watu wenye utajiri watatafuta upendeleo wako.

PSA 45:13 Removed trailing space in v~: Utukufu wote una binti mfalme katika chumba chake;

PSA 45:13 Removed trailing space in p~: vazi lake limefumwa kwa nyuzi za dhahabu.

PSA 45:14 Removed trailing space in v~: Anaongozwa kwa mfalme, akiwa amevalia mavazi yaliyotariziwa,

PSA 45:14 Removed trailing space in p~: mabikira wenzake wanamfuata

PSA 45:14 Removed trailing space in p~: na wanaletwa kwako.

PSA 45:15 Removed trailing space in v~: Wanaingizwa ndani kwa shangwe na furaha,

PSA 45:15 Removed trailing space in p~: na kuingia katika jumba la mfalme.

PSA 45:16 Removed trailing space in v~: Wana wenu watachukua nafasi za baba zenu,

PSA 45:16 Removed trailing space in p~: mtawafanya wakuu katika nchi yote.

PSA 45:17 Removed trailing space in v~: Nitadumisha kumbukumbu lako katika vizazi vyote,

PSA 45:17 Removed trailing space in p~: kwa hiyo mataifa watakusifu milele na milele.

PSA 46:0 Extra space after chapter number

PSA 46:0 Removed trailing space in c: 46

PSA 46:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 46

PSA 46:0 Removed trailing space in s1: Mungu Yuko Pamoja Nasi

PSA 46:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi.

PSA 46:1 Removed trailing space in v~: Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu,

PSA 46:1 Removed trailing space in p~: msaada utakaoonekana tele wakati wa mateso.

PSA 46:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hatutaogopa, hata kama dunia ikiondolewa

PSA 46:2 Removed trailing space in p~: nayo milima ikiangukia moyoni mwa bahari.

PSA 46:3 Removed trailing space in v~: Hata kama maji yake yatanguruma na kuumuka,

PSA 46:3 Removed trailing space in p~: milima nayo ikitetemeka kwa mawimbi yake.

PSA 46:4 Removed trailing space in v~: Kuna mto ambao vijito vyake vinaufurahisha mji wa Mungu,

PSA 46:4 Removed trailing space in p~: mahali patakatifu ambako Aliye Juu Sana anaishi.

PSA 46:5 Removed trailing space in v~: Mungu yuko katikati yake, hautaanguka,

PSA 46:5 Removed trailing space in p~: Mungu atausaidia asubuhi na mapema.

PSA 46:6 Removed trailing space in v~: Mataifa yanafanya ghasia, falme zinaanguka,

PSA 46:6 Removed trailing space in p~: Yeye huinua sauti yake, dunia ikayeyuka.

PSA 46:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi,

PSA 46:7 Removed trailing space in p~: Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.

PSA 46:8 Removed trailing space in v~: Njooni mkaone kazi za \nd Bwana\nd*

PSA 46:8 Removed trailing space in p~: jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.

PSA 46:9 Removed trailing space in v~: Anakomesha vita hata miisho ya dunia,

PSA 46:9 Removed trailing space in p~: anakata upinde na kuvunjavunja mkuki,

PSA 46:9 Removed trailing space in p~: anateketeza ngao kwa moto.

PSA 46:10 Removed trailing space in v~: “Tulieni, mjue ya kwamba mimi ndimi Mungu;

PSA 46:10 Removed trailing space in p~: nitatukuzwa katikati ya mataifa,

PSA 46:10 Removed trailing space in p~: nitatukuzwa katika dunia.”

PSA 46:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote yu pamoja nasi;

PSA 46:11 Removed trailing space in p~: Mungu wa Yakobo ni ngome yetu.

PSA 47:0 Extra space after chapter number

PSA 47:0 Removed trailing space in c: 47

PSA 47:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 47

PSA 47:0 Removed trailing space in s1: Mtawala Mwenye Enzi Yote

PSA 47:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.

PSA 47:1 Removed trailing space in v~: Pigeni makofi, enyi mataifa yote,

PSA 47:1 Removed trailing space in p~: mpigieni Mungu kelele za shangwe!

PSA 47:2 Removed trailing space in v~: Jinsi gani alivyo wa kutisha, \nd Bwana\nd* Aliye Juu Sana,

PSA 47:2 Removed trailing space in p~: Mfalme mkuu juu ya dunia yote!

PSA 47:3 Removed trailing space in v~: Ametiisha mataifa chini yetu

PSA 47:3 Removed trailing space in p~: watu wengi chini ya miguu yetu.

PSA 47:4 Removed trailing space in v~: Alituchagulia urithi wetu,

PSA 47:4 Removed trailing space in p~: fahari ya Yakobo, aliyempenda.

PSA 47:5 Removed trailing space in v~: Mungu amepaa kwa kelele za shangwe,

PSA 47:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* kwa sauti za tarumbeta.

PSA 47:6 Removed trailing space in v~: Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa,

PSA 47:6 Removed trailing space in p~: mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.

PSA 47:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Mungu ni mfalme wa dunia yote,

PSA 47:7 Removed trailing space in p~: mwimbieni zaburi za sifa.

PSA 47:8 Removed trailing space in v~: Mungu anatawala juu ya mataifa,

PSA 47:8 Removed trailing space in p~: Mungu ameketi juu ya kiti chake cha enzi kitakatifu.

PSA 47:9 Removed trailing space in v~: Wakuu wa mataifa wanakusanyika

PSA 47:9 Removed trailing space in p~: kama watu wa Mungu wa Abrahamu,

PSA 47:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wafalme wa dunia ni mali ya Mungu;

PSA 47:9 Removed trailing space in p~: yeye ametukuka sana.

PSA 49:0 Extra space after chapter number

PSA 49:0 Removed trailing space in c: 49

PSA 49:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 49

PSA 49:0 Removed trailing space in s1: Upumbavu Wa Kutegemea Mali

PSA 49:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.

PSA 49:1 Removed trailing space in v~: Sikieni haya, enyi mataifa yote,

PSA 49:1 Removed trailing space in p~: sikilizeni, ninyi wote mkaao dunia hii.

PSA 49:2 Removed trailing space in v~: Wakubwa kwa wadogo,

PSA 49:2 Removed trailing space in p~: matajiri na maskini pamoja:

PSA 49:3 Removed trailing space in v~: Kinywa changu kitasema maneno ya hekima,

PSA 49:3 Removed trailing space in p~: usemi wa moyo wangu utatoa ufahamu.

PSA 49:4 Removed trailing space in v~: Nitatega sikio langu nisikilize mithali,

PSA 49:4 Removed trailing space in p~: nitafafanua kitendawili kwa zeze:

PSA 49:5 Removed trailing space in v~: Kwa nini niogope siku mbaya zinapokuja,

PSA 49:5 Removed trailing space in p~: wakati wadanganyifu waovu wanaponizunguka,

PSA 49:6 Removed trailing space in v~: wale wanaotegemea mali zao

PSA 49:6 Removed trailing space in p~: na kujivunia utajiri wao mwingi?

PSA 49:7 Removed trailing space in v~: Hakuna mwanadamu awaye yote

PSA 49:7 Removed trailing space in p~: awezaye kuukomboa uhai wa mwingine,

PSA 49:7 Removed trailing space in p~: au kumpa Mungu fidia kwa ajili yake.

PSA 49:8 Removed trailing space in v~: Fidia ya uhai ni gharama kubwa,

PSA 49:8 Removed trailing space in p~: hakuna malipo yoyote yanayotosha,

PSA 49:9 Removed trailing space in v~: ili kwamba aishi milele

PSA 49:9 Removed trailing space in p~: na asione uharibifu.

PSA 49:10 Removed trailing space in v~: Wote wanaona kwamba watu wenye hekima hufa;

PSA 49:10 Removed trailing space in p~: wajinga na wapumbavu vivyo hivyo huangamia

PSA 49:10 Removed trailing space in p~: na kuwaachia wengine mali zao.

PSA 49:11 Removed trailing space in v~: Makaburi yao yatabaki kuwa nyumba zao za milele,

PSA 49:11 Removed trailing space in p~: makao yao vizazi vyote;

PSA 49:11 Removed trailing space in p~: ingawa walikuwa na mashamba

PSA 49:11 Removed trailing space in p~: na kuyaita kwa majina yao.

PSA 49:12 Removed trailing space in v~: Lakini mwanadamu, licha ya utajiri wake, hadumu;

PSA 49:12 Removed trailing space in p~: anafanana na mnyama aangamiaye.

PSA 49:13 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo hatima ya wale wanaojitumainia wenyewe,

PSA 49:13 Removed trailing space in p~: pia ya wafuasi wao, waliothibitisha misemo yao.

PSA 49:14 Removed trailing space in v~: Kama kondoo, wamewekewa kwenda kaburini,\f + \fr 49:14 \ft Kaburini hapa ina maana ya Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu.\f*

PSA 49:14 Removed trailing space in p~: nacho kifo kitawala.

PSA 49:14 Removed trailing space in p~: Wanyofu watawatawala asubuhi,

PSA 49:14 Removed trailing space in p~: maumbile yao yataozea kaburini,

PSA 49:14 Removed trailing space in p~: mbali na majumba yao makubwa ya fahari.

PSA 49:15 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu atakomboa uhai\f + \fr 49:15 \ft Au: nafsi.\f* wangu na kaburi,

PSA 49:15 Removed trailing space in p~: hakika atanichukua kwake.

PSA 49:16 Removed trailing space in v~: Usitishwe mtu anapotajirika,

PSA 49:16 Removed trailing space in p~: fahari ya nyumba yake inapoongezeka,

PSA 49:17 Removed trailing space in v~: kwa maana hatachukua chochote atakapokufa,

PSA 49:17 Removed trailing space in p~: fahari yake haitashuka pamoja naye.

PSA 49:18 Removed trailing space in v~: Ingawa alipokuwa akiishi alijihesabu kuwa heri,

PSA 49:18 Removed trailing space in p~: na wanadamu wanakusifu unapofanikiwa,

PSA 49:19 Removed trailing space in v~: atajiunga na kizazi cha baba zake,

PSA 49:19 Removed trailing space in p~: ambao hawataona kamwe nuru ya uzima.

PSA 49:20 Removed trailing space in v~: Mwanadamu mwenye utajiri bila ufahamu

PSA 49:20 Removed trailing space in p~: ni kama wanyama waangamiao.

PSA 50:0 Extra space after chapter number

PSA 50:0 Removed trailing space in c: 50

PSA 50:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 50

PSA 50:0 Removed trailing space in s1: Ibada Ya Kweli

PSA 50:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Asafu.

PSA 50:1 Removed trailing space in v~: Mwenye Nguvu, Mungu, \nd Bwana\nd*,

PSA 50:1 Removed trailing space in p~: asema na kuiita dunia,

PSA 50:1 Removed trailing space in p~: tangu mawio ya jua

PSA 50:1 Removed trailing space in p~: hadi mahali pake liendapo kutua.

PSA 50:2 Removed trailing space in v~: Kutoka Sayuni, penye uzuri mkamilifu,

PSA 50:2 Removed trailing space in p~: Mungu anaangaza.

PSA 50:3 Removed trailing space in v~: Mungu wetu anakuja na hatakaa kimya,

PSA 50:3 Removed trailing space in p~: moto uteketezao unamtangulia,

PSA 50:3 Removed trailing space in p~: akiwa amezungukwa na tufani kali.

PSA 50:4 Removed trailing space in v~: Anaziita mbingu zilizo juu,

PSA 50:4 Removed trailing space in p~: na nchi, ili aweze kuwahukumu watu wake:

PSA 50:5 Removed trailing space in v~: “Nikusanyieni watu wangu waliowekwa wakfu,

PSA 50:5 Removed trailing space in p~: waliofanya agano nami kwa dhabihu.”

PSA 50:6 Removed trailing space in v~: Nazo mbingu zinatangaza haki yake,

PSA 50:6 Removed trailing space in p~: kwa maana Mungu mwenyewe ni hakimu.

PSA 50:7 Removed trailing space in v~: “Sikieni, enyi watu wangu, nami nitasema,

PSA 50:7 Removed trailing space in p~: ee Israeli, nami nitashuhudia dhidi yenu:

PSA 50:7 Removed trailing space in p~: Mimi ndimi Mungu, Mungu wenu.

PSA 50:8 Removed trailing space in v~: Sikukemei kwa sababu ya dhabihu zako,

PSA 50:8 Removed trailing space in p~: au sadaka zako za kuteketezwa,

PSA 50:8 Removed trailing space in p~: ambazo daima ziko mbele zangu.

PSA 50:9 Removed trailing space in v~: Sina haja ya fahali wa banda lako,

PSA 50:9 Removed trailing space in p~: au mbuzi wa zizi lako.

PSA 50:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila mnyama wa msituni ni wangu,

PSA 50:10 Removed trailing space in p~: na pia makundi ya mifugo juu ya vilima elfu.

PSA 50:11 Removed trailing space in v~: Ninamjua kila ndege mlimani,

PSA 50:11 Removed trailing space in p~: nao viumbe wa kondeni ni wangu.

PSA 50:12 Removed trailing space in v~: Kama ningekuwa na njaa, nisingewaambia ninyi,

PSA 50:12 Removed trailing space in p~: kwa maana ulimwengu ni wangu,

PSA 50:12 Removed trailing space in p~: pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.

PSA 50:13 Removed trailing space in v~: Je, mimi hula nyama ya mafahali

PSA 50:13 Removed trailing space in p~: au kunywa damu ya mbuzi?

PSA 50:14 Removed trailing space in v~: Toa sadaka za shukrani kwa Mungu,

PSA 50:14 Removed trailing space in p~: timiza nadhiri zako kwake Yeye Aliye Juu Sana,

PSA 50:15 Removed trailing space in v~: na uniite siku ya taabu;

PSA 50:15 Removed trailing space in p~: nami nitakuokoa, nawe utanitukuza.”

PSA 50:16 Removed trailing space in v~: Lakini kwake mtu mwovu, Mungu asema:

PSA 50:16 Removed trailing space in p~: “Una haki gani kunena sheria zangu

PSA 50:16 Removed trailing space in p~: au kuchukua agano langu midomoni mwako?

PSA 50:17 Removed trailing space in v~: Unachukia mafundisho yangu

PSA 50:17 Removed trailing space in p~: na kuyatupa maneno yangu nyuma yako.

PSA 50:18 Removed trailing space in v~: Unapomwona mwizi, unaungana naye,

PSA 50:18 Removed trailing space in p~: unapiga kura yako pamoja na wazinzi.

PSA 50:19 Removed trailing space in v~: Unakitumia kinywa chako kwa mabaya

PSA 50:19 Removed trailing space in p~: na kuuongoza ulimi wako kwa hila.

PSA 50:20 Removed trailing space in v~: Wanena daima dhidi ya ndugu yako

PSA 50:20 Removed trailing space in p~: na kumsingizia mwana wa mama yako.

PSA 50:21 Removed trailing space in v~: Mambo haya unayafanya, nami nimekaa kimya,

PSA 50:21 Removed trailing space in p~: ukafikiri Mimi nami ni kama wewe.

PSA 50:21 Removed trailing space in p~: Lakini nitakukemea

PSA 50:21 Removed trailing space in p~: na kuweka mashtaka mbele yako.

PSA 50:22 Removed trailing space in v~: “Yatafakarini haya, ninyi mnaomsahau Mungu,

PSA 50:22 Removed trailing space in p~: ama sivyo nitawararua vipande vipande,

PSA 50:22 Removed trailing space in p~: wala hapatakuwepo na yeyote wa kuwaokoa:

PSA 50:23 Removed trailing space in v~: Atoaye dhabihu za shukrani ananiheshimu mimi,

PSA 50:23 Removed trailing space in p~: naye aiandaa njia yake

PSA 50:23 Removed trailing space in p~: ili nimwonyeshe wokovu wa Mungu.”

PSA 51:0 Extra space after chapter number

PSA 51:0 Removed trailing space in c: 51

PSA 51:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 51

PSA 51:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msamaha

PSA 51:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Baada ya kukemewa na nabii Nathani kwa kuzini na Bathsheba.

PSA 51:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, unihurumie,

PSA 51:1 Removed trailing space in p~: kwa kadiri ya upendo wako usiokoma,

PSA 51:1 Removed trailing space in p~: kwa kadiri ya huruma yako kuu,

PSA 51:1 Removed trailing space in p~: uyafute makosa yangu.

PSA 51:2 Removed trailing space in v~: Unioshe na uovu wangu wote

PSA 51:2 Removed trailing space in p~: na unitakase dhambi yangu.

PSA 51:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninajua makosa yangu,

PSA 51:3 Removed trailing space in p~: na dhambi yangu iko mbele yangu daima.

PSA 51:4 Removed trailing space in v~: Dhidi yako, wewe peke yako, nimetenda dhambi

PSA 51:4 Removed trailing space in p~: na kufanya yaliyo mabaya machoni pako,

PSA 51:4 Removed trailing space in p~: ili uthibitike kuwa wa kweli unenapo,

PSA 51:4 Removed trailing space in p~: na kuwa na haki utoapo hukumu.

PSA 51:5 Removed trailing space in v~: Hakika mimi nilizaliwa mwenye dhambi,

PSA 51:5 Removed trailing space in p~: mwenye dhambi tangu nilipotungwa mimba kwa mama yangu.

PSA 51:6 Removed trailing space in v~: Hakika wewe wapendezwa na kweli itokayo moyoni,

PSA 51:6 Removed trailing space in p~: ndani sana ya moyo wangu wanifundisha hekima.

PSA 51:7 Removed trailing space in v~: Nioshe kwa hisopo, nami nitakuwa safi,

PSA 51:7 Removed trailing space in p~: unisafishe, nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.

PSA 51:8 Removed trailing space in v~: Unipe kusikia furaha na shangwe,

PSA 51:8 Removed trailing space in p~: mifupa uliyoiponda na ifurahi.

PSA 51:9 Removed trailing space in v~: Ufiche uso wako usizitazame dhambi zangu,

PSA 51:9 Removed trailing space in p~: na uufute uovu wangu wote.

PSA 51:10 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, uniumbie moyo safi,

PSA 51:10 Removed trailing space in p~: uifanye upya roho ya uthabiti ndani yangu.

PSA 51:11 Removed trailing space in v~: Usinitupe kutoka mbele zako

PSA 51:11 Removed trailing space in p~: wala kuniondolea Roho wako Mtakatifu.

PSA 51:12 Removed trailing space in v~: Unirudishie tena furaha ya wokovu wako,

PSA 51:12 Removed trailing space in p~: unipe roho ya utii, ili initegemeze.

PSA 51:13 Removed trailing space in v~: Ndipo nitakapowafundisha wakosaji njia zako,

PSA 51:13 Removed trailing space in p~: na wenye dhambi watakugeukia wewe.

PSA 51:14 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, Mungu uniokoaye,

PSA 51:14 Removed trailing space in p~: niokoe na hatia ya kumwaga damu,

PSA 51:14 Removed trailing space in p~: nao ulimi wangu utaimba juu ya haki yako.

PSA 51:15 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, fungua midomo yangu,

PSA 51:15 Removed trailing space in p~: na kinywa changu kitatangaza sifa zako.

PSA 51:16 Removed trailing space in v~: Wewe hupendezwi na dhabihu, au ningaliileta,

PSA 51:16 Removed trailing space in p~: hufurahii sadaka za kuteketezwa.

PSA 51:17 Removed trailing space in v~: Bali dhabihu za Mungu ni roho iliyovunjika,

PSA 51:17 Removed trailing space in p~: moyo uliovunjika wenye toba,

PSA 51:17 Removed trailing space in p~: Ee Mungu, hutaudharau.

PSA 51:18 Removed trailing space in v~: Kwa wema wa radhi yako uifanye Sayuni istawi,

PSA 51:18 Removed trailing space in p~: ukazijenge upya kuta za Yerusalemu.

PSA 51:19 Removed trailing space in v~: Hapo ndipo kutakapokuwa na dhabihu za haki,

PSA 51:19 Removed trailing space in p~: sadaka nzima za kuteketezwa za kukupendeza sana,

PSA 51:19 Removed trailing space in p~: pia mafahali watatolewa

PSA 51:19 Removed trailing space in p~: madhabahuni mwako.

PSA 52:0 Extra space after chapter number

PSA 52:0 Removed trailing space in c: 52

PSA 52:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 52

PSA 52:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Ya Mungu

PSA 52:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Utenzi wa Daudi. Baada ya Doegi, Mwedomu kumwendea Sauli na kumjulisha kuwa: “Daudi amekwenda nyumbani kwa Ahimeleki.”

PSA 52:1 Removed trailing space in v~: Ewe jitu, mbona unajivunia ubaya?

PSA 52:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini unajivuna mchana kutwa,

PSA 52:1 Removed trailing space in p~: wewe ambaye ni fedheha mbele za Mungu?

PSA 52:2 Removed trailing space in v~: Ulimi wako hupanga mashauri mabaya ya maangamizi.

PSA 52:2 Removed trailing space in p~: Ni kama wembe mkali, ninyi mfanyao hila.

PSA 52:3 Removed trailing space in v~: Unapenda mabaya kuliko mema,

PSA 52:3 Removed trailing space in p~: uongo kuliko kusema kweli.

PSA 52:4 Removed trailing space in v~: Unapenda kila neno lenye kudhuru,

PSA 52:4 Removed trailing space in p~: ewe ulimi wenye hila!

PSA 52:5 Removed trailing space in v~: Hakika Mungu atakushusha chini

PSA 52:5 Removed trailing space in p~: kwa maangamizi ya milele:

PSA 52:5 Removed trailing space in p~: atakunyakua na kukuondoa kwa nguvu

PSA 52:5 Removed trailing space in p~: kutoka hema yako,

PSA 52:5 Removed trailing space in p~: atakungʼoa kutoka nchi ya walio hai.

PSA 52:6 Removed trailing space in v~: Wenye haki wataona na kuogopa,

PSA 52:6 Removed trailing space in p~: watamcheka, wakisema,

PSA 52:7 Removed trailing space in v~: “Huyu ni yule mtu ambaye

PSA 52:7 Removed trailing space in p~: hakumfanya Mungu kuwa ngome yake,

PSA 52:7 Removed trailing space in p~: bali alitumainia wingi wa utajiri wake,

PSA 52:7 Removed trailing space in p~: na akawa hodari kwa kuwaangamiza wengine!”

PSA 52:7 Removed trailing space in s1: Neema Ya Mungu

PSA 52:8 Removed trailing space in v~: Lakini mimi ni kama mti wa mzeituni

PSA 52:8 Removed trailing space in p~: unaostawi katika nyumba ya Mungu,

PSA 52:8 Removed trailing space in p~: nautegemea upendo wa Mungu usiokoma

PSA 52:8 Removed trailing space in p~: milele na milele.

PSA 52:9 Removed trailing space in v~: Nitakusifu milele kwa yale uliyoyatenda,

PSA 52:9 Removed trailing space in p~: nitatumaini jina lako, kwa kuwa jina lako ni jema.

PSA 52:9 Removed trailing space in p~: Nitakusifu mbele ya watakatifu wako.

PSA 53:0 Extra space after chapter number

PSA 53:0 Removed trailing space in c: 53

PSA 53:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 53

PSA 53:0 Removed trailing space in s1: Uovu Wa Wanadamu

PSA 53:0 Removed trailing space in r: (Zaburi 14)

PSA 53:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi.

PSA 53:1 Removed trailing space in v~: Mpumbavu anasema moyoni mwake,

PSA 53:1 Removed trailing space in p~: “Hakuna Mungu.”

PSA 53:1 Removed trailing space in p~: Wameharibika, na njia zao ni za uovu kabisa,

PSA 53:1 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja atendaye mema.

PSA 53:2 Removed trailing space in v~: Mungu anawachungulia wanadamu chini

PSA 53:2 Removed trailing space in p~: kutoka mbinguni

PSA 53:2 Removed trailing space in p~: aone kama wako wenye akili,

PSA 53:2 Removed trailing space in p~: wowote wanaomtafuta Mungu.

PSA 53:3 Removed trailing space in v~: Kila mmoja amegeukia mbali,

PSA 53:3 Removed trailing space in p~: wameharibika wote pamoja,

PSA 53:3 Removed trailing space in p~: hakuna atendaye mema.

PSA 53:3 Removed trailing space in p~: Naam, hakuna hata mmoja!

PSA 53:4 Removed trailing space in v~: Je, watendao mabaya kamwe hawatajifunza:

PSA 53:4 Removed trailing space in p~: wale ambao huwala watu wangu

PSA 53:4 Removed trailing space in p~: kama watu walavyo mkate,

PSA 53:4 Removed trailing space in p~: hao ambao hawamwiti Mungu?

PSA 53:5 Removed trailing space in v~: Hapo waliingiwa na hofu kuu,

PSA 53:5 Removed trailing space in p~: ambapo hapakuwa cha kutetemesha.

PSA 53:5 Removed trailing space in p~: Mungu alitawanya mifupa ya wale waliokushambulia;

PSA 53:5 Removed trailing space in p~: uliwaaibisha, kwa sababu Mungu aliwadharau.

PSA 53:6 Removed trailing space in v~: Laiti wokovu wa Israeli ungalikuja kutoka Sayuni!

PSA 53:6 Removed trailing space in p~: Wakati Mungu arejeshapo wafungwa wa watu wake,

PSA 53:6 Removed trailing space in p~: Yakobo na ashangilie, Israeli na afurahi!

PSA 54:0 Extra space after chapter number

PSA 54:0 Removed trailing space in c: 54

PSA 54:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 54

PSA 54:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi Wa Mungu Kutokana Na Adui

PSA 54:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?”

PSA 54:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu uniokoe kwa jina lako,

PSA 54:1 Removed trailing space in p~: unifanyie hukumu kwa uwezo wako.

PSA 54:2 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, sikia maombi yangu,

PSA 54:2 Removed trailing space in p~: usikilize maneno ya kinywa changu.

PSA 54:3 Removed trailing space in v~: Wageni wananishambulia,

PSA 54:3 Removed trailing space in p~: watu wakatili wanayatafuta maisha yangu,

PSA 54:3 Removed trailing space in p~: watu wasiomjali Mungu.

PSA 54:4 Removed trailing space in v~: Hakika Mungu ni msaada wangu,

PSA 54:4 Removed trailing space in p~: Bwana ndiye anayenitegemeza.

PSA 54:5 Removed trailing space in v~: Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia,

PSA 54:5 Removed trailing space in p~: kwa uaminifu wako uwaangamize.

PSA 54:6 Removed trailing space in v~: Nitakutolea dhabihu za hiari;

PSA 54:6 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, nitalisifu jina lako

PSA 54:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ni vyema.

PSA 54:7 Removed trailing space in v~: Kwa maana ameniokoa katika shida zangu zote,

PSA 54:7 Removed trailing space in p~: na macho yangu yamewatazama adui zangu kwa ushindi.

PSA 55:0 Extra space after chapter number

PSA 55:0 Removed trailing space in c: 55

PSA 55:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 55

PSA 55:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Aliyesalitiwa Na Rafiki

PSA 55:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Na ala za uimbaji. Utenzi wa Daudi.

PSA 55:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, sikiliza maombi yangu,

PSA 55:1 Removed trailing space in p~: wala usidharau hoja yangu.

PSA 55:2 Removed trailing space in v~: Nisikie na unijibu.

PSA 55:2 Removed trailing space in p~: Mawazo yangu yananisumbua na nimehangaishwa

PSA 55:3 Removed trailing space in v~: kwa sauti ya adui,

PSA 55:3 Removed trailing space in p~: kwa kukaziwa macho na waovu,

PSA 55:3 Removed trailing space in p~: kwa sababu wananiletea mateso juu yangu

PSA 55:3 Removed trailing space in p~: na kunitukana kwa hasira zao.

PSA 55:4 Removed trailing space in v~: Moyo wangu umejaa uchungu,

PSA 55:4 Removed trailing space in p~: hofu ya kifo imenishambulia.

PSA 55:5 Removed trailing space in v~: Woga na kutetemeka vimenizunguka,

PSA 55:5 Removed trailing space in p~: hofu kuu imenigharikisha.

PSA 55:6 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Laiti ningekuwa na mbawa za njiwa!

PSA 55:6 Removed trailing space in p~: Ningeruka niende mbali kupumzika.

PSA 55:7 Removed trailing space in v~: Ningalitorokea mbali sana

PSA 55:7 Removed trailing space in p~: na kukaa jangwani,

PSA 55:8 Removed trailing space in v~: ningaliharakisha kwenda mahali pa salama,

PSA 55:8 Removed trailing space in p~: mbali na tufani kali na dhoruba.”

PSA 55:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uwatahayarishe waovu

PSA 55:9 Removed trailing space in p~: na uwachanganyishie semi zao,

PSA 55:9 Removed trailing space in p~: maana nimeona jeuri na ugomvi mjini.

PSA 55:10 Removed trailing space in v~: Usiku na mchana wanazunguka juu ya kuta zake,

PSA 55:10 Removed trailing space in p~: uovu na dhuluma vimo ndani yake.

PSA 55:11 Removed trailing space in v~: Nguvu za uharibifu zinatenda kazi mjini,

PSA 55:11 Removed trailing space in p~: vitisho na uongo haviondoki mitaani mwake.

PSA 55:12 Removed trailing space in v~: Kama aliyenitukana ni adui yangu, ningevumilia,

PSA 55:12 Removed trailing space in p~: kama mtu mwovu angejiinua dhidi yangu,

PSA 55:12 Removed trailing space in p~: ningejificha asinione.

PSA 55:13 Removed trailing space in v~: Kumbe ni wewe, mwenzangu,

PSA 55:13 Removed trailing space in p~: mshiriki na rafiki yangu wa karibu,

PSA 55:14 Removed trailing space in v~: ambaye awali tulifurahia ushirika mzuri,

PSA 55:14 Removed trailing space in p~: tulipokuwa tukienda na umati hekaluni mwa Mungu.

PSA 55:15 Removed trailing space in v~: Kifo na kiwajie adui zangu ghafula,

PSA 55:15 Removed trailing space in p~: na washuke kuzimu wangali hai,

PSA 55:15 Removed trailing space in p~: kwa maana uovu upo ndani yao.

PSA 55:16 Removed trailing space in v~: Lakini ninamwita Mungu,

PSA 55:16 Removed trailing space in p~: naye \nd Bwana\nd* huniokoa.

PSA 55:17 Removed trailing space in v~: Jioni, asubuhi na adhuhuri

PSA 55:17 Removed trailing space in p~: ninalia kwa huzuni,

PSA 55:17 Removed trailing space in p~: naye husikia sauti yangu.

PSA 55:18 Removed trailing space in v~: Huniokoa nikawa salama katika vita

PSA 55:18 Removed trailing space in p~: vilivyopangwa dhidi yangu,

PSA 55:18 Removed trailing space in p~: ingawa watu wengi hunipinga.

PSA 55:19 Removed trailing space in v~: Mungu anayemiliki milele,

PSA 55:19 Removed trailing space in p~: atawasikia na kuwaadhibu,

PSA 55:19 Removed trailing space in p~: watu ambao hawabadilishi njia zao,

PSA 55:19 Removed trailing space in p~: wala hawana hofu ya Mungu.

PSA 55:20 Removed trailing space in v~: Mwenzangu hushambulia rafiki zake,

PSA 55:20 Removed trailing space in p~: naye huvunja agano lake.

PSA 55:21 Removed trailing space in v~: Mazungumzo yake ni laini kama siagi,

PSA 55:21 Removed trailing space in p~: hata hivyo vita vimo moyoni mwake.

PSA 55:21 Removed trailing space in p~: Maneno yake ni mororo kuliko mafuta,

PSA 55:21 Removed trailing space in p~: hata hivyo ni upanga mkali uliofutwa.

PSA 55:22 Removed trailing space in v~: Mtwike \nd Bwana\nd* fadhaa zako,

PSA 55:22 Removed trailing space in p~: naye atakutegemeza,

PSA 55:22 Removed trailing space in p~: hatamwacha kamwe mwenye haki wake aanguke.

PSA 55:23 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee Mungu,

PSA 55:23 Removed trailing space in p~: utawashusha waovu katika shimo la uharibifu.

PSA 55:23 Removed trailing space in p~: Wenye kiu ya kumwaga damu na wenye hila,

PSA 55:23 Removed trailing space in p~: hawataishi nusu ya siku zao.

PSA 55:23 Removed trailing space in p~: Lakini mimi ninakutumaini wewe.

PSA 56:0 Extra space after chapter number

PSA 56:0 Removed trailing space in c: 56

PSA 56:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 56

PSA 56:0 Removed trailing space in s1: Kumtumaini Mungu

PSA 56:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Njiwa mkimya wa mbali.” Utenzi wa Daudi. Baada ya kukamatwa na Wafilisti huko Gathi.

PSA 56:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu unihurumie, maana watu wananifuatia vikali;

PSA 56:1 Removed trailing space in p~: mchana kutwa wanazidisha mashambulizi yao.

PSA 56:2 Removed trailing space in v~: Wasingiziaji wangu wananifuatia mchana kutwa,

PSA 56:2 Removed trailing space in p~: wengi wananishambulia kwa kiburi chao.

PSA 56:3 Removed trailing space in v~: Wakati ninapoogopa,

PSA 56:3 Removed trailing space in p~: nitakutumaini wewe.

PSA 56:4 Removed trailing space in v~: Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,

PSA 56:4 Removed trailing space in p~: katika Mungu ninatumaini; sitaogopa.

PSA 56:4 Removed trailing space in p~: Mwanadamu apatikanaye na kufa,

PSA 56:4 Removed trailing space in p~: atanitenda nini?

PSA 56:5 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu,

PSA 56:5 Removed trailing space in p~: siku zote wanapanga shauri la kunidhuru.

PSA 56:6 Removed trailing space in v~: Wananifanyia hila, wanajificha,

PSA 56:6 Removed trailing space in p~: wanatazama hatua zangu,

PSA 56:6 Removed trailing space in p~: wakiwa na shauku ya kuutoa uhai wangu.

PSA 56:7 Removed trailing space in v~: Wasiepuke kwa vyovyote,

PSA 56:7 Removed trailing space in p~: Ee Mungu, katika hasira yako yaangushe mataifa.

PSA 56:8 Removed trailing space in v~: Andika maombolezo yangu,

PSA 56:8 Removed trailing space in p~: orodhesha machozi yangu katika gombo lako:

PSA 56:8 Removed trailing space in p~: je, haya hayapo katika kumbukumbu zako?

PSA 56:9 Removed trailing space in v~: Ndipo adui zangu watarudi nyuma

PSA 56:9 Removed trailing space in p~: ninapoita msaada.

PSA 56:9 Removed trailing space in p~: Kwa hili nitajua kwamba Mungu

PSA 56:9 Removed trailing space in p~: yuko upande wangu.

PSA 56:10 Removed trailing space in v~: Katika Mungu, ambaye neno lake ninalisifu,

PSA 56:10 Removed trailing space in p~: katika \nd Bwana\nd*, ambaye neno lake ninalisifu,

PSA 56:11 Removed trailing space in v~: katika Mungu ninatumaini, sitaogopa.

PSA 56:11 Removed trailing space in p~: Mwanadamu anaweza kunitenda nini?

PSA 56:12 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, nina nadhiri kwako,

PSA 56:12 Removed trailing space in p~: nitakutolea wewe sadaka zangu za shukrani.

PSA 56:13 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa umeniokoa toka kwenye mauti

PSA 56:13 Removed trailing space in p~: na miguu yangu kwenye kujikwaa,

PSA 56:13 Removed trailing space in p~: ili niweze kuenenda mbele za Mungu

PSA 56:13 Removed trailing space in p~: katika nuru ya uzima.

PSA 57:0 Extra space after chapter number

PSA 57:0 Removed trailing space in c: 57

PSA 57:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 57

PSA 57:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 57:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni.

PSA 57:1 Removed trailing space in v~: Unihurumie, Ee Mungu, unihurumie,

PSA 57:1 Removed trailing space in p~: kwa maana nafsi yangu inakukimbilia.

PSA 57:1 Removed trailing space in p~: Chini ya uvuli wa mbawa zako nitakimbilia

PSA 57:1 Removed trailing space in p~: mpaka maafa yapite.

PSA 57:2 Removed trailing space in v~: Namlilia Mungu Aliye Juu Sana,

PSA 57:2 Removed trailing space in p~: Mungu atimizaye makusudi yake kwangu.

PSA 57:3 Removed trailing space in v~: Hutumana kutoka mbinguni na kuniokoa,

PSA 57:3 Removed trailing space in p~: akiwakemea wale wanaonifuatilia vikali;

PSA 57:3 Removed trailing space in p~: Mungu huutuma upendo wake na uaminifu wake.

PSA 57:4 Removed trailing space in v~: Niko katikati ya simba,

PSA 57:4 Removed trailing space in p~: nimelala katikati ya wanyama wenye njaa kuu:

PSA 57:4 Removed trailing space in p~: watu ambao meno yao ni mikuki na mishale,

PSA 57:4 Removed trailing space in p~: ambao ndimi zao ni panga kali.

PSA 57:5 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,

PSA 57:5 Removed trailing space in p~: utukufu wako na uenee duniani kote.

PSA 57:6 Removed trailing space in v~: Waliitegea miguu yangu nyavu,

PSA 57:6 Removed trailing space in p~: nikainamishwa chini na dhiki.

PSA 57:6 Removed trailing space in p~: Wamechimba shimo katika njia yangu,

PSA 57:6 Removed trailing space in p~: lakini wametumbukia humo wao wenyewe.

PSA 57:7 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;

PSA 57:7 Removed trailing space in p~: nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.

PSA 57:8 Removed trailing space in v~: Amka, nafsi yangu!

PSA 57:8 Removed trailing space in p~: Amka, kinubi na zeze!

PSA 57:8 Removed trailing space in p~: Nitayaamsha mapambazuko.

PSA 57:9 Removed trailing space in v~: Nitakusifu wewe, Ee \nd Bwana\nd*, katikati ya mataifa;

PSA 57:9 Removed trailing space in p~: nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.

PSA 57:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana upendo wako ni mkuu, waenea hadi mbinguni,

PSA 57:10 Removed trailing space in p~: uaminifu wako unazifikia anga.

PSA 57:11 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, utukuzwe juu mbinguni,

PSA 57:11 Removed trailing space in p~: utukufu wako na uwe duniani pote.

PSA 58:0 Extra space after chapter number

PSA 58:0 Removed trailing space in c: 58

PSA 58:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 58

PSA 58:0 Removed trailing space in s1: Mungu Kuwaadhibu Waovu

PSA 58:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi.

PSA 58:1 Removed trailing space in v~: Enyi watawala, je, kweli mwanena kwa haki?

PSA 58:1 Removed trailing space in p~: Je, mnahukumu kwa unyofu miongoni mwa watu?

PSA 58:2 Removed trailing space in v~: La, mioyoni mwenu mnatunga udhalimu,

PSA 58:2 Removed trailing space in p~: na mikono yenu hupima jeuri duniani.

PSA 58:3 Removed trailing space in v~: Waovu ni wapotovu tangu kuzaliwa kwao,

PSA 58:3 Removed trailing space in p~: toka tumboni mwa mama zao

PSA 58:3 Removed trailing space in p~: ni wakaidi na husema uongo.

PSA 58:4 Removed trailing space in v~: Sumu yao ni kama sumu ya nyoka,

PSA 58:4 Removed trailing space in p~: kama ile ya fira ambaye ameziba masikio yake,

PSA 58:5 Removed trailing space in v~: ambaye hatasikia sauti ya kutumbuiza ya mwaguzi,

PSA 58:5 Removed trailing space in p~: hata kama mganga angecheza kwa ustadi kiasi gani.

PSA 58:6 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, yavunje meno katika vinywa vyao;

PSA 58:6 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, vunja meno makali ya hao simba!

PSA 58:7 Removed trailing space in v~: Na watoweke kama maji yapitayo kwa kasi,

PSA 58:7 Removed trailing space in p~: wavutapo pinde zao, mishale yao na iwe butu.

PSA 58:8 Removed trailing space in v~: Kama konokono ayeyukavyo akitembea,

PSA 58:8 Removed trailing space in p~: kama mtoto aliyezaliwa akiwa mfu,

PSA 58:8 Removed trailing space in p~: wasilione jua.

PSA 58:9 Removed trailing space in v~: Kabla vyungu vyenu havijapata moto wa kuni za miiba,

PSA 58:9 Removed trailing space in p~: zikiwa mbichi au kavu,

PSA 58:9 Removed trailing space in p~: waovu watakuwa

PSA 58:9 Removed trailing space in p~: wamefagiliwa mbali.

PSA 58:10 Removed trailing space in v~: Wenye haki watafurahi waonapo wakilipizwa kisasi,

PSA 58:10 Removed trailing space in p~: watakapochovya nyayo zao katika damu ya waovu.

PSA 58:11 Removed trailing space in v~: Ndipo wanadamu watasema,

PSA 58:11 Removed trailing space in p~: “Hakika utulivu wa wenye haki bado una thawabu,

PSA 58:11 Removed trailing space in p~: hakika kuna Mungu ahukumuye dunia.”

PSA 59:0 Extra space after chapter number

PSA 59:0 Removed trailing space in c: 59

PSA 59:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 59

PSA 59:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi Wa Mungu

PSA 59:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue.

PSA 59:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, uniokoe na adui zangu,

PSA 59:1 Removed trailing space in p~: unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.

PSA 59:2 Removed trailing space in v~: Uniponye na watu watendao mabaya,

PSA 59:2 Removed trailing space in p~: uniokoe kutokana na wamwagao damu.

PSA 59:3 Removed trailing space in v~: Tazama wanavyonivizia!

PSA 59:3 Removed trailing space in p~: Watu wakali wananifanyia hila,

PSA 59:3 Removed trailing space in p~: ingawa Ee \nd Bwana\nd*, mimi sijakosea

PSA 59:3 Removed trailing space in p~: wala kutenda dhambi.

PSA 59:4 Removed trailing space in v~: Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia.

PSA 59:4 Removed trailing space in p~: Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!

PSA 59:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli!

PSA 59:5 Removed trailing space in p~: Zinduka uyaadhibu mataifa yote,

PSA 59:5 Removed trailing space in p~: usionyeshe huruma kwa wasaliti.

PSA 59:6 Removed trailing space in v~: Hurudi wakati wa jioni,

PSA 59:6 Removed trailing space in p~: wakibweka kama mbwa,

PSA 59:6 Removed trailing space in p~: wakiuzurura mji.

PSA 59:7 Removed trailing space in v~: Tazama yale wanayotema kutoka vinywa vyao,

PSA 59:7 Removed trailing space in p~: hutema upanga kutoka midomo yao,

PSA 59:7 Removed trailing space in p~: nao husema, “Ni nani atakayetusikia?”

PSA 59:8 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, \nd Bwana\nd*, uwacheke;

PSA 59:8 Removed trailing space in p~: unayadharau mataifa hayo yote.

PSA 59:9 Removed trailing space in v~: Ee nguvu yangu, ninakutazama wewe,

PSA 59:9 Removed trailing space in p~: wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,

PSA 59:10 Removed trailing space in v~: Mungu wangu unipendaye.

PSA 59:10 Removed trailing space in p~: Mungu atanitangulia,

PSA 59:10 Removed trailing space in p~: naye atanifanya niwachekelee

PSA 59:10 Removed trailing space in p~: wale wanaonisingizia.

PSA 59:11 Removed trailing space in v~: Lakini usiwaue, Ee \nd Bwana\nd*, ngao yetu,

PSA 59:11 Removed trailing space in p~: au sivyo watu wangu watasahau.

PSA 59:11 Removed trailing space in p~: Katika uwezo wako wafanye watangetange

PSA 59:11 Removed trailing space in p~: na uwashushe chini.

PSA 59:12 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya dhambi za vinywa vyao,

PSA 59:12 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya maneno ya midomo yao,

PSA 59:12 Removed trailing space in p~: waache wanaswe katika kiburi chao.

PSA 59:12 Removed trailing space in p~: Kwa ajili ya laana na uongo wanaotamka,

PSA 59:13 Removed trailing space in v~: wateketeze katika ghadhabu,

PSA 59:13 Removed trailing space in p~: wateketeze hadi wasiwepo tena.

PSA 59:13 Removed trailing space in p~: Ndipo itakapofahamika katika miisho ya dunia

PSA 59:13 Removed trailing space in p~: kwamba Mungu anatawala juu ya Yakobo.

PSA 59:14 Removed trailing space in v~: Hurudi jioni,

PSA 59:14 Removed trailing space in p~: wakibweka kama mbwa,

PSA 59:14 Removed trailing space in p~: wakiuzurura mji.

PSA 59:15 Removed trailing space in v~: Wanatangatanga wakitafuta chakula,

PSA 59:15 Removed trailing space in p~: wasipotosheka hubweka kama mbwa.

PSA 59:16 Removed trailing space in v~: Lakini mimi nitaziimba nguvu zako,

PSA 59:16 Removed trailing space in p~: asubuhi nitaimba juu ya upendo wako;

PSA 59:16 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe ndiwe ngome yangu

PSA 59:16 Removed trailing space in p~: na kimbilio langu wakati wa shida.

PSA 59:17 Removed trailing space in v~: Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa.

PSA 59:17 Removed trailing space in p~: Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu,

PSA 59:17 Removed trailing space in p~: Mungu unipendaye.

PSA 60:0 Extra space after chapter number

PSA 60:0 Removed trailing space in c: 60

PSA 60:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 60

PSA 60:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Kuokolewa

PSA 60:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi.

PSA 60:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, umetukataa na kutokea ghafula juu yetu,

PSA 60:1 Removed trailing space in p~: umekasirika: sasa turejeshe upya!

PSA 60:2 Removed trailing space in v~: Umetetemesha nchi na kuipasua;

PSA 60:2 Removed trailing space in p~: uiponye mavunjiko yake, kwa maana inatetemeka.

PSA 60:3 Removed trailing space in v~: Umewaonyesha watu wako nyakati za kukata tamaa;

PSA 60:3 Removed trailing space in p~: umetunywesha mvinyo unaotuyumbisha.

PSA 60:4 Removed trailing space in v~: Kwa wale wanaokucha wewe,

PSA 60:4 Removed trailing space in p~: umewainulia bendera,

PSA 60:4 Removed trailing space in p~: ili iweze kutwekwa dhidi ya upinde.

PSA 60:5 Removed trailing space in v~: Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,

PSA 60:5 Removed trailing space in p~: ili wale uwapendao wapate kuokolewa.

PSA 60:6 Removed trailing space in v~: Mungu amenena kutoka patakatifu pake:

PSA 60:6 Removed trailing space in p~: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi

PSA 60:6 Removed trailing space in p~: na kulipima Bonde la Sukothi.

PSA 60:7 Removed trailing space in v~: Gileadi ni yangu na Manase ni yangu;

PSA 60:7 Removed trailing space in p~: Efraimu ni kofia yangu ya chuma,

PSA 60:7 Removed trailing space in p~: nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.

PSA 60:8 Removed trailing space in v~: Moabu ni sinia langu la kunawia,

PSA 60:8 Removed trailing space in p~: juu ya Edomu natupa kiatu changu;

PSA 60:8 Removed trailing space in p~: nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”

PSA 60:9 Removed trailing space in v~: Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?

PSA 60:9 Removed trailing space in p~: Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?

PSA 60:10 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,

PSA 60:10 Removed trailing space in p~: na hutoki tena na majeshi yetu?

PSA 60:11 Removed trailing space in v~: Tuletee msaada dhidi ya adui,

PSA 60:11 Removed trailing space in p~: kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.

PSA 60:12 Removed trailing space in v~: Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,

PSA 60:12 Removed trailing space in p~: naye atawaponda adui zetu.

PSA 61:0 Extra space after chapter number

PSA 61:0 Removed trailing space in c: 61

PSA 61:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 61

PSA 61:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi

PSA 61:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 61:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, sikia kilio changu,

PSA 61:1 Removed trailing space in p~: usikilize maombi yangu.

PSA 61:2 Removed trailing space in v~: Kutoka miisho ya dunia ninakuita,

PSA 61:2 Removed trailing space in p~: ninaita huku moyo wangu unadhoofika;

PSA 61:2 Removed trailing space in p~: uniongoze kwenye mwamba

PSA 61:2 Removed trailing space in p~: ule ulio juu kuliko mimi.

PSA 61:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa umekuwa kimbilio langu,

PSA 61:3 Removed trailing space in p~: ngome imara dhidi ya adui.

PSA 61:4 Removed trailing space in v~: Natamani kukaa hemani mwako milele,

PSA 61:4 Removed trailing space in p~: na kukimbilia chini ya uvuli wa mbawa zako.

PSA 61:5 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu,

PSA 61:5 Removed trailing space in p~: umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.

PSA 61:6 Removed trailing space in v~: Mwongezee mfalme siku za maisha yake,

PSA 61:6 Removed trailing space in p~: miaka yake kwa vizazi vingi.

PSA 61:7 Removed trailing space in v~: Yeye na atawazwe kwenye kiti cha enzi mbele za Mungu milele;

PSA 61:7 Removed trailing space in p~: amuru upendo wako na uaminifu wako vimlinde.

PSA 61:8 Removed trailing space in v~: Ndipo daima nitaliimbia sifa jina lako

PSA 61:8 Removed trailing space in p~: na kuzitimiza nadhiri zangu siku baada ya siku.

PSA 62:0 Extra space after chapter number

PSA 62:0 Removed trailing space in c: 62

PSA 62:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 62

PSA 62:0 Removed trailing space in s1: Mungu Kimbilio La Pekee

PSA 62:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.

PSA 62:1 Removed trailing space in v~: Kwa Mungu peke yake nafsi yangu inapata pumziko;

PSA 62:1 Removed trailing space in p~: wokovu wangu watoka kwake.

PSA 62:2 Removed trailing space in v~: Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;

PSA 62:2 Removed trailing space in p~: yeye ni ngome yangu, sitatikisika kamwe.

PSA 62:3 Removed trailing space in v~: Mtamshambulia mtu hata lini?

PSA 62:3 Removed trailing space in p~: Je, ninyi nyote mtamtupa chini,

PSA 62:3 Removed trailing space in p~: ukuta huu ulioinama na uzio huu unaotikisika?

PSA 62:4 Removed trailing space in v~: Walikusudia kikamilifu kumwangusha

PSA 62:4 Removed trailing space in p~: toka mahali pake pa fahari;

PSA 62:4 Removed trailing space in p~: wanafurahia uongo.

PSA 62:4 Removed trailing space in p~: Kwa vinywa vyao hubariki,

PSA 62:4 Removed trailing space in p~: lakini ndani ya mioyo yao hulaani.

PSA 62:5 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake,

PSA 62:5 Removed trailing space in p~: tumaini langu latoka kwake.

PSA 62:6 Removed trailing space in v~: Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu;

PSA 62:6 Removed trailing space in p~: ndiye ngome yangu, sitatikisika.

PSA 62:7 Removed trailing space in v~: Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu,

PSA 62:7 Removed trailing space in p~: ndiye mwamba wangu wenye nguvu

PSA 62:7 Removed trailing space in p~: na kimbilio langu.

PSA 62:8 Removed trailing space in v~: Enyi watu, mtumainini yeye wakati wote,

PSA 62:8 Removed trailing space in p~: miminieni mioyo yenu kwake,

PSA 62:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa Mungu ni kimbilio letu.

PSA 62:9 Removed trailing space in v~: Binadamu wa ngazi ya chini ni pumzi tu,

PSA 62:9 Removed trailing space in p~: nao wa ngazi ya juu ni uongo tu;

PSA 62:9 Removed trailing space in p~: wakipimwa kwenye mizani, si chochote;

PSA 62:9 Removed trailing space in p~: wote kwa pamoja ni pumzi tu.

PSA 62:10 Removed trailing space in v~: Usitumainie vya udhalimu

PSA 62:10 Removed trailing space in p~: wala usijivune kwa vitu vya wizi;

PSA 62:10 Removed trailing space in p~: ingawa utajiri wako utaongezeka,

PSA 62:10 Removed trailing space in p~: usiviwekee moyo wako.

PSA 62:11 Removed trailing space in v~: Jambo moja Mungu amelisema,

PSA 62:11 Removed trailing space in p~: mambo mawili nimeyasikia:

PSA 62:11 Removed trailing space in p~: kwamba, Ee Mungu,

PSA 62:11 Removed trailing space in p~: wewe una nguvu,

PSA 62:12 Removed trailing space in v~: na kwamba, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 62:12 Removed trailing space in p~: wewe ni mwenye upendo.

PSA 62:12 Removed trailing space in p~: Hakika utampa kila mtu thawabu

PSA 62:12 Removed trailing space in p~: kwa kadiri ya alivyotenda.

PSA 63:0 Extra space after chapter number

PSA 63:0 Removed trailing space in c: 63

PSA 63:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 63

PSA 63:0 Removed trailing space in s1: Shauku Kwa Ajili Ya Uwepo Wa Mungu

PSA 63:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda.

PSA 63:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu,

PSA 63:1 Removed trailing space in p~: nakutafuta kwa moyo wote;

PSA 63:1 Removed trailing space in p~: nafsi yangu inakuonea kiu,

PSA 63:1 Removed trailing space in p~: mwili wangu unakuonea wewe shauku,

PSA 63:1 Removed trailing space in p~: katika nchi kame na iliyochoka

PSA 63:1 Removed trailing space in p~: mahali ambapo hapana maji.

PSA 63:2 Removed trailing space in v~: Nimekuona katika mahali patakatifu

PSA 63:2 Removed trailing space in p~: na kuuona uwezo wako na utukufu wako.

PSA 63:3 Removed trailing space in v~: Kwa sababu upendo wako ni bora kuliko uhai,

PSA 63:3 Removed trailing space in p~: midomo yangu itakuadhimisha.

PSA 63:4 Removed trailing space in v~: Nitakusifu siku zote za maisha yangu,

PSA 63:4 Removed trailing space in p~: na kwa jina lako nitainua mikono yangu.

PSA 63:5 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu itatoshelezwa

PSA 63:5 Removed trailing space in p~: kama kwa wingi wa vyakula;

PSA 63:5 Removed trailing space in p~: kwa midomo iimbayo

PSA 63:5 Removed trailing space in p~: kinywa changu kitakusifu wewe.

PSA 63:6 Removed trailing space in v~: Kitandani mwangu ninakukumbuka wewe,

PSA 63:6 Removed trailing space in p~: ninawaza juu yako makesha yote ya usiku.

PSA 63:7 Removed trailing space in v~: Kwa sababu wewe ndiwe msaada wangu,

PSA 63:7 Removed trailing space in p~: chini ya uvuli wa mbawa zako naimba.

PSA 63:8 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu inaambatana nawe,

PSA 63:8 Removed trailing space in p~: mkono wako wa kuume hunishika.

PSA 63:9 Removed trailing space in v~: Wale wanaotafuta uhai wangu wataharibiwa,

PSA 63:9 Removed trailing space in p~: watakwenda chini kwenye vilindi vya dunia.

PSA 63:10 Removed trailing space in v~: Watatolewa wafe kwa upanga,

PSA 63:10 Removed trailing space in p~: nao watakuwa chakula cha mbweha.

PSA 63:11 Removed trailing space in v~: Bali mfalme atafurahi katika Mungu,

PSA 63:11 Removed trailing space in p~: wale wote waapao kwa jina la Mungu watamsifu,

PSA 63:11 Removed trailing space in p~: bali vinywa vya waongo vitanyamazishwa.

PSA 64:0 Extra space after chapter number

PSA 64:0 Removed trailing space in c: 64

PSA 64:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 64

PSA 64:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi Dhidi Ya Maadui

PSA 64:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 64:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, unisikie ninapoeleza lalamiko langu,

PSA 64:1 Removed trailing space in p~: uyahifadhi maisha yangu kutokana na vitisho vya adui.

PSA 64:2 Removed trailing space in v~: Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu,

PSA 64:2 Removed trailing space in p~: kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.

PSA 64:3 Removed trailing space in v~: Wananoa ndimi zao kama panga

PSA 64:3 Removed trailing space in p~: na kuelekeza maneno yao kama mishale ya kufisha.

PSA 64:4 Removed trailing space in v~: Hurusha mishale kutoka kwenye mavizio kwa mtu asiye na hatia,

PSA 64:4 Removed trailing space in p~: humrushia ghafula bila woga.

PSA 64:5 Removed trailing space in v~: Kila mmoja humtia moyo mwenzake

PSA 64:5 Removed trailing space in p~: katika mipango mibaya;

PSA 64:5 Removed trailing space in p~: huzungumza juu ya kuficha mitego yao,

PSA 64:5 Removed trailing space in p~: nao husema, “Ni nani ataiona?”

PSA 64:6 Removed trailing space in v~: Hufanya shauri baya la dhuluma na kusema,

PSA 64:6 Removed trailing space in p~: “Tumebuni mpango mkamilifu!”

PSA 64:6 Removed trailing space in p~: Hakika nia na moyo wa mwanadamu vina hila.

PSA 64:7 Removed trailing space in v~: Bali Mungu atawapiga kwa mishale,

PSA 64:7 Removed trailing space in p~: nao ghafula wataangushwa.

PSA 64:8 Removed trailing space in v~: Atageuza ndimi zao wenyewe dhidi yao

PSA 64:8 Removed trailing space in p~: na kuwaleta kwenye maangamizi;

PSA 64:8 Removed trailing space in p~: wote wawaonao watatikisa vichwa vyao

PSA 64:8 Removed trailing space in p~: kwa dharau.

PSA 64:9 Removed trailing space in v~: Wanadamu wote wataogopa,

PSA 64:9 Removed trailing space in p~: watatangaza kazi za Mungu

PSA 64:9 Removed trailing space in p~: na kutafakari yale aliyoyatenda.

PSA 64:10 Removed trailing space in v~: Wenye haki na wafurahi katika \nd Bwana\nd*,

PSA 64:10 Removed trailing space in p~: na wakimbilie kwake;

PSA 64:10 Removed trailing space in p~: wanyofu wote wa moyo na wamsifu yeye!

PSA 65:0 Extra space after chapter number

PSA 65:0 Removed trailing space in c: 65

PSA 65:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 65

PSA 65:0 Removed trailing space in s1: Kusifu Na Kushukuru

PSA 65:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.

PSA 65:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, sifa zakungojea katika Sayuni;

PSA 65:1 Removed trailing space in p~: kwako wewe nadhiri zetu zitatimizwa.

PSA 65:2 Removed trailing space in v~: Ewe usikiaye maombi,

PSA 65:2 Removed trailing space in p~: kwako wewe watu wote watakuja.

PSA 65:3 Removed trailing space in v~: Tulipokuwa tumefunikwa kabisa na dhambi,

PSA 65:3 Removed trailing space in p~: wewe ulisamehe makosa yetu.

PSA 65:4 Removed trailing space in v~: Heri wale uliowachagua

PSA 65:4 Removed trailing space in p~: na kuwaleta karibu ili waishi katika nyua zako!

PSA 65:4 Removed trailing space in p~: Tunashibishwa kwa mema ya nyumba yako,

PSA 65:4 Removed trailing space in p~: mema ya Hekalu lako takatifu.

PSA 65:5 Removed trailing space in v~: Unatujibu kwa matendo ya kushangaza ya haki,

PSA 65:5 Removed trailing space in p~: Ee Mungu Mwokozi wetu,

PSA 65:5 Removed trailing space in p~: tumaini la miisho yote ya duniani

PSA 65:5 Removed trailing space in p~: na la bahari zilizo mbali sana,

PSA 65:6 Removed trailing space in v~: uliyeumba milima kwa uwezo wako,

PSA 65:6 Removed trailing space in p~: ukiwa umejivika nguvu,

PSA 65:7 Removed trailing space in v~: uliyenyamazisha dhoruba za bahari,

PSA 65:7 Removed trailing space in p~: ngurumo za mawimbi yake,

PSA 65:7 Removed trailing space in p~: na ghasia za mataifa.

PSA 65:8 Removed trailing space in v~: Wale wanaoishi mbali sana

PSA 65:8 Removed trailing space in p~: wanaogopa maajabu yako,

PSA 65:8 Removed trailing space in p~: kule asubuhi ipambazukiapo

PSA 65:8 Removed trailing space in p~: na kule jioni inakofifilia

PSA 65:8 Removed trailing space in p~: umeziita nyimbo za furaha.

PSA 65:9 Removed trailing space in v~: Waitunza nchi na kuinyeshea,

PSA 65:9 Removed trailing space in p~: waitajirisha kwa wingi.

PSA 65:9 Removed trailing space in p~: Vijito vya Mungu vimejaa maji

PSA 65:9 Removed trailing space in p~: ili kuwapa watu nafaka,

PSA 65:9 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe umeviamuru.

PSA 65:10 Removed trailing space in v~: Umeilowesha mifereji yake

PSA 65:10 Removed trailing space in p~: na kusawazisha kingo zake;

PSA 65:10 Removed trailing space in p~: umeilainisha kwa manyunyu

PSA 65:10 Removed trailing space in p~: na kuibariki mimea yake.

PSA 65:11 Removed trailing space in v~: Umeuvika mwaka taji ya baraka,

PSA 65:11 Removed trailing space in p~: magari yako yanafurika kwa wingi.

PSA 65:12 Removed trailing space in v~: Mbuga za majani za jangwani umezineemesha;

PSA 65:12 Removed trailing space in p~: vilima vimevikwa furaha.

PSA 65:13 Removed trailing space in v~: Penye nyanda za malisho pamejaa makundi ya wanyama,

PSA 65:13 Removed trailing space in p~: na mabonde yamepambwa kwa mavuno;

PSA 65:13 Removed trailing space in p~: vyote vinashangilia kwa furaha na kuimba.

PSA 66:0 Extra space after chapter number

PSA 66:0 Removed trailing space in c: 66

PSA 66:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 66

PSA 66:0 Removed trailing space in s1: Kusifu Mungu Kwa Ajili Ya Wema Wake

PSA 66:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi.

PSA 66:1 Removed trailing space in v~: Mpigieni Mungu kelele za shangwe, dunia yote!

PSA 66:2 Removed trailing space in v~: Imbeni utukufu wa jina lake;

PSA 66:2 Removed trailing space in p~: mpeni sifa zake kwa utukufu!

PSA 66:3 Removed trailing space in v~: Mwambieni Mungu, “Jinsi gani yalivyo ya kutisha matendo yako!

PSA 66:3 Removed trailing space in p~: Uwezo wako ni mkuu mno kiasi kwamba

PSA 66:3 Removed trailing space in p~: adui wananyenyekea mbele zako.

PSA 66:4 Removed trailing space in v~: Dunia yote yakusujudia,

PSA 66:4 Removed trailing space in p~: wanakuimbia wewe sifa,

PSA 66:4 Removed trailing space in p~: wanaliimbia sifa jina lako.”

PSA 66:5 Removed trailing space in v~: Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda,

PSA 66:5 Removed trailing space in p~: mambo ya kutisha aliyoyatenda

PSA 66:5 Removed trailing space in p~: miongoni mwa wanadamu!

PSA 66:6 Removed trailing space in v~: Alifanya bahari kuwa nchi kavu,

PSA 66:6 Removed trailing space in p~: wakapita kati ya maji kwa miguu,

PSA 66:6 Removed trailing space in p~: njooni, tumshangilie.

PSA 66:7 Removed trailing space in v~: Yeye hutawala kwa uwezo wake milele,

PSA 66:7 Removed trailing space in p~: macho yake huangalia mataifa yote:

PSA 66:7 Removed trailing space in p~: waasi wasithubutu kujiinua dhidi yake.

PSA 66:8 Removed trailing space in v~: Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu,

PSA 66:8 Removed trailing space in p~: sauti ya sifa yake isikike,

PSA 66:9 Removed trailing space in v~: ameyahifadhi maisha yetu

PSA 66:9 Removed trailing space in p~: na kuizuia miguu yetu kuteleza.

PSA 66:10 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, wewe ulitujaribu,

PSA 66:10 Removed trailing space in p~: ukatusafisha kama fedha.

PSA 66:11 Removed trailing space in v~: Umetuingiza kwenye nyavu

PSA 66:11 Removed trailing space in p~: na umetubebesha mizigo mizito

PSA 66:11 Removed trailing space in p~: migongoni mwetu.

PSA 66:12 Removed trailing space in v~: Uliwaruhusu watu watukalie vichwani,

PSA 66:12 Removed trailing space in p~: tulipita kwenye moto na kwenye maji,

PSA 66:12 Removed trailing space in p~: lakini ulituleta kwenye nchi

PSA 66:12 Removed trailing space in p~: iliyojaa utajiri tele.

PSA 66:13 Removed trailing space in v~: Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa

PSA 66:13 Removed trailing space in p~: na kukutimizia nadhiri zangu:

PSA 66:14 Removed trailing space in v~: nadhiri ambazo midomo yangu iliahidi

PSA 66:14 Removed trailing space in p~: na nilizotamka kwa kinywa changu

PSA 66:14 Removed trailing space in p~: nilipokuwa katika shida.

PSA 66:15 Removed trailing space in v~: Nitakutolea dhabihu za wanyama wanono

PSA 66:15 Removed trailing space in p~: na sadaka za kondoo dume,

PSA 66:15 Removed trailing space in p~: nitakutolea mafahali na mbuzi.

PSA 66:16 Removed trailing space in v~: Njooni msikilize ninyi nyote mnaomcha Mungu,

PSA 66:16 Removed trailing space in p~: nami niwaambie aliyonitendea.

PSA 66:17 Removed trailing space in v~: Nilimlilia kwa kinywa changu,

PSA 66:17 Removed trailing space in p~: sifa zake zilikuwa katika ulimi wangu.

PSA 66:18 Removed trailing space in v~: Kama ningekuwa nimeyaficha maovu moyoni mwangu,

PSA 66:18 Removed trailing space in p~: Bwana asingekuwa amenisikiliza;

PSA 66:19 Removed trailing space in v~: lakini hakika Mungu amenisikiliza

PSA 66:19 Removed trailing space in p~: na amesikia sauti yangu katika maombi.

PSA 66:20 Removed trailing space in v~: Sifa apewe Mungu,

PSA 66:20 Removed trailing space in p~: ambaye hakulikataa ombi langu

PSA 66:20 Removed trailing space in p~: wala kunizuilia upendo wake!

PSA 67:0 Extra space after chapter number

PSA 67:0 Removed trailing space in c: 67

PSA 67:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 67

PSA 67:0 Removed trailing space in s1: Mataifa Yahimizwa Kumsifu Mungu

PSA 67:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo.

PSA 67:1 Removed trailing space in v~: Mungu aturehemu na kutubariki,

PSA 67:1 Removed trailing space in p~: na kutuangazia nuru za uso wake,

PSA 67:2 Removed trailing space in v~: ili njia zako zijulikane duniani,

PSA 67:2 Removed trailing space in p~: wokovu wako katikati ya mataifa yote.

PSA 67:3 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, mataifa na wakusifu,

PSA 67:3 Removed trailing space in p~: mataifa yote na wakusifu.

PSA 67:4 Removed trailing space in v~: Mataifa yote wafurahi na kuimba kwa shangwe,

PSA 67:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa unatawala watu kwa haki

PSA 67:4 Removed trailing space in p~: na kuongoza mataifa ya dunia.

PSA 67:5 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, mataifa na wakusifu,

PSA 67:5 Removed trailing space in p~: mataifa yote na wakusifu.

PSA 67:6 Removed trailing space in v~: Ndipo nchi itatoa mazao yake,

PSA 67:6 Removed trailing space in p~: naye Mungu, Mungu wetu, atatubariki.

PSA 67:7 Removed trailing space in v~: Mungu atatubariki

PSA 67:7 Removed trailing space in p~: na miisho yote ya dunia itamcha yeye.

PSA 68:0 Extra space after chapter number

PSA 68:0 Removed trailing space in c: 68

PSA 68:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 68

PSA 68:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Taifa Wa Shangwe Kwa Ushindi

PSA 68:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.

PSA 68:1 Removed trailing space in v~: Mungu na ainuke, watesi wake watawanyike,

PSA 68:1 Removed trailing space in p~: adui zake na wakimbie mbele zake.

PSA 68:2 Removed trailing space in v~: Kama vile moshi upeperushwavyo na upepo,

PSA 68:2 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo uwapeperushe mbali,

PSA 68:2 Removed trailing space in p~: kama vile nta iyeyukavyo kwenye moto,

PSA 68:2 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo waovu na waangamie mbele za Mungu.

PSA 68:3 Removed trailing space in v~: Bali wenye haki na wafurahi,

PSA 68:3 Removed trailing space in p~: washangilie mbele za Mungu,

PSA 68:3 Removed trailing space in p~: wafurahi na kushangilia.

PSA 68:4 Removed trailing space in v~: Mwimbieni Mungu, liimbieni sifa jina lake,

PSA 68:4 Removed trailing space in p~: mtukuzeni yeye aendeshwaye juu ya mawingu:

PSA 68:4 Removed trailing space in p~: jina lake ni \nd Bwana\nd*,

PSA 68:4 Removed trailing space in p~: furahini mbele zake.

PSA 68:5 Removed trailing space in v~: Baba wa yatima, mtetezi wa wajane,

PSA 68:5 Removed trailing space in p~: ni Mungu katika makao yake matakatifu.

PSA 68:6 Removed trailing space in v~: Mungu huwaweka wapweke katika jamaa,

PSA 68:6 Removed trailing space in p~: huwaongoza wafungwa wakiimba,

PSA 68:6 Removed trailing space in p~: bali waasi huishi katika nchi kame.

PSA 68:7 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, ulipowatangulia watu wako,

PSA 68:7 Removed trailing space in p~: ulipopita nyikani,

PSA 68:8 Removed trailing space in v~: dunia ilitikisika,

PSA 68:8 Removed trailing space in p~: mbingu zikanyesha mvua,

PSA 68:8 Removed trailing space in p~: mbele za Mungu, Yule wa Sinai,

PSA 68:8 Removed trailing space in p~: mbele za Mungu, Mungu wa Israeli.

PSA 68:9 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, ulinyesha mvua nyingi

PSA 68:9 Removed trailing space in p~: na kuiburudisha ardhi iliyokuwa imechoka.

PSA 68:10 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, watu wako waliishi huko,

PSA 68:10 Removed trailing space in p~: nawe kwa wingi wa utajiri wako

PSA 68:10 Removed trailing space in p~: uliwapa maskini mahitaji yao.

PSA 68:11 Removed trailing space in v~: Bwana alitangaza neno,

PSA 68:11 Removed trailing space in p~: waliolitangaza neno hilo walikuwa kundi kubwa:

PSA 68:12 Removed trailing space in v~: “Wafalme na majeshi walikimbia upesi,

PSA 68:12 Removed trailing space in p~: watu waliobaki kambini waligawana nyara.

PSA 68:13 Removed trailing space in v~: Hata ulalapo katikati ya mioto ya kambini,

PSA 68:13 Removed trailing space in p~: mabawa ya njiwa wangu yamefunikwa kwa fedha,

PSA 68:13 Removed trailing space in p~: manyoya yake kwa dhahabu ingʼaayo.”

PSA 68:14 Removed trailing space in v~: Wakati Mwenyezi\f + \fr 68:14 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.\f* alipowatawanya wafalme katika nchi,

PSA 68:14 Removed trailing space in p~: ilikuwa kama theluji iliyoanguka juu ya Salmoni.

PSA 68:15 Removed trailing space in v~: Milima ya Bashani ni milima iliyotukuka,

PSA 68:15 Removed trailing space in p~: milima ya Bashani ina vilele vilivyochongoka.

PSA 68:16 Removed trailing space in v~: Enyi milima yenye vilele vilivyochongoka,

PSA 68:16 Removed trailing space in p~: kwa nini mnakazia macho kwa wivu,

PSA 68:16 Removed trailing space in p~: katika mlima Mungu anaochagua kutawala,

PSA 68:16 Removed trailing space in p~: ambako \nd Bwana\nd* mwenyewe ataishi milele?

PSA 68:17 Removed trailing space in v~: Magari ya Mungu ni makumi ya maelfu,

PSA 68:17 Removed trailing space in p~: na maelfu ya maelfu;

PSA 68:17 Removed trailing space in p~: Bwana amekuja kutoka Sinai

PSA 68:17 Removed trailing space in p~: hadi katika patakatifu pake.

PSA 68:18 Removed trailing space in v~: Ulipopanda juu, uliteka mateka,

PSA 68:18 Removed trailing space in p~: ukapokea vipawa kutoka kwa wanadamu,

PSA 68:18 Removed trailing space in p~: hata kutoka kwa wale walioasi,

PSA 68:18 Removed trailing space in p~: ili wewe, Ee \nd Bwana\nd* Mungu, upate kuishi huko.

PSA 68:19 Removed trailing space in v~: Sifa apewe Bwana, Mungu Mwokozi wetu,

PSA 68:19 Removed trailing space in p~: ambaye siku kwa siku hutuchukulia mizigo yetu.

PSA 68:20 Removed trailing space in v~: Mungu wetu ni Mungu aokoaye,

PSA 68:20 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi hutuokoa na kifo.

PSA 68:21 Removed trailing space in v~: Hakika Mungu ataponda vichwa vya adui zake,

PSA 68:21 Removed trailing space in p~: vichwa vya hao waendao katika njia za dhambi.

PSA 68:22 Removed trailing space in v~: Bwana alisema, “Nitawarudisha kutoka Bashani;

PSA 68:22 Removed trailing space in p~: nitawarudisha kutoka vilindi vya bahari,

PSA 68:23 Removed trailing space in v~: ili uweze kuchovya miguu yako katika damu ya adui zako,

PSA 68:23 Removed trailing space in p~: huku ndimi za mbwa wako zikiwa na fungu lake.”

PSA 68:24 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, maandamano yako yameonekana,

PSA 68:24 Removed trailing space in p~: maandamano ya Mungu wangu, Mfalme wangu,

PSA 68:24 Removed trailing space in p~: yakielekea patakatifu pake.

PSA 68:25 Removed trailing space in v~: Mbele wako waimbaji, baada yao wapiga vinanda,

PSA 68:25 Removed trailing space in p~: pamoja nao wako wanawali wakipiga matari.

PSA 68:26 Removed trailing space in v~: Msifuni Mungu katika kusanyiko kubwa,

PSA 68:26 Removed trailing space in p~: msifuni \nd Bwana\nd* katika kusanyiko la Israeli.

PSA 68:27 Removed trailing space in v~: Liko kabila dogo la Benyamini likiwaongoza,

PSA 68:27 Removed trailing space in p~: wakifuatwa na kundi kubwa la watawala wa Yuda,

PSA 68:27 Removed trailing space in p~: hatimaye watawala wa Zabuloni na Naftali.

PSA 68:28 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, amuru uwezo wako,

PSA 68:28 Removed trailing space in p~: Ee Mungu tuonyeshe nguvu zako,

PSA 68:28 Removed trailing space in p~: kama ulivyofanya hapo awali.

PSA 68:29 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya Hekalu lako Yerusalemu

PSA 68:29 Removed trailing space in p~: wafalme watakuletea zawadi.

PSA 68:30 Removed trailing space in v~: Mkemee mnyama aliyeko kwenye manyasi,

PSA 68:30 Removed trailing space in p~: kundi la mafahali katikati ya ndama za mataifa.

PSA 68:30 Removed trailing space in p~: Na walete minara ya madini ya fedha wakinyenyekea.

PSA 68:30 Removed trailing space in p~: Tawanya mataifa yapendayo vita.

PSA 68:31 Removed trailing space in v~: Wajumbe watakuja kutoka Misri,

PSA 68:31 Removed trailing space in p~: Kushi\f + \fr 68:31 \ft Kushi hapa ina maana maeneo ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.\f* atajisalimisha kwa Mungu.

PSA 68:32 Removed trailing space in v~: Mwimbieni Mungu, enyi falme za dunia,

PSA 68:32 Removed trailing space in p~: mwimbieni Bwana sifa,

PSA 68:33 Removed trailing space in v~: mwimbieni sifa yeye apandaye mbingu za kale zilizo juu,

PSA 68:33 Removed trailing space in p~: yeye angurumaye kwa sauti kuu.

PSA 68:34 Removed trailing space in v~: Tangazeni uwezo wa Mungu,

PSA 68:34 Removed trailing space in p~: ambaye fahari yake iko juu ya Israeli,

PSA 68:34 Removed trailing space in p~: ambaye uwezo wake uko katika anga.

PSA 68:35 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, wewe unatisha katika mahali patakatifu pako,

PSA 68:35 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli huwapa watu wake uwezo na nguvu.

PSA 68:35 Removed trailing space in p~: Mungu Asifiwe!

PSA 69:0 Extra space after chapter number

PSA 69:0 Removed trailing space in c: 69

PSA 69:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 69

PSA 69:0 Removed trailing space in s1: Kilio Cha Kuomba Msaada Wakati Wa Dhiki

PSA 69:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi.” Zaburi ya Daudi.

PSA 69:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, niokoe,

PSA 69:1 Removed trailing space in p~: kwa maana maji yamenifika shingoni.

PSA 69:2 Removed trailing space in v~: Ninazama kwenye vilindi vya matope,

PSA 69:2 Removed trailing space in p~: pasipo mahali pa kukanyaga,

PSA 69:2 Removed trailing space in p~: Nimefika kwenye maji makuu,

PSA 69:2 Removed trailing space in p~: mafuriko yamenigharikisha.

PSA 69:3 Removed trailing space in v~: Nimechoka kwa kuomba msaada,

PSA 69:3 Removed trailing space in p~: koo langu limekauka.

PSA 69:3 Removed trailing space in p~: Macho yangu yanafifia,

PSA 69:3 Removed trailing space in p~: nikimtafuta Mungu wangu.

PSA 69:4 Removed trailing space in v~: Wale wanaonichukia bila sababu

PSA 69:4 Removed trailing space in p~: ni wengi kuliko nywele za kichwa changu;

PSA 69:4 Removed trailing space in p~: wengi ni adui kwangu bila sababu,

PSA 69:4 Removed trailing space in p~: wale wanaotafuta kuniangamiza.

PSA 69:4 Removed trailing space in p~: Ninalazimishwa kurudisha

PSA 69:4 Removed trailing space in p~: kitu ambacho sikuiba.

PSA 69:5 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, wewe unajua upumbavu wangu,

PSA 69:5 Removed trailing space in p~: wala hatia yangu haikufichika kwako.

PSA 69:6 Removed trailing space in v~: Ee Bwana, ewe \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

PSA 69:6 Removed trailing space in p~: wakutumainio wasiaibishwe

PSA 69:6 Removed trailing space in p~: kwa ajili yangu;

PSA 69:6 Removed trailing space in p~: wakutafutao wasifedheheshwe kwa ajili yangu,

PSA 69:6 Removed trailing space in p~: Ee Mungu wa Israeli.

PSA 69:7 Removed trailing space in v~: Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako,

PSA 69:7 Removed trailing space in p~: aibu imefunika uso wangu.

PSA 69:8 Removed trailing space in v~: Nimekuwa mgeni kwa ndugu zangu,

PSA 69:8 Removed trailing space in p~: mgeni kwa wana wa mama yangu mwenyewe.

PSA 69:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wivu wa nyumba yako unanila,

PSA 69:9 Removed trailing space in p~: matukano ya wale wanaokutukana yameniangukia.

PSA 69:10 Removed trailing space in v~: Ninapolia na kufunga,

PSA 69:10 Removed trailing space in p~: lazima nivumilie matusi.

PSA 69:11 Removed trailing space in v~: Ninapovaa nguo ya gunia,

PSA 69:11 Removed trailing space in p~: watu hunidharau.

PSA 69:12 Removed trailing space in v~: Wale wanaoketi mlangoni wananisimanga,

PSA 69:12 Removed trailing space in p~: nimekuwa wimbo wa walevi.

PSA 69:13 Removed trailing space in v~: Lakini Ee \nd Bwana\nd*, ninakuomba,

PSA 69:13 Removed trailing space in p~: kwa wakati ukupendezao;

PSA 69:13 Removed trailing space in p~: katika upendo wako mkuu, Ee Mungu,

PSA 69:13 Removed trailing space in p~: unijibu kwa wokovu wako wa hakika.

PSA 69:14 Removed trailing space in v~: Uniokoe katika matope,

PSA 69:14 Removed trailing space in p~: usiniache nizame;

PSA 69:14 Removed trailing space in p~: niokoe na hao wanichukiao,

PSA 69:14 Removed trailing space in p~: kutoka kwenye vilindi vya maji.

PSA 69:15 Removed trailing space in v~: Usiache mafuriko yanigharikishe

PSA 69:15 Removed trailing space in p~: au vilindi vinimeze,

PSA 69:15 Removed trailing space in p~: au shimo lifumbe kinywa chake juu yangu.

PSA 69:16 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, unijibu, kwa wema wa upendo wako;

PSA 69:16 Removed trailing space in p~: kwa huruma zako nyingi unigeukie.

PSA 69:17 Removed trailing space in v~: Usimfiche mtumishi wako uso wako,

PSA 69:17 Removed trailing space in p~: uharakishe kunijibu, kwa sababu niko katika shida.

PSA 69:18 Removed trailing space in v~: Njoo karibu uniokoe,

PSA 69:18 Removed trailing space in p~: nikomboe kwa sababu ya adui zangu.

PSA 69:19 Removed trailing space in v~: Unajua jinsi ninavyodharauliwa,

PSA 69:19 Removed trailing space in p~: kufedheheshwa na kuaibishwa,

PSA 69:19 Removed trailing space in p~: adui zangu wote unawajua.

PSA 69:20 Removed trailing space in v~: Dharau zimenivunja moyo

PSA 69:20 Removed trailing space in p~: na nimekata tamaa,

PSA 69:20 Removed trailing space in p~: nimetafuta wa kunihurumia, lakini sikumpata,

PSA 69:20 Removed trailing space in p~: wa kunituliza, lakini sikumpata.

PSA 69:21 Removed trailing space in v~: Waliweka nyongo katika chakula changu

PSA 69:21 Removed trailing space in p~: na walinipa siki nilipokuwa na kiu.

PSA 69:22 Removed trailing space in v~: Meza iliyoandaliwa mbele yao na iwe mtego,

PSA 69:22 Removed trailing space in p~: nayo iwe upatilizo na tanzi.

PSA 69:23 Removed trailing space in v~: Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,

PSA 69:23 Removed trailing space in p~: nayo migongo yao iinamishwe daima.

PSA 69:24 Removed trailing space in v~: Uwamwagie ghadhabu yako,

PSA 69:24 Removed trailing space in p~: hasira yako kali na iwapate.

PSA 69:25 Removed trailing space in v~: Mahali pao na pawe ukiwa,

PSA 69:25 Removed trailing space in p~: wala asiwepo yeyote atakayeishi katika mahema yao.

PSA 69:26 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi,

PSA 69:26 Removed trailing space in p~: na kuzungumza juu ya maumivu ya wale uliowaumiza.

PSA 69:27 Removed trailing space in v~: Walipize uovu juu ya uovu,

PSA 69:27 Removed trailing space in p~: usiwaache washiriki katika wokovu wako.

PSA 69:28 Removed trailing space in v~: Wafutwe kutoka kitabu cha uzima

PSA 69:28 Removed trailing space in p~: na wasiorodheshwe pamoja na wenye haki.

PSA 69:29 Removed trailing space in v~: Mimi niko katika maumivu na dhiki;

PSA 69:29 Removed trailing space in p~: Ee Mungu, wokovu wako na unihifadhi.

PSA 69:30 Removed trailing space in v~: Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo,

PSA 69:30 Removed trailing space in p~: nami nitamtukuza kwa kumtolea shukrani.

PSA 69:31 Removed trailing space in v~: Hili litampendeza \nd Bwana\nd* kuliko ngʼombe dume,

PSA 69:31 Removed trailing space in p~: zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake.

PSA 69:32 Removed trailing space in v~: Maskini wataona na kufurahi:

PSA 69:32 Removed trailing space in p~: ninyi mnaomtafuta Mungu, mioyo yenu na iishi!

PSA 69:33 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwasikia wahitaji

PSA 69:33 Removed trailing space in p~: wala hadharau watu wake waliotekwa.

PSA 69:34 Removed trailing space in v~: Mbingu na dunia zimsifu,

PSA 69:34 Removed trailing space in p~: bahari na vyote viendavyo ndani yake,

PSA 69:35 Removed trailing space in v~: kwa maana Mungu ataiokoa Sayuni

PSA 69:35 Removed trailing space in p~: na kuijenga tena miji ya Yuda.

PSA 69:35 Removed trailing space in p~: Kisha watu watafanya makao yao humo na kuimiliki,

PSA 69:36 Removed trailing space in v~: watoto wa watumishi wake watairithi

PSA 69:36 Removed trailing space in p~: na wale wote walipendao jina lake

PSA 69:36 Removed trailing space in p~: wataishi humo.

PSA 70:0 Extra space after chapter number

PSA 70:0 Removed trailing space in c: 70

PSA 70:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 70

PSA 70:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 70:0 Removed trailing space in r: (Zaburi 40:13-17)

PSA 70:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Maombi.

PSA 70:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, ufanye haraka kuniokoa;

PSA 70:1 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, njoo hima unisaidie.

PSA 70:2 Removed trailing space in v~: Wale wanaotafuta kuuondoa uhai wangu,

PSA 70:2 Removed trailing space in p~: waaibishwe na kufadhaishwa;

PSA 70:2 Removed trailing space in p~: wote wanaotamani kuangamizwa kwangu,

PSA 70:2 Removed trailing space in p~: warudishwe nyuma kwa aibu.

PSA 70:3 Removed trailing space in v~: Wale waniambiao, “Aha! Aha!”

PSA 70:3 Removed trailing space in p~: warudi nyuma kwa sababu ya aibu yao.

PSA 70:4 Removed trailing space in v~: Lakini wote wakutafutao

PSA 70:4 Removed trailing space in p~: washangilie na kukufurahia,

PSA 70:4 Removed trailing space in p~: wale wapendao wokovu wako siku zote waseme,

PSA 70:4 Removed trailing space in p~: “Mungu na atukuzwe!”

PSA 70:5 Removed trailing space in v~: Lakini bado mimi ni maskini na mhitaji;

PSA 70:5 Removed trailing space in p~: Ee Mungu, unijie haraka.

PSA 70:5 Removed trailing space in p~: Wewe ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu;

PSA 70:5 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, usikawie.

PSA 71:0 Extra space after chapter number

PSA 71:0 Removed trailing space in c: 71

PSA 71:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 71

PSA 71:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi Na Msaada Siku Zote Za Maisha

PSA 71:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nimekukimbilia wewe,

PSA 71:1 Removed trailing space in p~: usiache nikaaibika kamwe.

PSA 71:2 Removed trailing space in v~: Kwa haki yako uniponye na kuniokoa,

PSA 71:2 Removed trailing space in p~: unitegee sikio lako uniokoe.

PSA 71:3 Removed trailing space in v~: Uwe kwangu mwamba wa kimbilio,

PSA 71:3 Removed trailing space in p~: mahali nitakapokimbilia kila wakati;

PSA 71:3 Removed trailing space in p~: toa amri ya kuniokoa, kwa kuwa wewe

PSA 71:3 Removed trailing space in p~: ni mwamba wangu na ngome yangu.

PSA 71:4 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu uniokoe kutoka kwenye mkono wa mwovu,

PSA 71:4 Removed trailing space in p~: kutoka kwenye makucha ya watu wabaya na wakatili.

PSA 71:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa umekuwa tumaini langu, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi,

PSA 71:5 Removed trailing space in p~: tegemeo langu tangu ujana wangu.

PSA 71:6 Removed trailing space in v~: Tangu kuzaliwa nimekutegemea wewe,

PSA 71:6 Removed trailing space in p~: ulinitoa tumboni mwa mama yangu.

PSA 71:6 Removed trailing space in p~: Nitakusifu wewe daima.

PSA 71:7 Removed trailing space in v~: Nimekuwa kama kioja kwa wengi,

PSA 71:7 Removed trailing space in p~: lakini wewe ni kimbilio langu imara.

PSA 71:8 Removed trailing space in v~: Kinywa changu kimejazwa sifa zako,

PSA 71:8 Removed trailing space in p~: nikitangaza utukufu wako mchana kutwa.

PSA 71:9 Removed trailing space in v~: Usinitupe wakati wa uzee,

PSA 71:9 Removed trailing space in p~: wala usiniache nguvu zangu zinapopungua.

PSA 71:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana adui zangu wananisengenya,

PSA 71:10 Removed trailing space in p~: wale wanaonivizia kuniua wafanya hila.

PSA 71:11 Removed trailing space in v~: Wanasema, “Mungu amemwacha,

PSA 71:11 Removed trailing space in p~: mkimbilieni mkamkamate,

PSA 71:11 Removed trailing space in p~: kwani hakuna wa kumwokoa.”

PSA 71:12 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, usiwe mbali nami,

PSA 71:12 Removed trailing space in p~: njoo haraka kunisaidia, Ee Mungu wangu.

PSA 71:13 Removed trailing space in v~: Washtaki wangu na waangamie kwa aibu,

PSA 71:13 Removed trailing space in p~: wale wanaotaka kunidhuru

PSA 71:13 Removed trailing space in p~: na wafunikwe kwa dharau na fedheha.

PSA 71:14 Removed trailing space in v~: Lakini mimi, nitatumaini siku zote,

PSA 71:14 Removed trailing space in p~: nitakusifu zaidi na zaidi.

PSA 71:15 Removed trailing space in v~: Kinywa changu kitasimulia haki yako,

PSA 71:15 Removed trailing space in p~: wokovu wako mchana kutwa,

PSA 71:15 Removed trailing space in p~: ingawa sifahamu kipimo chake.

PSA 71:16 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nitakuja

PSA 71:16 Removed trailing space in p~: na kutangaza matendo yako makuu,

PSA 71:16 Removed trailing space in p~: nitatangaza haki yako, yako peke yako.

PSA 71:17 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, umenifundisha tangu ujana wangu,

PSA 71:17 Removed trailing space in p~: hadi leo ninatangaza matendo yako ya ajabu.

PSA 71:18 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, usiniache,

PSA 71:18 Removed trailing space in p~: hata niwapo mzee wa mvi,

PSA 71:18 Removed trailing space in p~: mpaka nitangaze uwezo wako kwa kizazi kijacho,

PSA 71:18 Removed trailing space in p~: nguvu zako kwa wote watakaokuja baadaye.

PSA 71:19 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, haki yako imefika juu katika mbingu,

PSA 71:19 Removed trailing space in p~: wewe ambaye umefanya mambo makuu.

PSA 71:19 Removed trailing space in p~: Ee Mungu, ni nani aliye kama wewe?

PSA 71:20 Removed trailing space in v~: Ingawa umenifanya nipate taabu, nyingi na chungu,

PSA 71:20 Removed trailing space in p~: utanihuisha tena,

PSA 71:20 Removed trailing space in p~: kutoka vilindi vya dunia

PSA 71:20 Removed trailing space in p~: utaniinua tena.

PSA 71:21 Removed trailing space in v~: Utaongeza heshima yangu

PSA 71:21 Removed trailing space in p~: na kunifariji tena.

PSA 71:22 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu, nitakusifu kwa kinubi

PSA 71:22 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya uaminifu wako;

PSA 71:22 Removed trailing space in p~: Ee Uliye Mtakatifu wa Israeli,

PSA 71:22 Removed trailing space in p~: nitakuimbia sifa kwa zeze.

PSA 71:23 Removed trailing space in v~: Midomo yangu itapaza sauti kwa furaha

PSA 71:23 Removed trailing space in p~: ninapokuimbia sifa,

PSA 71:23 Removed trailing space in p~: mimi, ambaye umenikomboa.

PSA 71:24 Removed trailing space in v~: Ulimi wangu utasimulia matendo yako ya haki

PSA 71:24 Removed trailing space in p~: mchana kutwa,

PSA 71:24 Removed trailing space in p~: kwa maana wale waliotaka kunidhuru,

PSA 71:24 Removed trailing space in p~: wameaibishwa na kufadhaishwa.

PSA 72:0 Extra space after chapter number

PSA 72:0 Removed trailing space in c: 72

PSA 72:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 72

PSA 72:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Mfalme

PSA 72:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Solomoni.

PSA 72:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, mjalie mfalme aamue kwa haki yako,

PSA 72:1 Removed trailing space in p~: mwana wa mfalme kwa haki yako.

PSA 72:2 Removed trailing space in v~: Atawaamua watu wako kwa haki,

PSA 72:2 Removed trailing space in p~: watu wako walioonewa kwa haki.

PSA 72:3 Removed trailing space in v~: Milima italeta mafanikio kwa watu,

PSA 72:3 Removed trailing space in p~: vilima tunda la haki.

PSA 72:4 Removed trailing space in v~: Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu

PSA 72:4 Removed trailing space in p~: na atawaokoa watoto wa wahitaji,

PSA 72:4 Removed trailing space in p~: ataponda mdhalimu.

PSA 72:5 Removed trailing space in v~: Atadumu kama jua lidumuvyo, kama mwezi, vizazi vyote.

PSA 72:6 Removed trailing space in v~: Atakuwa kama mvua inyeshayo juu ya shamba lililofyekwa,

PSA 72:6 Removed trailing space in p~: kama manyunyu yanyeshayo ardhi.

PSA 72:7 Removed trailing space in v~: Katika siku zake wenye haki watastawi;

PSA 72:7 Removed trailing space in p~: mafanikio yatakuwepo mpaka mwezi utakapokoma.

PSA 72:8 Removed trailing space in v~: Atatawala kutoka bahari hadi bahari

PSA 72:8 Removed trailing space in p~: na kutoka Mto\f + \fr 72:8 \ft Yaani Mto Frati.\f* mpaka miisho ya dunia.

PSA 72:9 Removed trailing space in v~: Makabila ya jangwani watamsujudia,

PSA 72:9 Removed trailing space in p~: na adui zake wataramba mavumbi.

PSA 72:10 Removed trailing space in v~: Wafalme wa Tarshishi na wa pwani za mbali

PSA 72:10 Removed trailing space in p~: watamletea kodi;

PSA 72:10 Removed trailing space in p~: wafalme wa Sheba na Seba

PSA 72:10 Removed trailing space in p~: watampa zawadi.

PSA 72:11 Removed trailing space in v~: Wafalme wote watamsujudia

PSA 72:11 Removed trailing space in p~: na mataifa yote yatamtumikia.

PSA 72:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia,

PSA 72:12 Removed trailing space in p~: aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.

PSA 72:13 Removed trailing space in v~: Atawahurumia wanyonge na wahitaji

PSA 72:13 Removed trailing space in p~: na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.

PSA 72:14 Removed trailing space in v~: Atawaokoa kutoka uonevu na ukatili,

PSA 72:14 Removed trailing space in p~: kwani damu yao ni ya thamani machoni pake.

PSA 72:15 Removed trailing space in v~: Aishi maisha marefu!

PSA 72:15 Removed trailing space in p~: Na apewe dhahabu ya Sheba.

PSA 72:15 Removed trailing space in p~: Watu wamwombee daima

PSA 72:15 Removed trailing space in p~: na kumbariki mchana kutwa.

PSA 72:16 Removed trailing space in v~: Nafaka ijae tele katika nchi yote,

PSA 72:16 Removed trailing space in p~: juu ya vilele vya vilima na istawi.

PSA 72:16 Removed trailing space in p~: Tunda lake na listawi kama Lebanoni,

PSA 72:16 Removed trailing space in p~: listawi kama majani ya kondeni.

PSA 72:17 Removed trailing space in v~: Jina lake na lidumu milele,

PSA 72:17 Removed trailing space in p~: na lidumu kama jua.

PSA 72:17 Removed trailing space in p~: Mataifa yote yatabarikiwa kupitia kwake,

PSA 72:17 Removed trailing space in p~: nao watamwita aliyebarikiwa.

PSA 72:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu, Mungu wa Israeli, apewe sifa,

PSA 72:18 Removed trailing space in p~: yeye ambaye peke yake hutenda mambo ya ajabu.

PSA 72:19 Removed trailing space in v~: Jina lake tukufu lisifiwe milele,

PSA 72:19 Removed trailing space in p~: ulimwengu wote ujae utukufu wake.

PSA 72:19 Removed trailing space in qc: Amen na Amen.

PSA 72:20 Removed trailing space in v~: Huu ndio mwisho wa maombi ya Daudi mwana wa Yese.

PSA 73:0 Extra space after chapter number

PSA 73:0 Removed trailing space in c: 73

PSA 73:0 Removed trailing space in ms1: KITABU CHA TATU

PSA 73:0 Removed trailing space in mr: (Zaburi 73–89)

PSA 73:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 73

PSA 73:0 Removed trailing space in s1: Haki Ya Mungu

PSA 73:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Asafu.

PSA 73:1 Removed trailing space in v~: Hakika Mungu ni mwema kwa Israeli,

PSA 73:1 Removed trailing space in p~: kwa wale ambao mioyo yao ni safi.

PSA 73:2 Removed trailing space in v~: Bali kwangu mimi, miguu yangu ilikuwa karibu kuteleza;

PSA 73:2 Removed trailing space in p~: nilikuwa karibu mguu wangu kuachia uliposimama.

PSA 73:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana niliwaonea wivu wenye kujivuna

PSA 73:3 Removed trailing space in p~: nilipoona kufanikiwa kwa waovu.

PSA 73:4 Removed trailing space in v~: Wao hawana taabu,\f + \fr 73:4 \ft Tafsiri nyingine zinasema: hawana maumivu katika kufa kwao.\f*

PSA 73:4 Removed trailing space in p~: miili yao ina afya na nguvu.

PSA 73:5 Removed trailing space in v~: Hawapati shida zinazowataabisha watu wengine,

PSA 73:5 Removed trailing space in p~: wala hawapati mapigo kama wanadamu wengine.

PSA 73:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kiburi ni mkufu wao,

PSA 73:6 Removed trailing space in p~: wamejivika jeuri.

PSA 73:7 Removed trailing space in v~: Uovu hutoka katika mioyo yao iliyokufa ganzi,

PSA 73:7 Removed trailing space in p~: majivuno maovu kutoka mioyoni mwao hauna kikomo.

PSA 73:8 Removed trailing space in v~: Hudhihaki na kusema kwa ukorofi,

PSA 73:8 Removed trailing space in p~: katika majivuno yao wanatishia kutesa.

PSA 73:9 Removed trailing space in v~: Vinywa vyao huweka madai hata kwa mbingu,

PSA 73:9 Removed trailing space in p~: nazo ndimi zao humiliki duniani.

PSA 73:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wao huwageukia

PSA 73:10 Removed trailing space in p~: na kunywa maji tele.\f + \fr 73:10 \ft Au: na kupokea yote wasemayo.\f*

PSA 73:11 Removed trailing space in v~: Wanasema, “Mungu awezaje kujua?

PSA 73:11 Removed trailing space in p~: Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”

PSA 73:12 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo walivyo waovu:

PSA 73:12 Removed trailing space in p~: siku zote hawajali,

PSA 73:12 Removed trailing space in p~: wanaongezeka katika utajiri.

PSA 73:13 Removed trailing space in v~: Hakika nimeuweka moyo wangu safi bure,

PSA 73:13 Removed trailing space in p~: ni bure nimenawa mikono yangu nisiwe na hatia.

PSA 73:14 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa nimetaabika,

PSA 73:14 Removed trailing space in p~: nimeadhibiwa kila asubuhi.

PSA 73:15 Removed trailing space in v~: Kama ningesema, “Nitasema hivi,”

PSA 73:15 Removed trailing space in p~: ningelikuwa nimewasaliti watoto wako.

PSA 73:16 Removed trailing space in v~: Nilipojaribu kuelewa haya yote,

PSA 73:16 Removed trailing space in p~: yalikuwa magumu kwangu kuelewa.

PSA 73:17 Removed trailing space in v~: Mpaka nilipoingia patakatifu pa Mungu,

PSA 73:17 Removed trailing space in p~: ndipo nilipotambua mwisho wao.

PSA 73:18 Removed trailing space in v~: Hakika unawaweka mahali pa utelezi,

PSA 73:18 Removed trailing space in p~: unawaangusha chini kwa uharibifu.

PSA 73:19 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi wanavyoangamizwa ghafula,

PSA 73:19 Removed trailing space in p~: wanatoweshwa kabisa na vitisho!

PSA 73:20 Removed trailing space in v~: Kama ndoto mtu aamkapo,

PSA 73:20 Removed trailing space in p~: hivyo wakati uinukapo, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 73:20 Removed trailing space in p~: utawatowesha kama ndoto.

PSA 73:21 Removed trailing space in v~: Wakati moyo wangu ulipohuzunishwa,

PSA 73:21 Removed trailing space in p~: na roho yangu ilipotiwa uchungu,

PSA 73:22 Removed trailing space in v~: nilikuwa mpumbavu na mjinga,

PSA 73:22 Removed trailing space in p~: nilikuwa mnyama mkatili mbele yako.

PSA 73:23 Removed trailing space in v~: Hata hivyo niko pamoja nawe siku zote,

PSA 73:23 Removed trailing space in p~: umenishika mkono wangu wa kuume.

PSA 73:24 Removed trailing space in v~: Unaniongoza kwa shauri lako,

PSA 73:24 Removed trailing space in p~: hatimaye utaniingiza katika utukufu.

PSA 73:25 Removed trailing space in v~: Nani niliye naye mbinguni ila wewe?

PSA 73:25 Removed trailing space in p~: Dunia haina chochote ninachokitamani ila wewe.

PSA 73:26 Removed trailing space in v~: Mwili na moyo wangu vyaweza kushindwa,

PSA 73:26 Removed trailing space in p~: bali Mungu ni nguvu ya moyo wangu

PSA 73:26 Removed trailing space in p~: na fungu langu milele.

PSA 73:27 Removed trailing space in v~: Wale walio mbali nawe wataangamia,

PSA 73:27 Removed trailing space in p~: unawaangamiza wote wasio waaminifu kwako.

PSA 73:28 Removed trailing space in v~: Lakini kwangu mimi,

PSA 73:28 Removed trailing space in p~: ni vyema kuwa karibu na Mungu.

PSA 73:28 Removed trailing space in p~: Nimemfanya \nd Bwana\nd* Mwenyezi kimbilio langu;

PSA 73:28 Removed trailing space in p~: nami nitayasimulia matendo yako yote.

PSA 74:0 Extra space after chapter number

PSA 74:0 Removed trailing space in c: 74

PSA 74:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 74

PSA 74:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Taifa Kuokolewa

PSA 74:0 Removed trailing space in d: Utenzi wa Asafu.

PSA 74:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, mbona umetukataa milele?

PSA 74:1 Removed trailing space in p~: Mbona hasira yako inatoka moshi

PSA 74:1 Removed trailing space in p~: juu ya kondoo wa malisho yako?

PSA 74:2 Removed trailing space in v~: Kumbuka watu uliowanunua zamani,

PSA 74:2 Removed trailing space in p~: kabila la urithi wako, ambao uliwakomboa:

PSA 74:2 Removed trailing space in p~: Mlima Sayuni, ambamo uliishi.

PSA 74:3 Removed trailing space in v~: Geuza hatua zako kuelekea magofu haya ya kudumu,

PSA 74:3 Removed trailing space in p~: uharibifu wote huu ambao adui ameuleta pale patakatifu.

PSA 74:4 Removed trailing space in v~: Adui zako wamenguruma pale ulipokutana nasi,

PSA 74:4 Removed trailing space in p~: wanaweka bendera zao kama alama.

PSA 74:5 Removed trailing space in v~: Walifanya kama watu wanaotumia mashoka

PSA 74:5 Removed trailing space in p~: kukata kichaka cha miti.

PSA 74:6 Removed trailing space in v~: Walivunjavunja milango yote iliyonakshiwa

PSA 74:6 Removed trailing space in p~: kwa mashoka na vishoka vyao.

PSA 74:7 Removed trailing space in v~: Waliteketeza kabisa mahali pako patakatifu,

PSA 74:7 Removed trailing space in p~: wakayanajisi makao ya Jina lako.

PSA 74:8 Removed trailing space in v~: Walisema mioyoni mwao,

PSA 74:8 Removed trailing space in p~: “Tutawaponda kabisa!”

PSA 74:8 Removed trailing space in p~: Walichoma kila mahali ambapo Mungu

PSA 74:8 Removed trailing space in p~: aliabudiwa katika nchi.

PSA 74:9 Removed trailing space in v~: Hatukupewa ishara za miujiza;

PSA 74:9 Removed trailing space in p~: hakuna manabii waliobaki,

PSA 74:9 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote kati yetu ajuaye

PSA 74:9 Removed trailing space in p~: hali hii itachukua muda gani.

PSA 74:10 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, mtesi atakudhihaki mpaka lini?

PSA 74:10 Removed trailing space in p~: Je, adui watalitukana jina lako milele?

PSA 74:11 Removed trailing space in v~: Kwa nini unazuia mkono wako,

PSA 74:11 Removed trailing space in p~: mkono wako wa kuume?

PSA 74:11 Removed trailing space in p~: Uutoe kutoka makunjo ya vazi lako

PSA 74:11 Removed trailing space in p~: na uwaangamize!

PSA 74:12 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee Mungu, ni mfalme wangu tangu zamani,

PSA 74:12 Removed trailing space in p~: unaleta wokovu duniani.

PSA 74:13 Removed trailing space in v~: Ni wewe uliyeigawanya bahari kwa uweza wako;

PSA 74:13 Removed trailing space in p~: ulivunja vichwa vya wanyama wakubwa wa kutisha katika maji.

PSA 74:14 Removed trailing space in v~: Ni wewe uliyeponda vichwa vya Lewiathani\f + \fr 74:14 \ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa.\f*

PSA 74:14 Removed trailing space in p~: nawe ukamtoa kama chakula

PSA 74:14 Removed trailing space in p~: kwa viumbe vya jangwani.

PSA 74:15 Removed trailing space in v~: Ni wewe uliyefungua chemchemi na vijito,

PSA 74:15 Removed trailing space in p~: ulikausha mito ambayo ilikuwa ikitiririka daima.

PSA 74:16 Removed trailing space in v~: Mchana ni wako, nao usiku ni wako pia,

PSA 74:16 Removed trailing space in p~: uliziweka jua na mwezi.

PSA 74:17 Removed trailing space in v~: Ni wewe uliyeiweka mipaka yote ya dunia,

PSA 74:17 Removed trailing space in p~: ulifanya kiangazi na masika.

PSA 74:18 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kumbuka jinsi mtesi alivyokudhihaki,

PSA 74:18 Removed trailing space in p~: jinsi watu wapumbavu walivyolitukana jina lako.

PSA 74:19 Removed trailing space in v~: Usiukabidhi uhai wa njiwa wako kwa wanyama wakali wa mwitu;

PSA 74:19 Removed trailing space in p~: usisahau kabisa uhai wa watu wako wanaoteseka milele.

PSA 74:20 Removed trailing space in v~: Likumbuke agano lako,

PSA 74:20 Removed trailing space in p~: maana mara kwa mara mambo ya jeuri

PSA 74:20 Removed trailing space in p~: yamejaa katika sehemu za giza nchini.

PSA 74:21 Removed trailing space in v~: Usiruhusu walioonewa warudi nyuma kwa aibu;

PSA 74:21 Removed trailing space in p~: maskini na wahitaji hebu walisifu jina lako.

PSA 74:22 Removed trailing space in v~: Inuka, Ee Mungu, ujitetee;

PSA 74:22 Removed trailing space in p~: kumbuka jinsi wapumbavu

PSA 74:22 Removed trailing space in p~: wanavyokudhihaki mchana kutwa.

PSA 74:23 Removed trailing space in v~: Usipuuze makelele ya watesi wako,

PSA 74:23 Removed trailing space in p~: ghasia za adui zako, zinazoinuka mfululizo.

PSA 75:0 Extra space after chapter number

PSA 75:0 Removed trailing space in c: 75

PSA 75:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 75

PSA 75:0 Removed trailing space in s1: Mungu Ni Mwamuzi

PSA 75:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo.

PSA 75:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, tunakushukuru,

PSA 75:1 Removed trailing space in p~: tunakushukuru wewe,

PSA 75:1 Removed trailing space in p~: kwa kuwa jina lako li karibu;

PSA 75:1 Removed trailing space in p~: watu husimulia matendo yako ya ajabu.

PSA 75:2 Removed trailing space in v~: Unasema, “Ninachagua wakati maalum;

PSA 75:2 Removed trailing space in p~: ni mimi nihukumuye kwa haki.

PSA 75:3 Removed trailing space in v~: Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka,

PSA 75:3 Removed trailing space in p~: ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.

PSA 75:4 Removed trailing space in v~: Kwa wale wenye majivuno ninasema,

PSA 75:4 Removed trailing space in p~: ‘Msijisifu tena,’

PSA 75:4 Removed trailing space in p~: kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.

PSA 75:5 Removed trailing space in v~: Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu;

PSA 75:5 Removed trailing space in p~: msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’ ”

PSA 75:6 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi

PSA 75:6 Removed trailing space in p~: au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.

PSA 75:7 Removed trailing space in v~: Bali Mungu ndiye ahukumuye:

PSA 75:7 Removed trailing space in p~: Humshusha huyu na kumkweza mwingine.

PSA 75:8 Removed trailing space in v~: Mkononi mwa \nd Bwana\nd* kuna kikombe

PSA 75:8 Removed trailing space in p~: kilichojaa mvinyo unaotoka povu

PSA 75:8 Removed trailing space in p~: uliochanganywa na vikolezo;

PSA 75:8 Removed trailing space in p~: huumimina, nao waovu wote wa dunia

PSA 75:8 Removed trailing space in p~: hunywa mpaka tone la mwisho.

PSA 75:9 Removed trailing space in v~: Bali mimi, nitatangaza hili milele;

PSA 75:9 Removed trailing space in p~: nitaimba sifa kwa Mungu wa Yakobo.

PSA 75:10 Removed trailing space in v~: Nitazikatilia mbali pembe za waovu wote,

PSA 75:10 Removed trailing space in p~: bali pembe za wenye haki zitainuliwa juu.

PSA 76:0 Extra space after chapter number

PSA 76:0 Removed trailing space in c: 76

PSA 76:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 76

PSA 76:0 Removed trailing space in s1: Mungu Wa Israeli Ni Mhukumu Wa Dunia Yote

PSA 76:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo.

PSA 76:1 Removed trailing space in v~: Katika Yuda, Mungu anajulikana,

PSA 76:1 Removed trailing space in p~: jina lake ni kuu katika Israeli.

PSA 76:2 Removed trailing space in v~: Hema lake liko Salemu,

PSA 76:2 Removed trailing space in p~: makao yake katika Sayuni.

PSA 76:3 Removed trailing space in v~: Huko alivunja mishale imetametayo,

PSA 76:3 Removed trailing space in p~: ngao na panga, silaha za vita.

PSA 76:4 Removed trailing space in v~: Wewe unangʼaa kwa mwanga,

PSA 76:4 Removed trailing space in p~: mwenye fahari zaidi ya milima yenye utajiri wa wanyama pori.

PSA 76:5 Removed trailing space in v~: Mashujaa hulala wametekwa nyara,

PSA 76:5 Removed trailing space in p~: hulala usingizi wao wa mwisho;

PSA 76:5 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja wa watu wa vita

PSA 76:5 Removed trailing space in p~: anayeweza kuinua mikono yake.

PSA 76:6 Removed trailing space in v~: Kwa kukemea kwako, Ee Mungu wa Yakobo,

PSA 76:6 Removed trailing space in p~: farasi na gari la vita vilikaa kimya.

PSA 76:7 Removed trailing space in v~: Wewe peke yako ndiye wa kuogopwa.

PSA 76:7 Removed trailing space in p~: Ni nani awezaye kusimama mbele yako unapokasirika?

PSA 76:8 Removed trailing space in v~: Kutoka mbinguni ulitamka hukumu,

PSA 76:8 Removed trailing space in p~: nayo nchi ikaogopa, ikawa kimya:

PSA 76:9 Removed trailing space in v~: wakati wewe, Ee Mungu, ulipoinuka kuhukumu,

PSA 76:9 Removed trailing space in p~: kuwaokoa wote walioonewa katika nchi.

PSA 76:10 Removed trailing space in v~: Hakika ghadhabu yako dhidi ya wanadamu inakuletea sifa,

PSA 76:10 Removed trailing space in p~: na masalia ya ghadhabu yako unajifunga mshipi.

PSA 76:11 Removed trailing space in v~: Wekeni nadhiri kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kuzitimiza;

PSA 76:11 Removed trailing space in p~: nchi zote za jirani na walete zawadi

PSA 76:11 Removed trailing space in p~: kwa Yule astahiliye kuogopwa.

PSA 76:12 Removed trailing space in v~: Huvunja roho za watawala;

PSA 76:12 Removed trailing space in p~: anaogopwa na wafalme wa dunia.

PSA 77:0 Extra space after chapter number

PSA 77:0 Removed trailing space in c: 77

PSA 77:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 77

PSA 77:0 Removed trailing space in s1: Matendo Makuu Ya Mungu Yanakumbukwa

PSA 77:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Asafu.

PSA 77:1 Removed trailing space in v~: Nilimlilia Mungu ili anisaidie,

PSA 77:1 Removed trailing space in p~: nilimlilia Mungu ili anisikie.

PSA 77:2 Removed trailing space in v~: Nilipokuwa katika taabu, nilimtafuta Bwana,

PSA 77:2 Removed trailing space in p~: usiku nilinyoosha mikono bila kuchoka

PSA 77:2 Removed trailing space in p~: na nafsi yangu ilikataa kufarijika.

PSA 77:3 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, nilikukumbuka wewe, nikalia kwa huzuni;

PSA 77:3 Removed trailing space in p~: nikatafakari, roho yangu ikadhoofika.

PSA 77:4 Removed trailing space in v~: Ulizuia macho yangu kufumba;

PSA 77:4 Removed trailing space in p~: nilikuwa nasumbuka, nikashindwa kusema.

PSA 77:5 Removed trailing space in v~: Nilitafakari juu ya siku zilizopita,

PSA 77:5 Removed trailing space in p~: miaka mingi iliyopita,

PSA 77:6 Removed trailing space in v~: nilikumbuka nilivyoimba nyimbo usiku.

PSA 77:6 Removed trailing space in p~: Moyo wangu ulitafakari

PSA 77:6 Removed trailing space in p~: na roho yangu ikauliza:

PSA 77:7 Removed trailing space in v~: “Je, Bwana atakataa milele?

PSA 77:7 Removed trailing space in p~: Je, hatatenda mema tena?

PSA 77:8 Removed trailing space in v~: Je, upendo wake usio na mwisho umetoweka milele?

PSA 77:8 Removed trailing space in p~: Je, ahadi yake imekoma nyakati zote?

PSA 77:9 Removed trailing space in v~: Je, Mungu amesahau kuwa na huruma?

PSA 77:9 Removed trailing space in p~: Je, katika hasira amezuia huruma yake?”

PSA 77:10 Removed trailing space in v~: Ndipo nikawaza, “Huu ndio udhaifu wangu:

PSA 77:10 Removed trailing space in p~: lakini nitakumbuka

PSA 77:10 Removed trailing space in p~: miaka ya mkono wa kuume

PSA 77:10 Removed trailing space in p~: wa Aliye Juu Sana.”

PSA 77:11 Removed trailing space in v~: Nitayakumbuka matendo ya \nd Bwana\nd*;

PSA 77:11 Removed trailing space in p~: naam, nitaikumbuka miujiza yako ya zamani.

PSA 77:12 Removed trailing space in v~: Nitazitafakari kazi zako zote

PSA 77:12 Removed trailing space in p~: na kuyawaza matendo yako makuu.

PSA 77:13 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, njia zako ni takatifu.

PSA 77:13 Removed trailing space in p~: Ni mungu yupi aliye mkuu kama Mungu wetu?

PSA 77:14 Removed trailing space in v~: Wewe ndiwe Mungu utendaye miujiza,

PSA 77:14 Removed trailing space in p~: umeonyesha uwezo wako katikati ya mataifa.

PSA 77:15 Removed trailing space in v~: Kwa mkono wako wenye nguvu umewakomboa watu wako,

PSA 77:15 Removed trailing space in p~: uzao wa Yakobo na Yosefu.

PSA 77:16 Removed trailing space in v~: Maji yalikuona, Ee Mungu,

PSA 77:16 Removed trailing space in p~: maji yalikuona yakakimbia,

PSA 77:16 Removed trailing space in p~: vilindi vilitetemeka.

PSA 77:17 Removed trailing space in v~: Mawingu yalimwaga maji,

PSA 77:17 Removed trailing space in p~: mbingu zikatoa ngurumo kwa radi,

PSA 77:17 Removed trailing space in p~: mishale yako ikametameta huku na huko.

PSA 77:18 Removed trailing space in v~: Ngurumo yako ilisikika katika upepo wa kisulisuli,

PSA 77:18 Removed trailing space in p~: umeme wako wa radi ukaangaza dunia,

PSA 77:18 Removed trailing space in p~: nchi ikatetemeka na kutikisika.

PSA 77:19 Removed trailing space in v~: Njia yako ilipita baharini,

PSA 77:19 Removed trailing space in p~: mapito yako kwenye maji makuu,

PSA 77:19 Removed trailing space in p~: ingawa nyayo zako hazikuonekana.

PSA 77:20 Removed trailing space in v~: Uliongoza watu wako kama kundi

PSA 77:20 Removed trailing space in p~: kwa mkono wa Mose na Aroni.

PSA 78:0 Extra space after chapter number

PSA 78:0 Removed trailing space in c: 78

PSA 78:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 78

PSA 78:0 Removed trailing space in s1: Mungu Na Watu Wake

PSA 78:0 Removed trailing space in d: Utenzi wa Asafu.

PSA 78:1 Removed trailing space in v~: Enyi watu wangu, sikieni mafundisho yangu,

PSA 78:1 Removed trailing space in p~: sikilizeni maneno ya kinywa changu.

PSA 78:2 Removed trailing space in v~: Nitafungua kinywa changu kwa mafumbo,

PSA 78:2 Removed trailing space in p~: nitazungumza mambo yaliyofichika, mambo ya kale:

PSA 78:3 Removed trailing space in v~: yale ambayo tuliyasikia na kuyajua,

PSA 78:3 Removed trailing space in p~: yale ambayo baba zetu walituambia.

PSA 78:4 Removed trailing space in v~: Hatutayaficha kwa watoto wao;

PSA 78:4 Removed trailing space in p~: tutakiambia kizazi kijacho

PSA 78:4 Removed trailing space in p~: matendo yastahiliyo sifa ya \nd Bwana\nd*,

PSA 78:4 Removed trailing space in p~: uweza wake, na maajabu aliyoyafanya.

PSA 78:5 Removed trailing space in v~: Aliagiza amri kwa Yakobo

PSA 78:5 Removed trailing space in p~: na akaweka sheria katika Israeli,

PSA 78:5 Removed trailing space in p~: ambazo aliwaamuru baba zetu

PSA 78:5 Removed trailing space in p~: wawafundishe watoto wao,

PSA 78:6 Removed trailing space in v~: ili kizazi kijacho kizijue,

PSA 78:6 Removed trailing space in p~: pamoja na watoto ambao watazaliwa,

PSA 78:6 Removed trailing space in p~: nao pia wapate kuwaeleza watoto wao.

PSA 78:7 Removed trailing space in v~: Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu,

PSA 78:7 Removed trailing space in p~: nao wasingesahau matendo yake,

PSA 78:7 Removed trailing space in p~: bali wangalizishika amri zake.

PSA 78:8 Removed trailing space in v~: Ili wasifanane na baba zao,

PSA 78:8 Removed trailing space in p~: waliokuwa kizazi cha ukaidi na uasi,

PSA 78:8 Removed trailing space in p~: ambao roho zao hazikuwa na uaminifu kwake,

PSA 78:8 Removed trailing space in p~: ambao roho zao hazikumwamini.

PSA 78:9 Removed trailing space in v~: Watu wa Efraimu, ingawa walijifunga pinde,

PSA 78:9 Removed trailing space in p~: walikimbia siku ya vita.

PSA 78:10 Removed trailing space in v~: Hawakulishika agano la Mungu

PSA 78:10 Removed trailing space in p~: na walikataa kuishi kwa sheria yake.

PSA 78:11 Removed trailing space in v~: Walisahau aliyokuwa ameyatenda,

PSA 78:11 Removed trailing space in p~: maajabu aliyokuwa amewaonyesha.

PSA 78:12 Removed trailing space in v~: Alitenda miujiza machoni mwa baba zao,

PSA 78:12 Removed trailing space in p~: huko Soani, katika nchi ya Misri.

PSA 78:13 Removed trailing space in v~: Aliigawanya bahari akawapitisha,

PSA 78:13 Removed trailing space in p~: alifanya maji yasimame imara kama ukuta.

PSA 78:14 Removed trailing space in v~: Aliwaongoza kwa wingu mchana

PSA 78:14 Removed trailing space in p~: na kwa nuru kutoka kwenye moto usiku kucha.

PSA 78:15 Removed trailing space in v~: Alipasua miamba jangwani

PSA 78:15 Removed trailing space in p~: na akawapa maji tele kama bahari,

PSA 78:16 Removed trailing space in v~: alitoa vijito kutoka kwenye jabali lililochongoka,

PSA 78:16 Removed trailing space in p~: akayafanya maji yatiririke kama mito.

PSA 78:17 Removed trailing space in v~: Lakini waliendelea kutenda dhambi dhidi yake,

PSA 78:17 Removed trailing space in p~: wakiasi jangwani dhidi ya Aliye Juu Sana.

PSA 78:18 Removed trailing space in v~: Kwa makusudi walimjaribu Mungu,

PSA 78:18 Removed trailing space in p~: wakidai vyakula walivyovitamani.

PSA 78:19 Removed trailing space in v~: Walinena dhidi ya Mungu, wakisema,

PSA 78:19 Removed trailing space in p~: “Je, Mungu aweza kuandaa meza jangwani?

PSA 78:20 Removed trailing space in v~: Alipopiga mwamba, maji yalitoka kwa nguvu,

PSA 78:20 Removed trailing space in p~: vijito vikatiririka maji mengi.

PSA 78:20 Removed trailing space in p~: Lakini je, aweza kutupa chakula pia?

PSA 78:20 Removed trailing space in p~: Je, anaweza kuwapa watu wake nyama?”

PSA 78:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipowasikia, alikasirika sana,

PSA 78:21 Removed trailing space in p~: moto wake ukawa dhidi ya Yakobo,

PSA 78:21 Removed trailing space in p~: na ghadhabu yake ikawaka dhidi ya Israeli,

PSA 78:22 Removed trailing space in v~: kwa kuwa hawakumwamini Mungu,

PSA 78:22 Removed trailing space in p~: wala kuutumainia ukombozi wake.

PSA 78:23 Removed trailing space in v~: Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu

PSA 78:23 Removed trailing space in p~: na kufungua milango ya mbingu,

PSA 78:24 Removed trailing space in v~: akawanyeshea mana ili watu wale;

PSA 78:24 Removed trailing space in p~: aliwapa nafaka ya mbinguni.

PSA 78:25 Removed trailing space in v~: Watu walikula mkate wa malaika,

PSA 78:25 Removed trailing space in p~: akawatumia chakula chote ambacho wangeliweza kula.

PSA 78:26 Removed trailing space in v~: Aliachia upepo wa mashariki kutoka kwenye mbingu

PSA 78:26 Removed trailing space in p~: na kuuongoza upepo wa kusini kwa uwezo wake.

PSA 78:27 Removed trailing space in v~: Aliwanyeshea nyama kama mavumbi,

PSA 78:27 Removed trailing space in p~: ndege warukao kama mchanga wa pwani.

PSA 78:28 Removed trailing space in v~: Aliwafanya washuke ndani ya kambi yao,

PSA 78:28 Removed trailing space in p~: kuzunguka mahema yao yote.

PSA 78:29 Removed trailing space in v~: Walikula na kusaza,

PSA 78:29 Removed trailing space in p~: kwa maana alikuwa amewapa kile walichotamani.

PSA 78:30 Removed trailing space in v~: Kabla hawajamaliza kula walichokitamani,

PSA 78:30 Removed trailing space in p~: hata kilipokuwa kingali bado vinywani mwao,

PSA 78:31 Removed trailing space in v~: hasira ya Mungu ikawaka juu yao,

PSA 78:31 Removed trailing space in p~: akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao,

PSA 78:31 Removed trailing space in p~: akiwaangusha vijana wa Israeli.

PSA 78:32 Removed trailing space in v~: Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi,

PSA 78:32 Removed trailing space in p~: licha ya maajabu yake, hawakuamini.

PSA 78:33 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili

PSA 78:33 Removed trailing space in p~: na miaka yao katika vitisho.

PSA 78:34 Removed trailing space in v~: Kila mara Mungu alipowaua baadhi yao,

PSA 78:34 Removed trailing space in p~: waliosalia walimtafuta,

PSA 78:34 Removed trailing space in p~: walimgeukia tena kwa shauku.

PSA 78:35 Removed trailing space in v~: Walikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao,

PSA 78:35 Removed trailing space in p~: kwamba Mungu Aliye Juu Sana alikuwa Mkombozi wao.

PSA 78:36 Removed trailing space in v~: Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao,

PSA 78:36 Removed trailing space in p~: wakisema uongo kwa ndimi zao,

PSA 78:37 Removed trailing space in v~: mioyo yao haikuwa thabiti kwake,

PSA 78:37 Removed trailing space in p~: wala hawakuwa waaminifu katika agano lake.

PSA 78:38 Removed trailing space in v~: Hata hivyo alikuwa na huruma,

PSA 78:38 Removed trailing space in p~: alisamehe maovu yao

PSA 78:38 Removed trailing space in p~: na hakuwaangamiza.

PSA 78:38 Removed trailing space in p~: Mara kwa mara alizuia hasira yake,

PSA 78:38 Removed trailing space in p~: wala hakuchochea ghadhabu yake yote.

PSA 78:39 Removed trailing space in v~: Alikumbuka kwamba wao walikuwa nyama tu,

PSA 78:39 Removed trailing space in p~: upepo upitao ambao haurudi.

PSA 78:40 Removed trailing space in v~: Mara ngapi walimwasi jangwani

PSA 78:40 Removed trailing space in p~: na kumhuzunisha nyikani!

PSA 78:41 Removed trailing space in v~: Walimjaribu Mungu mara kwa mara,

PSA 78:41 Removed trailing space in p~: wakamkasirisha yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

PSA 78:42 Removed trailing space in v~: Hawakukumbuka uwezo wake,

PSA 78:42 Removed trailing space in p~: siku aliyowakomboa kutoka kwa mtesi,

PSA 78:43 Removed trailing space in v~: siku aliyoonyesha ishara zake za ajabu huko Misri,

PSA 78:43 Removed trailing space in p~: maajabu yake huko Soani.

PSA 78:44 Removed trailing space in v~: Aligeuza mito yao kuwa damu,

PSA 78:44 Removed trailing space in p~: hawakuweza kunywa maji kutoka vijito vyao.

PSA 78:45 Removed trailing space in v~: Aliwapelekea makundi ya mainzi yakawala,

PSA 78:45 Removed trailing space in p~: na vyura wakawaharibu.

PSA 78:46 Removed trailing space in v~: Aliruhusu tunutu kuharibu mimea yao,

PSA 78:46 Removed trailing space in p~: mazao yao kwa nzige.

PSA 78:47 Removed trailing space in v~: Aliharibu mizabibu yao kwa mvua ya mawe

PSA 78:47 Removed trailing space in p~: na mikuyu yao kwa mvua iliyochangamana na theluji.

PSA 78:48 Removed trailing space in v~: Aliwaachia mifugo yao mvua ya mawe,

PSA 78:48 Removed trailing space in p~: akayapiga makundi ya wanyama wao kwa radi.

PSA 78:49 Removed trailing space in v~: Aliwafungulia hasira yake kali,

PSA 78:49 Removed trailing space in p~: ghadhabu yake, hasira na uadui,

PSA 78:49 Removed trailing space in p~: na kundi la malaika wa kuharibu.

PSA 78:50 Removed trailing space in v~: Aliitengenezea njia hasira yake,

PSA 78:50 Removed trailing space in p~: hakuwaepusha na kifo,

PSA 78:50 Removed trailing space in p~: bali aliwaachia tauni.

PSA 78:51 Removed trailing space in v~: Aliwapiga wazaliwa wote wa kwanza wa Misri,

PSA 78:51 Removed trailing space in p~: matunda ya kwanza ya ujana katika mahema ya Hamu.

PSA 78:52 Removed trailing space in v~: Lakini aliwatoa watu wake kama kundi,

PSA 78:52 Removed trailing space in p~: akawaongoza kama kondoo kupitia jangwani.

PSA 78:53 Removed trailing space in v~: Aliwaongoza salama, wala hawakuogopa,

PSA 78:53 Removed trailing space in p~: bali bahari iliwameza adui zao.

PSA 78:54 Removed trailing space in v~: Hivyo akawaleta hadi kwenye mpaka wa nchi yake takatifu,

PSA 78:54 Removed trailing space in p~: hadi nchi ya vilima ambayo mkono wake wa kuume ulikuwa umeitwaa.

PSA 78:55 Removed trailing space in v~: Aliyafukuza mataifa mbele yao,

PSA 78:55 Removed trailing space in p~: na kuwagawia nchi zao kama urithi,

PSA 78:55 Removed trailing space in p~: aliwakalisha makabila ya Israeli katika makao yao.

PSA 78:56 Removed trailing space in v~: Lakini wao walimjaribu Mungu,

PSA 78:56 Removed trailing space in p~: na kuasi dhidi ya Yeye Aliye Juu Sana,

PSA 78:56 Removed trailing space in p~: wala hawakuzishika sheria zake.

PSA 78:57 Removed trailing space in v~: Kama baba zao, hawakuwa thabiti wala waaminifu,

PSA 78:57 Removed trailing space in p~: wakawa wasioweza kutegemewa

PSA 78:57 Removed trailing space in p~: kama upinde wenye kasoro.

PSA 78:58 Removed trailing space in v~: Wakamkasirisha Mungu kwa mahali pao pa juu pa kuabudia miungu,

PSA 78:58 Removed trailing space in p~: wakachochea wivu wake kwa sanamu zao.

PSA 78:59 Removed trailing space in v~: Wakati Mungu alipowasikia, alikasirika sana,

PSA 78:59 Removed trailing space in p~: akamkataa Israeli kabisa.

PSA 78:60 Removed trailing space in v~: Akaiacha hema ya Shilo,

PSA 78:60 Removed trailing space in p~: hema aliyokuwa ameiweka katikati ya wanadamu.

PSA 78:61 Removed trailing space in v~: Akalipeleka Sanduku la nguvu zake utumwani,

PSA 78:61 Removed trailing space in p~: utukufu wake mikononi mwa adui.

PSA 78:62 Removed trailing space in v~: Aliachia watu wake wauawe kwa upanga,

PSA 78:62 Removed trailing space in p~: akaukasirikia sana urithi wake.

PSA 78:63 Removed trailing space in v~: Moto uliwaangamiza vijana wao,

PSA 78:63 Removed trailing space in p~: na wanawali wao hawakuimbiwa nyimbo za arusi,

PSA 78:64 Removed trailing space in v~: makuhani wao waliuawa kwa upanga,

PSA 78:64 Removed trailing space in p~: wala wajane wao hawakuweza kulia.

PSA 78:65 Removed trailing space in v~: Ndipo Bwana alipoamka kama vile kuamka usingizini,

PSA 78:65 Removed trailing space in p~: kama vile mtu aamkavyo kutoka kwenye bumbuazi la mvinyo.

PSA 78:66 Removed trailing space in v~: Aliwapiga na kuwashinda adui zake,

PSA 78:66 Removed trailing space in p~: akawatia katika aibu ya milele.

PSA 78:67 Removed trailing space in v~: Ndipo alipozikataa hema za Yosefu,

PSA 78:67 Removed trailing space in p~: hakulichagua kabila la Efraimu,

PSA 78:68 Removed trailing space in v~: lakini alilichagua kabila la Yuda,

PSA 78:68 Removed trailing space in p~: Mlima Sayuni, ambao aliupenda.

PSA 78:69 Removed trailing space in v~: Alijenga patakatifu pake kama vilele,

PSA 78:69 Removed trailing space in p~: kama dunia ambayo aliimarisha milele.

PSA 78:70 Removed trailing space in v~: Akamchagua Daudi mtumishi wake

PSA 78:70 Removed trailing space in p~: na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.

PSA 78:71 Removed trailing space in v~: Kutoka kuchunga kondoo alimleta

PSA 78:71 Removed trailing space in p~: kuwa mchungaji wa watu wake Yakobo,

PSA 78:71 Removed trailing space in p~: wa Israeli urithi wake.

PSA 78:72 Removed trailing space in v~: Naye Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo,

PSA 78:72 Removed trailing space in p~: kwa mikono ya ustadi aliwaongoza.

PSA 79:0 Extra space after chapter number

PSA 79:0 Removed trailing space in c: 79

PSA 79:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 79

PSA 79:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Wokovu Wa Taifa

PSA 79:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Asafu.

PSA 79:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, mataifa yameuvamia urithi wako,

PSA 79:1 Removed trailing space in p~: wamelinajisi Hekalu lako takatifu,

PSA 79:1 Removed trailing space in p~: wameifanya Yerusalemu kuwa magofu.

PSA 79:2 Removed trailing space in v~: Wametoa maiti za watumishi

PSA 79:2 Removed trailing space in p~: kuwa chakula cha ndege wa angani

PSA 79:2 Removed trailing space in p~: na nyama ya watakatifu wako

PSA 79:2 Removed trailing space in p~: kwa wanyama wa nchi.

PSA 79:3 Removed trailing space in v~: Wamemwaga damu kama maji

PSA 79:3 Removed trailing space in p~: kuzunguka Yerusalemu yote,

PSA 79:3 Removed trailing space in p~: wala hakuna yeyote wa kuwazika.

PSA 79:4 Removed trailing space in v~: Tumekuwa kitu cha aibu kwa jirani zetu,

PSA 79:4 Removed trailing space in p~: cha dharau na mzaha kwa wale wanaotuzunguka.

PSA 79:5 Removed trailing space in v~: Hata lini, Ee \nd Bwana\nd*? Je, wewe utakasirika milele?

PSA 79:5 Removed trailing space in p~: Wivu wako utawaka kama moto hadi lini?

PSA 79:6 Removed trailing space in v~: Mwaga ghadhabu yako kwa mataifa yasiyokukubali,

PSA 79:6 Removed trailing space in p~: juu ya falme za hao wasioliitia jina lako,

PSA 79:7 Removed trailing space in v~: kwa maana wamemrarua Yakobo

PSA 79:7 Removed trailing space in p~: na kuharibu nchi ya makao yake.

PSA 79:8 Removed trailing space in v~: Usituhesabie dhambi za baba zetu,

PSA 79:8 Removed trailing space in p~: huruma yako na itujie hima,

PSA 79:8 Removed trailing space in p~: kwa maana tu wahitaji mno.

PSA 79:9 Removed trailing space in v~: Ee Mungu Mwokozi wetu, utusaidie,

PSA 79:9 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya utukufu wa jina lako;

PSA 79:9 Removed trailing space in p~: tuokoe na kutusamehe dhambi zetu

PSA 79:9 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya jina lako.

PSA 79:10 Removed trailing space in v~: Kwa nini mataifa waseme,

PSA 79:10 Removed trailing space in p~: “Yuko wapi Mungu wenu?”

PSA 79:10 Removed trailing space in p~: Mbele ya macho yetu,

PSA 79:10 Removed trailing space in p~: dhihirisha kati ya mataifa

PSA 79:10 Removed trailing space in p~: kwamba unalipiza kisasi damu iliyomwagwa

PSA 79:10 Removed trailing space in p~: ya watumishi wako.

PSA 79:11 Removed trailing space in v~: Kilio cha huzuni cha wafungwa kifike mbele zako;

PSA 79:11 Removed trailing space in p~: kwa nguvu za mkono wako

PSA 79:11 Removed trailing space in p~: hifadhi wale waliohukumiwa kufa.

PSA 79:12 Removed trailing space in v~: Walipize jirani zetu mara saba vifuani mwao

PSA 79:12 Removed trailing space in p~: aibu walizovurumisha juu yako, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 79:13 Removed trailing space in v~: Ndipo sisi watu wako, kondoo wa malisho yako,

PSA 79:13 Removed trailing space in p~: tutakusifu milele;

PSA 79:13 Removed trailing space in p~: toka kizazi hadi kizazi

PSA 79:13 Removed trailing space in p~: tutasimulia sifa zako.

PSA 80:0 Extra space after chapter number

PSA 80:0 Removed trailing space in c: 80

PSA 80:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 80

PSA 80:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Kuponywa Kwa Taifa

PSA 80:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu.

PSA 80:1 Removed trailing space in v~: Ee Mchungaji wa Israeli tusikie,

PSA 80:1 Removed trailing space in p~: wewe umwongozaye Yosefu kama kundi;

PSA 80:1 Removed trailing space in p~: wewe uketiye katika kiti cha enzi

PSA 80:1 Removed trailing space in p~: katikati ya makerubi, angaza

PSA 80:2 Removed trailing space in v~: mbele ya Efraimu, Benyamini na Manase.

PSA 80:2 Removed trailing space in p~: Uamshe nguvu zako,

PSA 80:2 Removed trailing space in p~: uje utuokoe.

PSA 80:3 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, uturejeshe,

PSA 80:3 Removed trailing space in p~: utuangazie uso wako,

PSA 80:3 Removed trailing space in p~: ili tuweze kuokolewa.

PSA 80:4 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote,

PSA 80:4 Removed trailing space in p~: hata lini hasira yako itawaka na kufoka moshi

PSA 80:4 Removed trailing space in p~: dhidi ya maombi ya watu wako?

PSA 80:5 Removed trailing space in v~: Umewalisha kwa mkate wa machozi,

PSA 80:5 Removed trailing space in p~: umewafanya wanywe machozi bakuli tele.

PSA 80:6 Removed trailing space in v~: Tumekuwa chanzo cha ugomvi kwa jirani zetu,

PSA 80:6 Removed trailing space in p~: na adui zetu wanatudhihaki.

PSA 80:7 Removed trailing space in v~: Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;

PSA 80:7 Removed trailing space in p~: utuangazie uso wako,

PSA 80:7 Removed trailing space in p~: nasi tuweze kuokolewa.

PSA 80:8 Removed trailing space in v~: Ulileta mzabibu kutoka Misri,

PSA 80:8 Removed trailing space in p~: ukawafukuza mataifa, ukaupanda.

PSA 80:9 Removed trailing space in v~: Uliandaa shamba kwa ajili yake,

PSA 80:9 Removed trailing space in p~: mizizi ikawa imara, ukajaza nchi.

PSA 80:10 Removed trailing space in v~: Milima ilifunikwa kwa kivuli chake,

PSA 80:10 Removed trailing space in p~: matawi yake yakafunika mierezi mikubwa.

PSA 80:11 Removed trailing space in v~: Matawi yake yalienea mpaka Baharini,\f + \fr 80:11 \ft Huenda inamaanisha Bahari ya Mediterania.\f*

PSA 80:11 Removed trailing space in p~: machipukizi yake mpaka kwenye Mto.\f + \fr 80:11 \ft Yaani Mto Frati.\f*

PSA 80:12 Removed trailing space in v~: Mbona umebomoa kuta zake

PSA 80:12 Removed trailing space in p~: ili wote wapitao karibu

PSA 80:12 Removed trailing space in p~: wazichume zabibu zake?

PSA 80:13 Removed trailing space in v~: Nguruwe mwitu wanauharibu

PSA 80:13 Removed trailing space in p~: na wanyama wa kondeni hujilisha humo.

PSA 80:14 Removed trailing space in v~: Turudie, Ee Mungu Mwenye Nguvu Zote!

PSA 80:14 Removed trailing space in p~: Tazama chini kutoka mbinguni na uone!

PSA 80:14 Removed trailing space in p~: Linda mzabibu huu,

PSA 80:15 Removed trailing space in v~: mche ulioupanda kwa mkono wako wa kuume,

PSA 80:15 Removed trailing space in p~: mwana uliyemlea

PSA 80:15 Removed trailing space in p~: kwa ajili yako mwenyewe.

PSA 80:16 Removed trailing space in v~: Mzabibu wako umekatwa, umechomwa moto,

PSA 80:16 Removed trailing space in p~: unapowakemea, watu wako huangamia.

PSA 80:17 Removed trailing space in v~: Mkono wako na utulie juu ya mtu aliyeko mkono wako wa kuume,

PSA 80:17 Removed trailing space in p~: mwana wa mtu uliyemlea kwa ajili yako mwenyewe.

PSA 80:18 Removed trailing space in v~: Ndipo hatutakuacha tena,

PSA 80:18 Removed trailing space in p~: utuhuishe, nasi tutaliitia jina lako.

PSA 80:19 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, uturejeshe;

PSA 80:19 Removed trailing space in p~: utuangazie uso wako,

PSA 80:19 Removed trailing space in p~: ili tuweze kuokolewa.

PSA 81:0 Extra space after chapter number

PSA 81:0 Removed trailing space in c: 81

PSA 81:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 81

PSA 81:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Sikukuu

PSA 81:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu.

PSA 81:1 Removed trailing space in v~: Mwimbieni kwa furaha, Mungu aliye nguvu yetu;

PSA 81:1 Removed trailing space in p~: mpigieni kelele za shangwe Mungu wa Yakobo!

PSA 81:2 Removed trailing space in v~: Anzeni wimbo, pigeni matari,

PSA 81:2 Removed trailing space in p~: pigeni kinubi na zeze kwa sauti nzuri.

PSA 81:3 Removed trailing space in v~: Pigeni baragumu za pembe za kondoo dume

PSA 81:3 Removed trailing space in p~: wakati wa Mwandamo wa Mwezi,

PSA 81:3 Removed trailing space in p~: na wakati wa mwezi mpevu,

PSA 81:3 Removed trailing space in p~: katika siku ya Sikukuu yetu;

PSA 81:4 Removed trailing space in v~: hii ni amri kwa Israeli,

PSA 81:4 Removed trailing space in p~: agizo la Mungu wa Yakobo.

PSA 81:5 Removed trailing space in v~: Aliiweka iwe kama sheria kwa Yosefu

PSA 81:5 Removed trailing space in p~: alipotoka dhidi ya Misri,

PSA 81:5 Removed trailing space in p~: huko tulikosikia lugha ambayo hatukuielewa.

PSA 81:6 Removed trailing space in v~: Asema, “Nimeondoa mzigo mabegani mwao;

PSA 81:6 Removed trailing space in p~: mikono yao iliwekwa huru kutoka kwenye kikapu.

PSA 81:7 Removed trailing space in v~: Katika shida yako uliniita nami nikakuokoa,

PSA 81:7 Removed trailing space in p~: nilikujibu katika mawingu yenye ngurumo;

PSA 81:7 Removed trailing space in p~: nilikujaribu katika maji ya Meriba.

PSA 81:8 Removed trailing space in v~: “Enyi watu wangu, sikieni, nami nitawaonya:

PSA 81:8 Removed trailing space in p~: laiti kama mngenisikiliza, ee Israeli!

PSA 81:9 Removed trailing space in v~: Hamtakuwa na mungu mgeni miongoni mwenu;

PSA 81:9 Removed trailing space in p~: msimsujudie mungu wa kigeni.

PSA 81:10 Removed trailing space in v~: Mimi ni \nd Bwana\nd* Mungu wako,

PSA 81:10 Removed trailing space in p~: niliyekutoa nchi ya Misri.

PSA 81:10 Removed trailing space in p~: Panua sana kinywa chako

PSA 81:10 Removed trailing space in p~: nami nitakijaza.

PSA 81:11 Removed trailing space in v~: “Lakini watu wangu hawakutaka kunisikiliza;

PSA 81:11 Removed trailing space in p~: Israeli hakutaka kunitii.

PSA 81:12 Removed trailing space in v~: Basi niliwaacha katika ukaidi wa mioyo yao

PSA 81:12 Removed trailing space in p~: wafuate mashauri yao wenyewe.

PSA 81:13 Removed trailing space in v~: “Laiti kama watu wangu wangalinisikiliza,

PSA 81:13 Removed trailing space in p~: kama Israeli wangalifuata njia zangu,

PSA 81:14 Removed trailing space in v~: ningaliwatiisha adui zao kwa haraka,

PSA 81:14 Removed trailing space in p~: na kuugeuza mkono wangu dhidi ya watesi wao!

PSA 81:15 Removed trailing space in v~: Wale wanaomchukia \nd Bwana\nd* wangalinyenyekea mbele zake,

PSA 81:15 Removed trailing space in p~: na adhabu yao ingedumu milele.

PSA 81:16 Removed trailing space in v~: Bali ninyi mngalilishwa ngano iliyo bora,

PSA 81:16 Removed trailing space in p~: na kuwatosheleza kwa asali itokayo kwenye mwamba.”

PSA 82:0 Extra space after chapter number

PSA 82:0 Removed trailing space in c: 82

PSA 82:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 82

PSA 82:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Kutaka Haki

PSA 82:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Asafu.

PSA 82:1 Removed trailing space in v~: Mungu anaongoza kusanyiko kuu,

PSA 82:1 Removed trailing space in p~: anatoa hukumu miongoni mwa “miungu”:

PSA 82:2 Removed trailing space in v~: “Hata lini utaendelea kuwatetea wasio haki

PSA 82:2 Removed trailing space in p~: na kuonyesha upendeleo kwa waovu?

PSA 82:3 Removed trailing space in v~: Teteeni wanyonge na yatima,

PSA 82:3 Removed trailing space in p~: tunzeni haki za maskini na walioonewa.

PSA 82:4 Removed trailing space in v~: Mwokoeni mnyonge na mhitaji,

PSA 82:4 Removed trailing space in p~: wakomboeni kutoka mkononi mwa mwovu.

PSA 82:5 Removed trailing space in v~: “Hawajui lolote, hawaelewi lolote.

PSA 82:5 Removed trailing space in p~: Wanatembea gizani;

PSA 82:5 Removed trailing space in p~: misingi yote ya dunia imetikisika.

PSA 82:6 Removed trailing space in v~: “Nilisema, ‘Ninyi ni “miungu”;

PSA 82:6 Removed trailing space in p~: ninyi nyote ni wana wa Aliye Juu Sana.’

PSA 82:7 Removed trailing space in v~: Lakini mtakufa kama wanadamu wa kawaida;

PSA 82:7 Removed trailing space in p~: mtaanguka kama mtawala mwingine yeyote.”

PSA 82:8 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, inuka uihukumu nchi,

PSA 82:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa mataifa yote ni urithi wako.

PSA 83:0 Extra space after chapter number

PSA 83:0 Removed trailing space in c: 83

PSA 83:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 83

PSA 83:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Kushindwa Kwa Adui Wa Israeli

PSA 83:0 Removed trailing space in d: Wimbo. Zaburi ya Asafu.

PSA 83:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, usinyamaze kimya,

PSA 83:1 Removed trailing space in p~: usinyamaze, Ee Mungu, usitulie.

PSA 83:2 Removed trailing space in v~: Tazama watesi wako wanafanya fujo,

PSA 83:2 Removed trailing space in p~: jinsi adui zako wanavyoinua vichwa vyao.

PSA 83:3 Removed trailing space in v~: Kwa hila, wanafanya shauri dhidi ya watu wako,

PSA 83:3 Removed trailing space in p~: wanafanya shauri baya dhidi ya wale unaowapenda.

PSA 83:4 Removed trailing space in v~: Wanasema, “Njooni, tuwaangamize kama taifa,

PSA 83:4 Removed trailing space in p~: ili jina la Israeli lisikumbukwe tena.”

PSA 83:5 Removed trailing space in v~: Kwa nia moja wanapanga mashauri mabaya pamoja,

PSA 83:5 Removed trailing space in p~: wanafanya muungano dhidi yako,

PSA 83:6 Removed trailing space in v~: mahema ya Edomu na Waishmaeli,

PSA 83:6 Removed trailing space in p~: ya Wamoabu na Wahagari,

PSA 83:7 Removed trailing space in v~: Gebali,\f + \fr 83:7 \ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti).\f* Amoni na Amaleki,

PSA 83:7 Removed trailing space in p~: Ufilisti, pamoja na watu wa Tiro.

PSA 83:8 Removed trailing space in v~: Hata Ashuru wameungana nao

PSA 83:8 Removed trailing space in p~: kuwapa nguvu wazao wa Loti.

PSA 83:9 Removed trailing space in v~: Uwatendee kama vile ulivyowatendea Midiani,

PSA 83:9 Removed trailing space in p~: na kama vile ulivyowatendea Sisera na Yabini

PSA 83:9 Removed trailing space in p~: hapo kijito cha Kishoni,

PSA 83:10 Removed trailing space in v~: ambao waliangamia huko Endori

PSA 83:10 Removed trailing space in p~: na wakawa kama takataka juu ya nchi.

PSA 83:11 Removed trailing space in v~: Wafanye wakuu wao kama Orebu na Zeebu,

PSA 83:11 Removed trailing space in p~: watawala wao kama Zeba na Salmuna,

PSA 83:12 Removed trailing space in v~: ambao walisema, “Na tumiliki nchi

PSA 83:12 Removed trailing space in p~: ya malisho ya Mungu.”

PSA 83:13 Removed trailing space in v~: Ee Mungu wangu, wapeperushe kama mavumbi ya kisulisuli,

PSA 83:13 Removed trailing space in p~: kama makapi yapeperushwayo na upepo.

PSA 83:14 Removed trailing space in v~: Kama vile moto uteketezavyo msitu

PSA 83:14 Removed trailing space in p~: au mwali wa moto unavyounguza milima,

PSA 83:15 Removed trailing space in v~: wafuatilie kwa tufani yako

PSA 83:15 Removed trailing space in p~: na kuwafadhaisha kwa dhoruba yako.

PSA 83:16 Removed trailing space in v~: Funika nyuso zao kwa aibu

PSA 83:16 Removed trailing space in p~: ili watu walitafute jina lako, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 83:17 Removed trailing space in v~: Wao na waaibishwe na kufadhaishwa milele,

PSA 83:17 Removed trailing space in p~: na waangamie kwa aibu.

PSA 83:18 Removed trailing space in v~: Hebu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni \nd Bwana\nd*,

PSA 83:18 Removed trailing space in p~: kwamba wewe peke yako ndiwe Uliye Juu Sana ya dunia yote.

PSA 84:0 Extra space after chapter number

PSA 84:0 Removed trailing space in c: 84

PSA 84:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 84

PSA 84:0 Removed trailing space in s1: Kuionea Shauku Nyumba Ya Mungu

PSA 84:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya wana wa Kora.

PSA 84:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

PSA 84:1 Removed trailing space in p~: makao yako yapendeza kama nini!

PSA 84:2 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu inatamani sana,

PSA 84:2 Removed trailing space in p~: naam, hata kuona shauku,

PSA 84:2 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya nyua za \nd Bwana\nd*;

PSA 84:2 Removed trailing space in p~: moyo wangu na mwili wangu

PSA 84:2 Removed trailing space in p~: vinamlilia Mungu Aliye Hai.

PSA 84:3 Removed trailing space in v~: Hata shomoro amejipatia makao,

PSA 84:3 Removed trailing space in p~: mbayuwayu amejipatia kiota

PSA 84:3 Removed trailing space in p~: mahali awezapo kuweka makinda yake:

PSA 84:3 Removed trailing space in p~: mahali karibu na madhabahu yako,

PSA 84:3 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

PSA 84:3 Removed trailing space in p~: Mfalme wangu na Mungu wangu.

PSA 84:4 Removed trailing space in v~: Heri wale wanaokaa nyumbani mwako,

PSA 84:4 Removed trailing space in p~: wanaokusifu wewe daima.

PSA 84:5 Removed trailing space in v~: Heri wale ambao nguvu zao ziko kwako,

PSA 84:5 Removed trailing space in p~: na njia ziendazo Sayuni zimo mioyoni mwao.

PSA 84:6 Removed trailing space in v~: Wanapopita katika Bonde la Baka,\f + \fr 84:6 \ft Yaani Bonde la Vilio.\f*

PSA 84:6 Removed trailing space in p~: hulifanya mahali pa chemchemi,

PSA 84:6 Removed trailing space in p~: pia mvua za vuli hulijaza kwa madimbwi.\f + \fr 84:6 \ft Au: baraka.\f*

PSA 84:7 Removed trailing space in v~: Huendelea toka nguvu hadi nguvu,

PSA 84:7 Removed trailing space in p~: hadi kila mmoja afikapo

PSA 84:7 Removed trailing space in p~: mbele za Mungu huko Sayuni.

PSA 84:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, sikia maombi yangu;

PSA 84:8 Removed trailing space in p~: nisikilize, Ee Mungu wa Yakobo.

PSA 84:9 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, uitazame ngao yetu,

PSA 84:9 Removed trailing space in p~: mtazame kwa wema mpakwa mafuta wako.

PSA 84:10 Removed trailing space in v~: Siku moja katika nyua zako ni bora

PSA 84:10 Removed trailing space in p~: kuliko siku elfu mahali pengine;

PSA 84:10 Removed trailing space in p~: afadhali ningekuwa bawabu katika nyumba ya Mungu wangu

PSA 84:10 Removed trailing space in p~: kuliko kukaa katika mahema ya waovu.

PSA 84:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni jua na ngao,

PSA 84:11 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* hutoa wema na heshima;

PSA 84:11 Removed trailing space in p~: hakuna kitu chema anachowanyima

PSA 84:11 Removed trailing space in p~: wale ambao hawana hatia.

PSA 84:12 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

PSA 84:12 Removed trailing space in p~: heri ni mtu yule anayekutumaini wewe.

PSA 85:0 Extra space after chapter number

PSA 85:0 Removed trailing space in c: 85

PSA 85:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 85

PSA 85:0 Removed trailing space in s1: Maombi Kwa Ajili Ya Ustawi Wa Taifa

PSA 85:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.

PSA 85:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ulionyesha wema kwa nchi yako.

PSA 85:1 Removed trailing space in p~: Ulimrejeshea Yakobo baraka zake.\f + \fr 85:1 \ft Au: Uliwarudisha mateka wa Yakobo.\f*

PSA 85:2 Removed trailing space in v~: Ulisamehe uovu wa watu wako,

PSA 85:2 Removed trailing space in p~: na kufunika dhambi zao zote.

PSA 85:3 Removed trailing space in v~: Uliweka kando ghadhabu yako yote

PSA 85:3 Removed trailing space in p~: na umegeuka na kuiacha hasira yako kali.

PSA 85:4 Removed trailing space in v~: Ee Mungu Mwokozi wetu, uturejeshe tena,

PSA 85:4 Removed trailing space in p~: nawe uiondoe chuki yako juu yetu.

PSA 85:5 Removed trailing space in v~: Je, utatukasirikia milele?

PSA 85:5 Removed trailing space in p~: Utaendeleza hasira yako kwa vizazi vyote?

PSA 85:6 Removed trailing space in v~: Je, hutatuhuisha tena,

PSA 85:6 Removed trailing space in p~: ili watu wako wakufurahie?

PSA 85:7 Removed trailing space in v~: Utuonyeshe upendo wako usiokoma, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 85:7 Removed trailing space in p~: utupe wokovu wako.

PSA 85:8 Removed trailing space in v~: Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye \nd Bwana\nd*;

PSA 85:8 Removed trailing space in p~: anaahidi amani kwa watu wake, watakatifu wake:

PSA 85:8 Removed trailing space in p~: lakini nao wasirudie upumbavu.

PSA 85:9 Removed trailing space in v~: Hakika wokovu wake uko karibu na wale wamchao,

PSA 85:9 Removed trailing space in p~: ili utukufu wake udumu katika nchi yetu.

PSA 85:10 Removed trailing space in v~: Upendo na uaminifu hukutana pamoja,

PSA 85:10 Removed trailing space in p~: haki na amani hubusiana.

PSA 85:11 Removed trailing space in v~: Uaminifu huchipua kutoka nchi,

PSA 85:11 Removed trailing space in p~: haki hutazama chini kutoka mbinguni.

PSA 85:12 Removed trailing space in v~: Naam, hakika \nd Bwana\nd* atatoa kilicho chema,

PSA 85:12 Removed trailing space in p~: nayo nchi yetu itazaa mavuno yake.

PSA 85:13 Removed trailing space in v~: Haki itatangulia mbele yake

PSA 85:13 Removed trailing space in p~: na kutengeneza njia kwa ajili ya hatua zake.

PSA 86:0 Extra space after chapter number

PSA 86:0 Removed trailing space in c: 86

PSA 86:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 86

PSA 86:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 86:0 Removed trailing space in d: Maombi ya Daudi.

PSA 86:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, sikia na unijibu,

PSA 86:1 Removed trailing space in p~: kwa maana mimi ni maskini na mhitaji.

PSA 86:2 Removed trailing space in v~: Linda maisha yangu, kwa maana nimejiweka kwako,

PSA 86:2 Removed trailing space in p~: wewe ni Mungu wangu,

PSA 86:2 Removed trailing space in p~: mwokoe mtumishi wako anayekutumaini.

PSA 86:3 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nihurumie mimi,

PSA 86:3 Removed trailing space in p~: kwa maana ninakuita mchana kutwa.

PSA 86:4 Removed trailing space in v~: Mpe mtumishi wako furaha,

PSA 86:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kwako wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 86:4 Removed trailing space in p~: ninainua nafsi yangu.

PSA 86:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe ni mwema na mwenye kusamehe,

PSA 86:5 Removed trailing space in p~: umejaa upendo kwa wote wakuitao.

PSA 86:6 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, sikia maombi yangu,

PSA 86:6 Removed trailing space in p~: sikiliza kilio changu unihurumie.

PSA 86:7 Removed trailing space in v~: Katika siku ya shida yangu nitakuita,

PSA 86:7 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe utanijibu.

PSA 86:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, katikati ya miungu hakuna kama wewe,

PSA 86:8 Removed trailing space in p~: hakuna matendo ya kulinganishwa na yako.

PSA 86:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mataifa yote uliyoyafanya

PSA 86:9 Removed trailing space in p~: yatakuja na kuabudu mbele zako;

PSA 86:9 Removed trailing space in p~: wataliletea utukufu jina lako.

PSA 86:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana wewe ni mkuu, na unafanya mambo ya ajabu;

PSA 86:10 Removed trailing space in p~: wewe peke yako ndiwe Mungu.

PSA 86:11 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nifundishe njia yako,

PSA 86:11 Removed trailing space in p~: nami nitakwenda katika kweli yako;

PSA 86:11 Removed trailing space in p~: nipe moyo usiositasita,

PSA 86:11 Removed trailing space in p~: ili niweze kulicha jina lako.

PSA 86:12 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* wangu, nitakusifu kwa moyo wote;

PSA 86:12 Removed trailing space in p~: nitaliadhimisha jina lako milele.

PSA 86:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana upendo wako ni mkuu kwangu;

PSA 86:13 Removed trailing space in p~: umeniokoa kutoka kwenye vilindi vya kaburi.\f + \fr 86:13 \ft Yaani Kuzimu.\f*

PSA 86:14 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, wenye majivuno wananishambulia;

PSA 86:14 Removed trailing space in p~: kundi la watu wakatili linatafuta uhai wangu:

PSA 86:14 Removed trailing space in p~: watu wasiokuheshimu wewe.

PSA 86:15 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee \nd Bwana\nd*, ni Mungu wa huruma na neema,

PSA 86:15 Removed trailing space in p~: si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo na uaminifu.

PSA 86:16 Removed trailing space in v~: Nigeukie na unihurumie;

PSA 86:16 Removed trailing space in p~: mpe mtumishi wako nguvu zako,

PSA 86:16 Removed trailing space in p~: mwokoe mwana wa mtumishi wako wa kike.\f + \fr 86:16 \ft Au: mwokoe mwanao mwaminifu.\f*

PSA 86:17 Removed trailing space in v~: Nipe ishara ya wema wako,

PSA 86:17 Removed trailing space in p~: ili adui zangu waione nao waaibishwe,

PSA 86:17 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 86:17 Removed trailing space in p~: umenisaidia na kunifariji.

PSA 87:0 Extra space after chapter number

PSA 87:0 Removed trailing space in c: 87

PSA 87:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 87

PSA 87:0 Removed trailing space in s1: Sifa Za Yerusalemu

PSA 87:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo.

PSA 87:1 Removed trailing space in v~: Ameuweka msingi wake katika mlima mtakatifu;

PSA 87:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anayapenda malango ya Sayuni

PSA 87:2 Removed trailing space in p~: kuliko makao yote ya Yakobo.

PSA 87:3 Removed trailing space in v~: Mambo matukufu yanasemwa juu yako,

PSA 87:3 Removed trailing space in p~: ee mji wa Mungu:

PSA 87:4 Removed trailing space in v~: “Nitaweka kumbukumbu ya Rahabu\f + \fr 87:4 \ft Rahabu hapa ni jina la ushairi la Misri.\f* na Babeli

PSA 87:4 Removed trailing space in p~: miongoni mwa wale wanaonikubali mimi:

PSA 87:4 Removed trailing space in p~: Ufilisti pia na Tiro, pamoja na Kushi,\f + \fr 87:4 \ft Kushi hapa ina maana ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.\f*

PSA 87:4 Removed trailing space in p~: nami nitasema, ‘Huyu alizaliwa Sayuni.’ ”

PSA 87:5 Removed trailing space in v~: Kuhusu Sayuni itasemwa hivi,

PSA 87:5 Removed trailing space in p~: “Huyu na yule walizaliwa humo,

PSA 87:5 Removed trailing space in p~: naye Aliye Juu Sana mwenyewe

PSA 87:5 Removed trailing space in p~: atamwimarisha.”

PSA 87:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataandika katika orodha ya mataifa:

PSA 87:6 Removed trailing space in p~: “Huyu alizaliwa Sayuni.”

PSA 87:7 Removed trailing space in v~: Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba,

PSA 87:7 Removed trailing space in p~: “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”

PSA 88:0 Extra space after chapter number

PSA 88:0 Removed trailing space in c: 88

PSA 88:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 88

PSA 88:0 Removed trailing space in s1: Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada

PSA 88:0 Removed trailing space in d: Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi.

PSA 88:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu uniokoaye,

PSA 88:1 Removed trailing space in p~: nimelia mbele zako usiku na mchana.

PSA 88:2 Removed trailing space in v~: Maombi yangu yafike mbele zako,

PSA 88:2 Removed trailing space in p~: utegee kilio changu sikio lako.

PSA 88:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu,

PSA 88:3 Removed trailing space in p~: na maisha yangu yanakaribia kaburi.\f + \fr 88:3 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f*

PSA 88:4 Removed trailing space in v~: Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni,

PSA 88:4 Removed trailing space in p~: niko kama mtu asiye na nguvu.

PSA 88:5 Removed trailing space in v~: Nimetengwa pamoja na wafu,

PSA 88:5 Removed trailing space in p~: kama waliochinjwa walalao kaburini,

PSA 88:5 Removed trailing space in p~: ambao huwakumbuki tena,

PSA 88:5 Removed trailing space in p~: ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.

PSA 88:6 Removed trailing space in v~: Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana,

PSA 88:6 Removed trailing space in p~: katika vina vya giza nene.

PSA 88:7 Removed trailing space in v~: Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu,

PSA 88:7 Removed trailing space in p~: umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.

PSA 88:8 Removed trailing space in v~: Umenitenga na rafiki zangu wa karibu

PSA 88:8 Removed trailing space in p~: na kunifanya chukizo kwao.

PSA 88:8 Removed trailing space in p~: Nimezuiliwa, wala siwezi kutoroka;

PSA 88:9 Removed trailing space in v~: nuru ya macho yangu

PSA 88:9 Removed trailing space in p~: imefifia kwa ajili ya huzuni.

PSA 88:9 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, ninakuita kila siku,

PSA 88:9 Removed trailing space in p~: ninakunyooshea wewe mikono yangu.

PSA 88:10 Removed trailing space in v~: Je, wewe huwaonyesha wafu maajabu yako?

PSA 88:10 Removed trailing space in p~: Je, wale waliokufa huinuka na kukusifu?

PSA 88:11 Removed trailing space in v~: Je, upendo wako hutangazwa kaburini,

PSA 88:11 Removed trailing space in p~: uaminifu wako katika Uharibifu?\f + \fr 88:11 \ft Yaani \fqa Abadon\ft . \f*

PSA 88:11 Found footnote ending with space in \p~: uaminifu wako katika Uharibifu?\f + \fr 88:11 \ft Yaani \fqa Abadon\ft . \f*

PSA 88:12 Removed trailing space in v~: Je, maajabu yako hujulikana mahali pa giza,

PSA 88:12 Removed trailing space in p~: au matendo yako ya haki katika nchi ya usahaulifu?

PSA 88:13 Removed trailing space in v~: Lakini ninakulilia wewe, Ee \nd Bwana\nd*, unisaidie;

PSA 88:13 Removed trailing space in p~: asubuhi maombi yangu huja mbele zako.

PSA 88:14 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kwa nini unanikataa

PSA 88:14 Removed trailing space in p~: na kunificha uso wako?

PSA 88:15 Removed trailing space in v~: Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo;

PSA 88:15 Removed trailing space in p~: nimepatwa na hofu zako, nami nimekata tamaa.

PSA 88:16 Removed trailing space in v~: Ghadhabu yako imepita juu yangu;

PSA 88:16 Removed trailing space in p~: hofu zako zimeniangamiza.

PSA 88:17 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa zinanizunguka kama mafuriko;

PSA 88:17 Removed trailing space in p~: zimenimeza kabisa.

PSA 88:18 Removed trailing space in v~: Umeniondolea marafiki na wapendwa wangu;

PSA 88:18 Removed trailing space in p~: giza limekuwa ndilo rafiki yangu wa karibu kuliko wote.

PSA 89:0 Extra space after chapter number

PSA 89:0 Removed trailing space in c: 89

PSA 89:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 89

PSA 89:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wakati Wa Taabu Ya Kitaifa

PSA 89:0 Removed trailing space in d: Utenzi wa Ethani Mwezrahi.

PSA 89:1 Removed trailing space in v~: Nitaimba juu ya upendo mkuu wa \nd Bwana\nd* milele;

PSA 89:1 Removed trailing space in p~: kwa kinywa changu nitajulisha uaminifu wako

PSA 89:1 Removed trailing space in p~: ujulikane kwa vizazi vyote.

PSA 89:2 Removed trailing space in v~: Nitatangaza kuwa upendo wako unasimama imara milele

PSA 89:2 Removed trailing space in p~: na uaminifu wako umeuthibitisha mbinguni.

PSA 89:3 Removed trailing space in v~: Ulisema, “Nimefanya agano na mteule wangu,

PSA 89:3 Removed trailing space in p~: nimemwapia mtumishi wangu Daudi,

PSA 89:4 Removed trailing space in v~: ‘Nitaimarisha uzao wako milele

PSA 89:4 Removed trailing space in p~: na kudumisha ufalme wako kwa vizazi vyote.’ ”

PSA 89:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mbingu zinayasifu maajabu yako,

PSA 89:5 Removed trailing space in p~: uaminifu wako pia katika kusanyiko la watakatifu.

PSA 89:6 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ni nani katika mbingu

PSA 89:6 Removed trailing space in p~: anayeweza kulinganishwa na \nd Bwana\nd*?

PSA 89:6 Removed trailing space in p~: Ni nani miongoni mwa viumbe vya mbinguni

PSA 89:6 Removed trailing space in p~: aliye kama \nd Bwana\nd*?

PSA 89:7 Removed trailing space in v~: Katika kusanyiko la watakatifu, Mungu huogopwa sana,

PSA 89:7 Removed trailing space in p~: anahofiwa kuliko wote wanaomzunguka.

PSA 89:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

PSA 89:8 Removed trailing space in p~: ni nani aliye kama wewe?

PSA 89:8 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe ni mwenye nguvu,

PSA 89:8 Removed trailing space in p~: na uaminifu wako unakuzunguka.

PSA 89:9 Removed trailing space in v~: Wewe unatawala bahari yenye msukosuko;

PSA 89:9 Removed trailing space in p~: wakati mawimbi yake yanapoinuka, wewe unayatuliza.

PSA 89:10 Removed trailing space in v~: Wewe ulimponda Rahabu\f + \fr 89:10 \ft Rahabu hapa ina maana jina la Misri kwa fumbo, yaani mwenye majivuno (lakini sio Rahabu wa Yos 2).\f*

PSA 89:10 Removed trailing space in p~: kama mmojawapo wa waliochinjwa;

PSA 89:10 Removed trailing space in p~: kwa mkono wako wenye nguvu,

PSA 89:10 Removed trailing space in p~: uliwatawanya adui zako.

PSA 89:11 Removed trailing space in v~: Mbingu ni zako, nayo nchi pia ni yako,

PSA 89:11 Removed trailing space in p~: uliuwekea ulimwengu msingi

PSA 89:11 Removed trailing space in p~: pamoja na vyote vilivyomo.

PSA 89:12 Removed trailing space in v~: Uliumba kaskazini na kusini;

PSA 89:12 Removed trailing space in p~: Tabori na Hermoni wanaliimbia jina lako kwa furaha.

PSA 89:13 Removed trailing space in v~: Mkono wako umejaa uwezo;

PSA 89:13 Removed trailing space in p~: mkono wako una nguvu,

PSA 89:13 Removed trailing space in p~: mkono wako wa kuume umetukuzwa.

PSA 89:14 Removed trailing space in v~: Haki na hukumu ndio msingi wa kiti chako cha enzi;

PSA 89:14 Removed trailing space in p~: upendo na uaminifu vinakutangulia.

PSA 89:15 Removed trailing space in v~: Heri ni wale ambao wamejifunza kukusifu kwa shangwe,

PSA 89:15 Removed trailing space in p~: wanaotembea katika mwanga

PSA 89:15 Removed trailing space in p~: wa uwepo wako, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 89:16 Removed trailing space in v~: Wanashangilia katika jina lako mchana kutwa,

PSA 89:16 Removed trailing space in p~: wanafurahi katika haki yako.

PSA 89:17 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wewe ni utukufu na nguvu yao,

PSA 89:17 Removed trailing space in p~: kwa wema wako unatukuza pembe\f + \fr 89:17 \ft Pembe inawakilisha nguvu.\f* yetu.

PSA 89:18 Removed trailing space in v~: Naam, ngao yetu ni mali ya \nd Bwana\nd*,

PSA 89:18 Removed trailing space in p~: na mfalme wetu mali ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.

PSA 89:19 Removed trailing space in v~: Ulizungumza wakati fulani katika maono,

PSA 89:19 Removed trailing space in p~: kwa watu wako waaminifu, ukasema:

PSA 89:19 Removed trailing space in p~: “Nimeweka nguvu kwa shujaa,

PSA 89:19 Removed trailing space in p~: nimemwinua kijana miongoni mwa watu.

PSA 89:20 Removed trailing space in v~: Nimemwona Daudi, mtumishi wangu,

PSA 89:20 Removed trailing space in p~: na nimemtia mafuta yangu matakatifu.

PSA 89:21 Removed trailing space in v~: Kitanga changu kitamtegemeza,

PSA 89:21 Removed trailing space in p~: hakika mkono wangu utamtia nguvu.

PSA 89:22 Removed trailing space in v~: Hakuna adui atakayemtoza ushuru,

PSA 89:22 Removed trailing space in p~: hakuna mtu mwovu atakayemwonea.

PSA 89:23 Removed trailing space in v~: Nitawaponda adui zake mbele zake

PSA 89:23 Removed trailing space in p~: na kuwaangamiza watesi wake.

PSA 89:24 Removed trailing space in v~: Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye,

PSA 89:24 Removed trailing space in p~: kwa Jina langu pembe yake itatukuzwa.

PSA 89:25 Removed trailing space in v~: Nitauweka mkono wake juu ya bahari,

PSA 89:25 Removed trailing space in p~: mkono wake wa kuume juu ya mito.

PSA 89:26 Removed trailing space in v~: Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu,

PSA 89:26 Removed trailing space in p~: Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’

PSA 89:27 Removed trailing space in v~: Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza,

PSA 89:27 Removed trailing space in p~: aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.

PSA 89:28 Removed trailing space in v~: Nitadumisha upendo wangu kwake milele,

PSA 89:28 Removed trailing space in p~: na agano langu naye litakuwa imara.

PSA 89:29 Removed trailing space in v~: Nitaudumisha uzao wake milele,

PSA 89:29 Removed trailing space in p~: kiti chake cha enzi kama mbingu zinavyodumu.

PSA 89:30 Removed trailing space in v~: “Kama wanae wataacha amri yangu

PSA 89:30 Removed trailing space in p~: na wasifuate sheria zangu,

PSA 89:31 Removed trailing space in v~: kama wakihalifu maagizo yangu

PSA 89:31 Removed trailing space in p~: na kutoshika amri zangu,

PSA 89:32 Removed trailing space in v~: nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo,

PSA 89:32 Removed trailing space in p~: uovu wao kwa kuwapiga,

PSA 89:33 Removed trailing space in v~: lakini sitauondoa upendo wangu kwake,

PSA 89:33 Removed trailing space in p~: wala sitausaliti uaminifu wangu kamwe.

PSA 89:34 Removed trailing space in v~: Mimi sitavunja agano langu

PSA 89:34 Removed trailing space in p~: wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.

PSA 89:35 Removed trailing space in v~: Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu,

PSA 89:35 Removed trailing space in p~: nami sitamdanganya Daudi:

PSA 89:36 Removed trailing space in v~: kwamba uzao wake utaendelea milele,

PSA 89:36 Removed trailing space in p~: na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;

PSA 89:37 Removed trailing space in v~: kitaimarishwa milele kama mwezi,

PSA 89:37 Removed trailing space in p~: shahidi mwaminifu angani.”

PSA 89:38 Removed trailing space in v~: Lakini wewe umemkataa, umemdharau,

PSA 89:38 Removed trailing space in p~: umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.

PSA 89:39 Removed trailing space in v~: Umelikana agano lako na mtumishi wako,

PSA 89:39 Removed trailing space in p~: na umeinajisi taji yake mavumbini.

PSA 89:40 Removed trailing space in v~: Umebomoa kuta zake zote,

PSA 89:40 Removed trailing space in p~: na ngome zake zote umezifanya kuwa magofu.

PSA 89:41 Removed trailing space in v~: Wote wapitao karibu wamemnyangʼanya mali zake;

PSA 89:41 Removed trailing space in p~: amekuwa dharau kwa jirani zake.

PSA 89:42 Removed trailing space in v~: Umeutukuza mkono wa kuume wa adui zake,

PSA 89:42 Removed trailing space in p~: umewafanya watesi wake wote washangilie.

PSA 89:43 Removed trailing space in v~: Umegeuza makali ya upanga wake,

PSA 89:43 Removed trailing space in p~: na hukumpa msaada katika vita.

PSA 89:44 Removed trailing space in v~: Umeikomesha fahari yake,

PSA 89:44 Removed trailing space in p~: na kukiangusha kiti chake cha enzi.

PSA 89:45 Removed trailing space in v~: Umezifupisha siku za ujana wake,

PSA 89:45 Removed trailing space in p~: umemfunika kwa vazi la aibu.

PSA 89:46 Removed trailing space in v~: Hata lini, Ee \nd Bwana\nd*? Utajificha milele?

PSA 89:46 Removed trailing space in p~: Ghadhabu yako itawaka kama moto hata lini?

PSA 89:47 Removed trailing space in v~: Kumbuka jinsi maisha yangu yanavyopita haraka.

PSA 89:47 Removed trailing space in p~: Ni kwa ubatili kiasi gani umemuumba mwanadamu!

PSA 89:48 Removed trailing space in v~: Ni mtu gani awezaye kuishi na asione kifo,

PSA 89:48 Removed trailing space in p~: au kujiokoa mwenyewe kutoka nguvu za kaburi?\f + \fr 89:48 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f*

PSA 89:49 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uko wapi upendo wako mkuu wa mwanzoni,

PSA 89:49 Removed trailing space in p~: ambao katika uaminifu wako ulimwapia Daudi?

PSA 89:50 Removed trailing space in v~: Bwana kumbuka jinsi mtumishi wako amesimangwa,

PSA 89:50 Removed trailing space in p~: jinsi ninavyovumilia moyoni mwangu dhihaka za mataifa yote,

PSA 89:51 Removed trailing space in v~: dhihaka ambazo kwazo adui zako

PSA 89:51 Removed trailing space in p~: wamenisimanga, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 89:51 Removed trailing space in p~: ambazo kwazo wamesimanga

PSA 89:51 Removed trailing space in p~: kila hatua ya mpakwa mafuta wako.

PSA 89:52 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd* milele!

PSA 89:52 Removed trailing space in qc: Amen na Amen.

PSA 90:0 Extra space after chapter number

PSA 90:0 Removed trailing space in c: 90

PSA 90:0 Removed trailing space in ms1: KITABU CHA NNE

PSA 90:0 Removed trailing space in mr: (Zaburi 90–106)

PSA 90:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 90

PSA 90:0 Removed trailing space in s1: Umilele Wa Mungu Na Udhaifu Wa Mwanadamu

PSA 90:0 Removed trailing space in d: Maombi ya Mose, mtu wa Mungu.

PSA 90:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, wewe umekuwa makao yetu

PSA 90:1 Removed trailing space in p~: katika vizazi vyote.

PSA 90:2 Removed trailing space in v~: Kabla ya kuzaliwa milima

PSA 90:2 Removed trailing space in p~: au hujaumba dunia na ulimwengu,

PSA 90:2 Removed trailing space in p~: wewe ni Mungu tangu milele hata milele.

PSA 90:3 Removed trailing space in v~: Huwarudisha watu mavumbini,

PSA 90:3 Removed trailing space in p~: ukisema, “Rudini mavumbini, enyi wanadamu.”

PSA 90:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwako miaka elfu

PSA 90:4 Removed trailing space in p~: ni kama siku moja iliyokwisha pita,

PSA 90:4 Removed trailing space in p~: au kama kesha la usiku.

PSA 90:5 Removed trailing space in v~: Unawatowesha wanadamu katika usingizi wa kifo,

PSA 90:5 Removed trailing space in p~: nao ni kama majani machanga ya asubuhi:

PSA 90:6 Removed trailing space in v~: ingawa asubuhi yanachipua,

PSA 90:6 Removed trailing space in p~: ifikapo jioni huwa yamenyauka na kukauka.

PSA 90:7 Removed trailing space in v~: Tumeangamizwa kwa hasira yako

PSA 90:7 Removed trailing space in p~: na tumetishwa kwa ghadhabu yako.

PSA 90:8 Removed trailing space in v~: Umeyaweka maovu yetu mbele yako,

PSA 90:8 Removed trailing space in p~: dhambi zetu za siri katika nuru ya uwepo wako.

PSA 90:9 Removed trailing space in v~: Tumeishi siku zetu zote chini ya ghadhabu yako,

PSA 90:9 Removed trailing space in p~: tunamaliza miaka yetu kwa kuomboleza.

PSA 90:10 Removed trailing space in v~: Siku zetu za kuishi ni miaka sabini,

PSA 90:10 Removed trailing space in p~: au miaka themanini ikiwa tuna nguvu,

PSA 90:10 Removed trailing space in p~: lakini yote ni ya shida na taabu,

PSA 90:10 Removed trailing space in p~: nazo zapita haraka, nasi twatoweka.

PSA 90:11 Removed trailing space in v~: Ni nani ajuaye nguvu za hasira yako?

PSA 90:11 Removed trailing space in p~: Kwa maana ghadhabu yako ni kubwa

PSA 90:11 Removed trailing space in p~: kama hofu tunayopaswa kuwa nayo kwako.

PSA 90:12 Removed trailing space in v~: Tufundishe kuzihesabu siku zetu vizuri,

PSA 90:12 Removed trailing space in p~: ili tujipatie moyo wa hekima.

PSA 90:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uwe na huruma! Utakawia hata lini?

PSA 90:13 Removed trailing space in p~: Wahurumie watumishi wako.

PSA 90:14 Removed trailing space in v~: Tushibishe asubuhi kwa upendo wako usiokoma,

PSA 90:14 Removed trailing space in p~: ili tuweze kuimba kwa shangwe na kufurahi siku zetu zote.

PSA 90:15 Removed trailing space in v~: Utufurahishe kulingana na siku ulizotuadhibu,

PSA 90:15 Removed trailing space in p~: kulingana na miaka tuliyotaabika.

PSA 90:16 Removed trailing space in v~: Matendo yako na yaonekane kwa watumishi wako,

PSA 90:16 Removed trailing space in p~: utukufu wako kwa watoto wao.

PSA 90:17 Removed trailing space in v~: Wema wa \nd Bwana\nd* Mungu wetu uwe juu yetu;

PSA 90:17 Removed trailing space in p~: uzithibitishe kazi za mikono yetu:

PSA 90:17 Removed trailing space in p~: naam, uzithibitishe kazi za mikono yetu.

PSA 91:0 Extra space after chapter number

PSA 91:0 Removed trailing space in c: 91

PSA 91:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 91

PSA 91:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mlinzi Wetu

PSA 91:1 Removed trailing space in v~: Yeye akaaye mahali pa salama pake Yeye Aliye Juu Sana,

PSA 91:1 Removed trailing space in p~: atadumu katika uvuli wake Mwenyezi.\f + \fr 91:1 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.\f*

PSA 91:2 Removed trailing space in v~: Nitasema kumhusu \nd Bwana\nd*, “Yeye ndiye kimbilio langu na ngome yangu,

PSA 91:2 Removed trailing space in p~: Mungu wangu, ambaye ninamtumaini.”

PSA 91:3 Removed trailing space in v~: Hakika yeye ataniokoa na mtego wa mwindaji,

PSA 91:3 Removed trailing space in p~: na maradhi ya kuambukiza ya kuua.

PSA 91:4 Removed trailing space in v~: Atakufunika kwa manyoya yake,

PSA 91:4 Removed trailing space in p~: chini ya mbawa zake utapata kimbilio,

PSA 91:4 Removed trailing space in p~: uaminifu wake utakuwa ngao na kinga yako.

PSA 91:5 Removed trailing space in v~: Hutaogopa vitisho vya usiku,

PSA 91:5 Removed trailing space in p~: wala mshale urukao mchana,

PSA 91:6 Removed trailing space in v~: wala maradhi ya kuambukiza

PSA 91:6 Removed trailing space in p~: yanayonyemelea gizani,

PSA 91:6 Removed trailing space in p~: wala tauni iharibuyo adhuhuri.

PSA 91:7 Removed trailing space in v~: Ijapo watu elfu wataangukia kando yako,

PSA 91:7 Removed trailing space in p~: kumi elfu mkono wako wa kuume,

PSA 91:7 Removed trailing space in p~: lakini haitakukaribia wewe.

PSA 91:8 Removed trailing space in v~: Utatazama tu kwa macho yako

PSA 91:8 Removed trailing space in p~: na kuona adhabu ya waovu.

PSA 91:9 Removed trailing space in v~: Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako:

PSA 91:9 Removed trailing space in p~: naam, \nd Bwana\nd* ambaye ni kimbilio langu,

PSA 91:10 Removed trailing space in v~: basi hakuna madhara yatakayokupata wewe,

PSA 91:10 Removed trailing space in p~: hakuna maafa yataikaribia hema yako.

PSA 91:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa atawaagiza malaika zake kwa ajili yako,

PSA 91:11 Removed trailing space in p~: wakulinde katika njia zako zote.

PSA 91:12 Removed trailing space in v~: Mikononi mwao watakuinua,

PSA 91:12 Removed trailing space in p~: ili usijikwae mguu wako kwenye jiwe.

PSA 91:13 Removed trailing space in v~: Utawakanyaga simba na nyoka wakali,

PSA 91:13 Removed trailing space in p~: simba mkubwa na nyoka utawaponda kwa miguu.

PSA 91:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa;

PSA 91:14 Removed trailing space in p~: nitamlinda, kwa kuwa analikiri Jina langu.

PSA 91:15 Removed trailing space in v~: Ataniita, nami nitamjibu;

PSA 91:15 Removed trailing space in p~: nitakuwa pamoja naye katika taabu,

PSA 91:15 Removed trailing space in p~: nitamwokoa na kumheshimu.

PSA 91:16 Removed trailing space in v~: Kwa siku nyingi nitamshibisha

PSA 91:16 Removed trailing space in p~: na kumwonyesha wokovu wangu.”

PSA 92:0 Extra space after chapter number

PSA 92:0 Removed trailing space in c: 92

PSA 92:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 92

PSA 92:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Kumsifu Mungu

PSA 92:0 Removed trailing space in d: Zaburi. Wimbo wa siku ya Sabato.

PSA 92:1 Removed trailing space in v~: Ni vyema kumshukuru \nd Bwana\nd*

PSA 92:1 Removed trailing space in p~: na kuliimbia jina lako, Ee Uliye Juu Sana,

PSA 92:2 Removed trailing space in v~: kuutangaza upendo wako asubuhi,

PSA 92:2 Removed trailing space in p~: na uaminifu wako wakati wa usiku,

PSA 92:3 Removed trailing space in v~: kwa zeze yenye nyuzi kumi

PSA 92:3 Removed trailing space in p~: na kwa sauti ya kinubi.

PSA 92:4 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kwa kuwa matendo yako yamenifurahisha,

PSA 92:4 Removed trailing space in p~: nitaziimba kwa shangwe kazi za mikono yako.

PSA 92:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, tazama jinsi yalivyo makuu matendo yako,

PSA 92:5 Removed trailing space in p~: tazama jinsi yalivyo ya kina mawazo yako!

PSA 92:6 Removed trailing space in v~: Mjinga hafahamu,

PSA 92:6 Removed trailing space in p~: mpumbavu haelewi,

PSA 92:7 Removed trailing space in v~: ingawa waovu huchipua kama majani

PSA 92:7 Removed trailing space in p~: na wote watendao mabaya wanastawi,

PSA 92:7 Removed trailing space in p~: wataangamizwa milele.

PSA 92:8 Removed trailing space in v~: Bali wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 92:8 Removed trailing space in p~: utatukuzwa milele.

PSA 92:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, hakika adui zako,

PSA 92:9 Removed trailing space in p~: hakika adui zako wataangamia.

PSA 92:9 Removed trailing space in p~: Wote watendao mabaya watatawanyika.

PSA 92:10 Removed trailing space in v~: Umeitukuza pembe\f + \fr 92:10 \ft Pembe inawakilisha nguvu.\f* yangu kama ile ya nyati dume,

PSA 92:10 Removed trailing space in p~: mafuta mazuri yamemiminwa juu yangu.

PSA 92:11 Removed trailing space in v~: Macho yangu yamewaona adui zangu wakishindwa,

PSA 92:11 Removed trailing space in p~: masikio yangu yamesikia maangamizi ya adui zangu waovu.

PSA 92:12 Removed trailing space in v~: Wenye haki watastawi kama mtende,

PSA 92:12 Removed trailing space in p~: watakuwa kama mwerezi wa Lebanoni,

PSA 92:13 Removed trailing space in v~: waliopandwa katika nyumba ya \nd Bwana\nd*,

PSA 92:13 Removed trailing space in p~: watastawi katika nyua za Mungu wetu.

PSA 92:14 Removed trailing space in v~: Wakati wa uzee watakuwa bado wanazaa matunda,

PSA 92:14 Removed trailing space in p~: watakuwa wabichi tena wamejaa nguvu,

PSA 92:15 Removed trailing space in v~: wakitangaza, “\nd Bwana\nd* ni mkamilifu;

PSA 92:15 Removed trailing space in p~: yeye ni Mwamba wangu,

PSA 92:15 Removed trailing space in p~: na ndani yake hamna uovu.”

PSA 93:0 Extra space after chapter number

PSA 93:0 Removed trailing space in c: 93

PSA 93:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 93

PSA 93:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mfalme

PSA 93:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anatawala, amejivika utukufu;

PSA 93:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amejivika utukufu

PSA 93:1 Removed trailing space in p~: tena amejivika nguvu.

PSA 93:1 Removed trailing space in p~: Dunia imewekwa imara,

PSA 93:1 Removed trailing space in p~: haitaondoshwa.

PSA 93:2 Removed trailing space in v~: Kiti chako cha enzi kimekuwa thabiti tangu zamani;

PSA 93:2 Removed trailing space in p~: wewe umekuwako tangu milele.

PSA 93:3 Removed trailing space in v~: Bahari zimeinua, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 93:3 Removed trailing space in p~: bahari zimeinua sauti zake;

PSA 93:3 Removed trailing space in p~: bahari zimeinua sauti za mawimbi yake.

PSA 93:4 Removed trailing space in v~: Yeye ni mkuu kuliko ngurumo ya maji makuu,

PSA 93:4 Removed trailing space in p~: ni mkuu kuliko mawimbi ya bahari:

PSA 93:4 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* aishiye juu sana ni mkuu.

PSA 93:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, sheria zako ni imara;

PSA 93:5 Removed trailing space in p~: utakatifu umepamba nyumba yako

PSA 93:5 Removed trailing space in p~: pasipo mwisho.

PSA 94:0 Extra space after chapter number

PSA 94:0 Removed trailing space in c: 94

PSA 94:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 94

PSA 94:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mlipiza Kisasi Kwa Ajili Ya Wenye Haki

PSA 94:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ulipizaye kisasi,

PSA 94:1 Removed trailing space in p~: Ee Mungu ulipizaye kisasi, uangaze sasa.

PSA 94:2 Removed trailing space in v~: Ee Mhukumu wa dunia, inuka,

PSA 94:2 Removed trailing space in p~: uwalipize wenye kiburi kama wanavyostahili.

PSA 94:3 Removed trailing space in v~: Hata lini, waovu, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 94:3 Removed trailing space in p~: hata lini waovu watashangilia?

PSA 94:4 Removed trailing space in v~: Wanamimina maneno ya kiburi,

PSA 94:4 Removed trailing space in p~: watenda mabaya wote wamejaa majivuno.

PSA 94:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wanawaponda watu wako,

PSA 94:5 Removed trailing space in p~: wanawaonea urithi wako.

PSA 94:6 Removed trailing space in v~: Wanamchinja mjane na mgeni,

PSA 94:6 Removed trailing space in p~: na kuwaua yatima.

PSA 94:7 Removed trailing space in v~: Nao husema, “\nd Bwana\nd* haoni,

PSA 94:7 Removed trailing space in p~: Mungu wa Yakobo hafahamu.”

PSA 94:8 Removed trailing space in v~: Sikizeni, enyi wajinga miongoni mwa watu;

PSA 94:8 Removed trailing space in p~: enyi wapumbavu, lini mtakuwa na hekima?

PSA 94:9 Removed trailing space in v~: Je, aliyeweka sikio asisikie?

PSA 94:9 Removed trailing space in p~: Aliyeumba jicho asione?

PSA 94:10 Removed trailing space in v~: Je, anayeadhibisha mataifa asiadhibu?

PSA 94:10 Removed trailing space in p~: Je, awafundishaye wanadamu asiwe na maarifa?

PSA 94:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anajua mawazo ya mwanadamu;

PSA 94:11 Removed trailing space in p~: anajua kwamba ni ubatili.

PSA 94:12 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, heri mtu anayeadhibishwa na wewe,

PSA 94:12 Removed trailing space in p~: mtu unayemfundisha kwa sheria yako,

PSA 94:13 Removed trailing space in v~: unampa utulivu siku za shida,

PSA 94:13 Removed trailing space in p~: mpaka shimo litakapokuwa limechimbwa

PSA 94:13 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya mwovu.

PSA 94:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* hatawakataa watu wake,

PSA 94:14 Removed trailing space in p~: hatauacha urithi wake.

PSA 94:15 Removed trailing space in v~: Hukumu itasimamishwa tena kwenye haki,

PSA 94:15 Removed trailing space in p~: wote walio na mioyo minyofu wataifuata.

PSA 94:16 Removed trailing space in v~: Ni nani atakayeinuka dhidi ya mwovu kwa ajili yangu?

PSA 94:16 Removed trailing space in p~: Ni nani atakayenikinga dhidi ya watenda maovu?

PSA 94:17 Removed trailing space in v~: Kama \nd Bwana\nd* asingelinisaidia upesi,

PSA 94:17 Removed trailing space in p~: ningelikuwa ninaishi katika ukimya wa kifo.

PSA 94:18 Removed trailing space in v~: Niliposema, “Mguu wangu unateleza,”

PSA 94:18 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, upendo wako ulinishikilia.

PSA 94:19 Removed trailing space in v~: Wakati wasiwasi ulipokuwa mwingi ndani yangu,

PSA 94:19 Removed trailing space in p~: faraja yako ilinipa furaha nafsini mwangu.

PSA 94:20 Removed trailing space in v~: Je, kiti cha utawala wa udhalimu kitajiunga nawe,

PSA 94:20 Removed trailing space in p~: ule utawala uletao taabu kutokana na sheria zake?

PSA 94:21 Removed trailing space in v~: Huungana kuwashambulia wenye haki,

PSA 94:21 Removed trailing space in p~: kuwahukumu kufa wasio na hatia.

PSA 94:22 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* amekuwa ngome yangu,

PSA 94:22 Removed trailing space in p~: na Mungu wangu amekuwa mwamba ninaoukimbilia.

PSA 94:23 Removed trailing space in v~: Yeye atawalipa kwa ajili ya dhambi zao

PSA 94:23 Removed trailing space in p~: na atawaangamiza kwa ajili ya maovu yao;

PSA 94:23 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mungu wetu atawaangamiza.

PSA 95:0 Extra space after chapter number

PSA 95:0 Removed trailing space in c: 95

PSA 95:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 95

PSA 95:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Kumsifu Mungu

PSA 95:1 Removed trailing space in v~: Njooni, tumwimbie \nd Bwana\nd* kwa furaha;

PSA 95:1 Removed trailing space in p~: tumfanyie kelele za shangwe

PSA 95:1 Removed trailing space in p~: Mwamba wa wokovu wetu.

PSA 95:2 Removed trailing space in v~: Tuje mbele zake kwa shukrani,

PSA 95:2 Removed trailing space in p~: tumtukuze kwa vinanda na nyimbo.

PSA 95:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni Mungu mkuu,

PSA 95:3 Removed trailing space in p~: mfalme mkuu juu ya miungu yote.

PSA 95:4 Removed trailing space in v~: Mkononi mwake mna vilindi vya dunia,

PSA 95:4 Removed trailing space in p~: na vilele vya milima ni mali yake.

PSA 95:5 Removed trailing space in v~: Bahari ni yake, kwani ndiye aliifanya,

PSA 95:5 Removed trailing space in p~: na mikono yake iliumba nchi kavu.

PSA 95:6 Removed trailing space in v~: Njooni, tusujudu, tumwabudu,

PSA 95:6 Removed trailing space in p~: tupige magoti mbele za \nd Bwana\nd* Muumba wetu,

PSA 95:7 Removed trailing space in v~: kwa maana yeye ndiye Mungu wetu,

PSA 95:7 Removed trailing space in p~: na sisi ni watu wa malisho yake,

PSA 95:7 Removed trailing space in p~: kondoo chini ya utunzaji wake.

PSA 95:7 Removed trailing space in p~: Kama mkiisikia sauti yake leo,

PSA 95:8 Removed trailing space in v~: msiifanye mioyo yenu migumu

PSA 95:8 Removed trailing space in p~: kama mlivyofanya kule Meriba,\f + \fr 95:8 \ft Meriba maana yake ni Kugombana.\f*

PSA 95:8 Removed trailing space in p~: kama mlivyofanya siku ile

PSA 95:8 Removed trailing space in p~: kule Masa\f + \fr 95:8 \ft Masa maana yake ni Kujaribiwa.\f* jangwani,

PSA 95:9 Removed trailing space in v~: ambapo baba zenu walinijaribu na kunipima,

PSA 95:9 Removed trailing space in p~: ingawa walikuwa wameyaona matendo yangu.

PSA 95:10 Removed trailing space in v~: Kwa miaka arobaini nilikasirikia kizazi kile,

PSA 95:10 Removed trailing space in p~: nikasema, “Hawa ni taifa ambalo mioyo yao imepotoka,

PSA 95:10 Removed trailing space in p~: nao hawajazijua njia zangu.”

PSA 95:11 Removed trailing space in v~: Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu,

PSA 95:11 Removed trailing space in p~: “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”

PSA 96:0 Extra space after chapter number

PSA 96:0 Removed trailing space in c: 96

PSA 96:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 96

PSA 96:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mfalme Mkuu

PSA 96:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 16:23-33)

PSA 96:1 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* wimbo mpya;

PSA 96:1 Removed trailing space in p~: mwimbieni \nd Bwana\nd* dunia yote.

PSA 96:2 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd*, lisifuni jina lake;

PSA 96:2 Removed trailing space in p~: tangazeni wokovu wake siku baada ya siku.

PSA 96:3 Removed trailing space in v~: Tangazeni utukufu wake katikati ya mataifa,

PSA 96:3 Removed trailing space in p~: matendo yake ya ajabu miongoni mwa mataifa yote.

PSA 96:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote;

PSA 96:4 Removed trailing space in p~: yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.

PSA 96:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu,

PSA 96:5 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* aliziumba mbingu.

PSA 96:6 Removed trailing space in v~: Fahari na enzi viko mbele yake;

PSA 96:6 Removed trailing space in p~: nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.

PSA 96:7 Removed trailing space in v~: Mpeni \nd Bwana\nd*, enyi jamaa za mataifa,

PSA 96:7 Removed trailing space in p~: mpeni \nd Bwana\nd* utukufu na nguvu.

PSA 96:8 Removed trailing space in v~: Mpeni \nd Bwana\nd* utukufu unaostahili jina lake;

PSA 96:8 Removed trailing space in p~: leteni sadaka na mje katika nyua zake.

PSA 96:9 Removed trailing space in v~: Mwabuduni \nd Bwana\nd* katika uzuri wa utakatifu wake;

PSA 96:9 Removed trailing space in p~: dunia yote na itetemeke mbele zake.

PSA 96:10 Removed trailing space in v~: Katikati ya mataifa semeni, “\nd Bwana\nd* anatawala.”

PSA 96:10 Removed trailing space in p~: Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa;

PSA 96:10 Removed trailing space in p~: atawahukumu watu kwa uadilifu.

PSA 96:11 Removed trailing space in v~: Mbingu na zishangilie, nchi na ifurahi;

PSA 96:11 Removed trailing space in p~: bahari na ivume, na vyote vilivyomo ndani yake;

PSA 96:12 Removed trailing space in v~: mashamba na yashangilie,

PSA 96:12 Removed trailing space in p~: pamoja na vyote vilivyomo ndani yake.

PSA 96:12 Removed trailing space in p~: Kisha miti yote ya msituni itaimba kwa furaha;

PSA 96:13 Removed trailing space in v~: itaimba mbele za \nd Bwana\nd* kwa maana anakuja,

PSA 96:13 Removed trailing space in p~: anakuja kuihukumu dunia.

PSA 96:13 Removed trailing space in p~: Ataihukumu dunia kwa haki,

PSA 96:13 Removed trailing space in p~: na mataifa katika kweli yake.

PSA 97:0 Extra space after chapter number

PSA 97:0 Removed trailing space in c: 97

PSA 97:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 97

PSA 97:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mtawala Mkuu

PSA 97:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anatawala, nchi na ifurahi,

PSA 97:1 Removed trailing space in p~: visiwa vyote vishangilie.

PSA 97:2 Removed trailing space in v~: Mawingu na giza nene vinamzunguka,

PSA 97:2 Removed trailing space in p~: haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.

PSA 97:3 Removed trailing space in v~: Moto hutangulia mbele zake

PSA 97:3 Removed trailing space in p~: na huteketeza adui zake pande zote.

PSA 97:4 Removed trailing space in v~: Umeme wake wa radi humulika dunia,

PSA 97:4 Removed trailing space in p~: nchi huona na kutetemeka.

PSA 97:5 Removed trailing space in v~: Milima huyeyuka kama nta mbele za \nd Bwana\nd*,

PSA 97:5 Removed trailing space in p~: mbele za Bwana wa dunia yote.

PSA 97:6 Removed trailing space in v~: Mbingu zinatangaza haki yake,

PSA 97:6 Removed trailing space in p~: na mataifa yote huona utukufu wake.

PSA 97:7 Removed trailing space in v~: Wote waabuduo sanamu waaibishwa,

PSA 97:7 Removed trailing space in p~: wale wajisifiao sanamu:

PSA 97:7 Removed trailing space in p~: mwabuduni yeye, enyi miungu yote!

PSA 97:8 Removed trailing space in v~: Sayuni husikia na kushangilia,

PSA 97:8 Removed trailing space in p~: vijiji vya Yuda vinafurahi

PSA 97:8 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya hukumu zako, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 97:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wewe, Ee \nd Bwana\nd*, ndiwe Uliye Juu Sana kuliko dunia yote;

PSA 97:9 Removed trailing space in p~: umetukuka sana juu ya miungu yote.

PSA 97:10 Removed trailing space in v~: Wale wanaompenda \nd Bwana\nd* na wauchukie uovu,

PSA 97:10 Removed trailing space in p~: kwa maana yeye hulinda maisha ya waaminifu wake

PSA 97:10 Removed trailing space in p~: na kuwaokoa kutoka mkononi mwa mwovu.

PSA 97:11 Removed trailing space in v~: Nuru huangaza wenye haki

PSA 97:11 Removed trailing space in p~: na furaha kwa watu wanyofu wa moyo.

PSA 97:12 Removed trailing space in v~: Furahini katika \nd Bwana\nd*, ninyi mlio wenye haki,

PSA 97:12 Removed trailing space in p~: lisifuni jina lake takatifu.

PSA 98:0 Extra space after chapter number

PSA 98:0 Removed trailing space in c: 98

PSA 98:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 98

PSA 98:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mtawala Wa Dunia

PSA 98:0 Removed trailing space in d: Zaburi.

PSA 98:1 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* wimbo mpya,

PSA 98:1 Removed trailing space in p~: kwa maana ametenda mambo ya ajabu;

PSA 98:1 Removed trailing space in p~: kitanga chake cha kuume na mkono wake mtakatifu

PSA 98:1 Removed trailing space in p~: umemfanyia wokovu.

PSA 98:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameufanya wokovu wake ujulikane

PSA 98:2 Removed trailing space in p~: na amedhihirisha haki yake kwa mataifa.

PSA 98:3 Removed trailing space in v~: Ameukumbuka upendo wake

PSA 98:3 Removed trailing space in p~: na uaminifu wake kwa nyumba ya Israeli;

PSA 98:3 Removed trailing space in p~: miisho yote ya dunia imeuona

PSA 98:3 Removed trailing space in p~: wokovu wa Mungu wetu.

PSA 98:4 Removed trailing space in v~: Mpigieni \nd Bwana\nd* kelele za shangwe, dunia yote,

PSA 98:4 Removed trailing space in p~: ipaze sauti kwa nyimbo za shangwe na vinanda;

PSA 98:5 Removed trailing space in v~: mwimbieni \nd Bwana\nd* kwa kinubi,

PSA 98:5 Removed trailing space in p~: kwa kinubi na sauti za kuimba,

PSA 98:6 Removed trailing space in v~: kwa tarumbeta na mvumo wa baragumu za pembe za kondoo dume:

PSA 98:6 Removed trailing space in p~: shangilieni kwa furaha mbele za \nd Bwana\nd*, aliye Mfalme.

PSA 98:7 Removed trailing space in v~: Bahari na ivume na kila kiliomo ndani yake,

PSA 98:7 Removed trailing space in p~: dunia na wote wakaao ndani yake.

PSA 98:8 Removed trailing space in v~: Mito na ipige makofi,

PSA 98:8 Removed trailing space in p~: milima na iimbe pamoja kwa furaha,

PSA 98:9 Removed trailing space in v~: vyote na viimbe mbele za \nd Bwana\nd*,

PSA 98:9 Removed trailing space in p~: kwa maana yuaja kuhukumu dunia.

PSA 98:9 Removed trailing space in p~: Atahukumu dunia kwa haki

PSA 98:9 Removed trailing space in p~: na mataifa kwa haki.

PSA 99:0 Extra space after chapter number

PSA 99:0 Removed trailing space in c: 99

PSA 99:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 99

PSA 99:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mfalme Mkuu

PSA 99:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anatawala,

PSA 99:1 Removed trailing space in p~: mataifa na yatetemeke;

PSA 99:1 Removed trailing space in p~: anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi,

PSA 99:1 Removed trailing space in p~: dunia na itikisike.

PSA 99:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mkuu katika Sayuni;

PSA 99:2 Removed trailing space in p~: ametukuzwa juu ya mataifa yote.

PSA 99:3 Removed trailing space in v~: Wanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa:

PSA 99:3 Removed trailing space in p~: yeye ni mtakatifu!

PSA 99:4 Removed trailing space in v~: Mfalme ni mwenye nguvu na hupenda haki,

PSA 99:4 Removed trailing space in p~: wewe umethibitisha adili;

PSA 99:4 Removed trailing space in p~: katika Yakobo umefanya

PSA 99:4 Removed trailing space in p~: yaliyo haki na sawa.

PSA 99:5 Removed trailing space in v~: Mtukuzeni \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

PSA 99:5 Removed trailing space in p~: na mkaabudu katika mahali pa kuwekea miguu yake;

PSA 99:5 Removed trailing space in p~: yeye ni mtakatifu.

PSA 99:6 Removed trailing space in v~: Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake,

PSA 99:6 Removed trailing space in p~: Samweli alikuwa miongoni mwa walioliitia jina lake;

PSA 99:6 Removed trailing space in p~: walimwita \nd Bwana\nd*,

PSA 99:6 Removed trailing space in p~: naye aliwajibu.

PSA 99:7 Removed trailing space in v~: Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu;

PSA 99:7 Removed trailing space in p~: walizishika sheria zake na amri alizowapa.

PSA 99:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wetu,

PSA 99:8 Removed trailing space in p~: ndiwe uliyewajibu,

PSA 99:8 Removed trailing space in p~: kwa Israeli ulikuwa Mungu mwenye kusamehe,

PSA 99:8 Removed trailing space in p~: ingawa uliadhibu matendo yao mabaya.

PSA 99:9 Removed trailing space in v~: Mtukuzeni \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

PSA 99:9 Removed trailing space in p~: mwabuduni kwenye mlima wake mtakatifu,

PSA 99:9 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wetu ni mtakatifu.

PSA 100:0 Extra space after chapter number

PSA 100:0 Removed trailing space in c: 100

PSA 100:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 100

PSA 100:0 Removed trailing space in s1: Dunia Yote Yaitwa Kumsifu Mungu

PSA 100:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya shukrani.

PSA 100:1 Removed trailing space in v~: Mpigieni \nd Bwana\nd* kelele za shangwe, dunia yote.

PSA 100:2 Removed trailing space in v~: Mwabuduni \nd Bwana\nd* kwa furaha;

PSA 100:2 Removed trailing space in p~: njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.

PSA 100:3 Removed trailing space in v~: Jueni kwamba \nd Bwana\nd* ndiye Mungu.

PSA 100:3 Removed trailing space in p~: Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake;

PSA 100:3 Removed trailing space in p~: sisi tu watu wake,

PSA 100:3 Removed trailing space in p~: kondoo wa malisho yake.

PSA 100:4 Removed trailing space in v~: Ingieni malangoni mwake kwa shukrani

PSA 100:4 Removed trailing space in p~: na katika nyua zake kwa kusifu,

PSA 100:4 Removed trailing space in p~: mshukuruni yeye na kulisifu jina lake.

PSA 100:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* ni mwema

PSA 100:5 Removed trailing space in p~: na upendo wake wadumu milele;

PSA 100:5 Removed trailing space in p~: uaminifu wake unadumu kwa vizazi vyote.

PSA 101:0 Extra space after chapter number

PSA 101:0 Removed trailing space in c: 101

PSA 101:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 101

PSA 101:0 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Kuishi Kwa Uadilifu Na Kwa Haki

PSA 101:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 101:1 Removed trailing space in v~: Nitaimba juu ya upendo wako na haki yako;

PSA 101:1 Removed trailing space in p~: kwako wewe, Ee \nd Bwana\nd*, nitaimba sifa.

PSA 101:2 Removed trailing space in v~: Nitazingatia kuishi maisha yasiyo na lawama:

PSA 101:2 Removed trailing space in p~: utakuja kwangu lini?

PSA 101:2 Removed trailing space in p~: Nitatembea nyumbani mwangu

PSA 101:2 Removed trailing space in p~: kwa moyo usio na lawama.

PSA 101:3 Removed trailing space in v~: Sitaweka mbele ya macho yangu

PSA 101:3 Removed trailing space in p~: kitu kiovu.

PSA 101:3 Removed trailing space in p~: Ninayachukia matendo ya watu wasio na imani;

PSA 101:3 Removed trailing space in p~: hawatashikamana nami.

PSA 101:4 Removed trailing space in v~: Moyo wa ukaidi utakuwa mbali nami;

PSA 101:4 Removed trailing space in p~: nitajitenga na kila ubaya.

PSA 101:5 Removed trailing space in v~: Kila amsingiziaye jirani yake kwa siri,

PSA 101:5 Removed trailing space in p~: huyo nitamnyamazisha;

PSA 101:5 Removed trailing space in p~: mwenye macho ya dharau na moyo wa kiburi

PSA 101:5 Removed trailing space in p~: huyo sitamvumilia.

PSA 101:6 Removed trailing space in v~: Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi,

PSA 101:6 Removed trailing space in p~: ili waweze kuishi pamoja nami;

PSA 101:6 Removed trailing space in p~: yeye ambaye moyo wake hauna lawama

PSA 101:6 Removed trailing space in p~: atanitumikia.

PSA 101:7 Removed trailing space in v~: Mdanganyifu hatakaa

PSA 101:7 Removed trailing space in p~: nyumbani mwangu,

PSA 101:7 Removed trailing space in p~: yeye asemaye kwa uongo

PSA 101:7 Removed trailing space in p~: hatasimama mbele yangu.

PSA 101:8 Removed trailing space in v~: Kila asubuhi nitawanyamazisha

PSA 101:8 Removed trailing space in p~: waovu wote katika nchi;

PSA 101:8 Removed trailing space in p~: nitamkatilia mbali kila mtenda mabaya

PSA 101:8 Removed trailing space in p~: kutoka mji wa \nd Bwana\nd*.

PSA 102:0 Extra space after chapter number

PSA 102:0 Removed trailing space in c: 102

PSA 102:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 102

PSA 102:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Mtu Mwenye Taabu

PSA 102:0 Removed trailing space in d: Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa \nd Bwana\nd*.

PSA 102:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usikie maombi yangu,

PSA 102:1 Removed trailing space in p~: kilio changu cha kuomba msaada kikufikie.

PSA 102:2 Removed trailing space in v~: Usinifiche uso wako

PSA 102:2 Removed trailing space in p~: ninapokuwa katika shida.

PSA 102:2 Removed trailing space in p~: Unitegee sikio lako,

PSA 102:2 Removed trailing space in p~: ninapoita, unijibu kwa upesi.

PSA 102:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa siku zangu zinatoweka kama moshi,

PSA 102:3 Removed trailing space in p~: mifupa yangu inaungua kama kaa la moto.

PSA 102:4 Removed trailing space in v~: Moyo wangu umefifia na kunyauka kama jani,

PSA 102:4 Removed trailing space in p~: ninasahau kula chakula changu.

PSA 102:5 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya kusononeka kwangu kwa uchungu,

PSA 102:5 Removed trailing space in p~: nimebakia ngozi na mifupa.

PSA 102:6 Removed trailing space in v~: Nimekuwa kama bundi wa jangwani,

PSA 102:6 Removed trailing space in p~: kama bundi kwenye magofu.

PSA 102:7 Removed trailing space in v~: Nilalapo sipati usingizi,

PSA 102:7 Removed trailing space in p~: nimekuwa kama ndege mpweke

PSA 102:7 Removed trailing space in p~: kwenye paa la nyumba.

PSA 102:8 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa adui zangu hunidhihaki,

PSA 102:8 Removed trailing space in p~: wale wanaonizunguka hutumia jina langu kama laana.

PSA 102:9 Removed trailing space in v~: Ninakula majivu kama chakula changu

PSA 102:9 Removed trailing space in p~: na nimechanganya kinywaji changu na machozi

PSA 102:10 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya ghadhabu yako kuu,

PSA 102:10 Removed trailing space in p~: kwa maana umeniinua na kunitupa kando.

PSA 102:11 Removed trailing space in v~: Siku zangu ni kama kivuli cha jioni,

PSA 102:11 Removed trailing space in p~: ninanyauka kama jani.

PSA 102:12 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee \nd Bwana\nd*, umeketi katika kiti chako cha enzi milele,

PSA 102:12 Removed trailing space in p~: sifa zako za ukuu zaendelea vizazi vyote.

PSA 102:13 Removed trailing space in v~: Utainuka na kuihurumia Sayuni,

PSA 102:13 Removed trailing space in p~: kwa maana ni wakati wa kumwonyesha wema;

PSA 102:13 Removed trailing space in p~: wakati uliokubalika umewadia.

PSA 102:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana mawe yake ni ya thamani kwa watumishi wako,

PSA 102:14 Removed trailing space in p~: vumbi lake lenyewe hulionea huruma.

PSA 102:15 Removed trailing space in v~: Mataifa wataogopa jina la \nd Bwana\nd*,

PSA 102:15 Removed trailing space in p~: wafalme wote wa dunia watauheshimu utukufu wako.

PSA 102:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* ataijenga tena Sayuni

PSA 102:16 Removed trailing space in p~: na kutokea katika utukufu wake.

PSA 102:17 Removed trailing space in v~: Ataitikia maombi ya mtu mkiwa,

PSA 102:17 Removed trailing space in p~: wala hatadharau hoja yao.

PSA 102:18 Removed trailing space in v~: Hili na liandikwe kwa ajili ya kizazi kijacho,

PSA 102:18 Removed trailing space in p~: ili taifa litakaloumbwa baadaye waweze kumsifu \nd Bwana\nd*:

PSA 102:19 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* alitazama chini kutoka patakatifu pake palipo juu,

PSA 102:19 Removed trailing space in p~: kutoka mbinguni alitazama dunia,

PSA 102:20 Removed trailing space in v~: kusikiliza vilio vya uchungu vya wafungwa

PSA 102:20 Removed trailing space in p~: na kuwaweka huru wale waliohukumiwa kufa.”

PSA 102:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo jina la \nd Bwana\nd* latangazwa huko Sayuni

PSA 102:21 Removed trailing space in p~: na sifa zake katika Yerusalemu,

PSA 102:22 Removed trailing space in v~: wakati mataifa na falme zitakapokusanyika

PSA 102:22 Removed trailing space in p~: ili kumwabudu \nd Bwana\nd*.

PSA 102:23 Removed trailing space in v~: Katika kuishi kwangu alivunja nguvu zangu,

PSA 102:23 Removed trailing space in p~: akafupisha siku zangu.

PSA 102:24 Removed trailing space in v~: Ndipo niliposema:

PSA 102:24 Removed trailing space in p~: “Ee Mungu wangu, usinichukue katikati ya siku zangu;

PSA 102:24 Removed trailing space in p~: miaka yako inaendelea vizazi vyote.

PSA 102:25 Removed trailing space in v~: Hapo mwanzo uliweka misingi ya dunia,

PSA 102:25 Removed trailing space in p~: nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.

PSA 102:26 Removed trailing space in v~: Hizi zitatoweka, lakini wewe utadumu,

PSA 102:26 Removed trailing space in p~: zote zitachakaa kama vazi.

PSA 102:26 Removed trailing space in p~: Utazibadilisha kama nguo

PSA 102:26 Removed trailing space in p~: nazo zitaondoshwa.

PSA 102:27 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, U yeye yule,

PSA 102:27 Removed trailing space in p~: nayo miaka yako haikomi kamwe.

PSA 102:28 Removed trailing space in v~: Watoto wa watumishi wako wataishi mbele zako;

PSA 102:28 Removed trailing space in p~: wazao wao wataimarishwa mbele zako.”

PSA 103:0 Extra space after chapter number

PSA 103:0 Removed trailing space in c: 103

PSA 103:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 103

PSA 103:0 Removed trailing space in s1: Upendo Wa Mungu

PSA 103:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 103:1 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, umhimidi \nd Bwana\nd*.

PSA 103:1 Removed trailing space in p~: Vyote vilivyomo ndani yangu

PSA 103:1 Removed trailing space in p~: vilihimidi jina lake takatifu.

PSA 103:2 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, umhimidi \nd Bwana\nd*,

PSA 103:2 Removed trailing space in p~: wala usisahau wema wake wote,

PSA 103:3 Removed trailing space in v~: akusamehe dhambi zako zote,

PSA 103:3 Removed trailing space in p~: akuponya magonjwa yako yote,

PSA 103:4 Removed trailing space in v~: aukomboa uhai wako na kaburi,

PSA 103:4 Removed trailing space in p~: akuvika taji ya upendo na huruma,

PSA 103:5 Removed trailing space in v~: atosheleza mahitaji yako kwa vitu vyema,

PSA 103:5 Removed trailing space in p~: ili ujana wako uhuishwe kama wa tai.

PSA 103:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hutenda haki,

PSA 103:6 Removed trailing space in p~: naye huwapa hukumu ya haki wote wanaoonewa.

PSA 103:7 Removed trailing space in v~: Alijulisha Mose njia zake,

PSA 103:7 Removed trailing space in p~: na wana wa Israeli matendo yake.

PSA 103:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwingi wa huruma na mwenye neema;

PSA 103:8 Removed trailing space in p~: si mwepesi wa hasira, bali amejaa upendo.

PSA 103:9 Removed trailing space in v~: Yeye hatalaumu siku zote,

PSA 103:9 Removed trailing space in p~: wala haweki hasira yake milele,

PSA 103:10 Removed trailing space in v~: yeye hatutendei kulingana na dhambi zetu

PSA 103:10 Removed trailing space in p~: wala hatupatilizi kwa kadiri ya maovu yetu.

PSA 103:11 Removed trailing space in v~: Kama vile mbingu zilivyo juu ya dunia sana,

PSA 103:11 Removed trailing space in p~: ndivyo wema wake ulivyo mwingi kwa wanaomcha;

PSA 103:12 Removed trailing space in v~: kama mashariki ilivyo mbali na magharibi,

PSA 103:12 Removed trailing space in p~: ndivyo Mungu alivyoziweka dhambi zetu mbali nasi.

PSA 103:13 Removed trailing space in v~: Kama baba alivyo na huruma kwa watoto wake,

PSA 103:13 Removed trailing space in p~: ndivyo \nd Bwana\nd* anavyowahurumia wale wanaomcha;

PSA 103:14 Removed trailing space in v~: kwa kuwa anajua tulivyoumbwa,

PSA 103:14 Removed trailing space in p~: anakumbuka kwamba sisi tu mavumbi.

PSA 103:15 Removed trailing space in v~: Kuhusu mwanadamu, siku zake ni kama majani,

PSA 103:15 Removed trailing space in p~: anachanua kama ua la shambani;

PSA 103:16 Removed trailing space in v~: upepo huvuma juu yake nalo hutoweka,

PSA 103:16 Removed trailing space in p~: mahali pake hapalikumbuki tena.

PSA 103:17 Removed trailing space in v~: Lakini kutoka milele hata milele

PSA 103:17 Removed trailing space in p~: upendo wa \nd Bwana\nd* uko kwa wale wamchao,

PSA 103:17 Removed trailing space in p~: nayo haki yake kwa watoto wa watoto wao:

PSA 103:18 Removed trailing space in v~: kwa wale walishikao agano lake

PSA 103:18 Removed trailing space in p~: na kukumbuka kuyatii mausia yake.

PSA 103:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameweka imara kiti chake cha enzi mbinguni,

PSA 103:19 Removed trailing space in p~: ufalme wake unatawala juu ya vyote.

PSA 103:20 Removed trailing space in v~: Mhimidini \nd Bwana\nd*, enyi malaika zake,

PSA 103:20 Removed trailing space in p~: ninyi mlio mashujaa mnaozitii amri zake,

PSA 103:20 Removed trailing space in p~: ninyi mnaotii neno lake.

PSA 103:21 Removed trailing space in v~: Mhimidini \nd Bwana\nd*, ninyi jeshi lake lote la mbinguni,

PSA 103:21 Removed trailing space in p~: ninyi watumishi wake mnaofanya mapenzi yake.

PSA 103:22 Removed trailing space in v~: Mhimidini \nd Bwana\nd*, kazi zake zote

PSA 103:22 Removed trailing space in p~: kila mahali katika milki yake.

PSA 103:22 Removed trailing space in p~: Ee nafsi yangu, umhimidi \nd Bwana\nd*.

PSA 105:0 Extra space after chapter number

PSA 105:0 Removed trailing space in c: 105

PSA 105:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 105

PSA 105:0 Removed trailing space in s1: Uaminifu Wa Mungu Kwa Israeli

PSA 105:0 Removed trailing space in r: (1 Nyakati 16:8-22)

PSA 105:1 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd*, liitieni jina lake,

PSA 105:1 Removed trailing space in p~: wajulisheni mataifa yale aliyoyatenda.

PSA 105:2 Removed trailing space in v~: Mwimbieni yeye, mwimbieni yeye sifa,

PSA 105:2 Removed trailing space in p~: waambieni matendo yake yote ya ajabu.

PSA 105:3 Removed trailing space in v~: Lishangilieni jina lake takatifu,

PSA 105:3 Removed trailing space in p~: mioyo ya wale wamtafutao \nd Bwana\nd* na ifurahi.

PSA 105:4 Removed trailing space in v~: Mtafuteni \nd Bwana\nd* na nguvu zake,

PSA 105:4 Removed trailing space in p~: utafuteni uso wake siku zote.

PSA 105:5 Removed trailing space in v~: Kumbuka matendo ya ajabu aliyoyafanya,

PSA 105:5 Removed trailing space in p~: miujiza yake na hukumu alizozitamka,

PSA 105:6 Removed trailing space in v~: enyi wazao wa Abrahamu mtumishi wake,

PSA 105:6 Removed trailing space in p~: enyi wana wa Yakobo, wateule wake.

PSA 105:7 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

PSA 105:7 Removed trailing space in p~: hukumu zake zimo duniani pote.

PSA 105:8 Removed trailing space in v~: Hulikumbuka agano lake milele,

PSA 105:8 Removed trailing space in p~: neno ambalo aliamuru, kwa vizazi elfu,

PSA 105:9 Removed trailing space in v~: agano alilolifanya na Abrahamu,

PSA 105:9 Removed trailing space in p~: kiapo alichomwapia Isaki.

PSA 105:10 Removed trailing space in v~: Alilithibitisha kwa Yakobo kuwa amri,

PSA 105:10 Removed trailing space in p~: kwa Israeli liwe agano la milele:

PSA 105:11 Removed trailing space in v~: “Nitakupa wewe nchi ya Kanaani

PSA 105:11 Removed trailing space in p~: kuwa sehemu utakayoirithi.”

PSA 105:12 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wachache kwa idadi,

PSA 105:12 Removed trailing space in p~: wachache sana na wageni ndani yake,

PSA 105:13 Removed trailing space in v~: walitangatanga kutoka taifa moja hadi jingine,

PSA 105:13 Removed trailing space in p~: kutoka ufalme mmoja hadi mwingine.

PSA 105:14 Removed trailing space in v~: Hakuruhusu mtu yeyote awaonee;

PSA 105:14 Removed trailing space in p~: kwa ajili yao aliwakemea wafalme, akisema:

PSA 105:15 Removed trailing space in v~: “Msiwaguse niliowatia mafuta;

PSA 105:15 Removed trailing space in p~: msiwadhuru manabii wangu.”

PSA 105:16 Removed trailing space in v~: Akaiita njaa juu ya nchi

PSA 105:16 Removed trailing space in p~: na kuharibu chakula chao chote,

PSA 105:17 Removed trailing space in v~: naye akatuma mtu mbele yao,

PSA 105:17 Removed trailing space in p~: Yosefu, aliyeuzwa kama mtumwa.

PSA 105:18 Removed trailing space in v~: Walichubua miguu yake kwa minyororo,

PSA 105:18 Removed trailing space in p~: shingo yake ilifungwa kwa chuma,

PSA 105:19 Removed trailing space in v~: hadi yale aliyotangulia kusema yalipotimia,

PSA 105:19 Removed trailing space in p~: hadi neno la \nd Bwana\nd* lilipomthibitisha.

PSA 105:20 Removed trailing space in v~: Mfalme alituma watu wakamfungua,

PSA 105:20 Removed trailing space in p~: mtawala wa watu alimwachia huru.

PSA 105:21 Removed trailing space in v~: Alimfanya mkuu wa nyumba yake,

PSA 105:21 Removed trailing space in p~: mtawala juu ya vyote alivyokuwa navyo,

PSA 105:22 Removed trailing space in v~: kuwaelekeza wakuu wa mfalme apendavyo

PSA 105:22 Removed trailing space in p~: na kuwafundisha wazee wake hekima.

PSA 105:23 Removed trailing space in v~: Kisha Israeli akaingia Misri,

PSA 105:23 Removed trailing space in p~: Yakobo akaishi kama mgeni katika nchi ya Hamu.

PSA 105:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* aliwafanya watu wake kuzaana sana,

PSA 105:24 Removed trailing space in p~: akawafanya kuwa wengi sana kuliko adui zao,

PSA 105:25 Removed trailing space in v~: ndiye aliigeuza mioyo yao iwachukie watu wake,

PSA 105:25 Removed trailing space in p~: wakatenda hila dhidi ya watumishi wake.

PSA 105:26 Removed trailing space in v~: Akamtuma Mose mtumishi wake,

PSA 105:26 Removed trailing space in p~: pamoja na Aroni, aliyemchagua.

PSA 105:27 Removed trailing space in v~: Walifanya ishara zake za ajabu miongoni mwao,

PSA 105:27 Removed trailing space in p~: miujiza yake katika nchi ya Hamu.

PSA 105:28 Removed trailing space in v~: Alituma giza na nchi ikajaa giza,

PSA 105:28 Removed trailing space in p~: kwani si walikuwa wameyaasi maneno yake?

PSA 105:29 Removed trailing space in v~: Aligeuza maji yao kuwa damu,

PSA 105:29 Removed trailing space in p~: ikasababisha samaki wao kufa.

PSA 105:30 Removed trailing space in v~: Nchi yao ilijaa vyura tele, ambao waliingia

PSA 105:30 Removed trailing space in p~: hadi kwenye vyumba vya kulala vya watawala wao.

PSA 105:31 Removed trailing space in v~: Alisema, yakaja makundi ya mainzi,

PSA 105:31 Removed trailing space in p~: na viroboto katika nchi yao yote.

PSA 105:32 Removed trailing space in v~: Alibadilisha mvua yao ikawa mvua ya mawe,

PSA 105:32 Removed trailing space in p~: yenye umeme wa radi nchini yao yote,

PSA 105:33 Removed trailing space in v~: akaharibu mizabibu yao na miti ya tini,

PSA 105:33 Removed trailing space in p~: na akaangamiza miti ya nchi yao.

PSA 105:34 Removed trailing space in v~: Alisema, nzige wakaja,

PSA 105:34 Removed trailing space in p~: tunutu wasio na idadi,

PSA 105:35 Removed trailing space in v~: wakala kila jani katika nchi yao,

PSA 105:35 Removed trailing space in p~: wakala mazao ya ardhi yao.

PSA 105:36 Removed trailing space in v~: Kisha akawaua wazaliwa wote wa kwanza katika nchi yao,

PSA 105:36 Removed trailing space in p~: matunda ya kwanza ya ujana wao wote.

PSA 105:37 Removed trailing space in v~: Akawatoa Israeli katika nchi

PSA 105:37 Removed trailing space in p~: wakiwa na fedha na dhahabu nyingi,

PSA 105:37 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja

PSA 105:37 Removed trailing space in p~: kutoka kabila zao aliyejikwaa.

PSA 105:38 Removed trailing space in v~: Misri ilifurahi walipoondoka,

PSA 105:38 Removed trailing space in p~: kwa sababu hofu ya Israeli ilikuwa imewaangukia.

PSA 105:39 Removed trailing space in v~: Alitandaza wingu kama kifuniko,

PSA 105:39 Removed trailing space in p~: na moto kuwamulikia usiku.

PSA 105:40 Removed trailing space in v~: Waliomba, naye akawaletea kware,

PSA 105:40 Removed trailing space in p~: akawashibisha kwa mkate wa mbinguni.

PSA 105:41 Removed trailing space in v~: Alipasua mwamba, maji yakabubujika,

PSA 105:41 Removed trailing space in p~: yakatiririka jangwani kama mto.

PSA 105:42 Removed trailing space in v~: Kwa maana alikumbuka ahadi yake takatifu,

PSA 105:42 Removed trailing space in p~: aliyompa Abrahamu mtumishi wake.

PSA 105:43 Removed trailing space in v~: Aliwatoa watu wake kwa furaha,

PSA 105:43 Removed trailing space in p~: wateule wake kwa kelele za shangwe,

PSA 105:44 Removed trailing space in v~: akawapa nchi za mataifa, wakawa warithi

PSA 105:44 Removed trailing space in p~: wa mali wengine walikuwa wameitaabikia:

PSA 105:45 Removed trailing space in v~: alifanya haya ili wayashike mausia yake

PSA 105:45 Removed trailing space in p~: na kuzitii sheria zake.

PSA 105:45 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.\f + \fr 105:45 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.\f*

PSA 106:0 Extra space after chapter number

PSA 106:0 Removed trailing space in c: 106

PSA 106:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 106

PSA 106:0 Removed trailing space in s1: Wema Wa \nd Bwana\nd* Kwa Watu Wake

PSA 106:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 106:1 Removed trailing space in p~: Mshukuruni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa ni mwema;

PSA 106:1 Removed trailing space in p~: upendo wake wadumu milele.

PSA 106:2 Removed trailing space in v~: Ni nani awezaye kusimulia matendo makuu ya \nd Bwana\nd*

PSA 106:2 Removed trailing space in p~: au kutangaza kikamilifu sifa zake?

PSA 106:3 Removed trailing space in v~: Heri wale wanaodumisha haki,

PSA 106:3 Removed trailing space in p~: ambao daima wanafanya yaliyo mema.

PSA 106:4 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, unikumbuke unapowatendea mema watu wako,

PSA 106:4 Removed trailing space in p~: uwe msaada wangu unapowaokoa,

PSA 106:5 Removed trailing space in v~: ili niweze kufurahia mafanikio ya wateule wako,

PSA 106:5 Removed trailing space in p~: niweze kushiriki katika furaha ya taifa lako,

PSA 106:5 Removed trailing space in p~: na kuungana na urithi wako katika kukusifu.

PSA 106:6 Removed trailing space in v~: Tumetenda dhambi, kama vile baba zetu walivyotenda,

PSA 106:6 Removed trailing space in p~: tumekosa na tumetenda uovu.

PSA 106:7 Removed trailing space in v~: Wakati baba zetu walipokuwa Misri,

PSA 106:7 Removed trailing space in p~: hawakuzingatia maajabu yako,

PSA 106:7 Removed trailing space in p~: wala hawakukumbuka wingi wa fadhili zako,

PSA 106:7 Removed trailing space in p~: bali waliasi kando ya bahari, Bahari ya Shamu.

PSA 106:8 Removed trailing space in v~: Hata hivyo aliwaokoa kwa ajili ya jina lake,

PSA 106:8 Removed trailing space in p~: ili apate kudhihirisha uweza wake mkuu.

PSA 106:9 Removed trailing space in v~: Alikemea Bahari ya Shamu, nayo ikakauka,

PSA 106:9 Removed trailing space in p~: akawaongoza katika vilindi vyake kama vile jangwani.

PSA 106:10 Removed trailing space in v~: Aliwaokoa mikononi mwa adui;

PSA 106:10 Removed trailing space in p~: kutoka mikononi mwa adui aliwakomboa.

PSA 106:11 Removed trailing space in v~: Maji yaliwafunika adui zao,

PSA 106:11 Removed trailing space in p~: hakunusurika hata mmoja.

PSA 106:12 Removed trailing space in v~: Ndipo walipoamini ahadi zake,

PSA 106:12 Removed trailing space in p~: nao wakaimba sifa zake.

PSA 106:13 Removed trailing space in v~: Lakini mara walisahau aliyowatendea,

PSA 106:13 Removed trailing space in p~: wala hawakungojea shauri lake.

PSA 106:14 Removed trailing space in v~: Jangwani walitawaliwa na tamaa zao,

PSA 106:14 Removed trailing space in p~: walimjaribu Mungu nyikani.

PSA 106:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo aliwapa kile walichoomba,

PSA 106:15 Removed trailing space in p~: lakini akatuma juu yao ugonjwa wa kudhoofisha.

PSA 106:16 Removed trailing space in v~: Kambini walimwonea wivu Mose,

PSA 106:16 Removed trailing space in p~: na pia Aroni aliyekuwa amewekwa wakfu kwa \nd Bwana\nd*.

PSA 106:17 Removed trailing space in v~: Ardhi ilifunguka ikawameza Dathani,

PSA 106:17 Removed trailing space in p~: ikawazika Abiramu na kundi lake.

PSA 106:18 Removed trailing space in v~: Moto uliwaka katikati ya wafuasi wao,

PSA 106:18 Removed trailing space in p~: mwali wa moto uliwateketeza waovu.

PSA 106:19 Removed trailing space in v~: Huko Horebu walitengeneza ndama,

PSA 106:19 Removed trailing space in p~: na kuabudu sanamu ya kusubu kwa chuma.

PSA 106:20 Removed trailing space in v~: Waliubadilisha Utukufu wao

PSA 106:20 Removed trailing space in p~: kwa sanamu ya fahali, ambaye hula majani.

PSA 106:21 Removed trailing space in v~: Walimsahau Mungu aliyewaokoa,

PSA 106:21 Removed trailing space in p~: aliyekuwa ametenda mambo makuu huko Misri,

PSA 106:22 Removed trailing space in v~: miujiza katika nchi ya Hamu

PSA 106:22 Removed trailing space in p~: na mambo ya kutisha huko Bahari ya Shamu.

PSA 106:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo alisema kwamba angewaangamiza:

PSA 106:23 Removed trailing space in p~: kama Mose mteule wake,

PSA 106:23 Removed trailing space in p~: asingesimama kati yao na Mungu

PSA 106:23 Removed trailing space in p~: kuizuia ghadhabu yake kuwaangamiza.

PSA 106:24 Removed trailing space in v~: Kisha waliidharau ile nchi nzuri,

PSA 106:24 Removed trailing space in p~: hawakuiamini ahadi yake.

PSA 106:25 Removed trailing space in v~: Walinungʼunika ndani ya mahema yao,

PSA 106:25 Removed trailing space in p~: wala hawakumtii \nd Bwana\nd*.

PSA 106:26 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akaapa kwa mkono ulioinuliwa

PSA 106:26 Removed trailing space in p~: kwamba atawafanya waanguke jangwani,

PSA 106:27 Removed trailing space in v~: kuwatawanya wazao wao waanguke miongoni mwa mataifa,

PSA 106:27 Removed trailing space in p~: na kuwatawanya katika nchi zote.

PSA 106:28 Removed trailing space in v~: Walijifunga nira na Baali wa Peori,

PSA 106:28 Removed trailing space in p~: wakala dhabihu zilizotolewa kwa miungu isiyo na uhai.

PSA 106:29 Removed trailing space in v~: Waliichochea hasira ya \nd Bwana\nd*,

PSA 106:29 Removed trailing space in p~: wakamkasirisha kwa matendo yao maovu,

PSA 106:29 Removed trailing space in p~: nayo tauni ikazuka katikati yao.

PSA 106:30 Removed trailing space in v~: Lakini Finehasi alisimama na kuingilia kati,

PSA 106:30 Removed trailing space in p~: nayo tauni ikazuiliwa.

PSA 106:31 Removed trailing space in v~: Hili likahesabiwa kwake haki,

PSA 106:31 Removed trailing space in p~: kwa vizazi visivyo na mwisho vijavyo.

PSA 106:32 Removed trailing space in v~: Kwenye maji ya Meriba, walimkasirisha \nd Bwana\nd*,

PSA 106:32 Removed trailing space in p~: janga likampata Mose kwa sababu yao;

PSA 106:33 Removed trailing space in v~: kwa maana walimwasi Roho wa Mungu,

PSA 106:33 Removed trailing space in p~: na maneno yasiyofaa yakatoka midomoni kwa Mose.

PSA 106:34 Removed trailing space in v~: Hawakuyaangamiza yale mataifa

PSA 106:34 Removed trailing space in p~: kama \nd Bwana\nd* alivyowaagiza,

PSA 106:35 Removed trailing space in v~: bali walijichanganya na mataifa

PSA 106:35 Removed trailing space in p~: na wakazikubali desturi zao.

PSA 106:36 Removed trailing space in v~: Waliabudu sanamu zao,

PSA 106:36 Removed trailing space in p~: zikawa mtego kwao.

PSA 106:37 Removed trailing space in v~: Wakawatoa wana wao

PSA 106:37 Removed trailing space in p~: na binti zao dhabihu kwa mashetani.

PSA 106:38 Removed trailing space in v~: Walimwaga damu isiyo na hatia,

PSA 106:38 Removed trailing space in p~: damu za wana wao na binti zao,

PSA 106:38 Removed trailing space in p~: ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani,

PSA 106:38 Removed trailing space in p~: nayo nchi ikanajisika kwa damu zao.

PSA 106:39 Removed trailing space in v~: Wakajinajisi wenyewe kwa yale waliyotenda;

PSA 106:39 Removed trailing space in p~: kwa matendo yao wenyewe wakajifanyia ukahaba.

PSA 106:40 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akawakasirikia watu wake

PSA 106:40 Removed trailing space in p~: na akauchukia sana urithi wake.

PSA 106:41 Removed trailing space in v~: Akawakabidhi kwa mataifa

PSA 106:41 Removed trailing space in p~: na adui zao wakawatawala.

PSA 106:42 Removed trailing space in v~: Adui zao wakawaonea

PSA 106:42 Removed trailing space in p~: na kuwatia chini ya mamlaka yao.

PSA 106:43 Removed trailing space in v~: Mara nyingi aliwaokoa

PSA 106:43 Removed trailing space in p~: lakini walikuwa wamezama kwenye uasi,

PSA 106:43 Removed trailing space in p~: nao wakajiharibu katika dhambi zao.

PSA 106:44 Removed trailing space in v~: Lakini akaangalia mateso yao

PSA 106:44 Removed trailing space in p~: wakati aliposikia kilio chao;

PSA 106:45 Removed trailing space in v~: kwa ajili yao akakumbuka agano lake,

PSA 106:45 Removed trailing space in p~: na kutokana na upendo wake mkuu akapooza hasira yake.

PSA 106:46 Removed trailing space in v~: Akawafanya wahurumiwe

PSA 106:46 Removed trailing space in p~: na wote waliowashikilia mateka.

PSA 106:47 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu wetu, tuokoe.

PSA 106:47 Removed trailing space in p~: Tukusanye tena kutoka kwa mataifa,

PSA 106:47 Removed trailing space in p~: ili tuweze kulishukuru jina lako takatifu,

PSA 106:47 Removed trailing space in p~: na kushangilia katika sifa zako.

PSA 106:48 Removed trailing space in v~: Atukuzwe \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli,

PSA 106:48 Removed trailing space in p~: tangu milele na hata milele.

PSA 106:48 Removed trailing space in p~: Watu wote na waseme, “Amen!”

PSA 106:48 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 107:0 Extra space after chapter number

PSA 107:0 Removed trailing space in c: 107

PSA 107:0 Removed trailing space in ms1: KITABU CHA TANO

PSA 107:0 Removed trailing space in mr: (Zaburi 107–150)

PSA 107:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 107

PSA 107:0 Removed trailing space in s1: Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake

PSA 107:1 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa yeye ni mwema,

PSA 107:1 Removed trailing space in p~: upendo wake wadumu milele.

PSA 107:2 Removed trailing space in v~: Waliokombolewa wa \nd Bwana\nd* na waseme hivi,

PSA 107:2 Removed trailing space in p~: wale aliowaokoa kutoka mkono wa adui,

PSA 107:3 Removed trailing space in v~: wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali,

PSA 107:3 Removed trailing space in p~: kutoka mashariki na magharibi,

PSA 107:3 Removed trailing space in p~: kutoka kaskazini na kusini.

PSA 107:4 Removed trailing space in v~: Baadhi yao walitangatanga jangwani,

PSA 107:4 Removed trailing space in p~: hawakuona njia ya kuwafikisha mji ambao wangeweza kuishi.

PSA 107:5 Removed trailing space in v~: Walikuwa na njaa na kiu,

PSA 107:5 Removed trailing space in p~: nafsi zao zikadhoofika.

PSA 107:6 Removed trailing space in v~: Ndipo walipomlilia \nd Bwana\nd* katika shida yao,

PSA 107:6 Removed trailing space in p~: naye akawaokoa kutoka taabu yao.

PSA 107:7 Removed trailing space in v~: Akawaongoza kwa njia iliyo sawa

PSA 107:7 Removed trailing space in p~: hadi mji ambao wangeweza kuishi.

PSA 107:8 Removed trailing space in v~: Basi na wamshukuru \nd Bwana\nd* kwa upendo wake usiokoma,

PSA 107:8 Removed trailing space in p~: na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,

PSA 107:9 Removed trailing space in v~: kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu,

PSA 107:9 Removed trailing space in p~: na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.

PSA 107:10 Removed trailing space in v~: Wengine walikaa gizani na katika huzuni kuu,

PSA 107:10 Removed trailing space in p~: wafungwa wakiteseka katika minyororo,

PSA 107:11 Removed trailing space in v~: kwa sababu walikuwa wameasi

PSA 107:11 Removed trailing space in p~: dhidi ya maneno ya Mungu

PSA 107:11 Removed trailing space in p~: na kudharau shauri

PSA 107:11 Removed trailing space in p~: la Aliye Juu Sana.

PSA 107:12 Removed trailing space in v~: Aliwatumikisha kwa kazi ngumu;

PSA 107:12 Removed trailing space in p~: walijikwaa na hapakuwepo yeyote wa kuwasaidia.

PSA 107:13 Removed trailing space in v~: Ndipo walipomlilia \nd Bwana\nd* katika shida yao,

PSA 107:13 Removed trailing space in p~: naye akawaokoa kutoka taabu yao.

PSA 107:14 Removed trailing space in v~: Akawatoa katika giza na huzuni kuu

PSA 107:14 Removed trailing space in p~: na akavunja minyororo yao.

PSA 107:15 Removed trailing space in v~: Basi na wamshukuru \nd Bwana\nd* kwa upendo wake usiokoma,

PSA 107:15 Removed trailing space in p~: na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,

PSA 107:16 Removed trailing space in v~: kwa kuwa yeye huvunja malango ya shaba

PSA 107:16 Removed trailing space in p~: na kukata mapingo ya chuma.

PSA 107:17 Removed trailing space in v~: Wengine wakawa wapumbavu kutokana na uasi wao,

PSA 107:17 Removed trailing space in p~: wakapata mateso kwa sababu ya uovu wao.

PSA 107:18 Removed trailing space in v~: Wakachukia kabisa vyakula vyote,

PSA 107:18 Removed trailing space in p~: wakakaribia malango ya mauti.

PSA 107:19 Removed trailing space in v~: Ndipo walipomlilia \nd Bwana\nd* katika shida yao,

PSA 107:19 Removed trailing space in p~: naye akawaokoa kutoka taabu yao.

PSA 107:20 Removed trailing space in v~: Akalituma neno lake na kuwaponya,

PSA 107:20 Removed trailing space in p~: akawaokoa kutoka maangamizo yao.

PSA 107:21 Removed trailing space in v~: Basi na wamshukuru \nd Bwana\nd* kwa upendo wake usiokoma,

PSA 107:21 Removed trailing space in p~: na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

PSA 107:22 Removed trailing space in v~: Na watoe dhabihu za kushukuru,

PSA 107:22 Removed trailing space in p~: na wasimulie matendo yake kwa nyimbo za furaha.

PSA 107:23 Removed trailing space in v~: Wengine walisafiri baharini kwa meli,

PSA 107:23 Removed trailing space in p~: walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.

PSA 107:24 Removed trailing space in v~: Waliziona kazi za \nd Bwana\nd*,

PSA 107:24 Removed trailing space in p~: matendo yake ya ajabu kilindini.

PSA 107:25 Removed trailing space in v~: Kwa maana alisema na kuamsha tufani

PSA 107:25 Removed trailing space in p~: iliyoinua mawimbi juu.

PSA 107:26 Removed trailing space in v~: Yakainuka juu mbinguni, yakashuka chini hadi vilindini,

PSA 107:26 Removed trailing space in p~: katika hatari hii ujasiri wao uliyeyuka.

PSA 107:27 Removed trailing space in v~: Walipepesuka na kuyumbayumba kama walevi,

PSA 107:27 Removed trailing space in p~: ujanja wao ukafikia ukomo.

PSA 107:28 Removed trailing space in v~: Ndipo walipomlilia \nd Bwana\nd* katika shida yao,

PSA 107:28 Removed trailing space in p~: naye akawatoa kwenye taabu yao.

PSA 107:29 Removed trailing space in v~: Akatuliza dhoruba kwa mnongʼono,

PSA 107:29 Removed trailing space in p~: mawimbi ya bahari yakatulia.

PSA 107:30 Removed trailing space in v~: Walifurahi ilipokuwa shwari,

PSA 107:30 Removed trailing space in p~: naye akawaongoza hadi bandari waliyoitamani.

PSA 107:31 Removed trailing space in v~: Basi na wamshukuru \nd Bwana\nd* kwa upendo wake usiokoma,

PSA 107:31 Removed trailing space in p~: na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.

PSA 107:32 Removed trailing space in v~: Na wamtukuze yeye katika kusanyiko la watu,

PSA 107:32 Removed trailing space in p~: na wamsifu katika baraza la wazee.

PSA 107:33 Removed trailing space in v~: Yeye aligeuza mito kuwa jangwa,

PSA 107:33 Removed trailing space in p~: chemchemi za maji zitiririkazo kuwa ardhi yenye kiu,

PSA 107:34 Removed trailing space in v~: nchi izaayo ikawa ya chumvi isiyofaa,

PSA 107:34 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya uovu wa wale walioishi humo.

PSA 107:35 Removed trailing space in v~: Aligeuza jangwa likawa madimbwi ya maji,

PSA 107:35 Removed trailing space in p~: nayo ardhi kame kuwa chemchemi za maji zitiririkazo;

PSA 107:36 Removed trailing space in v~: aliwaleta wenye njaa wakaishi humo,

PSA 107:36 Removed trailing space in p~: nao wakajenga mji wangeweza kuishi.

PSA 107:37 Removed trailing space in v~: Walilima mashamba na kupanda mizabibu,

PSA 107:37 Removed trailing space in p~: nayo ikazaa matunda mengi,

PSA 107:38 Removed trailing space in v~: Mungu aliwabariki, hesabu yao ikaongezeka sana,

PSA 107:38 Removed trailing space in p~: wala hakuruhusu mifugo yao kupungua.

PSA 107:39 Removed trailing space in v~: Kisha hesabu yao ilipungua, na walinyenyekeshwa

PSA 107:39 Removed trailing space in p~: kwa kuonewa, maafa na huzuni.

PSA 107:40 Removed trailing space in v~: Yeye ambaye huwamwagia dharau wakuu,

PSA 107:40 Removed trailing space in p~: aliwafanya watangetange nyikani isiyo na njia.

PSA 107:41 Removed trailing space in v~: Lakini yeye aliwainua wahitaji katika taabu zao,

PSA 107:41 Removed trailing space in p~: na kuongeza jamaa zao kama makundi ya kondoo.

PSA 107:42 Removed trailing space in v~: Wanyofu wataona na kufurahi,

PSA 107:42 Removed trailing space in p~: lakini waovu wote watafunga vinywa vyao.

PSA 107:43 Removed trailing space in v~: Yeyote aliye na hekima, ayasikie mambo haya,

PSA 107:43 Removed trailing space in p~: na atafakari upendo mkuu wa \nd Bwana\nd*.

PSA 108:0 Extra space after chapter number

PSA 108:0 Removed trailing space in c: 108

PSA 108:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 108

PSA 108:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada Dhidi Ya Adui

PSA 108:0 Removed trailing space in r: (Zaburi 57:7-11; 60:5-12)

PSA 108:0 Removed trailing space in d: Wimbo. Zaburi ya Daudi.

PSA 108:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, moyo wangu ni thabiti;

PSA 108:1 Removed trailing space in p~: nitaimba na kusifu kwa moyo wangu wote.

PSA 108:2 Removed trailing space in v~: Amka, kinubi na zeze!

PSA 108:2 Removed trailing space in p~: Nitayaamsha mapambazuko.

PSA 108:3 Removed trailing space in v~: Nitakusifu wewe, Ee \nd Bwana\nd*, katikati ya mataifa;

PSA 108:3 Removed trailing space in p~: nitaimba habari zako, katikati ya jamaa za watu.

PSA 108:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana upendo wako ni mkuu, ni juu kuliko mbingu;

PSA 108:4 Removed trailing space in p~: uaminifu wako unazifikia anga.

PSA 108:5 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu,

PSA 108:5 Removed trailing space in p~: utukufu wako na uenee duniani kote.

PSA 108:6 Removed trailing space in v~: Tuokoe na utusaidie kwa mkono wako wa kuume,

PSA 108:6 Removed trailing space in p~: ili wale uwapendao wapate kuokolewa.

PSA 108:7 Removed trailing space in v~: Mungu amenena kutoka patakatifu pake:

PSA 108:7 Removed trailing space in p~: “Nitaigawa Shekemu kwa ushindi

PSA 108:7 Removed trailing space in p~: na kulipima Bonde la Sukothi.

PSA 108:8 Removed trailing space in v~: Gileadi ni yangu, Manase ni yangu,

PSA 108:8 Removed trailing space in p~: Efraimu ni kofia yangu ya chuma,

PSA 108:8 Removed trailing space in p~: nayo Yuda ni fimbo yangu ya utawala.

PSA 108:9 Removed trailing space in v~: Moabu ni sinia langu la kunawia,

PSA 108:9 Removed trailing space in p~: juu ya Edomu natupa kiatu changu;

PSA 108:9 Removed trailing space in p~: nashangilia kwa kushindwa kwa Ufilisti.”

PSA 108:10 Removed trailing space in v~: Ni nani atakayenipeleka hadi mji wenye ngome?

PSA 108:10 Removed trailing space in p~: Ni nani atakayeniongoza hadi nifike Edomu?

PSA 108:11 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi,

PSA 108:11 Removed trailing space in p~: na hutoki tena na majeshi yetu?

PSA 108:12 Removed trailing space in v~: Tuletee msaada dhidi ya adui,

PSA 108:12 Removed trailing space in p~: kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.

PSA 108:13 Removed trailing space in v~: Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi,

PSA 108:13 Removed trailing space in p~: naye atawaponda adui zetu.

PSA 109:0 Extra space after chapter number

PSA 109:0 Removed trailing space in c: 109

PSA 109:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 109

PSA 109:0 Removed trailing space in s1: Lalamiko La Mtu Aliyeko Kwenye Shida

PSA 109:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 109:1 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, ambaye ninakusifu,

PSA 109:1 Removed trailing space in p~: usiwe kimya,

PSA 109:2 Removed trailing space in v~: kwa maana watu waovu na wadanganyifu

PSA 109:2 Removed trailing space in p~: wamefungua vinywa vyao dhidi yangu;

PSA 109:2 Removed trailing space in p~: wasema dhidi yangu

PSA 109:2 Removed trailing space in p~: kwa ndimi za udanganyifu.

PSA 109:3 Removed trailing space in v~: Wamenizunguka kwa maneno ya chuki,

PSA 109:3 Removed trailing space in p~: wananishambulia bila sababu.

PSA 109:4 Removed trailing space in v~: Wanachonilipa badala ya urafiki wangu ni kunishtaki,

PSA 109:4 Removed trailing space in p~: lakini mimi ninawaombea.

PSA 109:5 Removed trailing space in v~: Wananilipiza mabaya kwa mema,

PSA 109:5 Removed trailing space in p~: chuki badala ya urafiki wangu.

PSA 109:6 Removed trailing space in v~: Agiza mtu mwovu ampinge,

PSA 109:6 Removed trailing space in p~: mshtaki\f + \fr 109:6 \ft Mshtaki hapa maana yake ni Shetani.\f* asimame mkono wake wa kuume.

PSA 109:7 Removed trailing space in v~: Anapohukumiwa, apatikane na hatia,

PSA 109:7 Removed trailing space in p~: nayo maombi yake yamhukumu.

PSA 109:8 Removed trailing space in v~: Siku zake za kuishi na ziwe chache,

PSA 109:8 Removed trailing space in p~: nafasi yake ya uongozi ichukuliwe na mtu mwingine.

PSA 109:9 Removed trailing space in v~: Watoto wake na waachwe yatima,

PSA 109:9 Removed trailing space in p~: mke wake na awe mjane.

PSA 109:10 Removed trailing space in v~: Watoto wake na watangetange wakiomba,

PSA 109:10 Removed trailing space in p~: na wafukuzwe kwenye magofu ya nyumba zao.

PSA 109:11 Removed trailing space in v~: Mtu anayemdai na ateke vyote alivyo navyo,

PSA 109:11 Removed trailing space in p~: matunda ya kazi yake yatekwe nyara na wageni.

PSA 109:12 Removed trailing space in v~: Asiwepo mtu yeyote wa kumtendea mema

PSA 109:12 Removed trailing space in p~: wala wa kuwahurumia yatima wake.

PSA 109:13 Removed trailing space in v~: Uzao wake na ukatiliwe mbali,

PSA 109:13 Removed trailing space in p~: majina yao yafutike katika kizazi kifuatacho.

PSA 109:14 Removed trailing space in v~: Maovu ya baba zake na yakumbukwe

PSA 109:14 Removed trailing space in p~: mbele za \nd Bwana\nd*,

PSA 109:14 Removed trailing space in p~: dhambi ya mama yake

PSA 109:14 Removed trailing space in p~: isifutwe kamwe.

PSA 109:15 Removed trailing space in v~: Dhambi zao na zibaki daima mbele za \nd Bwana\nd*,

PSA 109:15 Removed trailing space in p~: ili apate kukatilia mbali kumbukumbu lao duniani.

PSA 109:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana kamwe hakuweza kutenda wema,

PSA 109:16 Removed trailing space in p~: bali alimfukuza mnyonge na mhitaji,

PSA 109:16 Removed trailing space in p~: aliwafanyia jeuri wahitaji na waliovunjika moyo.

PSA 109:17 Removed trailing space in v~: Alipenda kulaani,

PSA 109:17 Removed trailing space in p~: nayo laana ikampata;

PSA 109:17 Removed trailing space in p~: hakupenda kubariki,

PSA 109:17 Removed trailing space in p~: kwa hiyo baraka na ikae mbali naye.

PSA 109:18 Removed trailing space in v~: Alivaa kulaani kama vazi lake,

PSA 109:18 Removed trailing space in p~: nayo laana ikamwingia mwilini mwake kama maji,

PSA 109:18 Removed trailing space in p~: kwenye mifupa yake kama mafuta.

PSA 109:19 Removed trailing space in v~: Na iwe kama joho alilozungushiwa,

PSA 109:19 Removed trailing space in p~: kama mshipi aliofungiwa daima.

PSA 109:20 Removed trailing space in v~: Haya na yawe malipo ya \nd Bwana\nd* kwa washtaki wangu,

PSA 109:20 Removed trailing space in p~: kwa wale wanaoninenea mabaya.

PSA 109:21 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi,

PSA 109:21 Removed trailing space in p~: unitendee wema kwa ajili ya jina lako,

PSA 109:21 Removed trailing space in p~: uniokoe kwa wema wa pendo lako.

PSA 109:22 Removed trailing space in v~: Maana mimi ni maskini na mhitaji,

PSA 109:22 Removed trailing space in p~: moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.

PSA 109:23 Removed trailing space in v~: Ninafifia kama kivuli cha jioni,

PSA 109:23 Removed trailing space in p~: nimerushwa-rushwa kama nzige.

PSA 109:24 Removed trailing space in v~: Magoti yangu yamelegea kwa kufunga,

PSA 109:24 Removed trailing space in p~: mwili wangu umedhoofika na kukonda.

PSA 109:25 Removed trailing space in v~: Nimekuwa kitu cha kudharauliwa kwa washtaki wangu,

PSA 109:25 Removed trailing space in p~: wanionapo, hutikisa vichwa vyao.

PSA 109:26 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wangu nisaidie,

PSA 109:26 Removed trailing space in p~: niokoe sawasawa na upendo wako.

PSA 109:27 Removed trailing space in v~: Watu na wafahamu kuwa ni mkono wako,

PSA 109:27 Removed trailing space in p~: kwamba wewe, Ee \nd Bwana\nd*, umetenda hili.

PSA 109:28 Removed trailing space in v~: Wanaweza kulaani, lakini wewe utabariki,

PSA 109:28 Removed trailing space in p~: watakaposhambulia wataaibishwa,

PSA 109:28 Removed trailing space in p~: lakini mtumishi wako atashangilia.

PSA 109:29 Removed trailing space in v~: Washtaki wangu watavikwa fedheha,

PSA 109:29 Removed trailing space in p~: na kufunikwa na aibu kama joho.

PSA 109:30 Removed trailing space in v~: Kwa kinywa changu nitamtukuza sana \nd Bwana\nd*,

PSA 109:30 Removed trailing space in p~: katika umati mkubwa nitamsifu.

PSA 109:31 Removed trailing space in v~: Kwa maana husimama mkono wa kuume wa mhitaji,

PSA 109:31 Removed trailing space in p~: kuokoa maisha yake kutoka kwa wale wanaomhukumu.

PSA 110:0 Extra space after chapter number

PSA 110:0 Removed trailing space in c: 110

PSA 110:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 110

PSA 110:0 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Na Mfalme Wake Mteule

PSA 110:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 110:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amwambia Bwana wangu:

PSA 110:1 Removed trailing space in p~: “Keti mkono wangu wa kuume,

PSA 110:1 Removed trailing space in p~: mpaka nitakapowafanya adui zako

PSA 110:1 Removed trailing space in p~: kuwa mahali pa kuweka miguu yako.”

PSA 110:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataeneza fimbo yako ya utawala yenye nguvu kutoka Sayuni;

PSA 110:2 Removed trailing space in p~: utatawala katikati ya adui zako.

PSA 110:3 Removed trailing space in v~: Askari wako watajitolea kwa hiari

PSA 110:3 Removed trailing space in p~: katika siku yako ya vita.

PSA 110:3 Removed trailing space in p~: Ukiwa umevikwa fahari takatifu,

PSA 110:3 Removed trailing space in p~: kutoka tumbo la mapambazuko

PSA 110:3 Removed trailing space in p~: utapokea umande wa ujana wako.\f + \fr 110:3 \ft Au: vijana wako watakujia kama umande.\f*

PSA 110:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameapa,

PSA 110:4 Removed trailing space in p~: naye hatabadilisha mawazo yake:

PSA 110:4 Removed trailing space in p~: “Wewe ni kuhani milele,

PSA 110:4 Removed trailing space in p~: kwa mfano wa Melkizedeki.”

PSA 110:5 Removed trailing space in v~: Bwana yuko mkono wako wa kuume,

PSA 110:5 Removed trailing space in p~: atawaponda wafalme siku ya ghadhabu yake.

PSA 110:6 Removed trailing space in v~: Atawahukumu mataifa, akilundika mizoga

PSA 110:6 Removed trailing space in p~: na kuwaponda watawala wa dunia nzima.

PSA 110:7 Removed trailing space in v~: Atakunywa maji katika kijito kando ya njia,\f + \fr 110:7 \ft Au: Yeye atoaye mtu wa kurithi mwingine atamweka kwenye mamlaka.\f*

PSA 110:7 Removed trailing space in p~: kwa hiyo atainua kichwa chake juu.

PSA 111:0 Extra space after chapter number

PSA 111:0 Removed trailing space in c: 111

PSA 111:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 111\f + \fr 111 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 111:0 Removed trailing space in s1: Sifa Za \nd Bwana\nd* Kwa Matendo Ya Ajabu

PSA 111:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 111:1 Removed trailing space in p~: Nitamtukuza \nd Bwana\nd* kwa moyo wangu wote,

PSA 111:1 Removed trailing space in p~: katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.

PSA 111:2 Removed trailing space in v~: Kazi za \nd Bwana\nd* ni kuu,

PSA 111:2 Removed trailing space in p~: wote wanaopendezwa nazo huzitafakari.

PSA 111:3 Removed trailing space in v~: Kazi zake zimejaa fahari na utukufu,

PSA 111:3 Removed trailing space in p~: haki yake hudumu daima.

PSA 111:4 Removed trailing space in v~: Amefanya maajabu yake yakumbukwe,

PSA 111:4 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ni mwenye neema na huruma.

PSA 111:5 Removed trailing space in v~: Huwapa chakula wale wanaomcha,

PSA 111:5 Removed trailing space in p~: hulikumbuka agano lake milele.

PSA 111:6 Removed trailing space in v~: Amewaonyesha watu wake uwezo wa kazi zake,

PSA 111:6 Removed trailing space in p~: akiwapa nchi za mataifa mengine.

PSA 111:7 Removed trailing space in v~: Kazi za mikono yake ni za uaminifu na haki,

PSA 111:7 Removed trailing space in p~: mausia yake yote ni ya kuaminika.

PSA 111:8 Removed trailing space in v~: Zinadumu milele na milele,

PSA 111:8 Removed trailing space in p~: zikifanyika kwa uaminifu na unyofu.

PSA 111:9 Removed trailing space in v~: Aliwapa watu wake ukombozi,

PSA 111:9 Removed trailing space in p~: aliamuru agano lake milele:

PSA 111:9 Removed trailing space in p~: jina lake ni takatifu na la kuogopwa.

PSA 111:10 Removed trailing space in v~: Kumcha \nd Bwana\nd* ndicho chanzo cha hekima,

PSA 111:10 Removed trailing space in p~: wote wanaozifuata amri zake wana busara.

PSA 111:10 Removed trailing space in p~: Sifa zake zadumu milele.

PSA 112:0 Extra space after chapter number

PSA 112:0 Removed trailing space in c: 112

PSA 112:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 112\f + \fr 112 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 112:0 Removed trailing space in s1: Baraka Za Mwenye Haki

PSA 112:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 112:1 Removed trailing space in p~: Heri mtu yule amchaye \nd Bwana\nd*,

PSA 112:1 Removed trailing space in p~: mtu yule apendezwaye sana na amri zake.

PSA 112:2 Removed trailing space in v~: Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi,

PSA 112:2 Removed trailing space in p~: kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.

PSA 112:3 Removed trailing space in v~: Nyumbani mwake kuna mali na utajiri,

PSA 112:3 Removed trailing space in p~: haki yake hudumu milele.

PSA 112:4 Removed trailing space in v~: Hata gizani nuru humzukia mtu mwadilifu,

PSA 112:4 Removed trailing space in p~: yule mwenye rehema, huruma na haki.

PSA 112:5 Removed trailing space in v~: Mema yatamjia mtu yule aliye mkarimu na mwenye kukopesha bila riba,

PSA 112:5 Removed trailing space in p~: anayefanya mambo yake kwa haki.

PSA 112:6 Removed trailing space in v~: Hakika hatatikisika kamwe,

PSA 112:6 Removed trailing space in p~: mtu mwenye haki atakumbukwa milele.

PSA 112:7 Removed trailing space in v~: Hataogopa habari mbaya,

PSA 112:7 Removed trailing space in p~: moyo wake ni thabiti, ukimtegemea \nd Bwana\nd*.

PSA 112:8 Removed trailing space in v~: Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu,

PSA 112:8 Removed trailing space in p~: mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.

PSA 112:9 Removed trailing space in v~: Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini;

PSA 112:9 Removed trailing space in p~: haki yake hudumu milele;

PSA 112:9 Removed trailing space in p~: pembe yake itatukuzwa kwa heshima.

PSA 112:10 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu ataona na kuchukizwa,

PSA 112:10 Removed trailing space in p~: atasaga meno yake na kutoweka,

PSA 112:10 Removed trailing space in p~: kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.

PSA 113:0 Extra space after chapter number

PSA 113:0 Removed trailing space in c: 113

PSA 113:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 113

PSA 113:0 Removed trailing space in s1: Kumsifu \nd Bwana\nd* Kwa Wema Wake

PSA 113:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 113:1 Removed trailing space in p~: Enyi watumishi wa \nd Bwana\nd* msifuni,

PSA 113:1 Removed trailing space in p~: lisifuni jina la \nd Bwana\nd*.

PSA 113:2 Removed trailing space in v~: Jina la \nd Bwana\nd* na lisifiwe,

PSA 113:2 Removed trailing space in p~: sasa na hata milele.

PSA 113:3 Removed trailing space in v~: Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake,

PSA 113:3 Removed trailing space in p~: jina la \nd Bwana\nd* linapaswa kusifiwa.

PSA 113:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ametukuka juu ya mataifa yote,

PSA 113:4 Removed trailing space in p~: utukufu wake juu ya mbingu.

PSA 113:5 Removed trailing space in v~: Ni nani aliye kama \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

PSA 113:5 Removed trailing space in p~: Yeye ambaye ameketi juu kwenye kiti cha enzi,

PSA 113:6 Removed trailing space in v~: ambaye huinama atazame chini

PSA 113:6 Removed trailing space in p~: aone mbingu na nchi?

PSA 113:7 Removed trailing space in v~: Huwainua maskini kutoka mavumbini,

PSA 113:7 Removed trailing space in p~: na kuwanyanyua wahitaji kutoka kwenye jalala,

PSA 113:8 Removed trailing space in v~: huwaketisha pamoja na wakuu,

PSA 113:8 Removed trailing space in p~: pamoja na wakuu wa watu wake.

PSA 113:9 Removed trailing space in v~: Humjalia mwanamke tasa kutulia nyumbani mwake,

PSA 113:9 Removed trailing space in p~: akiwa mama watoto mwenye furaha.

PSA 113:9 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 114:0 Extra space after chapter number

PSA 114:0 Removed trailing space in c: 114

PSA 114:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 114

PSA 114:0 Removed trailing space in s1: Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri

PSA 114:1 Removed trailing space in v~: Wakati Israeli walipotoka Misri,

PSA 114:1 Removed trailing space in p~: nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,

PSA 114:2 Removed trailing space in v~: Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu,

PSA 114:2 Removed trailing space in p~: Israeli akawa milki yake.

PSA 114:3 Removed trailing space in v~: Bahari ilitazama ikakimbia,

PSA 114:3 Removed trailing space in p~: Yordani ulirudi nyuma,

PSA 114:4 Removed trailing space in v~: milima ilirukaruka kama kondoo dume,

PSA 114:4 Removed trailing space in p~: vilima kama wana-kondoo.

PSA 114:5 Removed trailing space in v~: Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia,

PSA 114:5 Removed trailing space in p~: nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,

PSA 114:6 Removed trailing space in v~: enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume,

PSA 114:6 Removed trailing space in p~: enyi vilima, kama wana-kondoo?

PSA 114:7 Removed trailing space in v~: Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana,

PSA 114:7 Removed trailing space in p~: mbele za Mungu wa Yakobo,

PSA 114:8 Removed trailing space in v~: aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji,

PSA 114:8 Removed trailing space in p~: mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.

PSA 115:0 Extra space after chapter number

PSA 115:0 Removed trailing space in c: 115

PSA 115:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 115

PSA 115:0 Removed trailing space in s1: Mungu Mmoja Wa Kweli

PSA 115:1 Removed trailing space in v~: Sio kwetu sisi, Ee \nd Bwana\nd*, sio kwetu sisi,

PSA 115:1 Removed trailing space in p~: bali utukufu ni kwa jina lako,

PSA 115:1 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya upendo

PSA 115:1 Removed trailing space in p~: na uaminifu wako.

PSA 115:2 Removed trailing space in v~: Kwa nini mataifa waseme,

PSA 115:2 Removed trailing space in p~: “Yuko wapi Mungu wao?”

PSA 115:3 Removed trailing space in v~: Mungu wetu yuko mbinguni,

PSA 115:3 Removed trailing space in p~: naye hufanya lolote limpendezalo.

PSA 115:4 Removed trailing space in v~: Lakini sanamu zao ni za fedha na dhahabu,

PSA 115:4 Removed trailing space in p~: zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

PSA 115:5 Removed trailing space in v~: Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,

PSA 115:5 Removed trailing space in p~: zina macho, lakini haziwezi kuona;

PSA 115:6 Removed trailing space in v~: zina masikio, lakini haziwezi kusikia,

PSA 115:6 Removed trailing space in p~: zina pua, lakini haziwezi kunusa;

PSA 115:7 Removed trailing space in v~: zina mikono, lakini haziwezi kupapasa,

PSA 115:7 Removed trailing space in p~: zina miguu, lakini haziwezi kutembea;

PSA 115:7 Removed trailing space in p~: wala koo zao haziwezi kutoa sauti.

PSA 115:8 Removed trailing space in v~: Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,

PSA 115:8 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.

PSA 115:9 Removed trailing space in v~: Ee nyumba ya Israeli, mtumainini \nd Bwana\nd*,

PSA 115:9 Removed trailing space in p~: yeye ni msaada na ngao yao.

PSA 115:10 Removed trailing space in v~: Ee nyumba ya Aroni, mtumainini \nd Bwana\nd*,

PSA 115:10 Removed trailing space in p~: yeye ni msaada na ngao yao.

PSA 115:11 Removed trailing space in v~: Ninyi mnaomcha, mtumainini \nd Bwana\nd*,

PSA 115:11 Removed trailing space in p~: yeye ni msaada na ngao yao.

PSA 115:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anatukumbuka na atatubariki:

PSA 115:12 Removed trailing space in p~: ataibariki nyumba ya Israeli,

PSA 115:12 Removed trailing space in p~: ataibariki nyumba ya Aroni,

PSA 115:13 Removed trailing space in v~: atawabariki wale wanaomcha \nd Bwana\nd*,

PSA 115:13 Removed trailing space in p~: wadogo kwa wakubwa.

PSA 115:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na awawezeshe kuongezeka,

PSA 115:14 Removed trailing space in p~: ninyi na watoto wenu.

PSA 115:15 Removed trailing space in v~: Mbarikiwe na \nd Bwana\nd*

PSA 115:15 Removed trailing space in p~: Muumba wa mbingu na dunia.

PSA 115:16 Removed trailing space in v~: Mbingu zilizo juu sana ni mali ya \nd Bwana\nd*,

PSA 115:16 Removed trailing space in p~: lakini dunia amempa mwanadamu.

PSA 115:17 Removed trailing space in v~: Sio wafu wanaomsifu \nd Bwana\nd*,

PSA 115:17 Removed trailing space in p~: wale washukao mahali pa kimya,\f + \fr 115:17 \ft Mahali pa kimya maana yake ni Kuzimu, yaani Sheol kwa Kiebrania.\f*

PSA 115:18 Removed trailing space in v~: bali ni sisi tunaomtukuza \nd Bwana\nd*,

PSA 115:18 Removed trailing space in p~: sasa na hata milele.

PSA 115:18 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.\f + \fr 115:18 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* ni Kiebrania Hallelu Yah.\f*

PSA 116:0 Extra space after chapter number

PSA 116:0 Removed trailing space in c: 116

PSA 116:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 116

PSA 116:0 Removed trailing space in s1: Shukrani Kwa Kuokolewa Kutoka Mauti

PSA 116:1 Removed trailing space in v~: Ninampenda \nd Bwana\nd* kwa maana amesikia sauti yangu;

PSA 116:1 Removed trailing space in p~: amesikia kilio changu ili anihurumie.

PSA 116:2 Removed trailing space in v~: Kwa sababu amenitegea sikio lake,

PSA 116:2 Removed trailing space in p~: nitamwita siku zote za maisha yangu.

PSA 116:3 Removed trailing space in v~: Kamba za mauti zilinizunguka,

PSA 116:3 Removed trailing space in p~: maumivu makuu ya kuzimu yalinipata,

PSA 116:3 Removed trailing space in p~: nikalemewa na taabu na huzuni.

PSA 116:4 Removed trailing space in v~: Ndipo nikaliitia jina la \nd Bwana\nd*:

PSA 116:4 Removed trailing space in p~: “Ee \nd Bwana\nd*, niokoe!”

PSA 116:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwenye neema na haki,

PSA 116:5 Removed trailing space in p~: Mungu wetu ni mwingi wa huruma.

PSA 116:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwalinda wanyenyekevu,

PSA 116:6 Removed trailing space in p~: nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.

PSA 116:7 Removed trailing space in v~: Ee nafsi yangu, tulia tena,

PSA 116:7 Removed trailing space in p~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* amekuwa mwema kwako.

PSA 116:8 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wewe, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 116:8 Removed trailing space in p~: umeniokoa nafsi yangu na mauti,

PSA 116:8 Removed trailing space in p~: macho yangu kutokana na machozi,

PSA 116:8 Removed trailing space in p~: miguu yangu kutokana na kujikwaa,

PSA 116:9 Removed trailing space in v~: ili niweze kutembea mbele za \nd Bwana\nd*,

PSA 116:9 Removed trailing space in p~: katika nchi ya walio hai.

PSA 116:10 Removed trailing space in v~: Niliamini, kwa hiyo nilisema,

PSA 116:10 Removed trailing space in p~: “Mimi nimeteseka sana.”

PSA 116:11 Removed trailing space in v~: Katika taabu yangu nilisema,

PSA 116:11 Removed trailing space in p~: “Wanadamu wote ni waongo.”

PSA 116:12 Removed trailing space in v~: Nimrudishie \nd Bwana\nd* nini

PSA 116:12 Removed trailing space in p~: kwa wema wake wote alionitendea?

PSA 116:13 Removed trailing space in v~: Nitakiinua kikombe cha wokovu

PSA 116:13 Removed trailing space in p~: na kulitangaza jina la \nd Bwana\nd*.

PSA 116:14 Removed trailing space in v~: Nitazitimiza nadhiri zangu kwa \nd Bwana\nd*

PSA 116:14 Removed trailing space in p~: mbele za watu wake wote.

PSA 116:15 Removed trailing space in v~: Kifo cha watakatifu kina thamani

PSA 116:15 Removed trailing space in p~: machoni pa \nd Bwana\nd*.

PSA 116:16 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, hakika mimi ni mtumishi wako,

PSA 116:16 Removed trailing space in p~: mimi ni mtumishi wako,

PSA 116:16 Removed trailing space in p~: mwana wa mjakazi wako;\f + \fr 116:16 \ft Au: mwanao mwaminifu.\f*

PSA 116:16 Removed trailing space in p~: umeniweka huru

PSA 116:16 Removed trailing space in p~: toka katika minyororo yangu.

PSA 116:17 Removed trailing space in v~: Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru

PSA 116:17 Removed trailing space in p~: na kuliita jina la \nd Bwana\nd*.

PSA 116:18 Removed trailing space in v~: Nitazitimiza nadhiri zangu kwa \nd Bwana\nd*

PSA 116:18 Removed trailing space in p~: mbele za watu wake wote,

PSA 116:19 Removed trailing space in v~: katika nyua za nyumba ya \nd Bwana\nd*,

PSA 116:19 Removed trailing space in p~: katikati yako, ee Yerusalemu.

PSA 116:19 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 117:0 Extra space after chapter number

PSA 117:0 Removed trailing space in c: 117

PSA 117:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 117

PSA 117:0 Removed trailing space in s1: Sifa Za \nd Bwana\nd*

PSA 117:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*, enyi mataifa yote;

PSA 117:1 Removed trailing space in p~: mtukuzeni yeye, enyi watu wote.

PSA 117:2 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa upendo wake kwetu ni mkuu,

PSA 117:2 Removed trailing space in p~: uaminifu wa \nd Bwana\nd* unadumu milele.

PSA 117:2 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 118:0 Extra space after chapter number

PSA 118:0 Removed trailing space in c: 118

PSA 118:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 118

PSA 118:0 Removed trailing space in s1: Shukrani Kwa Ajili Ya Ushindi

PSA 118:1 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa ni mwema;

PSA 118:1 Removed trailing space in p~: upendo wake wadumu milele.

PSA 118:2 Removed trailing space in v~: Israeli na aseme sasa:

PSA 118:2 Removed trailing space in p~: “Upendo wake wadumu milele.”

PSA 118:3 Removed trailing space in v~: Nyumba ya Aroni na iseme sasa:

PSA 118:3 Removed trailing space in p~: “Upendo wake wadumu milele.”

PSA 118:4 Removed trailing space in v~: Wote wamchao \nd Bwana\nd* na waseme sasa:

PSA 118:4 Removed trailing space in p~: “Upendo wake wadumu milele.”

PSA 118:5 Removed trailing space in v~: Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia \nd Bwana\nd*,

PSA 118:5 Removed trailing space in p~: naye akanijibu kwa kuniweka huru.

PSA 118:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yuko pamoja nami, sitaogopa.

PSA 118:6 Removed trailing space in p~: Mwanadamu anaweza kunitenda nini?

PSA 118:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yuko pamoja nami,

PSA 118:7 Removed trailing space in p~: yeye ni msaidizi wangu.

PSA 118:7 Removed trailing space in p~: Nitawatazama adui zangu

PSA 118:7 Removed trailing space in p~: wakiwa wameshindwa.

PSA 118:8 Removed trailing space in v~: Ni bora kumkimbilia \nd Bwana\nd*

PSA 118:8 Removed trailing space in p~: kuliko kumtumainia mwanadamu.

PSA 118:9 Removed trailing space in v~: Ni bora kumkimbilia \nd Bwana\nd*

PSA 118:9 Removed trailing space in p~: kuliko kuwatumainia wakuu.

PSA 118:10 Removed trailing space in v~: Mataifa yote yalinizunguka,

PSA 118:10 Removed trailing space in p~: lakini kwa jina la \nd Bwana\nd* naliwakatilia mbali.

PSA 118:11 Removed trailing space in v~: Walinizunguka pande zote,

PSA 118:11 Removed trailing space in p~: lakini kwa jina la \nd Bwana\nd* naliwakatilia mbali.

PSA 118:12 Removed trailing space in v~: Walinizunguka kama kundi la nyuki,

PSA 118:12 Removed trailing space in p~: lakini walikufa haraka kama miiba iteketeayo;

PSA 118:12 Removed trailing space in p~: kwa jina la \nd Bwana\nd* naliwakatilia mbali.

PSA 118:13 Removed trailing space in v~: Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka,

PSA 118:13 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* alinisaidia.

PSA 118:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni nguvu yangu na wimbo wangu,

PSA 118:14 Removed trailing space in p~: yeye amefanyika wokovu wangu.

PSA 118:15 Removed trailing space in v~: Sauti za shangwe na ushindi

PSA 118:15 Removed trailing space in p~: zinavuma hemani mwa wenye haki:

PSA 118:15 Removed trailing space in p~: “Mkono wa kuume wa \nd Bwana\nd*

PSA 118:15 Removed trailing space in p~: umetenda mambo makuu!

PSA 118:16 Removed trailing space in v~: Mkono wa kuume wa \nd Bwana\nd*

PSA 118:16 Removed trailing space in p~: umeinuliwa juu,

PSA 118:16 Removed trailing space in p~: mkono wa kuume wa \nd Bwana\nd*

PSA 118:16 Removed trailing space in p~: umetenda mambo makuu!”

PSA 118:17 Removed trailing space in v~: Sitakufa, bali nitaishi,

PSA 118:17 Removed trailing space in p~: nami nitatangaza yale \nd Bwana\nd* aliyoyatenda.

PSA 118:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameniadhibu vikali,

PSA 118:18 Removed trailing space in p~: lakini hakuniacha nife.

PSA 118:19 Removed trailing space in v~: Nifungulie malango ya haki,

PSA 118:19 Removed trailing space in p~: nami nitaingia na kumshukuru \nd Bwana\nd*.

PSA 118:20 Removed trailing space in v~: Hili ni lango la \nd Bwana\nd*

PSA 118:20 Removed trailing space in p~: ambalo wenye haki wanaweza kuliingia.

PSA 118:21 Removed trailing space in v~: Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu,

PSA 118:21 Removed trailing space in p~: umekuwa wokovu wangu.

PSA 118:22 Removed trailing space in v~: Jiwe walilolikataa waashi,

PSA 118:22 Removed trailing space in p~: limekuwa jiwe kuu la pembeni.

PSA 118:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ametenda hili,

PSA 118:23 Removed trailing space in p~: nalo ni la kushangaza machoni petu.

PSA 118:24 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo siku \nd Bwana\nd* aliyoifanya,

PSA 118:24 Removed trailing space in p~: tushangilie na kufurahi ndani yake.

PSA 118:25 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, tuokoe,

PSA 118:25 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, utujalie mafanikio.

PSA 118:26 Removed trailing space in v~: Heri yule ajaye kwa jina la \nd Bwana\nd*.

PSA 118:26 Removed trailing space in p~: Kutoka nyumba ya \nd Bwana\nd* tunakubariki.

PSA 118:27 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ndiye Mungu,

PSA 118:27 Removed trailing space in p~: naye ametuangazia nuru yake.

PSA 118:27 Removed trailing space in p~: Mkiwa na matawi mkononi,

PSA 118:27 Removed trailing space in p~: unganeni kwenye maandamano ya sikukuu

PSA 118:27 Removed trailing space in p~: hadi kwenye pembe za madhabahu.

PSA 118:28 Removed trailing space in v~: Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru,

PSA 118:28 Removed trailing space in p~: wewe ni Mungu wangu, nitakutukuza.

PSA 118:29 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd* kwa kuwa ni mwema;

PSA 118:29 Removed trailing space in p~: upendo wake wadumu milele.

PSA 119:0 Extra space after chapter number

PSA 119:0 Removed trailing space in c: 119

PSA 119:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 119\f + \fr 119:0 \ft Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi 22 za alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T).\f*

PSA 119:0 Removed trailing space in s1: Sifa Za Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:0 Removed trailing space in s2: Kujifunza Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:1 Removed trailing space in v~: Heri wale walio waadilifu katika njia zao,

PSA 119:1 Removed trailing space in p~: wanaoenenda katika sheria ya \nd Bwana\nd*.

PSA 119:2 Removed trailing space in v~: Heri wale wanaozishika shuhuda zake,

PSA 119:2 Removed trailing space in p~: wamtafutao kwa moyo wao wote.

PSA 119:3 Removed trailing space in v~: Wasiofanya lolote lililo baya,

PSA 119:3 Removed trailing space in p~: wanaoenenda katika njia zake.

PSA 119:4 Removed trailing space in v~: Umetoa maagizo yako

PSA 119:4 Removed trailing space in p~: ili tuyatii kwa ukamilifu.

PSA 119:5 Removed trailing space in v~: Laiti mwenendo wangu ungekuwa imara

PSA 119:5 Removed trailing space in p~: katika kuyatii maagizo yako!

PSA 119:6 Removed trailing space in v~: Hivyo mimi sitaaibishwa

PSA 119:6 Removed trailing space in p~: ninapozingatia amri zako zote.

PSA 119:7 Removed trailing space in v~: Nitakusifu kwa moyo mnyofu

PSA 119:7 Removed trailing space in p~: ninapojifunza sheria zako za haki.

PSA 119:8 Removed trailing space in v~: Nitayatii maagizo yako;

PSA 119:8 Removed trailing space in p~: usiniache kabisa.

PSA 119:8 Removed trailing space in s2: Kutii Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:9 Removed trailing space in v~: Kijana aifanye njia yake kuwa safi jinsi gani?

PSA 119:9 Removed trailing space in p~: Ni kwa kutii, akilifuata neno lako.

PSA 119:10 Removed trailing space in v~: Ninakutafuta kwa moyo wangu wote,

PSA 119:10 Removed trailing space in p~: usiniache niende mbali na amri zako.

PSA 119:11 Removed trailing space in v~: Nimelificha neno lako moyoni mwangu

PSA 119:11 Removed trailing space in p~: ili nisikutende dhambi.

PSA 119:12 Removed trailing space in v~: Sifa ni zako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 119:12 Removed trailing space in p~: nifundishe maagizo yako.

PSA 119:13 Removed trailing space in v~: Kwa midomo yangu nitasimulia sheria zote

PSA 119:13 Removed trailing space in p~: zinazotoka katika kinywa chako.

PSA 119:14 Removed trailing space in v~: Ninafurahia kufuata sheria zako

PSA 119:14 Removed trailing space in p~: kama mtu afurahiaye mali nyingi.

PSA 119:15 Removed trailing space in v~: Ninatafakari maagizo yako

PSA 119:15 Removed trailing space in p~: na kuziangalia njia zako.

PSA 119:16 Removed trailing space in v~: Ninafurahia maagizo yako,

PSA 119:16 Removed trailing space in p~: wala sitalipuuza neno lako.

PSA 119:16 Removed trailing space in s2: Furaha Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:17 Removed trailing space in v~: Mtendee mema mtumishi wako, nami nitaishi;

PSA 119:17 Removed trailing space in p~: nitalitii neno lako.

PSA 119:18 Removed trailing space in v~: Yafungue macho yangu nipate kuona

PSA 119:18 Removed trailing space in p~: mambo ya ajabu katika sheria yako.

PSA 119:19 Removed trailing space in v~: Mimi ni mgeni duniani,

PSA 119:19 Removed trailing space in p~: usinifiche amri zako.

PSA 119:20 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu inataabika kwa shauku kubwa

PSA 119:20 Removed trailing space in p~: juu ya sheria zako wakati wote.

PSA 119:21 Removed trailing space in v~: Unawakemea wenye majivuno, waliolaaniwa

PSA 119:21 Removed trailing space in p~: waendao mbali na amri zako.

PSA 119:22 Removed trailing space in v~: Niondolee dharau na dhihaka,

PSA 119:22 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ninazishika sheria zako.

PSA 119:23 Removed trailing space in v~: Ingawa watawala huketi pamoja na kunisingizia,

PSA 119:23 Removed trailing space in p~: mtumishi wako atatafakari juu ya maagizo yako.

PSA 119:24 Removed trailing space in v~: Sheria zako ni furaha yangu,

PSA 119:24 Removed trailing space in p~: nazo ni washauri wangu.

PSA 119:24 Removed trailing space in s2: Kuamua Kuitii Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:25 Removed trailing space in v~: Nimelazwa chini mavumbini,

PSA 119:25 Removed trailing space in p~: yahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.

PSA 119:26 Removed trailing space in v~: Nilikueleza njia zangu ukanijibu,

PSA 119:26 Removed trailing space in p~: nifundishe sheria zako.

PSA 119:27 Removed trailing space in v~: Nijulishe mafundisho ya mausia yako,

PSA 119:27 Removed trailing space in p~: nami nitatafakari maajabu yako.

PSA 119:28 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu imechakazwa kwa huzuni,

PSA 119:28 Removed trailing space in p~: uniimarishe sawasawa na neno lako.

PSA 119:29 Removed trailing space in v~: Niepushe na njia za udanganyifu,

PSA 119:29 Removed trailing space in p~: kwa neema unifundishe sheria zako.

PSA 119:30 Removed trailing space in v~: Nimechagua njia ya kweli,

PSA 119:30 Removed trailing space in p~: nimekaza moyo wangu katika sheria zako.

PSA 119:31 Removed trailing space in v~: Nimengʼangʼania sheria zako, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 119:31 Removed trailing space in p~: usiniache niaibishwe.

PSA 119:32 Removed trailing space in v~: Nakimbilia katika njia ya maagizo yako,

PSA 119:32 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umeuweka moyo wangu huru.

PSA 119:32 Removed trailing space in s2: Maombi Ili Kupata Ufahamu Wa Sheria

PSA 119:33 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nifundishe kuyafuata maagizo yako,

PSA 119:33 Removed trailing space in p~: nami nitayashika mpaka mwisho.

PSA 119:34 Removed trailing space in v~: Nipe ufahamu, nami nitaishika sheria yako

PSA 119:34 Removed trailing space in p~: na kuitii kwa moyo wangu wote.

PSA 119:35 Removed trailing space in v~: Niongoze kwenye njia ya amri zako,

PSA 119:35 Removed trailing space in p~: kwa kuwa huko napata furaha.

PSA 119:36 Removed trailing space in v~: Ugeuze moyo wangu kuelekea sheria zako,

PSA 119:36 Removed trailing space in p~: na siyo kwenye mambo ya ubinafsi.

PSA 119:37 Removed trailing space in v~: Geuza macho yangu kutoka kwenye mambo yasiyofaa,

PSA 119:37 Removed trailing space in p~: uyahifadhi maisha yangu sawasawa na neno lako.

PSA 119:38 Removed trailing space in v~: Mtimizie mtumishi wako ahadi yako,

PSA 119:38 Removed trailing space in p~: ili upate kuogopwa.

PSA 119:39 Removed trailing space in v~: Niondolee aibu ninayoiogopa,

PSA 119:39 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sheria zako ni njema.

PSA 119:40 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ninavyoonea shauku mausia yako!

PSA 119:40 Removed trailing space in p~: Hifadhi maisha yangu katika haki yako.

PSA 119:40 Removed trailing space in s2: Kuitumainia Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:41 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, upendo wako usiokoma unijie,

PSA 119:41 Removed trailing space in p~: wokovu wako sawasawa na ahadi yako,

PSA 119:42 Removed trailing space in v~: ndipo nitakapomjibu anayenidhihaki,

PSA 119:42 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ninalitumainia neno lako.

PSA 119:43 Removed trailing space in v~: Usilinyakue neno la kweli kutoka kinywani mwangu,

PSA 119:43 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika amri zako.

PSA 119:44 Removed trailing space in v~: Nitaitii amri yako daima,

PSA 119:44 Removed trailing space in p~: naam, milele na milele.

PSA 119:45 Removed trailing space in v~: Nitatembea nikiwa huru,

PSA 119:45 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimejifunza mausia yako.

PSA 119:46 Removed trailing space in v~: Nitasema sheria zako mbele za wafalme

PSA 119:46 Removed trailing space in p~: wala sitaaibishwa,

PSA 119:47 Removed trailing space in v~: kwa kuwa ninazifurahia amri zako

PSA 119:47 Removed trailing space in p~: kwa sababu ninazipenda.

PSA 119:48 Removed trailing space in v~: Ninaziinulia amri zako ambazo ninazipenda mikono yangu,

PSA 119:48 Removed trailing space in p~: nami ninatafakari juu ya maagizo yako.

PSA 119:48 Removed trailing space in s2: Matumaini Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:49 Removed trailing space in v~: Kumbuka neno lako kwa mtumishi wako,

PSA 119:49 Removed trailing space in p~: kwa sababu umenipa tumaini.

PSA 119:50 Removed trailing space in v~: Faraja yangu katika mateso yangu ni hii:

PSA 119:50 Removed trailing space in p~: Ahadi yako inahifadhi maisha yangu.

PSA 119:51 Removed trailing space in v~: Wenye majivuno wamenisimanga bila kuchoka,

PSA 119:51 Removed trailing space in p~: hata hivyo sitaiacha sheria yako.

PSA 119:52 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninazikumbuka sheria zako za zamani,

PSA 119:52 Removed trailing space in p~: nazo zinanifariji.

PSA 119:53 Removed trailing space in v~: Nimeshikwa sana na ghadhabu kwa ajili ya waovu,

PSA 119:53 Removed trailing space in p~: ambao wameacha sheria yako.

PSA 119:54 Removed trailing space in v~: Maagizo yako ni kiini cha nyimbo zangu

PSA 119:54 Removed trailing space in p~: popote ninapoishi.

PSA 119:55 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wakati wa usiku ninalikumbuka jina lako,

PSA 119:55 Removed trailing space in p~: nami nitatii sheria yako.

PSA 119:56 Removed trailing space in v~: Hili limekuwa zoezi langu:

PSA 119:56 Removed trailing space in p~: nami ninayatii mausia yako.

PSA 119:56 Removed trailing space in s2: Kujitolea Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:57 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe ni fungu langu,

PSA 119:57 Removed trailing space in p~: nimeahidi kuyatii maneno yako.

PSA 119:58 Removed trailing space in v~: Nimetafuta uso wako kwa moyo wangu wote,

PSA 119:58 Removed trailing space in p~: nihurumie sawasawa na ahadi yako.

PSA 119:59 Removed trailing space in v~: Nimezifikiri njia zangu

PSA 119:59 Removed trailing space in p~: na nimeelekeza hatua zangu katika mausia yako.

PSA 119:60 Removed trailing space in v~: Nitafanya haraka bila kuchelewa

PSA 119:60 Removed trailing space in p~: kuzitii amri zako.

PSA 119:61 Removed trailing space in v~: Hata waovu wanifunge kwa kamba,

PSA 119:61 Removed trailing space in p~: sitasahau sheria yako.

PSA 119:62 Removed trailing space in v~: Usiku wa manane ninaamka kukushukuru

PSA 119:62 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya sheria zako za haki.

PSA 119:63 Removed trailing space in v~: Mimi ni rafiki kwa wale wote wakuchao,

PSA 119:63 Removed trailing space in p~: kwa wote wanaofuata mausia yako.

PSA 119:64 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, dunia imejaa upendo wako,

PSA 119:64 Removed trailing space in p~: nifundishe maagizo yako.

PSA 119:64 Removed trailing space in s2: Thamani Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:65 Removed trailing space in v~: Mtendee wema mtumishi wako

PSA 119:65 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, sawasawa na neno lako.

PSA 119:66 Removed trailing space in v~: Nifundishe maarifa na uamuzi mzuri,

PSA 119:66 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ninaamini amri zako.

PSA 119:67 Removed trailing space in v~: Kabla sijapata shida nilipotea njia,

PSA 119:67 Removed trailing space in p~: lakini sasa ninalitii neno lako.

PSA 119:68 Removed trailing space in v~: Wewe ni mwema, unalotenda ni jema,

PSA 119:68 Removed trailing space in p~: nifundishe maagizo yako.

PSA 119:69 Removed trailing space in v~: Ingawa wenye majivuno wamenisingizia uongo,

PSA 119:69 Removed trailing space in p~: nitafuata mausia yako kwa moyo wangu wote.

PSA 119:70 Removed trailing space in v~: Mioyo yao ni katili na migumu,

PSA 119:70 Removed trailing space in p~: bali mimi napendezwa na sheria yako.

PSA 119:71 Removed trailing space in v~: Ilikuwa vyema mimi kupata shida

PSA 119:71 Removed trailing space in p~: ili nipate kujifunza maagizo yako.

PSA 119:72 Removed trailing space in v~: Sheria inayotoka kinywani mwako ina thamani kubwa kwangu

PSA 119:72 Removed trailing space in p~: kuliko maelfu ya vipande vya fedha na dhahabu.

PSA 119:72 Removed trailing space in s2: Haki Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:73 Removed trailing space in v~: Mikono yako ilinifanya na kuniumba,

PSA 119:73 Removed trailing space in p~: nipe ufahamu niweze kujifunza amri zako.

PSA 119:74 Removed trailing space in v~: Wakuchao wafurahie wanaponiona,

PSA 119:74 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimeweka tumaini langu katika neno lako.

PSA 119:75 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninajua kwamba sheria zako ni za haki,

PSA 119:75 Removed trailing space in p~: katika uaminifu wako umeniadhibu.

PSA 119:76 Removed trailing space in v~: Upendo wako usiokoma uwe faraja yangu,

PSA 119:76 Removed trailing space in p~: sawasawa na ahadi yako kwa mtumishi wako.

PSA 119:77 Removed trailing space in v~: Huruma yako na inijie ili nipate kuishi,

PSA 119:77 Removed trailing space in p~: kwa kuwa naifurahia sheria yako.

PSA 119:78 Removed trailing space in v~: Wenye majivuno na waaibishwe kwa kunikosea mimi bila sababu,

PSA 119:78 Removed trailing space in p~: lakini mimi nitatafakari juu ya mausia yako.

PSA 119:79 Removed trailing space in v~: Wale wakuchao na wanigeukie mimi,

PSA 119:79 Removed trailing space in p~: hao ambao wanazielewa sheria zako.

PSA 119:80 Removed trailing space in v~: Moyo wangu usiwe na lawama katika kutii maagizo yako,

PSA 119:80 Removed trailing space in p~: ili nisiaibishwe.

PSA 119:80 Removed trailing space in s2: Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa

PSA 119:81 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu inazimia kwa kutamani wokovu wako,

PSA 119:81 Removed trailing space in p~: lakini nimeweka tumaini langu katika neno lako.

PSA 119:82 Removed trailing space in v~: Macho yangu yamefifia, nikingoja ahadi yako;

PSA 119:82 Removed trailing space in p~: ninasema, “Utanifajiri lini?”

PSA 119:83 Removed trailing space in v~: Ingawa nimekuwa kama kiriba kwenye moshi,

PSA 119:83 Removed trailing space in p~: bado sijasahau maagizo yako.

PSA 119:84 Removed trailing space in v~: Mtumishi wako itampasa angoje mpaka lini?

PSA 119:84 Removed trailing space in p~: Ni lini utawaadhibu washtaki wangu?

PSA 119:85 Removed trailing space in v~: Wenye majivuno wananichimbia mashimo,

PSA 119:85 Removed trailing space in p~: kinyume na sheria yako.

PSA 119:86 Removed trailing space in v~: Amri zako zote ni za kuaminika;

PSA 119:86 Removed trailing space in p~: unisaidie, kwa sababu watu wananishtaki bila sababu.

PSA 119:87 Removed trailing space in v~: Walikaribia kabisa kunifuta kutoka uso wa dunia,

PSA 119:87 Removed trailing space in p~: lakini sijaacha mausia yako.

PSA 119:88 Removed trailing space in v~: Yahifadhi maisha yangu sawasawa na upendo wako,

PSA 119:88 Removed trailing space in p~: nami nitatii sheria za kinywa chako.

PSA 119:88 Removed trailing space in s2: Imani Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:89 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, neno lako ni la milele,

PSA 119:89 Removed trailing space in p~: linasimama imara mbinguni.

PSA 119:90 Removed trailing space in v~: Uaminifu wako unaendelea kwa vizazi vyote,

PSA 119:90 Removed trailing space in p~: umeiumba dunia, nayo inadumu.

PSA 119:91 Removed trailing space in v~: Sheria zako zinadumu hadi leo,

PSA 119:91 Removed trailing space in p~: kwa kuwa vitu vyote vinakutumikia.

PSA 119:92 Removed trailing space in v~: Kama nisingefurahia sheria yako,

PSA 119:92 Removed trailing space in p~: ningeangamia katika taabu zangu.

PSA 119:93 Removed trailing space in v~: Sitasahau mausia yako kamwe,

PSA 119:93 Removed trailing space in p~: kwa maana kwayo umehifadhi maisha yangu.

PSA 119:94 Removed trailing space in v~: Uniokoe, kwa maana mimi ni wako,

PSA 119:94 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimetafuta mausia yako.

PSA 119:95 Removed trailing space in v~: Waovu wanangojea kuniangamiza,

PSA 119:95 Removed trailing space in p~: bali mimi ninatafakari sheria zako.

PSA 119:96 Removed trailing space in v~: Katika ukamilifu wote ninaona mna kikomo,

PSA 119:96 Removed trailing space in p~: lakini amri zako hazina mpaka.

PSA 119:96 Removed trailing space in s2: Kuipenda Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:97 Removed trailing space in v~: Aha! Tazama, sheria yako naipenda mno ajabu.

PSA 119:97 Removed trailing space in p~: Ninaitafakari mchana kutwa.

PSA 119:98 Removed trailing space in v~: Amri zako zimenipa hekima zaidi kuliko adui zangu,

PSA 119:98 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimezishika daima.

PSA 119:99 Removed trailing space in v~: Nina akili zaidi kuliko walimu wangu wote,

PSA 119:99 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ninatafakari juu ya sheria zako.

PSA 119:100 Removed trailing space in v~: Nina ufahamu zaidi kuliko wazee,

PSA 119:100 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ninayatii mausia yako.

PSA 119:101 Removed trailing space in v~: Nimezuia miguu yangu isiende kwenye kila njia mbaya,

PSA 119:101 Removed trailing space in p~: ili niweze kutii neno lako.

PSA 119:102 Removed trailing space in v~: Sijaziacha sheria zako,

PSA 119:102 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umenifundisha wewe mwenyewe.

PSA 119:103 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi maneno yako yalivyo matamu kwangu,

PSA 119:103 Removed trailing space in p~: matamu kuliko asali katika kinywa changu!

PSA 119:104 Removed trailing space in v~: Ninapata ufahamu kutoka mausia yako,

PSA 119:104 Removed trailing space in p~: kwa hiyo ninachukia kila njia ya upotovu.

PSA 119:104 Removed trailing space in s2: Nuru Kutoka Kwenye Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:105 Removed trailing space in v~: Neno lako ni taa ya miguu yangu

PSA 119:105 Removed trailing space in p~: na mwanga katika njia yangu.

PSA 119:106 Removed trailing space in v~: Nimeapa na nimethibitisha,

PSA 119:106 Removed trailing space in p~: kwamba nitafuata sheria zako za haki.

PSA 119:107 Removed trailing space in v~: Nimeteseka sana, uhifadhi maisha yangu, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 119:107 Removed trailing space in p~: sawasawa na neno lako.

PSA 119:108 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, pokea sifa za hiari za kinywa changu,

PSA 119:108 Removed trailing space in p~: nifundishe sheria zako.

PSA 119:109 Removed trailing space in v~: Ingawa maisha yangu yako hatarini siku zote,

PSA 119:109 Removed trailing space in p~: sitasahau sheria yako.

PSA 119:110 Removed trailing space in v~: Waovu wamenitegea mtego,

PSA 119:110 Removed trailing space in p~: lakini sijayakiuka maagizo yako.

PSA 119:111 Removed trailing space in v~: Sheria zako ni urithi wangu milele,

PSA 119:111 Removed trailing space in p~: naam ni furaha ya moyo wangu.

PSA 119:112 Removed trailing space in v~: Nimekusudia moyoni mwangu

PSA 119:112 Removed trailing space in p~: kuyafuata maagizo yako mpaka mwisho.

PSA 119:112 Removed trailing space in s2: Usalama Ndani Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:113 Removed trailing space in v~: Ninachukia watu wa nia mbili,

PSA 119:113 Removed trailing space in p~: lakini ninapenda sheria yako.

PSA 119:114 Removed trailing space in v~: Wewe ni kimbilio langu na ngao yangu,

PSA 119:114 Removed trailing space in p~: nimeweka tumaini langu katika neno lako.

PSA 119:115 Removed trailing space in v~: Ondokeni kwangu, ninyi mtendao mabaya,

PSA 119:115 Removed trailing space in p~: ili niweze kushika amri za Mungu wangu!

PSA 119:116 Removed trailing space in v~: Nihifadhi sawasawa na ahadi yako, nami nitaishi;

PSA 119:116 Removed trailing space in p~: usiache matumaini yangu yakavunjwa.

PSA 119:117 Removed trailing space in v~: Nitegemeze, nami nitaokolewa,

PSA 119:117 Removed trailing space in p~: nami daima nitayaheshimu maagizo yako.

PSA 119:118 Removed trailing space in v~: Unawakataa wote wanaoyaasi maagizo yako,

PSA 119:118 Removed trailing space in p~: kwa maana udanganyifu wao ni bure.

PSA 119:119 Removed trailing space in v~: Waovu wa nchi unawatupa kama takataka,

PSA 119:119 Removed trailing space in p~: kwa hivyo nazipenda sheria zako.

PSA 119:120 Removed trailing space in v~: Mwili wangu unatetemeka kwa kukuogopa wewe,

PSA 119:120 Removed trailing space in p~: ninaziogopa sheria zako.

PSA 119:120 Removed trailing space in s2: Kuitii Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:121 Removed trailing space in v~: Nimetenda yaliyo haki na sawa,

PSA 119:121 Removed trailing space in p~: usiniache mikononi mwa watesi wangu.

PSA 119:122 Removed trailing space in v~: Mhakikishie mtumishi wako usalama,

PSA 119:122 Removed trailing space in p~: usiache wenye kiburi wanionee.

PSA 119:123 Removed trailing space in v~: Macho yangu yamefifia, yakitazamia wokovu wako,

PSA 119:123 Removed trailing space in p~: na kuitazamia ahadi yako ya kweli.

PSA 119:124 Removed trailing space in v~: Mfanyie mtumishi wako kulingana na upendo wako

PSA 119:124 Removed trailing space in p~: na unifundishe maagizo yako.

PSA 119:125 Removed trailing space in v~: Mimi ni mtumishi wako; nipe ufahamu

PSA 119:125 Removed trailing space in p~: ili niweze kuelewa sheria zako.

PSA 119:126 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wakati wako wa kutenda umewadia,

PSA 119:126 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sheria yako inavunjwa.

PSA 119:127 Removed trailing space in v~: Kwa sababu nazipenda amri zako zaidi ya dhahabu,

PSA 119:127 Removed trailing space in p~: naam, zaidi ya dhahabu safi,

PSA 119:128 Removed trailing space in v~: na kwa sababu naona maagizo yako yote ni adili,

PSA 119:128 Removed trailing space in p~: nachukia kila njia potovu.

PSA 119:128 Removed trailing space in s2: Shauku Ya Kuitii Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:129 Removed trailing space in v~: Sheria zako ni za ajabu,

PSA 119:129 Removed trailing space in p~: hivyo ninazitii.

PSA 119:130 Removed trailing space in v~: Kuingia kwa maneno yako kunaleta nuru,

PSA 119:130 Removed trailing space in p~: kunampa mjinga ufahamu.

PSA 119:131 Removed trailing space in v~: Nimefungua kinywa changu na kuhema,

PSA 119:131 Removed trailing space in p~: nikitamani amri zako.

PSA 119:132 Removed trailing space in v~: Nigeukie na unihurumie, kama uwafanyiavyo siku zote

PSA 119:132 Removed trailing space in p~: wale wanaolipenda jina lako.

PSA 119:133 Removed trailing space in v~: Ongoza hatua zangu kulingana na neno lako,

PSA 119:133 Removed trailing space in p~: usiache dhambi yoyote initawale.

PSA 119:134 Removed trailing space in v~: Niokoe na uonevu wa wanadamu,

PSA 119:134 Removed trailing space in p~: ili niweze kutii mausia yako.

PSA 119:135 Removed trailing space in v~: Mwangazie mtumishi wako uso wako

PSA 119:135 Removed trailing space in p~: na unifundishe amri zako.

PSA 119:136 Removed trailing space in v~: Chemchemi za machozi zinatiririka kutoka machoni yangu,

PSA 119:136 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sheria yako haifuatwi.

PSA 119:136 Removed trailing space in s2: Haki Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:137 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe ni mwenye haki,

PSA 119:137 Removed trailing space in p~: sheria zako ni sahihi.

PSA 119:138 Removed trailing space in v~: Sheria ulizoziweka ni za haki,

PSA 119:138 Removed trailing space in p~: ni za kuaminika kikamilifu.

PSA 119:139 Removed trailing space in v~: Jitihada yangu imenidhoofisha, kwa kuwa adui zangu

PSA 119:139 Removed trailing space in p~: wanayapuuza maneno yako.

PSA 119:140 Removed trailing space in v~: Ahadi zako zimejaribiwa kikamilifu,

PSA 119:140 Removed trailing space in p~: mtumishi wako anazipenda.

PSA 119:141 Removed trailing space in v~: Ingawa ni mdogo na ninadharauliwa,

PSA 119:141 Removed trailing space in p~: sisahau mausia yako.

PSA 119:142 Removed trailing space in v~: Haki yako ni ya milele,

PSA 119:142 Removed trailing space in p~: na sheria yako ni kweli.

PSA 119:143 Removed trailing space in v~: Shida na dhiki zimenipata,

PSA 119:143 Removed trailing space in p~: lakini amri zako ni furaha yangu.

PSA 119:144 Removed trailing space in v~: Sheria zako ni sahihi milele,

PSA 119:144 Removed trailing space in p~: hunipa ufahamu ili nipate kuishi.

PSA 119:144 Removed trailing space in s2: Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa

PSA 119:145 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninakuita kwa moyo wangu wote,

PSA 119:145 Removed trailing space in p~: nami nitayatii maagizo yako.

PSA 119:146 Removed trailing space in v~: Ninakuita; niokoe

PSA 119:146 Removed trailing space in p~: nami nitazishika sheria zako.

PSA 119:147 Removed trailing space in v~: Ninaamka asubuhi na mapema na kukuomba msaada;

PSA 119:147 Removed trailing space in p~: nimeweka tumaini langu katika neno lako.

PSA 119:148 Removed trailing space in v~: Sikufumba macho yangu usiku kucha,

PSA 119:148 Removed trailing space in p~: ili niweze kutafakari juu ya ahadi zako.

PSA 119:149 Removed trailing space in v~: Usikie sauti yangu sawasawa na upendo wako,

PSA 119:149 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na sheria zako.

PSA 119:150 Removed trailing space in v~: Wale wanaopanga mipango miovu wako karibu nami,

PSA 119:150 Removed trailing space in p~: lakini wako mbali na sheria yako.

PSA 119:151 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, hata hivyo wewe u karibu,

PSA 119:151 Removed trailing space in p~: na amri zako zote ni za kweli.

PSA 119:152 Removed trailing space in v~: Tangu zamani nimejifunza kutoka shuhuda zako

PSA 119:152 Removed trailing space in p~: kwamba umezithibitisha ili zidumu milele.

PSA 119:152 Removed trailing space in s2: Maombi Kwa Ajili Ya Msaada

PSA 119:153 Removed trailing space in v~: Yaangalie mateso yangu, uniokoe,

PSA 119:153 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sijasahau sheria yako.

PSA 119:154 Removed trailing space in v~: Nitetee katika hali hii yangu na unikomboe,

PSA 119:154 Removed trailing space in p~: uyahifadhi maisha yangu sawasawa na ahadi yako.

PSA 119:155 Removed trailing space in v~: Wokovu uko mbali na waovu,

PSA 119:155 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hawatafuti maagizo yako.

PSA 119:156 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, huruma zako ni kuu,

PSA 119:156 Removed trailing space in p~: uyahifadhi maisha yangu sawasawa na sheria zako.

PSA 119:157 Removed trailing space in v~: Adui wanaonitesa ni wengi,

PSA 119:157 Removed trailing space in p~: lakini mimi sitaziacha sheria zako.

PSA 119:158 Removed trailing space in v~: Ninawatazama wasioamini kwa chuki,

PSA 119:158 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hawalitii neno lako.

PSA 119:159 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ninavyopenda mausia yako;

PSA 119:159 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, uyahifadhi maisha yangu, sawasawa na upendo wako.

PSA 119:160 Removed trailing space in v~: Maneno yako yote ni kweli,

PSA 119:160 Removed trailing space in p~: sheria zako zote za haki ni za milele.

PSA 119:160 Removed trailing space in s2: Kujiweka Wakfu Kwa Sheria Ya \nd Bwana\nd*

PSA 119:161 Removed trailing space in v~: Watawala wamenitesa bila sababu,

PSA 119:161 Removed trailing space in p~: lakini moyo wangu unatetemeka kwa neno lako.

PSA 119:162 Removed trailing space in v~: Nafurahia ahadi zako

PSA 119:162 Removed trailing space in p~: kama mtu aliyepata mateka mengi.

PSA 119:163 Removed trailing space in v~: Ninachukia na kuchukizwa sana na uongo,

PSA 119:163 Removed trailing space in p~: lakini napenda sheria yako.

PSA 119:164 Removed trailing space in v~: Ninakusifu mara saba kwa siku,

PSA 119:164 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya sheria zako za haki.

PSA 119:165 Removed trailing space in v~: Wanaopenda sheria yako wana amani tele,

PSA 119:165 Removed trailing space in p~: wala hakuna kitu kinachoweza kuwakwaza.

PSA 119:166 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninangojea wokovu wako,

PSA 119:166 Removed trailing space in p~: nami ninafuata amri zako,

PSA 119:167 Removed trailing space in v~: Ninazitii sheria zako,

PSA 119:167 Removed trailing space in p~: kwa sababu ninazipenda mno.

PSA 119:168 Removed trailing space in v~: Nimetii mausia yako na sheria zako,

PSA 119:168 Removed trailing space in p~: kwa kuwa njia zangu zote zinajulikana kwako.

PSA 119:168 Removed trailing space in s2: Kuomba Msaada

PSA 119:169 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kilio changu na kifike mbele zako,

PSA 119:169 Removed trailing space in p~: nipe ufahamu sawasawa na neno lako.

PSA 119:170 Removed trailing space in v~: Maombi yangu na yafike mbele zako,

PSA 119:170 Removed trailing space in p~: niokoe sawasawa na ahadi yako.

PSA 119:171 Removed trailing space in v~: Midomo yangu na ibubujike sifa,

PSA 119:171 Removed trailing space in p~: kwa kuwa unanifundisha maagizo yako.

PSA 119:172 Removed trailing space in v~: Ulimi wangu na uimbe kuhusu neno lako,

PSA 119:172 Removed trailing space in p~: kwa kuwa amri zako zote ni za haki.

PSA 119:173 Removed trailing space in v~: Mkono wako uwe tayari kunisaidia,

PSA 119:173 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimechagua mausia yako.

PSA 119:174 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninatamani wokovu wako,

PSA 119:174 Removed trailing space in p~: na sheria yako ni furaha yangu.

PSA 119:175 Removed trailing space in v~: Nijalie kuishi ili nipate kukusifu,

PSA 119:175 Removed trailing space in p~: na sheria zako zinitegemeze.

PSA 119:176 Removed trailing space in v~: Nimetangatanga kama kondoo aliyepotea.

PSA 119:176 Removed trailing space in p~: Mtafute mtumishi wako,

PSA 119:176 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sijasahau amri zako.

PSA 120:0 Extra space after chapter number

PSA 120:0 Removed trailing space in c: 120

PSA 120:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 120

PSA 120:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 120:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 120:1 Removed trailing space in v~: Katika dhiki yangu namwita \nd Bwana\nd*,

PSA 120:1 Removed trailing space in p~: naye hunijibu.

PSA 120:2 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uniokoe kutoka midomo ya uongo

PSA 120:2 Removed trailing space in p~: na ndimi za udanganyifu.

PSA 120:3 Removed trailing space in v~: Atakufanyia nini,

PSA 120:3 Removed trailing space in p~: au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?

PSA 120:4 Removed trailing space in v~: Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa,

PSA 120:4 Removed trailing space in p~: kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.

PSA 120:5 Removed trailing space in v~: Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki,

PSA 120:5 Removed trailing space in p~: kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!

PSA 120:6 Removed trailing space in v~: Nimeishi muda mrefu mno

PSA 120:6 Removed trailing space in p~: miongoni mwa wale wanaochukia amani.

PSA 120:7 Removed trailing space in v~: Mimi ni mtu wa amani;

PSA 120:7 Removed trailing space in p~: lakini ninaposema, wao wanataka vita.

PSA 121:0 Extra space after chapter number

PSA 121:0 Removed trailing space in c: 121

PSA 121:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 121

PSA 121:0 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Mlinzi Wetu

PSA 121:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 121:1 Removed trailing space in v~: Nayainua macho yangu nitazame vilima,

PSA 121:1 Removed trailing space in p~: msaada wangu utatoka wapi?

PSA 121:2 Removed trailing space in v~: Msaada wangu hutoka kwa \nd Bwana\nd*,

PSA 121:2 Removed trailing space in p~: Muumba wa mbingu na dunia.

PSA 121:3 Removed trailing space in v~: Hatauacha mguu wako uteleze,

PSA 121:3 Removed trailing space in p~: yeye akulindaye hatasinzia,

PSA 121:4 Removed trailing space in v~: hakika, yeye alindaye Israeli

PSA 121:4 Removed trailing space in p~: hatasinzia wala hatalala usingizi.

PSA 121:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anakulinda,

PSA 121:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ni uvuli wako mkono wako wa kuume,

PSA 121:6 Removed trailing space in v~: jua halitakudhuru mchana,

PSA 121:6 Removed trailing space in p~: wala mwezi wakati wa usiku.

PSA 121:7 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakukinga na madhara yote,

PSA 121:7 Removed trailing space in p~: atayalinda maisha yako,

PSA 121:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakulinda unapoingia na unapotoka,

PSA 121:8 Removed trailing space in p~: tangu sasa na hata milele.

PSA 122:0 Extra space after chapter number

PSA 122:0 Removed trailing space in c: 122

PSA 122:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 122

PSA 122:0 Removed trailing space in s1: Sifa Kwa Yerusalemu

PSA 122:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

PSA 122:1 Removed trailing space in v~: Nilishangilia pamoja na wale walioniambia,

PSA 122:1 Removed trailing space in p~: “Twende nyumbani ya \nd Bwana\nd*.”

PSA 122:2 Removed trailing space in v~: Ee Yerusalemu, miguu yetu imesimama

PSA 122:2 Removed trailing space in p~: malangoni mwako.

PSA 122:3 Removed trailing space in v~: Yerusalemu imejengwa vyema kama mji

PSA 122:3 Removed trailing space in p~: ambao umeshikamanishwa pamoja.

PSA 122:4 Removed trailing space in v~: Huko ndiko makabila hukwea,

PSA 122:4 Removed trailing space in p~: makabila ya \nd Bwana\nd*,

PSA 122:4 Removed trailing space in p~: kulisifu jina la \nd Bwana\nd* kulingana na maagizo

PSA 122:4 Removed trailing space in p~: waliopewa Israeli.

PSA 122:5 Removed trailing space in v~: Huko viti vya enzi vya hukumu hukaa,

PSA 122:5 Removed trailing space in p~: viti vya enzi vya nyumba ya Daudi.

PSA 122:6 Removed trailing space in v~: Omba kwa ajili ya amani ya Yerusalemu:

PSA 122:6 Removed trailing space in p~: “Wote wakupendao na wawe salama.

PSA 122:7 Removed trailing space in v~: Amani na iwepo ndani ya kuta zako

PSA 122:7 Removed trailing space in p~: na usalama ndani ya ngome zako.”

PSA 122:8 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya ndugu zangu na marafiki,

PSA 122:8 Removed trailing space in p~: nitasema, “Amani iwe ndani yako.”

PSA 122:9 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

PSA 122:9 Removed trailing space in p~: nitatafuta mafanikio yako.

PSA 123:0 Extra space after chapter number

PSA 123:0 Removed trailing space in c: 123

PSA 123:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 123

PSA 123:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Rehema

PSA 123:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 123:1 Removed trailing space in v~: Ninayainua macho yangu kwako,

PSA 123:1 Removed trailing space in p~: kwako wewe ambaye kiti chako cha enzi kiko mbinguni.

PSA 123:2 Removed trailing space in v~: Kama vile macho ya watumwa

PSA 123:2 Removed trailing space in p~: yatazamavyo mkono wa bwana wao,

PSA 123:2 Removed trailing space in p~: kama vile macho ya mtumishi wa kike

PSA 123:2 Removed trailing space in p~: yatazamavyo mkono wa bibi yake,

PSA 123:2 Removed trailing space in p~: ndivyo macho yetu yamtazamavyo \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

PSA 123:2 Removed trailing space in p~: mpaka atakapotuhurumia.

PSA 123:3 Removed trailing space in v~: Uturehemu, Ee \nd Bwana\nd*, uturehemu,

PSA 123:3 Removed trailing space in p~: kwa maana tumevumilia dharau nyingi.

PSA 123:4 Removed trailing space in v~: Tumevumilia dhihaka nyingi kutoka kwa wenye kiburi,

PSA 123:4 Removed trailing space in p~: dharau nyingi kutoka kwa wenye majivuno.

PSA 124:0 Extra space after chapter number

PSA 124:0 Removed trailing space in c: 124

PSA 124:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 124

PSA 124:0 Removed trailing space in s1: Shukrani Kwa Ukombozi Wa Israeli

PSA 124:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

PSA 124:1 Removed trailing space in v~: Kama \nd Bwana\nd* asingalikuwa upande wetu;

PSA 124:1 Removed trailing space in p~: Israeli na aseme sasa:

PSA 124:2 Removed trailing space in v~: kama \nd Bwana\nd* asingalikuwa upande wetu,

PSA 124:2 Removed trailing space in p~: wakati watu walipotushambulia,

PSA 124:3 Removed trailing space in v~: wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu,

PSA 124:3 Removed trailing space in p~: wangalitumeza tungali hai,

PSA 124:4 Removed trailing space in v~: mafuriko yangalitugharikisha,

PSA 124:4 Removed trailing space in p~: maji mengi yangalitufunika,

PSA 124:5 Removed trailing space in v~: maji yaendayo kasi

PSA 124:5 Removed trailing space in p~: yangalituchukua.

PSA 124:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asifiwe,

PSA 124:6 Removed trailing space in p~: yeye ambaye hakuruhusu turaruliwe kwa meno yao.

PSA 124:7 Removed trailing space in v~: Tumeponyoka kama ndege

PSA 124:7 Removed trailing space in p~: kutoka mtego wa mwindaji;

PSA 124:7 Removed trailing space in p~: mtego umevunjika,

PSA 124:7 Removed trailing space in p~: nasi tukaokoka.

PSA 124:8 Removed trailing space in v~: Msaada wetu ni katika jina la \nd Bwana\nd*,

PSA 124:8 Removed trailing space in p~: Muumba wa mbingu na dunia.

PSA 125:0 Extra space after chapter number

PSA 125:0 Removed trailing space in c: 125

PSA 125:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 125

PSA 125:0 Removed trailing space in s1: Usalama Wa Watu Wa Mungu

PSA 125:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 125:1 Removed trailing space in v~: Wale wamtumainio \nd Bwana\nd* ni kama mlima Sayuni,

PSA 125:1 Removed trailing space in p~: ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.

PSA 125:2 Removed trailing space in v~: Kama milima inavyozunguka Yerusalemu,

PSA 125:2 Removed trailing space in p~: ndivyo \nd Bwana\nd* anavyowazunguka watu wake

PSA 125:2 Removed trailing space in p~: sasa na hata milele.

PSA 125:3 Removed trailing space in v~: Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi

PSA 125:3 Removed trailing space in p~: waliopewa wenye haki,

PSA 125:3 Removed trailing space in p~: ili wenye haki wasije wakatumia

PSA 125:3 Removed trailing space in p~: mikono yao kutenda ubaya.

PSA 125:4 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, watendee mema walio wema,

PSA 125:4 Removed trailing space in p~: wale walio wanyofu wa moyo.

PSA 125:5 Removed trailing space in v~: Bali wale wanaogeukia njia zilizopotoka,

PSA 125:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atawafukuza pamoja na watenda mabaya.

PSA 125:5 Removed trailing space in p~: Amani iwe juu ya Israeli.

PSA 126:0 Extra space after chapter number

PSA 126:0 Removed trailing space in c: 126

PSA 126:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 126

PSA 126:0 Removed trailing space in s1: Kurejezwa Kutoka Utumwani

PSA 126:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 126:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipowarejeza mateka Sayuni,

PSA 126:1 Removed trailing space in p~: tulikuwa kama watu walioota ndoto.

PSA 126:2 Removed trailing space in v~: Vinywa vyetu vilijaa kicheko,

PSA 126:2 Removed trailing space in p~: ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe.

PSA 126:2 Removed trailing space in p~: Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa,

PSA 126:2 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* amewatendea mambo makuu.”

PSA 126:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ametutendea mambo makuu,

PSA 126:3 Removed trailing space in p~: nasi tumejaa furaha.

PSA 126:4 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, turejeshee watu wetu waliotekwa,

PSA 126:4 Removed trailing space in p~: kama vijito katika Negebu.

PSA 126:5 Removed trailing space in v~: Wapandao kwa machozi

PSA 126:5 Removed trailing space in p~: watavuna kwa nyimbo za shangwe.

PSA 126:6 Removed trailing space in v~: Yeye azichukuaye mbegu zake

PSA 126:6 Removed trailing space in p~: kwenda kupanda, huku akilia,

PSA 126:6 Removed trailing space in p~: atarudi kwa nyimbo za shangwe,

PSA 126:6 Removed trailing space in p~: akichukua miganda ya mavuno yake.

PSA 127:0 Extra space after chapter number

PSA 127:0 Removed trailing space in c: 127

PSA 127:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 127

PSA 127:0 Removed trailing space in s1: Bila Mungu, Kazi Ya Mwanadamu Haifai

PSA 127:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu. Wa Solomoni.

PSA 127:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asipoijenga nyumba,

PSA 127:1 Removed trailing space in p~: wajengao hufanya kazi bure.

PSA 127:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* asipoulinda mji,

PSA 127:1 Removed trailing space in p~: walinzi wakesha bure.

PSA 127:2 Removed trailing space in v~: Mnajisumbua bure kuamka mapema

PSA 127:2 Removed trailing space in p~: na kuchelewa kulala,

PSA 127:2 Removed trailing space in p~: mkitaabikia chakula:

PSA 127:2 Removed trailing space in p~: kwa maana yeye huwapa usingizi wapenzi wake.

PSA 127:3 Removed trailing space in v~: Wana ni urithi utokao kwa \nd Bwana\nd*,

PSA 127:3 Removed trailing space in p~: watoto ni zawadi kutoka kwake.

PSA 127:4 Removed trailing space in v~: Kama mishale mikononi mwa shujaa

PSA 127:4 Removed trailing space in p~: ndivyo walivyo wana awazaao mtu katika ujana wake.

PSA 127:5 Removed trailing space in v~: Heri mtu ambaye podo lake

PSA 127:5 Removed trailing space in p~: limejazwa nao.

PSA 127:5 Removed trailing space in p~: Hawataaibishwa wanaposhindana

PSA 127:5 Removed trailing space in p~: na adui zao langoni.

PSA 128:0 Extra space after chapter number

PSA 128:0 Removed trailing space in c: 128

PSA 128:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 128

PSA 128:0 Removed trailing space in s1: Thawabu Ya Kumtii \nd Bwana\nd*

PSA 128:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 128:1 Removed trailing space in v~: Heri ni wale wote wamchao \nd Bwana\nd*,

PSA 128:1 Removed trailing space in p~: waendao katika njia zake.

PSA 128:2 Removed trailing space in v~: Utakula matunda ya kazi yako;

PSA 128:2 Removed trailing space in p~: baraka na mafanikio vitakuwa vyako.

PSA 128:3 Removed trailing space in v~: Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao

PSA 128:3 Removed trailing space in p~: ndani ya nyumba yako;

PSA 128:3 Removed trailing space in p~: wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni

PSA 128:3 Removed trailing space in p~: kuizunguka meza yako.

PSA 128:4 Removed trailing space in v~: Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa

PSA 128:4 Removed trailing space in p~: mtu amchaye \nd Bwana\nd*.

PSA 128:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* na akubariki kutoka Sayuni

PSA 128:5 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yako,

PSA 128:5 Removed trailing space in p~: na uone mafanikio ya Yerusalemu,

PSA 128:6 Removed trailing space in v~: nawe ujaliwe kuishi uone watoto wa watoto wako.

PSA 128:6 Removed trailing space in p~: Amani iwe juu ya Israeli.

PSA 129:0 Extra space after chapter number

PSA 129:0 Removed trailing space in c: 129

PSA 129:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 129

PSA 129:0 Removed trailing space in s1: Maombi Dhidi Ya Adui Za Israeli

PSA 129:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 129:1 Removed trailing space in v~: Wamenionea mno tangu ujana wangu;

PSA 129:1 Removed trailing space in p~: Israeli na aseme sasa:

PSA 129:2 Removed trailing space in v~: wamenionea mno tangu ujana wangu,

PSA 129:2 Removed trailing space in p~: lakini bado hawajanishinda.

PSA 129:3 Removed trailing space in v~: Wakulima wamelima mgongo wangu,

PSA 129:3 Removed trailing space in p~: na kufanya mifereji yao mirefu.

PSA 129:4 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* ni mwenye haki;

PSA 129:4 Removed trailing space in p~: amenifungua toka kamba za waovu.

PSA 129:5 Removed trailing space in v~: Wale wote waichukiao Sayuni

PSA 129:5 Removed trailing space in p~: na warudishwe nyuma kwa aibu.

PSA 129:6 Removed trailing space in v~: Wawe kama majani juu ya paa,

PSA 129:6 Removed trailing space in p~: ambayo hunyauka kabla hayajakua;

PSA 129:7 Removed trailing space in v~: kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake,

PSA 129:7 Removed trailing space in p~: wala akusanyaye kujaza mikono yake.

PSA 129:8 Removed trailing space in v~: Wale wapitao karibu na wasiseme,

PSA 129:8 Removed trailing space in p~: “Baraka ya \nd Bwana\nd* iwe juu yako;

PSA 129:8 Removed trailing space in p~: tunakubariki katika jina la \nd Bwana\nd*.”

PSA 130:0 Extra space after chapter number

PSA 130:0 Removed trailing space in c: 130

PSA 130:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 130

PSA 130:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Msaada

PSA 130:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 130:1 Removed trailing space in v~: Kutoka vilindini ninakulilia, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 130:2 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, sikia sauti yangu.

PSA 130:2 Removed trailing space in p~: Masikio yako na yawe masikivu

PSA 130:2 Removed trailing space in p~: kwa kilio changu unihurumie.

PSA 130:3 Removed trailing space in v~: Kama wewe, Ee \nd Bwana\nd*, ungeweka kumbukumbu ya dhambi,

PSA 130:3 Removed trailing space in p~: Ee Bwana, ni nani angeliweza kusimama?

PSA 130:4 Removed trailing space in v~: Lakini kwako kuna msamaha,

PSA 130:4 Removed trailing space in p~: kwa hiyo wewe unaogopwa.

PSA 130:5 Removed trailing space in v~: Namngojea \nd Bwana\nd*, nafsi yangu inangojea,

PSA 130:5 Removed trailing space in p~: katika neno lake naweka tumaini langu.

PSA 130:6 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu inamngojea Bwana

PSA 130:6 Removed trailing space in p~: kuliko walinzi waingojeavyo asubuhi,

PSA 130:6 Removed trailing space in p~: naam, kuliko walinzi

PSA 130:6 Removed trailing space in p~: waingojeavyo asubuhi.

PSA 130:7 Removed trailing space in v~: Ee Israeli, mtumaini \nd Bwana\nd*,

PSA 130:7 Removed trailing space in p~: maana kwa \nd Bwana\nd* kuna upendo usiokoma,

PSA 130:7 Removed trailing space in p~: na kwake kuna ukombozi kamili.

PSA 130:8 Removed trailing space in v~: Yeye mwenyewe ataikomboa Israeli

PSA 130:8 Removed trailing space in p~: kutoka dhambi zao zote.

PSA 131:0 Extra space after chapter number

PSA 131:0 Removed trailing space in c: 131

PSA 131:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 131

PSA 131:0 Removed trailing space in s1: Kumtegemea Mungu Kwa Unyenyekevu

PSA 131:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

PSA 131:1 Removed trailing space in v~: Moyo wangu hauna kiburi, Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 131:1 Removed trailing space in p~: macho yangu hayajivuni;

PSA 131:1 Removed trailing space in p~: sijishughulishi na mambo makuu kunizidi

PSA 131:1 Removed trailing space in p~: wala mambo ya ajabu mno kwangu.

PSA 131:2 Removed trailing space in v~: Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu;

PSA 131:2 Removed trailing space in p~: kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake,

PSA 131:2 Removed trailing space in p~: kama mtoto aliyeachishwa kunyonya

PSA 131:2 Removed trailing space in p~: ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.

PSA 131:3 Removed trailing space in v~: Ee Israeli, mtumaini \nd Bwana\nd*

PSA 131:3 Removed trailing space in p~: tangu sasa na hata milele.

PSA 132:0 Extra space after chapter number

PSA 132:0 Removed trailing space in c: 132

PSA 132:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 132

PSA 132:0 Removed trailing space in s1: Maskani Ya Mungu Ya Milele Katika Sayuni

PSA 132:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 132:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mkumbuke Daudi

PSA 132:1 Removed trailing space in p~: na taabu zote alizozistahimili.

PSA 132:2 Removed trailing space in v~: Aliapa kiapo kwa \nd Bwana\nd*

PSA 132:2 Removed trailing space in p~: na akaweka nadhiri kwa Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo:

PSA 132:3 Removed trailing space in v~: “Sitaingia nyumbani mwangu

PSA 132:3 Removed trailing space in p~: au kwenda kitandani mwangu:

PSA 132:4 Removed trailing space in v~: sitaruhusu usingizi katika macho yangu,

PSA 132:4 Removed trailing space in p~: wala kope zangu kusinzia,

PSA 132:5 Removed trailing space in v~: mpaka nitakapompatia \nd Bwana\nd* mahali,

PSA 132:5 Removed trailing space in p~: makao kwa ajili ya Yule Mwenye Nguvu wa Yakobo.”

PSA 132:6 Removed trailing space in v~: Tulisikia habari hii huko Efrathi,

PSA 132:6 Removed trailing space in p~: tulikutana nayo katika mashamba ya Yaara:\f + \fr 132:6 \ft Yaani Kiriath-Yearimu.\f*

PSA 132:7 Removed trailing space in v~: “Twendeni kwenye makao yake,

PSA 132:7 Removed trailing space in p~: na tuabudu kwenye kiti cha kuwekea miguu yake;

PSA 132:8 Removed trailing space in v~: inuka, Ee \nd Bwana\nd*, uje mahali pako pa kupumzikia,

PSA 132:8 Removed trailing space in p~: wewe na Sanduku la nguvu zako.

PSA 132:9 Removed trailing space in v~: Makuhani wako na wavikwe haki,

PSA 132:9 Removed trailing space in p~: watakatifu wako na waimbe kwa furaha.”

PSA 132:10 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako,

PSA 132:10 Removed trailing space in p~: usimkatae mpakwa mafuta wako.

PSA 132:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alimwapia Daudi kiapo,

PSA 132:11 Removed trailing space in p~: kiapo cha uhakika ambacho hatakitangua:

PSA 132:11 Removed trailing space in p~: “Nitamweka mmoja wa wazao wako mwenyewe

PSA 132:11 Removed trailing space in p~: katika kiti chako cha enzi,

PSA 132:12 Removed trailing space in v~: kama wanao watashika Agano langu

PSA 132:12 Removed trailing space in p~: na sheria ninazowafundisha,

PSA 132:12 Removed trailing space in p~: ndipo wana wao watarithi

PSA 132:12 Removed trailing space in p~: kiti chako cha enzi milele na milele.”

PSA 132:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* ameichagua Sayuni,

PSA 132:13 Removed trailing space in p~: amepaonea shauku pawe maskani yake:

PSA 132:14 Removed trailing space in v~: “Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele;

PSA 132:14 Removed trailing space in p~: hapa ndipo nitakapoketi nikitawala, kwa sababu nimepaonea shauku:

PSA 132:15 Removed trailing space in v~: Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele:

PSA 132:15 Removed trailing space in p~: nitashibisha maskini wake kwa chakula.

PSA 132:16 Removed trailing space in v~: Nitawavika makuhani wake wokovu,

PSA 132:16 Removed trailing space in p~: nao watakatifu wake watadumu wakiimba kwa furaha.

PSA 132:17 Removed trailing space in v~: “Hapa nitamchipushia Daudi pembe,\f + \fr 132:17 \ft Pembe inawakilisha nguvu.\f*

PSA 132:17 Removed trailing space in p~: na kuweka taa kwa ajili ya masiya\f + \fr 132:17 \ft Masiya yaani mpakwa mafuta.\f* wangu.

PSA 132:18 Removed trailing space in v~: Adui zake nitawavika aibu,

PSA 132:18 Removed trailing space in p~: bali taji kichwani pake itangʼaa sana.”

PSA 133:0 Extra space after chapter number

PSA 133:0 Removed trailing space in c: 133

PSA 133:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 133

PSA 133:0 Removed trailing space in s1: Sifa Za Pendo La Undugu

PSA 133:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.

PSA 133:1 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ilivyo vyema na kupendeza

PSA 133:1 Removed trailing space in p~: wakati ndugu wanapoishi pamoja katika umoja!

PSA 133:2 Removed trailing space in v~: Ni kama mafuta ya thamani yaliyomiminwa kichwani,

PSA 133:2 Removed trailing space in p~: yakitiririka kwenye ndevu,

PSA 133:2 Removed trailing space in p~: yakitiririka kwenye ndevu za Aroni,

PSA 133:2 Removed trailing space in p~: mpaka kwenye upindo wa mavazi yake.

PSA 133:3 Removed trailing space in v~: Ni kama vile umande wa Hermoni

PSA 133:3 Removed trailing space in p~: unavyoanguka juu ya Mlima Sayuni.

PSA 133:3 Removed trailing space in p~: Kwa maana huko ndiko \nd Bwana\nd* alikoamuru baraka yake,

PSA 133:3 Removed trailing space in p~: naam, hata uzima milele.

PSA 134:0 Extra space after chapter number

PSA 134:0 Removed trailing space in c: 134

PSA 134:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 134

PSA 134:0 Removed trailing space in s1: Wito Wa Kumsifu Mungu

PSA 134:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa kwenda juu.

PSA 134:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*, ninyi nyote watumishi wa \nd Bwana\nd*,

PSA 134:1 Removed trailing space in p~: ninyi mnaotumika usiku ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*.

PSA 134:2 Removed trailing space in v~: Inueni mikono yenu katika pale patakatifu

PSA 134:2 Removed trailing space in p~: na kumsifu \nd Bwana\nd*.

PSA 134:3 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd*, Muumba wa mbingu na dunia,

PSA 134:3 Removed trailing space in p~: awabariki kutoka Sayuni.

PSA 135:0 Extra space after chapter number

PSA 135:0 Removed trailing space in c: 135

PSA 135:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 135

PSA 135:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu

PSA 135:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 135:1 Removed trailing space in p~: Lisifuni jina la \nd Bwana\nd*,

PSA 135:1 Removed trailing space in p~: msifuni, enyi watumishi wa \nd Bwana\nd*,

PSA 135:2 Removed trailing space in v~: ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*,

PSA 135:2 Removed trailing space in p~: katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.

PSA 135:3 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni mwema,

PSA 135:3 Removed trailing space in p~: liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.

PSA 135:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,

PSA 135:4 Removed trailing space in p~: Israeli kuwa mali yake ya thamani.

PSA 135:5 Removed trailing space in v~: Ninajua ya kuwa \nd Bwana\nd* ni mkuu,

PSA 135:5 Removed trailing space in p~: kwamba Bwana wetu ni mkuu kuliko miungu yote.

PSA 135:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hufanya lolote apendalo,

PSA 135:6 Removed trailing space in p~: mbinguni na duniani,

PSA 135:6 Removed trailing space in p~: katika bahari na vilindi vyake vyote.

PSA 135:7 Removed trailing space in v~: Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia;

PSA 135:7 Removed trailing space in p~: hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua

PSA 135:7 Removed trailing space in p~: na huleta upepo kutoka ghala zake.

PSA 135:8 Removed trailing space in v~: Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,

PSA 135:8 Removed trailing space in p~: mzaliwa wa kwanza wa wanadamu na wanyama.

PSA 135:9 Removed trailing space in v~: Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri,

PSA 135:9 Removed trailing space in p~: dhidi ya Farao na watumishi wake wote.

PSA 135:10 Removed trailing space in v~: Aliyapiga mataifa mengi,

PSA 135:10 Removed trailing space in p~: na akaua wafalme wenye nguvu:

PSA 135:11 Removed trailing space in v~: Mfalme Sihoni na Waamori,

PSA 135:11 Removed trailing space in p~: Ogu mfalme wa Bashani

PSA 135:11 Removed trailing space in p~: na wafalme wote wa Kanaani:

PSA 135:12 Removed trailing space in v~: akatoa nchi yao kuwa urithi,

PSA 135:12 Removed trailing space in p~: urithi kwa watu wake Israeli.

PSA 135:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, jina lako ladumu milele,

PSA 135:13 Removed trailing space in p~: kumbukumbu za fahari zako, Ee \nd Bwana\nd*, kwa vizazi vyote.

PSA 135:14 Removed trailing space in v~: Maana \nd Bwana\nd* atawathibitisha watu wake,

PSA 135:14 Removed trailing space in p~: na kuwahurumia watumishi wake.

PSA 135:15 Removed trailing space in v~: Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,

PSA 135:15 Removed trailing space in p~: zilizotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

PSA 135:16 Removed trailing space in v~: Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,

PSA 135:16 Removed trailing space in p~: zina macho, lakini haziwezi kuona;

PSA 135:17 Removed trailing space in v~: zina masikio, lakini haziwezi kusikia,

PSA 135:17 Removed trailing space in p~: wala hakuna pumzi katika vinywa vyao.

PSA 135:18 Removed trailing space in v~: Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,

PSA 135:18 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo wale wote wanaozitumainia.

PSA 135:19 Removed trailing space in v~: Ee nyumba ya Israeli, msifuni \nd Bwana\nd*;

PSA 135:19 Removed trailing space in p~: ee nyumba ya Aroni, msifuni \nd Bwana\nd*;

PSA 135:20 Removed trailing space in v~: ee nyumba ya Lawi, msifuni \nd Bwana\nd*;

PSA 135:20 Removed trailing space in p~: ninyi mnaomcha, msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 135:21 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd* kutoka Sayuni,

PSA 135:21 Removed trailing space in p~: msifuni yeye aishiye Yerusalemu.

PSA 135:21 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 136:0 Extra space after chapter number

PSA 136:0 Removed trailing space in c: 136

PSA 136:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 136

PSA 136:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Kumshukuru Mungu

PSA 136:1 Removed trailing space in v~: Mshukuruni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa ni mwema.

PSA 136:1 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:2 Removed trailing space in v~: Mshukuruni Mungu wa miungu.

PSA 136:2 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:3 Removed trailing space in v~: Mshukuruni Bwana wa mabwana:

PSA 136:3 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:4 Removed trailing space in v~: Kwake yeye pekee atendaye maajabu makuu,

PSA 136:4 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:5 Removed trailing space in v~: Ambaye kwa ufahamu wake aliziumba mbingu,

PSA 136:5 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:6 Removed trailing space in v~: Ambaye aliitandaza dunia juu ya maji,

PSA 136:6 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:7 Removed trailing space in v~: Ambaye aliumba mianga mikubwa,

PSA 136:7 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:8 Removed trailing space in v~: Jua litawale mchana,

PSA 136:8 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:9 Removed trailing space in v~: Mwezi na nyota vitawale usiku,

PSA 136:9 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:10 Removed trailing space in v~: Kwake yeye aliyemuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,

PSA 136:10 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:11 Removed trailing space in v~: Na kuwatoa Israeli katikati yao,

PSA 136:11 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:12 Removed trailing space in v~: Kwa mkono wenye nguvu ulionyooshwa,

PSA 136:12 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:13 Removed trailing space in v~: Kwake yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu,

PSA 136:13 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:14 Removed trailing space in v~: Na kuwapitisha Israeli katikati yake,

PSA 136:14 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:15 Removed trailing space in v~: Lakini alimfagia Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu,

PSA 136:15 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:16 Removed trailing space in v~: Kwake yeye aliyewaongoza watu wake katika jangwa,

PSA 136:16 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:17 Removed trailing space in v~: Ambaye aliwapiga wafalme wenye nguvu,

PSA 136:17 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:18 Removed trailing space in v~: Naye aliwaua wafalme wenye nguvu,

PSA 136:18 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:19 Removed trailing space in v~: Sihoni mfalme wa Waamori,

PSA 136:19 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:20 Removed trailing space in v~: Ogu mfalme wa Bashani,

PSA 136:20 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:21 Removed trailing space in v~: Akatoa nchi yao kuwa urithi,

PSA 136:21 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:22 Removed trailing space in v~: Urithi kwa Israeli mtumishi wake,

PSA 136:22 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:23 Removed trailing space in v~: Aliyetukumbuka katika unyonge wetu,

PSA 136:23 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:24 Removed trailing space in v~: Alituweka huru toka adui zetu,

PSA 136:24 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:25 Removed trailing space in v~: Ambaye humpa chakula kila kiumbe.

PSA 136:25 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 136:26 Removed trailing space in v~: Mshukuruni Mungu wa mbinguni,

PSA 136:26 Removed trailing space in p~: \it Fadhili zake zadumu milele\it*.

PSA 137:0 Extra space after chapter number

PSA 137:0 Removed trailing space in c: 137

PSA 137:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 137

PSA 137:0 Removed trailing space in s1: Maombolezo Ya Israeli Uhamishoni

PSA 137:1 Removed trailing space in v~: Kando ya mito ya Babeli tuliketi, tukaomboleza

PSA 137:1 Removed trailing space in p~: tulipokumbuka Sayuni.

PSA 137:2 Removed trailing space in v~: Kwenye miti ya huko

PSA 137:2 Removed trailing space in p~: tulitundika vinubi vyetu,

PSA 137:3 Removed trailing space in v~: kwa maana huko hao waliotuteka

PSA 137:3 Removed trailing space in p~: walitaka tuwaimbie nyimbo,

PSA 137:3 Removed trailing space in p~: watesi wetu walidai nyimbo za furaha;

PSA 137:3 Removed trailing space in p~: walisema, “Tuimbieni wimbo mmoja kati ya nyimbo za Sayuni!”

PSA 137:4 Removed trailing space in v~: Tutaimbaje nyimbo za \nd Bwana\nd*,

PSA 137:4 Removed trailing space in p~: tukiwa nchi ya kigeni?

PSA 137:5 Removed trailing space in v~: Nikikusahau wewe, ee Yerusalemu,

PSA 137:5 Removed trailing space in p~: basi mkono wangu wa kuume na usahau ujuzi wake.

PSA 137:6 Removed trailing space in v~: Ulimi wangu ushikamane na kaakaa la kinywa changu

PSA 137:6 Removed trailing space in p~: kama sitakukumbuka wewe,

PSA 137:6 Removed trailing space in p~: kama nisipokufikiri Yerusalemu

PSA 137:6 Removed trailing space in p~: kuwa furaha yangu kubwa.

PSA 137:7 Removed trailing space in v~: Kumbuka, Ee \nd Bwana\nd*, walichokifanya Waedomu,

PSA 137:7 Removed trailing space in p~: siku ile Yerusalemu ilipoanguka.

PSA 137:7 Removed trailing space in p~: Walisema, “Bomoa, Bomoa

PSA 137:7 Removed trailing space in p~: mpaka kwenye misingi yake!”

PSA 137:8 Removed trailing space in v~: Ee binti Babeli, uliyehukumiwa kuangamizwa,

PSA 137:8 Removed trailing space in p~: heri yeye atakayekulipiza wewe

PSA 137:8 Removed trailing space in p~: kwa yale uliyotutenda sisi:

PSA 137:9 Removed trailing space in v~: yeye ambaye atawakamata watoto wako wachanga

PSA 137:9 Removed trailing space in p~: na kuwaponda juu ya miamba.

PSA 138:0 Extra space after chapter number

PSA 138:0 Removed trailing space in c: 138

PSA 138:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 138

PSA 138:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Shukrani

PSA 138:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 138:1 Removed trailing space in v~: Nitakusifu wewe, Ee \nd Bwana\nd*, kwa moyo wangu wote,

PSA 138:1 Removed trailing space in p~: mbele ya “miungu” nitaimba sifa zako.

PSA 138:2 Removed trailing space in v~: Nitasujudu nikielekea Hekalu lako takatifu,

PSA 138:2 Removed trailing space in p~: nami nitalisifu jina lako

PSA 138:2 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya upendo wako

PSA 138:2 Removed trailing space in p~: na uaminifu,

PSA 138:2 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umelikuza jina lako na neno lako

PSA 138:2 Removed trailing space in p~: juu ya vitu vyote.

PSA 138:3 Removed trailing space in v~: Nilipoita, ulinijibu;

PSA 138:3 Removed trailing space in p~: ulinifanya jasiri na mwenye moyo hodari.

PSA 138:4 Removed trailing space in v~: Wafalme wote wa dunia wakusifu wewe Ee \nd Bwana\nd*,

PSA 138:4 Removed trailing space in p~: wakati wanaposikia maneno ya kinywa chako.

PSA 138:5 Removed trailing space in v~: Wao na waimbe kuhusu njia za \nd Bwana\nd*,

PSA 138:5 Removed trailing space in p~: kwa maana utukufu wa \nd Bwana\nd* ni mkuu.

PSA 138:6 Removed trailing space in v~: Ingawa \nd Bwana\nd* yuko juu,

PSA 138:6 Removed trailing space in p~: humwangalia mnyonge,

PSA 138:6 Removed trailing space in p~: bali mwenye kiburi

PSA 138:6 Removed trailing space in p~: yeye anamjua kutokea mbali.

PSA 138:7 Removed trailing space in v~: Nijapopita katikati ya shida,

PSA 138:7 Removed trailing space in p~: wewe unayahifadhi maisha yangu,

PSA 138:7 Removed trailing space in p~: unanyoosha mkono wako dhidi ya hasira ya adui zangu,

PSA 138:7 Removed trailing space in p~: kwa mkono wako wa kuume unaniokoa.

PSA 138:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atatimiza kusudi lake kwangu,

PSA 138:8 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, upendo wako wadumu milele:

PSA 138:8 Removed trailing space in p~: usiziache kazi za mikono yako.

PSA 139:0 Extra space after chapter number

PSA 139:0 Removed trailing space in c: 139

PSA 139:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 139

PSA 139:0 Removed trailing space in s1: Mungu Asiyeweza Kukwepwa

PSA 139:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 139:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, umenichunguza

PSA 139:1 Removed trailing space in p~: na kunijua.

PSA 139:2 Removed trailing space in v~: Unajua ninapoketi na ninapoinuka;

PSA 139:2 Removed trailing space in p~: unatambua mawazo yangu tokea mbali.

PSA 139:3 Removed trailing space in v~: Unafahamu kutoka kwangu na kulala kwangu;

PSA 139:3 Removed trailing space in p~: unaelewa njia zangu zote.

PSA 139:4 Removed trailing space in v~: Kabla neno halijafika katika ulimi wangu,

PSA 139:4 Removed trailing space in p~: wewe walijua kikamilifu, Ee \nd Bwana\nd*.

PSA 139:5 Removed trailing space in v~: Umenizunguka nyuma na mbele;

PSA 139:5 Removed trailing space in p~: umeweka mkono wako juu yangu.

PSA 139:6 Removed trailing space in v~: Maarifa haya ni ya ajabu mno kwangu,

PSA 139:6 Removed trailing space in p~: ni ya juu sana kwangu kuyafikia.

PSA 139:7 Removed trailing space in v~: Niende wapi nijiepushe na Roho yako?

PSA 139:7 Removed trailing space in p~: Niende wapi niukimbie uso wako?

PSA 139:8 Removed trailing space in v~: Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko;

PSA 139:8 Removed trailing space in p~: nikifanya vilindi\f + \fr 139:8 \ft Vilindi ina maana ya Kuzimu, ambayo ni Sheol kwa Kiebrania.\f* kuwa kitanda changu,

PSA 139:8 Removed trailing space in p~: wewe uko huko.

PSA 139:9 Removed trailing space in v~: Kama nikipanda juu ya mbawa za mapambazuko,

PSA 139:9 Removed trailing space in p~: kama nikikaa pande za mbali za bahari,

PSA 139:10 Removed trailing space in v~: hata huko mkono wako utaniongoza,

PSA 139:10 Removed trailing space in p~: mkono wako wa kuume utanishika kwa uthabiti.

PSA 139:11 Removed trailing space in v~: Kama nikisema, “Hakika giza litanificha

PSA 139:11 Removed trailing space in p~: na nuru inayonizunguka iwe usiku,”

PSA 139:12 Removed trailing space in v~: hata giza halitakuwa giza kwako,

PSA 139:12 Removed trailing space in p~: usiku utangʼaa kama mchana,

PSA 139:12 Removed trailing space in p~: kwa kuwa giza ni kama nuru kwako.

PSA 139:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana wewe ndiwe uliyeumba utu wangu wa ndani;

PSA 139:13 Removed trailing space in p~: uliniunga pamoja tumboni mwa mama yangu.

PSA 139:14 Removed trailing space in v~: Ninakusifu kwa sababu nimeumbwa

PSA 139:14 Removed trailing space in p~: kwa namna ya ajabu na ya kutisha;

PSA 139:14 Removed trailing space in p~: kazi zako ni za ajabu,

PSA 139:14 Removed trailing space in p~: ninajua hayo kikamilifu.

PSA 139:15 Removed trailing space in v~: Umbile langu halikufichika kwako,

PSA 139:15 Removed trailing space in p~: nilipoumbwa mahali pa siri.

PSA 139:15 Removed trailing space in p~: Nilipoungwa pamoja kwa ustadi katika vilindi vya nchi,

PSA 139:16 Removed trailing space in v~: macho yako yaliniona kabla mwili wangu haujakamilika.

PSA 139:16 Removed trailing space in p~: Siku zangu zote ulizonipangia

PSA 139:16 Removed trailing space in p~: ziliandikwa katika kitabu chako

PSA 139:16 Removed trailing space in p~: kabla haijakuwepo hata moja.

PSA 139:17 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi yalivyo ya thamani mawazo yako kwangu, Ee Mungu!

PSA 139:17 Removed trailing space in p~: Jinsi jumla yake ilivyo kubwa!

PSA 139:18 Removed trailing space in v~: Kama ningezihesabu,

PSA 139:18 Removed trailing space in p~: zingekuwa nyingi kuliko mchanga.

PSA 139:18 Removed trailing space in p~: Niamkapo,

PSA 139:18 Removed trailing space in p~: bado niko pamoja nawe.

PSA 139:19 Removed trailing space in v~: Laiti ungewachinja waovu, Ee Mungu!

PSA 139:19 Removed trailing space in p~: Ondokeni kwangu, ninyi wamwaga damu!

PSA 139:20 Removed trailing space in v~: Wanazungumza juu yako wakiwa na kusudi baya,

PSA 139:20 Removed trailing space in p~: adui zako wanatumia vibaya jina lako.

PSA 139:21 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, je, nisiwachukie wanaokuchukia?

PSA 139:21 Removed trailing space in p~: Nisiwachukie sana wanaoinuka dhidi yako?

PSA 139:22 Removed trailing space in v~: Sina kitu zaidi ya chuki dhidi yao,

PSA 139:22 Removed trailing space in p~: ninawahesabu ni adui zangu.

PSA 139:23 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, nichunguze, uujue moyo wangu,

PSA 139:23 Removed trailing space in p~: nijaribu na ujue mawazo yangu.

PSA 139:24 Removed trailing space in v~: Uone kama kuna njia iletayo machukizo ndani yangu,

PSA 139:24 Removed trailing space in p~: uniongoze katika njia ya milele.

PSA 140:0 Extra space after chapter number

PSA 140:0 Removed trailing space in c: 140

PSA 140:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 140

PSA 140:0 Removed trailing space in s1: Kuomba Ulinzi Wa Mungu

PSA 140:0 Removed trailing space in d: Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

PSA 140:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, niokoe, kutoka kwa watu waovu;

PSA 140:1 Removed trailing space in p~: nilinde na watu wenye jeuri,

PSA 140:2 Removed trailing space in v~: ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao,

PSA 140:2 Removed trailing space in p~: na kuchochea vita siku zote.

PSA 140:3 Removed trailing space in v~: Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka,

PSA 140:3 Removed trailing space in p~: sumu ya nyoka iko midomoni mwao.

PSA 140:4 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, niepushe na mikono ya waovu;

PSA 140:4 Removed trailing space in p~: nilinde na watu wenye jeuri

PSA 140:4 Removed trailing space in p~: wanaopanga kunikwaza miguu yangu.

PSA 140:5 Removed trailing space in v~: Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa,

PSA 140:5 Removed trailing space in p~: wametandaza kamba za wavu wao,

PSA 140:5 Removed trailing space in p~: wametega mitego kwenye njia yangu.

PSA 140:6 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.”

PSA 140:6 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, usikie kilio changu na kunihurumia.

PSA 140:7 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu,

PSA 140:7 Removed trailing space in p~: unikingaye kichwa changu siku ya vita:

PSA 140:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usiwape waovu matakwa yao,

PSA 140:8 Removed trailing space in p~: usiache mipango yao ikafanikiwa,

PSA 140:8 Removed trailing space in p~: wasije wakajisifu.

PSA 140:9 Removed trailing space in v~: Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe

PSA 140:9 Removed trailing space in p~: na shida zinazosababishwa na midomo yao.

PSA 140:10 Removed trailing space in v~: Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie!

PSA 140:10 Removed trailing space in p~: Na watupwe motoni,

PSA 140:10 Removed trailing space in p~: katika mashimo ya matope,

PSA 140:10 Removed trailing space in p~: wasiinuke tena kamwe.

PSA 140:11 Removed trailing space in v~: Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi;

PSA 140:11 Removed trailing space in p~: maafa na yawawinde watu wenye jeuri.

PSA 140:12 Removed trailing space in v~: Najua kwamba \nd Bwana\nd* huwapatia maskini haki,

PSA 140:12 Removed trailing space in p~: na kuitegemeza njia ya mhitaji.

PSA 140:13 Removed trailing space in v~: Hakika wenye haki watalisifu jina lako,

PSA 140:13 Removed trailing space in p~: na waadilifu wataishi mbele zako.

PSA 141:0 Extra space after chapter number

PSA 141:0 Removed trailing space in c: 141

PSA 141:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 141

PSA 141:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Kuhifadhiwa Dhidi Ya Uovu

PSA 141:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 141:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, ninakuita wewe, uje kwangu hima.

PSA 141:1 Removed trailing space in p~: Sikia sauti yangu ninapokuita.

PSA 141:2 Removed trailing space in v~: Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba;

PSA 141:2 Removed trailing space in p~: kuinua mikono yangu juu na kuwe kama dhabihu ya jioni.

PSA 141:3 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, weka mlinzi kinywani mwangu,

PSA 141:3 Removed trailing space in p~: weka ulinzi mlangoni mwa midomo yangu.

PSA 141:4 Removed trailing space in v~: Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya,

PSA 141:4 Removed trailing space in p~: nisije nikashiriki katika matendo maovu

PSA 141:4 Removed trailing space in p~: pamoja na watu watendao mabaya,

PSA 141:4 Removed trailing space in p~: wala nisije nikala vyakula vyao vya anasa.

PSA 141:5 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma;

PSA 141:5 Removed trailing space in p~: na anikemee: ni mafuta kichwani mwangu.

PSA 141:5 Removed trailing space in p~: Kichwa changu hakitalikataa.

PSA 141:5 Removed trailing space in p~: Hata hivyo, maombi yangu daima

PSA 141:5 Removed trailing space in p~: ni kinyume cha watenda mabaya,

PSA 141:6 Removed trailing space in v~: watawala wao watatupwa chini

PSA 141:6 Removed trailing space in p~: kutoka kwenye majabali,

PSA 141:6 Removed trailing space in p~: waovu watajifunza kwamba maneno yangu

PSA 141:6 Removed trailing space in p~: yalikuwa kweli.

PSA 141:7 Removed trailing space in v~: Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi,

PSA 141:7 Removed trailing space in p~: ndivyo mifupa yetu imetawanywa kwenye mlango wa kaburi.”

PSA 141:8 Removed trailing space in v~: Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi,

PSA 141:8 Removed trailing space in p~: ndani yako nimekimbilia, usiniache nife.

PSA 141:9 Removed trailing space in v~: Niepushe na mitego waliyonitegea,

PSA 141:9 Removed trailing space in p~: kutokana na mitego iliyotegwa na watenda mabaya.

PSA 141:10 Removed trailing space in v~: Waovu na waanguke kwenye nyavu zao wenyewe,

PSA 141:10 Removed trailing space in p~: wakati mimi ninapita salama.

PSA 142:0 Extra space after chapter number

PSA 142:0 Removed trailing space in c: 142

PSA 142:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 142

PSA 142:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Watesi

PSA 142:0 Removed trailing space in d: Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi.

PSA 142:1 Removed trailing space in v~: Namlilia \nd Bwana\nd* kwa sauti,

PSA 142:1 Removed trailing space in p~: nainua sauti yangu kwa \nd Bwana\nd* anihurumie.

PSA 142:2 Removed trailing space in v~: Namimina malalamiko yangu mbele zake,

PSA 142:2 Removed trailing space in p~: mbele zake naeleza shida zangu.

PSA 142:3 Removed trailing space in v~: Wakati roho yangu inapozimia ndani yangu,

PSA 142:3 Removed trailing space in p~: wewe ndiwe unajua njia zangu.

PSA 142:3 Removed trailing space in p~: Katika njia ninayopita

PSA 142:3 Removed trailing space in p~: watu wameniwekea mtego.

PSA 142:4 Removed trailing space in v~: Tazama kuume kwangu na uone,

PSA 142:4 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja anayejihusisha nami.

PSA 142:4 Removed trailing space in p~: Sina kimbilio,

PSA 142:4 Removed trailing space in p~: hakuna anayejali maisha yangu.

PSA 142:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nakulilia wewe,

PSA 142:5 Removed trailing space in p~: nasema, “Wewe ni kimbilio langu,

PSA 142:5 Removed trailing space in p~: fungu langu katika nchi ya walio hai.”

PSA 142:6 Removed trailing space in v~: Sikiliza kilio changu,

PSA 142:6 Removed trailing space in p~: kwa sababu mimi ni mhitaji sana;

PSA 142:6 Removed trailing space in p~: niokoe na wale wanaonifuatilia,

PSA 142:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wamenizidi nguvu.

PSA 142:7 Removed trailing space in v~: Nifungue kutoka kifungo changu,

PSA 142:7 Removed trailing space in p~: ili niweze kulisifu jina lako.

PSA 142:7 Removed trailing space in p~: Ndipo wenye haki watanizunguka,

PSA 142:7 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya wema wako kwangu.

PSA 143:0 Extra space after chapter number

PSA 143:0 Removed trailing space in c: 143

PSA 143:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 143

PSA 143:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Adui

PSA 143:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 143:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, sikia sala yangu,

PSA 143:1 Removed trailing space in p~: sikiliza kilio changu unihurumie;

PSA 143:1 Removed trailing space in p~: katika uaminifu na haki yako

PSA 143:1 Removed trailing space in p~: njoo unisaidie.

PSA 143:2 Removed trailing space in v~: Usimhukumu mtumishi wako,

PSA 143:2 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hakuna mtu anayeishi aliye mwenye haki mbele zako.

PSA 143:3 Removed trailing space in v~: Adui hunifuatilia,

PSA 143:3 Removed trailing space in p~: hunipondaponda chini;

PSA 143:3 Removed trailing space in p~: hunifanya niishi gizani

PSA 143:3 Removed trailing space in p~: kama wale waliokufa zamani.

PSA 143:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu,

PSA 143:4 Removed trailing space in p~: moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.

PSA 143:5 Removed trailing space in v~: Nakumbuka siku za zamani;

PSA 143:5 Removed trailing space in p~: natafakari juu ya kazi zako zote,

PSA 143:5 Removed trailing space in p~: naangalia juu ya kazi

PSA 143:5 Removed trailing space in p~: ambazo mikono yako imezifanya.

PSA 143:6 Removed trailing space in v~: Nanyoosha mikono yangu kwako,

PSA 143:6 Removed trailing space in p~: nafsi yangu inakuonea kiu kama ardhi kame.

PSA 143:7 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, unijibu haraka,

PSA 143:7 Removed trailing space in p~: roho yangu inazimia.

PSA 143:7 Removed trailing space in p~: Usinifiche uso wako,

PSA 143:7 Removed trailing space in p~: ama sivyo nitafanana na wale washukao shimoni.

PSA 143:8 Removed trailing space in v~: Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma,

PSA 143:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimeweka tumaini langu kwako.

PSA 143:8 Removed trailing space in p~: Nionyeshe njia nitakayoiendea,

PSA 143:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu.

PSA 143:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uniokoe na adui zangu,

PSA 143:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimejificha kwako.

PSA 143:10 Removed trailing space in v~: Nifundishe kufanya mapenzi yako,

PSA 143:10 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe ndiwe Mungu wangu,

PSA 143:10 Removed trailing space in p~: Roho wako mwema na aniongoze

PSA 143:10 Removed trailing space in p~: katika nchi tambarare.

PSA 143:11 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu,

PSA 143:11 Removed trailing space in p~: kwa haki yako nitoe katika taabu.

PSA 143:12 Removed trailing space in v~: Kwa upendo wako usiokoma,

PSA 143:12 Removed trailing space in p~: nyamazisha adui zangu;

PSA 143:12 Removed trailing space in p~: waangamize watesi wangu wote,

PSA 143:12 Removed trailing space in p~: kwa kuwa mimi ni mtumishi wako.

PSA 144:0 Extra space after chapter number

PSA 144:0 Removed trailing space in c: 144

PSA 144:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 144

PSA 144:0 Removed trailing space in s1: Mfalme Amshukuru Mungu Kwa Ushindi

PSA 144:0 Removed trailing space in d: Zaburi ya Daudi.

PSA 144:1 Removed trailing space in v~: Sifa ni kwa \nd Bwana\nd* Mwamba wangu,

PSA 144:1 Removed trailing space in p~: aifundishaye mikono yangu vita,

PSA 144:1 Removed trailing space in p~: na vidole vyangu kupigana.

PSA 144:2 Removed trailing space in v~: Yeye ni Mungu wangu wa upendo na boma langu,

PSA 144:2 Removed trailing space in p~: ngome yangu na mwokozi wangu,

PSA 144:2 Removed trailing space in p~: ngao yangu ninayemkimbilia,

PSA 144:2 Removed trailing space in p~: ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.

PSA 144:3 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mwanadamu ni nini hata umjali,

PSA 144:3 Removed trailing space in p~: Binadamu ni nini hata umfikirie?

PSA 144:4 Removed trailing space in v~: Mwanadamu ni kama pumzi,

PSA 144:4 Removed trailing space in p~: siku zake ni kama kivuli kinachopita.

PSA 144:5 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, pasua mbingu zako, ushuke,

PSA 144:5 Removed trailing space in p~: gusa milima ili itoe moshi.

PSA 144:6 Removed trailing space in v~: Peleka umeme uwatawanye adui,

PSA 144:6 Removed trailing space in p~: lenga mishale yako uwashinde.

PSA 144:7 Removed trailing space in v~: Nyoosha mkono wako kutoka juu,

PSA 144:7 Removed trailing space in p~: nikomboe na kuniokoa

PSA 144:7 Removed trailing space in p~: kutoka maji makuu,

PSA 144:7 Removed trailing space in p~: kutoka mikononi mwa wageni

PSA 144:8 Removed trailing space in v~: ambao vinywa vyao vimejaa uongo,

PSA 144:8 Removed trailing space in p~: na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.

PSA 144:9 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, nitakuimbia wimbo mpya,

PSA 144:9 Removed trailing space in p~: kwa zeze yenye nyuzi kumi nitakuimbia,

PSA 144:10 Removed trailing space in v~: kwa Yule awapaye wafalme ushindi,

PSA 144:10 Removed trailing space in p~: ambaye humwokoa Daudi, mtumishi wake kutokana na upanga hatari.

PSA 144:11 Removed trailing space in v~: Nikomboe na uniokoe

PSA 144:11 Removed trailing space in p~: kutoka mikononi mwa wageni

PSA 144:11 Removed trailing space in p~: ambao vinywa vyao vimejaa uongo,

PSA 144:11 Removed trailing space in p~: na mikono yao ya kuume ni midanganyifu.

PSA 144:12 Removed trailing space in v~: Kisha wana wetu wakati wa ujana wao

PSA 144:12 Removed trailing space in p~: watakuwa kama mimea iliyotunzwa vizuri,

PSA 144:12 Removed trailing space in p~: binti zetu watakuwa kama nguzo zilizoviringwa

PSA 144:12 Removed trailing space in p~: kurembesha jumba la kifalme.

PSA 144:13 Removed trailing space in v~: Ghala zetu zitajazwa

PSA 144:13 Removed trailing space in p~: aina zote za mahitaji.

PSA 144:13 Removed trailing space in p~: Kondoo zetu watazaa kwa maelfu,

PSA 144:13 Removed trailing space in p~: kwa makumi ya maelfu katika mashamba yetu;

PSA 144:14 Removed trailing space in v~: maksai wetu watakokota

PSA 144:14 Removed trailing space in p~: mizigo mizito.

PSA 144:14 Removed trailing space in p~: Hakutakuwa na kubomoka kuta,

PSA 144:14 Removed trailing space in p~: hakuna kuchukuliwa mateka,

PSA 144:14 Removed trailing space in p~: wala kilio cha taabu

PSA 144:14 Removed trailing space in p~: katika barabara zetu.

PSA 144:15 Removed trailing space in v~: Heri watu ambao hili ni kweli;

PSA 144:15 Removed trailing space in p~: heri wale ambao \nd Bwana\nd* ni Mungu wao.

PSA 145:0 Extra space after chapter number

PSA 145:0 Removed trailing space in c: 145

PSA 145:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 145\f + \fr 145:1 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari (ikiwa ni pamoja na 13b) ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PSA 145:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Kusifu Ukuu Na Wema Wa Mungu

PSA 145:0 Removed trailing space in d: Wimbo wa Sifa. Wa Daudi.

PSA 145:1 Removed trailing space in v~: Nitakutukuza wewe, Mungu wangu Mfalme,

PSA 145:1 Removed trailing space in p~: nitalisifu jina lako milele na milele.

PSA 145:2 Removed trailing space in v~: Kila siku nitakusifu

PSA 145:2 Removed trailing space in p~: na kulitukuza jina lako milele na milele.

PSA 145:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,

PSA 145:3 Removed trailing space in p~: ukuu wake haupimiki.

PSA 145:4 Removed trailing space in v~: Kizazi kimoja kitasifia kazi zako kwa kizazi kingine,

PSA 145:4 Removed trailing space in p~: watasimulia matendo yako makuu.

PSA 145:5 Removed trailing space in v~: Watasema juu ya utukufu wa fahari ya ukuu wako,

PSA 145:5 Removed trailing space in p~: nami nitatafakari juu ya kazi zako za ajabu.

PSA 145:6 Removed trailing space in v~: Watasimulia uwezo wa kazi zako za kutisha,

PSA 145:6 Removed trailing space in p~: nami nitatangaza matendo yako makuu.

PSA 145:7 Removed trailing space in v~: Wataadhimisha wema wako mwingi,

PSA 145:7 Removed trailing space in p~: na wataimba kwa shangwe juu ya haki yako.

PSA 145:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwenye neema na mwingi wa huruma,

PSA 145:8 Removed trailing space in p~: si mwepesi wa hasira, bali ni mwingi wa upendo.

PSA 145:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwema kwa wote,

PSA 145:9 Removed trailing space in p~: ana huruma kwa vyote alivyovifanya.

PSA 145:10 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, vyote ulivyovifanya vitakusifu,

PSA 145:10 Removed trailing space in p~: watakatifu wako watakutukuza.

PSA 145:11 Removed trailing space in v~: Watasimulia utukufu wa ufalme wako

PSA 145:11 Removed trailing space in p~: na kusema juu ya ukuu wako,

PSA 145:12 Removed trailing space in v~: ili watu wote wajue matendo yako makuu

PSA 145:12 Removed trailing space in p~: na utukufu wa fahari ya ufalme wako.

PSA 145:13 Removed trailing space in v~: Ufalme wako ni ufalme wa milele,

PSA 145:13 Removed trailing space in p~: mamlaka yako hudumu vizazi vyote.

PSA 145:13 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ni mwaminifu kwa ahadi zake zote

PSA 145:13 Removed trailing space in p~: na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.

PSA 145:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwategemeza wote waangukao,

PSA 145:14 Removed trailing space in p~: na huwainua wote waliolemewa na mizigo yao.

PSA 145:15 Removed trailing space in v~: Macho yao wote yanakutazama wewe,

PSA 145:15 Removed trailing space in p~: nawe huwapa chakula chao wakati wake.

PSA 145:16 Removed trailing space in v~: Waufumbua mkono wako,

PSA 145:16 Removed trailing space in p~: watosheleza haja ya kila kitu kilicho hai.

PSA 145:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwenye haki katika njia zake zote,

PSA 145:17 Removed trailing space in p~: na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.

PSA 145:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yu karibu na wote wamwitao,

PSA 145:18 Removed trailing space in p~: karibu na wote wamwitao kwa uaminifu.

PSA 145:19 Removed trailing space in v~: Huwatimizia wamchao matakwa yao,

PSA 145:19 Removed trailing space in p~: husikia kilio chao na kuwaokoa.

PSA 145:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwalinda wote wampendao,

PSA 145:20 Removed trailing space in p~: bali waovu wote atawaangamiza.

PSA 145:21 Removed trailing space in v~: Kinywa changu kitazinena sifa za \nd Bwana\nd*.

PSA 145:21 Removed trailing space in p~: Kila kiumbe na kilisifu jina lake takatifu

PSA 145:21 Removed trailing space in p~: milele na milele.

PSA 146:0 Extra space after chapter number

PSA 146:0 Removed trailing space in c: 146

PSA 146:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 146

PSA 146:0 Removed trailing space in s1: Kumsifu Mungu Mwokozi

PSA 146:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*!\f + \fr 146:1 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.\f*

PSA 146:1 Removed trailing space in p~: Ee nafsi yangu, umsifu \nd Bwana\nd*,

PSA 146:2 Removed trailing space in v~: Nitamsifu \nd Bwana\nd* maisha yangu yote;

PSA 146:2 Removed trailing space in p~: nitamwimbia Mungu wangu sifa

PSA 146:2 Removed trailing space in p~: wakati wote niishipo.

PSA 146:3 Removed trailing space in v~: Usiweke tumaini lako kwa wakuu,

PSA 146:3 Removed trailing space in p~: kwa wanadamu ambao hufa,

PSA 146:3 Removed trailing space in p~: ambao hawawezi kuokoa.

PSA 146:4 Removed trailing space in v~: Roho yao itokapo hurudi mavumbini,

PSA 146:4 Removed trailing space in p~: siku hiyo hiyo mipango yao yote hukoma.

PSA 146:5 Removed trailing space in v~: Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,

PSA 146:5 Removed trailing space in p~: ambaye tumaini lake ni katika \nd Bwana\nd*, Mungu wake,

PSA 146:6 Removed trailing space in v~: Muumba wa mbingu na nchi,

PSA 146:6 Removed trailing space in p~: na bahari na vyote vilivyomo ndani yake:

PSA 146:6 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* anayedumu kuwa mwaminifu

PSA 146:6 Removed trailing space in p~: milele na milele.

PSA 146:7 Removed trailing space in v~: Naye huwapatia haki walioonewa

PSA 146:7 Removed trailing space in p~: na kuwapa wenye njaa chakula.

PSA 146:7 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwaweka wafungwa huru,

PSA 146:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwafumbua vipofu macho,

PSA 146:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwainua waliolemewa na mizigo yao,

PSA 146:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwapenda wenye haki.

PSA 146:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwalinda wageni

PSA 146:9 Removed trailing space in p~: na kuwategemeza yatima na wajane,

PSA 146:9 Removed trailing space in p~: lakini hupinga njia za waovu.

PSA 146:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atamiliki milele,

PSA 146:10 Removed trailing space in p~: Mungu wako, ee Sayuni,

PSA 146:10 Removed trailing space in p~: kwa vizazi vyote.

PSA 146:10 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 147:0 Extra space after chapter number

PSA 147:0 Removed trailing space in c: 147

PSA 147:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 147

PSA 147:0 Removed trailing space in s1: Kumsifu Mungu Mwenye Nguvu Zote

PSA 147:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 147:1 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi ilivyo vyema kumwimbia Mungu wetu sifa,

PSA 147:1 Removed trailing space in p~: jinsi inavyopendeza na kustahili kumsifu yeye!

PSA 147:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hujenga Yerusalemu,

PSA 147:2 Removed trailing space in p~: huwakusanya Israeli walio uhamishoni.

PSA 147:3 Removed trailing space in v~: Anawaponya waliovunjika mioyo

PSA 147:3 Removed trailing space in p~: na kuvifunga vidonda vyao.

PSA 147:4 Removed trailing space in v~: Huzihesabu nyota

PSA 147:4 Removed trailing space in p~: na huipa kila moja jina lake.

PSA 147:5 Removed trailing space in v~: Bwana wetu ni mkuu na mwenye uwezo mwingi,

PSA 147:5 Removed trailing space in p~: ufahamu wake hauna kikomo.

PSA 147:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwahifadhi wanyenyekevu

PSA 147:6 Removed trailing space in p~: lakini huwashusha waovu mpaka mavumbini.

PSA 147:7 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* kwa shukrani,

PSA 147:7 Removed trailing space in p~: mpigieni Mungu wetu kinubi.

PSA 147:8 Removed trailing space in v~: Yeye huzifunika anga kwa mawingu,

PSA 147:8 Removed trailing space in p~: huinyeshea ardhi mvua,

PSA 147:8 Removed trailing space in p~: na kuzifanya nyasi kuota juu ya vilima.

PSA 147:9 Removed trailing space in v~: Huwapa chakula mifugo

PSA 147:9 Removed trailing space in p~: na pia makinda ya kunguru yanapolia.

PSA 147:10 Removed trailing space in v~: Furaha yake haipo katika nguvu za farasi,

PSA 147:10 Removed trailing space in p~: wala furaha yake kwenye miguu ya mwanadamu.

PSA 147:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hupendezwa na wale wamchao,

PSA 147:11 Removed trailing space in p~: wale wanaoweka tumaini lao katika upendo wake usiokoma.

PSA 147:12 Removed trailing space in v~: Mtukuze \nd Bwana\nd*, ee Yerusalemu,

PSA 147:12 Removed trailing space in p~: msifu Mungu wako, ee Sayuni,

PSA 147:13 Removed trailing space in v~: kwa maana huimarisha makomeo ya malango yako

PSA 147:13 Removed trailing space in p~: na huwabariki watu wako walio ndani yako.

PSA 147:14 Removed trailing space in v~: Huwapa amani mipakani mwenu

PSA 147:14 Removed trailing space in p~: na kukushibisha kwa ngano safi kabisa.

PSA 147:15 Removed trailing space in v~: Hutuma amri yake duniani,

PSA 147:15 Removed trailing space in p~: neno lake hukimbia kasi.

PSA 147:16 Removed trailing space in v~: Anatandaza theluji kama sufu

PSA 147:16 Removed trailing space in p~: na kutawanya umande kama majivu.

PSA 147:17 Removed trailing space in v~: Huvurumisha mvua yake ya mawe kama changarawe.

PSA 147:17 Removed trailing space in p~: Ni nani awezaye kustahimili ukali wa baridi yake?

PSA 147:18 Removed trailing space in v~: Hutuma neno lake na kuviyeyusha,

PSA 147:18 Removed trailing space in p~: huvumisha upepo wake, nayo maji hutiririka.

PSA 147:19 Removed trailing space in v~: Amemfunulia Yakobo neno lake,

PSA 147:19 Removed trailing space in p~: sheria zake na maagizo yake kwa Israeli.

PSA 147:20 Removed trailing space in v~: Hajafanya hivyo kwa taifa lingine lolote,

PSA 147:20 Removed trailing space in p~: hawazijui sheria zake.

PSA 147:20 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 148:0 Extra space after chapter number

PSA 148:0 Removed trailing space in c: 148

PSA 148:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 148

PSA 148:0 Removed trailing space in s1: Mwito Kwa Ulimwengu Kumsifu Mungu

PSA 148:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 148:1 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd* kutoka mbinguni,

PSA 148:1 Removed trailing space in p~: msifuni juu vileleni.

PSA 148:2 Removed trailing space in v~: Msifuni, enyi malaika wake wote,

PSA 148:2 Removed trailing space in p~: msifuni yeye, enyi jeshi lake lote la mbinguni.

PSA 148:3 Removed trailing space in v~: Msifuni yeye, enyi jua na mwezi,

PSA 148:3 Removed trailing space in p~: msifuni yeye, enyi nyota zote zingʼaazo.

PSA 148:4 Removed trailing space in v~: Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu sana,

PSA 148:4 Removed trailing space in p~: na ninyi maji juu ya anga.

PSA 148:5 Removed trailing space in v~: Vilisifu jina la \nd Bwana\nd*

PSA 148:5 Removed trailing space in p~: kwa maana aliamuru navyo vikaumbwa.

PSA 148:6 Removed trailing space in v~: Aliviweka mahali pake milele na milele,

PSA 148:6 Removed trailing space in p~: alitoa amri ambayo haibadiliki milele.

PSA 148:7 Removed trailing space in v~: Mtukuzeni \nd Bwana\nd* kutoka duniani,

PSA 148:7 Removed trailing space in p~: ninyi viumbe vikubwa vya baharini na vilindi vyote vya bahari,

PSA 148:8 Removed trailing space in v~: umeme wa radi na mvua ya mawe, theluji na mawingu,

PSA 148:8 Removed trailing space in p~: pepo za dhoruba zinazofanya amri zake,

PSA 148:9 Removed trailing space in v~: ninyi milima na vilima vyote,

PSA 148:9 Removed trailing space in p~: miti ya matunda na mierezi yote,

PSA 148:10 Removed trailing space in v~: wanyama wa mwituni na mifugo yote,

PSA 148:10 Removed trailing space in p~: viumbe vidogo na ndege warukao,

PSA 148:11 Removed trailing space in v~: wafalme wa dunia na mataifa yote,

PSA 148:11 Removed trailing space in p~: ninyi wakuu na watawala wote wa dunia,

PSA 148:12 Removed trailing space in v~: wanaume vijana na wanawali,

PSA 148:12 Removed trailing space in p~: wazee na watoto.

PSA 148:13 Removed trailing space in v~: Wote na walisifu jina la \nd Bwana\nd*,

PSA 148:13 Removed trailing space in p~: kwa maana jina lake pekee limetukuka,

PSA 148:13 Removed trailing space in p~: utukufu wake uko juu ya nchi na mbingu.

PSA 148:14 Removed trailing space in v~: Amewainulia watu wake pembe,\f + \fr 148:14 \ft Pembe hapa inawakilisha mwenye nguvu, yaani mfalme.\f*

PSA 148:14 Removed trailing space in p~: sifa ya watakatifu wake wote,

PSA 148:14 Removed trailing space in p~: ya Israeli, watu walio karibu na moyo wake.

PSA 148:14 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 149:0 Extra space after chapter number

PSA 149:0 Removed trailing space in c: 149

PSA 149:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 149

PSA 149:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake

PSA 149:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 149:1 Removed trailing space in p~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* wimbo mpya,

PSA 149:1 Removed trailing space in p~: sifa zake katika kusanyiko la watakatifu.

PSA 149:2 Removed trailing space in v~: Israeli na washangilie katika Muumba wao,

PSA 149:2 Removed trailing space in p~: watu wa Sayuni na wafurahi katika Mfalme wao.

PSA 149:3 Removed trailing space in v~: Na walisifu jina lake kwa kucheza

PSA 149:3 Removed trailing space in p~: na wampigie muziki kwa matari na kinubi.

PSA 149:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* anapendezwa na watu wake,

PSA 149:4 Removed trailing space in p~: anawavika wanyenyekevu taji ya wokovu.

PSA 149:5 Removed trailing space in v~: Watakatifu washangilie katika heshima hii,

PSA 149:5 Removed trailing space in p~: na waimbe kwa shangwe vitandani mwao.

PSA 149:6 Removed trailing space in v~: Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao

PSA 149:6 Removed trailing space in p~: na upanga ukatao kuwili mikononi mwao,

PSA 149:7 Removed trailing space in v~: ili walipize mataifa kisasi

PSA 149:7 Removed trailing space in p~: na adhabu juu ya mataifa,

PSA 149:8 Removed trailing space in v~: wawafunge wafalme wao kwa minyororo,

PSA 149:8 Removed trailing space in p~: wakuu wao kwa pingu za chuma,

PSA 149:9 Removed trailing space in v~: ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao.

PSA 149:9 Removed trailing space in p~: Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote.

PSA 149:9 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 150:0 Extra space after chapter number

PSA 150:0 Removed trailing space in c: 150

PSA 150:0 Removed trailing space in cl: Zaburi 150

PSA 150:0 Removed trailing space in s1: Msifuni \nd Bwana\nd* Kwa Ukuu Wake

PSA 150:1 Removed trailing space in v~: Msifuni \nd Bwana\nd*.

PSA 150:1 Removed trailing space in p~: Msifuni Mungu katika patakatifu pake,

PSA 150:1 Removed trailing space in p~: msifuni katika mbingu zake kuu.

PSA 150:2 Removed trailing space in v~: Msifuni kwa matendo yake makuu,

PSA 150:2 Removed trailing space in p~: msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.

PSA 150:3 Removed trailing space in v~: Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta,

PSA 150:3 Removed trailing space in p~: msifuni kwa kinubi na zeze,

PSA 150:4 Removed trailing space in v~: msifuni kwa matari na kucheza,

PSA 150:4 Removed trailing space in p~: msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,

PSA 150:5 Removed trailing space in v~: msifuni kwa matoazi yaliayo,

PSA 150:5 Removed trailing space in p~: msifuni kwa matoazi yavumayo sana.

PSA 150:6 Removed trailing space in v~: Kila chenye pumzi na kimsifu \nd Bwana\nd*.

PSA 150:6 Removed trailing space in p~: Msifuni \nd Bwana\nd*!

PRO -1:0 Removed trailing space in id: PRO - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

PRO -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

PRO -1:2 Removed trailing space in h: Mithali

PRO -1:3 Removed trailing space in toc1: Mithali

PRO -1:4 Removed trailing space in toc2: Mithali

PRO -1:5 Removed trailing space in toc3: Mit

PRO -1:6 Removed trailing space in mt1: Mithali

PRO 1:0 Extra space after chapter number

PRO 1:0 Removed trailing space in c: 1

PRO 1:0 Removed trailing space in s1: Utangulizi: Kusudi Na Kiini

PRO 1:1 Removed trailing space in v~: Mithali za Solomoni mwana wa Daudi, mfalme wa Israeli:

PRO 1:2 Removed trailing space in v~: Kwa kupata hekima na nidhamu;

PRO 1:2 Removed trailing space in p~: kwa kufahamu maneno ya busara;

PRO 1:3 Removed trailing space in v~: kwa kujipatia nidhamu na busara,

PRO 1:3 Removed trailing space in p~: kufanya lililo sawa, haki na bila kupendelea;

PRO 1:4 Removed trailing space in v~: huwapa busara wajinga,

PRO 1:4 Removed trailing space in p~: maarifa na akili kwa vijana;

PRO 1:5 Removed trailing space in v~: wenye hekima na wasikilize nao waongeze elimu yao,

PRO 1:5 Removed trailing space in p~: wenye kupambanua na wapate mwongozo;

PRO 1:6 Removed trailing space in v~: kwa kufahamu mithali na mifano,

PRO 1:6 Removed trailing space in p~: misemo na vitendawili vya wenye hekima.

PRO 1:7 Removed trailing space in v~: Kumcha \nd Bwana\nd* ndicho chanzo cha maarifa,

PRO 1:7 Removed trailing space in p~: lakini wapumbavu hudharau hekima na adabu.

PRO 1:7 Removed trailing space in s1: Onyo Dhidi Ya Ushawishi Wa Marafiki Waovu

PRO 1:8 Removed trailing space in v~: Mwanangu, sikiliza mwongozo wa baba yako,

PRO 1:8 Removed trailing space in p~: wala usiyaache mafundisho ya mama yako.

PRO 1:9 Removed trailing space in v~: Hayo yatakuwa taji la maua la neema kichwani pako,

PRO 1:9 Removed trailing space in p~: na mkufu wa kuipamba shingo yako.

PRO 1:10 Removed trailing space in v~: Mwanangu, kama wenye dhambi wakikushawishi,

PRO 1:10 Removed trailing space in p~: usikubaliane nao.

PRO 1:11 Removed trailing space in v~: Kama wakisema, “Twende tufuatane;

PRO 1:11 Removed trailing space in p~: tukamvizie mtu na kumwaga damu,

PRO 1:11 Removed trailing space in p~: njoo tukavizie nafsi isiyo na hatia;

PRO 1:12 Removed trailing space in v~: tuwameze wakiwa hai kama kaburi,\f + \fr 1:12 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f*

PRO 1:12 Removed trailing space in p~: wakiwa wazima kama wale wanaotumbukia shimoni.

PRO 1:13 Removed trailing space in v~: Tutapata aina zote za vitu vya thamani

PRO 1:13 Removed trailing space in p~: na kujaza nyumba zetu kwa nyara.

PRO 1:14 Removed trailing space in v~: Njoo ushirikiane nasi,

PRO 1:14 Removed trailing space in p~: vitu vyote tutakavyopata tutagawana.”

PRO 1:15 Removed trailing space in v~: Mwanangu, usiandamane nao.

PRO 1:15 Removed trailing space in p~: Usiweke mguu wako katika njia zao,

PRO 1:16 Removed trailing space in v~: kwa kuwa miguu yao hukimbilia kwenye dhambi,

PRO 1:16 Removed trailing space in p~: ni wepesi kumwaga damu.

PRO 1:17 Removed trailing space in v~: Tazama ni jinsi gani ilivyo kazi bure kutandaza wavu

PRO 1:17 Removed trailing space in p~: wakati ndege wote wanakuona!

PRO 1:18 Removed trailing space in v~: Watu hawa huvizia kumwaga damu yao wenyewe;

PRO 1:18 Removed trailing space in p~: hujivizia tu wenyewe!

PRO 1:19 Removed trailing space in v~: Huu ndio mwisho wa wote ambao wanajipatia mali kwa hila;

PRO 1:19 Removed trailing space in p~: huuondoa uhai wa wale wenye mali.

PRO 1:19 Removed trailing space in s1: Onyo Dhidi Ya Kukataa Hekima

PRO 1:20 Removed trailing space in v~: Hekima huita kwa sauti kuu barabarani,

PRO 1:20 Removed trailing space in p~: hupaza sauti yake kwenye viwanja vikubwa;

PRO 1:21 Removed trailing space in v~: kwenye makutano ya barabara za mji

PRO 1:21 Removed trailing space in p~: zenye makelele mengi hupaza sauti,

PRO 1:21 Removed trailing space in p~: kwenye malango ya mji hutoa hotuba yake:

PRO 1:22 Removed trailing space in v~: “Enyi wajinga, mtangʼangʼania ujinga wenu hadi lini?

PRO 1:22 Removed trailing space in p~: Mpaka lini wenye mizaha watafurahia mizaha,

PRO 1:22 Removed trailing space in p~: na wapumbavu kuchukia maarifa?

PRO 1:23 Removed trailing space in v~: Kama mngekuwa mmeitikia karipio langu,

PRO 1:23 Removed trailing space in p~: ningekuwa nimemimina roho yangu kwenu

PRO 1:23 Removed trailing space in p~: na kuwafahamisha maneno yangu.

PRO 1:24 Removed trailing space in v~: Lakini kwa kuwa mlinikataa nilipowaita

PRO 1:24 Removed trailing space in p~: na hakuna yeyote aliyekubali

PRO 1:24 Removed trailing space in p~: niliponyoosha mkono wangu,

PRO 1:25 Removed trailing space in v~: kwa kuwa mliyapuuza mashauri yangu yote

PRO 1:25 Removed trailing space in p~: na hamkukubali karipio langu,

PRO 1:26 Removed trailing space in v~: mimi nami nitawacheka katika maafa yenu,

PRO 1:26 Removed trailing space in p~: nitawadhihaki wakati janga litawapata:

PRO 1:27 Removed trailing space in v~: wakati janga litawapata kama tufani,

PRO 1:27 Removed trailing space in p~: wakati maafa yatawazoa kama upepo wa kisulisuli,

PRO 1:27 Removed trailing space in p~: wakati dhiki na taabu zitawalemea.

PRO 1:28 Removed trailing space in v~: “Ndipo watakaponiita lakini sitawajibu;

PRO 1:28 Removed trailing space in p~: watanitafuta lakini hawatanipata.

PRO 1:29 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa walichukia maarifa,

PRO 1:29 Removed trailing space in p~: wala hawakuchagua kumcha \nd Bwana\nd*,

PRO 1:30 Removed trailing space in v~: kwa kuwa hawakukubali mashauri yangu,

PRO 1:30 Removed trailing space in p~: na kukataa maonyo yangu,

PRO 1:31 Removed trailing space in v~: watakula matunda ya njia zao,

PRO 1:31 Removed trailing space in p~: na watashibishwa matunda ya hila zao.

PRO 1:32 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ukaidi wa wajinga utawaua,

PRO 1:32 Removed trailing space in p~: nako kuridhika kwa wajinga kutawaangamiza.

PRO 1:33 Removed trailing space in v~: Lakini yeyote anisikilizaye ataishi kwa usalama,

PRO 1:33 Removed trailing space in p~: atatulia, bila kuwa na hofu ya madhara.”

PRO 2:0 Extra space after chapter number

PRO 2:0 Removed trailing space in c: 2

PRO 2:0 Removed trailing space in s1: Faida Za Hekima

PRO 2:1 Removed trailing space in v~: Mwanangu, kama utayakubali maneno yangu

PRO 2:1 Removed trailing space in p~: na kuyaweka akiba maagizo yangu ndani mwako,

PRO 2:2 Removed trailing space in v~: kutega sikio lako kwenye hekima

PRO 2:2 Removed trailing space in p~: na kuweka moyo wako katika ufahamu,

PRO 2:3 Removed trailing space in v~: na kama ukiita busara

PRO 2:3 Removed trailing space in p~: na kuita kwa sauti ufahamu,

PRO 2:4 Removed trailing space in v~: na kama utaitafuta kama fedha

PRO 2:4 Removed trailing space in p~: na kuitafuta sana kama hazina iliyofichwa,

PRO 2:5 Removed trailing space in v~: ndipo utakapoelewa kumcha \nd Bwana\nd*

PRO 2:5 Removed trailing space in p~: na kupata maarifa ya Mungu.

PRO 2:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana \nd Bwana\nd* hutoa hekima,

PRO 2:6 Removed trailing space in p~: na kinywani mwake hutoka maarifa na ufahamu.

PRO 2:7 Removed trailing space in v~: Anahifadhi ushindi kwa ajili ya mwadilifu,

PRO 2:7 Removed trailing space in p~: yeye ni ngao kwa wale wasio na lawama,

PRO 2:8 Removed trailing space in v~: kwa kuwa hulinda mwenendo wa mwenye haki

PRO 2:8 Removed trailing space in p~: na kuhifadhi njia ya waaminifu wake.

PRO 2:9 Removed trailing space in v~: Ndipo utafahamu lipi lililo kweli na haki

PRO 2:9 Removed trailing space in p~: na sawa: yaani kila njia nzuri.

PRO 2:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana hekima itaingia moyoni mwako,

PRO 2:10 Removed trailing space in p~: nayo maarifa yataifurahisha nafsi yako.

PRO 2:11 Removed trailing space in v~: Busara itakuhifadhi

PRO 2:11 Removed trailing space in p~: na ufahamu utakulinda.

PRO 2:12 Removed trailing space in v~: Hekima itakuokoa kutoka njia za waovu,

PRO 2:12 Removed trailing space in p~: kutoka kwa watu ambao maneno yao yamepotoka,

PRO 2:13 Removed trailing space in v~: wale waachao mapito yaliyonyooka

PRO 2:13 Removed trailing space in p~: wakatembea katika njia za giza,

PRO 2:14 Removed trailing space in v~: wale wapendao kutenda mabaya

PRO 2:14 Removed trailing space in p~: na kufurahia upotovu wa ubaya,

PRO 2:15 Removed trailing space in v~: ambao mapito yao yamepotoka

PRO 2:15 Removed trailing space in p~: na ambao ni wapotovu katika njia zao.

PRO 2:16 Removed trailing space in v~: Itakuokoa pia kutokana na mwanamke kahaba,

PRO 2:16 Removed trailing space in p~: kutokana na mke aliyepotoka mwenye maneno

PRO 2:16 Removed trailing space in p~: ya kushawishi kutenda ubaya,

PRO 2:17 Removed trailing space in v~: aliyemwacha mwenzi wa ujana wake

PRO 2:17 Removed trailing space in p~: na kupuuza agano alilofanya mbele ya Mungu.

PRO 2:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana nyumba yake huelekea kwenye kifo

PRO 2:18 Removed trailing space in p~: na mapito yake kwenye roho za waliokufa.

PRO 2:19 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote aendaye kwake akarudi,

PRO 2:19 Removed trailing space in p~: au kufikia mapito ya uzima.

PRO 2:20 Removed trailing space in v~: Hivyo utatembea katika njia za watu wema

PRO 2:20 Removed trailing space in p~: na kushikamana na mapito ya wenye haki.

PRO 2:21 Removed trailing space in v~: Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi,

PRO 2:21 Removed trailing space in p~: nao wasio na lawama watabakia ndani yake.

PRO 2:22 Removed trailing space in v~: Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi,

PRO 2:22 Removed trailing space in p~: nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.

PRO 3:0 Extra space after chapter number

PRO 3:0 Removed trailing space in c: 3

PRO 3:0 Removed trailing space in s1: Faida Nyingine Za Hekima

PRO 3:1 Removed trailing space in v~: Mwanangu, usisahau mafundisho yangu,

PRO 3:1 Removed trailing space in p~: bali zitunze amri zangu moyoni mwako,

PRO 3:2 Removed trailing space in v~: kwa kuwa zitakuongezea miaka mingi ya maisha yako

PRO 3:2 Removed trailing space in p~: na kukuletea mafanikio.

PRO 3:3 Removed trailing space in v~: Usiache kamwe upendo na uaminifu vitengane nawe;

PRO 3:3 Removed trailing space in p~: vifunge shingoni mwako,

PRO 3:3 Removed trailing space in p~: viandike katika ubao wa moyo wako.

PRO 3:4 Removed trailing space in v~: Ndipo utapata kibali na jina zuri

PRO 3:4 Removed trailing space in p~: mbele za Mungu na mwanadamu.

PRO 3:5 Removed trailing space in v~: Mtumaini \nd Bwana\nd* kwa moyo wako wote

PRO 3:5 Removed trailing space in p~: wala usizitegemee akili zako mwenyewe;

PRO 3:6 Removed trailing space in v~: katika njia zako zote mkiri yeye,

PRO 3:6 Removed trailing space in p~: naye atayanyoosha mapito yako.

PRO 3:7 Removed trailing space in v~: Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe;

PRO 3:7 Removed trailing space in p~: mche \nd Bwana\nd* ukajiepushe na uovu.

PRO 3:8 Removed trailing space in v~: Hii itakuletea afya mwilini mwako,

PRO 3:8 Removed trailing space in p~: na mafuta kwenye mifupa yako.

PRO 3:9 Removed trailing space in v~: Mheshimu \nd Bwana\nd* kwa mali zako na

PRO 3:9 Removed trailing space in p~: kwa malimbuko ya mazao yako yote;

PRO 3:10 Removed trailing space in v~: ndipo ghala zako zitakapojaa hadi kufurika,

PRO 3:10 Removed trailing space in p~: viriba vyako vitafurika kwa mvinyo mpya.

PRO 3:11 Removed trailing space in v~: Mwanangu, usiidharau adhabu ya \nd Bwana\nd*

PRO 3:11 Removed trailing space in p~: na usichukie kukaripiwa naye,

PRO 3:12 Removed trailing space in v~: kwa sababu \nd Bwana\nd* huwaadibisha wale awapendao,

PRO 3:12 Removed trailing space in p~: kama vile baba afanyavyo

PRO 3:12 Removed trailing space in p~: kwa mwana apendezwaye naye.

PRO 3:13 Removed trailing space in v~: Heri mtu yule aonaye hekima,

PRO 3:13 Removed trailing space in p~: mtu yule apataye ufahamu,

PRO 3:14 Removed trailing space in v~: kwa maana hekima ana faida kuliko fedha

PRO 3:14 Removed trailing space in p~: na mapato yake ni bora kuliko ya dhahabu safi.

PRO 3:15 Removed trailing space in v~: Hekima ana thamani kuliko marijani;

PRO 3:15 Removed trailing space in p~: hakuna chochote unachokitamani

PRO 3:15 Removed trailing space in p~: kinachoweza kulinganishwa naye.

PRO 3:16 Removed trailing space in v~: Maisha marefu yako katika mkono wake wa kuume;

PRO 3:16 Removed trailing space in p~: katika mkono wake wa kushoto

PRO 3:16 Removed trailing space in p~: kuna utajiri na heshima.

PRO 3:17 Removed trailing space in v~: Njia zake zinapendeza,

PRO 3:17 Removed trailing space in p~: mapito yake yote ni amani.

PRO 3:18 Removed trailing space in v~: Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia;

PRO 3:18 Removed trailing space in p~: wale wamshikao watabarikiwa.

PRO 3:19 Removed trailing space in v~: Kwa hekima \nd Bwana\nd* aliiweka misingi ya dunia,

PRO 3:19 Removed trailing space in p~: kwa ufahamu aliziweka mbingu mahali pake;

PRO 3:20 Removed trailing space in v~: kwa maarifa yake vilindi viligawanywa,

PRO 3:20 Removed trailing space in p~: nayo mawingu yanadondosha umande.

PRO 3:21 Removed trailing space in v~: Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara,

PRO 3:21 Removed trailing space in p~: usiache vitoke machoni pako;

PRO 3:22 Removed trailing space in v~: ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako

PRO 3:22 Removed trailing space in p~: na pambo la neema shingoni mwako.

PRO 3:23 Removed trailing space in v~: Kisha utaenda katika njia yako salama,

PRO 3:23 Removed trailing space in p~: wala mguu wako hautajikwaa;

PRO 3:24 Removed trailing space in v~: ulalapo, hautaogopa;

PRO 3:24 Removed trailing space in p~: ulalapo usingizi wako utakuwa mtamu.

PRO 3:25 Removed trailing space in v~: Usiogope maafa ya ghafula

PRO 3:25 Removed trailing space in p~: au maangamizi yanayowapata waovu,

PRO 3:26 Removed trailing space in v~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* atakuwa tumaini lako

PRO 3:26 Removed trailing space in p~: na kuepusha mguu wako kunaswa katika mtego.

PRO 3:27 Removed trailing space in v~: Usizuie wema kwa wale wanaostahili

PRO 3:27 Removed trailing space in p~: ikiwa katika uwezo wako kutenda.

PRO 3:28 Removed trailing space in v~: Usimwambie jirani yako,

PRO 3:28 Removed trailing space in p~: “Njoo baadaye, nitakupa kesho”:

PRO 3:28 Removed trailing space in p~: wakati wewe unacho kitu kile karibu nawe.

PRO 3:29 Removed trailing space in v~: Usifanye hila ya kumdhuru jirani yako,

PRO 3:29 Removed trailing space in p~: ambaye anaishi karibu na wewe akikuamini.

PRO 3:30 Removed trailing space in v~: Usimshtaki mtu bila sababu,

PRO 3:30 Removed trailing space in p~: wakati hajakutenda dhara lolote.

PRO 3:31 Removed trailing space in v~: Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri

PRO 3:31 Removed trailing space in p~: wala kuchagua njia yake iwayo yote,

PRO 3:32 Removed trailing space in v~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* humchukia mtu mpotovu,

PRO 3:32 Removed trailing space in p~: lakini siri yake iko kwa mwenye haki.

PRO 3:33 Removed trailing space in v~: Laana ya \nd Bwana\nd* i juu ya nyumba ya mwovu,

PRO 3:33 Removed trailing space in p~: lakini yeye huibariki nyumba ya mwenye haki.

PRO 3:34 Removed trailing space in v~: Huwadhihaki wale wanaodhihaki,

PRO 3:34 Removed trailing space in p~: lakini huwapa neema wale wanyenyekevu.

PRO 3:35 Removed trailing space in v~: Wenye hekima hurithi heshima,

PRO 3:35 Removed trailing space in p~: bali huwaaibisha wapumbavu.

PRO 4:0 Extra space after chapter number

PRO 4:0 Removed trailing space in c: 4

PRO 4:0 Removed trailing space in s1: Hekima Ni Bora Kupita Vitu Vyote

PRO 4:1 Removed trailing space in v~: Sikilizeni wanangu, mafundisho ya baba yenu;

PRO 4:1 Removed trailing space in p~: sikilizeni kwa makini na mpate ufahamu.

PRO 4:2 Removed trailing space in v~: Ninawapa mafundisho ya maana,

PRO 4:2 Removed trailing space in p~: kwa hiyo msiyaache mafundisho yangu.

PRO 4:3 Removed trailing space in v~: Nilipokuwa mvulana mdogo katika nyumba ya baba yangu,

PRO 4:3 Removed trailing space in p~: ningali mchanga na mtoto pekee kwa mama yangu,

PRO 4:4 Removed trailing space in v~: baba alinifundisha akisema,

PRO 4:4 Removed trailing space in p~: “Yashike maneno yangu yote kwa moyo wako wote;

PRO 4:4 Removed trailing space in p~: yashike maagizo yangu na wewe utaishi.

PRO 4:5 Removed trailing space in v~: Pata hekima, pata ufahamu;

PRO 4:5 Removed trailing space in p~: usiyasahau maneno yangu wala usiyaache.

PRO 4:6 Removed trailing space in v~: Usimwache hekima naye atakuweka salama;

PRO 4:6 Removed trailing space in p~: mpende, naye atakulinda.

PRO 4:7 Removed trailing space in v~: Hekima ni bora kuliko vitu vyote; kwa hiyo jipe hekima.

PRO 4:7 Removed trailing space in p~: Hata ikikugharimu vyote ulivyo navyo, pata ufahamu.

PRO 4:8 Removed trailing space in v~: Mstahi, naye atakukweza;

PRO 4:8 Removed trailing space in p~: mkumbatie, naye atakuheshimu.

PRO 4:9 Removed trailing space in v~: Atakuvika shada la neema kichwani mwako

PRO 4:9 Removed trailing space in p~: na kukupa taji ya utukufu.”

PRO 4:10 Removed trailing space in v~: Sikiliza mwanangu, kubali ninachokuambia,

PRO 4:10 Removed trailing space in p~: nayo miaka ya maisha yako itakuwa mingi.

PRO 4:11 Removed trailing space in v~: Ninakuongoza katika njia ya hekima

PRO 4:11 Removed trailing space in p~: na kukuongoza katika mapito yaliyonyooka.

PRO 4:12 Removed trailing space in v~: Utembeapo, hatua zako hazitazuiliwa;

PRO 4:12 Removed trailing space in p~: ukimbiapo, hutajikwaa.

PRO 4:13 Removed trailing space in v~: Mkamate sana elimu, usimwache aende zake;

PRO 4:13 Removed trailing space in p~: mshike, maana yeye ni uzima wako.

PRO 4:14 Removed trailing space in v~: Usiuweke mguu wako katika njia ya waovu

PRO 4:14 Removed trailing space in p~: wala usitembee katika njia ya watu wabaya.

PRO 4:15 Removed trailing space in v~: Epukana nayo, usisafiri katika njia hiyo;

PRO 4:15 Removed trailing space in p~: achana nayo, na uelekee njia yako.

PRO 4:16 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hawawezi kulala mpaka watende uovu;

PRO 4:16 Removed trailing space in p~: wanashindwa hata kusinzia mpaka wamwangushe mtu.

PRO 4:17 Removed trailing space in v~: Wanakula mkate wa uovu,

PRO 4:17 Removed trailing space in p~: na kunywa mvinyo wa jeuri.

PRO 4:18 Removed trailing space in v~: Njia ya wenye haki ni kama nuru ya kwanza ya mapambazuko,

PRO 4:18 Removed trailing space in p~: ambayo hungʼaa zaidi na zaidi mpaka mchana mkamilifu.

PRO 4:19 Removed trailing space in v~: Lakini njia ya waovu ni kama giza nene;

PRO 4:19 Removed trailing space in p~: hawajui kinachowafanya wajikwae.

PRO 4:20 Removed trailing space in v~: Mwanangu, yasikilize kwa makini yale ninayokuambia;

PRO 4:20 Removed trailing space in p~: sikiliza kwa makini maneno yangu.

PRO 4:21 Removed trailing space in v~: Usiruhusu yaondoke machoni pako,

PRO 4:21 Removed trailing space in p~: yahifadhi ndani ya moyo wako;

PRO 4:22 Removed trailing space in v~: kwa sababu ni uzima kwa wale wanaoyapata

PRO 4:22 Removed trailing space in p~: na afya kwa mwili wote wa mwanadamu.

PRO 4:23 Removed trailing space in v~: Zaidi ya yote, linda moyo wako, kuliko yote uyalindayo,

PRO 4:23 Removed trailing space in p~: maana ndiko zitokako chemchemi za uzima.

PRO 4:24 Removed trailing space in v~: Epusha kinywa chako na ukaidi;

PRO 4:24 Removed trailing space in p~: weka mazungumzo machafu mbali na midomo yako.

PRO 4:25 Removed trailing space in v~: Macho yako na yatazame mbele,

PRO 4:25 Removed trailing space in p~: kaza macho yako moja kwa moja mbele yako.

PRO 4:26 Removed trailing space in v~: Sawazisha mapito ya miguu yako

PRO 4:26 Removed trailing space in p~: na njia zako zote ziwe zimethibitika.

PRO 4:27 Removed trailing space in v~: Usigeuke kulia wala kushoto;

PRO 4:27 Removed trailing space in p~: epusha mguu wako na ubaya.

PRO 5:0 Extra space after chapter number

PRO 5:0 Removed trailing space in c: 5

PRO 5:0 Removed trailing space in s1: Onyo Dhidi Ya Uzinzi

PRO 5:1 Removed trailing space in v~: Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima yangu,

PRO 5:1 Removed trailing space in p~: sikiliza vizuri maneno yangu ya busara,

PRO 5:2 Removed trailing space in v~: ili uweze kutunza busara

PRO 5:2 Removed trailing space in p~: na midomo yako ihifadhi maarifa.

PRO 5:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana midomo ya mwanamke kahaba

PRO 5:3 Removed trailing space in p~: hudondoza asali,

PRO 5:3 Removed trailing space in p~: na maneno ya kinywa chake

PRO 5:3 Removed trailing space in p~: ni laini kuliko mafuta;

PRO 5:4 Removed trailing space in v~: lakini mwisho wake ni mchungu kama nyongo,

PRO 5:4 Removed trailing space in p~: mkali kama upanga ukatao kuwili.

PRO 5:5 Removed trailing space in v~: Miguu yake hushuka kuelekea kwenye kifo;

PRO 5:5 Removed trailing space in p~: hatua zake huelekea moja kwa moja kaburini.\f + \fr 5:5 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f*

PRO 5:6 Removed trailing space in v~: Yeye hafikiri juu ya njia ya uzima;

PRO 5:6 Removed trailing space in p~: njia zake zimepotoka, lakini yeye hajui.

PRO 5:7 Removed trailing space in v~: Sasa basi wanangu, nisikilizeni;

PRO 5:7 Removed trailing space in p~: msiache ninalowaambia.

PRO 5:8 Removed trailing space in v~: Njia zenu ziwe mbali naye,

PRO 5:8 Removed trailing space in p~: msiende karibu na mlango wa nyumba yake,

PRO 5:9 Removed trailing space in v~: usije ukatoa nguvu zako nzuri kwa wengine

PRO 5:9 Removed trailing space in p~: na miaka yako kwa aliye mkatili,

PRO 5:10 Removed trailing space in v~: wageni wasije wakasherehekea utajiri wako

PRO 5:10 Removed trailing space in p~: na jitihada yako ikatajirisha

PRO 5:10 Removed trailing space in p~: nyumba ya mwanaume mwingine.

PRO 5:11 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa maisha yako utalia kwa uchungu,

PRO 5:11 Removed trailing space in p~: wakati nyama na mwili wako vimechakaa.

PRO 5:12 Removed trailing space in v~: Utasema, “Tazama jinsi gani nilivyochukia adhabu!

PRO 5:12 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi moyo wangu ulivyodharau maonyo!

PRO 5:13 Removed trailing space in v~: Sikuwatii walimu wangu

PRO 5:13 Removed trailing space in p~: wala kuwasikiliza wakufunzi wangu.

PRO 5:14 Removed trailing space in v~: Nimefika ukingoni mwa maangamizi kabisa

PRO 5:14 Removed trailing space in p~: katikati ya kusanyiko lote.”

PRO 5:15 Removed trailing space in v~: Kunywa maji kutoka kwenye kisima chako mwenyewe,

PRO 5:15 Removed trailing space in p~: maji yanayotiririka kutoka kwenye kisima chako mwenyewe.

PRO 5:16 Removed trailing space in v~: Je, chemchemi zako zifurike katika barabara za mji

PRO 5:16 Removed trailing space in p~: na vijito vyako vya maji viwanjani?

PRO 5:17 Removed trailing space in v~: Na viwe vyako mwenyewe,

PRO 5:17 Removed trailing space in p~: kamwe visishirikishwe wageni.

PRO 5:18 Removed trailing space in v~: Chemchemi yako na ibarikiwe

PRO 5:18 Removed trailing space in p~: na umfurahie mke wa ujana wako.

PRO 5:19 Removed trailing space in v~: Kulungu jike apendaye, kulungu mzuri:

PRO 5:19 Removed trailing space in p~: matiti yake na yakutosheleze siku zote,

PRO 5:19 Removed trailing space in p~: nawe utekwe daima na upendo wake.

PRO 5:20 Removed trailing space in v~: Kwa nini mwanangu, utekwe na mwanamke kahaba?

PRO 5:20 Removed trailing space in p~: Kwa nini ukumbatie kifua cha mke wa mwanaume mwingine?

PRO 5:21 Removed trailing space in v~: Kwa maana njia za mtu ni wazi kabisa mbele za \nd Bwana\nd*,

PRO 5:21 Removed trailing space in p~: naye huyapima mapito yake yote.

PRO 5:22 Removed trailing space in v~: Matendo mabaya ya mtu mwovu humnasa yeye mwenyewe;

PRO 5:22 Removed trailing space in p~: kamba za dhambi yake humkamata kwa nguvu.

PRO 5:23 Removed trailing space in v~: Atakufa kwa kukosa nidhamu,

PRO 5:23 Removed trailing space in p~: akipotoshwa kwa upumbavu wake mwenyewe.

PRO 6:0 Extra space after chapter number

PRO 6:0 Removed trailing space in c: 6

PRO 6:0 Removed trailing space in s1: Maonyo Dhidi Ya Upumbavu

PRO 6:1 Removed trailing space in v~: Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa jirani yako,

PRO 6:1 Removed trailing space in p~: ikiwa umeshika mikono kwa kuweka ahadi

PRO 6:1 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya mwingine,

PRO 6:2 Removed trailing space in v~: kama umetegwa na ulichosema,

PRO 6:2 Removed trailing space in p~: umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,

PRO 6:3 Removed trailing space in v~: basi fanya hivi mwanangu, ili ujiweke huru,

PRO 6:3 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umeanguka mikononi mwa jirani yako:

PRO 6:3 Removed trailing space in p~: Nenda ukajinyenyekeshe kwake;

PRO 6:3 Removed trailing space in p~: msihi jirani yako!

PRO 6:4 Removed trailing space in v~: Usiruhusu usingizi machoni pako,

PRO 6:4 Removed trailing space in p~: usiruhusu kope zako zisinzie.

PRO 6:5 Removed trailing space in v~: Jiweke huru, kama swala mkononi mwa mwindaji,

PRO 6:5 Removed trailing space in p~: kama ndege kutoka kwenye mtego wa mwindaji.

PRO 6:6 Removed trailing space in v~: Ewe mvivu, mwendee mchwa;

PRO 6:6 Removed trailing space in p~: zitafakari njia zake ukapate hekima!

PRO 6:7 Removed trailing space in v~: Kwa maana yeye hana msimamizi,

PRO 6:7 Removed trailing space in p~: wala mwangalizi, au mtawala,

PRO 6:8 Removed trailing space in v~: lakini hujiwekea akiba wakati wa kiangazi

PRO 6:8 Removed trailing space in p~: na hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.

PRO 6:9 Removed trailing space in v~: Ewe mvivu, utalala hata lini?

PRO 6:9 Removed trailing space in p~: Utaamka lini kutoka usingizi wako?

PRO 6:10 Removed trailing space in v~: Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo,

PRO 6:10 Removed trailing space in p~: bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:

PRO 6:11 Removed trailing space in v~: hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi,

PRO 6:11 Removed trailing space in p~: na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.

PRO 6:12 Removed trailing space in v~: Mtu mbaya sana na mlaghai,

PRO 6:12 Removed trailing space in p~: ambaye huzungukazunguka

PRO 6:12 Removed trailing space in p~: na maneno ya upotovu,

PRO 6:13 Removed trailing space in v~: ambaye anakonyeza kwa jicho lake,

PRO 6:13 Removed trailing space in p~: anayetoa ishara kwa miguu yake

PRO 6:13 Removed trailing space in p~: na kuashiria kwa vidole vyake,

PRO 6:14 Removed trailing space in v~: ambaye hupanga ubaya

PRO 6:14 Removed trailing space in p~: kwa udanganyifu moyoni mwake:

PRO 6:14 Removed trailing space in p~: daima huchochea fitina.

PRO 6:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo maafa yatamkumba ghafula;

PRO 6:15 Removed trailing space in p~: ataangamizwa mara, pasipo msaada.

PRO 6:16 Removed trailing space in v~: Kuna vitu sita anavyovichukia \nd Bwana\nd*,

PRO 6:16 Removed trailing space in p~: naam, viko saba vilivyo chukizo kwake:

PRO 6:17 Removed trailing space in v~: macho ya kiburi,

PRO 6:17 Removed trailing space in p~: ulimi udanganyao,

PRO 6:17 Removed trailing space in p~: mikono imwagayo damu isiyo na hatia,

PRO 6:18 Removed trailing space in v~: moyo uwazao mipango miovu,

PRO 6:18 Removed trailing space in p~: miguu iliyo myepesi kukimbilia uovu,

PRO 6:19 Removed trailing space in v~: shahidi wa uongo ambaye humwaga uongo,

PRO 6:19 Removed trailing space in p~: na mtu ambaye huchochea fitina kati ya ndugu.

PRO 6:19 Removed trailing space in s1: Onyo Dhidi Ya Uasherati

PRO 6:20 Removed trailing space in v~: Mwanangu, zishike amri za baba yako,

PRO 6:20 Removed trailing space in p~: wala usiyaache mafundisho ya mama yako.

PRO 6:21 Removed trailing space in v~: Yafunge katika moyo wako daima,

PRO 6:21 Removed trailing space in p~: yakaze kuizunguka shingo yako.

PRO 6:22 Removed trailing space in v~: Wakati utembeapo, yatakuongoza;

PRO 6:22 Removed trailing space in p~: wakati ulalapo, yatakulinda;

PRO 6:22 Removed trailing space in p~: wakati uamkapo, yatazungumza nawe.

PRO 6:23 Removed trailing space in v~: Kwa maana amri hizi ni taa,

PRO 6:23 Removed trailing space in p~: mafundisho haya ni mwanga

PRO 6:23 Removed trailing space in p~: na maonyo ya maadili ni njia ya uzima,

PRO 6:24 Removed trailing space in v~: yakikulinda na mwanamke aliyepotoka,

PRO 6:24 Removed trailing space in p~: kutokana na maneno laini ya mwanamke aliyepotoka.

PRO 6:25 Removed trailing space in v~: Moyo wako usitamani uzuri wake

PRO 6:25 Removed trailing space in p~: wala macho yake yasikuteke,

PRO 6:26 Removed trailing space in v~: kwa maana kahaba atakufanya uwe maskini,

PRO 6:26 Removed trailing space in p~: hata ukose kipande cha mkate,

PRO 6:26 Removed trailing space in p~: naye mwanamke mzinzi huwinda maisha yako hasa.

PRO 6:27 Removed trailing space in v~: Je, mtu aweza kuchotea moto kwenye paja lake

PRO 6:27 Removed trailing space in p~: bila nguo zake kuungua?

PRO 6:28 Removed trailing space in v~: Je, mtu aweza kutembea juu ya makaa ya moto yanayowaka

PRO 6:28 Removed trailing space in p~: bila miguu yake kuungua?

PRO 6:29 Removed trailing space in v~: Ndivyo alivyo mtu alalaye na mke wa mwanaume mwingine;

PRO 6:29 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote amgusaye huyo mwanamke ambaye hataadhibiwa.

PRO 6:30 Removed trailing space in v~: Watu hawamdharau mwizi kama akiiba

PRO 6:30 Removed trailing space in p~: kukidhi njaa yake wakati ana njaa.

PRO 6:31 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo, kama akikamatwa,

PRO 6:31 Removed trailing space in p~: lazima alipe mara saba,

PRO 6:31 Removed trailing space in p~: ingawa inamgharimu utajiri wote wa nyumba yake.

PRO 6:32 Removed trailing space in v~: Lakini mwanaume aziniye na mwanamke hana akili kabisa;

PRO 6:32 Removed trailing space in p~: yeyote afanyaye hivyo hujiangamiza mwenyewe.

PRO 6:33 Removed trailing space in v~: Mapigo na aibu ni fungu lake

PRO 6:33 Removed trailing space in p~: na aibu yake haitafutika kamwe;

PRO 6:34 Removed trailing space in v~: kwa maana wivu huamsha ghadhabu ya mume,

PRO 6:34 Removed trailing space in p~: naye hataonyesha huruma alipizapo kisasi.

PRO 6:35 Removed trailing space in v~: Hatakubali fidia yoyote;

PRO 6:35 Removed trailing space in p~: atakataa malipo, hata yakiwa makubwa kiasi gani.

PRO 7:0 Extra space after chapter number

PRO 7:0 Removed trailing space in c: 7

PRO 7:0 Removed trailing space in s1: Onyo Dhidi Ya Mwanamke Mzinzi

PRO 7:1 Removed trailing space in v~: Mwanangu, shika maneno yangu

PRO 7:1 Removed trailing space in p~: na kuzihifadhi amri zangu ndani yako.

PRO 7:2 Removed trailing space in v~: Shika amri zangu nawe utaishi;

PRO 7:2 Removed trailing space in p~: linda mafundisho yangu kama mboni ya jicho lako.

PRO 7:3 Removed trailing space in v~: Yafunge katika vidole vyako;

PRO 7:3 Removed trailing space in p~: yaandike katika kibao cha moyo wako.

PRO 7:4 Removed trailing space in v~: Mwambie hekima, “Wewe ni dada yangu,”

PRO 7:4 Removed trailing space in p~: uite ufahamu jamaa yako;

PRO 7:5 Removed trailing space in v~: watakuepusha na mwanamke mzinzi,

PRO 7:5 Removed trailing space in p~: kutokana na mwanamke mpotovu

PRO 7:5 Removed trailing space in p~: na maneno yake ya kubembeleza.

PRO 7:6 Removed trailing space in v~: Kwenye dirisha la nyumba yangu

PRO 7:6 Removed trailing space in p~: nilitazama nje kupitia upenyo

PRO 7:6 Removed trailing space in p~: kwenye mwimo wa dirisha.

PRO 7:7 Removed trailing space in v~: Niliona miongoni mwa wajinga,

PRO 7:7 Removed trailing space in p~: nikagundua miongoni mwa wanaume vijana,

PRO 7:7 Removed trailing space in p~: kijana asiye na akili.

PRO 7:8 Removed trailing space in v~: Alikuwa akishuka njiani karibu na pembe ya kwake,

PRO 7:8 Removed trailing space in p~: akielekea kwenye nyumba ya huyo mwanamke

PRO 7:9 Removed trailing space in v~: wakati wa machweo, jua likipungua nuru yake,

PRO 7:9 Removed trailing space in p~: giza la usiku lilipokuwa likiingia.

PRO 7:10 Removed trailing space in v~: Ndipo huyo mwanamke akatoka kumlaki,

PRO 7:10 Removed trailing space in p~: hali amevaa kama kahaba akiwa na nia ya udanganyifu.

PRO 7:11 Removed trailing space in v~: (Ni mwanamke mwenye makelele na mkaidi,

PRO 7:11 Removed trailing space in p~: miguu yake haitulii nyumbani;

PRO 7:12 Removed trailing space in v~: mara kwenye barabara za mji,

PRO 7:12 Removed trailing space in p~: mara kwenye viwanja vikubwa,

PRO 7:12 Removed trailing space in p~: kwenye kila pembe huvizia.)

PRO 7:13 Removed trailing space in v~: Huyo mwanamke alimkumbatia kijana na kumbusu,

PRO 7:13 Removed trailing space in p~: na kwa uso usio na haya akamwambia:

PRO 7:14 Removed trailing space in v~: “Nina sadaka za amani nyumbani;

PRO 7:14 Removed trailing space in p~: leo nimetimiza nadhiri zangu.

PRO 7:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nimetoka nje kukulaki;

PRO 7:15 Removed trailing space in p~: nimekutafuta na nimekupata!

PRO 7:16 Removed trailing space in v~: Nimetandika kitanda changu

PRO 7:16 Removed trailing space in p~: kwa kitani za rangi kutoka Misri.

PRO 7:17 Removed trailing space in v~: Nimetia manukato kitanda changu

PRO 7:17 Removed trailing space in p~: kwa manemane, udi na mdalasini.

PRO 7:18 Removed trailing space in v~: Njoo, tuzame katika mapenzi mpaka asubuhi;

PRO 7:18 Removed trailing space in p~: tujifurahishe wenyewe kwa mapenzi!

PRO 7:19 Removed trailing space in v~: Mume wangu hayupo nyumbani;

PRO 7:19 Removed trailing space in p~: amekwenda safari ya mbali.

PRO 7:20 Removed trailing space in v~: Amechukua mkoba uliojazwa fedha

PRO 7:20 Removed trailing space in p~: na hatakuwepo nyumbani karibuni.”

PRO 7:21 Removed trailing space in v~: Kwa maneno laini yule mwanamke akampotosha;

PRO 7:21 Removed trailing space in p~: alimshawishi kwa maneno yake laini.

PRO 7:22 Removed trailing space in v~: Mara huyo kijana alimfuata yule mwanamke

PRO 7:22 Removed trailing space in p~: kama fahali aendaye machinjoni,

PRO 7:22 Removed trailing space in p~: kama kulungu aingiaye kwenye kitanzi,

PRO 7:23 Removed trailing space in v~: mpaka mshale umchome ini lake,

PRO 7:23 Removed trailing space in p~: kama ndege anayenaswa kwenye mtego,

PRO 7:23 Removed trailing space in p~: bila kujua itamgharimu maisha yake.

PRO 7:24 Removed trailing space in v~: Sasa basi wanangu, nisikilizeni;

PRO 7:24 Removed trailing space in p~: sikilizeni kwa makini nisemalo.

PRO 7:25 Removed trailing space in v~: Usiruhusu moyo wako ugeukie njia za huyo mwanamke,

PRO 7:25 Removed trailing space in p~: wala usitangetange katika mapito yake.

PRO 7:26 Removed trailing space in v~: Aliowaangusha ni wengi;

PRO 7:26 Removed trailing space in p~: aliowachinja ni kundi kubwa.

PRO 7:27 Removed trailing space in v~: Nyumba yake ni njia kuu iendayo kaburini,\f + \fr 7:27 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f*

PRO 7:27 Removed trailing space in p~: ielekeayo chini kwenye vyumba vya mauti.

PRO 9:0 Extra space after chapter number

PRO 9:0 Removed trailing space in c: 9

PRO 9:0 Removed trailing space in s1: Makaribisho Ya Hekima Na Ya Upumbavu

PRO 9:1 Removed trailing space in v~: Hekima amejenga nyumba yake;

PRO 9:1 Removed trailing space in p~: amechonga nguzo zake saba.

PRO 9:2 Removed trailing space in v~: Ameandaa nyama na kuchanganya divai yake;

PRO 9:2 Removed trailing space in p~: pia ameandaa meza yake.

PRO 9:3 Removed trailing space in v~: Amewatuma watumishi wake wa kike, naye huita

PRO 9:3 Removed trailing space in p~: kutoka mahali pa juu sana pa mji.

PRO 9:4 Removed trailing space in v~: Anawaambia wale wasio na akili,

PRO 9:4 Removed trailing space in p~: “Wote ambao ni wajinga na waje hapa!

PRO 9:5 Removed trailing space in v~: Njooni, mle chakula changu

PRO 9:5 Removed trailing space in p~: na mnywe divai niliyoichanganya.

PRO 9:6 Removed trailing space in v~: Acheni njia zenu za ujinga nanyi mtaishi;

PRO 9:6 Removed trailing space in p~: tembeeni katika njia ya ufahamu.

PRO 9:7 Removed trailing space in v~: “Yeyote anayemkosoa mwenye mzaha

PRO 9:7 Removed trailing space in p~: hukaribisha matukano;

PRO 9:7 Removed trailing space in p~: yeyote anayekemea mtu mwovu

PRO 9:7 Removed trailing space in p~: hupatwa na matusi.

PRO 9:8 Removed trailing space in v~: Usimkemee mwenye mzaha la sivyo atakuchukia;

PRO 9:8 Removed trailing space in p~: mkemee mwenye hekima naye atakupenda.

PRO 9:9 Removed trailing space in v~: Mfundishe mtu mwenye hekima

PRO 9:9 Removed trailing space in p~: naye atakuwa na hekima zaidi;

PRO 9:9 Removed trailing space in p~: mfundishe mtu mwadilifu

PRO 9:9 Removed trailing space in p~: naye atazidi kufundishika.

PRO 9:10 Removed trailing space in v~: “Kumcha \nd Bwana\nd* ndicho chanzo cha hekima,

PRO 9:10 Removed trailing space in p~: na kumjua Aliye Mtakatifu ni ufahamu.

PRO 9:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwa msaada wangu

PRO 9:11 Removed trailing space in p~: siku zako zitakuwa nyingi,

PRO 9:11 Removed trailing space in p~: na miaka itaongezwa katika maisha yako.

PRO 9:12 Removed trailing space in v~: Kama wewe una hekima, hekima yako itakupa tuzo;

PRO 9:12 Removed trailing space in p~: kama wewe ni mtu wa mzaha,

PRO 9:12 Removed trailing space in p~: wewe mwenyewe ndiwe utateseka.”

PRO 9:13 Removed trailing space in v~: Mwanamke aitwaye Mpumbavu ana kelele;

PRO 9:13 Removed trailing space in p~: hana adabu na hana maarifa.

PRO 9:14 Removed trailing space in v~: Huketi kwenye mlango wa nyumba yake,

PRO 9:14 Removed trailing space in p~: juu ya kiti katika mahali pa juu sana pa mji,

PRO 9:15 Removed trailing space in v~: akiita wale wapitao karibu,

PRO 9:15 Removed trailing space in p~: waendao moja kwa moja kwenye njia yao.

PRO 9:16 Removed trailing space in v~: Anawaambia wale wasio na akili,

PRO 9:16 Removed trailing space in p~: “Wote ambao ni wajinga na waje hapa ndani!”

PRO 9:17 Removed trailing space in v~: “Maji yaliyoibiwa ni matamu;

PRO 9:17 Removed trailing space in p~: chakula kinacholiwa sirini ni kitamu!”

PRO 9:18 Removed trailing space in v~: Lakini hawajui hata kidogo kuwa wafu wako humo,

PRO 9:18 Removed trailing space in p~: kwamba wageni wake huyo mwanamke

PRO 9:18 Removed trailing space in p~: wako katika vilindi vya kuzimu.

PRO 10:0 Extra space after chapter number

PRO 10:0 Removed trailing space in c: 10

PRO 10:0 Removed trailing space in s1: Mithali Za Solomoni

PRO 10:1 Removed trailing space in v~: Mithali za Solomoni:

PRO 10:1 Removed trailing space in p~: Mwana mwenye hekima

PRO 10:1 Removed trailing space in p~: huleta furaha kwa baba yake,

PRO 10:1 Removed trailing space in p~: lakini mwana mpumbavu

PRO 10:1 Removed trailing space in p~: huleta huzuni kwa mama yake.

PRO 10:2 Removed trailing space in v~: Hazina zilizopatikana kwa njia mbaya hazifai,

PRO 10:2 Removed trailing space in p~: lakini uadilifu huokoa kutoka mautini.

PRO 10:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hawaachi waadilifu kukaa njaa,

PRO 10:3 Removed trailing space in p~: lakini hupinga tamaa ya mtu mwovu.

PRO 10:4 Removed trailing space in v~: Mikono mivivu hufanya mtu kuwa maskini

PRO 10:4 Removed trailing space in p~: lakini mikono yenye bidii huleta utajiri.

PRO 10:5 Removed trailing space in v~: Yeye akusanyaye mazao wakati wa kiangazi

PRO 10:5 Removed trailing space in p~: ni mwana mwenye hekima,

PRO 10:5 Removed trailing space in p~: lakini yeye alalaye wakati wa mavuno

PRO 10:5 Removed trailing space in p~: ni mwana mwenye kuaibisha.

PRO 10:6 Removed trailing space in v~: Baraka huwa taji kichwani mwa mwenye haki,

PRO 10:6 Removed trailing space in p~: lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.

PRO 10:7 Removed trailing space in v~: Kumbukumbu ya mwenye haki itakuwa baraka,

PRO 10:7 Removed trailing space in p~: lakini jina la mwovu litaoza.

PRO 10:8 Removed trailing space in v~: Mwenye hekima moyoni hupokea maagizo,

PRO 10:8 Removed trailing space in p~: lakini mpumbavu apayukaye huangamia.

PRO 10:9 Removed trailing space in v~: Mtu mwadilifu hutembea salama,

PRO 10:9 Removed trailing space in p~: lakini mtu aendaye katika njia zilizopotoka atagunduliwa.

PRO 10:10 Removed trailing space in v~: Yeye akonyezaye kwa nia mbaya husababisha huzuni,

PRO 10:10 Removed trailing space in p~: naye mpumbavu apayukaye huangamia.

PRO 10:11 Removed trailing space in v~: Kinywa cha mwenye haki ni chemchemi ya uzima,

PRO 10:11 Removed trailing space in p~: lakini jeuri hufunika kinywa cha mwovu.

PRO 10:12 Removed trailing space in v~: Chuki huchochea faraka,

PRO 10:12 Removed trailing space in p~: lakini upendo husitiri mabaya yote.

PRO 10:13 Removed trailing space in v~: Hekima hupatikana katika midomo ya wenye kupambanua,

PRO 10:13 Removed trailing space in p~: lakini fimbo ni kwa ajili ya mgongo wake asiye na ufahamu.

PRO 10:14 Removed trailing space in v~: Wenye hekima huhifadhi maarifa,

PRO 10:14 Removed trailing space in p~: bali kinywa cha mpumbavu hualika maangamizi.

PRO 10:15 Removed trailing space in v~: Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome,

PRO 10:15 Removed trailing space in p~: bali ufukara ni maangamizi ya maskini.

PRO 10:16 Removed trailing space in v~: Ujira wa wenye haki huwaletea uzima,

PRO 10:16 Removed trailing space in p~: lakini mapato ya waovu huwaletea adhabu.

PRO 10:17 Removed trailing space in v~: Anayekubali kuadibishwa yuko katika njia ya uzima,

PRO 10:17 Removed trailing space in p~: lakini yeyote anayepuuza maonyo hupotosha wengine.

PRO 10:18 Removed trailing space in v~: Yeye afichaye chuki yake ana midomo ya uongo,

PRO 10:18 Removed trailing space in p~: na yeyote anayeeneza uchonganishi ni mpumbavu.

PRO 10:19 Removed trailing space in v~: Wakati maneno ni mengi, dhambi haikosekani,

PRO 10:19 Removed trailing space in p~: lakini yeye ambaye huzuia ulimi wake ni mwenye busara.

PRO 10:20 Removed trailing space in v~: Ulimi wa mwenye haki ni fedha iliyo bora,

PRO 10:20 Removed trailing space in p~: bali moyo wa mwovu una thamani ndogo.

PRO 10:21 Removed trailing space in v~: Midomo ya mwenye haki hulisha wengi,

PRO 10:21 Removed trailing space in p~: lakini wapumbavu hufa kwa kukosa ufahamu.

PRO 10:22 Removed trailing space in v~: Baraka ya \nd Bwana\nd* hutajirisha,

PRO 10:22 Removed trailing space in p~: wala haichanganyi huzuni.

PRO 10:23 Removed trailing space in v~: Mpumbavu hufurahia tabia mbaya,

PRO 10:23 Removed trailing space in p~: lakini mtu mwenye ufahamu hupendezwa na hekima.

PRO 10:24 Removed trailing space in v~: Kile anachoogopa mwovu ndicho kitakachompata;

PRO 10:24 Removed trailing space in p~: kile anachoonea shauku mwenye haki atapewa.

PRO 10:25 Removed trailing space in v~: Tufani inapopita, waovu hutoweka,

PRO 10:25 Removed trailing space in p~: lakini wenye haki husimama imara milele.

PRO 10:26 Removed trailing space in v~: Kama siki ilivyo kwa meno na moshi kwa macho,

PRO 10:26 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mvivu kwa wale waliomtuma.

PRO 10:27 Removed trailing space in v~: Kumcha \nd Bwana\nd* huongeza urefu wa maisha,

PRO 10:27 Removed trailing space in p~: lakini miaka ya mwovu inafupishwa.

PRO 10:28 Removed trailing space in v~: Tarajio la mwenye haki ni furaha,

PRO 10:28 Removed trailing space in p~: bali matumaini ya mwovu huwa si kitu.

PRO 10:29 Removed trailing space in v~: Njia ya \nd Bwana\nd* ni kimbilio kwa wenye haki,

PRO 10:29 Removed trailing space in p~: lakini ni maangamizi ya wale watendao mabaya.

PRO 10:30 Removed trailing space in v~: Kamwe wenye haki hawataondolewa,

PRO 10:30 Removed trailing space in p~: bali waovu hawatasalia katika nchi.

PRO 10:31 Removed trailing space in v~: Kinywa cha mwenye haki hutoa hekima,

PRO 10:31 Removed trailing space in p~: bali ulimi wa upotovu utakatwa.

PRO 10:32 Removed trailing space in v~: Midomo ya wenye haki inajua kile kinachofaa,

PRO 10:32 Removed trailing space in p~: bali kinywa cha mwovu hujua kile kilichopotoka tu.

PRO 11:0 Extra space after chapter number

PRO 11:0 Removed trailing space in c: 11

PRO 11:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huchukia sana mizani za udanganyifu,

PRO 11:1 Removed trailing space in p~: bali vipimo sahihi ni furaha yake.

PRO 11:2 Removed trailing space in v~: Kiburi kinapokuja, ndipo huja aibu,

PRO 11:2 Removed trailing space in p~: bali unyenyekevu huja na hekima.

PRO 11:3 Removed trailing space in v~: Uadilifu wa wenye haki huwaongoza,

PRO 11:3 Removed trailing space in p~: bali wasio waaminifu huharibiwa na hila yao.

PRO 11:4 Removed trailing space in v~: Utajiri haufaidi kitu katika siku ya ghadhabu,

PRO 11:4 Removed trailing space in p~: bali haki huokoa kutoka mautini.

PRO 11:5 Removed trailing space in v~: Haki ya wasio na lawama, huwatengenezea njia iliyonyooka,

PRO 11:5 Removed trailing space in p~: bali waovu huangushwa kwa uovu wao wenyewe.

PRO 11:6 Removed trailing space in v~: Haki ya wanyofu huwaokoa,

PRO 11:6 Removed trailing space in p~: bali wasio waaminifu hunaswa na tamaa mbaya.

PRO 11:7 Removed trailing space in v~: Wakati mtu mwovu anapokufa, matumaini yake hutoweka;

PRO 11:7 Removed trailing space in p~: yote aliyoyatazamia kutokana na nguvu zake huwa si kitu.

PRO 11:8 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye haki huokolewa kutoka taabu,

PRO 11:8 Removed trailing space in p~: naye mtu mwovu huingia humo badala yake.

PRO 11:9 Removed trailing space in v~: Kwa kinywa chake mtu asiyemwamini Mungu

PRO 11:9 Removed trailing space in p~: humwangamiza jirani yake,

PRO 11:9 Removed trailing space in p~: bali kwa maarifa mwenye haki huokolewa.

PRO 11:10 Removed trailing space in v~: Wakati mwenye haki anapofanikiwa, mji hufurahi;

PRO 11:10 Removed trailing space in p~: mwovu atowekapo, kuna kelele za furaha.

PRO 11:11 Removed trailing space in v~: Kutokana na baraka ya mtu mnyofu mji hukwezwa,

PRO 11:11 Removed trailing space in p~: bali kwa kinywa cha mwovu mji huharibiwa.

PRO 11:12 Removed trailing space in v~: Mtu asiye na akili humdharau jirani yake,

PRO 11:12 Removed trailing space in p~: bali mtu mwenye ufahamu huuzuia ulimi wake.

PRO 11:13 Removed trailing space in v~: Masengenyo husaliti tumaini,

PRO 11:13 Removed trailing space in p~: bali mtu mwaminifu hutunza siri.

PRO 11:14 Removed trailing space in v~: Pasipo ushauri wa hekima taifa huanguka,

PRO 11:14 Removed trailing space in p~: bali washauri wengi hufanya ushindi uwe wa hakika.

PRO 11:15 Removed trailing space in v~: Yeye amdhaminiye mgeni hakika atateseka,

PRO 11:15 Removed trailing space in p~: bali yeyote akataaye kuunga mkono dhamana ni salama.

PRO 11:16 Removed trailing space in v~: Mwanamke mwenye moyo wa huruma hupata heshima,

PRO 11:16 Removed trailing space in p~: bali wanaume wakorofi hupata mali tu.

PRO 11:17 Removed trailing space in v~: Mwenye huruma hujinufaisha mwenyewe,

PRO 11:17 Removed trailing space in p~: bali mkatili hujiletea taabu mwenyewe.

PRO 11:18 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu hupata ujira wa udanganyifu,

PRO 11:18 Removed trailing space in p~: bali yeye apandaye haki huvuna tuzo ya uhakika.

PRO 11:19 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye haki kweli kweli hupata uzima,

PRO 11:19 Removed trailing space in p~: bali yeye afuatiliaye ubaya huendea kifo chake.

PRO 11:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwachukia sana watu wenye moyo wa upotovu,

PRO 11:20 Removed trailing space in p~: bali hupendezwa na wale ambao njia zao hazina lawama.

PRO 11:21 Removed trailing space in v~: Uwe na hakika na hili: Waovu hawataepuka kuadhibiwa,

PRO 11:21 Removed trailing space in p~: bali wenye haki watakuwa huru.

PRO 11:22 Removed trailing space in v~: Kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe

PRO 11:22 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mwanamke mzuri ambaye hana busara.

PRO 11:23 Removed trailing space in v~: Shauku ya mwenye haki huishia tu kwenye mema,

PRO 11:23 Removed trailing space in p~: bali tumaini la mwovu huishia tu kwenye ghadhabu.

PRO 11:24 Removed trailing space in v~: Kuna mtu atoaye kwa ukarimu, hata hivyo hupata zaidi,

PRO 11:24 Removed trailing space in p~: mwingine huzuia, lakini huwa maskini.

PRO 11:25 Removed trailing space in v~: Mtu mkarimu atastawi;

PRO 11:25 Removed trailing space in p~: yeye awaburudishaye wengine

PRO 11:25 Removed trailing space in p~: ataburudishwa mwenyewe.

PRO 11:26 Removed trailing space in v~: Watu humlaani mtu awanyimae watu nafaka,

PRO 11:26 Removed trailing space in p~: bali baraka itamkalia kichwani kama taji

PRO 11:26 Removed trailing space in p~: yeye aliye radhi kuiuza.

PRO 11:27 Removed trailing space in v~: Yeye atafutaye mema hupata ukarimu,

PRO 11:27 Removed trailing space in p~: bali ubaya huja kwake yeye autafutaye.

PRO 11:28 Removed trailing space in v~: Yeyote ategemeaye utajiri wake ataanguka,

PRO 11:28 Removed trailing space in p~: bali mwenye haki atastawi kama jani bichi.

PRO 11:29 Removed trailing space in v~: Yeye aletaye taabu kwa jamaa yake atarithi tu upepo,

PRO 11:29 Removed trailing space in p~: naye mpumbavu atakuwa mtumishi wa wenye hekima.

PRO 11:30 Removed trailing space in v~: Tunda la mwenye haki ni mti wa uzima,

PRO 11:30 Removed trailing space in p~: naye mwenye hekima huvuta roho za watu.

PRO 11:31 Removed trailing space in v~: Kama wenye haki watapokea ujira wao duniani,

PRO 11:31 Removed trailing space in p~: si zaidi sana yule asiyemcha Mungu na mwenye dhambi?

PRO 12:0 Extra space after chapter number

PRO 12:0 Removed trailing space in c: 12

PRO 12:0 Removed trailing space in s1: Mafundisho Ya Kifamilia Na Ya Kijamii

PRO 12:1 Removed trailing space in v~: Yeyote apendaye kuadibishwa hupenda maarifa,

PRO 12:1 Removed trailing space in p~: bali yeye achukiaye kuonywa ni mpumbavu.

PRO 12:2 Removed trailing space in v~: Mtu mwema hupata kibali kutoka kwa \nd Bwana\nd*,

PRO 12:2 Removed trailing space in p~: bali \nd Bwana\nd* humhukumu mwenye hila.

PRO 12:3 Removed trailing space in v~: Mtu hathibitiki kutokana na uovu,

PRO 12:3 Removed trailing space in p~: bali mwenye haki hataondolewa.

PRO 12:4 Removed trailing space in v~: Mke mwenye tabia nzuri ni taji ya mumewe,

PRO 12:4 Removed trailing space in p~: bali aaibishaye ni kama uozo

PRO 12:4 Removed trailing space in p~: katika mifupa ya mumewe.

PRO 12:5 Removed trailing space in v~: Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki,

PRO 12:5 Removed trailing space in p~: bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.

PRO 12:6 Removed trailing space in v~: Maneno ya waovu huotea kumwaga damu,

PRO 12:6 Removed trailing space in p~: bali maneno ya waadilifu huwaokoa.

PRO 12:7 Removed trailing space in v~: Watu waovu huondolewa na kutoweka,

PRO 12:7 Removed trailing space in p~: bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.

PRO 12:8 Removed trailing space in v~: Mtu husifiwa kulingana na hekima yake,

PRO 12:8 Removed trailing space in p~: bali watu wenye akili zilizopotoka hudharauliwa.

PRO 12:9 Removed trailing space in v~: Heri mtu wa hali ya chini mwenye mtumishi,

PRO 12:9 Removed trailing space in p~: kuliko kujifanya mtu wa hali ya juu nawe huna chakula.

PRO 12:10 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye haki hujali mahitaji ya mnyama wake,

PRO 12:10 Removed trailing space in p~: bali matendo ya huruma ya mwovu ni ukatili.

PRO 12:11 Removed trailing space in v~: Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele,

PRO 12:11 Removed trailing space in p~: bali yeye afuataye mambo ya upuzi hana akili.

PRO 12:12 Removed trailing space in v~: Waovu hutamani mateka ya watu wabaya,

PRO 12:12 Removed trailing space in p~: bali shina la mwenye haki hustawi.

PRO 12:13 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi,

PRO 12:13 Removed trailing space in p~: bali mwenye haki huepuka taabu.

PRO 12:14 Removed trailing space in v~: Kutokana na tunda la midomo yake

PRO 12:14 Removed trailing space in p~: mtu hujazwa na mambo mema,

PRO 12:14 Removed trailing space in p~: hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake humtunza.

PRO 12:15 Removed trailing space in v~: Njia ya mpumbavu huonekana sawa

PRO 12:15 Removed trailing space in p~: machoni pake mwenyewe,

PRO 12:15 Removed trailing space in p~: bali mtu mwenye hekima husikiliza ushauri.

PRO 12:16 Removed trailing space in v~: Mpumbavu huonyesha kuudhika kwake mara moja,

PRO 12:16 Removed trailing space in p~: bali mtu wa busara hupuuza matukano.

PRO 12:17 Removed trailing space in v~: Shahidi wa kweli hutoa ushuhuda wa kuaminika,

PRO 12:17 Removed trailing space in p~: bali shahidi wa uongo husema uongo.

PRO 12:18 Removed trailing space in v~: Maneno ya kipumbavu huchoma kama upanga,

PRO 12:18 Removed trailing space in p~: bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.

PRO 12:19 Removed trailing space in v~: Midomo isemayo kweli hudumu milele,

PRO 12:19 Removed trailing space in p~: bali ulimi wa uongo hudumu kwa muda mfupi tu.

PRO 12:20 Removed trailing space in v~: Upo udanganyifu katika mioyo

PRO 12:20 Removed trailing space in p~: ya wale ambao hupanga mabaya,

PRO 12:20 Removed trailing space in p~: bali kuna furaha kwa wale wanaoleta amani.

PRO 12:21 Removed trailing space in v~: Hakuna dhara linalompata mwenye haki,

PRO 12:21 Removed trailing space in p~: bali waovu wana taabu nyingi.

PRO 12:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anachukia sana midomo idanganyayo,

PRO 12:22 Removed trailing space in p~: bali hufurahia watu ambao ni wa kweli.

PRO 12:23 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye busara hujihifadhia maarifa yeye mwenyewe,

PRO 12:23 Removed trailing space in p~: bali moyo wa wapumbavu hububujika upumbavu.

PRO 12:24 Removed trailing space in v~: Mikono yenye bidii itatawala,

PRO 12:24 Removed trailing space in p~: bali uvivu huishia katika kazi za utumwa.

PRO 12:25 Removed trailing space in v~: Moyo wa wasiwasi humlemea mtu,

PRO 12:25 Removed trailing space in p~: bali neno la huruma humfurahisha.

PRO 12:26 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye haki ni mwangalifu katika urafiki,

PRO 12:26 Removed trailing space in p~: bali njia ya waovu huwapotosha.

PRO 12:27 Removed trailing space in v~: Mtu mvivu haoki mawindo yake,

PRO 12:27 Removed trailing space in p~: bali mtu mwenye bidii ana mali za thamani.

PRO 12:28 Removed trailing space in v~: Katika njia ya haki kuna uzima;

PRO 12:28 Removed trailing space in p~: katika mapito hayo kuna maisha ya milele.

PRO 13:0 Extra space after chapter number

PRO 13:0 Removed trailing space in c: 13

PRO 13:0 Removed trailing space in s1: Mema Ya Muda Mfupi Na Yale Ya Kudumu

PRO 13:1 Removed trailing space in v~: Mwana mwenye hekima husikia mafundisho ya babaye,

PRO 13:1 Removed trailing space in p~: bali mwenye dharau hasikilizi maonyo.

PRO 13:2 Removed trailing space in v~: Kutoka tunda la midomo yake mtu hufurahia mambo mema,

PRO 13:2 Removed trailing space in p~: bali wasio waaminifu wanatamani sana jeuri.

PRO 13:3 Removed trailing space in v~: Yeye alindaye midomo yake hulinda nafsi yake,

PRO 13:3 Removed trailing space in p~: bali yeye asemaye kwa haraka ataangamia.

PRO 13:4 Removed trailing space in v~: Mvivu hutamani sana na hapati kitu,

PRO 13:4 Removed trailing space in p~: bali nafsi ya mwenye bidii

PRO 13:4 Removed trailing space in p~: hutoshelezwa kikamilifu.

PRO 13:5 Removed trailing space in v~: Mwenye haki huchukia uongo,

PRO 13:5 Removed trailing space in p~: bali waovu huleta aibu na fedheha.

PRO 13:6 Removed trailing space in v~: Haki humlinda mtu mwadilifu,

PRO 13:6 Removed trailing space in p~: bali uovu humwangusha mwenye dhambi.

PRO 13:7 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja hujifanya tajiri, kumbe hana chochote;

PRO 13:7 Removed trailing space in p~: mwingine hujifanya maskini, kumbe ana utajiri mwingi.

PRO 13:8 Removed trailing space in v~: Utajiri wa mtu waweza kukomboa maisha yake,

PRO 13:8 Removed trailing space in p~: bali mtu maskini hasikii kitisho.

PRO 13:9 Removed trailing space in v~: Nuru ya mwenye haki hungʼaa sana,

PRO 13:9 Removed trailing space in p~: bali taa ya mwovu itazimwa.

PRO 13:10 Removed trailing space in v~: Kiburi huzalisha magomvi tu,

PRO 13:10 Removed trailing space in p~: bali hekima hupatikana kwa wale wanaozingatia ushauri.

PRO 13:11 Removed trailing space in v~: Fedha isiyo ya halali hupungua,

PRO 13:11 Removed trailing space in p~: bali yeye akusanyaye fedha kidogo kidogo huongezeka.

PRO 13:12 Removed trailing space in v~: Kilichotarajiwa kikikawia kuja moyo huugua,

PRO 13:12 Removed trailing space in p~: bali tumaini lililotimizwa ni mti wa uzima.

PRO 13:13 Removed trailing space in v~: Yeye anayedharau mafundisho anajiletea maangamizi,

PRO 13:13 Removed trailing space in p~: bali yeye anayeheshimu agizo hupewa tuzo.

PRO 13:14 Removed trailing space in v~: Mafundisho ya mwenye busara ni chemchemi ya uzima,

PRO 13:14 Removed trailing space in p~: ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.

PRO 13:15 Removed trailing space in v~: Ufahamu mzuri hupata upendeleo,

PRO 13:15 Removed trailing space in p~: bali njia ya asiye mwaminifu ni ngumu.

PRO 13:16 Removed trailing space in v~: Kila mwenye busara hutenda kwa maarifa,

PRO 13:16 Removed trailing space in p~: bali mpumbavu hudhihirisha upumbavu wake.

PRO 13:17 Removed trailing space in v~: Mjumbe mwovu huanguka kwenye taabu,

PRO 13:17 Removed trailing space in p~: bali mjumbe mwaminifu huleta uponyaji.

PRO 13:18 Removed trailing space in v~: Yeye anayedharau maonyo hupata umaskini na aibu,

PRO 13:18 Removed trailing space in p~: bali yeye anayekubali maonyo huheshimiwa.

PRO 13:19 Removed trailing space in v~: Tarajio lililotimizwa ni tamu kwa nafsi,

PRO 13:19 Removed trailing space in p~: bali wapumbavu huchukia sana kuacha ubaya.

PRO 13:20 Removed trailing space in v~: Yeye atembeaye na mwenye hekima atapata hekima,

PRO 13:20 Removed trailing space in p~: bali rafiki wa mpumbavu hupata madhara.

PRO 13:21 Removed trailing space in v~: Balaa humwandama mtenda dhambi,

PRO 13:21 Removed trailing space in p~: bali mafanikio ni thawabu kwa mwenye haki.

PRO 13:22 Removed trailing space in v~: Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi,

PRO 13:22 Removed trailing space in p~: bali mali ya wenye dhambi imehifadhiwa

PRO 13:22 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya wenye haki.

PRO 13:23 Removed trailing space in v~: Shamba la mtu maskini laweza kuzalisha chakula kingi,

PRO 13:23 Removed trailing space in p~: bali dhuluma hukifutilia mbali.

PRO 13:24 Removed trailing space in v~: Yeye aizuiaye fimbo yake hampendi mwanawe,

PRO 13:24 Removed trailing space in p~: bali yeye ampendaye

PRO 13:24 Removed trailing space in p~: huwa mwangalifu kumwadibisha.

PRO 13:25 Removed trailing space in v~: Mwenye haki hula mpaka akaridhisha moyo wake,

PRO 13:25 Removed trailing space in p~: bali tumbo la mwovu hutaabika kwa njaa.

PRO 14:0 Extra space after chapter number

PRO 14:0 Removed trailing space in c: 14

PRO 14:1 Removed trailing space in v~: Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake,

PRO 14:1 Removed trailing space in p~: bali mpumbavu huibomoa nyumba yake

PRO 14:1 Removed trailing space in p~: kwa mikono yake mwenyewe.

PRO 14:2 Removed trailing space in v~: Yeye ambaye njia zake ni nyofu humcha \nd Bwana\nd*,

PRO 14:2 Removed trailing space in p~: bali yeye ambaye njia zake zimepotoka humdharau Mungu.

PRO 14:3 Removed trailing space in v~: Mazungumzo ya mpumbavu huleta fimbo mgongoni mwake,

PRO 14:3 Removed trailing space in p~: bali mwenye hekima hulindwa na maneno ya midomo yake.

PRO 14:4 Removed trailing space in v~: Pale ambapo hakuna mafahali, hori ni tupu,

PRO 14:4 Removed trailing space in p~: bali kutokana na nguvu za fahali huja mavuno mengi.

PRO 14:5 Removed trailing space in v~: Shahidi mwaminifu hadanganyi,

PRO 14:5 Removed trailing space in p~: bali shahidi wa uongo humimina uongo.

PRO 14:6 Removed trailing space in v~: Mwenye mzaha huitafuta hekima na haipati,

PRO 14:6 Removed trailing space in p~: bali maarifa huja kwa urahisi kwa anayepambanua.

PRO 14:7 Removed trailing space in v~: Kaa mbali na mtu mpumbavu,

PRO 14:7 Removed trailing space in p~: kwa maana hutapata maarifa katika midomo yake.

PRO 14:8 Removed trailing space in v~: Hekima ya mwenye busara ni kufikiria njia zake,

PRO 14:8 Removed trailing space in p~: bali upumbavu wa wapumbavu ni udanganyifu.

PRO 14:9 Removed trailing space in v~: Wapumbavu hudhihaki kujirekebisha kutoka dhambi,

PRO 14:9 Removed trailing space in p~: bali wema hupatikana miongoni mwa wanyofu.

PRO 14:10 Removed trailing space in v~: Kila moyo hujua uchungu wake wenyewe,

PRO 14:10 Removed trailing space in p~: wala hakuna yeyote awezaye kushiriki furaha yake.

PRO 14:11 Removed trailing space in v~: Nyumba ya mwovu itaangamizwa,

PRO 14:11 Removed trailing space in p~: bali hema la mnyofu litastawi.

PRO 14:12 Removed trailing space in v~: Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu,

PRO 14:12 Removed trailing space in p~: bali mwisho wake huelekeza mautini.

PRO 14:13 Removed trailing space in v~: Hata katika kicheko moyo waweza kuuma,

PRO 14:13 Removed trailing space in p~: nayo furaha yaweza kuishia katika majonzi.

PRO 14:14 Removed trailing space in v~: Wasio na imani watapatilizwa kikamilifu kwa ajili ya njia zao,

PRO 14:14 Removed trailing space in p~: naye mtu mwema atapewa thawabu kwa ajili ya njia yake.

PRO 14:15 Removed trailing space in v~: Mtu mjinga huamini kila kitu,

PRO 14:15 Removed trailing space in p~: bali mwenye busara hufikiria hatua zake.

PRO 14:16 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye hekima humcha \nd Bwana\nd* na kuepuka mabaya,

PRO 14:16 Removed trailing space in p~: bali mpumbavu hukasirika kwa hamaki na uzembe.

PRO 14:17 Removed trailing space in v~: Mtu anayekasirika kwa haraka hufanya mambo ya upumbavu,

PRO 14:17 Removed trailing space in p~: naye mtu wa hila huchukiwa.

PRO 14:18 Removed trailing space in v~: Mjinga hurithi upumbavu,

PRO 14:18 Removed trailing space in p~: bali wenye busara huvikwa maarifa kichwani kama taji.

PRO 14:19 Removed trailing space in v~: Watu wabaya watasujudu mbele ya watu wema,

PRO 14:19 Removed trailing space in p~: nao waovu kwenye malango ya wenye haki.

PRO 14:20 Removed trailing space in v~: Maskini huepukwa hata na majirani zao,

PRO 14:20 Removed trailing space in p~: bali matajiri wana marafiki wengi.

PRO 14:21 Removed trailing space in v~: Yeye anayemdharau jirani yake hutenda dhambi,

PRO 14:21 Removed trailing space in p~: bali amebarikiwa yeye aliye na huruma kwa mhitaji.

PRO 14:22 Removed trailing space in v~: Je, wale wanaopanga ubaya hawapotoki?

PRO 14:22 Removed trailing space in p~: Bali wale wanaopanga kilicho chema

PRO 14:22 Removed trailing space in p~: hupata upendo na uaminifu.

PRO 14:23 Removed trailing space in v~: Kazi zote zinazofanywa kwa bidii huleta faida,

PRO 14:23 Removed trailing space in p~: bali mazungumzo matupu huelekea umaskini tu.

PRO 14:24 Removed trailing space in v~: Utajiri wa wenye hekima ni taji yao,

PRO 14:24 Removed trailing space in p~: bali upumbavu wa wapumbavu huzaa upumbavu.

PRO 14:25 Removed trailing space in v~: Shahidi wa kweli huokoa maisha,

PRO 14:25 Removed trailing space in p~: bali shahidi wa uongo ni mdanganyifu.

PRO 14:26 Removed trailing space in v~: Yeye amchaye \nd Bwana\nd* ana ngome salama,

PRO 14:26 Removed trailing space in p~: na kwa watoto wake itakuwa kimbilio.

PRO 14:27 Removed trailing space in v~: Kumcha \nd Bwana\nd* ni chemchemi ya uzima,

PRO 14:27 Removed trailing space in p~: ili kumwepusha mtu na mitego ya mauti.

PRO 14:28 Removed trailing space in v~: Wingi wa watu ni utukufu wa mfalme,

PRO 14:28 Removed trailing space in p~: bali pasipo watu mkuu huangamia.

PRO 14:29 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye subira ana ufahamu mwingi,

PRO 14:29 Removed trailing space in p~: bali anayekasirika haraka huonyesha upumbavu.

PRO 14:30 Removed trailing space in v~: Moyo wenye amani huupa mwili uzima,

PRO 14:30 Removed trailing space in p~: bali wivu huozesha mifupa.

PRO 14:31 Removed trailing space in v~: Yeye amwoneaye maskini huonyesha dharau kwa Muumba wao,

PRO 14:31 Removed trailing space in p~: bali yeyote anayemhurumia mhitaji humheshimu Mungu.

PRO 14:32 Removed trailing space in v~: Waovu huangamizwa kwa matendo yao maovu,

PRO 14:32 Removed trailing space in p~: bali hata katika kifo wenye haki hupata kimbilio.

PRO 14:33 Removed trailing space in v~: Hekima hukaa katika moyo wa mwenye ufahamu

PRO 14:33 Removed trailing space in p~: bali haijulikani miongoni mwa wapumbavu.

PRO 14:34 Removed trailing space in v~: Haki huinua taifa,

PRO 14:34 Removed trailing space in p~: bali dhambi ni aibu kwa watu wote.

PRO 14:35 Removed trailing space in v~: Mfalme hupendezwa na mtumishi mwenye hekima,

PRO 14:35 Removed trailing space in p~: bali ghadhabu yake humwangukia

PRO 14:35 Removed trailing space in p~: mtumishi mwenye kuaibisha.

PRO 15:0 Extra space after chapter number

PRO 15:0 Removed trailing space in c: 15

PRO 15:1 Removed trailing space in v~: Jawabu la upole hugeuza ghadhabu,

PRO 15:1 Removed trailing space in p~: bali neno liumizalo huchochea hasira.

PRO 15:2 Removed trailing space in v~: Ulimi wa mwenye hekima husifu maarifa,

PRO 15:2 Removed trailing space in p~: bali kinywa cha mpumbavu hufoka upumbavu.

PRO 15:3 Removed trailing space in v~: Macho ya \nd Bwana\nd* yako kila mahali,

PRO 15:3 Removed trailing space in p~: yakiwaangalia waovu na wema.

PRO 15:4 Removed trailing space in v~: Ulimi uletao uponyaji ni mti wa uzima,

PRO 15:4 Removed trailing space in p~: bali ulimi udanganyao huponda roho.

PRO 15:5 Removed trailing space in v~: Mpumbavu hubeza maonyo ya baba yake,

PRO 15:5 Removed trailing space in p~: bali yeyote akubaliye maonyo huonyesha busara.

PRO 15:6 Removed trailing space in v~: Nyumba ya mwenye haki ina hazina kubwa,

PRO 15:6 Removed trailing space in p~: bali mapato ya waovu huwaletea taabu.

PRO 15:7 Removed trailing space in v~: Midomo ya mwenye hekima hueneza maarifa,

PRO 15:7 Removed trailing space in p~: bali sivyo ilivyo mioyo ya wapumbavu.

PRO 15:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huchukia sana dhabihu za waovu,

PRO 15:8 Removed trailing space in p~: bali maombi ya wanyofu humfurahisha Mungu.

PRO 15:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huchukia sana njia ya waovu,

PRO 15:9 Removed trailing space in p~: bali huwapenda wale wafuatao haki.

PRO 15:10 Removed trailing space in v~: Adhabu kali humngoja yeye aachaye njia;

PRO 15:10 Removed trailing space in p~: yeye achukiaye maonyo atakufa.

PRO 15:11 Removed trailing space in v~: Mauti\f + \fr 15:11 \ft Yaani Sheol, maana yake ni Kuzimu.\f* na Uharibifu\f + \fr 15:11 \ft Kwa Kiebrania ni Abadon.\f* viko wazi mbele za \nd Bwana\nd*:

PRO 15:11 Removed trailing space in p~: je, si zaidi sana mioyo ya wanadamu!

PRO 15:12 Removed trailing space in v~: Mwenye mzaha huchukia maonyo;

PRO 15:12 Removed trailing space in p~: hatataka shauri kwa mwenye hekima.

PRO 15:13 Removed trailing space in v~: Moyo wenye furaha hufanya uso uchangamke,

PRO 15:13 Removed trailing space in p~: bali maumivu ya moyoni huponda roho.

PRO 15:14 Removed trailing space in v~: Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa,

PRO 15:14 Removed trailing space in p~: bali kinywa cha mpumbavu hujilisha upumbavu.

PRO 15:15 Removed trailing space in v~: Siku zote za wanaoonewa ni za taabu,

PRO 15:15 Removed trailing space in p~: bali moyo mchangamfu una karamu ya kudumu.

PRO 15:16 Removed trailing space in v~: Afadhali kuwa na kidogo pamoja na kumcha \nd Bwana\nd*,

PRO 15:16 Removed trailing space in p~: kuliko mali nyingi pamoja na ghasia.

PRO 15:17 Removed trailing space in v~: Afadhali chakula cha mboga mahali palipo na upendo

PRO 15:17 Removed trailing space in p~: kuliko nyama ya ndama iliyonona pamoja na chuki.

PRO 15:18 Removed trailing space in v~: Mtu mwepesi wa hasira huchochea ugomvi,

PRO 15:18 Removed trailing space in p~: bali mtu mvumilivu hutuliza ugomvi.

PRO 15:19 Removed trailing space in v~: Njia ya mvivu imezibwa na miiba,

PRO 15:19 Removed trailing space in p~: bali njia ya mwenye haki ni barabara kuu.

PRO 15:20 Removed trailing space in v~: Mwana mwenye hekima huleta furaha kwa baba yake,

PRO 15:20 Removed trailing space in p~: bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.

PRO 15:21 Removed trailing space in v~: Upumbavu humfurahisha mtu ambaye hana akili,

PRO 15:21 Removed trailing space in p~: bali mtu mwenye ufahamu hushika njia iliyonyooka.

PRO 15:22 Removed trailing space in v~: Mipango hushindwa kufanikiwa kwa ajili ya kukosa ushauri,

PRO 15:22 Removed trailing space in p~: bali kukiwa na washauri wengi hufanikiwa.

PRO 15:23 Removed trailing space in v~: Mtu hupata furaha katika kutoa jibu linalofaa:

PRO 15:23 Removed trailing space in p~: je, ni zuri namna gani neno lililotoka kwa wakati wake!

PRO 15:24 Removed trailing space in v~: Mapito ya uzima huelekea juu kwa ajili ya wenye hekima

PRO 15:24 Removed trailing space in p~: kumwepusha asiende chini kaburini.

PRO 15:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hubomoa nyumba ya mtu mwenye kiburi,

PRO 15:25 Removed trailing space in p~: bali huilinda mipaka ya mjane isiguswe.

PRO 15:26 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huchukia sana mawazo ya mwovu,

PRO 15:26 Removed trailing space in p~: bali mawazo ya wale walio safi humfurahisha yeye.

PRO 15:27 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye tamaa huletea jamaa yake taabu,

PRO 15:27 Removed trailing space in p~: bali yeye achukiaye rushwa ataishi.

PRO 15:28 Removed trailing space in v~: Moyo wa mwenye haki hupima majibu yake,

PRO 15:28 Removed trailing space in p~: bali kinywa cha mwovu hufoka ubaya.

PRO 15:29 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* yuko mbali na waovu,

PRO 15:29 Removed trailing space in p~: bali husikia maombi ya wenye haki.

PRO 15:30 Removed trailing space in v~: Mtazamo wa tabasamu huleta furaha moyoni,

PRO 15:30 Removed trailing space in p~: nazo habari njema huipa mifupa afya.

PRO 15:31 Removed trailing space in v~: Yeye asikilizaye maonyo yatoayo uzima

PRO 15:31 Removed trailing space in p~: atakuwa miongoni mwa wenye hekima.

PRO 15:32 Removed trailing space in v~: Yeye anayedharau maonyo hujidharau mwenyewe,

PRO 15:32 Removed trailing space in p~: bali yeyote anayekubali maonyo hupata ufahamu.

PRO 15:33 Removed trailing space in v~: Kumcha \nd Bwana\nd* humfundisha mtu hekima,

PRO 15:33 Removed trailing space in p~: nao unyenyekevu huja kabla ya heshima.

PRO 16:0 Extra space after chapter number

PRO 16:0 Removed trailing space in c: 16

PRO 16:1 Removed trailing space in v~: Mipango ya moyoni ni ya mwanadamu,

PRO 16:1 Removed trailing space in p~: bali jibu la ulimi hutoka kwa \nd Bwana\nd*.

PRO 16:2 Removed trailing space in v~: Njia zote za mtu huonekana safi machoni pake mwenyewe,

PRO 16:2 Removed trailing space in p~: bali makusudi hupimwa na \nd Bwana\nd*.

PRO 16:3 Removed trailing space in v~: Mkabidhi \nd Bwana\nd* lolote ufanyalo,

PRO 16:3 Removed trailing space in p~: nayo mipango yako itafanikiwa.

PRO 16:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hufanya kila kitu kwa kusudi lake mwenyewe;

PRO 16:4 Removed trailing space in p~: hata waovu kwa siku ya maangamizi.

PRO 16:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* huwachukia sana wote wenye kiburi cha moyo.

PRO 16:5 Removed trailing space in p~: Uwe na hakika kwa hili: Hawataepuka kuadhibiwa.

PRO 16:6 Removed trailing space in v~: Kwa upendo na uaminifu uovu huondolewa;

PRO 16:6 Removed trailing space in p~: kwa kumcha \nd Bwana\nd* mtu hujiepusha na ubaya.

PRO 16:7 Removed trailing space in v~: Njia za mtu zinapompendeza \nd Bwana\nd*,

PRO 16:7 Removed trailing space in p~: huwafanya hata adui zake waishi naye kwa amani.

PRO 16:8 Removed trailing space in v~: Afadhali kitu kidogo pamoja na haki

PRO 16:8 Removed trailing space in p~: kuliko mapato mengi pamoja na udhalimu.

PRO 16:9 Removed trailing space in v~: Moyo wa mtu huifikiri njia yake,

PRO 16:9 Removed trailing space in p~: bali \nd Bwana\nd* huelekeza hatua zake.

PRO 16:10 Removed trailing space in v~: Midomo ya mfalme huzungumza kwa hekima ya kiungu,

PRO 16:10 Removed trailing space in p~: wala kinywa chake hakipotoshi haki.

PRO 16:11 Removed trailing space in v~: Vipimo na mizani za halali hutoka kwa \nd Bwana\nd*;

PRO 16:11 Removed trailing space in p~: mawe yote ya kupimia yaliyo katika mfuko ameyafanya yeye.

PRO 16:12 Removed trailing space in v~: Wafalme huchukia sana kutenda maovu,

PRO 16:12 Removed trailing space in p~: kwa maana kiti cha ufalme hufanywa imara kwa njia ya haki.

PRO 16:13 Removed trailing space in v~: Wafalme hufurahia midomo ya uaminifu;

PRO 16:13 Removed trailing space in p~: humthamini mtu asemaye kweli.

PRO 16:14 Removed trailing space in v~: Ghadhabu ya mfalme ni mjumbe wa mauti,

PRO 16:14 Removed trailing space in p~: bali mtu mwenye hekima ataituliza.

PRO 16:15 Removed trailing space in v~: Uso wa mfalme ungʼaapo, inamaanisha uhai;

PRO 16:15 Removed trailing space in p~: upendeleo wake ni kama wingu la mvua wakati wa vuli.

PRO 16:16 Removed trailing space in v~: Ni bora kiasi gani kupata hekima kuliko dhahabu,

PRO 16:16 Removed trailing space in p~: kuchagua ufahamu kuliko fedha!

PRO 16:17 Removed trailing space in v~: Njia kuu ya wanyofu huepuka ubaya;

PRO 16:17 Removed trailing space in p~: yeye aichungaye njia yake, huchunga maisha yake.

PRO 16:18 Removed trailing space in v~: Kiburi hutangulia maangamizi,

PRO 16:18 Removed trailing space in p~: roho ya majivuno hutangulia maanguko.

PRO 16:19 Removed trailing space in v~: Ni afadhali kuwa mnyenyekevu katika roho

PRO 16:19 Removed trailing space in p~: miongoni mwa walioonewa

PRO 16:19 Removed trailing space in p~: kuliko kugawana nyara pamoja na wenye kiburi.

PRO 16:20 Removed trailing space in v~: Yeyote anayekubali mafundisho hustawi,

PRO 16:20 Removed trailing space in p~: tena amebarikiwa yeye anayemtumaini \nd Bwana\nd*.

PRO 16:21 Removed trailing space in v~: Wenye hekima moyoni huitwa wenye ufahamu,

PRO 16:21 Removed trailing space in p~: na maneno ya kupendeza huchochea mafundisho.

PRO 16:22 Removed trailing space in v~: Ufahamu ni chemchemi ya uzima kwa wale walio nao,

PRO 16:22 Removed trailing space in p~: bali upumbavu huleta adhabu kwa wapumbavu.

PRO 16:23 Removed trailing space in v~: Moyo wa mtu mwenye hekima huongoza kinywa chake,

PRO 16:23 Removed trailing space in p~: na midomo yake huchochea mafundisho.

PRO 16:24 Removed trailing space in v~: Maneno ya kupendeza ni kama sega la asali,

PRO 16:24 Removed trailing space in p~: ni matamu kwa nafsi na uponyaji kwenye mifupa.

PRO 16:25 Removed trailing space in v~: Iko njia ionekanayo kuwa sawa kwa mtu,

PRO 16:25 Removed trailing space in p~: bali mwisho wake huelekeza mautini.

PRO 16:26 Removed trailing space in v~: Shauku ya mfanyakazi humhimiza kufanya kazi;

PRO 16:26 Removed trailing space in p~: njaa yake humsukuma aendelee.

PRO 16:27 Removed trailing space in v~: Mtu mbaya kabisa hupanga mabaya,

PRO 16:27 Removed trailing space in p~: maneno yake ni kama moto uunguzao.

PRO 16:28 Removed trailing space in v~: Mtu mpotovu huchochea ugomvi,

PRO 16:28 Removed trailing space in p~: nayo maongezi ya upuzi hutenganisha marafiki wa karibu.

PRO 16:29 Removed trailing space in v~: Mtu mkali humvuta jirani yake

PRO 16:29 Removed trailing space in p~: na kumwongoza katika mapito yale mabaya.

PRO 16:30 Removed trailing space in v~: Yeye akonyezaye kwa jicho lake anapanga upotovu;

PRO 16:30 Removed trailing space in p~: naye akazaye midomo yake amenuia mabaya.

PRO 16:31 Removed trailing space in v~: Mvi ni taji ya utukufu;

PRO 16:31 Removed trailing space in p~: hupatikana kwa maisha ya uadilifu.

PRO 16:32 Removed trailing space in v~: Ni afadhali mtu mstahimilivu kuliko shujaa,

PRO 16:32 Removed trailing space in p~: mtu anayeitawala hasira yake kuliko yule autekaye mji.

PRO 16:33 Removed trailing space in v~: Kura hupigwa kwa siri,

PRO 16:33 Removed trailing space in p~: lakini kila uamuzi wake hutoka kwa \nd Bwana\nd*.

PRO 17:0 Extra space after chapter number

PRO 17:0 Removed trailing space in c: 17

PRO 17:1 Removed trailing space in v~: Afadhali kula ukoko mkavu ukiwa na amani na utulivu

PRO 17:1 Removed trailing space in p~: kuliko kukaa kwenye nyumba ya karamu kukiwa na magomvi.

PRO 17:2 Removed trailing space in v~: Mtumishi mwenye hekima atatawala juu ya mwana aaibishaye,

PRO 17:2 Removed trailing space in p~: naye atashirikiana katika urithi kama mmoja wa hao ndugu.

PRO 17:3 Removed trailing space in v~: Kalibu ni kwa ajili ya fedha na tanuru ni kwa ajili ya dhahabu,

PRO 17:3 Removed trailing space in p~: bali \nd Bwana\nd* huujaribu moyo.

PRO 17:4 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu husikiliza midomo mibaya;

PRO 17:4 Removed trailing space in p~: mwongo husikiliza kwa makini ulimi wa madhara.

PRO 17:5 Removed trailing space in v~: Yeye anaye mdhihaki maskini huonyesha dharau kwa Muumba wake;

PRO 17:5 Removed trailing space in p~: yeyote afurahiaye maafa hataepuka kuadhibiwa.

PRO 17:6 Removed trailing space in v~: Wana wa wana ni taji la wazee,

PRO 17:6 Removed trailing space in p~: nao wazazi ni fahari ya watoto wao.

PRO 17:7 Removed trailing space in v~: Midomo yenye uwezo wa ushawishi haimfai mpumbavu:

PRO 17:7 Removed trailing space in p~: je, ni mibaya kiasi gani zaidi midomo ya uongo kwa mtawala!

PRO 17:8 Removed trailing space in v~: Kipawa ni kama kito cha thamani machoni pake yeye aliye nacho;

PRO 17:8 Removed trailing space in p~: kokote kigeukiapo, hufanikiwa.

PRO 17:9 Removed trailing space in v~: Yeye anayesamehe kosa hudumisha upendo,

PRO 17:9 Removed trailing space in p~: bali yeyote arudiaye jambo hutenganisha marafiki wa karibu.

PRO 17:10 Removed trailing space in v~: Karipio humwingia sana mtu mwenye kutambua

PRO 17:10 Removed trailing space in p~: kuliko mapigo mia kwa mpumbavu.

PRO 17:11 Removed trailing space in v~: Mtu mbaya hupenda kuasi tu;

PRO 17:11 Removed trailing space in p~: mjumbe asiye na huruma atatumwa dhidi yake.

PRO 17:12 Removed trailing space in v~: Ni afadhali ukutane na dubu aliyenyangʼanywa watoto wake,

PRO 17:12 Removed trailing space in p~: kuliko mpumbavu katika upumbavu wake.

PRO 17:13 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu atalipa baya kwa jema,

PRO 17:13 Removed trailing space in p~: kamwe ubaya hautaondoka katika nyumba yake.

PRO 17:14 Removed trailing space in v~: Kuanzisha ugomvi ni kama kutoboa bwawa la maji;

PRO 17:14 Removed trailing space in p~: kwa hiyo acha jambo hilo kabla mabishano hayajaanza.

PRO 17:15 Removed trailing space in v~: Yeye asemaye kuwa asiye na haki ana haki,

PRO 17:15 Removed trailing space in p~: naye asemaye kuwa mwenye haki hana haki:

PRO 17:15 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huwachukia sana wote wawili.

PRO 17:16 Removed trailing space in v~: Fedha ina faida gani mikononi mwa mpumbavu,

PRO 17:16 Removed trailing space in p~: wakati yeye hana haja ya kupata hekima?

PRO 17:17 Removed trailing space in v~: Rafiki hupenda wakati wote

PRO 17:17 Removed trailing space in p~: naye ndugu amezaliwa kwa ajili ya wakati wa shida.

PRO 17:18 Removed trailing space in v~: Mtu mjinga hupana mkono ili kuweka rehani,

PRO 17:18 Removed trailing space in p~: naye huweka dhamana kwa jirani yake.

PRO 17:19 Removed trailing space in v~: Yeye apendaye ugomvi apenda dhambi;

PRO 17:19 Removed trailing space in p~: naye ainuaye sana lango lake\f + \fr 17:19 \ft Kuinua lango maana yake ni kusema kwa majivuno.\f* hutafuta uharibifu.

PRO 17:20 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye moyo mpotovu hawezi kufanikiwa;

PRO 17:20 Removed trailing space in p~: naye ambaye ulimi wake ni mdanganyifu huanguka kwenye taabu.

PRO 17:21 Removed trailing space in v~: Kuwa na mwana mpumbavu huleta huzuni;

PRO 17:21 Removed trailing space in p~: hakuna furaha kwa baba wa mpumbavu.

PRO 17:22 Removed trailing space in v~: Moyo wenye furaha ni dawa nzuri,

PRO 17:22 Removed trailing space in p~: bali roho iliyopondeka hukausha mifupa.

PRO 17:23 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu hukubali rushwa kwa siri

PRO 17:23 Removed trailing space in p~: ili kupotosha njia ya haki.

PRO 17:24 Removed trailing space in v~: Mtu wa ufahamu huitazama hekima,

PRO 17:24 Removed trailing space in p~: lakini macho ya mpumbavu huhangaika

PRO 17:24 Removed trailing space in p~: hadi kwenye miisho ya dunia.

PRO 17:25 Removed trailing space in v~: Mwana mpumbavu huleta huzuni kwa baba yake

PRO 17:25 Removed trailing space in p~: na uchungu kwa yeye aliyemzaa.

PRO 17:26 Removed trailing space in v~: Si vizuri kumwadhibu mtu asiye na hatia,

PRO 17:26 Removed trailing space in p~: au kuwapiga sana maafisa kwa ajili ya uadilifu wao.

PRO 17:27 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye maarifa hutumia maneno kwa kujizuia,

PRO 17:27 Removed trailing space in p~: naye mtu mwenye ufahamu ana moyo wa utulivu.

PRO 17:28 Removed trailing space in v~: Hata mtu mpumbavu hudhaniwa kuwa na hekima kama akinyamaza,

PRO 17:28 Removed trailing space in p~: na mwenye ufahamu kama akiuzuia ulimi wake.

PRO 18:0 Extra space after chapter number

PRO 18:0 Removed trailing space in c: 18

PRO 18:1 Removed trailing space in v~: Mtu ajitengaye na wengine

PRO 18:1 Removed trailing space in p~: hufuata matakwa yake mwenyewe;

PRO 18:1 Removed trailing space in p~: hupiga vita kila shauri jema.

PRO 18:2 Removed trailing space in v~: Mpumbavu hafurahii ufahamu,

PRO 18:2 Removed trailing space in p~: bali hufurahia kutangaza

PRO 18:2 Removed trailing space in p~: maoni yake mwenyewe.

PRO 18:3 Removed trailing space in v~: Wakati uovu unapokuja, dharau huja pia,

PRO 18:3 Removed trailing space in p~: pamoja na aibu huja lawama.

PRO 18:4 Removed trailing space in v~: Maneno ya kinywa cha mwanadamu ni kina cha maji,

PRO 18:4 Removed trailing space in p~: bali chemchemi ya hekima ni kijito kinachobubujika.

PRO 18:5 Removed trailing space in v~: Sio vizuri kumpendelea mtu mwovu,

PRO 18:5 Removed trailing space in p~: au kumnyima haki asiye na hatia.

PRO 18:6 Removed trailing space in v~: Midomo ya mpumbavu humletea ugomvi

PRO 18:6 Removed trailing space in p~: na kinywa chake hualika kipigo.

PRO 18:7 Removed trailing space in v~: Kinywa cha mpumbavu ni uharibifu wake

PRO 18:7 Removed trailing space in p~: na midomo yake ni mtego kwa nafsi yake.

PRO 18:8 Removed trailing space in v~: Maneno ya mchongezi ni kama chakula kitamu;

PRO 18:8 Removed trailing space in p~: huingia sehemu za ndani sana za mtu.

PRO 18:9 Removed trailing space in v~: Mtu aliye mlegevu katika kazi yake

PRO 18:9 Removed trailing space in p~: ni ndugu na yule anayeharibu.

PRO 18:10 Removed trailing space in v~: Jina la \nd Bwana\nd* ni ngome imara,

PRO 18:10 Removed trailing space in p~: wenye haki huikimbilia na kuwa salama.

PRO 18:11 Removed trailing space in v~: Mali ya tajiri ni mji wake wenye ngome,

PRO 18:11 Removed trailing space in p~: wanaudhania kuwa ukuta usioweza kurukwa.

PRO 18:12 Removed trailing space in v~: Kabla ya anguko moyo wa mtu hujaa kiburi,

PRO 18:12 Removed trailing space in p~: bali unyenyekevu hutangulia heshima.

PRO 18:13 Removed trailing space in v~: Yeye ajibuye kabla ya kusikiliza,

PRO 18:13 Removed trailing space in p~: huo ni upumbavu wake na aibu yake.

PRO 18:14 Removed trailing space in v~: Roho ya mtu itastahimili katika ugonjwa

PRO 18:14 Removed trailing space in p~: bali roho iliyovunjika ni nani awezaye kuistahimili?

PRO 18:15 Removed trailing space in v~: Moyo wa mwenye ufahamu hujipatia maarifa,

PRO 18:15 Removed trailing space in p~: masikio ya mwenye hekima huyatafuta maarifa.

PRO 18:16 Removed trailing space in v~: Zawadi humfungulia njia mtoaji,

PRO 18:16 Removed trailing space in p~: nayo humleta mbele ya wakuu.

PRO 18:17 Removed trailing space in v~: Yeye aliye wa kwanza kuleta mashtaka huonekana sahihi,

PRO 18:17 Removed trailing space in p~: hadi mwingine ajitokezapo na kumuuliza maswali.

PRO 18:18 Removed trailing space in v~: Kupiga kura hukomesha mashindano

PRO 18:18 Removed trailing space in p~: na kutenganisha wapinzani wakuu wanaopingana.

PRO 18:19 Removed trailing space in v~: Ndugu aliyechukizwa ni mgumu kuridhika

PRO 18:19 Removed trailing space in p~: kuliko mji uliozungushiwa ngome,

PRO 18:19 Removed trailing space in p~: nayo mabishano ni kama malango

PRO 18:19 Removed trailing space in p~: ya ngome yenye makomeo.

PRO 18:20 Removed trailing space in v~: Tumbo la mtu litajaa kutokana na tunda la kinywa chake,

PRO 18:20 Removed trailing space in p~: atashibishwa mavuno yanayotokana na midomo yake.

PRO 18:21 Removed trailing space in v~: Mauti na uzima viko katika uwezo wa ulimi,

PRO 18:21 Removed trailing space in p~: nao waupendao watakula matunda yake.

PRO 18:22 Removed trailing space in v~: Apataye mke apata kitu chema

PRO 18:22 Removed trailing space in p~: naye ajipatia kibali kwa \nd Bwana\nd*.

PRO 18:23 Removed trailing space in v~: Mtu maskini huomba kuhurumiwa

PRO 18:23 Removed trailing space in p~: bali tajiri hujibu kwa ukali.

PRO 18:24 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye marafiki wengi wanaweza kumharibu,

PRO 18:24 Removed trailing space in p~: bali yuko rafiki aambatanaye na mtu kwa karibu kuliko ndugu.

PRO 19:0 Extra space after chapter number

PRO 19:0 Removed trailing space in c: 19

PRO 19:1 Removed trailing space in v~: Afadhali mtu maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama,

PRO 19:1 Removed trailing space in p~: kuliko mpumbavu ambaye midomo yake imepotoka.

PRO 19:2 Removed trailing space in v~: Sio vizuri kuwa na juhudi bila maarifa,

PRO 19:2 Removed trailing space in p~: wala kufanya haraka na kuikosa njia.

PRO 19:3 Removed trailing space in v~: Upumbavu wa mtu mwenyewe huharibu maisha yake

PRO 19:3 Removed trailing space in p~: hata hivyo moyo wake humkasirikia \nd Bwana\nd*.

PRO 19:4 Removed trailing space in v~: Mali huleta marafiki wengi,

PRO 19:4 Removed trailing space in p~: bali rafiki wa mtu maskini humwacha.

PRO 19:5 Removed trailing space in v~: Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa,

PRO 19:5 Removed trailing space in p~: naye amwagaye uongo hataachwa huru.

PRO 19:6 Removed trailing space in v~: Wengi hujipendekeza kwa mtawala

PRO 19:6 Removed trailing space in p~: na kila mmoja ni rafiki wa mtu atoaye zawadi.

PRO 19:7 Removed trailing space in v~: Mtu maskini huepukwa na ndugu zake wote:

PRO 19:7 Removed trailing space in p~: Je, marafiki zake watamkwepa kiasi gani!

PRO 19:7 Removed trailing space in p~: Ingawa huwafuata kwa kuwasihi,

PRO 19:7 Removed trailing space in p~: hawapatikani popote.

PRO 19:8 Removed trailing space in v~: Yeye apataye hekima huipenda nafsi yake mwenyewe,

PRO 19:8 Removed trailing space in p~: yeye ahifadhiye ufahamu hustawi.

PRO 19:9 Removed trailing space in v~: Shahidi wa uongo hataacha kuadhibiwa,

PRO 19:9 Removed trailing space in p~: naye amwagaye uongo ataangamia.

PRO 19:10 Removed trailing space in v~: Haistahili mpumbavu kuishi katika anasa,

PRO 19:10 Removed trailing space in p~: itakuwa vibaya kiasi gani

PRO 19:10 Removed trailing space in p~: kwa mtumwa kuwatawala wakuu.

PRO 19:11 Removed trailing space in v~: Hekima ya mtu humpa uvumilivu,

PRO 19:11 Removed trailing space in p~: ni kwa utukufu wake kusamehe makosa.

PRO 19:12 Removed trailing space in v~: Ghadhabu ya mfalme ni kama mngurumo wa simba,

PRO 19:12 Removed trailing space in p~: bali wema wake ni kama umande juu ya nyasi.

PRO 19:13 Removed trailing space in v~: Mwana mpumbavu ni maangamizi ya babaye,

PRO 19:13 Removed trailing space in p~: naye mke mgomvi ni kama kutonatona kusikoisha.

PRO 19:14 Removed trailing space in v~: Nyumba na mali hurithiwa kutoka kwa wazazi,

PRO 19:14 Removed trailing space in p~: bali mke mwenye busara hutoka kwa \nd Bwana\nd*.

PRO 19:15 Removed trailing space in v~: Uvivu huleta usingizi mzito,

PRO 19:15 Removed trailing space in p~: naye mtu mzembe huona njaa.

PRO 19:16 Removed trailing space in v~: Yeye ambaye hutii mafundisho huulinda uhai wake,

PRO 19:16 Removed trailing space in p~: bali yeye anayezidharau njia zake atakufa.

PRO 19:17 Removed trailing space in v~: Yeye amhurumiaye maskini humkopesha \nd Bwana\nd*,

PRO 19:17 Removed trailing space in p~: naye atamtuza kwa aliyotenda.

PRO 19:18 Removed trailing space in v~: Mrudi mwanao, kwa maana katika hiyo kuna tumaini,

PRO 19:18 Removed trailing space in p~: usiwe mshirika katika mauti yake.

PRO 19:19 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye kukasirika haraka ni lazima atapata adhabu yake,

PRO 19:19 Removed trailing space in p~: kama utamwokoa, itakubidi kufanya hivyo tena.

PRO 19:20 Removed trailing space in v~: Sikiliza mashauri na ukubali mafundisho,

PRO 19:20 Removed trailing space in p~: nawe mwishoni utakuwa na hekima.

PRO 19:21 Removed trailing space in v~: Kuna mipango mingi ndani ya moyo wa mtu,

PRO 19:21 Removed trailing space in p~: lakini kusudi la \nd Bwana\nd* ndilo litakalosimama.

PRO 19:22 Removed trailing space in v~: Lile mtu alionealo shauku ni upendo usio na mwisho,

PRO 19:22 Removed trailing space in p~: afadhali kuwa maskini kuliko kuwa mwongo.

PRO 19:23 Removed trailing space in v~: Kumcha \nd Bwana\nd* huongoza kwenye uzima,

PRO 19:23 Removed trailing space in p~: kisha mtu hupumzika akiwa ameridhika,

PRO 19:23 Removed trailing space in p~: bila kuguswa na shida.

PRO 19:24 Removed trailing space in v~: Mtu mvivu hutumbukiza mkono wake kwenye sahani,

PRO 19:24 Removed trailing space in p~: lakini hawezi hata kuupeleka kwenye kinywa chake!

PRO 19:25 Removed trailing space in v~: Mpige mwenye mzaha, naye mjinga atajifunza busara,

PRO 19:25 Removed trailing space in p~: mkemee mwenye ufahamu naye atapata maarifa.

PRO 19:26 Removed trailing space in v~: Yeye amwibiaye baba yake na kumfukuza mama yake

PRO 19:26 Removed trailing space in p~: ni mwana aletaye aibu na fedheha.

PRO 19:27 Removed trailing space in v~: Mwanangu, ukiacha kusikiliza mafundisho,

PRO 19:27 Removed trailing space in p~: utatangatanga mbali na maneno ya maarifa.

PRO 19:28 Removed trailing space in v~: Shahidi mla rushwa hudhihaki hukumu

PRO 19:28 Removed trailing space in p~: na kinywa cha mtu mwovu humeza ubaya kwa upesi.

PRO 19:29 Removed trailing space in v~: Adhabu zimeandaliwa kwa ajili ya wenye dhihaka

PRO 19:29 Removed trailing space in p~: na mapigo kwa ajili ya migongo ya wapumbavu.

PRO 20:0 Extra space after chapter number

PRO 20:0 Removed trailing space in c: 20

PRO 20:1 Removed trailing space in v~: Mvinyo ni mdhihaki na kileo ni mgomvi;

PRO 20:1 Removed trailing space in p~: yeyote apotoshwaye navyo hana hekima.

PRO 20:2 Removed trailing space in v~: Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba;

PRO 20:2 Removed trailing space in p~: yeye amkasirishaye hupoteza uhai wake.

PRO 20:3 Removed trailing space in v~: Ni kwa heshima ya mtu kujitenga ugomvi,

PRO 20:3 Removed trailing space in p~: bali kila mpumbavu ni mwepesi kugombana.

PRO 20:4 Removed trailing space in v~: Mvivu halimi kwa majira;

PRO 20:4 Removed trailing space in p~: kwa hiyo wakati wa mavuno hutazama

PRO 20:4 Removed trailing space in p~: lakini hapati chochote.

PRO 20:5 Removed trailing space in v~: Makusudi ya moyo wa mwanadamu ni maji yenye kina,

PRO 20:5 Removed trailing space in p~: lakini mtu mwenye ufahamu huyachota.

PRO 20:6 Removed trailing space in v~: Watu wengi hujidai kuwa na upendo usiokoma,

PRO 20:6 Removed trailing space in p~: bali mtu mwaminifu ni nani awezaye kumpata?

PRO 20:7 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye haki huishi maisha yasiyo na lawama,

PRO 20:7 Removed trailing space in p~: wamebarikiwa watoto wake baada yake.

PRO 20:8 Removed trailing space in v~: Wakati mfalme aketipo katika kiti chake cha enzi kuhukumu,

PRO 20:8 Removed trailing space in p~: hupepeta ubaya wote kwa macho yake.

PRO 20:9 Removed trailing space in v~: Ni nani awezaye kusema, “Nimeuweka moyo wangu safi;

PRO 20:9 Removed trailing space in p~: mimi ni safi na sina dhambi?”

PRO 20:10 Removed trailing space in v~: Mawe ya kupimia yaliyo tofauti na vipimo tofauti,

PRO 20:10 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* huchukia vyote viwili.

PRO 20:11 Removed trailing space in v~: Hata mtoto hujulikana kwa matendo yake,

PRO 20:11 Removed trailing space in p~: kama tabia yake ni safi na adili.

PRO 20:12 Removed trailing space in v~: Masikio yasikiayo na macho yaonayo,

PRO 20:12 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ndiye alivifanya vyote viwili.

PRO 20:13 Removed trailing space in v~: Usiupende usingizi la sivyo utakuwa maskini,

PRO 20:13 Removed trailing space in p~: uwe macho nawe utakuwa na chakula cha akiba.

PRO 20:14 Removed trailing space in v~: “Haifai, haifai!” asema mnunuzi,

PRO 20:14 Removed trailing space in p~: kisha huondoka akijisifia ununuzi wake.

PRO 20:15 Removed trailing space in v~: Dhahabu kunayo, na marijani kwa wingi,

PRO 20:15 Removed trailing space in p~: lakini midomo inenayo maarifa

PRO 20:15 Removed trailing space in p~: ni kito cha thamani kilicho adimu.

PRO 20:16 Removed trailing space in v~: Chukua vazi la yule awekaye dhamana

PRO 20:16 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya mgeni;

PRO 20:16 Removed trailing space in p~: lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo

PRO 20:16 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya mwanamke mpotovu.

PRO 20:17 Removed trailing space in v~: Chakula kilichopatikana kwa hila ni kitamu kwa mwanadamu,

PRO 20:17 Removed trailing space in p~: bali huishia na kinywa kilichojaa changarawe.

PRO 20:18 Removed trailing space in v~: Fanya mipango kwa kutafuta mashauri,

PRO 20:18 Removed trailing space in p~: ukipigana vita, tafuta maelekezo.

PRO 20:19 Removed trailing space in v~: Maneno ya kusengenya husababisha kutokuaminika,

PRO 20:19 Removed trailing space in p~: kwa hiyo mwepuke mtu anayezungumza kupita kiasi.

PRO 20:20 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu atamlaani baba yake au mama yake,

PRO 20:20 Removed trailing space in p~: taa yake itazimwa katika giza nene.

PRO 20:21 Removed trailing space in v~: Urithi upatikanao haraka mwanzoni,

PRO 20:21 Removed trailing space in p~: hautabarikiwa mwishoni.

PRO 20:22 Removed trailing space in v~: Usiseme, “Nitakulipiza kwa ajili ya kosa hili!”

PRO 20:22 Removed trailing space in p~: Mngojee \nd Bwana\nd*, naye atakuokoa.

PRO 20:23 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anachukia sana mawe ya kupimia ya udanganyifu,

PRO 20:23 Removed trailing space in p~: nazo mizani zisizo halali hazimpendezi.

PRO 20:24 Removed trailing space in v~: Hatua za mtu huongozwa na \nd Bwana\nd*.

PRO 20:24 Removed trailing space in p~: Anawezaje basi mtu yeyote kuelewa njia yake mwenyewe?

PRO 20:25 Removed trailing space in v~: Ni mtego kwa mtu kuweka wakfu kitu kwa haraka

PRO 20:25 Removed trailing space in p~: na baada ya kitambo kidogo kufikiria tena nadhiri zake.

PRO 20:26 Removed trailing space in v~: Mfalme mwenye hekima hupepeta waovu,

PRO 20:26 Removed trailing space in p~: hulipitisha gurudumu la kupuria juu yao.

PRO 20:27 Removed trailing space in v~: Taa ya \nd Bwana\nd* huchunguza roho ya mwanadamu,

PRO 20:27 Removed trailing space in p~: huchunguza utu wake wa ndani.

PRO 20:28 Removed trailing space in v~: Upendo na uaminifu humweka mfalme salama,

PRO 20:28 Removed trailing space in p~: kwa njia ya upendo, kiti chake cha enzi huwa salama.

PRO 20:29 Removed trailing space in v~: Utukufu wa vijana ni nguvu zao,

PRO 20:29 Removed trailing space in p~: mvi ni fahari ya uzee.

PRO 20:30 Removed trailing space in v~: Mapigo na majeraha huusafisha ubaya,

PRO 20:30 Removed trailing space in p~: nayo michapo hutakasa utu wa ndani.

PRO 21:0 Extra space after chapter number

PRO 21:0 Removed trailing space in c: 21

PRO 21:1 Removed trailing space in v~: Moyo wa mfalme uko katika mkono wa \nd Bwana\nd*;

PRO 21:1 Removed trailing space in p~: huuongoza kama mkondo wa maji, popote apendapo.

PRO 21:2 Removed trailing space in v~: Njia zote za mwanadamu huonekana sawa kwake,

PRO 21:2 Removed trailing space in p~: bali \nd Bwana\nd* huupima moyo.

PRO 21:3 Removed trailing space in v~: Kufanya yaliyo sawa na haki inakubalika

PRO 21:3 Removed trailing space in p~: zaidi kwa \nd Bwana\nd* kuliko dhabihu.

PRO 21:4 Removed trailing space in v~: Macho ya kudharau na moyo wa kiburi,

PRO 21:4 Removed trailing space in p~: ambavyo ni taa ya waovu, vyote ni dhambi!

PRO 21:5 Removed trailing space in v~: Mipango ya mwenye bidii huelekeza kwenye faida,

PRO 21:5 Removed trailing space in p~: kama vile kwa hakika pupa huelekeza kwenye umaskini.

PRO 21:6 Removed trailing space in v~: Mali iliyopatikana kwa ulimi wa uongo

PRO 21:6 Removed trailing space in p~: ni mvuke upitao upesi na mtego wa kufisha.

PRO 21:7 Removed trailing space in v~: Jeuri ya waovu itawaburuta mbali,

PRO 21:7 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wanakataa kufanya yaliyo sawa.

PRO 21:8 Removed trailing space in v~: Njia ya mwenye hatia ni ya upotovu,

PRO 21:8 Removed trailing space in p~: bali tabia ya mtu asiye na hatia ni nyofu.

PRO 21:9 Removed trailing space in v~: Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba,

PRO 21:9 Removed trailing space in p~: kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.

PRO 21:10 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu hutamani sana ubaya,

PRO 21:10 Removed trailing space in p~: jirani yake hapati huruma kutoka kwake.

PRO 21:11 Removed trailing space in v~: Wakati mwenye mzaha ameadhibiwa,

PRO 21:11 Removed trailing space in p~: mjinga hupata hekima;

PRO 21:11 Removed trailing space in p~: wakati mtu mwenye hekima afundishwapo,

PRO 21:11 Removed trailing space in p~: hupata maarifa.

PRO 21:12 Removed trailing space in v~: Mwenye Haki huyajua yanayotendeka katika nyumba za waovu,

PRO 21:12 Removed trailing space in p~: naye atawaangamiza waovu.

PRO 21:13 Removed trailing space in v~: Mtu akiziba masikio asisikie kilio cha maskini,

PRO 21:13 Removed trailing space in p~: yeye pia atalia, wala hatajibiwa.

PRO 21:14 Removed trailing space in v~: Zawadi itolewayo kwa siri hutuliza hasira

PRO 21:14 Removed trailing space in p~: na rushwa iliyofichwa kwenye nguo hutuliza ghadhabu kali.

PRO 21:15 Removed trailing space in v~: Wakati haki imetendeka, huleta furaha kwa wenye haki,

PRO 21:15 Removed trailing space in p~: bali kitisho kwa watenda mabaya.

PRO 21:16 Removed trailing space in v~: Mtu anayepotea kutoka mapito ya ufahamu,

PRO 21:16 Removed trailing space in p~: hupumzika katika kundi la waliokufa.

PRO 21:17 Removed trailing space in v~: Mtu apendaye anasa atakuwa maskini,

PRO 21:17 Removed trailing space in p~: yeyote apendaye mvinyo na mafuta kamwe hatakuwa tajiri.

PRO 21:18 Removed trailing space in v~: Waovu huwa fidia kwa ajili ya wenye haki,

PRO 21:18 Removed trailing space in p~: nao wasio waaminifu kwa ajili ya wanyofu.

PRO 21:19 Removed trailing space in v~: Ni afadhali kuishi jangwani

PRO 21:19 Removed trailing space in p~: kuliko kuishi na mke mgomvi na mkorofi.

PRO 21:20 Removed trailing space in v~: Katika nyumba ya mwenye hekima

PRO 21:20 Removed trailing space in p~: kuna akiba ya vyakula vizuri na mafuta,

PRO 21:20 Removed trailing space in p~: lakini mtu mpumbavu

PRO 21:20 Removed trailing space in p~: hutafuna vyote alivyo navyo.

PRO 21:21 Removed trailing space in v~: Yeye afuatiaye haki na upendo

PRO 21:21 Removed trailing space in p~: hupata uzima, mafanikio na heshima.

PRO 21:22 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye hekima huushambulia mji wa wenye nguvu,

PRO 21:22 Removed trailing space in p~: na kuangusha ngome wanazozitegemea.

PRO 21:23 Removed trailing space in v~: Yeye alindaye kinywa chake na ulimi wake

PRO 21:23 Removed trailing space in p~: hujilinda na maafa.

PRO 21:24 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye kiburi na majivuno, “Mdhihaki” ndilo jina lake;

PRO 21:24 Removed trailing space in p~: hutenda mambo kwa kiburi kilichozidi.

PRO 21:25 Removed trailing space in v~: Kutamani sana kwa mvivu kutakuwa kifo chake,

PRO 21:25 Removed trailing space in p~: kwa sababu mikono yake haitaki kufanya kazi.

PRO 21:26 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa hutamani zaidi,

PRO 21:26 Removed trailing space in p~: lakini mnyofu hutoa pasipo kuzuia.

PRO 21:27 Removed trailing space in v~: Dhabihu ya mtu mwovu ni chukizo,

PRO 21:27 Removed trailing space in p~: si zaidi sana itolewapo kwa nia mbaya!

PRO 21:28 Removed trailing space in v~: Shahidi wa uongo ataangamia,

PRO 21:28 Removed trailing space in p~: bali maneno ya mwenye kusikia yatadumu.

PRO 21:29 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu ana uso wa ushupavu,

PRO 21:29 Removed trailing space in p~: bali mtu mnyofu huzifikiria njia zake.

PRO 21:30 Removed trailing space in v~: Hakuna hekima, wala akili, wala mpango

PRO 21:30 Removed trailing space in p~: unaoweza kufaulu dhidi ya \nd Bwana\nd*.

PRO 21:31 Removed trailing space in v~: Farasi huandaliwa kwa ajili ya siku ya vita,

PRO 21:31 Removed trailing space in p~: bali ushindi huwa kwa \nd Bwana\nd*.

PRO 24:0 Extra space after chapter number

PRO 24:0 Removed trailing space in c: 24

PRO 24:1 Removed trailing space in v~: Usiwaonee wivu watu waovu,

PRO 24:1 Removed trailing space in p~: usitamani ushirika nao;

PRO 24:2 Removed trailing space in v~: kwa maana mioyo yao hupanga mambo ya jeuri,

PRO 24:2 Removed trailing space in p~: nayo midomo yao husema juu ya kuleta madhara.

PRO 24:3 Removed trailing space in v~: Kwa hekima nyumba hujengwa,

PRO 24:3 Removed trailing space in p~: nayo kwa njia ya ufahamu huimarishwa

PRO 24:4 Removed trailing space in v~: kwa njia ya maarifa vyumba vyake hujazwa

PRO 24:4 Removed trailing space in p~: vitu vya thamani na vya kupendeza.

PRO 24:5 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye hekima ana uwezo mkubwa,

PRO 24:5 Removed trailing space in p~: naye mtu mwenye maarifa huongeza nguvu,

PRO 24:6 Removed trailing space in v~: kwa kufanya vita unahitaji uongozi

PRO 24:6 Removed trailing space in p~: na kwa ushindi washauri wengi.

PRO 24:7 Removed trailing space in v~: Hekima i juu mno kwa mpumbavu,

PRO 24:7 Removed trailing space in p~: katika kusanyiko langoni

PRO 24:7 Removed trailing space in p~: hana lolote la kusema.

PRO 24:8 Removed trailing space in v~: Yeye apangaye mabaya

PRO 24:8 Removed trailing space in p~: atajulikana kama mtu wa hila.

PRO 24:9 Removed trailing space in v~: Mipango ya upumbavu ni dhambi,

PRO 24:9 Removed trailing space in p~: watu huchukizwa na mwenye dhihaka.

PRO 24:10 Removed trailing space in v~: Ukikata tamaa wakati wa taabu,

PRO 24:10 Removed trailing space in p~: jinsi gani nguvu zako ni kidogo!

PRO 24:11 Removed trailing space in v~: Okoa wale wanaoongozwa kwenye kifo;

PRO 24:11 Removed trailing space in p~: wazuie wote wanaojikokota

PRO 24:11 Removed trailing space in p~: kuelekea machinjoni.

PRO 24:12 Removed trailing space in v~: Kama mkisema, “Lakini hatukujua lolote kuhusu hili,”

PRO 24:12 Removed trailing space in p~: je, yule apimaye mioyo halitambui hili?

PRO 24:12 Removed trailing space in p~: Je, yule awalindaye maisha yenu halijui hili?

PRO 24:12 Removed trailing space in p~: Je, hatamlipa kila mtu kulingana na aliyotenda?

PRO 24:13 Removed trailing space in v~: Ule asali mwanangu, kwa kuwa ni nzuri;

PRO 24:13 Removed trailing space in p~: asali kutoka kwenye sega ni tamu kwa kuonja.

PRO 24:14 Removed trailing space in v~: Ujue pia kwamba hekima ni tamu kwa nafsi yako,

PRO 24:14 Removed trailing space in p~: kama ukiipata, kuna matumaini kwako ya siku zijazo,

PRO 24:14 Removed trailing space in p~: nalo tumaini lako halitakatiliwa mbali.

PRO 24:15 Removed trailing space in v~: Usivizie kama haramia afanyavyo ili kuyashambulia

PRO 24:15 Removed trailing space in p~: makao ya mwenye haki,

PRO 24:15 Removed trailing space in p~: wala usiyavamie makazi yake,

PRO 24:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana ingawa mtu mwenye haki huanguka mara saba, huinuka tena,

PRO 24:16 Removed trailing space in p~: lakini waovu huangushwa chini na maafa.

PRO 24:17 Removed trailing space in v~: Usitazame kwa kufurahia adui yako aangukapo;

PRO 24:17 Removed trailing space in p~: wakati ajikwaapo,

PRO 24:17 Removed trailing space in p~: usiruhusu moyo wako ushangilie.

PRO 24:18 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asije akaona na kuchukia

PRO 24:18 Removed trailing space in p~: akaiondoa ghadhabu yake mbali naye.

PRO 24:19 Removed trailing space in v~: Usikasirike kwa sababu ya watu wabaya

PRO 24:19 Removed trailing space in p~: wala usiwaonee wivu waovu,

PRO 24:20 Removed trailing space in v~: kwa maana mtu mbaya hana tumaini la siku zijazo,

PRO 24:20 Removed trailing space in p~: nayo taa ya waovu itazimwa.

PRO 24:21 Removed trailing space in v~: Mwanangu, mche \nd Bwana\nd* na mfalme,

PRO 24:21 Removed trailing space in p~: wala usijiunge na waasi,

PRO 24:22 Removed trailing space in v~: kwa maana hao wawili watatuma maangamizi ya ghafula juu yao,

PRO 24:22 Removed trailing space in p~: naye ni nani ajuaye maafa wawezayo kuleta?

PRO 24:22 Removed trailing space in s1: Misemo Zaidi Ya Wenye Hekima

PRO 24:23 Removed trailing space in v~: Hii pia ni misemo ya wenye hekima:

PRO 24:23 Removed trailing space in p~: Kuonyesha upendeleo katika hukumu si vyema:

PRO 24:24 Removed trailing space in v~: Yeyote amwambiaye mwenye hatia,

PRO 24:24 Removed trailing space in p~: “Wewe huna hatia,”

PRO 24:24 Removed trailing space in p~: Kabila zitamlaani

PRO 24:24 Removed trailing space in p~: na mataifa yatamkana.

PRO 24:25 Removed trailing space in v~: Bali itakuwa vyema kwa wale watakaowatia hatiani wenye hatia,

PRO 24:25 Removed trailing space in p~: nazo baraka tele zitawajilia juu yao.

PRO 24:26 Removed trailing space in v~: Jawabu la uaminifu

PRO 24:26 Removed trailing space in p~: ni kama busu la midomoni.

PRO 24:27 Removed trailing space in v~: Maliza kazi zako za nje,

PRO 24:27 Removed trailing space in p~: nawe uweke mashamba yako tayari,

PRO 24:27 Removed trailing space in p~: baada ya hayo, jenga nyumba yako.

PRO 24:28 Removed trailing space in v~: Usishuhudie dhidi ya jirani yako bila sababu,

PRO 24:28 Removed trailing space in p~: au kutumia midomo yako kudanganya.

PRO 24:29 Removed trailing space in v~: Usiseme, “Nitamtenda kama alivyonitenda mimi;

PRO 24:29 Removed trailing space in p~: nitamlipiza mtu yule kwa kile alichonitendea.”

PRO 24:30 Removed trailing space in v~: Nilipita karibu na shamba la mvivu,

PRO 24:30 Removed trailing space in p~: karibu na shamba la mizabibu la mtu asiye na akili,

PRO 24:31 Removed trailing space in v~: miiba ilikuwa imeota kila mahali,

PRO 24:31 Removed trailing space in p~: ardhi ilikuwa imefunikwa na magugu, na

PRO 24:31 Removed trailing space in p~: ukuta wa mawe ulikuwa umebomoka.

PRO 24:32 Removed trailing space in v~: Nikatafakari moyoni mwangu lile nililoliona,

PRO 24:32 Removed trailing space in p~: nami nikajifunza somo kutokana na niliyoyaona:

PRO 24:33 Removed trailing space in v~: Bado kulala kidogo, kusinzia kidogo,

PRO 24:33 Removed trailing space in p~: bado kukunja mikono kidogo upate kupumzika:

PRO 24:34 Removed trailing space in v~: hivyo umaskini utakuja juu yako kama mnyangʼanyi,

PRO 24:34 Removed trailing space in p~: na kupungukiwa kutakujia kama mtu mwenye silaha.

PRO 25:0 Extra space after chapter number

PRO 25:0 Removed trailing space in c: 25

PRO 25:0 Removed trailing space in s1: Mithali Zaidi Za Solomoni

PRO 25:1 Removed trailing space in v~: Hizi ni mithali zaidi za Solomoni, zilizonakiliwa na watu wa Hezekia mfalme wa Yuda:

PRO 25:2 Removed trailing space in v~: Ni Utukufu wa Mungu kuficha jambo,

PRO 25:2 Removed trailing space in p~: bali ni utukufu wa wafalme kuchunguza jambo.

PRO 25:3 Removed trailing space in v~: Kama mbingu zilivyo juu na nchi ilivyo chini,

PRO 25:3 Removed trailing space in p~: ndivyo ambavyo mioyo ya wafalme haichunguziki.

PRO 25:4 Removed trailing space in v~: Ondoa takataka kwenye madini ya fedha,

PRO 25:4 Removed trailing space in p~: nako ndani yake kutatokea chombo

PRO 25:4 Removed trailing space in p~: cha mfua fedha.

PRO 25:5 Removed trailing space in v~: Ondoa waovu mbele ya mfalme,

PRO 25:5 Removed trailing space in p~: nacho kiti chake cha enzi

PRO 25:5 Removed trailing space in p~: kitaimarishwa kwa njia ya haki.

PRO 25:6 Removed trailing space in v~: Usijikweze mwenyewe mbele ya mfalme,

PRO 25:6 Removed trailing space in p~: wala usidai nafasi miongoni mwa watu wakuu;

PRO 25:7 Removed trailing space in v~: ni afadhali yeye akuambie, “Njoo huku juu,”

PRO 25:7 Removed trailing space in p~: kuliko yeye kukuaibisha mbele ya mkuu.

PRO 25:7 Removed trailing space in p~: Kile ulichokiona kwa macho yako

PRO 25:8 Removed trailing space in v~: usiharakishe kukipeleka mahakamani,

PRO 25:8 Removed trailing space in p~: maana utafanya nini mwishoni

PRO 25:8 Removed trailing space in p~: kama jirani yako atakuaibisha?

PRO 25:9 Removed trailing space in v~: Kama ukifanya shauri na jirani yako,

PRO 25:9 Removed trailing space in p~: usisaliti siri ya mtu mwingine,

PRO 25:10 Removed trailing space in v~: ama yeye aisikiaye aweza kukuaibisha

PRO 25:10 Removed trailing space in p~: na kamwe sifa yako mbaya haitaondoka.

PRO 25:11 Removed trailing space in v~: Neno lisemwalo kwa wakati ufaao

PRO 25:11 Removed trailing space in p~: ni kama matunda ya mtofaa ya dhahabu

PRO 25:11 Removed trailing space in p~: yaliyowekwa kwenye vijalizo vya fedha.

PRO 25:12 Removed trailing space in v~: Kama vile kipuli cha dhahabu

PRO 25:12 Removed trailing space in p~: au pambo la dhahabu safi,

PRO 25:12 Removed trailing space in p~: ndivyo lilivyo karipio la mtu mwenye hekima

PRO 25:12 Removed trailing space in p~: kwa sikio lisikilizalo.

PRO 25:13 Removed trailing space in v~: Kama vile ubaridi wa theluji wakati wa mavuno

PRO 25:13 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mjumbe mwaminifu kwa wale wamtumao,

PRO 25:13 Removed trailing space in p~: huburudisha roho za bwana zake.

PRO 25:14 Removed trailing space in v~: Kama vile mawingu na upepo pasipo mvua

PRO 25:14 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mtu ajisifuye kwa zawadi ambazo hatoi.

PRO 25:15 Removed trailing space in v~: Kwa njia ya uvumilivu mtawala aweza kushawishiwa,

PRO 25:15 Removed trailing space in p~: nao ulimi laini waweza kuvunja mfupa.

PRO 25:16 Removed trailing space in v~: Ukipata asali, kula kiasi tu cha kukutosha,

PRO 25:16 Removed trailing space in p~: ukila zaidi, utatapika.

PRO 25:17 Removed trailing space in v~: Ingiza mguu wako nyumbani kwa jirani yako mara chache,

PRO 25:17 Removed trailing space in p~: ukizidisha, atakukinai na atakuchukia.

PRO 25:18 Removed trailing space in v~: Kama vile rungu au upanga au mshale mkali

PRO 25:18 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mtu atoaye ushuhuda wa uongo dhidi ya jirani yake.

PRO 25:19 Removed trailing space in v~: Kama vile jino bovu au mguu uliolemaa,

PRO 25:19 Removed trailing space in p~: ndivyo ilivyo kumtegemea mtu asiye mwaminifu wakati wa shida.

PRO 25:20 Removed trailing space in v~: Kama vile avuaye mavazi siku ya baridi,

PRO 25:20 Removed trailing space in p~: au kama siki iliyomwagwa juu ya magadi,

PRO 25:20 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo yeye amuimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito.

PRO 25:21 Removed trailing space in v~: Kama adui yako ana njaa, mpe chakula ale;

PRO 25:21 Removed trailing space in p~: kama ana kiu, mpe maji anywe.

PRO 25:22 Removed trailing space in v~: Kwa kufanya hivyo, unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake,

PRO 25:22 Removed trailing space in p~: naye \nd Bwana\nd* atakupa thawabu.

PRO 25:23 Removed trailing space in v~: Kama vile upepo wa kaskazini uletavyo mvua,

PRO 25:23 Removed trailing space in p~: ndivyo ulimi usingiziao uletavyo uso wa hasira.

PRO 25:24 Removed trailing space in v~: Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba,

PRO 25:24 Removed trailing space in p~: kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.

PRO 25:25 Removed trailing space in v~: Kama vile maji baridi kwa nafsi iliyochoka

PRO 25:25 Removed trailing space in p~: ndivyo zilivyo habari njema kutoka nchi ya mbali.

PRO 25:26 Removed trailing space in v~: Kama vile chemchemi iliyotibuliwa matope au

PRO 25:26 Removed trailing space in p~: kisima kilichotiwa taka

PRO 25:26 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mtu mwenye haki

PRO 25:26 Removed trailing space in p~: akishiriki na waovu.

PRO 25:27 Removed trailing space in v~: Si vyema kula asali nyingi sana,

PRO 25:27 Removed trailing space in p~: wala si heshima

PRO 25:27 Removed trailing space in p~: kujitafutia heshima yako mwenyewe.

PRO 25:28 Removed trailing space in v~: Kama vile mji ambao kuta zake zimebomoka

PRO 25:28 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mtu

PRO 25:28 Removed trailing space in p~: ambaye hawezi kujitawala mwenyewe.

PRO 27:0 Extra space after chapter number

PRO 27:0 Removed trailing space in c: 27

PRO 27:1 Removed trailing space in v~: Usijisifu kwa ajili ya kesho,

PRO 27:1 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hujui ni nini kitakachozaliwa kwa siku moja.

PRO 27:2 Removed trailing space in v~: Mwache mwingine akusifu,

PRO 27:2 Removed trailing space in p~: wala si kinywa chako mwenyewe;

PRO 27:2 Removed trailing space in p~: mtu mwingine afanye hivyo

PRO 27:2 Removed trailing space in p~: na si midomo yako mwenyewe.

PRO 27:3 Removed trailing space in v~: Jiwe ni zito na mchanga ni mzigo,

PRO 27:3 Removed trailing space in p~: lakini kukasirishwa na mpumbavu ni kuzito kuliko vyote viwili.

PRO 27:4 Removed trailing space in v~: Hasira ni ukatili na ghadhabu kali ni gharika,

PRO 27:4 Removed trailing space in p~: lakini ni nani awezaye kusimama mbele ya wivu?

PRO 27:5 Removed trailing space in v~: Afadhali karipio la wazi

PRO 27:5 Removed trailing space in p~: kuliko upendo uliofichika.

PRO 27:6 Removed trailing space in v~: Majeraha kutoka kwa rafiki yaonyesha uaminifu,

PRO 27:6 Removed trailing space in p~: bali kubusu kwa adui ni kwingi sana.

PRO 27:7 Removed trailing space in v~: Yeye aliyeshiba huchukia kabisa asali,

PRO 27:7 Removed trailing space in p~: bali kwa mwenye njaa

PRO 27:7 Removed trailing space in p~: hata kile kilicho kichungu

PRO 27:7 Removed trailing space in p~: kwake ni kitamu.

PRO 27:8 Removed trailing space in v~: Kama ndege atangatangavyo mbali na kiota chake,

PRO 27:8 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mtu atangatangaye

PRO 27:8 Removed trailing space in p~: mbali na nyumbani mwake.

PRO 27:9 Removed trailing space in v~: Manukato na uvumba huleta furaha moyoni,

PRO 27:9 Removed trailing space in p~: nao uzuri wa rafiki huchipuka

PRO 27:9 Removed trailing space in p~: kutoka kwenye ushauri wake wa uaminifu.

PRO 27:10 Removed trailing space in v~: Usimwache rafiki yako wala rafiki wa baba yako,

PRO 27:10 Removed trailing space in p~: tena usiende nyumbani mwa ndugu yako

PRO 27:10 Removed trailing space in p~: wakati umepatwa na maafa.

PRO 27:10 Removed trailing space in p~: Bora jirani wa karibu

PRO 27:10 Removed trailing space in p~: kuliko ndugu aliye mbali.

PRO 27:11 Removed trailing space in v~: Mwanangu, uwe na hekima,

PRO 27:11 Removed trailing space in p~: nawe ulete furaha moyoni mwangu,

PRO 27:11 Removed trailing space in p~: ndipo nitakapoweza kumjibu yeyote

PRO 27:11 Removed trailing space in p~: anitendaye kwa dharau.

PRO 27:12 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye busara huona hatari na kujificha,

PRO 27:12 Removed trailing space in p~: bali mjinga huendelea mbele nayo ikamtesa.

PRO 27:13 Removed trailing space in v~: Chukua vazi la yule awekaye dhamana

PRO 27:13 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya mgeni;

PRO 27:13 Removed trailing space in p~: lishikilie iwe dhamana kama anafanya hivyo

PRO 27:13 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya mwanamke mpotovu.

PRO 27:14 Removed trailing space in v~: Kama mtu akimbariki jirani yake kwa sauti kuu

PRO 27:14 Removed trailing space in p~: asubuhi na mapema,

PRO 27:14 Removed trailing space in p~: itahesabiwa kama ni laana.

PRO 27:15 Removed trailing space in v~: Mke mgomvi ni kama

PRO 27:15 Removed trailing space in p~: matone yasiyokoma ya siku ya mvua.

PRO 27:16 Removed trailing space in v~: Kumzuia yeye ni kama kuuzuia upepo

PRO 27:16 Removed trailing space in p~: au kukamata mafuta kwa kiganja cha mkono.

PRO 27:17 Removed trailing space in v~: Kama vile chuma kinoavyo chuma,

PRO 27:17 Removed trailing space in p~: ndivyo mtu amnoavyo mwenzake.

PRO 27:18 Removed trailing space in v~: Yeye autunzaye mtini atakula tunda lake,

PRO 27:18 Removed trailing space in p~: naye amtunzaye bwana wake ataheshimiwa.

PRO 27:19 Removed trailing space in v~: Kama uso uonekanavyo kwenye maji,

PRO 27:19 Removed trailing space in p~: ndivyo hivyo moyo wa mtu humwonyesha alivyo.

PRO 27:20 Removed trailing space in v~: Kuzimu na Uharibifu havishibi

PRO 27:20 Removed trailing space in p~: kadhalika macho ya mwanadamu.

PRO 27:21 Removed trailing space in v~: Kalibu ni kwa ajili ya fedha

PRO 27:21 Removed trailing space in p~: na tanuru kwa ajili ya dhahabu,

PRO 27:21 Removed trailing space in p~: bali mtu hupimwa kwa sifa azipokeazo.

PRO 27:22 Removed trailing space in v~: Hata ukimtwanga mpumbavu kwenye kinu,

PRO 27:22 Removed trailing space in p~: ukimtwanga kama nafaka kwa mchi,

PRO 27:22 Removed trailing space in p~: hutauondoa upumbavu wake.

PRO 27:23 Removed trailing space in v~: Hakikisha kuwa unajua hali ya makundi yako

PRO 27:23 Removed trailing space in p~: ya kondoo na mbuzi,

PRO 27:23 Removed trailing space in p~: angalia kwa bidii ngʼombe zako.

PRO 27:24 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa utajiri haudumu milele,

PRO 27:24 Removed trailing space in p~: nayo taji haidumu vizazi vyote.

PRO 27:25 Removed trailing space in v~: Wakati majani makavu yameondolewa

PRO 27:25 Removed trailing space in p~: na mapya yamechipua,

PRO 27:25 Removed trailing space in p~: nayo majani toka milimani yamekusanywa,

PRO 27:26 Removed trailing space in v~: wana-kondoo watakupatia mavazi

PRO 27:26 Removed trailing space in p~: na mbuzi thamani ya shamba.

PRO 27:27 Removed trailing space in v~: Utakuwa na maziwa mengi ya mbuzi

PRO 27:27 Removed trailing space in p~: kukulisha wewe na jamaa yako,

PRO 27:27 Removed trailing space in p~: na kuwalisha watumishi wako wa kike.

PRO 28:0 Extra space after chapter number

PRO 28:0 Removed trailing space in c: 28

PRO 28:1 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu hukimbia ingawa hakuna yeyote anayemfukuza,

PRO 28:1 Removed trailing space in p~: bali wenye haki ni wajasiri kama simba.

PRO 28:2 Removed trailing space in v~: Wakati nchi inapokuwa na uasi, inakuwa na viongozi wengi,

PRO 28:2 Removed trailing space in p~: bali mwenye ufahamu na maarifa hudumisha utaratibu.

PRO 28:3 Removed trailing space in v~: Mtu maskini amwoneaye yeye aliye maskini zaidi

PRO 28:3 Removed trailing space in p~: ni kama mvua ya dhoruba isiyosaza mazao.

PRO 28:4 Removed trailing space in v~: Wale waiachao sheria huwasifu waovu,

PRO 28:4 Removed trailing space in p~: bali wale waishikao sheria huwapinga.

PRO 28:5 Removed trailing space in v~: Watu wabaya hawaelewi haki,

PRO 28:5 Removed trailing space in p~: bali wale wamtafutao \nd Bwana\nd* wanaielewa kikamilifu.

PRO 28:6 Removed trailing space in v~: Afadhali maskini ambaye mwenendo wake hauna lawama

PRO 28:6 Removed trailing space in p~: kuliko tajiri ambaye njia zake ni potovu.

PRO 28:7 Removed trailing space in v~: Yeye ashikaye sheria ni mwana mwenye ufahamu,

PRO 28:7 Removed trailing space in p~: bali rafiki wa walafi humwaibisha baba yake.

PRO 28:8 Removed trailing space in v~: Yeye aongezaye utajiri wake kwa riba kubwa mno

PRO 28:8 Removed trailing space in p~: hukusanya kwa ajili ya mwingine,

PRO 28:8 Removed trailing space in p~: ambaye atawahurumia maskini.

PRO 28:9 Removed trailing space in v~: Kama mtu yeyote akikataa kusikia sheria,

PRO 28:9 Removed trailing space in p~: hata maombi yake ni chukizo.

PRO 28:10 Removed trailing space in v~: Yeye ambaye humwongoza mwenye haki kwenye mapito mabaya,

PRO 28:10 Removed trailing space in p~: ataanguka kwenye mtego wake mwenyewe,

PRO 28:10 Removed trailing space in p~: bali wasio na lawama watapokea urithi mwema.

PRO 28:11 Removed trailing space in v~: Mtu tajiri anaweza kuwa na hekima machoni pake mwenyewe,

PRO 28:11 Removed trailing space in p~: bali mtu maskini mwenye ufahamu atamfichua.

PRO 28:12 Removed trailing space in v~: Mwenye haki ashindapo, kuna furaha kubwa,

PRO 28:12 Removed trailing space in p~: bali waovu watawalapo, watu hujificha.

PRO 28:13 Removed trailing space in v~: Yeye afichaye dhambi zake hatafanikiwa,

PRO 28:13 Removed trailing space in p~: bali yeyote aziungamaye na kuziacha hupata rehema.

PRO 28:14 Removed trailing space in v~: Amebarikiwa mtu ambaye siku zote humcha \nd Bwana\nd*,

PRO 28:14 Removed trailing space in p~: bali yeye afanyaye moyo wake kuwa mgumu

PRO 28:14 Removed trailing space in p~: huangukia kwenye taabu.

PRO 28:15 Removed trailing space in v~: Kama simba angurumaye au dubu ashambuliaye,

PRO 28:15 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mtu mwovu atawalaye wanyonge.

PRO 28:16 Removed trailing space in v~: Mtawala dhalimu hana akili,

PRO 28:16 Removed trailing space in p~: bali yeye achukiaye mapato ya udhalimu

PRO 28:16 Removed trailing space in p~: atafurahia maisha marefu.

PRO 28:17 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye kusumbuliwa na hatia ya kuua

PRO 28:17 Removed trailing space in p~: atakuwa mtoro mpaka kufa;

PRO 28:17 Removed trailing space in p~: mtu yeyote na asimsaidie.

PRO 28:18 Removed trailing space in v~: Yeye ambaye mwenendo wake hauna lawama

PRO 28:18 Removed trailing space in p~: hulindwa salama,

PRO 28:18 Removed trailing space in p~: bali yeye ambaye njia zake ni potovu

PRO 28:18 Removed trailing space in p~: ataanguka ghafula.

PRO 28:19 Removed trailing space in v~: Yeye alimaye shamba lake atakuwa na chakula tele,

PRO 28:19 Removed trailing space in p~: bali yule afuataye mambo ya upuzi atakuwa na umaskini wa kumtosha.

PRO 28:20 Removed trailing space in v~: Mtu mwaminifu atabarikiwa sana,

PRO 28:20 Removed trailing space in p~: bali yeye atamaniye kupata utajiri kwa haraka

PRO 28:20 Removed trailing space in p~: hataacha kuadhibiwa.

PRO 28:21 Removed trailing space in v~: Kuonyesha upendeleo si vizuri,

PRO 28:21 Removed trailing space in p~: hata hivyo mtu atafanya kosa kwa kipande cha mkate.

PRO 28:22 Removed trailing space in v~: Mtu mchoyo ana tamaa ya kupata utajiri,

PRO 28:22 Removed trailing space in p~: naye hana habari kuwa umaskini unamngojea.

PRO 28:23 Removed trailing space in v~: Yeye amkemeaye mtu mwishoni hupata kibali zaidi,

PRO 28:23 Removed trailing space in p~: kuliko mwenye maneno ya kusifu isivyostahili.

PRO 28:24 Removed trailing space in v~: Yeye amwibiaye babaye au mamaye

PRO 28:24 Removed trailing space in p~: na kusema, “Si kosa,”

PRO 28:24 Removed trailing space in p~: yeye ni mwenzi wa yule aharibuye.

PRO 28:25 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye tamaa huchochea fitina,

PRO 28:25 Removed trailing space in p~: bali yule amtegemeaye \nd Bwana\nd* atafanikiwa.

PRO 28:26 Removed trailing space in v~: Yeye ajitumainiaye mwenyewe ni mpumbavu,

PRO 28:26 Removed trailing space in p~: bali yeye atembeaye katika hekima hulindwa salama.

PRO 28:27 Removed trailing space in v~: Yeye ampaye maskini

PRO 28:27 Removed trailing space in p~: hatapungukiwa na kitu chochote,

PRO 28:27 Removed trailing space in p~: bali yeye awafumbiaye maskini macho

PRO 28:27 Removed trailing space in p~: hupata laana nyingi.

PRO 28:28 Removed trailing space in v~: Wakati waovu watawalapo,

PRO 28:28 Removed trailing space in p~: watu huenda mafichoni,

PRO 28:28 Removed trailing space in p~: bali waovu wanapoangamia,

PRO 28:28 Removed trailing space in p~: wenye haki hufanikiwa.

PRO 29:0 Extra space after chapter number

PRO 29:0 Removed trailing space in c: 29

PRO 29:1 Removed trailing space in v~: Mtu anayeendelea kuwa na shingo ngumu baada ya maonyo mengi,

PRO 29:1 Removed trailing space in p~: ataangamia ghafula, wala hapati dawa.

PRO 29:2 Removed trailing space in v~: Wenye haki wanapostawi, watu hufurahi;

PRO 29:2 Removed trailing space in p~: waovu watawalapo, watu hulia kwa huzuni.

PRO 29:3 Removed trailing space in v~: Mtu apendaye hekima huleta furaha kwa baba yake,

PRO 29:3 Removed trailing space in p~: bali aambatanaye na makahaba hutapanya mali yake.

PRO 29:4 Removed trailing space in v~: Kwa haki mfalme huipa nchi uthabiti,

PRO 29:4 Removed trailing space in p~: bali mfalme aliye na tamaa ya rushwa huiangamiza.

PRO 29:5 Removed trailing space in v~: Yeyote amsifuye jirani yake isivyostahili,

PRO 29:5 Removed trailing space in p~: anautandaza wavu kuitega miguu yake.

PRO 29:6 Removed trailing space in v~: Mtu mbaya hutegwa na dhambi yake mwenyewe

PRO 29:6 Removed trailing space in p~: bali mwenye haki huweza kuimba na kufurahi.

PRO 29:7 Removed trailing space in v~: Mwenye haki hujali haki kwa ajili ya maskini,

PRO 29:7 Removed trailing space in p~: bali mwovu hajishughulishi na hilo.

PRO 29:8 Removed trailing space in v~: Wenye mzaha huuchochea mji,

PRO 29:8 Removed trailing space in p~: bali watu wenye hekima hugeuzia mbali hasira.

PRO 29:9 Removed trailing space in v~: Kama mwenye hekima akienda mahakamani na mpumbavu,

PRO 29:9 Removed trailing space in p~: mpumbavu hukasirika na kudhihaki, wala hakuna amani.

PRO 29:10 Removed trailing space in v~: Watu wamwagao damu humchukia mtu mwadilifu

PRO 29:10 Removed trailing space in p~: na hutafuta kumuua mtu mnyofu.

PRO 29:11 Removed trailing space in v~: Mpumbavu huonyesha hasira yake yote,

PRO 29:11 Removed trailing space in p~: bali mwenye hekima hujizuia.

PRO 29:12 Removed trailing space in v~: Kama mtawala akisikiliza uongo,

PRO 29:12 Removed trailing space in p~: maafisa wake wote huwa waovu.

PRO 29:13 Removed trailing space in v~: Mtu maskini na mtu anayeonea wanafanana kwa jambo hili:

PRO 29:13 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* hutia nuru macho yao wote wawili.

PRO 29:14 Removed trailing space in v~: Kama mfalme akiwaamua maskini kwa haki,

PRO 29:14 Removed trailing space in p~: kiti chake cha enzi kitakuwa thabiti siku zote.

PRO 29:15 Removed trailing space in v~: Fimbo ya maonyo hutia hekima,

PRO 29:15 Removed trailing space in p~: bali mtoto aliyeachiwa bila maonyo

PRO 29:15 Removed trailing space in p~: humwaibisha mama yake.

PRO 29:16 Removed trailing space in v~: Wakati waovu wanapostawi,

PRO 29:16 Removed trailing space in p~: pia dhambi vivyo hivyo,

PRO 29:16 Removed trailing space in p~: lakini wenye haki wataliona anguko lao.

PRO 29:17 Removed trailing space in v~: Mrudi mwanao, naye atakupa amani,

PRO 29:17 Removed trailing space in p~: atakufurahisha nafsi yako.

PRO 29:18 Removed trailing space in v~: Mahali pasipo na ufunuo, watu kujizuia,

PRO 29:18 Removed trailing space in p~: bali ana heri mtu yule aishikaye sheria.

PRO 29:19 Removed trailing space in v~: Mtumishi hawezi kuonywa kwa maneno matupu,

PRO 29:19 Removed trailing space in p~: ajapoelewa, hataitikia.

PRO 29:20 Removed trailing space in v~: Je, unamwona mtu azungumzaye kwa haraka?

PRO 29:20 Removed trailing space in p~: Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko yeye.

PRO 29:21 Removed trailing space in v~: Kama mtu akimdekeza mtumishi wake tangu ujanani,

PRO 29:21 Removed trailing space in p~: atamletea sikitiko mwishoni.

PRO 29:22 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi,

PRO 29:22 Removed trailing space in p~: naye mtu mwenye hasira ya haraka

PRO 29:22 Removed trailing space in p~: hutenda dhambi nyingi.

PRO 29:23 Removed trailing space in v~: Kiburi cha mtu humshusha,

PRO 29:23 Removed trailing space in p~: bali mtu mwenye roho ya unyenyekevu

PRO 29:23 Removed trailing space in p~: hupata heshima.

PRO 29:24 Removed trailing space in v~: Anayekubaliana na mwizi ni adui wa nafsi yake mwenyewe;

PRO 29:24 Removed trailing space in p~: huapishwa lakini hathubutu kushuhudia.

PRO 29:25 Removed trailing space in v~: Kuwaogopa watu huwa ni mtego,

PRO 29:25 Removed trailing space in p~: bali yeyote amtumainiaye \nd Bwana\nd* atakuwa salama.

PRO 29:26 Removed trailing space in v~: Wengi hutafuta kusikilizwa na mtawala,

PRO 29:26 Removed trailing space in p~: bali mtu hupata haki kutoka kwa \nd Bwana\nd*.

PRO 29:27 Removed trailing space in v~: Mwenye haki huwachukia sana wasio waaminifu;

PRO 29:27 Removed trailing space in p~: waovu huwachukia sana wenye haki.

PRO 30:0 Extra space after chapter number

PRO 30:0 Removed trailing space in c: 30

PRO 30:0 Removed trailing space in s1: Misemo Ya Aguri

PRO 30:1 Removed trailing space in v~: Misemo ya Aguri mwana wa Yake, usia:

PRO 30:1 Removed trailing space in p~: Huyu mtu alimwambia Ithieli,

PRO 30:1 Removed trailing space in p~: naam, kwa Ithieli na kwa Ukali:

PRO 30:2 Removed trailing space in v~: “Mimi ni mjinga kuliko wanadamu wote;

PRO 30:2 Removed trailing space in p~: sina ufahamu wa kibinadamu.

PRO 30:3 Removed trailing space in v~: Sijajifunza hekima,

PRO 30:3 Removed trailing space in p~: wala sina maarifa ya kumjua yeye Aliye Mtakatifu.

PRO 30:4 Removed trailing space in v~: Ni nani ameshapanda mbinguni na kushuka?

PRO 30:4 Removed trailing space in p~: Ni nani ameshakusanya upepo

PRO 30:4 Removed trailing space in p~: kwenye vitanga vya mikono yake?

PRO 30:4 Removed trailing space in p~: Ni nani ameshafungia maji kwenye nguo yake?

PRO 30:4 Removed trailing space in p~: Ni nani ameimarisha miisho yote ya dunia?

PRO 30:4 Removed trailing space in p~: Jina lake ni nani, na mwanawe anaitwa nani?

PRO 30:4 Removed trailing space in p~: Niambie kama unajua!

PRO 30:5 Removed trailing space in v~: “Kila neno la Mungu ni kamilifu;

PRO 30:5 Removed trailing space in p~: yeye ni ngao kwa wale wanaomkimbilia.

PRO 30:6 Removed trailing space in v~: Usiongeze kwenye maneno yake,

PRO 30:6 Removed trailing space in p~: ama atakukemea na kukuthibitisha kuwa mwongo.

PRO 30:7 Removed trailing space in v~: “Ninakuomba vitu viwili, Ee \nd Bwana\nd*;

PRO 30:7 Removed trailing space in p~: usininyime kabla sijafa:

PRO 30:8 Removed trailing space in v~: Uutenge mbali nami udanganyifu na uongo;

PRO 30:8 Removed trailing space in p~: usinipe umaskini wala utajiri,

PRO 30:8 Removed trailing space in p~: bali unipe chakula cha kunitosha kila siku.

PRO 30:9 Removed trailing space in v~: Nisije nikawa na vingi vya kuzidi nikakukana

PRO 30:9 Removed trailing space in p~: na kusema, ‘\nd Bwana\nd* ni nani?’

PRO 30:9 Removed trailing space in p~: Au nisije nikawa maskini nikaiba,

PRO 30:9 Removed trailing space in p~: nami nikaliaibisha jina la Mungu wangu.

PRO 30:10 Removed trailing space in v~: “Usimchongee mtumishi kwa bwana wake,

PRO 30:10 Removed trailing space in p~: asije akakulaani, ukapatilizwa kwalo.

PRO 30:11 Removed trailing space in v~: “Wako watu wale ambao huwalaani baba zao

PRO 30:11 Removed trailing space in p~: na wala hawawabariki mama zao;

PRO 30:12 Removed trailing space in v~: wale ambao ni safi machoni pao wenyewe

PRO 30:12 Removed trailing space in p~: kumbe hawakuoshwa uchafu wao;

PRO 30:13 Removed trailing space in v~: wale ambao daima macho yao ni ya kiburi,

PRO 30:13 Removed trailing space in p~: ambao kutazama kwao ni kwa dharau;

PRO 30:14 Removed trailing space in v~: wale ambao meno yao ni panga

PRO 30:14 Removed trailing space in p~: na ambao mataya yao yamewekwa visu

PRO 30:14 Removed trailing space in p~: kuwaangamiza maskini katika nchi,

PRO 30:14 Removed trailing space in p~: na wahitaji kutoka miongoni mwa wanadamu.

PRO 30:15 Removed trailing space in v~: “Mruba anao binti wawili waliao,

PRO 30:15 Removed trailing space in p~: ‘Nipe! Nipe!’

PRO 30:15 Removed trailing space in p~: “Kuna vitu vitatu visivyotosheka kamwe,

PRO 30:15 Removed trailing space in p~: naam, viko vinne visivyosema, ‘Yatosha!’:

PRO 30:16 Removed trailing space in v~: Ni kaburi, tumbo lisilozaa,

PRO 30:16 Removed trailing space in p~: nchi isiyoshiba maji kamwe,

PRO 30:16 Removed trailing space in p~: na moto, usiosema kamwe, ‘Yatosha!’

PRO 30:17 Removed trailing space in v~: “Jicho lile limdhihakilo baba,

PRO 30:17 Removed trailing space in p~: lile linalodharau kumtii mama,

PRO 30:17 Removed trailing space in p~: litangʼolewa na kunguru wa bondeni,

PRO 30:17 Removed trailing space in p~: litaliwa na tai.

PRO 30:18 Removed trailing space in v~: “Kuna vitu vitatu vinavyonishangaza sana,

PRO 30:18 Removed trailing space in p~: naam, vinne nisivyovielewa:

PRO 30:19 Removed trailing space in v~: Ni mwendo wa tai katika anga,

PRO 30:19 Removed trailing space in p~: mwendo wa nyoka juu ya mwamba,

PRO 30:19 Removed trailing space in p~: mwendo wa meli katika maji makuu ya bahari,

PRO 30:19 Removed trailing space in p~: nao mwendo wa mtu pamoja na msichana.

PRO 30:20 Removed trailing space in v~: “Huu ndio mwendo wa mwanamke mzinzi,

PRO 30:20 Removed trailing space in p~: hula akapangusa kinywa chake na kusema,

PRO 30:20 Removed trailing space in p~: ‘Sikufanya chochote kibaya.’

PRO 30:21 Removed trailing space in v~: “Kwa mambo matatu nchi hutetemeka,

PRO 30:21 Removed trailing space in p~: naam, kwa mambo manne haiwezi kuvumilia:

PRO 30:22 Removed trailing space in v~: Mtumwa awapo mfalme,

PRO 30:22 Removed trailing space in p~: mpumbavu ashibapo chakula,

PRO 30:23 Removed trailing space in v~: mwanamke asiyependwa aolewapo,

PRO 30:23 Removed trailing space in p~: naye mtumishi wa kike achukuapo nafasi ya bibi yake.

PRO 30:24 Removed trailing space in v~: “Vitu vinne duniani vilivyo vidogo,

PRO 30:24 Removed trailing space in p~: lakini vina akili nyingi sana:

PRO 30:25 Removed trailing space in v~: Mchwa ni viumbe wenye nguvu ndogo,

PRO 30:25 Removed trailing space in p~: hata hivyo hujiwekea akiba ya chakula chao wakati wa kiangazi.

PRO 30:26 Removed trailing space in v~: Pelele ni viumbe vyenye uwezo mdogo

PRO 30:26 Removed trailing space in p~: hata hivyo hujitengenezea nyumba zao kwenye miamba.

PRO 30:27 Removed trailing space in v~: Nzige hawana mfalme,

PRO 30:27 Removed trailing space in p~: hata hivyo huenda pamoja vikosi vikosi.

PRO 30:28 Removed trailing space in v~: Mjusi anaweza kushikwa kwa mkono,

PRO 30:28 Removed trailing space in p~: hata hivyo huonekana katika majumba ya kifalme.

PRO 30:29 Removed trailing space in v~: “Viko vitu vitatu ambavyo vinapendeza katika mwendo wao,

PRO 30:29 Removed trailing space in p~: naam, vinne ambavyo hutembea kwa mwendo wa madaha:

PRO 30:30 Removed trailing space in v~: simba, mwenye nguvu miongoni mwa wanyama,

PRO 30:30 Removed trailing space in p~: asiyerudi nyuma kwa chochote;

PRO 30:31 Removed trailing space in v~: jogoo atembeaye kwa maringo, pia beberu,

PRO 30:31 Removed trailing space in p~: naye mfalme pamoja na jeshi lake lililomzunguka.

PRO 30:32 Removed trailing space in v~: “Ikiwa umefanya upumbavu na ukajitukuza mwenyewe,

PRO 30:32 Removed trailing space in p~: au kama umepanga mabaya,

PRO 30:32 Removed trailing space in p~: basi funika mdomo wako na mkono wako.

PRO 30:33 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama vile kusukasuka maziwa hutoa siagi,

PRO 30:33 Removed trailing space in p~: na pia kule kufinya pua hutoa damu,

PRO 30:33 Removed trailing space in p~: kadhalika kuchochea hasira hutokeza ugomvi.”

PRO 31:0 Extra space after chapter number

PRO 31:0 Removed trailing space in c: 31

PRO 31:0 Removed trailing space in s1: Misemo Ya Mfalme Lemueli

PRO 31:1 Removed trailing space in v~: Misemo ya Mfalme Lemueli, usia wa mama yake aliyomfundisha:

PRO 31:2 Removed trailing space in v~: “Ee mwanangu, ee mwana wa tumbo langu,

PRO 31:2 Removed trailing space in p~: ee mwana wa nadhiri zangu,\f + \fr 31:2 \ft Au: Ewe uliye jibu la maombi yangu.\f*

PRO 31:3 Removed trailing space in v~: Usitumie nguvu zako kwa wanawake,

PRO 31:3 Removed trailing space in p~: uhodari wako kwa wale wanaowaharibu wafalme.

PRO 31:4 Removed trailing space in v~: “Ee Lemueli, haifai wafalme,

PRO 31:4 Removed trailing space in p~: haifai wafalme kunywa mvinyo,

PRO 31:4 Removed trailing space in p~: haifai watawala kutamani sana kileo,

PRO 31:5 Removed trailing space in v~: wasije wakanywa na kusahau vile sheria inavyoamuru

PRO 31:5 Removed trailing space in p~: na kuwanyima haki zao wote walioonewa.

PRO 31:6 Removed trailing space in v~: Wape kileo wale wanaoangamia,

PRO 31:6 Removed trailing space in p~: mvinyo wale walio na uchungu,

PRO 31:7 Removed trailing space in v~: Wanywe na kusahau umaskini wao

PRO 31:7 Removed trailing space in p~: na wasikumbuke taabu yao tena.

PRO 31:8 Removed trailing space in v~: “Sema kwa ajili ya wale wasioweza kujisemea,

PRO 31:8 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya haki za wote walioachwa ukiwa.

PRO 31:9 Removed trailing space in v~: Sema na uamue kwa haki,

PRO 31:9 Removed trailing space in p~: tetea haki za maskini na wahitaji.”

PRO 31:9 Removed trailing space in s1: Maneno Ya Mwisho: Mke Mwenye Sifa Nzuri

PRO 31:10 Removed trailing space in v~: Mke mwenye sifa nzuri, ni nani awezaye kumpata?

PRO 31:10 Removed trailing space in p~: Yeye ni wa thamani sana kuliko marijani.\f + \fr 31:10 \ft \+rq Mithali 31:10-31\+rq* imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

PRO 31:11 Removed trailing space in v~: Mume wake anamwamini kikamilifu

PRO 31:11 Removed trailing space in p~: wala hakosi kitu chochote cha thamani.

PRO 31:12 Removed trailing space in v~: Humtendea mumewe mema, wala si mabaya,

PRO 31:12 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yake.

PRO 31:13 Removed trailing space in v~: Huchagua sufu na kitani

PRO 31:13 Removed trailing space in p~: naye hufanya kazi kwa mikono yenye bidii.

PRO 31:14 Removed trailing space in v~: Yeye ni kama meli za biashara

PRO 31:14 Removed trailing space in p~: akileta chakula chake kutoka mbali.

PRO 31:15 Removed trailing space in v~: Yeye huamka kungali bado giza

PRO 31:15 Removed trailing space in p~: huwapa jamaa yake chakula

PRO 31:15 Removed trailing space in p~: na mafungu kwa watumishi wake wa kike.

PRO 31:16 Removed trailing space in v~: Huangalia shamba na kulinunua,

PRO 31:16 Removed trailing space in p~: kutokana na mapato yake hupanda shamba la mizabibu.

PRO 31:17 Removed trailing space in v~: Hufanya kazi zake kwa nguvu,

PRO 31:17 Removed trailing space in p~: mikono yake ina nguvu kwa ajili ya kazi zake.

PRO 31:18 Removed trailing space in v~: Huona kwamba biashara yake ina faida,

PRO 31:18 Removed trailing space in p~: wala taa yake haizimiki usiku.

PRO 31:19 Removed trailing space in v~: Huweka mikono yake kwenye pia,

PRO 31:19 Removed trailing space in p~: navyo vidole vyake hushikilia kijiti chenye uzi.

PRO 31:20 Removed trailing space in v~: Huwanyooshea maskini mikono yake

PRO 31:20 Removed trailing space in p~: na kuwakunjulia wahitaji vitanga vyake.

PRO 31:21 Removed trailing space in v~: Theluji ishukapo, hana hofu kwa ajili ya watu wa nyumbani mwake,

PRO 31:21 Removed trailing space in p~: kwa maana wote wamevikwa nguo za kutia joto.

PRO 31:22 Removed trailing space in v~: Hutengeneza mazulia ya urembo ya kufunika kitanda chake,

PRO 31:22 Removed trailing space in p~: yeye huvaa kitani safi na urujuani.

PRO 31:23 Removed trailing space in v~: Mume wake anaheshimiwa kwenye lango la mji,

PRO 31:23 Removed trailing space in p~: aketipo miongoni mwa wazee wa nchi.

PRO 31:24 Removed trailing space in v~: Hutengeneza mavazi ya kitani na kuyauza,

PRO 31:24 Removed trailing space in p~: naye huwauzia wafanyabiashara mishipi.

PRO 31:25 Removed trailing space in v~: Amevikwa nguvu na heshima,

PRO 31:25 Removed trailing space in p~: anaweza kucheka bila kuwa na hofu kwa siku zijazo.

PRO 31:26 Removed trailing space in v~: Huzungumza kwa hekima

PRO 31:26 Removed trailing space in p~: na mafundisho ya kuaminika yapo ulimini mwake.

PRO 31:27 Removed trailing space in v~: Huangalia mambo ya nyumbani mwake

PRO 31:27 Removed trailing space in p~: wala hali chakula cha uvivu.

PRO 31:28 Removed trailing space in v~: Watoto wake huamka na kumwita aliyebarikiwa,

PRO 31:28 Removed trailing space in p~: mumewe pia humsifu, akisema:

PRO 31:29 Removed trailing space in v~: “Wanawake wengi hufanya vitu vyenye sifa nzuri,

PRO 31:29 Removed trailing space in p~: lakini wewe umewapita wote.”

PRO 31:30 Removed trailing space in v~: Kujipamba ili kuvutia ni udanganyifu na uzuri unapita upesi,

PRO 31:30 Removed trailing space in p~: bali mwanamke anayemcha \nd Bwana\nd* atasifiwa.

PRO 31:31 Removed trailing space in v~: Mpe thawabu anayostahili,

PRO 31:31 Removed trailing space in p~: nazo kazi zake na zimletee sifa kwenye lango la mji.

ECC -1:0 Removed trailing space in id: ECC - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

ECC -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

ECC -1:2 Removed trailing space in h: Mhubiri

ECC -1:3 Removed trailing space in toc1: Mhubiri

ECC -1:4 Removed trailing space in toc2: Mhubiri

ECC -1:5 Removed trailing space in toc3: Mhu

ECC -1:6 Removed trailing space in mt1: Mhubiri

ECC 1:0 Extra space after chapter number

ECC 1:0 Removed trailing space in c: 1

ECC 1:0 Removed trailing space in s1: Kila Kitu Ni Ubatili Mtupu

ECC 1:1 Removed trailing space in v~: Maneno ya Mhubiri, mwana wa Daudi, mfalme huko Yerusalemu:

ECC 1:2 Removed trailing space in v~: “Ubatili mtupu! Ubatili mtupu!”

ECC 1:2 Removed trailing space in p~: Mhubiri anasema.

ECC 1:2 Removed trailing space in p~: “Ubatili mtupu!

ECC 1:2 Removed trailing space in p~: Kila kitu ni ubatili.”

ECC 1:3 Removed trailing space in v~: Mwanadamu anafaidi nini kutokana na kazi yake yote

ECC 1:3 Removed trailing space in p~: anayotaabikia chini ya jua?

ECC 1:4 Removed trailing space in v~: Vizazi huja na vizazi hupita,

ECC 1:4 Removed trailing space in p~: lakini dunia inadumu milele.

ECC 1:5 Removed trailing space in v~: Jua huchomoza na jua huzama,

ECC 1:5 Removed trailing space in p~: nalo huharakisha kurudi mawioni.

ECC 1:6 Removed trailing space in v~: Upepo huvuma kuelekea kusini

ECC 1:6 Removed trailing space in p~: na kugeukia kaskazini,

ECC 1:6 Removed trailing space in p~: hurudia mzunguko huo huo,

ECC 1:6 Removed trailing space in p~: daima ukirudia njia yake.

ECC 1:7 Removed trailing space in v~: Mito yote hutiririka baharini,

ECC 1:7 Removed trailing space in p~: hata hivyo bahari kamwe haijai.

ECC 1:7 Removed trailing space in p~: Mahali mito inapotoka,

ECC 1:7 Removed trailing space in p~: huko hurudi tena.

ECC 1:8 Removed trailing space in v~: Vitu vyote vinachosha,

ECC 1:8 Removed trailing space in p~: zaidi kuliko mtu anavyoweza kusema.

ECC 1:8 Removed trailing space in p~: Jicho kamwe halitosheki kutazama,

ECC 1:8 Removed trailing space in p~: wala sikio halishibi kusikia.

ECC 1:9 Removed trailing space in v~: Kile kilichokuwepo kitakuwepo tena,

ECC 1:9 Removed trailing space in p~: kile kilichofanyika kitafanyika tena,

ECC 1:9 Removed trailing space in p~: hakuna kilicho kipya chini ya jua.

ECC 1:10 Removed trailing space in v~: Kuna kitu chochote ambacho mtu anaweza kusema,

ECC 1:10 Removed trailing space in p~: “Tazama! Kitu hiki ni kipya”?

ECC 1:10 Removed trailing space in p~: Kilikuwepo tangu zamani za kale,

ECC 1:10 Removed trailing space in p~: kilikuwepo kabla ya wakati wetu.

ECC 1:11 Removed trailing space in v~: Hakuna kumbukumbu ya watu wa zamani,

ECC 1:11 Removed trailing space in p~: hata na wale ambao hawajaja bado

ECC 1:11 Removed trailing space in p~: hawatakumbukwa

ECC 1:11 Removed trailing space in p~: na wale watakaofuata baadaye.

ECC 1:11 Removed trailing space in s1: Hekima Ni Ubatili

ECC 1:12 Removed trailing space in v~: Mimi, Mhubiri, nilikuwa mfalme wa Israeli katika Yerusalemu.

ECC 1:13 Removed trailing space in v~: Nilitumia muda wangu wote kujifunza na kuvumbua kwa hekima yote yanayofanyika chini ya mbingu. Jinsi gani Mungu ameweka mzigo mzito juu ya wanadamu!

ECC 1:14 Removed trailing space in v~: Nimeshaona mambo yote yanayotendeka chini ya jua, hayo yote ni ubatili, hii ni kukimbiza upepo.

ECC 1:15 Removed trailing space in v~: Kilichopindika hakiwezi kunyooshwa,

ECC 1:15 Removed trailing space in p~: kile ambacho hakipo haiwezekani kukihesabu.

ECC 1:16 Removed trailing space in v~: Niliwaza mwenyewe, “Tazama, nimekua na kuongezeka katika hekima kuliko yeyote aliyewahi kutawala Yerusalemu kabla yangu. Nimekuwa na uzoefu mkubwa wa hekima na maarifa.”

ECC 1:17 Removed trailing space in v~: Ndipo nilipojitahidi kufahamu kutofautisha hekima, wazimu na upumbavu, lakini nikatambua hata hili nalo ni kukimbiza upepo.

ECC 1:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hekima nyingi huleta huzuni kubwa;

ECC 1:18 Removed trailing space in p~: maarifa yanapoongezeka, masikitiko yanaongezeka.

ECC 2:0 Extra space after chapter number

ECC 2:0 Removed trailing space in c: 2

ECC 2:0 Removed trailing space in s1: Anasa Ni Ubatili

ECC 2:1 Removed trailing space in v~: Nikafikiri moyoni mwangu, “Haya basi, nitakujaribu kwa anasa nione ni lipi lililo jema.” Lakini hilo nalo likaonekana ni ubatili.

ECC 2:2 Removed trailing space in v~: Nikasema, “Kicheko nacho ni upumbavu. Nayo matokeo ya anasa ni nini?”

ECC 2:3 Removed trailing space in v~: Nikajaribu kujifurahisha kwa mvinyo na kukumbatia upumbavu, huku bado akili yangu inaniongoza kwa hekima. Nilitaka kuona ni lipi bora watu wafanye kwa siku chache wanazoishi chini ya mbingu.

ECC 2:4 Removed trailing space in v~: Nikafanya miradi mikubwa: Nikajijengea majumba na kulima mashamba ya mizabibu.

ECC 2:5 Removed trailing space in v~: Nikatengeneza bustani na viwanja vya starehe nikaotesha huko kila aina ya miti ya matunda.

ECC 2:6 Removed trailing space in v~: Nikajenga mabwawa ya kukusanya maji ya kunyweshea hii miti iliyokuwa inastawi vizuri.

ECC 2:7 Removed trailing space in v~: Nikanunua watumwa wa kiume na wa kike na watumwa wengine walizaliwa nyumbani mwangu. Pia nilikuwa na makundi ya ngʼombe, kondoo na mbuzi kuliko mtu yeyote aliyewahi kuishi Yerusalemu kabla yangu.

ECC 2:8 Removed trailing space in v~: Nikajikusanyia fedha na dhahabu, hazina za wafalme na za majimbo. Nikajipatia waimbaji wanaume na wanawake, nazo nyumba za masuria: vitu ambavyo moyo wa mwanadamu hufurahia.

ECC 2:9 Removed trailing space in v~: Nikawa maarufu sana kuliko mtu mwingine yeyote aliyepata kuishi Yerusalemu kabla yangu. Katika haya yote bado nikawa nina hekima.

ECC 2:10 Removed trailing space in v~: Sikujinyima kitu chochote ambacho macho yangu yalikitamani,

ECC 2:10 Removed trailing space in p~: hakuna anasa ambayo niliunyima moyo wangu.

ECC 2:10 Removed trailing space in p~: Moyo wangu ulifurahia kazi zangu zote,

ECC 2:10 Removed trailing space in p~: hii ilikuwa thawabu ya kazi zangu zote.

ECC 2:11 Removed trailing space in v~: Hata hivyo nilipokuja kuangalia yote ambayo

ECC 2:11 Removed trailing space in p~: mikono yangu ilikuwa imefanya

ECC 2:11 Removed trailing space in p~: na yale niliyotaabika kukamilisha,

ECC 2:11 Removed trailing space in p~: kila kitu kilikuwa ni ubatili, ni kukimbiza upepo;

ECC 2:11 Removed trailing space in p~: hapakuwa na faida yoyote chini ya jua.

ECC 2:11 Removed trailing space in s1: Hekima Na Upumbavu Ni Ubatili

ECC 2:12 Removed trailing space in v~: Kisha nikageuza mawazo yangu kufikiria hekima,

ECC 2:12 Removed trailing space in p~: wazimu na upumbavu.

ECC 2:12 Removed trailing space in p~: Ni nini zaidi mtu anayetawala baada ya mfalme

ECC 2:12 Removed trailing space in p~: anachoweza kufanya ambacho hakijafanywa?

ECC 2:13 Removed trailing space in v~: Nikaona kuwa hekima ni bora kuliko upumbavu,

ECC 2:13 Removed trailing space in p~: kama vile nuru ilivyo bora kuliko giza.

ECC 2:14 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye hekima ana macho katika kichwa chake,

ECC 2:14 Removed trailing space in p~: lakini mpumbavu anatembea gizani;

ECC 2:14 Removed trailing space in p~: lakini nikaja kuona kwamba

ECC 2:14 Removed trailing space in p~: wote wawili hatima yao inafanana.

ECC 2:15 Removed trailing space in v~: Kisha nikafikiri moyoni mwangu,

ECC 2:15 Removed trailing space in p~: “Hatima ya mpumbavu itanipata mimi pia.

ECC 2:15 Removed trailing space in p~: Nitafaidi nini basi kwa kuwa na hekima?”

ECC 2:15 Removed trailing space in p~: Nikasema moyoni mwangu,

ECC 2:15 Removed trailing space in p~: “Hili nalo ni ubatili.”

ECC 2:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwa mtu mwenye hekima,

ECC 2:16 Removed trailing space in p~: kama ilivyo kwa mpumbavu,

ECC 2:16 Removed trailing space in p~: hatakumbukwa kwa muda mrefu,

ECC 2:16 Removed trailing space in p~: katika siku zijazo wote watasahaulika.

ECC 2:16 Removed trailing space in p~: Kama vile ilivyo kwa mpumbavu,

ECC 2:16 Removed trailing space in p~: mtu mwenye hekima pia lazima atakufa!

ECC 2:16 Removed trailing space in s1: Kutaabika Ni Ubatili

ECC 2:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikachukia maisha, kwa sababu kazi inayofanyika chini ya jua ilikuwa masikitiko kwangu. Yote hayo ni ubatili, ni kukimbiza upepo.

ECC 2:18 Removed trailing space in v~: Nikachukia kila kitu nilichokuwa nimetaabikia chini ya jua, kwa sababu ni lazima nimwachie yule ajaye baada yangu.

ECC 2:19 Removed trailing space in v~: Nani ajuaye kama atakuwa ni mtu mwenye hekima au mpumbavu? Lakini hata hivyo yeye ndiye atakayetawala kazi zote ambazo nimemiminia juhudi na ustadi chini ya jua. Hili nalo ni ubatili.

ECC 2:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo moyo wangu ukaanza kukata tamaa juu ya kazi yangu yote niliyoifanya kwa taabu chini ya jua.

ECC 2:21 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mtu anaweza kufanya kazi yake kwa hekima, maarifa na ustadi, kisha analazimika kuacha vyote alivyo navyo kwa mtu mwingine ambaye hajavifanyia kazi. Hili nalo pia ni ubatili tena ni balaa kubwa.

ECC 2:22 Removed trailing space in v~: Mtu atapata nini kwa taabu yote na kuhangaika kwa bidii katika kazi anayotaabikia chini ya jua?

ECC 2:23 Removed trailing space in v~: Siku zake zote kazi yake ni maumivu na masikitiko, hata usiku akili yake haipati mapumziko. Hili nalo pia ni ubatili.

ECC 2:24 Removed trailing space in v~: Hakuna kitu bora anachoweza kufanya mtu zaidi ya kula na kunywa na kuridhika katika kazi yake. Hili nalo pia, ninaona, latokana na mkono wa Mungu,

ECC 2:25 Removed trailing space in v~: kwa sababu pasipo yeye, ni nani awezaye kula na kufurahi?

ECC 2:26 Removed trailing space in v~: Kwa yule mtu anayempendeza Mungu, Mungu humpa hekima, maarifa na furaha, bali kwa mwenye dhambi Mungu humpa kazi ya kukusanya na kuhifadhi utajiri ili Mungu ampe yule anayempenda. Hili nalo pia ni ubatili, ni kukimbiza upepo.

ECC 3:0 Extra space after chapter number

ECC 3:0 Removed trailing space in c: 3

ECC 3:0 Removed trailing space in s1: Kila Jambo Lina Wakati Wake

ECC 3:1 Removed trailing space in v~: Kuna wakati kwa ajili ya kila jambo,

ECC 3:1 Removed trailing space in p~: nayo majira kwa kila tendo chini ya mbingu:

ECC 3:2 Removed trailing space in v~: wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa,

ECC 3:2 Removed trailing space in p~: wakati wa kupanda na wakati wa kungʼoa yaliyopandwa,

ECC 3:3 Removed trailing space in v~: wakati wa kuua na wakati wa kuponya,

ECC 3:3 Removed trailing space in p~: wakati wa kubomoa,

ECC 3:3 Removed trailing space in p~: na wakati wa kujenga,

ECC 3:4 Removed trailing space in v~: wakati wa kulia na wakati wa kucheka,

ECC 3:4 Removed trailing space in p~: wakati wa kuomboleza na wakati wa kucheza,

ECC 3:5 Removed trailing space in v~: wakati wa kutawanya mawe na wakati wa kukusanya mawe,

ECC 3:5 Removed trailing space in p~: wakati wa kukumbatia na wakati wa kutokumbatia,

ECC 3:6 Removed trailing space in v~: wakati wa kutafuta na wakati wa kupoteza,

ECC 3:6 Removed trailing space in p~: wakati wa kuweka na wakati wa kutupa,

ECC 3:7 Removed trailing space in v~: wakati wa kurarua na wakati wa kushona,

ECC 3:7 Removed trailing space in p~: wakati wa kunyamaza na wakati wa kuzungumza,

ECC 3:8 Removed trailing space in v~: wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia,

ECC 3:8 Removed trailing space in p~: wakati wa vita na wakati wa amani.

ECC 3:9 Removed trailing space in v~: Mfanyakazi anapata faida gani kutokana na taabu yake?

ECC 3:10 Removed trailing space in v~: Nimeona mzigo Mungu alioweka juu ya wanadamu.

ECC 3:11 Removed trailing space in v~: Amefanya kila kitu kiwe kizuri kwa wakati wake. Pia ameiweka hiyo milele katika mioyo ya wanadamu, wala hawawezi kutambua kwa kina yale ambayo Mungu amefanya tangu mwanzo hadi mwisho.

ECC 3:12 Removed trailing space in v~: Ninajua kwamba hakuna kitu bora kwa wanadamu kuliko kuwa na furaha na kutenda mema wakati wanapoishi.

ECC 3:13 Removed trailing space in v~: Tena ni karama ya Mungu kila mtu apate kula na kunywa na kujiburudisha kwa mema katika kazi yake yote.

ECC 3:14 Removed trailing space in v~: Ninajua kwamba kila kitu anachokifanya Mungu kitadumu milele, hakuna kinachoweza kuongezwa au kupunguzwa. Mungu hufanya hivyo ili watu wamche yeye.

ECC 3:15 Removed trailing space in v~: Chochote kilichopo kilishakuwepo,

ECC 3:15 Removed trailing space in p~: na kitakachokuwepo kimekwishakuwepo kabla;

ECC 3:15 Removed trailing space in p~: naye Mungu huyaita yale yaliyopita yarudi tena.

ECC 3:16 Removed trailing space in v~: Pia nikaona kitu kingine tena chini ya jua:

ECC 3:16 Removed trailing space in p~: Mahali pa kutolea hukumu,

ECC 3:16 Removed trailing space in p~: uovu ulikuwepo,

ECC 3:16 Removed trailing space in p~: mahali pa kupatia haki,

ECC 3:16 Removed trailing space in p~: uovu ulikuwepo.

ECC 3:17 Removed trailing space in v~: Nikafikiri moyoni mwangu,

ECC 3:17 Removed trailing space in p~: “Mungu atawaleta hukumuni

ECC 3:17 Removed trailing space in p~: wote wawili wenye haki na waovu,

ECC 3:17 Removed trailing space in p~: kwa maana kutakuwako na wakati kwa ajili ya kila jambo,

ECC 3:17 Removed trailing space in p~: wakati kwa ajili ya kila tendo.”

ECC 3:18 Removed trailing space in v~: Pia nikafikiri, “Kuhusu wanadamu, Mungu huwajaribu ili wajione kwamba wao ni kama wanyama.

ECC 3:19 Removed trailing space in v~: Hatima ya mwanadamu ni kama ile ya wanyama; wote wana mwisho unaofanana: Jinsi anavyokufa mnyama, ndivyo anavyokufa mwanadamu. Wote wana pumzi inayofanana; mwanadamu hana cha zaidi kuliko mnyama. Kila kitu ni ubatili.

ECC 3:20 Removed trailing space in v~: Wote huenda mahali panapofanana; wote hutoka mavumbini, mavumbini wote hurudi.

ECC 3:21 Removed trailing space in v~: Ni nani ajuaye kama roho ya mtu huenda juu na roho ya mnyama hushuka chini ardhini?”

ECC 3:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikaona kwamba hakuna kitu kilicho bora zaidi kwa mwanadamu kuliko kuifurahia kazi yake, kwa sababu hilo ndilo fungu lake. Kwa maana ni nani awezaye kumrudisha ili aje kuona kile kitakachotendeka baada yake?

ECC 4:0 Extra space after chapter number

ECC 4:0 Removed trailing space in c: 4

ECC 4:0 Removed trailing space in s1: Uonevu, Taabu, Uadui

ECC 4:1 Removed trailing space in v~: Nikatazama tena nikaona uonevu wote uliokuwa unafanyika chini ya jua:

ECC 4:1 Removed trailing space in p~: Nikaona machozi ya walioonewa,

ECC 4:1 Removed trailing space in p~: wala hawana wa kuwafariji;

ECC 4:1 Removed trailing space in p~: uwezo ulikuwa upande wa wale wanaowaonea,

ECC 4:1 Removed trailing space in p~: wala hawana wa kuwafariji.

ECC 4:2 Removed trailing space in v~: Nami nikasema kwamba wafu,

ECC 4:2 Removed trailing space in p~: waliokwisha kufa,

ECC 4:2 Removed trailing space in p~: wana furaha kuliko watu walio hai,

ECC 4:2 Removed trailing space in p~: ambao bado wanaishi.

ECC 4:3 Removed trailing space in v~: Lakini aliye bora kuliko hao wawili

ECC 4:3 Removed trailing space in p~: ni yule ambaye hajazaliwa bado,

ECC 4:3 Removed trailing space in p~: ambaye hajaona ule uovu

ECC 4:3 Removed trailing space in p~: unaofanyika chini ya jua.

ECC 4:4 Removed trailing space in v~: Tena nikaona kuwa kazi zote na mafanikio yote huchipuka kutokana na wivu wa mtu kwa jirani yake. Hili nalo ni ubatili, ni kukimbiza upepo.

ECC 4:5 Removed trailing space in v~: Mpumbavu hukunja mikono yake

ECC 4:5 Removed trailing space in p~: na kujiangamiza mwenyewe.

ECC 4:6 Removed trailing space in v~: Afadhali konzi moja pamoja

ECC 4:6 Removed trailing space in p~: na utulivu kuliko konzi mbili pamoja na taabu

ECC 4:6 Removed trailing space in p~: na kukimbiza upepo.

ECC 4:7 Removed trailing space in v~: Tena nikaona kitu kingine kilicho ubatili chini ya jua:

ECC 4:8 Removed trailing space in v~: Kulikuwepo mwanadamu aliye peke yake,

ECC 4:8 Removed trailing space in p~: hakuwa na mwana wala ndugu.

ECC 4:8 Removed trailing space in p~: Hapakuwa na mwisho wa kazi yake,

ECC 4:8 Removed trailing space in p~: hata hivyo macho yake

ECC 4:8 Removed trailing space in p~: hayakutosheka na utajiri wake.

ECC 4:8 Removed trailing space in p~: Aliuliza, “Ninajitaabisha hivi kwa ajili ya nani,

ECC 4:8 Removed trailing space in p~: nami kwa nini ninajinyima kufurahia?”

ECC 4:8 Removed trailing space in p~: Hili pia ni ubatili,

ECC 4:8 Removed trailing space in p~: ni shughuli yenye taabu!

ECC 4:9 Removed trailing space in v~: Wawili ni afadhali kuliko mmoja,

ECC 4:9 Removed trailing space in p~: kwa sababu wana malipo mazuri kwa kazi yao:

ECC 4:10 Removed trailing space in v~: Kama mmoja akianguka,

ECC 4:10 Removed trailing space in p~: mwenzake atamwinua.

ECC 4:10 Removed trailing space in p~: Lakini ni jambo la kuhuzunisha

ECC 4:10 Removed trailing space in p~: kwa mtu yule aangukaye

ECC 4:10 Removed trailing space in p~: naye hana wa kumwinua!

ECC 4:11 Removed trailing space in v~: Pia, kama wawili wakilala pamoja

ECC 4:11 Removed trailing space in p~: watapashana joto.

ECC 4:11 Removed trailing space in p~: Lakini ni vipi mtu aweza

ECC 4:11 Removed trailing space in p~: kujipasha joto mwenyewe?

ECC 4:12 Removed trailing space in v~: Ingawa mtu mmoja aweza kushindwa,

ECC 4:12 Removed trailing space in p~: watu wawili wanaweza

ECC 4:12 Removed trailing space in p~: kumkabili adui na kumshinda.

ECC 4:12 Removed trailing space in p~: Kamba ya nyuzi tatu

ECC 4:12 Removed trailing space in p~: haikatiki kwa urahisi.

ECC 4:12 Removed trailing space in s1: Maendeleo Ni Ubatili

ECC 4:13 Removed trailing space in v~: Afadhali kijana maskini mwenye hekima kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo.

ECC 4:14 Removed trailing space in v~: Kijana huyo angeweza kutokea gerezani akapata ufalme, au angeweza kuwa amezaliwa katika umaskini kwenye huo ufalme.

ECC 4:15 Removed trailing space in v~: Nikaona kwamba wote walioishi na kutembea chini ya jua walimfuata kijana, aliyepokea ufalme.

ECC 4:16 Removed trailing space in v~: Hapakuwa na kikomo cha watu wote aliowatawala. Lakini wale waliokuja baadaye hawakufurahia kazi ya yule aliyepokea ufalme. Hili nalo pia ni ubatili, ni kukimbiza upepo.

ECC 5:0 Extra space after chapter number

ECC 5:0 Removed trailing space in c: 5

ECC 5:0 Removed trailing space in s1: Simama Katika Kicho Cha Mungu

ECC 5:1 Removed trailing space in v~: Linda hatua zako uendapo katika nyumba ya Mungu. Karibia usikilize kuliko kutoa dhabihu ya wapumbavu, ambao hawajui kuwa wanafanya kosa.

ECC 5:2 Removed trailing space in v~: Usiwe mwepesi kuzungumza,

ECC 5:2 Removed trailing space in p~: usiwe na haraka katika moyo wako

ECC 5:2 Removed trailing space in p~: kuzungumza lolote mbele za Mungu.

ECC 5:2 Removed trailing space in p~: Mungu yuko mbinguni

ECC 5:2 Removed trailing space in p~: nawe uko duniani,

ECC 5:2 Removed trailing space in p~: kwa hiyo maneno yako

ECC 5:2 Removed trailing space in p~: na yawe machache.

ECC 5:3 Removed trailing space in v~: Kama vile ndoto huja

ECC 5:3 Removed trailing space in p~: wakati kuna shughuli nyingi,

ECC 5:3 Removed trailing space in p~: ndivyo yalivyo mazungumzo ya mpumbavu

ECC 5:3 Removed trailing space in p~: wakati kuna maneno mengi.

ECC 5:4 Removed trailing space in v~: Wakati unapomwekea Mungu nadhiri, usikawie kuitimiza. Yeye hafurahii wapumbavu; timiza nadhiri yako.

ECC 5:5 Removed trailing space in v~: Ni afadhali usiweke nadhiri kuliko kuiweka na usiitimize.

ECC 5:6 Removed trailing space in v~: Usiruhusu kinywa chako kukuingiza dhambini. Tena usijitetee mbele ya huyo mjumbe wa hekaluni, ukisema, “Niliweka nadhiri kwa makosa.” Kwa nini Mungu akasirike kwa ajili ya yale unayosema na kuiharibu kazi ya mikono yako?

ECC 5:7 Removed trailing space in v~: Kuota ndoto kwingi na maneno mengi ni ubatili. Kwa hiyo simama katika kicho cha Mungu.

ECC 5:7 Removed trailing space in s1: Utajiri Ni Ubatili

ECC 5:8 Removed trailing space in v~: Kama ukiona maskini wanaonewa katika nchi, hukumu na haki vikipotoshwa, usishangazwe na mambo hayo, kwa maana afisa mmoja anaangaliwa na aliye juu yake zaidi na juu ya hao wawili kuna wengine walio juu zaidi yao.

ECC 5:9 Removed trailing space in v~: Mafanikio ya nchi ni kwa ajili ya wote, hata mfalme mwenyewe hufaidi kutoka mashambani.

ECC 5:10 Removed trailing space in v~: Yeyote apendaye fedha kamwe

ECC 5:10 Removed trailing space in p~: hatosheki na fedha;

ECC 5:10 Removed trailing space in p~: yeyote apendaye utajiri kamwe

ECC 5:10 Removed trailing space in p~: hatosheki na kipato chake.

ECC 5:10 Removed trailing space in p~: Hili nalo pia ni ubatili.

ECC 5:11 Removed trailing space in v~: Mali ikiongezeka, ndivyo walaji

ECC 5:11 Removed trailing space in p~: wanavyoongezeka.

ECC 5:11 Removed trailing space in p~: Hii nayo inamfaidia nini mwenye mali

ECC 5:11 Removed trailing space in p~: isipokuwa ni kushibisha macho yake?

ECC 5:12 Removed trailing space in v~: Usingizi wa kibarua ni mtamu,

ECC 5:12 Removed trailing space in p~: awe amekula kidogo au kingi,

ECC 5:12 Removed trailing space in p~: lakini wingi wa mali

ECC 5:12 Removed trailing space in p~: humnyima tajiri usingizi.

ECC 5:13 Removed trailing space in v~: Nimeshaona uovu mzito chini ya jua:

ECC 5:13 Removed trailing space in p~: Utajiri uliolimbikizwa kwa kujinyima

ECC 5:13 Removed trailing space in p~: na kuleta madhara kwa mwenye mali,

ECC 5:14 Removed trailing space in v~: au utajiri uliopotea kwa bahati mbaya,

ECC 5:14 Removed trailing space in p~: hivyo kwamba wakati akiwa na mwana

ECC 5:14 Removed trailing space in p~: hakuna chochote kilichobaki kwa ajili yake.

ECC 5:15 Removed trailing space in v~: Mtu hutoka tumboni mwa mama yake uchi,

ECC 5:15 Removed trailing space in p~: naye jinsi alivyokuja vivyo hivyo huondoka.

ECC 5:15 Removed trailing space in p~: Hachukui chochote kutokana na kazi yake

ECC 5:15 Removed trailing space in p~: ambacho anaweza kukibeba mkononi mwake.

ECC 5:16 Removed trailing space in v~: Hili nalo ni baya la kusikitisha:

ECC 5:16 Removed trailing space in p~: Kama vile mtu ajavyo, vivyo hivyo huondoka,

ECC 5:16 Removed trailing space in p~: naye anapata faida gani,

ECC 5:16 Removed trailing space in p~: maadamu hutaabika kwa ajili ya upepo?

ECC 5:17 Removed trailing space in v~: Siku zake zote hula gizani,

ECC 5:17 Removed trailing space in p~: pamoja na fadhaa kubwa,

ECC 5:17 Removed trailing space in p~: mateso na hasira.

ECC 5:18 Removed trailing space in v~: Ndipo nikatambua kwamba ni vyema na sahihi kwa mtu kula na kunywa na kutosheka katika kazi yake ngumu chini ya jua katika siku chache za maisha yake Mungu alizompa, kwa maana hili ndilo fungu lake.

ECC 5:19 Removed trailing space in v~: Zaidi ya yote, Mungu anapompa mtu yeyote utajiri na milki, humwezesha kuvifurahia, kukubali fungu lake na kuwa na furaha katika kazi yake, hii ni karama ya Mungu.

ECC 5:20 Removed trailing space in v~: Mara chache mtu huzifikiri siku za maisha yake, kwa sababu Mungu humfanya ashikwe na furaha ya moyoni.

ECC 6:0 Extra space after chapter number

ECC 6:0 Removed trailing space in c: 6

ECC 6:1 Removed trailing space in v~: Nimeona ubaya mwingine chini ya jua, nao unalemea sana wanadamu:

ECC 6:2 Removed trailing space in v~: Mungu humpa mwanadamu utajiri, mali na heshima, hivyo hakukosa chochote moyo wake unachokitamani. Lakini Mungu hamwezeshi kuvifurahia, badala yake mgeni ndiye anayevifurahia. Hili ni ubatili, ni ubaya unaosikitisha.

ECC 6:3 Removed trailing space in v~: Mtu anaweza kuwa na watoto mia moja naye akaishi miaka mingi, lakini haidhuru kuwa ataishi muda mrefu kiasi gani, kama hawezi kufurahia mafanikio yake na kwamba hapati mazishi ya heshima, ninasema afadhali mtoto aliyezaliwa akiwa amekufa kuliko yeye.

ECC 6:4 Removed trailing space in v~: Kuzaliwa kwake hakuna maana, huondokea gizani na gizani jina lake hufunikwa.

ECC 6:5 Removed trailing space in v~: Ingawa hakuwahi kuliona jua wala kujua kitu chochote, yeye ana pumziko zaidi kuliko mtu huyo,

ECC 6:6 Removed trailing space in v~: Hata kama huyo mtu ataishi miaka elfu mara mbili na zaidi, lakini akashindwa kufurahia mafanikio yake, je, wote hawaendi sehemu moja?

ECC 6:7 Removed trailing space in v~: Juhudi zote za binadamu ni kwa ajili ya kinywa chake,

ECC 6:7 Removed trailing space in p~: hata hivyo hamu yake kamwe haitoshelezwi.

ECC 6:8 Removed trailing space in v~: Mtu mwenye hekima ana faida gani

ECC 6:8 Removed trailing space in p~: zaidi ya mpumbavu?

ECC 6:8 Removed trailing space in p~: Mtu maskini anapata faida gani

ECC 6:8 Removed trailing space in p~: kwa kujua jinsi ya kujistahi

ECC 6:8 Removed trailing space in p~: mbele ya watu wengine?

ECC 6:9 Removed trailing space in v~: Ni bora kile ambacho jicho linakiona

ECC 6:9 Removed trailing space in p~: kuliko hamu isiyotoshelezwa.

ECC 6:9 Removed trailing space in p~: Hili nalo ni ubatili,

ECC 6:9 Removed trailing space in p~: ni kukimbiza upepo.

ECC 6:10 Removed trailing space in v~: Lolote lililopo limekwisha kupewa jina,

ECC 6:10 Removed trailing space in p~: naye mwanadamu alivyo ameshajulikana;

ECC 6:10 Removed trailing space in p~: hakuna mtu awezaye kushindana

ECC 6:10 Removed trailing space in p~: na mwenye nguvu kuliko yeye.

ECC 6:11 Removed trailing space in v~: Maneno yanavyokuwa mengi,

ECC 6:11 Removed trailing space in p~: ndivyo yanavyokosa maana,

ECC 6:11 Removed trailing space in p~: Je, hilo linamfaidia vipi yeyote?

ECC 6:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni nani anayejua lililo jema kwa ajili ya maisha ya mwanadamu, katika siku chache na za ubatili anazopita kama kivuli? Ni nani awezaye kumwambia yatakayotokea chini ya jua baada ya yeye kuondoka?

ECC 7:0 Extra space after chapter number

ECC 7:0 Removed trailing space in c: 7

ECC 7:0 Removed trailing space in s1: Hekima

ECC 7:1 Removed trailing space in v~: Afadhali sifa nzuri kuliko manukato safi,

ECC 7:1 Removed trailing space in p~: nayo siku ya kufa kuliko ya kuzaliwa.

ECC 7:2 Removed trailing space in v~: Afadhali kwenda kwenye nyumba ya msiba

ECC 7:2 Removed trailing space in p~: kuliko kwenda kwenye nyumba ya karamu,

ECC 7:2 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kifo ni hatima ya kila mwanadamu,

ECC 7:2 Removed trailing space in p~: imewapasa walio hai kuliweka hili mioyoni mwao.

ECC 7:3 Removed trailing space in v~: Huzuni ni afadhali kuliko kicheko,

ECC 7:3 Removed trailing space in p~: kwa sababu uso wenye huzuni wafaa kwa moyo.

ECC 7:4 Removed trailing space in v~: Moyo wa wenye hekima uko katika nyumba ya msiba,

ECC 7:4 Removed trailing space in p~: lakini moyo wa wapumbavu uko katika nyumba ya anasa.

ECC 7:5 Removed trailing space in v~: Afadhali kusikia karipio la mtu mwenye hekima,

ECC 7:5 Removed trailing space in p~: kuliko kusikiliza wimbo wa wapumbavu.

ECC 7:6 Removed trailing space in v~: Kama ilivyo kuvunjika kwa miiba chini ya sufuria,

ECC 7:6 Removed trailing space in p~: ndivyo kilivyo kicheko cha wapumbavu.

ECC 7:6 Removed trailing space in p~: Hili nalo pia ni ubatili.

ECC 7:7 Removed trailing space in v~: Dhuluma humfanya mtu mwenye hekima kuwa mpumbavu,

ECC 7:7 Removed trailing space in p~: nayo rushwa huuharibu moyo.

ECC 7:8 Removed trailing space in v~: Mwisho wa jambo ni bora kuliko mwanzo wake,

ECC 7:8 Removed trailing space in p~: uvumilivu ni bora kuliko kiburi.

ECC 7:9 Removed trailing space in v~: Usiwe mwepesi kukasirika rohoni mwako,

ECC 7:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hasira hukaa kifuani mwa wapumbavu.

ECC 7:10 Removed trailing space in v~: Usiseme, “Kwa nini siku za kale zilikuwa bora kuliko siku hizi?”

ECC 7:10 Removed trailing space in p~: Kwa maana si hekima kuuliza maswali kama hayo.

ECC 7:11 Removed trailing space in v~: Hekima, kama ulivyo urithi, ni kitu chema

ECC 7:11 Removed trailing space in p~: na huwafaidia wale walionalo jua.

ECC 7:12 Removed trailing space in v~: Hekima ni ulinzi kama fedha ilivyo ulinzi,

ECC 7:12 Removed trailing space in p~: lakini faida ya maarifa ni hii:

ECC 7:12 Removed trailing space in p~: kwamba hekima huhifadhi maisha ya aliye nayo.

ECC 7:13 Removed trailing space in v~: Tafakari kile Mungu alichokitenda:

ECC 7:13 Removed trailing space in p~: Nani awezaye kunyoosha

ECC 7:13 Removed trailing space in p~: kile ambacho yeye amekipinda?

ECC 7:14 Removed trailing space in v~: Nyakati zikiwa nzuri, ufurahi,

ECC 7:14 Removed trailing space in p~: lakini nyakati zikiwa mbaya, tafakari:

ECC 7:14 Removed trailing space in p~: Mungu amefanya hiyo moja,

ECC 7:14 Removed trailing space in p~: naam, sanjari\f + \fr 7:14 \ft Sanjari hapa maana yake mwandamano wa vitu, wanyama au watu.\f* na hiyo nyingine.

ECC 7:14 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo, mwanadamu hawezi kugundua

ECC 7:14 Removed trailing space in p~: kitu chochote kuhusu maisha yake ya baadaye.

ECC 7:15 Removed trailing space in v~: Katika maisha haya yangu ya ubatili nimeshaona haya mawili:

ECC 7:15 Removed trailing space in p~: mtu mwadilifu akiangamia katika uadilifu wake,

ECC 7:15 Removed trailing space in p~: naye mtu mwovu akiishi maisha marefu katika uovu wake.

ECC 7:16 Removed trailing space in v~: Usiwe mwenye haki kupita kiasi,

ECC 7:16 Removed trailing space in p~: wala usiwe na hekima kupita kiasi:

ECC 7:16 Removed trailing space in p~: kwa nini kujiangamiza mwenyewe?

ECC 7:17 Removed trailing space in v~: Usiwe mwovu kupita kiasi,

ECC 7:17 Removed trailing space in p~: wala usiwe mpumbavu:

ECC 7:17 Removed trailing space in p~: kwa nini kufa kabla ya wakati wako?

ECC 7:18 Removed trailing space in v~: Ni vyema kushika hilo moja

ECC 7:18 Removed trailing space in p~: na wala usiache hilo jingine likupite.

ECC 7:18 Removed trailing space in p~: Mtu amchaye Mungu ataepuka huko kupita kiasi.\f + \fr 7:18 \ft Au: atafuata hayo yote mawili.\f*

ECC 7:19 Removed trailing space in v~: Hekima humfanya yeye aliye nayo kuwa na uwezo zaidi

ECC 7:19 Removed trailing space in p~: kuliko watawala kumi katika mji.

ECC 7:20 Removed trailing space in v~: Hakuna mtu mwenye haki duniani

ECC 7:20 Removed trailing space in p~: ambaye hufanya mambo ya haki

ECC 7:20 Removed trailing space in p~: na kamwe asitende dhambi.

ECC 7:21 Removed trailing space in v~: Usitie maanani kila neno linalosemwa na watu,

ECC 7:21 Removed trailing space in p~: la sivyo, waweza kumsikia

ECC 7:21 Removed trailing space in p~: mtumishi wako akikulaani:

ECC 7:22 Removed trailing space in v~: kwa kuwa unafahamu moyoni mwako

ECC 7:22 Removed trailing space in p~: kwamba wewe mwenyewe mara nyingi

ECC 7:22 Removed trailing space in p~: umewalaani wengine.

ECC 7:23 Removed trailing space in v~: Yote haya niliyajaribu kwa hekima, nikasema,

ECC 7:23 Removed trailing space in p~: “Nimeamua kuwa na hekima”:

ECC 7:23 Removed trailing space in p~: lakini hii ilikuwa nje ya uwezo wangu.

ECC 7:24 Removed trailing space in v~: Vyovyote hekima ilivyo,

ECC 7:24 Removed trailing space in p~: hekima iko mbali sana na imejificha,

ECC 7:24 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kuigundua?

ECC 7:25 Removed trailing space in v~: Nikageuza fikira zangu ili kuelewa,

ECC 7:25 Removed trailing space in p~: kuchunguza na kuitafuta hekima

ECC 7:25 Removed trailing space in p~: na kusudi la mambo,

ECC 7:25 Removed trailing space in p~: na ili kuelewa ujinga wa uovu,

ECC 7:25 Removed trailing space in p~: na wazimu wa upumbavu.

ECC 7:26 Removed trailing space in v~: Nimeona jambo lililo chungu kuliko mauti,

ECC 7:26 Removed trailing space in p~: mwanamke ambaye ni mtego,

ECC 7:26 Removed trailing space in p~: ambaye moyo wake ni wavu wa kutegea

ECC 7:26 Removed trailing space in p~: na mikono yake ni minyororo.

ECC 7:26 Removed trailing space in p~: Mtu ampendezaye Mungu atamkwepa,

ECC 7:26 Removed trailing space in p~: bali mwenye dhambi atanaswa naye.

ECC 7:27 Removed trailing space in v~: Mhubiri anasema, “Tazama, hili ndilo nililogundua:

ECC 7:27 Removed trailing space in p~: “Nimegundua kitu kimoja baada ya kingine nilipokuwa katika kusudi la mambo:

ECC 7:28 Removed trailing space in v~: ningali natafiti

ECC 7:28 Removed trailing space in p~: lakini sipati:

ECC 7:28 Removed trailing space in p~: nilimpata mwanaume mmoja mnyofu miongoni mwa elfu,

ECC 7:28 Removed trailing space in p~: lakini hakuna mwanamke mmoja mnyofu miongoni mwao.

ECC 7:29 Removed trailing space in v~: Hili ndilo peke yake nililolipata:

ECC 7:29 Removed trailing space in p~: Mungu amemuumba mwanadamu mnyofu,

ECC 7:29 Removed trailing space in p~: lakini mwanadamu amebuni mambo mengi.”

ECC 8:0 Extra space after chapter number

ECC 8:0 Removed trailing space in c: 8

ECC 8:1 Removed trailing space in v~: Ni nani aliye kama mtu mwenye hekima?

ECC 8:1 Removed trailing space in p~: Ni nani ajuaye maelezo ya mambo?

ECC 8:1 Removed trailing space in p~: Hekima hungʼarisha uso wa mtu na kubadili ugumu wa uso wake.

ECC 8:1 Removed trailing space in s1: Mtii Mfalme

ECC 8:2 Removed trailing space in v~: Nawaambia, Tii amri ya mfalme, kwa sababu uliapa mbele za Mungu.

ECC 8:3 Removed trailing space in v~: Usiharakishe kuondoka mbele ya mfalme. Usiendelee kutenda lililo baya, kwa maana mfalme atafanya lolote apendalo.

ECC 8:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa neno la mfalme ndilo lenye mamlaka ya mwisho, nani awezaye kumwambia, “Je, wewe unafanya nini?”

ECC 8:5 Removed trailing space in v~: Yeyote anayetii agizo lake hatadhurika,

ECC 8:5 Removed trailing space in p~: moyo wa hekima utajua wakati muafaka

ECC 8:5 Removed trailing space in p~: na jinsi ya kutenda.

ECC 8:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana kuna wakati muafaka

ECC 8:6 Removed trailing space in p~: na utaratibu wa kila jambo,

ECC 8:6 Removed trailing space in p~: ingawa huzuni ya mwanadamu

ECC 8:6 Removed trailing space in p~: huwa nzito juu yake.

ECC 8:7 Removed trailing space in v~: Kwa vile hakuna mtu ajuaye siku zijazo,

ECC 8:7 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kumwambia linalokuja?

ECC 8:8 Removed trailing space in v~: Hakuna mwanadamu

ECC 8:8 Removed trailing space in p~: awezaye kushikilia roho yake asife,

ECC 8:8 Removed trailing space in p~: wala hakuna mwenye uwezo

ECC 8:8 Removed trailing space in p~: juu ya siku ya kufa kwake.

ECC 8:8 Removed trailing space in p~: Kama vile hakuna yeyote arudishwaye nyuma wakati wa vita,

ECC 8:8 Removed trailing space in p~: kadhalika uovu hautawaweka huru wale wautendao.

ECC 8:9 Removed trailing space in v~: Yote haya niliyaona, nilipokuwa natafakari kila kitu kinachotendeka chini ya jua. Kuna wakati ambapo mtu hujifanya bwana juu ya wengine kwa madhara yake mwenyewe.

ECC 8:10 Removed trailing space in v~: Ndipo pia, nikaona waovu wakizikwa, wale ambao walizoea kuingia na kutoka mahali patakatifu na kupewa sifa katika mji ambapo walikuwa wamefanya haya. Hili nalo ni ubatili.

ECC 8:11 Removed trailing space in v~: Wakati hukumu juu ya tendo ovu haitekelezwi upesi, mioyo ya watu hujaa mipango ya kutenda maovu.

ECC 8:12 Removed trailing space in v~: Ingawa mtu mwovu hufanya maovu mia moja na akaendelea kuishi maisha marefu, najua kwamba itakuwa bora zaidi kwa watu wanaomwogopa Mungu, wamchao Mungu.

ECC 8:13 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu waovu hawamwogopi Mungu, hawatafanikiwa, maisha yao hayatarefuka kama kivuli.

ECC 8:14 Removed trailing space in v~: Kuna kitu kingine ambacho ni ubatili kinachotokea duniani: Watu waadilifu kupata yale yanayowastahili waovu, nao waovu kupata yale yanayowastahili waadilifu. Hili nalo pia, nasema ni ubatili.

ECC 8:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mimi ninasifu kufurahia maisha, kwa sababu hakuna kitu bora zaidi kwa mwanadamu chini ya jua kuliko kula, kunywa na kufurahi. Kisha furaha itafuatana naye kazini mwake siku zote za maisha yake ambazo amepewa na Mungu chini ya jua.

ECC 8:16 Removed trailing space in v~: Nilipotafakari akilini mwangu ili nijue hekima na kuangalia kazi ya mwanadamu duniani, jinsi ambavyo macho yake hayapati usingizi mchana wala usiku,

ECC 8:17 Removed trailing space in v~: ndipo nikaona yale yote ambayo Mungu ameyafanya. Hakuna yeyote awezaye kuelewa yale yanayotendeka chini ya jua. Licha ya juhudi zake zote za kutafuta, mtu hawezi kugundua maana yake. Hata ingawa mtu mwenye hekima anadai kuwa anafahamu, kwa hakika hawezi kutambua.

ECC 9:0 Extra space after chapter number

ECC 9:0 Removed trailing space in c: 9

ECC 9:0 Removed trailing space in s1: Hatima Ya Wote

ECC 9:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo niliyatafakari yote haya nikafikia uamuzi kwamba waadilifu na wenye hekima na yale wanayoyafanya yako mikononi mwa Mungu, lakini hakuna mtu ajuaye kama anangojewa na upendo au chuki.

ECC 9:2 Removed trailing space in v~: Wote wanayo hatima inayofanana, mwadilifu na mwovu, mwema na mbaya, aliye safi na aliye najisi, wale wanaotoa dhabihu na wale wasiotoa.

ECC 9:2 Removed trailing space in p~: Kama ilivyo kwa mtu mwema,

ECC 9:2 Removed trailing space in p~: ndivyo ilivyo kwa mtu mwenye dhambi;

ECC 9:2 Removed trailing space in p~: kama ilivyo kwa wale wanaoapa,

ECC 9:2 Removed trailing space in p~: ndivyo ilivyo kwa wale wasioapa.

ECC 9:3 Removed trailing space in v~: Huu ni ubaya ulio katika kila kitu kinachotendeka chini ya jua: Mwisho unaofanana huwapata wote. Zaidi ya hayo, mioyo ya watu, imejaa ubaya na kuna wazimu mioyoni mwao wangali hai, hatimaye huungana na waliokufa.

ECC 9:4 Removed trailing space in v~: Yeyote aliye miongoni mwa walio hai analo tumaini, hata mbwa hai ni bora kuliko simba aliyekufa!

ECC 9:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana walio hai wanajua kwamba watakufa,

ECC 9:5 Removed trailing space in p~: lakini wafu hawajui chochote,

ECC 9:5 Removed trailing space in p~: hawana tuzo zaidi,

ECC 9:5 Removed trailing space in p~: hata kumbukumbu yao imesahaulika.

ECC 9:6 Removed trailing space in v~: Upendo wao, chuki yao na wivu wao

ECC 9:6 Removed trailing space in p~: vimetoweka tangu kitambo,

ECC 9:6 Removed trailing space in p~: kamwe hawatakuwa tena na sehemu

ECC 9:6 Removed trailing space in p~: katika lolote linalotendeka chini ya jua.

ECC 9:7 Removed trailing space in v~: Nenda, kula chakula chako kwa furaha, unywe divai yako kwa moyo wa shangwe, kwa maana sasa Mungu anakubali unachofanya.

ECC 9:8 Removed trailing space in v~: Daima uvae nguo nyeupe na daima upake kichwa chako mafuta.

ECC 9:9 Removed trailing space in v~: Furahia maisha na mke wako, umpendaye, siku zote za maisha ya ubatili uliyopewa na Mungu chini ya jua, siku zote za ubatili. Kwa maana hili ndilo fungu lako katika maisha na katika kazi yako ya taabu chini ya jua.

ECC 9:10 Removed trailing space in v~: Lolote mkono wako upatalo kufanya, fanya kwa nguvu zako zote, kwa kuwa huko kuzimu, unakokwenda, hakuna kufanya kazi wala mipango wala maarifa wala hekima.

ECC 9:11 Removed trailing space in v~: Nimeona kitu kingine tena chini ya jua:

ECC 9:11 Removed trailing space in p~: Si wenye mbio washindao mashindano

ECC 9:11 Removed trailing space in p~: au wenye nguvu washindao vita,

ECC 9:11 Removed trailing space in p~: wala si wenye hekima wapatao chakula

ECC 9:11 Removed trailing space in p~: au wenye akili nyingi wapatao mali,

ECC 9:11 Removed trailing space in p~: wala wenye elimu wapatao upendeleo,

ECC 9:11 Removed trailing space in p~: lakini fursa huwapata wote.

ECC 9:12 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, hakuna mwanadamu ajuaye wakati saa yake itakapokuja:

ECC 9:12 Removed trailing space in p~: Kama vile samaki wavuliwavyo katika wavu mkatili,

ECC 9:12 Removed trailing space in p~: au ndege wanaswavyo kwenye mtego,

ECC 9:12 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo wanadamu hunaswa na nyakati mbaya

ECC 9:12 Removed trailing space in p~: zinazowaangukia bila kutazamia.

ECC 9:12 Removed trailing space in s1: Hekima Ni Bora Kuliko Upumbavu

ECC 9:13 Removed trailing space in v~: Pia niliona chini ya jua mfano huu wa hekima ambao ulinivutia sana:

ECC 9:14 Removed trailing space in v~: Palikuwa na mji mdogo uliokuwa na watu wachache ndani yake. Mfalme mwenye nguvu akainuka dhidi yake, akauzunguka akaweka jeshi kubwa dhidi yake.

ECC 9:15 Removed trailing space in v~: Katika mji huo kulikuwepo mtu mmoja maskini lakini mwenye hekima, naye akauokoa ule mji kwa hekima yake. Lakini hakuna aliyemkumbuka yule maskini.

ECC 9:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, nikasema, “Hekima ni bora kuliko nguvu.” Lakini hekima ya maskini imedharauliwa, wala hakuna anayesikiliza maneno yake.

ECC 9:17 Removed trailing space in v~: Maneno ya utulivu ya mwenye hekima

ECC 9:17 Removed trailing space in p~: husikiwa kuliko makelele ya mtawala wa wapumbavu.

ECC 9:18 Removed trailing space in v~: Hekima ni bora kuliko silaha za vita,

ECC 9:18 Removed trailing space in p~: lakini mwenye dhambi mmoja

ECC 9:18 Removed trailing space in p~: huharibu mema mengi.

ECC 10:0 Extra space after chapter number

ECC 10:0 Removed trailing space in c: 10

ECC 10:1 Removed trailing space in v~: Kama vile nzi waliokufa huacha harufu mbaya kwenye manukato,

ECC 10:1 Removed trailing space in p~: ndivyo upumbavu kidogo huzidi nguvu hekima na heshima.

ECC 10:2 Removed trailing space in v~: Moyo wa mwenye hekima huelekea kuume,

ECC 10:2 Removed trailing space in p~: lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.

ECC 10:3 Removed trailing space in v~: Hata anapotembea barabarani,

ECC 10:3 Removed trailing space in p~: mpumbavu hukosa ufahamu

ECC 10:3 Removed trailing space in p~: na kudhihirisha kwa kila mmoja

ECC 10:3 Removed trailing space in p~: jinsi alivyo mpumbavu.

ECC 10:4 Removed trailing space in v~: Kama hasira ya mtawala ikiwaka dhidi yako,

ECC 10:4 Removed trailing space in p~: usiache mahali pako,

ECC 10:4 Removed trailing space in p~: utulivu huweza kuzuia makosa mengi.

ECC 10:5 Removed trailing space in v~: Kuna ubaya niliouona chini ya jua,

ECC 10:5 Removed trailing space in p~: aina ya kosa litokalo kwa mtawala:

ECC 10:6 Removed trailing space in v~: Wapumbavu kuwekwa kwenye nafasi nyingi za juu,

ECC 10:6 Removed trailing space in p~: wakati matajiri hushika nafasi za chini.

ECC 10:7 Removed trailing space in v~: Mimi nimeona watumwa wamepanda farasi,

ECC 10:7 Removed trailing space in p~: wakati wakuu wakitembea

ECC 10:7 Removed trailing space in p~: kwa miguu kama watumwa.

ECC 10:8 Removed trailing space in v~: Yeye achimbaye shimo

ECC 10:8 Removed trailing space in p~: aweza kutumbukia ndani yake,

ECC 10:8 Removed trailing space in p~: yeyote abomoaye ukuta

ECC 10:8 Removed trailing space in p~: anaweza kuumwa na nyoka.

ECC 10:9 Removed trailing space in v~: Yeyote apasuaye mawe

ECC 10:9 Removed trailing space in p~: inawezekana yakamuumiza,

ECC 10:9 Removed trailing space in p~: yeyote apasuaye magogo

ECC 10:9 Removed trailing space in p~: inawezekana yakamuumiza.

ECC 10:10 Removed trailing space in v~: Kama shoka ni butu

ECC 10:10 Removed trailing space in p~: na halikunolewa,

ECC 10:10 Removed trailing space in p~: nguvu nyingi zinahitajika,

ECC 10:10 Removed trailing space in p~: lakini ustadi utaleta mafanikio.

ECC 10:11 Removed trailing space in v~: Kama nyoka akiuma kabla ya kufanyiwa uaguzi,

ECC 10:11 Removed trailing space in p~: mwaguzi hatahitajika tena.

ECC 10:12 Removed trailing space in v~: Maneno yatokayo kinywani mwa mtu mwenye hekima

ECC 10:12 Removed trailing space in p~: yana neema,

ECC 10:12 Removed trailing space in p~: bali mpumbavu huangamizwa

ECC 10:12 Removed trailing space in p~: na midomo yake mwenyewe.

ECC 10:13 Removed trailing space in v~: Mwanzoni maneno yake ni upumbavu,

ECC 10:13 Removed trailing space in p~: mwishoni ni wazimu mbaya,

ECC 10:14 Removed trailing space in v~: naye mpumbavu huzidisha maneno.

ECC 10:14 Removed trailing space in p~: Hakuna yeyote ajuaye linalokuja,

ECC 10:14 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kueleza ni jambo gani

ECC 10:14 Removed trailing space in p~: litakalotokea baada yake?

ECC 10:15 Removed trailing space in v~: Kazi ya mpumbavu humchosha mwenyewe,

ECC 10:15 Removed trailing space in p~: hajui njia iendayo mjini.

ECC 10:16 Removed trailing space in v~: Ole wako, ee nchi ambayo mfalme wako alikuwa mtumwa

ECC 10:16 Removed trailing space in p~: na ambayo wakuu wako hufanya karamu asubuhi.

ECC 10:17 Removed trailing space in v~: Heri wewe, ee nchi ambayo mfalme wako ni wa uzao wenye kuheshimika

ECC 10:17 Removed trailing space in p~: na ambayo wakuu wako hula chakula kwa wakati unaofaa:

ECC 10:17 Removed trailing space in p~: ili kupata nguvu na si kwa ajili ya ulevi.

ECC 10:18 Removed trailing space in v~: Kama mtu ni mvivu paa la nyumba huinama,

ECC 10:18 Removed trailing space in p~: kutokana na mikono milegevu, nyumba huvuja.

ECC 10:19 Removed trailing space in v~: Karamu hufanywa kwa ajili ya kicheko,

ECC 10:19 Removed trailing space in p~: nao mvinyo hufurahisha maisha,

ECC 10:19 Removed trailing space in p~: lakini fedha ni jawabu la mambo yote.

ECC 10:20 Removed trailing space in v~: Usimshutumu mfalme hata ikiwa ni katika mawazo yako,

ECC 10:20 Removed trailing space in p~: au kumlaani tajiri katika chumba chako cha kulala,

ECC 10:20 Removed trailing space in p~: kwa sababu ndege wa angani wanaweza kuchukua maneno yako,

ECC 10:20 Removed trailing space in p~: naye ndege anayeruka anaweza kutoa taarifa ya yale uliyosema.

ECC 11:0 Extra space after chapter number

ECC 11:0 Removed trailing space in c: 11

ECC 11:0 Removed trailing space in s1: Mkate Juu Ya Maji

ECC 11:1 Removed trailing space in v~: Tupa mkate wako juu ya maji,

ECC 11:1 Removed trailing space in p~: kwa maana baada ya siku nyingi

ECC 11:1 Removed trailing space in p~: utaupata tena.

ECC 11:2 Removed trailing space in v~: Wape sehemu watu saba, naam hata wanane,

ECC 11:2 Removed trailing space in p~: kwa maana hujui ni baa gani

ECC 11:2 Removed trailing space in p~: litakalokuwa juu ya nchi.

ECC 11:3 Removed trailing space in v~: Kama mawingu yamejaa maji,

ECC 11:3 Removed trailing space in p~: hunyesha mvua juu ya nchi.

ECC 11:3 Removed trailing space in p~: Kama mti ukianguka kuelekea kusini

ECC 11:3 Removed trailing space in p~: au kuelekea kaskazini,

ECC 11:3 Removed trailing space in p~: mahali ulipoangukia,

ECC 11:3 Removed trailing space in p~: hapo ndipo utakapolala.

ECC 11:4 Removed trailing space in v~: Yeyote atazamaye upepo hatapanda,

ECC 11:4 Removed trailing space in p~: yeyote aangaliaye mawingu hatavuna.

ECC 11:5 Removed trailing space in v~: Kama vile usivyofahamu njia ya upepo,

ECC 11:5 Removed trailing space in p~: au jinsi mwili uumbwavyo

ECC 11:5 Removed trailing space in p~: ndani ya tumbo la mama,

ECC 11:5 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo huwezi kufahamu kazi ya Mungu,

ECC 11:5 Removed trailing space in p~: Muumba wa vitu vyote.

ECC 11:6 Removed trailing space in v~: Panda mbegu yako asubuhi,

ECC 11:6 Removed trailing space in p~: nako jioni usiruhusu mikono yako ilegee,

ECC 11:6 Removed trailing space in p~: kwa maana hujui ni ipi itakayofanikiwa,

ECC 11:6 Removed trailing space in p~: kwamba ni hii au ni ile,

ECC 11:6 Removed trailing space in p~: au kwamba zote zitafanikiwa sawasawa.

ECC 11:6 Removed trailing space in s1: Mkumbuke Muumba Wako Ukiwa Bado Kijana

ECC 11:7 Removed trailing space in v~: Nuru ni tamu,

ECC 11:7 Removed trailing space in p~: tena inafurahisha macho kuona jua.

ECC 11:8 Removed trailing space in v~: Hata kama mtu ataishi miaka mingi kiasi gani,

ECC 11:8 Removed trailing space in p~: na aifurahie yote.

ECC 11:8 Removed trailing space in p~: Lakini na akumbuke siku za giza,

ECC 11:8 Removed trailing space in p~: kwa maana zitakuwa nyingi.

ECC 11:8 Removed trailing space in p~: Kila kitu kitakachokuja ni ubatili.

ECC 11:9 Removed trailing space in v~: Furahi ewe kijana, wakati ungali kijana,

ECC 11:9 Removed trailing space in p~: moyo wako na ukupe furaha

ECC 11:9 Removed trailing space in p~: katika siku za ujana wako.

ECC 11:9 Removed trailing space in p~: Fuata njia za moyo wako

ECC 11:9 Removed trailing space in p~: na chochote macho yako yaonayo,

ECC 11:9 Removed trailing space in p~: lakini ujue kwamba kwa ajili ya haya yote

ECC 11:9 Removed trailing space in p~: Mungu atakuleta hukumuni.

ECC 11:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo basi, ondoa wasiwasi moyoni mwako

ECC 11:10 Removed trailing space in p~: na utupilie mbali masumbufu ya mwili wako,

ECC 11:10 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ujana na nguvu ni ubatili.

ECC 12:0 Extra space after chapter number

ECC 12:0 Removed trailing space in c: 12

ECC 12:1 Removed trailing space in v~: Mkumbuke Muumba wako

ECC 12:1 Removed trailing space in p~: siku za ujana wako,

ECC 12:1 Removed trailing space in p~: kabla hazijaja siku za taabu,

ECC 12:1 Removed trailing space in p~: wala haijakaribia miaka utakaposema,

ECC 12:1 Removed trailing space in p~: “Mimi sifurahii hiyo”:

ECC 12:2 Removed trailing space in v~: kabla jua na nuru,

ECC 12:2 Removed trailing space in p~: nao mwezi na nyota havijatiwa giza,

ECC 12:2 Removed trailing space in p~: kabla ya kurudi mawingu baada ya mvua;

ECC 12:3 Removed trailing space in v~: siku ile walinzi wa nyumba watakapotetemeka,

ECC 12:3 Removed trailing space in p~: nao watu wenye nguvu watakapojiinamisha,

ECC 12:3 Removed trailing space in p~: wakati wasagao watakapokoma kwa sababu ya uchache,

ECC 12:3 Removed trailing space in p~: nao wachunguliao madirishani kutiwa giza;

ECC 12:4 Removed trailing space in v~: wakati milango ya kuingia barabarani itakapofungwa

ECC 12:4 Removed trailing space in p~: na sauti ya kusaga kufifia;

ECC 12:4 Removed trailing space in p~: wakati watu wataamshwa kwa sauti ya ndege,

ECC 12:4 Removed trailing space in p~: lakini nyimbo zao zote zikififia;

ECC 12:5 Removed trailing space in v~: wakati watu watakapoogopa kilichoinuka juu

ECC 12:5 Removed trailing space in p~: na hatari zitakazokuwepo barabarani;

ECC 12:5 Removed trailing space in p~: wakati mlozi utakapochanua maua

ECC 12:5 Removed trailing space in p~: na panzi kujikokota

ECC 12:5 Removed trailing space in p~: nawe usiwe na shauku ya kitu chochote.

ECC 12:5 Removed trailing space in p~: Ndipo mwanadamu aiendea nyumba yake ya milele

ECC 12:5 Removed trailing space in p~: nao waombolezaji wakizunguka barabarani.

ECC 12:6 Removed trailing space in v~: Mkumbuke Muumba wako: kabla haijakatika kamba ya fedha,

ECC 12:6 Removed trailing space in p~: au bakuli la dhahabu halijavunjika;

ECC 12:6 Removed trailing space in p~: kabla mtungi kuvunjika kwenye chemchemi,

ECC 12:6 Removed trailing space in p~: au gurudumu kuvunjika kisimani,

ECC 12:7 Removed trailing space in v~: nayo mavumbi kurudi ardhini yalikotoka,

ECC 12:7 Removed trailing space in p~: na roho kurudi kwa Mungu aliyeitoa.

ECC 12:8 Removed trailing space in v~: Mhubiri asema, “Ubatili! Ubatili!

ECC 12:8 Removed trailing space in p~: Kila kitu ni ubatili!”

ECC 12:8 Removed trailing space in s1: Hitimisho La Mambo

ECC 12:9 Removed trailing space in v~: Mhubiri hakuwa tu na hekima, bali aliwagawia watu maarifa pia. Alitafakari na kutafiti na akaweka katika utaratibu mithali nyingi.

ECC 12:10 Removed trailing space in v~: Mhubiri alitafiti ili kupata maneno sahihi na kila alichoandika kilikuwa sawa na kweli.

ECC 12:11 Removed trailing space in v~: Maneno ya wenye hekima ni kama mchokoro, mithali zao zilizokusanywa pamoja ni kama misumari iliyogongomewa ikawa imara, yaliyotolewa na Mchungaji mmoja.

ECC 12:12 Removed trailing space in v~: Tena zaidi ya hayo, mwanangu, kubali maonyo, hakuna mwisho wa kutunga vitabu vingi, nako kusoma sana huuchosha mwili.

ECC 12:13 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo jumla ya maneno;

ECC 12:13 Removed trailing space in p~: yote yamekwisha sikiwa:

ECC 12:13 Removed trailing space in p~: Mche Mungu, nawe uzishike amri zake,

ECC 12:13 Removed trailing space in p~: maana kwa jumla ndiyo impasayo mtu.

ECC 12:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu ataleta hukumuni kila kazi,

ECC 12:14 Removed trailing space in p~: pamoja na kila neno la siri,

ECC 12:14 Removed trailing space in p~: likiwa jema au baya.

SNG 2:0 Extra space after chapter number

SNG 2:0 Removed trailing space in c: 2

SNG 2:0 Removed trailing space in sp: Mpendwa

SNG 2:1 Removed trailing space in v~: Mimi ni ua la Sharoni,

SNG 2:1 Removed trailing space in p~: yungiyungi ya bondeni.

SNG 2:1 Removed trailing space in sp: Mpenzi

SNG 2:2 Removed trailing space in v~: Kama yungiyungi katikati ya miiba

SNG 2:2 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mpenzi wangu katikati ya wanawali.

SNG 2:2 Removed trailing space in sp: Mpendwa

SNG 2:3 Removed trailing space in v~: Kama mti wa mtofaa miongoni mwa miti ya msituni

SNG 2:3 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mpenzi wangu

SNG 2:3 Removed trailing space in p~: miongoni mwa wanaume vijana.

SNG 2:3 Removed trailing space in p~: Ninafurahia kuketi kivulini mwa mwanaume huyu,

SNG 2:3 Removed trailing space in p~: na tunda lake ni tamu kwangu.

SNG 2:4 Removed trailing space in v~: Amenichukua mpaka kwenye ukumbi wa karamu,

SNG 2:4 Removed trailing space in p~: na bendera ya huyu mwanaume

SNG 2:4 Removed trailing space in p~: juu yangu ni upendo.

SNG 2:5 Removed trailing space in v~: Nitie nguvu kwa zabibu kavu,

SNG 2:5 Removed trailing space in p~: niburudishe kwa matofaa,

SNG 2:5 Removed trailing space in p~: kwa maana ninazimia kwa mapenzi.

SNG 2:6 Removed trailing space in v~: Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu,

SNG 2:6 Removed trailing space in p~: na mkono wake wa kuume unanikumbatia.

SNG 2:7 Removed trailing space in v~: Binti za Yerusalemu, ninawaagiza

SNG 2:7 Removed trailing space in p~: kwa paa na kwa ayala wa shambani:

SNG 2:7 Removed trailing space in p~: Msichochee wala kuamsha mapenzi

SNG 2:7 Removed trailing space in p~: hata yatakapotaka yenyewe.

SNG 2:7 Removed trailing space in s1: Shairi La Pili

SNG 2:7 Removed trailing space in sp: Mpendwa

SNG 2:8 Removed trailing space in v~: Sikiliza! Mpenzi wangu!

SNG 2:8 Removed trailing space in p~: Tazama! Huyu hapa anakuja,

SNG 2:8 Removed trailing space in p~: akirukaruka juu milimani

SNG 2:8 Removed trailing space in p~: akizunguka juu ya vilima.

SNG 2:9 Removed trailing space in v~: Mpenzi wangu ni kama paa au ayala kijana.

SNG 2:9 Removed trailing space in p~: Tazama! Anasimama nyuma ya ukuta wetu,

SNG 2:9 Removed trailing space in p~: akitazama kupitia madirishani,

SNG 2:9 Removed trailing space in p~: akichungulia kimiani.

SNG 2:10 Removed trailing space in v~: Mpenzi wangu alizungumza na kuniambia,

SNG 2:10 Removed trailing space in p~: “Inuka, mpenzi wangu,

SNG 2:10 Removed trailing space in p~: mrembo wangu, tufuatane.

SNG 2:11 Removed trailing space in v~: Tazama! Wakati wa masika umepita,

SNG 2:11 Removed trailing space in p~: mvua imekwisha na ikapita.

SNG 2:12 Removed trailing space in v~: Maua yanatokea juu ya nchi;

SNG 2:12 Removed trailing space in p~: majira ya kuimba yamewadia,

SNG 2:12 Removed trailing space in p~: sauti za njiwa zinasikika

SNG 2:12 Removed trailing space in p~: katika nchi yetu.

SNG 2:13 Removed trailing space in v~: Mtini unatunga matunda yake ya mwanzoni,

SNG 2:13 Removed trailing space in p~: zabibu zinazochanua zaeneza harufu nzuri.

SNG 2:13 Removed trailing space in p~: Inuka, njoo mpenzi wangu.

SNG 2:13 Removed trailing space in p~: Mrembo wangu, tufuatane.”

SNG 2:13 Removed trailing space in sp: Mpenzi

SNG 2:14 Removed trailing space in v~: Hua wangu penye nyufa za majabali,

SNG 2:14 Removed trailing space in p~: mafichoni pembezoni mwa mlima,

SNG 2:14 Removed trailing space in p~: nionyeshe uso wako,

SNG 2:14 Removed trailing space in p~: na niisikie sauti yako,

SNG 2:14 Removed trailing space in p~: kwa maana sauti yako ni tamu,

SNG 2:14 Removed trailing space in p~: na uso wako unapendeza.

SNG 2:15 Removed trailing space in v~: Tukamatie mbweha,

SNG 2:15 Removed trailing space in p~: mbweha wale wadogo

SNG 2:15 Removed trailing space in p~: wanaoharibu mashamba ya mizabibu,

SNG 2:15 Removed trailing space in p~: mashamba yetu ya mizabibu yaliyochanua.

SNG 2:15 Removed trailing space in sp: Mpendwa

SNG 2:16 Removed trailing space in v~: Mpenzi wangu ni wangu, nami ni wake,

SNG 2:16 Removed trailing space in p~: yeye hujilisha katikati ya yungiyungi.

SNG 2:17 Removed trailing space in v~: Mpaka jua linapochomoza,

SNG 2:17 Removed trailing space in p~: na vivuli vikimbie,

SNG 2:17 Removed trailing space in p~: rudi, mpenzi wangu,

SNG 2:17 Removed trailing space in p~: na uwe kama paa,

SNG 2:17 Removed trailing space in p~: au kama ayala kijana

SNG 2:17 Removed trailing space in p~: juu ya vilima vya Betheri.

SNG 3:0 Extra space after chapter number

SNG 3:0 Removed trailing space in c: 3

SNG 3:1 Removed trailing space in v~: Usiku kucha kwenye kitanda changu

SNG 3:1 Removed trailing space in p~: nilimtafuta yule moyo wangu umpendaye;

SNG 3:1 Removed trailing space in p~: nilimtafuta, lakini sikumpata.

SNG 3:2 Removed trailing space in v~: Sasa nitaondoka na kuzunguka mjini,

SNG 3:2 Removed trailing space in p~: katika barabara zake na viwanja;

SNG 3:2 Removed trailing space in p~: nitamtafuta yule moyo wangu umpendaye.

SNG 3:2 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo nilimtafuta lakini sikumpata.

SNG 3:3 Removed trailing space in v~: Walinzi walinikuta

SNG 3:3 Removed trailing space in p~: walipokuwa wakizunguka mji.

SNG 3:3 Removed trailing space in p~: Nikawauliza, “Je, mmemwona

SNG 3:3 Removed trailing space in p~: yule moyo wangu umpendaye?”

SNG 3:4 Removed trailing space in v~: Kitambo kidogo tu baada ya kuwapita

SNG 3:4 Removed trailing space in p~: nilimpata yule moyo wangu umpendaye.

SNG 3:4 Removed trailing space in p~: Nilimshika na sikumwachia aende

SNG 3:4 Removed trailing space in p~: mpaka nilipomleta katika nyumba ya mama yangu,

SNG 3:4 Removed trailing space in p~: katika chumba cha yule aliyenichukua mimba.

SNG 3:5 Removed trailing space in v~: Binti za Yerusalemu, ninawaagiza

SNG 3:5 Removed trailing space in p~: kwa paa na kwa ayala wa shambani:

SNG 3:5 Removed trailing space in p~: Msichochee wala kuamsha mapenzi

SNG 3:5 Removed trailing space in p~: hata yatakapotaka yenyewe.

SNG 3:5 Removed trailing space in s1: Shairi La Tatu

SNG 3:5 Removed trailing space in sp: Mpenzi

SNG 3:6 Removed trailing space in v~: Ni nani huyu anayekuja kutoka jangwani

SNG 3:6 Removed trailing space in p~: kama nguzo ya moshi,

SNG 3:6 Removed trailing space in p~: anayenukia manemane na uvumba

SNG 3:6 Removed trailing space in p~: iliyotengenezwa kwa vikolezo vyote

SNG 3:6 Removed trailing space in p~: vya mfanyabiashara?

SNG 3:7 Removed trailing space in v~: Tazama! Ni gari la Solomoni

SNG 3:7 Removed trailing space in p~: lisindikizwalo na mashujaa sitini,

SNG 3:7 Removed trailing space in p~: walio wakuu sana wa Israeli,

SNG 3:8 Removed trailing space in v~: wote wamevaa panga,

SNG 3:8 Removed trailing space in p~: wote wazoefu katika vita,

SNG 3:8 Removed trailing space in p~: kila mmoja na upanga wake pajani,

SNG 3:8 Removed trailing space in p~: wamejiandaa kwa ajili ya hofu za usiku.

SNG 3:9 Removed trailing space in v~: Mfalme Solomoni alijitengenezea gari;

SNG 3:9 Removed trailing space in p~: alilitengeneza kwa mbao kutoka Lebanoni.

SNG 3:10 Removed trailing space in v~: Nguzo zake alizitengeneza kwa fedha,

SNG 3:10 Removed trailing space in p~: kitako chake kwa dhahabu.

SNG 3:10 Removed trailing space in p~: Kiti chake kilipambwa kwa zambarau,

SNG 3:10 Removed trailing space in p~: gari lake likanakshiwa njumu kwa upendo

SNG 3:10 Removed trailing space in p~: na binti za Yerusalemu.

SNG 3:11 Removed trailing space in v~: Tokeni nje, ninyi binti za Sayuni,

SNG 3:11 Removed trailing space in p~: mkamtazame Mfalme Solomoni akiwa amevaa taji,

SNG 3:11 Removed trailing space in p~: taji ambalo mama yake alimvika

SNG 3:11 Removed trailing space in p~: siku ya arusi yake,

SNG 3:11 Removed trailing space in p~: siku ambayo moyo wake ulishangilia.

SNG 4:0 Extra space after chapter number

SNG 4:0 Removed trailing space in c: 4

SNG 4:0 Removed trailing space in sp: Mpenzi

SNG 4:1 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu!

SNG 4:1 Removed trailing space in p~: Ee, jinsi ulivyo mzuri!

SNG 4:1 Removed trailing space in p~: Macho yako nyuma ya shela yako

SNG 4:1 Removed trailing space in p~: ni kama ya hua.

SNG 4:1 Removed trailing space in p~: Nywele zako ni kama kundi la mbuzi

SNG 4:1 Removed trailing space in p~: zikishuka kutoka Mlima Gileadi.

SNG 4:2 Removed trailing space in v~: Meno yako ni kama kundi la kondoo waliokatwa manyoya sasa hivi,

SNG 4:2 Removed trailing space in p~: watokao kuogeshwa.

SNG 4:2 Removed trailing space in p~: Kila mmoja ana pacha lake,

SNG 4:2 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja aliye peke yake.

SNG 4:3 Removed trailing space in v~: Midomo yako ni kama uzi mwekundu,

SNG 4:3 Removed trailing space in p~: kinywa chako kinapendeza.

SNG 4:3 Removed trailing space in p~: Mashavu yako nyuma ya shela yako

SNG 4:3 Removed trailing space in p~: ni kama vipande viwili vya komamanga.

SNG 4:4 Removed trailing space in v~: Shingo yako ni kama mnara wa Daudi,

SNG 4:4 Removed trailing space in p~: uliojengwa kwa madaha,

SNG 4:4 Removed trailing space in p~: juu yake zimetundikwa ngao elfu,

SNG 4:4 Removed trailing space in p~: zote ni ngao za mashujaa.

SNG 4:5 Removed trailing space in v~: Matiti yako mawili ni kama wana-paa wawili,

SNG 4:5 Removed trailing space in p~: kama wana-paa mapacha

SNG 4:5 Removed trailing space in p~: wajilishao katikati ya yungiyungi.

SNG 4:6 Removed trailing space in v~: Hata kupambazuke na vivuli vikimbie,

SNG 4:6 Removed trailing space in p~: nitakwenda kwenye mlima wa manemane

SNG 4:6 Removed trailing space in p~: na kwenye kilima cha uvumba.

SNG 4:7 Removed trailing space in v~: Wewe ni mzuri kote, mpenzi wangu,

SNG 4:7 Removed trailing space in p~: hakuna hitilafu ndani yako.

SNG 4:8 Removed trailing space in v~: Enda nami kutoka Lebanoni, bibi arusi wangu,

SNG 4:8 Removed trailing space in p~: enda nami kutoka Lebanoni.

SNG 4:8 Removed trailing space in p~: Shuka kutoka ncha ya Amana,

SNG 4:8 Removed trailing space in p~: kutoka juu ya Seniri, kilele cha Hermoni,

SNG 4:8 Removed trailing space in p~: kutoka mapango ya simba

SNG 4:8 Removed trailing space in p~: na kutoka mlima wapendapo kukaa chui.

SNG 4:9 Removed trailing space in v~: Umeiba moyo wangu, dada yangu, bibi arusi wangu;

SNG 4:9 Removed trailing space in p~: umeiba moyo wangu

SNG 4:9 Removed trailing space in p~: kwa mtazamo mmoja wa macho yako,

SNG 4:9 Removed trailing space in p~: kwa kito kimoja cha mkufu wako.

SNG 4:10 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi pendo lako linavyofurahisha,

SNG 4:10 Removed trailing space in p~: dada yangu, bibi arusi wangu!

SNG 4:10 Removed trailing space in p~: Pendo lako linafurahisha aje zaidi ya divai,

SNG 4:10 Removed trailing space in p~: na harufu ya manukato yako zaidi ya kikolezo chochote!

SNG 4:11 Removed trailing space in v~: Midomo yako inadondosha utamu kama sega la asali,

SNG 4:11 Removed trailing space in p~: bibi arusi wangu;

SNG 4:11 Removed trailing space in p~: maziwa na asali viko chini ya ulimi wako.

SNG 4:11 Removed trailing space in p~: Harufu nzuri ya mavazi yako ni kama ile ya Lebanoni.

SNG 4:12 Removed trailing space in v~: Wewe ni bustani iliyofungwa, dada yangu,

SNG 4:12 Removed trailing space in p~: bibi arusi wangu;

SNG 4:12 Removed trailing space in p~: wewe ni chanzo cha maji kilichozungushiwa kabisa,

SNG 4:12 Removed trailing space in p~: chemchemi yangu peke yangu.

SNG 4:13 Removed trailing space in v~: Mimea yako ni bustani ya mikomamanga

SNG 4:13 Removed trailing space in p~: yenye matunda mazuri sana,

SNG 4:13 Removed trailing space in p~: yenye hina na nardo,

SNG 4:14 Removed trailing space in v~: nardo na zafarani,

SNG 4:14 Removed trailing space in p~: mchai na mdalasini,

SNG 4:14 Removed trailing space in p~: pamoja na kila aina ya mti wa uvumba,

SNG 4:14 Removed trailing space in p~: manemane na udi,

SNG 4:14 Removed trailing space in p~: na aina zote za vikolezo bora kuliko vyote.

SNG 4:15 Removed trailing space in v~: Wewe ni chemchemi ya bustani,

SNG 4:15 Removed trailing space in p~: kisima cha maji yatiririkayo,

SNG 4:15 Removed trailing space in p~: yakitiririka kutoka Lebanoni.

SNG 4:15 Removed trailing space in sp: Mpendwa

SNG 4:16 Removed trailing space in v~: Amka, upepo wa kaskazini,

SNG 4:16 Removed trailing space in p~: na uje, upepo wa kusini!

SNG 4:16 Removed trailing space in p~: Vuma juu ya bustani yangu,

SNG 4:16 Removed trailing space in p~: ili harufu yake nzuri iweze kuenea mpaka ngʼambo.

SNG 4:16 Removed trailing space in p~: Mpendwa wangu na aje bustanini mwake

SNG 4:16 Removed trailing space in p~: na kuonja matunda mazuri sana.

SNG 5:0 Extra space after chapter number

SNG 5:0 Removed trailing space in c: 5

SNG 5:0 Removed trailing space in sp: Mpenzi

SNG 5:1 Removed trailing space in v~: Nimekuja kwenye bustani yangu, dada yangu,

SNG 5:1 Removed trailing space in p~: bibi arusi wangu;

SNG 5:1 Removed trailing space in p~: nimekusanya manemane yangu pamoja

SNG 5:1 Removed trailing space in p~: na kikolezo changu.

SNG 5:1 Removed trailing space in p~: Nimekula sega langu la asali na asali yangu;

SNG 5:1 Removed trailing space in p~: nimekunywa divai yangu na maziwa yangu.

SNG 5:1 Removed trailing space in sp: Marafiki

SNG 5:1 Removed trailing space in p~: Kuleni, enyi marafiki, mnywe;

SNG 5:1 Removed trailing space in p~: kunyweni ya kutosha, ee wapenzi.

SNG 5:1 Removed trailing space in s1: Shairi La Nne

SNG 5:1 Removed trailing space in sp: Mpendwa

SNG 5:2 Removed trailing space in v~: Nililala lakini moyo wangu ulikuwa macho.

SNG 5:2 Removed trailing space in p~: Sikiliza! Mpenzi wangu anabisha:

SNG 5:2 Removed trailing space in p~: “Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu,

SNG 5:2 Removed trailing space in p~: hua wangu, asiye na hitilafu.

SNG 5:2 Removed trailing space in p~: Kichwa changu kimeloa umande,

SNG 5:2 Removed trailing space in p~: na nywele zangu manyunyu ya usiku.”

SNG 5:3 Removed trailing space in v~: Nimevua joho langu:

SNG 5:3 Removed trailing space in p~: je, ni lazima nivae tena?

SNG 5:3 Removed trailing space in p~: Nimenawa miguu yangu:

SNG 5:3 Removed trailing space in p~: je, ni lazima niichafue tena?

SNG 5:4 Removed trailing space in v~: Mpenzi wangu aliweka mkono wake kwenye tundu la komeo;

SNG 5:4 Removed trailing space in p~: moyo wangu ulianza kugonga kwa ajili yake.

SNG 5:5 Removed trailing space in v~: Niliinuka kumfungulia mpenzi wangu,

SNG 5:5 Removed trailing space in p~: mikono yangu ikidondosha manemane,

SNG 5:5 Removed trailing space in p~: vidole vyangu vikitiririka manemane,

SNG 5:5 Removed trailing space in p~: penye vipini vya komeo.

SNG 5:6 Removed trailing space in v~: Nilimfungulia mpenzi wangu,

SNG 5:6 Removed trailing space in p~: lakini mpenzi wangu alishaondoka;

SNG 5:6 Removed trailing space in p~: alikuwa amekwenda zake.

SNG 5:6 Removed trailing space in p~: Moyo wangu ulishuka kwa kuondoka kwake.

SNG 5:6 Removed trailing space in p~: Nilimtafuta lakini sikumpata.

SNG 5:6 Removed trailing space in p~: Nilimwita lakini hakunijibu.

SNG 5:7 Removed trailing space in v~: Walinzi walinikuta

SNG 5:7 Removed trailing space in p~: walipokuwa wakifanya zamu za ulinzi mjini.

SNG 5:7 Removed trailing space in p~: Walinipiga, wakanijeruhi,

SNG 5:7 Removed trailing space in p~: wakaninyangʼanya joho langu,

SNG 5:7 Removed trailing space in p~: hao walinzi wa kuta!

SNG 5:8 Removed trailing space in v~: Enyi binti za Yerusalemu, ninawaagiza:

SNG 5:8 Removed trailing space in p~: kama mkimpata mpenzi wangu,

SNG 5:8 Removed trailing space in p~: mtamwambia nini?

SNG 5:8 Removed trailing space in p~: Mwambieni ninazimia kwa mapenzi.

SNG 5:8 Removed trailing space in sp: Marafiki

SNG 5:9 Removed trailing space in v~: Je, mpendwa wako ni bora kuliko wengine namna gani,

SNG 5:9 Removed trailing space in p~: wewe uliye mzuri kupita wanawake wote?

SNG 5:9 Removed trailing space in p~: Je, mpendwa wako ni mzuri kuliko wengine, namna gani,

SNG 5:9 Removed trailing space in p~: hata unatuagiza hivyo?

SNG 5:9 Removed trailing space in sp: Mpendwa

SNG 5:10 Removed trailing space in v~: Mpenzi wangu anangʼaa, tena ni mwekundu,

SNG 5:10 Removed trailing space in p~: wa kuvutia miongoni mwa wanaume kumi elfu.

SNG 5:11 Removed trailing space in v~: Kichwa chake ni dhahabu safi kuliko zote,

SNG 5:11 Removed trailing space in p~: nywele zake ni za mawimbi

SNG 5:11 Removed trailing space in p~: na ni nyeusi kama kunguru.

SNG 5:12 Removed trailing space in v~: Macho yake ni kama ya hua

SNG 5:12 Removed trailing space in p~: kandokando ya vijito vya maji,

SNG 5:12 Removed trailing space in p~: aliyeogeshwa kwenye maziwa,

SNG 5:12 Removed trailing space in p~: yaliyopangwa kama vito vya thamani.

SNG 5:13 Removed trailing space in v~: Mashavu yake ni kama matuta ya vikolezo

SNG 5:13 Removed trailing space in p~: yakitoa manukato.

SNG 5:13 Removed trailing space in p~: Midomo yake ni kama yungiyungi

SNG 5:13 Removed trailing space in p~: inayodondosha manemane.

SNG 5:14 Removed trailing space in v~: Mikono yake ni fimbo za dhahabu

SNG 5:14 Removed trailing space in p~: iliyopambwa kwa krisolitho.

SNG 5:14 Removed trailing space in p~: Mwili wake ni kama pembe ya ndovu iliyongʼarishwa

SNG 5:14 Removed trailing space in p~: iliyopambwa na yakuti samawi.

SNG 5:15 Removed trailing space in v~: Miguu yake ni nguzo za marmar

SNG 5:15 Removed trailing space in p~: zilizosimikwa katika vitako vya dhahabu safi.

SNG 5:15 Removed trailing space in p~: Sura yake ni kama Lebanoni,

SNG 5:15 Removed trailing space in p~: bora kama miti yake ya mierezi.

SNG 5:16 Removed trailing space in v~: Kinywa chake chenyewe ni utamu,

SNG 5:16 Removed trailing space in p~: kwa ujumla yeye ni wa kupendeza.

SNG 5:16 Removed trailing space in p~: Huyu ndiye mpenzi wangu, huyu ndiye rafiki yangu,

SNG 5:16 Removed trailing space in p~: ee binti za Yerusalemu.

SNG 6:0 Extra space after chapter number

SNG 6:0 Removed trailing space in c: 6

SNG 6:0 Removed trailing space in sp: Marafiki

SNG 6:1 Removed trailing space in v~: Mpenzi wako amekwenda wapi,

SNG 6:1 Removed trailing space in p~: ewe mzuri kupita wanawake wote?

SNG 6:1 Removed trailing space in p~: Mpenzi wako amegeukia njia ipi,

SNG 6:1 Removed trailing space in p~: tupate kumtafuta pamoja nawe?

SNG 6:1 Removed trailing space in sp: Mpendwa

SNG 6:2 Removed trailing space in v~: Mpenzi wangu amekwenda bustanini mwake,

SNG 6:2 Removed trailing space in p~: kwenye vitalu vya vikolezo,

SNG 6:2 Removed trailing space in p~: kujilisha bustanini

SNG 6:2 Removed trailing space in p~: na kukusanya yungiyungi.

SNG 6:3 Removed trailing space in v~: Mimi ni wake mpenzi wangu,

SNG 6:3 Removed trailing space in p~: na mpenzi wangu ni wangu;

SNG 6:3 Removed trailing space in p~: yeye hujilisha katikati ya yungiyungi.

SNG 6:3 Removed trailing space in s1: Shairi La Tano

SNG 6:3 Removed trailing space in sp: Mpenzi

SNG 6:4 Removed trailing space in v~: Wewe ni mzuri, mpenzi wangu, kama Tirsa,

SNG 6:4 Removed trailing space in p~: upendezaye kama Yerusalemu,

SNG 6:4 Removed trailing space in p~: umetukuka kama jeshi lenye bendera.

SNG 6:5 Removed trailing space in v~: Uyageuze macho yako mbali nami,

SNG 6:5 Removed trailing space in p~: yananigharikisha.

SNG 6:5 Removed trailing space in p~: Nywele zako ni kama kundi la mbuzi

SNG 6:5 Removed trailing space in p~: wanaoteremka kutoka Gileadi.

SNG 6:6 Removed trailing space in v~: Meno yako ni kama kundi la kondoo

SNG 6:6 Removed trailing space in p~: watokao kuogeshwa.

SNG 6:6 Removed trailing space in p~: Kila mmoja ana pacha lake,

SNG 6:6 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja aliye peke yake.

SNG 6:7 Removed trailing space in v~: Mashavu yako nyuma ya shela yako

SNG 6:7 Removed trailing space in p~: ni kama vipande viwili vya komamanga.

SNG 6:8 Removed trailing space in v~: Panaweza kuwepo malkia sitini,

SNG 6:8 Removed trailing space in p~: masuria themanini

SNG 6:8 Removed trailing space in p~: na mabikira wasiohesabika;

SNG 6:9 Removed trailing space in v~: lakini hua wangu, mkamilifu wangu,

SNG 6:9 Removed trailing space in p~: ni wa namna ya pekee,

SNG 6:9 Removed trailing space in p~: binti pekee kwa mama yake,

SNG 6:9 Removed trailing space in p~: kipenzi cha yeye aliyemzaa.

SNG 6:9 Removed trailing space in p~: Wanawali walimwona na kumwita aliyebarikiwa;

SNG 6:9 Removed trailing space in p~: malkia na masuria walimsifu.

SNG 6:9 Removed trailing space in sp: Marafiki

SNG 6:10 Removed trailing space in v~: Ni nani huyu atokeaye kama mapambazuko,

SNG 6:10 Removed trailing space in p~: mzuri kama mwezi, mwangavu kama jua,

SNG 6:10 Removed trailing space in p~: ametukuka kama nyota zifuatanazo?

SNG 6:10 Removed trailing space in sp: Mpenzi

SNG 6:11 Removed trailing space in v~: Niliteremka kwenye bustani ya miti ya milozi

SNG 6:11 Removed trailing space in p~: ili kutazama machipuko ya bondeni,

SNG 6:11 Removed trailing space in p~: kuona kama mizabibu imechipua

SNG 6:11 Removed trailing space in p~: au kama mikomamanga imechanua maua.

SNG 6:12 Removed trailing space in v~: Kabla sijangʼamua,

SNG 6:12 Removed trailing space in p~: shauku yangu iliniweka

SNG 6:12 Removed trailing space in p~: katikati ya magari ya kifalme ya kukokotwa na farasi ya watu wangu.

SNG 6:12 Removed trailing space in sp: Marafiki

SNG 6:13 Removed trailing space in v~: Rudi, rudi, ee Mshulami;

SNG 6:13 Removed trailing space in p~: rudi, rudi ili tupate kukutazama!

SNG 6:13 Removed trailing space in sp: Mpenzi

SNG 6:13 Removed trailing space in p~: Kwa nini kumtazama Mshulami,

SNG 6:13 Removed trailing space in p~: kama kutazama ngoma ya Mahanaimu?\f + \fr 6:13 \ft Mahanaimu hapa ina maana ya majeshi mawili.\f*

SNG 7:0 Extra space after chapter number

SNG 7:0 Removed trailing space in c: 7

SNG 7:1 Removed trailing space in v~: Ee binti wa mwana wa mfalme,

SNG 7:1 Removed trailing space in p~: tazama jinsi inavyopendeza miguu yako katika viatu!

SNG 7:1 Removed trailing space in p~: Miguu yako yenye madaha ni kama vito vya thamani,

SNG 7:1 Removed trailing space in p~: kazi ya mikono ya fundi stadi.

SNG 7:2 Removed trailing space in v~: Kitovu chako ni kama bilauri ya mviringo

SNG 7:2 Removed trailing space in p~: ambayo kamwe haikosi divai iliyochanganywa.

SNG 7:2 Removed trailing space in p~: Kiuno chako ni kichuguu cha ngano

SNG 7:2 Removed trailing space in p~: kilichozungukwa kwa yungiyungi.

SNG 7:3 Removed trailing space in v~: Matiti yako ni kama wana-paa wawili,

SNG 7:3 Removed trailing space in p~: mapacha wa paa.

SNG 7:4 Removed trailing space in v~: Shingo yako ni kama mnara wa pembe ya ndovu.

SNG 7:4 Removed trailing space in p~: Macho yako ni vidimbwi vya Heshboni

SNG 7:4 Removed trailing space in p~: karibu na lango la Beth-Rabi.

SNG 7:4 Removed trailing space in p~: Pua lako ni kama mnara wa Lebanoni

SNG 7:4 Removed trailing space in p~: ukitazama kuelekea Dameski.

SNG 7:5 Removed trailing space in v~: Kichwa chako kinakuvika taji kama mlima Karmeli.

SNG 7:5 Removed trailing space in p~: Nywele zako ni kama zulia la urujuani;

SNG 7:5 Removed trailing space in p~: mfalme ametekwa na mashungi yake.

SNG 7:6 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ulivyo mzuri na unavyopendeza,

SNG 7:6 Removed trailing space in p~: ee pendo, kwa uzuri wako!

SNG 7:7 Removed trailing space in v~: Umbo lako ni kama la mtende,

SNG 7:7 Removed trailing space in p~: nayo matiti yako kama vishada vya matunda.

SNG 7:8 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Nitakwea mtende,

SNG 7:8 Removed trailing space in p~: nami nitayashika matunda yake.”

SNG 7:8 Removed trailing space in p~: Matiti yako na yawe kama vishada vya mzabibu,

SNG 7:8 Removed trailing space in p~: harufu nzuri ya pumzi yako kama matofaa,

SNG 7:9 Removed trailing space in v~: na kinywa chako kama divai

SNG 7:9 Removed trailing space in p~: bora kuliko zote.

SNG 7:9 Removed trailing space in sp: Mpendwa

SNG 7:9 Removed trailing space in p~: Divai na iende moja kwa moja hadi kwa mpenzi wangu,

SNG 7:9 Removed trailing space in p~: ikitiririka polepole juu ya midomo na meno.

SNG 7:10 Removed trailing space in v~: Mimi ni mali ya mpenzi wangu,

SNG 7:10 Removed trailing space in p~: nayo shauku yake ni juu yangu.

SNG 7:11 Removed trailing space in v~: Njoo, mpenzi wangu, twende mashambani,

SNG 7:11 Removed trailing space in p~: twende tukalale huko vijijini.

SNG 7:12 Removed trailing space in v~: Hebu na twende mapema

SNG 7:12 Removed trailing space in p~: katika mashamba ya mizabibu

SNG 7:12 Removed trailing space in p~: tuone kama mizabibu imechipua,

SNG 7:12 Removed trailing space in p~: kama maua yake yamefunguka,

SNG 7:12 Removed trailing space in p~: na kama mikomamanga imetoa maua:

SNG 7:12 Removed trailing space in p~: huko nitakupa penzi langu.

SNG 7:13 Removed trailing space in v~: Mitunguja hutoa harufu zake nzuri,

SNG 7:13 Removed trailing space in p~: kwenye milango yetu kuna matunda mazuri,

SNG 7:13 Removed trailing space in p~: mapya na ya zamani,

SNG 7:13 Removed trailing space in p~: ambayo nimekuhifadhia wewe,

SNG 7:13 Removed trailing space in p~: mpenzi wangu.

SNG 8:0 Extra space after chapter number

SNG 8:0 Removed trailing space in c: 8

SNG 8:1 Removed trailing space in v~: Laiti ungelikuwa kwangu kama ndugu wa kiume,

SNG 8:1 Removed trailing space in p~: ambaye aliyanyonya matiti ya mama yangu!

SNG 8:1 Removed trailing space in p~: Kisha, kama ningekukuta huko nje,

SNG 8:1 Removed trailing space in p~: ningelikubusu,

SNG 8:1 Removed trailing space in p~: wala hakuna mtu yeyote angelinidharau.

SNG 8:2 Removed trailing space in v~: Ningelikuongoza na kukuleta

SNG 8:2 Removed trailing space in p~: katika nyumba ya mama yangu,

SNG 8:2 Removed trailing space in p~: yeye ambaye amenifundisha.

SNG 8:2 Removed trailing space in p~: Ningelikupa divai iliyokolezwa unywe,

SNG 8:2 Removed trailing space in p~: asali ya maua ya mikomamanga yangu.

SNG 8:3 Removed trailing space in v~: Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu,

SNG 8:3 Removed trailing space in p~: na mkono wake wa kuume unanikumbatia.

SNG 8:4 Removed trailing space in v~: Binti za Yerusalemu, ninawaagiza:

SNG 8:4 Removed trailing space in p~: msichochee wala kuamsha mapenzi

SNG 8:4 Removed trailing space in p~: hata yatakapotaka yenyewe.

SNG 8:4 Removed trailing space in s1: Shairi La Sita

SNG 8:4 Removed trailing space in sp: Marafiki

SNG 8:5 Removed trailing space in v~: Ni nani huyu anayekuja kutoka nyikani

SNG 8:5 Removed trailing space in p~: akimwegemea mpenzi wake?

SNG 8:5 Removed trailing space in sp: Mpendwa

SNG 8:5 Removed trailing space in p~: Nilikuamsha chini ya mtofaa,

SNG 8:5 Removed trailing space in p~: huko mama yako alipotunga mimba yako,

SNG 8:5 Removed trailing space in p~: huko yeye alipata utungu akakuzaa.

SNG 8:6 Removed trailing space in v~: Nitie kama muhuri moyoni mwako,

SNG 8:6 Removed trailing space in p~: kama muhuri kwenye mkono wako;

SNG 8:6 Removed trailing space in p~: kwa maana upendo una nguvu kama mauti,

SNG 8:6 Removed trailing space in p~: wivu wake ni mkatili kama kuzimu.

SNG 8:6 Removed trailing space in p~: Unachoma kama mwali wa moto,

SNG 8:6 Removed trailing space in p~: kama mwali mkubwa wa moto wa \nd Bwana\nd* hasa.

SNG 8:7 Removed trailing space in v~: Maji mengi hayawezi kuuzimisha upendo,

SNG 8:7 Removed trailing space in p~: mito haiwezi kuugharikisha.

SNG 8:7 Removed trailing space in p~: Kama mtu angelitoa mali yote ya nyumbani mwake

SNG 8:7 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya upendo,

SNG 8:7 Removed trailing space in p~: angelidharauliwa kabisa.

SNG 8:7 Removed trailing space in sp: Marafiki

SNG 8:8 Removed trailing space in v~: Tunaye dada mdogo,

SNG 8:8 Removed trailing space in p~: matiti yake hayajakua bado.

SNG 8:8 Removed trailing space in p~: Tutafanya nini kwa ajili ya dada yetu

SNG 8:8 Removed trailing space in p~: wakati atakapokuja kuposwa?

SNG 8:9 Removed trailing space in v~: Kama yeye ni ukuta,

SNG 8:9 Removed trailing space in p~: tutajenga minara ya fedha juu yake.

SNG 8:9 Removed trailing space in p~: Na kama yeye ni mlango,

SNG 8:9 Removed trailing space in p~: tutamzungushia mbao za mierezi.

SNG 8:9 Removed trailing space in sp: Mpendwa

SNG 8:10 Removed trailing space in v~: Mimi ni ukuta,

SNG 8:10 Removed trailing space in p~: nayo matiti yangu ni kama minara.

SNG 8:10 Removed trailing space in p~: Ndivyo ambavyo nimekuwa machoni pake

SNG 8:10 Removed trailing space in p~: kama yule anayeleta utoshelevu.

SNG 8:11 Removed trailing space in v~: Solomoni alikuwa na shamba la mizabibu huko Baal-Hamoni;

SNG 8:11 Removed trailing space in p~: alikodisha shamba lake la mizabibu kwa wapangaji.

SNG 8:11 Removed trailing space in p~: Kila mmoja angeleta kwa ajili ya matunda yake

SNG 8:11 Removed trailing space in p~: shekeli 1,000\f + \fr 8:11 \ft Shekeli 1,000 ni kama kilo 11.5.\f* za fedha.

SNG 8:12 Removed trailing space in v~: Lakini shamba langu la mizabibu

SNG 8:12 Removed trailing space in p~: ambalo ni langu mwenyewe

SNG 8:12 Removed trailing space in p~: ni langu kutoa;

SNG 8:12 Removed trailing space in p~: hizo shekeli 1,000 ni kwa ajili yako, ee Solomoni,

SNG 8:12 Removed trailing space in p~: na shekeli mia mbili\f + \fr 8:12 \ft Shekeli 200 ni kama kilo 2.3.\f* ni kwa ajili

SNG 8:12 Removed trailing space in p~: ya wale wanaotunza matunda yake.

SNG 8:12 Removed trailing space in sp: Mpenzi

SNG 8:13 Removed trailing space in v~: Wewe ukaaye bustanini

SNG 8:13 Removed trailing space in p~: pamoja na marafiki mliohudhuria,

SNG 8:13 Removed trailing space in p~: hebu nisikie sauti yako!

SNG 8:13 Removed trailing space in sp: Mpendwa

SNG 8:14 Removed trailing space in v~: Njoo, mpenzi wangu,

SNG 8:14 Removed trailing space in p~: uwe kama swala

SNG 8:14 Removed trailing space in p~: au kama ayala kijana

SNG 8:14 Removed trailing space in p~: juu ya milima iliyojaa vikolezo.

ISA 2:0 Extra space after chapter number

ISA 2:0 Removed trailing space in c: 2

ISA 2:0 Removed trailing space in s1: Mlima Wa \nd Bwana\nd*

ISA 2:0 Removed trailing space in r: (Mika 4:1-3)

ISA 2:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo aliloliona Isaya mwana wa Amozi kuhusu Yuda na Yerusalemu:

ISA 2:2 Removed trailing space in v~: Katika siku za mwisho

ISA 2:2 Removed trailing space in p~: mlima wa Hekalu la \nd Bwana\nd* utaimarishwa

ISA 2:2 Removed trailing space in p~: kama mlima mkuu miongoni mwa milima yote,

ISA 2:2 Removed trailing space in p~: utainuliwa juu ya vilima,

ISA 2:2 Removed trailing space in p~: na mataifa yote yatamiminika huko.

ISA 2:3 Removed trailing space in v~: Mataifa mengi yatakuja na kusema,

ISA 2:3 Removed trailing space in p~: “Njooni, twendeni mlimani mwa \nd Bwana\nd*,

ISA 2:3 Removed trailing space in p~: kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.

ISA 2:3 Removed trailing space in p~: Atatufundisha njia zake,

ISA 2:3 Removed trailing space in p~: ili tuweze kuenenda katika mapito yake.”

ISA 2:3 Removed trailing space in p~: Sheria itatoka Sayuni,

ISA 2:3 Removed trailing space in p~: neno la \nd Bwana\nd* litatoka Yerusalemu.

ISA 2:4 Removed trailing space in v~: Atahukumu kati ya mataifa

ISA 2:4 Removed trailing space in p~: na ataamua migogoro ya mataifa mengi.

ISA 2:4 Removed trailing space in p~: Watafua panga zao ziwe majembe,

ISA 2:4 Removed trailing space in p~: na mikuki yao kuwa miundu ya kukata matawi.

ISA 2:4 Removed trailing space in p~: Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa jingine,

ISA 2:4 Removed trailing space in p~: wala hawatajifunza vita tena.

ISA 2:5 Removed trailing space in v~: Njooni, enyi nyumba ya Yakobo,

ISA 2:5 Removed trailing space in p~: tutembeeni katika nuru ya \nd Bwana\nd*.

ISA 2:5 Removed trailing space in s1: Siku Ya \nd Bwana\nd*

ISA 2:6 Removed trailing space in v~: Umewatelekeza watu wako,

ISA 2:6 Removed trailing space in p~: nyumba ya Yakobo.

ISA 2:6 Removed trailing space in p~: Wamejaa ushirikina utokao Mashariki,

ISA 2:6 Removed trailing space in p~: wanapiga ramli kama Wafilisti

ISA 2:6 Removed trailing space in p~: na wanashikana mikono na wapagani.

ISA 2:7 Removed trailing space in v~: Nchi yao imejaa fedha na dhahabu,

ISA 2:7 Removed trailing space in p~: hakuna mwisho wa hazina zao.

ISA 2:7 Removed trailing space in p~: Nchi yao imejaa farasi,

ISA 2:7 Removed trailing space in p~: hakuna mwisho wa magari yao.

ISA 2:8 Removed trailing space in v~: Nchi yao imejaa sanamu,

ISA 2:8 Removed trailing space in p~: wanasujudia kazi za mikono yao,

ISA 2:8 Removed trailing space in p~: vitu vile vidole vyao vimevitengeneza.

ISA 2:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mwanadamu atashushwa

ISA 2:9 Removed trailing space in p~: na binadamu atanyenyekezwa:

ISA 2:9 Removed trailing space in p~: usiwasamehe.

ISA 2:10 Removed trailing space in v~: Ingieni kwenye miamba,

ISA 2:10 Removed trailing space in p~: jificheni ardhini

ISA 2:10 Removed trailing space in p~: kutokana na utisho wa \nd Bwana\nd*

ISA 2:10 Removed trailing space in p~: na utukufu wa enzi yake!

ISA 2:11 Removed trailing space in v~: Macho ya mtu mwenye majivuno yatanyenyekezwa

ISA 2:11 Removed trailing space in p~: na kiburi cha wanadamu kitashushwa,

ISA 2:11 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* peke yake ndiye atakayetukuzwa siku hiyo.

ISA 2:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote anayo siku aliyoiweka akiba

ISA 2:12 Removed trailing space in p~: kwa wote wenye kujivuna na wenye kiburi,

ISA 2:12 Removed trailing space in p~: kwa wote wanaojikweza

ISA 2:12 Removed trailing space in p~: (nao watanyenyekezwa),

ISA 2:13 Removed trailing space in v~: kwa mierezi yote ya Lebanoni iliyo mirefu sana,

ISA 2:13 Removed trailing space in p~: na mialoni yote ya Bashani,

ISA 2:14 Removed trailing space in v~: kwa milima yote mirefu

ISA 2:14 Removed trailing space in p~: na vilima vyote vilivyoinuka,

ISA 2:15 Removed trailing space in v~: kwa kila mnara ulio mrefu sana

ISA 2:15 Removed trailing space in p~: na kila ukuta wenye ngome,

ISA 2:16 Removed trailing space in v~: kwa kila meli ya biashara,\f + \fr 2:16 \ft Au: ya Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 60:9\+xt*.)\f*

ISA 2:16 Found unexpected backslash in footnote: 2:16 Au: ya Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 60:9\+xt*.)

ISA 2:16 Removed trailing space in p~: na kila chombo cha baharini cha fahari.

ISA 2:17 Removed trailing space in v~: Majivuno ya mwanadamu yatashushwa,

ISA 2:17 Removed trailing space in p~: na kiburi cha wanadamu kitanyenyekezwa,

ISA 2:17 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* peke yake ndiye atatukuzwa siku hiyo,

ISA 2:18 Removed trailing space in v~: nazo sanamu zitatoweka kabisa.

ISA 2:19 Removed trailing space in v~: Watu watakimbilia kwenye mapango ndani ya miamba,

ISA 2:19 Removed trailing space in p~: na kwenye mahandaki ardhini

ISA 2:19 Removed trailing space in p~: kutokana na utisho wa \nd Bwana\nd*

ISA 2:19 Removed trailing space in p~: na utukufu wa enzi yake,

ISA 2:19 Removed trailing space in p~: ainukapo kuitikisa dunia.

ISA 2:20 Removed trailing space in v~: Siku ile, watu watawatupia

ISA 2:20 Removed trailing space in p~: panya na popo

ISA 2:20 Removed trailing space in p~: sanamu zao za fedha na za dhahabu,

ISA 2:20 Removed trailing space in p~: walizozitengeneza ili waziabudu.

ISA 2:21 Removed trailing space in v~: Watakimbilia kwenye mapango miambani

ISA 2:21 Removed trailing space in p~: na kwenye nyufa za miamba

ISA 2:21 Removed trailing space in p~: kutokana na utisho wa \nd Bwana\nd*

ISA 2:21 Removed trailing space in p~: na utukufu wa enzi yake,

ISA 2:21 Removed trailing space in p~: ainukapo kuitikisa dunia.

ISA 2:22 Removed trailing space in v~: Acheni kumtumainia mwanadamu,

ISA 2:22 Removed trailing space in p~: ambaye hana kitu ila pumzi katika pua zake.

ISA 2:22 Removed trailing space in p~: Yeye ana thamani gani?

ISA 3:0 Extra space after chapter number

ISA 3:0 Removed trailing space in c: 3

ISA 3:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Juu Ya Yerusalemu Na Yuda.

ISA 3:1 Removed trailing space in v~: Tazama sasa, Bwana,

ISA 3:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 3:1 Removed trailing space in p~: yu karibu kuwaondolea Yerusalemu na Yuda

ISA 3:1 Removed trailing space in p~: upatikanaji wa mahitaji na misaada,

ISA 3:1 Removed trailing space in p~: upatikanaji wote wa chakula na tegemeo lote la maji,

ISA 3:2 Removed trailing space in v~: shujaa na mtu wa vita,

ISA 3:2 Removed trailing space in p~: mwamuzi na nabii,

ISA 3:2 Removed trailing space in p~: mwaguzi na mzee,

ISA 3:3 Removed trailing space in v~: jemadari wa kikosi cha watu hamsini

ISA 3:3 Removed trailing space in p~: na mtu mwenye cheo, mshauri,

ISA 3:3 Removed trailing space in p~: fundi stadi na mlozi mjanja.

ISA 3:4 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wavulana wawe maafisa wao,

ISA 3:4 Removed trailing space in p~: watoto ndio watakaowatawala.

ISA 3:5 Removed trailing space in v~: Watu wataoneana wao kwa wao:

ISA 3:5 Removed trailing space in p~: mtu dhidi ya mtu, na jirani dhidi ya jirani yake.

ISA 3:5 Removed trailing space in p~: Kijana atainuka dhidi ya mzee,

ISA 3:5 Removed trailing space in p~: mtu mnyonge dhidi ya mtu mwenye heshima.

ISA 3:6 Removed trailing space in v~: Mtu atamkamata mmoja wa ndugu zake

ISA 3:6 Removed trailing space in p~: katika nyumba ya baba yake na kusema,

ISA 3:6 Removed trailing space in p~: “Unalo joho, sasa uwe kiongozi wetu,

ISA 3:6 Removed trailing space in p~: tawala lundo hili la magofu!”

ISA 3:7 Removed trailing space in v~: Lakini siku hiyo atapiga kelele akisema,

ISA 3:7 Removed trailing space in p~: “Sina uponyaji.

ISA 3:7 Removed trailing space in p~: Sina chakula wala mavazi katika nyumba yangu,

ISA 3:7 Removed trailing space in p~: msinifanye niwe kiongozi wa watu.”

ISA 3:8 Removed trailing space in v~: Yerusalemu inapepesuka,

ISA 3:8 Removed trailing space in p~: Yuda inaanguka;

ISA 3:8 Removed trailing space in p~: maneno yao na matendo yao ni kinyume na \nd Bwana\nd*,

ISA 3:8 Removed trailing space in p~: wakiudharau uwepo wake uliotukuka.

ISA 3:9 Removed trailing space in v~: Nyuso zao zinavyoonekana zinashuhudia dhidi yao,

ISA 3:9 Removed trailing space in p~: hujivunia dhambi yao kama Sodoma,

ISA 3:9 Removed trailing space in p~: wala hawaifichi.

ISA 3:9 Removed trailing space in p~: Ole wao!

ISA 3:9 Removed trailing space in p~: Wamejiletea maafa juu yao wenyewe.

ISA 3:10 Removed trailing space in v~: Waambie wanyofu itakuwa heri kwao,

ISA 3:10 Removed trailing space in p~: kwa kuwa watafurahia tunda la matendo yao.

ISA 3:11 Removed trailing space in v~: Ole kwa watu waovu! Maafa yapo juu yao!

ISA 3:11 Removed trailing space in p~: Watalipwa kwa ajili ya yale mikono yao iliyotenda.

ISA 3:12 Removed trailing space in v~: Vijana wanawatesa watu wangu,

ISA 3:12 Removed trailing space in p~: wanawake wanawatawala.

ISA 3:12 Removed trailing space in p~: Enyi watu wangu, viongozi wenu wanawapotosha,

ISA 3:12 Removed trailing space in p~: wanawapoteza njia.

ISA 3:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anachukua nafasi yake mahakamani,

ISA 3:13 Removed trailing space in p~: anasimama kuhukumu watu.

ISA 3:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anaingia katika hukumu

ISA 3:14 Removed trailing space in p~: dhidi ya wazee na viongozi wa watu wake:

ISA 3:14 Removed trailing space in p~: “Ninyi ndio mlioharibu shamba langu la mizabibu,

ISA 3:14 Removed trailing space in p~: mali zilizonyangʼanywa maskini zimo nyumbani mwenu.

ISA 3:15 Removed trailing space in v~: Mnamaanisha nini kuwaponda watu wangu

ISA 3:15 Removed trailing space in p~: na kuzisaga nyuso za maskini?”

ISA 3:15 Removed trailing space in p~: asema Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ISA 3:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema,

ISA 3:16 Removed trailing space in p~: “Wanawake wa Sayuni wana kiburi,

ISA 3:16 Removed trailing space in p~: wanatembea na shingo ndefu,

ISA 3:16 Removed trailing space in p~: wakikonyeza kwa macho yao,

ISA 3:16 Removed trailing space in p~: wanatembea kwa hatua za madaha,

ISA 3:16 Removed trailing space in p~: wakiwa na mapambo ya njuga kwenye vifundo vya miguu yao.

ISA 3:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Bwana ataleta majipu kwenye vichwa vya wanawake wa Sayuni;

ISA 3:17 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atazifanya ngozi za vichwa vyao kuwa vipara.”

ISA 3:18 Removed trailing space in v~: Katika siku ile Bwana atawanyangʼanya uzuri wao: bangili, tepe za kichwani, mikufu yenye alama za mwezi mwandamo,

ISA 3:19 Removed trailing space in v~: vipuli, vikuku, shela,

ISA 3:20 Removed trailing space in v~: vilemba, mikufu ya vifundo vya miguu, mshipi, chupa za manukato na hirizi,

ISA 3:21 Removed trailing space in v~: pete zenye muhuri, pete za puani,

ISA 3:22 Removed trailing space in v~: majoho mazuri, mitandio, mavazi, kifuko cha kutilia fedha,

ISA 3:23 Removed trailing space in v~: vioo, mavazi ya kitani, taji na shali.

ISA 3:24 Removed trailing space in v~: Badala ya harufu ya manukato kutakuwa na uvundo;

ISA 3:24 Removed trailing space in p~: badala ya mishipi, ni kamba;

ISA 3:24 Removed trailing space in p~: badala ya nywele zilizotengenezwa vizuri, ni upara;

ISA 3:24 Removed trailing space in p~: badala ya mavazi mazuri, ni nguo za magunia;

ISA 3:24 Removed trailing space in p~: badala ya uzuri, ni alama ya aibu kwa chuma cha moto.

ISA 3:25 Removed trailing space in v~: Wanaume wako watauawa kwa upanga,

ISA 3:25 Removed trailing space in p~: nao mashujaa wako watauawa vitani.

ISA 3:26 Removed trailing space in v~: Malango ya Sayuni yataomboleza na kulia,

ISA 3:26 Removed trailing space in p~: ataketi mavumbini akiwa fukara.

ISA 4:0 Extra space after chapter number

ISA 4:0 Removed trailing space in c: 4

ISA 4:1 Removed trailing space in v~: Katika siku ile wanawake saba

ISA 4:1 Removed trailing space in p~: watamshika mwanaume mmoja

ISA 4:1 Removed trailing space in p~: wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe

ISA 4:1 Removed trailing space in p~: na kuvaa nguo zetu wenyewe,

ISA 4:1 Removed trailing space in p~: ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako.

ISA 4:1 Removed trailing space in p~: Utuondolee aibu yetu!”

ISA 4:1 Removed trailing space in s1: Tawi La \nd Bwana\nd*

ISA 4:2 Removed trailing space in v~: Katika siku ile Tawi la \nd Bwana\nd* litakuwa zuri na lenye utukufu, nalo tunda la nchi litakuwa fahari na utukufu wa wale Waisraeli watakaonusurika.

ISA 4:3 Removed trailing space in v~: Wale watakaoachwa Sayuni, watakaobaki Yerusalemu, wataitwa watakatifu, wale wote ambao wameorodheshwa miongoni mwa walio hai huko Yerusalemu.

ISA 4:4 Removed trailing space in v~: Bwana atausafisha uchafu wa wanawake wa Sayuni, atatakasa madoa ya damu kutoka Yerusalemu kwa Roho ya hukumu na Roho ya moto.

ISA 4:5 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* ataumba juu ya Mlima wote wa Sayuni, na juu ya wale wote wanaokusanyika hapo, wingu la moshi wakati wa mchana, na kungʼaa kwa miali ya moto wakati wa usiku, nako juu ya huo utukufu wote kutatanda kifuniko cha ulinzi.

ISA 4:6 Removed trailing space in v~: Utakuwa sitara na kivuli kutokana na joto la mchana, na kuwa mahali pa kujificha kutokana na dhoruba na mvua.

ISA 5:0 Extra space after chapter number

ISA 5:0 Removed trailing space in c: 5

ISA 5:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Shamba La Mizabibu

ISA 5:1 Removed trailing space in v~: Nitaimba wimbo kwa ajili ya mmoja nimpendaye,

ISA 5:1 Removed trailing space in p~: kuhusu shamba lake la mizabibu:

ISA 5:1 Removed trailing space in p~: Mpendwa wangu alikuwa na shamba la mizabibu

ISA 5:1 Removed trailing space in p~: kwenye kilima chenye rutuba.

ISA 5:2 Removed trailing space in v~: Alililima na kuondoa mawe

ISA 5:2 Removed trailing space in p~: na akaliotesha mizabibu bora sana.

ISA 5:2 Removed trailing space in p~: Akajenga mnara wa ulinzi ndani yake,

ISA 5:2 Removed trailing space in p~: na kutengeneza shinikizo la kukamulia divai pia.

ISA 5:2 Removed trailing space in p~: Kisha akatazamia kupata mazao ya zabibu nzuri,

ISA 5:2 Removed trailing space in p~: lakini lilizaa matunda mabaya tu.

ISA 5:3 Removed trailing space in v~: “Basi enyi wakazi wa Yerusalemu na watu wa Yuda,

ISA 5:3 Removed trailing space in p~: hukumuni kati yangu na shamba langu la mizabibu.

ISA 5:4 Removed trailing space in v~: Ni nini zaidi ambacho kingeweza kufanyika kwa shamba langu la mizabibu

ISA 5:4 Removed trailing space in p~: kuliko yale niliyofanya?

ISA 5:4 Removed trailing space in p~: Nilipotazamia kupata zabibu nzuri,

ISA 5:4 Removed trailing space in p~: kwa nini lilizaa zabibu mbaya tu?

ISA 5:5 Removed trailing space in v~: Sasa nitawaambia lile nitakalolitendea

ISA 5:5 Removed trailing space in p~: shamba langu la mizabibu:

ISA 5:5 Removed trailing space in p~: Nitaondoa uzio wake,

ISA 5:5 Removed trailing space in p~: nalo litaharibiwa,

ISA 5:5 Removed trailing space in p~: nitabomoa ukuta wake,

ISA 5:5 Removed trailing space in p~: nalo litakanyagwa.

ISA 5:6 Removed trailing space in v~: Nitalifanya nchi ya ukiwa isiyokaliwa na watu,

ISA 5:6 Removed trailing space in p~: halitakatiwa matawi wala kulimwa,

ISA 5:6 Removed trailing space in p~: nayo michongoma na miiba itamea huko,

ISA 5:6 Removed trailing space in p~: nitaamuru mawingu yasinyeshe mvua juu yake.”

ISA 5:7 Removed trailing space in v~: Shamba la mzabibu la \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 5:7 Removed trailing space in p~: ni nyumba ya Israeli,

ISA 5:7 Removed trailing space in p~: na watu wa Yuda

ISA 5:7 Removed trailing space in p~: ni bustani yake ya kumpendeza.

ISA 5:7 Removed trailing space in p~: Alitazamia haki, lakini akaona umwagaji damu,

ISA 5:7 Removed trailing space in p~: alitazamia uadilifu, lakini akasikia vilio vya taabu.

ISA 5:7 Removed trailing space in s1: Ole Na Hukumu

ISA 5:8 Removed trailing space in v~: Ole wenu mnaoongeza nyumba baada ya nyumba

ISA 5:8 Removed trailing space in p~: na kuunganisha mashamba baada ya mashamba

ISA 5:8 Removed trailing space in p~: hadi hakuna nafasi iliyobaki,

ISA 5:8 Removed trailing space in p~: nanyi mnaishi peke yenu katika nchi.

ISA 5:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote amesema nikisikia:

ISA 5:9 Removed trailing space in p~: “Hakika nyumba kubwa zitakuwa ukiwa,

ISA 5:9 Removed trailing space in p~: nayo majumba ya fahari yatabaki bila kukaliwa.

ISA 5:10 Removed trailing space in v~: Shamba la mizabibu la eka kumi

ISA 5:10 Removed trailing space in p~: litatoa bathi\f + \fr 5:10 \ft Bathi moja ni sawa na lita 22.\f* moja ya divai,

ISA 5:10 Removed trailing space in p~: na homeri\f + \fr 5:10 \ft Homeri moja ni sawa na lita 220.\f* ya mbegu zilizopandwa

ISA 5:10 Removed trailing space in p~: itatoa efa\f + \fr 5:10 \ft Efa moja ni sawa na lita 22.\f* moja tu ya nafaka.”

ISA 5:11 Removed trailing space in v~: Ole wao wale waamkao asubuhi na mapema

ISA 5:11 Removed trailing space in p~: wakikimbilia kunywa vileo,

ISA 5:11 Removed trailing space in p~: wale wakawiao sana mpaka usiku,

ISA 5:11 Removed trailing space in p~: mpaka wamewaka kwa mvinyo.

ISA 5:12 Removed trailing space in v~: Wana vinubi na zeze kwenye karamu zao,

ISA 5:12 Removed trailing space in p~: matari, filimbi na mvinyo,

ISA 5:12 Removed trailing space in p~: lakini hawayajali matendo ya \nd Bwana\nd*,

ISA 5:12 Removed trailing space in p~: wala hawana heshima kwa ajili ya kazi ya mikono yake.

ISA 5:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wangu watakwenda uhamishoni

ISA 5:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya kukosa ufahamu,

ISA 5:13 Removed trailing space in p~: watu wao wenye vyeo watakufa kwa njaa

ISA 5:13 Removed trailing space in p~: na watu wao wengi watakauka kwa kiu.

ISA 5:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kaburi\f + \fr 5:14 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f* limeongeza hamu yake

ISA 5:14 Removed trailing space in p~: na kupanua mdomo wake bila kikomo,

ISA 5:14 Removed trailing space in p~: ndani mwake watashuka wakuu wao na wingi wa watu,

ISA 5:14 Removed trailing space in p~: pamoja na wagomvi wao, na wafanyao sherehe wote.

ISA 5:15 Removed trailing space in v~: Hivyo mwanadamu atashushwa,

ISA 5:15 Removed trailing space in p~: na binadamu kunyenyekezwa,

ISA 5:15 Removed trailing space in p~: macho ya wenye majivuno yatanyenyekezwa.

ISA 5:16 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote atatukuzwa

ISA 5:16 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya haki yake,

ISA 5:16 Removed trailing space in p~: naye Mungu Mtakatifu atajionyesha mwenyewe

ISA 5:16 Removed trailing space in p~: kuwa mtakatifu kwa haki yake.

ISA 5:17 Removed trailing space in v~: Kondoo watajilisha kwenye malisho yao wenyewe,

ISA 5:17 Removed trailing space in p~: wana-kondoo watajilisha katika magofu ya matajiri.

ISA 5:18 Removed trailing space in v~: Ole wao wanaovuta dhambi kwa kamba za udanganyifu

ISA 5:18 Removed trailing space in p~: na uovu kama kwa kamba za mkokoteni,

ISA 5:19 Removed trailing space in v~: kwa wale wanaosema, “Mungu na afanye haraka,

ISA 5:19 Removed trailing space in p~: aharakishe kazi yake ili tupate kuiona.

ISA 5:19 Removed trailing space in p~: Huo mpango wa Aliye Mtakatifu wa Israeli na ukamilike,

ISA 5:19 Removed trailing space in p~: tena udhihirike ili tupate kuujua.”

ISA 5:20 Removed trailing space in v~: Ole wao wanaoita ubaya ni wema,

ISA 5:20 Removed trailing space in p~: na wema ni ubaya,

ISA 5:20 Removed trailing space in p~: wawekao giza badala ya nuru,

ISA 5:20 Removed trailing space in p~: na nuru badala ya giza,

ISA 5:20 Removed trailing space in p~: wawekao uchungu badala ya utamu,

ISA 5:20 Removed trailing space in p~: na utamu badala ya uchungu.

ISA 5:21 Removed trailing space in v~: Ole wao walio na hekima machoni pao wenyewe,

ISA 5:21 Removed trailing space in p~: na kujiona wenye akili machoni pao wenyewe.

ISA 5:22 Removed trailing space in v~: Ole wao walio mashujaa kwa kunywa mvinyo,

ISA 5:22 Removed trailing space in p~: nao walio hodari katika kuchanganya vileo,

ISA 5:23 Removed trailing space in v~: wale wanaoachilia wenye hatia kwa kupokea hongo,

ISA 5:23 Removed trailing space in p~: lakini huwanyima haki wasio na hatia.

ISA 5:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kama ndimi za moto zirambavyo nyasi,

ISA 5:24 Removed trailing space in p~: na kama vile majani makavu yazamavyo katika miali ya moto,

ISA 5:24 Removed trailing space in p~: ndivyo mizizi yao itakavyooza

ISA 5:24 Removed trailing space in p~: na maua yao yatakavyopeperushwa kama mavumbi;

ISA 5:24 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wameikataa sheria ya \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 5:24 Removed trailing space in p~: na kulisukumia mbali neno la Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 5:25 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hasira ya \nd Bwana\nd* inawaka dhidi ya watu wake,

ISA 5:25 Removed trailing space in p~: mkono wake umeinuliwa na anawapiga.

ISA 5:25 Removed trailing space in p~: Milima inatetemeka,

ISA 5:25 Removed trailing space in p~: maiti ni kama takataka kwenye barabara.

ISA 5:25 Removed trailing space in p~: Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

ISA 5:25 Removed trailing space in p~: mkono wake bado umeinuliwa juu.

ISA 5:26 Removed trailing space in v~: Yeye anainua bendera kwa ajili ya mataifa yaliyo mbali,

ISA 5:26 Removed trailing space in p~: anapiga filimbi kwa ajili ya wale walio kwenye miisho ya dunia.

ISA 5:26 Removed trailing space in p~: Tazama wamekuja,

ISA 5:26 Removed trailing space in p~: kwa kasi na kwa haraka!

ISA 5:27 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mmoja wao anayechoka wala kujikwaa,

ISA 5:27 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja anayesinzia wala kulala,

ISA 5:27 Removed trailing space in p~: hakuna mkanda uliolegezwa kiunoni,

ISA 5:27 Removed trailing space in p~: hakuna gidamu ya kiatu iliyokatika.

ISA 5:28 Removed trailing space in v~: Mishale yao ni mikali,

ISA 5:28 Removed trailing space in p~: pinde zao zote zimevutwa,

ISA 5:28 Removed trailing space in p~: kwato za farasi wao ziko kama jiwe la gumegume,

ISA 5:28 Removed trailing space in p~: magurudumu ya magari yao ya vita ni kama upepo wa kisulisuli.

ISA 5:29 Removed trailing space in v~: Ngurumo yao ni kama ile ya simba,

ISA 5:29 Removed trailing space in p~: wananguruma kama wana simba,

ISA 5:29 Removed trailing space in p~: wanakoroma wanapokamata mawindo yao,

ISA 5:29 Removed trailing space in p~: na kuondoka nayo pasipo yeyote wa kuokoa.

ISA 5:30 Removed trailing space in v~: Katika siku ile watanguruma juu yake

ISA 5:30 Removed trailing space in p~: kama ngurumo za bahari.

ISA 5:30 Removed trailing space in p~: Kama mtu akiitazama nchi,

ISA 5:30 Removed trailing space in p~: ataona giza na dhiki;

ISA 5:30 Removed trailing space in p~: hata nuru itatiwa giza kwa mawingu.

ISA 6:0 Extra space after chapter number

ISA 6:0 Removed trailing space in c: 6

ISA 6:0 Removed trailing space in s1: Agizo Kwa Isaya

ISA 6:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka ule Mfalme Uzia alikufa, nilimwona Bwana ameketi katika kiti cha enzi, kilicho juu na kilichotukuzwa sana, nalo pindo la joho lake likajaza Hekalu.

ISA 6:2 Removed trailing space in v~: Juu yake walikuwepo maserafi, kila mmoja alikuwa na mabawa sita: Kwa mabawa mawili walifunika nyuso zao, kwa mengine mawili walifunika miguu yao, na kwa mawili walikuwa wakiruka.

ISA 6:3 Removed trailing space in v~: Nao walikuwa wakiitana kila mmoja na mwenzake:

ISA 6:3 Removed trailing space in p~: “Mtakatifu, Mtakatifu, Mtakatifu

ISA 6:3 Removed trailing space in p~: ni \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote;

ISA 6:3 Removed trailing space in p~: dunia yote imejaa utukufu wake.”

ISA 6:4 Removed trailing space in v~: Kwa sauti zao, miimo ya milango na vizingiti vilitikisika, nalo Hekalu likajaa moshi.

ISA 6:5 Removed trailing space in v~: Ndipo nikalia, “Ole wangu! Nimeangamia! Kwa kuwa mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninaishi katikati ya watu wenye midomo michafu, nayo macho yangu yamemwona Mfalme, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.”

ISA 6:6 Removed trailing space in v~: Ndipo mmoja wa wale maserafi akaruka kunijia akiwa na kaa la moto linalowaka mkononi mwake, ambalo alikuwa amelichukua kwa koleo kutoka madhabahuni.

ISA 6:7 Removed trailing space in v~: Akanigusa nalo kinywa changu na kusema, “Tazama, hili limegusa midomo yako, uovu wako umeondolewa, nayo dhambi yako imesamehewa.”

ISA 6:8 Removed trailing space in v~: Kisha nikasikia sauti ya Bwana ikisema, “Nimtume nani? Ni nani atakayekwenda kwa ajili yetu?”

ISA 6:8 Removed trailing space in p~: Nami nikasema, “Mimi hapa. Nitume mimi!”

ISA 6:9 Removed trailing space in v~: Akasema, “Nenda ukawaambie watu hawa:

ISA 6:9 Removed trailing space in p~: “ ‘Mtaendelea daima kusikiliza,

ISA 6:9 Removed trailing space in p~: lakini kamwe hamtaelewa;

ISA 6:9 Removed trailing space in p~: mtaendelea daima kutazama,

ISA 6:9 Removed trailing space in p~: lakini kamwe hamtatambua.’

ISA 6:10 Removed trailing space in v~: Fanya mioyo ya watu hawa kuwa migumu,

ISA 6:10 Removed trailing space in p~: fanya masikio yao yasisikie,

ISA 6:10 Removed trailing space in p~: na upofushe macho yao.

ISA 6:10 Removed trailing space in p~: Wasije wakaona kwa macho yao,

ISA 6:10 Removed trailing space in p~: na wakasikiliza kwa masikio yao,

ISA 6:10 Removed trailing space in p~: wakaelewa kwa mioyo yao,

ISA 6:10 Removed trailing space in p~: nao wakageuka, nikawaponywa.”

ISA 6:11 Removed trailing space in v~: Ndipo nikasema, “Hadi lini, Ee Bwana?”

ISA 6:11 Removed trailing space in p~: Naye akanijibu:

ISA 6:11 Removed trailing space in p~: “Hadi miji iwe imeachwa magofu

ISA 6:11 Removed trailing space in p~: na bila wakazi,

ISA 6:11 Removed trailing space in p~: hadi nyumba zitakapobaki bila watu,

ISA 6:11 Removed trailing space in p~: na mashamba yatakapoharibiwa na kuangamizwa,

ISA 6:12 Removed trailing space in v~: hadi \nd Bwana\nd* atakapokuwa amekwisha kumpeleka kila mmoja mbali sana,

ISA 6:12 Removed trailing space in p~: na nchi itakapokuwa imeachwa kabisa.

ISA 6:13 Removed trailing space in v~: Hata kama sehemu ya kumi ya watu watabaki katika nchi,

ISA 6:13 Removed trailing space in p~: itaharibiwa tena.

ISA 6:13 Removed trailing space in p~: Lakini kama vile mvinje na mwaloni

ISA 6:13 Removed trailing space in p~: ibakizavyo visiki inapokatwa,

ISA 6:13 Removed trailing space in p~: ndivyo mbegu takatifu

ISA 6:13 Removed trailing space in p~: itakavyokuwa kisiki katika nchi.”

ISA 7:0 Extra space after chapter number

ISA 7:0 Removed trailing space in c: 7

ISA 7:0 Removed trailing space in s1: Ishara Ya Imanueli

ISA 7:1 Removed trailing space in v~: Wakati Ahazi mwana wa Yothamu, mwana wa Uzia, alipokuwa mfalme wa Yuda, Mfalme Resini wa Aramu,\f + \fr 7:1 \ft Yaani Shamu.\f* na Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli walipanda kupigana dhidi ya Yerusalemu, lakini hawakuweza kuushinda.

ISA 7:2 Removed trailing space in v~: Wakati huu nyumba ya Daudi iliambiwa, “Aramu wameungana na Efraimu.” Kwa hiyo mioyo ya Ahazi na watu wake ilitikiswa, kama miti ya msituni inavyotikiswa na upepo.

ISA 7:3 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akamwambia Isaya, “Toka uende, wewe na mwanao Shear-Yashubu,\f + \fr 7:3 \ft Shear-Yashubu maana yake Mabaki Watarudi.\f* mkutane na Ahazi huko mwisho wa mfereji wa Bwawa la Juu, kwenye barabara iendayo Shamba la Dobi.

ISA 7:4 Removed trailing space in v~: Mwambie, ‘Uwe mwangalifu, utulie na usiogope. Usife moyo kwa ajili ya watu hawa wawili walio kama visiki vya kuni vifukavyo moshi, kwa ajili ya hasira kali ya Resini na Aramu na ya mwana wa Remalia.

ISA 7:5 Removed trailing space in v~: Aramu, Efraimu na mwana wa Remalia wamepanga shauri baya ili wakuangamize, wakisema,

ISA 7:6 Removed trailing space in v~: “Tuishambulie Yuda, naam, tuirarue vipande vipande na kuigawa miongoni mwetu, na kumtawaza mwana wa Tabeeli awe mfalme juu yake.”

ISA 7:7 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* Mwenyezi asema hivi:

ISA 7:7 Removed trailing space in p~: “ ‘Jambo hili halitatendeka,

ISA 7:7 Removed trailing space in p~: halitatokea,

ISA 7:8 Removed trailing space in v~: kwa kuwa kichwa cha Aramu ni Dameski,

ISA 7:8 Removed trailing space in p~: na kichwa cha Dameski ni Resini peke yake.

ISA 7:8 Removed trailing space in p~: Katika muda wa miaka sitini na mitano,

ISA 7:8 Removed trailing space in p~: Efraimu atakuwa ameharibiwa

ISA 7:8 Removed trailing space in p~: kiasi kwamba hataweza tena kuwa taifa.

ISA 7:9 Removed trailing space in v~: Kichwa cha Efraimu ni Samaria,

ISA 7:9 Removed trailing space in p~: na kichwa cha Samaria

ISA 7:9 Removed trailing space in p~: ni mwana wa Remalia peke yake.

ISA 7:9 Removed trailing space in p~: Kama hamtasimama thabiti katika imani yenu,

ISA 7:9 Removed trailing space in p~: hamtaimarika kamwe.’ ”

ISA 7:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema na Ahazi tena,

ISA 7:11 Removed trailing space in v~: “Mwombe \nd Bwana\nd* Mungu wako ishara, iwe kwenye vina virefu sana, au kwenye vimo virefu sana.”

ISA 7:12 Removed trailing space in v~: Lakini Ahazi akasema, “Sitaomba; sitamjaribu \nd Bwana\nd*.”

ISA 7:13 Removed trailing space in v~: Ndipo Isaya akasema, “Sikia sasa, ewe nyumba ya Daudi! Je, haitoshi kujaribu uvumilivu wa wanadamu? Je, mtaujaribu uvumilivu wa Mungu wangu pia?

ISA 7:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Bwana mwenyewe atawapa ishara: Bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana, na ataitwa Imanueli.\f + \fr 7:14 \ft Imanueli maana yake Mungu yu pamoja nasi.\f*

ISA 7:15 Removed trailing space in v~: Atakula jibini na asali atakapokuwa ameweza kukataa mabaya na kuchagua mema.

ISA 7:16 Removed trailing space in v~: Lakini kabla mtoto hajajua kukataa mabaya na kuchagua mema, nchi ya wafalme hao wawili unaowaogopa itafanywa ukiwa.

ISA 7:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataleta juu yako, juu ya watu wako, na juu ya nyumba ya baba yako wakati ambao haujawahi kuwako tangu Efraimu alipojitenga na Yuda: yeye atawaleteeni mfalme wa Ashuru.”

ISA 7:18 Removed trailing space in v~: Katika siku ile \nd Bwana\nd* atawapigia filimbi mainzi kutoka vijito vya mbali vya Misri, na nyuki kutoka nchi ya Ashuru.

ISA 7:19 Removed trailing space in v~: Wote watakuja na kukaa kwenye mabonde yenye miteremko, na kwenye nyufa za miamba, kwenye vichaka vyote vyenye miiba, na kwenye mashimo yote ya maji.

ISA 7:20 Removed trailing space in v~: Katika siku ile Bwana atatumia wembe ulioajiriwa kutoka ngʼambo ya Mto,\f + \fr 7:20 \ft Yaani Frati.\f* yaani mfalme wa Ashuru, kunyoa nywele za kichwa chako na malaika ya miguu yako, na kuziondoa ndevu zako pia.

ISA 7:21 Removed trailing space in v~: Katika siku ile, mtu atahifadhi hai ndama mmoja na kondoo wawili.

ISA 7:22 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya wingi wa maziwa watakayotoa, atapata jibini ya kula. Wote watakaobakia katika nchi watakula jibini na asali.

ISA 7:23 Removed trailing space in v~: Katika siku ile, kila mahali palipokuwa na mizabibu elfu moja yenye thamani ya shekeli 1,000\f + \fr 7:23 \ft Shekeli 1,000 ni kama kilo 11.5.\f* za fedha, patakuwa na michongoma na miiba tu.

ISA 7:24 Removed trailing space in v~: Watu watakwenda huko wakiwa na upinde na mshale, kwa maana nchi itafunikwa na michongoma na miiba.

ISA 7:25 Removed trailing space in v~: Kuhusu vilima vyote vilivyokuwa vikilimwa kwa jembe, hamtakwenda huko tena kwa ajili ya hofu ya michongoma na miiba. Patakuwa mahali ambapo ngʼombe wataachiwa huru, na kondoo kukimbia kimbia.

ISA 8:0 Extra space after chapter number

ISA 8:0 Removed trailing space in c: 8

ISA 8:0 Removed trailing space in s1: Ashuru, Chombo Cha \nd Bwana\nd*

ISA 8:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Chukua gombo kubwa, uandike juu yake kwa kalamu ya kawaida jina: Maher-Shalal-Hash-Bazi.\f + \fr 8:1 \ft Maher-Shalal-Hash-Bazi maana yake ni Haraka kuteka nyara, Upesi kwenye hizo nyara.\f*

ISA 8:2 Removed trailing space in v~: Nami nitawaita kuhani Uria, na Zekaria mwana wa Yeberekia kama mashahidi wangu waaminifu.”

ISA 8:3 Removed trailing space in v~: Kisha nikaenda kwa nabii mke, naye akapata mimba, akazaa mwana. Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia, “Mwite huyo mtoto Maher-Shalal-Hash-Bazi.

ISA 8:4 Removed trailing space in v~: Kabla mtoto hajaweza kusema ‘Baba yangu’ au ‘Mama yangu,’ utajiri wa Dameski na nyara za Samaria zitachukuliwa na mfalme wa Ashuru.”

ISA 8:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema nami tena:

ISA 8:6 Removed trailing space in v~: “Kwa sababu watu hawa wamekataa maji ya Shilo yatiririkayo taratibu

ISA 8:6 Removed trailing space in p~: wakamfurahia Resini na mwana wa Remalia,

ISA 8:7 Removed trailing space in v~: kwa hiyo Bwana yu karibu kuleta dhidi yao

ISA 8:7 Removed trailing space in p~: mafuriko makubwa ya Mto:\f + \fr 8:7 \ft Yaani Frati.\f*

ISA 8:7 Removed trailing space in p~: yaani mfalme wa Ashuru na fahari yake yote.

ISA 8:7 Removed trailing space in p~: Yatafurika juu ya mifereji yake yote,

ISA 8:7 Removed trailing space in p~: yatamwagikia juu ya kingo zake zote,

ISA 8:8 Removed trailing space in v~: na kufika hadi Yuda, yakizunguka kwa kasi juu yake,

ISA 8:8 Removed trailing space in p~: yakipita katikati na yakifika hadi shingoni.

ISA 8:8 Removed trailing space in p~: Mabawa yake yaliyokunjuliwa

ISA 8:8 Removed trailing space in p~: yatafunika upana wa nchi yako,

ISA 8:8 Removed trailing space in p~: Ee Imanueli!”\f + \fr 8:8 \ft Imanueli maana yake Mungu yu pamoja nasi.\f*

ISA 8:9 Removed trailing space in v~: Inueni kilio cha vita, enyi mataifa,

ISA 8:9 Removed trailing space in p~: na mkavunjwevunjwe!

ISA 8:9 Removed trailing space in p~: Sikilizeni, enyi nyote nchi za mbali.

ISA 8:9 Removed trailing space in p~: Jiandaeni kwa vita, nanyi mkavunjwevunjwe!

ISA 8:9 Removed trailing space in p~: Jiandaeni kwa vita, nanyi mkavunjwevunjwe!

ISA 8:10 Removed trailing space in v~: Wekeni mikakati yenu, lakini itashindwa;

ISA 8:10 Removed trailing space in p~: fanyeni mipango yenu, lakini haitafanikiwa,

ISA 8:10 Removed trailing space in p~: kwa maana Mungu yu pamoja nasi.\f + \fr 8:10 \ft Kiebrania ni Imanueli.\f*

ISA 8:10 Removed trailing space in s1: Mwogope Mungu

ISA 8:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alisema nami mkono wake wenye nguvu ukiwa juu yangu, akinionya nisifuate njia za taifa hili. Akasema:

ISA 8:12 Removed trailing space in v~: “Usiite fitina kila kitu ambacho watu hawa hukiita fitina,

ISA 8:12 Removed trailing space in p~: usiogope kile wanachokiogopa,

ISA 8:12 Removed trailing space in p~: wala usikihofu.

ISA 8:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndiye peke yake

ISA 8:13 Removed trailing space in p~: ikupasaye kumheshimu kuwa mtakatifu,

ISA 8:13 Removed trailing space in p~: ndiye peke yake utakayemwogopa,

ISA 8:13 Removed trailing space in p~: ndiye peke yake utakayemhofu,

ISA 8:14 Removed trailing space in v~: naye atakuwa mahali patakatifu;

ISA 8:14 Removed trailing space in p~: lakini kwa nyumba zote mbili za Israeli atakuwa

ISA 8:14 Removed trailing space in p~: jiwe lile linalosababisha watu kujikwaa

ISA 8:14 Removed trailing space in p~: na mwamba wa kuwaangusha.

ISA 8:14 Removed trailing space in p~: Kwa watu wa Yerusalemu,

ISA 8:14 Removed trailing space in p~: atakuwa mtego na tanzi.

ISA 8:15 Removed trailing space in v~: Wengi wao watajikwaa;

ISA 8:15 Removed trailing space in p~: wataanguka na kuvunjika,

ISA 8:15 Removed trailing space in p~: watategwa na kunaswa.”

ISA 8:16 Removed trailing space in v~: Funga ushuhuda na kutia muhuri sheria

ISA 8:16 Removed trailing space in p~: miongoni mwa wanafunzi wangu.

ISA 8:17 Removed trailing space in v~: Nitamngojea \nd Bwana\nd*,

ISA 8:17 Removed trailing space in p~: ambaye ameificha nyumba ya Yakobo uso wake.

ISA 8:17 Removed trailing space in p~: Nitaliweka tumaini langu kwake.

ISA 8:18 Removed trailing space in v~: Niko hapa, pamoja na watoto ambao \nd Bwana\nd* amenipa. Sisi ni ishara na mfano wake katika Israeli, kutoka kwa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, anayeishi juu ya Mlima Sayuni.

ISA 8:19 Removed trailing space in v~: Wakati watu wanapowaambia ninyi kutafuta ushauri kwa waaguzi na wenye kuongea na mizimu, ambao hunongʼona na kunungʼunika, je, watu wasingeuliza kwa Mungu wao? Kwa nini watake shauri kwa wafu kwa ajili ya walio hai?

ISA 8:20 Removed trailing space in v~: Kwa sheria na kwa ushuhuda! Kama hawatasema sawasawa na neno hili, hawana mwanga wa mapambazuko.

ISA 8:21 Removed trailing space in v~: Watazunguka katika nchi yote, wakiwa na dhiki na njaa. Watakapotaabika kwa njaa, watapatwa na hasira kali, nao, wakiwa wanatazama juu, watamlaani mfalme wao na Mungu wao.

ISA 8:22 Removed trailing space in v~: Kisha wataangalia duniani na kuona tu dhiki na giza, hofu na huzuni tupu, nao watasukumiwa kwenye giza nene kabisa.

ISA 9:0 Extra space after chapter number

ISA 9:0 Removed trailing space in c: 9

ISA 9:0 Removed trailing space in s1: Kwa Ajili Yetu Mtoto Amezaliwa

ISA 9:1 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, hapatakuwepo huzuni tena kwa wale waliokuwa katika dhiki. Wakati uliopita aliidhili nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, lakini katika siku zijazo ataiheshimu Galilaya ya Mataifa, karibu na njia ya bahari, kando ya Yordani:

ISA 9:2 Removed trailing space in v~: Watu wanaotembea katika giza

ISA 9:2 Removed trailing space in p~: wameona nuru kuu,

ISA 9:2 Removed trailing space in p~: wale wanaoishi katika nchi ya uvuli wa mauti,

ISA 9:2 Removed trailing space in p~: nuru imewazukia.

ISA 9:3 Removed trailing space in v~: Umelikuza taifa,

ISA 9:3 Removed trailing space in p~: na kuzidisha furaha yao,

ISA 9:3 Removed trailing space in p~: wanafurahia mbele zako,

ISA 9:3 Removed trailing space in p~: kama watu wanavyofurahia wakati wa mavuno,

ISA 9:3 Removed trailing space in p~: kama watu wafurahivyo

ISA 9:3 Removed trailing space in p~: wagawanyapo nyara.

ISA 9:4 Removed trailing space in v~: Kama vile siku ya kushindwa kwa Wamidiani,

ISA 9:4 Removed trailing space in p~: umevunja nira iliyowalemea,

ISA 9:4 Removed trailing space in p~: ile gongo mabegani mwao na

ISA 9:4 Removed trailing space in p~: fimbo yake yeye aliyewaonea.

ISA 9:5 Removed trailing space in v~: Kila kiatu cha askari kilichotumiwa vitani,

ISA 9:5 Removed trailing space in p~: na kila vazi lililovingirishwa katika damu

ISA 9:5 Removed trailing space in p~: vitawekwa kwa ajili ya kuchomwa,

ISA 9:5 Removed trailing space in p~: vitakuwa kuni za kuwasha moto.

ISA 9:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana, kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,

ISA 9:6 Removed trailing space in p~: tumepewa mtoto mwanaume,

ISA 9:6 Removed trailing space in p~: nao utawala utakuwa mabegani mwake.

ISA 9:6 Removed trailing space in p~: Naye ataitwa

ISA 9:6 Removed trailing space in p~: Mshauri wa Ajabu, Mungu Mwenye Nguvu,

ISA 9:6 Removed trailing space in p~: Baba wa Milele, Mfalme wa Amani.

ISA 9:7 Removed trailing space in v~: Kuongezeka kwa utawala wake na amani

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: hakutakuwa na mwisho.

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: Atatawala katika kiti cha enzi cha Daudi

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: na juu ya ufalme wake,

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: akiuthibitisha na kuutegemeza

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: kwa haki na kwa adili,

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: tangu wakati huo na hata milele.

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: Wivu wa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 9:7 Removed trailing space in p~: utatimiza haya.

ISA 9:7 Removed trailing space in s1: Hasira Ya \nd Bwana\nd* Dhidi Ya Israeli

ISA 9:8 Removed trailing space in v~: Bwana ametuma ujumbe dhidi ya Yakobo,

ISA 9:8 Removed trailing space in p~: utamwangukia Israeli.

ISA 9:9 Removed trailing space in v~: Watu wote watajua hili:

ISA 9:9 Removed trailing space in p~: Efraimu na wakazi wa Samaria,

ISA 9:9 Removed trailing space in p~: wanaosema kwa kiburi

ISA 9:9 Removed trailing space in p~: na majivuno ya mioyo,

ISA 9:10 Removed trailing space in v~: “Matofali yameanguka chini,

ISA 9:10 Removed trailing space in p~: lakini tutajenga tena kwa mawe yaliyochongwa,

ISA 9:10 Removed trailing space in p~: mitini imeangushwa,

ISA 9:10 Removed trailing space in p~: lakini tutapanda mierezi badala yake.”

ISA 9:11 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* amemtia nguvu adui wa Resini dhidi yao

ISA 9:11 Removed trailing space in p~: na kuchochea watesi wao.

ISA 9:12 Removed trailing space in v~: Waashuru kutoka upande wa mashariki

ISA 9:12 Removed trailing space in p~: na Wafilisti kutoka upande wa magharibi

ISA 9:12 Removed trailing space in p~: wameila Israeli kwa kinywa kilichopanuliwa.

ISA 9:12 Removed trailing space in p~: Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

ISA 9:12 Removed trailing space in p~: mkono wake bado umeinuliwa juu.

ISA 9:13 Removed trailing space in v~: Lakini watu hawajamrudia yeye aliyewapiga,

ISA 9:13 Removed trailing space in p~: wala hawajamtafuta \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ISA 9:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* atakatilia mbali kutoka Israeli kichwa na mkia,

ISA 9:14 Removed trailing space in p~: tawi la mtende na tete katika siku moja.

ISA 9:15 Removed trailing space in v~: Wazee na watu mashuhuri ndio vichwa,

ISA 9:15 Removed trailing space in p~: nao manabii wanaofundisha uongo ndio mkia.

ISA 9:16 Removed trailing space in v~: Wale wanaowaongoza watu hawa wanawapotosha,

ISA 9:16 Removed trailing space in p~: nao wale wanaoongozwa wamepotoka.

ISA 9:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Bwana hatawafurahia vijana,

ISA 9:17 Removed trailing space in p~: wala hatawahurumia yatima na wajane,

ISA 9:17 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kila mmoja wao hamchi Mungu, nao ni waovu,

ISA 9:17 Removed trailing space in p~: na kila kinywa kinanena upotovu.

ISA 9:17 Removed trailing space in p~: Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

ISA 9:17 Removed trailing space in p~: mkono wake bado umeinuliwa juu.

ISA 9:18 Removed trailing space in v~: Hakika uovu huwaka kama moto;

ISA 9:18 Removed trailing space in p~: huteketeza michongoma na miiba,

ISA 9:18 Removed trailing space in p~: huwasha moto vichaka vya msituni,

ISA 9:18 Removed trailing space in p~: hujiviringisha kuelekea juu kama nguzo ya moshi.

ISA 9:19 Removed trailing space in v~: Kwa hasira ya \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 9:19 Removed trailing space in p~: nchi itachomwa kwa moto,

ISA 9:19 Removed trailing space in p~: nao watu watakuwa kuni za kuchochea moto.

ISA 9:19 Removed trailing space in p~: Hakuna mtu atakayemhurumia ndugu yake.

ISA 9:20 Removed trailing space in v~: Upande wa kuume watakuwa wakitafuna,

ISA 9:20 Removed trailing space in p~: lakini bado wataona njaa;

ISA 9:20 Removed trailing space in p~: upande wa kushoto watakuwa wakila,

ISA 9:20 Removed trailing space in p~: lakini hawatashiba.

ISA 9:20 Removed trailing space in p~: Kila mmoja atajilisha kwa nyama ya mtoto wake mwenyewe:

ISA 9:21 Removed trailing space in v~: Manase atamla Efraimu,

ISA 9:21 Removed trailing space in p~: naye Efraimu atamla Manase;

ISA 9:21 Removed trailing space in p~: nao pamoja watakuwa kinyume na Yuda.

ISA 9:21 Removed trailing space in p~: Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

ISA 9:21 Removed trailing space in p~: mkono wake bado umeinuliwa juu.

ISA 10:0 Extra space after chapter number

ISA 10:0 Removed trailing space in c: 10

ISA 10:1 Removed trailing space in v~: Ole wao wawekao sheria zisizo za haki,

ISA 10:1 Removed trailing space in p~: kwa wale watoao amri za kuonea,

ISA 10:2 Removed trailing space in v~: kuwanyima maskini haki zao

ISA 10:2 Removed trailing space in p~: na kuzuilia haki za watu wangu walioonewa,

ISA 10:2 Removed trailing space in p~: kuwafanya wajane mawindo yao

ISA 10:2 Removed trailing space in p~: na kuwanyangʼanya yatima.

ISA 10:3 Removed trailing space in v~: Mtafanya nini siku ya kutoa hesabu,

ISA 10:3 Removed trailing space in p~: wakati maafa yatakapokuja kutoka mbali?

ISA 10:3 Removed trailing space in p~: Mtamkimbilia nani awape msaada?

ISA 10:3 Removed trailing space in p~: Mtaacha wapi mali zenu?

ISA 10:4 Removed trailing space in v~: Hakutasalia kitu chochote,

ISA 10:4 Removed trailing space in p~: isipokuwa kujikunyata miongoni mwa mateka,

ISA 10:4 Removed trailing space in p~: au kuanguka miongoni mwa waliouawa.

ISA 10:4 Removed trailing space in p~: Hata kwa haya yote, hasira yake haijageukia mbali,

ISA 10:4 Removed trailing space in p~: mkono wake bado umeinuliwa juu.

ISA 10:4 Removed trailing space in s1: Hukumu Ya Mungu Juu Ya Ashuru

ISA 10:5 Removed trailing space in v~: “Ole kwa Ashuru, fimbo ya hasira yangu,

ISA 10:5 Removed trailing space in p~: ambaye mkononi mwake ana rungu ya ghadhabu yangu!

ISA 10:6 Removed trailing space in v~: Ninamtuma dhidi ya taifa lisilomjua Mungu,

ISA 10:6 Removed trailing space in p~: ninamtuma dhidi ya taifa linalonikasirisha,

ISA 10:6 Removed trailing space in p~: kukamata mateka na kunyakua nyara,

ISA 10:6 Removed trailing space in p~: pia kuwakanyaga chini kama matope ya barabarani.

ISA 10:7 Removed trailing space in v~: Lakini hili silo analokusudia,

ISA 10:7 Removed trailing space in p~: hili silo alilo nalo akilini;

ISA 10:7 Removed trailing space in p~: kusudi lake ni kuangamiza,

ISA 10:7 Removed trailing space in p~: kuyakomesha mataifa mengi.

ISA 10:8 Removed trailing space in v~: Maana asema, ‘Je, wafalme wote

ISA 10:8 Removed trailing space in p~: si majemadari wangu?

ISA 10:9 Removed trailing space in v~: Je, Kalno hakutendwa kama Karkemishi?

ISA 10:9 Removed trailing space in p~: Hamathi si kama Arpadi,

ISA 10:9 Removed trailing space in p~: nayo Samaria si kama Dameski?

ISA 10:10 Removed trailing space in v~: Kama vile mkono wangu ulivyotwaa falme za sanamu,

ISA 10:10 Removed trailing space in p~: falme ambazo vinyago vyao vilizidi vile vya Yerusalemu na Samaria:

ISA 10:11 Removed trailing space in v~: je, nisiishughulikie Yerusalemu na sanamu zake

ISA 10:11 Removed trailing space in p~: kama nilivyoshughulikia Samaria na vinyago vyake?’ ”

ISA 10:12 Removed trailing space in v~: Bwana atakapokuwa amemaliza kazi yake yote dhidi ya Mlima Sayuni na Yerusalemu, atasema, “Nitamwadhibu mfalme wa Ashuru kwa ajili ya majivuno ya ukaidi wa moyo wake na kutazama kwa macho yenye dharau.”

ISA 10:13 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa anasema:

ISA 10:13 Removed trailing space in p~: “ ‘Kwa nguvu za mkono wangu nimefanya hili,

ISA 10:13 Removed trailing space in p~: kwa hekima yangu, kwa sababu nina ufahamu.

ISA 10:13 Removed trailing space in p~: Niliondoa mipaka ya mataifa,

ISA 10:13 Removed trailing space in p~: niliteka nyara hazina zao,

ISA 10:13 Removed trailing space in p~: kama yeye aliye shujaa

ISA 10:13 Removed trailing space in p~: niliwatiisha wafalme wao.

ISA 10:14 Removed trailing space in v~: Kama mtu atiavyo mkono kwenye kiota,

ISA 10:14 Removed trailing space in p~: ndivyo mkono wangu ulivyochukua utajiri wa mataifa;

ISA 10:14 Removed trailing space in p~: kama watu wakusanyavyo mayai yaliyoachwa,

ISA 10:14 Removed trailing space in p~: ndivyo nilivyokusanya nchi zote;

ISA 10:14 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja aliyepiga bawa

ISA 10:14 Removed trailing space in p~: au kufungua kinywa chake kutoa mlio.’ ”

ISA 10:15 Removed trailing space in v~: Je, shoka laweza kujigamba kuwa na nguvu zaidi

ISA 10:15 Removed trailing space in p~: kuliko yule anayelitumia,

ISA 10:15 Removed trailing space in p~: au msumeno kujisifu

ISA 10:15 Removed trailing space in p~: dhidi ya yule anayeutumia?

ISA 10:15 Removed trailing space in p~: Ni kana kwamba fimbo ingeweza kumwinua yeye aichukuaye,

ISA 10:15 Removed trailing space in p~: au mkongojo ungemwinua mwenye kuutumia!

ISA 10:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 10:16 Removed trailing space in p~: atatuma ugonjwa wa kudhoofisha kwa askari wake walio hodari,

ISA 10:16 Removed trailing space in p~: katika fahari yake moto utawaka

ISA 10:16 Removed trailing space in p~: kama mwali wa moto.

ISA 10:17 Removed trailing space in v~: Nuru ya Israeli itakuwa moto,

ISA 10:17 Removed trailing space in p~: Aliye Mtakatifu wao mwali wa moto;

ISA 10:17 Removed trailing space in p~: katika siku moja utaunguza na kuteketeza miiba

ISA 10:17 Removed trailing space in p~: na michongoma yake.

ISA 10:18 Removed trailing space in v~: Fahari ya misitu yake na mashamba yenye rutuba

ISA 10:18 Removed trailing space in p~: utateketeza kabisa,

ISA 10:18 Removed trailing space in p~: kama vile mtu mgonjwa adhoofikavyo.

ISA 10:19 Removed trailing space in v~: Nayo miti inayobaki katika misitu yake itakuwa michache sana

ISA 10:19 Removed trailing space in p~: hata mtoto mdogo angeweza kuihesabu.

ISA 10:19 Removed trailing space in s1: Mabaki Ya Israeli

ISA 10:20 Removed trailing space in v~: Katika siku ile, mabaki ya Israeli,

ISA 10:20 Removed trailing space in p~: walionusurika wa nyumba ya Yakobo,

ISA 10:20 Removed trailing space in p~: hawatamtegemea tena yeye aliyewapiga,

ISA 10:20 Removed trailing space in p~: lakini watamtegemea kwa kweli

ISA 10:20 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 10:21 Removed trailing space in v~: Mabaki watarudi,\f + \fr 10:21 \ft Kiebrania ni Shear-Yashubu, pia 22.\f* mabaki wa Yakobo

ISA 10:21 Removed trailing space in p~: watamrudia Mungu Mwenye Nguvu.

ISA 10:22 Removed trailing space in v~: Ingawa watu wako, ee Israeli, ni wengi kama mchanga wa pwani,

ISA 10:22 Removed trailing space in p~: ni mabaki yao tu watakaorudi.

ISA 10:22 Removed trailing space in p~: Maangamizi yamekwisha amriwa,

ISA 10:22 Removed trailing space in p~: ni mengi tena ni haki.

ISA 10:23 Removed trailing space in v~: Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, atatekeleza

ISA 10:23 Removed trailing space in p~: maangamizi yaliyoamriwa juu ya nchi yote.

ISA 10:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo:

ISA 10:24 Removed trailing space in p~: “Enyi watu wangu mkaao Sayuni,

ISA 10:24 Removed trailing space in p~: msiwaogope Waashuru,

ISA 10:24 Removed trailing space in p~: wanaowapiga ninyi kwa fimbo

ISA 10:24 Removed trailing space in p~: na kuinua rungu dhidi yenu, kama Misri ilivyofanya.

ISA 10:25 Removed trailing space in v~: Bado kitambo kidogo sana hasira yangu dhidi yenu itakoma,

ISA 10:25 Removed trailing space in p~: na ghadhabu yangu itaelekezwa kwenye maangamizi yao.”

ISA 10:26 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote atawachapa kwa mjeledi,

ISA 10:26 Removed trailing space in p~: kama alivyowapiga Wamidiani katika mwamba wa Orebu,

ISA 10:26 Removed trailing space in p~: naye atainua fimbo yake juu ya maji,

ISA 10:26 Removed trailing space in p~: kama alivyofanya huko Misri.

ISA 10:27 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo mzigo wao utainuliwa kutoka mabegani mwenu,

ISA 10:27 Removed trailing space in p~: na nira yao kutoka shingoni mwenu;

ISA 10:27 Removed trailing space in p~: nira itavunjwa

ISA 10:27 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya kutiwa mafuta.

ISA 10:28 Removed trailing space in v~: Wanaingia Ayathi,

ISA 10:28 Removed trailing space in p~: wanapita katikati ya Migroni,

ISA 10:28 Removed trailing space in p~: wanahifadhi mahitaji huko Mikmashi.

ISA 10:29 Removed trailing space in v~: Wanavuka kivukoni, nao wanasema,

ISA 10:29 Removed trailing space in p~: “Tutapiga kambi huko Geba usiku kucha.”

ISA 10:29 Removed trailing space in p~: Rama inatetemeka;

ISA 10:29 Removed trailing space in p~: Gibea ya Sauli inakimbia.

ISA 10:30 Removed trailing space in v~: Piga kelele, ee Binti Galimu!

ISA 10:30 Removed trailing space in p~: Sikiliza, ee Laisha!

ISA 10:30 Removed trailing space in p~: Maskini Anathothi!

ISA 10:31 Removed trailing space in v~: Madmena inakimbia;

ISA 10:31 Removed trailing space in p~: watu wa Gebimu wanajificha.

ISA 10:32 Removed trailing space in v~: Siku hii ya leo watasimama Nobu;

ISA 10:32 Removed trailing space in p~: watatikisa ngumi zao

ISA 10:32 Removed trailing space in p~: kwa mlima wa Binti Sayuni,

ISA 10:32 Removed trailing space in p~: kwa kilima cha Yerusalemu.

ISA 10:33 Removed trailing space in v~: Tazama, Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 10:33 Removed trailing space in p~: atayakata matawi kwa nguvu kuu.

ISA 10:33 Removed trailing space in p~: Miti mirefu sana itaangushwa,

ISA 10:33 Removed trailing space in p~: ile mirefu itashushwa chini.

ISA 10:34 Removed trailing space in v~: Atakata vichaka vya msitu kwa shoka;

ISA 10:34 Removed trailing space in p~: Lebanoni itaanguka mbele zake yeye Mwenye Nguvu.

ISA 11:0 Extra space after chapter number

ISA 11:0 Removed trailing space in c: 11

ISA 11:0 Removed trailing space in s1: Tawi Kutoka Kwa Yese

ISA 11:1 Removed trailing space in v~: Chipukizi litatokea kutoka shina la Yese,

ISA 11:1 Removed trailing space in p~: kutoka mizizi yake Tawi litazaa tunda.

ISA 11:2 Removed trailing space in v~: Roho wa \nd Bwana\nd* atakaa juu yake,

ISA 11:2 Removed trailing space in p~: Roho wa hekima na wa ufahamu,

ISA 11:2 Removed trailing space in p~: Roho wa shauri na wa uweza,

ISA 11:2 Removed trailing space in p~: Roho wa maarifa na wa kumcha \nd Bwana\nd*

ISA 11:3 Removed trailing space in v~: naye atafurahia kumcha \nd Bwana\nd*.

ISA 11:3 Removed trailing space in p~: Hatahukumu kwa yale ayaonayo kwa macho yake,

ISA 11:3 Removed trailing space in p~: wala kuamua kwa yale ayasikiayo kwa masikio yake,

ISA 11:4 Removed trailing space in v~: bali kwa uadilifu atahukumu wahitaji,

ISA 11:4 Removed trailing space in p~: kwa haki ataamua wanyenyekevu wa dunia.

ISA 11:4 Removed trailing space in p~: Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake,

ISA 11:4 Removed trailing space in p~: kwa pumzi ya midomo yake atawaua waovu.

ISA 11:5 Removed trailing space in v~: Haki itakuwa mkanda wake

ISA 11:5 Removed trailing space in p~: na uaminifu utakuwa mshipi kiunoni mwake.

ISA 11:6 Removed trailing space in v~: Mbwa mwitu ataishi pamoja na mwana-kondoo,

ISA 11:6 Removed trailing space in p~: naye chui atalala pamoja na mbuzi,

ISA 11:6 Removed trailing space in p~: ndama, mwana simba na ngʼombe wa mwaka mmoja watakaa pamoja,

ISA 11:6 Removed trailing space in p~: naye mtoto mdogo atawaongoza.

ISA 11:7 Removed trailing space in v~: Ngʼombe na dubu watalisha pamoja,

ISA 11:7 Removed trailing space in p~: watoto wao watalala pamoja,

ISA 11:7 Removed trailing space in p~: na simba atakula majani makavu kama maksai.

ISA 11:8 Removed trailing space in v~: Mtoto mchanga atacheza karibu na shimo la nyoka,

ISA 11:8 Removed trailing space in p~: naye mtoto mdogo ataweka mkono wake

ISA 11:8 Removed trailing space in p~: kwenye kiota cha fira.

ISA 11:9 Removed trailing space in v~: Hawatadhuru wala kuharibu

ISA 11:9 Removed trailing space in p~: juu ya mlima wangu mtakatifu wote,

ISA 11:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa dunia itajawa na kumjua \nd Bwana\nd*

ISA 11:9 Removed trailing space in p~: kama maji yajazavyo bahari.

ISA 11:10 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo, Shina la Yese atasimama kama bendera kwa ajili ya mataifa. Mataifa yatakusanyika kwake, na mahali pake pa kupumzikia patakuwa utukufu.

ISA 11:11 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo Bwana atanyoosha mkono wake mara ya pili kurudisha mabaki ya watu wake waliosalia kutoka Ashuru, Misri, Pathrosi,\f + \fr 11:11 \ft Pathrosi ina maana Misri ya Juu.\f* Kushi, Elamu, Babeli, Hamathi na kutoka visiwa vya baharini.

ISA 11:12 Removed trailing space in v~: Atainua bendera kwa mataifa

ISA 11:12 Removed trailing space in p~: na kuwakusanya Waisraeli walioko uhamishoni;

ISA 11:12 Removed trailing space in p~: atawakusanya watu wa Yuda waliotawanyika

ISA 11:12 Removed trailing space in p~: kutoka pembe nne za dunia.

ISA 11:13 Removed trailing space in v~: Wivu wa Efraimu utatoweka,

ISA 11:13 Removed trailing space in p~: na adui wa Yuda watakatiliwa mbali;

ISA 11:13 Removed trailing space in p~: Efraimu hatamwonea Yuda wivu,

ISA 11:13 Removed trailing space in p~: wala Yuda hatakuwa na uadui na Efraimu.

ISA 11:14 Removed trailing space in v~: Watawashukia katika miteremko ya Wafilisti

ISA 11:14 Removed trailing space in p~: hadi upande wa magharibi,

ISA 11:14 Removed trailing space in p~: kwa pamoja watawateka watu nyara

ISA 11:14 Removed trailing space in p~: hadi upande wa mashariki.

ISA 11:14 Removed trailing space in p~: Watawapiga Edomu na Moabu,

ISA 11:14 Removed trailing space in p~: na Waamoni watatawaliwa nao.

ISA 11:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakausha

ISA 11:15 Removed trailing space in p~: ghuba ya bahari ya Misri;

ISA 11:15 Removed trailing space in p~: kwa upepo mkavu ataupeleka mkono wake

ISA 11:15 Removed trailing space in p~: juu ya Mto Frati.

ISA 11:15 Removed trailing space in p~: Ataugawanya katika vijito saba

ISA 11:15 Removed trailing space in p~: ili watu waweze kuuvuka wakiwa wamevaa viatu.

ISA 11:16 Removed trailing space in v~: Itakuwepo njia kuu kwa mabaki ya watu wake

ISA 11:16 Removed trailing space in p~: wale waliosalia kutoka Ashuru,

ISA 11:16 Removed trailing space in p~: kama ilivyokuwa kwa Israeli

ISA 11:16 Removed trailing space in p~: walipopanda kutoka Misri.

ISA 12:0 Extra space after chapter number

ISA 12:0 Removed trailing space in c: 12

ISA 12:0 Removed trailing space in s1: Kushukuru Na Kusifu

ISA 12:1 Removed trailing space in v~: Katika siku ile utasema:

ISA 12:1 Removed trailing space in p~: “Nitakusifu wewe, Ee \nd Bwana\nd*.

ISA 12:1 Removed trailing space in p~: Ingawa ulinikasirikia,

ISA 12:1 Removed trailing space in p~: hasira yako imegeukia mbali

ISA 12:1 Removed trailing space in p~: nawe umenifariji.

ISA 12:2 Removed trailing space in v~: Hakika Mungu ni wokovu wangu;

ISA 12:2 Removed trailing space in p~: nitamtumaini wala sitaogopa.

ISA 12:2 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd*, \nd Bwana\nd*, ni nguvu zangu na wimbo wangu;

ISA 12:2 Removed trailing space in p~: amekuwa wokovu wangu.”

ISA 12:3 Removed trailing space in v~: Kwa furaha mtachota maji

ISA 12:3 Removed trailing space in p~: kutoka visima vya wokovu.

ISA 12:4 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo mtasema:

ISA 12:4 Removed trailing space in p~: “Mshukuruni \nd Bwana\nd*, mliitie jina lake;

ISA 12:4 Removed trailing space in p~: julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya,

ISA 12:4 Removed trailing space in p~: tangazeni kuwa jina lake limetukuka.

ISA 12:5 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd*, kwa kuwa ametenda mambo makuu,

ISA 12:5 Removed trailing space in p~: hili na lijulikane duniani kote.

ISA 12:6 Removed trailing space in v~: Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni,

ISA 12:6 Removed trailing space in p~: kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”

ISA 13:0 Extra space after chapter number

ISA 13:0 Removed trailing space in c: 13

ISA 13:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Babeli

ISA 13:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Babeli ambalo Isaya mwana wa Amozi aliliona:

ISA 13:2 Removed trailing space in v~: Twekeni bendera juu ya mlima usio na kitu,

ISA 13:2 Removed trailing space in p~: wapazieni sauti,

ISA 13:2 Removed trailing space in p~: wapungieni mkono waingie

ISA 13:2 Removed trailing space in p~: katika malango ya wenye heshima.

ISA 13:3 Removed trailing space in v~: Nimewaamuru watakatifu wangu;

ISA 13:3 Removed trailing space in p~: nimewaita mashujaa wangu waitimize hasira yangu:

ISA 13:3 Removed trailing space in p~: wale wanaoshangilia ushindi wangu.

ISA 13:4 Removed trailing space in v~: Sikilizeni kelele juu ya milima,

ISA 13:4 Removed trailing space in p~: kama ile ya umati mkubwa wa watu!

ISA 13:4 Removed trailing space in p~: Sikilizeni, makelele katikati ya falme,

ISA 13:4 Removed trailing space in p~: kama mataifa yanayokusanyika pamoja!

ISA 13:4 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote anakusanya

ISA 13:4 Removed trailing space in p~: jeshi kwa ajili ya vita.

ISA 13:5 Removed trailing space in v~: Wanakuja kutoka nchi za mbali sana,

ISA 13:5 Removed trailing space in p~: kutoka miisho ya mbingu,

ISA 13:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* na silaha za ghadhabu yake,

ISA 13:5 Removed trailing space in p~: kuangamiza nchi yote.

ISA 13:6 Removed trailing space in v~: Ombolezeni, kwa maana siku ya \nd Bwana\nd* i karibu,

ISA 13:6 Removed trailing space in p~: itakuja kama uharibifu kutoka kwa Mwenyezi.\f + \fr 13:6 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.\f*

ISA 13:7 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya hili, mikono yote italegea,

ISA 13:7 Removed trailing space in p~: moyo wa kila mtu utayeyuka.

ISA 13:8 Removed trailing space in v~: Hofu itawakamata,

ISA 13:8 Removed trailing space in p~: uchungu na maumivu makali yatawashika,

ISA 13:8 Removed trailing space in p~: watagaagaa kama mwanamke aliye na utungu wa kuzaa.

ISA 13:8 Removed trailing space in p~: Watatazamana kwa hofu kila mtu na mwenzake,

ISA 13:8 Removed trailing space in p~: nyuso zao zikiwaka kama moto.

ISA 13:9 Removed trailing space in v~: Tazameni, siku ya \nd Bwana\nd* inakuja,

ISA 13:9 Removed trailing space in p~: siku katili, yenye ghadhabu na hasira kali,

ISA 13:9 Removed trailing space in p~: kuifanya nchi kuwa ukiwa

ISA 13:9 Removed trailing space in p~: na kuwaangamiza wenye dhambi waliomo ndani yake.

ISA 13:10 Removed trailing space in v~: Nyota za mbinguni na makundi ya nyota

ISA 13:10 Removed trailing space in p~: havitatoa mwanga wake.

ISA 13:10 Removed trailing space in p~: Jua linalochomoza litatiwa giza

ISA 13:10 Removed trailing space in p~: na mwezi hautatoa nuru yake.

ISA 13:11 Removed trailing space in v~: Nitauadhibu ulimwengu kwa ajili ya uovu wake,

ISA 13:11 Removed trailing space in p~: waovu kwa ajili ya dhambi zao.

ISA 13:11 Removed trailing space in p~: Nitakomesha majivuno ya wenye kiburi,

ISA 13:11 Removed trailing space in p~: na nitakishusha kiburi cha watu wakatili.

ISA 13:12 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wanadamu kuwa adimu kuliko dhahabu safi,

ISA 13:12 Removed trailing space in p~: watakuwa wachache sana kuliko dhahabu ya Ofiri.

ISA 13:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitazifanya mbingu zitetemeke,

ISA 13:13 Removed trailing space in p~: nayo dunia itatikisika kutoka mahali pake

ISA 13:13 Removed trailing space in p~: katika ghadhabu ya \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 13:13 Removed trailing space in p~: katika siku ya hasira yake iwakayo.

ISA 13:14 Removed trailing space in v~: Kama swala awindwaye,

ISA 13:14 Removed trailing space in p~: kama kondoo wasio na mchungaji,

ISA 13:14 Removed trailing space in p~: kila mmoja atarudi kwa watu wake mwenyewe,

ISA 13:14 Removed trailing space in p~: kila mmoja atakimbilia nchi yake ya kuzaliwa.

ISA 13:15 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayetekwa atapasuliwa tumbo,

ISA 13:15 Removed trailing space in p~: wote watakaokamatwa watauawa kwa upanga.

ISA 13:16 Removed trailing space in v~: Watoto wao wachanga watavunjwa vipande vipande

ISA 13:16 Removed trailing space in p~: mbele ya macho yao;

ISA 13:16 Removed trailing space in p~: nyumba zao zitatekwa

ISA 13:16 Removed trailing space in p~: na wake zao watatendwa jeuri.

ISA 13:17 Removed trailing space in v~: Tazama, nitawachochea Wamedi dhidi yao,

ISA 13:17 Removed trailing space in p~: ambao hawajali fedha

ISA 13:17 Removed trailing space in p~: wala hawafurahii dhahabu.

ISA 13:18 Removed trailing space in v~: Mishale yao itawaangusha vijana,

ISA 13:18 Removed trailing space in p~: hawatakuwa na huruma kwa watoto wachanga

ISA 13:18 Removed trailing space in p~: wala hawataangalia watoto kwa huruma.

ISA 13:19 Removed trailing space in v~: Babeli, johari ya falme,

ISA 13:19 Removed trailing space in p~: utukufu wa kiburi cha Wababeli,\f + \fr 13:19 \ft Wababeli hapa maana yake ni Wakaldayo.\f*

ISA 13:19 Removed trailing space in p~: itaangushwa na Mungu

ISA 13:19 Removed trailing space in p~: kama Sodoma na Gomora.

ISA 13:20 Removed trailing space in v~: Hautakaliwa na watu kamwe

ISA 13:20 Removed trailing space in p~: wala watu hawataishi humo kwa vizazi vyote.

ISA 13:20 Removed trailing space in p~: Hakuna Mwarabu atakayepiga hema lake huko,

ISA 13:20 Removed trailing space in p~: hakuna mchungaji atakayepumzisha makundi yake huko.

ISA 13:21 Removed trailing space in v~: Lakini viumbe wa jangwani watalala huko,

ISA 13:21 Removed trailing space in p~: mbweha watajaza nyumba zake,

ISA 13:21 Removed trailing space in p~: bundi wataishi humo

ISA 13:21 Removed trailing space in p~: nao mbuzi-mwitu watarukaruka humo.

ISA 13:22 Removed trailing space in v~: Fisi watalia ndani ya ngome zake,

ISA 13:22 Removed trailing space in p~: mbweha ndani ya majumba yake ya kifahari.

ISA 13:22 Removed trailing space in p~: Wakati wake umewadia,

ISA 13:22 Removed trailing space in p~: na siku zake hazitaongezwa.

ISA 14:0 Extra space after chapter number

ISA 14:0 Removed trailing space in c: 14

ISA 14:0 Removed trailing space in s1: Yuda Kufanywa Upya

ISA 14:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atamhurumia Yakobo,

ISA 14:1 Removed trailing space in p~: atamchagua Israeli tena,

ISA 14:1 Removed trailing space in p~: na kuwakalisha katika nchi yao wenyewe.

ISA 14:1 Removed trailing space in p~: Wageni wataungana nao

ISA 14:1 Removed trailing space in p~: na kujiunga na nyumba ya Yakobo.

ISA 14:2 Removed trailing space in v~: Mataifa watawachukua

ISA 14:2 Removed trailing space in p~: na kuwaleta mahali pao wenyewe.

ISA 14:2 Removed trailing space in p~: Nayo nyumba ya Israeli itamiliki mataifa

ISA 14:2 Removed trailing space in p~: kama watumishi na wajakazi katika nchi ya \nd Bwana\nd*.

ISA 14:2 Removed trailing space in p~: Watawafanya watekaji wao kuwa mateka,

ISA 14:2 Removed trailing space in p~: na kutawala juu ya wale waliowaonea.

ISA 14:3 Removed trailing space in v~: Katika siku \nd Bwana\nd* atakapokuondolea mateso, udhia na utumwa wa kikatili,

ISA 14:4 Removed trailing space in v~: utaichukua dhihaka hii dhidi ya mfalme wa Babeli:

ISA 14:4 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi mtesi alivyofikia mwisho!

ISA 14:4 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi ghadhabu yake kali ilivyokoma!

ISA 14:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amevunja fimbo ya mwovu,

ISA 14:5 Removed trailing space in p~: fimbo ya utawala ya watawala,

ISA 14:6 Removed trailing space in v~: ambayo kwa hasira waliyapiga mataifa

ISA 14:6 Removed trailing space in p~: kwa mapigo yasiyo na kikomo,

ISA 14:6 Removed trailing space in p~: nao kwa ghadhabu kali waliwatiisha mataifa

ISA 14:6 Removed trailing space in p~: kwa jeuri pasipo huruma.

ISA 14:7 Removed trailing space in v~: Nchi zote ziko kwenye mapumziko na kwenye amani,

ISA 14:7 Removed trailing space in p~: wanabubujika kwa kuimba.

ISA 14:8 Removed trailing space in v~: Hata misunobari na mierezi ya Lebanoni

ISA 14:8 Removed trailing space in p~: inashangilia mbele yako na kusema,

ISA 14:8 Removed trailing space in p~: “Basi kwa sababu umeangushwa chini,

ISA 14:8 Removed trailing space in p~: hakuna mkata miti atakayekuja kutukata.”

ISA 14:9 Removed trailing space in v~: Kuzimu kote kumetaharuki

ISA 14:9 Removed trailing space in p~: kukulaki unapokuja,

ISA 14:9 Removed trailing space in p~: kunaamsha roho za waliokufa ili kukupokea,

ISA 14:9 Removed trailing space in p~: wote waliokuwa viongozi katika ulimwengu,

ISA 14:9 Removed trailing space in p~: kunawafanya wainuke kwenye viti vyao vya kifalme:

ISA 14:9 Removed trailing space in p~: wale wote waliokuwa wafalme juu ya mataifa.

ISA 14:10 Removed trailing space in v~: Wote wataitikia,

ISA 14:10 Removed trailing space in p~: watakuambia,

ISA 14:10 Removed trailing space in p~: “Wewe pia umekuwa dhaifu, kama sisi tulivyo;

ISA 14:10 Removed trailing space in p~: wewe umekuwa kama sisi.”

ISA 14:11 Removed trailing space in v~: Majivuno yako yote yameshushwa mpaka kuzimu,

ISA 14:11 Removed trailing space in p~: pamoja na kelele ya vinubi vyako,

ISA 14:11 Removed trailing space in p~: mafunza yametanda chini yako,

ISA 14:11 Removed trailing space in p~: na minyoo imekufunika.

ISA 14:12 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni,

ISA 14:12 Removed trailing space in p~: ewe nyota ya asubuhi, mwana wa mapambazuko!

ISA 14:12 Removed trailing space in p~: Umetupwa chini duniani,

ISA 14:12 Removed trailing space in p~: wewe uliyepata kuangusha mataifa!

ISA 14:13 Removed trailing space in v~: Ulisema moyoni mwako,

ISA 14:13 Removed trailing space in p~: “Nitapanda juu hadi mbinguni,

ISA 14:13 Removed trailing space in p~: nitakiinua kiti changu cha enzi

ISA 14:13 Removed trailing space in p~: juu ya nyota za Mungu,

ISA 14:13 Removed trailing space in p~: nitaketi nimetawazwa

ISA 14:13 Removed trailing space in p~: juu ya mlima wa kusanyiko,

ISA 14:13 Removed trailing space in p~: kwenye vimo vya juu sana vya Mlima Mtakatifu.

ISA 14:14 Removed trailing space in v~: Nitapaa juu kupita mawingu,

ISA 14:14 Removed trailing space in p~: nitajifanya kama Yeye Aliye Juu Sana.”

ISA 14:15 Removed trailing space in v~: Lakini umeshushwa chini hadi kuzimu,

ISA 14:15 Removed trailing space in p~: hadi kwenye vina vya shimo.

ISA 14:16 Removed trailing space in v~: Wale wanaokuona wanakukazia macho,

ISA 14:16 Removed trailing space in p~: wanatafakari hatima yako:

ISA 14:16 Removed trailing space in p~: “Je, huyu ndiye yule aliyetikisa dunia

ISA 14:16 Removed trailing space in p~: na kufanya falme zitetemeke,

ISA 14:17 Removed trailing space in v~: yule aliyeifanya dunia kuwa jangwa,

ISA 14:17 Removed trailing space in p~: aliyeipindua miji yake,

ISA 14:17 Removed trailing space in p~: na ambaye hakuwaachia mateka wake

ISA 14:17 Removed trailing space in p~: waende nyumbani?”

ISA 14:18 Removed trailing space in v~: Wafalme wote wa mataifa wamelala kwa heshima

ISA 14:18 Removed trailing space in p~: kila mmoja katika kaburi lake.

ISA 14:19 Removed trailing space in v~: Lakini wewe umetupwa nje ya kaburi lako

ISA 14:19 Removed trailing space in p~: kama tawi lililokataliwa,

ISA 14:19 Removed trailing space in p~: umefunikwa na waliouawa

ISA 14:19 Removed trailing space in p~: pamoja na wale waliochomwa kwa upanga,

ISA 14:19 Removed trailing space in p~: wale washukao mpaka

ISA 14:19 Removed trailing space in p~: kwenye mawe ya shimo.

ISA 14:19 Removed trailing space in p~: Kama mzoga uliokanyagwa chini ya nyayo,

ISA 14:20 Removed trailing space in v~: Hutajumuika nao kwenye mazishi,

ISA 14:20 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umeharibu nchi yako

ISA 14:20 Removed trailing space in p~: na kuwaua watu wako.

ISA 14:20 Removed trailing space in p~: Mzao wa mwovu

ISA 14:20 Removed trailing space in p~: hatatajwa tena kamwe.

ISA 14:21 Removed trailing space in v~: Andaa mahali pa kuwachinjia wanawe

ISA 14:21 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya dhambi za baba zao,

ISA 14:21 Removed trailing space in p~: wasije wakainuka ili kuirithi nchi

ISA 14:21 Removed trailing space in p~: na kuijaza dunia kwa miji yao.

ISA 14:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asema,

ISA 14:22 Removed trailing space in p~: “Nitainuka dhidi yao,

ISA 14:22 Removed trailing space in p~: nitalikatilia mbali jina lake kutoka Babeli pamoja na watu wake walionusurika,

ISA 14:22 Removed trailing space in p~: watoto wake na wazao wake,”

ISA 14:22 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 14:23 Removed trailing space in v~: “Nitaifanya kuwa mahali pa bundi,

ISA 14:23 Removed trailing space in p~: na kuwa nchi ya matope;

ISA 14:23 Removed trailing space in p~: nitaifagia kwa ufagio wa maangamizi,”

ISA 14:23 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ISA 14:23 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Ashuru

ISA 14:24 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ameapa,

ISA 14:24 Removed trailing space in p~: “Hakika, kama vile nilivyopanga, ndivyo itakavyokuwa,

ISA 14:24 Removed trailing space in p~: nami kama nilivyokusudia, ndivyo itakavyosimama.

ISA 14:25 Removed trailing space in v~: Nitamponda Mwashuru katika nchi yangu,

ISA 14:25 Removed trailing space in p~: juu ya milima yangu nitawakanyagia chini.

ISA 14:25 Removed trailing space in p~: Nira yake itaondolewa kutoka kwa watu wangu,

ISA 14:25 Removed trailing space in p~: nao mzigo wake utaondolewa kutoka mabegani mwao.”

ISA 14:26 Removed trailing space in v~: Huu ndio mpango uliokusudiwa kwa ajili ya ulimwengu wote,

ISA 14:26 Removed trailing space in p~: huu ni mkono ulionyooshwa juu ya mataifa yote.

ISA 14:27 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote amekusudia,

ISA 14:27 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kumzuia?

ISA 14:27 Removed trailing space in p~: Mkono wake umenyooshwa,

ISA 14:27 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kuurudisha?

ISA 14:27 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Wafilisti

ISA 14:28 Removed trailing space in v~: Neno hili lilikuja mwaka ule Mfalme Ahazi alipofariki:

ISA 14:29 Removed trailing space in v~: Msifurahi, enyi Wafilisti wote,

ISA 14:29 Removed trailing space in p~: kwamba fimbo iliyowapiga imevunjika;

ISA 14:29 Removed trailing space in p~: kutoka mzizi wa huyo nyoka

ISA 14:29 Removed trailing space in p~: atachipuka nyoka mwenye sumu kali,

ISA 14:29 Removed trailing space in p~: uzao wake utakuwa joka lirukalo,

ISA 14:29 Removed trailing space in p~: lenye sumu kali.

ISA 14:30 Removed trailing space in v~: Maskini kuliko maskini wote watapata malisho,

ISA 14:30 Removed trailing space in p~: nao wahitaji watalala salama.

ISA 14:30 Removed trailing space in p~: Lakini mzizi wako nitauangamiza kwa njaa,

ISA 14:30 Removed trailing space in p~: nayo njaa itawaua walionusurika.

ISA 14:31 Removed trailing space in v~: Piga yowe, ee lango! Bweka, ee mji!

ISA 14:31 Removed trailing space in p~: Yeyukeni, enyi Wafilisti wote!

ISA 14:31 Removed trailing space in p~: Wingu la moshi linakuja toka kaskazini,

ISA 14:31 Removed trailing space in p~: wala hakuna atakayechelewa katika safu zake.

ISA 14:32 Removed trailing space in v~: Ni jibu gani litakalotolewa

ISA 14:32 Removed trailing space in p~: kwa wajumbe wa taifa hilo?

ISA 14:32 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* ameifanya imara Sayuni,

ISA 14:32 Removed trailing space in p~: nako ndani yake watu wake walioonewa watapata kimbilio.”

ISA 15:0 Extra space after chapter number

ISA 15:0 Removed trailing space in c: 15

ISA 15:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Moabu

ISA 15:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Moabu:

ISA 15:1 Removed trailing space in p~: Ari iliyo Moabu imeangamizwa:

ISA 15:1 Removed trailing space in p~: imeharibiwa kwa usiku mmoja!

ISA 15:1 Removed trailing space in p~: Kiri iliyo Moabu imeangamizwa,

ISA 15:1 Removed trailing space in p~: imeharibiwa kwa usiku mmoja!

ISA 15:2 Removed trailing space in v~: Diboni anakwea hadi kwenye hekalu lake,

ISA 15:2 Removed trailing space in p~: mpaka mahali pake pa juu ili walie,

ISA 15:2 Removed trailing space in p~: Moabu anaombolezea Nebo na Medeba.

ISA 15:2 Removed trailing space in p~: Kila kichwa kimenyolewa

ISA 15:2 Removed trailing space in p~: na kila ndevu limeondolewa.

ISA 15:3 Removed trailing space in v~: Wamevaa nguo za magunia barabarani,

ISA 15:3 Removed trailing space in p~: juu ya mapaa na kwenye viwanja

ISA 15:3 Removed trailing space in p~: wote wanaomboleza,

ISA 15:3 Removed trailing space in p~: wamelala kifudifudi kwa kulia.

ISA 15:4 Removed trailing space in v~: Heshboni na Eleale wanalia,

ISA 15:4 Removed trailing space in p~: sauti zao zinasikika hadi Yahazi.

ISA 15:4 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo watu wenye silaha wa Moabu wanapiga kelele,

ISA 15:4 Removed trailing space in p~: nayo mioyo yao imezimia.

ISA 15:5 Removed trailing space in v~: Moyo wangu unamlilia Moabu;

ISA 15:5 Removed trailing space in p~: wakimbizi wake wanakimbilia Soari,

ISA 15:5 Removed trailing space in p~: hadi Eglath-Shelishiya.

ISA 15:5 Removed trailing space in p~: Wanapanda njia ya kwenda Luhithi,

ISA 15:5 Removed trailing space in p~: wanakwenda huku wanalia;

ISA 15:5 Removed trailing space in p~: barabarani iendayo Horonaimu

ISA 15:5 Removed trailing space in p~: wanaombolezea maangamizi yao.

ISA 15:6 Removed trailing space in v~: Maji ya Nimrimu yamekauka

ISA 15:6 Removed trailing space in p~: na majani yamenyauka;

ISA 15:6 Removed trailing space in p~: mimea imekauka wala hakuna

ISA 15:6 Removed trailing space in p~: kitu chochote kibichi kilichobaki.

ISA 15:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mali waliyoipata na kujiwekea akiba

ISA 15:7 Removed trailing space in p~: wamezichukua na kuvuka Bonde la Mierebi.

ISA 15:8 Removed trailing space in v~: Mwangwi wa kilio chao umefika hadi mpakani mwa Moabu,

ISA 15:8 Removed trailing space in p~: kilio chao cha huzuni kimefika hadi Eglaimu,

ISA 15:8 Removed trailing space in p~: maombolezo yao hadi Beer-Elimu.

ISA 15:9 Removed trailing space in v~: Maji ya Dimoni yamejaa damu,

ISA 15:9 Removed trailing space in p~: lakini bado nitaleta pigo jingine juu ya Dimoni:

ISA 15:9 Removed trailing space in p~: simba juu ya wakimbizi wa Moabu

ISA 15:9 Removed trailing space in p~: na juu ya wale wanaobaki katika nchi.

ISA 16:0 Extra space after chapter number

ISA 16:0 Removed trailing space in c: 16

ISA 16:0 Removed trailing space in s1: Hali Ya Kukata Tamaa Ya Moabu

ISA 16:1 Removed trailing space in v~: Pelekeni wana-kondoo kama ushuru

ISA 16:1 Removed trailing space in p~: kwa mtawala wa nchi,

ISA 16:1 Removed trailing space in p~: Kutoka Sela, kupitia jangwani,

ISA 16:1 Removed trailing space in p~: hadi mlima wa Binti Sayuni.

ISA 16:2 Removed trailing space in v~: Kama ndege wanaopapatika

ISA 16:2 Removed trailing space in p~: waliofukuzwa kutoka kwenye kiota,

ISA 16:2 Removed trailing space in p~: ndivyo walivyo wanawake wa Moabu

ISA 16:2 Removed trailing space in p~: kwenye vivuko vya Arnoni.

ISA 16:3 Removed trailing space in v~: “Tupeni shauri,

ISA 16:3 Removed trailing space in p~: toeni uamuzi.

ISA 16:3 Removed trailing space in p~: Wakati wa adhuhuri,

ISA 16:3 Removed trailing space in p~: fanyeni kivuli chenu kama usiku.

ISA 16:3 Removed trailing space in p~: Waficheni watoro,

ISA 16:3 Removed trailing space in p~: msisaliti wakimbizi.

ISA 16:4 Removed trailing space in v~: Waacheni watoro wa Moabu wakae pamoja nanyi;

ISA 16:4 Removed trailing space in p~: kuweni mahali pao pa salama ili kuepuka mharabu.”

ISA 16:4 Removed trailing space in p~: Mtesi atafikia mwisho na maangamizi yatakoma,

ISA 16:4 Removed trailing space in p~: aletaye vita atatoweka kutoka nchi.

ISA 16:5 Removed trailing space in v~: Kwa upendo kiti cha enzi kitaimarishwa,

ISA 16:5 Removed trailing space in p~: kwa uaminifu mtu ataketi juu yake,

ISA 16:5 Removed trailing space in p~: yeye atokaye nyumba ya Daudi:

ISA 16:5 Removed trailing space in p~: yeye ambaye katika kuhukumu hutafuta haki,

ISA 16:5 Removed trailing space in p~: na huhimiza njia ya haki.

ISA 16:6 Removed trailing space in v~: Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu:

ISA 16:6 Removed trailing space in p~: kiburi chake cha kujivuna na udanganyifu,

ISA 16:6 Removed trailing space in p~: kiburi chake na ufidhuli wake,

ISA 16:6 Removed trailing space in p~: lakini majivuno yake si kitu.

ISA 16:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Wamoabu wanaomboleza,

ISA 16:7 Removed trailing space in p~: wanaiombolezea Moabu kwa pamoja.

ISA 16:7 Removed trailing space in p~: Wanaomboleza na kuhuzunika

ISA 16:7 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya watu wa Kir-Haresethi.

ISA 16:8 Removed trailing space in v~: Mashamba ya Heshboni yananyauka,

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: pia na mizabibu ya Sibma.

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: Watawala wa mataifa

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: wamekanyaga mizabibu iliyo mizuri sana,

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: ambayo ilipata kufika Yazeri

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: na kuenea kuelekea jangwani.

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: Machipukizi yake yalienea

ISA 16:8 Removed trailing space in p~: yakafika hadi baharini.

ISA 16:9 Removed trailing space in v~: Hivyo ninalia kama Yazeri aliavyo,

ISA 16:9 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya mizabibu ya Sibma.

ISA 16:9 Removed trailing space in p~: Ee Heshboni, ee Eleale,

ISA 16:9 Removed trailing space in p~: ninakulowesha kwa machozi!

ISA 16:9 Removed trailing space in p~: Kelele za furaha kwa ajili ya tunda lako lililoiva

ISA 16:9 Removed trailing space in p~: na kwa ajili ya mavuno zimekomeshwa.

ISA 16:10 Removed trailing space in v~: Furaha na shangwe zimeondolewa

ISA 16:10 Removed trailing space in p~: kutoka mashamba ya matunda;

ISA 16:10 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote aimbaye wala apazaye sauti

ISA 16:10 Removed trailing space in p~: katika mashamba ya mizabibu;

ISA 16:10 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote akanyagaye zabibu shinikizoni,

ISA 16:10 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimekomesha makelele.

ISA 16:11 Removed trailing space in v~: Moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama kinubi,

ISA 16:11 Removed trailing space in p~: nafsi yangu yote kwa ajili ya Kir-Haresethi.

ISA 16:12 Removed trailing space in v~: Wakati Moabu anapojitokeza mahali pake pa juu,

ISA 16:12 Removed trailing space in p~: anajichosha mwenyewe tu;

ISA 16:12 Removed trailing space in p~: anapokwenda mahali pake pa kuabudia miungu ili kuomba,

ISA 16:12 Removed trailing space in p~: haitamfaidi lolote.

ISA 16:13 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno ambalo \nd Bwana\nd* ameshasema kuhusu Moabu.

ISA 16:14 Removed trailing space in v~: Lakini sasa \nd Bwana\nd* anasema: “Katika miaka mitatu, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, fahari ya Moabu na watu wake wengi watadharauliwa, nao walionusurika watakuwa wachache sana, tena wanyonge.”

ISA 17:0 Extra space after chapter number

ISA 17:0 Removed trailing space in c: 17

ISA 17:0 Removed trailing space in s1: Neno Dhidi Ya Dameski

ISA 17:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Dameski:

ISA 17:1 Removed trailing space in p~: “Tazama, Dameski haitakuwa tena mji

ISA 17:1 Removed trailing space in p~: bali itakuwa lundo la magofu.

ISA 17:2 Removed trailing space in v~: Miji ya Aroeri itaachwa

ISA 17:2 Removed trailing space in p~: na itaachiwa mifugo ambayo italala huko,

ISA 17:2 Removed trailing space in p~: bila yeyote wa kuyaogopesha.

ISA 17:3 Removed trailing space in v~: Mji wenye ngome utatoweka kutoka Efraimu,

ISA 17:3 Removed trailing space in p~: nao uweza wa ufalme kutoka Dameski;

ISA 17:3 Removed trailing space in p~: mabaki ya Aramu yatakuwa

ISA 17:3 Removed trailing space in p~: kama utukufu wa Waisraeli,”

ISA 17:3 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ISA 17:4 Removed trailing space in v~: “Katika siku ile utukufu wa Yakobo utafifia,

ISA 17:4 Removed trailing space in p~: unono wa mwili wake utadhoofika.

ISA 17:5 Removed trailing space in v~: Itakuwa kama mvunaji akusanyavyo nafaka

ISA 17:5 Removed trailing space in p~: na kuvuna nafaka kwa mikono yake,

ISA 17:5 Removed trailing space in p~: kama wakati mtu aokotapo masazo ya masuke

ISA 17:5 Removed trailing space in p~: katika Bonde la Warefai.

ISA 17:6 Removed trailing space in v~: Hata hivyo baadhi ya masazo yatabaki,

ISA 17:6 Removed trailing space in p~: kama vile mti wa mzeituni unavyopigwa,

ISA 17:6 Removed trailing space in p~: kukiachwa zeituni mbili au tatu juu ya matawi kileleni,

ISA 17:6 Removed trailing space in p~: nne au tano katika matawi yazaayo sana,”

ISA 17:6 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli.

ISA 17:7 Removed trailing space in v~: Katika siku ile watu watamwangalia Muumba wao,

ISA 17:7 Removed trailing space in p~: na kuelekeza macho yao kwa yule Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 17:8 Removed trailing space in v~: Hawataziangalia tena madhabahu,

ISA 17:8 Removed trailing space in p~: kazi za mikono yao,

ISA 17:8 Removed trailing space in p~: nao hawataheshimu nguzo za Ashera,\f + \fr 17:8 \ft Ashera hapa maana yake ni mungu mke aliyekuwa akiabudiwa pamoja na Baali.\f*

ISA 17:8 Removed trailing space in p~: na madhabahu za kufukizia uvumba zilizofanywa kwa mikono yao.

ISA 17:9 Removed trailing space in v~: Katika siku ile miji yao iliyo imara, ambayo waliihama kwa sababu ya Waisraeli, itakuwa kama mahali palipoachwa pa vichaka na magugu. Nayo yote itakuwa ukiwa.

ISA 17:10 Removed trailing space in v~: Mmemsahau Mungu Mwokozi wenu,

ISA 17:10 Removed trailing space in p~: hamkumkumbuka Mwamba aliye ngome yenu.

ISA 17:10 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo, hata ingawa mlipandikiza mimea iliyo mizuri sana

ISA 17:10 Removed trailing space in p~: na kuotesha mizabibu ya kigeni,

ISA 17:11 Removed trailing space in v~: hata kama siku ile unapoipandikiza, unaifanya iote

ISA 17:11 Removed trailing space in p~: na asubuhi ile ile unayoipanda, unaifanya ichipue,

ISA 17:11 Removed trailing space in p~: hata hivyo mavuno yatakuwa kama si kitu

ISA 17:11 Removed trailing space in p~: katika siku ile ya ugonjwa na maumivu yasiyoponyeka.

ISA 17:12 Removed trailing space in v~: Lo! Ghadhabu ya mataifa mengi,

ISA 17:12 Removed trailing space in p~: wanaghadhibika kama bahari iliyochafuka!

ISA 17:12 Removed trailing space in p~: Lo! Makelele ya mataifa

ISA 17:12 Removed trailing space in p~: wanavuma kama ngurumo za maji mengi!

ISA 17:13 Removed trailing space in v~: Ingawa mataifa yanavuma kama ngurumo za maji yanayofanya mawimbi,

ISA 17:13 Removed trailing space in p~: wakati anapoyakemea yanakimbia mbali,

ISA 17:13 Removed trailing space in p~: yanafukuzwa mbele ya upepo kama makapi juu ya milima,

ISA 17:13 Removed trailing space in p~: kama jani livingirishwapo na dhoruba.

ISA 17:14 Removed trailing space in v~: Wakati wa jioni, hofu ya ghafula!

ISA 17:14 Removed trailing space in p~: Kabla ya asubuhi, wametoweka!

ISA 17:14 Removed trailing space in p~: Hili ndilo fungu la wale wanaotupora,

ISA 17:14 Removed trailing space in p~: fungu la wale wanaotunyangʼanya mali zetu.

ISA 18:0 Extra space after chapter number

ISA 18:0 Removed trailing space in c: 18

ISA 18:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Kushi

ISA 18:1 Removed trailing space in v~: Ole kwa nchi ya mvumo wa mabawa,\f + \fr 18:1 \ft Au: wa nzige.\f*

ISA 18:1 Removed trailing space in p~: kando ya mito ya Kushi,

ISA 18:2 Removed trailing space in v~: iwapelekayo wajumbe wake kwa njia ya bahari

ISA 18:2 Removed trailing space in p~: kwa mashua za mafunjo juu ya maji.

ISA 18:2 Removed trailing space in p~: Nendeni, wajumbe wepesi,

ISA 18:2 Removed trailing space in p~: kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo,

ISA 18:2 Removed trailing space in p~: kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu,

ISA 18:2 Removed trailing space in p~: taifa gomvi lenye lugha ngeni,

ISA 18:2 Removed trailing space in p~: ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito.

ISA 18:3 Removed trailing space in v~: Enyi mataifa yote ya ulimwengu,

ISA 18:3 Removed trailing space in p~: ninyi mnaoishi duniani

ISA 18:3 Removed trailing space in p~: wakati bendera itakapoinuliwa milimani,

ISA 18:3 Removed trailing space in p~: mtaiona,

ISA 18:3 Removed trailing space in p~: nayo tarumbeta itakapolia,

ISA 18:3 Removed trailing space in p~: mtaisikia.

ISA 18:4 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* aliloniambia:

ISA 18:4 Removed trailing space in p~: “Nitatulia kimya na kutazama

ISA 18:4 Removed trailing space in p~: kutoka maskani yangu,

ISA 18:4 Removed trailing space in p~: kama joto linalometameta katika mwanga wa jua,

ISA 18:4 Removed trailing space in p~: kama wingu la umande

ISA 18:4 Removed trailing space in p~: katika joto la wakati wa mavuno.”

ISA 18:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana, kabla ya mavuno,

ISA 18:5 Removed trailing space in p~: wakati wa kuchanua ukishapita

ISA 18:5 Removed trailing space in p~: na maua yakawa zabibu zinazoiva,

ISA 18:5 Removed trailing space in p~: atayakata machipukizi kwa mundu wa kupogolea matawi,

ISA 18:5 Removed trailing space in p~: naye atakata na kuyaondoa matawi yaliyopanuka.

ISA 18:6 Removed trailing space in v~: Yote yataachwa kwa ajili ya ndege wawindao wa mlimani

ISA 18:6 Removed trailing space in p~: na wanyama pori,

ISA 18:6 Removed trailing space in p~: ndege watajilisha juu yake wakati wote wa kiangazi,

ISA 18:6 Removed trailing space in p~: nao wanyama pori wakati wote wa masika.

ISA 18:7 Removed trailing space in v~: Wakati huo matoleo yataletwa kwa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 18:7 Removed trailing space in p~: kutoka kwa taifa la watu warefu wenye ngozi nyororo,

ISA 18:7 Removed trailing space in p~: kutoka kwa taifa linaloogopwa mbali na karibu,

ISA 18:7 Removed trailing space in p~: kutoka taifa gomvi lenye lugha ngeni,

ISA 18:7 Removed trailing space in p~: ambalo nchi yao imegawanywa kwa mito,

ISA 18:7 Removed trailing space in p~: matoleo yataletwa katika Mlima Sayuni, mahali pa Jina la \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ISA 19:0 Extra space after chapter number

ISA 19:0 Removed trailing space in c: 19

ISA 19:0 Removed trailing space in s1: Unabii Kuhusu Misri

ISA 19:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Misri:

ISA 19:1 Removed trailing space in p~: Tazama, \nd Bwana\nd* amepanda juu ya wingu liendalo kwa haraka

ISA 19:1 Removed trailing space in p~: naye anakuja Misri.

ISA 19:1 Removed trailing space in p~: Sanamu za Misri zinatetemeka mbele yake,

ISA 19:1 Removed trailing space in p~: nayo mioyo ya Wamisri inayeyuka ndani yao.

ISA 19:2 Removed trailing space in v~: “Nitamchochea Mmisri dhidi ya Mmisri,

ISA 19:2 Removed trailing space in p~: ndugu atapigana dhidi ya ndugu,

ISA 19:2 Removed trailing space in p~: jirani dhidi ya jirani,

ISA 19:2 Removed trailing space in p~: mji dhidi ya mji,

ISA 19:2 Removed trailing space in p~: ufalme dhidi ya ufalme.

ISA 19:3 Removed trailing space in v~: Wamisri watakufa moyo,

ISA 19:3 Removed trailing space in p~: na nitaibatilisha mipango yao.

ISA 19:3 Removed trailing space in p~: Watatafuta ushauri kwa sanamu na kwa roho za waliokufa,

ISA 19:3 Removed trailing space in p~: kwa waaguzi na kwa wale waongeao na mizimu.

ISA 19:4 Removed trailing space in v~: Nitawatia Wamisri

ISA 19:4 Removed trailing space in p~: mikononi mwa bwana mkatili

ISA 19:4 Removed trailing space in p~: na mfalme mkali atatawala juu yao,”

ISA 19:4 Removed trailing space in p~: asema Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ISA 19:5 Removed trailing space in v~: Maji ya mito yatakauka,

ISA 19:5 Removed trailing space in p~: chini ya mto kutakauka kwa jua.

ISA 19:6 Removed trailing space in v~: Mifereji itanuka;

ISA 19:6 Removed trailing space in p~: vijito vya Misri vitapungua

ISA 19:6 Removed trailing space in p~: na kukauka.

ISA 19:6 Removed trailing space in p~: Mafunjo na nyasi vitanyauka,

ISA 19:7 Removed trailing space in v~: pia mimea iliyoko kando ya Mto Naili,

ISA 19:7 Removed trailing space in p~: pale mto unapomwaga maji baharini.

ISA 19:7 Removed trailing space in p~: Kila shamba lililopandwa kando ya Mto Naili litakauka,

ISA 19:7 Removed trailing space in p~: litapeperushwa na kutoweka kabisa.

ISA 19:8 Removed trailing space in v~: Wavuvi watalia na kuomboleza,

ISA 19:8 Removed trailing space in p~: wale wote watupao ndoano katika Mto Naili,

ISA 19:8 Removed trailing space in p~: watadhoofika kwa majonzi.

ISA 19:9 Removed trailing space in v~: Wale watu wafanyao kazi ya kitani kilichochambuliwa watakata tamaa,

ISA 19:9 Removed trailing space in p~: wafumaji wa kitani safi watavunjika moyo.

ISA 19:10 Removed trailing space in v~: Wafanyao kazi ya kufuma nguo watahuzunishwa,

ISA 19:10 Removed trailing space in p~: nao vibarua wataugua moyoni.

ISA 19:11 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Soani ni wapumbavu kabisa,

ISA 19:11 Removed trailing space in p~: washauri wa Farao wenye busara wanatoa ushauri wa kijinga.

ISA 19:11 Removed trailing space in p~: Unawezaje kumwambia Farao,

ISA 19:11 Removed trailing space in p~: “Mimi ni mmojawapo wa watu wenye hekima,

ISA 19:11 Removed trailing space in p~: mwanafunzi wa wafalme wa zamani”?

ISA 19:12 Removed trailing space in v~: Wako wapi sasa watu wako wenye hekima?

ISA 19:12 Removed trailing space in p~: Wao wakuonyeshe na kukufahamisha

ISA 19:12 Removed trailing space in p~: ni nini \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 19:12 Removed trailing space in p~: amepanga dhidi ya Misri.

ISA 19:13 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Soani wamekuwa wapumbavu,

ISA 19:13 Removed trailing space in p~: viongozi wa Memfisi\f + \fr 19:13 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.\f* wamedanganyika,

ISA 19:13 Removed trailing space in p~: walio mawe ya pembe ya taifa lake

ISA 19:13 Removed trailing space in p~: wameipotosha Misri.

ISA 19:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amewamwagia

ISA 19:14 Removed trailing space in p~: roho ya kizunguzungu;

ISA 19:14 Removed trailing space in p~: wanaifanya Misri iyumbayumbe

ISA 19:14 Removed trailing space in p~: katika yale yote inayoyafanya,

ISA 19:14 Removed trailing space in p~: kama vile mlevi ayumbayumbavyo

ISA 19:14 Removed trailing space in p~: katika kutapika kwake.

ISA 19:15 Removed trailing space in v~: Misri haiwezi kufanya kitu chochote,

ISA 19:15 Removed trailing space in p~: cha kichwa wala cha mkia,

ISA 19:15 Removed trailing space in p~: cha tawi la mtende wala cha tete.

ISA 19:16 Removed trailing space in v~: Katika siku ile Wamisri watakuwa kama wanawake. Watatetemeka kwa hofu mbele ya mkono wa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote anaoinua dhidi yao.

ISA 19:17 Removed trailing space in v~: Nayo nchi ya Yuda itawatia hofu Wamisri, kila mmoja atakayetajiwa Yuda ataingiwa na hofu, kwa sababu ya kile ambacho \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote anapanga dhidi yao.

ISA 19:18 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo miji mitano ya Misri, itazungumza lugha ya Kanaani, na kuapa kumtii \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote. Mji mmojawapo utaitwa Mji wa Uharibifu.\f + \fr 19:18 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).\f*

ISA 19:19 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo patakuwepo madhabahu ya \nd Bwana\nd* katikati ya Misri na mnara wa kumbukumbu kwa \nd Bwana\nd* kwenye mpaka wa Misri.

ISA 19:20 Removed trailing space in v~: Itakuwa alama na ushahidi kwa ajili ya \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote katika nchi ya Misri. Watakapomlilia \nd Bwana\nd* kwa sababu ya watesi wao, Mungu atawapelekea mwokozi na mtetezi, naye atawaokoa.

ISA 19:21 Removed trailing space in v~: Hivyo \nd Bwana\nd* atajijulisha mwenyewe kwa Wamisri, nao katika siku hiyo watamkubali \nd Bwana\nd*. Wataabudu kwa kumtolea dhabihu na sadaka za nafaka, watamwekea \nd Bwana\nd* nadhiri na kuzitimiza.

ISA 19:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataipiga Misri kwa tauni; atawapiga na kuwaponya. Watamgeukia \nd Bwana\nd*, naye atayasikia maombi yao na kuwaponya.

ISA 19:23 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo kutakuwepo na njia kuu kutoka Misri hadi Ashuru. Waashuru watakwenda Misri, na Wamisri watakwenda Ashuru. Wamisri na Waashuru wataabudu pamoja.

ISA 19:24 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo Israeli itakuwa ya tatu, pamoja na Misri na Ashuru, nao watakuwa baraka kwa dunia.

ISA 19:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote atawabariki, akisema, “Baraka iwe kwa Misri watu wangu, kwa Ashuru kazi ya mikono yangu, na kwa Israeli urithi wangu.”

ISA 20:0 Extra space after chapter number

ISA 20:0 Removed trailing space in c: 20

ISA 20:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Misri Na Kushi

ISA 20:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka ule ambao jemadari mkuu alitumwa na Mfalme Sargoni wa Ashuru, naye akaja mpaka Ashdodi, akaushambulia na kuuteka,

ISA 20:2 Removed trailing space in v~: wakati ule \nd Bwana\nd* alisema kwa kinywa cha Isaya mwana wa Amozi. Akamwambia, “Vua nguo ya gunia kutoka mwilini mwako na viatu kutoka miguuni mwako.” Naye akafanya hivyo, akatembea huku na huko uchi, bila viatu.

ISA 20:3 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akasema, “Kama vile mtumishi wangu Isaya alivyotembea uchi na bila viatu kwa miaka mitatu, kama ishara na dalili mbaya dhidi ya nchi ya Misri na Kushi,

ISA 20:4 Removed trailing space in v~: vivyo hivyo mfalme wa Ashuru atawaongoza mateka wa Wamisri, na watu wa uhamisho wa Kushi, uchi na bila viatu, vijana hata wazee, wakiwa matako wazi, kwa aibu ya Wamisri.

ISA 20:5 Removed trailing space in v~: Wale waliotegemea Kushi na kujivunia Misri wataogopa na kuaibika.

ISA 20:6 Removed trailing space in v~: Katika siku ile watu wanaoishi katika pwani hii watasema, ‘Tazama lililowapata wale tuliowategemea, wale tuliowakimbilia kwa msaada na wokovu kutoka mikononi mwa mfalme wa Ashuru! Tutawezaje basi kupona?’ ”

ISA 21:0 Extra space after chapter number

ISA 21:0 Removed trailing space in c: 21

ISA 21:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Babeli

ISA 21:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Jangwa kando ya Bahari:

ISA 21:1 Removed trailing space in p~: Kama upepo wa kisulisuli unaopita katika nchi hadi kusini,

ISA 21:1 Removed trailing space in p~: mshambuliaji anakuja kutoka jangwani,

ISA 21:1 Removed trailing space in p~: kutoka nchi inayotisha.

ISA 21:2 Removed trailing space in v~: Nimeonyeshwa maono ya kutisha:

ISA 21:2 Removed trailing space in p~: Msaliti anasaliti, mteka nyara anateka nyara.

ISA 21:2 Removed trailing space in p~: Elamu, shambulia! Umedi, izunguke kwa jeshi!

ISA 21:2 Removed trailing space in p~: Nitakomesha huzuni zote alizosababisha.

ISA 21:3 Removed trailing space in v~: Katika hili mwili wangu umeteswa na maumivu,

ISA 21:3 Removed trailing space in p~: maumivu makali ya ghafula yamenishika,

ISA 21:3 Removed trailing space in p~: kama yale ya mwanamke mwenye utungu wa kuzaa.

ISA 21:3 Removed trailing space in p~: Nimeduwazwa na lile ninalolisikia,

ISA 21:3 Removed trailing space in p~: nimeshangazwa na lile ninaloliona.

ISA 21:4 Removed trailing space in v~: Moyo wangu unababaika,

ISA 21:4 Removed trailing space in p~: woga unanifanya nitetemeke,

ISA 21:4 Removed trailing space in p~: gizagiza la jioni nililolitamani sana,

ISA 21:4 Removed trailing space in p~: limekuwa hofu kuu kwangu.

ISA 21:5 Removed trailing space in v~: Wanaandaa meza,

ISA 21:5 Removed trailing space in p~: wanatandaza mazulia,

ISA 21:5 Removed trailing space in p~: wanakula, wanakunywa!

ISA 21:5 Removed trailing space in p~: Amkeni, enyi maafisa,

ISA 21:5 Removed trailing space in p~: zitieni ngao mafuta!

ISA 21:6 Removed trailing space in v~: Hili ndilo Bwana analoniambia:

ISA 21:6 Removed trailing space in p~: “Nenda, weka mlinzi,

ISA 21:6 Removed trailing space in p~: na atoe taarifa ya kile anachokiona.

ISA 21:7 Removed trailing space in v~: Anapoona magari ya vita

ISA 21:7 Removed trailing space in p~: pamoja na kundi la farasi,

ISA 21:7 Removed trailing space in p~: wapanda punda au wapanda ngamia,

ISA 21:7 Removed trailing space in p~: na awe macho, awe macho kikamilifu.”

ISA 21:8 Removed trailing space in v~: Naye mlinzi alipaza sauti,

ISA 21:8 Removed trailing space in p~: “Mchana baada ya mchana, bwana wangu, ninasimama katika mnara wa ulinzi,

ISA 21:8 Removed trailing space in p~: kila usiku ninakaa mahali pangu nilipoamriwa.

ISA 21:9 Removed trailing space in v~: Tazama, yuaja mtu anayepanda gari la vita

ISA 21:9 Removed trailing space in p~: pamoja na kundi la farasi.

ISA 21:9 Removed trailing space in p~: Naye anajibu:

ISA 21:9 Removed trailing space in p~: ‘Babeli umeanguka, umeanguka!

ISA 21:9 Removed trailing space in p~: Vinyago vyote vya miungu yake

ISA 21:9 Removed trailing space in p~: vimelala chini vikiwa vimevunjwa!’ ”

ISA 21:10 Removed trailing space in v~: Ee watu wangu, mliopondwa kwenye sakafu ya kupuria,

ISA 21:10 Removed trailing space in p~: ninawaambia kile nilichokisikia

ISA 21:10 Removed trailing space in p~: kutoka kwa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 21:10 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Mungu wa Israeli.

ISA 21:10 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Edomu

ISA 21:11 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Duma:

ISA 21:11 Removed trailing space in p~: Mtu fulani ananiita kutoka Seiri,

ISA 21:11 Removed trailing space in p~: “Mlinzi, usiku utaisha lini?

ISA 21:11 Removed trailing space in p~: Mlinzi, usiku utaisha lini?”

ISA 21:12 Removed trailing space in v~: Mlinzi anajibu,

ISA 21:12 Removed trailing space in p~: “Asubuhi inakuja, lakini pia usiku.

ISA 21:12 Removed trailing space in p~: Kama ungeliuliza, basi uliza;

ISA 21:12 Removed trailing space in p~: bado na urudi tena.”

ISA 21:12 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Arabia

ISA 21:13 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Arabia:

ISA 21:13 Removed trailing space in p~: Enyi misafara ya Wadedani,

ISA 21:13 Removed trailing space in p~: mnaopiga kambi katika vichaka vya Arabia,

ISA 21:14 Removed trailing space in v~: leteni maji kwa wenye kiu,

ISA 21:14 Removed trailing space in p~: ninyi mnaoishi Tema,

ISA 21:14 Removed trailing space in p~: leteni chakula kwa ajili ya wakimbizi.

ISA 21:15 Removed trailing space in v~: Wanaukimbia upanga,

ISA 21:15 Removed trailing space in p~: kutoka upanga uliochomolewa alani,

ISA 21:15 Removed trailing space in p~: kutoka upinde uliopindwa,

ISA 21:15 Removed trailing space in p~: na kutoka kwenye joto la vita.

ISA 21:16 Removed trailing space in v~: Hili ndilo Bwana analoniambia: “Katika muda wa mwaka mmoja, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, majivuno yote ya Kedari yatafikia mwisho.

ISA 21:17 Removed trailing space in v~: Wanaume wavutao pinde walionusurika, mashujaa wa Kedari, watakuwa wachache.” \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, amesema.

ISA 22:0 Extra space after chapter number

ISA 22:0 Removed trailing space in c: 22

ISA 22:0 Removed trailing space in s1: Unabii Kuhusu Yerusalemu

ISA 22:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Bonde la Maono:

ISA 22:1 Removed trailing space in p~: Nini kinachokutaabisha sasa,

ISA 22:1 Removed trailing space in p~: kwamba ninyi nyote mmepanda juu ya mapaa?

ISA 22:2 Removed trailing space in v~: Ewe mji uliojaa ghasia,

ISA 22:2 Removed trailing space in p~: ewe mji wa makelele na sherehe!

ISA 22:2 Removed trailing space in p~: Watu wenu waliokufa hawakuuawa kwa upanga,

ISA 22:2 Removed trailing space in p~: wala hawakufa vitani.

ISA 22:3 Removed trailing space in v~: Viongozi wako wote wamekimbia pamoja,

ISA 22:3 Removed trailing space in p~: wamekamatwa bila kutumia upinde.

ISA 22:3 Removed trailing space in p~: Ninyi nyote mliokamatwa mlichukuliwa wafungwa pamoja,

ISA 22:3 Removed trailing space in p~: mlikimbia wakati adui alipokuwa bado mbali.

ISA 22:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nilisema, “Geukia mbali nami,

ISA 22:4 Removed trailing space in p~: niache nilie kwa uchungu.

ISA 22:4 Removed trailing space in p~: Usijaribu kunifariji

ISA 22:4 Removed trailing space in p~: juu ya maangamizi ya watu wangu.”

ISA 22:5 Removed trailing space in v~: Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, anayo siku

ISA 22:5 Removed trailing space in p~: ya ghasia, ya kukanyaga, na ya kuogofya

ISA 22:5 Removed trailing space in p~: katika Bonde la Maono,

ISA 22:5 Removed trailing space in p~: siku ya kuangusha kuta

ISA 22:5 Removed trailing space in p~: na ya kupiga kelele mpaka milimani.

ISA 22:6 Removed trailing space in v~: Elamu analichukua podo,

ISA 22:6 Removed trailing space in p~: pamoja na waendesha magari ya vita na farasi.

ISA 22:6 Removed trailing space in p~: Kiri anaifungua ngao.

ISA 22:7 Removed trailing space in v~: Mabonde yako yaliyo mazuri sana yamejaa magari ya vita,

ISA 22:7 Removed trailing space in p~: nao wapanda farasi wamewekwa kwenye malango ya mji;

ISA 22:8 Removed trailing space in v~: ulinzi wa Yuda umeondolewa.

ISA 22:8 Removed trailing space in p~: Nawe ulitazama siku ile

ISA 22:8 Removed trailing space in p~: silaha katika Jumba la Kifalme la Mwituni,

ISA 22:9 Removed trailing space in v~: mkaona kuwa Mji wa Daudi

ISA 22:9 Removed trailing space in p~: una matundu mengi katika ulinzi wake,

ISA 22:9 Removed trailing space in p~: mkaweka akiba ya maji

ISA 22:9 Removed trailing space in p~: kwenye Bwawa la Chini.

ISA 22:10 Removed trailing space in v~: Mlihesabu majengo katika Yerusalemu

ISA 22:10 Removed trailing space in p~: nanyi mkabomoa nyumba ili kuimarisha ukuta.

ISA 22:11 Removed trailing space in v~: Mlijenga bwawa la maji katikati ya kuta mbili

ISA 22:11 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya maji ya Bwawa la Zamani,

ISA 22:11 Removed trailing space in p~: lakini hamkumtazama Yule aliyelitengeneza,

ISA 22:11 Removed trailing space in p~: au kuwa na heshima kwa Yule aliyeubuni tangu zamani za kale.

ISA 22:12 Removed trailing space in v~: Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 22:12 Removed trailing space in p~: aliwaita siku ile

ISA 22:12 Removed trailing space in p~: ili kulia na kuomboleza,

ISA 22:12 Removed trailing space in p~: kungʼoa nywele zenu na kuvaa nguo ya gunia.

ISA 22:13 Removed trailing space in v~: Lakini tazama, kuna furaha na sherehe,

ISA 22:13 Removed trailing space in p~: kuchinja ngʼombe na kuchinja kondoo,

ISA 22:13 Removed trailing space in p~: kula nyama na kunywa mvinyo!

ISA 22:13 Removed trailing space in p~: Mnasema, “Tuleni na kunywa,

ISA 22:13 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kesho tutakufa!”

ISA 22:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote amelifunua hili nikiwa ninasikia: Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, asema: “Mpaka siku ya kufa kwenu, dhambi hii haitafanyiwa upatanisho.”

ISA 22:15 Removed trailing space in v~: Hili ndilo Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, asemalo:

ISA 22:15 Removed trailing space in p~: “Nenda ukamwambie huyu wakili Shebna,

ISA 22:15 Removed trailing space in p~: ambaye ni msimamizi wa jumba la kifalme:

ISA 22:16 Removed trailing space in v~: Unafanya nini hapa, na ni nani aliyekupa ruhusa

ISA 22:16 Removed trailing space in p~: kujikatia kaburi lako mwenyewe,

ISA 22:16 Removed trailing space in p~: ukichonga kaburi lako mahali palipo juu,

ISA 22:16 Removed trailing space in p~: na kutoboa kwa patasi mahali pako pa kupumzikia katika mwamba?

ISA 22:17 Removed trailing space in v~: “Jihadhari, \nd Bwana\nd* yu karibu kukukamata thabiti,

ISA 22:17 Removed trailing space in p~: na kukutupa mbali, ewe mtu mwenye nguvu.

ISA 22:18 Removed trailing space in v~: Atakuvingirisha uwe kama mpira

ISA 22:18 Removed trailing space in p~: na kukutupa katika nchi kubwa.

ISA 22:18 Removed trailing space in p~: Huko ndiko utakakofia,

ISA 22:18 Removed trailing space in p~: na huko ndiko magari yako ya vita ya fahari yatabakia,

ISA 22:18 Removed trailing space in p~: wewe unayeifedhehesha nyumba ya bwana wako!

ISA 22:19 Removed trailing space in v~: Nitakuondoa kutoka kazi yako,

ISA 22:19 Removed trailing space in p~: nawe utaondoshwa kutoka nafasi yako.

ISA 22:20 Removed trailing space in v~: “Katika siku ile, nitamwita mtumishi wangu, Eliakimu mwana wa Hilkia.

ISA 22:21 Removed trailing space in v~: Nitamvika joho lako, nami nitamfunga mshipi wako kiunoni mwake, na kumkabidhi mamlaka yako. Yeye atakuwa baba kwa wale wanaoishi Yerusalemu na kwa nyumba ya Yuda.

ISA 22:22 Removed trailing space in v~: Nitaweka mabegani mwake ufunguo wa nyumba ya Daudi. Kile afunguacho hakuna awezaye kufunga, na kile afungacho hakuna awezaye kufungua.

ISA 22:23 Removed trailing space in v~: Nitamgongomea kama kigingi kilicho mahali palipo imara, naye atakuwa kiti cha enzi cha heshima kwa ajili ya nyumba ya baba yake.

ISA 22:24 Removed trailing space in v~: Utukufu wote wa jamaa yake utakuwa juu yake: Watoto wa jamaa hiyo na machipukizi yake, vyombo vyake vyote vidogo, tangu bakuli hadi magudulia yote.”

ISA 22:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asema, “Katika siku ile, kigingi kilichogongomewa mahali imara kitaachia njia. Kitakatwa, nacho kitaanguka na mzigo ulioningʼinia juu yake utaanguka chini.” \nd Bwana\nd* amesema.

ISA 23:0 Extra space after chapter number

ISA 23:0 Removed trailing space in c: 23

ISA 23:0 Removed trailing space in s1: Unabii Kuhusu Tiro

ISA 23:1 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu Tiro:

ISA 23:1 Removed trailing space in p~: Ombolezeni, enyi meli za Tarshishi!

ISA 23:1 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa Tiro imeangamizwa,

ISA 23:1 Removed trailing space in p~: imeachwa bila nyumba wala bandari.

ISA 23:1 Removed trailing space in p~: Kuanzia nchi ya Kitimu\f + \fr 23:1 \ft Kitimu hapa ni Kipro, kisiwa katika Bahari ya Mediterania.\f*

ISA 23:1 Removed trailing space in p~: neno limewajia.

ISA 23:2 Removed trailing space in v~: Nyamazeni kimya, enyi watu wa kisiwani,

ISA 23:2 Removed trailing space in p~: pia ninyi wafanyabiashara wa Sidoni,

ISA 23:2 Removed trailing space in p~: ambao mabaharia wamewatajirisha.

ISA 23:3 Removed trailing space in v~: Kwenye maji makuu

ISA 23:3 Removed trailing space in p~: nafaka za Shihori zilikuja;

ISA 23:3 Removed trailing space in p~: mavuno ya Naili yalikuwa mapato ya Tiro,

ISA 23:3 Removed trailing space in p~: naye akawa soko la mataifa.

ISA 23:4 Removed trailing space in v~: Uaibishwe ee Sidoni, nawe ee ngome la bahari,

ISA 23:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa bahari imesema:

ISA 23:4 Removed trailing space in p~: “Sijapata kuwa na uchungu wa kuzaa wala sijapata kuzaa,

ISA 23:4 Removed trailing space in p~: wala sijapata kulea wana wala kutunza mabinti.”

ISA 23:5 Removed trailing space in v~: Habari ifikapo Misri,

ISA 23:5 Removed trailing space in p~: watakuwa katika maumivu makuu kwa ajili ya taarifa kutoka Tiro.

ISA 23:6 Removed trailing space in v~: Vukeni mpaka Tarshishi,

ISA 23:6 Removed trailing space in p~: ombolezeni, enyi watu wa kisiwani.

ISA 23:7 Removed trailing space in v~: Je, huu ndio mji wenu uliojaa sherehe,

ISA 23:7 Removed trailing space in p~: mji wa zamani, zamani kabisa

ISA 23:7 Removed trailing space in p~: ambao miguu yake imeuchukua

ISA 23:7 Removed trailing space in p~: kufanya makao nchi za mbali sana?

ISA 23:8 Removed trailing space in v~: Ni nani amepanga hili dhidi ya Tiro,

ISA 23:8 Removed trailing space in p~: mji utoao mataji,

ISA 23:8 Removed trailing space in p~: ambao wafanyabiashara wake ni wana wa mfalme

ISA 23:8 Removed trailing space in p~: na wachuuzi wake ni watu mashuhuri wa dunia?

ISA 23:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndiye alipanga jambo hili,

ISA 23:9 Removed trailing space in p~: ili kukishusha kiburi cha utukufu wote

ISA 23:9 Removed trailing space in p~: na kuwanyenyekesha wale wote

ISA 23:9 Removed trailing space in p~: ambao ni mashuhuri duniani.

ISA 23:10 Removed trailing space in v~: Ee Binti Tarshishi,

ISA 23:10 Removed trailing space in p~: pita katika nchi yako kama vile Mto Naili

ISA 23:10 Removed trailing space in p~: kwa kuwa huna tena bandari.

ISA 23:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amenyoosha mkono wake juu ya bahari

ISA 23:11 Removed trailing space in p~: na kuzifanya falme zake zitetemeke.

ISA 23:11 Removed trailing space in p~: Ametoa amri kuhusu Kanaani

ISA 23:11 Removed trailing space in p~: kwamba ngome zake ziangamizwe.

ISA 23:12 Removed trailing space in v~: Alisema, “Usizidi kufurahi,

ISA 23:12 Removed trailing space in p~: ee Bikira Binti Sidoni, sasa umepondwa!

ISA 23:12 Removed trailing space in p~: “Simama, vuka uende Kitimu;

ISA 23:12 Removed trailing space in p~: hata huko hutapata pumziko.”

ISA 23:13 Removed trailing space in v~: Tazama katika nchi ya Wakaldayo,

ISA 23:13 Removed trailing space in p~: watu hawa ambao sasa hawaonekani kama wapo!

ISA 23:13 Removed trailing space in p~: Waashuru wameifanya nchi hiyo

ISA 23:13 Removed trailing space in p~: kuwa mahali pa viumbe wa jangwani.

ISA 23:13 Removed trailing space in p~: Wamesimamisha minara yao ya vita kuuzunguka,

ISA 23:13 Removed trailing space in p~: wameziteka ngome zake na kuziacha tupu

ISA 23:13 Removed trailing space in p~: na kuufanya kuwa magofu.

ISA 23:14 Removed trailing space in v~: Ombolezeni, enyi meli za Tarshishi;

ISA 23:14 Removed trailing space in p~: ngome yenu imeangamizwa!

ISA 23:15 Removed trailing space in v~: Wakati huo Tiro utasahauliwa kwa miaka sabini, muda wa maisha ya mfalme. Lakini mwisho wa miaka hiyo sabini, itakuwa kwa Tiro kama ilivyo katika wimbo wa kahaba:

ISA 23:16 Removed trailing space in v~: “Twaa kinubi, tembea mjini kote,

ISA 23:16 Removed trailing space in p~: ewe kahaba uliyesahauliwa;

ISA 23:16 Removed trailing space in p~: piga kinubi vizuri, imba nyimbo nyingi,

ISA 23:16 Removed trailing space in p~: ili upate kukumbukwa.”

ISA 23:17 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa miaka sabini, \nd Bwana\nd* atashughulika na Tiro. Naye atarudia ajira yake ya ukahaba, na atafanya biashara yake na falme zote juu ya uso wa dunia.

ISA 23:18 Removed trailing space in v~: Lakini faida na mapato yake yatawekwa wakfu kwa \nd Bwana\nd*; hayatahifadhiwa wala kufichwa. Faida zake zitakwenda kwa wale wakaao mbele za \nd Bwana\nd* kwa ajili ya chakula tele na mavazi mazuri.

ISA 24:0 Extra space after chapter number

ISA 24:0 Removed trailing space in c: 24

ISA 24:0 Removed trailing space in s1: Dunia Kuharibiwa Upesi

ISA 24:1 Removed trailing space in v~: Tazama, \nd Bwana\nd* ataifanya dunia kuwa ukiwa

ISA 24:1 Removed trailing space in p~: na kuiharibu,

ISA 24:1 Removed trailing space in p~: naye atauharibu uso wake

ISA 24:1 Removed trailing space in p~: na kutawanya wakaao ndani yake:

ISA 24:2 Removed trailing space in v~: ndivyo itakavyokuwa

ISA 24:2 Removed trailing space in p~: kwa makuhani na kwa watu,

ISA 24:2 Removed trailing space in p~: kwa bwana na kwa mtumishi,

ISA 24:2 Removed trailing space in p~: kwa bibi na kwa mtumishi wake wa kike,

ISA 24:2 Removed trailing space in p~: kwa muuzaji na kwa mnunuzi,

ISA 24:2 Removed trailing space in p~: kwa mkopaji na kwa mkopeshaji,

ISA 24:2 Removed trailing space in p~: kwa mdaiwa na kwa mdai.

ISA 24:3 Removed trailing space in v~: Dunia itaharibiwa kabisa

ISA 24:3 Removed trailing space in p~: na kutekwa nyara kabisa.

ISA 24:3 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amesema neno hili.

ISA 24:4 Removed trailing space in v~: Dunia inakauka na kunyauka,

ISA 24:4 Removed trailing space in p~: dunia inanyongʼonyea na kunyauka,

ISA 24:4 Removed trailing space in p~: waliotukuzwa wa dunia wananyongʼonyea.

ISA 24:5 Removed trailing space in v~: Dunia imetiwa unajisi na watu wake;

ISA 24:5 Removed trailing space in p~: wameacha kutii sheria,

ISA 24:5 Removed trailing space in p~: wamevunja amri

ISA 24:5 Removed trailing space in p~: na kuvunja agano la milele.

ISA 24:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo laana inaiteketeza dunia,

ISA 24:6 Removed trailing space in p~: watu wake lazima waichukue hatia yao.

ISA 24:6 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo wakazi wa dunia wameteketezwa,

ISA 24:6 Removed trailing space in p~: nao waliosalia ni wachache sana.

ISA 24:7 Removed trailing space in v~: Divai mpya inakauka na mzabibu unanyauka,

ISA 24:7 Removed trailing space in p~: watu wote wafurahishao wanalia kwa huzuni.

ISA 24:8 Removed trailing space in v~: Furaha ya matoazi imekoma,

ISA 24:8 Removed trailing space in p~: kelele za wenye furaha zimekoma,

ISA 24:8 Removed trailing space in p~: shangwe za kinubi zimenyamaza.

ISA 24:9 Removed trailing space in v~: Hawanywi tena mvinyo pamoja na wimbo,

ISA 24:9 Removed trailing space in p~: kileo ni kichungu kwa wanywaji wake.

ISA 24:10 Removed trailing space in v~: Mji ulioharibiwa umekuwa ukiwa,

ISA 24:10 Removed trailing space in p~: mlango wa kila nyumba umefungwa.

ISA 24:11 Removed trailing space in v~: Barabarani wanalilia kupata mvinyo,

ISA 24:11 Removed trailing space in p~: furaha yote imegeuka kuwa majonzi,

ISA 24:11 Removed trailing space in p~: furaha yote imefukuziwa mbali na dunia.

ISA 24:12 Removed trailing space in v~: Mji umeachwa katika uharibifu,

ISA 24:12 Removed trailing space in p~: lango lake limevunjwa vipande.

ISA 24:13 Removed trailing space in v~: Ndivyo itakavyokuwa duniani

ISA 24:13 Removed trailing space in p~: na miongoni mwa mataifa,

ISA 24:13 Removed trailing space in p~: kama vile wakati mzeituni upigwavyo,

ISA 24:13 Removed trailing space in p~: au kama vile wakati masazo yabakiavyo baada ya zabibu kuvunwa.

ISA 24:14 Removed trailing space in v~: Wanainua sauti zao, wanapiga kelele kwa furaha,

ISA 24:14 Removed trailing space in p~: kutoka magharibi wanasifu kwa ukelele utukufu wa \nd Bwana\nd*.

ISA 24:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo upande wa mashariki mpeni \nd Bwana\nd* utukufu,

ISA 24:15 Removed trailing space in p~: liadhimisheni jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli,

ISA 24:15 Removed trailing space in p~: katika visiwa vya bahari.

ISA 24:16 Removed trailing space in v~: Kutoka miisho ya dunia tunasikia uimbaji:

ISA 24:16 Removed trailing space in p~: “Utukufu kwa Yule Mwenye Haki.”

ISA 24:16 Removed trailing space in p~: Lakini nilisema, “Ninadhoofika, ninadhoofika!

ISA 24:16 Removed trailing space in p~: Ole wangu!

ISA 24:16 Removed trailing space in p~: Watenda hila wanasaliti!

ISA 24:16 Removed trailing space in p~: Kwa hila watenda hila wanasaliti!”

ISA 24:17 Removed trailing space in v~: Hofu, shimo na mtego vinakungojea,

ISA 24:17 Removed trailing space in p~: ewe mtu ukaaye duniani.

ISA 24:18 Removed trailing space in v~: Kila akimbiaye asikiapo sauti ya hofu

ISA 24:18 Removed trailing space in p~: atatumbukia shimoni,

ISA 24:18 Removed trailing space in p~: naye yeyote apandaye kutoka shimoni,

ISA 24:18 Removed trailing space in p~: atanaswa kwenye mtego.

ISA 24:18 Removed trailing space in p~: Malango ya gharika ya mbinguni yamefunguliwa,

ISA 24:18 Removed trailing space in p~: misingi ya dunia inatikisika.

ISA 24:19 Removed trailing space in v~: Dunia imepasuka,

ISA 24:19 Removed trailing space in p~: dunia imechanika,

ISA 24:19 Removed trailing space in p~: dunia imetikiswa kabisa.

ISA 24:20 Removed trailing space in v~: Dunia inapepesuka kama mlevi,

ISA 24:20 Removed trailing space in p~: inayumbayumba kama kibanda kwenye upepo;

ISA 24:20 Removed trailing space in p~: imelemewa sana na mzigo wa hatia ya uasi wake

ISA 24:20 Removed trailing space in p~: na ikianguka kamwe haitainuka tena.

ISA 24:21 Removed trailing space in v~: Katika siku ile \nd Bwana\nd* ataadhibu

ISA 24:21 Removed trailing space in p~: nguvu zilizoko mbinguni juu,

ISA 24:21 Removed trailing space in p~: na wafalme walioko duniani chini.

ISA 24:22 Removed trailing space in v~: Watakusanywa pamoja

ISA 24:22 Removed trailing space in p~: kama wafungwa waliofungwa gerezani,

ISA 24:22 Removed trailing space in p~: watafungiwa gerezani

ISA 24:22 Removed trailing space in p~: na kuadhibiwa baada ya siku nyingi.

ISA 24:23 Removed trailing space in v~: Mwezi utatiwa haya, nalo jua litaaibishwa;

ISA 24:23 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote atawala

ISA 24:23 Removed trailing space in p~: juu ya Mlima Sayuni na katika Yerusalemu,

ISA 24:23 Removed trailing space in p~: tena mbele ya wazee wake kwa utukufu.

ISA 25:0 Extra space after chapter number

ISA 25:0 Removed trailing space in c: 25

ISA 25:0 Removed trailing space in s1: Msifuni \nd Bwana\nd*

ISA 25:1 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, wewe ni Mungu wangu,

ISA 25:1 Removed trailing space in p~: nitakutukuza na kulisifu jina lako,

ISA 25:1 Removed trailing space in p~: kwa maana katika ukamilifu wa uaminifu

ISA 25:1 Removed trailing space in p~: umetenda mambo ya ajabu,

ISA 25:1 Removed trailing space in p~: mambo yaliyokusudiwa tangu zamani.

ISA 25:2 Removed trailing space in v~: Umeufanya mji kuwa lundo la kifusi,

ISA 25:2 Removed trailing space in p~: mji wenye ngome kuwa magofu,

ISA 25:2 Removed trailing space in p~: ngome imara ya wageni kuwa si mji tena,

ISA 25:2 Removed trailing space in p~: wala hautajengwa tena kamwe.

ISA 25:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mataifa yenye nguvu yatakuheshimu,

ISA 25:3 Removed trailing space in p~: miji ya mataifa katili itakuheshimu wewe.

ISA 25:4 Removed trailing space in v~: Umekuwa kimbilio la watu maskini,

ISA 25:4 Removed trailing space in p~: kimbilio la mhitaji katika taabu yake,

ISA 25:4 Removed trailing space in p~: hifadhi wakati wa dhoruba

ISA 25:4 Removed trailing space in p~: na kivuli wakati wa hari.

ISA 25:4 Removed trailing space in p~: Kwa maana pumzi ya wakatili

ISA 25:4 Removed trailing space in p~: ni kama dhoruba ipigayo ukuta

ISA 25:5 Removed trailing space in v~: na kama joto la jangwani.

ISA 25:5 Removed trailing space in p~: Wewe wanyamazisha makelele ya wageni;

ISA 25:5 Removed trailing space in p~: kama vile hari ipunguzwavyo na kivuli cha wingu,

ISA 25:5 Removed trailing space in p~: ndivyo wimbo wa wakatili unyamazishwavyo.

ISA 25:6 Removed trailing space in v~: Juu ya mlima huu \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ataandaa

ISA 25:6 Removed trailing space in p~: karamu ya vinono kwa mataifa yote,

ISA 25:6 Removed trailing space in p~: karamu ya mvinyo wa zamani,

ISA 25:6 Removed trailing space in p~: nyama nzuri sana na divai zilizo bora sana.

ISA 25:7 Removed trailing space in v~: Juu ya mlima huu ataharibu

ISA 25:7 Removed trailing space in p~: sitara ihifadhiyo mataifa yote,

ISA 25:7 Removed trailing space in p~: kile kifuniko kifunikacho mataifa yote,

ISA 25:8 Removed trailing space in v~: yeye atameza mauti milele.

ISA 25:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi atafuta machozi katika nyuso zote;

ISA 25:8 Removed trailing space in p~: ataondoa aibu ya watu wake duniani kote.

ISA 25:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amesema hili.

ISA 25:9 Removed trailing space in v~: Katika siku ile watasema,

ISA 25:9 Removed trailing space in p~: “Hakika huyu ndiye Mungu wetu;

ISA 25:9 Removed trailing space in p~: tulimtumaini, naye akatuokoa.

ISA 25:9 Removed trailing space in p~: Huyu ndiye \nd Bwana\nd*, tuliyemtumaini;

ISA 25:9 Removed trailing space in p~: sisi tushangilie na kufurahia katika wokovu wake.”

ISA 25:10 Removed trailing space in v~: Mkono wa \nd Bwana\nd* utatulia juu ya mlima huu,

ISA 25:10 Removed trailing space in p~: bali Moabu atakanyagwa chini

ISA 25:10 Removed trailing space in p~: kama majani makavu yakanyagwavyo kwenye shimo la mbolea.

ISA 25:11 Removed trailing space in v~: Watakunjua mikono yao katikati yake,

ISA 25:11 Removed trailing space in p~: kama vile mwogeleaji akunjuavyo mikono yake ili aogelee.

ISA 25:11 Removed trailing space in p~: Mungu atashusha kiburi chao

ISA 25:11 Removed trailing space in p~: licha ya ujanja wa mikono yao.

ISA 25:12 Removed trailing space in v~: Atabomoa kuta ndefu za maboma yako

ISA 25:12 Removed trailing space in p~: na kuziangusha chini,

ISA 25:12 Removed trailing space in p~: atazishusha chini ardhini,

ISA 25:12 Removed trailing space in p~: mpaka mavumbini kabisa.

ISA 26:0 Extra space after chapter number

ISA 26:0 Removed trailing space in c: 26

ISA 26:0 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Ushindi

ISA 26:1 Removed trailing space in v~: Katika siku ile, wimbo huu utaimbwa katika nchi ya Yuda:

ISA 26:1 Removed trailing space in p~: Tuna mji ulio na nguvu,

ISA 26:1 Removed trailing space in p~: Mungu huufanya wokovu kuwa kuta zake na maboma yake.

ISA 26:2 Removed trailing space in v~: Fungua malango ili taifa lenye haki lipate kuingia,

ISA 26:2 Removed trailing space in p~: taifa lile lidumishalo imani.

ISA 26:3 Removed trailing space in v~: Utamlinda katika amani kamilifu

ISA 26:3 Removed trailing space in p~: yeye ambaye moyo wake ni thabiti

ISA 26:3 Removed trailing space in p~: kwa sababu anakutumaini wewe.

ISA 26:4 Removed trailing space in v~: Mtumaini \nd Bwana\nd* milele,

ISA 26:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa \nd Bwana\nd*, \nd Bwana\nd*, ni Mwamba wa milele.

ISA 26:5 Removed trailing space in v~: Huwashusha wale wajikwezao,

ISA 26:5 Removed trailing space in p~: huushusha chini mji wenye kiburi,

ISA 26:5 Removed trailing space in p~: huushusha hadi ardhini

ISA 26:5 Removed trailing space in p~: na kuutupa chini mavumbini.

ISA 26:6 Removed trailing space in v~: Miguu huukanyaga chini,

ISA 26:6 Removed trailing space in p~: miguu ya hao walioonewa,

ISA 26:6 Removed trailing space in p~: hatua za hao maskini.

ISA 26:7 Removed trailing space in v~: Mapito ya wenye haki yamenyooka.

ISA 26:7 Removed trailing space in p~: Ewe uliye Mwenye Haki,

ISA 26:7 Removed trailing space in p~: waisawazisha njia ya mtu mnyofu.

ISA 26:8 Removed trailing space in v~: Naam, \nd Bwana\nd*, tukienenda katika sheria zako,

ISA 26:8 Removed trailing space in p~: twakungojea wewe,

ISA 26:8 Removed trailing space in p~: jina lako na sifa zako

ISA 26:8 Removed trailing space in p~: ndizo shauku za mioyo yetu.

ISA 26:9 Removed trailing space in v~: Nafsi yangu yakutamani wakati wa usiku,

ISA 26:9 Removed trailing space in p~: wakati wa asubuhi roho yangu yakuonea shauku.

ISA 26:9 Removed trailing space in p~: Wakati hukumu zako zinapokuja juu ya dunia,

ISA 26:9 Removed trailing space in p~: watu wa ulimwengu hujifunza haki.

ISA 26:10 Removed trailing space in v~: Ingawa neema yaonyeshwa kwa waovu,

ISA 26:10 Removed trailing space in p~: hawajifunzi haki,

ISA 26:10 Removed trailing space in p~: hata katika nchi ya unyofu huendelea kutenda mabaya

ISA 26:10 Removed trailing space in p~: wala hawazingatii utukufu wa \nd Bwana\nd*.

ISA 26:11 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, mkono wako umeinuliwa juu,

ISA 26:11 Removed trailing space in p~: lakini hawauoni.

ISA 26:11 Removed trailing space in p~: Wao na waone wivu wako kwa ajili ya watu wako tena waaibishwe,

ISA 26:11 Removed trailing space in p~: moto uliowekwa akiba kwa ajili ya adui zako na uwateketeze.

ISA 26:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, unaamuru amani kwa ajili yetu,

ISA 26:12 Removed trailing space in p~: yale yote tuliyoweza kuyakamilisha ni wewe uliyetenda kwa ajili yetu.

ISA 26:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wetu, mabwana wengine zaidi ya wewe wametutawala,

ISA 26:13 Removed trailing space in p~: lakini jina lako pekee ndilo tunaloliheshimu.

ISA 26:14 Removed trailing space in v~: Wao sasa wamekufa, wala hawako tena hai,

ISA 26:14 Removed trailing space in p~: roho za waliokufa hazitarudi tena.

ISA 26:14 Removed trailing space in p~: Uliwaadhibu na kuwaangamiza,

ISA 26:14 Removed trailing space in p~: umefuta kumbukumbu lao lote.

ISA 26:15 Removed trailing space in v~: Umeliongeza hilo taifa, Ee \nd Bwana\nd*,

ISA 26:15 Removed trailing space in p~: umeliongeza hilo taifa.

ISA 26:15 Removed trailing space in p~: Umejipatia utukufu kwa ajili yako mwenyewe,

ISA 26:15 Removed trailing space in p~: umepanua mipaka yote ya nchi.

ISA 26:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, walikujia katika taabu yao,

ISA 26:16 Removed trailing space in p~: wewe ulipowarudi,

ISA 26:16 Removed trailing space in p~: waliweza kuomba kwa kunongʼona tu.

ISA 26:17 Removed trailing space in v~: Kama mwanamke mwenye mimba aliyekaribia kuzaa

ISA 26:17 Removed trailing space in p~: anavyogaagaa na kulia kwa ajili ya maumivu yake,

ISA 26:17 Removed trailing space in p~: ndivyo tulivyokuwa mbele zako, Ee \nd Bwana\nd*.

ISA 26:18 Removed trailing space in v~: Tulikuwa na mimba, tuligaagaa kwa maumivu,

ISA 26:18 Removed trailing space in p~: lakini tulizaa upepo.

ISA 26:18 Removed trailing space in p~: Hatukuleta wokovu duniani,

ISA 26:18 Removed trailing space in p~: hatujazaa watu katika ulimwengu huu.

ISA 26:19 Removed trailing space in v~: Lakini wafu wenu wataishi,

ISA 26:19 Removed trailing space in p~: nayo miili yao itafufuka.

ISA 26:19 Removed trailing space in p~: Ninyi mnaokaa katika mavumbi,

ISA 26:19 Removed trailing space in p~: amkeni mkapige kelele kwa furaha.

ISA 26:19 Removed trailing space in p~: Umande wenu ni kama umande wa asubuhi,

ISA 26:19 Removed trailing space in p~: dunia itawazaa wafu wake.

ISA 26:20 Removed trailing space in v~: Nendeni, watu wangu, ingieni vyumbani mwenu

ISA 26:20 Removed trailing space in p~: na mfunge milango nyuma yenu,

ISA 26:20 Removed trailing space in p~: jificheni kwa kitambo kidogo

ISA 26:20 Removed trailing space in p~: mpaka ghadhabu yake ipite.

ISA 26:21 Removed trailing space in v~: Tazama, \nd Bwana\nd* anakuja kutoka makao yake

ISA 26:21 Removed trailing space in p~: ili kuwaadhibu watu wa dunia kwa ajili ya dhambi zao.

ISA 26:21 Removed trailing space in p~: Dunia itadhihirisha umwagaji damu juu yake,

ISA 26:21 Removed trailing space in p~: wala haitaendelea kuwaficha watu wake waliouawa.

ISA 27:0 Extra space after chapter number

ISA 27:0 Removed trailing space in c: 27

ISA 27:0 Removed trailing space in s1: Wokovu Kwa Ajili Ya Israeli

ISA 27:1 Removed trailing space in v~: Katika siku ile,

ISA 27:1 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ataadhibu kwa upanga wake,

ISA 27:1 Removed trailing space in p~: upanga wake mkali, mkubwa na wenye nguvu,

ISA 27:1 Removed trailing space in p~: ataadhibu Lewiathani\f + \fr 27:1 \ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba anayefanana na joka kubwa, mwenye umbo la kutisha, asiyeweza kuvuliwa.\f* yule nyoka apitaye kwa mwendo laini,

ISA 27:1 Removed trailing space in p~: Lewiathani yule nyoka mwenye kujipinda;

ISA 27:1 Removed trailing space in p~: atamuua joka huyo mkubwa sana wa baharini.

ISA 27:2 Removed trailing space in v~: Katika siku ile:

ISA 27:2 Removed trailing space in p~: “Imbeni kuhusu shamba la mizabibu lililozaa:

ISA 27:3 Removed trailing space in v~: Mimi, \nd Bwana\nd*, ninalitunza,

ISA 27:3 Removed trailing space in p~: nalinyweshea maji mfululizo.

ISA 27:3 Removed trailing space in p~: Ninalichunga usiku na mchana

ISA 27:3 Removed trailing space in p~: ili mtu yeyote asije akalidhuru.

ISA 27:4 Removed trailing space in v~: Mimi sijakasirika.

ISA 27:4 Removed trailing space in p~: Licha pangekuwepo michongoma na miiba kunikabili!

ISA 27:4 Removed trailing space in p~: Ningepambana dhidi yake katika vita,

ISA 27:4 Removed trailing space in p~: ningeliichoma moto yote.

ISA 27:5 Removed trailing space in v~: Au niwaache waje kwangu kwa ajili ya kupata kimbilio,

ISA 27:5 Removed trailing space in p~: wao na wafanye amani nami,

ISA 27:5 Removed trailing space in p~: naam, wafanye amani nami.”

ISA 27:6 Removed trailing space in v~: Katika siku zijazo, Yakobo atatia mizizi,

ISA 27:6 Removed trailing space in p~: Israeli atatoa chipukizi na kuchanua maua,

ISA 27:6 Removed trailing space in p~: naye atajaza ulimwengu wote kwa matunda.

ISA 27:7 Removed trailing space in v~: Je, \nd Bwana\nd* amempiga

ISA 27:7 Removed trailing space in p~: vile alivyowapiga wale waliompiga?

ISA 27:7 Removed trailing space in p~: Je, yeye ameuawa

ISA 27:7 Removed trailing space in p~: vile walivyouawa wale waliomuua yeye?

ISA 27:8 Removed trailing space in v~: Kwa vita na kwa kumfukuza unapingana naye:

ISA 27:8 Removed trailing space in p~: kwa mshindo wake mkali anamfukuza,

ISA 27:8 Removed trailing space in p~: kama siku ile uvumapo upepo wa mashariki.

ISA 27:9 Removed trailing space in v~: Kwa hili, basi, hatia ya Yakobo itafanyiwa upatanisho,

ISA 27:9 Removed trailing space in p~: nalo hili litakuwa matunda ya utimilizo wa kuondolewa kwa dhambi yake:

ISA 27:9 Removed trailing space in p~: Wakati atakapoyafanya mawe yote ya madhabahu

ISA 27:9 Removed trailing space in p~: kuwa kama mawe ya chokaa yaliyopondwa vipande vipande,

ISA 27:9 Removed trailing space in p~: hakuna nguzo za Ashera au madhabahu za kufukizia uvumba

ISA 27:9 Removed trailing space in p~: zitakazobaki zimesimama.

ISA 27:10 Removed trailing space in v~: Mji ulio na boma umebaki ukiwa,

ISA 27:10 Removed trailing space in p~: makao yaliyotelekezwa, yaliyoachwa kama jangwa.

ISA 27:10 Removed trailing space in p~: Huko ndama hulisha,

ISA 27:10 Removed trailing space in p~: huko hujilaza,

ISA 27:10 Removed trailing space in p~: wanakwanyua matawi yake.

ISA 27:11 Removed trailing space in v~: Wakati vijiti vyake vimekauka, huvunjwa

ISA 27:11 Removed trailing space in p~: nao wanawake huja na kuwasha navyo moto.

ISA 27:11 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa hili ni taifa lisilo na ufahamu,

ISA 27:11 Removed trailing space in p~: kwa hiyo yeye aliyewafanya hana huruma juu yao,

ISA 27:11 Removed trailing space in p~: Muumba wao hawaonyeshi fadhili.

ISA 27:12 Removed trailing space in v~: Katika siku ile \nd Bwana\nd* atapura kutoka matiririko ya Mto Frati hadi Kijito cha Misri, nanyi ee Waisraeli, mtakusanywa mmoja mmoja.

ISA 27:13 Removed trailing space in v~: Katika siku ile tarumbeta kubwa italia. Wale waliokuwa wakiangamia katika nchi ya Ashuru, nao wale waliokuwa uhamishoni katika nchi ya Misri watakuja na kumwabudu \nd Bwana\nd* katika mlima mtakatifu huko Yerusalemu.

ISA 28:0 Extra space after chapter number

ISA 28:0 Removed trailing space in c: 28

ISA 28:0 Removed trailing space in s1: Ole Wa Efraimu

ISA 28:1 Removed trailing space in v~: Ole kwa lile taji la maua, kiburi cha walevi wa Efraimu,

ISA 28:1 Removed trailing space in p~: kwa ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu wake,

ISA 28:1 Removed trailing space in p~: uliowekwa kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba:

ISA 28:1 Removed trailing space in p~: kwa ule mji, kiburi cha wale walioshushwa na mvinyo!

ISA 28:2 Removed trailing space in v~: Tazama, Bwana anaye mmoja aliye na uwezo na nguvu.

ISA 28:2 Removed trailing space in p~: Kama dhoruba ya mvua ya mawe na upepo uharibuo,

ISA 28:2 Removed trailing space in p~: kama mvua inyeshayo kwa nguvu na mafuriko yashukayo,

ISA 28:2 Removed trailing space in p~: atakiangusha chini kwa nguvu.

ISA 28:3 Removed trailing space in v~: Lile taji la maua, kiburi cha walevi cha Efraimu,

ISA 28:3 Removed trailing space in p~: kitakanyagwa chini ya nyayo.

ISA 28:4 Removed trailing space in v~: Lile ua linalosinyaa, uzuri wa utukufu wake,

ISA 28:4 Removed trailing space in p~: uliowekwa kwenye kichwa cha bonde lenye rutuba,

ISA 28:4 Removed trailing space in p~: litakuwa kama tini iliyoiva kabla ya mavuno:

ISA 28:4 Removed trailing space in p~: mara mtu aionapo, huichuma na kuila.

ISA 28:5 Removed trailing space in v~: Katika siku ile, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

ISA 28:5 Removed trailing space in p~: atakuwa taji la utukufu,

ISA 28:5 Removed trailing space in p~: taji zuri la maua

ISA 28:5 Removed trailing space in p~: kwa mabaki ya watu wake.

ISA 28:6 Removed trailing space in v~: Atakuwa roho ya haki

ISA 28:6 Removed trailing space in p~: kwa yeye aketiye katika kiti cha hukumu,

ISA 28:6 Removed trailing space in p~: chanzo cha nguvu

ISA 28:6 Removed trailing space in p~: kwa wale wazuiao vita langoni.

ISA 28:7 Removed trailing space in v~: Hawa pia wanapepesuka kwa sababu ya mvinyo,

ISA 28:7 Removed trailing space in p~: wanayumbayumba kwa sababu ya kileo:

ISA 28:7 Removed trailing space in p~: Makuhani na manabii wanapepesuka kwa sababu ya kileo,

ISA 28:7 Removed trailing space in p~: wanachanganyikiwa kwa sababu ya mvinyo;

ISA 28:7 Removed trailing space in p~: wanapepesuka wanapoona maono,

ISA 28:7 Removed trailing space in p~: wanajikwaa wanapotoa maamuzi.

ISA 28:8 Removed trailing space in v~: Meza zote zimejawa na matapishi

ISA 28:8 Removed trailing space in p~: wala hakuna sehemu hata ndogo

ISA 28:8 Removed trailing space in p~: isiyokuwa na uchafu.

ISA 28:9 Removed trailing space in v~: “Yeye anajaribu kumfundisha nani?

ISA 28:9 Removed trailing space in p~: Yeye anamwelezea nani ujumbe wake?

ISA 28:9 Removed trailing space in p~: Je, ni kwa watoto walioachishwa kunyonya?

ISA 28:9 Removed trailing space in p~: Je, ni wale ambao ndipo tu wametolewa matitini?

ISA 28:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni:

ISA 28:10 Removed trailing space in p~: Amri juu ya amri, amri juu ya amri,

ISA 28:10 Removed trailing space in p~: kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni;

ISA 28:10 Removed trailing space in p~: hapa kidogo, kule kidogo.”

ISA 28:11 Removed trailing space in v~: Sawa kabisa, kwa midomo migeni

ISA 28:11 Removed trailing space in p~: na kwa lugha ngeni,

ISA 28:11 Removed trailing space in p~: Mungu atasema na watu hawa,

ISA 28:12 Removed trailing space in v~: wale ambao aliwaambia,

ISA 28:12 Removed trailing space in p~: “Hapa ni mahali pa kupumzika,

ISA 28:12 Removed trailing space in p~: waliochoka na wapumzike,”

ISA 28:12 Removed trailing space in p~: na, “Hapa ni mahali pa mapumziko,”

ISA 28:12 Removed trailing space in p~: lakini hawakutaka kusikiliza.

ISA 28:13 Removed trailing space in v~: Hivyo basi, neno la \nd Bwana\nd* kwao litakuwa:

ISA 28:13 Removed trailing space in p~: Amri juu ya amri, amri juu ya amri,

ISA 28:13 Removed trailing space in p~: kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni,

ISA 28:13 Removed trailing space in p~: hapa kidogo, kule kidogo:

ISA 28:13 Removed trailing space in p~: ili waende na kuanguka chali,

ISA 28:13 Removed trailing space in p~: wakijeruhiwa, wakinaswa na kukamatwa.

ISA 28:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi watu wenye dharau

ISA 28:14 Removed trailing space in p~: mnaotawala watu hawa wa Yerusalemu.

ISA 28:15 Removed trailing space in v~: Ninyi mnajisifu, “Tumefanya agano na mauti,

ISA 28:15 Removed trailing space in p~: tumefanya mapatano na kuzimu.

ISA 28:15 Removed trailing space in p~: Wakati pigo lifurikalo litakapopita,

ISA 28:15 Removed trailing space in p~: haliwezi kutugusa sisi,

ISA 28:15 Removed trailing space in p~: kwa kuwa tumefanya uongo kuwa kimbilio letu

ISA 28:15 Removed trailing space in p~: na miungu ya uongo kuwa mahali petu pa kujificha.”

ISA 28:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hivi ndivyo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemavyo:

ISA 28:16 Removed trailing space in p~: “Tazama, ninaweka jiwe katika Sayuni,

ISA 28:16 Removed trailing space in p~: jiwe lililojaribiwa,

ISA 28:16 Removed trailing space in p~: jiwe la pembeni la thamani kwa ajili ya msingi thabiti.

ISA 28:16 Removed trailing space in p~: Yeye atumainiye kamwe hatatiwa hofu.

ISA 28:17 Removed trailing space in v~: Nitaifanya haki kuwa kamba ya kupimia

ISA 28:17 Removed trailing space in p~: na uadilifu kuwa timazi;

ISA 28:17 Removed trailing space in p~: mvua ya mawe itafagia kimbilio lenu, huo uongo,

ISA 28:17 Removed trailing space in p~: nayo maji yatafurikia mahali penu pa kujificha.

ISA 28:18 Removed trailing space in v~: Agano lenu na kifo litabatilishwa,

ISA 28:18 Removed trailing space in p~: patano lenu na kuzimu halitasimama.

ISA 28:18 Removed trailing space in p~: Wakati pigo lifurikalo litakapowakumba,

ISA 28:18 Removed trailing space in p~: litawaangusha chini.

ISA 28:19 Removed trailing space in v~: Kila mara lijapo litawachukua,

ISA 28:19 Removed trailing space in p~: asubuhi baada ya asubuhi,

ISA 28:19 Removed trailing space in p~: wakati wa mchana na wakati wa usiku,

ISA 28:19 Removed trailing space in p~: litawakumba tangu mwanzo hadi mwisho.”

ISA 28:19 Removed trailing space in p~: Kuuelewa ujumbe huu

ISA 28:19 Removed trailing space in p~: utaleta hofu tupu.

ISA 28:20 Removed trailing space in v~: Kitanda ni kifupi mno kujinyoosha juu yake,

ISA 28:20 Removed trailing space in p~: nguo ya kujifunikia ni nyembamba mno

ISA 28:20 Removed trailing space in p~: mtu hawezi kujifunikia.

ISA 28:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atainuka kama alivyofanya kwenye Mlima Perasimu,

ISA 28:21 Removed trailing space in p~: ataghadhibika kama alivyofanya katika Bonde la Gibeoni:

ISA 28:21 Removed trailing space in p~: ili kufanya kazi yake, kazi yake ya ajabu,

ISA 28:21 Removed trailing space in p~: ili kutimiza kazi yake, kazi yake ngeni.

ISA 28:22 Removed trailing space in v~: Sasa acheni dharau zenu,

ISA 28:22 Removed trailing space in p~: la sivyo minyororo yenu itakuwa mizito zaidi.

ISA 28:22 Removed trailing space in p~: Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, ameniambia

ISA 28:22 Removed trailing space in p~: habari za maangamizi yaliyoamriwa dhidi ya nchi yote.

ISA 28:23 Removed trailing space in v~: Sikilizeni msikie sauti yangu,

ISA 28:23 Removed trailing space in p~: tegeni masikio na msikie niyasemayo.

ISA 28:24 Removed trailing space in v~: Wakati mkulima alimapo ili apande,

ISA 28:24 Removed trailing space in p~: je, hulima siku zote?

ISA 28:24 Removed trailing space in p~: Je, huendelea kubomoa ardhi

ISA 28:24 Removed trailing space in p~: na kusawazisha udongo?

ISA 28:25 Removed trailing space in v~: Akiisha kusawazisha shamba,

ISA 28:25 Removed trailing space in p~: je, hatapanyi mbegu za bizari na kutawanya jira?

ISA 28:25 Removed trailing space in p~: Je, hapandi ngano katika sehemu yake,

ISA 28:25 Removed trailing space in p~: shayiri katika eneo lake,

ISA 28:25 Removed trailing space in p~: na nafaka nyingine katika shamba lake?

ISA 28:26 Removed trailing space in v~: Mungu wake humwelekeza

ISA 28:26 Removed trailing space in p~: na kumfundisha njia iliyo sahihi.

ISA 28:27 Removed trailing space in v~: Iliki haipurwi kwa nyundo,

ISA 28:27 Removed trailing space in p~: wala gurudumu la gari halivingirishwi juu ya jira;

ISA 28:27 Removed trailing space in p~: iliki hupurwa kwa fimbo,

ISA 28:27 Removed trailing space in p~: na jira kwa ufito.

ISA 28:28 Removed trailing space in v~: Nafaka lazima isagwe ili kutengeneza mkate,

ISA 28:28 Removed trailing space in p~: kwa hiyo mtu haendelei kuipura daima.

ISA 28:28 Removed trailing space in p~: Ingawa huendesha magurudumu ya gari lake la kupuria juu yake,

ISA 28:28 Removed trailing space in p~: farasi wake hawasagi.

ISA 28:29 Removed trailing space in v~: Haya yote pia hutoka kwa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 28:29 Removed trailing space in p~: mwenye mashauri ya ajabu, na anayepita wote kwa hekima.

ISA 29:0 Extra space after chapter number

ISA 29:0 Removed trailing space in c: 29

ISA 29:0 Removed trailing space in s1: Ole Wa Mji Wa Daudi

ISA 29:1 Removed trailing space in v~: Ole wako, wewe Arieli, Arieli,

ISA 29:1 Removed trailing space in p~: mji alimokaa Daudi!

ISA 29:1 Removed trailing space in p~: Ongezeni mwaka kwa mwaka,

ISA 29:1 Removed trailing space in p~: na mzunguko wa sikukuu zenu uendelee.

ISA 29:2 Removed trailing space in v~: Hata hivyo nitauzunguka Arieli kwa jeshi,

ISA 29:2 Removed trailing space in p~: utalia na kuomboleza,

ISA 29:2 Removed trailing space in p~: utakuwa kwangu kama mahali

ISA 29:2 Removed trailing space in p~: pa kuwashia moto madhabahuni.

ISA 29:3 Removed trailing space in v~: Nitapiga kambi pande zote dhidi yako,

ISA 29:3 Removed trailing space in p~: nitakuzunguka kwa minara

ISA 29:3 Removed trailing space in p~: na kupanga mazingirwa yangu dhidi yako.

ISA 29:4 Removed trailing space in v~: Utakaposhushwa, utanena kutoka ardhini,

ISA 29:4 Removed trailing space in p~: utamumunya maneno yako kutoka mavumbini.

ISA 29:4 Removed trailing space in p~: Sauti yako itatoka katika nchi kama vile ya mzimu,

ISA 29:4 Removed trailing space in p~: utanongʼona maneno yako toka mavumbini.

ISA 29:5 Removed trailing space in v~: Lakini adui zako wengi watakuwa kama vumbi laini,

ISA 29:5 Removed trailing space in p~: kundi la wakatili watakuwa

ISA 29:5 Removed trailing space in p~: kama makapi yapeperushwayo.

ISA 29:5 Removed trailing space in p~: Naam, ghafula, mara moja,

ISA 29:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote atakuja

ISA 29:6 Removed trailing space in p~: na ngurumo, tetemeko la ardhi, na kwa sauti kuu,

ISA 29:6 Removed trailing space in p~: atakuja na dhoruba, tufani na miali ya moto iteketezayo.

ISA 29:7 Removed trailing space in v~: Kisha makundi ya mataifa yote yale yapiganayo dhidi ya Arieli,

ISA 29:7 Removed trailing space in p~: yale yanayomshambulia yeye na ngome zake, na kumzunguka kwa jeshi,

ISA 29:7 Removed trailing space in p~: watakuwa kama ilivyo ndoto,

ISA 29:7 Removed trailing space in p~: kama maono wakati wa usiku:

ISA 29:8 Removed trailing space in v~: kama vile mtu aliye na njaa aotavyo kuwa anakula,

ISA 29:8 Removed trailing space in p~: lakini huamka, bado njaa yake ingalipo,

ISA 29:8 Removed trailing space in p~: kama vile mtu mwenye kiu aotavyo kuwa anakunywa maji,

ISA 29:8 Removed trailing space in p~: lakini huamka akiwa anazimia, akiwa bado angali ana kiu.

ISA 29:8 Removed trailing space in p~: Hivyo ndivyo itakavyokuwa kwa makundi yote ya mataifa

ISA 29:8 Removed trailing space in p~: yanayopigana dhidi ya Mlima Sayuni.

ISA 29:9 Removed trailing space in v~: Duwaeni na kushangaa,

ISA 29:9 Removed trailing space in p~: jifanyeni vipofu wenyewe na msione,

ISA 29:9 Removed trailing space in p~: leweni, lakini si kwa mvinyo,

ISA 29:9 Removed trailing space in p~: pepesukeni lakini si kwa kileo.

ISA 29:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amewaleteeni usingizi mzito:

ISA 29:10 Removed trailing space in p~: Ameziba macho yenu (ninyi manabii);

ISA 29:10 Removed trailing space in p~: amefunika vichwa vyenu (ninyi waonaji).

ISA 29:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwenu ninyi, maono haya yote si kitu ila maneno yaliyotiwa lakiri katika kitabu. Kama mkimpa mtu yeyote awezaye kusoma kitabu hiki, nanyi mkamwambia, “Tafadhali kisome,” yeye atajibu, “Mimi siwezi, kwa kuwa kimetiwa lakiri.”

ISA 29:12 Removed trailing space in v~: Au kama mkimpa mtu yeyote kitabu hiki asiyeweza kusoma na kumwambia, “Tafadhali kisome,” atajibu, “Mimi sijui kusoma.”

ISA 29:13 Removed trailing space in v~: Bwana anasema:

ISA 29:13 Removed trailing space in p~: “Watu hawa hunikaribia kwa vinywa vyao

ISA 29:13 Removed trailing space in p~: na kuniheshimu kwa midomo yao,

ISA 29:13 Removed trailing space in p~: lakini mioyo yao iko mbali nami.

ISA 29:13 Removed trailing space in p~: Ibada yao kwangu inatokana na maagizo

ISA 29:13 Removed trailing space in p~: waliyofundishwa na wanadamu.

ISA 29:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mara nyingine tena nitawashangaza watu hawa,

ISA 29:14 Removed trailing space in p~: kwa ajabu juu ya ajabu.

ISA 29:14 Removed trailing space in p~: Hekima ya wenye hekima itapotea,

ISA 29:14 Removed trailing space in p~: nayo akili ya wenye akili itatoweka.”

ISA 29:15 Removed trailing space in v~: Ole kwa wale wanaokwenda kwenye vilindi virefu

ISA 29:15 Removed trailing space in p~: kumficha \nd Bwana\nd* mipango yao,

ISA 29:15 Removed trailing space in p~: wafanyao kazi zao gizani na kufikiri,

ISA 29:15 Removed trailing space in p~: “Ni nani anayetuona? Ni nani atakayejua?”

ISA 29:16 Removed trailing space in v~: Mnapindua mambo juu chini,

ISA 29:16 Removed trailing space in p~: kana kwamba mfinyanzi aweza kufikiriwa kuwa kama udongo wa mfinyanzi!

ISA 29:16 Removed trailing space in p~: Je, kile kilichofinyangwa chaweza kumwambia yule aliyekifinyanga,

ISA 29:16 Removed trailing space in p~: “Wewe hukunifinyanga mimi?”

ISA 29:16 Removed trailing space in p~: Je, chungu kinaweza kumwambia mfinyanzi,

ISA 29:16 Removed trailing space in p~: “Wewe hujui chochote?”

ISA 29:17 Removed trailing space in v~: Kwa muda mfupi sana, je, Lebanoni haitageuzwa kuwa shamba lenye rutuba,

ISA 29:17 Removed trailing space in p~: na shamba lenye rutuba liwe kama msitu?

ISA 29:18 Removed trailing space in v~: Katika siku ile viziwi watasikia maneno ya kitabu,

ISA 29:18 Removed trailing space in p~: na katika utusitusi na giza

ISA 29:18 Removed trailing space in p~: macho ya kipofu yataona.

ISA 29:19 Removed trailing space in v~: Mara nyingine tena wanyenyekevu watafurahi katika \nd Bwana\nd*,

ISA 29:19 Removed trailing space in p~: wahitaji watafurahi katika yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 29:20 Removed trailing space in v~: Wakatili watatoweka na wenye kudhihaki watatokomea,

ISA 29:20 Removed trailing space in p~: nao wote wenye jicho la uovu watakatiliwa mbali,

ISA 29:21 Removed trailing space in v~: wale ambao kwa neno humfanya mtu kuwa mwenye hatia,

ISA 29:21 Removed trailing space in p~: wamtegeao mtego mtetezi katika mahakama,

ISA 29:21 Removed trailing space in p~: na kwa ushuhuda wa uongo humnyima haki

ISA 29:21 Removed trailing space in p~: yeye asiye na hatia.

ISA 29:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd*, aliyemkomboa Abrahamu, analosema kwa nyumba ya Yakobo:

ISA 29:22 Removed trailing space in p~: “Yakobo hataaibishwa tena,

ISA 29:22 Removed trailing space in p~: wala nyuso zao hazitabadilika sura tena.

ISA 29:23 Removed trailing space in v~: Wakati watakapoona watoto wao miongoni mwao,

ISA 29:23 Removed trailing space in p~: kazi ya mikono yangu,

ISA 29:23 Removed trailing space in p~: watalitakasa Jina langu takatifu;

ISA 29:23 Removed trailing space in p~: wataukubali utakatifu wa yeye Aliye Mtakatifu wa Yakobo,

ISA 29:23 Removed trailing space in p~: nao watamcha Mungu wa Israeli.

ISA 29:24 Removed trailing space in v~: Wale wanaopotoka rohoni watapata ufahamu,

ISA 29:24 Removed trailing space in p~: nao wale wanaolalamika watayakubali mafundisho.”

ISA 30:0 Extra space after chapter number

ISA 30:0 Removed trailing space in c: 30

ISA 30:0 Removed trailing space in s1: Ole Wa Taifa Kaidi

ISA 30:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema,

ISA 30:1 Removed trailing space in p~: “Ole kwa watoto wakaidi,

ISA 30:1 Removed trailing space in p~: kwa wale wanaotimiza mipango ambayo si yangu,

ISA 30:1 Removed trailing space in p~: wakifanya makubaliano, lakini si kwa Roho wangu,

ISA 30:1 Removed trailing space in p~: wakilundika dhambi juu ya dhambi,

ISA 30:2 Removed trailing space in v~: wale washukao kwenda Misri

ISA 30:2 Removed trailing space in p~: bila kutaka shauri langu,

ISA 30:2 Removed trailing space in p~: wanaotafuta msaada wa ulinzi wa Farao,

ISA 30:2 Removed trailing space in p~: watafutao kivuli cha Misri kwa ajili ya kimbilio.

ISA 30:3 Removed trailing space in v~: Lakini ulinzi wa Farao utakuwa kwa aibu yenu,

ISA 30:3 Removed trailing space in p~: kivuli cha Misri kitawaletea fedheha.

ISA 30:4 Removed trailing space in v~: Ingawa wana maafisa katika Soani

ISA 30:4 Removed trailing space in p~: na wajumbe wamewasili katika Hanesi,

ISA 30:5 Removed trailing space in v~: kila mmoja ataaibishwa

ISA 30:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya taifa lisilowafaa kitu,

ISA 30:5 Removed trailing space in p~: ambalo haliwaletei msaada wala faida,

ISA 30:5 Removed trailing space in p~: bali aibu tu na fedheha.”

ISA 30:6 Removed trailing space in v~: Neno kuhusu wanyama wa Negebu:

ISA 30:6 Removed trailing space in p~: Katika nchi ya taabu na shida,

ISA 30:6 Removed trailing space in p~: ya simba za dume na jike,

ISA 30:6 Removed trailing space in p~: ya nyoka mwenye sumu kali na nyoka warukao,

ISA 30:6 Removed trailing space in p~: wajumbe huchukua utajiri wao juu ya migongo ya punda,

ISA 30:6 Removed trailing space in p~: hazina zao juu ya nundu za ngamia,

ISA 30:6 Removed trailing space in p~: kwa lile taifa lisilokuwa na faida,

ISA 30:7 Removed trailing space in v~: kuvipeleka Misri,

ISA 30:7 Removed trailing space in p~: ambaye msaada wake haufai kabisa.

ISA 30:7 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo nimemwita “Rahabu Asiyefanya Chochote.”

ISA 30:8 Removed trailing space in v~: Nenda sasa, liandike neno hili juu ya kibao kwa ajili yao,

ISA 30:8 Removed trailing space in p~: liandike kwenye kitabu,

ISA 30:8 Removed trailing space in p~: ili liweze kuwa shahidi milele

ISA 30:8 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya siku zijazo.

ISA 30:9 Removed trailing space in v~: Hawa ni watu waasi, watoto wadanganyifu,

ISA 30:9 Removed trailing space in p~: watoto ambao hawataki kusikiliza mafundisho ya \nd Bwana\nd*.

ISA 30:10 Removed trailing space in v~: Wanawaambia waonaji,

ISA 30:10 Removed trailing space in p~: “Msione maono tena!”

ISA 30:10 Removed trailing space in p~: Nako kwa manabii wanasema,

ISA 30:10 Removed trailing space in p~: “Msiendelee kutupatia maono

ISA 30:10 Removed trailing space in p~: ambayo ni ya kweli!

ISA 30:10 Removed trailing space in p~: Tuambieni mambo ya kupendeza,

ISA 30:10 Removed trailing space in p~: tabirini mambo ya uongo.

ISA 30:11 Removed trailing space in v~: Acheni njia hii,

ISA 30:11 Removed trailing space in p~: ondokeni katika mapito haya,

ISA 30:11 Removed trailing space in p~: nanyi acheni kutukabili pamoja

ISA 30:11 Removed trailing space in p~: na yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli!”

ISA 30:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo asemalo yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli:

ISA 30:12 Removed trailing space in p~: “Kwa sababu mmekataa ujumbe huu,

ISA 30:12 Removed trailing space in p~: mkategemea uonevu na kutumainia udanganyifu,

ISA 30:13 Removed trailing space in v~: dhambi hii itakuwa kwenu

ISA 30:13 Removed trailing space in p~: kama ukuta mrefu,

ISA 30:13 Removed trailing space in p~: wenye ufa na wenye kubetuka,

ISA 30:13 Removed trailing space in p~: ambao unaanguka ghafula,

ISA 30:13 Removed trailing space in p~: mara moja.

ISA 30:14 Removed trailing space in v~: Utavunjika vipande vipande kama chombo cha udongo

ISA 30:14 Removed trailing space in p~: ukipasuka pasipo huruma

ISA 30:14 Removed trailing space in p~: ambapo katika vipande vyake

ISA 30:14 Removed trailing space in p~: hakuna kipande kitakachopatikana

ISA 30:14 Removed trailing space in p~: kwa kuukulia makaa kutoka jikoni

ISA 30:14 Removed trailing space in p~: au kuchotea maji kisimani.”

ISA 30:15 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, asemalo:

ISA 30:15 Removed trailing space in p~: “Katika kutubu na kupumzika ndio wokovu wenu,

ISA 30:15 Removed trailing space in p~: katika kutulia na kutumaini ndizo nguvu zenu,

ISA 30:15 Removed trailing space in p~: lakini hamkutaka.

ISA 30:16 Removed trailing space in v~: Mlisema, ‘Hapana, tutakimbia kwa farasi.’

ISA 30:16 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo mtakimbia!

ISA 30:16 Removed trailing space in p~: Mlisema, ‘Tutakimbia kwa farasi waendao kasi.’

ISA 30:16 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo wanaowafukuza watakwenda kasi!

ISA 30:17 Removed trailing space in v~: Watu 1,000 watakimbia

ISA 30:17 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya kitisho cha mtu mmoja,

ISA 30:17 Removed trailing space in p~: kwa vitishio vya watu watano

ISA 30:17 Removed trailing space in p~: wote mtakimbia,

ISA 30:17 Removed trailing space in p~: hadi mtakapoachwa kama mlingoti wa bendera

ISA 30:17 Removed trailing space in p~: juu ya kilele cha mlima,

ISA 30:17 Removed trailing space in p~: kama bendera juu ya kilima.”

ISA 30:18 Removed trailing space in v~: Hata hivyo \nd Bwana\nd* anatamani kutupatia neema,

ISA 30:18 Removed trailing space in p~: anainuka ili kuwaonyesha huruma.

ISA 30:18 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni Mungu wa haki.

ISA 30:18 Removed trailing space in p~: Wamebarikiwa wote wanaomngojea yeye!

ISA 30:19 Removed trailing space in v~: Enyi watu wa Sayuni, mnaoishi Yerusalemu, hamtalia tena. Tazameni jinsi atakavyokuwa na huruma mtakapolia kwa kumwomba msaada! Mara asikiapo, atawajibu.

ISA 30:20 Removed trailing space in v~: Ingawa Bwana huwapa chakula cha shida na maji ya taabu, walimu wenu hawatafichwa tena, kwa macho yenu wenyewe mtawaona.

ISA 30:21 Removed trailing space in v~: Mkigeuka kuume au kushoto, masikio yenu yatasikia sauti nyuma yenu ikisema, “Hii ndiyo njia, ifuateni.”

ISA 30:22 Removed trailing space in v~: Kisha mtanajisi sanamu zenu zilizofunikwa kwa fedha, na vinyago vyenu vilivyofunikwa kwa dhahabu. Mtazitupilia mbali kama vitambaa vya wakati wa hedhi na kuziambia, “Haya, tokeni hapa!”

ISA 30:23 Removed trailing space in v~: Pia atawapa mvua kwa ajili ya mbegu mnazootesha ardhini, chakula kinachotoka ardhini kitakuwa kizuri sana, tena tele. Katika siku ile, ngʼombe wenu watalisha katika shamba pana la majani.

ISA 30:24 Removed trailing space in v~: Maksai na punda walimao watakula majani makavu na vyakula vilivyotengenezwa, vinavyotandazwa kwa uma na sepeto.

ISA 30:25 Removed trailing space in v~: Katika siku ile ya mauaji makuu, wakati minara itakapoanguka, vijito vya maji vitatiririka juu ya kila mlima mrefu na kila kilima kilichoinuka sana.

ISA 30:26 Removed trailing space in v~: Mwezi utaangaza kama jua, nao mwanga wa jua utangʼaa mara saba zaidi, kama nuru ya siku saba, wakati \nd Bwana\nd* atakapoyafunga majeraha ya watu wake na kuwaponya vidonda alivyowatia.

ISA 30:27 Removed trailing space in v~: Tazama, Jina la \nd Bwana\nd* linakuja kutoka mbali,

ISA 30:27 Removed trailing space in p~: likiwa na hasira kali inayowaka

ISA 30:27 Removed trailing space in p~: pamoja na wingu zito la moshi,

ISA 30:27 Removed trailing space in p~: midomo yake imejaa ghadhabu

ISA 30:27 Removed trailing space in p~: na ulimi wake ni moto ulao.

ISA 30:28 Removed trailing space in v~: Pumzi yake ni kama mkondo wa maji yaendayo kasi,

ISA 30:28 Removed trailing space in p~: yakipanda hadi shingoni.

ISA 30:28 Removed trailing space in p~: Hutikisa mataifa katika chekecheke ya uharibifu,

ISA 30:28 Removed trailing space in p~: huweka lijamu katika mataya ya mataifa

ISA 30:28 Removed trailing space in p~: ambayo huwaongoza upotevuni.

ISA 30:29 Removed trailing space in v~: Nanyi mtaimba kama usiku ule mnaadhimisha

ISA 30:29 Removed trailing space in p~: sikukuu takatifu.

ISA 30:29 Removed trailing space in p~: Mioyo yenu itashangilia

ISA 30:29 Removed trailing space in p~: kama vile watu wanapokwea na filimbi

ISA 30:29 Removed trailing space in p~: kwenye mlima wa \nd Bwana\nd*,

ISA 30:29 Removed trailing space in p~: kwa Mwamba wa Israeli.

ISA 30:30 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawasababisha watu waisikie sauti yake ya utukufu,

ISA 30:30 Removed trailing space in p~: naye atawafanya wauone mkono wake ukishuka

ISA 30:30 Removed trailing space in p~: pamoja na hasira yake kali na moto ulao,

ISA 30:30 Removed trailing space in p~: kukiwa na tufani ya mvua,

ISA 30:30 Removed trailing space in p~: ngurumo za radi na mvua ya mawe.

ISA 30:31 Removed trailing space in v~: Sauti ya \nd Bwana\nd* itaivunjavunja Ashuru,

ISA 30:31 Removed trailing space in p~: kwa fimbo yake ya utawala atawapiga.

ISA 30:32 Removed trailing space in v~: Kila pigo \nd Bwana\nd* atakaloliweka juu yao

ISA 30:32 Removed trailing space in p~: kwa fimbo yake ya kuadhibu,

ISA 30:32 Removed trailing space in p~: litakuwa kwa wimbo wa matari na vinubi,

ISA 30:32 Removed trailing space in p~: anapopigana nao katika vita

ISA 30:32 Removed trailing space in p~: kwa mapigo ya mkono wake.

ISA 30:33 Removed trailing space in v~: Tofethi imeandaliwa toka zamani,

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: imewekwa tayari kwa ajili ya mfalme.

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: Shimo lake la moto limetengenezwa kwa kina kirefu

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: na kwa upana mkubwa,

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: likiwa na moto na kuni tele;

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: pumzi ya \nd Bwana\nd*,

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: kama kijito cha kiberiti,

ISA 30:33 Removed trailing space in p~: huuwasha moto.

ISA 31:0 Extra space after chapter number

ISA 31:0 Removed trailing space in c: 31

ISA 31:0 Removed trailing space in s1: Ole Wa Wale Wanaotegemea Misri

ISA 31:1 Removed trailing space in v~: Ole wao wale washukao Misri kwa ajili ya msaada,

ISA 31:1 Removed trailing space in p~: wale wategemeao farasi,

ISA 31:1 Removed trailing space in p~: wanaoweka tumaini katika wingi wa magari yao ya vita,

ISA 31:1 Removed trailing space in p~: na katika nguvu nyingi za wapanda farasi,

ISA 31:1 Removed trailing space in p~: lakini hawamwangalii yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli,

ISA 31:1 Removed trailing space in p~: wala hawatafuti msaada kwa \nd Bwana\nd*.

ISA 31:2 Removed trailing space in v~: Hata hivyo yeye pia ana hekima na anaweza kuleta maafa,

ISA 31:2 Removed trailing space in p~: wala hayatangui maneno yake.

ISA 31:2 Removed trailing space in p~: Yeye atainuka dhidi ya nyumba ya mwovu,

ISA 31:2 Removed trailing space in p~: dhidi ya wale ambao huwasaidia watenda mabaya.

ISA 31:3 Removed trailing space in v~: Lakini Wamisri ni wanadamu, wala si Mungu,

ISA 31:3 Removed trailing space in p~: farasi wao ni nyama, wala si roho.

ISA 31:3 Removed trailing space in p~: Wakati \nd Bwana\nd* atakaponyoosha Mkono wake,

ISA 31:3 Removed trailing space in p~: yeye anayesaidia atajikwaa,

ISA 31:3 Removed trailing space in p~: naye anayesaidiwa ataanguka,

ISA 31:3 Removed trailing space in p~: wote wawili wataangamia pamoja.

ISA 31:4 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* analoniambia:

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: “Kama vile simba angurumavyo,

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: simba mkubwa juu ya mawindo yake:

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: hata ingawa kundi lote la wachunga mifugo

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: huitwa pamoja dhidi yake,

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: hatiwi hofu na kelele zao

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: wala kusumbuliwa na ghasia zao;

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: ndivyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote atakavyoshuka

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: kufanya vita juu ya Mlima Sayuni

ISA 31:4 Removed trailing space in p~: na juu ya vilele vyake.

ISA 31:5 Removed trailing space in v~: Kama ndege warukao,

ISA 31:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ataukinga Yerusalemu;

ISA 31:5 Removed trailing space in p~: ataukinga na kuuokoa,

ISA 31:5 Removed trailing space in p~: atapita juu yake na kuufanya salama.”

ISA 31:6 Removed trailing space in v~: Mrudieni yeye ambaye nyumba ya Israeli imemwasi sana.

ISA 31:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa katika siku ile kila mmoja wenu atazikataa sanamu za fedha na za dhahabu zilizotengenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.

ISA 31:8 Removed trailing space in v~: “Ashuru itaanguka kwa upanga ambao si wa mwanadamu;

ISA 31:8 Removed trailing space in p~: upanga usio wa kibinadamu utawaangamiza.

ISA 31:8 Removed trailing space in p~: Watakimbia mbele ya upanga

ISA 31:8 Removed trailing space in p~: na vijana wao wa kiume watafanyizwa kazi kwa lazima.

ISA 31:9 Removed trailing space in v~: Ngome zao zitaanguka kwa sababu ya hofu;

ISA 31:9 Removed trailing space in p~: kwa kuona bendera ya vita,

ISA 31:9 Removed trailing space in p~: majemadari wao watashikwa na hofu ya ghafula,”

ISA 31:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

ISA 31:9 Removed trailing space in p~: ambaye moto wake uko Sayuni,

ISA 31:9 Removed trailing space in p~: nayo tanuru yake iko Yerusalemu.

ISA 32:0 Extra space after chapter number

ISA 32:0 Removed trailing space in c: 32

ISA 32:0 Removed trailing space in s1: Ufalme Wa Haki

ISA 32:1 Removed trailing space in v~: Tazama, mfalme atatawala kwa uadilifu

ISA 32:1 Removed trailing space in p~: na watawala watatawala kwa haki.

ISA 32:2 Removed trailing space in v~: Kila mtu atakuwa kama kivuli cha kujificha kutokana na upepo

ISA 32:2 Removed trailing space in p~: na kimbilio kutokana na dhoruba,

ISA 32:2 Removed trailing space in p~: kama vijito vya maji jangwani

ISA 32:2 Removed trailing space in p~: na kivuli cha mwamba mkubwa katika ardhi yenye kiu.

ISA 32:3 Removed trailing space in v~: Ndipo macho ya wale wanaoona hayatafumbwa tena,

ISA 32:3 Removed trailing space in p~: nayo masikio ya wale wanaosikia yatasikiliza.

ISA 32:4 Removed trailing space in v~: Moyo wa mtu mwenye hamaki utafahamu na kuelewa,

ISA 32:4 Removed trailing space in p~: nao ulimi wenye kigugumizi utanena kwa ufasaha.

ISA 32:5 Removed trailing space in v~: Mpumbavu hataitwa tena muungwana,

ISA 32:5 Removed trailing space in p~: wala mtu mbaya kabisa kupewa heshima ya juu.

ISA 32:6 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mpumbavu hunena upumbavu,

ISA 32:6 Removed trailing space in p~: moyo wake hushughulika na uovu:

ISA 32:6 Removed trailing space in p~: Hutenda mambo yasiyo ya kumcha Mungu,

ISA 32:6 Removed trailing space in p~: na hueneza habari za makosa kuhusu \nd Bwana\nd*;

ISA 32:6 Removed trailing space in p~: yeye huwaacha wenye njaa bila kitu,

ISA 32:6 Removed trailing space in p~: na wenye kiu huwanyima maji.

ISA 32:7 Removed trailing space in v~: Taratibu za mtu mbaya kabisa ni ovu,

ISA 32:7 Removed trailing space in p~: hufanya mipango miovu

ISA 32:7 Removed trailing space in p~: ili kumwangamiza maskini kwa uongo,

ISA 32:7 Removed trailing space in p~: hata wakati ambapo hoja za mhitaji ni za haki.

ISA 32:8 Removed trailing space in v~: Lakini mtu muungwana hufanya mipango ya kiungwana,

ISA 32:8 Removed trailing space in p~: na kwa matendo ya kiungwana yeye hufanikiwa.

ISA 32:8 Removed trailing space in s1: Wanawake Wa Yerusalemu

ISA 32:9 Removed trailing space in v~: Enyi wanawake wenye kuridhika sana,

ISA 32:9 Removed trailing space in p~: amkeni na mnisikilize.

ISA 32:9 Removed trailing space in p~: Enyi binti mnaojisikia kuwa salama,

ISA 32:9 Removed trailing space in p~: sikieni lile ninalotaka kuwaambia!

ISA 32:10 Removed trailing space in v~: Muda zaidi kidogo ya mwaka mmoja,

ISA 32:10 Removed trailing space in p~: ninyi mnaojisikia salama mtatetemeka,

ISA 32:10 Removed trailing space in p~: mavuno ya zabibu yatakoma

ISA 32:10 Removed trailing space in p~: na mavuno ya matunda hayatakuwepo.

ISA 32:11 Removed trailing space in v~: Tetemekeni, enyi wanawake wenye kuridhika,

ISA 32:11 Removed trailing space in p~: tetemekeni kwa hofu, enyi binti mnaojisikia salama!

ISA 32:11 Removed trailing space in p~: Vueni nguo zenu,

ISA 32:11 Removed trailing space in p~: vaeni nguo ya gunia viunoni mwenu.

ISA 32:12 Removed trailing space in v~: Pigeni matiti yenu kwa ajili ya mashamba mazuri,

ISA 32:12 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya mizabibu iliyozaa vizuri

ISA 32:13 Removed trailing space in v~: na kwa ajili ya nchi ya watu wangu,

ISA 32:13 Removed trailing space in p~: nchi ambayo miiba na michongoma imemea:

ISA 32:13 Removed trailing space in p~: naam, ombolezeni kwa ajili ya nyumba zote za furaha

ISA 32:13 Removed trailing space in p~: na kwa ajili ya mji huu wenye kufanya sherehe.

ISA 32:14 Removed trailing space in v~: Ngome itaachwa,

ISA 32:14 Removed trailing space in p~: mji wenye kelele nyingi utahamwa,

ISA 32:14 Removed trailing space in p~: ngome ndani ya mji na mnara wa ulinzi vitakuwa ukiwa milele,

ISA 32:14 Removed trailing space in p~: mahali pazuri pa punda na malisho ya makundi ya kondoo,

ISA 32:15 Removed trailing space in v~: mpaka Roho amwagwe juu yetu kutoka juu,

ISA 32:15 Removed trailing space in p~: nalo jangwa kuwa shamba lenye rutuba,

ISA 32:15 Removed trailing space in p~: na shamba lenye rutuba kuwa kama msitu.

ISA 32:16 Removed trailing space in v~: Haki itakaa katika jangwa,

ISA 32:16 Removed trailing space in p~: na uadilifu utakaa katika shamba lenye rutuba.

ISA 32:17 Removed trailing space in v~: Matunda ya haki yatakuwa amani,

ISA 32:17 Removed trailing space in p~: matokeo ya haki yatakuwa utulivu

ISA 32:17 Removed trailing space in p~: na matumaini milele.

ISA 32:18 Removed trailing space in v~: Watu wangu wataishi katika makao ya mahali pa amani,

ISA 32:18 Removed trailing space in p~: katika nyumba zilizo salama,

ISA 32:18 Removed trailing space in p~: katika mahali pa kupumzika pasipo na usumbufu.

ISA 32:19 Removed trailing space in v~: Hata kama mvua ya mawe iangushe msitu

ISA 32:19 Removed trailing space in p~: na mji ubomolewe kabisa,

ISA 32:20 Removed trailing space in v~: tazama jinsi utakavyobarikiwa,

ISA 32:20 Removed trailing space in p~: ukipanda mbegu yako katika kila kijito,

ISA 32:20 Removed trailing space in p~: na kuwaacha ngʼombe wako

ISA 32:20 Removed trailing space in p~: na punda wajilishe kwa uhuru.

ISA 33:0 Extra space after chapter number

ISA 33:0 Removed trailing space in c: 33

ISA 33:0 Removed trailing space in s1: Taabu Na Msaada

ISA 33:1 Removed trailing space in v~: Ole wako wewe, ee mharabu,

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: wewe ambaye hukuharibiwa!

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: Ole wako, ee msaliti,

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: wewe ambaye hukusalitiwa!

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: Utakapokwisha kuharibu,

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: utaharibiwa;

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: utakapokwisha kusaliti,

ISA 33:1 Removed trailing space in p~: utasalitiwa.

ISA 33:2 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uturehemu,

ISA 33:2 Removed trailing space in p~: tunakutamani.

ISA 33:2 Removed trailing space in p~: Uwe nguvu yetu kila asubuhi

ISA 33:2 Removed trailing space in p~: na wokovu wetu wakati wa taabu.

ISA 33:3 Removed trailing space in v~: Kwa ngurumo ya sauti yako, mataifa yanakimbia;

ISA 33:3 Removed trailing space in p~: unapoinuka, mataifa hutawanyika.

ISA 33:4 Removed trailing space in v~: Mateka yenu, enyi mataifa, yamevunwa kama vile wafanyavyo madumadu,

ISA 33:4 Removed trailing space in p~: kama kundi la nzige watu huvamia juu yake.

ISA 33:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ametukuka, kwa kuwa anakaa mahali palipoinuka,

ISA 33:5 Removed trailing space in p~: ataijaza Sayuni kwa haki na uadilifu.

ISA 33:6 Removed trailing space in v~: Atakuwa msingi ulio imara kwa wakati wenu,

ISA 33:6 Removed trailing space in p~: ghala za wokovu tele, hekima na maarifa;

ISA 33:6 Removed trailing space in p~: kumcha \nd Bwana\nd* ni ufunguo wa hazina hii.

ISA 33:7 Removed trailing space in v~: Angalia, watu wake mashujaa wanapiga kelele kwa nguvu barabarani,

ISA 33:7 Removed trailing space in p~: wajumbe wa amani wanalia kwa uchungu.

ISA 33:8 Removed trailing space in v~: Njia kuu zimeachwa,

ISA 33:8 Removed trailing space in p~: hakuna wasafiri barabarani.

ISA 33:8 Removed trailing space in p~: Mkataba umevunjika,

ISA 33:8 Removed trailing space in p~: mashahidi wake wamedharauliwa,\f + \fr 33:8 \ft Au: miji yake imedharauliwa.\f*

ISA 33:8 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote anayeheshimiwa.

ISA 33:9 Removed trailing space in v~: Ardhi inaomboleza\f + \fr 33:9 \ft Au: Ardhi inakauka.\f* na kuchakaa,

ISA 33:9 Removed trailing space in p~: Lebanoni imeaibika na kunyauka,

ISA 33:9 Removed trailing space in p~: Sharoni ni kama Araba,

ISA 33:9 Removed trailing space in p~: nayo Bashani na Karmeli

ISA 33:9 Removed trailing space in p~: wanapukutisha majani yao.

ISA 33:10 Removed trailing space in v~: “Sasa nitainuka,” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 33:10 Removed trailing space in p~: “Sasa nitatukuzwa;

ISA 33:10 Removed trailing space in p~: sasa nitainuliwa juu.

ISA 33:11 Removed trailing space in v~: Mlichukua mimba ya makapi,

ISA 33:11 Removed trailing space in p~: mkazaa mabua,

ISA 33:11 Removed trailing space in p~: pumzi yenu ni moto uwateketezao.

ISA 33:12 Removed trailing space in v~: Mataifa yatachomwa kama ichomwavyo chokaa,

ISA 33:12 Removed trailing space in p~: kama vichaka vya miiba vilivyokatwa ndivyo watakavyochomwa.”

ISA 33:13 Removed trailing space in v~: Ninyi mlio mbali sana, sikieni lile nililofanya;

ISA 33:13 Removed trailing space in p~: ninyi mlio karibu, tambueni uweza wangu!

ISA 33:14 Removed trailing space in v~: Wenye dhambi katika Sayuni wametiwa hofu,

ISA 33:14 Removed trailing space in p~: kutetemeka kumewakumba wasiomcha Mungu:

ISA 33:14 Removed trailing space in p~: “Ni nani miongoni mwetu awezaye kuishi na moto ulao?

ISA 33:14 Removed trailing space in p~: Ni nani miongoni mwetu awezaye kuishi na moto unaowaka milele?”

ISA 33:15 Removed trailing space in v~: Yeye aendaye kwa uadilifu

ISA 33:15 Removed trailing space in p~: na kusema lililo haki,

ISA 33:15 Removed trailing space in p~: yeye anayekataa faida ipatikanayo kwa dhuluma

ISA 33:15 Removed trailing space in p~: na kuizuia mikono yake isipokee rushwa,

ISA 33:15 Removed trailing space in p~: yeye azuiaye masikio yake dhidi ya mashauri ya mauaji,

ISA 33:15 Removed trailing space in p~: na yeye afumbaye macho yake yasitazame sana uovu:

ISA 33:16 Removed trailing space in v~: huyu ndiye mtu atakayeishi mahali pa juu,

ISA 33:16 Removed trailing space in p~: ambaye kimbilio lake litakuwa ngome ya mlimani.

ISA 33:16 Removed trailing space in p~: Atapewa mkate wake,

ISA 33:16 Removed trailing space in p~: na maji yake hayatakoma.

ISA 33:17 Removed trailing space in v~: Macho yenu yatamwona mfalme katika uzuri wake

ISA 33:17 Removed trailing space in p~: na kuiona nchi inayoenea mbali.

ISA 33:18 Removed trailing space in v~: Katika mawazo yenu mtaifikiria hofu iliyopita:

ISA 33:18 Removed trailing space in p~: “Yuko wapi yule afisa mkuu?

ISA 33:18 Removed trailing space in p~: Yuko wapi yule aliyechukua ushuru?

ISA 33:18 Removed trailing space in p~: Yuko wapi afisa msimamizi wa minara?”

ISA 33:19 Removed trailing space in v~: Hutawaona tena wale watu wenye kiburi,

ISA 33:19 Removed trailing space in p~: wale watu wenye usemi wa mafumbo,

ISA 33:19 Removed trailing space in p~: wenye lugha ngeni, isiyoeleweka.

ISA 33:20 Removed trailing space in v~: Mtazame Sayuni, mji wa sikukuu zetu;

ISA 33:20 Removed trailing space in p~: macho yenu yatauona Yerusalemu,

ISA 33:20 Removed trailing space in p~: mahali pa amani pa kuishi, hema ambalo halitaondolewa,

ISA 33:20 Removed trailing space in p~: nguzo zake hazitangʼolewa kamwe,

ISA 33:20 Removed trailing space in p~: wala hakuna kamba yake yoyote itakayokatika.

ISA 33:21 Removed trailing space in v~: Huko \nd Bwana\nd* atakuwa Mwenye Nguvu wetu.

ISA 33:21 Removed trailing space in p~: Patakuwa kama mahali pa mito mipana na vijito.

ISA 33:21 Removed trailing space in p~: Hakuna jahazi lenye makasia litakalopita huko,

ISA 33:21 Removed trailing space in p~: wala hakuna meli yenye nguvu itakayopita huko.

ISA 33:22 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni mwamuzi wetu,

ISA 33:22 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ndiye mtoa sheria wetu,

ISA 33:22 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ni mfalme wetu,

ISA 33:22 Removed trailing space in p~: yeye ndiye atakayetuokoa.

ISA 33:23 Removed trailing space in v~: Kamba zenu za merikebu zimelegea:

ISA 33:23 Removed trailing space in p~: Mlingoti haukusimama imara,

ISA 33:23 Removed trailing space in p~: nalo tanga halikukunjuliwa.

ISA 33:23 Removed trailing space in p~: Wingi wa mateka yatagawanywa,

ISA 33:23 Removed trailing space in p~: hata yeye aliye mlemavu atachukua nyara.

ISA 33:24 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote aishiye Sayuni atakayesema, “Mimi ni mgonjwa”;

ISA 33:24 Removed trailing space in p~: nazo dhambi za wale waishio humo zitasamehewa.

ISA 34:0 Extra space after chapter number

ISA 34:0 Removed trailing space in c: 34

ISA 34:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Dhidi Ya Mataifa

ISA 34:1 Removed trailing space in v~: Njooni karibu, enyi mataifa, nanyi msikilize;

ISA 34:1 Removed trailing space in p~: sikilizeni kwa makini,

ISA 34:1 Removed trailing space in p~: enyi kabila za watu!

ISA 34:1 Removed trailing space in p~: Dunia na isikie, navyo vyote vilivyo ndani yake,

ISA 34:1 Removed trailing space in p~: ulimwengu na vyote vitokavyo ndani yake!

ISA 34:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameyakasirikia mataifa yote;

ISA 34:2 Removed trailing space in p~: ghadhabu yake ni juu ya majeshi yao yote.

ISA 34:2 Removed trailing space in p~: Atawaangamiza kabisa,

ISA 34:2 Removed trailing space in p~: atawatia mikononi mwa wachinjaji.

ISA 34:3 Removed trailing space in v~: Waliouawa watatupwa nje,

ISA 34:3 Removed trailing space in p~: maiti zao zitatoa uvundo,

ISA 34:3 Removed trailing space in p~: milima itatota kwa damu zao.

ISA 34:4 Removed trailing space in v~: Nyota zote za mbinguni zitayeyuka

ISA 34:4 Removed trailing space in p~: na anga litasokotwa kama kitabu,

ISA 34:4 Removed trailing space in p~: jeshi lote la angani litaanguka

ISA 34:4 Removed trailing space in p~: kama majani yaliyonyauka kutoka kwenye mzabibu,

ISA 34:4 Removed trailing space in p~: kama tini iliyonyauka kutoka kwenye mtini.

ISA 34:5 Removed trailing space in v~: Upanga wangu umekunywa na kushiba huko mbinguni,

ISA 34:5 Removed trailing space in p~: tazama, unashuka katika hukumu juu ya Edomu,

ISA 34:5 Removed trailing space in p~: wale watu ambao nimeshawahukumu,

ISA 34:5 Removed trailing space in p~: kuwaangamiza kabisa.

ISA 34:6 Removed trailing space in v~: Upanga wa \nd Bwana\nd* umeoga katika damu,

ISA 34:6 Removed trailing space in p~: umefunikwa na mafuta ya nyama:

ISA 34:6 Removed trailing space in p~: damu ya kondoo na mbuzi,

ISA 34:6 Removed trailing space in p~: mafuta kutoka figo za kondoo dume.

ISA 34:6 Removed trailing space in p~: Kwa maana \nd Bwana\nd* ana dhabihu huko Bosra,

ISA 34:6 Removed trailing space in p~: na machinjo makuu huko Edomu.

ISA 34:7 Removed trailing space in v~: Nyati wataanguka pamoja nao,

ISA 34:7 Removed trailing space in p~: ndama waume na mafahali wakubwa.

ISA 34:7 Removed trailing space in p~: Nchi yao italowana kwa damu,

ISA 34:7 Removed trailing space in p~: nayo mavumbi yataloa mafuta ya nyama.

ISA 34:8 Removed trailing space in v~: Kwa sababu \nd Bwana\nd* anayo siku ya kulipiza kisasi,

ISA 34:8 Removed trailing space in p~: mwaka wa malipo,

ISA 34:8 Removed trailing space in p~: siku ya kushindania shauri la Sayuni.

ISA 34:9 Removed trailing space in v~: Vijito vya Edomu vitageuka kuwa lami,

ISA 34:9 Removed trailing space in p~: mavumbi yake yatakuwa kiberiti kiunguzacho,

ISA 34:9 Removed trailing space in p~: nchi yake itakuwa lami iwakayo!

ISA 34:10 Removed trailing space in v~: Haitazimishwa usiku wala mchana,

ISA 34:10 Removed trailing space in p~: moshi wake utapaa juu milele.

ISA 34:10 Removed trailing space in p~: Kutoka kizazi hadi kizazi itakuwa ukiwa,

ISA 34:10 Removed trailing space in p~: hakuna mtu yeyote atakayepita huko tena.

ISA 34:11 Removed trailing space in v~: Bundi wa jangwani na bundi mwenye sauti nyembamba wataimiliki,

ISA 34:11 Removed trailing space in p~: bundi wakubwa na kunguru wataweka viota humo.

ISA 34:11 Removed trailing space in p~: Mungu atanyoosha juu ya Edomu

ISA 34:11 Removed trailing space in p~: kamba ya kupimia ya machafuko matupu,

ISA 34:11 Removed trailing space in p~: na timazi ya ukiwa.

ISA 34:12 Removed trailing space in v~: Watu wake wa kuheshimiwa hawatakuwa na chochote

ISA 34:12 Removed trailing space in p~: kitakachoitwa ufalme huko,

ISA 34:12 Removed trailing space in p~: nao wakuu wao wote watatoweka.

ISA 34:13 Removed trailing space in v~: Miiba itaenea katika ngome za ndani,

ISA 34:13 Removed trailing space in p~: viwawi na michongoma itaota

ISA 34:13 Removed trailing space in p~: kwenye ngome zake.

ISA 34:13 Removed trailing space in p~: Itakuwa maskani ya mbweha,

ISA 34:13 Removed trailing space in p~: makao ya bundi.

ISA 34:14 Removed trailing space in v~: Viumbe vya jangwani vitakutana na fisi,

ISA 34:14 Removed trailing space in p~: nao mbuzi-mwitu watalia wakiitana;

ISA 34:14 Removed trailing space in p~: huko viumbe vya usiku vitastarehe pia

ISA 34:14 Removed trailing space in p~: na kujitafutia mahali pa kupumzika.

ISA 34:15 Removed trailing space in v~: Bundi wataweka viota huko na kutaga mayai,

ISA 34:15 Removed trailing space in p~: atayaangua na kutunza makinda yake

ISA 34:15 Removed trailing space in p~: chini ya uvuli wa mabawa yake;

ISA 34:15 Removed trailing space in p~: pia huko vipanga watakusanyika,

ISA 34:15 Removed trailing space in p~: kila mmoja na mwenzi wake.

ISA 34:16 Removed trailing space in v~: Angalieni katika gombo la \nd Bwana\nd* na msome:

ISA 34:16 Removed trailing space in p~: Hakuna hata mmoja katika hawa atakayekosekana,

ISA 34:16 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja atakayemkosa mwenzi wake.

ISA 34:16 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa ni kinywa chake Mungu kimeagiza,

ISA 34:16 Removed trailing space in p~: na Roho wake atawakusanya pamoja.

ISA 34:17 Removed trailing space in v~: Huwagawia sehemu zao,

ISA 34:17 Removed trailing space in p~: mkono wake huwagawanyia kwa kipimo.

ISA 34:17 Removed trailing space in p~: Wataimiliki hata milele

ISA 34:17 Removed trailing space in p~: na kuishi humo kutoka kizazi hadi kizazi.

ISA 35:0 Extra space after chapter number

ISA 35:0 Removed trailing space in c: 35

ISA 35:0 Removed trailing space in s1: Furaha Ya Waliokombolewa

ISA 35:1 Removed trailing space in v~: Jangwa na nchi kame vitafurahi;

ISA 35:1 Removed trailing space in p~: nyika itashangilia na kuchanua maua.

ISA 35:1 Removed trailing space in p~: Kama waridi,

ISA 35:2 Removed trailing space in v~: litachanua maua,

ISA 35:2 Removed trailing space in p~: litashangilia sana na kupaza sauti kwa furaha.

ISA 35:2 Removed trailing space in p~: Litapewa utukufu wa Lebanoni,

ISA 35:2 Removed trailing space in p~: fahari ya Karmeli na Sharoni;

ISA 35:2 Removed trailing space in p~: wataona utukufu wa \nd Bwana\nd*,

ISA 35:2 Removed trailing space in p~: fahari ya Mungu wetu.

ISA 35:3 Removed trailing space in v~: Itieni nguvu mikono iliyo dhaifu,

ISA 35:3 Removed trailing space in p~: yafanyeni imara magoti yaliyolegea,

ISA 35:4 Removed trailing space in v~: waambieni wale wenye mioyo ya hofu,

ISA 35:4 Removed trailing space in p~: “Kuweni hodari, msiogope;

ISA 35:4 Removed trailing space in p~: tazama, Mungu wenu atakuja,

ISA 35:4 Removed trailing space in p~: pamoja na malipo ya Mungu,

ISA 35:4 Removed trailing space in p~: atakuja na kuwaokoa ninyi.”

ISA 35:5 Removed trailing space in v~: Ndipo macho ya vipofu yatafumbuliwa

ISA 35:5 Removed trailing space in p~: na masikio ya viziwi yatazibuliwa.

ISA 35:6 Removed trailing space in v~: Ndipo kilema atarukaruka kama kulungu,

ISA 35:6 Removed trailing space in p~: nao ulimi wa aliye bubu utapaza sauti kwa shangwe.

ISA 35:6 Removed trailing space in p~: Maji yatatiririka kwa kasi katika nyika,

ISA 35:6 Removed trailing space in p~: na vijito katika jangwa.

ISA 35:7 Removed trailing space in v~: Mchanga wa moto utakuwa bwawa la maji,

ISA 35:7 Removed trailing space in p~: ardhi yenye kiu itabubujika chemchemi.

ISA 35:7 Removed trailing space in p~: Maskani ya mbweha walikolala hapo awali

ISA 35:7 Removed trailing space in p~: patamea majani, matete na mafunjo.

ISA 35:8 Removed trailing space in v~: Nako kutakuwa na njia kuu,

ISA 35:8 Removed trailing space in p~: nayo itaitwa Njia ya Utakatifu.

ISA 35:8 Removed trailing space in p~: Wasio safi hawatapita juu yake;

ISA 35:8 Removed trailing space in p~: itakuwa ya wale watembeao katika Njia ile;

ISA 35:8 Removed trailing space in p~: yeye asafiriye juu yake,

ISA 35:8 Removed trailing space in p~: ajapokuwa mjinga, hatapotea.

ISA 35:9 Removed trailing space in v~: Huko hakutakuwepo na simba,

ISA 35:9 Removed trailing space in p~: wala mnyama mkali hatapita njia hiyo,

ISA 35:9 Removed trailing space in p~: wala hawatapatikana humo.

ISA 35:9 Removed trailing space in p~: Ila waliokombolewa tu ndio watakaopita huko,

ISA 35:10 Removed trailing space in v~: waliokombolewa na \nd Bwana\nd* watarudi.

ISA 35:10 Removed trailing space in p~: Wataingia Sayuni wakiimba;

ISA 35:10 Removed trailing space in p~: furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao.

ISA 35:10 Removed trailing space in p~: Watapata furaha na shangwe;

ISA 35:10 Removed trailing space in p~: huzuni na majonzi vitakimbia.

ISA 36:0 Extra space after chapter number

ISA 36:0 Removed trailing space in c: 36

ISA 36:0 Removed trailing space in s1: Senakeribu Atishia Yerusalemu

ISA 36:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 18:13-27; 2 Nyakati 32:1-19)

ISA 36:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na nne wa utawala wa Mfalme Hezekia, Senakeribu mfalme wa Ashuru akaishambulia miji yote ya Yuda yenye ngome na kuiteka.

ISA 36:2 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme wa Ashuru akamtuma jemadari wa jeshi pamoja na jeshi kubwa kutoka Lakishi hadi kwa Mfalme Hezekia huko Yerusalemu. Jemadari wa jeshi akasimama kwenye mfereji wa Bwawa la Juu, lililojengwa katika barabara iendayo kwenye Uwanja wa Dobi.

ISA 36:3 Removed trailing space in v~: Eliakimu mwana wa Hilkia aliyekuwa msimamizi wa jumba la kifalme, Shebna aliyekuwa katibu, na Yoa mwana wa Asafu mwandishi wakamwendea.

ISA 36:4 Removed trailing space in v~: Jemadari wa jeshi akawaambia, “Mwambieni Hezekia,

ISA 36:4 Removed trailing space in p~: “ ‘Hili ndilo asemalo mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru: Ni wapi unapoweka hili tumaini lako?

ISA 36:5 Removed trailing space in v~: Unasema mnayo mikakati na nguvu za kijeshi, lakini unasema maneno matupu tu. Je, wewe unamtegemea nani, hata ukaniasi mimi?

ISA 36:6 Removed trailing space in v~: Tazama sasa, unaitegemea Misri, fimbo ile ya mwanzi uliopasuka, ambayo huuchoma na kuujeruhi mkono wa mtu akiiegemea! Hivyo ndivyo alivyo Farao mfalme wa Misri, kwa wote wanaomtegemea.

ISA 36:7 Removed trailing space in v~: Nawe kama ukiniambia, “Tunamtumainia \nd Bwana\nd* Mungu wetu”: je, siyo yeye ambaye Hezekia aliondoa mahali pake pa juu pa kuabudia miungu na madhabahu zake, akiwaambia Yuda na Yerusalemu, “Ni lazima mwabudu mbele ya madhabahu haya”?

ISA 36:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Njooni sasa, fanyeni mapatano na bwana wangu, mfalme wa Ashuru: Nitakupa farasi elfu mbili, kama unaweza kuwapandisha waendesha farasi juu yao!

ISA 36:9 Removed trailing space in v~: Utawezaje kumzuia hata afisa mmoja aliye mdogo kati ya maafisa wa bwana wangu, ijapo unategemea Misri kwa magari ya vita na wapanda farasi?

ISA 36:10 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, je, nimekuja kushambulia na kuangamiza nchi hii bila \nd Bwana\nd*? \nd Bwana\nd* mwenyewe ndiye aliniambia niishambulie nchi hii na kuiangamiza.’ ”

ISA 36:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Eliakimu, Shebna na Yoa wakamwambia yule jemadari wa jeshi, “Tafadhali zungumza na watumishi wako kwa lugha ya Kiaramu, kwa kuwa tunaifahamu. Usiseme nasi kwa Kiebrania watu walioko juu ya ukuta wakiwa wanasikia.”

ISA 36:12 Removed trailing space in v~: Lakini yule jemadari wa jeshi akajibu, “Je, bwana wangu amenituma kutoa ujumbe huu kwa bwana wenu na kwenu tu? Je, hakunituma pia kwa watu walioketi ukutani, ambao, kama ninyi, itawabidi kula mavi yao na kunywa mikojo yao wenyewe?”

ISA 36:13 Removed trailing space in v~: Kisha yule jemadari wa jeshi akasimama na kuita kwa lugha ya Kiebrania, akasema: “Sikieni maneno ya mfalme mkuu, mfalme wa Ashuru!

ISA 36:14 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo mfalme: Msikubali Hezekia awadanganye. Hawezi kuwaokoa!

ISA 36:15 Removed trailing space in v~: Msikubali Hezekia awashawishi kumtumaini \nd Bwana\nd* kwa kuwaambia, ‘Hakika \nd Bwana\nd* atatuokoa. Mji huu hautaangukia mikononi mwa mfalme wa Ashuru.’

ISA 36:16 Removed trailing space in v~: “Msimsikilize Hezekia. Hili ndilo mfalme wa Ashuru asemalo: Fanyeni amani nami na mje kwangu. Kisha kila mmoja wenu atakula kutoka kwa mzabibu wake na mtini wake mwenyewe, na kunywa maji kutoka kisima chake mwenyewe,

ISA 36:17 Removed trailing space in v~: mpaka nije nikawapeleke katika nchi iliyo kama nchi yenu wenyewe, nchi ya nafaka na divai mpya, nchi ya mkate na ya mashamba ya mizabibu.

ISA 36:18 Removed trailing space in v~: “Msikubali Hezekia awapotoshe asemapo, ‘\nd Bwana\nd* atatuokoa.’ Je, yuko mungu wa taifa lolote aliyewahi kuokoa nchi yake kutoka mkononi mwa mfalme wa Ashuru?

ISA 36:19 Removed trailing space in v~: Iko wapi miungu ya Hamathi na ya Arpadi? Iko wapi miungu ya Sefarvaimu? Je, imeokoa Samaria kutoka mkononi mwangu?

ISA 36:20 Removed trailing space in v~: Ni yupi miongoni mwa miungu yote ya nchi hizi ameweza kuokoa nchi yake mkononi mwangu? Inawezekanaje basi \nd Bwana\nd* aiokoe Yerusalemu mkononi mwangu?”

ISA 36:21 Removed trailing space in v~: Lakini wale watu wakakaa kimya, wala hawakujibu lolote, kwa kuwa mfalme alikuwa amewaamuru, “Msimjibu lolote.”

ISA 36:22 Removed trailing space in v~: Kisha Eliakimu mwana wa Hilkia msimamizi wa jumba la kifalme, Shebna katibu, na Yoa mwana wa Asafu, mwandishi wakamwendea Hezekia, nguo zao zikiwa zimeraruliwa, na kumwambia yale jemadari wa jeshi aliyoyasema.

ISA 37:0 Extra space after chapter number

ISA 37:0 Removed trailing space in c: 37

ISA 37:0 Removed trailing space in s1: Kuokolewa Kwa Yerusalemu Kunatabiriwa

ISA 37:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 19:1-7)

ISA 37:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Hezekia aliposikia haya, akararua nguo zake na kuvaa nguo ya gunia, naye akaenda katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

ISA 37:2 Removed trailing space in v~: Akawatuma Eliakimu msimamizi wa nyumba ya mfalme, Shebna mwandishi, na viongozi wa makuhani, wote wakiwa wamevaa nguo za magunia, waende kwa nabii Isaya mwana wa Amozi.

ISA 37:3 Removed trailing space in v~: Wakamwambia, “Hili ndilo asemalo Hezekia: Siku hii ni siku ya dhiki, ya kukaripiwa na ya aibu, kama wakati watoto wanapofikia karibu kuzaliwa na kumbe hakuna nguvu ya kuwazaa.

ISA 37:4 Removed trailing space in v~: Yamkini \nd Bwana\nd*, Mungu wako atayasikia maneno ya jemadari wa jeshi, ambaye bwana wake, mfalme wa Ashuru, amemtuma kumdhihaki Mungu aliye hai, tena kwamba atamkemea kwa maneno ambayo \nd Bwana\nd*, Mungu wako ameyasikia. Kwa hiyo omba kwa ajili ya mabaki ambao bado wako.”

ISA 37:5 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Mfalme Hezekia walipofika kwa Isaya,

ISA 37:6 Removed trailing space in v~: Isaya akawaambia, “Mwambieni bwana wenu, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Usiogope kwa hayo uliyoyasikia, yale maneno ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana nayo.

ISA 37:7 Removed trailing space in v~: Sikiliza! Nitatia roho fulani ndani yake ili kwamba atakaposikia taarifa fulani, atarudi nchi yake mwenyewe, nami huko nitafanya auawe kwa upanga.’ ”

ISA 37:8 Removed trailing space in v~: Jemadari wa jeshi aliposikia kwamba mfalme wa Ashuru ameondoka Lakishi, alirudi, akamkuta mfalme akipigana na Libna.

ISA 37:9 Removed trailing space in v~: Basi Senakeribu akapata taarifa kwamba Tirhaka, Mkushi mfalme wa Misri, alikuwa anaenda kupigana naye. Aliposikia jambo hili akatuma wajumbe kwa Hezekia na neno hili:

ISA 37:10 Removed trailing space in v~: “Mwambieni Hezekia mfalme wa Yuda: Usikubali huyo Mungu unayemtumainia akudanganye wakati anaposema, ‘Yerusalemu haitatiwa mkononi mwa mfalme wa Ashuru.’

ISA 37:11 Removed trailing space in v~: Hakika umesikia yale ambayo wafalme wa Ashuru wametenda kwa nchi zote, wakiwaangamiza kabisa. Je, wewe utaokolewa?

ISA 37:12 Removed trailing space in v~: Je, miungu ya mataifa ambayo yaliangamizwa na baba zangu iliweza kuwaokoa? Yaani miungu ya Gozani, Harani, Resefu, na ya watu wa Edeni waliokuwa Telasari?

ISA 37:13 Removed trailing space in v~: Yuko wapi mfalme wa Hamathi, mfalme wa Arpadi, mfalme wa mji wa Sefarvaimu, au wa Hena au wa Iva?”

ISA 37:13 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Hezekia

ISA 37:14 Removed trailing space in v~: Hezekia akapokea barua kutoka kwa wale wajumbe naye akaisoma. Kisha akapanda katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, akaikunjua mbele za \nd Bwana\nd*.

ISA 37:15 Removed trailing space in v~: Naye Hezekia akamwomba \nd Bwana\nd* akisema:

ISA 37:16 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, uketiye juu ya kiti cha enzi kati ya makerubi, wewe peke yako ndiwe Mungu juu ya falme zote za dunia. Wewe umeumba mbingu na nchi.

ISA 37:17 Removed trailing space in v~: Tega sikio, Ee \nd Bwana\nd*, usikie; fungua macho yako, Ee \nd Bwana\nd*, uone; sikiliza maneno yote ambayo Senakeribu ametuma kumtukana Mungu aliye hai.

ISA 37:18 Removed trailing space in v~: “Ni kweli, Ee \nd Bwana\nd*, kwamba wafalme wa Ashuru wameyaangamiza mataifa haya yote pamoja na nchi zao.

ISA 37:19 Removed trailing space in v~: Wameitupa miungu yao kwenye moto na kuiangamiza, kwa kuwa haikuwa miungu, bali miti na mawe tu, iliyotengenezwa kwa mikono ya wanadamu.

ISA 37:20 Removed trailing space in v~: Sasa basi, Ee \nd Bwana\nd* Mungu wetu, tuokoe kutoka mkononi mwake, ili kwamba falme zote duniani zipate kujua kwamba wewe peke yako, Ee \nd Bwana\nd*, ndiwe Mungu.”

ISA 37:20 Removed trailing space in s1: Kuanguka Kwa Senakeribu

ISA 37:20 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 19:20-37)

ISA 37:21 Removed trailing space in v~: Kisha Isaya mwana wa Amozi akapeleka ujumbe kwa Hezekia, akasema: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: Kwa sababu umeniomba kuhusu Senakeribu mfalme wa Ashuru,

ISA 37:22 Removed trailing space in v~: hili ndilo neno ambalo \nd Bwana\nd* amelisema dhidi yake:

ISA 37:22 Removed trailing space in p~: “Bikira binti Sayuni anakudharau na kukudhihaki.

ISA 37:22 Removed trailing space in p~: Binti Yerusalemu anatikisa kichwa chake unapokimbia.

ISA 37:23 Removed trailing space in v~: Ni nani uliyemtukana na kumkufuru?

ISA 37:23 Removed trailing space in p~: Ni nani uliyeinua sauti yako dhidi yake,

ISA 37:23 Removed trailing space in p~: na kumwinulia macho yako kwa kiburi?

ISA 37:23 Removed trailing space in p~: Ni dhidi ya yule Aliye Mtakatifu wa Israeli!

ISA 37:24 Removed trailing space in v~: Kupitia kwa wajumbe wako

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: umelundika matukano juu ya Bwana.

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: Nawe umesema,

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: ‘Kwa magari yangu mengi ya vita,

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: nimepanda juu ya vilele vya milima,

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: vilele vya juu sana katika Lebanoni.

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: Nami nimeiangusha mierezi yake mirefu,

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: misunobari yake iliyo bora sana.

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: Nimefikia sehemu zake zilizoinuka juu sana,

ISA 37:24 Removed trailing space in p~: misitu yake iliyo mizuri sana.

ISA 37:25 Removed trailing space in v~: Nimechimba visima katika nchi za kigeni

ISA 37:25 Removed trailing space in p~: na kunywa maji yake.

ISA 37:25 Removed trailing space in p~: Kwa nyayo za miguu yangu

ISA 37:25 Removed trailing space in p~: nimekausha vijito vyote vya Misri.’

ISA 37:26 Removed trailing space in v~: “Je, hujasikia?

ISA 37:26 Removed trailing space in p~: Zamani sana niliamuru hili.

ISA 37:26 Removed trailing space in p~: Siku za kale nilipanga hili;

ISA 37:26 Removed trailing space in p~: sasa nimelifanya litokee,

ISA 37:26 Removed trailing space in p~: kwamba umegeuza miji yenye ngome

ISA 37:26 Removed trailing space in p~: kuwa malundo ya mawe.

ISA 37:27 Removed trailing space in v~: Watu wa miji hiyo wameishiwa nguvu,

ISA 37:27 Removed trailing space in p~: wanavunjika mioyo na kuaibishwa.

ISA 37:27 Removed trailing space in p~: Wao ni kama mimea katika shamba,

ISA 37:27 Removed trailing space in p~: kama machipukizi mororo ya kijani,

ISA 37:27 Removed trailing space in p~: kama majani yachipuayo juu ya paa la nyumba,

ISA 37:27 Removed trailing space in p~: ambayo hukauka kabla ya kukua.

ISA 37:28 Removed trailing space in v~: “Lakini ninajua mahali ukaapo,

ISA 37:28 Removed trailing space in p~: kutoka kwako na kuingia kwako,

ISA 37:28 Removed trailing space in p~: na jinsi unavyoghadhibika dhidi yangu.

ISA 37:29 Removed trailing space in v~: Kwa sababu unaghadhibika na ufidhuli dhidi yangu,

ISA 37:29 Removed trailing space in p~: na kwa sababu ufidhuli wako umefika masikioni mwangu,

ISA 37:29 Removed trailing space in p~: nitaweka ndoana yangu puani mwako

ISA 37:29 Removed trailing space in p~: na hatamu yangu kinywani mwako,

ISA 37:29 Removed trailing space in p~: nami nitakufanya urudi kwa njia ile uliyoijia.

ISA 37:30 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo itakuwa ishara kwako, ee Hezekia:

ISA 37:30 Removed trailing space in p~: “Mwaka huu utakula kile kiotacho chenyewe,

ISA 37:30 Removed trailing space in p~: na mwaka wa pili utakula kutoka machipukizi yake.

ISA 37:30 Removed trailing space in p~: Lakini katika mwaka wa tatu panda na uvune,

ISA 37:30 Removed trailing space in p~: panda mashamba ya mizabibu na ule matunda yake.

ISA 37:31 Removed trailing space in v~: Mara nyingine tena mabaki ya nyumba ya Yuda

ISA 37:31 Removed trailing space in p~: wataeneza mizizi chini na kuzaa matunda juu.

ISA 37:32 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kutoka Yerusalemu watakuja mabaki,

ISA 37:32 Removed trailing space in p~: na kutoka Mlima Sayuni kundi la walionusurika.

ISA 37:32 Removed trailing space in p~: Wivu wa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ISA 37:32 Removed trailing space in p~: ndio utatimiza jambo hili.

ISA 37:33 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kuhusu mfalme wa Ashuru:

ISA 37:33 Removed trailing space in p~: “Hataingia katika mji huu

ISA 37:33 Removed trailing space in p~: wala hatapiga mshale hapa.

ISA 37:33 Removed trailing space in p~: Hatakuja mbele yake na ngao

ISA 37:33 Removed trailing space in p~: wala kupanga majeshi kuuzingira.

ISA 37:34 Removed trailing space in v~: Kwa njia ile aliyoijia ndiyo atakayorudi;

ISA 37:34 Removed trailing space in p~: hataingia katika mji huu,”

ISA 37:34 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 37:35 Removed trailing space in v~: “Nitaulinda mji huu na kuuokoa,

ISA 37:35 Removed trailing space in p~: kwa ajili yangu mwenyewe,

ISA 37:35 Removed trailing space in p~: na kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu!”

ISA 37:36 Removed trailing space in v~: Ndipo malaika wa \nd Bwana\nd* akaenda, akawaua wanajeshi 185,000 katika kambi ya Waashuru. Wenzao walipoamka asubuhi yake, walikuta maiti kila mahali!

ISA 37:37 Removed trailing space in v~: Basi Senakeribu mfalme wa Ashuru akavunja kambi na kuondoka. Akarudi Ninawi na kukaa huko.

ISA 37:38 Removed trailing space in v~: Siku moja, alipokuwa akiabudu katika hekalu la mungu wake Nisroki, wanawe Adrameleki na Shareza wakamuua kwa upanga, nao wakakimbilia nchi ya Ararati. Naye Esar-Hadoni mwanawe akawa mfalme badala yake.

ISA 38:0 Extra space after chapter number

ISA 38:0 Removed trailing space in c: 38

ISA 38:0 Removed trailing space in s1: Kuugua Kwa Mfalme Hezekia

ISA 38:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 20:1-11; 2 Nyakati 32:24-26)

ISA 38:1 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo Hezekia akaugua, naye akawa karibu kufa. Nabii Isaya mwana wa Amozi akaenda kwake na kumwambia, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Tengeneza mambo ya nyumba yako, kwa sababu utakufa, hutapona.”

ISA 38:2 Removed trailing space in v~: Hezekia akaelekeza uso wake ukutani, akamwomba \nd Bwana\nd*:

ISA 38:3 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd*, kumbuka jinsi nilivyoenenda mbele zako kwa uaminifu na kujitoa kwa moyo wangu wote, na kufanya yaliyo mema machoni pako.” Naye Hezekia akalia kwa uchungu.

ISA 38:4 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Isaya, kusema:

ISA 38:5 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie Hezekia, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa baba yako Daudi: Nimeyasikia maombi yako na nimeona machozi yako. Nitakuongezea miaka kumi na mitano katika maisha yako.

ISA 38:6 Removed trailing space in v~: Nami nitakuokoa wewe pamoja na mji huu mkononi mwa mfalme wa Ashuru. Nitaulinda mji huu.

ISA 38:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Hii ndiyo ishara ya \nd Bwana\nd* kwako ya kwamba \nd Bwana\nd* atafanya kile alichoahidi:

ISA 38:8 Removed trailing space in v~: Nitafanya kivuli cha jua kwenye ngazi iliyojengwa na Ahazi kirudi nyuma madaraja kumi.’ ” Hivyo jua likarudi nyuma madaraja kumi ambayo lilikuwa limeshuka.

ISA 38:9 Removed trailing space in v~: Maandiko ya Hezekia mfalme wa Yuda baada ya kuugua kwake na kupona:

ISA 38:10 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Katika ustawi wa maisha yangu,

ISA 38:10 Removed trailing space in p~: je, ni lazima nipite katika malango ya mauti,\f + \fr 38:10 \ft Mauti hapa maana yake ni Kuzimu.\f*

ISA 38:10 Removed trailing space in p~: na kupokonywa miaka yangu iliyobaki?”

ISA 38:11 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Sitamwona tena \nd Bwana\nd*,

ISA 38:11 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* katika nchi ya walio hai,

ISA 38:11 Removed trailing space in p~: wala sitamtazama tena mwanadamu,

ISA 38:11 Removed trailing space in p~: wala kuwa na wale ambao sasa wanakaa katika ulimwengu huu.

ISA 38:12 Removed trailing space in v~: Kama hema la mchunga mifugo,

ISA 38:12 Removed trailing space in p~: nyumba yangu imebomolewa na kutwaliwa kutoka kwangu.

ISA 38:12 Removed trailing space in p~: Kama mfumaji nimevingirisha maisha yangu,

ISA 38:12 Removed trailing space in p~: naye amenikatilia mbali kutoka kitanda cha mfumi.

ISA 38:12 Removed trailing space in p~: Mchana na usiku uliyakomesha maisha yangu.

ISA 38:13 Removed trailing space in v~: Nilingoja kwa uvumilivu hadi mapambazuko,

ISA 38:13 Removed trailing space in p~: lakini alivunja mifupa yangu yote kama simba.

ISA 38:13 Removed trailing space in p~: Mchana na usiku uliyakomesha maisha yangu.

ISA 38:14 Removed trailing space in v~: Nililia kama mbayuwayu au korongo,

ISA 38:14 Removed trailing space in p~: niliomboleza kama hua aombolezaye.

ISA 38:14 Removed trailing space in p~: Macho yangu yalififia nilipotazama mbinguni.

ISA 38:14 Removed trailing space in p~: Ee Bwana, ninataabika, njoo unisaidie!”

ISA 38:15 Removed trailing space in v~: Lakini niseme nini?

ISA 38:15 Removed trailing space in p~: Amesema nami, naye yeye mwenyewe amelitenda hili.

ISA 38:15 Removed trailing space in p~: Nitatembea kwa unyenyekevu

ISA 38:15 Removed trailing space in p~: katika miaka yangu yote

ISA 38:15 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya haya maumivu makali

ISA 38:15 Removed trailing space in p~: ya nafsi yangu.

ISA 38:16 Removed trailing space in v~: Bwana, kwa mambo kama haya watu huishi,

ISA 38:16 Removed trailing space in p~: nayo roho yangu hupata uzima katika hayo pia.

ISA 38:16 Removed trailing space in p~: Uliniponya

ISA 38:16 Removed trailing space in p~: na kuniacha niishi.

ISA 38:17 Removed trailing space in v~: Hakika ilikuwa ya faida yangu

ISA 38:17 Removed trailing space in p~: ndiyo maana nikapata maumivu makali.

ISA 38:17 Removed trailing space in p~: Katika upendo wako ukaniokoa

ISA 38:17 Removed trailing space in p~: kutoka shimo la uharibifu;

ISA 38:17 Removed trailing space in p~: umeziweka dhambi zangu zote

ISA 38:17 Removed trailing space in p~: nyuma yako.

ISA 38:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana kaburi\f + \fr 38:18 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f* haliwezi kukusifu,

ISA 38:18 Removed trailing space in p~: mauti haiwezi kuimba sifa zako;

ISA 38:18 Removed trailing space in p~: wale washukao chini shimoni

ISA 38:18 Removed trailing space in p~: hawawezi kuutarajia uaminifu wako.

ISA 38:19 Removed trailing space in v~: Walio hai, walio hai: hao wanakusifu,

ISA 38:19 Removed trailing space in p~: kama ninavyofanya leo.

ISA 38:19 Removed trailing space in p~: Baba huwaambia watoto wao

ISA 38:19 Removed trailing space in p~: habari za uaminifu wako.

ISA 38:20 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataniokoa,

ISA 38:20 Removed trailing space in p~: nasi tutaimba kwa vyombo vya nyuzi

ISA 38:20 Removed trailing space in p~: siku zote za maisha yetu

ISA 38:20 Removed trailing space in p~: katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

ISA 38:21 Removed trailing space in v~: Isaya alikuwa amesema, “Tengenezeni dawa ya kubandika ya tini, mweke juu ya jipu, naye atapona.”

ISA 38:22 Removed trailing space in v~: Hezekia alikuwa ameuliza, “Kutakuwa na ishara gani kwamba nitapanda kwenda Hekalu la \nd Bwana\nd*?”

ISA 39:0 Extra space after chapter number

ISA 39:0 Removed trailing space in c: 39

ISA 39:0 Removed trailing space in s1: Wajumbe Kutoka Babeli

ISA 39:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 20:12-19)

ISA 39:1 Removed trailing space in v~: Wakati huo Merodaki-Baladani, mwana wa Baladani mfalme wa Babeli, akamtumia Hezekia barua na zawadi, kwa sababu alikuwa amesikia habari za kuugua na kupona kwake.

ISA 39:2 Removed trailing space in v~: Hezekia akawapokea wale wajumbe kwa furaha na kuwaonyesha vitu vile vilivyokuwa katika ghala zake: yaani fedha, dhahabu, vikolezo na mafuta safi, ghala la silaha lote, na kila kitu kilichokuwa katika hazina zake. Hapakuwa na kitu chochote katika jumba lake la kifalme au katika ufalme wake wote ambacho Hezekia hakuwaonyesha.

ISA 39:3 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii Isaya akaenda kwa Mfalme Hezekia na kumuuliza, “Watu hao walisema nini, na wametoka wapi?”

ISA 39:3 Removed trailing space in p~: Hezekia akamjibu, “Wametoka nchi ya mbali. Walikuja kwangu kutoka Babeli.”

ISA 39:4 Removed trailing space in v~: Nabii akauliza, “Waliona nini katika jumba lako la kifalme?”

ISA 39:4 Removed trailing space in p~: Hezekia akajibu, “Waliona kila kitu katika jumba langu la kifalme. Hakuna kitu chochote katika hazina yangu ambacho sikuwaonyesha.”

ISA 39:5 Removed trailing space in v~: Ndipo Isaya akamwambia Hezekia, “Sikia neno la \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

ISA 39:6 Removed trailing space in v~: Hakika wakati unakuja ambapo vitu vyote katika jumba lako la kifalme, na vyote ambavyo baba zako waliweka akiba mpaka siku hii, vitachukuliwa kwenda Babeli. Hakuna chochote kitakachosalia, asema \nd Bwana\nd*.

ISA 39:7 Removed trailing space in v~: Nao baadhi ya wazao wako, nyama yako na damu yako mwenyewe watakaozaliwa kwako, watachukuliwa mbali, nao watakuwa matowashi katika jumba la mfalme wa Babeli.”

ISA 39:8 Removed trailing space in v~: Hezekia akamjibu Isaya, “Neno la \nd Bwana\nd* ulilosema ni jema.” Kwa kuwa alifikiri, “Patakuwepo amani na usalama wakati wa uhai wangu.”

ISA 40:0 Extra space after chapter number

ISA 40:0 Removed trailing space in c: 40

ISA 40:0 Removed trailing space in s1: Faraja Kwa Watu Wa Mungu

ISA 40:1 Removed trailing space in v~: Wafarijini, wafarijini watu wangu,

ISA 40:1 Removed trailing space in p~: asema Mungu wenu.

ISA 40:2 Removed trailing space in v~: Sema na Yerusalemu kwa upole,

ISA 40:2 Removed trailing space in p~: umtangazie

ISA 40:2 Removed trailing space in p~: kwamba kazi yake ngumu imekamilika,

ISA 40:2 Removed trailing space in p~: kwamba dhambi yake imefanyiwa fidia,

ISA 40:2 Removed trailing space in p~: kwamba amepokea kutoka mkononi mwa \nd Bwana\nd*

ISA 40:2 Removed trailing space in p~: maradufu kwa ajili ya dhambi zake zote.

ISA 40:3 Removed trailing space in v~: Sauti ya mtu aliaye:

ISA 40:3 Removed trailing space in p~: “Itengenezeni jangwani njia ya \nd Bwana\nd*,

ISA 40:3 Removed trailing space in p~: nyoosheni njia kuu nyikani

ISA 40:3 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya Mungu wetu.

ISA 40:4 Removed trailing space in v~: Kila bonde litainuliwa,

ISA 40:4 Removed trailing space in p~: kila mlima na kilima kitashushwa;

ISA 40:4 Removed trailing space in p~: penye mabonde patanyooshwa,

ISA 40:4 Removed trailing space in p~: napo palipoparuza patasawazishwa.

ISA 40:5 Removed trailing space in v~: Utukufu wa \nd Bwana\nd* utafunuliwa,

ISA 40:5 Removed trailing space in p~: nao wanadamu wote watauona pamoja.

ISA 40:5 Removed trailing space in p~: Kwa maana kinywa cha \nd Bwana\nd* kimenena.”

ISA 40:6 Removed trailing space in v~: Sauti husema, “Piga kelele.”

ISA 40:6 Removed trailing space in p~: Nami nikasema, “Nipige kelele gani?”

ISA 40:6 Removed trailing space in p~: “Wanadamu wote ni kama majani,

ISA 40:6 Removed trailing space in p~: nao utukufu wao wote

ISA 40:6 Removed trailing space in p~: ni kama maua ya kondeni.

ISA 40:7 Removed trailing space in v~: Majani hunyauka na maua huanguka,

ISA 40:7 Removed trailing space in p~: kwa sababu pumzi ya \nd Bwana\nd* huyapuliza.

ISA 40:7 Removed trailing space in p~: Hakika wanadamu ni majani.

ISA 40:8 Removed trailing space in v~: Majani hunyauka na maua huanguka,

ISA 40:8 Removed trailing space in p~: lakini neno la Mungu wetu ladumu milele.”

ISA 40:9 Removed trailing space in v~: Wewe uletaye habari njema Sayuni,

ISA 40:9 Removed trailing space in p~: panda juu ya mlima mrefu.

ISA 40:9 Removed trailing space in p~: Wewe uletaye habari njema Yerusalemu,

ISA 40:9 Removed trailing space in p~: inua sauti yako kwa kupiga kelele,

ISA 40:9 Removed trailing space in p~: inua sauti, usiogope;

ISA 40:9 Removed trailing space in p~: iambie miji ya Yuda,

ISA 40:9 Removed trailing space in p~: “Yuko hapa Mungu wenu!”

ISA 40:10 Removed trailing space in v~: Tazameni, \nd Bwana\nd* Mwenyezi anakuja na nguvu,

ISA 40:10 Removed trailing space in p~: nao mkono wake ndio utawalao kwa ajili yake.

ISA 40:10 Removed trailing space in p~: Tazameni, ujira wake u pamoja naye,

ISA 40:10 Removed trailing space in p~: nayo malipo yake yanafuatana naye.

ISA 40:11 Removed trailing space in v~: Huchunga kundi lake kama mchungaji wa mifugo:

ISA 40:11 Removed trailing space in p~: Hukusanya wana-kondoo katika mikono yake

ISA 40:11 Removed trailing space in p~: na kuwachukua karibu na moyo wake,

ISA 40:11 Removed trailing space in p~: huwaongoza taratibu wale wanyonyeshao.

ISA 40:12 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyepima maji ya bahari

ISA 40:12 Removed trailing space in p~: kwenye konzi ya mkono wake,

ISA 40:12 Removed trailing space in p~: au kuzipima mbingu kwa shibiri\f + \fr 40:12 \ft Shibiri ni sawa na sentimita 20 au inchi 8.\f* yake?

ISA 40:12 Removed trailing space in p~: Ni nani aliyeyashika mavumbi ya dunia katika kikapu,

ISA 40:12 Removed trailing space in p~: au kupima milima kwenye kipimio

ISA 40:12 Removed trailing space in p~: na vilima kwenye mizani?

ISA 40:13 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyeyafahamu mawazo ya \nd Bwana\nd*,

ISA 40:13 Removed trailing space in p~: au kumfundisha akiwa kama mshauri wake?

ISA 40:14 Removed trailing space in v~: Ni nani ambaye \nd Bwana\nd* ametaka shauri kwake ili kumwelimisha,

ISA 40:14 Removed trailing space in p~: naye ni nani aliyemfundisha njia iliyo sawa?

ISA 40:14 Removed trailing space in p~: Ni nani aliyemfundisha maarifa

ISA 40:14 Removed trailing space in p~: au kumwonyesha mapito ya ufahamu?

ISA 40:15 Removed trailing space in v~: Hakika mataifa ni kama tone ndani ya ndoo,

ISA 40:15 Removed trailing space in p~: ni kama vumbi jembamba juu ya mizani,

ISA 40:15 Removed trailing space in p~: huvipima visiwa kana kwamba vilikuwa vumbi laini.

ISA 40:16 Removed trailing space in v~: Lebanoni hautoshi kwa moto wa madhabahuni,

ISA 40:16 Removed trailing space in p~: wala wanyama wake hawatoshi kwa sadaka za kuteketezwa.

ISA 40:17 Removed trailing space in v~: Mbele yake mataifa yote ni kama si kitu,

ISA 40:17 Removed trailing space in p~: yanaonekana yasio na thamani

ISA 40:17 Removed trailing space in p~: na zaidi ya bure kabisa.

ISA 40:18 Removed trailing space in v~: Basi, utamlinganisha Mungu na nani?

ISA 40:18 Removed trailing space in p~: Utamlinganisha na kitu gani?

ISA 40:19 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya sanamu, fundi huisubu,

ISA 40:19 Removed trailing space in p~: naye mfua dhahabu huifunika kwa dhahabu

ISA 40:19 Removed trailing space in p~: na kuitengenezea mikufu ya fedha.

ISA 40:20 Removed trailing space in v~: Mtu aliye maskini sana asiyeweza kuleta sadaka kama hii

ISA 40:20 Removed trailing space in p~: huuchagua mti usiooza.

ISA 40:20 Removed trailing space in p~: Humtafuta fundi stadi

ISA 40:20 Removed trailing space in p~: wa kusimamisha sanamu ambayo haitatikisika.

ISA 40:21 Removed trailing space in v~: Je, hujui?

ISA 40:21 Removed trailing space in p~: Je, hujasikia?

ISA 40:21 Removed trailing space in p~: Je, hujaambiwa tangu mwanzo?

ISA 40:21 Removed trailing space in p~: Je, hujafahamu tangu kuumbwa kwa dunia?

ISA 40:22 Removed trailing space in v~: Anakaa kwenye kiti cha enzi juu ya duara ya dunia,

ISA 40:22 Removed trailing space in p~: nao watu wakaao ndani yake ni kama panzi.

ISA 40:22 Removed trailing space in p~: Huzitandaza mbingu kama chandarua,

ISA 40:22 Removed trailing space in p~: na kuzitandaza kama hema la kuishi.

ISA 40:23 Removed trailing space in v~: Huwafanya wakuu kuwa si kitu,

ISA 40:23 Removed trailing space in p~: na kuwashusha watawala wa dunia hii kuwa kitu bure.

ISA 40:24 Removed trailing space in v~: Mara baada ya kupandwa,

ISA 40:24 Removed trailing space in p~: mara baada ya kutiwa ardhini,

ISA 40:24 Removed trailing space in p~: mara baada ya kutoa mizizi yao ardhini,

ISA 40:24 Removed trailing space in p~: ndipo huwapulizia nao wakanyauka,

ISA 40:24 Removed trailing space in p~: nao upepo wa kisulisuli

ISA 40:24 Removed trailing space in p~: huwapeperusha kama makapi.

ISA 40:25 Removed trailing space in v~: “Utanilinganisha mimi na nani?

ISA 40:25 Removed trailing space in p~: Au ni nani anayelingana nami?” asema yeye Aliye Mtakatifu.

ISA 40:26 Removed trailing space in v~: Inueni macho yenu mtazame mbinguni:

ISA 40:26 Removed trailing space in p~: Ni nani aliyeumba hivi vyote?

ISA 40:26 Removed trailing space in p~: Ni yeye aletaye nje jeshi la nyota moja baada ya nyingine

ISA 40:26 Removed trailing space in p~: na kuziita kila moja kwa jina lake.

ISA 40:26 Removed trailing space in p~: Kwa sababu ya uweza wake mkuu na nguvu zake kuu,

ISA 40:26 Removed trailing space in p~: hakuna hata mojawapo inayokosekana.

ISA 40:27 Removed trailing space in v~: Kwa nini unasema, ee Yakobo,

ISA 40:27 Removed trailing space in p~: nanyi ee Israeli, kulalamika,

ISA 40:27 Removed trailing space in p~: “Njia yangu imefichwa \nd Bwana\nd* asiione,

ISA 40:27 Removed trailing space in p~: Mungu wangu hajali shauri langu?”

ISA 40:28 Removed trailing space in v~: Je wewe, hufahamu?

ISA 40:28 Removed trailing space in p~: Je wewe, hujasikia?

ISA 40:28 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ni Mungu wa milele,

ISA 40:28 Removed trailing space in p~: Muumba wa miisho ya dunia.

ISA 40:28 Removed trailing space in p~: Hatachoka wala kulegea,

ISA 40:28 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja

ISA 40:28 Removed trailing space in p~: awezaye kuupima ufahamu wake.

ISA 40:29 Removed trailing space in v~: Huwapa nguvu waliolegea

ISA 40:29 Removed trailing space in p~: na huongeza nguvu za wadhaifu.

ISA 40:30 Removed trailing space in v~: Hata vijana huchoka na kulegea,

ISA 40:30 Removed trailing space in p~: nao vijana wanaume hujikwaa na kuanguka,

ISA 40:31 Removed trailing space in v~: bali wale wamtumainio \nd Bwana\nd*

ISA 40:31 Removed trailing space in p~: atafanya upya nguvu zao.

ISA 40:31 Removed trailing space in p~: Watapaa juu kwa mbawa kama tai;

ISA 40:31 Removed trailing space in p~: watapiga mbio wala hawatachoka,

ISA 40:31 Removed trailing space in p~: watatembea kwa miguu wala hawatazimia.

ISA 41:0 Extra space after chapter number

ISA 41:0 Removed trailing space in c: 41

ISA 41:0 Removed trailing space in s1: Msaidizi Wa Israeli

ISA 41:1 Removed trailing space in v~: “Nyamazeni kimya mbele zangu, enyi visiwa!

ISA 41:1 Removed trailing space in p~: Mataifa na wafanye upya nguvu zao!

ISA 41:1 Removed trailing space in p~: Wao na wajitokeze, kisha waseme,

ISA 41:1 Removed trailing space in p~: tukutane pamoja mahali pa hukumu.

ISA 41:2 Removed trailing space in v~: “Ni nani aliyemchochea mmoja kutoka mashariki,

ISA 41:2 Removed trailing space in p~: akimwita katika haki kwa utumishi wake?

ISA 41:2 Removed trailing space in p~: Huyatia mataifa mikononi mwake,

ISA 41:2 Removed trailing space in p~: na kuwatiisha wafalme mbele zake.

ISA 41:2 Removed trailing space in p~: Huwafanya kuwa mavumbi kwa upanga wake,

ISA 41:2 Removed trailing space in p~: huwafanya makapi yapeperushwayo na upepo kwa upinde wake.

ISA 41:3 Removed trailing space in v~: Huwafuatia na kuendelea salama,

ISA 41:3 Removed trailing space in p~: katika njia ambayo miguu yake haijawahi kupita.

ISA 41:4 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyefanya jambo hili na kulitimiliza,

ISA 41:4 Removed trailing space in p~: akiita vizazi tangu mwanzo?

ISA 41:4 Removed trailing space in p~: Mimi, \nd Bwana\nd*, ni wa kwanza

ISA 41:4 Removed trailing space in p~: nami nitakuwa pamoja na wa mwisho:

ISA 41:4 Removed trailing space in p~: mimi \nd Bwana\nd* ndiye.”

ISA 41:5 Removed trailing space in v~: Visiwa vimeliona na kuogopa,

ISA 41:5 Removed trailing space in p~: miisho ya dunia inatetemeka.

ISA 41:5 Removed trailing space in p~: Wanakaribia na kuja mbele,

ISA 41:6 Removed trailing space in v~: kila mmoja humsaidia mwingine

ISA 41:6 Removed trailing space in p~: na kusema kwa ndugu yake, “Uwe hodari!”

ISA 41:7 Removed trailing space in v~: Fundi humtia moyo sonara,

ISA 41:7 Removed trailing space in p~: yeye alainishaye kwa nyundo

ISA 41:7 Removed trailing space in p~: humhimiza yeye agongeaye kwenye fuawe,

ISA 41:7 Removed trailing space in p~: Humwambia yeye aunganishaye, “Ni kazi njema.”

ISA 41:7 Removed trailing space in p~: Naye huikaza sanamu kwa misumari ili isitikisike.

ISA 41:8 Removed trailing space in v~: “Lakini wewe, ee Israeli, mtumishi wangu,

ISA 41:8 Removed trailing space in p~: Yakobo, niliyemchagua,

ISA 41:8 Removed trailing space in p~: ninyi wazao wa Abrahamu rafiki yangu,

ISA 41:9 Removed trailing space in v~: nilikuchukua toka miisho ya dunia,

ISA 41:9 Removed trailing space in p~: nilikuita kutoka pembe zake za mbali.

ISA 41:9 Removed trailing space in p~: Nilisema, ‘Wewe ni mtumishi wangu’;

ISA 41:9 Removed trailing space in p~: nimekuchagua, wala sikukukataa.

ISA 41:10 Removed trailing space in v~: Hivyo usiogope, kwa maana niko pamoja nawe;

ISA 41:10 Removed trailing space in p~: usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako.

ISA 41:10 Removed trailing space in p~: Nitakutia nguvu na kukusaidia;

ISA 41:10 Removed trailing space in p~: nitakutegemeza kwa mkono wa kuume wa haki yangu.

ISA 41:11 Removed trailing space in v~: “Wote walioona hasira dhidi yako

ISA 41:11 Removed trailing space in p~: hakika wataaibika na kutahayarika,

ISA 41:11 Removed trailing space in p~: wale wakupingao

ISA 41:11 Removed trailing space in p~: watakuwa kama vile si kitu, na kuangamia.

ISA 41:12 Removed trailing space in v~: Ingawa utawatafuta adui zako,

ISA 41:12 Removed trailing space in p~: hutawaona.

ISA 41:12 Removed trailing space in p~: Wale wanaopigana vita dhidi yako

ISA 41:12 Removed trailing space in p~: watakuwa kama vile si kitu kabisa.

ISA 41:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wako,

ISA 41:13 Removed trailing space in p~: nikushikaye mkono wako wa kuume

ISA 41:13 Removed trailing space in p~: na kukuambia, Usiwe na hofu,

ISA 41:13 Removed trailing space in p~: nitakusaidia.

ISA 41:14 Removed trailing space in v~: Usiogope, ee Yakobo uliye mdudu,

ISA 41:14 Removed trailing space in p~: ee Israeli uliye mdogo,

ISA 41:14 Removed trailing space in p~: kwa kuwa Mimi mwenyewe nitakusaidia,” asema \nd Bwana\nd*,

ISA 41:14 Removed trailing space in p~: Mkombozi wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 41:15 Removed trailing space in v~: “Tazama, nitakufanya chombo cha kupuria,

ISA 41:15 Removed trailing space in p~: kipya na chenye makali, chenye meno mengi.

ISA 41:15 Removed trailing space in p~: Utaipura milima na kuiponda

ISA 41:15 Removed trailing space in p~: na kuvifanya vilima kuwa kama makapi.

ISA 41:16 Removed trailing space in v~: Utaipepeta, nao upepo utaichukua,

ISA 41:16 Removed trailing space in p~: dhoruba itaipeperushia mbali.

ISA 41:16 Removed trailing space in p~: Bali wewe utajifurahisha katika \nd Bwana\nd*

ISA 41:16 Removed trailing space in p~: na katika utukufu wa yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 41:17 Removed trailing space in v~: “Maskini na wahitaji wanatafuta maji,

ISA 41:17 Removed trailing space in p~: lakini hayapo,

ISA 41:17 Removed trailing space in p~: ndimi zao zimekauka kwa kiu.

ISA 41:17 Removed trailing space in p~: Lakini Mimi \nd Bwana\nd* nitawajibu,

ISA 41:17 Removed trailing space in p~: Mimi, Mungu wa Israeli, sitawaacha.

ISA 41:18 Removed trailing space in v~: Nitaifanya mito itiririke juu ya vilima vilivyo kame,

ISA 41:18 Removed trailing space in p~: nazo chemchemi ndani ya mabonde.

ISA 41:18 Removed trailing space in p~: Nitaligeuza jangwa liwe mabwawa ya maji,

ISA 41:18 Removed trailing space in p~: nayo ardhi iliyokauka kuwa chemchemi za maji.

ISA 41:19 Removed trailing space in v~: Katika jangwa nitaotesha

ISA 41:19 Removed trailing space in p~: mwerezi, mshita, mhadasi na mzeituni.

ISA 41:19 Removed trailing space in p~: Nitaweka misunobari, mivinje na misanduku

ISA 41:19 Removed trailing space in p~: pamoja huko nyikani,

ISA 41:20 Removed trailing space in v~: ili kwamba watu wapate kuona na kujua,

ISA 41:20 Removed trailing space in p~: wapate kufikiri na kuelewa,

ISA 41:20 Removed trailing space in p~: kwamba mkono wa \nd Bwana\nd* umetenda hili,

ISA 41:20 Removed trailing space in p~: kwamba yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli ndiye alilifanya.”

ISA 41:21 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema, “Leta shauri lako.

ISA 41:21 Removed trailing space in p~: Toa hoja yako,” asema Mfalme wa Yakobo.

ISA 41:22 Removed trailing space in v~: “Leteni sanamu zenu zituambie

ISA 41:22 Removed trailing space in p~: ni nini kitakachotokea.

ISA 41:22 Removed trailing space in p~: Tuambieni mambo ya zamani yalikuwa nini,

ISA 41:22 Removed trailing space in p~: ili tupate kuyatafakari

ISA 41:22 Removed trailing space in p~: na kujua matokeo yake ya mwisho.

ISA 41:22 Removed trailing space in p~: Au tutangazieni mambo yatakayokuja,

ISA 41:23 Removed trailing space in v~: tuambieni ni nini kitakachotokea baadaye,

ISA 41:23 Removed trailing space in p~: ili tupate kujua kuwa ninyi ni miungu.

ISA 41:23 Removed trailing space in p~: Fanyeni jambo lolote zuri au baya,

ISA 41:23 Removed trailing space in p~: ili tupate kutishika na kujazwa na hofu.

ISA 41:24 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi ni zaidi ya bure kabisa,

ISA 41:24 Removed trailing space in p~: na kazi zenu hazifai kitu kabisa;

ISA 41:24 Removed trailing space in p~: yeye awachaguaye ni chukizo sana.

ISA 41:25 Removed trailing space in v~: “Nimemchochea mtu mmoja kutoka kaskazini,

ISA 41:25 Removed trailing space in p~: naye yuaja, mmoja toka mawio ya jua aliitaye Jina langu.

ISA 41:25 Removed trailing space in p~: Huwakanyaga watawala kana kwamba ni matope,

ISA 41:25 Removed trailing space in p~: kama mfinyanzi akanyagavyo udongo wa kufinyangia.

ISA 41:26 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyenena hili tokea mwanzoni, ili tupate kujua,

ISA 41:26 Removed trailing space in p~: au kabla, ili tuweze kusema, ‘Alikuwa sawa’?

ISA 41:26 Removed trailing space in p~: Hakuna aliyenena hili,

ISA 41:26 Removed trailing space in p~: hakuna aliyetangulia kusema hili,

ISA 41:26 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote aliyesikia maneno kutoka kwenu.

ISA 41:27 Removed trailing space in v~: Nilikuwa wa kwanza kumwambia Sayuni,

ISA 41:27 Removed trailing space in p~: ‘Tazama, wako hapa!’

ISA 41:27 Removed trailing space in p~: Nilimpa Yerusalemu mjumbe wa habari njema.

ISA 41:28 Removed trailing space in v~: Ninatazama, lakini hakuna yeyote:

ISA 41:28 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote miongoni mwao awezaye kutoa shauri,

ISA 41:28 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote wa kutoa jibu wakati ninapowauliza.

ISA 41:29 Removed trailing space in v~: Tazama, wote ni ubatili!

ISA 41:29 Removed trailing space in p~: Matendo yao ni bure;

ISA 41:29 Removed trailing space in p~: vinyago vyao ni upepo mtupu na machafuko.

ISA 42:0 Extra space after chapter number

ISA 42:0 Removed trailing space in c: 42

ISA 42:0 Removed trailing space in s1: Mtumishi Wa \nd Bwana\nd*

ISA 42:1 Removed trailing space in v~: “Huyu hapa mtumishi wangu, ninayemtegemeza,

ISA 42:1 Removed trailing space in p~: mteule wangu, ambaye ninapendezwa naye;

ISA 42:1 Removed trailing space in p~: nitaweka Roho yangu juu yake,

ISA 42:1 Removed trailing space in p~: naye ataleta haki kwa mataifa.

ISA 42:2 Removed trailing space in v~: Hatapaza sauti wala kupiga kelele,

ISA 42:2 Removed trailing space in p~: wala hataiinua sauti yake barabarani.

ISA 42:3 Removed trailing space in v~: Mwanzi uliopondeka hatauvunja,

ISA 42:3 Removed trailing space in p~: na utambi unaofuka moshi hatauzima.

ISA 42:3 Removed trailing space in p~: Kwa uaminifu ataleta haki,

ISA 42:4 Removed trailing space in v~: hatazimia roho wala kukata tamaa,

ISA 42:4 Removed trailing space in p~: mpaka atakaposimamisha haki juu ya dunia.

ISA 42:4 Removed trailing space in p~: Visiwa vitaweka tumaini lao katika sheria yake.”

ISA 42:5 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo Mungu, \nd Bwana\nd*,

ISA 42:5 Removed trailing space in p~: yeye aliyeziumba mbingu na kuzitanda,

ISA 42:5 Removed trailing space in p~: aliyeitandaza dunia na vyote vitokavyo humo,

ISA 42:5 Removed trailing space in p~: awapaye watu wake pumzi,

ISA 42:5 Removed trailing space in p~: na uzima kwa wale waendao humo:

ISA 42:6 Removed trailing space in v~: “Mimi, \nd Bwana\nd*, nimekuita katika haki;

ISA 42:6 Removed trailing space in p~: nitakushika mkono wako.

ISA 42:6 Removed trailing space in p~: Nitakulinda na kukufanya

ISA 42:6 Removed trailing space in p~: kuwa Agano kwa ajili ya watu

ISA 42:6 Removed trailing space in p~: na nuru kwa Mataifa,

ISA 42:7 Removed trailing space in v~: kuwafungua macho wale wasioona,

ISA 42:7 Removed trailing space in p~: kuwaacha huru kutoka kifungoni waliofungwa jela,

ISA 42:7 Removed trailing space in p~: na kuwafungua kutoka gerezani

ISA 42:7 Removed trailing space in p~: wale wanaokaa gizani.

ISA 42:8 Removed trailing space in v~: “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*; hilo ndilo Jina langu!

ISA 42:8 Removed trailing space in p~: Sitampa mwingine utukufu wangu

ISA 42:8 Removed trailing space in p~: wala sanamu sifa zangu.

ISA 42:9 Removed trailing space in v~: Tazama, mambo ya kwanza yametokea,

ISA 42:9 Removed trailing space in p~: nami natangaza mambo mapya;

ISA 42:9 Removed trailing space in p~: kabla hayajatokea

ISA 42:9 Removed trailing space in p~: nawatangazia habari zake.”

ISA 42:9 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Kumsifu \nd Bwana\nd*

ISA 42:10 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd* wimbo mpya,

ISA 42:10 Removed trailing space in p~: sifa zake toka miisho ya dunia,

ISA 42:10 Removed trailing space in p~: ninyi mshukao chini baharini,

ISA 42:10 Removed trailing space in p~: na vyote vilivyomo ndani yake,

ISA 42:10 Removed trailing space in p~: enyi visiwa na wote wakaao ndani yake.

ISA 42:11 Removed trailing space in v~: Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao;

ISA 42:11 Removed trailing space in p~: makao anamoishi Kedari na yashangilie.

ISA 42:11 Removed trailing space in p~: Watu wa Sela waimbe kwa furaha,

ISA 42:11 Removed trailing space in p~: na wapige kelele kutoka vilele vya milima.

ISA 42:12 Removed trailing space in v~: Wampe \nd Bwana\nd* utukufu,

ISA 42:12 Removed trailing space in p~: na kutangaza sifa zake katika visiwa.

ISA 42:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataenda kama mtu mwenye nguvu,

ISA 42:13 Removed trailing space in p~: kama shujaa atachochea shauku yake,

ISA 42:13 Removed trailing space in p~: kwa kelele ataamsha kilio cha vita,

ISA 42:13 Removed trailing space in p~: naye atashinda adui zake.

ISA 42:14 Removed trailing space in v~: “Kwa muda mrefu nimenyamaza kimya,

ISA 42:14 Removed trailing space in p~: nimekaa kimya na kujizuia.

ISA 42:14 Removed trailing space in p~: Lakini sasa, kama mwanamke wakati wa kujifungua,

ISA 42:14 Removed trailing space in p~: ninapiga kelele, ninatweta na kushusha pumzi.

ISA 42:15 Removed trailing space in v~: Nitaharibu milima na vilima

ISA 42:15 Removed trailing space in p~: na kukausha mimea yako yote;

ISA 42:15 Removed trailing space in p~: nitafanya mito kuwa visiwa

ISA 42:15 Removed trailing space in p~: na kukausha mabwawa.

ISA 42:16 Removed trailing space in v~: Nitawaongoza vipofu kwenye njia ambayo hawajaijua,

ISA 42:16 Removed trailing space in p~: kwenye mapito wasiyoyazoea nitawaongoza;

ISA 42:16 Removed trailing space in p~: nitafanya giza kuwa nuru mbele yao,

ISA 42:16 Removed trailing space in p~: na kufanya mahali palipoparuza kuwa laini.

ISA 42:16 Removed trailing space in p~: Haya ndiyo mambo nitakayofanya;

ISA 42:16 Removed trailing space in p~: mimi sitawaacha.

ISA 42:17 Removed trailing space in v~: Lakini wale wanaotumaini sanamu,

ISA 42:17 Removed trailing space in p~: wanaoviambia vinyago, ‘Ninyi ndio miungu yetu,’

ISA 42:17 Removed trailing space in p~: watarudishwa nyuma kwa aibu kubwa.

ISA 42:17 Removed trailing space in s1: Israeli Kipofu Na Kiziwi

ISA 42:18 Removed trailing space in v~: “Sikieni, enyi viziwi;

ISA 42:18 Removed trailing space in p~: tazameni, enyi vipofu, mpate kuona!

ISA 42:19 Removed trailing space in v~: Ni nani aliye kipofu isipokuwa mtumishi wangu,

ISA 42:19 Removed trailing space in p~: na kiziwi kama mjumbe ninayemtuma?

ISA 42:19 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye kipofu kama yeye aliyejitoa kwangu,

ISA 42:19 Removed trailing space in p~: aliye kipofu kama mtumishi wa \nd Bwana\nd*?

ISA 42:20 Removed trailing space in v~: Mmeona vitu vingi, lakini hamkuzingatia;

ISA 42:20 Removed trailing space in p~: masikio yenu yako wazi, lakini hamsikii chochote.”

ISA 42:21 Removed trailing space in v~: Ilimpendeza \nd Bwana\nd*

ISA 42:21 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya haki yake

ISA 42:21 Removed trailing space in p~: kufanya sheria yake kuwa kuu na tukufu.

ISA 42:22 Removed trailing space in v~: Lakini hili ni taifa lililoibwa na kutekwa nyara,

ISA 42:22 Removed trailing space in p~: wote wamenaswa katika mashimo,

ISA 42:22 Removed trailing space in p~: au wamefichwa katika magereza.

ISA 42:22 Removed trailing space in p~: Wamekuwa nyara,

ISA 42:22 Removed trailing space in p~: wala hapana yeyote awaokoaye.

ISA 42:22 Removed trailing space in p~: Wamefanywa mateka,

ISA 42:22 Removed trailing space in p~: wala hapana yeyote asemaye, “Warudishe.”

ISA 42:23 Removed trailing space in v~: Ni nani miongoni mwenu atakayesikiliza hili,

ISA 42:23 Removed trailing space in p~: au atakayezingatia kwa makini katika wakati ujao?

ISA 42:24 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyemtoa Yakobo kuwa mateka,

ISA 42:24 Removed trailing space in p~: na Israeli kwa wateka nyara?

ISA 42:24 Removed trailing space in p~: Je, hakuwa yeye, \nd Bwana\nd*,

ISA 42:24 Removed trailing space in p~: ambaye tumetenda dhambi dhidi yake?

ISA 42:24 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa hawakufuata njia zake,

ISA 42:24 Removed trailing space in p~: hawakutii sheria zake.

ISA 42:25 Removed trailing space in v~: Hivyo akawamwagia hasira yake inayowaka,

ISA 42:25 Removed trailing space in p~: ukali wa vita.

ISA 42:25 Removed trailing space in p~: Iliwazunguka kwa miali ya moto, lakini hata hivyo hawakuelewa;

ISA 42:25 Removed trailing space in p~: iliwateketeza, lakini hawakuyatia moyoni.

ISA 43:0 Extra space after chapter number

ISA 43:0 Removed trailing space in c: 43

ISA 43:0 Removed trailing space in s1: Mwokozi Pekee Wa Israeli

ISA 43:1 Removed trailing space in v~: Lakini sasa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 43:1 Removed trailing space in p~: yeye aliyekuumba, ee Yakobo,

ISA 43:1 Removed trailing space in p~: yeye aliyekuhuluku, ee Israeli:

ISA 43:1 Removed trailing space in p~: “Usiogope kwa maana nimekukomboa,

ISA 43:1 Removed trailing space in p~: nimekuita wewe kwa jina lako, wewe u wangu.

ISA 43:2 Removed trailing space in v~: Unapopita kwenye maji makuu,

ISA 43:2 Removed trailing space in p~: nitakuwa pamoja nawe,

ISA 43:2 Removed trailing space in p~: unapopita katika mito ya maji,

ISA 43:2 Removed trailing space in p~: hayatakugharikisha.

ISA 43:2 Removed trailing space in p~: Utakapopita katika moto,

ISA 43:2 Removed trailing space in p~: hutaungua,

ISA 43:2 Removed trailing space in p~: miali ya moto haitakuunguza.

ISA 43:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wako,

ISA 43:3 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, Mwokozi wako.

ISA 43:3 Removed trailing space in p~: Ninaitoa Misri kuwa fidia yako,

ISA 43:3 Removed trailing space in p~: Kushi na Seba badala yako.

ISA 43:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wewe ni wa thamani na wa kuheshimiwa machoni pangu,

ISA 43:4 Removed trailing space in p~: nami kwa kuwa ninakupenda,

ISA 43:4 Removed trailing space in p~: nitatoa watu badala yako

ISA 43:4 Removed trailing space in p~: na mataifa badala ya maisha yako.

ISA 43:5 Removed trailing space in v~: Usiogope, kwa kuwa mimi nipo pamoja nawe,

ISA 43:5 Removed trailing space in p~: nitawaleta watoto wako kutoka mashariki,

ISA 43:5 Removed trailing space in p~: na kukukusanya kutoka magharibi.

ISA 43:6 Removed trailing space in v~: Nitaiambia kaskazini, ‘Watoe!’

ISA 43:6 Removed trailing space in p~: nayo kusini, ‘Usiwazuie.’

ISA 43:6 Removed trailing space in p~: Walete wana wangu kutoka mbali,

ISA 43:6 Removed trailing space in p~: na binti zangu kutoka miisho ya dunia:

ISA 43:7 Removed trailing space in v~: kila mmoja ambaye ameitwa kwa Jina langu,

ISA 43:7 Removed trailing space in p~: niliyemuumba kwa utukufu wangu,

ISA 43:7 Removed trailing space in p~: niliyemhuluku na kumfanya.”

ISA 43:8 Removed trailing space in v~: Uwaongoze wale wenye macho lakini hawaoni,

ISA 43:8 Removed trailing space in p~: wenye masikio lakini hawasikii.

ISA 43:9 Removed trailing space in v~: Mataifa yote yanakutanika pamoja,

ISA 43:9 Removed trailing space in p~: na makabila yanakusanyika.

ISA 43:9 Removed trailing space in p~: Ni nani miongoni mwao aliyetangulia kutuambia haya,

ISA 43:9 Removed trailing space in p~: na kututangazia mambo yaliyopita?

ISA 43:9 Removed trailing space in p~: Walete mashahidi wao ili kuwathibitisha kuwa walikuwa sahihi,

ISA 43:9 Removed trailing space in p~: ili wengine waweze kusikia, waseme, “Ni kweli.”

ISA 43:10 Removed trailing space in v~: “Ninyi ni mashahidi wangu,” asema \nd Bwana\nd*,

ISA 43:10 Removed trailing space in p~: “na mtumishi wangu niliyemchagua,

ISA 43:10 Removed trailing space in p~: ili mpate kunijua na kuniamini,

ISA 43:10 Removed trailing space in p~: na kutambua kwamba Mimi ndiye.

ISA 43:10 Removed trailing space in p~: Kabla yangu hakuna mungu aliyefanyizwa,

ISA 43:10 Removed trailing space in p~: wala hatakuwepo mwingine baada yangu.

ISA 43:11 Removed trailing space in v~: Mimi, naam mimi, ndimi \nd Bwana\nd*,

ISA 43:11 Removed trailing space in p~: zaidi yangu hakuna mwokozi.

ISA 43:12 Removed trailing space in v~: Nimedhihirisha, kuokoa na kutangaza:

ISA 43:12 Removed trailing space in p~: Mimi, wala si mungu mgeni katikati yenu.

ISA 43:12 Removed trailing space in p~: Ninyi ni mashahidi wangu,” asema \nd Bwana\nd*,

ISA 43:12 Removed trailing space in p~: “kwamba Mimi ndimi Mungu.

ISA 43:13 Removed trailing space in v~: Naam, tangu siku za kale, Mimi ndiye.

ISA 43:13 Removed trailing space in p~: Hakuna hata mmoja awezaye kuokoa

ISA 43:13 Removed trailing space in p~: kutoka mkononi wangu.

ISA 43:13 Removed trailing space in p~: Mimi ninapotenda,

ISA 43:13 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kutangua?”

ISA 43:13 Removed trailing space in s1: Huruma Za Mungu, Na Kukosa Uaminifu Kwa Israeli

ISA 43:14 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo,

ISA 43:14 Removed trailing space in p~: Mkombozi wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli:

ISA 43:14 Removed trailing space in p~: “Kwa ajili yenu nitatumana Babeli

ISA 43:14 Removed trailing space in p~: na kuwaleta Wakaldayo wote kama wakimbizi,

ISA 43:14 Removed trailing space in p~: katika meli walizozionea fahari.

ISA 43:15 Removed trailing space in v~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, yeye Aliye Mtakatifu wako,

ISA 43:15 Removed trailing space in p~: Muumba wa Israeli, Mfalme wako.”

ISA 43:16 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 43:16 Removed trailing space in p~: yeye aliyefanya njia baharini,

ISA 43:16 Removed trailing space in p~: mahali pa kupita kwenye maji mengi,

ISA 43:17 Removed trailing space in v~: aliyeyakokota magari ya vita na farasi,

ISA 43:17 Removed trailing space in p~: jeshi pamoja na askari wa msaada,

ISA 43:17 Removed trailing space in p~: nao wakalala huko, wala hawatainuka tena kamwe,

ISA 43:17 Removed trailing space in p~: wakakomeshwa, na wakazimika kama utambi:

ISA 43:18 Removed trailing space in v~: “Msiyakumbuke mambo yaliyopita,

ISA 43:18 Removed trailing space in p~: wala msiyatafakari mambo ya zamani.

ISA 43:19 Removed trailing space in v~: Tazama, nitafanya jambo jipya!

ISA 43:19 Removed trailing space in p~: Sasa litachipuka, je, hamtalitambua?

ISA 43:19 Removed trailing space in p~: Nitafanya njia jangwani

ISA 43:19 Removed trailing space in p~: na vijito vya maji katika nchi kame.

ISA 43:20 Removed trailing space in v~: Wanyama wa mwituni wataniheshimu,

ISA 43:20 Removed trailing space in p~: mbweha na bundi,

ISA 43:20 Removed trailing space in p~: kwa sababu ninawapatia maji jangwani,

ISA 43:20 Removed trailing space in p~: na vijito katika nchi kame,

ISA 43:20 Removed trailing space in p~: ili kuwapa watu wangu maji, wale niliowachagua,

ISA 43:21 Removed trailing space in v~: watu wale niliowaumba kwa ajili yangu,

ISA 43:21 Removed trailing space in p~: ili wapate kutangaza sifa zangu.

ISA 43:22 Removed trailing space in v~: “Hata hivyo hukuniita mimi, ee Yakobo,

ISA 43:22 Removed trailing space in p~: hujajitaabisha kwa ajili yangu, ee Israeli.

ISA 43:23 Removed trailing space in v~: Hujaniletea kondoo kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa,

ISA 43:23 Removed trailing space in p~: wala kuniheshimu kwa dhabihu zako.

ISA 43:23 Removed trailing space in p~: Sikukulemea kwa sadaka za nafaka

ISA 43:23 Removed trailing space in p~: wala kukuchosha kwa kuhitaji uvumba.

ISA 43:24 Removed trailing space in v~: Hukuninunulia uvumba wowote wenye manukato,

ISA 43:24 Removed trailing space in p~: wala hukunipa kwa ukarimu

ISA 43:24 Removed trailing space in p~: mafuta ya wanyama wa dhabihu zako.

ISA 43:24 Removed trailing space in p~: Lakini umenilemea kwa dhambi zako,

ISA 43:24 Removed trailing space in p~: na kunitaabisha kwa makosa yako.

ISA 43:25 Removed trailing space in v~: “Mimi, naam mimi, ndimi nizifutaye dhambi zako,

ISA 43:25 Removed trailing space in p~: kwa ajili yangu mwenyewe,

ISA 43:25 Removed trailing space in p~: wala sizikumbuki dhambi zako tena.

ISA 43:26 Removed trailing space in v~: Tafakari mambo yaliyopita,

ISA 43:26 Removed trailing space in p~: njoo na tuhojiane,

ISA 43:26 Removed trailing space in p~: leta shauri lako uweze kupewa haki yako.

ISA 43:27 Removed trailing space in v~: Baba yako wa kwanza alitenda dhambi,

ISA 43:27 Removed trailing space in p~: wasemaji wako wameasi dhidi yangu.

ISA 43:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitawaaibisha wakuu wa Hekalu lako,

ISA 43:28 Removed trailing space in p~: nami nitamtoa Yakobo aangamizwe,

ISA 43:28 Removed trailing space in p~: na Israeli adhihakiwe.

ISA 44:0 Extra space after chapter number

ISA 44:0 Removed trailing space in c: 44

ISA 44:0 Removed trailing space in s1: Israeli Aliyechaguliwa

ISA 44:1 Removed trailing space in v~: “Lakini sasa sikiliza, ee Yakobo, mtumishi wangu,

ISA 44:1 Removed trailing space in p~: Israeli, niliyemchagua.

ISA 44:2 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 44:2 Removed trailing space in p~: yeye aliyekuhuluku, aliyekuumba tumboni,

ISA 44:2 Removed trailing space in p~: yeye atakayekusaidia:

ISA 44:2 Removed trailing space in p~: Usiogope, ee Yakobo, mtumishi wangu,

ISA 44:2 Removed trailing space in p~: Yeshuruni,\f + \fr 44:2 \ft Yeshuruni hapa maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli (ona pia \+xt Kum 32:15\+xt*).\f* niliyekuchagua.

ISA 44:2 Found unexpected backslash in footnote: 44:2 Yeshuruni hapa maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli (ona pia \+xt Kum 32:15\+xt*).

ISA 44:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana nitamimina maji juu ya nchi yenye kiu,

ISA 44:3 Removed trailing space in p~: na vijito vya maji juu ya ardhi iliyokauka;

ISA 44:3 Removed trailing space in p~: nitamimina Roho wangu juu ya watoto wako,

ISA 44:3 Removed trailing space in p~: nayo baraka yangu juu ya wazao wako.

ISA 44:4 Removed trailing space in v~: Nao watachipua kama manyasi katika shamba la majani,

ISA 44:4 Removed trailing space in p~: kama mierezi kando ya vijito vya maji yatiririkayo.

ISA 44:5 Removed trailing space in v~: Mmoja atasema, ‘Mimi ni wa \nd Bwana\nd*’;

ISA 44:5 Removed trailing space in p~: mwingine atajiita kwa jina la Yakobo;

ISA 44:5 Removed trailing space in p~: vilevile mwingine ataandika juu ya mkono wake, ‘Wa \nd Bwana\nd*,’

ISA 44:5 Removed trailing space in p~: na kujiita kwa jina la Israeli.

ISA 44:5 Removed trailing space in s1: Ni \nd Bwana\nd*, Siyo Sanamu

ISA 44:6 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 44:6 Removed trailing space in p~: Mfalme wa Israeli na Mkombozi,

ISA 44:6 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

ISA 44:6 Removed trailing space in p~: Mimi ni wa kwanza na Mimi ni wa mwisho;

ISA 44:6 Removed trailing space in p~: zaidi yangu hakuna Mungu.

ISA 44:7 Removed trailing space in v~: Ni nani basi aliye kama mimi? Yeye na atangaze.

ISA 44:7 Removed trailing space in p~: Yeye atangaze na kuweka mbele yangu

ISA 44:7 Removed trailing space in p~: ni kitu gani kilichotokea tangu nilipoumba watu wangu wa kale,

ISA 44:7 Removed trailing space in p~: tena ni nini kitakachotokea:

ISA 44:7 Removed trailing space in p~: naam, yeye na atoe unabii ni nini kitakachokuja.

ISA 44:8 Removed trailing space in v~: Msitetemeke, msiogope.

ISA 44:8 Removed trailing space in p~: Je, sikutangaza hili, na kutoa unabii tangu zamani?

ISA 44:8 Removed trailing space in p~: Ninyi ni mashahidi wangu.

ISA 44:8 Removed trailing space in p~: Je, yuko Mungu zaidi yangu mimi?

ISA 44:8 Removed trailing space in p~: Hasha, hakuna Mwamba mwingine;

ISA 44:8 Removed trailing space in p~: mimi simjui mwingine.”

ISA 44:9 Removed trailing space in v~: Wote wachongao sanamu ni ubatili,

ISA 44:9 Removed trailing space in p~: navyo vitu wanavyovithamini havifai kitu.

ISA 44:9 Removed trailing space in p~: Wale ambao wanazitetea ni vipofu,

ISA 44:9 Removed trailing space in p~: ni wajinga, nao waaibika.

ISA 44:10 Removed trailing space in v~: Ni nani atengenezaye mungu na kusubu sanamu,

ISA 44:10 Removed trailing space in p~: ambayo haiwezi kumfaidia kitu chochote?

ISA 44:11 Removed trailing space in v~: Yeye pamoja na wenziwe wa aina yake wataaibishwa,

ISA 44:11 Removed trailing space in p~: mafundi wao si kitu ila ni wanadamu tu.

ISA 44:11 Removed trailing space in p~: Wote wakusanyike pamoja na kuwa na msimamo wao,

ISA 44:11 Removed trailing space in p~: watashushwa chini kwa hofu na kwa fedheha.

ISA 44:12 Removed trailing space in v~: Muhunzi huchukua kifaa

ISA 44:12 Removed trailing space in p~: na kukifanyia kazi kwenye makaa ya moto,

ISA 44:12 Removed trailing space in p~: hutengeneza sanamu kwa nyundo,

ISA 44:12 Removed trailing space in p~: huifanyiza kwa nguvu za mkono wake.

ISA 44:12 Removed trailing space in p~: Huona njaa na kupoteza nguvu zake,

ISA 44:12 Removed trailing space in p~: asipokunywa maji huzimia.

ISA 44:13 Removed trailing space in v~: Seremala hupima kwa kutumia kamba

ISA 44:13 Removed trailing space in p~: na huuchora mstari kwa kalamu;

ISA 44:13 Removed trailing space in p~: huchonga kwa patasi

ISA 44:13 Removed trailing space in p~: na kutia alama kwa bikari.

ISA 44:13 Removed trailing space in p~: Huifanyiza katika umbo la binadamu,

ISA 44:13 Removed trailing space in p~: la mwanadamu katika utukufu wake wote,

ISA 44:13 Removed trailing space in p~: ili iweze kukaa katika sehemu yake ya ibada ya miungu.

ISA 44:14 Removed trailing space in v~: Hukata miti ya mierezi,

ISA 44:14 Removed trailing space in p~: huchukua mtiriza au mwaloni.

ISA 44:14 Removed trailing space in p~: Huuacha ukue miongoni mwa miti ya msituni,

ISA 44:14 Removed trailing space in p~: au hupanda msunobari, nayo mvua huufanya ukue.

ISA 44:15 Removed trailing space in v~: Ni kuni ya binadamu:

ISA 44:15 Removed trailing space in p~: yeye huchukua baadhi yake na kuota moto,

ISA 44:15 Removed trailing space in p~: huwasha moto na kuoka mkate.

ISA 44:15 Removed trailing space in p~: Lakini pia huutumia kumtengeneza mungu na akamwabudu,

ISA 44:15 Removed trailing space in p~: huitengeneza sanamu na kuisujudia.

ISA 44:16 Removed trailing space in v~: Sehemu ya kuni huziweka motoni,

ISA 44:16 Removed trailing space in p~: akapikia chakula chake,

ISA 44:16 Removed trailing space in p~: hubanika nyama na kula hadi ashibe.

ISA 44:16 Removed trailing space in p~: Huota moto na kusema,

ISA 44:16 Removed trailing space in p~: “Aha! Ninahisi joto, ninaona moto.”

ISA 44:17 Removed trailing space in v~: Mabaki yake hutengeneza mungu, sanamu yake;

ISA 44:17 Removed trailing space in p~: yeye huisujudia na kuiabudu.

ISA 44:17 Removed trailing space in p~: Huiomba na kusema,

ISA 44:17 Removed trailing space in p~: “Niokoe; wewe ni mungu wangu.”

ISA 44:18 Removed trailing space in v~: Hawajui chochote, hawaelewi chochote,

ISA 44:18 Removed trailing space in p~: macho yao yamefungwa hata hawawezi kuona,

ISA 44:18 Removed trailing space in p~: akili zao zimefungwa hata hawawezi kufahamu.

ISA 44:19 Removed trailing space in v~: Hakuna anayefikiri,

ISA 44:19 Removed trailing space in p~: hakuna mwenye maarifa wala ufahamu wa kusema,

ISA 44:19 Removed trailing space in p~: “Sehemu yake nilitumia kwa kuni;

ISA 44:19 Removed trailing space in p~: hata pia nilioka mkate juu ya makaa yake,

ISA 44:19 Removed trailing space in p~: nikabanika nyama na kuila.

ISA 44:19 Removed trailing space in p~: Je, nifanye machukizo kwa kile kilichobaki?

ISA 44:19 Removed trailing space in p~: Je, nisujudie gogo la mti?”

ISA 44:20 Removed trailing space in v~: Hujilisha kwa majivu, moyo uliodanganyika humpotosha;

ISA 44:20 Removed trailing space in p~: hawezi kujiokoa mwenyewe, au kusema,

ISA 44:20 Removed trailing space in p~: “Je, kitu hiki kilichoko katika mkono wangu wa kuume si ni uongo?”

ISA 44:21 Removed trailing space in v~: “Ee Yakobo, kumbuka mambo haya,

ISA 44:21 Removed trailing space in p~: ee Israeli, kwa kuwa wewe ni mtumishi wangu.

ISA 44:21 Removed trailing space in p~: Nimekuumba wewe, wewe ni mtumishi wangu.

ISA 44:21 Removed trailing space in p~: Ee Israeli, sitakusahau.

ISA 44:22 Removed trailing space in v~: Nimeyafuta makosa yako kama wingu,

ISA 44:22 Removed trailing space in p~: dhambi zako kama ukungu wa asubuhi.

ISA 44:22 Removed trailing space in p~: Nirudie mimi,

ISA 44:22 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimekukomboa wewe.”

ISA 44:23 Removed trailing space in v~: Enyi mbingu, imbeni kwa furaha,

ISA 44:23 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* amefanya jambo hili.

ISA 44:23 Removed trailing space in p~: Ee vilindi vya dunia, piga kelele.

ISA 44:23 Removed trailing space in p~: Enyi milima, pazeni sauti kwa nyimbo,

ISA 44:23 Removed trailing space in p~: enyi misitu na miti yenu yote,

ISA 44:23 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* amemkomboa Yakobo,

ISA 44:23 Removed trailing space in p~: ameuonyesha utukufu wake katika Israeli.

ISA 44:23 Removed trailing space in s1: Yerusalemu Kukaliwa

ISA 44:24 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 44:24 Removed trailing space in p~: Mkombozi wako, aliyekuumba tumboni:

ISA 44:24 Removed trailing space in p~: “Mimi ni \nd Bwana\nd*,

ISA 44:24 Removed trailing space in p~: niliyeumba vitu vyote,

ISA 44:24 Removed trailing space in p~: niliyezitanda mbingu peke yangu,

ISA 44:24 Removed trailing space in p~: niliyeitandaza nchi mwenyewe,

ISA 44:25 Removed trailing space in v~: “mimi huzipinga ishara za manabii wa uongo,

ISA 44:25 Removed trailing space in p~: na kuwatia upumbavu waaguzi,

ISA 44:25 Removed trailing space in p~: niyapinduaye maarifa ya wenye hekima,

ISA 44:25 Removed trailing space in p~: na kuyafanya kuwa upuzi,

ISA 44:26 Removed trailing space in v~: niyathibitishaye maneno ya watumishi wake,

ISA 44:26 Removed trailing space in p~: na kutimiza utabiri wa wajumbe wake,

ISA 44:26 Removed trailing space in p~: “niambiaye Yerusalemu, ‘Itakaliwa na watu,’

ISA 44:26 Removed trailing space in p~: niambiaye miji ya Yuda kuwa, ‘Itajengwa,’

ISA 44:26 Removed trailing space in p~: na kuhusu magofu yake, ‘Mimi nitayatengeneza,’

ISA 44:27 Removed trailing space in v~: niambiaye kilindi cha maji, ‘Kauka,

ISA 44:27 Removed trailing space in p~: nami nitakausha vijito vyako,’

ISA 44:28 Removed trailing space in v~: nisemaye kuhusu Koreshi, ‘Yeye ni mchungaji wangu,

ISA 44:28 Removed trailing space in p~: naye atatimiza yote yanipendezayo;

ISA 44:28 Removed trailing space in p~: atauambia Yerusalemu, “Ukajengwe tena,”

ISA 44:28 Removed trailing space in p~: na kuhusu Hekalu, “Misingi yake na iwekwe.” ’

ISA 45:0 Extra space after chapter number

ISA 45:0 Removed trailing space in c: 45

ISA 45:0 Removed trailing space in s1: Koreshi Chombo Cha Mungu

ISA 45:1 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kwa mpakwa mafuta wake,

ISA 45:1 Removed trailing space in p~: Koreshi, ambaye nimemshika mkono wake wa kuume

ISA 45:1 Removed trailing space in p~: kutiisha mataifa mbele yake

ISA 45:1 Removed trailing space in p~: na kuwavua wafalme silaha zao,

ISA 45:1 Removed trailing space in p~: kufungua milango mbele yake

ISA 45:1 Removed trailing space in p~: ili malango yasije yakafungwa:

ISA 45:2 Removed trailing space in v~: Nitakwenda mbele yako

ISA 45:2 Removed trailing space in p~: na kusawazisha milima;

ISA 45:2 Removed trailing space in p~: nitavunjavunja malango ya shaba

ISA 45:2 Removed trailing space in p~: na kukatakata mapingo ya chuma.

ISA 45:3 Removed trailing space in v~: Nitakupa hazina za gizani,

ISA 45:3 Removed trailing space in p~: mali zilizofichwa mahali pa siri,

ISA 45:3 Removed trailing space in p~: ili upate kujua ya kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*,

ISA 45:3 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli, akuitaye kwa jina lako.

ISA 45:4 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya Yakobo mtumishi wangu,

ISA 45:4 Removed trailing space in p~: Israeli niliyemchagua,

ISA 45:4 Removed trailing space in p~: nimekuita wewe kwa jina lako,

ISA 45:4 Removed trailing space in p~: na kukupa jina la heshima,

ISA 45:4 Removed trailing space in p~: ingawa wewe hunitambui.

ISA 45:5 Removed trailing space in v~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, wala hakuna mwingine,

ISA 45:5 Removed trailing space in p~: zaidi yangu hakuna Mungu.

ISA 45:5 Removed trailing space in p~: Nitakutia nguvu,

ISA 45:5 Removed trailing space in p~: ingawa wewe hujanitambua,

ISA 45:6 Removed trailing space in v~: ili kutoka mawio ya jua

ISA 45:6 Removed trailing space in p~: mpaka machweo yake,

ISA 45:6 Removed trailing space in p~: watu wapate kujua kwamba hakuna Mungu mwingine ila Mimi.

ISA 45:6 Removed trailing space in p~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd* wala hakuna mwingine.

ISA 45:7 Removed trailing space in v~: Mimi ninaumba nuru na kuhuluku giza,

ISA 45:7 Removed trailing space in p~: ninaleta mafanikio na kusababisha maafa.

ISA 45:7 Removed trailing space in p~: Mimi, \nd Bwana\nd*, huyatenda haya yote.

ISA 45:8 Removed trailing space in v~: “Enyi mbingu juu, nyesheni haki,

ISA 45:8 Removed trailing space in p~: mawingu na yaidondoshe.

ISA 45:8 Removed trailing space in p~: Dunia na ifunguke sana,

ISA 45:8 Removed trailing space in p~: wokovu na uchipuke,

ISA 45:8 Removed trailing space in p~: haki na ikue pamoja nao.

ISA 45:8 Removed trailing space in p~: Mimi, \nd Bwana\nd*, ndiye niliyeiumba.

ISA 45:9 Removed trailing space in v~: “Ole wake yeye ashindanaye na Muumba wake,

ISA 45:9 Removed trailing space in p~: yeye ambaye ni kigae tu kati ya vigae juu ya ardhi.

ISA 45:9 Removed trailing space in p~: Je, udongo wa kufinyangia humwambia mfinyanzi,

ISA 45:9 Removed trailing space in p~: ‘Unatengeneza nini wewe?’

ISA 45:9 Removed trailing space in p~: Je, kazi yako husema,

ISA 45:9 Removed trailing space in p~: ‘Hana mikono’?

ISA 45:10 Removed trailing space in v~: Ole wake amwambiaye baba yake,

ISA 45:10 Removed trailing space in p~: ‘Umezaa nini?’

ISA 45:10 Removed trailing space in p~: Au kumwambia mama yake,

ISA 45:10 Removed trailing space in p~: ‘Umezaa kitu gani?’

ISA 45:11 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 45:11 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli na Muumba wake:

ISA 45:11 Removed trailing space in p~: Kuhusu mambo yatakayokuja,

ISA 45:11 Removed trailing space in p~: je, unaniuliza habari za watoto wangu,

ISA 45:11 Removed trailing space in p~: au kunipa amri kuhusu kazi za mikono yangu?

ISA 45:12 Removed trailing space in v~: Mimi ndiye niliyeumba dunia

ISA 45:12 Removed trailing space in p~: na kumuumba mwanadamu juu yake.

ISA 45:12 Removed trailing space in p~: Mikono yangu mwenyewe ndiyo iliyozitanda mbingu,

ISA 45:12 Removed trailing space in p~: nikayapanga majeshi yake yote ya angani.

ISA 45:13 Removed trailing space in v~: Mimi nitamwinua Koreshi katika haki yangu:

ISA 45:13 Removed trailing space in p~: nitazinyoosha njia zake zote.

ISA 45:13 Removed trailing space in p~: Yeye atajenga mji wangu upya,

ISA 45:13 Removed trailing space in p~: na kuwaweka huru watu wangu walio uhamishoni,

ISA 45:13 Removed trailing space in p~: lakini si kwa kulipiwa fedha wala kupewa zawadi,

ISA 45:13 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.”

ISA 45:14 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: “Mazao ya Misri na bidhaa za Kushi,

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: nao wale Waseba warefu,

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: watakujia na kuwa wako,

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: watakujia wakijikokota nyuma yako,

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: watakujia wamefungwa minyororo.

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: Watasujudu mbele yako

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: wakikusihi na kusema,

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: ‘Hakika Mungu yu pamoja nawe,

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: wala hakuna mwingine;

ISA 45:14 Removed trailing space in p~: hakuna Mungu mwingine.’ ”

ISA 45:15 Removed trailing space in v~: Hakika wewe u Mungu unayejificha,

ISA 45:15 Removed trailing space in p~: Ee Mungu na Mwokozi wa Israeli.

ISA 45:16 Removed trailing space in v~: Wote watengenezao sanamu wataaibika na kutahayarika;

ISA 45:16 Removed trailing space in p~: wataenda kutahayarika pamoja.

ISA 45:17 Removed trailing space in v~: Lakini Israeli ataokolewa na \nd Bwana\nd*

ISA 45:17 Removed trailing space in p~: kwa wokovu wa milele;

ISA 45:17 Removed trailing space in p~: kamwe hutaaibika wala kutatahayarika,

ISA 45:17 Removed trailing space in p~: milele yote.

ISA 45:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: yeye aliyeumba mbingu,

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: ndiye Mungu;

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: yeye aliyeifanya dunia na kuiumba,

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: yeye ndiye aliiwekea misingi imara,

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: hakuiumba ili iwe tupu,

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: bali aliiumba ikaliwe na viumbe vyake.

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: Anasema:

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*,

ISA 45:18 Removed trailing space in p~: wala hakuna mwingine.

ISA 45:19 Removed trailing space in v~: Sijasema sirini,

ISA 45:19 Removed trailing space in p~: kutoka mahali fulani katika nchi ya giza;

ISA 45:19 Removed trailing space in p~: sijawaambia wazao wa Yakobo,

ISA 45:19 Removed trailing space in p~: ‘Nitafuteni bure.’

ISA 45:19 Removed trailing space in p~: Mimi, \nd Bwana\nd*, nasema kweli;

ISA 45:19 Removed trailing space in p~: ninatangaza lililo sahihi.

ISA 45:20 Removed trailing space in v~: “Kusanyikeni pamoja mje,

ISA 45:20 Removed trailing space in p~: enyi wakimbizi kutoka mataifa.

ISA 45:20 Removed trailing space in p~: Wale wabebao sanamu za mti ni watu wasio na akili,

ISA 45:20 Removed trailing space in p~: wale waombao miungu isiyoweza kuokoa.

ISA 45:21 Removed trailing space in v~: Tangazeni litakalokuwepo, lisemeni hilo,

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: wao na wafanye shauri pamoja.

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: Ni nani aliyetangulia kusema hili tangu zamani,

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: aliyetangaza tangu zamani za kale?

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: Je, haikuwa Mimi, \nd Bwana\nd*?

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: Wala hapana Mungu mwingine

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: zaidi yangu mimi,

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: Mungu mwenye haki na Mwokozi;

ISA 45:21 Removed trailing space in p~: hapana mwingine ila mimi.

ISA 45:22 Removed trailing space in v~: “Nigeukieni mimi, nanyi mkaokolewe,

ISA 45:22 Removed trailing space in p~: enyi miisho yote ya dunia;

ISA 45:22 Removed trailing space in p~: kwa maana mimi ndimi Mungu,

ISA 45:22 Removed trailing space in p~: wala hapana mwingine.

ISA 45:23 Removed trailing space in v~: Nimeapa kwa nafsi yangu,

ISA 45:23 Removed trailing space in p~: kinywa changu kimenena katika uadilifu wote

ISA 45:23 Removed trailing space in p~: neno ambalo halitatanguka:

ISA 45:23 Removed trailing space in p~: Kila goti litapigwa mbele zangu,

ISA 45:23 Removed trailing space in p~: kwangu mimi kila ulimi utaapa.

ISA 45:24 Removed trailing space in v~: Watasema kuhusu mimi,

ISA 45:24 Removed trailing space in p~: ‘Katika \nd Bwana\nd* peke yake

ISA 45:24 Removed trailing space in p~: ndiko kuna haki na nguvu.’ ”

ISA 45:24 Removed trailing space in p~: Wote ambao wamemkasirikia Mungu

ISA 45:24 Removed trailing space in p~: watamjia yeye, nao watatahayarika.

ISA 45:25 Removed trailing space in v~: Lakini katika \nd Bwana\nd* wazao wote wa Israeli

ISA 45:25 Removed trailing space in p~: wataonekana wenye haki na watashangilia.

ISA 46:0 Extra space after chapter number

ISA 46:0 Removed trailing space in c: 46

ISA 46:0 Removed trailing space in s1: Miungu Ya Babeli

ISA 46:1 Removed trailing space in v~: Beli anasujudu hadi nchi, Nebo anainama;

ISA 46:1 Removed trailing space in p~: sanamu zao zabebwa na wanyama wa mizigo.

ISA 46:1 Removed trailing space in p~: Vinyago hivi mnavyobeba kila mahali ni mzigo wa kulemea,

ISA 46:1 Removed trailing space in p~: mzigo kwa waliochoka.

ISA 46:2 Removed trailing space in v~: Vinyago pamoja na wale wanaovibeba wanainama chini;

ISA 46:2 Removed trailing space in p~: hiyo miungu haiwezi kuwaokoa watu,

ISA 46:2 Removed trailing space in p~: wote wanakwenda utumwani pamoja.

ISA 46:3 Removed trailing space in v~: “Nisikilizeni mimi, ee nyumba ya Yakobo,

ISA 46:3 Removed trailing space in p~: ninyi nyote mliobaki wa nyumba ya Israeli,

ISA 46:3 Removed trailing space in p~: ninyi ambao nimewategemeza tangu mlipotungwa mimba,

ISA 46:3 Removed trailing space in p~: nami nimewabeba tangu kuzaliwa kwenu.

ISA 46:4 Removed trailing space in v~: Hata mpaka wakati wa uzee wenu na mvi, Mimi ndiye,

ISA 46:4 Removed trailing space in p~: Mimi ndiye nitakayewasaidia ninyi.

ISA 46:4 Removed trailing space in p~: Nimewahuluku, nami nitawabeba,

ISA 46:4 Removed trailing space in p~: nitawasaidia ninyi na kuwaokoa.

ISA 46:5 Removed trailing space in v~: “Mtanilinganisha na nani, au mtanihesabu kuwa sawa na nani?

ISA 46:5 Removed trailing space in p~: Ni nani mtakayenifananisha naye ili tuweze kulinganishwa?

ISA 46:6 Removed trailing space in v~: Wengine humwaga dhahabu kutoka kwenye mifuko yao,

ISA 46:6 Removed trailing space in p~: na kupima fedha kwenye mizani;

ISA 46:6 Removed trailing space in p~: huajiri mfua dhahabu kutengeneza mungu,

ISA 46:6 Removed trailing space in p~: kisha huisujudia na kuiabudu.

ISA 46:7 Removed trailing space in v~: Huiinua mabegani na kuichukua;

ISA 46:7 Removed trailing space in p~: huiweka mahali pake, papo hapo ndipo isimamapo.

ISA 46:7 Removed trailing space in p~: Wala haiwezi kusogea kutoka mahali pale.

ISA 46:7 Removed trailing space in p~: Ingawa mtu huililia, haimjibu;

ISA 46:7 Removed trailing space in p~: haiwezi kumwokoa kwenye taabu zake.

ISA 46:8 Removed trailing space in v~: “Kumbukeni hili, litieni akilini,

ISA 46:8 Removed trailing space in p~: liwekeni moyoni, enyi waasi.

ISA 46:9 Removed trailing space in v~: Kumbukeni mambo yaliyopita, yale ya zamani za kale;

ISA 46:9 Removed trailing space in p~: mimi ndimi Mungu, wala hakuna mwingine;

ISA 46:9 Removed trailing space in p~: mimi ndimi Mungu,

ISA 46:9 Removed trailing space in p~: wala hakuna mwingine aliye kama mimi.

ISA 46:10 Removed trailing space in v~: Ni mimi nitangazaye mwisho tangu mwanzo,

ISA 46:10 Removed trailing space in p~: naam, tangu zamani za kale,

ISA 46:10 Removed trailing space in p~: mambo ambayo hayajatendeka.

ISA 46:10 Removed trailing space in p~: Ninasema: Kusudi langu ndilo litakalosimama,

ISA 46:10 Removed trailing space in p~: nami nitatenda mapenzi yangu yote.

ISA 46:11 Removed trailing space in v~: Kutoka mashariki ninaita ndege awindaye;

ISA 46:11 Removed trailing space in p~: kutoka nchi ya mbali,

ISA 46:11 Removed trailing space in p~: mtu atakayetimiza kusudi langu.

ISA 46:11 Removed trailing space in p~: Lile ambalo nimelisema, ndilo nitakalolitimiza;

ISA 46:11 Removed trailing space in p~: lile nililolipanga, ndilo nitakalolitenda.

ISA 46:12 Removed trailing space in v~: Nisikilizeni, ninyi wenye mioyo migumu,

ISA 46:12 Removed trailing space in p~: ninyi mlio mbali na haki.

ISA 46:13 Removed trailing space in v~: Ninaleta haki yangu karibu,

ISA 46:13 Removed trailing space in p~: haiko mbali;

ISA 46:13 Removed trailing space in p~: wala wokovu wangu hautachelewa.

ISA 46:13 Removed trailing space in p~: Nitawapa Sayuni wokovu,

ISA 46:13 Removed trailing space in p~: Israeli utukufu wangu.

ISA 47:0 Extra space after chapter number

ISA 47:0 Removed trailing space in c: 47

ISA 47:0 Removed trailing space in s1: Anguko La Babeli

ISA 47:1 Removed trailing space in v~: “Shuka uketi mavumbini,

ISA 47:1 Removed trailing space in p~: ee Bikira Binti Babeli;

ISA 47:1 Removed trailing space in p~: keti chini pasipo na kiti cha enzi,

ISA 47:1 Removed trailing space in p~: ee binti wa Wakaldayo.

ISA 47:1 Removed trailing space in p~: Hutaitwa tena mwororo wala wa kupendeza.

ISA 47:2 Removed trailing space in v~: Chukua mawe ya kusagia, usage unga,

ISA 47:2 Removed trailing space in p~: vua shela yako.

ISA 47:2 Removed trailing space in p~: Pandisha mavazi yako, ondoa viatu vyako,

ISA 47:2 Removed trailing space in p~: vuka vijito kwa shida.

ISA 47:3 Removed trailing space in v~: Uchi wako utafunuliwa

ISA 47:3 Removed trailing space in p~: na aibu yako itaonekana.

ISA 47:3 Removed trailing space in p~: Nitalipa kisasi;

ISA 47:3 Removed trailing space in p~: sitamhurumia hata mmoja.”

ISA 47:4 Removed trailing space in v~: Mkombozi wetu: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake;

ISA 47:4 Removed trailing space in p~: ndiye yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 47:5 Removed trailing space in v~: “Keti kimya, ingia gizani,

ISA 47:5 Removed trailing space in p~: Binti wa Wakaldayo,

ISA 47:5 Removed trailing space in p~: hutaitwa tena malkia wa falme.

ISA 47:6 Removed trailing space in v~: Niliwakasirikia watu wangu

ISA 47:6 Removed trailing space in p~: na kuaibisha urithi wangu;

ISA 47:6 Removed trailing space in p~: niliwatia mikononi mwako,

ISA 47:6 Removed trailing space in p~: nawe hukuwaonea huruma.

ISA 47:6 Removed trailing space in p~: Hata juu ya wazee

ISA 47:6 Removed trailing space in p~: uliweka nira nzito sana.

ISA 47:7 Removed trailing space in v~: Ukasema, ‘Nitaendelea

ISA 47:7 Removed trailing space in p~: kuwa malkia milele!’

ISA 47:7 Removed trailing space in p~: Lakini hukutafakari mambo haya

ISA 47:7 Removed trailing space in p~: wala hukuwaza juu ya kile kingeweza kutokea.

ISA 47:8 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, sikiliza, ewe kiumbe mpenda anasa,

ISA 47:8 Removed trailing space in p~: ukaaye mahali pako pa salama,

ISA 47:8 Removed trailing space in p~: na kujiambia mwenyewe,

ISA 47:8 Removed trailing space in p~: ‘Mimi ndiye, wala hakuna mwingine zaidi yangu.

ISA 47:8 Removed trailing space in p~: Kamwe sitakuwa mjane,

ISA 47:8 Removed trailing space in p~: wala sitafiwa na watoto.’

ISA 47:9 Removed trailing space in v~: Haya mawili yatakupata, kufumba na kufumbua,

ISA 47:9 Removed trailing space in p~: katika siku moja:

ISA 47:9 Removed trailing space in p~: kufiwa na watoto, na ujane.

ISA 47:9 Removed trailing space in p~: Yote yatakupata kwa kipimo kikamilifu,

ISA 47:9 Removed trailing space in p~: ijapokuwa uchawi wako ni mwingi,

ISA 47:9 Removed trailing space in p~: na uaguzi wako ni mwingi.

ISA 47:10 Removed trailing space in v~: Umeutegemea uovu wako,

ISA 47:10 Removed trailing space in p~: nawe umesema, ‘Hakuna yeyote anionaye.’

ISA 47:10 Removed trailing space in p~: Hekima yako na maarifa yako vinakupoteza

ISA 47:10 Removed trailing space in p~: unapojiambia mwenyewe,

ISA 47:10 Removed trailing space in p~: ‘Mimi ndiye, wala hakuna mwingine zaidi yangu.’

ISA 47:11 Removed trailing space in v~: Maafa yatakujia,

ISA 47:11 Removed trailing space in p~: nawe hutaweza kuyaondoa kwa uaguzi.

ISA 47:11 Removed trailing space in p~: Janga litakuangukia,

ISA 47:11 Removed trailing space in p~: wala hutaweza kulikinga kwa fidia;

ISA 47:11 Removed trailing space in p~: msiba mkuu usioweza kuutabiri

ISA 47:11 Removed trailing space in p~: utakujia ghafula.

ISA 47:12 Removed trailing space in v~: “Endelea basi na uaguzi wako,

ISA 47:12 Removed trailing space in p~: na wingi wa uchawi wako,

ISA 47:12 Removed trailing space in p~: ambao umeutumikia tangu utoto wako.

ISA 47:12 Removed trailing space in p~: Labda utafanikiwa,

ISA 47:12 Removed trailing space in p~: labda unaweza ukasababisha hofu kuu.

ISA 47:13 Removed trailing space in v~: Ushauri wote uliopokea umekuchosha bure!

ISA 47:13 Removed trailing space in p~: Wanajimu wako na waje mbele,

ISA 47:13 Removed trailing space in p~: wale watazama nyota watabiriao mwezi baada ya mwezi,

ISA 47:13 Removed trailing space in p~: wao na wawaokoe na lile linalokuja juu yenu.

ISA 47:14 Removed trailing space in v~: Hakika wako kama mabua makavu;

ISA 47:14 Removed trailing space in p~: moto utawateketeza.

ISA 47:14 Removed trailing space in p~: Hawawezi hata kujiokoa wao wenyewe

ISA 47:14 Removed trailing space in p~: kutokana na nguvu za mwali wa moto.

ISA 47:14 Removed trailing space in p~: Hapa hakuna makaa ya kumtia mtu yeyote joto;

ISA 47:14 Removed trailing space in p~: hapa hakuna moto wa kuota.

ISA 47:15 Removed trailing space in v~: Hayo ndiyo yote wanayoweza kuwatendea ninyi,

ISA 47:15 Removed trailing space in p~: hawa ambao umetaabika nao

ISA 47:15 Removed trailing space in p~: na kufanya nao biashara tangu utoto.

ISA 47:15 Removed trailing space in p~: Kila mmoja atatoroka;

ISA 47:15 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote awezaye kukuokoa.

ISA 48:0 Extra space after chapter number

ISA 48:0 Removed trailing space in c: 48

ISA 48:0 Removed trailing space in s1: Israeli Mkaidi

ISA 48:1 Removed trailing space in v~: “Sikilizeni hili, ee nyumba ya Yakobo,

ISA 48:1 Removed trailing space in p~: ninyi mnaoitwa kwa jina la Israeli,

ISA 48:1 Removed trailing space in p~: na mnaotoka katika ukoo wa Yuda,

ISA 48:1 Removed trailing space in p~: ninyi mnaoapa kwa jina la \nd Bwana\nd*,

ISA 48:1 Removed trailing space in p~: mnaomwomba Mungu wa Israeli,

ISA 48:1 Removed trailing space in p~: lakini si katika kweli au kwa haki;

ISA 48:2 Removed trailing space in v~: ninyi mnaojiita raiya wa mji mtakatifu,

ISA 48:2 Removed trailing space in p~: na kumtegemea Mungu wa Israeli,

ISA 48:2 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake:

ISA 48:3 Removed trailing space in v~: Nilitoa unabii mambo ya kwanza tangu zamani,

ISA 48:3 Removed trailing space in p~: kinywa changu kiliyatangaza na kuyafanya yajulikane;

ISA 48:3 Removed trailing space in p~: kisha ghafula nikayatenda, nayo yakatokea.

ISA 48:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa nalijua jinsi ulivyokuwa mkaidi;

ISA 48:4 Removed trailing space in p~: mishipa ya shingo yako ilikuwa chuma,

ISA 48:4 Removed trailing space in p~: kipaji chako cha uso kilikuwa shaba.

ISA 48:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nilikuambia mambo haya tangu zamani,

ISA 48:5 Removed trailing space in p~: kabla hayajatokea nilikutangazia

ISA 48:5 Removed trailing space in p~: ili usije ukasema,

ISA 48:5 Removed trailing space in p~: ‘Sanamu zangu zilifanya hayo;

ISA 48:5 Removed trailing space in p~: kinyago changu cha mti na mungu wangu wa chuma aliyaamuru.’

ISA 48:6 Removed trailing space in v~: Umesikia mambo haya; yaangalie hayo yote.

ISA 48:6 Removed trailing space in p~: Je, hutayakubali?

ISA 48:6 Removed trailing space in p~: “Kuanzia sasa na kuendelea nitakueleza mambo mapya,

ISA 48:6 Removed trailing space in p~: juu ya mambo yaliyofichika usiyoyajua.

ISA 48:7 Removed trailing space in v~: Yameumbwa sasa, wala si tangu zamani;

ISA 48:7 Removed trailing space in p~: hukupata kuyasikia kabla ya siku ya leo.

ISA 48:7 Removed trailing space in p~: Hivyo huwezi kusema,

ISA 48:7 Removed trailing space in p~: ‘Naam, niliyajua hayo.’

ISA 48:8 Removed trailing space in v~: Hujayasikia wala kuyaelewa,

ISA 48:8 Removed trailing space in p~: tangu zamani sikio lako halikufunguka.

ISA 48:8 Removed trailing space in p~: Ninafahamu vyema jinsi ulivyo mdanganyifu,

ISA 48:8 Removed trailing space in p~: uliitwa mwasi tangu kuzaliwa kwako.

ISA 48:9 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya Jina langu mwenyewe

ISA 48:9 Removed trailing space in p~: ninaichelewesha ghadhabu yangu,

ISA 48:9 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya sifa zangu nimeizuia isikupate,

ISA 48:9 Removed trailing space in p~: ili nisije nikakukatilia mbali.

ISA 48:10 Removed trailing space in v~: Tazama, nimekusafisha, ingawa si kama fedha,

ISA 48:10 Removed trailing space in p~: nimekujaribu katika tanuru ya mateso.

ISA 48:11 Removed trailing space in v~: Kwa ajili yangu mwenyewe,

ISA 48:11 Removed trailing space in p~: kwa ajili yangu mwenyewe, nafanya hili.

ISA 48:11 Removed trailing space in p~: Jinsi gani niliache Jina langu lichafuliwe?

ISA 48:11 Removed trailing space in p~: Sitautoa utukufu wangu kwa mwingine.

ISA 48:11 Removed trailing space in s1: Israeli Anawekwa Huru

ISA 48:12 Removed trailing space in v~: “Ee Yakobo, nisikilize mimi,

ISA 48:12 Removed trailing space in p~: Israeli, ambaye nimekuita:

ISA 48:12 Removed trailing space in p~: Mimi ndiye;

ISA 48:12 Removed trailing space in p~: mimi ndimi mwanzo na mwisho.

ISA 48:13 Removed trailing space in v~: Mkono wangu mwenyewe uliweka misingi ya dunia,

ISA 48:13 Removed trailing space in p~: nao mkono wangu wa kuume umezitanda mbingu;

ISA 48:13 Removed trailing space in p~: niziitapo, zote husimama pamoja.

ISA 48:14 Removed trailing space in v~: “Kusanyikeni, ninyi nyote, msikilize:

ISA 48:14 Removed trailing space in p~: Ni ipi miongoni mwa hizo sanamu

ISA 48:14 Removed trailing space in p~: ambayo imetabiri vitu hivi?

ISA 48:14 Removed trailing space in p~: Watu wa \nd Bwana\nd* waliochaguliwa na kuungana

ISA 48:14 Removed trailing space in p~: watatimiza kusudi lake dhidi ya Babeli;

ISA 48:14 Removed trailing space in p~: mkono wa Mungu utakuwa dhidi ya Wakaldayo.

ISA 48:15 Removed trailing space in v~: Mimi, naam, Mimi, nimenena;

ISA 48:15 Removed trailing space in p~: naam, nimemwita yeye.

ISA 48:15 Removed trailing space in p~: Nitamleta,

ISA 48:15 Removed trailing space in p~: naye atafanikiwa katika lile nililomtuma.

ISA 48:16 Removed trailing space in v~: “Nikaribieni na msikilize hili:

ISA 48:16 Removed trailing space in p~: “Tangu tangazo la kwanza sikusema kwa siri;

ISA 48:16 Removed trailing space in p~: wakati litokeapo, nitakuwako hapo.”

ISA 48:16 Removed trailing space in p~: Sasa \nd Bwana\nd* Mwenyezi amenituma,

ISA 48:16 Removed trailing space in p~: kwa Roho wake.

ISA 48:17 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 48:17 Removed trailing space in p~: Mkombozi wako, yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli:

ISA 48:17 Removed trailing space in p~: “Mimi ni \nd Bwana\nd*, Mungu wako,

ISA 48:17 Removed trailing space in p~: nikufundishaye ili upate faida,

ISA 48:17 Removed trailing space in p~: nikuongozaye katika njia ikupasayo kuiendea.

ISA 48:18 Removed trailing space in v~: Laiti ungesikiliza kwa makini maagizo yangu,

ISA 48:18 Removed trailing space in p~: amani yako ingekuwa kama mto,

ISA 48:18 Removed trailing space in p~: haki yako kama mawimbi ya bahari.

ISA 48:19 Removed trailing space in v~: Wazao wako wangekuwa kama mchanga,

ISA 48:19 Removed trailing space in p~: watoto wako kama chembe zake zisizohesabika;

ISA 48:19 Removed trailing space in p~: kamwe jina lao lisingefutiliwa mbali,

ISA 48:19 Removed trailing space in p~: wala kuangamizwa kutoka mbele zangu.”

ISA 48:20 Removed trailing space in v~: Tokeni huko Babeli,

ISA 48:20 Removed trailing space in p~: kimbieni kutoka kwa Wakaldayo!

ISA 48:20 Removed trailing space in p~: Tangazeni hili kwa kelele za shangwe

ISA 48:20 Removed trailing space in p~: na kulihubiri.

ISA 48:20 Removed trailing space in p~: Lipelekeni mpaka miisho ya dunia;

ISA 48:20 Removed trailing space in p~: semeni, “\nd Bwana\nd* amemkomboa

ISA 48:20 Removed trailing space in p~: mtumishi wake Yakobo.”

ISA 48:21 Removed trailing space in v~: Hawakuona kiu alipowaongoza kupita jangwani;

ISA 48:21 Removed trailing space in p~: alifanya maji yatiririke kutoka kwenye mwamba kwa ajili yao;

ISA 48:21 Removed trailing space in p~: akapasua mwamba

ISA 48:21 Removed trailing space in p~: na maji yakatoka kwa nguvu.

ISA 48:22 Removed trailing space in v~: “Hakuna amani kwa waovu,” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 49:0 Extra space after chapter number

ISA 49:0 Removed trailing space in c: 49

ISA 49:0 Removed trailing space in s1: Mtumishi Wa \nd Bwana\nd*

ISA 49:1 Removed trailing space in v~: Nisikilizeni, enyi visiwa, sikieni hili,

ISA 49:1 Removed trailing space in p~: ninyi mataifa mlio mbali:

ISA 49:1 Removed trailing space in p~: Kabla sijazaliwa, \nd Bwana\nd* aliniita,

ISA 49:1 Removed trailing space in p~: tangu kuzaliwa kwangu, amelitaja jina langu.

ISA 49:2 Removed trailing space in v~: Akafanya kinywa changu kuwa kama upanga ulionolewa,

ISA 49:2 Removed trailing space in p~: katika uvuli wa mkono wake akanificha;

ISA 49:2 Removed trailing space in p~: akanifanya kuwa mshale uliosuguliwa,

ISA 49:2 Removed trailing space in p~: na kunificha katika podo lake.

ISA 49:3 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Wewe u mtumishi wangu,

ISA 49:3 Removed trailing space in p~: Israeli, ambaye katika yeye

ISA 49:3 Removed trailing space in p~: nitaonyesha utukufu wangu.”

ISA 49:4 Removed trailing space in v~: Lakini nilisema, “Nimetumika bure,

ISA 49:4 Removed trailing space in p~: nimetumia nguvu zangu bure bila faida.

ISA 49:4 Removed trailing space in p~: Hata hivyo linalonistahili liko mkononi mwa \nd Bwana\nd*,

ISA 49:4 Removed trailing space in p~: nao ujira wangu uko kwa Mungu wangu.”

ISA 49:5 Removed trailing space in v~: Sasa \nd Bwana\nd* asema:

ISA 49:5 Removed trailing space in p~: yeye aliyeniumba tumboni kuwa mtumishi wake,

ISA 49:5 Removed trailing space in p~: kumrudisha tena Yakobo kwake

ISA 49:5 Removed trailing space in p~: na kumkusanyia Israeli,

ISA 49:5 Removed trailing space in p~: kwa maana nimepata heshima machoni pa \nd Bwana\nd*,

ISA 49:5 Removed trailing space in p~: naye Mungu wangu amekuwa nguvu yangu;

ISA 49:6 Removed trailing space in v~: yeye asema:

ISA 49:6 Removed trailing space in p~: “Je, ni jambo dogo sana wewe kuwa mtumishi wangu

ISA 49:6 Removed trailing space in p~: ili kurejeza makabila ya Yakobo,

ISA 49:6 Removed trailing space in p~: na kuwarudisha wale Waisraeli niliowahifadhi?

ISA 49:6 Removed trailing space in p~: Pia nitakufanya uwe nuru kwa ajili ya watu wa Mataifa,

ISA 49:6 Removed trailing space in p~: ili upate kuleta wokovu wangu hata miisho ya dunia.”

ISA 49:7 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: yeye Mkombozi na Aliye Mtakatifu wa Israeli,

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: kwake yeye aliyedharauliwa na kuchukiwa na taifa,

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: kwa mtumishi wa watawala:

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: “Wafalme watakuona na kusimama,

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: wakuu wataona na kuanguka kifudifudi,

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya \nd Bwana\nd*, aliye mwaminifu,

ISA 49:7 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli, aliyekuchagua wewe.”

ISA 49:7 Removed trailing space in s1: Kurejezwa Kwa Israeli

ISA 49:8 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 49:8 Removed trailing space in p~: “Wakati wangu uliokubalika nitakujibu,

ISA 49:8 Removed trailing space in p~: nami katika siku ya wokovu nitakusaidia;

ISA 49:8 Removed trailing space in p~: nitakuhifadhi, nami nitakufanya

ISA 49:8 Removed trailing space in p~: kuwa agano kwa ajili ya watu,

ISA 49:8 Removed trailing space in p~: ili kurudisha nchi

ISA 49:8 Removed trailing space in p~: na kugawanyia urithi tena wale waliokuwa ukiwa,

ISA 49:9 Removed trailing space in v~: kuwaambia mateka, ‘Tokeni nje,’

ISA 49:9 Removed trailing space in p~: nao wale walio gizani, ‘Kuweni huru!’

ISA 49:9 Removed trailing space in p~: “Watajilisha kando ya barabara

ISA 49:9 Removed trailing space in p~: na kupata malisho yao juu ya kila kilima kilicho kitupu.

ISA 49:10 Removed trailing space in v~: Hawataona njaa wala kuona kiu,

ISA 49:10 Removed trailing space in p~: wala hari ya jangwani au jua halitawapiga.

ISA 49:10 Removed trailing space in p~: Yeye mwenye huruma juu yao atawaonyesha njia,

ISA 49:10 Removed trailing space in p~: na kuwaongoza kando ya chemchemi za maji.

ISA 49:11 Removed trailing space in v~: Nitaifanya milima yangu yote kuwa barabara,

ISA 49:11 Removed trailing space in p~: na njia kuu zangu zitainuliwa.

ISA 49:12 Removed trailing space in v~: Tazama, watakuja kutoka mbali:

ISA 49:12 Removed trailing space in p~: wengine kutoka kaskazini, wengine kutoka magharibi,

ISA 49:12 Removed trailing space in p~: wengine kutoka nchi ya Sinimu.”\f + \fr 49:12 \ft Sinimu hapa ina maana ya Aswani.\f*

ISA 49:13 Removed trailing space in v~: Pigeni kelele kwa furaha, enyi mbingu;

ISA 49:13 Removed trailing space in p~: furahi, ee dunia;

ISA 49:13 Removed trailing space in p~: pazeni sauti kwa kuimba, enyi milima!

ISA 49:13 Removed trailing space in p~: Kwa maana \nd Bwana\nd* anawafariji watu wake,

ISA 49:13 Removed trailing space in p~: naye atakuwa na huruma kwa watu wake walioumizwa.

ISA 49:14 Removed trailing space in v~: Lakini Sayuni alisema, “\nd Bwana\nd* ameniacha,

ISA 49:14 Removed trailing space in p~: Bwana amenisahau.”

ISA 49:15 Removed trailing space in v~: “Je, mama aweza kumsahau mtoto

ISA 49:15 Removed trailing space in p~: aliyeko matitini mwake akinyonya,

ISA 49:15 Removed trailing space in p~: wala asiwe na huruma

ISA 49:15 Removed trailing space in p~: juu ya mtoto aliyemzaa?

ISA 49:15 Removed trailing space in p~: Ingawa anaweza kusahau,

ISA 49:15 Removed trailing space in p~: mimi sitakusahau wewe!

ISA 49:16 Removed trailing space in v~: Tazama, nimekuchora kama muhuri

ISA 49:16 Removed trailing space in p~: katika vitanga vya mikono yangu,

ISA 49:16 Removed trailing space in p~: kuta zako zi mbele yangu daima.

ISA 49:17 Removed trailing space in v~: Wana wako wanaharakisha kurudi,

ISA 49:17 Removed trailing space in p~: nao wale waliokuteka wanaondoka kwako.

ISA 49:18 Removed trailing space in v~: Inua macho yako ukatazame pande zote:

ISA 49:18 Removed trailing space in p~: wana wako wote wanakusanyika na kukujia.

ISA 49:18 Removed trailing space in p~: Kwa hakika kama vile niishivyo,

ISA 49:18 Removed trailing space in p~: utawavaa wote kama mapambo,

ISA 49:18 Removed trailing space in p~: na kujifunga nao kama bibi arusi,”

ISA 49:18 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 49:19 Removed trailing space in v~: “Ingawa uliangamizwa na kufanywa ukiwa,

ISA 49:19 Removed trailing space in p~: na nchi yako ikaharibiwa,

ISA 49:19 Removed trailing space in p~: sasa nafasi itakuwa finyu kwa ajili ya watu wako,

ISA 49:19 Removed trailing space in p~: nao wale waliokuangamiza watakuwa mbali sana.

ISA 49:20 Removed trailing space in v~: Watoto waliozaliwa wakati wa msiba wako

ISA 49:20 Removed trailing space in p~: bado watakuambia,

ISA 49:20 Removed trailing space in p~: ‘Mahali hapa ni finyu sana kwetu,

ISA 49:20 Removed trailing space in p~: tupe eneo kubwa zaidi la kuishi.’

ISA 49:21 Removed trailing space in v~: Ndipo utasema moyoni mwako,

ISA 49:21 Removed trailing space in p~: ‘Ni nani aliyenizalia hawa?

ISA 49:21 Removed trailing space in p~: Nilikuwa nimefiwa, tena tasa;

ISA 49:21 Removed trailing space in p~: nilikuwa nimehamishwa na kukataliwa.

ISA 49:21 Removed trailing space in p~: Ni nani aliyewalea hawa?

ISA 49:21 Removed trailing space in p~: Niliachwa peke yangu,

ISA 49:21 Removed trailing space in p~: lakini hawa wametoka wapi?’ ”

ISA 49:22 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenyezi:

ISA 49:22 Removed trailing space in p~: “Tazama, nitawaashiria watu wa Mataifa,

ISA 49:22 Removed trailing space in p~: nitainua bendera yangu kwa mataifa;

ISA 49:22 Removed trailing space in p~: watawaleta wana wako mikononi yao,

ISA 49:22 Removed trailing space in p~: na kuwabeba binti zenu juu ya mabega yao.

ISA 49:23 Removed trailing space in v~: Wafalme watakuwa baba zenu wa kuwalea,

ISA 49:23 Removed trailing space in p~: na malkia wao watakuwa mama zenu wa kuwalea.

ISA 49:23 Removed trailing space in p~: Watasujudu mbele yako nyuso zao zikigusa ardhi;

ISA 49:23 Removed trailing space in p~: wataramba mavumbi yaliyo miguuni mwako.

ISA 49:23 Removed trailing space in p~: Ndipo utajua ya kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*;

ISA 49:23 Removed trailing space in p~: wale wanaonitumaini mimi hawataaibika.”

ISA 49:24 Removed trailing space in v~: Je, nyara zaweza kuchukuliwa kutoka kwa mashujaa wa vita,

ISA 49:24 Removed trailing space in p~: au mateka kuokolewa kutoka kwa watu wakali?

ISA 49:25 Removed trailing space in v~: Lakini hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 49:25 Removed trailing space in p~: “Naam, mateka watachukuliwa kutoka kwa mashujaa,

ISA 49:25 Removed trailing space in p~: na nyara zitapokonywa kutoka kwa watu wakali.

ISA 49:25 Removed trailing space in p~: Nitashindana na wale wanaoshindana nawe,

ISA 49:25 Removed trailing space in p~: nami nitawaokoa watoto wako.

ISA 49:26 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wale wanaokuonea kula nyama yao wenyewe,

ISA 49:26 Removed trailing space in p~: watalewa kwa damu yao wenyewe,

ISA 49:26 Removed trailing space in p~: kama vile kwa mvinyo.

ISA 49:26 Removed trailing space in p~: Ndipo wanadamu wote watajua

ISA 49:26 Removed trailing space in p~: ya kuwa Mimi, \nd Bwana\nd*, ni Mwokozi wako,

ISA 49:26 Removed trailing space in p~: Mkombozi wako, niliye Mwenye Nguvu wa Yakobo.”

ISA 50:0 Extra space after chapter number

ISA 50:0 Removed trailing space in c: 50

ISA 50:0 Removed trailing space in s1: Dhambi Ya Israeli Na Utii Wa Mtumishi

ISA 50:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 50:1 Removed trailing space in p~: “Iko wapi hati ya talaka ya mama yako

ISA 50:1 Removed trailing space in p~: ambayo kwayo niliachana naye?

ISA 50:1 Removed trailing space in p~: Au nimewauza ninyi kwa nani

ISA 50:1 Removed trailing space in p~: miongoni mwa watu wanaonidai?

ISA 50:1 Removed trailing space in p~: Kwa ajili ya dhambi zenu mliuzwa,

ISA 50:1 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya makosa, mama yenu aliachwa.

ISA 50:2 Removed trailing space in v~: Nilipokuja, kwa nini hakuwepo hata mmoja?

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: Nilipoita, kwa nini hakuwepo hata mmoja wa kujibu?

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: Je, mkono wangu ni mfupi mno hata nisiweze kuwakomboa?

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: Je, mimi sina nguvu za kukuokoa?

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: Kwa kukemea tu naikausha bahari,

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: naigeuza mito ya maji kuwa jangwa;

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: samaki wake wanaoza kwa kukosa maji

ISA 50:2 Removed trailing space in p~: na kufa kwa ajili ya kiu.

ISA 50:3 Removed trailing space in v~: Ninalivika anga weusi na kufanya nguo ya gunia

ISA 50:3 Removed trailing space in p~: kuwa kifuniko chake.”

ISA 50:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi amenipa ulimi uliofundishwa,

ISA 50:4 Removed trailing space in p~: ili kujua neno limtegemezalo aliyechoka.

ISA 50:4 Removed trailing space in p~: Huniamsha asubuhi kwa asubuhi,

ISA 50:4 Removed trailing space in p~: huamsha sikio langu lisikie kama mtu afundishwaye.

ISA 50:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi amezibua masikio yangu,

ISA 50:5 Removed trailing space in p~: nami sikuwa mwasi,

ISA 50:5 Removed trailing space in p~: wala sikurudi nyuma.

ISA 50:6 Removed trailing space in v~: Niliwapa mgongo wangu wale wanipigao,

ISA 50:6 Removed trailing space in p~: mashavu yangu wale wangʼoao ndevu zangu;

ISA 50:6 Removed trailing space in p~: sikuuficha uso wangu kutokana na fedheha

ISA 50:6 Removed trailing space in p~: na kutemewa mate.

ISA 50:7 Removed trailing space in v~: Kwa sababu \nd Bwana\nd* Mwenyezi ananisaidia,

ISA 50:7 Removed trailing space in p~: sitatahayarika.

ISA 50:7 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo nimekaza uso wangu kama jiwe la gumegume,

ISA 50:7 Removed trailing space in p~: nami ninajua sitaaibika.

ISA 50:8 Removed trailing space in v~: Yeye anipatiaye haki yangu yu karibu.

ISA 50:8 Removed trailing space in p~: Ni nani basi atakayeleta mashtaka dhidi yangu?

ISA 50:8 Removed trailing space in p~: Tukabiliane uso kwa uso!

ISA 50:8 Removed trailing space in p~: Mshtaki wangu ni nani?

ISA 50:8 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye mshtaki wangu?

ISA 50:9 Removed trailing space in v~: Ni \nd Bwana\nd* Mwenyezi anisaidiaye mimi.

ISA 50:9 Removed trailing space in p~: Ni nani huyo atakayenihukumu?

ISA 50:9 Removed trailing space in p~: Wote watachakaa kama vazi,

ISA 50:9 Removed trailing space in p~: nondo watawala wawamalize.

ISA 50:10 Removed trailing space in v~: Ni nani miongoni mwenu amchaye \nd Bwana\nd*,

ISA 50:10 Removed trailing space in p~: na kulitii neno la mtumishi wake?

ISA 50:10 Removed trailing space in p~: Yeye atembeaye gizani,

ISA 50:10 Removed trailing space in p~: yeye asiye na nuru,

ISA 50:10 Removed trailing space in p~: na alitumainie jina la \nd Bwana\nd*,

ISA 50:10 Removed trailing space in p~: na amtegemee Mungu wake.

ISA 50:11 Removed trailing space in v~: Lakini sasa, ninyi nyote mnaowasha mioto,

ISA 50:11 Removed trailing space in p~: na kupeana mienge iwakayo ninyi kwa ninyi,

ISA 50:11 Removed trailing space in p~: nendeni, tembeeni katika nuru ya moto wenu

ISA 50:11 Removed trailing space in p~: na ya mienge mliyoiwasha.

ISA 50:11 Removed trailing space in p~: Hili ndilo mtakalolipokea kutoka mkononi mwangu:

ISA 50:11 Removed trailing space in p~: Mtalala chini kwa mateso makali.

ISA 51:0 Extra space after chapter number

ISA 51:0 Removed trailing space in c: 51

ISA 51:0 Removed trailing space in s1: Wokovu Wa Milele Kwa Sayuni

ISA 51:1 Removed trailing space in v~: “Nisikilizeni, ninyi mnaofuatia haki

ISA 51:1 Removed trailing space in p~: na mnaomtafuta \nd Bwana\nd*:

ISA 51:1 Removed trailing space in p~: Tazameni mwamba ambako mlichongwa,

ISA 51:1 Removed trailing space in p~: na mahali pa kuvunjia mawe ambako mlichimbwa;

ISA 51:2 Removed trailing space in v~: mwangalieni Abrahamu, baba yenu,

ISA 51:2 Removed trailing space in p~: na Sara, ambaye aliwazaa.

ISA 51:2 Removed trailing space in p~: Wakati nilipomwita alikuwa mmoja tu,

ISA 51:2 Removed trailing space in p~: nami nikambariki na kumfanya kuwa wengi.

ISA 51:3 Removed trailing space in v~: Hakika \nd Bwana\nd* ataifariji Sayuni,

ISA 51:3 Removed trailing space in p~: naye atayaangalia kwa huruma magofu yake yote;

ISA 51:3 Removed trailing space in p~: atayafanya majangwa yake yawe kama Edeni,

ISA 51:3 Removed trailing space in p~: nazo sehemu zake zisizolimika ziwe kama bustani ya \nd Bwana\nd*.

ISA 51:3 Removed trailing space in p~: Shangwe na furaha zitakuwako ndani yake,

ISA 51:3 Removed trailing space in p~: shukrani na sauti za kuimba.

ISA 51:4 Removed trailing space in v~: “Nisikilizeni, watu wangu;

ISA 51:4 Removed trailing space in p~: nisikieni, taifa langu:

ISA 51:4 Removed trailing space in p~: Sheria itatoka kwangu;

ISA 51:4 Removed trailing space in p~: haki yangu itakuwa nuru kwa mataifa.

ISA 51:5 Removed trailing space in v~: Haki yangu inakaribia mbio,

ISA 51:5 Removed trailing space in p~: wokovu wangu unakuja,

ISA 51:5 Removed trailing space in p~: nao mkono wangu utaleta hukumu kwa mataifa.

ISA 51:5 Removed trailing space in p~: Visiwa vitanitegemea

ISA 51:5 Removed trailing space in p~: na kungojea mkono wangu kwa matumaini.

ISA 51:6 Removed trailing space in v~: Inueni macho yenu mbinguni,

ISA 51:6 Removed trailing space in p~: mkaitazame dunia chini;

ISA 51:6 Removed trailing space in p~: mbingu zitatoweka kama moshi,

ISA 51:6 Removed trailing space in p~: dunia itachakaa kama vazi,

ISA 51:6 Removed trailing space in p~: na wakazi wake kufa kama mainzi.

ISA 51:6 Removed trailing space in p~: Bali wokovu wangu utadumu milele,

ISA 51:6 Removed trailing space in p~: haki yangu haitakoma kamwe.

ISA 51:7 Removed trailing space in v~: “Nisikieni, ninyi mnaojua lililo sawa,

ISA 51:7 Removed trailing space in p~: ninyi watu ambao mna sheria yangu mioyoni mwenu:

ISA 51:7 Removed trailing space in p~: Msiogope mashutumu ya wanadamu

ISA 51:7 Removed trailing space in p~: wala msitiwe hofu na matukano yao.

ISA 51:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana nondo atawala kama vazi,

ISA 51:8 Removed trailing space in p~: nao funza atawatafuna kama sufu.

ISA 51:8 Removed trailing space in p~: Lakini haki yangu itadumu milele,

ISA 51:8 Removed trailing space in p~: wokovu wangu kwa vizazi vyote.”

ISA 51:9 Removed trailing space in v~: Amka, Amka! Jivike nguvu,

ISA 51:9 Removed trailing space in p~: ewe mkono wa \nd Bwana\nd*,

ISA 51:9 Removed trailing space in p~: Amka, kama siku zilizopita,

ISA 51:9 Removed trailing space in p~: kama vile vizazi vya zamani.

ISA 51:9 Removed trailing space in p~: Si ni wewe uliyemkata Rahabu vipande vipande,

ISA 51:9 Removed trailing space in p~: uliyemchoma yule joka?

ISA 51:10 Removed trailing space in v~: Si ni wewe uliyekausha bahari,

ISA 51:10 Removed trailing space in p~: maji ya kilindi kikuu,

ISA 51:10 Removed trailing space in p~: uliyefanya barabara katika vilindi vya bahari

ISA 51:10 Removed trailing space in p~: ili waliokombolewa wapate kuvuka?

ISA 51:11 Removed trailing space in v~: Wale waliolipiwa fidia na \nd Bwana\nd* watarudi.

ISA 51:11 Removed trailing space in p~: Wataingia Sayuni wakiimba;

ISA 51:11 Removed trailing space in p~: furaha ya milele itakuwa taji juu ya vichwa vyao.

ISA 51:11 Removed trailing space in p~: Furaha na shangwe zitawapata,

ISA 51:11 Removed trailing space in p~: huzuni na kulia kwa uchungu kutatoweka.

ISA 51:12 Removed trailing space in v~: “Mimi, naam mimi,

ISA 51:12 Removed trailing space in p~: ndimi niwafarijie ninyi.

ISA 51:12 Removed trailing space in p~: Ninyi ni nani hata kuwaogopa

ISA 51:12 Removed trailing space in p~: wanadamu wanaokufa,

ISA 51:12 Removed trailing space in p~: wanadamu ambao ni majani tu,

ISA 51:13 Removed trailing space in v~: kwamba mnamsahau \nd Bwana\nd* Muumba wenu,

ISA 51:13 Removed trailing space in p~: aliyezitanda mbingu

ISA 51:13 Removed trailing space in p~: na kuiweka misingi ya dunia,

ISA 51:13 Removed trailing space in p~: kwamba mnaishi katika hofu siku zote

ISA 51:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya ghadhabu ya mdhalimu,

ISA 51:13 Removed trailing space in p~: ambaye nia yake ni kuangamiza?

ISA 51:13 Removed trailing space in p~: Iko wapi basi ghadhabu ya mdhalimu?

ISA 51:14 Removed trailing space in v~: Wafungwa waliojikunyata kwa hofu

ISA 51:14 Removed trailing space in p~: watawekwa huru karibuni;

ISA 51:14 Removed trailing space in p~: hawatafia kwenye gereza lao,

ISA 51:14 Removed trailing space in p~: wala hawatakosa chakula.

ISA 51:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wako,

ISA 51:15 Removed trailing space in p~: ambaye huisukasuka bahari ili mawimbi yake yangurume:

ISA 51:15 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.

ISA 51:16 Removed trailing space in v~: Nimeweka maneno yangu kinywani mwako

ISA 51:16 Removed trailing space in p~: na kukufunika kwa uvuli wa mkono wangu:

ISA 51:16 Removed trailing space in p~: Mimi niliyeweka mbingu mahali pake,

ISA 51:16 Removed trailing space in p~: niliyeweka misingi ya dunia,

ISA 51:16 Removed trailing space in p~: niwaambiaye Sayuni,

ISA 51:16 Removed trailing space in p~: ‘Ninyi ni watu wangu.’ ”

ISA 51:16 Removed trailing space in s1: Kikombe Cha Ghadhabu Ya \nd Bwana\nd*

ISA 51:17 Removed trailing space in v~: Amka, amka!

ISA 51:17 Removed trailing space in p~: Simama, ee Yerusalemu,

ISA 51:17 Removed trailing space in p~: wewe uliyekunywa kutoka mkono wa \nd Bwana\nd*

ISA 51:17 Removed trailing space in p~: kikombe cha ghadhabu yake,

ISA 51:17 Removed trailing space in p~: wewe uliyekunywa mpaka kufikia machujo yake,

ISA 51:17 Removed trailing space in p~: kikombe kile cha kunywea

ISA 51:17 Removed trailing space in p~: kiwafanyacho watu kuyumbayumba.

ISA 51:18 Removed trailing space in v~: Kati ya wana wote aliowazaa

ISA 51:18 Removed trailing space in p~: hakuwepo hata mmoja wa kumwongoza,

ISA 51:18 Removed trailing space in p~: kati ya wana wote aliowalea

ISA 51:18 Removed trailing space in p~: hakuwepo hata mmoja wa kumshika mkono.

ISA 51:19 Removed trailing space in v~: Majanga haya mawili yamekuja juu yako:

ISA 51:19 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kukufariji?

ISA 51:19 Removed trailing space in p~: Maangamizi, uharibifu, njaa na upanga:

ISA 51:19 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kukutuliza?

ISA 51:20 Removed trailing space in v~: Wana wako wamezimia,

ISA 51:20 Removed trailing space in p~: wamelala kwenye mwanzo wa kila barabara,

ISA 51:20 Removed trailing space in p~: kama swala aliyenaswa kwenye wavu.

ISA 51:20 Removed trailing space in p~: Wamejazwa na ghadhabu ya \nd Bwana\nd*

ISA 51:20 Removed trailing space in p~: na makaripio ya Mungu wako.

ISA 51:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo sikiliza hili, wewe uliyeteswa,

ISA 51:21 Removed trailing space in p~: uliyelewa, lakini si kwa mvinyo.

ISA 51:22 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenyezi wako,

ISA 51:22 Removed trailing space in p~: Mungu wako, yeye ambaye huwatetea watu wake:

ISA 51:22 Removed trailing space in p~: “Tazama, nimeondoa mkononi mwako

ISA 51:22 Removed trailing space in p~: kikombe kilichokufanya uyumbayumbe;

ISA 51:22 Removed trailing space in p~: kutoka kikombe hicho,

ISA 51:22 Removed trailing space in p~: kikombe cha kunywa cha ghadhabu yangu,

ISA 51:22 Removed trailing space in p~: kamwe hutakunywa tena.

ISA 51:23 Removed trailing space in v~: Nitakiweka mikononi mwa watesi wako,

ISA 51:23 Removed trailing space in p~: wale waliokuambia,

ISA 51:23 Removed trailing space in p~: ‘Anguka kifudifudi

ISA 51:23 Removed trailing space in p~: ili tuweze kutembea juu yako.’

ISA 51:23 Removed trailing space in p~: Ukaufanya mgongo wako kama ardhi,

ISA 51:23 Removed trailing space in p~: kama njia yao ya kupita.”

ISA 52:0 Extra space after chapter number

ISA 52:0 Removed trailing space in c: 52

ISA 52:1 Removed trailing space in v~: Amka, amka, ee Sayuni,

ISA 52:1 Removed trailing space in p~: jivike nguvu.

ISA 52:1 Removed trailing space in p~: Vaa mavazi yako ya fahari,

ISA 52:1 Removed trailing space in p~: ee Yerusalemu, mji mtakatifu.

ISA 52:1 Removed trailing space in p~: Asiyetahiriwa na aliye najisi

ISA 52:1 Removed trailing space in p~: hataingia kwako tena.

ISA 52:2 Removed trailing space in v~: Jikungʼute mavumbi yako,

ISA 52:2 Removed trailing space in p~: inuka, uketi kwenye kiti cha enzi, ee Yerusalemu.

ISA 52:2 Removed trailing space in p~: Jifungue minyororo iliyo shingoni mwako,

ISA 52:2 Removed trailing space in p~: ee Binti Sayuni uliye mateka.

ISA 52:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 52:3 Removed trailing space in p~: “Mliuzwa pasipo malipo,

ISA 52:3 Removed trailing space in p~: nanyi mtakombolewa bila fedha.”

ISA 52:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenyezi:

ISA 52:4 Removed trailing space in p~: “Hapo kwanza watu wangu walishuka Misri kuishi,

ISA 52:4 Removed trailing space in p~: hatimaye, Ashuru wakawaonea.

ISA 52:5 Removed trailing space in v~: “Basi sasa nina nini hapa?” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 52:5 Removed trailing space in p~: “Kwa kuwa watu wangu wamechukuliwa pasipo malipo,

ISA 52:5 Removed trailing space in p~: nao wale wanaowatawala wanawadhihaki,”

ISA 52:5 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 52:5 Removed trailing space in p~: “Mchana kutwa

ISA 52:5 Removed trailing space in p~: jina langu limetukanwa bila kikomo.

ISA 52:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watu wangu watalijua Jina langu;

ISA 52:6 Removed trailing space in p~: kwa hiyo katika siku ile watajua

ISA 52:6 Removed trailing space in p~: kwamba ndimi niliyetangulia kulisema.

ISA 52:6 Removed trailing space in p~: Naam, ni mimi.”

ISA 52:7 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi miguu ya wale waletao habari njema

ISA 52:7 Removed trailing space in p~: ilivyo mizuri juu ya milima,

ISA 52:7 Removed trailing space in p~: wale wanaotangaza amani,

ISA 52:7 Removed trailing space in p~: wanaoleta habari njema,

ISA 52:7 Removed trailing space in p~: wanaotangaza wokovu,

ISA 52:7 Removed trailing space in p~: wauambiao Sayuni,

ISA 52:7 Removed trailing space in p~: “Mungu wako anatawala!”

ISA 52:8 Removed trailing space in v~: Sikiliza! Walinzi wako wanapaza sauti zao,

ISA 52:8 Removed trailing space in p~: pamoja wanapaza sauti zao kwa furaha.

ISA 52:8 Removed trailing space in p~: Wakati \nd Bwana\nd* atakaporejea Sayuni,

ISA 52:8 Removed trailing space in p~: wataliona kwa macho yao wenyewe.

ISA 52:9 Removed trailing space in v~: Pazeni sauti ya nyimbo za furaha pamoja,

ISA 52:9 Removed trailing space in p~: enyi magofu ya Yerusalemu,

ISA 52:9 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* amewafariji watu wake,

ISA 52:9 Removed trailing space in p~: ameikomboa Yerusalemu.

ISA 52:10 Removed trailing space in v~: Mkono mtakatifu wa \nd Bwana\nd* umefunuliwa

ISA 52:10 Removed trailing space in p~: machoni pa mataifa yote,

ISA 52:10 Removed trailing space in p~: nayo miisho yote ya dunia itaona

ISA 52:10 Removed trailing space in p~: wokovu wa Mungu wetu.

ISA 52:11 Removed trailing space in v~: Ondokeni, ondokeni, tokeni huko!

ISA 52:11 Removed trailing space in p~: Msiguse kitu chochote kilicho najisi!

ISA 52:11 Removed trailing space in p~: Tokeni kati yake mwe safi,

ISA 52:11 Removed trailing space in p~: ninyi mchukuao vyombo vya \nd Bwana\nd*.

ISA 52:12 Removed trailing space in v~: Lakini hamtaondoka kwa haraka,

ISA 52:12 Removed trailing space in p~: wala hamtakwenda kwa kukimbia;

ISA 52:12 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* atatangulia mbele yenu,

ISA 52:12 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli atakuwa mlinzi nyuma yenu.

ISA 52:12 Removed trailing space in s1: Mateso Na Utukufu Wa Mtumishi

ISA 52:13 Removed trailing space in v~: Tazama, mtumishi wangu atatenda kwa hekima;

ISA 52:13 Removed trailing space in p~: atatukuzwa, na kuinuliwa juu, na kukwezwa sana.

ISA 52:14 Removed trailing space in v~: Kama walivyokuwa wengi

ISA 52:14 Removed trailing space in p~: walioshangazwa naye,

ISA 52:14 Removed trailing space in p~: kwani uso wake ulikuwa umeharibiwa sana

ISA 52:14 Removed trailing space in p~: zaidi ya mtu yeyote

ISA 52:14 Removed trailing space in p~: na umbo lake kuharibiwa

ISA 52:14 Removed trailing space in p~: zaidi ya mfano wa mwanadamu:

ISA 52:15 Removed trailing space in v~: hivyo atayashangaza mataifa mengi,

ISA 52:15 Removed trailing space in p~: nao wafalme watafunga vinywa vyao kwa sababu yake.

ISA 52:15 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa yale ambayo hawakuambiwa, watayaona,

ISA 52:15 Removed trailing space in p~: nayo yale wasiyoyasikia, watayafahamu.

ISA 53:0 Extra space after chapter number

ISA 53:0 Removed trailing space in c: 53

ISA 53:1 Removed trailing space in v~: Ni nani aliyeamini ujumbe wetu,

ISA 53:1 Removed trailing space in p~: na mkono wa \nd Bwana\nd* umefunuliwa kwa nani?

ISA 53:2 Removed trailing space in v~: Alikua mbele yake kama mche mwororo

ISA 53:2 Removed trailing space in p~: na kama mzizi katika nchi kavu.

ISA 53:2 Removed trailing space in p~: Hakuwa na uzuri wala utukufu wa kutuvutia kwake,

ISA 53:2 Removed trailing space in p~: hakuwa na chochote katika sura yake cha kutufanya tumtamani.

ISA 53:3 Removed trailing space in v~: Alidharauliwa na kukataliwa na wanadamu,

ISA 53:3 Removed trailing space in p~: mtu wa huzuni nyingi, ajuaye mateso.

ISA 53:3 Removed trailing space in p~: Kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao,

ISA 53:3 Removed trailing space in p~: alidharauliwa, wala hatukumhesabu kuwa kitu.

ISA 53:4 Removed trailing space in v~: Hakika alichukua udhaifu wetu

ISA 53:4 Removed trailing space in p~: na akajitwika huzuni zetu,

ISA 53:4 Removed trailing space in p~: hata hivyo tulidhania kuwa amepigwa na Mungu,

ISA 53:4 Removed trailing space in p~: akapigwa sana naye, na kuteswa.

ISA 53:5 Removed trailing space in v~: Lakini alitobolewa kwa ajili ya makosa yetu,

ISA 53:5 Removed trailing space in p~: alichubuliwa kwa ajili ya maovu yetu;

ISA 53:5 Removed trailing space in p~: adhabu iliyotuletea sisi amani ilikuwa juu yake,

ISA 53:5 Removed trailing space in p~: na kwa majeraha yake sisi tumepona.

ISA 53:6 Removed trailing space in v~: Sisi sote, kama kondoo, tumepotea,

ISA 53:6 Removed trailing space in p~: kila mmoja wetu amegeukia njia yake mwenyewe,

ISA 53:6 Removed trailing space in p~: naye \nd Bwana\nd* aliweka juu yake

ISA 53:6 Removed trailing space in p~: maovu yetu sisi sote.

ISA 53:7 Removed trailing space in v~: Alionewa na kuteswa,

ISA 53:7 Removed trailing space in p~: hata hivyo hakufungua kinywa chake;

ISA 53:7 Removed trailing space in p~: aliongozwa kama mwana-kondoo

ISA 53:7 Removed trailing space in p~: apelekwaye machinjoni,

ISA 53:7 Removed trailing space in p~: kama vile kondoo anyamazavyo mbele ya wao wamkataye manyoya,

ISA 53:7 Removed trailing space in p~: hivyo hakufungua kinywa chake.

ISA 53:8 Removed trailing space in v~: Kwa kuonewa na kuhukumiwa aliondolewa.

ISA 53:8 Removed trailing space in p~: Nani awezaye kueleza kuhusu kizazi chake?

ISA 53:8 Removed trailing space in p~: Kwa maana alikatiliwa mbali na nchi ya walio hai,

ISA 53:8 Removed trailing space in p~: alipigwa kwa ajili ya makosa ya watu wangu.

ISA 53:9 Removed trailing space in v~: Wakamfanyia kaburi pamoja na waovu,

ISA 53:9 Removed trailing space in p~: pamoja na matajiri katika kifo chake,

ISA 53:9 Removed trailing space in p~: ingawa hakutenda jeuri,

ISA 53:9 Removed trailing space in p~: wala hapakuwa na hila kinywani mwake.

ISA 53:10 Removed trailing space in v~: Lakini yalikuwa ni mapenzi ya \nd Bwana\nd*

ISA 53:10 Removed trailing space in p~: kumchubua na kumsababisha ateseke.

ISA 53:10 Removed trailing space in p~: Ingawa \nd Bwana\nd* amefanya maisha yake

ISA 53:10 Removed trailing space in p~: kuwa sadaka ya hatia,

ISA 53:10 Removed trailing space in p~: ataona uzao wake na kuishi siku nyingi,

ISA 53:10 Removed trailing space in p~: nayo mapenzi ya \nd Bwana\nd* yatafanikiwa mkononi mwake.

ISA 53:11 Removed trailing space in v~: Baada ya maumivu ya nafsi yake,

ISA 53:11 Removed trailing space in p~: ataona nuru ya uzima na kuridhika;

ISA 53:11 Removed trailing space in p~: kwa maarifa yake, mtumishi wangu mwenye haki

ISA 53:11 Removed trailing space in p~: atawafanya wengi kuwa wenye haki,

ISA 53:11 Removed trailing space in p~: naye atayachukua maovu yao.

ISA 53:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitamgawia sehemu miongoni mwa wakuu,

ISA 53:12 Removed trailing space in p~: naye atagawana nyara pamoja na wenye nguvu,

ISA 53:12 Removed trailing space in p~: kwa sababu aliyamimina maisha yake hadi mauti,

ISA 53:12 Removed trailing space in p~: naye alihesabiwa pamoja na wakosaji.

ISA 53:12 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa alichukua dhambi za wengi,

ISA 53:12 Removed trailing space in p~: na kuwaombea wakosaji.

ISA 54:0 Extra space after chapter number

ISA 54:0 Removed trailing space in c: 54

ISA 54:0 Removed trailing space in s1: Utukufu Wa Baadaye Wa Sayuni

ISA 54:1 Removed trailing space in v~: “Imba, ewe mwanamke tasa,

ISA 54:1 Removed trailing space in p~: wewe ambaye kamwe hukuzaa mtoto;

ISA 54:1 Removed trailing space in p~: paza sauti kwa kuimba, piga kelele kwa furaha,

ISA 54:1 Removed trailing space in p~: wewe ambaye kamwe hukupata utungu;

ISA 54:1 Removed trailing space in p~: kwa sababu watoto wa mwanamke aliyeachwa ukiwa ni wengi

ISA 54:1 Removed trailing space in p~: kuliko wa mwanamke mwenye mume,”

ISA 54:1 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 54:2 Removed trailing space in v~: “Panua mahali pa hema lako,

ISA 54:2 Removed trailing space in p~: tandaza mapazia ya hema lako uyaeneze mbali,

ISA 54:2 Removed trailing space in p~: wala usiyazuie;

ISA 54:2 Removed trailing space in p~: ongeza urefu wa kamba zako,

ISA 54:2 Removed trailing space in p~: imarisha vigingi vyako.

ISA 54:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana utaenea upande wa kuume

ISA 54:3 Removed trailing space in p~: na upande wa kushoto;

ISA 54:3 Removed trailing space in p~: wazao wako watayamiliki mataifa

ISA 54:3 Removed trailing space in p~: na kukaa katika miji yao iliyoachwa ukiwa.

ISA 54:4 Removed trailing space in v~: “Usiogope, wewe hutaaibika.

ISA 54:4 Removed trailing space in p~: Usiogope aibu, wewe hutaaibishwa.

ISA 54:4 Removed trailing space in p~: Wewe utasahau aibu ya ujana wako,

ISA 54:4 Removed trailing space in p~: wala hutakumbuka tena mashutumu ya ujane wako.

ISA 54:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana Muumba wako ndiye mume wako,

ISA 54:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake,

ISA 54:5 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli ni Mkombozi wako,

ISA 54:5 Removed trailing space in p~: yeye anaitwa Mungu wa dunia yote.

ISA 54:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakuita urudi

ISA 54:6 Removed trailing space in p~: kana kwamba ulikuwa mke aliyeachwa na kuhuzunishwa rohoni;

ISA 54:6 Removed trailing space in p~: kama mke aliyeolewa bado angali kijana

ISA 54:6 Removed trailing space in p~: na kukataliwa,” asema Mungu wako.

ISA 54:7 Removed trailing space in v~: “Kwa kitambo kidogo nilikuacha,

ISA 54:7 Removed trailing space in p~: lakini kwa huruma nyingi nitakurudisha.

ISA 54:8 Removed trailing space in v~: Katika ukali wa hasira

ISA 54:8 Removed trailing space in p~: nilikuficha uso wangu kwa kitambo,

ISA 54:8 Removed trailing space in p~: lakini kwa fadhili za milele

ISA 54:8 Removed trailing space in p~: nitakuwa na huruma juu yako,”

ISA 54:8 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mkombozi wako.

ISA 54:9 Removed trailing space in v~: “Kwangu mimi jambo hili ni kama siku za Noa,

ISA 54:9 Removed trailing space in p~: nilipoapa kuwa maji ya Noa kamwe hayatafunika tena dunia.

ISA 54:9 Removed trailing space in p~: Hivyo sasa nimeapa sitawakasirikia ninyi,

ISA 54:9 Removed trailing space in p~: kamwe sitawakemea tena.

ISA 54:10 Removed trailing space in v~: Ijapotikisika milima, na vilima viondolewe,

ISA 54:10 Removed trailing space in p~: hata hivyo upendo wangu usiokoma kwenu hautatikisika,

ISA 54:10 Removed trailing space in p~: wala agano langu la amani halitaondolewa,”

ISA 54:10 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*, mwenye huruma juu yenu.

ISA 54:11 Removed trailing space in v~: “Ewe mji uliyeteswa, uliyepigwa kwa dhoruba na usiyetulizwa,

ISA 54:11 Removed trailing space in p~: nitakujenga kwa almasi, nitaweka misingi yako kwa yakuti samawi.

ISA 54:12 Removed trailing space in v~: Nitafanya minara yako ya akiki,

ISA 54:12 Removed trailing space in p~: malango yako kwa vito vingʼaavyo,

ISA 54:12 Removed trailing space in p~: nazo kuta zako zote za vito vya thamani.

ISA 54:13 Removed trailing space in v~: Watoto wako wote watafundishwa na \nd Bwana\nd*,

ISA 54:13 Removed trailing space in p~: nayo amani ya watoto wako itakuwa kuu.

ISA 54:14 Removed trailing space in v~: Kwa haki utathibitika:

ISA 54:14 Removed trailing space in p~: Kuonewa kutakuwa mbali nawe;

ISA 54:14 Removed trailing space in p~: hutaogopa chochote.

ISA 54:14 Removed trailing space in p~: Hofu itakuwa mbali nawe;

ISA 54:14 Removed trailing space in p~: haitakukaribia wewe.

ISA 54:15 Removed trailing space in v~: Kama mtu yeyote akikushambulia,

ISA 54:15 Removed trailing space in p~: haitakuwa kwa ruhusa yangu;

ISA 54:15 Removed trailing space in p~: yeyote akushambuliaye

ISA 54:15 Removed trailing space in p~: atajisalimisha kwako.

ISA 54:16 Removed trailing space in v~: “Tazama, ni mimi niliyemuumba mhunzi,

ISA 54:16 Removed trailing space in p~: yeye afukutaye makaa kuwa moto,

ISA 54:16 Removed trailing space in p~: na kutengeneza silaha inayofaa kwa kazi yake.

ISA 54:16 Removed trailing space in p~: Tena ni mimi niliyemwambia mharabu

ISA 54:16 Removed trailing space in p~: kufanya uharibifu mwingi.

ISA 54:17 Removed trailing space in v~: Hakuna silaha itakayofanyizwa dhidi yako

ISA 54:17 Removed trailing space in p~: itakayofanikiwa,

ISA 54:17 Removed trailing space in p~: nawe utauthibitisha kuwa mwongo

ISA 54:17 Removed trailing space in p~: kila ulimi utakaokushtaki.

ISA 54:17 Removed trailing space in p~: Huu ndio urithi wa watumishi wa \nd Bwana\nd*

ISA 54:17 Removed trailing space in p~: na hii ndiyo haki yao itokayo kwangu,”

ISA 54:17 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 55:0 Extra space after chapter number

ISA 55:0 Removed trailing space in c: 55

ISA 55:0 Removed trailing space in s1: Mwaliko Kwa Wenye Kiu

ISA 55:1 Removed trailing space in v~: “Njooni, ninyi nyote wenye kiu,

ISA 55:1 Removed trailing space in p~: njooni kwenye maji;

ISA 55:1 Removed trailing space in p~: nanyi ambao hamna fedha,

ISA 55:1 Removed trailing space in p~: njooni, nunueni na mle!

ISA 55:1 Removed trailing space in p~: Njooni, nunueni divai na maziwa

ISA 55:1 Removed trailing space in p~: bila fedha na bila gharama.

ISA 55:2 Removed trailing space in v~: Kwa nini kutumia fedha kwa kitu ambacho si chakula,

ISA 55:2 Removed trailing space in p~: na kutaabikia kitu kisichoshibisha?

ISA 55:2 Removed trailing space in p~: Sikilizeni, nisikilizeni mimi na mle kilicho kizuri,

ISA 55:2 Removed trailing space in p~: nazo nafsi zenu zitafurahia utajiri wa unono.

ISA 55:3 Removed trailing space in v~: Tegeni sikio mje kwangu,

ISA 55:3 Removed trailing space in p~: nisikieni mimi, ili nafsi zenu zipate kuishi.

ISA 55:3 Removed trailing space in p~: Nitafanya agano la milele nanyi,

ISA 55:3 Removed trailing space in p~: pendo la uaminifu nililomwahidi Daudi.

ISA 55:4 Removed trailing space in v~: Tazama, nimemfanya kuwa shahidi wa mataifa,

ISA 55:4 Removed trailing space in p~: kiongozi na jemadari wa mataifa.

ISA 55:5 Removed trailing space in v~: Hakika utaita mataifa usiyoyajua,

ISA 55:5 Removed trailing space in p~: nayo mataifa yale yasiyokujua yataharakisha kukujia,

ISA 55:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya \nd Bwana\nd* Mungu wako,

ISA 55:5 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli,

ISA 55:5 Removed trailing space in p~: kwa maana amekutukuza.”

ISA 55:6 Removed trailing space in v~: Mtafuteni \nd Bwana\nd* maadamu anapatikana;

ISA 55:6 Removed trailing space in p~: mwiteni maadamu yu karibu.

ISA 55:7 Removed trailing space in v~: Mtu mwovu na aiache njia yake,

ISA 55:7 Removed trailing space in p~: na mtu mbaya na ayaache mawazo yake.

ISA 55:7 Removed trailing space in p~: Yeye na amrudie \nd Bwana\nd*, naye atamrehemu,

ISA 55:7 Removed trailing space in p~: arudi kwa Mungu wetu, kwa kuwa atamsamehe bure kabisa.

ISA 55:8 Removed trailing space in v~: “Kwa kuwa mawazo yangu si mawazo yenu,

ISA 55:8 Removed trailing space in p~: wala njia zenu si njia zangu,”

ISA 55:8 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 55:9 Removed trailing space in v~: “Kama vile mbingu zilivyo juu kuliko dunia,

ISA 55:9 Removed trailing space in p~: ndivyo njia zangu zilivyo juu kuliko njia zenu

ISA 55:9 Removed trailing space in p~: na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

ISA 55:10 Removed trailing space in v~: Kama vile mvua na theluji

ISA 55:10 Removed trailing space in p~: ishukavyo kutoka mbinguni,

ISA 55:10 Removed trailing space in p~: nayo hairudi tena huko

ISA 55:10 Removed trailing space in p~: bila kunywesha dunia

ISA 55:10 Removed trailing space in p~: na kuichipusha na kuistawisha,

ISA 55:10 Removed trailing space in p~: hivyo hutoa mbegu kwa mpanzi

ISA 55:10 Removed trailing space in p~: na mkate kwa mlaji,

ISA 55:11 Removed trailing space in v~: ndivyo lilivyo neno langu lile litokalo kinywani mwangu:

ISA 55:11 Removed trailing space in p~: Halitanirudia tupu,

ISA 55:11 Removed trailing space in p~: bali litatimiliza lile nililokusudia

ISA 55:11 Removed trailing space in p~: na litafanikiwa katika kusudi lile nililolituma.

ISA 55:12 Removed trailing space in v~: Mtatoka nje kwa furaha

ISA 55:12 Removed trailing space in p~: na kuongozwa kwa amani;

ISA 55:12 Removed trailing space in p~: milima na vilima

ISA 55:12 Removed trailing space in p~: vitapaza sauti kwa nyimbo mbele yenu,

ISA 55:12 Removed trailing space in p~: nayo miti yote ya shambani

ISA 55:12 Removed trailing space in p~: itapiga makofi.

ISA 55:13 Removed trailing space in v~: Badala ya kichaka cha miiba

ISA 55:13 Removed trailing space in p~: itaota miti ya misunobari,

ISA 55:13 Removed trailing space in p~: na badala ya michongoma

ISA 55:13 Removed trailing space in p~: utaota mhadasi.\f + \fr 55:13 \ft Mhadasi ni aina ya mti ambao huota milimani karibu na Yerusalemu, hutoa harufu nzuri itumikayo kutengeneza manukato; kwa Kiebrania ni “hadas”, na ilikuwa inatumika kujenga vibanda wakati wa Sikukuu ya Vibanda (ona pia \+xt Neh 8:15\+xt*).\f*

ISA 55:13 Found unexpected backslash in footnote: 55:13 Mhadasi ni aina ya mti ambao huota milimani karibu na Yerusalemu, hutoa harufu nzuri itumikayo kutengeneza manukato; kwa Kiebrania ni “hadas”, na ilikuwa inatumika kujenga vibanda wakati wa Sikukuu ya Vibanda (ona pia \+xt Neh 8:15\+xt*).

ISA 55:13 Removed trailing space in p~: Hili litakuwa jambo la kumpatia \nd Bwana\nd* jina,

ISA 55:13 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya ishara ya milele,

ISA 55:13 Removed trailing space in p~: ambayo haitaharibiwa.”

ISA 56:0 Extra space after chapter number

ISA 56:0 Removed trailing space in c: 56

ISA 56:0 Removed trailing space in s1: Wokovu Kwa Ajili Ya Wengine

ISA 56:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 56:1 Removed trailing space in p~: “Dumisheni haki

ISA 56:1 Removed trailing space in p~: na mkatende lile lililo sawa,

ISA 56:1 Removed trailing space in p~: kwa maana wokovu wangu u karibu

ISA 56:1 Removed trailing space in p~: na haki yangu itafunuliwa upesi.

ISA 56:2 Removed trailing space in v~: Amebarikiwa mtu yule atendaye hili,

ISA 56:2 Removed trailing space in p~: mtu yule alishikaye kwa uthabiti,

ISA 56:2 Removed trailing space in p~: yeye ashikaye Sabato bila kuinajisi,

ISA 56:2 Removed trailing space in p~: auzuiaye mkono wake usifanye uovu wowote.”

ISA 56:3 Removed trailing space in v~: Usimwache mgeni aambatanaye na \nd Bwana\nd* aseme,

ISA 56:3 Removed trailing space in p~: “Hakika \nd Bwana\nd* atanitenga na watu wake.”

ISA 56:3 Removed trailing space in p~: Usimwache towashi yeyote alalamike akisema,

ISA 56:3 Removed trailing space in p~: “Mimi ni mti mkavu tu.”

ISA 56:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 56:4 Removed trailing space in p~: “Kwa matowashi washikao Sabato zangu,

ISA 56:4 Removed trailing space in p~: ambao huchagua kile kinachonipendeza

ISA 56:4 Removed trailing space in p~: na kulishika sana agano langu:

ISA 56:5 Removed trailing space in v~: hao nitawapa ndani ya Hekalu langu na kuta zake

ISA 56:5 Removed trailing space in p~: kumbukumbu na jina bora

ISA 56:5 Removed trailing space in p~: kuliko kuwa na watoto wa kiume na wa kike:

ISA 56:5 Removed trailing space in p~: nitawapa jina lidumulo milele,

ISA 56:5 Removed trailing space in p~: ambalo halitakatiliwa mbali.

ISA 56:6 Removed trailing space in v~: Wageni wanaoambatana na \nd Bwana\nd*

ISA 56:6 Removed trailing space in p~: ili kumtumikia,

ISA 56:6 Removed trailing space in p~: kulipenda jina la \nd Bwana\nd*,

ISA 56:6 Removed trailing space in p~: na kumwabudu yeye,

ISA 56:6 Removed trailing space in p~: wote washikao Sabato bila kuinajisi

ISA 56:6 Removed trailing space in p~: na ambao hushika sana agano langu:

ISA 56:7 Removed trailing space in v~: hawa nitawaleta kwenye mlima wangu mtakatifu

ISA 56:7 Removed trailing space in p~: na kuwapa furaha ndani ya nyumba yangu ya sala.

ISA 56:7 Removed trailing space in p~: Sadaka zao za kuteketeza na dhabihu zao

ISA 56:7 Removed trailing space in p~: zitakubalika juu ya madhabahu yangu;

ISA 56:7 Removed trailing space in p~: kwa maana nyumba yangu itaitwa

ISA 56:7 Removed trailing space in p~: nyumba ya sala kwa mataifa yote.”

ISA 56:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi asema, yeye awakusanyaye

ISA 56:8 Removed trailing space in p~: Waisraeli waliohamishwa:

ISA 56:8 Removed trailing space in p~: “Bado nitawakusanya wengine kwao

ISA 56:8 Removed trailing space in p~: zaidi ya hao ambao wamekusanywa tayari.”

ISA 56:8 Removed trailing space in s1: Mashtaka Ya Mungu Dhidi Ya Waovu

ISA 56:9 Removed trailing space in v~: Njooni, enyi wanyama wote wa kondeni,

ISA 56:9 Removed trailing space in p~: njooni mle, ninyi wanyama wote wa mwituni!

ISA 56:10 Removed trailing space in v~: Walinzi wa Israeli ni vipofu,

ISA 56:10 Removed trailing space in p~: wote wamepungukiwa na maarifa;

ISA 56:10 Removed trailing space in p~: wote ni mbwa walio bubu,

ISA 56:10 Removed trailing space in p~: hawawezi kubweka;

ISA 56:10 Removed trailing space in p~: hulala na kuota ndoto,

ISA 56:10 Removed trailing space in p~: hupenda kulala.

ISA 56:11 Removed trailing space in v~: Ni mbwa wenye tamaa kubwa,

ISA 56:11 Removed trailing space in p~: kamwe hawatosheki.

ISA 56:11 Removed trailing space in p~: Wao ni wachungaji waliopungukiwa na ufahamu;

ISA 56:11 Removed trailing space in p~: wote wamegeukia njia yao wenyewe,

ISA 56:11 Removed trailing space in p~: kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.

ISA 56:12 Removed trailing space in v~: Kila mmoja hulia, “Njooni, tupate mvinyo!

ISA 56:12 Removed trailing space in p~: Tunywe kileo sana!

ISA 56:12 Removed trailing space in p~: Kesho itakuwa kama leo,

ISA 56:12 Removed trailing space in p~: au hata bora zaidi.”

ISA 57:0 Extra space after chapter number

ISA 57:0 Removed trailing space in c: 57

ISA 57:0 Removed trailing space in s1: Ibada Ya Sanamu Ya Israeli Iliyo Batili

ISA 57:1 Removed trailing space in v~: Mwenye haki hupotea,

ISA 57:1 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja awazaye hilo moyoni mwake;

ISA 57:1 Removed trailing space in p~: watu wanaomcha Mungu huondolewa,

ISA 57:1 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja anayeelewa

ISA 57:1 Removed trailing space in p~: kuwa wenye haki wameondolewa

ISA 57:1 Removed trailing space in p~: ili wasipatikane na maovu.

ISA 57:2 Removed trailing space in v~: Wale waendao kwa unyofu

ISA 57:2 Removed trailing space in p~: huwa na amani;

ISA 57:2 Removed trailing space in p~: hupata pumziko walalapo mautini.

ISA 57:3 Removed trailing space in v~: “Lakini ninyi:

ISA 57:3 Removed trailing space in p~: Njooni hapa, ninyi wana wa wachawi,

ISA 57:3 Removed trailing space in p~: ninyi wazao wa wazinzi na makahaba!

ISA 57:4 Removed trailing space in v~: Mnamdhihaki nani?

ISA 57:4 Removed trailing space in p~: Ni nani mnayemcheka kwa dharau,

ISA 57:4 Removed trailing space in p~: na kumtolea ndimi zenu?

ISA 57:4 Removed trailing space in p~: Je, ninyi si watoto wa waasi,

ISA 57:4 Removed trailing space in p~: uzao wa waongo?

ISA 57:5 Removed trailing space in v~: Mnawaka tamaa katikati ya mialoni

ISA 57:5 Removed trailing space in p~: na chini ya kila mti uliotanda matawi;

ISA 57:5 Removed trailing space in p~: mnawatoa kafara watoto wenu kwenye mabonde

ISA 57:5 Removed trailing space in p~: na chini ya majabali yenye mianya.

ISA 57:6 Removed trailing space in v~: “Sanamu zilizo katikati ya mawe laini ya mabondeni ndizo fungu lenu;

ISA 57:6 Removed trailing space in p~: hizo ndizo sehemu yenu.

ISA 57:6 Removed trailing space in p~: Naam, kwa hizo mmemimina sadaka za vinywaji,

ISA 57:6 Removed trailing space in p~: na kutoa sadaka za nafaka.

ISA 57:6 Removed trailing space in p~: Katika haya yote,

ISA 57:6 Removed trailing space in p~: niendelee kuona huruma?

ISA 57:7 Removed trailing space in v~: Umeweka kitanda chako juu kwenye kilima kirefu kilichoinuka,

ISA 57:7 Removed trailing space in p~: huko ulikwenda kutoa dhabihu zako.

ISA 57:8 Removed trailing space in v~: Nyuma ya milango yako na miimo yako

ISA 57:8 Removed trailing space in p~: umeweka alama zako za kipagani.

ISA 57:8 Removed trailing space in p~: Kwa kuniacha mimi, ulifunua kitanda chako,

ISA 57:8 Removed trailing space in p~: umepanda juu yake na kukipanua sana;

ISA 57:8 Removed trailing space in p~: ulifanya patano na wale ambao unapenda vitanda vyao,

ISA 57:8 Removed trailing space in p~: nawe uliangalia uchi wao.

ISA 57:9 Removed trailing space in v~: Ulikwenda kwa Moleki\f + \fr 57:9 \ft Moleki alikuwa mungu aliyekuwa anaabudiwa na Waamoni; pia alijulikana kama Malkomu, Maloki au Kemoshi wa Moabu.\f* ukiwa na mafuta ya zeituni,

ISA 57:9 Removed trailing space in p~: na ukaongeza manukato yako.

ISA 57:9 Removed trailing space in p~: Ukawatuma wajumbe wako mbali sana,

ISA 57:9 Removed trailing space in p~: ukashuka kwenye kaburi\f + \fr 57:9 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f* lenyewe!

ISA 57:10 Removed trailing space in v~: Ulikuwa umechoshwa na njia zako zote,

ISA 57:10 Removed trailing space in p~: lakini hukusema, ‘Hakuna tumaini.’

ISA 57:10 Removed trailing space in p~: Ulipata uhuisho wa nguvu zako,

ISA 57:10 Removed trailing space in p~: kwa sababu hiyo hukuzimia.

ISA 57:11 Removed trailing space in v~: “Ni nani uliyemhofu hivyo na kumwogopa

ISA 57:11 Removed trailing space in p~: hata ukawa mwongo kwangu,

ISA 57:11 Removed trailing space in p~: wala hukunikumbuka

ISA 57:11 Removed trailing space in p~: au kutafakari hili moyoni mwako?

ISA 57:11 Removed trailing space in p~: Si ni kwa sababu nimekuwa kimya muda mrefu

ISA 57:11 Removed trailing space in p~: hata huniogopi?

ISA 57:12 Removed trailing space in v~: Nitaifunua haki yako na matendo yako,

ISA 57:12 Removed trailing space in p~: nayo hayatakufaidi.

ISA 57:13 Removed trailing space in v~: Utakapolia kwa kuhitaji msaada,

ISA 57:13 Removed trailing space in p~: sanamu zako ulizojikusanyia na zikuokoe!

ISA 57:13 Removed trailing space in p~: Upepo utazipeperusha zote,

ISA 57:13 Removed trailing space in p~: pumzi peke yake itazipeperusha,

ISA 57:13 Removed trailing space in p~: Lakini mtu atakayenifanya kimbilio lake,

ISA 57:13 Removed trailing space in p~: atairithi nchi

ISA 57:13 Removed trailing space in p~: na kuumiliki mlima wangu mtakatifu.”

ISA 57:13 Removed trailing space in s1: Faraja Kwa Wenye Majuto

ISA 57:14 Removed trailing space in v~: Tena itasemwa:

ISA 57:14 Removed trailing space in p~: “Jengeni, jengeni, itengenezeni njia!

ISA 57:14 Removed trailing space in p~: Ondoeni vikwazo katika njia ya watu wangu.”

ISA 57:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana hili ndilo asemalo Aliye juu, yeye aliyeinuliwa sana,

ISA 57:15 Removed trailing space in p~: yeye aishiye milele, ambaye jina lake ni Mtakatifu:

ISA 57:15 Removed trailing space in p~: “Ninaishi mimi mahali palipoinuka na patakatifu,

ISA 57:15 Removed trailing space in p~: lakini pia pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu

ISA 57:15 Removed trailing space in p~: na mwenye roho ya unyenyekevu,

ISA 57:15 Removed trailing space in p~: ili kuzihuisha roho za wanyenyekevu

ISA 57:15 Removed trailing space in p~: na kuihuisha mioyo yao waliotubu.

ISA 57:16 Removed trailing space in v~: Sitaendelea kulaumu milele,

ISA 57:16 Removed trailing space in p~: wala sitakasirika siku zote,

ISA 57:16 Removed trailing space in p~: kwa kuwa roho ya mwanadamu

ISA 57:16 Removed trailing space in p~: ingezimia mbele zangu:

ISA 57:16 Removed trailing space in p~: yaani pumzi ya mwanadamu niliyemuumba.

ISA 57:17 Removed trailing space in v~: Nilighadhibika na tamaa yake ya dhambi;

ISA 57:17 Removed trailing space in p~: nilimwadhibu, nikauficha uso wangu kwa hasira,

ISA 57:17 Removed trailing space in p~: na bado aliendelea katika njia zake za tamaa.

ISA 57:18 Removed trailing space in v~: Nimeziona njia zake, lakini nitamponya,

ISA 57:18 Removed trailing space in p~: nitamwongoza na kumrudishia upya faraja,

ISA 57:19 Removed trailing space in v~: nikiumba sifa midomoni ya waombolezaji

ISA 57:19 Removed trailing space in p~: katika Israeli.

ISA 57:19 Removed trailing space in p~: Amani, amani, kwa wale walio mbali

ISA 57:19 Removed trailing space in p~: na kwa wale walio karibu,”

ISA 57:19 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*. “Nami nitawaponya.”

ISA 57:20 Removed trailing space in v~: Bali waovu ni kama bahari ichafukayo,

ISA 57:20 Removed trailing space in p~: ambayo haiwezi kutulia,

ISA 57:20 Removed trailing space in p~: mawimbi yake hutupa takataka na matope.

ISA 57:21 Removed trailing space in v~: Mungu wangu asema,

ISA 57:21 Removed trailing space in p~: “Hakuna amani kwa waovu.”

ISA 58:0 Extra space after chapter number

ISA 58:0 Removed trailing space in c: 58

ISA 58:0 Removed trailing space in s1: Mfungo Wa Kweli

ISA 58:1 Removed trailing space in v~: “Piga kelele, usizuie.

ISA 58:1 Removed trailing space in p~: Paza sauti yako kama tarumbeta.

ISA 58:1 Removed trailing space in p~: Watangazieni watu wangu uasi wao,

ISA 58:1 Removed trailing space in p~: na kwa nyumba ya Yakobo dhambi zao.

ISA 58:2 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila siku hunitafuta,

ISA 58:2 Removed trailing space in p~: wanaonekana kutaka kujua njia zangu,

ISA 58:2 Removed trailing space in p~: kana kwamba walikuwa taifa linalotenda lililo sawa,

ISA 58:2 Removed trailing space in p~: na ambalo halijaziacha amri za Mungu wake.

ISA 58:2 Removed trailing space in p~: Hutaka kwangu maamuzi ya haki,

ISA 58:2 Removed trailing space in p~: nao hutamani Mungu awakaribie.

ISA 58:3 Removed trailing space in v~: Wao husema, ‘Mbona tumefunga, nawe hujaona?

ISA 58:3 Removed trailing space in p~: Mbona tumejinyenyekeza, nawe huangalii?’

ISA 58:3 Removed trailing space in p~: “Lakini katika siku ya kufunga kwenu, mnafanya mnavyotaka

ISA 58:3 Removed trailing space in p~: na kuwadhulumu wafanyakazi wenu wote.

ISA 58:4 Removed trailing space in v~: Kufunga kwenu huishia kwenye magomvi na mapigano,

ISA 58:4 Removed trailing space in p~: na kupigana ninyi kwa ninyi kwa ngumi za uovu.

ISA 58:4 Removed trailing space in p~: Hamwezi kufunga kama mnavyofanya leo

ISA 58:4 Removed trailing space in p~: na kutazamia sauti zenu kusikiwa huko juu.

ISA 58:5 Removed trailing space in v~: Je, hii ndiyo aina ya mfungo niliouchagua,

ISA 58:5 Removed trailing space in p~: siku moja tu ya mtu kujinyenyekeza?

ISA 58:5 Removed trailing space in p~: Je, ni kwa kuinamisha kichwa chini kama tete,

ISA 58:5 Removed trailing space in p~: na kwa kujilaza juu ya nguo ya gunia na majivu?

ISA 58:5 Removed trailing space in p~: Je, huo ndio mnaouita mfungo,

ISA 58:5 Removed trailing space in p~: siku iliyokubalika kwa \nd Bwana\nd*?

ISA 58:6 Removed trailing space in v~: “Je, hii si ndiyo aina ya mfungo niliyoichagua:

ISA 58:6 Removed trailing space in p~: kufungua minyororo ya udhalimu,

ISA 58:6 Removed trailing space in p~: na kufungua kamba za nira,

ISA 58:6 Removed trailing space in p~: kuwaweka huru walioonewa,

ISA 58:6 Removed trailing space in p~: na kuvunja kila nira?

ISA 58:7 Removed trailing space in v~: Je, sio kushirikiana chakula chako na wenye njaa

ISA 58:7 Removed trailing space in p~: na kuwapatia maskini wasiokuwa na makao hifadhi,

ISA 58:7 Removed trailing space in p~: unapomwona aliye uchi, umvike,

ISA 58:7 Removed trailing space in p~: wala si kumkimbia mtu wa nyama na damu yako mwenyewe?

ISA 58:8 Removed trailing space in v~: Ndipo nuru yako itajitokeza kama mapambazuko

ISA 58:8 Removed trailing space in p~: na uponyaji wako utatokea upesi;

ISA 58:8 Removed trailing space in p~: ndipo haki yako itakapokutangulia mbele yako,

ISA 58:8 Removed trailing space in p~: na utukufu wa \nd Bwana\nd* utakuwa mlinzi nyuma yako.

ISA 58:9 Removed trailing space in v~: Ndipo utaita, naye \nd Bwana\nd* atajibu,

ISA 58:9 Removed trailing space in p~: utalia kuomba msaada,

ISA 58:9 Removed trailing space in p~: naye atasema: Mimi hapa.

ISA 58:9 Removed trailing space in p~: “Kama ukiiondoa nira ya udhalimu,

ISA 58:9 Removed trailing space in p~: na kunyoosha kidole na kuzungumza maovu,

ISA 58:10 Removed trailing space in v~: nanyi kama mkimkunjulia mtu mwenye njaa nafsi zenu

ISA 58:10 Removed trailing space in p~: na kutosheleza mahitaji ya walioonewa,

ISA 58:10 Removed trailing space in p~: ndipo nuru yenu itakapongʼaa gizani,

ISA 58:10 Removed trailing space in p~: nao usiku wenu utakuwa kama adhuhuri.

ISA 58:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakuongoza siku zote,

ISA 58:11 Removed trailing space in p~: atayatosheleza mahitaji yako katika nchi kame,

ISA 58:11 Removed trailing space in p~: naye ataitia nguvu mifupa yako.

ISA 58:11 Removed trailing space in p~: Utakuwa kama bustani iliyonyweshwa vizuri,

ISA 58:11 Removed trailing space in p~: kama chemchemi ambayo maji yake hayakauki kamwe.

ISA 58:12 Removed trailing space in v~: Watu wako watajenga tena magofu ya zamani

ISA 58:12 Removed trailing space in p~: na kuinua misingi ya kale;

ISA 58:12 Removed trailing space in p~: utaitwa Mwenye Kukarabati Kuta Zilizobomoka,

ISA 58:12 Removed trailing space in p~: Mwenye Kurejeza Barabara za Makao.

ISA 58:13 Removed trailing space in v~: “Kama ukitunza miguu yako isivunje Sabato,

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: na kutokufanya kama vile upendavyo katika siku yangu takatifu,

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: kama ukiita Sabato siku ya furaha

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: na siku takatifu ya \nd Bwana\nd* ya kuheshimiwa,

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: kama utaiheshimu kwa kutoenenda

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: katika njia zako mwenyewe,

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: na kutokufanya yakupendezayo

ISA 58:13 Removed trailing space in p~: au kusema maneno ya upuzi,

ISA 58:14 Removed trailing space in v~: ndipo utakapojipatia furaha yako katika \nd Bwana\nd*,

ISA 58:14 Removed trailing space in p~: nami nitakufanya upande juu ya miinuko ya nchi

ISA 58:14 Removed trailing space in p~: na kusherehekea urithi wa Yakobo baba yako.”

ISA 58:14 Removed trailing space in p~: Kinywa cha \nd Bwana\nd* kimenena haya.

ISA 59:0 Extra space after chapter number

ISA 59:0 Removed trailing space in c: 59

ISA 59:0 Removed trailing space in s1: Dhambi, Toba Na Ukombozi

ISA 59:1 Removed trailing space in v~: Hakika mkono wa \nd Bwana\nd* si mfupi hata usiweze kuokoa,

ISA 59:1 Removed trailing space in p~: wala sikio lake si zito hata lisiweze kusikia.

ISA 59:2 Removed trailing space in v~: Lakini maovu yenu yamewatenga

ISA 59:2 Removed trailing space in p~: ninyi na Mungu wenu,

ISA 59:2 Removed trailing space in p~: dhambi zenu zimewaficha ninyi uso wake,

ISA 59:2 Removed trailing space in p~: ili asisikie.

ISA 59:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana mikono yenu imetiwa mawaa kwa damu

ISA 59:3 Removed trailing space in p~: na vidole vyenu kwa hatia.

ISA 59:3 Removed trailing space in p~: Midomo yenu imenena uongo,

ISA 59:3 Removed trailing space in p~: nazo ndimi zenu zimenongʼona mambo maovu.

ISA 59:4 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mmoja anayedai kwa haki;

ISA 59:4 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja anayetetea shauri lake kwa haki.

ISA 59:4 Removed trailing space in p~: Wanategemea mabishano matupu na kusema uongo,

ISA 59:4 Removed trailing space in p~: huchukua mimba ya magomvi na kuzaa uovu.

ISA 59:5 Removed trailing space in v~: Huangua mayai ya nyoka wenye sumu kali

ISA 59:5 Removed trailing space in p~: na kutanda wavu wa buibui.

ISA 59:5 Removed trailing space in p~: Yeyote alaye mayai yao atakufa,

ISA 59:5 Removed trailing space in p~: na wakati moja lianguliwapo, nyoka hutoka humo.

ISA 59:6 Removed trailing space in v~: Utando wao wa buibui haufai kwa nguo;

ISA 59:6 Removed trailing space in p~: hawawezi kujifunika kwa kile walichokitengeneza.

ISA 59:6 Removed trailing space in p~: Matendo yao ni matendo maovu,

ISA 59:6 Removed trailing space in p~: vitendo vya jeuri vipo mikononi mwao.

ISA 59:7 Removed trailing space in v~: Miguu yao hukimbilia kwenye dhambi,

ISA 59:7 Removed trailing space in p~: ni myepesi kumwaga damu isiyo na hatia.

ISA 59:7 Removed trailing space in p~: Mawazo yao ni mawazo maovu;

ISA 59:7 Removed trailing space in p~: uharibifu na maangamizi huonekana katika njia zao.

ISA 59:8 Removed trailing space in v~: Hawajui njia ya amani,

ISA 59:8 Removed trailing space in p~: hakuna haki katika mapito yao.

ISA 59:8 Removed trailing space in p~: Wameyageuza kuwa njia za upotovu,

ISA 59:8 Removed trailing space in p~: hakuna apitaye njia hizo atakayeifahamu amani.

ISA 59:9 Removed trailing space in v~: Hivyo uadilifu uko mbali nasi,

ISA 59:9 Removed trailing space in p~: nayo haki haitufikii.

ISA 59:9 Removed trailing space in p~: Tunatazamia nuru, kumbe! Yote ni giza,

ISA 59:9 Removed trailing space in p~: tunatazamia mwanga, lakini tunatembea katika giza kuu.

ISA 59:10 Removed trailing space in v~: Tunapapasa ukuta kama kipofu,

ISA 59:10 Removed trailing space in p~: tunapapasa katika njia zetu kama watu wasio na macho.

ISA 59:10 Removed trailing space in p~: Adhuhuri tunajikwaa kama wakati wa gizagiza;

ISA 59:10 Removed trailing space in p~: katikati ya wenye nguvu, tuko kama wafu.

ISA 59:11 Removed trailing space in v~: Wote tunanguruma kama dubu;

ISA 59:11 Removed trailing space in p~: tunalia kwa maombolezo kama hua.

ISA 59:11 Removed trailing space in p~: Tunatafuta haki, kumbe hakuna kabisa;

ISA 59:11 Removed trailing space in p~: tunatafuta wokovu, lakini uko mbali.

ISA 59:12 Removed trailing space in v~: Kwa sababu makosa yetu ni mengi machoni pako,

ISA 59:12 Removed trailing space in p~: na dhambi zetu zinashuhudia dhidi yetu.

ISA 59:12 Removed trailing space in p~: Makosa yetu yako pamoja nasi daima,

ISA 59:12 Removed trailing space in p~: nasi tunayatambua maovu yetu:

ISA 59:13 Removed trailing space in v~: Uasi na udanganyifu dhidi ya \nd Bwana\nd*,

ISA 59:13 Removed trailing space in p~: kumgeuzia Mungu wetu kisogo,

ISA 59:13 Removed trailing space in p~: tukichochea udhalimu na maasi,

ISA 59:13 Removed trailing space in p~: tukinena uongo ambao mioyo yetu imeuhifadhi.

ISA 59:14 Removed trailing space in v~: Hivyo uadilifu umerudishwa nyuma,

ISA 59:14 Removed trailing space in p~: nayo haki inasimama mbali,

ISA 59:14 Removed trailing space in p~: kweli imejikwaa njiani,

ISA 59:14 Removed trailing space in p~: uaminifu hauwezi kuingia.

ISA 59:15 Removed trailing space in v~: Kweli haipatikani popote,

ISA 59:15 Removed trailing space in p~: na yeyote aepukaye uovu huwa mawindo.

ISA 59:15 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* alitazama naye akachukizwa

ISA 59:15 Removed trailing space in p~: kwamba hapakuwepo haki.

ISA 59:16 Removed trailing space in v~: Aliona kuwa hakuwepo hata mtu mmoja,

ISA 59:16 Removed trailing space in p~: akashangaa kwamba hakuwepo hata mmoja wa kuingilia kati;

ISA 59:16 Removed trailing space in p~: hivyo mkono wake mwenyewe

ISA 59:16 Removed trailing space in p~: ndio uliomfanyia wokovu,

ISA 59:16 Removed trailing space in p~: nayo haki yake mwenyewe

ISA 59:16 Removed trailing space in p~: ndiyo iliyomtegemeza.

ISA 59:17 Removed trailing space in v~: Alivaa haki kama dirii kifuani mwake,

ISA 59:17 Removed trailing space in p~: na chapeo ya wokovu kichwani mwake,

ISA 59:17 Removed trailing space in p~: alivaa mavazi ya kisasi

ISA 59:17 Removed trailing space in p~: naye akajifunga wivu kama joho.

ISA 59:18 Removed trailing space in v~: Kulingana na kile walichokuwa wametenda,

ISA 59:18 Removed trailing space in p~: ndivyo atakavyolipa

ISA 59:18 Removed trailing space in p~: ghadhabu kwa watesi wake

ISA 59:18 Removed trailing space in p~: na kisasi kwa adui zake,

ISA 59:18 Removed trailing space in p~: atavilipa visiwa sawa na wanavyostahili.

ISA 59:19 Removed trailing space in v~: Kuanzia magharibi, watu wataliogopa jina la \nd Bwana\nd*

ISA 59:19 Removed trailing space in p~: na kuanzia mawio ya jua, watauheshimu utukufu wake.

ISA 59:19 Removed trailing space in p~: Wakati adui atakapokuja kama mafuriko,

ISA 59:19 Removed trailing space in p~: Roho wa \nd Bwana\nd* atainua kiwango dhidi yake na kumshinda.

ISA 59:20 Removed trailing space in v~: “Mkombozi atakuja Sayuni,

ISA 59:20 Removed trailing space in p~: kwa wale wa Yakobo

ISA 59:20 Removed trailing space in p~: wanaozitubu dhambi zao,”

ISA 59:20 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 59:21 Removed trailing space in v~: “Kwa habari yangu mimi, hili ndilo agano langu nao,” asema \nd Bwana\nd*. “Roho wangu, aliye juu yenu, na maneno yangu ambayo nimeyaweka katika vinywa vyenu, havitaondoka vinywani mwenu, wala kutoka vinywani mwa watoto wenu, wala kutoka vinywani mwa wazao wao, kuanzia sasa na hata milele,” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 60:0 Extra space after chapter number

ISA 60:0 Removed trailing space in c: 60

ISA 60:0 Removed trailing space in s1: Utukufu Wa Sayuni

ISA 60:1 Removed trailing space in v~: “Ondoka, angaza, kwa kuwa nuru yako imekuja

ISA 60:1 Removed trailing space in p~: na utukufu wa \nd Bwana\nd* umezuka juu yako.

ISA 60:2 Removed trailing space in v~: Tazama, giza litaifunika dunia

ISA 60:2 Removed trailing space in p~: na giza kuu litayafunika mataifa,

ISA 60:2 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* atazuka juu yako

ISA 60:2 Removed trailing space in p~: na utukufu wake utaonekana juu yako.

ISA 60:3 Removed trailing space in v~: Mataifa watakuja kwenye nuru yako

ISA 60:3 Removed trailing space in p~: na wafalme kwa mwanga wa mapambazuko yako.

ISA 60:4 Removed trailing space in v~: “Inua macho yako na utazame pande zote:

ISA 60:4 Removed trailing space in p~: Wote wanakusanyika na kukujia,

ISA 60:4 Removed trailing space in p~: wana wako wanakuja toka mbali,

ISA 60:4 Removed trailing space in p~: nao binti zako wanabebwa mikononi.

ISA 60:5 Removed trailing space in v~: Ndipo utatazama na kutiwa nuru,

ISA 60:5 Removed trailing space in p~: moyo wako utasisimka na kujaa furaha,

ISA 60:5 Removed trailing space in p~: mali zilizo baharini zitaletwa kwako,

ISA 60:5 Removed trailing space in p~: utajiri wa mataifa utakujilia.

ISA 60:6 Removed trailing space in v~: Makundi ya ngamia yatajaa katika nchi yako,

ISA 60:6 Removed trailing space in p~: ngamia vijana wa Midiani na Efa.

ISA 60:6 Removed trailing space in p~: Nao wote watokao Sheba watakuja,

ISA 60:6 Removed trailing space in p~: wakichukua dhahabu na uvumba

ISA 60:6 Removed trailing space in p~: na kutangaza sifa za \nd Bwana\nd*.

ISA 60:7 Removed trailing space in v~: Makundi yote ya Kedari yatakusanyika kwako,

ISA 60:7 Removed trailing space in p~: kondoo dume wa Nebayothi watakutumikia,

ISA 60:7 Removed trailing space in p~: watakubalika kama sadaka juu ya madhabahu yangu,

ISA 60:7 Removed trailing space in p~: nami nitalipamba Hekalu langu tukufu.

ISA 60:8 Removed trailing space in v~: “Ni nani hawa warukao kama mawingu,

ISA 60:8 Removed trailing space in p~: kama hua kuelekea kwenye viota vyao?

ISA 60:9 Removed trailing space in v~: Hakika visiwa vinanitazama,

ISA 60:9 Removed trailing space in p~: merikebu za Tarshishi\f + \fr 60:9 \ft Au: za biashara (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16\+xt*).\f* ndizo zinazotangulia,

ISA 60:9 Found unexpected backslash in footnote: 60:9 Au: za biashara (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9:21; 20:36; Isa 2:16\+xt*).

ISA 60:9 Removed trailing space in p~: zikiwaleta wana wenu kutoka mbali,

ISA 60:9 Removed trailing space in p~: wakiwa na fedha na dhahabu zao,

ISA 60:9 Removed trailing space in p~: kwa heshima ya \nd Bwana\nd*, Mungu wenu,

ISA 60:9 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli,

ISA 60:9 Removed trailing space in p~: kwa maana amekujalia utukufu.

ISA 60:10 Removed trailing space in v~: “Wageni watazijenga upya kuta zako,

ISA 60:10 Removed trailing space in p~: na wafalme wao watakutumikia.

ISA 60:10 Removed trailing space in p~: Ingawa katika hasira nilikupiga,

ISA 60:10 Removed trailing space in p~: lakini katika upendeleo wangu

ISA 60:10 Removed trailing space in p~: nitakuonyesha huruma.

ISA 60:11 Removed trailing space in v~: Malango yako yatakuwa wazi siku zote,

ISA 60:11 Removed trailing space in p~: kamwe hayatafungwa, mchana wala usiku,

ISA 60:11 Removed trailing space in p~: ili watu wapate kukuletea utajiri wa mataifa:

ISA 60:11 Removed trailing space in p~: wafalme wao wakiongoza maandamano ya ushindi.

ISA 60:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana taifa au ufalme ule ambao hautakutumikia utaangamia;

ISA 60:12 Removed trailing space in p~: utaharibiwa kabisa.

ISA 60:13 Removed trailing space in v~: “Utukufu wa Lebanoni utakujilia,

ISA 60:13 Removed trailing space in p~: msunobari, mvinje pamoja na mteashuri,

ISA 60:13 Removed trailing space in p~: ili kupapamba mahali pangu patakatifu,

ISA 60:13 Removed trailing space in p~: nami nitapatukuza mahali pa miguu yangu.

ISA 60:14 Removed trailing space in v~: Wana wa wale waliokuonea watakuja wakisujudu mbele yako,

ISA 60:14 Removed trailing space in p~: wote wanaokudharau watasujudu kwenye miguu yako,

ISA 60:14 Removed trailing space in p~: nao watakuita Mji wa \nd Bwana\nd*,

ISA 60:14 Removed trailing space in p~: Sayuni ya Aliye Mtakatifu wa Israeli.

ISA 60:15 Removed trailing space in v~: “Ingawa umeachwa na kuchukiwa,

ISA 60:15 Removed trailing space in p~: bila yeyote anayesafiri ndani yako,

ISA 60:15 Removed trailing space in p~: nitakufanya kuwa fahari ya milele,

ISA 60:15 Removed trailing space in p~: na furaha ya vizazi vyote.

ISA 60:16 Removed trailing space in v~: Utanyonya maziwa ya mataifa,

ISA 60:16 Removed trailing space in p~: na kunyonyeshwa matiti ya wafalme.

ISA 60:16 Removed trailing space in p~: Ndipo utakapojua kwamba Mimi, \nd Bwana\nd*, ni Mwokozi wako,

ISA 60:16 Removed trailing space in p~: Mkombozi wako, niliye Mwenye Nguvu wa Yakobo.

ISA 60:17 Removed trailing space in v~: Badala ya shaba nitakuletea dhahabu,

ISA 60:17 Removed trailing space in p~: na fedha badala ya chuma.

ISA 60:17 Removed trailing space in p~: Badala ya mti nitakuletea shaba,

ISA 60:17 Removed trailing space in p~: na chuma badala ya mawe.

ISA 60:17 Removed trailing space in p~: Nitafanya amani kuwa mtawala wako,

ISA 60:17 Removed trailing space in p~: na haki kuwa mfalme wako.

ISA 60:18 Removed trailing space in v~: Jeuri hazitasikika tena katika nchi yako,

ISA 60:18 Removed trailing space in p~: wala maangamizi au uharibifu ndani ya mipaka yako,

ISA 60:18 Removed trailing space in p~: lakini utaita kuta zako Wokovu,

ISA 60:18 Removed trailing space in p~: na malango yako Sifa.

ISA 60:19 Removed trailing space in v~: Jua halitakuwa tena nuru yako mchana,

ISA 60:19 Removed trailing space in p~: wala mwangaza wa mwezi hautakuangazia,

ISA 60:19 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* atakuwa nuru yako ya milele,

ISA 60:19 Removed trailing space in p~: naye Mungu wako atakuwa utukufu wako.

ISA 60:20 Removed trailing space in v~: Jua lako halitazama tena,

ISA 60:20 Removed trailing space in p~: nao mwezi wako hautafifia tena;

ISA 60:20 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atakuwa nuru yako milele,

ISA 60:20 Removed trailing space in p~: nazo siku zako za huzuni zitakoma.

ISA 60:21 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wako wote watakuwa waadilifu,

ISA 60:21 Removed trailing space in p~: nao wataimiliki nchi milele.

ISA 60:21 Removed trailing space in p~: Wao ni chipukizi nililolipanda,

ISA 60:21 Removed trailing space in p~: kazi ya mikono yangu,

ISA 60:21 Removed trailing space in p~: ili kuonyesha utukufu wangu.

ISA 60:22 Removed trailing space in v~: Aliye mdogo kwenu atakuwa elfu,

ISA 60:22 Removed trailing space in p~: mdogo kuliko wote atakuwa taifa lenye nguvu.

ISA 60:22 Removed trailing space in p~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd*;

ISA 60:22 Removed trailing space in p~: katika wakati wake nitayatimiza haya upesi.”

ISA 61:0 Extra space after chapter number

ISA 61:0 Removed trailing space in c: 61

ISA 61:0 Removed trailing space in s1: Mwaka Wa Upendeleo Wa \nd Bwana\nd*

ISA 61:1 Removed trailing space in v~: Roho wa \nd Bwana\nd* Mwenyezi yu juu yangu,

ISA 61:1 Removed trailing space in p~: kwa sababu \nd Bwana\nd* amenitia mafuta

ISA 61:1 Removed trailing space in p~: kuwahubiria maskini habari njema.

ISA 61:1 Removed trailing space in p~: Amenituma kuwaganga waliovunjika moyo,

ISA 61:1 Removed trailing space in p~: kuwatangazia mateka uhuru wao,

ISA 61:1 Removed trailing space in p~: na hao waliofungwa

ISA 61:1 Removed trailing space in p~: habari za kufunguliwa kwao;

ISA 61:2 Removed trailing space in v~: kutangaza mwaka wa \nd Bwana\nd* uliokubaliwa,

ISA 61:2 Removed trailing space in p~: na siku ya kisasi ya Mungu wetu,

ISA 61:2 Removed trailing space in p~: kuwafariji wote waombolezao,

ISA 61:3 Removed trailing space in v~: na kuwapa mahitaji

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: wale wanaohuzunika katika Sayuni,

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: ili kuwapa taji ya uzuri badala ya majivu,

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: mafuta ya furaha badala ya maombolezo,

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: vazi la sifa badala ya roho ya kukata tamaa.

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: Nao wataitwa mialoni ya haki,

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: pando la \nd Bwana\nd*,

ISA 61:3 Removed trailing space in p~: ili kuonyesha utukufu wake.

ISA 61:4 Removed trailing space in v~: Watajenga upya magofu ya zamani

ISA 61:4 Removed trailing space in p~: na kupatengeneza mahali palipoachwa ukiwa zamani;

ISA 61:4 Removed trailing space in p~: watafanya upya miji iliyoharibiwa,

ISA 61:4 Removed trailing space in p~: iliyoachwa ukiwa kwa vizazi vingi.

ISA 61:5 Removed trailing space in v~: Wageni watayachunga makundi yenu,

ISA 61:5 Removed trailing space in p~: wageni watafanya kazi katika mashamba yenu,

ISA 61:5 Removed trailing space in p~: na kutunza mashamba yenu ya mizabibu.

ISA 61:6 Removed trailing space in v~: Nanyi mtaitwa makuhani wa \nd Bwana\nd*,

ISA 61:6 Removed trailing space in p~: mtaitwa watumishi wa Mungu wetu.

ISA 61:6 Removed trailing space in p~: Mtakula utajiri wa mataifa,

ISA 61:6 Removed trailing space in p~: nanyi katika utajiri wao mtajisifu.

ISA 61:7 Removed trailing space in v~: Badala ya aibu yao

ISA 61:7 Removed trailing space in p~: watu wangu watapokea sehemu maradufu,

ISA 61:7 Removed trailing space in p~: na badala ya fedheha

ISA 61:7 Removed trailing space in p~: watafurahia katika urithi wao;

ISA 61:7 Removed trailing space in p~: hivyo watarithi sehemu maradufu katika nchi yao,

ISA 61:7 Removed trailing space in p~: nayo furaha ya milele itakuwa yao.

ISA 61:8 Removed trailing space in v~: “Kwa maana Mimi, \nd Bwana\nd*, napenda haki,

ISA 61:8 Removed trailing space in p~: na ninachukia unyangʼanyi na uovu.

ISA 61:8 Removed trailing space in p~: Katika uaminifu wangu nitawapa malipo yao

ISA 61:8 Removed trailing space in p~: na kufanya agano la milele nao.

ISA 61:9 Removed trailing space in v~: Wazao wao watajulikana miongoni mwa mataifa,

ISA 61:9 Removed trailing space in p~: na uzao wao miongoni mwa kabila za watu.

ISA 61:9 Removed trailing space in p~: Wale wote watakaowaona watatambua

ISA 61:9 Removed trailing space in p~: kuwa ni taifa ambalo \nd Bwana\nd* amelibariki.”

ISA 61:10 Removed trailing space in v~: Ninafurahia sana katika \nd Bwana\nd*,

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: nafsi yangu inashangilia katika Mungu wangu.

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: Kwa maana amenivika mavazi ya wokovu,

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: na kunipamba kwa joho la haki,

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: kama vile bwana arusi apambavyo

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: kichwa chake kama kuhani,

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: na kama bibi arusi ajipambavyo

ISA 61:10 Removed trailing space in p~: kwa vito vyake vya thamani.

ISA 61:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama vile ardhi ifanyavyo chipukizi kuota,

ISA 61:11 Removed trailing space in p~: na bustani isababishavyo mbegu kuota,

ISA 61:11 Removed trailing space in p~: ndivyo \nd Bwana\nd* Mwenyezi atafanya haki na sifa

ISA 61:11 Removed trailing space in p~: zichipuke mbele ya mataifa yote.

ISA 62:0 Extra space after chapter number

ISA 62:0 Removed trailing space in c: 62

ISA 62:0 Removed trailing space in s1: Jina Jipya La Sayuni

ISA 62:1 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya Sayuni sitanyamaza,

ISA 62:1 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya Yerusalemu sitatulia,

ISA 62:1 Removed trailing space in p~: mpaka haki yake itakapoangaza kama mapambazuko,

ISA 62:1 Removed trailing space in p~: wokovu wake kama mwanga wa moto.

ISA 62:2 Removed trailing space in v~: Mataifa wataona haki yako,

ISA 62:2 Removed trailing space in p~: nao wafalme wote wataona utukufu wako;

ISA 62:2 Removed trailing space in p~: wewe utaitwa kwa jina jipya

ISA 62:2 Removed trailing space in p~: lile ambalo kinywa cha \nd Bwana\nd* kitatamka.

ISA 62:3 Removed trailing space in v~: Utakuwa taji ya fahari mkononi mwa \nd Bwana\nd*,

ISA 62:3 Removed trailing space in p~: taji ya kifalme mkononi mwa Mungu wako.

ISA 62:4 Removed trailing space in v~: Hawatakuita tena Aliyeachwa,

ISA 62:4 Removed trailing space in p~: wala nchi yako kuiita Ukiwa.

ISA 62:4 Removed trailing space in p~: Bali utaitwa Hefsiba,\f + \fr 62:4 \ft Hefsiba maana yake Yeye ninayemfurahia.\f*

ISA 62:4 Removed trailing space in p~: nayo nchi yako itaitwa Beula,\f + \fr 62:4 \ft Beula maana yake Aliyeolewa.\f*

ISA 62:4 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* atakufurahia,

ISA 62:4 Removed trailing space in p~: nayo nchi yako itaolewa.

ISA 62:5 Removed trailing space in v~: Kama vile kijana aoavyo mwanamwali,

ISA 62:5 Removed trailing space in p~: ndivyo wanao\f + \fr 62:5 \ft Au: wajenzi wako.\f* watakavyokuoa wewe;

ISA 62:5 Removed trailing space in p~: kama bwana arusi amfurahiavyo bibi arusi wake,

ISA 62:5 Removed trailing space in p~: ndivyo Mungu wako atakavyokufurahia wewe.

ISA 62:6 Removed trailing space in v~: Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, ee Yerusalemu,

ISA 62:6 Removed trailing space in p~: hawatanyamaza mchana wala usiku.

ISA 62:6 Removed trailing space in p~: Ninyi wenye kumwita \nd Bwana\nd*,

ISA 62:6 Removed trailing space in p~: msitulie,

ISA 62:7 Removed trailing space in v~: msimwache apumzike hadi atakapoufanya imara Yerusalemu

ISA 62:7 Removed trailing space in p~: na kuufanya uwe sifa ya dunia.

ISA 62:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ameapa kwa mkono wake wa kuume

ISA 62:8 Removed trailing space in p~: na kwa mkono wake wenye nguvu:

ISA 62:8 Removed trailing space in p~: “Kamwe sitawapa tena adui zenu

ISA 62:8 Removed trailing space in p~: nafaka zenu kama chakula chao;

ISA 62:8 Removed trailing space in p~: kamwe wageni hawatakunywa tena

ISA 62:8 Removed trailing space in p~: divai mpya ambayo mmeitaabikia,

ISA 62:9 Removed trailing space in v~: lakini wale waivunao nafaka wataila

ISA 62:9 Removed trailing space in p~: na kumsifu \nd Bwana\nd*,

ISA 62:9 Removed trailing space in p~: nao wale wakusanyao zabibu watainywa divai yake

ISA 62:9 Removed trailing space in p~: katika nyua za patakatifu pangu.”

ISA 62:10 Removed trailing space in v~: Piteni, piteni katika malango!

ISA 62:10 Removed trailing space in p~: Tengenezeni njia kwa ajili ya watu.

ISA 62:10 Removed trailing space in p~: Jengeni, jengeni njia kuu!

ISA 62:10 Removed trailing space in p~: Ondoeni mawe.

ISA 62:10 Removed trailing space in p~: Inueni bendera kwa ajili ya mataifa.

ISA 62:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ametoa tangazo

ISA 62:11 Removed trailing space in p~: mpaka miisho ya dunia:

ISA 62:11 Removed trailing space in p~: “Mwambie Binti Sayuni,

ISA 62:11 Removed trailing space in p~: ‘Tazama, mwokozi wako anakuja!

ISA 62:11 Removed trailing space in p~: Tazama ujira wake uko pamoja naye,

ISA 62:11 Removed trailing space in p~: na malipo yake yanafuatana naye!’ ”

ISA 62:12 Removed trailing space in v~: Wataitwa Watu Watakatifu,

ISA 62:12 Removed trailing space in p~: Waliokombolewa na \nd Bwana\nd*;

ISA 62:12 Removed trailing space in p~: nawe utaitwa Aliyetafutwa,

ISA 62:12 Removed trailing space in p~: Mji Usioachwa Tena.

ISA 63:0 Extra space after chapter number

ISA 63:0 Removed trailing space in c: 63

ISA 63:0 Removed trailing space in s1: Siku Ya Mungu Ya Kisasi Na Ukombozi

ISA 63:1 Removed trailing space in v~: Ni nani huyu anayekuja kutoka Edomu,

ISA 63:1 Removed trailing space in p~: kutoka Bosra, mwenye mavazi yaliyotiwa madoa mekundu?

ISA 63:1 Removed trailing space in p~: Ni nani huyu, aliyevikwa joho la kifahari,

ISA 63:1 Removed trailing space in p~: anayetembea kwa ukuu wa nguvu zake?

ISA 63:1 Removed trailing space in p~: “Mimi ndimi, nisemaye katika haki,

ISA 63:1 Removed trailing space in p~: mwenye nguvu wa kuokoa.”

ISA 63:2 Removed trailing space in v~: Kwa nini mavazi yako ni mekundu,

ISA 63:2 Removed trailing space in p~: kama ya yule akanyagaye shinikizo la zabibu?

ISA 63:3 Removed trailing space in v~: “Nimekanyaga shinikizo la zabibu peke yangu;

ISA 63:3 Removed trailing space in p~: kutoka mataifa hakuna mtu aliyekuwa pamoja nami.

ISA 63:3 Removed trailing space in p~: Nimewaponda kwa miguu katika hasira yangu

ISA 63:3 Removed trailing space in p~: na kuwakanyaga chini katika ghadhabu yangu;

ISA 63:3 Removed trailing space in p~: damu yao ilitia matone kwenye mavazi yangu,

ISA 63:3 Removed trailing space in p~: na kutia madoa nguo zangu zote.

ISA 63:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa siku ya kisasi ilikuwa moyoni mwangu,

ISA 63:4 Removed trailing space in p~: mwaka wa ukombozi wangu umefika.

ISA 63:5 Removed trailing space in v~: Nilitazama, lakini hakuwepo yeyote wa kunisaidia,

ISA 63:5 Removed trailing space in p~: nilishangaa kwa kuwa hakuwepo yeyote aliyetoa msaada;

ISA 63:5 Removed trailing space in p~: hivyo mkono wangu wenyewe ndio ulionifanyia wokovu,

ISA 63:5 Removed trailing space in p~: na ghadhabu yangu mwenyewe ndiyo iliyonitegemeza.

ISA 63:6 Removed trailing space in v~: Nilikanyaga mataifa kwa miguu katika hasira yangu,

ISA 63:6 Removed trailing space in p~: katika ghadhabu yangu niliwalewesha,

ISA 63:6 Removed trailing space in p~: na kumwaga damu yao juu ya ardhi.”

ISA 63:6 Removed trailing space in s1: Kusifu Na Kuomba

ISA 63:7 Removed trailing space in v~: Nitasimulia juu ya wema wa \nd Bwana\nd*,

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: kwa matendo ambayo apaswa kusifiwa,

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: sawasawa na yote ambayo \nd Bwana\nd*

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: ametenda kwa ajili yetu:

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: naam, mambo mengi mema aliyoyatenda

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya nyumba ya Israeli,

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: sawasawa na huruma zake

ISA 63:7 Removed trailing space in p~: na wema wake mwingi.

ISA 63:8 Removed trailing space in v~: Alisema, “Hakika wao ni watu wangu,

ISA 63:8 Removed trailing space in p~: wana ambao hawatanidanganya”;

ISA 63:8 Removed trailing space in p~: hivyo akawa Mwokozi wao.

ISA 63:9 Removed trailing space in v~: Katika taabu zao zote naye alitaabika,

ISA 63:9 Removed trailing space in p~: na malaika wa uso wake akawaokoa.

ISA 63:9 Removed trailing space in p~: Katika upendo wake na rehema zake aliwakomboa,

ISA 63:9 Removed trailing space in p~: akawainua na kuwachukua siku zote zilizopita.

ISA 63:10 Removed trailing space in v~: Lakini waliasi,

ISA 63:10 Removed trailing space in p~: na kumhuzunisha Roho Mtakatifu wake.

ISA 63:10 Removed trailing space in p~: Hivyo aligeuka na kuwa adui yao,

ISA 63:10 Removed trailing space in p~: na yeye mwenyewe akapigana dhidi yao.

ISA 63:11 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wake wakazikumbuka siku zilizopita,

ISA 63:11 Removed trailing space in p~: siku za Mose na watu wake:

ISA 63:11 Removed trailing space in p~: yuko wapi yeye aliyewaleta kupitia katikati ya bahari,

ISA 63:11 Removed trailing space in p~: pamoja na wachungaji wa kundi lake?

ISA 63:11 Removed trailing space in p~: Yuko wapi yule aliyeweka

ISA 63:11 Removed trailing space in p~: Roho wake Mtakatifu katikati yao,

ISA 63:12 Removed trailing space in v~: aliyetuma mkono wake uliotukuka wenye nguvu

ISA 63:12 Removed trailing space in p~: kuwa katika mkono wa kuume wa Mose,

ISA 63:12 Removed trailing space in p~: aliyegawa maji ya bahari mbele yao,

ISA 63:12 Removed trailing space in p~: ili kujipatia jina milele,

ISA 63:13 Removed trailing space in v~: aliyewaongoza kupitia kwenye vilindi?

ISA 63:13 Removed trailing space in p~: Kama farasi katika nchi iliyo wazi,

ISA 63:13 Removed trailing space in p~: wao hawakujikwaa,

ISA 63:14 Removed trailing space in v~: kama ngʼombe washukao bondeni kwenye malisho,

ISA 63:14 Removed trailing space in p~: walipewa pumziko na Roho wa \nd Bwana\nd*.

ISA 63:14 Removed trailing space in p~: Hivi ndivyo ulivyowaongoza watu wako

ISA 63:14 Removed trailing space in p~: ili kujipatia mwenyewe jina tukufu.

ISA 63:15 Removed trailing space in v~: Tazama chini kutoka mbinguni ukaone

ISA 63:15 Removed trailing space in p~: kutoka kiti chako cha enzi

ISA 63:15 Removed trailing space in p~: kilichoinuliwa juu, kitakatifu na kitukufu.

ISA 63:15 Removed trailing space in p~: Uko wapi wivu wako na uweza wako?

ISA 63:15 Removed trailing space in p~: Umetuzuilia wema wako na huruma zako.

ISA 63:16 Removed trailing space in v~: Lakini wewe ni Baba yetu,

ISA 63:16 Removed trailing space in p~: ingawa Abrahamu hatufahamu sisi

ISA 63:16 Removed trailing space in p~: wala Israeli hatutambui;

ISA 63:16 Removed trailing space in p~: wewe, Ee \nd Bwana\nd*, ndiwe Baba yetu,

ISA 63:16 Removed trailing space in p~: Mkombozi wetu tangu zamani za kale ndilo jina lako.

ISA 63:17 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, kwa nini unatuacha twende mbali na njia zako,

ISA 63:17 Removed trailing space in p~: na kuifanya mioyo yetu migumu hata hatukukuheshimu?

ISA 63:17 Removed trailing space in p~: Rudi kwa ajili ya watumishi wako,

ISA 63:17 Removed trailing space in p~: yale makabila ambayo ni urithi wako.

ISA 63:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwa muda mfupi watu wako walimiliki mahali pako patakatifu,

ISA 63:18 Removed trailing space in p~: lakini sasa adui zetu wamepakanyaga mahali patakatifu pako.

ISA 63:19 Removed trailing space in v~: Sisi tumekuwa kama wale ambao hujawatawala kamwe,

ISA 63:19 Removed trailing space in p~: kama wale ambao hawajaitwa kwa jina lako.

ISA 64:0 Extra space after chapter number

ISA 64:0 Removed trailing space in c: 64

ISA 64:1 Removed trailing space in v~: Laiti ungelipasua mbingu na kushuka chini,

ISA 64:1 Removed trailing space in p~: ili milima ingelitetemeka mbele zako!

ISA 64:2 Removed trailing space in v~: Kama vile moto uteketezavyo vijiti

ISA 64:2 Removed trailing space in p~: na kusababisha maji kuchemka,

ISA 64:2 Removed trailing space in p~: shuka ukafanye jina lako lijulikane kwa adui zako,

ISA 64:2 Removed trailing space in p~: na kusababisha mataifa yatetemeke mbele zako!

ISA 64:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana ulipofanya mambo ya kutisha ambayo hatukuyatazamia,

ISA 64:3 Removed trailing space in p~: ulishuka, nayo milima ikatetemeka mbele zako.

ISA 64:4 Removed trailing space in v~: Tangu nyakati za zamani hakuna yeyote aliyesikia,

ISA 64:4 Removed trailing space in p~: hakuna sikio lililotambua,

ISA 64:4 Removed trailing space in p~: hakuna jicho lililomwona Mungu mwingine ila wewe,

ISA 64:4 Removed trailing space in p~: anayetenda mambo kwa ajili ya wale wamngojeao.

ISA 64:5 Removed trailing space in v~: Uliwasaidia watu wale watendao yaliyo haki kwa furaha,

ISA 64:5 Removed trailing space in p~: wale wazikumbukao njia zako.

ISA 64:5 Removed trailing space in p~: Lakini wakati tulipoendelea kutenda dhambi kinyume na njia zako,

ISA 64:5 Removed trailing space in p~: ulikasirika.

ISA 64:5 Removed trailing space in p~: Tutawezaje basi kuokolewa?

ISA 64:6 Removed trailing space in v~: Sisi sote tumekuwa kama mtu aliye najisi,

ISA 64:6 Removed trailing space in p~: nayo matendo yetu yote ya uadilifu ni kama matambaa machafu;

ISA 64:6 Removed trailing space in p~: sisi sote tunasinyaa kama jani,

ISA 64:6 Removed trailing space in p~: na kama upepo maovu yetu hutupeperusha.

ISA 64:7 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote anayeliitia jina lako

ISA 64:7 Removed trailing space in p~: wala anayejitahidi kukushika,

ISA 64:7 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umetuficha uso wako

ISA 64:7 Removed trailing space in p~: na kutuacha tudhoofike kwa sababu ya dhambi zetu.

ISA 64:8 Removed trailing space in v~: Lakini, Ee \nd Bwana\nd*, wewe ndiwe Baba yetu.

ISA 64:8 Removed trailing space in p~: Sisi ni udongo, wewe ndiye mfinyanzi;

ISA 64:8 Removed trailing space in p~: sisi sote tu kazi ya mkono wako.

ISA 64:9 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, usikasirike kupita kiasi,

ISA 64:9 Removed trailing space in p~: usizikumbuke dhambi zetu milele.

ISA 64:9 Removed trailing space in p~: Ee Bwana, utuangalie, twakuomba,

ISA 64:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sisi sote tu watu wako.

ISA 64:10 Removed trailing space in v~: Miji yako mitakatifu imekuwa jangwa;

ISA 64:10 Removed trailing space in p~: hata Sayuni ni jangwa, Yerusalemu ni ukiwa.

ISA 64:11 Removed trailing space in v~: Hekalu letu takatifu na tukufu, mahali ambapo baba zetu walikusifu wewe,

ISA 64:11 Removed trailing space in p~: limechomwa kwa moto,

ISA 64:11 Removed trailing space in p~: navyo vitu vyote tulivyovithamini vimeharibika.

ISA 64:12 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, baada ya haya yote, utajizuia?

ISA 64:12 Removed trailing space in p~: Je, utanyamaza kimya na kutuadhibu kupita kiasi?

ISA 65:0 Extra space after chapter number

ISA 65:0 Removed trailing space in c: 65

ISA 65:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Na Wokovu

ISA 65:1 Removed trailing space in v~: “Nilijifunua kwa watu wale ambao hawakuniulizia.

ISA 65:1 Removed trailing space in p~: Nimeonekana na watu wale ambao hawakunitafuta.

ISA 65:1 Removed trailing space in p~: Kwa taifa lile ambalo halikuliita Jina langu,

ISA 65:1 Removed trailing space in p~: nilisema, ‘Niko hapa, niko hapa.’

ISA 65:2 Removed trailing space in v~: Mchana kutwa nimeinyoosha mikono yangu

ISA 65:2 Removed trailing space in p~: kwa watu wakaidi,

ISA 65:2 Removed trailing space in p~: wanaokwenda katika njia ambazo si nzuri,

ISA 65:2 Removed trailing space in p~: wafuatao mawazo yao wenyewe:

ISA 65:3 Removed trailing space in v~: taifa ambalo daima hunikasirisha

ISA 65:3 Removed trailing space in p~: machoni pangu,

ISA 65:3 Removed trailing space in p~: wakitoa dhabihu katika bustani

ISA 65:3 Removed trailing space in p~: na kufukiza uvumba juu ya madhabahu za matofali;

ISA 65:4 Removed trailing space in v~: watu waketio katikati ya makaburi

ISA 65:4 Removed trailing space in p~: na kukesha mahali pa siri,

ISA 65:4 Removed trailing space in p~: walao nyama za nguruwe,

ISA 65:4 Removed trailing space in p~: nazo sufuria zao zina mchuzi wa nyama zilizo najisi,

ISA 65:5 Removed trailing space in v~: wasemao, ‘Kaa mbali; usinikaribie,

ISA 65:5 Removed trailing space in p~: kwa maana mimi ni mtakatifu mno kwako!’

ISA 65:5 Removed trailing space in p~: Watu wa aina hiyo ni moshi katika pua zangu,

ISA 65:5 Removed trailing space in p~: ni moto uwakao mchana kutwa.

ISA 65:6 Removed trailing space in v~: “Tazama, jambo hili hubakia limeandikwa mbele zangu:

ISA 65:6 Removed trailing space in p~: sitanyamaza, bali nitalipiza kwa ukamilifu;

ISA 65:6 Removed trailing space in p~: nitalipiza mapajani mwao:

ISA 65:7 Removed trailing space in v~: dhambi zenu na dhambi za baba zenu,”

ISA 65:7 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 65:7 Removed trailing space in p~: “Kwa sababu walitoa dhabihu za kuteketezwa juu ya milima

ISA 65:7 Removed trailing space in p~: na kunichokoza mimi juu ya vilima,

ISA 65:7 Removed trailing space in p~: nitawapimia mapajani mwao

ISA 65:7 Removed trailing space in p~: malipo makamilifu kwa matendo yao ya zamani.”

ISA 65:8 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 65:8 Removed trailing space in p~: “Kama vile divai mpya ingali bado inapatikana

ISA 65:8 Removed trailing space in p~: katika kishada cha zabibu,

ISA 65:8 Removed trailing space in p~: nao watu husema, ‘Usikiharibu,

ISA 65:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa bado kuna kitu kizuri ndani yake,’

ISA 65:8 Removed trailing space in p~: hivyo ndivyo nitakavyofanya kwa ajili ya watumishi wangu;

ISA 65:8 Removed trailing space in p~: sitawaangamiza wote.

ISA 65:9 Removed trailing space in v~: Nitawaleta wazao kutoka kwa Yakobo,

ISA 65:9 Removed trailing space in p~: na kutoka kwa Yuda wale watakaomiliki milima yangu,

ISA 65:9 Removed trailing space in p~: nao watu wangu wateule watairithi,

ISA 65:9 Removed trailing space in p~: nako huko wataishi watumishi wangu.

ISA 65:10 Removed trailing space in v~: Sharoni itakuwa malisho

ISA 65:10 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya makundi ya kondoo,

ISA 65:10 Removed trailing space in p~: na Bonde la Akori mahali pa kupumzikia

ISA 65:10 Removed trailing space in p~: kwa makundi ya ngʼombe,

ISA 65:10 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya watu wangu wanaonitafuta.

ISA 65:11 Removed trailing space in v~: “Bali kwenu ninyi mnaomwacha \nd Bwana\nd*

ISA 65:11 Removed trailing space in p~: na kuusahau mlima wangu mtakatifu,

ISA 65:11 Removed trailing space in p~: ninyi mnaoandaa meza kwa ajili ya Bahati,\f + \fr 65:11 \ft Bahati alikuwa mungu wa Wakaldayo ambaye pia alijulikana kama Gadi.\f*

ISA 65:11 Removed trailing space in p~: na kujaza mabakuli ya mvinyo uliochanganywa

ISA 65:11 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya Ajali,\f + \fr 65:11 \ft Ajali au Meni alikuwa mungu wa majaliwa.\f*

ISA 65:12 Removed trailing space in v~: nitawaagiza mfe kwa upanga,

ISA 65:12 Removed trailing space in p~: nanyi nyote mtainama chini ili kuchinjwa;

ISA 65:12 Removed trailing space in p~: kwa kuwa niliwaita lakini hamkuitika,

ISA 65:12 Removed trailing space in p~: nilisema lakini hamkusikiliza.

ISA 65:12 Removed trailing space in p~: Mlitenda maovu machoni pangu,

ISA 65:12 Removed trailing space in p~: nanyi mkachagua mambo yale yanayonichukiza.”

ISA 65:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenyezi:

ISA 65:13 Removed trailing space in p~: “Watumishi wangu watakula,

ISA 65:13 Removed trailing space in p~: lakini ninyi mtaona njaa;

ISA 65:13 Removed trailing space in p~: watumishi wangu watakunywa

ISA 65:13 Removed trailing space in p~: lakini ninyi mtaona kiu;

ISA 65:13 Removed trailing space in p~: watumishi wangu watafurahi,

ISA 65:13 Removed trailing space in p~: lakini ninyi mtaona haya.

ISA 65:14 Removed trailing space in v~: Watumishi wangu wataimba

ISA 65:14 Removed trailing space in p~: kwa furaha ya mioyo yao,

ISA 65:14 Removed trailing space in p~: lakini ninyi mtalia

ISA 65:14 Removed trailing space in p~: kutokana na uchungu wa moyoni,

ISA 65:14 Removed trailing space in p~: na kupiga yowe kwa sababu

ISA 65:14 Removed trailing space in p~: ya uchungu wa roho zenu.

ISA 65:15 Removed trailing space in v~: Mtaliacha jina lenu

ISA 65:15 Removed trailing space in p~: kuwa laana kwa watu wangu waliochaguliwa;

ISA 65:15 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi atawaua ninyi,

ISA 65:15 Removed trailing space in p~: lakini watumishi wake atawapa jina jingine.

ISA 65:16 Removed trailing space in v~: Yeye aombaye baraka katika nchi

ISA 65:16 Removed trailing space in p~: atafanya hivyo kwa Mungu wa kweli;

ISA 65:16 Removed trailing space in p~: yeye aapaye katika nchi

ISA 65:16 Removed trailing space in p~: ataapa kwa Mungu wa kweli.

ISA 65:16 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa taabu za zamani zitasahaulika

ISA 65:16 Removed trailing space in p~: na kufichwa kutoka machoni pangu.

ISA 65:16 Removed trailing space in s1: Mbingu Mpya Na Dunia Mpya

ISA 65:17 Removed trailing space in v~: “Tazama, nitaumba

ISA 65:17 Removed trailing space in p~: mbingu mpya na dunia mpya.

ISA 65:17 Removed trailing space in p~: Mambo ya zamani hayatakumbukwa,

ISA 65:17 Removed trailing space in p~: wala hayatakuja akilini.

ISA 65:18 Removed trailing space in v~: Lakini furahini na kushangilia daima

ISA 65:18 Removed trailing space in p~: katika hivi nitakavyoumba,

ISA 65:18 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nitaumba Yerusalemu uwe wa kupendeza,

ISA 65:18 Removed trailing space in p~: nao watu wake wawe furaha.

ISA 65:19 Removed trailing space in v~: Nami nitaifurahia Yerusalemu

ISA 65:19 Removed trailing space in p~: na kuwafurahia watu wangu;

ISA 65:19 Removed trailing space in p~: sauti ya maombolezo na ya kilio

ISA 65:19 Removed trailing space in p~: haitasikika humo tena.

ISA 65:20 Removed trailing space in v~: “Kamwe hatakuwepo tena ndani yake

ISA 65:20 Removed trailing space in p~: mtoto mchanga atakayeishi siku chache tu,

ISA 65:20 Removed trailing space in p~: au mzee ambaye hataishi akatimiza miaka yake.

ISA 65:20 Removed trailing space in p~: Yeye atakayekufa akiwa na umri wa miaka mia moja

ISA 65:20 Removed trailing space in p~: atahesabiwa kwamba ni kijana tu,

ISA 65:20 Removed trailing space in p~: yeye ambaye hatafika miaka mia moja,

ISA 65:20 Removed trailing space in p~: atahesabiwa kuwa amelaaniwa.

ISA 65:21 Removed trailing space in v~: Watajenga nyumba na kuishi ndani yake;

ISA 65:21 Removed trailing space in p~: watapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.

ISA 65:22 Removed trailing space in v~: Hawatajenga nyumba, nao watu wengine waishi ndani yake,

ISA 65:22 Removed trailing space in p~: au kupanda mazao na wengine wale.

ISA 65:22 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa kama zilivyo siku za mti,

ISA 65:22 Removed trailing space in p~: ndivyo zitakavyokuwa siku za watu wangu,

ISA 65:22 Removed trailing space in p~: wateule wangu watafurahia kwa siku nyingi

ISA 65:22 Removed trailing space in p~: kazi za mikono yao.

ISA 65:23 Removed trailing space in v~: Hawatajitaabisha kwa kazi bure,

ISA 65:23 Removed trailing space in p~: wala hawatazaa watoto ili wapatwe na majanga,

ISA 65:23 Removed trailing space in p~: kwa kuwa watakuwa taifa lililobarikiwa na \nd Bwana\nd*,

ISA 65:23 Removed trailing space in p~: wao na wazao wao pamoja nao.

ISA 65:24 Removed trailing space in v~: Kabla hawajaita, nitajibu,

ISA 65:24 Removed trailing space in p~: nao wakiwa katika kunena, nitasikia.

ISA 65:25 Removed trailing space in v~: Mbwa mwitu na mwana-kondoo watalisha pamoja,

ISA 65:25 Removed trailing space in p~: naye simba atakula nyasi kama maksai,

ISA 65:25 Removed trailing space in p~: lakini mavumbi yatakuwa chakula cha nyoka.

ISA 65:25 Removed trailing space in p~: Hawatadhuru wala kuharibu

ISA 65:25 Removed trailing space in p~: katika mlima wangu mtakatifu wote,”

ISA 65:25 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 66:0 Extra space after chapter number

ISA 66:0 Removed trailing space in c: 66

ISA 66:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Na Matumaini

ISA 66:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

ISA 66:1 Removed trailing space in p~: “Mbingu ni kiti changu cha enzi,

ISA 66:1 Removed trailing space in p~: nayo dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu.

ISA 66:1 Removed trailing space in p~: Iko wapi nyumba mtakayoijenga kwa ajili yangu?

ISA 66:1 Removed trailing space in p~: Mahali pangu pa kupumzikia patakuwa wapi?

ISA 66:2 Removed trailing space in v~: Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote,

ISA 66:2 Removed trailing space in p~: hivyo vikapata kuwepo?”

ISA 66:2 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ISA 66:2 Removed trailing space in p~: “Mtu huyu ndiye ninayemthamini:

ISA 66:2 Removed trailing space in p~: yeye ambaye ni mnyenyekevu

ISA 66:2 Removed trailing space in p~: na mwenye roho yenye toba,

ISA 66:2 Removed trailing space in p~: atetemekaye asikiapo neno langu.

ISA 66:3 Removed trailing space in v~: Lakini yeyote atoaye dhabihu ya fahali

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: ni kama yeye auaye mtu,

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: na yeyote atoaye sadaka ya mwana-kondoo,

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: ni kama yule avunjaye shingo ya mbwa.

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: Yeyote atoaye sadaka ya nafaka,

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: ni kama yule aletaye damu ya nguruwe,

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: na yeyote afukizaye uvumba wa kumbukumbu,

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: ni kama yule aabuduye sanamu.

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: Wamejichagulia njia zao wenyewe,

ISA 66:3 Removed trailing space in p~: nazo nafsi zao zinafurahia machukizo yao.

ISA 66:4 Removed trailing space in v~: Hivyo, mimi pia nitawachagulia mapigo makali,

ISA 66:4 Removed trailing space in p~: nami nitaleta juu yao kile wanachokiogopa.

ISA 66:4 Removed trailing space in p~: Kwa maana nilipoita, hakuna yeyote aliyejibu,

ISA 66:4 Removed trailing space in p~: niliposema, hakuna yeyote aliyesikiliza.

ISA 66:4 Removed trailing space in p~: Walifanya maovu machoni pangu

ISA 66:4 Removed trailing space in p~: na kuchagua lile linalonichukiza.”

ISA 66:5 Removed trailing space in v~: Sikieni neno la \nd Bwana\nd*,

ISA 66:5 Removed trailing space in p~: ninyi mtetemekao kwa neno lake:

ISA 66:5 Removed trailing space in p~: “Ndugu zenu wanaowachukia ninyi

ISA 66:5 Removed trailing space in p~: na kuwatenga ninyi kwa sababu ya Jina langu, wamesema,

ISA 66:5 Removed trailing space in p~: ‘\nd Bwana\nd* na atukuzwe,

ISA 66:5 Removed trailing space in p~: ili tupate kuona furaha yenu!’

ISA 66:5 Removed trailing space in p~: Hata sasa wataaibika.

ISA 66:6 Removed trailing space in v~: Sikieni hizo ghasia kutoka mjini,

ISA 66:6 Removed trailing space in p~: sikieni hizo kelele kutoka hekaluni!

ISA 66:6 Removed trailing space in p~: Ni sauti ya \nd Bwana\nd* ikiwalipa adui zake

ISA 66:6 Removed trailing space in p~: yote wanayostahili.

ISA 66:7 Removed trailing space in v~: “Kabla hajasikia utungu, alizaa;

ISA 66:7 Removed trailing space in p~: kabla hajapata maumivu,

ISA 66:7 Removed trailing space in p~: alizaa mtoto mwanaume.

ISA 66:8 Removed trailing space in v~: Ni nani amepata kusikia jambo kama hili?

ISA 66:8 Removed trailing space in p~: Ni nani amepata kuona mambo kama haya?

ISA 66:8 Removed trailing space in p~: Je, nchi yaweza kuzaliwa kwa siku moja,

ISA 66:8 Removed trailing space in p~: au taifa laweza kutokea mara?

ISA 66:8 Removed trailing space in p~: Mara Sayuni alipoona utungu,

ISA 66:8 Removed trailing space in p~: alizaa watoto wake.

ISA 66:9 Removed trailing space in v~: Je, nilete mwana hadi wakati wa kuzaliwa

ISA 66:9 Removed trailing space in p~: na nisizalishe?” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 66:9 Removed trailing space in p~: “Je, nifunge tumbo la uzazi

ISA 66:9 Removed trailing space in p~: wakati mimi ndiye nizalishaye?”

ISA 66:9 Removed trailing space in p~: asema Mungu wako.

ISA 66:10 Removed trailing space in v~: “Shangilieni pamoja na Yerusalemu na mfurahi kwa ajili yake,

ISA 66:10 Removed trailing space in p~: ninyi nyote mnaompenda,

ISA 66:10 Removed trailing space in p~: shangilieni kwa nguvu pamoja naye,

ISA 66:10 Removed trailing space in p~: ninyi nyote mnaoomboleza juu yake.

ISA 66:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mtanyonya na kutosheka

ISA 66:11 Removed trailing space in p~: katika faraja ya matiti yake;

ISA 66:11 Removed trailing space in p~: mtakunywa sana,

ISA 66:11 Removed trailing space in p~: na kuufurahia wingi wa mafuriko ya ustawi wake.”

ISA 66:12 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

ISA 66:12 Removed trailing space in p~: “Nitamwongezea amani kama mto,

ISA 66:12 Removed trailing space in p~: nao utajiri wa mataifa kama kijito kifurikacho;

ISA 66:12 Removed trailing space in p~: utanyonya na kuchukuliwa mikononi mwake

ISA 66:12 Removed trailing space in p~: na kubembelezwa magotini pake.

ISA 66:13 Removed trailing space in v~: Kama mama anavyomfariji mtoto wake,

ISA 66:13 Removed trailing space in p~: ndivyo nitakavyokufariji wewe,

ISA 66:13 Removed trailing space in p~: nawe utafarijiwa huko Yerusalemu.”

ISA 66:14 Removed trailing space in v~: Wakati mtakapoona jambo hili, mioyo yenu itashangilia,

ISA 66:14 Removed trailing space in p~: nanyi mtastawi kama majani;

ISA 66:14 Removed trailing space in p~: mkono wa \nd Bwana\nd* utajulikana kwa watumishi wake,

ISA 66:14 Removed trailing space in p~: bali ghadhabu yake kali

ISA 66:14 Removed trailing space in p~: itaonyeshwa kwa adui zake.

ISA 66:15 Removed trailing space in v~: Tazama, \nd Bwana\nd* anakuja na moto,

ISA 66:15 Removed trailing space in p~: magari yake ya vita ni kama upepo wa kisulisuli,

ISA 66:15 Removed trailing space in p~: atateremsha hasira yake kwa ghadhabu kali,

ISA 66:15 Removed trailing space in p~: na karipio lake pamoja na miali ya moto.

ISA 66:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwa moto na kwa upanga wake

ISA 66:16 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atatekeleza hukumu juu ya watu wote,

ISA 66:16 Removed trailing space in p~: nao wengi watakuwa ni wale

ISA 66:16 Removed trailing space in p~: waliouawa na \nd Bwana\nd*.

ISA 66:17 Removed trailing space in v~: “Watu wote wanaojiweka wakfu na kujitakasa wenyewe ili kwenda bustanini, wakimfuata aliye katikati ya wale ambao hula nyama za nguruwe na panya pamoja na vitu vingine vilivyo machukizo, watafikia mwisho wao pamoja,” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 66:18 Removed trailing space in v~: “Nami, kwa sababu ya matendo yao na mawazo yao, niko karibu kuja na kukusanya mataifa yote na lugha zote, nao watakuja na kuuona utukufu wangu.

ISA 66:19 Removed trailing space in v~: “Nitaweka ishara katikati yao, nami nitapeleka baadhi ya hao walionusurika kwa mataifa, hadi Tarshishi, kwa Puli\f + \fr 66:19 \ft Puli hapa inamaanisha Libya.\f* na Waludi (wanaojulikana kama wapiga upinde), kwa Tubali na Uyunani, hadi visiwa vya mbali ambavyo havijasikia juu ya sifa zangu au kuuona utukufu wangu. Watatangaza utukufu wangu miongoni mwa mataifa.

ISA 66:20 Removed trailing space in v~: Nao watawaleta ndugu zenu wote, kutoka mataifa yote, mpaka kwenye mlima wangu mtakatifu katika Yerusalemu kama sadaka kwa \nd Bwana\nd*, juu ya farasi, katika magari ya vita na magari makubwa, juu ya nyumbu na ngamia,” asema \nd Bwana\nd*. “Watawaleta, kama Waisraeli waletavyo sadaka zao za nafaka, katika Hekalu la \nd Bwana\nd*, katika vyombo safi kwa kufuata desturi za ibada.

ISA 66:21 Removed trailing space in v~: Nami nitachagua baadhi yao pia wawe makuhani na Walawi,” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 66:22 Removed trailing space in v~: “Kama vile mbingu mpya na nchi mpya ninazozifanya zitakavyodumu mbele zangu,” asema \nd Bwana\nd*, “ndivyo jina lenu na wazao wenu watakavyodumu.

ISA 66:23 Removed trailing space in v~: Kutoka Mwezi Mpya hata mwingine, na kutoka Sabato hadi nyingine, wanadamu wote watakuja na kusujudu mbele zangu,” asema \nd Bwana\nd*.

ISA 66:24 Removed trailing space in v~: “Nao watatoka nje na kuona maiti za wale walioniasi mimi. Funza wao hawatakufa, wala moto wao hautazimika, nao watakuwa kitu cha kuchukiza sana kwa wanadamu wote.”

JER -1:0 Removed trailing space in id: JER - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

JER -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

JER -1:2 Removed trailing space in h: Yeremia

JER -1:3 Removed trailing space in toc1: Yeremia

JER -1:4 Removed trailing space in toc2: Yeremia

JER -1:5 Removed trailing space in toc3: Yer

JER -1:6 Removed trailing space in mt1: Yeremia

JER 1:0 Extra space after chapter number

JER 1:0 Removed trailing space in c: 1

JER 1:1 Removed trailing space in v~: Maneno ya Yeremia mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani katika mji wa Anathothi, katika nchi ya Benyamini.

JER 1:2 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* lilimjia katika mwaka wa kumi na tatu wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda,

JER 1:3 Removed trailing space in v~: na pia wakati wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, mpaka mwezi wa tano wa mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Sedekia mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, wakati watu wa Yerusalemu walipopelekwa uhamishoni.

JER 1:3 Removed trailing space in s1: Wito Wa Yeremia

JER 1:4 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* lilinijia, kusema,

JER 1:5 Removed trailing space in v~: “Kabla sijakuumba ndani ya tumbo la mama yako, nilikujua;

JER 1:5 Removed trailing space in p~: kabla hujazaliwa nilikutenga kwa kazi maalum;

JER 1:5 Removed trailing space in p~: nilikuweka uwe nabii kwa mataifa.”

JER 1:6 Removed trailing space in v~: Nami nikasema, “Aa, \nd Bwana\nd* Mwenyezi, sijui kusema, kwani mimi ni mtoto mdogo tu.”

JER 1:7 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akaniambia, “Usiseme, ‘Mimi ni mtoto mdogo tu.’ Utaenda popote nitakapokutuma na kunena lolote nitakalokuagiza.

JER 1:8 Removed trailing space in v~: Usiwaogope, kwa maana niko pamoja nawe nikuokoe,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 1:9 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaunyoosha mkono wake na kugusa kinywa changu, akaniambia, “Sasa nimeyaweka maneno yangu kinywani mwako.

JER 1:10 Removed trailing space in v~: Tazama, leo nimekuweka juu ya mataifa na falme ili kungʼoa na kubomoa, kuharibu na kuangamiza, kujenga na kupanda.”

JER 1:11 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema, “Je, Yeremia unaona nini?”

JER 1:11 Removed trailing space in p~: Nami nikajibu, “Naona tawi la mti wa mlozi.”

JER 1:12 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Umeona vyema kwa maana ninaliangalia neno langu ili kuona kwamba limetimizwa.”

JER 1:13 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia tena, “Unaona nini?”

JER 1:13 Removed trailing space in p~: Nikajibu, “Naona chungu kinachochemka, kikiwa kimeinama kutoka kaskazini.”

JER 1:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Kutoka kaskazini maafa yatamwagwa kwa wote waishio katika nchi.

JER 1:15 Removed trailing space in v~: Nitawaita watu wote wa falme za kaskazini,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 1:15 Removed trailing space in p~: “Wafalme wao watakuja na kuweka viti vyao vya enzi

JER 1:15 Removed trailing space in p~: katika maingilio ya malango ya Yerusalemu,

JER 1:15 Removed trailing space in p~: watakuja dhidi ya kuta zake zote zinazouzunguka,

JER 1:15 Removed trailing space in p~: na dhidi ya miji yote ya Yuda.

JER 1:16 Removed trailing space in v~: Nitatoa hukumu zangu kwa watu wangu

JER 1:16 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya uovu wao wa kuniacha mimi,

JER 1:16 Removed trailing space in p~: kwa kufukiza uvumba kwa miungu mingine

JER 1:16 Removed trailing space in p~: na kuabudu kile ambacho mikono yao imekitengeneza.

JER 1:17 Removed trailing space in v~: “Jiandae! Simama useme chochote nitakachokuamuru. Usiwaogope, la sivyo nitakufanya uwaogope wao.

JER 1:18 Removed trailing space in v~: Leo nimekufanya mji wenye ngome, nguzo ya chuma, na ukuta wa shaba ili kusimama dhidi ya nchi yote: dhidi ya wafalme wa Yuda, maafisa wake, makuhani wake na watu wa nchi hiyo.

JER 1:19 Removed trailing space in v~: Watapigana nawe lakini hawatakushinda, kwa kuwa niko pamoja nawe, nami nitakuokoa,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 2:0 Extra space after chapter number

JER 2:0 Removed trailing space in c: 2

JER 2:0 Removed trailing space in s1: Israeli Amwacha Mungu

JER 2:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* lilinijia kusema,

JER 2:2 Removed trailing space in v~: “Nenda ukahubiri masikioni mwa watu wa Yerusalemu:

JER 2:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Nakumbuka moyo wako wa uchaji katika ujana wako,

JER 2:2 Removed trailing space in p~: jinsi ulivyonipenda kama bibi arusi

JER 2:2 Removed trailing space in p~: na kunifuata katika jangwa lile lote,

JER 2:2 Removed trailing space in p~: katika nchi isiyopandwa mbegu.

JER 2:3 Removed trailing space in v~: Israeli alikuwa mtakatifu kwa \nd Bwana\nd*,

JER 2:3 Removed trailing space in p~: kama malimbuko ya kwanza ya mavuno yake;

JER 2:3 Removed trailing space in p~: wote waliowaangamiza walihesabiwa kuwa na hatia,

JER 2:3 Removed trailing space in p~: nayo maafa yaliwakumba,’ ”

JER 2:3 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 2:4 Removed trailing space in v~: Sikia neno la \nd Bwana\nd*, ee nyumba ya Yakobo,

JER 2:4 Removed trailing space in p~: nanyi nyote jamaa za nyumba ya Israeli.

JER 2:5 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*:

JER 2:5 Removed trailing space in p~: “Je, baba zenu waliona kosa gani kwangu,

JER 2:5 Removed trailing space in p~: hata wakatangatanga mbali nami hivyo?

JER 2:5 Removed trailing space in p~: Walifuata sanamu zisizofaa,

JER 2:5 Removed trailing space in p~: nao wenyewe wakawa hawafai.

JER 2:6 Removed trailing space in v~: Hawakuuliza, ‘Yuko wapi \nd Bwana\nd*,

JER 2:6 Removed trailing space in p~: aliyetupandisha kutoka Misri

JER 2:6 Removed trailing space in p~: na kutuongoza kupitia nyika kame,

JER 2:6 Removed trailing space in p~: kupitia nchi ya majangwa na mabonde,

JER 2:6 Removed trailing space in p~: nchi ya ukame na giza,

JER 2:6 Removed trailing space in p~: nchi ambayo hakuna mtu asafiriye ndani yake

JER 2:6 Removed trailing space in p~: wala hakuna mtu aishiye humo?’

JER 2:7 Removed trailing space in v~: Niliwaleta katika nchi yenye wingi wa vitu

JER 2:7 Removed trailing space in p~: ili mpate kula matunda yake

JER 2:7 Removed trailing space in p~: na utajiri wa mazao yake.

JER 2:7 Removed trailing space in p~: Lakini mkaja na kuinajisi nchi yangu,

JER 2:7 Removed trailing space in p~: na kuufanya urithi wangu chukizo.

JER 2:8 Removed trailing space in v~: Makuhani hawakuuliza,

JER 2:8 Removed trailing space in p~: ‘Yuko wapi \nd Bwana\nd*?’

JER 2:8 Removed trailing space in p~: Wale wanaoshughulikia sheria hawakunijua mimi;

JER 2:8 Removed trailing space in p~: viongozi waliasi dhidi yangu.

JER 2:8 Removed trailing space in p~: Manabii walitabiri kwa jina la Baali,

JER 2:8 Removed trailing space in p~: wakifuata sanamu zisizofaa.

JER 2:9 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo naleta tena mashtaka dhidi yako,”

JER 2:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 2:9 Removed trailing space in p~: “Nami nitaleta mashtaka dhidi ya watoto wa watoto wako.

JER 2:10 Removed trailing space in v~: Vuka, nenda ngʼambo mpaka pwani ya Kitimu\f + \fr 2:10 \ft Kitimu hapa ni Kipro, kisiwa katika Bahari ya Mediterania.\f* nawe uangalie,

JER 2:10 Removed trailing space in p~: tuma watu waende Kedari, wachunguze kwa makini,

JER 2:10 Removed trailing space in p~: uone kama kumekuwepo kitu kama hiki.

JER 2:11 Removed trailing space in v~: Je, taifa limebadili miungu yake wakati wowote?

JER 2:11 Removed trailing space in p~: (Hata ingawa hao si miungu kamwe.)

JER 2:11 Removed trailing space in p~: Lakini watu wangu wamebadili Utukufu wao

JER 2:11 Removed trailing space in p~: kwa sanamu zisizofaa kitu.

JER 2:12 Removed trailing space in v~: Shangaeni katika hili, ee mbingu,

JER 2:12 Removed trailing space in p~: nanyi tetemekeni kwa hofu kuu,”

JER 2:12 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 2:13 Removed trailing space in v~: “Watu wangu wametenda dhambi mbili:

JER 2:13 Removed trailing space in p~: Wameniacha mimi,

JER 2:13 Removed trailing space in p~: niliye chemchemi ya maji yaliyo hai,

JER 2:13 Removed trailing space in p~: nao wamejichimbia visima vyao wenyewe,

JER 2:13 Removed trailing space in p~: visima vilivyobomoka, visivyoweza kuhifadhi maji.

JER 2:14 Removed trailing space in v~: Je, Israeli ni mtumishi, yaani mtumwa kwa kuzaliwa?

JER 2:14 Removed trailing space in p~: Kwa nini basi amekuwa mateka?

JER 2:15 Removed trailing space in v~: Simba wamenguruma;

JER 2:15 Removed trailing space in p~: wamemngurumia.

JER 2:15 Removed trailing space in p~: Wameifanya nchi yake kuwa ukiwa;

JER 2:15 Removed trailing space in p~: miji yake imeteketezwa, nayo imeachwa haina watu.

JER 2:16 Removed trailing space in v~: Pia watu wa Memfisi\f + \fr 2:16 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.\f* na Tahpanhesi\f + \fr 2:16 \ft Tahpanhesi ni mji katika nchi ya Misri.\f*

JER 2:16 Removed trailing space in p~: wamevunja taji ya kichwa chako.

JER 2:17 Removed trailing space in v~: Je, hukujiletea hili wewe mwenyewe

JER 2:17 Removed trailing space in p~: kwa kumwacha \nd Bwana\nd*, Mungu wako

JER 2:17 Removed trailing space in p~: alipowaongoza njiani?

JER 2:18 Removed trailing space in v~: Sasa kwa nini uende Misri

JER 2:18 Removed trailing space in p~: kunywa maji ya Shihori?\f + \fr 2:18 \ft Kijito kinachoelekeza maji katika Mto Naili.\f*

JER 2:18 Removed trailing space in p~: Nawe kwa nini kwenda Ashuru

JER 2:18 Removed trailing space in p~: kunywa maji ya Mto Frati?

JER 2:19 Removed trailing space in v~: Uovu wako utakuadhibu;

JER 2:19 Removed trailing space in p~: kurudi nyuma kwako kutakukemea.

JER 2:19 Removed trailing space in p~: Basi kumbuka, utambue

JER 2:19 Removed trailing space in p~: jinsi lilivyo ovu na chungu kwako

JER 2:19 Removed trailing space in p~: unapomwacha \nd Bwana\nd* Mungu wako

JER 2:19 Removed trailing space in p~: na kutokuwa na hofu yangu,”

JER 2:19 Removed trailing space in p~: asema Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

JER 2:20 Removed trailing space in v~: “Zamani nilivunja nira yako

JER 2:20 Removed trailing space in p~: na kukatilia mbali vifungo vyako;

JER 2:20 Removed trailing space in p~: ukasema, ‘Sitakutumikia!’

JER 2:20 Removed trailing space in p~: Naam kweli, kwenye kila kilima kirefu

JER 2:20 Removed trailing space in p~: na chini ya kila mti uliotanda matawi yake

JER 2:20 Removed trailing space in p~: ulijilaza kama kahaba.

JER 2:21 Removed trailing space in v~: Nilikupanda ukiwa mzabibu ulio bora sana,

JER 2:21 Removed trailing space in p~: mkamilifu na wa mbegu nzuri.

JER 2:21 Removed trailing space in p~: Ilikuwaje basi ukawa kinyume nami,

JER 2:21 Removed trailing space in p~: ukaharibika na kuwa mzabibu mwitu?

JER 2:22 Removed trailing space in v~: Hata ujisafishe kwa magadi

JER 2:22 Removed trailing space in p~: na kutumia sabuni nyingi,

JER 2:22 Removed trailing space in p~: bado doa la hatia yako liko mbele zangu,”

JER 2:22 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

JER 2:23 Removed trailing space in v~: “Wawezaje kusema, ‘Mimi si najisi,

JER 2:23 Removed trailing space in p~: sijawafuata Mabaali’?

JER 2:23 Removed trailing space in p~: Kumbuka jinsi ulivyotenda kule bondeni;

JER 2:23 Removed trailing space in p~: fikiri uliyoyafanya.

JER 2:23 Removed trailing space in p~: Wewe ni ngamia jike mwenye mbio

JER 2:23 Removed trailing space in p~: ukikimbia hapa na pale,

JER 2:24 Removed trailing space in v~: punda-mwitu aliyezoea jangwa,

JER 2:24 Removed trailing space in p~: anayenusa upepo katika tamaa yake kubwa:

JER 2:24 Removed trailing space in p~: katika wakati wake wa kuhitaji mbegu

JER 2:24 Removed trailing space in p~: ni nani awezaye kumzuia?

JER 2:24 Removed trailing space in p~: Madume yoyote yanayomfuatilia

JER 2:24 Removed trailing space in p~: hayana haja ya kujichosha;

JER 2:24 Removed trailing space in p~: wakati wa kupandwa kwake watampata tu.

JER 2:25 Removed trailing space in v~: Usikimbie hadi miguu yako iwe haina viatu,

JER 2:25 Removed trailing space in p~: na koo lako liwe limekauka.

JER 2:25 Removed trailing space in p~: Lakini ulisema, ‘Haina maana!

JER 2:25 Removed trailing space in p~: Ninaipenda miungu ya kigeni,

JER 2:25 Removed trailing space in p~: nami lazima niifuatie.’

JER 2:26 Removed trailing space in v~: “Kama vile mwizi aaibikavyo wakati amekamatwa,

JER 2:26 Removed trailing space in p~: hivyo ndivyo nyumba ya Israeli inavyoaibishwa:

JER 2:26 Removed trailing space in p~: wao wenyewe, wafalme wao na maafisa wao,

JER 2:26 Removed trailing space in p~: makuhani wao na manabii wao.

JER 2:27 Removed trailing space in v~: Wanaiambia miti, ‘Wewe ndiwe baba yangu,’

JER 2:27 Removed trailing space in p~: nalo jiwe, ‘Wewe ndiwe uliyenizaa.’

JER 2:27 Removed trailing space in p~: Wamenipa visogo vyao

JER 2:27 Removed trailing space in p~: wala hawakunigeuzia nyuso zao;

JER 2:27 Removed trailing space in p~: lakini wakiwa katika taabu, wanasema,

JER 2:27 Removed trailing space in p~: ‘Njoo utuokoe!’

JER 2:28 Removed trailing space in v~: Iko wapi basi ile miungu mliyojitengenezea?

JER 2:28 Removed trailing space in p~: Yenyewe na ije kama inaweza kuwaokoa

JER 2:28 Removed trailing space in p~: wakati mko katika taabu!

JER 2:28 Removed trailing space in p~: Kwa maana mna miungu mingi

JER 2:28 Removed trailing space in p~: kama mlivyo na miji, ee Yuda.

JER 2:29 Removed trailing space in v~: “Kwa nini mnaleta mashtaka dhidi yangu?

JER 2:29 Removed trailing space in p~: Ninyi nyote mmeniasi,”

JER 2:29 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 2:30 Removed trailing space in v~: “Nimeadhibu watu wako bure tu,

JER 2:30 Removed trailing space in p~: hawakujirekebisha.

JER 2:30 Removed trailing space in p~: Upanga wako umewala manabii wako

JER 2:30 Removed trailing space in p~: kama simba mwenye njaa.

JER 2:31 Removed trailing space in v~: “Enyi wa kizazi hiki, tafakarini neno la \nd Bwana\nd*:

JER 2:31 Removed trailing space in p~: “Je, nimekuwa jangwa kwa Israeli

JER 2:31 Removed trailing space in p~: au nchi ya giza kuu?

JER 2:31 Removed trailing space in p~: Kwa nini watu wangu wanasema, ‘Sisi tuko huru kuzurura,

JER 2:31 Removed trailing space in p~: hatutarudi kwako tena’?

JER 2:32 Removed trailing space in v~: Je, mwanamwali husahau vito vyake,

JER 2:32 Removed trailing space in p~: au bibi arusi mapambo yake ya arusi?

JER 2:32 Removed trailing space in p~: Lakini watu wangu wamenisahau mimi,

JER 2:32 Removed trailing space in p~: tena kwa siku zisizo na hesabu.

JER 2:33 Removed trailing space in v~: Je, wewe una ustadi kiasi gani katika kufuatia mapenzi!

JER 2:33 Removed trailing space in p~: Hata wale wanawake wabaya kuliko wote

JER 2:33 Removed trailing space in p~: wanaweza kujifunza kutokana na njia zako.

JER 2:34 Removed trailing space in v~: Katika nguo zako watu huona

JER 2:34 Removed trailing space in p~: damu ya uhai ya maskini wasio na hatia,

JER 2:34 Removed trailing space in p~: ingawa hukuwakamata wakivunja nyumba.

JER 2:34 Removed trailing space in p~: Lakini katika haya yote

JER 2:35 Removed trailing space in v~: unasema, ‘Sina hatia;

JER 2:35 Removed trailing space in p~: Mungu hajanikasirikia.’

JER 2:35 Removed trailing space in p~: Lakini nitakuhukumu kwa sababu unasema,

JER 2:35 Removed trailing space in p~: ‘Mimi sijatenda dhambi.’

JER 2:36 Removed trailing space in v~: Kwa nini unatangatanga sana,

JER 2:36 Removed trailing space in p~: kubadili njia zako?

JER 2:36 Removed trailing space in p~: Utakatishwa tamaa na Misri

JER 2:36 Removed trailing space in p~: kama ulivyokatishwa na Ashuru.

JER 2:37 Removed trailing space in v~: Pia utaondoka mahali hapo

JER 2:37 Removed trailing space in p~: ukiwa umeweka mikono kichwani,

JER 2:37 Removed trailing space in p~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* amewakataa wale unaowatumainia;

JER 2:37 Removed trailing space in p~: hutasaidiwa nao.

JER 3:0 Extra space after chapter number

JER 3:0 Removed trailing space in c: 3

JER 3:0 Removed trailing space in s1: Israeli Asiye Mwaminifu

JER 3:1 Removed trailing space in v~: “Kama mtu akimpa talaka mkewe,

JER 3:1 Removed trailing space in p~: naye akamwacha na akaolewa na mtu mwingine,

JER 3:1 Removed trailing space in p~: je, huyo mume aweza kumrudia tena?

JER 3:1 Removed trailing space in p~: Je, hiyo nchi haitanajisika kabisa?

JER 3:1 Removed trailing space in p~: Lakini umeishi kama kahaba na wapenzi wengi:

JER 3:1 Removed trailing space in p~: je, sasa utanirudia tena?”

JER 3:1 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 3:2 Removed trailing space in v~: “Inua macho utazame miinuko iliyo kame na uone.

JER 3:2 Removed trailing space in p~: Je, pana mahali ambapo hawajalala nawe?

JER 3:2 Removed trailing space in p~: Uliketi kando ya barabara ukiwasubiri wapenzi,

JER 3:2 Removed trailing space in p~: ukakaa kama yeye ahamahamaye jangwani.

JER 3:2 Removed trailing space in p~: Umeinajisi nchi

JER 3:2 Removed trailing space in p~: kwa ukahaba wako na uovu wako.

JER 3:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mvua imezuiliwa,

JER 3:3 Removed trailing space in p~: nazo mvua za vuli hazikunyesha.

JER 3:3 Removed trailing space in p~: Hata hivyo, una uso usio na haya kama wa kahaba;

JER 3:3 Removed trailing space in p~: unakataa kutahayari kwa aibu.

JER 3:4 Removed trailing space in v~: Je, wewe hujaniita hivi punde tu:

JER 3:4 Removed trailing space in p~: ‘Baba yangu, rafiki yangu tangu ujana wangu,

JER 3:5 Removed trailing space in v~: je, utakasirika siku zote?

JER 3:5 Removed trailing space in p~: Je, ghadhabu yako itaendelea milele?’

JER 3:5 Removed trailing space in p~: Hivi ndivyo unavyozungumza,

JER 3:5 Removed trailing space in p~: lakini unafanya maovu yote uwezayo.”

JER 3:5 Removed trailing space in s1: Wito Kwa Ajili Ya Toba

JER 3:6 Removed trailing space in v~: Wakati wa utawala wa Mfalme Yosia, \nd Bwana\nd* aliniambia, “Umeona kile Israeli asiye mwaminifu amekifanya? Amepanda juu ya kila kilima kirefu, na chini ya kila mti uliotanda na amefanya uzinzi huko.

JER 3:7 Removed trailing space in v~: Mimi nilifikiri kuwa baada ya kuyafanya yote haya angelinirudia, lakini hakurudi, naye dada yake Yuda mdanganyifu aliona hili.

JER 3:8 Removed trailing space in v~: Nilimpa Israeli asiye mwaminifu hati yake ya talaka, na kumfukuza kwa ajili ya uzinzi wake wote. Hata hivyo nikaona kuwa Yuda dada yake mdanganyifu hakuogopa. Yeye pia alitoka na kufanya uzinzi.

JER 3:9 Removed trailing space in v~: Kwa sababu uasherati wa Israeli haukuwa kitu kwake, Yuda aliinajisi nchi kwa kuzini na mawe na miti.

JER 3:10 Removed trailing space in v~: Pamoja na hayo yote, Yuda dada yake mdanganyifu hakunirudia kwa moyo wake wote, bali kwa kujifanya tu,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 3:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Israeli asiye mwaminifu ana haki kuliko Yuda mdanganyifu.

JER 3:12 Removed trailing space in v~: Nenda, ukatangaze ujumbe huu kuelekea kaskazini:

JER 3:12 Removed trailing space in p~: “ ‘Rudi, Israeli usiye mwaminifu,’ asema \nd Bwana\nd*,

JER 3:12 Removed trailing space in p~: ‘sitakutazama tena kwa uso uliokunjamana,

JER 3:12 Removed trailing space in p~: kwa kuwa mimi ni mwenye huruma,’ asema \nd Bwana\nd*,

JER 3:12 Removed trailing space in p~: ‘Sitashika hasira yangu milele.

JER 3:13 Removed trailing space in v~: Ungama dhambi zako tu:

JER 3:13 Removed trailing space in p~: kwamba umemwasi \nd Bwana\nd* Mungu wako,

JER 3:13 Removed trailing space in p~: umetapanya wema wako kwa miungu ya kigeni

JER 3:13 Removed trailing space in p~: chini ya kila mti unaotanda,

JER 3:13 Removed trailing space in p~: nawe hukunitii mimi,’ ”

JER 3:13 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 3:14 Removed trailing space in v~: “Rudini, enyi watu msio waaminifu, kwa kuwa mimi ni mume wenu,” asema \nd Bwana\nd*. “Nitawachagua ninyi, mmoja kutoka kwenye mji, na wawili kutoka kwenye ukoo, nami nitawaleta Sayuni.

JER 3:15 Removed trailing space in v~: Kisha nitawapeni wachungaji wanipendezao moyo wangu, ambao watawaongoza kwa maarifa na ufahamu.

JER 3:16 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo, idadi yenu itakapokuwa imeongezeka sana katika nchi, watu hawatasema tena, ‘Sanduku la Agano la \nd Bwana\nd*,’ ” asema \nd Bwana\nd*. “Halitaingia tena kwenye mawazo yao wala kukumbukwa, hawatalihitaji wala halitatengenezwa jingine.

JER 3:17 Removed trailing space in v~: Wakati huo, wataita Yerusalemu kuwa Kiti cha Enzi cha \nd Bwana\nd*, nayo mataifa yote watakusanyika Yerusalemu kuliheshimu jina la \nd Bwana\nd*. Hawatafuata tena ukaidi wa mioyo yao miovu.

JER 3:18 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo, nyumba ya Yuda itaungana na nyumba ya Israeli, wao kwa pamoja watakuja kutoka nchi ya kaskazini hadi nchi niliyowapa baba zenu kama urithi.

JER 3:19 Removed trailing space in v~: “Mimi mwenyewe nilisema,

JER 3:19 Removed trailing space in p~: “ ‘Tazama jinsi nitakavyowatunza kwa furaha kama wana

JER 3:19 Removed trailing space in p~: na kuwapa nchi nzuri,

JER 3:19 Removed trailing space in p~: urithi ulio mzuri kuliko wa taifa jingine lolote.’

JER 3:19 Removed trailing space in p~: Nilidhani mngeniita ‘Baba,’

JER 3:19 Removed trailing space in p~: na msingegeuka, mkaacha kunifuata.

JER 3:20 Removed trailing space in v~: Lakini kama mwanamke asiye mwaminifu kwa mumewe,

JER 3:20 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo mmekosa uaminifu kwangu pia, ee nyumba ya Israeli,”

JER 3:20 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 3:21 Removed trailing space in v~: Kilio kinasikika juu ya miinuko iliyo kame,

JER 3:21 Removed trailing space in p~: kulia na kuomboleza kwa watu wa Israeli,

JER 3:21 Removed trailing space in p~: kwa sababu wamepotoka katika njia zao

JER 3:21 Removed trailing space in p~: na wamemsahau \nd Bwana\nd* Mungu wao.

JER 3:22 Removed trailing space in v~: “Rudini, enyi watu msio waaminifu,

JER 3:22 Removed trailing space in p~: nami nitawaponya ukengeufu wenu.”

JER 3:22 Removed trailing space in p~: “Naam, tutakuja kwako,

JER 3:22 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe ni \nd Bwana\nd* Mungu wetu.

JER 3:23 Removed trailing space in v~: Hakika zile ghasia za kuabudu sanamu kwenye vilima

JER 3:23 Removed trailing space in p~: na milimani ni udanganyifu;

JER 3:23 Removed trailing space in p~: hakika katika \nd Bwana\nd*, Mungu wetu,

JER 3:23 Removed trailing space in p~: uko wokovu wa Israeli.

JER 3:24 Removed trailing space in v~: Tangu ujana wetu miungu ya aibu imeyala

JER 3:24 Removed trailing space in p~: matunda ya kazi za baba zetu:

JER 3:24 Removed trailing space in p~: makundi yao ya kondoo na ngʼombe,

JER 3:24 Removed trailing space in p~: wana wao na binti zao.

JER 3:25 Removed trailing space in v~: Sisi na tulale chini katika aibu yetu,

JER 3:25 Removed trailing space in p~: na fedheha yetu itufunike.

JER 3:25 Removed trailing space in p~: Tumetenda dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

JER 3:25 Removed trailing space in p~: sisi na mababa zetu;

JER 3:25 Removed trailing space in p~: tangu ujana wetu hadi leo

JER 3:25 Removed trailing space in p~: hatukumtii \nd Bwana\nd* Mungu wetu.”

JER 4:0 Extra space after chapter number

JER 4:0 Removed trailing space in c: 4

JER 4:1 Removed trailing space in v~: “Ikiwa utataka kurudi, ee Israeli,

JER 4:1 Removed trailing space in p~: nirudie mimi,”

JER 4:1 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 4:1 Removed trailing space in p~: “Ikiwa utaondoa sanamu zako za kuchukiza mbele ya macho yangu

JER 4:1 Removed trailing space in p~: na usiendelee kutangatanga,

JER 4:2 Removed trailing space in v~: ikiwa kwa kweli, kwa haki na kwa unyofu utaapa,

JER 4:2 Removed trailing space in p~: ‘Kwa hakika kama vile \nd Bwana\nd* aishivyo,’

JER 4:2 Removed trailing space in p~: ndipo mataifa yatakapobarikiwa naye

JER 4:2 Removed trailing space in p~: na katika yeye watajitukuza.”

JER 4:3 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kwa watu wa Yuda na kwa Yerusalemu:

JER 4:3 Removed trailing space in p~: “Vunjeni mabonge kwenye mashamba yenu,

JER 4:3 Removed trailing space in p~: wala msipande katikati ya miiba.

JER 4:4 Removed trailing space in v~: Jitahirini katika \nd Bwana\nd*,

JER 4:4 Removed trailing space in p~: tahirini mioyo yenu,

JER 4:4 Removed trailing space in p~: enyi wanaume wa Yuda

JER 4:4 Removed trailing space in p~: na watu wa Yerusalemu,

JER 4:4 Removed trailing space in p~: la sivyo ghadhabu yangu itatoka kwa nguvu

JER 4:4 Removed trailing space in p~: na kuwaka kama moto

JER 4:4 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya uovu mliotenda,

JER 4:4 Removed trailing space in p~: ikiwaka pasipo wa kuizima.

JER 4:4 Removed trailing space in s1: Maafa Kutoka Kaskazini

JER 4:5 Removed trailing space in v~: “Tangaza katika Yuda na upige mbiu katika Yerusalemu na kusema:

JER 4:5 Removed trailing space in p~: ‘Piga tarumbeta katika nchi yote!’

JER 4:5 Removed trailing space in p~: Piga kelele na kusema:

JER 4:5 Removed trailing space in p~: ‘Kusanyikeni pamoja!

JER 4:5 Removed trailing space in p~: Tukimbilie katika miji yenye maboma!’

JER 4:6 Removed trailing space in v~: Onyesheni ishara ili kwenda Sayuni!

JER 4:6 Removed trailing space in p~: Kimbilieni usalama pasipo kuchelewa!

JER 4:6 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa ninaleta maafa kutoka kaskazini,

JER 4:6 Removed trailing space in p~: maangamizi ya kutisha.”

JER 4:7 Removed trailing space in v~: Simba ametoka nje ya pango lake,

JER 4:7 Removed trailing space in p~: mharabu wa mataifa amejipanga.

JER 4:7 Removed trailing space in p~: Ametoka mahali pake

JER 4:7 Removed trailing space in p~: ili aangamize nchi yenu.

JER 4:7 Removed trailing space in p~: Miji yenu itakuwa magofu

JER 4:7 Removed trailing space in p~: pasipo mtu wa kuishi humo.

JER 4:8 Removed trailing space in v~: Hivyo vaeni nguo za magunia,

JER 4:8 Removed trailing space in p~: ombolezeni na kulia kwa huzuni,

JER 4:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hasira kali ya \nd Bwana\nd*

JER 4:8 Removed trailing space in p~: haijaondolewa kwetu.

JER 4:9 Removed trailing space in v~: “Katika siku ile,” asema \nd Bwana\nd*

JER 4:9 Removed trailing space in p~: “mfalme na maafisa watakata tamaa,

JER 4:9 Removed trailing space in p~: makuhani watafadhaika,

JER 4:9 Removed trailing space in p~: na manabii watashangazwa mno.”

JER 4:10 Removed trailing space in v~: Ndipo niliposema, “Aa, \nd Bwana\nd* Mwenyezi, umewadanganyaje kabisa watu hawa na Yerusalemu kwa kusema, ‘Mtakuwa na amani,’ wakati upanga uko kwenye koo zetu!”

JER 4:11 Removed trailing space in v~: Wakati huo watu hawa na Yerusalemu wataambiwa, “Upepo wa moto kutoka miinuko iliyo kame katika jangwa unavuma kuelekea watu wangu, lakini sio kupepeta au kutakasa,

JER 4:12 Removed trailing space in v~: upepo wenye nguvu sana kuliko wa kupepeta na kutakasa utakuja kwa amri yangu. Sasa natangaza hukumu zangu dhidi yao.”

JER 4:13 Removed trailing space in v~: Tazama! Anakuja kama mawingu,

JER 4:13 Removed trailing space in p~: magari yake yanakuja kama upepo wa kisulisuli,

JER 4:13 Removed trailing space in p~: farasi wake wana mbio kuliko tai.

JER 4:13 Removed trailing space in p~: Ole wetu! Tunaangamia!

JER 4:14 Removed trailing space in v~: Ee Yerusalemu, usafishe uovu kutoka moyoni mwako na uokolewe.

JER 4:14 Removed trailing space in p~: Utaendelea kuficha mawazo mapotovu mpaka lini?

JER 4:15 Removed trailing space in v~: Sauti inatangaza kutoka Dani,

JER 4:15 Removed trailing space in p~: ikipiga mbiu ya maafa kutoka vilima vya Efraimu.

JER 4:16 Removed trailing space in v~: “Waambie mataifa jambo hili,

JER 4:16 Removed trailing space in p~: piga mbiu hii dhidi ya Yerusalemu:

JER 4:16 Removed trailing space in p~: ‘Jeshi la kuzingira linakuja kutoka nchi ya mbali,

JER 4:16 Removed trailing space in p~: likipiga kelele ya vita dhidi ya miji ya Yuda.

JER 4:17 Removed trailing space in v~: Wamemzunguka kama watu walindao shamba,

JER 4:17 Removed trailing space in p~: kwa sababu amefanya uasi dhidi yangu,’ ”

JER 4:17 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 4:18 Removed trailing space in v~: “Mwenendo wako na matendo yako mwenyewe

JER 4:18 Removed trailing space in p~: yameleta haya juu yako.

JER 4:18 Removed trailing space in p~: Hii ndiyo adhabu yako.

JER 4:18 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi ilivyo chungu!

JER 4:18 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi inavyochoma moyo!”

JER 4:19 Removed trailing space in v~: Ee mtima wangu, mtima wangu!

JER 4:19 Removed trailing space in p~: Ninagaagaa kwa maumivu.

JER 4:19 Removed trailing space in p~: Ee maumivu makuu ya moyo wangu!

JER 4:19 Removed trailing space in p~: Moyo wangu umefadhaika ndani yangu,

JER 4:19 Removed trailing space in p~: siwezi kunyamaza.

JER 4:19 Removed trailing space in p~: Kwa sababu nimesikia sauti ya tarumbeta,

JER 4:19 Removed trailing space in p~: nimesikia kelele ya vita.

JER 4:20 Removed trailing space in v~: Maafa baada ya maafa,

JER 4:20 Removed trailing space in p~: nchi yote imekuwa magofu.

JER 4:20 Removed trailing space in p~: Kwa ghafula mahema yangu yameangamizwa,

JER 4:20 Removed trailing space in p~: makazi yangu kwa muda mfupi.

JER 4:21 Removed trailing space in v~: Hata lini nitaendelea kuona bendera ya vita

JER 4:21 Removed trailing space in p~: na kusikia sauti za tarumbeta?

JER 4:22 Removed trailing space in v~: “Watu wangu ni wapumbavu,

JER 4:22 Removed trailing space in p~: hawanijui mimi.

JER 4:22 Removed trailing space in p~: Ni watoto wasio na akili,

JER 4:22 Removed trailing space in p~: hawana ufahamu.

JER 4:22 Removed trailing space in p~: Ni hodari kutenda mabaya,

JER 4:22 Removed trailing space in p~: hawajui kutenda yaliyo mema.”

JER 4:23 Removed trailing space in v~: Niliitazama dunia,

JER 4:23 Removed trailing space in p~: nayo haikuwa na umbo tena ni tupu;

JER 4:23 Removed trailing space in p~: niliziangalia mbingu,

JER 4:23 Removed trailing space in p~: mianga ilikuwa imetoweka.

JER 4:24 Removed trailing space in v~: Niliitazama milima, nayo ilikuwa ikitetemeka,

JER 4:24 Removed trailing space in p~: vilima vyote vilikuwa vikiyumbayumba.

JER 4:25 Removed trailing space in v~: Nilitazama, wala watu hawakuwepo;

JER 4:25 Removed trailing space in p~: kila ndege wa angani alikuwa ameruka zake.

JER 4:26 Removed trailing space in v~: Nilitazama, hata nchi iliyokuwa imestawi vizuri imekuwa jangwa,

JER 4:26 Removed trailing space in p~: miji yake yote ilikuwa magofu

JER 4:26 Removed trailing space in p~: mbele za \nd Bwana\nd*,

JER 4:26 Removed trailing space in p~: mbele ya hasira yake kali.

JER 4:27 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* asemavyo:

JER 4:27 Removed trailing space in p~: “Nchi yote itaharibiwa,

JER 4:27 Removed trailing space in p~: ingawa sitaiangamiza kabisa.

JER 4:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo dunia itaomboleza

JER 4:28 Removed trailing space in p~: na mbingu zilizo juu zitakuwa giza,

JER 4:28 Removed trailing space in p~: kwa sababu nimesema nami sitarudi nyuma,

JER 4:28 Removed trailing space in p~: nimeamua na wala sitageuka.”

JER 4:29 Removed trailing space in v~: Kwa sauti ya wapanda farasi na wapiga upinde

JER 4:29 Removed trailing space in p~: kila mji unakimbia.

JER 4:29 Removed trailing space in p~: Baadhi wanakimbilia vichakani,

JER 4:29 Removed trailing space in p~: baadhi wanapanda juu ya miamba.

JER 4:29 Removed trailing space in p~: Miji yote imeachwa,

JER 4:29 Removed trailing space in p~: hakuna aishiye ndani yake.

JER 4:30 Removed trailing space in v~: Unafanya nini, ewe uliyeharibiwa?

JER 4:30 Removed trailing space in p~: Kwa nini unajivika vazi jekundu

JER 4:30 Removed trailing space in p~: na kuvaa vito vya dhahabu?

JER 4:30 Removed trailing space in p~: Kwa nini unapaka macho yako rangi?

JER 4:30 Removed trailing space in p~: Unajipamba bure.

JER 4:30 Removed trailing space in p~: Wapenzi wako wanakudharau,

JER 4:30 Removed trailing space in p~: wanautafuta uhai wako.

JER 4:31 Removed trailing space in v~: Nasikia kilio kama cha mwanamke

JER 4:31 Removed trailing space in p~: katika utungu wa kuzaa,

JER 4:31 Removed trailing space in p~: kilio cha uchungu kama cha anayemzaa

JER 4:31 Removed trailing space in p~: mtoto wake wa kwanza:

JER 4:31 Removed trailing space in p~: kilio cha Binti Sayuni akitweta ili aweze kupumua,

JER 4:31 Removed trailing space in p~: akiinua mikono yake, akisema,

JER 4:31 Removed trailing space in p~: “Ole wangu! Ninazimia;

JER 4:31 Removed trailing space in p~: maisha yangu yamekabidhiwa kwa wauaji.”

JER 5:0 Extra space after chapter number

JER 5:0 Removed trailing space in c: 5

JER 5:0 Removed trailing space in s1: Hakuna Hata Mmoja Aliye Mkamilifu

JER 5:1 Removed trailing space in v~: “Pandeni na kushuka katika mitaa ya Yerusalemu,

JER 5:1 Removed trailing space in p~: tazameni pande zote na mtafakari,

JER 5:1 Removed trailing space in p~: tafuteni katika viwanja vyake.

JER 5:1 Removed trailing space in p~: Kama mtaweza kumpata hata mtu mmoja tu

JER 5:1 Removed trailing space in p~: atendaye kwa uaminifu na kutafuta kweli,

JER 5:1 Removed trailing space in p~: nitausamehe mji huu.

JER 5:2 Removed trailing space in v~: Ingawa wanasema, ‘Kwa hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo,’

JER 5:2 Removed trailing space in p~: bado wanaapa kwa uongo.”

JER 5:3 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, je, macho yako hayaitafuti kweli?

JER 5:3 Removed trailing space in p~: Uliwapiga, lakini hawakusikia maumivu,

JER 5:3 Removed trailing space in p~: uliwapondaponda, lakini walikataa maonyo.

JER 5:3 Removed trailing space in p~: Walifanya nyuso zao kuwa ngumu kuliko jiwe

JER 5:3 Removed trailing space in p~: nao walikataa kutubu.

JER 5:4 Removed trailing space in v~: Ndipo nikasema, “Hawa ni maskini tu;

JER 5:4 Removed trailing space in p~: wao ni wapumbavu,

JER 5:4 Removed trailing space in p~: kwa maana hawaijui njia ya \nd Bwana\nd*,

JER 5:4 Removed trailing space in p~: sheria ya Mungu wao.

JER 5:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitakwenda kwa viongozi

JER 5:5 Removed trailing space in p~: na kuzungumza nao,

JER 5:5 Removed trailing space in p~: hakika wao wanaijua njia ya \nd Bwana\nd*,

JER 5:5 Removed trailing space in p~: sheria ya Mungu wao.”

JER 5:5 Removed trailing space in p~: Lakini kwa nia moja nao pia walikuwa wameivunja nira

JER 5:5 Removed trailing space in p~: na kuvivunja vifungo.

JER 5:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo simba kutoka mwituni atawashambulia,

JER 5:6 Removed trailing space in p~: mbwa mwitu kutoka jangwani atawaangamiza,

JER 5:6 Removed trailing space in p~: chui atawavizia karibu na miji yao,

JER 5:6 Removed trailing space in p~: ili kumrarua vipande vipande yeyote atakayethubutu kutoka nje,

JER 5:6 Removed trailing space in p~: kwa maana maasi yao ni makubwa,

JER 5:6 Removed trailing space in p~: na kukengeuka kwao kumekuwa ni kwingi.

JER 5:7 Removed trailing space in v~: “Kwa nini niwasamehe?

JER 5:7 Removed trailing space in p~: Watoto wenu wameniacha na kuapa kwa miungu ambayo si miungu.

JER 5:7 Removed trailing space in p~: Niliwapatia mahitaji yao yote,

JER 5:7 Removed trailing space in p~: lakini bado wamefanya uzinzi na kusongana katika nyumba za makahaba.

JER 5:8 Removed trailing space in v~: Wamelishwa vizuri, kama farasi waume wenye tamaa nyingi,

JER 5:8 Removed trailing space in p~: kila mmoja akimlilia mke wa mwanaume mwingine.

JER 5:9 Removed trailing space in v~: Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya hili?”

JER 5:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 5:9 Removed trailing space in p~: “Je, nisijilipizie kisasi

JER 5:9 Removed trailing space in p~: juu ya taifa kama hili?

JER 5:10 Removed trailing space in v~: “Piteni katika mashamba yake ya mizabibu na kuyaharibu,

JER 5:10 Removed trailing space in p~: lakini msiangamize kabisa.

JER 5:10 Removed trailing space in p~: Pogoeni matawi yake,

JER 5:10 Removed trailing space in p~: kwa kuwa watu hawa sio wa \nd Bwana\nd*.

JER 5:11 Removed trailing space in v~: Nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda

JER 5:11 Removed trailing space in p~: wamekuwa si waaminifu kwangu kamwe,”

JER 5:11 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 5:12 Removed trailing space in v~: Wamedanganya kuhusu \nd Bwana\nd*.

JER 5:12 Removed trailing space in p~: Wamesema, “Yeye hatafanya jambo lolote!

JER 5:12 Removed trailing space in p~: Hakuna dhara litakalotupata;

JER 5:12 Removed trailing space in p~: kamwe hatutaona upanga wala njaa.

JER 5:13 Removed trailing space in v~: Manabii ni upepo tu, wala neno halimo ndani yao,

JER 5:13 Removed trailing space in p~: kwa hiyo hayo wayasemayo na yatendeke kwao.”

JER 5:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote:

JER 5:14 Removed trailing space in p~: “Kwa sababu watu hawa wamesema maneno haya,

JER 5:14 Removed trailing space in p~: nitayafanya maneno yangu vinywani mwenu kuwa moto,

JER 5:14 Removed trailing space in p~: na watu hawa wawe kuni

JER 5:14 Removed trailing space in p~: zinazoliwa na huo moto.

JER 5:15 Removed trailing space in v~: Ee nyumba ya Israeli,” asema \nd Bwana\nd*,

JER 5:15 Removed trailing space in p~: “Ninaleta taifa toka mbali dhidi yako,

JER 5:15 Removed trailing space in p~: taifa la kale na linaloendelea kudumu,

JER 5:15 Removed trailing space in p~: taifa ambalo lugha yao huijui,

JER 5:15 Removed trailing space in p~: wala msemo wao huwezi kuuelewa.

JER 5:16 Removed trailing space in v~: Podo zao ni kama kaburi lililo wazi,

JER 5:16 Removed trailing space in p~: wote ni mashujaa hodari wa vita.

JER 5:17 Removed trailing space in v~: Watayaangamiza mazao yenu na chakula chenu,

JER 5:17 Removed trailing space in p~: wataangamiza wana wenu na mabinti zenu;

JER 5:17 Removed trailing space in p~: wataangamiza makundi yenu ya kondoo na ya ngʼombe,

JER 5:17 Removed trailing space in p~: wataangamiza mizabibu yenu na mitini yenu.

JER 5:17 Removed trailing space in p~: Kwa upanga wataangamiza

JER 5:17 Removed trailing space in p~: miji yenye maboma mliyoitumainia.

JER 5:18 Removed trailing space in v~: “Hata hivyo katika siku hizo, sitakuangamiza kabisa,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 5:19 Removed trailing space in v~: “Nao watu watakapouliza, ‘Kwa nini \nd Bwana\nd*, Mungu wetu ametufanyia mambo haya yote?’ utawaambia, ‘Kama vile mlivyoniacha mimi na kutumikia miungu migeni katika nchi yenu wenyewe, ndivyo sasa mtakavyowatumikia wageni katika nchi ambayo si yenu.’

JER 5:20 Removed trailing space in v~: “Itangazie nyumba ya Yakobo hili

JER 5:20 Removed trailing space in p~: na ulipigie mbiu katika Yuda:

JER 5:21 Removed trailing space in v~: Sikieni hili, enyi watu wapumbavu, msio na akili,

JER 5:21 Removed trailing space in p~: mlio na macho lakini hamwoni,

JER 5:21 Removed trailing space in p~: mlio na masikio lakini hamsikii:

JER 5:22 Removed trailing space in v~: Je, haiwapasi kuniogopa mimi?” asema \nd Bwana\nd*.

JER 5:22 Removed trailing space in p~: “Je, haiwapasi kutetemeka mbele zangu?

JER 5:22 Removed trailing space in p~: Niliufanya mchanga kuwa mpaka wa bahari,

JER 5:22 Removed trailing space in p~: kizuizi cha milele ambacho haiwezi kupita.

JER 5:22 Removed trailing space in p~: Mawimbi yanaweza kuumuka, lakini hayawezi kuupita;

JER 5:22 Removed trailing space in p~: yanaweza kunguruma, lakini hayawezi kuuvuka.

JER 5:23 Removed trailing space in v~: Lakini watu hawa wana mioyo ya ukaidi na ya uasi,

JER 5:23 Removed trailing space in p~: wamegeukia mbali na kwenda zao.

JER 5:24 Removed trailing space in v~: Wao hawaambiani wenyewe,

JER 5:24 Removed trailing space in p~: ‘Sisi na tumwogope \nd Bwana\nd* Mungu wetu,

JER 5:24 Removed trailing space in p~: anayetupatia mvua za masika na za vuli kwa majira yake,

JER 5:24 Removed trailing space in p~: anayetuhakikishia majuma ya mavuno kwa utaratibu.’

JER 5:25 Removed trailing space in v~: Matendo yenu mabaya yamezuia haya yote,

JER 5:25 Removed trailing space in p~: dhambi zenu zimewazuia msipate mema.

JER 5:26 Removed trailing space in v~: “Miongoni mwa watu wangu wamo walio waovu

JER 5:26 Removed trailing space in p~: wanaovizia kama watu wanaotega ndege,

JER 5:26 Removed trailing space in p~: na kama wale wanaoweka mitego

JER 5:26 Removed trailing space in p~: kuwakamata watu.

JER 5:27 Removed trailing space in v~: Kama vitundu vilivyojaa ndege,

JER 5:27 Removed trailing space in p~: nyumba zao zimejaa udanganyifu;

JER 5:27 Removed trailing space in p~: wamekuwa matajiri na wenye nguvu,

JER 5:28 Removed trailing space in v~: wamenenepa na kunawiri.

JER 5:28 Removed trailing space in p~: Matendo yao maovu hayana kikomo;

JER 5:28 Removed trailing space in p~: hawatetei mashauri ya yatima wapate kushinda,

JER 5:28 Removed trailing space in p~: hawatetei haki za maskini.

JER 5:29 Removed trailing space in v~: Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya hili?”

JER 5:29 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 5:29 Removed trailing space in p~: “Je, nisijilipizie kisasi

JER 5:29 Removed trailing space in p~: juu ya taifa kama hili?

JER 5:30 Removed trailing space in v~: “Jambo la kutisha na kushtusha

JER 5:30 Removed trailing space in p~: limetokea katika nchi hii:

JER 5:31 Removed trailing space in v~: Manabii wanatabiri uongo,

JER 5:31 Removed trailing space in p~: makuhani wanatawala kwa mamlaka yao wenyewe,

JER 5:31 Removed trailing space in p~: nao watu wangu wanapenda hivyo.

JER 5:31 Removed trailing space in p~: Lakini mtafanya nini mwisho wake?

JER 6:0 Extra space after chapter number

JER 6:0 Removed trailing space in c: 6

JER 6:0 Removed trailing space in s1: Yerusalemu Imezingirwa Na Jeshi

JER 6:1 Removed trailing space in v~: “Kimbieni kwa usalama wenu, enyi watu wa Benyamini!

JER 6:1 Removed trailing space in p~: Kimbieni kutoka Yerusalemu!

JER 6:1 Removed trailing space in p~: Pigeni tarumbeta katika Tekoa!

JER 6:1 Removed trailing space in p~: Inueni ishara juu ya Beth-Hakeremu!

JER 6:1 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa maafa yanaonekana yakitoka kaskazini,

JER 6:1 Removed trailing space in p~: na uharibifu wa kutisha.

JER 6:2 Removed trailing space in v~: Nitamwangamiza Binti Sayuni,

JER 6:2 Removed trailing space in p~: aliye mzuri sana na mwororo.

JER 6:3 Removed trailing space in v~: Wachungaji pamoja na makundi yao

JER 6:3 Removed trailing space in p~: watakuja dhidi yake;

JER 6:3 Removed trailing space in p~: watapiga mahema yao kumzunguka,

JER 6:3 Removed trailing space in p~: kila mmoja akichunga kundi lake mwenyewe.”

JER 6:4 Removed trailing space in v~: “Jiandaeni kwa vita dhidi yake!

JER 6:4 Removed trailing space in p~: Inukeni tumshambulie mchana!

JER 6:4 Removed trailing space in p~: Lakini, ole wetu, mchana unaisha,

JER 6:4 Removed trailing space in p~: na vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.

JER 6:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo inukeni, tufanye mashambulizi usiku,

JER 6:5 Removed trailing space in p~: na kuharibu ngome zake!”

JER 6:6 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 6:6 Removed trailing space in p~: “Kateni miti mjenge boma

JER 6:6 Removed trailing space in p~: kuzunguka Yerusalemu.

JER 6:6 Removed trailing space in p~: Mji huu ni lazima uadhibiwe,

JER 6:6 Removed trailing space in p~: umejazwa na uonevu.

JER 6:7 Removed trailing space in v~: Kama vile kisima kinavyomwaga maji yake,

JER 6:7 Removed trailing space in p~: ndivyo anavyomwaga uovu wake.

JER 6:7 Removed trailing space in p~: Ukatili na maangamizi yasikika ndani yake,

JER 6:7 Removed trailing space in p~: ugonjwa wake na majeraha yake viko mbele yangu daima.

JER 6:8 Removed trailing space in v~: Pokea onyo, ee Yerusalemu,

JER 6:8 Removed trailing space in p~: la sivyo nitageukia mbali nawe

JER 6:8 Removed trailing space in p~: na kuifanya nchi yako kuwa ukiwa,

JER 6:8 Removed trailing space in p~: asiweze mtu kuishi ndani yake.”

JER 6:9 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 6:9 Removed trailing space in p~: “Wao na wayakusanye mabaki ya Israeli

JER 6:9 Removed trailing space in p~: kwa uangalifu kama kwenye mzabibu;

JER 6:9 Removed trailing space in p~: pitisha mkono wako kwenye matawi tena,

JER 6:9 Removed trailing space in p~: kama yeye avunaye zabibu.”

JER 6:10 Removed trailing space in v~: Niseme na nani na kumpa onyo?

JER 6:10 Removed trailing space in p~: Ni nani atakayenisikiliza mimi?

JER 6:10 Removed trailing space in p~: Masikio yao yameziba,\f + \fr 6:10 \ft Masikio yameziba kwa Kiebrania ina maana kwamba masikio yao hayajatahiriwa.\f*

JER 6:10 Removed trailing space in p~: kwa hiyo hawawezi kusikia.

JER 6:10 Removed trailing space in p~: Neno la \nd Bwana\nd* ni chukizo kwao,

JER 6:10 Removed trailing space in p~: hawalifurahii.

JER 6:11 Removed trailing space in v~: Lakini nimejaa ghadhabu ya \nd Bwana\nd*,

JER 6:11 Removed trailing space in p~: nami siwezi kuizuia.

JER 6:11 Removed trailing space in p~: “Wamwagie watoto walioko barabarani,

JER 6:11 Removed trailing space in p~: na juu ya vijana waume waliokusanyika;

JER 6:11 Removed trailing space in p~: mume na mke watakumbwa pamoja ndani yake,

JER 6:11 Removed trailing space in p~: hata nao wazee waliolemewa na miaka.

JER 6:12 Removed trailing space in v~: Nyumba zao zitapewa watu wengine,

JER 6:12 Removed trailing space in p~: pamoja na mashamba yao na wake zao,

JER 6:12 Removed trailing space in p~: nitakapounyoosha mkono wangu

JER 6:12 Removed trailing space in p~: dhidi ya wale waishio katika nchi,”

JER 6:12 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 6:13 Removed trailing space in v~: “Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkubwa kabisa,

JER 6:13 Removed trailing space in p~: wote wana tamaa ya kupata faida zaidi;

JER 6:13 Removed trailing space in p~: manabii na makuhani wanafanana,

JER 6:13 Removed trailing space in p~: wote wanafanya udanganyifu.

JER 6:14 Removed trailing space in v~: Wanafunga majeraha ya watu wangu

JER 6:14 Removed trailing space in p~: bila uangalifu.

JER 6:14 Removed trailing space in p~: Wanasema, ‘Amani, amani,’

JER 6:14 Removed trailing space in p~: wakati hakuna amani.

JER 6:15 Removed trailing space in v~: Je, wanaona aibu kwa ajili ya tabia yao

JER 6:15 Removed trailing space in p~: inayochukiza mno?

JER 6:15 Removed trailing space in p~: Hapana, hawana aibu hata kidogo;

JER 6:15 Removed trailing space in p~: hawajui hata kuona haya.

JER 6:15 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo wataanguka miongoni mwa hao walioanguka,

JER 6:15 Removed trailing space in p~: watashushwa chini nitakapowaadhibu,”

JER 6:15 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 6:16 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*:

JER 6:16 Removed trailing space in p~: “Simama kwenye njia panda utazame,

JER 6:16 Removed trailing space in p~: ulizia mapito ya zamani,

JER 6:16 Removed trailing space in p~: ulizia wapi ilipo njia nzuri, uifuate hiyo,

JER 6:16 Removed trailing space in p~: nanyi mtapata raha nafsini mwenu.

JER 6:16 Removed trailing space in p~: Lakini ninyi mlisema, ‘Hatutaipita hiyo.’

JER 6:17 Removed trailing space in v~: Niliweka walinzi juu yenu na kusema,

JER 6:17 Removed trailing space in p~: ‘Sikieni sauti ya tarumbeta!’

JER 6:17 Removed trailing space in p~: Lakini mkasema, ‘Hatutasikiliza.’

JER 6:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo sikilizeni, enyi mataifa,

JER 6:18 Removed trailing space in p~: angalieni, enyi mashahidi,

JER 6:18 Removed trailing space in p~: lile litakalowatokea.

JER 6:19 Removed trailing space in v~: Sikia, ee nchi:

JER 6:19 Removed trailing space in p~: Ninaleta maafa juu ya watu hawa,

JER 6:19 Removed trailing space in p~: matunda ya mipango yao,

JER 6:19 Removed trailing space in p~: kwa sababu hawakusikiliza maneno yangu

JER 6:19 Removed trailing space in p~: na wameikataa sheria yangu.

JER 6:20 Removed trailing space in v~: Unanifaa nini uvumba kutoka Sheba,

JER 6:20 Removed trailing space in p~: au udi wa harufu nzuri kutoka nchi ya mbali?

JER 6:20 Removed trailing space in p~: Sadaka zako za kuteketezwa hazikubaliki,

JER 6:20 Removed trailing space in p~: dhabihu zako hazinifurahishi mimi.”

JER 6:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*:

JER 6:21 Removed trailing space in p~: “Nitaweka vikwazo mbele ya watu hawa.

JER 6:21 Removed trailing space in p~: Baba na wana wao watajikwaa juu yake,

JER 6:21 Removed trailing space in p~: majirani na marafiki wataangamia.”

JER 6:22 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*:

JER 6:22 Removed trailing space in p~: “Tazama, jeshi linakuja

JER 6:22 Removed trailing space in p~: kutoka nchi ya kaskazini,

JER 6:22 Removed trailing space in p~: taifa kubwa linaamshwa

JER 6:22 Removed trailing space in p~: kutoka miisho ya dunia.

JER 6:23 Removed trailing space in v~: Wamejifunga pinde na mkuki,

JER 6:23 Removed trailing space in p~: ni wakatili na hawana huruma.

JER 6:23 Removed trailing space in p~: Wanatoa sauti kama bahari inayonguruma

JER 6:23 Removed trailing space in p~: wanapoendesha farasi zao.

JER 6:23 Removed trailing space in p~: Wanakuja kama watu waliojipanga tayari kwa vita

JER 6:23 Removed trailing space in p~: ili kukushambulia, ee Binti Sayuni.”

JER 6:24 Removed trailing space in v~: Tumesikia taarifa zao,

JER 6:24 Removed trailing space in p~: nayo mikono yetu imelegea.

JER 6:24 Removed trailing space in p~: Uchungu umetushika,

JER 6:24 Removed trailing space in p~: maumivu kama ya mwanamke katika utungu wa kuzaa.

JER 6:25 Removed trailing space in v~: Usitoke kwenda mashambani

JER 6:25 Removed trailing space in p~: au kutembea barabarani,

JER 6:25 Removed trailing space in p~: kwa kuwa adui ana upanga,

JER 6:25 Removed trailing space in p~: na kuna vitisho kila upande.

JER 6:26 Removed trailing space in v~: Enyi watu wangu, vaeni magunia

JER 6:26 Removed trailing space in p~: mjivingirishe kwenye majivu,

JER 6:26 Removed trailing space in p~: ombolezeni kwa kilio cha uchungu

JER 6:26 Removed trailing space in p~: kama amliliaye mwana pekee,

JER 6:26 Removed trailing space in p~: kwa maana ghafula

JER 6:26 Removed trailing space in p~: mharabu atatujia.

JER 6:27 Removed trailing space in v~: “Nimekufanya wewe kuwa kitu cha kujaribu chuma,

JER 6:27 Removed trailing space in p~: nao watu wangu kama mawe yenye madini,

JER 6:27 Removed trailing space in p~: ili upate kuzijua na kuzijaribu njia zao.

JER 6:28 Removed trailing space in v~: Wote ni waasi sugu,

JER 6:28 Removed trailing space in p~: wakienda huku na huko kusengenya.

JER 6:28 Removed trailing space in p~: Wao ni shaba na chuma,

JER 6:28 Removed trailing space in p~: wote wanatenda upotovu.

JER 6:29 Removed trailing space in v~: Mivuo inavuma kwa nguvu,

JER 6:29 Removed trailing space in p~: kinachoungua kwa huo moto ni risasi,

JER 6:29 Removed trailing space in p~: lakini pamoja na kusafisha kote huku ni bure;

JER 6:29 Removed trailing space in p~: waovu hawaondolewi.

JER 6:30 Removed trailing space in v~: Wanaitwa fedha iliyokataliwa,

JER 6:30 Removed trailing space in p~: kwa sababu \nd Bwana\nd* amewakataa.”

JER 7:0 Extra space after chapter number

JER 7:0 Removed trailing space in c: 7

JER 7:0 Removed trailing space in s1: Dini Za Uongo Hazina Maana

JER 7:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 7:2 Removed trailing space in v~: “Simama kwenye lango la nyumba ya \nd Bwana\nd*, na huko upige mbiu ya ujumbe huu:

JER 7:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi watu wote wa Yuda mliokuja kupitia malango haya ili kumwabudu \nd Bwana\nd*.

JER 7:3 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Tengenezeni njia zenu na matendo yenu, nami nitawaacha mkae mahali hapa.

JER 7:4 Removed trailing space in v~: Msitumainie maneno ya udanganyifu na kusema, “Hili ni Hekalu la \nd Bwana\nd*, Hekalu la \nd Bwana\nd*, Hekalu la \nd Bwana\nd*!”

JER 7:5 Removed trailing space in v~: Kama kweli mkibadili njia zenu na matendo yenu, mkatendeana haki kila mmoja na mwenzake,

JER 7:6 Removed trailing space in v~: kama msipomwonea mgeni, yatima wala mjane, na kumwaga damu isiyo na hatia mahali hapa, nanyi kama msipofuata miungu mingine kwa madhara yenu wenyewe,

JER 7:7 Removed trailing space in v~: ndipo nitawaacha mkae mahali hapa, katika nchi niliyowapa baba zenu milele na milele.

JER 7:8 Removed trailing space in v~: Lakini tazama, mnatumainia maneno ya udanganyifu yasiyo na maana.

JER 7:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Je, mtaiba na kuua, mtazini na kuapa kwa uongo, na kufukiza uvumba kwa Baali, na kufuata miungu mingine ambayo hamkuijua,

JER 7:10 Removed trailing space in v~: kisha mje na kusimama mbele yangu katika nyumba hii inayoitwa kwa Jina langu, mkisema, “Tuko salama.” Salama kwa kufanya mambo haya yote ya kuchukiza?

JER 7:11 Removed trailing space in v~: Je, nyumba hii, iitwayo kwa Jina langu, imekuwa pango la wanyangʼanyi kwenu? Lakini nimekuwa nikiona yanayotendeka! asema \nd Bwana\nd*.

JER 7:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Nendeni sasa mahali pangu palipokuwa huko Shilo, mahali ambapo nilipafanya pa kwanza kuwa makao ya Jina langu, nanyi mwone lile nililopafanyia kwa ajili ya uovu wa watu wangu Israeli.

JER 7:13 Removed trailing space in v~: Mlipokuwa mnafanya yote haya, asema \nd Bwana\nd*, nilisema nanyi tena na tena, lakini hamkusikiliza; niliwaita, lakini hamkujibu.

JER 7:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, nililolifanyia Shilo, nitalifanya sasa kwa nyumba hii iitwayo kwa Jina langu, Hekalu mnalolitumainia, mahali nilipowapa ninyi na baba zenu.

JER 7:15 Removed trailing space in v~: Nitawafukuza mbele yangu, kama nilivyowafanyia ndugu zenu, watu wa Efraimu.’

JER 7:16 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo usiombe kwa ajili ya watu hawa, wala usinililie, na usifanye maombi kwa ajili yao; usinisihi, kwa sababu sitakusikiliza.

JER 7:17 Removed trailing space in v~: Je, huyaoni hayo wanayoyatenda katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu?

JER 7:18 Removed trailing space in v~: Watoto wanakusanya kuni, baba zao wanawasha moto, na wanawake wanakanda unga na kuoka mikate kwa ajili ya Malkia wa Mbinguni. Wanamimina sadaka za vinywaji kwa miungu mingine ili kunikasirisha.

JER 7:19 Removed trailing space in v~: Lakini je, mimi ndiye wanayenikasirisha? asema \nd Bwana\nd*. Je, hawajiumizi wenyewe na kujiaibisha?

JER 7:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenyezi: Hasira yangu na ghadhabu yangu itamwagwa mahali hapa, juu ya mwanadamu na mnyama, juu ya miti ya shambani na juu ya matunda ya ardhini, nayo itaungua pasipo kuzimwa.

JER 7:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Endeleeni, ongezeni sadaka zenu za kuteketezwa juu ya dhabihu zenu nyingine, mle nyama hiyo wenyewe!

JER 7:22 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa nilipowaleta baba zenu kutoka Misri na kusema nao, sikuwapa amri kuhusu sadaka za kuteketezwa na dhabihu tu,

JER 7:23 Removed trailing space in v~: lakini niliwapa amri hii nikisema: Nitiini mimi, nami nitakuwa Mungu wenu nanyi mtakuwa watu wangu. Enendeni katika njia zote ninazowaamuru ili mpate kufanikiwa.

JER 7:24 Removed trailing space in v~: Lakini hawakusikiliza wala kujali. Badala yake, walifuata ukaidi wa mioyo yao miovu. Walirudi nyuma badala ya kusonga mbele.

JER 7:25 Removed trailing space in v~: Tangu wakati ule baba zenu walipotoka Misri hadi sasa, siku baada ya siku, tena na tena nimewatumia watumishi wangu manabii.

JER 7:26 Removed trailing space in v~: Lakini hawakunisikiliza wala hawakujali. Walikuwa na shingo ngumu na kufanya maovu kuliko baba zao.’

JER 7:27 Removed trailing space in v~: “Utakapowaambia haya yote, hawatakusikiliza; utakapowaita, hawatajibu.

JER 7:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo waambie, ‘Hili ni taifa ambalo halimtii \nd Bwana\nd*, Mungu wao, wala kukubali maonyo. Kweli imekufa, imetoweka midomoni mwao.

JER 7:29 Removed trailing space in v~: Nyoeni nywele zenu na kuzitupa, ombolezeni katika miinuko iliyo kame, kwa kuwa \nd Bwana\nd* amekikataa na kukiacha kizazi hiki kilichomkasirisha.

JER 7:29 Removed trailing space in s1: Bonde La Machinjo

JER 7:30 Removed trailing space in v~: “ ‘Watu wa Yuda wamefanya maovu machoni pangu, asema \nd Bwana\nd*. Wameziweka sanamu zao za machukizo ndani ya nyumba iitwayo kwa Jina langu, na wameitia unajisi.

JER 7:31 Removed trailing space in v~: Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia sanamu pa Tofethi kwenye Bonde la Ben-Hinomu ili kuwateketeza wana wao na binti zao kwenye moto, kitu ambacho sikuamuru, wala hakikuingia akilini mwangu.

JER 7:32 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mjihadhari, siku zinakuja, asema \nd Bwana\nd*, wakati watu watakapokuwa hawapaiti Tofethi au Bonde la Ben-Hinomu, lakini watapaita Bonde la Machinjo, kwa sababu watawazika wafu huko Tofethi mpaka pasiwe tena nafasi.

JER 7:33 Removed trailing space in v~: Ndipo mizoga ya watu hawa itakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi, wala hapatakuwepo na yeyote wa kuwafukuza.

JER 7:34 Removed trailing space in v~: Nitazikomesha sauti za shangwe na furaha, na sauti za bwana arusi na bibi arusi katikati ya miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu, kwa sababu nchi itakuwa ukiwa.

JER 8:0 Extra space after chapter number

JER 8:0 Removed trailing space in c: 8

JER 8:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati huo, asema \nd Bwana\nd*, mifupa ya wafalme na maafisa wa Yuda, mifupa ya makuhani na manabii, na mifupa ya watu wa Yerusalemu itaondolewa kutoka makaburi yao.

JER 8:2 Removed trailing space in v~: Itawekwa wazi kwa jua, na mwezi, na nyota zote za mbingu, ambazo walizipenda na kuzitumikia, na ambazo wamezifuata kutafuta ushauri na kuziabudu. Hawatakusanywa pamoja au kuzikwa, lakini watakuwa kama mavi yaliyotapakaa juu ya ardhi.

JER 8:3 Removed trailing space in v~: Popote nitakapowafukuzia, mabaki wote wa kizazi hiki kiovu watatamani kufa kuliko kuishi, asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.’

JER 8:3 Removed trailing space in s1: Dhambi Na Adhabu

JER 8:4 Removed trailing space in v~: “Waambie, ‘Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd*:

JER 8:4 Removed trailing space in p~: “ ‘Je, watu wanapoanguka hawainuki?

JER 8:4 Removed trailing space in p~: Je, mtu anapopotea harudi?

JER 8:5 Removed trailing space in v~: Kwa nini basi watu hawa walipotea?

JER 8:5 Removed trailing space in p~: Kwa nini Yerusalemu inapotea kila mara?

JER 8:5 Removed trailing space in p~: Wanangʼangʼania udanganyifu

JER 8:5 Removed trailing space in p~: na wanakataa kurudi.

JER 8:6 Removed trailing space in v~: Nimewasikiliza kwa makini,

JER 8:6 Removed trailing space in p~: lakini hawataki kusema lililo sawa.

JER 8:6 Removed trailing space in p~: Hakuna anayetubia makosa yake

JER 8:6 Removed trailing space in p~: akisema, “Nimefanya nini?”

JER 8:6 Removed trailing space in p~: Kila mmoja hufuata njia yake mwenyewe

JER 8:6 Removed trailing space in p~: kama farasi anayekwenda vitani.

JER 8:7 Removed trailing space in v~: Hata korongo aliyeko angani

JER 8:7 Removed trailing space in p~: anayajua majira yake yaliyoamriwa,

JER 8:7 Removed trailing space in p~: nao njiwa, mbayuwayu na koikoi

JER 8:7 Removed trailing space in p~: hufuata majira yao ya kurudi.

JER 8:7 Removed trailing space in p~: Lakini watu wangu hawajui

JER 8:7 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* anachotaka kwao.

JER 8:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Mwawezaje kusema, “Sisi tuna busara

JER 8:8 Removed trailing space in p~: kwa sababu tunayo sheria ya \nd Bwana\nd*,”

JER 8:8 Removed trailing space in p~: wakati ambapo kwa hakika kalamu ya uongo ya waandishi

JER 8:8 Removed trailing space in p~: imeandika kwa udanganyifu?

JER 8:9 Removed trailing space in v~: Wenye hekima wataaibika,

JER 8:9 Removed trailing space in p~: watafadhaika na kunaswa.

JER 8:9 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa wamelikataa neno la \nd Bwana\nd*,

JER 8:9 Removed trailing space in p~: hiyo hekima waliyo nayo ni ya namna gani?

JER 8:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitawapa watu wengine wake zao,

JER 8:10 Removed trailing space in p~: na mashamba yao kwa wamiliki wengine.

JER 8:10 Removed trailing space in p~: Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkubwa kabisa,

JER 8:10 Removed trailing space in p~: wote wana tamaa ya kupata zaidi;

JER 8:10 Removed trailing space in p~: manabii na makuhani wanafanana,

JER 8:10 Removed trailing space in p~: wote wanafanya udanganyifu.

JER 8:11 Removed trailing space in v~: Wanafunga majeraha ya watu wangu

JER 8:11 Removed trailing space in p~: bila uangalifu.

JER 8:11 Removed trailing space in p~: Wanasema, “Amani, amani,”

JER 8:11 Removed trailing space in p~: wakati hakuna amani.

JER 8:12 Removed trailing space in v~: Je, wanaona aibu kwa ajili ya tabia yao inayochukiza mno?

JER 8:12 Removed trailing space in p~: Hapana, hawana aibu hata kidogo,

JER 8:12 Removed trailing space in p~: hawajui hata kuona haya.

JER 8:12 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo wataanguka miongoni mwa hao walioanguka,

JER 8:12 Removed trailing space in p~: watashushwa chini watakapoadhibiwa,

JER 8:12 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 8:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Nitayaondoa mavuno yao,

JER 8:13 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 8:13 Removed trailing space in p~: Hapatakuwepo zabibu kwenye mzabibu.

JER 8:13 Removed trailing space in p~: Hapatakuwepo na tini kwenye mtini,

JER 8:13 Removed trailing space in p~: majani yake yatanyauka.

JER 8:13 Removed trailing space in p~: Kile nilichowapa

JER 8:13 Removed trailing space in p~: watanyangʼanywa.’ ”

JER 8:14 Removed trailing space in v~: “Kwa nini tunaketi hapa?

JER 8:14 Removed trailing space in p~: Kusanyikeni pamoja!

JER 8:14 Removed trailing space in p~: Tukimbilie kwenye miji yenye maboma,

JER 8:14 Removed trailing space in p~: tukaangamie huko!

JER 8:14 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd*, Mungu wetu

JER 8:14 Removed trailing space in p~: ametuhukumu kuangamia,

JER 8:14 Removed trailing space in p~: na kutupa maji yenye sumu tunywe,

JER 8:14 Removed trailing space in p~: kwa sababu tumemtenda dhambi.

JER 8:15 Removed trailing space in v~: Tulitegemea amani,

JER 8:15 Removed trailing space in p~: lakini hakuna jema lililokuja,

JER 8:15 Removed trailing space in p~: tulitegemea wakati wa kupona,

JER 8:15 Removed trailing space in p~: lakini kulikuwa hofu tu.

JER 8:16 Removed trailing space in v~: Mkoromo wa farasi za adui

JER 8:16 Removed trailing space in p~: umesikika kuanzia Dani,

JER 8:16 Removed trailing space in p~: kwa mlio wa madume yao ya farasi,

JER 8:16 Removed trailing space in p~: nchi yote inatetemeka.

JER 8:16 Removed trailing space in p~: Wamekuja kuangamiza nchi na vyote vilivyomo,

JER 8:16 Removed trailing space in p~: mji na wote waishio ndani yake.”

JER 8:17 Removed trailing space in v~: “Tazama, nitatuma nyoka wenye sumu kali katikati yenu,

JER 8:17 Removed trailing space in p~: fira ambao hawawezi kulogwa,

JER 8:17 Removed trailing space in p~: nao watawauma,”

JER 8:17 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 8:18 Removed trailing space in v~: Ee Mfariji wangu katika huzuni,

JER 8:18 Removed trailing space in p~: moyo wangu umezimia ndani yangu.

JER 8:19 Removed trailing space in v~: Sikia kilio cha watu wangu

JER 8:19 Removed trailing space in p~: kutoka nchi ya mbali:

JER 8:19 Removed trailing space in p~: “Je, \nd Bwana\nd* hayuko Sayuni?

JER 8:19 Removed trailing space in p~: Je, Mfalme wake hayuko tena huko?”

JER 8:19 Removed trailing space in p~: “Kwa nini wamenikasirisha kwa vinyago vyao,

JER 8:19 Removed trailing space in p~: kwa sanamu zao za kigeni zisizofaa?”

JER 8:20 Removed trailing space in v~: “Mavuno yamepita,

JER 8:20 Removed trailing space in p~: kiangazi kimekwisha,

JER 8:20 Removed trailing space in p~: nasi hatujaokolewa.”

JER 8:21 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa watu wangu wamepondwa, nami nimepondeka pia;

JER 8:21 Removed trailing space in p~: ninaomboleza, nayo hofu kuu imenishika.

JER 8:22 Removed trailing space in v~: Je, hakuna zeri ya kuponya katika Gileadi?

JER 8:22 Removed trailing space in p~: Je, hakuna tabibu huko?

JER 8:22 Removed trailing space in p~: Kwa nini basi hakuna uponyaji

JER 8:22 Removed trailing space in p~: wa majeraha ya watu wangu?

JER 9:0 Extra space after chapter number

JER 9:0 Removed trailing space in c: 9

JER 9:1 Removed trailing space in v~: Laiti kichwa changu kingekuwa chemchemi ya maji

JER 9:1 Removed trailing space in p~: na macho yangu yangekuwa kisima cha machozi!

JER 9:1 Removed trailing space in p~: Ningelia usiku na mchana

JER 9:1 Removed trailing space in p~: kwa kuuawa kwa watu wangu.

JER 9:2 Removed trailing space in v~: Laiti ningekuwa na nyumba

JER 9:2 Removed trailing space in p~: ya kukaa wasafiri jangwani,

JER 9:2 Removed trailing space in p~: ningewaacha watu wangu

JER 9:2 Removed trailing space in p~: na kwenda mbali nao,

JER 9:2 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wote ni wazinzi,

JER 9:2 Removed trailing space in p~: kundi la watu wadanganyifu.

JER 9:3 Removed trailing space in v~: “Huweka tayari ndimi zao kama upinde,

JER 9:3 Removed trailing space in p~: ili kurusha uongo;

JER 9:3 Removed trailing space in p~: wamekuwa na nguvu katika nchi

JER 9:3 Removed trailing space in p~: lakini si katika ukweli.

JER 9:3 Removed trailing space in p~: Wanatoka dhambi moja hadi nyingine,

JER 9:3 Removed trailing space in p~: hawanitambui mimi,”

JER 9:3 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 9:4 Removed trailing space in v~: “Jihadhari na rafiki zako;

JER 9:4 Removed trailing space in p~: usiwaamini ndugu zako.

JER 9:4 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa kila ndugu ni mdanganyifu,

JER 9:4 Removed trailing space in p~: na kila rafiki ni msingiziaji.

JER 9:5 Removed trailing space in v~: Rafiki humdanganya rafiki,

JER 9:5 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote asemaye kweli.

JER 9:5 Removed trailing space in p~: Wamefundisha ndimi zao kudanganya,

JER 9:5 Removed trailing space in p~: wanajichosha wenyewe katika kutenda dhambi.

JER 9:6 Removed trailing space in v~: Unakaa katikati ya udanganyifu;

JER 9:6 Removed trailing space in p~: katika udanganyifu wao wanakataa kunitambua mimi,”

JER 9:6 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 9:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 9:7 Removed trailing space in p~: “Tazama, nitawasafisha na kuwajaribu,

JER 9:7 Removed trailing space in p~: kwani ni nini kingine niwezacho kufanya

JER 9:7 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya dhambi ya watu wangu?

JER 9:8 Removed trailing space in v~: Ndimi zao ni mshale wenye sumu,

JER 9:8 Removed trailing space in p~: hunena kwa udanganyifu.

JER 9:8 Removed trailing space in p~: Kwa kinywa chake kila mmoja huzungumza maneno mazuri na jirani yake,

JER 9:8 Removed trailing space in p~: lakini moyoni mwake humtegea mtego.

JER 9:9 Removed trailing space in v~: Je, nisiwaadhibu kwa ajili ya jambo hili?”

JER 9:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 9:9 Removed trailing space in p~: “Je, nisijilipizie kisasi

JER 9:9 Removed trailing space in p~: kwa taifa kama hili?”

JER 9:10 Removed trailing space in v~: Nitalia na kuomboleza kwa ajili ya milima

JER 9:10 Removed trailing space in p~: na kuomboleza kuhusu malisho ya jangwani.

JER 9:10 Removed trailing space in p~: Yamekuwa ukiwa, wala hakuna apitaye humo,

JER 9:10 Removed trailing space in p~: milio ya ngʼombe haisikiki.

JER 9:10 Removed trailing space in p~: Ndege wa angani wametoroka

JER 9:10 Removed trailing space in p~: na wanyama wamekimbia.

JER 9:11 Removed trailing space in v~: “Nitaifanya Yerusalemu lundo la magofu,

JER 9:11 Removed trailing space in p~: makao ya mbweha;

JER 9:11 Removed trailing space in p~: nami nitaifanya miji ya Yuda kuwa ukiwa

JER 9:11 Removed trailing space in p~: ili asiwepo atakayeishi humo.”

JER 9:12 Removed trailing space in v~: Ni mtu yupi aliye na hekima ya kutosha ayaelewe haya? Ni nani aliyefundishwa na \nd Bwana\nd* awezaye kuyaeleza haya? Kwa nini nchi imeharibiwa na kufanywa ukiwa kama jangwa ambapo hakuna awezaye kupita?

JER 9:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Ni kwa sababu wameiacha sheria yangu, niliyoiweka mbele yao: hawajaniheshimu mimi wala kufuata sheria yangu.

JER 9:14 Removed trailing space in v~: Badala yake wamefuata ukaidi wa mioyo yao, wamefuata Mabaali, kama vile baba zao walivyowafundisha.”

JER 9:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: “Tazama, nitawafanya watu hawa wale chakula kichungu na kunywa maji yenye sumu.

JER 9:16 Removed trailing space in v~: Nitawatawanya katika mataifa ambayo wao wala baba zao hawakuwajua, nikiwafuata kwa upanga mpaka niwe nimewaangamiza kabisa.”

JER 9:17 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 9:17 Removed trailing space in p~: “Fikiri sasa! Waite wanawake waombolezao waje,

JER 9:17 Removed trailing space in p~: waite wale walio na ustadi kuliko wote.

JER 9:18 Removed trailing space in v~: Nao waje upesi

JER 9:18 Removed trailing space in p~: na kutuombolezea,

JER 9:18 Removed trailing space in p~: mpaka macho yetu yafurike machozi

JER 9:18 Removed trailing space in p~: na vijito vya maji vitoke kwenye kope zetu.

JER 9:19 Removed trailing space in v~: Sauti ya kuomboleza imesikika kutoka Sayuni:

JER 9:19 Removed trailing space in p~: ‘Tazama jinsi tulivyoangamizwa!

JER 9:19 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi aibu yetu ilivyo kubwa!

JER 9:19 Removed trailing space in p~: Ni lazima tuihame nchi yetu

JER 9:19 Removed trailing space in p~: kwa sababu nyumba zetu zimekuwa magofu.’ ”

JER 9:20 Removed trailing space in v~: Basi, enyi wanawake, sikieni neno la \nd Bwana\nd*;

JER 9:20 Removed trailing space in p~: fungueni masikio yenu msikie maneno ya kinywa chake.

JER 9:20 Removed trailing space in p~: Wafundisheni binti zenu kuomboleza;

JER 9:20 Removed trailing space in p~: fundishaneni kila mmoja na mwenzake maombolezo.

JER 9:21 Removed trailing space in v~: Mauti imeingia ndani kupitia madirishani,

JER 9:21 Removed trailing space in p~: imeingia kwenye majumba yetu ya fahari;

JER 9:21 Removed trailing space in p~: imewakatilia mbali watoto katika barabara

JER 9:21 Removed trailing space in p~: na vijana waume kutoka viwanja vya miji.

JER 9:22 Removed trailing space in v~: Sema, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 9:22 Removed trailing space in p~: “ ‘Maiti za wanaume zitalala

JER 9:22 Removed trailing space in p~: kama mavi katika mashamba,

JER 9:22 Removed trailing space in p~: kama malundo ya nafaka nyuma ya mvunaji,

JER 9:22 Removed trailing space in p~: wala hakuna anayekusanya.’ ”

JER 9:23 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 9:23 Removed trailing space in p~: “Mwenye hekima asijisifu katika hekima yake,

JER 9:23 Removed trailing space in p~: au mwenye nguvu ajisifu katika nguvu zake,

JER 9:23 Removed trailing space in p~: wala tajiri ajisifu katika utajiri wake,

JER 9:24 Removed trailing space in v~: lakini yeye ajisifuye, na ajisifu kwa sababu hili:

JER 9:24 Removed trailing space in p~: kwamba ananifahamu na kunijua mimi,

JER 9:24 Removed trailing space in p~: kwamba mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitendaye wema,

JER 9:24 Removed trailing space in p~: hukumu na haki duniani,

JER 9:24 Removed trailing space in p~: kwa kuwa napendezwa na haya,”

JER 9:24 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 9:25 Removed trailing space in v~: “Siku zinakuja, nitakapowaadhibu wale wote ambao wametahiriwa kimwili tu, asema \nd Bwana\nd*,

JER 9:26 Removed trailing space in v~: yaani Misri, Yuda, Edomu, Amoni, Moabu na wote wanaoishi jangwani sehemu za mbali. Kwa maana mataifa haya yote hayakutahiriwa mioyo yao, nayo nyumba yote ya Israeli haikutahiriwa.”

JER 10:0 Extra space after chapter number

JER 10:0 Removed trailing space in c: 10

JER 10:0 Removed trailing space in s1: Mungu Na Sanamu

JER 10:1 Removed trailing space in v~: Sikieni lile ambalo \nd Bwana\nd*, anena nanyi ee nyumba ya Israeli.

JER 10:2 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 10:2 Removed trailing space in p~: “Usijifunze njia za mataifa

JER 10:2 Removed trailing space in p~: wala usitishwe na ishara katika anga,

JER 10:2 Removed trailing space in p~: ingawa mataifa yanatishwa nazo.

JER 10:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana desturi za mataifa hazina maana,

JER 10:3 Removed trailing space in p~: wanakata mti msituni,

JER 10:3 Removed trailing space in p~: na fundi anauchonga kwa patasi.

JER 10:4 Removed trailing space in v~: Wanaparemba kwa fedha na dhahabu,

JER 10:4 Removed trailing space in p~: wanakikaza kwa nyundo na misumari ili kisitikisike.

JER 10:5 Removed trailing space in v~: Sanamu zao ni kama sanamu

JER 10:5 Removed trailing space in p~: iliyowekwa shambani la matango kutishia ndege

JER 10:5 Removed trailing space in p~: nazo haziwezi kuongea;

JER 10:5 Removed trailing space in p~: sharti zibebwe

JER 10:5 Removed trailing space in p~: sababu haziwezi kutembea.

JER 10:5 Removed trailing space in p~: Usiziogope; haziwezi kudhuru,

JER 10:5 Removed trailing space in p~: wala kutenda lolote jema.”

JER 10:6 Removed trailing space in v~: Hakuna aliye kama wewe, Ee \nd Bwana\nd*;

JER 10:6 Removed trailing space in p~: wewe ni mkuu,

JER 10:6 Removed trailing space in p~: jina lako ni lenye nguvu katika uweza.

JER 10:7 Removed trailing space in v~: Ni nani ambaye haimpasi kukuheshimu wewe,

JER 10:7 Removed trailing space in p~: Ee Mfalme wa mataifa?

JER 10:7 Removed trailing space in p~: Hii ni stahili yako.

JER 10:7 Removed trailing space in p~: Miongoni mwa watu wote wenye hekima

JER 10:7 Removed trailing space in p~: katika mataifa na katika falme zao zote,

JER 10:7 Removed trailing space in p~: hakuna aliye kama wewe.

JER 10:8 Removed trailing space in v~: Wote hawana akili, tena ni wapumbavu,

JER 10:8 Removed trailing space in p~: wanafundishwa na sanamu za miti zisizofaa lolote.

JER 10:9 Removed trailing space in v~: Huleta fedha iliyofuliwa kutoka Tarshishi

JER 10:9 Removed trailing space in p~: na dhahabu kutoka Ufazi.

JER 10:9 Removed trailing space in p~: Kile ambacho fundi na sonara wametengeneza

JER 10:9 Removed trailing space in p~: huvikwa mavazi ya rangi ya samawi na urujuani:

JER 10:9 Removed trailing space in p~: vyote vikiwa vimetengenezwa

JER 10:9 Removed trailing space in p~: na mafundi stadi.

JER 10:10 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* ni Mungu wa kweli,

JER 10:10 Removed trailing space in p~: yeye ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele.

JER 10:10 Removed trailing space in p~: Anapokasirika, dunia hutetemeka,

JER 10:10 Removed trailing space in p~: mataifa hayawezi kustahimili hasira yake.

JER 10:11 Removed trailing space in v~: “Waambie hivi: ‘Miungu hii, ambayo haikuumba mbingu na dunia, itaangamia kutoka dunia na kutoka chini ya mbingu.’ ”

JER 10:12 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu aliiumba dunia kwa uweza wake,

JER 10:12 Removed trailing space in p~: akaweka misingi ya ulimwengu kwa hekima yake,

JER 10:12 Removed trailing space in p~: na akazitandaza mbingu kwa ufahamu wake.

JER 10:13 Removed trailing space in v~: Atoapo sauti yake, maji yaliyo katika mbingu hunguruma;

JER 10:13 Removed trailing space in p~: huyafanya mawingu yainuke kutoka miisho ya dunia.

JER 10:13 Removed trailing space in p~: Hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua,

JER 10:13 Removed trailing space in p~: naye huuleta upepo kutoka ghala zake.

JER 10:14 Removed trailing space in v~: Kila mmoja ni mjinga na hana maarifa,

JER 10:14 Removed trailing space in p~: kila sonara ameaibishwa na sanamu zake.

JER 10:14 Removed trailing space in p~: Vinyago vyake ni vya udanganyifu,

JER 10:14 Removed trailing space in p~: havina pumzi ndani yavyo.

JER 10:15 Removed trailing space in v~: Havifai kitu, ni vitu vya kufanyia mzaha tu,

JER 10:15 Removed trailing space in p~: hukumu yavyo itakapowadia, vitaangamia.

JER 10:16 Removed trailing space in v~: Yeye aliye Fungu la Yakobo sivyo alivyo,

JER 10:16 Removed trailing space in p~: kwani ndiye Muumba wa vitu vyote,

JER 10:16 Removed trailing space in p~: pamoja na Israeli, kabila la urithi wake:

JER 10:16 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.

JER 10:16 Removed trailing space in s1: Maangamizi Yajayo

JER 10:17 Removed trailing space in v~: Kusanyeni mali na vitu vyenu mwondoke nchi hii,

JER 10:17 Removed trailing space in p~: enyi mnaoishi katika hali ya kuzingirwa na jeshi.

JER 10:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 10:18 Removed trailing space in p~: “Wakati huu, nitawatupa nje kwa nguvu

JER 10:18 Removed trailing space in p~: wote waishio katika nchi hii;

JER 10:18 Removed trailing space in p~: nitawataabisha

JER 10:18 Removed trailing space in p~: ili waweze kutekwa.”

JER 10:19 Removed trailing space in v~: Ole wangu mimi kwa ajili ya kuumia kwangu!

JER 10:19 Removed trailing space in p~: Jeraha langu ni kubwa!

JER 10:19 Removed trailing space in p~: Lakini nilisema,

JER 10:19 Removed trailing space in p~: “Kweli hii ni adhabu yangu,

JER 10:19 Removed trailing space in p~: nami sharti niistahimili.”

JER 10:20 Removed trailing space in v~: Hema langu limeangamizwa;

JER 10:20 Removed trailing space in p~: kamba zake zote zimekatwa.

JER 10:20 Removed trailing space in p~: Wana wangu wametekwa na hawapo tena;

JER 10:20 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja aliyebaki wa kusimamisha hema langu

JER 10:20 Removed trailing space in p~: wala wa kusimamisha kibanda changu.

JER 10:21 Removed trailing space in v~: Wachungaji hawana akili

JER 10:21 Removed trailing space in p~: wala hawamuulizi \nd Bwana\nd*,

JER 10:21 Removed trailing space in p~: hivyo hawastawi

JER 10:21 Removed trailing space in p~: na kundi lao lote la kondoo limetawanyika.

JER 10:22 Removed trailing space in v~: Sikilizeni! Taarifa inakuja:

JER 10:22 Removed trailing space in p~: ghasia kubwa kutoka nchi ya kaskazini!

JER 10:22 Removed trailing space in p~: Hii itafanya miji ya Yuda ukiwa,

JER 10:22 Removed trailing space in p~: makao ya mbweha.

JER 10:22 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Yeremia

JER 10:23 Removed trailing space in v~: Ninajua, Ee \nd Bwana\nd*, kwamba maisha ya mwanadamu si yake mwenyewe;

JER 10:23 Removed trailing space in p~: hawezi kuziongoza hatua zake mwenyewe.

JER 10:24 Removed trailing space in v~: Unirudi, Ee \nd Bwana\nd*, lakini kwa kipimo cha haki:

JER 10:24 Removed trailing space in p~: si katika hasira yako,

JER 10:24 Removed trailing space in p~: usije ukaniangamiza.

JER 10:25 Removed trailing space in v~: Umwage ghadhabu yako juu ya mataifa

JER 10:25 Removed trailing space in p~: wasiokujua wewe,

JER 10:25 Removed trailing space in p~: juu ya mataifa wasioliitia jina lako.

JER 10:25 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa wamemwangamiza Yakobo;

JER 10:25 Removed trailing space in p~: wamemwangamiza kabisa

JER 10:25 Removed trailing space in p~: na kuiharibu nchi yake.

JER 11:0 Extra space after chapter number

JER 11:0 Removed trailing space in c: 11

JER 11:0 Removed trailing space in s1: Agano Limevunjwa

JER 11:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 11:2 Removed trailing space in v~: “Sikia maneno ya agano hili, nawe uwaambie watu wa Yuda na wale waishio Yerusalemu.

JER 11:3 Removed trailing space in v~: Waambie kwamba hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Amelaaniwa mtu ambaye hatayatii maneno ya agano hili,

JER 11:4 Removed trailing space in v~: maneno niliyowaamuru baba zenu nilipowatoa katika nchi ya Misri, kutoka tanuru la kuyeyushia vyuma.’ Nilisema, ‘Nitiini mimi na mfanye kila kitu ninachowaamuru, nanyi mtakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wenu.

JER 11:5 Removed trailing space in v~: Kisha nitatimiza kiapo nilichowaapia baba zenu, kuwapa nchi itiririkayo maziwa na asali,’ nchi ambayo mnaimiliki leo.”

JER 11:5 Removed trailing space in p~: Nikajibu, “Amen, \nd Bwana\nd*.”

JER 11:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Tangaza maneno haya yote katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu: ‘Sikilizeni maneno ya agano hili na kuyafuata.

JER 11:7 Removed trailing space in v~: Tangu wakati ule niliwapandisha baba zenu kutoka Misri mpaka leo, niliwaonya tena na tena, nikisema “Nitiini mimi.”

JER 11:8 Removed trailing space in v~: Lakini hawakusikiliza wala kujali. Badala yake, walifuata ukaidi wa mioyo yao miovu. Hivyo nikaleta juu yao laana zote za agano nililokuwa nimewaamuru wao kulifuata, lakini wao hawakulishika.’ ”

JER 11:9 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia, “Kuna shauri baya linaloendelea miongoni mwa watu wa Yuda na wale wanaoishi Yerusalemu.

JER 11:10 Removed trailing space in v~: Wamerudia dhambi za baba zao, waliokataa kusikiliza maneno yangu. Wameifuata miungu mingine kuitumikia. Nyumba zote mbili za Israeli na Yuda zimelivunja agano nililofanya na baba zao.

JER 11:11 Removed trailing space in v~: Kwa hivyo, hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Nitaleta juu yao maafa ambayo hawawezi kuyakimbia. Hata kama wakinililia, sitawasikiliza.

JER 11:12 Removed trailing space in v~: Miji ya Yuda na watu wa Yerusalemu watakwenda kuililia miungu ambayo wameifukizia uvumba, lakini haitawasaidia kamwe wakati maafa yatakapowapiga.

JER 11:13 Removed trailing space in v~: Mnayo miungu mingi kama miji mliyo nayo, ee Yuda, nazo madhabahu mlizozijenga za kufukizia uvumba huyo mungu wa aibu Baali ni nyingi kama barabara za Yerusalemu.’

JER 11:14 Removed trailing space in v~: “Wewe usiwaombee watu hawa wala kufanya maombezi yoyote au kunisihi kwa ajili yao, kwa sababu sitawasikiliza watakaponiita wakati wa taabu yao.

JER 11:15 Removed trailing space in v~: “Mpenzi wangu anafanya nini hekaluni mwangu,

JER 11:15 Removed trailing space in p~: anapofanya mashauri yake maovu na wengi?

JER 11:15 Removed trailing space in p~: Je, nyama iliyowekwa wakfu yaweza

JER 11:15 Removed trailing space in p~: kuondolea mbali adhabu yako?

JER 11:15 Removed trailing space in p~: Unapojiingiza katika ubaya wako,

JER 11:15 Removed trailing space in p~: ndipo unashangilia.”

JER 11:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikuita mti wa mzeituni uliostawi

JER 11:16 Removed trailing space in p~: ulio na matunda mazuri kwa sura.

JER 11:16 Removed trailing space in p~: Lakini kwa ngurumo ya mawimbi makuu

JER 11:16 Removed trailing space in p~: atautia moto,

JER 11:16 Removed trailing space in p~: nayo matawi yake yatavunjika.

JER 11:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, aliyekupanda, ametamka maafa kwa ajili yako, kwa sababu nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda mmefanya maovu na kunikasirisha kwa kumfukizia Baali uvumba.

JER 11:17 Removed trailing space in s1: Shauri Baya Dhidi Ya Yeremia

JER 11:18 Removed trailing space in v~: Kwa sababu \nd Bwana\nd* alinifunulia hila zao mbaya, nilizifahamu, kwa kuwa wakati ule alinionyesha yale waliyokuwa wanayafanya.

JER 11:19 Removed trailing space in v~: Nilikuwa kama mwana-kondoo mpole aliyeongozwa machinjoni; mimi sikutambua kwamba walikuwa wamefanya shauri baya dhidi yangu, wakisema,

JER 11:19 Removed trailing space in p~: “Sisi na tuuangamize mti na matunda yake;

JER 11:19 Removed trailing space in p~: nasi tumkatilie mbali kutoka nchi ya walio hai,

JER 11:19 Removed trailing space in p~: ili jina lake lisikumbukwe tena.”

JER 11:20 Removed trailing space in v~: Lakini, Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, wewe uhukumuye kwa haki,

JER 11:20 Removed trailing space in p~: nawe uchunguzaye moyo na akili,

JER 11:20 Removed trailing space in p~: wacha nione ukiwalipiza wao kisasi,

JER 11:20 Removed trailing space in p~: kwa maana kwako nimeweka shauri langu.

JER 11:21 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo kuhusu watu wa Anathothi wale wanaotafuta uhai wako wakisema, ‘Usitoe unabii kwa jina la \nd Bwana\nd*, la sivyo utakufa kwa mikono yetu’:

JER 11:22 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo: ‘Nitawaadhibu. Vijana wao waume watakufa kwa upanga, wana wao na binti zao kwa njaa.

JER 11:23 Removed trailing space in v~: Hawatasaziwa hata mabaki kwao, kwa sababu nitaleta maafa kwa watu wa Anathothi katika mwaka wa adhabu yao.’ ”

JER 12:0 Extra space after chapter number

JER 12:0 Removed trailing space in c: 12

JER 12:0 Removed trailing space in s1: Lalamiko La Yeremia

JER 12:1 Removed trailing space in v~: Wewe daima u mwenye haki, Ee \nd Bwana\nd*,

JER 12:1 Removed trailing space in p~: niletapo mashtaka mbele yako.

JER 12:1 Removed trailing space in p~: Hata hivyo nitazungumza nawe kuhusu hukumu yako:

JER 12:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini njia ya waovu inafanikiwa?

JER 12:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini wasio waaminifu

JER 12:1 Removed trailing space in p~: wote wanaishi kwa raha?

JER 12:2 Removed trailing space in v~: Umewapanda, nao wameota,

JER 12:2 Removed trailing space in p~: wanakua na kuzaa matunda.

JER 12:2 Removed trailing space in p~: Daima u midomoni mwao,

JER 12:2 Removed trailing space in p~: lakini mbali na mioyo yao.

JER 12:3 Removed trailing space in v~: Hata hivyo unanijua mimi, Ee \nd Bwana\nd*;

JER 12:3 Removed trailing space in p~: unaniona na kuyachunguza mawazo yangu kukuhusu wewe.

JER 12:3 Removed trailing space in p~: Wakokote kama kondoo wanaokwenda kuchinjwa!

JER 12:3 Removed trailing space in p~: Watenge kwa ajili ya siku ya kuchinjwa!

JER 12:4 Removed trailing space in v~: Je, nchi itakaa katika hali ya kuomboleza mpaka lini,

JER 12:4 Removed trailing space in p~: na majani katika kila shamba kunyauka?

JER 12:4 Removed trailing space in p~: Kwa sababu wale waishio ndani yake ni waovu,

JER 12:4 Removed trailing space in p~: wanyama na ndege wameangamia.

JER 12:4 Removed trailing space in p~: Zaidi ya hayo, watu wanasema,

JER 12:4 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* hataona yatakayotupata sisi.”

JER 12:4 Removed trailing space in s1: Jibu La Mungu

JER 12:5 Removed trailing space in v~: “Ikiwa umeshindana mbio na watu kwa mguu na wakakushinda,

JER 12:5 Removed trailing space in p~: unawezaje kushindana na farasi?

JER 12:5 Removed trailing space in p~: Ikiwa unajikwaa kwenye nchi ambayo ni salama,

JER 12:5 Removed trailing space in p~: utawezaje kwenye vichaka kando ya Yordani?

JER 12:6 Removed trailing space in v~: Ndugu zako, watu wa jamaa yako mwenyewe:

JER 12:6 Removed trailing space in p~: hata wao wamekusaliti;

JER 12:6 Removed trailing space in p~: wameinua kilio kikubwa dhidi yako.

JER 12:6 Removed trailing space in p~: Usiwaamini, ingawa wanazungumza

JER 12:6 Removed trailing space in p~: mema juu yako.

JER 12:7 Removed trailing space in v~: “Nitaiacha nyumba yangu,

JER 12:7 Removed trailing space in p~: nitupe urithi wangu;

JER 12:7 Removed trailing space in p~: nitamtia yeye nimpendaye

JER 12:7 Removed trailing space in p~: mikononi mwa adui zake.

JER 12:8 Removed trailing space in v~: Urithi wangu umekuwa kwangu

JER 12:8 Removed trailing space in p~: kama simba wa msituni.

JER 12:8 Removed trailing space in p~: Huningurumia mimi,

JER 12:8 Removed trailing space in p~: kwa hiyo ninamchukia.

JER 12:9 Removed trailing space in v~: Je, urithi wangu haukuwa

JER 12:9 Removed trailing space in p~: kama ndege wa mawindo wa madoadoa

JER 12:9 Removed trailing space in p~: ambaye ndege wengine wawindao

JER 12:9 Removed trailing space in p~: humzunguka na kumshambulia?

JER 12:9 Removed trailing space in p~: Nenda ukawakusanye pamoja wanyama wote wa mwituni;

JER 12:9 Removed trailing space in p~: walete ili wale.

JER 12:10 Removed trailing space in v~: Wachungaji wengi wataliharibu shamba langu la mizabibu

JER 12:10 Removed trailing space in p~: na kulikanyaga shamba langu;

JER 12:10 Removed trailing space in p~: watalifanya shamba langu zuri

JER 12:10 Removed trailing space in p~: kuwa jangwa la ukiwa.

JER 12:11 Removed trailing space in v~: Litafanywa kuwa jangwa,

JER 12:11 Removed trailing space in p~: lililokauka na kuachwa ukiwa mbele zangu;

JER 12:11 Removed trailing space in p~: nchi yote itafanywa jangwa

JER 12:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu hakuna hata mmoja anayejali.

JER 12:12 Removed trailing space in v~: Juu ya miinuko yote ilivyo kama jangwani

JER 12:12 Removed trailing space in p~: mharabu atajaa,

JER 12:12 Removed trailing space in p~: kwa maana upanga wa \nd Bwana\nd* utawala,

JER 12:12 Removed trailing space in p~: kuanzia ncha moja ya nchi hadi nyingine;

JER 12:12 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja atakayekuwa salama.

JER 12:13 Removed trailing space in v~: Watapanda ngano lakini watavuna miiba;

JER 12:13 Removed trailing space in p~: watajitaabisha lakini hawatafaidi chochote.

JER 12:13 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo beba aibu ya mavuno yako

JER 12:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya hasira kali ya \nd Bwana\nd* Mungu.”

JER 12:14 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: “Kwa habari ya majirani zangu wote wabaya wanaonyangʼanya urithi ambao ninawapa watu wangu Israeli, nitawangʼoa kutoka nchi zao, nami nitaingʼoa nyumba ya Yuda kutoka katikati yao.

JER 12:15 Removed trailing space in v~: Lakini baada ya kuwangʼoa, nitawahurumia tena na kumrudisha kila mmoja wao kwenye urithi wake mwenyewe na kwenye nchi yake mwenyewe.

JER 12:16 Removed trailing space in v~: Ikiwa watajifunza vyema njia za watu wangu na kuapa kwa Jina langu, wakisema, ‘Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo,’ hata kama wakati fulani walifundisha watu wangu kuapa kwa Baali, ndipo watakapofanywa imara katikati ya watu wangu.

JER 12:17 Removed trailing space in v~: Lakini kama taifa lolote halitasikiliza na kutii, nitalingʼoa kabisa na kuliangamiza,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 13:0 Extra space after chapter number

JER 13:0 Removed trailing space in c: 13

JER 13:0 Removed trailing space in s1: Mkanda Wa Kitani

JER 13:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* aliloniambia: “Nenda ununue mkanda wa kitani, ujivike kiunoni mwako, lakini usiuache uguse maji.”

JER 13:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikanunua mkanda, kama \nd Bwana\nd* alivyoniagiza, nikajivika kiunoni.

JER 13:3 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia kwa mara ya pili:

JER 13:4 Removed trailing space in v~: “Chukua mkanda ulionunua ambao umeuvaa kiunoni mwako, uende sasa Frati uufiche ndani ya ufa mdogo kwenye mwamba.”

JER 13:5 Removed trailing space in v~: Ndipo nikaenda na kuuficha ule mkanda huko Frati, kama \nd Bwana\nd* alivyoniamuru.

JER 13:6 Removed trailing space in v~: Baada ya siku nyingi \nd Bwana\nd* akaniambia, “Nenda sasa Frati ukauchukue ule mkanda niliokuambia uufiche huko.”

JER 13:7 Removed trailing space in v~: Hivyo nikaenda Frati na kuuchimbua ule mkanda kutoka pale nilipokuwa nimeuficha, lakini sasa ulikuwa umeharibika na haufai tena kabisa.

JER 13:8 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia:

JER 13:9 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: ‘Vivyo hivyo ndivyo nitakavyokiharibu kiburi cha Yuda na kiburi kikuu cha Yerusalemu.

JER 13:10 Removed trailing space in v~: Watu hawa waovu, wanaokataa kusikiliza maneno yangu, wafuatao ukaidi wa mioyo yao na kufuata miungu mingine kuitumikia na kuiabudu, watakuwa kama mkanda huu ambao haufai kabisa!

JER 13:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama vile mkanda ufungwavyo kiunoni mwa mtu, ndivyo nilivyojifunga nyumba yote ya Israeli na nyumba yote ya Yuda,’ asema \nd Bwana\nd*, ‘ili wawe watu wangu kwa ajili ya utukufu wangu, sifa na heshima yangu. Lakini hawajasikiliza.’

JER 13:11 Removed trailing space in s1: Viriba Vya Mvinyo

JER 13:12 Removed trailing space in v~: “Waambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, asemalo: kila kiriba inapasa kijazwe mvinyo.’ Kama wao wakikuambia, ‘Kwani hatujui kwamba kila kiriba inapasa kijazwe mvinyo?’

JER 13:13 Removed trailing space in v~: Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: nitawajaza ulevi wote waishio katika nchi hii, pamoja na wafalme waketio juu ya kiti cha enzi cha Daudi, makuhani, manabii na wale wote waishio Yerusalemu.

JER 13:14 Removed trailing space in v~: Nitawagonganisha kila mmoja na mwenzake, baba na wana wao, asema \nd Bwana\nd*. Sitawarehemu wala kuwahurumia ili niache kuwaangamiza.’ ”

JER 13:14 Removed trailing space in s1: Tishio La Kutekwa

JER 13:15 Removed trailing space in v~: Sikieni na mzingatie,

JER 13:15 Removed trailing space in p~: msiwe na kiburi,

JER 13:15 Removed trailing space in p~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* amenena.

JER 13:16 Removed trailing space in v~: Mpeni utukufu \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

JER 13:16 Removed trailing space in p~: kabla hajaleta giza,

JER 13:16 Removed trailing space in p~: kabla miguu yenu haijajikwaa

JER 13:16 Removed trailing space in p~: juu ya vilima vitakavyotiwa giza.

JER 13:16 Removed trailing space in p~: Mlitarajia nuru,

JER 13:16 Removed trailing space in p~: lakini ataifanya kuwa giza nene

JER 13:16 Removed trailing space in p~: na kuibadili kuwa huzuni kubwa.

JER 13:17 Removed trailing space in v~: Lakini kama hamtasikiliza,

JER 13:17 Removed trailing space in p~: nitalia sirini

JER 13:17 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya kiburi chenu;

JER 13:17 Removed trailing space in p~: macho yangu yatalia kwa uchungu,

JER 13:17 Removed trailing space in p~: yakitiririka machozi,

JER 13:17 Removed trailing space in p~: kwa sababu kundi la kondoo la \nd Bwana\nd*

JER 13:17 Removed trailing space in p~: litachukuliwa mateka.

JER 13:18 Removed trailing space in v~: Mwambie mfalme na mamaye,

JER 13:18 Removed trailing space in p~: “Shukeni kutoka kwenye viti vyenu vya enzi,

JER 13:18 Removed trailing space in p~: kwa kuwa taji zenu za utukufu

JER 13:18 Removed trailing space in p~: zitaanguka kutoka vichwani mwenu.”

JER 13:19 Removed trailing space in v~: Miji iliyoko Negebu itafungwa,

JER 13:19 Removed trailing space in p~: wala hapatakuwa na mtu wa kuifungua.

JER 13:19 Removed trailing space in p~: Watu wa Yuda wote watapelekwa uhamishoni,

JER 13:19 Removed trailing space in p~: wakichukuliwa kabisa waende mbali.

JER 13:20 Removed trailing space in v~: Inua macho yako uone

JER 13:20 Removed trailing space in p~: wale wanaokuja kutoka kaskazini.

JER 13:20 Removed trailing space in p~: Liko wapi lile kundi ulilokabidhiwa,

JER 13:20 Removed trailing space in p~: kondoo wale uliojivunia?

JER 13:21 Removed trailing space in v~: Utasema nini \nd Bwana\nd* atakapowaweka juu yako

JER 13:21 Removed trailing space in p~: wale ulioungana nao kama marafiki wako maalum?

JER 13:21 Removed trailing space in p~: Je, hutapatwa na utungu kama mwanamke

JER 13:21 Removed trailing space in p~: aliye katika utungu wa kuzaa?

JER 13:22 Removed trailing space in v~: Nawe kama ukijiuliza,

JER 13:22 Removed trailing space in p~: “Kwa nini haya yamenitokea?”

JER 13:22 Removed trailing space in p~: Ni kwa sababu ya dhambi zako nyingi

JER 13:22 Removed trailing space in p~: ndipo marinda yako yameraruliwa

JER 13:22 Removed trailing space in p~: na mwili wako umetendewa vibaya.

JER 13:23 Removed trailing space in v~: Je, Mkushi aweza kubadili ngozi yake

JER 13:23 Removed trailing space in p~: au chui kubadili madoadoa yake?

JER 13:23 Removed trailing space in p~: Vivyo hivyo nawe huwezi kufanya mema

JER 13:23 Removed trailing space in p~: wewe uliyezoea kutenda mabaya.

JER 13:24 Removed trailing space in v~: “Nitawatawanya kama makapi

JER 13:24 Removed trailing space in p~: yapeperushwayo na upepo wa jangwani.

JER 13:25 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo kura yako,

JER 13:25 Removed trailing space in p~: fungu nililokuamuria,”

JER 13:25 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 13:25 Removed trailing space in p~: “kwa sababu umenisahau mimi

JER 13:25 Removed trailing space in p~: na kuamini miungu ya uongo.

JER 13:26 Removed trailing space in v~: Nitayafunua marinda yako mpaka juu ya uso wako

JER 13:26 Removed trailing space in p~: ili aibu yako ionekane:

JER 13:27 Removed trailing space in v~: uzinzi wako na kulia kwako kama farasi kulikojaa tamaa,

JER 13:27 Removed trailing space in p~: ukahaba wako usio na aibu!

JER 13:27 Removed trailing space in p~: Nimeyaona matendo yako ya machukizo

JER 13:27 Removed trailing space in p~: juu ya vilima na mashambani.

JER 13:27 Removed trailing space in p~: Ole wako, ee Yerusalemu!

JER 13:27 Removed trailing space in p~: Utaendelea kuwa najisi mpaka lini?”

JER 14:0 Extra space after chapter number

JER 14:0 Removed trailing space in c: 14

JER 14:0 Removed trailing space in s1: Ukame, Njaa Na Upanga

JER 14:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno la \nd Bwana\nd* kwa Yeremia kuhusu ukame:

JER 14:2 Removed trailing space in v~: “Yuda anaomboleza,

JER 14:2 Removed trailing space in p~: miji yake inayodhoofika;

JER 14:2 Removed trailing space in p~: wanaomboleza kwa ajili ya nchi,

JER 14:2 Removed trailing space in p~: nacho kilio kinapanda kutoka Yerusalemu.

JER 14:3 Removed trailing space in v~: Wakuu wanawatuma watumishi wao maji;

JER 14:3 Removed trailing space in p~: wanakwenda visimani

JER 14:3 Removed trailing space in p~: lakini humo hakuna maji.

JER 14:3 Removed trailing space in p~: Wanarudi na vyombo bila maji;

JER 14:3 Removed trailing space in p~: wakiwa na hofu na kukata tamaa,

JER 14:3 Removed trailing space in p~: wanafunika vichwa vyao.

JER 14:4 Removed trailing space in v~: Ardhi imepasuka nyufa

JER 14:4 Removed trailing space in p~: kwa sababu hakuna mvua katika nchi;

JER 14:4 Removed trailing space in p~: wakulima wana hofu

JER 14:4 Removed trailing space in p~: na wanafunika vichwa vyao.

JER 14:5 Removed trailing space in v~: Hata kulungu mashambani

JER 14:5 Removed trailing space in p~: anamwacha mtoto wake aliyezaliwa wakati huo huo

JER 14:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu hakuna majani.

JER 14:6 Removed trailing space in v~: Punda-mwitu wanasimama juu ya miinuko iliyo kame

JER 14:6 Removed trailing space in p~: na kutweta kama mbweha;

JER 14:6 Removed trailing space in p~: macho yao yanakosa nguvu za kuona

JER 14:6 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya kukosa malisho.”

JER 14:7 Removed trailing space in v~: Ingawa dhambi zetu zinashuhudia juu yetu,

JER 14:7 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, tenda jambo kwa ajili ya jina lako.

JER 14:7 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa kukengeuka kwetu ni kukubwa,

JER 14:7 Removed trailing space in p~: nasi tumetenda dhambi dhidi yako.

JER 14:8 Removed trailing space in v~: Ee Tumaini la Israeli,

JER 14:8 Removed trailing space in p~: Mwokozi wake wakati wa taabu,

JER 14:8 Removed trailing space in p~: kwa nini unakuwa kama mgeni katika nchi,

JER 14:8 Removed trailing space in p~: kama msafiri anayekaa kwa usiku mmoja tu?

JER 14:9 Removed trailing space in v~: Mbona unakuwa kama mtu aliyeshtukizwa,

JER 14:9 Removed trailing space in p~: kama shujaa asiye na uwezo wa kuokoa?

JER 14:9 Removed trailing space in p~: Wewe uko katikati yetu, Ee \nd Bwana\nd*,

JER 14:9 Removed trailing space in p~: nasi tunaitwa kwa jina lako;

JER 14:9 Removed trailing space in p~: usituache!

JER 14:10 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo kuhusu watu hawa:

JER 14:10 Removed trailing space in p~: “Wanapenda sana kutangatanga,

JER 14:10 Removed trailing space in p~: hawaizuii miguu yao.

JER 14:10 Removed trailing space in p~: Hivyo \nd Bwana\nd* hawakubali;

JER 14:10 Removed trailing space in p~: sasa ataukumbuka uovu wao

JER 14:10 Removed trailing space in p~: na kuwaadhibu kwa ajili ya dhambi zao.”

JER 14:11 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia, “Usiombe kwa ajili ya mafanikio ya watu hawa.

JER 14:12 Removed trailing space in v~: Ingawa wanafunga, sitasikiliza kilio chao; hata wakitoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za nafaka, sitazikubali. Badala yake, nitawaangamiza kwa upanga, njaa na tauni.”

JER 14:13 Removed trailing space in v~: Lakini nikasema, “Aa, \nd Bwana\nd* Mwenyezi, manabii wanaendelea kuwaambia, ‘Hamtaona upanga wala kukabiliwa na njaa. Naam, nitawapa amani ya kudumu mahali hapa.’ ”

JER 14:14 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akaniambia, “Manabii wanatabiri uongo kwa jina langu. Sikuwatuma, wala sikuwaweka, wala sikusema nao. Wanawatabiria maono ya uongo, maaguzi, maono ya sanamu zisizofaa kitu, na madanganyo ya mawazo yao wenyewe.

JER 14:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo kuhusu manabii wanaotabiri kwa jina langu: Mimi sikuwatuma, lakini wanasema, ‘Hakuna upanga wala njaa itakayoigusa nchi hii.’ Manabii hao hao watakufa kwa upanga na njaa.

JER 14:16 Removed trailing space in v~: Nao watu hao wanaowatabiria watatupwa nje katika barabara za Yerusalemu kwa sababu ya njaa na upanga. Hapatakuwepo yeyote wa kuwazika wao au wake zao, wana wao au binti zao. Nitawamwagia maafa wanayostahili.

JER 14:17 Removed trailing space in v~: “Nena nao neno hili:

JER 14:17 Removed trailing space in p~: “ ‘Macho yangu na yatiririkwe na machozi

JER 14:17 Removed trailing space in p~: usiku na mchana bila kukoma;

JER 14:17 Removed trailing space in p~: kwa kuwa binti yangu aliye bikira, yaani watu wangu,

JER 14:17 Removed trailing space in p~: amepata jeraha baya,

JER 14:17 Removed trailing space in p~: pigo la kuangamiza.

JER 14:18 Removed trailing space in v~: Kama nikienda mashambani,

JER 14:18 Removed trailing space in p~: ninaona wale waliouawa kwa upanga;

JER 14:18 Removed trailing space in p~: kama nikienda mjini,

JER 14:18 Removed trailing space in p~: ninaona maangamizi ya njaa.

JER 14:18 Removed trailing space in p~: Nabii na kuhani kwa pamoja

JER 14:18 Removed trailing space in p~: wamekwenda katika nchi wasiyoijua.’ ”

JER 14:19 Removed trailing space in v~: Je, umemkataa Yuda kabisa?

JER 14:19 Removed trailing space in p~: Umemchukia Sayuni kabisa?

JER 14:19 Removed trailing space in p~: Kwa nini umetuumiza

JER 14:19 Removed trailing space in p~: hata hatuwezi kuponyeka?

JER 14:19 Removed trailing space in p~: Tulitarajia amani,

JER 14:19 Removed trailing space in p~: lakini hakuna jema lililotujia;

JER 14:19 Removed trailing space in p~: tulitarajia wakati wa kupona

JER 14:19 Removed trailing space in p~: lakini kuna hofu kuu tu.

JER 14:20 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, tunatambua uovu wetu

JER 14:20 Removed trailing space in p~: na kosa la baba zetu;

JER 14:20 Removed trailing space in p~: kweli tumetenda dhambi dhidi yako.

JER 14:21 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya jina lako usituchukie kabisa;

JER 14:21 Removed trailing space in p~: usikidharau kiti chako cha enzi kilichotukuka.

JER 14:21 Removed trailing space in p~: Kumbuka agano lako nasi

JER 14:21 Removed trailing space in p~: na usilivunje.

JER 14:22 Removed trailing space in v~: Je, kuna sanamu yoyote isiyofaa kitu ya mataifa

JER 14:22 Removed trailing space in p~: iwezayo kuleta mvua?

JER 14:22 Removed trailing space in p~: Je, anga peke yake zaweza kutoa mvua?

JER 14:22 Removed trailing space in p~: La hasha, ni wewe peke yako,

JER 14:22 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, Mungu wetu.

JER 14:22 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo tumaini letu liko kwako,

JER 14:22 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wewe ndiwe ufanyaye haya yote.

JER 15:0 Extra space after chapter number

JER 15:0 Removed trailing space in c: 15

JER 15:0 Removed trailing space in s1: Adhabu Isiyoepukika

JER 15:1 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akaniambia: “Hata kama Mose na Samweli wangesimama mbele zangu, moyo wangu usingewaelekea watu hawa. Waondoe mbele za macho yangu! Waache waende!

JER 15:2 Removed trailing space in v~: Nao kama wakikuuliza, ‘Twende wapi?’ Waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo:

JER 15:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Wale waliowekwa kwa ajili ya kufa, wakafe;

JER 15:2 Removed trailing space in p~: waliowekwa kwa ajili ya upanga, kwa upanga;

JER 15:2 Removed trailing space in p~: waliowekwa kwa ajili ya njaa, kwa njaa:

JER 15:2 Removed trailing space in p~: waliowekwa kwa ajili ya kutekwa, watekwe.’ ”

JER 15:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema, “Nitatuma aina nne za waharabu dhidi yao: nazo ni upanga ili kuua na mbwa ili wakokote mbali, ndege wa angani na wanyama wa nchi ili kula na kuangamiza.

JER 15:4 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wawe machukizo kwa falme zote za dunia kwa sababu ya kile alichofanya Manase mwana wa Hezekia mfalme wa Yuda huko Yerusalemu.

JER 15:5 Removed trailing space in v~: “Ni nani atakayekuhurumia, ee Yerusalemu?

JER 15:5 Removed trailing space in p~: Ni nani atakayeomboleza kwa ajili yako?

JER 15:5 Removed trailing space in p~: Ni nani atakayesimama ili kuuliza

JER 15:5 Removed trailing space in p~: kuhusu hali yako?

JER 15:6 Removed trailing space in v~: Umenikataa mimi,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 15:6 Removed trailing space in p~: “Unazidi kukengeuka.

JER 15:6 Removed trailing space in p~: Hivyo nitanyoosha mkono wangu juu yako na kukuangamiza,

JER 15:6 Removed trailing space in p~: siwezi kuendelea kukuonea huruma.

JER 15:7 Removed trailing space in v~: Nitawapepeta kwa uma wa kupepetea

JER 15:7 Removed trailing space in p~: kwenye malango ya miji katika nchi.

JER 15:7 Removed trailing space in p~: Nitaleta msiba na maangamizi juu ya watu wangu,

JER 15:7 Removed trailing space in p~: kwa maana hawajabadili njia zao.

JER 15:8 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wajane wao kuwa wengi

JER 15:8 Removed trailing space in p~: kuliko mchanga wa bahari.

JER 15:8 Removed trailing space in p~: Wakati wa adhuhuri nitamleta mharabu

JER 15:8 Removed trailing space in p~: dhidi ya mama wa vijana wao waume;

JER 15:8 Removed trailing space in p~: kwa ghafula nitaleta juu yao

JER 15:8 Removed trailing space in p~: maumivu makuu na hofu kuu.

JER 15:9 Removed trailing space in v~: Mama mwenye watoto saba atazimia

JER 15:9 Removed trailing space in p~: na kupumua pumzi yake ya mwisho.

JER 15:9 Removed trailing space in p~: Jua lake litatua kungali bado mchana,

JER 15:9 Removed trailing space in p~: atatahayarika na kufedheheka.

JER 15:9 Removed trailing space in p~: Wale wote waliobaki nitawaua kwa upanga

JER 15:9 Removed trailing space in p~: mbele ya adui zao,”

JER 15:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 15:10 Removed trailing space in v~: Ole wangu, mama yangu, kwamba ulinizaa,

JER 15:10 Removed trailing space in p~: mtu ambaye ulimwengu wote

JER 15:10 Removed trailing space in p~: unashindana na kugombana naye!

JER 15:10 Removed trailing space in p~: Sikukopa wala sikukopesha,

JER 15:10 Removed trailing space in p~: lakini kila mmoja ananilaani.

JER 15:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema,

JER 15:11 Removed trailing space in p~: “Hakika nitakuokoa kwa kusudi jema,

JER 15:11 Removed trailing space in p~: hakika nitawafanya adui zako wakuombe msaada

JER 15:11 Removed trailing space in p~: nyakati za maafa na nyakati za dhiki.

JER 15:12 Removed trailing space in v~: “Je, mtu aweza kuvunja chuma,

JER 15:12 Removed trailing space in p~: chuma kitokacho kaskazini, au shaba?

JER 15:13 Removed trailing space in v~: Utajiri wako na hazina zako nitavitoa kuwa nyara,

JER 15:13 Removed trailing space in p~: bila gharama,

JER 15:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya dhambi zako zote

JER 15:13 Removed trailing space in p~: katika nchi yako yote.

JER 15:14 Removed trailing space in v~: Nitakufanya uwe mtumwa wa adui zako

JER 15:14 Removed trailing space in p~: katika nchi usiyoijua,

JER 15:14 Removed trailing space in p~: kwa kuwa katika hasira yangu moto umewashwa

JER 15:14 Removed trailing space in p~: utakaowaka juu yako daima.”

JER 15:15 Removed trailing space in v~: Wewe unafahamu, Ee \nd Bwana\nd*,

JER 15:15 Removed trailing space in p~: unikumbuke na unitunze mimi.

JER 15:15 Removed trailing space in p~: Lipiza kisasi juu ya watesi wangu.

JER 15:15 Removed trailing space in p~: Kwa uvumilivu wako usiniondolee mbali;

JER 15:15 Removed trailing space in p~: kumbuka jinsi ninavyoshutumiwa.

JER 15:16 Removed trailing space in v~: Maneno yako yalipokuja, niliyala;

JER 15:16 Removed trailing space in p~: yakawa shangwe yangu

JER 15:16 Removed trailing space in p~: na furaha ya moyo wangu,

JER 15:16 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimeitwa kwa jina lako,

JER 15:16 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote.

JER 15:17 Removed trailing space in v~: Kamwe sikuketi katika kundi la wafanyao sherehe,

JER 15:17 Removed trailing space in p~: wala kamwe sikujifurahisha pamoja nao;

JER 15:17 Removed trailing space in p~: niliketi peke yangu kwa sababu mkono wako ulikuwa juu yangu,

JER 15:17 Removed trailing space in p~: na wewe ulikuwa umenijaza hasira.

JER 15:18 Removed trailing space in v~: Kwa nini maumivu yangu hayakomi,

JER 15:18 Removed trailing space in p~: na jeraha langu ni la kuhuzunisha,

JER 15:18 Removed trailing space in p~: wala haliponyeki?

JER 15:18 Removed trailing space in p~: Je, utakuwa kwangu kama kijito cha udanganyifu,

JER 15:18 Removed trailing space in p~: kama chemchemi iliyokauka?

JER 15:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 15:19 Removed trailing space in p~: “Kama ukitubu, nitakurejeza

JER 15:19 Removed trailing space in p~: ili uweze kunitumikia;

JER 15:19 Removed trailing space in p~: kama ukinena maneno yenye maana,

JER 15:19 Removed trailing space in p~: wala si ya upuzi,

JER 15:19 Removed trailing space in p~: utakuwa mnenaji wangu.

JER 15:19 Removed trailing space in p~: Watu hawa ndio watakaokugeukia,

JER 15:19 Removed trailing space in p~: wala si wewe utakayewageukia wao.

JER 15:20 Removed trailing space in v~: Nitakufanya wewe uwe ukuta kwa watu hawa,

JER 15:20 Removed trailing space in p~: ngome ya ukuta wa shaba;

JER 15:20 Removed trailing space in p~: watapigana nawe

JER 15:20 Removed trailing space in p~: lakini hawatakushinda,

JER 15:20 Removed trailing space in p~: kwa maana mimi niko pamoja nawe

JER 15:20 Removed trailing space in p~: kukuponya na kukuokoa,”

JER 15:20 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 15:21 Removed trailing space in v~: “Nitakuokoa kutoka mikono ya waovu,

JER 15:21 Removed trailing space in p~: na kukukomboa kutoka makucha ya watu wakatili.”

JER 16:0 Extra space after chapter number

JER 16:0 Removed trailing space in c: 16

JER 16:0 Removed trailing space in s1: Siku Ya Maafa

JER 16:1 Removed trailing space in v~: Kisha neno la \nd Bwana\nd* likanijia:

JER 16:2 Removed trailing space in v~: “Kamwe usioe na kuwa na wana wala binti mahali hapa.”

JER 16:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kuhusu wana na binti wazaliwao katika nchi hii, na kuhusu wale wanawake ambao ni mama zao, na wale wanaume ambao ni baba zao:

JER 16:4 Removed trailing space in v~: “Watakufa kwa magonjwa ya kufisha. Hawataombolezewa wala kuzikwa, lakini watakuwa kama mavi yaliyosambaa juu ya ardhi. Watakufa kwa upanga na kwa njaa, nazo maiti zao zitakuwa chakula cha ndege wa angani, na cha wanyama wa nchi.”

JER 16:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: “Usiingie katika nyumba ambayo kuna chakula cha matanga, usiende kuwaombolezea wala kuwahurumia, kwa sababu nimeziondoa baraka zangu, upendo wangu na huruma zangu kutoka kwa watu hawa,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 16:6 Removed trailing space in v~: “Wakubwa na wadogo watakufa katika nchi hii. Hawatazikwa wala kuombolezewa, na hakuna atakayejikatakata au kunyoa nywele za kichwa chake kwa ajili yao.

JER 16:7 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote atakayewapa chakula ili kuwafariji wale waombolezao kwa ajili ya wale waliokufa, hata akiwa amefiwa na baba au mama, wala hakuna yeyote atakayewapa kinywaji ili kuwafariji.

JER 16:8 Removed trailing space in v~: “Usiingie katika nyumba ambayo kuna karamu, na kuketi humo ili kula na kunywa.

JER 16:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, aliye Mungu wa Israeli: ‘Mbele ya macho yako na katika siku zako, nitakomesha sauti zote za shangwe na za furaha, na pia sauti za bibi arusi na bwana arusi mahali hapa.’

JER 16:10 Removed trailing space in v~: “Utakapowaambia watu hawa mambo haya yote na wakakuuliza, ‘Kwa nini \nd Bwana\nd* ameamuru maafa makubwa kama haya dhidi yetu? Tumefanya kosa gani? Tumetenda dhambi gani dhidi ya \nd Bwana\nd*, Mungu wetu?’

JER 16:11 Removed trailing space in v~: Basi waambie, ‘Ni kwa sababu baba zenu waliniacha mimi, wakafuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiabudu. Waliniacha mimi na hawakuishika sheria yangu,’ asema \nd Bwana\nd*.

JER 16:12 Removed trailing space in v~: ‘Lakini ninyi mmetenda uovu zaidi kuliko baba zenu. Tazama jinsi ambavyo kila mmoja wenu anafuata ukaidi wa moyo wake mbaya, badala ya kunitii mimi.

JER 16:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitawaondoa katika nchi hii na kuwatupa katika nchi ambayo ninyi wala baba zenu hamkuijua, nako huko mtaitumikia miungu mingine usiku na mchana, kwa maana sitawapa fadhili zangu huko.’

JER 16:14 Removed trailing space in v~: “Hata hivyo, siku zinakuja,” asema \nd Bwana\nd*, “wakati ambapo watu hawatasema tena, ‘Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, aliyewapandisha Waisraeli kutoka Misri,’

JER 16:15 Removed trailing space in v~: bali watasema, ‘Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, aliyewatoa wana wa Israeli kutoka nchi ya kaskazini na nchi zote alizokuwa amewafukuzia.’ Maana nitawarudisha katika nchi niliyowapa baba zao.

JER 16:16 Removed trailing space in v~: “Lakini sasa nitawaagiza wavuvi wengi,” asema \nd Bwana\nd*, “nao watawavua. Baada ya hilo, nitawaagizia wawindaji wengi, nao watawawinda kwenye kila mlima na kilima, na katika nyufa za miamba.

JER 16:17 Removed trailing space in v~: Macho yangu yanaziona njia zao zote, hazikufichika kwangu, wala dhambi yao haikusitirika.

JER 16:18 Removed trailing space in v~: Nitawalipiza maradufu kwa ajili ya uovu wao na dhambi yao, kwa sababu wameinajisi nchi yangu kwa maumbo yasiyo na uhai ya vinyago vyao vibaya, na kuujaza urithi wangu na sanamu za kuchukiza.”

JER 16:19 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, nguvu zangu na ngome yangu,

JER 16:19 Removed trailing space in p~: kimbilio langu wakati wa taabu,

JER 16:19 Removed trailing space in p~: kwako mataifa yatakujia

JER 16:19 Removed trailing space in p~: kutoka miisho ya dunia na kusema,

JER 16:19 Removed trailing space in p~: “Baba zetu hawakuwa na chochote zaidi ya miungu ya uongo,

JER 16:19 Removed trailing space in p~: sanamu zisizofaa kitu

JER 16:19 Removed trailing space in p~: ambazo hazikuwafaidia lolote.

JER 16:20 Removed trailing space in v~: Je, watu hujitengenezea miungu yao wenyewe?

JER 16:20 Removed trailing space in p~: Naam, lakini hao si miungu!”

JER 16:21 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nitawafundisha:

JER 16:21 Removed trailing space in p~: wakati huu nitawafundisha

JER 16:21 Removed trailing space in p~: nguvu zangu na uwezo wangu.

JER 16:21 Removed trailing space in p~: Ndipo watakapojua

JER 16:21 Removed trailing space in p~: kuwa Jina langu ndimi \nd Bwana\nd*.

JER 17:0 Extra space after chapter number

JER 17:0 Removed trailing space in c: 17

JER 17:0 Removed trailing space in s1: Dhambi Ya Yuda Na Adhabu Yake

JER 17:1 Removed trailing space in v~: “Dhambi ya Yuda imechorwa kwa kalamu ya chuma,

JER 17:1 Removed trailing space in p~: imeandikwa kwa ncha ya almasi,

JER 17:1 Removed trailing space in p~: kwenye vibao vya mioyo yao

JER 17:1 Removed trailing space in p~: na kwenye pembe za madhabahu zao.

JER 17:2 Removed trailing space in v~: Hata watoto wao wanakumbuka madhabahu zao

JER 17:2 Removed trailing space in p~: na nguzo za Ashera,\f + \fr 17:2 \ft Ashera ni mungu mke aliyekuwa anaabudiwa na Wakanaani.\f*

JER 17:2 Removed trailing space in p~: kandokando ya miti iliyotanda

JER 17:2 Removed trailing space in p~: na juu ya vilima virefu.

JER 17:3 Removed trailing space in v~: Mlima wangu katika nchi pamoja na utajiri

JER 17:3 Removed trailing space in p~: na hazina zako zote nitazitoa ziwe nyara,

JER 17:3 Removed trailing space in p~: pamoja na mahali pako pa juu pa kuabudia miungu

JER 17:3 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya dhambi katika nchi yako yote.

JER 17:4 Removed trailing space in v~: Kwa kosa lako mwenyewe utaupoteza

JER 17:4 Removed trailing space in p~: urithi niliokupa.

JER 17:4 Removed trailing space in p~: Nitakufanya mtumwa wa adui zako

JER 17:4 Removed trailing space in p~: katika nchi usiyoijua,

JER 17:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umeiwasha hasira yangu,

JER 17:4 Removed trailing space in p~: nayo itawaka milele.”

JER 17:5 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 17:5 Removed trailing space in p~: “Amelaaniwa yeye amtegemeaye mwanadamu,

JER 17:5 Removed trailing space in p~: ategemeaye mwenye mwili

JER 17:5 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya nguvu zake,

JER 17:5 Removed trailing space in p~: ambaye moyo wake

JER 17:5 Removed trailing space in p~: umemwacha \nd Bwana\nd*.

JER 17:6 Removed trailing space in v~: Atakuwa kama kichaka cha jangwani;

JER 17:6 Removed trailing space in p~: hataona mafanikio yatakapokuja.

JER 17:6 Removed trailing space in p~: Ataishi katika sehemu zisizo na maji,

JER 17:6 Removed trailing space in p~: katika nchi ya chumvi ambapo

JER 17:6 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote aishiye humo.

JER 17:7 Removed trailing space in v~: “Lakini amebarikiwa mtu ambaye tumaini lake ni katika \nd Bwana\nd*,

JER 17:7 Removed trailing space in p~: ambaye matumaini yake ni katika \nd Bwana\nd*.

JER 17:8 Removed trailing space in v~: Atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji

JER 17:8 Removed trailing space in p~: uenezao mizizi yake karibu na kijito cha maji.

JER 17:8 Removed trailing space in p~: Hauogopi wakati wa joto ujapo;

JER 17:8 Removed trailing space in p~: majani yake ni mabichi daima.

JER 17:8 Removed trailing space in p~: Hauna hofu katika mwaka wa ukame

JER 17:8 Removed trailing space in p~: na hautaacha kuzaa matunda.”

JER 17:9 Removed trailing space in v~: Moyo ni mdanganyifu kuliko vitu vyote,

JER 17:9 Removed trailing space in p~: ni mwovu kupita kiasi.

JER 17:9 Removed trailing space in p~: Ni nani awezaye kuujua?

JER 17:10 Removed trailing space in v~: “Mimi \nd Bwana\nd* huchunguza moyo

JER 17:10 Removed trailing space in p~: na kuzijaribu nia,

JER 17:10 Removed trailing space in p~: ili kumlipa mtu kwa kadiri ya mwenendo wake,

JER 17:10 Removed trailing space in p~: kwa kadiri ya matendo yake yanavyostahili.”

JER 17:11 Removed trailing space in v~: Kama kware aanguaye mayai asiyoyataga,

JER 17:11 Removed trailing space in p~: ndivyo alivyo mtu apataye mali kwa njia zisizo za haki.

JER 17:11 Removed trailing space in p~: Maisha yake yafikapo katikati, siku zitamwacha,

JER 17:11 Removed trailing space in p~: na mwishoni atabainika kuwa mpumbavu.

JER 17:12 Removed trailing space in v~: Kiti cha enzi kilichotukuzwa, kilichoinuliwa tangu mwanzo,

JER 17:12 Removed trailing space in p~: ndiyo sehemu yetu ya mahali patakatifu.

JER 17:13 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uliye tumaini la Israeli,

JER 17:13 Removed trailing space in p~: wote wakuachao wataaibika.

JER 17:13 Removed trailing space in p~: Wale wanaogeukia mbali nawe wataandikwa mavumbini

JER 17:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu wamemwacha \nd Bwana\nd*,

JER 17:13 Removed trailing space in p~: chemchemi ya maji yaliyo hai.

JER 17:14 Removed trailing space in v~: Uniponye, Ee \nd Bwana\nd*, nami nitaponyeka;

JER 17:14 Removed trailing space in p~: uniokoe nami nitaokoka,

JER 17:14 Removed trailing space in p~: kwa maana wewe ndiwe ninayekusifu.

JER 17:15 Removed trailing space in v~: Wao huendelea kuniambia,

JER 17:15 Removed trailing space in p~: “Liko wapi neno la \nd Bwana\nd*?

JER 17:15 Removed trailing space in p~: Sasa na litimie!”

JER 17:16 Removed trailing space in v~: Sijakukimbia na kuacha kuwa mchungaji wako;

JER 17:16 Removed trailing space in p~: unajua sijaitamani siku ya kukata tamaa.

JER 17:16 Removed trailing space in p~: Kile kipitacho midomoni mwangu

JER 17:16 Removed trailing space in p~: ki wazi mbele yako.

JER 17:17 Removed trailing space in v~: Usiwe kwangu kitu cha kunitia hofu kuu;

JER 17:17 Removed trailing space in p~: wewe ndiwe kimbilio langu katika siku ya maafa.

JER 17:18 Removed trailing space in v~: Watesi wangu na waaibishwe,

JER 17:18 Removed trailing space in p~: lakini nilinde mimi nisiaibike;

JER 17:18 Removed trailing space in p~: wao na watiwe hofu kuu,

JER 17:18 Removed trailing space in p~: lakini unilinde mimi na hofu kuu.

JER 17:18 Removed trailing space in p~: Waletee siku ya maafa;

JER 17:18 Removed trailing space in p~: waangamize kwa maangamizi maradufu.

JER 17:18 Removed trailing space in s1: Kuiadhimisha Sabato

JER 17:19 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* aliloniambia: “Nenda ukasimame kwenye lango la watu, mahali ambako wafalme wa Yuda huingilia na kutokea, simama pia kwenye malango mengine yote ya Yerusalemu.

JER 17:20 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi wafalme wa Yuda, nanyi watu wote wa Yuda, na kila mmoja aishiye Yerusalemu apitaye katika malango haya.

JER 17:21 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Jihadharini msije mkabeba mzigo siku ya Sabato, wala kuingiza mzigo kupitia malango ya Yerusalemu.

JER 17:22 Removed trailing space in v~: Msitoe mizigo nje ya nyumba zenu wala kufanya kazi yoyote wakati wa Sabato, lakini itakaseni siku ya Sabato, kama nilivyowaamuru baba zenu.

JER 17:23 Removed trailing space in v~: Hata hivyo hawakusikiliza wala kujali, walishupaza shingo zao, na hawakutaka kusikia wala kukubali adhabu.

JER 17:24 Removed trailing space in v~: Lakini mkiwa waangalifu kunitii, asema \nd Bwana\nd*, nanyi msipoleta mzigo wowote kupitia malango ya mji huu wakati wa Sabato, lakini mkaitakasa siku ya Sabato kwa kutofanya kazi siku hiyo,

JER 17:25 Removed trailing space in v~: ndipo wafalme wakaao juu ya kiti cha enzi cha Daudi wataingia kupitia malango ya mji huu, pamoja na maafisa wao. Wao na maafisa wao watakuja wakiwa wamepanda magari na farasi, wakiandamana na watu wa Yuda na wale waishio Yerusalemu, nao mji huu utakaliwa na watu daima.

JER 17:26 Removed trailing space in v~: Watu watakuja kutoka miji ya Yuda na vijiji vinavyoizunguka Yerusalemu, kutoka nchi ya Benyamini na chini ya vilima vya magharibi, kutoka nchi ya vilima na Negebu, wakileta sadaka za kuteketezwa na dhabihu, sadaka za nafaka, uvumba na sadaka za shukrani kwenye nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JER 17:27 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa hamtanitii mimi kwa kuitakasa Sabato na kwa kutochukua mzigo wowote mnapoingia katika malango ya Yerusalemu wakati wa Sabato, basi nitawasha moto usiozimika katika malango ya Yerusalemu utakaoteketeza ngome zake.’ ”

JER 18:0 Extra space after chapter number

JER 18:0 Removed trailing space in c: 18

JER 18:0 Removed trailing space in s1: Katika Nyumba Ya Mfinyanzi

JER 18:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 18:2 Removed trailing space in v~: “Shuka uende mpaka nyumba ya mfinyanzi, nami huko nitakupa ujumbe wangu.”

JER 18:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikashuka mpaka kwenye nyumba ya mfinyanzi, nikamkuta akifinyanga kwa gurudumu lake.

JER 18:4 Removed trailing space in v~: Lakini chombo alichokuwa akikifinyanga kutokana na udongo kilivunjika mikononi mwake, hivyo mfinyanzi akakifanya kuwa chombo kingine, umbo jingine kama vile ilivyoonekana vyema kwake yeye.

JER 18:5 Removed trailing space in v~: Kisha neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

JER 18:6 Removed trailing space in v~: “Ee nyumba ya Israeli, je, siwezi kuwafanyia kama huyu mfinyanzi afanyavyo?” asema \nd Bwana\nd*. “Kama vile udongo ulivyo katika mikono ya mfinyanzi, ndivyo mlivyo katika mkono wangu, ee nyumba ya Israeli.

JER 18:7 Removed trailing space in v~: Ikiwa wakati wowote nikitangaza kuwa taifa au ufalme utangʼolewa, utaangushwa na kuangamizwa,

JER 18:8 Removed trailing space in v~: ikiwa lile taifa nililolionya litatubia uovu wake, ndipo nitakapokuwa na huruma, wala sitawapiga kwa maafa niliyokuwa nimewakusudia.

JER 18:9 Removed trailing space in v~: Ikiwa wakati mwingine nitatangaza kuwa taifa ama utawala ujengwe na kuwekwa wakfu,

JER 18:10 Removed trailing space in v~: ikiwa utafanya maovu mbele zangu na hukunitii, ndipo nitakapoghairi makusudio yangu mema niliyokuwa nimeyakusudia.

JER 18:11 Removed trailing space in v~: “Basi kwa hiyo waambie watu wa Yuda na wale waishio Yerusalemu, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Tazama! Ninaandaa maafa kwa ajili yenu, nami ninabuni mabaya dhidi yenu. Kwa hiyo geukeni kutoka njia zenu mbaya, kila mmoja wenu, tengenezeni njia zenu na matendo yenu.’

JER 18:12 Removed trailing space in v~: Lakini wao watajibu, ‘Hakuna faida. Tutaendelea na mipango yetu wenyewe, kila mmoja wetu atafuata ukaidi wa moyo wake mbaya.’ ”

JER 18:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 18:13 Removed trailing space in p~: “Ulizia miongoni mwa mataifa:

JER 18:13 Removed trailing space in p~: Ni nani alishasikia jambo kama hili?

JER 18:13 Removed trailing space in p~: Jambo la kutisha sana limefanywa

JER 18:13 Removed trailing space in p~: na Bikira Israeli.

JER 18:14 Removed trailing space in v~: Je, barafu ya Lebanoni iliwahi kutoweka

JER 18:14 Removed trailing space in p~: kwenye miteremko yake ya mawe wakati wowote?

JER 18:14 Removed trailing space in p~: Je, maji yake baridi yatokayo katika vyanzo vilivyo mbali

JER 18:14 Removed trailing space in p~: yaliwahi kukoma kutiririka wakati wowote?

JER 18:15 Removed trailing space in v~: Lakini watu wangu wamenisahau mimi,

JER 18:15 Removed trailing space in p~: wanafukizia uvumba sanamu zisizofaa kitu,

JER 18:15 Removed trailing space in p~: zilizowafanya wajikwae katika njia zao

JER 18:15 Removed trailing space in p~: na katika mapito ya zamani.

JER 18:15 Removed trailing space in p~: Zimewafanya wapite kwenye vichochoro

JER 18:15 Removed trailing space in p~: na kwenye barabara ambazo hazikujengwa.

JER 18:16 Removed trailing space in v~: Nchi yao itaharibiwa,

JER 18:16 Removed trailing space in p~: itakuwa kitu cha kudharauliwa daima;

JER 18:16 Removed trailing space in p~: wote wapitao karibu nayo watashangaa

JER 18:16 Removed trailing space in p~: na kutikisa vichwa vyao.

JER 18:17 Removed trailing space in v~: Kama upepo utokao mashariki,

JER 18:17 Removed trailing space in p~: nitawatawanya mbele ya adui zao;

JER 18:17 Removed trailing space in p~: nitawapa kisogo wala sio uso,

JER 18:17 Removed trailing space in p~: katika siku ya maafa yao.”

JER 18:18 Removed trailing space in v~: Wakasema, “Njooni, tutunge hila dhidi ya Yeremia; kwa kuwa kufundisha sheria kwa kuhani hakutapotea, wala shauri litokalo kwa mwenye hekima, wala neno la manabii. Hivyo njooni, tumshambulie kwa ndimi zetu na tusijali chochote asemacho.”

JER 18:19 Removed trailing space in v~: Nisikilize, Ee \nd Bwana\nd*,

JER 18:19 Removed trailing space in p~: sikia wanayosema washtaki wangu!

JER 18:20 Removed trailing space in v~: Je, mema yalipwe kwa mabaya?

JER 18:20 Removed trailing space in p~: Lakini wao wamenichimbia shimo.

JER 18:20 Removed trailing space in p~: Kumbuka kwamba nilisimama mbele yako

JER 18:20 Removed trailing space in p~: na kunena mema kwa ajili yao,

JER 18:20 Removed trailing space in p~: ili wewe ugeuze hasira yako kali mbali nao.

JER 18:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo uwaache watoto wao waone njaa;

JER 18:21 Removed trailing space in p~: uwaache wauawe kwa makali ya upanga.

JER 18:21 Removed trailing space in p~: Wake zao wasiwe na watoto, na wawe wajane;

JER 18:21 Removed trailing space in p~: waume wao wauawe,

JER 18:21 Removed trailing space in p~: nao vijana wao waume

JER 18:21 Removed trailing space in p~: wachinjwe kwa upanga vitani.

JER 18:22 Removed trailing space in v~: Kilio na kisikike kutoka kwenye nyumba zao

JER 18:22 Removed trailing space in p~: ghafula uwaletapo adui dhidi yao,

JER 18:22 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wamechimba shimo ili kunikamata

JER 18:22 Removed trailing space in p~: na wameitegea miguu yangu mitego.

JER 18:23 Removed trailing space in v~: Lakini unajua, Ee \nd Bwana\nd*,

JER 18:23 Removed trailing space in p~: hila zao zote za kuniua.

JER 18:23 Removed trailing space in p~: Usiyasamehe makosa yao

JER 18:23 Removed trailing space in p~: wala usifute dhambi zao

JER 18:23 Removed trailing space in p~: mbele za macho yako.

JER 18:23 Removed trailing space in p~: Wao na waangamizwe mbele zako;

JER 18:23 Removed trailing space in p~: uwashughulikie wakati wa hasira yako.

JER 19:0 Extra space after chapter number

JER 19:0 Removed trailing space in c: 19

JER 19:0 Removed trailing space in s1: Gudulia La Udongo Lililovunjika

JER 19:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: “Nenda ukanunue gudulia la udongo kutoka kwa mfinyanzi. Wachukue baadhi ya wazee wa watu na wa makuhani

JER 19:2 Removed trailing space in v~: na mtoke mwende mpaka kwenye Bonde la Ben-Hinomu, karibu na ingilio la Lango la Vigae. Huko tangaza maneno ninayokuambia,

JER 19:3 Removed trailing space in v~: nawe useme, ‘Sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi wafalme wa Yuda na watu wa Yerusalemu. Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Sikilizeni! Nitaleta maafa mahali hapa, ambayo yatafanya masikio ya kila mmoja atakayesikia habari zake yawashe.

JER 19:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wameniacha na kupafanya mahali hapa kuwa pa miungu ya kigeni. Wameiteketezea sadaka miungu ambayo wao wala baba zao wala wafalme wa Yuda kamwe hawakuijua, nao wamelijaza eneo hili kwa damu isiyo na hatia.

JER 19:5 Removed trailing space in v~: Wamejenga mahali pa juu pa kuabudia miungu pa Baali ili kuteketeza wana wao katika moto kama sadaka kwa Baali, kitu ambacho sikukiamuru wala kukitaja, wala hakikuingia akilini mwangu.

JER 19:6 Removed trailing space in v~: Hivyo jihadharini, siku zinakuja, asema \nd Bwana\nd*, wakati watu hawatapaita tena mahali hapa Tofethi ama Bonde la Ben-Hinomu, bali Bonde la Machinjo.

JER 19:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Nitaiharibu mipango ya Yuda na Yerusalemu mahali hapa. Nitawafanya waanguke kwa upanga mbele ya adui zao, katika mikono ya wale watafutao uhai wao, nami nitaitoa mizoga yao kuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi.

JER 19:8 Removed trailing space in v~: Nitauharibu mji huu na kuufanya kitu cha kudharauliwa. Wote wapitao karibu watashangaa na kuudhihaki kwa sababu ya majeraha yake yote.

JER 19:9 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wao kula nyama ya wana wao na binti zao; kila mmoja atakula nyama ya mwenzake wakati wa dhiki ya kuzungukwa na jeshi lililowekwa juu yao na adui wanaotafuta uhai wao.’

JER 19:10 Removed trailing space in v~: “Kisha livunje lile gudulia wale walio pamoja nawe wakiwa wanaangalia,

JER 19:11 Removed trailing space in v~: uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo: Nitalivunja taifa hili na mji huu kama gudulia hili la mfinyanzi lilivyovunjwa, nalo haliwezi kutengenezeka tena. Watawazika waliokufa huko Tofethi hata isiwepo nafasi zaidi.

JER 19:12 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo nitakavyopafanya mahali hapa na kwa wale waishio ndani yake, asema \nd Bwana\nd*. Nitaufanya mji huu kama Tofethi.

JER 19:13 Removed trailing space in v~: Nyumba zilizoko Yerusalemu na zile za wafalme wa Yuda zitatiwa unajisi kama mahali hapa, Tofethi: yaani nyumba zote ambazo walifukiza uvumba juu ya mapaa yake kwa jeshi lote la angani, na kumimina dhabihu za vinywaji kwa miungu mingine.’ ”

JER 19:14 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akarudi kutoka Tofethi, mahali ambapo \nd Bwana\nd* alikuwa amemtuma kutoa unabii, akasimama katika ua wa Hekalu la \nd Bwana\nd* na kuwaambia watu wote,

JER 19:15 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya mji huu pamoja na vijiji vinavyouzunguka kila maafa niliyosema dhidi yake, kwa sababu wamekuwa na shingo ngumu, na hawakuyasikiliza maneno yangu.’ ”

JER 20:0 Extra space after chapter number

JER 20:0 Removed trailing space in c: 20

JER 20:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Ateswa Na Pashuri

JER 20:1 Removed trailing space in v~: Ikawa kuhani Pashuri mwana wa Imeri, mkuu wa maafisa wa Hekalu la \nd Bwana\nd*, alipomsikia Yeremia akitoa unabii juu ya mambo haya,

JER 20:2 Removed trailing space in v~: akaamuru Yeremia nabii apigwe na kufungwa kwenye mkatale katika Lango la Juu la Benyamini huko Hekaluni la \nd Bwana\nd*.

JER 20:3 Removed trailing space in v~: Siku ya pili Pashuri alipomwachia kutoka kwenye mkatale, Yeremia akamwambia, “\nd Bwana\nd* hakukuita jina lako kuwa Pashuri bali Magor-Misabibu.\f + \fr 20:3 \ft Magor-Misabibu maana yake hapa ni Vitisho pande zote.\f*

JER 20:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Nitakufanya kuwa hofu kuu kwako wewe mwenyewe na rafiki zako wote, na kwa macho yako mwenyewe utawaona wakianguka kwa upanga wa adui zao. Nitawatia Yuda wote mikononi mwa mfalme wa Babeli, ambaye atawachukua na kuwapeleka Babeli, ama awaue kwa upanga.

JER 20:5 Removed trailing space in v~: Nitatia utajiri wote wa mji huu kwa adui zao: yaani mazao yao yote, vitu vyao vyote vya thamani, na hazina zote za wafalme wa Yuda. Watavitwaa kwa nyara na kuvipeleka Babeli.

JER 20:6 Removed trailing space in v~: Nawe Pashuri pamoja na wote waishio katika nyumba yako mtakwenda uhamishoni Babeli. Mtafia humo na kuzikwa, wewe na rafiki zako wote ambao umewatabiria uongo.’ ”

JER 20:6 Removed trailing space in s1: Malalamiko Ya Yeremia

JER 20:7 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, umenidanganya,

JER 20:7 Removed trailing space in p~: nami nikadanganyika;

JER 20:7 Removed trailing space in p~: wewe una nguvu kuniliko,

JER 20:7 Removed trailing space in p~: nawe umenishinda.

JER 20:7 Removed trailing space in p~: Ninadharauliwa mchana kutwa,

JER 20:7 Removed trailing space in p~: kila mmoja ananidhihaki.

JER 20:8 Removed trailing space in v~: Kila ninenapo, ninapiga kelele

JER 20:8 Removed trailing space in p~: nikitangaza ukatili na uharibifu.

JER 20:8 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo neno la \nd Bwana\nd* limeniletea matukano

JER 20:8 Removed trailing space in p~: na mashutumu mchana kutwa.

JER 20:9 Removed trailing space in v~: Lakini kama nikisema, “Sitamtaja

JER 20:9 Removed trailing space in p~: wala kusema tena kwa jina lake,”

JER 20:9 Removed trailing space in p~: neno lake linawaka ndani ya moyo wangu kama moto,

JER 20:9 Removed trailing space in p~: moto uliofungwa ndani ya mifupa yangu.

JER 20:9 Removed trailing space in p~: Nimechoka sana kwa kulizuia ndani mwangu;

JER 20:9 Removed trailing space in p~: kweli, siwezi kujizuia.

JER 20:10 Removed trailing space in v~: Ninasikia minongʼono mingi,

JER 20:10 Removed trailing space in p~: “Hofu iko pande zote!

JER 20:10 Removed trailing space in p~: Mshtakini! Twendeni tumshtaki!”

JER 20:10 Removed trailing space in p~: Rafiki zangu wote wananisubiri niteleze,

JER 20:10 Removed trailing space in p~: wakisema,

JER 20:10 Removed trailing space in p~: “Labda atadanganyika;

JER 20:10 Removed trailing space in p~: kisha tutamshinda

JER 20:10 Removed trailing space in p~: na kulipiza kisasi juu yake.”

JER 20:11 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* yu pamoja nami

JER 20:11 Removed trailing space in p~: kama shujaa mwenye nguvu;

JER 20:11 Removed trailing space in p~: hivyo washtaki wangu watajikwaa

JER 20:11 Removed trailing space in p~: na kamwe hawatashinda.

JER 20:11 Removed trailing space in p~: Watashindwa, nao wataaibika kabisa;

JER 20:11 Removed trailing space in p~: kukosa adabu kwao hakutasahauliwa.

JER 20:12 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 20:12 Removed trailing space in p~: wewe umjaribuye mwenye haki

JER 20:12 Removed trailing space in p~: na kupima moyo na nia,

JER 20:12 Removed trailing space in p~: hebu nione ukilipiza kisasi juu yao,

JER 20:12 Removed trailing space in p~: kwa maana kwako

JER 20:12 Removed trailing space in p~: nimeliweka shauri langu.

JER 20:13 Removed trailing space in v~: Mwimbieni \nd Bwana\nd*!

JER 20:13 Removed trailing space in p~: Mpeni \nd Bwana\nd* sifa!

JER 20:13 Removed trailing space in p~: Yeye huokoa uhai wa mhitaji

JER 20:13 Removed trailing space in p~: kutoka mikononi mwa waovu.

JER 20:14 Removed trailing space in v~: Ilaaniwe siku niliyozaliwa!

JER 20:14 Removed trailing space in p~: Nayo isibarikiwe ile siku

JER 20:14 Removed trailing space in p~: mama yangu aliyonizaa!

JER 20:15 Removed trailing space in v~: Alaaniwe mtu yule aliyemletea baba yangu habari,

JER 20:15 Removed trailing space in p~: yule aliyemfanya afurahi sana, akisema,

JER 20:15 Removed trailing space in p~: “Mtoto amezaliwa kwako,

JER 20:15 Removed trailing space in p~: tena mtoto wa kiume!”

JER 20:16 Removed trailing space in v~: Mtu huyo na awe kama miji ile

JER 20:16 Removed trailing space in p~: ambayo \nd Bwana\nd* Mungu

JER 20:16 Removed trailing space in p~: aliiangamiza bila huruma.

JER 20:16 Removed trailing space in p~: Yeye na asikie maombolezo asubuhi

JER 20:16 Removed trailing space in p~: na kilio cha vita adhuhuri.

JER 20:17 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hakuniua nikiwa tumboni,

JER 20:17 Removed trailing space in p~: hivyo mama yangu angekuwa kaburi langu,

JER 20:17 Removed trailing space in p~: nalo tumbo lake la uzazi

JER 20:17 Removed trailing space in p~: lingebaki kuwa kubwa daima.

JER 20:18 Removed trailing space in v~: Kwa nini basi nilitoka tumboni

JER 20:18 Removed trailing space in p~: ili kuona taabu na huzuni,

JER 20:18 Removed trailing space in p~: na kuzimaliza siku zangu katika aibu?

JER 21:0 Extra space after chapter number

JER 21:0 Removed trailing space in c: 21

JER 21:0 Removed trailing space in s1: Mungu Anakataa Ombi La Sedekia

JER 21:1 Removed trailing space in v~: Neno lilimjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd* wakati Mfalme Sedekia alipowatuma Pashuri mwana wa Malkiya, na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwake, kusema:

JER 21:2 Removed trailing space in v~: “Tuulizie sasa kwa \nd Bwana\nd*, kwa sababu Nebukadneza mfalme wa Babeli anatushambulia. Labda \nd Bwana\nd* atatenda maajabu kwa ajili yetu kama nyakati zilizopita, ili Nebukadneza atuondokee.”

JER 21:3 Removed trailing space in v~: Lakini Yeremia akawajibu, “Mwambieni Sedekia,

JER 21:4 Removed trailing space in v~: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, asemalo: Ninakaribia kuwageuzia silaha za vita zilizo mikononi mwenu, ambazo mnatumia kupigana na mfalme wa Babeli na Wakaldayo ambao wako nje ya ukuta wakiwazunguka kwa jeshi. Nami nitawakusanya ndani ya mji huu.

JER 21:5 Removed trailing space in v~: Mimi mwenyewe nitapigana dhidi yenu kwa mkono wangu ulionyooshwa na mkono wa nguvu, kwa hasira na ghadhabu kali na ukali mwingi.

JER 21:6 Removed trailing space in v~: Nitawaangamiza waishio katika mji huu, watu na wanyama, nao watauawa kwa tauni ya kutisha.

JER 21:7 Removed trailing space in v~: Baada ya hayo, nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda, maafisa wake na watu wa mji huu ambao walinusurika tauni, upanga na njaa, mkononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, na kwa adui zao wale wanaotafuta uhai wao. Atawaua kwa upanga; hatakuwa na rehema juu yao au huruma wala kuwasikitikia,’ asema \nd Bwana\nd*.

JER 21:8 Removed trailing space in v~: “Zaidi ya hayo, waambie watu hawa, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Tazama, naweka mbele yenu njia ya uzima, na njia ya mauti.

JER 21:9 Removed trailing space in v~: Yeyote atakayekaa katika mji huu atakufa kwa upanga, njaa au tauni. Lakini yeyote atakayetoka na kujisalimisha kwa Wakaldayo ambao wameuzunguka mji huu kwa jeshi, atanusurika, naye ataishi.

JER 21:10 Removed trailing space in v~: Nimekusudia kuufanyia mji huu jambo baya, wala si jema. Utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteketeza kwa moto, asema \nd Bwana\nd*.’

JER 21:11 Removed trailing space in v~: “Zaidi ya hayo, ambia nyumba ya mfalme ya Yuda, ‘Sikia neno la \nd Bwana\nd*,

JER 21:12 Removed trailing space in v~: Ewe nyumba ya Daudi, hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo:

JER 21:12 Removed trailing space in p~: “ ‘Hukumuni kwa haki kila asubuhi,

JER 21:12 Removed trailing space in p~: mwokoeni mikononi mwa mdhalimu

JER 21:12 Removed trailing space in p~: yeye aliyetekwa nyara,

JER 21:12 Removed trailing space in p~: la sivyo ghadhabu yangu italipuka

JER 21:12 Removed trailing space in p~: na kuwaka kama moto

JER 21:12 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya uovu mlioufanya:

JER 21:12 Removed trailing space in p~: itawaka na hakuna wa kuizima.

JER 21:13 Removed trailing space in v~: Niko kinyume nawe, ee Yerusalemu,

JER 21:13 Removed trailing space in p~: wewe uishiye juu ya bonde hili

JER 21:13 Removed trailing space in p~: kwenye uwanda wa juu wa miamba,

JER 21:13 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 21:13 Removed trailing space in p~: wewe usemaye, “Ni nani awezaye kuja kinyume chetu?

JER 21:13 Removed trailing space in p~: Nani ataingia mahali pa kimbilio letu?”

JER 21:14 Removed trailing space in v~: Nitawaadhibu kama istahilivyo matendo yenu,

JER 21:14 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 21:14 Removed trailing space in p~: Nitawasha moto katika misitu yenu

JER 21:14 Removed trailing space in p~: ambao utateketeza kila kitu kinachowazunguka.’ ”

JER 23:0 Extra space after chapter number

JER 23:0 Removed trailing space in c: 23

JER 23:0 Removed trailing space in s1: Tawi La Haki

JER 23:1 Removed trailing space in v~: “Ole wao wachungaji wanaoharibu na kutawanya kondoo wa malisho yangu!” asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, analowaambia wachungaji wanaowachunga watu wangu: “Kwa sababu mmelitawanya kundi langu na kuwafukuzia mbali, wala hamkuwatunza, basi mimi nitawaadhibu kwa ajili ya uovu mliofanya,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:3 Removed trailing space in v~: “Mimi mwenyewe nitayakusanya mabaki ya kundi langu kutoka nchi zote ambazo nimewafukuzia, nami nitawarudisha katika malisho yao, mahali ambapo watazaa na kuongezeka idadi yao.

JER 23:4 Removed trailing space in v~: Nitaweka wachungaji juu yao ambao watawachunga, nao hawataogopa tena au kutishwa, wala hatapotea hata mmoja,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema, “Siku zinakuja,

JER 23:5 Removed trailing space in p~: nitakapomwinulia Daudi Tawi lenye haki,

JER 23:5 Removed trailing space in p~: Mfalme atakayetawala kwa hekima,

JER 23:5 Removed trailing space in p~: na kutenda lililo haki na sawa katika nchi.

JER 23:6 Removed trailing space in v~: Katika siku zake, Yuda ataokolewa

JER 23:6 Removed trailing space in p~: na Israeli ataishi salama.

JER 23:6 Removed trailing space in p~: Hili ndilo jina atakaloitwa:

JER 23:6 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Haki Yetu.

JER 23:7 Removed trailing space in v~: “Hivyo basi, siku zinakuja, wakati ambapo watu hawatasema tena, ‘Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, aliyewapandisha Waisraeli kutoka Misri,’

JER 23:8 Removed trailing space in v~: bali watasema, ‘Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo, aliyewatoa wazao wa Israeli kutoka nchi ya kaskazini na nchi zote alizokuwa amewafukuzia,’ asema \nd Bwana\nd*. Ndipo wataishi katika nchi yao wenyewe.”

JER 23:8 Removed trailing space in s1: Manabii Wasemao Uongo

JER 23:9 Removed trailing space in v~: Kuhusu manabii:

JER 23:9 Removed trailing space in p~: Moyo wangu umevunjika ndani yangu;

JER 23:9 Removed trailing space in p~: mifupa yangu yote inatetemeka.

JER 23:9 Removed trailing space in p~: Nimekuwa kama mtu aliyelewa,

JER 23:9 Removed trailing space in p~: kama mtu aliyelemewa na divai,

JER 23:9 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya \nd Bwana\nd*

JER 23:9 Removed trailing space in p~: na maneno yake matakatifu.

JER 23:10 Removed trailing space in v~: Nchi imejaa wazinzi;

JER 23:10 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya laana, nchi imekauka

JER 23:10 Removed trailing space in p~: na malisho yaliyoko nyikani yamekauka.

JER 23:10 Removed trailing space in p~: Mwenendo wa manabii ni mbaya

JER 23:10 Removed trailing space in p~: na mamlaka yao si ya haki.

JER 23:11 Removed trailing space in v~: “Nabii na kuhani wote si wacha Mungu;

JER 23:11 Removed trailing space in p~: hata hekaluni mwangu ninaona uovu wao,”

JER 23:11 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:12 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo mapito yao yatakuwa utelezi,

JER 23:12 Removed trailing space in p~: watafukuziwa mbali gizani

JER 23:12 Removed trailing space in p~: na huko wataanguka.

JER 23:12 Removed trailing space in p~: Nitaleta maafa juu yao

JER 23:12 Removed trailing space in p~: katika mwaka wa kuadhibiwa kwao,”

JER 23:12 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:13 Removed trailing space in v~: “Miongoni mwa manabii wa Samaria

JER 23:13 Removed trailing space in p~: nililiona jambo la kuchukiza:

JER 23:13 Removed trailing space in p~: Walitabiri kwa Baali

JER 23:13 Removed trailing space in p~: na kuwapotosha Israeli watu wangu.

JER 23:14 Removed trailing space in v~: Nako miongoni mwa manabii wa Yerusalemu

JER 23:14 Removed trailing space in p~: nimeona jambo baya sana:

JER 23:14 Removed trailing space in p~: Wanafanya uzinzi

JER 23:14 Removed trailing space in p~: na kuenenda katika uongo.

JER 23:14 Removed trailing space in p~: Wanatia nguvu mikono ya watenda mabaya,

JER 23:14 Removed trailing space in p~: kwa ajili hiyo hakuna yeyote

JER 23:14 Removed trailing space in p~: anayeachana na uovu wake.

JER 23:14 Removed trailing space in p~: Wote wako kama Sodoma kwangu;

JER 23:14 Removed trailing space in p~: watu na Yerusalemu wako kama Gomora.”

JER 23:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo kuhusu manabii:

JER 23:15 Removed trailing space in p~: “Nitawafanya wale chakula kichungu

JER 23:15 Removed trailing space in p~: na kunywa maji yaliyotiwa sumu,

JER 23:15 Removed trailing space in p~: kwa sababu kutokana na manabii wa Yerusalemu

JER 23:15 Removed trailing space in p~: kutokumcha Mungu kumeenea katika nchi yote.”

JER 23:16 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo:

JER 23:16 Removed trailing space in p~: “Msisikilize wanachowatabiria manabii,

JER 23:16 Removed trailing space in p~: wanawajaza matumaini ya uongo.

JER 23:16 Removed trailing space in p~: Wanasema maono kutoka akili zao wenyewe,

JER 23:16 Removed trailing space in p~: hayatoki katika kinywa cha \nd Bwana\nd*.

JER 23:17 Removed trailing space in v~: Huendelea kuwaambia wale wanaonidharau mimi,

JER 23:17 Removed trailing space in p~: ‘\nd Bwana\nd* asema: Mtakuwa na amani.’

JER 23:17 Removed trailing space in p~: Kwa wale wote wafuatao ugumu wa mioyo yao,

JER 23:17 Removed trailing space in p~: wao husema, ‘Hakuna dhara litakalowapata.’

JER 23:18 Removed trailing space in v~: Lakini ni yupi miongoni mwao aliyesimama katika baraza la \nd Bwana\nd*

JER 23:18 Removed trailing space in p~: ili kuona au kusikia neno lake?

JER 23:18 Removed trailing space in p~: Ni nani aliyesikiliza

JER 23:18 Removed trailing space in p~: na kusikia neno lake?

JER 23:19 Removed trailing space in v~: Tazama, dhoruba ya \nd Bwana\nd*

JER 23:19 Removed trailing space in p~: itapasuka kwa ghadhabu,

JER 23:19 Removed trailing space in p~: kisulisuli kitazunguka na kuanguka

JER 23:19 Removed trailing space in p~: vichwani vya waovu.

JER 23:20 Removed trailing space in v~: Hasira ya \nd Bwana\nd* haitageuka mpaka amelitimiza kusudi la moyo wake.

JER 23:20 Removed trailing space in p~: Siku zijazo mtalifahamu kwa wazi.

JER 23:21 Removed trailing space in v~: Mimi sikuwatuma manabii hawa,

JER 23:21 Removed trailing space in p~: lakini bado wamekimbia wakitangaza ujumbe wao.

JER 23:21 Removed trailing space in p~: Mimi sikusema nao,

JER 23:21 Removed trailing space in p~: lakini wametabiri.

JER 23:22 Removed trailing space in v~: Lakini kama wangesimama barazani mwangu,

JER 23:22 Removed trailing space in p~: wangetangaza maneno yangu kwa watu wangu,

JER 23:22 Removed trailing space in p~: nao wangewageuza kutoka njia zao mbaya

JER 23:22 Removed trailing space in p~: na kutoka matendo yao maovu.”

JER 23:23 Removed trailing space in v~: “Je, mimi ni Mungu aliyeko hapa karibu tu,”

JER 23:23 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* asema,

JER 23:23 Removed trailing space in p~: “wala si Mungu aliyeko pia mbali?

JER 23:24 Removed trailing space in v~: Je, mtu yeyote aweza kujificha

JER 23:24 Removed trailing space in p~: mahali pa siri ili nisiweze kumwona?”

JER 23:24 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* asema.

JER 23:24 Removed trailing space in p~: “Je, mimi sikuijaza mbingu na nchi?”

JER 23:24 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* asema.

JER 23:25 Removed trailing space in v~: “Nimesikia wanayoyasema manabii, hao wanaotabiri uongo kwa jina langu. Wanasema, ‘Nimeota ndoto! Nimeota ndoto!’

JER 23:26 Removed trailing space in v~: Mambo haya yataendelea mpaka lini ndani ya mioyo ya hawa manabii wa uongo, ambao hutabiri maono ya uongo ya akili zao wenyewe?

JER 23:27 Removed trailing space in v~: Wanadhani ndoto wanazoambiana wao kwa wao zitawafanya watu wangu walisahau jina langu, kama baba zao walivyolisahau jina langu kwa kumwabudu Baali.

JER 23:28 Removed trailing space in v~: Mwache nabii aliye na ndoto aseme ndoto yake, lakini yule aliye na neno langu na aliseme kwa uaminifu. Kwa maana jani kavu lina uhusiano gani na ngano?” asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:29 Removed trailing space in v~: “Je, neno langu si kama moto,” asema \nd Bwana\nd*, “na kama nyundo ivunjayo mwamba vipande vipande?

JER 23:30 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, niko kinyume na manabii wanaoibiana maneno kana kwamba ni yangu,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:31 Removed trailing space in v~: “Naam, mimi niko kinyume na manabii wanaotikisa ndimi zao wenyewe na kusema, ‘\nd Bwana\nd* asema.’

JER 23:32 Removed trailing space in v~: Kweli, niko kinyume na hao wanaotabiri ndoto za uongo,” asema \nd Bwana\nd*. “Wanazisimulia na kuwapotosha watu wangu kwa uongo wao bila kujali, lakini sikuwatuma wala sikuwaamuru. Hawawafaidi watu hawa hata kidogo,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 23:32 Removed trailing space in s1: Maneno Ya Uongo Na Manabii Wa Uongo

JER 23:33 Removed trailing space in v~: “Wakati watu hawa, au nabii, au kuhani watakapokuuliza, ‘Mzigo wa \nd Bwana\nd* ni nini?’ wewe utawaambia, ‘Ninyi ndio mzigo. Nami nitawavua kama vazi, asema \nd Bwana\nd*.’

JER 23:34 Removed trailing space in v~: Nabii, kuhani, au mtu yeyote akisema, ‘Huu ndio mzigo wa \nd Bwana\nd*,’ nitamwadhibu huyo na nyumba yake.

JER 23:35 Removed trailing space in v~: Hivyo mnaambiana kila mmoja na mwenzake, au kwa mtu wa nyumba yao: ‘\nd Bwana\nd* amejibu nini?’ au ‘\nd Bwana\nd* amesema nini?’

JER 23:36 Removed trailing space in v~: Lakini kamwe msiseme tena, ‘Nina mzigo wa \nd Bwana\nd*,’ kwa sababu kila neno la mtu binafsi linakuwa mzigo wake mwenyewe, na hivyo kupotosha maneno ya Mungu aliye hai, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wetu.

JER 23:37 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo utakavyoendelea kumuuliza nabii: ‘\nd Bwana\nd* amekujibu nini?’ au ‘Je, \nd Bwana\nd* amesema nini?’

JER 23:38 Removed trailing space in v~: Ingawa unadai, ‘Huu ndio mzigo wa \nd Bwana\nd*,’ hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Ulitumia maneno, ‘Huu ndio mzigo wa \nd Bwana\nd*,’ hata ingawa nilikuambia kuwa kamwe usiseme, ‘Huu ni mzigo wa \nd Bwana\nd*.’

JER 23:39 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hakika nitakusahau na kukutupa mbali na uso wangu pamoja na mji niliowapa ninyi na baba zenu.

JER 23:40 Removed trailing space in v~: Nitaleta juu yako fedheha ya kudumu: yaani aibu ya kudumu ambayo haitasahaulika.”

JER 25:0 Extra space after chapter number

JER 25:0 Removed trailing space in c: 25

JER 25:0 Removed trailing space in s1: Miaka Sabini Ya Kuwa Mateka

JER 25:1 Removed trailing space in v~: Neno likamjia Yeremia kuhusu watu wote wa Yuda, katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kwanza wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babeli.

JER 25:2 Removed trailing space in v~: Hivyo nabii Yeremia akawaambia watu wote wa Yuda na wale wote waishio Yerusalemu:

JER 25:3 Removed trailing space in v~: Kwa miaka ishirini na mitatu, kuanzia mwaka wa kumi na tatu wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda, hadi siku hii ya leo, neno la \nd Bwana\nd* limekuwa likinijia, nami nimesema nanyi mara kwa mara, lakini hamkusikiliza.

JER 25:4 Removed trailing space in v~: Ingawa \nd Bwana\nd* amewatuma watumishi wake wote hao manabii kwenu mara kwa mara, hamkusikiliza wala hamkujali.

JER 25:5 Removed trailing space in v~: Walisema, “Geukeni sasa, kila mmoja wenu kutoka njia yake mbaya na matendo yake maovu, ndipo mtaweza kukaa katika nchi ambayo \nd Bwana\nd* aliwapa ninyi na baba zenu milele.

JER 25:6 Removed trailing space in v~: Msiifuate miungu mingine ili kuitumikia na kuiabudu. Msinikasirishe kwa vitu ambavyo mmevitengeneza kwa mikono yenu.”

JER 25:7 Removed trailing space in v~: “Lakini ninyi hamkunisikiliza mimi, tena mkanikasirisha kwa vitu mlivyovitengeneza kwa mikono yenu, nanyi mmejiletea madhara juu yenu wenyewe,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 25:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asema hivi: “Kwa sababu hamkuyasikiliza maneno yangu,

JER 25:9 Removed trailing space in v~: nitayaita mataifa yote ya kaskazini na mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli,” asema \nd Bwana\nd*. “Nitawaleta waishambulie nchi hii na wakazi wake wote, na dhidi ya mataifa yote yanayowazunguka. Nitawaangamiza kabisa na kuwafanya kitu cha kuchukiwa na kudharauliwa, na kuwa magofu daima.

JER 25:10 Removed trailing space in v~: Nitawaondolea sauti ya shangwe na furaha, sauti ya bibi na bwana arusi, sauti ya mawe ya kusagia, na mwanga wa taa.

JER 25:11 Removed trailing space in v~: Nchi hii yote itakuwa ukiwa na isiyofaa kitu, nayo mataifa haya yatamtumikia mfalme wa Babeli kwa miaka sabini.”

JER 25:12 Removed trailing space in v~: “Lakini miaka sabini itakapotimia, nitamwadhibu mfalme wa Babeli na taifa lake na nchi ya Wakaldayo kwa ajili ya hatia yao,” asema \nd Bwana\nd*. “Nitaifanya kuwa ukiwa milele.

JER 25:13 Removed trailing space in v~: Nitaleta juu ya nchi hiyo mambo yote niliyosema dhidi yake, yote yaliyoandikwa katika kitabu hiki, na kutolewa unabii na Yeremia dhidi ya mataifa yote.

JER 25:14 Removed trailing space in v~: Wao wenyewe watakuwa watumwa wa mataifa mengi na wafalme wakuu. Nitawalipizia sawasawa na matendo yao na kazi ya mikono yao.”

JER 25:14 Removed trailing space in s1: Kikombe Cha Ghadhabu Ya Mungu

JER 25:15 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, aliloniambia: “Chukua kutoka mkononi mwangu kikombe hiki kilichojaa divai ya ghadhabu yangu, na kuyanywesha mataifa yote ambayo ninakutuma kwao.

JER 25:16 Removed trailing space in v~: Watakapoinywa, watapepesuka na kukasirika sana kwa sababu ya upanga nitakaoupeleka katikati yao.”

JER 25:17 Removed trailing space in v~: Hivyo nikakichukua kikombe kutoka mkononi mwa \nd Bwana\nd*, na kuyafanya mataifa yote aliyonituma kwao kukinywa:

JER 25:18 Removed trailing space in v~: Yaani Yerusalemu na miji ya Yuda, wafalme wake na maafisa wake, kuwafanya magofu na kuwa kitu cha kuchukiza, cha dhihaka na laana, kama walivyo leo;

JER 25:19 Removed trailing space in v~: pia Farao mfalme wa Misri, watumishi wake, maafisa wake na watu wake wote,

JER 25:20 Removed trailing space in v~: pia wageni wote walioko huko; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa Wafilisti (wale wa Ashkeloni, Gaza, Ekroni na watu walioachwa huko Ashdodi);

JER 25:21 Removed trailing space in v~: Edomu, Moabu na Amoni;

JER 25:22 Removed trailing space in v~: wafalme wote wa Tiro na Sidoni; wafalme wa nchi za pwani ngʼambo ya bahari;

JER 25:23 Removed trailing space in v~: Dedani, Tema, Buzi na wote walio maeneo ya mbali;

JER 25:24 Removed trailing space in v~: wafalme wote wa Arabuni na wafalme wote wa watu wageni wanaoishi katika jangwa;

JER 25:25 Removed trailing space in v~: wafalme wote wa Zimri, Elamu na Umedi;

JER 25:26 Removed trailing space in v~: na wafalme wote wa pande za kaskazini, wa karibu na wa mbali, mmoja baada ya mwingine; yaani falme zote juu ya uso wa dunia. Baada ya hao wote, mfalme wa Sheshaki\f + \fr 25:26 \ft Sheshaki ni Babeli kwa fumbo.\f* atakunywa pia.

JER 25:27 Removed trailing space in v~: “Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Kunyweni, mlewe na mtapike; angukeni, wala msiinuke tena kwa sababu ya upanga nitakaotuma miongoni mwenu.’

JER 25:28 Removed trailing space in v~: Lakini kama wakikataa kupokea kikombe kutoka mikononi mwako na kunywa, waambie, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: Ni lazima mnywe!

JER 25:29 Removed trailing space in v~: Tazama, nimeanza kuleta maafa juu ya mji ulio na Jina langu, na je, kweli ninyi mtaepuka kuadhibiwa? Hamwezi kuepuka kuadhibiwa, kwa maana nitaleta vita juu ya wote waishio duniani, asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.’

JER 25:30 Removed trailing space in v~: “Basi sasa toa unabii kwa maneno haya yote dhidi yao, uwaambie:

JER 25:30 Removed trailing space in p~: “ ‘\nd Bwana\nd* atanguruma kutoka juu;

JER 25:30 Removed trailing space in p~: atatoa sauti ya ngurumo

JER 25:30 Removed trailing space in p~: kutoka makao yake matakatifu

JER 25:30 Removed trailing space in p~: na kunguruma kwa nguvu sana

JER 25:30 Removed trailing space in p~: dhidi ya nchi yake.

JER 25:30 Removed trailing space in p~: Atapiga kelele kama wao wakanyagao zabibu,

JER 25:30 Removed trailing space in p~: atapiga kelele dhidi ya wote waishio duniani.

JER 25:31 Removed trailing space in v~: Ghasia zitasikika hadi miisho ya dunia,

JER 25:31 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* ataleta mashtaka dhidi ya mataifa;

JER 25:31 Removed trailing space in p~: ataleta hukumu juu ya wanadamu wote

JER 25:31 Removed trailing space in p~: na kuwaua waovu wote,’ ”

JER 25:31 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 25:32 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo:

JER 25:32 Removed trailing space in p~: “Tazama! Maafa yanaenea

JER 25:32 Removed trailing space in p~: kutoka taifa moja hadi jingine;

JER 25:32 Removed trailing space in p~: tufani kubwa inainuka

JER 25:32 Removed trailing space in p~: kutoka miisho ya dunia.”

JER 25:33 Removed trailing space in v~: Wakati huo, hao waliouawa na \nd Bwana\nd* watatapakaa kila mahali, kuanzia mwisho mmoja wa dunia hadi mwisho mwingine. Hawataombolezewa wala kukusanywa au kuzikwa, lakini watakuwa kama mavi yaliyoenea juu ya ardhi.

JER 25:34 Removed trailing space in v~: Lieni na kuomboleza, enyi wachungaji,

JER 25:34 Removed trailing space in p~: mgaagae mavumbini,

JER 25:34 Removed trailing space in p~: ninyi viongozi wa kundi.

JER 25:34 Removed trailing space in p~: Kwa maana wakati wenu wa kuchinjwa umewadia;

JER 25:34 Removed trailing space in p~: mtaanguka na kuvunjavunjwa

JER 25:34 Removed trailing space in p~: kama vyombo vizuri vya udongo.

JER 25:35 Removed trailing space in v~: Wachungaji hawatakuwa na mahali pa kukimbilia,

JER 25:35 Removed trailing space in p~: viongozi wa kundi hawatapata mahali pa kutorokea.

JER 25:36 Removed trailing space in v~: Sikia kilio cha wachungaji, maombolezo ya viongozi wa kundi,

JER 25:36 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* anayaharibu malisho yao.

JER 25:37 Removed trailing space in v~: Makao yao ya amani yataharibiwa

JER 25:37 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya hasira kali ya \nd Bwana\nd*.

JER 25:38 Removed trailing space in v~: Kama simba ataacha pango lake,

JER 25:38 Removed trailing space in p~: nchi yao itakuwa ukiwa

JER 25:38 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya upanga wa mdhalimu,

JER 25:38 Removed trailing space in p~: na kwa sababu ya hasira kali ya \nd Bwana\nd* Mungu.

JER 26:0 Extra space after chapter number

JER 26:0 Removed trailing space in c: 26

JER 26:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Atishiwa Kuuawa

JER 26:1 Removed trailing space in v~: Mwanzoni mwa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, neno hili lilikuja kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 26:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Simama katika ua wa nyumba ya \nd Bwana\nd* na useme na watu wote wa miji ya Yuda wanaokuja kuabudu katika nyumba ya \nd Bwana\nd*. Waambie kila kitu nitakachokuamuru, usipunguze neno.

JER 26:3 Removed trailing space in v~: Huenda watasikiliza, na kila mmoja akageuka kutoka njia yake mbaya. Kisha nitawahurumia na kuacha kuwaletea maafa niliyokuwa ninapanga kwa sababu ya maovu waliyofanya.

JER 26:4 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Ikiwa hamtanisikiliza na kuifuata sheria yangu ambayo nimeiweka mbele yenu,

JER 26:5 Removed trailing space in v~: nanyi ikiwa hamtayasikiliza maneno ya watumishi wangu manabii, ambao nimewatuma kwenu tena na tena (ijapokuwa hamkuwasikiliza),

JER 26:6 Removed trailing space in v~: ndipo nitaifanya nyumba hii kama Shilo na mji huu kuwa kitu cha kulaaniwa na mataifa yote ya dunia.’ ”

JER 26:7 Removed trailing space in v~: Makuhani, manabii na watu wote wakamsikia Yeremia akiyasema maneno haya ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JER 26:8 Removed trailing space in v~: Lakini mara tu Yeremia alipomaliza kuwaambia watu kila kitu \nd Bwana\nd* alichomwamuru kukisema, basi makuhani, manabii na watu wote walimkamata wakisema, “Ni lazima ufe!

JER 26:9 Removed trailing space in v~: Kwa nini unatoa unabii katika jina la \nd Bwana\nd* kwamba nyumba hii itakuwa kama Shilo na mji huu utakuwa ukiwa na kuachwa tupu?” Nao watu wote wakamkusanyikia na kumzunguka Yeremia ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JER 26:10 Removed trailing space in v~: Maafisa wa Yuda waliposikia kuhusu mambo haya, wakapanda kutoka jumba la kifalme, wakaenda katika nyumba ya \nd Bwana\nd* na kushika nafasi zao kwenye ingilio la Lango Jipya la nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JER 26:11 Removed trailing space in v~: Kisha makuhani na manabii wakawaambia maafisa pamoja na watu wote, “Mtu huyu anastahili ahukumiwe kifo kwa sababu ametoa unabii mbaya dhidi ya mji huu. Mmesikia kwa masikio yenu wenyewe!”

JER 26:12 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akawaambia maafisa wote na watu wote: “\nd Bwana\nd* amenituma kutoa unabii dhidi ya nyumba hii na mji huu mambo yote mliyoyasikia.

JER 26:13 Removed trailing space in v~: Sasa tengenezeni njia zenu na matendo yenu, na kumtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu. Ndipo \nd Bwana\nd* atawahurumia na kuacha kuleta maafa aliyokuwa ameyatamka dhidi yenu.

JER 26:14 Removed trailing space in v~: Lakini kwa habari yangu mimi, niko mikononi mwenu, nifanyieni lolote mnaloona kuwa ni jema na la haki.

JER 26:15 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, jueni kwa hakika, ikiwa mtaniua, mtakuwa mmejipatia dhambi kwa damu isiyo na hatia juu yenu wenyewe, na juu ya mji huu na wote wanaoishi ndani yake, kwa maana ni kweli \nd Bwana\nd* amenituma kwenu ili niseme maneno haya yote masikioni mwenu.”

JER 26:16 Removed trailing space in v~: Kisha maafisa na watu wote wakawaambia makuhani na manabii, “Mtu huyu asihukumiwe kifo! Amesema nasi katika jina la \nd Bwana\nd*, Mungu wetu.”

JER 26:17 Removed trailing space in v~: Baadhi ya wazee wa nchi wakasogea mbele, wakaliambia kusanyiko lote la watu,

JER 26:18 Removed trailing space in v~: “Mika Mmoreshethi alitoa unabii katika siku za Hezekia mfalme wa Yuda. Akawaambia watu wote wa Yuda, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 26:18 Removed trailing space in p~: “ ‘Sayuni italimwa kama shamba,

JER 26:18 Removed trailing space in p~: Yerusalemu itakuwa lundo la kokoto,

JER 26:18 Removed trailing space in p~: na kilima cha Hekalu kitakuwa kichuguu

JER 26:18 Removed trailing space in p~: kilichofunikwa na vichaka.’

JER 26:19 Removed trailing space in v~: Je, Hezekia mfalme wa Yuda au mtu mwingine yeyote katika Yuda alimhukumu Mika kufa? Je, Hezekia hakumcha \nd Bwana\nd* na kuhitaji msaada wake? Je, \nd Bwana\nd* hakuwahurumia na akaacha kuleta maafa aliyokuwa ametamka dhidi yao? Tunakaribia sana kujiletea maangamizo ya kutisha sisi wenyewe!”

JER 26:20 Removed trailing space in v~: (Wakati huu, Uria mwana wa Shemaya kutoka mji wa Kiriath-Yearimu alikuwa mtu mwingine aliyetoa unabii kwa jina la \nd Bwana\nd*. Alitoa unabii juu ya mambo yaliyofanana na haya dhidi ya mji huu na nchi hii kama alivyofanya Yeremia.

JER 26:21 Removed trailing space in v~: Mfalme Yehoyakimu na wakuu wake wote na maafisa waliposikia maneno yake, mfalme alitafuta kumuua. Lakini Uria alipata habari, na kwa kuogopa akakimbilia Misri.

JER 26:22 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Mfalme Yehoyakimu alimtuma Elnathani mwana wa Akbori huko Misri, pamoja na watu wengine ili kwenda kumkamata Uria.

JER 26:23 Removed trailing space in v~: Wakamrudisha Uria kutoka Misri na kumpeleka kwa Mfalme Yehoyakimu, ambaye alimuua kwa upanga, na mwili wake kutupwa kwenye eneo la makaburi ya watu wasio na cheo.)

JER 26:24 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, Ahikamu mwana wa Shafani akamuunga mkono Yeremia, kwa hiyo hakutiwa tena mikononi mwa watu ili auawe.

JER 27:0 Extra space after chapter number

JER 27:0 Removed trailing space in c: 27

JER 27:0 Removed trailing space in s1: Yuda Kumtumikia Nebukadneza

JER 27:1 Removed trailing space in v~: Mwanzoni mwa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, neno hili lilimjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 27:2 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* aliloniambia: “Tengeneza nira, ujivike shingoni mwako, uifunge kwa kamba za ngozi.

JER 27:3 Removed trailing space in v~: Kisha utume ujumbe kwa wafalme wa Edomu, Moabu, Amoni, Tiro na Sidoni kupitia wajumbe ambao wamekuja Yerusalemu kwa Sedekia mfalme wa Yuda.

JER 27:4 Removed trailing space in v~: Wape ujumbe kwa ajili ya mabwana zao na uwaambie: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Waambieni hivi mabwana zenu:

JER 27:5 Removed trailing space in v~: Kwa uwezo wangu mkuu na kwa mkono wangu ulionyooshwa nimeumba dunia na watu wake na wanyama walioko ndani yake, nami humpa yeyote inipendezavyo.

JER 27:6 Removed trailing space in v~: Sasa nitazitia nchi zenu zote mkononi mwa mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, na nitawafanya hata wanyama wa mwituni wamtumikie.

JER 27:7 Removed trailing space in v~: Mataifa yote yatamtumikia yeye, pamoja na mwanawe na mwana wa mwanawe, hadi wakati wa nchi yake utakapowadia, kisha mataifa mengi na wafalme wenye nguvu nyingi watamshinda.

JER 27:8 Removed trailing space in v~: “ ‘ “Lakini kama kukiwa na taifa lolote au ufalme ambao hautamtumikia Nebukadneza mfalme wa Babeli, ama kuinamisha shingo yake chini ya nira yake, nitaliadhibu taifa hilo kwa upanga, njaa na tauni, asema \nd Bwana\nd*, mpaka nitakapoliangamiza taifa hilo kwa mkono wake.

JER 27:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo msiwasikilize manabii wenu, waaguzi wenu, waota ndoto wenu, watabiri na wachawi wanaowaambia ninyi: Hamtamtumikia mfalme wa Babeli.

JER 27:10 Removed trailing space in v~: Wanawatabiria uongo ambao utawafanya ninyi mhamishwe mbali kutoka nchi yenu. Nitawafukuzia mbali, nanyi mtaangamia.

JER 27:11 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa taifa lolote litainama na kuweka shingo lake katika nira ya mfalme wa Babeli na kumtumikia, nitaliacha taifa hilo katika nchi yake yenyewe ili wailime na kuishi humo, asema \nd Bwana\nd*.” ’ ”

JER 27:12 Removed trailing space in v~: Nilitoa ujumbe huo huo kwa Sedekia mfalme wa Yuda. Nilisema, “Ingiza shingo yako katika nira ya mfalme wa Babeli, umtumikie yeye na watu wake, nawe utaishi.

JER 27:13 Removed trailing space in v~: Kwa nini wewe na watu wako mfe kwa upanga, njaa na tauni, ambazo \nd Bwana\nd* ameonya juu ya taifa lolote ambalo halitamtumikia mfalme wa Babeli?

JER 27:14 Removed trailing space in v~: Msiyasikilize maneno ya manabii wanaowaambia kwamba, ‘Hamtamtumikia mfalme wa Babeli,’ kwa sababu wanawatabiria uongo.

JER 27:15 Removed trailing space in v~: ‘Sikuwatuma hao,’ asema \nd Bwana\nd*. ‘Wanatabiri uongo kwa jina langu. Kwa hiyo, nitawafukuzia mbali, nanyi mtaangamia, ninyi pamoja na manabii wanaowatabiria.’ ”

JER 27:16 Removed trailing space in v~: Kisha nikawaambia makuhani na watu hawa wote, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Msiwasikilize manabii wanaosema, ‘Hivi karibuni sana vyombo vya nyumba ya \nd Bwana\nd* vitarudishwa kutoka Babeli.’ Wanawatabiria ninyi uongo.

JER 27:17 Removed trailing space in v~: Msiwasikilize. Mtumikieni mfalme wa Babeli, nanyi mtaishi. Kwa nini mji huu uwe magofu?

JER 27:18 Removed trailing space in v~: Kama wao ni manabii na wanalo neno la \nd Bwana\nd*, basi na wamsihi \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ili vyombo vilivyobaki katika nyumba ya \nd Bwana\nd* na katika jumba la kifalme la mfalme wa Yuda na katika Yerusalemu visipelekwe Babeli.

JER 27:19 Removed trailing space in v~: Kwa maana hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote kuhusu zile nguzo, ile Bahari, vile vishikizo viwezavyo kuhamishika, vinara na vyombo vingine vilivyoachwa katika mji huu,

JER 27:20 Removed trailing space in v~: ambavyo Nebukadneza mfalme wa Babeli hakuvichukua wakati alipomchukua Yekonia\f + \fr 27:20 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.\f* mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda kwenda uhamishoni huko Babeli kutoka Yerusalemu, pamoja na wakuu wote wa Yuda na Yerusalemu.

JER 27:21 Removed trailing space in v~: Naam, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo kuhusu vitu ambavyo vimebaki ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*, na ndani ya jumba la kifalme la mfalme wa Yuda, na katika Yerusalemu:

JER 27:22 Removed trailing space in v~: ‘Vitachukuliwa kupelekwa Babeli, nako huko vitabaki mpaka siku nitakayovijilia,’ asema \nd Bwana\nd*. ‘Kisha nitavirudisha na kuvirejesha mahali hapa.’ ”

JER 28:0 Extra space after chapter number

JER 28:0 Removed trailing space in c: 28

JER 28:0 Removed trailing space in s1: Hanania Nabii Wa Uongo

JER 28:1 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa tano wa mwaka ule ule, yaani mwaka wa nne, mwanzoni mwa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, nabii Hanania mwana wa Azuri, ambaye alitoka Gibeoni, akaniambia katika nyumba ya \nd Bwana\nd* mbele ya makuhani na watu wote:

JER 28:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli asemalo: ‘Nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.

JER 28:3 Removed trailing space in v~: Katika muda wa miaka miwili nitavirudisha mahali hapa vyombo vyote vya nyumba ya \nd Bwana\nd* ambavyo Nebukadneza mfalme wa Babeli aliviondoa kutoka hapa na kuvipeleka Babeli.

JER 28:4 Removed trailing space in v~: Pia nitamrudisha mahali hapa Yekonia\f + \fr 28:4 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.\f* mwana wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, pamoja na wote waliohamishwa kutoka Yuda ambao walikwenda Babeli,’ asema \nd Bwana\nd*, ‘kwa kuwa nitaivunja nira ya mfalme wa Babeli.’ ”

JER 28:5 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii Yeremia akamjibu nabii Hanania mbele ya makuhani na watu wote waliokuwa wamesimama ndani ya nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JER 28:6 Removed trailing space in v~: Akasema, “Amen! \nd Bwana\nd* na afanye hivyo! \nd Bwana\nd* na ayatimize maneno uliyotoa unabii kwa kuvirudisha mahali hapa kutoka Babeli vyombo vya nyumba ya \nd Bwana\nd* pamoja na wote waliohamishwa.

JER 28:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, nisikilize nikuambie yale nitakayoyasema masikioni mwako na masikioni mwa watu hawa wote:

JER 28:8 Removed trailing space in v~: Tangu mwanzo, manabii waliokutangulia wewe na mimi walitabiri vita, maafa na tauni dhidi ya nchi nyingi na falme kubwa.

JER 28:9 Removed trailing space in v~: Lakini nabii atakayetabiri amani atatambuliwa kuwa kweli ametumwa na \nd Bwana\nd* ikiwa unabii wake utatimia.”

JER 28:10 Removed trailing space in v~: Kisha nabii Hanania akaiondoa nira iliyokuwa shingoni mwa Yeremia na kuivunja,

JER 28:11 Removed trailing space in v~: naye akasema mbele ya watu wote, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Vivi hivi ndivyo nitakavyoivunja nira ya Nebukadneza mfalme wa Babeli kutoka kwenye shingo za mataifa katika muda huu wa miaka miwili.’ ” Alipofanya hivi, nabii Yeremia akaondoka zake.

JER 28:12 Removed trailing space in v~: Kitambo kidogo baada ya nabii Hanania kuivunja nira kutoka shingo ya nabii Yeremia, neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia:

JER 28:13 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie Hanania, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Umevunja nira ya mti, lakini badala yake utapata nira ya chuma.

JER 28:14 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Nitaweka nira ya chuma kwenye shingo za mataifa haya yote ili kufanya yamtumikie Nebukadneza mfalme wa Babeli, nao watamtumikia. Nitampa kutawala hata wanyama wa mwituni.’ ”

JER 28:15 Removed trailing space in v~: Kisha nabii Yeremia akamwambia nabii Hanania, “Sikiliza Hanania! \nd Bwana\nd* hajakutuma, lakini wewe umelishawishi taifa hili kuamini uongo.

JER 28:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Hivi karibuni nitakuondoa kutoka juu ya uso wa dunia. Mwaka huu utakufa, kwa sababu umetangaza uasi dhidi ya \nd Bwana\nd*.’ ”

JER 28:17 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa saba wa mwaka ule ule, nabii Hanania akafa.

JER 29:0 Extra space after chapter number

JER 29:0 Removed trailing space in c: 29

JER 29:0 Removed trailing space in s1: Barua Kwa Watu Wa Uhamisho

JER 29:1 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maneno ya ile barua ambayo nabii Yeremia aliituma kutoka Yerusalemu kwenda kwa wazee waliobaki miongoni mwa wale waliohamishwa, na kwa makuhani, manabii na watu wengine wote ambao Nebukadneza alikuwa amewachukua kwenda uhamishoni Babeli kutoka Yerusalemu.

JER 29:2 Removed trailing space in v~: (Hii ilikuwa ni baada ya Mfalme Yekonia\f + \fr 29:2 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.\f* na malkia mamaye, maafisa wa mahakama, viongozi wa Yuda na wa Yerusalemu, mafundi na wahunzi kwenda uhamishoni kutoka Yerusalemu.)

JER 29:3 Removed trailing space in v~: Barua ilikabidhiwa kwa Elasa mwana wa Shafani, na kwa Gemaria mwana wa Hilkia, ambao Sedekia mfalme wa Yuda aliwatuma kwa Mfalme Nebukadneza huko Babeli. Barua yenyewe ilisema:

JER 29:4 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, awaambialo wale wote niliowapeleka kutoka Yerusalemu kwenda uhamishoni Babeli:

JER 29:5 Removed trailing space in v~: “Jengeni nyumba na mstarehe, pandeni bustani na mle mazao yake.

JER 29:6 Removed trailing space in v~: Oeni wake na mzae wana na binti, waozeni wana wenu wake, nanyi watoeni binti zenu waolewe, ili nao pia wazae wana na binti. Ongezekeni idadi yenu huko, wala msipungue.

JER 29:7 Removed trailing space in v~: Pia tafuteni amani na mafanikio ya mji ambamo nimewapeleka uhamishoni. Mwombeni \nd Bwana\nd* kwa ajili ya mji huo, kwa sababu ukistawi, ninyi pia mtastawi.”

JER 29:8 Removed trailing space in v~: Naam, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: “Msikubali manabii na wabashiri walioko miongoni mwenu wawadanganye. Msisikilize ndoto ambazo mmewatia moyo kuota.

JER 29:9 Removed trailing space in v~: Wanawatabiria ninyi uongo kwa jina langu. Sikuwatuma,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 29:10 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: “Miaka sabini itakapotimia kwa ajili ya Babeli, nitakuja kwenu na kutimiza ahadi yangu ya rehema ya kuwarudisha mahali hapa.

JER 29:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninajua mipango niliyo nayo kwa ajili yenu,” asema \nd Bwana\nd*, “ni mipango ya kuwafanikisha na wala si ya kuwadhuru, ni mipango ya kuwapa tumaini katika siku zijazo.

JER 29:12 Removed trailing space in v~: Kisha mtaniita, na mtakuja na kuniomba, nami nitawasikiliza.

JER 29:13 Removed trailing space in v~: Mtanitafuta na kuniona, mtakaponitafuta kwa moyo wenu wote.

JER 29:14 Removed trailing space in v~: Nitaonekana kwenu,” asema \nd Bwana\nd*, “nami nitawarudisha watu wenu waliotekwa. Nitawakusanya kutoka mataifa yote na mahali pote nilipokuwa nimewafukuzia, nami nitawarudisha mahali ambapo nilikuwa nimewatoa walipochukuliwa uhamishoni,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 29:15 Removed trailing space in v~: Mnaweza mkasema, “\nd Bwana\nd* ameinua manabii kwa ajili yetu huku Babeli,”

JER 29:16 Removed trailing space in v~: lakini hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kuhusu mfalme aketiaye kiti cha enzi cha Daudi, na watu wa kwenu wote wanaobaki katika mji huu, ndugu zenu ambao hawakwenda pamoja nanyi uhamishoni.

JER 29:17 Removed trailing space in v~: Naam, hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: “Nitatuma upanga, njaa na tauni dhidi yao, nami nitawafanya kuwa kama tini dhaifu zile ambazo ni mbovu sana zisizofaa kuliwa.

JER 29:18 Removed trailing space in v~: Nitawafukuza kwa upanga, kwa njaa na kwa tauni, nami nitawafanya kitu cha kuchukiza sana kwa falme zote za dunia, na kuwa kitu cha laana na cha kuogofya, cha dharau na kukemewa, miongoni mwa mataifa yote nitakakowafukuzia.

JER 29:19 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hawakuyasikiliza maneno yangu,” asema \nd Bwana\nd*, “maneno ambayo niliwatumia tena na tena kupitia watumishi wangu manabii. Wala ninyi watu wa uhamisho hamkusikiliza pia,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 29:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi nyote mlio uhamishoni, niliowapeleka Babeli kutoka Yerusalemu.

JER 29:21 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo kuhusu Ahabu mwana wa Kolaya, na Sedekia mwana wa Maaseya, wanaowatabiria uongo kwa jina langu: “Nitawatia mikononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye atawaua mbele ya macho yenu hasa.

JER 29:22 Removed trailing space in v~: Kwa ajili yao, watu wote wa uhamisho kutoka Yuda walioko Babeli watatumia laana hii: ‘\nd Bwana\nd* na akutendee kama Sedekia na Ahabu, ambao mfalme wa Babeli aliwachoma kwa moto.’

JER 29:23 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wamefanya mambo maovu kabisa katika Israeli, wamezini na wake za majirani zao, tena kwa Jina langu wamesema uongo, mambo ambayo sikuwaambia kuyafanya. Nami nayajua haya, na ni shahidi wa jambo hilo,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 29:23 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kwa Shemaya

JER 29:24 Removed trailing space in v~: Mwambie Shemaya Mnehelami,

JER 29:25 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Ulituma barua kwa jina lako mwenyewe kwa watu wote wa Yerusalemu, kwa Sefania mwana wa kuhani Maaseya na kwa makuhani wengine wote. Ulimwambia Sefania,

JER 29:26 Removed trailing space in v~: ‘\nd Bwana\nd* amekuweka wewe uwe kuhani badala ya Yehoyada ili uwe msimamizi wa nyumba ya \nd Bwana\nd*. Unapaswa kufunga kwa mikatale na mnyororo wa shingoni mwendawazimu yeyote anayejifanya nabii.

JER 29:27 Removed trailing space in v~: Kwa nini basi hukumkemea Yeremia Mwanathothi, aliyejifanya kama nabii miongoni mwenu?

JER 29:28 Removed trailing space in v~: Ametutumia ujumbe huu huku Babeli: Mtakuwako huko muda mrefu. Kwa hiyo jengeni nyumba mkakae; pandeni mashamba na mle mazao yake.’ ”

JER 29:29 Removed trailing space in v~: Kuhani Sefania, hata hivyo, akamsomea nabii Yeremia ile barua.

JER 29:30 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 29:31 Removed trailing space in v~: “Tuma ujumbe huu kwa watu wote walio uhamishoni: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo kuhusu Shemaya Mnehelami: Kwa sababu Shemaya amewatabiria ninyi, hata ingawa sikumtuma, naye amewafanya kuamini uongo,

JER 29:32 Removed trailing space in v~: hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Hakika nitamwadhibu Shemaya Mnehelami pamoja na uzao wake. Hapatakuwa na yeyote atakayebaki miongoni mwa watu hawa, wala hataona mema nitakayowatendea watu wangu, asema \nd Bwana\nd*, kwa sababu ametangaza uasi dhidi yangu.’ ”

JER 30:0 Extra space after chapter number

JER 30:0 Removed trailing space in c: 30

JER 30:0 Removed trailing space in s1: Kurudishwa Kwa Israeli

JER 30:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 30:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: ‘Andika katika kitabu maneno yote niliyonena na wewe.

JER 30:3 Removed trailing space in v~: Siku zinakuja,’ asema \nd Bwana\nd*, ‘nitakapowaleta watu wangu Israeli na Yuda kutoka uhamishoni, na kuwarudisha katika nchi niliyowapa baba zao ili kuimiliki,’ asema \nd Bwana\nd*.”

JER 30:4 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maneno \nd Bwana\nd* aliyoyanena kuhusu Israeli na Yuda:

JER 30:5 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 30:5 Removed trailing space in p~: “ ‘Vilio vya woga vinasikika:

JER 30:5 Removed trailing space in p~: hofu kuu, wala si amani.

JER 30:6 Removed trailing space in v~: Ulizeni na mkaone:

JER 30:6 Removed trailing space in p~: Je, mwanaume aweza kuzaa watoto?

JER 30:6 Removed trailing space in p~: Kwa nini basi ninaona kila mwanaume mwenye nguvu

JER 30:6 Removed trailing space in p~: ameweka mikono yake tumboni

JER 30:6 Removed trailing space in p~: kama mwanamke aliye na utungu wa kuzaa,

JER 30:6 Removed trailing space in p~: kila uso ukigeuka rangi kabisa?

JER 30:7 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi ile siku itakavyokuwa ya kutisha!

JER 30:7 Removed trailing space in p~: Hakutakuwa na nyingine mfano wake.

JER 30:7 Removed trailing space in p~: Utakuwa wakati wa dhiki kwa Yakobo,

JER 30:7 Removed trailing space in p~: lakini ataokolewa kutoka hiyo.

JER 30:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku ile,’ asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 30:8 Removed trailing space in p~: ‘nitaivunja nira kutoka shingoni mwao

JER 30:8 Removed trailing space in p~: na kuvipasua vifungo vyao;

JER 30:8 Removed trailing space in p~: wageni hawatawafanya tena watumwa.

JER 30:9 Removed trailing space in v~: Badala yake, watamtumikia \nd Bwana\nd*, Mungu wao

JER 30:9 Removed trailing space in p~: na Daudi mfalme wao,

JER 30:9 Removed trailing space in p~: nitakayemwinua kwa ajili yao.

JER 30:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Hivyo usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,

JER 30:10 Removed trailing space in p~: usifadhaike, ee Israeli,’

JER 30:10 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 30:10 Removed trailing space in p~: ‘Hakika, nitakuokoa kutoka mbali,

JER 30:10 Removed trailing space in p~: wazao wako kutoka nchi ya uhamisho wao.

JER 30:10 Removed trailing space in p~: Yakobo atakuwa tena na amani na usalama,

JER 30:10 Removed trailing space in p~: wala hakuna atakayemtia hofu.

JER 30:11 Removed trailing space in v~: Mimi niko pamoja nawe, nami nitakuokoa,’

JER 30:11 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 30:11 Removed trailing space in p~: ‘Ingawa nitayaangamiza kabisa mataifa yote

JER 30:11 Removed trailing space in p~: ambamo miongoni mwao nimewatawanya,

JER 30:11 Removed trailing space in p~: sitawaangamiza ninyi kabisa.

JER 30:11 Removed trailing space in p~: Nitawaadhibu, lakini kwa haki.

JER 30:11 Removed trailing space in p~: Sitawaacha kabisa bila adhabu.’

JER 30:12 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 30:12 Removed trailing space in p~: “ ‘Kidonda chako hakina dawa,

JER 30:12 Removed trailing space in p~: jeraha lako haliponyeki.

JER 30:13 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote wa kukutetea shauri lako,

JER 30:13 Removed trailing space in p~: hakuna dawa ya kidonda chako,

JER 30:13 Removed trailing space in p~: wewe hutapona.

JER 30:14 Removed trailing space in v~: Wale walioungana nawe wote wamekusahau,

JER 30:14 Removed trailing space in p~: hawajali chochote kukuhusu wewe.

JER 30:14 Removed trailing space in p~: Nimekupiga kama vile adui angelifanya,

JER 30:14 Removed trailing space in p~: na kukuadhibu kama vile mtu mkatili angelifanya,

JER 30:14 Removed trailing space in p~: kwa sababu hatia yako ni kubwa mno

JER 30:14 Removed trailing space in p~: na dhambi zako ni nyingi sana.

JER 30:15 Removed trailing space in v~: Kwa nini unalia kwa ajili ya jeraha lako,

JER 30:15 Removed trailing space in p~: yale maumivu yako yasiyoponyeka?

JER 30:15 Removed trailing space in p~: Kwa sababu ya uovu wako mkubwa na dhambi zako nyingi

JER 30:15 Removed trailing space in p~: nimekufanyia mambo haya.

JER 30:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini watu wote wakuangamizao wataangamizwa;

JER 30:16 Removed trailing space in p~: adui zako wote watakwenda uhamishoni.

JER 30:16 Removed trailing space in p~: Wale wote wakutekao nyara watatekwa nyara;

JER 30:16 Removed trailing space in p~: wote wakufanyao mateka nitawafanya mateka.

JER 30:17 Removed trailing space in v~: Lakini nitakurudishia afya yako

JER 30:17 Removed trailing space in p~: na kuyaponya majeraha yako,’

JER 30:17 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 30:17 Removed trailing space in p~: ‘kwa sababu umeitwa mwenye kutupwa,

JER 30:17 Removed trailing space in p~: Sayuni ambaye hakuna yeyote anayekujali.’

JER 30:18 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 30:18 Removed trailing space in p~: “ ‘Nitarudisha baraka za mahema ya Yakobo,

JER 30:18 Removed trailing space in p~: na kuhurumia maskani yake.

JER 30:18 Removed trailing space in p~: Mji utajengwa tena juu ya magofu yake,

JER 30:18 Removed trailing space in p~: nalo jumba la kifalme litasimama mahali pake halisi.

JER 30:19 Removed trailing space in v~: Nyimbo za kushukuru zitatoka kwao

JER 30:19 Removed trailing space in p~: na sauti ya furaha.

JER 30:19 Removed trailing space in p~: Nitaiongeza idadi yao

JER 30:19 Removed trailing space in p~: wala hawatapungua,

JER 30:19 Removed trailing space in p~: nitawapa heshima

JER 30:19 Removed trailing space in p~: na hawatadharauliwa.

JER 30:20 Removed trailing space in v~: Watoto wao watakuwa kama walivyokuwa

JER 30:20 Removed trailing space in p~: siku za zamani,

JER 30:20 Removed trailing space in p~: nayo jumuiya yao itaimarishwa mbele yangu;

JER 30:20 Removed trailing space in p~: nitawaadhibu wale wote wawaoneao.

JER 30:21 Removed trailing space in v~: Mmoja wao atakuwa kiongozi wao;

JER 30:21 Removed trailing space in p~: mtawala wao atainuka miongoni mwao.

JER 30:21 Removed trailing space in p~: Nitamleta karibu nami,

JER 30:21 Removed trailing space in p~: naye atanikaribia mimi,

JER 30:21 Removed trailing space in p~: kwa maana ni nani yule atakayejitolea

JER 30:21 Removed trailing space in p~: kuwa karibu nami?’

JER 30:21 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 30:22 Removed trailing space in v~: ‘Kwa hiyo ninyi mtakuwa watu wangu,

JER 30:22 Removed trailing space in p~: nami nitakuwa Mungu wenu.’ ”

JER 30:23 Removed trailing space in v~: Tazama, tufani ya \nd Bwana\nd*

JER 30:23 Removed trailing space in p~: italipuka kwa ghadhabu,

JER 30:23 Removed trailing space in p~: upepo wa kisulisuli uendao kasi

JER 30:23 Removed trailing space in p~: utashuka juu ya vichwa vya waovu.

JER 30:24 Removed trailing space in v~: Hasira kali ya \nd Bwana\nd* haitarudi nyuma

JER 30:24 Removed trailing space in p~: mpaka atakapotimiza makusudi yote ya moyo wake.

JER 30:24 Removed trailing space in p~: Siku zijazo

JER 30:24 Removed trailing space in p~: mtayaelewa haya.

JER 31:0 Extra space after chapter number

JER 31:0 Removed trailing space in c: 31

JER 31:0 Removed trailing space in s1: Mahamisho Kurudi Kwa Shangwe

JER 31:1 Removed trailing space in v~: “Wakati huo, nitakuwa Mungu wa koo zote za Israeli nao watakuwa watu wangu,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:2 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 31:2 Removed trailing space in p~: “Watu watakaopona upanga

JER 31:2 Removed trailing space in p~: watapata upendeleo jangwani;

JER 31:2 Removed trailing space in p~: nitakuja niwape Israeli pumziko.”

JER 31:3 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alitutokea wakati uliopita, akisema:

JER 31:3 Removed trailing space in p~: “Nimekupenda kwa upendo wa milele,

JER 31:3 Removed trailing space in p~: nimekuvuta kwa wema.

JER 31:4 Removed trailing space in v~: Nitakujenga tena nawe utajengeka upya,

JER 31:4 Removed trailing space in p~: ewe Bikira Israeli.

JER 31:4 Removed trailing space in p~: Utachukua tena matari yako

JER 31:4 Removed trailing space in p~: na kwenda kucheza na wenye furaha.

JER 31:5 Removed trailing space in v~: Utapanda tena shamba la mizabibu

JER 31:5 Removed trailing space in p~: juu ya vilima vya Samaria,

JER 31:5 Removed trailing space in p~: wakulima watapanda

JER 31:5 Removed trailing space in p~: na kufurahia matunda yake.

JER 31:6 Removed trailing space in v~: Itakuja siku wakati walinzi watakapowapigia kelele

JER 31:6 Removed trailing space in p~: juu ya vilima vya Efraimu wakisema,

JER 31:6 Removed trailing space in p~: ‘Njooni, twendeni juu Sayuni,

JER 31:6 Removed trailing space in p~: kwake \nd Bwana\nd* Mungu wetu.’ ”

JER 31:7 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 31:7 Removed trailing space in p~: “Mwimbieni Yakobo kwa furaha,

JER 31:7 Removed trailing space in p~: mpigieni kelele aliye mkuu wa mataifa.

JER 31:7 Removed trailing space in p~: Zifanyeni sifa zenu zisikike, nanyi mseme,

JER 31:7 Removed trailing space in p~: ‘Ee \nd Bwana\nd*, okoa watu wako,

JER 31:7 Removed trailing space in p~: mabaki ya Israeli.’

JER 31:8 Removed trailing space in v~: Tazama, nitawaleta kutoka nchi ya kaskazini

JER 31:8 Removed trailing space in p~: na kuwakusanya kutoka miisho ya dunia.

JER 31:8 Removed trailing space in p~: Miongoni mwao watakuwepo vipofu na viwete,

JER 31:8 Removed trailing space in p~: mama wajawazito na wenye utungu wa kuzaa.

JER 31:8 Removed trailing space in p~: Umati mkubwa wa watu utarudi.

JER 31:9 Removed trailing space in v~: Watakuja wakilia;

JER 31:9 Removed trailing space in p~: wataomba wakati ninawarudisha.

JER 31:9 Removed trailing space in p~: Nitawaongoza kando ya vijito vya maji

JER 31:9 Removed trailing space in p~: katika mapito yaliyo tambarare ambapo hawatajikwaa,

JER 31:9 Removed trailing space in p~: kwa sababu mimi ndimi baba wa Israeli,

JER 31:9 Removed trailing space in p~: naye Efraimu ni mzaliwa wangu wa kwanza.

JER 31:10 Removed trailing space in v~: “Sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi mataifa,

JER 31:10 Removed trailing space in p~: litangazeni katika nchi za pwani ya mbali:

JER 31:10 Removed trailing space in p~: ‘Yeye aliyewatawanya Israeli atawakusanya

JER 31:10 Removed trailing space in p~: na atalichunga kundi lake la kondoo kama mchungaji.’

JER 31:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* atamlipia fidia Yakobo

JER 31:11 Removed trailing space in p~: na kuwakomboa mkononi mwa walio na nguvu kuliko wao.

JER 31:12 Removed trailing space in v~: Watakuja na kupiga kelele kwa furaha katika miinuko ya Sayuni;

JER 31:12 Removed trailing space in p~: watashangilia ukarimu wa \nd Bwana\nd*:

JER 31:12 Removed trailing space in p~: nafaka, divai mpya na mafuta,

JER 31:12 Removed trailing space in p~: wana-kondoo wachanga

JER 31:12 Removed trailing space in p~: na ndama wa makundi ya ngʼombe nitakaowapa.

JER 31:12 Removed trailing space in p~: Watakuwa kama bustani iliyonyeshewa vizuri,

JER 31:12 Removed trailing space in p~: wala hawatahuzunika tena.

JER 31:13 Removed trailing space in v~: Kisha wanawali watacheza na kufurahi,

JER 31:13 Removed trailing space in p~: vijana waume na wazee pia.

JER 31:13 Removed trailing space in p~: Nitageuza maombolezo yao kuwa furaha,

JER 31:13 Removed trailing space in p~: nitawapa faraja na furaha badala ya huzuni.

JER 31:14 Removed trailing space in v~: Nitawashibisha makuhani kwa wingi,

JER 31:14 Removed trailing space in p~: nao watu wangu watajazwa kwa ukarimu wangu,”

JER 31:14 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:15 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 31:15 Removed trailing space in p~: “Sauti imesikika huko Rama,

JER 31:15 Removed trailing space in p~: maombolezo na kilio kikubwa,

JER 31:15 Removed trailing space in p~: Raheli akiwalilia watoto wake

JER 31:15 Removed trailing space in p~: na anakataa kufarijiwa,

JER 31:15 Removed trailing space in p~: kwa sababu watoto wake hawako tena.”

JER 31:16 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 31:16 Removed trailing space in p~: “Izuie sauti yako kulia,

JER 31:16 Removed trailing space in p~: na macho yako yasitoe machozi,

JER 31:16 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kazi yako itapata thawabu,”

JER 31:16 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:16 Removed trailing space in p~: “Watarudi kutoka nchi ya adui.

JER 31:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kuna tumaini kwa siku zijazo,”

JER 31:17 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:17 Removed trailing space in p~: “Watoto wako watarudi nchi yao yenyewe.

JER 31:18 Removed trailing space in v~: “Hakika nimeyasikia maombolezo ya Efraimu:

JER 31:18 Removed trailing space in p~: ‘Ulinirudi kama ndama mkaidi,

JER 31:18 Removed trailing space in p~: nami nimekubali kutii.

JER 31:18 Removed trailing space in p~: Unirudishe, nami nitarudi,

JER 31:18 Removed trailing space in p~: kwa sababu wewe ndiwe \nd Bwana\nd*, Mungu wangu.

JER 31:19 Removed trailing space in v~: Baada ya kupotea, nilitubu;

JER 31:19 Removed trailing space in p~: baada ya kuelewa, nilijipiga kifua.

JER 31:19 Removed trailing space in p~: Niliaibika na kuona haya

JER 31:19 Removed trailing space in p~: kwa sababu niliibeba aibu ya ujana wangu.’

JER 31:20 Removed trailing space in v~: Je, Efraimu si mwanangu mpendwa,

JER 31:20 Removed trailing space in p~: mtoto ninayependezwa naye?

JER 31:20 Removed trailing space in p~: Ingawa mara kwa mara ninanena dhidi yake,

JER 31:20 Removed trailing space in p~: bado ninamkumbuka.

JER 31:20 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo moyo wangu unamwonea shauku,

JER 31:20 Removed trailing space in p~: nina huruma kubwa kwa ajili yake,”

JER 31:20 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:21 Removed trailing space in v~: “Weka alama za barabara,

JER 31:21 Removed trailing space in p~: weka vibao vya kuelekeza.

JER 31:21 Removed trailing space in p~: Zingatia vyema njia kuu,

JER 31:21 Removed trailing space in p~: barabara ile unayoipita.

JER 31:21 Removed trailing space in p~: Rudi, ee Bikira Israeli,

JER 31:21 Removed trailing space in p~: rudi kwenye miji yako.

JER 31:22 Removed trailing space in v~: Utatangatanga hata lini,

JER 31:22 Removed trailing space in p~: ee binti usiye mwaminifu?

JER 31:22 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ameumba kitu kipya duniani:

JER 31:22 Removed trailing space in p~: mwanamke atamlinda mwanaume.”

JER 31:23 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo, “Nitakapowarudisha toka nchi ya kutekwa kwenu, watu walio katika nchi ya Yuda na miji yake kwa mara nyingine tena watatumia maneno haya: ‘\nd Bwana\nd* akubariki, ee makao ya haki, ee mlima mtakatifu.’

JER 31:24 Removed trailing space in v~: Watu wataishi pamoja katika Yuda na miji yake yote, wakulima na wote wanaohamahama na mifugo yao.

JER 31:25 Removed trailing space in v~: Nitawaburudisha waliochoka na kuwatuliza walio na huzuni.”

JER 31:26 Removed trailing space in v~: Kwa jambo hili niliamka na kuangalia pande zote. Usingizi wangu ulikuwa mtamu kwangu.

JER 31:27 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema, “Siku zinakuja, nitakapoongeza idadi ya watu, na kuzidisha hesabu ya mifugo katika nyumba ya Israeli na nyumba ya Yuda.

JER 31:28 Removed trailing space in v~: Kama vile nilivyowaangalia ili kungʼoa na kubomoa, kuharibu, kuangamiza na kuleta maafa juu yao, vivyo hivyo nitawaangalia ili kujenga na kupanda,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:29 Removed trailing space in v~: “Katika siku hizo, watu hawatasema tena,

JER 31:29 Removed trailing space in p~: “ ‘Baba wamekula zabibu chachu,

JER 31:29 Removed trailing space in p~: nayo meno ya watoto yakatiwa ganzi.’

JER 31:30 Removed trailing space in v~: Badala yake, kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe; yeyote alaye zabibu chachu, meno yake mwenyewe yatatiwa ganzi.

JER 31:31 Removed trailing space in v~: “Siku zinakuja,” asema \nd Bwana\nd*,

JER 31:31 Removed trailing space in p~: “nitakapofanya agano jipya

JER 31:31 Removed trailing space in p~: na nyumba ya Israeli

JER 31:31 Removed trailing space in p~: na nyumba ya Yuda.

JER 31:32 Removed trailing space in v~: Halitafanana na agano

JER 31:32 Removed trailing space in p~: nililofanya na baba zao

JER 31:32 Removed trailing space in p~: wakati nilipowashika mkono

JER 31:32 Removed trailing space in p~: kuwaongoza watoke Misri,

JER 31:32 Removed trailing space in p~: kwa sababu walivunja agano langu,

JER 31:32 Removed trailing space in p~: ijapokuwa nilikuwa mume kwao,”

JER 31:32 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:33 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo agano nitakalofanya na nyumba ya Israeli

JER 31:33 Removed trailing space in p~: baada ya siku zile,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:33 Removed trailing space in p~: “Nitaweka sheria yangu katika nia zao,

JER 31:33 Removed trailing space in p~: na kuiandika mioyoni mwao.

JER 31:33 Removed trailing space in p~: Nitakuwa Mungu wao,

JER 31:33 Removed trailing space in p~: nao watakuwa watu wangu.

JER 31:34 Removed trailing space in v~: Mtu hatamfundisha tena jirani yake,

JER 31:34 Removed trailing space in p~: wala mtu kumfundisha ndugu yake akisema, ‘Mjue \nd Bwana\nd* Mungu,’

JER 31:34 Removed trailing space in p~: kwa sababu wote watanijua mimi,

JER 31:34 Removed trailing space in p~: tangu aliye mdogo kabisa kwao, hadi aliye mkuu sana,”

JER 31:34 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:34 Removed trailing space in p~: “Kwa sababu nitasamehe uovu wao,

JER 31:34 Removed trailing space in p~: wala sitazikumbuka dhambi zao tena.”

JER 31:35 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*,

JER 31:35 Removed trailing space in p~: yeye aliyeweka jua

JER 31:35 Removed trailing space in p~: liwake mchana,

JER 31:35 Removed trailing space in p~: yeye anayeamuru mwezi na nyota

JER 31:35 Removed trailing space in p~: kungʼaa usiku,

JER 31:35 Removed trailing space in p~: yeye aichafuaye bahari

JER 31:35 Removed trailing space in p~: ili mawimbi yake yangurume;

JER 31:35 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake:

JER 31:36 Removed trailing space in v~: “Ikiwa amri hizi zitaondoka machoni pangu,”

JER 31:36 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 31:36 Removed trailing space in p~: “ndipo wazao wa Israeli watakoma

JER 31:36 Removed trailing space in p~: kuwa taifa mbele yangu daima.”

JER 31:37 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 31:37 Removed trailing space in p~: “Ikiwa mbingu zilizo juu zitaweza kupimika

JER 31:37 Removed trailing space in p~: na misingi ya dunia chini

JER 31:37 Removed trailing space in p~: ikaweza kuchunguzwa,

JER 31:37 Removed trailing space in p~: ndipo nitakapowakataa wazao wote wa Israeli

JER 31:37 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya yote waliyoyatenda,”

JER 31:37 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 31:38 Removed trailing space in v~: “Siku zinakuja,” asema \nd Bwana\nd*, “wakati mji huu utajengwa upya kwa ajili yangu, kuanzia mnara wa Hananeli hadi Lango la Pembeni.

JER 31:39 Removed trailing space in v~: Kamba ya kupimia itaanzia hapo kuendelea hadi kwenye kilima cha Garebu, na kisha kugeuka kuelekea Goa.

JER 31:40 Removed trailing space in v~: Bonde lote watupwapo maiti na majivu pia na matuta yote kutoka Bonde la Kidroni upande wa mashariki hadi pembe ya Lango la Farasi, itakuwa takatifu kwa \nd Bwana\nd*. Kamwe mji huu hautangʼolewa tena wala kubomolewa.”

JER 32:0 Extra space after chapter number

JER 32:0 Removed trailing space in c: 32

JER 32:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Anunua Shamba

JER 32:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*, katika mwaka wa kumi wa utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda, ambao ulikuwa mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Mfalme Nebukadneza.

JER 32:2 Removed trailing space in v~: Wakati huo jeshi la mfalme wa Babeli lilikuwa limeuzunguka mji wa Yerusalemu, naye nabii Yeremia alikuwa amezuiliwa katika ua wa walinzi katika jumba la kifalme la Yuda.

JER 32:3 Removed trailing space in v~: Basi Sedekia mfalme wa Yuda alikuwa amemfunga huko akisema, “Kwa nini unatabiri hivyo? Wewe unasema, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Ninakaribia kuutia mji huu mkononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteka.

JER 32:4 Removed trailing space in v~: Sedekia mfalme wa Yuda hataweza kuponyoka mikononi mwa Wakaldayo, lakini kwa hakika atatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atazungumza naye ana kwa ana na kumwona kwa macho yake mwenyewe.

JER 32:5 Removed trailing space in v~: Atamchukua Sedekia hadi Babeli, mahali atakapoishi mpaka nitakapomshughulikia, asema \nd Bwana\nd*. Kama utapigana dhidi ya Wakaldayo, hutashinda.’ ”

JER 32:6 Removed trailing space in v~: Yeremia akasema, “Neno la \nd Bwana\nd* lilinijia kusema:

JER 32:7 Removed trailing space in v~: Hanameli mwana wa Shalumu mjomba wako atakuja kwako na kusema, ‘Nunua shamba langu huko Anathothi, kwa sababu wewe kama jamaa ya karibu ni haki na wajibu wako kulinunua.’

JER 32:8 Removed trailing space in v~: “Kisha, kama \nd Bwana\nd* alivyosema, binamu yangu Hanameli alinijia katika ua wa walinzi na kusema: ‘Nunua shamba langu lililoko Anathothi katika nchi ya Benyamini. Kwa kuwa ni haki yako kulikomboa na kulimiliki, jinunulie.’

JER 32:8 Removed trailing space in p~: “Nilijua kwamba hili lilikuwa neno la \nd Bwana\nd*.

JER 32:9 Removed trailing space in v~: Hivyo nikalinunua shamba hilo lililoko Anathothi kutoka kwa binamu yangu Hanameli, nami nikampimia shekeli kumi na saba\f + \fr 32:9 \ft Shekeli 17 za fedha ni sawa na gramu 200.\f* za fedha.

JER 32:10 Removed trailing space in v~: Nikatia sahihi na kuweka muhuri hati ya kumiliki, nikaweka mashahidi, na kupima ile fedha kwenye mizani.

JER 32:11 Removed trailing space in v~: Nikachukua ile hati ya kununulia, nakala iliyotiwa muhuri yenye makubaliano na masharti, pia pamoja na ile nakala isiyo na muhuri,

JER 32:12 Removed trailing space in v~: nami nikampa Baruku mwana wa Neria, mwana wa Maaseya, hati hii mbele ya binamu yangu Hanameli, na mbele ya mashahidi waliokuwa wameweka sahihi kwenye hati hii na mbele ya Wayahudi wote waliokuwa wameketi katika ua wa walinzi.

JER 32:13 Removed trailing space in v~: “Nilimpa Baruku maelezo haya mbele yao:

JER 32:14 Removed trailing space in v~: ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Chukua hati hizi, yaani nakala zote zenye muhuri na zisizo na muhuri za hati ya kununulia, na uziweke kwenye gudulia la udongo wa mfinyanzi ili zidumu kwa muda mrefu.

JER 32:15 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Nyumba, mashamba na mashamba ya mizabibu yatanunuliwa tena katika nchi hii.’

JER 32:16 Removed trailing space in v~: “Baada ya kumkabidhi Baruku mwana wa Neria hii hati ya kununulia, nilimwomba \nd Bwana\nd*:

JER 32:17 Removed trailing space in v~: “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, umeumba mbingu na nchi kwa uwezo wako mkuu na kwa mkono ulionyooshwa. Hakuna jambo lililo gumu usiloliweza.

JER 32:18 Removed trailing space in v~: Wewe huonyesha upendo kwa maelfu, lakini huleta adhabu kwa ajili ya dhambi za baba mapajani mwa watoto wao baada yao. Ee Mungu mkuu na mwenye uweza, ambaye jina lako ni \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 32:19 Removed trailing space in v~: makusudi yako ni makuu, na matendo yako ni yenye uwezo. Macho yako yanaona njia zote za wanadamu, nawe humlipa kila mmoja kulingana na mwenendo wake, na kama yanavyostahili matendo yake.

JER 32:20 Removed trailing space in v~: Ulitenda ishara za miujiza na maajabu huko Misri, na umeyaendeleza mpaka leo, katika Israeli na miongoni mwa wanadamu wote, nawe umejulikana na kufahamika hivyo mpaka leo.

JER 32:21 Removed trailing space in v~: Uliwatoa watu wako Israeli kutoka Misri kwa ishara na maajabu, kwa mkono wenye nguvu na ulionyooshwa na kwa matisho makuu.

JER 32:22 Removed trailing space in v~: Uliwapa nchi hii uliyokuwa umeapa kuwapa baba zao, nchi inayotiririka maziwa na asali.

JER 32:23 Removed trailing space in v~: Waliingia na kuimiliki, lakini hawakukutii wala kuifuata sheria yako. Hawakufanya kile ulichowaamuru kufanya. Hivyo ukaleta maafa haya yote juu yao.

JER 32:24 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi tumezungukwa na jeshi ili kuuteka mji huu. Kwa sababu ya upanga, njaa na tauni, mji utatiwa mikononi mwa Wakaldayo ambao wanaushambulia. Ulilosema limetokea kama vile unavyoona sasa.

JER 32:25 Removed trailing space in v~: Ingawa mji utatiwa mikononi mwa Wakaldayo, wewe, Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, uliniambia, ‘Nunua shamba kwa fedha, na jambo hilo lishuhudiwe.’ ”

JER 32:26 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 32:27 Removed trailing space in v~: “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wa wote wenye mwili. Je, kuna jambo lolote lililo gumu nisiloliweza?

JER 32:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Ninakaribia kuutia mji huu mikononi mwa Wakaldayo, na mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli ambaye atauteka.

JER 32:29 Removed trailing space in v~: Wakaldayo ambao wanaushambulia mji huu watakuja na kuuchoma moto na kuuteketeza, pamoja na nyumba ambamo watu wamenikasirisha kwa kumfukizia Baali uvumba katika mapaa na kumimina sadaka za vinywaji kwa miungu mingine.

JER 32:30 Removed trailing space in v~: “Watu wa Israeli na wa Yuda hawakufanya kitu kingine ila uovu mbele zangu tangu ujana wao. Naam, watu wa Israeli hawakufanya kitu kingine ila kunikasirisha kwa kazi ambazo mikono yao imetengeneza, asema \nd Bwana\nd*.

JER 32:31 Removed trailing space in v~: Tangu siku ulipojengwa hadi sasa, mji huu umenikasirisha na kunighadhibisha kiasi kwamba ni lazima niuondoe machoni pangu.

JER 32:32 Removed trailing space in v~: Watu wa Israeli na wa Yuda wamenikasirisha kwa uovu wote waliofanya: wao, wafalme wao na maafisa wao, makuhani wao na manabii wao, watu wa Yuda na wakazi wa Yerusalemu.

JER 32:33 Removed trailing space in v~: Walinigeuzia visogo vyao, wala si nyuso zao. Ingawa niliwafundisha tena na tena, hawakupenda kusikiliza wala kuitikia adhabu.

JER 32:34 Removed trailing space in v~: Waliweka miungu yao ya kuchukiza sana katika nyumba iitwayo kwa Jina langu na kuinajisi.

JER 32:35 Removed trailing space in v~: Wakajenga mahali pa juu pa kuabudia miungu kwa ajili ya Baali katika Bonde la Ben-Hinomu, ambapo walitoa wana wao na binti zao kafara kwa Moleki, ingawa kamwe sikuamuru, wala halikuingia akilini mwangu, kwamba watafanya chukizo kama hilo na kumfanya Yuda atende dhambi.

JER 32:36 Removed trailing space in v~: “Mnasema kuhusu mji huu, ‘Kwa upanga, njaa na tauni, mji utatiwa mkononi mwa mfalme wa Babeli,’ lakini hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli asemalo:

JER 32:37 Removed trailing space in v~: Hakika nitawakusanya kutoka nchi zote nilizowafukuzia katika hasira yangu kali na ghadhabu yangu kuu, nitawarudisha mahali hapa na kuwaruhusu waishi kwa salama.

JER 32:38 Removed trailing space in v~: Watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.

JER 32:39 Removed trailing space in v~: Nitawapa moyo mmoja na kutenda pamoja, ili kwamba waniche daima kwa mema yao wenyewe na kwa mema ya watoto wao baada yao.

JER 32:40 Removed trailing space in v~: Nitafanya nao agano la milele: Kamwe sitaacha kuwatendea mema, nami nitawavuvia kunicha mimi, ili kamwe wasigeukie mbali nami.

JER 32:41 Removed trailing space in v~: Nitafurahia kuwatendea mema, na kwa hakika nitawapanda katika nchi hii kwa moyo wangu wote na roho yangu yote.

JER 32:42 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Kama nilivyoleta maafa haya makubwa kwa watu hawa, ndivyo nitakavyowapa mafanikio niliyowaahidi.

JER 32:43 Removed trailing space in v~: Kwa mara nyingine tena mashamba yatanunuliwa katika nchi hii ambayo mlisema, ‘Imekuwa ukiwa, isiyofaa, isiyo na watu wala wanyama, kwa sababu imetiwa mikononi mwa Wakaldayo.’

JER 32:44 Removed trailing space in v~: Mashamba yatanunuliwa kwa fedha, na hati zitatiwa sahihi, zitatiwa muhuri na kushuhudiwa katika nchi ya Benyamini, katika vijiji vinavyoizunguka Yerusalemu, katika miji ya Yuda na katika miji ya nchi ya vilima, sehemu za magharibi katika miji ya tambarare na katika Negebu, kwa sababu nitarudisha tena mafanikio yao,\f + \fr 32:44 \ft Au: nitawarudisha tena kutoka utumwani.\f* asema \nd Bwana\nd*.”

JER 33:0 Extra space after chapter number

JER 33:0 Removed trailing space in c: 33

JER 33:0 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Kurudishwa

JER 33:1 Removed trailing space in v~: Wakati Yeremia alipokuwa angali amefungwa kwenye ua wa walinzi, neno la \nd Bwana\nd* lilimjia mara ya pili kusema:

JER 33:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo, yeye aliyeumba dunia, \nd Bwana\nd* aliyeifanya na kuithibitisha, \nd Bwana\nd* ndilo jina lake:

JER 33:3 Removed trailing space in v~: ‘Niite nami nitakuitika na kukuambia mambo makuu na yasiyochunguzika, usiyoyajua.’

JER 33:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, asemalo kuhusu nyumba katika mji huu na majumba ya kifalme ya Yuda yaliyobomolewa ili yatumiwe dhidi ya kule kuzungukwa na jeshi na upanga

JER 33:5 Removed trailing space in v~: katika kupigana na Wakaldayo: ‘Zitajazwa na maiti za watu nitakaowachinja katika hasira na ghadhabu yangu. Nitauficha uso wangu kwa sababu ya maovu yake yote.

JER 33:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Hata hivyo, nitauletea afya na uponyaji, nitawaponya watu wangu na kuwafanya wafurahie amani tele na salama.

JER 33:7 Removed trailing space in v~: Nitawarudisha Yuda na Israeli kutoka nchi ya kutekwa kwao, na kuwajenga tena kama walivyokuwa hapo awali.

JER 33:8 Removed trailing space in v~: Nitawatakasa dhambi zote walizofanya dhidi yangu, na nitawasamehe dhambi zote za uasi dhidi yangu.

JER 33:9 Removed trailing space in v~: Kisha mji huu utaniletea utukufu, furaha, sifa na heshima mbele ya mataifa yote ya dunia yatakayosikia mambo yote mazuri ninayoufanyia. Nao watashangaa na kutetemeka kwa ajili ya wingi wa mafanikio na amani nitakayoupatia.’

JER 33:10 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Mnasema kuhusu mahali hapa kwamba, “Ni mahali palipoachwa ukiwa, pasipo na wanadamu wala wanyama.” Lakini katika miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu ambazo zimeachwa, ambazo hazikaliwi na wanadamu wala wanyama, huko kutasikika kwa mara nyingine

JER 33:11 Removed trailing space in v~: sauti za shangwe na furaha, sauti za bibi na bwana arusi, na sauti za wale waletao sadaka za shukrani katika nyumba ya \nd Bwana\nd*, wakisema,

JER 33:11 Removed trailing space in p~: “ ‘ “Mshukuruni \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 33:11 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* ni mwema;

JER 33:11 Removed trailing space in p~: upendo wake wadumu milele.”

JER 33:11 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa nitairudishia nchi baraka kama zilivyokuwa hapo awali,’ asema \nd Bwana\nd*.

JER 33:12 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: ‘Mahali hapa, ambapo ni ukiwa, pasipo na wanadamu wala wanyama: katika miji yake, patakuwepo tena malisho kwa ajili ya wachungaji kupumzisha makundi yao ya kondoo.

JER 33:13 Removed trailing space in v~: Katika miji ya nchi ya vilima, ya vilima vya magharibi na ya Negebu, katika nchi ya Benyamini, katika vijiji vinavyoizunguka Yerusalemu na katika miji ya Yuda, makundi ya kondoo yatapita tena chini ya mkono wa yeye ayahesabuye,’ asema \nd Bwana\nd*.

JER 33:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku zinakuja,’ asema \nd Bwana\nd*, ‘wakati nitakapotimiza ahadi yangu ya rehema niliyoifanya kwa nyumba ya Israeli na kwa nyumba ya Yuda.

JER 33:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika siku hizo na wakati huo

JER 33:15 Removed trailing space in p~: nitalifanya Tawi la haki lichipuke kutoka ukoo wa Daudi,

JER 33:15 Removed trailing space in p~: naye atafanya lile lililo haki na sawa

JER 33:15 Removed trailing space in p~: katika nchi.

JER 33:16 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo, Yuda ataokolewa

JER 33:16 Removed trailing space in p~: na Yerusalemu ataishi salama.

JER 33:16 Removed trailing space in p~: Hili ndilo jina atakaloitwa:

JER 33:16 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Haki Yetu.’

JER 33:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Daudi kamwe hatakosa mtu wa kukalia kiti cha enzi cha nyumba ya Israeli,

JER 33:18 Removed trailing space in v~: wala hata makuhani, ambao ni Walawi, kamwe hawatakosa mtu wa kusimama mbele zangu daima ili kutoa sadaka za kuteketezwa, ili kuteketeza sadaka ya nafaka na kutoa dhabihu.’ ”

JER 33:19 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 33:20 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Ikiwa mtaweza kuvunja agano langu kuhusu usiku na mchana, ili usiku na mchana visiwepo kwa nyakati zake,

JER 33:21 Removed trailing space in v~: basi agano langu na Daudi mtumishi wangu, na agano langu na Walawi ambao ni makuhani wanaohudumu mbele zangu, linaweza kuvunjwa, na Daudi hatakuwa tena na mzao wa kutawala katika kiti chake cha enzi.

JER 33:22 Removed trailing space in v~: Nitawafanya wazao wa Daudi mtumishi wangu na Walawi wanaohudumu mbele zangu wengi, wasioweza kuhesabika kama nyota za angani, tena wasiopimika kama mchanga wa ufuoni mwa bahari.’ ”

JER 33:23 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 33:24 Removed trailing space in v~: “Je, hujasikia kwamba watu hawa wanasema, ‘\nd Bwana\nd* amezikataa zile falme mbili alizozichagua?’ Kwa hiyo wamewadharau watu wangu, na hawawaoni tena kama taifa.

JER 33:25 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Kama sijathibitisha agano langu na usiku na mchana, na kuziweka wakfu sheria za mbingu na nchi,

JER 33:26 Removed trailing space in v~: basi nitawakataa wazao wa Yakobo na Daudi mtumishi wangu, na sitachagua mmoja wa wanawe kutawala juu ya wazao wa Abrahamu, Isaki na Yakobo. Kwa maana nitawarudisha kutoka nchi ya kutekwa kwao na kuwaonea huruma.’ ”

JER 34:0 Extra space after chapter number

JER 34:0 Removed trailing space in c: 34

JER 34:0 Removed trailing space in s1: Onyo Kwa Sedekia

JER 34:1 Removed trailing space in v~: Wakati Nebukadneza mfalme wa Babeli na jeshi lake lote, pamoja na falme zote na mataifa katika himaya aliyotawala walipokuwa wakipigana dhidi ya Yerusalemu pamoja na miji yote inayoizunguka, neno hili lilimjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 34:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, kusema: Nenda kwa Sedekia mfalme wa Yuda umwambie, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Ninakaribia kuutia mji huu mikononi mwa mfalme wa Babeli, naye atauteketeza kwa moto.

JER 34:3 Removed trailing space in v~: Hutaweza kuepuka mkono wake, bali hakika utatekwa na kukabidhiwa kwake. Utamwona mfalme wa Babeli kwa macho yako mwenyewe, naye atazungumza nawe ana kwa ana. Nawe utakwenda Babeli.

JER 34:4 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini sikia ahadi ya \nd Bwana\nd*, ee Sedekia mfalme wa Yuda. Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kukuhusu: Hutakufa kwa upanga,

JER 34:5 Removed trailing space in v~: utakufa kwa amani. Kama vile watu walivyowasha moto wa maziko kwa heshima ya baba zako, wafalme waliokutangulia, ndivyo watu watakavyowasha moto kwa heshima yako na kuomboleza, wakisema: “Ole, Ee \nd Bwana\nd*!” Mimi mwenyewe ninaweka ahadi hii, asema \nd Bwana\nd*.’ ”

JER 34:6 Removed trailing space in v~: Ndipo nabii Yeremia akamwambia Sedekia mfalme wa Yuda mambo haya yote huko Yerusalemu,

JER 34:7 Removed trailing space in v~: wakati jeshi la mfalme wa Babeli lilipokuwa likipigana dhidi ya Yerusalemu na miji mingine ya Yuda ambayo bado ilikuwa imara, yaani Lakishi na Azeka. Hii ilikuwa miji pekee yenye ngome iliyobaki katika Yuda.

JER 34:7 Removed trailing space in s1: Uhuru Kwa Watumwa

JER 34:8 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*, baada ya Mfalme Sedekia kufanya agano na watu wote huko Yerusalemu ili kutangaza uhuru kwa watumwa.

JER 34:9 Removed trailing space in v~: Kila mmoja alipaswa kuwaacha huru watumwa wake wa Kiebrania, wanawake na wanaume. Hakuna yeyote aliyeruhusiwa kumshikilia Myahudi mwenzake kama mtumwa.

JER 34:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo maafisa wote na watu walioingia katika agano hili wakakubali kwamba watawaacha huru watumwa wao wa kiume na wa kike, na hawatawashikilia tena kama watumwa. Wakakubali na wakawaacha huru.

JER 34:11 Removed trailing space in v~: Lakini baadaye wakabadili mawazo yao, na kuwarudisha wale watumwa waliokuwa wamewaacha huru, wakawafanya tena watumwa.

JER 34:12 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 34:13 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: Nilifanya agano na baba zenu nilipowatoa Misri, kutoka nchi ya utumwa. Nilisema,

JER 34:14 Removed trailing space in v~: ‘Kila mwaka wa saba, kila mmoja wenu ni lazima amwache huru mtumwa ambaye ni Mwebrania mwenzenu aliyejiuza kwenu. Baada ya kukutumikia kwa miaka sita, ni lazima umwache huru aende zake.’ Hata hivyo baba zenu hawakunisikiliza wala kunijali.

JER 34:15 Removed trailing space in v~: Hivi karibuni tu mlitubu na kufanya yaliyo sawa machoni pangu: Kila mmoja wenu aliwatangazia uhuru Waebrania wake. Hata mlifanya agano mbele zangu ndani ya nyumba iitwayo kwa Jina langu.

JER 34:16 Removed trailing space in v~: Lakini sasa mmegeuka na kulinajisi jina langu. Kila mmoja wenu amemrudisha mtumwa wa kiume na wa kike ambao mlikuwa mmewaacha huru waende zao walikotaka. Mmewalazimisha kuwa watumwa wenu tena.

JER 34:17 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Hamkunitii mimi. Hamkutangaza uhuru kwa ndugu zenu. Hivyo sasa, ninawatangazia ninyi ‘uhuru,’ asema \nd Bwana\nd*: ‘uhuru’ ili kuanguka kwa upanga, tauni na njaa. Nitawafanya mwe chukizo kwa falme zote za dunia.

JER 34:18 Removed trailing space in v~: Watu waliovunja agano langu, na ambao hawakutunza masharti ya agano walilofanya mbele zangu, nitawafanya kama ndama waliyemkata vipande viwili, kisha wakatembea kati ya vile vipande vya huyo ndama.

JER 34:19 Removed trailing space in v~: Viongozi wa Yuda na Yerusalemu, maafisa wa mahakama, makuhani na watu wote wa nchi waliopita kati ya vile vipande vya ndama,

JER 34:20 Removed trailing space in v~: nitawatia mikononi mwa adui zao wanaotafuta uhai wao. Maiti zao zitakuwa chakula cha ndege wa angani na wanyama wa nchi.

JER 34:21 Removed trailing space in v~: “Nitamtia Sedekia mfalme wa Yuda na maafisa wake mikononi mwa adui zao wanaotafuta uhai wao, kwa jeshi la mfalme wa Babeli, lililokuwa limeondoka kwenu.

JER 34:22 Removed trailing space in v~: Nitatoa amri, asema \nd Bwana\nd*, nami nitawarudisha tena katika mji huu. Watapigana dhidi yake, wautwae na kuuteketeza kwa moto. Nami nitaiangamiza miji ya Yuda hivyo pasiwe na yeyote atakayeweza kuishi humo.”

JER 35:0 Extra space after chapter number

JER 35:0 Removed trailing space in c: 35

JER 35:0 Removed trailing space in s1: Warekabi Wasifiwa

JER 35:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*, wakati wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:

JER 35:2 Removed trailing space in v~: “Nenda kwa jamaa ya Warekabi, uwaalike waje kwenye moja ya vyumba vya pembeni vya nyumba ya \nd Bwana\nd*, na uwape divai wanywe.”

JER 35:3 Removed trailing space in v~: Basi nikaenda kumwita Yaazania mwana wa Yeremia, mwana wa Habazinia, na ndugu zake na wanawe wote, yaani jamaa nzima ya Warekabi.

JER 35:4 Removed trailing space in v~: Nikawaleta katika nyumba ya \nd Bwana\nd*, ndani ya chumba cha wana wa Hanani mwana wa Igdalia mtu wa Mungu. Kilikuwa karibu na chumba cha maafisa, ambacho kilikuwa juu ya kile cha Maaseya mwana wa Shalumu, aliyekuwa bawabu.

JER 35:5 Removed trailing space in v~: Kisha nikaweka mabakuli yaliyojaa divai na baadhi ya vikombe mbele ya watu wa jamaa ya Warekabi na kuwaambia, “Kunyweni divai.”

JER 35:6 Removed trailing space in v~: Lakini wao wakajibu, “Sisi hatunywi divai, kwa sababu baba yetu Yonadabu mwana wa Rekabu, alitupa agizo hili: ‘Ninyi wala wazao wenu kamwe msinywe divai.

JER 35:7 Removed trailing space in v~: Pia msijenge nyumba kamwe, wala kuotesha mbegu au kupanda mashamba ya mizabibu. Kamwe msiwe na kitu chochote katika hivi, lakini siku zote lazima muishi kwenye mahema. Ndipo mtakapoishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo ninyi ni wahamiaji.’

JER 35:8 Removed trailing space in v~: Tumetii kila kitu ambacho baba yetu Yonadabu mwana wa Rekabu alituamuru. Sisi wenyewe wala wake zetu wala wana wetu na binti zetu kamwe hatujanywa divai

JER 35:9 Removed trailing space in v~: wala kujenga nyumba za kuishi au kuwa na mashamba ya mizabibu, mashamba au mazao.

JER 35:10 Removed trailing space in v~: Tumeishi katika mahema na tumetii kikamilifu kila kitu alichotuamuru baba yetu Yonadabu.

JER 35:11 Removed trailing space in v~: Lakini wakati Nebukadneza mfalme wa Babeli alipoivamia nchi hii, tulisema, ‘Njooni, lazima twende Yerusalemu ili kukimbia majeshi ya Wakaldayo na ya Washamu.’ Kwa hiyo tumeishi Yerusalemu.”

JER 35:12 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 35:13 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, aliye Mungu wa Israeli, asemalo: Nenda ukawaambie watu wa Yuda na watu wa Yerusalemu, ‘Je, hamwezi kujifunza kutoka kwa wana wa Rekabu, na kuyatii maneno yangu?’ asema \nd Bwana\nd*.

JER 35:14 Removed trailing space in v~: ‘Yonadabu mwana wa Rekabu aliwaagiza wanawe wasinywe divai, na agizo hilo wamelishika mpaka leo hawanywi divai, kwa sababu wanatii amri ya baba yao. Lakini nimenena nanyi tena na tena, lakini hamkunitii mimi.

JER 35:15 Removed trailing space in v~: Tena na tena nimewatuma watumishi wangu wote manabii kwenu. Wakasema, “Kila mmoja wenu ni lazima ageuke na kuacha njia zake mbaya, na kuyatengeneza matendo yake. Msifuate miungu mingine ili kuitumikia. Ndipo mtakapoishi katika nchi niliyowapa ninyi na baba zenu.” Lakini hamkujali wala kunisikiliza.

JER 35:16 Removed trailing space in v~: Wazao wa Yonadabu mwana wa Rekabu walitimiza amri ambayo baba yao aliwapa, lakini watu hawa hawakunitii mimi.’

JER 35:17 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Sikilizeni! Nitaleta juu ya Yuda na juu ya kila mmoja aishiye Yerusalemu kila aina ya maafa niliyotamka dhidi yao. Nilinena nao, lakini hawakusikiliza. Niliwaita, lakini hawakujibu.’ ”

JER 35:18 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akaiambia jamaa ya Warekabi, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Mmetii amri ya baba yenu Yonadabu, na mmefuata mafundisho yake yote na mmefanya kila kitu alichowaamuru.’

JER 35:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Yonadabu mwana wa Rekabu hatakosa kamwe kuwa na mtu wa kunitumikia mimi.’ ”

JER 36:0 Extra space after chapter number

JER 36:0 Removed trailing space in c: 36

JER 36:0 Removed trailing space in s1: Yehoyakimu Achoma Kitabu Cha Yeremia

JER 36:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, neno hili lilimjia nabii Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd*, kusema:

JER 36:2 Removed trailing space in v~: “Chukua kitabu uandike ndani yake maneno yote niliyonena nawe kuhusu Israeli, Yuda na mataifa mengine yote, tangu nilipoanza kunena nawe wakati wa utawala wa Yosia hadi sasa.

JER 36:3 Removed trailing space in v~: Labda watu wa Yuda watakaposikia juu ya kila maafa ninayokusudia kuwapiga nayo, kila mmoja wao atageuka kutoka njia zake mbaya, kisha nitasamehe uovu wao na dhambi yao.”

JER 36:4 Removed trailing space in v~: Hivyo Yeremia akamwita Baruku mwana wa Neria, naye Yeremia alipokuwa akiyakariri maneno yote aliyoyasema \nd Bwana\nd*, Baruku akayaandika katika kitabu.

JER 36:5 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akamwambia Baruku, “Nimezuiliwa, mimi siwezi kuingia katika Hekalu la \nd Bwana\nd*.

JER 36:6 Removed trailing space in v~: Basi wewe nenda katika nyumba ya \nd Bwana\nd* siku ya kufunga, uwasomee watu maneno ya \nd Bwana\nd* kutoka kitabu hiki yale uliyoyaandika kutoka kinywani mwangu. Wasomee watu wote wa Yuda waliofika kutoka miji yao.

JER 36:7 Removed trailing space in v~: Labda wataomba na kusihi mbele za \nd Bwana\nd* na kila mmoja akageuka kutoka njia zake mbaya, kwa sababu hasira na ghadhabu zilizotamkwa dhidi ya watu hawa na \nd Bwana\nd* ni kubwa.”

JER 36:8 Removed trailing space in v~: Baruku mwana wa Neria akafanya kila kitu nabii Yeremia alichomwambia kufanya. Alisoma maneno ya \nd Bwana\nd* katika Hekalu la \nd Bwana\nd* kutoka kile kitabu.

JER 36:9 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa tisa, mnamo mwaka wa tano wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, wakati wa kufunga mbele za \nd Bwana\nd*, ilitangazwa kwa watu wote walioko Yerusalemu, na wale wote waliokuwa wamekuja kutoka miji ya Yuda.

JER 36:10 Removed trailing space in v~: Kutoka chumba cha Gemaria mwana wa Shafani mwandishi, kilichokuwa katika ua wa juu kwenye ingilio la Lango Jipya la Hekalu, Baruku akawasomea watu wote waliokuwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd* maneno ya Yeremia kutoka kwenye kile kitabu.

JER 36:11 Removed trailing space in v~: Basi Mikaya mwana wa Gemaria, mwana wa Shafani, aliposikia maneno yote ya \nd Bwana\nd* kutoka kwenye kile kitabu,

JER 36:12 Removed trailing space in v~: alishuka hadi kwenye chumba cha mwandishi kwenye jumba la kifalme, mahali walipokuwa wameketi maafisa wote: yaani Elishama mwandishi, Delaya mwana wa Shemaya, Elnathani mwana wa Akbori, Gemaria mwana wa Shafani, Sedekia mwana wa Hanania, na maafisa wengine wote.

JER 36:13 Removed trailing space in v~: Baada ya Mikaya kuwaambia kila kitu ambacho alikuwa amesikia Baruku akiwasomea watu kutoka kwenye kile kitabu,

JER 36:14 Removed trailing space in v~: maafisa wote wakamtuma Yehudi mwana wa Nethania, mwana wa Shelemia, mwana wa Kushi, kumwambia Baruku, “Leta hicho kitabu ambacho umewasomea watu, nawe mwenyewe uje.” Ndipo Baruku mwana wa Neria akawaendea akiwa na hicho kitabu mkononi mwake.

JER 36:15 Removed trailing space in v~: Wakamwambia, “Tafadhali, keti na utusomee hicho kitabu.”

JER 36:15 Removed trailing space in p~: Ndipo Baruku akawasomea kile kitabu.

JER 36:16 Removed trailing space in v~: Walipoyasikia maneno hayo yote, wakatazamana wao kwa wao kwa woga na kumwambia Baruku, “Lazima tutoe taarifa ya maneno haya yote kwa mfalme.”

JER 36:17 Removed trailing space in v~: Kisha wakamuuliza Baruku, “Tuambie, uliandikaje haya yote? Je, yalitoka kinywani mwa Yeremia?”

JER 36:18 Removed trailing space in v~: Baruku akajibu, “Ndiyo, maneno haya yote yalitoka kinywani mwa Yeremia, nami nikayaandika kwa wino katika hiki kitabu.”

JER 36:19 Removed trailing space in v~: Ndipo wale maafisa wakamwambia Baruku, “Wewe na Yeremia nendeni mkajifiche. Mtu yeyote asijue mahali mlipo.”

JER 36:20 Removed trailing space in v~: Baada ya kuhifadhi kile kitabu ndani ya chumba cha Elishama mwandishi, wakamwendea mfalme katika ua wa nje na kumwarifu kila kitu.

JER 36:21 Removed trailing space in v~: Mfalme akamtuma Yehudi akachukue kile kitabu. Yehudi akakileta hicho kitabu kutoka kwenye chumba cha Elishama mwandishi, na akakisoma mbele ya mfalme na maafisa wakiwa wamesimama kando ya mfalme.

JER 36:22 Removed trailing space in v~: Ulikuwa mwezi wa tisa, na mfalme alikuwa ameketi chumba cha wakati wa baridi akiota moto.

JER 36:23 Removed trailing space in v~: Hata ikawa kila wakati Yehudi alipomaliza kusoma kurasa tatu au nne za hicho kitabu, mfalme alizikata kwa kisu cha mwandishi na kuzitupia motoni, hadi kitabu chote kikateketea.

JER 36:24 Removed trailing space in v~: Mfalme na watumishi wake wote waliosikia yote yaliyosomwa hawakuonyesha hofu yoyote, wala hawakuyararua mavazi yao.

JER 36:25 Removed trailing space in v~: Hata ingawa Elnathani, Delaya na Gemaria walimsihi mfalme asikichome kile kitabu, yeye hakuwasikiliza.

JER 36:26 Removed trailing space in v~: Badala yake, mfalme akamwamuru Yerameeli, mwana wa mfalme, Seraya mwana wa Azrieli, na Shelemia mwana wa Abdeeli kuwakamata mwandishi Baruku na nabii Yeremia. Lakini \nd Bwana\nd* alikuwa amewaficha.

JER 36:27 Removed trailing space in v~: Baada ya mfalme kuchoma kile kitabu kilichokuwa na yale maneno Baruku aliyokuwa ameyaandika kutoka kinywani mwa Yeremia, neno la \nd Bwana\nd* lilimjia Yeremia likisema:

JER 36:28 Removed trailing space in v~: “Chukua kitabu kingine na uandike juu yake maneno yote yaliyokuwa katika kile kitabu cha kwanza, ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda amekiteketeza kwa moto.

JER 36:29 Removed trailing space in v~: Mwambie pia Yehoyakimu mfalme wa Yuda, ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Ulikiteketeza kile kitabu ukasema, “Kwa nini uliandika kwenye kitabu kwamba kwa hakika mfalme wa Babeli angekuja na kuangamiza nchi hii, na kuwakatilia mbali watu na wanyama kutoka humo?”

JER 36:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* kuhusu Yehoyakimu mfalme wa Yuda: Hatakuwa na mtu yeyote atakayekalia kiti cha enzi cha Daudi; maiti yake itatupwa nje kwenye joto wakati wa mchana na kupigwa na baridi wakati wa usiku.

JER 36:31 Removed trailing space in v~: Nitamwadhibu yeye, watoto wake na watumishi wake kwa ajili ya uovu wao. Nitaleta juu yao na wote waishio Yerusalemu na watu wa Yuda kila maafa niliyoyasema dhidi yao, kwa sababu hawajasikiliza.’ ”

JER 36:32 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akachukua kitabu kingine na kumpa mwandishi Baruku mwana wa Neria, naye kama Yeremia alivyosema, Baruku akaandika juu yake maneno yote ya kile kitabu ambacho Yehoyakimu mfalme wa Yuda alikuwa amekichoma moto, na maneno mengine mengi yaliyofanana na hayo yaliyoongezewa humo.

JER 37:0 Extra space after chapter number

JER 37:0 Removed trailing space in c: 37

JER 37:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Gerezani

JER 37:1 Removed trailing space in v~: Sedekia mwana wa Yosia akafanywa kuwa mfalme wa Yuda na Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye akatawala mahali pa Yehoyakini\f + \fr 37:1 \ft Yehoyakini ni jina jingine la Yekonia au Konia.\f* mwana wa Yehoyakimu.

JER 37:2 Removed trailing space in v~: Lakini sio Sedekia, wala watumishi wake, wala watu wa nchi walisikiliza maneno ya \nd Bwana\nd* aliyonena kupitia kwa nabii Yeremia.

JER 37:3 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, Mfalme Sedekia akamtuma Yehukali mwana wa Shelemia, pamoja na kuhani Sefania mwana wa Maaseya kwa nabii Yeremia na ujumbe huu: “Tafadhali utuombee kwa \nd Bwana\nd*, Mungu wetu.”

JER 37:4 Removed trailing space in v~: Wakati huu Yeremia alikuwa huru kuingia na kutoka katikati ya watu, kwa sababu alikuwa bado hajatiwa gerezani.

JER 37:5 Removed trailing space in v~: Jeshi la Farao lilikuwa limetoka Misri, nao Wakaldayo waliokuwa wameuzunguka Yerusalemu kwa majeshi waliposikia taarifa kuhusu jeshi hilo walijiondoa Yerusalemu.

JER 37:6 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia nabii Yeremia kusema:

JER 37:7 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli: Mwambie mfalme wa Yuda aliyekutuma uniulize mimi, ‘Jeshi la Farao lililotoka kuja kukusaidia litarudi katika nchi yake yenyewe, yaani Misri.

JER 37:8 Removed trailing space in v~: Kisha Wakaldayo watarudi na kushambulia mji huu, watauteka na kuuchoma moto.’

JER 37:9 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Msijidanganye wenyewe mkifikiri, ‘Hakika Wakaldayo watatuacha na kwenda zao.’ Hakika hawatawaacha!

JER 37:10 Removed trailing space in v~: Hata kama mngelishinda jeshi lote la Wakaldayo linalowashambulia ninyi, na wakawa ni watu waliojeruhiwa tu waliobaki kwenye mahema yao, wangetoka na kuuchoma mji huu moto.”

JER 37:11 Removed trailing space in v~: Baada ya jeshi la Wakaldayo kujiondoa kutoka Yerusalemu kwa sababu ya jeshi la Farao,

JER 37:12 Removed trailing space in v~: Yeremia akaanza kuondoka mjini ili kwenda nchi ya Benyamini ili akapate sehemu yake ya milki miongoni mwa watu huko.

JER 37:13 Removed trailing space in v~: Lakini alipofika kwenye Lango la Benyamini, mkuu wa walinzi, ambaye jina lake lilikuwa Iriya mwana wa Shelemia mwana wa Hanania, akamkamata Yeremia na kusema, “Wewe unakwenda kujiunga na Wakaldayo!”

JER 37:14 Removed trailing space in v~: Yeremia akasema, “Hiyo si kweli, mimi sijiungi na Wakaldayo.” Lakini Iriya hakumsikiliza; badala yake, akamkamata Yeremia na kumpeleka kwa maafisa.

JER 37:15 Removed trailing space in v~: Wakamkasirikia Yeremia, wakaamuru apigwe, na akafungwa katika nyumba ya Yonathani mwandishi waliyokuwa wameifanya gereza.

JER 37:16 Removed trailing space in v~: Yeremia akawekwa kwenye chumba kilichofukuliwa chini, kilichojengwa kwa zege ndani ya gereza chini ya ngome, akakaa huko kwa muda mrefu.

JER 37:17 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Sedekia akatumana aletwe katika jumba la kifalme, mahali alipomuuliza kwa siri, “Je, kuna neno lolote kutoka kwa \nd Bwana\nd*?”

JER 37:17 Removed trailing space in p~: Yeremia akajibu, “Ndiyo, utatiwa mikononi mwa mfalme wa Babeli.”

JER 37:18 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akamwambia Mfalme Sedekia, “Nimefanya kosa gani dhidi yako na maafisa wako au watu hawa, hata ukanitia gerezani?

JER 37:19 Removed trailing space in v~: Wako wapi manabii wako waliokutabiria wakisema, ‘Mfalme wa Babeli hatakushambulia wewe wala nchi hii?’

JER 37:20 Removed trailing space in v~: Lakini sasa, bwana wangu mfalme, tafadhali sikiliza. Niruhusu nilete maombi yangu mbele yako, usinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, nisije nikafia humo.”

JER 37:21 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Sedekia akatoa maagizo Yeremia awekwe katika ua wa walinzi, na apewe mkate kutoka mitaa ya waokaji kila siku mpaka mikate yote katika mji itakapokwisha. Kwa hiyo Yeremia akabaki katika ua wa walinzi.

JER 38:0 Extra space after chapter number

JER 38:0 Removed trailing space in c: 38

JER 38:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Atupwa Kwenye Kisima

JER 38:1 Removed trailing space in v~: Shefatia mwana wa Matani, na Gedalia mwana wa Pashuri, na Yehukali mwana wa Shelemia, na Pashuri mwana wa Malkiya wakasikia kile Yeremia alichokuwa akiwaambia watu wote wakati aliposema,

JER 38:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Yeyote akaaye ndani ya mji huu atakufa kwa upanga, njaa au tauni, lakini yeyote atakayejisalimisha kwa Wakaldayo ataishi. Atakayeyatoa maisha yake kama nyara, ataishi.’

JER 38:3 Removed trailing space in v~: Tena hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Mji huu kwa hakika utatiwa mikononi mwa jeshi la mfalme wa Babeli, ambaye atauteka.’ ”

JER 38:4 Removed trailing space in v~: Ndipo maafisa wakamwambia mfalme, “Mtu huyu imempasa kuuawa. Anawakatisha tamaa askari waliobaki katika mji huu, vivyo hivyo na watu wote pia, kwa ajili ya mambo anayowaambia. Mtu huyu hawatakii mema watu hawa, bali maangamizi yao.”

JER 38:5 Removed trailing space in v~: Mfalme Sedekia akajibu, “Yeye yuko mikononi mwenu! Mfalme hawezi kufanya lolote kuwapinga ninyi.”

JER 38:6 Removed trailing space in v~: Basi wakamchukua Yeremia na kumtia kwenye kisima cha Malkiya, mwana wa mfalme, kilichokuwa katika ua wa walinzi. Wakamteremsha Yeremia kwa kamba ndani ya kisima. Hakikuwa na maji ndani yake, ila tope tu, naye Yeremia akazama ndani ya matope.

JER 38:7 Removed trailing space in v~: Lakini Ebed-Meleki Mkushi, aliyekuwa afisa katika jumba la kifalme, akasikia kuwa walikuwa wamemtia Yeremia ndani ya kisima. Wakati mfalme alipokuwa ameketi katika Lango la Benyamini,

JER 38:8 Removed trailing space in v~: Ebed-Meleki akatoka nje ya jumba la kifalme na kumwambia,

JER 38:9 Removed trailing space in v~: “Mfalme bwana wangu, watu hawa wamefanya uovu kwa yote waliomtendea nabii Yeremia. Wamemtupa ndani ya kisima, mahali ambapo atakufa kwa njaa wakati ambapo hakuna chakula popote katika mji.”

JER 38:10 Removed trailing space in v~: Basi mfalme akamwamuru Ebed-Meleki Mkushi, akisema, “Chukua watu thelathini kutoka hapa pamoja nawe, mkamtoe nabii Yeremia huko kwenye kisima kabla hajafa.”

JER 38:11 Removed trailing space in v~: Basi Ebed-Meleki akawachukua watu pamoja naye, wakaenda mpaka kwenye chumba kilichoko chini ya hazina ndani ya jumba la kifalme. Akachukua matambaa makuukuu pamoja na nguo zilizochakaa kutoka huko, na kumshushia Yeremia kwa kamba ndani ya kisima.

JER 38:12 Removed trailing space in v~: Ebed-Meleki Mkushi akamwambia Yeremia, “Weka haya matambaa makuukuu na hizo nguo zilizochakaa makwapani ili kuzuia kamba.” Yeremia akafanya hivyo,

JER 38:13 Removed trailing space in v~: nao wakamvuta juu kwa kamba na kumtoa katika kisima. Yeremia akakaa katika ua wa walinzi.

JER 38:13 Removed trailing space in s1: Sedekia Amhoji Yeremia Tena

JER 38:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Sedekia akatuma watu wamwitie nabii Yeremia wamlete kwake kwenye ingilio la tatu la Hekalu la \nd Bwana\nd*. Mfalme akamwambia Yeremia, “Ninataka kukuuliza jambo fulani, usinifiche kitu chochote.”

JER 38:15 Removed trailing space in v~: Yeremia akamwambia Sedekia, “Nikikupa jibu, je, hutaniua? Hata kama nikikupa shauri, wewe hutanisikiliza.”

JER 38:16 Removed trailing space in v~: Lakini Mfalme Sedekia akamwapia Yeremia kiapo hiki kwa siri, akisema, “Hakika kama aishivyo \nd Bwana\nd*, ambaye ametupa pumzi, sitakuua wala sitakutia mikononi mwa wale wanaotafuta uhai wako.”

JER 38:17 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akamwambia Sedekia, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: ‘Ikiwa utajisalimisha kwa maafisa wa mfalme wa Babeli, maisha yako yatasalimika, na mji huu hautateketezwa kwa moto. Pia wewe na jamaa yako mtaishi.

JER 38:18 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa hutajisalimisha kwa maafisa wa mfalme wa Babeli, mji huu utatiwa mikononi mwa Wakaldayo na watauteketeza kwa moto, nawe mwenyewe hutaweza kujiokoa mikononi mwao.’ ”

JER 38:19 Removed trailing space in v~: Mfalme Sedekia akamwambia Yeremia, “Ninawaogopa Wayahudi ambao wamekimbilia kwa Wakaldayo, kwa kuwa Wakaldayo wanaweza kunitia mikononi mwao, nao wakanitenda vibaya.”

JER 38:20 Removed trailing space in v~: Yeremia akajibu, “Hawatakutia mikononi mwao. Mtii \nd Bwana\nd* kwa kufanya kile ninachokuambia. Kisha utafanikiwa na maisha yako yatakuwa salama.

JER 38:21 Removed trailing space in v~: Lakini ukikataa kujisalimisha, hili ndilo \nd Bwana\nd* alilonifunulia:

JER 38:22 Removed trailing space in v~: Wanawake wote walioachwa katika jumba la kifalme la mfalme wa Yuda wataletwa mbele ya maafisa wa mfalme wa Babeli. Wanawake hao watakuambia:

JER 38:22 Removed trailing space in p~: “ ‘Walikupotosha na kukushinda,

JER 38:22 Removed trailing space in p~: wale rafiki zako uliowaamini.

JER 38:22 Removed trailing space in p~: Miguu yako imezama matopeni;

JER 38:22 Removed trailing space in p~: rafiki zako wamekuacha.’

JER 38:23 Removed trailing space in v~: “Wake zako wote na watoto wataletwa na kutiwa mikononi mwa Wakaldayo. Wewe mwenyewe hutaweza kujiokoa mikononi mwao. Lakini utatekwa na mfalme wa Babeli, na mji huu utateketezwa kwa moto.”

JER 38:24 Removed trailing space in v~: Kisha Sedekia akamwambia Yeremia, “Usiruhusu mtu yeyote ajue kuhusu haya mazungumzo, la sivyo utakufa.

JER 38:25 Removed trailing space in v~: Maafisa wakisikia kwamba nimezungumza nawe, nao wakakujia na kusema, ‘Tuambie kile ulichozungumza na mfalme na kile mfalme alichokuambia, usitufiche au sivyo tutakuua,’

JER 38:26 Removed trailing space in v~: basi waambie, ‘Nilikuwa ninamsihi mfalme asinirudishe kwenye nyumba ya Yonathani nisije nikafia humo.’ ”

JER 38:27 Removed trailing space in v~: Maafisa wote wakamjia Yeremia na kumuuliza, naye Yeremia akawaambia kila kitu mfalme alichomwagiza kusema. Kisha hawakusema lolote zaidi na Yeremia kwa sababu hakuna yeyote aliyesikia mazungumzo yake na mfalme.

JER 38:28 Removed trailing space in v~: Naye Yeremia akabaki katika ua wa walinzi hadi siku Yerusalemu ilipotekwa.

JER 39:0 Extra space after chapter number

JER 39:0 Removed trailing space in c: 39

JER 39:0 Removed trailing space in s1: Anguko La Yerusalemu

JER 39:1 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo Yerusalemu ilivyotwaliwa: Katika mwaka wa tisa wa utawala wa Mfalme Sedekia wa Yuda, katika mwezi wa kumi, Nebukadneza mfalme wa Babeli akiwa na jeshi lake lote alifanya vita dhidi ya Yerusalemu na akauzunguka mji.

JER 39:2 Removed trailing space in v~: Katika siku ya tisa ya mwezi wa nne wa mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Sedekia, ukuta wa mji ulibomolewa.

JER 39:3 Removed trailing space in v~: Kisha maafisa wote wa mfalme wa Babeli wakaja na kuketi kwenye Lango la Kati, nao ni: Nergal-Shareza wa Samgari, Nebo-Sarsekimu afisa mkuu, Nergal-Shareza afisa mwenye cheo cha juu, na maafisa wengine wote wa mfalme wa Babeli.

JER 39:4 Removed trailing space in v~: Mfalme Sedekia wa Yuda na askari wote walipowaona, wakakimbia na kuondoka mjini usiku kwa njia ya bustani ya mfalme, kupitia lango lililokuwa kati ya kuta mbili, wakaelekea Araba.\f + \fr 39:4 \ft Au: kuelekea Bonde la Yordani.\f*

JER 39:5 Removed trailing space in v~: Lakini jeshi la Wakaldayo likawafuatia na kumpata Sedekia katika sehemu tambarare za Yeriko. Wakamkamata na kumpeleka kwa Nebukadneza mfalme wa Babeli huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mahali ambapo alimtangazia hukumu.

JER 39:6 Removed trailing space in v~: Huko Ribla, mfalme wa Babeli aliwachinja wana wa Sedekia mbele ya macho yake, na pia akawaua wakuu wote wa Yuda.

JER 39:7 Removed trailing space in v~: Kisha akayangʼoa macho ya Sedekia na kumfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli.

JER 39:8 Removed trailing space in v~: Jeshi la Wakaldayo likachoma moto jumba la kifalme na nyumba za watu, na kuzibomoa kuta za Yerusalemu.

JER 39:9 Removed trailing space in v~: Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme akawachukua na kuwapeleka uhamishoni Babeli watu waliokuwa wamebaki ndani ya mji, pamoja na wale waliokuwa wamejisalimisha kwake, na watu wengine wote.

JER 39:10 Removed trailing space in v~: Lakini Nebuzaradani kiongozi wa walinzi aliwabakiza baadhi ya watu maskini katika nchi ya Yuda, ambao hawakuwa na kitu. Naye wakati huo akawapa mashamba ya mizabibu na mashamba mengine.

JER 39:11 Removed trailing space in v~: Basi, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa ametoa maagizo kuhusu Yeremia kupitia Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme akisema:

JER 39:12 Removed trailing space in v~: “Mchukue umtunze. Usimdhuru, lakini umfanyie chochote anachotaka.”

JER 39:13 Removed trailing space in v~: Basi Nebuzaradani kiongozi wa walinzi, Nebushazbani afisa mkuu, Nergal-Shareza afisa wa cheo cha juu, na maafisa wengine wote wa mfalme wa Babeli

JER 39:14 Removed trailing space in v~: wakatuma watu kumwondoa Yeremia kutoka ua wa walinzi. Wakamkabidhi kwa Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, ili amrudishe nyumbani kwake. Kwa hiyo akabaki miongoni mwa watu wake mwenyewe.

JER 39:15 Removed trailing space in v~: Wakati Yeremia alipokuwa amezuiliwa katika ua wa walinzi, neno la \nd Bwana\nd* lilimjia kusema:

JER 39:16 Removed trailing space in v~: “Nenda ukamwambie Ebed-Meleki Mkushi, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Ninakaribia kutimiza maneno yangu dhidi ya mji huu kwa njia ya maafa, wala si kwa kuwafanikisha. Wakati huo hayo yatatimizwa mbele ya macho yako.

JER 39:17 Removed trailing space in v~: Lakini siku hiyo nitakuokoa, asema \nd Bwana\nd*; hutatiwa mikononi mwa wale unaowaogopa.

JER 39:18 Removed trailing space in v~: Nitakuokoa; hutaanguka kwa upanga, lakini maisha yako yatakuwa salama, kwa sababu unanitumaini, asema \nd Bwana\nd*.’ ”

JER 40:0 Extra space after chapter number

JER 40:0 Removed trailing space in c: 40

JER 40:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Aachiwa Huru

JER 40:1 Removed trailing space in v~: Neno likamjia Yeremia kutoka kwa \nd Bwana\nd* baada ya Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme kumfungua huko Rama. Alikuwa amemkuta Yeremia akiwa amefungwa kwa minyororo miongoni mwa mateka wote kutoka Yerusalemu na Yuda waliokuwa wakipelekwa uhamishoni Babeli.

JER 40:2 Removed trailing space in v~: Kiongozi wa walinzi alipomwona Yeremia, akamwambia, “\nd Bwana\nd* Mungu wako aliamuru maafa haya kwa mahali hapa.

JER 40:3 Removed trailing space in v~: Sasa \nd Bwana\nd* ameyaleta haya, amefanya sawasawa na vile alivyosema angefanya. Yote haya yametokea kwa sababu ninyi mlifanya dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd* na hamkumtii.

JER 40:4 Removed trailing space in v~: Lakini leo ninakufungua minyororo iliyo kwenye viwiko vya mikono yako. Twende pamoja mpaka Babeli ikiwa unataka, nami nitakutunza. Lakini kama hutaki, basi usije. Tazama, nchi yote iko mbele yako, nenda kokote unakotaka.”

JER 40:5 Removed trailing space in v~: Lakini kabla Yeremia hajageuka kuondoka, Nebuzaradani akaongeza kusema, “Rudi kwa Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, ambaye mfalme wa Babeli amemchagua awe juu ya miji ya Yuda, ukaishi naye miongoni mwa watu, au uende popote panapokupendeza.”

JER 40:5 Removed trailing space in p~: Kisha huyo kiongozi akampa posho yake na zawadi, akamwacha aende zake.

JER 40:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Yeremia akaenda kwa Gedalia mwana wa Ahikamu huko Mispa, na kuishi naye miongoni mwa watu walioachwa katika nchi.

JER 40:6 Removed trailing space in s1: Gedalia Auawa

JER 40:6 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 25:22-26)

JER 40:7 Removed trailing space in v~: Maafisa wote wa jeshi na watu wao waliokuwa bado wapo kwenye eneo la wazi waliposikia kwamba mfalme wa Babeli amemteua Gedalia mwana wa Ahikamu kuwa mtawala wa nchi, na amemweka kuwa kiongozi wa wanaume, wanawake na watoto waliokuwa maskini zaidi katika nchi ambao hawakuchukuliwa kwenda uhamishoni Babeli,

JER 40:8 Removed trailing space in v~: wakamjia Gedalia huko Mispa. Hawa walikuwa Ishmaeli mwana wa Nethania, Yohanani na Yonathani wana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumethi, wana wa Efai Mnetofathi, na Yezania mwana wa Mmaaka, pamoja na watu wao.

JER 40:9 Removed trailing space in v~: Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani akaapa ili kuwatia moyo wao na watu wao. Akasema: “Msiogope kuwatumikia Wakaldayo. Kaeni katika nchi na kumtumikia mfalme wa Babeli, na itakuwa vyema kwenu.

JER 40:10 Removed trailing space in v~: Mimi mwenyewe nitakaa Mispa ili kuwawakilisha mbele ya Wakaldayo wanaotujia, lakini ninyi mtavuna divai, matunda ya kiangazi na mafuta, nanyi mtaweka katika vyombo vyenu vya kuhifadhia, na kuishi katika miji mliyojitwalia.”

JER 40:11 Removed trailing space in v~: Wayahudi wote waliokuwa Moabu, Amoni, Edomu na nchi nyingine zote waliposikia kwamba mfalme wa Babeli ameacha mabaki ya watu katika Yuda na amemweka Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani kuwa mtawala wao,

JER 40:12 Removed trailing space in v~: wakarudi wote katika nchi ya Yuda kwa Gedalia huko Mispa, kutoka nchi zote ambazo walikuwa wametawanywa. Nao wakavuna divai na matunda tele wakati wa kiangazi.

JER 40:13 Removed trailing space in v~: Yohanani mwana wa Karea pamoja na maafisa wote wa jeshi waliokuwa bado wapo kwenye eneo la wazi wakamjia Gedalia huko Mispa

JER 40:14 Removed trailing space in v~: na kumwambia, “Je, hujui kwamba Baalisi mfalme wa Waamoni amemtuma Ishmaeli mwana wa Nethania akuue?” Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu hakuwaamini.

JER 40:15 Removed trailing space in v~: Kisha Yohanani mwana wa Karea akamwambia Gedalia kwa siri huko Mispa, “Acha niende nikamuue Ishmaeli mwana wa Nethania, wala hakuna atakayejua. Kwa nini akuue na kusababisha Wayahudi wote waliokuzunguka watawanyike, na mabaki wa Yuda waangamie?”

JER 40:16 Removed trailing space in v~: Lakini Gedalia mwana wa Ahikamu akamwambia Yohanani mwana wa Karea, “Usifanye jambo kama hilo! Unalosema kuhusu Ishmaeli si kweli.”

JER 41:0 Extra space after chapter number

JER 41:0 Removed trailing space in c: 41

JER 41:1 Removed trailing space in v~: Katika mwezi wa saba Ishmaeli mwana wa Nethania mwana wa Elishama, aliyekuwa wa uzao wa mfalme na pia alikuwa mmoja wa maafisa wa mfalme, akaja pamoja na watu kumi kwa Gedalia mwana wa Ahikamu huko Mispa. Walipokuwa wakila pamoja huko,

JER 41:2 Removed trailing space in v~: Ishmaeli mwana wa Nethania pamoja na wale watu kumi waliokuwa pamoja naye waliinuka na kumuua Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani kwa upanga, wakamuua yule ambaye mfalme wa Babeli alikuwa amemteua awe mtawala wa nchi.

JER 41:3 Removed trailing space in v~: Ishmaeli akawaua pia Wayahudi wote waliokuwa na Gedalia huko Mispa, pamoja na askari wa Kikaldayo waliokuwa huko.

JER 41:4 Removed trailing space in v~: Siku moja baada ya kuuawa kwa siri kwa Gedalia, kabla mtu yeyote hajafahamu jambo hilo,

JER 41:5 Removed trailing space in v~: watu themanini waliokuwa wamenyoa ndevu zao, waliorarua nguo zao na kujikatakata walikuja kutoka Shekemu, Shilo na Samaria wakileta sadaka za nafaka na uvumba katika nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JER 41:6 Removed trailing space in v~: Ishmaeli mwana wa Nethania akaondoka Mispa ili kwenda kuwalaki, huku akilia alipokuwa akienda. Alipokutana nao, akasema, “Karibuni kwa Gedalia mwana wa Ahikamu.”

JER 41:7 Removed trailing space in v~: Walipoingia mjini, Ishmaeli mwana wa Nethania na wale watu waliokuwa pamoja naye wakawachinja na kuwatupa ndani ya kisima.

JER 41:8 Removed trailing space in v~: Lakini watu kumi miongoni mwao wakamwambia Ishmaeli, “Sisi usituue! Tuna ngano na shayiri, mafuta na asali, vilivyofichwa katika shamba.” Kwa hiyo akawaacha na hakuwaua pamoja na wale wengine.

JER 41:9 Removed trailing space in v~: Basi kile kisima ambacho alitupa zile maiti za watu aliowaua pamoja na Gedalia kilikuwa ni kile kisima ambacho Mfalme Asa alikifanya sehemu ya ulinzi wake dhidi ya Baasha mfalme wa Israeli. Ishmaeli mwana wa Nethania akakijaza kisima hicho kwa maiti.

JER 41:10 Removed trailing space in v~: Ishmaeli akawafanya mateka watu wote ambao Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme alikuwa amewaacha huko Mispa na kumweka Gedalia mwana wa Ahikamu juu yao: walikuwa binti za mfalme pamoja na watu wote aliokuwa amewaacha huko. Ishmaeli mwana wa Nethania akawachukua mateka na kuondoka nao, akavuka kwenda kwa Waamoni.

JER 41:11 Removed trailing space in v~: Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa jeshi waliokuwa pamoja naye waliposikia juu ya uhalifu wote ambao Ishmaeli mwana wa Nethania alikuwa ameufanya,

JER 41:12 Removed trailing space in v~: waliwachukua watu wao wote kwenda kupigana na Ishmaeli mwana wa Nethania. Wakakutana naye karibu na bwawa kubwa huko Gibeoni.

JER 41:13 Removed trailing space in v~: Ikawa watu wote waliokuwa na Ishmaeli walipomwona Yohanani mwana wa Karea pamoja na maafisa wa jeshi waliokuwa pamoja naye, wakafurahi.

JER 41:14 Removed trailing space in v~: Watu wote ambao Ishmaeli alikuwa amewachukua mateka huko Mispa wakageuka na kumfuata Yohanani mwana wa Karea.

JER 41:15 Removed trailing space in v~: Lakini Ishmaeli mwana wa Nethania pamoja na watu wake wanane wakamtoroka Yohanani na kukimbilia kwa Waamoni.

JER 41:15 Removed trailing space in s1: Kukimbilia Misri

JER 41:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Yohanani mwana wa Karea pamoja na maafisa wote wa jeshi waliokuwa pamoja naye wakawaongoza wote walionusurika kutoka Mispa, ambao walipona kutoka mikononi mwa Ishmaeli mwana wa Nethania baada yake kumuua Gedalia mwana wa Ahikamu: walikuwa askari, wanawake, watoto na matowashi aliowaleta kutoka Gibeoni.

JER 41:17 Removed trailing space in v~: Kisha wakaenda mbele na kutua Geruth-Kimhamu karibu na Bethlehemu wakiwa njiani kwenda Misri

JER 41:18 Removed trailing space in v~: ili kuwatoroka Wakaldayo. Waliwaogopa kwa sababu Ishmaeli mwana wa Nethania alikuwa amemuua Gedalia mwana wa Ahikamu, ambaye alikuwa amewekwa na mfalme wa Babeli kuwa mtawala wa nchi.

JER 42:0 Extra space after chapter number

JER 42:0 Removed trailing space in c: 42

JER 42:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Ashauri Walionusurika Wasihame Yuda

JER 42:1 Removed trailing space in v~: Ndipo maafisa wote wa jeshi, pamoja na Yohanani mwana wa Karea, na Yezania mwana wa Hoshaya, na watu wote kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkuu sana wakamjia

JER 42:2 Removed trailing space in v~: Yeremia nabii na kumwambia, “Tafadhali sikia maombi yetu na umwombe \nd Bwana\nd* Mungu wako kwa ajili ya watu hawa wote waliosalia. Kwa kuwa kama unavyoona sasa, ingawa wakati fulani tulikuwa wengi, sasa tumesalia wachache tu.

JER 42:3 Removed trailing space in v~: Omba ili \nd Bwana\nd* Mungu wako atuambie twende wapi na tufanye nini.”

JER 42:4 Removed trailing space in v~: Nabii Yeremia akajibu, “Nimewasikia. Kwa hakika nitamwomba \nd Bwana\nd* Mungu wenu kama mlivyoomba. Nitawaambia kila kitu asemacho \nd Bwana\nd*, wala sitawaficha chochote.”

JER 42:5 Removed trailing space in v~: Kisha wakamwambia Yeremia, “\nd Bwana\nd* na awe shahidi wa kweli na mwaminifu kati yetu kama hatutafanya sawasawa na kila kitu \nd Bwana\nd* Mungu wako atakachokutuma utuambie.

JER 42:6 Removed trailing space in v~: Likiwa jema au likiwa baya, tutamtii \nd Bwana\nd* Mungu wetu, ambaye tunakutuma kwake, ili mambo yote yawe mema kwetu, kwa maana tutamtii \nd Bwana\nd* Mungu wetu.”

JER 42:7 Removed trailing space in v~: Baada ya siku kumi, neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia.

JER 42:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akawaita pamoja Yohanani mwana wa Karea, na maafisa wote wa jeshi waliokuwa pamoja naye na watu wote kuanzia mdogo kabisa hadi aliye mkuu sana.

JER 42:9 Removed trailing space in v~: Akawaambia, “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ambaye mlinituma kuwasilisha maombi yenu:

JER 42:10 Removed trailing space in v~: ‘Kama mkikaa katika nchi hii, nitawajenga wala sitawabomoa, nitawapanda wala sitawangʼoa, kwani ninahuzunishwa na maafa niliyowapiga nayo.

JER 42:11 Removed trailing space in v~: Msimwogope mfalme wa Babeli, ambaye sasa mnamwogopa. Msimwogope, asema \nd Bwana\nd*, kwa kuwa niko pamoja nanyi, nami nitawaokoa na kuwaponya kutoka mikononi mwake.

JER 42:12 Removed trailing space in v~: Nitawaonea huruma ili naye awe na huruma nanyi na kuwarudisha katika nchi yenu.’

JER 42:13 Removed trailing space in v~: “Hata hivyo, kama mkisema, ‘Hatutakaa katika nchi hii,’ hivyo mkaacha kumtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

JER 42:14 Removed trailing space in v~: nanyi kama mkisema, ‘Hapana, tutakwenda kuishi Misri, mahali ambapo hatutaona vita au kusikia sauti ya tarumbeta au kuwa na njaa ya chakula,’

JER 42:15 Removed trailing space in v~: basi sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi mabaki ya Yuda. Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Ikiwa mmekusudia kwenda Misri na kufanya makazi huko,

JER 42:16 Removed trailing space in v~: basi ule upanga mnaouogopa utawapata huko, na njaa mnayoihofia itawafuata huko Misri, nanyi mtafia huko.

JER 42:17 Removed trailing space in v~: Naam, wote waliokusudia kwenda kuishi Misri watakufa kwa upanga, njaa na tauni; hakuna hata mmoja wao atakayenusurika au kuokoka maafa nitakayoyaleta juu yao.’

JER 42:18 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: ‘Kama vile hasira yangu na ghadhabu yangu ilivyomwagwa juu ya wale walioishi Yerusalemu, ndivyo ghadhabu yangu itakavyomwagwa juu yenu mtakapokwenda Misri. Mtakuwa kitu cha kulaania na cha kutisha, cha kulaumia na cha kushutumia, nanyi kamwe hamtaona mahali hapa tena.’

JER 42:19 Removed trailing space in v~: “Enyi mabaki ya Yuda, \nd Bwana\nd* amewaambia, ‘Msiende Misri.’ Hakikisheni jambo hili: Ninawaonya leo

JER 42:20 Removed trailing space in v~: kwamba mmefanya kosa kubwa mioyoni mwenu mliponituma kwa \nd Bwana\nd* Mungu wenu na kusema, ‘Mwombe \nd Bwana\nd* Mungu wetu kwa ajili yetu, nawe utuambie kila kitu atakachosema, nasi tutafanya.’

JER 42:21 Removed trailing space in v~: Nimewaambieni leo, lakini bado ninyi hamtaki kumtii \nd Bwana\nd* Mungu wenu katika yote aliyonituma niwaambie.

JER 42:22 Removed trailing space in v~: Basi sasa, hakikisheni jambo hili: Mtakufa kwa upanga, njaa na tauni mahali ambapo mnataka kwenda kuishi.”

JER 43:0 Extra space after chapter number

JER 43:0 Removed trailing space in c: 43

JER 43:0 Removed trailing space in s1: Yeremia Apelekwa Misri

JER 43:1 Removed trailing space in v~: Yeremia alipomaliza kuwaambia watu maneno yote ya \nd Bwana\nd* Mungu wao, yaani kila kitu \nd Bwana\nd* alichokuwa amemtuma kuwaambia,

JER 43:2 Removed trailing space in v~: Azaria mwana wa Hoshaya, na Yohanani mwana wa Karea, na watu wote wenye kiburi wakamwambia Yeremia, “Wewe unasema uongo! \nd Bwana\nd* Mungu wetu hajakutuma kusema, ‘Kamwe msiende Misri kukaa huko.’

JER 43:3 Removed trailing space in v~: Lakini Baruku mwana wa Neria anakuchochea dhidi yetu ili ututie mikononi mwa Wakaldayo, ili watuue au watuchukue uhamishoni Babeli.”

JER 43:4 Removed trailing space in v~: Basi Yohanani mwana wa Karea, na maafisa wote wa jeshi, na watu wote wakakataa kutii amri ya \nd Bwana\nd* ya kukaa katika nchi ya Yuda.

JER 43:5 Removed trailing space in v~: Badala yake, Yohanani mwana wa Karea na maafisa wote wa jeshi wakawaongoza mabaki yote ya Yuda waliokuwa wamerudi kuishi katika nchi ya Yuda kutoka mataifa yote ambayo walikuwa wametawanywa.

JER 43:6 Removed trailing space in v~: Pia wakawaongoza wanaume wote, wanawake na watoto, na binti za mfalme ambao Nebuzaradani kiongozi wa walinzi wa mfalme alikuwa amewaacha na Gedalia mwana wa Ahikamu mwana wa Shafani, na nabii Yeremia, na Baruku mwana wa Neria.

JER 43:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakaingia Misri kwa kutokumtii \nd Bwana\nd*, wakaenda mpaka Tahpanhesi.

JER 43:8 Removed trailing space in v~: Huko Tahpanhesi neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yeremia kusema:

JER 43:9 Removed trailing space in v~: “Wayahudi wakiwa wanaona, chukua baadhi ya mawe makubwa na kuyazika katika udongo wa mfinyanzi katika njia iliyojengwa kwa matofali katika ingilio la jumba la kifalme la Farao huko Tahpanhesi.

JER 43:10 Removed trailing space in v~: Kisha uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Nitamtumania mtumishi wangu Nebukadneza mfalme wa Babeli, nami nitakiweka kiti chake cha enzi juu ya haya mawe niliyoyazika hapa, naye atatandaza hema yake ya ufalme juu yake.

JER 43:11 Removed trailing space in v~: Atakuja na kuishambulia Misri, akiwaua wale waliokusudiwa kuuawa, awateke mateka wale waliokusudiwa kutekwa, na upanga kwa wale waliokusudiwa upanga.

JER 43:12 Removed trailing space in v~: Atachoma moto mahekalu yao ya miungu ya Misri, atachoma mahekalu yao na kuteka miungu yao. Kama vile mchungaji ajizungushiavyo vazi lake ndivyo atakavyojizungushia Misri na kuondoka mahali hapo bila kudhurika.

JER 43:13 Removed trailing space in v~: Humo ndani ya hekalu la jua\f + \fr 43:13 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).\f* nchini ya Misri atabomoa nguzo za ibada, na kuteketeza kwa moto mahekalu ya miungu wa Misri.’ ”

JER 44:0 Extra space after chapter number

JER 44:0 Removed trailing space in c: 44

JER 44:0 Removed trailing space in s1: Maafa Kwa Sababu Ya Ibada Za Sanamu

JER 44:1 Removed trailing space in v~: Neno hili lilimjia Yeremia kuhusu Wayahudi wote waishio Misri, huko Migdoli, Tahpanhesi na Memfisi,\f + \fr 44:1 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.\f* katika nchi ya Pathrosi\f + \fr 44:1 \ft Pathrosi ina maana Misri ya Juu.\f* kusema:

JER 44:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Mliona maangamizi makubwa niliyoyaleta juu ya Yerusalemu na juu ya miji yote ya Yuda. Leo imeachwa ukiwa na magofu

JER 44:3 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya uovu waliokuwa wameufanya. Walinikasirisha kwa kufukiza uvumba na kwa kuabudu miungu mingine ambayo kamwe wao, wala ninyi, wala baba zenu hawakuifahamu.

JER 44:4 Removed trailing space in v~: Tena na tena, niliwatuma watumishi wangu manabii ambao walisema, ‘Msifanye jambo hili la kuchukiza ambalo nalichukia!’

JER 44:5 Removed trailing space in v~: Lakini hawakusikiliza wala hawakujali, hawakugeuka ili kuuacha uovu wao, wala hawakuacha kufukiza uvumba kwa miungu mingine.

JER 44:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hasira yangu kali ilimwagika, ikawaka dhidi ya miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu, na kuifanya ukiwa na magofu kama ilivyo leo.

JER 44:7 Removed trailing space in v~: “Basi hili ndilo \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Kwa nini kujiletea maafa makubwa kama haya juu yenu kwa kujikatilia mbali kutoka Yuda wanaume na wanawake, watoto na wanyonyao, hata kujiacha bila mabaki?

JER 44:8 Removed trailing space in v~: Kwa nini kuichochea hasira yangu kwa kile ambacho mikono yenu imekitengeneza, mkaifukizia uvumba miungu mingine huko Misri, mahali mlipokuja kuishi? Mtajiangamiza wenyewe na kujifanya kitu cha kulaania na shutumu miongoni mwa mataifa yote duniani.

JER 44:9 Removed trailing space in v~: Je, mmesahau uovu uliotendwa na baba zenu, na wafalme na malkia wa Yuda, na uovu uliofanywa na ninyi na wake zenu katika nchi ya Yuda na barabara za Yerusalemu?

JER 44:10 Removed trailing space in v~: Mpaka leo hawajajinyenyekeza au kuonyesha heshima, wala hawajafuata sheria yangu na amri nilizoweka mbele yenu na baba zenu.

JER 44:11 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo: Mimi nimekusudia kuleta maafa juu yenu, na kuiangamiza Yuda yote.

JER 44:12 Removed trailing space in v~: Nitawaondoa mabaki ya Yuda waliokusudia kwenda Misri kukaa humo. Wote wataangamia huko Misri, wataanguka kwa upanga au kufa kwa njaa. Kuanzia aliye mdogo kabisa hadi aliye mkuu sana, watakufa kwa upanga au njaa. Watakuwa kitu cha kulaania na cha kutisha, cha laumu na shutumu.

JER 44:13 Removed trailing space in v~: Nitawaadhibu wale waishio Misri kwa upanga, njaa na tauni kama nilivyoiadhibu Yerusalemu.

JER 44:14 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mmoja wa mabaki ya Yuda ambaye amekwenda kuishi Misri atakayeepuka au kunusurika ili kurudi katika nchi ya Yuda, ambayo wanaitamani sana kurudi na kuishi ndani yake, hakuna hata mmoja atakayerudi isipokuwa wakimbizi wachache.”

JER 44:15 Removed trailing space in v~: Kisha wanaume wote ambao walijua kwamba wake zao walikuwa wakifukiza uvumba kwa miungu mingine, pamoja na wanawake wote waliokuwako, yaani, kusanyiko kubwa na watu wote walioishi nchi ya Misri na Pathrosi, wakamwambia Yeremia,

JER 44:16 Removed trailing space in v~: “Hatutausikiliza ujumbe uliotuambia katika jina la \nd Bwana\nd*!

JER 44:17 Removed trailing space in v~: Hakika tutafanya kila kitu tulichosema tutakifanya: Tutafukiza uvumba kwa Malkia wa Mbinguni na tutammiminia sadaka zetu za kinywaji kama vile sisi na baba zetu, wafalme wetu na maafisa wetu tulivyofanya katika miji ya Yuda na katika barabara za Yerusalemu. Wakati ule tulikuwa na chakula tele, tulikuwa matajiri wala hatukupata dhara lolote.

JER 44:18 Removed trailing space in v~: Lakini tangu tulipoacha kumfukizia uvumba Malkia wa Mbinguni na kummiminia sadaka za kinywaji, hatupati chochote, na tumekuwa tukiangamizwa kwa upanga na njaa.”

JER 44:19 Removed trailing space in v~: Wanawake wakaongeza kusema, “Wakati tulipomfukizia uvumba Malkia wa Mbinguni na kummiminia sadaka zetu za kinywaji, je, waume zetu hawakujua kwamba tulikuwa tukitengeneza maandazi kwa mfano wake, na kummiminia yeye sadaka za kinywaji?”

JER 44:20 Removed trailing space in v~: Ndipo Yeremia akawaambia watu wote, wanaume na wanawake waliokuwa wakimjibu,

JER 44:21 Removed trailing space in v~: “Je, \nd Bwana\nd* hakukumbuka na kufikiri juu ya uvumba uliofukizwa katika miji ya Yuda na barabara za Yerusalemu na ninyi pamoja na baba zenu, wafalme wenu, maafisa wenu na watu wa nchi?

JER 44:22 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipokuwa hawezi kuendelea kuvumilia matendo yenu maovu na mambo ya machukizo mliyoyafanya, nchi yenu ilikuwa kitu cha kulaania na kuachwa ukiwa pasipo wakazi, kama ilivyo leo.

JER 44:23 Removed trailing space in v~: Kwa sababu mmefukiza uvumba na kufanya dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd*, nanyi hamkumtii wala kufuata sheria yake au amri zake au maagizo yake, maafa haya yamekuja juu yenu, kama mnavyoona sasa.”

JER 44:24 Removed trailing space in v~: Kisha Yeremia akawaambia watu wote, pamoja na wanawake, “Sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi watu wote wa Yuda mlioko Misri.

JER 44:25 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli: Ninyi na wake zenu mmeonyesha kwa matendo yenu kile mlichoahidi mliposema, ‘Hakika tutatimiza nadhiri tulizoziweka za kumfukizia uvumba na kummiminia sadaka za kinywaji Malkia wa Mbinguni.’

JER 44:25 Removed trailing space in p~: “Endeleeni basi, fanyeni yale mliyoahidi! Timizeni nadhiri zenu!

JER 44:26 Removed trailing space in v~: Lakini sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi Wayahudi wote mnaoishi Misri: ‘Ninaapa kwa Jina langu lililo kuu,’ asema \nd Bwana\nd*, ‘kwamba hakuna hata mmoja atokaye Yuda anayeishi popote Misri ambaye kamwe ataomba tena kwa Jina langu au kuapa, akisema, “Hakika kama \nd Bwana\nd* Mwenyezi aishivyo.”

JER 44:27 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninawaangalia kwa ajili ya madhara, wala sio kwa mema. Wayahudi walioko Misri wataangamia kwa upanga na njaa, hadi wote watakapoangamizwa.

JER 44:28 Removed trailing space in v~: Wale watakaonusurika upanga na kurudi katika nchi ya Yuda kutoka Misri watakuwa wachache sana. Ndipo mabaki wote wa Yuda waliokuja kuishi Misri watakapojua ni neno la nani litakalosimama, kwamba ni langu au lao.

JER 44:29 Removed trailing space in v~: “ ‘Hii itakuwa ndiyo ishara kwenu kwamba nitawaadhibu mahali hapa, asema \nd Bwana\nd*, ili mpate kujua kuwa onyo langu la madhara dhidi yenu hakika litatimizwa.’

JER 44:30 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: ‘Nitamtia Farao Hofra mfalme wa Misri mikononi mwa adui zake wanaoutafuta uhai wake, kama vile nilivyomtia Sedekia mfalme wa Yuda mikononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, adui aliyekuwa akiutafuta uhai wake.’ ”

JER 45:0 Extra space after chapter number

JER 45:0 Removed trailing space in c: 45

JER 45:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kwa Baruku

JER 45:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo nabii Yeremia alilomwambia Baruku mwana wa Neria katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, baada ya Baruku kuandika katika kitabu maneno ambayo yalitoka kinywani mwa Yeremia wakati ule:

JER 45:2 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, akuambialo wewe Baruku:

JER 45:3 Removed trailing space in v~: Ulisema, ‘Ole wangu! \nd Bwana\nd* ameongeza huzuni juu ya maumivu yangu, nimechoka kwa kulia kwa uchungu wala sipati pumziko.’ ”

JER 45:4 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Mwambie hivi: ‘Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: Nitakibomoa kile nilichokijenga, na kungʼoa kile nilichokipanda katika nchi yote.

JER 45:5 Removed trailing space in v~: Je, utajitafutia mambo makubwa kwa ajili yako mwenyewe? Usiyatafute hayo. Kwa kuwa nitaleta maangamizi juu ya watu wote, asema \nd Bwana\nd*, lakini popote utakapokwenda, nitayaokoa maisha yako.’ ”

JER 46:0 Extra space after chapter number

JER 46:0 Removed trailing space in c: 46

JER 46:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Misri

JER 46:1 Removed trailing space in v~: Hili ni neno la \nd Bwana\nd* lililomjia nabii Yeremia kuhusu mataifa:

JER 46:2 Removed trailing space in v~: Kuhusu Misri:

JER 46:2 Removed trailing space in p~: Huu ni ujumbe dhidi ya jeshi la Farao Neko mfalme wa Misri, lililoshindwa huko Karkemishi kwenye Mto Frati na Nebukadneza mfalme wa Babeli, katika mwaka wa nne wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda:

JER 46:3 Removed trailing space in v~: “Wekeni tayari ngao zenu, kubwa na ndogo,

JER 46:3 Removed trailing space in p~: mtoke kwa ajili ya vita!

JER 46:4 Removed trailing space in v~: Fungieni farasi lijamu,

JER 46:4 Removed trailing space in p~: pandeni farasi!

JER 46:4 Removed trailing space in p~: Shikeni nafasi zenu

JER 46:4 Removed trailing space in p~: mkiwa mmevaa chapeo!

JER 46:4 Removed trailing space in p~: Isugueni mikuki yenu,

JER 46:4 Removed trailing space in p~: vaeni dirii vifuani!

JER 46:5 Removed trailing space in v~: Je, ninaona nini?

JER 46:5 Removed trailing space in p~: Wametiwa hofu,

JER 46:5 Removed trailing space in p~: wanarudi nyuma,

JER 46:5 Removed trailing space in p~: askari wao wameshindwa.

JER 46:5 Removed trailing space in p~: Wanakimbia kwa haraka

JER 46:5 Removed trailing space in p~: pasipo kutazama nyuma,

JER 46:5 Removed trailing space in p~: tena kuna hofu kuu kila upande,”

JER 46:5 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 46:6 Removed trailing space in v~: Walio wepesi na wenye mbio hawawezi kukimbia,

JER 46:6 Removed trailing space in p~: wala wenye nguvu hawawezi kutoroka.

JER 46:6 Removed trailing space in p~: Kaskazini, kando ya Mto Frati,

JER 46:6 Removed trailing space in p~: wanajikwaa na kuanguka.

JER 46:7 Removed trailing space in v~: “Ni nani huyu ajiinuaye kama Mto Naili,

JER 46:7 Removed trailing space in p~: kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi?

JER 46:8 Removed trailing space in v~: Misri hujiinua kama Mto Naili,

JER 46:8 Removed trailing space in p~: kama mito yenye maji yanayofanya mawimbi.

JER 46:8 Removed trailing space in p~: Husema, ‘Nitainuka na kufunika dunia,

JER 46:8 Removed trailing space in p~: nitaiangamiza miji na watu wake.’

JER 46:9 Removed trailing space in v~: Songeni mbele, enyi farasi!

JER 46:9 Removed trailing space in p~: Endesheni kwa ukali, enyi magari ya farasi,

JER 46:9 Removed trailing space in p~: Endeleeni mbele, enyi mashujaa:

JER 46:9 Removed trailing space in p~: watu wa Kushi\f + \fr 46:9 \ft Kushi ni Naili ya Juu; sasa ni Sudan.\f* na Putu\f + \fr 46:9 \ft Putu sasa ni Libya.\f* wachukuao ngao,

JER 46:9 Removed trailing space in p~: watu wa Ludi\f + \fr 46:9 \ft Nchi iliyo Afrika ya Kaskazini, magharibi ya Mto Naili; sasa ni Libya.\f* wavutao upinde.

JER 46:10 Removed trailing space in v~: Lakini ile siku ni ya Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 46:10 Removed trailing space in p~: siku ya kulipiza kisasi,

JER 46:10 Removed trailing space in p~: kisasi juu ya adui zake.

JER 46:10 Removed trailing space in p~: Upanga utakula hata utakapotosheka,

JER 46:10 Removed trailing space in p~: hadi utakapozima kiu yake kwa damu.

JER 46:10 Removed trailing space in p~: Kwa maana Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, atatoa dhabihu

JER 46:10 Removed trailing space in p~: kwenye nchi ya kaskazini, kando ya Mto Frati.

JER 46:11 Removed trailing space in v~: “Panda hadi Gileadi ukapate zeri,

JER 46:11 Removed trailing space in p~: ee Bikira Binti wa Misri.

JER 46:11 Removed trailing space in p~: Lakini umetumia dawa nyingi bila mafanikio;

JER 46:11 Removed trailing space in p~: huwezi kupona.

JER 46:12 Removed trailing space in v~: Mataifa yatasikia juu ya aibu yako,

JER 46:12 Removed trailing space in p~: kilio chako kitaijaza dunia.

JER 46:12 Removed trailing space in p~: Shujaa mmoja atajikwaa juu ya mwingine,

JER 46:12 Removed trailing space in p~: nao wataanguka chini pamoja.”

JER 46:13 Removed trailing space in v~: Huu ndio ujumbe \nd Bwana\nd* aliomwambia nabii Yeremia kuhusu kuja kwa Nebukadneza mfalme wa Babeli ili kuishambulia Misri:

JER 46:14 Removed trailing space in v~: “Tangaza hili katika Misri, nawe ulihubiri katika Migdoli,

JER 46:14 Removed trailing space in p~: hubiri pia katika Memfisi\f + \fr 46:14 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.\f* na Tahpanhesi:\f + \fr 46:14 \ft Ni mji katika Misri.\f*

JER 46:14 Removed trailing space in p~: ‘Shikeni nafasi zenu na mwe tayari,

JER 46:14 Removed trailing space in p~: kwa kuwa upanga unawala wale wanaokuzunguka.’

JER 46:15 Removed trailing space in v~: Kwa nini mashujaa wako wamesombwa

JER 46:15 Removed trailing space in p~: na kupelekwa mbali?

JER 46:15 Removed trailing space in p~: Hawawezi kusimama, kwa maana \nd Bwana\nd*

JER 46:15 Removed trailing space in p~: atawasukuma awaangushe chini.

JER 46:16 Removed trailing space in v~: Watajikwaa mara kwa mara,

JER 46:16 Removed trailing space in p~: wataangukiana wao kwa wao.

JER 46:16 Removed trailing space in p~: Watasema, ‘Amka, turudi

JER 46:16 Removed trailing space in p~: kwa watu wetu na nchi yetu,

JER 46:16 Removed trailing space in p~: mbali na upanga wa mtesi.’

JER 46:17 Removed trailing space in v~: Huko watatangaza,

JER 46:17 Removed trailing space in p~: ‘Farao mfalme wa Misri ni makelele tu,

JER 46:17 Removed trailing space in p~: amekosa wasaa wake.’

JER 46:18 Removed trailing space in v~: “Kwa hakika kama niishivyo,” asema Mfalme,

JER 46:18 Removed trailing space in p~: ambaye jina lake ni \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 46:18 Removed trailing space in p~: “mmoja atakuja ambaye ni kama Tabori miongoni mwa milima,

JER 46:18 Removed trailing space in p~: kama Karmeli kando ya bahari.

JER 46:19 Removed trailing space in v~: Funga mizigo yako kwenda uhamishoni,

JER 46:19 Removed trailing space in p~: wewe ukaaye Misri,

JER 46:19 Removed trailing space in p~: kwa kuwa Memfisi utaangamizwa

JER 46:19 Removed trailing space in p~: na kuwa magofu pasipo mkazi.

JER 46:20 Removed trailing space in v~: “Misri ni mtamba mzuri,

JER 46:20 Removed trailing space in p~: lakini kipanga anakuja dhidi yake kutoka kaskazini.

JER 46:21 Removed trailing space in v~: Askari wake waliokodiwa katika safu zake

JER 46:21 Removed trailing space in p~: wako kama ndama walionenepeshwa.

JER 46:21 Removed trailing space in p~: Wao pia watageuka na kukimbia pamoja,

JER 46:21 Removed trailing space in p~: hawataweza kuhimili vita,

JER 46:21 Removed trailing space in p~: kwa maana siku ya msiba inakuja juu yao,

JER 46:21 Removed trailing space in p~: wakati wao wa kuadhibiwa.

JER 46:22 Removed trailing space in v~: Misri atatoa sauti kama ya nyoka anayekimbia

JER 46:22 Removed trailing space in p~: kadiri adui anavyowasogelea na majeshi,

JER 46:22 Removed trailing space in p~: watakuja dhidi yake wakiwa na mashoka,

JER 46:22 Removed trailing space in p~: kama watu wakatao miti.

JER 46:23 Removed trailing space in v~: Wataufyeka msitu wake,”

JER 46:23 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 46:23 Removed trailing space in p~: “hata kama umesongamana kiasi gani.

JER 46:23 Removed trailing space in p~: Ni wengi kuliko nzige,

JER 46:23 Removed trailing space in p~: hawawezi kuhesabika.

JER 46:24 Removed trailing space in v~: Binti wa Misri ataaibishwa,

JER 46:24 Removed trailing space in p~: atatiwa mikononi mwa watu wa kaskazini.”

JER 46:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asema: “Nakaribia kuleta adhabu juu ya Amoni mungu wa Thebesi,\f + \fr 46:25 \ft Thebesi kwa Kiebrania ni No (au No-Amoni), mji katika Misri.\f* na juu ya Farao, Misri na miungu yake, na wafalme wake, pamoja na wale wanaomtegemea Farao.

JER 46:26 Removed trailing space in v~: Nitawatia mikononi mwa wale wanaotafuta uhai wao, yaani Nebukadneza mfalme wa Babeli na maafisa wake. Hatimaye, hata hivyo, Misri itakaliwa kama nyakati zilizopita,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 46:27 Removed trailing space in v~: “Usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,

JER 46:27 Removed trailing space in p~: usifadhaike, ee Israeli.

JER 46:27 Removed trailing space in p~: Hakika nitakuokoa kutoka nchi za mbali,

JER 46:27 Removed trailing space in p~: uzao wako kutoka nchi ya uhamisho wao.

JER 46:27 Removed trailing space in p~: Yakobo atakuwa tena na amani na salama,

JER 46:27 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja atakayewatia hofu.

JER 46:28 Removed trailing space in v~: Usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,

JER 46:28 Removed trailing space in p~: kwa maana mimi niko pamoja nawe,”

JER 46:28 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 46:28 Removed trailing space in p~: “Ingawa nitayaangamiza kabisa mataifa yote

JER 46:28 Removed trailing space in p~: ambayo miongoni mwake nimekutawanya,

JER 46:28 Removed trailing space in p~: sitakuangamiza wewe kabisa.

JER 46:28 Removed trailing space in p~: Nitakurudi, lakini kwa haki tu,

JER 46:28 Removed trailing space in p~: wala sitakuacha kabisa bila kukuadhibu.”

JER 47:0 Extra space after chapter number

JER 47:0 Removed trailing space in c: 47

JER 47:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Wafilisti

JER 47:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno la \nd Bwana\nd* lililomjia nabii Yeremia kuhusu Wafilisti, kabla Farao hajaishambulia Gaza:

JER 47:2 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 47:2 Removed trailing space in p~: “Tazama jinsi maji yanavyoinuka huko kaskazini,

JER 47:2 Removed trailing space in p~: yatakuwa mafuriko yenye nguvu sana.

JER 47:2 Removed trailing space in p~: Yataifurikia nchi na vitu vyote vilivyomo ndani yake,

JER 47:2 Removed trailing space in p~: miji na wale waishio ndani yake.

JER 47:2 Removed trailing space in p~: Watu watapiga kelele;

JER 47:2 Removed trailing space in p~: wote waishio katika nchi wataomboleza

JER 47:3 Removed trailing space in v~: kwa sauti ya kwato za farasi waendao mbio,

JER 47:3 Removed trailing space in p~: kwa sauti ya magari ya adui

JER 47:3 Removed trailing space in p~: na mngurumo wa magurudumu yake.

JER 47:3 Removed trailing space in p~: Baba hawatageuka kuwasaidia watoto wao,

JER 47:3 Removed trailing space in p~: mikono yao italegea.

JER 47:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana siku imewadia

JER 47:4 Removed trailing space in p~: kuwaangamiza Wafilisti wote

JER 47:4 Removed trailing space in p~: na kuwakatilia mbali walionusurika wote

JER 47:4 Removed trailing space in p~: ambao wangeweza kusaidia Tiro na Sidoni.

JER 47:4 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* anakaribia kuwaangamiza Wafilisti,

JER 47:4 Removed trailing space in p~: mabaki toka pwani za Kaftori.\f + \fr 47:4 \ft Kaftori ndio Krete.\f*

JER 47:5 Removed trailing space in v~: Gaza atanyoa kichwa chake katika kuomboleza,

JER 47:5 Removed trailing space in p~: Ashkeloni atanyamazishwa.

JER 47:5 Removed trailing space in p~: Enyi mabaki kwenye tambarare,

JER 47:5 Removed trailing space in p~: mtajikatakata wenyewe mpaka lini?

JER 47:6 Removed trailing space in v~: “Mnalia, ‘Aa, upanga wa \nd Bwana\nd*,

JER 47:6 Removed trailing space in p~: utaendelea mpaka lini ndipo upumzike?

JER 47:6 Removed trailing space in p~: Rudi ndani ya ala yako;

JER 47:6 Removed trailing space in p~: acha na utulie.’

JER 47:7 Removed trailing space in v~: Lakini upanga utatuliaje

JER 47:7 Removed trailing space in p~: wakati \nd Bwana\nd* ameuamuru,

JER 47:7 Removed trailing space in p~: wakati ameuagiza kuishambulia Ashkeloni

JER 47:7 Removed trailing space in p~: pamoja na pwani yake?”

JER 48:0 Extra space after chapter number

JER 48:0 Removed trailing space in c: 48

JER 48:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Moabu

JER 48:1 Removed trailing space in v~: Kuhusu Moabu:

JER 48:1 Removed trailing space in p~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo:

JER 48:1 Removed trailing space in p~: “Ole wake Nebo, kwa maana utaharibiwa.

JER 48:1 Removed trailing space in p~: Kiriathaimu utaaibishwa na kutekwa;

JER 48:1 Removed trailing space in p~: Misgabu itaaibishwa na kuvunjavunjwa.

JER 48:2 Removed trailing space in v~: Moabu haitasifiwa tena;

JER 48:2 Removed trailing space in p~: huko Heshboni watu watafanya shauri baya la anguko lake:

JER 48:2 Removed trailing space in p~: ‘Njooni na tuangamize taifa lile.’

JER 48:2 Removed trailing space in p~: Wewe nawe, ee Madmena, utanyamazishwa;

JER 48:2 Removed trailing space in p~: upanga utakufuatia.

JER 48:3 Removed trailing space in v~: Sikiliza kilio kutoka Horonaimu,

JER 48:3 Removed trailing space in p~: kilio cha maangamizi makuu na uharibifu.

JER 48:4 Removed trailing space in v~: Moabu utavunjwa,

JER 48:4 Removed trailing space in p~: wadogo wake watapiga kelele.

JER 48:5 Removed trailing space in v~: Wanapanda kwenda njia ya kuelekea Luhithi,

JER 48:5 Removed trailing space in p~: wakilia kwa uchungu wanapotembea,

JER 48:5 Removed trailing space in p~: kwenye njia inayoshuka kwenda Horonaimu,

JER 48:5 Removed trailing space in p~: kilio cha uchungu kwa ajili ya uharibifu kinasikika.

JER 48:6 Removed trailing space in v~: Kimbieni! Okoeni maisha yenu,

JER 48:6 Removed trailing space in p~: kuweni kama kichaka jangwani.

JER 48:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mmetumainia matendo yenu na mali zenu,

JER 48:7 Removed trailing space in p~: ninyi pia mtachukuliwa mateka,

JER 48:7 Removed trailing space in p~: naye Kemoshi\f + \fr 48:7 \ft Kemoshi alikuwa mungu wa Wamoabu.\f* atakwenda uhamishoni,

JER 48:7 Removed trailing space in p~: pamoja na makuhani wake na maafisa wake.

JER 48:8 Removed trailing space in v~: Mharabu atakuja dhidi ya kila mji,

JER 48:8 Removed trailing space in p~: wala hakuna mji utakaookoka.

JER 48:8 Removed trailing space in p~: Bonde litaangamizwa na uwanda utaharibiwa,

JER 48:8 Removed trailing space in p~: kwa sababu \nd Bwana\nd* amesema.

JER 48:9 Removed trailing space in v~: Wekeni chumvi kwa ajili ya Moabu,

JER 48:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ataangamizwa;

JER 48:9 Removed trailing space in p~: miji yake itakuwa ukiwa,

JER 48:9 Removed trailing space in p~: pasipo kuwa na mtu atakayeishi ndani yake.

JER 48:10 Removed trailing space in v~: “Alaaniwe yeye afanyaye kazi ya \nd Bwana\nd* kwa hila!

JER 48:10 Removed trailing space in p~: Alaaniwe yeye auzuiaye upanga wake usimwage damu!

JER 48:11 Removed trailing space in v~: “Moabu amestarehe tangu ujana wake,

JER 48:11 Removed trailing space in p~: kama divai iliyoachwa kwenye machujo yake,

JER 48:11 Removed trailing space in p~: haikumiminwa kutoka chombo kimoja hadi kingine,

JER 48:11 Removed trailing space in p~: hajaenda uhamishoni.

JER 48:11 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo ana ladha ile ile kama aliyokuwa nayo,

JER 48:11 Removed trailing space in p~: nayo harufu yake haijabadilika.

JER 48:12 Removed trailing space in v~: Lakini siku zinakuja,”

JER 48:12 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 48:12 Removed trailing space in p~: “nitakapotuma watu wamiminao kutoka kwenye magudulia,

JER 48:12 Removed trailing space in p~: nao watamimina;

JER 48:12 Removed trailing space in p~: wataacha magudulia yake yakiwa matupu

JER 48:12 Removed trailing space in p~: na kuvunja mitungi yake.

JER 48:13 Removed trailing space in v~: Kisha Moabu atamwonea aibu mungu wao Kemoshi,

JER 48:13 Removed trailing space in p~: kama vile nyumba ya Israeli walivyoona aibu

JER 48:13 Removed trailing space in p~: walipotegemea mungu wa Betheli.\f + \fr 48:13 \ft Betheli ina maana ya Nyumba ya Mungu; lakini pia ni mahali ambapo Mfalme Yeroboamu alisimamisha moja ya sanamu za ndama ili kuabudiwa; nyingine aliiweka huko Dani (\+xt 1Fal 12:29-33\+xt*).\f*

JER 48:13 Found unexpected backslash in footnote: 48:13 Betheli ina maana ya Nyumba ya Mungu; lakini pia ni mahali ambapo Mfalme Yeroboamu alisimamisha moja ya sanamu za ndama ili kuabudiwa; nyingine aliiweka huko Dani (\+xt 1Fal 12:29-33\+xt*).

JER 48:14 Removed trailing space in v~: “Mwawezaje kusema, ‘Sisi ni mashujaa,

JER 48:14 Removed trailing space in p~: watu jasiri katika vita’?

JER 48:15 Removed trailing space in v~: Moabu ataangamizwa na miji yake itavamiwa,

JER 48:15 Removed trailing space in p~: vijana wake waume walio bora sana watachinjwa,”

JER 48:15 Removed trailing space in p~: asema Mfalme, ambaye jina lake

JER 48:15 Removed trailing space in p~: ni \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote.

JER 48:16 Removed trailing space in v~: “Kuanguka kwa Moabu kumekaribia,

JER 48:16 Removed trailing space in p~: janga kubwa litamjia kwa haraka.

JER 48:17 Removed trailing space in v~: Ombolezeni kwa ajili yake, ninyi nyote mnaomzunguka,

JER 48:17 Removed trailing space in p~: ninyi nyote mnaojua sifa zake,

JER 48:17 Removed trailing space in p~: semeni, ‘Tazama jinsi ilivyovunjika fimbo ya kifalme yenye nguvu,

JER 48:17 Removed trailing space in p~: tazama jinsi ilivyovunjika fimbo iliyotukuka!’

JER 48:18 Removed trailing space in v~: “Shuka kutoka fahari yako

JER 48:18 Removed trailing space in p~: na uketi katika ardhi iliyokauka,

JER 48:18 Removed trailing space in p~: enyi wenyeji wa Binti wa Diboni,

JER 48:18 Removed trailing space in p~: kwa maana yeye aangamizaye Moabu atakuja dhidi yako,

JER 48:18 Removed trailing space in p~: na kuangamiza miji yako iliyozungushiwa maboma.

JER 48:19 Removed trailing space in v~: Simama kando ya barabara na utazame,

JER 48:19 Removed trailing space in p~: wewe unayeishi Aroeri.

JER 48:19 Removed trailing space in p~: Muulize mwanaume anayekimbia

JER 48:19 Removed trailing space in p~: na mwanamke anayetoroka,

JER 48:19 Removed trailing space in p~: waulize, ‘Kumetokea nini?’

JER 48:20 Removed trailing space in v~: Moabu amefedheheshwa, kwa kuwa amevunjavunjwa.

JER 48:20 Removed trailing space in p~: Lieni kwa huzuni na kupiga kelele!

JER 48:20 Removed trailing space in p~: Tangazeni kando ya Arnoni

JER 48:20 Removed trailing space in p~: kwamba Moabu ameangamizwa.

JER 48:21 Removed trailing space in v~: Hukumu imefika kwenye uwanda wa juu:

JER 48:21 Removed trailing space in p~: katika Holoni, Yahasa na Mefaathi,

JER 48:22 Removed trailing space in v~: katika Diboni, Nebo

JER 48:22 Removed trailing space in p~: na Beth-Diblathaimu,

JER 48:23 Removed trailing space in v~: katika Kiriathaimu, Beth-Gamuli

JER 48:23 Removed trailing space in p~: na Beth-Meoni,

JER 48:24 Removed trailing space in v~: katika Keriothi na Bosra;

JER 48:24 Removed trailing space in p~: kwa miji yote ya Moabu,

JER 48:24 Removed trailing space in p~: iliyoko mbali na karibu.

JER 48:25 Removed trailing space in v~: Pembe\f + \fr 48:25 \ft Pembe hapa ni ishara ya nguvu.\f* ya Moabu imekatwa,

JER 48:25 Removed trailing space in p~: mkono wake umevunjwa,”

JER 48:25 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 48:26 Removed trailing space in v~: “Mlevye,

JER 48:26 Removed trailing space in p~: kwa kuwa amemdharau \nd Bwana\nd*.

JER 48:26 Removed trailing space in p~: Moabu na agaegae katika matapishi yake,

JER 48:26 Removed trailing space in p~: yeye na awe kitu cha dhihaka.

JER 48:27 Removed trailing space in v~: Je, Israeli hakuwa kitu chako cha kudhihakiwa?

JER 48:27 Removed trailing space in p~: Je, alikamatwa miongoni mwa wezi,

JER 48:27 Removed trailing space in p~: kiasi cha kutikisa kichwa chako kwa dharau

JER 48:27 Removed trailing space in p~: kila mara unapozungumza juu yake?

JER 48:28 Removed trailing space in v~: Ondokeni kwenye miji yenu, mkaishi katikati ya miamba,

JER 48:28 Removed trailing space in p~: enyi mnaoishi Moabu.

JER 48:28 Removed trailing space in p~: Kuweni kama huwa ambaye hutengeneza kiota chake

JER 48:28 Removed trailing space in p~: kwenye mdomo wa pango.

JER 48:29 Removed trailing space in v~: “Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu:

JER 48:29 Removed trailing space in p~: kutakabari kwake kwa kiburi na majivuno,

JER 48:29 Removed trailing space in p~: kiburi chake na ufidhuli wake,

JER 48:29 Removed trailing space in p~: na kujivuna kwa moyo wake.

JER 48:30 Removed trailing space in v~: Ninaujua ujeuri wake, lakini ni bure,”

JER 48:30 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 48:30 Removed trailing space in p~: “nako kujisifu kwake hakumsaidii chochote.

JER 48:31 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo namlilia Moabu,

JER 48:31 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya Moabu yote ninalia,

JER 48:31 Removed trailing space in p~: ninaomboleza kwa ajili

JER 48:31 Removed trailing space in p~: ya watu wa Kir-Haresethi.

JER 48:32 Removed trailing space in v~: Ninalia machozi kwa ajili yenu, kama Yazeri aliavyo,

JER 48:32 Removed trailing space in p~: enyi mizabibu ya Sibma.

JER 48:32 Removed trailing space in p~: Matawi yako yameenea hadi baharini;

JER 48:32 Removed trailing space in p~: yamefika hadi bahari ya Yazeri.

JER 48:32 Removed trailing space in p~: Mharabu ameyaangukia matunda yako yaliyoiva

JER 48:32 Removed trailing space in p~: na mizabibu yako iliyoiva.

JER 48:33 Removed trailing space in v~: Shangwe na furaha vimetoweka

JER 48:33 Removed trailing space in p~: kutoka bustani na mashamba ya Moabu.

JER 48:33 Removed trailing space in p~: Nimekomesha kutiririka kwa divai kutoka mashinikizo;

JER 48:33 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja ayakanyagaye kwa kelele za shangwe.

JER 48:33 Removed trailing space in p~: Ingawa kuna kelele,

JER 48:33 Removed trailing space in p~: sio kelele za shangwe.

JER 48:34 Removed trailing space in v~: “Sauti ya kilio chao inapanda

JER 48:34 Removed trailing space in p~: kutoka Heshboni hadi Eleale na Yahazi,

JER 48:34 Removed trailing space in p~: kutoka Soari hadi Horonaimu na Eglath-Shelishiya,

JER 48:34 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hata maji ya Nimrimu yamekauka.

JER 48:35 Removed trailing space in v~: Nitakomesha wale wote katika Moabu

JER 48:35 Removed trailing space in p~: watoao sadaka mahali pa juu,

JER 48:35 Removed trailing space in p~: na kufukiza uvumba kwa miungu yao,”

JER 48:35 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 48:36 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo moyo wangu unaomboleza kwa ajili ya Moabu kama filimbi;

JER 48:36 Removed trailing space in p~: unaomboleza kama filimbi kwa ajili ya watu wa Kir-Haresethi.

JER 48:36 Removed trailing space in p~: Utajiri waliojipatia umetoweka.

JER 48:37 Removed trailing space in v~: Kila kichwa kimenyolewa

JER 48:37 Removed trailing space in p~: na kila mwenye ndevu zimekatwa;

JER 48:37 Removed trailing space in p~: kila mkono umekatwa

JER 48:37 Removed trailing space in p~: na kila kiuno kimefunikwa kwa nguo ya gunia.

JER 48:38 Removed trailing space in v~: Juu ya mapaa yote katika Moabu

JER 48:38 Removed trailing space in p~: na katika viwanja

JER 48:38 Removed trailing space in p~: hakuna kitu chochote isipokuwa maombolezo,

JER 48:38 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimemvunja Moabu

JER 48:38 Removed trailing space in p~: kama gudulia ambalo hakuna mtu yeyote anayelitaka,”

JER 48:38 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 48:39 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi alivyovunjikavunjika!

JER 48:39 Removed trailing space in p~: Jinsi wanavyolia kwa huzuni!

JER 48:39 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi Moabu anavyogeuka kwa aibu!

JER 48:39 Removed trailing space in p~: Moabu amekuwa kitu cha kudhihakiwa,

JER 48:39 Removed trailing space in p~: kitu cha kutisha kwa wale wote

JER 48:39 Removed trailing space in p~: wanaomzunguka.”

JER 48:40 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 48:40 Removed trailing space in p~: “Tazama! Tai anashuka chini,

JER 48:40 Removed trailing space in p~: akitanda mabawa yake juu ya Moabu.

JER 48:41 Removed trailing space in v~: Miji itatekwa na ngome zake

JER 48:41 Removed trailing space in p~: zitatwaliwa.

JER 48:41 Removed trailing space in p~: Katika siku hiyo, mioyo ya mashujaa wa Moabu

JER 48:41 Removed trailing space in p~: itakuwa kama moyo wa mwanamke katika utungu wa kuzaa.

JER 48:42 Removed trailing space in v~: Moabu ataangamizwa kama taifa

JER 48:42 Removed trailing space in p~: kwa sababu amemdharau \nd Bwana\nd*.

JER 48:43 Removed trailing space in v~: Hofu kuu, shimo na mtego vinawangojea,

JER 48:43 Removed trailing space in p~: enyi watu wa Moabu,”

JER 48:43 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 48:44 Removed trailing space in v~: “Yeyote atakayeikimbia hiyo hofu kuu

JER 48:44 Removed trailing space in p~: ataanguka ndani ya shimo,

JER 48:44 Removed trailing space in p~: yeyote atakayepanda kutoka shimoni,

JER 48:44 Removed trailing space in p~: atanaswa katika mtego,

JER 48:44 Removed trailing space in p~: kwa sababu nitaletea Moabu

JER 48:44 Removed trailing space in p~: mwaka wa adhabu yake,”

JER 48:44 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 48:45 Removed trailing space in v~: “Katika kivuli cha Heshboni,

JER 48:45 Removed trailing space in p~: wakimbizi wamesimama pasipo msaada,

JER 48:45 Removed trailing space in p~: kwa kuwa moto umezimika huko Heshboni,

JER 48:45 Removed trailing space in p~: mwali wa moto kutoka katikati ya Sihoni;

JER 48:45 Removed trailing space in p~: unaunguza vipaji vya nyuso za Moabu,

JER 48:45 Removed trailing space in p~: mafuvu yao wenye kujivuna kwa kelele.

JER 48:46 Removed trailing space in v~: Ole wako, ee Moabu!

JER 48:46 Removed trailing space in p~: Watu wa Kemoshi wameangamizwa;

JER 48:46 Removed trailing space in p~: wana wako wamepelekwa uhamishoni

JER 48:46 Removed trailing space in p~: na binti zako wamechukuliwa mateka.

JER 48:47 Removed trailing space in v~: “Lakini nitarudisha mateka wa Moabu,

JER 48:47 Removed trailing space in p~: katika siku zijazo,”

JER 48:47 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 48:47 Removed trailing space in p~: Huu ndio mwisho wa hukumu juu ya Moabu.

JER 49:0 Extra space after chapter number

JER 49:0 Removed trailing space in c: 49

JER 49:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Amoni

JER 49:1 Removed trailing space in v~: Kuhusu Waamoni:

JER 49:1 Removed trailing space in p~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 49:1 Removed trailing space in p~: “Je, Israeli hana wana?

JER 49:1 Removed trailing space in p~: Je, hana warithi?

JER 49:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini basi Moleki amechukua milki ya Gadi?

JER 49:1 Removed trailing space in p~: Kwa nini watu wake wanaishi katika miji yake?

JER 49:2 Removed trailing space in v~: Lakini siku zinakuja,”

JER 49:2 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 49:2 Removed trailing space in p~: “nitakapopiga kelele ya vita

JER 49:2 Removed trailing space in p~: dhidi ya Raba mji wa Waamoni;

JER 49:2 Removed trailing space in p~: utakuwa kilima cha magofu,

JER 49:2 Removed trailing space in p~: navyo vijiji vinavyouzunguka

JER 49:2 Removed trailing space in p~: vitateketezwa kwa moto.

JER 49:2 Removed trailing space in p~: Kisha Israeli atawafukuza

JER 49:2 Removed trailing space in p~: wale waliomfukuza,”

JER 49:2 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:3 Removed trailing space in v~: “Lia kwa huzuni, ee Heshboni, kwa kuwa Ai umeangamizwa!

JER 49:3 Removed trailing space in p~: Pigeni kelele, enyi wakazi wa Raba!

JER 49:3 Removed trailing space in p~: Vaeni nguo za gunia na kuomboleza,

JER 49:3 Removed trailing space in p~: kimbieni hapa na pale ndani ya kuta,

JER 49:3 Removed trailing space in p~: kwa kuwa Moleki atakwenda uhamishoni,

JER 49:3 Removed trailing space in p~: yeye pamoja na makuhani na maafisa wake.

JER 49:4 Removed trailing space in v~: Kwa nini unajivunia mabonde yako,

JER 49:4 Removed trailing space in p~: kujivunia mabonde yako yaliyozaa sana?

JER 49:4 Removed trailing space in p~: Ee binti usiye mwaminifu, unayeutumainia utajiri wako na kusema,

JER 49:4 Removed trailing space in p~: ‘Ni nani atakayenishambulia?’

JER 49:5 Removed trailing space in v~: Nitaleta hofu kuu juu yako

JER 49:5 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wale wote wanaokuzunguka,”

JER 49:5 Removed trailing space in p~: asema Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

JER 49:5 Removed trailing space in p~: “Kila mmoja wenu ataondolewa,

JER 49:5 Removed trailing space in p~: wala hakuna hata mmoja atakayekusanya wakimbizi.

JER 49:6 Removed trailing space in v~: “Lakini hatimaye,

JER 49:6 Removed trailing space in p~: nitarudisha mateka wa Waamoni,”

JER 49:6 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:6 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Edomu

JER 49:7 Removed trailing space in v~: Kuhusu Edomu:

JER 49:7 Removed trailing space in p~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 49:7 Removed trailing space in p~: “Je, hakuna tena hekima katika Temani?

JER 49:7 Removed trailing space in p~: Je, shauri limewapotea wenye busara?

JER 49:7 Removed trailing space in p~: Je, hekima yao imechakaa?

JER 49:8 Removed trailing space in v~: Geuka na ukimbie, jifiche katika mapango marefu kabisa,

JER 49:8 Removed trailing space in p~: wewe uishiye Dedani,

JER 49:8 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nitaleta maafa juu ya Esau

JER 49:8 Removed trailing space in p~: wakati nitakapomwadhibu.

JER 49:9 Removed trailing space in v~: Je, kama wachuma zabibu wangekuja kwako,

JER 49:9 Removed trailing space in p~: wasingebakiza zabibu chache?

JER 49:9 Removed trailing space in p~: Kama wezi wangekujia usiku,

JER 49:9 Removed trailing space in p~: je, si wangeiba tu kiasi ambacho wangehitaji?

JER 49:10 Removed trailing space in v~: Lakini nitamvua Esau nguo abaki uchi,

JER 49:10 Removed trailing space in p~: nitayafunua maficho yake,

JER 49:10 Removed trailing space in p~: ili asiweze kujificha.

JER 49:10 Removed trailing space in p~: Watoto wake, jamaa na majirani wataangamia,

JER 49:10 Removed trailing space in p~: naye hatakuwepo tena.

JER 49:11 Removed trailing space in v~: Waache yatima wako; nitayalinda maisha yao.

JER 49:11 Removed trailing space in p~: Wajane wako pia

JER 49:11 Removed trailing space in p~: wanaweza kunitumaini mimi.”

JER 49:12 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*: “Kama wale wasiostahili kukinywea kikombe ni lazima wakinywe, kwa nini wewe usiadhibiwe? Hutakwepa kuadhibiwa, ni lazima ukinywe.

JER 49:13 Removed trailing space in v~: Ninaapa kwa nafsi yangu,” asema \nd Bwana\nd*, “kwamba Bosra utakuwa magofu na kitu cha kutisha, cha aibu na cha kulaania; miji yake yote itakuwa magofu milele.”

JER 49:14 Removed trailing space in v~: Nimesikia ujumbe kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

JER 49:14 Removed trailing space in p~: Mjumbe alitumwa kwa mataifa kusema,

JER 49:14 Removed trailing space in p~: “Jikusanyeni ili kuushambulia!

JER 49:14 Removed trailing space in p~: Inukeni kwa ajili ya vita!”

JER 49:15 Removed trailing space in v~: “Sasa nitakufanya uwe mdogo miongoni mwa mataifa,

JER 49:15 Removed trailing space in p~: aliyedharauliwa miongoni mwa watu.

JER 49:16 Removed trailing space in v~: Vitisho vyako na kiburi cha moyo wako

JER 49:16 Removed trailing space in p~: vimekudanganya,

JER 49:16 Removed trailing space in p~: wewe unayeishi katika majabali ya miamba,

JER 49:16 Removed trailing space in p~: wewe unayedumu katika miinuko ya kilima.

JER 49:16 Removed trailing space in p~: Ujapojenga kiota chako juu sana kama cha tai,

JER 49:16 Removed trailing space in p~: nitakushusha chini kutoka huko,”

JER 49:16 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:17 Removed trailing space in v~: “Edomu atakuwa kitu cha kuogofya;

JER 49:17 Removed trailing space in p~: wote wapitao karibu

JER 49:17 Removed trailing space in p~: watashangaa na kuzomea

JER 49:17 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya majeraha yake yote.

JER 49:18 Removed trailing space in v~: Kama vile Sodoma na Gomora zilivyoangamizwa,

JER 49:18 Removed trailing space in p~: pamoja na miji iliyokuwa jirani nayo,”

JER 49:18 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 49:18 Removed trailing space in p~: “vivyo hivyo hakuna mtu yeyote atakayeishi humo.

JER 49:18 Removed trailing space in p~: Naam, hakuna mtu yeyote atakayekaa humo.

JER 49:19 Removed trailing space in v~: “Kama simba anayepanda kutoka vichaka vya Yordani

JER 49:19 Removed trailing space in p~: kuja kwenye nchi ya malisho mengi,

JER 49:19 Removed trailing space in p~: ndivyo nitamfukuza Edomu kutoka nchi yake ghafula.

JER 49:19 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye mteule nitakayemweka kwa ajili ya jambo hili?

JER 49:19 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye kama mimi,

JER 49:19 Removed trailing space in p~: na ni nani awezaye kunipinga?

JER 49:19 Removed trailing space in p~: Tena ni mchungaji yupi awezaye

JER 49:19 Removed trailing space in p~: kusimama kinyume nami?”

JER 49:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, sikia kile \nd Bwana\nd* alichokipanga dhidi ya Edomu,

JER 49:20 Removed trailing space in p~: kile alichokusudia dhidi ya wale waishio Temani:

JER 49:20 Removed trailing space in p~: Aliye mchanga katika kundi ataburutwa mbali;

JER 49:20 Removed trailing space in p~: yeye ataharibu kabisa malisho yao kwa sababu yao.

JER 49:21 Removed trailing space in v~: Kwa sauti ya anguko lao, dunia itatetemeka.

JER 49:21 Removed trailing space in p~: Kilio chao kitasikika hadi Bahari ya Shamu.\f + \fr 49:21 \ft Kwa Kiebrania ni Bahari ya Mafunjo.\f*

JER 49:22 Removed trailing space in v~: Tazama! Tai atapaa juu angani na kuruka chini kwa ghafula,

JER 49:22 Removed trailing space in p~: akitandaza mabawa yake juu ya Bosra.

JER 49:22 Removed trailing space in p~: Katika siku hiyo, mioyo ya mashujaa wa Edomu

JER 49:22 Removed trailing space in p~: itakuwa kama moyo wa mwanamke katika utungu wa kuzaa.

JER 49:22 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Dameski

JER 49:23 Removed trailing space in v~: Kuhusu Dameski:

JER 49:23 Removed trailing space in p~: “Hamathi na Arpadi imetahayarika,

JER 49:23 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wamesikia habari mbaya.

JER 49:23 Removed trailing space in p~: Wamevunjika moyo na wametaabika

JER 49:23 Removed trailing space in p~: kama bahari iliyochafuka.

JER 49:24 Removed trailing space in v~: Dameski amedhoofika,

JER 49:24 Removed trailing space in p~: amegeuka na kukimbia,

JER 49:24 Removed trailing space in p~: hofu ya ghafula imemkamata sana;

JER 49:24 Removed trailing space in p~: amepatwa na uchungu na maumivu,

JER 49:24 Removed trailing space in p~: maumivu kama ya mwanamke katika utungu wa kuzaa.

JER 49:25 Removed trailing space in v~: Kwa nini mji ambao unajulikana haujaachwa,

JER 49:25 Removed trailing space in p~: mji ambao ninaupenda?

JER 49:26 Removed trailing space in v~: Hakika, vijana wake wanaume wataanguka barabarani;

JER 49:26 Removed trailing space in p~: askari wake wote watanyamazishwa siku hiyo,”

JER 49:26 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

JER 49:27 Removed trailing space in v~: “Nitatia moto kuta za Dameski;

JER 49:27 Removed trailing space in p~: utaangamiza ngome za Ben-Hadadi.”

JER 49:27 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Kedari Na Hazori

JER 49:28 Removed trailing space in v~: Kuhusu Kedari na falme za Hazori, ambazo Nebukadneza mfalme wa Babeli alizishambulia:

JER 49:28 Removed trailing space in p~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 49:28 Removed trailing space in p~: “Inuka, ushambulie Kedari

JER 49:28 Removed trailing space in p~: na kuwaangamiza watu wa mashariki.

JER 49:29 Removed trailing space in v~: Hema zao na makundi yao ya kondoo yatachukuliwa;

JER 49:29 Removed trailing space in p~: vibanda vyao vitatwaliwa

JER 49:29 Removed trailing space in p~: pamoja na mali zao zote na ngamia zao.

JER 49:29 Removed trailing space in p~: Watu watawapigia kelele,

JER 49:29 Removed trailing space in p~: ‘Hofu kuu iko kila upande!’

JER 49:30 Removed trailing space in v~: “Kimbieni haraka!

JER 49:30 Removed trailing space in p~: Kaeni kwenye mapango marefu sana, ninyi mkaao Hazori,”

JER 49:30 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:30 Removed trailing space in p~: “Nebukadneza, mfalme wa Babeli amepanga shauri baya dhidi yenu;

JER 49:30 Removed trailing space in p~: amebuni hila dhidi yenu.

JER 49:31 Removed trailing space in v~: “Inuka na ulishambulie taifa lililo starehe,

JER 49:31 Removed trailing space in p~: linaloishi kwa kujiamini,”

JER 49:31 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 49:31 Removed trailing space in p~: “taifa lisilo na malango wala makomeo;

JER 49:31 Removed trailing space in p~: watu wake huishi peke yao.

JER 49:32 Removed trailing space in v~: Ngamia wao watakuwa nyara,

JER 49:32 Removed trailing space in p~: nayo makundi yao makubwa ya ngʼombe yatatekwa.

JER 49:32 Removed trailing space in p~: Wale walio maeneo ya mbali

JER 49:32 Removed trailing space in p~: nitawatawanya pande zote,

JER 49:32 Removed trailing space in p~: nami nitaleta maafa juu yao

JER 49:32 Removed trailing space in p~: kutoka kila upande,”

JER 49:32 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:33 Removed trailing space in v~: “Hazori itakuwa makao ya mbweha,

JER 49:33 Removed trailing space in p~: mahali pa ukiwa milele.

JER 49:33 Removed trailing space in p~: Hakuna yeyote atakayeishi humo;

JER 49:33 Removed trailing space in p~: hakuna mtu atakayekaa ndani yake.”

JER 49:33 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Elamu

JER 49:34 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno la \nd Bwana\nd* lililomjia nabii Yeremia kuhusu Elamu, mapema katika utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda:

JER 49:35 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo:

JER 49:35 Removed trailing space in p~: “Tazama, nitavunja upinde wa Elamu,

JER 49:35 Removed trailing space in p~: ulio tegemeo la nguvu zao.

JER 49:36 Removed trailing space in v~: Nitaleta pepo nne dhidi ya Elamu

JER 49:36 Removed trailing space in p~: toka pande nne za mbingu,

JER 49:36 Removed trailing space in p~: nitawatawanya katika hizo pande nne,

JER 49:36 Removed trailing space in p~: wala hapatakuwa na taifa

JER 49:36 Removed trailing space in p~: ambalo watu wa Elamu waliofukuzwa

JER 49:36 Removed trailing space in p~: hawatakwenda.

JER 49:37 Removed trailing space in v~: Nitamfadhaisha Elamu mbele ya adui zao,

JER 49:37 Removed trailing space in p~: mbele yao wale wanaotafuta uhai wao;

JER 49:37 Removed trailing space in p~: nitaleta maafa juu yao,

JER 49:37 Removed trailing space in p~: naam, hasira yangu kali,”

JER 49:37 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:37 Removed trailing space in p~: “Nitawafuatia kwa upanga

JER 49:37 Removed trailing space in p~: mpaka nitakapowamaliza.

JER 49:38 Removed trailing space in v~: Nitaweka kiti changu cha enzi huko Elamu

JER 49:38 Removed trailing space in p~: na kumwangamiza mfalme wake na maafisa wake,”

JER 49:38 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 49:39 Removed trailing space in v~: “Lakini nitarudisha mateka wa Elamu

JER 49:39 Removed trailing space in p~: katika siku zijazo,”

JER 49:39 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 50:0 Extra space after chapter number

JER 50:0 Removed trailing space in c: 50

JER 50:0 Removed trailing space in s1: Ujumbe Kuhusu Babeli

JER 50:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno alilosema \nd Bwana\nd* kupitia nabii Yeremia kuhusu Babeli na nchi ya Wakaldayo:

JER 50:2 Removed trailing space in v~: “Tangazeni na mhubiri katikati ya mataifa,

JER 50:2 Removed trailing space in p~: twekeni bendera na mkahubiri;

JER 50:2 Removed trailing space in p~: msiache kitu chochote, bali semeni,

JER 50:2 Removed trailing space in p~: ‘Babeli utatekwa;

JER 50:2 Removed trailing space in p~: Beli ataaibishwa,

JER 50:2 Removed trailing space in p~: Merodaki atajazwa na hofu kuu.

JER 50:2 Removed trailing space in p~: Sanamu zake zitaaibishwa

JER 50:2 Removed trailing space in p~: na vinyago vyake vitajazwa hofu kuu.’

JER 50:3 Removed trailing space in v~: Taifa kutoka kaskazini litamshambulia,

JER 50:3 Removed trailing space in p~: na kuifanya nchi yake ukiwa.

JER 50:3 Removed trailing space in p~: Hakuna hata mmoja atakayeishi ndani yake,

JER 50:3 Removed trailing space in p~: watu na wanyama wataikimbia.

JER 50:4 Removed trailing space in v~: “Katika siku hizo, wakati huo,”

JER 50:4 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 50:4 Removed trailing space in p~: “watu wa Israeli pamoja na watu wa Yuda

JER 50:4 Removed trailing space in p~: wataenda wakilia ili kumtafuta \nd Bwana\nd* Mungu wao.

JER 50:5 Removed trailing space in v~: Wataiuliza njia iendayo Sayuni

JER 50:5 Removed trailing space in p~: na kuelekeza nyuso zao huko.

JER 50:5 Removed trailing space in p~: Watakuja na kuambatana na \nd Bwana\nd*

JER 50:5 Removed trailing space in p~: katika agano la milele

JER 50:5 Removed trailing space in p~: ambalo halitasahaulika.

JER 50:6 Removed trailing space in v~: “Watu wangu wamekuwa kondoo waliopotea;

JER 50:6 Removed trailing space in p~: wachungaji wao wamewapotosha

JER 50:6 Removed trailing space in p~: na kuwasababisha kuzurura

JER 50:6 Removed trailing space in p~: juu ya milima.

JER 50:6 Removed trailing space in p~: Walitangatanga juu ya mlima na kilima,

JER 50:6 Removed trailing space in p~: na kusahau mahali pao wenyewe pa kupumzikia.

JER 50:7 Removed trailing space in v~: Yeyote aliyewakuta aliwala;

JER 50:7 Removed trailing space in p~: adui zao walisema, ‘Sisi hatuna hatia,

JER 50:7 Removed trailing space in p~: kwa kuwa wao walitenda dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd*, malisho yao halisi,

JER 50:7 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd*, aliye tumaini la baba zao.’

JER 50:8 Removed trailing space in v~: “Kimbieni kutoka Babeli;

JER 50:8 Removed trailing space in p~: ondokeni katika nchi ya Wakaldayo

JER 50:8 Removed trailing space in p~: tena kuweni kama mbuzi wale waongozao kundi.

JER 50:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana nitaamsha na kuleta dhidi ya Babeli

JER 50:9 Removed trailing space in p~: muungano wa mataifa makubwa kutoka nchi ya kaskazini.

JER 50:9 Removed trailing space in p~: Watashika nafasi zao dhidi yake,

JER 50:9 Removed trailing space in p~: naye kutokea kaskazini atatekwa.

JER 50:9 Removed trailing space in p~: Mishale yao itakuwa kama mishale ya mashujaa walio hodari,

JER 50:9 Removed trailing space in p~: ambao hawawezi kurudi mikono mitupu.

JER 50:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Ukaldayo utatekwa nyara;

JER 50:10 Removed trailing space in p~: wote wamtekao nyara watapata za kutosha,”

JER 50:10 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 50:11 Removed trailing space in v~: “Kwa sababu hushangilia na kufurahi,

JER 50:11 Removed trailing space in p~: wewe utekaye urithi wangu,

JER 50:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu unachezacheza kama mtamba anayepura nafaka,

JER 50:11 Removed trailing space in p~: na kulia kama farasi dume,

JER 50:12 Removed trailing space in v~: mama yako ataaibika mno,

JER 50:12 Removed trailing space in p~: yeye aliyekuzaa atatahayari.

JER 50:12 Removed trailing space in p~: Atakuwa mdogo kuliko mataifa mengine yote,

JER 50:12 Removed trailing space in p~: atakuwa nyika, nchi kame na jangwa.

JER 50:13 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya hasira ya \nd Bwana\nd* hatakaliwa na mtu,

JER 50:13 Removed trailing space in p~: lakini ataachwa ukiwa kabisa.

JER 50:13 Removed trailing space in p~: Wote watakaopita Babeli watatiwa hofu na kudhihaki

JER 50:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya majeraha yake yote.

JER 50:14 Removed trailing space in v~: “Shikeni nafasi zenu kuzunguka Babeli,

JER 50:14 Removed trailing space in p~: enyi nyote mvutao upinde.

JER 50:14 Removed trailing space in p~: Mpigeni! Msibakize mshale wowote,

JER 50:14 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ametenda dhambi dhidi ya \nd Bwana\nd*.

JER 50:15 Removed trailing space in v~: Piga kelele dhidi yake kila upande!

JER 50:15 Removed trailing space in p~: Anajisalimisha, minara yake inaanguka,

JER 50:15 Removed trailing space in p~: kuta zake zimebomoka.

JER 50:15 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa hiki ni kisasi cha \nd Bwana\nd*,

JER 50:15 Removed trailing space in p~: mlipizeni kisasi;

JER 50:15 Removed trailing space in p~: mtendeeni kama alivyowatendea wengine.

JER 50:16 Removed trailing space in v~: Katilieni mbali mpanzi kutoka Babeli,

JER 50:16 Removed trailing space in p~: pamoja na mvunaji na mundu wake akivuna.

JER 50:16 Removed trailing space in p~: Kwa sababu ya upanga wa mdhalimu

JER 50:16 Removed trailing space in p~: kila mmoja na arejee kwa watu wake mwenyewe,

JER 50:16 Removed trailing space in p~: kila mmoja na akimbilie

JER 50:16 Removed trailing space in p~: kwenye nchi yake mwenyewe.

JER 50:17 Removed trailing space in v~: “Israeli ni kundi lililotawanyika

JER 50:17 Removed trailing space in p~: ambalo simba wamelifukuzia mbali.

JER 50:17 Removed trailing space in p~: Wa kwanza kumla alikuwa mfalme wa Ashuru,

JER 50:17 Removed trailing space in p~: wa mwisho kuponda mifupa yake

JER 50:17 Removed trailing space in p~: alikuwa Nebukadneza mfalme wa Babeli.”

JER 50:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo:

JER 50:18 Removed trailing space in p~: “Nitamwadhibu mfalme wa Babeli na nchi yake

JER 50:18 Removed trailing space in p~: kama nilivyomwadhibu mfalme wa Ashuru.

JER 50:19 Removed trailing space in v~: Lakini nitamrudisha Israeli katika malisho yake mwenyewe

JER 50:19 Removed trailing space in p~: naye atalisha huko Karmeli na Bashani;

JER 50:19 Removed trailing space in p~: njaa yake itashibishwa

JER 50:19 Removed trailing space in p~: juu ya vilima vya Efraimu na Gileadi.

JER 50:20 Removed trailing space in v~: Katika siku hizo, wakati huo,”

JER 50:20 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 50:20 Removed trailing space in p~: “uchunguzi utafanyika kwa ajili ya kosa la Israeli,

JER 50:20 Removed trailing space in p~: lakini halitakuwepo,

JER 50:20 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya dhambi za Yuda,

JER 50:20 Removed trailing space in p~: lakini haitapatikana hata moja,

JER 50:20 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nitawasamehe

JER 50:20 Removed trailing space in p~: mabaki nitakaowaacha.

JER 50:21 Removed trailing space in v~: “Shambulieni nchi ya Merathaimu

JER 50:21 Removed trailing space in p~: na wale waishio huko Pekodi.

JER 50:21 Removed trailing space in p~: Wafuatieni, waueni

JER 50:21 Removed trailing space in p~: na kuwaangamiza kabisa,”

JER 50:21 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 50:21 Removed trailing space in p~: “Fanyeni kila kitu nilichowaamuru.

JER 50:22 Removed trailing space in v~: Kelele ya vita iko ndani ya nchi,

JER 50:22 Removed trailing space in p~: kelele ya maangamizi makuu!

JER 50:23 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi nyundo ya dunia yote

JER 50:23 Removed trailing space in p~: ilivyovunjika na kuharibika!

JER 50:23 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi Babeli ilivyokuwa ukiwa

JER 50:23 Removed trailing space in p~: miongoni mwa mataifa!

JER 50:24 Removed trailing space in v~: Nimetega mtego kwa ajili yako, ee Babeli,

JER 50:24 Removed trailing space in p~: nawe ukakamatwa kabla haujafahamu;

JER 50:24 Removed trailing space in p~: ulipatikana na ukakamatwa

JER 50:24 Removed trailing space in p~: kwa sababu ulimpinga \nd Bwana\nd*.

JER 50:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amefungua ghala lake la silaha

JER 50:25 Removed trailing space in p~: na kuzitoa silaha za ghadhabu yake,

JER 50:25 Removed trailing space in p~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mwenyezi Mwenye Nguvu Zote

JER 50:25 Removed trailing space in p~: anayo kazi ya kufanya

JER 50:25 Removed trailing space in p~: katika nchi ya Wakaldayo.

JER 50:26 Removed trailing space in v~: Njooni dhidi yake kutoka mbali.

JER 50:26 Removed trailing space in p~: Zifungueni ghala zake za nafaka;

JER 50:26 Removed trailing space in p~: mlundikeni kama lundo la nafaka.

JER 50:26 Removed trailing space in p~: Mwangamizeni kabisa

JER 50:26 Removed trailing space in p~: na msimwachie mabaki yoyote.

JER 50:27 Removed trailing space in v~: Waueni mafahali wake wachanga wote;

JER 50:27 Removed trailing space in p~: waacheni washuke machinjoni!

JER 50:27 Removed trailing space in p~: Ole wao! Kwa kuwa siku yao imewadia,

JER 50:27 Removed trailing space in p~: wakati wao wa kuadhibiwa.

JER 50:28 Removed trailing space in v~: Wasikilizeni watoro na wakimbizi kutoka Babeli

JER 50:28 Removed trailing space in p~: wakitangaza katika Sayuni

JER 50:28 Removed trailing space in p~: jinsi \nd Bwana\nd*, Mungu wetu alivyolipiza kisasi,

JER 50:28 Removed trailing space in p~: kisasi kwa ajili ya Hekalu lake.

JER 50:29 Removed trailing space in v~: “Waiteni wapiga mishale dhidi ya Babeli,

JER 50:29 Removed trailing space in p~: wote wale wavutao upinde.

JER 50:29 Removed trailing space in p~: Pigeni kambi kumzunguka kabisa,

JER 50:29 Removed trailing space in p~: asitoroke mtu yeyote.

JER 50:29 Removed trailing space in p~: Mlipizeni kwa matendo yake;

JER 50:29 Removed trailing space in p~: mtendeeni kama alivyotenda.

JER 50:29 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa alimdharau \nd Bwana\nd*,

JER 50:29 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

JER 50:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, vijana wake wanaume wataanguka barabarani;

JER 50:30 Removed trailing space in p~: askari wake wote watanyamazishwa siku ile,”

JER 50:30 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 50:31 Removed trailing space in v~: “Tazama, niko kinyume nawe, ewe mwenye majivuno,”

JER 50:31 Removed trailing space in p~: asema Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 50:31 Removed trailing space in p~: “kwa kuwa siku yako imewadia,

JER 50:31 Removed trailing space in p~: yaani, wakati wako wa kuadhibiwa.

JER 50:32 Removed trailing space in v~: Mwenye majivuno atajikwaa na kuanguka,

JER 50:32 Removed trailing space in p~: wala hakuna yeyote atakayemuinua;

JER 50:32 Removed trailing space in p~: nitawasha moto katika miji yake,

JER 50:32 Removed trailing space in p~: utakaowateketeza wote wanaomzunguka.”

JER 50:33 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote:

JER 50:33 Removed trailing space in p~: “Watu wa Israeli wameonewa,

JER 50:33 Removed trailing space in p~: nao watu wa Yuda pia.

JER 50:33 Removed trailing space in p~: Wote waliowateka wamewashikilia sana,

JER 50:33 Removed trailing space in p~: wanakataa kuwaachia waende.

JER 50:34 Removed trailing space in v~: Lakini Mkombozi wao ana nguvu;

JER 50:34 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.

JER 50:34 Removed trailing space in p~: Atatetea kwa nguvu shauri lao

JER 50:34 Removed trailing space in p~: ili alete raha katika nchi yao,

JER 50:34 Removed trailing space in p~: lakini ataleta msukosuko

JER 50:34 Removed trailing space in p~: kwa wale waishio Babeli.

JER 50:35 Removed trailing space in v~: “Upanga dhidi ya Wakaldayo!”

JER 50:35 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 50:35 Removed trailing space in p~: “dhidi ya wale waishio Babeli

JER 50:35 Removed trailing space in p~: na dhidi ya maafisa wake na watu wenye busara!

JER 50:36 Removed trailing space in v~: Upanga dhidi ya manabii wake wa uongo!

JER 50:36 Removed trailing space in p~: Watakuwa wapumbavu.

JER 50:36 Removed trailing space in p~: Upanga dhidi ya mashujaa wake!

JER 50:36 Removed trailing space in p~: Watajazwa na hofu kuu

JER 50:37 Removed trailing space in v~: Upanga dhidi ya farasi na magari yake ya vita

JER 50:37 Removed trailing space in p~: pamoja na askari wake wote wa kigeni katika safu zake!

JER 50:37 Removed trailing space in p~: Wao watakuwa kama wanawake.

JER 50:37 Removed trailing space in p~: Upanga dhidi ya hazina zake!

JER 50:37 Removed trailing space in p~: Hizo zitatekwa nyara.

JER 50:38 Removed trailing space in v~: Ukame juu ya maji yake!

JER 50:38 Removed trailing space in p~: Nayo yatakauka.

JER 50:38 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa ni nchi ya sanamu,

JER 50:38 Removed trailing space in p~: wao wanaenda wazimu kwa ajili ya sanamu.

JER 50:39 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, viumbe vya jangwani na fisi wataishi humo,

JER 50:39 Removed trailing space in p~: nao bundi watakaa humo.

JER 50:39 Removed trailing space in p~: Kamwe haitakaliwa tena

JER 50:39 Removed trailing space in p~: wala watu hawataishi humo kutoka kizazi hadi kizazi.

JER 50:40 Removed trailing space in v~: Kama vile Mungu alivyoangamiza Sodoma na Gomora

JER 50:40 Removed trailing space in p~: pamoja na miji iliyokuwa jirani nayo,”

JER 50:40 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

JER 50:40 Removed trailing space in p~: “vivyo hivyo hakuna mtu yeyote

JER 50:40 Removed trailing space in p~: atakayeishi humo.

JER 50:40 Removed trailing space in p~: Naam, hakuna mtu yeyote

JER 50:40 Removed trailing space in p~: atakayekaa humo.

JER 50:41 Removed trailing space in v~: “Tazama! Jeshi linakuja kutoka kaskazini;

JER 50:41 Removed trailing space in p~: taifa kubwa na wafalme wengi

JER 50:41 Removed trailing space in p~: wanaamshwa kutoka miisho ya dunia.

JER 50:42 Removed trailing space in v~: Wamejifunga pinde na mikuki;

JER 50:42 Removed trailing space in p~: ni wakatili na wasio na huruma.

JER 50:42 Removed trailing space in p~: Wanatoa sauti kama bahari inayonguruma

JER 50:42 Removed trailing space in p~: wanapoendesha farasi zao;

JER 50:42 Removed trailing space in p~: wanakuja kama watu waliojipanga tayari kwa vita

JER 50:42 Removed trailing space in p~: ili kukushambulia, ee Binti Babeli.

JER 50:43 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Babeli amesikia habari kuwahusu,

JER 50:43 Removed trailing space in p~: nayo mikono yake imelegea.

JER 50:43 Removed trailing space in p~: Uchungu umemshika,

JER 50:43 Removed trailing space in p~: maumivu kama ya mwanamke katika utungu wa kuzaa.

JER 50:44 Removed trailing space in v~: Kama simba anayepanda kutoka vichaka vya Yordani

JER 50:44 Removed trailing space in p~: kuja kwenye nchi ya malisho mengi,

JER 50:44 Removed trailing space in p~: ndivyo nitamfukuza Babeli kutoka nchi yake ghafula.

JER 50:44 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye mteule,

JER 50:44 Removed trailing space in p~: nitakayemweka kwa ajili ya jambo hili?

JER 50:44 Removed trailing space in p~: Ni nani aliye kama mimi,

JER 50:44 Removed trailing space in p~: na ni nani awezaye kunipinga?

JER 50:44 Removed trailing space in p~: Tena ni mchungaji yupi

JER 50:44 Removed trailing space in p~: awezaye kusimama kinyume nami?”

JER 50:45 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, sikia kile \nd Bwana\nd* alichokipanga dhidi ya Babeli,

JER 50:45 Removed trailing space in p~: kile alichokusudia dhidi ya nchi ya Wakaldayo:

JER 50:45 Removed trailing space in p~: Aliye mchanga katika kundi ataburutwa mbali.

JER 50:45 Removed trailing space in p~: Yeye ataharibu kabisa malisho yao kwa sababu yao.

JER 50:46 Removed trailing space in v~: Kwa sauti ya kutekwa kwa Babeli, dunia itatetemeka;

JER 50:46 Removed trailing space in p~: kilio chake kitasikika pote miongoni mwa mataifa.

JER 51:0 Extra space after chapter number

JER 51:0 Removed trailing space in c: 51

JER 51:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

JER 51:1 Removed trailing space in p~: “Tazama nitaamsha roho ya mwangamizi

JER 51:1 Removed trailing space in p~: dhidi ya Babeli na watu wakaao Leb-Kamai.\f + \fr 51:1 \ft Leb-Kamai ni Ukaldayo, yaani Babeli, kwa fumbo.\f*

JER 51:2 Removed trailing space in v~: Nitawatuma wageni Babeli

JER 51:2 Removed trailing space in p~: kumpepeta na kuiharibu nchi yake;

JER 51:2 Removed trailing space in p~: watampinga kila upande

JER 51:2 Removed trailing space in p~: katika siku ya maafa yake.

JER 51:3 Removed trailing space in v~: Usimwache mpiga upinde afunge kamba upinde wake,

JER 51:3 Removed trailing space in p~: wala usimwache avae silaha zake.

JER 51:3 Removed trailing space in p~: Usiwaonee huruma vijana wake;

JER 51:3 Removed trailing space in p~: angamiza jeshi lake kabisa.

JER 51:4 Removed trailing space in v~: Wataanguka waliouawa katika Babeli,

JER 51:4 Removed trailing space in p~: wakiwa na majeraha ya kutisha barabarani zake.

JER 51:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana Israeli na Yuda hawajaachwa

JER 51:5 Removed trailing space in p~: na Mungu wao, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

JER 51:5 Removed trailing space in p~: ingawa nchi yao imejaa uovu

JER 51:5 Removed trailing space in p~: mbele zake yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli.

JER 51:6 Removed trailing space in v~: “Kimbieni kutoka Babeli!

JER 51:6 Removed trailing space in p~: Okoeni maisha yenu!

JER 51:6 Removed trailing space in p~: Msiangamizwe kwa sababu ya dhambi zake.

JER 51:6 Removed trailing space in p~: Ni wakati wa kisasi cha \nd Bwana\nd*,

JER 51:6 Removed trailing space in p~: atamlipa kile anachostahili.

JER 51:7 Removed trailing space in v~: Babeli alikuwa kikombe cha dhahabu katika mkono wa \nd Bwana\nd*;

JER 51:7 Removed trailing space in p~: aliufanya ulimwengu wote ulewe.

JER 51:7 Removed trailing space in p~: Mataifa walikunywa mvinyo wake;

JER 51:7 Removed trailing space in p~: kwa hiyo sasa wameingiwa na wazimu.

JER 51:8 Removed trailing space in v~: Babeli ataanguka ghafula na kuvunjika.

JER 51:8 Removed trailing space in p~: Mwombolezeni!

JER 51:8 Removed trailing space in p~: Tafuteni zeri ya kutuliza maumivu yake,

JER 51:8 Removed trailing space in p~: labda anaweza kupona.

JER 51:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Tungemponya Babeli,

JER 51:9 Removed trailing space in p~: lakini hawezi kuponyeka;

JER 51:9 Removed trailing space in p~: tumwacheni, na kila mmoja wetu aende nchi yake mwenyewe,

JER 51:9 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hukumu yake inafika angani,

JER 51:9 Removed trailing space in p~: inapanda juu hadi mawinguni.’

JER 51:10 Removed trailing space in v~: “ ‘\nd Bwana\nd* amethibitisha haki yetu;

JER 51:10 Removed trailing space in p~: njooni, tutangaze katika Sayuni

JER 51:10 Removed trailing space in p~: kitu ambacho \nd Bwana\nd* Mungu wetu amefanya.’

JER 51:11 Removed trailing space in v~: “Noeni mishale,

JER 51:11 Removed trailing space in p~: chukueni ngao!

JER 51:11 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amewaamsha wafalme wa Wamedi,

JER 51:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu nia yake ni kuangamiza Babeli.

JER 51:11 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atalipiza kisasi,

JER 51:11 Removed trailing space in p~: kisasi kwa ajili ya Hekalu lake.

JER 51:12 Removed trailing space in v~: Twekeni bendera juu ya kuta za Babeli!

JER 51:12 Removed trailing space in p~: Imarisheni ulinzi,

JER 51:12 Removed trailing space in p~: wekeni walinzi,

JER 51:12 Removed trailing space in p~: andaeni waviziao!

JER 51:12 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atatimiza kusudi lake,

JER 51:12 Removed trailing space in p~: amri yake juu ya watu wa Babeli.

JER 51:13 Removed trailing space in v~: Wewe uishiye kando ya maji mengi

JER 51:13 Removed trailing space in p~: na uliye na wingi wa hazina,

JER 51:13 Removed trailing space in p~: mwisho wako umekuja,

JER 51:13 Removed trailing space in p~: wakati wako wa kukatiliwa mbali.

JER 51:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote

JER 51:14 Removed trailing space in p~: ameapa kwa nafsi yake mwenyewe:

JER 51:14 Removed trailing space in p~: ‘Hakika nitakujaza na watu, kama kundi la nzige,

JER 51:14 Removed trailing space in p~: nao watapiga kelele za ushindi juu yako.’

JER 51:15 Removed trailing space in v~: “Aliiumba dunia kwa uweza wake;

JER 51:15 Removed trailing space in p~: akaweka misingi ya ulimwengu kwa hekima yake

JER 51:15 Removed trailing space in p~: na akazitandaza mbingu kwa ufahamu wake.

JER 51:16 Removed trailing space in v~: Atoapo sauti yake, maji yaliyo katika mbingu hunguruma,

JER 51:16 Removed trailing space in p~: huyafanya mawingu yainuke kutoka miisho ya dunia.

JER 51:16 Removed trailing space in p~: Hupeleka umeme wa radi pamoja na mvua,

JER 51:16 Removed trailing space in p~: naye huuleta upepo kutoka ghala zake.

JER 51:17 Removed trailing space in v~: “Kila mtu ni mjinga na hana maarifa;

JER 51:17 Removed trailing space in p~: kila sonara ameaibishwa na sanamu zake.

JER 51:17 Removed trailing space in p~: Vinyago vyake ni vya udanganyifu,

JER 51:17 Removed trailing space in p~: havina pumzi ndani yavyo.

JER 51:18 Removed trailing space in v~: Havifai kitu, ni vitu vya kufanyia mzaha,

JER 51:18 Removed trailing space in p~: hukumu yavyo itakapowadia, vitaangamia.

JER 51:19 Removed trailing space in v~: Yeye Aliye Fungu la Yakobo sivyo alivyo,

JER 51:19 Removed trailing space in p~: kwani ndiye Muumba wa vitu vyote,

JER 51:19 Removed trailing space in p~: pamoja na kabila la urithi wake:

JER 51:19 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.

JER 51:20 Removed trailing space in v~: “Wewe ndiwe rungu langu la vita,

JER 51:20 Removed trailing space in p~: silaha yangu ya vita:

JER 51:20 Removed trailing space in p~: kwa wewe navunjavunja mataifa,

JER 51:20 Removed trailing space in p~: kwa wewe naangamiza falme,

JER 51:21 Removed trailing space in v~: kwa wewe navunjavunja

JER 51:21 Removed trailing space in p~: farasi na mpanda farasi,

JER 51:21 Removed trailing space in p~: kwa wewe navunjavunja

JER 51:21 Removed trailing space in p~: gari la vita na mwendeshaji wake,

JER 51:22 Removed trailing space in v~: kwa wewe napondaponda

JER 51:22 Removed trailing space in p~: mwanaume na mwanamke,

JER 51:22 Removed trailing space in p~: kwa wewe napondaponda

JER 51:22 Removed trailing space in p~: mzee na kijana,

JER 51:22 Removed trailing space in p~: kwa wewe napondaponda

JER 51:22 Removed trailing space in p~: kijana wa kiume na mwanamwali,

JER 51:23 Removed trailing space in v~: kwa wewe nampondaponda

JER 51:23 Removed trailing space in p~: mchungaji na kundi,

JER 51:23 Removed trailing space in p~: kwa wewe nampondaponda

JER 51:23 Removed trailing space in p~: mkulima na maksai,

JER 51:23 Removed trailing space in p~: kwa wewe nawapondaponda

JER 51:23 Removed trailing space in p~: watawala na maafisa.

JER 51:24 Removed trailing space in v~: “Mbele ya macho yako nitamlipiza Babeli na wote waishio Ukaldayo kwa ajili ya makosa yote waliyofanya katika Sayuni,” asema \nd Bwana\nd*.

JER 51:25 Removed trailing space in v~: “Mimi niko kinyume nawe, ee mlima unaoharibu,

JER 51:25 Removed trailing space in p~: wewe uangamizaye dunia yote,”

JER 51:25 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 51:25 Removed trailing space in p~: “Nitanyoosha mkono wangu dhidi yako,

JER 51:25 Removed trailing space in p~: nikuvingirishe kutoka kwenye kilele cha mwamba,

JER 51:25 Removed trailing space in p~: na kukufanya mlima ulioteketezwa kwa moto.

JER 51:26 Removed trailing space in v~: Hakuna jiwe litakalochukuliwa kutoka kwako

JER 51:26 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya kufanywa jiwe la pembeni,

JER 51:26 Removed trailing space in p~: wala jiwe lolote kwa ajili ya msingi,

JER 51:26 Removed trailing space in p~: kwa maana utakuwa ukiwa milele,”

JER 51:26 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 51:27 Removed trailing space in v~: “Twekeni bendera katika nchi!

JER 51:27 Removed trailing space in p~: Pigeni tarumbeta katikati ya mataifa!

JER 51:27 Removed trailing space in p~: Andaeni mataifa kwa ajili ya vita dhidi yake,

JER 51:27 Removed trailing space in p~: iteni falme hizi dhidi yake:

JER 51:27 Removed trailing space in p~: Ararati, Mini na Ashkenazi.

JER 51:27 Removed trailing space in p~: Wekeni jemadari dhidi yake,

JER 51:27 Removed trailing space in p~: pelekeni farasi wengi kama kundi la nzige.

JER 51:28 Removed trailing space in v~: Andaeni mataifa kwa ajili ya vita dhidi yake,

JER 51:28 Removed trailing space in p~: wafalme wa Wamedi,

JER 51:28 Removed trailing space in p~: watawala wao na maafisa wao wote,

JER 51:28 Removed trailing space in p~: pamoja na nchi zote wanazotawala.

JER 51:29 Removed trailing space in v~: Nchi inatetemeka na kugaagaa,

JER 51:29 Removed trailing space in p~: kwa kuwa makusudi ya \nd Bwana\nd* dhidi ya Babeli yanasimama:

JER 51:29 Removed trailing space in p~: yaani, kuangamiza nchi ya Babeli

JER 51:29 Removed trailing space in p~: ili pasiwe na yeyote atakayeishi humo.

JER 51:30 Removed trailing space in v~: Mashujaa wa Babeli wameacha kupigana,

JER 51:30 Removed trailing space in p~: wamebaki katika ngome zao.

JER 51:30 Removed trailing space in p~: Nguvu zao zimekwisha,

JER 51:30 Removed trailing space in p~: wamekuwa kama wanawake.

JER 51:30 Removed trailing space in p~: Makazi yake yameteketezwa kwa moto,

JER 51:30 Removed trailing space in p~: makomeo ya malango yake yamevunjika.

JER 51:31 Removed trailing space in v~: Tarishi mmoja humfuata mwingine,

JER 51:31 Removed trailing space in p~: na mjumbe humfuata mjumbe,

JER 51:31 Removed trailing space in p~: kumtangazia mfalme wa Babeli

JER 51:31 Removed trailing space in p~: kwamba mji wake wote umetekwa,

JER 51:32 Removed trailing space in v~: Vivuko vya mito vimekamatwa,

JER 51:32 Removed trailing space in p~: mabwawa yenye mafunjo yametiwa moto,

JER 51:32 Removed trailing space in p~: nao askari wameingiwa na hofu kuu.”

JER 51:33 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wa Israeli, asemalo:

JER 51:33 Removed trailing space in p~: “Binti Babeli ni kama sakafu ya kupuria

JER 51:33 Removed trailing space in p~: wakati inapokanyagwa;

JER 51:33 Removed trailing space in p~: wakati wa kumvuna utakuja upesi.”

JER 51:34 Removed trailing space in v~: “Nebukadneza mfalme wa Babeli ametula,

JER 51:34 Removed trailing space in p~: ametufanya tuchangayikiwe,

JER 51:34 Removed trailing space in p~: ametufanya tuwe gudulia tupu.

JER 51:34 Removed trailing space in p~: Kama nyoka ametumeza

JER 51:34 Removed trailing space in p~: na kujaza tumbo lake kwa vyakula vyetu vizuri,

JER 51:34 Removed trailing space in p~: kisha akatutapika.

JER 51:35 Removed trailing space in v~: Jeuri iliyofanyiwa miili yetu\f + \fr 51:35 \ft Au: Jeuri tuliyofanyiwa sisi na watoto wetu.\f* na iwe juu ya Babeli,”

JER 51:35 Removed trailing space in p~: ndivyo wasemavyo wakaao Sayuni.

JER 51:35 Removed trailing space in p~: “Damu yetu na iwe juu ya wale waishio Babeli,”

JER 51:35 Removed trailing space in p~: asema Yerusalemu.

JER 51:36 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo:

JER 51:36 Removed trailing space in p~: “Tazama, nitatetea shauri lako

JER 51:36 Removed trailing space in p~: na kulipiza kisasi kwa ajili yako;

JER 51:36 Removed trailing space in p~: nitaikausha bahari yake

JER 51:36 Removed trailing space in p~: na kuzikausha chemchemi zake.

JER 51:37 Removed trailing space in v~: Babeli utakuwa lundo la magofu

JER 51:37 Removed trailing space in p~: na makao ya mbweha,

JER 51:37 Removed trailing space in p~: kitu cha kutisha na kudharauliwa,

JER 51:37 Removed trailing space in p~: mahali asipoishi mtu.

JER 51:38 Removed trailing space in v~: Watu wake wote wananguruma kama simba wadogo,

JER 51:38 Removed trailing space in p~: wanakoroma kama wana simba.

JER 51:39 Removed trailing space in v~: Lakini wakati wakiwa wameamshwa,

JER 51:39 Removed trailing space in p~: nitawaandalia karamu

JER 51:39 Removed trailing space in p~: na kuwafanya walewe,

JER 51:39 Removed trailing space in p~: ili wapige kelele kwa kicheko,

JER 51:39 Removed trailing space in p~: kisha walale milele na wasiamke,”

JER 51:39 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 51:40 Removed trailing space in v~: “Nitawateremsha kama wana-kondoo waendao machinjoni,

JER 51:40 Removed trailing space in p~: kama kondoo dume na mbuzi.

JER 51:41 Removed trailing space in v~: “Tazama jinsi Sheshaki\f + \fr 51:41 \ft Sheshaki ni Babeli kwa fumbo.\f* atakamatwa,

JER 51:41 Removed trailing space in p~: majivuno ya dunia yote yatakavyonyakuliwa.

JER 51:41 Removed trailing space in p~: Babeli atakuwa mwenye hofu kiasi gani

JER 51:41 Removed trailing space in p~: kati ya mataifa!

JER 51:42 Removed trailing space in v~: Bahari itainuka juu ya Babeli;

JER 51:42 Removed trailing space in p~: mawimbi yake yenye kunguruma yatamfunika.

JER 51:43 Removed trailing space in v~: Miji yake itakuwa ukiwa,

JER 51:43 Removed trailing space in p~: kame na jangwa,

JER 51:43 Removed trailing space in p~: nchi ambayo hakuna yeyote anayeishi ndani yake,

JER 51:43 Removed trailing space in p~: ambayo hakuna mtu anayepita humo.

JER 51:44 Removed trailing space in v~: Nitamwadhibu Beli katika Babeli,

JER 51:44 Removed trailing space in p~: na kumfanya atapike kile alichokimeza.

JER 51:44 Removed trailing space in p~: Mataifa hayatamiminika tena kwake.

JER 51:44 Removed trailing space in p~: Nao ukuta wa Babeli utaanguka.

JER 51:45 Removed trailing space in v~: “Tokeni ndani yake, enyi watu wangu!

JER 51:45 Removed trailing space in p~: Okoeni maisha yenu!

JER 51:45 Removed trailing space in p~: Ikimbieni hasira kali ya \nd Bwana\nd*.

JER 51:46 Removed trailing space in v~: Msikate tamaa wala msiogope tetesi

JER 51:46 Removed trailing space in p~: zitakaposikika katika nchi;

JER 51:46 Removed trailing space in p~: tetesi moja inasikika mwaka huu,

JER 51:46 Removed trailing space in p~: nyingine mwaka unaofuata;

JER 51:46 Removed trailing space in p~: tetesi juu ya jeuri katika nchi,

JER 51:46 Removed trailing space in p~: na ya mtawala dhidi ya mtawala.

JER 51:47 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hakika wakati utawadia

JER 51:47 Removed trailing space in p~: nitakapoziadhibu sanamu za Babeli;

JER 51:47 Removed trailing space in p~: nchi yake yote itatiwa aibu,

JER 51:47 Removed trailing space in p~: na watu wake wote waliouawa

JER 51:47 Removed trailing space in p~: wataangukia ndani yake.

JER 51:48 Removed trailing space in v~: Ndipo mbingu na dunia na vyote vilivyomo ndani yake

JER 51:48 Removed trailing space in p~: vitapiga kelele za shangwe juu ya Babeli,

JER 51:48 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kutoka kaskazini

JER 51:48 Removed trailing space in p~: waharabu watamshambulia,”

JER 51:48 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 51:49 Removed trailing space in v~: “Babeli ni lazima aanguke kwa sababu ya kuwaua Waisraeli,

JER 51:49 Removed trailing space in p~: kama vile waliouawa duniani kote

JER 51:49 Removed trailing space in p~: walivyoanguka kwa sababu ya Babeli.

JER 51:50 Removed trailing space in v~: Wewe uliyepona upanga,

JER 51:50 Removed trailing space in p~: ondoka wala usikawie!

JER 51:50 Removed trailing space in p~: Mkumbuke \nd Bwana\nd* ukiwa katika nchi ya mbali,

JER 51:50 Removed trailing space in p~: na utafakari juu ya Yerusalemu.”

JER 51:51 Removed trailing space in v~: “Tumetahayari, kwa maana tumetukanwa

JER 51:51 Removed trailing space in p~: na aibu imefunika nyuso zetu,

JER 51:51 Removed trailing space in p~: kwa sababu wageni wameingia

JER 51:51 Removed trailing space in p~: mahali patakatifu pa nyumba ya \nd Bwana\nd*.”

JER 51:52 Removed trailing space in v~: “Lakini siku zinakuja,” asema \nd Bwana\nd*,

JER 51:52 Removed trailing space in p~: “nitakapoadhibu sanamu zake,

JER 51:52 Removed trailing space in p~: na katika nchi yake yote

JER 51:52 Removed trailing space in p~: waliojeruhiwa watalia kwa maumivu makali.

JER 51:53 Removed trailing space in v~: Hata kama Babeli ikifika angani

JER 51:53 Removed trailing space in p~: na kuziimarisha ngome zake ndefu,

JER 51:53 Removed trailing space in p~: nitatuma waharabu dhidi yake,”

JER 51:53 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

JER 51:54 Removed trailing space in v~: “Sauti ya kilio inasikika kutoka Babeli,

JER 51:54 Removed trailing space in p~: sauti ya uharibifu mkuu

JER 51:54 Removed trailing space in p~: kutoka nchi ya Wakaldayo.

JER 51:55 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ataiangamiza Babeli,

JER 51:55 Removed trailing space in p~: atanyamazisha makelele ya kishindo chake.

JER 51:55 Removed trailing space in p~: Mawimbi ya adui yatanguruma kama maji makuu,

JER 51:55 Removed trailing space in p~: ngurumo ya sauti zao itavuma.

JER 51:56 Removed trailing space in v~: Mharabu atakuja dhidi ya Babeli,

JER 51:56 Removed trailing space in p~: mashujaa wake watakamatwa,

JER 51:56 Removed trailing space in p~: nazo pinde zao zitavunjwa.

JER 51:56 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ni Mungu wa kisasi,

JER 51:56 Removed trailing space in p~: yeye atalipiza kikamilifu.

JER 51:57 Removed trailing space in v~: Nitawafanya maafisa wake na wenye busara walewe,

JER 51:57 Removed trailing space in p~: watawala wao, maafisa, pamoja na wapiganaji wao;

JER 51:57 Removed trailing space in p~: watalala milele na hawataamka,”

JER 51:57 Removed trailing space in p~: asema Mfalme, ambaye jina lake ni \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

JER 51:58 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo:

JER 51:58 Removed trailing space in p~: “Ukuta mnene wa Babeli utasawazishwa,

JER 51:58 Removed trailing space in p~: na malango yaliyoinuka yatateketezwa kwa moto;

JER 51:58 Removed trailing space in p~: mataifa yanajichosha bure,

JER 51:58 Removed trailing space in p~: taabu ya mataifa ni nishati tu ya miali ya moto.”

JER 51:59 Removed trailing space in v~: Huu ndio ujumbe Yeremia aliompa afisa Seraya mwana wa Neria mwana wa Maaseya, alipokwenda Babeli pamoja na Sedekia mfalme wa Yuda, katika mwaka wa nne wa utawala wake.

JER 51:60 Removed trailing space in v~: Yeremia alikuwa ameandika ndani ya kitabu kuhusu maafa yote yatakayoipata Babeli, yaani yote yaliyokuwa yameandikwa kuhusu Babeli.

JER 51:61 Removed trailing space in v~: Yeremia akamwambia Seraya, “Utakapofika Babeli, hakikisha kwamba umesoma maneno haya yote kwa sauti kubwa.

JER 51:62 Removed trailing space in v~: Kisha sema, ‘Ee \nd Bwana\nd*, umesema utaangamiza mahali hapa ili mtu wala mnyama asiishi ndani yake, napo patakuwa ukiwa milele.’

JER 51:63 Removed trailing space in v~: Utakapomaliza kusoma hiki kitabu, kifungie jiwe kisha ukitupe ndani ya Mto Frati.

JER 51:64 Removed trailing space in v~: Kisha sema, ‘Hivi ndivyo Babeli utakavyozama na usiinuke tena, kwa sababu ya maafa nitakayoleta juu yake. Nao watu wake wataanguka.’ ”

JER 51:64 Removed trailing space in p~: Maneno ya Yeremia yanaishia hapa.

JER 52:0 Extra space after chapter number

JER 52:0 Removed trailing space in c: 52

JER 52:0 Removed trailing space in s1: Anguko La Yerusalemu

JER 52:0 Removed trailing space in r: (2 Wafalme 24:18–25:30)

JER 52:1 Removed trailing space in v~: Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu kwa miaka kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia, kutoka Libna.

JER 52:2 Removed trailing space in v~: Alifanya maovu machoni pa \nd Bwana\nd*, kama alivyofanya Yehoyakimu.

JER 52:3 Removed trailing space in v~: Ilikuwa ni kwa sababu ya hasira ya \nd Bwana\nd* haya yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, naye mwishoni akawaondoa mbele zake.

JER 52:3 Removed trailing space in p~: Basi, Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.

JER 52:4 Removed trailing space in v~: Hivyo katika mwaka wa tisa wa utawala wa Sedekia, katika siku ya kumi ya mwezi wa kumi, Nebukadneza mfalme wa Babeli akiwa na jeshi lake lote alifanya vita dhidi ya Yerusalemu. Wakapiga kambi nje ya mji na kuuzunguka mji pande zote.

JER 52:5 Removed trailing space in v~: Mji ulizungukwa na jeshi mpaka mwaka wa kumi na moja wa utawala wa Mfalme Sedekia.

JER 52:6 Removed trailing space in v~: Ilipowadia siku ya tisa ya mwezi wa nne, njaa ikazidi kuwa kali sana ndani ya mji, hadi hapakuwa na chakula kwa ajili ya watu.

JER 52:7 Removed trailing space in v~: Kisha ukuta wa mji ukavunjwa na jeshi lote likakimbia. Wakaondoka mjini usiku kupitia lango lililokuwa kati ya kuta mbili karibu na bustani ya mfalme, ingawa Wakaldayo walikuwa wameuzunguka mji. Wakakimbia kuelekea Araba.

JER 52:8 Removed trailing space in v~: Lakini jeshi la Wakaldayo likamfuatia Mfalme Sedekia na kumpata katika sehemu tambarare za Yeriko. Askari wake wote wakatengwa naye na kutawanyika,

JER 52:9 Removed trailing space in v~: naye akakamatwa.

JER 52:9 Removed trailing space in p~: Akapelekwa kwa mfalme wa Babeli huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mahali ambapo alimtangazia hukumu.

JER 52:10 Removed trailing space in v~: Huko Ribla mfalme wa Babeli aliwachinja wana wa Sedekia mbele ya macho yake. Pia akawaua maafisa wote wa Yuda.

JER 52:11 Removed trailing space in v~: Kisha akayangʼoa macho ya Sedekia, akamfunga kwa pingu za shaba na kumpeleka Babeli, alipomweka gerezani mpaka siku ya kifo chake.

JER 52:12 Removed trailing space in v~: Mnamo siku ya kumi ya mwezi wa tano, katika mwaka wa kumi na tisa wa utawala wa Nebukadneza mfalme wa Babeli, Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi wa mfalme, aliyemtumikia mfalme wa Babeli, alikuja Yerusalemu.

JER 52:13 Removed trailing space in v~: Alichoma moto Hekalu la \nd Bwana\nd*, jumba la kifalme, na nyumba zote za Yerusalemu. Aliteketeza kila jengo muhimu.

JER 52:14 Removed trailing space in v~: Jeshi lote la Wakaldayo chini ya jemadari wa askari walinzi wa mfalme walivunja kuta zote zilizoizunguka Yerusalemu.

JER 52:15 Removed trailing space in v~: Nebuzaradani, jemadari wa askari walinzi, akawapeleka uhamishoni baadhi ya watu maskini sana na wale waliobaki katika mji, pamoja na mabaki ya watu wa kawaida, na wale waliojisalimisha kwa mfalme wa Babeli.

JER 52:16 Removed trailing space in v~: Lakini Nebuzaradani akawaacha mabaki ya wale watu maskini kabisa ili watunze mashamba ya mizabibu na mashamba mengine.

JER 52:17 Removed trailing space in v~: Wakaldayo walivunja vipande zile nguzo za shaba, vile vishikilio vya shaba vilivyohamishika, na ile Bahari ya shaba, ambavyo vyote vilikuwa katika Hekalu la \nd Bwana\nd*. Hivyo wakaichukua hiyo shaba yote na kuipeleka Babeli.

JER 52:18 Removed trailing space in v~: Wakachukua pia vyungu, masepetu, mikasi ya kusawazishia tambi, mabakuli ya kunyunyizia, sahani na vyombo vyote vya shaba vilivyotumika katika huduma ya Hekalu.

JER 52:19 Removed trailing space in v~: Jemadari wa askari walinzi wa mfalme akachukua yale masinia, vile vyetezo, yale mabakuli ya kunyunyizia, zile sufuria, vile vinara vya taa, zile sahani na yale mabakuli yaliyotumika kwa sadaka za vinywaji, vitu vyote vile vilivyokuwa vimetengenezwa kwa dhahabu safi au fedha.

JER 52:20 Removed trailing space in v~: Shaba iliyotokana na zile nguzo mbili, ile Bahari na wale mafahali kumi na mawili wa shaba waliokuwa chini yake, pamoja na vile vishikilio vilivyohamishika, ambavyo Mfalme Solomoni alikuwa ametengeneza kwa ajili ya Hekalu la \nd Bwana\nd*, ilikuwa na uzito usioweza kupimika.

JER 52:21 Removed trailing space in v~: Kila nguzo ilikuwa na urefu wa dhiraa kumi na nane, kimo chake na mzunguko dhiraa kumi na mbili, na unene wa nyanda nne, na zote zilikuwa wazi ndani.

JER 52:22 Removed trailing space in v~: Sehemu ya shaba juu ya ile nguzo moja ilikuwa na urefu wa dhiraa tano, na ilikuwa imepambwa kwa wavu na makomamanga ya shaba kuizunguka kote. Ile nguzo nyingine pamoja na makomamanga yake ilifanana na hiyo ya kwanza.

JER 52:23 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na makomamanga tisini na sita pembeni; jumla ya makomamanga juu ya wavu uliokuwa umezunguka yalikuwa mia moja.

JER 52:24 Removed trailing space in v~: Yule jemadari wa askari walinzi akawachukua kama wafungwa Seraya kuhani mkuu, kuhani Sefania aliyefuata kwa cheo, na mabawabu watatu.

JER 52:25 Removed trailing space in v~: Miongoni mwa wale watu waliokuwa wamesalia katika mji, alimchukua afisa kiongozi wa wapiganaji, na washauri saba wa mfalme. Akamchukua pia mwandishi aliyesimamia uandikishaji wa watu wa nchi, pamoja na watu wake sitini waliopatikana ndani ya mji.

JER 52:26 Removed trailing space in v~: Nebuzaradani jemadari akawachukua hao wote na kuwapeleka kwa mfalme wa Babeli huko Ribla.

JER 52:27 Removed trailing space in v~: Huko Ribla, katika nchi ya Hamathi, mfalme wa Babeli akaamuru wanyongwe.

JER 52:27 Removed trailing space in p~: Hivyo Yuda wakaenda utumwani, mbali na nchi yao.

JER 52:28 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo hesabu ya watu ambao Nebukadneza aliwachukua kwenda uhamishoni:

JER 52:28 Removed trailing space in p~: katika mwaka wa saba,

JER 52:28 Removed trailing space in p~: Wayahudi 3,023;

JER 52:29 Removed trailing space in v~: katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa Nebukadneza,

JER 52:29 Removed trailing space in p~: watu 832 kutoka Yerusalemu;

JER 52:30 Removed trailing space in v~: katika mwaka wa ishirini na tatu wa utawala wake,

JER 52:30 Removed trailing space in p~: Wayahudi 745 walichukuliwa kwenda uhamishoni na Nebuzaradani jemadari wa askari walinzi wa mfalme.

JER 52:30 Removed trailing space in p~: Jumla ya watu wote walikuwa 4,600.

JER 52:30 Removed trailing space in s1: Yehoyakini Anaachiwa Huru

JER 52:31 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa thelathini na saba tangu Yehoyakini mfalme wa Yuda apelekwe uhamishoni, katika mwaka ule ambao Evil-Merodaki\f + \fr 52:31 \ft Pia aliitwa Ameli-Mariduki.\f* alifanyika mfalme wa Babeli, alimwacha huru Yehoyakini mfalme wa Yuda, na kumfungua kutoka gerezani siku ya ishirini na tano ya mwezi wa kumi na mbili.

JER 52:32 Removed trailing space in v~: Alizungumza naye kwa upole na kumpa kiti cha heshima zaidi kuliko wale wafalme wengine aliokuwa nao huko Babeli.

JER 52:33 Removed trailing space in v~: Hivyo Yehoyakini akayavua mavazi yake ya mfungwa, na siku zote za maisha yake zilizobaki alikula mezani mwa mfalme.

JER 52:34 Removed trailing space in v~: Siku kwa siku mfalme wa Babeli alimpa Yehoyakini posho siku zote za maisha yake, hadi siku ya kifo chake.

LAM -1:0 Removed trailing space in id: LAM - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

LAM -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

LAM -1:2 Removed trailing space in h: Maombolezo

LAM -1:3 Removed trailing space in toc1: Maombolezo

LAM -1:4 Removed trailing space in toc2: Maombolezo

LAM -1:5 Removed trailing space in toc3: Mao

LAM -1:6 Removed trailing space in mt1: Maombolezo

LAM 1:0 Extra space after chapter number

LAM 1:0 Removed trailing space in c: 1

LAM 1:0 Removed trailing space in p~: \f + \fr 1 \ft Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

LAM 1:1 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi mji ulivyoachwa ukiwa,

LAM 1:1 Removed trailing space in p~: mji ambao zamani ulikuwa umejaa watu!

LAM 1:1 Removed trailing space in p~: Jinsi ambavyo umekuwa kama mama mjane,

LAM 1:1 Removed trailing space in p~: ambaye wakati fulani alikuwa maarufu miongoni mwa mataifa!

LAM 1:1 Removed trailing space in p~: Yule ambaye alikuwa malkia miongoni mwa majimbo

LAM 1:1 Removed trailing space in p~: sasa amekuwa mtumwa.

LAM 1:2 Removed trailing space in v~: Kwa uchungu, hulia sana usiku,

LAM 1:2 Removed trailing space in p~: machozi yapo kwenye mashavu yake.

LAM 1:2 Removed trailing space in p~: Miongoni mwa wapenzi wake wote

LAM 1:2 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote wa kumfariji.

LAM 1:2 Removed trailing space in p~: Rafiki zake wote wamemsaliti,

LAM 1:2 Removed trailing space in p~: wamekuwa adui zake.

LAM 1:3 Removed trailing space in v~: Baada ya mateso na kufanyishwa kazi kikatili,

LAM 1:3 Removed trailing space in p~: Yuda amekwenda uhamishoni.

LAM 1:3 Removed trailing space in p~: Anakaa miongoni mwa mataifa,

LAM 1:3 Removed trailing space in p~: hapati mahali pa kupumzika.

LAM 1:3 Removed trailing space in p~: Wote ambao wanamsaka wamemkamata

LAM 1:3 Removed trailing space in p~: katikati ya dhiki yake.

LAM 1:4 Removed trailing space in v~: Barabara zielekeazo Sayuni zaomboleza,

LAM 1:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hakuna yeyote anayekuja

LAM 1:4 Removed trailing space in p~: kwenye sikukuu zake zilizoamriwa.

LAM 1:4 Removed trailing space in p~: Malango yake yote yamekuwa ukiwa,

LAM 1:4 Removed trailing space in p~: makuhani wake wanalia kwa uchungu,

LAM 1:4 Removed trailing space in p~: wanawali wake wanahuzunika,

LAM 1:4 Removed trailing space in p~: naye yuko katika uchungu wa maumivu makuu.

LAM 1:5 Removed trailing space in v~: Adui zake wamekuwa mabwana zake,

LAM 1:5 Removed trailing space in p~: watesi wake wana raha.

LAM 1:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amemletea huzuni

LAM 1:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya dhambi zake nyingi.

LAM 1:5 Removed trailing space in p~: Watoto wake wamekwenda uhamishoni,

LAM 1:5 Removed trailing space in p~: mateka mbele ya adui.

LAM 1:6 Removed trailing space in v~: Fahari yote imeondoka

LAM 1:6 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Binti Sayuni.

LAM 1:6 Removed trailing space in p~: Wakuu wake wako kama ayala

LAM 1:6 Removed trailing space in p~: ambaye hapati malisho,

LAM 1:6 Removed trailing space in p~: katika udhaifu wamekimbia

LAM 1:6 Removed trailing space in p~: mbele ya anayewasaka.

LAM 1:7 Removed trailing space in v~: Katika siku za mateso yake na kutangatanga,

LAM 1:7 Removed trailing space in p~: Yerusalemu hukumbuka hazina zote

LAM 1:7 Removed trailing space in p~: ambazo zilikuwa zake siku za kale.

LAM 1:7 Removed trailing space in p~: Wakati watu wake walipoanguka katika mikono ya adui,

LAM 1:7 Removed trailing space in p~: hapakuwepo na yeyote wa kumsaidia.

LAM 1:7 Removed trailing space in p~: Watesi wake walimtazama

LAM 1:7 Removed trailing space in p~: na kumcheka katika maangamizi yake.

LAM 1:8 Removed trailing space in v~: Yerusalemu ametenda dhambi sana

LAM 1:8 Removed trailing space in p~: kwa hiyo amekuwa najisi.

LAM 1:8 Removed trailing space in p~: Wote waliomheshimu wanamdharau,

LAM 1:8 Removed trailing space in p~: kwa maana wameuona uchi wake.

LAM 1:8 Removed trailing space in p~: Yeye mwenyewe anapiga kite

LAM 1:8 Removed trailing space in p~: na kugeukia mbali.

LAM 1:9 Removed trailing space in v~: Uchafu wake umegandamana na nguo zake;

LAM 1:9 Removed trailing space in p~: hakuwaza juu ya maisha yake ya baadaye.

LAM 1:9 Removed trailing space in p~: Anguko lake lilikuwa la kushangaza,

LAM 1:9 Removed trailing space in p~: hapakuwepo na yeyote wa kumfariji.

LAM 1:9 Removed trailing space in p~: “Tazama, Ee \nd Bwana\nd*, teso langu,

LAM 1:9 Removed trailing space in p~: kwa maana adui ameshinda.”

LAM 1:10 Removed trailing space in v~: Adui ametia mikono

LAM 1:10 Removed trailing space in p~: juu ya hazina zake zote,

LAM 1:10 Removed trailing space in p~: aliona mataifa ya kipagani

LAM 1:10 Removed trailing space in p~: wakiingia mahali patakatifu pake,

LAM 1:10 Removed trailing space in p~: wale uliowakataza kuingia

LAM 1:10 Removed trailing space in p~: kwenye kusanyiko lako.

LAM 1:11 Removed trailing space in v~: Watu wake wote wanalia kwa uchungu

LAM 1:11 Removed trailing space in p~: watafutapo chakula;

LAM 1:11 Removed trailing space in p~: wanabadilisha hazina zao kwa chakula

LAM 1:11 Removed trailing space in p~: ili waweze kuendelea kuishi.

LAM 1:11 Removed trailing space in p~: “Tazama, Ee \nd Bwana\nd*, ufikiri,

LAM 1:11 Removed trailing space in p~: kwa maana nimedharauliwa.”

LAM 1:12 Removed trailing space in v~: “Je, si kitu kwenu, ninyi nyote mpitao kando?

LAM 1:12 Removed trailing space in p~: Angalieni kote mwone.

LAM 1:12 Removed trailing space in p~: Je, kuna maumivu kama maumivu yangu

LAM 1:12 Removed trailing space in p~: yale yaliyotiwa juu yangu,

LAM 1:12 Removed trailing space in p~: yale \nd Bwana\nd* aliyoyaleta juu yangu

LAM 1:12 Removed trailing space in p~: katika siku ya hasira yake kali?

LAM 1:13 Removed trailing space in v~: “Kutoka juu alipeleka moto,

LAM 1:13 Removed trailing space in p~: akaushusha katika mifupa yangu.

LAM 1:13 Removed trailing space in p~: Aliitandia wavu miguu yangu

LAM 1:13 Removed trailing space in p~: na akanirudisha nyuma.

LAM 1:13 Removed trailing space in p~: Akanifanya mkiwa,

LAM 1:13 Removed trailing space in p~: na mdhaifu mchana kutwa.

LAM 1:14 Removed trailing space in v~: “Dhambi zangu zimefungwa kwenye nira,

LAM 1:14 Removed trailing space in p~: kwa mikono yake zilifumwa pamoja.

LAM 1:14 Removed trailing space in p~: Zimefika shingoni mwangu

LAM 1:14 Removed trailing space in p~: na Bwana ameziondoa nguvu zangu.

LAM 1:14 Removed trailing space in p~: Amenitia mikononi mwa wale

LAM 1:14 Removed trailing space in p~: ambao siwezi kushindana nao.

LAM 1:15 Removed trailing space in v~: “Bwana amewakataa wapiganaji wa vita

LAM 1:15 Removed trailing space in p~: wote walio kati yangu,

LAM 1:15 Removed trailing space in p~: ameagiza jeshi dhidi yangu

LAM 1:15 Removed trailing space in p~: kuwaponda vijana wangu wa kiume.

LAM 1:15 Removed trailing space in p~: Katika shinikizo lake la divai Bwana amemkanyaga

LAM 1:15 Removed trailing space in p~: Bikira Binti Yuda.

LAM 1:16 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo sababu ninalia

LAM 1:16 Removed trailing space in p~: na macho yangu yanafurika machozi.

LAM 1:16 Removed trailing space in p~: Hakuna yeyote aliye karibu kunifariji,

LAM 1:16 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote wa kuhuisha roho yangu.

LAM 1:16 Removed trailing space in p~: Watoto wangu ni wakiwa

LAM 1:16 Removed trailing space in p~: kwa sababu adui ameshinda.”

LAM 1:17 Removed trailing space in v~: Sayuni ananyoosha mikono yake,

LAM 1:17 Removed trailing space in p~: lakini hakuna yeyote wa kumfariji.

LAM 1:17 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ametoa amri kwa ajili ya Yakobo

LAM 1:17 Removed trailing space in p~: kwamba majirani zake wawe adui zake;

LAM 1:17 Removed trailing space in p~: Yerusalemu umekuwa

LAM 1:17 Removed trailing space in p~: kitu najisi miongoni mwao.

LAM 1:18 Removed trailing space in v~: “\nd Bwana\nd* ni mwenye haki,

LAM 1:18 Removed trailing space in p~: hata hivyo niliasi dhidi ya amri yake.

LAM 1:18 Removed trailing space in p~: Sikilizeni, enyi mataifa yote,

LAM 1:18 Removed trailing space in p~: tazameni maumivu yangu.

LAM 1:18 Removed trailing space in p~: Wavulana wangu na wasichana wangu

LAM 1:18 Removed trailing space in p~: wamekwenda uhamishoni.

LAM 1:19 Removed trailing space in v~: “Niliita washirika wangu

LAM 1:19 Removed trailing space in p~: lakini walinisaliti.

LAM 1:19 Removed trailing space in p~: Makuhani wangu na wazee wangu

LAM 1:19 Removed trailing space in p~: waliangamia mjini

LAM 1:19 Removed trailing space in p~: walipokuwa wakitafuta chakula

LAM 1:19 Removed trailing space in p~: ili waweze kuishi.

LAM 1:20 Removed trailing space in v~: “Angalia, Ee \nd Bwana\nd*, jinsi nilivyo katika dhiki!

LAM 1:20 Removed trailing space in p~: Nina maumivu makali ndani yangu,

LAM 1:20 Removed trailing space in p~: nami ninahangaika moyoni mwangu,

LAM 1:20 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nimekuwa mwasi sana.

LAM 1:20 Removed trailing space in p~: Huko nje, upanga unaua watu,

LAM 1:20 Removed trailing space in p~: ndani, kipo kifo tu.

LAM 1:21 Removed trailing space in v~: “Watu wamesikia ninavyolia kwa uchungu,

LAM 1:21 Removed trailing space in p~: lakini hakuna yeyote wa kunifariji.

LAM 1:21 Removed trailing space in p~: Adui zangu wote wamesikia juu ya dhiki yangu,

LAM 1:21 Removed trailing space in p~: wanafurahia lile ulilolitenda.

LAM 1:21 Removed trailing space in p~: Naomba uilete siku uliyoitangaza

LAM 1:21 Removed trailing space in p~: ili wawe kama mimi.

LAM 1:22 Removed trailing space in v~: “Uovu wao wote na uje mbele zako;

LAM 1:22 Removed trailing space in p~: uwashughulikie wao

LAM 1:22 Removed trailing space in p~: kama vile ulivyonishughulikia mimi

LAM 1:22 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya dhambi zangu zote.

LAM 1:22 Removed trailing space in p~: Kulia kwangu kwa uchungu ni kwingi

LAM 1:22 Removed trailing space in p~: na moyo wangu umedhoofika.”

LAM 2:0 Extra space after chapter number

LAM 2:0 Removed trailing space in c: 2

LAM 2:0 Removed trailing space in p~: \f + \fr 2 \ft Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

LAM 2:1 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi Bwana alivyomfunika Binti Sayuni

LAM 2:1 Removed trailing space in p~: kwa wingu la hasira yake!

LAM 2:1 Removed trailing space in p~: Ameitupa chini fahari ya Israeli

LAM 2:1 Removed trailing space in p~: kutoka mbinguni mpaka duniani,

LAM 2:1 Removed trailing space in p~: hakukumbuka kiti chake cha kuwekea miguu

LAM 2:1 Removed trailing space in p~: katika siku ya hasira yake.

LAM 2:2 Removed trailing space in v~: Bila huruma Bwana ameyameza

LAM 2:2 Removed trailing space in p~: makao yote ya Yakobo;

LAM 2:2 Removed trailing space in p~: katika ghadhabu yake amebomoa

LAM 2:2 Removed trailing space in p~: ngome za Binti Yuda.

LAM 2:2 Removed trailing space in p~: Ameuangusha ufalme wake na wakuu wake

LAM 2:2 Removed trailing space in p~: chini kwa aibu.

LAM 2:3 Removed trailing space in v~: Katika hasira kali amevunja

LAM 2:3 Removed trailing space in p~: kila pembe\f + \fr 2:3 \ft Pembe inawakilisha nguvu; pia 2:17.\f* ya Israeli.

LAM 2:3 Removed trailing space in p~: Ameuondoa mkono wake wa kuume

LAM 2:3 Removed trailing space in p~: alipokaribia adui.

LAM 2:3 Removed trailing space in p~: Amemteketeza Yakobo kama moto uwakao

LAM 2:3 Removed trailing space in p~: ule uteketezao kila kitu kinachouzunguka.

LAM 2:4 Removed trailing space in v~: Ameupinda upinde wake kama adui,

LAM 2:4 Removed trailing space in p~: mkono wake wa kuume uko tayari.

LAM 2:4 Removed trailing space in p~: Kama vile adui amewachinja

LAM 2:4 Removed trailing space in p~: wote waliokuwa wanapendeza jicho,

LAM 2:4 Removed trailing space in p~: amemwaga ghadhabu yake kama moto

LAM 2:4 Removed trailing space in p~: juu ya hema la Binti Sayuni.

LAM 2:5 Removed trailing space in v~: Bwana ni kama adui;

LAM 2:5 Removed trailing space in p~: amemmeza Israeli.

LAM 2:5 Removed trailing space in p~: Amemeza majumba yake yote ya kifalme

LAM 2:5 Removed trailing space in p~: na kuangamiza ngome zake.

LAM 2:5 Removed trailing space in p~: Ameongeza huzuni na maombolezo

LAM 2:5 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya Binti Yuda.

LAM 2:6 Removed trailing space in v~: Ameharibu maskani yake kama bustani,

LAM 2:6 Removed trailing space in p~: ameharibu mahali pake pa mkutano.

LAM 2:6 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amemfanya Sayuni kusahau

LAM 2:6 Removed trailing space in p~: sikukuu zake zilizoamriwa na Sabato zake;

LAM 2:6 Removed trailing space in p~: katika hasira yake kali amewadharau

LAM 2:6 Removed trailing space in p~: mfalme na kuhani.

LAM 2:7 Removed trailing space in v~: Bwana amekataa madhabahu yake

LAM 2:7 Removed trailing space in p~: na kuacha mahali patakatifu pake.

LAM 2:7 Removed trailing space in p~: Amemkabidhi adui kuta

LAM 2:7 Removed trailing space in p~: za majumba yake ya kifalme;

LAM 2:7 Removed trailing space in p~: wamepiga kelele katika nyumba ya \nd Bwana\nd*

LAM 2:7 Removed trailing space in p~: kama katika siku ya sikukuu iliyoamriwa.

LAM 2:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alikusudia kuangusha

LAM 2:8 Removed trailing space in p~: ukuta uliomzunguka Binti Sayuni.

LAM 2:8 Removed trailing space in p~: Ameinyoosha kamba ya kupimia

LAM 2:8 Removed trailing space in p~: na hakuuzuia mkono wake usiangamize.

LAM 2:8 Removed trailing space in p~: Alifanya maboma na kuta ziomboleze,

LAM 2:8 Removed trailing space in p~: vyote vikaharibika pamoja.

LAM 2:9 Removed trailing space in v~: Malango yake yamezama ardhini,

LAM 2:9 Removed trailing space in p~: makomeo yake ameyavunja na kuyaharibu.

LAM 2:9 Removed trailing space in p~: Mfalme wake na wakuu wake wamepelekwa uhamishoni

LAM 2:9 Removed trailing space in p~: miongoni mwa mataifa,

LAM 2:9 Removed trailing space in p~: sheria haipo tena,

LAM 2:9 Removed trailing space in p~: na manabii wake hawapati tena

LAM 2:9 Removed trailing space in p~: maono kutoka kwa \nd Bwana\nd*.

LAM 2:10 Removed trailing space in v~: Wazee wa Binti Sayuni

LAM 2:10 Removed trailing space in p~: wanaketi chini kimya,

LAM 2:10 Removed trailing space in p~: wamenyunyiza mavumbi kwenye vichwa vyao

LAM 2:10 Removed trailing space in p~: na kuvaa nguo za gunia.

LAM 2:10 Removed trailing space in p~: Wanawali wa Yerusalemu

LAM 2:10 Removed trailing space in p~: wamesujudu hadi ardhini.

LAM 2:11 Removed trailing space in v~: Macho yangu yamedhoofika kwa kulia,

LAM 2:11 Removed trailing space in p~: nina maumivu makali ndani,

LAM 2:11 Removed trailing space in p~: moyo wangu umemiminwa ardhini

LAM 2:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu watu wangu wameangamizwa,

LAM 2:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu watoto na wanyonyao wanazimia

LAM 2:11 Removed trailing space in p~: kwenye barabara za mji.

LAM 2:12 Removed trailing space in v~: Wanawaambia mama zao,

LAM 2:12 Removed trailing space in p~: “Wapi mkate na divai?”

LAM 2:12 Removed trailing space in p~: wazimiapo kama watu waliojeruhiwa

LAM 2:12 Removed trailing space in p~: katika barabara za mji,

LAM 2:12 Removed trailing space in p~: maisha yao yadhoofikavyo

LAM 2:12 Removed trailing space in p~: mikononi mwa mama zao.

LAM 2:13 Removed trailing space in v~: Ninaweza kusema nini kwa ajili yako?

LAM 2:13 Removed trailing space in p~: Nikulinganishe na nini,

LAM 2:13 Removed trailing space in p~: ee Binti Yerusalemu?

LAM 2:13 Removed trailing space in p~: Nitakufananisha na nini,

LAM 2:13 Removed trailing space in p~: ili nipate kukufariji,

LAM 2:13 Removed trailing space in p~: ee Bikira Binti Sayuni?

LAM 2:13 Removed trailing space in p~: Jeraha lako lina kina kama bahari.

LAM 2:13 Removed trailing space in p~: Ni nani awezaye kukuponya?

LAM 2:14 Removed trailing space in v~: Maono ya manabii wako

LAM 2:14 Removed trailing space in p~: yalikuwa ya uongo na yasiyofaa kitu,

LAM 2:14 Removed trailing space in p~: hawakuifunua dhambi yako

LAM 2:14 Removed trailing space in p~: ili kukuzuilia kwenda utumwani.

LAM 2:14 Removed trailing space in p~: Maneno waliyokupa

LAM 2:14 Removed trailing space in p~: yalikuwa ya uongo na ya kupotosha.

LAM 2:15 Removed trailing space in v~: Wote wapitiao njia yako

LAM 2:15 Removed trailing space in p~: wanakupigia makofi,

LAM 2:15 Removed trailing space in p~: wanakudhihaki na kutikisa vichwa vyao

LAM 2:15 Removed trailing space in p~: kwa Binti Yerusalemu:

LAM 2:15 Removed trailing space in p~: “Huu ndio ule mji ulioitwa

LAM 2:15 Removed trailing space in p~: mkamilifu wa uzuri,

LAM 2:15 Removed trailing space in p~: furaha ya dunia yote?”

LAM 2:16 Removed trailing space in v~: Adui zako wote wanapanua

LAM 2:16 Removed trailing space in p~: vinywa vyao dhidi yako,

LAM 2:16 Removed trailing space in p~: wanadhihaki na kusaga meno yao

LAM 2:16 Removed trailing space in p~: na kusema, “Tumemmeza.

LAM 2:16 Removed trailing space in p~: Hii ndiyo siku tuliyoingojea,

LAM 2:16 Removed trailing space in p~: tumeishi na kuiona.”

LAM 2:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amefanya lile alilolipanga;

LAM 2:17 Removed trailing space in p~: ametimiza neno lake

LAM 2:17 Removed trailing space in p~: aliloliamuru siku za kale.

LAM 2:17 Removed trailing space in p~: Amekuangusha bila huruma,

LAM 2:17 Removed trailing space in p~: amewaacha adui wakusimange,

LAM 2:17 Removed trailing space in p~: ametukuza pembe ya adui yako.

LAM 2:18 Removed trailing space in v~: Mioyo ya watu

LAM 2:18 Removed trailing space in p~: inamlilia Bwana.

LAM 2:18 Removed trailing space in p~: Ee ukuta wa Binti Sayuni,

LAM 2:18 Removed trailing space in p~: machozi yako na yatiririke kama mto

LAM 2:18 Removed trailing space in p~: usiku na mchana;

LAM 2:18 Removed trailing space in p~: usijipe nafuu,

LAM 2:18 Removed trailing space in p~: macho yako yasipumzike.

LAM 2:19 Removed trailing space in v~: Inuka, lia usiku,

LAM 2:19 Removed trailing space in p~: zamu za usiku zianzapo;

LAM 2:19 Removed trailing space in p~: mimina moyo wako kama maji

LAM 2:19 Removed trailing space in p~: mbele za Bwana.

LAM 2:19 Removed trailing space in p~: Mwinulie yeye mikono yako

LAM 2:19 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya maisha ya watoto wako,

LAM 2:19 Removed trailing space in p~: ambao wanazimia kwa njaa

LAM 2:19 Removed trailing space in p~: kwenye kila mwanzo wa barabara.

LAM 2:20 Removed trailing space in v~: “Tazama, Ee \nd Bwana\nd*, ufikirie:

LAM 2:20 Removed trailing space in p~: Ni nani ambaye umepata

LAM 2:20 Removed trailing space in p~: kumtendea namna hii?

LAM 2:20 Removed trailing space in p~: Je, wanawake wakule wazao wao,

LAM 2:20 Removed trailing space in p~: watoto waliowalea?

LAM 2:20 Removed trailing space in p~: Je, kuhani na nabii auawe

LAM 2:20 Removed trailing space in p~: mahali patakatifu pa Bwana?

LAM 2:21 Removed trailing space in v~: “Vijana na wazee hujilaza pamoja

LAM 2:21 Removed trailing space in p~: katika mavumbi ya barabarani,

LAM 2:21 Removed trailing space in p~: wavulana wangu na wasichana

LAM 2:21 Removed trailing space in p~: wameanguka kwa upanga.

LAM 2:21 Removed trailing space in p~: Umewaua katika siku ya hasira yako,

LAM 2:21 Removed trailing space in p~: umewachinja bila huruma.

LAM 2:22 Removed trailing space in v~: “Kama ulivyoita siku ya karamu,

LAM 2:22 Removed trailing space in p~: ndivyo ulivyoagiza hofu kuu

LAM 2:22 Removed trailing space in p~: dhidi yangu kila upande.

LAM 2:22 Removed trailing space in p~: Katika siku ya hasira ya \nd Bwana\nd*

LAM 2:22 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote aliyekwepa au kupona;

LAM 2:22 Removed trailing space in p~: wale niliowatunza na kuwalea,

LAM 2:22 Removed trailing space in p~: adui yangu amewaangamiza.”

LAM 3:0 Extra space after chapter number

LAM 3:0 Removed trailing space in c: 3

LAM 3:0 Removed trailing space in p~: \f + \fr 3 \ft Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

LAM 3:1 Removed trailing space in v~: Mimi ndiye mtu aliyeona mateso

LAM 3:1 Removed trailing space in p~: kwa fimbo ya ghadhabu yake.

LAM 3:2 Removed trailing space in v~: Amenifukuzia mbali na kunifanya nitembee

LAM 3:2 Removed trailing space in p~: gizani wala si katika nuru;

LAM 3:3 Removed trailing space in v~: hakika, amegeuza mkono wake dhidi yangu

LAM 3:3 Removed trailing space in p~: tena na tena, mchana kutwa.

LAM 3:4 Removed trailing space in v~: Amefanya ngozi yangu na nyama yangu kuchakaa

LAM 3:4 Removed trailing space in p~: na ameivunja mifupa yangu.

LAM 3:5 Removed trailing space in v~: Amenizingira na kunizunguka

LAM 3:5 Removed trailing space in p~: kwa uchungu na taabu.

LAM 3:6 Removed trailing space in v~: Amenifanya niishi gizani

LAM 3:6 Removed trailing space in p~: kama wale waliokufa.

LAM 3:7 Removed trailing space in v~: Amenizungushia ukuta ili nisiweze kutoroka,

LAM 3:7 Removed trailing space in p~: amenifunga kwa minyororo mizito.

LAM 3:8 Removed trailing space in v~: Hata ninapoita au kulia ili kuomba msaada,

LAM 3:8 Removed trailing space in p~: anakataa kupokea maombi yangu.

LAM 3:9 Removed trailing space in v~: Ameizuia njia yangu kwa mapande ya mawe,

LAM 3:9 Removed trailing space in p~: amepotosha njia zangu.

LAM 3:10 Removed trailing space in v~: Kama dubu aviziaye,

LAM 3:10 Removed trailing space in p~: kama simba mafichoni,

LAM 3:11 Removed trailing space in v~: ameniburuta kutoka njia,

LAM 3:11 Removed trailing space in p~: akanirarua na kuniacha bila msaada.

LAM 3:12 Removed trailing space in v~: Amevuta upinde wake

LAM 3:12 Removed trailing space in p~: na kunifanya mimi niwe lengo

LAM 3:12 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya mishale yake.

LAM 3:13 Removed trailing space in v~: Alinichoma moyo wangu kwa mishale

LAM 3:13 Removed trailing space in p~: iliyotoka kwenye podo lake.

LAM 3:14 Removed trailing space in v~: Nimekuwa kichekesho kwa watu wangu wote,

LAM 3:14 Removed trailing space in p~: wananidhihaki kwa wimbo mchana kutwa.

LAM 3:15 Removed trailing space in v~: Amenijaza kwa majani machungu

LAM 3:15 Removed trailing space in p~: na kunishibisha kwa nyongo.

LAM 3:16 Removed trailing space in v~: Amevunja meno yangu kwa changarawe,

LAM 3:16 Removed trailing space in p~: amenikanyagia mavumbini.

LAM 3:17 Removed trailing space in v~: Amani yangu imeondolewa,

LAM 3:17 Removed trailing space in p~: nimesahau kufanikiwa ni nini.

LAM 3:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nasema, “Fahari yangu imeondoka

LAM 3:18 Removed trailing space in p~: na yale yote niliyokuwa nimetarajia kutoka kwa \nd Bwana\nd*.”

LAM 3:19 Removed trailing space in v~: Nayakumbuka mateso yangu na kutangatanga kwangu,

LAM 3:19 Removed trailing space in p~: uchungu na nyongo.

LAM 3:20 Removed trailing space in v~: Ninayakumbuka vyema,

LAM 3:20 Removed trailing space in p~: nayo nafsi yangu imezimia ndani yangu.

LAM 3:21 Removed trailing space in v~: Hata hivyo najikumbusha neno hili

LAM 3:21 Removed trailing space in p~: na kwa hiyo ninalo tumaini.

LAM 3:22 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya upendo mkuu wa \nd Bwana\nd*, hatuangamii,

LAM 3:22 Removed trailing space in p~: kwa kuwa huruma zake hazikomi kamwe.

LAM 3:23 Removed trailing space in v~: Ni mpya kila asubuhi,

LAM 3:23 Removed trailing space in p~: uaminifu wako ni mkuu.

LAM 3:24 Removed trailing space in v~: Nimeiambia nafsi yangu, “\nd Bwana\nd* ni fungu langu,

LAM 3:24 Removed trailing space in p~: kwa hiyo nitamngojea.”

LAM 3:25 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ni mwema kwa wale ambao tumaini lao ni kwake,

LAM 3:25 Removed trailing space in p~: kwa yule ambaye humtafuta;

LAM 3:26 Removed trailing space in v~: ni vyema kungojea kwa utulivu

LAM 3:26 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya wokovu wa \nd Bwana\nd*.

LAM 3:27 Removed trailing space in v~: Ni vyema mtu kuchukua nira

LAM 3:27 Removed trailing space in p~: bado angali kijana.

LAM 3:28 Removed trailing space in v~: Na akae peke yake awe kimya,

LAM 3:28 Removed trailing space in p~: kwa maana \nd Bwana\nd* ameiweka juu yake.

LAM 3:29 Removed trailing space in v~: Na azike uso wake mavumbini

LAM 3:29 Removed trailing space in p~: bado panawezekana kuwa na matumaini.

LAM 3:30 Removed trailing space in v~: Na atoe shavu lake kwa yule ampigaye,

LAM 3:30 Removed trailing space in p~: na ajazwe na aibu.

LAM 3:31 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa watu hawakatiliwi mbali

LAM 3:31 Removed trailing space in p~: na Bwana milele.

LAM 3:32 Removed trailing space in v~: Ingawa huleta huzuni, ataonyesha huruma,

LAM 3:32 Removed trailing space in p~: kwa kuwa upendo wake usiokoma ni mkuu.

LAM 3:33 Removed trailing space in v~: Kwa maana hapendi kuwaletea mateso

LAM 3:33 Removed trailing space in p~: au huzuni watoto wa wanadamu.

LAM 3:34 Removed trailing space in v~: Kuwaponda chini ya nyayo

LAM 3:34 Removed trailing space in p~: wafungwa wote katika nchi,

LAM 3:35 Removed trailing space in v~: Kumnyima mtu haki zake

LAM 3:35 Removed trailing space in p~: mbele za Aliye Juu Sana,

LAM 3:36 Removed trailing space in v~: kumnyima mtu haki:

LAM 3:36 Removed trailing space in p~: Je, Bwana asione mambo kama haya?

LAM 3:37 Removed trailing space in v~: Nani awezaye kusema nalo likatendeka

LAM 3:37 Removed trailing space in p~: kama Bwana hajaamuru?

LAM 3:38 Removed trailing space in v~: Je, si ni kwenye kinywa cha Aliye Juu Sana

LAM 3:38 Removed trailing space in p~: ndiko yatokako maafa na mambo mema?

LAM 3:39 Removed trailing space in v~: Mwanadamu yeyote aliye hai aweza kulalamika

LAM 3:39 Removed trailing space in p~: wakati anapoadhibiwa kwa ajili ya dhambi zake?

LAM 3:40 Removed trailing space in v~: Tuzichunguze njia zetu na kuzijaribu,

LAM 3:40 Removed trailing space in p~: na tumrudie \nd Bwana\nd* Mungu.

LAM 3:41 Removed trailing space in v~: Tuinue mioyo yetu pamoja na mikono yetu

LAM 3:41 Removed trailing space in p~: kwa Mungu mbinguni, na tuseme:

LAM 3:42 Removed trailing space in v~: “Tumetenda dhambi na kuasi

LAM 3:42 Removed trailing space in p~: nawe hujasamehe.

LAM 3:43 Removed trailing space in v~: “Umejifunika mwenyewe kwa hasira na kutufuatilia;

LAM 3:43 Removed trailing space in p~: umetuchinja bila huruma.

LAM 3:44 Removed trailing space in v~: Unajifunika mwenyewe kwa wingu,

LAM 3:44 Removed trailing space in p~: ili pasiwe na ombi

LAM 3:44 Removed trailing space in p~: litakaloweza kupenya.

LAM 3:45 Removed trailing space in v~: Umetufanya takataka na uchafu

LAM 3:45 Removed trailing space in p~: miongoni mwa mataifa.

LAM 3:46 Removed trailing space in v~: “Adui zetu wote wamefumbua vinywa vyao

LAM 3:46 Removed trailing space in p~: wazi dhidi yetu.

LAM 3:47 Removed trailing space in v~: Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula,

LAM 3:47 Removed trailing space in p~: uharibifu na maangamizi.”

LAM 3:48 Removed trailing space in v~: Vijito vya machozi vinatiririka kutoka machoni mwangu,

LAM 3:48 Removed trailing space in p~: kwa sababu watu wangu wameangamizwa.

LAM 3:49 Removed trailing space in v~: Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma,

LAM 3:49 Removed trailing space in p~: bila kupata nafuu,

LAM 3:50 Removed trailing space in v~: hadi \nd Bwana\nd* atazame chini

LAM 3:50 Removed trailing space in p~: kutoka mbinguni na kuona.

LAM 3:51 Removed trailing space in v~: Lile ninaloliona huniletea huzuni nafsini

LAM 3:51 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya wanawake wote wa mji wangu.

LAM 3:52 Removed trailing space in v~: Wale waliokuwa adui zangu bila sababu

LAM 3:52 Removed trailing space in p~: wameniwinda kama ndege.

LAM 3:53 Removed trailing space in v~: Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya shimo

LAM 3:53 Removed trailing space in p~: na kunitupia mawe;

LAM 3:54 Removed trailing space in v~: maji yalifunika juu ya kichwa changu,

LAM 3:54 Removed trailing space in p~: nami nikafikiri nilikuwa karibu

LAM 3:54 Removed trailing space in p~: kukatiliwa mbali.

LAM 3:55 Removed trailing space in v~: Nililiitia jina lako, Ee \nd Bwana\nd*,

LAM 3:55 Removed trailing space in p~: kutoka vina vya shimo.

LAM 3:56 Removed trailing space in v~: Ulisikia ombi langu: “Usikizibie masikio yako

LAM 3:56 Removed trailing space in p~: kilio changu nikuombapo msaada.”

LAM 3:57 Removed trailing space in v~: Ulikuja karibu nilipokuita,

LAM 3:57 Removed trailing space in p~: nawe ukasema, “Usiogope.”

LAM 3:58 Removed trailing space in v~: Ee Bwana, ulichukua shauri langu,

LAM 3:58 Removed trailing space in p~: ukaukomboa uhai wangu.

LAM 3:59 Removed trailing space in v~: Umeona, Ee \nd Bwana\nd*, ubaya niliotendewa.

LAM 3:59 Removed trailing space in p~: Tetea shauri langu!

LAM 3:60 Removed trailing space in v~: Umeona kina cha kisasi chao,

LAM 3:60 Removed trailing space in p~: mashauri yao yote mabaya dhidi yangu.

LAM 3:61 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, umesikia matukano yao,

LAM 3:61 Removed trailing space in p~: mashauri yao yote mabaya dhidi yangu:

LAM 3:62 Removed trailing space in v~: kile adui zangu wanachonongʼona na kunungʼunikia

LAM 3:62 Removed trailing space in p~: dhidi yangu mchana kutwa.

LAM 3:63 Removed trailing space in v~: Watazame! Wakiwa wameketi au wamesimama,

LAM 3:63 Removed trailing space in p~: wananidhihaki katika nyimbo zao.

LAM 3:64 Removed trailing space in v~: Uwalipe kile wanachostahili, Ee \nd Bwana\nd*,

LAM 3:64 Removed trailing space in p~: kwa yale ambayo mikono yao imetenda.

LAM 3:65 Removed trailing space in v~: Weka pazia juu ya mioyo yao,

LAM 3:65 Removed trailing space in p~: laana yako na iwe juu yao!

LAM 3:66 Removed trailing space in v~: Wafuatilie katika hasira na uwaangamize

LAM 3:66 Removed trailing space in p~: kutoka chini ya mbingu za \nd Bwana\nd*.

LAM 4:0 Extra space after chapter number

LAM 4:0 Removed trailing space in c: 4

LAM 4:0 Removed trailing space in p~: \f + \fr 4 \ft Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari katika lile beti, na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.\f*

LAM 4:1 Removed trailing space in v~: Jinsi dhahabu ilivyopoteza mngʼao wake,

LAM 4:1 Removed trailing space in p~: dhahabu iliyo safi haingʼai!

LAM 4:1 Removed trailing space in p~: Vito vya thamani vimetawanywa

LAM 4:1 Removed trailing space in p~: kwenye mwanzo wa kila barabara.

LAM 4:2 Removed trailing space in v~: Wana wa Sayuni wenye thamani,

LAM 4:2 Removed trailing space in p~: ambao mwanzo uzito wa thamani yao

LAM 4:2 Removed trailing space in p~: ulikuwa wa dhahabu,

LAM 4:2 Removed trailing space in p~: sasa wanaangaliwa kama vyungu vya udongo,

LAM 4:2 Removed trailing space in p~: kazi ya mikono ya mfinyanzi!

LAM 4:3 Removed trailing space in v~: Hata mbweha hutoa matiti yao

LAM 4:3 Removed trailing space in p~: kunyonyesha watoto wao,

LAM 4:3 Removed trailing space in p~: lakini watu wangu wamekuwa wasio na huruma

LAM 4:3 Removed trailing space in p~: kama mbuni jangwani.

LAM 4:4 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya kiu ulimi wa mtoto mchanga

LAM 4:4 Removed trailing space in p~: umegandamana na kaakaa la kinywa chake,

LAM 4:4 Removed trailing space in p~: watoto huomba mkate,

LAM 4:4 Removed trailing space in p~: lakini hakuna yeyote awapaye.

LAM 4:5 Removed trailing space in v~: Wale waliokula vyakula vya kifahari

LAM 4:5 Removed trailing space in p~: ni maskini barabarani.

LAM 4:5 Removed trailing space in p~: Wale waliokuzwa wakivaa nguo za zambarau

LAM 4:5 Removed trailing space in p~: sasa wanalalia majivu.

LAM 4:6 Removed trailing space in v~: Adhabu ya watu wangu

LAM 4:6 Removed trailing space in p~: ni kubwa kuliko ile ya Sodoma,

LAM 4:6 Removed trailing space in p~: ambayo ilipinduliwa ghafula

LAM 4:6 Removed trailing space in p~: bila kuwepo mkono wa msaada.

LAM 4:7 Removed trailing space in v~: Wakuu wao walikuwa wamengʼaa kuliko theluji

LAM 4:7 Removed trailing space in p~: na weupe kuliko maziwa,

LAM 4:7 Removed trailing space in p~: miili yao ilikuwa myekundu kuliko marijani,

LAM 4:7 Removed trailing space in p~: kuonekana kwao kama yakuti samawi.

LAM 4:8 Removed trailing space in v~: Lakini sasa ni weusi kuliko masizi;

LAM 4:8 Removed trailing space in p~: hawatambulikani barabarani.

LAM 4:8 Removed trailing space in p~: Ngozi yao imeshikamana juu ya mifupa yao,

LAM 4:8 Removed trailing space in p~: imekuwa mikavu kama fimbo.

LAM 4:9 Removed trailing space in v~: Wale waliouawa kwa upanga ni bora

LAM 4:9 Removed trailing space in p~: kuliko wale wanaokufa njaa;

LAM 4:9 Removed trailing space in p~: wanateseka kwa njaa, wanatokomea

LAM 4:9 Removed trailing space in p~: kwa kukosa chakula kutoka shambani.

LAM 4:10 Removed trailing space in v~: Kwa mikono yao wenyewe wanawake wenye huruma

LAM 4:10 Removed trailing space in p~: wanapika watoto wao wenyewe,

LAM 4:10 Removed trailing space in p~: waliokuwa chakula chao

LAM 4:10 Removed trailing space in p~: watu wangu walipoangamizwa.

LAM 4:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* ametoa nafasi kamilifu ya ghadhabu yake;

LAM 4:11 Removed trailing space in p~: ameimwaga hasira yake kali.

LAM 4:11 Removed trailing space in p~: Amewasha moto katika Sayuni

LAM 4:11 Removed trailing space in p~: ambao umeteketeza misingi yake.

LAM 4:12 Removed trailing space in v~: Wafalme wa dunia hawakuamini,

LAM 4:12 Removed trailing space in p~: wala mtu yeyote wa duniani,

LAM 4:12 Removed trailing space in p~: kwamba adui na watesi wangeweza kuingia

LAM 4:12 Removed trailing space in p~: kwenye malango ya Yerusalemu.

LAM 4:13 Removed trailing space in v~: Lakini hili lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake,

LAM 4:13 Removed trailing space in p~: na maovu ya makuhani wake,

LAM 4:13 Removed trailing space in p~: waliomwaga ndani yake

LAM 4:13 Removed trailing space in p~: damu ya wenye haki.

LAM 4:14 Removed trailing space in v~: Sasa wanapapasa papasa barabarani

LAM 4:14 Removed trailing space in p~: kama watu ambao ni vipofu.

LAM 4:14 Removed trailing space in p~: Wamenajisiwa kabisa kwa damu,

LAM 4:14 Removed trailing space in p~: hata hakuna anayethubutu kugusa mavazi yao.

LAM 4:15 Removed trailing space in v~: Watu wanawapigia kelele, “Ondokeni! Ninyi ni najisi!

LAM 4:15 Removed trailing space in p~: Ondokeni! Ondokeni! Msituguse!”

LAM 4:15 Removed trailing space in p~: Wanapokimbia na kutangatanga huku na huko,

LAM 4:15 Removed trailing space in p~: watu miongoni mwa mataifa wanasema,

LAM 4:15 Removed trailing space in p~: “Hawawezi kukaa hapa zaidi.”

LAM 4:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* mwenyewe amewatawanya;

LAM 4:16 Removed trailing space in p~: hawaangalii tena.

LAM 4:16 Removed trailing space in p~: Makuhani hawaonyeshwi heshima,

LAM 4:16 Removed trailing space in p~: wazee hawakubaliki.

LAM 4:17 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, macho yetu yalichoka,

LAM 4:17 Removed trailing space in p~: kwa kutazamia bure msaada;

LAM 4:17 Removed trailing space in p~: tuliangalia kutoka minara yetu

LAM 4:17 Removed trailing space in p~: kwa taifa lisiloweza kutuokoa.

LAM 4:18 Removed trailing space in v~: Watu walituvizia katika kila hatua

LAM 4:18 Removed trailing space in p~: hata hatukuweza kutembea katika barabara zetu.

LAM 4:18 Removed trailing space in p~: Mwisho wetu ulikuwa karibu, siku zetu zilikuwa zimetimia,

LAM 4:18 Removed trailing space in p~: kwa maana mwisho wetu ulikuwa umefika.

LAM 4:19 Removed trailing space in v~: Waliotufuatia walikuwa wepesi

LAM 4:19 Removed trailing space in p~: kuliko tai angani;

LAM 4:19 Removed trailing space in p~: walitusaka juu milimani

LAM 4:19 Removed trailing space in p~: na kutuvizia jangwani.

LAM 4:20 Removed trailing space in v~: Mpakwa mafuta wa \nd Bwana\nd*, pumzi ya uhai wetu hasa,

LAM 4:20 Removed trailing space in p~: alinaswa katika mitego yao.

LAM 4:20 Removed trailing space in p~: Tulifikiri kwamba chini ya kivuli chake

LAM 4:20 Removed trailing space in p~: tungeliweza kuishi miongoni mwa mataifa.

LAM 4:21 Removed trailing space in v~: Shangilia na ufurahi, ee Binti Edomu,

LAM 4:21 Removed trailing space in p~: wewe unayeishi nchi ya Usi.

LAM 4:21 Removed trailing space in p~: Lakini kwako pia kikombe kitapitishwa,

LAM 4:21 Removed trailing space in p~: Utalewa na kuvuliwa nguo ubaki uchi.

LAM 4:22 Removed trailing space in v~: Ee Binti Sayuni, adhabu yako itaisha,

LAM 4:22 Removed trailing space in p~: hatarefusha muda wako wa kukaa uhamishoni.

LAM 4:22 Removed trailing space in p~: Lakini, ee Binti Edomu, ataadhibu dhambi yako,

LAM 4:22 Removed trailing space in p~: na atafunua uovu wako.

LAM 5:0 Extra space after chapter number

LAM 5:0 Removed trailing space in c: 5

LAM 5:1 Removed trailing space in v~: Kumbuka, Ee \nd Bwana\nd*, yaliyotupata,

LAM 5:1 Removed trailing space in p~: tazama, nawe uione aibu yetu.

LAM 5:2 Removed trailing space in v~: Urithi wetu umegeuziwa kwa wageni,

LAM 5:2 Removed trailing space in p~: na nyumba zetu kwa wageni.

LAM 5:3 Removed trailing space in v~: Tumekuwa yatima wasio na baba,

LAM 5:3 Removed trailing space in p~: mama zetu wamekuwa kama wajane.

LAM 5:4 Removed trailing space in v~: Ni lazima tununue maji tunayokunywa,

LAM 5:4 Removed trailing space in p~: kuni zetu zapatikana tu kwa kununua.

LAM 5:5 Removed trailing space in v~: Wanaotufuatilia wapo kwenye visigino vyetu,

LAM 5:5 Removed trailing space in p~: tumechoka na hakuna pumziko.

LAM 5:6 Removed trailing space in v~: Tumejitolea kwa Misri na Ashuru

LAM 5:6 Removed trailing space in p~: tupate chakula cha kutosha.

LAM 5:7 Removed trailing space in v~: Baba zetu walitenda dhambi na hawapo tena,

LAM 5:7 Removed trailing space in p~: na sisi tunachukua adhabu yao.

LAM 5:8 Removed trailing space in v~: Watumwa wanatutawala

LAM 5:8 Removed trailing space in p~: na hakuna wa kutuokoa mikononi yao.

LAM 5:9 Removed trailing space in v~: Tunapata chakula chetu kwa kuhatarisha maisha yetu

LAM 5:9 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya upanga jangwani.

LAM 5:10 Removed trailing space in v~: Ngozi yetu ina joto kama tanuru,

LAM 5:10 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya fadhaa itokanayo na njaa.

LAM 5:11 Removed trailing space in v~: Wanawake wametendwa jeuri katika Sayuni,

LAM 5:11 Removed trailing space in p~: na mabikira katika miji ya Yuda.

LAM 5:12 Removed trailing space in v~: Wakuu wametungikwa juu kwa mikono yao,

LAM 5:12 Removed trailing space in p~: wazee hawapewi heshima.

LAM 5:13 Removed trailing space in v~: Vijana wanataabika kwenye mawe ya kusagia,

LAM 5:13 Removed trailing space in p~: wavulana wanayumbayumba chini ya mizigo ya kuni.

LAM 5:14 Removed trailing space in v~: Wazee wameondoka langoni la mji,

LAM 5:14 Removed trailing space in p~: vijana wameacha kuimba nyimbo zao.

LAM 5:15 Removed trailing space in v~: Furaha imeondoka mioyoni mwetu,

LAM 5:15 Removed trailing space in p~: kucheza kwetu kumegeuka maombolezo.

LAM 5:16 Removed trailing space in v~: Taji imeanguka kutoka kichwani petu.

LAM 5:16 Removed trailing space in p~: Ole wetu, kwa maana tumetenda dhambi!

LAM 5:17 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hiyo, mioyo yetu inazimia,

LAM 5:17 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya hayo, macho yetu yamefifia,

LAM 5:18 Removed trailing space in v~: kwa ajili ya Mlima Sayuni, ambao unakaa ukiwa,

LAM 5:18 Removed trailing space in p~: nao mbweha wanatembea juu yake.

LAM 5:19 Removed trailing space in v~: Wewe, Ee \nd Bwana\nd* unatawala milele,

LAM 5:19 Removed trailing space in p~: kiti chako cha enzi chadumu kizazi hadi kizazi.

LAM 5:20 Removed trailing space in v~: Kwa nini watusahau siku zote?

LAM 5:20 Removed trailing space in p~: Kwa nini umetuacha kwa muda mrefu?

LAM 5:21 Removed trailing space in v~: Turudishe kwako mwenyewe, Ee \nd Bwana\nd*,

LAM 5:21 Removed trailing space in p~: ili tupate kurudi.

LAM 5:21 Removed trailing space in p~: Zifanye mpya siku zetu kama siku za kale,

LAM 5:22 Removed trailing space in v~: isipokuwa uwe umetukataa kabisa

LAM 5:22 Removed trailing space in p~: na umetukasirikia pasipo kipimo.

EZE 2:0 Extra space after chapter number

EZE 2:0 Removed trailing space in c: 2

EZE 2:0 Removed trailing space in s1: Wito Wa Ezekieli

EZE 2:1 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Mwanadamu, simama kwa miguu yako nami nitasema nawe.”

EZE 2:2 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akiongea nami, Roho akanijia na kunisimamisha wima, nikamsikia akisema nami.

EZE 2:3 Removed trailing space in v~: Akaniambia: “Mwanadamu, ninakutuma kwa Waisraeli, kwa taifa asi ambalo limeniasi mimi, wao na baba zao wananikosea mimi hadi leo.

EZE 2:4 Removed trailing space in v~: Watu ambao ninakutuma kwao ni wapotovu na wakaidi. Waambie, ‘Hivi ndivyo anavyosema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’

EZE 2:5 Removed trailing space in v~: Kama watasikiliza au hawatasikiliza, kwa kuwa wao ni nyumba ya kuasi, watajua nabii amekuwa miongoni mwao.

EZE 2:6 Removed trailing space in v~: Nawe mwanadamu, usiwaogope wao wala maneno yao, usiogope, ingawa michongoma na miiba vinakuzunguka na unaishi katikati ya nge. Usiogope yale wasemayo wala usitishwe nao, ingawa wao ni nyumba ya uasi.

EZE 2:7 Removed trailing space in v~: Wewe lazima uwaambie maneno yangu, ikiwa wanasikiliza au hawasikilizi, kwa kuwa wao ni watu waasi.

EZE 2:8 Removed trailing space in v~: Lakini wewe mwanadamu, sikiliza ninalokuambia. Usiwe mwenye kuasi kama hiyo nyumba ya kuasi. Fungua kinywa chako na ule nikupacho.”

EZE 2:9 Removed trailing space in v~: Ndipo nikatazama, nami nikaona mkono ulionyooshwa kunielekea. Nao ulikuwa na ukurasa wa kitabu,

EZE 2:10 Removed trailing space in v~: ambao aliukunjua mbele yangu. Pande zote mbili ulikuwa umeandikwa maneno ya maombolezo, vilio na ole.

EZE 3:0 Extra space after chapter number

EZE 3:0 Removed trailing space in c: 3

EZE 3:1 Removed trailing space in v~: Naye akaniambia, “Mwanadamu, kula kile kilichoko mbele yako, kula huu ukurasa wa kitabu, kisha uende ukaseme na nyumba ya Israeli.”

EZE 3:2 Removed trailing space in v~: Ndipo nikafungua kinywa changu, naye akanilisha ule ukurasa wa kitabu.

EZE 3:3 Removed trailing space in v~: Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, kula ukurasa huu wa kitabu ninaokupa ujaze tumbo lako.” Kwa hiyo nikaula, ulikuwa mtamu kama asali kinywani mwangu.

EZE 3:4 Removed trailing space in v~: Kisha akaniambia, “Mwanadamu, sasa nenda katika nyumba ya Israeli ukaseme nao maneno yangu.

EZE 3:5 Removed trailing space in v~: Hukutumwa kwa taifa lenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu, bali kwa nyumba ya Israeli.

EZE 3:6 Removed trailing space in v~: Sikukutuma kwa mataifa mengi yenye maneno ya kutatiza na lugha ngumu ambao maneno yao hutayaelewa. Hakika ningekutuma kwa watu hao, wangekusikiliza.

EZE 3:7 Removed trailing space in v~: Lakini nyumba ya Israeli haitakusikiliza kwa kuwa hawako radhi kunisikiliza mimi, kwa kuwa nyumba yote ya Israeli ni wenye vipaji vya nyuso vigumu na mioyo ya ukaidi.

EZE 3:8 Removed trailing space in v~: Tazama nimefanya uso wako mgumu dhidi ya nyuso zao na kipaji cha uso wako kigumu dhidi ya vipaji vya nyuso zao.

EZE 3:9 Removed trailing space in v~: Kama vile almasi ilivyo ngumu kuliko gumegume, ndivyo nilivyokifanya kipaji cha uso wako. Usiwaogope wala usiwahofu, ijapokuwa ni nyumba ya kuasi.”

EZE 3:10 Removed trailing space in v~: Naye akaniambia, “Mwanadamu, sikiliza kwa makini na uyatie moyoni mwako maneno yote nitakayosema nawe.

EZE 3:11 Removed trailing space in v~: Kisha nenda kwa watu wa taifa lako walio uhamishoni, ukaseme nao. Waambie, ‘Hivi ndivyo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemavyo,’ kwamba watasikiliza au hawatasikiliza.”

EZE 3:12 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho akaniinua, nikasikia sauti kubwa nyuma yangu ya ngurumo. (Utukufu wa \nd Bwana\nd* na utukuzwe katika mahali pa makao yake!)

EZE 3:13 Removed trailing space in v~: Ilikuwa ni sauti ya mabawa ya wale viumbe hai yakisuguana moja kwa jingine, sauti kama ya ngurumo.

EZE 3:14 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho aliponiinua na kunipeleka mbali. Nikaenda nikiwa na uchungu na hasira moyoni mwangu, nao mkono wa \nd Bwana\nd* ukiwa juu yangu.

EZE 3:15 Removed trailing space in v~: Nikafika kwa wale watu waliokuwa uhamishoni huko Tel-Abibu karibu na Mto Kebari. Nikakaa miongoni mwao kwa muda wa siku saba, nikiwa nimejawa na mshangao.

EZE 3:15 Removed trailing space in s1: Onyo Kwa Israeli

EZE 3:16 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa hizo siku saba neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 3:17 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, nimekufanya uwe mlinzi wa nyumba ya Israeli, kwa hiyo sikia neno nisemalo, ukawape onyo litokalo kwangu.

EZE 3:18 Removed trailing space in v~: Nimwambiapo mtu mwovu, ‘Hakika utakufa,’ na wewe usipomwonya mtu huyo au kumshauri aache njia zake mbaya ili kuokoa maisha yake, huyo mtu mwovu atakufa katika dhambi yake na damu yake nitaidai mkononi mwako.

EZE 3:19 Removed trailing space in v~: Lakini ukimwonya mtu mwovu naye akakataa kuacha uovu wake na njia zake mbaya, atakufa katika dhambi yake, lakini wewe utakuwa umejiokoa nafsi yako.

EZE 3:20 Removed trailing space in v~: “Tena, mtu mwenye haki akiacha haki yake na kutenda maovu, nami nikaweka kikwazo mbele yake mtu huyo atakufa. Kwa kuwa hukumwonya, atakufa katika dhambi yake. Mambo ya haki aliyotenda, hayatakumbukwa, damu yake nitaidai mkononi mwako.

EZE 3:21 Removed trailing space in v~: Lakini ukimwonya mwenye haki asitende dhambi na akaacha kutenda dhambi, hakika ataishi kwa sababu alipokea maonyo na utakuwa umejiokoa nafsi yako.”

EZE 3:22 Removed trailing space in v~: Mkono wa \nd Bwana\nd* ulikuwa juu yangu huko, naye akaniambia, “Simama uende mpaka sehemu tambarare, nami nitasema nawe huko.”

EZE 3:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo niliinuka nikaenda mpaka mahali pa tambarare. Utukufu wa \nd Bwana\nd* ulikuwa umesimama huko, kama utukufu ule niliouona kando ya Mto Kebari, nami nikaanguka kifudifudi.

EZE 3:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho akaja ndani yangu akanisimamisha kwa miguu yangu. Akasema nami akaniambia: “Nenda ukajifungie ndani ya nyumba yako.

EZE 3:25 Removed trailing space in v~: Nawe, ee mwanadamu, watakufunga kwa kamba, watakufunga ili usiweze kutoka na kuwaendea watu.

EZE 3:26 Removed trailing space in v~: Nitaufanya ulimi wako ushikamane kwenye kaa la kinywa chako, ili uwe kimya usiweze kuwakemea, wajapokuwa ni nyumba ya kuasi.

EZE 3:27 Removed trailing space in v~: Lakini nitakaposema nawe, nitafungua kinywa chako nawe utawaambia, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo.’ Yeyote atakayesikiliza na asikilize, na yeyote atakayekataa na akatae; kwa kuwa wao ni nyumba ya kuasi.

EZE 4:0 Extra space after chapter number

EZE 4:0 Removed trailing space in c: 4

EZE 4:0 Removed trailing space in s1: Kuzingirwa Kwa Yerusalemu Kwaonyeshwa Kwa Mfano

EZE 4:1 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, sasa chukua tofali, uliweke mbele yako na uchore juu yake ramani ya mji wa Yerusalemu.

EZE 4:2 Removed trailing space in v~: Kisha uuzingire: Simamisha askari dhidi yake kuuzunguka, uzunguke kwa majeshi, weka kambi dhidi yake pande zote pamoja na magogo ya kubomolea boma vitani.

EZE 4:3 Removed trailing space in v~: Kisha chukua bamba la chuma, ukalisimamishe liwe kama ukuta wa chuma kati yako na huo mji, nawe uuelekeze uso wako. Huo mji utakuwa katika hali ya kuzingirwa, nawe utauzingira. Hii itakuwa ishara kwa nyumba ya Israeli.

EZE 4:4 Removed trailing space in v~: “Kisha ulale kwa upande wako wa kushoto na uweke dhambi za nyumba ya Israeli juu yake. Utazibeba dhambi zao kwa idadi ya siku utakazolala kwa huo upande mmoja.

EZE 4:5 Removed trailing space in v~: Nimekupangia idadi ya siku kama miaka ya dhambi yao. Kwa hiyo kwa siku 390 utabeba dhambi za nyumba ya Israeli.

EZE 4:6 Removed trailing space in v~: “Baada ya kumaliza hili, lala chini tena, wakati huu ulale chini kwa upande wa kuume, uchukue dhambi za nyumba ya Yuda. Nimekupangia siku arobaini, siku moja kwa kila mwaka mmoja.

EZE 4:7 Removed trailing space in v~: Geuza uso wako uelekeze kwenye kuzingirwa kwa Yerusalemu na mkono wako ambao haukuvikwa nguo tabiri dhidi yake.

EZE 4:8 Removed trailing space in v~: Nitakufunga kwa kamba ili usiweze kugeuka kutoka upande mmoja hadi upande mwingine, mpaka hapo utakapokuwa umetimiza siku za kuzingirwa kwako.

EZE 4:9 Removed trailing space in v~: “Chukua ngano na shayiri, maharagwe na dengu, mtama na mawele, uviweke na kuvihifadhi vyote kwenye gudulia la kuhifadhia, na uvitumie kujitengenezea mkate. Utaula mkate huo kwa hizo siku 390 utakazokuwa umelala kwa upande mmoja.

EZE 4:10 Removed trailing space in v~: Pima shekeli ishirini\f + \fr 4:10 \ft Shekeli 20 ni sawa na gramu 200.\f* za chakula utakachokula kwa kila siku, nawe utakula kwa wakati uliopangwa.

EZE 4:11 Removed trailing space in v~: Pia pima maji moja ya sita ya hini,\f + \fr 4:11 \ft Moja ya sita ya hini ni sawa na mililita (ml) 600.\f* nawe utakunywa kwa wakati uliopangwa.

EZE 4:12 Removed trailing space in v~: Nawe utakula chakula kama vile ambavyo ungekula mkate wa shayiri, uoke mkate mbele ya macho ya watu, ukitumia kinyesi cha mwanadamu.”

EZE 4:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akasema, “Hivi ndivyo watu wa Israeli watakavyokula chakula kilicho najisi miongoni mwa mataifa ninakowapeleka.”

EZE 4:14 Removed trailing space in v~: Ndipo nikasema, “Sivyo \nd Bwana\nd* Mwenyezi! Kamwe mimi sijajitia unajisi. Tangu ujana wangu hadi sasa sijala kamwe kitu chochote kilichokufa au kilichoraruliwa na wanyama wa mwituni. Hakuna nyama yeyote najisi iliyoingia kinywani mwangu.”

EZE 4:15 Removed trailing space in v~: Akasema, “Vema sana, basi nitakuruhusu uoke mkate wako kwa kutumia kinyesi cha ngʼombe badala ya kinyesi cha mwanadamu.”

EZE 4:16 Removed trailing space in v~: Ndipo Mungu akaniambia, “Mwanadamu, mimi nitakatilia mbali upatikanaji wa chakula katika Yerusalemu. Watu watakula chakula cha kupimwa kwa wasiwasi pamoja na maji ya kupimiwa kwa kukata tamaa,

EZE 4:17 Removed trailing space in v~: kwa kuwa chakula na maji vitakuwa adimu. Watastajabiana kila mmoja, nao watadhoofika kwa sababu ya dhambi yao.

EZE 5:0 Extra space after chapter number

EZE 5:0 Removed trailing space in c: 5

EZE 5:0 Removed trailing space in s1: Upanga Dhidi Ya Yerusalemu

EZE 5:1 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, sasa chukua upanga mkali na uutumie kama wembe wa kinyozi ili kunyolea nywele za kichwa chako na ndevu zako. Kisha uchukue mizani ya kupimia ukazigawanye nywele hizo.

EZE 5:2 Removed trailing space in v~: Wakati siku zako za kuzingirwa zitakapokwisha, choma theluthi moja ya hizo nywele zako kwa moto ndani ya mji. Chukua theluthi nyingine ya hizo nywele uzipige kwa upanga kuuzunguka mji wote na theluthi nyingine ya mwisho utaitawanya kwa upepo. Kwa kuwa nitawafuatia kwa upanga uliofutwa.

EZE 5:3 Removed trailing space in v~: Lakini chukua nywele chache uzifungie ndani ya pindo la vazi lako.

EZE 5:4 Removed trailing space in v~: Tena chukua nywele nyingine chache uzitupe motoni uziteketeze. Moto utaenea kutoka humo na kufika katika nyumba yote ya Israeli.

EZE 5:5 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Huu ndio Yerusalemu ambao nimeuweka katikati ya mataifa ukiwa umezungukwa na nchi pande zote.

EZE 5:6 Removed trailing space in v~: Lakini katika uovu wake umeasi sheria na amri zangu kuliko mataifa na nchi zinazouzunguka. Umeasi sheria zangu wala haukufuata amri zangu.

EZE 5:7 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ninyi mmekuwa wakaidi kuliko mataifa yanayowazunguka na hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria zangu. Wala hamkuweza hata kuzifuata kawaida za mataifa yanayowazunguka.

EZE 5:8 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo, Mimi mwenyewe, niko kinyume nanyi Yerusalemu, nitawapiga kwa adhabu yangu mbele ya mataifa.

EZE 5:9 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya sanamu zenu zote za machukizo, nitawafanyia kile ambacho kamwe sijawafanyia kabla wala kamwe sitawafanyia tena.

EZE 5:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo katikati yenu baba watakula watoto wao na watoto watakula baba zao. Nitawapiga kwa adhabu, nami nitawatawanya watu wenu walionusurika pande zote za dunia.

EZE 5:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, kwa kuwa mmenajisi mahali pangu patakatifu kwa sanamu zenu mbaya sana na desturi zenu za machukizo, mimi mwenyewe nitaondoa fadhili zangu kwenu.

EZE 5:12 Removed trailing space in v~: Theluthi ya watu wako watakufa kwa tauni au kwa njaa humu ndani yako, theluthi nyingine itaanguka kwa upanga nje ya kuta zako, nayo theluthi nyingine nitaitawanya kwenye pande nne kuwafuatia kwa upanga uliofutwa.

EZE 5:13 Removed trailing space in v~: “Ndipo hasira yangu itakapokoma na ghadhabu yangu dhidi yao itatulia, nami nitakuwa nimelipiza kisasi. Baada ya kuimaliza ghadhabu yangu juu yao, watajua kuwa mimi \nd Bwana\nd* nimenena katika wivu wangu.

EZE 5:14 Removed trailing space in v~: “Nitakuangamiza na kukufanya kitu cha kudharauliwa miongoni mwa mataifa yanayokuzunguka, machoni pa watu wote wapitao karibu nawe.

EZE 5:15 Removed trailing space in v~: Utakuwa kitu cha kudharauliwa na cha aibu, cha dhihaka, ovyo na kitu cha kutisha kwa mataifa yanayokuzunguka, nitakapokupiga kwa adhabu yangu katika hasira na ghadhabu yangu kwa kukukemea kwa ukali. Mimi \nd Bwana\nd* nimesema.

EZE 5:16 Removed trailing space in v~: Nitakapokupiga kwa mishale yangu ya kufisha na yenye kuharibu ya njaa, nitaipiga ili kukuangamiza. Nitaleta njaa zaidi na zaidi juu yako na kukomesha upatikanaji wa chakula kwako.

EZE 5:17 Removed trailing space in v~: Nitapeleka njaa na wanyama wa mwituni dhidi yenu, navyo vitawaacha bila watoto. Tauni na umwagaji wa damu utapita katikati yenu, nami nitaleta upanga juu yenu. Mimi \nd Bwana\nd* nimenena haya.”

EZE 6:0 Extra space after chapter number

EZE 6:0 Removed trailing space in c: 6

EZE 6:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Milima Ya Israeli

EZE 6:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema,

EZE 6:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, elekeza uso wako kukabili milima ya Israeli, utabiri dhidi yake

EZE 6:3 Removed trailing space in v~: na useme: ‘Ee milima ya Israeli, sikia neno la \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi aliambiayo milima na vilima, magenge na mabonde: Ninakaribia kuleta upanga dhidi yenu, nami nitapaharibu mahali penu pote pa juu pa kuabudia miungu.

EZE 6:4 Removed trailing space in v~: Madhabahu yenu yatabomolewa na madhabahu yenu ya kufukizia uvumba yatavunjavunjwa, nami nitawachinja watu wenu mbele ya sanamu zenu.

EZE 6:5 Removed trailing space in v~: Nitazilaza maiti za Waisraeli mbele ya sanamu zao, nami nitatawanya mifupa yenu kuzunguka madhabahu yenu.

EZE 6:6 Removed trailing space in v~: Popote mnapoishi, miji hiyo itafanywa ukiwa na mahali pa juu pa kuabudia miungu patabomolewa, ili madhabahu yenu ifanywe ukiwa na kuharibiwa, sanamu zenu zitavunjavunjwa na kuharibiwa, madhabahu yenu ya kufukizia uvumba yatabomolewa na kila mlichokifanya kitakatiliwa mbali.

EZE 6:7 Removed trailing space in v~: Watu wenu watachinjwa katikati yenu, nanyi mtatambua Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 6:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini nitawabakiza hai baadhi yenu, kwa kuwa baadhi yenu watanusurika kuuawa watakapokuwa wametawanyika katika nchi na mataifa.

EZE 6:9 Removed trailing space in v~: Ndipo katika mataifa ambamo watakuwa wamechukuliwa mateka, wale ambao watanusurika watanikumbuka, jinsi ambavyo nimehuzunishwa na mioyo yao ya uzinzi, ambayo imegeukia mbali nami na macho yao ambayo yametamani sanamu zao. Watajichukia wenyewe kwa ajili ya uovu walioutenda na kwa ajili ya desturi zao za kuchukiza.

EZE 6:10 Removed trailing space in v~: Nao watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, sikuwaonya bure kuwa nitaleta maafa hayo yote juu yao.

EZE 6:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Piga makofi, kanyaga chini kwa mguu na upige kelele, “Ole!” kwa sababu ya maovu yote na machukizo yote yanayofanywa na nyumba ya Israeli, kwa kuwa wataanguka kwa upanga, njaa na tauni.

EZE 6:12 Removed trailing space in v~: Yeye aliye mbali sana atakufa kwa tauni, naye aliye karibu atauawa kwa upanga, naye yule atakayenusurika na kubaki atakufa kwa njaa. Hivyo ndivyo nitakavyotimiza ghadhabu yangu dhidi yao.

EZE 6:13 Removed trailing space in v~: Nao watajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, wakati maiti za watu wao zitakapokuwa zimelala katikati ya sanamu zao kuzunguka madhabahu yao, juu ya kila kilima kilichoinuka na juu ya vilele vyote vya milima, chini ya kila mti uliotanda na kila mwaloni wenye majani, yaani, sehemu walizofukizia uvumba kwa sanamu zao zote.

EZE 6:14 Removed trailing space in v~: Nami nitanyoosha mkono wangu dhidi yao na kuifanya nchi yao ukiwa, kuanzia jangwani hadi Dibla, kila mahali wanapoishi. Ndipo watakapojua ya kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 7:0 Extra space after chapter number

EZE 7:0 Removed trailing space in c: 7

EZE 7:0 Removed trailing space in s1: Mwisho Umewadia

EZE 7:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 7:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo kwa nchi ya Israeli: Mwisho! Mwisho umekuja juu ya pembe nne za nchi.

EZE 7:3 Removed trailing space in v~: Sasa mwisho umekuja juu yenu nami nitamwaga hasira yangu dhidi yenu. Nitawahukumu sawasawa na matendo yenu na kuwalipiza kwa ajili ya desturi zenu zote za kuchukiza.

EZE 7:4 Removed trailing space in v~: Sitawaonea huruma wala sitawarehemu, hakika nitalipiza kwa ajili ya matendo yenu na desturi zenu za machukizo miongoni mwenu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 7:5 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Maafa! Maafa ambayo hayajasikiwa yanakuja.

EZE 7:6 Removed trailing space in v~: Mwisho umewadia! Mwisho umewadia! Umejiinua wenyewe dhidi yenu. Umewadia!

EZE 7:7 Removed trailing space in v~: Maangamizi yamekuja juu yenu, ninyi mnaoishi katika nchi. Wakati umewadia, siku imekaribia, kuna hofu kuu ya ghafula, wala si furaha, juu ya milima.

EZE 7:8 Removed trailing space in v~: Ninakaribia kumwaga ghadhabu yangu juu yenu na kumaliza hasira yangu dhidi yenu, nitawahukumu sawasawa na matendo yenu na kuwalipiza kwa ajili ya desturi zenu zote za machukizo.

EZE 7:9 Removed trailing space in v~: Sitawaonea huruma wala sitawarehemu; nitawalipiza sawasawa na matendo yenu na desturi zenu za machukizo miongoni mwenu. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd* ambaye huwapiga kwa mapigo.

EZE 7:10 Removed trailing space in v~: “Siku imefika! Imewadia! Maangamizi yamezuka ghafula, fimbo imechanua majivuno yamechipua!

EZE 7:11 Removed trailing space in v~: Jeuri imeinuka kuwa fimbo ya kuadhibu uovu, hakuna hata mmoja wa hao watu atakayeachwa, hata mmoja wa kundi lile, hakuna utajiri, hakuna chenye thamani.

EZE 7:12 Removed trailing space in v~: Wakati umewadia, siku imefika. Mnunuzi na asifurahi wala muuzaji asihuzunike, kwa maana ghadhabu iko juu ya kundi lote.

EZE 7:13 Removed trailing space in v~: Muuzaji hatajipatia tena ardhi aliyoiuza wakati wote wawili wangali hai, kwa kuwa maono kuhusu kundi lote hayatatanguka. Kwa sababu ya dhambi zao, hakuna hata mmoja atakayeokoa maisha yake.

EZE 7:14 Removed trailing space in v~: Wajapopiga tarumbeta na kuweka kila kitu tayari, hakuna hata mmoja atakayekwenda vitani, kwa maana ghadhabu yangu iko juu ya kundi lote.

EZE 7:15 Removed trailing space in v~: “Nje ni upanga, ndani ni tauni na njaa, wale walioko shambani watakufa kwa upanga, nao wale waliomo mjini njaa na tauni vitawala.

EZE 7:16 Removed trailing space in v~: Wale wote watakaopona na kutoroka watakuwa milimani, wakiomboleza kama hua wa mabondeni, kila mmoja kwa sababu ya dhambi zake.

EZE 7:17 Removed trailing space in v~: Kila mkono utalegea na kila goti litakuwa dhaifu kama maji.

EZE 7:18 Removed trailing space in v~: Watavaa nguo ya gunia na kufunikwa na hofu. Nyuso zao zitafunikwa na aibu na nywele za vichwa vyao zitanyolewa.

EZE 7:19 Removed trailing space in v~: Watatupa fedha yao barabarani, nayo dhahabu yao itakuwa najisi. Fedha yao na dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku hiyo ya ghadhabu ya \nd Bwana\nd*. Hawatashibisha njaa yao au kujaza matumbo yao kwa hiyo fedha wala dhahabu, kwa sababu imewaponza wajikwae dhambini.

EZE 7:20 Removed trailing space in v~: Walijivunia vito vyao vizuri na kuvitumia kufanya sanamu za machukizo na vinyago vya upotovu. Kwa hiyo nitavifanya vitu hivyo kuwa najisi kwao.

EZE 7:21 Removed trailing space in v~: Nitavitia vyote mikononi mwa wageni kuwa nyara na kuwa vitu vilivyotekwa mikononi mwa watu waovu wa dunia, nao watavinajisi.

EZE 7:22 Removed trailing space in v~: Nitageuza uso wangu mbali nao, nao waovu wa dunia watapanajisi mahali pangu pa thamani, wanyangʼanyi watapaingia na kupanajisi.

EZE 7:23 Removed trailing space in v~: “Andaa minyororo, kwa sababu nchi imejaa umwagaji wa damu na mji umejaa udhalimu.

EZE 7:24 Removed trailing space in v~: Nitaleta taifa ovu kuliko yote ili kumiliki nyumba zao, nitakomesha kiburi cha wenye nguvu na mahali pao patakatifu patatiwa unajisi.

EZE 7:25 Removed trailing space in v~: Hofu ya ghafula itakapokuja, watatafuta amani, lakini haitakuwepo.

EZE 7:26 Removed trailing space in v~: Maafa juu ya maafa yatakuja, tetesi ya mabaya juu ya tetesi ya mabaya. Watajitahidi kupata maono kutoka kwa nabii, mafundisho ya sheria toka kwa kuhani yatapotea, vivyo hivyo shauri kutoka kwa wazee.

EZE 7:27 Removed trailing space in v~: Mfalme ataomboleza, mwana wa mfalme atavikwa kukata tamaa, nayo mikono ya watu wa nchi itatetemeka. Nitawashughulikia sawasawa na matendo yao na kwa kanuni zao wenyewe nitawahukumu. Ndipo watajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EZE 8:0 Extra space after chapter number

EZE 8:0 Removed trailing space in c: 8

EZE 8:0 Removed trailing space in s1: Ibada Ya Sanamu Hekaluni

EZE 8:1 Removed trailing space in v~: Katika siku ya tano ya mwezi wa sita mwaka wa sita, baada ya kupelekwa uhamishoni nilipokuwa nimeketi katika nyumba yangu na wazee wa Yuda walikuwa wameketi mbele yangu, mkono wa \nd Bwana\nd* Mwenyezi ulikuja juu yangu.

EZE 8:2 Removed trailing space in v~: Nikatazama, nikaona umbo mfano wa mwanadamu. Kutokana na kile kilichoonekana kuwa kiuno chake kuelekea chini alifanana na moto. Kuanzia kwenye kiuno kuelekea juu sura yake kama chuma kingʼaavyo kikiwa ndani ya moto.

EZE 8:3 Removed trailing space in v~: Akanyoosha kitu kilichoonekana kama mkono, akaniinua kwa kushika nywele za kichwa changu. Roho akaniinua juu kati ya nchi na mbingu nikiwa katika maono ya Mungu akanichukua mpaka Yerusalemu, kwenye ingilio la lango la upande wa kaskazini ya ukumbi wa ndani, mahali iliposimama ile sanamu ichocheayo wivu.

EZE 8:4 Removed trailing space in v~: Hapo mbele yangu palikuwa na utukufu wa Mungu wa Israeli, kama utukufu ule niliouona katika maono kule ua wa ndani.

EZE 8:5 Removed trailing space in v~: Kisha akaniambia, “Mwanadamu, tazama kuelekea kaskazini.” Hivyo nikatazama na kwenye ingilio upande wa kaskazini wa lango la madhabahu, nikaona sanamu hii ya wivu.

EZE 8:6 Removed trailing space in v~: Ndipo akaniambia, “Mwanadamu, je, unaona yale wanayofanya, haya mambo ya machukizo kabisa nyumba ya Israeli wanayotenda hapa, ambayo yatanifanya niende mbali na mahali pangu patakatifu? Lakini utaona vitu ambavyo vinachukiza zaidi hata kuliko hivi.”

EZE 8:7 Removed trailing space in v~: Kisha akanileta mpaka ingilio la ukumbi. Nikatazama, nami nikaona tundu ukutani.

EZE 8:8 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Mwanadamu, sasa toboa kwenye ukuta huu.” Ndipo nikatoboa ule ukuta, nikaona hapo pana mlango.

EZE 8:9 Removed trailing space in v~: Naye akaniambia, “Ingia ndani, ukaone maovu na machukizo wanayofanya humu.”

EZE 8:10 Removed trailing space in v~: Hivyo nikaingia ndani na kutazama, nikaona kuta zote zimechorwa kila aina ya vitu vitambaavyo na ya wanyama wachukizao wa kila aina na sanamu zote za nyumba ya Israeli.

EZE 8:11 Removed trailing space in v~: Mbele yao walisimama wazee sabini wa nyumba ya Israeli, naye Yaazania mwana wa Shafani alikuwa amesimama miongoni mwao. Kila mmoja alikuwa na chetezo mkononi na moshi wa harufu nzuri ya uvumba ulikuwa unapanda juu.

EZE 8:12 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Mwanadamu, umeona wanayoyafanya wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mmoja kwenye sehemu yake mwenyewe ya kufanyia ibada za sanamu yake? Wao husema, ‘\nd Bwana\nd* hatuoni, \nd Bwana\nd* ameiacha nchi.’ ”

EZE 8:13 Removed trailing space in v~: Akasema tena, “Bado utaona machukizo wanayofanya ambayo ni makubwa kuliko haya.”

EZE 8:14 Removed trailing space in v~: Ndipo akanileta mpaka ingilio la lango la kaskazini la nyumba ya \nd Bwana\nd*, nami nikaona wanawake wameketi hapo, wakimwombolezea Tamuzi.

EZE 8:15 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Unaliona hili, mwanadamu? Utaona vitu ambavyo ni machukizo kuliko hili.”

EZE 8:16 Removed trailing space in v~: Ndipo akanileta mpaka kwenye ukumbi wa ndani wa nyumba ya \nd Bwana\nd*, nako huko katika ingilio la Hekalu, kati ya baraza na madhabahu, walikuwepo wanaume wapatao ishirini na watano. Wakiwa wamelipa kisogo Hekalu la \nd Bwana\nd* na kuelekeza nyuso zao upande wa mashariki, wakilisujudia jua huko mashariki.

EZE 8:17 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Je, umeona hili mwanadamu? Je, ni jambo dogo sana kwa nyumba ya Yuda kufanya machukizo wanayoyafanya hapa? Je, ni lazima pia waijaze nchi dhuluma na kuendelea siku zote kunikasirisha? Watazame wanavyonibania pua kana kwamba ninanuka!

EZE 8:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitashughulika nao kwa hasira, sitawaonea huruma wala kuwaachilia. Wajapopiga makelele masikioni mwangu, sitawasikiliza.”

EZE 9:0 Extra space after chapter number

EZE 9:0 Removed trailing space in c: 9

EZE 9:0 Removed trailing space in s1: Waabudu Sanamu Wauawa

EZE 9:1 Removed trailing space in v~: Kisha nikamsikia akiita kwa sauti kubwa akisema, “Walete wasimamizi wa mji hapa, kila mmoja akiwa na silaha mkononi mwake.”

EZE 9:2 Removed trailing space in v~: Nami nikaona watu sita wakija toka upande wa lango la juu, linalotazama kaskazini kila mmoja na silaha za kuangamiza mkononi mwake. Pamoja nao alikuwepo mtu aliyekuwa amevaa mavazi ya kitani safi, naye alikuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande mmoja. Wakaingia ndani ya Hekalu wakasimama pembeni mwa madhabahu ya shaba.

EZE 9:3 Removed trailing space in v~: Basi utukufu wa Mungu wa Israeli ukaondoka hapo juu ya makerubi, ulikokuwa umekaa, ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Ndipo \nd Bwana\nd* akamwita yule mtu aliyevaa kitani safi aliyekuwa na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja,

EZE 9:4 Removed trailing space in v~: akamwambia, “Pita katika mji wote wa Yerusalemu ukaweke alama juu ya vipaji vya nyuso za wale watu wanaohuzunika na kuomboleza kwa sababu ya machukizo yote yanayotendeka katika mji huu.”

EZE 9:5 Removed trailing space in v~: Nikiwa ninasikia, akawaambia wale wengine, “Mfuateni anapopita katika mji wote mkiua, pasipo huruma wala masikitiko.

EZE 9:6 Removed trailing space in v~: Waueni wazee, vijana wa kiume na wa kike, wanawake na watoto, lakini msimguse mtu yeyote mwenye alama. Anzieni katika mahali pangu patakatifu.” Kwa hiyo wakaanza na wale wazee waliokuwa mbele ya Hekalu.

EZE 9:7 Removed trailing space in v~: Ndipo akawaambia, “Linajisini Hekalu na mkazijaze kumbi zake maiti za wale waliouawa. Nendeni!” Kwa hiyo wakaenda wakaanza kuua watu mjini kote.

EZE 9:8 Removed trailing space in v~: Wakati walikuwa wakiwaua watu, nami nilikuwa nimeachwa peke yangu, nikaanguka kifudifudi, nikapiga kelele nikisema, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi! Je, utaangamiza mabaki yote ya Israeli, katika kumwagwa huku kwa ghadhabu yako juu ya Yerusalemu?”

EZE 9:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akanijibu, “Dhambi ya nyumba ya Israeli na Yuda imekuwa kubwa mno kupita kiasi, nchi imejaa umwagaji damu na mjini kumejaa udhalimu. Kwani wamesema, ‘\nd Bwana\nd* ameiacha nchi, \nd Bwana\nd* hauoni.’

EZE 9:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo sitawahurumia wala kuwaachilia lakini nitaleta juu ya vichwa vyao, yale waliyoyatenda.”

EZE 9:11 Removed trailing space in v~: Ndipo mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani safi na vifaa vya mwandishi akiwa amevishikilia upande wake mmoja, akarudi na kutoa taarifa akisema, “Nimefanya kama ulivyoniagiza.”

EZE 10:0 Extra space after chapter number

EZE 10:0 Removed trailing space in c: 10

EZE 10:0 Removed trailing space in s1: Utukufu Unaondoka Hekaluni

EZE 10:1 Removed trailing space in v~: Nikatazama, nikaona juu ya ile nafasi iliyokuwa juu ya vichwa vya wale makerubi kulikuwa na kitu mfano wa kiti cha enzi cha yakuti samawi.

EZE 10:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akamwambia mtu yule aliyekuwa amevaa nguo ya kitani, “Ingia katikati ya yale Magurudumu yaliyo chini ya makerubi. Ukaijaze mikono yako makaa ya mawe ya moto kutoka katikati ya makerubi na uyatawanye juu ya mji.” Nilipokuwa nikiangalia, akaingia ndani.

EZE 10:3 Removed trailing space in v~: Basi wale makerubi walikuwa wamesimama upande wa kusini wa Hekalu wakati yule mtu alipoingia ndani, wingu likaujaza ule ukumbi wa ndani.

EZE 10:4 Removed trailing space in v~: Kisha utukufu wa \nd Bwana\nd* ukainuka kutoka juu ya wale makerubi ukaenda kwenye kizingiti cha Hekalu. Wingu likajaza Hekalu, nao ukumbi ukajawa na mngʼao wa utukufu wa \nd Bwana\nd*.

EZE 10:5 Removed trailing space in v~: Sauti ya mabawa ya wale makerubi ingeweza kusikika mpaka kwenye ukumbi wa nje, kama sauti ya Mungu Mwenyezi\f + \fr 10:5 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).\f* wakati anapoongea.

EZE 10:6 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alipomwamuru yule mtu aliyevaa nguo za kitani akisema, “Chukua moto toka katikati ya magurudumu, kutoka katikati ya makerubi,” yule mtu aliingia ndani akasimama pembeni mwa gurudumu.

EZE 10:7 Removed trailing space in v~: Ndipo mmoja wa wale makerubi akanyoosha mkono wake kwenye moto uliokuwa katikati yao. Akachukua baadhi ya moto na kuutia mikononi mwa yule mtu aliyevaa mavazi ya kitani, naye akaupokea akatoka nje.

EZE 10:8 Removed trailing space in v~: (Chini ya mabawa ya makerubi paliweza kuonekana kitu kilichofanana na mikono ya mwanadamu.)

EZE 10:9 Removed trailing space in v~: Nikatazama, nikaona magurudumu manne kando ya makerubi, moja kando ya kila kerubi. Magurudumu hayo yalimetameta kama kito cha zabarajadi.

EZE 10:10 Removed trailing space in v~: Kule kuonekana kwake, yote manne yalifanana kila gurudumu lilikuwa kama linazunguka ndani ya lingine.

EZE 10:11 Removed trailing space in v~: Yalipozunguka, yalikwenda kokote katika pande nne walikoelekea wale makerubi. Magurudumu hayakugeuka wakati makerubi yalipokwenda. Makerubi walikwenda upande wowote kichwa kilikoelekea pasipo kugeuka walipokuwa wakienda.

EZE 10:12 Removed trailing space in v~: Miili yao yote, pamoja na migongo yao, mikono na mabawa yao yote yalikuwa yamejaa macho kabisa kama yalivyokuwa yale magurudumu yao manne.

EZE 10:13 Removed trailing space in v~: Nikasikia magurudumu yakiitwa, “Magurudumu ya kisulisuli.”

EZE 10:14 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wa wale makerubi alikuwa na nyuso nne: Uso mmoja ulikuwa kama vile wa kerubi, uso wa pili ulikuwa wa mwanadamu, uso wa tatu ulikuwa wa simba na uso wa nne ulikuwa wa tai.

EZE 10:15 Removed trailing space in v~: Kisha makerubi wakapaa juu. Hawa ndio wale viumbe walio hai niliowaona kando ya Mto Kebari.

EZE 10:16 Removed trailing space in v~: Wakati makerubi walipokwenda, magurudumu yaliyoko kando yao yalikwenda na wakati makerubi walipotanda mabawa yao wapate kupaa juu kutoka ardhi, magurudumu yale hayakuondoka pembeni mwao.

EZE 10:17 Removed trailing space in v~: Makerubi yaliposimama kimya, nayo pia yalitulia kimya, nao makerubi yalipoinuka juu, magurudumu nayo yaliinuka juu pamoja nao, kwa sababu roho ya vile viumbe hai ilikuwa ndani yake.

EZE 10:18 Removed trailing space in v~: Kisha utukufu wa \nd Bwana\nd* ukaondoka pale kwenye kizingiti cha Hekalu na kusimama juu ya wale makerubi.

EZE 10:19 Removed trailing space in v~: Nilipokuwa nikitazama, makerubi yakatanda mabawa yao na kuinuka kutoka ardhini, nao walipokuwa wakienda, yale magurudumu yakaenda pamoja nao. Wakasimama kwenye ingilio la lango la mashariki la nyumba ya \nd Bwana\nd*, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ukawa juu yao.

EZE 10:20 Removed trailing space in v~: Hawa walikuwa ndio viumbe hai niliokuwa nimewaona chini ya Mungu wa Israeli kando ya Mto Kebari, nami nikatambua ya kuwa hao walikuwa makerubi.

EZE 10:21 Removed trailing space in v~: Kila mmoja alikuwa na nyuso nne, mabawa manne, chini ya mabawa yao kulikuwa na kile kilichoonekana kama mikono ya mwanadamu.

EZE 10:22 Removed trailing space in v~: Nyuso zao zilifanana kama zile nilizokuwa nimeziona kando ya Mto Kebari. Kila mmoja alikwenda mbele moja kwa moja.

EZE 11:0 Extra space after chapter number

EZE 11:0 Removed trailing space in c: 11

EZE 11:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Juu Ya Viongozi Wa Israeli

EZE 11:1 Removed trailing space in v~: Ndipo Roho akaniinua na kunileta mpaka kwenye lango la nyumba ya \nd Bwana\nd* linalotazama upande wa mashariki. Pale kwenye ingilio la lango kulikuwepo wanaume ishirini na watano, nami nikaona miongoni mwao Yaazania mwana wa Azuri na Pelatia mwana wa Benaya, viongozi wa watu.

EZE 11:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Mwanadamu, hawa ndio wafanyao hila na kutoa mashauri potovu katika mji huu.

EZE 11:3 Removed trailing space in v~: Wao husema, ‘Je, hivi karibuni hautakuwa wakati wa kujenga nyumba? Mji huu ni chungu cha kupikia, nasi ndio nyama.’

EZE 11:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo toa unabii dhidi yao, tabiri, Ewe mwanadamu.”

EZE 11:5 Removed trailing space in v~: Kisha Roho wa \nd Bwana\nd* akaja juu yangu, naye akaniambia niseme: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Hili ndilo ninyi mnalosema, ee nyumba ya Israeli, lakini ninajua mnalowaza mioyoni mwenu.

EZE 11:6 Removed trailing space in v~: Mmewaua watu wengi katika mji huu na kujaza barabara zake maiti.

EZE 11:7 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenyezi: maiti ulizozitupa huko ni nyama na mji huu ni chungu, lakini nitawaondoa mtoke huko.

EZE 11:8 Removed trailing space in v~: Mnaogopa upanga, nao upanga huo ndio nitakaouleta juu yenu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 11:9 Removed trailing space in v~: Nitawaondoa mtoke katika mji na kuwatia mikononi mwa wageni nami nitawaadhibu.

EZE 11:10 Removed trailing space in v~: Mtaanguka kwa upanga, nami nitatimiza hukumu dhidi yenu katika mipaka ya Israeli. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 11:11 Removed trailing space in v~: Mji huu hautakuwa chungu kwa ajili yenu, wala hamtakuwa nyama ndani yake. Nitatoa hukumu dhidi yenu katika mipaka ya Israeli.

EZE 11:12 Removed trailing space in v~: Nanyi mtajua ya kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, kwa kuwa hamkufuata amri zangu wala kuzishika sheria zangu, bali mmefuata mwenendo wa mataifa yanayowazunguka.”

EZE 11:13 Removed trailing space in v~: Basi nilipokuwa ninatoa unabii, Pelatia mwana wa Benaya akafa. Ndipo nikaanguka kifudifudi, nikalia kwa sauti kuu nikasema, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi! Je utaangamiza kabisa mabaki ya Israeli?”

EZE 11:14 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 11:15 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, ndugu zako, ndugu zako ambao ni wa uhusiano wa damu na nyumba yote ya Israeli, ndio wale ambao watu wa Yerusalemu wamesema, ‘Wako mbali na \nd Bwana\nd*; nchi hii tulipewa sisi kuwa milki yetu.’

EZE 11:15 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Kurudi Kwa Israeli

EZE 11:16 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo sema, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ingawa niliwapeleka mbali miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbalimbali, lakini kwa kitambo kidogo mimi nimekuwa mahali patakatifu kwao katika nchi walizokwenda.’

EZE 11:17 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo sema: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitawakusanyeni kutoka mataifa na kuwarudisha kutoka nchi ambazo mmetawanywa, nami nitawarudishia nchi ya Israeli.’

EZE 11:18 Removed trailing space in v~: “Watairudia nchi na kuondoa vinyago vyote vya upotovu na sanamu zote za machukizo.

EZE 11:19 Removed trailing space in v~: Nitawapa moyo mmoja na kuweka roho mpya ndani yao, nitaondoa kutoka ndani yao moyo wa jiwe na kuwapa moyo wa nyama.

EZE 11:20 Removed trailing space in v~: Kisha watafuata amri zangu na kuwa waangalifu kutii sheria zangu. Watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao.

EZE 11:21 Removed trailing space in v~: Lakini kwa wale ambao mioyo yao imeambatana na vinyago vyao vya upotovu na sanamu zao za machukizo, nitaleta juu ya vichwa vyao yale waliyotenda asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 11:22 Removed trailing space in v~: Ndipo wale makerubi, wenye magurudumu pembeni mwao, wakakunjua mabawa yao, nao utukufu wa Mungu wa Israeli ulikuwa juu yao.

EZE 11:23 Removed trailing space in v~: Basi utukufu wa \nd Bwana\nd* ukapaa juu kutoka mji, ukatua juu ya mlima ulio upande wa mashariki ya mji.

EZE 11:24 Removed trailing space in v~: Roho akaniinua na kunileta mpaka kwa watu wa uhamisho huko Ukaldayo nikiwa katika yale maono niliyopewa na Roho wa Mungu.

EZE 11:24 Removed trailing space in p~: Ndipo maono niliyokuwa nimeyaona yakanitoka,

EZE 11:25 Removed trailing space in v~: nami nikawaeleza wale watu wa uhamisho kila kitu \nd Bwana\nd* alichokuwa amenionyesha.

EZE 12:0 Extra space after chapter number

EZE 12:0 Removed trailing space in c: 12

EZE 12:0 Removed trailing space in s1: Kutekwa Kwa Yuda Kwaelezewa

EZE 12:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 12:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, unaishi miongoni mwa watu waasi. Wana macho ya kuona, lakini hawaoni na masikio ya kusikia lakini hawasikii, kwa kuwa ni watu waasi.

EZE 12:3 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, mwanadamu, funga mizigo yako kwa kwenda uhamishoni tena wakati wa mchana, wakiwa wanakutazama, toka nje na uende mahali pengine kutoka hapo ulipo. Labda wataelewa, ingawa wao ni nyumba ya kuasi.

EZE 12:4 Removed trailing space in v~: Wakati wa mchana, wakiwa wanakutazama, toa nje mizigo yako iliyofungwa kwa ajili ya kwenda uhamishoni. Kisha wakati wa jioni, wakiwa wanakutazama toka nje kama wale waendao uhamishoni.

EZE 12:5 Removed trailing space in v~: Wakiwa wanakutazama, toboa ukuta utolee mizigo yako hapo.

EZE 12:6 Removed trailing space in v~: Beba mizigo hiyo begani mwako wakikuangalia uichukue nje wakati wa giza la jioni. Funika uso wako ili usione nchi, kwa maana nimekufanya ishara kwa nyumba ya Israeli.”

EZE 12:7 Removed trailing space in v~: Basi nikafanya kama nilivyoamriwa. Wakati wa mchana nilitoa vitu vyangu nje vilivyofungwa tayari kwa uhamishoni. Kisha wakati wa jioni nikatoboa ukuta kwa mikono yangu. Nikachukua mizigo yangu nje wakati wa giza la jioni, nikiwa nimeibeba mabegani mwangu huku wakinitazama.

EZE 12:8 Removed trailing space in v~: Asubuhi neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 12:9 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, je, nyumba ile ya kuasi ya Israeli haikukuuliza, ‘Unafanya nini?’

EZE 12:10 Removed trailing space in v~: “Waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Neno hili linamhusu mkuu aliye katika Yerusalemu na nyumba yote ya Israeli ambao wako huko.’

EZE 12:11 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Mimi ndiye ishara kwenu.’

EZE 12:11 Removed trailing space in p~: “Kama vile nilivyotenda, basi litatendeka vivyo hivyo kwao. Watakwenda uhamishoni kama mateka.

EZE 12:12 Removed trailing space in v~: “Naye mkuu aliye miongoni mwao atabeba mizigo yake begani mwake kwenye giza la jioni na kuondoka na tundu litatobolewa ukutani kwa ajili yake ili kupitia hapo. Atafunika uso wake ili kwamba asiweze kuiona nchi.

EZE 12:13 Removed trailing space in v~: Nitatandaza wavu wangu kwa ajili yake, naye atanaswa kwenye mtego wangu, nitamleta mpaka Babeli, nchi ya Wakaldayo, lakini hataiona, naye atafia huko.

EZE 12:14 Removed trailing space in v~: Wote wanaomzunguka nitawatawanya pande zote, watumishi wake na majeshi yake yote, nami nitawafuatilia kwa upanga uliofutwa.

EZE 12:15 Removed trailing space in v~: “Wao watajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapowatawanya miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi zote.

EZE 12:16 Removed trailing space in v~: Lakini nitawaacha wachache wao waokoke na upanga, njaa na tauni, ili kwamba katika mataifa watakakokwenda waweze kutambua matendo ya machukizo waliotenda. Ndipo watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EZE 12:17 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 12:18 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, tetemeka wakati ulapo chakula chako, tetemeka kwa hofu wakati unywapo maji yako.

EZE 12:19 Removed trailing space in v~: Waambie watu wa nchi: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo kuhusu hao wanaoishi Yerusalemu na katika nchi ya Israeli: Watakula chakula chao kwa wasiwasi na kunywa maji yao kwa kufadhaika, kwa kuwa nchi yao itanyangʼanywa kila kitu chake kwa sababu ya udhalimu wa wote wanaoishi humo.

EZE 12:20 Removed trailing space in v~: Miji inayokaliwa na watu itaharibiwa na nchi itakuwa ukiwa. Ndipo mtakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 12:21 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 12:22 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, ni nini hii mithali mlio nayo katika nchi ya Israeli: ‘Siku zinapita na hakuna maono yoyote yanayotimia?’

EZE 12:23 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitaikomesha mithali hii, nao hawataitumia tena katika Israeli.’ Waambie, ‘Siku zimekaribia wakati kila maono yatakapotimizwa.

EZE 12:24 Removed trailing space in v~: Kwa maana hapatakuwepo tena na maono ya uongo wala ubashiri wa udanganyifu miongoni mwa watu wa Israeli.

EZE 12:25 Removed trailing space in v~: Lakini Mimi \nd Bwana\nd* nitasema neno nitakalo, nalo litatimizwa bila kuchelewa. Kwa maana katika siku zako, wewe nyumba ya kuasi, nitatimiza kila nisemalo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 12:26 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 12:27 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, nyumba ya Israeli inasema, ‘Maono yale anayoyaona ni kwa ajili ya miaka mingi ijayo, naye hutabiri kuhusu siku zijazo zilizo mbali.’

EZE 12:28 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Hakuna maneno yangu yatakayocheleweshwa tena zaidi, lolote nisemalo litatimizwa, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 13:0 Extra space after chapter number

EZE 13:0 Removed trailing space in c: 13

EZE 13:0 Removed trailing space in s1: Manabii Wa Uongo Walaumiwa

EZE 13:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 13:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, tabiri dhidi ya manabii wa Israeli wanaotabiri sasa. Waambie hao ambao hutabiri kutokana na mawazo yao wenyewe: ‘Sikia neno la \nd Bwana\nd*!

EZE 13:3 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ole wao manabii wapumbavu wafuatao roho yao wenyewe na wala hawajaona chochote!

EZE 13:4 Removed trailing space in v~: Manabii wako, ee Israeli, ni kama mbweha katikati ya magofu.

EZE 13:5 Removed trailing space in v~: Hamjakwea kwenda kuziba mahali palipobomoka katika ukuta ili kuukarabati kwa ajili ya nyumba ya Israeli, ili kwamba isimame imara kwenye vita katika siku ya \nd Bwana\nd*.

EZE 13:6 Removed trailing space in v~: Maono yao ni ya uongo na ubashiri wao ni wa udanganyifu. Wao husema, “\nd Bwana\nd* amesema,” wakati \nd Bwana\nd* hakuwatuma, bado wakitarajia maneno yao kutimizwa.

EZE 13:7 Removed trailing space in v~: Je, hamjaona maono ya uongo na kusema ubashiri wa udanganyifu hapo msemapo, “\nd Bwana\nd* asema,” lakini Mimi sijasema?

EZE 13:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ya uongo wa maneno yenu na kwa madanganyo ya maono yenu, Mimi ni kinyume na ninyi, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 13:9 Removed trailing space in v~: Mkono wangu utakuwa dhidi ya manabii ambao huona maono ya uongo na kusema ubashiri wa udanganyifu. Hawatakuwa katika baraza la watu wangu au kuandikwa katika kumbukumbu ya nyumba ya Israeli wala hawataingia katika nchi ya Israeli. Ndipo mtajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 13:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa sababu ni kweli wanapotosha watu wangu, wakisema, “Amani,” wakati ambapo hakuna amani, pia kwa sababu, wakati ukuta dhaifu unapojengwa, wanaufunika kwa kupaka chokaa,

EZE 13:11 Removed trailing space in v~: kwa hiyo waambie hao wanaoupaka chokaa isiyokorogwa vyema kwamba ukuta huo utaanguka. Mvua kubwa ya mafuriko itanyesha, nami nitaleta mvua ya mawe inyeshe kwa nguvu, nao upepo wa dhoruba utavuma juu yake.

EZE 13:12 Removed trailing space in v~: Wakati ukuta utakapoanguka, je, watu hawatawauliza, “Iko wapi chokaa mliyopaka ukuta?”

EZE 13:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika ghadhabu yangu nitauachia upepo wa dhoruba, pia katika hasira yangu mvua ya mawe na mvua ya mafuriko itanyesha ikiwa na ghadhabu ya kuangamiza.

EZE 13:14 Removed trailing space in v~: Nitaubomoa ukuta mlioupaka chokaa na kuuangusha chini ili msingi wake uachwe wazi. Utakapoanguka, mtaangamizwa ndani yake, nanyi mtajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 13:15 Removed trailing space in v~: Hivyo ndivyo nitakavyoitimiza ghadhabu yangu dhidi ya huo ukuta na dhidi yao walioupaka chokaa. Nitawaambia ninyi, “Ukuta umebomoka na vivyo hivyo wale walioupaka chokaa,

EZE 13:16 Removed trailing space in v~: wale manabii wa Israeli waliotabiri juu ya Yerusalemu na kuona maono ya amani kwa ajili yake wakati kulipokuwa hakuna amani, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.” ’

EZE 13:17 Removed trailing space in v~: “Sasa, mwanadamu, kaza uso wako dhidi ya binti za watu wako wanaotabiri mambo kutoka mawazo yao wenyewe. Tabiri dhidi yao

EZE 13:18 Removed trailing space in v~: na useme, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ole wao wanawake washonao hirizi za uchawi juu ya viwiko vyao vyote na kutengeneza shela za urefu wa aina mbalimbali kwa ajili ya kufunika vichwa vyao kwa makusudi ya kuwanasa watu. Je, mtatega uhai wa watu wangu lakini ninyi mponye wa kwenu?

EZE 13:19 Removed trailing space in v~: Ninyi mmeninajisi miongoni mwa watu wangu kwa ajili ya konzi chache za shayiri na chembe za mkate. Kwa kuwaambia uongo watu wangu, wale ambao husikiliza uongo, mmewaua wale watu ambao wasingekufa na kuwaacha hai wale ambao wasingeishi.

EZE 13:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi niko kinyume na hizo hirizi zenu za uchawi ambazo kwa hizo mnawatega watu kama ndege, nami nitazirarua kutoka mikononi mwenu, nitawaweka huru watu wale mliowatega kama ndege.

EZE 13:21 Removed trailing space in v~: Nitazirarua shela zenu na kuwaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu, nao hawatakuwa tena mawindo ya nguvu zenu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 13:22 Removed trailing space in v~: Kwa sababu mliwavunja moyo wenye haki kwa uongo wenu, wakati mimi sikuwaletea huzuni na kwa kuwa mliwatia moyo waovu ili wasiziache njia zao mbaya na hivyo kuokoa maisha yao,

EZE 13:23 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hamtaona tena maono ya uongo wala kufanya ubashiri. Nitawaokoa watu wangu kutoka mikononi mwenu. Nanyi ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 14:0 Extra space after chapter number

EZE 14:0 Removed trailing space in c: 14

EZE 14:0 Removed trailing space in s1: Waabudu Sanamu Walaumiwa

EZE 14:1 Removed trailing space in v~: Baadhi ya wazee wa Israeli walinijia na kuketi mbele yangu.

EZE 14:2 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 14:3 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, watu hawa wameweka sanamu katika mioyo yao na kuweka vitu viovu vya kukwaza mbele ya macho yao. Je, kweli niwaruhusu waniulize jambo lolote?

EZE 14:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo sema nao uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Wakati Mwisraeli yeyote anapoweka sanamu moyoni mwake na kuweka kitu kiovu cha kukwaza mbele ya macho yake na kisha akaenda kwa nabii, Mimi \nd Bwana\nd* nitamjibu peke yangu sawasawa na ukubwa wa ibada yake ya sanamu.

EZE 14:5 Removed trailing space in v~: Nitafanya jambo hili ili kukamata tena mioyo ya watu wa Israeli, ambao wote wameniacha kwa ajili ya sanamu zao.’

EZE 14:6 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Tubuni! Geukeni kutoka kwenye sanamu zenu na mkatae matendo yenu yote ya machukizo!

EZE 14:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Mwisraeli yeyote au mgeni yeyote anayeishi katika Israeli anapojitenga nami na kujiwekea sanamu katika moyo wake na kwa hivyo kuweka kitu kiovu cha kukwaza mbele ya macho yake na kisha akamwendea nabii kuuliza shauri kwangu, mimi \nd Bwana\nd* nitamjibu mwenyewe.

EZE 14:8 Removed trailing space in v~: Nitaukaza uso wangu dhidi ya mtu huyo na kumwadhibu na kumfanya ishara kwa watu. Nitamkatilia mbali kutoka watu wangu. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 14:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Naye nabii kama atakuwa ameshawishika kutoa unabii, Mimi \nd Bwana\nd* nitakuwa nimemshawishi nabii huyo, nami nitaunyoosha mkono wangu dhidi yake na kumwangamiza kutoka miongoni mwa watu wangu Israeli.

EZE 14:10 Removed trailing space in v~: Watachukua hatia yao, nabii atakuwa na hatia sawa na yule mtu aliyekuja kuuliza neno kwake.

EZE 14:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Ndipo watu wa Israeli hawataniacha tena, wala kujitia unajisi tena kwa dhambi zao zote. Ndipo watakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wao, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 14:11 Removed trailing space in s1: Hukumu Isiyoepukika

EZE 14:12 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema,

EZE 14:13 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, kama nchi itanitenda dhambi kwa kutokuwa waaminifu nami nikinyoosha mkono wangu dhidi yake kukatilia mbali upatikanaji wake wa chakula na kuipelekea njaa na kuua watu wake na wanyama wao,

EZE 14:14 Removed trailing space in v~: hata kama watu hawa watatu: Noa, Danieli na Ayubu wangekuwa ndani ya nchi hiyo, ndio hao tu wangeweza kujiokoa wenyewe kwa uadilifu wao, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 14:15 Removed trailing space in v~: “Au kama nikipeleka wanyama pori katika nchi hiyo yote na kuifanya isiwe na watoto, nayo ikawa ukiwa kwamba hakuna mtu apitaye katika nchi hiyo kwa sababu ya wanyama pori,

EZE 14:16 Removed trailing space in v~: hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, hata kama watu hawa watatu wangekuwa humo ndani yake, wasingeweza kuokoa wana wao wala binti zao. Wao peke yao wangeokolewa, lakini nchi ingekuwa ukiwa.

EZE 14:17 Removed trailing space in v~: “Au kama nikileta upanga dhidi ya nchi hiyo na kusema, ‘Upanga na upite katika nchi yote,’ nami nikiua watu wake na wanyama wao,

EZE 14:18 Removed trailing space in v~: hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, hata kama watu hawa watatu wangekuwa humo ndani yake, wasingeweza kuokoa wana wao wala binti zao. Wao wenyewe tu wangeokolewa.

EZE 14:19 Removed trailing space in v~: “Au kama nikipeleka tauni katika nchi hiyo na kumwaga ghadhabu yangu juu yake kwa njia ya kumwaga damu, kuua watu wake na wanyama wao,

EZE 14:20 Removed trailing space in v~: hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, hata kama Noa, Danieli na Ayubu wangekuwa humo ndani yake, wasingeweza kumwokoa mwana wala binti. Wao wangeweza kujiokoa wenyewe tu kwa uadilifu wao.

EZE 14:21 Removed trailing space in v~: “Kwa maana hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Itakuwa vibaya kiasi gani nitakapopeleka dhidi ya Yerusalemu hukumu zangu nne za kutisha, yaani, upanga, njaa, wanyama pori na tauni, ili kuua watu wake na wanyama wao!

EZE 14:22 Removed trailing space in v~: Lakini watakuwepo wenye kuokoka, wana na binti wataletwa kutoka nje ya nchi hiyo. Watawajia ninyi, nanyi mtakapoona mwenendo wao na matendo yao, mtafarijika kuhusu maafa niliyoleta juu ya Yerusalemu, kwa ajili ya yale yote niliyoleta juu yake.

EZE 14:23 Removed trailing space in v~: Mtafarijika wakati mtakapoona mwenendo wao na matendo yao, kwa kuwa mtajua kwamba sikufanya lolote ndani yake bila sababu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 15:0 Extra space after chapter number

EZE 15:0 Removed trailing space in c: 15

EZE 15:0 Removed trailing space in s1: Yerusalemu Mzabibu Usiofaa

EZE 15:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 15:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, je, ni vipi mti wa mzabibu unaweza kuwa bora zaidi kuliko tawi la mti mwingine wowote ndani ya msitu?

EZE 15:3 Removed trailing space in v~: Je, mti wake kamwe huchukuliwa na kutengeneza chochote cha manufaa? Je, watu hutengeneza vigingi vya kuningʼinizia vitu kutokana na huo mti wake?

EZE 15:4 Removed trailing space in v~: Nao baada ya kutiwa motoni kama nishati na moto ukateketeza ncha zote mbili na kuunguza sehemu ya kati, je, unafaa kwa lolote?

EZE 15:5 Removed trailing space in v~: Kama haukufaa kitu chochote ulipokuwa mzima, je, si zaidi sana sasa ambapo hauwezekani kufanyishwa chochote cha kufaa baada ya moto kuuchoma na kuuunguza?

EZE 15:6 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kama nilivyoutoa mti wa mzabibu miongoni mwa miti ya msituni kuwa nishati kwa ajili ya moto, hivyo ndivyo nitakavyowatendea watu waishio Yerusalemu.

EZE 15:7 Removed trailing space in v~: Nitaukaza uso wangu dhidi yao. Ingawa watakuwa wameokoka kwenye moto, bado moto utawateketeza. Nami nitakapoukaza uso wangu dhidi yao, ninyi mtajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 15:8 Removed trailing space in v~: Nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamekuwa si waaminifu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 16:0 Extra space after chapter number

EZE 16:0 Removed trailing space in c: 16

EZE 16:0 Removed trailing space in s1: Yerusalemu, Mwanamke Asiye Mwaminifu

EZE 16:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 16:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, ijulishe Yerusalemu kuhusu mwenendo wake wa machukizo

EZE 16:3 Removed trailing space in v~: na useme, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi, analomwambia Yerusalemu: Wewe asili yako na kuzaliwa kwako ni katika nchi ya Kanaani, baba yako alikuwa Mwamori, naye mama yako alikuwa Mhiti.

EZE 16:4 Removed trailing space in v~: Siku uliyozaliwa kitovu chako hakikukatwa, wala hukuogeshwa kwa maji ili kukufanya safi, wala hukusuguliwa kwa chumvi wala kufunikwa kwa nguo.

EZE 16:5 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote aliyekuonea huruma au kukusikitikia kiasi cha kukutendea mojawapo ya mambo haya. Badala yake, ulipozaliwa ulitupwa nje penye uwanja, kwa kuwa katika siku uliyozaliwa ulidharauliwa.

EZE 16:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Ndipo nilipopita karibu nawe nikakuona ukigaagaa kwenye damu yako, nawe ulipokuwa umelala hapo penye hiyo damu nikakuambia, “Ishi!”

EZE 16:7 Removed trailing space in v~: Nilikufanya uote kama mmea wa shambani. Ukakua na kuongezeka sana, ukawa kito cha thamani kuliko vyote. Matiti yako yakatokeza na nywele zako zikaota, wewe uliyekuwa uchi na bila kitu chochote.

EZE 16:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Baadaye nikapita karibu nawe, nilipokutazama na kukuona kuwa umefikia umri wa kupendwa, nililitandaza vazi langu juu yako na kuufunika uchi wako. Nikakuapia na kuingia kwenye Agano na wewe, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nawe ukawa wangu.

EZE 16:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Nilikuogesha kwa maji, nikakuosha ile damu na kukupaka mafuta.

EZE 16:10 Removed trailing space in v~: Nikakuvika vazi lililotariziwa na kukuvalisha viatu vya kamba vya ngozi. Nikakuvika nguo za kitani safi na kukufunika kwa mavazi ya thamani kubwa.

EZE 16:11 Removed trailing space in v~: Nikakupamba kwa vito: nikakuvika bangili mikononi mwako na mkufu shingoni mwako,

EZE 16:12 Removed trailing space in v~: nikaweka hazama puani mwako, vipuli masikioni mwako na taji nzuri sana kichwani mwako.

EZE 16:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ulipambwa kwa dhahabu na fedha, nguo zako zilikuwa za kitani safi, hariri na nguo iliyokuwa imetariziwa. Chakula chako kilikuwa unga laini, asali na mafuta ya zeituni. Ukawa mzuri sana ukainuka kuwa malkia.

EZE 16:14 Removed trailing space in v~: Umaarufu wako ulifahamika miongoni mwa mataifa kwa ajili ya uzuri wako, kwani ulikuwa mkamilifu kwa ajili ya utukufu wangu niliokuwa nimeuweka juu yako, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 16:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini ulitumainia uzuri wako na kutumia umaarufu wako kuwa kahaba. Ulifanya uzinzi kwa kila mtu aliyepita, uzuri wako ukawa kwa ajili yake.

EZE 16:16 Removed trailing space in v~: Ulichukua baadhi ya mavazi yako ukayatumia kupamba mahali pako pa juu pa kuabudia miungu, mahali ambapo ulifanyia ukahaba wako. Mambo ya namna hiyo hayastahili kutendeka wala kamwe kutokea.

EZE 16:17 Removed trailing space in v~: Pia ulichukua vito vizuri nilivyokupa, vito vilivyotengenezwa kwa dhahabu yangu na fedha yangu, ukajitengenezea navyo sanamu za kiume na ukafanya ukahaba nazo.

EZE 16:18 Removed trailing space in v~: Ukayachukua mavazi yako niliyokupa yaliyotariziwa na ukazivalisha hizo sanamu, ukatoa mbele ya hizo sanamu mafuta yangu na uvumba wangu.

EZE 16:19 Removed trailing space in v~: Pia chakula changu nilichokupa ili ule: unga laini, mafuta ya zeituni na asali, ulivitoa mbele yao kuwa uvumba wa harufu nzuri. Hayo ndiyo yaliyotokea, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 16:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Nawe uliwachukua wanao na binti zako ulionizalia mimi na kuwatoa kafara kuwa chakula kwa sanamu. Je, ukahaba wako haukukutosha?

EZE 16:21 Removed trailing space in v~: Uliwachinja watoto wangu na kuwatoa kafara kwa sanamu.

EZE 16:22 Removed trailing space in v~: Katika matendo yako yote ya machukizo, pamoja na ukahaba wako hukukumbuka siku za ujana wako, wakati ulipokuwa uchi kabisa bila kitu chochote, ulipokuwa ukigaagaa kwenye damu yako.

EZE 16:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Ole! Ole wako! Asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Pamoja na maovu yako yote mengine,

EZE 16:24 Removed trailing space in v~: Ukajijengea jukwaa na kujifanyia mahali pa fahari pa ibada za miungu kwenye kila uwanja wa mikutano.

EZE 16:25 Removed trailing space in v~: Katika kila mwanzo wa barabara ulijenga mahali pa fahari pa ibada za miungu na kuaibisha uzuri wako, ukiutoa mwili wako kwa kuzidisha uzinzi kwa kila apitaye.

EZE 16:26 Removed trailing space in v~: Ulifanya ukahaba wako na Wamisri, jirani zako waliojaa tamaa, ukaichochea hasira yangu kwa kuongezeka kwa uzinzi wako.

EZE 16:27 Removed trailing space in v~: Hivyo nilinyoosha mkono wangu dhidi yako na kuipunguza nchi yako, nikakutia kwenye ulafi wa adui zako, binti za Wafilisti, walioshtushwa na tabia yako ya uasherati.

EZE 16:28 Removed trailing space in v~: Ulifanya ukahaba na Waashuru pia, kwa kuwa hukuridhika, hata baada ya hayo, ukawa bado hukutosheleka.

EZE 16:29 Removed trailing space in v~: Ndipo ukaongeza uzinzi wako kwa Wakaldayo nchi ya wafanyabiashara, hata katika hili hukutosheka.

EZE 16:30 Removed trailing space in v~: “ ‘Tazama jinsi ulivyo na dhamiri dhaifu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, unapofanya mambo haya yote, ukifanya kama kahaba asiyekuwa na aibu!

EZE 16:31 Removed trailing space in v~: Unapojenga jukwaa lako kila mwanzo wa barabara na kufanyiza mahali pa fahari pa ibada za miungu katika kila kiwanja cha wazi, lakini hukuwa kama kahaba, kwa sababu ulidharau malipo.

EZE 16:32 Removed trailing space in v~: “ ‘Wewe mke mzinzi! Unapenda wageni, kuliko mume wako mwenyewe.

EZE 16:33 Removed trailing space in v~: Kila kahaba hupokea malipo, lakini wewe hutoa zawadi kwa wapenzi wako wote, ukiwahonga ili waje kwako kutoka kila mahali kwa ajili ya ukahaba wako.

EZE 16:34 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wewe ulikuwa tofauti na wanawake wengine kwenye ukahaba wako, hakuna aliyekutongoza ili kuzini naye, wewe ndiye uliyelipa wakati hakuna malipo uliyolipwa wewe. Wewe ulikuwa tofauti.

EZE 16:35 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo, wewe kahaba, sikia neno la \nd Bwana\nd*!

EZE 16:36 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa kuwa umemwaga tamaa zako na kuonyesha uchi wako katika uzinzi wako kwa wapenzi wako na kwa sababu ya sanamu zako zote za machukizo na kwa sababu uliwapa damu ya watoto wako,

EZE 16:37 Removed trailing space in v~: kwa hiyo nitawakusanya wapenzi wako wote, wale ambao ulijifurahisha nao, wale uliowapenda na wale uliowachukia pia. Nitawakusanya wote dhidi yako kutoka pande zote na nitakuvua nguo mbele yao, nao wataona uchi wako wote.

EZE 16:38 Removed trailing space in v~: Nitakuhukumia adhabu wanayopewa wanawake wafanyao uasherati na hao wamwagao damu, nitaleta juu yenu kisasi cha damu cha ghadhabu yangu na wivu wa hasira yangu.

EZE 16:39 Removed trailing space in v~: Kisha nitakutia mikononi mwa wapenzi wako, nao watabomoa majukwaa yako na kuharibu mahali pako pa fahari pa ibada ya miungu. Watakuvua nguo zako na kuchukua vito vyako vya thamani na kukuacha uchi na bila kitu.

EZE 16:40 Removed trailing space in v~: Wataleta kundi la watu dhidi yako, watakaokupiga kwa mawe na kukukatakata vipande vipande kwa panga zao.

EZE 16:41 Removed trailing space in v~: Watachoma nyumba zako na kutekeleza adhabu juu yako machoni pa wanawake wengi. Nitakomesha ukahaba wako, nawe hutawalipa tena wapenzi wako.

EZE 16:42 Removed trailing space in v~: Ndipo ghadhabu yangu dhidi yako itakapopungua na wivu wa hasira yangu utaondoka kwako. Nitatulia wala sitakasirika tena.

EZE 16:43 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa sababu hukuzikumbuka siku za ujana wako, lakini ulinikasirisha kwa mambo haya yote, hakika nitaleta juu ya kichwa chako yale uliyotenda, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Je hukuongeza uasherati juu ya matendo yako yote ya kuchukiza?

EZE 16:44 Removed trailing space in v~: “ ‘Kila mtu atumiaye maneno ya mithali hii, atayatumia juu yako: “Alivyo mama, ndivyo alivyo bintiye.”

EZE 16:45 Removed trailing space in v~: Wewe ni binti halisi wa mama yako, ambaye alimchukia kabisa mume wake na watoto wake, tena wewe ni dada halisi wa dada zako, waliowachukia kabisa waume zao na watoto wao. Mama yako alikuwa Mhiti na baba yako alikuwa Mwamori.

EZE 16:46 Removed trailing space in v~: Dada yako mkubwa alikuwa Samaria, aliyeishi upande wako wa kaskazini na binti zake, pamoja na dada yake, naye dada yako mdogo, aliyeishi kusini yako pamoja na binti zake, alikuwa Sodoma.

EZE 16:47 Removed trailing space in v~: Hukuziendea njia zao tu na kuiga matendo yao ya kuchukiza, bali kwa muda mfupi katika njia zako zote uliharibika tabia zaidi kuliko wao.

EZE 16:48 Removed trailing space in v~: Hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, dada yako Sodoma pamoja na binti zake, kamwe hawakufanya yale ambayo wewe na binti zako mmefanya.

EZE 16:49 Removed trailing space in v~: “ ‘Sasa hii ilikuwa ndiyo dhambi ya dada yako Sodoma: yeye na binti zake walikuwa na majivuno, walafi na wazembe, hawakuwasaidia maskini na wahitaji.

EZE 16:50 Removed trailing space in v~: Walijivuna na kufanya mambo ya machukizo sana mbele zangu. Kwa hiyo niliwakatilia mbali nami kama mlivyoona.

EZE 16:51 Removed trailing space in v~: Samaria hakufanya hata nusu ya dhambi ulizofanya. Wewe umefanya mambo mengi sana ya kuchukiza kuwaliko wao, nawe umewafanya dada zako waonekane kama wenye haki kwa ajili ya mambo haya yote uliyoyafanya.

EZE 16:52 Removed trailing space in v~: Chukua aibu yako, kwa kuwa umefanya uovu wa dada zako uwe si kitu, nao waonekane kama wenye haki. Kwa kuwa dhambi zako zilikuwa mbaya zaidi kuliko zao, wameonekana wenye haki zaidi kuliko wewe. Kwa hiyo basi, chukua aibu yako, kwa kuwa umewafanya dada zako waonekane wenye haki.

EZE 16:53 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini nitarudisha baraka za Sodoma na binti zake na za Samaria na binti zake, nami nitarudisha baraka zako pamoja na zao,

EZE 16:54 Removed trailing space in v~: ili upate kuchukua aibu yako na kufedheheka kwa ajili ya yote uliyotenda ambayo yamekuwa faraja kwao wakijilinganisha na wewe.

EZE 16:55 Removed trailing space in v~: Nao dada zako, Sodoma na binti zake na Samaria na binti zake, watarudishwa kama vile walivyokuwa mwanzoni, nawe pamoja na binti zako mtarudishwa kama mlivyokuwa hapo awali.

EZE 16:56 Removed trailing space in v~: Hukuweza hata kumtaja dada yako Sodoma kwa sababu ya dharau yako katika siku za kiburi chako,

EZE 16:57 Removed trailing space in v~: kabla uovu wako haujafunuliwa. Hata hivyo, sasa unadhihakiwa na binti za Edomu na jirani zake wote, na binti za Wafilisti, wale wote wanaokuzunguka wanakudharau.

EZE 16:58 Removed trailing space in v~: Utachukua matokeo ya uasherati wako na matendo yako ya kuchukiza, asema \nd Bwana\nd*.

EZE 16:59 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitakushughulikia kama unavyostahili, kwa kuwa umedharau kiapo changu kwa kuvunja Agano.

EZE 16:60 Removed trailing space in v~: Lakini nitakumbuka Agano nililolifanya nawe wakati wa ujana wako, nami nitaweka nawe Agano imara la milele.

EZE 16:61 Removed trailing space in v~: Ndipo utakapozikumbuka njia zako na kuona aibu utakapowapokea dada zako, wale walio wakubwa wako na wadogo wako. Nitakupa hao wawe binti zako, lakini si katika msingi wa Agano langu na wewe.

EZE 16:62 Removed trailing space in v~: Hivyo nitalifanya imara Agano langu na wewe, nawe utajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 16:63 Removed trailing space in v~: Basi, nitakapofanya upatanisho kwa ajili yako, kwa yale yote uliyoyatenda, utakumbuka na kuaibika, nawe kamwe hutafumbua tena kinywa chako kwa sababu ya aibu yako, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 17:0 Extra space after chapter number

EZE 17:0 Removed trailing space in c: 17

EZE 17:0 Removed trailing space in s1: Tai Wawili Na Mizabibu

EZE 17:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 17:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, tega kitendawili, ukawaambie nyumba ya Israeli fumbo.

EZE 17:3 Removed trailing space in v~: Waambie hivi, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Tai mkubwa mwenye mabawa yenye nguvu, yaliyojaa manyoya marefu ya rangi mbalimbali, alikuja Lebanoni. Akatua kwenye kilele cha mwerezi,

EZE 17:4 Removed trailing space in v~: akakwanyua ncha yake na kuichukua mpaka nchi ya wafanyabiashara, akaipanda huko katika mji wa wachuuzi.

EZE 17:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Akachukua baadhi ya mbegu za nchi yako na kuziweka katika udongo wenye rutuba. Akazipanda kama mti umeao kando ya maji mengi,

EZE 17:6 Removed trailing space in v~: nazo zikaota na kuwa mzabibu mfupi, unaoeneza matawi yake. Matawi yake yakamwelekea huyo tai, mizizi yake ikabaki chini ya huo mzabibu. Kwa hiyo ukawa mzabibu na kutoa matawi na vitawi vyenye majani mengi.

EZE 17:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini kulikuwa na tai mwingine mkubwa, mwenye mabawa yenye nguvu yaliyojaa manyoya. Tazama! Huu mzabibu ukatoa mizizi yake kumwelekea huyo tai kutoka mle kwenye shamba lile ulikopandwa na kutanda matawi yake kumwelekea kwa ajili ya kupata maji.

EZE 17:8 Removed trailing space in v~: Ulikuwa umepandwa katika udongo mzuri wenye maji mengi ili uweze kutoa matawi, kuzaa matunda na uweze kuwa mzabibu mzuri sana.’

EZE 17:9 Removed trailing space in v~: “Waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Je, utastawi? Je, hautangʼolewa na kuondolewa matunda yake, ili uweze kunyauka? Majani yake mapya yanayochipua yote yatanyauka. Hautahitaji mkono wenye nguvu au watu wengi kuungʼoa na mizizi yake.

EZE 17:10 Removed trailing space in v~: Hata kama utapandwa pengine, Je, utastawi? Je, hautanyauka kabisa wakati upepo wa mashariki utakapoupiga, yaani, hautanyauka kabisa katika udongo mzuri ambamo ulikuwa umestawi vizuri?’ ”

EZE 17:11 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 17:12 Removed trailing space in v~: “Waambie nyumba hii ya kuasi, ‘Je, mnajua hii ina maana gani?’ Waambie: ‘Mfalme wa Babeli alikwenda Yerusalemu na kumchukua mfalme na watu maarufu, akarudi nao na kuwaleta mpaka Babeli.

EZE 17:13 Removed trailing space in v~: Ndipo akamchukua mmoja wa jamaa ya mfalme na kufanya mapatano naye, akamfanya aape. Akawachukua pia viongozi wa nchi,

EZE 17:14 Removed trailing space in v~: ili kuudhoofisha ufalme huo, usiweze kuinuka tena, ila uweze kuendelea tu chini ya mapatano yake.

EZE 17:15 Removed trailing space in v~: Lakini mfalme aliasi dhidi yake kwa kutuma wajumbe wake kwenda Misri ili kupatiwa farasi na jeshi kubwa. Je, atashinda? Je, atafanikiwa? Je, mtu afanyaye mambo kama hayo ataokoka? Je, atavunja mapatano na bado aokoke?

EZE 17:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, atafia huko Babeli, katika nchi ya mfalme aliyemketisha katika kiti cha enzi, ambaye alidharau kiapo chake na kuvunja mapatano yake.

EZE 17:17 Removed trailing space in v~: Farao na jeshi lake kubwa, na wingi wake wa watu hawataweza kusaidia chochote katika vita, wakati watakapozungukwa na jeshi ili kukatilia mbali maisha ya watu wengi.

EZE 17:18 Removed trailing space in v~: Alidharau kiapo kwa kuvunja Agano. Kwa sababu aliahidi kwa mkono wake mwenyewe na bado akafanya mambo haya yote, hataokoka.

EZE 17:19 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Hakika kama niishivyo, nitaleta juu ya kichwa chake kiapo changu, alichokidharau na Agano langu lile alilolivunja.

EZE 17:20 Removed trailing space in v~: Nitautandaza wavu wangu kwa ajili yake, naye atanaswa katika mtego wangu. Nitamleta mpaka Babeli na kutekeleza hukumu juu yake huko kwa kuwa hakuwa mwaminifu kwangu.

EZE 17:21 Removed trailing space in v~: Askari wake wote wanaotoroka wataanguka kwa upanga, nao watakaonusurika watatawanyika katika pande zote za dunia. Ndipo utakapojua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* nimesema.

EZE 17:21 Removed trailing space in s1: Hatimaye Israeli Kutukuzwa

EZE 17:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi mwenyewe nitachukua chipukizi kutoka kwenye kilele cha juu sana cha mwerezi na kukipanda, nitavunja kitawi kichanga kutoka matawi yake ya juu kabisa na kukipanda juu ya mlima mrefu ulioinuka sana.

EZE 17:23 Removed trailing space in v~: Katika vilele vya mlima mrefu wa Israeli nitakipanda, kitatoa matawi na kuzaa matunda na kuwa mwerezi mzuri sana. Ndege wa kila aina wataweka viota vyao ndani yake, nao watapata makazi katika kivuli cha matawi yake.

EZE 17:24 Removed trailing space in v~: Miti yote ya kondeni itajua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* ninaishusha miti mirefu na kuikuza miti mifupi kuwa miti mirefu. Mimi naikausha miti mibichi na kuifanya miti mikavu istawi.

EZE 17:24 Removed trailing space in p~: “ ‘Mimi \nd Bwana\nd* nimesema, nami nitatenda.’ ”

EZE 18:0 Extra space after chapter number

EZE 18:0 Removed trailing space in c: 18

EZE 18:0 Removed trailing space in s1: Roho Itendayo Dhambi Itakufa

EZE 18:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 18:2 Removed trailing space in v~: “Je, ninyi watu mna maana gani kutumia mithali hii inayohusu nchi ya Israeli:

EZE 18:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Baba wamekula zabibu zenye chachu,

EZE 18:2 Removed trailing space in p~: nayo meno ya watoto yametiwa ganzi’?

EZE 18:3 Removed trailing space in v~: “Hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, hamtatumia tena mithali hii katika Israeli.

EZE 18:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kila roho ni mali yangu, kama vile ilivyo roho ya baba, vivyo hivyo roho ya mtoto ni mali yangu. Roho itendayo dhambi ndiyo itakayokufa.

EZE 18:5 Removed trailing space in v~: “Mtu aweza kuwa ni mwenye haki

EZE 18:5 Removed trailing space in p~: atendaye yaliyo haki na sawa.

EZE 18:6 Removed trailing space in v~: Hakula katika mahali pa ibada za miungu

EZE 18:6 Removed trailing space in p~: kwenye milima

EZE 18:6 Removed trailing space in p~: wala hakuziinulia macho sanamu

EZE 18:6 Removed trailing space in p~: za nyumba ya Israeli.

EZE 18:6 Removed trailing space in p~: Hakumtia unajisi mke wa jirani yake,

EZE 18:6 Removed trailing space in p~: wala hakukutana kimwili na mwanamke

EZE 18:6 Removed trailing space in p~: wakati wa siku zake za hedhi.

EZE 18:7 Removed trailing space in v~: Hamwonei mtu yeyote,

EZE 18:7 Removed trailing space in p~: bali hurudisha kilichowekwa rehani kwake.

EZE 18:7 Removed trailing space in p~: Hanyangʼanyi, bali huwapa wenye njaa chakula chake

EZE 18:7 Removed trailing space in p~: na huwapa nguo walio uchi.

EZE 18:8 Removed trailing space in v~: Hakopeshi kwa riba

EZE 18:8 Removed trailing space in p~: wala hajipatii faida ya ziada.

EZE 18:8 Removed trailing space in p~: Huuzuia mkono wake usifanye mabaya,

EZE 18:8 Removed trailing space in p~: naye huhukumu kwa haki kati ya mtu na mtu.

EZE 18:9 Removed trailing space in v~: Huzifuata amri zangu

EZE 18:9 Removed trailing space in p~: na kuzishika sheria zangu kwa uaminifu.

EZE 18:9 Removed trailing space in p~: Huyo mtu ni mwenye haki;

EZE 18:9 Removed trailing space in p~: hakika ataishi,

EZE 18:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 18:10 Removed trailing space in v~: “Aweza kuwa ana mwana jeuri, amwagaye damu au atendaye mojawapo ya mambo haya

EZE 18:11 Removed trailing space in v~: (ingawa baba yake hakufanya mojawapo ya haya):

EZE 18:11 Removed trailing space in p~: “Hula katika mahali pa ibada za miungu kwenye milima.

EZE 18:11 Removed trailing space in p~: Humtia unajisi mke wa jirani yake.

EZE 18:12 Removed trailing space in v~: Huwaonea maskini na wahitaji.

EZE 18:12 Removed trailing space in p~: Hunyangʼanyana.

EZE 18:12 Removed trailing space in p~: Harudishi kile kilichowekwa rehani kwake.

EZE 18:12 Removed trailing space in p~: Huziinulia sanamu macho.

EZE 18:12 Removed trailing space in p~: Hufanya mambo ya machukizo.

EZE 18:13 Removed trailing space in v~: Hukopesha kwa riba na kutafuta faida ya ziada.

EZE 18:13 Removed trailing space in p~: Je, mtu wa namna hii ataishi? Hapana, hataishi! Kwa sababu amefanya mambo haya yote ya machukizo, hakika atauawa na damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe.

EZE 18:14 Removed trailing space in v~: “Lakini yawezekana mwana huyo ana mwana aonaye dhambi hizi zote anazofanya baba yake, naye ingawa anaziona, yeye hafanyi mabaya kama haya:

EZE 18:15 Removed trailing space in v~: “Hakula katika mahali pa ibada za miungu

EZE 18:15 Removed trailing space in p~: kwenye milima,

EZE 18:15 Removed trailing space in p~: wala hainulii macho sanamu

EZE 18:15 Removed trailing space in p~: za nyumba ya Israeli.

EZE 18:15 Removed trailing space in p~: Hakumtia unajisi

EZE 18:15 Removed trailing space in p~: mke wa jirani yake.

EZE 18:16 Removed trailing space in v~: Hakumwonea mtu yeyote

EZE 18:16 Removed trailing space in p~: wala hakutaka rehani kwa ajili ya mkopo.

EZE 18:16 Removed trailing space in p~: Hanyangʼanyi,

EZE 18:16 Removed trailing space in p~: bali huwapa wenye njaa chakula chake

EZE 18:16 Removed trailing space in p~: na huwapa nguo walio uchi.

EZE 18:17 Removed trailing space in v~: Huuzuia mkono wake usitende dhambi,

EZE 18:17 Removed trailing space in p~: hakopeshi kwa riba

EZE 18:17 Removed trailing space in p~: wala hajipatii faida ya ziada.

EZE 18:17 Removed trailing space in p~: Huzishika amri zangu

EZE 18:17 Removed trailing space in p~: na kuzifuata sheria zangu.

EZE 18:17 Removed trailing space in p~: Hatakufa kwa ajili ya dhambi za baba yake; hakika ataishi.

EZE 18:18 Removed trailing space in v~: Lakini baba yake atakufa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe, kwa sababu alitoza bei isiyo halali kwa nguvu, akamnyangʼanya ndugu yake na kufanya yaliyo mabaya miongoni mwa watu wake.

EZE 18:19 Removed trailing space in v~: “Lakini mnauliza, ‘Kwa nini mwana asiadhibiwe kwa uovu wa baba yake?’ Kwa vile mwana ametenda yaliyo haki na sawa na amekuwa mwangalifu kuzishika amri zangu zote, hakika ataishi.

EZE 18:20 Removed trailing space in v~: Roho itendayo dhambi ndiyo itakayokufa. Mwana hataadhibiwa kwa ajili ya makosa ya baba yake, wala baba hataadhibiwa kwa ajili ya makosa ya mwanawe. Haki ya mtu mwenye haki itahesabiwa juu yake na uovu wa mtu mwovu utalipizwa juu yake.

EZE 18:21 Removed trailing space in v~: “Lakini mtu mwovu akiacha dhambi zake zote alizozitenda na kushika amri zangu zote na kufanya lililo haki na sawa, hakika ataishi, hatakufa.

EZE 18:22 Removed trailing space in v~: Hakuna kosa lolote alilotenda litakalokumbukwa juu yake. Kwa ajili ya mambo ya haki aliyoyatenda, ataishi.

EZE 18:23 Removed trailing space in v~: Je, mimi ninafurahia kifo cha mtu mwovu? Asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Je, si mimi ninafurahi wanapogeuka kutoka njia zao mbaya na kuishi?

EZE 18:24 Removed trailing space in v~: “Lakini kama mtu mwenye haki akiacha haki yake na kutenda dhambi na kufanya mambo ya machukizo ambayo mtu mwovu hufanya, Je, ataishi? Hakuna hata mojawapo ya matendo ya haki aliyotenda litakalokumbukwa. Kwa sababu ya kukosa uaminifu kwake anayo hatia na kwa sababu ya dhambi alizozitenda, atakufa.

EZE 18:25 Removed trailing space in v~: “Lakini mnasema, ‘Njia ya Bwana si ya haki.’ Sikia, ee nyumba ya Israeli: Njia yangu siyo iliyo ya haki? Je, si njia zenu ndizo ambazo si za haki?

EZE 18:26 Removed trailing space in v~: Kama mtu mwenye haki akiacha haki yake na kutenda dhambi, atakufa kwa ajili ya dhambi yake, kwa sababu ya dhambi alizotenda, atakufa.

EZE 18:27 Removed trailing space in v~: Lakini mtu mwovu akigeuka kutoka maovu aliyoyatenda na kufanya yaliyo haki na sawa, ataokoa maisha yake.

EZE 18:28 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa anayafikiria na kugeuka kutoka makosa yake yote aliyoyatenda na kuyaacha, hakika ataishi, hatakufa.

EZE 18:29 Removed trailing space in v~: Lakini nyumba ya Israeli inasema, ‘Njia za Bwana si haki.’ Je, njia zangu si za haki, ee nyumba ya Israeli? Je, si njia zenu ndizo ambazo si za haki?”

EZE 18:30 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, ee nyumba ya Israeli, nitawahukumu, kila mmoja sawasawa na njia zake, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Tubuni! Geukeni kutoka makosa yenu yote, ndipo dhambi haitakuwa anguko lenu.

EZE 18:31 Removed trailing space in v~: Tupilieni mbali makosa yenu yote mliyoyatenda, nanyi mpate moyo mpya na roho mpya. Kwa nini mfe, ee nyumba ya Israeli?

EZE 18:32 Removed trailing space in v~: Kwa maana sifurahii kifo cha mtu awaye yote afaye katika uovu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Tubuni basi, mkaishi!

EZE 19:0 Extra space after chapter number

EZE 19:0 Removed trailing space in c: 19

EZE 19:0 Removed trailing space in s1: Maombolezo Kwa Ajili Ya Wakuu Wa Israeli

EZE 19:1 Removed trailing space in v~: “Wewe fanya maombolezo kuhusu wakuu wa Israeli

EZE 19:2 Removed trailing space in v~: na useme:

EZE 19:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Tazama jinsi gani mama yako alivyokuwa simba jike

EZE 19:2 Removed trailing space in p~: miongoni mwa simba!

EZE 19:2 Removed trailing space in p~: Alilala katikati ya wana simba

EZE 19:2 Removed trailing space in p~: na kulisha watoto wake.

EZE 19:3 Removed trailing space in v~: Alimlea mmoja wa watoto wake,

EZE 19:3 Removed trailing space in p~: naye akawa simba mwenye nguvu.

EZE 19:3 Removed trailing space in p~: Akajifunza kurarua mawindo

EZE 19:3 Removed trailing space in p~: naye akala watu.

EZE 19:4 Removed trailing space in v~: Mataifa wakasikia habari zake,

EZE 19:4 Removed trailing space in p~: naye akanaswa katika shimo lao.

EZE 19:4 Removed trailing space in p~: Wakamwongoza kwa ndoana

EZE 19:4 Removed trailing space in p~: mpaka nchi ya Misri.

EZE 19:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Mama yake alipongoja na kuona tumaini lake halitimiziki,

EZE 19:5 Removed trailing space in p~: nayo matarajio yake yametoweka,

EZE 19:5 Removed trailing space in p~: akamchukua mwanawe mwingine

EZE 19:5 Removed trailing space in p~: na kumfanya simba mwenye nguvu.

EZE 19:6 Removed trailing space in v~: Alizungukazunguka miongoni mwa simba,

EZE 19:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sasa alikuwa simba mwenye nguvu.

EZE 19:6 Removed trailing space in p~: Akajifunza kurarua mawindo

EZE 19:6 Removed trailing space in p~: naye akala watu.

EZE 19:7 Removed trailing space in v~: Akabomoa ngome zao

EZE 19:7 Removed trailing space in p~: na kuiharibu miji yao.

EZE 19:7 Removed trailing space in p~: Nchi na wote waliokuwa ndani yake

EZE 19:7 Removed trailing space in p~: wakatiwa hofu kwa kunguruma kwake.

EZE 19:8 Removed trailing space in v~: Kisha mataifa wakaja dhidi yake

EZE 19:8 Removed trailing space in p~: kutoka sehemu zilizomzunguka.

EZE 19:8 Removed trailing space in p~: Wakatanda nyavu zao kwa ajili yake,

EZE 19:8 Removed trailing space in p~: naye akanaswa katika shimo lao.

EZE 19:9 Removed trailing space in v~: Kwa kutumia ndoana wakamvutia kwenye tundu

EZE 19:9 Removed trailing space in p~: na kumleta mpaka kwa mfalme wa Babeli.

EZE 19:9 Removed trailing space in p~: Wakamtia gerezani, hivyo kunguruma kwake

EZE 19:9 Removed trailing space in p~: hakukusikika tena

EZE 19:9 Removed trailing space in p~: katika milima ya Israeli.

EZE 19:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Mama yako alikuwa kama mzabibu

EZE 19:10 Removed trailing space in p~: katika shamba lako la mizabibu

EZE 19:10 Removed trailing space in p~: uliopandwa kando ya maji,

EZE 19:10 Removed trailing space in p~: ukiwa unazaa sana na wenye matawi mengi

EZE 19:10 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya wingi wa maji.

EZE 19:11 Removed trailing space in v~: Matawi yake yalikuwa na nguvu,

EZE 19:11 Removed trailing space in p~: yaliyofaa kuwa fimbo ya enzi ya mtawala.

EZE 19:11 Removed trailing space in p~: Ulikuwa mrefu kupita miti mingine

EZE 19:11 Removed trailing space in p~: katikati ya matawi manene;

EZE 19:11 Removed trailing space in p~: ulionekana kwa urahisi

EZE 19:11 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya urefu wake

EZE 19:11 Removed trailing space in p~: na wingi wa matawi yake.

EZE 19:12 Removed trailing space in v~: Lakini ulingʼolewa kwa hasira kali

EZE 19:12 Removed trailing space in p~: na kutupwa chini.

EZE 19:12 Removed trailing space in p~: Upepo wa mashariki uliufanya usinyae,

EZE 19:12 Removed trailing space in p~: matunda yake yakapukutika,

EZE 19:12 Removed trailing space in p~: matawi yake yenye nguvu yakanyauka

EZE 19:12 Removed trailing space in p~: na moto ukayateketeza.

EZE 19:13 Removed trailing space in v~: Sasa umepandwa jangwani

EZE 19:13 Removed trailing space in p~: katika nchi kame na ya kiu.

EZE 19:14 Removed trailing space in v~: Moto ulienea kuanzia katika mmojawapo ya matawi yake makubwa

EZE 19:14 Removed trailing space in p~: na kuteketeza matunda yake.

EZE 19:14 Removed trailing space in p~: Hakuna tawi lenye nguvu lililobaki juu yake

EZE 19:14 Removed trailing space in p~: lifaalo kuwa fimbo ya enzi ya mtawala.’

EZE 19:14 Removed trailing space in p~: Hili ndilo ombolezo, na litumike kama ombolezo.”

EZE 20:0 Extra space after chapter number

EZE 20:0 Removed trailing space in c: 20

EZE 20:0 Removed trailing space in s1: Israeli Waasi

EZE 20:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa saba, mwezi wa tano siku ya kumi, baadhi ya wazee wa Israeli wakaja ili kutaka ushauri kwa \nd Bwana\nd*, wakaketi mbele yangu.

EZE 20:2 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 20:3 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, sema na wazee wa Israeli uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa nini mmekuja? Je, ni kutaka ushauri kwangu? Hakika kama niishivyo, sitawaruhusu mtake ushauri toka kwangu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’

EZE 20:4 Removed trailing space in v~: “Je, utawahukumu? Je, mwanadamu, utawahukumu? Basi uwakabili kwa ajili ya machukizo ya baba zao

EZE 20:5 Removed trailing space in v~: na uwaambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Siku ile nilipochagua Israeli, niliwaapia wazao wa nyumba ya Yakobo kwa mkono ulioinuliwa nami nikajidhihirisha kwao huko Misri. Kwa mkono ulioinuliwa niliwaambia, “Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wenu.”

EZE 20:6 Removed trailing space in v~: Siku ile niliwaapia wao kwamba nitawatoa katika nchi ya Misri na kuwaleta katika nchi niliyowachagulia, nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi nzuri kupita zote.

EZE 20:7 Removed trailing space in v~: Nami nikawaambia, “Kila mmoja wenu aondolee mbali sanamu za chukizo ambazo mmekazia macho, nanyi msijitie unajisi kwa sanamu za Misri. Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wenu.”

EZE 20:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini waliniasi na hawakunisikiliza, hawakuondolea mbali sanamu za machukizo ambazo walikuwa wamezikazia macho, wala kuondolea mbali sanamu za Misri. Ndipo nikasema, nitawamwagia ghadhabu yangu na kutimiza hasira yangu dhidi yao huko Misri.

EZE 20:9 Removed trailing space in v~: Lakini kwa ajili ya Jina langu nilifanya kile ambacho kingelifanya lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa waliyoishi miongoni mwao na ambao machoni pao nilikuwa nimejifunua kwa Waisraeli kwa kuwatoa katika nchi ya Misri.

EZE 20:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikawaongoza watoke Misri na kuwaleta jangwani.

EZE 20:11 Removed trailing space in v~: Nikawapa amri zangu na kuwajulisha sheria zangu, kwa kuwa mtu anayezitii ataishi kwa hizo.

EZE 20:12 Removed trailing space in v~: Pia niliwapa Sabato zangu kama ishara kati yangu nao, ili wapate kujua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* niliwafanya kuwa watakatifu.

EZE 20:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini watu wa Israeli waliniasi Mimi jangwani. Hawakufuata amri zangu, bali walikataa sheria zangu, ingawa mtu yule anayezitii ataishi kwa hizo sheria, nao walizinajisi Sabato zangu kabisa. Hivyo nilisema ningemwaga ghadhabu yangu juu yao na kuwaangamiza huko jangwani.

EZE 20:14 Removed trailing space in v~: Lakini kwa ajili ya Jina langu nikafanya kile ambacho kitalifanya Jina langu lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa ambao mbele yao nilikuwa nimewatoa Waisraeli.

EZE 20:15 Removed trailing space in v~: Tena kwa mkono ulioinuliwa nikawaapia huko jangwani kwamba nisingewaingiza katika nchi niliyokuwa nimewapa, yaani, nchi itiririkayo maziwa na asali, nchi nzuri kuliko zote,

EZE 20:16 Removed trailing space in v~: kwa sababu walikataa sheria zangu na hawakufuata amri zangu na wakazinajisi Sabato zangu. Kwa kuwa mioyo yao iliandama sanamu zao.

EZE 20:17 Removed trailing space in v~: Lakini niliwahurumia wala sikuwaangamiza wala hakuwafuta kabisa jangwani.

EZE 20:18 Removed trailing space in v~: Niliwaambia watoto wao kule jangwani, “Msifuate amri za baba zenu wala kushika sheria zao au kujinajisi kwa sanamu zao.

EZE 20:19 Removed trailing space in v~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wenu, fuateni amri zangu tena kuweni waangalifu kushika sheria zangu.

EZE 20:20 Removed trailing space in v~: Zitakaseni Sabato zangu ili ziwe ishara kati yangu nanyi. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wenu.”

EZE 20:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini watoto hao wakaniasi: Hawakufuata amri zangu, wala hawakuwa waangalifu kushika sheria zangu, ingawa mtu anayezitii anaishi kwa hizo sheria, nao wakazinajisi Sabato zangu. Hivyo nikasema ningemwaga ghadhabu yangu juu yao na kutimiza hasira yangu dhidi yao huko jangwani.

EZE 20:22 Removed trailing space in v~: Lakini nikauzuia mkono wangu na kwa ajili ya Jina langu nikafanya kile ambacho kingelifanya Jina langu lisitiwe unajisi machoni mwa mataifa ambao mbele yao nilikuwa nimewatoa Waisraeli.

EZE 20:23 Removed trailing space in v~: Tena kwa mkono ulioinuliwa nikawaapia huko jangwani kwamba ningewatawanya miongoni mwa mataifa na kuwatawanya katika nchi mbalimbali,

EZE 20:24 Removed trailing space in v~: kwa sababu hawakutii sheria zangu lakini walikuwa wamekataa amri zangu na kuzinajisi Sabato zangu, nayo macho yao yakatamani sanamu za baba zao.

EZE 20:25 Removed trailing space in v~: Pia niliwaacha wafuate amri ambazo hazikuwa nzuri na sheria ambazo mtu hawezi kuishi kwa hizo sheria.

EZE 20:26 Removed trailing space in v~: Nikawaacha wanajisiwe kwa matoleo yao, kuwatoa wazaliwa wao wa kwanza kafara kwa sanamu, yaani, kule kuwapitisha wazaliwa wao wa kwanza kwenye moto, nipate kuwajaza na hofu ili wajue kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’

EZE 20:27 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, mwanadamu, sema na watu wa Israeli na uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika hili pia, baba zenu walinikufuru kwa kuniacha mimi:

EZE 20:28 Removed trailing space in v~: Nilipowaleta katika nchi ile ambayo nilikuwa nimeapa kuwapa na kuona kilima chochote kirefu au mti wowote wenye majani mengi, huko walitoa dhabihu zao, wakatoa sadaka ambazo zilichochea hasira yangu, wakafukiza uvumba wenye harufu nzuri na kumimina sadaka zao za kinywaji.

EZE 20:29 Removed trailing space in v~: Ndipo nikawaambia: Ni nini maana yake hapa mahali pa juu pa kuabudia miungu mnapopaendea?’ ” (Basi jina la mahali pale panaitwa Bama\f + \fr 20:29 \ft Bama maana yake ni mahali pa juu pa kuabudia miungu.\f* hata hivi leo.)

EZE 20:29 Removed trailing space in s1: Hukumu Na Kurudishwa

EZE 20:30 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Je, mtajinajisi kama vile baba zenu walivyofanya na kutamani vinyago vyao vya machukizo?

EZE 20:31 Removed trailing space in v~: Mnapotoa matoleo yenu, yaani, wana wenu kafara katika moto, mnaendelea kujinajisi na sanamu zenu zote hadi siku hii ya leo. Je, niulizwe neno na ninyi, ee nyumba ya Israeli? Hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, mimi sitaulizwa neno na ninyi.

EZE 20:32 Removed trailing space in v~: “ ‘Lile lililoko mioyoni mwenu kamwe halitatokea, mnaposema, “Tunataka tuwe kama mataifa mengine, kama watu wengine wa dunia, wanaotumikia miti na mawe.”

EZE 20:33 Removed trailing space in v~: Hakika kama niishivyo asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nitatawala juu yenu kwa mkono wa nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa ghadhabu iliyomwagwa.

EZE 20:34 Removed trailing space in v~: Nitawatoa toka katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mlikotawanywa, kwa mkono wa nguvu na kwa mkono ulionyooshwa na kwa ghadhabu iliyomwagwa.

EZE 20:35 Removed trailing space in v~: Nitawaleta katika jangwa la mataifa na huko nitatekeleza hukumu juu yenu uso kwa uso.

EZE 20:36 Removed trailing space in v~: Kama nilivyowahukumu baba zenu katika jangwa la nchi ya Misri, ndivyo nitakavyowahukumu ninyi, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 20:37 Removed trailing space in v~: Nitawafanya mpite chini ya fimbo yangu, nami nitawaleta katika mkataba wa Agano.

EZE 20:38 Removed trailing space in v~: Nitawaondoa miongoni mwenu wale wanaohalifu na wale wanaoasi dhidi yangu. Ingawa nitawatoa katika nchi wanazoishi, hawataingia katika nchi ya Israeli. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 20:39 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa habari zenu ninyi, ee nyumba ya Israeli, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nendeni mkatumikie sanamu zenu, kila mmoja wenu! Lakini baadaye hakika mtanisikiliza mimi nanyi hamtalinajisi tena Jina langu takatifu, kwa matoleo yenu na sanamu zenu.

EZE 20:40 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa katika mlima wangu mtakatifu, mlima mrefu wa Israeli, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, hapo katika nchi nyumba yote ya Israeli itanitumikia mimi, nami huko nitawakubali. Huko nitataka sadaka zenu na matoleo ya malimbuko yenu, pamoja na dhabihu zenu takatifu zote.

EZE 20:41 Removed trailing space in v~: Nitawakubali ninyi kama uvumba wenye harufu nzuri wakati nitakapowatoa katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mlipokuwa mmetawanyika, nami nitajionyesha kuwa mtakatifu miongoni mwenu na machoni mwa mataifa.

EZE 20:42 Removed trailing space in v~: Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapowaleta katika nchi ya Israeli, nchi niliyokuwa nimeapa kwa mkono ulioinuliwa kuwapa baba zenu.

EZE 20:43 Removed trailing space in v~: Hapo ndipo nitakapokumbuka mwenendo wenu na matendo yenu yote ambayo kwayo mlijitia unajisi, nanyi mtajichukia wenyewe kwa ajili ya maovu yote mliyokuwa mmetenda.

EZE 20:44 Removed trailing space in v~: Nanyi mtajua kuwa mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakaposhughulika nanyi kwa ajili ya Jina langu na wala si sawasawa na njia zenu mbaya na matendo yenu maovu, ee nyumba ya Israeli, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 20:44 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Kusini

EZE 20:45 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 20:46 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, uelekeze uso wako upande wa kusini, hubiri juu ya upande wa kusini na utoe unabii juu ya msitu wa Negebu.

EZE 20:47 Removed trailing space in v~: Waambie watu wa Negebu: ‘Sikieni neno la \nd Bwana\nd*. Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ninakaribia kukutia moto, nao utateketeza miti yako yote, mibichi na iliyokauka. Miali ya moto haitaweza kuzimwa na kila uso kutoka kusini mpaka kaskazini utakaushwa kwa moto huo.

EZE 20:48 Removed trailing space in v~: Kila mmoja ataona kuwa mimi \nd Bwana\nd* ndiye niliyeuwasha huo moto, nao hautazimwa.’ ”

EZE 20:49 Removed trailing space in v~: Ndipo niliposema, “Aa, \nd Bwana\nd* Mwenyezi! Wao hunisema, ‘Huyu si huzungumza mafumbo tu?’ ”

EZE 21:0 Extra space after chapter number

EZE 21:0 Removed trailing space in c: 21

EZE 21:0 Removed trailing space in s1: Babeli, Upanga Wa Mungu Wa Hukumu

EZE 21:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 21:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, uelekeze uso wako juu ya Yerusalemu na uhubiri dhidi ya mahali patakatifu. Tabiri dhidi ya nchi ya Israeli

EZE 21:3 Removed trailing space in v~: uiambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo: Mimi niko kinyume nawe. Nitautoa upanga wangu kwenye ala yake na kumkatilia mbali mwenye haki na mwovu.

EZE 21:4 Removed trailing space in v~: Kwa sababu nitamkatilia mbali mwenye haki na mwovu, upanga wangu utakuwa wazi dhidi ya kila mmoja kuanzia kusini mpaka kaskazini.

EZE 21:5 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wote watajua ya kuwa Mimi \nd Bwana\nd* nimeutoa upanga wangu kwenye ala yake, nao hautarudi humo tena.’

EZE 21:6 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo lia kwa uchungu, mwanadamu! Lia kwa uchungu mbele yao kwa moyo uliopondeka na kwa huzuni nyingi.

EZE 21:7 Removed trailing space in v~: Nao watakapokuuliza, ‘Kwa nini unalia kwa uchungu?’ Utasema hivi, ‘Kwa sababu ya habari zinazokuja. Kila moyo utayeyuka na kila mkono utalegea, kila roho itazimia na kila goti litalegea kama maji.’ Habari hizo zinakuja! Hakika zitatokea, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 21:8 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia, kusema:

EZE 21:9 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, tabiri na useme, ‘Hili ndilo Bwana asemalo:

EZE 21:9 Removed trailing space in p~: “ ‘Upanga, upanga,

EZE 21:9 Removed trailing space in p~: ulionolewa na kusuguliwa:

EZE 21:10 Removed trailing space in v~: umenolewa kwa ajili ya mauaji,

EZE 21:10 Removed trailing space in p~: umesuguliwa ili ungʼae

EZE 21:10 Removed trailing space in p~: kama umeme wa radi!

EZE 21:10 Removed trailing space in p~: “ ‘Je, tuifurahie fimbo ya utawala ya mwanangu Yuda? Upanga unaidharau kila fimbo ya namna hiyo.

EZE 21:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Upanga umewekwa tayari ili kusuguliwa,

EZE 21:11 Removed trailing space in p~: ili upate kushikwa mkononi,

EZE 21:11 Removed trailing space in p~: umenolewa na kusuguliwa,

EZE 21:11 Removed trailing space in p~: umewekwa tayari kwa mkono wa muuaji.

EZE 21:12 Removed trailing space in v~: Piga kelele na uomboleze, ee mwanadamu,

EZE 21:12 Removed trailing space in p~: kwa kuwa upanga u dhidi ya watu wangu;

EZE 21:12 Removed trailing space in p~: u dhidi ya wakuu wote wa Israeli.

EZE 21:12 Removed trailing space in p~: Wametolewa wauawe kwa upanga

EZE 21:12 Removed trailing space in p~: pamoja na watu wangu.

EZE 21:12 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo pigapiga kifua chako.

EZE 21:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa maana upanga huu umejaribiwa na kuhakikishwa, itakuwaje basi fimbo ya ufalme ya Yuda inayoudharau kama haitakuwepo tena, bali itakuwa imeondolewa kabisa? asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’

EZE 21:14 Removed trailing space in v~: “Hivyo basi, mwanadamu, tabiri

EZE 21:14 Removed trailing space in p~: na ukapige makofi.

EZE 21:14 Removed trailing space in p~: Upanga wako na upige mara mbili,

EZE 21:14 Removed trailing space in p~: naam, hata mara tatu.

EZE 21:14 Removed trailing space in p~: Ni upanga wa kuchinja,

EZE 21:14 Removed trailing space in p~: upanga wa mauaji makuu,

EZE 21:14 Removed trailing space in p~: ukiwashambulia kutoka kila upande.

EZE 21:15 Removed trailing space in v~: Ili mioyo ipate kuyeyuka

EZE 21:15 Removed trailing space in p~: na wanaouawa wawe wengi,

EZE 21:15 Removed trailing space in p~: nimeweka upanga wa kuchinja

EZE 21:15 Removed trailing space in p~: kwenye malango yao yote.

EZE 21:15 Removed trailing space in p~: Lo! Umetengenezwa

EZE 21:15 Removed trailing space in p~: umetemete kama umeme wa radi,

EZE 21:15 Removed trailing space in p~: umeshikwa kwa ajili ya kuua.

EZE 21:16 Removed trailing space in v~: Ee upanga, kata upande wa kuume,

EZE 21:16 Removed trailing space in p~: kisha upande wa kushoto,

EZE 21:16 Removed trailing space in p~: mahali popote makali yako

EZE 21:16 Removed trailing space in p~: yatakapoelekezwa.

EZE 21:17 Removed trailing space in v~: Mimi nami nitapiga makofi,

EZE 21:17 Removed trailing space in p~: nayo ghadhabu yangu itapungua.

EZE 21:17 Removed trailing space in p~: Mimi \nd Bwana\nd* nimesema.”

EZE 21:18 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 21:19 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, weka alama njia mbili ambazo upanga wa mfalme wa Babeli utapitia, njia hizo zikianzia katika nchi hiyo hiyo. Weka kibao pale ambapo njia zinagawanyika kuelekea mjini.

EZE 21:20 Removed trailing space in v~: Weka alama njia moja kwa ajili ya upanga upate kuja dhidi ya Raba ya Waamoni na nyingine upate kuja dhidi ya Yuda na Yerusalemu iliyozungushiwa ngome.

EZE 21:21 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mfalme wa Babeli sasa amesimama katika njia panda, katika makutano ya njia mbili, akipiga ramli: anapiga kura kwa kutumia mishale, anataka shauri kwa sanamu zake, anachunguza maini ya wanyama.

EZE 21:22 Removed trailing space in v~: Upande wake wa kuume inakuja kura ya Yerusalemu, ambapo ataweka vyombo vya kuvunjia boma, ili kuamrisha mauaji, kupiga ukelele wa vita, kuweka vyombo vya kuvunjia boma kwenye malango, kuweka jeshi kuzunguka na kufanya uzingiraji.

EZE 21:23 Removed trailing space in v~: Itakuwa kama kupiga ramli kwa uongo kwa wale watu ambao wameapa kumtii yeye. Lakini mfalme wa Babeli atawakumbusha juu ya uovu wao na kuwachukua mateka.

EZE 21:24 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: ‘Kwa sababu enyi watu mmekumbusha uovu wenu kwa kuasi waziwazi, mkidhihirisha dhambi zenu katika yale yote mfanyayo, kwa kuwa mmefanya jambo hili, mtachukuliwa mateka.

EZE 21:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Ee mtawala kafiri na mwovu wa Israeli, ambaye siku yako imewadia, ambaye wakati wako wa adhabu umefikia kilele chake,

EZE 21:26 Removed trailing space in v~: hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Vua kilemba, ondoa taji. Kwa kuwa mambo hayatakuwa kama yalivyokuwa. Aliye mnyonge atakwezwa na aliyekwezwa atashushwa.

EZE 21:27 Removed trailing space in v~: Mahame! Mahame! Nitaufanya mji kuwa mahame! Hautajengwa upya mpaka aje yule ambaye ndiye mwenye haki nao; yeye ndiye nitakayempa.’

EZE 21:28 Removed trailing space in v~: “Nawe, mwanadamu, tabiri na useme, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo kuhusu Waamoni na matukano yao.

EZE 21:28 Removed trailing space in p~: “ ‘Upanga, upanga,

EZE 21:28 Removed trailing space in p~: umefutwa kwa ajili ya kuua,

EZE 21:28 Removed trailing space in p~: umesuguliwa ili kuangamiza

EZE 21:28 Removed trailing space in p~: na unametameta kama umeme wa radi!

EZE 21:29 Removed trailing space in v~: Wakati wakitoa maono ya uongo kwa ajili yako,

EZE 21:29 Removed trailing space in p~: wanapobashiri uongo kwa ajili yako,

EZE 21:29 Removed trailing space in p~: wanakuweka wewe kwenye shingo za watu wapotovu,

EZE 21:29 Removed trailing space in p~: wale walio waovu,

EZE 21:29 Removed trailing space in p~: wale ambao siku yao imewadia,

EZE 21:29 Removed trailing space in p~: wakati wa adhabu yao ya mwisho.

EZE 21:30 Removed trailing space in v~: Urudishe upanga kwenye ala yake!

EZE 21:30 Removed trailing space in p~: Katika mahali ulipoumbiwa,

EZE 21:30 Removed trailing space in p~: katika nchi ya baba zako,

EZE 21:30 Removed trailing space in p~: huko nitakuhukumu.

EZE 21:31 Removed trailing space in v~: Nitamwaga ghadhabu yangu juu yako

EZE 21:31 Removed trailing space in p~: na kupuliza moto wa hasira yangu dhidi yako;

EZE 21:31 Removed trailing space in p~: nitakutia mikononi mwa watu wakatili,

EZE 21:31 Removed trailing space in p~: watu stadi katika kuangamiza.

EZE 21:32 Removed trailing space in v~: Mtakuwa kuni za kuwashia moto,

EZE 21:32 Removed trailing space in p~: damu yenu itamwagwa katika nchi yenu,

EZE 21:32 Removed trailing space in p~: wala hamtakumbukwa tena;

EZE 21:32 Removed trailing space in p~: kwa maana Mimi \nd Bwana\nd* nimesema.’ ”

EZE 22:0 Extra space after chapter number

EZE 22:0 Removed trailing space in c: 22

EZE 22:0 Removed trailing space in s1: Dhambi Za Yerusalemu

EZE 22:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 22:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, je, wewe utauhukumu? Je, utauhukumu huu mji umwagao damu? Basi uujulishe juu ya matendo yake yote ya machukizo

EZE 22:3 Removed trailing space in v~: uuambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ee mji ule ujileteao maangamizi wenyewe kwa kumwaga damu ndani yake na kujinajisi wenyewe kwa kutengeneza sanamu,

EZE 22:4 Removed trailing space in v~: umekuwa na hatia kwa sababu ya damu uliyomwaga na umetiwa unajisi kwa sanamu ulizotengeneza. Umejiletea mwisho wa siku zako na mwisho wa miaka yako umewadia. Kwa hiyo nitakufanya kitu cha kudharauliwa kwa mataifa na kitu cha mzaha kwa nchi zote.

EZE 22:5 Removed trailing space in v~: Wale walio karibu na wale walio mbali watakudhihaki, Ewe mji wenye sifa mbaya, uliyejaa ghasia.

EZE 22:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Ona jinsi kila mkuu wa Israeli aliyeko ndani yako anavyotumia nguvu zake kumwaga damu.

EZE 22:7 Removed trailing space in v~: Ndani yako wamewadharau baba na mama, ndani yako wamewatendea wageni udhalimu na kuwaonea yatima na wajane.

EZE 22:8 Removed trailing space in v~: Mmedharau vitu vyangu vitakatifu na kuzinajisi Sabato zangu.

EZE 22:9 Removed trailing space in v~: Ndani yako wako watu wasingiziaji, watu walio tayari kumwaga damu, ndani yako wako wale wanaokula vyakula vilivyotolewa mahali pa ibada za miungu kwenye milima, na kutenda matendo ya uasherati.

EZE 22:10 Removed trailing space in v~: Ndani yako wako wale wanaovunjia heshima vitanda vya baba zao, ndani yako wamo wale wanaowatendea wanawake jeuri wakiwa katika hedhi, wakati wakiwa si safi.

EZE 22:11 Removed trailing space in v~: Ndani yako mtu hufanya mambo ya machukizo na mke wa jirani yake, mwingine kwa aibu kubwa hukutana kimwili na mke wa mwanawe, mwingine humtenda jeuri dada yake, binti wa baba yake hasa.

EZE 22:12 Removed trailing space in v~: Ndani yako watu hupokea rushwa ili kumwaga damu, mnapokea riba na faida ya ziada na kupata faida isiyokuwa halali kutoka kwa jirani ili kupata faida kubwa kupita kiasi. Nawe umenisahau mimi, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 22:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Hakika nitapiga makofi kwa ajili ya faida isiyo halali uliyojipatia na kwa damu uliyoimwaga ndani yako.

EZE 22:14 Removed trailing space in v~: Je, ujasiri wako utadumu au mikono yako itakuwa na nguvu siku hiyo nitakapokushughulikia? Mimi \nd Bwana\nd* nimesema na nitalifanya.

EZE 22:15 Removed trailing space in v~: Nitakutawanya miongoni mwa mataifa na kukutapanya katika nchi mbalimbali nami nitakomesha unajisi wako.

EZE 22:16 Removed trailing space in v~: Ukiisha kunajisika mbele ya mataifa, utajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 22:17 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 22:18 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, nyumba ya Israeli imekuwa kwangu takataka ya chuma, wote kwangu wamekuwa shaba, bati, chuma na risasi iliyoachwa kalibuni. Wao ni taka ya madini ya fedha tu.

EZE 22:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: ‘Kwa kuwa wote mmekuwa takataka ya chuma, nitawakusanya Yerusalemu.

EZE 22:20 Removed trailing space in v~: Kama vile watu wakusanyavyo fedha, shaba, chuma, risasi na bati kalibuni ili kuyeyusha kwa moto mkali, ndivyo nitakavyowakusanya katika hasira yangu na ghadhabu yangu kuwaweka ndani ya mji na kuwayeyusha.

EZE 22:21 Removed trailing space in v~: Nitawakusanya na kupuliza juu yenu moto wa hasira yangu na ghadhabu yangu nanyi mtayeyushwa ndani ya huo mji.

EZE 22:22 Removed trailing space in v~: Kama fedha iyeyukavyo kalibuni, ndivyo mtakavyoyeyuka ndani ya huo mji, nanyi mtajua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* nimemwaga ghadhabu yangu juu yenu.’ ”

EZE 22:23 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia tena kusema:

EZE 22:24 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, iambie nchi, ‘Wewe ni nchi ambayo haijapata mvua wala manyunyu katika siku ya ghadhabu.’

EZE 22:25 Removed trailing space in v~: Kuna hila mbaya ya wakuu ndani yake kama simba angurumaye akirarua mawindo yake, wanakula watu, wanachukua hazina na vitu vya thamani na kuongeza idadi ya wajane ndani yake.

EZE 22:26 Removed trailing space in v~: Makuhani wake wameihalifu sheria yangu na kunajisi vitu vyangu vitakatifu, hawatofautishi kati ya vitu vitakatifu na vitu vya kawaida. Wanafundisha kuwa hakuna tofauti kati ya vitu vilivyo najisi na visivyo najisi, nao wanafumba macho yao katika kutunza Sabato zangu, hivyo katikati yao nimetiwa unajisi.

EZE 22:27 Removed trailing space in v~: Maafisa wake walioko ndani yake ni kama mbwa mwitu wararuao mawindo yao, wanamwaga damu na kuua watu ili kupata faida ya udhalimu.

EZE 22:28 Removed trailing space in v~: Manabii wake wanapaka chokaa matendo haya kwa maono ya uongo na utabiri wa udanganyifu. Wanasema, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo,’ wakati \nd Bwana\nd* hajasema.

EZE 22:29 Removed trailing space in v~: Watu wa nchi wanatoza kwa nguvu na kufanya unyangʼanyi, wanawatenda jeuri maskini na wahitaji na kuwaonea wageni, wakiwanyima haki.

EZE 22:30 Removed trailing space in v~: “Nami nikatafuta mtu miongoni mwao, ambaye angejenga ukuta na kusimama mbele zangu mahali palipobomoka kwa ajili ya watu wa nchi ili nisije nikaiangamiza, lakini sikumwona mtu yeyote.

EZE 22:31 Removed trailing space in v~: Hivyo nitaimwaga ghadhabu yangu juu yao na kuwateketeza kwa moto wa hasira yangu, nikiyaleta juu ya vichwa vyao yale yote waliyotenda, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 23:0 Extra space after chapter number

EZE 23:0 Removed trailing space in c: 23

EZE 23:0 Removed trailing space in s1: Dada Wawili Makahaba

EZE 23:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 23:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, walikuwepo wanawake wawili, binti wa mama mmoja.

EZE 23:3 Removed trailing space in v~: Wakawa makahaba huko Misri, wakajitia kwenye ukahaba tangu ujana wao. Katika nchi ile vifua vyao vya ubikira vikakumbatiwa huko na wakapoteza ubikira wao.

EZE 23:4 Removed trailing space in v~: Mkubwa aliitwa Ohola na mdogo wake Oholiba. Walikuwa wangu nao wakazaa wavulana na msichana. Ohola ni Samaria, Oholiba ni Yerusalemu.

EZE 23:5 Removed trailing space in v~: “Ohola akajitia kwenye ukahaba alipokuwa bado ni wangu, akatamani sana wapenzi wake, mashujaa Waashuru,

EZE 23:6 Removed trailing space in v~: waliovaa nguo za buluu, watawala na majemadari, wote walikuwa wanaume vijana wa kuvutia, wapandao farasi.

EZE 23:7 Removed trailing space in v~: Akafanya ukahaba na wasomi wote wa Ashuru, na kujinajisi kwa sanamu zote za kila mwanaume aliyemtamani.

EZE 23:8 Removed trailing space in v~: Hakuacha ukahaba wake aliouanza huko Misri, wakati ambapo tangu ujana wake wanaume walilala naye, wakikumbatia kifua cha ubikira wake na kumwaga tamaa zao juu yake.

EZE 23:9 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nilimtia mikononi mwa wapenzi wake, Waashuru, kwa kuwa ndio aliowatamani.

EZE 23:10 Removed trailing space in v~: Wakamvua nguo zake wakamwacha uchi, wakawachukua wanawe na binti zake, naye wakamuua kwa upanga. Akawa kitu cha kudharauliwa miongoni mwa wanawake na adhabu ikatolewa dhidi yake.

EZE 23:11 Removed trailing space in v~: “Oholiba dada yake aliliona jambo hili, lakini kwa tamaa zake na ukahaba wake, akaharibu tabia zake kuliko Ohola dada yake.

EZE 23:12 Removed trailing space in v~: Yeye naye aliwatamani Waashuru, watawala na majemadari, mashujaa waliovalia sare, wapandao farasi, wanaume vijana wote waliovutia.

EZE 23:13 Removed trailing space in v~: Nikaona kuwa yeye pia alijinajisi, wote wawili wakaelekea njia moja.

EZE 23:14 Removed trailing space in v~: “Lakini yeye akazidisha ukahaba wake. Akaona wanaume waliochorwa ukutani, picha za Wakaldayo\f + \fr 23:14 \fq Wakaldayo \ft yaani \fqa Wababeli\ft .\f* waliovalia nguo nyekundu,

EZE 23:15 Removed trailing space in v~: wakiwa na mikanda viunoni mwao na vilemba vichwani mwao, wote walifanana na maafisa wa Babeli wapandao magari ya vita, wenyeji wa Ukaldayo.\f + \fr 23:15 \fq Ukaldayo \ft yaani \fqa Babeli\ft .\f*

EZE 23:16 Removed trailing space in v~: Mara tu alipowaona, aliwatamani, akatuma wajumbe kwao huko Ukaldayo.

EZE 23:17 Removed trailing space in v~: Ndipo hao Wababeli wakaja kwake kwenye kitanda cha mapenzi, nao katika tamaa zao wakamtia unajisi. Baada ya kutiwa unajisi, akawaacha kwa kuwachukia.

EZE 23:18 Removed trailing space in v~: Alipofanya ukahaba wake waziwazi na kuonyesha hadharani uchi wake, nilimwacha kwa kumchukia, kama vile nilivyokuwa nimemwacha dada yake.

EZE 23:19 Removed trailing space in v~: Lakini akazidisha zaidi ukahaba wake alipozikumbuka siku zake za ujana, alipokuwa kahaba huko Misri.

EZE 23:20 Removed trailing space in v~: Huko aliwatamani wapenzi wake, ambao viungo vyao vya uzazi ni kama vya punda, na kile kiwatokacho ni kama kiwatokacho farasi.

EZE 23:21 Removed trailing space in v~: Hivyo ulitamani uasherati wa ujana wako wakati ulipokuwa Misri, kifua chako kilipokumbatiwa, na walipokutomasa kwa sababu ya matiti yako machanga.

EZE 23:22 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, Oholiba, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitawachochea wapenzi wako wawe kinyume na wewe, wale uliowaacha kwa kuchukia, nitawaleta dhidi yako kutoka kila upande:

EZE 23:23 Removed trailing space in v~: Wababeli na Wakaldayo wote, watu kutoka Pekodi, na Shoa na Koa, wakiwa pamoja na Waashuru wote, vijana wazuri, wote wakiwa watawala na majemadari, maafisa wa magari ya vita na watu wa vyeo vya juu, wote wakiwa wamepanda farasi.

EZE 23:24 Removed trailing space in v~: Watakuja dhidi yako wakiwa na silaha, magari ya vita, magari ya kukokota, pamoja na umati mkubwa wa watu. Watakuzingira pande zote kwa ngao na vigao na kofia za chuma. Nitakutia mikononi mwao ili wakuadhibu, nao watakuadhibu sawasawa na sheria zao.

EZE 23:25 Removed trailing space in v~: Nitaelekeza wivu wa hasira yangu dhidi yako, nao watakushughulikia kwa hasira kali. Watakatilia mbali pua yako na masikio yako, na wale watakaosalia miongoni mwako watauawa kwa upanga. Watachukua wana wako na binti zako, na wale watakaosalia miongoni mwenu watateketezwa kwa moto.

EZE 23:26 Removed trailing space in v~: Watakuvua pia nguo zako na kuchukua mapambo yako yaliyotengenezwa kwa vito na dhahabu.

EZE 23:27 Removed trailing space in v~: Hivyo ndivyo nitakavyokomesha uasherati wako na ukahaba wako uliouanza huko Misri. Hutatazama vitu hivi kwa kuvitamani tena, wala kukumbuka Misri tena.

EZE 23:28 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ninakaribia kukutia mikononi mwa wale unaowachukia, kwa wale uliojitenga nao kwa kuwachukia.

EZE 23:29 Removed trailing space in v~: Watakushughulikia kwa chuki na kukunyangʼanya kila kitu ulichokifanyia kazi. Watakuacha uchi na mtupu na aibu ya ukahaba wako itafunuliwa. Uasherati wako na uzinzi wako

EZE 23:30 Removed trailing space in v~: umekuletea haya yote, kwa sababu ulitamani mataifa na kujinajisi kwa sanamu zao.

EZE 23:31 Removed trailing space in v~: Umeiendea njia ya dada yako, hivyo nitakitia kikombe chake mkononi mwako.

EZE 23:32 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 23:32 Removed trailing space in p~: “Utakinywea kikombe cha dada yako,

EZE 23:32 Removed trailing space in p~: kikombe kikubwa na chenye kina kirefu;

EZE 23:32 Removed trailing space in p~: nitaletea juu yako dharau na dhihaka,

EZE 23:32 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kimejaa sana.

EZE 23:33 Removed trailing space in v~: Utalewa ulevi na kujawa huzuni,

EZE 23:33 Removed trailing space in p~: kikombe cha maangamizo na ukiwa,

EZE 23:33 Removed trailing space in p~: kikombe cha dada yako Samaria.

EZE 23:34 Removed trailing space in v~: Utakinywa chote na kukimaliza;

EZE 23:34 Removed trailing space in p~: utakivunja vipande vipande

EZE 23:34 Removed trailing space in p~: na kuyararua matiti yako.

EZE 23:34 Removed trailing space in p~: Nimenena haya, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 23:35 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa kuwa tangu uliponisahau mimi na kunitupa nyuma yako, lazima ubebe matokeo ya uasherati wako na ukahaba wako.”

EZE 23:36 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Mwanadamu, Je, utawahukumu Ohola na Oholiba? Basi wakabili kwa ajili ya matendo yao ya machukizo,

EZE 23:37 Removed trailing space in v~: kwa kuwa wamefanya uzinzi na damu imo mikononi mwao. Wamefanya uzinzi na sanamu zao, hata wamewatoa watoto wao walionizalia kuwa kafara, kuwa chakula kwao.

EZE 23:38 Removed trailing space in v~: Pia wamenifanyia hili: wakati huo huo wamenajisi patakatifu pangu na kuzitangua Sabato zangu.

EZE 23:39 Removed trailing space in v~: Siku ile ile walitoa watoto wao kuwa kafara kwa sanamu zao, waliingia patakatifu pangu na kupatia unajisi. Hilo ndilo walilolifanya katika nyumba yangu.

EZE 23:40 Removed trailing space in v~: “Walituma hata wajumbe kuwaita watu kutoka mbali, nao walipowasili ulioga kwa ajili yao, ukapaka macho yako rangi na ukavaa mapambo yako yaliyotengenezwa kwa vito vya dhahabu.

EZE 23:41 Removed trailing space in v~: Ukaketi kwenye kiti cha anasa, kukiwa na meza iliyoandaliwa mbele yake ambayo juu yake ulikuwa umeweka uvumba na mafuta ambayo yalikuwa yangu.

EZE 23:42 Removed trailing space in v~: “Kelele za umati wa watu wasiojali zilikuwa zimemzunguka, wakaleta watu wengi waliokuwa wakifanya makelele na walevi kutoka nyikani, ambao walitia bangili kwenye mikono ya yule mwanamke na dada yake na pia taji nzuri za kupendeza kwenye vichwa vyao.

EZE 23:43 Removed trailing space in v~: Ndipo nikasema kuhusu yule aliyechakazwa na uzinzi, ‘Basi wamtumie kama kahaba, kwa kuwa ndivyo alivyo.’

EZE 23:44 Removed trailing space in v~: Nao wakazini naye. Kama vile watu wazinivyo na kahaba, ndiyo hivyo walivyozini na hao wanawake waasherati, Ohola na Oholiba.

EZE 23:45 Removed trailing space in v~: Lakini watu wenye haki, watawahukumia adhabu wanawake wafanyao uzinzi na kumwaga damu, kwa kuwa ni wazinzi na damu iko mikononi mwao.

EZE 23:46 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo, Leteni watu wengi wenye makelele dhidi yao na uwaache wapate hofu na watekwe nyara.

EZE 23:47 Removed trailing space in v~: Hao watu wengi watawapiga kwa mawe na kuwaua kwa panga zao, watawaua wana wao na binti zao na kuzichoma nyumba zao.

EZE 23:48 Removed trailing space in v~: “Hivyo nitaukomesha uasherati katika nchi, ili wanawake wote wapate onyo nao wasije wakafanya uasherati kama ninyi mlivyofanya.

EZE 23:49 Removed trailing space in v~: Utapata adhabu kwa ajili ya uasherati wako na kuchukua matokeo ya dhambi zako za uasherati. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 24:0 Extra space after chapter number

EZE 24:0 Removed trailing space in c: 24

EZE 24:0 Removed trailing space in s1: Chungu Cha Kupikia

EZE 24:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tisa, mwezi wa kumi, siku ya kumi, neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 24:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, weka kumbukumbu ya tarehe hii, tarehe hii hasa, kwa kuwa mfalme wa Babeli ameuzingira mji wa Yerusalemu kwa jeshi siku hii ya leo.

EZE 24:3 Removed trailing space in v~: Iambie nyumba hii ya kuasi fumbo, na uwaambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 24:3 Removed trailing space in p~: “ ‘Teleka sufuria jikoni; iteleke

EZE 24:3 Removed trailing space in p~: na umimine maji ndani yake,

EZE 24:4 Removed trailing space in v~: Weka vipande vya nyama ndani yake,

EZE 24:4 Removed trailing space in p~: vipande vyote vizuri,

EZE 24:4 Removed trailing space in p~: vya paja na vya bega.

EZE 24:4 Removed trailing space in p~: Ijaze hiyo sufuria kwa mifupa hii mizuri;

EZE 24:5 Removed trailing space in v~: chagua yule aliye bora wa kundi la kondoo.

EZE 24:5 Removed trailing space in p~: Panga kuni chini ya sufuria kwa ajili ya mifupa;

EZE 24:5 Removed trailing space in p~: chochea mpaka ichemke

EZE 24:5 Removed trailing space in p~: na uitokose hiyo mifupa ndani yake.

EZE 24:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa kuwa hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 24:6 Removed trailing space in p~: “ ‘Ole wa mji umwagao damu,

EZE 24:6 Removed trailing space in p~: ole wa sufuria ambayo sasa

EZE 24:6 Removed trailing space in p~: ina ukoko ndani yake,

EZE 24:6 Removed trailing space in p~: ambayo ukoko wake hautoki.

EZE 24:6 Removed trailing space in p~: Kipakue kipande baada ya kipande,

EZE 24:6 Removed trailing space in p~: bila kuvipigia kura.

EZE 24:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa kuwa damu aliyoimwaga ipo katikati yake:

EZE 24:7 Removed trailing space in p~: huyo mwanamke aliimwaga

EZE 24:7 Removed trailing space in p~: juu ya mwamba ulio wazi;

EZE 24:7 Removed trailing space in p~: hakuimwaga kwenye ardhi,

EZE 24:7 Removed trailing space in p~: ambako vumbi lingeifunika.

EZE 24:8 Removed trailing space in v~: Kuchochea ghadhabu na kulipiza kisasi,

EZE 24:8 Removed trailing space in p~: nimemwaga damu yake

EZE 24:8 Removed trailing space in p~: juu ya mwamba ulio wazi,

EZE 24:8 Removed trailing space in p~: ili isifunikwe.

EZE 24:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 24:9 Removed trailing space in p~: “ ‘Ole wa mji umwagao damu!

EZE 24:9 Removed trailing space in p~: Mimi nami nitalundikia kuni nyingi.

EZE 24:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo lundika kuni

EZE 24:10 Removed trailing space in p~: na uwashe moto.

EZE 24:10 Removed trailing space in p~: Pika hiyo nyama vizuri,

EZE 24:10 Removed trailing space in p~: changanya viungo ndani yake,

EZE 24:10 Removed trailing space in p~: na uiache mifupa iungue kwenye moto.

EZE 24:11 Removed trailing space in v~: Kisha teleka sufuria tupu kwenye makaa

EZE 24:11 Removed trailing space in p~: mpaka iwe na moto sana na shaba yake ingʼae,

EZE 24:11 Removed trailing space in p~: ili uchafu wake upate kuyeyuka

EZE 24:11 Removed trailing space in p~: na ukoko wake upate kuungua na kuondoka.

EZE 24:12 Removed trailing space in v~: Imezuia juhudi zote,

EZE 24:12 Removed trailing space in p~: ukoko wake mwingi haujaondoka,

EZE 24:12 Removed trailing space in p~: hata ikiwa ni kwa moto.

EZE 24:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Sasa uchafu wako ni uasherati wako. Kwa sababu nilijaribu kukutakasa lakini haikuwezekana kutakaswa kutoka kwenye huo uchafu wako, hutatakasika tena mpaka ghadhabu yangu dhidi yako iwe imepungua.

EZE 24:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Mimi \nd Bwana\nd* nimesema, wakati umewadia wa mimi kutenda. Mimi sitazuia, mimi sitaona huruma wala sitapunguza hasira yangu, Utahukumiwa sawasawa na mwenendo na matendo yako, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 24:14 Removed trailing space in s1: Kifo Cha Mke Wa Ezekieli

EZE 24:15 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 24:16 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, kwa pigo moja nakaribia kukuondolea kile kilicho furaha ya macho yako. Lakini usiomboleze au kulia wala kudondosha machozi yoyote.

EZE 24:17 Removed trailing space in v~: Lia kwa uchungu kimya kimya usimwombolezee mtu aliyekufa. Jifunge kilemba chako na uvae viatu vyako miguuni mwako, usifunike sehemu ya chini ya uso wako, wala usile vyakula vya kawaida vya wakati wa matanga.”

EZE 24:18 Removed trailing space in v~: Hivyo nikanena na watu asubuhi na jioni mke wangu akafa. Asubuhi yake nilifanya kama nilivyoamriwa.

EZE 24:19 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wakaniuliza, “Je, jambo hili unalofanya linamaanisha nini kwetu?”

EZE 24:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikawaambia, “Neno la \nd Bwana\nd* lilinijia kusema:

EZE 24:21 Removed trailing space in v~: ‘Sema na nyumba ya Israeli. Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ninakaribia kupatia unajisi mahali pangu patakatifu, ngome ambayo ndani yake mnaona fahari, furaha ya macho yenu, kitu mnachokipenda. Wana wenu na binti zenu mliowaacha nyuma wataanguka kwa upanga.

EZE 24:22 Removed trailing space in v~: Nanyi mtafanya kama nilivyofanya. Hamtafunika sehemu ya chini ya nyuso zenu wala hamtakula vyakula vya kawaida vya waombolezaji.

EZE 24:23 Removed trailing space in v~: Mtajifunga vilemba vichwani mwenu na kuvaa viatu vyenu miguuni mwenu. Hamtaomboleza au kulia, lakini mtadhoofika kwa sababu ya dhambi zenu na kulia kwa uchungu kila mtu na mwenzake.

EZE 24:24 Removed trailing space in v~: Ezekieli atakuwa ishara kwenu, mtafanya kama yeye alivyofanya. Wakati jambo hili litakapotokea, mtajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’

EZE 24:25 Removed trailing space in v~: “Nawe, mwanadamu, siku ile nitakapoondoa ngome yao iliyo furaha yao na utukufu wao, kitu cha kupendeza macho yao, kile kilicho shauku ya mioyo yao, wana wao na binti zao vilevile,

EZE 24:26 Removed trailing space in v~: siku hiyo atakayetoroka atakuja kuwapasha habari.

EZE 24:27 Removed trailing space in v~: Katika siku ile kinywa chako kitamfumbukia yeye aliyenusurika, nawe utaongea wala hutanyamaza tena. Hivyo wewe utakuwa ishara kwao, nao watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EZE 25:0 Extra space after chapter number

EZE 25:0 Removed trailing space in c: 25

EZE 25:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Amoni

EZE 25:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 25:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Waamoni utabiri dhidi yao.

EZE 25:3 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Sikieni neno la \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ulisema, “Aha!” juu ya mahali pangu patakatifu palipotiwa unajisi, na juu ya nchi ya Israeli ilipoangamizwa, na juu ya watu wa Yuda walipokwenda uhamishoni,

EZE 25:4 Removed trailing space in v~: kwa hiyo nitawatia mikononi mwa watu wa mashariki mkawe mali yao. Watapiga kambi zao katikati yenu na kufanya makazi miongoni mwenu, watakula matunda yenu na kunywa maziwa yenu.

EZE 25:5 Removed trailing space in v~: Nitaufanya mji wa Raba kuwa malisho ya ngamia na Amoni kuwa mahali pa kondoo pa kupumzikia. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 25:6 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa kuwa umepiga makofi yako na kufanya kishindo kwa miguu, mkifurahia kwa mioyo yenu miovu juu ya yale mabaya yaliyoipata nchi ya Israeli,

EZE 25:7 Removed trailing space in v~: hivyo nitaunyoosha mkono wangu dhidi yako na kukutoa kuwa nyara kwa mataifa. Nitakukatilia mbali kutoka kwenye mataifa na kukungʼoa katika nchi. Nitakuangamiza, nawe utajua ya kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 25:7 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Moabu

EZE 25:8 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: ‘Kwa sababu Moabu na Seiri wamesema, “Tazama, nyumba ya Yuda imekuwa kama mataifa mengine yote,”

EZE 25:9 Removed trailing space in v~: kwa hiyo nitaiondoa ile miji iliyo kando ya Moabu, kuanzia miji iliyoko mipakani, yaani: Beth-Yeshimothi, Baal-Meoni na Kiriathaimu, iliyo utukufu wa nchi hiyo.

EZE 25:10 Removed trailing space in v~: Nitaitia Moabu pamoja na Waamoni mikononi mwa watu wa Mashariki kuwa milki yao, ili kwamba Waamoni wasikumbukwe miongoni mwa mataifa,

EZE 25:11 Removed trailing space in v~: nami nitatoa adhabu kwa Moabu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 25:11 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Edomu

EZE 25:12 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: ‘Kwa sababu Edomu ulilipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda na kukosa sana kwa kufanya hivyo,

EZE 25:13 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitaunyoosha mkono wangu dhidi ya Edomu na kuua watu wake na wanyama wao. Nitaufanya ukiwa, kuanzia Temani hadi Dedani wataanguka kwa upanga.

EZE 25:14 Removed trailing space in v~: Nitalipiza Edomu kisasi kwa mkono wa watu wangu Israeli, nao watawatendea Edomu sawasawa na hasira yangu na ghadhabu yangu, nao watakijua kisasi changu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 25:14 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Ufilisti

EZE 25:15 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: ‘Kwa sababu Wafilisti wamewalipiza kisasi kwa uovu wa mioyo yao na kwa uadui wa siku nyingi wakataka kuangamiza Yuda,

EZE 25:16 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi ninakaribia kuunyoosha mkono wangu dhidi ya Wafilisti, nami nitawakatilia mbali Wakerethi na kuwaangamiza wale waliosalia katika pwani.

EZE 25:17 Removed trailing space in v~: Nitalipiza kisasi kikubwa juu yao na kuwaadhibu katika ghadhabu yangu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapolipiza kisasi juu yao.’ ”

EZE 26:0 Extra space after chapter number

EZE 26:0 Removed trailing space in c: 26

EZE 26:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Tiro

EZE 26:1 Removed trailing space in v~: Mwaka wa kumi na moja, siku ya kwanza ya mwezi, neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 26:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, kwa sababu Tiro amesema kuhusu Yerusalemu, ‘Aha! Lango la kwenda kwa mataifa limevunjika, nayo milango yake iko wazi mbele yangu, sasa kwa kuwa amekuwa magofu nitastawi.’

EZE 26:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi niko kinyume na wewe, ee Tiro, nami nitaleta mataifa mengi dhidi yako, kama bahari inayovurumisha mawimbi yake.

EZE 26:4 Removed trailing space in v~: Watavunja kuta za Tiro na kuibomoa minara yake, nitakwangua udongo wake na kuufanya mwamba mtupu.

EZE 26:5 Removed trailing space in v~: Itakuwa huko katikati ya bahari patakuwa mahali pa kutandaza nyavu za kuvulia samaki, kwa maana nimenena, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Atakuwa nyara kwa mataifa,

EZE 26:6 Removed trailing space in v~: nayo makao yake huko bara yataangamizwa kwa upanga. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 26:7 Removed trailing space in v~: “Kwa maana hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kutoka kaskazini nitamleta dhidi ya Tiro Mfalme Nebukadneza wa Babeli, mfalme wa wafalme, akiwa na farasi na magari ya vita, wapanda farasi na jeshi kubwa.

EZE 26:8 Removed trailing space in v~: Atayaharibu makao yako huko bara kwa upanga, ataweka jeshi kukuzingira, atakuzingira mpaka kwenye kuta za ngome zako na kuinua ngao zake dhidi yako.

EZE 26:9 Removed trailing space in v~: Ataelekeza mapigo ya vyombo vyake vya kubomolea dhidi ya kuta zako na kubomoa minara yako kwa silaha zake.

EZE 26:10 Removed trailing space in v~: Farasi zake zitakuwa nyingi sana kiasi kwamba utafunikwa na mavumbi watakayotimua. Kuta zako zitatikisika kwa mshindo wa farasi wa vita, magari makubwa na magari ya vita wakati aingiapo malango yako kama watu waingiao mji ambao kuta zake zimebomolewa kote.

EZE 26:11 Removed trailing space in v~: “Kwato za farasi zake zitakanyaga barabara zako zote, atawaua watu wako kwa upanga na nguzo zako zilizo imara zitaanguka chini.

EZE 26:12 Removed trailing space in v~: Watateka utajiri wako na kuchukua nyara bidhaa zako, watazivunja kuta zako na kuzibomoa nyumba zako nzuri, watatupa baharini mawe yako, mbao zako na kifusi chako.

EZE 26:13 Removed trailing space in v~: Nitakomesha kelele za nyimbo zako, na uimbaji wako wa kinubi kamwe hautasikika tena.

EZE 26:14 Removed trailing space in v~: Nitakufanya mwamba mtupu, nawe utakuwa mahali pa kutandazia nyavu za kuvulia samaki. Kamwe hutajengwa tena, kwa maana Mimi \nd Bwana\nd* nimenena, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 26:15 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo kwa Tiro: ‘Je, nchi za pwani hazitatetemeka kwa kishindo cha anguko lako, wakati majeruhi wanapolia kwa maumivu makali na wakati mauaji yanaendelea ndani yako?

EZE 26:16 Removed trailing space in v~: Ndipo wakuu wote wa mataifa ya pwani watashuka kutoka kwenye viti vyao vya enzi na kuweka kando majoho yao na kuvua nguo zao zilizotariziwa. Wakiwa wamevikwa hofu kuu, wataketi chini ardhini, wakiwa wanatetemeka kila dakika na wakikustajabia.

EZE 26:17 Removed trailing space in v~: Ndipo wao watakuombolezea na kukuambia:

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: “ ‘Tazama jinsi ulivyoharibiwa,

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: ee mji uliokuwa na sifa,

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: wewe uliyekaliwa na mabaharia!

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: Ulikuwa na nguvu kwenye bahari,

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: wewe na watu wako;

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: wote walioishi huko,

EZE 26:17 Removed trailing space in p~: uliwatia hofu kuu.

EZE 26:18 Removed trailing space in v~: Sasa nchi za pwani zinatetemeka

EZE 26:18 Removed trailing space in p~: katika siku ya anguko lako;

EZE 26:18 Removed trailing space in p~: visiwa vilivyomo baharini

EZE 26:18 Removed trailing space in p~: vinaogopa kwa kuporomoka kwako.’

EZE 26:19 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitakapokufanya uwe mji wa ukiwa, kama miji isiyokaliwa tena na watu, nitakapoleta vilindi vya bahari juu yako na maji yake makuu yatakapokufunika,

EZE 26:20 Removed trailing space in v~: ndipo nitakapokushusha chini pamoja na wale washukao shimoni, kwa watu wa kale, nami nitakufanya uishi katika pande za chini za nchi kama katika magofu ya kale, pamoja na wale washukao shimoni, nawe hutarudi au kurejea kwenye makao yako katika nchi ya walio hai.

EZE 26:21 Removed trailing space in v~: Nitakufikisha mwisho wa kutisha wala hutakuwepo tena. Watu watakutafuta, lakini kamwe hutaonekana tena, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 27:0 Extra space after chapter number

EZE 27:0 Removed trailing space in c: 27

EZE 27:0 Removed trailing space in s1: Maombolezo Kwa Ajili Ya Tiro

EZE 27:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 27:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, fanya maombolezo kwa ajili ya Tiro.

EZE 27:3 Removed trailing space in v~: Umwambie Tiro, ulioko kwenye lango la bahari, ufanyao biashara na mataifa mengi ya pwani, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 27:3 Removed trailing space in p~: “ ‘Ee Tiro, wewe umesema,

EZE 27:3 Removed trailing space in p~: “Mimi ni mkamilifu katika uzuri.”

EZE 27:4 Removed trailing space in v~: Mipaka yako ilikuwa katika moyo wa bahari,

EZE 27:4 Removed trailing space in p~: wajenzi wako walikamilisha uzuri wako.

EZE 27:5 Removed trailing space in v~: Walizifanya mbao zako zote

EZE 27:5 Removed trailing space in p~: kwa misunobari itokayo Seniri;\f + \fr 27:5 \ft Yaani Hermoni.\f*

EZE 27:5 Removed trailing space in p~: walichukua mierezi kutoka Lebanoni

EZE 27:5 Removed trailing space in p~: kukutengenezea mlingoti.

EZE 27:6 Removed trailing space in v~: Walichukua mialoni toka Bashani

EZE 27:6 Removed trailing space in p~: wakakutengenezea makasia yako;

EZE 27:6 Removed trailing space in p~: kwa miti ya msanduku

EZE 27:6 Removed trailing space in p~: kutoka pwani ya Kitimu

EZE 27:6 Removed trailing space in p~: wakatengeneza sitaha\f + \fr 27:6 \ft Yaani sakafu ya merikebu au mashua. \f* yako

EZE 27:6 Found footnote ending with space in \p~: wakatengeneza sitaha\f + \fr 27:6 \ft Yaani sakafu ya merikebu au mashua. \f* yako

EZE 27:6 Removed trailing space in p~: na kuipamba kwa pembe za ndovu.

EZE 27:7 Removed trailing space in v~: Kitani safi kilichotariziwa kutoka Misri kilikuwa tanga lako,

EZE 27:7 Removed trailing space in p~: nacho kilikuwa bendera yako;

EZE 27:7 Removed trailing space in p~: chandarua chako kilikuwa cha rangi ya buluu na ya zambarau

EZE 27:7 Removed trailing space in p~: kutoka visiwa vya Elisha.

EZE 27:8 Removed trailing space in v~: Watu kutoka Sidoni na Arvadi walikuwa wapiga makasia yako;

EZE 27:8 Removed trailing space in p~: watu wako wenye ustadi, ee Tiro,

EZE 27:8 Removed trailing space in p~: walikuwa ndio mabaharia wako.

EZE 27:9 Removed trailing space in v~: Wazee wa Gebali\f + \fr 27:9 \ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilomita 80 kaskazini mwa Beiruti).\f* pamoja na mafundi stadi

EZE 27:9 Removed trailing space in p~: walikuwa mafundi wako melini.

EZE 27:9 Removed trailing space in p~: Meli zote za baharini na mabaharia wao

EZE 27:9 Removed trailing space in p~: walikuja kwako ili kubadilishana bidhaa zako.

EZE 27:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Watu wa Uajemi, Ludi na Putu

EZE 27:10 Removed trailing space in p~: walikuwa askari katika jeshi lako.

EZE 27:10 Removed trailing space in p~: Walitundika ngao zao na chapeo zao kwenye kuta zako,

EZE 27:10 Removed trailing space in p~: wakileta fahari yako.

EZE 27:11 Removed trailing space in v~: Watu wa Arvadi na wa Heleki

EZE 27:11 Removed trailing space in p~: walikuwa juu ya kuta zako pande zote;

EZE 27:11 Removed trailing space in p~: watu wa Gamadi

EZE 27:11 Removed trailing space in p~: walikuwa kwenye minara yako.

EZE 27:11 Removed trailing space in p~: Walitundika ngao zao kuzizunguka kuta zako;

EZE 27:11 Removed trailing space in p~: wakaukamilisha uzuri wako.

EZE 27:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Tarshishi walifanya biashara nawe kwa sababu ya utajiri wako mkubwa wa bidhaa, walibadilisha fedha, chuma, bati na risasi kwa mali zako.

EZE 27:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Uyunani, Tubali na Mesheki, walifanya biashara nawe, walibadilisha watumwa na vyombo vya shaba kwa bidhaa zako.

EZE 27:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Watu wa Beth-Togarma walibadilisha farasi wa mizigo, farasi wa vita na nyumbu kwa mali zako.

EZE 27:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Watu wa Dedani\f + \fr 27:15 \ft Yaani \fqa Rhodes\ft .\f* walifanya biashara nawe, watu wengi wa nchi za pwani walikuwa wachuuzi wako, walikulipa kwa pembe za ndovu na mpingo.

EZE 27:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Watu wa Aramu walifanya biashara nawe kwa ajili ya wingi wa kazi za mikono yako, wakibadilishana kwa almasi, vitambaa vya rangi ya zambarau, vitambaa vilivyotariziwa, kitani safi, matumbawe\f + \fr 27:16 \ft Yaani marijani, jiwe laini la pwani au baharini, kama mawe ya chokaa.\f* na akiki nyekundu.

EZE 27:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Yuda na Israeli walifanya biashara nawe, walibadilishana kwa ngano kutoka Minithi, mtama, asali, mafuta na zeri ya kuponyeshea.

EZE 27:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Dameski, kwa sababu ya wingi wa kazi za mikono yako na ukuu wa utajiri wa mali, walifanya biashara nawe wakibadilishana mvinyo kutoka Helboni na sufu kutoka Zahari.

EZE 27:19 Removed trailing space in v~: “ ‘Wadani na Wayunani kutoka Uzali, walikuletea mali za biashara, nao wakabadilishana nawe chuma kilichofuliwa, mdalasini na mchaichai.

EZE 27:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Dedani alifanya biashara nawe kwa matandiko ya farasi.

EZE 27:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Arabuni na wakuu wote wa Kedari walikuwa wanunuzi wako waliobadilishana bidhaa zako na wana-kondoo, kondoo dume na mbuzi.

EZE 27:22 Removed trailing space in v~: “ ‘Wafanyabiashara wa Sheba na wa Raama walifanya biashara nawe, wakabadilishana bidhaa zako na aina zote za vikolezi, vito vya thamani na dhahabu.

EZE 27:23 Removed trailing space in v~: “ ‘Harani, Kane na Edeni na wafanyabiashara wa Sheba, Ashuru na Kilmadi walifanya biashara nawe.

EZE 27:24 Removed trailing space in v~: Kwenye soko lako, walifanya biashara nawe kwa mavazi mazuri, vitambaa vya buluu, nguo za kutariziwa na mazulia ya rangi mbalimbali yenye kamba zilizosokotwa na kuwekwa mafundo imara.

EZE 27:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Merikebu za Tarshishi ndizo

EZE 27:25 Removed trailing space in p~: zinazokusafirishia bidhaa zako.

EZE 27:25 Removed trailing space in p~: Umejazwa shehena kubwa

EZE 27:25 Removed trailing space in p~: katika moyo wa bahari.

EZE 27:26 Removed trailing space in v~: Wapiga makasia wako wanakupeleka

EZE 27:26 Removed trailing space in p~: mpaka kwenye maji makavu.

EZE 27:26 Removed trailing space in p~: Lakini upepo wa mashariki umekuvunja vipande vipande

EZE 27:26 Removed trailing space in p~: katika moyo wa bahari.

EZE 27:27 Removed trailing space in v~: Utajiri wako, bidhaa zako na mali zako,

EZE 27:27 Removed trailing space in p~: mabaharia wako, manahodha wako,

EZE 27:27 Removed trailing space in p~: mafundi wako wa meli,

EZE 27:27 Removed trailing space in p~: wafanyabiashara wako na askari wako wote,

EZE 27:27 Removed trailing space in p~: na kila mmoja aliyeko melini

EZE 27:27 Removed trailing space in p~: atazama kwenye moyo wa bahari

EZE 27:27 Removed trailing space in p~: siku ile ya kuvunjika kwa meli yako.

EZE 27:28 Removed trailing space in v~: Nchi za pwani zitatetemeka

EZE 27:28 Removed trailing space in p~: wakati mabaharia wako watakapopiga kelele.

EZE 27:29 Removed trailing space in v~: Wote wapigao makasia

EZE 27:29 Removed trailing space in p~: wataacha meli zao,

EZE 27:29 Removed trailing space in p~: mabaharia wote na wanamaji wote

EZE 27:29 Removed trailing space in p~: watasimama pwani.

EZE 27:30 Removed trailing space in v~: Watapaza sauti zao

EZE 27:30 Removed trailing space in p~: na kulia sana kwa ajili yako;

EZE 27:30 Removed trailing space in p~: watajitupia mavumbi juu ya vichwa vyao

EZE 27:30 Removed trailing space in p~: na kujivingirisha kwenye majivu.

EZE 27:31 Removed trailing space in v~: Watanyoa nywele zao kwa ajili yako,

EZE 27:31 Removed trailing space in p~: nao watavaa nguo za magunia.

EZE 27:31 Removed trailing space in p~: Watakulilia kwa uchungu wa moyo

EZE 27:31 Removed trailing space in p~: na kwa maombolezo makuu.

EZE 27:32 Removed trailing space in v~: Watakapokuwa wanalia na kuomboleza juu yako,

EZE 27:32 Removed trailing space in p~: watafanya maombolezo kukuhusu wakisema:

EZE 27:32 Removed trailing space in p~: “Ni nani aliyepata kuangamizwa kama Tiro,

EZE 27:32 Removed trailing space in p~: katika moyo wa bahari?”

EZE 27:33 Removed trailing space in v~: Wakati bidhaa zako zilipotoka baharini,

EZE 27:33 Removed trailing space in p~: ulitosheleza mataifa mengi;

EZE 27:33 Removed trailing space in p~: kwa wingi wa utajiri wako na bidhaa zako

EZE 27:33 Removed trailing space in p~: ulitajirisha wafalme wa dunia.

EZE 27:34 Removed trailing space in v~: Sasa umevunjavunjwa na bahari,

EZE 27:34 Removed trailing space in p~: katika vilindi vya maji,

EZE 27:34 Removed trailing space in p~: bidhaa zako na kundi lako lote

EZE 27:34 Removed trailing space in p~: vimezama pamoja nawe.

EZE 27:35 Removed trailing space in v~: Wote waishio katika nchi za pwani

EZE 27:35 Removed trailing space in p~: wanakustaajabia;

EZE 27:35 Removed trailing space in p~: wafalme wao wanatetemeka kwa hofu kuu,

EZE 27:35 Removed trailing space in p~: nazo nyuso zao zimekunjamana kwa woga.

EZE 27:36 Removed trailing space in v~: Wafanyabiashara miongoni mwa mataifa wanakucheka;

EZE 27:36 Removed trailing space in p~: umefikia mwisho wa kutisha

EZE 27:36 Removed trailing space in p~: nawe hutakuwepo tena.’ ”

EZE 28:0 Extra space after chapter number

EZE 28:0 Removed trailing space in c: 28

EZE 28:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Mfalme Wa Tiro

EZE 28:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 28:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, mwambie mfalme wa Tiro, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 28:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Kwa sababu moyo wako umejivuna

EZE 28:2 Removed trailing space in p~: na umesema, “Mimi ni mungu;

EZE 28:2 Removed trailing space in p~: nami ninaketi katika kiti cha enzi cha mungu

EZE 28:2 Removed trailing space in p~: katika moyo wa bahari.”

EZE 28:2 Removed trailing space in p~: Lakini wewe ni mwanadamu, wala si mungu,

EZE 28:2 Removed trailing space in p~: ingawa unafikiri kuwa una hekima kama mungu.

EZE 28:3 Removed trailing space in v~: Je, wewe una hekima kuliko Danieli?

EZE 28:3 Removed trailing space in p~: Je, hakuna siri iliyofichika kwako?

EZE 28:4 Removed trailing space in v~: Kwa hekima yako na ufahamu wako,

EZE 28:4 Removed trailing space in p~: umejipatia utajiri,

EZE 28:4 Removed trailing space in p~: nawe umejikusanyia dhahabu

EZE 28:4 Removed trailing space in p~: na fedha katika hazina zako.

EZE 28:5 Removed trailing space in v~: Kwa werevu wako mwingi katika biashara,

EZE 28:5 Removed trailing space in p~: umeongeza utajiri wako

EZE 28:5 Removed trailing space in p~: na kwa sababu ya utajiri wako

EZE 28:5 Removed trailing space in p~: moyo wako umekuwa na kiburi.

EZE 28:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 28:6 Removed trailing space in p~: “ ‘Kwa sababu unafikiri una hekima,

EZE 28:6 Removed trailing space in p~: mwenye hekima kama mungu,

EZE 28:7 Removed trailing space in v~: mimi nitawaleta wageni dhidi yako,

EZE 28:7 Removed trailing space in p~: taifa katili kuliko yote;

EZE 28:7 Removed trailing space in p~: watafuta panga zao dhidi ya uzuri wa hekima yako,

EZE 28:7 Removed trailing space in p~: na kuchafua fahari yako inayongʼaa.

EZE 28:8 Removed trailing space in v~: Watakushusha chini shimoni,

EZE 28:8 Removed trailing space in p~: nawe utakufa kifo cha kikatili

EZE 28:8 Removed trailing space in p~: katika moyo wa bahari.

EZE 28:9 Removed trailing space in v~: Je, wakati huo utasema, “Mimi ni mungu,”

EZE 28:9 Removed trailing space in p~: mbele ya wale wanaokuua?

EZE 28:9 Removed trailing space in p~: Utakuwa mwanadamu tu, wala si mungu,

EZE 28:9 Removed trailing space in p~: mikononi mwa hao wanaokuua.

EZE 28:10 Removed trailing space in v~: Utakufa kifo cha wasiotahiriwa

EZE 28:10 Removed trailing space in p~: kwa mkono wa wageni.

EZE 28:10 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa mimi nimenena, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 28:11 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 28:12 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, mfanyie maombolezo mfalme wa Tiro, nawe umwambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 28:12 Removed trailing space in p~: “ ‘Ulikuwa kipeo cha ukamilifu,

EZE 28:12 Removed trailing space in p~: ukiwa umejaa hekima

EZE 28:12 Removed trailing space in p~: na mkamilifu katika uzuri.

EZE 28:13 Removed trailing space in v~: Ulikuwa ndani ya Edeni,

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: bustani ya Mungu;

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: kila kito cha thamani kilikupamba:

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: akiki nyekundu, yakuti manjano na zumaridi,

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: krisolitho, shohamu na yaspi,

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: yakuti samawi, almasi na zabarajadi.

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: Kuwekwa kwa hayo mapambo na kushikizwa kwake

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: kulifanywa kwa dhahabu;

EZE 28:13 Removed trailing space in p~: siku ile ulipoumbwa yaliandaliwa tayari.

EZE 28:14 Removed trailing space in v~: Ulitiwa mafuta kuwa kerubi mlinzi,

EZE 28:14 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hivyo ndivyo nilivyokuweka wakfu.

EZE 28:14 Removed trailing space in p~: Ulikuwa kwenye mlima mtakatifu wa Mungu;

EZE 28:14 Removed trailing space in p~: ulitembea katikati ya vito vya moto.

EZE 28:15 Removed trailing space in v~: Ulikuwa mnyofu katika njia zako

EZE 28:15 Removed trailing space in p~: tangu siku ile ya kuumbwa kwako,

EZE 28:15 Removed trailing space in p~: hadi uovu ulipoonekana ndani yako.

EZE 28:16 Removed trailing space in v~: Kutokana na biashara yako iliyoenea,

EZE 28:16 Removed trailing space in p~: ulijazwa na dhuluma,

EZE 28:16 Removed trailing space in p~: nawe ukatenda dhambi.

EZE 28:16 Removed trailing space in p~: Hivyo nilikuondoa kwa aibu kutoka mlima wa Mungu,

EZE 28:16 Removed trailing space in p~: nami nikakufukuza, ee kerubi mlinzi,

EZE 28:16 Removed trailing space in p~: kutoka katikati ya vito vya moto.

EZE 28:17 Removed trailing space in v~: Moyo wako ukawa na kiburi

EZE 28:17 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya uzuri wako,

EZE 28:17 Removed trailing space in p~: nawe ukaiharibu hekima yako

EZE 28:17 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya fahari yako.

EZE 28:17 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo nikakutupa chini;

EZE 28:17 Removed trailing space in p~: nimekufanya kioja mbele ya wafalme.

EZE 28:18 Removed trailing space in v~: Kwa dhambi zako nyingi na biashara yako ya dhuluma,

EZE 28:18 Removed trailing space in p~: umenajisi mahali pako patakatifu.

EZE 28:18 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo nilifanya moto utoke ndani yako,

EZE 28:18 Removed trailing space in p~: nao ukakuteketeza,

EZE 28:18 Removed trailing space in p~: nami nikakufanya majivu juu ya nchi,

EZE 28:18 Removed trailing space in p~: machoni pa wote waliokuwa wakitazama.

EZE 28:19 Removed trailing space in v~: Mataifa yote yaliyokujua

EZE 28:19 Removed trailing space in p~: yanakustajabia;

EZE 28:19 Removed trailing space in p~: umefikia mwisho wa kutisha

EZE 28:19 Removed trailing space in p~: na hutakuwepo tena milele.’ ”

EZE 28:19 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Sidoni

EZE 28:20 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 28:21 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Sidoni, ukatabiri dhidi yake,

EZE 28:22 Removed trailing space in v~: nawe useme: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 28:22 Removed trailing space in p~: “ ‘Mimi ni kinyume chako, ee Sidoni,

EZE 28:22 Removed trailing space in p~: nami nitapata utukufu ndani yako.

EZE 28:22 Removed trailing space in p~: Nao watajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*,

EZE 28:22 Removed trailing space in p~: nitakapotekeleza hukumu zangu

EZE 28:22 Removed trailing space in p~: na kuonyesha utakatifu wangu ndani yake.

EZE 28:23 Removed trailing space in v~: Nitapeleka tauni ndani yake

EZE 28:23 Removed trailing space in p~: na kufanya damu itiririke katika barabara zake.

EZE 28:23 Removed trailing space in p~: Waliochinjwa wataanguka ndani yake,

EZE 28:23 Removed trailing space in p~: kwa upanga dhidi yake kila upande.

EZE 28:23 Removed trailing space in p~: Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 28:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Nyumba ya Israeli hawatakuwa tena na majirani wenye nia ya kuwadhuru wanaoumiza kama michongoma na miiba mikali. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 28:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitakapoikusanya nyumba ya Israeli kutoka mataifa ambako wametawanyika, nitajionyesha kuwa mtakatifu miongoni mwao machoni pa mataifa. Ndipo watakapoishi katika nchi yao wenyewe, niliyompa mtumishi wangu Yakobo.

EZE 28:26 Removed trailing space in v~: Wataishi humo kwa salama na watajenga nyumba na kupanda mashamba ya mizabibu, wataishi kwa salama nitakapowaadhibu majirani zao wote ambao waliwafanyia uovu. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wao.’ ”

EZE 29:0 Extra space after chapter number

EZE 29:0 Removed trailing space in c: 29

EZE 29:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Misri

EZE 29:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi, mwezi wa kumi, siku ya kumi na mbili, neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 29:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya Farao mfalme wa Misri na utabiri dhidi yake na dhidi ya Misri yote.

EZE 29:3 Removed trailing space in v~: Nena, nawe useme: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 29:3 Removed trailing space in p~: “ ‘Mimi ni kinyume nawe, Farao, mfalme wa Misri,

EZE 29:3 Removed trailing space in p~: joka kubwa ulalaye katikati ya vijito vyako.

EZE 29:3 Removed trailing space in p~: Unasema, “Mto Naili ni wangu mwenyewe;

EZE 29:3 Removed trailing space in p~: niliufanya kwa ajili yangu mwenyewe.”

EZE 29:4 Removed trailing space in v~: Lakini nitatia ndoana katika mataya yako

EZE 29:4 Removed trailing space in p~: nami nitawafanya samaki wa vijito vyako

EZE 29:4 Removed trailing space in p~: washikamane na magamba yako.

EZE 29:4 Removed trailing space in p~: Nitakutoa katikati ya vijito vyako,

EZE 29:4 Removed trailing space in p~: pamoja na samaki wote

EZE 29:4 Removed trailing space in p~: walioshikamana na magamba yako.

EZE 29:5 Removed trailing space in v~: Nitakutupa jangwani,

EZE 29:5 Removed trailing space in p~: wewe pamoja na samaki wote wa vijito vyako.

EZE 29:5 Removed trailing space in p~: Utaanguka uwanjani,

EZE 29:5 Removed trailing space in p~: nawe hutakusanywa au kuchukuliwa.

EZE 29:5 Removed trailing space in p~: Nitakutoa uwe chakula

EZE 29:5 Removed trailing space in p~: kwa wanyama wa nchi

EZE 29:5 Removed trailing space in p~: na ndege wa angani.

EZE 29:6 Removed trailing space in v~: Ndipo wale wote waishio Misri watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 29:6 Removed trailing space in p~: “ ‘Umekuwa fimbo ya tete kwa nyumba ya Israeli.

EZE 29:7 Removed trailing space in v~: Walipokushika kwa mikono yao, ulivunjika na kuchana mabega yao; walipokuegemea, ulivunjika na migongo yao ikateguka.

EZE 29:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitaleta upanga juu yako na kuua watu wako na wanyama wao.

EZE 29:9 Removed trailing space in v~: Misri itakuwa ukiwa na isiyolimwa wala kukaliwa na watu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 29:9 Removed trailing space in p~: “ ‘Kwa sababu ulisema, “Mto Naili ni wangu; mimi niliufanya,”

EZE 29:10 Removed trailing space in v~: kwa hiyo mimi ni kinyume nawe na kinyume na vijito vyako, nami nitaifanya nchi ya Misri kuwa magofu na ukiwa isiyolimwa wala kukaliwa na watu kuanzia Migdoli hadi Aswani, hata kufikia mpakani wa Ethiopia.

EZE 29:11 Removed trailing space in v~: Hakuna unyayo wa mtu au mnyama utakaopita ndani yake, wala hakuna yeyote atakayeishi humo kwa muda wa miaka arobaini.

EZE 29:12 Removed trailing space in v~: Nitaifanya nchi ya Misri ukiwa, miongoni mwa nchi zilizo ukiwa, nayo miji yake itabaki ukiwa miaka arobaini miongoni mwa miji iliyo magofu. Nami nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi nyingine.

EZE 29:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mwishoni mwa hiyo miaka arobaini, nitawakusanya Wamisri kutoka mataifa walikotawanywa.

EZE 29:14 Removed trailing space in v~: Nitawarudisha hao Wamisri kutoka kwenye kutekwa kwao na kuwaweka katika Pathrosi,\f + \fr 29:14 \ft Pathrosi ni Misri ya Juu.\f* nchi ya baba zao. Huko watakuwa na ufalme usiokuwa na nguvu.

EZE 29:15 Removed trailing space in v~: Utakuwa ufalme dhaifu kuliko zote na kamwe Misri haitajikweza tena juu ya mataifa mengine. Nitaufanya ufalme wake dhaifu sana kiasi kwamba kamwe hautatawala tena juu ya mataifa mengine.

EZE 29:16 Removed trailing space in v~: Misri haitakuwa tena tumaini la watu wa Israeli bali itakuwa kumbukumbu ya dhambi yao kwa kuigeukia kuomba msaada. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 29:17 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa ishirini na saba, mwezi wa kwanza, siku ya kwanza, neno la \nd Bwana\nd* likanijia, kusema:

EZE 29:18 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, Nebukadneza mfalme wa Babeli aliongoza jeshi lake kufanya kazi ngumu dhidi ya Tiro; kila kichwa kilipata upaa na kila bega likachunika. Lakini yeye na jeshi lake hawakupata malipo yoyote kutokana na muda wote aliongoza hiyo vita dhidi ya Tiro.

EZE 29:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitaitia Misri mikononi mwa Nebukadneza mfalme wa Babeli, naye atachukua utajiri wa Misri. Atateka mateka na kuchukua nyara mali za Misri kama ujira kwa ajili ya jeshi lake.

EZE 29:20 Removed trailing space in v~: Nimempa mfalme wa Babeli nchi ya Misri kuwa ujira kwa juhudi zake kwa sababu yeye na jeshi lake walifanya kwa ajili yangu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 29:21 Removed trailing space in v~: “Katika siku hiyo nitaifanya nyumba ya Israeli iwe na nguvu nami nitakifungua kinywa chako miongoni mwao. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EZE 30:0 Extra space after chapter number

EZE 30:0 Removed trailing space in c: 30

EZE 30:0 Removed trailing space in s1: Maombolezo Kwa Ajili Ya Misri

EZE 30:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 30:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, toa unabii na useme: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 30:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Ombolezeni ninyi na mseme,

EZE 30:2 Removed trailing space in p~: “Ole wa siku ile!”

EZE 30:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa siku ile imekaribia,

EZE 30:3 Removed trailing space in p~: siku ya \nd Bwana\nd* imekaribia,

EZE 30:3 Removed trailing space in p~: siku ya mawingu,

EZE 30:3 Removed trailing space in p~: siku ya maangamizi kwa mataifa.

EZE 30:4 Removed trailing space in v~: Upanga utakuja dhidi ya Misri,

EZE 30:4 Removed trailing space in p~: nayo maumivu makuu yataijia Ethiopia.

EZE 30:4 Removed trailing space in p~: Mauaji yatakapoangukia Misri,

EZE 30:4 Removed trailing space in p~: utajiri wake utachukuliwa

EZE 30:4 Removed trailing space in p~: na misingi yake itabomolewa.

EZE 30:5 Removed trailing space in v~: Kushi\f + \fr 30:5 \ft Kushi ndiyo Ethiopia.\f* na Putu, Ludi na Arabia yote, Libya\f + \fr 30:5 \ft Libya ndiyo Kubu.\f* na watu wa nchi ya Agano watauawa kwa upanga pamoja na Misri.

EZE 30:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo:

EZE 30:6 Removed trailing space in p~: “ ‘Wale walioungana na Misri wataanguka

EZE 30:6 Removed trailing space in p~: na kiburi cha nguvu zake kitashindwa.

EZE 30:6 Removed trailing space in p~: Kutoka Migdoli hadi Aswani,

EZE 30:6 Removed trailing space in p~: watauawa ndani yake kwa upanga,

EZE 30:6 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 30:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Hizo nchi zitakua ukiwa

EZE 30:7 Removed trailing space in p~: miongoni mwa nchi zilizo ukiwa,

EZE 30:7 Removed trailing space in p~: nayo miji yao itakuwa magofu

EZE 30:7 Removed trailing space in p~: miongoni mwa miji iliyo magofu.

EZE 30:8 Removed trailing space in v~: Ndipo watakapojua kwamba mimi ndimi \nd Bwana\nd*,

EZE 30:8 Removed trailing space in p~: nitakapoiwasha Misri moto

EZE 30:8 Removed trailing space in p~: na wote wamsaidiao watapondwa.

EZE 30:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku hiyo wajumbe watatoka kwangu kwa merikebu, ili kuwatia hofu Ethiopia, wakiwa katika hali yao ya kuridhika. Maumivu makali yatawapata siku ya maangamizi ya Misri, kwa kuwa hakika itakuja.

EZE 30:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 30:10 Removed trailing space in p~: “ ‘Nitakomesha makundi ya wajeuri ya Misri

EZE 30:10 Removed trailing space in p~: kwa mkono wa Nebukadneza mfalme wa Babeli.

EZE 30:11 Removed trailing space in v~: Yeye na jeshi lake, taifa lililo katili kuliko mataifa yote,

EZE 30:11 Removed trailing space in p~: litaletwa ili kuangamiza nchi.

EZE 30:11 Removed trailing space in p~: Watafuta panga zao dhidi ya Misri

EZE 30:11 Removed trailing space in p~: na kuijaza nchi kwa waliouawa.

EZE 30:12 Removed trailing space in v~: Nitakausha vijito vya Naili

EZE 30:12 Removed trailing space in p~: na nitaiuza nchi kwa watu waovu,

EZE 30:12 Removed trailing space in p~: kwa mkono wa wageni,

EZE 30:12 Removed trailing space in p~: nitaifanya nchi ukiwa na kila kitu

EZE 30:12 Removed trailing space in p~: kilichomo ndani yake.

EZE 30:12 Removed trailing space in p~: Mimi \nd Bwana\nd* nimenena haya.

EZE 30:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 30:13 Removed trailing space in p~: “ ‘Nitaangamiza sanamu

EZE 30:13 Removed trailing space in p~: na kukomesha vinyago katika Memfisi\f + \fr 30:13 \ft Kiebrania ni Nofu.\f*

EZE 30:13 Removed trailing space in p~: Hapatakuwepo tena na mkuu katika nchi ya Misri,

EZE 30:13 Removed trailing space in p~: nami nitaeneza hofu katika nchi nzima.

EZE 30:14 Removed trailing space in v~: Nitaifanya Pathrosi\f + \fr 30:14 \ft Pathrosi ni Misri ya Juu.\f* kuwa ukiwa

EZE 30:14 Removed trailing space in p~: na kuitia moto Soani,

EZE 30:14 Removed trailing space in p~: nami nitaipiga kwa adhabu Thebesi\f + \fr 30:14 \ft Thebesi kwa Kiebrania ni No (au No-Amoni), mji katika Misri.\f*

EZE 30:15 Removed trailing space in v~: Nitaimwaga ghadhabu yangu juu ya Pelusiumu,\f + \fr 30:15 \ft Kiebrania ni Sini.\f*

EZE 30:15 Removed trailing space in p~: ngome ya Misri,

EZE 30:15 Removed trailing space in p~: nami nitakatilia mbali

EZE 30:15 Removed trailing space in p~: makundi ya wajeuri wa Thebesi.

EZE 30:16 Removed trailing space in v~: Nitaitia moto nchi ya Misri;

EZE 30:16 Removed trailing space in p~: Pelusiumu itagaagaa kwa maumivu makuu.

EZE 30:16 Removed trailing space in p~: Thebesi itachukuliwa na tufani,

EZE 30:16 Removed trailing space in p~: Memfisi itakuwa katika taabu daima.

EZE 30:17 Removed trailing space in v~: Wanaume vijana wa Oni\f + \fr 30:17 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).\f* na wa Pi-Besethi\f + \fr 30:17 \ft Yaani Bubasti.\f*

EZE 30:17 Removed trailing space in p~: wataanguka kwa upanga

EZE 30:17 Removed trailing space in p~: nayo hiyo miji itatekwa.

EZE 30:18 Removed trailing space in v~: Huko Tahpanhesi mchana utatiwa giza

EZE 30:18 Removed trailing space in p~: nitakapovunja kongwa la Misri;

EZE 30:18 Removed trailing space in p~: hapo kiburi cha nguvu zake kitakoma.

EZE 30:18 Removed trailing space in p~: Atafunikwa na mawingu

EZE 30:18 Removed trailing space in p~: na vijiji vyake vitatekwa.

EZE 30:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitaipiga Misri kwa adhabu,

EZE 30:19 Removed trailing space in p~: nao watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 30:20 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa kwanza, siku ya saba, neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 30:21 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, nimevunja mkono wa Farao mfalme wa Misri. Haukufungwa ili upone au kuwekewa kipande cha ubao ili upate nguvu za kuweza kuchukua upanga.

EZE 30:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume na Farao mfalme wa Misri. Nitavunja mikono yake yote miwili, ule mkono ulio mzima pia na ule uliovunjika na kuufanya upanga uanguke toka mkononi mwake.

EZE 30:23 Removed trailing space in v~: Nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi zote.

EZE 30:24 Removed trailing space in v~: Nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babeli na kuutia upanga wangu mkononi mwake, lakini nitavunja mikono ya Farao, naye atalia kwa huzuni mbele yake kama mtu aliyetiwa jeraha la kumfisha.

EZE 30:25 Removed trailing space in v~: Nitaitia nguvu mikono ya mfalme wa Babeli, lakini mikono ya Farao italegea. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapoutia upanga wangu mkononi mwa mfalme wa Babeli, naye ataunyoosha dhidi ya Misri.

EZE 30:26 Removed trailing space in v~: Nitawatawanya Wamisri miongoni mwa mataifa na kuwafukuza huku na huko katika nchi mbalimbali. Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EZE 31:0 Extra space after chapter number

EZE 31:0 Removed trailing space in c: 31

EZE 31:0 Removed trailing space in s1: Mwerezi Katika Lebanoni

EZE 31:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na moja, mwezi wa tatu, siku ya kwanza, neno la \nd Bwana\nd* likanijia, kusema:

EZE 31:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, mwambie Farao mfalme wa Misri na makundi yake ya wajeuri:

EZE 31:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Je, ni nani awezaye kulinganishwa

EZE 31:2 Removed trailing space in p~: na wewe katika fahari.

EZE 31:3 Removed trailing space in v~: Angalia Ashuru, wakati fulani ilikuwa mwerezi huko Lebanoni,

EZE 31:3 Removed trailing space in p~: ukiwa na matawi mazuri ukitia msitu kivuli;

EZE 31:3 Removed trailing space in p~: ulikuwa mrefu sana,

EZE 31:3 Removed trailing space in p~: kilele chake kilipita majani ya miti yote.

EZE 31:4 Removed trailing space in v~: Maji mengi yaliustawisha,

EZE 31:4 Removed trailing space in p~: chemchemi zenye maji mengi ziliufanya urefuke;

EZE 31:4 Removed trailing space in p~: vijito vyake vilitiririka pale

EZE 31:4 Removed trailing space in p~: ulipoota pande zote

EZE 31:4 Removed trailing space in p~: na kupeleka mifereji yake

EZE 31:4 Removed trailing space in p~: kwenye miti yote ya shambani.

EZE 31:5 Removed trailing space in v~: Hivyo ukarefuka

EZE 31:5 Removed trailing space in p~: kupita miti yote ya shambani;

EZE 31:5 Removed trailing space in p~: vitawi vyake viliongezeka

EZE 31:5 Removed trailing space in p~: na matawi yake yakawa marefu,

EZE 31:5 Removed trailing space in p~: yakitanda kwa sababu ya wingi wa maji.

EZE 31:6 Removed trailing space in v~: Ndege wote wa angani

EZE 31:6 Removed trailing space in p~: wakaweka viota kwenye vitawi vyake,

EZE 31:6 Removed trailing space in p~: wanyama wote wa shambani

EZE 31:6 Removed trailing space in p~: wakazaana chini ya matawi yake,

EZE 31:6 Removed trailing space in p~: mataifa makubwa yote

EZE 31:6 Removed trailing space in p~: yaliishi chini ya kivuli chake.

EZE 31:7 Removed trailing space in v~: Ulikuwa na fahari katika uzuri,

EZE 31:7 Removed trailing space in p~: ukiwa na matawi yaliyotanda,

EZE 31:7 Removed trailing space in p~: kwa kuwa mizizi yake ilikwenda chini

EZE 31:7 Removed trailing space in p~: mpaka kwenye maji mengi.

EZE 31:8 Removed trailing space in v~: Mierezi katika bustani ya Mungu

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: haikuweza kushindana nao,

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: wala misunobari haikuweza

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: kulingana na vitawi vyake,

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: wala miaramoni

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: haikulinganishwa na matawi yake,

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: wala hakukuwa na mti katika bustani ya Mungu

EZE 31:8 Removed trailing space in p~: wa kulinganisha na uzuri wake.

EZE 31:9 Removed trailing space in v~: Niliufanya kuwa mzuri

EZE 31:9 Removed trailing space in p~: ukiwa na matawi mengi,

EZE 31:9 Removed trailing space in p~: ulionewa wivu na miti yote ya Edeni

EZE 31:9 Removed trailing space in p~: katika bustani ya Mungu.

EZE 31:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa sababu ulikuwa mrefu sana, kilele chake kikiwa juu ya majani manene ya miti na kwa sababu ulikuwa na kiburi cha urefu wake,

EZE 31:11 Removed trailing space in v~: niliutia mikononi mwa mtawala wa mataifa, ili yeye aushughulikie sawasawa na uovu wake. Nikaukatilia mbali,

EZE 31:12 Removed trailing space in v~: nayo mataifa mageni yaliyo makatili sana yaliukata huo mti na kuuacha. Matawi yake yalianguka juu ya milima na kwenye mabonde yote, vitawi vyake vikavunjika na kusambaa katika makorongo yote ya nchi. Mataifa yote ya duniani yakaondoka kutoka kwenye kivuli chake na kuuacha.

EZE 31:13 Removed trailing space in v~: Ndege wote wa angani wakakaa kwenye ule mti ulioanguka na wanyama pori wote wakakaa katikati ya vitawi vyake.

EZE 31:14 Removed trailing space in v~: Kamwe hakutakuwa na miti mingine kando ya hayo maji itakayorefuka zaidi ya huo, vilele vyake vikiwa juu ya majani yote ya miti. Hakuna miti mingine, hata kama imekunywa maji vizuri namna gani, itakayofikia urefu huo. Yote mwisho wake ni kifo, na kuingia ardhini, kama vile ilivyo kwa wanadamu, pamoja na wale waendao shimoni.

EZE 31:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mwerezi uliposhushwa chini kaburini\f + \fr 31:15 \ft Yaani Kuzimu, Sheol kwa Kiebrania; pia mstari 16, 17.\f* nilizifunika chemchemi zenye maji mengi kwa maombolezo: Nilivizuia vijito vyake na wingi wa maji yake nikauzuia. Kwa sababu yake niliivika Lebanoni huzuni, nayo miti yote ya shambani ikanyauka.

EZE 31:16 Removed trailing space in v~: Niliyafanya mataifa yatetemeke kwa kishindo cha kuanguka kwake wakati nilipoushusha chini kaburini pamoja na wale washukao shimoni. Ndipo miti yote ya Edeni, miti iliyo bora kuliko yote na iliyo mizuri sana ya Lebanoni, miti yote ile iliyokunywa maji vizuri, ilifarijika hapa duniani.

EZE 31:17 Removed trailing space in v~: Wale walioishi katika kivuli chake, wale walioungana naye miongoni mwa mataifa, nao pia walikuwa wamezikwa pamoja naye, wakiungana na wale waliouawa kwa upanga.

EZE 31:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Ni miti ipi ya Edeni inayoweza kulinganishwa nawe kwa fahari na utukufu? Hata hivyo, wewe pia, utashushwa chini pamoja na miti ya Edeni mpaka kuzimu, utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.

EZE 31:18 Removed trailing space in p~: “ ‘Huyu ni Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 32:0 Extra space after chapter number

EZE 32:0 Removed trailing space in c: 32

EZE 32:0 Removed trailing space in s1: Maombolezo Kwa Ajili Ya Farao

EZE 32:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kumi na mbili, siku ya kwanza ya mwezi, neno la \nd Bwana\nd* likanijia, kusema:

EZE 32:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, fanya maombolezo kwa ajili ya Farao mfalme wa Misri na umwambie:

EZE 32:2 Removed trailing space in p~: “ ‘Wewe ni kama simba miongoni mwa mataifa,

EZE 32:2 Removed trailing space in p~: wewe ni kama joka kubwa baharini,

EZE 32:2 Removed trailing space in p~: unayevuruga maji kwa miguu yako

EZE 32:2 Removed trailing space in p~: na kuchafua vijito.

EZE 32:3 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 32:3 Removed trailing space in p~: “ ‘Nikiwa pamoja na wingi mkubwa wa watu

EZE 32:3 Removed trailing space in p~: nitautupa wavu wangu juu yako,

EZE 32:3 Removed trailing space in p~: nao watakukokota katika wavu wangu.

EZE 32:4 Removed trailing space in v~: Nitakutupa nchi kavu

EZE 32:4 Removed trailing space in p~: na kukuvurumisha uwanjani.

EZE 32:4 Removed trailing space in p~: Nitawafanya ndege wote wa angani watue juu yako

EZE 32:4 Removed trailing space in p~: na wanyama wote wa nchi

EZE 32:4 Removed trailing space in p~: watajishibisha nyama yako.

EZE 32:5 Removed trailing space in v~: Nitatawanya nyama yako juu ya milima

EZE 32:5 Removed trailing space in p~: na kujaza mabonde kwa mabaki yako.

EZE 32:6 Removed trailing space in v~: Nitailowanisha nchi kwa damu yako inayotiririka

EZE 32:6 Removed trailing space in p~: njia yote hadi milimani,

EZE 32:6 Removed trailing space in p~: nayo mabonde yatajazwa na nyama yako.

EZE 32:7 Removed trailing space in v~: Nitakapokuzimisha, nitafunika mbingu

EZE 32:7 Removed trailing space in p~: na kuzitia nyota zake giza;

EZE 32:7 Removed trailing space in p~: nitalifunika jua kwa wingu,

EZE 32:7 Removed trailing space in p~: nao mwezi hautatoa nuru yake.

EZE 32:8 Removed trailing space in v~: Mianga yote itoayo nuru angani

EZE 32:8 Removed trailing space in p~: nitaitia giza juu yako;

EZE 32:8 Removed trailing space in p~: nitaleta giza juu ya nchi yako,

EZE 32:8 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 32:9 Removed trailing space in v~: Nitaifadhaisha mioyo ya mataifa mengi

EZE 32:9 Removed trailing space in p~: nitakapokuangamiza miongoni mwa mataifa,

EZE 32:9 Removed trailing space in p~: nikikuleta uhamishoni miongoni mwa nchi

EZE 32:9 Removed trailing space in p~: ambazo haujapata kuzijua.

EZE 32:10 Removed trailing space in v~: Nitayafanya mataifa mengi wakustaajabie,

EZE 32:10 Removed trailing space in p~: wafalme wao watatetemeka

EZE 32:10 Removed trailing space in p~: kwa hofu kwa ajili yako

EZE 32:10 Removed trailing space in p~: nitakapotikisa upanga wangu mbele yao.

EZE 32:10 Removed trailing space in p~: Siku ya anguko lako

EZE 32:10 Removed trailing space in p~: kila mmoja wao atatetemeka

EZE 32:10 Removed trailing space in p~: kila dakika kwa ajili ya maisha yake.

EZE 32:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa kuwa hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

EZE 32:11 Removed trailing space in p~: “ ‘Upanga wa mfalme wa Babeli

EZE 32:11 Removed trailing space in p~: utakuja dhidi yako.

EZE 32:12 Removed trailing space in v~: Nitafanya makundi yako ya wajeuri kuanguka

EZE 32:12 Removed trailing space in p~: kwa panga za watu mashujaa,

EZE 32:12 Removed trailing space in p~: taifa katili kuliko mataifa yote.

EZE 32:12 Removed trailing space in p~: Watakivunjavunja kiburi cha Misri,

EZE 32:12 Removed trailing space in p~: nayo makundi yake yote

EZE 32:12 Removed trailing space in p~: ya wajeuri yatashindwa.

EZE 32:13 Removed trailing space in v~: Nitaangamiza mifugo yake yote

EZE 32:13 Removed trailing space in p~: wanaojilisha kando ya maji mengi,

EZE 32:13 Removed trailing space in p~: hayatavurugwa tena kwa mguu wa mwanadamu

EZE 32:13 Removed trailing space in p~: wala kwato za mnyama

EZE 32:13 Removed trailing space in p~: hazitayachafua tena.

EZE 32:14 Removed trailing space in v~: Kisha nitafanya maji yake yatulie

EZE 32:14 Removed trailing space in p~: na kufanya vijito vyake

EZE 32:14 Removed trailing space in p~: vitiririke kama mafuta,

EZE 32:14 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 32:15 Removed trailing space in v~: Nitakapoifanya Misri kuwa ukiwa

EZE 32:15 Removed trailing space in p~: na kuiondolea nchi kila kitu

EZE 32:15 Removed trailing space in p~: kilichomo ndani yake,

EZE 32:15 Removed trailing space in p~: nitakapowapiga wote waishio humo,

EZE 32:15 Removed trailing space in p~: ndipo watakapojua kuwa

EZE 32:15 Removed trailing space in p~: Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’

EZE 32:16 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo ombolezo watakalomwimbia. Binti za mataifa wataliimba, kwa kuwa Misri na makundi yake yote ya wajeuri wataliimba, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 32:17 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na tano ya mwezi, neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 32:18 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, omboleza kwa ajili ya makundi ya wajeuri wa Misri na uwatupe kuzimu yeye na binti za mataifa yenye nguvu, waende huko pamoja nao washukao shimoni.

EZE 32:19 Removed trailing space in v~: Je, ninyi mnamzidi nani kwa uzuri? Shukeni chini! Nanyi mkalazwe pamoja na hao wasiotahiriwa!

EZE 32:20 Removed trailing space in v~: Wataanguka miongoni mwa wale waliouawa kwa upanga. Upanga umefutwa, mwache aburutwe mbali pamoja na hao wajeuri wake wote.

EZE 32:21 Removed trailing space in v~: Kutoka kuzimu viongozi hodari watanena kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, ‘Wameshuka chini, nao wamelala kimya pamoja na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.’

EZE 32:22 Removed trailing space in v~: “Ashuru yuko huko pamoja na jeshi lake lote, amezungukwa na makaburi ya watu wake wote waliouawa, wale wote walioanguka kwa upanga.

EZE 32:23 Removed trailing space in v~: Makaburi yao yako kwenye kina cha chini cha shimo na jeshi lake limelala kulizunguka kaburi lake. Wote waliokuwa wameeneza hofu kuu katika nchi ya walio hai wameuawa, wameanguka kwa upanga.

EZE 32:24 Removed trailing space in v~: “Elamu yuko huko, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote wameuawa, wameanguka kwa upanga. Wote waliokuwa wameeneza hofu katika nchi ya walio hai walishuka kuzimu bila kutahiriwa. Wanaichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni.

EZE 32:25 Removed trailing space in v~: Kitanda kimetandikwa kwa ajili yake miongoni mwa waliouawa, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote ni watu wasiotahiriwa, wameuawa kwa upanga. Kwa sababu vitisho vyao vilienea katika nchi ya walio hai, wameichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni, nao wamewekwa miongoni mwa waliouawa.

EZE 32:26 Removed trailing space in v~: “Mesheki na Tubali wako humo, pamoja na makundi yao ya wajeuri wakiwa wameyazunguka makaburi yao. Wote hawakutahiriwa, wameuawa kwa upanga kwa sababu walieneza vitisho vyao katika nchi ya walio hai.

EZE 32:27 Removed trailing space in v~: Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai.

EZE 32:28 Removed trailing space in v~: “Wewe pia, ee Farao, utavunjwa nawe utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.

EZE 32:29 Removed trailing space in v~: “Edomu yuko humo, wafalme wake wote na wakuu wake wote, ambao ijapokuwa wana nguvu, wamelazwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga. Wamelala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale washukao shimoni.

EZE 32:30 Removed trailing space in v~: “Wakuu wote wa kaskazini na Wasidoni wote wako huko, wameshuka chini pamoja na waliouawa kwa aibu ijapokuwa kuna vitisho vilivyosababishwa na nguvu zao. Wamelala bila kutahiriwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga na kuchukua aibu yao pamoja na wale washukao chini shimoni.

EZE 32:31 Removed trailing space in v~: “Farao, yeye pamoja na jeshi lake lote, atakapowaona atafarijiwa kwa ajili ya makundi yake yote ya wajeuri, wale waliouawa kwa upanga, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 32:32 Removed trailing space in v~: Ingawa nilimfanya Farao aeneze vitisho vyake katika nchi ya walio hai, Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri watalazwa miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 33:0 Extra space after chapter number

EZE 33:0 Removed trailing space in c: 33

EZE 33:0 Removed trailing space in s1: Wajibu Wa Ezekieli Kuwa Mlinzi Kwa Watu Wake

EZE 33:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 33:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, sema na watu wako uwaambie, ‘Nitakapoleta upanga dhidi ya nchi, nao watu wa nchi wakamchagua mmoja wa watu wao na kumfanya awe mlinzi wao,

EZE 33:3 Removed trailing space in v~: naye auonapo upanga unakuja dhidi ya nchi na kupiga tarumbeta kuonya watu,

EZE 33:4 Removed trailing space in v~: kama mtu yeyote asikiapo sauti ya tarumbeta hakukubali kuonywa, basi upanga ujapo na kuutoa uhai wake, damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe.

EZE 33:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa alisikia sauti ya tarumbeta lakini hakukubali maonyo, damu yake itakuwa juu ya kichwa chake mwenyewe. Kama angekubali maonyo, angelijiokoa mwenyewe.

EZE 33:6 Removed trailing space in v~: Lakini kama mlinzi akiona upanga unakuja na asipige tarumbeta kuonya watu na upanga ukija na kutoa uhai wa mmoja wao, yule mtu ataondolewa kwa sababu ya dhambi yake, lakini damu yake nitaitaka mkononi mwa mlinzi huyo.’

EZE 33:7 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, nimekufanya wewe kuwa mlinzi kwa ajili ya nyumba ya Israeli, kwa hiyo sikia neno nisemalo na uwape maonyo kutoka kwangu.

EZE 33:8 Removed trailing space in v~: Nimwambiapo mtu mwovu, ‘Ewe mtu mwovu, hakika utakufa,’ nawe hukusema neno la kumwonya ili atoke katika njia zake, yule mtu mwovu atakufa kwa ajili ya dhambi yake, mimi nitaitaka damu yake mkononi mwako.

EZE 33:9 Removed trailing space in v~: Lakini kama utamwonya huyo mtu mwovu aache njia zake mbaya naye hafanyi hivyo, atakufa kwa ajili ya dhambi yake, lakini utakuwa umejiokoa mwenyewe.

EZE 33:10 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, sema na nyumba ya Israeli uwaambie, ‘Hili ndilo mnalosema: “Makosa yetu na dhambi zetu zimetulemea, nasi tunadhoofika kwa sababu ya hayo. Tutawezaje basi kuishi?” ’

EZE 33:11 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Hakika kama mimi niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, sifurahii kifo cha watu waovu, bali kwamba wageuke kutoka njia zao mbaya wapate kuishi. Geukeni! Geukeni kutoka njia zenu mbaya! Kwa nini mkafe, ee nyumba ya Israeli?’

EZE 33:12 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, mwanadamu, waambie watu wako, ‘Haki ya mtu mwenye haki haitamwokoa wakati anapoacha kutii, wala uovu wa mtu mwovu hautamsababisha yeye kuanguka anapotubu na kuacha uovu. Mtu mwenye haki, kama akitenda dhambi, hataishi kwa sababu ya uadilifu wake wa awali.’

EZE 33:13 Removed trailing space in v~: Kama nikimwambia mtu mwenye haki kwamba hakika utaishi, lakini akategemea hiyo haki yake na kutenda uovu, hakuna tendo lolote la haki alilotenda litakalokumbukwa, atakufa kwa ajili ya uovu alioutenda.

EZE 33:14 Removed trailing space in v~: Nami kama nikimwambia mtu mwovu, ‘Hakika utakufa,’ kisha akageuka kutoka dhambi yake na kufanya lile lililo haki na sawa,

EZE 33:15 Removed trailing space in v~: kama akirudisha kile alichochukua rehani kwa ajili ya deni, akarudisha alichoiba na kufuata amri zile ziletazo uzima, wala hafanyi uovu, hakika ataishi, hatakufa.

EZE 33:16 Removed trailing space in v~: Hakuna dhambi yoyote aliyoitenda itakayokumbukwa juu yake. Ametenda lile lililo haki na sawa, hakika ataishi.

EZE 33:17 Removed trailing space in v~: “Lakini watu wako wanasema, ‘Njia ya Bwana si sawa.’ Lakini ni njia zao ambazo si sawa.

EZE 33:18 Removed trailing space in v~: Kama mtu mwenye haki akigeuka kutoka uadilifu wake na kufanya uovu, atakufa kwa ajili ya huo uovu.

EZE 33:19 Removed trailing space in v~: Naye mtu mwovu kama akigeuka kutoka uovu wake na kufanya lile lililo haki na sawa, kwa kufanya hivyo ataishi.

EZE 33:20 Removed trailing space in v~: Lakini, ee nyumba ya Israeli, unasema, ‘Njia ya Bwana si sawa.’ Lakini nitamhukumu kila mmoja wenu sawasawa na njia zake mwenyewe.”

EZE 33:20 Removed trailing space in s1: Anguko La Yerusalemu Laelezewa

EZE 33:21 Removed trailing space in v~: Mwaka wa kumi na mbili wa uhamisho wetu, mwezi wa kumi, siku ya tano, mtu aliyekuwa ametoroka kutoka Yerusalemu akanijia na kusema, “Mji wa Yerusalemu umeanguka!”

EZE 33:22 Removed trailing space in v~: Basi jioni kabla mtu huyo hajaja, mkono wa \nd Bwana\nd*, ulikuwa juu yangu, naye alifungua kinywa changu kabla ya mtu yule aliyenijia asubuhi hajafika. Basi kinywa changu kilifunguliwa na sikuweza tena kunyamaza.

EZE 33:23 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 33:24 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, watu wanaoishi katika magofu hayo katika nchi ya Israeli wanasema hivi, ‘Abrahamu alikuwa mtu mmoja tu, hata hivyo akaimiliki nchi. Lakini sisi ni wengi, hakika tumepewa nchi kuwa milki yetu.’

EZE 33:25 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa kuwa mnakula nyama pamoja na damu na kuinulia sanamu zenu macho na kumwaga damu, je, mtaimiliki nchi?

EZE 33:26 Removed trailing space in v~: Mnategemea panga zenu, mnafanya mambo ya machukizo na kila mmoja wenu humtia unajisi mke wa jirani yake. Je, mtaimiliki nchi?’

EZE 33:27 Removed trailing space in v~: “Waambie hivi: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Hakika kama niishivyo, wale waliobaki katika magofu wataanguka kwa upanga, wale walio nje mashambani nitawatoa wararuliwe na wanyama pori, nao wale walio katika ngome na kwenye mapango watakufa kwa tauni.

EZE 33:28 Removed trailing space in v~: Nitaifanya nchi kuwa ukiwa na utupu na kiburi cha nguvu zake zitafikia mwisho, nayo milima ya Israeli itakuwa ukiwa ili mtu yeyote asipite huko.

EZE 33:29 Removed trailing space in v~: Kisha watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapokuwa nimeifanya nchi kuwa ukiwa na utupu kwa sababu ya mambo yote ya machukizo waliyotenda.’

EZE 33:30 Removed trailing space in v~: “Kwa habari yako wewe, mwanadamu, watu wako wanaongea habari zako wakiwa karibu na kuta na kwenye milango ya nyumba, wakiambiana kila mmoja na mwenzake, ‘Njooni msikie ujumbe ule utokao kwa \nd Bwana\nd*.’

EZE 33:31 Removed trailing space in v~: Watu wangu wanakujia, kama wafanyavyo, nao wanaketi mbele yako kama watu wangu na kusikiliza maneno yako, lakini hawayatendi. Kwa maana udanganyifu u katika midomo yao, lakini mioyo yao ina tamaa ya faida isiyo halali.

EZE 33:32 Removed trailing space in v~: Naam, mbele yao umekuwa tu kama yeye aimbaye nyimbo za mapenzi kwa sauti nzuri za kuvutia na kupiga vyombo kwa ustadi, kwa kuwa wanasikia maneno yako lakini hawayatendi.

EZE 33:33 Removed trailing space in v~: “Wakati mambo haya yote yatakapotimia, kwa kuwa hakika yatatokea, ndipo watakapojua kwamba nabii amekuwepo miongoni mwao.”

EZE 34:0 Extra space after chapter number

EZE 34:0 Removed trailing space in c: 34

EZE 34:0 Removed trailing space in s1: Wachungaji Na Kondoo

EZE 34:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 34:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, tabiri juu ya wachungaji wa Israeli, tabiri na uwaambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ole wa wachungaji wa Israeli ambao hujitunza wenyewe tu! Je, haiwapasi wachungaji kutunza kundi la kondoo?

EZE 34:3 Removed trailing space in v~: Mnakula mafuta ya wanyama, mnavaa mavazi ya sufu na kuchinja kondoo walionona, lakini hamlitunzi kundi.

EZE 34:4 Removed trailing space in v~: Hamkuwatia nguvu walio dhaifu wala hamkuwaganga wenye maradhi wala kuwafunga waliojeruhiwa. Hamkuwarudisha waliotangatanga wala kuwatafuta wale waliopotea. Badala yake mmewatawala kwa ukali na kwa ukatili.

EZE 34:5 Removed trailing space in v~: Hivyo walitawanyika kwa sababu hapakuwepo mchungaji, nao walipotawanyika, wakawa chakula cha wanyama wa mwitu wote.

EZE 34:6 Removed trailing space in v~: Kondoo wangu walitawanyika, wakatangatanga kwenye milima yote na kwenye kila kilima kirefu. Kondoo wangu walitawanyika juu ya uso wa dunia yote bila kuwa na yeyote wa kuwaulizia wala wa kuwatafuta.

EZE 34:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo, ninyi wachungaji, lisikieni neno la \nd Bwana\nd*:

EZE 34:8 Removed trailing space in v~: Kwa hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, kwa sababu kondoo zangu wamekosa mchungaji na hivyo wametekwa nyara na kuwa chakula cha wanyama wote wa mwituni na kwa sababu wachungaji wangu, hawakuwatafuta kondoo zangu, bali wachungaji wamejitunza wenyewe, nao hawakuwalisha kondoo zangu,

EZE 34:9 Removed trailing space in v~: kwa hiyo enyi wachungaji, sikieni neno la \nd Bwana\nd*:

EZE 34:10 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume na wachungaji nami nitawadai kondoo zangu mikononi mwao. Nitawafukuza kutoka kwenye kuchunga kundi langu, ili wachungaji wasiendelee kujitunza wenyewe. Nitaokoa kondoo zangu kutoka kwenye vinywa vyao, nao kondoo hawatakuwa tena chakula chao.

EZE 34:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa kuwa hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi mwenyewe nitawaulizia kondoo wangu na kuwatafuta.

EZE 34:12 Removed trailing space in v~: Kama vile mchungaji atafutavyo kundi lake lililotawanyika wakati akiwa pamoja nalo, hivyo ndivyo nitakavyowatafuta kondoo wangu. Nitawaokoa kutoka mahali pote walipokuwa wametawanyikia katika siku ya mawingu na giza nene.

EZE 34:13 Removed trailing space in v~: Nitawatoa katika mataifa na kuwakusanya kutoka nchi mbalimbali, nami nitawaleta katika nchi yao wenyewe. Nitawalisha kwenye milima ya Israeli, katika mabonde na mahali pote panapokalika katika nchi.

EZE 34:14 Removed trailing space in v~: Nitawachunga kwenye malisho mazuri na miinuko ya mlima wa Israeli patakuwa mahali pao pa malisho. Huko watajipumzisha kwa amani katika nchi ya malisho mazuri, nao watajilisha huko katika malisho tele katika milima ya Israeli.

EZE 34:15 Removed trailing space in v~: Mimi mwenyewe nitawachunga kondoo zangu na kuwafanya wapumzike, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 34:16 Removed trailing space in v~: Nitawaulizia kondoo waliopotea na kuwaleta waliotangatanga. Nitawafunga waliojeruhiwa na kuwatia nguvu walio dhaifu lakini wale waliojikinai na wenye nguvu nitawaangamiza. Nitalichunga kundi kwa haki.

EZE 34:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa habari yenu, enyi kundi langu, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitahukumu kati ya kondoo na kondoo, kati ya kondoo dume na mbuzi.

EZE 34:18 Removed trailing space in v~: Je, haiwatoshi ninyi kujilisha kwenye malisho mazuri? Je, ni lazima ninyi kuyakanyaga pia malisho yenu yaliyobaki kwa miguu yenu? Je, haiwatoshi ninyi kunywa maji safi? Je, ni lazima kuyachafua maji mengine kwa miguu yenu?

EZE 34:19 Removed trailing space in v~: Je, ni lazima kundi langu wajilishe kwa yale mliyoyakanyaga na kunywa maji mliyoyachafua kwa miguu yenu?

EZE 34:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa hiyo, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi awaambialo: Tazama, mimi mwenyewe nitahukumu kati ya kondoo wanono na waliokonda.

EZE 34:21 Removed trailing space in v~: Kwa sababu mmewapiga kikumbo na kuwapiga kwa pembe zenu kondoo wote walio dhaifu mpaka wakawafukuza,

EZE 34:22 Removed trailing space in v~: nitaliokoa kundi langu na hawatatekwa nyara tena. Nitahukumu kati ya kondoo na kondoo.

EZE 34:23 Removed trailing space in v~: Nitaweka juu yao mchungaji mmoja, mtumishi wangu Daudi, naye atawachunga, atawachunga na kuwa mchungaji wao.

EZE 34:24 Removed trailing space in v~: Mimi \nd Bwana\nd* nitakuwa Mungu wao, naye mtumishi wangu Daudi atakuwa mkuu miongoni mwao. Mimi \nd Bwana\nd* nimenena.

EZE 34:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Nitafanya nao Agano la amani na kuwaondoa wanyama wa mwitu kutoka nchi yao ili kondoo wangu waweze kupumzika nyikani na msituni kwa salama.

EZE 34:26 Removed trailing space in v~: Nitawabariki wao pamoja na maeneo yanayozunguka kilima changu. Nitawanyeshea mvua kwa majira yake, kutakuwepo mvua za baraka.

EZE 34:27 Removed trailing space in v~: Miti ya shambani itatoa matunda yake na ardhi itatoa mazao yake, watu watakaa salama katika nchi yao. Watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapovunja vifungo vya nira zao na kuwaokoa kutoka mikono ya wale waliowafanya watumwa.

EZE 34:28 Removed trailing space in v~: Hawatatekwa tena nyara na mataifa, wala wanyama pori hawatawala tena. Wataishi kwa salama, wala hakuna yeyote atakayewatia hofu.

EZE 34:29 Removed trailing space in v~: Nitawapa nchi yenye sifa kutokana na mazao yake, hawatapatwa na njaa katika nchi tena wala hawatadharauliwa na mataifa.

EZE 34:30 Removed trailing space in v~: Ndipo watakapojua kuwa Mimi, \nd Bwana\nd*, Mungu wao, niko pamoja nao, na kwamba wao, nyumba ya Israeli, ni watu wangu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 34:31 Removed trailing space in v~: Ninyi ni kondoo wangu, kondoo wa malisho yangu, ninyi ni watu wangu, nami ni Mungu wenu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 35:0 Extra space after chapter number

EZE 35:0 Removed trailing space in c: 35

EZE 35:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Edomu

EZE 35:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 35:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, elekeza uso wako juu ya mlima Seiri, utabiri dhidi yake

EZE 35:3 Removed trailing space in v~: na useme: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mimi ni kinyume nawe, ee mlima Seiri, nami nitanyoosha mkono wangu dhidi yako na kukufanya ukiwa na usiyekaliwa na watu wala kulimika.

EZE 35:4 Removed trailing space in v~: Nitaifanya miji yako kuwa magofu nawe utakuwa ukiwa. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 35:5 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa sababu ulificha moyoni uadui wa siku nyingi nawe ukawatoa Waisraeli wauawe kwa upanga wakati wa maafa yao, wakati adhabu yake ilipofikia kilele chake,

EZE 35:6 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nitakutia katika umwagaji damu nao utakufuatia. Kwa kuwa hakuchukia kumwaga damu, kumwaga damu kutakufuatia.

EZE 35:7 Removed trailing space in v~: Nitaufanya Mlima Seiri ukiwa na usiokaliwa na watu wala kulimika na kuukatilia mbali na wote wanaokuja na wanaokwenda.

EZE 35:8 Removed trailing space in v~: Nitaijaza milima yenu kwa watu wake waliouawa, wale waliouawa kwa upanga wataanguka juu ya vilima vyako na katika mabonde yako na katika makorongo yako yote.

EZE 35:9 Removed trailing space in v~: Nitakufanya ukiwa milele, watu hawataishi katika miji yako. Ndipo utakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 35:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa sababu umesema, “Mataifa haya mawili na nchi hizi zitakuwa zetu nasi tutazimiliki,” ingawa hata mimi \nd Bwana\nd* nilikuwa huko,

EZE 35:11 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hakika kama niishivyo, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nitakutenda kwa kadiri ya hasira na wivu uliouonyesha katika chuki yako juu yao nami nitafanya nijulikane miongoni mwao wakati nitakapokuhukumu.

EZE 35:12 Removed trailing space in v~: Ndipo utakapojua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* nimesikia mambo yote ya dharau uliyosema dhidi ya milima ya Israeli. Ulisema, “Wamefanyika ukiwa na kutiwa mikononi mwetu tuwararue.”

EZE 35:13 Removed trailing space in v~: Ulijigamba dhidi yangu na kusema maneno dhidi yangu bila kujizuia, nami nikayasikia.

EZE 35:14 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Wakati dunia yote inashangilia nitakufanya ukiwa.

EZE 35:15 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ulishangilia wakati urithi wa nyumba ya Israeli ulipofanyika ukiwa, hivyo ndivyo nitakavyokutendea. Utakuwa ukiwa, ee mlima Seiri, wewe na Edomu yote. Kisha ndipo watajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 36:0 Extra space after chapter number

EZE 36:0 Removed trailing space in c: 36

EZE 36:0 Removed trailing space in s1: Unabii Kwa Milima Ya Israeli

EZE 36:1 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, itabirie milima ya Israeli na useme, ‘Ee milima ya Israeli, sikieni neno la \nd Bwana\nd*.

EZE 36:2 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa sababu adui wanasema juu yako, “Aha! Mahali palipoinuka pa zamani pamekuwa milki yetu.” ’

EZE 36:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tabiri na useme, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa sababu wamewafanya ukiwa na kuwagandamiza kila upande ili mpate kuwa milki ya mataifa mengine na kuwa kitu cha kusimangwa na kudhihakiwa miongoni mwa watu,

EZE 36:4 Removed trailing space in v~: kwa hiyo, ee milima ya Israeli, sikieni neno la \nd Bwana\nd* Mwenyezi: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo kwa milima na vilima, kwa makorongo na mabonde, kwa mahame yaliyo ukiwa, miji iliyoachwa ambayo imetekwa nyara na kudharauliwa na mataifa mengine yanayowazunguka,

EZE 36:5 Removed trailing space in v~: hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika wivu wangu uwakao nimenena dhidi ya mataifa mengine na dhidi ya Edomu yote, kwa maana kwa furaha na hila katika mioyo yao waliifanya nchi yangu kuwa milki yao ili wapate kuteka nyara sehemu yake ya malisho.’

EZE 36:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tabiri kuhusu nchi ya Israeli na uiambie milima na vilima, makorongo na vijito na mabonde: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ninanena katika wivu wa ghadhabu yangu kwa sababu mmedharauliwa na mataifa.

EZE 36:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ninaapa kwa mkono wangu ulioinuliwa kwamba mataifa wanaowazunguka nao pia watadharauliwa.

EZE 36:8 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini ninyi, ee milima ya Israeli, mtatoa matawi na matunda kwa ajili ya watu wangu Israeli, kwa sababu hivi karibuni watakuja nyumbani.

EZE 36:9 Removed trailing space in v~: Mimi ninawajibika nanyi na nitawaangalia kwa upendeleo, mtalimwa na kupandwa mbegu,

EZE 36:10 Removed trailing space in v~: nami nitaizidisha idadi ya watu kwenu, naam, nyumba yote ya Israeli. Miji itakaliwa na watu na magofu yatajengwa upya.

EZE 36:11 Removed trailing space in v~: Nitaongeza idadi ya watu na wanyama juu yenu, nao watazaana sana na kuwa wengi mno. Nitawakalisha watu ndani yenu kama ilivyokuwa wakati uliopita, nami nitawafanya mfanikiwe kuliko hapo kwanza. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 36:12 Removed trailing space in v~: Nitawafanya watu, watu wangu Israeli, kutembea juu yenu. Watawamiliki ninyi, nanyi mtakuwa urithi wao, kamwe hamtawaondolea tena watoto wao.

EZE 36:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Kwa sababu watu wanakuambia, “Unawala watu na kuliondolea taifa lako watoto wake,”

EZE 36:14 Removed trailing space in v~: kwa hiyo hutakula tena watu wala kulifanya tena taifa lako lisiwe na watoto, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 36:15 Removed trailing space in v~: Sitakufanya tena usikie dhihaka za mataifa, wala kudharauliwa na kabila za watu, wala kulifanya taifa lako lianguke, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.’ ”

EZE 36:16 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia tena, kusema:

EZE 36:17 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, nyumba ya Israeli walipokuwa wakiishi katika nchi yao wenyewe, waliinajisi kwa mwenendo wao na matendo yao. Mwenendo wao mbele zangu ulikuwa kama mwanamke aliye katika hedhi.

EZE 36:18 Removed trailing space in v~: Hivyo nilimwaga ghadhabu yangu juu yao kwa sababu walikuwa wamemwaga damu katika nchi na kwa sababu walikuwa wameitia nchi unajisi kwa sanamu zao.

EZE 36:19 Removed trailing space in v~: Nikawatawanya miongoni mwa mataifa, nao wakaenda huku na huko katika nchi mbalimbali, nikawahukumu sawasawa na mwenendo wao na matendo yao.

EZE 36:20 Removed trailing space in v~: Tena popote walipokwenda miongoni mwa mataifa walilitia unajisi Jina langu takatifu, kwa kuwa watu walisema kuwahusu, ‘Hawa ndio watu wa \nd Bwana\nd*, lakini imewapasa kuondoka katika nchi yake.’

EZE 36:21 Removed trailing space in v~: Lakini niliwahurumia kwa ajili ya Jina langu takatifu, ambalo nyumba ya Israeli imelitia unajisi miongoni mwa mataifa huko walikokwenda.

EZE 36:22 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo iambie nyumba ya Israeli, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Si kwa ajili yako, ee nyumba ya Israeli, kwamba ninafanya mambo haya, bali ni kwa ajili ya Jina langu takatifu, ambalo mmelitia unajisi miongoni mwa mataifa mliyoyaendea.

EZE 36:23 Removed trailing space in v~: Nitauonyesha utakatifu wa Jina langu kuu, ambalo limetiwa unajisi miongoni mwa mataifa, jina ambalo limetiwa unajisi miongoni mwao. Ndipo mataifa watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi, nitakapojionyesha mwenyewe kuwa mtakatifu kwa kuwapitia ninyi mbele ya macho yao.

EZE 36:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa kuwa nitawaondoa ninyi toka mataifa, nitawakusanya kutoka nchi zote na kuwarudisha kwenye nchi yenu wenyewe.

EZE 36:25 Removed trailing space in v~: Nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi, nitawatakasa kutoka uchafu wenu wote na kutoka sanamu zenu zote.

EZE 36:26 Removed trailing space in v~: Nitawapa moyo mpya na kuweka roho mpya ndani yenu, nitaondoa ndani yenu moyo wenu wa jiwe na kuwapa moyo wa nyama.

EZE 36:27 Removed trailing space in v~: Nami nitaweka Roho yangu ndani yenu na kuwafanya ninyi mfuate amri zangu na kuwafanya kuwa waangalifu kuzishika sheria zangu.

EZE 36:28 Removed trailing space in v~: Mtaishi katika nchi niliyowapa baba zenu, ninyi mtakuwa watu wangu nami nitakuwa Mungu wenu.

EZE 36:29 Removed trailing space in v~: Nitawaokoa ninyi kutoka unajisi wenu wote. Nitaiita nafaka na kuiongeza iwe nyingi sana nami sitaleta njaa juu yenu.

EZE 36:30 Removed trailing space in v~: Nitaongeza matunda ya miti na mazao ya mashamba, ili kwamba msipate tena aibu miongoni mwa mataifa kwa ajili ya njaa.

EZE 36:31 Removed trailing space in v~: Ndipo mtakapozikumbuka njia zenu za uovu na matendo yenu maovu, nanyi mtajichukia wenyewe kwa ajili ya dhambi zote na matendo yenu ya kuchukiza.

EZE 36:32 Removed trailing space in v~: Ninataka ninyi mjue kwamba sifanyi hili kwa ajili yenu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Oneni aibu na mkatahayari kwa ajili ya mwenendo wenu, ee nyumba ya Israeli!

EZE 36:33 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Siku ile nitakapowasafisha kutoka dhambi zenu zote, nitarudisha watu waishi katika miji yenu na magofu yatajengwa upya.

EZE 36:34 Removed trailing space in v~: Nchi iliyokuwa ukiwa italimwa badala ya kukaa ukiwa machoni mwa wale wote wanaopita ndani yake.

EZE 36:35 Removed trailing space in v~: Watasema, “Hii nchi iliyokuwa imeachwa ukiwa sasa imekuwa kama bustani ya Edeni, miji ile iliyokuwa magofu, ukiwa na kuangamizwa, sasa imejengewa ngome na kukaliwa na watu.”

EZE 36:36 Removed trailing space in v~: Ndipo mataifa yanayowazunguka yaliyobakia watakapojua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* nimejenga tena kile kilichoharibiwa na nimepanda tena kile kilichokuwa ukiwa. Mimi \nd Bwana\nd* nimenena, nami nitalifanya.’

EZE 36:37 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Mara nyingine tena nitasikia maombi ya nyumba ya Israeli na kuwatendea jambo hili: Nitawafanya watu wake kuwa wengi kama kondoo,

EZE 36:38 Removed trailing space in v~: kuwa wengi kama kundi la kondoo kwa ajili ya dhabihu huko Yerusalemu wakati wa sikukuu zao za wakati ulioamriwa. Hivyo ndivyo miji iliyokuwa magofu itajazwa na makundi ya watu. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.”

EZE 37:0 Extra space after chapter number

EZE 37:0 Removed trailing space in c: 37

EZE 37:0 Removed trailing space in s1: Bonde La Mifupa Mikavu

EZE 37:1 Removed trailing space in v~: Mkono wa \nd Bwana\nd* ulikuwa juu yangu, naye akanitoa nje kwa Roho wa \nd Bwana\nd* na kuniweka katikati ya bonde lililokuwa limejaa mifupa tele.

EZE 37:2 Removed trailing space in v~: Akanipitisha pande zote kwenye hiyo mifupa, nami nikaona mifupa mingi sana ndani ya lile bonde, mifupa iliyokuwa imekauka sana.

EZE 37:3 Removed trailing space in v~: Akaniuliza, “Mwanadamu, mifupa hii yaweza kuishi?”

EZE 37:3 Removed trailing space in p~: Nikajibu, “Ee \nd Bwana\nd* Mwenyezi, wewe peke yako wajua.”

EZE 37:4 Removed trailing space in v~: Ndipo akaniambia, “Itabirie mifupa hii na uiambie, ‘Enyi mifupa mikavu, sikieni neno la \nd Bwana\nd*!

EZE 37:5 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo kwa hii mifupa: Nitatia pumzi\f + \fr 37:5 \ft Pumzi pia ina maana ya roho kwa Kiebrania.\f* ndani yenu, nanyi mtaishi.

EZE 37:6 Removed trailing space in v~: Nitawawekea mishipa, nami nitaifanya nyama ije juu yenu na kuwafunika kwa ngozi. Nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtakuwa hai. Ndipo mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’ ”

EZE 37:7 Removed trailing space in v~: Basi nikatabiri kama nilivyoamriwa. Wakati nilipokuwa ninatabiri, kukawa na sauti, sauti ya kugongana, nayo mifupa ikasogeleana, mfupa kwa mfupa mwenziwe.

EZE 37:8 Removed trailing space in v~: Nikatazama, mishipa na nyama vikatokea juu ya mifupa na ngozi ikaifunika, lakini hapakuwepo pumzi ndani yake.

EZE 37:9 Removed trailing space in v~: Ndipo aliponiambia, “Utabirie upepo, tabiri, mwanadamu na uuambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Njoo kutoka pande nne, ee pumzi, nawe upulizie pumzi ndani ya hawa waliouawa, ili wapate kuishi.’ ”

EZE 37:10 Removed trailing space in v~: Hivyo nikatabiri kama alivyoniamuru, nayo pumzi ikawaingia, wakawa hai na wakasimama kwa miguu yao, jeshi kubwa mno.

EZE 37:11 Removed trailing space in v~: Ndipo akaniambia: “Mwanadamu, mifupa hii ni nyumba yote ya Israeli. Nao wanasema, ‘Mifupa yetu imekauka na tumaini letu limetoweka, tumekatiliwa mbali.’

EZE 37:12 Removed trailing space in v~: Hivyo watabirie na uwaambie: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Enyi watu wangu, nitayafunua makaburi yenu na kuwatoa ndani yake, nami nitawarudisha tena katika nchi ya Israeli.

EZE 37:13 Removed trailing space in v~: Ndipo ninyi watu wangu, mtakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, nitakapoyafunua makaburi yenu na kuwatoa humo.

EZE 37:14 Removed trailing space in v~: Nitatia Roho yangu ndani yenu nanyi mtaishi, nami nitawakalisha katika nchi yenu wenyewe. Ndipo mtakapojua kwamba Mimi \nd Bwana\nd* nimenena, nami nitalitenda, asema \nd Bwana\nd*!’ ”

EZE 37:14 Removed trailing space in s1: Taifa Moja Chini Ya Mfalme Mmoja

EZE 37:15 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 37:16 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, chukua fimbo na uandike juu yake, ‘Hii ni kwa ajili ya Yuda na Waisraeli waliofungamana naye.’ Kisha chukua fimbo nyingine, uandike juu yake, ‘Fimbo ya Efraimu, ni kwa ajili ya Yosefu na nyumba yote ya Israeli wanaofungamana naye.’

EZE 37:17 Removed trailing space in v~: Ziunganishe pamoja kuwa fimbo moja ili kwamba ziwe fimbo moja katika mkono wako.

EZE 37:18 Removed trailing space in v~: “Watu wako watakapokuuliza, ‘Je, hutatuambia ni nini maana ya jambo hili?’

EZE 37:19 Removed trailing space in v~: Waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitaichukua fimbo ya Yosefu, iliyoko mikononi mwa Efraimu na ya makabila ya Israeli yanayofungamana naye na kuiunganisha na fimbo ya Yuda, nikizifanya kuwa fimbo moja, nao watakuwa wamoja katika mkono wangu.’

EZE 37:20 Removed trailing space in v~: Inua mbele ya macho yao zile fimbo ulizoziandika

EZE 37:21 Removed trailing space in v~: kisha waambie, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Nitawatoa Waisraeli katika mataifa walikokuwa wamekwenda. Nitawakusanya popote walipo na kuwarudisha katika nchi yao wenyewe.

EZE 37:22 Removed trailing space in v~: Nitawafanya kuwa taifa moja katika nchi, katika milima ya Israeli. Patakuwa na mfalme mmoja juu yao wote na kamwe hawatagawanyika tena kuwa mataifa mawili au kugawanyika katika falme mbili.

EZE 37:23 Removed trailing space in v~: Hawatajitia tena unajisi kwa sanamu zao na vinyago vyao visivyo na maana wala kwa makosa yao yoyote, kwa maana nitawaokoa kutoka dhambi zao zote zilizowarudisha nyuma, nami nitawatakasa. Wao watakuwa watu wangu, nami nitakuwa Mungu wao.

EZE 37:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Mtumishi wangu Daudi atakuwa mfalme juu yao, nao wote watakuwa na mchungaji mmoja. Watafuata sheria zangu na kuzishika amri zangu kwa uangalifu.

EZE 37:25 Removed trailing space in v~: Wataishi katika nchi niliyompa mtumishi wangu Yakobo, nchi ambamo baba zenu waliishi. Wao na watoto wao na watoto wa watoto wao wataishi humo milele, naye Daudi mtumishi wangu atakuwa mkuu wao milele.

EZE 37:26 Removed trailing space in v~: Nitafanya nao Agano la amani, litakuwa Agano la milele. Nitawafanya imara na kuongeza idadi yao, nami nitaweka mahali patakatifu pangu miongoni mwao milele.

EZE 37:27 Removed trailing space in v~: Maskani yangu yatakuwa pamoja nao, nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.

EZE 37:28 Removed trailing space in v~: Ndipo mataifa watakapojua kwamba Mimi \nd Bwana\nd* ndiye ninayeifanya Israeli kuwa takatifu, wakati mahali patakatifu pangu patakapokuwa miongoni mwao milele.’ ”

EZE 38:0 Extra space after chapter number

EZE 38:0 Removed trailing space in c: 38

EZE 38:0 Removed trailing space in s1: Unabii Dhidi Ya Gogu

EZE 38:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* likanijia kusema:

EZE 38:2 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, kaza uso wako dhidi ya Gogu, katika nchi ya Magogu, mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali, tabiri dhidi yake

EZE 38:3 Removed trailing space in v~: na useme: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ee Gogu, mimi ni kinyume nawe, mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali.

EZE 38:4 Removed trailing space in v~: Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukutia ndoana kwenye mataya yako na kukutoa nje wewe pamoja na jeshi lako lote, yaani, farasi wako, wapanda farasi wako waliojiandaa tayari kwa vita, pamoja na kundi kubwa la wajeuri wakiwa na ngao na vigao, wote wakipunga panga zao.

EZE 38:5 Removed trailing space in v~: Uajemi, Kushi\f + \fr 38:5 \ft Kushi ni Ethiopia.\f* na Putu watakuwa pamoja nao, wote wakiwa na ngao na kofia za chuma,

EZE 38:6 Removed trailing space in v~: pia Gomeri pamoja na vikosi vyake vyote, na Beth-Togarma kutoka kaskazini ya mbali pamoja na vikosi vyake vyote, mataifa mengi wakiwa pamoja nawe.

EZE 38:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Jiandae, uwe tayari, wewe na makundi yako yote ya wajeuri yaliyokusanyika pamoja nawe, nawe waamrishe.

EZE 38:8 Removed trailing space in v~: Baada ya siku nyingi utaitwa vitani. Katika miaka ijayo, utaivamia nchi ile ambayo imepona kutoka vita, ambayo watu wake walikusanywa kutoka mataifa mengi kuja katika milima ya Israeli, ambayo kwa muda mrefu ilikuwa imeachwa ukiwa. Wameletwa kutoka mataifa na sasa wote wanaishi katika hali ya salama.

EZE 38:9 Removed trailing space in v~: Wewe na vikosi vyako vyote na mataifa mengi yaliyo pamoja nawe mtapanda juu, mtawazoa kama tufani na kuifunika nchi kama wingu.

EZE 38:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika siku ile mawazo yataingia moyoni mwako nawe utapanga mipango mibaya.

EZE 38:11 Removed trailing space in v~: Utasema, “Nitapigana vita na nchi ambayo vijiji vyake havina maboma. Nitawashambulia watu wanaoishi kwa amani na wasiotarajia vita: wote wanaishi bila maboma na bila malango na makomeo.

EZE 38:12 Removed trailing space in v~: Nitateka mateka na kuchukua nyara mali za wale waliorudi kuishi katika mahame na wale watu waliokusanywa kutoka kwa mataifa, ambao sasa wana mifugo na mali nyingi, wanaoishi katikati ya nchi.”

EZE 38:13 Removed trailing space in v~: Sheba na Dedani pamoja na wafanyabiashara wa Tarshishi na vijiji vyake vyote watakuambia, “Je, umekuja kuteka mateka? Je, umekusanya makundi yako ya wajeuri ili kuchukua nyara mali, kutwaa fedha na dhahabu, kutunyangʼanya mifugo na mali na kuteka nyara nyingi zaidi?” ’

EZE 38:14 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo, mwanadamu, tabiri na umwambie Gogu: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika siku ile, watu wangu Israeli watakapokuwa wanaishi salama, Je, wewe mwenyewe hutalijua hilo?

EZE 38:15 Removed trailing space in v~: Utakuja kutoka kwako huko kaskazini ya mbali, ukiwa pamoja na mataifa mengi, wote wakiwa wamepanda farasi, kundi kubwa, jeshi kuu.

EZE 38:16 Removed trailing space in v~: Utakuja dhidi ya watu wangu Israeli kama wingu lifunikavyo nchi. Siku zijazo, ee Gogu, nitakuleta wewe dhidi ya nchi yangu, ili kwamba mataifa wapate kunijua Mimi nitakapojionyesha mtakatifu kwa kukupitia wewe mbele ya macho yao.

EZE 38:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Je, wewe si yule niliyenena juu yako katika siku za zamani kwa kupitia kwa watumishi wangu manabii wa Israeli? Wakati ule walitabiri kwa miaka mingi kwamba ningekuleta upigane nao.

EZE 38:18 Removed trailing space in v~: Hili ndilo litakalotokea katika siku ile: Gogu atakaposhambulia nchi ya Israeli, hasira yangu kali itaamka, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 38:19 Removed trailing space in v~: Katika wivu wangu na ghadhabu yangu kali ninasema kuwa wakati ule patakuwepo tetemeko kuu katika nchi ya Israeli.

EZE 38:20 Removed trailing space in v~: Samaki wa baharini, ndege wa angani, wanyama wa kondeni, kila kiumbe kitambaacho ardhini, na watu wote walio juu ya uso wa nchi watatetemeka mbele zangu. Milima itapinduka, majabali yatapasuka na kila ukuta utaanguka chini.

EZE 38:21 Removed trailing space in v~: Nitaita upanga vita dhidi ya Gogu juu ya milima yangu yote, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Upanga wa kila mtu utakuwa dhidi ya ndugu yake.

EZE 38:22 Removed trailing space in v~: Nitatekeleza hukumu juu yake kwa tauni na kwa umwagaji wa damu. Nitaifanya mvua ya mafuriko kunyesha, mvua ya mawe na moto wa kiberiti juu yake na juu ya vikosi vyake na juu ya mataifa mengi walio pamoja naye.

EZE 38:23 Removed trailing space in v~: Nami hivyo ndivyo nitakavyoonyesha ukuu wangu na utakatifu wangu, nami nitajijulisha mbele ya macho ya mataifa mengi. Ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.’

EZE 39:0 Extra space after chapter number

EZE 39:0 Removed trailing space in c: 39

EZE 39:0 Removed trailing space in s1: Majeshi Ya Gogu Yataangamizwa

EZE 39:1 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, tabiri dhidi ya Gogu useme: ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ee Gogu mimi ni kinyume nawe, mtawala mkuu wa Roshi, Mesheki na Tubali.

EZE 39:2 Removed trailing space in v~: Nitakugeuza kuelekea ulikotoka na kukuburuta. Nitakuleta kutoka kaskazini ya mbali na kukupeleka wewe dhidi ya milima ya Israeli.

EZE 39:3 Removed trailing space in v~: Kisha nitaupiga upinde wako kutoka mkono wako wa kushoto na kuifanya mishale ianguke kutoka mkono wako wa kuume.

EZE 39:4 Removed trailing space in v~: Utaanguka kwenye milima ya Israeli, wewe pamoja na vikosi vyako vyote na yale mataifa yaliyo pamoja nawe. Nitakutoa uwe chakula cha ndege wa aina zote walao nyama na cha wanyama wa mwituni.

EZE 39:5 Removed trailing space in v~: Utaanguka katika uwanja, kwa kuwa nimenena, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 39:6 Removed trailing space in v~: Nitatuma moto juu ya Magogu na kwa wale wanaoishi kwa salama huko pwani, nao watajua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*.

EZE 39:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Nitalifanya Jina langu takatifu lijulikane miongoni mwa watu wangu Israeli. Sitaliacha tena Jina langu takatifu litiwe unajisi, nayo mataifa watajua kuwa Mimi \nd Bwana\nd* ndimi Aliye Mtakatifu wa Israeli.

EZE 39:8 Removed trailing space in v~: Hili jambo linakuja! Hakika litatokea, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi. Hii ndiyo siku ile niliyosema habari zake.

EZE 39:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Ndipo wale wanaoishi katika miji ya Israeli watakapotoka na kutumia hizo silaha kuwashia moto na kuziteketeza, yaani, kigao na ngao, pinde na mishale, rungu za vita na mikuki. Kwa miaka saba watavitumia kama kuni.

EZE 39:10 Removed trailing space in v~: Hawatahitaji kukusanya kuni kutoka mashambani wala kukata kuni kutoka kwenye misitu, kwa sababu watatumia silaha kuwa kuni. Nao watawateka mateka wale waliowateka na kuchukua nyara mali za wale waliochukua mali zao nyara, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 39:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Siku ile nitampa Gogu mahali pa kuzikia katika Israeli, katika bonde la wale wasafirio upande wa mashariki kuelekea baharini. Jambo hili litazuia njia ya wasafiri kwa sababu Gogu na makundi yake yote ya wajeuri watazikwa huko. Kwa hiyo litaitwa Bonde la Hamon-Gogu.\f + \fr 39:11 \ft Hamon-Gogu maana yake Makundi ya wajeuri wa Gogu.\f*

EZE 39:12 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwa miezi saba nyumba ya Israeli itakuwa ikiwazika ili kuisafisha nchi.

EZE 39:13 Removed trailing space in v~: Watu wote wa nchi watawazika, nayo siku nitakayotukuzwa itakuwa siku ya kumbukumbu kwa ajili yao, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 39:14 Removed trailing space in v~: “ ‘Watu wataajiriwa mara kwa mara kuisafisha nchi. Baadhi yao watapita nchini kote na zaidi yao hao wengine, watawazika wale waliosalia juu ya uso wa nchi. Mwisho wa hiyo miezi saba wataanza upekuzi wao.

EZE 39:15 Removed trailing space in v~: Wakati wanapopita nchini kote na mmoja wao akaona mfupa wa mwanadamu, ataweka alama kando yake mpaka wachimba kaburi wawe wameuzika katika Bonde la Hamon-Gogu.

EZE 39:16 Removed trailing space in v~: (Pia mji uitwao Hamona\f + \fr 39:16 \ft Hamona maana yake Kundi (la wajeuri).\f* utakuwa humo.) Hivyo ndivyo watakavyoisafisha nchi.’

EZE 39:17 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ita kila aina ya ndege na wanyama wote wa mwituni, waambie: ‘Kusanyikeni mje pamoja kutoka pande zote kwa ajili ya dhabihu ninayowaandalia, dhabihu kuu katika milima ya Israeli. Huko mtakula nyama na kunywa damu.

EZE 39:18 Removed trailing space in v~: Mtakula nyama za watu mashujaa na kunywa damu za wakuu wa dunia kana kwamba ni za kondoo dume na kondoo wake, mbuzi na mafahali, wote walionona kutoka Bashani.

EZE 39:19 Removed trailing space in v~: Katika dhabihu ninayoandaa kwa ajili yenu, mtakula mafuta mpaka mkinai na kunywa damu mpaka mlewe.

EZE 39:20 Removed trailing space in v~: Kwenye meza yangu watajishibisha kwa farasi na wapanda farasi, watu mashujaa na askari wa kila aina,’ asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 39:21 Removed trailing space in v~: “Nitauonyesha utukufu wangu miongoni mwa mataifa, nayo mataifa yote wataiona adhabu nitakayotoa na mkono wangu nitakaouweka juu yao.

EZE 39:22 Removed trailing space in v~: Kuanzia siku ile na kuendelea nyumba ya Israeli itajua kuwa Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wao.

EZE 39:23 Removed trailing space in v~: Na mataifa watajua kuwa nyumba ya Israeli walikwenda utumwani kwa ajili ya dhambi yao, kwa sababu hawakuwa waaminifu kwangu. Hivyo niliwaficha uso wangu na kuwatia mikononi mwa adui zao, nao wote wakaanguka kwa upanga.

EZE 39:24 Removed trailing space in v~: Niliwatendea sawasawa na uchafu wao na makosa yao, nami nikawaficha uso wangu.

EZE 39:25 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Sasa nitamrudisha Yakobo kutoka utumwani, nami nitawahurumia watu wote wa Israeli, nami nitakuwa na wivu kwa ajili ya Jina langu takatifu.

EZE 39:26 Removed trailing space in v~: Wataisahau aibu yao na jinsi walivyoonyesha kutokuwa waaminifu kwangu mimi wakati waliishi salama katika nchi yao, bila kuwa na mtu yeyote wa kuwatia hofu.

EZE 39:27 Removed trailing space in v~: Nitakapokuwa nimewarudisha kutoka mataifa na kuwakusanya kutoka nchi za adui zao, mimi nitajionyesha kuwa mtakatifu kwa kupitia kwao machoni mwa mataifa mengi.

EZE 39:28 Removed trailing space in v~: Ndipo watakapojua kwamba Mimi ndimi \nd Bwana\nd*, Mungu wao, ingawa niliwapeleka uhamishoni miongoni mwa mataifa, nitawakusanya tena katika nchi yao wenyewe, bila kumwacha yeyote nyuma.

EZE 39:29 Removed trailing space in v~: Sitawaficha tena uso wangu, kwa maana nitamimina Roho wangu juu ya nyumba ya Israeli, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 41:0 Extra space after chapter number

EZE 41:0 Removed trailing space in c: 41

EZE 41:1 Removed trailing space in v~: Kisha yule mtu akanileta katika sehemu ya nje ya patakatifu, naye akaipima miimo; upana wake ulikuwa dhiraa sita\f + \fr 41:1 \ft Dhiraa 6 ni sawa na mita 2.7.\f* kila upande.

EZE 41:2 Removed trailing space in v~: Ingilio lilikuwa la upana wa dhiraa kumi na kuta zilizojitokeza kila upande zilikuwa na upana wa dhiraa tano. Pia akapima sehemu ya nje ya patakatifu, nayo ilikuwa na urefu wa dhiraa arobaini\f + \fr 41:2 \ft Dhiraa 40 ni sawa na mita 18.\f* na upana wa dhiraa ishirini.

EZE 41:3 Removed trailing space in v~: Kisha akaingia sehemu takatifu ndani ya Hekalu na kupima miimo ya ingilio, kila mmoja ulikuwa na upana wa dhiraa mbili. Ingilio lilikuwa na upana wa dhiraa sita, na kuta zilizotokeza kila upande zilikuwa na upana wa dhiraa saba.\f + \fr 41:3 \ft Dhiraa 7 ni sawa na mita 3.15.\f*

EZE 41:4 Removed trailing space in v~: Naye akapima urefu wa sehemu takatifu ndani, nao ulikuwa dhiraa ishirini, na upana wake ulikuwa dhiraa ishirini hadi mwisho wa sehemu ya nje ya sehemu takatifu. Akaniambia, “Hapa ndipo Patakatifu pa Patakatifu.”

EZE 41:5 Removed trailing space in v~: Kisha akapima ukuta wa Hekalu, nao ulikuwa na unene wa dhiraa sita, na kila chumba cha pembeni kuzunguka Hekalu kilikuwa na upana wa dhiraa nne.

EZE 41:6 Removed trailing space in v~: Vyumba vya pembeni vilikuwa na ghorofa tatu, kimoja juu ya kingine, kila ghorofa ilikuwa na vyumba thelathini. Kulikuwa na boriti katika ukuta wote wa Hekalu ili kuimarisha vyumba vya pembeni, kwa hiyo boriti hizo hazikushikamanishwa kwenye ukuta wa Hekalu.

EZE 41:7 Removed trailing space in v~: Vyumba vya pembeni vilivyozunguka Hekalu vilizidi kupanuka kulingana na sakafu zilivyokwenda juu. Ujenzi uliozunguka Hekalu ulijengwa kukwea juu, kwa hiyo vyumba vilipanuka kwa kadiri ya kila kimoja kilivyokwenda juu. Ngazi za kupandia zilianzia sakafu ya chini hadi sakafu ya juu kabisa kwa kupitia sakafu ya kati.

EZE 41:8 Removed trailing space in v~: Nikaona pia kuwa Hekalu lilikuwa na kitako kilichoinuliwa pande zote, huu ulikuwa ndio msingi wa vile vyumba vya pembeni ambao ulikuwa na urefu wa ule ufito mmoja wa kupimia, yaani, dhiraa ndefu sita.

EZE 41:9 Removed trailing space in v~: Ukuta wa nje wa vyumba vya pembeni ulikuwa na unene wa dhiraa tano. Eneo la wazi katikati ya vyumba vya pembeni vya Hekalu

EZE 41:10 Removed trailing space in v~: na vyumba vya makuhani lilikuwa na upana wa dhiraa ishirini kuzunguka Hekalu pande zote.

EZE 41:11 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na maingilio kwenye vyumba vya pembeni kutokea eneo lililo wazi, moja upande wa kaskazini na lingine upande wa kusini, nao msingi uliounganisha lile eneo la wazi ulikuwa na upana wa dhiraa tano ukilizunguka lote.

EZE 41:12 Removed trailing space in v~: Jengo lililoelekeana na ua wa Hekalu upande wa magharibi lilikuwa na upana wa dhiraa sabini. Ukuta wa jengo hilo ulikuwa na unene wa dhiraa tano, kulizunguka lote, urefu ulikuwa wa dhiraa tisini.\f + \fr 41:12 \ft Dhiraa 90 ni sawa na mita 40.5.\f*

EZE 41:13 Removed trailing space in v~: Kisha akapima Hekalu, lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja na ua wa Hekalu na jengo pamoja na kuta zake vilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja pia.

EZE 41:14 Removed trailing space in v~: Upana wa ua wa Hekalu upande wa mashariki, pamoja na upande wa mbele wa Hekalu ulikuwa dhiraa mia moja.

EZE 41:15 Removed trailing space in v~: Kisha akapima urefu wa jengo linaloelekeana na ua upande wa nyuma wa Hekalu, pamoja na vyumba vyake kila upande, ilikuwa dhiraa mia moja.

EZE 41:15 Removed trailing space in p~: Sehemu takatifu ya nje, sehemu takatifu ya ndani, pamoja na baraza inayoelekeana na ukumbi,

EZE 41:16 Removed trailing space in v~: pamoja na vizingiti, madirisha membamba na vyumba vyote vitatu, kila kimoja pamoja na kizingiti vilifunikwa kwa mbao. Sakafu, ukuta mpaka kwenye madirisha na madirisha yenyewe vilifunikwa kwa mbao.

EZE 41:17 Removed trailing space in v~: Katika nafasi iliyokuwa juu ya upande wa nje wa ingilio la sehemu takatifu ya ndani, na katika kuta zilizozunguka sehemu takatifu ya ndani na sehemu takatifu ya nje, kwa nafasi zilizo sawa,

EZE 41:18 Removed trailing space in v~: kulinakshiwa makerubi na miti ya mitende. Miti ya mitende ilikuwa kati ya kerubi na kerubi. Kila kerubi alikuwa na nyuso mbili:

EZE 41:19 Removed trailing space in v~: upande mmoja uso wa mwanadamu kuelekea mti wa mtende na upande mwingine uso wa simba ukielekea mti mwingine wa mtende. Ilinakshiwa kuzunguka Hekalu lote.

EZE 41:20 Removed trailing space in v~: Kuanzia sakafu mpaka eneo lililo juu ya ingilio, palinakshiwa makerubi na miti ya mitende pamoja na kwenye ukuta wa nje wa patakatifu.

EZE 41:21 Removed trailing space in v~: Mahali patakatifu pa nje palikuwa na miimo ya mlango uliokuwa mraba na ule uliokuwa katika Patakatifu Pa Patakatifu ulikuwa unafanana na huo mwingine.

EZE 41:22 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na madhabahu ya mbao kimo chake dhiraa tatu na ilikuwa dhiraa mbili mraba pande zote, tako lake na pande zake zilikuwa za mbao. Yule mtu akaniambia, “Hii ni meza ambayo iko mbele za \nd Bwana\nd*.”

EZE 41:23 Removed trailing space in v~: Mahali patakatifu pa nje na Patakatifu Pa Patakatifu zilikuwa na milango miwili.

EZE 41:24 Removed trailing space in v~: Kila mlango ulikuwa na vipande viwili, vipande viwili vilivyoshikwa na bawaba vyenye kufunguka kwa kila mlango.

EZE 41:25 Removed trailing space in v~: Juu ya hiyo milango ya Patakatifu palinakshiwa makerubi na miti ya mitende kama yale yaliyonakshiwa kwenye kuta, na kulikuwa na ubao ulioningʼinia mbele ya baraza kwa nje.

EZE 41:26 Removed trailing space in v~: Katika kuta za pembeni za ukumbi kulikuwa na madirisha membamba yaliyonakshiwa miti ya mitende kila upande. Vyumba vya pembeni vya Hekalu pia vilikuwa vimefunikwa kwa mbao.

EZE 42:0 Extra space after chapter number

EZE 42:0 Removed trailing space in c: 42

EZE 42:0 Removed trailing space in s1: Vyumba Vya Makuhani

EZE 42:1 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mtu akaniongoza kuelekea kaskazini mpaka kwenye ua wa nje na kunileta mpaka kwenye vyumba vinavyoelekeana na ua wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje upande wa kaskazini.

EZE 42:2 Removed trailing space in v~: Jengo ambalo mlango wake ulielekea kaskazini lilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja na upana wa dhiraa hamsini.

EZE 42:3 Removed trailing space in v~: Mbele ya zile dhiraa ishirini za ule ua wa ndani unaoelekeana na ile njia ya ua wa nje, kuliinuka vyumba virefu kimoja baada ya kingine vya ghorofa tatu.

EZE 42:4 Removed trailing space in v~: Mbele ya hivi vyumba kulikuwa na njia ya ndani yenye upana wa dhiraa kumi na urefu wa dhiraa mia moja. Milango yake ilikuwa upande wa kaskazini.

EZE 42:5 Removed trailing space in v~: Basi vyumba vya juu vilikuwa vyembamba zaidi, kwa kuwa ujia\f + \fr 42:5 \fq Ujia \ft ina maana ya njia ndani ya nyumba.\f* ulichukua nafasi zaidi ndani yake kuliko katika vyumba vya sakafu ya chini na vya katikati ya jengo.

EZE 42:6 Removed trailing space in v~: Vyumba katika ghorofa ya tatu havikuwa na nguzo, kama kumbi zilivyokuwa nazo, kwa hiyo eneo la sakafu ya vyumba vya juu lilikuwa ni dogo kuliko la sakafu ya chini na ya kati.

EZE 42:7 Removed trailing space in v~: Kulikuwa na ukuta wa nje uliokuwa sambamba na vile vyumba na ukumbi wa nje, ulitokeza urefu wa dhiraa hamsini.

EZE 42:8 Removed trailing space in v~: Wakati safu ya vyumba katika ua wa nje vilikuwa na urefu wa dhiraa hamsini, vile vyumba vilivyokuwa karibu zaidi na Hekalu vilikuwa na urefu wa dhiraa mia moja.

EZE 42:9 Removed trailing space in v~: Vyumba vya chini vilikuwa na ingilio upande wa mashariki unapoingia kutoka ukumbi wa nje.

EZE 42:10 Removed trailing space in v~: Upande wa kusini kufuata urefu wa ukuta wa ukumbi wa nje, unaopakana na ukumbi wa Hekalu na kuelekeana na ukuta wa nje, kulikuwa na vyumba

EZE 42:11 Removed trailing space in v~: vyenye ujia unayopita mbele yake. Hivi vilifanana na vile vyumba vya upande wa kaskazini, vilikuwa na urefu na upana ulio sawa, mahali pa kutokea na vipimo vyake vilikuwa sawa. Kama ilivyokuwa milango ya upande wa kaskazini,

EZE 42:12 Removed trailing space in v~: ndivyo ilivyokuwa milango ya vyumba vya upande wa kusini. Kulikuwa na ingilio kuanzia mwanzo wa njia ambao ulikuwa sambamba na ukuta wa pili uliokuwa upande wa mashariki, ambako ndiko kwa kuingia vyumbani.

EZE 42:13 Removed trailing space in v~: Kisha akaniambia, “Vyumba vya upande wa kaskazini na vya upande wa kusini ambavyo vinaelekeana na ukumbi wa Hekalu ni vyumba vya makuhani, mahali ambapo wale makuhani ambao humkaribia \nd Bwana\nd* watakula zile sadaka takatifu sana. Huko ndiko watakakoweka zile sadaka takatifu sana, yaani, sadaka za nafaka, sadaka za dhambi na sadaka za hatia, kwa kuwa mahali ni patakatifu.

EZE 42:14 Removed trailing space in v~: Mara makuhani waingiapo mahali patakatifu, hawaruhusiwi kwenda kwenye ukumbi wa nje mpaka wayaache mavazi ambayo walivaa wakiwa wanahudumu, kwa kuwa hayo mavazi ni matakatifu. Inawapasa kuvaa mavazi mengine kabla hawajakaribia eneo lililo wazi kwa ajili ya watu.”

EZE 42:15 Removed trailing space in v~: Alipomaliza kupima vile vilivyokuwa katika eneo la ndani la Hekalu, akanitoa nje kupitia lango la upande wa mashariki na kupima eneo lote linalozunguka:

EZE 42:16 Removed trailing space in v~: Akapima upande wa mashariki kwa ule ufito wa kupimia, nao ulikuwa dhiraa 500\f + \fr 42:16 \ft Dhiraa 500 ni sawa na mita 225.\f*

EZE 42:17 Removed trailing space in v~: Akapima upande wa kaskazini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.

EZE 42:18 Removed trailing space in v~: Tena akapima upande wa kusini, nao ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.

EZE 42:19 Removed trailing space in v~: Kisha akageukia upande wa magharibi na kuupima, ulikuwa dhiraa 500 kwa ufito ule wa kupimia.

EZE 42:20 Removed trailing space in v~: Hivyo akapima eneo katika pande zote nne. Lilikuwa na ukuta kulizunguka wenye urefu wa dhiraa 500 na upana wa dhiraa 500, uliotenganisha mahali Patakatifu na eneo la watu wote.

EZE 43:0 Extra space after chapter number

EZE 43:0 Removed trailing space in c: 43

EZE 43:0 Removed trailing space in s1: Utukufu Warudi Hekaluni

EZE 43:1 Removed trailing space in v~: Kisha yule mtu akanileta kwenye lango linaloelekea upande wa mashariki,

EZE 43:2 Removed trailing space in v~: nami nikaona utukufu wa Mungu wa Israeli ukija kutoka upande wa mashariki. Sauti yake ilikuwa kama ya ngurumo ya maji yaendayo kasi, nayo nchi ikangʼaa kwa utukufu wake.

EZE 43:3 Removed trailing space in v~: Maono niliyoyaona yalikuwa kama maono yale niliyokuwa nimeyaona wakati Mungu alipokuja kuangamiza mji na kama maono niliyokuwa nimeyaona kando ya Mto wa Kebari, nami nikaanguka kifudifudi.

EZE 43:4 Removed trailing space in v~: Utukufu wa \nd Bwana\nd* ukaingia hekaluni kwa kupitia lango linaloelekea upande wa mashariki.

EZE 43:5 Removed trailing space in v~: Kisha Roho akanichukua na kunileta katika ule ua wa ndani, nao utukufu wa \nd Bwana\nd* ulilijaza Hekalu.

EZE 43:6 Removed trailing space in v~: Wakati yule mtu akiwa amesimama kando yangu, nilisikia mtu mmoja akisema nami kutoka ndani ya Hekalu.

EZE 43:7 Removed trailing space in v~: Akasema, “Mwanadamu, hapa ni mahali pa kiti changu cha enzi na mahali pa kuweka nyayo za miguu yangu. Hapa ndipo nitakapoishi miongoni mwa Waisraeli milele. Kamwe nyumba ya Israeli hawatalinajisi tena Jina langu takatifu, yaani, wao wala wafalme wao, kwa ukahaba wao na kwa sanamu zao zisizokuwa na uhai za wafalme wao katika mahali pao pa juu pa kuabudia miungu.

EZE 43:8 Removed trailing space in v~: Walipoweka kizingiti chao karibu na kizingiti changu na miimo yao ya milango karibu na miimo yangu, pakiwa na ukuta tu kati yangu na wao, walilinajisi Jina langu takatifu kwa matendo yao ya machukizo. Kwa sababu hiyo niliwaangamiza kwa hasira yangu.

EZE 43:9 Removed trailing space in v~: Basi sasa na waweke mbali nami ukahaba wao na sanamu za wafalme wao zisizo na uhai, nami nitakaa miongoni mwao milele.

EZE 43:10 Removed trailing space in v~: “Mwanadamu, elezea hilo Hekalu kwa watu wa Israeli, ili wapate kuona aibu kwa ajili ya dhambi zao. Wao na wapime hicho kielelezo.

EZE 43:11 Removed trailing space in v~: Wakishaona aibu kwa ajili ya yale yote waliyotenda, wafahamishe kielelezo cha hilo Hekalu, yaani mpangilio wake, maingilio yake ya kutoka na kuingia, kielelezo chake chote, na masharti yake yote na sheria zake zote. Yaandike haya mbele yao ili wapate kuwa waaminifu kwa hicho kielelezo chake na kufuata masharti yake yote.

EZE 43:12 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo sheria ya Hekalu: Eneo lote linalozunguka Hekalu juu ya mlima litakuwa takatifu kuliko yote. Hii ndiyo sheria ya Hekalu.

EZE 43:12 Removed trailing space in s1: Madhabahu

EZE 43:13 Removed trailing space in v~: “Hivi ndivyo vipimo vya madhabahu kwa dhiraa ndefu, yaani, dhiraa moja na nyanda nne:\f + \fr 43:13 \ft Dhiraa 1 na nyanda 4 ni sawa na sentimita 53.\f* Tako lake liwe na kina cha hiyo dhiraa moja na upana wa hiyo dhiraa moja, ikiwa na ukingo wa shibiri moja\f + \fr 43:13 \ft Shibiri 1 ni sawa na sentimita 22.5.\f* kuizunguka pembeni. Hiki kitakuwa ndicho kimo cha madhabahu:

EZE 43:14 Removed trailing space in v~: Kimo cha msingi kuanzia usawa wa ardhi mpaka kwenye mfereji sehemu ya chini kimo chake ni dhiraa mbili na upana wake ni dhiraa moja na kuanzia kwenye ukingo mdogo hadi kwenye ukingo mpana kimo chake ni dhiraa nne na upana wake ni dhiraa moja.

EZE 43:15 Removed trailing space in v~: Pale pawashwapo moto madhabahuni kimo chake kitakuwa dhiraa nne, na pembe nne zinazoelekeza juu kutoka pale pawashwapo moto.

EZE 43:16 Removed trailing space in v~: Pale pawashwapo moto pa madhabahu ni mraba, urefu wake ni dhiraa kumi na mbili\f + \fr 43:16 \ft Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4.\f* na upana wa dhiraa kumi na mbili.

EZE 43:17 Removed trailing space in v~: Pia sehemu ya juu ni mraba, urefu wake dhiraa kumi na nne na upana wa dhiraa kumi na nne, ikiwa na ukingo wa nusu dhiraa na mfereji kuizunguka madhabahu. Ngazi za kupandia madhabahuni zitaelekea upande wa mashariki.”

EZE 43:18 Removed trailing space in v~: Kisha akaniambia, “Mwanadamu, hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Haya ndiyo yatakayokuwa masharti ya kutoa dhabihu za kuteketezwa na kunyunyiza damu juu ya madhabahu itakapokuwa imejengwa.

EZE 43:19 Removed trailing space in v~: Utatoa fahali mchanga kuwa sadaka ya dhambi kwa makuhani, ambao ni Walawi, wa jamaa ya Sadoki, ndio watakaonikaribia kuhudumu mbele zangu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 43:20 Removed trailing space in v~: Itakupasa kuchukua baadhi ya hiyo damu ya mnyama huyo na kuiweka juu ya hizo pembe nne za madhabahu na juu ya ncha zake nne za sehemu ya juu kuzunguka ukingo wote, ili kuitakasa madhabahu na kufanya upatanisho kwa ajili yake.

EZE 43:21 Removed trailing space in v~: Itakupasa kumchukua huyo fahali mchanga kwa ajili ya sadaka ya dhambi na kumteketeza mahali palipoagizwa katika eneo la Hekalu nje ya mahali Patakatifu.

EZE 43:22 Removed trailing space in v~: “Siku ya pili yake utamtoa beberu asiye na dosari kwa ajili ya sadaka ya dhambi, nayo madhabahu itatakaswa kama ilivyotakaswa kwa yule fahali.

EZE 43:23 Removed trailing space in v~: Utakapokuwa umemaliza kazi ya kuitakasa, utamtoa fahali mchanga pamoja na kondoo dume toka kwenye kundi, wote wawe hawana dosari.

EZE 43:24 Removed trailing space in v~: Utawatoa mbele za \nd Bwana\nd*, nao makuhani watanyunyizia chumvi juu yao na kuwatoa kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd*.

EZE 43:25 Removed trailing space in v~: “Kwa siku saba itakupasa kutoa beberu kila siku kwa ajili ya sadaka ya dhambi, pia itakupasa kutoa fahali mchanga na kondoo dume kutoka zizini, wote wawe hawana dosari.

EZE 43:26 Removed trailing space in v~: Kwa siku saba itawapasa kufanya upatanisho kwa ajili ya madhabahu na kuitakasa na hivyo ndivyo watakavyoiweka wakfu.

EZE 43:27 Removed trailing space in v~: Mwishoni mwa hizi siku saba, kuanzia siku ya nane na kuendelea, itawapasa makuhani kutoa sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka za amani juu ya madhabahu. Kisha nitawakubali ninyi, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.”

EZE 44:0 Extra space after chapter number

EZE 44:0 Removed trailing space in c: 44

EZE 44:0 Removed trailing space in s1: Mkuu, Walawi, Makuhani

EZE 44:1 Removed trailing space in v~: Ndipo yule mtu akanirudisha mpaka kwenye lango la nje la mahali Patakatifu, lile linaloelekea upande wa mashariki, nalo lilikuwa limefungwa.

EZE 44:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Lango hili litabaki limefungwa. Haliruhusiwi kufunguliwa, wala hakuna mtu yeyote anayeruhusiwa kuingilia kwenye lango hili. Litabaki limefungwa kwa sababu \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, ameingia kwa kupitia lango hili.

EZE 44:3 Removed trailing space in v~: Yeye aliye mkuu peke yake ndiye anayeweza kukaa penye njia ya hilo lango na kula chakula mbele za \nd Bwana\nd*. Itampasa aingie kwa njia hiyo ya lango la ukumbini na kutokea njia iyo hiyo.”

EZE 44:4 Removed trailing space in v~: Kisha yule mtu akanileta kwa njia ya lango la kaskazini mpaka mbele ya Hekalu. Nikatazama nami nikauona utukufu wa \nd Bwana\nd* ukilijaza Hekalu la \nd Bwana\nd*, nami nikaanguka kifudifudi.

EZE 44:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Mwanadamu, angalia kwa uangalifu, usikilize kwa bidii na uzingatie kila kitu ninachokuambia kuhusu masharti yote yanayohusu Hekalu la \nd Bwana\nd*. Uwe mwangalifu kuhusu wale wanaoruhusiwa hekaluni na wale wasioruhusiwa kuingia mahali patakatifu.

EZE 44:6 Removed trailing space in v~: Iambie nyumba ya kuasi ya Israeli, ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Matendo yenu ya machukizo yatosha, ee nyumba ya Israeli!

EZE 44:7 Removed trailing space in v~: Zaidi ya matendo yenu yote ya machukizo, mmewaleta wageni wasiotahiriwa mioyo na miili katika patakatifu pangu, mkilinajisi Hekalu langu, huku mkinitolea chakula, mafuta ya wanyama na damu, nanyi mmevunja Agano langu.

EZE 44:8 Removed trailing space in v~: Badala ya kutimiza wajibu wenu kuhusiana na vitu vyangu vitakatifu, mmeweka watu wengine kuwa viongozi katika patakatifu pangu.

EZE 44:9 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Hakuna mgeni asiyetahiriwa moyo na mwilini anayeruhusiwa kuingia patakatifu pangu, wala hata wageni wanaoishi miongoni mwa Waisraeli.

EZE 44:10 Removed trailing space in v~: “ ‘Walawi walioniacha wakati Waisraeli walipopotoka wakatoka kwangu na kutangatanga kwa kufuata sanamu zao, watachukua adhabu ya dhambi zao.

EZE 44:11 Removed trailing space in v~: Wanaweza wakatumika katika mahali patakatifu pangu, wakiwa na uangalizi wa malango ya Hekalu, nao watachinja sadaka za kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya watu na kusimama mbele ya watu ili kuwahudumia.

EZE 44:12 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu waliwatumikia watu mbele ya sanamu zao na kuifanya nyumba ya Israeli ianguke kwenye dhambi, kwa hiyo nimeapa kwa mkono ulioinuliwa kwamba ni lazima wachukue matokeo ya dhambi yao, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 44:13 Removed trailing space in v~: Hawaruhusiwi kukaribia ili kunitumikia kama makuhani wala kukaribia chochote changu kilicho kitakatifu au sadaka iliyo takatifu kupita zote, bali watachukua aibu ya matendo yao ya kuchukiza.

EZE 44:14 Removed trailing space in v~: Lakini nitawaweka katika uangalizi wa Hekalu na kazi zote zile zinazotakiwa kufanyika ndani yake.

EZE 44:15 Removed trailing space in v~: “ ‘Lakini makuhani, ambao ni Walawi na wazao wa Sadoki, ambao walitimiza wajibu wao kwa uaminifu katika patakatifu pangu wakati Waisraeli walipopotoka, watakaribia ili kutumika mbele zangu. Itawapasa wasimame mbele zangu ili kutoa dhabihu za mafuta ya wanyama na damu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 44:16 Removed trailing space in v~: Wao peke yao ndio wenye ruhusa ya kuingia mahali patakatifu pangu. Wao peke yao ndio watakaokaribia meza yangu ili kuhudumu mbele zangu na kufanya utumishi wangu.

EZE 44:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Watakapoingia kwenye malango ya ukumbi wa ndani, watavaa nguo za kitani safi, hawaruhusiwi kamwe kuvaa mavazi ya sufu wakati wanapokuwa wakihudumu kwenye malango ya ukumbi wa ndani wala ndani ya Hekalu.

EZE 44:18 Removed trailing space in v~: Watavaa vilemba vya kitani safi vichwani mwao na nguo za ndani za kitani safi viunoni mwao. Hawatavaa chochote kitakachowafanya kutoa jasho.

EZE 44:19 Removed trailing space in v~: Watakapotoka ili kuingia katika ukumbi wa nje mahali watu walipo, watavua nguo walizokuwa wakihudumu nazo na wataziacha katika vyumba vitakatifu nao watavaa nguo nyingine, ili kwamba wasije wakaambukiza watu utakatifu kwa njia ya mavazi yao.

EZE 44:20 Removed trailing space in v~: “ ‘Hawatanyoa nywele za vichwa vyao wala kuziacha ziwe ndefu, bali watazipunguza.

EZE 44:21 Removed trailing space in v~: Kuhani yeyote asinywe mvinyo aingiapo katika ukumbi wa ndani.

EZE 44:22 Removed trailing space in v~: Wasioe wanawake wajane wala walioachika, inawapasa kuoa wanawake bikira wenye heshima wa Israeli au wajane wa makuhani.

EZE 44:23 Removed trailing space in v~: Watawafundisha watu wangu tofauti kati ya vitu vitakatifu na vitu vya kawaida na kuwaonyesha jinsi ya kupambanua kati ya vitu najisi na vitu safi.

EZE 44:24 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika magombano yoyote, makuhani watatumika kama mahakimu na kuamua hilo jambo kufuatana na sheria zangu. Watazishika sheria zangu na maagizo yangu katika sikukuu zangu zote zilizoamriwa, nao watatakasa Sabato zangu.

EZE 44:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Kuhani asijitie unajisi kwa kukaribia maiti, lakini, kama mtu aliyekufa alikuwa baba yake au mama yake, mwana au binti yake, ndugu yake au dada ambaye hajaolewa, basi aweza kujitia unajisi kwa hao.

EZE 44:26 Removed trailing space in v~: Baada ya kujitakasa, atakaa hali hiyo kwa muda wa siku saba.

EZE 44:27 Removed trailing space in v~: Siku atakapoingia katika ukumbi wa ndani wa mahali patakatifu ili kuhudumu, atatoa sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 44:28 Removed trailing space in v~: “ ‘Mimi nitakuwa ndio urithi pekee walio nao makuhani katika Israeli. Msiwape wao milki, mimi nitakuwa milki yao.

EZE 44:29 Removed trailing space in v~: Wao watakula sadaka za nafaka, sadaka za dhambi na sadaka za hatia na kila kitu kitakachotolewa kwa \nd Bwana\nd* katika Israeli kitakuwa chao.

EZE 44:30 Removed trailing space in v~: Yote yaliyo bora ya malimbuko ya vitu vyote na matoleo yenu maalum vitakuwa vya makuhani. Inawapasa kuwapa malimbuko ya kwanza ya unga wenu ili kwamba baraka ipate kuwa katika nyumba zenu.

EZE 44:31 Removed trailing space in v~: Makuhani hawaruhusiwi kula chochote, ikiwa ni ndege au mnyama, aliyekutwa akiwa amekufa au aliyeraruliwa na wanyama pori.

EZE 45:0 Extra space after chapter number

EZE 45:0 Removed trailing space in c: 45

EZE 45:0 Removed trailing space in s1: Mgawanyo Wa Nchi

EZE 45:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Mtakapogawa nchi kuwa urithi, mtaitoa sehemu ya nchi kwa \nd Bwana\nd* kuwa eneo takatifu, urefu wake dhiraa 25,000,\f + \fr 45:1 \ft Dhiraa 25,000 ni sawa na kilomita 11.25.\f* upana wake dhiraa 20,000\f + \fr 45:1 \ft Dhiraa 20,000 ni sawa na kilomita 9.\f* eneo hili lote litakuwa takatifu.

EZE 45:2 Removed trailing space in v~: Katika hiyo, itakuwepo sehemu mraba ambayo ni mahali patakatifu kila upande dhiraa 500 ikiwa imezungukwa na eneo la wazi lenye upana wa dhiraa hamsini.

EZE 45:3 Removed trailing space in v~: Katika eneo takatifu, pima sehemu yenye urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000.\f + \fr 45:3 \ft Dhiraa 10,000 ni sawa na kilomita 4.5.\f* Ndani ya hilo eneo kutakuwa mahali patakatifu, Patakatifu pa Patakatifu.

EZE 45:4 Removed trailing space in v~: Itakuwa sehemu takatifu ya nchi kwa ajili ya makuhani, wale wanaohudumu ndani ya mahali patakatifu na ambao hukaribia ili kuhudumu mbele za \nd Bwana\nd*. Patakuwa mahali pa nyumba zao pamoja na sehemu kwa ajili ya mahali patakatifu.

EZE 45:5 Removed trailing space in v~: Eneo la urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000 litakuwa la Walawi wale wanaotumika hekaluni, kama milki yao kwa ajili ya miji ya kuishi.

EZE 45:6 Removed trailing space in v~: “ ‘Utatoa mji kama mali yao wenye upana wa dhiraa 5,000\f + \fr 45:6 \ft Dhiraa 5,000 ni sawa na kilomita 2.25.\f* na urefu wa dhiraa 25,000, karibu na sehemu takatifu, itakuwa mali ya nyumba yote ya Israeli.

EZE 45:7 Removed trailing space in v~: “ ‘Mkuu anayetawala atakuwa na lile eneo linalopakana na lile eneo lililowekwa wakfu upande huu na upande huu na eneo la mji. Eneo la mji litaenea upande wa magharibi kuanzia upande wa magharibi na upande wa mashariki kuanzia upande wa mashariki, likiendelea kwa urefu kutoka magharibi hadi mpaka wa mashariki sambamba na mojawapo ya sehemu za makabila.

EZE 45:8 Removed trailing space in v~: Nchi hii itakuwa milki yake katika Israeli. Nao wakuu wangu hawataonea tena watu wangu bali watairuhusu nyumba ya Israeli kuimiliki nchi kulingana na makabila yao.

EZE 45:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Yatosha, enyi wakuu wa Israeli! Acheni mbali ukatili wenu na uonevu wenu mkafanye lile lililo haki na sawa. Acheni kuwatoza watu wangu isivyo haki, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 45:10 Removed trailing space in v~: Tumieni mizani sahihi na vipimo sahihi vya efa\f + \fr 45:10 \ft Efa ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vikavu ambacho ni sawa na omeri 10; efa 1 ni sawa na kilo 22.\f* na bathi.\f + \fr 45:10 \ft Bathi ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vya humiminika ambacho ni sawa na 1/10 ya homeri; homeri 1 ni bathi 10 au efa 10.\f*

EZE 45:11 Removed trailing space in v~: Efa na bathi viwe sawa, bathi iwe sehemu ya kumi ya homeri na efa iwe sehemu ya kumi ya homeri, homeri itakuwa ndicho kiwango cha kukubalika kwa vyote viwili.

EZE 45:12 Removed trailing space in v~: Shekeli moja itakuwa gera ishirini.\f + \fr 45:12 \ft Gera 20 ni sawa na shekeli 1.\f* Shekeli ishirini, jumlisha na shekeli ishirini na tano, jumlisha na shekeli kumi na tano zitakuwa mina moja.\f + \fr 45:12 \ft Mina 1 hapa ni sawa na shekeli 60; mina ya kawaida ilikuwa sawa na shekeli 50.\f*

EZE 45:12 Removed trailing space in s1: Sadaka Na Siku Takatifu

EZE 45:12 Removed trailing space in r: (Kutoka 12:1-20; Walawi 23:33-43)

EZE 45:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo toleo maalum mtakalotoa: moja ya sita ya efa kutoka kila homeri ya ngano na moja ya sita ya efa kutoka kila homeri ya shayiri.

EZE 45:14 Removed trailing space in v~: Sehemu ya mafuta iliyoamriwa, yaliyopimwa kwa bathi, ni sehemu ya kumi ya bathi kutoka kila kori moja\f + \fr 45:14 \ft Kori 1 ni sawa na bathi 10 au homeri 1.\f* (ambayo ina bathi kumi au homeri moja.)

EZE 45:15 Removed trailing space in v~: Pia kondoo mmoja atachukuliwa kutoka kwenye kila kundi la kondoo mia mbili kutoka kwenye malisho yaliyonyeshewa vizuri ya Israeli. Hivi vitatumika kwa ajili ya sadaka ya nafaka, sadaka ya kuteketezwa na sadaka za amani ili kufanya upatanisho kwa ajili ya watu, asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 45:16 Removed trailing space in v~: Watu wote wa nchi wataungana pamoja na mkuu anayetawala Israeli ili kutoa hii sadaka maalum.

EZE 45:17 Removed trailing space in v~: Huu utakuwa ndio wajibu wa mkuu anayetawala kutoa sadaka ya kuteketezwa, sadaka ya nafaka na sadaka ya kinywaji kwenye sikukuu, Mwezi Mwandamo na Sabato, kwenye sikukuu zote zilizoamriwa za nyumba ya Israeli. Atatoa sadaka za dhambi, sadaka za nafaka, sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani ili kufanya upatanisho kwa ajili ya nyumba ya Israeli.

EZE 45:18 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Katika mwezi wa kwanza, siku ya kwanza ya huo mwezi utamchukua fahali mchanga asiye na dosari na kutakasa mahali patakatifu.

EZE 45:19 Removed trailing space in v~: Kuhani itampasa achukue sehemu ya hiyo damu ya sadaka ya dhambi na kuipaka kwenye miimo ya Hekalu, kwenye pembe nne za juu za ukingo wa hayo madhabahu na juu ya miimo ya lango la ukumbi wa ndani.

EZE 45:20 Removed trailing space in v~: Itakupasa kufanya vivyo hivyo katika siku ya saba ya mwezi huo kwa ajili ya mtu yeyote ambaye hutenda dhambi bila kukusudia au bila kujua, hivyo utafanya upatanisho kwa ajili ya Hekalu.

EZE 45:21 Removed trailing space in v~: “ ‘Katika mwezi wa kwanza siku ya kumi na nne utaadhimisha Pasaka. Sikukuu itaendelea kwa siku saba, wakati huo wa hizo siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu.

EZE 45:22 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo mkuu anayetawala atatoa fahali kuwa sadaka ya dhambi kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya watu wote wa nchi.

EZE 45:23 Removed trailing space in v~: Kila siku wakati wa hizo siku saba za sikukuu atatoa mafahali saba na kondoo dume saba wasio na dosari kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd* na beberu kwa ajili ya sadaka ya dhambi.

EZE 45:24 Removed trailing space in v~: Pia atatoa sadaka ya nafaka efa moja kwa kila fahali na efa moja kwa kila kondoo dume, pamoja na hini moja\f + \fr 45:24 \ft Hini ni kipimo cha kupimia vitu vya humiminika chenye ujazo wa 1/6 ya bathi, na ni sawa na lita 4.\f* ya mafuta kwa kila efa.

EZE 45:25 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati wa hizo siku saba za sikukuu, ambayo huanza katika mwezi wa saba kwenye siku ya kumi na tano, mkuu anayetawala atatoa mahitaji yale yale kwa ajili ya sadaka za dhambi, sadaka za kuteketezwa, sadaka za nafaka na mafuta.

EZE 46:0 Extra space after chapter number

EZE 46:0 Removed trailing space in c: 46

EZE 46:0 Removed trailing space in s1: Sheria Nyingine Mbalimbali

EZE 46:1 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Lango la ukumbi wa ndani linaloelekea upande wa mashariki litakuwa linafungwa kwa siku sita za juma, ila siku ya Sabato na siku ya Mwezi Mwandamo litafunguliwa.

EZE 46:2 Removed trailing space in v~: Mkuu anayetawala ataingia kupitia baraza ya njia ya lango la ukumbi na kusimama karibu na nguzo ya lango. Makuhani watatoa sadaka za mkuu anayetawala za kuteketezwa na sadaka za amani. Mkuu anayetawala atasujudu kwenye kizingiti cha njia ya lango, kisha atatoka nje, lakini lango halitafungwa mpaka jioni.

EZE 46:3 Removed trailing space in v~: Siku za Sabato na za Mwezi mwandamo watu wote wa nchi wataabudu mbele za \nd Bwana\nd* penye lile ingilio la ile njia.

EZE 46:4 Removed trailing space in v~: Sadaka ya kuteketezwa aletazo mkuu anayetawala kwa \nd Bwana\nd* siku ya Sabato itakuwa ni wana-kondoo sita na kondoo dume mmoja, wote wasiwe na dosari.

EZE 46:5 Removed trailing space in v~: Sadaka ya nafaka inayotolewa pamoja na huyo kondoo dume itakuwa efa moja na sadaka ya nafaka inayotolewa na hao wana-kondoo itakuwa kiasi apendacho mtu pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.

EZE 46:6 Removed trailing space in v~: Siku ya mwezi mwandamo atatoa fahali mchanga, wana-kondoo sita na kondoo dume, wote wasiwe na dosari.

EZE 46:7 Removed trailing space in v~: Atatoa kuwa sadaka ya nafaka efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja na kondoo dume mmoja na pamoja na wana-kondoo kama atakavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.

EZE 46:8 Removed trailing space in v~: Wakati mkuu anayetawala aingiapo, atapitia kwenye baraza ya njia ya lango, naye atatoka nje kwa njia hiyo hiyo.

EZE 46:9 Removed trailing space in v~: “ ‘Wakati watu wa nchi wanapokuja mbele za \nd Bwana\nd* katika sikukuu zilizoamriwa, yeyote aingiaye kwa lango la kaskazini kuabudu atatoka nje kwa lango la kusini na yeyote aingiaye kwa lango la kusini atatoka nje kwa lango la kaskazini. Hakuna mtu yeyote atakayerudi kwa kupitia lango lile aliloingilia, lakini kila mmoja atatoka nje kwa lango linalokabili lile aliloingilia.

EZE 46:10 Removed trailing space in v~: Mkuu anayetawala atakuwa miongoni mwao, akiingia nao ndani wanapoingia, naye atatoka nao nje wanapotoka.

EZE 46:11 Removed trailing space in v~: “ ‘Kwenye sikukuu na kwenye sikukuu zilizoamriwa, sadaka ya nafaka itakuwa efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja pamoja na kondoo dume mmoja, pamoja na idadi ya wana-kondoo kama mtu apendavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.

EZE 46:12 Removed trailing space in v~: Mkuu anayetawala anapotoa sadaka ya hiari kwa \nd Bwana\nd*, ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani, lango linaloelekea mashariki litafunguliwa kwa ajili yake. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa au sadaka yake ya amani kama afanyavyo katika siku ya Sabato. Kisha atatoka nje, naye akiisha kutoka nje, lango litafungwa.

EZE 46:13 Removed trailing space in v~: “ ‘Kila siku utamtoa mwana-kondoo wa mwaka mmoja asiyekuwa na dosari kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa kwa \nd Bwana\nd*, utaitoa kila siku asubuhi.

EZE 46:14 Removed trailing space in v~: Pia kila siku asubuhi pamoja na hiyo sadaka utatoa sadaka ya nafaka, ikiwa na sehemu ya sita ya efa pamoja na theluthi moja ya hini\f + \fr 46:14 \ft Theluthi moja ya hini ni sawa na lita 1.3.\f* ya mafuta ya kuchanganya na ule unga. Utoaji wa sadaka hii ya nafaka kwa \nd Bwana\nd* ni amri ya daima.

EZE 46:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mwana-kondoo na sadaka ya nafaka na mafuta vitatolewa kila siku asubuhi kwa ajili ya sadaka ya daima ya kuteketezwa.

EZE 46:16 Removed trailing space in v~: “ ‘Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: Ikiwa mkuu atawalaye atatoa zawadi kutoka kwenye urithi wake na kumpa mmoja wa wanawe, hiyo zawadi itakuwa pia kwa wazao wake, itakuwa mali yao kwa urithi.

EZE 46:17 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kama atatoa zawadi kutoka urithi wake na kumpa mmoja wa watumishi wake, mtumishi anaweza kuiweka mpaka mwaka wa uhuru, kisha itarudishwa kwa mkuu anayetawala. Urithi wake ni wa wanawe peke yao, ni mali yao.

EZE 46:18 Removed trailing space in v~: Mkuu anayetawala hana ruhusa kuchukua urithi wowote wa watu na kuwaondoa kwenye mali zao. Mkuu atawalaye atawapa wanawe urithi wao, kutoka kwenye mali zake mwenyewe, ili kwamba pasiwe na mtu wangu yeyote atakayetengwa na urithi wake.’ ”

EZE 46:19 Removed trailing space in v~: Kisha mtu yule akanileta kwa kupitia kwenye ingilio lililokuwa kando ya lango mpaka kwenye vyumba vitakatifu vinavyoelekea kaskazini, ambavyo ni vya makuhani, naye akanionyesha mahali fulani upande wa mwisho wa magharibi.

EZE 46:20 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Mahali hapa ndipo makuhani watakapotokosea sadaka ya hatia na sadaka ya dhambi na kuoka sadaka ya nafaka, kuepuka kuzileta katika ukumbi wa nje na kushirikisha utakatifu kwa watu.”

EZE 46:21 Removed trailing space in v~: Baada ya hapo akanileta kwenye ukumbi wa nje na kunizungusha kwenye pembe zake nne, nami nikaona katika kila pembe ya huo ukumbi kulikuwa na ukumbi mwingine.

EZE 46:22 Removed trailing space in v~: Katika pembe nne za huo ukumbi wa nje kulikuwa na kumbi nyingine, zenye urefu wa dhiraa arobaini na upana wake dhiraa thelathini, ambapo hizo kumbi kwenye hizo pembe nne zilikuwa na vipimo vilivyo sawa.

EZE 46:23 Removed trailing space in v~: Mzunguko wa ndani wa hizo kumbi nne ulikuwa na ukingo wa jiwe, zikiwa na sehemu zilizojengwa kwa ajili ya moto kuzunguka chini ya huo ukingo.

EZE 46:24 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Hizi ndizo sehemu za kupikia ambazo wale wanaohudumu kwenye Hekalu watatokosea dhabihu za watu.”

EZE 47:0 Extra space after chapter number

EZE 47:0 Removed trailing space in c: 47

EZE 47:0 Removed trailing space in s1: Mto Kutoka Hekaluni

EZE 47:1 Removed trailing space in v~: Yule mtu akanirudisha mpaka kwenye ingilio la Hekalu, nami nikaona maji yakitoka chini ya kizingiti cha Hekalu yakitiririkia upande wa mashariki (kwa maana upande wa mbele wa Hekalu ulielekea mashariki). Maji yalikuwa yakitoka chini upande wa kusini wa Hekalu, kusini mwa madhabahu.

EZE 47:2 Removed trailing space in v~: Ndipo akanitoa nje kupitia lango la kaskazini na kunizungusha mpaka kwenye lango la nje linaloelekea mashariki, nayo maji yalikuwa yakitiririka kutoka upande wa kusini.

EZE 47:3 Removed trailing space in v~: Mtu yule alipokwenda upande wa mashariki akiwa na kamba ya kupimia mkononi mwake, akapima dhiraa 1,000\f + \fr 47:3 \ft Dhiraa 1,000 ni sawa na mita 450.\f* kisha akanipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika kwenye vifundo vya miguu.

EZE 47:4 Removed trailing space in v~: Akapima dhiraa 1,000 nyingine na kunipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika magotini. Akapima dhiraa nyingine 1,000 na kunipitisha kwenye hayo maji ambayo yalifika kiunoni.

EZE 47:5 Removed trailing space in v~: Akapima tena dhiraa 1,000 nyingine, lakini wakati huu yalikuwa mto ambao sikuweza kuvuka, kwa kuwa maji yalikuwa na kina kirefu ambacho ni cha kuogelea, mto ambao hakuna mtu yeyote ambaye angeweza kuvuka.

EZE 47:6 Removed trailing space in v~: Akaniuliza, “Je, mwanadamu, unaona hili?”

EZE 47:6 Removed trailing space in p~: Kisha akanirudisha mpaka kwenye ukingo wa huo mto.

EZE 47:7 Removed trailing space in v~: Nilipofika pale, nikaona idadi kubwa ya miti kila upande wa ule mto.

EZE 47:8 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Haya maji yanatiririka kuelekea nchi ya mashariki na kushuka mpaka Araba,\f + \fr 47:8 \ft Araba hapa ina maana ya Bonde la Yordani.\f* ambapo huingia Baharini. Yanapomwagikia kwenye hiyo Bahari,\f + \fr 47:8 \ft Bahari hapa ina maana ya Bahari ya Chumvi.\f* maji yaliyoko humo huponywa na kuwa safi.

EZE 47:9 Removed trailing space in v~: Popote mto huu uendapo kila kiumbe hai kinachoyaparamia hayo maji kitaishi, nako kutakuwa na samaki wengi mno, mara maji haya yafikapo huko. Maji hayo yatakuwa hai na kila kitu kitakachoishi kule mto uendako.

EZE 47:10 Removed trailing space in v~: Wavuvi watasimama kando ya bahari, kuanzia En-Gedi hadi En-Eglaimu huko patakuwa mahali pa kutandaza nyavu za kuvulia samaki. Samaki watakuwa wa aina nyingi, kama samaki wa Bahari Kuu\f + \fr 47:10 \ft Bahari Kuu hapa ina maana ya Bahari ya Mediterania.\f*

EZE 47:11 Removed trailing space in v~: Lakini madimbwi yake na mabwawa yake hayatakuwa na maji yanayofaa kunywa, bali yatabakia kuwa maji ya chumvi.

EZE 47:12 Removed trailing space in v~: Miti ya matunda ya kila aina itaota kwenye kingo zote mbili za mto huu. Majani yake hayatanyauka wala haitaacha kuwa na matunda katika matawi yake. Kila mwezi kutakuwa na matunda, kwa sababu maji yatokayo patakatifu yanaitiririkia. Matunda yake yatakuwa chakula na majani yake yatakuwa dawa.”

EZE 47:12 Removed trailing space in s1: Mipaka Mipya Ya Nchi

EZE 47:13 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo: “Hii ndiyo mipaka ambayo kwayo mtagawanya hiyo nchi kuwa urithi miongoni mwa hayo makabila kumi na mawili ya Israeli, pamoja na mafungu mawili ya Yosefu.

EZE 47:14 Removed trailing space in v~: Mtagawa kwa usawa miongoni mwao. Kwa sababu niliapa kwa mkono ulioinuliwa kuwapa baba zenu, nchi hii itakuwa urithi wenu.

EZE 47:15 Removed trailing space in v~: “Huu ndio utakuwa mpaka wa hiyo nchi:

EZE 47:15 Removed trailing space in p~: “Upande wa kaskazini utaanzia Bahari Kuu kwa njia ya Hethloni kupitia Lebo-Hamathi hadi maingilio ya Sedadi.

EZE 47:16 Removed trailing space in v~: Berotha na Sibraimu (ambao uko kwenye mpaka kati ya Dameski na Hamathi), hadi kufikia Haser-Hatikoni, ambao uko katika mpaka wa Haurani.

EZE 47:17 Removed trailing space in v~: Hivyo mpaka utaendelea kuanzia Baharini hadi Hasar-Enoni, ukiambaa na mpaka wa kaskazini wa Dameski, pamoja na mpaka wa Hamathi upande wa kaskazini. Huu utakuwa ndio mpaka wa kaskazini.

EZE 47:18 Removed trailing space in v~: Upande wa mashariki mpaka utapita kati ya Haurani na Dameski, kuambaa Yordani na kati ya Gileadi na nchi ya Israeli, hadi bahari ya mashariki\f + \fr 47:18 \ft Bahari ya mashariki hapa ina maana ya Bahari ya Chumvi.\f* na kufika Tamari. Huu utakuwa ndio mpaka wa mashariki.

EZE 47:19 Removed trailing space in v~: Upande wa kusini utaanzia Tamari hadi kufikia maji ya Meriba-Kadeshi, kisha utaambaa na Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu. Huu utakuwa ndio mpaka wa kusini.

EZE 47:20 Removed trailing space in v~: Upande wa magharibi, Bahari Kuu itakuwa ndio mpaka hadi kwenye sehemu mkabala na Lebo-Hamathi. Huu utakuwa ndio mpaka wa magharibi.

EZE 47:21 Removed trailing space in v~: “Mtagawanya nchi hii miongoni mwenu kufuatana na makabila ya Israeli.

EZE 47:22 Removed trailing space in v~: Mtaigawanya kuwa urithi kwa ajili yenu na kwa ajili ya wageni wanaoishi miongoni mwenu na ambao wana watoto. Wao watakuwa kwenu kama wenyeji wazawa wa Israeli, pamoja na ninyi watagawiwa urithi miongoni mwa makabila ya Israeli.

EZE 47:23 Removed trailing space in v~: Katika kabila lolote mgeni atakapoishi hapo ndipo mtakapompatia urithi wake,” asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 48:0 Extra space after chapter number

EZE 48:0 Removed trailing space in c: 48

EZE 48:0 Removed trailing space in s1: Mgawanyo Wa Nchi

EZE 48:1 Removed trailing space in v~: “Haya ndiyo majina ya makabila na sehemu zao: Kwenye mpaka wa kaskazini, Dani atakuwa na sehemu moja, mpaka huo utafuata barabara ya Hethloni hadi Lebo-Hamathi, Hasar-Enani hata mpaka wa kaskazini wa Dameski karibu na Hamathi utakuwa sehemu ya huo mpaka wake kuanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.

EZE 48:2 Removed trailing space in v~: “Asheri atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Dani kuanzia mashariki hadi upande wa magharibi.

EZE 48:3 Removed trailing space in v~: “Naftali atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Asheri kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:4 Removed trailing space in v~: “Manase atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Naftali kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:5 Removed trailing space in v~: “Efraimu atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Manase kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:6 Removed trailing space in v~: “Reubeni atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Efraimu kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:7 Removed trailing space in v~: “Yuda atakuwa na sehemu moja, itapakana na nchi ya Reubeni kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:8 Removed trailing space in v~: “Kupakana na nchi ya Yuda kuanzia mashariki mpaka magharibi itakuwa ndiyo sehemu utakayoitoa ili kuwa toleo maalum. Itakuwa na upana wa dhiraa 25,000\f + \fr 48:8 \ft Dhiraa 25,000 ni sawa na kilomita 11.25.\f* na urefu wake kuanzia mashariki mpaka magharibi utakuwa ule ule wa sehemu moja ya kabila, mahali patakatifu patakuwa katikati ya eneo hilo.

EZE 48:9 Removed trailing space in v~: “Hiyo sehemu maalum mtakayotoa kwa \nd Bwana\nd* itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000\f + \fr 48:9 \ft Dhiraa 10,000 ni sawa na kilomita 4.5.\f*

EZE 48:10 Removed trailing space in v~: Hii itakuwa ni sehemu takatifu kwa ajili ya makuhani. Itakuwa na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kaskazini, upana wa dhiraa 10,000 upande wa magharibi, dhiraa 10,000 upande wa mashariki na urefu wa dhiraa 25,000 upande wa kusini. Katikati yake patakuwa mahali patakatifu pa \nd Bwana\nd*.

EZE 48:11 Removed trailing space in v~: Hii itakuwa kwa ajili ya makuhani waliowekwa wakfu, Wasadoki, waliokuwa waaminifu katika kunitumikia nao hawakupotoka kama Walawi walivyofanya wakati Waisraeli walipopotoka.

EZE 48:12 Removed trailing space in v~: Itakuwa toleo maalum kwao kutoka sehemu takatifu ya nchi, yaani, sehemu takatifu sana, inayopakana na nchi ya Walawi.

EZE 48:13 Removed trailing space in v~: “Kando ya nchi ya makuhani, Walawi watakuwa na mgawo wa urefu wa dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000. Urefu wake utakuwa jumla dhiraa 25,000 na upana wa dhiraa 10,000.

EZE 48:14 Removed trailing space in v~: Hawataruhusiwa kuuza wala kuibadilisha hata mojawapo. Hii ndiyo sehemu nzuri ya nchi kuliko nyingine zote, hivyo haitakuwa mikononi mwa watu wengine, kwa sababu ni takatifu kwa \nd Bwana\nd*.

EZE 48:15 Removed trailing space in v~: “Eneo linalobaki lenye upana wa dhiraa 5,000\f + \fr 48:15 \ft Dhiraa 5,000 ni sawa na kilomita 2.25.\f* na urefu wa dhiraa 25,000, litakuwa kwa ajili ya matumizi ya kawaida ya mji, kwa ajili ya ujenzi wa nyumba na malisho. Mji utakuwa katikati yake

EZE 48:16 Removed trailing space in v~: nao utakuwa na vipimo hivi: upande wa kaskazini dhiraa 4,500,\f + \fr 48:16 \ft Dhiraa 4,500 ni sawa na kilomita 2.025.\f* upande wa kusini dhiraa 4,500, upande wa mashariki dhiraa 4,500 na upande wa magharibi dhiraa 4,500.

EZE 48:17 Removed trailing space in v~: Sehemu ya malisho kwa ajili ya mji itakuwa na eneo la dhiraa 250\f + \fr 48:17 \ft Dhiraa 250 ni sawa na sentimita 112.5.\f* upande wa kaskazini, dhiraa 250 upande wa kusini, dhiraa 250 upande wa mashariki na dhiraa 250 upande wa magharibi.

EZE 48:18 Removed trailing space in v~: Eneo linalobaki, linalopakana na sehemu takatifu likiwa na urefu sawa nalo, litakuwa dhiraa 10,000 upande wa mashariki na dhiraa 10,000 upande wa magharibi. Mazao yake yatawapa watumishi wa mji chakula.

EZE 48:19 Removed trailing space in v~: Watumishi wa mji wanaolima shamba hili watatoka katika makabila yote ya Israeli.

EZE 48:20 Removed trailing space in v~: Eneo lote la hiyo sehemu litakuwa mraba, yaani, dhiraa 25,000 kila upande. Kama toleo maalum mtatenga sehemu takatifu, pamoja na milki ya mji.

EZE 48:21 Removed trailing space in v~: “Eneo linalobaki pande zote za eneo linalofanya sehemu takatifu na milki ya mji litakuwa mali ya mkuu atawalaye. Eneo hili litaenea upande wa mashariki kuanzia kwenye dhiraa 25,000 za sehemu takatifu hadi mpaka wa mashariki na kuelekea upande wa magharibi kuanzia kwenye dhiraa 25,000 hadi mpaka wa magharibi. Maeneo yote haya mawili yanayoenda sambamba na urefu wa sehemu za makabila yatakuwa ya mkuu anayetawala, na sehemu ile takatifu pamoja na mahali patakatifu pa Hekalu itakuwa katikati yake.

EZE 48:22 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo milki ya Walawi na milki ya mji vitakuwa katikati ya eneo lile ambalo ni mali ya mkuu anayetawala. Eneo la mkuu anayetawala litakuwa kati ya mpaka wa Yuda na mpaka wa Benyamini.

EZE 48:23 Removed trailing space in v~: “Kuhusu makabila yaliyobaki: Benyamini atakuwa na sehemu moja, itakayoanzia upande wa mashariki hadi upande wa magharibi.

EZE 48:24 Removed trailing space in v~: “Simeoni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Benyamini kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:25 Removed trailing space in v~: “Isakari atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Simeoni kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:26 Removed trailing space in v~: “Zabuloni atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Isakari kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:27 Removed trailing space in v~: “Gadi atakuwa na sehemu moja, itakayopakana na nchi ya Zabuloni kuanzia mashariki hadi magharibi.

EZE 48:28 Removed trailing space in v~: “Mpaka wa kusini wa Gadi utapita kusini kuanzia Tamari hadi maji ya Meriba-Kadeshi, kisha kupitia upande wa Kijito cha Misri hadi Bahari Kuu.\f + \fr 48:28 \ft Bahari Kuu hapa ina maana ya Bahari ya Mediterania.\f*

EZE 48:29 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo nchi mtakayogawanya kuwa urithi kwa makabila ya Israeli, nazo zitakuwa sehemu zao,” asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

EZE 48:29 Removed trailing space in s1: Malango Ya Mji

EZE 48:30 Removed trailing space in v~: “Haya yatakuwa ndiyo malango ya mji ya kutokea: Kuanzia upande wa kaskazini, ambayo urefu wake ni dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu,

EZE 48:31 Removed trailing space in v~: malango hayo ya mji yatapewa majina ya makabila ya Israeli. Malango hayo matatu ya upande wa kaskazini moja litakuwa lango la Reubeni, lango la Yuda na lango la Lawi.

EZE 48:32 Removed trailing space in v~: “Upande wa mashariki, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Yosefu, lango la Benyamini na lango la Dani.

EZE 48:33 Removed trailing space in v~: “Upande wa kusini, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Simeoni, lango la Isakari na lango la Zabuloni.

EZE 48:34 Removed trailing space in v~: “Upande wa magharibi, wenye urefu wa dhiraa 4,500, utakuwa na malango matatu: lango la Gadi, lango la Asheri na lango la Naftali.

EZE 48:35 Removed trailing space in v~: “Urefu wote kuzunguka utakuwa dhiraa 18,000.\f + \fr 48:35 \ft Dhiraa 18,000 ni sawa na kilomita 8.1.\f*

EZE 48:35 Removed trailing space in p~: “Nalo jina la mji huo kuanzia wakati huo na kuendelea litakuwa:

EZE 48:35 Removed trailing space in p~: Bwana yupo hapa.”

DAN -1:0 Removed trailing space in id: DAN - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

DAN -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

DAN -1:2 Removed trailing space in h: Danieli

DAN -1:3 Removed trailing space in toc1: Danieli

DAN -1:4 Removed trailing space in toc2: Danieli

DAN -1:5 Removed trailing space in toc3: Dan

DAN -1:6 Removed trailing space in mt1: Danieli

DAN 1:0 Extra space after chapter number

DAN 1:0 Removed trailing space in c: 1

DAN 1:0 Removed trailing space in s1: Mafunzo Ya Danieli Huko Babeli

DAN 1:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Yehoyakimu mfalme wa Yuda, Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuja akazingira Yerusalemu kwa jeshi.

DAN 1:2 Removed trailing space in v~: Bwana akamtia Yehoyakimu mfalme wa Yuda mkononi mwa Nebukadneza, pamoja na baadhi ya vyombo kutoka Hekalu la Mungu. Hivi akavichukua hadi kwenye hekalu la mungu wake huko Shinari, naye akaviweka nyumbani ya hazina ya mungu wake.

DAN 1:3 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akamwagiza Ashpenazi, mkuu wa maafisa wa mfalme, kumletea baadhi ya Waisraeli kutoka jamaa ya mfalme na kutoka jamaa kuu,

DAN 1:4 Removed trailing space in v~: vijana wanaume wasio na dosari mwilini, wenye sura nzuri, wanaoonyesha kipaji katika kila aina ya elimu, wenye ufahamu mzuri, wepesi kuelewa, na waliofuzu kuhudumu katika jumba la kifalme. Alikuwa awafundishe lugha na maandiko ya Wakaldayo.

DAN 1:5 Removed trailing space in v~: Mfalme akawaagizia kiasi cha chakula na divai ya kila siku kutoka meza ya mfalme. Walikuwa wafundishwe kwa miaka mitatu, na hatimaye waingie kwenye utumishi wa mfalme.

DAN 1:6 Removed trailing space in v~: Baadhi ya hawa vijana walitoka Yuda: nao ni Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria.

DAN 1:7 Removed trailing space in v~: Mkuu wa maafisa akawapa majina mapya: Danieli akamwita Belteshaza, Hanania akamwita Shadraki, Mishaeli akamwita Meshaki, na Azaria akamwita Abednego.

DAN 1:8 Removed trailing space in v~: Lakini Danieli alikusudia kuwa hatajitia unajisi kwa chakula cha mfalme na divai, naye akamwomba mkuu wa maafisa ruhusa ili asijinajisi kwa njia hii.

DAN 1:9 Removed trailing space in v~: Basi Mungu alikuwa amemfanya huyo mkuu wa maafisa kuonyesha upendeleo na huruma kwa Danieli,

DAN 1:10 Removed trailing space in v~: lakini huyo mkuu wa maafisa akamwambia Danieli, “Ninamwogopa bwana wangu mfalme, aliyeagizia chakula na kinywaji chenu. Kwa nini aone nyuso zenu zikiwa mbaya kuliko za vijana wengine wa rika lenu? Mfalme atakata kichwa changu kwa sababu yenu.”

DAN 1:11 Removed trailing space in v~: Ndipo Danieli akamwambia mlinzi aliyeteuliwa na huyo mkuu wa maafisa kuwasimamia Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria,

DAN 1:12 Removed trailing space in v~: “Tafadhali wajaribu watumishi wako kwa siku kumi. Usitupe chochote ila nafaka na mboga za majani\f + \fr 1:12 \ft Nafaka na mboga za majani, yaani \fqa zeroimu \ft kwa Kiebrania, ina maana ya aina za ngano na shayiri, na jamii ya kunde kama maharagwe, dengu, choroko, n.k.\f* tule, na maji ya kunywa.

DAN 1:13 Removed trailing space in v~: Baadaye ulinganishe sura zetu na vijana wanaokula chakula cha mfalme, ukawatendee watumishi wako kulingana na unachoona.”

DAN 1:14 Removed trailing space in v~: Basi akakubali jambo hili, akawajaribu kwa siku kumi.

DAN 1:15 Removed trailing space in v~: Mwisho wa zile siku kumi, walionekana kuwa na afya na kunawiri zaidi kuliko yeyote kati ya wale vijana waliokula chakula cha mfalme.

DAN 1:16 Removed trailing space in v~: Hivyo mlinzi wao akaondoa chakula chao na divai yao waliopangiwa kula na kunywa, akawapa nafaka na mboga za majani badala yake.

DAN 1:17 Removed trailing space in v~: Mungu akawapa hawa vijana wanne maarifa na ufahamu wa kila aina ya maandiko na elimu. Naye Danieli aliweza kufahamu maono na aina zote za ndoto.

DAN 1:18 Removed trailing space in v~: Mwisho wa muda uliowekwa na mfalme kuwaingiza kwake, mkuu wa maafisa akawaleta mbele ya Mfalme Nebukadneza.

DAN 1:19 Removed trailing space in v~: Mfalme akazungumza nao, akaona hakuna aliyelingana na Danieli, Hanania, Mishaeli na Azaria. Hivyo wakaingia katika utumishi wa mfalme.

DAN 1:20 Removed trailing space in v~: Katika kila jambo la hekima na ufahamu kuhusu kile mfalme alichowauliza, aliwaona bora mara kumi zaidi kuliko waganga na wasihiri wote katika ufalme wake wote.

DAN 1:21 Removed trailing space in v~: Naye Danieli akabaki huko mpaka mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi.

DAN 2:0 Extra space after chapter number

DAN 2:0 Removed trailing space in c: 2

DAN 2:0 Removed trailing space in s1: Ndoto Ya Nebukadneza

DAN 2:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa pili wa utawala wake, Nebukadneza aliota ndoto. Mawazo yake yakasumbuka na hakuweza kulala.

DAN 2:2 Removed trailing space in v~: Hivyo mfalme akawaita waganga, wasihiri, wachawi na wanajimu ili wamwambie ndoto yake aliyokuwa ameota. Walipoingia ndani na kusimama mbele ya mfalme,

DAN 2:3 Removed trailing space in v~: akawaambia, “Niliota ndoto inayonisumbua, nami nataka nijue maana yake.”

DAN 2:4 Removed trailing space in v~: Ndipo wanajimu wakamjibu mfalme kwa lugha ya Kiaramu,\f + \fr 2:4 \ft Kutoka hapa hadi \+xt Dan 7:28,\+xt* mwandishi aliandika na Kiaramu.\f* “Ee mfalme, uishi milele! Waambie watumishi wako hiyo ndoto, nasi tutaifasiri.”

DAN 2:4 Found unexpected backslash in footnote: 2:4 Kutoka hapa hadi \+xt Dan 7:28,\+xt* mwandishi aliandika na Kiaramu.

DAN 2:5 Removed trailing space in v~: Mfalme akawajibu wanajimu, “Nimeamua hivi kwa uthabiti: Ikiwa hamtaniambia ndoto yangu ilikuwa ipi na kuifasiri, mtakatwa vipande vipande na nyumba zenu zitafanywa kuwa vifusi.

DAN 2:6 Removed trailing space in v~: Lakini mkiniambia ndoto yangu na kuielezea, mtapokea kwangu zawadi, tuzo na heshima kubwa. Basi niambieni ndoto yangu na mnifasirie.”

DAN 2:7 Removed trailing space in v~: Wakajibu kwa mara nyingine, “Mfalme na awaambie watumishi wake ndoto yake, nasi tutaifasiri.”

DAN 2:8 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akajibu, “Nina hakika kuwa mnajaribu kupata muda zaidi, kwa sababu mnatambua kuwa nimeamua hivi kwa uthabiti:

DAN 2:9 Removed trailing space in v~: Ikiwa hamtaniambia ndoto yangu, ipo adhabu moja tu kwenu. Mmefanya shauri kuniambia habari za kunipotosha na mambo maovu, mkitumaini kwamba hali itabadilika. Hivyo basi, niambieni hiyo ndoto, nami nitajua kuwa mwaweza kunifasiria.”

DAN 2:10 Removed trailing space in v~: Wanajimu wakamjibu mfalme, “Hakuna mtu duniani ambaye anaweza kufanya analotaka mfalme! Vilevile hakuna mfalme hata awe mkuu na mwenye uweza namna gani, aliyeuliza kitu kama hicho kwa mganga au kwa msihiri, wala kwa mnajimu yeyote.

DAN 2:11 Removed trailing space in v~: Anachouliza mfalme ni kigumu mno. Hakuna yeyote awezaye kumfunulia mfalme isipokuwa miungu, nao hawaishi miongoni mwa wanadamu.”

DAN 2:12 Removed trailing space in v~: Jambo hili lilimkasirisha na kumghadhibisha mfalme mno hata kuagiza kuuawa kwa wenye hekima wote wa Babeli.

DAN 2:13 Removed trailing space in v~: Hivyo amri ikatolewa ya kuwaua wenye hekima, nao watu wakatumwa kuwatafuta Danieli na rafiki zake ili wawaue.

DAN 2:14 Removed trailing space in v~: Wakati Arioko, mkuu wa askari wa walinzi wa mfalme, alikuwa amekwenda kuwaua watu wenye hekima wa Babeli, Danieli akazungumza naye kwa hekima na busara.

DAN 2:15 Removed trailing space in v~: Akamuuliza huyo afisa wa mfalme, “Kwa nini mfalme ametoa amri kali hivyo?” Ndipo Arioko akamweleza Danieli jambo hilo.

DAN 2:16 Removed trailing space in v~: Aliposikia jambo hili, Danieli akamwendea mfalme, akamwomba ampe muda ili aweze kumfasiria ile ndoto.

DAN 2:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Danieli akarudi nyumbani kwake na kuwaeleza rafiki zake Hanania, Mishaeli na Azaria jambo hilo.

DAN 2:18 Removed trailing space in v~: Aliwasihi waombe rehema kutoka kwa Mungu wa mbinguni kuhusu siri hii, ili yeye na rafiki zake wasije wakauawa pamoja na wenye hekima wengine wa Babeli.

DAN 2:19 Removed trailing space in v~: Wakati wa usiku lile fumbo lilifunuliwa kwa Danieli katika maono. Ndipo Danieli akamhimidi Mungu wa mbinguni,

DAN 2:20 Removed trailing space in v~: na akasema:

DAN 2:20 Removed trailing space in p~: “Lihimidiwe jina la Mungu milele na milele;

DAN 2:20 Removed trailing space in p~: hekima na uweza ni vyake.

DAN 2:21 Removed trailing space in v~: Yeye hubadili nyakati na majira;

DAN 2:21 Removed trailing space in p~: huwaweka wafalme na kuwaondoa.

DAN 2:21 Removed trailing space in p~: Huwapa hekima wenye hekima,

DAN 2:21 Removed trailing space in p~: na maarifa wenye ufahamu.

DAN 2:22 Removed trailing space in v~: Hufunua siri na mambo yaliyofichika;

DAN 2:22 Removed trailing space in p~: anajua yale yaliyo gizani,

DAN 2:22 Removed trailing space in p~: nayo nuru hukaa kwake.

DAN 2:23 Removed trailing space in v~: Ninakushukuru na kukuhimidi,

DAN 2:23 Removed trailing space in p~: Ee Mungu wa baba zangu:

DAN 2:23 Removed trailing space in p~: Umenipa hekima na uwezo,

DAN 2:23 Removed trailing space in p~: umenijulisha kile tulichokuomba,

DAN 2:23 Removed trailing space in p~: umetujulisha ndoto ya mfalme.”

DAN 2:23 Removed trailing space in s1: Danieli Aifasiri Ndoto

DAN 2:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Danieli akamwendea Arioko, ambaye mfalme alikuwa amemteua kuwaua wenye hekima wa Babeli, akamwambia, “Usiwaue wenye hekima wa Babeli. Nipeleke kwa mfalme, nami nitamfasiria ndoto yake.”

DAN 2:25 Removed trailing space in v~: Arioko akampeleka Danieli kwa mfalme mara moja na kumwambia, “Nimempata mtu miongoni mwa watu wa uhamisho kutoka Yuda ambaye anaweza kumwambia mfalme maana ya ndoto yake.”

DAN 2:26 Removed trailing space in v~: Mfalme akamuuliza Danieli (aliyeitwa pia Belteshaza), “Je, unaweza kuniambia nilichoona katika ndoto yangu na kuifasiri?”

DAN 2:27 Removed trailing space in v~: Danieli akajibu, “Hakuna mwenye hekima, msihiri, mganga au mwaguzi anayeweza kumweleza mfalme siri aliyouliza,

DAN 2:28 Removed trailing space in v~: lakini yuko Mungu mbinguni afunuaye siri. Amemwonyesha Mfalme Nebukadneza kitakachotokea siku zijazo. Ndoto yako na maono yaliyopita mawazoni mwako ulipokuwa umelala kitandani mwako ni haya:

DAN 2:29 Removed trailing space in v~: “Ee mfalme, ulipokuwa umelala kitandani, yalikujia mawazo kuhusu mambo yatakayotokea baadaye, naye mfunuaji wa siri akakuonyesha ni kitu gani kitakachotokea.

DAN 2:30 Removed trailing space in v~: Kwangu mimi, nimefunuliwa siri hii, si kwa sababu nina hekima kubwa kuliko watu wengine wanaoishi, bali ni ili wewe, ee mfalme, upate kujua tafsiri, na ili uweze kuelewa kile kilichopita mawazoni mwako.

DAN 2:31 Removed trailing space in v~: “Ee mfalme, ulitazama, na mbele yako ilisimama sanamu kubwa, kubwa mno kupita kiasi, sanamu iliyongʼaa na kutisha kwa kuonekana kwake.

DAN 2:32 Removed trailing space in v~: Kichwa cha ile sanamu kilikuwa kimetengenezwa kwa dhahabu safi, kifua chake na mikono yake vilikuwa vya fedha, tumbo lake na mapaja yake vilikuwa vya shaba,

DAN 2:33 Removed trailing space in v~: miguu yake ilikuwa ya chuma, na nyayo zake zilikuwa chuma nazo sehemu nyingine zilikuwa udongo wa mfinyanzi uliochomwa.

DAN 2:34 Removed trailing space in v~: Ulipokuwa unaangalia, jiwe lilikatwa, lakini si kwa mikono ya mwanadamu. Lile jiwe liliipiga ile sanamu kwenye nyayo zake za chuma na udongo wa mfinyanzi, na kuivunja.

DAN 2:35 Removed trailing space in v~: Ndipo ile chuma, ule udongo wa mfinyanzi, ile shaba, ile fedha na ile dhahabu vikavunjika vipande vipande kwa wakati mmoja, na vikawa kama makapi katika sakafu ya kupuria nafaka wakati wa kiangazi. Upepo ukavipeperusha bila kuacha hata alama. Lakini lile jiwe lililoipiga ile sanamu likawa mlima mkubwa mno na kuijaza dunia yote.

DAN 2:36 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo iliyokuwa ndoto, nasi sasa tutamfasiria mfalme.

DAN 2:37 Removed trailing space in v~: Ee mfalme, wewe ni mfalme wa wafalme. Mungu wa mbinguni amekupa wewe utawala, uweza, nguvu na utukufu.

DAN 2:38 Removed trailing space in v~: Mikononi mwako amewaweka wanadamu, wanyama wa kondeni, na ndege wa angani. Popote waishipo amekufanya wewe kuwa mtawala juu yao wote. Wewe ndiye kile kichwa cha dhahabu.

DAN 2:39 Removed trailing space in v~: “Baada yako, ufalme mwingine utainuka, ulio dhaifu kuliko wako. Baadaye utafuata ufalme wa tatu, ule wa shaba, nao utatawala juu ya dunia yote.

DAN 2:40 Removed trailing space in v~: Hatimaye, kutakuwako na ufalme wa nne, wenye nguvu kama chuma, kwa maana chuma huvunja na kupondaponda kila kitu; kama vile chuma ivunjavyo vitu vipande vipande, ndivyo ufalme huo utakavyopondaponda na kuvunjavunja nyingine zote.

DAN 2:41 Removed trailing space in v~: Kama vile ulivyoona kuwa kwa sehemu nyayo na vidole vilikuwa vya udongo wa mfinyanzi uliochomwa na kwa sehemu nyingine chuma, hivyo huu utakuwa ufalme uliogawanyika; hata hivyo utakuwa na sehemu zenye nguvu za chuma ndani yake, kama vile ulivyoona chuma imechanganywa na udongo wa mfinyanzi.

DAN 2:42 Removed trailing space in v~: Kama vile vidole vyake vya miguu vilikuwa kwa sehemu chuma na sehemu udongo wa mfinyanzi, hivyo ufalme huo kwa sehemu utakuwa na nguvu na kwa sehemu udhaifu.

DAN 2:43 Removed trailing space in v~: Kama vile ulivyoona chuma kikiwa kimechanganyikana na udongo wa mfinyanzi uliochomwa, ndivyo watu watakavyokuwa mchanganyiko, wala hawatabaki wameungana tena, kama vile chuma kisivyoweza kuchanganyikana na udongo wa mfinyanzi.

DAN 2:44 Removed trailing space in v~: “Katika siku za wafalme hao, Mungu wa mbinguni atauweka ufalme ambao kamwe hautaangamizwa, wala hautaachiwa taifa jingine. Utaziponda zile falme zote na kuzikomesha, bali wenyewe utadumu milele.

DAN 2:45 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo maana ya maono ya jiwe lililochongwa kutoka mlimani, lakini si kwa mikono ya mwanadamu, lile jiwe ambalo lilivunja chuma, shaba, udongo wa mfinyanzi, fedha na dhahabu vipande vipande.

DAN 2:45 Removed trailing space in p~: “Mungu Mkuu amemwonyesha mfalme kile kitakachotokea wakati ujao. Ndoto hii ni ya kweli na tafsiri yake ni ya kuaminika.”

DAN 2:46 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Nebukadneza akaanguka kifudifudi mbele ya Danieli kumpa heshima, akaagiza wamtolee Danieli sadaka na uvumba.

DAN 2:47 Removed trailing space in v~: Mfalme akamwambia Danieli, “Hakika Mungu wako ni Mungu wa miungu, na Bwana wa wafalme, na mfunuaji wa siri zote, kwa maana umeweza kufunua siri hii.”

DAN 2:48 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme akamweka Danieli nafasi ya juu, na kumpa zawadi nyingi tele. Akamfanya kuwa mtawala wa jimbo lote la Babeli, na kumweka kuwa mkuu wa wenye hekima wote.

DAN 2:49 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, kwa ombi la Danieli, mfalme akawateua Shadraki, Meshaki na Abednego kuwa wasimamizi wa jimbo la Babeli, huku Danieli akibaki katika ukumbi wa mfalme.

DAN 3:0 Extra space after chapter number

DAN 3:0 Removed trailing space in c: 3

DAN 3:0 Removed trailing space in s1: Sanamu Ya Dhahabu Na Moto Mkali

DAN 3:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya dhahabu, yenye kimo cha dhiraa sitini,\f + \fr 3:1 \ft Dhiraa sitini ni sawa na mita 27.\f* na upana wa dhiraa sita,\f + \fr 3:1 \ft Dhiraa sita ni sawa na mita 2.7.\f* akaisimamisha kwenye tambarare ya Dura katika jimbo la nchi ya Babeli.

DAN 3:2 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akaita wakuu, wasimamizi, watawala, washauri, watunza hazina, waamuzi, mahakimu na maafisa wengine wote wa jimbo kuja kuizindua sanamu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha.

DAN 3:3 Removed trailing space in v~: Basi wakuu, wasimamizi, watawala, washauri, watunza hazina, waamuzi, mahakimu na maafisa wengine wa jimbo walikusanyika ili kuizindua sanamu ile Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha, nao wakasimama mbele ya hiyo sanamu.

DAN 3:4 Removed trailing space in v~: Ndipo mpiga mbiu akatangaza kwa sauti kubwa, “Enyi watu wa kabila zote, mataifa na watu wa kila lugha, hili ndilo mnaloamriwa kulifanya:

DAN 3:5 Removed trailing space in v~: Mara mtakaposikia sauti ya baragumu, filimbi, marimba, zeze, kinubi, zumari na aina zote za sauti za ala za uimbaji, lazima mwanguke chini na kuabudu sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza ameisimamisha.

DAN 3:6 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote ambaye hataanguka chini na kuiabudu sanamu hiyo, atatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto.”

DAN 3:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, mara waliposikia sauti ya baragumu, filimbi, kinubi, zeze, kinanda na aina zote za ala za uimbaji, watu wa kabila zote, mataifa na watu wa kila lugha wakaanguka chini na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha.

DAN 3:8 Removed trailing space in v~: Wakati huo baadhi ya Wakaldayo walijitokeza na kuwashtaki Wayahudi.

DAN 3:9 Removed trailing space in v~: Wakamwambia Mfalme Nebukadneza, “Ee mfalme, uishi milele!

DAN 3:10 Removed trailing space in v~: Ee mfalme, umetoa amri kwamba kila mmoja atakayesikia sauti ya baragumu, filimbi, kinubi, zeze, kinanda, zumari na aina zote za ala za uimbaji lazima aanguke chini na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu,

DAN 3:11 Removed trailing space in v~: na kwamba yeyote ambaye hataanguka chini na kuiabudu atatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto.

DAN 3:12 Removed trailing space in v~: Lakini wako baadhi ya Wayahudi ambao umewaweka juu ya mambo ya jimbo la Babeli: yaani, Shadraki, Meshaki na Abednego, ambao hawakujali wewe, ee mfalme. Hawaitumikii miungu yako wala kuiabudu ile sanamu ya dhahabu uliyoisimamisha.”

DAN 3:13 Removed trailing space in v~: Mfalme Nebukadneza, akiwa amekasirika na mwenye ghadhabu kali, akawaita Shadraki, Meshaki na Abednego. Hivyo watu hawa wakaletwa mbele ya mfalme,

DAN 3:14 Removed trailing space in v~: naye Nebukadneza akawauliza, “Je, ni kweli kwamba ninyi Shadraki, Meshaki na Abednego hamuitumikii miungu yangu wala kuiabudu sanamu ya dhahabu niliyoisimamisha?

DAN 3:15 Removed trailing space in v~: Basi wakati mtakaposikia sauti ya baragumu, filimbi, marimba, zeze, kinubi, zumari na aina zote za ala za uimbaji, kama mtakuwa tayari kusujudu na kuiabudu hiyo sanamu niliyoitengeneza, vyema sana. Lakini kama hamtaiabudu, mtatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto. Naye ni mungu yupi atakayeweza kuwaokoa ninyi, kutoka mkono wangu?”

DAN 3:16 Removed trailing space in v~: Shadraki, Meshaki na Abednego wakamjibu mfalme, “Ee Nebukadneza, hatuhitaji kujitetea mbele zako kuhusu jambo hili.

DAN 3:17 Removed trailing space in v~: Ikiwa tutatupwa ndani ya tanuru iwakayo moto, Mungu tunayemtumikia anaweza kutuokoa na moto, naye atatuokoa kutoka mkononi mwako, ee mfalme.

DAN 3:18 Removed trailing space in v~: Lakini hata ikiwa hatatuokoa, ee mfalme, tunataka ufahamu kwamba, hatutaitumikia miungu yako wala kuiabudu sanamu ya dhahabu uliyoisimamisha.”

DAN 3:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Nebukadneza akawa na ghadhabu kali sana kwa Shadraki, Meshaki na Abednego, nayo nia yake ikabadilika kwao. Akaagiza tanuru ichochewe moto mara saba kuliko kawaida yake

DAN 3:20 Removed trailing space in v~: na kuwaamuru baadhi ya askari wake wenye nguvu zaidi katika jeshi lake kuwafunga Shadraki, Meshaki na Abednego na kuwatupa ndani ya tanuru iwakayo moto.

DAN 3:21 Removed trailing space in v~: Hivyo watu hawa, walifungwa na kutupwa ndani ya tanuru iwakayo moto wakiwa wamevaa majoho yao, suruali, vilemba na nguo zao nyingine.

DAN 3:22 Removed trailing space in v~: Amri ya mfalme ilikuwa ya haraka sana na tanuru ilikuwa na moto mkali kiasi kwamba miali ya moto iliwaua wale askari waliowapeleka Shadraki, Meshaki na Abednego.

DAN 3:23 Removed trailing space in v~: Watu hawa watatu walianguka ndani ya tanuru iwakayo moto wakiwa wamefungwa kwa uthabiti sana.

DAN 3:24 Removed trailing space in v~: Ndipo Mfalme Nebukadneza akashangaa, akainuka kwa haraka na kuwauliza washauri wake, “Je, hawakuwa watu watatu ambao tuliwafunga na kuwatupa ndani ya moto?”

DAN 3:24 Removed trailing space in p~: Washauri wakajibu, “Hakika, ee mfalme.”

DAN 3:25 Removed trailing space in v~: Mfalme akasema, “Tazama! Naona watu wanne wakitembeatembea ndani ya moto, hawajafungwa wala kudhurika, naye mtu yule wa nne anaonekana kama mwana wa miungu.”

DAN 3:26 Removed trailing space in v~: Ndipo Nebukadneza akaukaribia mdomo wa ile tanuru iwakayo moto na kupaza sauti, “Shadraki, Meshaki na Abednego, watumishi wa Mungu Aliye Juu Sana, tokeni! Njooni hapa!”

DAN 3:26 Removed trailing space in p~: Ndipo Shadraki, Meshaki na Abednego wakatoka ndani ya moto.

DAN 3:27 Removed trailing space in v~: Nao maliwali, wasimamizi, watawala na washauri wa mfalme wakakusanyika kuwazunguka. Waliona kwamba moto haukudhuru miili yao, wala unywele wa vichwa vyao haukuungua, majoho yao hayakuungua, wala hapakuwepo na harufu ya moto kwenye miili yao.

DAN 3:28 Removed trailing space in v~: Ndipo Nebukadneza akasema, “Ahimidiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego, ambaye amemtuma malaika wake na kuwaokoa watumishi wake. Walimtumaini na kukaidi amri ya mfalme, nao wakawa tayari kufa kuliko kutumikia au kuabudu mungu mwingine yeyote isipokuwa Mungu wao.

DAN 3:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ninaamuru kwamba watu wa taifa lolote au lugha yoyote watakaosema kitu chochote dhidi ya Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego wakatwe vipande vipande na nyumba zao zifanywe kuwa malundo ya kokoto, kwa maana hakuna mungu mwingine awezaye kuokoa namna hii.”

DAN 3:30 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akawapandisha vyeo Shadraki, Meshaki na Abednego katika jimbo la Babeli.

DAN 4:0 Extra space after chapter number

DAN 4:0 Removed trailing space in c: 4

DAN 4:0 Removed trailing space in s1: Ndoto Ya Nebukadneza Ya Mti

DAN 4:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Nebukadneza,

DAN 4:1 Removed trailing space in p~: Kwa kabila za watu, mataifa na watu wa kila lugha, wanaoishi katika ulimwengu wote:

DAN 4:1 Removed trailing space in p~: Mafanikio yawe kwenu sana!

DAN 4:2 Removed trailing space in v~: Ni furaha yangu kuwaambia kuhusu ishara za miujiza na maajabu ambayo Mungu Aliye Juu Sana amenifanyia.

DAN 4:3 Removed trailing space in v~: Ishara zake ni kuu aje,

DAN 4:3 Removed trailing space in p~: na maajabu yake yana nguvu aje!

DAN 4:3 Removed trailing space in p~: Ufalme wake ni ufalme wa milele;

DAN 4:3 Removed trailing space in p~: enzi yake hudumu kutoka kizazi hadi kizazi.

DAN 4:4 Removed trailing space in v~: Mimi, Nebukadneza, nilikuwa nyumbani katika jumba langu la kifalme, nikiwa ninaishi kwa raha na hali ya kufanikiwa.

DAN 4:5 Removed trailing space in v~: Niliota ndoto iliyoniogopesha. Nilipokuwa nimelala kitandani mwangu, njozi na maono yaliyopita mawazoni mwangu vilinitisha.

DAN 4:6 Removed trailing space in v~: Hivyo nikaagiza kwamba watu wote wenye hekima wa Babeli waletwe mbele yangu kunifasiria ndoto yangu.

DAN 4:7 Removed trailing space in v~: Walipokuja waganga, wasihiri, wanajimu na waaguzi, niliwaambia ndoto yangu, lakini hawakuweza kunifasiria.

DAN 4:8 Removed trailing space in v~: Mwishoni, Danieli alikuja mbele yangu nikamweleza hiyo ndoto. (Danieli anaitwa Belteshaza, kwa jina la mungu wangu, nayo roho ya miungu mitakatifu inakaa ndani yake.)

DAN 4:9 Removed trailing space in v~: Nilisema, “Belteshaza, mkuu wa waganga, ninajua kuwa roho ya miungu mitakatifu iko ndani yako, wala hakuna siri iliyo ngumu kwako. Hii ndiyo ndoto yangu, nifasirie.

DAN 4:10 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maono niliyoona nilipokuwa nimelala kitandani mwangu: Nilitazama, na mbele yangu ulisimama mti katikati ya nchi. Ulikuwa mrefu sana.

DAN 4:11 Removed trailing space in v~: Mti ule ulikua, ukawa mkubwa na wenye nguvu, nayo ncha yake ikagusa anga; ulionekana mpaka miisho ya dunia.

DAN 4:12 Removed trailing space in v~: Majani yake yalikuwa ya kupendeza, matunda yake yalikuwa mengi, na juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote. Chini ya kivuli chake wanyama wa kondeni walipata hifadhi, na ndege wa angani waliishi katika matawi yake. Kila kiumbe kililishwa kutokana na mti huo.

DAN 4:13 Removed trailing space in v~: “Katika maono niliyoyaona nikiwa nimelala kitandani mwangu, nilitazama, na mbele yangu alikuwepo mlinzi, aliye mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni.

DAN 4:14 Removed trailing space in v~: Akaita kwa sauti kubwa: ‘Kateni mti huu, myafyeke matawi yake; yaondoeni majani yake na kuyatawanya matunda yake. Wanyama na wakimbie kutoka chini yake na ndege waondoke kutoka matawi yake.

DAN 4:15 Removed trailing space in v~: Lakini acheni kisiki chake na mizizi, kikiwa kimefungwa kwa chuma na shaba, kibaki ardhini, kwenye majani ya kondeni.

DAN 4:15 Removed trailing space in p~: “ ‘Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, naye aachwe aishi pamoja na wanyama miongoni mwa mimea ya dunia.

DAN 4:16 Removed trailing space in v~: Akili yake na ibadilishwe kutoka ile ya mwanadamu na apewe akili ya mnyama, mpaka nyakati saba zipite juu yake.

DAN 4:17 Removed trailing space in v~: “ ‘Uamuzi huu umetangazwa na walinzi, hukumu imetangazwa na watakatifu, ili walio hai wajue kuwa Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme zote za wanadamu, naye humpa yeyote amtakaye na kumtawaza juu yake hata yeye aliye mnyonge sana miongoni mwa wanadamu.’

DAN 4:18 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo ndoto niliyoipata mimi, Mfalme Nebukadneza. Sasa Belteshaza, niambie maana yake, kwa maana hakuna hata mmoja wa wenye hekima katika ufalme wangu anayeweza kunifasiria. Bali wewe waweza, kwa sababu roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako.”

DAN 4:18 Removed trailing space in s1: Danieli Anafasiri Ndoto

DAN 4:19 Removed trailing space in v~: Ndipo Danieli (aliyeitwa pia Belteshaza) alipofadhaika sana kwa muda, nayo mawazo yake yakamtia hofu. Basi mfalme akasema, “Belteshaza, usiruhusu ndoto wala maana yake kukutia hofu.”

DAN 4:19 Removed trailing space in p~: Belteshaza akamjibu, “Bwana wangu, laiti ndoto hii ingehusu adui zako, na maana yake iwahusu watesi wako!

DAN 4:20 Removed trailing space in v~: Mti uliouona, uliokua ukawa mkubwa na wenye nguvu, nayo ncha yake ikagusa anga na kuonekana duniani kote,

DAN 4:21 Removed trailing space in v~: ukiwa na majani ya kupendeza na matunda mengi, ukitoa chakula kwa wote, na ukiwapa hifadhi wanyama wa kondeni na kuwa mahali pa viota katika matawi yake kwa ajili ya ndege wa angani.

DAN 4:22 Removed trailing space in v~: Ee mfalme, wewe ndiwe ule mti! Umekuwa mkubwa na mwenye nguvu, nao ukuu wako umekua mpaka kufika juu angani, nayo mamlaka yako yameenea mpaka miisho ya dunia.

DAN 4:23 Removed trailing space in v~: “Ee mfalme, wewe ulimwona mlinzi, aliye mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni na kusema, ‘Ukateni mti na kuuangamiza, lakini kiacheni kisiki kikiwa kimefungwa kwa chuma na kwa shaba, kwenye majani ya kondeni, wakati mizizi yake inabaki ardhini. Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, mwacheni aishi kama wanyama pori mpaka nyakati saba zipite juu yake.’

DAN 4:24 Removed trailing space in v~: “Ee mfalme, hii ndiyo tafsiri, na hii ni amri ya Aliye Juu Sana aliyoitoa dhidi ya bwana wangu mfalme:

DAN 4:25 Removed trailing space in v~: Wewe utafukuzwa mbali na wanadamu, nawe utaishi pamoja na wanyama pori; utakula manyasi kama ngʼombe, na kuloana kwa umande wa mbinguni. Nyakati saba zitapita juu yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye humtawaza yeyote amtakaye.

DAN 4:26 Removed trailing space in v~: Amri ya kuacha kisiki pamoja na mizizi yake inamaanisha kwamba ufalme wako utarejezwa kwako utakapokubali kwamba Mbingu ndizo zitawalazo.

DAN 4:27 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ee mfalme, uwe radhi kupokea shauri langu: Acha dhambi zako kwa kutenda yaliyo haki, ukaache uovu wako, na uwe na huruma kwa walioonewa. Hivyo itawezekana baada ya hayo, mafanikio yako yakaendelea.”

DAN 4:27 Removed trailing space in s1: Ndoto Inatimia

DAN 4:28 Removed trailing space in v~: Haya yote yalimpata Mfalme Nebukadneza.

DAN 4:29 Removed trailing space in v~: Miezi kumi na miwili baadaye, mfalme alipokuwa akitembea juu ya paa la jumba la kifalme la Babeli,

DAN 4:30 Removed trailing space in v~: alisema, “Je, huu si Babeli mji mkuu nilioujenga kama makao ya kifalme, kwa uwezo wangu mkubwa, na kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu?”

DAN 4:31 Removed trailing space in v~: Maneno hayo yalikuwa bado katika midomo yake wakati sauti ilipokuja kutoka mbinguni, ikisema, “Mfalme Nebukadneza, hiki ndicho kilichoamriwa kwa ajili yako: Mamlaka yako ya ufalme yameondolewa kutoka kwako.

DAN 4:32 Removed trailing space in v~: Utafukuzwa mbali na wanadamu, ukaishi pamoja na wanyama pori, na utakula manyasi kama ngʼombe. Nyakati saba zitapita juu yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye humtawaza yeyote amtakaye.”

DAN 4:33 Removed trailing space in v~: Papo hapo yale yaliyokuwa yamesemwa kuhusu Nebukadneza yakatimia. Alifukuzwa mbali na wanadamu, akala majani kama ngʼombe. Mwili wake uliloweshwa kwa umande wa mbinguni mpaka nywele zake zikakua kama manyoya ya tai na kucha zake kama makucha ya ndege.

DAN 4:34 Removed trailing space in v~: Mwisho wa huo wakati, mimi Nebukadneza, niliinua macho yangu kuelekea mbinguni, nazo fahamu zangu zikanirudia. Ndipo nikamsifu Yeye Aliye Juu Sana, nikamheshimu na kumhimidi yeye aishiye milele.

DAN 4:34 Removed trailing space in p~: Utawala wake ni utawala wa milele;

DAN 4:34 Removed trailing space in p~: ufalme wake hudumu kutoka kizazi na kizazi.

DAN 4:35 Removed trailing space in v~: Mataifa yote ya dunia

DAN 4:35 Removed trailing space in p~: yanahesabiwa kuwa si kitu.

DAN 4:35 Removed trailing space in p~: Hufanya kama atakavyo

DAN 4:35 Removed trailing space in p~: kwa majeshi ya mbinguni,

DAN 4:35 Removed trailing space in p~: na kwa mataifa ya dunia.

DAN 4:35 Removed trailing space in p~: Hakuna anayeweza kuuzuia mkono wake

DAN 4:35 Removed trailing space in p~: au kumwambia, “Umefanya nini wewe?”

DAN 4:36 Removed trailing space in v~: Wakati huo huo fahamu zangu ziliponirudia, nikarudishiwa heshima yangu na fahari yangu kwa ajili ya utukufu wa ufalme wangu. Washauri wangu na wakuu wangu walikuja kunitafuta, nami nikarudishwa kwenye kiti changu cha ufalme hata nikawa mkuu kuliko mwanzoni.

DAN 4:37 Removed trailing space in v~: Basi mimi, Nebukadneza, humhimidi, na humtukuza na kumsifu Mfalme wa mbinguni, kwa sababu kila kitu afanyacho ni haki, na njia zake zote ni adili. Nao waendao kwa kiburi anaweza kuwashusha.

DAN 5:0 Extra space after chapter number

DAN 5:0 Removed trailing space in c: 5

DAN 5:0 Removed trailing space in s1: Maandishi Ukutani

DAN 5:1 Removed trailing space in v~: Mfalme Belshaza alifanya karamu kubwa kwa ajili ya maelfu ya wakuu wake na akanywa mvinyo pamoja nao.

DAN 5:2 Removed trailing space in v~: Wakati Belshaza alipokuwa akinywa mvinyo wake, aliamuru viletwe vile vikombe vya dhahabu na fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka hekaluni huko Yerusalemu, ili mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake waweze kuvinywea.

DAN 5:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo wakavileta vile vikombe vya dhahabu ambavyo vilikuwa vimechukuliwa kutoka Hekalu la Mungu huko Yerusalemu, naye mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake wakavinywea.

DAN 5:4 Removed trailing space in v~: Walipokuwa wakinywa mvinyo, wakaisifu miungu ya dhahabu na fedha, ya shaba, chuma, miti na mawe.

DAN 5:5 Removed trailing space in v~: Ghafula vidole vya mkono wa mwanadamu vilitokea na kuandika juu ya ukuta, karibu na kinara cha taa ndani ya jumba la mfalme. Mfalme akatazama kitanga kilivyokuwa kikiandika.

DAN 5:6 Removed trailing space in v~: Uso wa mfalme ukageuka rangi, naye akaogopa sana, kiasi kwamba magoti yake yaligongana na miguu yake ikalegea.

DAN 5:7 Removed trailing space in v~: Mfalme akawaita wasihiri, wanajimu na waganga waletwe, naye akawaambia hawa wenye hekima wa Babeli, “Yeyote asomaye maandishi haya na kuniambia maana yake atavikwa nguo za zambarau, na kuvikwa mkufu wa dhahabu shingoni mwake, naye atafanywa mtawala wa cheo cha tatu katika ufalme.”

DAN 5:8 Removed trailing space in v~: Ndipo watu wote wa mfalme wenye hekima wakaingia, lakini hawakuweza kusoma yale maandishi wala kumwambia mfalme maana yake.

DAN 5:9 Removed trailing space in v~: Basi Mfalme Belshaza akazidi kujawa na hofu, na uso wake ukageuka rangi zaidi. Wakuu wake wakapigwa na bumbuazi.

DAN 5:10 Removed trailing space in v~: Malkia\f + \fr 5:10 \ft Au: Mama yake mfalme.\f* aliposikia sauti za mfalme na wakuu wake, alikuja katika ukumbi wa karamu. Akasema, “Ee mfalme, uishi milele! Usishtuke! Usibadilike rangi kiasi hicho!

DAN 5:11 Removed trailing space in v~: Yuko mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu mitakatifu ndani yake. Wakati wa baba yako, mtu huyo alionekana kuwa na ufahamu, akili na hekima kama ile ya miungu. Mfalme Nebukadneza baba yako, yaani nasema mfalme baba yako, alimweka kuwa mkuu wa waganga, wasihiri, wanajimu na waaguzi.

DAN 5:12 Removed trailing space in v~: Mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza, alionekana kuwa na akili nyepesi, maarifa na ufahamu, pia uwezo wa kufasiri ndoto, kueleza mafumbo na kutatua matatizo magumu. Mwite Danieli, naye atakuambia maana ya haya maandishi.”

DAN 5:13 Removed trailing space in v~: Hivyo Danieli akaletwa mbele ya mfalme, naye mfalme akamuuliza, “Je, wewe ndiwe Danieli, mmoja wa watu wa uhamisho walioletwa na mfalme baba yangu kutoka Yuda?

DAN 5:14 Removed trailing space in v~: Nimesikia kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na kwamba una ufahamu, akili na hekima ya pekee.

DAN 5:15 Removed trailing space in v~: Watu wenye hekima na wasihiri waliletwa mbele yangu ili kusoma maandishi haya na kuniambia maana yake, lakini hawakuweza kunifafanulia.

DAN 5:16 Removed trailing space in v~: Basi nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo magumu. Ikiwa unaweza kusoma maandishi haya na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni mwako, nawe utafanywa mtawala wa tatu katika ufalme.”

DAN 5:17 Removed trailing space in v~: Ndipo Danieli akamjibu mfalme, “Waweza kubaki na zawadi zako mwenyewe na kumpa mtu mwingine zawadi zako. Hata hivyo, nitasoma maandishi kwa mfalme na kumwambia maana yake.

DAN 5:18 Removed trailing space in v~: “Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Sana alimpa baba yako Nebukadneza utawala, ukuu, utukufu na fahari.

DAN 5:19 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya nafasi ya juu aliyompa baba yako, kabila zote za watu, mataifa na watu wa kila lugha walimhofu na kumwogopa. Wale ambao mfalme alitaka kuwaua, aliwaua; wale aliotaka kuwaacha hai, aliwaacha hai; wale aliotaka kuwapandisha cheo, aliwapandisha; aliotaka kuwashusha, aliwashusha.

DAN 5:20 Removed trailing space in v~: Lakini moyo wake ulipokuwa na majivuno na kuwa mgumu kwa kiburi, aliondolewa kutoka kwa kiti chake cha ufalme na kuvuliwa utukufu wake.

DAN 5:21 Removed trailing space in v~: Akafukuzwa mbali na wanadamu na kupewa akili ya mnyama, akaishi pamoja na punda-mwitu, akala majani kama ngʼombe, nao mwili wake ukaloweshwa kwa umande wa mbingu, mpaka alipotambua kwamba Mungu Aliye Juu Sana ndiye mtawala juu ya falme za wanadamu na kwamba humtawaza juu yao yeyote amtakaye.

DAN 5:22 Removed trailing space in v~: “Lakini wewe mwanawe, ee Belshaza, hukujinyenyekeza, ingawa ulifahamu haya yote.

DAN 5:23 Removed trailing space in v~: Badala yake, umejiinua dhidi ya Bwana wa mbingu. Uliletewa vikombe vya Hekalu lake, nawe na wakuu wako, wake zako na masuria wako mlivitumia kwa kunywea mvinyo. Ukaisifu miungu ya fedha na dhahabu, ya shaba, chuma, miti na mawe, miungu ambayo haiwezi kuona, au kusikia wala kufahamu. Lakini hukumheshimu Mungu ambaye anaushikilia uhai wako na njia zako zote mkononi mwake.

DAN 5:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ameutuma mkono ule ulioandika maneno.

DAN 5:25 Removed trailing space in v~: “Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa:

DAN 5:25 Removed trailing space in p~: mene, mene, tekeli na peresi

DAN 5:26 Removed trailing space in v~: “Hii ndiyo maana ya maneno haya:

DAN 5:26 Removed trailing space in p~: “\tl Mene\tl*: Mungu amezihesabu siku za utawala wako na kuukomesha.

DAN 5:27 Removed trailing space in v~: \tl Tekeli\tl*: Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.

DAN 5:28 Removed trailing space in v~: \tl Peresi\tl*: Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”

DAN 5:29 Removed trailing space in v~: Ndipo kwa amri ya Belshaza, Danieli akavikwa nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni, tena akatangazwa kuwa mtawala wa tatu katika ufalme.

DAN 5:30 Removed trailing space in v~: Usiku ule ule, Belshaza mfalme wa Wakaldayo akauawa,

DAN 5:31 Removed trailing space in v~: naye Dario Mmedi akashika ufalme akiwa na miaka sitini na miwili.

DAN 6:0 Extra space after chapter number

DAN 6:0 Removed trailing space in c: 6

DAN 6:0 Removed trailing space in s1: Danieli Katika Tundu La Simba

DAN 6:1 Removed trailing space in v~: Ilimpendeza Dario kuteua wakuu 120 kutawala katika ufalme wake wote,

DAN 6:2 Removed trailing space in v~: pamoja na wasimamizi watatu juu yao, ambao mmoja wao alikuwa Danieli. Wakuu walitoa hesabu kwa hao wasimamizi ili mfalme asipate hasara.

DAN 6:3 Removed trailing space in v~: Basi Danieli alijidhihirisha, miongoni mwa wasimamizi na wakuu kwa sifa zake za kipekee hata mfalme akapanga kumweka juu ya ufalme wote.

DAN 6:4 Removed trailing space in v~: Walipofahamu hilo, wakuu na wasimamizi wakajaribu kutafuta sababu za kumshtaki Danieli kuhusu usimamizi wake wa shughuli za serikali, lakini hawakuweza kufanikiwa. Hawakuweza kupata kosa kwake, kwa sababu alikuwa mwaminifu, wala hakupatikana na upotovu au uzembe.

DAN 6:5 Removed trailing space in v~: Mwishoni watu hawa walisema, “Kamwe hatutapata msingi wa mashtaka dhidi ya huyu Danieli isipokuwa iwe inahusiana na sheria ya Mungu wake.”

DAN 6:6 Removed trailing space in v~: Basi wasimamizi na wakuu wakaingia kwa mfalme kama kikundi wakasema, “Ee Mfalme Dario, uishi milele!

DAN 6:7 Removed trailing space in v~: Wasimamizi wa ufalme, wasaidizi, wakuu, washauri na watawala wote wamekubaliana kwamba mfalme atoe sheria na kukazia amri kuwa yeyote atakayetoa dua kwa mungu au mwanadamu yeyote katika muda huu wa siku thelathini zijazo, isipokuwa kwako wewe, ee mfalme, atupwe ndani ya tundu la simba.

DAN 6:8 Removed trailing space in v~: Sasa, ee mfalme, toa amri na uiandike ili isiweze kubadilishwa: kulingana na sheria za Wamedi na Waajemi, ambazo haziwezi kubatilishwa.”

DAN 6:9 Removed trailing space in v~: Hivyo Mfalme Dario akaiweka amri hiyo katika maandishi.

DAN 6:10 Removed trailing space in v~: Basi Danieli alipofahamu kuwa amri ile imetangazwa, alikwenda nyumbani kwenye chumba chake cha ghorofani ambako madirisha yalifunguka kuelekea Yerusalemu. Akapiga magoti na kuomba mara tatu kwa siku, akimshukuru Mungu wake kama alivyokuwa akifanya mwanzoni.

DAN 6:11 Removed trailing space in v~: Ndipo watu hawa wakaenda kama kikundi na kumkuta Danieli akiomba na kumsihi Mungu kwa ajili ya msaada.

DAN 6:12 Removed trailing space in v~: Basi wakaenda kwa mfalme na kusema naye kuhusu amri ya mfalme: “Je, hukutangaza amri kwamba kwa muda huu wa siku thelathini zijazo mtu yeyote ambaye atamwomba mungu au mwanadamu yeyote isipokuwa wewe, ee mfalme, angetupwa ndani ya tundu la simba?”

DAN 6:12 Removed trailing space in p~: Mfalme akajibu, “Amri ndivyo ilivyo, kulingana na sheria za Wamedi na Waajemi, ambazo haziwezi kubatilishwa.”

DAN 6:13 Removed trailing space in v~: Ndipo wakamwambia mfalme, “Danieli, ambaye ni mmoja wa mahamisho kutoka Yuda, hakuheshimu, ee mfalme, wala hajali amri uliyoiweka kwa maandishi. Bado anaomba mara tatu kwa siku.”

DAN 6:14 Removed trailing space in v~: Wakati mfalme aliposikia hili, akahuzunika mno. Akakusudia kumwokoa Danieli, hivyo akafanya kila jitihada ya kumwokoa hadi jua likatua.

DAN 6:15 Removed trailing space in v~: Ndipo wale watu wakamwendea mfalme kama kikundi na kumwambia, “Ee mfalme, kumbuka kwamba kulingana na sheria ya Wamedi na Waajemi, hakuna amri wala sheria ambayo mfalme ameitoa inayoweza kubadilishwa.”

DAN 6:16 Removed trailing space in v~: Basi mfalme akatoa amri, nao wakamleta Danieli, na wakamtupa ndani ya tundu la simba. Mfalme akamwambia Danieli, “Mungu wako unayemtumikia daima na akuokoe!”

DAN 6:17 Removed trailing space in v~: Jiwe likaletwa na kuwekwa kwenye mdomo wa tundu, naye mfalme akalitia muhuri kwa pete yake mwenyewe pamoja na kwa pete za wakuu wake, ili hali ya Danieli isiweze kubadilishwa.

DAN 6:18 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme akarudi kwenye jumba lake la kifalme, naye usiku kucha hakula chakula wala kutumia viburudisho alivyoletewa. Lakini hakuweza kulala.

DAN 6:19 Removed trailing space in v~: Asubuhi na mapema, mfalme akaondoka na kuharakisha kwenda kwenye tundu la simba.

DAN 6:20 Removed trailing space in v~: Wakati alipokaribia lile tundu, akamwita Danieli kwa sauti ya uchungu, “Danieli, mtumishi wa Mungu aliye hai! Je, Mungu wako unayemtumikia daima, ameweza kukuokoa kwa simba?”

DAN 6:21 Removed trailing space in v~: Danieli akajibu, “Ee mfalme, uishi milele!

DAN 6:22 Removed trailing space in v~: Mungu wangu alimtuma malaika wake, naye akafunga vinywa vya hawa simba. Hawajanidhuru, kwa sababu nilionekana sina hatia mbele zake. Wala kamwe sijafanya jambo lolote baya mbele yako, ee mfalme.”

DAN 6:23 Removed trailing space in v~: Mfalme akafurahi mno, naye akatoa amri Danieli atolewe kutoka kwa lile tundu. Danieli alipotolewa kutoka kwa lile tundu, hakukutwa na jeraha lolote, kwa sababu alikuwa amemtumaini Mungu wake.

DAN 6:24 Removed trailing space in v~: Kwa amri ya mfalme, wale watu waliokuwa wamemshtaki Danieli kwa uongo waliletwa na kutupwa ndani ya lile tundu la simba, pamoja na wake zao na watoto wao. Nao kabla hawajafika chini kwenye sakafu ya lile tundu, simba wakawakamata na kusaga mifupa yao yote.

DAN 6:25 Removed trailing space in v~: Kisha Mfalme Dario akawaandikia kabila zote za watu, mataifa, na watu wa kila lugha katika nchi yote:

DAN 6:25 Removed trailing space in p~: “Ninyi na mstawi sana!

DAN 6:26 Removed trailing space in v~: “Natoa amri hii, kwamba katika kila sehemu ya ufalme wangu, lazima watu wamwogope na kumheshimu Mungu wa Danieli.

DAN 6:26 Removed trailing space in p~: “Kwa maana yeye ni Mungu aliye hai,

DAN 6:26 Removed trailing space in p~: naye hudumu milele,

DAN 6:26 Removed trailing space in p~: ufalme wake hautaangamizwa,

DAN 6:26 Removed trailing space in p~: nao utawala wake hauna mwisho.

DAN 6:27 Removed trailing space in v~: Huponya na kuokoa;

DAN 6:27 Removed trailing space in p~: hufanya ishara na maajabu

DAN 6:27 Removed trailing space in p~: mbinguni na duniani.

DAN 6:27 Removed trailing space in p~: Amemwokoa Danieli

DAN 6:27 Removed trailing space in p~: kutoka nguvu za simba.”

DAN 6:28 Removed trailing space in v~: Hivyo Danieli akastawi wakati wa utawala wa Dario, na utawala wa Koreshi Mwajemi.

DAN 8:0 Extra space after chapter number

DAN 8:0 Removed trailing space in c: 8

DAN 8:0 Removed trailing space in s1: Maono Ya Danieli Ya Kondoo Dume Na Beberu

DAN 8:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Mfalme Belshaza, mimi Danieli, nilipata maono, baada ya maono ambayo yalikuwa yamenitokea mbeleni.

DAN 8:2 Removed trailing space in v~: Katika maono yangu, nilijiona nikiwa ndani ya ngome ya Shushani katika jimbo la Elamu. Katika maono nilikuwa kando ya Mto Ulai.\f + \fr 8:2 \ft Mto Ulai ni mfereji uliokuwa kati ya Shushani na Elymaisi; sasa unaitwa Mto Karuni.\f*

DAN 8:3 Removed trailing space in v~: Nikatazama juu, na hapo mbele yangu kulikuwa na kondoo dume mwenye pembe mbili, akiwa amesimama kando ya mto, nazo pembe zake zilikuwa ndefu. Pembe moja ilikuwa ndefu kuliko hiyo nyingine, lakini iliendelea kukua baadaye.

DAN 8:4 Removed trailing space in v~: Nikamtazama yule kondoo dume alivyokuwa akishambulia kuelekea magharibi, kaskazini na kusini. Hakuna mnyama yeyote aliyeweza kusimama dhidi yake, wala hakuna aliyeweza kuokoa kutoka nguvu zake. Alifanya kama atakavyo, naye akawa mkuu.

DAN 8:5 Removed trailing space in v~: Nilipokuwa ninatafakari hili, ghafula beberu mwenye pembe moja kubwa sana katikati ya macho yake alikuja kutoka magharibi, akiruka kasi juu ya dunia yote bila kugusa ardhi.

DAN 8:6 Removed trailing space in v~: Alikuja akimwelekea yule kondoo dume mwenye pembe mbili niliyemwona akisimama kando ya mto, akamshambulia kwa hasira nyingi.

DAN 8:7 Removed trailing space in v~: Nikamwona akimshambulia yule kondoo dume kwa hasira nyingi, akimpiga yule kondoo dume na kuvunja pembe zake mbili. Yule kondoo dume hakuwa na nguvu za kumzuia yule beberu, hivyo akamwangusha yule kondoo dume chini na kumkanyaga, wala hakuna aliyeweza kumwokoa yule kondoo dume kutoka nguvu za huyo beberu.

DAN 8:8 Removed trailing space in v~: Yule beberu akawa mkubwa sana, lakini katika kilele cha nguvu zake ile pembe yake ndefu ilivunjika, na mahali pake pakaota pembe nne kubwa kuelekea pande nne za dunia.

DAN 8:9 Removed trailing space in v~: Kutoka mojawapo ya zile pembe nne palitokea pembe ndogo ukaongezeka nguvu kuelekea kusini, na kuelekea mashariki, na kuelekea Nchi ya Kupendeza.

DAN 8:10 Removed trailing space in v~: Pembe hiyo ikaendelea kukua hadi kufikia jeshi la mbinguni, nayo ikalitupa baadhi ya jeshi la vitu vya angani hapa chini duniani, na kulikanyaga.

DAN 8:11 Removed trailing space in v~: Pembe hiyo ikajikweza ili iwe kama Mkuu wa hilo jeshi; ikamwondolea dhabihu ya kila siku, napo mahali pake patakatifu pakashushwa chini.

DAN 8:12 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya uasi, jeshi la watakatifu na dhabihu za kila siku vikatiwa mikononi mwake. Ikafanikiwa katika kila kitu ilichofanya, nayo kweli ikatupwa chini.

DAN 8:13 Removed trailing space in v~: Kisha nikamsikia mtakatifu mmoja akizungumza na mtakatifu mwingine, akamwambia, “Je, itachukua muda gani maono haya yatimie: maono kuhusu dhabihu ya kila siku, uasi unaosababisha ukiwa, kutwaliwa kwa mahali patakatifu, na jeshi litakalokanyagwa chini ya nyayo?”

DAN 8:14 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Itachukua siku 2,300. Ndipo mahali patakatifu patawekwa wakfu tena.”

DAN 8:14 Removed trailing space in s1: Tafsiri Ya Maono

DAN 8:15 Removed trailing space in v~: Mimi Danieli nilipokuwa ninaangalia maono na kujaribu kuelewa, mbele yangu alisimama mmoja aliyefanana na mwanadamu.

DAN 8:16 Removed trailing space in v~: Kisha nikasikia sauti ya mwanadamu kutoka Mto Ulai ikiita, “Gabrieli, mwambie mtu huyu maana ya maono haya.”

DAN 8:17 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akikaribia pale nilipokuwa nimesimama, niliogopa, nikaanguka kifudifudi. Akaniambia, “Mwana wa mwanadamu, fahamu kuwa maono haya yanahusu siku za mwisho.”

DAN 8:18 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akinena nami, nilikuwa katika usingizi mzito, huku nimelala kifudifudi. Ndipo aliponigusa na kunisimamisha wima.

DAN 8:19 Removed trailing space in v~: Akaniambia, “Nitakuambia yale yatakayotokea baadaye wakati wa ghadhabu, kwa sababu maono haya yanahusu wakati wa mwisho ulioamriwa.

DAN 8:20 Removed trailing space in v~: Kondoo dume mwenye pembe mbili ambaye ulimwona anawakilisha wafalme wa Umedi na Uajemi.

DAN 8:21 Removed trailing space in v~: Yule beberu mwenye nywele nyingi ni mfalme wa Uyunani, nayo ile pembe ndefu katikati ya macho yake ni mfalme wa kwanza.

DAN 8:22 Removed trailing space in v~: Zile pembe nne zilizoota badala ya ile pembe iliyovunjika zinawakilisha falme nne ambazo zitatokea kutoka taifa lake, lakini hakuna hata mmoja utakaokuwa na nguvu kama ule uliovunjika.

DAN 8:23 Removed trailing space in v~: “Katika sehemu ya mwisho ya utawala wao, wakati waasi watakapokuwa waovu kabisa, atainuka mfalme mwenye uso mkali, aliye stadi wa hila.

DAN 8:24 Removed trailing space in v~: Atakuwa na nguvu nyingi, lakini si kwa uwezo wake mwenyewe. Atasababisha uharibifu wa kutisha, na atafanikiwa kwa chochote anachofanya. Atawaangamiza watu maarufu na watu watakatifu.

DAN 8:25 Removed trailing space in v~: Atasababisha udanganyifu ustawi, naye atajihesabu mwenyewe kuwa bora. Wakati wajisikiapo kuwa wako salama, atawaangamiza wengi, na kushindana na Mkuu wa wakuu. Lakini ataangamizwa, isipokuwa si kwa uwezo wa mwanadamu.

DAN 8:26 Removed trailing space in v~: “Maono kuhusu jioni na asubuhi ambayo umepewa ni kweli, lakini yatie muhuri maono haya, kwa maana yanahusu wakati mrefu ujao.”

DAN 8:27 Removed trailing space in v~: Mimi Danieli nilikuwa nimechoka sana, na nikalala nikiwa mgonjwa kwa siku kadhaa. Ndipo nikaamka, nikaenda kwenye shughuli za mfalme. Nilifadhaishwa na maono hayo, nami sikuweza kuyaelewa.

DAN 9:0 Extra space after chapter number

DAN 9:0 Removed trailing space in c: 9

DAN 9:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Danieli

DAN 9:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario mwana wa Ahasuero (mzaliwa wa Umedi), ambaye alifanywa mtawala juu ya ufalme wa Babeli,

DAN 9:2 Removed trailing space in v~: katika mwaka wa kwanza wa utawala wake, mimi Danieli nilielewa kutokana na Maandiko, kulingana na neno la \nd Bwana\nd* alilopewa nabii Yeremia, kwamba ukiwa wa Yerusalemu ungetimizwa kwa miaka sabini.

DAN 9:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nikamgeukia \nd Bwana\nd* Mungu na kumsihi katika maombi na dua, katika kufunga, na kuvaa nguo ya gunia na kujipaka majivu.

DAN 9:4 Removed trailing space in v~: Nikamwomba \nd Bwana\nd* Mungu wangu na kutubu:

DAN 9:4 Removed trailing space in p~: “Ee Bwana, Mungu mkuu na unayetisha, anayeshika agano lake la upendo kwao wanaompenda na kutii maagizo yake,

DAN 9:5 Removed trailing space in v~: tumetenda dhambi na kufanya mabaya. Tumekuwa waovu na tumeasi; tumegeuka mbali na maagizo yako na sheria zako.

DAN 9:6 Removed trailing space in v~: Hatukuwasikiliza watumishi wako manabii, ambao kwa jina lako walisema na wafalme wetu, wakuu wetu, baba zetu, na watu wote wa nchi.

DAN 9:7 Removed trailing space in v~: “Bwana, wewe ni mwenye haki, lakini siku hii ya leo tumefunikwa na aibu: tukiwa wanaume wa Yuda, na watu wa Yerusalemu, na Israeli yote, wote walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ulikotutawanya kwa sababu ya kukosa uaminifu kwako.

DAN 9:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, sisi na wafalme wetu, wakuu wetu na baba zetu tumefunikwa na aibu kwa sababu tumefanya dhambi dhidi yako.

DAN 9:9 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wetu ni mwenye rehema na anayesamehe, hata ingawa tumefanya uasi dhidi yake.

DAN 9:10 Removed trailing space in v~: Hatukumtii \nd Bwana\nd* Mungu wetu wala kuzishika sheria alizotupa kupitia kwa watumishi wake manabii.

DAN 9:11 Removed trailing space in v~: Israeli yote imekosea sheria yako na kugeuka mbali, nao wamekataa kukutii.

DAN 9:11 Removed trailing space in p~: “Kwa hiyo laana na viapo vya hukumu vilivyoandikwa katika Sheria ya Mose, mtumishi wa Mungu, vimemiminwa juu yetu, kwa sababu tumefanya dhambi dhidi yako.

DAN 9:12 Removed trailing space in v~: Umetimiza maneno uliyosema dhidi yetu na dhidi ya watawala wetu, kwa kuleta maafa makubwa juu yetu. Chini ya mbingu yote kamwe hapajatendeka kitu kama kile kilichotendeka kwa Yerusalemu.

DAN 9:13 Removed trailing space in v~: Kama vile ilivyoandikwa katika sheria ya Mose, misiba hii yote imekuja juu yetu, lakini hatujaomba fadhili kwa \nd Bwana\nd* Mungu wetu kwa kugeuka kutoka dhambi zetu na kuwa wasikivu katika kweli yake.

DAN 9:14 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* hakusita kuleta maafa juu yetu, kwa maana \nd Bwana\nd* Mungu wetu ni mwenye haki katika kila afanyalo; lakini hata hivyo hatujamtii.

DAN 9:15 Removed trailing space in v~: “Sasa, Ee Bwana Mungu wetu, ambaye uliwatoa watu wako Misri kwa mkono wenye nguvu, na ambaye umejifanyia Jina linalodumu mpaka leo, tumetenda dhambi, tumefanya mabaya.

DAN 9:16 Removed trailing space in v~: Ee Bwana, wewe kwa kadiri ya matendo yako ya haki, ondoa hasira yako na ghadhabu yako juu ya Yerusalemu, mji wako, mlima wako mtakatifu. Dhambi zetu na maovu ya baba zetu yameifanya Yerusalemu na watu wako kitu cha kudharauliwa kwa wale wote wanaotuzunguka.

DAN 9:17 Removed trailing space in v~: “Basi Mungu wetu, sasa sikia maombi na dua ya mtumishi wako. Ee Bwana, kwa ajili yako angalia kwa huruma ukiwa wa mahali pako patakatifu.

DAN 9:18 Removed trailing space in v~: Ee Mungu, tega sikio na ukasikie; fumbua macho yako ukaone ukiwa wa mji ule wenye Jina lako. Hatukutolei maombi yetu kwa sababu sisi tuna haki, bali kwa sababu ya rehema zako nyingi.

DAN 9:19 Removed trailing space in v~: Ee Bwana, sikiliza! Ee Bwana, samehe! Ee Bwana, sikia na ukatende! Kwa ajili yako, Ee Mungu wangu, usikawie, kwa sababu mji wako na watu wako wanaitwa kwa Jina lako.”

DAN 9:19 Removed trailing space in s1: Majuma Sabini

DAN 9:20 Removed trailing space in v~: Basi, nilipokuwa bado nikinena na kuomba, nikiungama dhambi yangu na dhambi ya watu wangu Israeli, na nikifanya maombi yangu kwa \nd Bwana\nd* Mungu wangu kwa ajili ya mlima wake mtakatifu,

DAN 9:21 Removed trailing space in v~: wakati nilipokuwa bado katika maombi, Gabrieli, yule mtu niliyekuwa nimemwona katika maono hapo awali, alinijia kwa kasi karibu wakati wa kutoa dhabihu ya jioni.

DAN 9:22 Removed trailing space in v~: Akanielimisha na kuniambia, “Danieli, sasa nimekuja kukupa akili na ufahamu.

DAN 9:23 Removed trailing space in v~: Mara ulipoanza kuomba, jibu lilitolewa, ambalo nimekuja kukupasha habari, kwa maana wewe unapendwa sana. Kwa hiyo, tafakari ujumbe huu na uelewe maono haya:

DAN 9:24 Removed trailing space in v~: “Majuma sabini yameamriwa kwa ajili ya watu wako na kwa ajili ya mji wako mtakatifu, ili kumaliza makosa, kukomesha dhambi, kufanya upatanisho kwa ajili ya uovu, kuleta haki ya milele, kutia muhuri maono na unabii, na pia kumtia mafuta yeye aliye mtakatifu sana.

DAN 9:25 Removed trailing space in v~: “Ujue na kuelewa hili: Tangu kutolewa kwa amri ya kuutengeneza na kuujenga upya Yerusalemu mpaka kuja kwa Mpakwa mafuta, aliye mtawala, kutakuwako majuma saba na majuma sitini na mawili. Barabara zitajengwa tena pamoja na mahandaki, lakini katika wakati wa taabu.

DAN 9:26 Removed trailing space in v~: Baada ya majuma sitini na mawili, Mpakwa Mafuta atakatiliwa mbali, wala hatabaki na kitu. Watu wa mtawala atakayekuja watauharibu mji pamoja na mahali patakatifu. Mwisho utakuja kama mafuriko: Vita vitaendelea mpaka mwisho, nao ukiwa umeamriwa.

DAN 9:27 Removed trailing space in v~: Mtawala huyo atathibitisha agano na watu wengi kwa juma moja. Katikati ya juma hilo atakomesha dhabihu na sadaka. Mahali pa dhabihu katika Hekalu atasimamisha chukizo la uharibifu, hadi mwisho ulioamriwa utakapomiminwa juu yake yeye aletaye uharibifu.”

DAN 10:0 Extra space after chapter number

DAN 10:0 Removed trailing space in c: 10

DAN 10:0 Removed trailing space in s1: Maono Ya Danieli Kuhusu Mtu

DAN 10:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, Danieli (ambaye aliitwa Belteshaza) alipewa ufunuo. Ujumbe wake ulikuwa kweli, nao ulihusu vita vikubwa. Ufahamu wa ujumbe ulimjia katika maono.

DAN 10:2 Removed trailing space in v~: Wakati huo, mimi Danieli nikaomboleza kwa majuma matatu.

DAN 10:3 Removed trailing space in v~: Sikula chakula kizuri; nyama wala divai havikugusa midomo yangu; nami sikujipaka mafuta kamwe mpaka majuma matatu yalipotimia.

DAN 10:4 Removed trailing space in v~: Kwenye siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kwanza, nilipokuwa nimesimama kwenye ukingo wa mto mkubwa Hidekeli,\f + \fr 10:4 \ft Hedekeli ndio Mto Tigrisi.\f*

DAN 10:5 Removed trailing space in v~: nikatazama juu, na mbele yangu alikuwepo mtu aliyevaa mavazi ya kitani na mshipi wa dhahabu safi kutoka ufazi kiunoni mwake.

DAN 10:6 Removed trailing space in v~: Mwili wake ulikuwa kama kito cha zabarajadi safi, uso wake kama umeme wa radi, macho yake kama mwali wa moto, mikono yake na miguu yake kama mngʼao wa shaba iliyosuguliwa sana, nayo sauti yake kama ya umati mkubwa wa watu.

DAN 10:7 Removed trailing space in v~: Mimi Danieli, ni mimi peke yangu niliyeona hayo maono; watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona, lakini waligubikwa na hofu kuu, hata wakakimbia na kujificha.

DAN 10:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo niliachwa peke yangu, nikikodolea macho maono hayo makubwa; sikubakiwa na nguvu, na rangi ya uso wangu ikabadilika kama aliyekufa, nikakosa nguvu.

DAN 10:9 Removed trailing space in v~: Kisha nikamsikia akisema, nami nilipokuwa nikimsikiliza, nikalala kifudifudi, nikapatwa na usingizi mzito.

DAN 10:10 Removed trailing space in v~: Mkono ulinigusa, ukaninyanyua, na kuniweka nikipiga magoti na mikono yangu ikashika chini, huku nikiwa bado ninatetemeka.

DAN 10:11 Removed trailing space in v~: Akasema, “Danieli, wewe mtu upendwaye sana, fikiri kwa makini maneno ninayokwenda kunena nawe sasa; simama wima, kwa maana sasa nimetumwa kwako.” Naye aliponiambia haya, nikasimama nikitetemeka.

DAN 10:12 Removed trailing space in v~: Ndipo akaendelea kusema, “Danieli, usiogope. Tangu siku ya kwanza ulipotia moyo wako ili kupata ufahamu na kujinyenyekeza mbele ya Mungu wako, maneno yako yalisikiwa, nami nimekuja ili kujibu maneno yako.

DAN 10:13 Removed trailing space in v~: Lakini mkuu wa ufalme wa Uajemi alinipinga kwa siku ishirini na moja. Ndipo Mikaeli, mmoja wa malaika wakuu, alikuja kunisaidia, kwa sababu nilikuwa nimezuiliwa huko na mfalme wa Uajemi.

DAN 10:14 Removed trailing space in v~: Sasa nimekuja kukuelezea mambo yatakayowatokea watu wako wakati ujao, kwa maana maono hayo yanahusu wakati ambao haujaja bado.”

DAN 10:15 Removed trailing space in v~: Alipokuwa akinielezea haya, nilisujudu uso wangu ukiwa umeelekea chini, nikawa bubu.

DAN 10:16 Removed trailing space in v~: Ndipo mmoja aliyeonekana kama mwanadamu akanigusa midomo yangu, nami nikafungua kinywa changu, nikaanza kunena. Nikamwambia yule aliyesimama mbele yangu, “Nimepatwa na huzuni kubwa kwa sababu ya maono haya, bwana wangu, nami nimeishiwa nguvu.

DAN 10:17 Removed trailing space in v~: Bwana wangu, mimi mtumishi wako nitawezaje kuzungumza na wewe? Nguvu zangu zimeniishia hata ninashindwa kupumua.”

DAN 10:18 Removed trailing space in v~: Tena yule aliyeonekana kama mwanadamu akanigusa na kunitia nguvu.

DAN 10:19 Removed trailing space in v~: Akasema, “Ee mtu upendwaye sana, usiogope. Amani iwe kwako! Uwe na nguvu sasa; jipe nguvu.”

DAN 10:19 Removed trailing space in p~: Alipozungumza nami, nilipata nguvu, nikasema, “Nena, bwana wangu, kwa kuwa umenipa nguvu.”

DAN 10:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo akasema, “Je, unajua kwa nini nimekujia? Sasa hivi nitarudi kupigana dhidi ya mkuu wa Uajemi, nami nikienda, mkuu wa Uyunani atakuja.

DAN 10:21 Removed trailing space in v~: Lakini kwanza nitakuambia kile kilichoandikwa katika Kitabu cha Kweli. (Hakuna hata mmoja anayenisaidia dhidi yao isipokuwa Mikaeli, mkuu wenu.

DAN 11:0 Extra space after chapter number

DAN 11:0 Removed trailing space in c: 11

DAN 11:1 Removed trailing space in v~: Nami katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Dario Mmedi, nilisimama kumsaidia na kumlinda.)

DAN 11:1 Removed trailing space in s1: Wafalme Wa Kusini Na Wa Kaskazini

DAN 11:2 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, ninakuambia kweli: Wafalme watatu zaidi watatokea Uajemi, kisha atatokea mfalme wa nne, ambaye atakuwa tajiri sana kuliko wengine wote. Wakati atakapokuwa amekwisha kujipatia nguvu kwa utajiri wake, atamchochea kila mmoja dhidi ya ufalme wa Uyunani.

DAN 11:3 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme mwenye nguvu atatokea, ambaye atatawala kwa nguvu nyingi na kufanya anavyopenda.

DAN 11:4 Removed trailing space in v~: Baada ya kujitokeza, milki yake itavunjwa na kugawanyika katika pande nne za mbinguni. Hautakwenda kwa wazao wake, wala hautakuwa na nguvu alizotumia, kwa sababu milki yake itangʼolewa na kupewa wengine.

DAN 11:5 Removed trailing space in v~: “Mfalme wa Kusini atakuwa na nguvu, lakini mmoja wa majemadari wake atakuwa na nguvu zaidi kuliko mfalme, naye atatawala ufalme wake mwenyewe kwa nguvu nyingi.

DAN 11:6 Removed trailing space in v~: Baada ya miaka kadha, wataungana. Binti wa mfalme wa Kusini ataolewa kwa mfalme wa Kaskazini ili kuimarisha mapatano, lakini huyo binti nguvu zake hazitadumu; hata mfalme hatadumu wala nguvu zake. Katika siku hizo atafukuzwa, pamoja na hao wasindikizaji wake wa kifalme, watoto wake, na yeyote aliyemuunga mkono.

DAN 11:7 Removed trailing space in v~: “Mmoja kutoka jamaa ya huyo binti atainuka na kuchukua nafasi yake. Atashambulia majeshi ya mfalme wa Kaskazini na kuingia katika ngome yake; atapigana dhidi yao naye atashinda.

DAN 11:8 Removed trailing space in v~: Tena ataitwaa miungu yao, vinyago vyao vya chuma, na vitu vyao vya thamani vya fedha na dhahabu, na kuvichukua hadi Misri. Kwa miaka kadha atamwacha mfalme wa Kaskazini bila kumsumbua.

DAN 11:9 Removed trailing space in v~: Kisha mfalme wa Kaskazini atashambulia nchi ya mfalme wa Kusini, lakini atarudi nyuma hadi kwenye nchi yake.

DAN 11:10 Removed trailing space in v~: Wana wa mfalme wa Kaskazini watajiandaa kwa vita na kukusanya jeshi kubwa, ambalo litafagia nchi kama mafuriko yasiyozuilika na kuendelea na vita hadi kwenye ngome ya mfalme wa Kusini.

DAN 11:11 Removed trailing space in v~: “Kisha mfalme wa Kusini atatoka kwa ghadhabu na kupigana dhidi ya mfalme wa Kaskazini, ambaye ataunda jeshi kubwa, lakini litashindwa.

DAN 11:12 Removed trailing space in v~: Wakati jeshi litakapokuwa limechukuliwa, mfalme wa Kusini atajawa na kiburi na atachinja maelfu mengi, hata hivyo hatabaki na ushindi.

DAN 11:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana mfalme wa Kaskazini atakusanya jeshi jingine kubwa kuliko lile la kwanza; na baada ya miaka kadha, atasonga mbele na jeshi kubwa mno lililoandaliwa vizuri.

DAN 11:14 Removed trailing space in v~: “Katika nyakati hizo wengi watainuka dhidi ya mfalme wa Kusini. Watu wenye ghasia miongoni mwa watu wako mwenyewe wataasi ili kutimiza maono, lakini bila mafanikio.

DAN 11:15 Removed trailing space in v~: Ndipo mfalme wa Kaskazini atakuja na kuuzunguka mji kwa majeshi, na kuuteka mji wa ngome. Majeshi ya Kusini yatakosa nguvu za kuyazuia; naam, hata vikosi vyao vya askari vilivyo bora zaidi, havitakuwa na nguvu ya kuwakabili.

DAN 11:16 Removed trailing space in v~: Huyo mvamia nchi atafanya apendavyo; hakuna yeyote atakayeweza kumpinga. Atajiimarisha katika Nchi ya Kupendeza, na atakuwa na uwezo wa kuiangamiza.

DAN 11:17 Removed trailing space in v~: Ataamua kuja na nguvu za ufalme wake wote na kufanya mapatano ya amani na mfalme wa Kusini. Naye atamtoa binti yake aolewe naye ili kuuangusha ufalme, lakini mipango yake haitafanikiwa wala kumsaidia.

DAN 11:18 Removed trailing space in v~: Ndipo atabadili nia yake kupigana na nchi za pwani na ataziteka nyingi, lakini jemadari mmoja atakomesha ufidhuli wake na kurudisha ufidhuli wake juu yake.

DAN 11:19 Removed trailing space in v~: Baada ya hili atazigeukia ngome za nchi yake mwenyewe, lakini atajikwaa na kuanguka, wala hataonekana tena.

DAN 11:20 Removed trailing space in v~: “Atakayetawala baada yake atamtuma mtoza ushuru ili kudumisha fahari ya kifalme. Hata hivyo, baada ya miaka michache ataangamizwa, lakini si katika hasira wala katika vita.

DAN 11:21 Removed trailing space in v~: “Atakayetawala baada yake atakuwa mtu wa kudharauliwa ambaye hajapewa heshima ya kifalme. Atauvamia ufalme wakati watu wake wanapojiona wako salama, naye atautwaa kwa hila.

DAN 11:22 Removed trailing space in v~: Ndipo jeshi kubwa litafagiliwa mbele yake; jeshi pamoja na mkuu mmoja wa agano wataangamizwa.

DAN 11:23 Removed trailing space in v~: Baada ya kufanya mapatano naye, atatenda kwa udanganyifu, na akitumia watu wachache tu ataingia madarakani.

DAN 11:24 Removed trailing space in v~: Wakati majimbo yaliyo tajiri sana yanajiona salama, atayavamia, naye atafanikisha kile ambacho baba zake wala babu zake hawakuweza. Atagawa nyara, mateka na utajiri miongoni mwa wafuasi wake. Atafanya hila ya kupindua miji yenye maboma, lakini kwa muda mfupi tu.

DAN 11:25 Removed trailing space in v~: “Pamoja na jeshi kubwa atachochea nguvu zake na ushujaa wake dhidi ya mfalme wa Kusini. Mfalme wa Kusini atafanya vita na jeshi lenye nguvu sana, lakini hataweza kusimama kwa sababu ya kwa hila zilizofanywa dhidi yake.

DAN 11:26 Removed trailing space in v~: Wale wanaokula kutoka kwenye ruzuku za mfalme watajaribu kumwangamiza; jeshi lake litafagiliwa mbali, nao wengi watakufa vitani.

DAN 11:27 Removed trailing space in v~: Wafalme hawa wawili, mioyo yao ikiwa imekusudia mabaya, wataketi kwenye meza moja na kudanganyana wao kwa wao, lakini pasipo faida, kwa sababu bado mwisho utakuja katika wakati ulioamriwa.

DAN 11:28 Removed trailing space in v~: Mfalme wa Kaskazini atarudi katika nchi yake na utajiri mwingi, lakini atakuwa ameukaza moyo wake kinyume na agano takatifu. Atachukua hatua dhidi ya hilo agano, kisha atarudi nchi yake.

DAN 11:29 Removed trailing space in v~: “Wakati ulioamriwa, atavamia tena Kusini, lakini wakati huu matokeo yake yatakuwa tofauti na yale ya wakati wa kwanza.

DAN 11:30 Removed trailing space in v~: Meli za nchi ya Kitimu zitampinga, naye atavunjika moyo. Ndipo atarudi nyuma na kutoa wazi hasira yake dhidi ya agano takatifu. Atarudi na kuonyesha fadhili kwa wale waliachao agano takatifu.

DAN 11:31 Removed trailing space in v~: “Majeshi yake yenye silaha yatainuka ili kunajisi ngome ya Hekalu, na kuondolea mbali sadaka ya kuteketezwa ya kila siku. Ndipo watalisimamisha chukizo la uharibifu lisababishalo ukiwa.

DAN 11:32 Removed trailing space in v~: Kwa udanganyifu atapotosha wale walionajisi agano, lakini watu wanaomjua Mungu wao watampinga kwa uthabiti.

DAN 11:33 Removed trailing space in v~: “Wenye hekima watawafundisha wengi, ingawa kwa kitambo watauawa kwa upanga au kuchomwa moto, au kukamatwa au kufanywa mateka.

DAN 11:34 Removed trailing space in v~: Watakapoanguka, watapokea msaada kidogo, nao wengi ambao si waaminifu wataungana nao.

DAN 11:35 Removed trailing space in v~: Baadhi ya wenye hekima watajikwaa, ili waweze kusafishwa, kutakaswa na kufanywa wasio na waa mpaka wakati wa mwisho, kwa maana bado litakuja kwa wakati ulioamriwa.

DAN 11:35 Removed trailing space in s1: Mfalme Ajikwezaye Mwenyewe

DAN 11:36 Removed trailing space in v~: “Mfalme atafanya apendavyo. Atajikweza na kujitukuza juu ya kila mungu, naye atasema mambo ambayo hayajasikiwa dhidi ya Mungu wa miungu. Atafanikiwa hadi wakati wa ghadhabu utimie, kwa maana kile kilichokusudiwa lazima kitokee.

DAN 11:37 Removed trailing space in v~: Hataonyesha heshima kwa miungu ya baba zake au kwa yule aliyetamaniwa na wanawake, wala hatajali mungu yeyote, bali atajikweza mwenyewe juu yao wote.

DAN 11:38 Removed trailing space in v~: Badala ya kuwajali miungu, ataheshimu mungu wa ngome; mungu ambaye hakujulikana na baba zake ndiye atamheshimu kwa dhahabu na fedha, kwa vito vya thamani na zawadi za thamani kubwa.

DAN 11:39 Removed trailing space in v~: Atashambulia ngome zenye nguvu mno kwa msaada wa mungu wa kigeni naye atawaheshimu sana wale watakaomkubali yeye. Atawafanya watawala juu ya watu wengi, na atagawa nchi kwa gharama.

DAN 11:40 Removed trailing space in v~: “Katika wakati wa mwisho, mfalme wa Kusini atapigana naye vita, naye mfalme wa Kaskazini atamshambulia kwa magari ya vita, askari wapanda farasi, na idadi kubwa ya meli. Atavamia nchi nyingi na kuzikumba nchi hizo kama mafuriko.

DAN 11:41 Removed trailing space in v~: Pia ataivamia Nchi ya Kupendeza. Nchi nyingi zitapinduliwa, bali Edomu, Moabu na viongozi wa Amoni wataokolewa kutoka mkono wake.

DAN 11:42 Removed trailing space in v~: Atapanua mamlaka yake juu ya nchi nyingi; hata Misri haitaepuka.

DAN 11:43 Removed trailing space in v~: Atamiliki hazina za dhahabu, fedha na utajiri wote wa Misri, pamoja na Walibia na Wakushi kwa kujisalimisha.

DAN 11:44 Removed trailing space in v~: Lakini taarifa kutoka mashariki na kaskazini zitamshtua, naye ataondoka kwa ghadhabu nyingi ili kuangamiza na kuharibu kabisa wengi.

DAN 11:45 Removed trailing space in v~: Atasimika hema zake za ufalme kati ya bahari na mlima mtakatifu wa kupendeza. Hata hivyo, atafikia mwisho wake, wala hakuna yeyote atakayemsaidia.

DAN 12:0 Extra space after chapter number

DAN 12:0 Removed trailing space in c: 12

DAN 12:0 Removed trailing space in s1: Nyakati Za Mwisho

DAN 12:1 Removed trailing space in v~: “Katika wakati huo Mikaeli, mtawala mkuu ambaye huwalinda watu wako, atainuka. Kutakuwako wakati wa taabu ambao haujatokea tangu mwanzo wa mataifa hadi wakati huo. Lakini wakati huo, watu wako, kila mmoja ambaye jina lake litakutwa limeandikwa kwenye kitabu, ataokolewa.

DAN 12:2 Removed trailing space in v~: Wengi ambao wamelala kwenye mavumbi wataamka, baadhi yao kwa uzima wa milele, wengine kwa aibu na kudharauliwa milele.

DAN 12:3 Removed trailing space in v~: Wale wenye hekima watangʼaa kama mwanga wa mbingu, nao wale ambao huwaongoza wengi kutenda haki, watangʼaa kama nyota milele na milele.

DAN 12:4 Removed trailing space in v~: Lakini wewe Danieli, yafunge na kuyatia muhuri maneno ya kitabu hiki mpaka wakati wa mwisho. Wengi watakwenda huku na huko, na maarifa yataongezeka.”

DAN 12:5 Removed trailing space in v~: Ndipo mimi Danieli nikaangalia, nako mbele yangu walisimama wengine wawili, mmoja katika ukingo huu wa mto, na mwingine ukingo wa pili wa mto.

DAN 12:6 Removed trailing space in v~: Mmoja wao akasema na yule mtu aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu ya maji ya mto, “Je, itachukua muda gani kabla mambo haya ya kushangaza hayajatimizwa?”

DAN 12:7 Removed trailing space in v~: Kisha mtu yule aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu ya maji ya mto, akainua mkono wake wa kuume na mkono wake wa kushoto kuelekea mbinguni, nami nikamsikia akiapa kwa jina lake yeye aishiye milele, akisema, “Itakuwa wakati, nyakati mbili, na nusu wakati.\f + \fr 12:7 \ft Wakati, nyakati mbili na nusu wakati maana yake mwaka mmoja, miaka miwili, na nusu mwaka, yaani miaka mitatu na nusu.\f* Nguvu za watu watakatifu zitakapokuwa zimevunjwa kabisa, ndipo mambo haya yote yatakapotimizwa.”

DAN 12:8 Removed trailing space in v~: Nilisikia, lakini sikuelewa. Kwa hiyo nikauliza, “Bwana wangu, matokeo ya haya yote yatakuwa nini?”

DAN 12:9 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Danieli, enenda zako, kwa sababu maneno haya yamefungwa na kutiwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.

DAN 12:10 Removed trailing space in v~: Wengi watatakaswa, na kuondolewa mawaa na kufanywa safi, lakini waovu wataendelea kuwa waovu. Hakuna mmoja wa waovu atakayefahamu, lakini wale wenye hekima watafahamu.

DAN 12:11 Removed trailing space in v~: “Tangu wakati ule wa kukomeshwa dhabihu ya kila siku na kusimamishwa kwa chukizo la uharibifu, kutakuwako siku 1,290.

DAN 12:12 Removed trailing space in v~: Amebarikiwa mtu yule atakayevumilia hadi kufikia mwisho wa hizo siku 1,335.

DAN 12:13 Removed trailing space in v~: “Lakini wewe, enenda zako mpaka mwisho. Utapumzika, nawe ndipo mwisho wa hizo siku utafufuka ili kuupokea urithi uliowekewa.”

HOS -1:0 Removed trailing space in id: HOS - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

HOS -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

HOS -1:2 Removed trailing space in h: Hosea

HOS -1:3 Removed trailing space in toc1: Hosea

HOS -1:4 Removed trailing space in toc2: Hosea

HOS -1:5 Removed trailing space in toc3: Hos

HOS -1:6 Removed trailing space in mt1: Hosea

HOS 1:0 Extra space after chapter number

HOS 1:0 Removed trailing space in c: 1

HOS 1:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* lililomjia Hosea mwana wa Beeri wakati wa utawala wa Uzia, Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda, na wakati wa utawala wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi, mfalme wa Israeli.

HOS 1:1 Removed trailing space in s1: Mke Wa Hosea Na Watoto

HOS 1:2 Removed trailing space in v~: Wakati \nd Bwana\nd* alipoanza kuzungumza kupitia Hosea, \nd Bwana\nd* alimwambia, “Nenda ukajitwalie mwanamke wa uzinzi na watoto wa uzinzi, kwa sababu nchi ina hatia ya uzinzi wa kupindukia kwa kumwacha \nd Bwana\nd*.”

HOS 1:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo alimwoa Gomeri binti Diblaimu, naye akachukua mimba na kumzalia Hosea mwana.

HOS 1:4 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Hosea, “Mwite Yezreeli,\f + \fr 1:4 \ft Yezreeli maana yake Mungu hupanda.\f* kwa kuwa kitambo kidogo nitaiadhibu nyumba ya Yehu kwa ajili ya mauaji ya kule Yezreeli, nami nitaukomesha ufalme wa Israeli.

HOS 1:5 Removed trailing space in v~: Katika siku ile nitavunja upinde wa Israeli katika Bonde la Yezreeli.”

HOS 1:6 Removed trailing space in v~: Gomeri akachukua tena mimba akamzaa binti. Kisha \nd Bwana\nd* akamwambia Hosea, “Mwite Lo-Ruhama,\f + \fr 1:6 \ft Lo-Ruhama maana yake Sio mpenzi wangu.\f* kwa maana sitaonyesha tena upendo kwa nyumba ya Israeli, kwamba nisije kabisa nikawasamehe.

HOS 1:7 Removed trailing space in v~: Hata hivyo nitaonyesha upendo kwa nyumba ya Yuda, nami nitawaokoa si kwa upinde, upanga au vita, wala kwa farasi na wapanda farasi, bali kwa njia ya \nd Bwana\nd* Mungu wao.”

HOS 1:8 Removed trailing space in v~: Baada ya Gomeri kumwachisha Lo-Ruhama kunyonya, Gomeri alipata mwana mwingine.

HOS 1:9 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akasema, “Mwite Lo-Ami\f + \fr 1:9 \ft Lo-Ami maana yake Sio watu wangu.\f* kwa maana ninyi si watu wangu, nami si Mungu wenu.

HOS 1:10 Removed trailing space in v~: “Hata hivyo Waisraeli watakuwa kama mchanga kando ya bahari, ambao hauwezi kupimika wala kuhesabiwa. Mahali pale walipoambiwa, ‘Ninyi si watu wangu,’ wao wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’

HOS 1:11 Removed trailing space in v~: Watu wa Yuda na watu wa Israeli wataunganishwa tena, nao watamchagua kiongozi mmoja nao watakwea watoke katika nchi, kwa kuwa siku ya Yezreeli itakuwa kuu sana.

HOS 2:0 Extra space after chapter number

HOS 2:0 Removed trailing space in c: 2

HOS 2:1 Removed trailing space in v~: “Waambie ndugu zako, ‘Watu wangu,’ na pia waambie dada zako, ‘Wapendwa wangu.’

HOS 2:1 Removed trailing space in s1: Israeli Aadhibiwa Na Kurudishwa

HOS 2:2 Removed trailing space in v~: “Mkemeeni mama yenu, mkemeeni,

HOS 2:2 Removed trailing space in p~: kwa maana yeye si mke wangu,

HOS 2:2 Removed trailing space in p~: nami si mume wake.

HOS 2:2 Removed trailing space in p~: Aondoe sura ya uzinzi katika uso wake

HOS 2:2 Removed trailing space in p~: na uzinzi kati ya matiti yake.

HOS 2:3 Removed trailing space in v~: Kama sivyo nitamvua nguo zake awe uchi

HOS 2:3 Removed trailing space in p~: na kumwacha uchi kama siku ile aliyozaliwa.

HOS 2:3 Removed trailing space in p~: Nitamfanya kama jangwa,

HOS 2:3 Removed trailing space in p~: nitamgeuza awe nchi ya kiu,

HOS 2:3 Removed trailing space in p~: nami nitamuua kwa kiu.

HOS 2:4 Removed trailing space in v~: Sitaonyesha upendo wangu kwa watoto wake,

HOS 2:4 Removed trailing space in p~: kwa sababu ni watoto wa uzinzi.

HOS 2:5 Removed trailing space in v~: Mama yao amekosa uaminifu

HOS 2:5 Removed trailing space in p~: na amewachukua mimba katika aibu.

HOS 2:5 Removed trailing space in p~: Gomeri alisema, ‘Nitawaendea wapenzi wangu,

HOS 2:5 Removed trailing space in p~: ambao hunipa chakula changu

HOS 2:5 Removed trailing space in p~: na maji yangu,

HOS 2:5 Removed trailing space in p~: sufu yangu na kitani yangu, mafuta yangu

HOS 2:5 Removed trailing space in p~: na kinywaji changu.’

HOS 2:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mimi Mungu nitaizuia njia yake

HOS 2:6 Removed trailing space in p~: kwa vichaka vya miiba,

HOS 2:6 Removed trailing space in p~: nitamjengea ukuta ili kwamba

HOS 2:6 Removed trailing space in p~: asiweze kutoka.

HOS 2:7 Removed trailing space in v~: Gomeri atawafuatia wapenzi wake lakini hatawapata;

HOS 2:7 Removed trailing space in p~: atawatafuta lakini hatawapata.

HOS 2:7 Removed trailing space in p~: Kisha atasema,

HOS 2:7 Removed trailing space in p~: ‘Nitarudi kwa mume wangu kama kwanza,

HOS 2:7 Removed trailing space in p~: kwa maana nilikuwa na hali njema zaidi

HOS 2:7 Removed trailing space in p~: kuliko sasa.’

HOS 2:8 Removed trailing space in v~: Gomeri hajakubali kuwa mimi ndiye

HOS 2:8 Removed trailing space in p~: niliyempa nafaka, divai mpya na mafuta,

HOS 2:8 Removed trailing space in p~: niliyemwongezea fedha na dhahabu waliyoitumia

HOS 2:8 Removed trailing space in p~: kwa kumtumikia Baali.

HOS 2:9 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nitachukua nafaka yangu wakati itakapokomaa

HOS 2:9 Removed trailing space in p~: na divai yangu mpya wakati itakapokuwa tayari.

HOS 2:9 Removed trailing space in p~: Nitamnyangʼanya sufu yangu na kitani yangu

HOS 2:9 Removed trailing space in p~: iliyokusudiwa kufunika uchi wake.

HOS 2:10 Removed trailing space in v~: Basi sasa nitaufunua ufisadi wake

HOS 2:10 Removed trailing space in p~: mbele ya wapenzi wake;

HOS 2:10 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote atakayemtoa

HOS 2:10 Removed trailing space in p~: mikononi mwangu.

HOS 2:11 Removed trailing space in v~: Nitakomesha furaha na macheko yake yote:

HOS 2:11 Removed trailing space in p~: sikukuu zake za mwaka,

HOS 2:11 Removed trailing space in p~: sikukuu za Miandamo ya Mwezi,

HOS 2:11 Removed trailing space in p~: siku zake za Sabato,

HOS 2:11 Removed trailing space in p~: sikukuu zake zote zilizoamriwa.

HOS 2:12 Removed trailing space in v~: Nitaiharibu mizabibu yake na mitini yake,

HOS 2:12 Removed trailing space in p~: ambayo alisema yalikuwa malipo yake

HOS 2:12 Removed trailing space in p~: kutoka kwa wapenzi wake;

HOS 2:12 Removed trailing space in p~: nitaifanya kuwa kichaka,

HOS 2:12 Removed trailing space in p~: nao wanyama pori wataila.

HOS 2:13 Removed trailing space in v~: Nitamwadhibu kwa ajili ya siku

HOS 2:13 Removed trailing space in p~: alizowafukizia uvumba Mabaali;

HOS 2:13 Removed trailing space in p~: alipojipamba kwa pete

HOS 2:13 Removed trailing space in p~: na kwa vito vya thamani,

HOS 2:13 Removed trailing space in p~: na kuwaendea wapenzi wake,

HOS 2:13 Removed trailing space in p~: lakini mimi alinisahau,”

HOS 2:13 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

HOS 2:14 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo sasa nitamshawishi;

HOS 2:14 Removed trailing space in p~: nitamwongoza hadi jangwani

HOS 2:14 Removed trailing space in p~: na kuzungumza naye kwa upole.

HOS 2:15 Removed trailing space in v~: Huko nitamrudishia mashamba yake ya mizabibu,

HOS 2:15 Removed trailing space in p~: nami nitalifanya Bonde la Akori\f + \fr 2:15 \ft Akori maana yake ni Taabu.\f*

HOS 2:15 Removed trailing space in p~: mlango wa matumaini.

HOS 2:15 Removed trailing space in p~: Huko ataimba kama alivyofanya katika siku za ujana wake,

HOS 2:15 Removed trailing space in p~: kama siku zile alizotoka Misri.

HOS 2:16 Removed trailing space in v~: “Katika siku ile,” asema \nd Bwana\nd*,

HOS 2:16 Removed trailing space in p~: “utaniita mimi ‘Mume wangu’;

HOS 2:16 Removed trailing space in p~: hutaniita tena mimi ‘Bwana wangu.’

HOS 2:17 Removed trailing space in v~: Nitaondoa majina ya Mabaali kutoka midomoni mwake,

HOS 2:17 Removed trailing space in p~: wala hataomba tena kwa majina yao.

HOS 2:18 Removed trailing space in v~: Katika siku ile nitafanya Agano kwa ajili yao

HOS 2:18 Removed trailing space in p~: na wanyama wa kondeni, na ndege wa angani,

HOS 2:18 Removed trailing space in p~: na viumbe vile vitambaavyo ardhini.

HOS 2:18 Removed trailing space in p~: Upinde, upanga na vita,

HOS 2:18 Removed trailing space in p~: nitaondolea mbali katika nchi,

HOS 2:18 Removed trailing space in p~: ili kwamba wote waweze kukaa salama.

HOS 2:19 Removed trailing space in v~: Nitakuposa uwe wangu milele;

HOS 2:19 Removed trailing space in p~: nitakuposa kwa uadilifu na haki,

HOS 2:19 Removed trailing space in p~: kwa upendo na huruma.

HOS 2:20 Removed trailing space in v~: Nitakuposa kwa uaminifu,

HOS 2:20 Removed trailing space in p~: nawe utamkubali \nd Bwana\nd*.

HOS 2:21 Removed trailing space in v~: “Katika siku ile nitajibu,”

HOS 2:21 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*,

HOS 2:21 Removed trailing space in p~: “nitajibu kwa anga,

HOS 2:21 Removed trailing space in p~: nazo anga zitajibu kwa nchi;

HOS 2:22 Removed trailing space in v~: nayo nchi itajibu kwa nafaka,

HOS 2:22 Removed trailing space in p~: divai mpya na mafuta,

HOS 2:22 Removed trailing space in p~: navyo vitajibu kwa Yezreeli.

HOS 2:23 Removed trailing space in v~: Nitampanda katika nchi kwa ajili yangu mwenyewe;

HOS 2:23 Removed trailing space in p~: nami nitaonyesha pendo langu kwake

HOS 2:23 Removed trailing space in p~: yule ambaye nilimwita, ‘Si mpenzi wangu.\f + \fr 2:23 \ft Kiebrania ni Lo-Ruhama.\f*’

HOS 2:23 Removed trailing space in p~: Nitawaambia wale walioitwa, ‘Sio watu wangu,’\f + \fr 2:23 \ft Kiebrania ni Lo-Ami.\f*

HOS 2:23 Removed trailing space in p~: ‘Ninyi ni watu wangu’;

HOS 2:23 Removed trailing space in p~: nao watasema, ‘Wewe ndiwe Mungu wangu.’ ”

HOS 3:0 Extra space after chapter number

HOS 3:0 Removed trailing space in c: 3

HOS 3:0 Removed trailing space in s1: Upatanisho Wa Hosea Na Mkewe

HOS 3:1 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* akaniambia, “Nenda, ukaonyeshe upendo wako kwa mke wako tena, ingawa amependwa na mwingine naye ni mzinzi. Mpende kama \nd Bwana\nd* apendavyo Waisraeli, ingawa wanageukia miungu mingine na kupenda mikate mitamu ya zabibu kavu iliyowekwa wakfu.”

HOS 3:2 Removed trailing space in v~: Basi nilimnunua huyo mwanamke kwa shekeli kumi na tano\f + \fr 3:2 \ft Shekeli 15 za fedha ni sawa na gramu 170.\f* za fedha, pia kwa kiasi kama cha homeri moja na nusu\f + \fr 3:2 \ft Homeri moja na nusu ni kama lita 330.\f* ya shayiri.

HOS 3:3 Removed trailing space in v~: Kisha nilimwambia, “Utaishi nami kwa siku nyingi, hupaswi kuwa kahaba au kuwa na uhusiano wa karibu na mtu yeyote, nami nitaishi na wewe.”

HOS 3:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana Waisraeli wataishi siku nyingi bila kuwa na mfalme wala mkuu, bila kuwa na dhabihu wala mawe matakatifu, bila kisibau wala sanamu.

HOS 3:5 Removed trailing space in v~: Baadaye Waisraeli watarudi na kumtafuta \nd Bwana\nd* Mungu wao na Daudi mfalme wao. Watakuja wakitetemeka kwa \nd Bwana\nd* na kwa baraka zake katika siku za mwisho.

HOS 4:0 Extra space after chapter number

HOS 4:0 Removed trailing space in c: 4

HOS 4:0 Removed trailing space in s1: Shtaka Dhidi Ya Israeli

HOS 4:1 Removed trailing space in v~: Sikieni neno la \nd Bwana\nd*, enyi Waisraeli,

HOS 4:1 Removed trailing space in p~: kwa sababu \nd Bwana\nd* analo shtaka

HOS 4:1 Removed trailing space in p~: dhidi yenu ninyi mnaoishi katika nchi:

HOS 4:1 Removed trailing space in p~: “Hakuna uaminifu, hakuna upendo,

HOS 4:1 Removed trailing space in p~: hakuna kumjua Mungu katika nchi.

HOS 4:2 Removed trailing space in v~: Kuna kulaani tu, uongo na uuaji,

HOS 4:2 Removed trailing space in p~: wizi na uzinzi,

HOS 4:2 Removed trailing space in p~: bila kuwa na mipaka,

HOS 4:2 Removed trailing space in p~: nao umwagaji damu mmoja

HOS 4:2 Removed trailing space in p~: baada ya mwingine.

HOS 4:3 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii nchi huomboleza,

HOS 4:3 Removed trailing space in p~: wote waishio ndani mwake wanadhoofika,

HOS 4:3 Removed trailing space in p~: wanyama wa kondeni, ndege wa angani

HOS 4:3 Removed trailing space in p~: na samaki wa baharini wanakufa.

HOS 4:4 Removed trailing space in v~: “Lakini mtu awaye yote na asilete shtaka,

HOS 4:4 Removed trailing space in p~: mtu yeyote na asimlaumu mwenzake,

HOS 4:4 Removed trailing space in p~: kwa maana watu wako ni kama wale

HOS 4:4 Removed trailing space in p~: waletao mashtaka dhidi ya kuhani.

HOS 4:5 Removed trailing space in v~: Unajikwaa usiku na mchana,

HOS 4:5 Removed trailing space in p~: nao manabii hujikwaa pamoja nawe.

HOS 4:5 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo nitamwangamiza mama yako:

HOS 4:6 Removed trailing space in v~: watu wangu wanaangamizwa

HOS 4:6 Removed trailing space in p~: kwa kukosa maarifa,

HOS 4:6 Removed trailing space in p~: “Kwa kuwa wewe umeyakataa maarifa,

HOS 4:6 Removed trailing space in p~: mimi nami nitakukataa wewe

HOS 4:6 Removed trailing space in p~: usiwe kuhani kwangu mimi;

HOS 4:6 Removed trailing space in p~: kwa kuwa umeacha kuijali sheria ya Mungu wako

HOS 4:6 Removed trailing space in p~: mimi nami sitawajali watoto wako.

HOS 4:7 Removed trailing space in v~: Kadiri makuhani walivyoongezeka,

HOS 4:7 Removed trailing space in p~: ndivyo walivyozidi kutenda dhambi dhidi yangu,

HOS 4:7 Removed trailing space in p~: walibadilisha utukufu wao kwa kitu cha aibu.

HOS 4:8 Removed trailing space in v~: Hujilisha dhambi za watu wangu

HOS 4:8 Removed trailing space in p~: na kupendezwa na uovu wao.

HOS 4:9 Removed trailing space in v~: Hata itakuwa: Kama walivyo watu,

HOS 4:9 Removed trailing space in p~: ndivyo walivyo makuhani.

HOS 4:9 Removed trailing space in p~: Nitawaadhibu wote wawili kwa ajili ya njia zao

HOS 4:9 Removed trailing space in p~: na kuwalipa kwa matendo yao.

HOS 4:10 Removed trailing space in v~: “Watakula lakini hawatashiba;

HOS 4:10 Removed trailing space in p~: watajiingiza katika ukahaba

HOS 4:10 Removed trailing space in p~: lakini hawataongezeka,

HOS 4:10 Removed trailing space in p~: kwa sababu wamemwacha \nd Bwana\nd*

HOS 4:10 Removed trailing space in p~: na kujiingiza wenyewe

HOS 4:11 Removed trailing space in v~: katika ukahaba,

HOS 4:11 Removed trailing space in p~: divai ya zamani na divai mpya,

HOS 4:11 Removed trailing space in p~: ambavyo huondoa ufahamu

HOS 4:12 Removed trailing space in v~: wa watu wangu.

HOS 4:12 Removed trailing space in p~: Hutaka shauri kutoka kwa sanamu ya mti

HOS 4:12 Removed trailing space in p~: nao hujibiwa na fimbo ya mti.

HOS 4:12 Removed trailing space in p~: Roho ya ukahaba imewapotosha,

HOS 4:12 Removed trailing space in p~: hawana uaminifu kwa Mungu wao.

HOS 4:13 Removed trailing space in v~: Wanatoa dhabihu juu ya vilele vya milima

HOS 4:13 Removed trailing space in p~: na sadaka za kuteketezwa juu ya vilima,

HOS 4:13 Removed trailing space in p~: chini ya mialoni, milibua na miela,

HOS 4:13 Removed trailing space in p~: ambako kuna vivuli vizuri.

HOS 4:13 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo binti zenu wamegeukia ukahaba

HOS 4:13 Removed trailing space in p~: na wake za wana wenu uzinzi.

HOS 4:14 Removed trailing space in v~: “Sitawaadhibu binti zenu wakati

HOS 4:14 Removed trailing space in p~: wanapogeukia ukahaba,

HOS 4:14 Removed trailing space in p~: wala wake za wana wenu

HOS 4:14 Removed trailing space in p~: wanapofanya uzinzi,

HOS 4:14 Removed trailing space in p~: kwa sababu wanaume wenyewe huandamana na malaya

HOS 4:14 Removed trailing space in p~: na kutambikia pamoja na makahaba

HOS 4:14 Removed trailing space in p~: wa mahali pa kuabudia miungu:

HOS 4:14 Removed trailing space in p~: watu wasiokuwa na ufahamu

HOS 4:14 Removed trailing space in p~: wataangamia!

HOS 4:15 Removed trailing space in v~: “Ingawa umefanya uzinzi, ee Israeli,

HOS 4:15 Removed trailing space in p~: Yuda naye asije akawa na hatia.

HOS 4:15 Removed trailing space in p~: “Usiende Gilgali,

HOS 4:15 Removed trailing space in p~: usipande kwenda Beth-Aveni\f + \fr 4:15 \ft Beth-Aveni maana yake Nyumba ya Ubatili (au Uovu), jina lingine la Betheli kwa dhihaka.\f*

HOS 4:15 Removed trailing space in p~: Wala usiape,

HOS 4:15 Removed trailing space in p~: ‘Hakika kama \nd Bwana\nd* aishivyo!’

HOS 4:16 Removed trailing space in v~: Waisraeli ni wakaidi,

HOS 4:16 Removed trailing space in p~: kama mtamba wa ngʼombe ambaye ni mkaidi.

HOS 4:16 Removed trailing space in p~: Ni jinsi gani basi \nd Bwana\nd* anaweza kuwachunga

HOS 4:16 Removed trailing space in p~: kama wana-kondoo

HOS 4:16 Removed trailing space in p~: katika shamba la majani?

HOS 4:17 Removed trailing space in v~: Efraimu amejiunga na sanamu,

HOS 4:17 Removed trailing space in p~: ondokana naye!

HOS 4:18 Removed trailing space in v~: Hata wakati wamemaliza vileo vyao

HOS 4:18 Removed trailing space in p~: wanaendelea na ukahaba wao,

HOS 4:18 Removed trailing space in p~: watawala wao hupenda sana

HOS 4:18 Removed trailing space in p~: njia za aibu.

HOS 4:19 Removed trailing space in v~: Kisulisuli kitawafagilia mbali

HOS 4:19 Removed trailing space in p~: na dhabihu zao zitawaletea aibu.

HOS 5:0 Extra space after chapter number

HOS 5:0 Removed trailing space in c: 5

HOS 5:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Dhidi Ya Israeli

HOS 5:1 Removed trailing space in v~: “Sikieni hili, enyi makuhani!

HOS 5:1 Removed trailing space in p~: Kuweni wasikivu, enyi Waisraeli!

HOS 5:1 Removed trailing space in p~: Sikieni, ee nyumba ya mfalme!

HOS 5:1 Removed trailing space in p~: Hukumu hii ni dhidi yenu:

HOS 5:1 Removed trailing space in p~: Mmekuwa mtego huko Mispa,

HOS 5:1 Removed trailing space in p~: wavu uliotandwa juu ya Tabori.

HOS 5:2 Removed trailing space in v~: Waasi wamezidisha sana mauaji.

HOS 5:2 Removed trailing space in p~: Mimi nitawatiisha wote.

HOS 5:3 Removed trailing space in v~: Ninajua yote kuhusu Efraimu,

HOS 5:3 Removed trailing space in p~: Israeli hukufichika kwangu.

HOS 5:3 Removed trailing space in p~: Efraimu, sasa umegeukia ukahaba,

HOS 5:3 Removed trailing space in p~: Israeli amenajisika.

HOS 5:4 Removed trailing space in v~: “Matendo yao hayawaachii

HOS 5:4 Removed trailing space in p~: kurudi kwa Mungu wao.

HOS 5:4 Removed trailing space in p~: Roho ya ukahaba imo ndani ya mioyo yao,

HOS 5:4 Removed trailing space in p~: hawamkubali \nd Bwana\nd*.

HOS 5:5 Removed trailing space in v~: Kiburi cha Israeli kinashuhudia dhidi yao;

HOS 5:5 Removed trailing space in p~: Waisraeli, hata Efraimu,

HOS 5:5 Removed trailing space in p~: wanajikwaa katika dhambi zao;

HOS 5:5 Removed trailing space in p~: pia Yuda atajikwaa pamoja nao.

HOS 5:6 Removed trailing space in v~: Wakati wanapokwenda na makundi yao

HOS 5:6 Removed trailing space in p~: ya kondoo na ngʼombe

HOS 5:6 Removed trailing space in p~: kumtafuta \nd Bwana\nd*,

HOS 5:6 Removed trailing space in p~: hawatampata;

HOS 5:6 Removed trailing space in p~: yeye amejiondoa kutoka kwao.

HOS 5:7 Removed trailing space in v~: Wao si waaminifu kwa \nd Bwana\nd*;

HOS 5:7 Removed trailing space in p~: wamezaa watoto haramu.

HOS 5:7 Removed trailing space in p~: Sasa sikukuu zao za Mwandamo wa Mwezi

HOS 5:7 Removed trailing space in p~: zitawaangamiza wao

HOS 5:7 Removed trailing space in p~: pamoja na mashamba yao.

HOS 5:8 Removed trailing space in v~: “Pigeni tarumbeta huko Gibea,

HOS 5:8 Removed trailing space in p~: baragumu huko Rama.

HOS 5:8 Removed trailing space in p~: Paza kilio cha vita huko Beth-Aveni,\f + \fr 5:8 \ft Beth-Aveni maana yake Nyumba ya Ubatili (au Uovu), jina lingine la Betheli kwa dhihaka.\f*

HOS 5:8 Removed trailing space in p~: ongoza, ee Benyamini.

HOS 5:9 Removed trailing space in v~: Efraimu ataachwa ukiwa

HOS 5:9 Removed trailing space in p~: katika siku ya kuadhibiwa.

HOS 5:9 Removed trailing space in p~: Miongoni mwa makabila ya Israeli

HOS 5:9 Removed trailing space in p~: ninatangaza lile ambalo halina budi kutukia.

HOS 5:10 Removed trailing space in v~: Viongozi wa Yuda ni kama wale

HOS 5:10 Removed trailing space in p~: wanaosogeza mawe ya mpaka.

HOS 5:10 Removed trailing space in p~: Nitamwaga ghadhabu yangu juu yao

HOS 5:10 Removed trailing space in p~: kama mafuriko ya maji.

HOS 5:11 Removed trailing space in v~: Efraimu ameonewa,

HOS 5:11 Removed trailing space in p~: amekanyagwa katika hukumu

HOS 5:11 Removed trailing space in p~: kwa kuwa amekusudia kufuatia sanamu.

HOS 5:12 Removed trailing space in v~: Mimi ni kama nondo kwa Efraimu,

HOS 5:12 Removed trailing space in p~: na kama uozo kwa watu wa Yuda.

HOS 5:13 Removed trailing space in v~: “Wakati Efraimu alipoona ugonjwa wake,

HOS 5:13 Removed trailing space in p~: naye Yuda vidonda vyake,

HOS 5:13 Removed trailing space in p~: ndipo Efraimu alipogeukia Ashuru,

HOS 5:13 Removed trailing space in p~: na kuomba msaada kwa mfalme mkuu.

HOS 5:13 Removed trailing space in p~: Lakini hawezi kukuponya,

HOS 5:13 Removed trailing space in p~: wala hawezi kukuponya vidonda vyako.

HOS 5:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana nitakuwa kama simba kwa Efraimu,

HOS 5:14 Removed trailing space in p~: kama simba mkubwa kwa Yuda.

HOS 5:14 Removed trailing space in p~: Nitawararua vipande vipande na kuondoka;

HOS 5:14 Removed trailing space in p~: nitawachukua mbali,

HOS 5:14 Removed trailing space in p~: na hakuna wa kuwaokoa.

HOS 5:15 Removed trailing space in v~: Kisha nitarudi mahali pangu

HOS 5:15 Removed trailing space in p~: mpaka watakapokubali kosa lao.

HOS 5:15 Removed trailing space in p~: Nao watautafuta uso wangu;

HOS 5:15 Removed trailing space in p~: katika taabu yao watanitafuta kwa bidii.”

HOS 6:0 Extra space after chapter number

HOS 6:0 Removed trailing space in c: 6

HOS 6:0 Removed trailing space in s1: Israeli Asiye Na Toba

HOS 6:1 Removed trailing space in v~: “Njooni, tumrudie \nd Bwana\nd*.

HOS 6:1 Removed trailing space in p~: Ameturarua vipande vipande

HOS 6:1 Removed trailing space in p~: lakini atatuponya;

HOS 6:1 Removed trailing space in p~: ametujeruhi lakini

HOS 6:1 Removed trailing space in p~: atatufunga majeraha yetu.

HOS 6:2 Removed trailing space in v~: Baada ya siku mbili atatufufua;

HOS 6:2 Removed trailing space in p~: katika siku ya tatu atatuinua,

HOS 6:2 Removed trailing space in p~: ili tuweze kuishi mbele zake.

HOS 6:3 Removed trailing space in v~: Tumkubali \nd Bwana\nd*,

HOS 6:3 Removed trailing space in p~: tukaze kumkubali yeye.

HOS 6:3 Removed trailing space in p~: Kutokea kwake ni hakika kama vile

HOS 6:3 Removed trailing space in p~: kuchomoza kwa jua;

HOS 6:3 Removed trailing space in p~: atatujia kama mvua za masika,

HOS 6:3 Removed trailing space in p~: kama vile mvua za vuli

HOS 6:3 Removed trailing space in p~: ziinyweshavyo nchi.”

HOS 6:4 Removed trailing space in v~: “Nifanye nini nawe, Efraimu?

HOS 6:4 Removed trailing space in p~: Nifanye nini nawe, Yuda?

HOS 6:4 Removed trailing space in p~: Upendo wako ni kama ukungu wa asubuhi,

HOS 6:4 Removed trailing space in p~: kama umande wa alfajiri utowekao.

HOS 6:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ninawakata ninyi vipande vipande

HOS 6:5 Removed trailing space in p~: kwa kutumia manabii wangu;

HOS 6:5 Removed trailing space in p~: nimewaua ninyi kwa maneno ya kinywa changu,

HOS 6:5 Removed trailing space in p~: hukumu zangu zinawaka

HOS 6:5 Removed trailing space in p~: kama umeme juu yenu.

HOS 6:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana nataka rehema, wala si dhabihu,

HOS 6:6 Removed trailing space in p~: kumkubali Mungu zaidi

HOS 6:6 Removed trailing space in p~: kuliko sadaka za kuteketezwa.

HOS 6:7 Removed trailing space in v~: Wamevunja Agano kama Adamu:

HOS 6:7 Removed trailing space in p~: huko hawakuwa waaminifu kwangu.

HOS 6:8 Removed trailing space in v~: Gileadi ni mji wenye watu waovu,

HOS 6:8 Removed trailing space in p~: umetiwa madoa kwa nyayo za damu.

HOS 6:9 Removed trailing space in v~: Kama wanyangʼanyi wamviziavyo mtu,

HOS 6:9 Removed trailing space in p~: ndivyo magenge ya makuhani wafanyavyo;

HOS 6:9 Removed trailing space in p~: wanaulia watu kwenye njia iendayo Shekemu,

HOS 6:9 Removed trailing space in p~: wakifanya uhalifu wa aibu.

HOS 6:10 Removed trailing space in v~: Nimeona jambo la kutisha

HOS 6:10 Removed trailing space in p~: katika nyumba ya Israeli.

HOS 6:10 Removed trailing space in p~: Huko Efraimu amejitolea kwa ukahaba

HOS 6:10 Removed trailing space in p~: na Israeli amenajisika.

HOS 6:11 Removed trailing space in v~: “Pia kwa ajili yako, Yuda,

HOS 6:11 Removed trailing space in p~: mavuno yameamriwa.

HOS 6:11 Removed trailing space in p~: “Wakati wowote ningerejesha neema ya watu wangu,

HOS 7:0 Extra space after chapter number

HOS 7:0 Removed trailing space in c: 7

HOS 7:1 Removed trailing space in v~: kila mara nilipotaka kumponya Israeli,

HOS 7:1 Removed trailing space in p~: dhambi za Efraimu zinafichuliwa

HOS 7:1 Removed trailing space in p~: na maovu ya Samaria yanafunuliwa.

HOS 7:1 Removed trailing space in p~: Wanafanya udanganyifu,

HOS 7:1 Removed trailing space in p~: wevi huvunja nyumba,

HOS 7:1 Removed trailing space in p~: maharamia hunyangʼanya barabarani,

HOS 7:2 Removed trailing space in v~: lakini hawafahamu kwamba

HOS 7:2 Removed trailing space in p~: ninakumbuka matendo yao yote mabaya.

HOS 7:2 Removed trailing space in p~: Dhambi zao zimewameza,

HOS 7:2 Removed trailing space in p~: ziko mbele zangu siku zote.

HOS 7:3 Removed trailing space in v~: “Wanamfurahisha sana mfalme kwa maovu yao,

HOS 7:3 Removed trailing space in p~: wakuu wao kwa uongo wao.

HOS 7:4 Removed trailing space in v~: Wote ni wazinzi,

HOS 7:4 Removed trailing space in p~: wanawaka kama tanuru

HOS 7:4 Removed trailing space in p~: ambayo moto wake mwokaji hana haja ya kuuchochea

HOS 7:4 Removed trailing space in p~: kuanzia kukanda unga

HOS 7:4 Removed trailing space in p~: hadi umekwisha kuumuka.

HOS 7:5 Removed trailing space in v~: Katika sikukuu ya mfalme wetu

HOS 7:5 Removed trailing space in p~: wakuu wanawaka kwa mvinyo,

HOS 7:5 Removed trailing space in p~: naye anawaunga mkono wenye mizaha.

HOS 7:6 Removed trailing space in v~: Mioyo yao ni kama tanuru,

HOS 7:6 Removed trailing space in p~: wanamwendea kwa hila.

HOS 7:6 Removed trailing space in p~: Hasira yao inafoka moshi usiku kucha,

HOS 7:6 Removed trailing space in p~: wakati wa asubuhi inalipuka

HOS 7:6 Removed trailing space in p~: kama miali ya moto.

HOS 7:7 Removed trailing space in v~: Wote ni moto kama tanuru;

HOS 7:7 Removed trailing space in p~: wanawaangamiza watawala wao.

HOS 7:7 Removed trailing space in p~: Wafalme wake wote wanaanguka,

HOS 7:7 Removed trailing space in p~: wala hakuna yeyote kati yao aniitaye mimi.

HOS 7:8 Removed trailing space in v~: “Efraimu anajichanganya na mataifa;

HOS 7:8 Removed trailing space in p~: Efraimu ni mkate ambao haukuiva.

HOS 7:9 Removed trailing space in v~: Wageni wananyonya nguvu zake,

HOS 7:9 Removed trailing space in p~: lakini hafahamu hilo.

HOS 7:9 Removed trailing space in p~: Nywele zake zina mvi hapa na pale,

HOS 7:9 Removed trailing space in p~: lakini hana habari.

HOS 7:10 Removed trailing space in v~: Kiburi cha Israeli kinashuhudia dhidi yake,

HOS 7:10 Removed trailing space in p~: lakini pamoja na haya yote

HOS 7:10 Removed trailing space in p~: harudi kwa \nd Bwana\nd* Mungu wake

HOS 7:10 Removed trailing space in p~: wala kumtafuta.

HOS 7:11 Removed trailing space in v~: “Efraimu ni kama hua,

HOS 7:11 Removed trailing space in p~: hudanganywa kwa urahisi na hana akili:

HOS 7:11 Removed trailing space in p~: mara anaita Misri,

HOS 7:11 Removed trailing space in p~: mara anageukia Ashuru.

HOS 7:12 Removed trailing space in v~: Wakati watakapokwenda,

HOS 7:12 Removed trailing space in p~: nitatupa wavu wangu juu yao;

HOS 7:12 Removed trailing space in p~: nitawavuta chini waanguke

HOS 7:12 Removed trailing space in p~: kama ndege wa angani.

HOS 7:12 Removed trailing space in p~: Nitakaposikia wakikusanyika pamoja,

HOS 7:12 Removed trailing space in p~: nitawanasa.

HOS 7:13 Removed trailing space in v~: Ole wao, kwa sababu

HOS 7:13 Removed trailing space in p~: wamepotoka kutoka kwangu!

HOS 7:13 Removed trailing space in p~: Maangamizi ni yao

HOS 7:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu wameniasi!

HOS 7:13 Removed trailing space in p~: Ninatamani kuwakomboa,

HOS 7:13 Removed trailing space in p~: lakini wanasema uongo dhidi yangu.

HOS 7:14 Removed trailing space in v~: Hawanililii mimi kutoka mioyoni mwao,

HOS 7:14 Removed trailing space in p~: bali wanaomboleza vitandani mwao.

HOS 7:14 Removed trailing space in p~: Hukusanyika pamoja kwa ajili ya nafaka na divai mpya,

HOS 7:14 Removed trailing space in p~: lakini hugeukia mbali nami.

HOS 7:15 Removed trailing space in v~: Niliwafundisha na kuwatia nguvu,

HOS 7:15 Removed trailing space in p~: lakini wanapanga mabaya dhidi yangu.

HOS 7:16 Removed trailing space in v~: Hawamgeukii Yeye Aliye Juu Sana,

HOS 7:16 Removed trailing space in p~: wako kama upinde wenye kasoro.

HOS 7:16 Removed trailing space in p~: Viongozi wao wataanguka kwa upanga

HOS 7:16 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya maneno yao ya jeuri.

HOS 7:16 Removed trailing space in p~: Kwa ajili ya hili watadhihakiwa

HOS 7:16 Removed trailing space in p~: katika nchi ya Misri.

HOS 8:0 Extra space after chapter number

HOS 8:0 Removed trailing space in c: 8

HOS 8:0 Removed trailing space in s1: Israeli Kuvuna Kisulisuli

HOS 8:1 Removed trailing space in v~: “Wekeni tarumbeta midomoni mwenu!

HOS 8:1 Removed trailing space in p~: Tai yuko juu ya nyumba ya \nd Bwana\nd*

HOS 8:1 Removed trailing space in p~: kwa sababu watu wamevunja Agano langu,

HOS 8:1 Removed trailing space in p~: wameasi dhidi ya sheria yangu.

HOS 8:2 Removed trailing space in v~: Israeli ananililia,

HOS 8:2 Removed trailing space in p~: ‘Ee Mungu wetu, tunakukubali!’

HOS 8:3 Removed trailing space in v~: Lakini Israeli amekataa lile lililo jema,

HOS 8:3 Removed trailing space in p~: adui atamfuatia.

HOS 8:4 Removed trailing space in v~: Wanaweka wafalme bila idhini yangu,

HOS 8:4 Removed trailing space in p~: wamechagua wakuu bila kibali changu.

HOS 8:4 Removed trailing space in p~: Kwa fedha zao na dhahabu

HOS 8:4 Removed trailing space in p~: wamejitengenezea sanamu kwa ajili

HOS 8:4 Removed trailing space in p~: ya maangamizi yao wenyewe.

HOS 8:5 Removed trailing space in v~: Ee Samaria, tupilieni mbali sanamu yenu ya ndama!

HOS 8:5 Removed trailing space in p~: Hasira yangu inawaka dhidi yao.

HOS 8:5 Removed trailing space in p~: Watakuwa najisi mpaka lini?

HOS 8:6 Removed trailing space in v~: Zimetoka katika Israeli!

HOS 8:6 Removed trailing space in p~: Ndama huyu: ametengenezwa na fundi, si Mungu.

HOS 8:6 Removed trailing space in p~: Atavunjwa vipande vipande,

HOS 8:6 Removed trailing space in p~: yule ndama wa Samaria.

HOS 8:7 Removed trailing space in v~: “Wanapanda upepo

HOS 8:7 Removed trailing space in p~: na kuvuna upepo wa kisulisuli.

HOS 8:7 Removed trailing space in p~: Bua halina suke,

HOS 8:7 Removed trailing space in p~: halitatoa unga.

HOS 8:7 Removed trailing space in p~: Kama lingetoa nafaka,

HOS 8:7 Removed trailing space in p~: wageni wangeila yote.

HOS 8:8 Removed trailing space in v~: Israeli amemezwa;

HOS 8:8 Removed trailing space in p~: sasa yupo miongoni mwa mataifa

HOS 8:8 Removed trailing space in p~: kama kitu kisicho na thamani.

HOS 8:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wamepanda kwenda Ashuru

HOS 8:9 Removed trailing space in p~: kama punda-mwitu anayetangatanga peke yake.

HOS 8:9 Removed trailing space in p~: Efraimu amejiuza mwenyewe

HOS 8:9 Removed trailing space in p~: kwa wapenzi.

HOS 8:10 Removed trailing space in v~: Ingawa wamejiuza wenyewe miongoni mwa mataifa,

HOS 8:10 Removed trailing space in p~: sasa nitawakusanya pamoja.

HOS 8:10 Removed trailing space in p~: Wataanza kudhoofika chini ya uonevu

HOS 8:10 Removed trailing space in p~: wa mfalme mwenye nguvu.

HOS 8:11 Removed trailing space in v~: “Ingawa Efraimu alijenga madhabahu nyingi

HOS 8:11 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya sadaka za dhambi,

HOS 8:11 Removed trailing space in p~: hizi zimekuwa madhabahu

HOS 8:11 Removed trailing space in p~: za kufanyia dhambi.

HOS 8:12 Removed trailing space in v~: Nimeandika kwa ajili yao mambo mengi

HOS 8:12 Removed trailing space in p~: kuhusu sheria yangu,

HOS 8:12 Removed trailing space in p~: lakini wameziangalia

HOS 8:12 Removed trailing space in p~: kama kitu cha kigeni.

HOS 8:13 Removed trailing space in v~: Wanatoa dhabihu nilizopewa mimi

HOS 8:13 Removed trailing space in p~: nao wanakula hiyo nyama,

HOS 8:13 Removed trailing space in p~: lakini \nd Bwana\nd* hapendezwi nao.

HOS 8:13 Removed trailing space in p~: Sasa ataukumbuka uovu wao

HOS 8:13 Removed trailing space in p~: na kuadhibu dhambi zao:

HOS 8:13 Removed trailing space in p~: Watarudi Misri.

HOS 8:14 Removed trailing space in v~: Israeli amemsahau Muumba wake

HOS 8:14 Removed trailing space in p~: na kujenga majumba ya kifalme,

HOS 8:14 Removed trailing space in p~: Yuda amejengea miji mingi ngome.

HOS 8:14 Removed trailing space in p~: Lakini nitatuma moto kwenye miji yao

HOS 8:14 Removed trailing space in p~: utakaoteketeza ngome zao.”

HOS 10:0 Extra space after chapter number

HOS 10:0 Removed trailing space in c: 10

HOS 10:1 Removed trailing space in v~: Israeli alikuwa mzabibu uliostawi sana,

HOS 10:1 Removed trailing space in p~: alijizalia matunda mwenyewe.

HOS 10:1 Removed trailing space in p~: Kadiri matunda yake yalivyoongezeka,

HOS 10:1 Removed trailing space in p~: alijenga madhabahu zaidi;

HOS 10:1 Removed trailing space in p~: kadiri nchi yake ilivyostawi,

HOS 10:1 Removed trailing space in p~: alipamba mawe yake ya ibada.

HOS 10:2 Removed trailing space in v~: Moyo wao ni mdanganyifu,

HOS 10:2 Removed trailing space in p~: nao sasa lazima wachukue hatia yao.

HOS 10:2 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atabomoa madhabahu zao

HOS 10:2 Removed trailing space in p~: na kuharibu mawe yao ya ibada.

HOS 10:3 Removed trailing space in v~: Kisha watasema, “Hatuna mfalme

HOS 10:3 Removed trailing space in p~: kwa sababu hatukumheshimu \nd Bwana\nd*.

HOS 10:3 Removed trailing space in p~: Lakini hata kama tungelikuwa na mfalme,

HOS 10:3 Removed trailing space in p~: angeweza kutufanyia nini?”

HOS 10:4 Removed trailing space in v~: Wanaweka ahadi nyingi,

HOS 10:4 Removed trailing space in p~: huapa viapo vya uongo

HOS 10:4 Removed trailing space in p~: wanapofanya mapatano;

HOS 10:4 Removed trailing space in p~: kwa hiyo mashtaka huchipuka

HOS 10:4 Removed trailing space in p~: kama magugu ya sumu

HOS 10:4 Removed trailing space in p~: katika shamba lililolimwa.

HOS 10:5 Removed trailing space in v~: Watu wanaoishi Samaria huogopa

HOS 10:5 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya sanamu ya ndama ya Beth-Aveni.\f + \fr 10:5 \ft Beth-Aveni maana yake Nyumba ya Ubatili (au Uovu), jina lingine la Betheli kwa dhihaka.\f*

HOS 10:5 Removed trailing space in p~: Watu wake wataiombolezea,

HOS 10:5 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo kuhani wake wa kuabudu sanamu,

HOS 10:5 Removed trailing space in p~: wale waliokuwa wamefurahia fahari yake,

HOS 10:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu itaondolewa kutoka kwao

HOS 10:5 Removed trailing space in p~: kwenda uhamishoni.

HOS 10:6 Removed trailing space in v~: Itachukuliwa kwenda Ashuru

HOS 10:6 Removed trailing space in p~: kama ushuru kwa mfalme mkuu.

HOS 10:6 Removed trailing space in p~: Efraimu atafedheheshwa;

HOS 10:6 Removed trailing space in p~: Israeli ataaibika kwa ajili ya sanamu zake za mti.

HOS 10:7 Removed trailing space in v~: Samaria na mfalme wake wataelea

HOS 10:7 Removed trailing space in p~: kama kijiti juu ya uso wa maji.

HOS 10:8 Removed trailing space in v~: Mahali pa kuabudia sanamu pa uovu\f + \fr 10:8 \ft Yaani \fqa Aveni \ft kwa Kiebrania, kumaanisha \fqa Beth-Aveni\ft , jina lingine la Betheli kwa dhihaka.\f* pataharibiwa:

HOS 10:8 Removed trailing space in p~: ndiyo dhambi ya Israeli.

HOS 10:8 Removed trailing space in p~: Miiba na mibaruti itaota

HOS 10:8 Removed trailing space in p~: na kufunika madhabahu zao.

HOS 10:8 Removed trailing space in p~: Kisha wataiambia milima, “Tufunikeni!”

HOS 10:8 Removed trailing space in p~: na vilima, “Tuangukieni!”

HOS 10:9 Removed trailing space in v~: “Tangu siku za Gibea, mmetenda dhambi, ee Israeli,

HOS 10:9 Removed trailing space in p~: huko ndiko mlikobaki.

HOS 10:9 Removed trailing space in p~: Je, vita havikuwapata

HOS 10:9 Removed trailing space in p~: watenda mabaya huko Gibea?

HOS 10:10 Removed trailing space in v~: Wakati nitakapopenda, nitawaadhibu;

HOS 10:10 Removed trailing space in p~: mataifa yatakusanywa dhidi yao

HOS 10:10 Removed trailing space in p~: ili kuwaweka katika vifungo

HOS 10:10 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya dhambi zao mbili.

HOS 10:11 Removed trailing space in v~: Efraimu ni mtamba wa ngʼombe aliyefundishwa

HOS 10:11 Removed trailing space in p~: ambaye hupenda kupura,

HOS 10:11 Removed trailing space in p~: hivyo nitamfunga nira

HOS 10:11 Removed trailing space in p~: juu ya shingo yake nzuri.

HOS 10:11 Removed trailing space in p~: Nitamwendesha Efraimu,

HOS 10:11 Removed trailing space in p~: Yuda lazima alime,

HOS 10:11 Removed trailing space in p~: naye Yakobo lazima avunjavunje

HOS 10:11 Removed trailing space in p~: mabonge ya udongo.

HOS 10:12 Removed trailing space in v~: Jipandieni wenyewe haki,

HOS 10:12 Removed trailing space in p~: vuneni matunda ya upendo usio na kikomo,

HOS 10:12 Removed trailing space in p~: vunjeni ardhi yenu isiyolimwa;

HOS 10:12 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ni wakati wa kumtafuta \nd Bwana\nd*,

HOS 10:12 Removed trailing space in p~: mpaka atakapokuja

HOS 10:12 Removed trailing space in p~: na kuwanyeshea juu yenu haki.

HOS 10:13 Removed trailing space in v~: Lakini mmepanda uovu,

HOS 10:13 Removed trailing space in p~: mkavuna ubaya,

HOS 10:13 Removed trailing space in p~: mmekula tunda la udanganyifu.

HOS 10:13 Removed trailing space in p~: Kwa sababu mmetegemea nguvu zenu wenyewe

HOS 10:13 Removed trailing space in p~: na wingi wa mashujaa wenu,

HOS 10:14 Removed trailing space in v~: mngurumo wa vita utainuka dhidi ya watu wako,

HOS 10:14 Removed trailing space in p~: ili kwamba ngome zako zote zitaharibiwa:

HOS 10:14 Removed trailing space in p~: kama Shalmani alivyoharibu Beth-Arbeli katika siku ile ya vita,

HOS 10:14 Removed trailing space in p~: wakati mama pamoja na watoto wao

HOS 10:14 Removed trailing space in p~: walipotupwa kwa nguvu ardhini.

HOS 10:15 Removed trailing space in v~: Ndivyo itakavyotokea kwako, ee Betheli,

HOS 10:15 Removed trailing space in p~: kwa sababu uovu wako ni mkuu.

HOS 10:15 Removed trailing space in p~: Siku ile itakapopambazuka,

HOS 10:15 Removed trailing space in p~: mfalme wa Israeli ataharibiwa kabisa.

HOS 11:0 Extra space after chapter number

HOS 11:0 Removed trailing space in c: 11

HOS 11:0 Removed trailing space in s1: Upendo Wa Mungu Kwa Israeli

HOS 11:1 Removed trailing space in v~: “Wakati Israeli alipokuwa mtoto, nilimpenda,

HOS 11:1 Removed trailing space in p~: nilimwita mwanangu kutoka Misri.

HOS 11:2 Removed trailing space in v~: Lakini kadiri nilivyomwita Israeli,

HOS 11:2 Removed trailing space in p~: ndivyo walivyokwenda mbali nami.

HOS 11:2 Removed trailing space in p~: Walitoa dhabihu kwa Mabaali

HOS 11:2 Removed trailing space in p~: na kufukiza uvumba kwa vinyago.

HOS 11:3 Removed trailing space in v~: Mimi ndiye niliyemfundisha Efraimu kutembea,

HOS 11:3 Removed trailing space in p~: nikiwashika mikono;

HOS 11:3 Removed trailing space in p~: lakini hawakutambua

HOS 11:3 Removed trailing space in p~: kuwa ni mimi niliyewaponya.

HOS 11:4 Removed trailing space in v~: Niliwaongoza kwa kamba za huruma ya kibinadamu,

HOS 11:4 Removed trailing space in p~: kwa vifungo vya upendo;

HOS 11:4 Removed trailing space in p~: niliondoa nira shingoni mwao

HOS 11:4 Removed trailing space in p~: nami nikainama kuwalisha.

HOS 11:5 Removed trailing space in v~: “Je, hawatarudi Misri,

HOS 11:5 Removed trailing space in p~: nayo Ashuru haitawatawala

HOS 11:5 Removed trailing space in p~: kwa sababu wamekataa kutubu?

HOS 11:6 Removed trailing space in v~: Panga zitametameta katika miji yao,

HOS 11:6 Removed trailing space in p~: zitaharibu makomeo ya malango yao

HOS 11:6 Removed trailing space in p~: na kukomesha mipango yao.

HOS 11:7 Removed trailing space in v~: Watu wangu wamedhamiria kuniacha.

HOS 11:7 Removed trailing space in p~: Hata kama wakimwita Yeye Aliye Juu Sana,

HOS 11:7 Removed trailing space in p~: kwa vyovyote hatawainua.

HOS 11:8 Removed trailing space in v~: “Efraimu, ninawezaje kukuacha?

HOS 11:8 Removed trailing space in p~: Ee Israeli, ninawezaje kukutoa?

HOS 11:8 Removed trailing space in p~: Nitawezaje kukutendea kama Adma?

HOS 11:8 Removed trailing space in p~: Nitawezaje kukufanya kama Seboimu?

HOS 11:8 Removed trailing space in p~: Moyo wangu umegeuka ndani yangu,

HOS 11:8 Removed trailing space in p~: huruma zangu zote zimeamshwa.

HOS 11:9 Removed trailing space in v~: Sitatimiza hasira yangu kali,

HOS 11:9 Removed trailing space in p~: wala sitageuka na kumharibu Efraimu.

HOS 11:9 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa mimi ndimi Mungu,

HOS 11:9 Removed trailing space in p~: wala si mwanadamu,

HOS 11:9 Removed trailing space in p~: Aliye Mtakatifu miongoni mwenu.

HOS 11:9 Removed trailing space in p~: Sitakuja kwa ghadhabu.

HOS 11:10 Removed trailing space in v~: Watamfuata \nd Bwana\nd*;

HOS 11:10 Removed trailing space in p~: atanguruma kama simba.

HOS 11:10 Removed trailing space in p~: Wakati angurumapo,

HOS 11:10 Removed trailing space in p~: watoto wake watakuja wakitetemeka

HOS 11:10 Removed trailing space in p~: kutoka magharibi.

HOS 11:11 Removed trailing space in v~: Watakuja wakitetemeka

HOS 11:11 Removed trailing space in p~: kama ndege wakitoka Misri,

HOS 11:11 Removed trailing space in p~: kama hua wakitoka Ashuru.

HOS 11:11 Removed trailing space in p~: Nitawakalisha katika nyumba zao,”

HOS 11:11 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

HOS 11:11 Removed trailing space in s1: Dhambi Ya Israeli

HOS 11:12 Removed trailing space in v~: Efraimu amenizunguka kwa uongo,

HOS 11:12 Removed trailing space in p~: nyumba ya Israeli kwa udanganyifu.

HOS 11:12 Removed trailing space in p~: Naye Yuda ni mkaidi dhidi ya Mungu,

HOS 11:12 Removed trailing space in p~: hata kinyume cha yule mwaminifu Aliye Mtakatifu.

HOS 12:0 Extra space after chapter number

HOS 12:0 Removed trailing space in c: 12

HOS 12:1 Removed trailing space in v~: Efraimu anajilisha upepo;

HOS 12:1 Removed trailing space in p~: hufukuzia upepo wa mashariki kutwa nzima

HOS 12:1 Removed trailing space in p~: na kuzidisha uongo na jeuri.

HOS 12:1 Removed trailing space in p~: Anafanya mkataba na Ashuru

HOS 12:1 Removed trailing space in p~: na kutuma mafuta ya zeituni Misri.

HOS 12:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* analo shtaka dhidi ya Yuda,

HOS 12:2 Removed trailing space in p~: atamwadhibu Yakobo kwa kadiri ya njia zake

HOS 12:2 Removed trailing space in p~: na kumlipa kwa kadiri ya matendo yake.

HOS 12:3 Removed trailing space in v~: Yakobo akiwa tumboni alishika kisigino cha kaka yake;

HOS 12:3 Removed trailing space in p~: kama mwanadamu, alishindana na Mungu.

HOS 12:4 Removed trailing space in v~: Alishindana na malaika na kumshinda;

HOS 12:4 Removed trailing space in p~: alilia na kuomba upendeleo wake.

HOS 12:4 Removed trailing space in p~: Alimkuta huko Betheli

HOS 12:4 Removed trailing space in p~: na kuzungumza naye huko:

HOS 12:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote,

HOS 12:5 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ndilo jina lake!

HOS 12:6 Removed trailing space in v~: Lakini ni lazima urudi kwa Mungu wako;

HOS 12:6 Removed trailing space in p~: dumisha upendo na haki,

HOS 12:6 Removed trailing space in p~: nawe umngojee Mungu wako siku zote.

HOS 12:7 Removed trailing space in v~: Mfanyabiashara hutumia vipimo vya udanganyifu;

HOS 12:7 Removed trailing space in p~: hupenda kupunja.

HOS 12:8 Removed trailing space in v~: Efraimu hujisifu akisema,

HOS 12:8 Removed trailing space in p~: “Mimi ni tajiri sana; nimetajirika.

HOS 12:8 Removed trailing space in p~: Pamoja na utajiri wangu wote hawatakuta ndani yangu

HOS 12:8 Removed trailing space in p~: uovu wowote au dhambi.”

HOS 12:9 Removed trailing space in v~: “Mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu

HOS 12:9 Removed trailing space in p~: niliyewaleta kutoka Misri;

HOS 12:9 Removed trailing space in p~: nitawafanya mkae tena kwenye mahema,

HOS 12:9 Removed trailing space in p~: kama vile katika siku

HOS 12:9 Removed trailing space in p~: za sikukuu zenu zilizoamriwa.

HOS 12:10 Removed trailing space in v~: Niliongea na manabii, nikawapa maono mengi

HOS 12:10 Removed trailing space in p~: na kusema mifano kupitia wao.”

HOS 12:11 Removed trailing space in v~: Je, Gileadi si mwovu?

HOS 12:11 Removed trailing space in p~: Watu wake hawafai kitu!

HOS 12:11 Removed trailing space in p~: Je, hawatoi dhabihu za mafahali huko Gilgali?

HOS 12:11 Removed trailing space in p~: Madhabahu zao zitakuwa

HOS 12:11 Removed trailing space in p~: kama malundo ya mawe

HOS 12:11 Removed trailing space in p~: katika shamba lililolimwa.

HOS 12:12 Removed trailing space in v~: Yakobo alikimbilia katika nchi ya Aramu;

HOS 12:12 Removed trailing space in p~: Israeli alitumika ili apate mke,

HOS 12:12 Removed trailing space in p~: ili aweze kulipa kwa ajili yake alichunga kondoo.

HOS 12:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* alimtumia nabii

HOS 12:13 Removed trailing space in p~: kumpandisha Israeli kutoka Misri,

HOS 12:13 Removed trailing space in p~: kwa njia ya nabii alimtunza.

HOS 12:14 Removed trailing space in v~: Lakini Efraimu amemchochea sana hasira;

HOS 12:14 Removed trailing space in p~: Bwana wake ataleta juu yake

HOS 12:14 Removed trailing space in p~: hatia yake ya kumwaga damu naye atamlipiza

HOS 12:14 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya dharau yake.

HOS 13:0 Extra space after chapter number

HOS 13:0 Removed trailing space in c: 13

HOS 13:0 Removed trailing space in s1: Hasira Ya \nd Bwana\nd* Dhidi Ya Israeli

HOS 13:1 Removed trailing space in v~: Wakati Efraimu alipozungumza, watu walitetemeka,

HOS 13:1 Removed trailing space in p~: alikuwa ametukuzwa katika Israeli.

HOS 13:1 Removed trailing space in p~: Lakini alikuwa na hatia ya kumwabudu Baali

HOS 13:1 Removed trailing space in p~: naye akafa.

HOS 13:2 Removed trailing space in v~: Sasa wanatenda dhambi zaidi na zaidi;

HOS 13:2 Removed trailing space in p~: wanajitengenezea sanamu

HOS 13:2 Removed trailing space in p~: kutokana na fedha yao,

HOS 13:2 Removed trailing space in p~: vinyago vilivyotengenezwa kwa uhodari,

HOS 13:2 Removed trailing space in p~: vyote kazi ya fundi stadi.

HOS 13:2 Removed trailing space in p~: Inasemekana kuhusu hawa watu,

HOS 13:2 Removed trailing space in p~: “Hutoa dhabihu za binadamu

HOS 13:2 Removed trailing space in p~: na kubusu sanamu za ndama.”

HOS 13:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo watakuwa kama ukungu wa asubuhi,

HOS 13:3 Removed trailing space in p~: kama umande wa alfajiri utowekao,

HOS 13:3 Removed trailing space in p~: kama makapi yapeperushwayo

HOS 13:3 Removed trailing space in p~: kutoka sakafu ya kupuria nafaka,

HOS 13:3 Removed trailing space in p~: kama moshi utorokao kupitia dirishani.

HOS 13:4 Removed trailing space in v~: “Bali mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

HOS 13:4 Removed trailing space in p~: niliyewaleta ninyi toka Misri.

HOS 13:4 Removed trailing space in p~: Msimkubali Mungu mwingine ila mimi,

HOS 13:4 Removed trailing space in p~: hakuna Mwokozi isipokuwa mimi.

HOS 13:5 Removed trailing space in v~: Niliwatunza huko jangwani,

HOS 13:5 Removed trailing space in p~: katika nchi yenye joto liunguzalo.

HOS 13:6 Removed trailing space in v~: Nilipowalisha, walishiba,

HOS 13:6 Removed trailing space in p~: waliposhiba, wakajivuna,

HOS 13:6 Removed trailing space in p~: kisha wakanisahau mimi.

HOS 13:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nitakuja juu yao kama simba,

HOS 13:7 Removed trailing space in p~: kama chui nitawavizia kando ya njia.

HOS 13:8 Removed trailing space in v~: Kama dubu aliyenyangʼanywa watoto wake,

HOS 13:8 Removed trailing space in p~: nitawashambulia na kurarua vifua vyenu.

HOS 13:8 Removed trailing space in p~: Kama simba nitawala;

HOS 13:8 Removed trailing space in p~: mnyama pori atawararua vipande vipande.

HOS 13:9 Removed trailing space in v~: “Ee Israeli, umeangamizwa,

HOS 13:9 Removed trailing space in p~: kwa sababu wewe u kinyume nami,

HOS 13:9 Removed trailing space in p~: kinyume na msaidizi wako.

HOS 13:10 Removed trailing space in v~: Yuko wapi mfalme wako,

HOS 13:10 Removed trailing space in p~: ili apate kukuokoa?

HOS 13:10 Removed trailing space in p~: Wako wapi watawala wako katika miji yako yote

HOS 13:10 Removed trailing space in p~: ambao ulisema kuwahusu,

HOS 13:10 Removed trailing space in p~: ‘Nipe mfalme na wakuu’?

HOS 13:11 Removed trailing space in v~: Hivyo katika hasira yangu nilikupa mfalme

HOS 13:11 Removed trailing space in p~: na katika ghadhabu yangu nilimwondoa.

HOS 13:12 Removed trailing space in v~: Kosa la Efraimu limehifadhiwa,

HOS 13:12 Removed trailing space in p~: dhambi zake zimewekwa katika kumbukumbu.

HOS 13:13 Removed trailing space in v~: Utungu kama wa mwanamke anayejifungua mtoto humjia,

HOS 13:13 Removed trailing space in p~: lakini yeye ni mtoto asiyekuwa na hekima;

HOS 13:13 Removed trailing space in p~: wakati utakapowadia hatatoka

HOS 13:13 Removed trailing space in p~: katika tumbo la mama yake.

HOS 13:14 Removed trailing space in v~: “Nitawakomboa watu hawa kutoka nguvu za kaburi,

HOS 13:14 Removed trailing space in p~: nitawakomboa kutoka mautini.

HOS 13:14 Removed trailing space in p~: Yako wapi, ee mauti, mateso yako?

HOS 13:14 Removed trailing space in p~: Uko wapi, ee kuzimu, uharibifu wako?

HOS 13:14 Removed trailing space in p~: “Sitakuwa na huruma,

HOS 13:15 Removed trailing space in v~: hata ingawa Efraimu atastawi

HOS 13:15 Removed trailing space in p~: miongoni mwa ndugu zake.

HOS 13:15 Removed trailing space in p~: Upepo wa mashariki kutoka kwa \nd Bwana\nd* utakuja,

HOS 13:15 Removed trailing space in p~: ukivuma kutoka jangwani,

HOS 13:15 Removed trailing space in p~: chemchemi yake haitatoa maji

HOS 13:15 Removed trailing space in p~: na kisima chake kitakauka.

HOS 13:15 Removed trailing space in p~: Ghala lake litatekwa

HOS 13:15 Removed trailing space in p~: hazina zake zote.

HOS 13:16 Removed trailing space in v~: Watu wa Samaria ni lazima wabebe hatia yao,

HOS 13:16 Removed trailing space in p~: kwa sababu wameasi dhidi ya Mungu wao.

HOS 13:16 Removed trailing space in p~: Wataanguka kwa upanga;

HOS 13:16 Removed trailing space in p~: watoto wao wadogo watatupwa kwa nguvu ardhini,

HOS 13:16 Removed trailing space in p~: wanawake wao walio na mimba watatumbuliwa.”

JOL -1:0 Removed trailing space in id: JOL - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

JOL -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

JOL -1:2 Removed trailing space in h: Yoeli

JOL -1:3 Removed trailing space in toc1: Yoeli

JOL -1:4 Removed trailing space in toc2: Yoeli

JOL -1:5 Removed trailing space in toc3: Yoe

JOL -1:6 Removed trailing space in mt1: Yoeli

JOL 1:0 Extra space after chapter number

JOL 1:0 Removed trailing space in c: 1

JOL 1:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* ambalo lilimjia Yoeli mwana wa Pethueli.

JOL 1:1 Removed trailing space in s1: Uvamizi Wa Nzige

JOL 1:2 Removed trailing space in v~: Sikilizeni hili, enyi wazee;

JOL 1:2 Removed trailing space in p~: sikilizeni, ninyi nyote mnaoishi katika nchi.

JOL 1:2 Removed trailing space in p~: Je, jambo kama hili lilishawahi kutokea

JOL 1:2 Removed trailing space in p~: katika siku zenu au katika siku za babu zenu?

JOL 1:3 Removed trailing space in v~: Waelezeni watoto wenu,

JOL 1:3 Removed trailing space in p~: na watoto wenu wawaambie watoto wao,

JOL 1:3 Removed trailing space in p~: na watoto wao kwa kizazi kitakachofuata.

JOL 1:4 Removed trailing space in v~: Kilichosazwa na kundi la tunutu

JOL 1:4 Removed trailing space in p~: nzige wakubwa wamekula,

JOL 1:4 Removed trailing space in p~: kilichosazwa na nzige wakubwa

JOL 1:4 Removed trailing space in p~: parare wamekula,

JOL 1:4 Removed trailing space in p~: kilichosazwa na parare

JOL 1:4 Removed trailing space in p~: madumadu wamekula.

JOL 1:5 Removed trailing space in v~: Amkeni, enyi walevi, mlie!

JOL 1:5 Removed trailing space in p~: Pigeni yowe enyi wanywaji wote wa mvinyo,

JOL 1:5 Removed trailing space in p~: pigeni yowe kwa sababu ya mvinyo mpya,

JOL 1:5 Removed trailing space in p~: kwa kuwa mmenyangʼanywa

JOL 1:5 Removed trailing space in p~: kutoka midomoni mwenu.

JOL 1:6 Removed trailing space in v~: Taifa limevamia nchi yangu,

JOL 1:6 Removed trailing space in p~: lenye nguvu tena lisilo na idadi;

JOL 1:6 Removed trailing space in p~: lina meno ya simba,

JOL 1:6 Removed trailing space in p~: magego ya simba jike.

JOL 1:7 Removed trailing space in v~: Limeharibu mizabibu yangu

JOL 1:7 Removed trailing space in p~: na kuangamiza mitini yangu.

JOL 1:7 Removed trailing space in p~: Limebambua magome yake

JOL 1:7 Removed trailing space in p~: na kuyatupilia mbali,

JOL 1:7 Removed trailing space in p~: likayaacha matawi yake yakiwa meupe.

JOL 1:8 Removed trailing space in v~: Omboleza kama bikira aliyevaa nguo ya gunia

JOL 1:8 Removed trailing space in p~: anayehuzunika kwa ajili ya mume wa ujana wake.

JOL 1:9 Removed trailing space in v~: Sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji

JOL 1:9 Removed trailing space in p~: zimekatiliwa mbali kutoka nyumba ya \nd Bwana\nd*.

JOL 1:9 Removed trailing space in p~: Makuhani wanaomboleza,

JOL 1:9 Removed trailing space in p~: wale wanaohudumu mbele za \nd Bwana\nd*.

JOL 1:10 Removed trailing space in v~: Mashamba yameharibiwa,

JOL 1:10 Removed trailing space in p~: ardhi imekauka;

JOL 1:10 Removed trailing space in p~: nafaka imeharibiwa,

JOL 1:10 Removed trailing space in p~: mvinyo mpya umekauka,

JOL 1:10 Removed trailing space in p~: mafuta yamekoma.

JOL 1:11 Removed trailing space in v~: Kateni tamaa, enyi wakulima,

JOL 1:11 Removed trailing space in p~: lieni, enyi mlimao mizabibu;

JOL 1:11 Removed trailing space in p~: huzunikeni kwa ajili ya ngano na shayiri,

JOL 1:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu mavuno ya shambani yameharibiwa.

JOL 1:12 Removed trailing space in v~: Mzabibu umekauka

JOL 1:12 Removed trailing space in p~: na mtini umenyauka;

JOL 1:12 Removed trailing space in p~: mkomamanga, mtende na mtofaa,

JOL 1:12 Removed trailing space in p~: miti yote shambani, imekauka.

JOL 1:12 Removed trailing space in p~: Hakika furaha yote ya mwanadamu

JOL 1:12 Removed trailing space in p~: imeondoka.

JOL 1:12 Removed trailing space in s1: Wito Wa Toba

JOL 1:13 Removed trailing space in v~: Vaeni nguo ya gunia, enyi makuhani, muomboleze;

JOL 1:13 Removed trailing space in p~: pigeni yowe, enyi mnaohudumu madhabahuni.

JOL 1:13 Removed trailing space in p~: Njooni, vaeni nguo ya gunia usiku kucha,

JOL 1:13 Removed trailing space in p~: enyi mnaohudumu mbele za Mungu wangu;

JOL 1:13 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sadaka za nafaka na sadaka za kinywaji

JOL 1:13 Removed trailing space in p~: zimezuiliwa kufika katika nyumba ya Mungu wenu.

JOL 1:14 Removed trailing space in v~: Tangazeni saumu takatifu;

JOL 1:14 Removed trailing space in p~: liiteni kusanyiko takatifu.

JOL 1:14 Removed trailing space in p~: Iteni wazee

JOL 1:14 Removed trailing space in p~: na wote waishio katika nchi

JOL 1:14 Removed trailing space in p~: waende katika nyumba ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

JOL 1:14 Removed trailing space in p~: wakamlilie \nd Bwana\nd*.

JOL 1:15 Removed trailing space in v~: Ole kwa siku hiyo!

JOL 1:15 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa siku ya \nd Bwana\nd* iko karibu;

JOL 1:15 Removed trailing space in p~: itakuja kama uharibifu

JOL 1:15 Removed trailing space in p~: kutoka kwa Mwenyezi.\f + \fr 1:15 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.\f*

JOL 1:16 Removed trailing space in v~: Je, chakula hakikukatiliwa mbali

JOL 1:16 Removed trailing space in p~: mbele ya macho yetu:

JOL 1:16 Removed trailing space in p~: furaha na shangwe

JOL 1:16 Removed trailing space in p~: kutoka nyumba ya Mungu wetu?

JOL 1:17 Removed trailing space in v~: Mbegu zinakauka

JOL 1:17 Removed trailing space in p~: chini ya mabonge ya udongo.

JOL 1:17 Removed trailing space in p~: Ghala zimeachwa katika uharibifu,

JOL 1:17 Removed trailing space in p~: ghala za nafaka zimebomolewa,

JOL 1:17 Removed trailing space in p~: kwa maana hakuna nafaka.

JOL 1:18 Removed trailing space in v~: Jinsi gani ngʼombe wanavyolia!

JOL 1:18 Removed trailing space in p~: Makundi ya mifugo yanahangaika

JOL 1:18 Removed trailing space in p~: kwa sababu hawana malisho;

JOL 1:18 Removed trailing space in p~: hata makundi ya kondoo yanateseka.

JOL 1:19 Removed trailing space in v~: Kwako, Ee \nd Bwana\nd*, naita,

JOL 1:19 Removed trailing space in p~: kwa kuwa moto umeteketeza

JOL 1:19 Removed trailing space in p~: malisho ya mbugani

JOL 1:19 Removed trailing space in p~: na miali ya moto imeunguza

JOL 1:19 Removed trailing space in p~: miti yote shambani.

JOL 1:20 Removed trailing space in v~: Hata wanyama wa porini wanakuonea shauku;

JOL 1:20 Removed trailing space in p~: vijito vya maji vimekauka,

JOL 1:20 Removed trailing space in p~: na moto umeteketeza

JOL 1:20 Removed trailing space in p~: malisho yote ya mbugani.

JOL 2:0 Extra space after chapter number

JOL 2:0 Removed trailing space in c: 2

JOL 2:0 Removed trailing space in s1: Jeshi La Nzige

JOL 2:1 Removed trailing space in v~: Pigeni tarumbeta katika Sayuni;

JOL 2:1 Removed trailing space in p~: pigeni mbiu katika mlima wangu mtakatifu.

JOL 2:1 Removed trailing space in p~: Wote waishio katika nchi na watetemeke,

JOL 2:1 Removed trailing space in p~: kwa kuwa siku ya \nd Bwana\nd* inakuja. Iko karibu,

JOL 2:2 Removed trailing space in v~: siku ya giza na huzuni,

JOL 2:2 Removed trailing space in p~: siku ya mawingu na utusitusi.

JOL 2:2 Removed trailing space in p~: Kama mapambazuko yasambaavyo

JOL 2:2 Removed trailing space in p~: toka upande huu wa milima

JOL 2:2 Removed trailing space in p~: hata upande mwingine

JOL 2:2 Removed trailing space in p~: jeshi kubwa na lenye nguvu linakuja.

JOL 2:2 Removed trailing space in p~: Jambo kama hili halijakuwepo tangu zamani

JOL 2:2 Removed trailing space in p~: wala halitakuwepo tena kamwe

JOL 2:2 Removed trailing space in p~: kwa vizazi vijavyo.

JOL 2:3 Removed trailing space in v~: Mbele yao moto unateketeza,

JOL 2:3 Removed trailing space in p~: nyuma yao miali ya moto

JOL 2:3 Removed trailing space in p~: inawaka kwa nguvu.

JOL 2:3 Removed trailing space in p~: Mbele yao nchi iko kama bustani ya Edeni,

JOL 2:3 Removed trailing space in p~: nyuma yao ni jangwa lisilofaa:

JOL 2:3 Removed trailing space in p~: hakuna kitu kinachowaepuka.

JOL 2:4 Removed trailing space in v~: Wanaonekana kama farasi;

JOL 2:4 Removed trailing space in p~: wanakwenda mbio

JOL 2:4 Removed trailing space in p~: kama askari wapanda farasi.

JOL 2:5 Removed trailing space in v~: Wanatoa sauti kama magari ya vita,

JOL 2:5 Removed trailing space in p~: wanaporukaruka juu ya vilele vya milima,

JOL 2:5 Removed trailing space in p~: kama mlio wa miali ya moto ilayo mabua,

JOL 2:5 Removed trailing space in p~: kama jeshi kubwa lililojipanga kwa ajili ya vita.

JOL 2:6 Removed trailing space in v~: Wanapoonekana, mataifa yanakuwa katika maumivu makuu;

JOL 2:6 Removed trailing space in p~: kila uso unabadilika rangi.

JOL 2:7 Removed trailing space in v~: Wanashambulia kama wapiganaji wa vita;

JOL 2:7 Removed trailing space in p~: wanapanda kuta kama askari.

JOL 2:7 Removed trailing space in p~: Wote wanatembea katika safu,

JOL 2:7 Removed trailing space in p~: hawapotoshi safu zao.

JOL 2:8 Removed trailing space in v~: Hakuna anayemsukuma mwenzake;

JOL 2:8 Removed trailing space in p~: kila mmoja anakwenda mbele moja kwa moja.

JOL 2:8 Removed trailing space in p~: Wanapita katika vizuizi

JOL 2:8 Removed trailing space in p~: bila kuharibu safu zao.

JOL 2:9 Removed trailing space in v~: Wanaenda kasi kuingia mjini;

JOL 2:9 Removed trailing space in p~: wanakimbia ukutani.

JOL 2:9 Removed trailing space in p~: Wanaingia ndani ya nyumba;

JOL 2:9 Removed trailing space in p~: kwa kuingilia madirishani kama wevi.

JOL 2:10 Removed trailing space in v~: Mbele yao dunia inatikisika,

JOL 2:10 Removed trailing space in p~: anga linatetemeka,

JOL 2:10 Removed trailing space in p~: jua na mwezi vinatiwa giza,

JOL 2:10 Removed trailing space in p~: na nyota hazitoi mwanga wake tena.

JOL 2:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anatoa mshindo wa ngurumo

JOL 2:11 Removed trailing space in p~: mbele ya jeshi lake;

JOL 2:11 Removed trailing space in p~: majeshi yake hayana idadi,

JOL 2:11 Removed trailing space in p~: ni wenye nguvu nyingi

JOL 2:11 Removed trailing space in p~: wale ambao hutii agizo lake.

JOL 2:11 Removed trailing space in p~: Siku ya \nd Bwana\nd* ni kuu,

JOL 2:11 Removed trailing space in p~: ni ya kutisha.

JOL 2:11 Removed trailing space in p~: Ni nani anayeweza kuistahimili?

JOL 2:11 Removed trailing space in s1: Rarueni Mioyo Yenu

JOL 2:12 Removed trailing space in v~: “Hata sasa,” asema \nd Bwana\nd*,

JOL 2:12 Removed trailing space in p~: “nirudieni kwa mioyo yenu yote,

JOL 2:12 Removed trailing space in p~: kwa kufunga, kwa kulia na kuomboleza.”

JOL 2:13 Removed trailing space in v~: Rarueni mioyo yenu

JOL 2:13 Removed trailing space in p~: na siyo mavazi yenu.

JOL 2:13 Removed trailing space in p~: Mrudieni \nd Bwana\nd*, Mungu wenu,

JOL 2:13 Removed trailing space in p~: kwa maana yeye ndiye mwenye neema

JOL 2:13 Removed trailing space in p~: na mwingi wa huruma,

JOL 2:13 Removed trailing space in p~: si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa upendo,

JOL 2:13 Removed trailing space in p~: huona huruma, hujizuia kuleta maafa.

JOL 2:14 Removed trailing space in v~: Ni nani ajuaye? Yeye aweza kugeuka na kuwa na huruma

JOL 2:14 Removed trailing space in p~: na kuacha baraka nyuma yake:

JOL 2:14 Removed trailing space in p~: sadaka za nafaka na sadaka za vinywaji

JOL 2:14 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

JOL 2:15 Removed trailing space in v~: Pigeni tarumbeta katika Sayuni,

JOL 2:15 Removed trailing space in p~: tangazeni saumu takatifu,

JOL 2:15 Removed trailing space in p~: liiteni kusanyiko takatifu.

JOL 2:16 Removed trailing space in v~: Wakusanyeni watu,

JOL 2:16 Removed trailing space in p~: wekeni wakfu kusanyiko;

JOL 2:16 Removed trailing space in p~: waleteni pamoja wazee,

JOL 2:16 Removed trailing space in p~: wakusanyeni watoto,

JOL 2:16 Removed trailing space in p~: wale wanyonyao maziwa.

JOL 2:16 Removed trailing space in p~: Bwana arusi na atoke chumbani mwake

JOL 2:16 Removed trailing space in p~: na bibi arusi naye atoke katika chumba chake.

JOL 2:17 Removed trailing space in v~: Makuhani, ambao wanahudumu mbele za \nd Bwana\nd*,

JOL 2:17 Removed trailing space in p~: na walie katikati ya ukumbi

JOL 2:17 Removed trailing space in p~: wa Hekalu na madhabahu.

JOL 2:17 Removed trailing space in p~: Waseme, “Wahurumie watu wako, Ee \nd Bwana\nd*.

JOL 2:17 Removed trailing space in p~: Usifanye urithi wako kitu cha kudharauliwa,

JOL 2:17 Removed trailing space in p~: neno la dhihaka kati ya mataifa.

JOL 2:17 Removed trailing space in p~: Kwa nini wasemezane miongoni mwao,

JOL 2:17 Removed trailing space in p~: ‘Yuko wapi Mungu wao?’ ”

JOL 2:17 Removed trailing space in s1: Jibu La \nd Bwana\nd*

JOL 2:18 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* atakuwa na wivu kwa ajili ya nchi yake

JOL 2:18 Removed trailing space in p~: na kuwa na huruma juu ya watu wake.

JOL 2:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atawajibu:

JOL 2:19 Removed trailing space in p~: “Ninawapelekea nafaka,

JOL 2:19 Removed trailing space in p~: mvinyo mpya na mafuta,

JOL 2:19 Removed trailing space in p~: vya kuwatosha ninyi

JOL 2:19 Removed trailing space in p~: hadi mridhike kabisa;

JOL 2:19 Removed trailing space in p~: kamwe sitawafanya tena

JOL 2:19 Removed trailing space in p~: kitu cha kudharauliwa na mataifa.

JOL 2:20 Removed trailing space in v~: “Nitafukuza jeshi la kaskazini likae mbali nanyi,

JOL 2:20 Removed trailing space in p~: nikilisukuma ndani ya jangwa,

JOL 2:20 Removed trailing space in p~: askari wa safu za mbele wakienda

JOL 2:20 Removed trailing space in p~: ndani ya bahari ya mashariki

JOL 2:20 Removed trailing space in p~: na wale wa safu za nyuma

JOL 2:20 Removed trailing space in p~: katika bahari ya magharibi.

JOL 2:20 Removed trailing space in p~: Uvundo wake utapaa juu;

JOL 2:20 Removed trailing space in p~: harufu yake itapanda juu.”

JOL 2:20 Removed trailing space in p~: Hakika ametenda mambo makubwa.

JOL 2:21 Removed trailing space in v~: Usiogope, ee nchi;

JOL 2:21 Removed trailing space in p~: furahi na kushangilia.

JOL 2:21 Removed trailing space in p~: Hakika \nd Bwana\nd* ametenda mambo makubwa.

JOL 2:22 Removed trailing space in v~: Msiogope, enyi wanyama pori,

JOL 2:22 Removed trailing space in p~: kwa kuwa mbuga za malisho yenu

JOL 2:22 Removed trailing space in p~: zinarudia ubichi.

JOL 2:22 Removed trailing space in p~: Miti nayo inazaa matunda,

JOL 2:22 Removed trailing space in p~: mtini na mzabibu inatoa utajiri wake.

JOL 2:23 Removed trailing space in v~: Furahini, enyi watu wa Sayuni,

JOL 2:23 Removed trailing space in p~: shangilieni katika \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

JOL 2:23 Removed trailing space in p~: kwa kuwa amewapa mvua za vuli

JOL 2:23 Removed trailing space in p~: kwa kipimo cha haki.

JOL 2:23 Removed trailing space in p~: Anawapelekea mvua nyingi,

JOL 2:23 Removed trailing space in p~: mvua ya vuli na ya masika, kama mwanzoni.

JOL 2:24 Removed trailing space in v~: Sakafu za kupuria zitajaa nafaka,

JOL 2:24 Removed trailing space in p~: mapipa yatafurika mvinyo mpya na mafuta.

JOL 2:25 Removed trailing space in v~: “Nitawalipa kwa ajili ya miaka ile iliyoliwa na nzige:

JOL 2:25 Removed trailing space in p~: parare, madumadu na tunutu,

JOL 2:25 Removed trailing space in p~: jeshi langu kubwa ambalo

JOL 2:25 Removed trailing space in p~: nililituma katikati yenu.

JOL 2:26 Removed trailing space in v~: Mtakuwa na wingi wa vyakula mpaka mshibe,

JOL 2:26 Removed trailing space in p~: na mtalisifu jina la \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

JOL 2:26 Removed trailing space in p~: ambaye amefanya maajabu kwa ajili yenu;

JOL 2:26 Removed trailing space in p~: kamwe watu wangu hawataaibishwa tena.

JOL 2:27 Removed trailing space in v~: Ndipo mtakapojua kwamba mimi niko katika Israeli

JOL 2:27 Removed trailing space in p~: kwamba mimi ndimi \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

JOL 2:27 Removed trailing space in p~: na kwamba hakuna mwingine;

JOL 2:27 Removed trailing space in p~: kamwe watu wangu hawataaibika tena.

JOL 2:27 Removed trailing space in s1: Siku Ya \nd Bwana\nd*

JOL 2:28 Removed trailing space in v~: “Hata itakuwa, baada ya hayo,

JOL 2:28 Removed trailing space in p~: nitamimina Roho wangu juu ya wote wenye mwili.

JOL 2:28 Removed trailing space in p~: Wana wenu na binti zenu watatabiri,

JOL 2:28 Removed trailing space in p~: wazee wenu wataota ndoto,

JOL 2:28 Removed trailing space in p~: na vijana wenu wataona maono.

JOL 2:29 Removed trailing space in v~: Hata juu ya watumishi wangu, wanaume kwa wanawake,

JOL 2:29 Removed trailing space in p~: katika siku zile nitamimina Roho wangu.

JOL 2:30 Removed trailing space in v~: Nami nitaonyesha maajabu katika mbingu

JOL 2:30 Removed trailing space in p~: na duniani:

JOL 2:30 Removed trailing space in p~: damu, moto na mawimbi ya moshi.

JOL 2:31 Removed trailing space in v~: Jua litageuzwa kuwa giza

JOL 2:31 Removed trailing space in p~: na mwezi kuwa mwekundu kama damu,

JOL 2:31 Removed trailing space in p~: kabla ya kuja siku ya \nd Bwana\nd*

JOL 2:31 Removed trailing space in p~: ile kuu na ya kutisha.

JOL 2:32 Removed trailing space in v~: Na kila mtu atakayeliitia

JOL 2:32 Removed trailing space in p~: jina la \nd Bwana\nd* ataokolewa.

JOL 2:32 Removed trailing space in p~: Kwa maana juu ya Mlima Sayuni na katika Yerusalemu

JOL 2:32 Removed trailing space in p~: kutakuwepo wokovu,

JOL 2:32 Removed trailing space in p~: kama \nd Bwana\nd* alivyosema,

JOL 2:32 Removed trailing space in p~: miongoni mwa walionusurika

JOL 2:32 Removed trailing space in p~: ambao \nd Bwana\nd* awaita.

JOL 3:0 Extra space after chapter number

JOL 3:0 Removed trailing space in c: 3

JOL 3:0 Removed trailing space in s1: Mataifa Yahukumiwa

JOL 3:1 Removed trailing space in v~: “Katika siku hizo na wakati huo,

JOL 3:1 Removed trailing space in p~: nitakaporejesha neema ya Yuda na Yerusalemu,

JOL 3:2 Removed trailing space in v~: nitayakusanya mataifa yote na kuyaleta

JOL 3:2 Removed trailing space in p~: katika Bonde la Yehoshafati\f + \fr 3:2 \ft Yehoshafati maana yake \+nd Bwana\+nd* huhukumu.\f*

JOL 3:2 Removed trailing space in p~: Hapo nitaingia kwenye hukumu dhidi yao

JOL 3:2 Removed trailing space in p~: kuhusu urithi wangu, watu wangu Israeli,

JOL 3:2 Removed trailing space in p~: kwa kuwa waliwatawanya watu wangu

JOL 3:2 Removed trailing space in p~: miongoni mwa mataifa

JOL 3:2 Removed trailing space in p~: na kuigawa nchi yangu.

JOL 3:3 Removed trailing space in v~: Wanawapigia kura watu wangu

JOL 3:3 Removed trailing space in p~: na kuwauza wavulana ili kupata makahaba;

JOL 3:3 Removed trailing space in p~: waliwauza wasichana

JOL 3:3 Removed trailing space in p~: ili wapate kunywa mvinyo.

JOL 3:4 Removed trailing space in v~: “Sasa una nini dhidi yangu, ee Tiro na Sidoni, nanyi nchi zote za Ufilisti? Je, mnanilipiza kwa yale niliyoyafanya? Kama mnalipa, mimi nitalipiza juu ya vichwa vyenu kwa kasi na kwa haraka yale mliyoyatenda.

JOL 3:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mlichukua fedha na dhahabu yangu pia mkabeba hazina zangu nzuri sana mkapeleka kwenye mahekalu yenu.

JOL 3:6 Removed trailing space in v~: Mliwauza watu wa Yuda na Yerusalemu kwa Wayunani, ili kwamba mpate kuwapeleka mbali na nchi yao.

JOL 3:7 Removed trailing space in v~: “Tazama nitawaamsha kutoka zile sehemu mlizowauza, nami nitawalipiza juu ya vichwa vyenu kile mlichofanya.

JOL 3:8 Removed trailing space in v~: Nitawauza wana wenu na binti zenu kwa watu wa Yuda, nao watawauza kwa Waseba, taifa lililo mbali.” \nd Bwana\nd* amesema.

JOL 3:9 Removed trailing space in v~: Tangazeni hili miongoni mwa mataifa:

JOL 3:9 Removed trailing space in p~: Jiandaeni kwa vita!

JOL 3:9 Removed trailing space in p~: Amsha askari!

JOL 3:9 Removed trailing space in p~: Wanaume wote wapiganaji

JOL 3:9 Removed trailing space in p~: wasogee karibu na kushambulia.

JOL 3:10 Removed trailing space in v~: Majembe yenu yafueni yawe panga

JOL 3:10 Removed trailing space in p~: na miundu yenu ya kukatia iwe mikuki.

JOL 3:10 Removed trailing space in p~: Aliye dhaifu na aseme,

JOL 3:10 Removed trailing space in p~: “Mimi nina nguvu!”

JOL 3:11 Removed trailing space in v~: Njooni haraka, ninyi mataifa yote kutoka pande zote,

JOL 3:11 Removed trailing space in p~: kusanyikeni huko.

JOL 3:11 Removed trailing space in p~: Shusha wapiganaji wako, Ee \nd Bwana\nd*!

JOL 3:12 Removed trailing space in v~: “Mataifa na yaamshwe;

JOL 3:12 Removed trailing space in p~: na yasonge mbele kuelekea Bonde la Yehoshafati,

JOL 3:12 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nitaketi mahali pale

JOL 3:12 Removed trailing space in p~: kuhukumu mataifa yote yaliyoko kila upande.

JOL 3:13 Removed trailing space in v~: Tia mundu,

JOL 3:13 Removed trailing space in p~: kwa kuwa mavuno yamekomaa.

JOL 3:13 Removed trailing space in p~: Njooni, mkanyage zabibu,

JOL 3:13 Removed trailing space in p~: kwa kuwa shinikizo la kukamua zabibu limejaa

JOL 3:13 Removed trailing space in p~: na mapipa yanafurika:

JOL 3:13 Removed trailing space in p~: kwa kuwa uovu wao ni mkubwa!”

JOL 3:14 Removed trailing space in v~: Umati mkubwa, umati mkubwa

JOL 3:14 Removed trailing space in p~: katika bonde la uamuzi!

JOL 3:14 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa siku ya \nd Bwana\nd* ni karibu

JOL 3:14 Removed trailing space in p~: katika bonde la uamuzi.

JOL 3:15 Removed trailing space in v~: Jua na mwezi vitatiwa giza,

JOL 3:15 Removed trailing space in p~: na nyota hazitatoa mwanga wake tena.

JOL 3:16 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atanguruma kutoka Sayuni

JOL 3:16 Removed trailing space in p~: na mshindo wa ngurumo kutoka Yerusalemu;

JOL 3:16 Removed trailing space in p~: dunia na mbingu vitatikisika.

JOL 3:16 Removed trailing space in p~: Lakini \nd Bwana\nd* atakuwa kimbilio la watu wake,

JOL 3:16 Removed trailing space in p~: ngome imara kwa ajili ya watu wa Israeli.

JOL 3:16 Removed trailing space in s1: Baraka Kwa Watu Wa Mungu

JOL 3:17 Removed trailing space in v~: “Ndipo mtakapojua kwamba Mimi, \nd Bwana\nd* Mungu wenu,

JOL 3:17 Removed trailing space in p~: nakaa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.

JOL 3:17 Removed trailing space in p~: Yerusalemu utakuwa mtakatifu;

JOL 3:17 Removed trailing space in p~: kamwe wageni hawatavamia tena.

JOL 3:18 Removed trailing space in v~: “Katika siku hiyo milima itadondosha divai mpya,

JOL 3:18 Removed trailing space in p~: na vilima vitatiririka maziwa;

JOL 3:18 Removed trailing space in p~: mabonde yote ya Yuda yatatiririka maji.

JOL 3:18 Removed trailing space in p~: Chemchemi itatiririka kutoka kwenye nyumba ya \nd Bwana\nd*

JOL 3:18 Removed trailing space in p~: na kunywesha Bonde la Shitimu.\f + \fr 3:18 \ft Au: \fqa Bonde la Migunga\ft .\f*

JOL 3:19 Removed trailing space in v~: Lakini Misri itakuwa ukiwa,

JOL 3:19 Removed trailing space in p~: Edomu itakuwa jangwa tupu,

JOL 3:19 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya jeuri waliofanya kwa watu wa Yuda,

JOL 3:19 Removed trailing space in p~: ambao katika nchi yao

JOL 3:19 Removed trailing space in p~: walimwaga damu isiyo na hatia.

JOL 3:20 Removed trailing space in v~: Yuda itakaliwa na watu milele

JOL 3:20 Removed trailing space in p~: na Yerusalemu itadumu vizazi vyote.

JOL 3:21 Removed trailing space in v~: Hatia yao ya damu, ambayo sijasamehe,

JOL 3:21 Removed trailing space in p~: nitasamehe.”

JOL 3:21 Removed trailing space in qc: \nd Bwana\nd* anakaa Sayuni!

AMO -1:0 Removed trailing space in id: AMO - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

AMO -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

AMO -1:2 Removed trailing space in h: Amosi

AMO -1:3 Removed trailing space in toc1: Amosi

AMO -1:4 Removed trailing space in toc2: Amosi

AMO -1:5 Removed trailing space in toc3: Amo

AMO -1:6 Removed trailing space in mt1: Amosi

AMO 1:0 Extra space after chapter number

AMO 1:0 Removed trailing space in c: 1

AMO 1:1 Removed trailing space in v~: Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga wanyama wa Tekoa: yale aliyoyaona kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi, wakati Uzia alikuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli.

AMO 1:2 Removed trailing space in v~: Alisema:

AMO 1:2 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* ananguruma toka Sayuni,

AMO 1:2 Removed trailing space in p~: pia ananguruma kutoka Yerusalemu;

AMO 1:2 Removed trailing space in p~: malisho ya wachunga wanyama yanakauka,

AMO 1:2 Removed trailing space in p~: kilele cha Karmeli kinanyauka.”

AMO 1:2 Removed trailing space in s1: Hukumu Juu Ya Majirani Wa Israeli

AMO 1:3 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

AMO 1:3 Removed trailing space in p~: “Kwa dhambi tatu za Dameski,

AMO 1:3 Removed trailing space in p~: hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

AMO 1:3 Removed trailing space in p~: Kwa sababu aliipura Gileadi

AMO 1:3 Removed trailing space in p~: kwa vyombo vya chuma vyenye meno.

AMO 1:4 Removed trailing space in v~: Nitatuma moto juu ya nyumba ya Hazaeli

AMO 1:4 Removed trailing space in p~: ambao utateketeza ngome za Ben-Hadadi.

AMO 1:5 Removed trailing space in v~: Nitalivunja lango la Dameski;

AMO 1:5 Removed trailing space in p~: nitamwangamiza mfalme aliyeko katika Bonde la Aveni,\f + \fr 1:5 \ft Bonde la Aveni maana yake Bonde la Uovu.\f*

AMO 1:5 Removed trailing space in p~: na yeye ambaye anaishika fimbo ya utawala katika Beth-Edeni.

AMO 1:5 Removed trailing space in p~: Watu wote wa Aramu watakwenda uhamishoni huko Kiri,”

AMO 1:5 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 1:6 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

AMO 1:6 Removed trailing space in p~: “Kwa dhambi tatu za Gaza,

AMO 1:6 Removed trailing space in p~: hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

AMO 1:6 Removed trailing space in p~: Kwa sababu walichukua mateka jumuiya nzima

AMO 1:6 Removed trailing space in p~: na kuwauza kwa Edomu,

AMO 1:7 Removed trailing space in v~: nitatuma moto juu ya kuta za Gaza

AMO 1:7 Removed trailing space in p~: ambao utateketeza ngome zake.

AMO 1:8 Removed trailing space in v~: Nitamwangamiza mfalme wa Ashdodi

AMO 1:8 Removed trailing space in p~: na yeye aishikaye fimbo ya utawala katika Ashkeloni.

AMO 1:8 Removed trailing space in p~: Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni,

AMO 1:8 Removed trailing space in p~: hadi Mfilisti wa mwisho atakapokufa,”

AMO 1:8 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

AMO 1:9 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

AMO 1:9 Removed trailing space in p~: “Kwa dhambi tatu za Tiro,

AMO 1:9 Removed trailing space in p~: hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

AMO 1:9 Removed trailing space in p~: Kwa sababu ameuza jumuiya nzima ya mateka kwa Edomu,

AMO 1:9 Removed trailing space in p~: na kutokujali mapatano ya undugu,

AMO 1:10 Removed trailing space in v~: Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro

AMO 1:10 Removed trailing space in p~: ambao utateketeza ngome zake.”

AMO 1:11 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo:

AMO 1:11 Removed trailing space in p~: “Kwa dhambi tatu za Edomu,

AMO 1:11 Removed trailing space in p~: hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

AMO 1:11 Removed trailing space in p~: Kwa sababu alimfuatia ndugu yake kwa upanga,

AMO 1:11 Removed trailing space in p~: alikataa kuonyesha huruma yoyote,

AMO 1:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu hasira yake kali iliendelea kupanda wakati wote

AMO 1:11 Removed trailing space in p~: na ghadhabu iliwaka bila kuzuiliwa.

AMO 1:12 Removed trailing space in v~: Nitatuma moto juu ya Temani

AMO 1:12 Removed trailing space in p~: ambao utateketeza ngome za Bosra.”

AMO 1:13 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

AMO 1:13 Removed trailing space in p~: “Kwa dhambi tatu za Amoni,

AMO 1:13 Removed trailing space in p~: hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

AMO 1:13 Removed trailing space in p~: Kwa sababu aliwatumbua wanawake wajawazito wa Gileadi

AMO 1:13 Removed trailing space in p~: ili kuongeza mipaka yake.

AMO 1:14 Removed trailing space in v~: Nitatuma moto kwenye kuta za Raba

AMO 1:14 Removed trailing space in p~: ambao utateketeza ngome zake

AMO 1:14 Removed trailing space in p~: katikati ya vilio vya vita katika siku ya mapigano,

AMO 1:14 Removed trailing space in p~: katikati ya upepo mkali katika siku ya dhoruba.

AMO 1:15 Removed trailing space in v~: Mfalme wake atakwenda uhamishoni,

AMO 1:15 Removed trailing space in p~: yeye pamoja na maafisa wake,”

AMO 1:15 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 2:0 Extra space after chapter number

AMO 2:0 Removed trailing space in c: 2

AMO 2:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

AMO 2:1 Removed trailing space in p~: “Kwa dhambi tatu za Moabu,

AMO 2:1 Removed trailing space in p~: hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

AMO 2:1 Removed trailing space in p~: Kwa sababu alichoma mifupa ya mfalme wa Edomu,

AMO 2:1 Removed trailing space in p~: ikawa kama chokaa.

AMO 2:2 Removed trailing space in v~: Nitatuma moto juu ya Moabu

AMO 2:2 Removed trailing space in p~: ambao utateketeza ngome za Keriothi.

AMO 2:2 Removed trailing space in p~: Moabu ataanguka kwa ghasia kubwa

AMO 2:2 Removed trailing space in p~: katikati ya vilio vya vita na mlio wa tarumbeta.

AMO 2:3 Removed trailing space in v~: Nitamwangamiza mtawala wake

AMO 2:3 Removed trailing space in p~: na kuwaua maafisa wake wote pamoja naye,”

AMO 2:3 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 2:4 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

AMO 2:4 Removed trailing space in p~: “Kwa dhambi tatu za Yuda,

AMO 2:4 Removed trailing space in p~: hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

AMO 2:4 Removed trailing space in p~: Kwa sababu wameikataa sheria ya \nd Bwana\nd*

AMO 2:4 Removed trailing space in p~: na hawakuzishika amri zake,

AMO 2:4 Removed trailing space in p~: kwa sababu wamepotoshwa na miungu ya uongo,

AMO 2:4 Removed trailing space in p~: miungu ambayo babu zao waliifuata.

AMO 2:5 Removed trailing space in v~: Nitatuma moto juu ya Yuda

AMO 2:5 Removed trailing space in p~: ambao utateketeza ngome za Yerusalemu.”

AMO 2:5 Removed trailing space in s1: Hukumu Juu Ya Israeli

AMO 2:6 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

AMO 2:6 Removed trailing space in p~: “Kwa dhambi tatu za Israeli,

AMO 2:6 Removed trailing space in p~: hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu.

AMO 2:6 Removed trailing space in p~: Wanawauza wenye haki kwa fedha,

AMO 2:6 Removed trailing space in p~: na maskini kwa jozi ya viatu.

AMO 2:7 Removed trailing space in v~: Wanakanyaga juu ya vichwa vya maskini,

AMO 2:7 Removed trailing space in p~: kama vile juu ya mavumbi ya nchi,

AMO 2:7 Removed trailing space in p~: na kukataa haki kwa walioonewa.

AMO 2:7 Removed trailing space in p~: Baba na mwanawe hushiriki msichana mmoja,

AMO 2:7 Removed trailing space in p~: kwa hivyo hulinajisi Jina langu takatifu.

AMO 2:8 Removed trailing space in v~: Watu hulala kando ya kila madhabahu

AMO 2:8 Removed trailing space in p~: juu ya nguo zilizowekwa rehani.

AMO 2:8 Removed trailing space in p~: Katika nyumba ya mungu wao hunywa mvinyo

AMO 2:8 Removed trailing space in p~: ulionunuliwa kwa fedha walizotozwa watu.

AMO 2:9 Removed trailing space in v~: “Nilimwangamiza Mwamori mbele yao,

AMO 2:9 Removed trailing space in p~: ingawa alikuwa mrefu kama mierezi,

AMO 2:9 Removed trailing space in p~: na mwenye nguvu kama mialoni.

AMO 2:9 Removed trailing space in p~: Niliyaangamiza matunda yake juu

AMO 2:9 Removed trailing space in p~: na mizizi yake chini.

AMO 2:10 Removed trailing space in v~: “Niliwapandisha toka Misri,

AMO 2:10 Removed trailing space in p~: na nikawaongoza miaka arobaini jangwani

AMO 2:10 Removed trailing space in p~: niwape nchi ya Waamori.

AMO 2:11 Removed trailing space in v~: Pia niliinua manabii kutoka miongoni mwa wana wenu

AMO 2:11 Removed trailing space in p~: na Wanadhiri kutoka miongoni mwa vijana wenu.

AMO 2:11 Removed trailing space in p~: Je, hii si kweli, enyi watu wa Israeli?”

AMO 2:11 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 2:12 Removed trailing space in v~: “Lakini mliwafanya Wanadhiri kunywa mvinyo

AMO 2:12 Removed trailing space in p~: na kuwaamuru manabii wasitoe unabii.

AMO 2:13 Removed trailing space in v~: “Sasa basi, nitawaponda

AMO 2:13 Removed trailing space in p~: kama gari lipondavyo wakati limejazwa nafaka.

AMO 2:14 Removed trailing space in v~: Mkimbiaji hodari hatanusurika,

AMO 2:14 Removed trailing space in p~: wenye nguvu wataishiwa nguvu zao,

AMO 2:14 Removed trailing space in p~: na shujaa hataweza kuokoa maisha yake.

AMO 2:15 Removed trailing space in v~: Mpiga upinde atakimbia,

AMO 2:15 Removed trailing space in p~: askari wapiga mbio hawataweza kutoroka,

AMO 2:15 Removed trailing space in p~: na mpanda farasi hataokoa maisha yake.

AMO 2:16 Removed trailing space in v~: Hata askari walio mashujaa sana

AMO 2:16 Removed trailing space in p~: siku hiyo watakimbia uchi,”

AMO 2:16 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 3:0 Extra space after chapter number

AMO 3:0 Removed trailing space in c: 3

AMO 3:0 Removed trailing space in s1: Mashahidi Waitwa Dhidi Ya Israeli

AMO 3:1 Removed trailing space in v~: Sikilizeni neno hili alilosema \nd Bwana\nd* dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:

AMO 3:2 Removed trailing space in v~: “Ni ninyi tu niliowachagua

AMO 3:2 Removed trailing space in p~: kati ya jamaa zote za dunia;

AMO 3:2 Removed trailing space in p~: kwa hiyo nitawaadhibu

AMO 3:2 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya dhambi zenu zote.”

AMO 3:3 Removed trailing space in v~: Je, watu wawili hutembea pamoja

AMO 3:3 Removed trailing space in p~: wasipokubaliana kufanya hivyo?

AMO 3:4 Removed trailing space in v~: Je, simba hunguruma katika kichaka

AMO 3:4 Removed trailing space in p~: wakati hana mawindo?

AMO 3:4 Removed trailing space in p~: Aweza kuvuma katika pango

AMO 3:4 Removed trailing space in p~: wakati ambao hajakamata chochote?

AMO 3:5 Removed trailing space in v~: Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini

AMO 3:5 Removed trailing space in p~: ambapo hajategewa chambo?

AMO 3:5 Removed trailing space in p~: Je, mtego unaweza kufyatuka toka ardhini

AMO 3:5 Removed trailing space in p~: wakati ambapo hakuna chochote cha kunasa?

AMO 3:6 Removed trailing space in v~: Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari,

AMO 3:6 Removed trailing space in p~: watu hawatetemeki?

AMO 3:6 Removed trailing space in p~: Mji upatwapo na maafa,

AMO 3:6 Removed trailing space in p~: je, si \nd Bwana\nd* amesababisha?

AMO 3:7 Removed trailing space in v~: Hakika \nd Bwana\nd* Mwenyezi hatafanya neno lolote

AMO 3:7 Removed trailing space in p~: bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.

AMO 3:8 Removed trailing space in v~: Simba amenguruma:

AMO 3:8 Removed trailing space in p~: je, ni nani ambaye hataogopa?

AMO 3:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi ametamka:

AMO 3:8 Removed trailing space in p~: je, ni nani awezaye kukosa kutoa unabii?

AMO 3:9 Removed trailing space in v~: Tangazeni katika ngome za Ashdodi

AMO 3:9 Removed trailing space in p~: na katika ngome za Misri:

AMO 3:9 Removed trailing space in p~: “Kusanyikeni juu ya milima ya Samaria;

AMO 3:9 Removed trailing space in p~: angalieni wingi wa wasiwasi ulio ndani yake,

AMO 3:9 Removed trailing space in p~: na uonevu ulio miongoni mwa watu wake.”

AMO 3:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema: “Hawajui kutenda lililo jema,

AMO 3:10 Removed trailing space in p~: wale ambao hujilundikia nyara

AMO 3:10 Removed trailing space in p~: na vitu vilivyotekwa katika ngome zao.”

AMO 3:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenyezi:

AMO 3:11 Removed trailing space in p~: “Adui ataizingira nchi;

AMO 3:11 Removed trailing space in p~: ataangusha chini ngome zenu

AMO 3:11 Removed trailing space in p~: na kuteka nyara maboma yenu.”

AMO 3:12 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

AMO 3:12 Removed trailing space in p~: “Kama vile mchungaji aokoavyo kinywani mwa simba

AMO 3:12 Removed trailing space in p~: vipande viwili tu vya mfupa wa mguu

AMO 3:12 Removed trailing space in p~: au kipande cha sikio,

AMO 3:12 Removed trailing space in p~: hivyo ndivyo Waisraeli watakavyookolewa,

AMO 3:12 Removed trailing space in p~: wale wakaao Samaria

AMO 3:12 Removed trailing space in p~: kwenye kingo za vitanda vyao,

AMO 3:12 Removed trailing space in p~: na katika Dameski

AMO 3:12 Removed trailing space in p~: kwenye viti vyao vya fahari.”

AMO 3:13 Removed trailing space in v~: “Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote.

AMO 3:14 Removed trailing space in v~: “Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake,

AMO 3:14 Removed trailing space in p~: nitaharibu madhabahu za Betheli;

AMO 3:14 Removed trailing space in p~: pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali

AMO 3:14 Removed trailing space in p~: na kuanguka chini.

AMO 3:15 Removed trailing space in v~: Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika,

AMO 3:15 Removed trailing space in p~: pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi;

AMO 3:15 Removed trailing space in p~: nyumba zilizonakshiwa kwa pembe za ndovu

AMO 3:15 Removed trailing space in p~: na majumba makubwa ya fahari yatabomolewa,”

AMO 3:15 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 4:0 Extra space after chapter number

AMO 4:0 Removed trailing space in c: 4

AMO 4:0 Removed trailing space in s1: Israeli Hajarudi Kwa Mungu

AMO 4:1 Removed trailing space in v~: Sikilizeni neno hili, ninyi ngʼombe wa Bashani

AMO 4:1 Removed trailing space in p~: mlioko juu ya Mlima Samaria,

AMO 4:1 Removed trailing space in p~: ninyi wanawake mnaowaonea maskini,

AMO 4:1 Removed trailing space in p~: na kuwagandamiza wahitaji,

AMO 4:1 Removed trailing space in p~: na kuwaambia wanaume wenu,

AMO 4:1 Removed trailing space in p~: “Tuleteeni vinywaji!”

AMO 4:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi ameapa kwa utakatifu wake:

AMO 4:2 Removed trailing space in p~: “Hakika wakati utakuja

AMO 4:2 Removed trailing space in p~: mtakapochukuliwa na kulabu,

AMO 4:2 Removed trailing space in p~: na wanaosalia kwa ndoana za samaki.

AMO 4:3 Removed trailing space in v~: Nanyi mtakwenda moja kwa moja

AMO 4:3 Removed trailing space in p~: kupitia mahali palipobomolewa kwenye ukuta,

AMO 4:3 Removed trailing space in p~: nanyi mtatupwa nje kuelekea Harmoni,”

AMO 4:3 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 4:4 Removed trailing space in v~: “Nendeni Betheli mkatende dhambi;

AMO 4:4 Removed trailing space in p~: nendeni Gilgali mkazidi kutenda dhambi.

AMO 4:4 Removed trailing space in p~: Leteni dhabihu zenu kila asubuhi,

AMO 4:4 Removed trailing space in p~: zaka zenu kila mwaka wa tatu.

AMO 4:5 Removed trailing space in v~: Mchome mkate uliotiwa chachu kama sadaka ya shukrani,

AMO 4:5 Removed trailing space in p~: jisifuni kuhusu sadaka zenu za hiari:

AMO 4:5 Removed trailing space in p~: jigambeni kwa ajili ya sadaka hizo, enyi Waisraeli,

AMO 4:5 Removed trailing space in p~: kwa kuwa hili ndilo mnalopenda kulitenda,”

AMO 4:5 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenyezi.

AMO 4:6 Removed trailing space in v~: “Niliwapa njaa kwenye kila mji,

AMO 4:6 Removed trailing space in p~: na ukosefu wa chakula katika kila mji,

AMO 4:6 Removed trailing space in p~: hata hivyo bado hamjanirudia mimi,”

AMO 4:6 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 4:7 Removed trailing space in v~: “Pia niliwazuilia ninyi mvua miezi mitatu

AMO 4:7 Removed trailing space in p~: kabla ya kufikia mavuno.

AMO 4:7 Removed trailing space in p~: Nilinyesha mvua kwenye mji mmoja,

AMO 4:7 Removed trailing space in p~: lakini niliizuia mvua isinyeshe mji mwingine.

AMO 4:7 Removed trailing space in p~: Shamba moja lilipata mvua,

AMO 4:7 Removed trailing space in p~: na lingine halikupata, nalo likakauka.

AMO 4:8 Removed trailing space in v~: Watu walitangatanga mji hata mji kutafuta maji,

AMO 4:8 Removed trailing space in p~: lakini hawakupata ya kuwatosha kunywa,

AMO 4:8 Removed trailing space in p~: hata hivyo hamjanirudia mimi,”

AMO 4:8 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 4:9 Removed trailing space in v~: “Mara nyingi nilizipiga bustani zenu na mashamba ya mizabibu,

AMO 4:9 Removed trailing space in p~: niliyapiga kwa kutu na ukungu.

AMO 4:9 Removed trailing space in p~: Nzige walitafuna tini zenu na miti ya mizeituni,

AMO 4:9 Removed trailing space in p~: hata hivyo hamjanirudia mimi,”

AMO 4:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 4:10 Removed trailing space in v~: “Niliwapelekea tauni miongoni mwenu

AMO 4:10 Removed trailing space in p~: kama nilivyofanya kule Misri.

AMO 4:10 Removed trailing space in p~: Niliwaua vijana wenu wa kiume kwa upanga,

AMO 4:10 Removed trailing space in p~: niliwachukua farasi wenu.

AMO 4:10 Removed trailing space in p~: Nilijaza pua zenu kwa uvundo kutoka kwenye kambi zenu,

AMO 4:10 Removed trailing space in p~: hata hivyo hamjanirudia mimi,”

AMO 4:10 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 4:11 Removed trailing space in v~: “Niliwaangamiza baadhi yenu kama

AMO 4:11 Removed trailing space in p~: nilivyoangamiza Sodoma na Gomora.

AMO 4:11 Removed trailing space in p~: Mlikuwa kama kijiti kiwakacho kilichonyakuliwa motoni,

AMO 4:11 Removed trailing space in p~: hata hivyo hamjanirudia,”

AMO 4:11 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 4:12 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo nitakalowafanyia, Israeli,

AMO 4:12 Removed trailing space in p~: na kwa sababu nitawafanyia hili,

AMO 4:12 Removed trailing space in p~: jiandaeni kukutana na Mungu wenu, ee Israeli.”

AMO 4:13 Removed trailing space in v~: Yeye ambaye hufanya milima, anaumba upepo,

AMO 4:13 Removed trailing space in p~: na kufunua mawazo yake kwa mwanadamu,

AMO 4:13 Removed trailing space in p~: yeye ageuzaye asubuhi kuwa giza,

AMO 4:13 Removed trailing space in p~: na kukanyaga mahali pa juu pa nchi:

AMO 4:13 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.

AMO 5:0 Extra space after chapter number

AMO 5:0 Removed trailing space in c: 5

AMO 5:0 Removed trailing space in s1: Maombolezo Na Wito Wa Toba

AMO 5:1 Removed trailing space in v~: Sikia neno hili, ee nyumba ya Israeli, ombolezo hili ninalifanya kuwahusu ninyi:

AMO 5:2 Removed trailing space in v~: “Bikira Israeli ameanguka,

AMO 5:2 Removed trailing space in p~: kamwe hatainuka tena,

AMO 5:2 Removed trailing space in p~: ameachwa pweke katika nchi yake,

AMO 5:2 Removed trailing space in p~: hakuna yeyote wa kumwinua.”

AMO 5:3 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi asemalo:

AMO 5:3 Removed trailing space in p~: “Wakati mmoja wa miji yako utakapopeleka watu elfu moja vitani kwa ajili ya Israeli,

AMO 5:3 Removed trailing space in p~: mia moja tu watarudi;

AMO 5:3 Removed trailing space in p~: wakati mji utakapopeleka mia moja,

AMO 5:3 Removed trailing space in p~: kumi tu ndio watarudi hai.”

AMO 5:4 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* asemalo kwa nyumba ya Israeli:

AMO 5:4 Removed trailing space in p~: “Nitafuteni mpate kuishi;

AMO 5:5 Removed trailing space in v~: msitafute Betheli,

AMO 5:5 Removed trailing space in p~: msiende Gilgali,

AMO 5:5 Removed trailing space in p~: msisafiri kwenda Beer-Sheba.

AMO 5:5 Removed trailing space in p~: Kwa maana kwa hakika Gilgali itakwenda uhamishoni,

AMO 5:5 Removed trailing space in p~: na Betheli itafanywa kuwa si kitu.”\f + \fr 5:5 \ft Yaani \fqa Aveni \ft kwa Kiebrania, kumaanisha Beth-Aveni, jina lingine la Betheli kwa dhihaka.\f*

AMO 5:6 Removed trailing space in v~: Mtafuteni \nd Bwana\nd* mpate kuishi,

AMO 5:6 Removed trailing space in p~: au atafagia nyumba ya Yosefu kama moto;

AMO 5:6 Removed trailing space in p~: utawateketeza, nayo Betheli

AMO 5:6 Removed trailing space in p~: haitakuwa na yeyote wa kuuzima.

AMO 5:7 Removed trailing space in v~: Ninyi ambao mnageuza haki kuwa uchungu

AMO 5:7 Removed trailing space in p~: na kuiangusha haki chini

AMO 5:8 Removed trailing space in v~: (yeye ambaye alifanya Kilimia na Orioni,

AMO 5:8 Removed trailing space in p~: ambaye hugeuza giza kuwa mapambazuko

AMO 5:8 Removed trailing space in p~: na mchana kuwa usiku,

AMO 5:8 Removed trailing space in p~: ambaye huyaita maji ya bahari

AMO 5:8 Removed trailing space in p~: na kuyamwaga juu ya uso wa nchi:

AMO 5:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ndilo jina lake;

AMO 5:9 Removed trailing space in v~: yeye hufanya maangamizo kwenye ngome

AMO 5:9 Removed trailing space in p~: na kufanya mji uliozungushiwa ngome kuwa ukiwa),

AMO 5:10 Removed trailing space in v~: mnamchukia yule akemeaye mahakamani,

AMO 5:10 Removed trailing space in p~: na kumdharau yule ambaye husema kweli.

AMO 5:11 Removed trailing space in v~: Mnamgandamiza maskini

AMO 5:11 Removed trailing space in p~: na kumlazimisha awape nafaka.

AMO 5:11 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo, ingawa mmejenga majumba ya mawe ya fahari,

AMO 5:11 Removed trailing space in p~: hamtaishi ndani yake;

AMO 5:11 Removed trailing space in p~: ingawa mmepanda mashamba mazuri ya mizabibu,

AMO 5:11 Removed trailing space in p~: hamtakunywa divai yake.

AMO 5:12 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ninajua hesabu ya makosa yenu

AMO 5:12 Removed trailing space in p~: na ukubwa wa dhambi zenu.

AMO 5:12 Removed trailing space in p~: Mmewaonea wenye haki na kupokea rushwa

AMO 5:12 Removed trailing space in p~: na kuzuia haki ya maskini mahakamani.

AMO 5:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mtu mwenye busara hunyamaza kimya nyakati kama hizo,

AMO 5:13 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nyakati ni mbaya.

AMO 5:14 Removed trailing space in v~: Tafuteni mema, wala si mabaya,

AMO 5:14 Removed trailing space in p~: ili mpate kuishi.

AMO 5:14 Removed trailing space in p~: Ndipo \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote atakuwa pamoja nanyi,

AMO 5:14 Removed trailing space in p~: kama msemavyo yupo nanyi.

AMO 5:15 Removed trailing space in v~: Yachukieni maovu, yapendeni mema;

AMO 5:15 Removed trailing space in p~: dumisheni haki mahakamani.

AMO 5:15 Removed trailing space in p~: Yamkini \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote

AMO 5:15 Removed trailing space in p~: atawahurumia mabaki ya Yosefu.

AMO 5:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hili ndilo Bwana, \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote, asemalo:

AMO 5:16 Removed trailing space in p~: “Kutakuwepo maombolezo katika barabara zote

AMO 5:16 Removed trailing space in p~: na vilio vya uchungu katika njia kuu zote.

AMO 5:16 Removed trailing space in p~: Wakulima wataitwa kuja kulia,

AMO 5:16 Removed trailing space in p~: na waombolezaji waje kuomboleza.

AMO 5:17 Removed trailing space in v~: Kutakuwepo kuomboleza katika mashamba yote ya mizabibu,

AMO 5:17 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nitapita katikati yenu,”

AMO 5:17 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 5:17 Removed trailing space in s1: Siku Ya \nd Bwana\nd*

AMO 5:18 Removed trailing space in v~: Ole wenu ninyi mnaoitamani

AMO 5:18 Removed trailing space in p~: siku ya \nd Bwana\nd*!

AMO 5:18 Removed trailing space in p~: Kwa nini mnaitamani siku ya \nd Bwana\nd*?

AMO 5:18 Removed trailing space in p~: Siku hiyo itakuwa giza, si nuru.

AMO 5:19 Removed trailing space in v~: Itakuwa kama vile mtu aliyemkimbia simba

AMO 5:19 Removed trailing space in p~: kumbe akakutana na dubu,

AMO 5:19 Removed trailing space in p~: kama vile mtu aliyeingia nyumbani mwake

AMO 5:19 Removed trailing space in p~: na kuupumzisha mkono wake kwenye ukuta,

AMO 5:19 Removed trailing space in p~: kumbe akaumwa na nyoka.

AMO 5:20 Removed trailing space in v~: Je, siku ya \nd Bwana\nd* haitakuwa giza, na si nuru:

AMO 5:20 Removed trailing space in p~: giza nene, bila mwonzi wa mwanga?

AMO 5:21 Removed trailing space in v~: “Ninachukia, ninazidharau sikukuu zenu za dini;

AMO 5:21 Removed trailing space in p~: siwezi kuvumilia makusanyiko yenu.

AMO 5:22 Removed trailing space in v~: Hata ingawa mnaniletea sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka za nafaka,

AMO 5:22 Removed trailing space in p~: sitazikubali.

AMO 5:22 Removed trailing space in p~: Ingawa mnaniletea sadaka nzuri za amani,

AMO 5:22 Removed trailing space in p~: sitazitambua.

AMO 5:23 Removed trailing space in v~: Niondoleeni kelele za nyimbo zenu!

AMO 5:23 Removed trailing space in p~: Sitasikiliza sauti za vinubi vyenu.

AMO 5:24 Removed trailing space in v~: Lakini acheni haki itiririke kama mto,

AMO 5:24 Removed trailing space in p~: na uadilifu uwe kama kijito kisichokauka!

AMO 5:25 Removed trailing space in v~: “Je, mliniletea dhabihu na sadaka

AMO 5:25 Removed trailing space in p~: kwa miaka arobaini kule jangwani,

AMO 5:25 Removed trailing space in p~: ee nyumba ya Israeli?

AMO 5:26 Removed trailing space in v~: Mmeyainua madhabahu ya mfalme wenu,

AMO 5:26 Removed trailing space in p~: Sikuthi mungu wenu mtawala,

AMO 5:26 Removed trailing space in p~: na Kiuni mungu wenu wa nyota,

AMO 5:26 Removed trailing space in p~: ambao mliwatengeneza wenyewe.

AMO 5:27 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hiyo nitawapeleka uhamishoni mbali kupita Dameski,”

AMO 5:27 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*, ambaye jina lake ni Mungu Mwenye Nguvu Zote.

AMO 6:0 Extra space after chapter number

AMO 6:0 Removed trailing space in c: 6

AMO 6:0 Removed trailing space in s1: Ole Kwa Wanaoridhika

AMO 6:1 Removed trailing space in v~: Ole wenu ninyi mnaostarehe na kuridhika katika Sayuni,

AMO 6:1 Removed trailing space in p~: na ninyi mnaojisikia salama juu ya Mlima Samaria,

AMO 6:1 Removed trailing space in p~: ninyi watu mashuhuri wa taifa lililoendelea kuliko mataifa mengine,

AMO 6:1 Removed trailing space in p~: ambao watu wa Israeli wanawategemea!

AMO 6:2 Removed trailing space in v~: Nendeni Kalne mkaone kutoka huko;

AMO 6:2 Removed trailing space in p~: mwende hadi Hamathi iliyo kuu,

AMO 6:2 Removed trailing space in p~: kisha mshuke hadi Gathi ya Wafilisti.

AMO 6:2 Removed trailing space in p~: Je, wao ni bora kuliko falme zenu mbili?

AMO 6:2 Removed trailing space in p~: Je, nchi yao ni kubwa kuliko yenu?

AMO 6:3 Removed trailing space in v~: Mnaiweka mbali siku iliyo mbaya

AMO 6:3 Removed trailing space in p~: na kuleta karibu utawala wa kuogofya.

AMO 6:4 Removed trailing space in v~: Ninyi mnalala juu ya vitanda vilivyofunikwa kwa pembe za ndovu,

AMO 6:4 Removed trailing space in p~: na kujinyoosha juu ya viti vya fahari.

AMO 6:4 Removed trailing space in p~: Mnajilisha kwa wana-kondoo wazuri

AMO 6:4 Removed trailing space in p~: na ndama walionenepeshwa.

AMO 6:5 Removed trailing space in v~: Ninyi mnapiga vinubi kama Daudi,

AMO 6:5 Removed trailing space in p~: huku mkitunga nyimbo za vinanda mbalimbali.

AMO 6:6 Removed trailing space in v~: Mnakunywa mvinyo kwa bakuli zilizojazwa,

AMO 6:6 Removed trailing space in p~: na mnajipaka mafuta mazuri,

AMO 6:6 Removed trailing space in p~: lakini hamhuzuniki kwa maangamizi ya Yosefu.

AMO 6:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mtakuwa miongoni mwa watu wa kwanza kwenda uhamishoni;

AMO 6:7 Removed trailing space in p~: karamu zenu na kustarehe kutakoma.

AMO 6:7 Removed trailing space in s1: \nd Bwana\nd* Anachukia Kiburi Cha Israeli

AMO 6:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi ameapa kwa nafsi yake mwenyewe: \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote asema:

AMO 6:8 Removed trailing space in p~: “Nachukia kiburi cha Yakobo,

AMO 6:8 Removed trailing space in p~: nachukia ngome zake;

AMO 6:8 Removed trailing space in p~: nitautoa mji wao na kila kitu

AMO 6:8 Removed trailing space in p~: kilichomo ndani mwake.”

AMO 6:9 Removed trailing space in v~: Kama watu kumi watabaki katika nyumba moja, wao pia watakufa.

AMO 6:10 Removed trailing space in v~: Kama jamaa ambaye atachoma miili akija ili kuitoa nje ya nyumba, na kumuuliza yeyote ambaye bado anajificha humo, “Je, yuko mtu yeyote pamoja nawe?” Naye akisema, “Hapana,” ndipo atakaposema, “Nyamaza kimya! Haturuhusiwi kutaja jina la \nd Bwana\nd*.”

AMO 6:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ameamuru,

AMO 6:11 Removed trailing space in p~: naye atabomoa jumba kubwa vipande vipande

AMO 6:11 Removed trailing space in p~: na nyumba ndogo vipande vidogo vidogo.

AMO 6:12 Removed trailing space in v~: Je, farasi waweza kukimbia kwenye miamba mikali?

AMO 6:12 Removed trailing space in p~: Je, aweza mtu kulima huko kwa maksai?

AMO 6:12 Removed trailing space in p~: Lakini mmegeuza haki kuwa sumu

AMO 6:12 Removed trailing space in p~: na matunda ya uadilifu kuwa uchungu:

AMO 6:13 Removed trailing space in v~: ninyi mnaoshangilia kushindwa kwa Lo-Debari

AMO 6:13 Removed trailing space in p~: na kusema, “Je, hatukuteka Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”

AMO 6:14 Removed trailing space in v~: Maana \nd Bwana\nd* Mungu Mwenye Nguvu Zote asema,

AMO 6:14 Removed trailing space in p~: “Nitainua taifa dhidi yenu, ee nyumba ya Israeli,

AMO 6:14 Removed trailing space in p~: nalo litawatesa kuanzia Lebo-Hamathi

AMO 6:14 Removed trailing space in p~: hadi Bonde la Araba.”

AMO 7:0 Extra space after chapter number

AMO 7:0 Removed trailing space in c: 7

AMO 7:0 Removed trailing space in s1: Maono Ya Kwanza: Nzige

AMO 7:1 Removed trailing space in v~: Hili ndilo alilonionyesha \nd Bwana\nd* Mwenyezi katika maono: Alikuwa anaandaa makundi ya nzige baada ya kuvunwa fungu la mfalme na wakati ule tu mimea ya pili ilipokuwa ikichipua.

AMO 7:2 Removed trailing space in v~: Wakati nzige walikuwa wamekula mimea yote ya nchi, nililia kwa sauti kuu, “\nd Bwana\nd* Mwenyezi, samehe! Je, Yakobo atawezaje kuendelea kuishi? Yeye ni mdogo sana!”

AMO 7:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akaghairi.

AMO 7:3 Removed trailing space in p~: Kisha \nd Bwana\nd* akasema, “Hili halitatokea.”

AMO 7:3 Removed trailing space in s1: Maono Ya Pili: Moto

AMO 7:4 Removed trailing space in v~: Hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenyezi alilonionyesha katika maono: \nd Bwana\nd* Mwenyezi alikuwa akiita hukumu ya moto; nao ulikausha vilindi vikuu, ukateketeza nchi.

AMO 7:5 Removed trailing space in v~: Ndipo nikalia, “\nd Bwana\nd* Mwenyezi, nakusihi, zuia! Je, Yakobo atawezaje kuendelea kuishi? Yeye ni mdogo sana!”

AMO 7:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akaghairi.

AMO 7:6 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi akasema, “Hili nalo halitatokea.”

AMO 7:6 Removed trailing space in s1: Maono Ya Tatu: Timazi

AMO 7:7 Removed trailing space in v~: Hili ndilo alilonionyesha katika maono: Bwana alikuwa amesimama karibu na ukuta ambao ulikuwa umejengwa kwa timazi, akiwa na uzi wa timazi mkononi mwake.

AMO 7:8 Removed trailing space in v~: Naye \nd Bwana\nd* akaniuliza, “Je, Amosi unaona nini?”

AMO 7:8 Removed trailing space in p~: Nikamjibu, “Uzi wa timazi.”

AMO 7:8 Removed trailing space in p~: Kisha Bwana akasema, “Tazama, ninaweka uzi wa timazi miongoni mwa watu wangu Israeli; sitawahurumia tena.

AMO 7:9 Removed trailing space in v~: “Mahali pa Isaki pa juu pa kuabudia miungu pataangamizwa,

AMO 7:9 Removed trailing space in p~: na mahali patakatifu pa Israeli pa kuabudia pataharibiwa;

AMO 7:9 Removed trailing space in p~: kwa upanga wangu nitainuka

AMO 7:9 Removed trailing space in p~: dhidi ya nyumba ya Yeroboamu.”

AMO 7:9 Removed trailing space in s1: Amosi Na Amazia

AMO 7:10 Removed trailing space in v~: Kisha Amazia kuhani wa Betheli akatuma ujumbe kwa Yeroboamu mfalme wa Israeli, akisema: “Amosi analeta fitina juu yako katikati ya Israeli. Nchi haiwezi kuvumilia maneno yake yote.

AMO 7:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hili ndilo Amosi analosema:

AMO 7:11 Removed trailing space in p~: “ ‘Yeroboamu atakufa kwa upanga,

AMO 7:11 Removed trailing space in p~: na kwa hakika Israeli watakwenda uhamishoni,

AMO 7:11 Removed trailing space in p~: mbali na nchi yao.’ ”

AMO 7:12 Removed trailing space in v~: Kisha Amazia akamwambia Amosi, “Nenda zako, ewe mwonaji! Urudi katika nchi ya Yuda. Ujipatie riziki yako huko na kutoa unabii wako.

AMO 7:13 Removed trailing space in v~: Usiendelee kutoa unabii katika Betheli, kwa sababu hapa ni mahali pa mfalme pa kuabudia na Hekalu la ufalme huu.”

AMO 7:14 Removed trailing space in v~: Amosi akamjibu Amazia, “Mimi sikuwa nabii wala mwana wa nabii, lakini nilikuwa mchungaji wa kondoo na mtunza mikuyu.

AMO 7:15 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akanitoa kutoka kuchunga kondoo na kuniambia, ‘Nenda, ukawatabirie watu wangu Israeli.’

AMO 7:16 Removed trailing space in v~: Sasa basi, sikieni neno la \nd Bwana\nd*. Ninyi mnasema,

AMO 7:16 Removed trailing space in p~: “ ‘Usitabiri dhidi ya Israeli,

AMO 7:16 Removed trailing space in p~: na uache kuhubiri dhidi ya nyumba ya Isaki.’

AMO 7:17 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

AMO 7:17 Removed trailing space in p~: “ ‘Mke wako atakuwa kahaba mjini,

AMO 7:17 Removed trailing space in p~: nao wana wako na binti zako watauawa kwa upanga.

AMO 7:17 Removed trailing space in p~: Shamba lako litapimwa na kugawanywa,

AMO 7:17 Removed trailing space in p~: na wewe mwenyewe utafia katika nchi ya kipagani.

AMO 7:17 Removed trailing space in p~: Nayo Israeli kwa hakika itakwenda uhamishoni,

AMO 7:17 Removed trailing space in p~: mbali na nchi yao.’ ”

AMO 9:0 Extra space after chapter number

AMO 9:0 Removed trailing space in c: 9

AMO 9:0 Removed trailing space in s1: Israeli Kuangamizwa

AMO 9:1 Removed trailing space in v~: Nilimwona Bwana akiwa amesimama kando ya madhabahu, naye akasema:

AMO 9:1 Removed trailing space in p~: “Piga vichwa vya nguzo

AMO 9:1 Removed trailing space in p~: ili vizingiti vitikisike.

AMO 9:1 Removed trailing space in p~: Viangushe juu ya vichwa vya watu wote;

AMO 9:1 Removed trailing space in p~: na wale watakaosalia nitawaua kwa upanga.

AMO 9:1 Removed trailing space in p~: Hakuna awaye yote atakayekimbia,

AMO 9:1 Removed trailing space in p~: hakuna atakayetoroka.

AMO 9:2 Removed trailing space in v~: Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu,

AMO 9:2 Removed trailing space in p~: kutoka huko mkono wangu utawatoa.

AMO 9:2 Removed trailing space in p~: Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu,

AMO 9:2 Removed trailing space in p~: kutoka huko nitawashusha.

AMO 9:3 Removed trailing space in v~: Wajapojificha juu ya kilele cha Karmeli,

AMO 9:3 Removed trailing space in p~: huko nitawawinda na kuwakamata.

AMO 9:3 Removed trailing space in p~: Wajapojificha kutoka kwenye uso wangu

AMO 9:3 Removed trailing space in p~: katika vilindi vya bahari,

AMO 9:3 Removed trailing space in p~: huko nako nitaamuru joka kuwauma.

AMO 9:4 Removed trailing space in v~: Wajapopelekwa uhamishoni na adui zao,

AMO 9:4 Removed trailing space in p~: huko nako nitaamuru upanga uwaue.

AMO 9:4 Removed trailing space in p~: Nitawakazia macho yangu kwa mabaya

AMO 9:4 Removed trailing space in p~: wala si kwa mazuri.”

AMO 9:5 Removed trailing space in v~: Bwana, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

AMO 9:5 Removed trailing space in p~: yeye agusaye dunia nayo ikayeyuka,

AMO 9:5 Removed trailing space in p~: na wote wakaao ndani mwake wakaomboleza:

AMO 9:5 Removed trailing space in p~: nayo nchi yote huinuka kama Naili,

AMO 9:5 Removed trailing space in p~: kisha hushuka kama mto wa Misri;

AMO 9:6 Removed trailing space in v~: yeye ambaye hujenga jumba lake la kifalme katika mbingu

AMO 9:6 Removed trailing space in p~: na kuisimika misingi yake juu ya dunia,

AMO 9:6 Removed trailing space in p~: yeye aitaye maji ya bahari

AMO 9:6 Removed trailing space in p~: na kuyamwaga juu ya uso wa nchi:

AMO 9:6 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ndilo jina lake.

AMO 9:7 Removed trailing space in v~: “Je, Waisraeli,

AMO 9:7 Removed trailing space in p~: ninyi si sawa kwangu kama Wakushi?”

AMO 9:7 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 9:7 Removed trailing space in p~: “Je, sikuleta Israeli kutoka Misri,

AMO 9:7 Removed trailing space in p~: Wafilisti kutoka Kaftori,\f + \fr 9:7 \ft Yaani Krete.\f*

AMO 9:7 Removed trailing space in p~: na Washamu kutoka Kiri?

AMO 9:8 Removed trailing space in v~: “Hakika macho ya \nd Bwana\nd* Mwenyezi

AMO 9:8 Removed trailing space in p~: yako juu ya ufalme wenye dhambi.

AMO 9:8 Removed trailing space in p~: Nami nitauangamiza

AMO 9:8 Removed trailing space in p~: kutoka kwenye uso wa dunia:

AMO 9:8 Removed trailing space in p~: hata hivyo sitaiangamiza kabisa

AMO 9:8 Removed trailing space in p~: nyumba ya Yakobo,”

AMO 9:8 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

AMO 9:9 Removed trailing space in v~: “Kwa kuwa nitatoa amri,

AMO 9:9 Removed trailing space in p~: na nitaipepeta nyumba ya Israeli

AMO 9:9 Removed trailing space in p~: miongoni mwa mataifa yote,

AMO 9:9 Removed trailing space in p~: kama vile nafaka ipepetwavyo katika ungo,

AMO 9:9 Removed trailing space in p~: na hakuna hata punje moja itakayoanguka chini.

AMO 9:10 Removed trailing space in v~: Watenda dhambi wote miongoni mwa watu wangu

AMO 9:10 Removed trailing space in p~: watauawa kwa upanga,

AMO 9:10 Removed trailing space in p~: wale wote wasemao,

AMO 9:10 Removed trailing space in p~: ‘Maafa hayatatupata wala kutukuta.’

AMO 9:10 Removed trailing space in s1: Kurejezwa Kwa Israeli

AMO 9:11 Removed trailing space in v~: “Katika siku ile nitaisimamisha

AMO 9:11 Removed trailing space in p~: hema ya Daudi iliyoanguka.

AMO 9:11 Removed trailing space in p~: Nitakarabati mahali palipobomoka

AMO 9:11 Removed trailing space in p~: na kujenga upya magofu yake,

AMO 9:11 Removed trailing space in p~: na kuijenga kama ilivyokuwa awali,

AMO 9:12 Removed trailing space in v~: ili wapate kuyamiliki mabaki ya Edomu,

AMO 9:12 Removed trailing space in p~: na mataifa yote yale yanayobeba Jina langu,”

AMO 9:12 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* ambaye atafanya mambo haya.

AMO 9:13 Removed trailing space in v~: “Siku zinakuja,” asema \nd Bwana\nd*,

AMO 9:13 Removed trailing space in p~: “wakati mvunaji atatanguliwa na mkulima,

AMO 9:13 Removed trailing space in p~: naye mpanzi atatanguliwa na yeye akamuaye zabibu.

AMO 9:13 Removed trailing space in p~: Divai mpya itadondoka kutoka milimani,

AMO 9:13 Removed trailing space in p~: na kutiririka kutoka vilima vyote.

AMO 9:14 Removed trailing space in v~: Nitawarejesha tena watu wangu Israeli waliohamishwa;

AMO 9:14 Removed trailing space in p~: wataijenga tena miji iliyoachwa magofu,

AMO 9:14 Removed trailing space in p~: nao wataishi ndani mwake.

AMO 9:14 Removed trailing space in p~: Watapanda mizabibu na kunywa divai yake;

AMO 9:14 Removed trailing space in p~: watalima bustani na kula matunda yake.

AMO 9:15 Removed trailing space in v~: Nitaipanda Israeli katika nchi yao wenyewe,

AMO 9:15 Removed trailing space in p~: hawatangʼolewa tena

AMO 9:15 Removed trailing space in p~: kutoka nchi ambayo nimewapa,”

AMO 9:15 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mungu wenu.

OBA -1:0 Removed trailing space in id: OBA - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

OBA -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

OBA -1:2 Removed trailing space in h: Obadia

OBA -1:3 Removed trailing space in toc1: Obadia

OBA -1:4 Removed trailing space in toc2: Obadia

OBA -1:5 Removed trailing space in toc3: Oba

OBA -1:6 Removed trailing space in mt1: Obadia

OBA 1:0 Extra space after chapter number

OBA 1:0 Removed trailing space in c: 1

OBA 1:1 Removed trailing space in v~: Maono ya Obadia.

OBA 1:1 Removed trailing space in p~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenyezi kuhusu Edomu:

OBA 1:1 Removed trailing space in p~: Tumesikia ujumbe kutoka kwa \nd Bwana\nd*:

OBA 1:1 Removed trailing space in p~: Mjumbe alitumwa kwa mataifa kusema,

OBA 1:1 Removed trailing space in p~: “Inukeni, twendeni tukapigane vita dhidi yake.”

OBA 1:2 Removed trailing space in v~: “Angalieni, nitawafanya wadogo miongoni mwa mataifa,

OBA 1:2 Removed trailing space in p~: mtadharauliwa kabisa.

OBA 1:3 Removed trailing space in v~: Kiburi cha moyo wako kimekudanganya,

OBA 1:3 Removed trailing space in p~: wewe unayeishi katika majabali ya miamba

OBA 1:3 Removed trailing space in p~: na kufanya makao yako juu,

OBA 1:3 Removed trailing space in p~: wewe unayejiambia mwenyewe,

OBA 1:3 Removed trailing space in p~: ‘Ni nani awezaye kunishusha chini?’

OBA 1:4 Removed trailing space in v~: Ingawa unapaa juu kama tai

OBA 1:4 Removed trailing space in p~: na kufanya kiota chako kati ya nyota,

OBA 1:4 Removed trailing space in p~: nitakushusha chini kutoka huko,”

OBA 1:4 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

OBA 1:5 Removed trailing space in v~: “Ikiwa wevi wangekuja kwako,

OBA 1:5 Removed trailing space in p~: ikiwa wanyangʼanyi wangekujia usiku:

OBA 1:5 Removed trailing space in p~: Lo! Tazama ni maafa kiasi gani yangekuwa yanakungojea:

OBA 1:5 Removed trailing space in p~: je, si wangeiba tu kiasi ambacho wangehitaji?

OBA 1:5 Removed trailing space in p~: Kama wachuma zabibu wangekuja kwako,

OBA 1:5 Removed trailing space in p~: je, wasingebakiza zabibu chache?

OBA 1:6 Removed trailing space in v~: Lakini tazama jinsi Esau atakavyotekwa,

OBA 1:6 Removed trailing space in p~: jinsi hazina zake zilizofichwa zitatekwa nyara!

OBA 1:7 Removed trailing space in v~: Wote ulioungana nao watakufukuza hadi mpakani,

OBA 1:7 Removed trailing space in p~: rafiki zako watakudanganya na kukushinda,

OBA 1:7 Removed trailing space in p~: wale wanaokula mkate wako watakutegea mtego,

OBA 1:7 Removed trailing space in p~: lakini hutaweza kuugundua.

OBA 1:8 Removed trailing space in v~: “Katika siku hiyo,” asema \nd Bwana\nd*,

OBA 1:8 Removed trailing space in p~: “je, sitaangamiza watu wenye hekima wa Edomu,

OBA 1:8 Removed trailing space in p~: watu wenye ufahamu katika milima ya Esau?

OBA 1:9 Removed trailing space in v~: Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu,

OBA 1:9 Removed trailing space in p~: kila mmoja katika milima ya Esau

OBA 1:9 Removed trailing space in p~: ataangushwa chini kwa kuchinjwa.

OBA 1:10 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya jeuri uliyofanya dhidi ya ndugu yako Yakobo,

OBA 1:10 Removed trailing space in p~: aibu itakufunika;

OBA 1:10 Removed trailing space in p~: utaangamizwa milele.

OBA 1:11 Removed trailing space in v~: Siku ile ulisimama mbali ukiangalia

OBA 1:11 Removed trailing space in p~: wakati wageni walipojichukulia utajiri wake

OBA 1:11 Removed trailing space in p~: na watu wa nchi nyingine walipoingia malango yake

OBA 1:11 Removed trailing space in p~: wakipiga kura kwa ajili ya Yerusalemu,

OBA 1:11 Removed trailing space in p~: ulikuwa kama mmoja wao.

OBA 1:12 Removed trailing space in v~: Usingemdharau ndugu yako

OBA 1:12 Removed trailing space in p~: katika siku ya msiba wake,

OBA 1:12 Removed trailing space in p~: wala kufurahia juu ya watu wa Yuda

OBA 1:12 Removed trailing space in p~: katika siku ya maangamizi yao,

OBA 1:12 Removed trailing space in p~: wala kujigamba sana

OBA 1:12 Removed trailing space in p~: katika siku ya taabu yao.

OBA 1:13 Removed trailing space in v~: Usingeingia katika malango ya watu wangu

OBA 1:13 Removed trailing space in p~: katika siku ya maafa yao,

OBA 1:13 Removed trailing space in p~: wala kuwadharau katika janga lao

OBA 1:13 Removed trailing space in p~: katika siku ya maafa yao,

OBA 1:13 Removed trailing space in p~: wala kunyangʼanya mali zao

OBA 1:13 Removed trailing space in p~: katika siku ya maafa yao.

OBA 1:14 Removed trailing space in v~: Usingengoja kwenye njia panda

OBA 1:14 Removed trailing space in p~: na kuwaua wakimbizi wao,

OBA 1:14 Removed trailing space in p~: wala kuwatoa watu wake waliosalia

OBA 1:14 Removed trailing space in p~: katika siku ya shida yao.

OBA 1:15 Removed trailing space in v~: “Siku ya \nd Bwana\nd* iko karibu

OBA 1:15 Removed trailing space in p~: kwa mataifa yote.

OBA 1:15 Removed trailing space in p~: Kama ulivyofanya, nawe utafanyiwa vivyo hivyo,

OBA 1:15 Removed trailing space in p~: matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako.

OBA 1:16 Removed trailing space in v~: Kama vile ulivyokunywa juu ya mlima wangu mtakatifu,

OBA 1:16 Removed trailing space in p~: vivyo hivyo mataifa yote watakunywa mfululizo,

OBA 1:16 Removed trailing space in p~: watakunywa na kunywa,

OBA 1:16 Removed trailing space in p~: nao watatoweka kana kwamba hawajawahi kuwepo.

OBA 1:17 Removed trailing space in v~: Lakini katika Mlima Sayuni kutakuwepo

OBA 1:17 Removed trailing space in p~: na wale watakaookoka;

OBA 1:17 Removed trailing space in p~: nao utakuwa mtakatifu,

OBA 1:17 Removed trailing space in p~: nayo nyumba ya Yakobo

OBA 1:17 Removed trailing space in p~: itamiliki urithi wake.

OBA 1:18 Removed trailing space in v~: Nyumba ya Yakobo itakuwa moto,

OBA 1:18 Removed trailing space in p~: na nyumba ya Yosefu itakuwa mwali wa moto;

OBA 1:18 Removed trailing space in p~: nayo nyumba ya Esau itakuwa bua kavu,

OBA 1:18 Removed trailing space in p~: nao wataiwasha moto na kuiteketeza.

OBA 1:18 Removed trailing space in p~: Hakutakuwa na watakaosalimika

OBA 1:18 Removed trailing space in p~: kutoka nyumba ya Esau.”

OBA 1:18 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* amesema.

OBA 1:19 Removed trailing space in v~: Watu kutoka nchi ya Negebu

OBA 1:19 Removed trailing space in p~: wataikalia milima ya Esau,

OBA 1:19 Removed trailing space in p~: na watu kutoka miteremko ya vilima

OBA 1:19 Removed trailing space in p~: watamiliki nchi ya Wafilisti.

OBA 1:19 Removed trailing space in p~: Watayakalia mashamba ya Efraimu na Samaria,

OBA 1:19 Removed trailing space in p~: naye Benyamini atamiliki Gileadi.

OBA 1:20 Removed trailing space in v~: Kundi la Waisraeli walioko uhamishoni Kanaani

OBA 1:20 Removed trailing space in p~: watarudi na kumiliki nchi mpaka Sarepta.

OBA 1:20 Removed trailing space in p~: Walioko uhamishoni Sefaradi kutoka Yerusalemu

OBA 1:20 Removed trailing space in p~: watamiliki miji ya Negebu.

OBA 1:21 Removed trailing space in v~: Waokoaji watakwea juu ya Mlima Sayuni

OBA 1:21 Removed trailing space in p~: kutawala milima ya Esau.

OBA 1:21 Removed trailing space in p~: Nao ufalme utakuwa wa \nd Bwana\nd*.

JNA -1:0 Removed trailing space in id: JON - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

JNA -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

JNA -1:2 Removed trailing space in h: Yona

JNA -1:3 Removed trailing space in toc1: Yona

JNA -1:4 Removed trailing space in toc2: Yona

JNA -1:5 Removed trailing space in toc3: Yon

JNA -1:6 Removed trailing space in mt1: Yona

JNA 1:0 Extra space after chapter number

JNA 1:0 Removed trailing space in c: 1

JNA 1:0 Removed trailing space in s1: Yona Anamkimbia \nd Bwana\nd*

JNA 1:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* lilimjia Yona mwana wa Amitai:

JNA 1:2 Removed trailing space in v~: “Nenda katika mji mkubwa wa Ninawi ukahubiri juu yake, kwa sababu uovu wake umekuja juu mbele zangu.”

JNA 1:3 Removed trailing space in v~: Lakini Yona alimkimbia \nd Bwana\nd* na kuelekea Tarshishi. Alishuka mpaka Yafa, ambapo alikuta meli iliyokuwa imepangwa kuelekea bandari ile. Baada ya kulipa nauli, akapanda melini na kuelekea Tarshishi ili kumkimbia \nd Bwana\nd*.

JNA 1:4 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd* akatuma upepo mkali baharini, nayo dhoruba kali sana ikavuma hata meli ikawa hatarini kuvunjika.

JNA 1:5 Removed trailing space in v~: Mabaharia wote waliogopa na kila mmoja akamlilia mungu wake mwenyewe. Nao wakatupa mizigo baharini ili meli ipungue uzito.

JNA 1:5 Removed trailing space in p~: Lakini Yona alikuwa ameteremkia chumba cha ndani ya meli, mahali ambapo alilala na kupatwa na usingizi mzito.

JNA 1:6 Removed trailing space in v~: Nahodha akamwendea na kusema, “Wewe unawezaje kulala? Amka ukamwite mungu wako! Huenda akatuangalia, tusiangamie.”

JNA 1:7 Removed trailing space in v~: Kisha mabaharia wakasemezana wao kwa wao, “Njooni, tupige kura tumtafute anayehusika na maafa haya.” Wakapiga kura, kura ikamwangukia Yona.

JNA 1:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo walimuuliza, “Tuambie, ni nani anayehusika kwa kutuletea tatizo hili lote? Unafanya kazi gani? Umetoka wapi? Nchi yako ni ipi? Wewe ni kutoka taifa lipi?”

JNA 1:9 Removed trailing space in v~: Akajibu, “Mimi ni Mwebrania, nami namwabudu \nd Bwana\nd*, Mungu wa Mbinguni, aliyeumba bahari na nchi kavu.”

JNA 1:10 Removed trailing space in v~: Hili liliwaogopesha nao wakamuuliza,

JNA 1:10 Removed trailing space in p~: “Umefanya nini?” (Walijua alikuwa anamkimbia \nd Bwana\nd*, kwa sababu alishawaambia hivyo.)

JNA 1:11 Removed trailing space in v~: Bahari ilikuwa inazidi kuchafuka. Kwa hiyo walimuuliza, “Tukutendee nini ili kufanya bahari itulie kwa ajili yetu?”

JNA 1:12 Removed trailing space in v~: Akawajibu, “Niinueni mnitupe baharini, nayo itakuwa shwari. Ninajua mawimbi haya makubwa yamewatokea kwa ajili ya kosa langu.”

JNA 1:13 Removed trailing space in v~: Badala yake, wale watu walijitahidi kupiga makasia wawezavyo ili wapate kurudi pwani. Lakini hawakuweza, kwa kuwa bahari ilizidi kuchafuka kuliko mwanzo.

JNA 1:14 Removed trailing space in v~: Ndipo wakamlilia \nd Bwana\nd*, “Ee \nd Bwana\nd*, tafadhali usituue kwa kuondoa uhai wa mtu huyu. Usituhesabie hatia kwa kuutoa uhai wa mtu asiyekuwa na hatia, kwa kuwa wewe, Ee \nd Bwana\nd*, umefanya kama ilivyokupendeza.”

JNA 1:15 Removed trailing space in v~: Kisha walimchukua Yona, wakamtupa baharini nayo bahari iliyokuwa imechafuka ikatulia.

JNA 1:16 Removed trailing space in v~: Katika jambo hili watu wakamwogopa \nd Bwana\nd* sana, wakamtolea \nd Bwana\nd* dhabihu na kumwekea nadhiri.

JNA 1:17 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwandaa nyangumi\f + \fr 1:17 \ft Yaani samaki mkubwa sana.\f* kummeza Yona, naye Yona alikuwa ndani ya tumbo la nyangumi kwa siku tatu, usiku na mchana.

JNA 2:0 Extra space after chapter number

JNA 2:0 Removed trailing space in c: 2

JNA 2:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Yona Katika Tumbo La Nyangumi

JNA 2:1 Removed trailing space in v~: Akiwa ndani ya tumbo la nyangumi, Yona alimwomba \nd Bwana\nd* Mungu wake.

JNA 2:2 Removed trailing space in v~: Akasema:

JNA 2:2 Removed trailing space in p~: “Katika shida yangu nalimwita \nd Bwana\nd*,

JNA 2:2 Removed trailing space in p~: naye akanijibu.

JNA 2:2 Removed trailing space in p~: Kutoka kina cha kaburi\f + \fr 2:2 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.\f* niliomba msaada,

JNA 2:2 Removed trailing space in p~: nawe ukasikiliza kilio changu.

JNA 2:3 Removed trailing space in v~: Ulinitupa kwenye kilindi,

JNA 2:3 Removed trailing space in p~: ndani kabisa ya moyo wa bahari,

JNA 2:3 Removed trailing space in p~: mikondo ya maji ilinizunguka,

JNA 2:3 Removed trailing space in p~: mawimbi yako yote na viwimbi

JNA 2:3 Removed trailing space in p~: vilipita juu yangu.

JNA 2:4 Removed trailing space in v~: Nikasema, ‘Nimefukuziwa

JNA 2:4 Removed trailing space in p~: mbali na uso wako,

JNA 2:4 Removed trailing space in p~: hata hivyo nitatazama tena

JNA 2:4 Removed trailing space in p~: kuelekea Hekalu lako takatifu.’

JNA 2:5 Removed trailing space in v~: Maji yaliyonimeza yalinitisha,

JNA 2:5 Removed trailing space in p~: kilindi kilinizunguka;

JNA 2:5 Removed trailing space in p~: mwani\f + \fr 2:5 \ft Mwani hapa maana yake ni magugu yaotayo kwenye sakafu ya kilindi cha bahari.\f* ulijisokota kichwani pangu.

JNA 2:6 Removed trailing space in v~: Nilizama chini sana mpaka pande za mwisho za milima,

JNA 2:6 Removed trailing space in p~: makomeo ya hiyo nchi yalinifungia hata milele.

JNA 2:6 Removed trailing space in p~: Lakini uliuleta uhai wangu kutoka shimoni,

JNA 2:6 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd* Mungu wangu.

JNA 2:7 Removed trailing space in v~: “Wakati uhai wangu ulipokuwa unatoka,

JNA 2:7 Removed trailing space in p~: nilikukumbuka wewe, \nd Bwana\nd*,

JNA 2:7 Removed trailing space in p~: nayo maombi yangu yalikufikia wewe,

JNA 2:7 Removed trailing space in p~: katika Hekalu lako takatifu.

JNA 2:8 Removed trailing space in v~: “Wale watu wanaongʼangʼana na sanamu zisizofaa

JNA 2:8 Removed trailing space in p~: hupoteza neema ile ambayo ingekuwa yao.

JNA 2:9 Removed trailing space in v~: Lakini mimi, kwa wimbo wa shukrani,

JNA 2:9 Removed trailing space in p~: nitakutolea dhabihu.

JNA 2:9 Removed trailing space in p~: Lile nililowekea nadhiri nitalitimiza.

JNA 2:9 Removed trailing space in p~: Wokovu watoka kwa \nd Bwana\nd*.”

JNA 2:10 Removed trailing space in v~: Basi \nd Bwana\nd* akamwamuru yule nyangumi, naye akamtapika Yona katika nchi kavu.

JNA 3:0 Extra space after chapter number

JNA 3:0 Removed trailing space in c: 3

JNA 3:0 Removed trailing space in s1: Yona Aenda Ninawi

JNA 3:1 Removed trailing space in v~: Ndipo neno la \nd Bwana\nd* likamjia Yona mara ya pili:

JNA 3:2 Removed trailing space in v~: “Ondoka uende katika mji mkubwa wa Ninawi, ukautangazie ujumbe ninaokupa.”

JNA 3:3 Removed trailing space in v~: Yona akalitii neno la \nd Bwana\nd* naye akaenda Ninawi. Basi Ninawi ulikuwa mji maarufu sana, ilichukua siku tatu kuuzunguka.

JNA 3:4 Removed trailing space in v~: Siku ya kwanza, Yona aliingia mjini. Akatangaza: “Baada ya siku arobaini Ninawi utaangamizwa.”

JNA 3:5 Removed trailing space in v~: Watu wa Ninawi wakamwamini Mungu, wakatangaza kufunga, watu wote kuanzia mkubwa sana hadi yule mdogo kabisa, wakavaa nguo za gunia.

JNA 3:6 Removed trailing space in v~: Habari zilipomfikia mfalme wa Ninawi, aliondoka kwenye kiti chake cha enzi, akavua majoho yake ya kifalme, akajifunika nguo ya gunia kisha akaketi chini mavumbini.

JNA 3:7 Removed trailing space in v~: Ndipo akatoa tangazo katika Ninawi yote:

JNA 3:7 Removed trailing space in p~: “Kwa amri ya mfalme na wakuu wake:

JNA 3:7 Removed trailing space in p~: “Msiruhusu mtu yeyote au mnyama, makundi ya ngʼombe au wanyama wengine wafugwao, kuonja kitu chochote, msiwaruhusu kula wala kunywa.

JNA 3:8 Removed trailing space in v~: Bali wanadamu na wanyama wafunikwe kwa nguo za gunia. Kila mmoja afanye hima kumwomba Mungu. Waziache njia zao mbaya na udhalimu ulio mikononi mwao.

JNA 3:9 Removed trailing space in v~: Ni nani ajuaye? Huenda Mungu akaghairi kwa huruma yake akaacha hasira yake kali ili tusiangamie.”

JNA 3:10 Removed trailing space in v~: Mungu alipoona walivyofanya na jinsi walivyogeuka kutoka njia zao mbaya, akawa na huruma wala hakuleta maangamizi juu yao kama alivyokuwa ameonya.

JNA 4:0 Extra space after chapter number

JNA 4:0 Removed trailing space in c: 4

JNA 4:0 Removed trailing space in s1: Hasira Ya Yona Kwa Ajili Ya Huruma Ya \nd Bwana\nd*.

JNA 4:1 Removed trailing space in v~: Lakini Yona alichukizwa sana akakasirika.

JNA 4:2 Removed trailing space in v~: Akamwomba \nd Bwana\nd*, “Ee \nd Bwana\nd*, hili si lile nililolisema nilipokuwa ningali nyumbani? Hii ndiyo sababu niliharikisha kukimbilia Tarshishi. Nikifahamu kuwa wewe ni Mungu mwenye neema na huruma, si mwepesi wa hasira na umejaa upendo, ni Mungu ambaye hughairi katika kupeleka maafa.

JNA 4:3 Removed trailing space in v~: Sasa, Ee \nd Bwana\nd*, niondolee uhai wangu, kwa kuwa ni afadhali mimi nife kuliko kuishi.”

JNA 4:4 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamjibu, “Je unayo haki yoyote kukasirika?”

JNA 4:5 Removed trailing space in v~: Yona akatoka nje akaketi mahali upande wa mashariki wa mji. Hapo akajitengenezea kibanda, akaketi kwenye kivuli chake na kungojea ni nini kitakachotokea katika mji.

JNA 4:6 Removed trailing space in v~: Ndipo \nd Bwana\nd*, Mungu akaweka tayari mzabibu na kuufanya uote, kumpa Yona kivuli kilichomfunika kichwa ili kuondoa taabu yake, naye Yona akafurahi sana kwa ajili ya ule mzabibu.

JNA 4:7 Removed trailing space in v~: Lakini kesho yake asubuhi na mapema Mungu akaamuru buu, autafune mzabibu huo nao ukanyauka.

JNA 4:8 Removed trailing space in v~: Wakati jua lilipochomoza, Mungu akautuma upepo wa hari wa mashariki, nalo jua likawaka juu ya kichwa cha Yona mpaka akazimia. Akatamani kufa, naye akasema, “Ni afadhali mimi nife kuliko kuishi.”

JNA 4:9 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu alimwambia Yona, “Je, unayo haki kukasirika kuhusu mzabibu huo?”

JNA 4:9 Removed trailing space in p~: Akasema, “Ndiyo, ninayo haki. Nimekasirika kiasi cha kufa.”

JNA 4:10 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* akamwambia, “Wewe unakasirika kwa ajili ya mzabibu huu, nawe hukuusababisha kuota wala kuutunza. Uliota usiku mmoja, nao ukafa usiku mmoja.

JNA 4:11 Removed trailing space in v~: Lakini Ninawi ina zaidi ya watu 120,000 ambao hawawezi kupambanua kulia au kushoto, pamoja na ngʼombe wengi. Je, hainipasi kufikiri juu ya mji ule mkubwa?”

MIC -1:0 Removed trailing space in id: MIC - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

MIC -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

MIC -1:2 Removed trailing space in h: Mika

MIC -1:3 Removed trailing space in toc1: Mika

MIC -1:4 Removed trailing space in toc2: Mika

MIC -1:5 Removed trailing space in toc3: Mik

MIC -1:6 Removed trailing space in mt1: Mika

MIC 1:0 Extra space after chapter number

MIC 1:0 Removed trailing space in c: 1

MIC 1:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* lilimjia Mika, Mmoreshethi, wakati wa utawala wa Yothamu, Ahazi na Hezekia, wafalme wa Yuda; ufunuo aliouona kuhusu Samaria na Yerusalemu.

MIC 1:2 Removed trailing space in v~: Sikieni, enyi mataifa, enyi nyote,

MIC 1:2 Removed trailing space in p~: sikilizeni, ee dunia na wote mliomo ndani yake,

MIC 1:2 Removed trailing space in p~: ili \nd Bwana\nd* Mwenyezi ashuhudie dhidi yenu,

MIC 1:2 Removed trailing space in p~: Bwana kutoka Hekalu lake takatifu.

MIC 1:2 Removed trailing space in s1: Hukumu Dhidi Ya Samaria Na Yerusalemu

MIC 1:3 Removed trailing space in v~: Tazama! \nd Bwana\nd* anakuja kutoka mahali pake;

MIC 1:3 Removed trailing space in p~: anashuka na kukanyaga

MIC 1:3 Removed trailing space in p~: mahali palipoinuka juu pa dunia.

MIC 1:4 Removed trailing space in v~: Milima inayeyuka chini yake

MIC 1:4 Removed trailing space in p~: na mabonde yanagawanyika

MIC 1:4 Removed trailing space in p~: kama nta mbele ya moto,

MIC 1:4 Removed trailing space in p~: kama maji yatiririkayo kasi

MIC 1:4 Removed trailing space in p~: kwenye mteremko.

MIC 1:5 Removed trailing space in v~: Yote haya ni kwa sababu ya kosa la Yakobo,

MIC 1:5 Removed trailing space in p~: ni kwa sababu ya dhambi za nyumba ya Israeli.

MIC 1:5 Removed trailing space in p~: Kosa la Yakobo ni lipi?

MIC 1:5 Removed trailing space in p~: Je, sio Samaria?

MIC 1:5 Removed trailing space in p~: Je, mahali pa juu pa Yuda pa kuabudia miungu ni nini?

MIC 1:5 Removed trailing space in p~: Je, sio Yerusalemu?

MIC 1:6 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nitaufanya Samaria kuwa lundo la kokoto,

MIC 1:6 Removed trailing space in p~: mahali pa kuotesha mizabibu.

MIC 1:6 Removed trailing space in p~: Nitayamwaga mawe yake katika bonde

MIC 1:6 Removed trailing space in p~: na kuacha wazi misingi yake.

MIC 1:7 Removed trailing space in v~: Sanamu zake zote

MIC 1:7 Removed trailing space in p~: zitavunjwa vipande vipande;

MIC 1:7 Removed trailing space in p~: zawadi zake zote za Hekalu

MIC 1:7 Removed trailing space in p~: zitachomwa kwa moto;

MIC 1:7 Removed trailing space in p~: nitaharibu vinyago vyake vyote.

MIC 1:7 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa alikusanya zawadi zake

MIC 1:7 Removed trailing space in p~: kutokana na ujira wa kahaba,

MIC 1:7 Removed trailing space in p~: nazo zitatumika tena

MIC 1:7 Removed trailing space in p~: kulipa mishahara ya kahaba.”

MIC 1:7 Removed trailing space in s1: Kulia Na Kuomboleza

MIC 1:8 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya hili nitalia na kuomboleza;

MIC 1:8 Removed trailing space in p~: nitatembea bila viatu na tena uchi.

MIC 1:8 Removed trailing space in p~: Nitabweka kama mbweha

MIC 1:8 Removed trailing space in p~: na kuomboleza kama bundi.

MIC 1:9 Removed trailing space in v~: Kwa sababu jeraha lake halitibiki;

MIC 1:9 Removed trailing space in p~: limekuja Yuda.

MIC 1:9 Removed trailing space in p~: Limefika hasa kwenye lango la watu wangu,

MIC 1:9 Removed trailing space in p~: hata Yerusalemu kwenyewe.

MIC 1:10 Removed trailing space in v~: Usiliseme hili huko Gathi;

MIC 1:10 Removed trailing space in p~: usilie hata kidogo.

MIC 1:10 Removed trailing space in p~: Huko Beth-le-Afra

MIC 1:10 Removed trailing space in p~: gaagaa mavumbini.

MIC 1:11 Removed trailing space in v~: Piteni mkiwa uchi na wenye aibu,

MIC 1:11 Removed trailing space in p~: ninyi mkaao Shafiri.

MIC 1:11 Removed trailing space in p~: Wale waishio Saanani

MIC 1:11 Removed trailing space in p~: hawatatoka nje.

MIC 1:11 Removed trailing space in p~: Beth-Eseli iko katika maombolezo;

MIC 1:11 Removed trailing space in p~: kinga yake imeondolewa kwako.

MIC 1:12 Removed trailing space in v~: Wale waishio Marothi wanagaagaa kwa maumivu

MIC 1:12 Removed trailing space in p~: wakingoja msaada,

MIC 1:12 Removed trailing space in p~: kwa sababu maangamizi yamekuja

MIC 1:12 Removed trailing space in p~: kutoka kwa \nd Bwana\nd*,

MIC 1:12 Removed trailing space in p~: hata katika lango la Yerusalemu.

MIC 1:13 Removed trailing space in v~: Enyi mkaao Lakishi,

MIC 1:13 Removed trailing space in p~: fungeni farasi kwenye magari ya vita.

MIC 1:13 Removed trailing space in p~: Mlikuwa chanzo cha dhambi

MIC 1:13 Removed trailing space in p~: kwa Binti Sayuni,

MIC 1:13 Removed trailing space in p~: kwa kuwa makosa ya Israeli

MIC 1:13 Removed trailing space in p~: yalikutwa kwako.

MIC 1:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo utaipa Moresheth-Gathi

MIC 1:14 Removed trailing space in p~: zawadi za kuagana.

MIC 1:14 Removed trailing space in p~: Mji wa Akzibu utaonyesha wazi udanganyifu

MIC 1:14 Removed trailing space in p~: kwa wafalme wa Israeli.

MIC 1:15 Removed trailing space in v~: Nitawaleteeni atakayewashinda

MIC 1:15 Removed trailing space in p~: ninyi mnaoishi Maresha.

MIC 1:15 Removed trailing space in p~: Yeye aliye utukufu wa Israeli

MIC 1:15 Removed trailing space in p~: atakuja Adulamu.

MIC 1:16 Removed trailing space in v~: Nyoeni nywele zenu katika kuomboleza

MIC 1:16 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya watoto wenu mnaowafurahia;

MIC 1:16 Removed trailing space in p~: jifanyieni upara kama tai,

MIC 1:16 Removed trailing space in p~: kwa kuwa watawaacha

MIC 1:16 Removed trailing space in p~: na kwenda uhamishoni.

MIC 2:0 Extra space after chapter number

MIC 2:0 Removed trailing space in c: 2

MIC 2:0 Removed trailing space in s1: Mipango Ya Mwanadamu Na Ya Mungu

MIC 2:1 Removed trailing space in v~: Ole kwa wale wapangao uovu,

MIC 2:1 Removed trailing space in p~: kwa wale wafanyao shauri la hila vitandani mwao!

MIC 2:1 Removed trailing space in p~: Kunapopambazuka wanalitimiza

MIC 2:1 Removed trailing space in p~: kwa sababu uko katika uwezo wao kutekeleza.

MIC 2:2 Removed trailing space in v~: Wanatamani mashamba na kuyakamata,

MIC 2:2 Removed trailing space in p~: pia nyumba na kuzichukua.

MIC 2:2 Removed trailing space in p~: Wanamlaghai mwanaume nyumba yake,

MIC 2:2 Removed trailing space in p~: mwanadamu mwenzake urithi wake.

MIC 2:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, \nd Bwana\nd* asema:

MIC 2:3 Removed trailing space in p~: “Ninapanga maangamizi dhidi ya watu hawa,

MIC 2:3 Removed trailing space in p~: ambayo hamwezi kujiokoa wenyewe.

MIC 2:3 Removed trailing space in p~: Hamtatembea tena kwa majivuno,

MIC 2:3 Removed trailing space in p~: kwa kuwa utakuwa ni wakati wa maafa.

MIC 2:4 Removed trailing space in v~: Siku hiyo watu watawadhihaki,

MIC 2:4 Removed trailing space in p~: watawafanyia mzaha

MIC 2:4 Removed trailing space in p~: kwa wimbo huu wa maombolezo:

MIC 2:4 Removed trailing space in p~: ‘Tumeangamizwa kabisa;

MIC 2:4 Removed trailing space in p~: mali ya watu wangu imegawanywa.

MIC 2:4 Removed trailing space in p~: Ameninyangʼanya!

MIC 2:4 Removed trailing space in p~: Ametoa mashamba yetu kwa wasaliti.’ ”

MIC 2:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hutakuwa na yeyote katika kusanyiko la \nd Bwana\nd*

MIC 2:5 Removed trailing space in p~: wa kugawanya mashamba kwa kura.

MIC 2:5 Removed trailing space in s1: Manabii Wa Uongo

MIC 2:6 Removed trailing space in v~: Manabii wao husema, “Usitabiri.

MIC 2:6 Removed trailing space in p~: Usitabiri kuhusu vitu hivi;

MIC 2:6 Removed trailing space in p~: aibu haitatupata.”

MIC 2:7 Removed trailing space in v~: Je, ingesemwa, ee nyumba ya Yakobo:

MIC 2:7 Removed trailing space in p~: “Je, Roho wa \nd Bwana\nd* amekasirika?

MIC 2:7 Removed trailing space in p~: Je, yeye hufanya vitu kama hivyo?”

MIC 2:7 Removed trailing space in p~: “Je, maneno yangu hayamfanyii mema

MIC 2:7 Removed trailing space in p~: yeye ambaye njia zake ni nyofu?

MIC 2:8 Removed trailing space in v~: Siku hizi watu wangu wameinuka

MIC 2:8 Removed trailing space in p~: kama adui.

MIC 2:8 Removed trailing space in p~: Unawavua joho la kitajiri wale wanaopita

MIC 2:8 Removed trailing space in p~: pasipo kujali,

MIC 2:8 Removed trailing space in p~: kama watu warudio kutoka vitani.

MIC 2:9 Removed trailing space in v~: Unawahamisha wanawake wa watu wangu

MIC 2:9 Removed trailing space in p~: kutoka kwenye nyumba zao za kupendeza.

MIC 2:9 Removed trailing space in p~: Unaondoa baraka yangu

MIC 2:9 Removed trailing space in p~: kwa watoto wao milele.

MIC 2:10 Removed trailing space in v~: Inuka, nenda zako!

MIC 2:10 Removed trailing space in p~: Kwa maana hapa sio mahali pako pa kupumzikia,

MIC 2:10 Removed trailing space in p~: kwa sababu pametiwa unajisi,

MIC 2:10 Removed trailing space in p~: pameharibiwa, wala hapatengenezeki tena.

MIC 2:11 Removed trailing space in v~: Ikiwa mwongo na mdanganyifu atakuja na kusema,

MIC 2:11 Removed trailing space in p~: ‘Nitawatabiria divai na pombe kwa wingi,’

MIC 2:11 Removed trailing space in p~: angekuwa ndiye nabii

MIC 2:11 Removed trailing space in p~: anayekubalika na watu hawa!

MIC 2:11 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Ukombozi

MIC 2:12 Removed trailing space in v~: “Hakika nitawakusanya ninyi nyote, ee Yakobo,

MIC 2:12 Removed trailing space in p~: Hakika nitawaleta pamoja mabaki ya Israeli.

MIC 2:12 Removed trailing space in p~: Nitawaleta pamoja kama kondoo ndani ya zizi,

MIC 2:12 Removed trailing space in p~: kama kundi kwenye malisho yake,

MIC 2:12 Removed trailing space in p~: mahali hapa patakuwa na msongamano wa watu.

MIC 2:13 Removed trailing space in v~: Yeye afunguaye njia atawatangulia;

MIC 2:13 Removed trailing space in p~: watapita kwenye lango na kutoka nje.

MIC 2:13 Removed trailing space in p~: Mfalme wao atawatangulia,

MIC 2:13 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atakuwa kiongozi.”

MIC 3:0 Extra space after chapter number

MIC 3:0 Removed trailing space in c: 3

MIC 3:0 Removed trailing space in s1: Viongozi Na Manabii Wakemewa

MIC 3:1 Removed trailing space in v~: Kisha nikasema,

MIC 3:1 Removed trailing space in p~: “Sikilizeni enyi viongozi wa Yakobo,

MIC 3:1 Removed trailing space in p~: enyi watawala wa nyumba ya Israeli.

MIC 3:1 Removed trailing space in p~: Je, hampaswi kujua hukumu,

MIC 3:2 Removed trailing space in v~: ninyi mnaochukia mema

MIC 3:2 Removed trailing space in p~: na kupenda maovu;

MIC 3:2 Removed trailing space in p~: ninyi mnaowachuna watu wangu ngozi

MIC 3:2 Removed trailing space in p~: na kuondoa nyama kwenye mifupa yao;

MIC 3:3 Removed trailing space in v~: ninyi mnaokula nyama ya watu wangu,

MIC 3:3 Removed trailing space in p~: mnaowachuna ngozi

MIC 3:3 Removed trailing space in p~: na kuvunja mifupa yao vipande vipande;

MIC 3:3 Removed trailing space in p~: mnaowakatakata kama nyama

MIC 3:3 Removed trailing space in p~: ya kuwekwa kwenye sufuria

MIC 3:3 Removed trailing space in p~: na kama nyama

MIC 3:3 Removed trailing space in p~: ya kuwekwa kwenye chungu?”

MIC 3:4 Removed trailing space in v~: Kisha watamlilia \nd Bwana\nd*,

MIC 3:4 Removed trailing space in p~: lakini hatawajibu.

MIC 3:4 Removed trailing space in p~: Wakati huo atawaficha uso wake

MIC 3:4 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya uovu waliotenda.

MIC 3:5 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd*:

MIC 3:5 Removed trailing space in p~: “Kuhusu manabii wanaowapotosha watu wangu,

MIC 3:5 Removed trailing space in p~: mtu akiwalisha,

MIC 3:5 Removed trailing space in p~: wanatangaza ‘amani’;

MIC 3:5 Removed trailing space in p~: kama hakufanya hivyo,

MIC 3:5 Removed trailing space in p~: wanaandaa kupigana vita dhidi yake.

MIC 3:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo usiku utawajieni, msiweze kuwa na maono,

MIC 3:6 Removed trailing space in p~: na giza, msiweze kubashiri.

MIC 3:6 Removed trailing space in p~: Jua litawachwea manabii hao,

MIC 3:6 Removed trailing space in p~: nao mchana utakuwa giza kwao.

MIC 3:7 Removed trailing space in v~: Waonaji wataaibika

MIC 3:7 Removed trailing space in p~: na waaguzi watafedheheka.

MIC 3:7 Removed trailing space in p~: Wote watafunika nyuso zao

MIC 3:7 Removed trailing space in p~: kwa sababu hakuna jibu litokalo kwa Mungu.”

MIC 3:8 Removed trailing space in v~: Lakini kuhusu mimi, nimejazwa nguvu,

MIC 3:8 Removed trailing space in p~: nimejazwa Roho wa \nd Bwana\nd*,

MIC 3:8 Removed trailing space in p~: haki na uweza,

MIC 3:8 Removed trailing space in p~: kumtangazia Yakobo kosa lake,

MIC 3:8 Removed trailing space in p~: na Israeli dhambi yake.

MIC 3:9 Removed trailing space in v~: Sikieni hili, enyi viongozi wa nyumba ya Yakobo,

MIC 3:9 Removed trailing space in p~: enyi watawala wa nyumba ya Israeli,

MIC 3:9 Removed trailing space in p~: mnaodharau haki

MIC 3:9 Removed trailing space in p~: na kupotosha kila lililo sawa;

MIC 3:10 Removed trailing space in v~: mnaojenga Sayuni kwa kumwaga damu

MIC 3:10 Removed trailing space in p~: na Yerusalemu kwa uovu.

MIC 3:11 Removed trailing space in v~: Viongozi wake wanahukumu kwa rushwa,

MIC 3:11 Removed trailing space in p~: na makuhani wake wanafundisha kwa malipo,

MIC 3:11 Removed trailing space in p~: nao manabii wake wanatabiri kwa fedha.

MIC 3:11 Removed trailing space in p~: Hata hivyo wanamwegemea \nd Bwana\nd* na kusema,

MIC 3:11 Removed trailing space in p~: “Je, \nd Bwana\nd* si yumo miongoni mwetu?

MIC 3:11 Removed trailing space in p~: Hakuna maafa yatakayotupata.”

MIC 3:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kwa sababu yenu,

MIC 3:12 Removed trailing space in p~: Sayuni italimwa kama shamba,

MIC 3:12 Removed trailing space in p~: Yerusalemu itakuwa lundo la kokoto,

MIC 3:12 Removed trailing space in p~: na kilima cha Hekalu

MIC 3:12 Removed trailing space in p~: kitakuwa kichuguu

MIC 3:12 Removed trailing space in p~: kilichofunikwa na vichaka.

MIC 4:0 Extra space after chapter number

MIC 4:0 Removed trailing space in c: 4

MIC 4:0 Removed trailing space in s1: Mlima Wa \nd Bwana\nd*

MIC 4:0 Removed trailing space in r: (Isaya 2:2-4)

MIC 4:1 Removed trailing space in v~: Katika siku za mwisho

MIC 4:1 Removed trailing space in p~: mlima wa Hekalu la \nd Bwana\nd* utaimarishwa

MIC 4:1 Removed trailing space in p~: kama mlima mkuu miongoni mwa milima yote;

MIC 4:1 Removed trailing space in p~: utainuliwa juu ya vilima,

MIC 4:1 Removed trailing space in p~: na watu wa mataifa watamiminika humo.

MIC 4:2 Removed trailing space in v~: Mataifa mengi yatakuja na kusema,

MIC 4:2 Removed trailing space in p~: “Njooni, twendeni mlimani mwa \nd Bwana\nd*,

MIC 4:2 Removed trailing space in p~: kwenye nyumba ya Mungu wa Yakobo.

MIC 4:2 Removed trailing space in p~: Atatufundisha njia zake,

MIC 4:2 Removed trailing space in p~: ili tuweze kuenenda katika mapito yake.”

MIC 4:2 Removed trailing space in p~: Sheria itatoka Sayuni,

MIC 4:2 Removed trailing space in p~: neno la \nd Bwana\nd* litatoka Yerusalemu.

MIC 4:3 Removed trailing space in v~: Atahukumu kati ya mataifa mengi,

MIC 4:3 Removed trailing space in p~: na ataamua migogoro ya mataifa

MIC 4:3 Removed trailing space in p~: yenye nguvu na yaliyo mbali.

MIC 4:3 Removed trailing space in p~: Watafua panga zao ziwe majembe,

MIC 4:3 Removed trailing space in p~: na mikuki yao kuwa miundu ya kukata matawi.

MIC 4:3 Removed trailing space in p~: Taifa halitainua upanga dhidi ya taifa jingine,

MIC 4:3 Removed trailing space in p~: wala hawatajifunza vita tena.

MIC 4:4 Removed trailing space in v~: Kila mtu ataketi chini ya mzabibu wake

MIC 4:4 Removed trailing space in p~: na chini ya mtini wake,

MIC 4:4 Removed trailing space in p~: wala hakuna mtu atakayewaogopesha,

MIC 4:4 Removed trailing space in p~: kwa kuwa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote amesema.

MIC 4:5 Removed trailing space in v~: Mataifa yote yanaweza kutembea

MIC 4:5 Removed trailing space in p~: katika jina la miungu yao;

MIC 4:5 Removed trailing space in p~: sisi tutatembea katika jina la \nd Bwana\nd*

MIC 4:5 Removed trailing space in p~: Mungu wetu milele na milele.

MIC 4:5 Removed trailing space in s1: Mpango Wa \nd Bwana\nd*

MIC 4:6 Removed trailing space in v~: “Katika siku hiyo,” asema \nd Bwana\nd*,

MIC 4:6 Removed trailing space in p~: “nitawakusanya walemavu;

MIC 4:6 Removed trailing space in p~: nitawakusanya walio uhamishoni

MIC 4:6 Removed trailing space in p~: na wale niliowahuzunisha.

MIC 4:7 Removed trailing space in v~: Nitawafanya walemavu kuwa mabaki,

MIC 4:7 Removed trailing space in p~: wale waliofukuzwa kuwa taifa lenye nguvu.

MIC 4:7 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atatawala juu yao katika Mlima Sayuni

MIC 4:7 Removed trailing space in p~: kuanzia siku hiyo na hata milele.

MIC 4:8 Removed trailing space in v~: Lakini kuhusu wewe, ee mnara wa ulinzi wa kundi,

MIC 4:8 Removed trailing space in p~: ee ngome ya Binti Sayuni,

MIC 4:8 Removed trailing space in p~: milki ya awali itarudishwa kwako,

MIC 4:8 Removed trailing space in p~: ufalme utakuja kwa Binti Yerusalemu.”

MIC 4:9 Removed trailing space in v~: Kwa nini sasa unalia kwa nguvu:

MIC 4:9 Removed trailing space in p~: kwani huna mfalme?

MIC 4:9 Removed trailing space in p~: Je, mshauri wako amekufa, hata maumivu yakukamate

MIC 4:9 Removed trailing space in p~: kama ya mwanamke

MIC 4:9 Removed trailing space in p~: aliye na utungu wa kuzaa?

MIC 4:10 Removed trailing space in v~: Gaagaa kwa utungu, ee Binti Sayuni,

MIC 4:10 Removed trailing space in p~: kama mwanamke mwenye utungu wa kuzaa,

MIC 4:10 Removed trailing space in p~: kwa kuwa sasa ni lazima uuache mji

MIC 4:10 Removed trailing space in p~: ukapige kambi uwanjani.

MIC 4:10 Removed trailing space in p~: Utakwenda Babeli;

MIC 4:10 Removed trailing space in p~: huko utaokolewa.

MIC 4:10 Removed trailing space in p~: Huko \nd Bwana\nd* atakukomboa

MIC 4:10 Removed trailing space in p~: kutoka mikononi mwa adui zako.

MIC 4:11 Removed trailing space in v~: Lakini sasa mataifa mengi

MIC 4:11 Removed trailing space in p~: yamekusanyika dhidi yako.

MIC 4:11 Removed trailing space in p~: Wanasema, “Mwache anajisiwe,

MIC 4:11 Removed trailing space in p~: macho yetu na yatazame Sayuni kwa furaha!”

MIC 4:12 Removed trailing space in v~: Lakini hawayajui

MIC 4:12 Removed trailing space in p~: mawazo ya \nd Bwana\nd*;

MIC 4:12 Removed trailing space in p~: hawauelewi mpango wake,

MIC 4:12 Removed trailing space in p~: yeye awakusanyaye kama miganda

MIC 4:12 Removed trailing space in p~: kwenye sakafu ya kupuria.

MIC 4:13 Removed trailing space in v~: “Inuka upure, ee Binti Sayuni,

MIC 4:13 Removed trailing space in p~: kwa kuwa nitakupa pembe za chuma;

MIC 4:13 Removed trailing space in p~: nitakupa kwato za shaba

MIC 4:13 Removed trailing space in p~: na utavunja vipande vipande mataifa mengi.”

MIC 4:13 Removed trailing space in p~: Utatoa mapato yao waliopata kwa udanganyifu kwa \nd Bwana\nd*,

MIC 4:13 Removed trailing space in p~: utajiri wao kwa Bwana wa dunia yote.

MIC 5:0 Extra space after chapter number

MIC 5:0 Removed trailing space in c: 5

MIC 5:0 Removed trailing space in s1: Mtawala Aliyeahidiwa Kutoka Bethlehemu

MIC 5:1 Removed trailing space in v~: Panga majeshi yako, ee mji wa majeshi,

MIC 5:1 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kuzingirwa kumepangwa dhidi yetu.

MIC 5:1 Removed trailing space in p~: Watampiga mtawala wa Israeli

MIC 5:1 Removed trailing space in p~: shavuni kwa fimbo.

MIC 5:2 Removed trailing space in v~: “Lakini wewe, Bethlehemu Efrathi,

MIC 5:2 Removed trailing space in p~: ingawa u mdogo miongoni mwa koo za Yuda,

MIC 5:2 Removed trailing space in p~: kutoka kwako atatokea kwa ajili yangu

MIC 5:2 Removed trailing space in p~: yeye atakayekuwa mtawala katika Israeli,

MIC 5:2 Removed trailing space in p~: ambaye asili yake ni kutoka zamani,

MIC 5:2 Removed trailing space in p~: kutoka milele.”

MIC 5:3 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Israeli utaachwa mpaka wakati

MIC 5:3 Removed trailing space in p~: mwanamke aliye na utungu atakapozaa

MIC 5:3 Removed trailing space in p~: na ndugu zake wengine warudi

MIC 5:3 Removed trailing space in p~: kujiunga na Waisraeli.

MIC 5:4 Removed trailing space in v~: Atasimama na kulichunga kundi lake

MIC 5:4 Removed trailing space in p~: katika nguvu ya \nd Bwana\nd*,

MIC 5:4 Removed trailing space in p~: katika utukufu wa jina la \nd Bwana\nd* Mungu wake.

MIC 5:4 Removed trailing space in p~: Nao wataishi kwa usalama, kwa kuwa wakati huo

MIC 5:4 Removed trailing space in p~: ukuu wake utaenea hadi miisho ya dunia.

MIC 5:5 Removed trailing space in v~: Naye atakuwa amani yao.

MIC 5:5 Removed trailing space in s1: Ukombozi Na Uharibifu

MIC 5:5 Removed trailing space in p~: Wakati Mwashuru atakapovamia nchi yetu

MIC 5:5 Removed trailing space in p~: na kupita katika ngome zetu,

MIC 5:5 Removed trailing space in p~: tutawainua wachungaji saba dhidi yake,

MIC 5:5 Removed trailing space in p~: hata viongozi wanane wa watu.

MIC 5:6 Removed trailing space in v~: Wataitawala nchi ya Ashuru kwa upanga,

MIC 5:6 Removed trailing space in p~: nchi ya Nimrodi kwa upanga.

MIC 5:6 Removed trailing space in p~: Atatuokoa kutoka kwa Mwashuru

MIC 5:6 Removed trailing space in p~: atakapoivamia nchi yetu

MIC 5:6 Removed trailing space in p~: na kuingia katika mipaka yetu.

MIC 5:7 Removed trailing space in v~: Mabaki ya Yakobo yatakuwa

MIC 5:7 Removed trailing space in p~: katikati ya mataifa mengi

MIC 5:7 Removed trailing space in p~: kama umande kutoka kwa \nd Bwana\nd*,

MIC 5:7 Removed trailing space in p~: kama manyunyu juu ya majani,

MIC 5:7 Removed trailing space in p~: ambayo hayamngoji mtu

MIC 5:7 Removed trailing space in p~: wala kukawia kwa mwanadamu.

MIC 5:8 Removed trailing space in v~: Mabaki ya Yakobo yatakuwa miongoni mwa mataifa,

MIC 5:8 Removed trailing space in p~: katikati ya mataifa mengi,

MIC 5:8 Removed trailing space in p~: kama simba miongoni mwa wanyama wa msituni,

MIC 5:8 Removed trailing space in p~: kama mwana simba miongoni

MIC 5:8 Removed trailing space in p~: mwa makundi ya kondoo,

MIC 5:8 Removed trailing space in p~: ambaye anaumiza vibaya na kuwararua

MIC 5:8 Removed trailing space in p~: kila anapopita katikati yao,

MIC 5:8 Removed trailing space in p~: wala hakuna awezaye kuokoa.

MIC 5:9 Removed trailing space in v~: Mkono wako utainuliwa juu kwa ushindi juu ya watesi wako,

MIC 5:9 Removed trailing space in p~: nao adui zako wote wataangamizwa.

MIC 5:10 Removed trailing space in v~: “Katika siku ile,” asema \nd Bwana\nd*,

MIC 5:10 Removed trailing space in p~: “nitaangamiza farasi zenu katikati yenu

MIC 5:10 Removed trailing space in p~: na kubomoa magari yenu ya vita.

MIC 5:11 Removed trailing space in v~: Nitaiangamiza miji ya nchi yenu

MIC 5:11 Removed trailing space in p~: na kuziangusha chini ngome zenu zote.

MIC 5:12 Removed trailing space in v~: Nitaangamiza uchawi wenu

MIC 5:12 Removed trailing space in p~: na hamtapiga tena ramli.

MIC 5:13 Removed trailing space in v~: Nitaangamiza vinyago vyenu vya kuchonga

MIC 5:13 Removed trailing space in p~: na mawe yenu ya ibada yatoke katikati yenu;

MIC 5:13 Removed trailing space in p~: hamtasujudia tena

MIC 5:13 Removed trailing space in p~: kazi ya mikono yenu.

MIC 5:14 Removed trailing space in v~: Nitangʼoa nguzo za Ashera katikati yenu

MIC 5:14 Removed trailing space in p~: na kubomoa miji yenu.

MIC 5:15 Removed trailing space in v~: Nitalipiza kisasi kwa hasira na ghadhabu

MIC 5:15 Removed trailing space in p~: juu ya mataifa ambayo hayajanitii.”

MIC 6:0 Extra space after chapter number

MIC 6:0 Removed trailing space in c: 6

MIC 6:0 Removed trailing space in s1: Shauri La \nd Bwana\nd* Dhidi Ya Israeli

MIC 6:1 Removed trailing space in v~: Sikiliza asemalo \nd Bwana\nd*:

MIC 6:1 Removed trailing space in p~: “Simama, tetea shauri lako mbele ya milima;

MIC 6:1 Removed trailing space in p~: vilima na visikie lile unalotaka kusema.

MIC 6:2 Removed trailing space in v~: Sikilizeni, ee milima, mashtaka ya \nd Bwana\nd*,

MIC 6:2 Removed trailing space in p~: sikilizeni, enyi misingi ya milele ya dunia.

MIC 6:2 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa \nd Bwana\nd* ana shauri dhidi ya watu wake;

MIC 6:2 Removed trailing space in p~: anatoa mashtaka dhidi ya Israeli.

MIC 6:3 Removed trailing space in v~: “Watu wangu, nimewatendea nini?

MIC 6:3 Removed trailing space in p~: Nimewalemea kwa jinsi gani? Mnijibu.

MIC 6:4 Removed trailing space in v~: Nimewatoa kutoka Misri na kuwakomboa

MIC 6:4 Removed trailing space in p~: kutoka nchi ya utumwa.

MIC 6:4 Removed trailing space in p~: Nilimtuma Mose awaongoze,

MIC 6:4 Removed trailing space in p~: pia Aroni na Miriamu.

MIC 6:5 Removed trailing space in v~: Watu wangu, kumbukeni jinsi Balaki mfalme wa Moabu

MIC 6:5 Removed trailing space in p~: alivyofanya shauri

MIC 6:5 Removed trailing space in p~: na kile Balaamu mwana wa Beori alichojibu.

MIC 6:5 Removed trailing space in p~: Kumbukeni safari yenu kutoka Shitimu mpaka Gilgali,

MIC 6:5 Removed trailing space in p~: ili mfahamu matendo ya haki ya \nd Bwana\nd*.”

MIC 6:6 Removed trailing space in v~: Nimjie \nd Bwana\nd* na kitu gani na kusujudu

MIC 6:6 Removed trailing space in p~: mbele za Mungu aliyetukuka?

MIC 6:6 Removed trailing space in p~: Je, nije mbele zake na sadaka za kuteketezwa,

MIC 6:6 Removed trailing space in p~: nije na ndama za mwaka mmoja?

MIC 6:7 Removed trailing space in v~: Je, \nd Bwana\nd* atafurahishwa na kondoo dume elfu,

MIC 6:7 Removed trailing space in p~: au mito elfu kumi ya mafuta?

MIC 6:7 Removed trailing space in p~: Je, nimtoe mzaliwa wangu wa kwanza kwa ajili ya kosa langu,

MIC 6:7 Removed trailing space in p~: mtoto wangu mwenyewe

MIC 6:7 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya dhambi ya nafsi yangu?

MIC 6:8 Removed trailing space in v~: Amekuonyesha yaliyo mema, ee mwanadamu.

MIC 6:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* anataka nini kwako?

MIC 6:8 Removed trailing space in p~: Ila kutenda kwa haki na kupenda rehema,

MIC 6:8 Removed trailing space in p~: na kwenda kwa unyenyekevu na Mungu wako.

MIC 6:8 Removed trailing space in s1: Hatia Na Adhabu Ya Israeli

MIC 6:9 Removed trailing space in v~: Sikiliza! \nd Bwana\nd* anauita mji:

MIC 6:9 Removed trailing space in p~: kulicha jina lako ni hekima:

MIC 6:9 Removed trailing space in p~: “Tii hiyo fimbo na yeye aliyeiamuru.

MIC 6:10 Removed trailing space in v~: Je, bado nisahau, ee nyumba ya uovu,

MIC 6:10 Removed trailing space in p~: hazina yako uliyopata kwa udanganyifu

MIC 6:10 Removed trailing space in p~: na vipimo vilivyopunguka,

MIC 6:10 Removed trailing space in p~: ambavyo vimelaaniwa?

MIC 6:11 Removed trailing space in v~: Je, naweza kuhukumu kuwa

MIC 6:11 Removed trailing space in p~: mtu mwenye mizani ya udanganyifu hana hatia,

MIC 6:11 Removed trailing space in p~: aliye na mfuko wa mawe ya kupimia ya uongo?

MIC 6:12 Removed trailing space in v~: Matajiri wake ni wajeuri;

MIC 6:12 Removed trailing space in p~: watu wake ni waongo

MIC 6:12 Removed trailing space in p~: na ndimi zao zinazungumza

MIC 6:12 Removed trailing space in p~: kwa udanganyifu.

MIC 6:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, nimeanza kukuharibu,

MIC 6:13 Removed trailing space in p~: kuwaangamiza kwa sababu ya dhambi zenu.

MIC 6:14 Removed trailing space in v~: Mtakula lakini hamtashiba;

MIC 6:14 Removed trailing space in p~: matumbo yenu bado yatakuwa matupu.

MIC 6:14 Removed trailing space in p~: Mtaweka akiba lakini hamtaokoa chochote,

MIC 6:14 Removed trailing space in p~: kwa sababu mtakachoweka akiba

MIC 6:14 Removed trailing space in p~: nitatoa kwa upanga.

MIC 6:15 Removed trailing space in v~: Mtapanda lakini hamtavuna;

MIC 6:15 Removed trailing space in p~: mtakamua zeituni lakini

MIC 6:15 Removed trailing space in p~: hamtatumia mafuta yake.

MIC 6:15 Removed trailing space in p~: Mtakamua zabibu

MIC 6:15 Removed trailing space in p~: lakini hamtakunywa hiyo divai.

MIC 6:16 Removed trailing space in v~: Mmezishika sheria za Omri

MIC 6:16 Removed trailing space in p~: na matendo yote ya nyumba ya Ahabu,

MIC 6:16 Removed trailing space in p~: tena umefuata desturi zao.

MIC 6:16 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo nitakutoa kwa maangamizi

MIC 6:16 Removed trailing space in p~: na watu wako kuwa dhihaka;

MIC 6:16 Removed trailing space in p~: mtachukua dharau za mataifa.”

MIC 7:0 Extra space after chapter number

MIC 7:0 Removed trailing space in c: 7

MIC 7:0 Removed trailing space in s1: Taabu Ya Israeli

MIC 7:1 Removed trailing space in v~: Taabu gani hii niliyo nayo!

MIC 7:1 Removed trailing space in p~: Nimefanana na yule akusanyaye

MIC 7:1 Removed trailing space in p~: matunda ya kiangazi,

MIC 7:1 Removed trailing space in p~: aokotaye masazo baada ya kuvunwa

MIC 7:1 Removed trailing space in p~: shamba la mizabibu;

MIC 7:1 Removed trailing space in p~: hakuna kishada chenye matunda ya kula,

MIC 7:1 Removed trailing space in p~: hakuna hata ile tini ya mwanzoni ninayoitamani.

MIC 7:2 Removed trailing space in v~: Wanaomcha Mungu wameondolewa kutoka nchi;

MIC 7:2 Removed trailing space in p~: hakuna mtu mnyofu hata mmoja aliyebaki.

MIC 7:2 Removed trailing space in p~: Watu wote wanavizia kumwaga damu,

MIC 7:2 Removed trailing space in p~: kila mmoja anamwinda ndugu yake kwa wavu.

MIC 7:3 Removed trailing space in v~: Mikono yote miwili ni hodari katika kufanya ubaya,

MIC 7:3 Removed trailing space in p~: mtawala anadai zawadi,

MIC 7:3 Removed trailing space in p~: hakimu anapokea rushwa,

MIC 7:3 Removed trailing space in p~: wenye nguvu wanaamuru wanachotaka:

MIC 7:3 Removed trailing space in p~: wote wanafanya shauri baya pamoja.

MIC 7:4 Removed trailing space in v~: Aliye mwema kupita wote kati yao

MIC 7:4 Removed trailing space in p~: ni kama mchongoma,

MIC 7:4 Removed trailing space in p~: anayeonekana mnyofu zaidi miongoni mwao

MIC 7:4 Removed trailing space in p~: ni mbaya kuliko uzio wa miiba.

MIC 7:4 Removed trailing space in p~: Siku ya walinzi wako imewadia,

MIC 7:4 Removed trailing space in p~: siku atakayokutembelea Mungu.

MIC 7:4 Removed trailing space in p~: Sasa ni wakati wao

MIC 7:4 Removed trailing space in p~: wa kuchanganyikiwa.

MIC 7:5 Removed trailing space in v~: Usimtumaini jirani;

MIC 7:5 Removed trailing space in p~: usiweke matumaini kwa rafiki.

MIC 7:5 Removed trailing space in p~: Hata kwa yule alalaye kifuani mwako

MIC 7:5 Removed trailing space in p~: uwe mwangalifu kwa maneno yako.

MIC 7:6 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mwana humdharau baba yake,

MIC 7:6 Removed trailing space in p~: naye binti huinuka dhidi ya mama yake,

MIC 7:6 Removed trailing space in p~: mkwe kuwa kinyume na mama mkwe wake:

MIC 7:6 Removed trailing space in p~: adui wa mtu ni wale wa nyumbani mwake hasa.

MIC 7:7 Removed trailing space in v~: Lakini mimi, namtazama \nd Bwana\nd* kwa matumaini,

MIC 7:7 Removed trailing space in p~: namngoja Mungu Mwokozi wangu;

MIC 7:7 Removed trailing space in p~: Mungu wangu atanisikia mimi.

MIC 7:7 Removed trailing space in s1: Israeli Atainuka

MIC 7:8 Removed trailing space in v~: Usifurahie msiba wangu, ee adui yangu!

MIC 7:8 Removed trailing space in p~: Ingawa nimeanguka, nitainuka.

MIC 7:8 Removed trailing space in p~: Japo ninaketi gizani,

MIC 7:8 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* atakuwa nuru yangu.

MIC 7:9 Removed trailing space in v~: Kwa sababu nimetenda dhambi dhidi yake,

MIC 7:9 Removed trailing space in p~: nitabeba ghadhabu ya \nd Bwana\nd*,

MIC 7:9 Removed trailing space in p~: mpaka atakaponitetea shauri langu

MIC 7:9 Removed trailing space in p~: na kuithibitisha haki yangu.

MIC 7:9 Removed trailing space in p~: Atanileta nje kwenye mwanga,

MIC 7:9 Removed trailing space in p~: nami nitaiona haki yake.

MIC 7:10 Removed trailing space in v~: Kisha adui yangu ataliona

MIC 7:10 Removed trailing space in p~: naye atafunikwa na aibu,

MIC 7:10 Removed trailing space in p~: yule aliyeniambia,

MIC 7:10 Removed trailing space in p~: “Yu wapi \nd Bwana\nd* Mungu wako?”

MIC 7:10 Removed trailing space in p~: Macho yangu yataona kuanguka kwake,

MIC 7:10 Removed trailing space in p~: hata sasa atakanyagwa chini ya mguu

MIC 7:10 Removed trailing space in p~: kama tope barabarani.

MIC 7:11 Removed trailing space in v~: Siku ya kujenga kuta zako itawadia,

MIC 7:11 Removed trailing space in p~: siku ya kupanua mipaka yako.

MIC 7:12 Removed trailing space in v~: Siku hiyo watu watakuja kwako

MIC 7:12 Removed trailing space in p~: kutoka Ashuru na miji ya Misri,

MIC 7:12 Removed trailing space in p~: hata kutoka Misri hadi Frati

MIC 7:12 Removed trailing space in p~: na kutoka bahari hadi bahari

MIC 7:12 Removed trailing space in p~: na kutoka mlima hadi mlima.

MIC 7:13 Removed trailing space in v~: Dunia itakuwa ukiwa kwa sababu ya wakazi wake,

MIC 7:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu ya matunda ya matendo yao.

MIC 7:13 Removed trailing space in s1: Sala Na Sifa

MIC 7:14 Removed trailing space in v~: Wachunge watu wako kwa fimbo yako,

MIC 7:14 Removed trailing space in p~: kundi la urithi wako,

MIC 7:14 Removed trailing space in p~: ambalo linaishi peke yake msituni,

MIC 7:14 Removed trailing space in p~: katika nchi ya malisho yenye rutuba.

MIC 7:14 Removed trailing space in p~: Waache walishe katika Bashani na Gileadi

MIC 7:14 Removed trailing space in p~: kama ilivyokuwa siku za kale.

MIC 7:15 Removed trailing space in v~: “Kama siku zile mlipotoka Misri,

MIC 7:15 Removed trailing space in p~: nitawaonyesha maajabu yangu.”

MIC 7:16 Removed trailing space in v~: Mataifa yataona na kuaibika,

MIC 7:16 Removed trailing space in p~: waliondolewa nguvu zao zote.

MIC 7:16 Removed trailing space in p~: Wataweka mikono yao kwenye vinywa vyao

MIC 7:16 Removed trailing space in p~: na masikio yao yatakuwa na uziwi.

MIC 7:17 Removed trailing space in v~: Wataramba mavumbi kama nyoka,

MIC 7:17 Removed trailing space in p~: kama viumbe vitambaavyo juu ya ardhi.

MIC 7:17 Removed trailing space in p~: Watatoka nje ya mapango yao wakitetemeka;

MIC 7:17 Removed trailing space in p~: watamgeukia \nd Bwana\nd* Mungu wetu kwa hofu

MIC 7:17 Removed trailing space in p~: nao watakuogopa.

MIC 7:18 Removed trailing space in v~: Ni nani Mungu kama wewe,

MIC 7:18 Removed trailing space in p~: ambaye anaachilia dhambi

MIC 7:18 Removed trailing space in p~: na kusamehe makosa

MIC 7:18 Removed trailing space in p~: ya mabaki ya urithi wake?

MIC 7:18 Removed trailing space in p~: Wewe huwi na hasira milele,

MIC 7:18 Removed trailing space in p~: bali unafurahia kuonyesha rehema.

MIC 7:19 Removed trailing space in v~: Utatuhurumia tena,

MIC 7:19 Removed trailing space in p~: utazikanyaga dhambi zetu

MIC 7:19 Removed trailing space in p~: chini ya nyayo zako,

MIC 7:19 Removed trailing space in p~: na kutupa maovu yetu yote

MIC 7:19 Removed trailing space in p~: katika vilindi vya bahari.

MIC 7:20 Removed trailing space in v~: Utakuwa wa kweli kwa Yakobo,

MIC 7:20 Removed trailing space in p~: nawe utamwonyesha Abrahamu rehema,

MIC 7:20 Removed trailing space in p~: kama ulivyowaahidi kwa kiapo baba zetu

MIC 7:20 Removed trailing space in p~: siku za kale.

NAH 2:0 Extra space after chapter number

NAH 2:0 Removed trailing space in c: 2

NAH 2:0 Removed trailing space in s1: Ninawi Kuanguka

NAH 2:1 Removed trailing space in v~: Mshambuliaji anasogea dhidi yako, Ninawi.

NAH 2:1 Removed trailing space in p~: Linda ngome,

NAH 2:1 Removed trailing space in p~: chunga barabara,

NAH 2:1 Removed trailing space in p~: jitieni nguvu wenyewe,

NAH 2:1 Removed trailing space in p~: kusanya nguvu zako zote!

NAH 2:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atarudisha fahari ya Yakobo,

NAH 2:2 Removed trailing space in p~: kama fahari ya Israeli,

NAH 2:2 Removed trailing space in p~: ingawa waangamizi wamewaacha ukiwa

NAH 2:2 Removed trailing space in p~: na wameharibu mizabibu yao.

NAH 2:3 Removed trailing space in v~: Ngao za askari wake ni nyekundu,

NAH 2:3 Removed trailing space in p~: mashujaa wamevaa nguo nyekundu.

NAH 2:3 Removed trailing space in p~: Chuma kwenye magari ya vita chametameta,

NAH 2:3 Removed trailing space in p~: katika siku aliyoyaweka tayari,

NAH 2:3 Removed trailing space in p~: mikuki ya mierezi inametameta.

NAH 2:4 Removed trailing space in v~: Magari ya vita yanafanya msukosuko barabarani,

NAH 2:4 Removed trailing space in p~: yakikimbia nyuma na mbele uwanjani.

NAH 2:4 Removed trailing space in p~: Yanaonekana kama mienge ya moto;

NAH 2:4 Removed trailing space in p~: yanakwenda kasi kama umeme.

NAH 2:5 Removed trailing space in v~: Anaita vikosi vilivyochaguliwa,

NAH 2:5 Removed trailing space in p~: lakini bado wanajikwaa njiani.

NAH 2:5 Removed trailing space in p~: Wanakimbilia haraka kwenye ukuta wa mji,

NAH 2:5 Removed trailing space in p~: ile ngao ya kuwakinga imetayarishwa.

NAH 2:6 Removed trailing space in v~: Malango ya mto yamefunguliwa wazi,

NAH 2:6 Removed trailing space in p~: na jumba la kifalme limeanguka.

NAH 2:7 Removed trailing space in v~: Imeagizwa kwamba mji uchukuliwe

NAH 2:7 Removed trailing space in p~: na upelekwe uhamishoni.

NAH 2:7 Removed trailing space in p~: Vijakazi wake wanaomboleza kama hua

NAH 2:7 Removed trailing space in p~: na kupigapiga vifua vyao.

NAH 2:8 Removed trailing space in v~: Ninawi ni kama dimbwi,

NAH 2:8 Removed trailing space in p~: nayo maji yake yanakauka.

NAH 2:8 Removed trailing space in p~: Wanalia, “Simama! Simama!”

NAH 2:8 Removed trailing space in p~: Lakini hakuna anayegeuka nyuma.

NAH 2:9 Removed trailing space in v~: Chukueni nyara za fedha!

NAH 2:9 Removed trailing space in p~: Chukueni nyara za dhahabu!

NAH 2:9 Removed trailing space in p~: Wingi wake hauna mwisho,

NAH 2:9 Removed trailing space in p~: utajiri kutoka hazina zake zote!

NAH 2:10 Removed trailing space in v~: Ameharibiwa, ametekwa nyara, ameachwa uchi!

NAH 2:10 Removed trailing space in p~: Mioyo inayeyuka, magoti yanalegea,

NAH 2:10 Removed trailing space in p~: miili inatetemeka,

NAH 2:10 Removed trailing space in p~: na kila uso umebadilika rangi.

NAH 2:11 Removed trailing space in v~: Liko wapi sasa pango la simba,

NAH 2:11 Removed trailing space in p~: mahali ambapo waliwalisha watoto wao,

NAH 2:11 Removed trailing space in p~: ambapo simba dume na simba jike walikwenda

NAH 2:11 Removed trailing space in p~: na ambapo wana simba walikwenda

NAH 2:11 Removed trailing space in p~: bila kuogopa chochote?

NAH 2:12 Removed trailing space in v~: Simba aliua mawindo ya kutosha watoto wake,

NAH 2:12 Removed trailing space in p~: alinyonga mawindo kwa ajili ya mwenzi wake,

NAH 2:12 Removed trailing space in p~: akijaza makao yake kwa alivyoua

NAH 2:12 Removed trailing space in p~: na mapango yake kwa mawindo.

NAH 2:13 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote anatangaza,

NAH 2:13 Removed trailing space in p~: “Mimi ni kinyume na ninyi.

NAH 2:13 Removed trailing space in p~: Magari yenu ya vita nitayateketeza kwa moto,

NAH 2:13 Removed trailing space in p~: na upanga utakula wana simba wako.

NAH 2:13 Removed trailing space in p~: Sitawaachia mawindo juu ya nchi.

NAH 2:13 Removed trailing space in p~: Sauti za wajumbe wako

NAH 2:13 Removed trailing space in p~: hazitasikika tena.”

NAH 3:0 Extra space after chapter number

NAH 3:0 Removed trailing space in c: 3

NAH 3:0 Removed trailing space in s1: Ole Wa Ninawi

NAH 3:1 Removed trailing space in v~: Ole wa mji umwagao damu,

NAH 3:1 Removed trailing space in p~: uliojaa uongo,

NAH 3:1 Removed trailing space in p~: umejaa nyara,

NAH 3:1 Removed trailing space in p~: usiokosa kuwa na vitu vya kuteka nyara.

NAH 3:2 Removed trailing space in v~: Kelele za mijeledi,

NAH 3:2 Removed trailing space in p~: vishindo vya magurudumu,

NAH 3:2 Removed trailing space in p~: farasi waendao mbio

NAH 3:2 Removed trailing space in p~: na mshtuo wa magari ya vita!

NAH 3:3 Removed trailing space in v~: Wapanda farasi wanaenda mbio,

NAH 3:3 Removed trailing space in p~: panga zinameremeta,

NAH 3:3 Removed trailing space in p~: na mikuki inangʼaa!

NAH 3:3 Removed trailing space in p~: Majeruhi wengi,

NAH 3:3 Removed trailing space in p~: malundo ya maiti,

NAH 3:3 Removed trailing space in p~: idadi kubwa ya miili isiyohesabika,

NAH 3:3 Removed trailing space in p~: watu wanajikwaa juu ya mizoga:

NAH 3:4 Removed trailing space in v~: yote haya kwa sababu ya wingi wa tamaa za kahaba,

NAH 3:4 Removed trailing space in p~: anayeshawishi, bibi wa mambo ya uchawi,

NAH 3:4 Removed trailing space in p~: anayewatia utumwani mataifa kwa ukahaba wake

NAH 3:4 Removed trailing space in p~: na pia jamaa za watu kwa ulozi wake.

NAH 3:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote anasema,

NAH 3:5 Removed trailing space in p~: “Mimi ni kinyume na ninyi.

NAH 3:5 Removed trailing space in p~: Nitafunika uso wako kwa gauni lako.

NAH 3:5 Removed trailing space in p~: Nitaonyesha mataifa uchi wako

NAH 3:5 Removed trailing space in p~: na falme aibu yako.

NAH 3:6 Removed trailing space in v~: Nitakutupia uchafu,

NAH 3:6 Removed trailing space in p~: nitakufanyia dharau

NAH 3:6 Removed trailing space in p~: na kukufanya kioja.

NAH 3:7 Removed trailing space in v~: Wote wanaokuona watakukimbia na kusema,

NAH 3:7 Removed trailing space in p~: ‘Ninawi ipo katika kuangamia:

NAH 3:7 Removed trailing space in p~: ni nani atakayeomboleza kwa ajili yake?’

NAH 3:7 Removed trailing space in p~: Nitampata wapi yeyote wa kukufariji?”

NAH 3:8 Removed trailing space in v~: Je, wewe ni bora kuliko No-Amoni,

NAH 3:8 Removed trailing space in p~: uliopo katika Mto Naili,

NAH 3:8 Removed trailing space in p~: uliozungukwa na maji?

NAH 3:8 Removed trailing space in p~: Mto ulikuwa kinga yake,

NAH 3:8 Removed trailing space in p~: nayo maji yalikuwa ukuta wake.

NAH 3:9 Removed trailing space in v~: Kushi\f + \fr 3:9 \ft Kushi ni Ethiopia.\f* na Misri walikuwa nguvu zake zisizo na mpaka;

NAH 3:9 Removed trailing space in p~: Putu na Libia walikuwa miongoni mwa wale walioungana naye.

NAH 3:10 Removed trailing space in v~: Hata hivyo alichukuliwa mateka

NAH 3:10 Removed trailing space in p~: na kwenda uhamishoni.

NAH 3:10 Removed trailing space in p~: Watoto wake wachanga walivunjwa vunjwa vipande

NAH 3:10 Removed trailing space in p~: kwenye mwanzo wa kila barabara.

NAH 3:10 Removed trailing space in p~: Kura zilipigwa kwa watu wake wenye heshima,

NAH 3:10 Removed trailing space in p~: na watu wake wote wakuu walifungwa kwa minyororo.

NAH 3:11 Removed trailing space in v~: Wewe pia utalewa;

NAH 3:11 Removed trailing space in p~: utakwenda mafichoni

NAH 3:11 Removed trailing space in p~: na kutafuta kimbilio kutoka kwa adui.

NAH 3:12 Removed trailing space in v~: Ngome zako zote ni kama mitini

NAH 3:12 Removed trailing space in p~: yenye matunda yake ya kwanza yaliyoiva;

NAH 3:12 Removed trailing space in p~: wakati inapotikiswa,

NAH 3:12 Removed trailing space in p~: tini huanguka kwenye kinywa chake alaye.

NAH 3:13 Removed trailing space in v~: Tazama vikosi vyako:

NAH 3:13 Removed trailing space in p~: wote ni wanawake!

NAH 3:13 Removed trailing space in p~: Malango ya nchi yako

NAH 3:13 Removed trailing space in p~: yamekuwa wazi kwa adui zako;

NAH 3:13 Removed trailing space in p~: moto umeteketeza mapingo yake.

NAH 3:14 Removed trailing space in v~: Teka maji kwa ajili ya kuzingirwa kwako,

NAH 3:14 Removed trailing space in p~: imarisha ulinzi wako,

NAH 3:14 Removed trailing space in p~: Ufanyie udongo wa mfinyanzi kazi,

NAH 3:14 Removed trailing space in p~: yakanyage matope,

NAH 3:14 Removed trailing space in p~: karabati tanuru la kuchomea matofali!

NAH 3:15 Removed trailing space in v~: Huko moto utakuteketeza,

NAH 3:15 Removed trailing space in p~: huko upanga utakuangusha chini

NAH 3:15 Removed trailing space in p~: na kama vile panzi, watakumaliza.

NAH 3:15 Removed trailing space in p~: Ongezeka kama panzi,

NAH 3:15 Removed trailing space in p~: ongezeka kama nzige!

NAH 3:16 Removed trailing space in v~: Umeongeza idadi ya wafanyabiashara wako

NAH 3:16 Removed trailing space in p~: mpaka wamekuwa wengi kuliko nyota za angani,

NAH 3:16 Removed trailing space in p~: lakini kama nzige wanaacha nchi tupu

NAH 3:16 Removed trailing space in p~: kisha huruka na kwenda zake.

NAH 3:17 Removed trailing space in v~: Walinzi wako ni kama nzige,

NAH 3:17 Removed trailing space in p~: maafisa wako ni kama makundi ya nzige

NAH 3:17 Removed trailing space in p~: watuao kwenye kuta wakati wa siku ya baridi:

NAH 3:17 Removed trailing space in p~: lakini wakati jua linapotokea wanaruka kwenda zao,

NAH 3:17 Removed trailing space in p~: na hakuna ajuaye waendako.

NAH 3:18 Removed trailing space in v~: Ee mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wanasinzia;

NAH 3:18 Removed trailing space in p~: wakuu wako wanalala chini mavumbini kupumzika.

NAH 3:18 Removed trailing space in p~: Watu wako wametawanyika juu ya milima

NAH 3:18 Removed trailing space in p~: bila kuwa na mtu yeyote wa kuwakusanya.

NAH 3:19 Removed trailing space in v~: Hakuna kitu kinachoweza kuponya jeraha lako;

NAH 3:19 Removed trailing space in p~: jeraha lako ni la kukuua.

NAH 3:19 Removed trailing space in p~: Kila anayesikia habari zako,

NAH 3:19 Removed trailing space in p~: hupiga makofi kwa kuanguka kwako,

NAH 3:19 Removed trailing space in p~: kwa kuwa ni nani ambaye hajaguswa

NAH 3:19 Removed trailing space in p~: na ukatili wako usio na mwisho?

HAB -1:0 Removed trailing space in id: HAB - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

HAB -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

HAB -1:2 Removed trailing space in h: Habakuki

HAB -1:3 Removed trailing space in toc1: Habakuki

HAB -1:4 Removed trailing space in toc2: Habakuki

HAB -1:5 Removed trailing space in toc3: Hab

HAB -1:6 Removed trailing space in mt1: Habakuki

HAB 1:0 Extra space after chapter number

HAB 1:0 Removed trailing space in c: 1

HAB 1:1 Removed trailing space in v~: Neno alilopokea nabii Habakuki.

HAB 1:1 Removed trailing space in s1: Lalamiko La Habakuki

HAB 1:2 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, hata lini nitakuomba msaada,

HAB 1:2 Removed trailing space in p~: lakini wewe husikilizi?

HAB 1:2 Removed trailing space in p~: Au kukulilia, “Udhalimu!”

HAB 1:2 Removed trailing space in p~: Lakini hutaki kuokoa?

HAB 1:3 Removed trailing space in v~: Kwa nini unanifanya nitazame dhuluma?

HAB 1:3 Removed trailing space in p~: Kwa nini unavumilia makosa?

HAB 1:3 Removed trailing space in p~: Uharibifu na udhalimu viko mbele yangu;

HAB 1:3 Removed trailing space in p~: kuna mabishano na mapambano kwa wingi.

HAB 1:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo sheria imepotoshwa,

HAB 1:4 Removed trailing space in p~: nayo haki haipo kabisa.

HAB 1:4 Removed trailing space in p~: Waovu wanawazunguka wenye haki,

HAB 1:4 Removed trailing space in p~: kwa hiyo haki imepotoshwa.

HAB 1:4 Removed trailing space in s1: Jibu La \nd Bwana\nd*

HAB 1:5 Removed trailing space in v~: “Yatazame mataifa,

HAB 1:5 Removed trailing space in p~: uangalie na ushangae kabisa.

HAB 1:5 Removed trailing space in p~: Kwa sababu katika siku zako nitafanya kitu

HAB 1:5 Removed trailing space in p~: ambacho hungeamini,

HAB 1:5 Removed trailing space in p~: hata kama ungeambiwa.

HAB 1:6 Removed trailing space in v~: Nitawainua Wakaldayo,

HAB 1:6 Removed trailing space in p~: watu hao wakatili na wenye haraka,

HAB 1:6 Removed trailing space in p~: ambao hupita dunia yote

HAB 1:6 Removed trailing space in p~: kuteka mahali pa kuishi pasipo pao wenyewe.

HAB 1:7 Removed trailing space in v~: Ni watu wanoogopwa na wanaotisha;

HAB 1:7 Removed trailing space in p~: wenyewe ndio sheria yao,

HAB 1:7 Removed trailing space in p~: na huinua heshima yao wenyewe.

HAB 1:8 Removed trailing space in v~: Farasi wao ni wepesi kuliko chui,

HAB 1:8 Removed trailing space in p~: na wakali kuliko mbwa mwitu wakati wa machweo.

HAB 1:8 Removed trailing space in p~: Askari wapanda farasi wao huenda mbio;

HAB 1:8 Removed trailing space in p~: waendesha farasi wao wanatoka mbali.

HAB 1:8 Removed trailing space in p~: Wanaruka kasi kama tai ili kurarua;

HAB 1:9 Removed trailing space in v~: wote wanakuja tayari kwa fujo.

HAB 1:9 Removed trailing space in p~: Makundi yao ya wajeuri yanasonga mbele

HAB 1:9 Removed trailing space in p~: kama upepo wa jangwani,

HAB 1:9 Removed trailing space in p~: na kukusanya wafungwa

HAB 1:9 Removed trailing space in p~: kama mchanga.

HAB 1:10 Removed trailing space in v~: Wanawabeza wafalme,

HAB 1:10 Removed trailing space in p~: na kuwadhihaki watawala.

HAB 1:10 Removed trailing space in p~: Wanaicheka miji yote iliyozungushiwa maboma;

HAB 1:10 Removed trailing space in p~: wanafanya malundo ya udongo na kuiteka hiyo miji.

HAB 1:11 Removed trailing space in v~: Kisha wanapita kasi kama upepo na kusonga mbele:

HAB 1:11 Removed trailing space in p~: watu wenye hatia, ambao nguvu zao ndio mungu wao.”

HAB 1:11 Removed trailing space in s1: Lalamiko La Pili La Habakuki

HAB 1:12 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, je, wewe sio wa tangu milele?

HAB 1:12 Removed trailing space in p~: Mungu wangu, Uliye Mtakatifu wangu, hatutakufa.

HAB 1:12 Removed trailing space in p~: Ee \nd Bwana\nd*, umewachagua wao ili watekeleze hukumu;

HAB 1:12 Removed trailing space in p~: Ee Mwamba, umewaamuru watuadhibu.

HAB 1:13 Removed trailing space in v~: Macho yako ni safi mno hata yasiweze kuutazama uovu,

HAB 1:13 Removed trailing space in p~: wala huwezi kuvumilia makosa.

HAB 1:13 Removed trailing space in p~: Kwa nini basi unawavumilia wadanganyifu?

HAB 1:13 Removed trailing space in p~: Kwa nini unakuwa kimya wakati waovu

HAB 1:13 Removed trailing space in p~: wanawameza wale wenye haki

HAB 1:13 Removed trailing space in p~: kuliko wao wenyewe?

HAB 1:14 Removed trailing space in v~: Umewafanya watu kama samaki baharini,

HAB 1:14 Removed trailing space in p~: kama viumbe wa bahari wasio na mtawala.

HAB 1:15 Removed trailing space in v~: Adui mwovu anawavuta wote kwa ndoana,

HAB 1:15 Removed trailing space in p~: anawakamata katika wavu wake,

HAB 1:15 Removed trailing space in p~: anawakusanya katika juya lake;

HAB 1:15 Removed trailing space in p~: kwa hiyo anashangilia na anafurahi.

HAB 1:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo anatoa kafara kwa wavu wake,

HAB 1:16 Removed trailing space in p~: na kuchoma uvumba kwa juya lake,

HAB 1:16 Removed trailing space in p~: kwa kuwa kwa wavu wake anaishi kwa starehe,

HAB 1:16 Removed trailing space in p~: na anafurahia chakula kizuri.

HAB 1:17 Removed trailing space in v~: Je, aendelee kuwatoa walio katika wavu wake,

HAB 1:17 Removed trailing space in p~: akiangamiza mataifa bila huruma?

HAB 2:0 Extra space after chapter number

HAB 2:0 Removed trailing space in c: 2

HAB 2:1 Removed trailing space in v~: Nitasimama katika zamu yangu,

HAB 2:1 Removed trailing space in p~: na kujiweka mwenyewe juu ya maboma;

HAB 2:1 Removed trailing space in p~: nitatazama nione atakaloniambia,

HAB 2:1 Removed trailing space in p~: na ni jibu gani nitakalotoa kuhusu lalamiko hili.

HAB 2:1 Removed trailing space in s1: Jibu La \nd Bwana\nd*

HAB 2:2 Removed trailing space in v~: Kisha \nd Bwana\nd* akajibu:

HAB 2:2 Removed trailing space in p~: “Andika ufunuo huu,

HAB 2:2 Removed trailing space in p~: na ukaufanye wazi juu ya vibao,

HAB 2:2 Removed trailing space in p~: ili mpiga mbiu akimbie nao.

HAB 2:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ufunuo huu unasubiri wakati uliokubalika;

HAB 2:3 Removed trailing space in p~: unazungumzia mambo ya mwisho,

HAB 2:3 Removed trailing space in p~: na kamwe hautakosea.

HAB 2:3 Removed trailing space in p~: Iwapo utakawia, wewe usubiri;

HAB 2:3 Removed trailing space in p~: kwa hakika utakuja na hautachelewa.

HAB 2:4 Removed trailing space in v~: “Tazama, amejaa majivuno;

HAB 2:4 Removed trailing space in p~: anavyovitamani si vya unyofu:

HAB 2:4 Removed trailing space in p~: lakini mwenye haki ataishi kwa imani yake:

HAB 2:5 Removed trailing space in v~: hakika mvinyo humsaliti;

HAB 2:5 Removed trailing space in p~: ni mwenye kiburi na hana amani.

HAB 2:5 Removed trailing space in p~: Kwa sababu ni mlafi kama kuzimu

HAB 2:5 Removed trailing space in p~: na kama kifo kamwe hatosheki;

HAB 2:5 Removed trailing space in p~: anajikusanyia mataifa yote

HAB 2:5 Removed trailing space in p~: na kuchukua watu wote mateka.

HAB 2:6 Removed trailing space in v~: “Je, watu wote hawatamsuta kwa dhihaka na kumbeza, wakisema,

HAB 2:6 Removed trailing space in p~: “ ‘Ole wake yeye akusanyaye bidhaa zilizoibwa

HAB 2:6 Removed trailing space in p~: na kujifanyia utajiri kwa kutoza kwa nguvu!

HAB 2:6 Removed trailing space in p~: Ataendelea hivi kwa muda gani?’

HAB 2:7 Removed trailing space in v~: Je, wadai wako hawatainuka ghafula?

HAB 2:7 Removed trailing space in p~: Je, hawataamka na kukufanya utetemeke?

HAB 2:7 Removed trailing space in p~: Kisha utakuwa mhanga kwao.

HAB 2:8 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa umeteka nyara mataifa mengi,

HAB 2:8 Removed trailing space in p~: watu waliobaki watakuteka nyara wewe.

HAB 2:8 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa umemwaga damu ya mtu;

HAB 2:8 Removed trailing space in p~: umeharibu nchi na miji, na kila mmoja ndani yake.

HAB 2:9 Removed trailing space in v~: “Ole wake yeye ajengaye milki yake kwa mapato ya udhalimu,

HAB 2:9 Removed trailing space in p~: awekaye kiota chake juu,

HAB 2:9 Removed trailing space in p~: ili kukimbia makucha ya uharibifu!

HAB 2:10 Removed trailing space in v~: Umefanya shauri la maangamizi ya watu wengi,

HAB 2:10 Removed trailing space in p~: ukiaibisha nyumba yako mwenyewe, na kupotewa na maisha yako.

HAB 2:11 Removed trailing space in v~: Mawe ya kuta yatapiga kelele,

HAB 2:11 Removed trailing space in p~: na mihimili ya kazi ya mbao itarudisha mwangwi wake.

HAB 2:12 Removed trailing space in v~: “Ole wake yeye ajengaye mji kwa kumwaga

HAB 2:12 Removed trailing space in p~: damu na kuusimamisha mji kwa uhalifu!

HAB 2:13 Removed trailing space in v~: Je, \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote hakuonyesha

HAB 2:13 Removed trailing space in p~: kwamba kazi ya wanadamu ni mafuta tu kwa ajili ya moto,

HAB 2:13 Removed trailing space in p~: na kwamba mataifa

HAB 2:13 Removed trailing space in p~: yanajichosha bure?

HAB 2:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa dunia itajazwa na maarifa ya utukufu wa \nd Bwana\nd*,

HAB 2:14 Removed trailing space in p~: kama maji yaifunikavyo bahari.

HAB 2:15 Removed trailing space in v~: “Ole wake yeye awapaye jirani zake kileo,

HAB 2:15 Removed trailing space in p~: akiimimina kutoka kwenye kiriba

HAB 2:15 Removed trailing space in p~: cha mvinyo mpaka wamelewa,

HAB 2:15 Removed trailing space in p~: ili apate kutazama miili yao iliyo uchi.

HAB 2:16 Removed trailing space in v~: Utajazwa na aibu badala ya utukufu.

HAB 2:16 Removed trailing space in p~: Sasa ni zamu yako! Kunywa na ujifunue!

HAB 2:16 Removed trailing space in p~: Kikombe kutoka kwenye mkono wa kuume wa \nd Bwana\nd* kinakujia,

HAB 2:16 Removed trailing space in p~: na aibu itafunika utukufu wako.

HAB 2:17 Removed trailing space in v~: Ukatili ulioifanyia Lebanoni utakufunika,

HAB 2:17 Removed trailing space in p~: na uharibifu uliowafanyia wanyama utakutisha.

HAB 2:17 Removed trailing space in p~: Kwa sababu umemwaga damu ya mtu;

HAB 2:17 Removed trailing space in p~: umeharibu nchi na miji na kila mmoja aliyeko ndani yake.

HAB 2:18 Removed trailing space in v~: “Sanamu ina thamani gani,

HAB 2:18 Removed trailing space in p~: kwani mwanadamu ndiye alichonga?

HAB 2:18 Removed trailing space in p~: Ama kinyago kinachofundisha uongo?

HAB 2:18 Removed trailing space in p~: Kwa kuwa yeye aliyekitengeneza

HAB 2:18 Removed trailing space in p~: hutegemea kazi ya mikono yake mwenyewe;

HAB 2:18 Removed trailing space in p~: hutengeneza sanamu zisizoweza kuzungumza.

HAB 2:19 Removed trailing space in v~: Ole wake yeye auambiaye mti, ‘Uwe hai!’

HAB 2:19 Removed trailing space in p~: Ama asemaye na jiwe lisilo na uhai, ‘Amka!’

HAB 2:19 Removed trailing space in p~: Je, linaweza kuongoza?

HAB 2:19 Removed trailing space in p~: Limefunikwa kwa dhahabu na fedha;

HAB 2:19 Removed trailing space in p~: hakuna pumzi ndani yake.

HAB 2:20 Removed trailing space in v~: Lakini \nd Bwana\nd* yuko katika Hekalu lake takatifu;

HAB 2:20 Removed trailing space in p~: dunia yote na inyamaze mbele yake.”

HAB 3:0 Extra space after chapter number

HAB 3:0 Removed trailing space in c: 3

HAB 3:0 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Habakuki

HAB 3:1 Removed trailing space in v~: Sala ya nabii Habakuki iliyoimbwa kwa shigionothi.\f + \fr 3:1 \ft Ni kifaa cha uimbaji chenye nyuzi; pia maombi kutumia kifaa hiki.\f*

HAB 3:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd*, nimezisikia sifa zako;

HAB 3:2 Removed trailing space in p~: nami naogopa kwa matendo yako, Ee \nd Bwana\nd*.

HAB 3:2 Removed trailing space in p~: Fufua kazi yako katikati ya miaka,

HAB 3:2 Removed trailing space in p~: katikati ya miaka tangaza habari yako;

HAB 3:2 Removed trailing space in p~: katika ghadhabu kumbuka rehema.

HAB 3:3 Removed trailing space in v~: Mungu alitoka Temani,

HAB 3:3 Removed trailing space in p~: yeye Aliye Mtakatifu kutoka Mlima Parani.

HAB 3:3 Removed trailing space in p~: Utukufu wake ulifunika mbingu,

HAB 3:3 Removed trailing space in p~: na sifa zake zikaifunika dunia.

HAB 3:4 Removed trailing space in v~: Mngʼao wake ulikuwa kama jua lichomozalo;

HAB 3:4 Removed trailing space in p~: mionzi ilimulika kutoka mkononi mwake,

HAB 3:4 Removed trailing space in p~: ambako nguvu zake zilifichwa.

HAB 3:5 Removed trailing space in v~: Tauni ilimtangulia;

HAB 3:5 Removed trailing space in p~: maradhi ya kuambukiza yalifuata nyayo zake.

HAB 3:6 Removed trailing space in v~: Alisimama, akaitikisa dunia;

HAB 3:6 Removed trailing space in p~: alitazama, na kuyafanya mataifa yatetemeke.

HAB 3:6 Removed trailing space in p~: Milima ya zamani iligeuka mavumbi

HAB 3:6 Removed trailing space in p~: na vilima vilivyozeeka vikaanguka.

HAB 3:6 Removed trailing space in p~: Njia zake ni za milele.

HAB 3:7 Removed trailing space in v~: Niliona watu wa Kushani katika dhiki,

HAB 3:7 Removed trailing space in p~: na makazi ya Midiani katika maumivu makali.

HAB 3:8 Removed trailing space in v~: Ee \nd Bwana\nd*, uliikasirikia mito?

HAB 3:8 Removed trailing space in p~: Je, ghadhabu yako ilikuwa dhidi ya vijito?

HAB 3:8 Removed trailing space in p~: Je, ulighadhibikia bahari

HAB 3:8 Removed trailing space in p~: ulipoendesha farasi wako

HAB 3:8 Removed trailing space in p~: na magari yako ya ushindi?

HAB 3:9 Removed trailing space in v~: Uliufunua upinde wako

HAB 3:9 Removed trailing space in p~: na kuita mishale mingi.

HAB 3:9 Removed trailing space in p~: Uliigawa dunia kwa mito;

HAB 3:10 Removed trailing space in v~: milima ilikuona ikatetemeka.

HAB 3:10 Removed trailing space in p~: Mafuriko ya maji yakapita huko;

HAB 3:10 Removed trailing space in p~: vilindi vilinguruma

HAB 3:10 Removed trailing space in p~: na kuinua mawimbi yake juu.

HAB 3:11 Removed trailing space in v~: Jua na mwezi vilisimama kimya mbinguni

HAB 3:11 Removed trailing space in p~: katika mngʼao wa mishale yako inayoruka,

HAB 3:11 Removed trailing space in p~: na katika mngʼao wa mkuki wako umeremetao.

HAB 3:12 Removed trailing space in v~: Kwa ghadhabu ulipita juu ya dunia,

HAB 3:12 Removed trailing space in p~: na katika hasira ulikanyaga mataifa.

HAB 3:13 Removed trailing space in v~: Ulikuja kuwaokoa watu wako,

HAB 3:13 Removed trailing space in p~: kumwokoa uliyemtia mafuta.

HAB 3:13 Removed trailing space in p~: Ulimponda kiongozi wa nchi ya uovu,

HAB 3:13 Removed trailing space in p~: ukamvua toka kichwani hadi wayo.

HAB 3:14 Removed trailing space in v~: Kwa mkuki wake mwenyewe ulitoboa kichwa chake

HAB 3:14 Removed trailing space in p~: wakati mashujaa wake walifurika nje kwa kishindo kututawanya,

HAB 3:14 Removed trailing space in p~: wakifurahi kama walio karibu kutafuna

HAB 3:14 Removed trailing space in p~: wale wanyonge waliokuwa mafichoni.

HAB 3:15 Removed trailing space in v~: Ulikanyaga bahari kwa farasi wako,

HAB 3:15 Removed trailing space in p~: ukisukasuka maji makuu.

HAB 3:16 Removed trailing space in v~: Nilisikia na moyo wangu ukagonga kwa nguvu,

HAB 3:16 Removed trailing space in p~: midomo yangu ikatetemeka kwa hofu niliposikia sauti;

HAB 3:16 Removed trailing space in p~: uchakavu ukanyemelea mifupa yangu,

HAB 3:16 Removed trailing space in p~: na miguu yangu ikatetemeka.

HAB 3:16 Removed trailing space in p~: Hata hivyo nitasubiri kwa uvumilivu siku ya maafa

HAB 3:16 Removed trailing space in p~: kuyajilia mataifa yaliyotuvamia.

HAB 3:17 Removed trailing space in v~: Ingawa mtini hauchanui maua

HAB 3:17 Removed trailing space in p~: na hakuna zabibu juu ya mizabibu,

HAB 3:17 Removed trailing space in p~: ingawaje mzeituni hauzai,

HAB 3:17 Removed trailing space in p~: na hata mashamba hayatoi chakula,

HAB 3:17 Removed trailing space in p~: iwapo hakuna kondoo katika banda,

HAB 3:17 Removed trailing space in p~: wala ngʼombe katika zizi,

HAB 3:18 Removed trailing space in v~: hata hivyo nitashangilia katika \nd Bwana\nd*,

HAB 3:18 Removed trailing space in p~: nitamfurahia Mungu Mwokozi wangu.

HAB 3:19 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mwenyezi ni nguvu yangu;

HAB 3:19 Removed trailing space in p~: huifanya miguu yangu kama miguu ya ayala,

HAB 3:19 Removed trailing space in p~: huniwezesha kupita juu ya vilima.

HAB 3:19 Removed trailing space in p~: Kwa kiongozi wa uimbaji. Kwa vinanda vyangu vya nyuzi.

ZEP -1:0 Removed trailing space in id: ZEP - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

ZEP -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

ZEP -1:2 Removed trailing space in h: Sefania

ZEP -1:3 Removed trailing space in toc1: Sefania

ZEP -1:4 Removed trailing space in toc2: Sefania

ZEP -1:5 Removed trailing space in toc3: Sef

ZEP -1:6 Removed trailing space in mt1: Sefania

ZEP 1:0 Extra space after chapter number

ZEP 1:0 Removed trailing space in c: 1

ZEP 1:1 Removed trailing space in v~: Neno la \nd Bwana\nd* lililomjia Sefania mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia, wakati wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda:

ZEP 1:1 Removed trailing space in s1: Onyo La Maangamizi Yanayokuja

ZEP 1:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema,

ZEP 1:2 Removed trailing space in p~: “Nitafagia kila kitu

ZEP 1:2 Removed trailing space in p~: kutoka kwenye uso wa dunia.”

ZEP 1:3 Removed trailing space in v~: “Nitafagilia mbali watu na wanyama;

ZEP 1:3 Removed trailing space in p~: nitafagilia mbali ndege wa angani

ZEP 1:3 Removed trailing space in p~: na samaki wa baharini.

ZEP 1:3 Removed trailing space in p~: Wafanyao maovu watapata tu kokoto,

ZEP 1:3 Removed trailing space in p~: nami nitamkatilia mbali mwanadamu atoke katika dunia,”

ZEP 1:3 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

ZEP 1:3 Removed trailing space in s1: Dhidi Ya Yuda

ZEP 1:4 Removed trailing space in v~: “Nitaiadhibu Yuda

ZEP 1:4 Removed trailing space in p~: na wote wakaao Yerusalemu.

ZEP 1:4 Removed trailing space in p~: Kutoka mahali hapa nitakatilia mbali

ZEP 1:4 Removed trailing space in p~: kila mabaki ya Baali,

ZEP 1:4 Removed trailing space in p~: majina ya wapagani na makuhani

ZEP 1:4 Removed trailing space in p~: waabuduo sanamu:

ZEP 1:5 Removed trailing space in v~: wale ambao husujudu juu ya mapaa

ZEP 1:5 Removed trailing space in p~: kuabudu jeshi la vitu vya angani,

ZEP 1:5 Removed trailing space in p~: wale ambao husujudu na kuapa kwa \nd Bwana\nd*

ZEP 1:5 Removed trailing space in p~: na ambao pia huapa kwa Malkamu,

ZEP 1:6 Removed trailing space in v~: wale wanaoacha kumfuata \nd Bwana\nd*,

ZEP 1:6 Removed trailing space in p~: wala hawamtafuti \nd Bwana\nd*

ZEP 1:6 Removed trailing space in p~: wala kutaka shauri lake.

ZEP 1:7 Removed trailing space in v~: Nyamazeni mbele za \nd Bwana\nd* Mwenyezi,

ZEP 1:7 Removed trailing space in p~: kwa maana siku ya \nd Bwana\nd* iko karibu.

ZEP 1:7 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* ameandaa dhabihu,

ZEP 1:7 Removed trailing space in p~: amewaweka wakfu wale aliowaalika.

ZEP 1:8 Removed trailing space in v~: Katika siku ya dhabihu ya \nd Bwana\nd*

ZEP 1:8 Removed trailing space in p~: nitawaadhibu wakuu

ZEP 1:8 Removed trailing space in p~: na wana wa mfalme

ZEP 1:8 Removed trailing space in p~: na wale wote wanaovaa

ZEP 1:8 Removed trailing space in p~: nguo za kigeni.

ZEP 1:9 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo nitaadhibu wote ambao

ZEP 1:9 Removed trailing space in p~: hukwepa kukanyaga kizingiti,

ZEP 1:9 Removed trailing space in p~: ambao hujaza hekalu la miungu yao

ZEP 1:9 Removed trailing space in p~: kwa dhuluma na udanganyifu.”

ZEP 1:10 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema, “Katika siku hiyo

ZEP 1:10 Removed trailing space in p~: kilio kitapanda juu kutoka lango la Samaki,

ZEP 1:10 Removed trailing space in p~: maombolezo kutoka mtaa wa pili,

ZEP 1:10 Removed trailing space in p~: na mshindo mkubwa kutoka vilimani.

ZEP 1:11 Removed trailing space in v~: Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la sokoni;

ZEP 1:11 Removed trailing space in p~: wafanyabiashara wenu wote wameangamizwa,

ZEP 1:11 Removed trailing space in p~: wote ambao wanafanya biashara ya fedha

ZEP 1:11 Removed trailing space in p~: wataangamizwa.

ZEP 1:12 Removed trailing space in v~: Wakati huo nitasaka mji wa Yerusalemu kwa taa,

ZEP 1:12 Removed trailing space in p~: na kuwaadhibu wale ambao

ZEP 1:12 Removed trailing space in p~: wanakaa katika hali ya kuridhika,

ZEP 1:12 Removed trailing space in p~: ambao ni kama divai

ZEP 1:12 Removed trailing space in p~: iliyobaki kwenye machicha,

ZEP 1:12 Removed trailing space in p~: ambao hudhani, ‘\nd Bwana\nd* hatafanya lolote,

ZEP 1:12 Removed trailing space in p~: jema au baya.’

ZEP 1:13 Removed trailing space in v~: Utajiri wao utatekwa nyara,

ZEP 1:13 Removed trailing space in p~: nyumba zao zitabomolewa.

ZEP 1:13 Removed trailing space in p~: Watajenga nyumba,

ZEP 1:13 Removed trailing space in p~: lakini hawataishi ndani yake;

ZEP 1:13 Removed trailing space in p~: watapanda mizabibu

ZEP 1:13 Removed trailing space in p~: lakini hawatakunywa divai yake.

ZEP 1:13 Removed trailing space in s1: Siku Kubwa Ya \nd Bwana\nd*

ZEP 1:14 Removed trailing space in v~: “Siku kubwa ya \nd Bwana\nd* iko karibu:

ZEP 1:14 Removed trailing space in p~: iko karibu na inakuja haraka.

ZEP 1:14 Removed trailing space in p~: Sikilizeni! Kilio katika siku ya \nd Bwana\nd*

ZEP 1:14 Removed trailing space in p~: kitakuwa kichungu,

ZEP 1:14 Removed trailing space in p~: hata shujaa atapiga kelele.

ZEP 1:15 Removed trailing space in v~: Siku ile ni siku ya ghadhabu,

ZEP 1:15 Removed trailing space in p~: siku ya fadhaa na dhiki,

ZEP 1:15 Removed trailing space in p~: siku ya uharibifu na ukiwa,

ZEP 1:15 Removed trailing space in p~: siku ya giza na utusitusi,

ZEP 1:15 Removed trailing space in p~: siku ya mawingu na giza nene,

ZEP 1:16 Removed trailing space in v~: siku ya tarumbeta na mlio wa vita

ZEP 1:16 Removed trailing space in p~: dhidi ya miji yenye ngome

ZEP 1:16 Removed trailing space in p~: na dhidi ya minara mirefu.

ZEP 1:17 Removed trailing space in v~: Nitawaletea watu dhiki,

ZEP 1:17 Removed trailing space in p~: nao watatembea kama vipofu,

ZEP 1:17 Removed trailing space in p~: kwa sababu wametenda dhambi

ZEP 1:17 Removed trailing space in p~: dhidi ya \nd Bwana\nd*.

ZEP 1:17 Removed trailing space in p~: Damu yao itamwagwa kama vumbi

ZEP 1:17 Removed trailing space in p~: na matumbo yao kama taka.

ZEP 1:18 Removed trailing space in v~: Fedha yao wala dhahabu yao

ZEP 1:18 Removed trailing space in p~: hazitaweza kuwaokoa

ZEP 1:18 Removed trailing space in p~: katika siku hiyo ya ghadhabu ya \nd Bwana\nd*.

ZEP 1:18 Removed trailing space in p~: Katika moto wa wivu wake

ZEP 1:18 Removed trailing space in p~: dunia yote itateketezwa,

ZEP 1:18 Removed trailing space in p~: kwa maana ataleta mwisho

ZEP 1:18 Removed trailing space in p~: wa wote wanaoishi katika dunia ghafula.”

ZEP 2:0 Extra space after chapter number

ZEP 2:0 Removed trailing space in c: 2

ZEP 2:1 Removed trailing space in v~: Kusanyikeni pamoja, kusanyikeni pamoja,

ZEP 2:1 Removed trailing space in p~: enyi taifa lisilo na aibu,

ZEP 2:2 Removed trailing space in v~: kabla ya wakati ulioamriwa haujafika

ZEP 2:2 Removed trailing space in p~: na siku ile inayopeperusha kama makapi,

ZEP 2:2 Removed trailing space in p~: kabla hasira kali ya \nd Bwana\nd* haijaja juu yenu,

ZEP 2:2 Removed trailing space in p~: kabla siku ya ghadhabu ya \nd Bwana\nd*

ZEP 2:2 Removed trailing space in p~: haijaja juu yenu.

ZEP 2:3 Removed trailing space in v~: Mtafuteni \nd Bwana\nd*, enyi nyote wanyenyekevu wa nchi,

ZEP 2:3 Removed trailing space in p~: ninyi ambao hufanya lile analoamuru.

ZEP 2:3 Removed trailing space in p~: Tafuteni haki, tafuteni unyenyekevu;

ZEP 2:3 Removed trailing space in p~: labda mtahifadhiwa

ZEP 2:3 Removed trailing space in p~: siku ya hasira ya \nd Bwana\nd*.

ZEP 2:3 Removed trailing space in s1: Dhidi Ya Ufilisti

ZEP 2:4 Removed trailing space in v~: Gaza utaachwa

ZEP 2:4 Removed trailing space in p~: na Ashkeloni utaachwa magofu.

ZEP 2:4 Removed trailing space in p~: Wakati wa adhuhuri Ashdodi utaachwa mtupu

ZEP 2:4 Removed trailing space in p~: na Ekroni utangʼolewa.

ZEP 2:5 Removed trailing space in v~: Ole wenu ninyi ambao mnaishi kando ya bahari,

ZEP 2:5 Removed trailing space in p~: enyi Wakerethi;

ZEP 2:5 Removed trailing space in p~: neno la \nd Bwana\nd* liko dhidi yenu,

ZEP 2:5 Removed trailing space in p~: ee Kanaani, nchi ya Wafilisti.

ZEP 2:5 Removed trailing space in p~: “Mimi nitawaangamiza,

ZEP 2:5 Removed trailing space in p~: na hakuna atakayebaki.”

ZEP 2:6 Removed trailing space in v~: Nchi kando ya bahari, mahali ambapo wanaishi Wakerethi,

ZEP 2:6 Removed trailing space in p~: patakuwa mahali pa wachungaji

ZEP 2:6 Removed trailing space in p~: na mazizi ya kondoo.

ZEP 2:7 Removed trailing space in v~: Itakuwa mali ya mabaki ya nyumba ya Yuda,

ZEP 2:7 Removed trailing space in p~: hapo watapata malisho.

ZEP 2:7 Removed trailing space in p~: Wakati wa jioni watajilaza chini

ZEP 2:7 Removed trailing space in p~: katika nyumba za Ashkeloni.

ZEP 2:7 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* Mungu wao atawatunza,

ZEP 2:7 Removed trailing space in p~: naye atawarudishia wafungwa wao.

ZEP 2:7 Removed trailing space in s1: Dhidi Ya Moabu Na Amoni

ZEP 2:8 Removed trailing space in v~: “Nimeyasikia matukano ya Moabu

ZEP 2:8 Removed trailing space in p~: nazo dhihaka za Waamoni,

ZEP 2:8 Removed trailing space in p~: ambao waliwatukana watu wangu

ZEP 2:8 Removed trailing space in p~: na kutoa vitisho dhidi ya nchi yao.

ZEP 2:9 Removed trailing space in v~: Hakika, kama niishivyo,”

ZEP 2:9 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote,

ZEP 2:9 Removed trailing space in p~: Mungu wa Israeli,

ZEP 2:9 Removed trailing space in p~: “hakika Moabu itakuwa kama Sodoma,

ZEP 2:9 Removed trailing space in p~: Waamoni kama Gomora:

ZEP 2:9 Removed trailing space in p~: mahali pa magugu na mashimo ya chumvi,

ZEP 2:9 Removed trailing space in p~: nchi ya ukiwa milele.

ZEP 2:9 Removed trailing space in p~: Mabaki ya watu wangu watawateka nyara;

ZEP 2:9 Removed trailing space in p~: mabaki ya taifa langu watarithi nchi yao.”

ZEP 2:10 Removed trailing space in v~: Hiki ndicho watarudishiwa kwa ajili ya kiburi chao,

ZEP 2:10 Removed trailing space in p~: kwa kutukana na kudhihaki

ZEP 2:10 Removed trailing space in p~: watu wa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

ZEP 2:11 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* atakuwa wa kuhofisha kwao

ZEP 2:11 Removed trailing space in p~: atakapoangamiza miungu yote ya nchi.

ZEP 2:11 Removed trailing space in p~: Mataifa katika kila pwani yatamwabudu,

ZEP 2:11 Removed trailing space in p~: kila moja katika nchi yake.

ZEP 2:11 Removed trailing space in s1: Dhidi Ya Kushi

ZEP 2:12 Removed trailing space in v~: “Ninyi pia, ee Wakushi,

ZEP 2:12 Removed trailing space in p~: mtauawa kwa upanga wangu.”

ZEP 2:12 Removed trailing space in s1: Dhidi Ya Ashuru

ZEP 2:13 Removed trailing space in v~: Mungu atanyoosha mkono wake dhidi ya kaskazini

ZEP 2:13 Removed trailing space in p~: na kuangamiza Waashuru,

ZEP 2:13 Removed trailing space in p~: akiiacha Ninawi ukiwa

ZEP 2:13 Removed trailing space in p~: na pakame kama jangwa.

ZEP 2:14 Removed trailing space in v~: Makundi ya kondoo na ngʼombe yatajilaza pale,

ZEP 2:14 Removed trailing space in p~: viumbe vya kila aina.

ZEP 2:14 Removed trailing space in p~: Bundi wa jangwani na bundi waliao kwa sauti nyembamba

ZEP 2:14 Removed trailing space in p~: wataishi juu ya nguzo zake.

ZEP 2:14 Removed trailing space in p~: Mwangwi wa kuita kwao utapita madirishani,

ZEP 2:14 Removed trailing space in p~: kifusi kitakuwa milangoni,

ZEP 2:14 Removed trailing space in p~: boriti za mierezi zitaachwa wazi.

ZEP 2:15 Removed trailing space in v~: Huu ndio mji uliotukuka na kuishi kwa furaha

ZEP 2:15 Removed trailing space in p~: wakijisikia salama.

ZEP 2:15 Removed trailing space in p~: Ulisema moyoni mwako,

ZEP 2:15 Removed trailing space in p~: “Mimi ndimi, na wala hapana mwingine ila mimi.”

ZEP 2:15 Removed trailing space in p~: Jinsi gani umekuwa gofu,

ZEP 2:15 Removed trailing space in p~: mahali pa kulala wanyama pori!

ZEP 2:15 Removed trailing space in p~: Wote wanaopita kando yake wanauzomea

ZEP 2:15 Removed trailing space in p~: na kutikisa mkono kwa dharau.

ZEP 3:0 Extra space after chapter number

ZEP 3:0 Removed trailing space in c: 3

ZEP 3:0 Removed trailing space in s1: Hatima Ya Yerusalemu

ZEP 3:1 Removed trailing space in v~: Ole mji wa wadhalimu,

ZEP 3:1 Removed trailing space in p~: waasi na waliotiwa unajisi!

ZEP 3:2 Removed trailing space in v~: Hautii mtu yeyote,

ZEP 3:2 Removed trailing space in p~: haukubali maonyo.

ZEP 3:2 Removed trailing space in p~: Haumtumaini \nd Bwana\nd*,

ZEP 3:2 Removed trailing space in p~: haukaribii karibu na Mungu wake.

ZEP 3:3 Removed trailing space in v~: Maafisa wake ni simba wangurumao,

ZEP 3:3 Removed trailing space in p~: watawala wake ni mbwa mwitu wa jioni,

ZEP 3:3 Removed trailing space in p~: ambao hawabakizi chochote

ZEP 3:3 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya asubuhi.

ZEP 3:4 Removed trailing space in v~: Manabii wake ni wenye kiburi,

ZEP 3:4 Removed trailing space in p~: ni wadanganyifu.

ZEP 3:4 Removed trailing space in p~: Makuhani wake hunajisi patakatifu

ZEP 3:4 Removed trailing space in p~: na kuihalifu sheria.

ZEP 3:5 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* aliye ndani yake ni mwenye haki,

ZEP 3:5 Removed trailing space in p~: hafanyi kosa.

ZEP 3:5 Removed trailing space in p~: Asubuhi kwa asubuhi hutoa haki yake,

ZEP 3:5 Removed trailing space in p~: kila kukipambazuka huitimiza,

ZEP 3:5 Removed trailing space in p~: bali mtu dhalimu hana aibu.

ZEP 3:6 Removed trailing space in v~: “Nimeyafutilia mbali mataifa,

ZEP 3:6 Removed trailing space in p~: ngome zao zimebomolewa.

ZEP 3:6 Removed trailing space in p~: Nimeziacha barabara ukiwa,

ZEP 3:6 Removed trailing space in p~: hakuna anayepita humo.

ZEP 3:6 Removed trailing space in p~: Miji yao imeharibiwa;

ZEP 3:6 Removed trailing space in p~: hakuna mmoja atakayeachwa:

ZEP 3:6 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja.

ZEP 3:7 Removed trailing space in v~: Niliuambia huo mji,

ZEP 3:7 Removed trailing space in p~: ‘Hakika utaniogopa na kukubali maonyo!’

ZEP 3:7 Removed trailing space in p~: Ndipo makao yake hayatafutiliwa mbali,

ZEP 3:7 Removed trailing space in p~: wala adhabu zangu zote hazitakuja juu yake.

ZEP 3:7 Removed trailing space in p~: Lakini walikuwa bado na shauku

ZEP 3:7 Removed trailing space in p~: kutenda kwa upotovu katika yote waliyofanya.”

ZEP 3:8 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* anasema,

ZEP 3:8 Removed trailing space in p~: “Kwa hiyo ningojee mimi,

ZEP 3:8 Removed trailing space in p~: siku nitakayosimama kuteka nyara.

ZEP 3:8 Removed trailing space in p~: Nimeamua kukusanya mataifa,

ZEP 3:8 Removed trailing space in p~: kukusanya falme

ZEP 3:8 Removed trailing space in p~: na kumimina ghadhabu yangu juu yao,

ZEP 3:8 Removed trailing space in p~: hasira yangu kali yote.

ZEP 3:8 Removed trailing space in p~: Dunia yote itateketezwa

ZEP 3:8 Removed trailing space in p~: kwa moto wa wivu wa hasira yangu.

ZEP 3:9 Removed trailing space in v~: “Ndipo nitatakasa midomo ya mataifa,

ZEP 3:9 Removed trailing space in p~: kwamba wote waweze kuliitia jina la \nd Bwana\nd*

ZEP 3:9 Removed trailing space in p~: na kumtumikia kwa pamoja.

ZEP 3:10 Removed trailing space in v~: Kutoka ngʼambo ya mito ya Kushi

ZEP 3:10 Removed trailing space in p~: watu wangu wanaoniabudu,

ZEP 3:10 Removed trailing space in p~: watu wangu waliotawanyika,

ZEP 3:10 Removed trailing space in p~: wataniletea sadaka.

ZEP 3:11 Removed trailing space in v~: Siku hiyo hutaaibishwa

ZEP 3:11 Removed trailing space in p~: kwa ajili ya makosa yote ulionitendea,

ZEP 3:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu nitawaondoa kutoka mji huu

ZEP 3:11 Removed trailing space in p~: wale wote wanaoshangilia

ZEP 3:11 Removed trailing space in p~: katika kiburi chao.

ZEP 3:11 Removed trailing space in p~: Kamwe hutajivuna tena

ZEP 3:11 Removed trailing space in p~: katika kilima changu kitakatifu.

ZEP 3:12 Removed trailing space in v~: Lakini nitakuachia ndani yako

ZEP 3:12 Removed trailing space in p~: wapole na wanyenyekevu,

ZEP 3:12 Removed trailing space in p~: ambao wanatumaini jina la \nd Bwana\nd*.

ZEP 3:13 Removed trailing space in v~: Mabaki ya Israeli hayatafanya kosa;

ZEP 3:13 Removed trailing space in p~: hawatasema uongo,

ZEP 3:13 Removed trailing space in p~: wala udanganyifu hautakuwa

ZEP 3:13 Removed trailing space in p~: katika vinywa vyao.

ZEP 3:13 Removed trailing space in p~: Watakula na kulala

ZEP 3:13 Removed trailing space in p~: wala hakuna yeyote

ZEP 3:13 Removed trailing space in p~: atakayewaogopesha.”

ZEP 3:14 Removed trailing space in v~: Imba, ee Binti Sayuni;

ZEP 3:14 Removed trailing space in p~: paza sauti, ee Israeli!

ZEP 3:14 Removed trailing space in p~: Furahi na kushangilia kwa moyo wako wote,

ZEP 3:14 Removed trailing space in p~: ee Binti Yerusalemu!

ZEP 3:15 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* amekuondolea adhabu yako,

ZEP 3:15 Removed trailing space in p~: amewarudisha nyuma adui zako.

ZEP 3:15 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd*, Mfalme wa Israeli, yu pamoja nawe;

ZEP 3:15 Removed trailing space in p~: kamwe hutaogopa tena madhara yoyote.

ZEP 3:16 Removed trailing space in v~: Katika siku hiyo watauambia Yerusalemu,

ZEP 3:16 Removed trailing space in p~: “Usiogope, ee Sayuni;

ZEP 3:16 Removed trailing space in p~: usiiache mikono yako ilegee.

ZEP 3:17 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* Mungu wako yu pamoja nawe,

ZEP 3:17 Removed trailing space in p~: yeye ni mwenye nguvu kuokoa.

ZEP 3:17 Removed trailing space in p~: Atakufurahia kwa furaha kubwa,

ZEP 3:17 Removed trailing space in p~: atakutuliza kwa pendo lake,

ZEP 3:17 Removed trailing space in p~: atakufurahia kwa kuimba.”

ZEP 3:18 Removed trailing space in v~: “Huzuni katika sikukuu zilizoamriwa

ZEP 3:18 Removed trailing space in p~: nitaziondoa kwenu;

ZEP 3:18 Removed trailing space in p~: hizo ni mzigo na fedheha kwenu.

ZEP 3:19 Removed trailing space in v~: Wakati huo nitawashughulikia

ZEP 3:19 Removed trailing space in p~: wote waliokudhulumu;

ZEP 3:19 Removed trailing space in p~: nitaokoa vilema na kukusanya

ZEP 3:19 Removed trailing space in p~: wale ambao wametawanywa.

ZEP 3:19 Removed trailing space in p~: Nitawapa sifa na heshima

ZEP 3:19 Removed trailing space in p~: katika kila nchi ambayo waliaibishwa.

ZEP 3:20 Removed trailing space in v~: Wakati huo nitawakusanya;

ZEP 3:20 Removed trailing space in p~: wakati huo nitawaleta nyumbani.

ZEP 3:20 Removed trailing space in p~: Nitawapa sifa na heshima

ZEP 3:20 Removed trailing space in p~: miongoni mwa mataifa yote ya dunia

ZEP 3:20 Removed trailing space in p~: wakati nitakapowarudishia mateka yenu

ZEP 3:20 Removed trailing space in p~: mbele ya macho yenu hasa,”

ZEP 3:20 Removed trailing space in p~: asema \nd Bwana\nd*.

HAG -1:0 Removed trailing space in id: HAG - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

HAG -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

HAG -1:2 Removed trailing space in h: Hagai

HAG -1:3 Removed trailing space in toc1: Hagai

HAG -1:4 Removed trailing space in toc2: Hagai

HAG -1:5 Removed trailing space in toc3: Hag

HAG -1:6 Removed trailing space in mt1: Hagai

HAG 1:0 Extra space after chapter number

HAG 1:0 Removed trailing space in c: 1

HAG 1:0 Removed trailing space in s1: Wito Wa Kuijenga Nyumba Ya \nd Bwana\nd*

HAG 1:1 Removed trailing space in v~: Katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario wa Uajemi, katika siku ya kwanza ya mwezi wa sita, neno la \nd Bwana\nd* lilikuja kupitia kwa nabii Hagai kwenda kwa Zerubabeli mwana wa Shealtieli, mtawala wa Yuda na kwa Yoshua\f + \fr 1:1 \ft Yoshua kwa Kiebrania ni Yeshua, maana yake ni Yehova ni wokovu.\f* mwana wa kuhani mkuu Yehosadaki:

HAG 1:2 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo asemavyo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: “Hawa watu husema, ‘Wakati haujawadia wa kujenga nyumba ya \nd Bwana\nd*.’ ”

HAG 1:3 Removed trailing space in v~: Kisha neno la \nd Bwana\nd* likaja kupitia kwa nabii Hagai:

HAG 1:4 Removed trailing space in v~: “Je, ni wakati wenu ninyi wa kuishi katika nyumba zenu zilizojengwa vizuri, wakati hii nyumba ikibaki, gofu?”

HAG 1:5 Removed trailing space in v~: Sasa hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: “Zitafakarini vyema njia zenu.

HAG 1:6 Removed trailing space in v~: Mmepanda vingi, lakini mmevuna haba. Mnakula lakini hamshibi, mnakunywa, lakini hamtosheki. Mnavaa nguo, lakini hamsikii joto. Mnapata mishahara, lakini inatoweka kama imewekwa kwenye mfuko uliotobokatoboka.”

HAG 1:7 Removed trailing space in v~: Hili ndilo asemalo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote: “Zitafakarini vyema njia zenu.

HAG 1:8 Removed trailing space in v~: Pandeni milimani mkalete miti na kujenga nyumba, ili nipate kuifurahia, na nitukuzwe,” asema \nd Bwana\nd*.

HAG 1:9 Removed trailing space in v~: “Mlitarajia mengi, kumbe, yametokea kidogo. Ulichokileta nyumbani nilikipeperusha. Kwa nini?” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote. “Ni kwa sababu ya nyumba yangu, inayobaki katika hali ya magofu, wakati kila mmoja wenu anajishughulisha na nyumba yake mwenyewe.

HAG 1:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kwa sababu yenu mbingu zimezuia umande wake na ardhi mavuno yake.

HAG 1:11 Removed trailing space in v~: Niliita ukame mashambani na milimani, kwenye nafaka, mvinyo mpya, mafuta pamoja na chochote kinachozalishwa na ardhi, juu ya watu na ngʼombe, pamoja na kazi za mikono yenu.”

HAG 1:12 Removed trailing space in v~: Kisha Zerubabeli mwana wa Shealtieli, Yoshua kuhani mkuu mwana wa Yehosadaki, pamoja na mabaki yote ya watu wakaitii sauti ya \nd Bwana\nd* Mungu wao pamoja na ujumbe wa nabii Hagai, kwa sababu alikuwa ametumwa na \nd Bwana\nd* Mungu wao. Watu walimwogopa \nd Bwana\nd*.

HAG 1:13 Removed trailing space in v~: Kisha Hagai, mjumbe wa \nd Bwana\nd*, akawapa watu ujumbe huu wa \nd Bwana\nd*: “Mimi niko pamoja nanyi,” asema \nd Bwana\nd*.

HAG 1:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo \nd Bwana\nd* akachochea roho ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, mtawala wa Yuda, na roho ya kuhani mkuu Yoshua mwana wa Yehosadaki, pamoja na roho za mabaki yote ya watu. Walikuja wakaanza kufanya kazi katika nyumba ya \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, Mungu wao,

HAG 1:15 Removed trailing space in v~: katika siku ya ishirini na nne mwezi wa sita, katika mwaka wa pili wa utawala wa Mfalme Dario.

MAL -1:0 Removed trailing space in id: MAL - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

MAL -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

MAL -1:2 Removed trailing space in h: Malaki

MAL -1:3 Removed trailing space in toc1: Malaki

MAL -1:4 Removed trailing space in toc2: Malaki

MAL -1:5 Removed trailing space in toc3: Mal

MAL -1:6 Removed trailing space in mt1: Malaki

MAL 1:0 Extra space after chapter number

MAL 1:0 Removed trailing space in c: 1

MAL 1:1 Removed trailing space in v~: Ujumbe: Neno la \nd Bwana\nd* kwa Israeli kupitia kwa Malaki.

MAL 1:1 Removed trailing space in s1: Yakobo Alipendwa, Esau Alichukiwa

MAL 1:2 Removed trailing space in v~: \nd Bwana\nd* asema, “Nimewapenda ninyi.”

MAL 1:2 Removed trailing space in p~: “Lakini ninyi mnauliza, ‘Wewe umetupendaje?’ ”

MAL 1:2 Removed trailing space in p~: \nd Bwana\nd* asema, “Je, Esau hakuwa ndugu yake Yakobo? Hata hivyo nimempenda Yakobo,

MAL 1:3 Removed trailing space in v~: lakini nikamchukia Esau, nami nimeifanya milima yake kuwa ukiwa, na urithi wake nimewapa mbweha wa jangwani.”

MAL 1:4 Removed trailing space in v~: Edomu anaweza kusema, “Ingawa tumepondapondwa, tutajenga upya magofu.”

MAL 1:4 Removed trailing space in p~: Lakini hili ndilo \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote asemalo: “Wanaweza kujenga, lakini nitabomoa. Wataitwa Nchi Ovu, watu ambao siku zote wapo chini ya ghadhabu ya \nd Bwana\nd*.

MAL 1:5 Removed trailing space in v~: Mtayaona kwa macho yenu wenyewe na kusema, ‘\nd Bwana\nd* ni mkuu, hata nje ya mipaka ya Israeli!’

MAL 1:5 Removed trailing space in s1: Dhabihu Zilizo Na Mawaa

MAL 1:6 Removed trailing space in v~: “Mwana humheshimu baba yake, naye mtumishi humheshimu bwana wake. Kama mimi ni baba, iko wapi heshima ninayostahili? Kama mimi ni bwana, iko wapi heshima ninayostahili?” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote. “Ni ninyi, enyi makuhani, mnaolidharau Jina langu.

MAL 1:6 Removed trailing space in p~: “Lakini mnauliza, ‘Tumelidharau Jina lako kwa namna gani?’

MAL 1:7 Removed trailing space in v~: “Mnatoa sadaka chakula kilichotiwa unajisi juu ya madhabahu yangu.

MAL 1:7 Removed trailing space in p~: “Lakini ninyi mnauliza, ‘Tumekutia unajisi kwa namna gani?’

MAL 1:7 Removed trailing space in p~: “Kwa kusema kuwa meza ya \nd Bwana\nd* ni ya kudharauliwa.

MAL 1:8 Removed trailing space in v~: Wakati mletapo dhabihu za wanyama walio vipofu, je, hilo si kosa? Mnapoleta dhabihu zilizo vilema au wanyama wagonjwa, je, hilo si kosa? Jaribuni kuvitoa kwa mtawala wenu! Je, angefurahishwa nanyi? Je, atawakubalia?” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 1:9 Removed trailing space in v~: “Basi mwombeni Mungu awe na neema kwetu. Je, kwa sadaka kama hizo kutoka mikononi mwenu, atawapokea?” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 1:10 Removed trailing space in v~: “Laiti mmoja wenu angalifunga milango ya Hekalu, ili msije mkawasha moto usiokuwa na faida juu ya madhabahu yangu! Sina furaha nanyi,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, “nami sitaikubali sadaka toka mikononi mwenu.

MAL 1:11 Removed trailing space in v~: Jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa, kuanzia mawio ya jua hata machweo yake. Kila mahali uvumba na sadaka safi zitaletwa kwa Jina langu, kwa sababu Jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 1:12 Removed trailing space in v~: “Lakini mnalinajisi Jina langu kwa kusema kuhusu meza ya Bwana, ‘Imetiwa unajisi pamoja na chakula chake. Ni ya kudharauliwa.’

MAL 1:13 Removed trailing space in v~: Nanyi mnasema, ‘Mzigo gani huu!’ Nanyi mnaidharau kwa kiburi,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 1:13 Removed trailing space in p~: “Wakati mnapowaleta wanyama mliopokonya kwa nguvu, walio vilema au walio wagonjwa na kuwatoa kama dhabihu, je, niwakubali kutoka mikononi mwenu?” asema \nd Bwana\nd*.

MAL 1:14 Removed trailing space in v~: “Amelaaniwa yeye adanganyaye, aliye na mnyama wa kiume anayekubalika katika kundi lake na kuweka nadhiri ya kumtoa, lakini akatoa dhabihu ya mnyama aliye na dosari kwa \nd Bwana\nd*. Kwa kuwa mimi ni Mfalme Mkuu, nalo Jina langu linapaswa kuogopwa miongoni mwa mataifa,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 2:0 Extra space after chapter number

MAL 2:0 Removed trailing space in c: 2

MAL 2:0 Removed trailing space in s1: Onyo Kwa Makuhani

MAL 2:1 Removed trailing space in v~: “Sasa onyo hili ni kwa ajili yenu, enyi makuhani.

MAL 2:2 Removed trailing space in v~: Kama hamtasikiliza, na kama hamtaki kuielekeza mioyo yenu kuheshimu Jina langu, nitatuma laana juu yenu, nami nitalaani baraka zenu. Naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamkuielekeza mioyo yenu kuniheshimu mimi,” Asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 2:3 Removed trailing space in v~: “Kwa sababu yenu nitawakatilia mbali wazao wenu. Nitazipaka nyuso zenu mavi, mavi ya dhabihu zenu. Nanyi mtafukuzwa pamoja nazo mtoke mbele zangu.

MAL 2:4 Removed trailing space in v~: Nanyi mtajua kuwa nimewapelekea onyo hili ili kwamba Agano langu na Lawi lipate kuendelea,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 2:5 Removed trailing space in v~: “Agano langu lilikuwa pamoja naye, agano la uhai na amani, nami nilimpa yote, ili aniche na kuniheshimu, naye akaniheshimu na kusimama akilicha Jina langu.

MAL 2:6 Removed trailing space in v~: Fundisho la kweli lilikuwa kinywani mwake, wala hakuna uongo wowote uliopatikana katika midomo yake. Alitembea nami katika amani na unyofu, naye akawageuza wengi kutoka dhambini.

MAL 2:7 Removed trailing space in v~: “Kwa maana yapasa midomo ya kuhani kuhifadhi maarifa. Tena kutoka kinywani mwake watu wangepaswa kutafuta mafundisho, kwa sababu yeye ni mjumbe wa \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 2:8 Removed trailing space in v~: Lakini mmegeuka mkaiacha njia, na kwa mafundisho yenu mmesababisha wengi kujikwaa. Mmevunja agano na Lawi,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 2:9 Removed trailing space in v~: “Kwa hiyo nimewasababisha ninyi kudharauliwa na kufedheheshwa mbele ya watu wote, kwa sababu hamkufuata njia zangu, bali mmeonyesha upendeleo katika mambo ya sheria.”

MAL 2:9 Removed trailing space in s1: Yuda Si Mwaminifu

MAL 2:10 Removed trailing space in v~: Je, sote hatuna Baba mmoja? Hatukuumbwa na Mungu mmoja? Kwa nini basi tunalinajisi Agano la baba zetu kwa kukosa uaminifu kila mmoja kwa mwenzake?

MAL 2:11 Removed trailing space in v~: Yuda amevunja uaminifu. Jambo la kuchukiza limetendeka katika Israeli na katika Yerusalemu: Yuda amepanajisi mahali patakatifu apendapo \nd Bwana\nd*, kwa kuoa binti wa mungu mgeni.

MAL 2:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwa mtu yeyote atendaye jambo hili, \nd Bwana\nd* na amkatilie mbali kutoka hema za Yakobo, hata kama huwa anamletea \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote sadaka.

MAL 2:13 Removed trailing space in v~: Kitu kingine mnachokifanya: Mnaifurikisha madhabahu ya \nd Bwana\nd* kwa machozi. Mnalia na kuugua kwa sababu yeye haziangalii tena sadaka zenu wala hazikubali kwa furaha kutoka mikononi mwenu.

MAL 2:14 Removed trailing space in v~: Mnauliza, “Kwa nini?” Ni kwa sababu \nd Bwana\nd* ni shahidi kati yako na mke wa ujana wako, kwa sababu umevunja uaminifu naye, ingawa yeye ni mwenzako, mke wa agano lako la ndoa.

MAL 2:15 Removed trailing space in v~: Je, \nd Bwana\nd* hakuwafanya wao kuwa mmoja? Katika mwili na katika roho wao ni wa Mungu. Kwa nini wawe mmoja? Kwa sababu Mungu alikuwa akitafuta mzao mwenye kumcha Mungu. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, mtu asivunje uaminifu kwa mke wa ujana wake.

MAL 2:16 Removed trailing space in v~: “Ninachukia kuachana,” asema \nd Bwana\nd*, Mungu wa Israeli, “pia nachukia mtu anayejivika jeuri kama vazi,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 2:16 Removed trailing space in p~: Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, wala msije mkavunja uaminifu.

MAL 2:16 Removed trailing space in s1: Siku Ya Hukumu

MAL 2:17 Removed trailing space in v~: Mmemchosha \nd Bwana\nd* kwa maneno yenu.

MAL 2:17 Removed trailing space in p~: Nanyi mnauliza, “Tumemchosha kwa namna gani?”

MAL 2:17 Removed trailing space in p~: Mmemchosha kwa kusema, “Wote watendao mabaya ni wema machoni pa \nd Bwana\nd*, naye anapendezwa nao” au “Mungu wa haki yuko wapi?”

MAL 3:0 Extra space after chapter number

MAL 3:0 Removed trailing space in c: 3

MAL 3:1 Removed trailing space in v~: “Angalieni, nitamtuma mjumbe wangu, atakayeiandaa njia mbele yangu. Ndipo ghafula Bwana mnayemtafuta atakuja hekaluni mwake. Mjumbe wa Agano, ambaye mnamwonea shauku, atakuja,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 3:2 Removed trailing space in v~: Lakini ni nani atakayeweza kustahimili hiyo siku ya kuja kwake? Ni nani awezaye kusimama atakapotokea? Kwa kuwa atakuwa kama moto wa mfua fedha au kama sabuni ya afuaye nguo.

MAL 3:3 Removed trailing space in v~: Ataketi kama mfuaji na asafishaye fedha. Atawatakasa Walawi, naye atawasafisha kama dhahabu na fedha. Kisha \nd Bwana\nd* atakuwa na watu watakaoleta sadaka katika haki,

MAL 3:4 Removed trailing space in v~: nazo sadaka za Yuda na Yerusalemu zitakubalika kwa \nd Bwana\nd*, kama katika siku zilizopita, kama katika miaka ya zamani.

MAL 3:5 Removed trailing space in v~: “Basi nitakuja karibu nanyi ili kuhukumu. Nami nitakuwa mwepesi kushuhudia dhidi ya wachawi, wazinzi, waapao kwa uongo, wanaopunja vibarua malipo yao, wanaowaonea wajane na yatima, na wanaowanyima wageni haki, lakini hawaniogopi mimi,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 3:5 Removed trailing space in s1: Kumwibia Mungu

MAL 3:6 Removed trailing space in v~: “Mimi \nd Bwana\nd* sibadiliki. Kwa hiyo ninyi, enyi uzao wa Yakobo, hamjaangamizwa.

MAL 3:7 Removed trailing space in v~: Tangu wakati wa baba zenu mmegeukia mbali na amri zangu nanyi hamkuzishika. Nirudieni mimi, nami nitawarudia ninyi,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 3:7 Removed trailing space in p~: “Lakini mnauliza, ‘Tutarudi kwa namna gani?’

MAL 3:8 Removed trailing space in v~: “Je, mwanadamu atamwibia Mungu? Hata hivyo mnaniibia mimi.

MAL 3:8 Removed trailing space in p~: “Lakini mnauliza, ‘Tunakuibia kwa namna gani?’

MAL 3:8 Removed trailing space in p~: “Mnaniibia zaka na dhabihu.

MAL 3:9 Removed trailing space in v~: Mko chini ya laana, ninyi taifa lote, kwa sababu mnaniibia mimi.

MAL 3:10 Removed trailing space in v~: Leteni zaka kamili ghalani, ili kuwe na chakula katika nyumba yangu. Nijaribuni katika hili,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, “nanyi mwone kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni na kuwamwagieni baraka nyingi mpaka mkose nafasi ya kutosha.

MAL 3:11 Removed trailing space in v~: Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu, wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 3:12 Removed trailing space in v~: “Ndipo mataifa yote yatawaita mliobarikiwa, kwa maana nchi yenu itakuwa ya kupendeza sana,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 3:13 Removed trailing space in v~: “Mmesema vitu vigumu dhidi yangu,” asema \nd Bwana\nd*.

MAL 3:13 Removed trailing space in p~: “Hata hivyo mnauliza, ‘Tumesema nini dhidi yako?’

MAL 3:14 Removed trailing space in v~: “Mmesema, ‘Ni bure kumtumikia Mungu. Tumepata faida gani kwa kushika maagizo yake na kwenda kama waombolezaji mbele za \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote?

MAL 3:15 Removed trailing space in v~: Lakini sasa wenye kiburi wanabarikiwa. Hakika watenda mabaya wanastawi, pia hata wale wanaoshindana na Mungu ndio wanaosalimika.’ ”

MAL 3:16 Removed trailing space in v~: Ndipo wale waliomcha \nd Bwana\nd* wakasemezana wao kwa wao, naye \nd Bwana\nd* akasikiliza na akasikia. Kitabu cha kumbukumbu kikaandikwa mbele yake kuhusu wale ambao walimcha \nd Bwana\nd* na kuliheshimu jina lake.

MAL 3:17 Removed trailing space in v~: “Nao watakuwa watu wangu,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote, “katika siku ile nitakapowafanya watu kuwa hazina yangu. Nitawahurumia, kama vile kwa huruma mtu amhurumiavyo mwanawe anayemtumikia.

MAL 3:18 Removed trailing space in v~: Kwa mara nyingine tena utaona tofauti kati ya wenye haki na waovu, kati ya wale wanaomtumikia Mungu na wale wasiomtumikia.

MAL 4:0 Extra space after chapter number

MAL 4:0 Removed trailing space in c: 4

MAL 4:0 Removed trailing space in s1: Siku Ya \nd Bwana\nd*

MAL 4:1 Removed trailing space in v~: “Hakika siku inakuja, itawaka kama tanuru. Wote wenye kiburi na kila mtenda mabaya watakuwa mabua makavu, na siku ile inayokuja itawawasha moto,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote. “Hakuna mzizi wala tawi litakalosalia kwao.

MAL 4:2 Removed trailing space in v~: Bali kwenu ninyi mnaoliheshimu Jina langu, jua la haki litawazukia, lenye kuponya katika mabawa yake. Nanyi mtatoka nje na kurukaruka kama ndama aliyeachiwa kutoka zizini.

MAL 4:3 Removed trailing space in v~: Kisha ninyi mtawakanyaga waovu, nao watakuwa majivu chini ya nyayo za miguu yenu siku ile nitakayofanya mambo haya,” asema \nd Bwana\nd* Mwenye Nguvu Zote.

MAL 4:4 Removed trailing space in v~: “Kumbukeni sheria ya mtumishi wangu Mose, amri na sheria nilizompa huko Horebu kwa ajili ya Israeli wote.

MAL 4:5 Removed trailing space in v~: “Tazama, nitawapelekea nabii Eliya kabla ya kuja siku ile iliyo kuu na ya kutisha ya \nd Bwana\nd*.

MAL 4:6 Removed trailing space in v~: Ataigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto wao, na mioyo ya watoto iwaelekee baba zao, la sivyo nitakuja na kuipiga nchi kwa laana.”

MRK 5:41 Found footnote preceded by a space in \v~: Akamshika mtoto mkono, akamwambia, \tl \+wj “Talitha koum!”\+wj*\tl* \f + \fr 5:41 \fq Talitha koum \ft ni lugha ya Kiaramu.\f* (maana yake ni, \wj “Msichana, nakuambia: amka!”\wj*)

ROM -1:0 Removed trailing space in id: ROM - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

ROM -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

ROM -1:2 Removed trailing space in h: Warumi

ROM -1:3 Removed trailing space in toc1: Warumi

ROM -1:4 Removed trailing space in toc2: Warumi

ROM -1:5 Removed trailing space in toc3: Rum

ROM -1:6 Removed trailing space in mt1: Warumi

ROM 1:0 Extra space after chapter number

ROM 1:0 Removed trailing space in c: 1

ROM 1:1 Removed trailing space in v~: Paulo, mtumishi wa Kristo Yesu, aliyeitwa kuwa mtume na kutengwa kwa ajili ya Injili ya Mungu,

ROM 1:2 Removed trailing space in v~: Injili ambayo Mungu alitangulia kuiahidi kwa vinywa vya manabii wake katika Maandiko Matakatifu,

ROM 1:3 Removed trailing space in v~: yaani, Injili inayomhusu Mwanawe, yeye ambaye kwa uzao wa mwili alikuwa mzao wa Daudi,

ROM 1:4 Removed trailing space in v~: na ambaye kwa uwezo wa Roho wa utakatifu alidhihirishwa kuwa Mwana wa Mungu kwa ufufuo wake kutoka kwa wafu, yaani, Yesu Kristo, Bwana wetu.

ROM 1:5 Removed trailing space in v~: Kwa kupitia kwake na kwa ajili ya Jina lake, tumepokea neema na utume ili kuwaita watu miongoni mwa watu wa mataifa yote, waje kwenye utii utokanao na imani.

ROM 1:6 Removed trailing space in v~: Ninyi nyote pia mko miongoni mwa watu walioitwa ili mpate kuwa mali ya Yesu Kristo.

ROM 1:7 Removed trailing space in v~: Kwa wote walioko Rumi wapendwao na Mungu na kuitwa kuwa watakatifu:

ROM 1:7 Removed trailing space in p~: Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.

ROM 1:7 Removed trailing space in s1: Maombi Na Shukrani

ROM 1:8 Removed trailing space in v~: Kwanza kabisa, namshukuru Mungu wangu kwa njia ya Yesu Kristo kwa ajili yenu nyote, kwa sababu imani yenu inatangazwa duniani kote.

ROM 1:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu ninayemtumikia kwa moyo wangu wote katika kuhubiri Injili ya Mwanawe, ni shahidi wangu jinsi ninavyowakumbuka

ROM 1:10 Removed trailing space in v~: katika maombi yangu siku zote, nami ninaomba kwamba hatimaye sasa kwa mapenzi ya Mungu, njia ipate kufunguliwa kwa ajili yangu ili nije kwenu.

ROM 1:11 Removed trailing space in v~: Ninatamani sana kuwaona ili nipate kuweka juu yenu karama za rohoni ili mwe imara,

ROM 1:12 Removed trailing space in v~: au zaidi, ninyi pamoja nami tuweze kutiana moyo katika imani sisi kwa sisi.

ROM 1:13 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, napenda mfahamu kwamba mara nyingi nimekusudia kuja kwenu (ingawa mpaka sasa nimezuiliwa), ili nipate kuvuna mavuno miongoni mwenu kama nilivyovuna miongoni mwa wengine ambao ni watu wa Mataifa wasiomjua Mungu.

ROM 1:14 Removed trailing space in v~: Mimi ni mdeni kwa Wayunani na kwa wasio Wayunani, kwa wenye hekima na kwa wasio na hekima.

ROM 1:15 Removed trailing space in v~: Ndiyo sababu ninatamani sana kuihubiri Injili kwenu pia ninyi mlioko Rumi.

ROM 1:16 Removed trailing space in v~: Mimi siionei haya Injili ya Kristo kwa maana ni uweza wa Mungu uletao wokovu kwa kila aaminiye, kwanza kwa Myahudi na kwa Myunani pia.

ROM 1:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana katika Injili haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa, haki ile iliyo kwa njia ya imani hadi imani. Kama ilivyoandikwa: “Mwenye haki ataishi kwa imani.”

ROM 1:17 Removed trailing space in s1: Ghadhabu Ya Mungu Kwa Wanadamu

ROM 1:18 Removed trailing space in v~: Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni dhidi ya uasi wote na uovu wa wanadamu ambao huipinga kweli kwa uovu wao,

ROM 1:19 Removed trailing space in v~: kwa maana yote yanayoweza kujulikana kumhusu Mungu ni dhahiri kwao, kwa sababu Mungu mwenyewe ameyadhihirisha kwao.

ROM 1:20 Removed trailing space in v~: Kwa maana tangu kuumbwa kwa ulimwengu, asili ya Mungu asiyeonekana kwa macho, yaani, uweza wake wa milele na asili yake ya Uungu, imeonekana waziwazi, ikitambuliwa kutokana na yale aliyoyafanya ili wanadamu wasiwe na udhuru.

ROM 1:21 Removed trailing space in v~: Kwa maana ingawa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye kama ndiye Mungu wala hawakumshukuru, bali fikira zao zimekuwa batili na mioyo yao ya ujinga ikatiwa giza.

ROM 1:22 Removed trailing space in v~: Ingawa walijidai kuwa wenye hekima, wakawa wajinga

ROM 1:23 Removed trailing space in v~: na kubadili utukufu wa Mungu aishiye milele kwa sanamu zilizofanywa zifanane na mwanadamu ambaye hufa, na mfano wa ndege, wanyama na viumbe vitambaavyo.

ROM 1:24 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, Mungu akawaacha wazifuate tamaa mbaya za mioyo yao katika uasherati, hata wakavunjiana heshima miili yao wao kwa wao.

ROM 1:25 Removed trailing space in v~: Kwa sababu waliibadili kweli ya Mungu kuwa uongo, wakaabudu na kutumikia kiumbe badala ya Muumba, ahimidiwaye milele! Amen.

ROM 1:26 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii, Mungu aliwaacha wavunjiane heshima kwa kufuata tamaa zao za aibu. Hata wanawake wao wakabadili matumizi ya asili ya miili yao wakaitumia isivyokusudiwa.

ROM 1:27 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo wanaume pia wakiacha matumizi ya asili ya wanawake wakawakiana tamaa wao kwa wao. Wanaume wakafanyiana matendo ya aibu na wanaume wengine nao wakapata katika maisha yao adhabu iliyowastahili kwa ajili ya upotovu wao.

ROM 1:28 Removed trailing space in v~: Nao kwa kuwa hawakuona umuhimu wa kudumisha ufahamu wa Mungu, yeye akawaachilia wafuate akili za upotovu, watende mambo yale yasiyostahili kutendwa.

ROM 1:29 Removed trailing space in v~: Wakiwa wamejawa na udhalimu wa kila namna, uasherati, uovu, tamaa mbaya na hila. Wamejawa na husuda, uuaji, ugomvi, udanganyifu, hadaa na nia mbaya. Wao pia ni wasengenyaji,

ROM 1:30 Removed trailing space in v~: wasingiziaji, wanaomchukia Mungu, wajeuri, wenye kiburi na majivuno, wenye hila, wasiotii wazazi wao,

ROM 1:31 Removed trailing space in v~: wajinga, wasioamini, wasio na huruma na wakatili.

ROM 1:32 Removed trailing space in v~: Ingawa wanafahamu sheria ya haki ya Mungu kwamba watu wanaofanya mambo kama hayo wanastahili mauti, si kwamba wanaendelea kutenda hayo tu, bali pia wanakubaliana na wale wanaoyatenda.

ROM 2:0 Extra space after chapter number

ROM 2:0 Removed trailing space in c: 2

ROM 2:0 Removed trailing space in s1: Hukumu Ya Mungu

ROM 2:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo huna udhuru wowote, wewe utoaye hukumu kwa mwingine, kwa maana katika jambo lolote unalowahukumu wengine, unajihukumu wewe mwenyewe kwa sababu wewe unayehukumu unafanya mambo hayo hayo.

ROM 2:2 Removed trailing space in v~: Basi tunajua kwamba hukumu ya Mungu dhidi ya wale wafanyao mambo kama hayo ni ya kweli.

ROM 2:3 Removed trailing space in v~: Hivyo wewe mwanadamu, utoapo hukumu juu yao na bado unafanya mambo yale yale, unadhani utaepuka hukumu ya Mungu?

ROM 2:4 Removed trailing space in v~: Au waudharau wingi wa wema, ustahimili na uvumilivu wake, bila kujua kuwa wema wa Mungu wakuelekeza kwenye toba?

ROM 2:5 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu ya ukaidi wenu na mioyo yenu isiyotaka kutubu, mnajiwekea akiba ya ghadhabu dhidi yenu wenyewe kwa siku ile ya ghadhabu ya Mungu, wakati hukumu yake ya haki itakapodhihirishwa.

ROM 2:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu atamlipa kila mtu sawasawa na matendo yake.

ROM 2:7 Removed trailing space in v~: Wale ambao kwa kuvumilia katika kutenda mema hutafuta utukufu, heshima na maisha yasiyoharibika, Mungu atawapa uzima wa milele.

ROM 2:8 Removed trailing space in v~: Lakini kwa wale watafutao mambo yao wenyewe na wale wanaokataa kweli na kuzifuata njia mbaya, kutakuwa na ghadhabu na hasira ya Mungu.

ROM 2:9 Removed trailing space in v~: Kutakuwa na taabu na dhiki kwa kila mmoja atendaye maovu, Myahudi kwanza na mtu wa Mataifa pia,

ROM 2:10 Removed trailing space in v~: bali utukufu, heshima na amani kwa ajili ya kila mmoja atendaye mema, kwa Myahudi kwanza, kisha kwa mtu wa Mataifa.

ROM 2:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu hana upendeleo.

ROM 2:12 Removed trailing space in v~: Watu wote waliotenda dhambi pasipo sheria wataangamia pasipo sheria, nao wote wale waliotenda dhambi chini ya sheria watahukumiwa kwa sheria.

ROM 2:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana si wale wanaoisikia sheria ambao ni wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale wanaoitii sheria ndio watakaohesabiwa haki.

ROM 2:14 Removed trailing space in v~: (Naam, wakati wa watu wa Mataifa, ambao hawana sheria, wanapofanya kwa asili mambo yatakiwayo na sheria, wao ni sheria kwa nafsi zao wenyewe, hata ingawa hawana sheria.

ROM 2:15 Removed trailing space in v~: Wao wanaonyesha kwamba lile linalotakiwa na sheria limeandikwa kwenye mioyo yao, ambayo pia dhamiri zao zikiwashuhudia, nayo mawazo yao yenye kupingana yatawashtaki au kuwatetea.)

ROM 2:16 Removed trailing space in v~: Hili litatukia siku hiyo Mungu atakapozihukumu siri za wanadamu kwa njia ya Yesu Kristo, kama isemavyo Injili yangu.

ROM 2:16 Removed trailing space in s1: Wayahudi Na Sheria

ROM 2:17 Removed trailing space in v~: Tazama, wewe ukiwa unaitwa Myahudi na kuitegemea sheria na kujisifia uhusiano wako na Mungu,

ROM 2:18 Removed trailing space in v~: kama unajua mapenzi ya Mungu na kukubali lililo bora kwa sababu umefundishwa na hiyo sheria,

ROM 2:19 Removed trailing space in v~: kama unatambua kuwa wewe ni kiongozi wa vipofu, na mwanga kwa wale walio gizani,

ROM 2:20 Removed trailing space in v~: mkufunzi wa wajinga na mwalimu wa watoto wachanga, kwa kuwa una maarifa ya kweli katika hiyo sheria,

ROM 2:21 Removed trailing space in v~: basi wewe, uwafundishaye wengine, mbona hujifunzi mwenyewe? Wewe uhubiriye kwamba mtu asiibe, wewe mwenyewe waiba?

ROM 2:22 Removed trailing space in v~: Wewe usemaye mtu asizini, wewe mwenyewe wazini? Wewe uchukiaye miungu ya sanamu, wafanya jambo la kumchukiza katika mahekalu?

ROM 2:23 Removed trailing space in v~: Wewe ujivuniaye sheria, wamwaibisha Mungu kwa kuvunja sheria?

ROM 2:24 Removed trailing space in v~: Kama ilivyoandikwa, “Kwa ajili yenu ninyi, Jina la Mungu linatukanwa miongoni mwa watu wa Mataifa.”

ROM 2:25 Removed trailing space in v~: Kutahiriwa kuna thamani ikiwa unatii sheria, lakini kama unavunja sheria, kutahiriwa kwako kumekuwa kutokutahiriwa.

ROM 2:26 Removed trailing space in v~: Hivyo, ikiwa wale wasiotahiriwa wanatimiza mambo ambayo sheria inataka, je, kutokutahiriwa kwao hakutahesabiwa kuwa sawa na kutahiriwa?

ROM 2:27 Removed trailing space in v~: Ndipo wale ambao hawakutahiriwa kimwili lakini wanaitii sheria watawahukumu ninyi, ambao ingawa mmetahiriwa na kuijua sana sheria ya Mungu iliyoandikwa, lakini mwaivunja.

ROM 2:28 Removed trailing space in v~: Kwa maana mtu si Myahudi kwa vile alivyo kwa nje, wala tohara ya kweli si kitu cha nje au cha kimwili.

ROM 2:29 Removed trailing space in v~: Lakini mtu ni Myahudi alivyo ndani, nayo tohara ya kweli ni jambo la moyoni, ni la Roho, wala si la sheria iliyoandikwa. Mtu wa namna hiyo hapokei sifa kutoka kwa wanadamu bali kwa Mungu.

ROM 3:0 Extra space after chapter number

ROM 3:0 Removed trailing space in c: 3

ROM 3:0 Removed trailing space in s1: Uaminifu Wa Mungu

ROM 3:1 Removed trailing space in v~: Basi kuna faida gani kuwa Myahudi? Au kuna thamani gani katika tohara?

ROM 3:2 Removed trailing space in v~: Kuna faida kubwa kwa kila namna! Kwanza kabisa, Wayahudi wamekabidhiwa lile Neno halisi la Mungu.

ROM 3:3 Removed trailing space in v~: Ingekuwaje kama wengine hawakuwa na imani? Je, kutokuamini kwao kungebatilisha uaminifu wa Mungu?

ROM 3:4 Removed trailing space in v~: La hasha! Mungu na aonekane mwenye haki, na kila mwanadamu kuwa mwongo, kama ilivyoandikwa:

ROM 3:4 Removed trailing space in p~: “Ili uthibitike kuwa wa kweli unaponena,

ROM 3:4 Removed trailing space in p~: na ukashinde utoapo hukumu.”

ROM 3:5 Removed trailing space in v~: Ikiwa uovu wetu unathibitisha haki ya Mungu waziwazi, tuseme nini basi? Je, Mungu kuileta ghadhabu yake juu yetu ni kwamba yeye si mwenye haki? (Nanena kibinadamu.)

ROM 3:6 Removed trailing space in v~: La hasha! Kama hivyo ndivyo ilivyo, Mungu angehukumuje ulimwengu?

ROM 3:7 Removed trailing space in v~: Mtu aweza kuuliza, “Kama uongo wangu unasaidia kuonyesha kweli ya Mungu na kuzidisha utukufu wake, kwa nini basi mimi nahukumiwa kuwa mwenye dhambi?”

ROM 3:8 Removed trailing space in v~: Nasi kwa nini tusiseme, kama wengine wanavyotusingizia kuwa tunasema, “Tutende maovu ili mema yapate kuja?” Wao wanastahili hukumu yao.

ROM 3:8 Removed trailing space in s1: Wote Wametenda Dhambi

ROM 3:9 Removed trailing space in v~: Tusemeje basi? Je, sisi ni bora kuwaliko wao? La hasha! Kwa maana tumekwisha kuhakikisha kwa vyovyote kwamba Wayahudi na watu wa Mataifa wote wako chini ya nguvu ya dhambi.

ROM 3:10 Removed trailing space in v~: Kama ilivyoandikwa:

ROM 3:10 Removed trailing space in p~: “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.

ROM 3:11 Removed trailing space in v~: Hakuna hata mmoja mwenye ufahamu,

ROM 3:11 Removed trailing space in p~: hakuna hata mmoja amtafutaye Mungu.

ROM 3:12 Removed trailing space in v~: Wote wamepotoka,

ROM 3:12 Removed trailing space in p~: wote wameoza pamoja;

ROM 3:12 Removed trailing space in p~: hakuna atendaye mema,

ROM 3:12 Removed trailing space in p~: naam, hakuna hata mmoja.”

ROM 3:13 Removed trailing space in v~: “Makoo yao ni makaburi wazi;

ROM 3:13 Removed trailing space in p~: kwa ndimi zao wao hufanya udanganyifu.”

ROM 3:13 Removed trailing space in p~: “Sumu ya nyoka iko midomoni mwao.”

ROM 3:14 Removed trailing space in v~: “Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu.”

ROM 3:15 Removed trailing space in v~: “Miguu yao ina haraka kumwaga damu;

ROM 3:16 Removed trailing space in v~: maangamizi na taabu viko katika njia zao,

ROM 3:17 Removed trailing space in v~: wala njia ya amani hawaijui.”

ROM 3:18 Removed trailing space in v~: “Hakuna hofu ya Mungu machoni pao.”

ROM 3:19 Removed trailing space in v~: Basi tunajua ya kwamba chochote sheria inachosema, inawaambia wale walio chini ya sheria ili kila kinywa kinyamazishwe na ulimwengu wote uwajibike kwa Mungu.

ROM 3:20 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo hakuna binadamu hata mmoja atakayehesabiwa haki mbele za Mungu kwa matendo ya sheria, kwa maana sheria hutufanya tuitambue dhambi.

ROM 3:20 Removed trailing space in s1: Haki Kwa Njia Ya Imani

ROM 3:21 Removed trailing space in v~: Lakini sasa, haki itokayo kwa Mungu imedhihirishwa pasipo sheria, ambayo Sheria na Manabii wanaishuhudia.

ROM 3:22 Removed trailing space in v~: Haki hii itokayo kwa Mungu hupatikana kwa Yesu Kristo kwa wote wamwaminio. Kwa maana hapo hakuna tofauti,

ROM 3:23 Removed trailing space in v~: kwa kuwa wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu,

ROM 3:24 Removed trailing space in v~: wanahesabiwa haki bure kwa neema yake kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu.

ROM 3:25 Removed trailing space in v~: Yeye ambaye Mungu alimtoa awe dhabihu ya upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake. Alifanya hivi ili kuonyesha haki yake, kwa sababu kwa ustahimili wake aliziachilia zile dhambi zilizotangulia kufanywa.

ROM 3:26 Removed trailing space in v~: Alifanya hivyo ili kuonyesha haki yake wakati huu, ili yeye awe mwenye haki na mwenye kumhesabia haki yule anayemwamini Yesu.

ROM 3:26 Removed trailing space in s1: Umuhimu Wa Kuwa Na Imani

ROM 3:27 Removed trailing space in v~: Basi, kujivuna kuko wapi? Kumewekwa mbali. Kwa sheria gani? Je, ni kwa ile ya matendo? La hasha, bali kwa ile sheria ya imani.

ROM 3:28 Removed trailing space in v~: Kwa maana twaona kwamba mwanadamu huhesabiwa haki kwa njia ya imani wala si kwa matendo ya sheria.

ROM 3:29 Removed trailing space in v~: Je, Mungu ni Mungu wa Wayahudi peke yao? Je, yeye si Mungu wa watu wa Mataifa pia? Naam, yeye ni Mungu wa watu wa Mataifa pia.

ROM 3:30 Removed trailing space in v~: Basi kwa kuwa tuna Mungu mmoja tu, atawahesabia haki wale waliotahiriwa kwa imani na wale wasiotahiriwa kwa imani iyo hiyo.

ROM 3:31 Removed trailing space in v~: Je, basi ni kwamba tunaibatilisha sheria kwa imani hii? La, hasha! Badala yake tunaithibitisha sheria.

ROM 4:0 Extra space after chapter number

ROM 4:0 Removed trailing space in c: 4

ROM 4:0 Removed trailing space in s1: Abrahamu Alihesabiwa Haki Kwa Imani

ROM 4:1 Removed trailing space in v~: Tuseme nini basi, kuhusu Abrahamu baba yetu kwa jinsi ya mwili: yeye alipataje kujua jambo hili?

ROM 4:2 Removed trailing space in v~: Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo, basi, anacho kitu cha kujivunia, lakini si mbele za Mungu.

ROM 4:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana Maandiko yasemaje? “Abrahamu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”

ROM 4:4 Removed trailing space in v~: Basi mtu afanyapo kazi, mshahara wake hauhesabiwi kwake kuwa ni zawadi, bali ni haki yake anayostahili.

ROM 4:5 Removed trailing space in v~: Lakini kwa mtu ambaye hafanyi kazi na anamtumaini Mungu, yeye ambaye huwahesabia waovu haki, imani yake inahesabiwa kuwa haki.

ROM 4:6 Removed trailing space in v~: Daudi pia alisema vivyo hivyo aliponena juu ya baraka za mtu ambaye Mungu humhesabia haki pasipo matendo:

ROM 4:7 Removed trailing space in v~: “Wamebarikiwa wale

ROM 4:7 Removed trailing space in p~: ambao wamesamehewa makosa yao,

ROM 4:7 Removed trailing space in p~: ambao dhambi zao zimefunikwa.

ROM 4:8 Removed trailing space in v~: Heri mtu yule

ROM 4:8 Removed trailing space in p~: Bwana hamhesabii dhambi zake.”

ROM 4:8 Removed trailing space in s1: Haki Kabla Ya Tohara

ROM 4:9 Removed trailing space in v~: Je, huku kubarikiwa ni kwa wale waliotahiriwa peke yao, au pia na kwa wale wasiotahiriwa? Tunasema, “Imani ya Abrahamu ilihesabiwa kwake kuwa haki.”

ROM 4:10 Removed trailing space in v~: Je, ni lini basi ilipohesabiwa kwake kuwa haki? Je, ilikuwa kabla au baada ya kutahiriwa kwake? Haikuwa baada, ila kabla hajatahiriwa.

ROM 4:11 Removed trailing space in v~: Alipewa ishara ya tohara kuwa muhuri wa haki aliyokuwa nayo kwa imani hata alipokuwa bado hajatahiriwa. Kusudi lilikuwa kumfanya baba wa wote wale waaminio pasipo kutahiriwa na ambao wamehesabiwa haki.

ROM 4:12 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo awe baba wa wale waliotahiriwa ambao si kwamba wametahiriwa tu, bali pia wanafuata mfano wa imani ambayo Baba yetu Abrahamu alikuwa nayo kabla ya kutahiriwa.

ROM 4:12 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Mungu Hufahamika Kwa Imani

ROM 4:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana ile ahadi kwamba angeurithi ulimwengu haikuja kwa Abrahamu au kwa wazao wake kwa njia ya sheria bali kwa njia ya haki ipatikanayo kwa imani.

ROM 4:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana ikiwa wale waishio kwa sheria ndio warithi, imani haina thamani na ahadi haifai kitu,

ROM 4:15 Removed trailing space in v~: kwa sababu sheria huleta ghadhabu. Mahali ambapo hakuna sheria hakuna makosa.

ROM 4:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ahadi huja kwa njia ya imani, ili iwe ni kwa neema, na itolewe kwa wazao wa Abrahamu, si kwa wale walio wa sheria peke yao, bali pia kwa wale walio wa imani ya Abrahamu. Yeye ndiye baba yetu sisi sote.

ROM 4:17 Removed trailing space in v~: Kama ilivyoandikwa: “Nimekufanya wewe kuwa baba wa mataifa mengi.” Yeye ni baba yetu mbele za Mungu, ambaye yeye alimwamini, yule Mungu anaye fufua waliokufa, na kuvitaja vile vitu ambavyo haviko kana kwamba vimekwisha kuwako.

ROM 4:17 Removed trailing space in s1: Mfano Wa Imani Ya Abrahamu

ROM 4:18 Removed trailing space in v~: Akitarajia yasiyoweza kutarajiwa, Abrahamu akaamini, akawa baba wa mataifa mengi, kama alivyoahidiwa kwamba, “Uzao wako utakuwa mwingi mno.”

ROM 4:19 Removed trailing space in v~: Abrahamu hakuwa dhaifu katika imani hata alipofikiri juu ya mwili wake, ambao ulikuwa kama uliokufa, kwani umri wake ulikuwa unakaribia miaka mia moja, au alipofikiri juu ya ufu wa tumbo la Sara.

ROM 4:20 Removed trailing space in v~: Lakini Abrahamu hakusitasita kwa kutokuamini ahadi ya Mungu, bali alitiwa nguvu katika imani yake na kumpa Mungu utukufu,

ROM 4:21 Removed trailing space in v~: akiwa na hakika kabisa kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kutimiza lile aliloahidi.

ROM 4:22 Removed trailing space in v~: Hii ndio sababu, “ilihesabiwa kwake kuwa haki.”

ROM 4:23 Removed trailing space in v~: Maneno haya “ilihesabiwa kwake kuwa haki,” hayakuandikwa kwa ajili yake peke yake,

ROM 4:24 Removed trailing space in v~: bali kwa ajili yetu sisi pia ambao Mungu atatupa haki, sisi tunaomwamini yeye aliyemfufua Yesu Bwana wetu kutoka kwa wafu.

ROM 4:25 Removed trailing space in v~: Alitolewa afe kwa ajili ya dhambi zetu, naye alifufuliwa kutoka mauti ili tuhesabiwe haki.

ROM 5:0 Extra space after chapter number

ROM 5:0 Removed trailing space in c: 5

ROM 5:0 Removed trailing space in s1: Matokeo Ya Kuhesabiwa Haki

ROM 5:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kwa kuwa tumekwisha kuhesabiwa haki kwa imani, tuna amani na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,

ROM 5:2 Removed trailing space in v~: ambaye kwa kupitia kwake tumepata kwa njia ya imani kuifikia neema hii ambayo ndani yake sasa tunasimama, nasi twafurahia katika tumaini letu la kushiriki utukufu wa Mungu.

ROM 5:3 Removed trailing space in v~: Si hivyo tu, bali twafurahi pia katika mateso, kwa sababu tunajua kuwa mateso huleta saburi,

ROM 5:4 Removed trailing space in v~: nayo saburi huleta uthabiti wa moyo, na uthabiti wa moyo huleta tumaini,

ROM 5:5 Removed trailing space in v~: wala tumaini halitukatishi tamaa, kwa sababu Mungu amekwisha kumimina pendo lake mioyoni mwetu kwa njia ya Roho Mtakatifu ambaye ametupatia.

ROM 5:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana hata tulipokuwa dhaifu, wakati ulipowadia, Kristo alikufa kwa ajili yetu sisi wenye dhambi.

ROM 5:7 Removed trailing space in v~: Hakika, ni vigumu mtu yeyote kufa kwa ajili ya mwenye haki, ingawa inawezekana mtu akathubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema.

ROM 5:8 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu anaudhihirisha upendo wake kwetu kwamba: Tulipokuwa tungali wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.

ROM 5:9 Removed trailing space in v~: Basi, kwa kuwa sasa tumehesabiwa haki kwa damu yake, si zaidi sana tutaokolewa kutoka ghadhabu ya Mungu kupitia kwake!

ROM 5:10 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kama tulipokuwa adui wa Mungu tulipatanishwa naye kwa njia ya kifo cha Mwanawe, si zaidi sana tukiisha kupatanishwa, tutaokolewa kwa uzima wake.

ROM 5:11 Removed trailing space in v~: Lakini zaidi ya hayo, pia tunafurahi katika Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kupitia kwake tumepata upatanisho.

ROM 5:11 Removed trailing space in s1: Adamu Alileta Kifo, Yesu Ameleta Uzima

ROM 5:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kama vile dhambi ilivyoingia ulimwenguni kupitia kwa mtu mmoja, na kupitia dhambi hii mauti ikawafikia watu wote, kwa sababu wote wamefanya dhambi:

ROM 5:13 Removed trailing space in v~: kwa maana kabla sheria haijatolewa, dhambi ilikuwepo ulimwenguni. Lakini dhambi haihesabiwi wakati hakuna sheria.

ROM 5:14 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, tangu wakati wa Adamu hadi wakati wa Mose, mauti ilitawala watu wote, hata wale ambao hawakutenda dhambi kwa kuvunja amri, kama alivyofanya Adamu, ambaye alikuwa mfano wa yule atakayekuja.

ROM 5:15 Removed trailing space in v~: Lakini ile karama iliyotolewa haikuwa kama lile kosa. Kwa maana ikiwa watu wengi walikufa kwa sababu ya kosa la mtu mmoja, zaidi sana neema ya Mungu na ile karama iliyokuja kwa neema ya mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo, imezidi kuwa nyingi kwa ajili ya wengi.

ROM 5:16 Removed trailing space in v~: Tena, ile karama ya Mungu si kama matokeo ya ile dhambi. Hukumu ilikuja kwa njia ya mtu mmoja, ikaleta adhabu, bali karama ya neema ya Mungu ilikuja kwa njia ya makosa mengi, ikaleta kuhesabiwa haki.

ROM 5:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana ikiwa kutokana na kosa la mtu mmoja, mauti ilitawala kupitia huyo mtu mmoja, zaidi sana wale wanaopokea wingi wa neema ya Mungu na karama yake ya kuhesabiwa haki, watatawala katika uzima kwa njia ya huyo mtu mmoja, yaani, Yesu Kristo.

ROM 5:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kama vile kosa la mtu mmoja lilivyoleta adhabu kwa watu wote, vivyo hivyo pia kwa tendo la haki la mtu mmoja lilileta kuhesabiwa haki ambako huleta uzima kwa wote.

ROM 5:19 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama vile kwa kutokutii kwa yule mtu mmoja wengi walifanywa wenye dhambi, vivyo hivyo kwa kutii kwa mtu mmoja wengi watafanywa wenye haki.

ROM 5:20 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, sheria ilikuja, ili uvunjaji wa sheria uongezeke. Lakini dhambi ilipoongezeka, neema iliongezeka zaidi,

ROM 5:21 Removed trailing space in v~: ili kwamba kama vile dhambi ilivyotawala kwa njia ya mauti, vivyo hivyo neema iweze kutawala kwa njia ya kuhesabiwa haki hata kuleta uzima wa milele katika Yesu Kristo Bwana wetu.

ROM 6:0 Extra space after chapter number

ROM 6:0 Removed trailing space in c: 6

ROM 6:0 Removed trailing space in s1: Kufa Na Kufufuka Pamoja Na Kristo

ROM 6:1 Removed trailing space in v~: Tuseme nini basi? Je, tuendelee kutenda dhambi ili neema ipate kuongezeka?

ROM 6:2 Removed trailing space in v~: La hasha! Sisi tulioifia dhambi, tutawezaje kuendelea kuishi tena katika dhambi?

ROM 6:3 Removed trailing space in v~: Au hamjui ya kuwa sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake?

ROM 6:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti, ili kama vile Kristo alivyofufuliwa kutoka kwa wafu kwa utukufu wa Baba, vivyo hivyo sisi nasi pia tupate kuenenda katika upya wa uzima.

ROM 6:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana ikiwa tumeungana naye katika mauti yake, bila shaka tutaungana naye katika ufufuo wake.

ROM 6:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana twajua kwamba utu wetu wa kale ulisulubiwa pamoja naye ili ule mwili wa dhambi upate kuangamizwa, nasi tusiendelee kuwa tena watumwa wa dhambi.

ROM 6:7 Removed trailing space in v~: Kwa maana mtu yeyote aliyekufa amehesabiwa haki mbali na dhambi.

ROM 6:8 Removed trailing space in v~: Basi ikiwa tulikufa pamoja na Kristo, tunaamini kwamba pia tutaishi pamoja naye.

ROM 6:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana tunajua kwamba Kristo, kwa sababu alifufuliwa kutoka kwa wafu, hawezi kufa tena; mauti haina tena mamlaka juu yake.

ROM 6:10 Removed trailing space in v~: Kifo alichokufa, aliifia dhambi mara moja tu, lakini uzima alio nao anamwishia Mungu.

ROM 6:11 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, jihesabuni wafu katika dhambi lakini mlio hai kwa Mungu katika Kristo Yesu.

ROM 6:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, msiruhusu dhambi itawale ndani ya miili yenu, ipatikanayo na kufa, ili kuwafanya mzitii tamaa mbaya.

ROM 6:13 Removed trailing space in v~: Wala msivitoe viungo vya miili yenu vitumike kama vyombo vya uovu vya kutenda dhambi, bali jitoeni kwa Mungu, kama watu waliotolewa kutoka mautini kuingia uzimani. Nanyi vitoeni viungo vya miili yenu kwake kama vyombo vya haki.

ROM 6:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana dhambi haitakuwa na mamlaka juu yenu, kwa sababu hampo chini ya sheria, bali chini ya neema.

ROM 6:14 Removed trailing space in s1: Watumwa Wa Haki

ROM 6:15 Removed trailing space in v~: Ni nini basi? Je, tutende dhambi kwa kuwa hatuko chini ya sheria bali chini ya neema? La, hasha!

ROM 6:16 Removed trailing space in v~: Je, hamjui kwamba mnapojitoa kwa mtu yeyote kama watumwa watiifu, ninyi ni watumwa wa yule mnayemtii, aidha watumwa wa dhambi, ambayo matokeo yake ni mauti, au watumwa wa utii ambao matokeo yake ni haki?

ROM 6:17 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu ashukuriwe kwa kuwa ninyi ambao kwanza mlikuwa watumwa wa dhambi, mmekuwa watii kutoka moyoni kwa mafundisho mliyopewa.

ROM 6:18 Removed trailing space in v~: Nanyi, mkiisha kuwekwa huru mbali na dhambi, mmekuwa watumwa wa haki.

ROM 6:19 Removed trailing space in v~: Ninasema kwa namna ya kibinadamu kwa sababu ya udhaifu wenu wa hali ya asili. Kama vile mlivyokuwa mkivitoa viungo vya miili yenu kama watumwa wa mambo machafu na uovu uliokuwa ukiongezeka zaidi, hivyo sasa vitoeni viungo vyenu kama watumwa wa haki inayowaelekeza mpate kutakaswa.

ROM 6:20 Removed trailing space in v~: Mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa hamtawaliwi na haki.

ROM 6:21 Removed trailing space in v~: Lakini mlipata faida gani kwa mambo hayo ambayo sasa mnayaonea aibu? Mwisho wa mambo hayo ni mauti.

ROM 6:22 Removed trailing space in v~: Lakini sasa kwa kuwa mmewekwa huru mbali na dhambi na mmekuwa watumwa wa Mungu, faida mnayopata ni utakatifu, ambao mwisho wake ni uzima wa milele.

ROM 6:23 Removed trailing space in v~: Kwa maana mshahara wa dhambi ni mauti, bali karama ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.

ROM 7:0 Extra space after chapter number

ROM 7:0 Removed trailing space in c: 7

ROM 7:0 Removed trailing space in s1: Hatufungwi Tena Na Sheria

ROM 7:1 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu (sasa ninasema na wale wanaoijua sheria), je, hamjui ya kwamba sheria ina mamlaka tu juu ya mtu wakati akiwa hai?

ROM 7:2 Removed trailing space in v~: Kwa mfano, mwanamke aliyeolewa amefungwa kwa mumewe wakati akiwa hai, lakini yule mume akifa, yule mwanamke amefunguliwa kutoka sheria ya ndoa.

ROM 7:3 Removed trailing space in v~: Hivyo basi, kama huyo mwanamke ataolewa na mwanaume mwingine wakati mumewe akiwa bado yuko hai, ataitwa mzinzi. Lakini kama mumewe akifa, mwanamke huyo hafungwi tena na sheria ya ndoa, naye akiolewa na mtu mwingine haitwi mzinzi.

ROM 7:4 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, ndugu zangu, ninyi mmeifia sheria kwa njia ya mwili wa Kristo, ili mweze kuwa mali ya mwingine, yeye ambaye alifufuliwa kutoka kwa wafu, ili tupate kuzaa matunda kwa Mungu.

ROM 7:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana tulipokuwa tunatawaliwa na asili ya dhambi, tamaa za dhambi zilizochochewa na sheria zilikuwa zikitenda kazi katika miili yetu, hivyo tulizaa matunda ya mauti.

ROM 7:6 Removed trailing space in v~: Lakini sasa, kwa kufia kile kilichokuwa kimetufunga kwanza, tumewekwa huru kutokana na sheria ili tutumike katika njia mpya ya Roho, wala si katika njia ya zamani ya sheria iliyoandikwa.

ROM 7:6 Removed trailing space in s1: Sheria Na Dhambi

ROM 7:7 Removed trailing space in v~: Tuseme nini basi? Kwamba sheria ni dhambi? La, hasha! Lakini, isingekuwa kwa sababu ya sheria, nisingalijua dhambi. Nisingalijua kutamani ni nini kama sheria haikusema, “Usitamani.”

ROM 7:8 Removed trailing space in v~: Lakini dhambi kwa kupata nafasi katika amri, hii ikazaa ndani yangu kila aina ya tamaa. Kwa maana pasipo sheria, dhambi imekufa.

ROM 7:9 Removed trailing space in v~: Wakati fulani nilikuwa hai pasipo sheria, lakini amri ilipokuja, dhambi ikawa hai, nami nikafa.

ROM 7:10 Removed trailing space in v~: Nikaona kwamba ile amri iliyokusudiwa kuleta uzima, ilileta mauti.

ROM 7:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana dhambi kwa kupata nafasi katika amri, ilinidanganya, na kupitia katika hiyo amri, ikaniua.

ROM 7:12 Removed trailing space in v~: Hivyo basi, sheria yenyewe ni takatifu, na amri ni takatifu na ya haki, tena ni njema.

ROM 7:13 Removed trailing space in v~: Je, kile kilicho chema basi kilikuwa mauti kwangu? La, hasha! Lakini ili dhambi itambuliwe kuwa ni dhambi, ilileta mauti ndani yangu kupitia kile kilichokuwa chema, ili kwa njia ya amri dhambi izidi kuwa mbaya kupita kiasi.

ROM 7:13 Removed trailing space in s1: Mgongano Wa Ndani

ROM 7:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana tunajua kwamba sheria ni ya kiroho, lakini mimi ni wa kimwili nikiwa nimeuzwa kwenye utumwa wa dhambi.

ROM 7:15 Removed trailing space in v~: Sielewi nitendalo, kwa maana lile ninalotaka kulitenda, silitendi, lakini ninatenda lile ninalolichukia.

ROM 7:16 Removed trailing space in v~: Basi kama ninatenda lile nisilotaka kutenda, ni kwamba ninakubali kuwa sheria ni njema.

ROM 7:17 Removed trailing space in v~: Lakini, kwa kweli si mimi tena nitendaye lile nisilotaka bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.

ROM 7:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninafahamu kwamba hakuna jema lolote likaalo ndani yangu, yaani, katika asili yangu ya dhambi. Kwa kuwa nina shauku ya kutenda lililo jema, lakini siwezi kulitenda.

ROM 7:19 Removed trailing space in v~: Sitendi lile jema nitakalo kutenda, bali lile baya nisilolitaka, ndilo nitendalo.

ROM 7:20 Removed trailing space in v~: Basi kama ninatenda lile nisilotaka kutenda, si mimi tena nifanyaye hivyo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.

ROM 7:21 Removed trailing space in v~: Hivyo naiona sheria ikitenda kazi. Ninapotaka kutenda jema, jambo baya liko papo hapo.

ROM 7:22 Removed trailing space in v~: Kwa maana katika utu wangu wa ndani naifurahia sheria ya Mungu.

ROM 7:23 Removed trailing space in v~: Lakini ninaona kuna sheria nyingine inayotenda kazi katika viungo vya mwili wangu inayopigana vita dhidi ya ile sheria ya akili yangu. Sheria hii inanifanya mateka wa ile sheria ya dhambi inayofanya kazi katika viungo vya mwili wangu.

ROM 7:24 Removed trailing space in v~: Ole wangu mimi maskini! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?

ROM 7:25 Removed trailing space in v~: Ashukuriwe Mungu kwa njia ya Yesu Kristo Bwana wetu! Hivyo basi, mimi mwenyewe kwa akili zangu ni mtumwa wa sheria ya Mungu, lakini katika asili ya dhambi ni mtumwa wa sheria ya dhambi.

ROM 8:0 Extra space after chapter number

ROM 8:0 Removed trailing space in c: 8

ROM 8:0 Removed trailing space in s1: Maisha Katika Roho

ROM 8:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu ya adhabu kwa wale walio ndani ya Kristo Yesu, wale ambao hawaenendi kwa kuufuata mwili bali kwa kufuata Roho.

ROM 8:2 Removed trailing space in v~: Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima katika Kristo Yesu imeniweka huru mbali na sheria ya dhambi na mauti.

ROM 8:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana kile ambacho sheria haikuwa na uwezo wa kufanya, kwa vile ilivyokuwa dhaifu katika mwili, Mungu kwa kumtuma Mwanawe mwenyewe kwa mfano wa mwanadamu mwenye mwili ulio wa dhambi na kwa ajili ya dhambi, yeye aliihukumu dhambi katika mwili,

ROM 8:4 Removed trailing space in v~: ili kwamba haki ipatikanayo kwa sheria itimizwe ndani yetu sisi, ambao hatuenendi kwa kuufuata mwili bali kwa kufuata Roho.

ROM 8:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana wale wanaoishi kwa kuufuata mwili huziweka nia zao katika vitu vya mwili, lakini wale wanaoishi kwa kufuata Roho, huziweka nia zao katika mambo ya Roho.

ROM 8:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa na nia inayoongozwa na Roho ni uzima na amani.

ROM 8:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui na Mungu, kwa maana haiitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.

ROM 8:8 Removed trailing space in v~: Wale wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kumpendeza Mungu.

ROM 8:9 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi, hamtawaliwi na mwili, bali na Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu. Mtu yeyote ambaye hana Roho wa Kristo, yeye si wa Kristo.

ROM 8:10 Removed trailing space in v~: Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, miili yenu imekufa kwa sababu ya dhambi, lakini roho zenu zi hai kwa sababu ya haki.

ROM 8:11 Removed trailing space in v~: Nanyi ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu ataihuisha pia miili yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho wake akaaye ndani yenu.

ROM 8:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ndugu zangu, sisi tu wadeni, si wa mwili, ili tuishi kwa kuufuata mwili,

ROM 8:13 Removed trailing space in v~: kwa maana mkiishi kwa kuufuata mwili, mtakufa, lakini kama mkiyaua matendo ya mwili kwa Roho, mtaishi.

ROM 8:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu, hao ndio watoto wa Mungu.

ROM 8:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana hamkupokea roho ya utumwa iwaleteayo tena hofu, bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambaye kwa yeye twalia, “Abba,\f + \fr 8:15 \ft Abba ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni Baba; ni neno ambalo lingetumiwa na mtoto kwa yule ambaye amemzaa.\f* yaani, Baba,”

ROM 8:16 Removed trailing space in v~: Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu ya kwamba sisi tu watoto wa Mungu.

ROM 8:17 Removed trailing space in v~: Hivyo, ikiwa sisi ni watoto, basi tu warithi, warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo, naam, tukiteswa pamoja naye tupate pia kutukuzwa pamoja naye.

ROM 8:17 Removed trailing space in s1: Utukufu Ujao

ROM 8:18 Removed trailing space in v~: Nayahesabu mateso yetu ya wakati huu kuwa si kitu kulinganisha na utukufu utakaodhihirishwa kwetu.

ROM 8:19 Removed trailing space in v~: Kwa maana viumbe vyote vinangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa watoto wa Mungu.

ROM 8:20 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa viumbe vyote viliwekwa chini ya ubatili, si kwa chaguo lao, bali kwa mapenzi yake yeye aliyevitiisha katika tumaini,

ROM 8:21 Removed trailing space in v~: ili kwamba viumbe vyote vipate kuwekwa huru kutoka kwa utumwa wa kuharibika na kupewa uhuru wa utukufu wa watoto wa Mungu.

ROM 8:22 Removed trailing space in v~: Kwa maana twajua ya kuwa hata sasa viumbe vyote vimekuwa vikilia kwa maumivu kama utungu wa mwanamke wakati wa kuzaa.

ROM 8:23 Removed trailing space in v~: Wala si hivyo viumbe peke yao, bali hata sisi ambao ndio matunda ya kwanza ya Roho, kwa ndani tunalia kwa uchungu tukisubiri kwa shauku kufanywa wana wa Mungu, yaani, ukombozi wa miili yetu.

ROM 8:24 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa tuliokolewa kwa tumaini hili. Lakini kama kinachotumainiwa kikionekana hakiwi tumaini tena. Je, kuna mtu anayetumaini kupata kitu alicho nacho tayari?

ROM 8:25 Removed trailing space in v~: Lakini tunapotumaini kupata kitu ambacho hatuna, basi twakingojea kwa saburi.

ROM 8:26 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, Roho hutusaidia katika udhaifu wetu, kwa sababu hatujui kuomba ipasavyo. Lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa uchungu usioweza kutamkwa.

ROM 8:27 Removed trailing space in v~: Naye Mungu aichunguzaye mioyo, anaijua nia ya Roho, kwa sababu Roho huwaombea watakatifu sawasawa na mapenzi ya Mungu.

ROM 8:27 Removed trailing space in s1: Tunashinda Na Zaidi Ya Kushinda

ROM 8:28 Removed trailing space in v~: Nasi tunajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hutenda kazi pamoja na wote wampendao, katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.

ROM 8:29 Removed trailing space in v~: Maana wale Mungu aliowajua tangu mwanzo, pia aliwachagua tangu mwanzo, wapate kufanana na mfano wa Mwanawe, ili yeye awe mzaliwa wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi.

ROM 8:30 Removed trailing space in v~: Nao wale Mungu aliotangulia kuwachagua, akawaita, wale aliowaita pia akawahesabia haki, nao wale aliowahesabia haki, pia akawatukuza.

ROM 8:30 Removed trailing space in s1: Upendo Wa Mungu

ROM 8:31 Removed trailing space in v~: Tuseme nini basi kuhusu haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani awezaye kuwa kinyume chetu?

ROM 8:32 Removed trailing space in v~: Ikiwa Mungu hakumhurumia Mwanawe, bali alimtoa kwa ajili yetu sote, atakosaje basi kutupatia vitu vyote kwa ukarimu pamoja naye?

ROM 8:33 Removed trailing space in v~: Ni nani atakayewashtaki wale ambao Mungu amewateua? Ni Mungu mwenyewe ndiye mwenye kuwahesabia haki.

ROM 8:34 Removed trailing space in v~: Ni nani basi atakayewahukumia adhabu? Kristo Yesu aliyekufa, naam, zaidi ya hayo, aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, yuko mkono wa kuume wa Mungu, naye pia anatuombea.

ROM 8:35 Removed trailing space in v~: Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je, ni shida au taabu au mateso au njaa au uchi au hatari au upanga?

ROM 8:36 Removed trailing space in v~: Kama ilivyoandikwa:

ROM 8:36 Removed trailing space in p~: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa;

ROM 8:36 Removed trailing space in p~: tumehesabiwa kama kondoo wa kuchinjwa.”

ROM 8:37 Removed trailing space in v~: Lakini katika mambo haya yote tunashinda, naam na zaidi ya kushinda, kwa yeye aliyetupenda.

ROM 8:38 Removed trailing space in v~: Kwa maana nimekwisha kujua kwa hakika ya kuwa sio mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuja, wala wenye uwezo,

ROM 8:39 Removed trailing space in v~: wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kingine chochote zitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu, Bwana wetu.

ROM 9:0 Extra space after chapter number

ROM 9:0 Removed trailing space in c: 9

ROM 9:0 Removed trailing space in s1: Kuteuliwa Kwa Israeli Na Mungu

ROM 9:1 Removed trailing space in v~: Ninasema kweli katika Kristo, wala sisemi uongo, dhamiri yangu inanishuhudia katika Roho Mtakatifu.

ROM 9:2 Removed trailing space in v~: Nina huzuni kuu na uchungu usiokoma moyoni mwangu.

ROM 9:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana ningetamani hata mimi nilaaniwe na kutengwa na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu hasa, wale walio wa kabila langu kwa jinsi ya mwili,

ROM 9:4 Removed trailing space in v~: yaani, watu wa Israeli, ambao ndio wenye kule kufanywa wana, ule utukufu wa Mungu, yale maagano, kule kupokea sheria, ibada ya kwenye Hekalu na zile ahadi.

ROM 9:5 Removed trailing space in v~: Wao ni wa uzao wa mababa wakuu wa kwanza, ambao kutoka kwao Kristo alikuja kwa jinsi ya mwili kama mwanadamu, yeye ambaye ni Mungu aliye juu ya vyote, mwenye kuhimidiwa milele! Amen.

ROM 9:6 Removed trailing space in v~: Si kwamba Neno la Mungu limeshindwa. Kwa maana si kila Mwisraeli ambaye ni wa uzao utokanao na Israeli ni Mwisraeli halisi.

ROM 9:7 Removed trailing space in v~: Wala hawakuwi wazao wa Abrahamu kwa sababu wao ni watoto wake, lakini: “Uzao wako utahesabiwa kupitia kwake Isaki.”

ROM 9:8 Removed trailing space in v~: Hii ina maana kwamba, si watoto waliozaliwa kimwili walio watoto wa Mungu, bali ni watoto wa ahadi wanaohesabiwa kuwa uzao wa Abrahamu.

ROM 9:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana ahadi yenyewe ilisema, “Nitakurudia tena wakati kama huu, naye Sara atapata mtoto wa kiume.”

ROM 9:10 Removed trailing space in v~: Wala si hivyo tu, bali pia watoto aliowazaa Rebeka walikuwa na baba huyo huyo mmoja, yaani, baba yetu Isaki.

ROM 9:11 Removed trailing space in v~: Lakini, hata kabla hao mapacha hawajazaliwa au kufanya jambo lolote jema au baya, ili kwamba kusudi la Mungu la kuchagua lipate kusimama,

ROM 9:12 Removed trailing space in v~: si kwa matendo, bali kwa yeye mwenye kuita, Rebeka aliambiwa, “Yule mkubwa atamtumikia yule mdogo.”

ROM 9:13 Removed trailing space in v~: Kama vile ilivyoandikwa, “Nimempenda Yakobo, lakini nimemchukia Esau.”

ROM 9:13 Removed trailing space in s1: Mungu Hana Upendeleo

ROM 9:14 Removed trailing space in v~: Tuseme nini basi? Je, Mungu ni dhalimu? La, hasha!

ROM 9:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu alimwambia Mose,

ROM 9:15 Removed trailing space in p~: “Nitamrehemu yeye nimrehemuye,

ROM 9:15 Removed trailing space in p~: na pia nitamhurumia yeye nimhurumiaye.”

ROM 9:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo haitegemei kutaka kwa mwanadamu au jitihada, bali hutegemea huruma ya Mungu.

ROM 9:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana Maandiko yamwambia Farao, “Nilikuinua kwa kusudi hili hasa, ili nipate kuonyesha uweza wangu juu yako, na ili Jina langu lipate kutangazwa duniani yote.”

ROM 9:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo basi, Mungu humhurumia yeye atakaye kumhurumia na humfanya mgumu yeye atakaye kumfanya mgumu.

ROM 9:19 Removed trailing space in v~: Basi mtaniambia, “Kama ni hivyo, kwa nini basi bado Mungu anatulaumu? Kwa maana ni nani awezaye kupinga mapenzi yake?”

ROM 9:20 Removed trailing space in v~: Lakini, ewe mwanadamu, u nani wewe ushindane na Mungu? “Je, kilichoumbwa chaweza kumwambia yeye aliyekiumba, ‘Kwa nini umeniumba hivi?’ ”

ROM 9:21 Removed trailing space in v~: Je, mfinyanzi hana haki ya kufinyanga kutoka bonge moja vyombo vya udongo, vingine kwa matumizi ya heshima na vingine kwa matumizi ya kawaida?

ROM 9:22 Removed trailing space in v~: Iweje basi, kama Mungu kwa kutaka kuonyesha ghadhabu yake na kufanya uweza wake ujulikane, amevumilia kwa uvumilivu mwingi vile vyombo vya ghadhabu vilivyoandaliwa kwa uharibifu?

ROM 9:23 Removed trailing space in v~: Iweje basi, kama yeye alitenda hivi ili kufanya wingi wa utukufu wake ujulikane kwa vile vyombo vya rehema yake, alivyotangulia kuvitengeneza kwa ajili ya utukufu wake,

ROM 9:24 Removed trailing space in v~: yaani pamoja na sisi, ambao pia alituita, si kutoka kwa Wayahudi peke yao, bali pia kutoka kwa watu wa Mataifa?

ROM 9:24 Removed trailing space in s1: Yote Yalitabiriwa Katika Maandiko

ROM 9:25 Removed trailing space in v~: Kama vile Mungu asemavyo katika Hosea:

ROM 9:25 Removed trailing space in p~: “Nitawaita ‘watu wangu’

ROM 9:25 Removed trailing space in p~: wale ambao si watu wangu;

ROM 9:25 Removed trailing space in p~: nami nitamwita ‘mpenzi wangu’

ROM 9:25 Removed trailing space in p~: yeye ambaye si mpenzi wangu,”

ROM 9:26 Removed trailing space in v~: tena,

ROM 9:26 Removed trailing space in p~: “Itakuwa hasa mahali pale walipoambiwa,

ROM 9:26 Removed trailing space in p~: ‘Ninyi si watu wangu,’

ROM 9:26 Removed trailing space in p~: wao wataitwa ‘wana wa Mungu aliye hai.’ ”

ROM 9:27 Removed trailing space in v~: Isaya anapiga kelele kuhusu Israeli:

ROM 9:27 Removed trailing space in p~: “Ingawa idadi ya wana wa Israeli

ROM 9:27 Removed trailing space in p~: ni wengi kama mchanga wa pwani,

ROM 9:27 Removed trailing space in p~: ni mabaki yao tu watakaookolewa.

ROM 9:28 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Bwana ataitekeleza

ROM 9:28 Removed trailing space in p~: hukumu yake duniani kwa haraka

ROM 9:28 Removed trailing space in p~: na kwa ukamilifu.”

ROM 9:29 Removed trailing space in v~: Ni kama vile alivyotabiri Isaya akisema:

ROM 9:29 Removed trailing space in p~: “Kama Bwana Mwenye Nguvu Zote

ROM 9:29 Removed trailing space in p~: asingelituachia uzao,

ROM 9:29 Removed trailing space in p~: tungelikuwa kama Sodoma,

ROM 9:29 Removed trailing space in p~: tungelifanana na Gomora.”

ROM 9:29 Removed trailing space in s1: Kutokuamini Kwa Israeli

ROM 9:30 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tuseme nini basi? Kwamba watu wa Mataifa ambao hawakutafuta haki, wamepata haki ile iliyo kwa njia ya imani.

ROM 9:31 Removed trailing space in v~: Lakini Israeli, ambao walijitahidi kupata haki kwa njia ya sheria, hawakuipata.

ROM 9:32 Removed trailing space in v~: Kwa nini? Kwa sababu hawakuitafuta kwa njia ya imani bali kwa njia ya matendo. Wakajikwaa kwenye lile “jiwe la kukwaza.”

ROM 9:33 Removed trailing space in v~: Kama ilivyoandikwa:

ROM 9:33 Removed trailing space in p~: “Tazama naweka katika Sayuni jiwe la kukwaza watu

ROM 9:33 Removed trailing space in p~: na mwamba wa kuwaangusha.

ROM 9:33 Removed trailing space in p~: Yeyote atakayemwamini

ROM 9:33 Removed trailing space in p~: hataaibika kamwe.”

ROM 10:0 Extra space after chapter number

ROM 10:0 Removed trailing space in c: 10

ROM 10:1 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, shauku ya moyo wangu na maombi yangu kwa Mungu ni kwa ajili ya Waisraeli, kwamba waokolewe.

ROM 10:2 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninaweza nikashuhudia wazi kwamba wao wana juhudi kubwa kwa ajili ya Mungu, lakini juhudi yao haina maarifa.

ROM 10:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hawakuijua haki itokayo kwa Mungu, wakatafuta kuweka haki yao wenyewe, hawakujitia chini ya haki ya Mungu.

ROM 10:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana Kristo ni ukomo wa sheria ili kuwe na haki kwa kila mtu aaminiye.

ROM 10:4 Removed trailing space in s1: Wokovu Ni Kwa Ajili Ya Wote

ROM 10:5 Removed trailing space in v~: Mose anaandika kuhusu haki ile itokanayo na sheria, kwamba, “Mtu atendaye matendo hayo ataishi kwa hayo.”

ROM 10:6 Removed trailing space in v~: Lakini ile haki itokanayo na imani husema hivi: “Usiseme moyoni mwako, ‘Ni nani atakayepanda mbinguni?’ ” (yaani ili kumleta Kristo chini)

ROM 10:7 Removed trailing space in v~: “au ‘Ni nani atashuka kwenda kuzimu?’ ” (yaani ili kumleta Kristo kutoka kwa wafu.)

ROM 10:8 Removed trailing space in v~: Lakini andiko lasemaje? “Lile neno liko karibu nawe, liko kinywani mwako na moyoni mwako,” yaani, lile neno la imani tunalolihubiri.

ROM 10:9 Removed trailing space in v~: Kwa sababu kama ukikiri kwa kinywa chako kwamba “Yesu ni Bwana,” na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka.

ROM 10:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwa moyo mtu huamini na hivyo kuhesabiwa haki, tena kwa kinywa mtu hukiri na hivyo kupata wokovu.

ROM 10:11 Removed trailing space in v~: Kama yasemavyo Maandiko, “Yeyote amwaminiye hataaibika kamwe.”

ROM 10:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani, yeye ni Bwana wa wote, mwenye utajiri kwa wote wamwitao.

ROM 10:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana, “Kila mtu atakayeliitia Jina la Bwana, ataokolewa.”

ROM 10:14 Removed trailing space in v~: Lakini watamwitaje yeye ambaye hawajamwamini? Nao watawezaje kumwamini yeye ambaye hawajamsikia? Tena watamsikiaje bila mtu kuwahubiria?

ROM 10:15 Removed trailing space in v~: Nao watahubirije wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, “Tazama jinsi ilivyo mizuri miguu yao wale wanaohubiri habari njema!”

ROM 10:16 Removed trailing space in v~: Lakini si wote waliotii Habari Njema. Kwa maana Isaya asema, “Bwana, ni nani aliyeamini ujumbe wetu?”

ROM 10:17 Removed trailing space in v~: Basi, imani chanzo chake ni kusikia, na kusikia huja kwa neno la Kristo.

ROM 10:18 Removed trailing space in v~: Lakini nauliza: Je, wao hawakusikia? Naam, wamesikia, kwa maana:

ROM 10:18 Removed trailing space in p~: “Sauti yao imeenea duniani pote,

ROM 10:18 Removed trailing space in p~: nayo maneno yao yameenea

ROM 10:18 Removed trailing space in p~: hadi miisho ya ulimwengu.”

ROM 10:19 Removed trailing space in v~: Nami nauliza tena: Je, Waisraeli hawakuelewa? Kwanza, Mose asema,

ROM 10:19 Removed trailing space in p~: “Nitawafanya mwe na wivu

ROM 10:19 Removed trailing space in p~: kwa watu wale ambao si taifa.

ROM 10:19 Removed trailing space in p~: Nitawakasirisha kwa taifa

ROM 10:19 Removed trailing space in p~: lile lisilo na ufahamu.”

ROM 10:20 Removed trailing space in v~: Naye Isaya kwa ujasiri mwingi anasema,

ROM 10:20 Removed trailing space in p~: “Nimeonekana na watu wale ambao hawakunitafuta.

ROM 10:20 Removed trailing space in p~: Nilijifunua kwa watu

ROM 10:20 Removed trailing space in p~: wale ambao hawakunitafuta.”

ROM 10:21 Removed trailing space in v~: Lakini kuhusu Israeli anasema,

ROM 10:21 Removed trailing space in p~: “Mchana kutwa nimewanyooshea

ROM 10:21 Removed trailing space in p~: watu wakaidi na wasiotii mikono yangu.”

ROM 11:0 Extra space after chapter number

ROM 11:0 Removed trailing space in c: 11

ROM 11:0 Removed trailing space in s1: Mabaki Ya Israeli

ROM 11:1 Removed trailing space in v~: Basi nauliza: Je, Mungu amewakataa watu wake? La, hasha! Mimi mwenyewe ni Mwisraeli, tena uzao wa Abrahamu kutoka kabila la Benyamini.

ROM 11:2 Removed trailing space in v~: Mungu hajawakataa watu wake, ambao yeye aliwajua tangu mwanzo. Je, hamjui yale Maandiko yasemayo kuhusu Eliya, jinsi alivyomlalamikia Mungu kuhusu Israeli?

ROM 11:3 Removed trailing space in v~: Alisema, “Bwana, wamewaua manabii wako na kuzibomoa madhabahu zako, nimebaki mimi peke yangu, nao wanataka kuniua?”

ROM 11:4 Removed trailing space in v~: Je, Mungu alimjibuje? “Nimejibakizia watu elfu saba ambao hawajapiga magoti kumwabudu Baali.”

ROM 11:5 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo pia, sasa wapo mabaki waliochaguliwa kwa neema ya Mungu.

ROM 11:6 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa wamechaguliwa kwa neema, si tena kwa msingi wa matendo. Kama ingekuwa kwa matendo, neema isingekuwa neema tena.

ROM 11:7 Removed trailing space in v~: Tuseme nini basi? Kile kitu ambacho Israeli alikitafuta kwa bidii hakukipata. Lakini waliochaguliwa walikipata. Waliobaki walifanywa wagumu,

ROM 11:8 Removed trailing space in v~: kama ilivyoandikwa:

ROM 11:8 Removed trailing space in p~: “Mungu aliwapa bumbuazi la mioyo,

ROM 11:8 Removed trailing space in p~: macho ili wasiweze kuona,

ROM 11:8 Removed trailing space in p~: na masikio ili wasiweze kusikia,

ROM 11:8 Removed trailing space in p~: hadi leo.”

ROM 11:9 Removed trailing space in v~: Naye Daudi anasema:

ROM 11:9 Removed trailing space in p~: “Karamu zao na ziwe tanzi na mtego wa kuwanasa,

ROM 11:9 Removed trailing space in p~: kitu cha kuwakwaza waanguke, na adhabu kwao.

ROM 11:10 Removed trailing space in v~: Macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona,

ROM 11:10 Removed trailing space in p~: nayo migongo yao iinamishwe daima.”

ROM 11:10 Removed trailing space in s1: Matawi Yaliyopandikizwa

ROM 11:11 Removed trailing space in v~: Hivyo nauliza tena: Je, Waisraeli walijikwaa ili waanguke na kuangamia kabisa? La, hasha! Lakini kwa sababu ya makosa yao, wokovu umewafikia watu wa Mataifa, ili kuwafanya Waisraeli waone wivu.

ROM 11:12 Removed trailing space in v~: Basi ikiwa kukosa kwao kumekuwa utajiri mkubwa kwa ulimwengu, tena kama kuangamia kwao kumeleta utajiri kwa watu wa Mataifa, kurudishwa kwao kutaleta utajiri mkuu zaidi.

ROM 11:13 Removed trailing space in v~: Sasa ninasema nanyi watu wa Mataifa. Maadamu mimi ni mtume kwa watu wa Mataifa, naitukuza huduma yangu

ROM 11:14 Removed trailing space in v~: ili kuwafanya watu wangu waone wivu na hivyo kuwaokoa baadhi yao.

ROM 11:15 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ikiwa kukataliwa kwao ni kupatanishwa kwa ulimwengu, kukubaliwa kwao si kutakuwa ni uhai baada ya kufa?

ROM 11:16 Removed trailing space in v~: Kama sehemu ya donge la unga uliotolewa kuwa limbuko ni mtakatifu, basi unga wote ni mtakatifu, nalo shina kama ni takatifu, vivyo hivyo na matawi nayo.

ROM 11:17 Removed trailing space in v~: Lakini kama baadhi ya matawi yalikatwa, nawe chipukizi la mzeituni mwitu ukapandikizwa mahali pao ili kushiriki unono pamoja na matawi mengine kutoka shina la mzeituni,

ROM 11:18 Removed trailing space in v~: basi usijivune juu ya hayo matawi. Kama ukijivuna, kumbuka jambo hili: si wewe unayelishikilia shina, bali ni shina linalokushikilia wewe.

ROM 11:19 Removed trailing space in v~: Basi utasema, “Matawi yale yalikatwa ili nipate kupandikizwa katika hilo shina.”

ROM 11:20 Removed trailing space in v~: Hii ni kweli. Matawi hayo yalikatwa kwa sababu ya kutokuamini kwake, lakini wewe umesimama tu kwa sababu ya imani. Kwa hiyo usijivune, bali simama kwa kuogopa.

ROM 11:21 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama Mungu hakuyahurumia matawi ya asili, wala hatakuhurumia wewe.

ROM 11:22 Removed trailing space in v~: Angalia basi wema na ukali wa Mungu: Kwa wale walioanguka, ukali, bali kwako wewe wema wa Mungu, kama utadumu katika wema wake. La sivyo, nawe utakatiliwa mbali.

ROM 11:23 Removed trailing space in v~: Wao nao wasipodumu katika kutokuamini kwao, watapandikizwa tena kwenye shina, kwa maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena kwenye hilo shina.

ROM 11:24 Removed trailing space in v~: Ikiwa wewe ulikatwa kutoka kile ambacho kwa asili ni mzeituni mwitu na kupandikizwa kinyume cha asili kwenye mzeituni uliopandwa, si rahisi zaidi matawi haya ya asili kupandikizwa tena kwenye shina lake la mzeituni!

ROM 11:24 Removed trailing space in s1: Israeli Wote Wataokolewa

ROM 11:25 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, ili msije mkajidai kuwa wenye hekima kuliko mlivyo, nataka mfahamu siri hii: Ugumu umewapata Israeli kwa sehemu hadi idadi ya watu wa Mataifa watakaoingia itimie.

ROM 11:26 Removed trailing space in v~: Hivyo Israeli wote wataokolewa. Kama ilivyoandikwa:

ROM 11:26 Removed trailing space in p~: “Mkombozi atakuja kutoka Sayuni;

ROM 11:26 Removed trailing space in p~: ataondoa kutokumcha Mungu katika Yakobo.

ROM 11:27 Removed trailing space in v~: Hili ndilo agano langu nao

ROM 11:27 Removed trailing space in p~: nitakapoziondoa dhambi zao.”

ROM 11:28 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya Injili, wao ni adui wa Mungu kwa ajili yenu, lakini kuhusu kule kuteuliwa kwao ni wapendwa, kwa ajili ya mababa zao wa zamani,

ROM 11:29 Removed trailing space in v~: kwa maana akishawapa watu karama, Mungu haziondoi, wala wito wake.

ROM 11:30 Removed trailing space in v~: Kama vile ninyi wakati fulani mlivyokuwa waasi kwa Mungu lakini sasa mmepata rehema kwa sababu ya kutokutii kwao,

ROM 11:31 Removed trailing space in v~: hivyo nao Waisraeli wamekuwa waasi ili kwamba wao nao sasa waweze kupata rehema kwa ajili ya rehema za Mungu kwenu.

ROM 11:32 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu amewafunga wanadamu wote kwenye kuasi ili apate kuwarehemu wote.

ROM 11:32 Removed trailing space in s1: Wimbo Wa Shukrani

ROM 11:33 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi kilivyo kina cha utajiri

ROM 11:33 Removed trailing space in p~: wa hekima na maarifa ya Mungu!

ROM 11:33 Removed trailing space in p~: Tazama jinsi ambavyo hukumu zake hazichunguziki,

ROM 11:33 Removed trailing space in p~: na ambavyo njia zake zisivyotafutikana!

ROM 11:34 Removed trailing space in v~: “Ni nani aliyeyafahamu mawazo ya Bwana?

ROM 11:34 Removed trailing space in p~: Au ni nani ambaye amekuwa mshauri wake?”

ROM 11:35 Removed trailing space in v~: “Au ni nani aliyempa chochote

ROM 11:35 Removed trailing space in p~: ili arudishiwe?”

ROM 11:36 Removed trailing space in v~: Kwa maana vitu vyote vyatoka kwake, viko kwake na kwa ajili yake.

ROM 11:36 Removed trailing space in p~: Utukufu ni wake milele! Amen.

ROM 12:0 Extra space after chapter number

ROM 12:0 Removed trailing space in c: 12

ROM 12:0 Removed trailing space in s1: Maisha Mapya Katika Kristo

ROM 12:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ndugu zangu, nawasihi kwa rehema zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu na inayompendeza Mungu, hii ndiyo ibada yenu yenye maana.

ROM 12:2 Removed trailing space in v~: Msifuatishe tena mfano wa ulimwengu huu, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Ndipo mtaweza kuonja na kuhakikisha ni nini mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yanayopendeza machoni pake na ukamilifu.

ROM 12:3 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya neema niliyopewa nawaambia kila mmoja miongoni mwenu, asijidhanie kuwa bora kuliko impasavyo, bali afikiri kwa busara kwa kulingana na kipimo cha imani Mungu aliyompa.

ROM 12:4 Removed trailing space in v~: Kama vile katika mwili mmoja tulivyo na viungo vingi, navyo viungo vyote havina kazi moja,

ROM 12:5 Removed trailing space in v~: vivyo hivyo na sisi tulio wengi, tu mwili mmoja katika Kristo, nasi kila mmoja ni kiungo cha mwenzake.

ROM 12:6 Removed trailing space in v~: Tuna karama zilizotofautiana kila mmoja kutokana na neema tuliyopewa. Kama ni unabii na tutoe unabii kwa kadiri ya imani.

ROM 12:7 Removed trailing space in v~: Kama ni kuhudumu na tuhudumu, mwenye kufundisha na afundishe,

ROM 12:8 Removed trailing space in v~: kama ni kutia moyo na atie moyo, kama ni kuchangia kwa ajili ya mahitaji ya wengine na atoe kwa ukarimu, kama ni uongozi na aongoze kwa bidii, kama ni kuhurumia wengine na afanye hivyo kwa furaha.

ROM 12:8 Removed trailing space in s1: Alama Za Mkristo Wa Kweli

ROM 12:9 Removed trailing space in v~: Upendo lazima usiwe na unafiki. Chukieni lililo ovu, shikamaneni na lililo jema.

ROM 12:10 Removed trailing space in v~: Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa ndugu. Waheshimuni na kuwatanguliza wengine.

ROM 12:11 Removed trailing space in v~: Msiwe wavivu, bali mwe na bidii katika roho mkimtumikia Bwana.

ROM 12:12 Removed trailing space in v~: Kuweni na furaha katika tumaini, katika dhiki kuweni na saburi, dumuni katika maombi.

ROM 12:13 Removed trailing space in v~: Changieni katika mahitaji ya watakatifu, wakaribisheni wageni.

ROM 12:14 Removed trailing space in v~: Wabarikini wale wanaowatesa, barikini wala msilaani.

ROM 12:15 Removed trailing space in v~: Furahini pamoja na wenye kufurahi, lieni pamoja na wale waliao.

ROM 12:16 Removed trailing space in v~: Kaeni kwa amani ninyi kwa ninyi. Msijivune, bali mwe tayari kushirikiana na wanyonge. Wala msiwe watu wenye kujivuna kwamba mnajua kila kitu.

ROM 12:17 Removed trailing space in v~: Msimlipe mtu yeyote ovu kwa ovu. Jitahidini ili mtende yaliyo mema machoni pa watu wote.

ROM 12:18 Removed trailing space in v~: Kama ikiwezekana, kwa upande wenu kaeni kwa amani na watu wote.

ROM 12:19 Removed trailing space in v~: Wapendwa, msilipize kisasi, bali ipisheni ghadhabu ya Mungu, maana imeandikwa: “Ni juu yangu kulipiza kisasi, nitalipiza,” asema Bwana.

ROM 12:20 Removed trailing space in v~: Badala yake:

ROM 12:20 Removed trailing space in p~: “Kama adui yako ana njaa, mlishe;

ROM 12:20 Removed trailing space in p~: kama ana kiu, mpe kinywaji.

ROM 12:20 Removed trailing space in p~: Kwa kufanya hivyo,

ROM 12:20 Removed trailing space in p~: unaweka makaa ya moto yanayowaka kichwani pake.”

ROM 12:21 Removed trailing space in v~: Usishindwe na ubaya, bali uushinde ubaya kwa wema.

ROM 13:0 Extra space after chapter number

ROM 13:0 Removed trailing space in c: 13

ROM 13:0 Removed trailing space in s1: Kutii Mamlaka

ROM 13:1 Removed trailing space in v~: Kila mtu na atii mamlaka inayotawala, kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu, nazo mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu.

ROM 13:2 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo yeye anayeasi dhidi ya mamlaka inayotawala anaasi dhidi ya kile kilichowekwa na Mungu, nao wale wafanyao hivyo watajiletea hukumu juu yao wenyewe.

ROM 13:3 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa watawala hawawatishi watu wale wanaotenda mema bali wale wanaotenda mabaya. Je, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Basi tenda lile lililo jema naye atakusifu.

ROM 13:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa ajili ya mema. Lakini kama ukitenda mabaya, basi ogopa, kwa kuwa hauinui upanga bila sababu. Yeye ni mtumishi wa Mungu, mjumbe wa Mungu wa kutekeleza adhabu juu ya watenda mabaya.

ROM 13:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu iwezayo kutolewa, bali pia kwa ajili ya dhamiri.

ROM 13:6 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu, ambao hutumia muda wao wote kutawala.

ROM 13:7 Removed trailing space in v~: Mlipeni kila mtu kile mnachodaiwa. Kama mnadaiwa kodi lipeni kodi, kama ni ushuru, lipeni ushuru, astahiliye hofu, mhofu, astahiliye heshima, mheshimu.

ROM 13:7 Removed trailing space in s1: Kupendana Kila Mmoja Na Mwingine

ROM 13:8 Removed trailing space in v~: Msidaiwe kitu na mtu yeyote, isipokuwa kupendana, kwa maana yeye ampendaye mwenzake, ameitimiza sheria.

ROM 13:9 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa amri hizi zisemazo, “Usizini,” “Usiue,” “Usiibe,” “Usitamani,” na amri nyingine zote, zinajumlishwa katika amri hii moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.”

ROM 13:10 Removed trailing space in v~: Upendo haumfanyii jirani jambo baya. Kwa hiyo upendo ndio utimilifu wa sheria.

ROM 13:11 Removed trailing space in v~: Nanyi fanyeni hivi, mkiutambua wakati tulio nao. Saa ya kuamka kutoka usingizini imewadia, kwa maana sasa wokovu wetu umekaribia zaidi kuliko hapo kwanza tulipoamini.

ROM 13:12 Removed trailing space in v~: Usiku umeendelea sana, mapambazuko yamekaribia. Kwa hiyo tuyaweke kando matendo ya giza na tuvae silaha za nuru.

ROM 13:13 Removed trailing space in v~: Basi na tuenende kwa adabu kama inavyopasa wakati wa mchana, si kwa kufanya karamu za ulafi na ulevi, si kwa ufisadi na uasherati, si kwa ugomvi na wivu.

ROM 13:14 Removed trailing space in v~: Bali jivikeni Bwana Yesu Kristo, wala msifikiri jinsi mtakavyotimiza tamaa za miili yenu yenye asili ya dhambi.

ROM 14:0 Extra space after chapter number

ROM 14:0 Removed trailing space in c: 14

ROM 14:0 Removed trailing space in s1: Msiwahukumu Wengine

ROM 14:1 Removed trailing space in v~: Mkaribisheni yeye ambaye imani yake ni dhaifu, lakini si kwa kugombana na kubishana juu ya mawazo yake.

ROM 14:2 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja imani yake inamruhusu kula kila kitu, lakini mwingine ambaye imani yake ni dhaifu, hula mboga tu.

ROM 14:3 Removed trailing space in v~: Yeye alaye kila kitu asimdharau yeye asiyekula. Wala yeye asiyekula kila kitu asimhukumu yule alaye kila kitu, kwa maana Mungu amemkubali.

ROM 14:4 Removed trailing space in v~: Wewe ni nani hata umhukumu mtumishi wa mtu mwingine? Kwa bwana wake tu anasimama au kuanguka. Naye atasimama kwa sababu Bwana anaweza kumsimamisha.

ROM 14:5 Removed trailing space in v~: Mtu mmoja anaitukuza siku fulani kuwa ni bora kuliko nyingine, na mwingine anaona kuwa siku zote ni sawa. Basi kila mmoja awe na hakika na yale anayoamini.

ROM 14:6 Removed trailing space in v~: Yeye anayehesabu siku moja kuwa takatifu kuliko nyingine, hufanya hivyo kwa kumheshimu Bwana. Naye alaye nyama hula kwa Bwana, kwa maana humshukuru Mungu, naye akataaye kula nyama hufanya hivyo kwa Bwana na humshukuru Mungu.

ROM 14:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hakuna hata mmoja wetu anayeishi kwa ajili yake mwenyewe, wala hakuna hata mmoja wetu afaye kwa ajili yake mwenyewe.

ROM 14:8 Removed trailing space in v~: Kama tunaishi, tunaishi kwa Bwana, nasi pia tukifa tunakufa kwa Bwana. Kwa hiyo basi, kama tukiishi au kama tukifa, sisi ni mali ya Bwana.

ROM 14:9 Removed trailing space in v~: Kwani kwa sababu hii hasa, Kristo alikufa na akawa hai tena kusudi apate kuwa Bwana wa wote, yaani, waliokufa na walio hai.

ROM 14:10 Removed trailing space in v~: Basi kwa nini wewe wamhukumu ndugu yako? Au kwa nini wewe unamdharau ndugu yako? Kwa kuwa sote tutasimama mbele ya kiti cha Mungu cha hukumu.

ROM 14:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa imeandikwa:

ROM 14:11 Removed trailing space in p~: “ ‘Kama vile niishivyo,’ asema Bwana,

ROM 14:11 Removed trailing space in p~: ‘kila goti litapigwa mbele zangu,

ROM 14:11 Removed trailing space in p~: na kila ulimi utakiri kwa Mungu.’ ”

ROM 14:12 Removed trailing space in v~: Hivyo basi kila mmoja wetu atatoa habari zake mwenyewe kwa Mungu.

ROM 14:12 Removed trailing space in s1: Usimfanye Ndugu Yako Ajikwae

ROM 14:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tusiendelee kuhukumiana: Badala yake mtu asiweke kamwe kikwazo au kizuizi katika njia ya ndugu mwingine.

ROM 14:14 Removed trailing space in v~: Ninajua tena nimehakikishiwa sana katika Bwana Yesu kwamba hakuna kitu chochote ambacho ni najisi kwa asili yake. Lakini kama mtu anakiona kitu kuwa ni najisi, basi kwake huyo kitu hicho ni najisi.

ROM 14:15 Removed trailing space in v~: Kama ndugu yako anahuzunishwa kwa sababu ya kile unachokula, basi huenendi tena katika upendo. Usiruhusu kile unachokula kiwe sababu ya kumwangamiza ndugu yako ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.

ROM 14:16 Removed trailing space in v~: Usiruhusu kile ambacho unakiona kuwa chema kisemwe kuwa ni kiovu.

ROM 14:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana Ufalme wa Mungu si kula na kunywa, bali ni haki, amani na furaha katika Roho Mtakatifu.

ROM 14:18 Removed trailing space in v~: Kwa sababu mtu yeyote anayemtumikia Kristo kwa jinsi hii, anampendeza Mungu na kukubaliwa na wanadamu.

ROM 14:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo na tufanye bidii kutafuta yale yaletayo amani na kujengana sisi kwa sisi.

ROM 14:20 Removed trailing space in v~: Usiiharibu kazi ya Mungu kwa ajili ya chakula. Hakika vyakula vyote ni safi, lakini ni kosa kula kitu chochote kinachomsababisha ndugu yako ajikwae.

ROM 14:21 Removed trailing space in v~: Ni afadhali kutokula nyama wala kunywa divai au kufanya jambo lingine lolote litakalomsababisha ndugu yako ajikwae.

ROM 14:22 Removed trailing space in v~: Je, wewe unayo imani? Ile imani uliyo nayo, uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Heri mtu yule asiye na sababu ya kujihukumu nafsi yake kwa ajili ya kile anachokifanya.

ROM 14:23 Removed trailing space in v~: Lakini kama mtu ana shaka kuhusu kile anachokula, amehukumiwa, kwa sababu hakula kwa imani. Kwa kuwa chochote kinachofanywa pasipo imani ni dhambi.

ROM 15:0 Extra space after chapter number

ROM 15:0 Removed trailing space in c: 15

ROM 15:0 Removed trailing space in s1: Usijipendeze Mwenyewe, Bali Wapendeze Wengine

ROM 15:1 Removed trailing space in v~: Sisi tulio na nguvu, hatuna budi kuchukuliana na kushindwa kwa wale walio dhaifu wala si kujipendeza nafsi zetu wenyewe.

ROM 15:2 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wetu inampasa kumpendeza jirani yake kwa mambo mema, ili kumjenga katika imani.

ROM 15:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana hata Kristo hakujipendeza mwenyewe, bali kama ilivyoandikwa: “Matukano yao wale wanaokutukana wewe yalinipata mimi.”

ROM 15:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila kitu kilichoandikwa zamani, kiliandikwa kutufundisha, ili kwamba kwa saburi na faraja tunayopata katika Maandiko tuwe na tumaini.

ROM 15:5 Removed trailing space in v~: Mungu atoaye saburi na faraja, awajalie ninyi roho ya umoja miongoni mwenu mnapomfuata Kristo Yesu,

ROM 15:6 Removed trailing space in v~: ili kwa moyo mmoja mpate kumtukuza Mungu aliye Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.

ROM 15:6 Removed trailing space in s1: Injili Sawa Kwa Wayahudi Na Kwa Watu Wa Mataifa

ROM 15:7 Removed trailing space in v~: Karibishaneni ninyi kwa ninyi kama Kristo alivyowakaribisha ninyi ili kumletea Mungu utukufu.

ROM 15:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana nawaambia kwamba, Kristo amekuwa mtumishi kwa wale waliotahiriwa ili kuonyesha kweli ya Mungu na kuthibitisha zile ahadi walizopewa baba zetu wa zamani,

ROM 15:9 Removed trailing space in v~: pia ili watu wa Mataifa wamtukuze Mungu kwa rehema zake. Kama ilivyoandikwa:

ROM 15:9 Removed trailing space in p~: “Kwa hiyo nitakutukuza katikati ya watu wa Mataifa;

ROM 15:9 Removed trailing space in p~: nitaliimbia sifa jina lako.”

ROM 15:10 Removed trailing space in v~: Tena yasema,

ROM 15:10 Removed trailing space in p~: “Enyi watu wa Mataifa, furahini

ROM 15:10 Removed trailing space in p~: pamoja na watu wa Mungu.”

ROM 15:11 Removed trailing space in v~: Tena,

ROM 15:11 Removed trailing space in p~: “Msifuni Bwana, ninyi watu wa Mataifa wote,

ROM 15:11 Removed trailing space in p~: na kumwimbia sifa, enyi watu wote.”

ROM 15:12 Removed trailing space in v~: Tena Isaya anasema,

ROM 15:12 Removed trailing space in p~: “Shina la Yese litachipuka,

ROM 15:12 Removed trailing space in p~: yeye atakayeinuka ili kutawala juu ya mataifa.

ROM 15:12 Removed trailing space in p~: Watu wa Mataifa watamtumaini.”

ROM 15:13 Removed trailing space in v~: Mungu wa tumaini awajaze ninyi furaha yote na amani katika kumwamini, ili mpate kujawa na tumaini tele kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.

ROM 15:13 Removed trailing space in s1: Paulo Mhudumu Wa Watu Wa Mataifa

ROM 15:14 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, mimi mwenyewe ninasadiki kwamba mmejaa wema na ufahamu wote, tena mnaweza kufundishana ninyi kwa ninyi.

ROM 15:15 Removed trailing space in v~: Nimewaandikia kwa ujasiri vipengele kadha wa kadha katika waraka huu kama kuwakumbusha tena kwa habari ya ile neema Mungu aliyonipa,

ROM 15:16 Removed trailing space in v~: ili kuwa mhudumu wa Kristo Yesu kwa watu wa Mataifa nikiwa na huduma ya kikuhani ya kutangaza Injili ya Mungu, ili watu wa Mataifa wapate kuwa dhabihu inayokubaliwa na Mungu, iliyotakaswa na Roho Mtakatifu.

ROM 15:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ninajisifu katika Kristo Yesu, kwenye utumishi wangu kwa Mungu.

ROM 15:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana sitathubutu kusema kitu chochote zaidi ya kile ambacho Kristo amefanya kwa kunitumia mimi katika kuwaongoza watu wa Mataifa wamtii Mungu kwa yale niliyosema na kufanya,

ROM 15:19 Removed trailing space in v~: kwa nguvu za ishara na miujiza, kwa uweza wa Roho wa Mungu, hivyo kuanzia Yerusalemu hadi maeneo yote ya kandokando yake mpaka Iliriko, nimekwisha kuihubiri Injili ya Kristo kwa ukamilifu.

ROM 15:20 Removed trailing space in v~: Hivyo ni nia yangu kuhubiri Habari Njema, si pale ambapo Kristo amekwisha kujulikana, ili nisije nikajenga juu ya msingi wa mtu mwingine.

ROM 15:21 Removed trailing space in v~: Lakini kama ilivyoandikwa:

ROM 15:21 Removed trailing space in p~: “Wale ambao hawajahubiriwa habari zake wataona,

ROM 15:21 Removed trailing space in p~: nao wale ambao hawajazisikia watafahamu.”

ROM 15:22 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sababu nimezuiliwa mara nyingi nisiweze kuja kwenu.

ROM 15:22 Removed trailing space in s1: Paulo Apanga Kwenda Rumi

ROM 15:23 Removed trailing space in v~: Lakini sasa kwa kuwa hakuna nafasi zaidi kwa ajili yangu katika sehemu hii, ninatamani kuja kwenu kama ambavyo nimekuwa na shauku kwa miaka mingi.

ROM 15:24 Removed trailing space in v~: Nimekusudia kufanya hivyo nitakapokuwa njiani kwenda Hispania. Natarajia kuwaona katika safari yangu na kusafirishwa nanyi mpaka huko, baada ya kufurahia ushirika wenu kwa kitambo kidogo.

ROM 15:25 Removed trailing space in v~: Sasa, niko njiani kuelekea Yerusalemu kwa ajili ya kuwahudumia watakatifu huko.

ROM 15:26 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa imewapendeza watu wa Makedonia na Akaya kufanya changizo kwa ajili ya maskini walioko miongoni mwa watakatifu huko Yerusalemu.

ROM 15:27 Removed trailing space in v~: Imewapendeza kufanya hivyo, naam, kwani ni wadeni wao. Kwa maana ikiwa watu wa Mataifa wameshiriki baraka za rohoni za Wayahudi, wao ni wadeni wa Wayahudi, ili Wayahudi nao washiriki baraka zao za mambo ya mwilini.

ROM 15:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo baada ya kukamilisha kazi hii na kuhakikisha kuwa wamepokea kila kitu kilichokusanywa, nitapitia kwenu nikiwa njiani kwenda Hispania.

ROM 15:29 Removed trailing space in v~: Ninajua kwamba nitakapokuja kwenu, nitakuja na wingi wa baraka za Kristo.

ROM 15:30 Removed trailing space in v~: Basi, ndugu zangu, nawasihi kwa Jina la Bwana wetu Yesu Kristo na kwa upendo wa Roho Mtakatifu, kujiunga nami katika taabu zangu mkiniombea kwa Mungu.

ROM 15:31 Removed trailing space in v~: Ombeni ili nipate kuokolewa mikononi mwa wale wasioamini walioko Uyahudi, na kwamba utumishi wangu upate kukubaliwa na watakatifu wa huko Yerusalemu,

ROM 15:32 Removed trailing space in v~: ili kwa mapenzi ya Mungu niweze kuja kwenu kwa furaha, nami niburudishwe pamoja nanyi.

ROM 15:33 Removed trailing space in v~: Mungu wa amani na awe pamoja nanyi nyote. Amen.

ROM 16:0 Extra space after chapter number

ROM 16:0 Removed trailing space in c: 16

ROM 16:0 Removed trailing space in s1: Salamu Kwa Watu Binafsi

ROM 16:1 Removed trailing space in v~: Napenda kumtambulisha kwenu dada yetu Foibe, mtumishi katika kanisa la Kenkrea.

ROM 16:2 Removed trailing space in v~: Naomba mpokeeni katika Bwana ipasavyo watakatifu na kumpa msaada wowote atakaohitaji kutoka kwenu, kwa maana yeye amekuwa msaada kwa watu wengi, mimi nikiwa miongoni mwao.

ROM 16:3 Removed trailing space in v~: Wasalimuni Prisila\f + \fr 16:3 \ft Prisila kwa Kiyunani ni Priska, hivyo tafsiri nyingine zimemuita Priska.\f* na Akila, watumishi wenzangu katika Kristo Yesu.

ROM 16:4 Removed trailing space in v~: Wao walihatarisha maisha yao kwa ajili yangu; wala si mimi tu ninayewashukuru bali pia makanisa yote ya watu wa Mataifa.

ROM 16:5 Removed trailing space in v~: Lisalimuni pia kanisa linalokutana nyumbani mwao.

ROM 16:5 Removed trailing space in p~: Msalimuni rafiki yangu mpendwa Epaineto, aliyekuwa mtu wa kwanza kumwamini Kristo huko Asia.

ROM 16:6 Removed trailing space in v~: Msalimuni Maria, aliyefanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu.

ROM 16:7 Removed trailing space in v~: Wasalimuni Androniko na Yunia, jamaa zangu ambao wamekuwa gerezani pamoja nami. Wao ni maarufu miongoni mwa mitume, nao walikuwa katika Kristo kabla yangu.

ROM 16:8 Removed trailing space in v~: Msalimuni Ampliato, yeye nimpendaye katika Bwana.

ROM 16:9 Removed trailing space in v~: Msalimuni Urbano, mtendakazi mwenzetu katika Kristo, pamoja na rafiki yangu mpendwa Stakisi.

ROM 16:10 Removed trailing space in v~: Msalimuni Apele aliyejaribiwa na akaithibitisha imani yake katika Kristo.

ROM 16:10 Removed trailing space in p~: Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Aristobulo.

ROM 16:11 Removed trailing space in v~: Msalimuni ndugu yangu Herodioni.

ROM 16:11 Removed trailing space in p~: Wasalimuni wote walio nyumbani mwa Narkisi walio katika Bwana.

ROM 16:12 Removed trailing space in v~: Wasalimuni Trifaina na Trifosa, wale wanawake wanaofanya kazi kwa bidii katika Bwana.

ROM 16:12 Removed trailing space in p~: Msalimuni rafiki yangu mpendwa Persisi, mwanamke mwingine aliyefanya kazi kwa bidii katika Bwana.

ROM 16:13 Removed trailing space in v~: Msalimuni Rufo, mteule katika Bwana, pamoja na mama yake, ambaye amekuwa mama kwangu pia.

ROM 16:14 Removed trailing space in v~: Wasalimuni Asinkrito, Flegoni, Herme, Patroba, Herma na ndugu wote walio pamoja nao.

ROM 16:15 Removed trailing space in v~: Wasalimuni Filologo, Yulia, Nerea na dada yake, na Olimpa na watakatifu wote walio pamoja nao.

ROM 16:16 Removed trailing space in v~: Salimianeni ninyi kwa ninyi kwa busu takatifu.

ROM 16:16 Removed trailing space in p~: Makanisa yote ya Kristo yanawasalimu.

ROM 16:16 Removed trailing space in s1: Maelekezo Ya Mwisho

ROM 16:17 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, nawasihi mjihadhari na kujiepusha na wale watu waletao matengano na kuweka vikwazo mbele yenu dhidi ya mafundisho mliyojifunza.

ROM 16:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana watu kama hao hawamtumikii Bwana Kristo, bali wanatumikia tamaa zao wenyewe. Kwa kutumia maneno laini na ya kubembeleza, hupotosha mioyo ya watu wajinga.

ROM 16:19 Removed trailing space in v~: Kila mtu amesikia juu ya utii wenu, nami nimejawa na furaha tele kwa ajili yenu. Lakini nataka mwe na hekima katika mambo mema na bila hatia katika mambo maovu.

ROM 16:20 Removed trailing space in v~: Mungu wa amani atamponda Shetani chini ya miguu yenu upesi.

ROM 16:20 Removed trailing space in p~: Neema ya Bwana wetu Yesu iwe nanyi. Amen.

ROM 16:21 Removed trailing space in v~: Timotheo, mtendakazi mwenzangu anawasalimu. Vivyo hivyo Lukio, Yasoni, na Sosipatro, ndugu zangu.

ROM 16:22 Removed trailing space in v~: Mimi, Tertio, niliye mwandishi wa waraka huu, nawasalimu katika Bwana.

ROM 16:23 Removed trailing space in v~: Gayo, ambaye ni mwenyeji wangu na wa kanisa lote, anawasalimu.

ROM 16:23 Removed trailing space in p~: Erasto, mweka hazina wa mji huu, pamoja na Kwarto ndugu yetu pia wanawasalimu.

ROM 16:23 Removed trailing space in p~: [

ROM 16:24 Removed trailing space in v~: Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja nanyi nyote. Amen.]

ROM 16:24 Removed trailing space in s1: Maneno Ya Mwisho Ya Kumsifu Mungu

ROM 16:25 Removed trailing space in v~: Sasa atukuzwe yeye awezaye kuwafanya ninyi imara kwa Injili yangu na kuhubiriwa kwa Yesu Kristo, kutokana na kufunuliwa siri zilizofichika tangu zamani za kale.

ROM 16:26 Removed trailing space in v~: Lakini sasa siri hiyo imefunuliwa na kujulikana kupitia maandiko ya kinabii kutokana na amri ya Mungu wa milele, ili mataifa yote yaweze kumwamini na kumtii

ROM 16:27 Removed trailing space in v~: Mungu aliye pekee, mwenye hekima, ambaye kwa njia ya Yesu Kristo utukufu ni wake milele na milele! Amen.

GAL -1:0 Removed trailing space in id: GAL - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

GAL -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

GAL -1:2 Removed trailing space in h: Wagalatia

GAL -1:3 Removed trailing space in toc1: Wagalatia

GAL -1:4 Removed trailing space in toc2: Wagalatia

GAL -1:5 Removed trailing space in toc3: Gal

GAL -1:6 Removed trailing space in mt1: Wagalatia

GAL 1:0 Extra space after chapter number

GAL 1:0 Removed trailing space in c: 1

GAL 1:0 Removed trailing space in s1: Salamu

GAL 1:1 Removed trailing space in v~: Paulo mtume: si mtume wa wanadamu wala aliyetumwa na mwanadamu, bali na Yesu Kristo na Mungu Baba aliyemfufua Yesu kutoka kwa wafu;

GAL 1:2 Removed trailing space in v~: na ndugu wote walio pamoja nami:

GAL 1:2 Removed trailing space in p~: Kwa makanisa ya Galatia:

GAL 1:3 Removed trailing space in v~: Neema iwe nanyi na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo,

GAL 1:4 Removed trailing space in v~: aliyejitoa kwa ajili ya dhambi zetu ili apate kutuokoa katika ulimwengu huu wa sasa ulio mbaya, sawasawa na mapenzi yake yeye aliye Mungu na Baba yetu.

GAL 1:5 Removed trailing space in v~: Utukufu una yeye milele na milele. Amen.

GAL 1:5 Removed trailing space in s1: Hakuna Injili Nyingine

GAL 1:6 Removed trailing space in v~: Nashangaa kwamba mnamwacha upesi hivyo yeye aliyewaita kwa neema ya Kristo na kuifuata Injili nyingine,

GAL 1:7 Removed trailing space in v~: ambayo kwa kweli si Injili kamwe, ila kwa dhahiri kuna watu wanaowachanganya na wanaotaka kuipotosha Injili ya Kristo.

GAL 1:8 Removed trailing space in v~: Lakini hata ikiwa sisi au malaika atokaye mbinguni akihubiri Injili nyingine tofauti na ile tuliyowahubiria sisi, basi mtu huyo alaaniwe milele!

GAL 1:9 Removed trailing space in v~: Kama vile tulivyokwisha kusema kabla, sasa nasema tena, ikiwa mtu yeyote atawahubiria Injili kinyume na ile mliyoipokea na alaaniwe milele!

GAL 1:10 Removed trailing space in v~: Je, sasa mimi ninatafuta kukubaliwa na wanadamu au kukubaliwa na Mungu? Au nataka kuwapendeza wanadamu? Kama ningekuwa bado najaribu kuwapendeza wanadamu, nisingekuwa mtumishi wa Kristo.

GAL 1:10 Removed trailing space in s1: Paulo Ameitwa Na Mungu

GAL 1:11 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, nataka mjue kwamba Injili niliyowahubiria haikutokana na wanadamu.

GAL 1:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana mimi sikuipokea hiyo Injili kutoka kwa mwanadamu, wala sikufundishwa na mtu, bali niliipata kwa ufunuo kutoka kwa Yesu Kristo.

GAL 1:13 Removed trailing space in v~: Ninyi mmekwisha kusikia juu ya maisha yangu ya zamani nilipokuwa katika dini ya Kiyahudi, jinsi nilivyolitesa kanisa la Mungu kwa nguvu na kujaribu kuliangamiza.

GAL 1:14 Removed trailing space in v~: Nami niliendelea sana katika dini ya Kiyahudi kuliko Wayahudi wengi wa rika yangu maana nilijitahidi sana katika desturi za baba zangu.

GAL 1:15 Removed trailing space in v~: Lakini ilipompendeza Mungu, aliyenitenga tangu tumboni mwa mama yangu na kuniita kwa neema yake,

GAL 1:16 Removed trailing space in v~: alimdhihirisha Mwanawe kwangu, ili nipate kumhubiri miongoni mwa watu wa Mataifa. Mimi sikushauriana na mwanadamu yeyote,

GAL 1:17 Removed trailing space in v~: wala sikupanda kwenda Yerusalemu kuwaona hao waliokuwa mitume kabla yangu, bali nilikwenda mara moja Arabuni na kisha nikarudi Dameski.

GAL 1:18 Removed trailing space in v~: Kisha baada ya miaka mitatu nilipanda kwenda Yerusalemu kuonana na Kefa\f + \fr 1:18 \ft Yaani Petro.\f* na nilikaa naye siku kumi na tano.

GAL 1:19 Removed trailing space in v~: Lakini sikumwona mtume mwingine yeyote isipokuwa Yakobo, ndugu yake Bwana.

GAL 1:20 Removed trailing space in v~: Nawahakikishia mbele za Mungu kuwa ninayowaandikia si uongo.

GAL 1:21 Removed trailing space in v~: Baadaye nilikwenda sehemu za Syria\f + \fr 1:21 \ft Syria hapa ina maana ya Shamu.\f* na Kilikia.

GAL 1:22 Removed trailing space in v~: Lakini mimi binafsi sikujulikana kwa makanisa ya huko Uyahudi yaliyo katika Kristo.

GAL 1:23 Removed trailing space in v~: Wao walisikia habari tu kwamba, “Mtu yule ambaye hapo kwanza alikuwa akitutesa sasa anahubiri imani ile ile aliyokuwa akijaribu kuiangamiza.”

GAL 1:24 Removed trailing space in v~: Nao wakamtukuza Mungu kwa sababu yangu.

GAL 2:0 Extra space after chapter number

GAL 2:0 Removed trailing space in c: 2

GAL 2:0 Removed trailing space in s1: Paulo Akubaliwa Na Mitume

GAL 2:1 Removed trailing space in v~: Kisha, baada ya miaka kumi na minne, nilipanda tena kwenda Yerusalemu pamoja na Barnaba, nikamchukua na Tito ili awe pamoja nami.

GAL 2:2 Removed trailing space in v~: Nilikwenda kwa sababu nilikuwa nimefunuliwa na Mungu, ili nikawaeleze kwa faragha wale walioonekana kuwa viongozi, ile Injili ninayoihubiri kwa watu wa Mataifa. Nilifanya hivyo kwa kuhofia kwamba nisije nikawa nilikuwa ninakimbia au nilikimbia bure.

GAL 2:3 Removed trailing space in v~: Lakini hata Tito ambaye alikuwa Myunani, hakulazimika kutahiriwa.

GAL 2:4 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu ya ndugu wa uongo ambao walijiingiza kwa siri katikati yetu ili kupeleleza uhuru wetu tulio nao katika Kristo Yesu, wapate kututia utumwani,

GAL 2:5 Removed trailing space in v~: hatukukubaliana nao hata dakika moja, ili kwamba ukweli wa Injili ubaki nanyi.

GAL 2:6 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya wale waliokuwa wakubaliwe kuwa viongozi (kwangu mimi sikujali vyeo vyao, maana Mungu hana upendeleo), wale watu hawakuniongezea chochote.

GAL 2:7 Removed trailing space in v~: Badala yake walitambua kwamba nilikuwa nimekabidhiwa kazi ya kuhubiri Injili kwa watu wa Mataifa, kama vile Petro alivyokabidhiwa kuhubiri Injili kwa Wayahudi.

GAL 2:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana, Mungu aliyekuwa akitenda kazi katika huduma ya Petro kama mtume kwa Wayahudi, ndiye pia aliyekuwa anatenda kazi katika huduma yangu kama mtume kwa watu wa Mataifa.

GAL 2:9 Removed trailing space in v~: Basi, Yakobo, Kefa\f + \fr 2:9 \ft Yaani Petro, pia mstari 11, 14.\f* na Yohana, walioonekana kama nguzo za kanisa, walitupa mkono wa shirika, mimi na Barnaba walipotambua ile neema niliyopewa. Wakakubali kwamba sisi twende kwa watu wa Mataifa na wao waende kwa Wayahudi.

GAL 2:10 Removed trailing space in v~: Walichotuomba ni kwamba tuendelee kuwakumbuka maskini, jambo ambalo ndilo nililokuwa na shauku ya kulifanya.

GAL 2:10 Removed trailing space in s1: Paulo Ampinga Petro Huko Antiokia

GAL 2:11 Removed trailing space in v~: Lakini Petro alipofika Antiokia, mimi nilimpinga ana kwa ana kwa sababu alikuwa amekosea kwa wazi.

GAL 2:12 Removed trailing space in v~: Kabla baadhi ya watu waliotoka kwa Yakobo hawajafika, alikuwa akila pamoja na watu wa Mataifa. Lakini hao watu walipofika alianza kujiondoa na kujitenga na watu wa Mataifa kwa sababu aliwaogopa wale wa kundi la tohara.

GAL 2:13 Removed trailing space in v~: Pia Wayahudi wengine waliungana naye katika unafiki huu, hata Barnaba naye akapotoshwa na unafiki wao.

GAL 2:14 Removed trailing space in v~: Nilipoona kwamba hawatendi sawasawa na kweli ya Injili, nilimwambia Petro mbele ya wote, “Wewe ni Myahudi, nawe unaishi kama mtu wa Mataifa na wala si kama Myahudi. Imekuwaje basi, mnawalazimisha watu wa Mataifa kufuata desturi za Kiyahudi?

GAL 2:14 Removed trailing space in s1: Wayahudi Na Watu Wa Mataifa Wanaokolewa Kwa Imani

GAL 2:15 Removed trailing space in v~: “Sisi wenyewe ni Wayahudi kwa kuzaliwa na si watu wenye dhambi kama watu wa Mataifa,

GAL 2:16 Removed trailing space in v~: bado tunajua ya kwamba mtu hahesabiwi haki kwa matendo ya sheria bali kwa njia ya imani katika Yesu Kristo. Hivyo sisi pia, tumemwamini Kristo Yesu ili tupate kuhesabiwa haki kwa njia ya imani katika Kristo, wala si kwa matendo ya sheria, kwa sababu kwa kushika sheria hakuna hata mtu mmoja atakayehesabiwa haki.

GAL 2:17 Removed trailing space in v~: “Lakini tukitafuta kuhesabiwa haki katika Kristo, inakuwa dhahiri kwamba sisi ni wenye dhambi. Je, ina maana kwamba Kristo amekuwa mtumishi wa dhambi? La hasha!

GAL 2:18 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mimi ninajenga tena kile ambacho nimekwisha kukibomoa, basi ninaonyesha kwamba mimi ni mkosaji.

GAL 2:19 Removed trailing space in v~: Kwa maana mimi kwa njia ya sheria, nimeifia sheria ili nipate kuishi kwa ajili ya Mungu.

GAL 2:20 Removed trailing space in v~: Nimesulubiwa pamoja na Kristo, wala si mimi tena ninayeishi, bali Kristo ndiye aishiye ndani yangu. Uhai nilio nao sasa katika mwili, ninaishi kwa imani ya Mwana wa Mungu, aliyenipenda na kujitoa kwa ajili yangu.

GAL 2:21 Removed trailing space in v~: Siibatilishi neema ya Mungu, kwa maana kama haki ingeweza kupatikana kwa njia ya sheria, basi Kristo alikufa bure!”

GAL 4:0 Extra space after chapter number

GAL 4:0 Removed trailing space in c: 4

GAL 4:1 Removed trailing space in v~: Lile nisemalo ni kwamba wakati wote mrithi bado ni mtoto, hana tofauti na mtumwa, ingawa ndiye mmiliki wa mali yote.

GAL 4:2 Removed trailing space in v~: Yeye huwa yuko chini ya uangalizi wa walezi na wadhamini mpaka ufike wakati uliowekwa na baba yake.

GAL 4:3 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo na sisi, tulipokuwa bado watoto wadogo, tulikuwa utumwani chini ya taratibu za kawaida za ulimwengu.

GAL 4:4 Removed trailing space in v~: Lakini ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe, ambaye alizaliwa na mwanamke, akazaliwa chini ya sheria,

GAL 4:5 Removed trailing space in v~: kusudi awakomboe wale waliokuwa chini ya sheria, ili tupate kupokea zile haki kamili za kufanywa watoto wa Mungu.

GAL 4:6 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ninyi ni watoto wa Mungu, Mungu amemtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, anayelia, “Abba,\f + \fr 4:6 \ft Abba ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni Baba; lingeweza kutumiwa tu na mtoto wa kuzaa.\f* Baba.”

GAL 4:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, wewe si mtumwa tena, bali ni mtoto, kwa kuwa wewe ni mtoto, Mungu amekufanya wewe pia kuwa mrithi kwa kupitia Kristo.

GAL 4:7 Removed trailing space in s1: Paulo Awashawishi Wagalatia

GAL 4:8 Removed trailing space in v~: Zamani, mlipokuwa hammjui Mungu, mlikuwa watumwa wa viumbe ambavyo kwa asili si Mungu.

GAL 4:9 Removed trailing space in v~: Lakini sasa kwa kuwa mmemjua Mungu, au zaidi mmejulikana na Mungu, inakuwaje mnarejea tena katika zile kanuni za kwanza zenye udhaifu na upungufu? Mnataka ziwafanye tena watumwa?

GAL 4:10 Removed trailing space in v~: Mnaadhimisha siku maalum, miezi, nyakati na miaka!

GAL 4:11 Removed trailing space in v~: Nina hofu juu yenu, kwamba kazi niliyofanya kwa ajili yenu inaweza kuwa nimejitaabisha bure.

GAL 4:12 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, nawasihi mwe kama mimi, kwa sababu mimi nimekuwa kama ninyi. Hamkunitendea jambo lolote baya.

GAL 4:13 Removed trailing space in v~: Ninyi mwajua kwamba ni kwa ajili ya udhaifu wangu niliwahubiria Injili.

GAL 4:14 Removed trailing space in v~: Ingawa hali yangu iliwatia majaribuni, hamkunidharau wala kunidhihaki, bali mlinikaribisha kama malaika wa Mungu, kama vile Kristo Yesu.

GAL 4:15 Removed trailing space in v~: Ile hali ya furaha mliyokuwa nayo imekwenda wapi? Naweza kushuhudia kwamba, kama ingewezekana mngengʼoa macho yenu na kunipa mimi.

GAL 4:16 Removed trailing space in v~: Je, sasa nimekuwa adui yenu kwa kuwaambia kweli?

GAL 4:17 Removed trailing space in v~: Hao wana shauku ya kuwapata lakini si kwa kusudi zuri. Wanachotaka ni kuwatenga mbali nasi, ili ninyi mpate kuwaonea wao shauku.

GAL 4:18 Removed trailing space in v~: Ni vizuri wakati wote kuwa na shauku kwa ajili ya kusudi zuri, si wakati nikiwa pamoja nanyi tu.

GAL 4:19 Removed trailing space in v~: Watoto wangu wapendwa, ambao kwa mara nyingine ninawaonea utungu, ninatamani kwamba Kristo aumbike ndani yenu.

GAL 4:20 Removed trailing space in v~: Natamani kama ningekuwa pamoja nanyi sasa, pengine ningebadilisha sauti yangu. Kwa maana nina wasiwasi kwa ajili yenu.

GAL 4:20 Removed trailing space in s1: Mfano Wa Hagari Na Sara

GAL 4:21 Removed trailing space in v~: Niambieni, ninyi mnaotaka kuwa chini ya sheria, je, hamjui sheria inavyosema?

GAL 4:22 Removed trailing space in v~: Kwa maana imeandikwa kwamba Abrahamu alikuwa na wana wawili, mmoja wa mwanamke mtumwa na wa pili wa mwanamke huru.

GAL 4:23 Removed trailing space in v~: Lakini, mtoto wa mwanamke mtumwa alizaliwa kwa mapenzi ya mwili, na yule mwingine wa mwanamke huru alizaliwa kutokana na ahadi ya Mungu.

GAL 4:24 Removed trailing space in v~: Mambo haya yanaweza kuchukuliwa kama mfano. Kwa maana hao wanawake wawili ni mfano wa maagano mawili: Agano la kwanza, ni lile lililofanyika katika Mlima Sinai, lizaalo watoto wa utumwa. Hili ndilo huyo Hagari.

GAL 4:25 Removed trailing space in v~: Basi Hagari anawakilisha Mlima Sinai ulioko Arabuni, na unafanana na Yerusalemu ya sasa ambayo iko utumwani pamoja na watoto wake.

GAL 4:26 Removed trailing space in v~: Lakini Yerusalemu wa juu ni huru, nayo ndiye mama yetu.

GAL 4:27 Removed trailing space in v~: Kwa maana imeandikwa:

GAL 4:27 Removed trailing space in p~: “Furahi, ewe mwanamke tasa,

GAL 4:27 Removed trailing space in p~: wewe usiyezaa;

GAL 4:27 Removed trailing space in p~: paza sauti, na kuimba kwa furaha,

GAL 4:27 Removed trailing space in p~: wewe usiyepatwa na utungu wa kuzaa;

GAL 4:27 Removed trailing space in p~: kwa maana watoto wa mwanamke aliyeachwa ukiwa ni wengi

GAL 4:27 Removed trailing space in p~: kuliko wa mwanamke mwenye mume.”

GAL 4:28 Removed trailing space in v~: Basi, sisi ndugu zangu, ni kama Isaki, tu watoto wa ahadi.

GAL 4:29 Removed trailing space in v~: Lakini, kama vile ilivyokuwa siku zile yule aliyezaliwa kwa mwili alivyomchokoza yule aliyezaliwa kwa Roho, ndivyo ilivyo hata sasa.

GAL 4:30 Removed trailing space in v~: Lakini Maandiko yasemaje? “Mwondoe mwanamke mtumwa pamoja na mwanawe, kwa sababu mwana wa mwanamke mtumwa kamwe hatarithi pamoja na mwana wa aliye huru.”

GAL 4:31 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ndugu zangu, sisi si watoto wa mwanamke mtumwa, bali wa yule aliye huru.

GAL 5:0 Extra space after chapter number

GAL 5:0 Removed trailing space in c: 5

GAL 5:0 Removed trailing space in s1: Uhuru Ndani Ya Kristo

GAL 5:1 Removed trailing space in v~: Kristo alitupa uhuru, akataka tubaki huru. Hivyo simameni imara wala msikubali tena kulemewa na kongwa la utumwa.

GAL 5:2 Removed trailing space in v~: Sikilizeni! Mimi, Paulo, nawaambieni kwamba kama mkikubali kutahiriwa, basi Kristo hatawafaidia chochote.

GAL 5:3 Removed trailing space in v~: Namshuhudia tena kila mtu anayekubali kutahiriwa kwamba inampasa kushika sheria yote.

GAL 5:4 Removed trailing space in v~: Ninyi mnaotafuta kuhesabiwa haki kwa njia ya sheria mmetengwa na Kristo, mko mbali na neema ya Mungu.

GAL 5:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana, kwa njia ya Roho kwa imani, tunangojea kwa shauku tumaini la haki.

GAL 5:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana ndani ya Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa hakuleti tofauti, bali lililo muhimu ni imani itendayo kazi kwa njia ya upendo.

GAL 5:7 Removed trailing space in v~: Mlikuwa mkipiga mbio vizuri. Ni nani aliyewazuia msiitii kweli?

GAL 5:8 Removed trailing space in v~: Ushawishi wa namna hiyo haukutokana na yule anayewaita.

GAL 5:9 Removed trailing space in v~: “Chachu kidogo huchachua donge zima.”

GAL 5:10 Removed trailing space in v~: Nina hakika katika Bwana kwamba hamtakuwa na msimamo mwingine. Mtu anayewachanganya anastahili adhabu, hata awe nani.

GAL 5:11 Removed trailing space in v~: Lakini ndugu zangu, kama mimi bado ninahubiri kuhusu kutahiriwa, kwa nini bado ninateswa? Katika hiyo hali basi, kwazo la msalaba limeondolewa.

GAL 5:12 Removed trailing space in v~: Laiti hao wanaowavuruga wangejihasi wao wenyewe!

GAL 5:13 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, ninyi mliitwa ili mwe huru, hivyo msitumie uhuru wenu kama fursa ya kufuata tamaa za mwili, bali tumikianeni ninyi kwa ninyi kwa upendo.

GAL 5:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana sheria yote hukamilika katika amri moja: “Mpende jirani yako kama nafsi yako.”

GAL 5:15 Removed trailing space in v~: Kama mkiumana na kutafunana, angalieni, msije mkaangamizana.

GAL 5:15 Removed trailing space in s1: Maisha Ya Kiroho

GAL 5:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo nasema, enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.

GAL 5:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana mwili hutamani yale yaliyo kinyume na Roho, naye Roho hutamani yale yaliyo kinyume na mwili. Roho na mwili hupingana na kwa sababu hiyo hamwezi kufanya mnayotaka.

GAL 5:18 Removed trailing space in v~: Lakini kama mkiongozwa na Roho, hamko chini ya sheria.

GAL 5:19 Removed trailing space in v~: Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: Uasherati, uchafu, ufisadi,

GAL 5:20 Removed trailing space in v~: kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, faraka, uzushi,

GAL 5:21 Removed trailing space in v~: husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha kuwaonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama hayo, hawataurithi Ufalme wa Mungu.

GAL 5:22 Removed trailing space in v~: Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,

GAL 5:23 Removed trailing space in v~: upole na kiasi. Katika mambo kama haya hakuna sheria.

GAL 5:24 Removed trailing space in v~: Wote walio wa Kristo Yesu wameusulubisha mwili na shauku zake pamoja na tamaa zake.

GAL 5:25 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa tunaishi kwa Roho, basi, tuenende kwa Roho.

GAL 5:26 Removed trailing space in v~: Tusijisifu bure, tukichokozana na kuoneana wivu.

GAL 6:0 Extra space after chapter number

GAL 6:0 Removed trailing space in c: 6

GAL 6:0 Removed trailing space in s1: Chukulianeni Mizigo

GAL 6:1 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, ikiwa mtu ameghafilika akatenda dhambi, basi ninyi mlio wa rohoni, mrejesheni upya mtu huyo kwa roho ya upole. Lakini jihadharini, ili ninyi wenyewe msije mkajaribiwa.

GAL 6:2 Removed trailing space in v~: Chukulianeni mizigo ninyi kwa ninyi, nanyi kwa njia hii mtatimiza sheria ya Kristo.

GAL 6:3 Removed trailing space in v~: Kama mtu yeyote akijiona kuwa yeye ni bora na kumbe sivyo, basi mtu huyo anajidanganya mwenyewe.

GAL 6:4 Removed trailing space in v~: Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo aweze kujisifu, bila kujilinganisha na mtu mwingine.

GAL 6:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana, kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe.

GAL 6:6 Removed trailing space in v~: Basi, yeye afundishwaye katika neno na amshirikishe mwalimu wake mema yote.

GAL 6:7 Removed trailing space in v~: Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi. Kwa kuwa kile apandacho mtu ndicho atakachovuna.

GAL 6:8 Removed trailing space in v~: Apandaye kwa mwili, katika mwili wake atavuna uharibifu, lakini yeye apandaye katika Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.

GAL 6:9 Removed trailing space in v~: Hivyo, tusichoke katika kutenda mema, kwa kuwa tutavuna kwa wakati wake tusipokata tamaa.

GAL 6:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema, hasa wale wa jamaa ya waaminio.

GAL 6:10 Removed trailing space in s1: Si Kutahiriwa Bali Kuwa Kiumbe Kipya

GAL 6:11 Removed trailing space in v~: Angalieni herufi kubwa nitumiazo ninapowaandikia kwa mkono wangu mwenyewe!

GAL 6:12 Removed trailing space in v~: Wale wanaotaka kuonekana wazuri kwa mambo ya mwili wanataka wawalazimishe kutahiriwa. Sababu pekee ya kufanya hivyo ni kuepuka kuteswa kwa ajili ya msalaba wa Kristo.

GAL 6:13 Removed trailing space in v~: Hata wale waliotahiriwa wenyewe hawaitii sheria, lakini wanataka ninyi mtahiriwe ili wapate kujivuna kwa habari ya miili yenu.

GAL 6:14 Removed trailing space in v~: Mungu apishie mbali nisije nikajivunia kitu chochote isipokuwa msalaba wa Bwana wetu Yesu Kristo, ambaye kwa yeye ulimwengu umesulubiwa kwangu, nami nimesulubiwa kwa ulimwengu.

GAL 6:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana katika Kristo Yesu, kutahiriwa au kutokutahiriwa si kitu, bali kule kuwa kiumbe kipya ni kila kitu!

GAL 6:16 Removed trailing space in v~: Amani na rehema viwe na wote wanaofuata kanuni hii, na juu ya Israeli wa Mungu.

GAL 6:17 Removed trailing space in v~: Hatimaye, tangu sasa mtu yeyote asinitaabishe, kwa maana nachukua katika mwili wangu chapa zake Yesu.

GAL 6:18 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

EPH -1:0 Removed trailing space in id: EPH - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

EPH -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

EPH -1:2 Removed trailing space in h: Waefeso

EPH -1:3 Removed trailing space in toc1: Waefeso

EPH -1:4 Removed trailing space in toc2: Waefeso

EPH -1:5 Removed trailing space in toc3: Efe

EPH -1:6 Removed trailing space in mt1: Waefeso

EPH 1:0 Extra space after chapter number

EPH 1:0 Removed trailing space in c: 1

EPH 1:0 Removed trailing space in s1: Salamu

EPH 1:1 Removed trailing space in v~: Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu:

EPH 1:1 Removed trailing space in p~: Kwa watakatifu walioko Efeso, walio waaminifu katika Kristo Yesu:

EPH 1:2 Removed trailing space in v~: Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.

EPH 1:2 Removed trailing space in s1: Baraka Za Kiroho Katika Kristo Yesu

EPH 1:3 Removed trailing space in v~: Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki sisi kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho ndani ya Kristo.

EPH 1:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana alituchagua katika yeye kabla ya kuumbwa ulimwengu ili tuwe watakatifu na bila lawama mbele zake. Kwa upendo

EPH 1:5 Removed trailing space in v~: alitangulia kutuchagua tuwe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo kwa furaha yake na mapenzi yake mwenyewe.

EPH 1:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tunamsifu Mungu kwa huruma zake kuu alizotumiminia sisi katika Mwanawe Mpendwa.

EPH 1:7 Removed trailing space in v~: Ndani yake tunao ukombozi kwa njia ya damu yake, yaani, msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake

EPH 1:8 Removed trailing space in v~: aliyotumiminia kwa wingi, kwa hekima yote na maarifa yote.

EPH 1:9 Removed trailing space in v~: Naye alitujulisha siri ya mapenzi yake sawasawa na uradhi wa mapenzi yake, ambayo alikusudia katika Kristo,

EPH 1:10 Removed trailing space in v~: ili yapate kutimizwa wakati mkamilifu utakapowadia, yaani, kuvitia vitu vyote vya mbinguni na vya duniani pamoja, chini ya kiongozi mmoja, ndiye Kristo.

EPH 1:11 Removed trailing space in v~: Katika Kristo sisi nasi tumepata urithi, tukisha kuchaguliwa sawasawa na kusudi la Mungu, yeye ambaye hufanya mambo yote kulingana na kusudi la mapenzi yake,

EPH 1:12 Removed trailing space in v~: ili kwamba, sisi tuliokuwa wa kwanza kuweka tumaini katika Kristo, tupate kuishi kwa sifa ya utukufu wake.

EPH 1:13 Removed trailing space in v~: Ninyi pia mliingia ndani ya Kristo mliposikia Neno la kweli, Injili ya wokovu wenu. Mkiisha kuamini, ndani yake mlitiwa muhuri, yaani, Roho Mtakatifu mliyeahidiwa,

EPH 1:14 Removed trailing space in v~: yeye ambaye ni amana yetu akituhakikishia urithi wetu hadi ukombozi wa wale walio milki ya Mungu kwa sifa ya utukufu wake.

EPH 1:14 Removed trailing space in s1: Shukrani Na Maombi

EPH 1:15 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii, tangu niliposikia juu ya imani yenu katika Bwana Yesu na upendo wenu kwa watakatifu wote,

EPH 1:16 Removed trailing space in v~: sijaacha kumshukuru Mungu kwa ajili yenu, nikiwakumbuka katika maombi yangu.

EPH 1:17 Removed trailing space in v~: Nazidi kumwomba Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu, awajalieni ninyi roho ya hekima na ya ufunuo, ili mpate kumjua zaidi.

EPH 1:18 Removed trailing space in v~: Ninaomba pia kwamba macho ya mioyo yenu yatiwe nuru ili mpate kujua tumaini mliloitiwa, utajiri wa urithi wa utukufu wake kwa watakatifu

EPH 1:19 Removed trailing space in v~: na uweza wake mkuu usiolinganishwa kwa ajili yetu sisi tuaminio. Uweza huo unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na ile nguvu kuu mno

EPH 1:20 Removed trailing space in v~: aliyoitumia katika Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu, na akamketisha mkono wake wa kuume huko mbinguni,

EPH 1:21 Removed trailing space in v~: juu sana kuliko falme zote na mamlaka, enzi na milki, na juu ya kila jina litajwalo, si katika ulimwengu huu tu, bali katika ule ujao pia.

EPH 1:22 Removed trailing space in v~: Naye Mungu ameweka vitu vyote viwe chini ya miguu yake na amemfanya yeye awe kichwa cha vitu vyote kwa ajili ya Kanisa,

EPH 1:23 Removed trailing space in v~: ambalo ndilo mwili wake, ukamilifu wake yeye aliye yote katika yote.

EPH 2:0 Extra space after chapter number

EPH 2:0 Removed trailing space in c: 2

EPH 2:0 Removed trailing space in s1: Tumefanywa Kuwa Hai Ndani Ya Kristo

EPH 2:1 Removed trailing space in v~: Kwa habari zenu, mlikuwa wafu katika makosa na dhambi zenu,

EPH 2:2 Removed trailing space in v~: ambazo mlizitenda mlipofuatisha namna ya ulimwengu huu na za yule mtawala wa ufalme wa anga, yule roho atendaye kazi sasa ndani ya wale wasiotii.

EPH 2:3 Removed trailing space in v~: Sisi sote pia tuliishi katikati yao hapo zamani, tukitimiza tamaa za asili yetu ya dhambi na kufuata tamaa zake na mawazo yake. Nasi kwa asili tulikuwa wana wa ghadhabu, kama mtu mwingine yeyote.

EPH 2:4 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu kwa upendo wake mwingi kwetu sisi, ambaye ni mwingi wa rehema,

EPH 2:5 Removed trailing space in v~: hata tulipokuwa wafu kwa ajili ya makosa yetu, alitufanya tuwe hai pamoja na Kristo Yesu, yaani, mmeokolewa kwa neema.

EPH 2:6 Removed trailing space in v~: Mungu alitufufua pamoja na Kristo na kutuketisha pamoja naye katika ulimwengu wa roho katika Kristo Yesu,

EPH 2:7 Removed trailing space in v~: ili katika ule ulimwengu ujao apate kuonyesha wingi wa neema yake isiyopimika, iliyodhihirishwa kwetu kwa wema wake ndani ya Kristo Yesu.

EPH 2:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana mmeokolewa kwa neema, kwa njia ya imani, wala si kwa matendo yenu mema. Hii ni zawadi kutoka kwa Mungu,

EPH 2:9 Removed trailing space in v~: si kwa matendo, ili mtu yeyote asije akajisifu.

EPH 2:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana sisi ni kazi ya mikono ya Mungu, tulioumbwa katika Kristo Yesu, ili tupate kutenda matendo mema, ambayo Mungu alitangulia kuyaandaa tupate kuishi katika hayo.

EPH 2:10 Removed trailing space in s1: Wamoja Katika Kristo

EPH 2:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kumbukeni kwamba ninyi ambao hapo awali mlikuwa watu wa Mataifa kwa kuzaliwa na kuitwa “wasiotahiriwa” na wale wanaojiita “waliotahiriwa” (yaani tohara ifanyikayo katika mwili kwa mikono ya wanadamu),

EPH 2:12 Removed trailing space in v~: kumbukeni kwamba wakati ule mlikuwa mbali na Kristo, mkiwa mmetengwa kutoka jumuiya ya Israeli, na mkiwa wageni katika yale maagano ya ahadi, nanyi mkiwa hamna tumaini wala Mungu duniani.

EPH 2:13 Removed trailing space in v~: Lakini sasa katika Kristo Yesu, ninyi ambao hapo kwanza mlikuwa mbali na Mungu, sasa mmeletwa karibu kwa njia ya damu ya Kristo.

EPH 2:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana yeye mwenyewe ndiye amani yetu, aliyetufanya sisi tuliokuwa wawili, yaani, Wayahudi na watu wa Mataifa, tuwe wamoja kwa kuvunja kizuizi na kubomoa ule ukuta wa uadui uliokuwa kati yetu,

EPH 2:15 Removed trailing space in v~: kwa kuibatilisha ile sheria pamoja na amri zake na maagizo yake alipoutoa mwili wake, ili apate kufanya ndani yake mtu mmoja mpya badala ya hao wawili, hivyo akifanya amani,

EPH 2:16 Removed trailing space in v~: naye katika mwili huu mmoja awapatanishe wote wawili na Mungu kupitia msalaba, ili kwa huo msalaba akaangamiza uadui wao.

EPH 2:17 Removed trailing space in v~: Alikuja na kuhubiri amani kwenu ninyi mliokuwa mbali na pia akahubiri amani kwao waliokuwa karibu.

EPH 2:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwa kupitia kwake, sisi sote tunaweza kumkaribia Baba katika Roho mmoja.

EPH 2:19 Removed trailing space in v~: Hivyo basi, ninyi sasa si wageni tena wala wapitaji, bali mmekuwa wenyeji pamoja na watakatifu na pia jamaa wa nyumbani mwake Mungu.

EPH 2:20 Removed trailing space in v~: Mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii, naye Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe kuu la pembeni.

EPH 2:21 Removed trailing space in v~: Ndani yake jengo lote limeshikamanishwa pamoja na kusimamishwa ili kuwa Hekalu takatifu katika Bwana.

EPH 2:22 Removed trailing space in v~: Katika yeye ninyi nanyi mnajengwa pamoja ili mpate kuwa makao ambayo Mungu anaishi ndani yake kwa njia ya Roho wake.

EPH 3:0 Extra space after chapter number

EPH 3:0 Removed trailing space in c: 3

EPH 3:0 Removed trailing space in s1: Huduma Ya Paulo Kwa Watu Wa Mataifa

EPH 3:1 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii, mimi Paulo, mfungwa wa Kristo Yesu kwa ajili yenu ninyi watu wa Mataifa:

EPH 3:2 Removed trailing space in v~: Kwa hakika mmekwisha kusikia kuhusu ile huduma ya neema ya Mungu niliyopewa kwa ajili yenu,

EPH 3:3 Removed trailing space in v~: yaani, ile siri iliodhihirishwa kwangu kwa njia ya ufunuo, kama nilivyotangulia kuandika kwa kifupi.

EPH 3:4 Removed trailing space in v~: Kwa kusoma haya, basi mtaweza kuelewa ufahamu wangu katika siri ya Kristo.

EPH 3:5 Removed trailing space in v~: Siri hii haikudhihirishwa kwa wanadamu katika vizazi vingine kama vile sasa ilivyodhihirishwa na Roho kwa mitume na manabii watakatifu wa Mungu.

EPH 3:6 Removed trailing space in v~: Siri hii ni kwamba, kwa njia ya Injili, watu wa Mataifa ni warithi pamoja na Israeli, viungo vya mwili mmoja na washiriki pamoja wa ahadi katika Kristo Yesu.

EPH 3:7 Removed trailing space in v~: Nimekuwa mtumishi wa Injili hii kwa kipawa cha neema ya Mungu niliyopewa kwa nguvu yake itendayo kazi.

EPH 3:8 Removed trailing space in v~: Ingawa mimi ni mdogo kuliko aliye mdogo kabisa miongoni mwa watakatifu wote, nilipewa neema hii: ili niwahubirie watu wa Mataifa kuhusu utajiri usiopimika ulio ndani ya Kristo,

EPH 3:9 Removed trailing space in v~: na kuweka wazi kwa kila mtu siri hii iliyokuwa imefichwa tangu zamani katika Mungu, aliyeumba vitu vyote.

EPH 3:10 Removed trailing space in v~: Ili sasa kwa njia ya Kanisa, hekima yote ya Mungu ipate kujulikana kwa watawala na wenye mamlaka katika ulimwengu wa roho,

EPH 3:11 Removed trailing space in v~: sawasawa na kusudi lake la milele katika Kristo Yesu Bwana wetu.

EPH 3:12 Removed trailing space in v~: Ndani yake na kwa njia ya imani katika yeye twaweza kumkaribia Mungu kwa uhuru na kwa ujasiri.

EPH 3:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, nawaomba msikate tamaa kwa sababu ya mateso yangu kwa ajili yenu, hayo ni utukufu wenu.

EPH 3:13 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Paulo Kwa Waefeso

EPH 3:14 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii nampigia Baba magoti,

EPH 3:15 Removed trailing space in v~: ambaye ubaba wote wa kila jamaa za mbinguni na za duniani unatokana naye.

EPH 3:16 Removed trailing space in v~: Namwomba Mungu awaimarishe kwa kuwatia nguvu mioyo yenu kwa njia ya Roho wake kwa kadiri ya utajiri wa utukufu wake,

EPH 3:17 Removed trailing space in v~: ili kwamba, Kristo apate kukaa mioyoni mwenu kwa njia ya imani. Nami ninaomba kwamba ninyi mkiwa wenye mizizi tena imara katika msingi wa upendo,

EPH 3:18 Removed trailing space in v~: mwe na uwezo wa kufahamu pamoja na watakatifu wote jinsi ulivyo upana, urefu, kimo na kina upendo wa Kristo,

EPH 3:19 Removed trailing space in v~: na kujua upendo huu unaopita fahamu, ili mpate kujazwa na kufikia kipimo cha ukamilifu wote wa Mungu.

EPH 3:20 Removed trailing space in v~: Basi kwa yeye awezaye kutenda mambo ya ajabu yasiyopimika kuliko yote tuyaombayo au tuyawazayo, kwa kadiri ya uweza wake ule utendao kazi ndani yetu,

EPH 3:21 Removed trailing space in v~: yeye atukuzwe katika kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote, milele na milele. Amen.

EPH 4:0 Extra space after chapter number

EPH 4:0 Removed trailing space in c: 4

EPH 4:0 Removed trailing space in s1: Umoja Katika Mwili Wa Kristo

EPH 4:1 Removed trailing space in v~: Basi, mimi niliye mfungwa wa Bwana, nawasihi mwenende kama inavyostahili wito wenu mlioitiwa.

EPH 4:2 Removed trailing space in v~: Kwa unyenyekevu wote na upole, mkiwa wavumilivu, mkichukuliana kwa upendo.

EPH 4:3 Removed trailing space in v~: Jitahidini kudumisha umoja wa Roho katika kifungo cha amani.

EPH 4:4 Removed trailing space in v~: Kuna mwili mmoja na Roho mmoja, kama vile mlivyoitwa katika tumaini moja.

EPH 4:5 Removed trailing space in v~: Tena kuna Bwana mmoja, imani moja, ubatizo mmoja,

EPH 4:6 Removed trailing space in v~: Mungu mmoja ambaye ni Baba wa wote, aliye juu ya yote, katika yote na ndani ya yote.

EPH 4:7 Removed trailing space in v~: Lakini kila mmoja wetu amepewa neema kwa kadiri ya kipimo cha kipawa cha Kristo.

EPH 4:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo husema:

EPH 4:8 Removed trailing space in p~: “Alipopaa juu zaidi, \f + \fr 4:8 \ft Juu zaidi hapa ina maana mbingu za mbingu.\f*

EPH 4:8 Found footnote preceded by a space in \p~: “Alipopaa juu zaidi, \f + \fr 4:8 \ft Juu zaidi hapa ina maana mbingu za mbingu.\f*

EPH 4:8 Removed trailing space before note in \p~: '“Alipopaa juu zaidi, \\f + \\fr 4:8 \\ft Juu zaidi hapa ina maana mbingu za mbingu.\\f* '

EPH 4:8 Removed trailing space in p~: aliteka mateka,

EPH 4:8 Removed trailing space in p~: akawapa wanadamu vipawa.”

EPH 4:9 Removed trailing space in v~: (Asemapo “alipaa juu,” maana yake nini isipokuwa ni kusema pia kwamba Kristo alishuka pande za chini sana za dunia?\f + \fr 4:9 \ft Pande za chini sana za dunia hapa maana yake Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu.\f*

EPH 4:10 Removed trailing space in v~: Yeye aliyeshuka ndiye alipaa juu zaidi kupita mbingu zote, ili apate kuujaza ulimwengu wote.)

EPH 4:11 Removed trailing space in v~: Ndiye aliweka wengine kuwa mitume, wengine kuwa manabii, wengine kuwa wainjilisti, wengine kuwa wachungaji na walimu,

EPH 4:12 Removed trailing space in v~: kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu kwa ajili ya kazi za huduma, ili kwamba mwili wa Kristo upate kujengwa

EPH 4:13 Removed trailing space in v~: mpaka sote tutakapoufikia umoja katika imani na katika kumjua sana Mwana wa Mungu na kuwa watu wazima kwa kufikia kimo cha ukamilifu wa Kristo.

EPH 4:14 Removed trailing space in v~: Ili tusiwe tena watoto wachanga, tukitupwatupwa huku na huku na kuchukuliwa na kila upepo wa mafundisho kwa hila za watu, kwa ujanja, kwa kufuata njia zao za udanganyifu.

EPH 4:15 Removed trailing space in v~: Badala yake, tukiambiana kweli kwa upendo, katika mambo yote tukue, hata tumfikie yeye aliye kichwa, yaani, Kristo.

EPH 4:16 Removed trailing space in v~: Kutoka kwake, mwili wote ukiwa umeungamanishwa na kushikamanishwa pamoja kwa msaada wa kila kiungo, hukua na kujijenga wenyewe katika upendo, wakati kila kiungo kinafanya kazi yake.

EPH 4:16 Removed trailing space in s1: Maisha Ya Zamani Na Maisha Mapya

EPH 4:17 Removed trailing space in v~: Hivyo nawaambia hivi, nami nasisitiza katika Bwana kwamba, msiishi tena kama watu wa Mataifa waishivyo, katika ubatili wa mawazo yao.

EPH 4:18 Removed trailing space in v~: Watu hao akili zao zimetiwa giza na wametengwa mbali na uzima wa Mungu kwa sababu ya ujinga wao kutokana na ugumu wa mioyo yao.

EPH 4:19 Removed trailing space in v~: Wakiisha kufa ganzi, wamejitia katika mambo ya ufisadi na kupendelea kila aina ya uchafu, wakiendelea kutamani zaidi.

EPH 4:20 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi, hivyo sivyo mlivyojifunza Kristo.

EPH 4:21 Removed trailing space in v~: Kama hivyo ndivyo ilivyo, ninyi mmemsikia, tena mmefundishwa naye, vile kweli ilivyo katika Yesu.

EPH 4:22 Removed trailing space in v~: Mlifundishwa kuuvua mwenendo wenu wa zamani, utu wenu wa kale, ulioharibiwa na tamaa zake za udanganyifu,

EPH 4:23 Removed trailing space in v~: ili mfanywe upya roho na nia zenu,

EPH 4:24 Removed trailing space in v~: mkajivike utu mpya, ulioumbwa sawasawa na mfano wa Mungu katika haki yote na utakatifu.

EPH 4:24 Removed trailing space in s1: Kanuni Za Maisha Mapya

EPH 4:25 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo kila mmoja wenu avue uongo na kuambiana kweli mtu na jirani yake, kwa maana sisi sote tu viungo vya mwili mmoja.

EPH 4:26 Removed trailing space in v~: Mkikasirika, msitende dhambi, wala jua lisichwe mkiwa bado mmekasirika,

EPH 4:27 Removed trailing space in v~: wala msimpe ibilisi nafasi.

EPH 4:28 Removed trailing space in v~: Yeye ambaye amekuwa akiiba, asiibe tena, lakini lazima ajishughulishe, afanye kitu kifaacho kwa mikono yake mwenyewe, ili awe na kitu cha kuwagawia wahitaji.

EPH 4:29 Removed trailing space in v~: Maneno mabaya yasitoke vinywani mwenu, bali yale yafaayo kwa ajili ya kuwajenga wengine kulingana na mahitaji yao, ili yawafae wale wasikiao.

EPH 4:30 Removed trailing space in v~: Wala msimhuzunishe Roho Mtakatifu wa Mungu, ambaye kwake mlitiwa muhuri kwa ajili ya siku ya ukombozi.

EPH 4:31 Removed trailing space in v~: Ondoeni kabisa uchungu, ghadhabu, hasira, makelele na masingizio pamoja na kila aina ya uovu.

EPH 4:32 Removed trailing space in v~: Kuweni wafadhili na wenye kuhurumiana ninyi kwa ninyi, mkisameheana, kama vile naye Mungu katika Kristo alivyowasamehe ninyi.

EPH 5:0 Extra space after chapter number

EPH 5:0 Removed trailing space in c: 5

EPH 5:0 Removed trailing space in s1: Kuenenda Nuruni

EPH 5:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, mfuateni Mungu kama watoto wapendwao,

EPH 5:2 Removed trailing space in v~: mkiishi maisha ya upendo, kama vile Kristo alivyotupenda sisi akajitoa kwa ajili yetu kuwa sadaka yenye harufu nzuri na dhabihu kwa Mungu.

EPH 5:3 Removed trailing space in v~: Lakini uasherati, usitajwe miongoni mwenu, wala uchafu wa aina yoyote, wala tamaa, kwa sababu mambo haya hayastahili miongoni mwa watakatifu.

EPH 5:4 Removed trailing space in v~: Wala pasiwepo mazungumzo machafu ya aibu, au maneno ya upuzi au mzaha, ambayo hayafai, badala yake mshukuruni Mungu.

EPH 5:5 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya mambo haya mjue hakika kwamba: Msherati, wala mtu mwovu, wala mwenye tamaa mbaya, mtu kama huyo ni mwabudu sanamu, kamwe hataurithi Ufalme wa Kristo na wa Mungu.

EPH 5:6 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote na asiwadanganye kwa maneno matupu, kwa kuwa hasira ya Mungu huwaka kwa sababu ya mambo kama haya juu ya wale wasiomtii.

EPH 5:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, msishirikiane nao.

EPH 5:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana zamani ninyi mlikuwa giza, lakini sasa ninyi ni nuru katika Bwana. Enendeni kama watoto wa nuru

EPH 5:9 Removed trailing space in v~: (kwa kuwa tunda la nuru hupatikana katika wema wote, haki na kweli),

EPH 5:10 Removed trailing space in v~: nanyi tafuteni yale yanayompendeza Bwana.

EPH 5:11 Removed trailing space in v~: Msishiriki matendo ya giza yasiyofaa, bali yafichueni.

EPH 5:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni aibu hata kutaja mambo yale ambayo wasiotii wanayafanya sirini.

EPH 5:13 Removed trailing space in v~: Lakini kila kitu kilichowekwa nuruni, huonekana,

EPH 5:14 Removed trailing space in v~: kwa kuwa nuru ndiyo hufanya kila kitu kionekane. Hii ndiyo sababu imesemekana:

EPH 5:14 Removed trailing space in p~: “Amka, wewe uliyelala,

EPH 5:14 Removed trailing space in p~: ufufuke kutoka kwa wafu,

EPH 5:14 Removed trailing space in p~: naye Kristo atakuangazia.”

EPH 5:15 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo angalieni sana jinsi mnavyoenenda, si kama watu wasio na hekima, bali kama wenye hekima,

EPH 5:16 Removed trailing space in v~: mkiukomboa wakati, kwa sababu nyakati hizi ni za uovu.

EPH 5:17 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo msiwe wajinga, bali mpate kujua nini mapenzi ya Bwana.

EPH 5:18 Removed trailing space in v~: Pia msilewe kwa mvinyo, ambamo ndani yake mna upotovu, bali mjazwe Roho.

EPH 5:19 Removed trailing space in v~: Msemezane ninyi kwa ninyi kwa zaburi, nyimbo na tenzi za rohoni, mkimwimbia na kumsifu Bwana mioyoni mwenu,

EPH 5:20 Removed trailing space in v~: siku zote mkimshukuru Mungu Baba kwa kila jambo katika Jina la Bwana wetu Yesu Kristo.

EPH 5:21 Removed trailing space in v~: Nyenyekeaneni ninyi kwa ninyi kwa heshima kwa ajili ya Kristo.

EPH 5:21 Removed trailing space in s1: Mafundisho Kuhusu Wake Na Waume

EPH 5:22 Removed trailing space in v~: Ninyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana.

EPH 5:23 Removed trailing space in v~: Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe kama vile Kristo alivyo kichwa cha Kanisa, ambalo ni mwili wake, naye Kristo ni Mwokozi wake.

EPH 5:24 Removed trailing space in v~: Basi, kama vile Kanisa linavyomtii Kristo, vivyo hivyo na wake nao imewapasa kuwatii waume zao kwa kila jambo.

EPH 5:25 Removed trailing space in v~: Ninyi waume, wapendeni wake zenu, kama vile Kristo alivyolipenda Kanisa akajitoa kwa ajili yake

EPH 5:26 Removed trailing space in v~: kusudi alifanye takatifu, akilitakasa kwa kuliosha kwa maji katika Neno lake,

EPH 5:27 Removed trailing space in v~: apate kujiletea Kanisa tukufu lisilo na doa wala kunyanzi au waa lolote, bali takatifu na lisilo na hatia.

EPH 5:28 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo imewapasa waume kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.

EPH 5:29 Removed trailing space in v~: Hakuna mtu anayeuchukia mwili wake mwenyewe, bali huulisha na kuutunza vizuri, kama Kristo anavyolitunza Kanisa lake.

EPH 5:30 Removed trailing space in v~: Sisi tu viungo vya mwili wake.

EPH 5:31 Removed trailing space in v~: “Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.”

EPH 5:32 Removed trailing space in v~: Siri hii ni kubwa, bali mimi nanena kuhusu Kristo na Kanisa.

EPH 5:33 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe.

EPH 6:0 Extra space after chapter number

EPH 6:0 Removed trailing space in c: 6

EPH 6:0 Removed trailing space in s1: Mafundisho Kuhusu Watoto Na Wazazi

EPH 6:1 Removed trailing space in v~: Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika Bwana, kwa kuwa hili ni jema.

EPH 6:2 Removed trailing space in v~: “Waheshimu baba yako na mama yako,” hii ndio amri ya kwanza yenye ahadi,

EPH 6:3 Removed trailing space in v~: “upate baraka na uishi siku nyingi duniani.”

EPH 6:4 Removed trailing space in v~: Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, bali waleeni kwa nidhamu na mafundisho ya Bwana.

EPH 6:4 Removed trailing space in s1: Mafundisho Kuhusu Watumwa Na Mabwana

EPH 6:5 Removed trailing space in v~: Ninyi watumwa, watiini hao walio mabwana zenu hapa duniani kwa heshima na kwa kutetemeka na kwa moyo mmoja, kama vile mnavyomtii Kristo.

EPH 6:6 Removed trailing space in v~: Watiini, si tu wakati wakiwaona ili mpate upendeleo wao, bali mtumike kama watumwa wa Kristo, mkifanya mapenzi ya Mungu kwa moyo.

EPH 6:7 Removed trailing space in v~: Tumikeni kwa moyo wote, kama vile mnamtumikia Bwana na si wanadamu.

EPH 6:8 Removed trailing space in v~: Mkijua kwamba Bwana atampa kila mtu thawabu kwa lolote jema alilotenda, kama yeye ni mtumwa au ni mtu huru.

EPH 6:9 Removed trailing space in v~: Nanyi mabwana, watendeeni watumwa wenu kwa jinsi iyo hiyo. Msiwatishe, kwa kuwa mnajua ya kwamba yeye aliye Bwana wenu na Bwana wao yuko mbinguni, naye hana upendeleo.

EPH 6:9 Removed trailing space in s1: Silaha Za Mungu

EPH 6:10 Removed trailing space in v~: Hatimaye, mzidi kuwa hodari katika Bwana na katika uweza wa nguvu zake.

EPH 6:11 Removed trailing space in v~: Vaeni silaha zote za Mungu ili kwamba mweze kuzipinga hila za ibilisi.

EPH 6:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana kushindana kwetu si juu ya nyama na damu, bali dhidi ya falme, mamlaka, dhidi ya wakuu wa giza na majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho.

EPH 6:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo vaeni silaha zote za Mungu ili mweze kushindana siku ya uovu itakapokuja nanyi mkiisha kufanya yote, simameni imara.

EPH 6:14 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo simameni imara mkiwa mmejifunga kweli kiunoni na kuvaa dirii ya haki kifuani,

EPH 6:15 Removed trailing space in v~: nayo miguu yenu ifungiwe utayari tuupatao kwa Injili ya amani.

EPH 6:16 Removed trailing space in v~: Zaidi ya haya yote, twaeni ngao ya imani, ambayo kwa hiyo mtaweza kuizima mishale yote yenye moto ya yule mwovu.

EPH 6:17 Removed trailing space in v~: Vaeni chapeo ya wokovu na mchukue upanga wa Roho, ambao ni Neno la Mungu.

EPH 6:18 Removed trailing space in v~: Mkiomba kwa Roho siku zote katika sala zote na maombi, mkikesha kila wakati mkiwaombea watakatifu wote.

EPH 6:19 Removed trailing space in v~: Niombeeni na mimi pia, ili kila nifunguapo kinywa changu, nipewe maneno ya kusema, niweze kutangaza siri ya Injili kwa ujasiri,

EPH 6:20 Removed trailing space in v~: ambayo mimi ni balozi wake katika vifungo. Ombeni ili nipate kuhubiri kwa ujasiri kama inipasavyo.

EPH 6:20 Removed trailing space in s1: Salamu Za Mwisho

EPH 6:21 Removed trailing space in v~: Tikiko, aliye ndugu mpendwa na mtumishi mwaminifu katika Bwana, atawaambia kila kitu, ili pia mpate kujua hali yangu na kile ninachofanya sasa.

EPH 6:22 Removed trailing space in v~: Ninamtuma kwenu kwa ajili ya kusudi hili hasa, ili mpate kujua hali yetu, na awatie moyo.

EPH 6:23 Removed trailing space in v~: Amani iwe kwa ndugu, na pendo pamoja na imani kutoka kwa Mungu Baba na Bwana Yesu Kristo.

EPH 6:24 Removed trailing space in v~: Neema iwe na wote wampendao Bwana wetu Yesu Kristo kwa upendo wa dhati. Amen.

PHP -1:0 Removed trailing space in id: PHP - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

PHP -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

PHP -1:2 Removed trailing space in h: Wafilipi

PHP -1:3 Removed trailing space in toc1: Wafilipi

PHP -1:4 Removed trailing space in toc2: Wafilipi

PHP -1:5 Removed trailing space in toc3: Flp

PHP -1:6 Removed trailing space in mt1: Wafilipi

PHP 1:0 Extra space after chapter number

PHP 1:0 Removed trailing space in c: 1

PHP 1:0 Removed trailing space in s1: Salamu

PHP 1:1 Removed trailing space in v~: Waraka wa Paulo na Timotheo, watumishi wa Kristo Yesu:

PHP 1:1 Removed trailing space in p~: Kwa watakatifu wote katika Kristo Yesu walioko Filipi, pamoja na waangalizi na mashemasi:

PHP 1:2 Removed trailing space in v~: Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi.

PHP 1:2 Removed trailing space in s1: Shukrani Na Maombi

PHP 1:3 Removed trailing space in v~: Ninamshukuru Mungu wangu kila niwakumbukapo ninyi.

PHP 1:4 Removed trailing space in v~: Katika maombi yangu yote daima nimekuwa nikiwaombea ninyi nyote kwa furaha,

PHP 1:5 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya kushiriki kwenu katika kueneza Injili, tangu siku ya kwanza hadi leo.

PHP 1:6 Removed trailing space in v~: Nina hakika kwamba yeye aliyeianza kazi njema mioyoni mwenu, ataiendeleza na kuikamilisha hata siku ya Kristo Yesu.

PHP 1:7 Removed trailing space in v~: Ni haki na ni wajibu wangu kufikiri hivi juu yenu nyote, kwa sababu ninyi mko moyoni mwangu. Ikiwa nimefungwa au nikiwa ninaitetea na kuithibitisha Injili, ninyi nyote mnashiriki neema ya Mungu pamoja nami.

PHP 1:8 Removed trailing space in v~: Mungu ni shahidi wangu jinsi ninavyowaonea shauku ninyi nyote kwa huruma ya Kristo Yesu.

PHP 1:9 Removed trailing space in v~: Haya ndiyo maombi yangu: kwamba upendo wenu uongezeke zaidi na zaidi katika maarifa na ufahamu wote,

PHP 1:10 Removed trailing space in v~: ili mpate kutambua yale yaliyo mema, mkawe safi, wasio na hatia hadi siku ya Kristo,

PHP 1:11 Removed trailing space in v~: mkiwa mmejawa na matunda ya haki yapatikanayo kwa njia ya Yesu Kristo, kwa utukufu na sifa za Mungu.

PHP 1:11 Removed trailing space in s1: Kufungwa Kwa Paulo Kwaieneza Injili

PHP 1:12 Removed trailing space in v~: Basi, ndugu zangu, nataka mjue kwamba mambo yale yaliyonipata kwa kweli yamesaidia sana kueneza Injili.

PHP 1:13 Removed trailing space in v~: Matokeo yake ni kwamba imejulikana wazi kwa walinzi wote wa jumba la kifalme na kwa wengine wote kuwa nimefungwa kwa ajili ya Kristo.

PHP 1:14 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya vifungo vyangu, ndugu wengi katika Bwana wametiwa moyo kuhubiri neno la Mungu kwa ujasiri zaidi na bila woga.

PHP 1:15 Removed trailing space in v~: Ni kweli kwamba wengine wanamhubiri Kristo kutokana na wivu na kwa kutaka kushindana, lakini wengine wanamhubiri Kristo kwa nia njema.

PHP 1:16 Removed trailing space in v~: Hawa wa mwisho wanamhubiri Kristo kwa moyo wa upendo, wakifahamu kwamba nimo humu gerezani kwa ajili ya kuitetea Injili.

PHP 1:17 Removed trailing space in v~: Hao wa kwanza wanamtangaza Kristo kutokana na tamaa zao wenyewe wala si kwa moyo mweupe, bali wanakusudia kuongeza mateso yangu katika huku kufungwa kwangu.

PHP 1:18 Removed trailing space in v~: Lakini inadhuru nini? Jambo la muhimu ni kwamba kwa kila njia, ikiwa ni kwa nia mbaya au njema, Kristo anahubiriwa. Nami kwa ajili ya jambo hilo ninafurahi.

PHP 1:18 Removed trailing space in p~: Naam, nami nitaendelea kufurahi,

PHP 1:19 Removed trailing space in v~: kwa maana ninajua kwamba kwa maombi yenu na kwa msaada unaotolewa na Roho wa Yesu Kristo, yale yaliyonipata mimi yatageuka kuwa wokovu wangu.

PHP 1:20 Removed trailing space in v~: Ninatarajia kwa shauku kubwa na kutumaini kwamba sitaaibika kwa njia yoyote, bali nitakuwa na ujasiri wa kutosha ili sasa kama wakati mwingine wowote, Kristo atukuzwe katika mwili wangu, ikiwa ni kwa kuishi au kwa kufa.

PHP 1:21 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwangu mimi, kuishi ni Kristo, na kufa ni faida.

PHP 1:22 Removed trailing space in v~: Kama nitaendelea kuishi katika mwili, kwangu hili ni kwa ajili ya matunda ya kazi. Lakini sijui nichague lipi? Mimi sijui!

PHP 1:23 Removed trailing space in v~: Ninavutwa kati ya mambo mawili: Ninatamani kuondoka nikakae pamoja na Kristo, jambo hilo ni bora zaidi.

PHP 1:24 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu yenu ni muhimu zaidi mimi nikiendelea kuishi katika mwili.

PHP 1:25 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa nina matumaini haya, ninajua kwamba nitaendelea kuwepo na kuwa pamoja nanyi nyote, ili mpate kukua na kuwa na furaha katika imani.

PHP 1:26 Removed trailing space in v~: Ili kwamba furaha yenu iwe nyingi katika Kristo Yesu kwa ajili yangu kwa kule kuja kwangu kwenu tena.

PHP 1:26 Removed trailing space in s1: Kuenenda Ipasavyo Injili

PHP 1:27 Removed trailing space in v~: Lakini lolote litakalotukia, mwenende kama ipasavyo Injili ya Kristo, ili kwamba nikija na kuwaona au ikiwa sipo, nipate kusikia haya juu yenu: Kuwa mnasimama imara katika roho moja, mkiishindania imani ya Injili kwa umoja,

PHP 1:28 Removed trailing space in v~: wala msitishwe na wale wanaowapinga. Hii ni ishara kwao kuwa wataangamia, lakini ninyi mtaokolewa, na hii ni kazi ya Mungu.

PHP 1:29 Removed trailing space in v~: Kwa maana mmepewa kwa ajili ya Kristo, si kumwamini tu, bali pia kuteswa kwa ajili yake,

PHP 1:30 Removed trailing space in v~: kwa kuwa mnashiriki mashindano yale yale mliyoyaona nikiwa nayo na ambayo hata sasa mnasikia kuwa bado ninayo.

PHP 2:0 Extra space after chapter number

PHP 2:0 Removed trailing space in c: 2

PHP 2:0 Removed trailing space in s1: Kuiga Unyenyekevu Wa Kristo

PHP 2:1 Removed trailing space in v~: Kama kukiwa na jambo lolote la kutia moyo katika kuunganishwa na Kristo, kukiwa faraja yoyote katika upendo wake, kukiwa na ushirika wowote na Roho, kukiwa na wema wowote na huruma,

PHP 2:2 Removed trailing space in v~: basi ikamilisheni furaha yangu kwa kuwa na nia moja, mkiwa na upendo huo moja, mkiwa wa roho na kusudi moja.

PHP 2:3 Removed trailing space in v~: Msitende jambo lolote kwa nia ya kujitukuza wala kujivuna, bali kwa unyenyekevu kila mtu amhesabu mwingine bora kuliko nafsi yake.

PHP 2:4 Removed trailing space in v~: Kila mmoja wenu asiangalie faida yake mwenyewe tu, bali pia ajishughulishe kwa faida ya wengine.

PHP 2:5 Removed trailing space in v~: Kuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu:

PHP 2:6 Removed trailing space in v~: Yeye, ingawa alikuwa na asili ya Mungu hasa,

PHP 2:6 Removed trailing space in p~: hakuona kule kuwa sawa na Mungu

PHP 2:6 Removed trailing space in p~: kuwa kitu cha kushikilia,

PHP 2:7 Removed trailing space in v~: bali alijifanya si kitu,

PHP 2:7 Removed trailing space in p~: akachukua hali hasa na mtumwa,

PHP 2:7 Removed trailing space in p~: naye akazaliwa katika umbo la mwanadamu.

PHP 2:8 Removed trailing space in v~: Naye akiwa na umbo la mwanadamu,

PHP 2:8 Removed trailing space in p~: alijinyenyekeza, akatii hata mauti:

PHP 2:8 Removed trailing space in p~: naam, mauti ya msalaba!

PHP 2:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, Mungu alimtukuza juu sana,

PHP 2:9 Removed trailing space in p~: na kumpa Jina lililo kuu kuliko kila jina,

PHP 2:10 Removed trailing space in v~: ili kwa Jina la Yesu, kila goti lipigwe,

PHP 2:10 Removed trailing space in p~: la vitu vya mbinguni, na vya duniani,

PHP 2:10 Removed trailing space in p~: na vya chini ya nchi,

PHP 2:11 Removed trailing space in v~: na kila ulimi ukiri ya kwamba

PHP 2:11 Removed trailing space in p~: \sc Yesu Kristo ni Bwana\sc*,

PHP 2:11 Removed trailing space in p~: kwa utukufu wa Mungu Baba.

PHP 2:11 Removed trailing space in s1: Ngʼaeni Kama Mianga Katika Ulimwengu

PHP 2:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, wapenzi wangu, kama vile ambavyo mmekuwa mkitii siku zote, si tu wakati nikiwa pamoja nanyi, bali sasa zaidi sana nisipokuwepo, utimizeni wokovu wenu kwa kuogopa na kutetemeka,

PHP 2:13 Removed trailing space in v~: kwa maana Mungu ndiye atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu na kutenda kwenu kwa kulitimiza kusudi lake jema.

PHP 2:14 Removed trailing space in v~: Fanyeni mambo yote bila kunungʼunika wala kushindana,

PHP 2:15 Removed trailing space in v~: ili msiwe na lawama wala hatia, bali mwe wana wa Mungu wasio na kasoro katika kizazi chenye ukaidi na kilichopotoka, ambacho ndani yake ninyi mnangʼaa kama mianga ulimwenguni.

PHP 2:16 Removed trailing space in v~: Mkilishika neno la uzima, ili nipate kuona fahari siku ya Kristo kwamba sikupiga mbio wala kujitaabisha bure.

PHP 2:17 Removed trailing space in v~: Lakini hata kama nikimiminwa kama sadaka ya kinywaji kwenye dhabihu na huduma itokayo katika imani yenu, mimi ninafurahi na kushangilia pamoja nanyi nyote.

PHP 2:18 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, ninyi nanyi imewapasa kufurahi na kushangilia pamoja nami.

PHP 2:18 Removed trailing space in s1: Paulo Amsifu Timotheo

PHP 2:19 Removed trailing space in v~: Natumaini katika Bwana Yesu kumtuma Timotheo hivi karibuni aje kwenu, ili nipate kufarijika moyo nitakapopata habari zenu.

PHP 2:20 Removed trailing space in v~: Sina mtu mwingine kama yeye, ambaye ataangalia hali yenu kwa halisi.

PHP 2:21 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila mmoja anajishughulisha zaidi na mambo yake mwenyewe wala si yale ya Yesu Kristo.

PHP 2:22 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi wenyewe mnajua jinsi Timotheo alivyojithibitisha mwenyewe, kwa maana ametumika pamoja nami kwa kazi ya Injili, kama vile mwana kwa baba yake.

PHP 2:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ninatumaini kumtuma kwenu upesi mara nitakapojua mambo yangu yatakavyokuwa.

PHP 2:24 Removed trailing space in v~: Nami mwenyewe ninatumaini katika Bwana kwamba nitakuja kwenu hivi karibuni.

PHP 2:24 Removed trailing space in s1: Paulo Amsifu Epafrodito

PHP 2:25 Removed trailing space in v~: Lakini nadhani ni muhimu kumtuma tena kwenu Epafrodito, ndugu yangu na mtendakazi pamoja nami, aliye askari mwenzangu, ambaye pia ni mjumbe wenu mliyemtuma ili ashughulike na mahitaji yangu.

PHP 2:26 Removed trailing space in v~: Kwa maana amekuwa akiwaonea sana shauku ninyi nyote, akiwa na wasiwasi kwa kuwa mlisikia kwamba alikuwa mgonjwa.

PHP 2:27 Removed trailing space in v~: Kweli alikuwa mgonjwa, tena karibu ya kufa. Lakini Mungu alimhurumia, wala si yeye tu, bali hata na mimi alinihurumia, nisipatwe na huzuni juu ya huzuni.

PHP 2:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mimi ninafanya bidii kumtuma kwenu ili mtakapomwona kwa mara nyingine, mpate kufurahi, nami wasiwasi wangu upungue.

PHP 2:29 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mpokeeni katika Bwana kwa furaha kubwa, nanyi wapeni heshima watu kama hawa,

PHP 2:30 Removed trailing space in v~: kwa sababu alikaribia kufa kwa ajili ya kazi ya Kristo, akihatarisha maisha yake ili aweze kunihudumia vile ninyi hamkuweza.

PHP 3:0 Extra space after chapter number

PHP 3:0 Removed trailing space in c: 3

PHP 3:0 Removed trailing space in s1: Hakuna Tumaini Katika Mwili

PHP 3:1 Removed trailing space in v~: Hatimaye, ndugu zangu, furahini katika Bwana! Mimi kuwaandikia mambo yale yale hakuniudhi, kwa maana ni kinga kwa ajili yenu.

PHP 3:2 Removed trailing space in v~: Jihadharini na mbwa, wale watenda maovu, jihadharini na wale wajikatao miili yao, wasemao ili kuokoka ni lazima kutahiriwa.

PHP 3:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana sisi ndio tulio tohara, sisi tumwabuduo Mungu katika Roho, tunaona fahari katika Kristo Yesu, ambao hatuweki tumaini letu katika mwili,

PHP 3:4 Removed trailing space in v~: ingawa mimi mwenyewe ninazo sababu za kuutumainia mwili.

PHP 3:4 Removed trailing space in p~: Kama mtu yeyote akidhani anazo sababu za kuutumainia mwili, mimi zaidi.

PHP 3:5 Removed trailing space in v~: Nilitahiriwa siku ya nane, mimi ni Mwisraeli wa kabila la Benyamini, Mwebrania wa Waebrania. Kwa habari ya sheria, ni Farisayo,

PHP 3:6 Removed trailing space in v~: kwa habari ya juhudi, nilikuwa nalitesa kanisa, kuhusu haki ipatikanayo kwa sheria, mimi nilikuwa sina hatia.

PHP 3:7 Removed trailing space in v~: Lakini mambo yale yaliyokuwa faida kwangu, sasa nayahesabu kuwa hasara kwa ajili ya Kristo.

PHP 3:8 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, nayahesabu mambo yote kuwa hasara tupu nikiyalinganisha na faida kubwa ipitayo kiasi cha kumjua Kristo Yesu Bwana wangu, ambaye kwa ajili yake nimepata hasara ya mambo yote, nikiyahesabu kuwa kama mavi ili nimpate Kristo.

PHP 3:9 Removed trailing space in v~: Nami nionekane mbele zake bila kuwa na haki yangu mwenyewe ipatikanayo kwa sheria, bali ile ipatikanayo kwa imani katika Kristo, haki ile itokayo kwa Mungu kwa njia ya imani.

PHP 3:10 Removed trailing space in v~: Nataka nimjue Kristo na uweza wa kufufuka kwake na ushirika wa mateso yake, ili nifanane naye katika mauti yake,

PHP 3:11 Removed trailing space in v~: ili kwa njia yoyote niweze kufikia ufufuo wa wafu.

PHP 3:11 Removed trailing space in s1: Kukaza Mwendo Ili Kufikia Lengo

PHP 3:12 Removed trailing space in v~: Si kwamba nimekwisha kufikia, au kwamba nimekwisha kuwa mkamilifu, la hasha! Bali nakaza mwendo ili nipate kile ambacho kwa ajili yake, nimeshikwa na Kristo Yesu.

PHP 3:13 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, sijihesabu kuwa nimekwisha kushika. Lakini ninafanya jambo moja: Ninasahau mambo yale yaliyopita, nakaza mwendo kufikia yale yaliyo mbele.

PHP 3:14 Removed trailing space in v~: Nakaza mwendo nifikie ile alama ya ushindi iliyowekwa ili nipate tuzo ya mwito mkuu wa Mungu ambao nimeitiwa huko juu mbinguni katika Kristo Yesu.

PHP 3:15 Removed trailing space in v~: Hivyo sisi sote tuliokuwa kiroho tuwaze jambo hili, hata mkiwaza mengine katika jambo lolote, Mungu ataliweka wazi hilo nalo.

PHP 3:16 Removed trailing space in v~: Lakini na tushike sana lile ambalo tumekwisha kulifikia.

PHP 3:17 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, kwa pamoja fuateni mfano wangu na kuwatazama wale wanaofuata kielelezo tulichowawekea.

PHP 3:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana, kama nilivyokwisha kuwaambia mara nyingi kabla, nami sasa nasema tena hata kwa machozi, watu wengi wanaishi kama adui wa msalaba wa Kristo.

PHP 3:19 Removed trailing space in v~: Mwisho wa watu hao ni maangamizi, Mungu wao ni tumbo, na utukufu wao ni aibu, na mawazo yao yamo katika mambo ya dunia.

PHP 3:20 Removed trailing space in v~: Lakini uenyeji wetu uko mbinguni. Nasi tunamngoja kwa shauku Mwokozi kutoka huko, yaani, Bwana Yesu Kristo,

PHP 3:21 Removed trailing space in v~: atakayeubadili mwili wetu wa unyonge, ili upate kufanana na mwili wake wa utukufu, kwa uweza ule ambao kwa huo aweza hata kuvitiisha vitu vyote chini yake.

PHP 4:0 Extra space after chapter number

PHP 4:0 Removed trailing space in c: 4

PHP 4:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ndugu zangu, ninaowapenda na ambao ninawaonea shauku, ninyi mlio furaha yangu na taji yangu, hivi ndivyo iwapasavyo kusimama imara katika Bwana, ninyi wapenzi wangu.

PHP 4:1 Removed trailing space in s1: Mausia

PHP 4:2 Removed trailing space in v~: Nawasihi Euodia na Sintike wawe na nia moja katika Bwana.

PHP 4:3 Removed trailing space in v~: Naam, nakusihi wewe pia, mwenzangu mwaminifu, uwasaidie hawa wanawake, kwa sababu walijitaabisha katika kazi ya Injili pamoja nami bega kwa bega, wakiwa pamoja na Klementi na watendakazi wenzangu ambao majina yao yameandikwa katika kitabu cha uzima.

PHP 4:4 Removed trailing space in v~: Furahini katika Bwana siku zote, tena nasema furahini!

PHP 4:5 Removed trailing space in v~: Upole wenu na ujulikane na watu wote. Bwana yu karibu.

PHP 4:6 Removed trailing space in v~: Msijisumbue kwa jambo lolote, bali katika kila jambo kwa kuomba na kusihi pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.

PHP 4:7 Removed trailing space in v~: Nayo amani ya Mungu, inayopita fahamu zote, itailinda mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.

PHP 4:8 Removed trailing space in v~: Hatimaye, ndugu zangu, mambo yote yaliyo ya kweli, yoyote yaliyo na sifa njema, yoyote yaliyo ya haki, yoyote yaliyo safi, yoyote ya kupendeza, yoyote yenye staha, ukiwepo uzuri wowote, pakiwepo chochote kinachostahili kusifiwa, tafakarini mambo hayo.

PHP 4:9 Removed trailing space in v~: Mambo yote mliyojifunza au kuyapokea au kuyasikia kutoka kwangu, au kuyaona kwangu, yatendeni hayo. Naye Mungu wa amani atakuwa pamoja nanyi.

PHP 4:9 Removed trailing space in s1: Shukrani Kwa Matoleo Yenu

PHP 4:10 Removed trailing space in v~: Nina furaha kubwa katika Bwana kwamba hatimaye mmeanza upya kushughulika tena na maisha yangu. Kweli mmekuwa mkinifikiria lakini mlikuwa hamjapata nafasi ya kufanya hivyo.

PHP 4:11 Removed trailing space in v~: Sisemi hivyo kwa vile nina mahitaji, la! Kwa maana nimejifunza kuridhika katika hali yoyote.

PHP 4:12 Removed trailing space in v~: Ninajua kupungukiwa, pia ninajua kuwa na vingi. Nimejifunza siri ya kuridhika katika kila hali, wakati wa kushiba na wakati wa kuona njaa, wakati wa kuwa na vingi na wakati wa kupungukiwa.

PHP 4:13 Removed trailing space in v~: Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.

PHP 4:14 Removed trailing space in v~: Lakini, mlifanya vyema kushiriki nami katika taabu zangu.

PHP 4:15 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, ninyi Wafilipi mnajua kwamba siku za kwanza nilipoanza kuhubiri Injili, nilipoondoka Makedonia, hakuna kanisa jingine lililoshiriki nami katika masuala ya kutoa na kupokea isipokuwa ninyi.

PHP 4:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana hata nilipokuwa huko Thesalonike, mliniletea msaada kwa ajili ya mahitaji yangu zaidi ya mara moja.

PHP 4:17 Removed trailing space in v~: Si kwamba natafuta sana yale matoleo, bali natafuta sana ile faida itakayozidi sana kwa upande wenu.

PHP 4:18 Removed trailing space in v~: Nimelipwa kikamilifu hata na zaidi; nimetoshelezwa kabisa sasa, kwa kuwa nimepokea kutoka kwa Epafrodito vile vitu mlivyonitumia, sadaka yenye harufu nzuri, dhabihu inayokubalika na ya kumpendeza Mungu.

PHP 4:19 Removed trailing space in v~: Naye Mungu wangu atawajaza ninyi na kila mnachohitaji kwa kadiri ya utajiri wake katika utukufu ndani ya Kristo Yesu.

PHP 4:20 Removed trailing space in v~: Mungu wetu aliye Baba yetu apewe utukufu milele na milele. Amen.

PHP 4:20 Removed trailing space in s1: Salamu Za Mwisho

PHP 4:21 Removed trailing space in v~: Msalimuni kila mtakatifu katika Kristo Yesu. Ndugu walioko pamoja nami wanawasalimu.

PHP 4:22 Removed trailing space in v~: Watakatifu wote wanawasalimu, hasa wale watu wa nyumbani mwa Kaisari.

PHP 4:23 Removed trailing space in v~: Neema ya Bwana Yesu Kristo iwe pamoja na roho zenu. Amen.

COL -1:0 Removed trailing space in id: COL - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

COL -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

COL -1:2 Removed trailing space in h: Wakolosai

COL -1:3 Removed trailing space in toc1: Wakolosai

COL -1:4 Removed trailing space in toc2: Wakolosai

COL -1:5 Removed trailing space in toc3: Kol

COL -1:6 Removed trailing space in mt1: Wakolosai

COL 1:0 Extra space after chapter number

COL 1:0 Removed trailing space in c: 1

COL 1:0 Removed trailing space in s1: Salamu

COL 1:1 Removed trailing space in v~: Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu:

COL 1:2 Removed trailing space in v~: Kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika Kristo, waishio Kolosai:

COL 1:2 Removed trailing space in p~: Neema na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu ziwe nanyi.

COL 1:2 Removed trailing space in s1: Shukrani Na Maombi

COL 1:3 Removed trailing space in v~: Siku zote tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, tunapowaombea ninyi,

COL 1:4 Removed trailing space in v~: kwa sababu tumesikia kuhusu imani yenu katika Kristo Yesu, na upendo wenu mlio nao kwa watakatifu wote:

COL 1:5 Removed trailing space in v~: imani na upendo ule utokao katika tumaini mlilowekewa akiba mbinguni, na ambalo mmesikia habari zake katika neno la kweli, yaani, ile Injili

COL 1:6 Removed trailing space in v~: iliyowafikia ninyi. Duniani kote Injili hii inazaa matunda na kuenea kama ilivyokuwa kwenu tangu siku ile mlipoisikia na kuielewa neema ya Mungu katika kweli yote.

COL 1:7 Removed trailing space in v~: Mlijifunza habari zake kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu mpendwa, yeye aliye mhudumu mwaminifu wa Kristo kwa ajili yenu,

COL 1:8 Removed trailing space in v~: ambaye pia ametuambia kuhusu upendo wenu katika Roho.

COL 1:9 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii, tangu siku ile tuliposikia habari zenu, hatujakoma kuomba kwa ajili yenu na kumsihi Mungu awajaze ninyi maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote ya kiroho na ufahamu.

COL 1:10 Removed trailing space in v~: Nasi tunaomba haya ili mpate kuishi maisha yanayostahili mbele za Bwana, na mpate kumpendeza kwa kila namna: mkizaa matunda kwa kila kazi njema, mkikua katika kumjua Mungu,

COL 1:11 Removed trailing space in v~: mkiwa mmetiwa nguvu kwa uwezo wote kwa kadiri ya nguvu yake yenye utukufu, ili mpate kuwa na wingi wa saburi na uvumilivu. Nanyi kwa furaha

COL 1:12 Removed trailing space in v~: mkimshukuru Baba, ambaye amewastahilisha kushiriki katika urithi wa watakatifu katika ufalme wa nuru.

COL 1:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana ametuokoa kutoka ufalme wa giza na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa,

COL 1:14 Removed trailing space in v~: ambaye katika yeye tunao ukombozi, yaani msamaha wa dhambi.

COL 1:14 Removed trailing space in s1: Ukuu Wa Kristo

COL 1:15 Removed trailing space in v~: Yeye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.

COL 1:16 Removed trailing space in v~: Kwake yeye vitu vyote vilivyoko mbinguni na juu ya nchi viliumbwa: vitu vinavyoonekana na visivyoonekana, viwe ni viti vya enzi au falme, au wenye mamlaka au watawala; vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.

COL 1:17 Removed trailing space in v~: Yeye alikuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.

COL 1:18 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye kichwa cha mwili, yaani kanisa, naye ndiye mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, ili yeye awe mkuu katika vitu vyote.

COL 1:19 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ilimpendeza Mungu kwamba utimilifu wake wote ukae ndani yake,

COL 1:20 Removed trailing space in v~: na kwa njia yake aweze kuvipatanisha vitu vyote na yeye mwenyewe, viwe ni vitu vilivyo duniani au vilivyo mbinguni, kwa kufanya amani kwa damu yake, iliyomwagika msalabani.

COL 1:21 Removed trailing space in v~: Hapo kwanza mlikuwa mmetengana na Mungu, na mlikuwa adui zake katika nia zenu kwa sababu ya mienendo yenu mibaya.

COL 1:22 Removed trailing space in v~: Lakini sasa Mungu amewapatanisha ninyi kwa njia ya mwili wa Kristo kupitia mauti, ili awalete mbele zake mkiwa watakatifu, bila dosari wala lawama,

COL 1:23 Removed trailing space in v~: ikiwa mnaendelea katika imani yenu mkiwa imara na thabiti, pasipo kuliacha tumaini lililoahidiwa katika Injili. Hii ndiyo ile Injili mliyoisikia, ambayo imehubiriwa kwa kila kiumbe chini ya mbingu, na ambayo mimi Paulo nimekuwa mtumwa wake.

COL 1:23 Removed trailing space in s1: Taabu Ya Paulo Kwa Ajili Ya Kanisa

COL 1:24 Removed trailing space in v~: Sasa nafurahia kule kuteseka kwangu kwa ajili yenu, na katika mwili wangu ninatimiliza yale yaliyopungua katika mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kanisa.

COL 1:25 Removed trailing space in v~: Mimi nimekuwa mtumishi wa kanisa kwa wajibu alionipa Mungu ili kuwaletea ninyi Neno la Mungu kwa ukamilifu:

COL 1:26 Removed trailing space in v~: Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu.

COL 1:27 Removed trailing space in v~: Kwao, Mungu amechagua kujulisha miongoni mwa watu wa Mataifa utukufu wa utajiri wa siri hii, ambayo ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu.

COL 1:28 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye tunayemtangaza, tukimwonya kila mtu na kumfundisha kila mtu kwa hekima yote ili tuweze kumleta kila mmoja akiwa amekamilika katika Kristo.

COL 1:29 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya jambo hili, ninajitaabisha, nikijitahidi kwa kadiri ya nguvu zake ambazo hutenda kazi ndani yangu kwa uweza mwingi.

COL 2:0 Extra space after chapter number

COL 2:0 Removed trailing space in c: 2

COL 2:1 Removed trailing space in v~: Nataka mjue jinsi ninavyojitaabisha kwa ajili yenu na kwa ajili ya wale walioko Laodikia, na pia kwa ajili ya wote ambao hawajapata kuniona mimi binafsi.

COL 2:2 Removed trailing space in v~: Kusudi langu ni watiwe moyo na kuunganishwa katika upendo, ili wapate ule utajiri wa ufahamu mkamilifu, ili waijue siri ya Mungu, yaani, Kristo mwenyewe,

COL 2:3 Removed trailing space in v~: ambaye ndani yake kumefichwa hazina zote za hekima na maarifa.

COL 2:4 Removed trailing space in v~: Nawaambia mambo haya ili mtu yeyote asiwadanganye kwa maneno ya kuwashawishi.

COL 2:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ingawa mimi siko pamoja nanyi kimwili, lakini niko pamoja nanyi kiroho, nami nafurahi kuuona utaratibu wenu na jinsi uthabiti wa imani yenu katika Kristo ulivyo.

COL 2:5 Removed trailing space in s1: Ukamilifu Wa Maisha Katika Kristo

COL 2:6 Removed trailing space in v~: Hivyo basi, kama vile mlivyompokea Kristo Yesu kuwa Bwana, endeleeni kukaa ndani yake,

COL 2:7 Removed trailing space in v~: mkiwa na mizizi, na mmejengwa ndani yake, mkiimarishwa katika imani kama mlivyofundishwa, na kufurika kwa wingi wa shukrani.

COL 2:8 Removed trailing space in v~: Angalieni mtu yeyote asiwafanye ninyi mateka kwa elimu batili na madanganyo matupu yanayotegemea mapokeo ya wanadamu na mafundisho ya ulimwengu badala ya Kristo.

COL 2:9 Removed trailing space in v~: Maana ukamilifu wote wa Uungu umo ndani ya Kristo katika umbile la mwili wa kibinadamu,

COL 2:10 Removed trailing space in v~: nanyi mmepewa ukamilifu ndani ya Kristo, ambaye ndiye mkuu juu ya kila enzi na kila mamlaka.

COL 2:11 Removed trailing space in v~: Katika Kristo pia mlitahiriwa kwa kutengwa mbali na asili ya dhambi, si kwa tohara inayofanywa kwa mikono ya wanadamu, bali kwa ile tohara iliyofanywa na Kristo,

COL 2:12 Removed trailing space in v~: mkiwa mmezikwa pamoja naye katika ubatizo, na kufufuliwa pamoja naye kwa njia ya imani yenu katika uweza wa Mungu, aliyemfufua kutoka kwa wafu.

COL 2:13 Removed trailing space in v~: Mlipokuwa wafu katika dhambi zenu na kutokutahiriwa katika asili yenu ya dhambi, Mungu aliwafanya mwe hai pamoja na Kristo. Alitusamehe dhambi zetu zote,

COL 2:14 Removed trailing space in v~: akiisha kuifuta ile hati yenye mashtaka yaliyokuwa yanatukabili, pamoja na maagizo yake. Aliiondoa isiwepo tena, akiigongomea kwenye msalaba wake.

COL 2:15 Removed trailing space in v~: Mungu akiisha kuzivua enzi na mamlaka, alizifanya kuwa kitu cha fedheha hadharani kwa kuziburura kwa ujasiri, akizishinda katika msalaba wa Kristo.

COL 2:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo mtu asiwahukumu ninyi kuhusu vyakula au vinywaji, au kuhusu kuadhimisha sikukuu za dini, au Sikukuu za Mwezi Mwandamo au siku ya Sabato.

COL 2:17 Removed trailing space in v~: Hizi zilikuwa kivuli cha mambo ambayo yangekuja, lakini ile iliyo halisi imo ndani ya Kristo.

COL 2:18 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote asiwaondolee thawabu yenu kwa kusisitiza kunyenyekea kwake na kuabudu malaika. Mtu kama huyo hudumu katika maono yake, akijivuna bila sababu katika mawazo ya kibinadamu.

COL 2:19 Removed trailing space in v~: Yeye amepoteza ushirikiano na Kichwa, ambaye kutoka kwake mwili wote unalishwa na kushikamanishwa pamoja kwa viungo na mishipa, nao hukua kwa ukuaji utokao kwa Mungu.

COL 2:19 Removed trailing space in s1: Maonyo Dhidi Ya Walimu Wa Uongo

COL 2:20 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mlikufa pamoja na Kristo, mkayaacha yale mafundisho ya msingi ya ulimwengu huu, kwa nini bado mnaishi kama ninyi ni wa ulimwengu? Kwa nini mnajitia chini ya amri:

COL 2:21 Removed trailing space in v~: “Msishike! Msionje! Msiguse!”?

COL 2:22 Removed trailing space in v~: Haya yote mwisho wake ni kuharibika yanapotumiwa, kwa sababu msingi wake ni katika maagizo na mafundisho ya wanadamu.

COL 2:23 Removed trailing space in v~: Kwa kweli amri kama hizo huonekana kama zina hekima, katika namna za ibada walizojitungia wenyewe, na unyenyekevu wa uongo na kuutawala mwili kwa ukali, lakini hayafai kitu katika kuzuia tamaa za mwili.

COL 3:0 Extra space after chapter number

COL 3:0 Removed trailing space in c: 3

COL 3:0 Removed trailing space in s1: Kanuni Za Kuishi Maisha Matakatifu

COL 3:1 Removed trailing space in v~: Basi, kwa kuwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu, Kristo alikoketi mkono wa kuume wa Mungu.

COL 3:2 Removed trailing space in v~: Yafikirini mambo yaliyo juu, wala si ya duniani.

COL 3:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninyi mlikufa, nao uhai wenu sasa umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.

COL 3:4 Removed trailing space in v~: Wakati Kristo, aliye uzima wenu, atakapotokea, ndipo nanyi mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.

COL 3:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ueni kabisa chochote kilicho ndani yenu cha asili ya kidunia: yaani uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya na ulafi, ambayo ndiyo ibada ya sanamu.

COL 3:6 Removed trailing space in v~: Kwa sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mungu inakuja.

COL 3:7 Removed trailing space in v~: Ninyi pia zamani mlienenda katika mambo haya mlipoishi maisha hayo.

COL 3:8 Removed trailing space in v~: Lakini sasa yawekeni mbali nanyi mambo kama haya yote: yaani hasira, ghadhabu, uovu, masingizio na lugha chafu kutoka midomoni mwenu.

COL 3:9 Removed trailing space in v~: Msiambiane uongo, kwa maana mmevua kabisa utu wenu wa kale pamoja na matendo yake,

COL 3:10 Removed trailing space in v~: nanyi mmevaa utu mpya, unaofanywa upya katika ufahamu sawasawa na mfano wa Muumba wake.

COL 3:11 Removed trailing space in v~: Hapa hakuna Myunani wala Myahudi, aliyetahiriwa wala asiyetahiriwa, asiyestaarabika wala aliyestaarabika, mtumwa wala mtu huru, bali Kristo ni yote, na ndani ya wote.

COL 3:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kwa kuwa ninyi mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao sana, jivikeni moyo wa huruma, utu wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu.

COL 3:13 Removed trailing space in v~: Vumilianeni na kusameheana mtu akiwa na lalamiko lolote dhidi ya mwenzake. Sameheaneni kama vile Bwana alivyowasamehe ninyi.

COL 3:14 Removed trailing space in v~: Zaidi ya maadili haya yote jivikeni upendo, ambao ndio unaofunga kila kitu pamoja katika umoja mkamilifu.

COL 3:15 Removed trailing space in v~: Amani ya Kristo na itawale mioyoni mwenu, kwa kuwa ninyi kama viungo vya mwili mmoja mmeitiwa amani. Tena kuweni watu wa shukrani.

COL 3:16 Removed trailing space in v~: Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu, mkifundishana na kuonyana katika hekima yote, mkimwimbia Mungu zaburi, nyimbo na tenzi za rohoni, huku mkiwa na shukrani mioyoni mwenu.

COL 3:17 Removed trailing space in v~: Lolote mfanyalo, ikiwa ni kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba katika yeye.

COL 3:17 Removed trailing space in s1: Kanuni Katika Madaraka Ya Nyumbani

COL 3:18 Removed trailing space in v~: Ninyi wake, watiini waume zenu, kama inavyostahili katika Bwana.

COL 3:19 Removed trailing space in v~: Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala msiwe na uchungu dhidi yao.

COL 3:20 Removed trailing space in v~: Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana hivi ndivyo inavyompendeza Bwana.

COL 3:21 Removed trailing space in v~: Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.

COL 3:22 Removed trailing space in v~: Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu wa hapa duniani katika mambo yote. Fanyeni hivyo si wakiwepo tu, wala si kwa kutafuta upendeleo wao, bali kwa moyo mnyofu na kumcha Bwana.

COL 3:23 Removed trailing space in v~: Lolote mfanyalo, fanyeni kwa moyo kama watu wanaomtumikia Bwana, na si wanadamu,

COL 3:24 Removed trailing space in v~: kwa kuwa mnajua kwamba mtapokea urithi wenu kutoka kwa Bwana ukiwa thawabu yenu. Ni Bwana Yesu Kristo mnayemtumikia.

COL 3:25 Removed trailing space in v~: Yeyote atendaye mabaya atalipwa kwa ajili ya mabaya yake, wala hakuna upendeleo.

COL 4:0 Extra space after chapter number

COL 4:0 Removed trailing space in c: 4

COL 4:1 Removed trailing space in v~: Ninyi mabwana, watendeeni watumwa wenu yaliyo haki na yanayostahili, mkitambua ya kwamba ninyi pia mnaye Bwana mbinguni.

COL 4:1 Removed trailing space in s1: Maagizo Zaidi

COL 4:2 Removed trailing space in v~: Dumuni sana katika maombi, mkikesha katika hayo pamoja na kushukuru.

COL 4:3 Removed trailing space in v~: Pia tuombeeni na sisi ili Mungu atufungulie mlango wa kunena, ili tupate kuitangaza siri ya Kristo, ambayo kwa ajili yake pia mimi nimefungwa.

COL 4:4 Removed trailing space in v~: Ombeni ili nipate kuitangaza Injili kwa udhahiri kama ipasavyo kunena.

COL 4:5 Removed trailing space in v~: Enendeni kwa hekima mbele yao walio nje, mkiukomboa wakati.

COL 4:6 Removed trailing space in v~: Maneno yenu yawe yamejaa neema siku zote, yanayofaa, ili mjue jinsi iwapasavyo na inavyofaa kumjibu kila mtu.

COL 4:6 Removed trailing space in s1: Salamu Za Mwisho

COL 4:7 Removed trailing space in v~: Tikiko atawaambia habari zangu zote. Yeye ni ndugu mpendwa, mtendakazi mwaminifu na mtumishi mwenzangu katika Bwana.

COL 4:8 Removed trailing space in v~: Nimemtuma kwenu kwa madhumuni haya ili mpate kufahamu hali yetu, na pia awatie moyo.

COL 4:9 Removed trailing space in v~: Anakuja pamoja na Onesimo, ndugu yetu mpendwa na mwaminifu, ambaye ni mmoja wenu. Watawaambia mambo yote yanayotendeka hapa kwetu.

COL 4:10 Removed trailing space in v~: Aristarko aliye mfungwa pamoja nami anawasalimu, vivyo hivyo Marko, binamu yake Barnaba. (Mmeshapata maagizo yanayomhusu; akija kwenu, mpokeeni.)

COL 4:11 Removed trailing space in v~: Yesu, yeye aitwaye Yusto, pia anawasalimu. Hawa peke yao ndio Wayahudi miongoni mwa watendakazi wenzangu kwa ajili ya Ufalme wa Mungu, nao wamekuwa faraja kwangu.

COL 4:12 Removed trailing space in v~: Epafra, ambaye ni mmoja wenu na mtumishi wa Kristo Yesu, anawasalimu. Yeye siku zote anawaombea kwa bidii kwamba msimame imara katika mapenzi yote ya Mungu, mkiwa wakamilifu na thabiti.

COL 4:13 Removed trailing space in v~: Ninashuhudia kumhusu kwamba anafanya kazi kwa bidii kwa ajili yenu, na kwa ajili ya ndugu wa Laodikia na wale wa Hierapoli.

COL 4:14 Removed trailing space in v~: Rafiki yetu mpenzi Luka yule tabibu, pamoja na Dema, wanawasalimu.

COL 4:15 Removed trailing space in v~: Wasalimuni ndugu wote wa Laodikia, na pia Nimfa, pamoja na kanisa linalokutana katika nyumba yake.

COL 4:16 Removed trailing space in v~: Baada ya barua hii kusomwa kwenu, hakikisheni kwamba inasomwa pia katika kanisa la Walaodikia. Nanyi pia msome barua inayotoka Laodikia.

COL 4:17 Removed trailing space in v~: Mwambieni Arkipo hivi: “Hakikisha kuwa unakamilisha ile huduma uliyopokea katika Bwana.”

COL 4:18 Removed trailing space in v~: Mimi, Paulo, naandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Kumbukeni minyororo yangu. Neema iwe nanyi. Amen.

TH1 -1:0 Removed trailing space in id: 1TH - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

TH1 -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

TH1 -1:2 Removed trailing space in h: 1 Wathesalonike

TH1 -1:3 Removed trailing space in toc1: 1 Wathesalonike

TH1 -1:4 Removed trailing space in toc2: 1 Wathesalonike

TH1 -1:5 Removed trailing space in toc3: 1The

TH1 -1:6 Removed trailing space in mt1: 1 Wathesalonike

TH1 1:0 Extra space after chapter number

TH1 1:0 Removed trailing space in c: 1

TH1 1:0 Removed trailing space in s1: Salamu

TH1 1:1 Removed trailing space in v~: Paulo, Silvano\f + \fr 1:1 \ft Yaani Sila.\f* na Timotheo:

TH1 1:1 Removed trailing space in p~: Kwa kanisa la Wathesalonike, ninyi mlio ndani ya Mungu Baba yetu na ndani ya Bwana Yesu Kristo:

TH1 1:1 Removed trailing space in p~: Neema iwe kwenu na amani.

TH1 1:1 Removed trailing space in s1: Shukrani Kwa Ajili Ya Imani Ya Wathesalonike

TH1 1:2 Removed trailing space in v~: Siku zote tunamshukuru Mungu kwa ajili yenu ninyi nyote, tukiwataja kwenye maombi yetu daima.

TH1 1:3 Removed trailing space in v~: Tunaikumbuka daima kazi yenu ya imani mbele za Mungu aliye Baba yetu, taabu yenu katika upendo na saburi yenu ya tumaini katika Bwana wetu Yesu Kristo.

TH1 1:4 Removed trailing space in v~: Ndugu zetu mpendwao na Mungu, kwa kuwa tunajua kwamba Mungu amewachagua,

TH1 1:5 Removed trailing space in v~: kwa sababu ujumbe wetu wa Injili haukuja kwenu kwa maneno matupu bali pia ulidhihirishwa katika nguvu na katika Roho Mtakatifu, tena ukiwa na uthibitisho kamili, kama vile ninyi wenyewe mnavyojua jinsi tulivyoenenda katikati yenu kwa ajili yenu.

TH1 1:6 Removed trailing space in v~: Nanyi mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, ingawa mlipata mateso mengi, mlilipokea lile Neno kwa furaha katika Roho Mtakatifu.

TH1 1:7 Removed trailing space in v~: Hivyo ninyi mkawa kielelezo kwa waumini wote katika Makedonia na Akaya.

TH1 1:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana kutoka kwenu neno la Bwana limesikika, si katika Makedonia na Akaya tu, bali pia imani yenu katika Mungu imejulikana kila mahali kiasi kwamba hatuna haja ya kusema lolote kwa habari yake.

TH1 1:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana watu wa maeneo hayo wenyewe wanaeleza jinsi mlivyotupokea na jinsi mlivyomgeukia Mungu mkaacha sanamu, ili kumtumikia Mungu aliye hai na wa kweli

TH1 1:10 Removed trailing space in v~: na ili kumngojea Mwanawe kutoka mbinguni, ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu: yaani, Yesu, yeye aliyetuokoa kutoka ghadhabu inayokuja.

TH1 2:0 Extra space after chapter number

TH1 2:0 Removed trailing space in c: 2

TH1 2:0 Removed trailing space in s1: Huduma Ya Paulo Huko Thesalonike

TH1 2:1 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, kwa kuwa ninyi wenyewe mnajua ya kwamba kuja kwetu kwenu hakukuwa bure,

TH1 2:2 Removed trailing space in v~: kama vile mjuavyo, tulikuwa tumeteswa na kutukanwa huko Filipi, lakini hata hivyo, kwa msaada wa Mungu wetu, tulikuwa na ujasiri wa kuwaambia Injili ya Mungu ingawa kulikuwa na upinzani mkubwa.

TH1 2:3 Removed trailing space in v~: Kwa maana himizo letu halikutokana na hila wala nia mbaya au udanganyifu.

TH1 2:4 Removed trailing space in v~: Kinyume chake, tulinena kama watu tuliokubaliwa na Mungu tukakabidhiwa Injili. Sisi hatujaribu kuwapendeza wanadamu bali kumpendeza Mungu, yeye ayachunguzaye mawazo ya ndani sana ya mioyo yetu.

TH1 2:5 Removed trailing space in v~: Kama mjuavyo, hatukuja kwenu kwa maneno ya kujipendekeza au maneno yasiyo ya kweli ili kuficha tamaa mbaya: Mungu ndiye shahidi yetu.

TH1 2:6 Removed trailing space in v~: Wala hatukuwa tunatafuta sifa kutoka kwa wanadamu, wala kutoka kwenu au kwa mtu mwingine awaye yote.

TH1 2:6 Removed trailing space in p~: Kama mitume wa Kristo tungaliweza kuwa mzigo kwenu,

TH1 2:7 Removed trailing space in v~: lakini tulikuwa wapole katikati yenu, kama mama anayewatunza watoto wake wadogo.

TH1 2:8 Removed trailing space in v~: Tuliwapenda sana kiasi kwamba tulifurahia kushirikiana nanyi, si Injili ya Mungu tu, bali hata maisha yetu, kwa sababu mlikuwa wa thamani mno kwetu.

TH1 2:9 Removed trailing space in v~: Ndugu zetu, mnakumbuka juhudi yetu na taabu yetu. Tulifanya kazi usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote wa kwenu wakati tulipokuwa tunawahubiria Injili ya Mungu.

TH1 2:10 Removed trailing space in v~: Ninyi wenyewe ni mashahidi na Mungu pia, jinsi tulivyokuwa watakatifu, wenye haki na wasio na lawama miongoni mwenu ninyi mlioamini.

TH1 2:11 Removed trailing space in v~: Maana mnajua kwamba tuliwatendea kila mmoja wenu kama vile baba awatendeavyo watoto wake.

TH1 2:12 Removed trailing space in v~: Tuliwatia moyo, tuliwafariji na kuwahimiza kuishi maisha yampendezayo Mungu, anayewaita katika Ufalme na utukufu wake.

TH1 2:13 Removed trailing space in v~: Nasi pia tunamshukuru Mungu bila kukoma kwa sababu mlipolipokea neno la Mungu mlilosikia kutoka kwetu, hamkulipokea kama neno la wanadamu, bali mlilipokea kama lilivyo hasa, neno la Mungu, litendalo kazi ndani yenu ninyi mnaoamini.

TH1 2:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana ninyi ndugu zetu, mlifanyika wafuasi wa makanisa ya Mungu yaliyoko ndani ya Kristo Yesu katika Uyahudi. Mlipata mateso yale yale kutoka kwa watu wenu wenyewe kama vile makanisa hayo yalivyoteswa na Wayahudi,

TH1 2:15 Removed trailing space in v~: wale waliomuua Bwana Yesu na manabii, nasi wakatufukuza pia. Watu hao walimchukiza Mungu na tena ni adui wa watu wote,

TH1 2:16 Removed trailing space in v~: wakijitahidi kutuzuia tusizungumze na watu wa Mataifa ili kwamba wapate kuokolewa. Kwa njia hii wanazidi kujilundikia dhambi zao hadi kikomo. Lakini hatimaye ghadhabu ya Mungu imewafikia.

TH1 2:16 Removed trailing space in s1: Paulo Atamani Kuwaona Wathesalonike

TH1 2:17 Removed trailing space in v~: Lakini ndugu zetu, tulipotenganishwa nanyi kwa kitambo kidogo (ingawa kutengana huko kulikuwa kwa mwili tu, si kwa moyo), tulizidi kuwa na shauku kubwa kuwaona uso kwa uso.

TH1 2:18 Removed trailing space in v~: Maana tulitaka kuja kwenu, hasa mimi Paulo, nilitaka kuja tena na tena, lakini Shetani akatuzuia.

TH1 2:19 Removed trailing space in v~: Kwa maana tumaini letu ni nini, au furaha yetu au taji yetu ya kujisifia mbele za Bwana Yesu Kristo wakati wa kuja kwake? Je, si ni ninyi?

TH1 2:20 Removed trailing space in v~: Naam, ninyi ndio fahari yetu na furaha yetu.

TH1 3:0 Extra space after chapter number

TH1 3:0 Removed trailing space in c: 3

TH1 3:0 Removed trailing space in s1: Timotheo Atumwa Kwenda Thesalonike

TH1 3:1 Removed trailing space in v~: Kwa hivyo tulipokuwa hatuwezi kuvumilia zaidi, tuliamua tubaki Athene peke yetu.

TH1 3:2 Removed trailing space in v~: Tukamtuma Timotheo ambaye ni ndugu yetu na mtumishi mwenzetu wa Mungu katika kuieneza Injili ya Kristo, aje kuwaimarisha na kuwatia moyo katika imani yenu,

TH1 3:3 Removed trailing space in v~: ili mtu yeyote asifadhaishwe na mateso haya. Mnajua vyema kwamba tumewekewa hayo mateso.

TH1 3:4 Removed trailing space in v~: Kwa kweli, tulipokuwa pamoja nanyi tuliwaambia mara kwa mara kwamba tutateswa na imekuwa hivyo kama mjuavyo.

TH1 3:5 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii nilipokuwa siwezi kuvumilia zaidi, nilimtuma mtu ili nipate habari za imani yenu. Niliogopa kwamba kwa njia fulani yule mjaribu asiwe amewajaribu, nasi tukawa tumejitaabisha bure.

TH1 3:5 Removed trailing space in s1: Taarifa Ya Timotheo Ya Kutia Moyo

TH1 3:6 Removed trailing space in v~: Lakini sasa Timotheo ndiyo tu amerejea kwetu kutoka kwenu na ameleta habari njema kuhusu imani yenu na upendo wenu. Ametuambia kwamba siku zote mnatukumbuka kwa wema na kwamba mna shauku ya kutuona kama vile sisi tulivyo na shauku ya kuwaona ninyi.

TH1 3:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ndugu zetu, katika dhiki na mateso yetu yote tumefarijika kwa sababu ya imani yenu.

TH1 3:8 Removed trailing space in v~: Sasa kwa kuwa hakika tunaishi, kwa kuwa ninyi mmesimama imara katika Bwana.

TH1 3:9 Removed trailing space in v~: Je, tutawezaje kumshukuru Mungu kiasi cha kutosha kwa ajili yenu, kutokana na furaha tuliyo nayo mbele za Mungu wetu kwa sababu yenu?

TH1 3:10 Removed trailing space in v~: Usiku na mchana tunaomba kwa bidii ili tupate kuwaona tena na kujaza kile kilichopungua katika imani yenu.

TH1 3:11 Removed trailing space in v~: Basi Mungu wetu na Baba yetu mwenyewe na Bwana wetu Yesu atengeneze njia ya sisi kuja kwenu.

TH1 3:12 Removed trailing space in v~: Bwana na auongeze upendo wenu na kuuzidisha kati yenu na kwa wengine wote, kama vile tulivyo na upendo mwingi kwenu.

TH1 3:13 Removed trailing space in v~: Tunamwomba Mungu aimarishe mioyo yenu ili msiwe na lawama katika utakatifu mbele za Mungu wetu aliye Baba yetu wakati wa kuja kwake Bwana Yesu pamoja na watakatifu wote.

TH1 4:0 Extra space after chapter number

TH1 4:0 Removed trailing space in c: 4

TH1 4:0 Removed trailing space in s1: Maisha Yanayompendeza Mungu

TH1 4:1 Removed trailing space in v~: Hatimaye, ndugu, tuliwaomba na kuwasihi katika Bwana Yesu kwamba, kama mlivyojifunza kutoka kwetu jinsi iwapasavyo kuishi ili kumpendeza Mungu, kama vile mnavyoishi, imewapasa mzidi sana kufanya hivyo.

TH1 4:2 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa mnajua ni maagizo gani tuliyowapa kwa mamlaka ya Bwana Yesu.

TH1 4:3 Removed trailing space in v~: Mapenzi ya Mungu ni kwamba ninyi mtakaswe, ili kwamba mjiepushe na zinaa,

TH1 4:4 Removed trailing space in v~: ili kwamba kila mmoja wenu ajifunze kuutawala mwili wake mwenyewe katika utakatifu na heshima,

TH1 4:5 Removed trailing space in v~: si kwa tamaa mbaya kama watu wa Mataifa wasiomjua Mungu.

TH1 4:6 Removed trailing space in v~: Katika jambo hili mtu asimkosee ndugu yake wala kumlaghai. Kwa kuwa Bwana ni mlipiza kisasi katika mambo haya yote, kama vile tulivyokwisha kuwaambia mapema na kuwaonya vikali.

TH1 4:7 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu hakutuitia uchafu, bali utakatifu.

TH1 4:8 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, mtu yeyote anayekataa mafundisho haya hamkatai mwanadamu, bali anamkataa Mungu anayewapa ninyi Roho wake Mtakatifu.

TH1 4:9 Removed trailing space in v~: Sasa kuhusu upendo wa ndugu hamna haja mtu yeyote kuwaandikia, kwa maana ninyi wenyewe mmefundishwa na Mungu kupendana.

TH1 4:10 Removed trailing space in v~: Nanyi kwa kweli mnawapenda ndugu wote katika Makedonia nzima. Lakini ndugu, tunawasihi mzidi sana kuwapenda.

TH1 4:11 Removed trailing space in v~: Jitahidini kuishi maisha ya utulivu, kila mtu akijishughulisha na mambo yake mwenyewe na kufanya kazi kwa mikono yake, kama vile tulivyowaagiza,

TH1 4:12 Removed trailing space in v~: ili maisha yenu ya kila siku yajipatie heshima kutoka kwa watu walio nje, ili msimtegemee mtu yeyote.

TH1 4:12 Removed trailing space in s1: Kuja Kwake Bwana

TH1 4:13 Removed trailing space in v~: Lakini ndugu, hatutaki mkose kujua kuhusu wale waliolala mauti, ili msihuzunike kama watu wengine wasiokuwa na tumaini.

TH1 4:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa tunaamini kwamba Yesu alikufa na kufufuka, na kwa hivyo, Mungu kwa njia ya Yesu atawafufua pamoja naye wale waliolala mautini ndani yake.

TH1 4:15 Removed trailing space in v~: Kulingana na neno la Bwana mwenyewe, tunawaambia kwamba sisi ambao bado tuko hai, tuliobaki hadi kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia waliolala mauti.

TH1 4:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni, akitoa amri kwa sauti kuu, pamoja na sauti ya malaika mkuu, na sauti ya tarumbeta ya Mungu. Nao waliokufa wakiwa katika Kristo watafufuka kwanza.

TH1 4:17 Removed trailing space in v~: Baada ya hilo sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu ili kumlaki Bwana hewani, hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele.

TH1 4:18 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo farijianeni kwa maneno haya.

TH1 5:0 Extra space after chapter number

TH1 5:0 Removed trailing space in c: 5

TH1 5:0 Removed trailing space in s1: Kuweni Tayari Kwa Siku Ya Bwana

TH1 5:1 Removed trailing space in v~: Basi, ndugu, kwa habari ya nyakati na majira hatuna haja ya kuwaandikia,

TH1 5:2 Removed trailing space in v~: kwa kuwa mnajua vyema kwamba siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajapo usiku.

TH1 5:3 Removed trailing space in v~: Wakati watu wanaposema, “Kuna amani na salama,” maangamizi huwajia ghafula, kama vile utungu umjiavyo mwanamke mwenye mimba; nao hakika hawatatoroka.

TH1 5:4 Removed trailing space in v~: Bali ninyi, ndugu, hampo gizani hata siku ile iwakute ghafula kama mwizi.

TH1 5:5 Removed trailing space in v~: Ninyi nyote ni wana wa nuru na wana wa mchana. Sisi si wana wa giza wala wa usiku.

TH1 5:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo basi, tusilale kama watu wengine walalavyo, bali tukeshe na kuwa na kiasi.

TH1 5:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa wote walalao hulala usiku na wale walewao hulewa usiku.

TH1 5:8 Removed trailing space in v~: Lakini kwa kuwa sisi ni wana wa mchana, basi tuwe na kiasi, tukijivika imani na upendo kama dirii kifuani na tumaini letu la wokovu kama chapeo.

TH1 5:9 Removed trailing space in v~: Kwa maana Mungu hakutuita ili tupate ghadhabu bali tupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.

TH1 5:10 Removed trailing space in v~: Yeye alikufa kwa ajili yetu ili hata kama tuko macho au tumelala, tupate kuishi pamoja naye.

TH1 5:11 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo farijianeni na kujengana, kama vile mnavyofanya sasa.

TH1 5:11 Removed trailing space in s1: Maagizo Ya Mwisho, Salamu Na Kuwatakia Heri

TH1 5:12 Removed trailing space in v~: Sasa tunawaomba, ndugu, waheshimuni wale wanaofanya kazi kwa bidii miongoni mwenu, wale ambao wana mamlaka juu yenu katika Bwana na ambao wanawaonya.

TH1 5:13 Removed trailing space in v~: Waheshimuni sana katika upendo kwa ajili ya kazi zao. Ishini kwa amani ninyi kwa ninyi.

TH1 5:14 Removed trailing space in v~: Nasi twawasihi, ndugu, waonyeni walio wavivu, watieni moyo waoga, wasaidieni wanyonge na kuwavumilia watu wote.

TH1 5:15 Removed trailing space in v~: Angalieni kuwa mtu asimlipe mwenzake maovu kwa maovu, bali siku zote tafuteni kutendeana mema ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.

TH1 5:16 Removed trailing space in v~: Furahini siku zote;

TH1 5:17 Removed trailing space in v~: ombeni bila kukoma;

TH1 5:18 Removed trailing space in v~: shukuruni kwa kila jambo, kwa maana haya ndiyo mapenzi ya Mungu kwa ajili yenu katika Kristo Yesu.

TH1 5:19 Removed trailing space in v~: Msiuzime moto wa Roho Mtakatifu;

TH1 5:20 Removed trailing space in v~: msiyadharau maneno ya unabii.

TH1 5:21 Removed trailing space in v~: Jaribuni kila kitu. Yashikeni yaliyo mema.

TH1 5:22 Removed trailing space in v~: Jiepusheni na uovu wa kila namna.

TH1 5:23 Removed trailing space in v~: Mungu mwenyewe, Mungu wa amani, awatakase ninyi kabisa. Nanyi mhifadhiwe roho zenu, nafsi zenu na miili yenu, bila kuwa na lawama katika Bwana wetu Yesu Kristo.

TH1 5:24 Removed trailing space in v~: Yeye aliyewaita ni mwaminifu naye atafanya hayo.

TH1 5:25 Removed trailing space in v~: Ndugu, tuombeeni.

TH1 5:26 Removed trailing space in v~: Wasalimuni ndugu wote kwa busu takatifu.

TH1 5:27 Removed trailing space in v~: Nawaagizeni mbele za Bwana mhakikishe kuwa ndugu wote wanasomewa barua hii.

TH1 5:28 Removed trailing space in v~: Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi. Amen.

TH2 2:0 Extra space after chapter number

TH2 2:0 Removed trailing space in c: 2

TH2 2:0 Removed trailing space in s1: Yule Mtu Wa Kuasi

TH2 2:1 Removed trailing space in v~: Ndugu, kuhusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanyika kwetu pamoja mbele zake, tunawasihi,

TH2 2:2 Removed trailing space in v~: msiyumbishwe kwa urahisi wala msitiwe wasiwasi na roho wala neno au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu, isemayo kwamba siku ya Bwana imekwisha kuwako.

TH2 2:3 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote na asiwadanganye kwa namna yoyote kwa maana siku ile haitakuja mpaka uasi utokee kwanza, na yule mtu wa kuasi adhihirishwe, yule ambaye amehukumiwa kuangamizwa kabisa.

TH2 2:4 Removed trailing space in v~: Yeye atapingana na kujitukuza juu ya kila kitu kiitwacho Mungu au kinachoabudiwa, ili kujiweka juu katika Hekalu la Mungu, akijitangaza mwenyewe kuwa ndiye Mungu.

TH2 2:5 Removed trailing space in v~: Je, hamkumbuki ya kwamba nilipokuwa pamoja nanyi niliwaambia mambo haya?

TH2 2:6 Removed trailing space in v~: Nanyi sasa mnajua kinachomzuia, ili apate kudhihirishwa wakati wake utakapowadia.

TH2 2:7 Removed trailing space in v~: Maana ile nguvu ya siri ya uasi tayari inatenda kazi, lakini yule anayeizuia ataendelea kufanya hivyo mpaka atakapoondolewa.

TH2 2:8 Removed trailing space in v~: Hapo ndipo yule mwasi atafunuliwa, ambaye Bwana Yesu atamteketeza kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kabisa kwa utukufu wa kuja kwake.

TH2 2:9 Removed trailing space in v~: Kuja kwa yule mwasi kutaonekana kana kwamba ni kutenda kazi kwake Shetani ambaye hutumia nguvu zote, ishara, maajabu ya uongo,

TH2 2:10 Removed trailing space in v~: na kila aina ya uovu kwa wale wanaoangamia kwa sababu walikataa kuipenda kweli wapate kuokolewa.

TH2 2:11 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii, Mungu ameruhusu watawaliwe na nguvu ya udanganyifu, ili waendelee kuamini uongo,

TH2 2:12 Removed trailing space in v~: na wahukumiwe wote ambao hawakuiamini ile kweli, bali wamefurahia uovu.

TH2 2:12 Removed trailing space in s1: Simameni Imara

TH2 2:13 Removed trailing space in v~: Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu daima kwa ajili yenu, ndugu mpendwao na Bwana, kwa sababu Mungu aliwachagua ninyi tangu mwanzo ili mwokolewe kwa kutakaswa na Roho kwa kuiamini kweli.

TH2 2:14 Removed trailing space in v~: Kwa kusudi hili Mungu aliwaita kwa njia ya kuhubiri kwetu Injili, ili mpate kushiriki katika utukufu wa Bwana Yesu Kristo.

TH2 2:15 Removed trailing space in v~: Hivyo basi, ndugu wapendwa, simameni imara na myashike sana yale mafundisho tuliyowapa ikiwa ni kwa maneno ya kinywa au kwa barua.

TH2 2:16 Removed trailing space in v~: Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu, aliyetupenda na kwa neema yake akatupatia faraja ya milele na tumaini jema,

TH2 2:17 Removed trailing space in v~: awafariji mioyo yenu na kuwaimarisha katika kila neno na tendo jema.

TH2 3:0 Extra space after chapter number

TH2 3:0 Removed trailing space in c: 3

TH2 3:0 Removed trailing space in s1: Hitaji La Maombi

TH2 3:1 Removed trailing space in v~: Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili Neno la Bwana lipate kuenea kwa haraka na kuheshimiwa kila mahali, kama vile ilivyokuwa kwenu.

TH2 3:2 Removed trailing space in v~: Ombeni pia ili tupate kuokolewa kutokana na watu waovu na wabaya, kwa maana si wote wanaoamini.

TH2 3:3 Removed trailing space in v~: Lakini Bwana ni mwaminifu, naye atawaimarisha ninyi na kuwalinda kutokana na yule mwovu.

TH2 3:4 Removed trailing space in v~: Nasi tuna tumaini katika Bwana ya kuwa mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaagiza.

TH2 3:5 Removed trailing space in v~: Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika saburi ya Kristo.

TH2 3:5 Removed trailing space in s1: Onyo Dhidi Ya Uvivu

TH2 3:6 Removed trailing space in v~: Ndugu, tunawaagiza katika Jina la Bwana Yesu Kristo, jitengeni na kila ndugu ambaye ni mvivu na ambaye haishi kufuatana na maagizo tuliyowapa.

TH2 3:7 Removed trailing space in v~: Maana ninyi wenyewe mnajua jinsi iwapasavyo kufuata mfano wetu. Sisi hatukuwa wavivu tulipokuwa pamoja nanyi,

TH2 3:8 Removed trailing space in v~: wala hatukula chakula cha mtu yeyote pasipo kukilipia. Badala yake tulifanya kazi kwa bidii usiku na mchana, ili tusimlemee mtu yeyote miongoni mwenu.

TH2 3:9 Removed trailing space in v~: Tulifanya hivi, si kwa sababu hatukuwa na haki ya kupata msaada kama huo, bali ndio sisi wenyewe tuwe kielelezo.

TH2 3:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana hata tulipokuwa pamoja nanyi, tuliwapa amri kwamba: “Mtu yeyote asiyetaka kufanya kazi, hata kula asile.”

TH2 3:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa tunasikia kwamba baadhi ya watu miongoni mwenu ni wavivu. Hawafanyi kazi bali hujishughulisha na mambo ya wengine.

TH2 3:12 Removed trailing space in v~: Basi watu kama hao tunawaagiza na kuwahimiza katika Bwana Yesu Kristo, kwamba wafanye kazi kwa utulivu kwa ajili ya chakula chao wenyewe.

TH2 3:13 Removed trailing space in v~: Kwa upande wenu, ndugu, ninyi kamwe msichoke katika kutenda mema.

TH2 3:14 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu yeyote hayatii maagizo yetu yaliyoko katika barua hii, mwangalieni sana mtu huyo. Msishirikiane naye, ili apate kuona aibu.

TH2 3:15 Removed trailing space in v~: Lakini msimhesabu kuwa adui, bali mwonyeni kama ndugu.

TH2 3:15 Removed trailing space in s1: Salamu Za Mwisho

TH2 3:16 Removed trailing space in v~: Basi, Bwana wa amani mwenyewe awapeni amani nyakati zote na kwa kila njia. Bwana awe nanyi nyote.

TH2 3:17 Removed trailing space in v~: Mimi, Paulo, ninaandika salamu hizi kwa mkono wangu mwenyewe. Hii ndio alama ya utambulisho katika barua zangu zote. Hivi ndivyo niandikavyo.

TH2 3:18 Removed trailing space in v~: Neema ya Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi nyote. Amen.

TI1 -1:0 Removed trailing space in id: 1TI - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

TI1 -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

TI1 -1:2 Removed trailing space in h: 1 Timotheo

TI1 -1:3 Removed trailing space in toc1: 1 Timotheo

TI1 -1:4 Removed trailing space in toc2: 1 Timotheo

TI1 -1:5 Removed trailing space in toc3: 1Tim

TI1 -1:6 Removed trailing space in mt1: 1 Timotheo

TI1 1:0 Extra space after chapter number

TI1 1:0 Removed trailing space in c: 1

TI1 1:1 Removed trailing space in v~: Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na ya Kristo Yesu tumaini letu.

TI1 1:2 Removed trailing space in v~: Kwa Timotheo, mwanangu halisi katika imani:

TI1 1:2 Removed trailing space in p~: Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu.

TI1 1:2 Removed trailing space in s1: Maonyo Dhidi Ya Walimu Wa Uongo

TI1 1:3 Removed trailing space in v~: Kama nilivyokusihi wakati nilipokwenda Makedonia, endelea kubaki Efeso, ili kwamba upate kuwaagiza watu wasiendelee kufundisha mafundisho ya uongo

TI1 1:4 Removed trailing space in v~: wala wasitoe muda wao kwa hadithi za kubuniwa na orodha za majina ya vizazi visivyo na mwisho, ambazo huchochea mabishano badala ya mpango wa Mungu utokanao na imani.

TI1 1:5 Removed trailing space in v~: Kusudi la maagizo haya ni upendo utokao katika moyo safi, dhamiri njema na imani ya kweli.

TI1 1:6 Removed trailing space in v~: Watu wengine wamepotoka kutoka haya na kugeukia majadiliano yasiyo na maana kwa kuwa,

TI1 1:7 Removed trailing space in v~: wanataka kuwa walimu wa sheria, lakini hawajui mambo yale wanayosema wala hayo wanayoyatumainia kwa uthabiti.

TI1 1:8 Removed trailing space in v~: Tunajua kwamba sheria ni njema ikiwa inatumika kwa halali kama ilivyokusudiwa.

TI1 1:9 Removed trailing space in v~: Lakini tunajua ya kuwa sheria si kwa ajili ya wenye haki, bali kwa ajili ya wavunja sheria na waasi, kwa ajili ya wasiomcha Mungu na wenye dhambi, wasio watakatifu na wanaokufuru; kwa wale wawauao baba zao au mama zao, kwa wauaji,

TI1 1:10 Removed trailing space in v~: kwa wazinzi na wahanithi, kwa wale wauzao watu, na kwa waongo na waapao kwa uongo, na kwa chochote kingine kilicho kinyume na mafundisho ya kweli,

TI1 1:11 Removed trailing space in v~: ambayo yanakubaliana na Injili ya utukufu wa Mungu anayehimidiwa, ambayo mimi nimewekewa amana.

TI1 1:11 Removed trailing space in s1: Neema Ya Mungu Kwa Paulo

TI1 1:12 Removed trailing space in v~: Namshukuru Kristo Yesu Bwana wetu, aliyenitia nguvu, kwa sababu aliniona mwaminifu, akaniteua kwa kazi yake.

TI1 1:13 Removed trailing space in v~: Ingawa wakati fulani nilikuwa mwenye kukufuru, mtesaji na mwenye jeuri, lakini nilipata rehema kwa sababu nilitenda hivyo kwa kutojua na kutoamini kwangu.

TI1 1:14 Removed trailing space in v~: Neema ya Bwana wetu ilimiminwa juu yangu kwa wingi, ikiambatana na imani na upendo ulio katika Kristo Yesu.

TI1 1:15 Removed trailing space in v~: Msemo huu ni wa kweli na unaostahili kukubalika, usemao kwamba: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuokoa wenye dhambi, ambao mimi ndiye niliye mbaya kuliko wote.

TI1 1:16 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu hiyo nilipata rehema, ili katika mimi, niliyekuwa mwenye dhambi kuliko wote, Kristo Yesu apate kuonyesha uvumilivu wake usio na kikomo, ili niwe kielelezo kwa wale watakaomwamini na wapate uzima wa milele.

TI1 1:17 Removed trailing space in v~: Basi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen.

TI1 1:18 Removed trailing space in v~: Mwanangu Timotheo, ninakupa agizo hili, kwa kadiri ya maneno ya unabii yaliyosemwa kukuhusu, ili kwa kuyafuata upate kupigana vita vizuri,

TI1 1:19 Removed trailing space in v~: ukiishikilia imani na dhamiri njema, ambazo wengine wamevikataa, na hivyo wakaangamia kwa habari ya imani yao.

TI1 1:20 Removed trailing space in v~: Miongoni mwao wako Himenayo na Aleksanda, ambao nimemkabidhi Shetani ili wafundishwe wasije wakakufuru.

TI1 2:0 Extra space after chapter number

TI1 2:0 Removed trailing space in c: 2

TI1 2:0 Removed trailing space in s1: Maagizo Kuhusu Kuabudu

TI1 2:1 Removed trailing space in v~: Awali ya yote, nasihi kwamba dua, sala, maombezi na shukrani zifanyike kwa ajili ya watu wote:

TI1 2:2 Removed trailing space in v~: kwa ajili ya wafalme na wale wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi kwa amani na utulivu, katika uchaji wote wa Mungu na utakatifu.

TI1 2:3 Removed trailing space in v~: Jambo hili ni jema, tena linapendeza machoni pa Mungu Mwokozi wetu,

TI1 2:4 Removed trailing space in v~: anayetaka watu wote waokolewe na wafikie kuijua kweli.

TI1 2:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Kristo Yesu,

TI1 2:6 Removed trailing space in v~: aliyejitoa mwenyewe kuwa fidia kwa ajili ya wanadamu wote: jambo hili lilishuhudiwa kwa wakati wake ufaao.

TI1 2:7 Removed trailing space in v~: Nami kwa kusudi hili nimewekwa niwe mhubiri na mtume (nasema kweli katika Kristo wala sisemi uongo), mwalimu wa watu wa Mataifa katika imani na kweli.

TI1 2:8 Removed trailing space in v~: Nataka kila mahali wanaume wasali wakiinua mikono mitakatifu pasipo hasira wala kugombana.

TI1 2:9 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo nataka wanawake wajipambe kwa adabu na kwa heshima katika mavazi yanayostahili, si kwa kusuka nywele, kuvalia dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa,

TI1 2:10 Removed trailing space in v~: bali kwa matendo mazuri kama iwapasavyo wanawake wanaokiri kuwa wanamcha Mungu.

TI1 2:11 Removed trailing space in v~: Mwanamke na ajifunze kwa utulivu na kwa utiifu wote.

TI1 2:12 Removed trailing space in v~: Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha au kuwa na mamlaka juu ya mwanaume. Mwanamke inampasa kukaa kimya.

TI1 2:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana Adamu aliumbwa kwanza, kisha Eva.

TI1 2:14 Removed trailing space in v~: Wala si Adamu aliyedanganywa, bali ni mwanamke aliyedanganywa akawa mkosaji.

TI1 2:15 Removed trailing space in v~: Lakini mwanamke ataokolewa kwa kuzaa kwake, kama wakiendelea kudumu katika imani, upendo na utakatifu, pamoja na kuwa na kiasi.

TI1 3:0 Extra space after chapter number

TI1 3:0 Removed trailing space in c: 3

TI1 3:0 Removed trailing space in s1: Sifa Za Waangalizi

TI1 3:1 Removed trailing space in v~: Hili ni neno la kuaminiwa, kwamba mtu akitamani kazi ya uangalizi, atamani kazi nzuri.

TI1 3:2 Removed trailing space in v~: Basi, imempasa mwangalizi awe mtu asiye na lawama, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi, anayejitawala, anayeheshimika, mkarimu, ajuaye kufundisha,

TI1 3:3 Removed trailing space in v~: asiwe mlevi, wala mkali bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda fedha.

TI1 3:4 Removed trailing space in v~: Lazima aweze kuisimamia nyumba yake mwenyewe vizuri na kuhakikisha kwamba watoto wake wanamtii na kuwa na heshima kwa kila njia.

TI1 3:5 Removed trailing space in v~: (Kwa maana kama mtu hajui jinsi ya kusimamia nyumba yake mwenyewe, atawezaje kuliangalia kanisa la Mungu?)

TI1 3:6 Removed trailing space in v~: Asiwe mtu aliyeokoka karibuni asije akajivuna na kuangukia kwenye hukumu ile ile ya ibilisi.

TI1 3:7 Removed trailing space in v~: Inampasa pia awe na sifa njema kwa watu walio nje, ili asije akalaumiwa na kuanguka kwenye mtego wa ibilisi.

TI1 3:7 Removed trailing space in s1: Sifa Za Mashemasi

TI1 3:8 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, mashemasi nao wawe watu wanaostahili heshima, wasiwe wenye kauli mbili au wenye kujifurahisha kwa mvinyo, wala wanaotamani faida isiyo halali.

TI1 3:9 Removed trailing space in v~: Inawapasa kushikamana sana na ile siri ya imani kwa dhamiri safi.

TI1 3:10 Removed trailing space in v~: Ni lazima wapimwe kwanza; kisha kama hakuna neno dhidi yao, basi na waruhusiwe kuhudumu kama mashemasi.

TI1 3:11 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, wake zao wawe wanawake wanaostahili heshima, wasio wasingiziaji, bali wawe na kiasi na waaminifu katika kila jambo.

TI1 3:12 Removed trailing space in v~: Shemasi awe mume wa mke mmoja na inampasa aweze kusimamia watoto wake na watu wa nyumbani mwake vyema.

TI1 3:13 Removed trailing space in v~: Wale ambao wamehudumu vyema katika huduma ya ushemasi hujipatia msimamo bora na ujasiri mkubwa katika imani yao ndani ya Kristo Yesu.

TI1 3:14 Removed trailing space in v~: Ingawa ninatarajia kuja kwako hivi karibuni, ninakuandikia maagizo haya sasa ili kwamba,

TI1 3:15 Removed trailing space in v~: kama nikikawia, utajua jinsi iwapasavyo watu kuenenda katika nyumba ya Mungu, ambayo ndiyo kanisa la Mungu aliye hai, lililo nguzo na msingi wa kweli.

TI1 3:16 Removed trailing space in v~: Bila shaka yoyote, siri ya utauwa ni kubwa:

TI1 3:16 Removed trailing space in p~: Alidhihirishwa katika mwili wa kibinadamu,

TI1 3:16 Removed trailing space in p~: akathibitishwa kuwa na haki katika Roho,

TI1 3:16 Removed trailing space in p~: akaonekana na malaika,

TI1 3:16 Removed trailing space in p~: akahubiriwa miongoni mwa mataifa,

TI1 3:16 Removed trailing space in p~: akaaminiwa ulimwenguni,

TI1 3:16 Removed trailing space in p~: akachukuliwa juu katika utukufu.

TI1 4:0 Extra space after chapter number

TI1 4:0 Removed trailing space in c: 4

TI1 4:0 Removed trailing space in s1: Maagizo Kwa Timotheo

TI1 4:1 Removed trailing space in v~: Roho asema waziwazi kwamba katika siku za mwisho baadhi ya watu wataiacha imani na kufuata roho zidanganyazo na mafundisho ya mashetani.

TI1 4:2 Removed trailing space in v~: Mafundisho kama hayo huja kupitia kwa waongo ambao ni wanafiki, hali dhamiri zao zikiungua kwa kuchomwa moto.

TI1 4:3 Removed trailing space in v~: Wao huwakataza watu wasioe na kuwaagiza wajiepushe na vyakula fulani, ambavyo Mungu aliviumba ili vipokewe kwa shukrani na wale wanaoamini na kuijua kweli.

TI1 4:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila kitu alichokiumba Mungu ni chema, wala hakuna kitu chochote cha kukataliwa kama kikipokewa kwa shukrani,

TI1 4:5 Removed trailing space in v~: kwa sababu kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.

TI1 4:5 Removed trailing space in s1: Mtumishi Mwema Wa Yesu Kristo

TI1 4:6 Removed trailing space in v~: Kama ukiwakumbusha ndugu mambo haya, utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, uliyelelewa katika kweli ya imani na yale mafundisho mazuri uliyoyafuata.

TI1 4:7 Removed trailing space in v~: Usijishughulishe kamwe na hadithi za kipagani na masimulizi ya uongo ya wanawake wazee; badala yake, jizoeze kuwa mtauwa.

TI1 4:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana mazoezi ya mwili yana faida kwa sehemu, lakini utauwa una faida katika mambo yote, yaani, unayo ahadi ya uzima wa sasa na ya ule ujao.

TI1 4:9 Removed trailing space in v~: Hili ni neno la kuaminiwa tena lastahili kukubaliwa kabisa,

TI1 4:10 Removed trailing space in v~: (nasi kwa ajili ya hili tunajitaabisha na kujitahidi), kwamba tumeweka tumaini letu kwa Mungu aliye hai, ambaye ni Mwokozi wa watu wote, hasa wale waaminio.

TI1 4:11 Removed trailing space in v~: Mambo haya yaagize na kuyafundisha.

TI1 4:12 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote asikudharau kwa kuwa wewe ni kijana, bali uwe kielelezo kizuri kwa waumini katika usemi, mwenendo, upendo, imani na usafi.

TI1 4:13 Removed trailing space in v~: Fanya bidii kusoma Maandiko hadharani, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja.

TI1 4:14 Removed trailing space in v~: Usiache kutumia kipawa kilicho ndani yako, ambacho ulipewa kwa neno la unabii wakati wazee walikuwekea mikono.

TI1 4:15 Removed trailing space in v~: Uwe na bidii katika mambo haya; ujitolee kwa ajili ya mambo haya kikamilifu, ili kila mtu aone kuendelea kwako.

TI1 4:16 Removed trailing space in v~: Jilinde sana nafsi yako na mafundisho yako. Dumu katika hayo, kwa maana kwa kufanya hivyo, utajiokoa wewe mwenyewe pamoja na wale wanaokusikia.

TI1 5:0 Extra space after chapter number

TI1 5:0 Removed trailing space in c: 5

TI1 5:0 Removed trailing space in s1: Maagizo Kuhusu Wajane, Wazee Na Watumwa

TI1 5:1 Removed trailing space in v~: Usimkemee mzee kwa ukali bali umshawishi kama vile angekuwa ni baba yako. Uwatendee vijana kama vile ndugu zako;

TI1 5:2 Removed trailing space in v~: nao wanawake wazee uwatendee kama mama zako, na wanawake vijana kama dada zako, katika usafi wote.

TI1 5:3 Removed trailing space in v~: Waheshimu wanawake wajane ambao ni wajane kweli kweli.

TI1 5:4 Removed trailing space in v~: Kama mjane ana watoto ama wajukuu, hawa inawapasa awali ya yote wajifunze kutimiza wajibu wao wa kumcha Mungu katika matendo kwa kuwatunza wale wa jamaa zao wenyewe, na hivyo wawarudishie wema waliowatendea wazazi wao, kwa kuwa hivi ndivyo impendezavyo Mungu.

TI1 5:5 Removed trailing space in v~: Mwanamke ambaye ni mjane kweli kweli, yaani, yeye aliyebaki peke yake huweka tumaini lake kwa Mungu naye hudumu katika maombi usiku na mchana akimwomba Mungu ili amsaidie.

TI1 5:6 Removed trailing space in v~: Lakini mjane aishiye kwa anasa amekufa, ingawa anaishi.

TI1 5:7 Removed trailing space in v~: Wape watu maagizo haya pia, ili asiwepo yeyote wa kulaumiwa.

TI1 5:8 Removed trailing space in v~: Kama mtu hawatunzi wale wa jamaa yake, hasa wale wa nyumbani mwake mwenyewe, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko yeye asiyeamini.

TI1 5:9 Removed trailing space in v~: Mjane yeyote asiwekwe kwenye orodha ya wajane isipokuwa awe ametimiza umri wa miaka sitini, na ambaye alikuwa mke wa mume mmoja,

TI1 5:10 Removed trailing space in v~: awe ameshuhudiwa kwa matendo yake mema, aliyewalea watoto wake vizuri, aliye mkarimu, aliyewanawisha watakatifu miguu, aliyewasaidia wenye shida na aliyejitolea kwa ajili ya matendo mema ya kila namna.

TI1 5:11 Removed trailing space in v~: Lakini kwa habari za wajane vijana usiwaweke kwenye orodha hiyo, maana tamaa zao za kimaumbile zikizidi kule kujitoa kwao kwa Kristo, watataka kuolewa tena.

TI1 5:12 Removed trailing space in v~: Nao kwa njia hiyo watajiletea hukumu kwa kukiuka ahadi yao ya kwanza.

TI1 5:13 Removed trailing space in v~: Zaidi ya hayo, wajane kama hao huwa na tabia ya uvivu wakizurura nyumba kwa nyumba, wala hawawi wavivu tu, bali pia huwa wasengenyaji, wajiingizao katika mambo yasiyowahusu na kusema mambo yasiyowapasa kusema.

TI1 5:14 Removed trailing space in v~: Hivyo nawashauri wajane vijana waolewe, wazae watoto na wasimamie nyumba zao, wasije wakampa adui nafasi ya kutushutumu.

TI1 5:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana kwa kweli wajane wengine wamepotoka ili kumfuata Shetani.

TI1 5:16 Removed trailing space in v~: Lakini kama mwanamke yeyote aaminiye ana wajane katika jamaa yake, inampasa awasaidie wala si kuwaacha wakililemea kanisa, ili kanisa liweze kuwasaidia wale ambao ni wajane kweli kweli.

TI1 5:16 Removed trailing space in s1: Wazee Wa Kanisa

TI1 5:17 Removed trailing space in v~: Wazee wa kanisa wanaoongoza shughuli za kanisa vizuri wanastahili heshima mara mbili, hasa wale ambao kazi yao ni kuhubiri na kufundisha.

TI1 5:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana Maandiko husema, “Usimfunge maksai kinywa apurapo nafaka,” tena, “Mfanyakazi anastahili mshahara wake.”

TI1 5:19 Removed trailing space in v~: Usiendekeze mashtaka dhidi ya mzee isipokuwa yawe yameletwa na mashahidi wawili au watatu.

TI1 5:20 Removed trailing space in v~: Wale wanaodumu katika dhambi uwakemee hadharani, ili wengine wapate kuogopa.

TI1 5:21 Removed trailing space in v~: Ninakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu na mbele za malaika wateule, shika maagizo haya pasipo ubaguzi wala upendeleo.

TI1 5:22 Removed trailing space in v~: Usiwe na haraka kumwekea mtu mikono wala usishiriki dhambi za watu wengine. Jilinde nafsi yako uwe safi.

TI1 5:23 Removed trailing space in v~: Acha kunywa maji peke yake, tumia divai kidogo kwa sababu ya tumbo lako na maumivu yako ya mara kwa mara.

TI1 5:24 Removed trailing space in v~: Dhambi za watu wengine ni dhahiri nazo zinawatangulia kwenda hukumuni; na dhambi za watu wengine zinawafuata nyuma yao.

TI1 5:25 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, matendo mema yako dhahiri, na hata yale ambayo si mema hayawezi kufichika.

TI1 6:0 Extra space after chapter number

TI1 6:0 Removed trailing space in c: 6

TI1 6:0 Removed trailing space in s1: Watumwa

TI1 6:1 Removed trailing space in v~: Wale wote walio chini ya kongwa la utumwa inawapasa kuwahesabu mabwana zao kuwa wanastahili heshima yote, ili jina la Mungu lisitukanwe wala mafundisho yetu.

TI1 6:2 Removed trailing space in v~: Wale watumwa ambao wana mabwana waaminio, haiwapasi kupunguza heshima yao kwa sababu wao ni ndugu. Badala yake, wawatumikie hata vizuri zaidi, kwa sababu wale wanaonufaika na huduma yao ni waaminio, ambao ni wapenzi wao. Fundisha mambo haya na uwahimize kuyafuata.

TI1 6:2 Removed trailing space in s1: Mafundisho Ya Uongo Na Utajiri Wa Kweli

TI1 6:3 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu yeyote atafundisha mafundisho mapotovu wala hakubaliani na mafundisho manyofu ya Bwana wetu Yesu Kristo na yale ya utauwa,

TI1 6:4 Removed trailing space in v~: huyo amejivuna wala hajui kitu chochote. Yeye amejaa tamaa ya mabishano na ugomvi kuhusu maneno ambavyo matokeo yake ni wivu na mapigano, maneno ya ukorofi, shuku mbaya,

TI1 6:5 Removed trailing space in v~: na kuzozana kusikokoma kati ya watu walioharibika akili zao, walioikosa kweli, na ambao hudhani kwamba utauwa ni njia ya kupata faida.

TI1 6:6 Removed trailing space in v~: Lakini utauwa na kuridhika ni faida kubwa.

TI1 6:7 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hatukuja humu duniani na kitu chochote, wala hatuwezi kutoka humu na kitu.

TI1 6:8 Removed trailing space in v~: Lakini kama tuna chakula na mavazi, tutaridhika navyo.

TI1 6:9 Removed trailing space in v~: Lakini wale watu wanaotamani kuwa na mali kwa haraka huanguka kwenye majaribu, na wamenaswa na tamaa nyingi za kipumbavu zenye kudhuru, zinazowazamisha watu katika uharibifu na maangamizi.

TI1 6:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana kupenda fedha ndiyo shina moja la maovu ya kila namna. Baadhi ya watu wakitamani fedha, wameiacha imani na kujichoma wenyewe kwa maumivu mengi.

TI1 6:10 Removed trailing space in s1: Vitu Vizuri Vya Imani

TI1 6:11 Removed trailing space in v~: Lakini wewe, mtu wa Mungu, yakimbie mambo haya yote. Fuata haki, utauwa, imani, upendo, saburi na upole.

TI1 6:12 Removed trailing space in v~: Pigana vile vita vizuri vya imani. Shika uzima wa milele ambao ndio ulioitiwa ulipokiri ule ukiri mzuri mbele ya mashahidi wengi.

TI1 6:13 Removed trailing space in v~: Nakuagiza mbele za Mungu avipaye vitu vyote uhai, na mbele za Kristo Yesu ambaye alipokuwa anashuhudia mbele ya Pontio Pilato alikiri ukiri mzuri,

TI1 6:14 Removed trailing space in v~: uishike amri hii bila dosari wala lawama mpaka kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo,

TI1 6:15 Removed trailing space in v~: ambaye Mungu atamleta kwa wakati wake mwenyewe: yeye ahimidiwaye, aliye peke yake Mtawala, Mfalme wa wafalme, na Bwana wa mabwana,

TI1 6:16 Removed trailing space in v~: yeye peke yake ambaye hapatikani na mauti, na anakaa katika nuru isiyoweza kukaribiwa, ambaye hakuna mwanadamu aliyemwona wala awezaye kumwona. Heshima na uweza una yeye milele. Amen.

TI1 6:17 Removed trailing space in v~: Waagize wale ambao ni matajiri wa ulimwengu huu waache kujivuna, wala wasiweke tumaini lao katika mali ambayo si ya hakika, bali waweke tumaini lao katika Mungu ambaye hutupatia vitu vyote kwa wingi ili tuvifurahie.

TI1 6:18 Removed trailing space in v~: Waagize watende mema, wawe matajiri katika matendo mema, pia wawe wakarimu na walio tayari kushiriki mali zao na wengine.

TI1 6:19 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii watajiwekea hazina kama msingi kwa ajili ya wakati ujao na hivyo watajipatia uzima, yaani, ule uzima ambao ni wa kweli.

TI1 6:19 Removed trailing space in s1: Maelekezo Ya Binafsi Na Maombi Ya Baraka

TI1 6:20 Removed trailing space in v~: Timotheo, linda kile kilichowekwa amana kwako. Epuka majadiliano yasiyo ya utauwa na mabishano ambayo kwa uongo huitwa elimu,

TI1 6:21 Removed trailing space in v~: ambayo wengine kwa kujidai kuwa nayo wameiacha imani.

TI1 6:21 Removed trailing space in p~: Neema iwe nanyi. Amen.

TI2 2:0 Extra space after chapter number

TI2 2:0 Removed trailing space in c: 2

TI2 2:0 Removed trailing space in s1: Askari Mwema Wa Kristo Yesu

TI2 2:1 Removed trailing space in v~: Basi, wewe mwanangu, uwe hodari katika neema iliyo ndani ya Kristo Yesu.

TI2 2:2 Removed trailing space in v~: Nayo mambo yale uliyonisikia nikiyasema mbele ya mashahidi wengi, uwakabidhi watu waaminifu watakaoweza kuwafundisha watu wengine vilevile.

TI2 2:3 Removed trailing space in v~: Vumilia taabu pamoja nasi kama askari mwema wa Kristo Yesu.

TI2 2:4 Removed trailing space in v~: Hakuna askari yeyote ambaye akiwa vitani hujishughulisha na mambo ya kawaida ya maisha haya kwa sababu nia yake ni kumpendeza yule aliyemwandika awe askari.

TI2 2:5 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, yeye ashindanaye katika michezo hawezi kupewa tuzo ya ushindi asiposhindana kulingana na kanuni za mashindano.

TI2 2:6 Removed trailing space in v~: Mkulima mwenye bidii ya kazi ndiye anayestahili kuwa wa kwanza kupata fungu la mavuno.

TI2 2:7 Removed trailing space in v~: Fikiri sana kuhusu haya nisemayo, kwa maana Bwana atakupa ufahamu katika mambo hayo yote.

TI2 2:8 Removed trailing space in v~: Mkumbuke Yesu Kristo, aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, yeye aliye wa uzao wa Daudi. Hii ndiyo Injili yangu,

TI2 2:9 Removed trailing space in v~: ambayo kwayo ninateseka hata kufikia hatua ya kufungwa minyororo kama mhalifu. Lakini neno la Mungu halifungwi.

TI2 2:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ninavumilia mambo yote kwa ajili ya wateule wa Mungu, kusudi wao nao wapate wokovu ulio katika Kristo Yesu, pamoja na utukufu wa milele.

TI2 2:11 Removed trailing space in v~: Hili ni neno la kuaminiwa:

TI2 2:11 Removed trailing space in p~: Kwa maana kama tumekufa pamoja naye,

TI2 2:11 Removed trailing space in p~: tutaishi pia pamoja naye.

TI2 2:12 Removed trailing space in v~: Kama tukistahimili,

TI2 2:12 Removed trailing space in p~: pia tutatawala pamoja naye.

TI2 2:12 Removed trailing space in p~: Kama tukimkana yeye,

TI2 2:12 Removed trailing space in p~: naye atatukana sisi.

TI2 2:13 Removed trailing space in v~: Kama tusipoamini,

TI2 2:13 Removed trailing space in p~: yeye hudumu kuwa mwaminifu,

TI2 2:13 Removed trailing space in p~: kwa maana hawezi kujikana mwenyewe.

TI2 2:13 Removed trailing space in s1: Mfanyakazi Aliyekubaliwa Na Mungu

TI2 2:14 Removed trailing space in v~: Endelea kuwakumbusha mambo haya ukiwaonya mbele za Bwana waache kushindana kwa maneno ambayo hayana faida yoyote bali huwaangamiza tu wale wanaoyasikia.

TI2 2:15 Removed trailing space in v~: Jitahidi kujionyesha kwa Mungu kuwa umekubaliwa naye, mtendakazi asiye na sababu ya kuona aibu, ukilitumia kwa usahihi neno la kweli.

TI2 2:16 Removed trailing space in v~: Jiepushe na maneno mabaya, yasiyo na maana, yasiyo ya utauwa, kwa maana hayo huzidi kuwatosa watu katika kukosa heshima kwa Mungu.

TI2 2:17 Removed trailing space in v~: Mafundisho yao yataenea kama kidonda kisichopona. Miongoni mwao wamo Himenayo na Fileto

TI2 2:18 Removed trailing space in v~: ambao wameiacha kweli, wakisema kwamba ufufuo wa wafu umekwisha kuwako, nao huharibu imani ya baadhi ya watu.

TI2 2:19 Removed trailing space in v~: Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, ukiwa na muhuri wenye maandishi haya: “Bwana anawajua walio wake”; tena, “Kila alitajaye jina la Bwana, na auache uovu.”

TI2 2:20 Removed trailing space in v~: Katika nyumba kubwa si kwamba kuna vyombo vya dhahabu na fedha tu, bali pia vimo vyombo vya miti na vya udongo; vingine kwa matumizi maalum, na vingine kwa matumizi ya kawaida.

TI2 2:21 Removed trailing space in v~: Basi ikiwa mtu amejitakasa na kujitenga na hayo niliyoyataja, atakuwa chombo maalum, kilichotengwa na ambacho kinamfaa mwenye nyumba, kimeandaliwa tayari kwa kila kazi njema.

TI2 2:22 Removed trailing space in v~: Zikimbie tamaa mbaya za ujana, ufuate haki, imani, upendo na amani pamoja na wale wamwitao Bwana kwa moyo safi.

TI2 2:23 Removed trailing space in v~: Jiepushe na mabishano ya kipumbavu na yasiyo na maana, kwa kuwa wajua ya kwamba hayo huzaa magomvi.

TI2 2:24 Removed trailing space in v~: Tena haimpasi mtumishi wa Bwana kuwa mgomvi, bali inampasa awe mwema kwa kila mtu, awezaye kufundisha, tena mvumilivu.

TI2 2:25 Removed trailing space in v~: Inampasa kuwaonya kwa upole wale wanaopingana naye, kwa matumaini kwamba Mungu atawajalia kutubu na kuijua kweli,

TI2 2:26 Removed trailing space in v~: ili fahamu zao ziwarudie tena, nao waponyoke katika mtego wa ibilisi ambaye amewateka wapate kufanya mapenzi yake.

TI2 3:0 Extra space after chapter number

TI2 3:0 Removed trailing space in c: 3

TI2 3:0 Removed trailing space in s1: Hatari Za Siku Za Mwisho

TI2 3:1 Removed trailing space in v~: Lakini yakupasa ufahamu jambo hili, kwamba siku za mwisho kutakuwa na nyakati za hatari.

TI2 3:2 Removed trailing space in v~: Kwa maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe, wenye kupenda fedha, wenye kujisifu, wenye kiburi, wenye kumkufuru Mungu, wasiotii wazazi wao, wasio na shukrani, wasio watakatifu,

TI2 3:3 Removed trailing space in v~: wasio na upendo, wasiopenda kupatanishwa, wasingiziaji, wasiozuia tamaa zao, wakatili, wasiopenda mema,

TI2 3:4 Removed trailing space in v~: wasaliti, wakaidi, waliojaa majivuno, wapendao anasa zaidi kuliko kumpenda Mungu:

TI2 3:5 Removed trailing space in v~: wakiwa na mfano wa utauwa kwa nje, lakini wakizikana nguvu za Mungu. Jiepushe na watu wa namna hiyo.

TI2 3:6 Removed trailing space in v~: Miongoni mwao wamo wale wajiingizao katika nyumba za watu na kuwachukua mateka wanawake wajinga, waliolemewa na dhambi zao na kuyumbishwa na aina zote za tamaa mbaya.

TI2 3:7 Removed trailing space in v~: Wakijifunza siku zote lakini kamwe wasiweze kufikia ujuzi wa kweli.

TI2 3:8 Removed trailing space in v~: Kama vile Yane na Yambre walivyopingana na Mose, vivyo hivyo watu hawa hupingana na ile kweli. Hawa ni watu wenye akili zilizopotoka, ambao wamekataliwa kwa mambo ya imani.

TI2 3:9 Removed trailing space in v~: Lakini hawataendelea sana, kwa sababu upumbavu wao utakuwa dhahiri kwa watu wote, kama ulivyokuwa dhahiri upumbavu wa hao watu wawili.

TI2 3:9 Removed trailing space in s1: Paulo Amwagiza Timotheo

TI2 3:10 Removed trailing space in v~: Lakini wewe umeyajua mafundisho yangu, mwenendo, makusudi, imani, uvumilivu, upendo, ustahimilivu,

TI2 3:11 Removed trailing space in v~: mateso na taabu, yaani mambo yote yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na Listra, mateso yote niliyostahimili, lakini Bwana aliniokoa katika hayo yote.

TI2 3:12 Removed trailing space in v~: Naam, yeyote anayetaka kuishi maisha ya utauwa ndani ya Kristo Yesu atateswa.

TI2 3:13 Removed trailing space in v~: Lakini watu waovu na wadanganyaji watazidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.

TI2 3:14 Removed trailing space in v~: Bali wewe, udumu katika yale uliyojifunza na kuyaamini kwa uthabiti, ukitambua ya kuwa ulijifunza hayo kutoka kwa nani,

TI2 3:15 Removed trailing space in v~: na jinsi ambavyo tangu utoto umeyajua Maandiko matakatifu, ambayo yanaweza kukuhekimisha upate wokovu kwa njia ya imani katika Kristo Yesu.

TI2 3:16 Removed trailing space in v~: Kila Andiko limevuviwa na Mungu na lafaa kwa mafundisho, kwa kuwaonya watu makosa yao, kwa kuwaongoza na kwa kuwafundisha katika haki,

TI2 3:17 Removed trailing space in v~: ili mtu wa Mungu awe amekamilishwa, apate kutenda kila kazi njema.

TI2 4:0 Extra space after chapter number

TI2 4:0 Removed trailing space in c: 4

TI2 4:0 Removed trailing space in s1: Maagizo Ya Mwisho

TI2 4:1 Removed trailing space in v~: Nakuagiza mbele za Mungu na mbele za Kristo Yesu, atakayewahukumu watu walio hai na waliokufa wakati wa kuja kwake na ufalme wake, kwamba:

TI2 4:2 Removed trailing space in v~: Hubiri Neno; kuwa tayari wakati ufaao na wakati usiofaa; karipia, kemea na utie moyo kwa uvumilivu wote na kwa mafundisho mazuri.

TI2 4:3 Removed trailing space in v~: Maana wakati utakuja watu watakapokataa kuyakubali mafundisho yenye uzima. Badala yake, ili kutimiza tamaa zao wenyewe, watajikusanyia idadi kubwa ya walimu wapate kuwaambia yale ambayo masikio yao yanayowasha yanatamani kuyasikia.

TI2 4:4 Removed trailing space in v~: Watakataa kusikiliza kweli na kuzigeukia hadithi za uongo.

TI2 4:5 Removed trailing space in v~: Kwa habari yako wewe, vumilia mateso, fanya kazi ya mhubiri wa Injili, timiza wajibu wote wa huduma yako.

TI2 4:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana mimi sasa ni tayari kumiminwa kama sadaka ya kinywaji, nayo saa yangu ya kuondoka imetimia.

TI2 4:7 Removed trailing space in v~: Nimevipiga vita vizuri, mashindano nimeyamaliza, imani nimeilinda.

TI2 4:8 Removed trailing space in v~: Sasa nimewekewa taji ya haki ambayo Bwana, mwamuzi wa haki, atanitunukia siku ile: wala si mimi tu, bali pia wote ambao wamengoja kwa shauku kudhihirishwa kwake.

TI2 4:8 Removed trailing space in s1: Maelekezo Ya Binafsi

TI2 4:9 Removed trailing space in v~: Jitahidi kuja kwangu upesi

TI2 4:10 Removed trailing space in v~: kwa sababu Dema, kwa kuupenda ulimwengu, ameniacha na amekwenda Thesalonike. Kreske amekwenda Galatia na Tito amekwenda Dalmatia.

TI2 4:11 Removed trailing space in v~: Ni Luka peke yake aliye hapa pamoja nami. Mtafute Marko uje naye kwa sababu ananifaa sana katika huduma yangu.

TI2 4:12 Removed trailing space in v~: Nimemtuma Tikiko huko Efeso.

TI2 4:13 Removed trailing space in v~: Utakapokuja, niletee lile joho nililoliacha kwa Karpo huko Troa na vile vitabu vyangu, hasa vile vya ngozi.

TI2 4:14 Removed trailing space in v~: Aleksanda yule mfua chuma alinitendea ubaya mkubwa. Bwana atamlipa kwa ajili ya yale aliyotenda.

TI2 4:15 Removed trailing space in v~: Wewe pia ujihadhari naye kwa sababu aliyapinga sana maneno yetu.

TI2 4:16 Removed trailing space in v~: Katika utetezi wangu wa mara ya kwanza, hakuna hata mmoja aliyeniunga mkono, bali kila mmoja aliniacha. Namwomba Mungu wasihesabiwe hatia kwa jambo hilo.

TI2 4:17 Removed trailing space in v~: Lakini Bwana alisimama upande wangu akanitia nguvu, ili kupitia kwangu lile Neno lihubiriwe kwa ukamilifu, watu wote Mataifa wapate kulisikia. Mimi niliokolewa kutoka kinywa cha simba.

TI2 4:18 Removed trailing space in v~: Bwana ataniokoa katika kila shambulio baya na kunileta salama katika Ufalme wake wa mbinguni. Atukuzwe yeye milele na milele. Amen.

TI2 4:18 Removed trailing space in s1: Salamu Za Mwisho

TI2 4:19 Removed trailing space in v~: Wasalimu Prisila\f + \fr 4:19 \ft Prisila kwa Kiyunani ni Priska, hivyo tafsiri nyingine zimemuita Priska.\f* na Akila, na wote wa nyumbani kwa Onesiforo.

TI2 4:20 Removed trailing space in v~: Erasto alibaki Korintho. Nami nikamwacha Trofimo huko Mileto akiwa mgonjwa.

TI2 4:21 Removed trailing space in v~: Jitahidi ufike huku kabla ya majira ya baridi. Eubulo anakusalimu, vivyo hivyo Pude, Lino, Klaudia na ndugu wote.

TI2 4:22 Removed trailing space in v~: Bwana awe pamoja na roho yako. Neema iwe pamoja nanyi. Amen.

TIT 2:0 Extra space after chapter number

TIT 2:0 Removed trailing space in c: 2

TIT 2:0 Removed trailing space in s1: Fundisha Mafundisho Manyofu

TIT 2:1 Removed trailing space in v~: Inakupasa kufundisha itikadi sahihi.

TIT 2:2 Removed trailing space in v~: Wafundishe wazee kuwa na kiasi, wastahivu, wenye busara na wanyofu katika imani, upendo na saburi.

TIT 2:3 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, wafundishe wanawake wazee kuwa na mwenendo wa utakatifu, wala wasiwe wasingiziaji au walevi, bali wafundishe yale yaliyo mema,

TIT 2:4 Removed trailing space in v~: ili waweze kuwafundisha wanawake vijana kuwa na kiasi, wawapende waume zao na kuwapenda watoto wao,

TIT 2:5 Removed trailing space in v~: wawe waaminifu, watakatifu, wakitunza vyema nyumba zao, wema, watiifu kwa waume zao, ili mtu yeyote asije akalikufuru neno la Mungu.

TIT 2:6 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, himiza vijana wawe na kiasi.

TIT 2:7 Removed trailing space in v~: Katika kila jambo uwe kielelezo kwa kutenda mema. Katika mafundisho yako uonyeshe uadilifu, utaratibu,

TIT 2:8 Removed trailing space in v~: na usemi sahihi usio na lawama, ili wanaokupinga watahayari, wakose neno lolote baya la kusema juu yetu.

TIT 2:9 Removed trailing space in v~: Wafundishe watumwa kuwatii mabwana zao katika kila jambo, wakijitahidi kuwapendeza wala wasijibizane nao,

TIT 2:10 Removed trailing space in v~: wala wasiwaibie, bali waonyeshe kuwa wanaweza kuaminika kabisa, ili kwa kila namna wayafanye mafundisho ya Mungu Mwokozi wetu yawe ya kuvutia.

TIT 2:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana neema ya Mungu ambayo inawaokoa wanadamu wote imefunuliwa.

TIT 2:12 Removed trailing space in v~: Nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia, ili tupate kuishi maisha ya kiasi, ya haki na ya utaua katika ulimwengu huu wa sasa,

TIT 2:13 Removed trailing space in v~: huku tukilitazamia tumaini lenye baraka na ufunuo wa utukufu wa Mungu wetu Mkuu, aliye Mwokozi wetu Yesu Kristo.

TIT 2:14 Removed trailing space in v~: Ndiye alijitoa nafsi yake kwa ajili yetu, ili atukomboe kutoka uovu wote na kujisafishia watu kuwa mali yake Mwenyewe, yaani, wale walio na juhudi katika kutenda mema.

TIT 2:15 Removed trailing space in v~: Basi wewe fundisha mambo haya. Onya na kukaripia kwa mamlaka yote. Mtu yeyote asikudharau.

TIT 3:0 Extra space after chapter number

TIT 3:0 Removed trailing space in c: 3

TIT 3:0 Removed trailing space in s1: Kutenda Mema

TIT 3:1 Removed trailing space in v~: Wakumbushe watu kuwanyenyekea watawala na kuwatii wenye mamlaka, wawe tayari kutenda kila lililo jema.

TIT 3:2 Removed trailing space in v~: Wasimnenee mtu yeyote mabaya, wasiwe wagomvi, bali wawe wapole, wakionyesha unyenyekevu kwa watu wote.

TIT 3:3 Removed trailing space in v~: Maana sisi wenyewe wakati fulani tulikuwa wajinga, wasiotii, tukiwa watumwa wa tamaa mbaya na anasa za kila aina. Tuliishi katika uovu na wivu, tukichukiwa na kuchukiana sisi kwa sisi.

TIT 3:4 Removed trailing space in v~: Lakini wema na upendo wa Mungu Mwokozi wetu ulipofunuliwa,

TIT 3:5 Removed trailing space in v~: alituokoa, si kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya rehema zake. Alituokoa kwa kutuosha kwa kuzaliwa mara ya pili na kwa kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu,

TIT 3:6 Removed trailing space in v~: ambaye Mungu alitumiminia kwa wingi kwa njia ya Yesu Kristo Mwokozi wetu,

TIT 3:7 Removed trailing space in v~: ili kwamba, tukiisha kuhesabiwa haki kwa neema yake, tupate kuwa warithi tukiwa na tumaini la uzima wa milele.

TIT 3:8 Removed trailing space in v~: Hili ni neno la kuaminiwa. Nami nataka uyasisitize mambo haya, ili wale ambao wamemwamini Mungu wapate kuwa waangalifu kujitoa kwa ajili ya kutenda mema wakati wote. Mambo haya ni mazuri tena ya manufaa kwa kila mtu.

TIT 3:9 Removed trailing space in v~: Lakini jiepushe na maswali ya kipuzi, mambo ya koo, mabishano na ugomvi kuhusu sheria, kwa sababu hayana faida, tena ni ubatili.

TIT 3:10 Removed trailing space in v~: Mtu anayesababisha mafarakano, mwonye mara ya kwanza, kisha mwonye mara ya pili. Baada ya hapo, usihusike naye tena.

TIT 3:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa unajua kwamba mtu kama huyo amepotoka na tena ni mwenye dhambi. Yeye amejihukumu mwenyewe.

TIT 3:11 Removed trailing space in s1: Maneno Ya Mwisho Na Kumtamkia Baraka

TIT 3:12 Removed trailing space in v~: Mara nitakapomtuma Artema au Tikiko kwako, jitahidi kuja unione huko Nikopoli, kwa sababu nimeamua kukaa huko wakati wa majira ya baridi.

TIT 3:13 Removed trailing space in v~: Fanya kila uwezalo uwasafirishe Zena yule mwanasheria na Apolo na uhakikishe kwamba wana kila kitu wanachohitaji katika safari yao.

TIT 3:14 Removed trailing space in v~: Watu wetu hawana budi kujifunza kutenda mema, ili waweze kuyakimu mahitaji ya kila siku, wasije wakaishi maisha yasiyokuwa na matunda.

TIT 3:15 Removed trailing space in v~: Wote walio pamoja nami wanakusalimu. Wasalimu wale wanaotupenda katika imani.

TIT 3:15 Removed trailing space in p~: Neema iwe nanyi nyote. Amen.

PHM 1:10 Found footnote ending with space in \v~: nakuomba kwa ajili ya mwanangu Onesimo,\f + \fr 1:10 \fq Onesimo \ft maana yake ni \fqa Wa manufaa. \f* aliyefanyika mwanangu nilipokuwa kwenye minyororo.

HEB -1:0 Removed trailing space in id: HEB - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

HEB -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

HEB -1:2 Removed trailing space in h: Waebrania

HEB -1:3 Removed trailing space in toc1: Waebrania

HEB -1:4 Removed trailing space in toc2: Waebrania

HEB -1:5 Removed trailing space in toc3: Ebr

HEB -1:6 Removed trailing space in mt1: Waebrania

HEB 1:0 Extra space after chapter number

HEB 1:0 Removed trailing space in c: 1

HEB 1:0 Removed trailing space in s1: Mwana Ni Mkuu Kuliko Malaika

HEB 1:1 Removed trailing space in v~: Zamani Mungu alisema na baba zetu kwa njia ya manabii mara nyingi na kwa njia mbalimbali,

HEB 1:2 Removed trailing space in v~: lakini katika siku hizi za mwisho anasema nasi kwa njia ya Mwanawe, ambaye amemweka kuwa mrithi wa vitu vyote, na ambaye kupitia kwake aliuumba ulimwengu.

HEB 1:3 Removed trailing space in v~: Mwana ni mngʼao wa utukufu wa Mungu na mfano halisi wa nafsi yake, akivihifadhi vitu vyote kwa neno lake lenye uweza. Akiisha kufanya utakaso kwa ajili ya dhambi, aliketi mkono wa kuume wa Aliye Mkuu huko mbinguni.

HEB 1:4 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo alifanyika bora kuliko malaika, kama jina alilorithi lilivyo bora kuliko lao.

HEB 1:5 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni malaika yupi ambaye wakati wowote Mungu alipata kumwambia,

HEB 1:5 Removed trailing space in p~: “Wewe ni Mwanangu;

HEB 1:5 Removed trailing space in p~: leo mimi nimekuzaa?”

HEB 1:5 Removed trailing space in p~: Au tena,

HEB 1:5 Removed trailing space in p~: “Mimi nitakuwa Baba yake,

HEB 1:5 Removed trailing space in p~: naye atakuwa Mwanangu?”

HEB 1:6 Removed trailing space in v~: Tena, Mungu amletapo mzaliwa wake wa kwanza ulimwenguni, anasema,

HEB 1:6 Removed trailing space in p~: “Malaika wote wa Mungu na wamsujudu.”

HEB 1:7 Removed trailing space in v~: Anenapo kuhusu malaika asema,

HEB 1:7 Removed trailing space in p~: “Huwafanya malaika wake kuwa pepo,

HEB 1:7 Removed trailing space in p~: watumishi wake kuwa miali ya moto.”

HEB 1:8 Removed trailing space in v~: Lakini kwa habari za Mwana asema,

HEB 1:8 Removed trailing space in p~: “Kiti chako cha enzi, Ee Mungu,

HEB 1:8 Removed trailing space in p~: kitadumu milele na milele,

HEB 1:8 Removed trailing space in p~: nayo haki itakuwa fimbo ya utawala

HEB 1:8 Removed trailing space in p~: ya ufalme wako.

HEB 1:9 Removed trailing space in v~: Umependa haki na kuchukia uovu;

HEB 1:9 Removed trailing space in p~: kwa hiyo Mungu, Mungu wako,

HEB 1:9 Removed trailing space in p~: amekuweka juu ya wenzako

HEB 1:9 Removed trailing space in p~: kwa kukupaka mafuta ya furaha.”

HEB 1:10 Removed trailing space in v~: Pia asema,

HEB 1:10 Removed trailing space in p~: “Hapo mwanzo, Ee Bwana, uliweka misingi ya dunia,

HEB 1:10 Removed trailing space in p~: nazo mbingu ni kazi ya mikono yako.

HEB 1:11 Removed trailing space in v~: Hizo zitatoweka, lakini wewe utadumu;

HEB 1:11 Removed trailing space in p~: zote zitachakaa kama vazi.

HEB 1:12 Removed trailing space in v~: Utazikungʼutakungʼuta kama joho,

HEB 1:12 Removed trailing space in p~: nazo zitachakaa kama vazi.

HEB 1:12 Removed trailing space in p~: Lakini wewe hubadiliki,

HEB 1:12 Removed trailing space in p~: nayo miaka yako haikomi kamwe.”

HEB 1:13 Removed trailing space in v~: Je, ni kwa malaika yupi ambaye Mungu amepata kumwambia wakati wowote,

HEB 1:13 Removed trailing space in p~: “Keti mkono wangu wa kuume,

HEB 1:13 Removed trailing space in p~: hadi nitakapowaweka adui zako

HEB 1:13 Removed trailing space in p~: chini ya miguu yako”?

HEB 1:14 Removed trailing space in v~: Je, malaika wote si roho watumikao, waliotumwa kuwahudumia wale watakaourithi wokovu?

HEB 2:0 Extra space after chapter number

HEB 2:0 Removed trailing space in c: 2

HEB 2:0 Removed trailing space in s1: Wokovu Mkuu

HEB 2:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, imetupasa kuwa waangalifu sana kuhusu kile tulichosikia, ili tusije tukakiacha.

HEB 2:2 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kama ujumbe ulionenwa na malaika ulikuwa imara, na kila uasi na kutokutii kulipata adhabu ya haki,

HEB 2:3 Removed trailing space in v~: je, sisi tutapaje kupona kama tusipojali wokovu mkuu namna hii? Wokovu huu, ambao mwanzo ulitangazwa na Bwana, ulithibitishwa kwetu na wale waliomsikia.

HEB 2:4 Removed trailing space in v~: Pia Mungu aliushuhudia kwa ishara, maajabu na kwa miujiza mbalimbali, na karama za Roho Mtakatifu alizozigawa kulingana na mapenzi yake.

HEB 2:4 Removed trailing space in s1: Yesu Alifananishwa Na Ndugu Zake

HEB 2:5 Removed trailing space in v~: Mungu hakuuweka ulimwengu ujao ambao tunanena habari zake chini ya malaika.

HEB 2:6 Removed trailing space in v~: Lakini kuna mahali mtu fulani ameshuhudia akisema:

HEB 2:6 Removed trailing space in p~: “Mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria,

HEB 2:6 Removed trailing space in p~: binadamu ni nani hata unamjali?

HEB 2:7 Removed trailing space in v~: Umemfanya chini kidogo kuliko malaika;

HEB 2:7 Removed trailing space in p~: ukamvika taji ya utukufu na heshima,

HEB 2:8 Removed trailing space in v~: nawe umeweka vitu vyote chini ya miguu yake.”

HEB 2:8 Removed trailing space in p~: Kwa kuweka vitu vyote chini yake, Mungu hakuacha kitu chochote ambacho hakukiweka chini ya mwanadamu. Lakini kwa sasa, hatuoni kwamba kila kitu kiko chini yake.

HEB 2:9 Removed trailing space in v~: Lakini twamwona Yesu, aliyefanywa chini kidogo kuliko malaika, sasa akiwa amevikwa taji ya utukufu na heshima kwa sababu alistahimili mauti, ili kwamba kwa neema ya Mungu apate kuonja mauti kwa ajili ya kila mtu.

HEB 2:10 Removed trailing space in v~: Ili kuwaleta wana wengi katika utukufu, ilifaa kwamba Mungu, ambaye ni kwa ajili yake na kupitia kwake kila kitu kimekuwepo, amkamilishe mwanzilishi wa wokovu wao kwa njia ya mateso.

HEB 2:11 Removed trailing space in v~: Yeye awafanyaye watu kuwa watakatifu, pamoja na hao ambao hufanywa watakatifu, wote hutoka katika jamaa moja. Hivyo Yesu haoni aibu kuwaita ndugu zake.

HEB 2:12 Removed trailing space in v~: Yeye husema,

HEB 2:12 Removed trailing space in p~: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu;

HEB 2:12 Removed trailing space in p~: mbele ya kusanyiko nitaimba sifa zako.”

HEB 2:13 Removed trailing space in v~: Tena,

HEB 2:13 Removed trailing space in p~: “Nitaweka tumaini langu kwake.”

HEB 2:13 Removed trailing space in p~: Tena anasema,

HEB 2:13 Removed trailing space in p~: “Niko hapa, pamoja na watoto ambao Mungu amenipa.”

HEB 2:14 Removed trailing space in v~: Basi kwa kuwa watoto wana nyama na damu, yeye pia alishiriki katika ubinadamu wao, ili kwa kifo chake, apate kumwangamiza huyo mwenye nguvu za mauti, yaani ibilisi,

HEB 2:15 Removed trailing space in v~: na kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti.

HEB 2:16 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ni dhahiri kwamba hakuja kusaidia malaika, bali uzao wa Abrahamu.

HEB 2:17 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii ilibidi afanane na ndugu zake kwa kila hali, ili apate kuwa Kuhani Mkuu mwenye huruma na mwaminifu katika kumtumikia Mungu, ili pia apate kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi za watu.

HEB 2:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa yeye mwenyewe aliteswa alipojaribiwa, aweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.

HEB 3:0 Extra space after chapter number

HEB 3:0 Removed trailing space in c: 3

HEB 3:0 Removed trailing space in s1: Yesu Ni Mkuu Kuliko Mose

HEB 3:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ndugu watakatifu, mnaoshiriki mwito wa mbinguni, mtafakarini Yesu, mtume na Kuhani Mkuu wa ukiri wetu.

HEB 3:2 Removed trailing space in v~: Alikuwa mwaminifu kwa yeye aliyemweka, kama vile Mose alivyokuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu.

HEB 3:3 Removed trailing space in v~: Yesu ameonekana anastahili heshima kubwa kuliko Mose, kama vile mjenzi wa nyumba alivyo wa heshima kubwa kuliko nyumba yenyewe.

HEB 3:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kila nyumba hujengwa na mtu fulani, lakini Mungu ni mjenzi wa kila kitu.

HEB 3:5 Removed trailing space in v~: Basi Mose kama mtumishi alikuwa mwaminifu katika nyumba yote ya Mungu, akishuhudia kwa yale ambayo yangetamkwa baadaye.

HEB 3:6 Removed trailing space in v~: Lakini Kristo ni mwaminifu kama Mwana katika nyumba ya Mungu. Sisi ndio nyumba yake, kama tutashikilia sana ujasiri wetu na tumaini tunalojivunia.

HEB 3:6 Removed trailing space in s1: Onyo Dhidi Ya Kutokuamini

HEB 3:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kama Roho Mtakatifu asemavyo:

HEB 3:7 Removed trailing space in p~: “Leo, kama mkiisikia sauti yake,

HEB 3:8 Removed trailing space in v~: msiifanye mioyo yenu migumu,

HEB 3:8 Removed trailing space in p~: kama mlivyofanya katika uasi,

HEB 3:8 Removed trailing space in p~: wakati ule wa kujaribiwa jangwani,

HEB 3:9 Removed trailing space in v~: ambapo baba zenu walinijaribu na kunipima

HEB 3:9 Removed trailing space in p~: ingawa kwa miaka arobaini

HEB 3:9 Removed trailing space in p~: walikuwa wameyaona matendo yangu.

HEB 3:10 Removed trailing space in v~: Hiyo ndiyo sababu nilikasirikia kizazi kile,

HEB 3:10 Removed trailing space in p~: nami nikasema, ‘Siku zote mioyo yao imepotoka,

HEB 3:10 Removed trailing space in p~: nao hawajazijua njia zangu.’

HEB 3:11 Removed trailing space in v~: Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu,

HEB 3:11 Removed trailing space in p~: ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’ ”

HEB 3:12 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, angalieni, asiwepo miongoni mwenu mtu mwenye moyo mwovu usioamini, unaojitenga na Mungu aliye hai.

HEB 3:13 Removed trailing space in v~: Lakini mtiane moyo mtu na mwenzake kila siku, maadamu iitwapo Leo, ili asiwepo hata mmoja wenu mwenye kufanywa mgumu kwa udanganyifu wa dhambi.

HEB 3:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa tumekuwa washiriki wa Kristo, kama tukishikamana tu kwa uthabiti na tumaini letu la kwanza hadi mwisho.

HEB 3:15 Removed trailing space in v~: Kama ilivyonenwa:

HEB 3:15 Removed trailing space in p~: “Leo, kama mkiisikia sauti yake,

HEB 3:15 Removed trailing space in p~: msiifanye mioyo yenu migumu

HEB 3:15 Removed trailing space in p~: kama mlivyofanya wakati wa kuasi.”

HEB 3:16 Removed trailing space in v~: Basi ni nani waliosikia lakini bado wakaasi? Je, si wale wote waliotoka Misri wakiongozwa na Mose?

HEB 3:17 Removed trailing space in v~: Lakini ni nani aliowakasirikia miaka arobaini? Je, si wale waliofanya dhambi ambao miili yao ilianguka jangwani?

HEB 3:18 Removed trailing space in v~: Ni nani hao ambao Mungu aliapa kuwa kamwe hawataingia rahani mwake isipokuwa ni wale waliokataa kutii?

HEB 3:19 Removed trailing space in v~: Hivyo tunaona kwamba hawakuweza kuingia kwa sababu ya kutokuamini kwao.

HEB 4:0 Extra space after chapter number

HEB 4:0 Removed trailing space in c: 4

HEB 4:0 Removed trailing space in s1: Pumziko Aliloahidi Mungu

HEB 4:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kwa kuwa bado ahadi ya kuingia rahani iko wazi, tujihadhari ili hata mmoja wenu asije akaikosa.

HEB 4:2 Removed trailing space in v~: Kwa maana sisi pia tumesikia Injili iliyohubiriwa kwetu, kama nao walivyosikia; lakini ujumbe ule waliousikia haukuwa na maana kwao, kwa sababu wale waliousikia hawakuuchanganya na imani.

HEB 4:3 Removed trailing space in v~: Sasa sisi ambao tumeamini tunaingia katika ile raha, kama vile Mungu alivyosema,

HEB 4:3 Removed trailing space in p~: “Kwa hiyo nikaapa katika hasira yangu,

HEB 4:3 Removed trailing space in p~: ‘Kamwe hawataingia rahani mwangu.’ ”

HEB 4:3 Removed trailing space in p~: Lakini kazi yake ilikamilika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.

HEB 4:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana mahali fulani amezungumza kuhusu siku ya saba, akisema: “Katika siku ya saba Mungu alipumzika kutoka kazi zake zote.”

HEB 4:5 Removed trailing space in v~: Tena hapo juu asema, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”

HEB 4:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo inabaki kuwa wazi kwa wengine kuingia, nao wale wa kwanza waliopokea Injili walishindwa kuingia kwa sababu ya kutokutii.

HEB 4:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo Mungu ameweka siku nyingine, akaiita Leo, akisema kwa kinywa cha Daudi baadaye sana, kwa maneno yaliyotangulia kunenwa:

HEB 4:7 Removed trailing space in p~: “Leo, kama mkiisikia sauti yake,

HEB 4:7 Removed trailing space in p~: msiifanye mioyo yenu migumu.”

HEB 4:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama Yoshua alikuwa amewapa raha, Mungu hangesema tena baadaye kuhusu siku nyingine.

HEB 4:9 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo basi, imebaki raha ya Sabato kwa ajili ya watu wa Mungu;

HEB 4:10 Removed trailing space in v~: kwa kuwa kila mmoja aingiaye katika raha ya Mungu pia hupumzika kutoka kazi zake mwenyewe, kama vile Mungu alivyopumzika kutoka kazi zake.

HEB 4:11 Removed trailing space in v~: Basi, na tufanye bidii kuingia katika raha hiyo, ili kwamba asiwepo yeyote atakayeanguka kwa kufuata mfano wao wa kutokutii.

HEB 4:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana Neno la Mungu li hai tena lina nguvu. Lina makali kuliko upanga wowote wenye makali kuwili, hivyo linachoma hata kuzigawanya nafsi na roho, viungo na mafuta yaliyo ndani yake; tena li jepesi kuyatambua mawazo na makusudi ya moyo.

HEB 4:13 Removed trailing space in v~: Wala hakuna kiumbe chochote kilichofichika machoni pa Mungu. Kila kitu kimefunuliwa na kiko wazi machoni pake yeye ambaye kwake ni lazima tutatoa hesabu.

HEB 4:13 Removed trailing space in s1: Yesu Kristo Kuhani Mkuu Kuliko Wote

HEB 4:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu kuliko wote ambaye ameingia mbinguni, Yesu Mwana wa Mungu, basi na tushikamane sana kwa uthabiti na ule ukiri wa imani yetu.

HEB 4:15 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hatuna Kuhani Mkuu asiyeweza kuchukuliana na sisi katika udhaifu wetu, lakini tunaye mmoja ambaye alijaribiwa kwa kila namna, kama vile sisi tujaribiwavyo: lakini yeye hakutenda dhambi.

HEB 4:16 Removed trailing space in v~: Basi na tukikaribie kiti cha rehema kwa ujasiri, ili tupewe rehema na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.

HEB 5:0 Extra space after chapter number

HEB 5:0 Removed trailing space in c: 5

HEB 5:1 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila kuhani mkuu anayechaguliwa miongoni mwa wanadamu anawekwa kuwawakilisha kwa mambo yanayomhusu Mungu, ili apate kutoa matoleo na dhabihu kwa ajili ya dhambi.

HEB 5:2 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa yeye mwenyewe ni dhaifu, aweza kuwachukulia kwa upole wale wasiojua na kupotoka.

HEB 5:3 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sababu inampasa kutoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe na vivyo hivyo kwa ajili ya dhambi za watu.

HEB 5:4 Removed trailing space in v~: Hakuna anayejitwalia heshima hii mwenyewe; ni lazima aitwe na Mungu, kama vile Aroni alivyoitwa.

HEB 5:5 Removed trailing space in v~: Pia Kristo hakujitwalia utukufu yeye mwenyewe wa kuwa Kuhani Mkuu, bali Mungu alimwambia,

HEB 5:5 Removed trailing space in p~: “Wewe ni Mwanangu;

HEB 5:5 Removed trailing space in p~: leo mimi nimekuzaa.”

HEB 5:6 Removed trailing space in v~: Pia mahali pengine asema,

HEB 5:6 Removed trailing space in p~: “Wewe ni kuhani milele,

HEB 5:6 Removed trailing space in p~: kwa mfano wa Melkizedeki.”

HEB 5:7 Removed trailing space in v~: Katika siku za maisha ya Yesu hapa duniani, alimtolea maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, yeye awezaye kumwokoa na mauti, naye Mungu akamsikia kwa sababu ya kutii kwake kwa unyenyekevu.

HEB 5:8 Removed trailing space in v~: Ingawa alikuwa Mwana, alijifunza utiifu kutokana na mateso aliyoyapata,

HEB 5:9 Removed trailing space in v~: na akiisha kukamilishwa, akawa chanzo cha wokovu wa milele kwa wote wanaomtii.

HEB 5:10 Removed trailing space in v~: Naye amewekwa na Mungu kuwa Kuhani Mkuu kwa mfano wa Melkizedeki.

HEB 5:10 Removed trailing space in s1: Wito Wa Kukua Kiroho

HEB 5:11 Removed trailing space in v~: Tunayo mengi ya kusema kuhusu habari ya ukuhani huu, lakini ni vigumu kuyaeleza, kwa sababu ninyi ni wazito wa kuelewa.

HEB 5:12 Removed trailing space in v~: Kwa hakika, ingawa mpaka wakati huu ingewapasa kuwa walimu, bado mnahitaji mtu wa kuwafundisha tena hatua za awali za kweli ya Neno la Mungu. Mnahitaji maziwa, wala si chakula kigumu!

HEB 5:13 Removed trailing space in v~: Kwa maana yeyote aishiye kwa kunywa maziwa bado yeye ni mtoto mchanga, hana ujuzi katika mafundisho kuhusu neno la haki.

HEB 5:14 Removed trailing space in v~: Lakini chakula kigumu ni kwa ajili ya watu wazima, ambao kwa kujizoeza wamejifunza kupambanua kati ya mema na mabaya.

HEB 6:0 Extra space after chapter number

HEB 6:0 Removed trailing space in c: 6

HEB 6:0 Removed trailing space in s1: Hatari Ya Kuanguka

HEB 6:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, tukiachana na mafundisho yale ya awali kuhusu Kristo na tukisonga mbele ili tufikie utimilifu, sio kuweka tena msingi wa mafundisho ya kuzitubia kazi zisizo na uhai na imani katika Mungu,

HEB 6:2 Removed trailing space in v~: mafundisho kuhusu aina za ubatizo, kuwekea watu mikono, ufufuo wa wafu, na hukumu ya milele.

HEB 6:3 Removed trailing space in v~: Mungu akitujalia tutafanya hivyo.

HEB 6:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ni vigumu kwa wale ambao wakati fulani walishapata nuru, ambao walishaonja kipawa cha mbinguni, ambao wamekwisha kushiriki katika Roho Mtakatifu,

HEB 6:5 Removed trailing space in v~: ambao wameonja uzuri wa Neno la Mungu na nguvu za wakati ujao,

HEB 6:6 Removed trailing space in v~: kisha wakianguka, kuwarejesha tena katika toba. Kwa kuwa wanamsulubisha Mwana wa Mungu mara ya pili na kumdhalilisha hadharani, nayo ikawa hasara kwao.

HEB 6:7 Removed trailing space in v~: Ardhi ile ipokeayo mvua inyeshayo juu yake mara kwa mara hutoa mazao yanayowanufaisha wale ambao kwa ajili yao yalimwa, nayo nchi hiyo hupokea baraka kutoka kwa Mungu.

HEB 6:8 Removed trailing space in v~: Lakini ardhi ikizaa miiba na mibaruti, haina thamani na iko hatarini ya kulaaniwa. Mwisho wake ni kuchomwa moto.

HEB 6:9 Removed trailing space in v~: Ingawa tunasema hivi, ndugu zangu wapendwa, kwa upande wenu tuna hakika ya mambo mema zaidi, mambo yale yahusuyo wokovu.

HEB 6:10 Removed trailing space in v~: Mungu si mdhalimu: yeye hataisahau kazi yenu na upendo ule mlioonyesha kwa ajili yake katika kuwahudumia watakatifu na hata sasa mnaendelea kuwahudumia.

HEB 6:11 Removed trailing space in v~: Nasi twataka kila mmoja wenu aonyeshe bidii iyo hiyo ili mpate kujua uhakika kamili wa lile tumaini mpaka mwisho,

HEB 6:12 Removed trailing space in v~: ili msije mkawa wavivu, bali mpate kuwaiga wale ambao kwa imani na saburi hurithi zile ahadi.

HEB 6:12 Removed trailing space in s1: Uhakika Wa Ahadi Ya Mungu

HEB 6:13 Removed trailing space in v~: Mungu alipompa Abrahamu ahadi yake, kwa kuwa hakuwepo mwingine aliyekuwa mkuu kuliko yeye ambaye angeweza kuapa kwa jina lake, aliapa kwa nafsi yake,

HEB 6:14 Removed trailing space in v~: akisema, “Hakika nitakubariki na kukupa wazao wengi.”

HEB 6:15 Removed trailing space in v~: Abrahamu naye, baada ya kungoja kwa saburi, alipokea kile kilichoahidiwa.

HEB 6:16 Removed trailing space in v~: Wanadamu huapa kwa yeye aliye mkuu kuwaliko, nacho kiapo hicho huthibitisha kile kilichosemwa na hivyo humaliza mabishano yote.

HEB 6:17 Removed trailing space in v~: Mungu alipotaka kuonyesha kwa udhahiri zaidi ile asili ya kutokubadilika kwa ahadi yake kwa warithi wa ahadi, aliithitibisha kwa kiapo.

HEB 6:18 Removed trailing space in v~: Mungu alifanya hivyo ili kwa vitu viwili visivyobadilika, yaani ahadi yake na kiapo chake, ambavyo kwavyo Mungu hawezi kusema uongo, sisi ambao tumemkimbilia ili tulishike lile tumaini lililowekwa mbele yetu tuwe na faraja thabiti.

HEB 6:19 Removed trailing space in v~: Tunalo tumaini hili kama nanga ya roho iliyo imara na thabiti. Tumaini hili huingia katika sehemu takatifu iliyopo nyuma ya pazia,

HEB 6:20 Removed trailing space in v~: mahali ambapo Yesu mtangulizi wetu aliingia kwa niaba yetu. Yeye amekuwa Kuhani Mkuu milele, kwa mfano wa Melkizedeki.

HEB 7:0 Extra space after chapter number

HEB 7:0 Removed trailing space in c: 7

HEB 7:0 Removed trailing space in s1: Kuhani Melkizedeki

HEB 7:1 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa huyu Melkizedeki alikuwa mfalme wa Salemu na kuhani wa Mungu Aliye Juu Sana. Alipokutana na Abrahamu akirudi kutoka kuwashinda hao wafalme, Melkizedeki alimbariki,

HEB 7:2 Removed trailing space in v~: naye Abrahamu alimpa sehemu ya kumi\f + \fr 7:2 \ft Sehemu ya kumi mahali pengine huitwa fungu la kumi au zaka; sehemu ya kumi ya pato hutolewa kwa Mungu.\f* ya kila kitu. Kwanza, jina hilo Melkizedeki maana yake ni “mfalme wa haki.” Na pia “mfalme wa Salemu” maana yake ni “mfalme wa amani.”

HEB 7:3 Removed trailing space in v~: Hana Baba wala mama, hana ukoo, hana mwanzo wala mwisho wa siku zake. Kama Mwana wa Mungu, yeye adumu akiwa kuhani milele.

HEB 7:4 Removed trailing space in v~: Tazama jinsi alivyokuwa mkuu: Hata Abrahamu, baba yetu mkuu, alimpa sehemu ya kumi ya nyara zake.

HEB 7:5 Removed trailing space in v~: Basi sheria inawaagiza wana wa Lawi ambao hufanyika makuhani kupokea sehemu ya kumi kutoka kwa watu ambao ni ndugu zao, ingawa ndugu zao ni wazao wa Abrahamu.

HEB 7:6 Removed trailing space in v~: Huyu Melkizedeki, ingawa hakufuatia ukoo wake kutoka kwa Lawi, lakini alipokea sehemu ya kumi kutoka kwa Abrahamu na kumbariki yeye aliyekuwa na zile ahadi.

HEB 7:7 Removed trailing space in v~: Wala hakuna shaka kwamba mdogo hubarikiwa na aliye mkuu kumliko yeye.

HEB 7:8 Removed trailing space in v~: Kwa upande mmoja, sehemu ya kumi hupokelewa na wale ambao hupatikana na kufa; lakini kwa upande mwingine hupokelewa na yeye ambaye hushuhudiwa kuwa yu hai.

HEB 7:9 Removed trailing space in v~: Mtu anaweza hata kusema kwamba Lawi, ambaye hupokea sehemu ya kumi, alitoa hiyo sehemu ya kumi kupitia kwa Abrahamu,

HEB 7:10 Removed trailing space in v~: kwa sababu Melkizedeki alipokutana na Abrahamu, Lawi alikuwa bado katika viuno vya baba yake wa zamani.\f + \fr 7:10 \ft Yaani, alikuwa hajazaliwa.\f*

HEB 7:10 Removed trailing space in s1: Yesu Mfano Wa Melkizedeki

HEB 7:11 Removed trailing space in v~: Kama ukamilifu ungeweza kupatikana kwa njia ya ukuhani wa Walawi (kwa kuwa katika msingi huo, sheria ilitolewa kwa watu), kwa nini basi imekuwepo haja ya kuja kuhani mwingine: kuhani kwa mfano wa Melkizedeki, wala si kwa mfano wa Aroni?

HEB 7:12 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa yanapotokea mabadiliko ya ukuhani, pia lazima yawepo mabadiliko ya sheria.

HEB 7:13 Removed trailing space in v~: Yeye ambaye mambo haya yanasemwa alikuwa wa kabila lingine, na hakuna mtu wa kabila hilo aliyewahi kuhudumu katika madhabahu.

HEB 7:14 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni dhahiri kwamba Bwana wetu alitoka katika uzao wa Yuda, tena kuhusu kabila hilo Mose hakusema lolote kwa habari za makuhani.

HEB 7:15 Removed trailing space in v~: Tena hayo tuliyosema yako wazi zaidi kama akitokea kuhani mwingine kama Melkizedeki,

HEB 7:16 Removed trailing space in v~: yeye ambaye amefanyika kuhani si kwa misingi ya sheria kama ilivyokuwa kwa baba zake, bali kwa misingi ya uwezo wa uzima usioharibika.

HEB 7:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana imeshuhudiwa kwamba:

HEB 7:17 Removed trailing space in p~: “Wewe ni kuhani milele,

HEB 7:17 Removed trailing space in p~: kwa mfano wa Melkizedeki.”

HEB 7:18 Removed trailing space in v~: Kwa upande mmoja, ile amri ya mwanzo isiyofaa na dhaifu imebatilishwa

HEB 7:19 Removed trailing space in v~: (kwa maana sheria haikufanya kitu chochote kuwa kikamilifu). Kwa upande mwingine, tumeletewa tumaini lililo bora zaidi ambalo linatuleta karibu na Mungu.

HEB 7:20 Removed trailing space in v~: Nalo tumaini hilo halikutolewa pasipo kiapo! Wengine walikuwa makuhani pasipo kiapo chochote,

HEB 7:21 Removed trailing space in v~: lakini Yesu alifanywa kuhani kwa kiapo wakati Mungu alimwambia:

HEB 7:21 Removed trailing space in p~: “\nd Bwana\nd* ameapa

HEB 7:21 Removed trailing space in p~: naye hatabadilisha mawazo yake:

HEB 7:21 Removed trailing space in p~: ‘Wewe ni kuhani milele.’ ”

HEB 7:22 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya kiapo hiki, Yesu amekuwa mdhamini wa agano lililo bora zaidi.

HEB 7:23 Removed trailing space in v~: Basi pamekuwepo na makuhani wengi wa aina hiyo, kwa kuwa kifo kiliwazuia kuendelea na huduma yao ya ukuhani.

HEB 7:24 Removed trailing space in v~: Lakini kwa sababu Yesu anaishi milele, anao ukuhani wa kudumu.

HEB 7:25 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo anaweza kuwaokoa kabisa wale wanaomjia Mungu kupitia kwake, kwa sababu yeye adumu daima kuomba kwa ajili yao.

HEB 7:26 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa ilitupasa tuwe na Kuhani Mkuu wa namna hii, yaani, aliye mtakatifu, asiye na lawama, asiye na dosari, aliyetengwa na wenye dhambi na kuinuliwa juu ya mbingu.

HEB 7:27 Removed trailing space in v~: Yeye hahitaji kutoa dhabihu siku kwa siku kwa ajili ya dhambi, kwanza kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe, kisha kwa ajili ya dhambi za watu kama wale makuhani wakuu wengine. Yeye alitoa dhabihu kwa ajili ya dhambi zao mara moja tu, alipojitoa mwenyewe.

HEB 7:28 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa sheria huwaweka makuhani wakuu watu ambao ni dhaifu; lakini lile neno la kiapo, lililokuja baada ya sheria, lilimweka Mwana, ambaye amefanywa kuwa mkamilifu milele.

HEB 8:0 Extra space after chapter number

HEB 8:0 Removed trailing space in c: 8

HEB 8:0 Removed trailing space in s1: Kuhani Mkuu Wa Agano Jipya

HEB 8:1 Removed trailing space in v~: Basi jambo tunalotaka kulisema ni hili: Tunaye Kuhani Mkuu ambaye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Aliye Mkuu mbinguni,

HEB 8:2 Removed trailing space in v~: yeye ahudumuye katika patakatifu, hema la kweli lililowekwa na Bwana, wala si na mwanadamu.

HEB 8:3 Removed trailing space in v~: Kila kuhani mkuu huwekwa ili atoe sadaka na dhabihu. Vivyo hivyo, ilikuwa jambo muhimu kwa huyu Kuhani naye awe na kitu cha kutoa.

HEB 8:4 Removed trailing space in v~: Kama angekuwa duniani, hangekuwa kuhani, kwa sababu tayari wapo watu watoao sadaka kama ilivyoelekezwa na sheria.

HEB 8:5 Removed trailing space in v~: Wanahudumu katika patakatifu palipo mfano na kivuli cha mambo ya mbinguni. Hii ndiyo sababu Mose alionywa alipokaribia kujenga hema, akiambiwa: “Hakikisha kuwa unavitengeneza vitu vyote kwa mfano ulioonyeshwa kule mlimani.”

HEB 8:6 Removed trailing space in v~: Lakini huduma aliyopewa Yesu ni bora zaidi kuliko yao, kama vile agano ambalo yeye ni mpatanishi wake lilivyo bora zaidi kuliko lile la zamani, nalo limewekwa misingi wa ahadi zilizo bora zaidi.

HEB 8:7 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama hapakuwa na kasoro katika lile agano la kwanza, pasingekuwa na haja ya kutafuta nafasi kwa ajili ya jingine.

HEB 8:8 Removed trailing space in v~: Lakini Mungu aliona kosa kwa watu, naye akasema:

HEB 8:8 Removed trailing space in p~: “Siku zinakuja, asema Bwana,

HEB 8:8 Removed trailing space in p~: nitakapofanya agano jipya

HEB 8:8 Removed trailing space in p~: na nyumba ya Israeli

HEB 8:8 Removed trailing space in p~: na nyumba ya Yuda.

HEB 8:9 Removed trailing space in v~: Agano langu halitakuwa kama lile

HEB 8:9 Removed trailing space in p~: nililofanya na baba zao

HEB 8:9 Removed trailing space in p~: nilipowashika mkono

HEB 8:9 Removed trailing space in p~: kuwaongoza watoke nchi ya Misri,

HEB 8:9 Removed trailing space in p~: kwa sababu hawakuendelea kuwa waaminifu katika agano langu,

HEB 8:9 Removed trailing space in p~: nami nikawaacha,

HEB 8:9 Removed trailing space in p~: asema Bwana.

HEB 8:10 Removed trailing space in v~: Hili ndilo agano nitakalofanya na nyumba ya Israeli

HEB 8:10 Removed trailing space in p~: baada ya siku zile, asema Bwana.

HEB 8:10 Removed trailing space in p~: Nitaziweka sheria zangu katika nia zao

HEB 8:10 Removed trailing space in p~: na kuziandika mioyoni mwao.

HEB 8:10 Removed trailing space in p~: Nitakuwa Mungu wao,

HEB 8:10 Removed trailing space in p~: nao watakuwa watu wangu.

HEB 8:11 Removed trailing space in v~: Mtu hatamfundisha tena jirani yake,

HEB 8:11 Removed trailing space in p~: wala mtu kumfundisha ndugu yake akisema, ‘Mjue Bwana,’

HEB 8:11 Removed trailing space in p~: kwa sababu wote watanijua mimi,

HEB 8:11 Removed trailing space in p~: tangu aliye mdogo kabisa kwao, hadi aliye mkuu sana.

HEB 8:12 Removed trailing space in v~: Kwa sababu nitasamehe uovu wao,

HEB 8:12 Removed trailing space in p~: wala sitazikumbuka dhambi zao tena!”

HEB 8:13 Removed trailing space in v~: Kwa kuliita agano hili “jipya,” Mungu amefanya lile agano la kwanza kuwa kuukuu; nacho kitu kinachoanza kuchakaa na kuwa kikuukuu kiko karibu kutoweka.

HEB 9:0 Extra space after chapter number

HEB 9:0 Removed trailing space in c: 9

HEB 9:0 Removed trailing space in s1: Ibada Katika Hema La Kidunia

HEB 9:1 Removed trailing space in v~: Basi agano lile la kwanza lilikuwa na kanuni zake za kuabudu na pia patakatifu pake pa kidunia.

HEB 9:2 Removed trailing space in v~: Hema ilitengenezwa. Katika sehemu yake ya kwanza kulikuwa na kinara cha taa, meza na mikate iliyowekwa wakfu; hii sehemu iliitwa Mahali Patakatifu.

HEB 9:3 Removed trailing space in v~: Nyuma ya pazia la pili, palikuwa na sehemu iliyoitwa Patakatifu pa Patakatifu,

HEB 9:4 Removed trailing space in v~: ambapo palikuwa na yale madhabahu ya dhahabu ya kufukizia uvumba, na lile Sanduku la Agano lililofunikwa kwa dhahabu. Sanduku hili lilikuwa na gudulia la dhahabu lenye mana, ile fimbo ya Aroni iliyochipuka, na vile vibao vya mawe vya Agano.

HEB 9:5 Removed trailing space in v~: Juu ya lile Sanduku kulikuwa na makerubi ya Utukufu yakitilia kivuli kile kifuniko ambacho ndicho kiti cha rehema. Lakini hatuwezi kueleza vitu hivi kwa undani sasa.

HEB 9:6 Removed trailing space in v~: Basi vitu hivi vilipokuwa vimepangwa, makuhani waliingia daima katika sehemu ya kwanza ya hema ili kufanya taratibu zao za ibada.

HEB 9:7 Removed trailing space in v~: Lakini ni kuhani mkuu peke yake aliyeingia ndani ya sehemu ya pili ya hema. Tena hii ilikuwa mara moja tu kwa mwaka, na hakuingia kamwe bila damu, ambayo alitoa kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya dhambi za watu walizotenda bila kukusudia.

HEB 9:8 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii, Roho Mtakatifu alikuwa anaonyesha kwamba, maadamu ile hema ya kwanza ilikuwa bado imesimama, njia ya kuingia Patakatifu pa Patakafifu ilikuwa bado haijafunguliwa.

HEB 9:9 Removed trailing space in v~: Huu ulikuwa mfano kwa ajili ya wakati wa sasa, kuonyesha kwamba sadaka na dhabihu zilizokuwa zikitolewa hazikuweza kusafisha dhamiri ya mtu anayeabudu.

HEB 9:10 Removed trailing space in v~: Lakini hizi zilishughulika tu na vyakula na vinywaji, pamoja na taratibu mbalimbali za kunawa kwa nje, kanuni kwa ajili ya mwili zilizowekwa hadi wakati utimie wa matengenezo mapya.

HEB 9:10 Removed trailing space in s1: Damu Ya Kristo

HEB 9:11 Removed trailing space in v~: Kristo alipokuja akiwa Kuhani Mkuu wa mambo mema ambayo tayari yameshawasili, alipitia kwenye hema iliyo kuu zaidi na bora zaidi, ambayo haikutengenezwa kwa mikono ya binadamu, hii ni kusema, ambayo si sehemu ya uumbaji huu.

HEB 9:12 Removed trailing space in v~: Hakuingia kwa njia ya damu ya mbuzi na ya ndama; lakini aliingia Patakatifu pa Patakatifu mara moja tu kwa damu yake mwenyewe, akiisha kupata ukombozi wa milele.

HEB 9:13 Removed trailing space in v~: Damu ya mbuzi na ya mafahali, na majivu ya mitamba walivyonyunyiziwa wale waliokuwa najisi kwa taratibu za kiibada viliwatakasa, hata kuwaondolea uchafu wa nje.

HEB 9:14 Removed trailing space in v~: Basi ni zaidi aje damu ya Kristo, ambaye kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na waa, itatusafisha dhamiri zetu kutokana na matendo yaletayo mauti, ili tupate kumtumikia Mungu aliye hai!

HEB 9:15 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii Kristo ni mpatanishi wa agano jipya, ili kwamba wale walioitwa waweze kupokea ile ahadi ya urithi wa milele: kwa vile yeye alikufa awe ukombozi wao kutoka kwa dhambi walizozitenda chini ya agano la kwanza.

HEB 9:16 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya wosia,\f + \fr 9:16 \ft Wosia hapa kwa neno la Kiyunani ni agano.\f* ni muhimu kuthibitisha kifo cha yule aliyeutoa,

HEB 9:17 Removed trailing space in v~: kwa sababu wosia huwa na nguvu tu wakati mtu ameshakufa; kamwe hauwezi kutumika wakati yule aliyeuandika bado yuko hai.

HEB 9:18 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo sababu hata lile agano la kwanza halikuweza kutekelezwa pasipo damu.

HEB 9:19 Removed trailing space in v~: Mose alipotangaza kila amri kwa watu wote, alichukua damu ya ndama na ya mbuzi, pamoja na maji, sufu nyekundu na matawi ya mti wa hisopo, akanyunyizia kile kitabu na watu wote.

HEB 9:20 Removed trailing space in v~: Alisema, “Hii ndiyo damu ya agano, ambalo Mungu amewaamuru kulitii.”

HEB 9:21 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo alinyunyizia damu hiyo kwenye ile hema pamoja na kila kifaa kilichotumika ndani yake kwa taratibu za ibada.

HEB 9:22 Removed trailing space in v~: Kwa kweli sheria hudai kwamba, karibu kila kitu kitakaswe kwa damu, wala pasipo kumwaga damu, hakuna msamaha wa dhambi.

HEB 9:23 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ilikuwa muhimu kwa nakala za vitu vile vya mbinguni vitakaswe kwa dhabihu hizi, lakini vitu halisi vya mbinguni vilihitaji dhabihu bora kuliko hizi.

HEB 9:24 Removed trailing space in v~: Kwa maana Kristo hakuingia kwenye patakatifu palipofanywa kwa mikono ya mwanadamu, ambao ni mfano wa kile kilicho halisi. Yeye aliingia mbinguni penyewe, ili sasa aonekane mbele za Mungu kwa ajili yetu.

HEB 9:25 Removed trailing space in v~: Wala hakuingia mbinguni ili apate kujitoa mwenyewe mara kwa mara, kama vile kuhani mkuu aingiavyo Patakatifu pa Patakatifu kila mwaka kwa damu ambayo si yake mwenyewe.

HEB 9:26 Removed trailing space in v~: Ingekuwa hivyo, ingempasa Kristo kuteswa mara nyingi tangu kuumbwa kwa ulimwengu. Lakini sasa ametokea mara moja tu katika mwisho wa nyakati aiondoe dhambi kwa kujitoa mwenyewe kuwa dhabihu.

HEB 9:27 Removed trailing space in v~: Kama vile mwanadamu alivyowekewa kufa mara moja tu na baada ya kufa akabili hukumu,

HEB 9:28 Removed trailing space in v~: vivyo hivyo Kristo alitolewa mara moja tu kuwa dhabihu ili azichukue dhambi za watu wengi. Naye atakuja mara ya pili, sio kuchukua dhambi, bali kuwaletea wokovu wale wanaomngoja kwa shauku.

HEB 10:0 Extra space after chapter number

HEB 10:0 Removed trailing space in c: 10

HEB 10:0 Removed trailing space in s1: Dhabihu Ya Kristo Ni Mara Moja Tu

HEB 10:1 Removed trailing space in v~: Sheria ni kivuli tu cha mambo mema yajayo, wala si uhalisi wa mambo yenyewe. Kwa sababu hii, haiwezekani kamwe kwa njia ya dhabihu zitolewazo mwaka hadi mwaka kuwakamilisha wale wanaokaribia ili kuabudu.

HEB 10:2 Removed trailing space in v~: Kama dhabihu hizo zingeweza kuwakamilisha, hazingeendelea kutolewa tena. Kwa kuwa hao waabuduo wangekuwa wametakaswa mara moja tu, wala wasingejiona tena kuwa na dhambi.

HEB 10:3 Removed trailing space in v~: Lakini zile dhabihu zilikuwa ukumbusho wa dhambi kila mwaka,

HEB 10:4 Removed trailing space in v~: kwa sababu haiwezekani damu ya mafahali na mbuzi kuondoa dhambi.

HEB 10:5 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, Kristo alipokuja duniani, alisema:

HEB 10:5 Removed trailing space in p~: “Dhabihu na sadaka hukuzitaka,

HEB 10:5 Removed trailing space in p~: bali mwili uliniandalia;

HEB 10:6 Removed trailing space in v~: sadaka za kuteketezwa na za dhambi

HEB 10:6 Removed trailing space in p~: hukupendezwa nazo.

HEB 10:7 Removed trailing space in v~: Ndipo niliposema, ‘Mimi hapa, nimekuja,

HEB 10:7 Removed trailing space in p~: imeandikwa kunihusu katika kitabu:

HEB 10:7 Removed trailing space in p~: Nimekuja kuyafanya mapenzi yako, Ee Mungu.’ ”

HEB 10:8 Removed trailing space in v~: Kwanza alisema, “Dhabihu na sadaka, sadaka za kuteketezwa na za dhambi hukuzitaka, wala hukupendezwa nazo” (ingawa sheria iliagiza zitolewe).

HEB 10:9 Removed trailing space in v~: Kisha akasema “Mimi hapa, nimekuja kuyafanya mapenzi yako.” Aondoa lile Agano la kwanza ili kuimarisha la pili.

HEB 10:10 Removed trailing space in v~: Katika mapenzi hayo sisi tumetakaswa na kufanywa watakatifu kwa njia ya sadaka ya mwili wa Yesu Kristo alioutoa mara moja tu.

HEB 10:11 Removed trailing space in v~: Kila kuhani husimama siku kwa siku akifanya huduma yake ya ibada, na kutoa tena na tena dhabihu zile zile ambazo haziwezi kamwe kuondoa dhambi.

HEB 10:12 Removed trailing space in v~: Lakini huyu kuhani akiisha kutoa dhabihu moja kwa ajili ya dhambi kwa wakati wote, aliketi mkono wa kuume wa Mungu.

HEB 10:13 Removed trailing space in v~: Tangu wakati huo anangoja mpaka adui zake wawekwe chini ya miguu yake,

HEB 10:14 Removed trailing space in v~: kwa sababu kwa dhabihu moja amewafanya kuwa wakamilifu milele wale wote wanaotakaswa.

HEB 10:15 Removed trailing space in v~: Pia Roho Mtakatifu anatushuhudia kuhusu jambo hili. Kwanza anasema:

HEB 10:16 Removed trailing space in v~: “Hili ndilo Agano nitakalofanya nao

HEB 10:16 Removed trailing space in p~: baada ya siku hizo, asema Bwana.

HEB 10:16 Removed trailing space in p~: Nitaziweka sheria zangu mioyoni mwao,

HEB 10:16 Removed trailing space in p~: na kuziandika katika nia zao.”

HEB 10:17 Removed trailing space in v~: Kisha aongeza kusema:

HEB 10:17 Removed trailing space in p~: “Dhambi zao na kutokutii kwao

HEB 10:17 Removed trailing space in p~: sitakumbuka tena.”

HEB 10:18 Removed trailing space in v~: Basi haya yakiisha kusamehewa, hakuna tena dhabihu yoyote inayotolewa kwa ajili ya dhambi.

HEB 10:18 Removed trailing space in s1: Wito Wa Kuvumilia

HEB 10:19 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ndugu zangu, kwa kuwa tunao ujasiri wa kupaingia Patakatifu pa Patakatifu kwa damu ya Yesu,

HEB 10:20 Removed trailing space in v~: kwa njia mpya iliyo hai tuliyofunguliwa kwa ajili yetu kupitia kwenye lile pazia, yaani, mwili wake,

HEB 10:21 Removed trailing space in v~: basi kwa kuwa tunaye Kuhani Mkuu juu ya nyumba ya Mungu,

HEB 10:22 Removed trailing space in v~: sisi na tumkaribie Mungu kwa moyo mnyofu kwa imani timilifu, mioyo yetu ikiwa imenyunyizwa damu ya Kristo na kuwa safi kutokana na dhamiri mbaya nayo miili yetu ikiwa imeoshwa kwa maji safi.

HEB 10:23 Removed trailing space in v~: Tushike kwa uthabiti lile tumaini la ukiri wetu bila kuyumbayumba, kwa maana yeye aliyeahidi ni mwaminifu.

HEB 10:24 Removed trailing space in v~: Tuangaliane na kuhimizana sisi kwa sisi katika upendo na katika kutenda mema.

HEB 10:25 Removed trailing space in v~: Wala tusiache kukutana pamoja, kama wengine walivyo na desturi, bali tuhimizane sisi kwa sisi kadiri tuonavyo Siku ile inakaribia.

HEB 10:26 Removed trailing space in v~: Kama tukiendelea kutenda dhambi kwa makusudi baada ya kupokea ufahamu wa ile kweli, haibaki tena dhabihu kwa ajili ya dhambi.

HEB 10:27 Removed trailing space in v~: Lakini kinachobaki ni kungoja kwa hofu hukumu ya moto uwakao, utakaowaangamiza adui za Mungu.

HEB 10:28 Removed trailing space in v~: Yeyote aliyeikataa sheria ya Mose alikufa pasipo huruma kwa ushahidi wa watu wawili au watatu.

HEB 10:29 Removed trailing space in v~: Je, mnadhani ni adhabu kali kiasi gani anayostahili kupewa mtu aliyemkanyaga Mwana wa Mungu chini ya nyayo zake, yeye aliyeifanya damu ya Agano iliyomtakasa kuwa kitu najisi na kumtendea maovu Roho wa neema?

HEB 10:30 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa tunamjua yeye aliyesema, “Ni juu yangu kulipiza kisasi; nitalipiza.” Tena asema, “Bwana atawahukumu watu wake.”

HEB 10:31 Removed trailing space in v~: Ni jambo la kutisha kuanguka mikononi mwa Mungu aliye hai.

HEB 10:32 Removed trailing space in v~: Kumbukeni siku zile za kwanza, ambazo mkiisha kutiwa nuru mlistahimili mashindano makali ya maumivu.

HEB 10:33 Removed trailing space in v~: Wakati mwingine mlitukanwa na kuteswa hadharani; wakati mwingine mlikuwa radhi kuungana na wale waliofanyiwa hivyo.

HEB 10:34 Removed trailing space in v~: Mliwahurumia wale waliokuwa kifungoni, mkikubali kwa furaha kunyangʼanywa mali zenu kwa maana mlijua kwamba mnayo mali iliyo bora zaidi idumuyo.

HEB 10:35 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo msiutupe ujasiri wenu, kwa maana una thawabu kubwa mno.

HEB 10:36 Removed trailing space in v~: Inawapasa kuvumilia ili mkiisha kufanya mapenzi ya Mungu mpate kile alichoahidi.

HEB 10:37 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa bado kitambo kidogo tu,

HEB 10:37 Removed trailing space in p~: “Yeye ajaye atakuja wala hatakawia.

HEB 10:38 Removed trailing space in v~: Lakini mwenye haki wangu

HEB 10:38 Removed trailing space in p~: ataishi kwa imani.

HEB 10:38 Removed trailing space in p~: Naye kama akisitasita,

HEB 10:38 Removed trailing space in p~: sina furaha naye.”

HEB 10:39 Removed trailing space in v~: Lakini sisi hatumo miongoni mwa hao wanaositasita na kuangamia, bali tuko miongoni mwa hao wenye imani na hivyo tunaokolewa.

HEB 11:0 Extra space after chapter number

HEB 11:0 Removed trailing space in c: 11

HEB 11:0 Removed trailing space in s1: Maana Ya Imani

HEB 11:1 Removed trailing space in v~: Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, na udhahiri wa mambo yasiyoonekana.

HEB 11:2 Removed trailing space in v~: Maana baba zetu wa kale walipongezwa kwa haya.

HEB 11:3 Removed trailing space in v~: Kwa imani tunafahamu kwamba ulimwengu uliumbwa kwa neno la Mungu, vitu vyote vinavyoonekana havikuumbwa kutoka kwa vitu vinavyoonekana.

HEB 11:3 Removed trailing space in s1: Mfano Wa Abeli, Enoki Na Noa

HEB 11:4 Removed trailing space in v~: Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu bora zaidi kuliko Kaini. Kwa imani alishuhudiwa kuwa mwenye haki, Mungu mwenyewe akazishuhudia sadaka zake. Kwa imani bado ananena ingawa amekufa.

HEB 11:5 Removed trailing space in v~: Kwa imani Enoki alitwaliwa kutoka maisha haya, kiasi kwamba hakuonja mauti. Hakuonekana, kwa sababu Mungu alikuwa amemchukua. Kwa kuwa kabla hajatwaliwa alikuwa ameshuhudiwa kuwa ni mtu aliyempendeza Mungu.

HEB 11:6 Removed trailing space in v~: Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu, kwa maana yeyote anayemjia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko na ya kuwa huwapa thawabu wale wamtafutao kwa bidii.

HEB 11:7 Removed trailing space in v~: Kwa imani, Noa alipoonywa na Mungu kuhusu mambo ambayo hayajaonekana bado, kwa kumcha Mungu alitengeneza safina ili kuokoa jamaa yake. Kwa imani yake aliuhukumu ulimwengu na akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.

HEB 11:7 Removed trailing space in s1: Imani Ya Abrahamu

HEB 11:8 Removed trailing space in v~: Kwa imani Abrahamu, alipoitwa aende mahali ambapo Mungu angempa baadaye kuwa urithi, alitii na akaenda, ingawa hakujua anakokwenda.

HEB 11:9 Removed trailing space in v~: Kwa imani alifanya maskani yake katika nchi ya ahadi kama mgeni katika nchi ya kigeni; aliishi katika mahema, kama Isaki na Yakobo walivyofanya, waliokuwa pia warithi pamoja naye wa ahadi ile ile.

HEB 11:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana alikuwa akiutazamia mji wenye misingi ya kudumu ambao mwenye kuubuni na kuujenga ni Mungu.

HEB 11:11 Removed trailing space in v~: Kwa imani Abrahamu, ingawa alikuwa mzee wa umri, naye Sara mwenyewe aliyekuwa tasa, alipokea uwezo wa kuwa baba kwa sababu alimhesabu Mungu aliyemwahidi kuwa mwaminifu na kwamba angetimiza ahadi yake.

HEB 11:12 Removed trailing space in v~: Hivyo kutokana na huyu huyu ambaye alikuwa sawa na mfu, wakazaliwa wazao wengi kama nyota za mbinguni na kama mchanga wa pwani usiohesabika.

HEB 11:13 Removed trailing space in v~: Watu hawa wote wakafa katika imani bila kuzipokea zile ahadi, lakini waliziona kwa mbali na kuzishangilia. Nao walikubali kwamba walikuwa wageni na wasiokuwa na maskani hapa duniani.

HEB 11:14 Removed trailing space in v~: Watu wasemao mambo kama haya, wanaonyesha wazi kwamba wanatafuta nchi yao wenyewe.

HEB 11:15 Removed trailing space in v~: Kwa kweli kama wangekuwa wanafikiri kuhusu nchi waliyoiacha, wangalipata nafasi ya kurudi huko.

HEB 11:16 Removed trailing space in v~: Lakini badala yake walitamani nchi iliyo bora zaidi, yaani nchi ya mbinguni. Kwa hiyo Mungu haoni aibu kuitwa Mungu wao, kwa kuwa amekwisha kuandaa mji kwa ajili yao.

HEB 11:17 Removed trailing space in v~: Kwa imani Abrahamu, alipojaribiwa na Mungu, alimtoa Isaki kuwa dhabihu. Yeye aliyekuwa amezipokea ahadi za Mungu alikuwa tayari kumtoa mwanawe, aliyekuwa mwanawe pekee awe dhabihu.

HEB 11:18 Removed trailing space in v~: Ingawa Mungu alikuwa amemwambia Abrahamu, “Uzao wako utahesabiwa kupitia kwa Isaki,”

HEB 11:19 Removed trailing space in v~: Abrahamu alihesabu kuwa Mungu angaliweza kumfufua Isaki kutoka kwa wafu. Na kwa kusema kwa mfano, alimpata tena Isaki kutoka kwa wafu.

HEB 11:20 Removed trailing space in v~: Kwa imani Isaki alimbariki Yakobo na Esau kuhusu maisha yao ya baadaye.

HEB 11:21 Removed trailing space in v~: Kwa imani Yakobo alipokuwa anakufa, alimbariki kila mmoja wa mtoto wa Yosefu, akamwabudu Mungu akiwa ameegemea juu ya kichwa cha fimbo yake.

HEB 11:22 Removed trailing space in v~: Kwa imani, Yosefu alipokaribia mwisho wa maisha yake, alinena habari za kutoka kwa wana wa Israeli huko Misri na akatoa maagizo kuhusu mifupa yake.

HEB 11:22 Removed trailing space in s1: Imani Ya Mose

HEB 11:23 Removed trailing space in v~: Kwa imani, wazazi wa Mose walimficha kwa miezi mitatu baada ya kuzaliwa, kwa sababu waliona kuwa si mtoto wa kawaida, wala hawakuiogopa amri ya mfalme.

HEB 11:24 Removed trailing space in v~: Kwa imani, Mose alipokuwa mtu mzima, alikataa kuitwa mwana wa binti Farao.

HEB 11:25 Removed trailing space in v~: Akachagua kupata mateso pamoja na watu wa Mungu kuliko kujifurahisha kwa anasa za dhambi kwa kitambo kidogo tu.

HEB 11:26 Removed trailing space in v~: Aliona kushutumiwa kwa ajili ya Kristo ni utajiri mkubwa zaidi kuliko hazina za Misri, maana alikuwa anatazamia kupata thawabu baadaye.

HEB 11:27 Removed trailing space in v~: Kwa imani Mose aliondoka Misri bila kuogopa ghadhabu ya mfalme. Alivumilia kwa sababu alimwona yeye asiyeonekana kwa macho.

HEB 11:28 Removed trailing space in v~: Kwa imani akaadhimisha Pasaka na kunyunyiza damu, ili yule mwenye kuwaangamiza wazaliwa wa kwanza asiwaguse wazaliwa wa Israeli.

HEB 11:28 Removed trailing space in s1: Imani Ya Mashujaa Wengine Wa Israeli

HEB 11:29 Removed trailing space in v~: Kwa imani, watu walivuka Bahari ya Shamu\f + \fr 11:29 \ft Yaani Bahari ya Mafunjo.\f* kama vile juu ya nchi kavu; lakini Wamisri walipojaribu kufanya hivyo, walitoswa ndani ya maji.

HEB 11:30 Removed trailing space in v~: Kwa imani kuta za Yeriko zilianguka, baada ya watu kuzizunguka kwa siku saba.

HEB 11:31 Removed trailing space in v~: Kwa imani, Rahabu, yule kahaba, hakuangamizwa pamoja na wale waliomwasi Mungu, kwa kuwa aliwakaribisha wale wapelelezi.

HEB 11:32 Removed trailing space in v~: Basi niseme nini zaidi? Sina wakati wa kusema habari za Gideoni, Baraka, Samsoni, Yeftha, Daudi, Samweli na manabii,

HEB 11:33 Removed trailing space in v~: ambao kwa imani walishinda milki za wafalme, walitekeleza haki, na wakapokea ahadi za Mungu; walifunga vinywa vya simba,

HEB 11:34 Removed trailing space in v~: wakazima makali ya miali ya moto, na wakaepuka kuuawa kwa upanga; udhaifu wao uligeuka kuwa nguvu; pia walikuwa hodari vitani na kuyafukuza majeshi ya wageni.

HEB 11:35 Removed trailing space in v~: Wanawake walipokea watu wao waliokuwa wamekufa, wakafufuliwa. Lakini wengine waliteswa, nao wakakataa kufunguliwa, ili wapate ufufuo ulio bora zaidi.

HEB 11:36 Removed trailing space in v~: Wengine walidhihakiwa na kupigwa, hata walifungwa minyororo na kutiwa gerezani.

HEB 11:37 Removed trailing space in v~: Walipigwa kwa mawe; walipasuliwa vipande viwili kwa msumeno; waliuawa kwa upanga. Walizungukazunguka wakiwa wamevaa ngozi za kondoo na mbuzi, wakiwa maskini, wakiteswa na kutendwa mabaya,

HEB 11:38 Removed trailing space in v~: watu ambao ulimwengu haukustahili kuwa nao. Walizunguka majangwani na milimani, katika mapango na katika mahandaki ardhini.

HEB 11:39 Removed trailing space in v~: Hawa wote walishuhudiwa vyema kwa sababu ya imani yao, lakini hakuna hata mmoja wao aliyepokea yale yaliyoahidiwa.

HEB 11:40 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Mungu alikuwa ametangulia kutuwekea kitu kilicho bora zaidi ili wao wasikamilishwe pasipo sisi.

HEB 12:0 Extra space after chapter number

HEB 12:0 Removed trailing space in c: 12

HEB 12:0 Removed trailing space in s1: Mungu Huwaadibisha Wanawe

HEB 12:1 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii, kwa kuwa tumezungukwa na wingu kubwa namna hii la mashahidi, basi na tuweke kando kila kitu kinachotuzuia na ile dhambi inayotuzinga kwa urahisi, nasi tupige mbio kwa saburi katika yale mashindano yaliyowekwa kwa ajili yetu.

HEB 12:2 Removed trailing space in v~: Basi na tumtazame sana Yesu mwanzilishi na mkamilishaji wa imani yetu, yeye ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake alistahimili msalaba, bila kujali aibu ya huo msalaba, naye ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.

HEB 12:3 Removed trailing space in v~: Mtafakarini sana yeye aliyestahimili upinzani mkuu namna hii kutoka kwa watu wenye dhambi, ili kwamba msije mkachoka na kukata tamaa.

HEB 12:4 Removed trailing space in v~: Katika kushindana kwenu dhidi ya dhambi, bado hamjapigana kiasi cha kumwaga damu yenu.

HEB 12:5 Removed trailing space in v~: Nanyi mmesahau yale maneno ya kuwaonya yanayowataja ninyi kuwa wana, yakisema:

HEB 12:5 Removed trailing space in p~: “Mwanangu, usidharau adhabu ya Bwana,

HEB 12:5 Removed trailing space in p~: wala usikate tamaa akikukemea,

HEB 12:6 Removed trailing space in v~: kwa sababu Bwana huwaadibisha wale awapendao,

HEB 12:6 Removed trailing space in p~: na humwadhibu kila mmoja

HEB 12:6 Removed trailing space in p~: anayemkubali kuwa mwana.”

HEB 12:7 Removed trailing space in v~: Vumilieni taabu kwa ajili ya kufunzwa adabu. Mungu anawatendea ninyi kama watoto wake, kwa maana ni mtoto yupi asiyeadibishwa na mzazi wake?

HEB 12:8 Removed trailing space in v~: Kama hakuna kuadibishwa (ambalo ni fungu la watoto wote), basi ninyi ni watoto wa haramu wala si watoto halali.

HEB 12:9 Removed trailing space in v~: Tena, sisi sote tunao baba wa kimwili, waliotuadibisha nasi tukawaheshimu kwa ajili ya hilo. Je, si inatupasa kujinyenyekeza zaidi kwa Baba wa roho zetu ili tuishi?

HEB 12:10 Removed trailing space in v~: Baba zetu walituadibisha kwa kitambo kidogo kama wao wenyewe walivyoona vyema, lakini Mungu hutuadibisha kwa faida yetu ili tupate kushiriki utakatifu wake.

HEB 12:11 Removed trailing space in v~: Kuadibishwa wakati wowote hakuonekani kuwa kitu cha kufurahisha bali chenye maumivu kinapotekelezwa. Lakini baadaye huzaa matunda ya haki na amani kwa wale waliofunzwa nayo.

HEB 12:12 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, itieni nguvu mikono yenu iliyo dhaifu na magoti yenu yaliyolegea.

HEB 12:13 Removed trailing space in v~: Sawazisheni mapito ya miguu yenu, ili kitu kilicho kiwete kisidhoofishwe bali kiponywe.

HEB 12:13 Removed trailing space in s1: Onyo Dhidi Ya Kuikataa Neema Ya Mungu

HEB 12:14 Removed trailing space in v~: Tafuteni kwa bidii kuwa na amani na watu wote na huo utakatifu, ambao bila kuwa nao hakuna mtu atakayemwona Bwana.

HEB 12:15 Removed trailing space in v~: Angalieni sana mtu yeyote asiikose neema ya Mungu na kwamba shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.

HEB 12:16 Removed trailing space in v~: Angalieni miongoni mwenu asiwepo mwasherati au mtu asiyemcha Mungu kama Esau, ambaye kwa ajili ya mlo mmoja aliuza haki ya uzaliwa wake wa kwanza.

HEB 12:17 Removed trailing space in v~: Baadaye kama mnavyofahamu, alipotaka kurithi ile baraka, alikataliwa, maana hakupata nafasi ya kutubu, ingawa aliitafuta kwa machozi.

HEB 12:18 Removed trailing space in v~: Hamjaufikia mlima ule uwezao kuguswa na ambao unawaka moto; wala kwenye giza, utusitusi na dhoruba;

HEB 12:19 Removed trailing space in v~: kwenye mlio wa tarumbeta, au kwenye sauti isemayo maneno ya kutisha kiasi ambacho wale walioisikia waliomba wasiambiwe neno jingine zaidi,

HEB 12:20 Removed trailing space in v~: kwa sababu hawangeweza kustahimili neno lile lililoamriwa: “Hata kama mnyama atagusa mlima huu, atapigwa mawe.”

HEB 12:21 Removed trailing space in v~: Waliyoyaona yalikuwa ya kutisha kiasi kwamba Mose alisema, “Ninatetemeka kwa hofu.”

HEB 12:22 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi mmekuja Mlima Sayuni, Yerusalemu ya mbinguni, mji wa Mungu aliye hai. Mmekuja penye kusanyiko kubwa la malaika maelfu kwa maelfu wasiohesabika wanaoshangilia,

HEB 12:23 Removed trailing space in v~: kwenye kanisa la wazaliwa wa kwanza wa Mungu, ambao majina yao yameandikwa mbinguni. Mmekuja kwa Mungu, mhukumu wa watu wote, kwenye roho za wenye haki waliokamilishwa,

HEB 12:24 Removed trailing space in v~: kwa Yesu mpatanishi wa agano jipya, na kwa damu iliyonyunyizwa, ile inenayo mambo mema kuliko damu ya Abeli.

HEB 12:25 Removed trailing space in v~: Angalieni, msije mkamkataa yeye anenaye. Ikiwa wao hawakuepuka adhabu walipomkataa yeye aliyewaonya hapa duniani, sisi je, tutaokokaje tusipomsikiliza yeye anayetuonya kutoka mbinguni?

HEB 12:26 Removed trailing space in v~: Wakati ule sauti yake ilitetemesha dunia, lakini sasa ameahidi, “Kwa mara moja tena nitatetemesha si nchi tu bali na mbingu pia.”

HEB 12:27 Removed trailing space in v~: Maneno haya “kwa mara moja tena” yanaonyesha kuondoshwa kwa vile vitu vinavyoweza kutetemeshwa, yaani vile vitu vilivyoumbwa, kwa kusudi vile tu visivyoweza kutetemeshwa vibaki.

HEB 12:28 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, kwa kuwa tunapokea ufalme ambao hauwezi kutetemeshwa, basi na tuwe na shukrani, na hivyo tumwabudu Mungu kwa namna inayompendeza, kwa unyenyekevu na uchaji,

HEB 12:29 Removed trailing space in v~: kwa kuwa “Mungu wetu ni moto ulao.”

HEB 13:0 Extra space after chapter number

HEB 13:0 Removed trailing space in c: 13

HEB 13:0 Removed trailing space in s1: Huduma Inayompendeza Mungu

HEB 13:1 Removed trailing space in v~: Endeleeni kupendana kama ndugu.

HEB 13:2 Removed trailing space in v~: Msisahau kuwakaribisha wageni, kwa kuwa kwa kufanya hivyo, watu wengine waliwakaribisha malaika pasipo kujua.

HEB 13:3 Removed trailing space in v~: Wakumbukeni wale waliofungwa gerezani kana kwamba ninyi mmefungwa pamoja nao. Pia wakumbukeni wale wanaotendewa vibaya, kana kwamba ni ninyi wenyewe mnateswa.

HEB 13:4 Removed trailing space in v~: Ndoa na iheshimiwe na watu wote, nayo malazi yawe safi, kwa kuwa Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati wote.

HEB 13:5 Removed trailing space in v~: Yalindeni maisha yenu msiwe na tabia ya kupenda fedha, bali mridhike na vile mlivyo navyo, kwa sababu Mungu amesema,

HEB 13:5 Removed trailing space in p~: “Kamwe sitakuacha,

HEB 13:5 Removed trailing space in p~: wala sitakupungukia.”

HEB 13:6 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo tunaweza kusema kwa ujasiri,

HEB 13:6 Removed trailing space in p~: “Bwana ni msaada wangu; sitaogopa.

HEB 13:6 Removed trailing space in p~: Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”

HEB 13:7 Removed trailing space in v~: Wakumbukeni viongozi wenu, wale waliowaambia neno la Mungu. Angalieni matokeo ya mwenendo wa maisha yao mkaiige imani yao.

HEB 13:8 Removed trailing space in v~: Yesu Kristo ni yeye yule jana, leo na hata milele.

HEB 13:9 Removed trailing space in v~: Msichukuliwe na kila aina ya mafundisho ya kigeni. Ni vyema mioyo yenu iimarishwe kwa neema, wala si kwa sheria kuhusu utaratibu wa vyakula, ambavyo havina faida kwa wale wanaozishika hizo sheria.

HEB 13:10 Removed trailing space in v~: Sisi tunayo madhabahu ambayo wale wanaohudumu katika hema hawana haki ya kula vile vitu vilivyowekwa juu yake.

HEB 13:11 Removed trailing space in v~: Kuhani mkuu huchukua damu ya wanyama na kuiingiza Patakatifu pa Patakatifu, kama sadaka ya dhambi, lakini miili ya hao wanyama huteketezwa nje ya kambi.

HEB 13:12 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, Yesu naye aliteswa nje ya lango la mji ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe.

HEB 13:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, basi na tumwendee nje ya kambi, tukiichukua aibu aliyobeba.

HEB 13:14 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hapa hatuna mji udumuo, bali tunautafuta ule ujao.

HEB 13:15 Removed trailing space in v~: Basi kwa njia ya Yesu, tuzidi kumtolea Mungu dhabihu ya sifa, yaani matunda ya midomo inayolikiri Jina lake.

HEB 13:16 Removed trailing space in v~: Na msiache kutenda mema na kushirikiana vile vitu mlivyo navyo, kwa kuwa dhabihu kama hizo ndizo zinazompendeza Mungu.

HEB 13:17 Removed trailing space in v~: Watiini viongozi wenu na kujinyenyekeza chini ya mamlaka yao. Kwa maana wao wanakesha kwa ajili yenu kama watu watakaopaswa kutoa hesabu. Watiini ili wafanye kazi yao kwa furaha, wala si kama mzigo, maana hiyo haitakuwa na faida kwenu.

HEB 13:18 Removed trailing space in v~: Tuombeeni. Tuna hakika kuwa tunayo dhamiri safi na shauku ya kuishi kwa uadilifu kwa kila njia.

HEB 13:19 Removed trailing space in v~: Ninawasihi zaidi mniombee ili nipate kurudishwa kwenu upesi.

HEB 13:19 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Kuwatakia Baraka

HEB 13:20 Removed trailing space in v~: Basi Mungu wa amani, ambaye kwa damu ya Agano la milele alimleta tena kutoka kwa wafu Bwana wetu Yesu, yule Mchungaji Mkuu wa kondoo,

HEB 13:21 Removed trailing space in v~: awafanye ninyi wakamilifu mkiwa mmekamilishwa katika kila jambo jema ili mpate kutenda mapenzi yake, naye atende ndani yetu kile kinachompendeza machoni Pake, kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu una yeye milele na milele. Amen.

HEB 13:21 Removed trailing space in s1: Maneno Ya Mwisho Na Salamu

HEB 13:22 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, nawasihi mchukuliane na maneno yangu ya maonyo, kwa kuwa nimewaandikia waraka mfupi tu.

HEB 13:23 Removed trailing space in v~: Nataka ninyi mjue kwamba ndugu yetu Timotheo amefunguliwa kutoka gerezani. Akifika mapema, nitakuja pamoja naye kuwaona.

HEB 13:24 Removed trailing space in v~: Wasalimuni viongozi wenu wote na watakatifu wote. Wale wa kutoka Italia wanawasalimu.

HEB 13:25 Removed trailing space in v~: Neema iwe nanyi nyote. Amen.

JAM -1:0 Removed trailing space in id: JAS - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

JAM -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

JAM -1:2 Removed trailing space in h: Yakobo

JAM -1:3 Removed trailing space in toc1: Yakobo

JAM -1:4 Removed trailing space in toc2: Yakobo

JAM -1:5 Removed trailing space in toc3: Yak

JAM -1:6 Removed trailing space in mt1: Yakobo

JAM 1:0 Extra space after chapter number

JAM 1:0 Removed trailing space in c: 1

JAM 1:1 Removed trailing space in v~: Yakobo, mtumwa wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo:

JAM 1:1 Removed trailing space in p~: Kwa makabila kumi na mawili yaliyotawanyika ulimwenguni:

JAM 1:1 Removed trailing space in p~: Salamu.

JAM 1:1 Removed trailing space in s1: Imani Na Hekima

JAM 1:2 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, hesabuni kuwa ni furaha tupu mnapopatwa na majaribu mbalimbali,

JAM 1:3 Removed trailing space in v~: kwa sababu mnajua ya kuwa kujaribiwa kwa imani yenu huleta saburi.

JAM 1:4 Removed trailing space in v~: Saburi na iwe na kazi timilifu, ili mpate kuwa wakamilifu, mmekamilishwa, bila kupungukiwa na kitu chochote.

JAM 1:5 Removed trailing space in v~: Kama mtu yeyote miongoni mwenu amepungukiwa na hekima na amwombe Mungu, yeye awapaye watu wote kwa ukarimu wala hana kinyongo, naye atapewa.

JAM 1:6 Removed trailing space in v~: Lakini anapoomba, lazima aamini wala asiwe na shaka, kwa sababu mtu aliye na shaka ni kama wimbi la bahari, lililochukuliwa na upepo na kutupwa huku na huku.

JAM 1:7 Removed trailing space in v~: Mtu kama huyo asidhani ya kuwa atapata kitu chochote kutoka kwa Bwana.

JAM 1:8 Removed trailing space in v~: Yeye ni mtu mwenye nia mbili, mwenye kusitasita katika njia zake zote.

JAM 1:8 Removed trailing space in s1: Umaskini Na Utajiri

JAM 1:9 Removed trailing space in v~: Ndugu asiye na cheo kikubwa yampasa ajivunie hali hiyo maana ametukuzwa.

JAM 1:10 Removed trailing space in v~: Lakini yeye aliye tajiri afurahi kwa kuwa ameshushwa, kwa sababu atatoweka kama ua la shambani.

JAM 1:11 Removed trailing space in v~: Kwa maana jua kali lenye kuchoma huchomoza na kuliunguza, likayakausha majani, na ua lake likapukutika, nao uzuri wake huharibika. Vivyo hivyo tajiri naye atanyauka akiwa anaendelea na shughuli zake.

JAM 1:11 Removed trailing space in s1: Kujaribiwa

JAM 1:12 Removed trailing space in v~: Heri mtu anayevumilia wakati wa majaribu, kwa sababu akiisha kushinda hilo jaribio atapewa taji la uzima Mungu alilowaahidia wale wampendao.

JAM 1:13 Removed trailing space in v~: Mtu anapojaribiwa asiseme, “Ninajaribiwa na Mungu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu wala yeye hamjaribu mtu yeyote.

JAM 1:14 Removed trailing space in v~: Lakini kila mtu hujaribiwa wakati anapovutwa na kudanganywa na tamaa zake mwenyewe zilizo mbaya.

JAM 1:15 Removed trailing space in v~: Basi ile tamaa mbaya ikishachukua mimba, huzaa dhambi, nayo ile dhambi ikikomaa, huzaa mauti.

JAM 1:16 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu wapendwa, msidanganyike.

JAM 1:17 Removed trailing space in v~: Kila kitolewacho kilicho chema na kilicho kamili, hutoka juu, na hushuka kutoka kwa Baba wa mianga, ambaye kwake hakuna kubadilika, wala kivuli cha kugeukageuka.

JAM 1:18 Removed trailing space in v~: Kwa mapenzi yake mwenyewe alituzaa kwa neno la kweli, kusudi tuwe kama mazao ya kwanza katika viumbe vyake vyote.

JAM 1:18 Removed trailing space in s1: Kusikia Na Kutenda

JAM 1:19 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu wapendwa, fahamuni jambo hili: Kila mtu awe mwepesi wa kusikiliza, lakini asiwe mwepesi wa kusema wala wa kukasirika.

JAM 1:20 Removed trailing space in v~: Kwa maana hasira ya mwanadamu haitendi haki ya Mungu.

JAM 1:21 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ondoleeni mbali uchafu wote na uovu ambao umezidi kuwa mwingi, mkalipokee kwa unyenyekevu lile Neno lililopandwa ndani yenu ambalo laweza kuokoa nafsi zenu.

JAM 1:22 Removed trailing space in v~: Basi kuweni watendaji wa Neno wala msiwe wasikiaji tu, huku mkijidanganya nafsi zenu.

JAM 1:23 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama mtu ni msikiaji tu wa Neno wala hatendi kile linachosema, yeye ni kama mtu ajitazamaye uso wake kwenye kioo

JAM 1:24 Removed trailing space in v~: na baada ya kujiona alivyo, huenda zake na mara husahau jinsi alivyo.

JAM 1:25 Removed trailing space in v~: Lakini yeye anayeangalia kwa bidii katika sheria kamilifu, ile iletayo uhuru, naye akaendelea kufanya hivyo bila kusahau alichosikia, bali akalitenda, atabarikiwa katika kile anachofanya.

JAM 1:26 Removed trailing space in v~: Kama mtu akidhani ya kuwa anayo dini lakini hauzuii ulimi wake kwa hatamu, hujidanganya moyoni mwake, wala dini yake mtu huyo haifai kitu.

JAM 1:27 Removed trailing space in v~: Dini iliyo safi, isiyo na uchafu, inayokubalika mbele za Mungu Baba yetu, ndiyo hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika dhiki zao na kujilinda usitiwe madoa na dunia.

JAM 2:0 Extra space after chapter number

JAM 2:0 Removed trailing space in c: 2

JAM 2:0 Removed trailing space in s1: Onyo Kuhusu Upendeleo

JAM 2:1 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, kama waaminio katika imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, msiwe na upendeleo kwa watu.

JAM 2:2 Removed trailing space in v~: Kwa maana kama akija mtu katika kusanyiko lenu akiwa amevaa pete ya dhahabu na mavazi mazuri, pia akaingia mtu maskini mwenye mavazi yaliyochakaa,

JAM 2:3 Removed trailing space in v~: nanyi mkampa heshima yule aliyevaa mavazi mazuri na kumwambia, “Keti hapa mahali pazuri,” lakini yule maskini mkamwambia, “Wewe simama pale,” au “Keti hapa sakafuni karibu na miguu yangu,”

JAM 2:4 Removed trailing space in v~: je, hamjawabagua na kuwa mahakimu mioyoni mwenu mkihukumu kwa mawazo yenu maovu?

JAM 2:5 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, sikilizeni: Je, Mungu hakuwachagua wale walio maskini machoni pa ulimwengu kuwa matajiri katika imani na kuurithi Ufalme aliowaahidi wale wampendao?

JAM 2:6 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi mmemdharau yule aliye maskini. Je, hao matajiri si ndio wanaowadhulumu na kuwaburuta mahakamani?

JAM 2:7 Removed trailing space in v~: Je, si wao wanaolikufuru Jina lile lililo bora sana mliloitiwa?

JAM 2:8 Removed trailing space in v~: Kama kweli mnaitimiza ile sheria ya kifalme inayopatikana katika Maandiko isemayo, “Mpende jirani yako kama unavyoipenda nafsi yako,” mnafanya vyema.

JAM 2:9 Removed trailing space in v~: Lakini kama mnakuwa na upendeleo kwa watu, mnatenda dhambi, na sheria inawahukumu kuwa ninyi ni wakosaji.

JAM 2:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana mtu yeyote anayeishika sheria yote lakini akajikwaa katika kipengele kimoja tu, ana hatia ya kuivunja sheria yote.

JAM 2:11 Removed trailing space in v~: Kwa sababu yeye aliyesema, “Usizini,” alisema pia, “Usiue.” Basi kama huzini lakini unaua, umekuwa mvunjaji wa sheria.

JAM 2:12 Removed trailing space in v~: Hivyo semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria ile iletayo uhuru.

JAM 2:13 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hukumu bila huruma itatolewa kwa mtu yeyote asiyekuwa na huruma. Huruma huishinda hukumu.

JAM 2:13 Removed trailing space in s1: Imani Na Matendo

JAM 2:14 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, yafaa nini ikiwa mtu atadai kuwa anayo imani lakini hana matendo? Je, imani kama hiyo yaweza kumwokoa?

JAM 2:15 Removed trailing space in v~: Ikiwa ndugu yako au dada hana mavazi wala chakula,

JAM 2:16 Removed trailing space in v~: mmoja wenu akamwambia, “Enenda zako kwa amani, ukaote moto na kushiba,” pasipo kumpatia yale mahitaji ya mwili aliyopungukiwa, yafaa nini?

JAM 2:17 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, imani peke yake kama haikuambatana na matendo, imekufa.

JAM 2:18 Removed trailing space in v~: Lakini mtu mwingine atasema, “Wewe unayo imani; mimi ninayo matendo.”

JAM 2:18 Removed trailing space in p~: Nionyeshe imani yako pasipo matendo nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo.

JAM 2:19 Removed trailing space in v~: Unaamini kwamba kuna Mungu mmoja. Vyema! Hata mashetani yanaamini hivyo na kutetemeka.

JAM 2:20 Removed trailing space in v~: Ewe mpumbavu! Je, wataka kujua kwamba imani bila matendo haifai kitu?

JAM 2:21 Removed trailing space in v~: Je, Abrahamu baba yetu hakuhesabiwa haki kwa kile alichotenda, alipomtoa mwanawe Isaki madhabahuni?

JAM 2:22 Removed trailing space in v~: Unaona jinsi ambavyo imani yake na matendo yake vilikuwa vinatenda kazi pamoja, nayo imani yake ikakamilishwa na kile alichotenda.

JAM 2:23 Removed trailing space in v~: Kwa njia hiyo yakatimizwa yale Maandiko yasemayo, “Abrahamu alimwamini Mungu na ikahesabiwa kwake kuwa haki,” naye akaitwa rafiki wa Mungu.

JAM 2:24 Removed trailing space in v~: Mnaona ya kwamba mtu huhesabiwa haki kwa yale anayotenda wala si kwa imani peke yake.

JAM 2:25 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, hata Rahabu, yule kahaba, hakuhesabiwa haki kwa yale aliyotenda alipowapokea wale wapelelezi na kuwaambia waende njia nyingine?

JAM 2:26 Removed trailing space in v~: Kama vile ambavyo mwili pasipo roho umekufa, kadhalika nayo imani pasipo matendo imekufa.

JAM 3:0 Extra space after chapter number

JAM 3:0 Removed trailing space in c: 3

JAM 3:0 Removed trailing space in s1: Kuufuga Ulimi

JAM 3:1 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, msiwe walimu wengi, kwa maana mnafahamu kwamba sisi tufundishao tutahukumiwa vikali zaidi.

JAM 3:2 Removed trailing space in v~: Sisi sote tunajikwaa katika mambo mengi. Ikiwa mtu yeyote hakosei kamwe katika yale anayosema, yeye ni mkamilifu, naye anaweza kuuzuia pia na mwili wake wote.

JAM 3:3 Removed trailing space in v~: Tunapotia lijamu kwenye vinywa vya farasi ili kuwafanya watutii, tunaweza kuigeuza miili yao yote.

JAM 3:4 Removed trailing space in v~: Au angalia pia meli, ingawa ni kubwa sana, nazo huchukuliwa na upepo mkali, lakini hugeuzwa kwa usukani mdogo sana, kokote anakotaka nahodha.

JAM 3:5 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo ulimi ni kiungo kidogo sana katika mwili, lakini hujivuna majivuno makuu. Fikirini jinsi moto mdogo unavyoweza kuteketeza msitu mkubwa!

JAM 3:6 Removed trailing space in v~: Ulimi pia ni moto, ndio ulimwengu wa uovu kati ya viungo vya mwili. Ulimi huutia mwili wote wa mtu unajisi na kuuwasha moto mfumo mzima wa maisha yake, nao wenyewe huchomwa moto wa jehanamu.

JAM 3:7 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila aina ya wanyama, ndege, wanyama watambaao na viumbe vya baharini vinafugika na vimefugwa na binadamu,

JAM 3:8 Removed trailing space in v~: lakini hakuna mtu awezaye kuufuga ulimi. Ni uovu usiotulia, umejaa sumu iletayo mauti.

JAM 3:9 Removed trailing space in v~: Kwa ulimi tunamhimidi Bwana, yaani Baba yetu, na kwa huo twawalaani watu walioumbwa kwa mfano wa Mungu.

JAM 3:10 Removed trailing space in v~: Katika kinywa kile kile hutoka baraka na laana. Ndugu zangu, haistahili kuwa hivyo.

JAM 3:11 Removed trailing space in v~: Je, chemchemi yaweza kutoa katika tundu moja maji matamu na maji ya chumvi?

JAM 3:12 Removed trailing space in v~: Je, ndugu zangu, mtini waweza kuzaa zeituni, au mzabibu kuzaa tini? Wala chemchemi ya maji ya chumvi haiwezi kutoa maji matamu.

JAM 3:12 Removed trailing space in s1: Aina Mbili Za Hekima

JAM 3:13 Removed trailing space in v~: Ni nani aliye na hekima na ufahamu miongoni mwenu? Basi na aionyeshe hiyo kwa maisha yake mema na kwa matendo yake yaliyotendwa kwa unyenyekevu utokanao na hekima.

JAM 3:14 Removed trailing space in v~: Lakini ikiwa mna wivu na ni wenye chuki na ugomvi mioyoni mwenu, msijisifu kwa ajili ya hayo wala msiikatae kweli.

JAM 3:15 Removed trailing space in v~: Hekima ya namna hiyo haishuki kutoka mbinguni, bali ni ya kidunia, isiyo ya kiroho, na ya kishetani.

JAM 3:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana panapokuwa na wivu na ubinafsi, ndipo penye machafuko na uovu wa kila namna.

JAM 3:17 Removed trailing space in v~: Lakini hekima itokayo mbinguni kwanza ni safi, kisha inapenda amani, tena ni ya upole, iliyo tayari kusikiliza wengine kwa unyenyekevu, iliyojaa huruma na matunda mema, isiyopendelea mtu, tena isiyokuwa na unafiki.

JAM 3:18 Removed trailing space in v~: Mavuno ya haki hupandwa katika amani na wale wafanyao amani.

JAM 4:0 Extra space after chapter number

JAM 4:0 Removed trailing space in c: 4

JAM 4:0 Removed trailing space in s1: Jinyenyekezeni Kwa Mungu

JAM 4:1 Removed trailing space in v~: Ni kitu gani kinachosababisha mapigano na ugomvi miongoni mwenu? Je, haya hayatokani na tamaa zenu zinazoshindana ndani yenu?

JAM 4:2 Removed trailing space in v~: Mnatamani lakini hampati, kwa hiyo mwaua. Mwatamani kupata lakini hampati vile mnavyotaka, kwa hiyo mnajitia katika magomvi na mapigano. Mmepungukiwa kwa sababu hammwombi Mungu.

JAM 4:3 Removed trailing space in v~: Mnapoomba hampati kwa sababu mnaomba kwa nia mbaya, ili mpate kuvitumia hivyo mtakavyopata kwa tamaa zenu.

JAM 4:4 Removed trailing space in v~: Ninyi wanaume na wanawake wazinzi, hamjui ya kwamba urafiki na dunia ni uadui na Mungu? Kwa hiyo mtu yeyote anayetaka kuwa rafiki wa dunia hufanyika adui wa Mungu.

JAM 4:5 Removed trailing space in v~: Au mwadhani kwamba Andiko lasema bure kuwa huyo Roho ambaye Mungu amemweka ndani yetu hututamani kiasi cha kuona wivu?

JAM 4:6 Removed trailing space in v~: Lakini yeye hutupatia neema zaidi. Hii ndiyo sababu Andiko husema:

JAM 4:6 Removed trailing space in p~: “Mungu huwapinga wenye kiburi,

JAM 4:6 Removed trailing space in p~: lakini huwapa wanyenyekevu neema.”

JAM 4:7 Removed trailing space in v~: Basi mtiini Mungu. Mpingeni ibilisi, naye atawakimbia.

JAM 4:8 Removed trailing space in v~: Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu ninyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu ninyi wenye nia mbili.

JAM 4:9 Removed trailing space in v~: Huzunikeni, ombolezeni na kulia. Kicheko chenu na kigeuzwe kuwa kuomboleza, na furaha yenu kuwa huzuni.

JAM 4:10 Removed trailing space in v~: Jinyenyekezeni mbele za Bwana, naye atawainua.

JAM 4:10 Removed trailing space in s1: Onyo Kuhusu Kuhukumu Wengine

JAM 4:11 Removed trailing space in v~: Ndugu, msineneane mabaya ninyi kwa ninyi. Mtu yeyote anayesema mabaya dhidi ya ndugu yake au kumhukumu anasema dhidi ya sheria na kuihukumu. Unapoihukumu sheria, basi huishiki sheria bali umekuwa hakimu wa kuihukumu hiyo sheria.

JAM 4:12 Removed trailing space in v~: Yuko Mtoa sheria mmoja tu na yeye peke yake ndiye Hakimu, ndiye awezaye kuokoa au kuangamiza. Lakini wewe ni nani hata umhukumu jirani yako?

JAM 4:12 Removed trailing space in s1: Kujivuna Kwa Ajili Ya Kesho

JAM 4:13 Removed trailing space in v~: Basi sikilizeni ninyi msemao, “Leo au kesho tutakwenda katika mji huu ama ule tukae humo mwaka mmoja, tufanye biashara na kupata faida.”

JAM 4:14 Removed trailing space in v~: Lakini hamjui hata litakalotukia kesho. Maisha yenu ni nini? Ninyi ni ukungu ambao huonekana kwa kitambo kidogo kisha hutoweka.

JAM 4:15 Removed trailing space in v~: Badala yake, inawapasa kusema, “Kama Bwana akipenda, tutaishi na kufanya hili ama lile.”

JAM 4:16 Removed trailing space in v~: Kama ilivyo sasa, mnajisifu na kujigamba. Kujisifu kwa namna hiyo ni uovu.

JAM 4:17 Removed trailing space in v~: Basi mtu yeyote anayejua jema limpasalo kutenda, lakini asilitende, mtu huyo anatenda dhambi.

JAM 5:0 Extra space after chapter number

JAM 5:0 Removed trailing space in c: 5

JAM 5:0 Removed trailing space in s1: Onyo Kwa Matajiri

JAM 5:1 Removed trailing space in v~: Basi sikilizeni, ninyi matajiri, lieni na kuomboleza kwa ajili ya hali mbaya sana inayowajia.

JAM 5:2 Removed trailing space in v~: Utajiri wenu umeoza na mavazi yenu yameliwa na nondo.

JAM 5:3 Removed trailing space in v~: Dhahabu yenu na fedha yenu vimeliwa na kutu. Kutu yake itashuhudia dhidi yenu nayo itaila miili yenu kama vile moto. Mmejiwekea hazina kwa ajili ya siku za mwisho.

JAM 5:4 Removed trailing space in v~: Angalieni! Ule ujira wa vibarua waliolima mashamba yenu mliouzuia kwa hila unapiga kelele dhidi yenu na vilio vya wavunaji vimefika masikioni mwa Bwana Mwenye Nguvu Zote.

JAM 5:5 Removed trailing space in v~: Mmeishi duniani kwa anasa na kwa starehe, mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa.

JAM 5:6 Removed trailing space in v~: Mmewahukumu na kuwaua watu wenye haki, waliokuwa hawapingani nanyi.

JAM 5:6 Removed trailing space in s1: Uvumilivu Katika Mateso

JAM 5:7 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ndugu zangu, vumilieni hadi kuja kwake Bwana. Angalieni jinsi mkulima angojavyo ardhi itoe mavuno yake yaliyo ya thamani na jinsi anavyovumilia kwa ajili ya kupata mvua za kwanza na za mwisho.

JAM 5:8 Removed trailing space in v~: Ninyi nanyi vumilieni, tena simameni imara, kwa sababu kuja kwa Bwana kumekaribia.

JAM 5:9 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, msinungʼunikiane msije mkahukumiwa. Hakimu amesimama mlangoni!

JAM 5:10 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, waangalieni manabii walionena kwa Jina la Bwana, ili kuwa mfano wa uvumilivu katika kukabiliana na mateso.

JAM 5:11 Removed trailing space in v~: Kama mnavyojua, tunawahesabu kuwa wabarikiwa wale waliovumilia. Mmesikia habari za uvumilivu wake Ayubu na mmeona kile ambacho hatimaye Bwana alimtendea. Bwana ni mwingi wa huruma, na amejaa rehema.

JAM 5:12 Removed trailing space in v~: Zaidi ya yote, ndugu zangu, msiape, iwe kwa mbingu au kwa dunia, au kwa kitu kingine chochote. “Ndiyo” yenu na iwe ndiyo, na “Hapana” yenu iwe hapana, la sivyo mtahukumiwa.

JAM 5:12 Removed trailing space in s1: Maombi Ya Imani

JAM 5:13 Removed trailing space in v~: Je, mtu yeyote miongoni mwenu amepatwa na taabu? Basi inampasa aombe. Je, kuna yeyote mwenye furaha? Basi na aimbe nyimbo za kusifu.

JAM 5:14 Removed trailing space in v~: Je, kuna yeyote miongoni mwenu aliye mgonjwa? Basi inampasa awaite wazee wa kanisa wamwombee na kumpaka mafuta kwa Jina la Bwana.

JAM 5:15 Removed trailing space in v~: Kule kuomba kwa imani kutamwokoa huyo mgonjwa, naye Bwana atamwinua na kama ametenda dhambi, atasamehewa.

JAM 5:16 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo ungamianeni dhambi zenu ninyi kwa ninyi na kuombeana ili mpate kuponywa. Maombi ya mwenye haki yana nguvu tena yanafaa sana.

JAM 5:17 Removed trailing space in v~: Eliya alikuwa mwanadamu kama sisi. Akaomba kwa bidii kwamba mvua isinyeshe, nayo haikunyesha juu ya nchi kwa muda wa miaka mitatu na miezi sita.

JAM 5:18 Removed trailing space in v~: Kisha akaomba tena, nazo mbingu zikatoa mvua nayo ardhi ikatoa mazao yake.

JAM 5:19 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, yeyote miongoni mwenu akipotoka na kuicha kweli, naye akarejezwa na mtu mwingine,

JAM 5:20 Removed trailing space in v~: hamna budi kujua kwamba yeyote amrejezaye mwenye dhambi kutoka upotovu wake, ataiokoa roho ya huyo mwenye dhambi kutoka mauti na kusitiri wingi wa dhambi.

PE1 -1:0 Removed trailing space in id: 1PE - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

PE1 -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

PE1 -1:2 Removed trailing space in h: 1 Petro

PE1 -1:3 Removed trailing space in toc1: 1 Petro

PE1 -1:4 Removed trailing space in toc2: 1 Petro

PE1 -1:5 Removed trailing space in toc3: 1Pet

PE1 -1:6 Removed trailing space in mt1: 1 Petro

PE1 1:0 Extra space after chapter number

PE1 1:0 Removed trailing space in c: 1

PE1 1:0 Removed trailing space in s1: Salamu

PE1 1:1 Removed trailing space in v~: Petro, mtume wa Yesu Kristo:

PE1 1:1 Removed trailing space in p~: Kwa wateule wa Mungu, wageni katika ulimwengu, waliotawanyika kote katika Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithinia.

PE1 1:2 Removed trailing space in v~: Ni ninyi ambao mlichaguliwa tangu mwanzo na Mungu Baba kulingana na alivyotangulia kuwajua, kupitia kwa kazi ya utakaso wa Roho, katika utiifu kwa Yesu Kristo na kunyunyiziwa damu yake:

PE1 1:2 Removed trailing space in p~: Neema na amani ziwe kwenu kwa wingi.

PE1 1:2 Removed trailing space in s1: Tumaini Lenye Uzima

PE1 1:3 Removed trailing space in v~: Ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa rehema zake kuu ametuzaa sisi mara ya pili katika tumaini lenye uzima kupitia kwa kufufuka kwa Yesu Kristo kutoka kwa wafu,

PE1 1:4 Removed trailing space in v~: ili tuupate urithi usioharibika, usio na uchafu, ule usionyauka: uliotunzwa mbinguni kwa ajili yenu,

PE1 1:5 Removed trailing space in v~: ninyi ambao mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani, hadi uje ule wokovu ulio tayari kufunuliwa nyakati za mwisho.

PE1 1:6 Removed trailing space in v~: Katika hili mnafurahi sana, ingawa sasa kwa kitambo kidogo mmehuzunishwa kwa majaribu ya namna nyingi.

PE1 1:7 Removed trailing space in v~: Haya yamewajia ili kwamba imani yenu, iliyo ya thamani kuliko dhahabu ipoteayo, ingawa hujaribiwa kwa moto, ionekane kuwa halisi na imalizie katika sifa, utukufu na heshima wakati Yesu Kristo atadhihirishwa.

PE1 1:8 Removed trailing space in v~: Ingawa hamjamwona, mnampenda; tena ingawa sasa hammwoni, mnamwamini na kujawa na furaha isiyoneneka yenye utukufu usioelezeka.

PE1 1:9 Removed trailing space in v~: Maana mnaupokea wokovu wa roho zenu, ambao ndio lengo la imani yenu.

PE1 1:10 Removed trailing space in v~: Kwa habari ya wokovu huu, wale manabii waliosema kuhusu neema ambayo ingewajia ninyi, walitafuta kwa bidii na kwa uangalifu mkubwa,

PE1 1:11 Removed trailing space in v~: wakijaribu kujua ni wakati upi na katika mazingira gani ambayo Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao alionyesha, alipotabiri kuhusu mateso ya Kristo na utukufu ule ambao ungefuata.

PE1 1:12 Removed trailing space in v~: Walidhihirishiwa kwamba walikuwa hawajihudumii wao wenyewe, bali waliwahudumia ninyi, waliponena kuhusu mambo hayo, ambayo sasa yamehubiriwa kwenu na wale waliowahubiria ninyi Injili kwa Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni. Hata malaika wanatamani kuyafahamu mambo haya.

PE1 1:12 Removed trailing space in s1: Mwito Wa Kuishi Maisha Matakatifu

PE1 1:13 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, tayarisheni nia zenu kwa kazi; mwe na kiasi, mkitumainia kikamilifu ile neema mtakayopewa Yesu Kristo atakapodhihirishwa.

PE1 1:14 Removed trailing space in v~: Kama watoto watiifu, msifuate tamaa zenu mbaya wakati mlipoishi kwa ujinga.

PE1 1:15 Removed trailing space in v~: Bali kama yeye aliyewaita alivyo mtakatifu, nanyi kuweni watakatifu katika mwenendo wenu wote.

PE1 1:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana imeandikwa: “Kuweni watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu.”

PE1 1:17 Removed trailing space in v~: Kwa sababu mnamwita Baba ahukumuye kila mtu kulingana na matendo yake pasipo upendeleo, enendeni kwa hofu ya kumcha Mungu wakati wenu wa kukaa hapa duniani kama wageni.

PE1 1:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana mnafahamu kwamba mlikombolewa kutoka mwenendo wenu usiofaa ambao mliurithi kutoka kwa baba zenu, si kwa vitu viharibikavyo kama fedha na dhahabu,

PE1 1:19 Removed trailing space in v~: bali kwa damu ya thamani ya Kristo, yule Mwana-Kondoo asiye na dosari wala doa.

PE1 1:20 Removed trailing space in v~: Yeye alichaguliwa kabla ya kuwekwa kwa misingi ya ulimwengu, lakini akadhihirishwa katika siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.

PE1 1:21 Removed trailing space in v~: Kupitia kwake mmemwamini Mungu, aliyemfufua kutoka kwa wafu na akampa utukufu, ili imani yenu na tumaini lenu ziwe kwa Mungu.

PE1 1:22 Removed trailing space in v~: Basi kwa kuwa mmejitakasa nafsi zenu kwa kuitii ile kweli hata mkawa na upendo wa ndugu usio na unafiki, basi pendaneni kwa dhati kutoka moyoni.

PE1 1:23 Removed trailing space in v~: Kwa maana mmezaliwa upya, si kwa mbegu ile iharibikayo, bali kwa ile isiyoharibika, kupitia kwa neno la Mungu lililo hai na linalodumu milele.

PE1 1:24 Removed trailing space in v~: Maana,

PE1 1:24 Removed trailing space in p~: “Wanadamu wote ni kama majani,

PE1 1:24 Removed trailing space in p~: nao utukufu wao ni kama maua ya kondeni;

PE1 1:24 Removed trailing space in p~: majani hunyauka na maua huanguka,

PE1 1:25 Removed trailing space in v~: lakini neno la Bwana ladumu milele.”

PE1 1:25 Removed trailing space in p~: Hili ndilo neno lililohubiriwa kwenu.

PE1 2:0 Extra space after chapter number

PE1 2:0 Removed trailing space in c: 2

PE1 2:0 Removed trailing space in s1: Jiwe Lililo Hai Na Watu Waliochaguliwa

PE1 2:1 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, wekeni mbali nanyi uovu wote na udanganyifu wote, unafiki, wivu na masingizio ya kila namna.

PE1 2:2 Removed trailing space in v~: Kama watoto wachanga, waliozaliwa sasa, yatamanini maziwa ya kiroho yasiyochanganywa na kitu kingine chochote, ili kwa hayo mpate kukua katika wokovu,

PE1 2:3 Removed trailing space in v~: ikiwa kweli mmeonja ya kwamba Bwana ni mwema.

PE1 2:4 Removed trailing space in v~: Mnapokuja kwake, yeye aliye Jiwe lililo hai, lililokataliwa na wanadamu bali kwa Mungu ni teule na la thamani kwake,

PE1 2:5 Removed trailing space in v~: ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hai, mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho, ili mpate kuwa ukuhani mtakatifu, mkitoa dhabihu za kiroho zinazokubaliwa na Mungu kwa njia ya Yesu Kristo.

PE1 2:6 Removed trailing space in v~: Kwa maana imeandikwa katika Maandiko:

PE1 2:6 Removed trailing space in p~: “Tazama, naweka katika Sayuni,

PE1 2:6 Removed trailing space in p~: jiwe la pembeni teule lenye thamani,

PE1 2:6 Removed trailing space in p~: na yeyote atakayemwamini

PE1 2:6 Removed trailing space in p~: hataaibika kamwe.”

PE1 2:7 Removed trailing space in v~: Kwenu ninyi mnaoamini, jiwe hili ni la thamani. Lakini kwao wasioamini,

PE1 2:7 Removed trailing space in p~: “Jiwe walilolikataa waashi

PE1 2:7 Removed trailing space in p~: limekuwa jiwe kuu la pembeni,”

PE1 2:8 Removed trailing space in v~: tena,

PE1 2:8 Removed trailing space in p~: “Jiwe lenye kuwafanya watu wajikwae,

PE1 2:8 Removed trailing space in p~: na mwamba wa kuwaangusha.”

PE1 2:8 Removed trailing space in p~: Wanajikwaa kwa sababu hawakulitii lile neno, kama walivyowekewa tangu zamani.

PE1 2:9 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi ni taifa teule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu walio milki ya Mungu, mlioitwa ili kutangaza sifa zake yeye aliyewaita kutoka gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu.

PE1 2:10 Removed trailing space in v~: Mwanzo ninyi mlikuwa si taifa, lakini sasa ninyi ni taifa la Mungu. Mwanzo mlikuwa hamjapata rehema, lakini sasa mmepata rehema.

PE1 2:11 Removed trailing space in v~: Wapenzi, ninawasihi, mkiwa kama wageni na wapitaji hapa ulimwenguni, epukeni tamaa mbaya za mwili ambazo hupigana vita na roho zenu.

PE1 2:12 Removed trailing space in v~: Kuweni na mwenendo mzuri mbele ya watu wasiomjua Mungu, ili kama wanawasingizia kuwa watenda mabaya, wayaone matendo yenu mema nao wamtukuze Mungu siku atakapokuja kwetu.

PE1 2:12 Removed trailing space in s1: Kuwatii Wenye Mamlaka

PE1 2:13 Removed trailing space in v~: Kwa ajili ya Bwana, tiini kila mamlaka iliyowekwa na wanadamu: Kwa mfalme kwani ndiye aliye na mamlaka ya juu zaidi,

PE1 2:14 Removed trailing space in v~: au kwa maafisa aliowaweka, kwa kuwa mfalme amewatuma ili kuwaadhibu wale wanaokosa, na kuwapongeza wale watendao mema.

PE1 2:15 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni mapenzi ya Mungu kwamba kwa kutenda mema mnyamazishe maneno ya kijinga ya watu wapumbavu.

PE1 2:16 Removed trailing space in v~: Ishini kama watu huru, lakini msitumie uhuru wenu kama kisingizio cha kutenda uovu, bali ishini kama watumishi wa Mungu.

PE1 2:17 Removed trailing space in v~: Mheshimuni kila mtu ipasavyo: Wapendeni jamaa ya ndugu waumini, mcheni Mungu, mpeni heshima mfalme.

PE1 2:18 Removed trailing space in v~: Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu kwa heshima yote, si wale mabwana walio wema na wapole peke yao, bali pia wale walio wakali.

PE1 2:19 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni jambo la sifa kama mtu akivumilia anapoteswa kwa uonevu kwa ajili ya Mungu.

PE1 2:20 Removed trailing space in v~: Kwani ni faida gani kwa mtu kustahimili anapopigwa kwa sababu ya makosa yake? Lakini kama mkiteswa kwa sababu ya kutenda mema, nanyi mkastahimili, hili ni jambo la kusifiwa mbele za Mungu.

PE1 2:20 Removed trailing space in s1: Mfano Wa Mateso Ya Kristo

PE1 2:21 Removed trailing space in v~: Ninyi mliitwa kwa ajili ya haya, kwa sababu Kristo naye aliteswa kwa ajili yenu, akiwaachia kielelezo, ili mzifuate nyayo zake.

PE1 2:22 Removed trailing space in v~: “Yeye hakutenda dhambi,

PE1 2:22 Removed trailing space in p~: wala hila haikuonekana kinywani mwake.”

PE1 2:23 Removed trailing space in v~: Yeye alipotukanwa, hakurudisha matukano; alipoteswa, hakutishia, bali alijikabidhi kwa yeye ahukumuye kwa haki.

PE1 2:24 Removed trailing space in v~: Yeye mwenyewe alizichukua dhambi zetu katika mwili wake juu ya mti, ili tufe kwa mambo ya dhambi, bali tupate kuishi katika haki. Kwa kupigwa kwake, ninyi mmeponywa.

PE1 2:25 Removed trailing space in v~: Kwa maana mlikuwa mmepotea kama kondoo, lakini sasa mmerudi kwa Mchungaji na Mwangalizi wa roho zenu.

PE1 3:0 Extra space after chapter number

PE1 3:0 Removed trailing space in c: 3

PE1 3:0 Removed trailing space in s1: Mafundisho Kwa Wake Na Waume

PE1 3:1 Removed trailing space in v~: Kadhalika enyi wake, watiini waume zenu, ili kama kunao wasioamini lile neno, wapate kuvutwa na mwenendo wa wake zao pasipo neno,

PE1 3:2 Removed trailing space in v~: kwa kuuona utakatifu na uchaji wa Mungu katika maisha yenu.

PE1 3:3 Removed trailing space in v~: Kujipamba kwenu kusiwe kwa nje tu, kama vile kusuka nywele, kuvalia vitu vilivyofanyizwa kwa dhahabu na kwa mavazi.

PE1 3:4 Removed trailing space in v~: Badala yake, kujipamba kwenu kuwe katika utu wenu wa moyoni, yaani uzuri usioharibika wa roho ya upole na utulivu, ambayo ni ya thamani sana machoni pa Mungu.

PE1 3:5 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa hivi ndivyo walivyokuwa wakijipamba wanawake watakatifu wa zamani, waliomtumaini Mungu. Wao walikuwa ni watiifu kwa waume zao,

PE1 3:6 Removed trailing space in v~: kama Sara alivyomtii mumewe Abrahamu, hata akamwita bwana. Ninyi ni watoto wa Sara kama mkitenda yaliyo mema, bila kuogopa jambo lolote.

PE1 3:7 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili, nanyi wapeni heshima mkitambua ya kuwa wao ni wenzi walio dhaifu, na kama warithi pamoja nanyi wa kipawa cha neema cha uzima, ili kusiwepo na chochote cha kuzuia maombi yenu.

PE1 3:7 Removed trailing space in s1: Kuteseka Kwa Kutenda Mema

PE1 3:8 Removed trailing space in v~: Hatimaye, ninyi nyote kuweni na nia moja, wenye kuhurumiana, mkipendana kama ndugu, na mwe wasikitivu na wanyenyekevu.

PE1 3:9 Removed trailing space in v~: Msilipe ovu kwa ovu, au jeuri kwa jeuri, bali barikini, kwa maana hili ndilo mliloitiwa ili mpate kurithi baraka.

PE1 3:10 Removed trailing space in v~: Kwa maana,

PE1 3:10 Removed trailing space in p~: “Yeyote apendaye uzima

PE1 3:10 Removed trailing space in p~: na kuona siku njema,

PE1 3:10 Removed trailing space in p~: basi auzuie ulimi wake usinene mabaya,

PE1 3:10 Removed trailing space in p~: na midomo yake isiseme hila.

PE1 3:11 Removed trailing space in v~: Mtu huyo lazima aache uovu, akatende mema;

PE1 3:11 Removed trailing space in p~: lazima aitafute amani na kuifuatilia sana.

PE1 3:12 Removed trailing space in v~: Kwa maana macho ya Bwana

PE1 3:12 Removed trailing space in p~: huwaelekea wenye haki,

PE1 3:12 Removed trailing space in p~: na masikio yake yako makini

PE1 3:12 Removed trailing space in p~: kusikiliza maombi yao.

PE1 3:12 Removed trailing space in p~: Bali uso wa Bwana uko kinyume

PE1 3:12 Removed trailing space in p~: na watendao maovu.”

PE1 3:12 Removed trailing space in s1: Kuvumilia Mateso

PE1 3:13 Removed trailing space in v~: Basi, ni nani atakayewadhuru mkiwa wenye juhudi katika kutenda mema?

PE1 3:14 Removed trailing space in v~: Lakini mmebarikiwa hata kama ikiwalazimu kuteseka kwa ajili ya haki. “Msiogope vitisho vyao, wala msiwe na wasiwasi.”

PE1 3:15 Removed trailing space in v~: Bali mtakaseni Kristo kuwa Bwana mioyoni mwenu. Siku zote mwe tayari kumjibu mtu yeyote atakayewauliza kuhusu sababu ya tumaini lililomo ndani yenu. Lakini fanyeni hivyo kwa upole na kwa heshima,

PE1 3:16 Removed trailing space in v~: mkizitunza dhamiri zenu ziwe safi, ili wale wasemao mabaya dhidi ya mwenendo wenu mzuri katika Kristo waaibike kwa ajili ya masingizio yao.

PE1 3:17 Removed trailing space in v~: Kwa maana ni afadhali kupata mateso kwa ajili ya kutenda mema, kama kuteseka huko ndiyo mapenzi ya Mungu, kuliko kuteseka kwa kutenda maovu.

PE1 3:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa Kristo naye aliteswa mara moja tu kwa ajili ya dhambi, mwenye haki kwa ajili ya wasio haki, ili awalete ninyi kwa Mungu. Mwili wake ukauawa, lakini akafanywa hai katika Roho.

PE1 3:19 Removed trailing space in v~: Baada ya kufanywa hai, alikwenda na kuzihubiria roho zilizokuwa kifungoni:

PE1 3:20 Removed trailing space in v~: roho hizo ambazo zamani hazikutii, wakati ule uvumilivu wa Mungu ulipokuwa ukingoja katika siku za Noa, wakati wa kujenga safina, ambamo watu wachache tu, yaani watu wanane, waliokolewa ili wasiangamie kwa gharika.

PE1 3:21 Removed trailing space in v~: Nayo maji hayo ni kielelezo cha ubatizo ambao sasa unawaokoa ninyi pia: si kwa kuondoa uchafu kwenye mwili, bali kama ahadi ya dhamiri safi kwa Mungu, kwa njia ya ufufuo wa Yesu Kristo.

PE1 3:22 Removed trailing space in v~: Yeye ameingia mbinguni na amekaa mkono wa kuume wa Mungu; nao malaika, mamlaka na nguvu zote wametiishwa chini yake.

PE1 5:0 Extra space after chapter number

PE1 5:0 Removed trailing space in c: 5

PE1 5:0 Removed trailing space in s1: Kulichunga Kundi La Mungu

PE1 5:1 Removed trailing space in v~: Kwa wazee waliomo miongoni mwenu, nawasihi mimi nikiwa mzee mwenzenu, shahidi wa mateso ya Kristo, na mshiriki katika utukufu utakaofunuliwa:

PE1 5:2 Removed trailing space in v~: lichungeni kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mkitumika kama waangalizi, si kwa kulazimishwa bali kwa hiari, kama Mungu anavyowataka mwe; si kwa tamaa ya fedha, bali mlio na bidii katika kutumika.

PE1 5:3 Removed trailing space in v~: Msijifanye mabwana juu ya wale walio chini ya uangalizi wenu, bali kuweni vielelezo kwa hilo kundi.

PE1 5:4 Removed trailing space in v~: Naye Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtapokea taji ya utukufu isiyoharibika.

PE1 5:5 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, ninyi mlio vijana watiini wazee. Nanyi nyote imewapasa kujivika unyenyekevu kila mtu kwa mwenzake, kwa kuwa,

PE1 5:5 Removed trailing space in p~: “Mungu huwapinga wenye kiburi,

PE1 5:5 Removed trailing space in p~: lakini huwapa wanyenyekevu neema.”

PE1 5:6 Removed trailing space in v~: Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake.

PE1 5:7 Removed trailing space in v~: Mtwikeni yeye fadhaa zenu zote, kwa maana yeye hujishughulisha sana na mambo yenu.

PE1 5:8 Removed trailing space in v~: Mwe na kiasi na kukesha, maana adui yenu ibilisi huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mtu ili apate kummeza.

PE1 5:9 Removed trailing space in v~: Mpingeni, mkiwa thabiti katika imani, mkijua ya kwamba mateso kama hayo yanawapata ndugu zenu pote duniani.

PE1 5:10 Removed trailing space in v~: Nanyi mkiisha kuteswa kwa kitambo kidogo, Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele ndani ya Kristo, yeye mwenyewe atawarejesha na kuwatia nguvu, akiwaimarisha na kuwathibitisha.

PE1 5:11 Removed trailing space in v~: Uweza una yeye milele na milele. Amen.

PE1 5:11 Removed trailing space in s1: Salamu Za Mwisho

PE1 5:12 Removed trailing space in v~: Kwa msaada wa Silvano,\f + \fr 5:12 \ft Yaani Sila.\f* ambaye ninamhesabu kuwa ndugu mwaminifu, nimewaandikia waraka huu mfupi ili kuwatia moyo, na kushuhudia kwamba hii ni neema halisi ya Mungu. Simameni imara katika neema hiyo.

PE1 5:13 Removed trailing space in v~: Kanisa lililoko Babeli, lililochaguliwa pamoja nanyi, wanawasalimu; vivyo hivyo mwanangu Marko anawasalimu.

PE1 5:14 Removed trailing space in v~: Salimianeni kwa busu la upendo.

PE1 5:14 Removed trailing space in p~: Amani iwe nanyi nyote mlio katika Kristo.

PE2 -1:0 Removed trailing space in id: 2PE - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

PE2 -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

PE2 -1:2 Removed trailing space in h: 2 Petro

PE2 -1:3 Removed trailing space in toc1: 2 Petro

PE2 -1:4 Removed trailing space in toc2: 2 Petro

PE2 -1:5 Removed trailing space in toc3: 2Pet

PE2 -1:6 Removed trailing space in mt1: 2 Petro

PE2 1:0 Extra space after chapter number

PE2 1:0 Removed trailing space in c: 1

PE2 1:1 Removed trailing space in v~: Simoni Petro, mtumishi na mtume wa Yesu Kristo:

PE2 1:1 Removed trailing space in p~: Kwa wale ambao kwa njia ya haki ya Mungu na Mwokozi wetu Yesu Kristo mmepokea imani iliyo na thamani kama yetu:

PE2 1:2 Removed trailing space in v~: Neema na amani iwe kwenu kwa wingi katika kumjua Mungu na Yesu Bwana wetu.

PE2 1:2 Removed trailing space in s1: Wito Wa Mkristo Na Uteule

PE2 1:3 Removed trailing space in v~: Uweza wake wa uungu umetupatia mambo yote tunayohitaji kwa ajili ya uzima na uchaji wa Mungu, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe.

PE2 1:4 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hiyo, ametukirimia ahadi zake kuu na za thamani kupitia mambo haya, ili kupitia hayo mpate kuwa washiriki wa asili ya uungu, na kuokoka kutoka upotovu ulioko duniani unaosababishwa na tamaa mbaya.

PE2 1:5 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii hasa, jitahidini sana katika imani yenu kuongeza wema; na katika wema, maarifa;

PE2 1:6 Removed trailing space in v~: katika maarifa, kiasi; katika kiasi, saburi; katika saburi, utauwa;\f + \fr 1:6 \ft Maana yake kumcha Mungu.\f*

PE2 1:7 Removed trailing space in v~: katika utauwa, upendano wa ndugu; na katika upendano wa ndugu, upendo.

PE2 1:8 Removed trailing space in v~: Kwa maana haya yakiwa ndani yenu kwa wingi na kuzidi kuongezeka, yanawasaidia msikose bidii wala kutozaa matunda katika kumjua Bwana wetu Yesu Kristo.

PE2 1:9 Removed trailing space in v~: Lakini mtu yeyote asipokuwa na mambo haya haoni mbali, na ni kipofu, naye amesahau kule kutakaswa kutoka dhambi zake za zamani.

PE2 1:10 Removed trailing space in v~: Kwa hiyo, ndugu zangu, fanyeni bidii zaidi kuuthibitisha wito wenu na uteule wenu. Kwa maana mkifanya hivyo, hamtajikwaa kamwe,

PE2 1:11 Removed trailing space in v~: na mtajaliwa kwa ukarimu mwingi kuingia katika ufalme wa milele wa Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo.

PE2 1:11 Removed trailing space in s1: Unabii Wa Maandiko

PE2 1:12 Removed trailing space in v~: Hivyo nitawakumbusha mambo haya siku zote, hata ingawa mnayajua na mmethibitishwa katika kweli mliyo nayo.

PE2 1:13 Removed trailing space in v~: Naona ni vyema kuwakumbusha mambo haya wakati wote niwapo katika hema hili ambalo ni mwili wangu,

PE2 1:14 Removed trailing space in v~: kwa sababu najua ya kwamba hivi karibuni nitaliweka kando, kama vile Bwana wetu Yesu Kristo alivyoliweka wazi kwangu.

PE2 1:15 Removed trailing space in v~: Nami nitafanya kila juhudi kuona kwamba baada ya kuondoka kwangu mtaweza kuyakumbuka mambo haya siku zote.

PE2 1:16 Removed trailing space in v~: Tulipowafahamisha juu ya uweza na kuja kwa Bwana wetu Yesu Kristo, hatukufuata hadithi zilizotungwa kwa werevu, bali tulishuhudia kwa macho yetu ukuu wake.

PE2 1:17 Removed trailing space in v~: Alipewa heshima na utukufu kutoka kwa Mungu Baba, sauti ilipomjia katika Utukufu Mkuu, ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa naye sana.”

PE2 1:18 Removed trailing space in v~: Sisi wenyewe tuliisikia sauti hii ambayo ilitoka mbinguni, wakati tulipokuwa pamoja naye kwenye ule mlima mtakatifu.

PE2 1:19 Removed trailing space in v~: Nasi tunalo pia neno la hakika zaidi la unabii, ambalo mtafanya vyema mkiliangalia kwa bidii, kama vile nuru inavyongʼaa gizani, hadi kupambazuka na nyota ya asubuhi izuke mioyoni mwenu.

PE2 1:20 Removed trailing space in v~: Zaidi ya yote, yawapasa mjue kwamba hakuna unabii katika Maandiko uliofasiriwa kama alivyopenda nabii mwenyewe.

PE2 1:21 Removed trailing space in v~: Kwa maana unabii haukuja kamwe kwa mapenzi ya mwanadamu, bali watu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na Roho Mtakatifu.

PE2 2:0 Extra space after chapter number

PE2 2:0 Removed trailing space in c: 2

PE2 2:0 Removed trailing space in s1: Walimu Wa Uongo Na Uangamivu Wao

PE2 2:1 Removed trailing space in v~: Lakini pia waliinuka manabii wa uongo miongoni mwa watu, kama vile watakavyokuwako walimu wa uongo miongoni mwenu. Wataingiza mafundisho yasiyopatana na kweli kwa siri, hata kumkana Bwana wa pekee aliyewanunua, na hivyo kujiletea wenyewe maangamizi ya haraka.

PE2 2:2 Removed trailing space in v~: Hata hivyo, wengi watafuata njia zao za ufisadi, na kwa ajili yao njia ya kweli itatukanwa.

PE2 2:3 Removed trailing space in v~: Nao katika tamaa zao mbaya, walimu hawa watajipatia faida kwenu kwa hadithi walizotunga wenyewe. Lakini hukumu imekwisha kutangazwa dhidi yao tangu zamani, wala uangamivu wao haujalala usingizi.

PE2 2:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana, kama Mungu hakuwasamehe malaika walipotenda dhambi, bali aliwatupa kuzimu\f + \fr 2:4 \ft Kuzimu hapa linalotokana na neno Tartarus la Kiyunani; maana yake ni kule ndani sana katika mahali pa mateso kwa watu waliopotea.\f* katika vifungo vya giza wakae humo mpaka ije hukumu;

PE2 2:5 Removed trailing space in v~: kama hakuusamehe ulimwengu wa kale alipoleta gharika juu ya watu wale wasiomcha Mungu, bali akamhifadhi Noa, mhubiri wa haki, pamoja na watu wengine saba;

PE2 2:6 Removed trailing space in v~: kama aliihukumu miji ya Sodoma na Gomora kwa kuiteketeza kwa moto ikawa majivu, na kuifanya kuwa kielelezo kwa yale yatakayowapata wale wasiomcha Mungu;

PE2 2:7 Removed trailing space in v~: na kama alimwokoa Loti, mtu mwenye haki, ambaye alihuzunishwa na maisha machafu ya watu wapotovu

PE2 2:8 Removed trailing space in v~: (kwa sababu yale matendo mapotovu aliyoyaona na kuyasikia huyo mtu mwenye haki alipoishi miongoni mwao yalimhuzunisha siku baada ya siku):

PE2 2:9 Removed trailing space in v~: ikiwa hivyo ndivyo, basi Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa wamchao Mungu kutoka majaribu, na kuwaweka waasi katika adhabu hadi siku ya hukumu.

PE2 2:10 Removed trailing space in v~: Hii ni hakika hasa kwa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kudharau mamlaka.

PE2 2:10 Removed trailing space in p~: Kwa ushupavu na kwa kiburi, watu hawa hawaogopi kunena mabaya dhidi ya viumbe vya mbinguni.

PE2 2:11 Removed trailing space in v~: Lakini hata malaika, ingawa wana nguvu na uwezo zaidi, hawaleti mashtaka mabaya dhidi ya viumbe kama hao mbele za Bwana.

PE2 2:12 Removed trailing space in v~: Lakini watu hawa hukufuru katika mambo wasiyoyafahamu. Wao ni kama wanyama wasio na akili, viumbe wanaotawaliwa na hisia za mwili, waliozaliwa ili wakamatwe na kuchinjwa. Hawa nao kama wanyama wataangamizwa pia.

PE2 2:13 Removed trailing space in v~: Watalipwa madhara kwa ajili ya madhara waliyowatendea wengine. Huhesabu kuwa ni fahari kufanya karamu za ulevi na ulafi mchana peupe. Wao ni mawaa na dosari, wakijifurahisha katika anasa zao wanaposhiriki katika karamu zenu.

PE2 2:14 Removed trailing space in v~: Wakiwa na macho yaliyojaa uzinzi, kamwe hawaachi kutenda dhambi. Huwashawishi wale wasio imara. Wao ni hodari kwa kutamani; ni wana wa laana!

PE2 2:15 Removed trailing space in v~: Wameiacha njia iliyonyooka, wakapotoka na kuifuata njia ya Balaamu mwana wa Beori aliyependa mshahara wa uovu.

PE2 2:16 Removed trailing space in v~: Lakini kwa ajili ya uovu wake, alikemewa na punda, mnyama asiyejua kusema, akaongea akitumia sauti ya mwanadamu na kuzuia wazimu wa huyo nabii.

PE2 2:17 Removed trailing space in v~: Watu hawa ni chemchemi zisizo na maji, na ukungu upeperushwao na tufani. Giza nene limewekwa tayari kwa ajili yao.

PE2 2:18 Removed trailing space in v~: Kwa maana wao hunena maneno makuu mno ya kiburi cha bure, na kwa kuvutia tamaa mbaya za asili ya mwili, huwashawishi watu ambao ndipo tu wamejiondoa miongoni mwa wale wanaoishi katika ufisadi.

PE2 2:19 Removed trailing space in v~: Huwaahidi uhuru hao waliowanasa, wakati wao wenyewe ni watumwa wa ufisadi: kwa maana mtu ni mtumwa wa kitu chochote kinachomtawala.

PE2 2:20 Removed trailing space in v~: Kama wameukimbia upotovu wa dunia kwa kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo, kisha wakanaswa tena humo na kushindwa, hali yao ya mwisho ni mbaya zaidi kuliko ile ya kwanza.

PE2 2:21 Removed trailing space in v~: Ingelikuwa afadhali kwao kama wasingeliijua kamwe njia ya haki, kuliko kuijua kisha wakaiacha ile amri takatifu waliyokabidhiwa.

PE2 2:22 Removed trailing space in v~: Imetukia kwao sawasawa na ile mithali ya kweli isemayo: “Mbwa huyarudia matapiko yake mwenyewe,” tena, “Nguruwe aliyeoshwa hurudi kugaagaa matopeni.”

PE2 3:0 Extra space after chapter number

PE2 3:0 Removed trailing space in c: 3

PE2 3:0 Removed trailing space in s1: Ahadi Ya Kuja Kwa Bwana

PE2 3:1 Removed trailing space in v~: Wapenzi, huu ndio waraka wangu wa pili ninaowaandikia. Katika nyaraka hizi mbili ninajaribu kuziamsha nia zenu safi kwa mawazo makamilifu.

PE2 3:2 Removed trailing space in v~: Nataka ninyi mkumbuke maneno yaliyosemwa zamani na manabii watakatifu na ile amri ya Bwana na Mwokozi mliyopewa kupitia kwa mitume wenu.

PE2 3:3 Removed trailing space in v~: Kwanza kabisa, ni lazima mfahamu ya kwamba siku za mwisho watakuja watu wenye dhihaka, wakidhihaki na kuzifuata tamaa zao mbaya.

PE2 3:4 Removed trailing space in v~: Watasema, “Iko wapi ile ahadi ya kuja kwake? Tangu baba zetu walipofariki, kila kitu kinaendelea kama kilivyokuwa tangu mwanzo wa kuumbwa.”

PE2 3:5 Removed trailing space in v~: Lakini wao kwa makusudi hupuuza ukweli huu, ya kwamba kwa neno la Mungu mbingu zilikuwepo tangu zamani, nayo dunia ilifanyizwa kutoka ndani ya maji na kwa maji.

PE2 3:6 Removed trailing space in v~: Ulimwengu wa wakati ule uligharikishwa kwa hayo maji na kuangamizwa.

PE2 3:7 Removed trailing space in v~: Lakini kwa neno lilo hilo, mbingu za sasa na dunia zimewekwa akiba kwa ajili ya moto, zikihifadhiwa hadi siku ile ya hukumu na ya kuangamizwa kwa watu wasiomcha Mungu.

PE2 3:8 Removed trailing space in v~: Lakini wapenzi, msisahau neno hili: kwamba kwa Bwana, siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.

PE2 3:9 Removed trailing space in v~: Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama watu wengine wanavyokudhani kukawia. Badala yake, yeye anawavumilia ninyi, maana hataki mtu yeyote aangamie, bali kila mtu afikilie toba.

PE2 3:10 Removed trailing space in v~: Lakini siku ya Bwana itakuja kama mwizi. Ndipo mbingu zitatoweka kwa kishindo kikuu; navyo vitu vya asili vitateketezwa kwa moto, nayo dunia na kila kitu kilichomo ndani yake kitaunguzwa.

PE2 3:11 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa vitu vyote vitaharibiwa namna hii, je, ninyi imewapasa kuwa watu wa namna gani? Inawapasa kuishi maisha matakatifu na ya kumcha Mungu,

PE2 3:12 Removed trailing space in v~: mkingojea na kuhimiza kuja kwa hiyo siku ya Mungu. Siku hiyo italeta mbingu kuchomwa moto na kutoweka, na vitu vya asili vitayeyuka kwa moto.

PE2 3:13 Removed trailing space in v~: Lakini kufuatana na ahadi yake, sisi tunatazamia mbingu mpya na dunia mpya, ambayo haki hukaa ndani yake.

PE2 3:14 Removed trailing space in v~: Kwa sababu hii, wapenzi, kwa kuwa mnatazamia mambo haya, fanyeni bidii ili awakute katika amani, bila mawaa wala dosari.

PE2 3:15 Removed trailing space in v~: Hesabuni uvumilivu wa Bwana kuwa ni wokovu, kama vile ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima ile aliyopewa na Mungu.

PE2 3:16 Removed trailing space in v~: Huandika vivyo hivyo katika nyaraka zake zote, akizungumzia ndani yake mambo haya. Katika nyaraka zake kuna mambo mengine ambayo ni vigumu kuyaelewa, ambayo watu wajinga na wasio thabiti huyapotosha kwa maangamizi yao wenyewe, kama wapotoshavyo pia Maandiko mengine.

PE2 3:17 Removed trailing space in v~: Basi, ninyi wapenzi, kwa kuwa mmekwisha kujua mambo haya, jilindeni msije mkachukuliwa na kosa la watu hao waasi na kuanguka kutoka kwenye uthabiti wenu.

PE2 3:18 Removed trailing space in v~: Bali kueni katika neema na katika kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo. Utukufu una yeye sasa na milele! Amen.

JN1 2:0 Extra space after chapter number

JN1 2:0 Removed trailing space in c: 2

JN1 2:0 Removed trailing space in s1: Kristo Mwombezi Wetu

JN1 2:1 Removed trailing space in v~: Watoto wangu wapendwa, nawaandikia haya ili msitende dhambi. Lakini kama mtu yeyote akitenda dhambi, tunaye Mwombezi kwa Baba: ndiye Yesu Kristo, Mwenye Haki.

JN1 2:2 Removed trailing space in v~: Yeye ndiye dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu, wala si kwa ajili ya dhambi zetu tu, bali pia kwa ajili ya dhambi za ulimwengu wote.

JN1 2:3 Removed trailing space in v~: Basi katika hili twajua ya kuwa tumemjua, tukizishika amri zake.

JN1 2:4 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote asemaye kuwa, “Ninamjua,” lakini hazishiki amri zake, ni mwongo, wala ndani ya mtu huyo hamna kweli.

JN1 2:5 Removed trailing space in v~: Lakini mtu yeyote anayelitii neno lake, upendo wa Mungu umekamilika ndani yake kweli kweli. Katika hili twajua kuwa tumo ndani yake.

JN1 2:6 Removed trailing space in v~: Yeyote anayesema anakaa ndani yake hana budi kuenenda kama Yesu alivyoenenda.

JN1 2:6 Removed trailing space in s1: Amri Mpya

JN1 2:7 Removed trailing space in v~: Wapendwa, siwaandikii ninyi amri mpya bali ile ya zamani, ambayo mmekuwa nayo tangu mwanzo. Amri hii ya zamani ni lile neno mlilosikia.

JN1 2:8 Removed trailing space in v~: Lakini nawaandikia amri mpya, yaani, lile neno lililo kweli ndani yake na ndani yenu, kwa sababu giza linapita na ile nuru ya kweli tayari inangʼaa.

JN1 2:9 Removed trailing space in v~: Yeyote anayesema yumo nuruni lakini anamchukia ndugu yake bado yuko gizani.

JN1 2:10 Removed trailing space in v~: Yeye ampendaye ndugu yake anakaa nuruni, wala hakuna kitu chochote ndani yake cha kumkwaza.

JN1 2:11 Removed trailing space in v~: Lakini yeyote amchukiaye ndugu yake, yuko gizani na anaenenda gizani, wala hajui anakokwenda, kwa sababu giza limempofusha macho.

JN1 2:12 Removed trailing space in v~: Nawaandikia ninyi, watoto wadogo,

JN1 2:12 Removed trailing space in p~: kwa sababu dhambi zenu

JN1 2:12 Removed trailing space in p~: zimesamehewa kwa ajili ya Jina lake.

JN1 2:13 Removed trailing space in v~: Nawaandikia ninyi, akina baba,

JN1 2:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu mmemjua

JN1 2:13 Removed trailing space in p~: yeye aliye tangu mwanzo.

JN1 2:13 Removed trailing space in p~: Nawaandikia ninyi vijana

JN1 2:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu mmemshinda yule mwovu.

JN1 2:13 Removed trailing space in p~: Nawaandikia ninyi watoto wadogo,

JN1 2:13 Removed trailing space in p~: kwa sababu mmemjua Baba.

JN1 2:14 Removed trailing space in v~: Nawaandikia ninyi akina baba,

JN1 2:14 Removed trailing space in p~: kwa sababu mmemjua

JN1 2:14 Removed trailing space in p~: yeye aliye tangu mwanzo.

JN1 2:14 Removed trailing space in p~: Nawaandikia ninyi vijana,

JN1 2:14 Removed trailing space in p~: kwa sababu mna nguvu,

JN1 2:14 Removed trailing space in p~: na neno la Mungu linakaa ndani yenu,

JN1 2:14 Removed trailing space in p~: nanyi mmemshinda yule mwovu.

JN1 2:14 Removed trailing space in s1: Msiupende Ulimwengu

JN1 2:15 Removed trailing space in v~: Msiupende ulimwengu wala mambo yaliyo ulimwenguni. Kama mtu yeyote akiupenda ulimwengu, upendo wa Baba haumo ndani yake.

JN1 2:16 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila kitu kilichomo ulimwenguni, yaani tamaa ya mwili, tamaa ya macho na kiburi cha uzima, havitokani na Baba bali hutokana na ulimwengu.

JN1 2:17 Removed trailing space in v~: Nao ulimwengu unapita, pamoja na tamaa zake, bali yeye afanyaye mapenzi ya Mungu adumu milele.

JN1 2:17 Removed trailing space in s1: Onyo Dhidi Ya Wapinga Kristo

JN1 2:18 Removed trailing space in v~: Watoto wadogo, huu ni wakati wa mwisho! Kama mlivyosikia kwamba mpinga Kristo anakuja, hivyo basi wapinga Kristo wengi wamekwisha kuja. Kutokana na hili twajua kwamba huu ni wakati wa mwisho.

JN1 2:19 Removed trailing space in v~: Walitoka kwetu, lakini hawakuwa wa kwetu hasa. Kwa maana kama wangelikuwa wa kwetu, wangelikaa pamoja nasi, lakini kutoka kwao kulionyesha kwamba hakuna hata mmoja wao aliyekuwa wa kwetu.

JN1 2:20 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi mmetiwa mafuta na yeye Aliye Mtakatifu, nanyi nyote mnaijua kweli.

JN1 2:21 Removed trailing space in v~: Siwaandikii kwa sababu hamuijui kweli, bali kwa sababu mnaijua, nanyi mnajua hakuna uongo utokao katika kweli.

JN1 2:22 Removed trailing space in v~: Je, mwongo ni nani? Mwongo ni mtu yule asemaye kwamba Yesu si Kristo. Mtu wa namna hiyo ndiye mpinga Kristo, yaani, yeye humkana Baba na Mwana.

JN1 2:23 Removed trailing space in v~: Hakuna yeyote amkanaye Mwana aliye na Baba. Yeyote anayemkubali Mwana anaye na Baba pia.

JN1 2:24 Removed trailing space in v~: Hakikisheni kwamba lile mlilosikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu. Kama lile mlilosikia tangu mwanzo linakaa ndani yenu, ninyi nanyi mtakaa ndani ya Mwana na ndani ya Baba.

JN1 2:25 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo ahadi yake kwetu, yaani, uzima wa milele.

JN1 2:26 Removed trailing space in v~: Nawaandikia mambo haya kuhusu wale watu ambao wanajaribu kuwapotosha.

JN1 2:27 Removed trailing space in v~: Nanyi, upako mlioupata kutoka kwake unakaa ndani yenu, wala ninyi hamna haja ya mtu yeyote kuwafundisha. Lakini kama vile upako wake unavyowafundisha kuhusu mambo yote nayo ni kweli wala si uongo, basi kama ulivyowafundisha kaeni ndani yake.

JN1 2:27 Removed trailing space in s1: Watoto Wa Mungu

JN1 2:28 Removed trailing space in v~: Sasa basi, watoto wapendwa, kaeni ndani yake, ili atakapofunuliwa, tuwe na ujasiri, wala tusiaibike mbele zake wakati wa kuja kwake.

JN1 2:29 Removed trailing space in v~: Kama mkijua kuwa yeye ni mwenye haki, mwajua kwamba kila atendaye haki amezaliwa naye.

JN1 3:0 Extra space after chapter number

JN1 3:0 Removed trailing space in c: 3

JN1 3:1 Removed trailing space in v~: Tazameni ni pendo kuu namna gani alilotupa Baba, kwamba sisi tuitwe wana wa Mungu! Na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.

JN1 3:2 Removed trailing space in v~: Wapendwa, sasa tu wana wa Mungu, lakini bado haijadhihirika tutakavyokuwa, lakini twajua ya kwamba yeye atakapodhihirishwa, tutafanana naye, kwa maana tutamwona kama alivyo.

JN1 3:3 Removed trailing space in v~: Kila mmoja mwenye matumaini haya ndani yake hujitakasa, kama vile yeye alivyo mtakatifu.

JN1 3:4 Removed trailing space in v~: Kila mtu atendaye dhambi afanya uasi, kwa kuwa dhambi ni uasi.

JN1 3:5 Removed trailing space in v~: Lakini mwajua ya kuwa yeye alidhihirishwa ili aziondoe dhambi, wala ndani yake hamna dhambi.

JN1 3:6 Removed trailing space in v~: Kila mtu akaaye ndani yake hatendi dhambi. Kila mtu atendaye dhambi hakumwona yeye wala hakumtambua.

JN1 3:7 Removed trailing space in v~: Watoto wapendwa, mtu yeyote asiwadanganye. Kila mtu atendaye haki ana haki, kama yeye alivyo na haki.

JN1 3:8 Removed trailing space in v~: Yeye atendaye dhambi ni wa ibilisi, kwa sababu ibilisi amekuwa akitenda dhambi tangu mwanzo. Kwa kusudi hili Mwana wa Mungu alidhihirishwa, ili aziangamize kazi za ibilisi.

JN1 3:9 Removed trailing space in v~: Yeyote aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, kwa sababu uzao wa Mungu wakaa ndani yake, wala hawezi kutenda dhambi kwa sababu amezaliwa na Mungu.

JN1 3:10 Removed trailing space in v~: Kwa jinsi hii tunaweza kujua dhahiri watoto wa Mungu na pia watoto wa ibilisi. Yeyote asiyetenda haki hatokani na Mungu, wala yeye asiyempenda ndugu yake.

JN1 3:10 Removed trailing space in s1: Mpendane Ninyi Kwa Ninyi

JN1 3:11 Removed trailing space in v~: Hili ndilo neno mlilolisikia tangu mwanzo: Kwamba imetupasa tupendane sisi kwa sisi.

JN1 3:12 Removed trailing space in v~: Msiwe kama Kaini aliyekuwa wa yule mwovu akamuua ndugu yake. Basi kwa nini alimuua? Ni kwa sababu matendo yake Kaini yalikuwa mabaya na ya ndugu yake yalikuwa ya haki.

JN1 3:13 Removed trailing space in v~: Ndugu zangu, ninyi msistaajabu kama ulimwengu ukiwachukia.

JN1 3:14 Removed trailing space in v~: Sisi tunajua ya kwamba tumepita mautini kuingia uzimani, kwa sababu tunawapenda ndugu. Kila asiyempenda ndugu yake akaa mautini.

JN1 3:15 Removed trailing space in v~: Yeyote amchukiaye ndugu yake ni muuaji, nanyi mwajua ya kwamba muuaji hana uzima wa milele ndani yake.

JN1 3:16 Removed trailing space in v~: Kwa namna hii twaweza kulijua pendo la Mungu: Kwa sababu Yesu Kristo aliutoa uhai wake kwa ajili yetu. Nasi imetupasa kuutoa uhai kwa ajili ya hao ndugu.

JN1 3:17 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu anavyo vitu vya ulimwengu huu na akamwona ndugu yake ni mhitaji lakini asimhurumie, upendo wa Mungu wakaaje ndani ya mtu huyo?

JN1 3:18 Removed trailing space in v~: Watoto wapendwa, tusipende kwa maneno au kwa ulimi bali kwa tendo na kweli.

JN1 3:19 Removed trailing space in v~: Basi hivi ndivyo tutakavyoweza kujua ya kuwa sisi tu wa kweli na hivyo twaithibitisha mioyo yetu mbele za Mungu

JN1 3:20 Removed trailing space in v~: kila mara mioyo yetu inapotuhukumu. Kwa maana Mungu ni mkuu kuliko mioyo yetu, naye anajua kila kitu.

JN1 3:21 Removed trailing space in v~: Wapendwa, kama mioyo yetu haituhukumu, tunao ujasiri mbele za Mungu,

JN1 3:22 Removed trailing space in v~: lolote tuombalo, twalipokea kutoka kwake, kwa sababu tumezitii amri zake na kutenda yale yanayompendeza.

JN1 3:23 Removed trailing space in v~: Hii ndiyo amri yake: kwamba tuliamini Jina la Mwanawe, Yesu Kristo, na kupendana sisi kwa sisi kama yeye alivyotuamuru.

JN1 3:24 Removed trailing space in v~: Wale wote wanaozishika amri zake hukaa ndani yake na yeye ndani yao. Hivi ndivyo tunavyojua kwamba anakaa ndani yetu. Nasi twajua hili kwa njia ya Roho yule aliyetupa.

JN1 4:0 Extra space after chapter number

JN1 4:0 Removed trailing space in c: 4

JN1 4:0 Removed trailing space in s1: Zijaribuni Hizo Roho

JN1 4:1 Removed trailing space in v~: Wapendwa, msiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho mwone kama zimetoka kwa Mungu, kwa sababu manabii wengi wa uongo wametokea ulimwenguni.

JN1 4:2 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo mnavyoweza kutambua Roho wa Mungu: Kila roho inayokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili yatoka kwa Mungu.

JN1 4:3 Removed trailing space in v~: Lakini kila roho ambayo haimkubali Yesu haitoki kwa Mungu. Hii ndiyo roho ya mpinga Kristo, ambayo mmesikia kwamba inakuja na sasa tayari iko ulimwenguni.

JN1 4:4 Removed trailing space in v~: Watoto wapendwa, ninyi mmetokana na Mungu, nanyi mmewashinda kwa sababu yeye aliye ndani yenu ni mkuu kuliko yeye aliye katika ulimwengu.

JN1 4:5 Removed trailing space in v~: Wao wanatokana na ulimwengu na kwa hiyo hunena yaliyo ya ulimwengu, hivyo ulimwengu huwasikiliza.

JN1 4:6 Removed trailing space in v~: Sisi twatokana na Mungu na yeyote anayemjua Mungu hutusikiliza, lakini asiyetokana na Mungu hatusikilizi. Hivi ndivyo tunavyoweza kutambua Roho wa Kweli na roho ya upotovu.

JN1 4:6 Removed trailing space in s1: Mungu Ni Pendo

JN1 4:7 Removed trailing space in v~: Wapendwa, tupendane, kwa kuwa pendo latoka kwa Mungu. Kila apendaye amezaliwa na Mungu, naye anamjua Mungu.

JN1 4:8 Removed trailing space in v~: Yeye asiyependa hamjui Mungu, kwa sababu Mungu ni pendo.

JN1 4:9 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo Mungu alivyoonyesha pendo lake kwetu: Mungu alimtuma Mwanawe wa pekee ulimwenguni, ili tupate uzima kupitia kwake.

JN1 4:10 Removed trailing space in v~: Hili ndilo pendo: si kwamba tulimpenda Mungu, bali yeye alitupenda, akamtuma Mwanawe, ili yeye awe dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu.

JN1 4:11 Removed trailing space in v~: Marafiki wapendwa, kama Mungu alivyotupenda sisi, imetupasa na sisi kupendana.

JN1 4:12 Removed trailing space in v~: Hakuna mtu yeyote aliyemwona Mungu wakati wowote. Lakini tukipendana, Mungu anakaa ndani yetu, na pendo lake limekamilika ndani yetu.

JN1 4:13 Removed trailing space in v~: Tunajua kwamba twakaa ndani yake na yeye ndani yetu, kwa sababu ametupa sisi sehemu ya Roho wake.

JN1 4:14 Removed trailing space in v~: Nasi tumeona na kushuhudia kwamba Baba amemtuma Mwanawe ili awe Mwokozi wa ulimwengu.

JN1 4:15 Removed trailing space in v~: Kila akiriye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, basi Mungu hukaa ndani yake, naye ndani ya Mungu.

JN1 4:16 Removed trailing space in v~: Hivyo nasi twajua na kulitumainia pendo la Mungu alilo nalo kwa ajili yetu.

JN1 4:16 Removed trailing space in p~: Mungu ni Upendo. Kila akaaye katika upendo hukaa ndani ya Mungu na Mungu hukaa ndani yake.

JN1 4:17 Removed trailing space in v~: Kwa njia hii, pendo hukamilishwa miongoni mwetu ili tupate kuwa na ujasiri katika siku ya hukumu, kwa sababu kama alivyo ndivyo tulivyo sisi katika ulimwengu huu.

JN1 4:18 Removed trailing space in v~: Katika pendo hakuna hofu. Lakini pendo lililo kamili huitupa nje hofu, kwa sababu hofu inahusika na adhabu. Kila mwenye hofu hakukamilika katika pendo.

JN1 4:19 Removed trailing space in v~: Twampenda yeye kwa sababu yeye alitupenda kwanza.

JN1 4:20 Removed trailing space in v~: Ikiwa mtu atasema, “Nampenda Mungu,” lakini anamchukia ndugu yake, yeye ni mwongo. Kwa maana kila mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, atampendaje Mungu asiyemuona?

JN1 4:21 Removed trailing space in v~: Naye ametupa amri hii: Yeyote anayempenda Mungu lazima pia ampende ndugu yake.

JN1 5:0 Extra space after chapter number

JN1 5:0 Removed trailing space in c: 5

JN1 5:0 Removed trailing space in s1: Imani Katika Mwana Wa Mungu Huushinda Ulimwengu

JN1 5:1 Removed trailing space in v~: Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ndiye Kristo amezaliwa na Mungu, na yeyote ampendaye Baba humpenda pia mtoto aliyezaliwa naye.

JN1 5:2 Removed trailing space in v~: Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu, kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake.

JN1 5:3 Removed trailing space in v~: Huku ndiko kumpenda Mungu, yaani, kuzitii amri zake. Nazo amri zake si nzito.

JN1 5:4 Removed trailing space in v~: Kwa maana kila aliyezaliwa na Mungu huushinda ulimwengu. Huku ndiko kushinda kuushindako ulimwengu, yaani, hiyo imani yetu.

JN1 5:5 Removed trailing space in v~: Ni nani yule aushindaye ulimwengu? Ni yule tu aaminiye kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.

JN1 5:5 Removed trailing space in s1: Ushuhuda Kuhusu Mwana Wa Mungu

JN1 5:6 Removed trailing space in v~: Huyu ndiye alikuja kwa maji na damu, yaani, Yesu Kristo. Hakuja kwa maji peke yake, bali kwa maji na damu. Naye Roho ndiye ashuhudiaye, kwa sababu Roho ndiye kweli.

JN1 5:7 Removed trailing space in v~: Kwa maana wako watatu washuhudiao[ mbinguni: hao ni Baba, Neno na Roho Mtakatifu. Hawa watatu ni umoja.

JN1 5:8 Removed trailing space in v~: Pia wako mashahidi watatu duniani]: Roho, Maji na Damu; hawa watatu wanakubaliana katika umoja.

JN1 5:9 Removed trailing space in v~: Kama tunaukubali ushuhuda wa wanadamu, basi ushuhuda wa Mungu ni mkuu zaidi, kwa kuwa huu ndio ushuhuda wa Mungu kwamba amemshuhudia Mwanawe.

JN1 5:10 Removed trailing space in v~: Kila mtu amwaminiye Mwana wa Mungu anao huu ushuhuda moyoni mwake. Kila mtu asiyemwamini Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo, kwa sababu hakuamini ushuhuda Mungu alioutoa kuhusu Mwanawe.

JN1 5:11 Removed trailing space in v~: Huu ndio ushuhuda: kwamba Mungu ametupa uzima wa milele, nao huo uzima umo katika Mwanawe.

JN1 5:12 Removed trailing space in v~: Aliye naye Mwana wa Mungu anao uzima, yeye asiye na Mwana wa Mungu hana uzima.

JN1 5:12 Removed trailing space in s1: Maneno Ya Mwisho

JN1 5:13 Removed trailing space in v~: Nawaandikia mambo haya ninyi mnaoliamini Jina la Mwana wa Mungu ili mpate kujua ya kuwa mnao uzima wa milele.

JN1 5:14 Removed trailing space in v~: Huu ndio ujasiri tulio nao tunapomkaribia Mungu, kwamba kama tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.

JN1 5:15 Removed trailing space in v~: Nasi kama tunajua atusikia, lolote tuombalo, tunajua ya kwamba tumekwisha kupata zile haja tulizomwomba.

JN1 5:16 Removed trailing space in v~: Kama mtu akimwona ndugu yake akitenda dhambi isiyo ya mauti, inampasa aombe, naye Mungu atampa uzima mtu huyo. Ninamaanisha wale ambao dhambi yao si ya mauti. Iko dhambi ya mauti, sisemi kwamba utaomba kwa ajili ya hiyo.

JN1 5:17 Removed trailing space in v~: Jambo lolote lisilo la haki ni dhambi, lakini iko dhambi isiyo ya mauti.

JN1 5:18 Removed trailing space in v~: Tunajua ya kuwa yeye aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi, bali aliyezaliwa na Mungu hujilinda, wala yule mwovu hawezi kumdhuru.

JN1 5:19 Removed trailing space in v~: Sisi twajua kuwa tu watoto wa Mungu na ya kwamba ulimwengu wote uko chini ya utawala wa yule mwovu.

JN1 5:20 Removed trailing space in v~: Nasi pia twajua ya kwamba Mwana wa Mungu amekuja, naye ametupa sisi ufahamu ili tupate kumjua yeye aliye Kweli. Nasi tumo ndani yake yeye aliye Kweli, yaani, ndani ya Yesu Kristo Mwanawe. Yeye ndiye Mungu wa kweli na uzima wa milele.

JN1 5:21 Removed trailing space in v~: Watoto wapendwa, jilindeni nafsi zenu kutokana na sanamu. Amen.

JN2 -1:0 Removed trailing space in id: 2JN - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

JN2 -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

JN2 -1:2 Removed trailing space in h: 2 Yohana

JN2 -1:3 Removed trailing space in toc1: 2 Yohana

JN2 -1:4 Removed trailing space in toc2: 2 Yohana

JN2 -1:5 Removed trailing space in toc3: 2Yn

JN2 -1:6 Removed trailing space in mt1: 2 Yohana

JN2 1:0 Extra space after chapter number

JN2 1:0 Removed trailing space in c: 1

JN2 1:0 Removed trailing space in s1: Salamu

JN2 1:1 Removed trailing space in v~: Mzee:

JN2 1:1 Removed trailing space in p~: Kwa bibi mteule na watoto wake, niwapendao katika kweli, wala si mimi tu, bali na wale wote waijuayo kweli:

JN2 1:2 Removed trailing space in v~: kwa sababu ya ile kweli ikaayo ndani yetu na ambayo itaendelea kukaa nasi milele:

JN2 1:3 Removed trailing space in v~: Neema, rehema na amani itokayo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwanawe Baba, itakuwa pamoja nasi katika kweli na upendo.

JN2 1:3 Removed trailing space in s1: Kweli Na Upendo

JN2 1:4 Removed trailing space in v~: Imenipa furaha kuu kuona baadhi ya watoto wako wanaenenda katika kweli, kama vile Baba alivyotuagiza.

JN2 1:5 Removed trailing space in v~: Sasa, bibi mpendwa, si kwamba ninakuandikia amri mpya, bali ile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo. Tupendane kila mmoja na mwenzake.

JN2 1:6 Removed trailing space in v~: Hili ndilo pendo, kwamba tuenende sawasawa na amri zake. Hii ndiyo amri yake kama vile mlivyosikia tangu mwanzo, kwamba mwenende katika upendo.

JN2 1:7 Removed trailing space in v~: Wadanganyifu wengi, wasiokubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili, wametokea ulimwenguni. Mtu wa namna hiyo ni mdanganyifu na mpinga Kristo.

JN2 1:8 Removed trailing space in v~: Jihadharini msije mkapoteza kile mlichokitenda, bali mpate kupewa thawabu kamilifu.

JN2 1:9 Removed trailing space in v~: Mtu yeyote asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, bali akayaacha, yeye hana Mungu. Yeyote anayedumu katika mafundisho ana Baba na Mwana pia.

JN2 1:10 Removed trailing space in v~: Msimpokee mtu yeyote anayewajia ambaye hawaletei mafundisho haya, wala msimkaribishe nyumbani mwenu.

JN2 1:11 Removed trailing space in v~: Yeyote amkaribishaye mtu wa namna hiyo anashiriki katika matendo maovu ya mtu huyo.

JN2 1:11 Removed trailing space in s1: Salamu Za Mwisho

JN2 1:12 Removed trailing space in v~: Ninayo mengi ya kuwaandikia, lakini sitaki kutumia karatasi na wino. Badala yake, nataraji kuja kwenu na kuongea nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ipate kuwa timilifu.

JN2 1:13 Removed trailing space in v~: Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu. Amen.

JDE -1:0 Removed trailing space in id: JUD - Biblica® Open Kiswahili Contemporary Version

JDE -1:1 Removed trailing space in rem: Copyright © 1984, 1989, 2009, 2015 by Biblica, Inc.

JDE -1:2 Removed trailing space in h: Yuda

JDE -1:3 Removed trailing space in toc1: Yuda

JDE -1:4 Removed trailing space in toc2: Yuda

JDE -1:5 Removed trailing space in toc3: Yud

JDE -1:6 Removed trailing space in mt1: Yuda

JDE 1:0 Extra space after chapter number

JDE 1:0 Removed trailing space in c: 1

JDE 1:0 Removed trailing space in s1: Salamu

JDE 1:1 Removed trailing space in v~: Yuda, mtumwa wa Yesu Kristo na nduguye Yakobo:

JDE 1:1 Removed trailing space in p~: Kwa wale walioitwa, wapendwa katika Mungu Baba na kuhifadhiwa salama ndani ya Yesu Kristo:

JDE 1:2 Removed trailing space in v~: Rehema, amani na upendo viwe kwenu kwa wingi.

JDE 1:2 Removed trailing space in s1: Dhambi Na Hukumu Ya Watu Wasiomcha Mungu

JDE 1:3 Removed trailing space in v~: Wapendwa, ingawa nilikuwa ninatamani sana kuwaandikia kuhusu wokovu ambao tunaushiriki sisi sote, niliona imenipasa kuwaandikia na kuwasihi kwamba mwitetee imani iliyokabidhiwa watakatifu kwa nafasi moja itoshayo.

JDE 1:4 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa kuna watu waliojipenyeza kwa siri katikati yenu, watu walioandikiwa tangu zamani hukumu hii, waovu, wapotoshao neema ya Mungu wetu kuwa ufisadi wakimkana yeye aliye Bwana wetu wa pekee, Bwana Yesu Kristo.

JDE 1:4 Removed trailing space in s1: Hukumu Kwa Walimu Wa Uongo

JDE 1:5 Removed trailing space in v~: Ingawa mmekwisha kujua haya yote, nataka niwakumbushe kuwa Bwana akiisha kuwaokoa watu wake kutoka nchi ya Misri, baadaye aliwaangamiza wale ambao hawakuamini.

JDE 1:6 Removed trailing space in v~: Nao malaika ambao hawakulinda nafasi zao, lakini wakayaacha makao yao, hawa amewaweka katika giza, wakiwa wamefungwa kwa minyororo ya milele kwa ajili ya hukumu Siku ile kuu.

JDE 1:7 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, Sodoma na Gomora na pia ile miji iliyokuwa kandokando, ambayo kwa jinsi moja na hao, walijifurahisha kwa uasherati na kufuata tamaa za mwili zisizo za asili, waliwekwa wawe mfano kwa kuadhibiwa katika moto wa milele.

JDE 1:8 Removed trailing space in v~: Vivyo hivyo, hawa waotao ndoto huutia mwili unajisi, hukataa kuwa chini ya mamlaka na kunena mabaya juu ya wenye mamlaka.

JDE 1:9 Removed trailing space in v~: Lakini hata malaika mkuu Mikaeli alipokuwa anashindana na ibilisi juu ya mwili wa Mose, hakuthubutu kumlaumu, bali alimwambia, “Bwana na akukemee!”

JDE 1:10 Removed trailing space in v~: Lakini watu hawa hunena mabaya dhidi ya mambo wasiyoyafahamu. Na katika mambo yale wanayoyafahamu kwa hisia kama wanyama wasio na akili, hayo ndiyo hasa yanayowaharibu.

JDE 1:11 Removed trailing space in v~: Ole wao! Kwa kuwa wanaifuata njia ya Kaini, wamekimbilia faida katika kosa la Balaamu na kuangamia katika uasi wa Kora.

JDE 1:12 Removed trailing space in v~: Watu hawa ni dosari katika karamu zenu za upendo, wakila pamoja nanyi bila hofu, wakijilisha pasipo hofu. Wao ni mawingu yasiyokuwa na maji, yakichukuliwa na upepo, miti isiyo na matunda wakati wa mapukutiko, ambayo hunyauka, iliyokufa mara mbili na kungʼolewa kabisa.

JDE 1:13 Removed trailing space in v~: Wao ni mawimbi makali ya bahari, yakitoa povu la aibu yao wenyewe, ni nyota zipoteazo, ambao weusi wa giza ndio akiba waliowekewa milele.

JDE 1:14 Removed trailing space in v~: Enoki, mtu wa saba kuanzia Adamu alitoa unabii kuhusu watu hawa, akisema: “Tazama, Bwana anakuja pamoja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,

JDE 1:15 Removed trailing space in v~: ili kumhukumu kila mmoja na kuwapatiliza wote wasiomcha Mungu kwa matendo yao yote ya uasi waliyoyatenda, pamoja na maneno yote ya kuchukiza ambayo wenye dhambi wamesema dhidi yake.”

JDE 1:16 Removed trailing space in v~: Watu hawa ni wenye kunungʼunika na wenye kutafuta makosa; wao hufuata tamaa zao mbaya, hujisifu kwa maneno makuu kuhusu wao wenyewe na kuwasifu mno watu wenye vyeo kwa ajili ya kujipatia faida.

JDE 1:16 Removed trailing space in s1: Maonyo Na Mausia

JDE 1:17 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi wapenzi, kumbukeni yale mitume wa Bwana Yesu Kristo waliyonena zamani.

JDE 1:18 Removed trailing space in v~: Kwa kuwa waliwaambia, “Siku za mwisho kutakuwa na watu wenye kudhihaki, watakaofuata tamaa zao wenyewe za upotovu.”

JDE 1:19 Removed trailing space in v~: Hawa ndio watu wanaowagawa ninyi, wafuatao tamaa zao za asili, wala hawana Roho.

JDE 1:20 Removed trailing space in v~: Lakini ninyi wapendwa, jijengeni katika imani yenu iliyo takatifu sana tena ombeni katika Roho Mtakatifu.

JDE 1:21 Removed trailing space in v~: Jilindeni katika upendo wa Mungu mkitazamia kwa furaha rehema ya Bwana wetu Yesu Kristo ili awalete katika uzima wa milele.

JDE 1:22 Removed trailing space in v~: Wahurumieni walio na mashaka;

JDE 1:23 Removed trailing space in v~: wengine waokoeni kwa kuwanyakua kutoka kwenye moto; nao wengine wahurumieni mkiwa na hofu, mkichukia hata vazi lenye mawaa na kutiwa unajisi na mwili.

JDE 1:23 Removed trailing space in s1: Dua Ya Kutakia Heri

JDE 1:24 Removed trailing space in v~: Kwake yeye awezaye kuwalinda ninyi msianguke na kuwaleta mbele za utukufu wake mkuu bila dosari na kwa furaha ipitayo kiasi:

JDE 1:25 Removed trailing space in v~: kwake yeye Mungu pekee Mwokozi wetu, kwa Yesu Kristo Bwana wetu, utukufu, ukuu, uweza na mamlaka ni vyake tangu milele, sasa na hata milele! Amen.

Validation Errors

FRT -1:120 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

FRT -1:127 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 3:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 6:0 Unexpected '¬ms2' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 9:0 Unexpected '¬ms2' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 12:0 Unexpected '¬ms2' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 16:0 Unexpected '¬ms2' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 19:0 Unexpected '¬ms2' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 21:0 Unexpected '¬ms2' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 23:0 Unexpected '¬ms2' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 26:0 Unexpected '¬ms2' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 27:0 Unexpected '¬ms2' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 32:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 38:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 42:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 42:17 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

JOB 42:17 Unexpected '¬ms2' newline marker in Bible book (Text is None)

PSA 42:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

PSA 73:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

PSA 90:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

PSA 107:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

PSA 150:6 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

MAT 28:20 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

ACT 6:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

ACT 9:31 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

ACT 13:0 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

ACT 15:35 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

ACT 18:22 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

ACT 21:16 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

ACT 28:31 Unexpected '¬ms1' newline marker in Bible book (Text is None)

USFMs

Newline Marker Errors

FRT -1:3 Didn't expect Header section after Front and back matter section (with mt1 marker)

FRT -1:6 Didn't expect Header section after Text, Poetry section (with mt4 marker)

FRT -1:77 Didn't expect Header section after Front and back matter section (with mt1 marker)

FRT -1:115 Didn't expect Header section after Front and back matter section (with mt1 marker)

FRT -1:118 DDidn't expect Text section after Header section (with ms1 marker)

FRT -1:123 Unexpected section after Text section (went to Front and back matter section with periph marker)

FRT -1:124 Didn't expect Header section after Front and back matter section (with mt1 marker)

FRT -1:126 Didn't expect Header section after Front and back matter section (with mt1 marker)

FRT Missing 'h' USFM field in file

DEU 27:15 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:16 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:17 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:18 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:19 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:20 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:21 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:22 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:23 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:24 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:25 Marker 'pmr' has no content

DEU 27:26 Marker 'pmr' has no content

JOS 12:9 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:10 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:11 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:12 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:13 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:14 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:15 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:16 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:17 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:18 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:19 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:20 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:21 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:22 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:23 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

JOS 12:24 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:9 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:10 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:11 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:12 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:13 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:14 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:15 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:16 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:17 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:18 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:19 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:20 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:21 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:22 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:23 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:24 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:25 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:26 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:27 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:28 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:29 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:30 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH1 25:31 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

CH2 6:40 Marker 'qm1' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm2' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm2' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm1' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm2' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm1' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm2' has no content

CH2 6:41 Marker 'qm1' has no content

CH2 6:42 Marker 'qm2' has no content

CH2 6:42 Marker 'qm1' has no content

CH2 6:42 Marker 'qm2' has no content

CH2 36:22 Marker 'pmo' has no content

EZR 1:1 Marker 'pmo' has no content

EZR 1:10 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:3 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:4 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:5 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:6 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:7 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:8 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:9 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:10 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:11 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:12 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:13 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:14 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:15 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:16 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:17 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:18 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:19 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:20 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:21 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:22 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:23 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:24 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:25 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:26 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:27 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:28 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:29 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:30 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:31 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:32 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:33 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:34 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:35 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:37 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:38 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:39 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:58 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 2:60 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

EZR 4:8 Marker 'pmo' has no content

EZR 4:11 Marker 'pmo' has no content

EZR 4:11 Marker 'pmo' has no content

EZR 4:17 Marker 'pmo' has no content

EZR 4:17 Marker 'pmo' has no content

EZR 5:7 Marker 'pmo' has no content

EZR 5:7 Marker 'pmo' has no content

EZR 6:2 Marker 'pmo' has no content

EZR 7:11 Marker 'pmo' has no content

EZR 7:12 Marker 'pmo' has no content

EZR 7:12 Marker 'pmo' has no content

NEH 7:8 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:9 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:10 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:11 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:12 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:13 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:14 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:15 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:16 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:17 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:18 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:19 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:20 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:21 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:22 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:23 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:24 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:25 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:26 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:27 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:28 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:29 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:30 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:31 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:32 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:33 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:34 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:35 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:36 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:37 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:38 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:40 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:41 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:42 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:60 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

NEH 7:62 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with v marker)

PSA 1:0 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with cl marker)

PSA 42:0 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with cl marker)

PSA 73:0 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with cl marker)

PSA 90:0 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with cl marker)

PSA 107:0 Unexpected section after Text section (went to Numbering section with cl marker)

PSA 136:1 Marker 'qr' has no content

PSA 136:2 Marker 'qr' has no content

PSA 136:3 Marker 'qr' has no content

PSA 136:4 Marker 'qr' has no content

PSA 136:5 Marker 'qr' has no content

PSA 136:6 Marker 'qr' has no content

PSA 136:7 Marker 'qr' has no content

PSA 136:8 Marker 'qr' has no content

PSA 136:9 Marker 'qr' has no content

PSA 136:10 Marker 'qr' has no content

PSA 136:11 Marker 'qr' has no content

PSA 136:12 Marker 'qr' has no content

PSA 136:13 Marker 'qr' has no content

PSA 136:14 Marker 'qr' has no content

PSA 136:15 Marker 'qr' has no content

PSA 136:16 Marker 'qr' has no content

PSA 136:17 Marker 'qr' has no content

PSA 136:18 Marker 'qr' has no content

PSA 136:19 Marker 'qr' has no content

PSA 136:20 Marker 'qr' has no content

PSA 136:21 Marker 'qr' has no content

PSA 136:22 Marker 'qr' has no content

PSA 136:23 Marker 'qr' has no content

PSA 136:24 Marker 'qr' has no content

PSA 136:25 Marker 'qr' has no content

PSA 136:26 Marker 'qr' has no content

DAN 4:0 Marker 'pmo' has no content

DAN 4:1 Marker 'pmo' has no content

DAN 4:1 Marker 'pmo' has no content

DAN 6:25 Marker 'pmo' has no content

JNA 3:7 Marker 'pmo' has no content

ACT 15:23 Marker 'pmo' has no content

ACT 15:23 Marker 'pmo' has no content

ACT 15:23 Marker 'pmo' has no content

ACT 15:29 Marker 'pmc' has no content

ACT 23:25 Marker 'pmo' has no content

ACT 23:26 Marker 'pmo' has no content

ACT 23:26 Marker 'pmo' has no content

REV 2:26 Marker 'qm1' has no content

REV 2:27 Marker 'qm2' has no content

REV 2:27 Marker 'qm2' has no content

Modified Marker List

All Newline Marker Counts

 b: 2414    c: 1189    cl: 150    d: 116    h: 66    id: 67    li1: 796    li2: 594    li3: 1    li4: 42    m: 214    mi: 33    mr: 18    ms1: 20    ms2: 10    mt1: 71    mt2: 1    mt4: 3    nb: 4    p: 9300    pc: 17    periph: 6    pi1: 125    pi2: 5    pi3: 2    pm: 221    pmc: 1    pmo: 24    pmr: 12    q1: 11407    q2: 13016    q3: 14    q4: 123    qc: 7    qm1: 6    qm2: 8    qr: 26    r: 560    rem: 67    s1: 2266    s2: 48    sp: 37    toc1: 66    toc2: 66    toc3: 66    Total: 74553    tr: 145    v: 31103  

All Newline Marker Counts (sorted by count)

 mt2: 1    li3: 1    pmc: 1    pi3: 2    mt4: 3    nb: 4    pi2: 5    periph: 6    qm1: 6    qc: 7    qm2: 8    ms2: 10    pmr: 12    q3: 14    pc: 17    mr: 18    ms1: 20    pmo: 24    qr: 26    mi: 33    sp: 37    li4: 42    s2: 48    h: 66    toc1: 66    toc2: 66    toc3: 66    id: 67    rem: 67    mt1: 71    d: 116    q4: 123    pi1: 125    tr: 145    cl: 150    m: 214    pm: 221    r: 560    li2: 594    li1: 796    c: 1189    s1: 2266    b: 2414    p: 9300    q1: 11407    q2: 13016    v: 31103    Total: 74553  

All Text Internal Marker Counts

 nd: 99    nd*: 99    tc: 114    tc1: 31    tc2: 2    tcr2: 29    tcr3: 2    Total: 376  

All Text Internal Marker Counts (sorted by count)

 tc2: 2    tcr3: 2    tcr2: 29    tc1: 31    nd: 99    nd*: 99    tc: 114    Total: 376  

Functional Marker Counts

 Book Header: 66    Book ID: 67    Chapters: 1189    Footnotes: 11    Paragraphs: 9300    Section Cross-References: 560    Verses: 31103  

Functional Marker Counts (sorted by count)

 Footnotes: 11    Book Header: 66    Book ID: 67    Section Cross-References: 560    Chapters: 1189    Paragraphs: 9300    Verses: 31103  

All Footnote and Cross-Reference Internal Marker Counts

 fq: 1    fr: 11    ft: 11    Total: 23  

All Footnote and Cross-Reference Internal Marker Counts (sorted by count)

 fq: 1    fr: 11    ft: 11    Total: 23  

Characters

Possible Character Errors

FRT -1:122 Invalid '#' (NUMBER SIGN) word-building character (0x0023)

FRT -1:122 Invalid '#' (NUMBER SIGN) word-building character (0x0023)

FRT -1:122 Invalid '#' (NUMBER SIGN) word-building character (0x0023)

FRT -1:122 Invalid '#' (NUMBER SIGN) word-building character (0x0023)

GEN 22:14 Multiple spaces in '22:14 Yehova-Yire maana yake··Bwana atatupa.'

EXO 17:15 Multiple spaces in '17:15 Yehova Nisi maana yake ni··Bwana ni Bendera yangu.'

SA1 3:3 Multiple spaces in '3:3 Hekaluni maana yake ndani ya Maskani ya··Bwana.'

SA1 4:21 Multiple spaces in '4:21 Ikabodi maana yake Utukufu wa··Bwana umeondoka.'

SA2 12:25 Multiple spaces in '12:25 Yedidia maana yake Apendwaye na··Bwana.'

CH1 25:9 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

CH1 25:9 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

EZR 2:42 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

EZR 2:42 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

EZR 2:42 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

EZR 2:42 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

NEH 1:1 Multiple spaces in '1:1 Kisleu ni mwezi wa tisa katika kalenda ya Kiyahudi; katika kalenda yetu ni Novemba/Desemba (ona pia··Zekaria 7:1).'

NEH 7:45 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

NEH 7:45 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

NEH 7:45 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

NEH 7:45 Invalid '/' (SOLIDUS) word-building character (0x002f)

PSA 104:35 Multiple spaces in '104:35 Msifuni··Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.'

PSA 105:45 Multiple spaces in '105:45 Msifuni··Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.'

PSA 115:18 Multiple spaces in '115:18 Msifuni··Bwana ni Kiebrania Hallelu Yah.'

PSA 146:1 Multiple spaces in '146:1 Msifuni··Bwana kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.'

PRO 31:10 Multiple spaces in '31:10··Mithali 31:10-31 imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya alfabeti ya Kiebrania zikifuatana tangu Aleph (A) hadi Taw (T); zote ni 22.'

ISA 1:9 Multiple spaces in '1:9 Bwana Mwenye Nguvu Zote hapa ni Yehova Sabaoth, yaani Bwana wa Majeshi; pia··Warumi 9:29 na··Yakobo 5:4.'

JOL 3:2 Multiple spaces in '3:2 Yehoshafati maana yake··Bwana huhukumu.'

MAT 1:21 Multiple spaces in '1:21 Yesu ni··Iesous kwa Kiyunani, na kwa Kiebrania ni Yoshua au Yeshua. Maana yake ni Yehova ni wokovu.'

MRK 5:41 Multiple spaces in 'Akamshika mtoto mkono, akamwambia, “Talitha koum!”··(maana yake ni, “Msichana, nakuambia: amka!”)'

MRK 7:34 Multiple spaces in 'Ndipo Yesu akatazama mbinguni, akavuta hewa ndani kwa nguvu akamwambia, “Efatha!”··(yaani, “Funguka!”)'

MRK 14:45 Multiple spaces in '14:45··Rabi ni neno la Kiebrania ambalo maana yake ni daktari, mwalimu au bwana. Walikuwa na madaraja matatu: La chini kabisa··Rab (bwana), la pili··Rabi (bwana wangu), na la juu kabisa··Raboni (mkuu wangu, bwana wangu mkuu).'

ACT 9:12 Trailing space in 'katika maono amemwona mtu aitwaye Anania akija na kuweka mikono juu yake ili apate kuona tena.” '

CO1 16:22 Multiple spaces in '16:22 Kwa Kiaramu ni··Marana tha.'

All Character Counts

All Character Counts (sorted by count)

Letter Counts

Letter Counts (sorted by count)

Punctuation Counts

 !: 5    #: 4    (: 606    ): 606    ,: 93    .: 250    /: 10    :: 982    ;: 360    ?: 6    [: 1    Total: 2981    : 32    : 13    : 13  

Punctuation Counts (sorted by count)

 [: 1    #: 4    !: 5    ?: 6    /: 10    : 13    : 13    : 32    ,: 93    .: 250    ;: 360    (: 606    ): 606    :: 982    Total: 2981  

Special Character Counts

 EN DASH: 2    HYPHEN-MINUS: 52    MODIFIER LETTER APOSTROPHE: 3    Total: 57  

Special Character Counts (sorted by count)

 EN DASH: 2    MODIFIER LETTER APOSTROPHE: 3    HYPHEN-MINUS: 52    Total: 57  

Words

Possible Word Errors

FRT -1:122 Have unexpected character starting word '####'

DEU 32:15 Have unexpected character starting word '+xt'

JOS 19:50 Have unexpected character starting word '+xt'

JOS 24:30 Have unexpected character starting word '+xt'

JDG 2:9 Have unexpected character starting word '+xt'

SA2 2:10 Have unexpected character starting word '+xt'

SA2 5:25 Have unexpected character starting word '+xt'

SA2 8:8 Have unexpected character starting word '+xt'

SA2 20:25 Have unexpected character starting word '+xt'

SA2 23:8 Have unexpected character starting word '+xt'

KI1 4:26 Have unexpected character starting word '+xt'

KI1 10:22 Have unexpected character starting word '+xt'

KI1 22:48 Have unexpected character starting word '+xt'

KI2 11:4 Have unexpected character starting word '+xt'

CH1 2:7 Have unexpected character starting word '+xt'

CH1 2:13 Have unexpected character starting word '+xt'

CH1 8:34 Have unexpected character starting word '+xt'

CH1 8:34 Have unexpected character starting word '+xt'

CH1 9:39 Have unexpected character starting word '+xt'

CH1 25:9 Have unexpected character starting word '//yeye'

CH2 9:21 Have unexpected character starting word '+xt'

CH2 20:36 Have unexpected character starting word '+xt'

EZR 2:42 Have unexpected character starting word '//Shalumu'

EZR 2:42 Have unexpected character starting word '//Akubu'

EZR 2:43 Have unexpected character starting word '+xt'

NEH 7:45 Have unexpected character starting word '//Shalumu'

NEH 7:45 Have unexpected character starting word '//Akubu'

JOB 31:12 Have unexpected character starting word '+xt'

ISA 2:16 Have unexpected character starting word '+xt'

ISA 44:2 Have unexpected character starting word '+xt'

ISA 55:13 Have unexpected character starting word '+xt'

ISA 60:9 Have unexpected character starting word '+xt'

JER 48:13 Have unexpected character starting word '+xt'

DAN 2:4 Have unexpected character starting word '+xt'

MAT 3:11 Have unexpected character starting word '…kwa'

Lots of ways of capitalizing ['NENO', 'Neno', 'neno']

Lots of ways of capitalizing ['agano', 'AGANO', 'Agano']

Lots of ways of capitalizing ['LA', 'La', 'la']

Lots of ways of capitalizing ['NA', 'Na', 'na']

Lots of ways of capitalizing ['CHA', 'cha', 'Cha']

Word 'Wadi-el-Arish' appears to have unusual capitalization

Word 'Wadi-el-Arish' appears to have unusual capitalization

Lots of ways of capitalizing ['PILI', 'pili', 'Pili']

Lots of ways of capitalizing ['KWANZA', 'kwanza', 'Kwanza']

Lots of ways of capitalizing ['TATU', 'tatu', 'Tatu']

Lots of ways of capitalizing ['NNE', 'Nne', 'nne']

Lots of ways of capitalizing ['TANO', 'tano', 'Tano']

Lots of ways of capitalizing ['kitabu', 'KITABU', 'Kitabu']

All Word Counts

All Word Counts (sorted by count)

Case Insensitive Word Counts

Case Insensitive Word Counts (sorted by count)

Uncommon Word Counts

Uncommon Word Counts (sorted by count)

Speech Marks

Possible Matching Errors

GEN 3:14 Unclosed “ (opened at 3:14:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

GEN 3:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 3:14:v)' before v marker or missing reopening quotes at v16

GEN 3:17 Unclosed “ (opened at 3:17:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

GEN 3:20 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 3:17:v)' before v marker or missing reopening quotes at v20

GEN 8:22 Unclosed “ (opened at 8:21:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

GEN 9:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 8:21:v)' before p marker

GEN 9:6 Unclosed “ (opened at 9:1:v,9:4:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

GEN 9:8 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 9:1:v,9:4:v)' before v marker or missing reopening quotes at v8

GEN 12:2 Unclosed “ (opened at 12:1:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

GEN 12:4 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 12:1:v)' before v marker or missing reopening quotes at v4

GEN 49:2 Unclosed “ (opened at 49:1:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

GEN 49:28 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 49:1:v)' before v marker or missing reopening quotes at v28

EXO 8:22 Unclosed ‘ (opened at 8:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EXO 8:23 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 8:20:v)', '‘ (opened at 8:20:v)']

EXO 8:24 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 8:20:v)', '‘ (opened at 8:20:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v24

EXO 20:24 Unclosed ‘ (opened at 20:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EXO 21:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 20:22:v)', '‘ (opened at 20:22:v)'] before p marker

EXO 21:12 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 21:1:v,21:2:v,21:5:v,21:7:v)' before p marker

EXO 22:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 21:12:v,21:15:v,21:16:v,21:17:v,21:18:v,21:20:v,21:22:v,21:26:v,21:28:v,21:33:v,21:35:v)' before p marker

EXO 22:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 22:1:v,22:2:v,22:3:p,22:4:v,22:5:v,22:6:v,22:7:v,22:10:v,22:14:v)' before p marker

EXO 23:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 22:16:v,22:18:v,22:19:v,22:20:v,22:21:v,22:22:v,22:25:v,22:28:v,22:29:v,22:29:p,22:31:v)' before p marker

EXO 23:10 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 23:1:v,23:2:v,23:4:v,23:6:v,23:8:v,23:9:v)' before p marker

EXO 23:14 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 23:10:v,23:12:v,23:13:v)' before p marker

EXO 23:20 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 23:14:v,23:15:v,23:15:p,23:16:v,23:16:p,23:17:v,23:18:v,23:18:p,23:19:v,23:19:p)' before p marker

EXO 25:10 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 25:2:v,25:8:v)' before p marker

EXO 25:23 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 25:10:v,25:17:v)' before p marker

EXO 25:31 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 25:23:v)' before p marker

EXO 26:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 25:31:v,25:37:v)' before p marker

EXO 27:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 26:1:v,26:7:v,26:15:v,26:26:v,26:30:v,26:31:v,26:36:v)' before p marker

EXO 27:9 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 27:1:v)' before p marker

EXO 27:20 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 27:9:v,27:12:v,27:16:v)' before p marker

EXO 28:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 27:20:v)' before p marker

EXO 28:6 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 28:1:v)' before p marker

EXO 28:15 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 28:6:v,28:9:v)' before p marker

EXO 28:31 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 28:15:v,28:22:v,28:29:v)' before p marker

EXO 29:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 28:31:v,28:36:v,28:39:v,28:42:v,28:43:p)' before p marker

EXO 30:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 29:1:v,29:10:v,29:15:v,29:19:v,29:22:v,29:27:v,29:29:v,29:31:v,29:35:v,29:38:v,29:42:v,29:44:v)' before p marker

EXO 31:14 Unclosed ‘ (opened at 31:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EXO 31:17 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 31:13:v)', '‘ (opened at 31:13:v)']

EXO 31:18 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 31:13:v)', '‘ (opened at 31:13:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v18

LEV 1:3 Unclosed ‘ (opened at 1:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 1:10 Unclosed ‘ (opened at 1:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 1:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 1:2:v)', '‘ (opened at 1:2:v)', '‘ (opened at 1:3:v)', '‘ (opened at 1:10:v)']

LEV 1:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 1:2:v)', '‘ (opened at 1:2:v)', '‘ (opened at 1:3:v)', '‘ (opened at 1:10:v)']

LEV 1:14 Unclosed ‘ (opened at 1:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 1:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 1:2:v)', '‘ (opened at 1:2:v)', '‘ (opened at 1:3:v)', '‘ (opened at 1:10:v)', '‘ (opened at 1:14:v)']

LEV 2:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 1:2:v)', '‘ (opened at 1:2:v)', '‘ (opened at 1:3:v)', '‘ (opened at 1:10:v)', '‘ (opened at 1:14:v)'] before p marker

LEV 2:4 Unclosed ‘ (opened at 2:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 2:11 Unclosed ‘ (opened at 2:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 2:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 2:1:v)', '‘ (opened at 2:1:v)', '‘ (opened at 2:4:v)', '‘ (opened at 2:11:v)']

LEV 2:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 2:1:v)', '‘ (opened at 2:1:v)', '‘ (opened at 2:4:v)', '‘ (opened at 2:11:v)']

LEV 2:14 Unclosed ‘ (opened at 2:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 2:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 2:1:v)', '‘ (opened at 2:1:v)', '‘ (opened at 2:4:v)', '‘ (opened at 2:11:v)', '‘ (opened at 2:14:v)']

LEV 3:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:1:v)', '‘ (opened at 2:1:v)', '‘ (opened at 2:4:v)', '‘ (opened at 2:11:v)', '‘ (opened at 2:14:v)'] before p marker

LEV 3:6 Unclosed ‘ (opened at 3:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 3:12 Unclosed ‘ (opened at 3:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 3:12 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 3:1:v)', '‘ (opened at 3:1:v)', '‘ (opened at 3:6:v)', '‘ (opened at 3:12:v)']

LEV 3:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 3:1:v)', '‘ (opened at 3:1:v)', '‘ (opened at 3:6:v)', '‘ (opened at 3:12:v)']

LEV 3:17 Unclosed ‘ (opened at 3:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 3:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 3:1:v)', '‘ (opened at 3:1:v)', '‘ (opened at 3:6:v)', '‘ (opened at 3:12:v)', '‘ (opened at 3:17:v)']

LEV 3:17 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 3:1:v)', '‘ (opened at 3:1:v)', '‘ (opened at 3:6:v)', '‘ (opened at 3:12:v)']

LEV 4:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 3:1:v)', '‘ (opened at 3:1:v)', '‘ (opened at 3:6:v)', '‘ (opened at 3:12:v)'] before p marker

LEV 4:3 Unclosed ‘ (opened at 4:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 4:13 Unclosed ‘ (opened at 4:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 4:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:3:v)', '‘ (opened at 4:13:v)']

LEV 4:22 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:3:v)', '‘ (opened at 4:13:v)']

LEV 4:22 Unclosed ‘ (opened at 4:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 4:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:3:v)', '‘ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:22:v)']

LEV 4:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:3:v)', '‘ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:22:v)']

LEV 4:27 Unclosed ‘ (opened at 4:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 4:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:3:v)', '‘ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:22:v)', '‘ (opened at 4:27:v)']

LEV 4:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:3:v)', '‘ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:22:v)', '‘ (opened at 4:27:v)']

LEV 4:32 Unclosed ‘ (opened at 4:27:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 4:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:3:v)', '‘ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:22:v)', '‘ (opened at 4:27:v)', '‘ (opened at 4:32:v)']

LEV 5:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:2:v)', '‘ (opened at 4:3:v)', '‘ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:22:v)', '‘ (opened at 4:27:v)', '‘ (opened at 4:32:v)'] before p marker

LEV 5:2 Unclosed ‘ (opened at 5:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 5:3 Unclosed ‘ (opened at 5:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 5:3 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:2:v)', '‘ (opened at 5:3:v)']

LEV 5:4 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:2:v)', '‘ (opened at 5:3:v)']

LEV 5:4 Unclosed ‘ (opened at 5:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 5:4 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:2:v)', '‘ (opened at 5:3:v)', '‘ (opened at 5:4:v)']

LEV 5:5 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:2:v)', '‘ (opened at 5:3:v)', '‘ (opened at 5:4:v)']

LEV 5:5 Unclosed ‘ (opened at 5:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 5:5 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:2:v)', '‘ (opened at 5:3:v)', '‘ (opened at 5:4:v)', '‘ (opened at 5:5:v)']

LEV 5:7 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:2:v)', '‘ (opened at 5:3:v)', '‘ (opened at 5:4:v)', '‘ (opened at 5:5:v)']

LEV 5:7 Unclosed ‘ (opened at 5:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 5:7 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:2:v)', '‘ (opened at 5:3:v)', '‘ (opened at 5:4:v)', '‘ (opened at 5:5:v)', '‘ (opened at 5:7:v)']

LEV 5:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:2:v)', '‘ (opened at 5:3:v)', '‘ (opened at 5:4:v)', '‘ (opened at 5:5:v)', '‘ (opened at 5:7:v)']

LEV 5:11 Unclosed ‘ (opened at 5:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 5:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:2:v)', '‘ (opened at 5:3:v)', '‘ (opened at 5:4:v)', '‘ (opened at 5:5:v)', '‘ (opened at 5:7:v)', '‘ (opened at 5:11:v)']

LEV 5:13 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:2:v)', '‘ (opened at 5:3:v)', '‘ (opened at 5:4:v)', '‘ (opened at 5:5:v)', '‘ (opened at 5:7:v)']

LEV 5:14 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:1:v)', '‘ (opened at 5:2:v)', '‘ (opened at 5:3:v)', '‘ (opened at 5:4:v)', '‘ (opened at 5:5:v)', '‘ (opened at 5:7:v)'] before p marker

LEV 6:14 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:9:v)'] before p marker

LEV 7:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:25:v)', '‘ (opened at 6:25:v)'] before p marker

LEV 7:7 Unclosed ‘ (opened at 7:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 7:11 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:1:v)', '‘ (opened at 7:1:v)', '‘ (opened at 7:7:v)'] before p marker

LEV 7:12 Unclosed ‘ (opened at 7:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 7:16 Unclosed ‘ (opened at 7:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 7:16 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:11:v)', '‘ (opened at 7:11:v)', '‘ (opened at 7:12:v)', '‘ (opened at 7:16:v)']

LEV 7:19 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:11:v)', '‘ (opened at 7:11:v)', '‘ (opened at 7:12:v)', '‘ (opened at 7:16:v)']

LEV 7:19 Unclosed ‘ (opened at 7:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 7:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:11:v)', '‘ (opened at 7:11:v)', '‘ (opened at 7:12:v)', '‘ (opened at 7:16:v)', '‘ (opened at 7:19:v)']

LEV 7:21 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 7:11:v)', '‘ (opened at 7:11:v)', '‘ (opened at 7:12:v)', '‘ (opened at 7:16:v)']

LEV 7:22 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:11:v)', '‘ (opened at 7:11:v)', '‘ (opened at 7:12:v)', '‘ (opened at 7:16:v)'] before p marker

LEV 10:3 Unclosed “ (opened at 10:3:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

LEV 10:4 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 10:3:v)' before v marker or missing reopening quotes at v4

LEV 11:4 Unclosed ‘ (opened at 11:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 11:9 Unclosed ‘ (opened at 11:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 11:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 11:2:v)', '‘ (opened at 11:2:v)', '‘ (opened at 11:4:v)', '‘ (opened at 11:9:v)']

LEV 11:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 11:2:v)', '‘ (opened at 11:2:v)', '‘ (opened at 11:4:v)', '‘ (opened at 11:9:v)']

LEV 11:13 Unclosed ‘ (opened at 11:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 11:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 11:2:v)', '‘ (opened at 11:2:v)', '‘ (opened at 11:4:v)', '‘ (opened at 11:9:v)', '‘ (opened at 11:13:v)']

LEV 11:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 11:2:v)', '‘ (opened at 11:2:v)', '‘ (opened at 11:4:v)', '‘ (opened at 11:9:v)', '‘ (opened at 11:13:v)']

LEV 11:20 Unclosed ‘ (opened at 11:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 11:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 11:2:v)', '‘ (opened at 11:2:v)', '‘ (opened at 11:4:v)', '‘ (opened at 11:9:v)', '‘ (opened at 11:13:v)', '‘ (opened at 11:20:v)']

LEV 11:24 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 11:2:v)', '‘ (opened at 11:2:v)', '‘ (opened at 11:4:v)', '‘ (opened at 11:9:v)', '‘ (opened at 11:13:v)', '‘ (opened at 11:20:v)'] before p marker

LEV 11:26 Unclosed ‘ (opened at 11:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 11:29 Unclosed ‘ (opened at 11:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 11:29 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:26:v)', '‘ (opened at 11:29:v)']

LEV 11:39 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:26:v)', '‘ (opened at 11:29:v)']

LEV 11:39 Unclosed ‘ (opened at 11:29:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 11:39 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:26:v)', '‘ (opened at 11:29:v)', '‘ (opened at 11:39:v)']

LEV 11:41 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:26:v)', '‘ (opened at 11:29:v)', '‘ (opened at 11:39:v)']

LEV 11:41 Unclosed ‘ (opened at 11:39:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 11:41 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:26:v)', '‘ (opened at 11:29:v)', '‘ (opened at 11:39:v)', '‘ (opened at 11:41:v)']

LEV 11:46 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:26:v)', '‘ (opened at 11:29:v)', '‘ (opened at 11:39:v)', '‘ (opened at 11:41:v)']

LEV 11:46 Unclosed ‘ (opened at 11:41:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 11:46 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:26:v)', '‘ (opened at 11:29:v)', '‘ (opened at 11:39:v)', '‘ (opened at 11:41:v)', '‘ (opened at 11:46:v)']

LEV 11:47 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:26:v)', '‘ (opened at 11:29:v)', '‘ (opened at 11:39:v)', '‘ (opened at 11:41:v)']

LEV 12:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:24:v)', '‘ (opened at 11:26:v)', '‘ (opened at 11:29:v)', '‘ (opened at 11:39:v)', '‘ (opened at 11:41:v)'] before p marker

LEV 12:6 Unclosed ‘ (opened at 12:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 12:7 Unclosed ‘ (opened at 12:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 12:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 12:2:v)', '‘ (opened at 12:2:v)', '‘ (opened at 12:6:v)', '‘ (opened at 12:7:p)']

LEV 12:8 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 12:2:v)', '‘ (opened at 12:2:v)', '‘ (opened at 12:6:v)']

LEV 13:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 12:2:v)', '‘ (opened at 12:2:v)', '‘ (opened at 12:6:v)'] before p marker

LEV 13:47 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 13:2:v,13:9:v,13:12:v,13:18:v,13:24:v,13:29:v,13:38:v,13:40:v,13:45:v)' before p marker

LEV 15:4 Unclosed ‘ (opened at 15:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:7 Unclosed ‘ (opened at 15:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)']

LEV 15:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)']

LEV 15:8 Unclosed ‘ (opened at 15:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:8 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)']

LEV 15:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)']

LEV 15:9 Unclosed ‘ (opened at 15:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)']

LEV 15:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)']

LEV 15:11 Unclosed ‘ (opened at 15:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)']

LEV 15:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)']

LEV 15:12 Unclosed ‘ (opened at 15:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)']

LEV 15:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)']

LEV 15:13 Unclosed ‘ (opened at 15:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)']

LEV 15:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)']

LEV 15:16 Unclosed ‘ (opened at 15:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)']

LEV 15:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)']

LEV 15:19 Unclosed ‘ (opened at 15:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)']

LEV 15:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)']

LEV 15:20 Unclosed ‘ (opened at 15:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)', '‘ (opened at 15:20:v)']

LEV 15:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)', '‘ (opened at 15:20:v)']

LEV 15:24 Unclosed ‘ (opened at 15:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)', '‘ (opened at 15:20:v)', '‘ (opened at 15:24:v)']

LEV 15:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)', '‘ (opened at 15:20:v)', '‘ (opened at 15:24:v)']

LEV 15:25 Unclosed ‘ (opened at 15:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)', '‘ (opened at 15:20:v)', '‘ (opened at 15:24:v)', '‘ (opened at 15:25:v)']

LEV 15:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)', '‘ (opened at 15:20:v)', '‘ (opened at 15:24:v)', '‘ (opened at 15:25:v)']

LEV 15:28 Unclosed ‘ (opened at 15:25:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)', '‘ (opened at 15:20:v)', '‘ (opened at 15:24:v)', '‘ (opened at 15:25:v)', '‘ (opened at 15:28:v)']

LEV 15:31 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)', '‘ (opened at 15:20:v)', '‘ (opened at 15:24:v)', '‘ (opened at 15:25:v)', '‘ (opened at 15:28:v)']

LEV 15:31 Unclosed ‘ (opened at 15:28:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 15:31 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)', '‘ (opened at 15:20:v)', '‘ (opened at 15:24:v)', '‘ (opened at 15:25:v)', '‘ (opened at 15:28:v)', '‘ (opened at 15:31:v)']

LEV 15:31 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)', '‘ (opened at 15:20:v)', '‘ (opened at 15:24:v)', '‘ (opened at 15:25:v)', '‘ (opened at 15:28:v)']

LEV 15:32 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:4:v)', '‘ (opened at 15:7:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:9:v)', '‘ (opened at 15:11:v)', '‘ (opened at 15:12:v)', '‘ (opened at 15:13:v)', '‘ (opened at 15:16:v)', '‘ (opened at 15:19:v)', '‘ (opened at 15:20:v)', '‘ (opened at 15:24:v)', '‘ (opened at 15:25:v)', '‘ (opened at 15:28:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v32

LEV 17:10 Unclosed ‘ (opened at 17:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 17:12 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:2:v,17:8:v)', '‘ (opened at 17:8:v)', '‘ (opened at 17:10:v)', '“ (opened at 17:12:v)']

LEV 17:13 Unclosed ‘ (opened at 17:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 17:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:2:v,17:8:v)', '‘ (opened at 17:8:v)', '‘ (opened at 17:10:v)', '‘ (opened at 17:13:v)']

LEV 17:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 17:2:v,17:8:v)', '‘ (opened at 17:8:v)', '‘ (opened at 17:10:v)', '‘ (opened at 17:13:v)', '“ (opened at 17:14:v)']

LEV 17:15 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:2:v,17:8:v)', '‘ (opened at 17:8:v)', '‘ (opened at 17:10:v)', '‘ (opened at 17:13:v)']

LEV 17:15 Unclosed ‘ (opened at 17:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 17:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 17:2:v,17:8:v)', '‘ (opened at 17:8:v)', '‘ (opened at 17:10:v)', '‘ (opened at 17:13:v)', '‘ (opened at 17:15:v)']

LEV 17:16 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 17:2:v,17:8:v)', '‘ (opened at 17:8:v)', '‘ (opened at 17:10:v)', '‘ (opened at 17:13:v)']

LEV 18:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:2:v,17:8:v)', '‘ (opened at 17:8:v)', '‘ (opened at 17:10:v)', '‘ (opened at 17:13:v)'] before p marker

LEV 18:6 Unclosed ‘ (opened at 18:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:7 Unclosed ‘ (opened at 18:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)']

LEV 18:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)']

LEV 18:8 Unclosed ‘ (opened at 18:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:8 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)']

LEV 18:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)']

LEV 18:9 Unclosed ‘ (opened at 18:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)']

LEV 18:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)']

LEV 18:10 Unclosed ‘ (opened at 18:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)']

LEV 18:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)']

LEV 18:11 Unclosed ‘ (opened at 18:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)']

LEV 18:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)']

LEV 18:12 Unclosed ‘ (opened at 18:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)']

LEV 18:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)']

LEV 18:13 Unclosed ‘ (opened at 18:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)']

LEV 18:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)']

LEV 18:14 Unclosed ‘ (opened at 18:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)']

LEV 18:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)']

LEV 18:15 Unclosed ‘ (opened at 18:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)']

LEV 18:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)']

LEV 18:16 Unclosed ‘ (opened at 18:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)']

LEV 18:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)']

LEV 18:17 Unclosed ‘ (opened at 18:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)']

LEV 18:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)']

LEV 18:18 Unclosed ‘ (opened at 18:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)']

LEV 18:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)']

LEV 18:19 Unclosed ‘ (opened at 18:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)']

LEV 18:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)']

LEV 18:20 Unclosed ‘ (opened at 18:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)']

LEV 18:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)']

LEV 18:21 Unclosed ‘ (opened at 18:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)', '‘ (opened at 18:21:v)']

LEV 18:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)', '‘ (opened at 18:21:v)']

LEV 18:22 Unclosed ‘ (opened at 18:21:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)', '‘ (opened at 18:21:v)', '‘ (opened at 18:22:v)']

LEV 18:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)', '‘ (opened at 18:21:v)', '‘ (opened at 18:22:v)']

LEV 18:23 Unclosed ‘ (opened at 18:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)', '‘ (opened at 18:21:v)', '‘ (opened at 18:22:v)', '‘ (opened at 18:23:v)']

LEV 18:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)', '‘ (opened at 18:21:v)', '‘ (opened at 18:22:v)', '‘ (opened at 18:23:v)']

LEV 18:24 Unclosed ‘ (opened at 18:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)', '‘ (opened at 18:21:v)', '‘ (opened at 18:22:v)', '‘ (opened at 18:23:v)', '‘ (opened at 18:24:v)']

LEV 18:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)', '‘ (opened at 18:21:v)', '‘ (opened at 18:22:v)', '‘ (opened at 18:23:v)', '‘ (opened at 18:24:v)']

LEV 18:29 Unclosed ‘ (opened at 18:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 18:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)', '‘ (opened at 18:21:v)', '‘ (opened at 18:22:v)', '‘ (opened at 18:23:v)', '‘ (opened at 18:24:v)', '‘ (opened at 18:29:v)']

LEV 18:30 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)', '‘ (opened at 18:21:v)', '‘ (opened at 18:22:v)', '‘ (opened at 18:23:v)', '‘ (opened at 18:24:v)']

LEV 19:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:2:v)', '‘ (opened at 18:6:v)', '‘ (opened at 18:7:v)', '‘ (opened at 18:8:v)', '‘ (opened at 18:9:v)', '‘ (opened at 18:10:v)', '‘ (opened at 18:11:v)', '‘ (opened at 18:12:v)', '‘ (opened at 18:13:v)', '‘ (opened at 18:14:v)', '‘ (opened at 18:15:v)', '‘ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:17:v)', '‘ (opened at 18:18:v)', '‘ (opened at 18:19:v)', '‘ (opened at 18:20:v)', '‘ (opened at 18:21:v)', '‘ (opened at 18:22:v)', '‘ (opened at 18:23:v)', '‘ (opened at 18:24:v)'] before p marker

LEV 19:3 Unclosed ‘ (opened at 19:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:4 Unclosed ‘ (opened at 19:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:4 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)']

LEV 19:5 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)']

LEV 19:5 Unclosed ‘ (opened at 19:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:5 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)']

LEV 19:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)']

LEV 19:9 Unclosed ‘ (opened at 19:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)']

LEV 19:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)']

LEV 19:11 Unclosed ‘ (opened at 19:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)']

LEV 19:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)']

LEV 19:11 Unclosed ‘ (opened at 19:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)']

LEV 19:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)']

LEV 19:11 Unclosed ‘ (opened at 19:11:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)']

LEV 19:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)']

LEV 19:12 Unclosed ‘ (opened at 19:11:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)']

LEV 19:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)']

LEV 19:13 Unclosed ‘ (opened at 19:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)']

LEV 19:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)']

LEV 19:13 Unclosed ‘ (opened at 19:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)']

LEV 19:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)']

LEV 19:14 Unclosed ‘ (opened at 19:13:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)']

LEV 19:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)']

LEV 19:15 Unclosed ‘ (opened at 19:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)']

LEV 19:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)']

LEV 19:16 Unclosed ‘ (opened at 19:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)']

LEV 19:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)']

LEV 19:16 Unclosed ‘ (opened at 19:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)']

LEV 19:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)']

LEV 19:17 Unclosed ‘ (opened at 19:16:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)']

LEV 19:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)']

LEV 19:18 Unclosed ‘ (opened at 19:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)']

LEV 19:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)']

LEV 19:19 Unclosed ‘ (opened at 19:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)']

LEV 19:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)']

LEV 19:19 Unclosed ‘ (opened at 19:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)']

LEV 19:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)']

LEV 19:19 Unclosed ‘ (opened at 19:19:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)']

LEV 19:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)']

LEV 19:19 Unclosed ‘ (opened at 19:19:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)']

LEV 19:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)']

LEV 19:20 Unclosed ‘ (opened at 19:19:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)']

LEV 19:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)']

LEV 19:23 Unclosed ‘ (opened at 19:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)']

LEV 19:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)']

LEV 19:26 Unclosed ‘ (opened at 19:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)']

LEV 19:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)']

LEV 19:26 Unclosed ‘ (opened at 19:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)']

LEV 19:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)']

LEV 19:27 Unclosed ‘ (opened at 19:26:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)']

LEV 19:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)']

LEV 19:28 Unclosed ‘ (opened at 19:27:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)']

LEV 19:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)']

LEV 19:29 Unclosed ‘ (opened at 19:28:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)']

LEV 19:30 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)']

LEV 19:30 Unclosed ‘ (opened at 19:29:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:30 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)']

LEV 19:31 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)']

LEV 19:31 Unclosed ‘ (opened at 19:30:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:31 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)', '‘ (opened at 19:31:v)']

LEV 19:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)', '‘ (opened at 19:31:v)']

LEV 19:32 Unclosed ‘ (opened at 19:31:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)', '‘ (opened at 19:31:v)', '‘ (opened at 19:32:v)']

LEV 19:33 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)', '‘ (opened at 19:31:v)', '‘ (opened at 19:32:v)']

LEV 19:33 Unclosed ‘ (opened at 19:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:33 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)', '‘ (opened at 19:31:v)', '‘ (opened at 19:32:v)', '‘ (opened at 19:33:v)']

LEV 19:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)', '‘ (opened at 19:31:v)', '‘ (opened at 19:32:v)', '‘ (opened at 19:33:v)']

LEV 19:35 Unclosed ‘ (opened at 19:33:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)', '‘ (opened at 19:31:v)', '‘ (opened at 19:32:v)', '‘ (opened at 19:33:v)', '‘ (opened at 19:35:v)']

LEV 19:37 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)', '‘ (opened at 19:31:v)', '‘ (opened at 19:32:v)', '‘ (opened at 19:33:v)', '‘ (opened at 19:35:v)']

LEV 19:37 Unclosed ‘ (opened at 19:35:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 19:37 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)', '‘ (opened at 19:31:v)', '‘ (opened at 19:32:v)', '‘ (opened at 19:33:v)', '‘ (opened at 19:35:v)', '‘ (opened at 19:37:v)']

LEV 19:37 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)', '‘ (opened at 19:31:v)', '‘ (opened at 19:32:v)', '‘ (opened at 19:33:v)', '‘ (opened at 19:35:v)']

LEV 20:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:2:v)', '‘ (opened at 19:3:v)', '‘ (opened at 19:4:v)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:9:v)', '‘ (opened at 19:11:v)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:11:p)', '‘ (opened at 19:12:v)', '‘ (opened at 19:13:v)', '‘ (opened at 19:13:p)', '‘ (opened at 19:14:v)', '‘ (opened at 19:15:v)', '‘ (opened at 19:16:v)', '‘ (opened at 19:16:p)', '‘ (opened at 19:17:v)', '‘ (opened at 19:18:v)', '‘ (opened at 19:19:v)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:19:p)', '‘ (opened at 19:20:v)', '‘ (opened at 19:23:v)', '‘ (opened at 19:26:v)', '‘ (opened at 19:26:p)', '‘ (opened at 19:27:v)', '‘ (opened at 19:28:v)', '‘ (opened at 19:29:v)', '‘ (opened at 19:30:v)', '‘ (opened at 19:31:v)', '‘ (opened at 19:32:v)', '‘ (opened at 19:33:v)', '‘ (opened at 19:35:v)'] before p marker

LEV 20:6 Unclosed ‘ (opened at 20:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:7 Unclosed ‘ (opened at 20:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)']

LEV 20:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)']

LEV 20:9 Unclosed ‘ (opened at 20:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)']

LEV 20:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)']

LEV 20:10 Unclosed ‘ (opened at 20:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)']

LEV 20:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)']

LEV 20:11 Unclosed ‘ (opened at 20:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)']

LEV 20:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)']

LEV 20:12 Unclosed ‘ (opened at 20:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)']

LEV 20:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)']

LEV 20:13 Unclosed ‘ (opened at 20:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)']

LEV 20:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)']

LEV 20:14 Unclosed ‘ (opened at 20:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)']

LEV 20:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)']

LEV 20:15 Unclosed ‘ (opened at 20:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)']

LEV 20:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)']

LEV 20:16 Unclosed ‘ (opened at 20:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)']

LEV 20:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)']

LEV 20:17 Unclosed ‘ (opened at 20:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)']

LEV 20:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)']

LEV 20:18 Unclosed ‘ (opened at 20:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)']

LEV 20:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)']

LEV 20:19 Unclosed ‘ (opened at 20:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)']

LEV 20:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)']

LEV 20:20 Unclosed ‘ (opened at 20:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)', '‘ (opened at 20:20:v)']

LEV 20:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)', '‘ (opened at 20:20:v)']

LEV 20:21 Unclosed ‘ (opened at 20:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)', '‘ (opened at 20:20:v)', '‘ (opened at 20:21:v)']

LEV 20:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)', '‘ (opened at 20:20:v)', '‘ (opened at 20:21:v)']

LEV 20:22 Unclosed ‘ (opened at 20:21:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)', '‘ (opened at 20:20:v)', '‘ (opened at 20:21:v)', '‘ (opened at 20:22:v)']

LEV 20:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)', '‘ (opened at 20:20:v)', '‘ (opened at 20:21:v)', '‘ (opened at 20:22:v)', '“ (opened at 20:24:v)']

LEV 20:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)', '‘ (opened at 20:20:v)', '‘ (opened at 20:21:v)', '‘ (opened at 20:22:v)']

LEV 20:25 Unclosed ‘ (opened at 20:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)', '‘ (opened at 20:20:v)', '‘ (opened at 20:21:v)', '‘ (opened at 20:22:v)', '‘ (opened at 20:25:v)']

LEV 20:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)', '‘ (opened at 20:20:v)', '‘ (opened at 20:21:v)', '‘ (opened at 20:22:v)', '‘ (opened at 20:25:v)']

LEV 20:27 Unclosed ‘ (opened at 20:25:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 20:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)', '‘ (opened at 20:20:v)', '‘ (opened at 20:21:v)', '‘ (opened at 20:22:v)', '‘ (opened at 20:25:v)', '‘ (opened at 20:27:v)']

LEV 20:27 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)', '‘ (opened at 20:20:v)', '‘ (opened at 20:21:v)', '‘ (opened at 20:22:v)', '‘ (opened at 20:25:v)']

LEV 21:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:2:v)', '‘ (opened at 20:6:v)', '‘ (opened at 20:7:v)', '‘ (opened at 20:9:v)', '‘ (opened at 20:10:v)', '‘ (opened at 20:11:v)', '‘ (opened at 20:12:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:14:v)', '‘ (opened at 20:15:v)', '‘ (opened at 20:16:v)', '‘ (opened at 20:17:v)', '‘ (opened at 20:18:v)', '‘ (opened at 20:19:v)', '‘ (opened at 20:20:v)', '‘ (opened at 20:21:v)', '‘ (opened at 20:22:v)', '‘ (opened at 20:25:v)'] before p marker

LEV 21:5 Unclosed ‘ (opened at 21:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 21:7 Unclosed ‘ (opened at 21:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 21:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:5:v)', '‘ (opened at 21:7:v)']

LEV 21:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:5:v)', '‘ (opened at 21:7:v)']

LEV 21:9 Unclosed ‘ (opened at 21:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 21:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:5:v)', '‘ (opened at 21:7:v)', '‘ (opened at 21:9:v)']

LEV 21:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:5:v)', '‘ (opened at 21:7:v)', '‘ (opened at 21:9:v)']

LEV 21:10 Unclosed ‘ (opened at 21:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 21:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:5:v)', '‘ (opened at 21:7:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:10:v)']

LEV 21:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:5:v)', '‘ (opened at 21:7:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:10:v)']

LEV 21:13 Unclosed ‘ (opened at 21:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 21:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:5:v)', '‘ (opened at 21:7:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:10:v)', '‘ (opened at 21:13:v)']

LEV 21:15 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:5:v)', '‘ (opened at 21:7:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:10:v)']

LEV 21:16 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:1:v)', '‘ (opened at 21:5:v)', '‘ (opened at 21:7:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:10:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v16

LEV 22:4 Unclosed ‘ (opened at 22:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 22:9 Unclosed ‘ (opened at 22:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 22:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 22:2:v,22:3:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:4:v)', '‘ (opened at 22:9:v)']

LEV 22:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 22:2:v,22:3:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:4:v)', '‘ (opened at 22:9:v)']

LEV 22:10 Unclosed ‘ (opened at 22:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 22:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 22:2:v,22:3:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:4:v)', '‘ (opened at 22:9:v)', '‘ (opened at 22:10:v)']

LEV 22:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 22:2:v,22:3:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:4:v)', '‘ (opened at 22:9:v)', '‘ (opened at 22:10:v)']

LEV 22:14 Unclosed ‘ (opened at 22:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 22:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 22:2:v,22:3:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:4:v)', '‘ (opened at 22:9:v)', '‘ (opened at 22:10:v)', '‘ (opened at 22:14:v)']

LEV 22:16 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 22:2:v,22:3:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:4:v)', '‘ (opened at 22:9:v)', '‘ (opened at 22:10:v)']

LEV 22:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 22:2:v,22:3:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:4:v)', '‘ (opened at 22:9:v)', '‘ (opened at 22:10:v)'] before p marker

LEV 23:3 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 23:2:v)', '‘ (opened at 23:2:v)'] before p marker

LEV 23:4 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 23:3:v)', '‘ (opened at 23:3:v)'] before p marker

LEV 23:15 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 23:10:v)', '‘ (opened at 23:10:v)'] before p marker

LEV 23:22 Unclosed ‘ (opened at 23:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 23:22 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 23:15:v)', '‘ (opened at 23:15:v)']

LEV 23:23 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 23:15:v)', '‘ (opened at 23:15:v)'] before p marker

LEV 23:37 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 23:34:v)', '‘ (opened at 23:34:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v37

LEV 23:39 Unclosed ‘ (opened at 23:37:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 23:43 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 23:37:v)', '‘ (opened at 23:37:v)']

LEV 23:44 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 23:37:v)', '‘ (opened at 23:37:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v44

LEV 24:17 Unclosed ‘ (opened at 24:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 24:22 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 24:14:v)', '‘ (opened at 24:15:v)']

LEV 24:23 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 24:14:v)', '‘ (opened at 24:15:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v23

LEV 25:8 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 25:2:v)', '‘ (opened at 25:2:v)'] before p marker

LEV 25:13 Unclosed ‘ (opened at 25:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 25:14 Unclosed ‘ (opened at 25:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 25:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)']

LEV 25:18 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)']

LEV 25:18 Unclosed ‘ (opened at 25:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 25:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)']

LEV 25:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '“ (opened at 25:20:v)']

LEV 25:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)']

LEV 25:23 Unclosed ‘ (opened at 25:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 25:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)']

LEV 25:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)']

LEV 25:25 Unclosed ‘ (opened at 25:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 25:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)']

LEV 25:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)']

LEV 25:29 Unclosed ‘ (opened at 25:25:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 25:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)']

LEV 25:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)']

LEV 25:32 Unclosed ‘ (opened at 25:29:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 25:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)', '‘ (opened at 25:32:v)']

LEV 25:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)', '‘ (opened at 25:32:v)']

LEV 25:35 Unclosed ‘ (opened at 25:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 25:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)', '‘ (opened at 25:32:v)', '‘ (opened at 25:35:v)']

LEV 25:39 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)', '‘ (opened at 25:32:v)', '‘ (opened at 25:35:v)']

LEV 25:39 Unclosed ‘ (opened at 25:35:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 25:39 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)', '‘ (opened at 25:32:v)', '‘ (opened at 25:35:v)', '‘ (opened at 25:39:v)']

LEV 25:44 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)', '‘ (opened at 25:32:v)', '‘ (opened at 25:35:v)', '‘ (opened at 25:39:v)']

LEV 25:44 Unclosed ‘ (opened at 25:39:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 25:44 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)', '‘ (opened at 25:32:v)', '‘ (opened at 25:35:v)', '‘ (opened at 25:39:v)', '‘ (opened at 25:44:v)']

LEV 25:47 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)', '‘ (opened at 25:32:v)', '‘ (opened at 25:35:v)', '‘ (opened at 25:39:v)', '‘ (opened at 25:44:v)']

LEV 25:47 Unclosed ‘ (opened at 25:44:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 25:47 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)', '‘ (opened at 25:32:v)', '‘ (opened at 25:35:v)', '‘ (opened at 25:39:v)', '‘ (opened at 25:44:v)', '‘ (opened at 25:47:v)']

LEV 25:54 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)', '‘ (opened at 25:32:v)', '‘ (opened at 25:35:v)', '‘ (opened at 25:39:v)', '‘ (opened at 25:44:v)', '‘ (opened at 25:47:v)']

LEV 25:54 Unclosed ‘ (opened at 25:47:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 25:54 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)', '‘ (opened at 25:32:v)', '‘ (opened at 25:35:v)', '‘ (opened at 25:39:v)', '‘ (opened at 25:44:v)', '‘ (opened at 25:47:v)', '‘ (opened at 25:54:v)']

LEV 26:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:8:v)', '‘ (opened at 25:13:v)', '‘ (opened at 25:14:v)', '‘ (opened at 25:18:v)', '‘ (opened at 25:23:v)', '‘ (opened at 25:25:v)', '‘ (opened at 25:29:v)', '‘ (opened at 25:32:v)', '‘ (opened at 25:35:v)', '‘ (opened at 25:39:v)', '‘ (opened at 25:44:v)', '‘ (opened at 25:47:v)', '‘ (opened at 25:54:v)'] before p marker

LEV 26:2 Unclosed ‘ (opened at 26:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 26:3 Unclosed ‘ (opened at 26:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 26:3 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 26:1:v)', '‘ (opened at 26:1:v)', '‘ (opened at 26:2:v)', '‘ (opened at 26:3:v)']

LEV 26:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 26:1:v)', '‘ (opened at 26:1:v)', '‘ (opened at 26:2:v)', '‘ (opened at 26:3:v)']

LEV 26:6 Unclosed ‘ (opened at 26:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 26:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 26:1:v)', '‘ (opened at 26:1:v)', '‘ (opened at 26:2:v)', '‘ (opened at 26:3:v)', '‘ (opened at 26:6:v)']

LEV 26:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 26:1:v)', '‘ (opened at 26:1:v)', '‘ (opened at 26:2:v)', '‘ (opened at 26:3:v)', '‘ (opened at 26:6:v)']

LEV 26:9 Unclosed ‘ (opened at 26:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 26:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 26:1:v)', '‘ (opened at 26:1:v)', '‘ (opened at 26:2:v)', '‘ (opened at 26:3:v)', '‘ (opened at 26:6:v)', '‘ (opened at 26:9:v)']

LEV 26:14 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 26:1:v)', '‘ (opened at 26:1:v)', '‘ (opened at 26:2:v)', '‘ (opened at 26:3:v)', '‘ (opened at 26:6:v)', '‘ (opened at 26:9:v)'] before p marker

LEV 26:18 Unclosed ‘ (opened at 26:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 26:21 Unclosed ‘ (opened at 26:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 26:21 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:21:v)']

LEV 26:23 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:21:v)']

LEV 26:23 Unclosed ‘ (opened at 26:21:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 26:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:21:v)', '‘ (opened at 26:23:v)']

LEV 26:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:21:v)', '‘ (opened at 26:23:v)']

LEV 26:27 Unclosed ‘ (opened at 26:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 26:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:21:v)', '‘ (opened at 26:23:v)', '‘ (opened at 26:27:v)']

LEV 26:36 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:21:v)', '‘ (opened at 26:23:v)', '‘ (opened at 26:27:v)']

LEV 26:36 Unclosed ‘ (opened at 26:27:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 26:36 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:21:v)', '‘ (opened at 26:23:v)', '‘ (opened at 26:27:v)', '‘ (opened at 26:36:v)']

LEV 26:40 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:21:v)', '‘ (opened at 26:23:v)', '‘ (opened at 26:27:v)', '‘ (opened at 26:36:v)']

LEV 26:40 Unclosed ‘ (opened at 26:36:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 26:40 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:21:v)', '‘ (opened at 26:23:v)', '‘ (opened at 26:27:v)', '‘ (opened at 26:36:v)', '‘ (opened at 26:40:v)']

LEV 26:45 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:21:v)', '‘ (opened at 26:23:v)', '‘ (opened at 26:27:v)', '‘ (opened at 26:36:v)']

LEV 26:46 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:14:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:21:v)', '‘ (opened at 26:23:v)', '‘ (opened at 26:27:v)', '‘ (opened at 26:36:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v46

LEV 27:9 Unclosed ‘ (opened at 27:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 27:14 Unclosed ‘ (opened at 27:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 27:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)']

LEV 27:16 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)']

LEV 27:16 Unclosed ‘ (opened at 27:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 27:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)']

LEV 27:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)']

LEV 27:22 Unclosed ‘ (opened at 27:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 27:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:22:v)']

LEV 27:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:22:v)']

LEV 27:26 Unclosed ‘ (opened at 27:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 27:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:26:v)']

LEV 27:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:26:v)']

LEV 27:28 Unclosed ‘ (opened at 27:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 27:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:26:v)', '‘ (opened at 27:28:v)']

LEV 27:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:26:v)', '‘ (opened at 27:28:v)']

LEV 27:29 Unclosed ‘ (opened at 27:28:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 27:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:26:v)', '‘ (opened at 27:28:v)', '‘ (opened at 27:29:v)']

LEV 27:30 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:26:v)', '‘ (opened at 27:28:v)', '‘ (opened at 27:29:v)']

LEV 27:30 Unclosed ‘ (opened at 27:29:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

LEV 27:30 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:26:v)', '‘ (opened at 27:28:v)', '‘ (opened at 27:29:v)', '‘ (opened at 27:30:v)']

LEV 27:33 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:26:v)', '‘ (opened at 27:28:v)', '‘ (opened at 27:29:v)']

LEV 27:34 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:9:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:26:v)', '‘ (opened at 27:28:v)', '‘ (opened at 27:29:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v34

NUM 4:29 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:22:v,4:24:v)' before p marker

NUM 5:16 Unclosed ‘ (opened at 5:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 5:19 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '“ (opened at 5:19:v)']

NUM 5:21 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '“ (opened at 5:21:v)']

NUM 5:22 Unclosed ‘ (opened at 5:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 5:22 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)']

NUM 5:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)', '“ (opened at 5:22:p)']

NUM 5:23 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)']

NUM 5:23 Unclosed ‘ (opened at 5:22:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 5:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)', '‘ (opened at 5:23:v)']

NUM 5:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)', '‘ (opened at 5:23:v)']

NUM 5:29 Unclosed ‘ (opened at 5:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 5:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)', '‘ (opened at 5:23:v)', '‘ (opened at 5:29:v)']

NUM 5:31 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)', '‘ (opened at 5:23:v)']

NUM 6:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:12:v)', '‘ (opened at 5:16:v)', '‘ (opened at 5:22:p)', '‘ (opened at 5:23:v)'] before p marker

NUM 6:5 Unclosed ‘ (opened at 6:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:9 Unclosed ‘ (opened at 6:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)']

NUM 6:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)']

NUM 6:13 Unclosed ‘ (opened at 6:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)']

NUM 6:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)']

NUM 6:16 Unclosed ‘ (opened at 6:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)']

NUM 6:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)']

NUM 6:18 Unclosed ‘ (opened at 6:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)']

NUM 6:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)']

NUM 6:19 Unclosed ‘ (opened at 6:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)', '‘ (opened at 6:19:v)']

NUM 6:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)', '‘ (opened at 6:19:v)']

NUM 6:21 Unclosed ‘ (opened at 6:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 6:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)', '‘ (opened at 6:19:v)', '‘ (opened at 6:21:v)']

NUM 6:21 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)', '‘ (opened at 6:19:v)']

NUM 6:22 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:5:v)', '‘ (opened at 6:9:v)', '‘ (opened at 6:13:v)', '‘ (opened at 6:16:v)', '‘ (opened at 6:18:v)', '‘ (opened at 6:19:v)'] before p marker

NUM 6:24 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 6:23:v)', '‘ (opened at 6:23:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '‘ (opened at 6:24:v)']

NUM 6:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:23:v)', '‘ (opened at 6:23:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '‘ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:24:v)']

NUM 7:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:23:v)', '‘ (opened at 6:23:v)'] before p marker

NUM 9:14 Unclosed ‘ (opened at 9:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 9:14 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 9:10:v)', '‘ (opened at 9:10:v)']

NUM 9:15 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 9:10:v)', '‘ (opened at 9:10:v)'] before p marker

NUM 12:6 Unclosed “ (opened at 12:6:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

NUM 12:9 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 12:6:v)' before v marker or missing reopening quotes at v9

NUM 15:6 Unclosed ‘ (opened at 15:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 15:8 Unclosed ‘ (opened at 15:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 15:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:6:v)', '‘ (opened at 15:8:v)']

NUM 15:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:6:v)', '‘ (opened at 15:8:v)']

NUM 15:13 Unclosed ‘ (opened at 15:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 15:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:6:v)', '‘ (opened at 15:8:v)', '‘ (opened at 15:13:v)']

NUM 15:16 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:6:v)', '‘ (opened at 15:8:v)']

NUM 15:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '‘ (opened at 15:6:v)', '‘ (opened at 15:8:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

NUM 15:22 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 15:18:v)', '‘ (opened at 15:18:v)'] before p marker

NUM 15:27 Unclosed ‘ (opened at 15:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 15:30 Unclosed ‘ (opened at 15:27:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 15:30 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 15:22:v)', '‘ (opened at 15:22:v)', '‘ (opened at 15:27:v)', '‘ (opened at 15:30:v)']

NUM 15:31 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 15:22:v)', '‘ (opened at 15:22:v)', '‘ (opened at 15:27:v)']

NUM 15:32 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 15:22:v)', '‘ (opened at 15:22:v)', '‘ (opened at 15:27:v)'] before p marker

NUM 20:16 Unclosed “ (opened at 20:14:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 20:18 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 20:14:pm)' before v marker or missing reopening quotes at v18

NUM 28:9 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:3:v)'] before p marker

NUM 28:11 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:9:v)', '‘ (opened at 28:9:v)'] before p marker

NUM 28:16 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:11:v)', '‘ (opened at 28:11:v)'] before p marker

NUM 28:26 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:16:v)', '‘ (opened at 28:16:v)'] before p marker

NUM 29:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:26:v)', '‘ (opened at 28:26:v)'] before p marker

NUM 29:7 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 29:1:v)', '‘ (opened at 29:1:v)'] before p marker

NUM 29:12 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 29:7:v)', '‘ (opened at 29:7:v)'] before p marker

NUM 29:17 Unclosed ‘ (opened at 29:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:20 Unclosed ‘ (opened at 29:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:20 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)']

NUM 29:23 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)']

NUM 29:23 Unclosed ‘ (opened at 29:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)']

NUM 29:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)']

NUM 29:26 Unclosed ‘ (opened at 29:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)']

NUM 29:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)']

NUM 29:29 Unclosed ‘ (opened at 29:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)']

NUM 29:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)']

NUM 29:32 Unclosed ‘ (opened at 29:29:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)']

NUM 29:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)']

NUM 29:35 Unclosed ‘ (opened at 29:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)', '‘ (opened at 29:35:v)']

NUM 29:39 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)', '‘ (opened at 29:35:v)']

NUM 29:39 Unclosed ‘ (opened at 29:35:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 29:39 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)', '‘ (opened at 29:35:v)', '‘ (opened at 29:39:v)']

NUM 29:39 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)', '‘ (opened at 29:35:v)']

NUM 29:40 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:12:v)', '‘ (opened at 29:17:v)', '‘ (opened at 29:20:v)', '‘ (opened at 29:23:v)', '‘ (opened at 29:26:v)', '‘ (opened at 29:29:v)', '‘ (opened at 29:32:v)', '‘ (opened at 29:35:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v40

NUM 33:55 Unclosed ‘ (opened at 33:51:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 33:56 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 33:51:v)', '‘ (opened at 33:51:v)']

NUM 34:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 33:51:v)', '‘ (opened at 33:51:v)'] before p marker

NUM 34:3 Unclosed ‘ (opened at 34:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 34:6 Unclosed ‘ (opened at 34:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 34:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)']

NUM 34:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)']

NUM 34:7 Unclosed ‘ (opened at 34:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 34:7 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)']

NUM 34:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)']

NUM 34:10 Unclosed ‘ (opened at 34:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 34:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:10:v)']

NUM 34:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:10:v)']

NUM 34:12 Unclosed ‘ (opened at 34:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 34:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:10:v)', '‘ (opened at 34:12:p)']

NUM 34:12 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:10:v)']

NUM 34:13 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:3:v)', '‘ (opened at 34:6:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:10:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v13

NUM 35:6 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 35:2:v,35:4:v)' before p marker

NUM 35:16 Unclosed ‘ (opened at 35:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:22 Unclosed ‘ (opened at 35:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:22 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)']

NUM 35:26 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)']

NUM 35:26 Unclosed ‘ (opened at 35:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)']

NUM 35:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)']

NUM 35:29 Unclosed ‘ (opened at 35:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)']

NUM 35:30 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)']

NUM 35:30 Unclosed ‘ (opened at 35:29:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:30 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)']

NUM 35:31 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)']

NUM 35:31 Unclosed ‘ (opened at 35:30:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:31 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)']

NUM 35:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)']

NUM 35:32 Unclosed ‘ (opened at 35:31:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)', '‘ (opened at 35:32:v)']

NUM 35:33 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)', '‘ (opened at 35:32:v)']

NUM 35:33 Unclosed ‘ (opened at 35:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NUM 35:33 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)', '‘ (opened at 35:32:v)', '‘ (opened at 35:33:v)']

NUM 35:34 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)', '‘ (opened at 35:32:v)']

NUM 36:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '‘ (opened at 35:16:v)', '‘ (opened at 35:22:v)', '‘ (opened at 35:26:v)', '‘ (opened at 35:29:v)', '‘ (opened at 35:30:v)', '‘ (opened at 35:31:v)', '‘ (opened at 35:32:v)'] before p marker

JOS 6:26 Unclosed “ (opened at 6:26:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JOS 6:27 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:26:v)' before v marker or missing reopening quotes at v27

JOS 7:14 Unclosed ‘ (opened at 7:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JOS 7:15 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 7:10:v,7:13:v)', '‘ (opened at 7:13:v)']

JOS 7:16 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:10:v,7:13:v)', '‘ (opened at 7:13:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v16

JOS 22:18 Unclosed ‘ (opened at 22:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JOS 22:20 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 22:16:v)', '‘ (opened at 22:16:v)']

JOS 22:21 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 22:16:v)', '‘ (opened at 22:16:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v21

JOS 24:5 Unclosed ‘ (opened at 24:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JOS 24:8 Unclosed ‘ (opened at 24:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JOS 24:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:8:v)']

JOS 24:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:8:v)']

JOS 24:11 Unclosed ‘ (opened at 24:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JOS 24:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:8:v)', '‘ (opened at 24:11:v)']

JOS 24:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:8:v)']

JOS 24:15 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:8:v)']

JOS 24:16 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:8:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v16

JDG 11:18 Unclosed “ (opened at 11:15:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JDG 11:19 Unclosed “ (opened at 11:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JDG 11:19 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 11:15:pm)', '“ (opened at 11:18:v)', '“ (opened at 11:19:v)', '‘ (opened at 11:19:v)']

JDG 11:21 Unclosed “ (opened at 11:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JDG 11:21 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 11:15:pm)', '“ (opened at 11:18:v)', '“ (opened at 11:19:v)', '“ (opened at 11:21:v)']

JDG 11:23 Unclosed “ (opened at 11:21:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JDG 11:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 11:15:pm)', '“ (opened at 11:18:v)', '“ (opened at 11:19:v)', '“ (opened at 11:21:v)', '“ (opened at 11:23:v)']

JDG 11:29 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 11:15:pm)', '“ (opened at 11:18:v)', '“ (opened at 11:19:v)', '“ (opened at 11:21:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v29

SA1 2:34 Unclosed ‘ (opened at 2:30:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

SA1 2:36 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 2:27:v,2:30:v)', '‘ (opened at 2:30:v)', '‘ (opened at 2:34:v)', '“ (opened at 2:36:v)']

SA1 2:36 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 2:27:v,2:30:v)', '‘ (opened at 2:30:v)']

SA1 3:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:27:v,2:30:v)', '‘ (opened at 2:30:v)'] before p marker

SA1 21:11 Unclosed “ (opened at 21:11:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

SA1 21:12 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 21:11:v)' before v marker or missing reopening quotes at v12

SA1 25:7 Unclosed ‘ (opened at 25:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

SA1 25:8 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 25:5:v)', '‘ (opened at 25:6:v)']

SA1 25:9 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 25:5:v)', '‘ (opened at 25:6:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v9

SA1 29:5 Unclosed “ (opened at 29:4:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

SA1 29:6 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 29:4:v)' before v marker or missing reopening quotes at v6

SA2 7:8 Unclosed “ (opened at 7:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

SA2 7:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:5:v)', '“ (opened at 7:8:v)', '‘ (opened at 7:8:v)', '“ (opened at 7:11:pm)']

SA2 7:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:5:v)', '“ (opened at 7:8:v)', '‘ (opened at 7:8:v)', '“ (opened at 7:11:pm)', '‘ (opened at 7:11:pm)']

SA2 7:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:5:v)', '“ (opened at 7:8:v)', '‘ (opened at 7:8:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

SA2 7:20 Unclosed “ (opened at 7:18:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

SA2 7:22 Unclosed “ (opened at 7:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

SA2 7:25 Unclosed “ (opened at 7:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

SA2 7:25 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:18:pm)', '“ (opened at 7:20:v)', '“ (opened at 7:22:v)', '“ (opened at 7:25:v)']

SA2 7:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:18:pm)', '“ (opened at 7:20:v)', '“ (opened at 7:22:v)', '“ (opened at 7:25:v)', '‘ (opened at 7:26:v)']

SA2 7:27 Unclosed “ (opened at 7:25:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

SA2 7:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:18:pm)', '“ (opened at 7:20:v)', '“ (opened at 7:22:v)', '“ (opened at 7:25:v)', '“ (opened at 7:27:v)']

SA2 7:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:18:pm)', '“ (opened at 7:20:v)', '“ (opened at 7:22:v)', '“ (opened at 7:25:v)', '“ (opened at 7:27:v)', '‘ (opened at 7:27:v)']

SA2 8:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:18:pm)', '“ (opened at 7:20:v)', '“ (opened at 7:22:v)', '“ (opened at 7:25:v)'] before p marker

KI1 5:6 Unclosed “ (opened at 5:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 5:7 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 5:3:v)' before v marker or missing reopening quotes at v7

KI1 8:17 Unclosed “ (opened at 8:15:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:20 Unclosed “ (opened at 8:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:22 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 8:15:pm)', '“ (opened at 8:17:v)'] before p marker

KI1 8:25 Unclosed “ (opened at 8:23:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:27 Unclosed “ (opened at 8:25:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:29 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '‘ (opened at 8:29:v)']

KI1 8:31 Unclosed “ (opened at 8:27:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:31 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)']

KI1 8:33 Unclosed “ (opened at 8:31:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:33 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)']

KI1 8:35 Unclosed “ (opened at 8:33:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)']

KI1 8:37 Unclosed “ (opened at 8:35:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:37 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)']

KI1 8:41 Unclosed “ (opened at 8:37:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:41 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)', '“ (opened at 8:41:v)']

KI1 8:44 Unclosed “ (opened at 8:41:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:44 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)', '“ (opened at 8:41:v)', '“ (opened at 8:44:v)']

KI1 8:46 Unclosed “ (opened at 8:44:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:46 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)', '“ (opened at 8:41:v)', '“ (opened at 8:44:v)', '“ (opened at 8:46:v)']

KI1 8:47 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)', '“ (opened at 8:41:v)', '“ (opened at 8:44:v)', '“ (opened at 8:46:v)', '‘ (opened at 8:47:v)']

KI1 8:52 Unclosed “ (opened at 8:46:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 8:52 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)', '“ (opened at 8:41:v)', '“ (opened at 8:44:v)', '“ (opened at 8:46:v)', '“ (opened at 8:52:v)']

KI1 8:54 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 8:23:pm)', '“ (opened at 8:25:v)', '“ (opened at 8:27:v)', '“ (opened at 8:31:v)', '“ (opened at 8:33:v)', '“ (opened at 8:35:v)', '“ (opened at 8:37:v)', '“ (opened at 8:41:v)', '“ (opened at 8:44:v)', '“ (opened at 8:46:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v54

KI1 9:4 Unclosed “ (opened at 9:3:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 9:6 Unclosed “ (opened at 9:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 9:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 9:3:pm)', '“ (opened at 9:4:v)', '“ (opened at 9:6:v)', '‘ (opened at 9:8:v)']

KI1 9:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 9:3:pm)', '“ (opened at 9:4:v)', '“ (opened at 9:6:v)', '‘ (opened at 9:9:v)']

KI1 9:10 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 9:3:pm)', '“ (opened at 9:4:v)'] before p marker

KI1 11:34 Unclosed ‘ (opened at 11:31:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 11:39 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 11:31:v)', '‘ (opened at 11:31:v)']

KI1 11:40 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 11:31:v)', '‘ (opened at 11:31:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v40

KI1 14:10 Unclosed ‘ (opened at 14:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI1 14:16 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)']

KI1 14:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

KI2 18:19 Unclosed “ (opened at 18:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

KI2 18:22 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:19:v)', '“ (opened at 18:19:pm)', '‘ (opened at 18:19:pm)', '“ (opened at 18:22:v)']

KI2 18:22 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:19:v)', '“ (opened at 18:19:pm)', '‘ (opened at 18:19:pm)', '“ (opened at 18:22:v)']

KI2 18:23 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:19:v)', '“ (opened at 18:19:pm)', '‘ (opened at 18:19:pm)', '“ (opened at 18:23:v)']

KI2 18:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:19:v)', '“ (opened at 18:19:pm)', '‘ (opened at 18:19:pm)', '“ (opened at 18:23:v)', '‘ (opened at 18:23:v)']

KI2 18:26 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 18:19:v)', '“ (opened at 18:19:pm)', '‘ (opened at 18:19:pm)'] before v marker or missing reopening quotes at v26

KI2 19:21 Unclosed “ (opened at 19:20:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

KI2 19:23 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 19:20:v)', '“ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:21:q1)', '“ (opened at 19:23:q2)']

KI2 19:25 Unclosed ‘ (opened at 19:21:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

KI2 19:25 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 19:20:v)', '“ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:25:v)']

KI2 19:27 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 19:20:v)', '“ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:25:v)']

KI2 19:27 Unclosed ‘ (opened at 19:25:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

KI2 19:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:20:v)', '“ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:25:v)', '‘ (opened at 19:27:v)']

KI2 19:29 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 19:20:v)', '“ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:25:v)']

KI2 19:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:20:v)', '“ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:25:v)', '“ (opened at 19:29:q1)']

KI2 19:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:20:v)', '“ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:25:v)', '“ (opened at 19:29:q1,19:32:v)']

KI2 19:32 Unclosed “ (opened at 19:29:q1,19:32:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

KI2 19:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:20:v)', '“ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:25:v)', '“ (opened at 19:29:q1,19:32:v)', '“ (opened at 19:32:q1)']

KI2 19:35 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 19:20:v)', '“ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:21:q1)', '‘ (opened at 19:25:v)', '“ (opened at 19:29:q1,19:32:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v35

CH1 17:7 Unclosed “ (opened at 17:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH1 17:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:4:v)', '“ (opened at 17:7:v)', '‘ (opened at 17:7:v)', '“ (opened at 17:10:pm)']

CH1 17:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 17:4:v)', '“ (opened at 17:7:v)', '‘ (opened at 17:7:v)', '“ (opened at 17:10:pm)', '‘ (opened at 17:10:pm)']

CH1 17:15 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:4:v)', '“ (opened at 17:7:v)', '‘ (opened at 17:7:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v15

CH1 17:18 Unclosed “ (opened at 17:16:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH1 17:20 Unclosed “ (opened at 17:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH1 17:23 Unclosed “ (opened at 17:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH1 17:23 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:16:pm)', '“ (opened at 17:18:v)', '“ (opened at 17:20:v)', '“ (opened at 17:23:v)']

CH1 17:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 17:16:pm)', '“ (opened at 17:18:v)', '“ (opened at 17:20:v)', '“ (opened at 17:23:v)', '‘ (opened at 17:24:v)']

CH1 17:25 Unclosed “ (opened at 17:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH1 17:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 17:16:pm)', '“ (opened at 17:18:v)', '“ (opened at 17:20:v)', '“ (opened at 17:23:v)', '“ (opened at 17:25:v)']

CH1 18:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:16:pm)', '“ (opened at 17:18:v)', '“ (opened at 17:20:v)', '“ (opened at 17:23:v)'] before p marker

CH2 2:5 Unclosed “ (opened at 2:3:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 2:7 Unclosed “ (opened at 2:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 2:8 Unclosed “ (opened at 2:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 2:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 2:3:pm)', '“ (opened at 2:5:v)', '“ (opened at 2:7:v)', '“ (opened at 2:8:v)']

CH2 2:11 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:3:pm)', '“ (opened at 2:5:v)', '“ (opened at 2:7:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v11

CH2 2:13 Unclosed “ (opened at 2:12:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 2:15 Unclosed “ (opened at 2:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 2:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:12:pm)', '“ (opened at 2:13:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

CH2 6:7 Unclosed “ (opened at 6:4:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:10 Unclosed “ (opened at 6:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:12 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:4:pm)', '“ (opened at 6:7:v)'] before p marker

CH2 6:16 Unclosed “ (opened at 6:14:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:18 Unclosed “ (opened at 6:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:20 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '‘ (opened at 6:20:v)']

CH2 6:22 Unclosed “ (opened at 6:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:22 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)']

CH2 6:24 Unclosed “ (opened at 6:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)']

CH2 6:26 Unclosed “ (opened at 6:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)']

CH2 6:28 Unclosed “ (opened at 6:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)']

CH2 6:32 Unclosed “ (opened at 6:28:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)']

CH2 6:34 Unclosed “ (opened at 6:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:34 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)', '“ (opened at 6:34:v)']

CH2 6:36 Unclosed “ (opened at 6:34:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:36 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)', '“ (opened at 6:34:v)', '“ (opened at 6:36:v)']

CH2 6:37 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)', '“ (opened at 6:34:v)', '“ (opened at 6:36:v)', '‘ (opened at 6:37:v)']

CH2 6:40 Unclosed “ (opened at 6:36:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:40 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)', '“ (opened at 6:34:v)', '“ (opened at 6:36:v)', '“ (opened at 6:40:v)']

CH2 6:41 Unclosed “ (opened at 6:40:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 6:41 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)', '“ (opened at 6:34:v)', '“ (opened at 6:36:v)', '“ (opened at 6:40:v)', '“ (opened at 6:41:v)']

CH2 7:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:14:pm)', '“ (opened at 6:16:v)', '“ (opened at 6:18:v)', '“ (opened at 6:22:v)', '“ (opened at 6:24:v)', '“ (opened at 6:26:v)', '“ (opened at 6:28:v)', '“ (opened at 6:32:v)', '“ (opened at 6:34:v)', '“ (opened at 6:36:v)', '“ (opened at 6:40:v)'] before p marker

CH2 7:13 Unclosed “ (opened at 7:12:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 7:17 Unclosed “ (opened at 7:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 7:18 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:12:pm)', '“ (opened at 7:13:v)', '“ (opened at 7:17:v)', '‘ (opened at 7:18:v)']

CH2 7:19 Unclosed “ (opened at 7:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 7:19 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:12:pm)', '“ (opened at 7:13:v)', '“ (opened at 7:17:v)', '“ (opened at 7:19:v)']

CH2 7:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:12:pm)', '“ (opened at 7:13:v)', '“ (opened at 7:17:v)', '“ (opened at 7:19:v)', '‘ (opened at 7:21:v)']

CH2 7:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:12:pm)', '“ (opened at 7:13:v)', '“ (opened at 7:17:v)', '“ (opened at 7:19:v)', '‘ (opened at 7:22:v)']

CH2 8:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:12:pm)', '“ (opened at 7:13:v)', '“ (opened at 7:17:v)'] before p marker

CH2 20:10 Unclosed “ (opened at 20:6:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 20:13 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 20:6:pm)' before v marker or missing reopening quotes at v13

CH2 20:21 Unclosed “ (opened at 20:20:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

CH2 20:22 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 20:20:v)' before v marker or missing reopening quotes at v22

CH2 32:13 Unclosed “ (opened at 32:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 32:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 32:10:v)' before v marker or missing reopening quotes at v16

CH2 36:23 Unclosed “ (opened at 36:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

CH2 36:23 Unclosed ['“ (opened at 36:23:v)'] speech marks at end of book

EZR 1:2 Unclosed “ (opened at 1:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZR 1:5 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 1:2:v)' before v marker or missing reopening quotes at v5

EZR 5:13 Unclosed “ (opened at 5:11:pm) speech marks before b (or improperly nested or reopened speech marks after b)

EZR 5:14 Unclosed “ (opened at 5:13:v) speech marks before b (or improperly nested or reopened speech marks after b)

EZR 5:15 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 5:11:pm)', '“ (opened at 5:13:v)', '“ (opened at 5:14:pm)', '‘ (opened at 5:15:v)']

EZR 5:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 5:11:pm)', '“ (opened at 5:13:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

EZR 9:8 Unclosed “ (opened at 9:6:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZR 9:10 Unclosed “ (opened at 9:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZR 9:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 9:6:pm)', '“ (opened at 9:8:v)', '“ (opened at 9:10:v)', '‘ (opened at 9:11:v)']

EZR 9:13 Unclosed “ (opened at 9:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZR 9:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 9:6:pm)', '“ (opened at 9:8:v)', '“ (opened at 9:10:v)', '“ (opened at 9:13:v)']

EZR 10:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 9:6:pm)', '“ (opened at 9:8:v)', '“ (opened at 9:10:v)'] before p marker

NEH 1:8 Unclosed “ (opened at 1:5:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 1:10 Unclosed “ (opened at 1:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 1:11 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 1:5:pm)', '“ (opened at 1:8:v)'] before p marker or missing reopening quotes at v11

NEH 9:5 Unclosed “ (opened at 9:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 9:7 Unclosed “ (opened at 9:5:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 9:9 Unclosed “ (opened at 9:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 9:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 9:5:v)', '“ (opened at 9:5:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:9:v)']

NEH 9:13 Unclosed “ (opened at 9:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 9:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 9:5:v)', '“ (opened at 9:5:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:9:v)', '“ (opened at 9:13:v)']

NEH 9:16 Unclosed “ (opened at 9:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 9:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 9:5:v)', '“ (opened at 9:5:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:9:v)', '“ (opened at 9:13:v)', '“ (opened at 9:16:v)']

NEH 9:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 9:5:v)', '“ (opened at 9:5:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:9:v)', '“ (opened at 9:13:v)', '“ (opened at 9:16:v)', '‘ (opened at 9:18:v)']

NEH 9:19 Unclosed “ (opened at 9:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 9:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 9:5:v)', '“ (opened at 9:5:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:9:v)', '“ (opened at 9:13:v)', '“ (opened at 9:16:v)', '“ (opened at 9:19:v)']

NEH 9:22 Unclosed “ (opened at 9:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 9:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 9:5:v)', '“ (opened at 9:5:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:9:v)', '“ (opened at 9:13:v)', '“ (opened at 9:16:v)', '“ (opened at 9:19:v)', '“ (opened at 9:22:v)']

NEH 9:26 Unclosed “ (opened at 9:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 9:26 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 9:5:v)', '“ (opened at 9:5:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:9:v)', '“ (opened at 9:13:v)', '“ (opened at 9:16:v)', '“ (opened at 9:19:v)', '“ (opened at 9:22:v)', '“ (opened at 9:26:v)']

NEH 9:28 Unclosed “ (opened at 9:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 9:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 9:5:v)', '“ (opened at 9:5:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:9:v)', '“ (opened at 9:13:v)', '“ (opened at 9:16:v)', '“ (opened at 9:19:v)', '“ (opened at 9:22:v)', '“ (opened at 9:26:v)', '“ (opened at 9:28:v)']

NEH 9:29 Unclosed “ (opened at 9:28:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 9:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 9:5:v)', '“ (opened at 9:5:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:9:v)', '“ (opened at 9:13:v)', '“ (opened at 9:16:v)', '“ (opened at 9:19:v)', '“ (opened at 9:22:v)', '“ (opened at 9:26:v)', '“ (opened at 9:28:v)', '“ (opened at 9:29:v)']

NEH 9:32 Unclosed “ (opened at 9:29:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 9:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 9:5:v)', '“ (opened at 9:5:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:9:v)', '“ (opened at 9:13:v)', '“ (opened at 9:16:v)', '“ (opened at 9:19:v)', '“ (opened at 9:22:v)', '“ (opened at 9:26:v)', '“ (opened at 9:28:v)', '“ (opened at 9:29:v)', '“ (opened at 9:32:v)']

NEH 9:36 Unclosed “ (opened at 9:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

NEH 9:36 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 9:5:v)', '“ (opened at 9:5:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:9:v)', '“ (opened at 9:13:v)', '“ (opened at 9:16:v)', '“ (opened at 9:19:v)', '“ (opened at 9:22:v)', '“ (opened at 9:26:v)', '“ (opened at 9:28:v)', '“ (opened at 9:29:v)', '“ (opened at 9:32:v)', '“ (opened at 9:36:v)']

NEH 9:38 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 9:5:v)', '“ (opened at 9:5:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:9:v)', '“ (opened at 9:13:v)', '“ (opened at 9:16:v)', '“ (opened at 9:19:v)', '“ (opened at 9:22:v)', '“ (opened at 9:26:v)', '“ (opened at 9:28:v)', '“ (opened at 9:29:v)', '“ (opened at 9:32:v)', '“ (opened at 9:36:v)'] before p marker

NEH 10:30 Unclosed “ (opened at 10:28:v) speech marks before b (or improperly nested or reopened speech marks after b)

NEH 10:31 Unclosed “ (opened at 10:30:v) speech marks before b (or improperly nested or reopened speech marks after b)

NEH 10:32 Unclosed “ (opened at 10:31:v) speech marks before b (or improperly nested or reopened speech marks after b)

NEH 10:32 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 10:28:v)', '“ (opened at 10:30:v)', '“ (opened at 10:31:v)', '“ (opened at 10:32:v)']

NEH 10:34 Unclosed “ (opened at 10:32:v) speech marks before b (or improperly nested or reopened speech marks after b)

NEH 10:34 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 10:28:v)', '“ (opened at 10:30:v)', '“ (opened at 10:31:v)', '“ (opened at 10:32:v)', '“ (opened at 10:34:v)']

NEH 10:35 Unclosed “ (opened at 10:34:v) speech marks before b (or improperly nested or reopened speech marks after b)

NEH 10:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 10:28:v)', '“ (opened at 10:30:v)', '“ (opened at 10:31:v)', '“ (opened at 10:32:v)', '“ (opened at 10:34:v)', '“ (opened at 10:35:v)']

NEH 10:36 Unclosed “ (opened at 10:35:v) speech marks before b (or improperly nested or reopened speech marks after b)

NEH 10:36 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 10:28:v)', '“ (opened at 10:30:v)', '“ (opened at 10:31:v)', '“ (opened at 10:32:v)', '“ (opened at 10:34:v)', '“ (opened at 10:35:v)', '“ (opened at 10:36:v)']

NEH 10:37 Unclosed “ (opened at 10:36:v) speech marks before b (or improperly nested or reopened speech marks after b)

NEH 10:37 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 10:28:v)', '“ (opened at 10:30:v)', '“ (opened at 10:31:v)', '“ (opened at 10:32:v)', '“ (opened at 10:34:v)', '“ (opened at 10:35:v)', '“ (opened at 10:36:v)', '“ (opened at 10:37:v)']

NEH 10:39 Unclosed “ (opened at 10:37:v) speech marks before b (or improperly nested or reopened speech marks after b)

NEH 10:39 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 10:28:v)', '“ (opened at 10:30:v)', '“ (opened at 10:31:v)', '“ (opened at 10:32:v)', '“ (opened at 10:34:v)', '“ (opened at 10:35:v)', '“ (opened at 10:36:v)', '“ (opened at 10:37:v)', '“ (opened at 10:39:pm)']

NEH 11:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 10:28:v)', '“ (opened at 10:30:v)', '“ (opened at 10:31:v)', '“ (opened at 10:32:v)', '“ (opened at 10:34:v)', '“ (opened at 10:35:v)', '“ (opened at 10:36:v)', '“ (opened at 10:37:v)'] before p marker

JOB 5:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:2:v,4:7:v,4:12:v)' before q1 marker

JOB 7:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:2:v,6:8:v,6:11:v,6:14:v,6:24:v,6:28:v)' before q1 marker

JOB 7:6 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:1:v)' before q1 marker

JOB 10:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 9:2:v,9:14:v,9:21:v,9:25:v,9:32:v)' before q1 marker

JOB 13:1 Unclosed “ (opened at 12:2:v,12:4:v,12:7:v,12:13:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JOB 14:1 Unclosed “ (opened at 13:1:v,13:13:v,13:20:v,13:28:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JOB 15:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 12:2:v,12:4:v,12:7:v,12:13:v)', '“ (opened at 13:1:v,13:13:v,13:20:v,13:28:v)'] before p marker

JOB 17:3 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 16:2:v,16:6:v,16:15:v,16:18:v,16:22:v)' before q1 marker

JOB 24:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 23:2:v,23:8:v,23:13:v)' before q1 marker

JOB 28:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 27:2:v,27:7:v,27:11:v,27:13:v)' before q1 marker

JOB 30:1 Unclosed “ (opened at 29:2:v,29:7:v,29:18:v,29:21:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JOB 31:1 Unclosed “ (opened at 30:1:v,30:9:v,30:16:v,30:20:v,30:24:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JOB 31:24 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v,29:7:v,29:18:v,29:21:v)', '“ (opened at 30:1:v,30:9:v,30:16:v,30:20:v,30:24:v)', '“ (opened at 31:1:v,31:5:v,31:9:v,31:13:v,31:16:v,31:24:v)', '‘ (opened at 31:24:q2)']

JOB 31:31 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v,29:7:v,29:18:v,29:21:v)', '“ (opened at 30:1:v,30:9:v,30:16:v,30:20:v,30:24:v)', '“ (opened at 31:1:v,31:5:v,31:9:v,31:13:v,31:16:v,31:24:v,31:29:v)', '‘ (opened at 31:31:q2)']

JOB 31:35 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 29:2:v,29:7:v,29:18:v,29:21:v)', '“ (opened at 30:1:v,30:9:v,30:16:v,30:20:v,30:24:v)', '“ (opened at 31:1:v,31:5:v,31:9:v,31:13:v,31:16:v,31:24:v,31:29:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v35

JOB 33:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 32:6:q1,32:10:v,32:15:v)' before q1 marker

JOB 37:1 Unclosed “ (opened at 36:2:v,36:5:v,36:13:v,36:16:v,36:22:v,36:27:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JOB 38:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 36:2:v,36:5:v,36:13:v,36:16:v,36:22:v,36:27:v)' before p marker

JOB 39:1 Unclosed “ (opened at 38:2:v,38:4:v,38:8:v,38:12:v,38:16:v,38:19:v,38:22:v,38:31:v,38:34:v,38:39:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JOB 40:2 Unclosed “ (opened at 38:2:v,38:4:v,38:8:v,38:12:v,38:16:v,38:19:v,38:22:v,38:31:v,38:34:v,38:39:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JOB 40:3 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 38:2:v,38:4:v,38:8:v,38:12:v,38:16:v,38:19:v,38:22:v,38:31:v,38:34:v,38:39:v)' before v marker or missing reopening quotes at v3

JOB 41:1 Unclosed “ (opened at 40:7:v,40:8:v,40:15:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JOB 42:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 40:7:v,40:8:v,40:15:v)' before p marker

ECC 7:27 Unclosed “ (opened at 7:27:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ECC 8:2 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:27:v)' before p marker

ISA 6:9 Unclosed “ (opened at 6:9:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ISA 6:11 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:9:v)' before v marker or missing reopening quotes at v11

ISA 7:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:3:v)', '‘ (opened at 7:4:v)', '“ (opened at 7:7:q1)', '‘ (opened at 7:7:q1)']

ISA 7:10 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:3:v)', '‘ (opened at 7:4:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v10

ISA 36:4 Unclosed “ (opened at 36:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

ISA 36:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 36:4:v)', '“ (opened at 36:4:pm)', '‘ (opened at 36:4:pm)', '“ (opened at 36:7:v)']

ISA 36:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 36:4:v)', '“ (opened at 36:4:pm)', '‘ (opened at 36:4:pm)', '“ (opened at 36:7:v)']

ISA 36:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 36:4:v)', '“ (opened at 36:4:pm)', '‘ (opened at 36:4:pm)', '“ (opened at 36:8:v)']

ISA 36:8 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 36:4:v)', '“ (opened at 36:4:pm)', '‘ (opened at 36:4:pm)', '“ (opened at 36:8:v)', '‘ (opened at 36:8:v)']

ISA 36:11 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 36:4:v)', '“ (opened at 36:4:pm)', '‘ (opened at 36:4:pm)'] before v marker or missing reopening quotes at v11

ISA 37:22 Unclosed “ (opened at 37:21:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ISA 37:30 Unclosed “ (opened at 37:22:q1,37:26:v,37:28:v,37:30:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ISA 37:33 Unclosed “ (opened at 37:30:q1,37:33:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ISA 37:33 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 37:21:v)', '“ (opened at 37:22:q1,37:26:v,37:28:v,37:30:v)', '“ (opened at 37:30:q1,37:33:v)', '“ (opened at 37:33:q1)']

ISA 37:35 Unclosed “ (opened at 37:30:q1,37:33:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ISA 37:35 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 37:21:v)', '“ (opened at 37:22:q1,37:26:v,37:28:v,37:30:v)', '“ (opened at 37:30:q1,37:33:v)', '“ (opened at 37:35:v)']

ISA 37:36 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 37:21:v)', '“ (opened at 37:22:q1,37:26:v,37:28:v,37:30:v)', '“ (opened at 37:30:q1,37:33:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v36

ISA 38:7 Unclosed ‘ (opened at 38:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

ISA 38:8 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 38:5:v)', '‘ (opened at 38:5:v)']

ISA 38:9 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 38:5:v)', '‘ (opened at 38:5:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v9

ISA 42:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 41:22:v,41:25:v)' before q1 marker

ISA 42:18 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 42:14:v)' before q1 marker

ISA 44:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 43:18:v,43:22:v,43:25:v)' before q1 marker

ISA 44:6 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 44:1:v)' before q1 marker

ISA 45:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 44:24:v,44:24:q1,44:25:v,44:26:q1)' before q1 marker

ISA 47:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 46:3:v,46:5:v,46:8:v)' before q1 marker

ISA 48:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 47:5:v,47:8:v,47:12:v)' before q1 marker

ISA 48:12 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 48:1:v,48:6:q1)' before q1 marker

ISA 48:16 Unclosed “ (opened at 48:12:v,48:14:v,48:16:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ISA 48:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 48:12:v,48:14:v,48:16:v)' before q1 marker or missing reopening quotes at v16

ISA 65:17 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 65:13:q1)' before q1 marker

JER 2:2 Unclosed “ (opened at 2:2:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 2:4 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 2:2:v)' before v marker or missing reopening quotes at v4

JER 2:31 Unclosed “ (opened at 2:30:v,2:31:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 3:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:30:v,2:31:v)', '“ (opened at 2:31:q1)'] before q1 marker

JER 3:12 Unclosed “ (opened at 3:11:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 3:19 Unclosed “ (opened at 3:16:v,3:19:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 3:21 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 3:16:v,3:19:v)' before v marker or missing reopening quotes at v21

JER 4:5 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:3:q1)' before q1 marker

JER 5:20 Unclosed “ (opened at 5:19:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 5:22 Unclosed “ (opened at 5:19:v) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

JER 5:29 Unclosed “ (opened at 5:19:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 6:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 5:19:v)', '“ (opened at 5:29:q1,5:30:v)'] before q1 marker

JER 7:9 Unclosed ‘ (opened at 7:2:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 7:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '“ (opened at 7:10:v)']

JER 7:12 Unclosed ‘ (opened at 7:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 7:12 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:12:v)']

JER 7:20 Unclosed ‘ (opened at 7:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 7:20 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:20:v)']

JER 7:21 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:20:v)']

JER 7:21 Unclosed ‘ (opened at 7:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 7:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:20:v)', '‘ (opened at 7:21:v)']

JER 7:27 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:20:v)']

JER 7:28 Unclosed ‘ (opened at 7:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 7:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:20:v)', '‘ (opened at 7:28:v)']

JER 7:30 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:2:v,7:2:p)', '‘ (opened at 7:2:p)', '‘ (opened at 7:9:v)', '‘ (opened at 7:20:v)', '‘ (opened at 7:28:v)'] before p marker

JER 8:1 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:30:v)', '‘ (opened at 7:30:v)', '“ (opened at 8:1:v)', '‘ (opened at 8:1:v)']

JER 8:4 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:30:v)', '‘ (opened at 7:30:v)', '“ (opened at 8:1:v)'] before p marker

JER 8:4 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)']

JER 8:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '“ (opened at 8:6:q2)']

JER 8:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)']

JER 8:8 Unclosed ‘ (opened at 8:4:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 8:8 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:8 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)', '“ (opened at 8:8:v)']

JER 8:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)', '“ (opened at 8:11:q1)']

JER 8:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:13 Unclosed ‘ (opened at 8:8:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 8:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)', '‘ (opened at 8:13:v)']

JER 8:13 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:16 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:17 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)']

JER 8:18 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 8:4:v)', '‘ (opened at 8:4:v)', '“ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:4:q1)', '‘ (opened at 8:8:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v18

JER 9:22 Unclosed “ (opened at 9:22:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 9:23 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 9:22:v)' before v marker or missing reopening quotes at v23

JER 11:15 Unclosed “ (opened at 11:9:v,11:14:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 11:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:9:v,11:14:v)' before v marker or missing reopening quotes at v16

JER 13:12 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 13:9:v)' before p marker

JER 14:17 Unclosed “ (opened at 14:14:v,14:17:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 14:19 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 14:14:v,14:17:v)' before v marker or missing reopening quotes at v19

JER 15:2 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 15:1:v)', '‘ (opened at 15:2:v)', '“ (opened at 15:2:q1)', '‘ (opened at 15:2:q1)']

JER 15:3 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 15:1:v)', '‘ (opened at 15:2:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v3

JER 15:5 Unclosed “ (opened at 15:3:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 15:6 Unclosed “ (opened at 15:3:v) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

JER 15:10 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 15:3:v)' before v marker or missing reopening quotes at v10

JER 17:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 16:21:v)' before q1 marker

JER 19:7 Unclosed ‘ (opened at 19:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 19:11 Unclosed ‘ (opened at 19:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 19:13 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 19:1:v)', '‘ (opened at 19:3:v)']

JER 19:14 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 19:1:v)', '‘ (opened at 19:3:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v14

JER 21:12 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 21:3:v,21:8:v,21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)', '“ (opened at 21:12:q1)', '‘ (opened at 21:12:q1)']

JER 21:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:3:v,21:8:v,21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)', '“ (opened at 21:12:q1)', '‘ (opened at 21:12:q1)', '“ (opened at 21:13:q1)']

JER 22:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 21:3:v,21:8:v,21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)'] before p marker

JER 24:8 Unclosed ‘ (opened at 24:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 24:8 Unclosed ‘ (opened at 24:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 24:10 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:5:v)']

JER 25:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 24:5:v)', '‘ (opened at 24:5:v)'] before p marker

JER 25:30 Unclosed “ (opened at 25:27:v,25:30:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 25:32 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 25:27:v,25:30:v)' before v marker or missing reopening quotes at v32

JER 26:18 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:18:v)', '“ (opened at 26:18:q1)', '‘ (opened at 26:18:q1)']

JER 26:20 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 26:18:v)', '‘ (opened at 26:18:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v20

JER 27:8 Unclosed ‘ (opened at 27:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 27:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:4:v)', '‘ (opened at 27:8:v)', '“ (opened at 27:8:v)']

JER 27:11 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:4:v)']

JER 27:12 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:4:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v12

JER 30:5 Unclosed “ (opened at 30:5:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:8 Unclosed ‘ (opened at 30:5:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:v)']

JER 30:8 Unclosed ‘ (opened at 30:5:q1) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

JER 30:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)']

JER 30:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)']

JER 30:10 Unclosed ‘ (opened at 30:8:q2) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '‘ (opened at 30:10:v)']

JER 30:10 Unclosed ‘ (opened at 30:8:q2) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '‘ (opened at 30:10:q1)']

JER 30:11 Unclosed ‘ (opened at 30:8:q2) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '‘ (opened at 30:11:q1)']

JER 30:12 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)']

JER 30:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)']

JER 30:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)']

JER 30:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)']

JER 30:16 Unclosed ‘ (opened at 30:12:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:16:v)']

JER 30:17 Unclosed ‘ (opened at 30:12:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 30:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:17:q1)']

JER 30:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)']

JER 30:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)', '“ (opened at 30:18:q1)']

JER 30:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)', '“ (opened at 30:18:q1)', '‘ (opened at 30:18:q1)']

JER 30:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)', '“ (opened at 30:18:q1)', '‘ (opened at 30:22:v)']

JER 30:23 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 30:5:v)', '“ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:5:q1)', '‘ (opened at 30:8:q2)', '“ (opened at 30:12:q1)', '‘ (opened at 30:12:q1)'] before v marker or missing reopening quotes at v23

JER 31:29 Unclosed “ (opened at 31:29:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 31:31 Unclosed “ (opened at 31:29:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 31:31 Unclosed “ (opened at 31:29:q1) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

JER 31:33 Unclosed “ (opened at 31:29:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 31:33 Unclosed “ (opened at 31:29:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 31:34 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 31:29:v)', '“ (opened at 31:29:q1)', '“ (opened at 31:33:q1)', '‘ (opened at 31:34:q2)']

JER 31:34 Unclosed “ (opened at 31:29:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 31:35 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 31:29:v)', '“ (opened at 31:29:q1)'] before v marker or missing reopening quotes at v35

JER 32:17 Unclosed “ (opened at 32:6:v,32:8:v,32:8:p,32:13:v,32:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 32:24 Unclosed “ (opened at 32:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 32:25 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 32:6:v,32:8:v,32:8:p,32:13:v,32:16:v)', '“ (opened at 32:17:v)', '“ (opened at 32:24:v)', '‘ (opened at 32:25:v)']

JER 32:26 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 32:6:v,32:8:v,32:8:p,32:13:v,32:16:v)', '“ (opened at 32:17:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v26

JER 33:6 Unclosed ‘ (opened at 33:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 33:10 Unclosed ‘ (opened at 33:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 33:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:10:v)']

JER 33:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1)']

JER 33:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1)', '‘ (opened at 33:11:q1)']

JER 33:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1)', '‘ (opened at 33:11:q1)', '“ (opened at 33:11:q1)']

JER 33:12 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v)']

JER 33:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v)', '‘ (opened at 33:12:v)']

JER 33:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)']

JER 33:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)', '‘ (opened at 33:14:v)']

JER 33:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)', '‘ (opened at 33:14:v)']

JER 33:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)', '‘ (opened at 33:14:v)', '“ (opened at 33:15:v)']

JER 33:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)', '‘ (opened at 33:14:v)', '“ (opened at 33:15:v)', '‘ (opened at 33:15:v)']

JER 33:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)', '‘ (opened at 33:14:v)', '“ (opened at 33:15:v)', '‘ (opened at 33:17:v)']

JER 33:19 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 33:2:v)', '‘ (opened at 33:5:v)', '‘ (opened at 33:10:v)', '“ (opened at 33:11:q1,33:12:v,33:14:v)', '‘ (opened at 33:14:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v19

JER 34:4 Unclosed ‘ (opened at 34:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 34:5 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:4:v)', '“ (opened at 34:5:v)']

JER 34:5 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)']

JER 34:6 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v6

JER 38:22 Unclosed “ (opened at 38:20:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

JER 38:24 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 38:20:v)' before v marker or missing reopening quotes at v24

JER 44:29 Unclosed ‘ (opened at 44:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 44:30 Unclosed ‘ (opened at 44:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JER 44:30 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 44:24:v,44:25:p)', '‘ (opened at 44:26:v)']

JER 45:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 44:24:v,44:25:p)', '‘ (opened at 44:26:v)'] before p marker

EZE 4:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 3:24:v)' before p marker

EZE 5:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:16:v)' before p marker

EZE 6:8 Unclosed ‘ (opened at 6:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 6:11 Unclosed ‘ (opened at 6:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 6:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:3:v)', '‘ (opened at 6:8:v)', '‘ (opened at 6:11:v)']

EZE 6:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:3:v)', '‘ (opened at 6:8:v)', '‘ (opened at 6:11:v)', '“ (opened at 6:11:v)']

EZE 6:14 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:3:v)', '‘ (opened at 6:8:v)']

EZE 7:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:2:v)', '‘ (opened at 6:3:v)', '‘ (opened at 6:8:v)'] before p marker

EZE 11:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:15:v)' before p marker

EZE 13:8 Unclosed ‘ (opened at 13:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 13:10 Unclosed ‘ (opened at 13:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 13:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)']

EZE 13:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '“ (opened at 13:10:v)']

EZE 13:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '“ (opened at 13:12:v)']

EZE 13:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)']

EZE 13:13 Unclosed ‘ (opened at 13:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 13:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:13:v)']

EZE 13:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:13:v)', '“ (opened at 13:15:v)']

EZE 13:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)']

EZE 13:18 Unclosed ‘ (opened at 13:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 13:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:18:v)']

EZE 13:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:18:v)']

EZE 13:20 Unclosed ‘ (opened at 13:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 13:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:18:v)', '‘ (opened at 13:20:v)']

EZE 13:23 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:18:v)']

EZE 14:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:2:v)', '‘ (opened at 13:8:v)', '‘ (opened at 13:10:v)', '‘ (opened at 13:18:v)'] before p marker

EZE 14:7 Unclosed ‘ (opened at 14:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 14:9 Unclosed ‘ (opened at 14:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 14:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 14:3:v,14:6:v)', '‘ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)', '‘ (opened at 14:9:v)']

EZE 14:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 14:3:v,14:6:v)', '‘ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)', '‘ (opened at 14:9:v)']

EZE 14:11 Unclosed ‘ (opened at 14:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 14:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 14:3:v,14:6:v)', '‘ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)', '‘ (opened at 14:9:v)', '‘ (opened at 14:11:v)']

EZE 14:11 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 14:3:v,14:6:v)', '‘ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)', '‘ (opened at 14:9:v)']

EZE 14:12 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 14:3:v,14:6:v)', '‘ (opened at 14:6:v)', '‘ (opened at 14:7:v)', '‘ (opened at 14:9:v)'] before p marker

EZE 16:6 Unclosed ‘ (opened at 16:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '“ (opened at 16:6:v)']

EZE 16:8 Unclosed ‘ (opened at 16:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:8 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)']

EZE 16:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)']

EZE 16:9 Unclosed ‘ (opened at 16:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)']

EZE 16:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)']

EZE 16:15 Unclosed ‘ (opened at 16:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)']

EZE 16:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)']

EZE 16:20 Unclosed ‘ (opened at 16:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)']

EZE 16:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)']

EZE 16:23 Unclosed ‘ (opened at 16:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)']

EZE 16:30 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)']

EZE 16:30 Unclosed ‘ (opened at 16:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:30 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)']

EZE 16:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)']

EZE 16:32 Unclosed ‘ (opened at 16:30:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)']

EZE 16:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)']

EZE 16:35 Unclosed ‘ (opened at 16:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)']

EZE 16:43 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)']

EZE 16:43 Unclosed ‘ (opened at 16:35:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:43 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)']

EZE 16:44 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)']

EZE 16:44 Unclosed ‘ (opened at 16:43:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:44 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)']

EZE 16:44 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '“ (opened at 16:44:v)']

EZE 16:49 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)']

EZE 16:49 Unclosed ‘ (opened at 16:44:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:49 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)']

EZE 16:53 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)']

EZE 16:53 Unclosed ‘ (opened at 16:49:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:53 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)', '‘ (opened at 16:53:v)']

EZE 16:59 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)', '‘ (opened at 16:53:v)']

EZE 16:59 Unclosed ‘ (opened at 16:53:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 16:59 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)', '‘ (opened at 16:53:v)', '‘ (opened at 16:59:v)']

EZE 16:63 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)', '‘ (opened at 16:53:v)']

EZE 17:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 16:2:v)', '‘ (opened at 16:3:v)', '‘ (opened at 16:6:v)', '‘ (opened at 16:8:v)', '‘ (opened at 16:9:v)', '‘ (opened at 16:15:v)', '‘ (opened at 16:20:v)', '‘ (opened at 16:23:v)', '‘ (opened at 16:30:v)', '‘ (opened at 16:32:v)', '‘ (opened at 16:35:v)', '‘ (opened at 16:43:v)', '‘ (opened at 16:44:v)', '‘ (opened at 16:49:v)', '‘ (opened at 16:53:v)'] before p marker

EZE 17:5 Unclosed ‘ (opened at 17:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 17:7 Unclosed ‘ (opened at 17:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 17:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:2:v)', '‘ (opened at 17:3:v)', '‘ (opened at 17:5:v)', '‘ (opened at 17:7:v)']

EZE 17:9 Unclosed ‘ (opened at 17:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 17:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:2:v)', '‘ (opened at 17:3:v)', '‘ (opened at 17:5:v)', '‘ (opened at 17:9:v)']

EZE 17:10 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 17:2:v)', '‘ (opened at 17:3:v)', '‘ (opened at 17:5:v)']

EZE 17:11 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:2:v)', '‘ (opened at 17:3:v)', '‘ (opened at 17:5:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v11

EZE 17:16 Unclosed ‘ (opened at 17:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 17:19 Unclosed ‘ (opened at 17:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 17:19 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 17:12:v)', '‘ (opened at 17:12:v)', '‘ (opened at 17:16:v)', '‘ (opened at 17:19:v)']

EZE 17:22 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:12:v)', '‘ (opened at 17:12:v)', '‘ (opened at 17:16:v)', '‘ (opened at 17:19:v)'] before p marker

EZE 17:24 Unclosed ‘ (opened at 17:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 17:24 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 17:22:v)', '‘ (opened at 17:22:v)']

EZE 18:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:22:v)', '‘ (opened at 17:22:v)'] before p marker

EZE 18:2 Unclosed “ (opened at 18:2:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 18:5 Unclosed “ (opened at 18:2:q1,18:3:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 18:11 Unclosed “ (opened at 18:5:v,18:10:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 18:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1)']

EZE 18:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)']

EZE 18:15 Unclosed “ (opened at 18:11:q1,18:14:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 18:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v)']

EZE 18:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v)']

EZE 18:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v)', '‘ (opened at 18:19:v)']

EZE 18:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v,18:21:v)']

EZE 18:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v,18:21:v,18:24:v)']

EZE 18:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v,18:21:v,18:24:v,18:25:v)']

EZE 18:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v,18:21:v,18:24:v,18:25:v)', '‘ (opened at 18:25:v)']

EZE 18:29 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v)', '“ (opened at 18:15:v,18:19:v,18:21:v,18:24:v,18:25:v)', '‘ (opened at 18:29:v)']

EZE 18:30 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v,18:30:v)']

EZE 19:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 18:2:v)', '“ (opened at 18:2:q1,18:3:v)', '“ (opened at 18:5:v,18:10:v)', '“ (opened at 18:11:q1,18:14:v,18:30:v)'] before p marker

EZE 19:2 Unclosed “ (opened at 19:1:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 19:5 Unclosed ‘ (opened at 19:2:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 19:5 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 19:1:v)', '“ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:5:v)']

EZE 19:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 19:1:v)', '“ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:5:v)']

EZE 19:10 Unclosed ‘ (opened at 19:5:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 19:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 19:1:v)', '“ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:5:v)', '‘ (opened at 19:10:v)']

EZE 19:14 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 19:1:v)', '“ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:5:v)']

EZE 20:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 19:1:v)', '“ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:2:q1)', '‘ (opened at 19:5:v)'] before p marker

EZE 20:8 Unclosed ‘ (opened at 20:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 20:13 Unclosed ‘ (opened at 20:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 20:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)']

EZE 20:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '“ (opened at 20:18:v)']

EZE 20:21 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)']

EZE 20:21 Unclosed ‘ (opened at 20:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 20:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:21:v)']

EZE 20:27 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)']

EZE 20:27 Unclosed ‘ (opened at 20:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 20:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)', '‘ (opened at 20:27:v)']

EZE 20:29 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)']

EZE 20:30 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 20:3:v,20:4:v)', '‘ (opened at 20:5:v)', '‘ (opened at 20:8:v)', '‘ (opened at 20:13:v)'] before p marker

EZE 20:32 Unclosed ‘ (opened at 20:30:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 20:32 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:32:v)', '“ (opened at 20:32:v)']

EZE 20:39 Unclosed ‘ (opened at 20:32:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 20:39 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:32:v)', '‘ (opened at 20:39:v)']

EZE 20:44 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:32:v)']

EZE 20:45 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:30:v)', '‘ (opened at 20:32:v)'] before p marker

EZE 21:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)']

EZE 21:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)']

EZE 21:10 Unclosed ‘ (opened at 21:9:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 21:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)']

EZE 21:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)', '“ (opened at 21:11:v)']

EZE 21:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)', '“ (opened at 21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)']

EZE 21:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)', '“ (opened at 21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)']

EZE 21:13 Unclosed ‘ (opened at 21:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 21:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)', '“ (opened at 21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)', '‘ (opened at 21:13:v)']

EZE 21:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)', '“ (opened at 21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)', '“ (opened at 21:14:v)']

EZE 21:18 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 21:9:v)', '‘ (opened at 21:9:v)', '“ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:9:q1)', '‘ (opened at 21:10:p)', '“ (opened at 21:11:v)', '‘ (opened at 21:11:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v18

EZE 21:25 Unclosed ‘ (opened at 21:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 21:28 Unclosed ‘ (opened at 21:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 21:28 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 21:19:v,21:24:v)', '‘ (opened at 21:24:v)', '‘ (opened at 21:28:v)', '“ (opened at 21:28:q1)']

EZE 21:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 21:19:v,21:24:v)', '‘ (opened at 21:24:v)', '‘ (opened at 21:28:v)', '“ (opened at 21:28:q1)', '‘ (opened at 21:28:q1)']

EZE 22:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 21:19:v,21:24:v)', '‘ (opened at 21:24:v)', '‘ (opened at 21:28:v)'] before p marker

EZE 22:6 Unclosed ‘ (opened at 22:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 22:13 Unclosed ‘ (opened at 22:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 22:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 22:2:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:6:v)', '‘ (opened at 22:13:v)']

EZE 22:16 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 22:2:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:6:v)']

EZE 22:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 22:2:v)', '‘ (opened at 22:3:v)', '‘ (opened at 22:6:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

EZE 23:32 Unclosed “ (opened at 23:2:v,23:5:v,23:9:v,23:11:v,23:14:v,23:22:v,23:28:v,23:32:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 23:36 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 23:2:v,23:5:v,23:9:v,23:11:v,23:14:v,23:22:v,23:28:v,23:32:v)' before v marker or missing reopening quotes at v36

EZE 24:3 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)']

EZE 24:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)']

EZE 24:6 Unclosed ‘ (opened at 24:3:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 24:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)']

EZE 24:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)']

EZE 24:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)']

EZE 24:7 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)']

EZE 24:7 Unclosed ‘ (opened at 24:6:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 24:7 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)']

EZE 24:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)']

EZE 24:9 Unclosed ‘ (opened at 24:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 24:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)']

EZE 24:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)']

EZE 24:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)']

EZE 24:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)']

EZE 24:13 Unclosed ‘ (opened at 24:9:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 24:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:13:v)']

EZE 24:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:13:v)']

EZE 24:14 Unclosed ‘ (opened at 24:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 24:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:13:v)', '‘ (opened at 24:14:v)']

EZE 24:14 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:13:v)']

EZE 24:15 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 24:2:v)', '‘ (opened at 24:3:v)', '“ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:3:q1)', '‘ (opened at 24:6:v)', '“ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:6:q1)', '‘ (opened at 24:7:v)', '‘ (opened at 24:9:v)', '“ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:9:q1)', '‘ (opened at 24:13:v)'] before p marker

EZE 26:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 26:2:v,26:7:v,26:11:v,26:15:v)', '‘ (opened at 26:15:v)', '“ (opened at 26:17:q1)', '‘ (opened at 26:17:q1)']

EZE 27:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 26:2:v,26:7:v,26:11:v,26:15:v)', '‘ (opened at 26:15:v)'] before p marker

EZE 27:3 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)']

EZE 27:3 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '“ (opened at 27:3:q2)']

EZE 27:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)']

EZE 27:10 Unclosed ‘ (opened at 27:3:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 27:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)']

EZE 27:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)']

EZE 27:12 Unclosed ‘ (opened at 27:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)']

EZE 27:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)']

EZE 27:13 Unclosed ‘ (opened at 27:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)']

EZE 27:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)']

EZE 27:14 Unclosed ‘ (opened at 27:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)']

EZE 27:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)']

EZE 27:15 Unclosed ‘ (opened at 27:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)']

EZE 27:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)']

EZE 27:16 Unclosed ‘ (opened at 27:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)']

EZE 27:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)']

EZE 27:17 Unclosed ‘ (opened at 27:16:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)']

EZE 27:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)']

EZE 27:18 Unclosed ‘ (opened at 27:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)']

EZE 27:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)']

EZE 27:19 Unclosed ‘ (opened at 27:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)']

EZE 27:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)']

EZE 27:20 Unclosed ‘ (opened at 27:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)']

EZE 27:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)']

EZE 27:21 Unclosed ‘ (opened at 27:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)']

EZE 27:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)']

EZE 27:22 Unclosed ‘ (opened at 27:21:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:22 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)']

EZE 27:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)']

EZE 27:23 Unclosed ‘ (opened at 27:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 27:23 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:23:v)']

EZE 27:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:23:v)', '“ (opened at 27:25:v)']

EZE 27:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:23:v)', '“ (opened at 27:25:v)', '‘ (opened at 27:25:v)']

EZE 27:32 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:23:v)', '“ (opened at 27:25:v)', '‘ (opened at 27:25:v)', '“ (opened at 27:32:q1)']

EZE 28:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 27:2:v)', '‘ (opened at 27:3:v)', '“ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:3:q1)', '‘ (opened at 27:10:v)', '‘ (opened at 27:12:v)', '‘ (opened at 27:13:v)', '‘ (opened at 27:14:v)', '‘ (opened at 27:15:v)', '‘ (opened at 27:16:v)', '‘ (opened at 27:17:v)', '‘ (opened at 27:18:v)', '‘ (opened at 27:19:v)', '‘ (opened at 27:20:v)', '‘ (opened at 27:21:v)', '‘ (opened at 27:22:v)', '‘ (opened at 27:23:v)'] before p marker

EZE 28:2 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)']

EZE 28:2 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)', '“ (opened at 28:2:q2)']

EZE 28:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)']

EZE 28:6 Unclosed ‘ (opened at 28:2:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 28:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:6:v)']

EZE 28:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:6:v)', '“ (opened at 28:6:q1)']

EZE 28:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:6:v)', '“ (opened at 28:6:q1)', '‘ (opened at 28:6:q1)']

EZE 28:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:6:v)', '“ (opened at 28:6:q1)', '‘ (opened at 28:6:q1)', '“ (opened at 28:9:v)']

EZE 28:11 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:2:v)', '‘ (opened at 28:2:v)', '“ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:2:q1)', '‘ (opened at 28:6:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v11

EZE 28:12 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 28:12:v)', '‘ (opened at 28:12:v)', '“ (opened at 28:12:q1)', '‘ (opened at 28:12:q1)']

EZE 28:20 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:12:v)', '‘ (opened at 28:12:v)'] before p marker

EZE 28:22 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)']

EZE 28:24 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)']

EZE 28:24 Unclosed ‘ (opened at 28:22:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 28:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:24:v)']

EZE 28:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:24:v)']

EZE 28:25 Unclosed ‘ (opened at 28:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 28:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:24:v)', '‘ (opened at 28:25:v)']

EZE 28:26 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:24:v)']

EZE 29:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 28:21:v)', '‘ (opened at 28:22:v)', '“ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:22:q1)', '‘ (opened at 28:24:v)'] before p marker

EZE 29:3 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)']

EZE 29:3 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '“ (opened at 29:3:q1)']

EZE 29:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)']

EZE 29:6 Unclosed ‘ (opened at 29:3:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 29:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)']

EZE 29:8 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)']

EZE 29:8 Unclosed ‘ (opened at 29:6:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 29:8 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)']

EZE 29:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)']

EZE 29:9 Unclosed ‘ (opened at 29:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 29:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)', '‘ (opened at 29:9:p)']

EZE 29:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)', '‘ (opened at 29:9:p)', '“ (opened at 29:9:p)']

EZE 29:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)', '‘ (opened at 29:9:p)']

EZE 29:13 Unclosed ‘ (opened at 29:9:p) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 29:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)', '‘ (opened at 29:9:p)', '‘ (opened at 29:13:v)']

EZE 29:16 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)', '‘ (opened at 29:9:p)']

EZE 29:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 29:2:v)', '‘ (opened at 29:3:v)', '“ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:3:q1)', '‘ (opened at 29:6:p)', '‘ (opened at 29:8:v)', '‘ (opened at 29:9:p)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

EZE 30:2 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)']

EZE 30:2 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '“ (opened at 30:2:q2)']

EZE 30:6 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)']

EZE 30:6 Unclosed ‘ (opened at 30:2:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 30:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)']

EZE 30:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)']

EZE 30:6 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)']

EZE 30:7 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)']

EZE 30:7 Unclosed ‘ (opened at 30:6:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 30:7 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)']

EZE 30:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)']

EZE 30:9 Unclosed ‘ (opened at 30:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 30:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)']

EZE 30:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)']

EZE 30:10 Unclosed ‘ (opened at 30:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 30:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)']

EZE 30:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)']

EZE 30:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:10:q1)']

EZE 30:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:10:q1)']

EZE 30:13 Unclosed ‘ (opened at 30:10:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 30:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:13:v)']

EZE 30:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:13:v)', '“ (opened at 30:13:q1)']

EZE 30:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:13:v)', '“ (opened at 30:13:q1)', '‘ (opened at 30:13:q1)']

EZE 30:20 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 30:2:v)', '‘ (opened at 30:2:v)', '“ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:2:q1)', '‘ (opened at 30:6:v)', '“ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:6:q1)', '‘ (opened at 30:7:v)', '‘ (opened at 30:9:v)', '‘ (opened at 30:10:v)', '“ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:10:q1)', '‘ (opened at 30:13:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v20

EZE 31:2 Unclosed “ (opened at 31:2:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 31:10 Unclosed ‘ (opened at 31:2:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 31:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)']

EZE 31:15 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)']

EZE 31:15 Unclosed ‘ (opened at 31:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 31:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)']

EZE 31:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)']

EZE 31:18 Unclosed ‘ (opened at 31:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 31:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)', '‘ (opened at 31:18:v)']

EZE 31:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)', '‘ (opened at 31:18:v)']

EZE 31:18 Unclosed ‘ (opened at 31:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 31:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)', '‘ (opened at 31:18:v)', '‘ (opened at 31:18:p)']

EZE 31:18 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)', '‘ (opened at 31:18:v)']

EZE 32:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 31:2:v)', '“ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:2:q1)', '‘ (opened at 31:10:v)', '‘ (opened at 31:15:v)', '‘ (opened at 31:18:v)'] before p marker

EZE 32:2 Unclosed “ (opened at 32:2:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

EZE 32:3 Unclosed ‘ (opened at 32:2:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 32:3 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)']

EZE 32:3 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)']

EZE 32:3 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)']

EZE 32:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)']

EZE 32:11 Unclosed ‘ (opened at 32:3:q1) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 32:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:11:v)']

EZE 32:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:11:v)', '“ (opened at 32:11:q1)']

EZE 32:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:11:v)', '“ (opened at 32:11:q1)', '‘ (opened at 32:11:q1)']

EZE 32:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:11:v)', '“ (opened at 32:11:q1,32:16:v)']

EZE 32:17 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 32:2:v)', '“ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:2:q1)', '‘ (opened at 32:3:v)', '“ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:3:q1)', '‘ (opened at 32:11:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v17

EZE 34:7 Unclosed ‘ (opened at 34:2:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 34:11 Unclosed ‘ (opened at 34:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 34:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)']

EZE 34:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)']

EZE 34:17 Unclosed ‘ (opened at 34:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 34:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)']

EZE 34:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)']

EZE 34:20 Unclosed ‘ (opened at 34:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 34:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)', '‘ (opened at 34:20:v)']

EZE 34:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)', '‘ (opened at 34:20:v)']

EZE 34:25 Unclosed ‘ (opened at 34:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 34:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)', '‘ (opened at 34:20:v)', '‘ (opened at 34:25:v)']

EZE 34:31 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)', '‘ (opened at 34:20:v)']

EZE 35:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:2:v)', '‘ (opened at 34:7:v)', '‘ (opened at 34:11:v)', '‘ (opened at 34:17:v)', '‘ (opened at 34:20:v)'] before p marker

EZE 35:5 Unclosed ‘ (opened at 35:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 35:10 Unclosed ‘ (opened at 35:5:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 35:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 35:2:v)', '‘ (opened at 35:3:v)', '‘ (opened at 35:5:v)', '‘ (opened at 35:10:v)']

EZE 35:10 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:2:v)', '‘ (opened at 35:3:v)', '‘ (opened at 35:5:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '“ (opened at 35:10:v)']

EZE 35:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 35:2:v)', '‘ (opened at 35:3:v)', '‘ (opened at 35:5:v)', '‘ (opened at 35:10:v)', '“ (opened at 35:12:v)']

EZE 35:15 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 35:2:v)', '‘ (opened at 35:3:v)', '‘ (opened at 35:5:v)']

EZE 36:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 35:2:v)', '‘ (opened at 35:3:v)', '‘ (opened at 35:5:v)'] before p marker

EZE 36:8 Unclosed ‘ (opened at 36:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 36:13 Unclosed ‘ (opened at 36:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 36:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 36:1:v)', '‘ (opened at 36:6:v)', '‘ (opened at 36:8:v)', '‘ (opened at 36:13:v)']

EZE 36:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 36:1:v)', '‘ (opened at 36:6:v)', '‘ (opened at 36:8:v)', '‘ (opened at 36:13:v)', '“ (opened at 36:13:v)']

EZE 36:15 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 36:1:v)', '‘ (opened at 36:6:v)', '‘ (opened at 36:8:v)']

EZE 36:16 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 36:1:v)', '‘ (opened at 36:6:v)', '‘ (opened at 36:8:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v16

EZE 36:24 Unclosed ‘ (opened at 36:22:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 36:33 Unclosed ‘ (opened at 36:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 36:33 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 36:17:v,36:22:v)', '‘ (opened at 36:22:v)', '‘ (opened at 36:24:v)', '‘ (opened at 36:33:v)']

EZE 36:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 36:17:v,36:22:v)', '‘ (opened at 36:22:v)', '‘ (opened at 36:24:v)', '‘ (opened at 36:33:v)', '“ (opened at 36:35:v)']

EZE 36:38 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 36:17:v,36:22:v)', '‘ (opened at 36:22:v)', '‘ (opened at 36:24:v)']

EZE 37:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 36:17:v,36:22:v)', '‘ (opened at 36:22:v)', '‘ (opened at 36:24:v)'] before p marker

EZE 37:24 Unclosed ‘ (opened at 37:21:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 37:28 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 37:16:v,37:18:v)', '‘ (opened at 37:21:v)']

EZE 38:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 37:16:v,37:18:v)', '‘ (opened at 37:21:v)'] before p marker

EZE 38:7 Unclosed ‘ (opened at 38:3:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 38:10 Unclosed ‘ (opened at 38:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 38:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:10:v)']

EZE 38:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:10:v)', '“ (opened at 38:11:v)']

EZE 38:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:10:v)', '“ (opened at 38:13:v)']

EZE 38:14 Unclosed ‘ (opened at 38:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 38:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:14:v)']

EZE 38:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:14:v)']

EZE 38:17 Unclosed ‘ (opened at 38:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 38:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:14:v)', '‘ (opened at 38:17:v)']

EZE 39:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 38:2:v)', '‘ (opened at 38:3:v)', '‘ (opened at 38:7:v)', '‘ (opened at 38:14:v)'] before p marker

EZE 39:7 Unclosed ‘ (opened at 39:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 39:9 Unclosed ‘ (opened at 39:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 39:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)']

EZE 39:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)']

EZE 39:11 Unclosed ‘ (opened at 39:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 39:11 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)']

EZE 39:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)']

EZE 39:12 Unclosed ‘ (opened at 39:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 39:12 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)']

EZE 39:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)']

EZE 39:14 Unclosed ‘ (opened at 39:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 39:14 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)', '‘ (opened at 39:14:v)']

EZE 39:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)']

EZE 39:17 Unclosed ‘ (opened at 39:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 39:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)', '‘ (opened at 39:17:v)']

EZE 39:21 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)']

EZE 39:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)']

EZE 39:29 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)']

EZE 40:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:1:v)', '‘ (opened at 39:7:v)', '‘ (opened at 39:9:v)', '‘ (opened at 39:11:v)', '‘ (opened at 39:12:v)'] before p marker

EZE 43:13 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 43:7:v,43:10:v,43:12:v)' before p marker

EZE 44:10 Unclosed ‘ (opened at 44:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:15 Unclosed ‘ (opened at 44:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:15 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)']

EZE 44:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)']

EZE 44:17 Unclosed ‘ (opened at 44:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)']

EZE 44:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)']

EZE 44:20 Unclosed ‘ (opened at 44:17:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:20 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)']

EZE 44:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)']

EZE 44:24 Unclosed ‘ (opened at 44:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:24 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)', '‘ (opened at 44:24:v)']

EZE 44:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)', '‘ (opened at 44:24:v)']

EZE 44:25 Unclosed ‘ (opened at 44:24:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)', '‘ (opened at 44:24:v)', '‘ (opened at 44:25:v)']

EZE 44:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)', '‘ (opened at 44:24:v)', '‘ (opened at 44:25:v)']

EZE 44:28 Unclosed ‘ (opened at 44:25:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 44:28 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)', '‘ (opened at 44:24:v)', '‘ (opened at 44:25:v)', '‘ (opened at 44:28:v)']

EZE 45:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 44:5:v)', '‘ (opened at 44:6:v)', '‘ (opened at 44:10:v)', '‘ (opened at 44:15:v)', '‘ (opened at 44:17:v)', '‘ (opened at 44:20:v)', '‘ (opened at 44:24:v)', '‘ (opened at 44:25:v)', '‘ (opened at 44:28:v)'] before p marker

EZE 45:6 Unclosed ‘ (opened at 45:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 45:7 Unclosed ‘ (opened at 45:6:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 45:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:6:v)', '‘ (opened at 45:7:v)']

EZE 45:9 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:6:v)', '‘ (opened at 45:7:v)']

EZE 45:9 Unclosed ‘ (opened at 45:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 45:9 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:6:v)', '‘ (opened at 45:7:v)', '‘ (opened at 45:9:v)']

EZE 45:13 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:1:v)', '‘ (opened at 45:6:v)', '‘ (opened at 45:7:v)', '‘ (opened at 45:9:v)'] before p marker

EZE 45:18 Unclosed ‘ (opened at 45:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 45:21 Unclosed ‘ (opened at 45:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 45:21 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:18:v)', '‘ (opened at 45:21:v)']

EZE 45:25 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:18:v)', '‘ (opened at 45:21:v)']

EZE 45:25 Unclosed ‘ (opened at 45:21:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 45:25 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:18:v)', '‘ (opened at 45:21:v)', '‘ (opened at 45:25:v)']

EZE 46:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:13:v)', '‘ (opened at 45:18:v)', '‘ (opened at 45:21:v)', '‘ (opened at 45:25:v)'] before p marker

EZE 46:9 Unclosed ‘ (opened at 46:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 46:11 Unclosed ‘ (opened at 46:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 46:11 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)']

EZE 46:13 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)']

EZE 46:13 Unclosed ‘ (opened at 46:11:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 46:13 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)', '‘ (opened at 46:13:v)']

EZE 46:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)', '‘ (opened at 46:13:v)']

EZE 46:16 Unclosed ‘ (opened at 46:13:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

EZE 46:16 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)', '‘ (opened at 46:13:v)', '‘ (opened at 46:16:v)']

EZE 46:18 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)', '‘ (opened at 46:13:v)']

EZE 46:19 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:1:v)', '‘ (opened at 46:9:v)', '‘ (opened at 46:11:v)', '‘ (opened at 46:13:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v19

EZE 48:35 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 48:30:v,48:32:v,48:33:v,48:34:v,48:35:v,48:35:p)' before pc marker or missing reopening quotes at v35

EZE 48:35 Unexpected '”' speech closing character

DAN 4:13 Unclosed “ (opened at 4:9:v) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

DAN 4:15 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 4:9:v)', '“ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:14:v)', '“ (opened at 4:15:pm)']

DAN 4:15 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:9:v)', '“ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:14:v)', '“ (opened at 4:15:pm)', '‘ (opened at 4:15:pm)']

DAN 4:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:9:v)', '“ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:14:v)', '“ (opened at 4:15:pm)', '‘ (opened at 4:15:pm)', '“ (opened at 4:17:v)']

DAN 4:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:9:v)', '“ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:14:v)', '“ (opened at 4:15:pm)', '‘ (opened at 4:15:pm)', '“ (opened at 4:17:v)', '‘ (opened at 4:17:v)']

DAN 4:18 Unclosed “ (opened at 4:17:v) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

DAN 4:18 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 4:9:v)', '“ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:14:v)', '“ (opened at 4:15:pm)', '‘ (opened at 4:15:pm)', '“ (opened at 4:17:v)', '“ (opened at 4:18:v)']

DAN 4:19 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 4:9:v)', '“ (opened at 4:13:v)', '‘ (opened at 4:14:v)', '“ (opened at 4:15:pm)', '‘ (opened at 4:15:pm)', '“ (opened at 4:17:v)'] before s1 marker

DAN 4:23 Unclosed “ (opened at 4:19:pm) speech marks before s1 (or improperly nested or reopened speech marks after s1)

DAN 4:24 Unclosed “ (opened at 4:23:v) speech marks before s1 (or improperly nested or reopened speech marks after s1)

DAN 4:28 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 4:19:pm)', '“ (opened at 4:23:v)'] before s1 marker

DAN 6:26 Unclosed “ (opened at 6:25:pmo,6:26:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

DAN 6:28 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:25:pmo,6:26:v)' before v marker or missing reopening quotes at v28

DAN 7:9 Unclosed “ (opened at 7:2:v,7:4:v,7:5:v,7:6:v,7:7:v,7:8:v,7:9:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

DAN 7:15 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:2:v,7:4:v,7:5:v,7:6:v,7:7:v,7:8:v,7:9:v)', '“ (opened at 7:9:q1,7:11:v,7:13:v)'] before p marker

DAN 7:26 Unclosed ‘ (opened at 7:23:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

DAN 7:28 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 7:15:v,7:16:p,7:19:v,7:23:v)', '‘ (opened at 7:23:v)']

DAN 8:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:15:v,7:16:p,7:19:v,7:23:v)', '‘ (opened at 7:23:v)'] before p marker

DAN 9:7 Unclosed “ (opened at 9:4:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

DAN 9:11 Unclosed “ (opened at 9:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

DAN 9:15 Unclosed “ (opened at 9:11:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

DAN 9:15 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 9:4:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:11:pm)', '“ (opened at 9:15:v)']

DAN 9:17 Unclosed “ (opened at 9:15:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

DAN 9:17 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 9:4:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:11:pm)', '“ (opened at 9:15:v)', '“ (opened at 9:17:v)']

DAN 9:20 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 9:4:pm)', '“ (opened at 9:7:v)', '“ (opened at 9:11:pm)', '“ (opened at 9:15:v)'] before p marker

DAN 11:2 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 10:20:v)' before p marker

DAN 11:36 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:2:v,11:5:v,11:7:v,11:11:v,11:14:v,11:20:v,11:21:v,11:25:v,11:29:v,11:31:v,11:33:v)' before p marker

DAN 12:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:36:v,11:40:v)' before p marker

HOS 2:1 Unclosed “ (opened at 1:9:v,1:10:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

HOS 2:2 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 1:9:v,1:10:v)', '“ (opened at 2:1:v)'] before q1 marker

HOS 5:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:1:q1,4:4:v,4:6:q1,4:10:v,4:14:v,4:15:v,4:15:q1)' before q1 marker

HOS 8:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:4:v,6:11:v,6:11:q1,7:3:v,7:8:v,7:11:v)' before q1 marker

HOS 11:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 10:9:v)' before q1 marker

JOL 2:28 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 2:25:v)' before q1 marker

JOL 3:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 2:28:v)' before q1 marker

AMO 7:9 Unclosed “ (opened at 7:8:p) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

AMO 7:10 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:8:p)' before p marker

AMO 7:11 Unclosed “ (opened at 7:10:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

AMO 7:12 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:10:v)' before v marker or missing reopening quotes at v12

AMO 7:16 Unclosed “ (opened at 7:14:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

AMO 7:17 Unclosed “ (opened at 7:16:q1,7:17:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

AMO 7:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:14:v)', '“ (opened at 7:16:q1,7:17:v)', '“ (opened at 7:17:q1)', '‘ (opened at 7:17:q1)']

AMO 8:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:14:v)', '“ (opened at 7:16:q1,7:17:v)'] before p marker

AMO 8:8 Unclosed “ (opened at 8:7:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

AMO 8:9 Unclosed “ (opened at 8:7:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

AMO 8:11 Unclosed “ (opened at 8:7:v) speech marks before q2 (or improperly nested or reopened speech marks after q2)

AMO 8:13 Unclosed “ (opened at 8:11:q2,8:13:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

AMO 8:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 8:7:v)', '“ (opened at 8:11:q2,8:13:v)', '“ (opened at 8:13:q1)', '‘ (opened at 8:14:q2)']

AMO 8:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 8:7:v)', '“ (opened at 8:11:q2,8:13:v)', '“ (opened at 8:13:q1)', '‘ (opened at 8:14:q1)']

AMO 9:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 8:7:v)', '“ (opened at 8:11:q2,8:13:v)'] before p marker

AMO 9:11 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 9:9:v)' before q1 marker

JNA 3:7 Unclosed “ (opened at 3:7:pmo) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JNA 3:10 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 3:7:pmo)' before v marker or missing reopening quotes at v10

MIC 2:12 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 2:7:q1)' before q1 marker

HAB 2:6 Unclosed “ (opened at 2:2:q1,2:4:v,2:6:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

HAB 3:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 2:2:q1,2:4:v,2:6:v)' before p marker

ZEP 1:14 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 1:10:v)' before q1 marker

HAG 2:15 Unclosed ‘ (opened at 2:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

HAG 2:18 Unclosed ‘ (opened at 2:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

HAG 2:19 Unclosed ‘ (opened at 2:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

HAG 2:19 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 2:14:v)', '‘ (opened at 2:14:v)', '‘ (opened at 2:18:v)', '‘ (opened at 2:19:p)']

HAG 2:19 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 2:14:v)', '‘ (opened at 2:14:v)', '‘ (opened at 2:18:v)']

HAG 2:20 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:14:v)', '‘ (opened at 2:14:v)', '‘ (opened at 2:18:v)'] before p marker

ZEC 3:8 Unclosed ‘ (opened at 3:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

ZEC 3:9 Unclosed ‘ (opened at 3:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

ZEC 3:10 Unclosed ‘ (opened at 3:9:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

ZEC 3:10 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 3:7:v)', '‘ (opened at 3:7:v)', '‘ (opened at 3:9:v)', '‘ (opened at 3:10:v)']

ZEC 3:10 Mismatched '”' speech closing character after ['“ (opened at 3:7:v)', '‘ (opened at 3:7:v)', '‘ (opened at 3:9:v)']

ZEC 4:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 3:7:v)', '‘ (opened at 3:7:v)', '‘ (opened at 3:9:v)'] before p marker

ZEC 11:17 Unclosed “ (opened at 11:15:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ZEC 12:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:15:v)' before p marker

ZEC 12:10 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 12:4:v,12:6:v,12:7:v)' before p marker

ZEC 13:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 12:10:v)' before p marker

ZEC 13:7 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 13:2:v,13:4:v)' before q1 marker

MAL 1:6 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 1:4:p)' before p marker

MAL 4:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 3:17:v)' before p marker

MAT 2:6 Unclosed “ (opened at 2:5:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 2:7 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 2:5:v)' before v marker or missing reopening quotes at v7

MAT 4:6 Unclosed “ (opened at 4:6:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 4:7 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:6:v)' before v marker or missing reopening quotes at v7

MAT 5:13 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 5:3:v,5:11:v)' before p marker

MAT 5:17 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 5:13:v,5:14:v)' before p marker

MAT 5:21 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 5:17:v)' before p marker

MAT 5:27 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 5:21:v,5:23:v,5:25:v)' before p marker

MAT 5:31 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 5:27:v)' before p marker

MAT 5:33 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 5:31:v)' before p marker

MAT 5:38 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 5:33:v)' before p marker

MAT 5:43 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 5:38:v)' before p marker

MAT 6:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 5:43:v)' before p marker

MAT 6:5 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:1:v,6:2:v)' before p marker

MAT 6:9 Unclosed “ (opened at 6:5:v,6:9:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 6:16 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:5:v,6:9:v)', '“ (opened at 6:9:q1)'] before p marker

MAT 6:19 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:16:v)' before p marker

MAT 6:22 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:19:v)' before p marker

MAT 6:24 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:22:v)' before p marker

MAT 6:25 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:24:v)' before p marker

MAT 7:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:25:v,6:28:v)' before p marker

MAT 7:7 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:1:v,7:3:v,7:6:v)' before p marker

MAT 7:13 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:7:v,7:9:v)' before p marker

MAT 7:15 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:13:v)' before p marker

MAT 7:21 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:15:v)' before p marker

MAT 7:24 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:21:v)' before p marker

MAT 10:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 10:5:v,10:11:v)' before p marker

MAT 10:26 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 10:16:v,10:17:v,10:21:v,10:24:v)' before p marker

MAT 10:35 Unclosed “ (opened at 10:34:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 10:40 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 10:34:v)', '“ (opened at 10:35:q1,10:37:v)'] before p marker

MAT 11:10 Unclosed “ (opened at 11:7:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 11:17 Unclosed “ (opened at 11:10:q1,11:16:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 11:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 11:7:v)', '“ (opened at 11:10:q1,11:16:v)', '“ (opened at 11:17:v)', '‘ (opened at 11:17:v)']

MAT 11:18 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 11:7:v)', '“ (opened at 11:10:q1,11:16:v)', '“ (opened at 11:17:v)', '‘ (opened at 11:18:v)']

MAT 11:19 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 11:7:v)', '“ (opened at 11:10:q1,11:16:v)', '“ (opened at 11:17:v)', '‘ (opened at 11:19:v)']

MAT 11:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 11:7:v)', '“ (opened at 11:10:q1,11:16:v)', '“ (opened at 11:17:v)', '‘ (opened at 11:19:v)', '“ (opened at 11:19:v)']

MAT 11:20 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 11:7:v)', '“ (opened at 11:10:q1,11:16:v)'] before p marker

MAT 11:28 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:25:v,11:27:v)' before p marker

MAT 12:33 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 12:25:v,12:29:v,12:30:v)' before p marker

MAT 13:13 Unclosed “ (opened at 13:11:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 13:14 Unclosed “ (opened at 13:13:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 13:14 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 13:11:v)', '“ (opened at 13:13:q1)', '“ (opened at 13:14:q1)', '‘ (opened at 13:14:q1)']

MAT 13:18 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 13:11:v)', '“ (opened at 13:13:q1)', '“ (opened at 13:14:q1)'] before p marker

MAT 13:44 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 13:37:v,13:40:v)' before p marker

MAT 15:8 Unclosed “ (opened at 15:3:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 15:10 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 15:3:v)' before p marker

MAT 18:7 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 18:3:v,18:5:v)' before p marker

MAT 18:10 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 18:7:v)' before p marker

MAT 18:15 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 18:10:v,18:12:v)' before p marker

MAT 18:23 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 18:22:v)' before p marker

MAT 20:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 19:28:v)' before p marker

MAT 21:16 Unclosed “ (opened at 21:16:p) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 21:17 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 21:16:p)' before v marker or missing reopening quotes at v17

MAT 21:33 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 21:31:p)' before p marker

MAT 21:42 Unclosed “ (opened at 21:42:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 21:45 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 21:42:v)' before v marker or missing reopening quotes at v45

MAT 22:44 Unclosed “ (opened at 22:43:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 22:44 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 22:43:v)', '“ (opened at 22:44:v)', '‘ (opened at 22:44:v)', '“ (opened at 22:44:q2)']

MAT 23:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 22:43:v)' before p marker

MAT 23:37 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 23:2:v,23:5:v,23:8:v,23:13:v,23:15:v,23:16:v,23:23:v,23:25:v,23:27:v,23:29:v,23:33:v)' before p marker

MAT 24:29 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 24:4:v,24:9:v,24:15:v,24:26:v)' before p marker

MAT 24:29 Unclosed “ (opened at 24:29:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 24:36 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 24:29:v)', '“ (opened at 24:29:q1,24:30:v,24:32:v)'] before p marker

MAT 24:45 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 24:36:v,24:42:v)' before p marker

MAT 25:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 24:45:v)' before p marker

MAT 25:14 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 25:1:v,25:6:v,25:7:v,25:9:v,25:10:v,25:11:v,25:12:v,25:13:v)' before p marker

MAT 25:28 Unclosed ‘ (opened at 25:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

MAT 25:31 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 25:14:v,25:19:v,25:21:v,25:22:v,25:23:v,25:24:v,25:26:v)', '‘ (opened at 25:26:v)'] before p marker

MAT 26:31 Unclosed “ (opened at 26:31:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MAT 26:33 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 26:31:v)' before v marker or missing reopening quotes at v33

MRK 4:12 Unclosed “ (opened at 4:11:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MRK 4:13 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:11:v)' before p marker

MRK 7:6 Unclosed “ (opened at 7:6:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MRK 7:9 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:6:v)' before v marker or missing reopening quotes at v9

MRK 9:48 Unclosed “ (opened at 9:42:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MRK 10:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 9:42:v)' before p marker

MRK 11:17 Unclosed “ (opened at 11:17:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MRK 11:18 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:17:v)' before v marker or missing reopening quotes at v18

MRK 12:10 Unclosed “ (opened at 12:1:v,12:6:v,12:7:v,12:9:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MRK 12:12 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 12:1:v,12:6:v,12:7:v,12:9:v)' before v marker or missing reopening quotes at v12

MRK 12:36 Unclosed “ (opened at 12:35:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MRK 12:36 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 12:35:v)', '“ (opened at 12:36:q1)', '‘ (opened at 12:36:q1)', '“ (opened at 12:36:q2)']

MRK 12:37 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 12:35:v)' before p marker or missing reopening quotes at v37

MRK 13:14 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 13:5:v,13:9:v,13:12:v)' before p marker

MRK 13:24 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 13:14:v)' before p marker

MRK 13:24 Unclosed “ (opened at 13:24:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MRK 13:28 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 13:24:v)', '“ (opened at 13:24:q1,13:26:v)'] before p marker

MRK 13:32 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 13:28:v)' before p marker

MRK 14:27 Unclosed “ (opened at 14:27:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

MRK 14:29 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 14:27:v)' before v marker or missing reopening quotes at v29

LUK 4:10 Unclosed “ (opened at 4:9:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

LUK 4:12 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:9:v)' before v marker or missing reopening quotes at v12

LUK 6:24 Unclosed “ (opened at 6:20:q1,6:23:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

LUK 6:27 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 6:20:q1,6:23:v)', '“ (opened at 6:24:v)'] before p marker

LUK 6:37 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:27:v,6:32:v)' before p marker

LUK 6:43 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:39:v,6:41:v)' before p marker

LUK 6:46 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 6:43:v)' before p marker

LUK 7:27 Unclosed “ (opened at 7:24:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

LUK 7:29 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:24:v)' before v marker or missing reopening quotes at v29

LUK 7:32 Unclosed “ (opened at 7:31:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

LUK 7:34 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:31:v)', '“ (opened at 7:32:q1)', '‘ (opened at 7:34:v)', '“ (opened at 7:34:v)']

LUK 7:36 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:31:v)' before p marker

LUK 8:10 Unclosed “ (opened at 8:10:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

LUK 8:16 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 8:10:v)', '“ (opened at 8:10:q1,8:11:v)'] before p marker

LUK 10:13 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 10:2:v,10:5:v,10:8:v)' before p marker

LUK 11:2 Unclosed “ (opened at 11:2:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

LUK 11:5 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:2:v)' before v marker or missing reopening quotes at v5

LUK 11:24 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:17:v,11:21:v,11:23:v)' before p marker

LUK 11:33 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 11:29:v)' before p marker

LUK 12:32 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 12:22:v,12:27:v)' before p marker

LUK 12:35 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 12:32:v)' before p marker

LUK 12:49 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 12:42:v,12:47:v)' before p marker

LUK 14:34 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 14:26:v,14:28:v,14:31:v)' before p marker

LUK 16:16 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 16:15:v)' before p marker

LUK 16:19 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 16:16:v,16:18:v)' before p marker

LUK 17:7 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 17:6:v)' before p marker

LUK 20:17 Unclosed “ (opened at 20:17:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

LUK 20:19 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 20:17:v)' before v marker or missing reopening quotes at v19

LUK 20:42 Unclosed “ (opened at 20:41:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

LUK 20:42 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 20:41:v)', '“ (opened at 20:42:q1)', '‘ (opened at 20:42:q1)', '“ (opened at 20:42:q2)']

LUK 20:45 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 20:41:v)' before p marker

LUK 21:20 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 21:10:v,21:12:v)' before p marker

LUK 21:25 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 21:20:v)' before p marker

LUK 23:30 Unclosed “ (opened at 23:28:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

LUK 23:30 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 23:28:v)', '“ (opened at 23:30:q1)', '‘ (opened at 23:30:q1)', '“ (opened at 23:30:q1)']

LUK 23:30 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 23:28:v)', '“ (opened at 23:30:q1)', '‘ (opened at 23:30:q1)', '“ (opened at 23:30:q2)']

LUK 23:32 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 23:28:v)' before v marker or missing reopening quotes at v32

LUK 24:49 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 24:46:v)' before p marker

JHN 5:30 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 5:19:v,5:24:v,5:28:v)' before p marker

JHN 10:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 9:41:v)' before p marker

JHN 14:15 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 14:9:v)' before p marker

JHN 15:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 14:23:v,14:25:v,14:28:v,14:31:p)' before p marker

JHN 15:18 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 15:1:v,15:5:v,15:9:v)' before p marker

JHN 16:1 Unclosed “ (opened at 15:18:v,15:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

JHN 16:5 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 15:18:v,15:26:v)', '“ (opened at 16:1:v)'] before p marker

JHN 16:25 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 16:19:v)' before p marker

JHN 17:6 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 17:1:pm)' before s1 marker

JHN 17:13 Unclosed “ (opened at 17:6:v) speech marks before s1 (or improperly nested or reopened speech marks after s1)

JHN 17:20 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:6:v)', '“ (opened at 17:13:v)'] before s1 marker

JHN 17:24 Unclosed “ (opened at 17:20:v) speech marks before s1 (or improperly nested or reopened speech marks after s1)

JHN 17:25 Unclosed “ (opened at 17:24:v) speech marks before s1 (or improperly nested or reopened speech marks after s1)

JHN 18:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 17:20:v)', '“ (opened at 17:24:v)'] before p marker

ACT 1:20 Unclosed “ (opened at 1:20:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 1:20 Unclosed “ (opened at 1:20:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 1:20 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 1:20:v)', '“ (opened at 1:20:q1)', '“ (opened at 1:20:q1)', '‘ (opened at 1:20:q1)']

ACT 1:23 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 1:20:v)', '“ (opened at 1:20:q1)'] before v marker or missing reopening quotes at v23

ACT 2:17 Unclosed “ (opened at 2:14:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 2:25 Unclosed “ (opened at 2:17:v,2:22:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 2:25 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 2:14:v)', '“ (opened at 2:17:v,2:22:v)', '“ (opened at 2:25:q1)', '‘ (opened at 2:25:q1)']

ACT 2:34 Unclosed “ (opened at 2:25:q1,2:29:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 2:34 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 2:14:v)', '“ (opened at 2:17:v,2:22:v)', '“ (opened at 2:25:q1,2:29:v)', '“ (opened at 2:34:q1)']

ACT 2:34 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 2:14:v)', '“ (opened at 2:17:v,2:22:v)', '“ (opened at 2:25:q1,2:29:v)', '“ (opened at 2:34:q1)', '‘ (opened at 2:34:q1)']

ACT 2:34 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 2:14:v)', '“ (opened at 2:17:v,2:22:v)', '“ (opened at 2:25:q1,2:29:v)', '“ (opened at 2:34:q1)', '‘ (opened at 2:34:q1)', '“ (opened at 2:34:q2)']

ACT 2:36 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 2:14:v)', '“ (opened at 2:17:v,2:22:v)', '“ (opened at 2:25:q1,2:29:v)', '“ (opened at 2:34:q1,2:36:v)']

ACT 2:37 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:14:v)', '“ (opened at 2:17:v,2:22:v)', '“ (opened at 2:25:q1,2:29:v)'] before p marker

ACT 4:11 Unclosed “ (opened at 4:8:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 4:13 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:8:v)' before p marker

ACT 4:25 Unclosed “ (opened at 4:24:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 4:31 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 4:24:v)' before v marker or missing reopening quotes at v31

ACT 7:42 Unclosed “ (opened at 7:2:v,7:4:v,7:9:v,7:11:v,7:17:v,7:20:v,7:23:v,7:27:v,7:30:v,7:33:v,7:35:v,7:37:v,7:39:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 7:49 Unclosed “ (opened at 7:42:q1,7:44:v,7:48:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 7:49 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 7:2:v,7:4:v,7:9:v,7:11:v,7:17:v,7:20:v,7:23:v,7:27:v,7:30:v,7:33:v,7:35:v,7:37:v,7:39:v)', '“ (opened at 7:42:q1,7:44:v,7:48:v)', '“ (opened at 7:49:v)', '‘ (opened at 7:49:v)']

ACT 7:54 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 7:2:v,7:4:v,7:9:v,7:11:v,7:17:v,7:20:v,7:23:v,7:27:v,7:30:v,7:33:v,7:35:v,7:37:v,7:39:v)', '“ (opened at 7:42:q1,7:44:v,7:48:v)'] before p marker

ACT 13:33 Unclosed “ (opened at 13:16:v,13:20:p,13:23:v,13:26:v,13:32:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 13:34 Unclosed “ (opened at 13:33:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 13:34 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 13:16:v,13:20:p,13:23:v,13:26:v,13:32:v)', '“ (opened at 13:33:q1)', '“ (opened at 13:34:q1)', '‘ (opened at 13:34:q1)']

ACT 13:35 Unclosed “ (opened at 13:34:q1) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 13:35 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 13:16:v,13:20:p,13:23:v,13:26:v,13:32:v)', '“ (opened at 13:33:q1)', '“ (opened at 13:34:q1)', '“ (opened at 13:35:q1)']

ACT 13:35 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:16:v,13:20:p,13:23:v,13:26:v,13:32:v)', '“ (opened at 13:33:q1)', '“ (opened at 13:34:q1)', '“ (opened at 13:35:q1)', '‘ (opened at 13:35:q1)']

ACT 13:36 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 13:16:v,13:20:p,13:23:v,13:26:v,13:32:v)', '“ (opened at 13:33:q1)', '“ (opened at 13:34:q1)', '“ (opened at 13:35:q1,13:36:v)']

ACT 13:38 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 13:16:v,13:20:p,13:23:v,13:26:v,13:32:v)', '“ (opened at 13:33:q1)', '“ (opened at 13:34:q1)', '“ (opened at 13:35:q1,13:36:v,13:38:v)']

ACT 13:41 Unclosed “ (opened at 13:35:q1,13:36:v,13:38:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 13:41 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:16:v,13:20:p,13:23:v,13:26:v,13:32:v)', '“ (opened at 13:33:q1)', '“ (opened at 13:34:q1)', '“ (opened at 13:35:q1,13:36:v,13:38:v)', '“ (opened at 13:41:v)']

ACT 13:41 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 13:16:v,13:20:p,13:23:v,13:26:v,13:32:v)', '“ (opened at 13:33:q1)', '“ (opened at 13:34:q1)', '“ (opened at 13:35:q1,13:36:v,13:38:v)', '“ (opened at 13:41:v)', '‘ (opened at 13:41:v)']

ACT 13:42 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 13:16:v,13:20:p,13:23:v,13:26:v,13:32:v)', '“ (opened at 13:33:q1)', '“ (opened at 13:34:q1)', '“ (opened at 13:35:q1,13:36:v,13:38:v)'] before v marker or missing reopening quotes at v42

ACT 13:47 Unclosed “ (opened at 13:46:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 13:48 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 13:46:v)' before v marker or missing reopening quotes at v48

ACT 15:16 Unclosed “ (opened at 15:13:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 15:22 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 15:13:v)' before p marker

ACT 22:6 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 22:3:v)' before p marker

ACT 22:17 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 22:6:v,22:8:v,22:8:p,22:10:v,22:10:p,22:12:v,22:14:v)' before p marker

ACT 26:12 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 26:2:v,26:4:v,26:9:v)' before p marker

ACT 28:26 Unclosed “ (opened at 28:25:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

ACT 28:26 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 28:25:v)', '“ (opened at 28:26:v)', '‘ (opened at 28:26:v)', '“ (opened at 28:26:q1)']

ACT 28:30 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 28:25:v)' before v marker or missing reopening quotes at v30

GAL 2:15 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 2:14:v)' before p marker

REV 2:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 1:17:v,1:19:v)' before p marker

REV 2:1 Unclosed “ (opened at 2:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 2:4 Unclosed “ (opened at 2:1:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 2:7 Unclosed “ (opened at 2:4:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 2:7 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 2:1:v)', '“ (opened at 2:1:pm)', '“ (opened at 2:4:v)', '“ (opened at 2:7:v)']

REV 2:8 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:1:v)', '“ (opened at 2:1:pm)', '“ (opened at 2:4:v)', '“ (opened at 2:7:v)'] before p marker

REV 2:8 Unclosed “ (opened at 2:8:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 2:11 Unclosed “ (opened at 2:8:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 2:12 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:8:v)', '“ (opened at 2:8:pm)', '“ (opened at 2:11:v)'] before p marker

REV 2:12 Unclosed “ (opened at 2:12:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 2:14 Unclosed “ (opened at 2:12:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 2:17 Unclosed “ (opened at 2:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 2:17 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 2:12:v)', '“ (opened at 2:12:pm)', '“ (opened at 2:14:v)', '“ (opened at 2:17:v)']

REV 2:18 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:12:v)', '“ (opened at 2:12:pm)', '“ (opened at 2:14:v)', '“ (opened at 2:17:v)'] before p marker

REV 2:18 Unclosed “ (opened at 2:18:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 2:20 Unclosed “ (opened at 2:18:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 2:26 Unclosed “ (opened at 2:20:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 2:26 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 2:18:v)', '“ (opened at 2:18:pm)', '“ (opened at 2:20:v)', '“ (opened at 2:26:v)']

REV 2:27 Unclosed “ (opened at 2:26:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 2:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 2:18:v)', '“ (opened at 2:18:pm)', '“ (opened at 2:20:v)', '“ (opened at 2:26:v)', '“ (opened at 2:27:v)']

REV 2:27 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 2:18:v)', '“ (opened at 2:18:pm)', '“ (opened at 2:20:v)', '“ (opened at 2:26:v)', '“ (opened at 2:27:v)', '‘ (opened at 2:27:v)']

REV 3:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 2:18:v)', '“ (opened at 2:18:pm)', '“ (opened at 2:20:v)', '“ (opened at 2:26:v)', '“ (opened at 2:27:v)'] before p marker

REV 3:1 Unclosed “ (opened at 3:1:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 3:4 Unclosed “ (opened at 3:1:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 3:7 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 3:1:v)', '“ (opened at 3:1:pm)', '“ (opened at 3:4:v)'] before p marker

REV 3:7 Unclosed “ (opened at 3:7:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 3:11 Unclosed “ (opened at 3:7:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 3:14 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 3:7:v)', '“ (opened at 3:7:pm)', '“ (opened at 3:11:v)'] before p marker

REV 3:14 Unclosed “ (opened at 3:14:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 3:19 Unclosed “ (opened at 3:14:pm) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 3:21 Unclosed “ (opened at 3:19:v) speech marks before p (or improperly nested or reopened speech marks after p)

REV 3:21 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 3:14:v)', '“ (opened at 3:14:pm)', '“ (opened at 3:19:v)', '“ (opened at 3:21:v)']

REV 4:0 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 3:14:v)', '“ (opened at 3:14:pm)', '“ (opened at 3:19:v)'] before p marker

REV 7:15 Unclosed “ (opened at 7:14:p) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

REV 8:0 Unclosed speech marks matching '“ (opened at 7:14:p)' before p marker

REV 18:10 Unclosed “ (opened at 18:4:q1,18:9:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

REV 18:16 Unclosed “ (opened at 18:10:q1,18:11:v,18:14:v) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

REV 18:16 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:4:q1,18:9:v)', '“ (opened at 18:10:q1,18:11:v,18:14:v)', '“ (opened at 18:16:v)', '‘ (opened at 18:16:v)']

REV 18:18 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:4:q1,18:9:v)', '“ (opened at 18:10:q1,18:11:v,18:14:v)', '“ (opened at 18:16:v,18:17:p)', '‘ (opened at 18:18:v)']

REV 18:19 Unclosed “ (opened at 18:16:v,18:17:p) speech marks before q1 (or improperly nested or reopened speech marks after q1)

REV 18:19 Lots of nested speech marks ['“ (opened at 18:4:q1,18:9:v)', '“ (opened at 18:10:q1,18:11:v,18:14:v)', '“ (opened at 18:16:v,18:17:p)', '“ (opened at 18:19:q1)']

REV 18:19 Excessive nested speech marks ['“ (opened at 18:4:q1,18:9:v)', '“ (opened at 18:10:q1,18:11:v,18:14:v)', '“ (opened at 18:16:v,18:17:p)', '“ (opened at 18:19:q1)', '‘ (opened at 18:19:q1)']

REV 18:21 Unclosed speech marks matching ['“ (opened at 18:4:q1,18:9:v)', '“ (opened at 18:10:q1,18:11:v,18:14:v)', '“ (opened at 18:16:v,18:17:p)'] before v marker or missing reopening quotes at v21

Notes

Footnote Errors

PSA 9:0 Footnote anchor reference seems not to match: '9'

PSA 10:0 Footnote anchor reference seems not to match: '10'

PSA 25:0 Footnote anchor reference seems not to match: '25'

PSA 34:0 Footnote anchor reference seems not to match: '34'

PSA 37:0 Footnote anchor reference seems not to match: '37'

PSA 111:0 Footnote anchor reference seems not to match: '111'

PSA 112:0 Footnote anchor reference seems not to match: '112'

PSA 145:0 Footnote anchor reference seems not to match: '145:1'

LAM 1:0 Footnote anchor reference seems not to match: '1'

LAM 2:0 Footnote anchor reference seems not to match: '2'

LAM 3:0 Footnote anchor reference seems not to match: '3'

LAM 4:0 Footnote anchor reference seems not to match: '4'

Footnote Lines

GEN 2:7+ \fr 2:7 \ft Neno la Kiebrania la mavumbi ya ardhi ndilo kiini cha jina Adamu.
GEN 2:23+ \fr 2:23 \ft Jina la Kiebrania la mwanamke linafanana na lile la mwanaume.
GEN 6:15+ \fr 6:15 \ft Dhiraa 300 ni sawa na mita 135.
GEN 6:15+ \fr 6:15 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22:5.
GEN 6:15+ \fr 6:15 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13:5.
GEN 6:16+ \fr 6:16 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
GEN 7:20+ \fr 7:20 \ft Dhiraa 15 ni sawa na mita 7.
GEN 10:6+ \fr 10:6 \ft Yaani \fqa Misri\ft .
GEN 11:2+ \fr 11:2 \ft Shinari ndio Babeli.
GEN 15:18+ \fr 15:18 \fq Kijito cha Misri \ft hapa ina maana \fqa Wadi-el-Arish…Yuda.
GEN 16:11+ \fr 16:11 \ft Ishmaeli maana yake Mungu husikia.
GEN 16:14+ \fr 16:14 \ft Beer-Lahai-Roi maana yake Yeye Aliye Hai Anionaye Mimi.
GEN 17:1+ \fr 17:1 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (y…ote).
GEN 17:5+ \fr 17:5 \ft Abrahamu maana yake Baba wa watu wengi.
GEN 17:19+ \fr 17:19 \ft Isaki maana yake Kucheka.
GEN 19:22+ \fr 19:22 \ft Soari maana yake Mdogo.
GEN 22:14+ \fr 22:14 \ft Yehova-Yire maana yake \+nd Bwana\+nd* atatupa.
GEN 23:15+ \fr 23:15 \ft Shekeli 400 za fedha ni sawa na kilo 4.5.
GEN 24:10+ \fr 24:10 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.
GEN 24:22+ \fr 24:22 \ft Beka moja ya dhahabu ni sawa na gramu 5.5.
GEN 24:22+ \fr 24:22 \ft Shekeli 10 za dhahabu ni sawa na gramu 110.
GEN 25:25+ \fr 25:25 \ft Esau maana yake Mwenye nywele nyingi.
GEN 25:26+ \fr 25:26 \ft Yakobo maana yake Ashikaye kisigino, au Atwaaye mahali…anja.
GEN 25:30+ \fr 25:30 \ft Edomu maana yake Mwekundu.
GEN 26:20+ \fr 26:20 \ft Eseki maana yake ni Ugomvi.
GEN 26:21+ \fr 26:21 \ft Sitna maana yake Upinzani.
GEN 26:22+ \fr 26:22 \ft Rehobothi maana yake ni Mungu ametufanyia nafasi.
GEN 26:33+ \fr 26:33 \ft Shiba kwa Kiebrania maana yake ni Saba.
GEN 26:33+ \fr 26:33 \ft Beer-Sheba maana yake ni Kisima cha wale saba, yaani w…leki.
GEN 28:3+ \fr 28:3 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (y…ote).
GEN 28:19+ \fr 28:19 \ft Betheli maana yake Nyumba ya Mungu.
GEN 29:32+ \fr 29:32 \ft Reubeni maana yake Ona mwana, yaani Yehova ameangalia …angu.
GEN 29:33+ \fr 29:33 \ft Simeoni maana yake Anasikia, yaani sasa ataungana nami…heli.
GEN 29:34+ \fr 29:34 \ft Lawi maana yake Nimeunganishwa, yaani na mume wangu.
GEN 29:35+ \fr 29:35 \ft Yuda maana yake Sifa, yaani Nitamsifu Yehova.
GEN 30:6+ \fr 30:6 \ft Dani maana yake Anahukumu, yaani Mungu amenipa haki yangu.
GEN 30:8+ \fr 30:8 \ft Naftali maana yake Nimeshindana nami nimeshinda.
GEN 30:13+ \fr 30:13 \ft Asheri maana yake Nimefurahi, yaani Mungu amenifurahisha.
GEN 30:18+ \fr 30:18 \ft Isakari maana yake Zawadi, yaani Mungu amenizawadia.
GEN 30:20+ \fr 30:20 \ft Zabuloni maana yake Heshima.
GEN 30:21+ \fr 30:21 \ft Dina maana yake Tetea haki, yaani Mungu amenitetea kat…angu.
GEN 30:24+ \fr 30:24 \ft Yosefu maana yake Yeye na aongeze, yaani Mungu na aniongezee.
GEN 31:47+ \fr 31:47 \ft Yegar-Sahadutha maana yake ni Lundo la ushahidi kwa Kiaramu.
GEN 31:47+ \fr 31:47 \ft Galeedi maana yake ni Lundo la ushahidi kwa Kiebrania.
GEN 31:49+ \fr 31:49 \ft Mispa maana yake Mnara wa ulinzi.
GEN 32:2+ \fr 32:2 \ft Mahanaimu maana yake Kambi mbili.
GEN 32:28+ \fr 32:28 \ft Israeli maana yake Yeye ashindanaye na Mungu.
GEN 32:30+ \fr 32:30 \ft Penieli maana yake Uso wa Mungu, ambalo ni sawa na Pen…ania.
GEN 33:17+ \fr 33:17 \ft Sukothi maana yake Vibanda.
GEN 33:20+ \fr 33:20 \ft El-Elohe-Israeli maana yake Mungu, Mungu wa Israeli au…aeli.
GEN 35:7+ \fr 35:7 \ft El-Betheli maana yake Mungu wa Betheli.
GEN 35:8+ \fr 35:8 \ft Alon-Bakuthi maana yake Mwaloni wa Kilio.
GEN 35:11+ \fr 35:11 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (…ote).
GEN 35:15+ \fr 35:15 \ft Betheli maana yake Nyumba ya Mungu.
GEN 35:18+ \fr 35:18 \ft Benoni maana yake Mwana wa huzuni yangu.
GEN 35:18+ \fr 35:18 \ft Benyamini maana yake Mwana wa mkono wangu wa kuume.
GEN 37:28+ \fr 37:28 \ft Shekeli 20 ni sawa na gramu 200.
GEN 41:45+ \fr 41:45 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).
GEN 43:14+ \fr 43:14 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (…ote).
GEN 45:22+ \fr 45:22 \ft Shekeli 300 za fedha ni sawa na kilo 3.4.
GEN 46:20+ \fr 46:20 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).
GEN 48:3+ \fr 48:3 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (y…ote).
GEN 49:25+ \fr 49:25 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
GEN 50:11+ \fr 50:11 \ft Abel-Mizraimu maana yake Maombolezo ya Wamisri.
EXO 6:3+ \fr 6:3 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (ya…ote).
EXO 13:4+ \fr 13:4 \ft Abibu ni jina la mwezi wa kwanza kwa Wayahudi, ambao ni…yetu.
EXO 15:23+ \fr 15:23 \ft Mara maana yake ni Chungu.
EXO 16:16+ \fr 16:16 \ft Pishi ni kipimo cha ujazo, kwa Kiebrania ni omeri, amb…bili.
EXO 16:31+ \fr 16:31 \ft Mana maana yake ni mkate kutoka mbinguni.
EXO 16:36+ \fr 16:36 \ft Efa moja ni sawa na kilo 22.
EXO 17:7+ \fr 17:7 \ft Masa maana yake ni Kujaribu.
EXO 17:7+ \fr 17:7 \ft Meriba maana yake ni Kugombana.
EXO 17:15+ \fr 17:15 \ft Yehova Nisi maana yake ni \+nd Bwana\+nd* ni Bendera yangu.
EXO 21:32+ \fr 21:32 \ft Shekeli 30 ni sawa na gramu 300.
EXO 25:5+ \fr 25:5 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini …sili.
EXO 25:10+ \fr 25:10 \ft Dhiraa mbili na nusu ni sawa na sentimita 112.5.
EXO 25:10+ \fr 25:10 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.
EXO 25:23+ \fr 25:23 \ft Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90.
EXO 25:25+ \fr 25:25 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 8.
EXO 25:39+ \fr 25:39 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.
EXO 26:2+ \fr 26:2 \ft Dhiraa 28 ni sawa na mita 13.
EXO 26:2+ \fr 26:2 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
EXO 26:8+ \fr 26:8 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
EXO 26:14+ \fr 26:14 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini…sili.
EXO 26:16+ \fr 26:16 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.
EXO 27:1+ \fr 27:1 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.
EXO 27:1+ \fr 27:1 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
EXO 27:9+ \fr 27:9 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.
EXO 27:12+ \fr 27:12 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.
EXO 27:15+ \fr 27:15 \ft Dhiraa 15 ni sawa na mita 6.75.
EXO 27:16+ \fr 27:16 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
EXO 28:16+ \fr 28:16 \ft Shibiri moja ni sawa na sentimita 22.
EXO 28:30+ \fr 28:30 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hi…isha.
EXO 29:40+ \fr 29:40 \ft Efa moja ni sawa na kilo 22.
EXO 29:40+ \fr 29:40 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.
EXO 30:2+ \fr 30:2 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
EXO 30:2+ \fr 30:2 \ft Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90.
EXO 30:13+ \fr 30:13 \ft Nusu shekeli ni sawa na gramu 6.
EXO 30:13+ \fr 30:13 \ft Gera 20 ni sawa na shekeli moja au gramu 12.
EXO 30:23+ \fr 30:23 \ft Shekeli 500 ni sawa na kilo 6.
EXO 30:23+ \fr 30:23 \ft Shekeli 250 ni sawa na kilo 3.
EXO 30:24+ \fr 30:24 \ft Hini moja ni sawa na lita 4.
EXO 35:7+ \fr 35:7 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini …sili.
EXO 36:9+ \fr 36:9 \ft Dhiraa 28 ni sawa na mita 12.6.
EXO 36:9+ \fr 36:9 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
EXO 36:15+ \fr 36:15 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
EXO 36:19+ \fr 36:19 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini…sili.
EXO 36:21+ \fr 36:21 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.
EXO 36:21+ \fr 36:21 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.
EXO 37:1+ \fr 37:1 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na mita 1.13.
EXO 37:10+ \fr 37:10 \ft Dhiraa mbili ni sawa na sentimita 90.
EXO 37:10+ \fr 37:10 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
EXO 37:12+ \fr 37:12 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 8.
EXO 37:24+ \fr 37:24 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.
EXO 38:1+ \fr 38:1 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.
EXO 38:1+ \fr 38:1 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
EXO 38:9+ \fr 38:9 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.
EXO 38:12+ \fr 38:12 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.
EXO 38:14+ \fr 38:14 \ft Dhiraa 15 ni sawa na mita 6.75.
EXO 38:24+ \fr 38:24 \ft Talanta 29 na shekeli 730 ni sawa na tani moja.
EXO 38:25+ \fr 38:25 \ft Talanta 100 na shekeli 1,775 za fedha ni sawa na tani 3.4.
EXO 38:29+ \fr 38:29 \ft Talanta 70 na shekeli 2,400 ni sawa na tani 2.4.
EXO 39:9+ \fr 39:9 \ft Shibiri moja ni sawa na sentimita 22.
EXO 39:34+ \fr 39:34 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini…sili.
LEV 5:11+ \fr 5:11 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.
LEV 6:20+ \fr 6:20 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.
LEV 8:8+ \fr 8:8 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hivi…isha.
LEV 13:2+ \fr 13:2 \ft Ugonjwa wa ngozi wa kuambukiza, yaani ukoma, ni neno li…lisi.
LEV 14:10+ \fr 14:10 \ft Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo 3.
LEV 14:10+ \fr 14:10 \ft Logi ni kipimo cha ujazo ambacho ni sawa na lita 0.3.
LEV 14:21+ \fr 14:21 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na lita 2.
LEV 15:31+ \fr 15:31 \ft Yaani \fqa maskani ya Mungu\ft .
LEV 16:8+ \fr 16:8 \ft Yaani \fqa Azazeli\ft , maana yake \fqa mbuzi wa ondole…, 26.
LEV 19:36+ \fr 19:36 \ft Efa kilikuwa kipimo cha vitu vikavu.
LEV 19:36+ \fr 19:36 \ft Hini kilikuwa kipimo cha vitu vimiminika.
LEV 23:13+ \fr 23:13 \ft Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo mbili.
LEV 23:13+ \fr 23:13 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.
LEV 24:5+ \fr 24:5 \ft Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo mbili.
LEV 25:10+ \fr 25:10 \ft Yubile ni baragumu iliopigwa kila mwaka wa hamsini; ni…huru.
LEV 27:3+ \fr 27:3 \ft Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.
LEV 27:4+ \fr 27:4 \ft Shekeli 30 za fedha ni sawa na gramu 360.
LEV 27:5+ \fr 27:5 \ft Shekeli 20 za fedha ni sawa na gramu 240.
LEV 27:5+ \fr 27:5 \ft Shekeli 10 za fedha ni sawa na gramu 120.
LEV 27:6+ \fr 27:6 \ft Shekeli tatu za fedha ni sawa na gramu 36.
LEV 27:7+ \fr 27:7 \ft Shekeli 15 za fedha ni sawa na gramu 180.
LEV 27:16+ \fr 27:16 \ft Homeri moja ni sawa na efa 10, ambazo ni sawa na kilo 100.
LEV 27:25+ \fr 27:25 \ft Shekeli moja ya mahali patakatifu ni sawa na gramu 11.
LEV 27:28+ \fr 27:28 \fq Akakiweka wakfu \ft ina maana ya kumpa Mungu kabisa, d…diwa.
NUM 3:47+ \fr 3:47 \ft Shekeli tano ni sawa na gramu 55.
NUM 3:47+ \fr 3:47 \ft Gera 20 ni sawa na gramu 11.
NUM 3:50+ \fr 3:50 \ft Shekeli 1,365 ni sawa na kilo 15.5.
NUM 4:6+ \fr 4:6 \fq Pomboo \ft hapa ina maana ya mnyama mwenye ngozi laini a…sili.
NUM 5:2+ \fr 5:2 \ft Ugonjwa wa ngozi uambukizao hapa ina maana ya ukoma.
NUM 5:15+ \fr 5:15 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.
NUM 5:22+ \fr 5:22 \ft Paja lipooze hapa ina maana ya kuwa tasa au kuharibu mimba.
NUM 7:13+ \fr 7:13 \ft Shekeli 130 za fedha ni sawa na kilo 1.5.
NUM 7:13+ \fr 7:13 \ft Shekeli 70 za fedha ni sawa gramu 800.
NUM 7:14+ \fr 7:14 \ft Shekeli 10 za dhahabu ni sawa na gramu 110.
NUM 7:85+ \fr 7:85 \ft Shekeli 2,400 za fedha ni sawa na kilo 28.
NUM 7:86+ \fr 7:86 \ft Shekeli 120 za dhahabu ni sawa na kilo 1.4.
NUM 11:3+ \fr 11:3 \ft Tabera maana yake Kunaungua.
NUM 11:32+ \fr 11:32 \ft Homeri 10 ni sawa na kilo 1,000.
NUM 11:34+ \fr 11:34 \ft Kibroth-Hataava maana yake Makaburi ya wenye tamaa nyingi.
NUM 14:25+ \fr 14:25 \ft Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo.
NUM 15:4+ \fr 15:4 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.
NUM 15:4+ \fr 15:4 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.
NUM 15:6+ \fr 15:6 \ft Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo 2.
NUM 15:6+ \fr 15:6 \ft Theluthi moja ya hini ni sawa na lita moja na nusu.
NUM 15:9+ \fr 15:9 \ft Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo 3.
NUM 15:9+ \fr 15:9 \ft Nusu ya hini ni sawa na lita 2.
NUM 16:30+ \fr 16:30 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
NUM 18:16+ \fr 18:16 \ft Shekeli tano za fedha ni sawa na gramu 55.
NUM 18:16+ \fr 18:16 \ft Gera 20 ni sawa na gramu 55.
NUM 20:13+ \fr 20:13 \ft Meriba maana yake Kugombana.
NUM 21:3+ \fr 21:3 \ft Horma maana yake Maangamizi.
NUM 21:4+ \fr 21:4 \ft Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo (ona 14:25).
NUM 24:4+ \fr 24:4 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania (pia 24:16).
NUM 27:21+ \fr 27:21 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hi…isha.
NUM 28:5+ \fr 28:5 \ft Sehemu ya kumi ya efa ni sawa na kilo moja.
NUM 28:5+ \fr 28:5 \ft Robo ya hini ni sawa na lita moja.
NUM 28:9+ \fr 28:9 \ft Sehemu mbili za kumi za efa ni sawa na kilo 2.
NUM 28:12+ \fr 28:12 \ft Sehemu tatu za kumi za efa ni sawa na kilo 3.
NUM 28:14+ \fr 28:14 \ft Nusu ya hini ni sawa na lita 2.
NUM 28:14+ \fr 28:14 \ft Theluthi moja ya hini ni sawa na lita 1.2.
NUM 31:52+ \fr 31:52 \ft Shekeli 16,750 ni sawa na kilo 200.
NUM 34:3+ \fr 34:3 \ft Yaani Bahari Mfu.
NUM 34:5+ \fr 34:5 \ft Yaani Mediterania.
NUM 34:11+ \fr 34:11 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.
DEU 3:11+ \fr 3:11 \ft Dhiraa tisa ni sawa na mita 4.
DEU 3:11+ \fr 3:11 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
DEU 11:24+ \fr 11:24 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.
DEU 22:19+ \fr 22:19 \ft Shekeli 100 za fedha ni sawa na kilo moja.
DEU 22:29+ \fr 22:29 \ft Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.
DEU 23:4+ \fr 23:4 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.
DEU 31:19+ \fr 31:19 \ft Wimbo huu hapa ina maana wimbo wa Mose.
DEU 32:15+ \fr 32:15 \ft Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israe…xt*).
DEU 32:44+ \fr 32:44 \ft Yoshua, yaani Yehoshea kwa Kiebrania, maana yake ni Ye…kozi.
DEU 33:5+ \fr 33:5 \ft Yeshuruni maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani Israeli.
DEU 33:8+ \fr 33:8 \ft Thumimu na Urimu maana yake Nuru na Kweli; vifaa hivi v…isha.
DEU 33:29+ \fr 33:29 \ft Utapakanyaga mahali pao pa juu maana yake mtakanyaga j… yao.
DEU 34:2+ \fr 34:2 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.
JOS 1:4+ \fr 1:4 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.
JOS 3:4+ \fr 3:4 \ft Dhiraa 2,000 ni sawa na mita 900.
JOS 5:3+ \fr 5:3 \ft Gibeath-Haaralothi maana yake ni Kilima cha Magovi.
JOS 7:21+ \fr 7:21 \ft Shekeli 200 za fedha ni sawa na kilo 2.3.
JOS 7:21+ \fr 7:21 \ft Shekeli 50 ni sawa na gramu 600.
JOS 7:26+ \fr 7:26 \ft Akori yamaanisha taabu\ft*.
JOS 8:31+ \fr 8:31 \ft Sadaka za ushirika\ft*.
JOS 9:1+ \fr 9:1 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.
JOS 12:3+ \fr 12:3 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.
JOS 12:3+ \fr 12:3 \ft Yaani Bahari Mfu.
JOS 12:23+ \fr 12:23 \ft Au: katika miinuko ya Nafoth-Dori.
JOS 13:5+ \fr 13:5 \ft Yaani eneo la Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (k…uti).
JOS 13:27+ \fr 13:27 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.
JOS 17:11+ \fr 17:11 \ft Ndiyo Nafoth-Dori.
JOS 19:50+ \fr 19:50 \ft Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona \+xt Yos 24:3…+xt*.
JOS 24:30+ \fr 24:30 \ft Unajulikana pia kama Timnath-Heresi, ona \+xt Yos 19:5…+xt*.
JDG 1:16+ \fr 1:16 \ft Yaani Yeriko.
JDG 1:17+ \fr 1:17 \ft Horma maana yake ni Maangamizi.
JDG 2:9+ \fr 2:9 \ft Unajulikana pia kama Timnath-Sera, ona \+xt Yos 19:50; 24:30\+xt*.
JDG 3:8+ \fr 3:8 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.
JDG 3:13+ \fr 3:13 \ft Yaani Yeriko.
JDG 3:16+ \fr 3:16 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
JDG 4:2+ \fr 4:2 \ft Haroshethi-Hagoyimu ina maana Haroshethi ya Mataifa.
JDG 6:19+ \fr 6:19 \ft Efa moja ni sawa na lita 22.
JDG 6:24+ \fr 6:24 \ft Yehova-Shalom maana yake Bwana ni Amani.
JDG 7:22+ \fr 7:22 \ft Au: Seretha.
JDG 8:26+ \fr 8:26 \ft Shekeli 1,700 ni sawa na kilo 19.5.
JDG 9:4+ \fr 9:4 \ft Shekeli 70 za fedha ni sawa na gramu 800.
JDG 15:17+ \fr 15:17 \ft Ramath-Lehi maana yake Kilima cha Taya.
JDG 15:19+ \fr 15:19 \ft En-Hakore maana yake ni Chemchemi ya Aliyeita.
JDG 16:5+ \fr 16:5 \ft Shekeli 1,100 za fedha ni sawa na kilo 13 za fedha.
JDG 17:2+ \fr 17:2 \ft Shekeli 1,100 za fedha ni sawa na kilo 13 za fedha.
JDG 17:4+ \fr 17:4 \ft Shekeli 200 za fedha ni sawa na kilo 2.3 za fedha.
JDG 17:10+ \fr 17:10 \ft Shekeli 10 za fedha ni sawa na gramu 115 za fedha.
JDG 18:12+ \fr 18:12 \ft Mahane-Dani maana yake Kambi ya Dani.
RUT 1:20+ \fr 1:20 \ft Naomi maana yake Wa Kupendeza, Wa Kufurahisha.
RUT 1:20+ \fr 1:20 \ft Mara maana yake Chungu.
RUT 1:20+ \fr 1:20 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
RUT 2:17+ \fr 2:17 \ft Efa moja ni sawa na kilo 22.
RUT 3:17+ \fr 3:17 \ft Vipimo sita vya shayiri ni sawa na kilo 15.
SA1 1:24+ \fr 1:24 \ft Efa moja ya unga ni sawa na kilo 22.
SA1 2:6+ \fr 2:6 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
SA1 3:3+ \fr 3:3 \ft Hekaluni maana yake ndani ya Maskani ya \+nd Bwana\+nd*.
SA1 4:21+ \fr 4:21 \ft Ikabodi maana yake Utukufu wa \+nd Bwana\+nd* umeondoka.
SA1 7:6+ \fr 7:6 \ft Kiongozi hapa maana yake mwamuzi.
SA1 7:12+ \fr 7:12 \ft Ebenezeri maana yake jiwe la usaidizi.
SA1 9:8+ \fr 9:8 \ft Robo shekeli ni sawa na gramu 3.
SA1 12:11+ \fr 12:11 \ft Yerub-Baali pia aliitwa Gideoni.
SA1 13:21+ \fr 13:21 \ft Theluthi mbili za shekeli za fedha ni sawa na gramu 8.
SA1 13:21+ \fr 13:21 \ft Theluthi moja ya shekeli ya fedha ni sawa na gramu 4.
SA1 17:4+ \fr 17:4 \ft Dhiraa sita na shibiri moja ni sawa na mita 3, au futi …hi 8.
SA1 17:5+ \fr 17:5 \ft Shekeli 15,000 ni sawa na kilo 50.
SA1 17:7+ \fr 17:7 \ft Shekeli 600 ni sawa na kilo 7.
SA1 17:17+ \fr 17:17 \ft Efa moja ni sawa na kilo 22.
SA1 23:28+ \fr 23:28 \ft Sela-Hamalekothi maana yake Mwamba wa Kutengana.
SA1 28:6+ \fr 28:6 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hiv…isha.
SA2 2:9+ \fr 2:9 \ft Waasheri hapa ni kabila moja la Israeli.
SA2 2:10+ \fr 2:10 \ft Ish-Boshethi maana yake Mtu wa Aibu, pia anaitwa Esh-Ba…xt*).
SA2 2:16+ \fr 2:16 \ft Helkath-Hasurimu maana yake Uwanja wa Mapambano.
SA2 3:3+ \fr 3:3 \ft Jina lingine lake ni Kileabu.
SA2 5:9+ \fr 5:9 \ft Milo maana yake Boma la Ngome.
SA2 5:20+ \fr 5:20 \ft Maana yake Bwana Afurikae.
SA2 5:25+ \fr 5:25 \ft Kwa Kiebrania mji huu uliitwa Gibeoni (ona \+xt 1Nya 14:16\+xt*).
SA2 6:2+ \fr 6:2 \ft Baala ya Yuda ni jina la Kiebrania; yaani Kiriath-Yearimu.
SA2 8:8+ \fr 8:8 \ft Beta ulikuwa mji wa Aramu-Soba ambao uliitwa Teba kwa Ki…xt*).
SA2 12:25+ \fr 12:25 \ft Yedidia maana yake Apendwaye na \+nd Bwana\+nd*.
SA2 12:30+ \fr 12:30 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.
SA2 13:3+ \fr 13:3 \ft Shimea pia hutamkwa Shama.
SA2 14:26+ \fr 14:26 \ft Shekeli 200 kwa kipimo cha kifalme ni sawa na kilo 2.3.
SA2 18:11+ \fr 18:11 \ft Shekeli kumi za fedha ni sawa na gramu 115.
SA2 18:12+ \fr 18:12 \ft Shekeli 1,000 za fedha ni sawa na kilo 11.5.
SA2 20:25+ \fr 20:25 \ft Sheva mahali pengine ameitwa Shausha (\+xt 1Nya 18:16;…xt*).
SA2 21:16+ \fr 21:16 \ft Yaani majitu.
SA2 21:16+ \fr 21:16 \ft Shekeli 300 za shaba ni sawa na kilo 3.5.
SA2 22:6+ \fr 22:6 \ft Kuzimu kwa Kiebrania ni Sheol, maana yake ni Shimo lisi…isho.
SA2 23:8+ \fr 23:8 \ft Yosheb-Bashebethi au Yashobeamu (\+xt 1Nya 11:11\+xt*).
SA2 23:9+ \fr 23:9 \ft Dodai tafsiri nyingine zinamwita Dodo.
SA2 24:16+ \fr 24:16 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.
SA2 24:24+ \fr 24:24 \ft Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.
KI1 4:22+ \fr 4:22 \ft Kori 30 ni sawa na madebe 360.
KI1 4:22+ \fr 4:22 \ft Kori 60 ni sawa na madebe 720.
KI1 4:26+ \fr 4:26 \ft Waandishi wengine wanasema 40,000 (angalia \+xt 2Nya 9:25\+xt*).
KI1 5:11+ \fr 5:11 \ft Kori 20,000 ni sawa na madebe 240,000.
KI1 5:11+ \fr 5:11 \ft Bathi 20,000 ni sawa na madebe 200.
KI1 5:18+ \fr 5:18 \ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilo…uti).
KI1 6:2+ \fr 6:2 \ft Dhiraa 60 ni sawa na mita 27.
KI1 6:2+ \fr 6:2 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
KI1 6:2+ \fr 6:2 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
KI1 6:6+ \fr 6:6 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
KI1 6:6+ \fr 6:6 \ft Dhiraa saba ni sawa na mita 3.15.
KI1 6:17+ \fr 6:17 \ft Dhiraa 40 ni sawa na mita 18.
KI1 6:23+ \fr 6:23 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.
KI1 7:2+ \fr 7:2 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.
KI1 7:2+ \fr 7:2 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
KI1 7:6+ \fr 7:6 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.
KI1 7:10+ \fr 7:10 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.
KI1 7:10+ \fr 7:10 \ft Dhiraa nane ni sawa na mita 3.6.
KI1 7:15+ \fr 7:15 \ft Dhiraa 18 ni sawa na mita 8.1.
KI1 7:15+ \fr 7:15 \ft Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4.
KI1 7:16+ \fr 7:16 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
KI1 7:19+ \fr 7:19 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
KI1 7:21+ \fr 7:21 \ft Yakini maana yake Mungu atafanya imara.
KI1 7:21+ \fr 7:21 \ft Boazi maana yake Ndani ya Mungu kuna nguvu.
KI1 7:26+ \fr 7:26 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 32. Nyanda moja ni sawa…ta 8.
KI1 7:26+ \fr 7:26 \ft Bathi 2,000 ni sawa na lita 40,000.
KI1 7:27+ \fr 7:27 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.
KI1 7:31+ \fr 7:31 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
KI1 7:31+ \fr 7:31 \ft Dhiraa moja na nusu ni sawa na sentimita 67.5.
KI1 7:38+ \fr 7:38 \ft Bathi 40 ni sawa na lita 800.
KI1 7:38+ \fr 7:38 \ft Dhiraa nne ni sawa na mita 1.8.
KI1 9:13+ \fr 9:13 \ft Kabul maana yake isiyofaa kitu.
KI1 9:14+ \fr 9:14 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 4.5.
KI1 9:15+ \fr 9:15 \ft Milo maana yake Boma la Ngome, pia 9:24.
KI1 9:26+ \fr 9:26 \ft Yaani Bahari Nyekundu au Bahari ya Mafunjo.
KI1 9:28+ \fr 9:28 \ft Talanta 420 za dhahabu ni sawa na tani 14.
KI1 10:10+ \fr 10:10 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 4.5.
KI1 10:14+ \fr 10:14 \ft Talanta 666 za dhahabu ni sawa na tani 25.
KI1 10:16+ \fr 10:16 \ft Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 3.5.
KI1 10:17+ \fr 10:17 \ft Mane tatu za dhahabu ni sawa na kilo 1.7.
KI1 10:22+ \fr 10:22 \ft Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 22:48; 2Nya 9:21; …xt*).
KI1 10:28+ \fr 10:28 \ft Yaani Kilikia ilioko Syria.
KI1 10:29+ \fr 10:29 \ft Shekeli 600 za fedha ni sawa na kilo 7.
KI1 10:29+ \fr 10:29 \ft Shekeli 150 za fedha ni sawa na kilo 1.7.
KI1 10:29+ \fr 10:29 \ft Waaramu hapa ina maana ya Washamu.
KI1 11:5+ \fr 11:5 \ft Moleki au Milkomu ni mungu aliyekuwa akiabudiwa na Waam…wake.
KI1 11:25+ \fr 11:25 \ft Yaani Shamu (ambayo leo ni Syria).
KI1 11:27+ \fr 11:27 \ft Milo maana yake Boma la Ngome.
KI1 12:25+ \fr 12:25 \ft Jina lingine ni Penieli kwa Kiebrania.
KI1 14:15+ \fr 14:15 \ft Yaani mfano wa mungu wa kike Ashera.
KI1 14:31+ \fr 14:31 \ft Maandishi mengine ya Kiebrania yanamwita Abiyamu.
KI1 15:2+ \fr 15:2 \ft Yaani Absalomu, maana yake Baba wa amani.
KI1 15:18+ \fr 15:18 \ft Yaani Shamu (ambayo leo ni Syria).
KI1 16:24+ \fr 16:24 \ft Talanta mbili za fedha ni sawa na kilo 70.
KI1 19:15+ \fr 19:15 \ft Yaani Shamu (ambayo leo ni Syria).
KI1 22:48+ \fr 22:48 \ft Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 2Nya 9:21; …xt*).
KI2 1:17+ \fr 1:17 \ft Yoramu ni namna nyingine ya kutaja jina Yehoramu.
KI2 3:1+ \fr 3:1 \ft Yehoramu wakati mwingine limetajwa kama Yoramu.
KI2 5:1+ \fr 5:1 \fq Ukoma \ft ni neno lililotumika kwa Kiebrania kueleza mag…lisi.
KI2 5:5+ \fr 5:5 \ft Yaani mfalme wa Shamu.
KI2 5:5+ \fr 5:5 \ft Talanta 10 za fedha ni sawa na kilo 340.
KI2 5:5+ \fr 5:5 \ft Shekeli 6,000 za dhahabu ni sawa na kilo 70.
KI2 5:22+ \fr 5:22 \ft Talanta ya fedha ni sawa na kilo 34.
KI2 6:25+ \fr 6:25 \ft Shekeli 80 za fedha ni sawa na kilo moja.
KI2 6:25+ \fr 6:25 \ft Robo ya kibaba ni sawa na lita 0.3.
KI2 6:25+ \fr 6:25 \ft Shekeli tano za fedha ni sawa na gramu 55.
KI2 7:1+ \fr 7:1 \ft Kipimo kimoja cha unga ni sawa na kilo 3.
KI2 7:1+ \fr 7:1 \ft Shekeli moja ya fedha ni sawa na gramu 11.
KI2 8:29+ \fr 8:29 \ft Yaani Rama kwa Kiebrania.
KI2 11:4+ \fr 11:4 \ft Yaani Wakerethi (ona \+xt 1Sam 30:14; Eze 25:16; Sef 2:…xt*).
KI2 13:9+ \fr 13:9 \ft Yehoashi ni namna nyingine ya kutaja jina la Yoashi.
KI2 14:13+ \fr 14:13 \ft Dhiraa 400 ni sawa na mita 180.
KI2 14:21+ \fr 14:21 \ft Azaria pia aliitwa Uzia.
KI2 15:19+ \fr 15:19 \ft Talanta 1,000 za fedha ni sawa na tani 34.
KI2 15:20+ \fr 15:20 \ft Shekeli 50 za fedha ni sawa na gramu 600.
KI2 18:4+ \fr 18:4 \ft Nehushtani maana yake Kipande cha shaba.
KI2 18:14+ \fr 18:14 \ft Talanta 300 za fedha ni sawa na tani 10.
KI2 18:14+ \fr 18:14 \ft Talanta 30 za dhahabu ni sawa na tani moja.
KI2 23:33+ \fr 23:33 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.4.
KI2 23:33+ \fr 23:33 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.
KI2 25:17+ \fr 25:17 \ft Dhiraa 18 ni sawa na mita 8.2.
KI2 25:17+ \fr 25:17 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.
KI2 25:27+ \fr 25:27 \ft Pia aliitwa Ameli-Mariduki.
CH1 1:8+ \fr 1:8 \ft Yaani Misri.
CH1 1:19+ \fr 1:19 \ft Pelegi maana yake Mgawanyiko.
CH1 1:40+ \fr 1:40 \ft Maandishi ya Kiebrania yanamwita Alian.
CH1 2:7+ \fr 2:7 \ft Akari maana yake Taabisha; pia anaitwa Akani (\+xt Yos 6…xt*).
CH1 2:13+ \fr 2:13 \ft Au: Shima, maana yake Sifa njema (pia \+xt 1Sam 16:9; 1…xt*).
CH1 3:5+ \fr 3:5 \ft Sawa na Shimea; maana yake ni Mashuhuri, Maarufu.
CH1 4:14+ \fr 4:14 \ft Maana yake Bonde la Mafundi.
CH1 7:37+ \fr 7:37 \ft Kwa jina lingine Yetheri.
CH1 8:34+ \fr 8:34 \ft Merib-Baali maana yake ni Baali na Ashindane naye (\+xt…xt*).
CH1 9:2+ \fr 9:2 \ft Yaani \fqa Wanethini.
CH1 9:39+ \fr 9:39 \ft Anajulikana pia kwa jina la Ish-Boshethi, maana yake Mt…xt*).
CH1 9:40+ \fr 9:40 \ft Pia anajulikana kwa jina la Mefiboshethi.
CH1 11:23+ \fr 11:23 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
CH1 13:11+ \fr 13:11 \ft Maana yake ni Gadhabu dhidi ya Uza.
CH1 14:11+ \fr 14:11 \ft Maana yake ni Bwana Afurikae.
CH1 15:7+ \fr 15:7 \ft Namna nyingine ya kutaja Gershomu.
CH1 15:20+ \fr 15:20 \ft Huenda ni aina ya uimbaji.
CH1 15:21+ \fr 15:21 \ft Huenda ni aina ya uimbaji.
CH1 19:6+ \fr 19:6 \ft Talanta 1,000 za fedha ni sawa na tani 34.
CH1 19:6+ \fr 19:6 \ft Yaani Mesopotamia ya Kaskazini-Magharibi.
CH1 20:2+ \fr 20:2 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.
CH1 20:4+ \fr 20:4 \ft Yaani majitu.
CH1 21:15+ \fr 21:15 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.
CH1 21:25+ \fr 21:25 \ft Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 7.
CH1 22:14+ \fr 22:14 \ft Talanta 100,000 za dhahabu ni sawa na tani 3,750.
CH1 22:14+ \fr 22:14 \ft Talanta 1,000,000 za fedha ni sawa na tani 37,500.
CH1 23:9+ \fr 23:9 \ft Yaani Shelomithi; maana yake ni Mpenda amani.
CH1 23:10+ \fr 23:10 \ft Tafsiri zingine zinamwita Ziza.
CH1 25:11+ \fr 25:11 \ft Isri jina lingine ni Seri.
CH1 25:14+ \fr 25:14 \ft Yesarela jina lingine ni Asarela.
CH1 25:18+ \fr 25:18 \ft Azareli jina lingine ni Uzieli.
CH1 26:14+ \fr 26:14 \ft Shelemia jina lingine ni Meshelemia.
CH1 29:4+ \fr 29:4 \ft Talanta 3,000 za dhahabu sawa na tani 110.
CH1 29:4+ \fr 29:4 \ft Talanta 7,000 za fedha ni sawa na tani 260.
CH1 29:7+ \fr 29:7 \ft Talanta 5,000 za dhahabu ni sawa na tani 190.
CH1 29:7+ \fr 29:7 \ft Darkoni 10,000 za dhahabu ni sawa na kilo 84.
CH1 29:7+ \fr 29:7 \ft Talanta 10,000 za fedha ni sawa na tani 375.
CH1 29:7+ \fr 29:7 \ft Talanta 18,000 za shaba ni sawa na tani 675.
CH1 29:7+ \fr 29:7 \ft Talanta 100,000 za chuma ni sawa na tani 3,750.
CH2 1:16+ \fr 1:16 \ft Yaani Kilikia.
CH2 1:17+ \fr 1:17 \ft Shekeli 600 za fedha ni sawa na kilo 7.
CH2 1:17+ \fr 1:17 \ft Shekeli 150 ni sawa na kilo 1.7.
CH2 2:10+ \fr 2:10 \ft Kori 20,000 za ngano ni sawa na lita 4,400.
CH2 2:10+ \fr 2:10 \ft Bathi 20,000 za mvinyo au mafuta ni sawa na lita 440,000.
CH2 3:1+ \fr 3:1 \ft Pia anaitwa Ornani kwa Kiebrania.
CH2 3:3+ \fr 3:3 \ft Dhiraa 60 ni sawa na mita 27.
CH2 3:3+ \fr 3:3 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
CH2 3:4+ \fr 3:4 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
CH2 3:8+ \fr 3:8 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 23.
CH2 3:9+ \fr 3:9 \ft Shekeli 50 za dhahabu ni sawa na gramu 600.
CH2 3:11+ \fr 3:11 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
CH2 3:17+ \fr 3:17 \ft Yakini maana yake Atathibitisha.
CH2 3:17+ \fr 3:17 \ft Boazi maana yake Imo nguvu.
CH2 4:1+ \fr 4:1 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
CH2 4:1+ \fr 4:1 \ft Dhiraa 10 ni sawa na mita 4.5.
CH2 4:2+ \fr 4:2 \ft Dhiraa 30 ni sawa na mita 13.5.
CH2 4:3+ \fr 4:3 \ft Dhiraa moja ni sawa na sentimita 45.
CH2 4:5+ \fr 4:5 \ft Nyanda nne ni sawa na sentimita 7.5.
CH2 4:5+ \fr 4:5 \ft Bathi 3,000 ni sawa na lita 60,000.
CH2 4:17+ \fr 4:17 \ft Au \fqa Sarethani.
CH2 9:9+ \fr 9:9 \ft Talanta 120 za dhahabu ni sawa na tani 4.5.
CH2 9:13+ \fr 9:13 \ft Talanta 666 za dhahabu ni sawa na tani 25.
CH2 9:15+ \fr 9:15 \ft Shekeli 600 za dhahabu ni sawa na kilo 3.5.
CH2 9:16+ \fr 9:16 \ft Mane tatu za dhahabu ni sawa na kilo 1.7.
CH2 9:21+ \fr 9:21 \ft Au: za Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya …xt*).
CH2 10:18+ \fr 10:18 \ft Kiebrania ni Hadoramu.
CH2 12:3+ \fr 12:3 \ft Yaani watu kutoka sehemu ya Naili ya juu.
CH2 20:2+ \fr 20:2 \ft Yaani Bahari ya Chumvi.
CH2 20:26+ \fr 20:26 \ft Bonde la Beraka maana yake Bonde la Kusifu.
CH2 20:36+ \fr 20:36 \ft Au: za biashara (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya …xt*).
CH2 21:2+ \fr 21:2 \ft Yaani Yuda.
CH2 22:6+ \fr 22:6 \ft Yaani Rama kwa Kiebrania.
CH2 25:6+ \fr 25:6 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.
CH2 25:23+ \fr 25:23 \ft Dhiraa 400 ni sawa na mita 180.
CH2 27:5+ \fr 27:5 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.
CH2 27:5+ \fr 27:5 \ft Kori 10,000 za ngano ni sawa na tani 2.2.
CH2 32:5+ \fr 32:5 \ft Milo maana yake Boma la Ngome.
CH2 36:3+ \fr 36:3 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.
CH2 36:3+ \fr 36:3 \ft Talanta moja ya dhahabu ni sawa na kilo 34.
CH2 36:7+ \fr 36:7 \ft Au: katika jumba lake la kifalme.
EZR 2:43+ \fr 2:43 \ft Yaani \fqa Wanethini \ft (pia \+xt 2:58, 70\+xt*).
EZR 2:63+ \fr 2:63 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hiv…isha.
EZR 2:69+ \fr 2:69 \ft Darkoni 61,000 za dhahabu ni sawa na kilo 500.
EZR 2:69+ \fr 2:69 \ft Mane 5,000 za fedha ni sawa na kilo 2,900.
EZR 4:10+ \fr 4:10 \ft Yaani Osnapali au Asnapali kwa Kiaramu.
EZR 6:3+ \fr 6:3 \ft Mikono 60 ni sawa na mita 27.
EZR 7:7+ \fr 7:7 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa* (pia 7:24).
EZR 7:22+ \fr 7:22 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na kilo 3,400.
EZR 7:22+ \fr 7:22 \ft Kori 100 za ngano ni sawa na kilo 10,000.
EZR 7:22+ \fr 7:22 \ft Bathi 100 za divai ni sawa na lita 2,000.
EZR 8:17+ \fr 8:17 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa* (pia 8:20).
EZR 8:26+ \fr 8:26 \ft Talanta 650 za fedha ni sawa na tani 25.
EZR 8:26+ \fr 8:26 \ft Talanta 100 za fedha ni sawa na tani 3.75.
EZR 8:27+ \fr 8:27 \ft Darkoni 1,000 ni sawa na kilo 8.5.
NEH 1:1+ \fr 1:1 \ft Kisleu ni mwezi wa tisa katika kalenda ya Kiyahudi; kati…rq*).
NEH 2:1+ \fr 2:1 \ft Nisani (Abibu) ni mwezi wa kwanza katika kalenda ya Kiyu…rili.
NEH 3:31+ \fr 3:31 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa*.
NEH 5:15+ \fr 5:15 \ft Shekeli 40 za fedha ni sawa na gramu 456.
NEH 6:15+ \fr 6:15 \ft Eluli ni mwezi wa sita kwenye kalenda ya Kiyunani; kati…emba.
NEH 7:46+ \fr 7:46 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa* (pia 7:60, 73).
NEH 7:65+ \fr 7:65 \ft Au \fqa Tirshatha\fqa*: jina la heshima aliloitwa mtawa…:70).
NEH 7:65+ \fr 7:65 \ft Urimu na Thumimu maana yake ni Nuru na Kweli; vifaa hiv…isha.
NEH 7:70+ \fr 7:70 \ft Darkoni 1,000 za dhahabu ni sawa na uzito wa kilo 8.6.
NEH 7:71+ \fr 7:71 \ft Darkoni 20,000 za dhahabu ni sawa na kilo 172.
NEH 7:71+ \fr 7:71 \ft Mane 2,200 za fedha ni sawa na kilo 1,300.
NEH 8:9+ \fr 8:9 \ft Au \fqa Tirshatha\fqa*: jina la heshima aliloitwa mtawal…jemi.
NEH 10:28+ \fr 10:28 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa*.
NEH 10:32+ \fr 10:32 \ft Theluthi ya shekeli hapa kama gramu 4.
NEH 11:3+ \fr 11:3 \ft Yaani \fqa Wanethini\fqa* (pia 11:21).
EST 1:1+ \fr 1:1 \ft Kushi hapa ina maana ya Ethiopia.
EST 3:9+ \fr 3:9 \ft Talanta 10,000 za fedha ni sawa na tani 340.
EST 5:14+ \fr 5:14 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.
EST 8:9+ \fr 8:9 \ft Kushi hapa ina maana ya Ethiopia.
JOB 1:6+ \fr 1:6 \ft Wana wa Mungu hapa ina maana malaika au viumbe vya mbinguni.
JOB 1:6+ \fr 1:6 \ft Shetani hapa ina maana ya mshtaki wa watakatifu.
JOB 1:21+ \fr 1:21 \ft Au: nitarudi huko uchi.
JOB 2:10+ \fr 2:10 \ft Mpumbavu hapa ina maana ya kupungukiwa maadili.
JOB 3:8+ \fr 3:8 \ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba a…liwa.
JOB 5:17+ \fr 5:17 \ft Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania Shaddai (hapa na kil…ubu).
JOB 6:29+ \fr 6:29 \ft Au: haki yangu bado inasimama.
JOB 7:9+ \fr 7:9 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
JOB 9:9+ \fr 9:9 \ft Nyota za Dubu hapa ina maana ya kundi la nyota za kaskaz…Mkuu.
JOB 9:9+ \fr 9:9 \ft Orioni ni kundi la nyota kubwa.
JOB 9:9+ \fr 9:9 \ft Kilimia ni jina lililopewa nyota saba (Taurus).
JOB 9:13+ \fr 9:13 \ft Rahabu hapa ina maana ya Misri kwa fumbo.
JOB 14:13+ \fr 14:13 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
JOB 17:13+ \fr 17:13 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
JOB 17:16+ \fr 17:16 \ft Malango ya mauti hapa ina maana ya Kuzimu.
JOB 19:25+ \fr 19:25 \ft Au: Mtetezi.
JOB 26:6+ \fr 26:6 \ft Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol.
JOB 26:6+ \fr 26:6 \ft Kwa Kiebrania ni Abadon.
JOB 26:12+ \fr 26:12 \ft Rahabu hapa ni fumbo la kumaanisha Lewiathani, mnyama …liwa.
JOB 31:12+ \fr 31:12 \ft Kwa Kiebrania ni Abadon (\+xt Ay 26:6; Mit 15:11\+xt*).
JOB 36:33+ \fr 36:33 \ft Au: hutangaza kuja kwake.
JOB 40:15+ \fr 40:15 \ft Huyu alikuwa mnyama wa nyakati za zamani ambaye hajuli…gani.
JOB 41:1+ \fr 41:1 \ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba …liwa.
PSA 6:0+ \fr 6:0 \fq Sheminithi \ft ni mtajo mmojawapo katika lugha ya uimbaji.
PSA 9:0+ \fr 9 \ft Zaburi hii ikiunganishwa na ya 10 zimetungwa kila beti lik…i 22.
PSA 9:0+ \fr 9:0 \ft Muth-labeni ni mtajo mmojawapo katika lugha za muziki.
PSA 10:0+ \fr 10 \ft Zaburi hii ikiunganishwa na ya 9 zimetungwa kila beti lik…i 22.
PSA 22:3+ \fr 22:3 \ft Tafsiri zingine zinasema: uketiye juu ya sifa za Israeli.
PSA 25:0+ \fr 25 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya al…i 22.
PSA 29:6+ \fr 29:6 \ft Yaani Mlima Hermoni.
PSA 34:0+ \fr 34 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya al…i 22.
PSA 35:3+ \fr 35:3 \ft Fumo ni sawa na sagai, maana yake ni mkuki mfupi.
PSA 37:0+ \fr 37 \ft Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia na herufi ya alf…i 22.
PSA 40:6+ \fr 40:6 \ft Au: bali mwili uliniandalia.
PSA 48:2+ \fr 48:2 \ft Safoni inaweza ikawa na maana ya mlima mtakatifu au upa…zini.
PSA 49:14+ \fr 49:14 \ft Kaburini hapa ina maana ya Sheol kwa Kiebrania, yaani Kuzimu.
PSA 49:15+ \fr 49:15 \ft Au: nafsi.
PSA 68:14+ \fr 68:14 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
PSA 68:31+ \fr 68:31 \ft Kushi hapa ina maana maeneo ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.
PSA 72:8+ \fr 72:8 \ft Yaani Mto Frati.
PSA 73:4+ \fr 73:4 \ft Tafsiri nyingine zinasema: hawana maumivu katika kufa kwao.
PSA 73:10+ \fr 73:10 \ft Au: na kupokea yote wasemayo.
PSA 74:14+ \fr 74:14 \ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba…liwa.
PSA 80:11+ \fr 80:11 \ft Huenda inamaanisha Bahari ya Mediterania.
PSA 80:11+ \fr 80:11 \ft Yaani Mto Frati.
PSA 83:7+ \fr 83:7 \ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilo…uti).
PSA 84:6+ \fr 84:6 \ft Yaani Bonde la Vilio.
PSA 84:6+ \fr 84:6 \ft Au: baraka.
PSA 85:1+ \fr 85:1 \ft Au: Uliwarudisha mateka wa Yakobo.
PSA 86:13+ \fr 86:13 \ft Yaani Kuzimu.
PSA 86:16+ \fr 86:16 \ft Au: mwokoe mwanao mwaminifu.
PSA 87:4+ \fr 87:4 \ft Rahabu hapa ni jina la ushairi la Misri.
PSA 87:4+ \fr 87:4 \ft Kushi hapa ina maana ya Naili ya juu, yaani Ethiopia.
PSA 88:3+ \fr 88:3 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
PSA 88:11+ \fr 88:11 \ft Yaani \fqa Abadon\ft .
PSA 89:10+ \fr 89:10 \ft Rahabu hapa ina maana jina la Misri kwa fumbo, yaani m…s 2).
PSA 89:17+ \fr 89:17 \ft Pembe inawakilisha nguvu.
PSA 89:48+ \fr 89:48 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
PSA 91:1+ \fr 91:1 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
PSA 92:10+ \fr 92:10 \ft Pembe inawakilisha nguvu.
PSA 95:8+ \fr 95:8 \ft Meriba maana yake ni Kugombana.
PSA 95:8+ \fr 95:8 \ft Masa maana yake ni Kujaribiwa.
PSA 104:4+ \fr 104:4 \ft Au: malaika.
PSA 104:26+ \fr 104:26 \ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamb…liwa.
PSA 104:35+ \fr 104:35 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.
PSA 105:45+ \fr 105:45 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.
PSA 109:6+ \fr 109:6 \ft Mshtaki hapa maana yake ni Shetani.
PSA 110:3+ \fr 110:3 \ft Au: vijana wako watakujia kama umande.
PSA 110:7+ \fr 110:7 \ft Au: Yeye atoaye mtu wa kurithi mwingine atamweka kwenye mamlaka.
PSA 111:0+ \fr 111 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya a…i 22.
PSA 112:0+ \fr 112 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari ukianzia na herufi ya a…i 22.
PSA 115:17+ \fr 115:17 \ft Mahali pa kimya maana yake ni Kuzimu, yaani Sheol kwa…ania.
PSA 115:18+ \fr 115:18 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* ni Kiebrania Hallelu Yah.
PSA 116:16+ \fr 116:16 \ft Au: mwanao mwaminifu.
PSA 119:0+ \fr 119:0 \ft Zaburi hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila … (T).
PSA 132:6+ \fr 132:6 \ft Yaani Kiriath-Yearimu.
PSA 132:17+ \fr 132:17 \ft Pembe inawakilisha nguvu.
PSA 132:17+ \fr 132:17 \ft Masiya yaani mpakwa mafuta.
PSA 139:8+ \fr 139:8 \ft Vilindi ina maana ya Kuzimu, ambayo ni Sheol kwa Kiebrania.
PSA 145:0+ \fr 145:1 \ft Zaburi hii imetungwa kila mstari (ikiwa ni pamoja na 1…i 22.
PSA 146:1+ \fr 146:1 \ft Msifuni \+nd Bwana\+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.
PSA 148:14+ \fr 148:14 \ft Pembe hapa inawakilisha mwenye nguvu, yaani mfalme.
PRO 1:12+ \fr 1:12 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
PRO 5:5+ \fr 5:5 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
PRO 7:27+ \fr 7:27 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
PRO 15:11+ \fr 15:11 \ft Yaani Sheol, maana yake ni Kuzimu.
PRO 15:11+ \fr 15:11 \ft Kwa Kiebrania ni Abadon.
PRO 17:19+ \fr 17:19 \ft Kuinua lango maana yake ni kusema kwa majivuno.
PRO 23:14+ \fr 23:14 \ft Mautini maana yake ni Kuzimu.
PRO 31:2+ \fr 31:2 \ft Au: Ewe uliye jibu la maombi yangu.
PRO 31:10+ \fr 31:10 \ft \+rq Mithali 31:10-31\+rq* imetungwa kila mstari ukian…i 22.
ECC 7:14+ \fr 7:14 \ft Sanjari hapa maana yake mwandamano wa vitu, wanyama au watu.
ECC 7:18+ \fr 7:18 \ft Au: atafuata hayo yote mawili.
SNG 6:13+ \fr 6:13 \ft Mahanaimu hapa ina maana ya majeshi mawili.
SNG 8:11+ \fr 8:11 \ft Shekeli 1,000 ni kama kilo 11.5.
SNG 8:12+ \fr 8:12 \ft Shekeli 200 ni kama kilo 2.3.
ISA 1:9+ \fr 1:9 \ft Bwana Mwenye Nguvu Zote hapa ni Yehova Sabaoth, yaani Bw…+rq*.
ISA 2:16+ \fr 2:16 \ft Au: ya Tarshishi (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya …xt*.)
ISA 5:10+ \fr 5:10 \ft Bathi moja ni sawa na lita 22.
ISA 5:10+ \fr 5:10 \ft Homeri moja ni sawa na lita 220.
ISA 5:10+ \fr 5:10 \ft Efa moja ni sawa na lita 22.
ISA 5:14+ \fr 5:14 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
ISA 7:1+ \fr 7:1 \ft Yaani Shamu.
ISA 7:3+ \fr 7:3 \ft Shear-Yashubu maana yake Mabaki Watarudi.
ISA 7:14+ \fr 7:14 \ft Imanueli maana yake Mungu yu pamoja nasi.
ISA 7:20+ \fr 7:20 \ft Yaani Frati.
ISA 7:23+ \fr 7:23 \ft Shekeli 1,000 ni kama kilo 11.5.
ISA 8:1+ \fr 8:1 \ft Maher-Shalal-Hash-Bazi maana yake ni Haraka kuteka nyara…yara.
ISA 8:7+ \fr 8:7 \ft Yaani Frati.
ISA 8:8+ \fr 8:8 \ft Imanueli maana yake Mungu yu pamoja nasi.
ISA 8:10+ \fr 8:10 \ft Kiebrania ni Imanueli.
ISA 10:21+ \fr 10:21 \ft Kiebrania ni Shear-Yashubu, pia 22.
ISA 11:11+ \fr 11:11 \ft Pathrosi ina maana Misri ya Juu.
ISA 13:6+ \fr 13:6 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
ISA 13:19+ \fr 13:19 \ft Wababeli hapa maana yake ni Wakaldayo.
ISA 17:8+ \fr 17:8 \ft Ashera hapa maana yake ni mungu mke aliyekuwa akiabudiw…aali.
ISA 18:1+ \fr 18:1 \ft Au: wa nzige.
ISA 19:13+ \fr 19:13 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.
ISA 19:18+ \fr 19:18 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).
ISA 23:1+ \fr 23:1 \ft Kitimu hapa ni Kipro, kisiwa katika Bahari ya Mediterania.
ISA 27:1+ \fr 27:1 \ft Lewiathani ni mnyama mkubwa wa baharini mwenye magamba …liwa.
ISA 33:8+ \fr 33:8 \ft Au: miji yake imedharauliwa.
ISA 33:9+ \fr 33:9 \ft Au: Ardhi inakauka.
ISA 38:10+ \fr 38:10 \ft Mauti hapa maana yake ni Kuzimu.
ISA 38:18+ \fr 38:18 \ft Kaburini hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
ISA 40:12+ \fr 40:12 \ft Shibiri ni sawa na sentimita 20 au inchi 8.
ISA 44:2+ \fr 44:2 \ft Yeshuruni hapa maana yake ni Yeye aliye mnyofu, yaani I…xt*).
ISA 49:12+ \fr 49:12 \ft Sinimu hapa ina maana ya Aswani.
ISA 55:13+ \fr 55:13 \ft Mhadasi ni aina ya mti ambao huota milimani karibu na …xt*).
ISA 57:9+ \fr 57:9 \ft Moleki alikuwa mungu aliyekuwa anaabudiwa na Waamoni; p…oabu.
ISA 57:9+ \fr 57:9 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
ISA 60:9+ \fr 60:9 \ft Au: za biashara (ona pia \+xt 1Fal 10:22; 22:48; 2Nya 9…xt*).
ISA 62:4+ \fr 62:4 \ft Hefsiba maana yake Yeye ninayemfurahia.
ISA 62:4+ \fr 62:4 \ft Beula maana yake Aliyeolewa.
ISA 62:5+ \fr 62:5 \ft Au: wajenzi wako.
ISA 65:11+ \fr 65:11 \ft Bahati alikuwa mungu wa Wakaldayo ambaye pia alijulika…Gadi.
ISA 65:11+ \fr 65:11 \ft Ajali au Meni alikuwa mungu wa majaliwa.
ISA 66:19+ \fr 66:19 \ft Puli hapa inamaanisha Libya.
JER 2:10+ \fr 2:10 \ft Kitimu hapa ni Kipro, kisiwa katika Bahari ya Mediterania.
JER 2:16+ \fr 2:16 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.
JER 2:16+ \fr 2:16 \ft Tahpanhesi ni mji katika nchi ya Misri.
JER 2:18+ \fr 2:18 \ft Kijito kinachoelekeza maji katika Mto Naili.
JER 6:10+ \fr 6:10 \ft Masikio yameziba kwa Kiebrania ina maana kwamba masikio…riwa.
JER 17:2+ \fr 17:2 \ft Ashera ni mungu mke aliyekuwa anaabudiwa na Wakanaani.
JER 20:3+ \fr 20:3 \ft Magor-Misabibu maana yake hapa ni Vitisho pande zote.
JER 22:11+ \fr 22:11 \ft Shalumu ndiye pia anaitwa Yehoahazi.
JER 22:24+ \fr 22:24 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.
JER 24:1+ \fr 24:1 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.
JER 25:26+ \fr 25:26 \ft Sheshaki ni Babeli kwa fumbo.
JER 27:20+ \fr 27:20 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.
JER 28:4+ \fr 28:4 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.
JER 29:2+ \fr 29:2 \ft Yekonia au Konia ni jina jingine la Yehoyakini.
JER 32:9+ \fr 32:9 \ft Shekeli 17 za fedha ni sawa na gramu 200.
JER 32:44+ \fr 32:44 \ft Au: nitawarudisha tena kutoka utumwani.
JER 37:1+ \fr 37:1 \ft Yehoyakini ni jina jingine la Yekonia au Konia.
JER 39:4+ \fr 39:4 \ft Au: kuelekea Bonde la Yordani.
JER 43:13+ \fr 43:13 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).
JER 44:1+ \fr 44:1 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.
JER 44:1+ \fr 44:1 \ft Pathrosi ina maana Misri ya Juu.
JER 46:9+ \fr 46:9 \ft Kushi ni Naili ya Juu; sasa ni Sudan.
JER 46:9+ \fr 46:9 \ft Putu sasa ni Libya.
JER 46:9+ \fr 46:9 \ft Nchi iliyo Afrika ya Kaskazini, magharibi ya Mto Naili;…ibya.
JER 46:14+ \fr 46:14 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.
JER 46:14+ \fr 46:14 \ft Ni mji katika Misri.
JER 46:25+ \fr 46:25 \ft Thebesi kwa Kiebrania ni No (au No-Amoni), mji katika Misri.
JER 47:4+ \fr 47:4 \ft Kaftori ndio Krete.
JER 48:7+ \fr 48:7 \ft Kemoshi alikuwa mungu wa Wamoabu.
JER 48:13+ \fr 48:13 \ft Betheli ina maana ya Nyumba ya Mungu; lakini pia ni ma…xt*).
JER 48:25+ \fr 48:25 \ft Pembe hapa ni ishara ya nguvu.
JER 49:21+ \fr 49:21 \ft Kwa Kiebrania ni Bahari ya Mafunjo.
JER 51:1+ \fr 51:1 \ft Leb-Kamai ni Ukaldayo, yaani Babeli, kwa fumbo.
JER 51:35+ \fr 51:35 \ft Au: Jeuri tuliyofanyiwa sisi na watoto wetu.
JER 51:41+ \fr 51:41 \ft Sheshaki ni Babeli kwa fumbo.
JER 52:31+ \fr 52:31 \ft Pia aliitwa Ameli-Mariduki.
LAM 1:0+ \fr 1 \ft Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari…i 22.
LAM 2:0+ \fr 2 \ft Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari…i 22.
LAM 2:3+ \fr 2:3 \ft Pembe inawakilisha nguvu; pia 2:17.
LAM 3:0+ \fr 3 \ft Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari…i 22.
LAM 4:0+ \fr 4 \ft Sura hii imetungwa kila beti likianzia, na pia kila mstari…i 22.
EZE 1:24+ \fr 1:24 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
EZE 4:10+ \fr 4:10 \ft Shekeli 20 ni sawa na gramu 200.
EZE 4:11+ \fr 4:11 \ft Moja ya sita ya hini ni sawa na mililita (ml) 600.
EZE 10:5+ \fr 10:5 \ft Mungu Mwenyezi hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (y…ote).
EZE 20:29+ \fr 20:29 \ft Bama maana yake ni mahali pa juu pa kuabudia miungu.
EZE 23:14+ \fr 23:14 \fq Wakaldayo \ft yaani \fqa Wababeli\ft .
EZE 23:15+ \fr 23:15 \fq Ukaldayo \ft yaani \fqa Babeli\ft .
EZE 27:5+ \fr 27:5 \ft Yaani Hermoni.
EZE 27:6+ \fr 27:6 \ft Yaani sakafu ya merikebu au mashua.
EZE 27:9+ \fr 27:9 \ft Yaani Bubilo, mji wa zamani sana wa Ufoinike (kama kilo…uti).
EZE 27:15+ \fr 27:15 \ft Yaani \fqa Rhodes\ft .
EZE 27:16+ \fr 27:16 \ft Yaani marijani, jiwe laini la pwani au baharini, kama …okaa.
EZE 29:14+ \fr 29:14 \ft Pathrosi ni Misri ya Juu.
EZE 30:5+ \fr 30:5 \ft Kushi ndiyo Ethiopia.
EZE 30:5+ \fr 30:5 \ft Libya ndiyo Kubu.
EZE 30:13+ \fr 30:13 \ft Kiebrania ni Nofu.
EZE 30:14+ \fr 30:14 \ft Pathrosi ni Misri ya Juu.
EZE 30:14+ \fr 30:14 \ft Thebesi kwa Kiebrania ni No (au No-Amoni), mji katika Misri.
EZE 30:15+ \fr 30:15 \ft Kiebrania ni Sini.
EZE 30:17+ \fr 30:17 \ft Yaani Heliopoli (Mji wa Jua).
EZE 30:17+ \fr 30:17 \ft Yaani Bubasti.
EZE 31:15+ \fr 31:15 \ft Yaani Kuzimu, Sheol kwa Kiebrania; pia mstari 16, 17.
EZE 37:5+ \fr 37:5 \ft Pumzi pia ina maana ya roho kwa Kiebrania.
EZE 38:5+ \fr 38:5 \ft Kushi ni Ethiopia.
EZE 39:11+ \fr 39:11 \ft Hamon-Gogu maana yake Makundi ya wajeuri wa Gogu.
EZE 39:16+ \fr 39:16 \ft Hamona maana yake Kundi (la wajeuri).
EZE 40:5+ \fr 40:5 \ft Dhiraa ndefu 6 ni sawa na mita 3.18.
EZE 40:7+ \fr 40:7 \ft Dhiraa 5 ni sawa na mita 2.25.
EZE 40:9+ \fr 40:9 \ft Dhiraa 8 ni sawa na mita 3.6.
EZE 40:9+ \fr 40:9 \ft Dhiraa 2 ni sawa na sentimita 90.
EZE 40:12+ \fr 40:12 \ft Dhiraa 1 ni sawa na sentimita 45.
EZE 40:14+ \fr 40:14 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
EZE 40:15+ \fr 40:15 \ft Dhiraa 50 ni sawa na mita 22.5.
EZE 40:19+ \fr 40:19 \ft Dhiraa 100 ni sawa na mita 45.
EZE 40:21+ \fr 40:21 \ft Dhiraa 25 ni sawa na mita 11.25.
EZE 40:42+ \fr 40:42 \ft Dhiraa 1.5 ni sawa na sentimita 67.5.
EZE 40:43+ \fr 40:43 \ft Nyanda 4 ni sawa na sentimita 8.
EZE 40:48+ \fr 40:48 \ft Dhiraa 3 ni sawa na mita 1.35.
EZE 40:48+ \fr 40:48 \ft Dhiraa 14 ni sawa na mita 6.3.
EZE 40:49+ \fr 40:49 \ft Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4.
EZE 41:1+ \fr 41:1 \ft Dhiraa 6 ni sawa na mita 2.7.
EZE 41:2+ \fr 41:2 \ft Dhiraa 40 ni sawa na mita 18.
EZE 41:3+ \fr 41:3 \ft Dhiraa 7 ni sawa na mita 3.15.
EZE 41:12+ \fr 41:12 \ft Dhiraa 90 ni sawa na mita 40.5.
EZE 42:5+ \fr 42:5 \fq Ujia \ft ina maana ya njia ndani ya nyumba.
EZE 42:16+ \fr 42:16 \ft Dhiraa 500 ni sawa na mita 225.
EZE 43:13+ \fr 43:13 \ft Dhiraa 1 na nyanda 4 ni sawa na sentimita 53.
EZE 43:13+ \fr 43:13 \ft Shibiri 1 ni sawa na sentimita 22.5.
EZE 43:16+ \fr 43:16 \ft Dhiraa 12 ni sawa na mita 5.4.
EZE 45:1+ \fr 45:1 \ft Dhiraa 25,000 ni sawa na kilomita 11.25.
EZE 45:1+ \fr 45:1 \ft Dhiraa 20,000 ni sawa na kilomita 9.
EZE 45:3+ \fr 45:3 \ft Dhiraa 10,000 ni sawa na kilomita 4.5.
EZE 45:6+ \fr 45:6 \ft Dhiraa 5,000 ni sawa na kilomita 2.25.
EZE 45:10+ \fr 45:10 \ft Efa ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vikavu ambach…o 22.
EZE 45:10+ \fr 45:10 \ft Bathi ni kipimo cha ujazo cha kupimia vitu vya humimin…a 10.
EZE 45:12+ \fr 45:12 \ft Gera 20 ni sawa na shekeli 1.
EZE 45:12+ \fr 45:12 \ft Mina 1 hapa ni sawa na shekeli 60; mina ya kawaida ili…i 50.
EZE 45:14+ \fr 45:14 \ft Kori 1 ni sawa na bathi 10 au homeri 1.
EZE 45:24+ \fr 45:24 \ft Hini ni kipimo cha kupimia vitu vya humiminika chenye …ta 4.
EZE 46:14+ \fr 46:14 \ft Theluthi moja ya hini ni sawa na lita 1.3.
EZE 47:3+ \fr 47:3 \ft Dhiraa 1,000 ni sawa na mita 450.
EZE 47:8+ \fr 47:8 \ft Araba hapa ina maana ya Bonde la Yordani.
EZE 47:8+ \fr 47:8 \ft Bahari hapa ina maana ya Bahari ya Chumvi.
EZE 47:10+ \fr 47:10 \ft Bahari Kuu hapa ina maana ya Bahari ya Mediterania.
EZE 47:18+ \fr 47:18 \ft Bahari ya mashariki hapa ina maana ya Bahari ya Chumvi.
EZE 48:8+ \fr 48:8 \ft Dhiraa 25,000 ni sawa na kilomita 11.25.
EZE 48:9+ \fr 48:9 \ft Dhiraa 10,000 ni sawa na kilomita 4.5.
EZE 48:15+ \fr 48:15 \ft Dhiraa 5,000 ni sawa na kilomita 2.25.
EZE 48:16+ \fr 48:16 \ft Dhiraa 4,500 ni sawa na kilomita 2.025.
EZE 48:17+ \fr 48:17 \ft Dhiraa 250 ni sawa na sentimita 112.5.
EZE 48:28+ \fr 48:28 \ft Bahari Kuu hapa ina maana ya Bahari ya Mediterania.
EZE 48:35+ \fr 48:35 \ft Dhiraa 18,000 ni sawa na kilomita 8.1.
DAN 1:12+ \fr 1:12 \ft Nafaka na mboga za majani, yaani \fqa zeroimu \ft kwa K… n.k.
DAN 2:4+ \fr 2:4 \ft Kutoka hapa hadi \+xt Dan 7:28,\+xt* mwandishi aliandika…ramu.
DAN 3:1+ \fr 3:1 \ft Dhiraa sitini ni sawa na mita 27.
DAN 3:1+ \fr 3:1 \ft Dhiraa sita ni sawa na mita 2.7.
DAN 5:10+ \fr 5:10 \ft Au: Mama yake mfalme.
DAN 7:25+ \fr 7:25 \ft Wakati, nyakati mbili, na nusu wakati maana yake ni mwa…nusu.
DAN 8:2+ \fr 8:2 \ft Mto Ulai ni mfereji uliokuwa kati ya Shushani na Elymais…runi.
DAN 10:4+ \fr 10:4 \ft Hedekeli ndio Mto Tigrisi.
DAN 12:7+ \fr 12:7 \ft Wakati, nyakati mbili na nusu wakati maana yake mwaka m…nusu.
HOS 1:4+ \fr 1:4 \ft Yezreeli maana yake Mungu hupanda.
HOS 1:6+ \fr 1:6 \ft Lo-Ruhama maana yake Sio mpenzi wangu.
HOS 1:9+ \fr 1:9 \ft Lo-Ami maana yake Sio watu wangu.
HOS 2:15+ \fr 2:15 \ft Akori maana yake ni Taabu.
HOS 2:23+ \fr 2:23 \ft Kiebrania ni Lo-Ruhama.
HOS 2:23+ \fr 2:23 \ft Kiebrania ni Lo-Ami.
HOS 3:2+ \fr 3:2 \ft Shekeli 15 za fedha ni sawa na gramu 170.
HOS 3:2+ \fr 3:2 \ft Homeri moja na nusu ni kama lita 330.
HOS 4:15+ \fr 4:15 \ft Beth-Aveni maana yake Nyumba ya Ubatili (au Uovu), jina…haka.
HOS 5:8+ \fr 5:8 \ft Beth-Aveni maana yake Nyumba ya Ubatili (au Uovu), jina …haka.
HOS 9:6+ \fr 9:6 \ft Memfisi kwa Kiebrania ni Nofu.
HOS 10:5+ \fr 10:5 \ft Beth-Aveni maana yake Nyumba ya Ubatili (au Uovu), jina…haka.
HOS 10:8+ \fr 10:8 \ft Yaani \fqa Aveni \ft kwa Kiebrania, kumaanisha \fqa Bet…haka.
JOL 1:15+ \fr 1:15 \ft Mwenyezi hapa ina maana ya Shaddai kwa Kiebrania.
JOL 3:2+ \fr 3:2 \ft Yehoshafati maana yake \+nd Bwana\+nd* huhukumu.
JOL 3:18+ \fr 3:18 \ft Au: \fqa Bonde la Migunga\ft .
AMO 1:5+ \fr 1:5 \ft Bonde la Aveni maana yake Bonde la Uovu.
AMO 5:5+ \fr 5:5 \ft Yaani \fqa Aveni \ft kwa Kiebrania, kumaanisha Beth-Aven…haka.
AMO 9:7+ \fr 9:7 \ft Yaani Krete.
JNA 1:17+ \fr 1:17 \ft Yaani samaki mkubwa sana.
JNA 2:2+ \fr 2:2 \ft Kaburi hapa maana yake ni Kuzimu, kwa Kiebrania ni Sheol.
JNA 2:5+ \fr 2:5 \ft Mwani hapa maana yake ni magugu yaotayo kwenye sakafu ya…hari.
NAH 3:9+ \fr 3:9 \ft Kushi ni Ethiopia.
HAB 3:1+ \fr 3:1 \ft Ni kifaa cha uimbaji chenye nyuzi; pia maombi kutumia kifaa hiki.
HAG 1:1+ \fr 1:1 \ft Yoshua kwa Kiebrania ni Yeshua, maana yake ni Yehova ni wokovu.
ZEC 3:1+ \fr 3:1 \ft Yoshua kwa Kiebrania ni Yeshua, maana yake ni Yehova ni wokovu.
ZEC 5:2+ \fr 5:2 \ft Dhiraa 20 ni sawa na mita 9.
ZEC 5:2+ \fr 5:2 \ft Dhiraa 10 ni sawa mita 4.5.
ZEC 12:10+ \fr 12:10 \ft Au: Roho wa neema.
ZEC 14:8+ \fr 14:8 \ft Yaani Bahari ya Chumvi au Bahari Mfu.
ZEC 14:8+ \fr 14:8 \ft Yaani Bahari ya Mediterania.
ZEC 14:10+ \fr 14:10 \ft Araba maana yake Nchi tambarare.
MAT 1:8+ \fr 1:8 \fq Yoramu \ft ndiye \fqa Yehoramu, \ft maana yake ni \fqa Y… juu.
MAT 1:16+ \fr 1:16 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
MAT 1:21+ \fr 1:21 \fq Yesu \ft ni \+tl Iesous\+tl* kwa Kiyunani, na kwa Kiebr…kovu.
MAT 2:4+ \fr 2:4 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Ali…futa.
MAT 3:11+ \fr 3:11 \fq …kwa Roho Mtakatifu \ft hapa ina maana ya \fqa katika R…tifu.
MAT 4:25+ \fr 4:25 \ft Yaani Miji Kumi.
MAT 5:22+ \fr 5:22 \ft Raka ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni dharau au … juu.
MAT 5:22+ \fr 5:22 \fq Baraza la Wayahudi \ft lilikuwa kundi kuu kabisa la uta…mkuu.
MAT 6:24+ \fr 6:24 \ft Mali (au Utajiri) hapa inatoka neno Mamoni kwa Kiaramu …nani.
MAT 10:25+ \fr 10:25 \ft Beelzebuli kwa Kiyunani ni Beelzebubu, yaani mkuu wa p…hafu.
MAT 10:28+ \fr 10:28 \ft Jehanamu kwa Kiyunani ni Gehena, maana yake ni Kuzimu,…toni.
MAT 11:2+ \fr 11:2 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya, \ft yaani \fqa Al…futa.
MAT 11:23+ \fr 11:23 \fq Kuzimu \ft ni \fqa Mahali pa wafu.
MAT 12:24+ \fr 12:24 \ft Beelzebuli au Beelzebubu; pia 12:27.
MAT 12:40+ \fr 12:40 \ft Nyangumi ni samaki mkubwa sana.
MAT 14:25+ \fr 14:25 \ft Zamu ya nne ya usiku ni kati ya saa tisa na saa kumi n…buhi.
MAT 15:39+ \fr 15:39 \ft Magadani ni Magdala, mji wa Galilaya, kama kilomita 16…aumu.
MAT 16:16+ \fr 16:16 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
MAT 16:17+ \fr 16:17 \ft Bar-Yona ni neno la Kiaramu, maana yake ni Mwana wa Yona.
MAT 17:24+ \fr 17:24 \ft Kodi ya Hekalu ilikuwa didrachmas, yaani drakma mbili,…keli.
MAT 18:24+ \fr 18:24 \ft Talanta moja ni sawa na mshahara wa kibarua wa miaka 15.
MAT 18:28+ \fr 18:28 \ft Dinari moja ilikuwa kama mshahara wa kibarua wa siku moja.
MAT 20:2+ \fr 20:2 \ft Dinari moja ilikuwa kama mshahara wa kibarua wa siku moja.
MAT 21:9+ \fr 21:9 \ft Kiebrania kusema Okoa, basi likawa neno la shangwe.
MAT 22:42+ \fr 22:42 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
MAT 23:7+ \fr 23:7 \ft Rabi maana yake Bwana, Mwalimu.
MAT 23:10+ \fr 23:10 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
MAT 24:5+ \fr 24:5 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
MAT 25:15+ \fr 25:15 \ft Talanta moja ilikuwa sawa na mshahara wa kibarua wa miaka 15.
MAT 26:63+ \fr 26:63 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
MAT 27:27+ \fr 27:27 \ft Praitorio maana yake ni makao makuu ya mtawala, jumba …kumu.
MRK 3:22+ \fr 3:22 \ft Beelzebuli kwa Kiyunani ni Beelzebubu, yaani mkuu wa pe…hafu.
MRK 5:9+ \fr 5:9 \ft Legioni maana yake ni Jeshi.
MRK 5:41+ \fr 5:41 \fq Talitha koum \ft ni lugha ya Kiaramu.
MRK 6:3+ \fr 6:3 \ft Yosefu kwa Kiyunani ni Joses.
MRK 6:37+ \fr 6:37 \ft Dinari moja ilikuwa kama mshahara wa kibarua wa siku mo… 200.
MRK 7:26+ \fr 7:26 \ft Kulikuwa na Foinike ya Siria (ndio Shamu) na Foinike ya Libya.
MRK 8:29+ \fr 8:29 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
MRK 10:25+ \fr 10:25 \ft Tajiri ina maana wale wanaotumainia mali.
MRK 11:9+ \fr 11:9 \ft Kiebrania kusema Okoa, basi likawa neno la shangwe.
MRK 12:15+ \fr 12:15 \ft Dinari moja ilikuwa sawa na mshahara wa kibarua wa siku moja.
MRK 12:35+ \fr 12:35 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
MRK 13:21+ \fr 13:21 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
MRK 14:3+ \fr 14:3 \ft Nardo ni aina ya manukato yaliyotengenezwa kutokana na …zuri.
MRK 14:5+ \fr 14:5 \ft Dinari 300 ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku 300.
MRK 14:36+ \fr 14:36 \fq Abba \ft ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni \fqa …yake.
MRK 14:45+ \fr 14:45 \ft \+tl Rabi\+tl* ni neno la Kiebrania ambalo maana yake …kuu).
MRK 14:55+ \fr 14:55 \fq Baraza la Wayahudi \ft hapa ina maana ya \fqa Sanhedri…mkuu.
MRK 14:61+ \fr 14:61 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
MRK 15:16+ \fr 15:16 \ft Praitorio maana yake ni makao makuu ya mtawala; ni jum…kumu.
MRK 15:32+ \fr 15:32 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
LUK 1:69+ \fr 1:69 \ft Pembe hapa inamaanisha nguvu.
LUK 2:2+ \fr 2:2 \ft Shamu inamaanisha Syria.
LUK 2:11+ \fr 2:11 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
LUK 3:15+ \fr 3:15 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
LUK 3:16+ \fr 3:16 \ft Tafsiri nyingine zinasema ndani ya maji.
LUK 4:27+ \fr 4:27 \ft Shamu hapa inamaanisha Syria.
LUK 4:41+ \fr 4:41 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
LUK 5:1+ \fr 5:1 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.
LUK 7:41+ \fr 7:41 \ft Dinari 500 ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku mia tano.
LUK 8:30+ \fr 8:30 \ft Legioni maana yake ni Jeshi.
LUK 8:31+ \fr 8:31 \ft Shimo hapa ina maana Abyss (shimo lisilo na mwisho), ya…heol.
LUK 9:20+ \fr 9:20 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
LUK 10:35+ \fr 10:35 \ft Dinari mbili ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku mbili.
LUK 11:15+ \fr 11:15 \ft Beelzebubu au Beelzebuli; ni mkuu wa pepo wachafu; pia 18, 19.
LUK 16:6+ \fr 16:6 \ft Galoni 800 ni sawa na lita 4,000.
LUK 16:7+ \fr 16:7 \ft Vipimo 1,000 ni kama magunia 100.
LUK 16:13+ \fr 16:13 \ft Mali (au Utajiri) hapa inatoka neno Mamoni kwa Kiaramu…nani.
LUK 20:41+ \fr 20:41 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
LUK 22:66+ \fr 22:66 \ft Baraza la wazee hapa ina maana ya Sanhedrin ambalo lil…mkuu.
LUK 22:67+ \fr 22:67 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
LUK 23:2+ \fr 23:2 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
LUK 23:43+ \fr 23:43 \ft Paradiso maana yake bustani nzuri, hapa ina maana maha…tifu.
LUK 23:50+ \fr 23:50 \fq Baraza la Wayahudi \ft hapa ina maana ya \fqa Sanhedri…mkuu.
LUK 24:13+ \fr 24:13 \ft Maili saba ni kama kilomita 11.2.
LUK 24:26+ \fr 24:26 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
JHN 1:20+ \fr 1:20 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
JHN 1:26+ \fr 1:26 \ft Hapa tafsiri zingine zinasema ndani ya maji.
JHN 1:42+ \fr 1:42 \ft Petro kwa Kiyunani au Kefa kwa Kiaramu; maana yake ni K…amba.
JHN 2:6+ \fr 2:6 \ft Kipipa kimoja chenye ujazo wa lita 40; hivyo kila mtungi… 120.
JHN 3:1+ \fr 3:1 \ft Baraza la Wayahudi hapa ina maana ya Sanhedrin ambalo li…mkuu.
JHN 3:28+ \fr 3:28 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
JHN 4:29+ \fr 4:29 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
JHN 5:2+ \fr 5:2 \ft Bethzatha ni neno la Kiebrania ambalo maana yake ni Nyum…vuvi.
JHN 6:7+ \fr 6:7 \ft Dinari 200 ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku 200; m…siku.
JHN 6:19+ \fr 6:19 \ft Maili tatu au nne ni kama kilomita 5 au 6.
JHN 7:26+ \fr 7:26 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
JHN 9:22+ \fr 9:22 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
JHN 10:22+ \fr 10:22 \ft Sikukuu ya Kuwekwa wakfu kwa Hekalu ni Hanukkah kwa Kiebrania.
JHN 10:24+ \fr 10:24 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
JHN 11:18+ \fr 11:18 \ft Maili mbili ni kama kilomita tatu.
JHN 11:27+ \fr 11:27 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
JHN 12:3+ \fr 12:3 \ft Painti moja ni kama nusu lita.
JHN 12:3+ \fr 12:3 \ft Nardo ni aina ya mafuta yaliyokuwa yanatengenezwa kutok…zuri.
JHN 12:5+ \fr 12:5 \ft Dinari 300 ni sawa na mshahara wa kibarua wa siku 300.
JHN 12:13+ \fr 12:13 \ft Kiebrania kusema Okoa, basi likawa neno la shangwe.
JHN 12:34+ \fr 12:34 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
JHN 18:28+ \fr 18:28 \ft Jumba la mfalme la mtawala wa Kirumi lilikuwa linaitwa…orio.
JHN 19:13+ \fr 19:13 \ft Gabatha ni neno la Kiebrania ambalo maana yake ni Saka…kama.
JHN 19:39+ \fr 19:39 \ft Zaidi ya kilo 30; tafsiri nyingine zinasema ratili 100…o 34.
JHN 20:31+ \fr 20:31 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
JHN 21:1+ \fr 21:1 \ft Yaani Bahari ya Galilaya.
JHN 21:8+ \fr 21:8 \ft Dhiraa 200 ni kama mita 90.
ACT 1:12+ \fr 1:12 \ft Mwendo wa Sabato hapa ina maana umbali wa mita 1,100.
ACT 1:13+ \fr 1:13 \ft Zelote hapa ina maana alikuwa mwanachama wa Wazelote, k…rumi.
ACT 2:31+ \fr 2:31 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
ACT 3:18+ \fr 3:18 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
ACT 4:15+ \fr 4:15 \fq Baraza la Wayahudi \ft hapa ina maana ya \fqa Sanhedrin…mkuu.
ACT 5:42+ \fr 5:42 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
ACT 7:36+ \fr 7:36 \ft Yaani Bahari ya Mafunjo.
ACT 8:5+ \fr 8:5 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Ali…futa.
ACT 9:22+ \fr 9:22 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
ACT 9:36+ \fr 9:36 \ft Tabitha kwa Kiaramu na Dorkasi kwa Kiaramu yote yamaanisha Paa.
ACT 17:3+ \fr 17:3 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
ACT 18:5+ \fr 18:5 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa Al…futa.
ACT 19:19+ \fr 19:19 \ft Drakma ilikuwa ni sarafu ya fedha, thamani yake ni saw…moja.
ACT 26:23+ \fr 26:23 \fq Kristo \ft maana yake ni \fqa Masiya\ft , yaani \fqa A…futa.
ACT 27:28+ \fr 27:28 \ft Pima 20 ni kama mita 40.
ACT 27:28+ \fr 27:28 \ft Pima 15 ni kama mita 30.
ACT 27:30+ \fr 27:30 \ft Omo hapa maana yake ni sehemu ya mbele ya meli, yaani gubeti.
ACT 27:41+ \fr 27:41 \ft Shetri ni sehemu ya nyuma ya meli ambayo pia huitwa tezi.
ROM 8:15+ \fr 8:15 \ft Abba ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni Baba; ni n…mzaa.
ROM 16:3+ \fr 16:3 \ft Prisila kwa Kiyunani ni Priska, hivyo tafsiri nyingine …iska.
CO1 1:12+ \fr 1:12 \ft Yaani Petro.
CO1 3:22+ \fr 3:22 \ft Yaani Petro.
CO1 9:5+ \fr 9:5 \ft Yaani Petro.
CO1 15:5+ \fr 15:5 \ft Yaani Petro.
CO1 16:19+ \fr 16:19 \ft Prisila kwa Kiyunani ni Priska, hivyo tafsiri nyingine…iska.
CO1 16:22+ \fr 16:22 \ft Kwa Kiaramu ni \+tl Marana tha\+tl*.
CO2 1:19+ \fr 1:19 \ft Yaani Sila.
CO2 6:15+ \fr 6:15 \ft Beliari hapa ina maana ya uovu, kutokumcha Mungu.
CO2 12:4+ \fr 12:4 \ft Paradiso hapa ina maana mbinguni.
GAL 1:18+ \fr 1:18 \ft Yaani Petro.
GAL 1:21+ \fr 1:21 \ft Syria hapa ina maana ya Shamu.
GAL 2:9+ \fr 2:9 \ft Yaani Petro, pia mstari 11, 14.
GAL 4:6+ \fr 4:6 \ft Abba ni neno la Kiaramu ambalo maana yake ni Baba; linge…uzaa.
EPH 4:8+ \fr 4:8 \ft Juu zaidi hapa ina maana mbingu za mbingu.
EPH 4:9+ \fr 4:9 \ft Pande za chini sana za dunia hapa maana yake Sheol kwa K…zimu.
TH1 1:1+ \fr 1:1 \ft Yaani Sila.
TH2 1:1+ \fr 1:1 \ft Yaani Sila.
TI2 4:19+ \fr 4:19 \ft Prisila kwa Kiyunani ni Priska, hivyo tafsiri nyingine …iska.
PHM 1:10+ \fr 1:10 \fq Onesimo \ft maana yake ni \fqa Wa manufaa.
HEB 7:2+ \fr 7:2 \ft Sehemu ya kumi mahali pengine huitwa fungu la kumi au za…ungu.
HEB 7:10+ \fr 7:10 \ft Yaani, alikuwa hajazaliwa.
HEB 9:16+ \fr 9:16 \ft Wosia hapa kwa neno la Kiyunani ni agano.
HEB 11:29+ \fr 11:29 \ft Yaani Bahari ya Mafunjo.
PE1 5:12+ \fr 5:12 \ft Yaani Sila.
PE2 1:6+ \fr 1:6 \ft Maana yake kumcha Mungu.
PE2 2:4+ \fr 2:4 \ft Kuzimu hapa linalotokana na neno Tartarus la Kiyunani; m…otea.
REV 1:18+ \fr 1:18 \ft Kuzimu linalotokana na neno Hades la Kiyunani au Sheol …otea.
REV 2:7+ \fr 2:7 \ft Paradiso hapa ina maana ya Bustani, yaani shamba dogo la…unda.
REV 3:1+ \fr 3:1 \ft Roho saba za Mungu hapa inamaanisha Roho wa Mungu katika…wake.
REV 4:5+ \fr 4:5 \ft Roho saba za Mungu hapa inamaanisha Roho wa Mungu katika…wake.
REV 5:6+ \fr 5:6 \ft Roho saba za Mungu hapa inamaanisha Roho wa Mungu katika…wake.
REV 6:6+ \fr 6:6 \ft Ni kama lita moja.
REV 6:6+ \fr 6:6 \ft Sawa na dinari moja.
REV 6:8+ \fr 6:8 \ft Kuzimu linalotokana na neno Hades la Kiyunani au Sheol k…ania.
REV 9:1+ \fr 9:1 \ft Yaani Abyss kwa Kiyunani; maana yake ni Kuzimu, yaani ma…hafu.
REV 9:11+ \fr 9:11 \ft Abadoni au Apolioni maana yake ni Mharabu, yaani Yule aharibuye.
REV 11:8+ \fr 11:8 \ft Mji mkubwa hapa inamaanisha Yerusalemu ambako Bwana wao…biwa.
REV 11:8+ \fr 11:8 \ft Sodoma na Misri hapa inamaanisha Yerusalemu, kwa sababu…nusu.
REV 12:14+ \fr 12:14 \ft Maana yake ni miaka mitatu na nusu.
REV 14:20+ \fr 14:20 \ft Kimo cha hatamu za farasi ni kama mita moja na nusu.
REV 14:20+ \fr 14:20 \ft Maili 200 ni sawa na kilomita 320.
REV 16:16+ \fr 16:16 \ft Armagedoni au Har-Magedoni ina maana Mlima Megido, mah…yezi.
REV 16:21+ \fr 16:21 \ft Talanta moja ni kama kilo 34.
REV 21:16+ \fr 21:16 \ft Kilomita 2,200 hapa ni sawa na maili 1,200.
REV 21:17+ \fr 21:17 \ft Dhiraa 144 ni karibu mita 65.

Leader Counts

 Footnote leader '+': 936    Footnotes: 936  

Leader Counts (sorted by count)

 Footnotes: 936    Footnote leader '+': 936  

Headings

Possible Heading Errors

ISA 3:0 s1 heading ends with a period: Hukumu Juu Ya Yerusalemu Na Yuda.

JNA 4:0 s1 heading ends with a period: Hasira Ya Yona Kwa Ajili Ya Huruma Ya \nd Bwana\nd*.

Title Lines

FRT -1:3 Main Title 1:NENO
FRT -1:4 Main Title 2:BIBLIA TAKATIFU
FRT -1:6 Main Title 4:AGANO LA KALE
FRT -1:7 Main Title 4:NA
FRT -1:8 Main Title 4:AGANO JIPYA
FRT -1:77 Main Title 1:Dibaji
FRT -1:115 Main Title 1:Majina na Taratibu ya Vitabu Vyote Vya
FRT -1:124 Main Title 1:AGANO LA KALE
FRT -1:126 Main Title 1:AGANO JIPYA
GEN -1:6 Main Title 1:Mwanzo
EXO -1:6 Main Title 1:Kutoka
LEV -1:6 Main Title 1:Mambo Ya Walawi
NUM -1:6 Main Title 1:Hesabu
DEU -1:6 Main Title 1:Kumbukumbu La Torati
JOS -1:6 Main Title 1:Yoshua
JDG -1:6 Main Title 1:Waamuzi
RUT -1:6 Main Title 1:Ruthu
SA1 -1:6 Main Title 1:1 Samweli
SA2 -1:6 Main Title 1:2 Samweli
KI1 -1:6 Main Title 1:1 Wafalme
KI2 -1:6 Main Title 1:2 Wafalme
CH1 -1:6 Main Title 1:1 Mambo Ya Nyakati
CH2 -1:6 Main Title 1:2 Mambo Ya Nyakati
EZR -1:6 Main Title 1:Ezra
NEH -1:6 Main Title 1:Nehemia
EST -1:6 Main Title 1:Esta
JOB -1:6 Main Title 1:Ayubu
PSA -1:6 Main Title 1:Zaburi
PRO -1:6 Main Title 1:Mithali
ECC -1:6 Main Title 1:Mhubiri
SNG -1:6 Main Title 1:Wimbo Ulio Bora
ISA -1:6 Main Title 1:Isaya
JER -1:6 Main Title 1:Yeremia
LAM -1:6 Main Title 1:Maombolezo
EZE -1:6 Main Title 1:Ezekieli
DAN -1:6 Main Title 1:Danieli
HOS -1:6 Main Title 1:Hosea
JOL -1:6 Main Title 1:Yoeli
AMO -1:6 Main Title 1:Amosi
OBA -1:6 Main Title 1:Obadia
JNA -1:6 Main Title 1:Yona
MIC -1:6 Main Title 1:Mika
NAH -1:6 Main Title 1:Nahumu
HAB -1:6 Main Title 1:Habakuki
ZEP -1:6 Main Title 1:Sefania
HAG -1:6 Main Title 1:Hagai
ZEC -1:6 Main Title 1:Zekaria
MAL -1:6 Main Title 1:Malaki
MAT -1:6 Main Title 1:Mathayo
MRK -1:6 Main Title 1:Marko
LUK -1:6 Main Title 1:Luka
JHN -1:6 Main Title 1:Yohana
ACT -1:6 Main Title 1:Matendo Ya Mitume
ROM -1:6 Main Title 1:Warumi
CO1 -1:6 Main Title 1:1 Wakorintho
CO2 -1:6 Main Title 1:2 Wakorintho
GAL -1:6 Main Title 1:Wagalatia
EPH -1:6 Main Title 1:Waefeso
PHP -1:6 Main Title 1:Wafilipi
COL -1:6 Main Title 1:Wakolosai
TH1 -1:6 Main Title 1:1 Wathesalonike
TH2 -1:6 Main Title 1:2 Wathesalonike
TI1 -1:6 Main Title 1:1 Timotheo
TI2 -1:6 Main Title 1:2 Timotheo
TIT -1:6 Main Title 1:Tito
PHM -1:6 Main Title 1:Filemoni
HEB -1:6 Main Title 1:Waebrania
JAM -1:6 Main Title 1:Yakobo
PE1 -1:6 Main Title 1:1 Petro
PE2 -1:6 Main Title 1:2 Petro
JN1 -1:6 Main Title 1:1 Yohana
JN2 -1:6 Main Title 1:2 Yohana
JN3 -1:6 Main Title 1:3 Yohana
JDE -1:6 Main Title 1:Yuda
REV -1:6 Main Title 1:Ufunuo

Section Heading Lines

GEN 1:0Siku Sita Za Uumbaji Na Sabato
GEN 2:3Adamu Na Eva
GEN 3:0Kuanguka Kwa Mwanadamu
GEN 4:0Kaini Na Abeli
GEN 5:0Kutoka Adamu Hadi Noa
GEN 6:0Gharika Kuu
GEN 8:0Mwisho Wa Gharika
GEN 8:19Noa Atoa Dhabihu
GEN 9:0Mungu Aweka Agano Na Noa
GEN 9:17Wana Wa Noa
GEN 10:0Mataifa Yaliyotokana Na Noa
GEN 10:1 (s2)Wazao Wa Yafethi
GEN 10:5 (s2)Wazao Wa Hamu
GEN 10:20 (s2)Wazao Wa Shemu
GEN 11:0Mnara Wa Babeli
GEN 11:9Shemu Hadi Abramu
GEN 11:26Wazao Wa Tera
GEN 12:0Wito Wa Abramu
GEN 12:9Abramu Katika Nchi Ya Misri
GEN 13:0Abramu Na Loti Watengana
GEN 14:0Abramu Amwokoa Loti
GEN 15:0Agano La Mungu Na Abramu
GEN 16:0Hagari Na Ishmaeli
GEN 17:0Agano La Tohara
GEN 18:0Wageni Watatu
GEN 18:15Abrahamu Aiombea Sodoma
GEN 19:0Kuangamizwa Kwa Sodoma Na Gomora
GEN 19:29Loti Na Binti Zake
GEN 20:0Abrahamu Na Abimeleki
GEN 21:0Kuzaliwa Kwa Isaki
GEN 21:7Hagari Na Ishmaeli Wafukuzwa
GEN 21:21Mapatano Katika Beer-Sheba
GEN 22:0Kujua Uthabiti Wa Abrahamu
GEN 22:19Wana Wa Nahori
GEN 23:0Kifo Cha Sara
GEN 24:0Isaki Na Rebeka
GEN 25:0Kifo Cha Abrahamu
GEN 25:11Wana Wa Ishmaeli
GEN 25:18Yakobo Na Esau
GEN 26:0Isaki Na Abimeleki
GEN 27:0Yakobo Anaipata Baraka Ya Isaki
GEN 27:40Yakobo Anakimbilia Kwa Labani
GEN 28:9Ndoto Ya Yakobo Huko Betheli
GEN 29:0Yakobo Awasili Padan-Aramu
GEN 29:14Yakobo Awaoa Lea Na Raheli
GEN 29:30Wana Wa Yakobo
GEN 30:24Makundi Ya Yakobo Yaongezeka
GEN 31:0Yakobo Akimbia Kutoka Kwa Labani
GEN 31:21Labani Amfuatilia Yakobo
GEN 32:0Yakobo Ajiandaa Kukutana Na Esau
GEN 32:21Yakobo Ashindana Mweleka Na Mungu
GEN 33:0Yakobo Akutana Na Esau
GEN 34:0Dina Na Washekemu
GEN 35:0Yakobo Arudi Betheli
GEN 35:15Vifo Vya Raheli Na Isaki
GEN 36:0Wazao Wa Esau
GEN 36:30Watawala Wa Edomu
GEN 37:0Ndoto Za Yosefu
GEN 37:11Yosefu Auzwa Na Ndugu Zake
GEN 38:0Yuda Na Tamari
GEN 39:0Yosefu Na Mke Wa Potifa
GEN 40:0Mnyweshaji Na Mwokaji
GEN 41:0Ndoto Za Farao
GEN 41:40Yosefu Msimamizi Wa Misri
GEN 42:0Ndugu Za Yosefu Waenda Misri
GEN 43:0Safari Ya Pili Ya Kwenda Misri
GEN 44:0Kikombe Cha Fedha Ndani Ya Gunia
GEN 45:0Yosefu Anajitambulisha
GEN 46:0Yakobo Aenda Misri
GEN 47:0Yakobo Ambariki Farao
GEN 47:12Uongozi Wa Yosefu Wakati Wa Njaa
GEN 48:0Manase Na Efraimu
GEN 49:0Yakobo Abariki Wanawe
GEN 49:28Kifo Cha Yakobo
GEN 50:14Yosefu Awaondolea Ndugu Zake Mashaka
GEN 50:21Kifo Cha Yosefu
EXO 1:0Waisraeli Waonewa
EXO 2:0Kuzaliwa Kwa Mose
EXO 2:10Mose Akimbilia Midiani
EXO 3:0Mose Na Kichaka Kinachowaka Moto
EXO 4:0Ishara Za Mose
EXO 4:17Mose Anarudi Misri
EXO 5:0Matofali Bila Nyasi
EXO 5:21Mungu Anaahidi Ukombozi
EXO 6:12Orodha Ya Jamaa Ya Mose Na Aroni
EXO 6:27Aroni Kuzungumza Badala Ya Mose
EXO 7:7Fimbo Ya Aroni Yawa Nyoka
EXO 7:13Pigo La Kwanza: Damu
EXO 7:24Pigo La Pili: Vyura
EXO 8:15Pigo La Tatu: Viroboto
EXO 8:19Pigo La Nne: Mainzi
EXO 9:0Pigo La Tano: Vifo Vya Mifugo
EXO 9:7Pigo La Sita: Majipu
EXO 9:12Pigo La Saba: Mvua Ya Mawe
EXO 10:0Pigo La Nane: Nzige
EXO 10:20Pigo La Tisa: Giza
EXO 11:0Pigo La Kumi: Kuuawa Wazaliwa Wa Kwanza
EXO 12:0Pasaka
EXO 12:30Kutoka
EXO 12:42Masharti Kwa Ajili Ya Pasaka
EXO 13:0Kuwekwa Wakfu Kwa Wazaliwa Wa Kwanza
EXO 13:16Nguzo Ya Wingu Na Moto
EXO 14:0Kuvuka Bahari Ya Shamu
EXO 14:25Wafuatiaji Wazama
EXO 15:0Wimbo Wa Mose Na Miriamu
EXO 15:21Maji Ya Mara Na Elimu
EXO 16:0Mana Na Kware
EXO 17:0Maji Kutoka Kwenye Mwamba
EXO 17:7Vita Na Waamaleki
EXO 18:0Yethro Amtembelea Mose
EXO 18:12Ushauri Wa Yethro
EXO 18:23Kuchaguliwa Kwa Waamuzi
EXO 19:0Waisraeli Kwenye Mlima Sinai
EXO 20:0Amri Kumi
EXO 20:17Watu Wanaogopa
EXO 20:21Sanamu Na Madhabahu
EXO 21:0Watumishi Wa Kiebrania
EXO 21:11Majeraha Ya Mwilini
EXO 22:0Ulinzi Wa Mali
EXO 22:15Uwajibikaji Wa Kijamii
EXO 23:0Sheria Za Haki Na Rehema
EXO 23:9Sheria Za Sabato
EXO 23:13Sikukuu Tatu Za Mwaka
EXO 23:19Malaika Wa Mungu Kuandaa Njia
EXO 24:0Agano Lathibitishwa
EXO 25:0Sadaka Kwa Ajili Ya Maskani Ya Mungu
EXO 25:9Sanduku La Agano
EXO 25:22Meza Ya Mikate Ya Wonyesho
EXO 25:30Kinara Cha Taa
EXO 26:0Maskani Ya Mungu
EXO 27:0Madhabahu Ya Sadaka Ya Kuteketezwa
EXO 27:8Ua Wa Kukutania
EXO 27:19Mafuta Ya Kinara Cha Taa
EXO 28:0Mavazi Ya Kikuhani
EXO 28:5Kisibau
EXO 28:14Kifuko Cha Kifuani
EXO 28:30Mavazi Mengine Ya Kikuhani
EXO 29:0Kuweka Wakfu Makuhani
EXO 30:0Madhabahu Ya Kufukizia Uvumba
EXO 30:10Fedha Ya Upatanisho
EXO 30:16Sinia La Kunawia
EXO 30:21Mafuta Ya Upako
EXO 30:33Uvumba
EXO 31:0Bezaleli Na Oholiabu
EXO 31:11Sabato
EXO 32:0Ndama Wa Dhahabu
EXO 33:0Amri Ya Kuondoka Sinai
EXO 33:6Hema La Kukutania
EXO 33:11Mose Na Utukufu Wa \nd Bwana\nd*
EXO 34:0Vibao Vipya Vya Mawe
EXO 34:9Kufanya Agano Upya
EXO 34:28Mngʼao Wa Uso Wa Mose
EXO 35:0Masharti Ya Sabato
EXO 35:3Vifaa Kwa Ajili Ya Maskani Ya Mungu
EXO 35:29Bezaleli Na Oholiabu
EXO 36:7Maskani Ya Mungu
EXO 37:0Sanduku La Agano
EXO 37:9Meza
EXO 37:16Kinara Cha Taa
EXO 37:24Madhabahu Ya Kufukizia Uvumba
EXO 38:0Madhabahu Ya Sadaka Ya Kuteketezwa
EXO 38:7Sinia La Kunawia
EXO 38:8Ua Wa Hema La Kukutania
EXO 38:20Vifaa Vilivyotumika
EXO 39:0Mavazi Ya Kikuhani
EXO 39:1Kisibau
EXO 39:7Kifuko Cha Kifuani
EXO 39:21Mavazi Mengine Ya Kikuhani
EXO 39:31Mose Akagua Maskani Ya Mungu
EXO 40:0Kuweka Wakfu Maskani Ya Mungu
EXO 40:33Utukufu Wa \nd Bwana\nd*
LEV 1:0Sadaka Ya Kuteketezwa
LEV 2:0Sadaka Ya Nafaka
LEV 3:0Sadaka Ya Amani
LEV 4:0Sadaka Ya Dhambi
LEV 5:0Sadaka Zingine Za Kuondoa Dhambi
LEV 5:13Sadaka Ya Hatia
LEV 6:0Kurudisha Kilichochukuliwa
LEV 6:7Sadaka Ya Kuteketezwa
LEV 6:13Sadaka Ya Nafaka
LEV 6:23Sadaka Ya Dhambi
LEV 7:0Sadaka Ya Hatia
LEV 7:10Sadaka Ya Amani
LEV 7:21Kula Mafuta Na Kunywa Damu Kwakatazwa
LEV 7:27Fungu La Makuhani
LEV 8:0Kuwekwa Wakfu Kwa Aroni Na Wanawe
LEV 9:0Makuhani Waanza Huduma Yao
LEV 10:0Kifo Cha Nadabu Na Abihu
LEV 11:0Vyakula Najisi Na Visivyo Najisi
LEV 11:23Wanyama Ambao Ni Najisi
LEV 12:0Utakaso Baada Ya Kuzaa Mtoto
LEV 13:0Masharti Kuhusu Magonjwa Ya Ngozi Yaambukizayo
LEV 13:46Masharti Kuhusu Upele
LEV 14:0Kutakasa Kutoka Maambukizo Ya Magonjwa Ya Ngozi
LEV 14:32Kutakaswa Upele
LEV 15:0Kutokwa Na Umajimaji Usababishao Unajisi
LEV 16:0Siku Ya Upatanisho
LEV 17:0Kunywa Damu Kumekatazwa
LEV 18:0Uhusiano Wa Kukutana Kimwili Kinyume Cha Sheria
LEV 19:0Sheria Mbalimbali
LEV 20:0Adhabu Kwa Ajili Ya Dhambi
LEV 21:0Sheria Kwa Ajili Ya Makuhani
LEV 22:0Matumizi Ya Sadaka Takatifu
LEV 22:16Dhabihu Zisizokubalika
LEV 23:0Sikukuu Zilizoamriwa
LEV 23:2Sabato
LEV 23:3Pasaka Na Mikate Isiyotiwa Chachu
LEV 23:8Malimbuko
LEV 23:14Sikukuu Ya Majuma
LEV 23:22Sikukuu Ya Tarumbeta
LEV 23:25Siku Ya Upatanisho
LEV 23:32Sikukuu Ya Vibanda
LEV 24:0Mafuta Na Mikate Mbele Za \nd Bwana\nd*
LEV 24:9Mwenye Kukufuru Apigwa Mawe
LEV 25:0Mwaka Wa Sabato
LEV 25:7Mwaka Wa Yubile
LEV 26:0Thawabu Ya Utii
LEV 26:13Adhabu Ya Kutokutii
LEV 27:0Kukomboa Kile Kilicho Cha \nd Bwana\nd*
NUM 1:0Watu Wahesabiwa Kwa Mara Ya Kwanza
NUM 2:0Mpangilio Wa Kambi Za Makabila
NUM 3:0Walawi
NUM 4:0Wakohathi
NUM 4:20Wagershoni
NUM 4:28Wamerari
NUM 4:33Kuhesabiwa Kwa Koo Za Walawi
NUM 5:0Utakaso Wa Kambi
NUM 5:4Malipo Kwa Ajili Ya Makosa
NUM 5:10Jaribio Kwa Ajili Ya Mke Asiye Mwaminifu
NUM 6:0Mnadhiri
NUM 6:21Baraka Ya Kikuhani
NUM 7:0Sadaka Wakati Wa Kuweka Wakfu Maskani Ya \nd Bwana\nd*
NUM 8:0Kuwekwa Kwa Taa
NUM 8:4Kutengwa Kwa Walawi Kwa Ajili Ya \nd Bwana\nd*
NUM 9:0Pasaka Huko Sinai
NUM 9:14Wingu La Moto Juu Ya Maskani
NUM 10:0Tarumbeta Za Fedha
NUM 10:10Waisraeli Waondoka Sinai
NUM 11:0Moto Kutoka Kwa \nd Bwana\nd*
NUM 11:3Kware Kutoka Kwa \nd Bwana\nd*
NUM 12:0Miriamu Na Aroni Wampinga Mose
NUM 13:0Kupeleleza Kanaani
NUM 13:25Taarifa Juu Ya Upelelezi
NUM 14:0Watu Wanaasi
NUM 15:0Sadaka Za Nyongeza
NUM 15:21Sadaka Kwa Ajili Ya Dhambi Isiyo Ya Makusudi
NUM 15:31Mvunja Sabato Auawe
NUM 15:36Vifundo Kwenye Mavazi
NUM 16:0Kora, Dathani Na Abiramu
NUM 17:0Kuchipuka Kwa Fimbo Ya Aroni
NUM 18:0Wajibu Wa Makuhani Na Walawi
NUM 18:7Sadaka Kwa Ajili Ya Makuhani Na Walawi
NUM 19:0Maji Ya Utakaso
NUM 20:0Maji Kutoka Kwenye Mwamba
NUM 20:13Edomu Wakatalia Israeli Kupita
NUM 20:21Kifo Cha Aroni
NUM 21:0Nchi Ya Aradi Yaangamizwa
NUM 21:3Nyoka Wa Shaba
NUM 21:9Safari Kwenda Moabu
NUM 21:20Kushindwa Kwa Sihoni Na Ogu
NUM 22:0Balaki Anamwita Balaamu
NUM 22:20Punda Wa Balaamu
NUM 23:0Ujumbe Wa Kwanza Wa Balaamu
NUM 23:12Ujumbe Wa Pili Wa Balaamu
NUM 23:26Ujumbe Wa Tatu Wa Balaamu
NUM 24:14Ujumbe Wa Nne Wa Balaamu
NUM 24:19Ujumbe Wa Mwisho Wa Balaamu
NUM 25:0Moabu Yashawishi Israeli
NUM 26:0Kuhesabiwa Watu Mara Ya Pili
NUM 27:0Binti Wa Selofehadi
NUM 27:11Yoshua Kuchukua Nafasi Ya Mose
NUM 28:0Sadaka Za Kila Siku
NUM 28:8Sadaka Za Sabato
NUM 28:10Sadaka Za Kila Mwezi
NUM 28:15Pasaka
NUM 28:25Sikukuu Ya Majuma
NUM 29:0Sikukuu Ya Tarumbeta
NUM 29:6Siku Ya Upatanisho
NUM 29:11Sikukuu Ya Vibanda
NUM 30:0Nadhiri
NUM 31:0Kulipiza Kisasi Juu Ya Wamidiani
NUM 31:24Kugawanya Mateka
NUM 32:0Makabila Ngʼambo Ya Yordani
NUM 33:0Vituo Katika Safari Ya Waisraeli
NUM 34:0Mipaka Ya Kanaani
NUM 35:0Miji Kwa Ajili Ya Walawi
NUM 35:5Miji Ya Makimbilio
NUM 36:0Urithi Wa Binti Za Selofehadi
DEU 1:0Amri Ya Kuondoka Mlima Horebu
DEU 1:8Uteuzi Wa Viongozi
DEU 1:18Wapelelezi Wanatumwa
DEU 1:25Uasi Dhidi Ya \nd Bwana\nd*
DEU 2:0Kutangatanga Jangwani
DEU 2:25Kushindwa Kwa Sihoni Mfalme Wa Heshboni
DEU 3:0Kushindwa Kwa Ogu Mfalme Wa Bashani
DEU 3:11Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Ya Yordani
DEU 3:20Mose Akatazwa Kuvuka Yordani
DEU 4:0Waamriwa Utii
DEU 4:14Kuabudu Sanamu Kwakatazwa
DEU 4:31\nd Bwana\nd* Ndiye Mungu
DEU 4:40Miji Ya Makimbilio
DEU 4:43Utangulizi Wa Sheria
DEU 5:0Amri Kumi
DEU 5:22Woga Wa Watu Mlimani
DEU 6:0Mpende \nd Bwana\nd* Mungu Wako
DEU 7:0Kuyafukuza Mataifa
DEU 7:11Baraka Za Utiifu
DEU 8:0Usimsahau \nd Bwana\nd*
DEU 9:0Si Kwa Sababu Ya Haki Ya Waisraeli
DEU 9:6Ndama Ya Dhahabu
DEU 10:0Vibao Vingine Vya Amri Kumi
DEU 10:11Mche \nd Bwana\nd*
DEU 11:0Mpende Na Umtii \nd Bwana\nd*
DEU 12:0Mahali Pekee Pa Kuabudia
DEU 13:0Kuabudu Miungu Mingine
DEU 14:0Vyakula Vilivyo Najisi Na Vilivyo Safi
DEU 14:21Zaka
DEU 15:0Mwaka Wa Kufuta Madeni
DEU 15:11Kuwaacha Huru Watumwa
DEU 15:18Wazaliwa Wa Kwanza Wa Wanyama
DEU 16:0Pasaka
DEU 16:8Sikukuu Ya Mavuno
DEU 16:12Sikukuu Ya Vibanda
DEU 16:17Waamuzi
DEU 16:20Kuabudu Miungu Mingine
DEU 17:7Mahakama Za Sheria
DEU 17:13Mfalme
DEU 18:0Sadaka Kwa Makuhani Na Walawi
DEU 18:8Matendo Ya Machukizo
DEU 18:13Nabii
DEU 19:0Miji Ya Makimbilio
DEU 19:14Mashahidi
DEU 20:0Kwenda Vitani
DEU 21:0Upatanisho Kuhusu Mauaji
DEU 21:9Kuoa Mwanamke Mateka
DEU 21:14Haki Ya Mzaliwa Wa Kwanza
DEU 21:17Mwana Mwasi
DEU 21:21Sheria Mbalimbali
DEU 22:12Kukiuka Taratibu Za Ndoa
DEU 23:0Kutengwa Na Mkutano
DEU 23:8Unajisi Katika Kambi
DEU 23:14Sheria Mbalimbali
DEU 24:0Sheria Kuhusu Ndoa Na Talaka
DEU 26:0Malimbuko Na Zaka
DEU 26:15Fuata Maagizo Ya \nd Bwana\nd*
DEU 27:0Madhabahu Katika Mlima Ebali
DEU 27:8Laana Kutoka Mlima Ebali
DEU 28:0Baraka Za Utiifu
DEU 28:14Laana Kwa Kutokutii
DEU 29:0Kufanya Upya Agano
DEU 30:0Mafanikio Baada Ya Kumgeukia \nd Bwana\nd*
DEU 30:10Uzima Na Mauti
DEU 31:0Yoshua Kutawala Baada Ya Mose
DEU 31:8Kusoma Sheria
DEU 31:13Kuasi Kwa Waisraeli Kunatabiriwa
DEU 31:29Wimbo Wa Mose
DEU 32:47Mose Aelezwa Kuhusu Kifo Chake
DEU 33:0Mose Anayabariki Makabila
DEU 34:0Kifo Cha Mose
JOS 1:0\nd Bwana\nd* Anamwagiza Yoshua
JOS 2:0Rahabu Na Wapelelezi
JOS 3:0Kuvuka Yordani
JOS 4:0Ukumbusho Wa Kuvuka Mto Yordani
JOS 5:1Tohara Huko Gilgali
JOS 5:12Jemadari Wa Jeshi La \nd Bwana\nd*
JOS 6:0Yeriko Yatekwa Na Kuangamizwa
JOS 7:0Dhambi Ya Akani
JOS 8:0Mji Wa Ai Waangamizwa
JOS 8:29Agano Linafanywa Upya Katika Mlima Ebali
JOS 9:0Udanganyifu Wa Wagibeoni
JOS 10:0Jua Linasimama
JOS 10:15Wafalme Watano Wa Waamori Wauawa
JOS 10:28Israeli Yaangamiza Miji Ya Kusini
JOS 11:0Wafalme Wa Kaskazini Washindwa
JOS 12:0Orodha Ya Wafalme Walioshindwa
JOS 13:0Sehemu Za Kanaani Ambazo Hazijatwaliwa
JOS 13:7Mgawanyo Wa Nchi Mashariki Mwa Yordani
JOS 14:0Mgawanyo Wa Nchi Magharibi Mwa Yordani
JOS 14:5Kalebu Anapewa Mji Wa Hebroni
JOS 15:0Mgawo Kwa Yuda
JOS 15:12Nchi Aliyopewa Kalebu
JOS 15:19Miji Ya Yuda
JOS 16:0Mgawo Kwa Efraimu Na Manase
JOS 17:0Mgawo Wa Nusu Nyingine Ya Manase Upande Wa Magharibi
JOS 17:13Kabila La Yosefu Lakataa
JOS 18:0Mgawanyo Wa Nchi Iliyobaki
JOS 18:10Mgawo Kwa Benyamini
JOS 19:0Mgawo Kwa Simeoni
JOS 19:9Mgawo Kwa Zabuloni
JOS 19:16Mgawo Kwa Isakari
JOS 19:23Mgawo Kwa Asheri
JOS 19:31Mgawo Kwa Naftali
JOS 19:39Mgawo Kwa Dani
JOS 19:48Mgawo Kwa Yoshua
JOS 20:0Miji Ya Makimbilio
JOS 21:0Miji Kwa Walawi
JOS 22:0Makabila Ya Mashariki Yarudi Nyumbani
JOS 23:0Yoshua Anawaaga Viongozi
JOS 24:0Agano Lafanywa Upya Huko Shekemu
JOS 24:27Kuzikwa Katika Nchi Ya Ahadi
JDG 1:0Israeli Wapigana Na Wakanaani Waliobaki
JDG 2:0Malaika Wa \nd Bwana\nd* Huko Bokimu
JDG 2:5Kifo Cha Yoshua
JDG 3:0Mataifa Yaliyobaki Katika Ile Nchi
JDG 3:6Othnieli
JDG 3:11Ehudi
JDG 3:30Shamgari
JDG 4:0Debora
JDG 5:0Wimbo Wa Debora
JDG 6:0Gideoni
JDG 7:0Gideoni Awashinda Wamidiani
JDG 8:0Ushindi Wa Gideoni Na Kulipiza Kisasi
JDG 8:21Kisibau Cha Gideoni
JDG 8:28Kifo Cha Gideoni
JDG 9:0Abimeleki Ajaribu Kuanzisha Ufalme
JDG 10:0Tola
JDG 10:2Yairi
JDG 10:5Yefta
JDG 12:0Yefta Na Efraimu
JDG 12:7Ibzani, Eloni Na Abdoni
JDG 13:0Kuzaliwa Kwa Samsoni
JDG 14:0Ndoa Ya Samsoni
JDG 15:0Kisasi Cha Samsoni Kwa Wafilisti
JDG 16:0Samsoni Na Delila
JDG 16:22Kifo Cha Samsoni
JDG 17:0Sanamu Za Mika
JDG 18:0Wadani Wahamia Laishi
JDG 19:0Mlawi Na Suria Wake
JDG 20:0Waisraeli Wapigana Na Wabenyamini
JDG 21:0Wabenyamini Watafutiwa Wake
RUT 1:0Naomi Na Ruthu
RUT 2:0Ruthu Akutana Na Boazi
RUT 3:0Ruthu Na Boazi Kwenye Sakafu Ya Kupuria
RUT 4:0Boazi Amwoa Ruthu
RUT 4:12Wazao Wa Boazi
SA1 1:0Kuzaliwa Kwa Samweli
SA1 1:20Hana Anamweka Samweli Wakfu
SA1 2:0Maombi Ya Hana
SA1 2:11Wana Waovu Wa Eli
SA1 2:26Unabii Dhidi Ya Nyumba Ya Eli
SA1 3:0\nd Bwana\nd* Amwita Samweli
SA1 4:1Wafilisti Wateka Sanduku La Mungu
SA1 4:11Kifo Cha Eli
SA1 5:0Sanduku La Agano Huko Ashdodi Na Ekroni
SA1 6:0Sanduku La Mungu Larudishwa Israeli
SA1 7:1Samweli Awatiisha Wafilisti Huko Mispa
SA1 8:0Israeli Waomba Mfalme
SA1 9:0Samweli Anamtia Sauli Mafuta
SA1 10:8Sauli Afanywa Mfalme
SA1 11:0Sauli Aukomboa Mji Wa Yabeshi
SA1 11:11Sauli Athibitishwa Kuwa Mfalme
SA1 12:0Hotuba Ya Samweli Ya Kuaga
SA1 13:0Samweli Amkemea Sauli
SA1 13:15Israeli Bila Silaha
SA1 13:22Yonathani Awashambulia Wafilisti
SA1 14:14Israeli Wawafukuza Wafilisti
SA1 14:23Yonathani Ala Asali
SA1 14:48Jamaa Ya Sauli
SA1 15:0\nd Bwana\nd* Anamkataa Sauli Asiwe Mfalme
SA1 16:0Samweli Anamtia Daudi Mafuta
SA1 16:13Daudi Katika Utumishi Kwa Sauli
SA1 17:0Daudi Na Goliathi
SA1 18:0Sauli Amwonea Daudi Wivu
SA1 19:0Sauli Ajaribu Kumuua Daudi
SA1 20:0Daudi Na Yonathani
SA1 21:0Daudi Huko Nobu
SA1 21:9Daudi Huko Gathi
SA1 22:0Daudi Akiwa Adulamu Na Mispa
SA1 22:5Sauli Awaua Makuhani Wa Nobu
SA1 23:0Daudi Aokoa Keila
SA1 23:6Sauli Anamfuata Daudi
SA1 24:0Daudi Amwacha Sauli Hai
SA1 25:0Daudi, Nabali Na Abigaili
SA1 26:0Daudi Amwacha Sauli Hai Tena
SA1 27:0Daudi Miongoni Mwa Wafilisti
SA1 28:0Sauli Na Mchawi Wa Endori
SA1 29:0Akishi Amrudisha Daudi Huko Siklagi
SA1 30:0Daudi Aangamiza Waamaleki
SA1 31:0Sauli Ajiua
SA2 1:0Daudi Afahamishwa Kifo Cha Sauli
SA2 1:16Ombolezo La Daudi Kwa Ajili Ya Sauli Na Yonathani
SA2 2:0Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Yuda
SA2 2:7Vita Kati Ya Nyumba Ya Daudi Na Sauli
SA2 3:5Abneri Anamwendea Daudi
SA2 3:21Yoabu Amuua Abneri
SA2 4:0Ish-Boshethi Auawa
SA2 5:0Daudi Atawazwa Mfalme Juu Ya Israeli
SA2 5:5Daudi Ateka Yerusalemu
SA2 5:16Daudi Awashinda Wafilisti
SA2 6:0Sanduku La Mungu Laletwa Yerusalemu
SA2 7:0Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi
SA2 7:17Maombi Ya Daudi
SA2 8:0Ushindi Wa Daudi
SA2 8:14Maafisa Wa Daudi
SA2 9:0Daudi Na Mefiboshethi
SA2 10:0Daudi Awashinda Waamoni
SA2 11:0Daudi Na Bathsheba
SA2 12:0Nathani Amkemea Daudi
SA2 13:0Amnoni Na Tamari
SA2 13:22Absalomu Amuua Amnoni
SA2 14:0Absalomu Arudi Yerusalemu
SA2 15:0Mipango Ya Hila Ya Absalomu
SA2 15:12Kukimbia Kwa Daudi
SA2 16:0Daudi Na Siba
SA2 16:4Shimei Amlaani Daudi
SA2 16:14Shauri La Hushai Na Ahithofeli
SA2 18:0Kifo Cha Absalomu
SA2 18:18Daudi Aomboleza Kifo Cha Absalomu
SA2 19:0Yoabu Amkemea Mfalme
SA2 19:8Daudi Arudi Yerusalemu
SA2 20:0Sheba Aasi Dhidi Ya Daudi
SA2 21:0Wagibeoni Walipiza Kisasi
SA2 21:14Vita Dhidi Ya Wafilisti
SA2 22:0Wimbo Wa Daudi Wa Sifa
SA2 23:0Maneno Ya Mwisho Ya Daudi
SA2 23:7Mashujaa Wa Daudi
SA2 24:0Daudi Ahesabu Wapiganaji
SA2 24:17Daudi Ajenga Madhabahu
KI1 1:0Adoniya Ajitangaza Mfalme
KI1 1:27Daudi Amfanya Solomoni Kuwa Mfalme
KI1 2:0Maagizo Ya Daudi Kwa Solomoni
KI1 2:12Kiti Cha Ufalme Cha Solomoni Chaimarishwa
KI1 3:0Solomoni Anaomba Hekima
KI1 3:15Utawala Wa Hekima
KI1 4:0Maafisa Wa Solomoni Na Watawala
KI1 4:19Mahitaji Ya Solomoni Ya Kila Siku
KI1 4:28Hekima Ya Solomoni
KI1 5:0Maandalio Ya Ujenzi Wa Hekalu
KI1 6:0Solomoni Ajenga Hekalu
KI1 7:0Solomoni Ajenga Jumba Lake La Kifalme
KI1 7:12Samani Za Hekalu
KI1 8:0Sanduku La Agano Laletwa Hekaluni
KI1 8:13Hotuba Ya Solomoni
KI1 8:21Maombi Ya Solomoni Ya Kuweka Hekalu Wakfu
KI1 8:61Kuwekwa Wakfu Hekalu
KI1 9:0\nd Bwana\nd* Anamtokea Solomoni
KI1 9:9Shughuli Nyingine Za Solomoni
KI1 10:0Malkia Wa Sheba Amtembelea Solomoni
KI1 10:13Fahari Ya Solomoni
KI1 11:0Wakeze Solomoni
KI1 11:13Adui Za Solomoni
KI1 11:25Yeroboamu Anaasi Dhidi Ya Solomoni
KI1 11:40Kifo Cha Solomoni
KI1 12:0Israeli Yaasi Dhidi Ya Rehoboamu
KI1 12:24Ndama Wa Dhahabu Huko Betheli Na Dani
KI1 13:0Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda
KI1 14:0Unabii Wa Ahiya Dhidi Ya Yeroboamu
KI1 14:20Rehoboamu Mfalme Wa Yuda
KI1 15:0Abiya Mfalme Wa Yuda
KI1 15:8Asa Mfalme Wa Yuda
KI1 15:24Nadabu Mfalme Wa Israeli
KI1 15:32Baasha Mfalme Wa Israeli
KI1 16:7Ela Mfalme Wa Israeli
KI1 16:14Zimri Mfalme Wa Israeli
KI1 16:20Omri Mfalme Wa Israeli
KI1 16:28Ahabu Afanywa Mfalme Wa Israeli
KI1 17:0Eliya Analishwa Na Kunguru
KI1 17:6Mjane Wa Sarepta
KI1 18:0Eliya Na Obadia
KI1 18:15Eliya Juu Ya Mlima Karmeli
KI1 19:0Eliya Akimbilia Horebu
KI1 19:9\nd Bwana\nd* Amtokea Eliya
KI1 19:18Wito Wa Elisha
KI1 20:0Ben-Hadadi Aishambulia Samaria
KI1 20:12Ahabu Amshinda Ben-Hadadi
KI1 20:34Nabii Amlaumu Ahabu
KI1 21:0Shamba La Mizabibu La Nabothi
KI1 22:0Mikaya Anatabiri Dhidi Ya Ahabu
KI1 22:28Ahabu Auawa Ramoth-Gileadi
KI1 22:40Yehoshafati Mfalme Wa Yuda
KI1 22:50Ahazia Mfalme Wa Israeli
KI2 1:0Hukumu Ya \nd Bwana\nd* Juu Ya Ahazia
KI2 2:0Eliya Achukuliwa Mbinguni
KI2 2:18Kuponywa Kwa Maji
KI2 2:22Elisha Anafanyiwa Mzaha
KI2 3:0Moabu Wanaasi
KI2 4:0Mafuta Ya Mjane
KI2 4:7Mwana Wa Mshunami Afufuliwa
KI2 4:37Mauti Ndani Ya Chungu
KI2 4:41Watu Mia Wanalishwa
KI2 5:0Naamani Aponywa Ukoma
KI2 6:0Shoka Laelea
KI2 6:7Elisha Awanasa Waaramu Waliopofushwa
KI2 6:23Njaa Katika Samaria Iliyozingirwa
KI2 7:2Mwisho Wa Kuzingirwa
KI2 8:0Ardhi Ya Mshunami Yarudishwa
KI2 8:6Hazaeli Anamuua Ben-Hadadi
KI2 8:15Yehoramu Mfalme Wa Yuda
KI2 8:24Ahazia Mfalme Wa Yuda
KI2 9:0Yehu Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme
KI2 9:13Yehu Anamuua Yoramu Na Ahazia
KI2 9:29Yezebeli Auawa
KI2 10:0Jamii Ya Ahabu Yauawa
KI2 10:17Watumishi Wa Baali Wauawa
KI2 11:0Athalia Na Yoashi
KI2 12:0Yoashi Anakarabati Hekalu
KI2 13:0Yehoahazi Mfalme Wa Israeli
KI2 13:9Yehoashi Mfalme Wa Israeli
KI2 14:0Amazia Mfalme Wa Yuda
KI2 14:22Yeroboamu Wa Pili Mfalme Wa Israeli
KI2 15:0Azaria Mfalme Wa Yuda
KI2 15:7Zekaria Mfalme Wa Israeli
KI2 15:12Shalumu Mfalme Wa Israeli
KI2 15:16Menahemu Mfalme Wa Israeli
KI2 15:22Pekahia Mfalme Wa Israeli
KI2 15:26Peka Mfalme Wa Israeli
KI2 15:31Yothamu Mfalme Wa Yuda
KI2 16:0Ahazi Mfalme Wa Yuda
KI2 17:0Hoshea, Mfalme Wa Mwisho Katika Israeli
KI2 17:6Israeli Inakwenda Uhamishoni Kwa Sababu Ya Dhambi
KI2 17:23Samaria Inakaliwa Tena
KI2 18:0Hezekia Mfalme Wa Yuda
KI2 18:16Senakeribu Anaitishia Yerusalemu
KI2 19:0Hezekia Autafuta Msaada Wa \nd Bwana\nd*
KI2 19:13Maombi Ya Hezekia
KI2 19:19Isaya Anatoa Unabii Wa Kuanguka Kwa Senakeribu
KI2 20:0Ugonjwa Wa Hezekia
KI2 20:11Wajumbe Kutoka Babeli
KI2 21:0Manase Mfalme Wa Yuda
KI2 21:18Amoni Mfalme Wa Yuda
KI2 22:0Yosia Mfalme Wa Yuda
KI2 23:0Yosia Analifanya Upya Agano
KI2 23:20Yosia Aadhimisha Pasaka
KI2 23:30Yehoahazi Mfalme Wa Yuda
KI2 23:34Yehoyakimu Mfalme Wa Yuda
KI2 24:7Yehoyakini Mfalme Wa Yuda
KI2 24:17Sedekia Mfalme Wa Yuda
KI2 25:0Kuanguka Kwa Yerusalemu
KI2 25:26Yehoyakini Anaachiwa
CH1 1:0Kumbukumbu Za Historia Kuanzia Adamu Hadi Abrahamu
CH1 1:0 (s2)Adamu Hadi Wana Wa Noa
CH1 1:4 (s2)Wana Wa Yafethi
CH1 1:7 (s2)Wana Wa Hamu
CH1 1:16 (s2)Wana Wa Shemu
CH1 1:27Jamaa Ya Abrahamu
CH1 1:28 (s2)Wazao Wa Hagari
CH1 1:31 (s2)Wazao Wa Ketura
CH1 1:33 (s2)Wazao Wa Sara
CH1 1:34Wana Wa Esau
CH1 1:37Watu Wa Seiri Waliokuwa Edomu
CH1 1:42 (s2)Watawala Wa Edomu
CH1 2:0Wana Wa Israeli
CH1 2:2Yuda
CH1 2:2 (s2)Hadi Wana Wa Hesroni
CH1 2:9 (s2)Kuanzia Ramu Mwana Wa Hesroni
CH1 2:17 (s2)Kalebu Mwana Wa Hesroni
CH1 2:24 (s2)Yerameeli Mwana Wa Hesroni
CH1 2:41 (s2)Koo Za Kalebu
CH1 3:0 (s2)Wana Wa Daudi
CH1 3:9 (s2)Wafalme Wa Yuda
CH1 3:16 (s2)Ukoo Wa Kifalme Baada Ya Uhamisho
CH1 4:0 (s2)Koo Nyingine Za Yuda
CH1 4:23Simeoni
CH1 5:0Wana Wa Reubeni
CH1 5:10Wana Wa Gadi
CH1 5:22Nusu Ya Kabila La Manase
CH1 6:0Wana Wa Lawi
CH1 6:30 (s2)Waimbaji Wa Hekalu
CH1 7:0Wana Wa Isakari
CH1 7:5Wana Wa Benyamini
CH1 7:12Wana Wa Naftali
CH1 7:13Wana Wa Manase
CH1 7:19Wana Wa Efraimu
CH1 7:29Wana Wa Asheri
CH1 8:0Ukoo Wa Sauli Mbenyamini
CH1 9:1Watu Katika Yerusalemu
CH1 9:3 (s2)Jamaa Za Yuda
CH1 9:6 (s2)Jamaa Za Benyamini
CH1 9:9 (s2)Jamaa Za Makuhani
CH1 9:13 (s2)Jamaa Za Walawi
CH1 9:16 (s2)Jamaa Za Mabawabu
CH1 9:34Ukoo Wa Sauli
CH1 10:0Sauli Ajiua
CH1 11:0Daudi Atiwa Mafuta Kuwa Mfalme Wa Israeli
CH1 11:3Daudi Ateka Yerusalemu
CH1 11:9Mashujaa Wa Daudi
CH1 12:0Mashujaa Waungana Na Daudi
CH1 12:22Wengine Waungana Na Daudi Huko Hebroni
CH1 13:0Kurudishwa Kwa Sanduku La Mungu
CH1 14:0Nyumba Ya Daudi Na Jamaa Yake
CH1 14:7Daudi Awashinda Wafilisti
CH1 15:0Sanduku La Agano Laletwa Yerusalemu
CH1 16:0Sanduku Lawekwa Ndani Ya Hema
CH1 16:6Zaburi Ya Daudi Ya Shukrani
CH1 17:0Ahadi Ya Mungu Kwa Daudi
CH1 17:15Maombi Ya Daudi
CH1 18:0Ushindi Wa Daudi
CH1 18:13Maafisa Wa Daudi
CH1 19:0Vita Dhidi Ya Waamoni
CH1 20:0Kutekwa Kwa Raba
CH1 20:3Vita Na Wafilisti
CH1 21:0Daudi Ahesabu Wapiganaji
CH1 22:1Maandalizi Kwa Ajili Ya Hekalu
CH1 23:0Jamaa Za Walawi Na Utendaji Wao
CH1 23:6Wagershoni
CH1 23:11Wakohathi
CH1 23:20Wamerari
CH1 24:0Migawanyo Ya Makuhani
CH1 24:19Walawi Waliobaki
CH1 25:0Waimbaji
CH1 26:0Mabawabu
CH1 26:19Watunza Hazina Na Maafisa Wengine
CH1 27:0Vikosi Vya Jeshi
CH1 27:15Maafisa Wa Makabila
CH1 27:24Wasimamizi Wa Mali Za Mfalme
CH1 28:0Maandalizi Ya Daudi Ya Kujenga Hekalu
CH1 29:0Matoleo Kwa Ajili Ya Ujenzi Wa Hekalu
CH1 29:9Maombi Ya Daudi
CH1 29:20Solomoni Akubalika Kuwa Mfalme
CH1 29:25Muhtasari Wa Utawala Wa Daudi
CH2 1:0Solomoni Aomba Hekima
CH2 1:12Fahari Ya Solomoni
CH2 2:0Maandalizi Ya Kujenga Hekalu
CH2 3:0Solomoni Ajenga Hekalu
CH2 4:0Vifaa Vya Hekalu
CH2 5:1Sanduku La Agano Laletwa Hekaluni
CH2 6:0Kuweka Hekalu Wakfu
CH2 6:11Maombi Ya Solomoni Ya Kuweka Wakfu
CH2 7:0Hekalu Lawekwa Wakfu
CH2 7:10\nd Bwana\nd* Mungu Amtokea Solomoni
CH2 8:0Shughuli Nyingine Za Solomoni
CH2 9:0Malkia Wa Sheba Amtembelea Solomoni
CH2 9:12Fahari Ya Solomoni
CH2 9:28Kifo Cha Solomoni
CH2 10:0Israeli Wanamwasi Rehoboamu
CH2 11:0Utabiri Wa Shamaya
CH2 11:4Yeroboamu Ajengea Yuda Ngome
CH2 11:17Jamaa Ya Rehoboamu
CH2 12:0Shishaki Ashambulia Yerusalemu
CH2 13:0Abiya Mfalme Wa Yuda
CH2 14:0Asa Atawala
CH2 15:0Asa Afanya Matengenezo
CH2 16:0Miaka Ya Mwisho Ya Mfalme Asa
CH2 17:0Yehoshafati Mfalme Wa Yuda
CH2 18:0Mikaya Atoa Unabii Dhidi Ya Ahabu
CH2 18:27Ahabu Anauawa Huko Ramoth-Gileadi
CH2 19:0Yehu Amkemea Yehoshafati
CH2 19:3Yehoshafati Aweka Waamuzi
CH2 20:30Mwisho Wa Utawala Wa Yehoshafati
CH2 21:0Yehoramu Atawala
CH2 22:0Ahazia Mfalme Wa Yuda
CH2 22:9Athalia Na Yoashi
CH2 23:0Uasi Dhidi Ya Athalia
CH2 24:0Yoashi Akarabati Hekalu
CH2 24:16Uovu Wa Yoashi
CH2 25:0Amazia Mfalme Wa Yuda
CH2 26:0Uzia Mfalme Wa Yuda
CH2 27:0Yothamu Mfalme Wa Yuda
CH2 28:0Ahazi Mfalme Wa Yuda
CH2 28:15Waashuru Wakataa Kusaidia Yuda
CH2 29:0Hezekia Mfalme Wa Yuda
CH2 29:19Ibada Hekaluni Yarejeshwa
CH2 30:0Hezekia Aadhimisha Pasaka
CH2 31:0Sehemu Za Ibada Za Kipagani Zaondolewa
CH2 31:10Kutambuliwa Kwa Makuhani Na Walawi
CH2 32:0Senakeribu Aitishia Yerusalemu
CH2 32:23Kiburi Cha Hezekia, Mafanikio Na Kifo
CH2 33:0Manase Mfalme Wa Yuda
CH2 33:20Amoni Mfalme Wa Yuda
CH2 34:0Yosia Afanya Matengenezo
CH2 34:13Kitabu Cha Sheria Chapatikana
CH2 34:28Yosia Afanya Agano La Kutii
CH2 35:0Mfalme Yosia Anaadhimisha Pasaka
CH2 35:19Kifo Cha Yosia
CH2 36:0Mfalme Yehoahazi Wa Yuda
CH2 36:4Yehoyakimu Mfalme Wa Yuda
CH2 36:8Yehoyakini Mfalme Wa Yuda
CH2 36:10Mfalme Sedekia Wa Yuda
CH2 36:14Kuanguka Kwa Yerusalemu
CH2 36:21Koreshi Atangaza Uhuru Kwa Waliokuwa Uhamishoni
EZR 1:0Koreshi Asaidia Watu Kurudi Kutoka Uhamishoni
EZR 2:0Orodha Ya Watu Waliorudi Kutoka Uhamishoni
EZR 3:0Madhabahu Yajengwa Tena
EZR 3:6Kujenga Upya Hekalu
EZR 4:0Upinzani Kuhusu Ujenzi Mpya
EZR 4:5Upinzani Mwingine Chini Ya Ahasuero Na Artashasta
EZR 5:0Barua Ya Tatenai Kwa Dario
EZR 6:0Amri Ya Dario
EZR 6:12Jengo Linakamilika Na Kuwekwa Wakfu
EZR 6:18Pasaka
EZR 7:0Ezra Awasili Yerusalemu
EZR 7:10Barua Ya Ezra Kutoka Kwa Mfalme Artashasta
EZR 8:0Orodha Ya Viongozi Wa Jamaa Waliorudi Na Ezra
EZR 8:14Kurudi Yerusalemu
EZR 9:0Maombi Ya Ezra Kuhusu Kuoa Wake Wa Kigeni
EZR 10:0Toba Ya Watu
EZR 10:17Wenye Hatia Ya Kuoa Wake Wa Kigeni
NEH 1:0Maombi Ya Nehemia
NEH 2:0Artashasta Amtuma Nehemia Yerusalemu
NEH 2:10Nehemia Akagua Kuta Za Yerusalemu
NEH 3:0Wajenzi Wa Ukuta
NEH 4:0Upinzani Wakati Wa Ujenzi
NEH 5:0Nehemia Awasaidia Maskini
NEH 6:0Upinzani Zaidi Wakati Wa Ujenzi
NEH 6:14Kukamilika Kwa Ukuta
NEH 7:3Orodha Ya Waliorudi Toka Uhamishoni
NEH 7:73Ezra Asoma Sheria
NEH 9:0Waisraeli Waungama Dhambi Zao
NEH 9:37Mapatano Ya Watu
NEH 11:0Wakazi Wapya Wa Yerusalemu
NEH 12:0Makuhani Na Walawi Waliorudi Na Zerubabeli
NEH 12:26Kuwekwa Wakfu Ukuta Wa Yerusalemu
NEH 13:0Nehemia Afanya Matengenezo Ya Mwisho
EST 1:0Malkia Vashti Aondolewa
EST 2:0Esta Afanywa Malkia
EST 2:18Mordekai Afunua Hila
EST 3:0Hila Ya Hamani Kuwaangamiza Wayahudi
EST 4:0Mordekai Amshawishi Esta Kusaidia
EST 5:0Ombi La Esta Kwa Mfalme
EST 5:8Ghadhabu Ya Hamani Dhidi Ya Mordekai
EST 6:0Mordekai Anapewa Heshima
EST 7:0Hamani Aangikwa
EST 8:0Amri Ya Mfalme Kuhusu Wayahudi
EST 9:0Ushindi Wa Wayahudi
EST 9:17Kusherehekea Purimu
EST 10:0Ukuu Wa Mordekai
JOB 1:0Ayubu Na Jamaa Yake
JOB 1:5Jaribu La Kwanza La Ayubu
JOB 2:0Jaribu La Pili La Ayubu
JOB 2:10Marafiki Watatu Wa Ayubu
JOB 3:0Ayubu Anazungumza
JOB 4:0Elifazi Anazungumza: Ayubu Ametenda Dhambi
JOB 5:0Elifazi Anaendelea
JOB 6:0Ayubu Anajibu: Malalamiko Yangu Ni Ya Haki
JOB 7:0Ayubu: Mateso Yangu Hayana Mwisho
JOB 7:5Ayubu Anamlilia Mungu
JOB 8:0Bildadi Anasema: Yampasa Ayubu Atubu
JOB 9:0Hakuna Mpatanishi
JOB 10:0Ayubu: Nayachukia Maisha Yangu
JOB 11:0Sofari Anasema: Hatia Ya Ayubu Inastahili Adhabu
JOB 12:0Ayubu Anajibu: Mimi Ni Mtu Wa Kuchekwa
JOB 15:0Elifazi Anaongea: Ayubu Anadhoofisha Imani
JOB 16:0Ayubu Anathibitisha Tena Hali Yake Ya Kutokuwa Na Hatia
JOB 17:2Ayubu Anaomba Msaada
JOB 18:0Bildadi Anasema: Mungu Huwaadhibu Waovu
JOB 19:0Ayubu Anajibu: Najua Mkombozi Wangu Yu Hai
JOB 20:0Sofari Anasema: Uovu Hupokea Malipo Ya Haki
JOB 21:0Ayubu Anajibu: Waovu Mara Nyingi Huenda Bila Kuadhibiwa
JOB 22:0Elifazi Anasema: Uovu Wa Ayubu Ni Mkubwa
JOB 23:0Ayubu Anajibu: Kulalamika Kwangu Ni Uchungu
JOB 24:0Ayubu Analalamikia Jeuri Duniani
JOB 25:0Bildadi Anasema: Mwanadamu Awezaje Kuwa Mwadilifu Mbele Za Mungu?
JOB 26:0Ayubu Anajibu: Utukufu Wa Mungu Hauchunguziki
JOB 27:0Ayubu Anadumisha Uadilifu Wake
JOB 28:0Mapumziko: Imani Inakopatikana
JOB 29:0Ayubu Anamaliza Utetezi Wake
JOB 32:0Elihu Awakemea Rafiki Za Ayubu
JOB 33:0Elihu Anamkemea Ayubu
JOB 34:0Elihu Anatangaza Haki Ya Mungu
JOB 35:0Elihu Analaumu Mtu Kujiona Kuwa Mwenye Haki
JOB 36:0Elihu Atukuza Wema Wa Mungu
JOB 38:0\nd Bwana\nd* Anamjibu Ayubu
JOB 42:0Ayubu Anamjibu \nd Bwana\nd*
JOB 42:6Mwisho: Marafiki Wa Ayubu Wanafedheheshwa
PSA 1:0Furaha Ya Kweli
PSA 1:3Huzuni Ya Waovu
PSA 2:0Mfalme Aliyechaguliwa Na Mungu
PSA 2:6Ushindi Wa Mfalme
PSA 3:0Sala Ya Asubuhi Ya Kuomba Msaada
PSA 4:0Sala Ya Jioni Ya Kuomba Msaada
PSA 5:0Sala Kwa Ajili Ya Ulinzi Wakati Wa Hatari
PSA 6:0Sala Kwa Ajili Ya Msaada Wakati Wa Taabu
PSA 7:0Sala Ya Mtu Anayedhulumiwa
PSA 8:0Utukufu Wa Mungu Na Heshima Ya Mwanadamu
PSA 9:0Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Haki Yake
PSA 10:0Sala Kwa Ajili Ya Haki
PSA 11:0Kumtumaini \nd Bwana\nd*
PSA 12:0Kuomba Msaada
PSA 13:0Sala Ya Kuomba Msaada
PSA 14:0Uovu Wa Wanadamu
PSA 15:0Kitu Mungu Anachotaka
PSA 16:0Sala Ya Matumaini
PSA 17:0Sala Ya Mtu Asiye Na Hatia
PSA 18:0Wimbo Wa Daudi Wa Ushindi
PSA 19:0Utukufu Wa Mungu Katika Uumbaji
PSA 20:0Maombi Kwa Ajili Ya Ushindi
PSA 21:0Shukrani Kwa Mungu Kwa Ajili Ya Ushindi
PSA 22:0Kilio Cha Uchungu Na Wimbo Wa Sifa
PSA 23:0\nd Bwana\nd* Mchungaji Wetu
PSA 24:0Mfalme Mkuu
PSA 25:0Kumwomba Mungu Uongozi Na Ulinzi
PSA 26:0Maombi Ya Mtu Mwema
PSA 27:0Sala Ya Kusifu
PSA 28:0Kuomba Msaada
PSA 29:0Sauti Ya \nd Bwana\nd* Wakati Wa Dhoruba
PSA 30:0Maombi Ya Shukrani
PSA 31:0Maombi Na Sifa Kwa Kuokolewa Kutoka Kwa Adui
PSA 32:0Furaha Ya Msamaha
PSA 33:0Ukuu Na Wema Wa Mungu
PSA 34:0Sifa Na Wema Wa Mungu
PSA 35:0Kuomba Msaada: Kuokolewa Kutokana Na Maadui
PSA 36:0Uovu Wa Mwanadamu
PSA 37:0Mwisho Wa Mwovu Na Urithi Wa Mwenye Haki
PSA 38:0Maombi Ya Mtu Anayeteseka
PSA 39:0Maombi Ya Mtu Anayeteseka
PSA 40:0Wimbo Wa Sifa
PSA 41:0Maombi Ya Mtu Mgonjwa
PSA 42:0Maombi Ya Mtu Aliye Uhamishoni
PSA 43:0Maombi Ya Mtu Aliyeko Uhamishoni Yanaendelea
PSA 44:0Kuomba Ulinzi Wa Mungu
PSA 45:0Wimbo Wa Arusi Ya Kifalme
PSA 46:0Mungu Yuko Pamoja Nasi
PSA 47:0Mtawala Mwenye Enzi Yote
PSA 48:0Sayuni, Mji Wa Mungu
PSA 49:0Upumbavu Wa Kutegemea Mali
PSA 50:0Ibada Ya Kweli
PSA 51:0Kuomba Msamaha
PSA 52:0Hukumu Ya Mungu
PSA 52:7Neema Ya Mungu
PSA 53:0Uovu Wa Wanadamu
PSA 54:0Kuomba Ulinzi Wa Mungu Kutokana Na Adui
PSA 55:0Maombi Ya Mtu Aliyesalitiwa Na Rafiki
PSA 56:0Kumtumaini Mungu
PSA 57:0Kuomba Msaada
PSA 58:0Mungu Kuwaadhibu Waovu
PSA 59:0Kuomba Ulinzi Wa Mungu
PSA 60:0Kuomba Kuokolewa
PSA 61:0Kuomba Ulinzi
PSA 62:0Mungu Kimbilio La Pekee
PSA 63:0Shauku Kwa Ajili Ya Uwepo Wa Mungu
PSA 64:0Kuomba Ulinzi Dhidi Ya Maadui
PSA 65:0Kusifu Na Kushukuru
PSA 66:0Kusifu Mungu Kwa Ajili Ya Wema Wake
PSA 67:0Mataifa Yahimizwa Kumsifu Mungu
PSA 68:0Wimbo Wa Taifa Wa Shangwe Kwa Ushindi
PSA 69:0Kilio Cha Kuomba Msaada Wakati Wa Dhiki
PSA 70:0Kuomba Msaada
PSA 71:0Kuomba Ulinzi Na Msaada Siku Zote Za Maisha
PSA 72:0Maombi Kwa Ajili Ya Mfalme
PSA 73:0Haki Ya Mungu
PSA 74:0Maombi Kwa Ajili Ya Taifa Kuokolewa
PSA 75:0Mungu Ni Mwamuzi
PSA 76:0Mungu Wa Israeli Ni Mhukumu Wa Dunia Yote
PSA 77:0Matendo Makuu Ya Mungu Yanakumbukwa
PSA 78:0Mungu Na Watu Wake
PSA 79:0Maombi Kwa Ajili Ya Wokovu Wa Taifa
PSA 80:0Maombi Kwa Ajili Ya Kuponywa Kwa Taifa
PSA 81:0Wimbo Wa Sikukuu
PSA 82:0Maombi Kwa Ajili Ya Kutaka Haki
PSA 83:0Maombi Kwa Ajili Ya Kushindwa Kwa Adui Wa Israeli
PSA 84:0Kuionea Shauku Nyumba Ya Mungu
PSA 85:0Maombi Kwa Ajili Ya Ustawi Wa Taifa
PSA 86:0Kuomba Msaada
PSA 87:0Sifa Za Yerusalemu
PSA 88:0Kilio Kwa Ajili Ya Kuomba Msaada
PSA 89:0Wimbo Wakati Wa Taabu Ya Kitaifa
PSA 90:0Umilele Wa Mungu Na Udhaifu Wa Mwanadamu
PSA 91:0Mungu Mlinzi Wetu
PSA 92:0Wimbo Wa Kumsifu Mungu
PSA 93:0Mungu Mfalme
PSA 94:0Mungu Mlipiza Kisasi Kwa Ajili Ya Wenye Haki
PSA 95:0Wimbo Wa Kumsifu Mungu
PSA 96:0Mungu Mfalme Mkuu
PSA 97:0Mungu Mtawala Mkuu
PSA 98:0Mungu Mtawala Wa Dunia
PSA 99:0Mungu Mfalme Mkuu
PSA 100:0Dunia Yote Yaitwa Kumsifu Mungu
PSA 101:0Ahadi Ya Kuishi Kwa Uadilifu Na Kwa Haki
PSA 102:0Maombi Ya Mtu Mwenye Taabu
PSA 103:0Upendo Wa Mungu
PSA 104:0Kumsifu Muumba
PSA 105:0Uaminifu Wa Mungu Kwa Israeli
PSA 106:0Wema Wa \nd Bwana\nd* Kwa Watu Wake
PSA 107:0Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake
PSA 108:0Kuomba Msaada Dhidi Ya Adui
PSA 109:0Lalamiko La Mtu Aliyeko Kwenye Shida
PSA 110:0\nd Bwana\nd* Na Mfalme Wake Mteule
PSA 111:0Sifa Za \nd Bwana\nd* Kwa Matendo Ya Ajabu
PSA 112:0Baraka Za Mwenye Haki
PSA 113:0Kumsifu \nd Bwana\nd* Kwa Wema Wake
PSA 114:0Maajabu Ya Mungu Wakati Israeli Walipotoka Misri
PSA 115:0Mungu Mmoja Wa Kweli
PSA 116:0Shukrani Kwa Kuokolewa Kutoka Mauti
PSA 117:0Sifa Za \nd Bwana\nd*
PSA 118:0Shukrani Kwa Ajili Ya Ushindi
PSA 119:0Sifa Za Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:0 (s2)Kujifunza Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:8 (s2)Kutii Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:16 (s2)Furaha Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:24 (s2)Kuamua Kuitii Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:32 (s2)Maombi Ili Kupata Ufahamu Wa Sheria
PSA 119:40 (s2)Kuitumainia Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:48 (s2)Matumaini Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:56 (s2)Kujitolea Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:64 (s2)Thamani Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:72 (s2)Haki Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:80 (s2)Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa
PSA 119:88 (s2)Imani Katika Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:96 (s2)Kuipenda Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:104 (s2)Nuru Kutoka Kwenye Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:112 (s2)Usalama Ndani Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:120 (s2)Kuitii Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:128 (s2)Shauku Ya Kuitii Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:136 (s2)Haki Ya Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:144 (s2)Maombi Kwa Ajili Ya Kuokolewa
PSA 119:152 (s2)Maombi Kwa Ajili Ya Msaada
PSA 119:160 (s2)Kujiweka Wakfu Kwa Sheria Ya \nd Bwana\nd*
PSA 119:168 (s2)Kuomba Msaada
PSA 120:0Kuomba Msaada
PSA 121:0\nd Bwana\nd* Mlinzi Wetu
PSA 122:0Sifa Kwa Yerusalemu
PSA 123:0Kuomba Rehema
PSA 124:0Shukrani Kwa Ukombozi Wa Israeli
PSA 125:0Usalama Wa Watu Wa Mungu
PSA 126:0Kurejezwa Kutoka Utumwani
PSA 127:0Bila Mungu, Kazi Ya Mwanadamu Haifai
PSA 128:0Thawabu Ya Kumtii \nd Bwana\nd*
PSA 129:0Maombi Dhidi Ya Adui Za Israeli
PSA 130:0Kuomba Msaada
PSA 131:0Kumtegemea Mungu Kwa Unyenyekevu
PSA 132:0Maskani Ya Mungu Ya Milele Katika Sayuni
PSA 133:0Sifa Za Pendo La Undugu
PSA 134:0Wito Wa Kumsifu Mungu
PSA 135:0Wimbo Wa Sifa Kwa Mungu
PSA 136:0Wimbo Wa Kumshukuru Mungu
PSA 137:0Maombolezo Ya Israeli Uhamishoni
PSA 138:0Maombi Ya Shukrani
PSA 139:0Mungu Asiyeweza Kukwepwa
PSA 140:0Kuomba Ulinzi Wa Mungu
PSA 141:0Maombi Ya Kuhifadhiwa Dhidi Ya Uovu
PSA 142:0Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Watesi
PSA 143:0Maombi Ya Kuokolewa Dhidi Ya Adui
PSA 144:0Mfalme Amshukuru Mungu Kwa Ushindi
PSA 145:0Wimbo Wa Kusifu Ukuu Na Wema Wa Mungu
PSA 146:0Kumsifu Mungu Mwokozi
PSA 147:0Kumsifu Mungu Mwenye Nguvu Zote
PSA 148:0Mwito Kwa Ulimwengu Kumsifu Mungu
PSA 149:0Wimbo Wa Kumsifu Mungu Kwa Wema Wake
PSA 150:0Msifuni \nd Bwana\nd* Kwa Ukuu Wake
PRO 1:0Utangulizi: Kusudi Na Kiini
PRO 1:7Onyo Dhidi Ya Ushawishi Wa Marafiki Waovu
PRO 1:19Onyo Dhidi Ya Kukataa Hekima
PRO 2:0Faida Za Hekima
PRO 3:0Faida Nyingine Za Hekima
PRO 4:0Hekima Ni Bora Kupita Vitu Vyote
PRO 5:0Onyo Dhidi Ya Uzinzi
PRO 6:0Maonyo Dhidi Ya Upumbavu
PRO 6:19Onyo Dhidi Ya Uasherati
PRO 7:0Onyo Dhidi Ya Mwanamke Mzinzi
PRO 8:0Wito Wa Hekima
PRO 9:0Makaribisho Ya Hekima Na Ya Upumbavu
PRO 10:0Mithali Za Solomoni
PRO 12:0Mafundisho Ya Kifamilia Na Ya Kijamii
PRO 13:0Mema Ya Muda Mfupi Na Yale Ya Kudumu
PRO 22:16Misemo Ya Wenye Hekima
PRO 24:22Misemo Zaidi Ya Wenye Hekima
PRO 25:0Mithali Zaidi Za Solomoni
PRO 30:0Misemo Ya Aguri
PRO 31:0Misemo Ya Mfalme Lemueli
PRO 31:9Maneno Ya Mwisho: Mke Mwenye Sifa Nzuri
ECC 1:0Kila Kitu Ni Ubatili Mtupu
ECC 1:11Hekima Ni Ubatili
ECC 2:0Anasa Ni Ubatili
ECC 2:11Hekima Na Upumbavu Ni Ubatili
ECC 2:16Kutaabika Ni Ubatili
ECC 3:0Kila Jambo Lina Wakati Wake
ECC 4:0Uonevu, Taabu, Uadui
ECC 4:12Maendeleo Ni Ubatili
ECC 5:0Simama Katika Kicho Cha Mungu
ECC 5:7Utajiri Ni Ubatili
ECC 7:0Hekima
ECC 8:1Mtii Mfalme
ECC 9:0Hatima Ya Wote
ECC 9:12Hekima Ni Bora Kuliko Upumbavu
ECC 11:0Mkate Juu Ya Maji
ECC 11:6Mkumbuke Muumba Wako Ukiwa Bado Kijana
ECC 12:8Hitimisho La Mambo
SNG 1:1Shairi La Kwanza
SNG 2:7Shairi La Pili
SNG 3:5Shairi La Tatu
SNG 5:1Shairi La Nne
SNG 6:3Shairi La Tano
SNG 8:4Shairi La Sita
ISA 1:1Taifa Asi
ISA 2:0Mlima Wa \nd Bwana\nd*
ISA 2:5Siku Ya \nd Bwana\nd*
ISA 3:0Hukumu Juu Ya Yerusalemu Na Yuda.
ISA 4:1Tawi La \nd Bwana\nd*
ISA 5:0Wimbo Wa Shamba La Mizabibu
ISA 5:7Ole Na Hukumu
ISA 6:0Agizo Kwa Isaya
ISA 7:0Ishara Ya Imanueli
ISA 8:0Ashuru, Chombo Cha \nd Bwana\nd*
ISA 8:10Mwogope Mungu
ISA 9:0Kwa Ajili Yetu Mtoto Amezaliwa
ISA 9:7Hasira Ya \nd Bwana\nd* Dhidi Ya Israeli
ISA 10:4Hukumu Ya Mungu Juu Ya Ashuru
ISA 10:19Mabaki Ya Israeli
ISA 11:0Tawi Kutoka Kwa Yese
ISA 12:0Kushukuru Na Kusifu
ISA 13:0Unabii Dhidi Ya Babeli
ISA 14:0Yuda Kufanywa Upya
ISA 14:23Unabii Dhidi Ya Ashuru
ISA 14:27Unabii Dhidi Ya Wafilisti
ISA 15:0Unabii Dhidi Ya Moabu
ISA 16:0Hali Ya Kukata Tamaa Ya Moabu
ISA 17:0Neno Dhidi Ya Dameski
ISA 18:0Unabii Dhidi Ya Kushi
ISA 19:0Unabii Kuhusu Misri
ISA 20:0Unabii Dhidi Ya Misri Na Kushi
ISA 21:0Unabii Dhidi Ya Babeli
ISA 21:10Unabii Dhidi Ya Edomu
ISA 21:12Unabii Dhidi Ya Arabia
ISA 22:0Unabii Kuhusu Yerusalemu
ISA 23:0Unabii Kuhusu Tiro
ISA 24:0Dunia Kuharibiwa Upesi
ISA 25:0Msifuni \nd Bwana\nd*
ISA 26:0Wimbo Wa Ushindi
ISA 27:0Wokovu Kwa Ajili Ya Israeli
ISA 28:0Ole Wa Efraimu
ISA 29:0Ole Wa Mji Wa Daudi
ISA 30:0Ole Wa Taifa Kaidi
ISA 31:0Ole Wa Wale Wanaotegemea Misri
ISA 32:0Ufalme Wa Haki
ISA 32:8Wanawake Wa Yerusalemu
ISA 33:0Taabu Na Msaada
ISA 34:0Hukumu Dhidi Ya Mataifa
ISA 35:0Furaha Ya Waliokombolewa
ISA 36:0Senakeribu Atishia Yerusalemu
ISA 37:0Kuokolewa Kwa Yerusalemu Kunatabiriwa
ISA 37:13Maombi Ya Hezekia
ISA 37:20Kuanguka Kwa Senakeribu
ISA 38:0Kuugua Kwa Mfalme Hezekia
ISA 39:0Wajumbe Kutoka Babeli
ISA 40:0Faraja Kwa Watu Wa Mungu
ISA 41:0Msaidizi Wa Israeli
ISA 42:0Mtumishi Wa \nd Bwana\nd*
ISA 42:9Wimbo Wa Kumsifu \nd Bwana\nd*
ISA 42:17Israeli Kipofu Na Kiziwi
ISA 43:0Mwokozi Pekee Wa Israeli
ISA 43:13Huruma Za Mungu, Na Kukosa Uaminifu Kwa Israeli
ISA 44:0Israeli Aliyechaguliwa
ISA 44:5Ni \nd Bwana\nd*, Siyo Sanamu
ISA 44:23Yerusalemu Kukaliwa
ISA 45:0Koreshi Chombo Cha Mungu
ISA 46:0Miungu Ya Babeli
ISA 47:0Anguko La Babeli
ISA 48:0Israeli Mkaidi
ISA 48:11Israeli Anawekwa Huru
ISA 49:0Mtumishi Wa \nd Bwana\nd*
ISA 49:7Kurejezwa Kwa Israeli
ISA 50:0Dhambi Ya Israeli Na Utii Wa Mtumishi
ISA 51:0Wokovu Wa Milele Kwa Sayuni
ISA 51:16Kikombe Cha Ghadhabu Ya \nd Bwana\nd*
ISA 52:12Mateso Na Utukufu Wa Mtumishi
ISA 54:0Utukufu Wa Baadaye Wa Sayuni
ISA 55:0Mwaliko Kwa Wenye Kiu
ISA 56:0Wokovu Kwa Ajili Ya Wengine
ISA 56:8Mashtaka Ya Mungu Dhidi Ya Waovu
ISA 57:0Ibada Ya Sanamu Ya Israeli Iliyo Batili
ISA 57:13Faraja Kwa Wenye Majuto
ISA 58:0Mfungo Wa Kweli
ISA 59:0Dhambi, Toba Na Ukombozi
ISA 60:0Utukufu Wa Sayuni
ISA 61:0Mwaka Wa Upendeleo Wa \nd Bwana\nd*
ISA 62:0Jina Jipya La Sayuni
ISA 63:0Siku Ya Mungu Ya Kisasi Na Ukombozi
ISA 63:6Kusifu Na Kuomba
ISA 65:0Hukumu Na Wokovu
ISA 65:16Mbingu Mpya Na Dunia Mpya
ISA 66:0Hukumu Na Matumaini
JER 1:3Wito Wa Yeremia
JER 2:0Israeli Amwacha Mungu
JER 3:0Israeli Asiye Mwaminifu
JER 3:5Wito Kwa Ajili Ya Toba
JER 4:4Maafa Kutoka Kaskazini
JER 5:0Hakuna Hata Mmoja Aliye Mkamilifu
JER 6:0Yerusalemu Imezingirwa Na Jeshi
JER 7:0Dini Za Uongo Hazina Maana
JER 7:29Bonde La Machinjo
JER 8:3Dhambi Na Adhabu
JER 10:0Mungu Na Sanamu
JER 10:16Maangamizi Yajayo
JER 10:22Maombi Ya Yeremia
JER 11:0Agano Limevunjwa
JER 11:17Shauri Baya Dhidi Ya Yeremia
JER 12:0Lalamiko La Yeremia
JER 12:4Jibu La Mungu
JER 13:0Mkanda Wa Kitani
JER 13:11Viriba Vya Mvinyo
JER 13:14Tishio La Kutekwa
JER 14:0Ukame, Njaa Na Upanga
JER 15:0Adhabu Isiyoepukika
JER 16:0Siku Ya Maafa
JER 17:0Dhambi Ya Yuda Na Adhabu Yake
JER 17:18Kuiadhimisha Sabato
JER 18:0Katika Nyumba Ya Mfinyanzi
JER 19:0Gudulia La Udongo Lililovunjika
JER 20:0Yeremia Ateswa Na Pashuri
JER 20:6Malalamiko Ya Yeremia
JER 21:0Mungu Anakataa Ombi La Sedekia
JER 22:0Hukumu Dhidi Ya Wafalme Waovu
JER 23:0Tawi La Haki
JER 23:8Manabii Wasemao Uongo
JER 23:32Maneno Ya Uongo Na Manabii Wa Uongo
JER 24:0Vikapu Viwili Vya Tini
JER 25:0Miaka Sabini Ya Kuwa Mateka
JER 25:14Kikombe Cha Ghadhabu Ya Mungu
JER 26:0Yeremia Atishiwa Kuuawa
JER 27:0Yuda Kumtumikia Nebukadneza
JER 28:0Hanania Nabii Wa Uongo
JER 29:0Barua Kwa Watu Wa Uhamisho
JER 29:23Ujumbe Kwa Shemaya
JER 30:0Kurudishwa Kwa Israeli
JER 31:0Mahamisho Kurudi Kwa Shangwe
JER 32:0Yeremia Anunua Shamba
JER 33:0Ahadi Ya Kurudishwa
JER 34:0Onyo Kwa Sedekia
JER 34:7Uhuru Kwa Watumwa
JER 35:0Warekabi Wasifiwa
JER 36:0Yehoyakimu Achoma Kitabu Cha Yeremia
JER 37:0Yeremia Gerezani
JER 38:0Yeremia Atupwa Kwenye Kisima
JER 38:13Sedekia Amhoji Yeremia Tena
JER 39:0Anguko La Yerusalemu
JER 40:0Yeremia Aachiwa Huru
JER 40:6Gedalia Auawa
JER 41:15Kukimbilia Misri
JER 42:0Yeremia Ashauri Walionusurika Wasihame Yuda
JER 43:0Yeremia Apelekwa Misri
JER 44:0Maafa Kwa Sababu Ya Ibada Za Sanamu
JER 45:0Ujumbe Kwa Baruku
JER 46:0Ujumbe Kuhusu Misri
JER 47:0Ujumbe Kuhusu Wafilisti
JER 48:0Ujumbe Kuhusu Moabu
JER 49:0Ujumbe Kuhusu Amoni
JER 49:6Ujumbe Kuhusu Edomu
JER 49:22Ujumbe Kuhusu Dameski
JER 49:27Ujumbe Kuhusu Kedari Na Hazori
JER 49:33Ujumbe Kuhusu Elamu
JER 50:0Ujumbe Kuhusu Babeli
JER 52:0Anguko La Yerusalemu
JER 52:30Yehoyakini Anaachiwa Huru
EZE 1:0Viumbe Hai Na Utukufu Wa \nd Bwana\nd*
EZE 2:0Wito Wa Ezekieli
EZE 3:15Onyo Kwa Israeli
EZE 4:0Kuzingirwa Kwa Yerusalemu Kwaonyeshwa Kwa Mfano
EZE 5:0Upanga Dhidi Ya Yerusalemu
EZE 6:0Unabii Dhidi Ya Milima Ya Israeli
EZE 7:0Mwisho Umewadia
EZE 8:0Ibada Ya Sanamu Hekaluni
EZE 9:0Waabudu Sanamu Wauawa
EZE 10:0Utukufu Unaondoka Hekaluni
EZE 11:0Hukumu Juu Ya Viongozi Wa Israeli
EZE 11:15Ahadi Ya Kurudi Kwa Israeli
EZE 12:0Kutekwa Kwa Yuda Kwaelezewa
EZE 13:0Manabii Wa Uongo Walaumiwa
EZE 14:0Waabudu Sanamu Walaumiwa
EZE 14:11Hukumu Isiyoepukika
EZE 15:0Yerusalemu Mzabibu Usiofaa
EZE 16:0Yerusalemu, Mwanamke Asiye Mwaminifu
EZE 17:0Tai Wawili Na Mizabibu
EZE 17:21Hatimaye Israeli Kutukuzwa
EZE 18:0Roho Itendayo Dhambi Itakufa
EZE 19:0Maombolezo Kwa Ajili Ya Wakuu Wa Israeli
EZE 20:0Israeli Waasi
EZE 20:29Hukumu Na Kurudishwa
EZE 20:44Unabii Dhidi Ya Kusini
EZE 21:0Babeli, Upanga Wa Mungu Wa Hukumu
EZE 22:0Dhambi Za Yerusalemu
EZE 23:0Dada Wawili Makahaba
EZE 24:0Chungu Cha Kupikia
EZE 24:14Kifo Cha Mke Wa Ezekieli
EZE 25:0Unabii Dhidi Ya Amoni
EZE 25:7Unabii Dhidi Ya Moabu
EZE 25:11Unabii Dhidi Ya Edomu
EZE 25:14Unabii Dhidi Ya Ufilisti
EZE 26:0Unabii Dhidi Ya Tiro
EZE 27:0Maombolezo Kwa Ajili Ya Tiro
EZE 28:0Unabii Dhidi Ya Mfalme Wa Tiro
EZE 28:19Unabii Dhidi Ya Sidoni
EZE 29:0Unabii Dhidi Ya Misri
EZE 30:0Maombolezo Kwa Ajili Ya Misri
EZE 31:0Mwerezi Katika Lebanoni
EZE 32:0Maombolezo Kwa Ajili Ya Farao
EZE 33:0Wajibu Wa Ezekieli Kuwa Mlinzi Kwa Watu Wake
EZE 33:20Anguko La Yerusalemu Laelezewa
EZE 34:0Wachungaji Na Kondoo
EZE 35:0Unabii Dhidi Ya Edomu
EZE 36:0Unabii Kwa Milima Ya Israeli
EZE 37:0Bonde La Mifupa Mikavu
EZE 37:14Taifa Moja Chini Ya Mfalme Mmoja
EZE 38:0Unabii Dhidi Ya Gogu
EZE 39:0Majeshi Ya Gogu Yataangamizwa
EZE 40:0Eneo La Hekalu Jipya
EZE 40:4Lango La Mashariki Kuelekea Ukumbi Wa Nje
EZE 40:16Ukumbi Wa Nje
EZE 40:19Lango La Kaskazini
EZE 40:23Lango La Kusini
EZE 40:27Malango Ya Kuelekea Ukumbi Wa Ndani
EZE 40:37Vyumba Vya Kutayarishia Dhabihu
EZE 40:43Vyumba Kwa Ajili Ya Makuhani
EZE 40:47Hekalu
EZE 42:0Vyumba Vya Makuhani
EZE 43:0Utukufu Warudi Hekaluni
EZE 43:12Madhabahu
EZE 44:0Mkuu, Walawi, Makuhani
EZE 45:0Mgawanyo Wa Nchi
EZE 45:12Sadaka Na Siku Takatifu
EZE 46:0Sheria Nyingine Mbalimbali
EZE 47:0Mto Kutoka Hekaluni
EZE 47:12Mipaka Mipya Ya Nchi
EZE 48:0Mgawanyo Wa Nchi
EZE 48:29Malango Ya Mji
DAN 1:0Mafunzo Ya Danieli Huko Babeli
DAN 2:0Ndoto Ya Nebukadneza
DAN 2:23Danieli Aifasiri Ndoto
DAN 3:0Sanamu Ya Dhahabu Na Moto Mkali
DAN 4:0Ndoto Ya Nebukadneza Ya Mti
DAN 4:18Danieli Anafasiri Ndoto
DAN 4:27Ndoto Inatimia
DAN 5:0Maandishi Ukutani
DAN 6:0Danieli Katika Tundu La Simba
DAN 7:0Ndoto Ya Danieli Ya Wanyama Wanne
DAN 7:14Tafsiri Ya Ndoto
DAN 8:0Maono Ya Danieli Ya Kondoo Dume Na Beberu
DAN 8:14Tafsiri Ya Maono
DAN 9:0Maombi Ya Danieli
DAN 9:19Majuma Sabini
DAN 10:0Maono Ya Danieli Kuhusu Mtu
DAN 11:1Wafalme Wa Kusini Na Wa Kaskazini
DAN 11:35Mfalme Ajikwezaye Mwenyewe
DAN 12:0Nyakati Za Mwisho
HOS 1:1Mke Wa Hosea Na Watoto
HOS 2:1Israeli Aadhibiwa Na Kurudishwa
HOS 3:0Upatanisho Wa Hosea Na Mkewe
HOS 4:0Shtaka Dhidi Ya Israeli
HOS 5:0Hukumu Dhidi Ya Israeli
HOS 6:0Israeli Asiye Na Toba
HOS 8:0Israeli Kuvuna Kisulisuli
HOS 9:0Adhabu Kwa Israeli
HOS 11:0Upendo Wa Mungu Kwa Israeli
HOS 11:11Dhambi Ya Israeli
HOS 13:0Hasira Ya \nd Bwana\nd* Dhidi Ya Israeli
HOS 14:0Toba Iletayo Baraka
JOL 1:1Uvamizi Wa Nzige
JOL 1:12Wito Wa Toba
JOL 2:0Jeshi La Nzige
JOL 2:11Rarueni Mioyo Yenu
JOL 2:17Jibu La \nd Bwana\nd*
JOL 2:27Siku Ya \nd Bwana\nd*
JOL 3:0Mataifa Yahukumiwa
JOL 3:16Baraka Kwa Watu Wa Mungu
AMO 1:2Hukumu Juu Ya Majirani Wa Israeli
AMO 2:5Hukumu Juu Ya Israeli
AMO 3:0Mashahidi Waitwa Dhidi Ya Israeli
AMO 4:0Israeli Hajarudi Kwa Mungu
AMO 5:0Maombolezo Na Wito Wa Toba
AMO 5:17Siku Ya \nd Bwana\nd*
AMO 6:0Ole Kwa Wanaoridhika
AMO 6:7\nd Bwana\nd* Anachukia Kiburi Cha Israeli
AMO 7:0Maono Ya Kwanza: Nzige
AMO 7:3Maono Ya Pili: Moto
AMO 7:6Maono Ya Tatu: Timazi
AMO 7:9Amosi Na Amazia
AMO 8:0Maono Ya Nne: Kikapu Cha Matunda Yaliyoiva
AMO 9:0Israeli Kuangamizwa
AMO 9:10Kurejezwa Kwa Israeli
JNA 1:0Yona Anamkimbia \nd Bwana\nd*
JNA 2:0Maombi Ya Yona Katika Tumbo La Nyangumi
JNA 3:0Yona Aenda Ninawi
JNA 4:0Hasira Ya Yona Kwa Ajili Ya Huruma Ya \nd Bwana\nd*.
MIC 1:2Hukumu Dhidi Ya Samaria Na Yerusalemu
MIC 1:7Kulia Na Kuomboleza
MIC 2:0Mipango Ya Mwanadamu Na Ya Mungu
MIC 2:5Manabii Wa Uongo
MIC 2:11Ahadi Ya Ukombozi
MIC 3:0Viongozi Na Manabii Wakemewa
MIC 4:0Mlima Wa \nd Bwana\nd*
MIC 4:5Mpango Wa \nd Bwana\nd*
MIC 5:0Mtawala Aliyeahidiwa Kutoka Bethlehemu
MIC 5:5Ukombozi Na Uharibifu
MIC 6:0Shauri La \nd Bwana\nd* Dhidi Ya Israeli
MIC 6:8Hatia Na Adhabu Ya Israeli
MIC 7:0Taabu Ya Israeli
MIC 7:7Israeli Atainuka
MIC 7:13Sala Na Sifa
NAH 1:1Hasira Ya Mungu Dhidi Ya Ninawi
NAH 2:0Ninawi Kuanguka
NAH 3:0Ole Wa Ninawi
HAB 1:1Lalamiko La Habakuki
HAB 1:4Jibu La \nd Bwana\nd*
HAB 1:11Lalamiko La Pili La Habakuki
HAB 2:1Jibu La \nd Bwana\nd*
HAB 3:0Maombi Ya Habakuki
ZEP 1:1Onyo La Maangamizi Yanayokuja
ZEP 1:3Dhidi Ya Yuda
ZEP 1:13Siku Kubwa Ya \nd Bwana\nd*
ZEP 2:3Dhidi Ya Ufilisti
ZEP 2:7Dhidi Ya Moabu Na Amoni
ZEP 2:11Dhidi Ya Kushi
ZEP 2:12Dhidi Ya Ashuru
ZEP 3:0Hatima Ya Yerusalemu
HAG 1:0Wito Wa Kuijenga Nyumba Ya \nd Bwana\nd*
HAG 2:0Utukufu Ulioahidiwa Wa Nyumba Mpya
HAG 2:9Baraka Kwa Watu Waliotiwa Unajisi
HAG 2:19Zerubabeli Pete Ya Muhuri Ya \nd Bwana\nd*
ZEC 1:0Wito Wa Kumrudia \nd Bwana\nd*
ZEC 1:6Maono Ya Kwanza: Mtu Katikati Ya Miti Ya Mihadasi
ZEC 1:17Maono Ya Pili: Pembe Nne Na Mafundi Wanne
ZEC 2:0Maono Ya Tatu: Mtu Mwenye Kamba Ya Kupimia
ZEC 3:0Maono Ya Nne: Mavazi Safi Kwa Ajili Ya Kuhani Mkuu
ZEC 4:0Maono Ya Tano: Kinara Cha Taa Cha Dhahabu Na Mizeituni Miwili
ZEC 5:0Maono Ya Sita: Kitabu Kinachoruka
ZEC 5:4Maono Ya Saba: Mwanamke Ndani Ya Kikapu
ZEC 6:0Maono Ya Nane: Magari Manne Ya Vita
ZEC 6:8Taji Kwa Ajili Ya Yoshua
ZEC 7:0Haki Na Rehema, Sio Kufunga
ZEC 8:0\nd Bwana\nd* Anaahidi Kuibariki Yerusalemu
ZEC 9:0Hukumu Juu Ya Adui Za Israeli
ZEC 9:8Kuja Kwa Mfalme Wa Sayuni
ZEC 9:13\nd Bwana\nd* Atatokea
ZEC 10:0\nd Bwana\nd* Ataitunza Yuda
ZEC 11:3Wachungaji Wawili Wa Kondoo
ZEC 12:0Maadui Wa Yerusalemu Kuangamizwa
ZEC 12:9Kumwombolezea Yule Aliyechomwa Mkuki
ZEC 13:0Kutakaswa Dhambi
ZEC 13:6Mchungaji Apigwa, Nao Kondoo Watawanyika
ZEC 14:0\nd Bwana\nd* Yuaja Kutawala
MAL 1:1Yakobo Alipendwa, Esau Alichukiwa
MAL 1:5Dhabihu Zilizo Na Mawaa
MAL 2:0Onyo Kwa Makuhani
MAL 2:9Yuda Si Mwaminifu
MAL 2:16Siku Ya Hukumu
MAL 3:5Kumwibia Mungu
MAL 4:0Siku Ya \nd Bwana\nd*
MAT 1:0Kumbukumbu Za Ukoo Wa Yesu Kristo
MAT 1:17Kuzaliwa Kwa Yesu Kristo
MAT 2:0Wataalamu Wa Nyota Wafika Kumwona Mtoto Yesu
MAT 2:12Yosefu, Maria Na Mtoto Yesu Wakimbilia Misri
MAT 2:18Kurudi Kutoka Misri
MAT 3:0Yohana Mbatizaji Atayarisha Njia
MAT 3:12Yesu Abatizwa
MAT 4:0Kujaribiwa Kwa Yesu
MAT 4:11Yesu Aanza Kuhubiri
MAT 4:17Yesu Awaita Wanafunzi Wake Wa Kwanza
MAT 4:22Yesu Ahubiri Na Kuponya Wagonjwa
MAT 5:0Sifa Za Aliyebarikiwa
MAT 5:12Chumvi Na Nuru
MAT 5:16Kutimiza Sheria
MAT 5:20Kuhusu Hasira
MAT 5:26Kuhusu Uzinzi
MAT 5:30Kuhusu Talaka
MAT 5:32Kuhusu Kuapa
MAT 5:37Kuhusu Kulipiza Kisasi
MAT 5:42Upendo Kwa Adui
MAT 6:0Kuwapa Wahitaji
MAT 6:4Kuhusu Maombi
MAT 6:15Kuhusu Kufunga
MAT 6:18Akiba Ya Mbinguni
MAT 6:21Jicho Ni Taa Ya Mwili
MAT 6:23Mungu Na Mali
MAT 6:24Msiwe Na Wasiwasi
MAT 7:0Kuwahukumu Wengine
MAT 7:6Omba, Tafuta, Bisha
MAT 7:12Njia Nyembamba Na Njia Pana
MAT 7:14Mti Na Tunda Lake
MAT 7:20Mwanafunzi Wa Kweli
MAT 7:23Msikiaji Na Mtendaji
MAT 8:0Yesu Amtakasa Mwenye Ukoma
MAT 8:4Yesu Amponya Mtumishi Wa Jemadari
MAT 8:13Yesu Aponya Wengi
MAT 8:17Gharama Ya Kumfuata Yesu
MAT 8:22Yesu Atuliza Dhoruba
MAT 8:27Wawili Wenye Pepo Waponywa
MAT 9:0Yesu Amponya Mtu Aliyepooza
MAT 9:8Kuitwa Kwa Mathayo
MAT 9:13Yesu Aulizwa Kuhusu Kufunga
MAT 9:17Mwanamke Aponywa
MAT 9:22Yesu Amfufua Binti Wa Kiongozi Wa Sinagogi
MAT 9:26Yesu Awaponya Vipofu
MAT 9:31Yesu Amponya Mtu Bubu
MAT 9:34Watendakazi Ni Wachache
MAT 10:0Yesu Awatuma Wale Kumi Na Wawili
MAT 10:15Mateso Yanayokuja
MAT 10:25Anayestahili Kuogopwa
MAT 10:33Sikuleta Amani, Bali Upanga
MAT 10:39Watakaopokea Thawabu
MAT 11:0Yesu Na Yohana Mbatizaji
MAT 11:19Onyo Kwa Miji Isiyotubu
MAT 11:24Hakuna Amjuaye Baba Ila Mwana
MAT 11:27Yesu Awaita Waliolemewa Na Mizigo
MAT 12:0Bwana Wa Sabato
MAT 12:8Yesu Anamponya Mtu Aliyepooza Mkono
MAT 12:14Mtumishi Aliyechaguliwa Na Mungu
MAT 12:21Yesu Na Beelzebuli
MAT 12:32Mti Na Matunda Yake
MAT 12:37Ishara Ya Yona
MAT 12:42Mafundisho Kuhusu Pepo Mchafu
MAT 12:45Mama Na Ndugu Zake Yesu
MAT 13:0Mfano Wa Mpanzi
MAT 13:9Sababu Ya Kufundisha Kwa Mifano
MAT 13:17Maelezo Ya Mfano Wa Mbegu
MAT 13:23Mfano Wa Magugu
MAT 13:30Mfano Wa Mbegu Ya Haradali
MAT 13:32Mfano Wa Chachu
MAT 13:33Sababu Ya Yesu Kutumia Mifano
MAT 13:35Ufafanuzi Wa Mfano Wa Magugu
MAT 13:43Mfano Wa Hazina Iliyofichwa Na Lulu
MAT 13:46Mfano Wa Wavu
MAT 13:52Yesu Akataliwa Nazareti
MAT 14:0Yohana Mbatizaji Akatwa Kichwa
MAT 14:12Yesu Alisha Wanaume 5,000
MAT 14:21Yesu Atembea Juu Ya Maji
MAT 14:33Yesu Awaponya Wagonjwa Genesareti
MAT 15:0Mapokeo Ya Wazee
MAT 15:9Vitu Vitiavyo Unajisi
MAT 15:20Imani Ya Mwanamke Mkanaani
MAT 15:28Yesu Aponya Watu Wengi
MAT 15:31Yesu Alisha Watu Elfu Nne
MAT 16:0Mafarisayo Wadai Ishara
MAT 16:4Chachu Ya Mafarisayo Na Masadukayo
MAT 16:12Petro Amkiri Yesu Kuwa Ni Mwana Wa Mungu
MAT 16:20Yesu Anatabiri Juu Ya Kifo Chake
MAT 17:0Yesu Abadilika Sura Mlimani
MAT 17:13Yesu Amponya Kijana Mwenye Pepo
MAT 17:23Yesu Na Petro Watoa Kodi Ya Hekalu
MAT 18:0Aliye Mkuu Katika Ufalme Wa Mbinguni
MAT 18:6Kujaribiwa Ili Kutenda Dhambi
MAT 18:9Mfano Wa Kondoo Aliyepotea
MAT 18:14Ndugu Yako Akikukosea
MAT 18:20Kusamehe
MAT 18:22Mfano Wa Mtumishi Asiyesamehe
MAT 19:0Yesu Afundisha Kuhusu Talaka
MAT 19:12Yesu Awabariki Watoto Wadogo
MAT 19:15Kijana Tajiri
MAT 19:22Hatari Za Utajiri
MAT 20:0Mfano Wa Wafanyakazi Katika Shamba La Mizabibu
MAT 20:16Yesu Atabiri Tena Kuhusu Kifo Chake
MAT 20:19Ombi La Mama Yake Yakobo Na Yohana
MAT 20:28Yesu Awaponya Vipofu Wawili
MAT 21:0Yesu Anaingia Yerusalemu Kwa Shangwe
MAT 21:11Yesu Atakasa Hekalu
MAT 21:17Mtini Wanyauka
MAT 21:22Wahoji Kuhusu Mamlaka Ya Yesu
MAT 21:27Mfano Wa Wana Wawili
MAT 21:32Mfano Wa Wapangaji Waovu
MAT 22:0Mfano Wa Karamu Ya Arusi
MAT 22:14Kulipa Kodi Kwa Kaisari
MAT 22:22Ndoa Na Ufufuo
MAT 22:33Amri Kuu Kuliko Zote
MAT 22:40Swali Kuhusu Mwana Wa Daudi
MAT 23:0Yesu Awashutumu Walimu Wa Sheria Na Mafarisayo
MAT 23:36Yesu Aililia Yerusalemu
MAT 24:0Kubomolewa Kwa Hekalu Kwatabiriwa
MAT 24:2Ishara Za Nyakati Za Mwisho
MAT 24:28Kuja Kwa Mwana Wa Adamu
MAT 24:35Hakuna Ajuaye Siku Wala Saa
MAT 24:44Mfano Wa Mtumishi Mwaminifu
MAT 25:0Mfano Wa Wanawali Kumi
MAT 25:13Mfano Wa Watumishi Watatu Na Talanta
MAT 25:30Kondoo Na Mbuzi
MAT 26:0Shauri Baya La Kumuua Yesu
MAT 26:5Yesu Anapakwa Mafuta Huko Bethania
MAT 26:13Yuda Akubali Kumsaliti Yesu
MAT 26:16Yesu Ala Pasaka Pamoja Na Wanafunzi
MAT 26:25Kuanzishwa Kwa Meza Ya Bwana
MAT 26:30Yesu Atabiri Petro Kumkana
MAT 26:35Yesu Anaomba Gethsemane
MAT 26:46Yesu Akamatwa
MAT 26:56Yesu Mbele Ya Kuhani Mkuu
MAT 26:68Petro Amkana Bwana Yesu
MAT 27:0Yesu Aletwa Mbele Ya Pilato
MAT 27:2Yuda Ajinyonga
MAT 27:10Yesu Mbele Ya Pilato
MAT 27:26Askari Wamdhihaki Yesu
MAT 27:31Yesu Asulubishwa
MAT 27:44Kifo Cha Yesu
MAT 27:56Maziko Ya Yesu
MAT 27:61Walinzi Pale Kaburini
MAT 28:0Yesu Afufuka
MAT 28:10Taarifa Ya Walinzi
MAT 28:15Yesu Awatuma Wanafunzi Wake
MRK 1:0Mahubiri Ya Yohana Mbatizaji
MRK 1:8Ubatizo Wa Yesu
MRK 1:11Majaribu Ya Yesu
MRK 1:13Yesu Aanza Kuhubiri
MRK 1:15Yesu Awaita Wanafunzi Wanne
MRK 1:20Yesu Amtoa Pepo Mchafu
MRK 1:28Yesu Amponya Mama Mkwe Wa Simoni
MRK 1:31Yesu Aponya Wengi
MRK 1:34Yesu Aenda Galilaya
MRK 1:39Yesu Amtakasa Mwenye Ukoma
MRK 2:0Yesu Amponya Mtu Aliyepooza
MRK 2:12Yesu Amwita Lawi
MRK 2:17Yesu Aulizwa Kuhusu Kufunga
MRK 2:22Bwana Wa Sabato
MRK 3:0Mtu Aliyepooza Mkono Aponywa
MRK 3:6Umati Wa Watu Wamfuata Yesu
MRK 3:12Yesu Achagua Mitume Kumi Na Wawili
MRK 3:19Yesu Na Beelzebuli
MRK 3:30Mama Na Ndugu Zake Yesu
MRK 4:0Mfano Wa Mpanzi
MRK 4:9Sababu Za Mifano
MRK 4:12Yesu Afafanua Maana Ya Mfano Wa Mbegu
MRK 4:20Mfano Wa Taa
MRK 4:25Mfano Wa Mbegu Inayoota
MRK 4:29Mfano Wa Mbegu Ya Haradali
MRK 4:34Yesu Atuliza Dhoruba
MRK 5:0Yesu Amponya Mtu Mwenye Pepo
MRK 5:20Mwanamke Aponywa
MRK 5:34Yesu Amfufua Binti Yairo
MRK 6:0Nabii Hana Heshima Kwao
MRK 6:6Yesu Awatuma Wale Kumi Na Wawili
MRK 6:13Yohana Mbatizaji Akatwa Kichwa
MRK 6:29Yesu Awalisha Wanaume 5,000
MRK 6:44Yesu Atembea Juu Ya Maji
MRK 7:0Kilicho Safi Na Kilicho Najisi
MRK 7:23Imani Ya Mwanamke Msirofoinike
MRK 7:30Yesu Amponya Mtu Aliyekuwa Kiziwi Na Bubu
MRK 8:0Yesu Alisha Wanaume 4,000
MRK 8:10Mafarisayo Waomba Ishara
MRK 8:13Chachu Ya Mafarisayo Na Ya Herode
MRK 8:21Yesu Amponya Kipofu Huko Bethsaida
MRK 8:26Petro Amkiri Yesu Kuwa Ndiye Kristo
MRK 8:30Yesu Atabiri Kifo Chake
MRK 9:1Yesu Ageuka Sura
MRK 9:13Mvulana Mwenye Pepo Mchafu Aponywa
MRK 9:29Yesu Atabiri Tena Kifo Chake Na Ufufuo
MRK 9:32Mabishano Kuhusu Aliye Mkuu Zaidi
MRK 9:37Yeyote Asiye Kinyume Nasi Yuko Upande Wetu
MRK 9:41Kusababisha Kutenda Dhambi
MRK 10:0Mafundisho Kuhusu Talaka
MRK 10:12Yesu Anawabariki Watoto Wadogo
MRK 10:16Kijana Tajiri
MRK 10:31Yesu Atabiri Mara Ya Tatu Kufa Na Kufufuka Kwake
MRK 10:34Ombi La Yakobo Na Yohana
MRK 10:45Yesu Amponya Kipofu Bartimayo
MRK 11:0Yesu Aingia Yerusalemu Kwa Shangwe
MRK 11:11Yesu Alaani Mtini Usiozaa
MRK 11:14Yesu Atakasa Hekalu
MRK 11:19Mtini Ulionyauka
MRK 11:26Swali Kuhusu Mamlaka Ya Yesu
MRK 12:0Mfano Wa Wapangaji Waovu
MRK 12:12Swali Kuhusu Kulipa Kodi
MRK 12:17Ndoa Wakati Wa Ufufuo
MRK 12:27Amri Iliyo Kuu
MRK 12:34Kristo Ni Mwana Wa Nani?
MRK 12:37Yesu Awatahadharisha Watu Kuhusu Walimu Wa Sheria
MRK 12:40Sadaka Ya Mjane
MRK 13:0Dalili Za Siku Za Mwisho
MRK 13:2Mateso Yatabiriwa
MRK 13:13Chukizo La Uharibifu
MRK 13:23Kuja Kwa Mwana Wa Adamu
MRK 13:27Somo Kuhusu Mtini
MRK 13:31Hakuna Ajuaye Siku Wala Saa
MRK 14:0Shauri La Kumuua Yesu
MRK 14:2Yesu Kupakwa Mafuta Huko Bethania
MRK 14:9Yuda Akubali Kumsaliti Yesu
MRK 14:11Yesu Ala Pasaka Na Wanafunzi Wake
MRK 14:21Kuanzishwa Kwa Meza Ya Bwana
MRK 14:26Yesu Atabiri Kuwa Petro Atamkana
MRK 14:31Yesu Aomba Katika Bustani Ya Gethsemane
MRK 14:42Yesu Akamatwa
MRK 14:52Yesu Mbele Ya Baraza La Wayahudi
MRK 14:65Petro Amkana Yesu
MRK 15:0Yesu Mbele Ya Pilato
MRK 15:5Pilato Amtoa Yesu Asulubiwe
MRK 15:15Askari Wamdhihaki Yesu
MRK 15:20Kusulubiwa Kwa Yesu
MRK 15:32Kifo Cha Yesu Msalabani
MRK 15:41Maziko Ya Yesu
MRK 16:0Kufufuka Kwa Yesu
MRK 16:8Yesu Anamtokea Maria Magdalene
MRK 16:11Yesu Awatokea Wanafunzi Wawili
MRK 16:13Yesu Awaagiza Wale Wanafunzi Kumi Na Mmoja
MRK 16:18[Yesu Apaa Kwenda Mbinguni
LUK 1:4Kuzaliwa Kwa Yohana Mbatizaji Kwatabiriwa
LUK 1:25Kuzaliwa Kwa Yesu Kwatabiriwa
LUK 1:38Maria Aenda Kumtembelea Elizabeti
LUK 1:45Wimbo Wa Maria Wa Sifa
LUK 1:56Kuzaliwa Kwa Yohana Mbatizaji
LUK 1:66Unabii Wa Zekaria
LUK 2:0Kuzaliwa Kwa Yesu
LUK 2:7Wachungaji Na Malaika
LUK 2:21Yesu Apelekwa Hekaluni
LUK 2:40Kijana Yesu Hekaluni
LUK 3:0Yohana Mbatizaji Aanza Kuhubiri
LUK 3:20Kubatizwa Kwa Bwana Yesu
LUK 3:22Ukoo Wa Bwana Yesu
LUK 4:0Yesu Ajaribiwa Na Shetani
LUK 4:13Mwanzo Wa Huduma Ya Galilaya
LUK 4:15Yesu Akataliwa Nazareti
LUK 4:30Yesu Atoa Pepo Mchafu
LUK 4:37Yesu Awaponya Wengi
LUK 5:0Kuitwa Kwa Wanafunzi Wa Kwanza
LUK 5:11Yesu Amtakasa Mtu Mwenye Ukoma
LUK 5:16Yesu Amponya Mtu Mwenye Kupooza
LUK 5:26Yesu Amwita Lawi
LUK 5:32Yesu Aulizwa Kuhusu Kufunga
LUK 6:0Bwana Wa Sabato
LUK 6:5Mtu Aliyepooza Mkono Aponywa
LUK 6:11Yesu Achagua Mitume Kumi Na Wawili
LUK 6:16Yesu Aponya Wengi
LUK 6:19Baraka Na Ole
LUK 6:26Wapendeni Adui Zenu
LUK 6:36Kuwahukumu Wengine
LUK 6:42Mti Na Mazao Yake
LUK 6:45Mjenzi Mwenye Busara Na Mjenzi Mpumbavu
LUK 7:0Yesu Amponya Mtumishi Wa Jemadari
LUK 7:10Yesu Amfufua Mwana Wa Mjane
LUK 7:17Yesu Na Yohana Mbatizaji
LUK 7:35Yesu Apakwa Mafuta Na Mwanamke Mwenye Dhambi
LUK 8:0Mfano Wa Mpanzi
LUK 8:15Mfano Wa Taa
LUK 8:18Mama Yake Yesu Na Ndugu Zake
LUK 8:21Yesu Atuliza Dhoruba
LUK 8:25Yesu Amponya Mtu Mwenye Pepo Mchafu
LUK 8:39Msichana Afufuliwa, Na Mwanamke Aponywa
LUK 9:0Yesu Awatuma Wale Kumi Na Wawili
LUK 9:6Herode Afadhaika
LUK 9:9Yesu Awalisha Wanaume 5,000
LUK 9:17Petro Amkiri Yesu Kuwa Ndiye Kristo
LUK 9:27Bwana Yesu Abadilika Sura
LUK 9:36Kuponywa Kwa Kijana Mwenye Pepo Mchafu
LUK 9:45Ni Nani Atakayekuwa Mkubwa Kuliko Wote
LUK 9:50Yesu Akataliwa Samaria
LUK 9:56Gharama Ya Kumfuata Yesu
LUK 10:0Yesu Awatuma Wale Sabini Na Wawili
LUK 10:12Onyo Kwa Miji Isiyotubu
LUK 10:20Yesu Anashangilia
LUK 10:24Mfano Wa Msamaria Mwema
LUK 10:37Yesu Awatembelea Martha Na Maria
LUK 11:0Yesu Afundisha Wanafunzi Wake Kuomba
LUK 11:13Yesu Na Beelzebuli
LUK 11:23Kurudi Kwa Pepo Mchafu
LUK 11:28Ishara Ya Yona
LUK 11:32Taa Ya Mwili
LUK 11:36Yesu Awashutumu Mafarisayo Na Wanasheria
LUK 12:0Maonyo Dhidi Ya Unafiki
LUK 12:12Mfano Wa Tajiri Mpumbavu
LUK 12:21Msiwe Na Wasiwasi
LUK 12:31Utajiri Wa Mbinguni
LUK 12:34Kukesha
LUK 12:40Mtumishi Mwaminifu Na Yule Asiye Mwaminifu
LUK 12:48Yesu Kuleta Mafarakano
LUK 12:53Kutambua Majira
LUK 13:0Tubu, La Sivyo Utaangamia
LUK 13:5Mfano Wa Mti Usiozaa Matunda
LUK 13:9Yesu Amponya Mwanamke Kilema Siku Ya Sabato
LUK 13:17Mfano Wa Punje Ya Haradali
LUK 13:19Mfano Wa Chachu
LUK 13:21Mlango Mwembamba
LUK 13:30Yesu Aomboleza Kwa Ajili Ya Yerusalemu
LUK 14:0Yesu Nyumbani Mwa Farisayo
LUK 14:6Unyenyekevu Na Ukarimu
LUK 14:14Mfano Wa Karamu Kuu
LUK 14:24Gharama Ya Kuwa Mwanafunzi
LUK 14:33Chumvi Isiyofaa
LUK 15:0Mfano Wa Kondoo Aliyepotea
LUK 15:7Mfano Wa Sarafu Iliyopotea
LUK 15:10Mfano Wa Mwana Mpotevu
LUK 16:0Mfano Wa Msimamizi Mjanja
LUK 16:15Sheria Na Ufalme Wa Mungu
LUK 16:18Tajiri Na Lazaro
LUK 17:0Yesu Afundisha Kuhusu Majaribu, Dhambi Na Imani
LUK 17:4Imani
LUK 17:6Wajibu Wa Mtumishi
LUK 17:10Yesu Atakasa Wakoma Kumi
LUK 17:19Kuja Kwa Ufalme Wa Mungu
LUK 18:0Mfano Wa Mjane Asiyekata Tamaa
LUK 18:8Mfano Wa Farisayo Na Mtoza Ushuru
LUK 18:14Yesu Awabariki Watoto Wadogo
LUK 18:17Mtawala Tajiri
LUK 18:30Yesu Atabiri Kifo Chake Mara Ya Tatu
LUK 18:34Yesu Amponya Kipofu Karibu Na Yeriko
LUK 19:0Zakayo Mtoza Ushuru
LUK 19:10Mfano Wa Fedha
LUK 19:27Yesu Aingia Yerusalemu Kwa Ushindi
LUK 19:40Yesu Anaulilia Mji Wa Yerusalemu
LUK 19:44Yesu Atakasa Hekaluni
LUK 20:0Swali Kuhusu Mamlaka Ya Yesu
LUK 20:8Mfano Wa Wapangaji Waovu
LUK 20:19Kumlipa Kaisari Kodi
LUK 20:26Ufufuo Na Ndoa
LUK 20:40Kristo Ni Mwana Wa Nani?
LUK 20:44Yesu Awashutumu Walimu Wa Sheria
LUK 21:0Sadaka Ya Mjane
LUK 21:4Dalili Za Siku Za Mwisho
LUK 21:6Mateso
LUK 21:19Kuharibiwa Kwa Yerusalemu Kwatabiriwa
LUK 21:24Kuja Kwa Mwana Wa Adamu
LUK 21:33Siku Ya Mwisho Itakuja Ghafula
LUK 22:0Yuda Akubali Kumsaliti Yesu
LUK 22:6Maandalizi Ya Pasaka
LUK 22:13Kuanzishwa Kwa Meza Ya Bwana
LUK 22:23Mabishano Kuhusu Ukuu
LUK 22:30Yesu Atabiri Kuwa Petro Atamkana
LUK 22:34Mfuko, Mkoba Na Upanga
LUK 22:38Yesu Aomba Kwenye Mlima Wa Mizeituni
LUK 22:46Yesu Akamatwa
LUK 22:53Petro Amkana Yesu
LUK 22:62Walinzi Wamdhihaki Yesu Na Kumpiga
LUK 22:65Yesu Apelekwa Mbele Ya Baraza
LUK 23:0Yesu Apelekwa Kwa Pilato
LUK 23:5Yesu Apelekwa Kwa Herode
LUK 23:12Yesu Ahukumiwa Kifo
LUK 23:25Kusulubiwa Kwa Yesu
LUK 23:43Kifo Cha Yesu
LUK 23:49Maziko Ya Yesu
LUK 24:0Kufufuka Kwa Yesu
LUK 24:12Njiani Kwenda Emau
LUK 24:35Yesu Awatokea Wanafunzi Wake
LUK 24:48Kuahidiwa Kwa Roho Mtakatifu
LUK 24:49Kupaa Kwa Yesu Mbinguni
JHN 1:0Neno Alifanyika Mwili
JHN 1:18Ushuhuda Wa Yohana Mbatizaji
JHN 1:28Yesu Mwana-Kondoo Wa Mungu
JHN 1:34Wanafunzi Wa Kwanza Wa Yesu
JHN 1:42Yesu Awaita Filipo Na Nathanaeli
JHN 2:0Arusi Huko Kana
JHN 2:11Yesu Atakasa Hekalu
JHN 3:0Nikodemo Amwendea Yesu Usiku
JHN 3:21Ushuhuda Wa Yohana Mbatizaji Kuhusu Yesu
JHN 3:30Yeye Aliyetoka Mbinguni
JHN 4:0Yesu Azungumza Na Mwanamke Msamaria
JHN 4:38Wasamaria Wengi Waamini
JHN 4:42Yesu Amponya Mwana Wa Afisa
JHN 5:0Yesu Amponya Mtu Kwenye Bwawa La Bethzatha
JHN 5:15Uzima Kupitia Mwana
JHN 5:18Mamlaka Ya Mwana Wa Mungu
JHN 5:29Shuhuda Kuhusu Yesu
JHN 6:0Yesu Alisha Wanaume 5,000
JHN 6:15Yesu Atembea Juu Ya Maji
JHN 6:21Watu Wanamtafuta Yesu
JHN 6:24Yesu Ni Mkate Wa Uzima
JHN 6:59Wafuasi Wengi Wamwacha Yesu
JHN 7:0Kutokuamini Kwa Ndugu Zake Yesu
JHN 7:9Yesu Kwenye Sikukuu Ya Vibanda
JHN 7:13Yesu Afundisha Kwenye Sikukuu
JHN 7:24Je, Yesu Ndiye Kristo?
JHN 7:31Walinzi Wanatumwa Kumkamata Yesu
JHN 7:36Mito Ya Maji Ya Uzima
JHN 7:39Mgawanyiko Miongoni Mwa Watu
JHN 7:44Kutokuamini Kwa Viongozi Wa Wayahudi
JHN 8:0Mwanamke Aliyefumaniwa Akizini
JHN 8:11Yesu Nuru Ya Ulimwengu
JHN 8:20Yesu Atabiri Kifo Chake Mwenyewe
JHN 8:30Wanafunzi Wa Kweli
JHN 8:38Yesu Na Abrahamu
JHN 8:47Maelezo Ya Yesu Kuhusu Yeye Mwenyewe
JHN 9:0Yesu Amponya Mtu Aliyezaliwa Kipofu
JHN 9:12Mafarisayo Wachunguza Kuponywa Kwa Kipofu
JHN 9:34Upofu Wa Kiroho
JHN 10:0Mchungaji Mwema
JHN 10:21Yesu Akataliwa Na Wayahudi
JHN 11:0Kifo Cha Lazaro
JHN 11:16Yesu Ndiye Ufufuo Na Uzima
JHN 11:27Yesu Alia
JHN 11:37Yesu Amfufua Lazaro
JHN 11:44Shauri La Kumuua Yesu
JHN 12:0Maria Ampaka Yesu Mafuta Huko Bethania
JHN 12:8Shauri La Kumuua Lazaro
JHN 12:11Kuingia Kwa Yesu Yerusalemu Kwa Ushindi
JHN 12:19Yesu Anatabiri Kifo Chake
JHN 12:36Wayahudi Waendelea Kutokuamini
JHN 12:43Amwaminiye Yesu Hatabaki Gizani
JHN 13:0Yesu Awanawisha Wanafunzi Wake Miguu
JHN 13:20Yesu Anatabiri Kusalitiwa Kwake
JHN 13:30Yesu Atabiri Petro Kumkana
JHN 14:0Yesu Awatia Moyo Wanafunzi Wake
JHN 14:4Yesu Ndiye Njia Ya Kwenda Kwa Baba
JHN 14:14Yesu Aahidi Roho Mtakatifu
JHN 15:0Yesu Mzabibu Wa Kweli
JHN 15:17Ulimwengu Wawachukia Wanafunzi
JHN 16:4Kazi Ya Roho Mtakatifu
JHN 16:16Huzuni Itageuka Kuwa Furaha
JHN 16:24Amani Kwa Wanafunzi
JHN 17:0Yesu Ajiombea Mwenyewe
JHN 17:5Yesu Awaombea Wanafunzi Wake
JHN 17:19Yesu Awaombea Wote Wamwaminio
JHN 18:0Yesu Akamatwa
JHN 18:11Yesu Mbele Ya Kuhani Mkuu
JHN 18:14Petro Anamkana Yesu
JHN 18:18Kuhani Mkuu Amhoji Yesu
JHN 18:24Petro Amkana Yesu Tena
JHN 18:27Yesu Apelekwa Kwa Pilato
JHN 19:0Yesu Ahukumiwa Kusulubiwa
JHN 19:16Kusulubiwa Kwa Yesu
JHN 19:22Mavazi Ya Yesu Yagawanywa
JHN 19:27Kifo Cha Yesu
JHN 19:30Yesu Achomwa Mkuki Ubavuni
JHN 19:37Maziko Ya Yesu
JHN 20:0Kufufuka Kwa Yesu
JHN 20:10Yesu Anamtokea Maria Magdalene
JHN 20:18Yesu Awatokea Wanafunzi Wake
JHN 20:23Yesu Anamtokea Tomaso
JHN 20:29Kusudi La Kitabu Hiki
JHN 21:0Yesu Awatokea Wanafunzi Saba
JHN 21:14Yesu Amuuliza Petro Kama Anampenda
ACT 1:0Ahadi Ya Roho Mtakatifu
ACT 1:5Yesu Apaa Mbinguni
ACT 1:11Mathiya Achaguliwa Badala Ya Yuda
ACT 2:0Kushuka Kwa Roho Mtakatifu
ACT 2:13Petro Ahutubia Umati
ACT 2:36Waumini Waongezeka
ACT 2:41Ushirika Wa Waumini
ACT 3:0Petro Amponya Mlemavu Kwa Jina La Yesu
ACT 3:10Petro Anashuhudia Kuwa Yesu Anaponya
ACT 4:0Petro Na Yohana Mbele Ya Baraza
ACT 4:12Ujasiri Wa Petro Na Yohana Washangaza Watu
ACT 4:18Imetupasa Kumtii Mungu Kuliko Wanadamu
ACT 4:22Maombi Ya Waumini
ACT 4:31Walioamini Washirikiana Mali Zao
ACT 5:0Anania Na Safira
ACT 5:11Mitume Waponya Wengi
ACT 5:16Mitume Washtakiwa
ACT 6:0Saba Wachaguliwa Kuhudumu
ACT 6:7Kukamatwa Kwa Stefano
ACT 6:11Stefano Afikishwa Mbele Ya Baraza
ACT 7:0Hotuba Ya Stefano
ACT 7:53Stefano Apigwa Mawe
ACT 8:1Kanisa Lateswa Na Kutawanyika
ACT 8:3Filipo Ahubiri Injili Samaria
ACT 8:8Simoni Mchawi
ACT 8:25Filipo Na Towashi Wa Kushi
ACT 9:0Kuokoka Kwa Sauli
ACT 9:19Sauli Ahubiri Dameski
ACT 9:25Sauli Huko Yerusalemu
ACT 9:31Kuponywa Kwa Ainea
ACT 9:35Petro Amfufua Dorkasi
ACT 10:0Kornelio Amwita Petro
ACT 10:8Maono Ya Petro
ACT 10:23Petro Nyumbani Mwa Kornelio
ACT 10:33Hotuba Ya Petro
ACT 10:43Watu Wa Mataifa Wapokea Roho Mtakatifu
ACT 11:0Petro Aeleza Alivyotumwa Kwa Watu Wa Mataifa
ACT 11:18Kanisa La Antiokia
ACT 12:0Yakobo Auawa, Petro Atiwa Gerezani
ACT 12:19Kifo Cha Herode Agripa
ACT 13:0Barnaba Na Sauli Wanatumwa
ACT 13:3Barnaba Na Sauli Waenda Kipro
ACT 13:12Paulo Na Barnaba Huko Antiokia Ya Pisidia
ACT 14:0Paulo Na Barnaba Huko Ikonio
ACT 14:7Paulo Na Barnaba Huko Listra
ACT 14:20Paulo Na Barnaba Warudi Antiokia Huko Syria
ACT 15:0Baraza La Yerusalemu
ACT 15:21Barua Kwa Waumini Wa Mataifa
ACT 15:35Paulo Na Barnaba Wagawanyika
ACT 16:0Timotheo Aungana Na Paulo Na Sila
ACT 16:10Kuokoka Kwa Lidia
ACT 16:15Paulo Na Sila Watiwa Gerezani
ACT 17:0Ghasia Huko Thesalonike
ACT 17:9Paulo Na Sila Huko Beroya
ACT 17:15Paulo Huko Athene
ACT 18:0Paulo Huko Korintho
ACT 18:17Paulo Arudi Antiokia
ACT 18:23Huduma Ya Apolo Huko Efeso Na Korintho
ACT 19:0Paulo Huko Efeso
ACT 19:10Wana Wa Skewa Wajaribu Kutoa Pepo Mchafu
ACT 19:22Ghasia Huko Efeso
ACT 20:0Paulo Apita Makedonia Na Uyunani
ACT 20:6Eutiko Afufuliwa Huko Troa
ACT 20:12Paulo Awaaga Wazee Wa Efeso
ACT 21:0Paulo Aenda Yerusalemu
ACT 21:16Paulo Awasili Yerusalemu
ACT 21:26Paulo Akamatwa
ACT 21:36Paulo Anajitetea
ACT 22:0Ushuhuda Wa Paulo Kwa Wayahudi Wa Yerusalemu
ACT 22:5Paulo Aeleza Juu Ya Kuokoka Kwake
ACT 22:16Paulo Atumwa Kwa Watu Wa Mataifa
ACT 22:21Paulo Na Jemadari Wa Kirumi
ACT 22:29Paulo Apelekwa Mbele Ya Baraza
ACT 23:11Hila Za Kumuua Paulo
ACT 23:22Paulo Ahamishiwa Kaisaria
ACT 24:0Mbele Ya Feliksi Huko Kaisaria
ACT 24:9Paulo Ajitetea Mbele Ya Feliksi
ACT 25:0Paulo Mbele Ya Festo
ACT 25:12Festo Aomba Ushauri Kwa Agripa
ACT 25:22Paulo Aletwa Mbele Ya Agripa
ACT 26:0Paulo Ajitetea Mbele Ya Agripa
ACT 26:11Paulo Aeleza Kuhusu Kuokoka Kwake
ACT 26:23Paulo Aeleza Juu Ya Kuhubiri Kwake
ACT 27:0Paulo Asafiri Kwenda Rumi
ACT 27:12Dhoruba Baharini
ACT 27:26Maangamizi Ya Meli
ACT 28:0Paulo Kisiwani Malta
ACT 28:10Paulo Awasili Rumi
ACT 28:16Paulo Ahubiri Rumi Chini Ya Ulinzi
ROM 1:7Maombi Na Shukrani
ROM 1:17Ghadhabu Ya Mungu Kwa Wanadamu
ROM 2:0Hukumu Ya Mungu
ROM 2:16Wayahudi Na Sheria
ROM 3:0Uaminifu Wa Mungu
ROM 3:8Wote Wametenda Dhambi
ROM 3:20Haki Kwa Njia Ya Imani
ROM 3:26Umuhimu Wa Kuwa Na Imani
ROM 4:0Abrahamu Alihesabiwa Haki Kwa Imani
ROM 4:8Haki Kabla Ya Tohara
ROM 4:12Ahadi Ya Mungu Hufahamika Kwa Imani
ROM 4:17Mfano Wa Imani Ya Abrahamu
ROM 5:0Matokeo Ya Kuhesabiwa Haki
ROM 5:11Adamu Alileta Kifo, Yesu Ameleta Uzima
ROM 6:0Kufa Na Kufufuka Pamoja Na Kristo
ROM 6:14Watumwa Wa Haki
ROM 7:0Hatufungwi Tena Na Sheria
ROM 7:6Sheria Na Dhambi
ROM 7:13Mgongano Wa Ndani
ROM 8:0Maisha Katika Roho
ROM 8:17Utukufu Ujao
ROM 8:27Tunashinda Na Zaidi Ya Kushinda
ROM 8:30Upendo Wa Mungu
ROM 9:0Kuteuliwa Kwa Israeli Na Mungu
ROM 9:13Mungu Hana Upendeleo
ROM 9:24Yote Yalitabiriwa Katika Maandiko
ROM 9:29Kutokuamini Kwa Israeli
ROM 10:4Wokovu Ni Kwa Ajili Ya Wote
ROM 11:0Mabaki Ya Israeli
ROM 11:10Matawi Yaliyopandikizwa
ROM 11:24Israeli Wote Wataokolewa
ROM 11:32Wimbo Wa Shukrani
ROM 12:0Maisha Mapya Katika Kristo
ROM 12:8Alama Za Mkristo Wa Kweli
ROM 13:0Kutii Mamlaka
ROM 13:7Kupendana Kila Mmoja Na Mwingine
ROM 14:0Msiwahukumu Wengine
ROM 14:12Usimfanye Ndugu Yako Ajikwae
ROM 15:0Usijipendeze Mwenyewe, Bali Wapendeze Wengine
ROM 15:6Injili Sawa Kwa Wayahudi Na Kwa Watu Wa Mataifa
ROM 15:13Paulo Mhudumu Wa Watu Wa Mataifa
ROM 15:22Paulo Apanga Kwenda Rumi
ROM 16:0Salamu Kwa Watu Binafsi
ROM 16:16Maelekezo Ya Mwisho
ROM 16:24Maneno Ya Mwisho Ya Kumsifu Mungu
CO1 1:0Salamu
CO1 1:3Shukrani
CO1 1:9Mgawanyiko Ndani Ya Kanisa
CO1 1:17Kristo Ni Hekima Na Nguvu Ya Mungu
CO1 2:0Kumtangaza Kristo Aliyesulubiwa
CO1 2:5Hekima Ya Kweli Itokayo Kwa Mungu
CO1 3:0Kuhusu Mgawanyiko Katika Kanisa
CO1 4:0Mawakili Wa Siri Za Mungu
CO1 5:0Mwasherati Atengwe
CO1 6:0Kushtakiana Miongoni Mwa Waumini
CO1 6:11Dhambi Za Zinaa
CO1 7:0Kuhusu Ndoa
CO1 7:16Kuishi Kama Alivyoagiza Bwana
CO1 7:24Wajane Na Wasioolewa
CO1 8:0Chakula Kilichotolewa Sadaka Kwa Sanamu
CO1 9:0Haki Za Mtume
CO1 10:0Onyo Kutoka Historia Ya Waisraeli
CO1 10:13Karamu Za Sanamu Na Meza Ya Bwana
CO1 10:22Fanyeni Yote Kwa Utukufu Wa Mungu
CO1 11:1Utaratibu Katika Kuabudu
CO1 11:16Matumizi Mabaya Ya Meza Ya Bwana
CO1 11:22Kuanzishwa Kwa Meza Ya Bwana
CO1 11:26Kushiriki Meza Ya Bwana Isivyostahili
CO1 12:0Karama Za Rohoni
CO1 12:11Mwili Mmoja, Wenye Viungo Vingi
CO1 13:0Karama Ya Upendo
CO1 14:0Karama Za Unabii Na Lugha
CO1 14:25Kumwabudu Mungu Kwa Utaratibu
CO1 15:0Kufufuka Kwa Kristo
CO1 15:11Ufufuo Wa Wafu
CO1 15:34Mwili Wa Ufufuo
CO1 16:0Changizo Kwa Ajili Ya Watakatifu
CO1 16:4Mahitaji Binafsi
CO1 16:12Maneno Ya Mwisho
CO1 16:18Salamu Za Mwisho
CO2 1:0Salamu
CO2 1:2Mungu Wa Faraja Yote
CO2 1:11Paulo Aahirisha Ziara
CO2 2:4Msamaha Kwa Mwenye Dhambi
CO2 2:11Wasiwasi Wa Paulo Huko Troa
CO2 3:0Wahudumu Wa Agano Jipya
CO2 3:6Utukufu Wa Agano Jipya
CO2 4:0Hazina Ya Mbinguni Katika Vyombo Vya Udongo
CO2 5:0Makao Yetu Ya Mbinguni
CO2 5:10Huduma Ya Upatanisho
CO2 6:2Taabu Za Paulo
CO2 6:13Msifungiwe Nira Pamoja Na Wasioamini
CO2 7:1Furaha Ya Paulo
CO2 8:0Kutoa Kwa Ukarimu
CO2 8:15Tito Atumwa Korintho
CO2 9:0Wasaidieni Wakristo Wenzenu
CO2 9:5Kupanda Kwa Ukarimu
CO2 10:0Paulo Atetea Huduma Yake
CO2 11:0Paulo Na Mitume Wa Uongo
CO2 11:15Paulo Anajivunia Mateso Yake
CO2 12:0Maono Ya Paulo Na Mwiba Aliokuwa Nao
CO2 12:10Wasiwasi Wa Paulo Kwa Wakorintho
CO2 13:0Maonyo Ya Mwisho
CO2 13:10Salamu Za Mwisho
GAL 1:0Salamu
GAL 1:5Hakuna Injili Nyingine
GAL 1:10Paulo Ameitwa Na Mungu
GAL 2:0Paulo Akubaliwa Na Mitume
GAL 2:10Paulo Ampinga Petro Huko Antiokia
GAL 2:14Wayahudi Na Watu Wa Mataifa Wanaokolewa Kwa Imani
GAL 3:0Imani Au Kushika Sheria?
GAL 3:9Sheria Na Laana
GAL 3:14Sheria Na Ahadi
GAL 3:18Kusudi La Sheria
GAL 3:25Watoto Wa Mungu
GAL 4:7Paulo Awashawishi Wagalatia
GAL 4:20Mfano Wa Hagari Na Sara
GAL 5:0Uhuru Ndani Ya Kristo
GAL 5:15Maisha Ya Kiroho
GAL 6:0Chukulianeni Mizigo
GAL 6:10Si Kutahiriwa Bali Kuwa Kiumbe Kipya
EPH 1:0Salamu
EPH 1:2Baraka Za Kiroho Katika Kristo Yesu
EPH 1:14Shukrani Na Maombi
EPH 2:0Tumefanywa Kuwa Hai Ndani Ya Kristo
EPH 2:10Wamoja Katika Kristo
EPH 3:0Huduma Ya Paulo Kwa Watu Wa Mataifa
EPH 3:13Maombi Ya Paulo Kwa Waefeso
EPH 4:0Umoja Katika Mwili Wa Kristo
EPH 4:16Maisha Ya Zamani Na Maisha Mapya
EPH 4:24Kanuni Za Maisha Mapya
EPH 5:0Kuenenda Nuruni
EPH 5:21Mafundisho Kuhusu Wake Na Waume
EPH 6:0Mafundisho Kuhusu Watoto Na Wazazi
EPH 6:4Mafundisho Kuhusu Watumwa Na Mabwana
EPH 6:9Silaha Za Mungu
EPH 6:20Salamu Za Mwisho
PHP 1:0Salamu
PHP 1:2Shukrani Na Maombi
PHP 1:11Kufungwa Kwa Paulo Kwaieneza Injili
PHP 1:26Kuenenda Ipasavyo Injili
PHP 2:0Kuiga Unyenyekevu Wa Kristo
PHP 2:11Ngʼaeni Kama Mianga Katika Ulimwengu
PHP 2:18Paulo Amsifu Timotheo
PHP 2:24Paulo Amsifu Epafrodito
PHP 3:0Hakuna Tumaini Katika Mwili
PHP 3:11Kukaza Mwendo Ili Kufikia Lengo
PHP 4:1Mausia
PHP 4:9Shukrani Kwa Matoleo Yenu
PHP 4:20Salamu Za Mwisho
COL 1:0Salamu
COL 1:2Shukrani Na Maombi
COL 1:14Ukuu Wa Kristo
COL 1:23Taabu Ya Paulo Kwa Ajili Ya Kanisa
COL 2:5Ukamilifu Wa Maisha Katika Kristo
COL 2:19Maonyo Dhidi Ya Walimu Wa Uongo
COL 3:0Kanuni Za Kuishi Maisha Matakatifu
COL 3:17Kanuni Katika Madaraka Ya Nyumbani
COL 4:1Maagizo Zaidi
COL 4:6Salamu Za Mwisho
TH1 1:0Salamu
TH1 1:1Shukrani Kwa Ajili Ya Imani Ya Wathesalonike
TH1 2:0Huduma Ya Paulo Huko Thesalonike
TH1 2:16Paulo Atamani Kuwaona Wathesalonike
TH1 3:0Timotheo Atumwa Kwenda Thesalonike
TH1 3:5Taarifa Ya Timotheo Ya Kutia Moyo
TH1 4:0Maisha Yanayompendeza Mungu
TH1 4:12Kuja Kwake Bwana
TH1 5:0Kuweni Tayari Kwa Siku Ya Bwana
TH1 5:11Maagizo Ya Mwisho, Salamu Na Kuwatakia Heri
TH2 1:2Shukrani Na Maombi
TH2 2:0Yule Mtu Wa Kuasi
TH2 2:12Simameni Imara
TH2 3:0Hitaji La Maombi
TH2 3:5Onyo Dhidi Ya Uvivu
TH2 3:15Salamu Za Mwisho
TI1 1:2Maonyo Dhidi Ya Walimu Wa Uongo
TI1 1:11Neema Ya Mungu Kwa Paulo
TI1 2:0Maagizo Kuhusu Kuabudu
TI1 3:0Sifa Za Waangalizi
TI1 3:7Sifa Za Mashemasi
TI1 4:0Maagizo Kwa Timotheo
TI1 4:5Mtumishi Mwema Wa Yesu Kristo
TI1 5:0Maagizo Kuhusu Wajane, Wazee Na Watumwa
TI1 5:16Wazee Wa Kanisa
TI1 6:0Watumwa
TI1 6:2Mafundisho Ya Uongo Na Utajiri Wa Kweli
TI1 6:10Vitu Vizuri Vya Imani
TI1 6:19Maelekezo Ya Binafsi Na Maombi Ya Baraka
TI2 1:2Shukrani Na Kutiwa Moyo
TI2 2:0Askari Mwema Wa Kristo Yesu
TI2 2:13Mfanyakazi Aliyekubaliwa Na Mungu
TI2 3:0Hatari Za Siku Za Mwisho
TI2 3:9Paulo Amwagiza Timotheo
TI2 4:0Maagizo Ya Mwisho
TI2 4:8Maelekezo Ya Binafsi
TI2 4:18Salamu Za Mwisho
TIT 1:4Kazi Ya Tito Huko Krete
TIT 1:9Walimu Wa Uongo
TIT 2:0Fundisha Mafundisho Manyofu
TIT 3:0Kutenda Mema
TIT 3:11Maneno Ya Mwisho Na Kumtamkia Baraka
PHM 1:3Shukrani Na Maombi
PHM 1:7Maombi Ya Paulo Ya Kumtetea Onesimo
PHM 1:22Salamu Za Mwisho Na Dua Ya Kuwatakia Heri
HEB 1:0Mwana Ni Mkuu Kuliko Malaika
HEB 2:0Wokovu Mkuu
HEB 2:4Yesu Alifananishwa Na Ndugu Zake
HEB 3:0Yesu Ni Mkuu Kuliko Mose
HEB 3:6Onyo Dhidi Ya Kutokuamini
HEB 4:0Pumziko Aliloahidi Mungu
HEB 4:13Yesu Kristo Kuhani Mkuu Kuliko Wote
HEB 5:10Wito Wa Kukua Kiroho
HEB 6:0Hatari Ya Kuanguka
HEB 6:12Uhakika Wa Ahadi Ya Mungu
HEB 7:0Kuhani Melkizedeki
HEB 7:10Yesu Mfano Wa Melkizedeki
HEB 8:0Kuhani Mkuu Wa Agano Jipya
HEB 9:0Ibada Katika Hema La Kidunia
HEB 9:10Damu Ya Kristo
HEB 10:0Dhabihu Ya Kristo Ni Mara Moja Tu
HEB 10:18Wito Wa Kuvumilia
HEB 11:0Maana Ya Imani
HEB 11:3Mfano Wa Abeli, Enoki Na Noa
HEB 11:7Imani Ya Abrahamu
HEB 11:22Imani Ya Mose
HEB 11:28Imani Ya Mashujaa Wengine Wa Israeli
HEB 12:0Mungu Huwaadibisha Wanawe
HEB 12:13Onyo Dhidi Ya Kuikataa Neema Ya Mungu
HEB 13:0Huduma Inayompendeza Mungu
HEB 13:19Maombi Ya Kuwatakia Baraka
HEB 13:21Maneno Ya Mwisho Na Salamu
JAM 1:1Imani Na Hekima
JAM 1:8Umaskini Na Utajiri
JAM 1:11Kujaribiwa
JAM 1:18Kusikia Na Kutenda
JAM 2:0Onyo Kuhusu Upendeleo
JAM 2:13Imani Na Matendo
JAM 3:0Kuufuga Ulimi
JAM 3:12Aina Mbili Za Hekima
JAM 4:0Jinyenyekezeni Kwa Mungu
JAM 4:10Onyo Kuhusu Kuhukumu Wengine
JAM 4:12Kujivuna Kwa Ajili Ya Kesho
JAM 5:0Onyo Kwa Matajiri
JAM 5:6Uvumilivu Katika Mateso
JAM 5:12Maombi Ya Imani
PE1 1:0Salamu
PE1 1:2Tumaini Lenye Uzima
PE1 1:12Mwito Wa Kuishi Maisha Matakatifu
PE1 2:0Jiwe Lililo Hai Na Watu Waliochaguliwa
PE1 2:12Kuwatii Wenye Mamlaka
PE1 2:20Mfano Wa Mateso Ya Kristo
PE1 3:0Mafundisho Kwa Wake Na Waume
PE1 3:7Kuteseka Kwa Kutenda Mema
PE1 3:12Kuvumilia Mateso
PE1 4:0Kuishi Kwa Ajili Ya Mungu
PE1 4:11Kuteseka Kwa Kuwa Mkristo
PE1 5:0Kulichunga Kundi La Mungu
PE1 5:11Salamu Za Mwisho
PE2 1:2Wito Wa Mkristo Na Uteule
PE2 1:11Unabii Wa Maandiko
PE2 2:0Walimu Wa Uongo Na Uangamivu Wao
PE2 3:0Ahadi Ya Kuja Kwa Bwana
JN1 1:0Neno La Uzima
JN1 1:4Kutembea Nuruni
JN1 2:0Kristo Mwombezi Wetu
JN1 2:6Amri Mpya
JN1 2:14Msiupende Ulimwengu
JN1 2:17Onyo Dhidi Ya Wapinga Kristo
JN1 2:27Watoto Wa Mungu
JN1 3:10Mpendane Ninyi Kwa Ninyi
JN1 4:0Zijaribuni Hizo Roho
JN1 4:6Mungu Ni Pendo
JN1 5:0Imani Katika Mwana Wa Mungu Huushinda Ulimwengu
JN1 5:5Ushuhuda Kuhusu Mwana Wa Mungu
JN1 5:12Maneno Ya Mwisho
JN2 1:0Salamu
JN2 1:3Kweli Na Upendo
JN2 1:11Salamu Za Mwisho
JN3 1:0Salamu
JN3 1:1Gayo Anasifiwa Kwa Ajili Ya Ukarimu Wake
JN3 1:8Deotrefe
JN3 1:10Demetrio
JN3 1:12Salamu Za Mwisho
JDE 1:0Salamu
JDE 1:2Dhambi Na Hukumu Ya Watu Wasiomcha Mungu
JDE 1:4Hukumu Kwa Walimu Wa Uongo
JDE 1:16Maonyo Na Mausia
JDE 1:23Dua Ya Kutakia Heri
REV 1:0Utangulizi Na Salamu
REV 1:3Salamu Kwa Makanisa Saba
REV 1:8Maono Ya Kristo
REV 2:0Kwa Kanisa Lililoko Efeso
REV 2:7Kwa Kanisa Lililoko Smirna
REV 2:11Kwa Kanisa Lililoko Pergamo
REV 2:17Kwa Kanisa Lililoko Thiatira
REV 3:0Kwa Kanisa Lililoko Sardi
REV 3:6Kwa Kanisa Lililoko Filadelfia
REV 3:13Kwa Kanisa Lililoko Laodikia
REV 4:0Kiti Cha Enzi Kilichoko Mbinguni
REV 5:0Kitabu Na Mwana-Kondoo
REV 6:0Mwana-Kondoo Avunja Lakiri Saba
REV 7:0Waisraeli 144,000 Watiwa Muhuri
REV 7:8Umati Mkubwa Wa Watu Kutoka Mataifa Yote
REV 8:0Lakiri Ya Saba Na Chetezo Cha Dhahabu
REV 8:5Tarumbeta Ya Kwanza
REV 8:7Tarumbeta Ya Pili
REV 8:9Tarumbeta Ya Tatu
REV 8:11Tarumbeta Ya Nne
REV 9:0Tarumbeta Ya Tano
REV 9:12Tarumbeta Ya Sita
REV 10:0Malaika Mwenye Kitabu Kidogo
REV 11:0Mashahidi Wawili
REV 11:14Tarumbeta Ya Saba
REV 12:0Mwanamke Na Joka
REV 12:6Malaika Mikaeli Amshinda Yule Joka
REV 12:9Ushindi Mbinguni Watangazwa
REV 13:1Mnyama Kutoka Baharini
REV 13:10Mnyama Kutoka Dunia
REV 14:0Mwana-Kondoo Na Wale 144,000
REV 14:5Malaika Watatu
REV 14:13Kuvuna Mavuno Ya Dunia
REV 15:0Malaika Saba Na Mapigo Saba
REV 16:0Mabakuli Saba Ya Ghadhabu Ya Mungu
REV 17:0Kahaba Mkuu Na Mnyama
REV 18:0Kuanguka Kwa Babeli
REV 19:0Shangwe Huko Mbinguni
REV 19:10Aliyepanda Farasi Mweupe
REV 19:16Mnyama Na Majeshi Yake Yashindwa
REV 20:0Utawala Wa Miaka Elfu Moja
REV 20:6Kuhukumiwa Kwa Shetani
REV 20:10Wafu Wanahukumiwa
REV 21:0Mbingu Mpya Na Nchi Mpya
REV 22:0Mto Wa Maji Ya Uzima
REV 22:6Bwana Yesu Anakuja

Section Cross-reference Lines

GEN 5:0(1 Nyakati 1:1-4)
GEN 10:0(1 Nyakati 1:5-23)
GEN 11:9(1 Nyakati 1:24-27)
GEN 36:0(1 Nyakati 1:34-42)
GEN 36:30(1 Nyakati 1:43-54)
EXO 17:0(Hesabu 20:1-13)
EXO 18:12(Kumbukumbu 1:9-18)
EXO 20:0(Kumbukumbu 5:1-21)
EXO 20:17(Kumbukumbu 5:22-33)
EXO 21:0(Kumbukumbu 15:12-18)
EXO 23:13(Kutoka 34:18-26; Kumbukumbu 16:1-17)
EXO 25:0(Kutoka 35:4-9)
EXO 25:9(Kutoka 37:1-9)
EXO 25:22(Kutoka 37:10-16)
EXO 25:30(Kutoka 37:17-24)
EXO 26:0(Kutoka 36:8-38)
EXO 27:0(Kutoka 38:1-7)
EXO 27:8(Kutoka 38:9-20)
EXO 27:19(Walawi 24:1-4)
EXO 28:0(Kutoka 39:1-7)
EXO 28:14(Kutoka 39:8-21)
EXO 28:30(Kutoka 39:22-31)
EXO 29:0(Walawi 8:1-36)
EXO 30:0(Kutoka 37:25-28)
EXO 31:0(Kutoka 35:30–36:1)
EXO 32:0(Kumbukumbu 9:6-29)
EXO 34:0(Kumbukumbu 10:1-5)
EXO 34:9(Kutoka 23:14-19; Kumbukumbu 7:1-5; 16:1-17)
EXO 35:3(Kutoka 25:1-9)
EXO 35:29(Kutoka 31:1-11)
EXO 36:7(Kutoka 26:1-37)
EXO 37:0(Kutoka 25:10-22)
EXO 37:9(Kutoka 25:23-30)
EXO 37:16(Kutoka 25:31-40)
EXO 37:24(Kutoka 30:1-5)
EXO 38:0(Kutoka 27:1-8)
EXO 38:7(Kutoka 30:18)
EXO 38:8(Kutoka 27:9-19)
EXO 39:0(Kutoka 28:1-14)
EXO 39:7(Kutoka 28:15-30)
EXO 39:21(Kutoka 28:31-43)
EXO 39:31(Kutoka 35:10-19)
EXO 40:33(Hesabu 9:15-23)
LEV 8:0(Kutoka 29:1-37)
LEV 11:0(Kumbukumbu 14:3-21)
LEV 23:3(Hesabu 28:16-25)
LEV 23:14(Hesabu 28:26-31)
LEV 23:22(Hesabu 29:1-6)
LEV 23:25(Hesabu 29:7-11)
LEV 23:32(Hesabu 29:12-40)
LEV 25:0(Kumbukumbu 15:1-11)
LEV 26:0(Kumbukumbu 7:12-24; 28:1-14)
LEV 26:13(Kumbukumbu 28:15-68)
NUM 9:14(Kutoka 40:34-38)
NUM 13:0(Kumbukumbu 1:19-33)
NUM 20:0(Kutoka 17:1-7)
NUM 21:20(Kumbukumbu 2:26–3:11)
NUM 27:11(Kumbukumbu 31:1-8)
NUM 28:0(Kutoka 29:38-46)
NUM 28:15(Walawi 23:5-14)
NUM 28:25(Walawi 23:15-22)
NUM 29:0(Walawi 23:23-25)
NUM 29:6(Walawi 23:26-32)
NUM 29:11(Walawi 23:33-44)
NUM 32:0(Kumbukumbu 3:12-22)
NUM 35:5(Kumbukumbu 19:1-13; Yoshua 20:1-9)
DEU 1:8(Kutoka 18:13-27)
DEU 1:18(Hesabu 13:1-33)
DEU 1:25(Hesabu 14:20-45)
DEU 2:25(Hesabu 21:21-30)
DEU 3:0(Hesabu 21:31-35)
DEU 3:11(Hesabu 32:1-42)
DEU 5:0(Kutoka 20:1-17)
DEU 5:22(Kutoka 20:18-21)
DEU 7:0(Kutoka 34:11-16)
DEU 7:11(Kumbukumbu 28:1-14)
DEU 9:0(Kutoka 32:1-35)
DEU 10:0(Kutoka 34:1-10)
DEU 14:0(Walawi 11:1-47)
DEU 15:0(Walawi 25:1-7)
DEU 15:11(Kutoka 21:1-18)
DEU 16:0(Kutoka 12:1-20)
DEU 16:8(Kutoka 34:22; Walawi 23:15-21)
DEU 16:12(Walawi 23:33-43)
DEU 19:0(Hesabu 35:9-34; Yoshua 20:1-9)
DEU 28:0(Walawi 26:3-13; Kumbukumbu 7:12-24)
DEU 28:14(Walawi 26:14-46)
DEU 31:0(Hesabu 27:12-23)
JOS 15:12(Waamuzi 1:11-15)
JOS 20:0(Hesabu 35:9-34)
SA1 31:0(1 Nyakati 10:1-12)
SA2 5:0(1 Nyakati 11:1-9; 14:1-7)
SA2 5:16(1 Nyakati 14:8-17)
SA2 6:0(1 Nyakati 13:1-14; 15:25–16:6, 43)
SA2 7:0(1 Nyakati 17:1-15)
SA2 7:17(1 Nyakati 17:16-27)
SA2 8:0(1 Nyakati 18:1-17)
SA2 10:0(1 Nyakati 19:1-19)
SA2 21:14(1 Nyakati 20:4-8)
SA2 22:0(Zaburi 18)
SA2 23:7(1 Nyakati 11:10-41)
SA2 24:0(1 Nyakati 21:1-27)
KI1 3:0(2 Nyakati 1:3-12)
KI1 5:0(2 Nyakati 2:1-18)
KI1 6:0(2 Nyakati 3)
KI1 7:12(2 Nyakati 4)
KI1 8:0(2 Nyakati 5)
KI1 8:13(2 Nyakati 6:3-11)
KI1 8:21(2 Nyakati 6:12-42)
KI1 8:61(2 Nyakati 7:4-10)
KI1 9:0(2 Nyakati 7:11-22)
KI1 9:9(2 Nyakati 8)
KI1 10:0(2 Nyakati 9:1-12)
KI1 10:13(2 Nyakati 9:13-28)
KI1 11:40(2 Nyakati 9:29-31)
KI1 12:0(2 Nyakati 10:1-19)
KI1 14:20(2 Nyakati 11:5–12:15)
KI1 15:0(2 Nyakati 13:1–14:1)
KI1 15:8(2 Nyakati 15:16–16:6)
KI1 22:0(2 Nyakati 18:2-27)
KI1 22:28(2 Nyakati 18:28-34)
KI1 22:40(2 Nyakati 20:31–21:1)
KI2 8:15(2 Nyakati 21:1-20)
KI2 8:24(2 Nyakati 22:1-6)
KI2 11:0(2 Nyakati 22:10–23:21)
KI2 14:0(2 Nyakati 25)
KI2 15:0(2 Nyakati 26)
KI2 15:31(2 Nyakati 27)
KI2 16:0(2 Nyakati 28)
KI2 18:0(2 Nyakati 29:1–31:21)
KI2 18:16(2 Nyakati 32:1-19; Isaya 36:1-22)
KI2 19:0(Isaya 37:1-20)
KI2 19:19(Isaya 37:21-38)
KI2 20:0(2 Nyakati 32:24-26; Isaya 38:1-8, 21-22)
KI2 20:11(Isaya 39:1-8)
KI2 21:0(2 Nyakati 33:1-20)
KI2 21:18(2 Nyakati 33:21-25)
KI2 22:0(2 Nyakati 34; 35:20-27)
KI2 23:0(2 Nyakati 34:3-7, 29-33)
KI2 23:30(2 Nyakati 36:2-4)
KI2 23:34(2 Nyakati 36:5-8)
KI2 24:7(2 Nyakati 36:9-10)
KI2 24:17(2 Nyakati 36:11-12; Yeremia 52:1-3)
KI2 25:0(2 Nyakati 36:13-21; Yeremia 52:3-30)
KI2 25:26(Yeremia 52:31-34)
CH1 1:0(Mwanzo 5:1-32; 10:1-32; 11:10-26)
CH1 1:28(Mwanzo 25:12-16)
CH1 1:34(Mwanzo 36:1-19)
CH1 1:37(Mwanzo 36:20-30)
CH1 1:42(Mwanzo 36:31-43)
CH1 9:34(1 Nyakati 8:29-38)
CH1 10:0(1 Samweli 31:1-13)
CH1 11:0(2 Samweli 5:1-10)
CH1 11:9(2 Samweli 23:8-39)
CH1 13:0(2 Samweli 6:1-11)
CH1 14:0(2 Samweli 5:11-16)
CH1 14:7(2 Samweli 5:17-25)
CH1 15:0(2 Samweli 6:12-22)
CH1 16:6(Zaburi 105:1-15; 96:1-13; 106:1, 47-48)
CH1 17:0(2 Samweli 7:1-17)
CH1 17:15(2 Samweli 7:18-29)
CH1 18:0(2 Samweli 8:1-18)
CH1 19:0(2 Samweli 10:1-19)
CH1 20:0(2 Samweli 12:26-31)
CH1 20:3(2 Samweli 21:15-22)
CH1 21:0(2 Samweli 24:1-25)
CH2 1:0(1 Wafalme 3:1-15)
CH2 1:12(1 Wafalme 10:26-29)
CH2 2:0(1 Wafalme 5:1-18)
CH2 3:0(1 Wafalme 6:1-38; 7:15-22)
CH2 4:0(1 Wafalme 7:23-51)
CH2 5:1(1 Wafalme 8:1-9)
CH2 6:0(1 Wafalme 8:12-21)
CH2 6:11(1 Wafalme 8:22-53)
CH2 7:0(1 Wafalme 8:62-66)
CH2 7:10(1 Wafalme 9:1-9)
CH2 8:0(1 Wafalme 9:10-28)
CH2 9:0(1 Wafalme 10:1-13)
CH2 9:12(1 Wafalme 10:14-25)
CH2 9:28(1 Wafalme 11:41-43)
CH2 10:0(1 Wafalme 12:1-20)
CH2 11:0(1 Wafalme 12:21-24)
CH2 12:0(1 Wafalme 14:25-28)
CH2 13:0(1 Wafalme 15:1-8)
CH2 16:0(1 Wafalme 15:17-24)
CH2 18:0(1 Wafalme 22:1-28)
CH2 18:27(1 Wafalme 22:29-35)
CH2 20:30(1 Wafalme 22:41-50)
CH2 21:0(2 Wafalme 8:17-24)
CH2 22:0(2 Wafalme 8:25-29; 9:21-28)
CH2 22:9(2 Wafalme 11:1-3)
CH2 23:0(2 Wafalme 11:4-20)
CH2 24:0(2 Wafalme 12:1-16)
CH2 25:0(2 Wafalme 14:2-20)
CH2 26:0(2 Wafalme 14:21-22; 15:1-7)
CH2 27:0(2 Wafalme 15:32-38)
CH2 28:0(2 Wafalme 16:1-6)
CH2 28:15(2 Wafalme 16:7-9)
CH2 29:0(2 Wafalme 18:1-12)
CH2 32:0(2 Wafalme 18:13-37; 19:14-19, 35-37; Isaya 36:1-22; 37:8-38)
CH2 32:23(2 Wafalme 20:1-3, 12-19; Isaya 38:1-3; 39:1-8)
CH2 33:0(2 Wafalme 21:1-18)
CH2 33:20(2 Wafalme 21:19-26)
CH2 34:0(2 Wafalme 22:1-2)
CH2 34:13(2 Wafalme 22:3-20)
CH2 34:28(2 Wafalme 23:1-20)
CH2 35:0(2 Wafalme 23:21-23)
CH2 35:19(2 Wafalme 23:28-30)
CH2 36:0(2 Wafalme 23:30-35)
CH2 36:4(2 Wafalme 23:35–24:7)
CH2 36:8(2 Wafalme 24:8-17)
CH2 36:10(2 Wafalme 24:18-20; Yeremia 52:1-3)
CH2 36:14(2 Wafalme 25:1-21; Yeremia 52:3-11)
CH2 36:21(Ezra 1:1-4)
EZR 2:0(Nehemia 7:4-73)
NEH 7:3(Ezra 2:1-70)
PSA 14:0(Zaburi 53)
PSA 18:0(2 Samweli 22:1-51)
PSA 53:0(Zaburi 14)
PSA 70:0(Zaburi 40:13-17)
PSA 96:0(1 Nyakati 16:23-33)
PSA 105:0(1 Nyakati 16:8-22)
PSA 108:0(Zaburi 57:7-11; 60:5-12)
ISA 2:0(Mika 4:1-3)
ISA 36:0(2 Wafalme 18:13-27; 2 Nyakati 32:1-19)
ISA 37:0(2 Wafalme 19:1-7)
ISA 37:20(2 Wafalme 19:20-37)
ISA 38:0(2 Wafalme 20:1-11; 2 Nyakati 32:24-26)
ISA 39:0(2 Wafalme 20:12-19)
JER 40:6(2 Wafalme 25:22-26)
JER 52:0(2 Wafalme 24:18–25:30)
EZE 45:12(Kutoka 12:1-20; Walawi 23:33-43)
MIC 4:0(Isaya 2:2-4)
MAT 1:0(Luka 3:23-38)
MAT 1:17(Luka 2:1-7)
MAT 3:0(Marko 1:1-8; Luka 3:1-18; Yohana 1:19-28)
MAT 3:12(Marko 1:9-11; Luka 3:21-22)
MAT 4:0(Marko 1:12-13; Luka 4:1-13)
MAT 4:11(Marko 1:14-15; Luka 4:14-15)
MAT 4:17(Marko 1:16-20; Luka 5:1-11)
MAT 4:22(Luka 6:17-19)
MAT 5:0(Luka 6:20-23)
MAT 5:12(Marko 9:50; Luka 14:34-35)
MAT 5:20(Luka 12:57-59)
MAT 5:30(Mathayo 19:9; Marko 10:11-12; Luka 16:18)
MAT 5:37(Luka 6:29-30)
MAT 5:42(Luka 6:27-28, 32-36)
MAT 6:4(Luka 11:2-4)
MAT 6:18(Luka 12:33-34)
MAT 6:21(Luka 11:34-36)
MAT 6:23(Luka 16:13; 12:22-31)
MAT 7:0(Luka 6:37-38, 41-42)
MAT 7:6(Luka 11:9-13)
MAT 7:14(Luka 6:43-44)
MAT 7:20(Luka 13:25-27)
MAT 7:23(Luka 6:47-49)
MAT 8:0(Marko 1:40-45; Luka 5:12-16)
MAT 8:4(Luka 7:1-10)
MAT 8:13(Marko 1:29-34; Luka 4:38-41)
MAT 8:17(Luka 9:57-62)
MAT 8:22(Marko 4:35-41; Luka 8:22-25)
MAT 8:27(Marko 5:1-20; Luka 8:26-39)
MAT 9:0(Marko 2:1-12; Luka 5:17-26)
MAT 9:8(Marko 2:13-17; Luka 5:27-32)
MAT 9:13(Marko 2:18-22; Luka 5:33-39)
MAT 9:17(Marko 5:21-43; Luka 8:40-56)
MAT 10:0(Marko 3:13-19; 6:7-13; Luka 6:12-16; 9:1-6)
MAT 10:15(Marko 13:9-13; Luka 21:12-17)
MAT 10:25(Luka 12:2-9)
MAT 10:33(Luka 12:51-53; 14:26-27)
MAT 10:39(Marko 9:41)
MAT 11:0(Luka 7:18-35)
MAT 11:19(Luka 10:13-15)
MAT 11:24(Luka 10:21-22)
MAT 12:0(Marko 2:23-28; Luka 6:1-5)
MAT 12:8(Marko 3:1-6; Luka 6:6-11)
MAT 12:21(Marko 3:20-30; Luka 11:14-23)
MAT 12:32(Luka 6:43-45)
MAT 12:37(Marko 8:11-12; Luka 11:29-32)
MAT 12:42(Luka 11:24-26)
MAT 12:45(Marko 3:31-35; Luka 8:19-21)
MAT 13:0(Marko 4:1-9; Luka 8:4-8)
MAT 13:9(Marko 4:10-12; Luka 8:9-10)
MAT 13:17(Marko 4:13-20; Luka 8:11-15)
MAT 13:30(Marko 4:30-32; Luka 13:18-19)
MAT 13:32(Luka 13:20-21)
MAT 13:33(Marko 4:33-34)
MAT 13:52(Marko 6:1-6; Luka 4:16-30)
MAT 14:0(Marko 6:14-29; Luka 9:7-9)
MAT 14:12(Marko 6:30-44; Luka 9:10-17; Yohana 6:1-14)
MAT 14:21(Marko 6:45-52; Yohana 6:15-21)
MAT 14:33(Marko 6:53-56)
MAT 15:0(Marko 7:1-13)
MAT 15:9(Marko 7:14-23)
MAT 15:20(Marko 7:24-30)
MAT 15:31(Marko 8:1-10)
MAT 16:0(Marko 8:11-13; Luka 12:54-56)
MAT 16:4(Marko 8:14-21)
MAT 16:12(Marko 8:27-30; Luka 9:18-21)
MAT 16:20(Marko 8:31–9:1; Luka 9:22-27)
MAT 17:0(Marko 9:2-13; Luka 9:28-36)
MAT 17:13(Marko 9:14-29; Luka 9:37-43)
MAT 18:0(Marko 9:33-37; Luka 9:46-48)
MAT 18:6(Marko 9:42-48; Luka 17:1-2)
MAT 18:9(Luka 15:3-7)
MAT 19:0(Marko 10:1-12)
MAT 19:12(Marko 10:13-16; Luka 18:15-17)
MAT 19:15(Marko 10:17-31; Luka 18:18-30)
MAT 20:16(Marko 10:32-34; Luka 18:31-34)
MAT 20:19(Marko 10:35-45)
MAT 20:28(Marko 10:46-52; Luka 18:35-43)
MAT 21:0(Marko 11:1-11; Luka 19:28-40; Yohana 12:12-19)
MAT 21:11(Marko 11:15-19; Luka 19:45-48; Yohana 2:13-22)
MAT 21:17(Marko 11:12-14, 20-24)
MAT 21:22(Marko 11:27-33; Luka 20:1-8)
MAT 21:32(Marko 12:1-12; Luka 20:9-19)
MAT 22:0(Luka 14:15-24)
MAT 22:14(Marko 12:13-17; Luka 20:20-26)
MAT 22:22(Marko 12:18-27; Luka 20:27-40)
MAT 22:33(Marko 12:28-34; Luka 10:25-28)
MAT 22:40(Marko 12:35-37; Luka 20:41-44)
MAT 23:0(Marko 12:38-40; Luka 11:39-52; 20:45-47)
MAT 23:36(Luka 13:34-35)
MAT 24:0(Marko 13:1-2; Luka 21:5-6)
MAT 24:2(Marko 13:3-23; Luka 21:7-24)
MAT 24:28(Marko 13:24-31; Luka 21:25-33)
MAT 24:35(Marko 13:32-37; Luka 17:26-30, 34-36)
MAT 24:44(Luka 12:41-48)
MAT 25:13(Luka 19:11-27)
MAT 26:0(Marko 14:1-2; Luka 22:1-2; Yohana 11:45-53)
MAT 26:5(Marko 14:3-9; Yohana 12:1-8)
MAT 26:13(Marko 14:10-11; Luka 22:3-6)
MAT 26:16(Marko 14:12-21; Luka 22:7-23; Yohana 13:21-30)
MAT 26:25(Marko 14:22-26; Luka 22:14-20; 1 Wakorintho 11:23-25)
MAT 26:30(Marko 14:27-31; Luka 22:31-34; Yohana 13:36-38)
MAT 26:35(Marko 14:32-42; Luka 22:39-46)
MAT 26:46(Marko 14:43-50; Luka 22:47-53; Yohana 18:3-12)
MAT 26:56(Marko 14:53-65; Luka 22:54-71; Yohana 18:13-24)
MAT 26:68(Marko 14:66-72; Luka 22:56-62; Yohana 18:15-18, 25-27)
MAT 27:0(Marko 15:1; Luka 23:1-2; Yohana 18:28-32)
MAT 27:2(Matendo 1:18-19)
MAT 27:10(Marko 15:2-15; Luka 23:3-25; Yohana 18:33–19:16)
MAT 27:26(Marko 15:16-20; Yohana 19:2-3)
MAT 27:31(Marko 15:21-32; Luka 23:26-43; Yohana 19:17-27)
MAT 27:44(Marko 15:33-41; Luka 23:44-49; Yohana 19:28-30)
MAT 27:56(Marko 15:42-47; Luka 23:50-56; Yohana 19:38-42)
MAT 28:0(Marko 16:1-10; Luka 24:1-12; Yohana 20:1-10)
MAT 28:15(Marko 16:14-18; Luka 24:36-49; Yohana 20:19-23; Matendo 1:6-8)
MRK 1:0(Mathayo 3:1-12; Luka 3:1-8; Yohana 1:19-28)
MRK 1:8(Mathayo 3:13-17; Luka 3:21-22)
MRK 1:11(Mathayo 4:1-11; Luka 4:1-13)
MRK 1:15(Mathayo 4:12-22; Luka 4:14-15; 5:1-11)
MRK 1:20(Luka 4:31-37)
MRK 1:28(Mathayo 8:14-15; Luka 4:38-39)
MRK 1:31(Mathayo 8:16-17; Luka 4:40-41)
MRK 1:34(Luka 4:42-44)
MRK 1:39(Mathayo 8:1-4; Luka 5:12-16)
MRK 2:0(Mathayo 9:1-8; Luka 5:17-26)
MRK 2:12(Mathayo 9:9-13; Luka 5:27-32)
MRK 2:17(Mathayo 9:14-17; Luka 5:33-39)
MRK 2:22(Mathayo 12:1-8; Luka 6:1-5)
MRK 3:0(Mathayo 12:9-14; Luka 6:6-11)
MRK 3:12(Mathayo 10:1-4; Luka 6:12-16)
MRK 3:19(Mathayo 12:22-32; Luka 11:14-23; 12:10)
MRK 3:30(Mathayo 12:46-50; Luka 8:19-21)
MRK 4:0(Mathayo 13:1-9; Luka 8:4-8)
MRK 4:9(Mathayo 13:10-17; Luka 8:9-10)
MRK 4:12(Mathayo 13:18-23; Luka 8:11-15)
MRK 4:20(Luka 8:16-18)
MRK 4:29(Mathayo 13:31-32, 34; Luka 13:18-19)
MRK 4:34(Mathayo 8:23-27; Luka 8:22-25)
MRK 5:0(Mathayo 8:28-34; Luka 8:26-39)
MRK 5:20(Mathayo 9:18-26; Luka 8:40-56)
MRK 6:0(Mathayo 13:53-58; Luka 4:16-30)
MRK 6:6(Mathayo 10:5-15; Luka 9:1-6)
MRK 6:13(Mathayo 14:1-12; Luka 9:7-9)
MRK 6:29(Mathayo 14:13-21; Luka 9:10-17; Yohana 6:1-14)
MRK 6:44(Mathayo 14:22-33; Yohana 6:15-21)
MRK 7:0(Mathayo 15:1-20)
MRK 7:23(Mathayo 15:21-28)
MRK 8:0(Mathayo 15:32-39)
MRK 8:10(Mathayo 12:38-42; 16:1-4)
MRK 8:13(Mathayo 16:5-12)
MRK 8:26(Mathayo 16:13-20; Luka 9:18-21)
MRK 8:30(Mathayo 16:21-28; Luka 9:22-27)
MRK 9:1(Mathayo 17:1-13; Luka 9:28-36)
MRK 9:13(Mathayo 17:14-21; Luka 9:37-43)
MRK 9:29(Mathayo 17:22-23; Luka 9:43-45)
MRK 9:32(Mathayo 18:1-5; Luka 9:46-48)
MRK 9:37(Luka 9:49-50)
MRK 9:41(Mathayo 18:6-9; Luka 17:1-2)
MRK 10:0(Mathayo 19:1-12; Luka 16:18)
MRK 10:12(Mathayo 19:13-15; Luka 18:15-17)
MRK 10:16(Mathayo 19:16-30; Luka 18:18-30)
MRK 10:31(Mathayo 20:17-19; Luka 18:31-34)
MRK 10:34(Mathayo 20:20-28)
MRK 10:45(Mathayo 20:29-34; Luka 18:35-43)
MRK 11:0(Mathayo 21:1-11; Luka 19:28-40; Yohana 12:12-19)
MRK 11:11(Mathayo 21:18-19)
MRK 11:14(Mathayo 21:12-17; Luka 19:45-48; Yohana 2:13-22)
MRK 11:19(Mathayo 21:20-22)
MRK 11:26(Mathayo 21:23-27; Luka 20:1-8)
MRK 12:0(Mathayo 21:33-46; Luka 20:9-19)
MRK 12:12(Mathayo 22:15-22; Luka 20:20-26)
MRK 12:17(Mathayo 22:23-33; Luka 20:27-40)
MRK 12:27(Mathayo 22:34-40; Luka 10:25-28)
MRK 12:34(Mathayo 22:41-46; Luka 20:41-44)
MRK 12:37(Mathayo 23:1-36; Luka 20:45-47)
MRK 12:40(Luka 21:1-4)
MRK 13:0(Mathayo 24:1-2; Luka 21:5-6)
MRK 13:2(Mathayo 24:3-14; Luka 21:7-19)
MRK 13:13(Mathayo 24:15-28; Luka 21:20-24)
MRK 13:23(Mathayo 24:29-31; Luka 21:25-28)
MRK 13:27(Mathayo 24:32-35; Luka 21:29-33)
MRK 13:31(Mathayo 24:36-44)
MRK 14:0(Mathayo 26:1-5; Luka 22:1-2; Yohana 11:45-53)
MRK 14:2(Mathayo 26:6-13; Yohana 12:1-8)
MRK 14:9(Mathayo 26:14-16; Luka 22:3-6)
MRK 14:11(Mathayo 26:17-25; Luka 22:7-14, 21-23; Yohana 13:21-30)
MRK 14:21(Mathayo 26:26-30; Luka 22:14-20; 1 Wakorintho 11:23-25)
MRK 14:26(Mathayo 26:31-35; Luka 22:31-34; Yohana 13:36-38)
MRK 14:31(Mathayo 26:36-46; Luka 22:39-46)
MRK 14:42(Mathayo 26:47-56; Luka 22:47-53; Yohana 18:3-12)
MRK 14:52(Mathayo 26:57-68; Luka 22:54-71; Yohana 18:13-24)
MRK 14:65(Mathayo 26:69-75; Luka 22:56-62; Yohana 18:15-18, 25-27)
MRK 15:0(Mathayo 27:1-14; Luka 23:1-5; Yohana 18:28-38)
MRK 15:5(Mathayo 27:15-26; Luka 23:13-25; Yohana 18:39–19:16)
MRK 15:15(Mathayo 27:27-31; Yohana 19:2-3)
MRK 15:20(Mathayo 27:32-44; Luka 23:26-43; Yohana 19:17-27)
MRK 15:32(Mathayo 27:45-56; Luka 23:44-49; Yohana 19:28-30)
MRK 15:41(Mathayo 27:57-61; Luka 23:50-56; Yohana 19:38-42)
MRK 16:0(Mathayo 28:1-8; Luka 24:1-12; Yohana 20:1-10)
MRK 16:8(Mathayo 28:9-10; Yohana 20:11-18)
MRK 16:11(Luka 24:13-35)
MRK 16:13(Mathayo 28:16-20; Luka 24:36-49; Yohana 20:19-23; Matendo 1:6-8)
MRK 16:18(Luka 24:50-53; Matendo 1:9-11)
LUK 2:0(Mathayo 1:18-25)
LUK 3:0(Mathayo 3:1-12; Marko 1:1-8; Yohana 1:19-28)
LUK 3:20(Mathayo 3:13-17; Marko 1:9-11)
LUK 3:22(Mathayo 1:1-17)
LUK 4:0(Mathayo 4:1-11; Marko 1:12-13)
LUK 4:13(Mathayo 4:12-17; Marko 1:14-15)
LUK 4:15(Mathayo 13:53-58; Marko 6:1-6)
LUK 4:30(Marko 1:21-28)
LUK 4:37(Mathayo 8:14-17; Marko 1:29-34)
LUK 5:0(Mathayo 4:18-22; Marko 1:16-20)
LUK 5:11(Mathayo 8:1-4; Marko 1:40-45)
LUK 5:16(Mathayo 9:1-8; Marko 2:1-12)
LUK 5:26(Mathayo 9:9-13; Marko 2:13-17)
LUK 5:32(Mathayo 9:14-17; Marko 2:18-22)
LUK 6:0(Mathayo 12:1-8; Marko 2:23-28)
LUK 6:5(Mathayo 12:9-14; Marko 3:1-6)
LUK 6:11(Mathayo 10:1-4; Marko 3:13-19)
LUK 6:16(Mathayo 4:23-25)
LUK 6:19(Mathayo 5:1-12)
LUK 6:26(Mathayo 5:38-48)
LUK 6:36(Mathayo 7:1-5)
LUK 6:42(Mathayo 7:16-20; Marko 12:33-35)
LUK 6:45(Mathayo 7:24-27)
LUK 7:0(Mathayo 8:5-13)
LUK 7:17(Mathayo 11:2-19)
LUK 8:0(Mathayo 13:1-9; Marko 4:1-9)
LUK 8:15(Marko 4:21-25)
LUK 8:18(Mathayo 12:46-50; Marko 3:31-35)
LUK 8:21(Mathayo 8:23-27; Marko 4:35-41)
LUK 8:25(Mathayo 8:28-34; Marko 5:1-20)
LUK 8:39(Mathayo 9:18-26; Marko 5:21-43)
LUK 9:0(Mathayo 10:5-15; Marko 6:7-13)
LUK 9:6(Mathayo 14:1-12; Marko 6:14-29)
LUK 9:9(Mathayo 14:13-21; Marko 6:30-44; Yohana 6:1-14)
LUK 9:17(Mathayo 16:13-19; Marko 8:27-29)
LUK 9:27(Mathayo 17:1-8; Marko 9:2-8)
LUK 9:36(Mathayo 17:1-8; Marko 9:2-8)
LUK 9:45(Mathayo 18:1-5; Marko 9:33-37)
LUK 9:56(Mathayo 8:19-22)
LUK 10:12(Mathayo 11:20-24)
LUK 10:20(Mathayo 11:25-27; 13:16-17)
LUK 11:0(Mathayo 6:9-13; 7:7-11)
LUK 11:13(Mathayo 12:22-30; Marko 3:20-27)
LUK 11:23(Mathayo 12:43-45)
LUK 11:28(Mathayo 12:38-42)
LUK 11:32(Mathayo 5:15; 6:22-23)
LUK 11:36(Mathayo 23:1-36; Marko 12:38-40)
LUK 12:0(Mathayo 10:26-33)
LUK 12:21(Mathayo 6:25-34)
LUK 12:31(Mathayo 6:19-21)
LUK 12:40(Mathayo 24:45-51)
LUK 12:48(Mathayo 10:34-36)
LUK 12:53(Mathayo 16:2-3)
LUK 13:17(Mathayo 13:31-32; Marko 4:30-32)
LUK 13:19(Mathayo 13:33)
LUK 13:21(Mathayo 7:13-14, 21-23)
LUK 13:30(Mathayo 23:37-39)
LUK 14:14(Mathayo 22:1-10)
LUK 14:24(Mathayo 10:37-38)
LUK 14:33(Mathayo 5:13; Marko 9:50)
LUK 15:0(Mathayo 18:12-14)
LUK 17:0(Mathayo 18:6-7, 21-22; Marko 9:42)
LUK 17:19(Mathayo 24:23-28, 37-41)
LUK 18:14(Mathayo 19:13-15; Marko 10:13-16)
LUK 18:17(Mathayo 19:16-30; Marko 10:17-31)
LUK 18:30(Mathayo 20:17-19; Marko 10:32-34)
LUK 18:34(Mathayo 20:29-34; Marko 10:46-52)
LUK 19:10(Mathayo 25:14-30)
LUK 19:27(Mathayo 21:1-11; Marko 11:1-11; Yohana 12:12-19)
LUK 19:44(Mathayo 21:12-17; Marko 11:15-19; Yohana 2:13-22)
LUK 20:0(Mathayo 21:23-27; Marko 11:27-33)
LUK 20:8(Mathayo 21:33-46; Marko 12:1-12)
LUK 20:19(Mathayo 22:15-22; Marko 12:13-17)
LUK 20:26(Mathayo 22:23-33; Marko 12:18-27)
LUK 20:40(Mathayo 22:41-46; Marko 12:35-37)
LUK 20:44(Mathayo 23:1-36; Marko 12:38-40)
LUK 21:0(Marko 12:41-44)
LUK 21:4(Mathayo 24:1-2; Marko 13:1-2)
LUK 21:6(Mathayo 24:3-14; Marko 13:3-13)
LUK 21:19(Mathayo 24:15-21; Marko 13:14-19)
LUK 21:24(Mathayo 24:29-35; Marko 13:24-31)
LUK 22:0(Mathayo 26:14-16; Marko 14:10-11)
LUK 22:6(Mathayo 26:17-25; Marko 14:12-21; Yohana 13:21-30)
LUK 22:13(Mathayo 26:31-35; Marko 14:27-31; Yohana 13:36-38)
LUK 22:38(Mathayo 26:36-46; Marko 14:32-42)
LUK 22:46(Mathayo 26:47-56; Marko 14:43-50; Yohana 18:3-11)
LUK 22:53(Mathayo 26:57-75; Marko 14:53-72; Yohana 18:12-27)
LUK 22:62(Mathayo 26:67-68; Marko 14:65)
LUK 22:65(Mathayo 26:59-66; Marko 14:55-64; Yohana 18:28-38)
LUK 23:0(Mathayo 27:1-14; Marko 15:1-5; Yohana 18:28-38)
LUK 23:12(Mathayo 27:15-26; Marko 15:6-15; Yohana 18:39–19:16)
LUK 23:25(Mathayo 27:32-44; Marko 15:21-32; Yohana 19:17-27)
LUK 23:43(Mathayo 27:45-56; Marko 15:33-41; Yohana 19:28-30)
LUK 23:49(Mathayo 27:57-61; Marko 15:42-47; Yohana 19:38-42)
LUK 24:0(Mathayo 28:1-10; Marko 16:1-8; Yohana 20:1-10)
LUK 24:12(Marko 16:12-13)
LUK 24:35(Mathayo 28:16-20; Marko 16:14-18; Yohana 20:19-23; Matendo 1:6-8)
LUK 24:49(Marko 16:19-20; Matendo 1:9-11)
JHN 1:18(Mathayo 3:1-12; Marko 1:1-8; Luka 3:1-18)
JHN 2:11(Mathayo 21:12-13; Marko 11:15-17; Luka 19:45-46)
JHN 6:0(Mathayo 14:13-21; Marko 6:30-44; Luka 9:10-17)
JHN 6:15(Mathayo 14:22-33; Marko 6:45-52)
JHN 11:44(Mathayo 26:1-5; Marko 14:1-2; Luka 22:1-2)
JHN 12:0(Mathayo 26:6-13; Marko 14:3-9)
JHN 12:11(Mathayo 21:1-11; Marko 1:1-11; Luka 19:28-40)
JHN 13:20(Mathayo 26:20-25; Marko 14:17-21; Luka 22:21-23)
JHN 13:30(Mathayo 26:31-35; Marko 14:27-31; Luka 22:31-34)
JHN 18:0(Mathayo 26:47-56; Marko 14:43-50; Luka 22:47-53)
JHN 18:14(Mathayo 26:69-70; Marko 14:55-64; Luka 22:66-71)
JHN 18:24(Mathayo 26:71-75; Marko 14:69-72; Luka 22:58-62)
JHN 18:27(Mathayo 27:1-2, 11-14; Marko 15:1-5; Luka 23:1-5)
JHN 19:0(Mathayo 27:15-31; Marko 15:6-20; Luka 23:13-25)
JHN 19:16(Mathayo 27:32-44; Marko 15:21-32; Luka 23:26-43)
JHN 19:27(Mathayo 27:45-56; Marko 15:33-41; Luka 23:44-49)
JHN 19:37(Mathayo 27:57-61; Marko 15:42-47; Luka 23:50-56)
JHN 20:0(Mathayo 28:1-8; Marko 16:1-8; Luka 24:1-12)
JHN 20:10(Mathayo 28:9-10; Marko 16:9-11)
JHN 20:18(Mathayo 28:16-20; Marko 16:14-18; Luka 24:36-49)
ACT 1:5(Marko 16:19-20; Luka 24:50-53)
ACT 1:11(Mathayo 27:3-10)
ACT 9:0(Matendo 22:6-16; 26:12-18)
ACT 22:5(Matendo 9:1-19; 26:12-18)
ACT 26:11(Matendo 9:1-19; 22:6-16)
CO1 11:22(Mathayo 26:26-29; Marko 14:22-25; Luka 22:14-20)

Descriptive Heading Lines

PSA 3:0Zaburi ya Daudi. Alipomkimbia mwanawe Absalomu.
PSA 4:0Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Daudi.
PSA 5:0Kwa mwimbishaji. Kwa filimbi. Zaburi ya Daudi.
PSA 6:0Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi.
PSA 7:0Ombolezo la Daudi kwa \nd Bwana\nd* kwa sababu ya Kushi, Mbenyamini.
PSA 8:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Daudi.
PSA 9:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa muth-labeni. Zaburi ya Daudi.
PSA 11:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 12:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa sheminithi. Zaburi ya Daudi.
PSA 13:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 14:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 15:0Zaburi ya Daudi.
PSA 16:0Utenzi wa Daudi.
PSA 17:0Sala ya Daudi.
PSA 18:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa \nd Bwana\nd* aliyomwimbia \nd Bwana\nd* wakati \nd Bwana\nd* alipomwokoa mikononi mwa adui zake wote, na pia mkononi mwa Sauli. Alisema hivi:
PSA 19:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 20:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 21:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 22:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Kulungu wa Alfajiri.” Zaburi ya Daudi.
PSA 23:0Zaburi ya Daudi.
PSA 24:0Zaburi ya Daudi.
PSA 25:0Zaburi ya Daudi.
PSA 26:0Zaburi ya Daudi.
PSA 27:0Zaburi ya Daudi.
PSA 28:0Zaburi ya Daudi.
PSA 29:0Zaburi ya Daudi.
PSA 30:0Utenzi wa kuweka wakfu hekalu. Zaburi ya Daudi.
PSA 31:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 32:0Zaburi ya Daudi. Funzo.
PSA 34:0Zaburi ya Daudi, alipojifanya mwendawazimu mbele ya Abimeleki, ambaye alimfukuza, naye akaondoka.
PSA 35:0Zaburi ya Daudi.
PSA 36:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi mtumishi wa \nd Bwana\nd*.
PSA 37:0Zaburi ya Daudi.
PSA 38:0Zaburi ya Daudi. Maombi.
PSA 39:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.
PSA 40:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 41:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 42:0Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.
PSA 44:0Kwa mwimbishaji. Utenzi wa wana wa Kora.
PSA 45:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa utenzi wa “Yungiyungi.” Utenzi wa wana wa Kora. Wimbo wa arusi.
PSA 46:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Mtindo wa alamothi.
PSA 47:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
PSA 48:0Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora.
PSA 49:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
PSA 50:0Zaburi ya Asafu.
PSA 51:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Baada ya kukemewa na nabii Nathani kwa kuzini na Bathsheba.
PSA 52:0Kwa mwimbishaji. Utenzi wa Daudi. Baada ya Doegi, Mwedomu kumwendea Sauli na kumjulisha kuwa: “Daudi amekwenda nyumbani kwa Ahimeleki.”
PSA 53:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi. Utenzi wa Daudi.
PSA 54:0Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za uimbaji. Utenzi wa Daudi. Wakati Wazifu walimwendea Sauli na kumjulisha, “Je, Daudi hajifichi miongoni mwetu?”
PSA 55:0Kwa mwimbishaji. Na ala za uimbaji. Utenzi wa Daudi.
PSA 56:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Njiwa mkimya wa mbali.” Utenzi wa Daudi. Baada ya kukamatwa na Wafilisti huko Gathi.
PSA 57:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Baada ya kumponyoka Sauli pangoni.
PSA 58:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi.
PSA 59:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Utenzi wa Daudi. Wakati Sauli alipotuma wapelelezi nyumbani mwa Daudi ili wamuue.
PSA 60:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Shushani Eduthi.” Utenzi wa Daudi wa kufundisha. Wakati alipopigana na Waaramu kutoka Aramu-Naharaimu na Aramu-Soba, naye Yoabu akarudi nyuma na kuwaua Waedomu 12,000 katika Bonde la Chumvi.
PSA 61:0Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za uimbaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 62:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Daudi.
PSA 63:0Zaburi ya Daudi. Wakati alipokuwa katika Jangwa la Yuda.
PSA 64:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 65:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.
PSA 66:0Kwa mwimbishaji. Wimbo. Zaburi.
PSA 67:0Kwa mwimbishaji. Na ala za nyuzi za muziki. Zaburi. Wimbo.
PSA 68:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Wimbo.
PSA 69:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi.” Zaburi ya Daudi.
PSA 70:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Maombi.
PSA 72:0Zaburi ya Solomoni.
PSA 73:0Zaburi ya Asafu.
PSA 74:0Utenzi wa Asafu.
PSA 75:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo.
PSA 76:0Kwa mwimbishaji. Kwa ala za nyuzi za muziki. Zaburi ya Asafu. Wimbo.
PSA 77:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa Yeduthuni. Zaburi ya Asafu.
PSA 78:0Utenzi wa Asafu.
PSA 79:0Zaburi ya Asafu.
PSA 80:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Yungiyungi za Agano.” Zaburi ya Asafu.
PSA 81:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya Asafu.
PSA 82:0Zaburi ya Asafu.
PSA 83:0Wimbo. Zaburi ya Asafu.
PSA 84:0Kwa mwimbishaji. Mtindo wa gitithi. Zaburi ya wana wa Kora.
PSA 85:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora.
PSA 86:0Maombi ya Daudi.
PSA 87:0Zaburi ya wana wa Kora. Wimbo.
PSA 88:0Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi.
PSA 89:0Utenzi wa Ethani Mwezrahi.
PSA 90:0Maombi ya Mose, mtu wa Mungu.
PSA 92:0Zaburi. Wimbo wa siku ya Sabato.
PSA 98:0Zaburi.
PSA 100:0Zaburi ya shukrani.
PSA 101:0Zaburi ya Daudi.
PSA 102:0Maombi ya mtu aliyechoka. Anapoteseka na kumimina malalamiko yake kwa \nd Bwana\nd*.
PSA 103:0Zaburi ya Daudi.
PSA 108:0Wimbo. Zaburi ya Daudi.
PSA 109:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 110:0Zaburi ya Daudi.
PSA 120:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 121:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 122:0Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
PSA 123:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 124:0Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
PSA 125:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 126:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 127:0Wimbo wa kwenda juu. Wa Solomoni.
PSA 128:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 129:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 130:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 131:0Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
PSA 132:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 133:0Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi.
PSA 134:0Wimbo wa kwenda juu.
PSA 138:0Zaburi ya Daudi.
PSA 139:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 140:0Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.
PSA 141:0Zaburi ya Daudi.
PSA 142:0Utenzi wa Daudi. Alipokuwa pangoni. Maombi.
PSA 143:0Zaburi ya Daudi.
PSA 144:0Zaburi ya Daudi.
PSA 145:0Wimbo wa Sifa. Wa Daudi.